606

Click here to load reader

Maisha ya ibada kusifu na kuabudu

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAISHA YA IBADAMAISHA YA IBADAF id N ili k tikFaida na Nguvu zilizopo katika 

Kumsifu na Kumwabudu MunguKumsifu na Kumwabudu MunguNew‐Life Semina , Morogoro

16‐23 October, 2011NaNa 

Mwl. Mgisa Mtebe0713 497 6540713 497 654

Page 2: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUZITANGAZA FADHILI 

ZA BWANA1Petro 2:9

Page 3: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI KUU LA MUNGU1Petro 2:9

k f lLakini ninyi ni Taifa teule, Ukuhani wa Kifalme Taifa takatifuUkuhani wa Kifalme, Taifa takatifula Mungu, mlioitwa na Mungu,

kutoka gizani mkaingie katika nuruYake ya ajabu ili kutangaza fadhiliYake ya ajabu, ili kutangaza fadhilizake (Ukuu wake na Matendo yake( y

ya ajabu).

Page 4: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAISHA YA IBADAMAISHA YA IBADAFaida na Nguvu iliyopo katika K if K b dKumsifu na Kumwabudu 

MMungu

Page 5: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MALENGO YA SOMO:

Tutajifunza; Kusudi Kuu la Mungu,

kuumba dunia na vitu vyote, ili kujitengenezea vyombo vya 

ibada; yaani viumbeibada; yaani viumbe,watakaomsifu na kumtukuza yeye (kuzitangaza fadhili zake).

Page 6: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

fTafsiri ya Somo;

Ni i K tNini maana ya Kutangaza F dhili B ?Fadhili za Bwana?

1Petro 2:91Petro 2:9

Page 7: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

1Petro 2:9Kuzitangaza fadhili za Bwana; ni kuelezea au kusimulia matendo ya ajabu anayoyafanya Munguya ajabu, anayoyafanya Mungu kutokana na ukuu wake na   

uweza wake.(Kumtukuza Mungu)

Page 8: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 9: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

Kutangaza fadhili za Bwana,  i it k bni wito mkuu sana ambao

Mungu amewapa wanadamuMungu amewapa wanadamu.1Petro 2:91Petro 2:9

Page 10: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

hYohana 4:23‐24N i i fikNa saa ipo na sasa saa imefika, ambapo waabuduo halisi,ambapo waabuduo halisi,watamwabudu Baba katika roho na kweli;  Kwa maana 

Baba anawatafuta watu kamaBaba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;hao, ili wamwabudu;

Page 11: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUZABURI 148:1‐13

7 Vi b t ili if ji l7 Viumbe vyote na vilisifu jina la Bwana (vitangaze fadhili zaBwana (vitangaze fadhili zaBwana) kwa maana Bwana 

aliamuru navyo vikaumbwa; naalitoa amri (hiyo) ambayoalitoa amri (hiyo) ambayohaitapita wala haitabadilikahaitapita wala haitabadilika

milele.

Page 12: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGUZABURI 150:1‐6

6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa zeze, kwa filimbi kwa zomari kwakwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwamatari, kwa vinubi na kwa matoazi yavumayo sana.

Page 13: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

1Wakorintho 6:19‐201Wakorintho 6:19 20‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba( yya Ibada) ya Roho Mtakatifu; kwa

l k f k kajili ya kumsifu na kumtukuzaMungu aliyekuumbaMungu aliyekuumba.

Page 14: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho 

Mtakatifu akaaye ndani yenuMtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu?ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe; 

Page 15: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo 

mtukuzeni Mungu katika miilimtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenuyenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu. 

Page 16: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 17: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;

1 S b b Wit h1. Sababu ya Wito huu.K s di K la M ng k aKusudi Kuu la Mungu kwa

wanadamuwanadamu

Page 18: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;

1 Sababu ya Wito huu1. Sababu ya Wito huu.Kwanini Mungu ametuitaKwanini Mungu ametuitaKuzitangaza Fadhili zake?g(Kumsifu na Kumtukuza)

Page 19: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuSIFA NA IBADA KWA MUNGU

1 KUSUDI KUU NA LA1.  KUSUDI KUU NA LA KWANZA LA MUNGU JUU YAKWANZA LA MUNGU JUU YA 

VIUMBE WOTEUfunuo 4:11

Page 20: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUFUNUO 4:8‐11

8 Kil j h i b8 Kila mmoja wa hawa viumbewenye uhai wanne alikuwa nawenye uhai wanne, alikuwa na

mabawa sita na kujawa na macho pande zote, hadi chini yab U ik hmabawa. Usiku na mchanahawakuacha kusema:hawakuacha kusema:

Page 21: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUFUNUO 4:8‐11

8 ‘‘Mtakatifu Mtakatifu8 ‘‘Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana MunguMtakatifu,  ni Bwana Mungu

Mwenyezi,  aliyekuwako, aliyekona atakayekuja.’’

Page 22: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUFUNUO 4:8‐11

9 Kila mara viumbe hao wenye9 Kila mara viumbe hao wenyeuhai wanne walipomtukuza,uhai wanne walipomtukuza, kumheshimu na kumshukuru

Yeye aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi tena aishie milele na mileleenzi, tena aishie milele na milele, 

Page 23: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUFUNUO 4 8 11UFUNUO 4:8‐11

10 wale wazee ishirini na wanne10  wale wazee ishirini na wannehuanguka mbele Zake Yeye

aliyeketi kwenye kile kiti cha enzina kumwabudu Yeye aliye haina kumwabudu Yeye aliye haimilele na milele. Wao huziwekataji zao mbele ya hicho kiti cha 

enzi wakisemaenzi wakisema, 

Page 24: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUFUNUO 4 8 11UFUNUO 4:8‐11

11 “Bwana wetu na Mungu11 Bwana wetu na Mungu wetu, Wewe umestahili kupokeautukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumbakwa maana ndiwe uliyeviumbavitu vyote na kwa sababu yamapenzi yako viliumbwa na

vimekuwako ’’vimekuwako.

Page 25: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kusudi la kwanza kabisa, kwaniniKusudi la kwanza kabisa, kwanini Mungu kuumba dunia na vitu vyote, ni ili kujitengenezea 

vyombo vya ibada; yaani viumbevyombo vya ibada; yaani viumbe watakaomsifu na kumtukuzawatakaomsifu na kumtukuza yeye (kuzitangaza fadhili zake).

(Ufunuo 4:11)

Page 26: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

KWANINI MUNGUKWANINI MUNGU ANATAKA SANA IBADA?ANATAKA SANA IBADA?

(Kusifiwa na Kutukuzwa)(Kusifiwa na Kutukuzwa)Ufunuo 4:11

Page 27: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3

K b b IDABA di ki hKwasababu IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wakwanza kabisa katika moyo wa

Mungu; kwakuwa, MUNGU ANAISHI KATIKA 

SIFA NA IBADASIFA NA IBADA.

Page 28: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

Page 29: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

“Inhabit”                 “Unaishi”Inhabit Unaishi

Page 30: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3

Kwahiyo IDABA ndio kitu chaKwahiyo, IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wa 

Mungu; kwasababu, MUNGU ANAISHI KATIKA 

SIFA NA IBADA.

Page 31: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14Ndio maana kule Mbinguni, g ,Mungu amejitengenezea

lf k lfmaelfu kwa maelfu yamalaika, wanaomsifu na,

kumwabudu yeye, usiku nahmchana.

Page 32: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9 11/5:11 14UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14

Biblia inasema, hao malaikaBiblia inasema, hao malaika wa Mungu hawaumziki! Bali usiku na mchana, wanaabudu 

Mungu wakisemaMungu wakisema … 

Page 33: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9 11/5:11 14UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14

… Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu,… Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Bwana Mungu Mwenyezi, 

Muumba wa vitu vyote, mbinguna nchi zimejaa utukufu wakona nchi zimejaa utukufu wako …

Page 34: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14UFUNUO 4:9‐11/5:11‐14… Kwa maana wewe ndiweuliyeviumba vitu vyote, nakwasababu ya mapenzi yakokwasababu ya mapenzi yako(matakwa yako na mahitaji( y j

yako), vitu vyote vimeumbwana vimekuwepona vimekuwepo …

Page 35: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Yohana 4:23Yohana 4:23Ndio maana, Bwana Yesu alikuja, j

duniani akisema Baba anawatafuta watu

watakaomwabudu katika roho nawatakaomwabudu katika roho nakweli; Baba anawatafuta watu;kama hao, ili wamwabudu.

Page 36: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

MUNGU ANAISHI KATIKA SIFAKama Samaki kwenye MajiKama Mimea kwenye UdongoKama Binadamu kwenye Hewa

Page 37: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Ibada kwa Mungu; g• Ni kama Maji kwa Samaki.• Ni kama Udongo kwa Mimea.• Ni kama Hewa kwa Binadamu.

Page 38: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumnyima Mungu ibadaKumnyima Mungu ibadaNi kama kumnyimaNi kama kumnyima

• Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa

Page 39: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu, naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

“Inhabit”                 “Unaishi”

Page 40: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3

Kwahiyo IDABA ndio kitu chaKwahiyo, IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wa 

Mungu; kwasababu, MUNGU ANAISHI KATIKA 

SIFA NA IBADA.

Page 41: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MUNGU ANATAKA SIFA.MUNGU ANATAKA SIFA.Zab 148 : 1‐6  (7‐mwisho)

Viumbe vyote na vilisifu jina la k liBwana, kwa maana aliamuru, 

vikaumbwa. Amevithibitisha hatavikaumbwa. Amevithibitisha hatamilele na milele, ametoa amri na

haitapita.

Page 42: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ik di li b kMalaika ndio walioumbwa kwanza, kama kwa ajili ya kumsifu nakama kwa ajili ya kumsifu na

kumwabudu Mungu.

PLAN – A

Page 43: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu                       Malaikag

Waebrabia 1: 4, 7, 14  7 Na kwa hao malaika, amewafanya kuwa roho naamewafanya kuwa roho, na watumishi wa miali ya moto.

Page 44: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu                       Malaikag

Waebrabia 1: 4, 7, 1414 Je, hao si roho watumikao, (watumishi) waliotumwa(watumishi) waliotumwa kuwahudumia wale watakao urithi waokovu? 

Page 45: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu                       Malaikag

Waebrabia 1: 4, 7, 14  4 (Mwana wa Mungu) Amefanyika bora kuliko malaika kwasababubora kuliko malaika, kwasababu amepewa kurithi jina kuu na la heshima kuliko wao.

Page 46: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Malaikag

Ufunuo 19: 9‐109 Ndipo yule malaika akaniambia, “Andika ” (kwamana) “HayaAndika …  (kwamana)  Hayandiyo maneno ya kweli yaMungu.’’

Page 47: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu MalaikaMungu                     Malaika

Ufunuo 19:9‐1010 Ndipo nikaanguka kifudifudi 

i i k ili k b dmiguuni pake ili kumwabudu, lakini yeye akaniambia, “Usifanye y y , yhivyo! 

Page 48: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu MalaikaMungu Malaika

Ufunuo 19:9‐1010 “Mimi pia ni mtumishi wako, 

pamoja na ndugu zako walio napamoja na ndugu zako walio naushuhuda wa Yesu. MwabuduMungu peke yake! …”

Page 49: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                       Malaika

Uhusiano wa Mungu na MalaikaUhusiano wa Mungu na MalaikaSio wa BABA na Watoto

Bali ni wa BOSS na WATUMISHI

Page 50: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                       Malaika

Hakuna malaika anayethubutuHakuna malaika anayethubutuKumwita Mungu “Baba”

Kwasababu uhusiano wao ni wa  BOSS na WATUMISHI

Page 51: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                       Malaika

BOSS na WATUMISHIBOSS na WATUMISHIYohana 15:15

“Mtumwa hajui mambo yoteya Bwana wake”

Page 52: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                       Malaika

John 15:15John 15:15  Hivyo basi, siwaiti ni watumwa, kwasababu mtumwa hajui mambo yote ya Bwana wakemambo yote ya Bwana wake.

Page 53: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                       Malaika

John 15:15John 15:15  … lakini nawaita ninyi marafiki; kwasababu yote niliyoyasikia kwa Baba nimewaambia (nimewapa)Baba, nimewaambia (nimewapa).

Page 54: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu                       MalaikaKwahiyo;Sifa ya mtumwa kwa Baba haiwezi kubeba ladha kamili yahaiwezi kubeba ladha kamili ya kuupendeza moyo wa Baba (Bwana wake), kutokana na asiliya mahusiano yaoya mahusiano yao. 

Page 55: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Pamoja na sauti nzuri zilizopangwa sawasawa, na 

kusindikizwa na muziki safi wakusindikizwa na muziki safi wa kusimfu Mungu, katika ibada safikusimfu Mungu, katika ibada safi 

ya mbinguni, lakini Mungu alikuwa anakosa kitu cha 

thamani sana yaani FAMILIAthamani sana, yaani FAMILIA.

Page 56: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Uhusiano wa Mungu na MalaikaSio wa BABA na Watoto

li iBali ni wa BOSS na WATUMISHIBOSS na WATUMISHI

Page 57: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

d lNdipo Mungu alipopata wazo jipya la kuumba viumbejipya la kuumba viumbe wengine, ambao ndio sisi g ,

BINADAMU, ili tubebe sura na f b imfano wa Mungu, ambayo ni 

asili tofauti na ile ya malaikaasili tofauti na ile ya  malaika.

Page 58: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mwa 1:26Ndi M kNdipo Mungu akasema;

‘Tufanye mtu kwa sura yetu naTufanye mtu kwa sura yetu nakwa mfano wetu, wakatawale,vitu vyote vilivyo katika nchi.’

Page 59: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

K hiKwahiyo;Binadamu tuliumbwa baadayeBinadamu tuliumbwa baadaye, kwa sura na mfano wa Mungu.g(Kitu ambacho malaika hawana)

Page 60: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                         Malaika

Kwasababu ya asili yetu y yna uhusiano tuliyonayo 

Adam na Mungu …

Page 61: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu Malaika

… sisi binadamu tunawezakumsifu na kumwabudu

Ad M i i idiAdam Mungu, vizuri zaidikuliko malaika wakuliko malaika wambinguni

Page 62: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Uhusiano uliokamilika     

AdAdam                           

Page 63: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Binadamu tulioumbwa baadaye, maalum kabisa, kwa ajili ya

k if k b d Mkumsifu na kumwabudu Mungu, vizuri zaidi kuliko malaika wavizuri zaidi kuliko malaika wa

mbinguni.

PLAN BPLAN – B

Page 64: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la kwanzakabisa kwanini Mungu aliumba d i bi d i k bdunia na binadamu, ni kwamba, 

Mungu alikuwa anatafutaMungu alikuwa anatafuta kujipatia ibada nzuri zaidi kuliko ile ya malaika wa mbinguni.

Zaburi 148 + 150

Page 65: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo, ni dhambi kuruhusu siku nzima ya masaa 24 inapita, bil k d k ifbila kupata muda wa kumsifu na 

kumwabudu Mungukumwabudu Mungu(kuzitanganza fadhili za Bwana) 

(Luka 13:6‐9)

Page 66: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Hata kama umefanikiwa katika mambo yako na umefanya faida 

ili i l ki i iki ikya mamilioni, lakini ikiwa siku hiyo imepita bila wewe kupatahiyo imepita bila wewe kupata 

muda wa ibada, Mungu anahesabu hasara kwake.

Luka 13:6‐9

Page 67: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mfalme Daudi alipopata ufunuo wa Kusudi la Mungu kumuumba 

d k dikimwanadamu, akaona atuandikie Waraka wa Agizo sisi viumbeWaraka wa Agizo, sisi viumbe wote, ili tutimize wajibu wetu wa Kumsifu na Kumwabudu 

M (Z b 148 150)Mungu (Zab 148+150)

Page 68: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 148:1‐141. Msifuni BWANA. Msifuni BWANA kutoka mbinguni, 

msifuni juu vileleni 2 Msifunimsifuni juu vileleni. 2. Msifuni, malaika wake wote, msifunimalaika wake wote, msifuni 

Yeye, jeshi lake lote la mbinguni.

Page 69: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 148:1‐143. Msifuni Yeye, jua na mwezi, msifuni Yeye, enyi nyota zote zing’aazo 4 Msifuni Yeye enyizing’aazo. 4 Msifuni Yeye, enyi mbingu zilizo juu sana na ninyimbingu zilizo juu sana na ninyi 

maji juu ya anga.

Page 70: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 148:1‐145 Vilisifu jina la BWANA kwa 

maana aliamuru navyo vikaumbwa 6 Aliviwekavikaumbwa. 6 Aliviweka 

mahali pake milele na milele,mahali pake milele na milele, alitoa amri ambayo haibadiliki 

milele.

Page 71: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUZaburi 148:1‐14

7 Mtukuzeni BWANA kutoka duniani ninyi viumbe vikubwaduniani, ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya y y ybahari, 8 umeme wa radi na 

th l jimvua za mawe, theluji na mawingu, pepo za dhoruba g , p pzinazofanya amri zake,

Page 72: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUZaburi 148:1‐14

9 ninyi milima na vilima vyote, iti t d i imiti ya matunda na mierezi 

yote 10 wanyama wa mwituniyote, 10 wanyama wa mwituni na mifugo yote viumbe vidogo 

na ndege warukao,

Page 73: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUZaburi 148:1‐14

11 wafalme wa dunia na mataifa t i i k t lyote, ninyi wakuu na watawala 

wote wa dunia 12 wanaumewote wa dunia, 12 wanaume vijana na wanawali, wazee na 

watoto.

Page 74: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 148:1‐1413 Wote na walisifu jina laBWANA, kwa maana jina lake pekee limetukuka utukufu Upekee limetukuka, utukufu U 

juu ya nchi na mbingu.juu ya nchi na mbingu.

Page 75: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGUZABURI 150:1‐6

6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa zeze, kwa filimbi kwa zomari kwakwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwamatari, kwa vinubi na kwa matoazi yavumayo sana.

Page 76: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

1Wakorintho 6:19‐201Wakorintho 6:19 20‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba( yya Ibada) ya Roho Mtakatifu; kwa

l k f k kajili ya kumsifu na kumtukuzaMungu aliyekuumbaMungu aliyekuumba.

Page 77: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho 

Mtakatifu akaaye ndani yenuMtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu?ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe; 

Page 78: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo 

mtukuzeni Mungu katika miilimtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenuyenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu. 

Page 79: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, Kusudi la kwanzaKwahiyo, Kusudi la kwanzakabisa la Mungu kuumba dunia 

na viumbe vyote, ni ili kujitengenezea vyombo vyakujitengenezea vyombo vya 

ibada; yaani viumbeibada; yaani viumbe watakaomsifu na kumtukuza yeye (kuzitangaza fadhili zake).

Page 80: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

Page 81: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 82: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuSIFA NA IBADA KWA MUNGU

2 Mpango wa Kutimiza2.  Mpango wa Kutimiza Kusudi Kuu la MunguKusudi Kuu la Mungu

Mwanzo 1:26Mwanzo 1:26

(Mpan o en e S ra 3)(Mpango wenye Sura 3)

Page 83: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mpango (1)Kuiwekezea Dunia rasilimali zote 

muhimu zinazohitajika kwamuhimu zinazohitajika kwa maisha mazuri ya ibada. yKumbukumbu 8:1‐18

Page 84: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Rasilimali zote zilizowekwa duniani zimemgharimu Mungu (expensivezimemgharimu  Mungu (expensive investment) kwa makusudi na )

matarajio kwamba, zitamzalishia k h h k l kkitu cha thamani kuliko vyote moyoni mwake yaani ibadamoyoni mwake, yaani ibada (kusifiwa na kutukuzwa) (1Wakorintho 6:19‐20)

Page 85: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi   Rasilimali zote niuwekezaji wa gharama

Adam ambao Mungu ameufanyaAdam     ambao Mungu ameufanyaili kupata anachotamani 

sana kutoka kwetu (ibada).

Page 86: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu                       Malaika

Ibada Nchi Mali na UtajiriIbada                   Nchi    Mali na Utajiri uliopo duniani, ni

Adam      viliumbwa na Mungu l k bi kmaalum kabisa kwa 

(Wakolosai 1:16) kwa ajili ya Ufalme wake.(Wakolosai 1:16) kwa ajili ya Ufalme wake.

Page 87: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:1615 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyotekwanza wa viumbe vyote.

16 Kwa Yeye vitu vyote vilivyoko16 Kwa Yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi 

viliumbwa …

Page 88: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:1616 … vile vitu vinavyoonekana na 

vile visivyoonekana, kama ni viti vya enzi au falme au wenyeviti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala, vitu ,vyote viliumbwa na Yeye na 

kwa ajili Yake.

Page 89: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mungu huwa anakuwa mkali sana pale tunapotumia rasilimali zake bila kumzalishia faida yakezake, bila kumzalishia faida yake, yaani Ibada, ambayo ndio kituyaani Ibada, ambayo ndio kitu 

cha thamani kuliko vyote alichotaka kutoka kwetu.

( )(Luka 13:6‐9)

Page 90: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi       Mungu ni Mwekezaji wa

Ad F id i h !Adam Faida, si wa hasara!(Luka 13:6‐9)(Luka 13:6 9)

Page 91: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mfano;

Mti Usiozaa MatundaLuka 13:6‐9

Page 92: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 13:6‐9Huu ni mwaka wa tatu sasa, lakini bado mti huu hauzai matunda! Maana unanitiamatunda! Maana unanitia 

hasara! Maana mimi si Mungu gwa Hasara, Mini ni Mungu wa 

( )Faida! (Isaya 48:17)

Page 93: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 13:6‐9• Nimeupalilia na kuulimia, • Nimeuwekea mbolea, • Nimeujengea wigo (ulinzi) naKil ik i ili• Kila siku ninaumwagilia na

• Kumuwekea mlinzi wa shamba• Kumuwekea mlinzi wa shamba

Page 94: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 13:6‐9Pamoja na gharama yote hiyo 

ninayoingia juu ya mti huu, bado sijaona matunda yake;sijaona matunda yake; 

kwasababu hiyo, kata! mimi si y ,Mungu wa Hasara, Mini ni 

( )Mungu wa Faida! (Isaya 48:17)

Page 95: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi    ‘Mimi ni Mungu nikufundishaye

Ad ili t F id ’Adam  ili upate Faida’ (Isaya 48:17)( y )

Page 96: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi    Mungu hawezikuvumilia jambo 

Ad l l t li l i iliAdam lolote linaloingilia kusudi lake

(Math 25: 14‐30)

Page 97: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAISHA YA IBADA

Mfano wa Wakili Mpumbavu;Kutumika na Kuishi Nje ya Wito UlioitiwaM h 25 14 30Mathayo 25:14‐30

Page 98: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni 

kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri akawaita watumishikusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake y

kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

Page 99: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3019 “Baada ya muda mrefu yule 

b l t i hibwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.akarudi na kufanya hesabu nao.

Page 100: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3020‐23 Yule mtumishi aliyepokea talanta 5 akaja, akaleta nyingine 5 zaidi Aliyepewa 2 akaleta 25 zaidi. Aliyepewa 2 akaleta 2 zingine. Hawa wakaambiwa g

‘Vema watumwa wema, ingieni katika raha ya milele!

Page 101: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3021‐23 ‘Umekuwa waaminifu kwa vitu vichache, nitakuweka kuwa wasimamizi wa vitu vingi zaidiwasimamizi wa vitu vingi zaidi. Ingieni ndani mshiriki furaha ya g y

bwana wenu!’

Page 102: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3024 “Kisha yule mtumishi li k t l t 1 k jaliyepokea talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijuaakasema,  Bwana, nilijua 

kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali usipopanda na kukusanya mahali usipotawanyakukusanya mahali usipotawanya.

Page 103: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama hii hapa ile iliyo maliTazama, hii hapa ile iliyo mali yako, nakurudisha vile vile y ,

kama ulivyonipa.’ 

Page 104: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3026 Bwana wake akajibu, ‘Wewe 

mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua yote hayo lakiniUlijua yote hayo lakini 

hukufanya ulichotakiwa kufanya y y(wewe ni mpumbavu).

Page 105: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3027 Basi, ilikupasa kuweka fedha 

yangu kwa watoa riba, ili nirudipo nichukue ile iliyonirudipo, nichukue ile iliyo 

yangu na faida yake? y g y

Page 106: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐3030 “Hebu mtupeni nje huyo

mtumishi (mpumbavu) asiyefaa, mtupeni nje kabisa kule kwenyemtupeni nje kabisa kule kwenyegiza, mahali ambako kutakuwag ,

na kilio na kusaga meno.’ 

Page 107: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐30Mtumishi huyu wa Mungu hakuwa mzinzi, mlevi wala 

mchawi; lakini alitupwa nje yamchawi; lakini alitupwa nje ya Ufalme wa Mungu, kwasababu g ,aliishi duniani pasipo kutimiza 

mapenzi ya Mungu.

Page 108: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mungu anakuwa mkali sana pale tunapotumia rasilimali zake, bila kumzalishia kitu cha thamanikumzalishia kitu cha thamani kuliko vyote alichotaka kutoka y

kwetu, yaani ibada!(kumsifu na kumtukuza) au (Kuzitangaza fadhili zake)(Kuzitangaza fadhili zake).

Page 109: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 7:21‐2321 “Si kila mtu aniambiaye21 Si kila mtu aniambiaye, 

‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia, , y gkatika Ufalme wa Mbinguni bali

fni yeye afanyaye mapenzi yaBaba yangu aliye mbinguniBaba yangu aliye mbinguni.

Page 110: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 7:21‐2322 Katika siku hiyo wengi22 Katika siku hiyo, wengi

wataniambia siku ile, ‘Bwana, , ,Bwana, hatukutoa unabii kwajina lako na kwa jina lako kutoapepo na kufanya miujiza mingi?pepo na kufanya miujiza mingi?

Page 111: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuy

Mathayo 7:21‐2323 Ndipo nitakapowaambia wazi23 Ndipo nitakapowaambia wazi, Sikuwajua kamwe. Ondokenij

kwangu, ninyi watenda maovu!’ 

Page 112: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 7:21‐23Kumbe, uovu si mpaka umefanyaambacho hukutakiwa kufanyaambacho hukutakiwa kufanya, 

kumbe hata kutofanyayulichotakiwa kufanya, pia ni uovu

mbele za Mungu.

Page 113: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 7:21‐23Watumishi hawa wa Mungu

hakuwa, pamoja na karama navipawa vya ajabu walivyokuwavipawa vya ajabu walivyokuwanavyo, bado walikosa mbinguy , gkwasababu ya kutokuzingatiamapenzi makamilifu ya Mungu!

Page 114: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 7:21‐23

Dhambi za Dhambi zaDhambi za Dhambi zaKutenda Kutokutenda

f fSins of                       Sins ofCommission OmmissionCommission             Ommission

Page 115: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐30Mtu wa Mungu, anaweza kukosa mbingu, si kwasababu ya uzinzi, ulevi au uchawi tu; bali pia hataulevi au uchawi tu; bali pia hata kwa kutokufanya alichotakiwa y

kufanya, katika mapenzi makamilifu ya Mungu!

Page 116: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Mathayo 25:14‐30Kumbe Uovu si mpaka umefanya, bali pia, hata kutokufanya ulichotakiwakutokufanya ulichotakiwa kufanya, ni uovu tosha       y ,

mbele za Mungu!

Page 117: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetu

Ufunuo 22:10‐1212 “Tazama naja upesi! nikiwa12 Tazama, naja upesi! nikiwa

na ujira (mshahara) wangu, namij ( ) g ,nitamlipa kila mtu sawasawa na

alivyotenda. 

Page 118: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuMathayo 25:14‐30

Mungu hawezi kubariki jambo lolote linalofanya kazi nje yalolote linalofanya kazi nje ya Kusudi lake na Mpango wake p gduniani; ni lazima ataliwekea ugumu ili kurekebisha kosa na kutoa fundisho kwa wenginekutoa fundisho kwa wengine.

Page 119: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Isaya 48:17Isaya 48:17Mungu wetu si Mungu wa g gHasara, bali Mungu wetu ni 

Mwekezaji wa Faida!

Page 120: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Rasilimali zote zilizowekwa duniani zimemgharimu Mungu (expensivezimemgharimu  Mungu (expensive investment) kwa makusudi na )

matarajio kwamba, zitamzalishia k h h k l kkitu cha thamani kuliko vyote moyoni mwake yaani ibadamoyoni mwake, yaani ibada (kusifiwa na kutukuzwa) (1Wakorintho 6:19‐20)

Page 121: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

Page 122: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ndio maana Mungu anakuwa mkali sana pale tunapotumia rasilimali zake bila kumzalishiarasilimali zake, bila kumzalishia kitu cha thamani kuliko vyote ymoyoni mwake, yaani ibada!(k if k k )(kumsifu na kumtukuza) au (Kuzitangaza fhadhili zake)(Kuzitangaza fhadhili zake).

Page 123: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, Kusudi la kwanzaKwahiyo, Kusudi la kwanzakabisa la Mungu kumuumba 

mwanadamu, ni kujitengenezea vyombo vya ibada; yaani viumbevyombo vya ibada; yaani viumbe watakaomsifu na kumtukuzawatakaomsifu na kumtukuza yeye (kuzitangaza fadhili zake) 

(Zaburi 148:6‐7)

Page 124: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mpango (2)Mpango wa Kumpa Adam Mamlaka ya Kumiliki na 

K ta ala d niaKutawala dunia. M 1 26 28Mwanzo 1:26‐28

Page 125: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI KUU LA MUNGU1Petro 2:9

k f lLakini ninyi ni Taifa teule, Ukuhani wa Kifalme Taifa takatifuUkuhani wa Kifalme, Taifa takatifula Mungu, mlioitwa na Mungu,

kutoka gizani mkaingie katika nuruYake ya ajabu ili kutangaza fadhiliYake ya ajabu, ili kutangaza fadhilizake (Ukuu wake na Matendo yake( y

ya ajabu).

Page 126: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8‐10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada 

Page 127: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ili kumwezesha mwanadamu u e es a a ada ukuitawala dunia pamoja na Mungu, 

l b fMungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani iliuungu katika utu wake wa ndani, ili atende kazi duniani kwa kutumia 

Nguvu za Mungu.(M 1 26 28)(Mwanzo 1:26‐28)

Page 128: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

SummarySummaryKUSUDI LA KANISA – AWALI

1 KUMILIKI NA KUTAWALA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA3. KUMSIFU NA KUMWABUDU

Page 129: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI KUU LA MUNGU

KWANINI KUMUUMBAKWANINI KUMUUMBA ADAM NA MAMLAKA?

Mwanzo 1:26, 28Mwanzo 1:26, 28

Page 130: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ni kwasababu Shetani i d k li i i Manawinda kumlipizia Mungu 

kisasi kwa kufanya vita nakisasi kwa kufanya vita na watoto wa Mungu.watoto wa Mungu.(Ufunuo 12:17)(Ufunuo 12:17)

Page 131: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Vita na UpinzanipUmetokea wapi?p

Ufunuo 12:3‐4 7‐12 17Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17

Page 132: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni, g ,Malaika Mkuu wa majeshi ya 

l k k lMungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule jokaakapigana na yule joka …

Page 133: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 173 “ambaye ni baba wa uongo,    y g ,na mkiani mwake anakokota 

h l h ( / )theluthi (1/3) ya nyota za mbinguni (malaika wa Mungu)mbinguni (malaika wa Mungu) …

Page 134: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 177 “…Mikaeli, malaika Mkuu wa ,majeshi ya Mungu, wakapigana 

l k ( b lna yule joka (aitwaye ibilisi shetani) pamoja na malaika zakeshetani) pamoja na malaika zake 

(aliowadanganya) …”( g y )

Page 135: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 178 “Nao hawakushinda, wala ,

mahali pao hapakuonekana tena b l kmbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani akatupwaibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

Page 136: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, g ,ikisema, sasa kumekuwa wokovu 

f lna nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristowetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa pchini mshitaki wa ndugu zetu”.

Page 137: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka y jna malaika zake, kwa damu ya 

k d k lmwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao ambaoushuhuda wao, ambao 

hawakupenda maisha yao hata p ykufa”.

Page 138: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi y g y ywote mkaao mbinguni; lakini ole 

i i k d i i! Kwa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi ameshukamaana yule joka ibilisi, ameshuka 

kwenu, na ana hasira nyingi,akijua ana wakati mchache!

Page 139: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17Ufunuo 12:3 4, 7 12, 1717 “… Joka akamkasirikia yule y

mwanamke (yaani kanisa), hivyo  k d l fakaenda ili afanye vita juu wa 

wazao wake wazishikao amri nawazao wake, wazishikao amri na shuhuda za Mungu …”g

Page 140: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Ilikuwa ni lazima tupewepmamlaka ile siku ya uumbaji, 

ili kuitawala duniak b bkwasababu

K i iKuna upinzani waadui shetaniadui shetani.

Page 141: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Shetani ametangaza vita naShetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu, 

kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katikakumfukuzwa kutoka katika 

mbingu takatifu na kutoka katikambingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada 

za malaika wa mbinguni.

Page 142: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili kumwezesha mwanadamu u e es a a ada ukuitawala dunia pamoja na Mungu, 

l b fMungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani iliuungu katika utu wake wa ndani, ili atende kazi duniani kwa kutumia 

Nguvu za Mungu.(M 1 26 28)(Mwanzo 1:26‐28)

Page 143: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

SummarySummaryKUSUDI LA KANISA – AWALI

1 KUMILIKI NA KUTAWALA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA3. KUMSIFU NA KUMWABUDU

Page 144: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mwanzo 1:26,28,26 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya usona vyote tulivyoviumba juu ya uso 

wa dunia.

Page 145: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mwanzo 1:26‐1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia akawaambiabustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia.

Page 146: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Msaada Mungu(Utukufu) Msaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 147: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Zaburi 8:4 8Mwanadamu ni nani hataMwanadamu ni nani hata

umemwangalia hivi? gUmemfanya mdogo kidogo

tu kuliko Mungu, 

Page 148: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Zaburi 8:4 8ukamvika taji ya Utukufu naukamvika taji ya Utukufu naheshima, ukamtawaza juu ya, j ykazi za mikono yako, ukavitiavitu vyote chini ya miguu

kyake…

Page 149: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Hilo neno  “juu ya” =   (Over All)

=   MkuuMtawala=   Mtawala

“Mashal” = MfalmeMashal      Mfalme(Kiebrania) =   Mwakilishi

=   Mungu

Page 150: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 151: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za BwanaMbingu ni mbingu za Bwana, 

bali nchi amewapa pwanadamu

Page 152: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

BAADA YA DHAMBI (ANGUKO)BAADA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 153: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 154: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Page 155: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 156: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 157: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:5‐8u a 5 8Shetani akamwambia Yesu

‘Ukiinama na kunisujudia, nitakupa li hwewe ulimwengu wote huu na 

fahari zake (utajiri wake) kwa kuwafahari zake (utajiri wake) kwa kuwa ni vyangu, na nina uwezo wa kumpa yeyote nitakaye.’

Page 158: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi ...yo basTunapambana na adui aliyetapeli NAFASI YETU (Cheo chetu) na 

anatumia NGUVU ZETU (Adamicanatumia NGUVU ZETU (Adamic Power) katika kupambana na ) p

kupigana na sisi.

Page 159: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Hivyo, Shetani anachowinda, niHivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi ndiokumlipizia Baba kisasi, ndio 

maana anaamua kumalizia hasiramaana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa Mungu, yaani mimi na wewe (kanisa). 

Page 160: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kumbuka kwamba;Kumbuka kwamba;Ibada nzuri hutoka katika moyo yuliotulia na pia maisha mazuri; 

h h hna maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6 18 

Page 161: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

Page 162: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

Page 163: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 164: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Ndio maana Bwana Yesu alisemaMathayo 16:18‐19

‘Nitalijenga Kanisa langu, walamilango ya kuzimu (nguvu zamilango ya kuzimu (nguvu zagiza) haitaweza kulishindagiza) haitaweza kulishindakanisa’ nitakalolijenga’

Page 165: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo ...a yoIli kumshinda adui tunayepambana naye (aliyetumia nafasi yetu na 

nguvu zetu) basi ni lazima tuwe nanguvu zetu), basi ni lazima tuwe na NAFASI ya juu zaidi na NGUVUy j

kubwa zaidi kuliko adui.Luka 11:21‐22

Page 166: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Na ndio maana, katika  a d o aa a, a aLuka 11:21‐22

Bwana Yesu anatupa KANUNIj k hi dmojawapo wa kumshinda  “mwenye nguvu”“mwenye nguvu” 

yaani adui yetu ibilisi shetaniyaani adui yetu, ibilisi shetani.

Page 167: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 11:21‐2221 Mt21 Mtu mwenye nguvu, 

aliyejifunga silaha zake, alindapo y j f g , pnyumba yake, vitu vyake vi salama.

Page 168: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 11:21‐2222 L ki i j22 Lakini ajapo mwenye nguvu kuliko yeye, akimwendea na y y ,

kumnyang’anya silaha zake, ndipo k kataweza kuyagawanya mateka 

yakeyake.

Page 169: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 11:21‐22“Mwenye nguvu Kuliko” – Kanisa 

h ( )Shetani (strong man) – Mwenye nguvuKanisa (stronger) – M’Nguvu kulikoKanisa    (stronger)     – M Nguvu kulikoYesu       (strongest)    – M’Nguvu zaidi( g ) g

Page 170: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo ...a yoKanuni ya kumshinda adui yetu (aliyetumia nafasi yetu na nguvu zetu kutusumbua) ni lazima tuwezetu kutusumbua), ni lazima tuwe na NGUVU kubwa zaidi kuliko yeye.y y

Luka 11:21‐22

Page 171: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 310 Iweni hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. 

i il h ili11 Vaeni silaha za Mungu ili muweze kupambana na hila za yulemuweze kupambana na hila za yule 

mwovu …

Page 172: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 312 Kwasababu vita yetu si ya 

kimwili, bali ya kiroho, tunashindana na falme za gizatunashindana na falme za giza, 

mamlaka za giza, wakuu wa giza na g , gmajeshi ya pepo wabaya, katika 

li hulimwengu wa roho.

Page 173: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Waefeso 6:10‐13ae eso 6 0 313 Kwahiyo, twaeni silaha zote za Mungu, ili muweze kupambana; na 

mkiisha kuyatimiza yotemkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

Page 174: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12‘Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

Page 175: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ndio maana Yesu alipokujaNdio maana Yesu alipokuja duniani na kuzaliwa kama Adam wa pili, ili kutukomboa kutoka k tik t h t ikatika utumwa wa shetania, 

alizaliwa kwanza kama Mfalmealizaliwa kwanza kama Mfalmena sio kwanza kama Kuhani, 

Page 176: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kuzaliwa kwa Yesu kwanzaKuzaliwa kwa Yesu kwanzakama Mfalme na sio kama

Kuhani, ni kutuonyesha ulazimawa Mungu kurudisha kwanzawa Mungu kurudisha kwanza Mamlaka ya Ufalme wake 

duniani, ili hatimaye kurudishaibada kwa Munguibada kwa Mungu.

Page 177: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKwa kumwamini Yesu Kristo, na 

wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu wa ndanina Mungu, katika utu wa ndani, 

ambao pale mwanzo ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule 

katika bustani ya Edenkatika bustani ya Eden.

Page 178: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 179: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 180: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 1:18‐23DUNIA

g

Waefeso 2:6ADAM   1

Page 181: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 17:22Ndio maana Bwana Yesu analisema…

“B b t k f l li i“Baba, utukufu ule ulionipa, nimewapa wao (kanisa)”nimewapa wao (kanisa)

Page 182: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 183: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

Page 184: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA KANISAKUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe Mungu … unastahiligheshima zote, kwa sababu

ulichinjwa na kwa damu yakoulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watuk t k k tik kil k bil kilkutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa. g j

(yaani kanisa). 

Page 185: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA KANISAKUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

Page 186: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8‐10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada 

Page 187: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI KUU LA MUNGU1Petro 2:9

k f lLakini ninyi ni Taifa teule, Ukuhani wa Kifalme Taifa takatifuUkuhani wa Kifalme, Taifa takatifula Mungu, mlioitwa na Mungu,

kutoka gizani mkaingie katika nuruYake ya ajabu ili kutangaza fadhiliYake ya ajabu, ili kutangaza fadhilizake (Ukuu wake na Matendo yake( y

ya ajabu).

Page 188: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu anapomwamini Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa 

ndani, na kurudishiwa mamlaka ya Mungu ndani yake, kumwezesha 

kumiliki na kutawala duniakumiliki na kutawala dunia.

Page 189: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y

18 Na milango ya kuzimu g yhaitaweza kulishinda kanisa 

langu nitakalolijenga  g j g(kwa mfumo huu).     ( )

Page 190: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y

19 Kwa maana nitawapa pfunguo za Ufalme, na mambo 

mtakayoyafunga (ninyi) fyatakuwa yamefungwa 

(mbinguni);(mbinguni);

Page 191: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y

19 … na mambo mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa 

( )(mbinguni)

Page 192: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12‘Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

Page 193: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni zaKwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha 

mwanadamu kuitawala duniapamoja na Mungu napamoja na Mungu, na 

kumwezesha mwanadamu awekumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,

(Mwanzo 1:26‐28)

Page 194: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbe basi; (Zaburi 8:4‐8); ( )Pasipo kuwa na Sura ya Mungu na Mfano wa Mungu (yaani 

UTUKUFU au Nguvu za Mungu)UTUKUFU au Nguvu za Mungu), mtu wa Mungu huwezi kumiliki 

na kuitawala dunia yake.( b k )(mambo yake) 

Page 195: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara                        Zaburi 8:4‐8• Shamba• Mifugo H i k i• Mifugo • Masomo 

Haiwezekanikuitawala Dunia

• Familia K i

pasipo nguvu( k f )• Kazi 

• Afya(utukufu) wa

MunguAfya• Mipango 

Mungu

Page 196: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Hivyo, Mungu anapokupa NguvuHivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe ili pia kuilinda na ibadawewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maishayake inayotoka katika maisha yako (inayotoka duniani).

(Yohana 4:23)

Page 197: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ni Kwasababu, kuna mapambano, kuna vita na i i ( hi d ) k iupinzani (mashindano), kati ya 

shetani na watoto wa Mungushetani na watoto wa Mungu(kanisa la Bwana Yesu Kristo).”

(Mathayo 16:18‐19)

Page 198: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani, k b b k ikwasababu, kuna vita na 

upinzani (mashindano) kati yaupinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu(yaani Kanisa la Bwana Yesu).”

(Mathayo 16:18‐19)

Page 199: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kusudi la kanisa, ni KanisaKusudi la kanisa, ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili  

binadamu aweze kuishi maishabinadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizurimazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu

Mungu aliye juu.

Page 200: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mpango (3)Kuitunza Nyumba ya Ibada 

kwa Zaka na Sadaka. Malaki 3:7‐12

Page 201: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu alilitengenezea Kanisa ( h d b(wahudumu wa nyumba ya 

Bwana) Utaratibu maalumu waBwana) Utaratibu maalumu wa kutunzwa na kuitunza kazi inayofanywa na kanisa(nyumba ya Mungu).(M l ki 3 7 12)(Malaki 3:7‐12)

Page 202: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7‐12

7 Tangu siku za baba zenu7 Tangu siku za baba zenu, mmegeukia mbali na amrigzangu, nanyi hamkuzishika.     

8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu.9 Hivyommko chini ya laana,9 Hivyommko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu

iibi i imnaniibia mimi. 

Page 203: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Leteni zaka kamili ghalani, 

ili ki h k l k ikili kiwemo chakula katika nyumba yangu (kuitunza kazinyumba yangu (kuitunza kazi ya ibada), asema BWANAya ibada), asema BWANA 

Mwenye Nguvu;

Page 204: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu ‘‘nanyiBWANA Mwenye Nguvu,  nanyi mwone kama sitawafungulia gmadirisha ya mbinguni na 

kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutoshampaka mkose nafasi ya kutosha 

au la. 

Page 205: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7‐12

11 N i k jili11 Nami kwa ajili yenunitamkemea yeye alaye walanitamkemea yeye alaye, walahataharibu mazao ya ardhiyenu, wala mzabibu wenu

hautapukutisha matunda yakehautapukutisha matunda yakekabla ya wakati wake,’’ asemay

BWANA Mwenye Nguvu. 

Page 206: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

12 ‘‘Ndipo mataifa yote watawaita ninyi, 

li b iki kmliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa yanchi yenu itakuwa ya 

kupendeza sana,’’ asemakupendeza sana,  asema BWANA Mwenye Nguvu.y g

Page 207: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Nafasi ya ySadaka katika IbadaSadaka katika Ibada

Page 208: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Zaburi 22:3Kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

Hivyo, IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wakwanza kabisa katika moyo wa

Mungu, kwasababug ,

Page 209: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

Page 210: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 211: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNdio maana Mungu anataka watoto wake, wawe na maisha 

mazuri ili wanapopelekamazuri, ili wanapopeleka ibada kwa Mungu, ibada hiyoibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi(au fresh), bila kelele za 

i ( b f )moyoni (masumbufu).

Page 212: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Sadaka iliingizwa kuwa sehemuSadaka iliingizwa kuwa sehemu ya ibada, ili kuitunza nyumba yaya ibada, ili kuitunza nyumba ya Bwana na watenda kazi wake, kwa makusudi kwamba, ibada ifike kwa Mungu kutoka katikaifike kwa Mungu, kutoka katika 

mioyo safi na iliyotulia.mioyo safi na iliyotulia.

Page 213: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MZUNGUKO WA BARAKA

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 214: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐51 Makuhani na kabila lote la Lawi 

hawatakuwa na mgao walahawatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli.urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka 

zitolewazo kwa ajili ya BWANA; na huo ndio urithi waona huo ndio urithi wao.

Page 215: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐52 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zaomiongoni mwa ndugu zao, 

BWANA ndiye urithi wao, kamaBWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

Page 216: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐53 Hili ndilo fungu la makuhanikutoka kwa watu watakaotoakutoka kwa watu watakaotoa

dhabihu ya ng’ombe au kondoo:dhabihu ya ng ombe au kondoo: mguu wa mbele, mashavu

mawili na matumbo. 

Page 217: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐54 Mtawapa malimbuko ya

nafaka zenu divai mpya mafutanafaka zenu, divai mpya, mafutana sufu ya kwanza kutokana sufu ya kwanza kutokamanyoya ya kondoo zenu;

Page 218: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐55 kwa kuwa BWANA Mungu

wenu amewachagua pamoja nawenu amewachagua pamoja nawazao wao kutoka makabilawazao wao kutoka makabilayenu kusimama na kuhudumukatika jina la BWANA siku zote. 

Page 219: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

Page 220: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka makuhaniwake, wawe na maisha mazuri ili wanapopelekamazuri, ili wanapopeleka 

ibada kwa Mungu, ibada hiyoibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi(au fresh), bila kelele za 

i ( b f )moyoni (masumbufu).

Page 221: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi j y

yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

Page 222: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 223: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

Page 224: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu                       Malaika

Ibada Nchi Mali na UtajiriIbada                   Nchi    Mali na Utajiri uliopo duniani, ni

Adam      viliumbwa na Mungu l k bi kmaalum kabisa kwa 

(Wakolosai 1:16) kwa ajili ya Ufalme wake.(Wakolosai 1:16) kwa ajili ya Ufalme wake.

Page 225: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi   Rasilimali zote niuwekezaji wa gharama

Adam ambao Mungu ameufanyaAdam     ambao Mungu ameufanyaili kupata anachotamani 

sana kutoka kwetu (ibada).

Page 226: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:1615 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyotekwanza wa viumbe vyote.

16 Kwa Yeye vitu vyote vilivyoko16 Kwa Yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi 

viliumbwa …

Page 227: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:1616 … vile vitu vinavyoonekana na 

vile visivyoonekana, kama ni viti vya enzi au falme au wenyeviti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala, vitu ,vyote viliumbwa na Yeye na 

kwa ajili Yake.

Page 228: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

DHANA YA SADAKAIsaya 1:19

Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi Lakini ukikataamema ya nchi. Lakini ukikataa, utaangamia (kama wengine g ( g

wanavyoangamia). 

Page 229: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

DHANA YA SADAKAIsaya 1:19

Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi Lakini ukikataamema ya nchi. Lakini ukikataa, utaangamia (kama wengine g ( g

wanavyoangamia). 

Page 230: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli walielewa kwamba ustawi wa maisha yaokwamba, ustawi wa maisha yao 

jangwani, si kwasababu ya j g , ywalichonacho, bali ni 

kwasababu ya waliyenaye, yaani Munguyaani Mungu.

Page 231: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADANdio maana;

walielewa, nafasi ya sadakak tik i h k tkatika maisha yao, wakatoa mali zao kwa heshima na utiimali zao kwa heshima na utii, na kwa moyo wa furaha, na Mungu akafurahi na kazi yake

ik d i iikaenda vizuri.   

Page 232: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

Kumbuka mfano waKumbuka mfano wa

Ujenzi wa Nyumba (Hema)Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwaniya Mungu Jangwani

Kutoka 25:1‐9Kutoka 25:1 9Kutoka 36:1‐7Kutoka 36:1 7 

Page 233: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wakati wa ujenzi wa nyumba yaWakati wa ujenzi wa nyumba ya Mungu au hema ya kukutania 

(kule jangwani), Mungu alimwambia Musa watu wotealimwambia Musa, watu wote wenye moyo wa kupenda kutoa, wafnye kazi na kuleta matoleo …

Page 234: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu. Mungu aliwaagiza watu walete dhahabu, fedha na mali 

nyingine mbalimbali zilizohitajikanyingine mbalimbali, zilizohitajika kwa ajili ya ujenzi wa hema ya 

Mungu.

Page 235: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wajenzi wa hekalu wakamwambiaWajenzi wa hekalu wakamwambia 

Musa, watu wameleta sadakanyingi sana na kuzidi, kuliko tulivyokuwa tunahitajitulivyokuwa tunahitaji. 

Tumewazui, lakini hawataki, nao bado wanaleta tu.

Page 236: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Tunaomba wewe Baba, labdaTunaomba wewe Baba, labda watakusikia; Ndipo Musa akatoa amri, kwamba watu wasilete tena matoleo kwa ajili ujenzi wa hemamatoleo kwa ajili ujenzi wa hema ya ibada, kwasababu walikuwawameleta vingi sana na kuzidi.

Page 237: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, kwa sababu vitu vilivyokuwa 

vimeletwa, tayari vilikuwa vimetosha na hata kuzidi sanavimetosha, na hata kuzidi sana, kwa ajili ya  kuifanya kazi yote. 

Page 238: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Kwahiyo kamati ya ujenziKwahiyo, kamati ya ujenzi haikupata shida yoyote p y y

kukusanya sadaka kwa ajili ya j i bujenzi wa nyumba ya Mungu 

jangwanijangwani.

Page 239: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

Page 240: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Waisareli walielewa naWaisareli walielewa na walimheshimu Mungu,walimheshimu Mungu, 

wakatoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

Page 241: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli walielewa kwamba ustawi wa maisha yaokwamba, ustawi wa maisha yao 

jangwani, si kwasababu ya j g , ywalichonacho, bali ni 

kwasababu ya waliyenaye, yaani Munguyaani Mungu.

Page 242: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli hawakutoa sadaka kwasababu Mungusadaka kwasababu Mungu anahitaji kitu chochote; bali j ;

walitoa sadaka kwasababu wao ndio waliokuwa wana mahitaji 

mbalimbali;mbalimbali;

Page 243: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

‘… na walitoa kwa moyo na upendo kwa Mungu kwasababuupendo kwa Mungu kwasababu 

walijua, kupitia utoaji wao j , p j(kama kanuni ya kiroho), 

watakwenda kupokea baraka nyingi zaidi katika uhitaji wao’nyingi zaidi katika uhitaji wao

Page 244: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa Mungu waliothaminiWatu wa Mungu waliothamini uwepo wa Mungu maishaniuwepo wa Mungu maishani 

mwao, walitoa mali zao, kulikohata bajeti iliyokuwa inahitajika kwa ajili ya ujenzi wa nyumbakwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwani.ya Mungu kule jangwani.

Page 245: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 246: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nawe utamkumbuka BwanaNawe utamkumbuka Bwana Mungu wako aliyekulisha kwag y

mikate ya Mana, usiyoilima walakuivuna, lakini uliila na ulishiba, kwa miaka arobaini tena ukiwakwa miaka arobaini tena ukiwa

jangwani, ili upate kujua kwamba, j g , p j ,mtu hataishi kwa mkate tu …

Page 247: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

ila mtu ataishi kwa kila Nenoila mtu ataishi kwa kila Nenolitokalo kwa Mungu. Na wewegmwenyewe ni shahidi kwamba, japo ulikwa jangwani, lakini

haukupungukiwa na lolote kwahaukupungukiwa na lolote, kwamiaka yote hiyo arobaini, iwey y ,

masika au kiangazi.

Page 248: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nikakuleta katika nchi nzuri yenyeNikakuleta katika nchi nzuri yenyekila utajiri ndani yake, rutuba, j y , ,misitu, mafuta shaba, n.k. Kwamkono wangu nikakurithisha

mizeituni ambayo haukuipandamizeituni ambayo haukuipandawewe na nikakurithisha nyumbayambazo haukuzijenga wewe; 

Page 249: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Na bado ninakuahidi endapoNa bado ninakuahidi, endapohautamsahau Bwana Mungugwako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

Page 250: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

Page 251: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenug(kuhusu kuitunza ibada yangu).

Page 252: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mungu huwa anakuwa mkali sana pale tunapotumia rasilimali zake bila kumzalishia faida yakezake, bila kumzalishia faida yake, yaani Ibada, ambayo ndio kituyaani Ibada, ambayo ndio kitu 

cha thamani kuliko vyote alichotaka kutoka kwetu.

( )(Luka 13:6‐9)

Page 253: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 254: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 26:27 28Walawi 26:27‐28Ukichakachua sadaka zaUkichakachua  sadaka za 

Mungu, Mungu naye g g yatachakachuamazao na 

(f id ) kmavuno (faida)  zako.

Page 255: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Walawi 26:27‐2827 ‘Kama hata baada ya haya b d h t i ikili l ki ibado hamtanisikiliza lakini 

mkaendelea kunishika kinyumemkaendelea kunishika kinyume 28 ndipo katika hasira yangu nami nitaendelea kuwashika 

ki ( k d i )kinyume (na kuwa uadui yenu).

Page 256: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kwa Mfano Hagai 1:5‐11

Page 257: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐115 Sasa hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu: “Zit f k i i ji“Zitafakarini vema njia 

zenu 6 Mmepanda vingizenu. 6 Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba.lakini mmevuna haba.

Page 258: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKAHagai 1:5‐11

6 M k l l ki i h hibi6 … Mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakinimnakunywa, lakini 

hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapatamishahara lakini inatowekamishahara, lakini inatowekakama imewekwa kwenyeymfuko uliotoboka‐toboka.’’ 

Page 259: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐117 Hili ndilo asemalo BWANA 

“ i f k i iMwenye Nguvu: “Zitafakarini vema njia zenu (mienendovema njia zenu (mienendo yenu. Angalieni mahaliyenu. Angalieni mahali 

mlipokosea na kupotoka); 

Page 260: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐119 “Mlitarajia vingi, kumbe, 

i k kidvimetokea kidogo. Ulichokileta nyumbaniUlichokileta nyumbani 

nilikipeperusha. Kwa nini?’’nilikipeperusha. Kwa nini?  anailiza BWANA Mungu 

Mwenye Nguvu.

Page 261: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐119 ‘‘Ni kwa sababu ya nyumba yangu (kazi yangu) inayobakiyangu (kazi yangu), inayobaki 

katika hali ya magofu nakatika hali ya magofu na uharibifu, wakati ninyi, kila 

mmoja wenu anajishughulisha na nyumba yake mwenyewena nyumba yake mwenyewe.

Page 262: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐1110 Kwa hiyo, kwa sababu yenu 

(kutokutii kwenu) mbingu zimezuiliwa zisitoe mvuazimezuiliwa zisitoe mvua, 

wala umande wake; na ardhiwala umande wake; na ardhi imezuiliwa isitoe matunda na 

mavuno yake.

Page 263: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐1111 Niliita ukame mashambani na

milimani kwenye nafakamilimani, kwenye nafaka, mvinyo mpya, mafuta pamoja nay py , p jchochote cha ardhi yenu, na juuya watu na juu ya ng'ombe wenupamoja na kazi za mikono yenu ’’pamoja na kazi za mikono yenu.  

Page 264: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐117 Hili ndilo asemalo BWANA 

“ i f k i iMwenye Nguvu: “Zitafakarini vema njia zenu (mienendovema njia zenu (mienendo yenu. Angalieni mahaliyenu. Angalieni mahali 

mlipokosea na kupotoka); kisha... 

Page 265: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐118 Pandeni milimani mkalete mitina kujenga nyumba ili nipatena kujenga nyumba, ili nipate

kuifurahia nitukuzwe.’’kuifurahia nitukuzwe.

Page 266: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Walawi 26:27‐2827 ‘Kama hata baada ya haya 

b d h t i ikili b libado hamtanisikiliza bali mnaendelea kunishika kinyumemnaendelea kunishika kinyume28 ndipo katika hasira yangu nami nitaendelea kuwashika 

ki ( k d i )kinyume (na kuwa uadui yenu).

Page 267: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Malaki 3:7‐127 Tangu wakati wa baba zenu, 

ki b li immegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishikazangu, nanyi hamkuzishika. 

Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema BWANA M NBWANA Mwenye Nguvu.

Page 268: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Malaki 3:7‐12Hii ina maana kwamba, li k i h imlipoamua kuniacha, nami 

niliamua kuwaacha Lakininiliamua kuwaacha. Lakini mkiamua kurudi, nami nitaamua kuwarudia.

Page 269: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 26:27 28Walawi 26:27‐28Ukichakachua sadaka zaUkichakachua  sadaka za 

Mungu, Mungu naye g g yatachakachuamazao na 

(f id ) kmavuno (faida)  zako.

Page 270: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kama kila raia wa mbinguni g(mkristo) angekuwa na 

Nidhamu na Heshima hii kwa Mungu kupitia mali zake naMungu kupitia mali zake na kipato chake, hakika ‘nyumba p , yya Bwana’ (kanisa) lisingekuwa na uhitaji wa aina yoyote leo. 

Page 271: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Mheshimu Mungu kwa mali zako g

na kwa malimbuko ya mazao yako; ndipo ghala zako (akaunti yako) itakapojazwa sana nayako) itakapojazwa sana na viriba vyako (friji yako) y ( j y )

havitapungukiwa divai mpya( d )’(juisi, matunda, sausage, mayai)’

Page 272: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Ndipo nitakapokufungulia p p gmadirisha ya mbinguni na kukumwagia baraka, mpaka ukose mahali pa kuziweka; naukose mahali pa kuziweka; na mataifa yote watawaiteni ninyi y y

heri yaani ‘wabarikiwa’. 

Page 273: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Nami nitamkemea na 

kumshughulikia yule adui yenuanayekula mazao yenu (faida zenu) na kupukutisha matundazenu) na kupukutisha matunda 

zenu kabla hazijakomaa j(matarajio yenu). 

Page 274: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐141 ‘Kama ukimtii BWANA Mungu 

k k bidii k f iwako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwazake zote ninazokupa leo kwa bidii, BWANA Mungu wako 

atakuweka juu ya mataifa yote k ik d i ’katika dunia’

Page 275: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐14

2 ‘Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata kama ukimtiiyako na kukupata, kama ukimtii 

BWANA Mungu wako:BWANA Mungu wako: 3 Utabarikiwa mjini na jutabarikiwa mashambani. 

Page 276: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐14

4 ‘Utabarikiwa uzao wa tumbo lako mazao ya nchi yako nalako, mazao ya nchi yako na 

wanyama wako, wachanga wawanyama wako, wachanga wa kufugwa, ndama wa makundi 

yako ya ng’ombe na wanakondoo wa makundi yako’wanakondoo wa makundi yako’

Page 277: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐145 ‘Kapu lako na vyombo vyako 

k k di it b ikivya kukandia vitabarikiwa.       6 Utabarikiwa uingiapo na6 Utabarikiwa uingiapo na 

utabarikiwa utokapo. 7 BWANA atakujalia adui kushindwa b l k W t k ji k jimbele yako. Watakujia kwa njia moja lakini watakimbia mbelemoja lakini watakimbia mbele 

yako kwa njia saba. 

Page 278: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐14

8 ‘BWANA ataagiza baraka juu ya ghala zako na juu ya kila kitughala zako na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono gwako. BWANA Mungu wako 

atakubariki katika nchi anayokupa’anayokupa . 

Page 279: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐1410 ‘Kisha mataifa yote ya dunia 

t k it k jiwataona kuwa unaitwa kwa jina la BWANA, nao watakuogopa.la BWANA, nao watakuogopa. 11 BWANA atakupa kustawi kwa wingi, katika uzao wa 

t b l k ktumbo lako, wanyama wako na mazao ya ardhi yako, katikamazao ya ardhi yako, katika nchi aliyokupa Bwana.’

Page 280: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐1412 ‘BWANA atafungua mbingu, 

h l k b k k kghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake namvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha t if i l ki i h t kmataifa mengi lakini hutakopa 

kwa ye yote’.kwa ye yote . 

Page 281: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐14

13 ‘BWANA atakufanya kichwa,13 BWANA atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya BWANA Mungu 

wako ninayokupa siku hii ya leowako ninayokupa siku hii ya leo na kuzifuata kwa bidii, daimana kuzifuata kwa bidii, daima 

utakuwa juu, na kamwe hutakuwa chini’. 

Page 282: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kumbukumbu 28:1‐14

14 ‘ni kama hautazihalifu amri zangu zo zote ninazokupa leozangu zo zote ninazokupa leo, 

kwa kwenda kuume au kushoto, ,kwa kufuata miungu mingine na 

kuitumikia’. 

Page 283: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Walawi 26:3‐13‘hamtapungukiwa na chochote; 

k b b k f kkwasababu kuvuna nafaka kwenu kutaendelea hata wakatikwenu kutaendelea hata wakati wa kuvuna zabibu; na kuvuna zabibu kutaendelea mpaka 

k ti k d b ’wakati wa kupanda mbegu’(No Budget Deficiet)(No Budget Deficiet)

Page 284: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

Page 285: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi j y

yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

Page 286: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

Page 287: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 288: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 289: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 290: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kusudi Kuu la Maisha yetuSIFA NA IBADA KWA MUNGU

3 K f h Uk3.  Kuufahamu Ukuu na Uweza wa MunguUweza wa Mungu

Z b i 100 1 5Zaburi 100:1‐5

Page 291: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Neno;Neno;

Z b i 100 1 5Zaburi  100:1‐5“ 1 Mfanyieni Bwana shangwe“  1  Mfanyieni Bwana shangwe 

dunia yote; 2Mtumikienidunia yote;  Mtumikieni Bwana kwa furaha, njooni mbele zake kwa kuimba; 

Page 292: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Neno;Neno;

Zaburi 100:1 5Zaburi  100:1‐5“ 3Jueni kwamba Bwana ndiye  Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu, ndiye aliyetuumba na g y ysisi tu watu wake, tu watu k d li hwake na Kondoo wa malisho 

yake”yake . 

Page 293: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NENO;NENO;

Zaburi 100:1 5Zaburi  100:1‐5   4Ingieni malangoni mwakeIngieni malangoni mwake kwa kushukuru, nyuani ymwake kwa kusifu, h k i lihi idi i jimshukuruni lihimidini jina 

lake;lake;  

Page 294: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NENO;NENO;

Zaburi 100:1 5Zaburi  100:1‐5   5Kwa kuwa Bwana ndiyeKwa kuwa Bwana ndiye mwema, rehema zake ni za milele, na uaminifu wake, 

i i i ivizazi na vizazi

Page 295: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KWANINI TUMSIFU MUNGU?KWANINI TUMSIFU MUNGU?

1. MUNGU ANATAKA KUSIFIWA.

2. MUNGU ANASTAHILI KUSIFIWA.

3. KUSIFU NA KUABUDU KUNA FAIDA.

Page 296: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KWANINI TUMSIFU MUNGU?KWANINI TUMSIFU MUNGU?

2 MUNGU ANASTAHILI KUSIFIWA2. MUNGU ANASTAHILI KUSIFIWA.

Zab 18:3 “Nitamwita Bwana 

Astahiliye kusifiwa …”

Page 297: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KWANINI TUMSIFU MUNGU?

Ufunuo 4:9‐11 Ndipo hao Wazee Ishirini na nnehuanguka mbele zake yeye aketiyehuanguka mbele zake yeye aketiye

juu ya kile kiti cha enzi, naoj y ,humsujudia yeye aliye hai hatail l il l h it t jimilele na milele, nao huzitupa tajizao mbele ya kile kiti cha enzi, ao be e ya e a e ,

wakisema ….

Page 298: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KWANINI TUMSIFU MUNGU?

Ufunuo 4:9‐11 Umestahili wewe, Bwana wetu naMungu wetu kuupokea utukufu naMungu wetu, kuupokea utukufu naheshima na uweza; kwa kuwa wewe;ndiwe uliyeviumba vitu vyote, nak b b i kkwasababu ya mapenzi yako

vilikuwako, navyo vikaumbwa.”u a o, a yo au b a

Page 299: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA MUNGU KUSIFIWA

A.  Sifa zake za UunguB.  Tabia zake za UunguC.  Matendo yake ya AjabuD F dhili k i iD.  Fadhili zake nyingi mnoE Ahadi zake kubwa mnoE.  Ahadi zake kubwa mno

Page 300: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A. Sifa zake za UunguIsaya 44:6‐7

“Bwana Mfalme wa Israel“Bwana, Mfalme wa Israel, Mkombozi wako, Bwana wa,

majeshi, asema hivi; Mimi ni wak i i i hkwanza, na mimi na wa mwisho; zaidi ya mimi hapana mwinginey p g

kama mimi.”

Page 301: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  SIFA ZAKE ZA UUNGU(1)      Ni wa Milele (Eternal)Hana mwanzo wala mwisho. Bali yeyendiye mwanzo wa vyote na mwisho wandiye mwanzo wa vyote na mwisho wavyote. Yeye ndiye muumba wa vitu

t di k tvyote na ndiye awezaye kuua vyote.* Isa 44:6, Ufu 4:8‐9, Kut 3:13‐14 Isa 44:6,  Ufu 4:8 9,  Kut 3:13 14

Page 302: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHAMAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A. SIFA ZAKE ZA UUNGU(2)      Ni Mtakatifu (Holy)Hana dhambi, wala kosa, wala doa la aina yoyote Hajawahi kukosea naaina yoyote. Hajawahi kukosea na

hawezi kukosea popote. Kwake kunaukamilifu wote. 

*Isa 57:15 Isa 6:3 Ufu 4:8*Isa 57:15,  Isa 6:3  Ufu 4:8

Page 303: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A. SIFA ZAKE ZA UUNGU (3) Yupo kila mahali (Omni‐present)Mungu yupo kila mahali, kila wakati, kwa wakati mmoja Mungu anaujazakwa wakati mmoja. Mungu anaujaza

ulimwengu kama vile hewa inavyoujazaulimwengu wote kwa wakati mmoja.  

* Zaburi 139:7‐12 Zaburi 139:7‐12       

Page 304: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A. SIFA ZAKE ZA UUNGU(4) Anajua mambo yote (Omniscient)Mungu ndiye mwenye ufahamu wote, 

hakuna asilolijua na akili zakehakuna asilolijua, na akili zakehazichunguziki.

*Zab 139:1‐6, Zab 147:5  Mith 15:3

Page 305: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  SIFA ZAKE ZA UUNGU(5) A N (O i )(5)  Ana Nguvu zote (Omni‐potent )

Zab 147:5 Luka 1:37 Yer 32:27Zab 147:5, Luka 1:37, Yer 32:27Mungu ndiye mwenye nguvu zote na

uwezo wote, hakuna jambo asiloliweza. Nguvu zote za kuumba na kuangamizag g

zipo mikononi mwake* 2Nyak 20:5 6 Isa 44:24 Ufu 19:6* 2Nyak 20:5‐6,  Isa 44:24, Ufu 19:6

Page 306: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  Sifa zake za UunguB.  Tabia zake za UunguC.  Matendo yake ya AjabuD F dhili k i iD.  Fadhili zake nyingi mnoE Ahadi zake kubwa mnoE.  Ahadi zake kubwa mno

Page 307: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

B.  Tabia zake za UunguNeno la Mungu, linatuonyeshajinsi ambavyo Mungu wetu ana tabia na kawaida nyingi nzuritabia na kawaida nyingi nzuri

ambazo kwa hizo, tunavutiwa naambazo kwa hizo, tunavutiwa na tunapigwa deni kumsifu na 

kumwabudu. 

Page 308: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

B.  Tabia zake za UunguKwa mfano ; Mungu wetu

• Mungu wa Upendo. • Mungu wa Rehema. M N• Mungu wa Neema.

• Si Mwepesi wa Hasira• Si Mwepesi wa Hasira

Page 309: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

B.  Tabia zake za UunguKwa mfano ; Mungu wetu

• Mungu wa Haki. • Mungu wa Amani. M K li• Mungu wa Kweli.

• Mungu Mwaminifu• Mungu Mwaminifu.

Page 310: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

B.  Tabia zake za UunguZaburi 103:6‐8

6 BWANA hutenda haki, nayeh h k h khuwapa hukumu ya haki wotewanaoonewa 8 ni mwenyewanaoonewa. 8 ni mwenye 

huruma na rehema, si mwepesi pwa hasira, amejaa upendo.

Page 311: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Kutoka 34:6‐7 6 BWANA akapita mbele ya Mose, akitangaza, “BWANA, BWANA Mungu mwenyeBWANA, Mungu mwenyehuruma na neema, asiyehuruma na neema, asiye

mwepesi wa hasira, mwingi wa upendo na uaminifu.

Page 312: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Kutoka 34:6‐7 7 Bwana hudumisha upendo kwamaelfu, pia akisamehe uovu, uasi

na dhambi lakini haachina dhambi, lakini haachikuadhibu mwenye hatia …kuadhibu mwenye hatia …8 Mara Mose akasujudu na j

kuabudu. 

Page 313: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Efeso 3 :18‐19 17 … Nami ninaomba kwamba … 18 mwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu jinsi ulivyopamoja na watakatifu jinsi ulivyo upana na urefu na kimo na kinaupana na urefu na kimo na kina 

upendo wa Kristo …

Page 314: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Efeso 3 :18‐19 19 na pia mpate kujua upendo huu kwamba unapita fahamu, ili mpate kujazwa na kufikia kipimompate kujazwa na kufikia kipimo 

cha ukamilifu wa Mungu.cha ukamilifu wa Mungu.

Page 315: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Daniel 9:4 4 Nikamwomba BWANA Mungu wangu na kutubu: “Ee Bwana, Mungu mkuu na unayetishaMungu mkuu na unayetisha, unayeshika agano lako launayeshika agano lako la 

upendo kwao wanaokupendana kutii maagizo yako…

Page 316: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  Sifa zake za UunguB.  Tabia zake za UunguC.  Matendo yake ya AjabuD F dhili k i iD.  Fadhili zake nyingi mnoE Ahadi zake kubwa mnoE.  Ahadi zake kubwa mno

Page 317: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuNi mambo aliyoyafanya Mungu 

wetu na anayoendelea kufanya mambo ambayokufanya, mambo ambayo 

hakuna tena, awezaye kufanya.hakuna tena, awezaye kufanya.Mambo haya yanamfanya awe y y y

Mungu wa pekee! 

Page 318: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Ndiye aliyeziumba na k d kkuzitundika sayari zote za ulimwengu huu bila minyororoulimwengu huu, bila minyororo wala nguzo. g

Page 319: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Mungu wetu ndiye 

b b hanayesababisha mioyo yetu inadunda bile kuwekewa betriiinadunda, bile kuwekewa betrii wala chaji (charge).j ( g )

Page 320: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Mungu wetu ndiye 

b b h b kanayesababisha mbegu kuota ardhini na mtoto kukua katikaardhini na mtoto kukua katika tumbo la mamaye.y

Page 321: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Mungu wetu ndiye aliyefungua b h h kbahari ya Shamu na kuvunja kuta za Jeriko Aliwalisha Israelkuta za Jeriko. Aliwalisha Israel Jangwani kwa chakula cha gKifalme, kwa miaka 40.

Page 322: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Mungu wetu alitembea juu ya 

k b d l h kmaji na kubadilisha maji kuwa divai Alitakasa wakoma nadivai. Alitakasa wakoma na kufufua waliokufa na kuoza!

Page 323: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Hata leo anaendelea kutenda 

b bmambo mengi na ya ajabu, yasiyoelezeka kwa fikra zayasiyoelezeka kwa fikra za kibinadamu.

Page 324: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Ndiye anayeongoza vipofu b b dbarabarani, na ndiye anayewalisha na kuwavikaanayewalisha na kuwavika maskini na wahitaji.j

Page 325: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

C.  Matendo yake ya AjabuKwa mfano; • Ndiye anayeponya wagonjwa 

k b d l h bna kubadilisha tabia za majambazi makahaba namajambazi, makahaba na wachawi. Matendo yake ya y yajabu yako kila upande!

Page 326: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Kwasababu ya Matendo yake ya Ajabu; Mungu wetu anastahili 

k k k ifi N ikutukuzwa na kusifiwa. Nasi tuna kila sababu ya kuzitangaza fadhilikila sababu ya kuzitangaza fadhili zake na matendo yake ya ajabu! Hii Ndio sababu ya sisi kuishi na 

k b ikikubarikiwa na yeye.

Page 327: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  Sifa zake za UunguB.  Tabia zake za UunguC.  Matendo yake ya AjabuD F dhili k i iD.  Fadhili zake nyingi mnoE Ahadi zake kubwa mnoE.  Ahadi zake kubwa mno

Page 328: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

D. Fadhili zake nyingi mno;Fadhili ni ule Wema na Barakambalimbali ambazo Munguanatutendea sisi kila siku; sianatutendea sisi kila siku; sikwasababu ya haki yetu, balikwasababu ya haki yetu, balikwasababu ya Rehema naNeema zake nyingi kwetu.

Page 329: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

D di i Mf h li i MtDaudi ni Mfano halisi wa Mtualiyetendewa na Mungu, Wemaaliyetendewa na Mungu, Wema

na Fadhili; hata akaona; 1. Aikumbushe Nafsi, isijesahau2. Na Mwili wake usijeingia uvivu

Page 330: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

D. Fadhili zake nyingi mno

Zaburi 103:1‐5Ee Nafsi yangu umhimidi Bwana, 

l i i h f dhili kwala usizisahau fadhili zake;

Page 331: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Zaburi 103:1‐5• Akusamehe Maovu yako yote• Akuponya Magonjwa yako yote• Aulinda Uhai wako na Kaburi• Aushibisha Mema Uzee wakeA j h Uj k k T i• Aurejesha Ujana wako kama Tai 

Page 332: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

N i i t i k b k F dhiliNasi pia tusipokumbuka Fadhili za Bwana, ni rahisi kuwa wavivuza Bwana, ni rahisi kuwa wavivu na wazembe katika kutimiza wito 

wetu mkuu wa Kumsifu na Kumwabudu Mungu yaaniKumwabudu Mungu; yaani kuzitangaza fadhili za Bwana.kuzitangaza fadhili za Bwana.

Page 333: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Kwasababu ya Fadhili zake za ajabu; Mungu wetu anastahili 

k k k ifi N ikutukuzwa na kusifiwa. Nasi tuna kila sababu ya kuzitangaza fadhilikila sababu ya kuzitangaza fadhili zake na matendo yake ya ajabu! Hii Ndio sababu ya sisi kuishi na 

k b ikikubarikiwa na yeye.

Page 334: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

A.  Sifa zake za UunguB.  Tabia zake za UunguC.  Matendo yake ya AjabuD F dhili k i iD.  Fadhili zake nyingi mnoE Ahadi zake kubwa mnoE.  Ahadi zake kubwa mno

Page 335: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

E. Ahadi zake kubwa mno

2Petro 1:3‐4

Page 336: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

2Petro 1:3‐4Kwakuwa, Uweza wake Mungu, umetukirimia ahadi kubwa mno

th i ili k hina za thamani, ili kwa hizo, tupate kuwa washiriki wa Tabiatupate kuwa washiriki wa Tabiazake za Uungu, tukiokolewa na

uharibifu ulioko duniani.

Page 337: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Isaya 45:11Isaya 45:11Kwa habari ya mamboKwa habari ya mambo 

yajayo, haya niulizeni; na kwa y j y , y ;habari ya kazi za mikono yangu, haya niagizeni 

( )(niamuruni),

Page 338: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 1918 Na milango ya kuzimu18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisahaitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijengalangu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

Page 339: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 1919 Kwa maana nitawapa19 Kwa maana nitawapa 

funguo za Ufalme, na mambo g ,mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa 

( b )(mbinguni);

Page 340: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 1919 na mambo19 … na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) y y g ( y )yatakuwa yamefunguliwa 

(mbinguni)

Page 341: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 16:18‐19Marko 16:18 19Mtaweka mikono yenu juu ya y j ywagonjwa, nao watapata afya; mtatoa pepo na kushika nyoka 

h t ki it kna hata mkinywa vitu vya kuua, havitawadhuru kabisahavitawadhuru kabisa.

Page 342: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAMBO YANAYOMSTAHILISHA 

Kwasababu ya Ahadi zake kubwa mno na za thamani; Mungu wetu 

hili k k k ifianastahili kutukuzwa na kusifiwa. Nasi tuna kila sababu yaNasi tuna kila sababu ya 

kuzitangaza fadhili zake! Hii Ndio sababu ya sisi kuishi na k b ikikubarikiwa na yeye.

Page 343: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 344: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Namna ya Kufanya Ibada

4. Namna ya Kumpay pMungu Ibada.

1Petro 2:9Zaburi 100:1‐5

Page 345: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI KUU LA MUNGU1Petro 2:9

k f lLakini ninyi ni Taifa teule, Ukuhani wa Kifalme Taifa takatifuUkuhani wa Kifalme, Taifa takatifula Mungu, mlioitwa na Mungu,

kutoka gizani mkaingie katika nuruYake ya ajabu ili kutangaza fadhiliYake ya ajabu, ili kutangaza fadhilizake (Ukuu wake na Matendo yake( y

ya ajabu).

Page 346: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“  1  Mfanyieni Bwana shangwe dunia  2yote;  2Mtumikieni  Bwana  kwa 

furaha njooni mbele zake kwafuraha,  njooni  mbele  zake  kwa kuimba;kuimba; 

Page 347: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“ 3Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu, ndiye aliyetuumba na i i k ksisi tu watu wake, tu watu wake na Kondoo wa malisho yake”na Kondoo wa malisho yake . 

Page 348: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUMfalme Daudi anasema;

Zaburi 100:1‐5

“4 Ingieni malangoni mwake kwak h k k kkushukuru, nyuani mwake kwakusifu mshukuruni lihimidini jinakusifu, mshukuruni lihimidini jina

lake takatifu.lake takatifu.

Page 349: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

1Petro 2:9Kuzitangaza fadhili za Bwana; ni kuelezea au kusimulia matendo ya ajabu anayoyafanya Munguya ajabu, anayoyafanya Mungu kutokana na ukuu wake na   

uweza wake.(Kumtukuza Mungu)

Page 350: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAANA YA IBADA

Kushukuru

Kusifu                     Kuabudu

Page 351: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSHUKURU?NINI MAANA YA KUSHUKURU?

Maana ya Kushukuru;Maana ya Kushukuru;Ni ya kumuelezea MunguNi ya kumuelezea  Mungu namna ulivyo thaminiy

(appreciate) wema wake, b k k k i kbaraka zake na kazi yake, 

aliyotenda katika maisha yakoaliyotenda katika  maisha yako

Page 352: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSIFU?NINI MAANA YA KUSIFU?

MAANA YA KUSIFUMAANA YA KUSIFU• Ni kumueleza Mungu juu ya• Ni kumueleza Mungu juu ya matendo yake makuu na ya y yajabu aliyoyafanya Mungu.

Page 353: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSIFU?NINI MAANA YA KUSIFU?

MAANA YA KUSIFUMAANA YA KUSIFU• Au ni kuwaeleza wengine• Au ni kuwaeleza wengine Matendo makuu na ya ajabu y j

aliyofanya Mungu.

Page 354: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUABUDU?NINI MAANA YA KUABUDU?

MAANA YA KUABUDUMAANA YA KUABUDUNi kumueleza Mungu tukuzoNi kumueleza Mungu tukuzo zetu, heshima yetu na upendo y pwetu wake kwa uzuri wa tabia 

k kzake kwetu. (C d ti l d Ch t )(Credentials and Characters).  

Page 355: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMSIFU NAKUMSHUKURU MUNGU

1. Kwa Sifa zake za Ki‐Ungu2. Kwa Matendo yake Makuu3. Kwa Fadhili na Baraka zake4 K T bi k ki k4. Kwa Tabia zake za kipekee5 Kwa Ahadi zake za thamani5. Kwa  Ahadi zake za thamani

Page 356: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAISHA YA IBADAKUSIFU NA KUABUDU

NAMNA YA KWENDANAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUMBELE ZA MUNGU. 

Page 357: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MUNGU ANAKAA WAPI?MUNGU ANAKAA WAPI?

h d !• Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenui h k l l R h Mt k tif ?ni hekalu la Roho Mtakatifu?(1Wakorintho 3: 9 16)(1Wakorintho  3: 9, 16)

Page 358: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MUNGU ANAKAA WAPI?MUNGU ANAKAA WAPI?

Kumbe;Sisi ni nyumba ya MunguSisi ni hekalu la MunguMungu anaishi ndani yetu!

Page 359: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MUNGU ANAKAA WAPI?MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda, na tutakuja nakufanya makao ndani yake’kufanya makao ndani yake

(Yohana 14:23 21)(Yohana 14:23, 21)

Page 360: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MUNGU ANAKAA WAPI?MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!‘Mtu akinipenda, atalishikaneno langu, nasi tutampendana kujifunua kwake’na kujifunua kwake

(Yohana 14:23 21)(Yohana 14:23, 21)

Page 361: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yako (rohoni mwako), utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwiliu e gu a

Page 362: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanzo 2:7Mwanzo 2:7‘Bwana Mungu akafanya mtuBwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, yakapuliza puani pumzi iliyo h i k f i h i’hai, mtu akawa nafsi hai’.

Page 363: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanzo 2:7Mwanzo 2:7Mwanadamu niMwanadamu ni

1. Mwili1. Mwili2. Nafsi3. Roho

Page 364: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mavumbi Nafsi PumziMavumbi, Nafsi, Pumzi 

Mwili    Nafsi   Roho

Page 365: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Sehemu Kuu za MwanadamuSehemu Kuu za Mwanadamu

RohoRohoNafsiMwili

Page 366: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

Mwili    Nafsi   Roho

Page 367: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mfalme Daudi aliliongea jamboMfalme Daudi aliliongea jambo hili (la kukutana na Mungu rohoni mwako) kwa njia ya 

k if k b d k i hkusifu na kuabudu, kwa picha ya hekalu ya Mungu la zamaniya hekalu ya Mungu la zamani 

Page 368: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

Page 369: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Katika roho yako ndipo kulikoKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu.na uwezo wa ki Mungu. 

Kwasababu;1. Roho ndiyo yenye asili na 

Mungu (ilitoka kwa Mungu)

Page 370: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Katika roho yako ndipo kulikoKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu.na uwezo wa ki Mungu. 

Kwasababu;2. Rohoni ndiko mahali 

Mungu anakaa (PP).

Page 371: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Katika roho yako ndipo kulikoKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu.na uwezo wa ki Mungu. 

Kwasababu;3. Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa kuwasiliana na 

lim en a rohoulimwengu wa roho.

Page 372: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Katika mistari ya Zaburi 100:1 5Katika mistari ya Zaburi 100:1‐5, tunaona jinsi Mfalme Daudi janavyo‐tufundisha utaratibu 

m ri (a taratib sahihi aidi)mzuri (au utaratibu sahihi zaidi) wa kuingia katika ulimwengu wa g groho kwa njia ya Kumsifu na 

K b d MKumwabudu Mungu.

Page 373: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anatufundishaMfalme Daudi anatufundisha namna nzuri ya kuingia katika y gulimwengu wa roho kwa njia ya k msif na k m ab d M ngkumsifu na kumwabudu Mungu.

Hii inatupu kujua kwambaHii inatupu kujua kwamba,Kumbe kwenda mbele za Mungu,  gkuna utaratibu wake maalum. 

Page 374: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;“Kusifu na kuabudu, kuna namna k j b k k i iyake ya ajabu sana, ya kukuingiza katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa rohounapotaka kuomba, na 

k k k h k fkukukutanisha utukufu wa Mungukule ndani katika roho yako,”kule ndani katika roho yako,

Page 375: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

k i i d i k ( h ikuingia ndani yako (rohoni mwako) kwa kusifu na kuabudumwako), kwa kusifu na kuabudu, 

utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwiliulimwengu wa mwili

Page 376: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Ukitaka kwenda kukutana na M k ik li hMungu katika ulimwengu wa roho (Utukufu) Ni lazima ujue namna ya(Utukufu) Ni lazima ujue namna ya 

kuuhamisha moyo/nafsi yako kutoka katika mwili, na 

kuupenyesha katika roho yakokuupenyesha katika roho yako, ambako ndiko Mungu 

aliko/anaishi.

Page 377: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mfalme Daudi aliliongea jamboMfalme Daudi aliliongea jambo hili (la kukutana na Mungu rohoni mwako) kwa njia ya 

k if k b d k i hkusifu na kuabudu, kwa picha ya hekalu ya Mungu la zamaniya hekalu ya Mungu la zamani 

Page 378: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

Page 379: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;Ni muhimu tujue kwamba;“Kusifu na kuabudu kunafunguaKusifu na kuabudu, kunafungua milango ya mbingu, kukuingiza katika ulimwengu wa roho na 

k k k t i h t k f Mkukukutanisha utukufu wa Mungukule ndani katika roho yako ”kule ndani katika roho yako,

Page 380: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUOMBA

Tujifunze;

NAMNA YANAMNA YA KUMWENDEA MUNGUKUMWENDEA MUNGU.

Page 381: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

Page 382: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Nje      Ptf    PPP

Page 383: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

Page 384: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu (Utukufu) lazima ujue namna(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili  na k ieleke a rohoni m akokuielekeza rohoni mwako.

Page 385: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yako (rohoni mwako), utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwiliu e gu a

Page 386: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Na hiyo inafanyika kwaNa hiyo inafanyika kwaKujua namna ya KUMSIFU naKujua namna ya KUMSIFU na 

KUMWABUDU ipasavyo.

Page 387: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“4Ingieni malangoni mwake kwakushukuru, nyuani mwake kwa k if h k i lihi idi i jikusifu, mshukuruni lihimidini jina lake takatifu.lake takatifu.

Page 388: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

Page 389: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwili    Nafsi   Roho

Page 390: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Katika roho yako ndipo kulikoKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu.na uwezo wa ki Mungu. 

Kwahiyo;yMtu anapoweka FIKRA zake na HISIA zake rohoni zaidi, 

anaji ika e o a ki M nanajivika uwezo wa ki‐Mungu

Page 391: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu (Utukufu) lazima ujue namna(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili  na k ieleke a rohoni m akokuielekeza rohoni mwako.

Page 392: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguNa unaweza kufanya hivyoNa unaweza kufanya hivyo, 

ukiwa popote;p pKwenye gari, sebuleni, chumbani, 

ofisini, dukani, jikoni, bafuni, shambani bandani barabaranishambani, bandani, barabarani, 

bwenini, nk. nk. 

Page 393: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Katika roho yako ndipo kuliko naKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu, kwahiyo;g yJifunze kuweka kuweka FIKRAzake na HISIA zake rohoni zaidi, kwa njia ya maisha ya kusifu nakwa njia ya maisha ya kusifu na kuabudu, ili utembee na Utukufu

wa Mungu, masaa yote.

Page 394: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Na Utukufu wa Mungu ukifurikaNa Utukufu wa Mungu, ukifurika katika roho yako, ndipo utatoka na kufika katika mwili wako, nawe utafunikwa na Nguvu za Munguutafunikwa na Nguvu za Mungu (kuvikwa) kwa nje, na watu wote 

k k twanaokuzunguka, wataguswa na kuathiriwa na hizo nguvu za Mungu. 

(Luka 6:12, 17‐19)

Page 395: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SIFA NA IBADANGUVU YA SIFA NA IBADA

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu (Utukufu) lazima ujue namna(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili  na k ieleke a rohoni m akokuielekeza rohoni mwako.

Page 396: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SIFA NA IBADANGUVU YA SIFA NA IBADA

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguNa unaweza kufanya hivyoNa unaweza kufanya hivyo, 

ukiwa popote;p pKwenye gari, sebuleni, chumbani, 

ofisini, dukani, jikoni, bafuni, shambani bandani barabaranishambani, bandani, barabarani, 

bwenini, nk. nk. 

Page 397: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SIFA NA IBADANGUVU YA SIFA NA IBADA

Katika roho yako ndipo kuliko naKatika roho yako, ndipo kuliko na uwezo wa ki‐Mungu, kwahiyo;g yJifunze kuweka kuweka FIKRAzake na HISIA zake rohoni zaidi, kwa njia ya maisha ya kusifu nakwa njia ya maisha ya kusifu na kuabudu, ili utembee na Utukufu

wa Mungu, masaa yote.

Page 398: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SIFA NA IBADANGUVU YA SIFA NA IBADA

Na Utukufu wa Mungu ukifurikaNa Utukufu wa Mungu, ukifurika katika roho yako, ndipo utatoka na kufika katika mwili wako, nawe utafunikwa na Nguvu za Munguutafunikwa na Nguvu za Mungu (kuvikwa) kwa nje, na watu wote 

k k twanaokuzunguka, wataguswa na kuathiriwa na hizo nguvu za Mungu. 

(Luka 6:12, 17‐19)

Page 399: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMSIFU NAKUMSHUKURU MUNGU

1. Kwa Sifa zake za Ki‐Ungu2. Kwa Matendo yake Makuu3. Kwa Fadhili na Baraka zake4 K T bi k ki k4. Kwa Tabia zake za kipekee5 Kwa Ahadi zake za thamani5. Kwa  Ahadi zake za thamani

Page 400: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

FAIDA NA NGUVU ZAFAIDA NA NGUVU ZA MAISHA YA IBADAMAISHA YA IBADA(2 Nyak 5:11‐14)(2 Nyak 5:11 14)

Ili kupata Nguvu na Faida ya Ibaba kwakusifu na Kuabudu, ni lazima ibada hiyoifikie viwango fulani vya ki‐Mungu.

Page 401: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KWANINI TUMSIFU MUNGU?KWANINI TUMSIFU MUNGU?

3 KUSIFU KUNA FAIDA NA NGUVU3. KUSIFU KUNA FAIDA NA NGUVUWaimbaji na wanamuziki walipokuwa kama mtu mmoja, wakasikizisha mbele za Bwana sauti za kumsifu Mungu na kumshukuru Mungu, ndipo nyumba ya Bwana ikajaa wingu, hata makuhaniBwana ikajaa  wingu, hata makuhani wakashindwa kuhudumu kwasababu nyumba ya Bwana ilijaa UTUKUFUnyumba ya Bwana ilijaa  UTUKUFUmwingi (NGUVU) (2 Nyak 5:11‐14)

Page 402: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Ili kupata Nguvu na Faida yaIli kupata Nguvu na Faida yaIbaba kwa kusifu na Kuabudu, ni lazima ibada hiyo ifikiei f l i kiviwango fulani vya ki‐Mungu.

Page 403: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUSIFA AITAKAYO MUNGU

Viwango vya Sifa ya ki MunguSifa ya ki‐Mungu

(Standards)

Page 404: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUNi sifa itokayo katika

1. Moyo unaomjua na kumheshimuMungu katika Uungu wakeMungu katika Uungu wake 

(Zab 100:1‐5)“  1  Mfanyieni Bwana shangwe dunia yote; 

2Mtumikieni Bwana kwa furaha, njooni mbelezake kwa kuimba; 3Jueni kwamba Bwana ndiyeMungu, ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake, 

tu watu wake na Kondoo wa malisho yake. 

Page 405: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUNi sifa itokayo katika

2. Moyo wenye Kiu na Shauku ya2.  Moyo wenye Kiu na Shauku yaKumpenda Mungu (Kumb 6:5‐6)

Mpende B ana M ng ako k aMpende Bwana Mungu wako, kwamoyo wako wote, na kwa roho yako

yote na kwa nguvu zako zote

Page 406: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUNi sifa itokayo katika

3. Moyo Safi – Utakatifu

(Zab 33:1‐3) Kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo

2Nyak 20:20‐212Nyak 20:20 21Jehoshafati akawaweka wale watakaoi bi B k i t k tifmwimbia Bwana kwa uzuri wa utakatifu

Page 407: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k k kNi sifa itokayo katika

3. Moyo Safi – Utakatifu*  Kumb 23:14

Kwakuwa Bwana Mungu wako atakujaKwakuwa Bwana Mungu wako atakuja kukutembelea  katika kituo chako ili 

kukuokoa na adui zako, na kiwe kitakatifu kituo chako, asije akakuta uchafu, 

akageuka akakuacha.

Page 408: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k k kNi sifa itokayo katika

4. Kumsifu Kwa Akili zetu*  Zaburi 47:6‐7

Mwimbieni Mungu kwa maana di Mf l l ki i i b iyeye ndiye Mfalme; lakini imbeni

kwa akili.

Page 409: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MAANA YA IBADA

Kushukuru

Kusifu                     Kuabudu

Page 410: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSHUKURU?NINI MAANA YA KUSHUKURU?

Maana ya Kushukuru;Maana ya Kushukuru;Ni ya kumuelezea MunguNi ya kumuelezea  Mungu namna ulivyo thaminiy

(appreciate) wema wake, b k k k i kbaraka zake na kazi yake, 

aliyotenda katika maisha yakoaliyotenda katika  maisha yako

Page 411: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSIFU?NINI MAANA YA KUSIFU?

MAANA YA KUSIFUMAANA YA KUSIFU• Ni kumueleza Mungu juu ya• Ni kumueleza Mungu juu ya matendo yake makuu na ya y yajabu aliyoyafanya Mungu.

Page 412: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUSIFU?NINI MAANA YA KUSIFU?

MAANA YA KUSIFUMAANA YA KUSIFU• Au ni kuwaeleza wengine• Au ni kuwaeleza wengine Matendo makuu na ya ajabu y j

aliyofanya Mungu.

Page 413: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NINI MAANA YA KUABUDU?NINI MAANA YA KUABUDU?

MAANA YA KUABUDUMAANA YA KUABUDUNi kumueleza Mungu tukuzoNi kumueleza Mungu tukuzo zetu, heshima yetu na upendo y pwetu wake kwa uzuri wa tabia 

k kzake kwetu. (C d ti l d Ch t )(Credentials and Characters).  

Page 414: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Japo katika kumsifu na kumwabudu Mungu kuna nguvu nyingi za Mungu lakini maranyingi za Mungu, lakini mara nyingi hatuzioni hizo nguvunyingi hatuzioni hizo nguvu 

kwasababu tunakosea namna sahihi ya kufanya ibada zetu.( )(Yohana 4:23, Yakobo 4:3)  

Page 415: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Yohana 4:23Saa imefika, ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika Roho na Kweli kwasababu haoRoho na Kweli, kwasababu hao ndio aina ya watu ambao Baba yanawatafuta, ili wamwabudu.

Page 416: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Yakobo 4:3Nanyi mnaomba hata hampati, k b b b ibkwasababu mnaomba vibaya.

Page 417: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Ikiwa tunaomba na bado hatupati, kwasababu tunaomba vibaya (Yak 4 3) basi ni wazivibaya (Yak 4:3) basi ni wazi 

kwamba, tunasifu na kuabudu,kwamba, tunasifu na kuabudu, na bado hatupati (nguvu zake), 

kwasababu tunasifu vibaya! Yaani tunafanya ibada feki (Yoh 4:23)tunafanya ibada feki  (Yoh 4:23)

Page 418: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Mara nyingi tumekuwa tukichanganya nyimbo zetu mbele za Mungu bila kujalimbele za Mungu, bila kujali ‘maana halisi ya maneno’maana halisi ya maneno  

tunayoyatumia katika ibada zetu.Yaani tumekuwa tukifanya ibada 

feki (Yohana 4:23)feki  (Yohana 4:23)

Page 419: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k k kNi sifa itokayo katika

Zaburi 47:6‐7Zaburi 47:6‐7Biblia inasema, tunatakiwaBiblia inasema, tunatakiwa 

kumsifu na kumwabudu Mungu wetu, si kwa nyimbo na muziki t bali pia ‘k a Akili’ et pia!tu, bali pia ‘kwa Akili’ zetu pia!

Page 420: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k k kNi sifa itokayo katika

Zaburi 47:6‐7Zaburi 47:6 7“Mwimbieni Mungu kwa maana g

yeye ndiye Mfalme; lakini imbeni kwa akili.”

Page 421: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Tunapokwenda mbele za Mungu, tunatakiwa kwenda kwa akili; Mungu anataka tujali ‘maanaMungu anataka tujali ‘maana 

halisi ya maneno’ tunayoyatumiahalisi ya maneno  tunayoyatumia katika ibada zetu.

(Zaburi 47:7, Mhubiri 5:1‐2)

Page 422: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Mhubiri 5:1‐21 Chunga sana hatua zako uendapo katika nyumba ya 

Mungu Ni bora ukaribie kusikilizaMungu. Ni bora ukaribie kusikiliza kuliko kutoa dhabihu ya y

wapumbavu, ambao hawajui kuwa wanafanya kosa. 

Page 423: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Mhubiri 5:1‐22 Usiwe mwepesi kuzungumza, usiwe na haraka katika moyo 

wako kuzungumza lo lote mbelewako kuzungumza lo lote mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni g g y g

nawe uko duniani, kwa hiyo maneno yako na yawe machache.

Page 424: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Tunapokwenda mbele za Mungu, tunatakiwa kwenda kwa akili; Mungu anataka tujali ‘maanaMungu anataka tujali ‘maana 

halisi ya maneno’ tunayoyatumiahalisi ya maneno  tunayoyatumia katika ibada zetu.

(Zaburi 47:7, Mhubiri 5:1‐2)

Page 425: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?Kuna nyimbo za aina mbalimbali;• Nyimbo za Kumsifu Mungu,N i b K b d M• Nyimbo za Kumwabudu Mungu,

• Nyimbo za Maombi kwa MunguNyimbo za Maombi kwa Mungu,• Nyimbo za Uinjilisti, Kuhimiza,y j , ,• Nyimbo za Kutiana Moyo,• Nyimbo za Majigambo, Mipasho. 

Page 426: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Tenzi za Rohoni ‐ DibajiKila wimbo una sababu yake na wakati wake wa kuimbwa; hivyo tuzichague nyimbo za kuimbwatuzichague nyimbo za kuimbwa mikutanoni kwa uangaifu na kwa g

uongozi wa Mungu.(Zaburi 47:7, Mhubiri 5:1‐2)

Page 427: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Ikiwa tunaomba na bado hatupati, kwasababu tunaomba vibaya (Yak 4 3) basi ni wazivibaya (Yak 4:3) basi ni wazi 

kwamba, tunasifu na kuabudu,kwamba, tunasifu na kuabudu, na bado hatupati (nguvu zake), 

kwasababu tunasifu vibaya! Yaani tunafanya ibada feki (Yoh 4:23)tunafanya ibada feki  (Yoh 4:23)

Page 428: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nini maana ya ibada?

Katika kumsifu na kumwabudu Mungu kuna nguvu nyingi za 

Mungu Ikiwa tunataka tukutaneMungu. Ikiwa tunataka tukutane na hizo nguvu za Mungu, ni lazima g g ,tumsifu na kumwabudu Mungu k ik i k kkatika viwango anavyotaka; kwa Roho na Kweli. (Yoh 4:23, Yak 4:3)Roho na Kweli. (Yoh 4:23, Yak 4:3)  

Page 429: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k k kNi sifa itokayo katika

5.   Moyo wa FurahaZab 9:1‐2

Nitamshukuru Bwana, nitafurahi naKumshangiliaKumshangiliaZab 42:4

Kwa sauti za furaha nitaimba sifa

Page 430: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

Page 431: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGU

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 432: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

Page 433: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 434: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUNdio maana Mungu anataka watoto wake, wawe na maisha 

mazuri ili wanapopelekamazuri, ili wanapopeleka ibada kwa Mungu, ibada hiyoibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi(au fresh), bila kelele za 

i ( b f )moyoni (masumbufu).

Page 435: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Hivyo, Mungu anapokupa NguvuHivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe ili pia kuilinda na ibadawewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maishayake inayotoka katika maisha yako (inayotoka duniani).

(Yohana 4:23)

Page 436: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

6 Kwa Vinywa vyetu6. Kwa Vinywa vyetu(Zab 149:6)( ab 9 6)

“Kinywa changu kitajazwa sifa k ”zako”

Page 437: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGU

6. Kwa Vinywa vyetu(Ufunuo 5:11‐12)

11 N i ik t ik iki ti11 Nami nikatazama, nikasikia sautiza malaika wengi wakiwaa malaika wengi wakiwa

wamekizunguka kile kiti cha enzi, j l i b h ipamoja na wale viumbe wenye uhai

wanne na wale wazee ishirini nawanne na wale wazee ishirini nawanne, 

Page 438: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGU

6. Kwa Vinywa vyetu(Ufunuo 5:11‐12)

12 N kii b k ti k12 Nao wakiimba kwa sauti kuu,wakisema: ‘‘Anastahili Mwana‐wakisema: Anastahili Mwana

Kondoo, Yeye aliyechinjwa, kupokea ji i h kiuweza na utajiri na hekima na

nguvu na heshima na utukufu nanguvu na heshima na utukufu na sifa zote!’’

Page 439: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

6 Kwa Vinywa vyetu (Zab 149:6)6. Kwa Vinywa vyetu (Zab 149:6)a) Kwa kuimba (Zab 47:6, Zab 9:2,11)b) Kwa sauti kuu (Ufu 5:11‐12)) K k h ili (Z b 47 5 Z b 68 4)c) Kwa kushangilia (Zab 47:5, Zab 68:4)d) Kwa vigelegele (Zab 33:1)) g g ( )e) Kwa kusimulia (Zab 63:4, Zab 149:6)f) K l h (Md 2 1 12)(10 44 48)f) Kunena lugha (Mdo 2:1‐12)(10:44‐48)

Page 440: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

7. Kwa Mikono yetu ( Zab 33:2)y ( )

Mshukuruni Bwana kwa kinubi, nakwa kinanda cha nyuzi kumikwa kinanda cha nyuzi kumi, 

mwimbieni sifa.

Page 441: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

7. Kwa Mikono yetu ( Zab 33:2)y ( )(a) Kwa kupiga makofi (Zab 47:1‐2)(b) Kwa kuinua mikono (Zab 134:2)(c) Kwa kupunga mikono (Zab 63:4)(c) Kwa kupunga mikono (Zab 63:4)

Page 442: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUNi if it k kNi sifa itokayo kwa

8 Kwa miili yetu8. Kwa miili yetu

“Mpende Bwana Mungu wako, kwaMpende Bwana Mungu wako, kwamoyo wako wote, kwa roho yako yotena kwa akili zako zote na kwa nguvuna kwa akili zako zote na kwa nguvu

zako zote!(Kumbu 6:4‐6, Mathyo 22:37, Marko 12:30 Luka 10:27)Marko 12:30, Luka 10:27)

Page 443: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

8. Kwa miili yetu

(a) Kusimama (Zab 134:1, Neh 9:5, Mwa 18:22)(b) K a k pi a ma oti (Efe 3 14 Zab 95 6)(b) Kwa kupiga magoti (Efe 3:14, Zab 95:6)(c)  Kwa kusujudu/kuinama (Zab 95:6, Ufu 4:8‐11)(d) Kwa kucheza (Zab 149:3/150:4, 2Sam 6:13‐23)(e) Kwa kuruka kwa furaha(2Sam 6:16, Mdo 3:8)( ) ( , )

Page 444: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9 Kwa Vyombo vya Muziki na9. Kwa Vyombo vya Muziki na UstadiUstadi 

(Zab 150:1‐6)( )Kwa matari, vinubi, filimbi, zeze, 

zomari, panda, na matoazi yaliayo sana!sana!

Page 445: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9 Kwa Vyombo vya Muziki na9. Kwa Vyombo vya Muziki na UstadiUstadi 

(Ufunuo 5:8‐13)( )Viumbe wanaomsifu Mungu kule mbinguni, kila mmoja wao ana kinubi na bakuli ya dhahabukinubi na bakuli ya dhahabu.

Page 446: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9 Kwa Vyombo vya muziki na ustadi9. Kwa Vyombo vya muziki na ustadiMuziki ukipigwa vizuri na kwaMuziki ukipigwa vizuri na kwa uongozi wa Roho Mtakatifu, una namna fulani inayosababisha 

kuachiliwa kwa nguvu za Mungukuachiliwa kwa nguvu za Mungu maishani mwetu na kuleta baraka 

zaidi.

Page 447: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9. Kwa Vyombo vya muziki na ustadi

Kwa Mfano;Kijana Daudi Mbele za 

Mfalme Sauli1S li 16 13 231Samweli 16:13‐23

Page 448: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9. Kwa Vyombo vya muziki na ustadi

Kwa Mfano;Nabii Elsha Mbele za Mfalme Jehoshafati2Kings 3 10 15 192Kings 3:10‐15‐19

Page 449: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9. Kwa Vyombo vya muziki na ustadi

Kwa Mfano;Uzinduzi wa Hekalu la kwanza

La Mfalme Jehoshafati2Nyakati 5 11 142Nyakati 5:11‐14

Page 450: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

* Muziki na Uimbaji kwa Ustadi* Muziki na Uimbaji kwa UstadiZaburi 33: 2‐3Zaburi 33: 2 3

2 Mshukuruni Bwana kwa Kinubi, na ,kwa kinanda cha nyuzi kumi 

i bi i if 3 M i bi imwimbieni sifa. 3 Mwimbieni wimbo mpya, pigeni kwa ustadiwimbo mpya, pigeni kwa ustadi

kwa sauti za shangwe.

Page 451: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Muziki katika Ibada2 Nyakati 5:11‐14

W i b ji iki li kWaimbaji na wanamuziki walipokuwakama mtu mmoja, wakasikizisha mbelejza Bwana sauti za mumsifu Mungu nakumshukuru Mungu ndipo nyumba yakumshukuru Mungu, ndipo nyumba yaBwana ikajaa wingu, hata makuhaniwakashindwa kuhudumu kwasababunyumba ya Bwana ilijaa UTUKUFUnyumba ya Bwana ilijaa UTUKUFU

mwingi (Nguvu za Mungu).

Page 452: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

9 Kwa Vyombo vya muziki na ustadi9. Kwa Vyombo vya muziki na ustadiMuziki ukipigwa vizuri (kwaMuziki ukipigwa vizuri (kwa 

ustadi) na kwa uongozi wa Roho Mtakatifu, una namna fulani 

inayosababisha kuachiliwa kwainayosababisha kuachiliwa kwa nguvu za Mungu maishani mwetu 

na kuleta baraka zaidi.

Page 453: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

10. Kumsifu na kumwabudu Mungu k d k t h k tikkwa muda wa kutosha katika 

uwepo wake pKwa Mfano wa Musa(Kutoka 24:12‐18)

Nj j li i ‘ h k ’Njoo juu mlimani na ‘uwe huku’

Page 454: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

10. Kumsifu na kumwabudu Mungu kwa  muda wa kutosha katika uwepo wakemuda wa kutosha katika uwepo wake

Kwa Mfano wa Joshua (Kutoka 33:7‐11)

Musa alipomaliza kuongea na Mungu, aliinuka na kutoka, lakini Joshuaaliinuka na kutoka, lakini Joshua 

hakutoka hemani.

Page 455: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA AITAKAYO MUNGUf k kNi sifa itokayo kwa

10. Kumsifu na kumwabudu Mungu k d k t h k tikkwa muda wa kutosha katika 

uwepo wakepKwa Mfano wa Bwana Yesu;

Mathayo 14:22‐23, Luk 6:12 17 19 Mk 1:26Luk 6:12,17‐19  Mk 1:26

Page 456: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NAMNA YA KUMSIFU NAKUMSHUKURU MUNGU

1. Kwa Sifa zake za Ki‐Ungu2. Kwa Matendo yake Makuu3. Kwa Fadhili na Baraka zake4 Kwa Tabia zake4. Kwa Tabia zake5. Kwa Ahadi zake nzuri5. Kwa Ahadi zake nzuri

Page 457: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA KUSIFU KUABUDUKUSIFU na KUABUDU 

KIBIBLIAKIBIBLIA

‐ Style  ‐y

Page 458: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

TodarTodarKusifu kwa sadaka na matoleo

Page 459: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

YadahYadahKusifu kwa kuinua mikono

Page 460: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

HalalHalalKusifu kwa bubujikoj

Page 461: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

ShabachShabach Kusifu kwa kelele za shangweg

Page 462: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

ZamacZamacKusifu kwa vyombo vya muzikiy y

Page 463: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

TehillarTehillarKusifu kwa nyimbo za rohoniy

Page 464: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MITINDO YA SIFA KIBIBLIAMITINDO YA SIFA KIBIBLIA

BarakBarakKusifu kwa kumbariki Mungug

Page 465: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGUMambo Muhimu;Sababu ya Wito huuM WitMpango wa WitoUkuu na Uweza wakeUkuu na Uweza wakeNamna ya KutimizaNamna ya KutimizaFaida na Nguvu za IbadaFaida na Nguvu za Ibada

Page 466: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Kusifu na Kuabudu

5. Faida na Nguvu zilizopoK ik M i h K ifKatika Maisha ya Kumsifuna Kumwabudu Munguna Kumwabudu Mungu2Nyakati 5:11 152Nyakati 5:11‐15

Page 467: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Faida na Nguvu za Ibada2 Nyakati 5:11‐14

W i b ji iki li kWaimbaji na wanamuziki walipokuwakama mtu mmoja, wakasikizisha mbelejza Bwana sauti za mumsifu Mungu nakumshukuru Mungu ndipo nyumba yakumshukuru Mungu, ndipo nyumba yaBwana ikajaa wingu, hata makuhaniwakashindwa kuhudumu kwasababunyumba ya Bwana ilijaa UTUKUFUnyumba ya Bwana ilijaa UTUKUFU

mwingi (Nguvu za Mungu).

Page 468: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

1.  Kumsifu, kumshukuru na kumwabudu Mungu Kunavutakumwabudu Mungu, Kunavuta (kunasababisha) utukufu wa Mungu kuja mahali ulipo.  

(2N k ti 5 12 14)(2Nyakati 5:12‐14)(Zaburi 27:4)(Zaburi 27:4)

Page 469: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

2 Sif Ib d i l t F h2. Sifa na Ibada inaleta Furaha naAmani na Burudiko. 

(Zaburi 16:11)“ Mbele za uso wako ziko furaha … Mbele za uso wako ziko furaha

tele, na katika mkono wako wak il l ”kuume mna mema ya milele.”

Page 470: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if b d i l h2. Sifa na Ibada inaleta Furaha na Amani na Burudiko.Amani na Burudiko. 

Mistari mingine;Wafilipi 4:6‐7,  Zab 26:8,   Zab 65:4,  

Z b 92 1 4 Z b147 1Zab 92:1‐4,   Zab147:1

Page 471: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

3. Sifa, Shukurani na Ibada huleta Nguvu na UjasiriNguvu na Ujasiri.

(Nehemia 8:10). “Furaha ya Bwana ni nguvu zetu” 

Page 472: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if h k i b d h l3. Sifa, Shukurani na Ibada huleta Nguvu na Ujasiri.Nguvu na Ujasiri.* Zaburi 84:1‐5,7 ,

“Heri wakaao nyumbani mwako, k hi idi d i h d lwanakuhimidi daima … huendelea 

kutoka nguvu hata nguvu …”g g

Page 473: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if b d h l hi di dhidi4. Sifa na Ibada huleta ushindi dhidi ya maadui zetu.ya maadui zetu.  

(2Nyakati 20:1‐30)Ushindi wa Mfalme Jehoshefati        

Z b i 9 1 3 Z b i 68 1 3Zaburi 9:1‐3. Zaburi 68:1‐3. 

Page 474: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

h k i if b d i l5. Shukurani, Sifa na Ibada vinaleta Kuzidishwa kwa vilivyopungua.Kuzidishwa kwa vilivyopungua.       

(Yohana 6:1‐14)“Mikate 5 samaki 2 … Baba nakushukuru ”

Page 475: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

6 Shukurani Sifa na Ibada huleta6. Shukurani, Sifa na Ibada huleta Kukamilishwa kwa visivyokamilika.   

(Luka 17:11‐19)(Luka 17:11 19)“Na uwe mzima (ukamilishwe)”

Page 476: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if h k i b d h l7. Sifa, Shukurani na Ibada huleta Kufunguliwa kwa vilivyozuiliwa.Kufunguliwa kwa vilivyozuiliwa.    

(Mdo 16:16‐36)“Wakaimba na Kuomba … 

milango ya gereza ikafunguka”milango ya gereza ikafunguka

Page 477: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if h l f f li k8. Sifa huleta Kufufuliwa kwa vilivyokufa.vilivyokufa.   

(Yohana 11:41‐43)“Baba Nakushukuru … 

L ! T k j ”Lazaro! Toka nje”

Page 478: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if ib d h l b k9. Sifa na ibada huleta baraka na haja za mioyo yetuna haja za mioyo yetu.

(Zaburi 37:4)‘Nawe utajifurahisha kwa BwanaNawe utajifurahisha kwa Bwana 

Mungu wako, Naye atakupa haja za moyo wako’

Page 479: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if ib d h l b k9. Sifa na ibada huleta baraka na haja za mioyo yetuna haja za mioyo yetu.

2Nyakati 20:24‐26yWana wa Yuda, wakasomba nyara ma 

li k d ik 3 Nmali, kwa muda wa siku 3; Naye Bwana akawastarehesha siku za 

Mfalme Jeshoshafati!

Page 480: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi   Rasilimali zote niuwekezaji wa gharama

Adam ambao Mungu ameufanyaAdam     ambao Mungu ameufanyaili kupata anachotamani 

sana kutoka kwetu (ibada).

Page 481: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Sifa na Ibada

Wakolosai 1:1616 … vile vitu vinavyoonekana na 

vile visivyoonekana, kama ni viti vya enzi au falme au wenyeviti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala, vitu ,vyote viliumbwa na Yeye na 

kwa ajili Yake.

Page 482: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Sifa na IbadaRasilimali zote zilizowekwa duniani zimemgharimu Mungu (expensivezimemgharimu  Mungu (expensive investment) kwa makusudi na 

matarajio kwamba, zitamzalishia kitu cha thamani kuliko vyotekitu cha thamani kuliko vyote moyoni mwake, yaani ibada y , y(kusifiwa na kutukuzwa) (1Wakorintho 6:19‐20)

Page 483: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Sifa na Ibada

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 484: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Sifa na Ibada

Yohana 15:1‐2‘Kil t i li il h d l‘Kila tawi lisilozaa, huondolewa na 

kulitupa; lakini tawi linalozaa, kulitupa; lakini tawi linalo aa,ndilo husafishwa, na kuhudumiwa, 

ili li idi k ’ili lizidi kuzaa sana’.

Page 485: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Luka 13:6‐9• Nitakupalilia na kukulimia, • Nitakuwekea mbolea, • Nimekujengea wigo (ulinzi) naKil ik i k ili• Kila siku nitakumwagilia na

• Kukuwekea mlinzi kukulinda• Kukuwekea mlinzi kukulinda.

Page 486: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Sifa na Ibada

Yohana 15:1 2Yohana 15:1‐2Kutokana na umuhimu na unyetiKutokana na umuhimu na unyetiwa huduma ya ukuhani (yaaniibada), Mungu hataki makuhaniwake tuwe na maisha ya taabuwake, tuwe na maisha ya taabu, 

maisha ya dhiki na maisha ya shida.

Page 487: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

if ib d h l b k9. Sifa na ibada huleta baraka na haja za mioyo yetuna haja za mioyo yetu.

(Zaburi 37:4)‘Nawe utajifurahisha kwa BwanaNawe utajifurahisha kwa Bwana 

Mungu wako, Naye atakupa haja za moyo wako’

Page 488: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

FAIDA NA NGUVU ZILIZOPO KATIKA KUSIFU NA KUABUDU.

10. Sifa hupamba na kupendezesha   akati a mahaliwakati au mahali.   

Zaburi 147:1‘Kusifu ni Kuzuri’ (Kunapendeza)(Kunapendeza)

Page 489: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Nguvu ya Kusifu na Kuabudu

Kumsifu na KuwabuduM k F idMungu kuna Faida na

Nguvu za ajabuNguvu za ajabuZaburi 84:4 7Zaburi 84:4‐7

Page 490: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 1Uthibitisho  1wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 491: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

1 Idadi kubwa ya malaika wa1. Idadi kubwa ya malaika wa mbinguni; malaika wa sifa.mbinguni; malaika wa sifa.

Ufunuo 4:9‐11Ufunuo 5:11‐14

Page 492: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Biblia inasema kule mbinguniBiblia inasema, kule mbinguni, Mungu amejitengenezeaMungu amejitengenezeamalaika wa idadi hii;

Elfu kumi mara elfu kumi, mara elfu, mara elfu.

Page 493: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Biblia inasema, Hesabu yao ni; 10,00010 00010,0001 0001,000

X 1 000. X   1,000          .100 000 000 000 000100,000,000,000,000

Page 494: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Biblia inasema, Hesabu yao ni;10,00010 00010,0001 0001,000

X 1 000. X   1,000          .100 000 000 000 000100,000,000,000,000

Page 495: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Hii ina maana kwamba kamaHii ina maana kwamba, kama Mungu angekuwa samaki, basiMungu angekuwa samaki, basi hawa malaika wote wangekuwa 

ni mabomba trillion 100 yanayoingiza maji katika bwawayanayoingiza maji katika bwawa 

la huyo samaki.la huyo samaki.

Page 496: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Hii ina maana kwamba kamaHii ina maana kwamba, kama Mungu angekuwa binadamu,Mungu angekuwa binadamu, 

basi hawa malaika wote wangekuwa ni air‐condition au feni trillion 100 zinazoingizafeni trillion 100 zinazoingiza 

hewa safi katika nyumba ya huyo hewa safi katika nyumba ya huyobinadamu (Mungu).

Page 497: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Idadi kubwa ya malaika waIdadi kubwa ya malaika wa mbinguni; malaika wa sifa,mbinguni; malaika wa sifa, inaonyesha jinsi Mungu 

alivyo ‘very serious’ kuhusu kusifiwa na kuabudiwakusifiwa na kuabudiwa.

Page 498: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

1 Idadi kubwa ya malaika wa1. Idadi kubwa ya malaika wa mbinguni; malaika wa sifa.mbinguni; malaika wa sifa.

Ufunuo 4:9‐11Ufunuo 5:11‐14

Page 499: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 2Uthibitisho  2wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 500: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

2 Mungu alikuwa radhi kugawa2. Mungu alikuwa radhi kugawa Asili yake na Ufalme wake iliAsili yake na Ufalme wake ili tu kupata Ibada nzuri zaidi 

kuliko ya mbinguni.( )(Mwanzo 1:26‐28)

Page 501: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mwanzo 1:26‐28

Ndipo Mungu akasema;Ndipo Mungu akasema;‘Tufanye mtu kwa sura yetu nay ykwa mfano wetu, wakatawalevitu vyote vilivyo katika nchi.’

Page 502: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Mwanadamu ni nani hata

li hi i? b bumemwangalia hivi? Kwasababu(1)Umemfanya mdogo kidogo tu kuliko( ) y g gMungu, (2) ukamvika taji ya Utukufu

h hi (3) k t “j ”na heshima, (3) ukamtawaza “juu ya” kazi za mikono yako, na kuvitia vitu

vyote chini ya miguu yake…

Page 503: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Neno  “juu ya”  =  “Over All” (Kiingereza)

MkuuM lMtawala

“Mashal” MfalmeMashal   Mfalme(Kiebrania) Mwakilishi

Mungu

Page 504: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mwanzo 1:26‐28Ili kupata ibada nzuri zaidi, ilibidi

M k b li k bMungu akubali kumuumbaMwanadamu kwa Sura yake naMwanadamu kwa Sura yake naMfano wake, ili aweze kumsifuMungu kama Mwana wa Mungu

i t Mt i hi Mna sio tu Mtumishi wa Mungu.

Page 505: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mwanzo 1:26‐28

Kulingana na maandikob i hZaburi 82:6, Yohana 10:34‐35

Mwana wa Mungu ni Mungu!

Page 506: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Yohana 10:34‐35

34 Yesu akawajibu, ‘‘Je,34 Yesu akawajibu,  Je, haikuandikwa katika Torati ya 

kwamba, ‘Nimesema kuwa, ninyidi i i ?’ndinyi miungu?’

Page 507: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Yohana 10:34‐35

35 Kama aliwaita ninyi ‘miungu’35 Kama aliwaita ninyi  miungu , wale ambao neno la Mungu liliwafikia, nayo Maandiko 

h i k k 36 i idihayawezi kutanguka, 36 si zaidi sana mimi?sana mimi?

Page 508: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mwa 1:26‐28, Zab 8:4‐8Na kumuumba MwanadamuM M k li fMwana wa Mungu kulimfanyaMungu kumpa jimbo la KumilikiMungu kumpa jimbo la Kumilikina Kutawala yaani dunia (nchi), ilina yeye awe Mfalme (Mtawala) kama Babake alivyo Mfalmekama Babake alivyo Mfalme.

Page 509: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho 2Uthibitisho ‐ 2Mungu alikuwa radhi kugawaMungu alikuwa radhi kugawaasili yake na Ufalme wake ili tuyaweze kupata Ibada nzuri zaidi

k lik il bi ikuliko ile ya mbinguni.(M an o 1 26 28)(Mwanzo 1:26‐28)

Page 510: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 3Uthibitisho  3wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 511: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

3 Mungu aliumba Dunia kwa3.  Mungu aliumba Dunia kwa muda mrefu zaidi kulikomuda mrefu zaidi kuliko 

muda aliotumia kumuumba binadamu mwenyewe.

i ikDunia  =  siku 5Adam sik 1Adam  =  siku 1

Page 512: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu aliumba Dunia kwaMungu aliumba Dunia kwa muda mrefu zaidi kabla haya yamuda mrefu zaidi kabla haya ya kumuumba Mwanadamu, ili Adam akifika, akute kila kitu 

anachohitaji kwa ajili ya maishaanachohitaji kwa ajili ya maisha mazuri na ibada nzuri.ma uri na ibada n uri.

Page 513: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwambaHii inaonyesha wazi kwamba, Mungu alijali sana na anajaliMungu alijali sana na anajali sana mazingira mazuri ya binadamu, katika kulitimiza 

kusudi lake yaani kupata sifa nakusudi lake, yaani kupata sifa na ibada kutoka kwa viumbe wake!ibada kutoka kwa viumbe wake!

Page 514: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ukweli ni kwamba;Ibada nzuri hutoka katika  moyo safi na uliotulia. 

(Mi h li 4 23)(Mithali 4:23) 

Page 515: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mithali 4:23Linda sana moyo wako; kwani 

h k dik i t khuko ndiko zinapotoka         chemichemi za uzima.chemichemi za uzima.

Page 516: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ukweli ni kwamba;Ukweli ni kwamba;Ibada nzuri hutegemea sana na ghali ya moyo wa mtu; na hali ya 

h hmoyo wa mtu huchangiwa sana na maisha anayoishi; na maishana maisha anayoishi; na maisha mazuri ya mtu huchangiwa sana y g

na mazingira mazuri. 

Page 517: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu

Ib d N hiIbada                       Nchi nzuri mazurinzuri                       mazuri

Moyomazuri

Page 518: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

Page 519: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Ndio maana, ili kupata sifa na ibada nzuri kutoka kwa viumbe wake Mungu alijali sana nawake, Mungu alijali sana na 

anajali sana mazingira ya maishaanajali sana mazingira ya maisha yao, katika kulitimiza kusudi lake 

duniani, yaani ibada!( )(Kumbukumbu 8:1‐18) 

Page 520: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwa Mfano;Ukombozi wa Taifa la Israeli 

k t k Mi ikutoka Misri. (Kutoka 6:1 18)(Kutoka 6:1‐18) 

Page 521: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kusudi kubwa la Mungu la kuwakomboa Waisraeli kutoka katika nchi ya Utumwa ni ilikatika nchi ya Utumwa, ni ili 

wamtumikie Munguwamtumikie Mungu(wamwabudu) kwa uhuru na 

katika hali nzuri zaidi.( )(Kutoka 6:1‐18)

Page 522: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 6:1‐1815 Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ungoje ukingoni mwa Nile iliUngoje ukingoni mwa Nile ili kuonana naye, nawe uchukue y ,mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka.

Page 523: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 6:1‐1816 Kisha umwambie, ‘BWANA 

Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie:amenituma nikuambie: 

Uwaachie watu wangu waende, g ,ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza.

Page 524: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 6:1‐1817 Hili ndilo BWANA asemalo: 

Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi BWANA: Fimbo iliyo mkononiBWANA: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya g p g y j yNile nayo yatabadilika kuwa 

damu.

Page 525: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 6:1‐1818 Samaki waliopo katika Mto Nile watakufa, nao mto utanuka vibaya Wamisri hawatawezavibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’ ’’ y y j y

Page 526: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 6:1‐18

6 N I li t j k b6 Na Israeli watajua kwamba, ‘Mimi ndimi BWANA, nitawatoaMimi ndimi BWANA, nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke katika kuwa watumwa wao namikuwa watumwa wao, nami 

nitawakomboa kwa mkono wa matendo makuu ya hukumu.

Page 527: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 6:1‐18

7 Ni7 Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe nami nitakuwamwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi BWANA, 

M ili hi iMungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisriya kongwa la Wamisri.

Page 528: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 6:1‐18

8 N i i l k hi8 Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwaniliyoapa kwa mkono ulioinuliwa 

kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki 

Mi i di i BWANA ’ ’’yenu. Mimi ndimi BWANA.’ ’’ 

Page 529: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKumbukumbu 8:1‐18

Tazama nimekuleta katika nchiTazama nimekuleta katika nchinzuri yenye kila aina ya utajiriy y y jndani yake; nchi yenye milima

iliyojaa shaba na mabonde mzauriyenye rutuba nzuri nchi iliyojaayenye rutuba nzuri, nchi iliyojaamisitu mizuri na miti ya mizeituniy

yenye mafuta. 

Page 530: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKumbukumbu 8:1‐18

Kwa mkono wangu nikakurithishaKwa mkono wangu nikakurithishamizeituni ambayo haukuipanday pwewe na nikakurithisha nyumbaambazo haukuzijenga wewe; iliuishi kwa furaha katika nchi nzuriuishi kwa furaha katika nchi nzurialiyokupa Bwana Mungu wako.  y p g

Page 531: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumbukumbu 8:1‐18Wanyama wako, wataongezeka, mashamba yako yataongezeka, fedha yako itaongezeka nafedha yako itaongezeka na

dhahabu yako itaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

Page 532: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKumbukumbu 8:1‐18

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

Page 533: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUKumbukumbu 8:1‐18

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano (makubaiano)kuliimarisha agano (makubaiano)  ambayo Mungu aliahidiana nay g

Baba zenu.

Page 534: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo, ili kupata sifa na ibadanzuri kutoka kwa viumbe wake, Mungu alijali sana na anajaliMungu alijali sana na anajali sana mazingira ya maisha yao,sana mazingira ya maisha yao, katika kulitimiza kusudi lake 

duniani, yaani ibada!( )(Kumbukumbu 8:1‐18) 

Page 535: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;ibada nzuri inategemea sana na hali ya moyo wa mtu ukoje; na moyo wa mtu unategemea sanamoyo wa mtu unategemea sana aina ya maisha ya mtu yalivyo; na y y y y ;maisha yanategemea mazingiraanayoishi mtu huyo yalivyo.

Page 536: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu

Ib d N hiIbada                       Nchi nzuri mazurinzuri                       mazuri

Moyomazuri

Page 537: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

Page 538: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 539: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

Page 540: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 4Uthibitisho  4wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 541: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

4.  Dunia iliumbwa kwa sura ya duara na sio tamabarale, ili d i i i kili dunia iwe inazunguka   kuwezesha ibada iwekuwezesha ibada iwe 

masaa 24;masaa 24; 

Page 542: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwasababu Dunia inapozungukaKwasababu Dunia inapozunguka inawezesha ibada kufanyika kwa ymasaa 24 bila kukatika; kwani 

k i i k dwakati wengine wanakwenda kulala wengine watakuwakulala, wengine watakuwa 

wanaamka kuendelea na ibada.

Page 543: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 5Uthibitisho  5wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 544: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

5 Mungu alijitengea jamii5. Mungu alijitengea jamii maalum ya watu (Makuhani namaalum ya watu (Makuhani na Walawi), kwa ajili ya ibada.

Page 545: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMungu

Kuhani Ibada Nchi 

AdAdam                           

Page 546: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo wakati makabilaKwahiyo, wakati makabila mengine wanakwenda katikamengine wanakwenda katika 

shughuli zao la kila siku, Makuhani na Walawi

walitakiwa kufanya ibada kwawalitakiwa kufanya ibada, kwa masaa 24, bila kukatiza.masaa 4, bila kukati a.

Page 547: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

K b k b 18 1 5Kumbukumbu 18:1‐5W l i 6 8 13Walawi 6:8‐13

Page 548: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐51 (Mtakapoingia katika Nchi ya Ahadi gawa ardhi kwa makabilaAhadi, gawa ardhi kwa makabila yote 11); Lakini Kabila lote la Lawi (Walawi) na Makuhani hawata‐

kuwa na mgao wala urithi pamojakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli. 

Page 549: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐52 Makuhani na kabila lote la Lawi hawatakuwa na urithiLawi, hawatakuwa na urithimiongoni mwa ndugu zao,miongoni mwa ndugu zao, 

BWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

Page 550: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐55 kwa kuwa BWANA Mungu

wenu amewachagua pamoja nawenu amewachagua pamoja nawazao wao kutoka makabilawazao wao kutoka makabilayenu kusimama na kuhudumukatika jina la BWANA siku zote. 

Page 551: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐138 BWANA akamwambia Musa: ‘‘Mpe Aroni na wanawe agizo‘‘Mpe Aroni na wanawe agizohili: (Kama sehemu yenu yahili: (Kama sehemu yenu ya kutunza Mkataba/Agano) 

Page 552: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1312 Moto ulio juu ya madhabahu (ibada) lazima uwe unaendelea(ibada) lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu,kuwaka juu ya madhabahu, 

siku zote, na kamwe usizimike.(Masaa 24 bila kukatika) 

Page 553: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1312 … Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni na kupangaataongeza kuni na kupanga 

sadaka ya kuteketezwa juu yasadaka ya kuteketezwa juu ya moto na kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake. 

Page 554: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1313 Moto (wa ibada) lazima uendelee kuwaka juu yauendelee kuwaka juu ya 

madhabahu mfululizo (Kwamadhabahu mfululizo (Kwa Masaa 24 bila kukatika), na 

kamwe usizimike!

Page 555: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo wakati makabilaKwahiyo, wakati makabila mengine wanakwenda katikamengine wanakwenda katika 

shughuli zao la kila siku, Makuhani na Walawi

walitakiwa kufanya ibada kwawalitakiwa kufanya ibada, kwa masaa 24, bila kukatiza.masaa 4, bila kukati a.

Page 556: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMungu

Kuhani Ibada Nchi 

AdAdam                           

Page 557: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

5 Mungu alijitengea jamii5. Mungu alijitengea jamii maalum ya watu (Makuhani namaalum ya watu (Makuhani na Walawi), kwa ajili ya ibada.

Page 558: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 6Uthibitisho  6wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 559: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

6 Mungu alilitengenezea Kanisa6. Mungu alilitengenezea Kanisa (wahudumu wa nyumba ya(wahudumu wa nyumba ya 

Bwana) Utaratibu maalumu wa kutunzwa na kuitunza kazi inayofanywa na kanisainayofanywa na kanisa(nyumba ya Mungu)(nyumba ya Mungu).

Page 560: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Nafasi ya ySadaka katika IbadaSadaka katika Ibada

Page 561: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Zaburi 22:3Kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

Hivyo, IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wakwanza kabisa katika moyo wa

Mungu, kwasababug ,

Page 562: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 563: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

Page 564: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNdio maana Mungu anataka watoto wake, wawe na maisha 

mazuri ili wanapopelekamazuri, ili wanapopeleka ibada kwa Mungu, ibada hiyoibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi(au fresh), bila kelele za 

i ( b f )moyoni (masumbufu).

Page 565: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Sadaka iliingizwa kuwa sehemuSadaka iliingizwa kuwa sehemu ya ibada, ili kuitunza nyumba yaya ibada, ili kuitunza nyumba ya Bwana na watenda kazi wake, kwa makusudi kwamba, ibada ifike kwa Mungu kutoka katikaifike kwa Mungu, kutoka katika 

mioyo safi na iliyotulia.mioyo safi na iliyotulia.

Page 566: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

MZUNGUKO WA BARAKA

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 567: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐51 Makuhani na kabila lote la Lawi 

hawatakuwa na mgao walahawatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli.urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka 

zitolewazo kwa ajili ya BWANA; na huo ndio urithi waona huo ndio urithi wao.

Page 568: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐52 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zaomiongoni mwa ndugu zao, 

BWANA ndiye urithi wao, kamaBWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

Page 569: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐53 Hili ndilo fungu la makuhanikutoka kwa watu watakaotoakutoka kwa watu watakaotoa

dhabihu ya ng’ombe au kondoo:dhabihu ya ng ombe au kondoo: mguu wa mbele, mashavu

mawili na matumbo. 

Page 570: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐54 Mtawapa malimbuko ya

nafaka zenu divai mpya mafutanafaka zenu, divai mpya, mafutana sufu ya kwanza kutokana sufu ya kwanza kutokamanyoya ya kondoo zenu;

Page 571: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐55 kwa kuwa BWANA Mungu

wenu amewachagua pamoja nawenu amewachagua pamoja nawazao wao kutoka makabilawazao wao kutoka makabilayenu kusimama na kuhudumukatika jina la BWANA siku zote. 

Page 572: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

Page 573: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka makuhaniwake, wawe na maisha mazuri ili wanapopelekamazuri, ili wanapopeleka 

ibada kwa Mungu, ibada hiyoibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi(au fresh), bila kelele za 

i ( b f )moyoni (masumbufu).

Page 574: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi j y

yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

Page 575: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 576: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

Page 577: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

DHANA YA SADAKAIsaya 1:19

Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi Lakini ukikataamema ya nchi. Lakini ukikataa, utaangamia (kama wengine g ( g

wanavyoangamia). 

Page 578: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

DHANA YA SADAKAIsaya 1:19

Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi Lakini ukikataamema ya nchi. Lakini ukikataa, utaangamia (kama wengine g ( g

wanavyoangamia). 

Page 579: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 580: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenug(kuhusu kuitunza ibada yangu).

Page 581: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Page 582: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐12

Utoaji wa Zakana dhabihu.

Page 583: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Mheshimu Mungu kwa mali zako g

na kwa malimbuko ya mazao yako; ndipo ghala zako (akaunti yako) itakapojazwa sana nayako) itakapojazwa sana na viriba vyako (friji yako) y ( j y )

havitapungukiwa divai mpya( d )’(juisi, matunda, sausage, mayai)’

Page 584: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kama kila raia wa mbinguni g(mkristo) angekuwa na 

Nidhamu na Heshima hii kwa Mungu kupitia mali zake naMungu kupitia mali zake na kipato chake, hakika ‘nyumba p , yya Bwana’ (kanisa) lisingekuwa na uhitaji wa aina yoyote leo. 

Page 585: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

Page 586: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 587: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Uthibitisho ‐ 7Uthibitisho  7wa Umuhimu wa Ibadawa Umuhimu wa Ibada 

kwa Mungukwa Mungu.

Page 588: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU7. Mungu ameandaa mbingu 

himpya na nchi mpya yenye mazingira mazuri sana kwa ajilimazingira mazuri sana, kwa ajili ya kazi moja tu, kumsifu na 

kumwabudu Mungu           il l il l !milele na milele!

(Ufunuo 21:1 4)(Ufunuo 21:1‐4)

Page 589: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUfunuo 21:1‐4

1. Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya maana mbingu zanchi mpya, maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanzakwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala 

hapakuwepo na bahari tena.

Page 590: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUfunuo 21:1‐4

2. Nikaona Mji Mtakatifu, Yerusalemu mpya ukishukaYerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu,kutoka mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama bibi arusi aliyepambwa kwa ajili ya 

mumewemumewe.

Page 591: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUfunuo 21:1‐4

3. Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzikutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, ‘‘Tazama, makao yaikisema,  Tazama, makao ya 

Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atakaa 

pamoja naopamoja nao.

Page 592: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUfunuo 21:1‐4

3… Yeye atakuwa Mungu wao nao watakuwa watu wake nayenao watakuwa watu wake, naye 

Mungu mwenyewe g y

Page 593: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUUfunuo 21:1‐4

4 Atafuta kila chozi, kutoka katika macho yao Mauti haitakuwepomacho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala maombolezo, walatena, wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa maana mambo ya kwanza 

yamekwisha kupita ’’yamekwisha kupita.’’ 

Page 594: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu ameandaa mbingu mpya 

hi i ina nchi mpya, yenye mazingira mazuri sana nchi isiyo na njaamazuri sana, nchi isiyo na njaa wala magonjwa, nchi isiyo na bili wala bajeti za maisha, nchi i i hid l iisiyo na shida wala matatizo 

yoyote;yoyote; 

Page 595: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu ameandaa mbingu mpya 

hi i ina nchi mpya, yenye mazingira mazuri sana kwa ajili ya kazimazuri sana, kwa ajili ya kazi 

moja tu, kumsifu na kumwabudu Mungu           

il l il l !milele na milele!(Ufunuo 21:1 4)(Ufunuo 21:1‐4)

Page 596: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

KUMSIFU NA KUMWABUDU MUNGU

hYohana 4:23‐24N i i fikNa saa ipo na sasa saa imefika, ambapo waabuduo halisi,ambapo waabuduo halisi,watamwabudu Baba katika roho na kweli;  Kwa maana 

Baba anawatafuta watu kamaBaba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;hao, ili wamwabudu;

Page 597: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGUZABURI 148:1‐13

7 Vi b t ili if ji l7 Viumbe vyote na vilisifu jina la Bwana (vitangaze fadhili zaBwana (vitangaze fadhili zaBwana) kwa maana Bwana 

aliamuru navyo vikaumbwa; naalitoa amri (hiyo) ambayoalitoa amri (hiyo) ambayohaitapita wala haitabadilikahaitapita wala haitabadilika

milele.

Page 598: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGUZABURI 150:1‐6

6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa zeze, kwa filimbi kwa zomari kwakwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwamatari, kwa vinubi na kwa matoazi yavumayo sana.

Page 599: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

1Wakorintho 6:19‐201Wakorintho 6:19 20‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba( yya Ibada) ya Roho Mtakatifu; kwa

l k f k kajili ya kumsifu na kumtukuzaMungu aliyekuumbaMungu aliyekuumba.

Page 600: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho 

Mtakatifu akaaye ndani yenuMtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu?ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe; 

Page 601: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU1Wakorintho 6:19‐20

20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo 

mtukuzeni Mungu katika miilimtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenuyenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu. 

Page 602: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3

Kwahiyo IDABA ndio kitu chaKwahiyo, IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wa 

Mungu; kwasababu, MUNGU ANAISHI KATIKA 

SIFA NA IBADA.

Page 603: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la kwanzakabisa kwanini Mungu aliumba d i bi d i k bdunia na binadamu, ni kwamba, 

Mungu alikuwa anatafutaMungu alikuwa anatafuta kujipatia ibada nzuri zaidi kuliko ile ya malaika wa mbinguni.

Zaburi 148 + 150

Page 604: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Page 605: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Mafundisho MengineMafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za g ,Mafundisho vya Mwalimu Mgisa 

M b ik k ik d k lMtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo laVitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral 

Luther House, Sokoine DriveDar es Salaam.

Page 606: Maisha ya ibada   kusifu na kuabudu

Kwa mawasiliano zaidi,Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam TanzaniaDar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

[email protected]