31
1 HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MTAA (Tangazo la Serikali Namba 300 la tarehe 22 August, 2014). SN JINA LA KATA SN JINA LA MTAA MIPAKA YA MTAA MAELEZO 1. JAMHURI 1. MTANGE Magharibi - umepakana na nyumba ya mama Halima na Wale. Mashariki- Umepakana na Bahari ya Hindi. Kaskazini - Umepakana na Mlima wa Ngweje na Shamba la Chumvi la Magereza. Kusini Umepakana na Daraja la Ngurumahamba. 2. KIDUNI Kaskazini Umepakana na Mtaa wa Mtange. Mashariki Umepakana na Bahari ya Hindi. Kusini Umepakana na Mtaa wa Tulieni na barabara ya Ulimwengu inayoelekea Namwikuta. Magharibi Umepakana na Kata ya N`gapa 3. TULIENI Kaskazini Umepakana na Mtaa wa Kuduni ikitenganishwa na barabara ya Ulimwengu. Mashariki Umepakana na Bahari ya Hindi. Magharibi Umepakana na Mtaa wa Mayani. Kusini Umepakana na Mtaa wa Mitumbati ikitenganishwa na barabara ya Baba K.

HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

  • Upload
    others

  • View
    37

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

1

HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MTAA (Tangazo la Serikali Namba 300 la tarehe 22 August, 2014).

SN

JINA LA KATA

SN

JINA LA MTAA

MIPAKA YA MTAA

MAELEZO

1. JAMHURI 1. MTANGE Magharibi - umepakana na nyumba ya mama Halima na Wale. Mashariki- Umepakana na Bahari ya Hindi. Kaskazini - Umepakana na Mlima wa Ngweje na Shamba la Chumvi la Magereza. Kusini – Umepakana na Daraja la Ngurumahamba.

2. KIDUNI Kaskazini – Umepakana na Mtaa wa Mtange. Mashariki – Umepakana na Bahari ya Hindi. Kusini – Umepakana na Mtaa wa Tulieni na barabara ya Ulimwengu inayoelekea Namwikuta. Magharibi – Umepakana na Kata ya N`gapa

3. TULIENI Kaskazini – Umepakana na Mtaa wa Kuduni ikitenganishwa na barabara ya Ulimwengu. Mashariki – Umepakana na Bahari ya Hindi. Magharibi – Umepakana na Mtaa wa Mayani. Kusini – Umepakana na Mtaa wa Mitumbati ikitenganishwa na barabara ya Baba K.

Page 2: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

2

4. MITUMBATI Kaskazini – Umepakana na Mtaa wa Tulieni ikitenganishwa na barabara ya baba K. Mashariki – Umepakana na Bahari ya Hindi. Magharibi – Umepakana na Mtaa wa Mayani ukitenganishwa na barabara kuu ya Mingoyo Lindi. Kusini – Umepakana na Kata ya Mingoyo.

5. MAYANI Kaskazini – Umepakana na Mtaa wa Kiduni. Mashariki – Umepakana na Mtaa wa Mitumbati Magharibi – umepakana na kata ya N`gapa. Kusini – umepakana na Kata ya Mnazimmoja ukitenganisha na Kijiji cha Ruaha.

Mtaa mpya

2. CHIKONJI 1. LIKABUKU Mashariki – umepakana na barabara kuu ya kwenda Nangaru. Magharibi – imepakana na mtaa wa Mkanga. Kaskazini – imepakana na Kijiji cha Likwaya. Kusini – imepakana na Nyumba ya Mohamedi Nambea kuelekea barabara inayoenda Ofisi ya Kata mpaka kwa Bakari Kiwawaga.

Mtaa mpya

2. NANJINGA Mashariki – inapakana na kijiji cha Jangwani. Magharibi – inapakana na barabara kuu ya kwenda Nangaru.

Mtaa mpya

Page 3: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

3

Kaskazini – inapakana na miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza.

3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda Nangaru Magharibi – imepakana na kijiji cha Mkanga Kaskazini – imepakana kwenye mwembe wa Mkutano Kusini – imapakana na kwa Mtokoma hadi Mtutu

4. KOLEJI Mashariki – inapakana na Kiijji cha Jangwani Magharibi – inapakana na Barabara kuu ya kutoka Mtange kwenda Nangaru Kaskazini – inapakana na visiwa vya kienyeji vya maji Kusini – inapakana na mmwiwi

Mtaa mpya

5. JANGWANI Mashariki – inapakana na Mitwero Magharibi – inapakana na mtaa wa Koleji Kaskazini – inapakana na mtaa wa Nanyanje Kusini – imepakana na Kineng`ene na Muhimbili

6. NANYANJE Mashariki – imepakana na Mbanja Magharibi – imepakana na mtaa wa Nanjinga Kaskazini – imepakana na kijiji cha Likwaya

Page 4: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

4

Kusini – imepakana na Mtaa wa Jangwani

3. MWENGE 1. MAGOGONI Mashariki – imepakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam Magharibi – imepakana na nyumba ya Mr. Mpaka Kaskazini – imepakana na nyumba ya kanisa la Kagwa Kusini – umepakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam.

2. MWENGE Mashariki – imepakana na nyumba ya Mzee Kamnokole. Magharibi – imepakana na barabara ya mzunguko Kaskazini – imepakana na barabara ya mzunguko Kusini - imepakana na barabara ya Bohari

3. NHC Mashariki – imepakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam Magharibi – imepakana na barabara ya Kagwa Kaskazini – imepakana na barabara ya kwenda Mtanda Kusini – imepakana na nyumba ya mzee Kitenge

4. KILIMAHEWA Mashariki – imepakana na barabara ya Mzunguko Magharibi – imepakana na Tanki kubwa la maji jipya. Kaskazini – imepakana na nyumba ya mzee Manyoma Kusini - imepakana na nguzo za umeme za laini kubwa

Page 5: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

5

5. MIGOMBANI Mashariki – imepakana za kota za magogoni Magharibi - mepakana na nyumba ya Mkuu wa Wilaya Kaskazini – imepakana na kanisa la Kagwa Kusini – imepakana na Soko la Mwenge

4. RAHALEO 1. MAJENGO Mashariki – imepakana na mtaa wa ufukoni barabara ya mzee Mbito kuelekea kwa Mzee Katenga Magharibi – imepakana na Kata ya Mwenge inaanzia nyumba ya Diwani Lihumbo Kaskazini – imepakana na Ofisi ya Kata ya Rahaleo inayoanzia nyumba ya Mama Mcharazo hadi mzee Mbito Kusini – imepakana na barabara ya Mchinga road kuelekea bahari ya Hindi hadi nyumba ya bi Mgwegwe karibu na daraja jirani na nyumba

2. RAHALEO Mashariki – imepakana na Bahari ya Hindi Magharibi – imepakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam Kaskazini – imepakana na Idara ya Maji Kusini - imepakana na Ofisi ya Kata ya Rahaleo

3. UFUKONI Mashariki –imepakana na Bahari ya Hindi Magharibi – imepakana na makaburi ya binti Sudi

Page 6: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

6

Kaskazini - imepakana na mfereji uliopo nyuma ya nyumba za Walimu shule ya msingi Rahaleo. Kusini – imepakana na nyumba ya mama Stambuli

4. MCHINGA ROAD

Mashariki – unaanzia nyumba ya Mehbob iliyopakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unaanzia jisoni nyuma ya nyumba ya Mzee Ngumba. Kaskazini – unaanzia nyumba ya Shekh Kinara iliyopakana na jiso na mtaa wa ufukoni. Kusini - unaanzia mwisho wa jiso kuelekea Idahoti hadi barabara ya Mchinga road

5. MAKONDE 1. AMANI Mashariki – umepakana na Bahari ya Hindi Magharibi – unapakana na mtaa wa Ndoro juu barabara ya Makonde. Kaskazini – umepakana na mtaa wa ndoro chini, mtaa wa Msonobarini juu na mtaa wa Benki barabara ya Eliet Kusini – unapakana na mtaa wa Shekh Badi barabara ya Uhuru

2. SHEKH-BADI Mashariki – Umepakana na Bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Ndoro juu-barabara ya Makonde. Kaskazini – umepakana na mtaa wa amani barabara ya uhuru. Kusini - -umepakana na kata ya Mikumbi barabara ya Market

Page 7: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

7

6. MITANDI 1. MNUBI Mashariki – umepakana na Bahari ya Hindi Magharibi – unapakana na barabara ya kawawa. Kaskazini – umepakana na barabara ya Mchinga road kata ya Rahaleo. Kusini – unapakana barabara ya Mahengo.

2. MANISPAA Mashariki – imepakana barabara ya Sailent. Magharibi – unapakana na barabara ya Halifa. Kaskazini – umepakana na barabara ya Mchinga road kata ya Rahaleo. Kusini - umepakana na barabara ya Mnarani.

3. NAVETAVETA Kaskazini – imepakana na barabara ya Mchinga road. Mashariki – barabara ya Liwale Maghairbi - umepakana na barabara ya Sailent. Kusini – umepakana na barabara ya Mnalani (Kapilima).

4. MAISALA Kaskazini – umepakana na barabara ya Mchinga (Mchinga road) Kata ya Rahaleo. Mashariki – umepakana na barabara ya Mbanja. Magharibi – umepakana na barabara ya Liwale. Kusini – umepakana na barabara ya Mnalani (Kapilima).

Page 8: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

8

5. IDAHOTI Kaskazini – umepakana na barabara ya Mchinga road (Kata ya Rahaleo). Mashariki – umepakana na barabara ya Mbanja. Magharibi – umepakana na barabara ya Mbanja. Kusini – umepakana na barabara ya Mnalani (Kapilima).

6. JAFF-PEMBE Kaskazini – umepakana na barabara ya Mnalani (Kapilima). Mashariki – umepakana na barabara ya Jamhuri. Magharibi umepakana na barabara ya Kawawa. Kusini umepakana na dula la Mzee Samji (Mhindi keep left)

7. NG’APA 1 MBUYUNI Mashariki – inapakana na Mtaa wa Mkupama, mpaka ni Kalvati lililopo karibu na nyumbani kwa Bi Kulu. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Mahakamani na Mapokeni na mpaka ni Ngotangota zamani ofisi ya CCM. Kusini – unapaka na mayani na shauri moyo. Kaskazini – unapakana na Kineng’ene.

2. MAPOKEZI Mashariki – unapakana na Mtaa wa Mbuyuni. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Kumbaila na mpaka ni mfereji uliopo karibu na kwa mzee Milanzi. Kusini – unapakana na Kata ya Mnazi mmoja mtaa wa Ruaha

Mtaa mpya

Page 9: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

9

pia kitongoji hicho kinajumuisha eneo la shauri moyo. Kaskazini – unapakana na Mtaa wa Mahakamani na mpaka ni barabara kuu itokayo Ngongo kuelekea Rutamba.

3. MAHAKAMANI Mashariki – unapakana na Mtaa wa Mbuyuni, mpaka ngotangota zamani ofisi ya CCM. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Livengula mpaka ni baada ya nyumba ya Mwenyekiti wa Kijiji cha Mbuyuni. Kusini – unapakana na mtaa wa Mapokezi na mpaka ni barabara ya kutoka Ngongo kuelekea Rutamba.

Mtaa mpya

4. MKUPAMA Mashariki – unapakana na Kata ya Jamhuri – mashambani. Magharibi – unapakana na mtaa wa Mbuyuni eneo la kalvati kwa Bi Kulu. Kusini – unapakana na Kata ya Jamhuri Mtaa wa Mayani mashambani. Kaskazini – unapakana na Kata ya Mtanda eneo la Kineng’ene mashambani.

5. KUMBAILA Mashariki – unapakana na mtaa wa Mbuyuni nyumba ya Mzee Milanzi. Magharibi – unapakana na shamba la Kijiji (fens). Kusini – unapakana na Kijiji cha Ruaha mashambani. Kaskazini – unapakana na barabara iendayo Rutamba.

Mtaa mpya

Page 10: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

10

6. LIVENGULA Mashariki – unapakana na mtaa wa Mbuyuni – eneo la nyumba ya Nandonde. Magharibi – unapakana na eneo la Sekondari. Kusini – unapakana na barabara Kaskazini – unapakana na Kijiji cha Kineng’ene.

Mtaa mpya

7. CHELEWENI Mashariki – unapakana na Ndonde, Kumbaila shamba la minazi la kijiji. Magharibi – unapakana na kijiji cha Narunyu kalvati baada ya kupita barabara ya Nandambi. Kusini – unapakana na Ruaha. Kaskazini – unapakana na kijiji cha kineng’ene mashambani.

8. MSINJAHILI 1. MSONOBARI JUU

Kaskazini – unapakana na barabara ya Eliet. Mashariki unapakana na barabara ya ghana. Magharibi – unapakana na barabara ya Makongoro. Kusini unapakana na barabara ya Hassani Masoud.

2. MSONOBARI CHINI

Kaskazini – unapakana na barabara ya Hassani Masoud. Mashariki – unapakana na barabara ya Ghana. Magharibi – unapakana na barabara ya Makongoro. Kusini – unapakana na barabara ya Makongoro eneo la soko la sababasa na kituo cha mafuta (sheli).

Page 11: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

11

3. BENKI Kaskazini – unapakana na barabara ya Eliet. Mashariki - unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na barabara ya Ghana. Kusini – unapakana na barabara kuu.

4. KANISA Kaskazini – imepakana na mtaa wa sabasaba Kata ya Nachingwea ukitenganishwa na ukuta wa sabasaba na Mkonge Sekondari. Kusini – imepakana na mtaa wa Tankini na Usalama wa Taifa. Magharibi – imepakana na mtaa wa sabasaba Kata ya Nachingwea. Mashariki – imepakana na bahari ya Hindi

Mtaa huu imehamishwa kutoka kata ya jamhuri

5 TANKINI Kaskazini – imepakana na mtaa wa Kanisa ukitenganishwa na barabara ya Nyanda – Usalama wa Taifa. Kusini – imepakana na mtaa wa Mlandege ukitenganishwa na uzio wa kiwanda cha Korosho na gereji ya Kahawa. Mashariki – imepakana na bahari ya Hindi Magharibi – imepakana na mtaa wa Nachingwea na ukitenganishwa na barabara ya Nachingwea-Jamhuri.

Mtaa huu imehamishwa kutoka kata ya jamhuri

6. MLANDEGE Kaskazini – imepakana na mtaa wa Tankini. Kusini – imepakana na Mtaa wa

Mtaa huu imehamishwa kutoka kata ya

Page 12: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

12

Nachingwea ukitenganishwa na shamba la chumvi la Magereza na mlima wa Ngweje. Magharibi – imepakana na mtaa wa Nachingwea na barabara ya Kandoje. Mashariki – imepakana na bahari ya Hindi.

jamhuri

9. KITUMBIKWELA 1. KITUNDA Kaskazini – unapakana na mtaa wa Nachingwea (barabara ya ya Matofalini). Mashariki – unapakana na Mtaa wa Kitumbikwela karibu na Kisima cha maji (maeneo ya Zahanati). Magharibi – unapakana na bahari ya Hindi. Kusini – unapakana na Kijiji cha Sinde.

2. KITUMBIKWELA Kaskazini – unapakana na Mtaa wa Nachingwea barabara ya Matofalini. Mashariki – unapakana na Kijiji cha Shuka. Kaskazini Mashariki unapakana na Bahari ya Hindi. Kusini umepakana na Mtaa wa Sinde (Mapululu). Magharibi – unapakana na Mtaa wa Kitunda karibu na Zahanati (Kisima cha maji).

NACHINGWEA Kaskazini – unapakana na bahari ya Hindi. Mashariki – unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na bahari ya Hindi.

Page 13: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

13

Kusini Magharibi – unapakana na Mtaa wa Kitunda (Barabara ya matofalini). Kusini Mashariki – umepakana na Mtaa wa Kitumbikwela (barabara ya Matofalini).

3. SINDE Kaskazini – unapakakana na Mtaa wa Kitunda (Mti mkubwa). Mashariki – unapakana na mtaa wa Kitumbikwela. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Mnali. Kusini – unapakana na Kijiji cha Navanga.

Mtaa mpya

4. MNALI Kaskazini – unapakana na Mtaa wa Kitunda. Mashariki – unapakana na Mtaa Mnali. Magharibi – unapakana na Kijiji cha Nampunga (kwenye Kalvati). Kusini – unapakana na Kijiji cha Navanga.

Mtaa mpya

10. RASBURA 1 KARIAKOO Mashariki – unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na barabara kuu inayoelekea Dar es Salaam (Kibiti – Lindi) upande wa pili wa barabara hiyo inapakana na mtaa wa kariakoo mtanda uliopo kata ya Mtanda. Kusini – unapakana na ofisi ya Idara ya maji barabara inayokwenda mpaka kwa Mwenyekiti mama Chilinga ndiyo inayotenganisha.

2. LIKOTWA Mashariki - unapakana na bahari ya Hindi.

Page 14: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

14

Magharibi – unapakana na mtaa wa Muhimbili mwisho wa barabara ya mbele ya mzee Mahudundu. Kaskazini – unapakana na mtaa wa Mitema lilipoanzia daraja la bao. Kusini – unapakana na mtaa wa Kariakoo linapoishia daraja la barabara kuu ya kwenda Dar es Salaam.

3. MUHIMBILI Mashariki – unapana na mtaa wa Likotwa inapoanza barabara ya Mzee Mahundu kuelekea Nangurukuru, shauri moyo. Magharibi – unapakana na mtaa wa Banduka kwa mama Issa. Kaskazini – unapakana na mtaa wa Mitema hadi kwenye minara ya TTCL. Kusini – unapakana na mtaa wa kariakoo mtanda.

Mtaa mpya

4. BANDUKA Mashariki – unapakana na Mtaa wa Likotwa kwa mama Issa kuelekea kwa Eng. Mwanjesa. Magharibi – unapakana na Kata ya Mtanda kijiji cha Kineng’ene. Kaskazini – unapakana na barabara iendayo kwenye minara ya TTCL. Kusini – unapakana na mtaa wa mtanda kariakoo na bonde la Makaburi ya Johari.

Mtaa mpya

5. MITEMA Mashariki – unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na Mtaa wa Jangwani uliopo kata ya Chikonji. Kusini – unapakana na mtaa wa

Page 15: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

15

Likotwa darajani karibu na shamba la Mzee Bao. Kaskazini – unapakana na mtaa wa mmongo daraja la Mmongo shule ya Sekondari Khairat.

6. MMONGO Mashariki – unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na mtaa wa Jangwani kata ya Chikonji. Kusini – unapakana na Mitema kufata bonde la daraja la mto mmongo.

7. MITWERO ZAHANATI

Mashariki – unapakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam (Kitibi – Lindi). Magharibi – unapakana na kijiji cha Jangwani Kata ya Chikonji. Kaskazini – unapakana na Milonji (barabara kati ya Ndugu Charles Pollo na Ndg. Salum Salum Kipinda-transformer ya umeme – tenki kubwa la maji, ukifuata barabara iendayo kwenye shimo la mchanga na kuelekea kijiji cha Jangwani. Kusini – unapakana na Mtaa wa Mmongo (barabara ya kiwanda cha tofali – shule ya Mzee Kanda – moja kwa moja mpaka kijiji cha Jangwani).

Mtaa mpya

8. MILONJI Mashariki – unapakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam (Kibiti – Lindi). Magharibi – unapakana na Mtaa wa Jangwani kata ya Chikonji. Kaskazini – unapakana na Mtaa wa Mbanja (Mto Mbanja).

Mtaa mpya

Page 16: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

16

Kusini – unapakana na Mtaa wa Mitwero Zahanati.

9. MITWERO STENDI

Mashariki – unapakana na Mtaa wa Mabano (daweni – kanisa mashariki pembezoni ya uwanja wa mpira njia iendayo pwani ya kilamba). Kusini – unapakana na Mtaa wa Mmongo (barabara iendayo kambi ya FFU). Kaskazini – unapakana na mtaa wa Mbanja (Mto Mbanja). Magharibi – unapakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam (Kibiti – Lindi)

10. MABANO Mashariki – unapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – unapakana na mtaa wa mitwero stendi (daweni kanisa mashariki pembezoni ya uwanja wa mpira njia iendayo Pwani ya Kilamba). Kusini – unapakana na bahari ya Hindi. Kusini Magharibi – unapakana na mtaa wa Mmongo, barabara ya mzee Mchokozi, moja kwa moja mpaka pwani. Kaskazini – unapakana na mtaa wa mitwero stendi barabara iendayo pwani ya kilamba.

11. NDORO 1 NDORO JUU Kusini – umeanzia barabara ya Eliet kwa upande wa kusini ambao umepakana na mtaa wa ndoro chini. Kaskazini – unapakana na mtaa wa market Road na mtaa wa shule kata ya Mikumbi. Mashariki – unapakana na

Page 17: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

17

barabara ya Makonde Kata ya Makonde. Magharibi – unapakana na mfereji mkubwa wa maji ya mvua umepakana na mtaa wa Ndoro Kaskazini.

2. NDORO CHINI Kaskazini – unapakana na barabara ya Eliet inayotenganisha mtaa wa Ndoro juu. Mashariki – unapakana na barabara ya Makongoro. Magharibi – unapakana na mchochoro, nyuma ya barabara ya Naigeria (msufini). Kusini – unapakana na makutano ya barabara ya makongoro na Naigeria kwa Amidi Nassoro.

3. NDORO KUSINI Kaskazini – unapakana na barabara ya Eliet na mtaa wa Ndoro Kaskazini. Kaskazini-Mashariki – unapakana na nyumba iliyopo kwenye kona kwa mzee Mambo. Magharibi – unapakana na mfereji mkubwa wa mpilipili. Kusini-Magharibi – unapakana na barabara ya Masasi. Kusini – unapakana na Nyumba ya Max Kauponde. Kusini-Mashariki – unapakana na barabara ya Makongoro. Mashariki - unapakana na kichochoro kilichopo nyuma ya barabara ya Mapinduzi.

Page 18: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

18

4. NDORO

KASKAZINI

Mashariki – umepakana na

mfereji mkubwa wa maji ya

mvua.

Kaskazini – umepakana na

barabara ya soko kuu.

Kusini – umepakana na barabara

ya Eliet.

Magharibi – umepakana na

barabara ya Kitulo.

Kaskazini - Magharibi –

umepakana na msikiti wa Siham.

12. WAILES 1. ANGAZA Kusini – umepakana na barabara

ya Mwalimu Nassoro.

Mashariki – umepakana na

nyumba ya Malundila.

Kaskazini – umepakana na

barabara ya Wailes inayoelekea

Mkoani.

Magharibi – umepakana na

barabara inayotoka Ofisi ya Kazi.

2. MAJANI

MAPANA

Kusini – umepakana na barabara ya Eliet. Kaskazini – umepakana na barabara kutoka kwa Kangamala kupitia msikitini hadi mfereji wa kota za bima. Mashariki – unapakana na barabara kutoka kwa Namkudai hadi kwa mzee Salum Bakari. Magharibi – unapakana na barabara ya mashine ya Ngulangwa hadi kwa Kangamala

Page 19: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

19

3. KILIMA HEWA Kusini – unapakana na barabara ya Eliet kutoka kibao cha Kata hadi kwa Namkudai. Kaskazini – unapakana na barabara ya kota za bima hadi barabara ya kitulo kwa Matola. Mashariki – unapakana na barabara ya Kitulo hadi kibao cha Kata ya Wailes. Magharibi – unapakana na barabara kutoka kwa Namkudai hadi mfereji wa nyumba za kota za bima.

13. NACHINGWEA 1. SABASABA Mashariki – unapakana na mtaa wa ndoro chini ukitenganishwa na barabara ya Masasi road kuanzia Blue life mpaka makutano ya barabara ya Makongoro kwa Mohamedi B. Tall kuelekea mwisho wa uwanja wa sabasaba ukitenganishwa na mchochoro kati ya Mkonge Sekondari na uwanja wa sabasaba. Magharibi – unapakana na mtaa wa Nachingwea ukitenganishwa na barabara ya Kitunda kutoka kwa Mzee Daima mpaka kwa Saidi Mnali. Kaskazini – umepakana na mtaa wa Mpilipili Kaskazini umetenganishwa na barabara ya Jamaica kutoka Blue life hadi barabara ya Kitunda kwa Mzee Daima. Kusini – unapakana na mtaa wa Kanisa toka mchochoro kati ya shule ya Sekondari ya Mkonge na uwanja wa sababasa kutokea barabara ya umoja kuelekea madrasa ya Lijala mpaka kwa Imani Mtambo na Saidi Mnali.

Page 20: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

20

2 MPILIPILI

KASKAZINI

Mashariki – unapakana na mtaa wa Ndoro Chini ukitenganishwa na mfereji mkubwa toka chionda hadi barabara ya Eilat. Kaskazini – unapakana na uwanja wa Mpilipili hadi bomba la maji la Mandanje kuelekea barabara ya Zahanati ya Nachingwea. Magharibi – unapakana na Zahanati ya Nachingwea mpaka kwa Mpalanje. Kusini – unapakana na Mpalanje kuelekea shule ya msingi Mpilipili.

3. NACHINGWEA Mashariki – unapakana na mwanzo wa barabara ya Kitunda hadi makutabo ya barabara ya Abdul Azizi. Magharibi – unapakana na mtaa wa Mtange mpaka minazi ya Angaza. Kaskazini – unapakana na mfereji wa Mpilipili kutoka kwa binti Hamidi mpaka Angaza minazini. Kusini – unapakana na barabara ya Mtange kuelekea makaburi ya Mlandege hadi laini kubwa ya umeme mtaa wa Mtange.

4. MPILIPILI

KUSINI

Mashariki – unapakana na barabara ya Zahanati ya Nachingwea. Magharibi – unapakana na mtaa wa mtange laini kubwa ya umeme. Kaskazini – unapakana na mtaa wa Angaza ukitenganishwa na mfereji.

Page 21: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

21

Kusini – unaanzia kwa Kambulaje kuelekea kisima cha maji Mpilipili ukitenganishwa na mfereji.

14. MTANDA 1. MTANDA JUU Kaskazini – unapakana na mtaa wa Mtanda Kariakoo eneo la Kambi ya Jeshi. Mashariki – unapakana na barabara inayoelekea kanisa la Mt. Andrew Kagwa kona kwa Mama Bulu. Kusini – unapakana na Transfoma njia ya kwenda Ikulu unaangalia jengo la NSSF House na Kusini Mashariki kuna mtaa wa Kilimahewa. Magharibi – unapakana na mtaa wa Banduka Kata ya Rasbura katika mfereji wa Banduka.

2. MTANDA

KARIAKOO

Kaskazini – unapakana na barabara kuu iendayo Dar es Salaam na daraja la Kariakoo Likotwa kwa Mzee Mtipulla. Mashariki unapakana na barabara iendayo Dar es Salaam na pacha ya kupandishia Mtanda mkono wa kulia. Kusini – unapakana na mtaa wa Mtanda juu kwenye Kambi ya Jeshi na Kusini Mashariki kuna msitu wa Jeshi.

3. MTANDA KATI

Kaskazini – unapakana na Mtaa wa Mtanda Juu kona ya nyumba ya NSSF na barabara iendayo rest house. Mashariki – imepakana na barabara ya Ikulu kwenye jengo la Ikulu. Kusini – imepakana na mtaa wa Mtuleni mfereji wa Mangomboli kwa mzee Kitapo karibu na Tanki kubwa la maji.

Mtaa mpya

Page 22: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

22

Magharibi – imepakana na mtaa wa Nanembo, Nyulukia mashambani.

4. MTUTU Kaskazini – imepakana na Kata ya Chikonji, mfereji wa mkanga. Mashariki – imepakana na Jangwani na mto wa mkanga. Kusini – imepakana na mtaa wa Mmukule kwenye nyumba ya Mzee Issa Hemed Magharibi – imepakana na mfereji wa Mkanga.

Mtaa mpya

5. MMUKULE Kaskazini – imepakana na nyumba ya Mzee Issa Hemedi. Mashariki – imepakana na nyulukia mashambani. Kusini – imepakana na mtaa wa mchocholo kwenye kalavati (maarufu kalavatini).

6. MCHOCHOLO Kaskazini – imepakana na mtaa wa mmukule kwenye kalavati (maarufu kalavatini) Mashariki – imepakana na barabara iendayo Nangalu upande wa kulia mtaa wa Nanembo. Kusini – imepakana na daraja la ngulumahamba. Magharibi – imepakana na mtaa wa Mmukule upande wa kulia mfereji wa ching’ong’o.

7. NANEMBO Kaskazini – imepakana na Nyulikia Mashambani Kaskazini Mashariki mtaa wa Mtanda kati kwa Mzee Mmoni. Mashariki – imepakana na eneo la Kitulo Kaskazini Mashariki Mtaa wa Mtange.

Page 23: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

23

Kusini – imepakana na barabara kuu ya lami iendayo Mtwara na Masasi. Magharibi – imepakana barabara ya Nangalu upande wa kulia kwenda Nangalu.

15. MBANJA 1. MASASI YA LEO Kusini – inapakana na daraja la mto luchime, mtaa wa kikwetu. Kaskazini – inapakana na daraja la mto Likong’o, mtaa wa Likong’o. Mashariki – inapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – inapakana na Kijiji cha Moka

Mtaa mpya

2. LIKONG’O Kusini – inapakana na Masasi ya leo, daraja la mto Likong’o. Kaskazini – inapakana na Barabara ya mavigiri, mtaa wa Mto mkavu. Mashariki – inapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – inapakana na Kijiji cha Moka.

Mtaa mpya

3. MTO MKAVU Kusini – inapakana na barabara ya mavigiri, mtaa wa Likong’o Kaskazini – inapakana na daraja la mto mkavu, kata ya Mchinga. Mashariki – inapakana na Bahari ya Hindi. Magharibi – inapakana na Kijiji cha Moka.

Mtaa mpya

4. MAKONDE Kusini – inapakana na mto mambulu, mtaa wa Mbanja. Kaskazini – inapakana na Masasi ya Leo, mto luchime.

Mtaa mpya

Page 24: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

24

Mashariki – inapakana na barabara ya Kigoma. Magharibi – inapakana na mtaa wa Nagiriki, barabara ya mitonga.

5. NAGIRIKI Kusini – inapakana na mto mambulu Kaskazini – inapakana na Masasi ya Leo, mto Luchime Mashariki – inapakana na mtaa wa Makonde, barabara ya mitonga. Magharibi – inapakana na Kijiji cha Nanyanje.

Mtaa mpya

6. KIKWETU Kusini – inapakana na mtaa wa Mbanja, mto mambulu. Kaskazini – inapakana na Masasi ya leo, mto luchime. Mashariki – inapakana na Bahari ya Hindi. Magharibi – inapakana na Mtaa wa Makonde, barabara ya Kigoma

7. MBANJA Kusini – inapakana na daraja la Mbanja, mtaa wa mitwero Kaskazini – inapakana na mto mambulu, mtaa wa Makonde Mashariki – inapakana na bahari ya Hindi. Magharibi – inapakana na Mbuyuni, mtaa wa mitonga.

8. MITONGA Kusini – inapakana na mto madimba. Kaskazini – inapakana na Nagiriki – mto mambulu.

Mtaa mpya

Page 25: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

25

Mashariki – inapakana na Mbuyuni – mtaa wa Mbanja. Magharibi – inapakana na Kijiji cha Nanyanje na Jangwani.

16. MIKUMBI 1. MIKUMBI MAGHARIBI

Magharibi – inapakana na barabara ya Jamhuri inayotenganisha na mtaa wa Jaff Pembe Kata ya Mitandi. Mashariki – Inapakana na barabara ya Mussa Lukundu. Kaskazini – inapakana na barabara ya bibi Titi Kusini – inapakana na barabara ya Uganda.

2. SHULE Kusini – inapakana na barabara ya Market. Kaskazini – inapakana na barabara ya Uganda. Mashariki – inapakana na barabara ya Makongoro kutoka pwani hadi Kanisa la Pentekoste. Magharibi – inapakana na barabara ya Jamhuri karibu kwa Atwabi hadi barabara ya bibi Titi.

3. UGANDA Kaskazini – inapakana na Bahari ya Hindi kuanzia eneo la Idahoti hadi Agape Resort bar. Kusini – inapakana na barabara ya Baraza Street kwenye jengo la TRA inashuka barabara inayoelekea baharini ambayo inatenganisha mtaa wa Shehe Badi Kata ya Makonde. Mashariki – inapakana na bahari ya Hindi Magharibi kusini – inapakana na barabara ya Makongoro hadi eneo la Magereza club kuingia bibi Titi.

Page 26: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

26

Magharibi Kaskazini – inapakana na barabara ya bibi Titi hadi eneola Idahot mwisho.

17. TANDANGONGORO 1. NARUNYU Kaskazini – inapakana na barabara ya Nandambi na mtaa wa Ng’apa ng’apa. Mashariki – inapakana na mtaa wa Zawiani kisimani. Kusini – inapakana na Ruaha bwawani. Magharibi – imepakana na mtaa wa msikitini gulioni.

2. ZAWIANI Mashariki – imepakana na mtaa wa Narunyu na barabara iendayo Rutamba. Kaskazini – imepakana na barabara iendayo Rutamba. Kusini – imepakana na mtaa wa Tandangongoro shule ya Msingi Magharibi – imepakana na barabaraba iendayo Rutamba.

Mtaa mpya

3. MSIKITI Kaskazini – imepakana na mtaa wa Zawiani barabara ya kwenda Kisimani. Kusini – imepakana na ufereji wa mto lipululu. Mashariki – imepakana na msikiti maogo wa suni kwa madebe. Magharibi – imepakana na mtaa wa Tandangongoro shule ya msingi.

Mtaa mpya

4. ZAHANATI Kaskazini – umepakana na mtaa wa Nandambi na barabara iendayo Rutamba. Mashariki – imepakana na mtaa wa Narunyu ofisi ya Kata Tandangongoro.

Mtaa mpya

Page 27: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

27

Kusini – imepakana na barabara ya Nandambi. Magharibi – imepakana na shule ya msingi na milima ya bwawani.

5. TANDANGONGORO Kaskazini – imepakana na misitu ya mali asili na bwawa kuu. Mashariki – imepakana na milima ya Noto Rutamba. Kusini – imepakana na Zahanati na mtaa wa zahanati na shule ya msingi Tandangongoro. Magharibi – imepakana na Kijiji cha Rutamba na milima ya Noto.

6. MUUNGANO Kaskazini – imepakana na milima ya Noto. Mashariki – imepakana na misitu ya mali asili na mfereji utokao Rutamba. Kusini – imepakana na mtaa wa Zahanati na mashamba ya mpunga. Magharibi – imepakana na Kijiji cha Michaha pamoja na misitu ya mali asili.

Mtaa mpya

7. NANDAMBI Kusini – imepakana na Ng’apa ng’apa na mtaa wa Zahanati. Mashariki – imepakana na barabara iendayo Rutamba. Kaskazini – imepakana na mtaa wa Mkanga I katika mlima wa mchanga. Magharibi – imepakana na milima ya noto na ziwa la Tandangongoro.

8. MKANGA I Kusini – imepakana na Kata ya Mtanda bondeni. Kaskazini – imepakana na Chikonji bondeni.

Page 28: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

28

Mashariki – imepakana na Nandambi milima ya hifadhi ya Noto. Magharibi – imepakana na Chikonji katika pori la hifadhi ya Mkuluu.

18. MATOPENI 1. MATOPENI Unaanzia barabara ya Kikwete nyumba ya Bi Mwajuma Lyahi, Kaskazini Mashariki unapakana na barabara ya Vodacom nyumba ya bibi Kikulacho, kusini eneo la biashara kongo nyumbani kwa bi Maringo barabara inayoelekea Wailes mwisho nyumba anayoishi Machepe unapakana na barabara ya Wailes.

2. KAWAWA Kusini unaanzia soko kuu, Kusini Magharibi makutano ya barabara ya Wailes na barabara kuu inayoelekea Dar es Salaam, Kaskazini makutano ya barabara ya Kawawa na mashine kwa Vara unapakana na barabara ya Vodacom.

3. MTULENI “A” Kusini unaanzia barabara ya Vodacom mnara wa Vodacom kuelekea Kaskazini barabara ya TANESCO unapakana na mtaa wa Mtuleni”B”. Kusini Magharibi nyumbani kwa Asha Bandi barabara ya mtama kuelekea nyumbani kwa Tumbo, Kaskazini Magharibi unaishia nyumbani kwa mzee Nandoli.

4. MSIKITI Unaanzia kusini mashariki barabara ya Vodacom nyumba ya Asha Bendi, kusini magharibi kuanzia guest Nakifa kuelekea Barabara ya Wailes (mzunguko) hadi Tanesco ofisi kuu (barabara ya Tanesco, kaskazini magharibi ofisi kuu ya Tanesco Kaskazini Magharibi unaishia nyumba ya binti Mkengemba.

Page 29: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

29

5. KOTA Unaanzia kusini Mashariki barabara ya Wailes/Kikwete guest ya Heleni, Kusini Magharibi Kaskazini unapakana na makutano ya barabara ya Vodacom na Kikwete

6. MTULENI “B” Unaanzia Kusini Mashariki barabara kuu kuelekea barabara ya Tanesco Najma Petro station, Kusini Magharibi makutano ya Barabara ya Tanesco na Mkwele nyumba ya mzee Mkulima, Kaskazini Mashariki makutano ya barabara kuu na Bohari (Wakala wa manunuzi wa huduma za Serikali, Kaskazini Magharibi makutano ya barabara ya Mkwele na Bohari nyumba ya John Kamkanda.

7. RIPS Unaanzia makutano ya barabara ya Mkwele na barabara ya Tanesco nyumba ya Hakimu Erasto, Kusini Magharibi barabara ya TBC kuelekea Angaza Sekondari hadi mlima wa Ngweje, Kaskazini Magharibi Tank kuu la maji linaloendelea kujengwa. Eneo lote ambalo lina shule ya msingi Mtuleni, ofisi za Serikali Polisi Mkoa, NAO, ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Rips Lodge, Kaskazini Mashariki ya barabara ya Bohari na Mkwele kuelekea barabara ya mpakani mwa Kata ya Mwenge na Matopeni nguzo ya umeme.

Mtaa mpya

19. MINGOYO 1. RAHALEO “A” Utaanzia stendi ya Lindi kupitia nyumba za walimu shule ya msingi Mnazi mmoja utapakana na mtaa wa Mihogoni Kata ya Mnazi mmoja hadi barabara ya Amani kuelekea kanisa jipya hadi mpaka wa Ruaha na Rahaleo “A”.

Mtaa mpya

Page 30: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

30

2. RAHALEO “B” Utaanzia barabara ya Amani hadi kwa mzee Mchapwaya barabara ya kuelekea Tulieni.

Mtaa mpya

3. MAWASILIANO Utaanzia kituo cha mzani wa magari, barabara ya simu hadi kituo cha polisi cha zamani mpakani mwa mtaa wa Mingoyo.

4. MINGOYO Unaanzia kota za Polisi kituo cha zamani, barabara ya simu kupitia kwa binti Nachecha hadi kwa Benadi barabara kuu.

5. MAJENGO Unaanzia kanisa la zamani Agape barabara kuu ya lami hadi barabara ya Mwalimu Mwihumbo na Saidi Msusa.

Mtaa mpya

6. MAKONDE Unaanzia barabara ya mzee Zuberi Saanane, Mzee Mtavanga, Mzee Mataluma hadi barabara ya kinyenyei.

Mtaa mpya

7. SOKONI Unaanzia barabara ya Mzee Limbanga, Binti Daudi Mzee Mbwana hadi upande wa kulia wa barabara ya kinyenyei.

Mtaa mpya

8. MTELE Unaanzia barabara kubwa ya lami ukitoka Mnazi mmoja kuelekea Mtwara kulia yaani Magharibi hadi Mwinyiundi unapakana na Mahumbika Halmashauri ya Wilaya.

Mtaa mpya

20. MNAZI MMOJA 1. STENDI Unaanzia kwa Bwana Saidi Mateva, Bwana Kumbakisa barabara ya Nguzo za umeme RTM hadi nyumba ya Hawa Halife.

Mtaa mpya

2. MIHOGONI Unanzia msikiti wa mbala nyumba zilizopo nyuma ya nyumba za Walimu kwa Masudi Mtolilo kutokea Mdenga barabara ya simu

Mtaa mpya

3. SEKONDARI Unaanzia kwa Mzee Meta barabara ya shule ya Msingi Muungano upande wa kulia hadi mpakani mwa mtaa wa Ruaha.

Mtaa mpya

4. MAJENGO Unaanzia barabara ya Zahanati Mdenga barabara kuu ya lami ofisi ya CCM, Mzee Sanga hadi kwa Mzee Sonje hadi barabara ya laini ya nguzo za umeme kwa

Mtaa mpya

Page 31: HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI TANGAZO LA …miembe mirefu Kusini – inapakana na mwisho wa nyumba ya Mohamedi Baraza. 3. KIWANJANI Mashariki – imepakana na barabara kuu ya kwenda

31

Mzee Chamalama.

5. ZAHANATI Unaanzia barabara ya umeme kwa Silimu, Zahanati, mpaka wa Ruaha na Mnazi mmoja hadi kwa bint Mshamu hadi kwa bibi Nandoli.

Mtaa mpya

6. MUUNGANO Unaanzia kwa Mzee Kumango kwa Mzee Nawadachi hadi kwa Nandoli hadi mwembe dodo.

Mtaa mpya

8. RUAHA Mtaa huu ni Ruaha yote unapakana na Kata ya Tandangongoro, Kata ya Chiponda Rondo, Kata ya Rutamba, Kata ya Kiwalala Halmashauri ya Wilaya ya Lindi na inapakana na mtaa wa Zahanati, Rahaleo A, Rahaleo B, na mtaa wa Sekondari pia unapakana na mayani Kata ya Jamhuri.