9

TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

  • Upload
    others

  • View
    18

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi
Page 2: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi
Page 3: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

TAHARIRI

YALIYOMO

Gazeti hili la Habari Ilala, ni gazeti la kila Mwezi linalotolewa na

Manispaa ya Ilala, Ambapo ndani yake utaweza kusoma Habari mbalimbali na

matukio yaliyojiri Ndani ya Manispaa ya Ilala kwa kipindi cha mwezi mmoja

ikiwa ni pamoja na Utekelezaji wa Miradi ya kimaendeleo

Ulipaji wa kodi ni chachu ya maendeleo ………………Uk 4

Ilala yatoa shilingi 1.7 billion kwa wanawake, vijana na watu

Wenye ulemavu ……………………………………… Uk 6

Koica yaendeelea kuwezesha hospitali ya mama na mtoto

Chanika ……………………………………………… Uk 8

Page 4: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

Toleo la mwezi aprili 2019 Sema Ilala

Afisa Uhusiano Manispaa ya Ilala Bibi Tabu Shaibu (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hivi

karibuni wakati wa kutoa elimu kuhusiana na tozo ya kodi ya huduma( Service Levy) pamoja

na kuhamasisha wafanyabiashara wakalipe kwa wakati kabla ya operesheni ya kuwabaini

wasiolipa tozo hiyo, katikati ni Afisa mapato Manispaa ya ilala James Bangu kulia, ni Afisa Biashara Manispaa

ya Ilala Bw.Nickas Msemwa )Picha na Heri Shaabani

HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA YATOA ELIMU KWA MLIPA KODI

NA KUHAMASISHA ULIPAJI WA KODI YA HUDUMA (SERVICE LEVY).

Akizungumza na waandishi wa Habari, Afisa Uhusiano wa Halmashauri Bibi Tabu Shaibu

alieleza kuwa kodi ya Huduma inatozwa kwa mujibu wa sheria ya Serikali,

ambayo inaruhusu Halmashauri Kutoza kodi ya huduma kutoka kwa kila Taasisi ya

Kibiashara katika kila mwaka wa Fedha ambayo ni sawa na Asilimia (0.3%) ya hesabu ya

shughuli zote zikiwemo za uzalishaji wa Biashara na Huduma kutoka nje ya nchi

zinazofanyika katika eneo la Halmashauri ukiondoa kodi ya Ongezeko la Thamani na kodi

ya Mlaji

4

Page 5: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

Toleo la mwezi aprili 2019 Sema Ilala

Aidha Mhasibu wa Mapato Bwana James Bangu katika Mkutano huo alieleza kuwa

kodi ya Huduma hulipwa kila baada ya miezi mitatu(3), aliendelea kueleza kuwa kodi

hii ni muhimu kwa ajili ya kugharamia huduma zinazotolewa na Halmashauri ikiwa ni

pamoja na mazingira salama ya uendeshaji wa shughuli za kiuchumi ndani ya Manispaa

ya Ilala. ya biashara kama, Uwashaji wa Taa za Barabarani, Ujenzi wa Barabara

Mhasibu wa Mapato Bwana James Bangu

5

Page 6: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

ILALA YATOA SHILINGI 1.7 BILIONI KWA WANAWAKE,

VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Na Neema Njau

Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu waaswa kutumia kwa uadilifu fursa ya mikopo

waliyopewa ili iweze kuwanufaisha na kuwawezesha kukua kiuchumi na baadaye kurejesha mikopo hiyo

ili wananchi wengine waweze kunufaika

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Sophia Mjema wakati wa hafla fupi yakukabidhi

mikopo kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu yenye thamani ya shilingi 1.7

Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja

sehemu ya Mashujaa

Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi ya Serikali ya Awamu yaTano ya Halmashauri

kutenga Asilimia kumi ya Mapato yanayotokana na makusanyo ya vyanzo vya ndani kwa

kuwawezesha Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu.

Toleo la mwezi aprili 2019 Sema Ilala

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akiwapungia mkono wananchi wa Wilaya ya Ilala

baada ya kukabidhi bodaboda na Bajaji, kulia ni Mwenyekiti wa ccm wilaya ya Ilala Ubaya Chuma

6

Page 7: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

Akiwasilisha taarifa ya Utoaji wa Mikopo hiyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala

Ndg Jumanne K. Shauri .ameeleza kuwa Manispaa ya Ilala leo inatoa mikopo kwa awamu ya pili yenye

Jumla ya shilingi 1.7 bilioni kwa vikundi 295, ikiwa kati ya hivyo vikundi vya wanawake ni 243,

vijana 43 na watu wenyeu lemavu9

Ndugu Shauri ameeleza kuwa Kati ya vikundi hivyo, vipo vikundi ambavyo vimekopeshwa fedha

Na tayari vimenunua bajaj 30 na pikipiki 26 zenye thamani ya shilingi 353 Milioni kwa ajili yautoaji

Wa huduma yau safari ambapo katika hafla hiyo zimekebidhiwa bajaj 22 na pikipiki 10.

Aidha katika awamu ya kwanza Manispaaya Ilala ilitoa jumla ya shilingi 153 Milioni, kwa vikundi 44

Vya wajasiriamali ambapo kati ya hivyo 32 ni vikundi vya wanawake, vikundi 7 vya Vijana naVikundi

5 vya watu wenye ulemavu.

Toleo la mwezi aprili 2019 Sema Ilala

Ndugu Jumanne k. Shauri Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala katikati akiwasilisha Taarifa ya utoaji wa mikopo

7

Page 8: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi

Mkurugenzi mkazi wa KOICA nchini Tanzania, Bw. Kyucheol Eo, akikabidhi gari aina

ya RAV 4 kwa ajili ya Hospital ya mama na mtoto iliyopo

Chanika. Vifaa hivyo na gari vimepokelewa na Afisa uhusiano Manispaa ya Ilala,

Bi Tabu shaibu aliyemuwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala.

Sema Ilala Toleo la mwezi aprili 2019

KOICA YAENDELEA KUWEZESHA HOSPITALI YA MAMA NA MTOTO CHANIKA

“Kaimu Mganga mfawidhi wa hospitali ya mama na mtoto iliyopo Chanika,Dkt. Kansansia Shoo

akimuonyesha Mkurugenzi mkazi wa koica nchini Tanzania,bw. Kyucheol EO, vifaa vilivyopo

Hospitalini hapo.

8

Page 9: TAHARIRI - ilalamc.go.tz · Bilioni iliyoandaliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala katika viwanja vya Mnazi Mmoja sehemu ya Mashujaa Mikopo hiyo ni azma ya utekelezaji wa ahadi