50
Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za Kiraia iii Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania SEPTEMBA 2015 Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za Kiraia iii

Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika

Serikali ya Tanzania

SEPTEMBA 2015

Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Page 2: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

Cover photo credit: Hendri Lombard

Suggested citation: Bujari, P., and E. McGinn. 2013 Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia. Washington, DC: Futures Group, Health Policy Initiative, Task Order 5.

Page 3: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

Orodha SHUKRANI .......................................................................................................................... 2

1. UTANGULIZI ...................................................................................................................... 3 1.1 Jinsi ya kutumia Kijarida ............................................................................................. 3 1.2 Mantiki ya Kijarida ...................................................................................................... 4

2. MBINU NA MIKAKATI ILIYOFANIKIWA KATIKA UTETEZI WA BAJETI TANZANIA ................................................................. 7 2.1 Utambulisho wa Utetezi katika mambo ya Afya .................................................. 7 2.2 Mbinu na mikakati iliyofanikiwa katika Utetezi wa maswala ya Afya Serikalini ......................................................................................... 7 2.2.1 Mipango ya Ushawishi ...................................................................................... 8 2.2.2 Kufanya kazi na wenyeji ................................................................................. 14 2.2.3 Kufanya kazi na washawishi .......................................................................... 14 2.2.4 Kufanya kazi na wanachama na washindi ................................................... 14 2.2.5 Kufanya kazi na vyombo vya habari ............................................................ 15 2.2.6 Ufuatiliaji wa ahadi .......................................................................................... 16

3. UANDAAJI BAJETI NCHINI TANZANIA .................................................................. 17 3.1. Pesa zinatoka wapi? .................................................................................................. 17 3.2. Bajeti inapangwaje? ................................................................................................... 19 3.3. Jinsi gani bajeti inaandaliwa? .................................................................................... 20 3.4. Sehemu zinazopitia kwenye Utetezi wa Bajeti ya Sekta ya Afya .....................22 3.4.1. Ngazi ya Taifa ................................................................................................... 22 3.4.2. Ngazi ya Wilaya ............................................................................................... 24

4. UCHUNGUZI KIFANI ULIOFANIKIWA KWENYE UTETEZI WA BAJETI ......31 4.1. Ushawishi wa ngazi ya Wilaya kwenye bajeti ya serikali kuhusu Uzazi wa Mpango .......................................................................... 31 4.2 Uboreshaji wa Upatikanaji wa Madawa: Kwa kutumia njia jamii za ufuatiliaji katika kuwajibika ......................................34 4.3. Uchunguzi kifani kwa ajili ya Kushawishi Mfumo wa Bajeti kwa Maendeleo .............................................................................................. 37

VIFUPISHO ......................................................................................................................... 40

MASHIRIKA YANAYOFANYA KAZI KWENYE UTETEZI WA BAJETI NCHINI TANZANIA ................................................................................ 42

KUMBUKUMBU NA RASILIMALI ................................................................................ 44

ORODHA YA MAJEDWALI NA TAKWIMU .............................................................. 46

Page 4: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

2 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Shukrani

The USAID | Mpango wa Sera ya Afya, Task Order 5 unapenda kuwashukuru watu na mashirika yafuatayo kwa mchango wao wa thamani:

Shukrani kwa Dkt. Peter Bujari, Health Promotion Tanzania na Erin K. McGinn, Futures Group, kwa ubunifu wao na utunzi wa kijarida; Bwana Simon Malanilo, Mch. James Mlali, na Jaliath Rangi kwa ajili ya michango na utafiti wao; na Molly na Jim Cameron, Lori Merritt, na Mary Brunnemer Brabble kwa umakini katika masahihisho na usanifu .

Tungependa kutambua vyema mchango mkubwa wa timu iliyopitia, ambayo imehusisha wafuatao: Jasminka Milovanovic (Save the Children Tanzania Office); Edward Kinabo (Advance Family Planning/Johns Hopkins University); Dkt. Conrad Mbuya (WAJIBIKA), Manka Kway (Deutsche Stiftung Weltbevoelkerung [DSW]), Petronella Mwasandule (TUNAJALI II), na Cristin Marona (Futures Group). Mradi pia ungependa kuwashukuru watu wafuatao kwa muda wao na michango ya thamani wakati wa utafiti wa kijarida hiki: Dkt. Msengi Mwendo, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe; Mustafa Sabuni, Afisa Mipango wa Wilaya ya Kisarawe; Mganga mfawidhi; Gunini Kamba, Afisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni; Dkt. Ezra Ngereza, Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna Nswila, Msimamizi wa mambo ya Bajeti Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (MoHSW); Jumanne Mwasamila, Mratibu wa Mfuko wa Afya TAMISEMI (Ofisi ya Waziri Mkuu–Tawala za mikoa na serikali za Mitaa).

Watunzi wanapenda kutoa kijarida hiki kwa heshima ya kumbukumbu ya Tim Manchester, USAID, aliyeidhinisha kazi hii, lakini hakujaliwa kuona ukamilisho wake. Alikuwa mtu ambaye hakuchoka kuhamasisha wafadhili, viongozi wa serikali, na jamii kwa ujumla kuboresha upatikanaji wa huduma bora za uzazi wa mpango Tanzania.

USAID | Mpango wa Sera ya Afya unatekelezwa na Futures Group. Unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Marekani na Tanzania kupitia ofisi ya Mpango wa Afya na Takwimu na Mfuko wa Dharura wa Raisi wa Marekani wa Kudhibiti UKIMWI (PEPFAR).

Maoni yaliyotolewa kwenye chapisho hili hayaakisi maoni ya Shirika la Maendeleo la Marekani au Serikali ya Marekani.

Page 5: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 3Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

1 Utangulizi

1.1 Jinsi ya Kutumia KijaridaMadhumuni ya kijarida hiki ni kuwapatia taarifa Asasi za Kiraia (CSOs) ya jinsi gani bajeti ya afya inapatikana nchini Tanzania, na kupendekeza njia kwa wawakilishi kushawishi mabadiliko. Ni njia ya kutambulisha na mwongozo rahisi kwa ajili ya utetezi wa bajeti ya afya. Machapisho mengi mazuri na ya upana mkubwa yametumika kwenye kuandaa mwongozo huu, na yanaweze kupatikana kwenye sehemu ya kumbukumbu na rasilimali kwenye sehemu ya nyuma ya chapisho hili.

Sehemu ya kwanza inaelezea mambo ya afya kama ni haki nchini Tanzania na jinsi ya mgawanyo wa serikali ulivyo kwwenye mambo ya afya kwasasa. Inatoa mwongozo kwa ufupi wa majukumu ya Asasi za Kiraia (CSOs) kwenye kuandaa bajeti ya serikali na umuhimu kwenye kuhusisha kushawishi bajeti ya afya.

Sehemu ya pili inaangalia dhana ya msingi na njia muhimu kwenye mambo ya utetezi, na inataja mbinu chache na mikakati ambayo imependekezwa kwa ajili ya Asasi za Kiraia (CSOs) Tanzania.

Sehemu ya tatu inatoa taarifa juu ya mfumo wa afya nchini Tanzania na mipango muhimu unayotakiwa kujua iwapo unatakiwa kushawishi mabadiliko, haswa inayohusu jinsi ya kupanga bajeti au uangalizi. Na pia inatoa taarifa ya jinsi gani bajeti ya afya ya serikali inavyopangwa na kushughulikiwa, na viashiria na muda katika ngazi ya Taifa na Serikali za Mitaa kwa ajili ya ushawishi uliofanikiwa wa bajeti ya afya.

Sehemu ya nne inahusu masomo husika ya kujifunzia kutoka kwenye Asasi 3 za Kiraia juu ya utetezi wa bajeti za serikali; mbili toka ngazi ya taifa na moja toka ngazi ya wilaya. Masomo hayo ya kujifunzia yanatoa taarifa juu ya jinsi gani ajenda za utetezi ziliandaliwa, mikakati/njia gani zilitumika, na matokeo yake. Taarifa zaidi juu ya masomo zinaweza kupatikana kwa kutumia anuani zilizotolewa.

Msomaji anaweza kupata orodha ya vifupisho, marejeo na njia, na taarifa juu ya mashirika yanayofanya kazi kwenye mambo ya utetezi wa bajeti ya afya nchini Tanzania nyuma ya kijarida hiki.

Wakili ni nani?

Wakili ni mtu ambaye anaongea (au kuandika) kwa umma/kwa uwazi jinsi gani vitu vipo na jinsi gani vinatakiwa kuwa. Wakili wanahamasisha mabadiliko, na mara nyingi, wanapigania hali nzuri ya wasiojiweza. Unaweza tetea kundi (kwa niaba yao), au pamoja na kikundi (kuboresha uwezo wao, au kama mwanachama wa kikundi). Wakili anaweza kuwa mtu yeyote–kijana au mzee, tajiri au masikini, aliyeelimika au asiyeelimika.

Page 6: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

4 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

1.2 Umuhimu wa KijaridaKila mwanadamu ana haki ya kupata afya,1 na serikali ina wajibu wa kuhakikisha upatikanaji wa vile vitu vinavyosaidia upatikanaji wa afya zetu, kama vile maji safi, afya ya msingi, madawa muhimu, na huduma za afya. Nchini Tanzania, ahadi ya kulinda na kuboresha afya za watanzania imeanishwa kwenye Mpango wa Sera ya Afya ya 1990 (iliyopitiwa 2003), pia kwenye Mikakati ya kupunguza Umaskini (unaojulikana kama MKUKUTA) na haswa kwenye Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya (I-III). Tanzania pia imejizatiti kwenye mpango wa kimataifa na makubaliano juu ya afya, kama vile Alma Ata Declaration (1978), Afya kwa wote kwa Karne ya 21 (1998), Azimio la Abuja (2001),2 the Azimio la Kampala juu ya Gharama za Afya za Haki na Endelevu (2005),3 na hivi karibuni, kwenye Azimio la Kisiasa la Rio juu ya the Rio Political Declaration on Social Determinants of Health (2012).4

Serikali pia inaonyesha kujizatiti kwake katika afya kikubwa kwa kupanga fedha za umma kwenye shughuli zinazohusu afya. Ingawa mipango ya kufadhili afya ya jamii iliongezeka mara mbili kati ya mwaka 2006 na 2012, ni asilimia 10% tu ya bajeti ya serikali ilipangwa kwa ajili ya afya, asilimia 15 chini ya ilivyopangwa kwenye Azimio la Abuja. Hii inatafsiri kwamba dola 14.905 za Marekani kwa mtu mmoja (kwa mwaka 2012), kumaanisha ni chini ya ilivyopangwa na Shirika la Afya la Dunia ya dola 54 za Marekani6 na bado ni chini ya lengo la Tanzania la dola 15.75 za Marekani kama inayoonyeshwa kwenye Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya wa III wa mwaka.

Mipango finyu ya ufadhili wa afya ina madhara mengi, ikiwa afya ni kitu cha msingi katika maendeleo endelevu. Nchini Tanzania, kwa kila watoto 220 wanaozaliwa, mama mmoja hufa na wengine wengi hupata madhara yatokanayo na matatizo ya uzazi. Mtoto mmoja kati ya watoto 12 hufa kabla hawajafikisha mwaka mmoja.7 Inakadiriwa kuwa mmoja kati ya wanawake 4 walio katika umri wa kuzaa wana uhitaji wa mambo ya uzazi wa mpango, na kukosekana kwa mara kwa mara kwa huduma ya uzazi wa mpango

kunapelekea kwenye athari katika uchaguzi na upatikanaji wake. Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye mapitio ya UKIMWI na kuongeza vituo vya ushauri nasaha na upimaji. Ingawa, theluthi moja ya wanawake na nusu ya wanaume hawajawahi kupimwa UKIMWI. Kwa ujumla, asilimia 5.1 ya watanzania wenye umri wa miaka 15–49 wana maambukizi ya UKIMWI, wenye wastani wa maambukizi ya UKIMWI mara mbili zaidi ya wanawake asilimia (6.2%) zaidi ya wanaume asilimia (3.8%).8 Upatikanaji wa vyandarua vyenye viwatilifu imeongezeka chini ya kampeni ya upatikanaji wa vyandarua kwa wote nchini Tanzania, lakini kwa makadilio theluthi moja ya watanzania hawatumii (hawalali kwenye) vyandarua vilivyotiwa dawa, na vipimo vya haraka, vinaonyesha kuwa kati ya watoto 100 walio chini ya miaka mitano wanaopimwa, tisa wana malaria.9 Wastani wa Malaria

Pesa za jamii ni pesa zako!

Pesa za serikali siyo mali ya serikali, ni kwa ajili ya wananchi. Serikali ina wajibu wa kukusanya na kuzigawa pesa za jamii kuwanufaisha watu wote kwa usawa. Kwa sababu pesa ya serikali ni mali yako, una haki ya kufahamu jinsi gani inakusanywa, inagawiwa na inatumiakaje.

Page 7: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 5Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

unaongezeka kutokana na umri, na makadilio ya asilimia 10 kwenye sehemu za vijijini na asilimia 3 kwa sehemu za mijini.

Serikali ya Tanzania inahitaji kuweka rasilimali zaidi kwenye afya na kutumia rasilimali hizo kwa ufanisi. Uteteaji kupitia kwa Asasi za Kiraia na watu binafsi ni muhimu kuhakikisha hili linatokea, na ndo maana ya mwongozo huu. Asasi za Kiraia zina mchango mkubwa kuhakikisha serikali inawajibika katika mipango yake, na kuwafanya wafanyakazi wa serikali wanawajibika kwenye ugawaji wa rasilimali na matumizi yake. Kwa mfano, Mkakati wa Msaada wa Pamoja wa mwaka 2006–201010 unaeleza kwa muhtasari umuhimu mkubwa unaofanywa na Asasi za Kiraia katika kuwafanya serikali na wafadhili wawajibike. Kwa muongo mmoja, Asasi za Kiraia zimekuwa mstari wa mbele katika kuingilia kati kwenye mambo ya uangalizi wa bajeti na kuripoti juu ya matumizi ya umma katika nchi zote duniani – na wanawaweza kufanikiwa. Kwa mfano, utafiti wa mwaka 2012 wa utetezi wa bajeti uliofanywa na Asasi za Kiraia nchini Uganda, Bangladeshi, na Ufilipino ilibainisha kuwa kuhusishwa kwa Asasi za Kiraia katika utetezi wa mipango ya bajeti ina ushawishi chanya katika mipango ya afya ya uzazi.11 Mifano mizuri ya utetezi wa bajeti ya afya nchini Tanzania pia imeelezwa katika mwongozo huu (angalia Sehemu ya 2 na ya 4). Pia, utetezi wa bajeti mara nyingi ni mgumu kwa Asasi za Kiraia, hii ni kutokana na uelewa mdogo katika mzunguko wa bajeti na uwazi mdogo kwa niaba ya serikali katika maandalizi ya bajeti. Mwongozo kwa jamii katika mzunguko wa bajeti wa serikali (na hapo ndipo pa kuingilia kati ili kuleta matokeo makubwa) mara nyingi unakosekana. Madhumuni ya kijarida hiki ni kuelezea kwa ufasaha jinsi gani bajeti ya afya inaandaliwa nchini Tanzania, na kupendekeza njia ambazo watetezi wanaweza kushawishi mabadiliko.

0

20%

40%

60%

80%

100%

FY 2006/07

Umbo namba 1: Mgao wa Bajeti kwenye Sekta ya Afya kati ya Serikali na Wahisani

FY 2010/11 FY 2011/12

Serikali Wahisani

29%

71%

47%

53%

41%

59%

Chanzo: Takwimu kutoka Ripoti ya matumizi ya umma (PER) ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, 2012.

Umbo namba 1: Mgao wa Bajeti kwenye Sekta ya Afya kati ya Serikali na Wahisani

Page 8: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

6 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Asasi za Kiraia nchini Tanzania zina michango mingi tofauti katika uandaaji wa bajeti, ingawa lengo lake la msingi limejikita kwenye kushauri zaidi kupitia uwakilishi wake katika kupitia matumizi ya umma (PER) na njia kama hizo. Malengo yasiyo rasmi ni pamoja na uchambuzi wa bajeti za jamii, kutengeneza tafsiri rahisi na inayotambulika kwa wengi ya bajeti na nyaraka husika, kufanya kazi ya uangalizi, kufuatilia matumizi katika ngazi ya kata, na kutetea maboresho kwa njia ya ombi maalumu na uwajibikaji wa jumla na kwa uwazi. Wajibu usio rasmi wa Asasi za Kiraia unatambulika kuwa na athari nyingi, hasa ukishirikisha na mikakati ya kutumia vyombo vya habari na kuwahusisha wananchi.12

Jedwali la kwanza: Wajibu wa Asasi za Kiraia katika Kuandaa Bajeti

Wajibu rasmi Wajibu usio rasmi

Kushiriki katika Mapitio ya Matumizi ya Umma na shughuli zinazoendana nazo (PER)

Kuchambua bajeti ya jamii

Kutengeneza tafsiri rahisi ya bajeti ili kuongeza uelewa kwa jamii

Kufuatilia matumizi

Endnotes1. Ibara ya 12 ya Mkataba wa Kimataifa juu ya Haki ya Uchumi na Kijamii. 2. Wakuu wa nchi 89 walikubaliana kuweka malengo ya kutenga angalau asilimia 15 ya bajeti yao

ya mwaka kuendeleza sekta ya Afya. Wakati huohuo, walihimiza nchi wahisani kutimiza ahadi tarajiwa ya kutenga asilimia 0.7 ya Jumla ya Pato la Taifa kwa ajili ya Msaada wa Kimaendeleo (ODA) kwa ajili ya nchi zinazoendelea.

3. Inasema kuwa afya ni haki ya msingi kwa mwanadamu, ambayo inahitaji kusaidiwa na mpango endelevu na wa haki wa kifedha. Kufuatia makubaliano namba 58.31 na 58.33 ya Baraza la Afya la Dunia (WHA), inakiri kuwa matumizi ya moja kwa moja yapunguzwe na malipo ya kabla yaongezwe kwa lengo la kupunguza kudhoofisha kaya na kuendeleza kuenea kwa watu wote.

4. Baraza la Afya la Dunia namba 65.8: Nchi wanachama walionyesha makubaliano yao kisiasa ya kuboresha afya ya jamii na kupunguza kutokuwa sawa kwenye maswala ya afya kwa vitendo kwenye mipaka ya kiafya katika jamii.

5. Ripoti ya mwaka 2012 ya Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER).6. Ripoti ya mwaka 2012 ya Mapitio ya Matumizi ya Umma.7. Imerahisishwa kutoka vifo vya mama 454 katika kila mama 100,000 na uwiano katika vifo vya

watoto chini ya miaka mitano katika kila watoto 1,000, kutokana na Uchunguzi wa Taaluma ya Takwimu za Afya Tanzania (TDHS) mwaka 2010.

8. Uchunguzi wa Viashiria vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania (THIS) mwaka 2011–12.9. Uchunguzi wa Viashiria vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania, 2012.10. Mfumo wa ushirikiano wa kimaendeleo kati ya Serikali ya Tanzania na Wadau wa maendeleo

kufikia maendeleo ya taifa na malengo ya kupunguza umaskini. Inapatikana kwenye: http://www.aideffectiveness.org/Country/Tanzania/Joint-Assistance-Strategy-Tanzania-2006.html

11. Dickinson, et al., 2012.12. Baraza la Sera na Hakielimu, mwaka 2008.

Page 9: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 7Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

2 Mbinu Na Mikakati Iliyofanikiwa Katika Utetezi Wa Bajeti Tanzania

2.1 Utambulisho wa Utetezi katika mambo ya AfyaUtetezi ni mfumo unaorithisha wa vitendo ulioundwa kuwashawishi walio kwenye madaraka kuleta mabadiliko katika maswala maalumu yanayogusa jamii. Utetezi ni mfumo wa kushauriana ili kupeleka ujumbe maususi kwa watoa maamuzi ambao hutunga sheria na sera, au hugawa rasilimali ambazo zinaathiri maisha ya watanzania.

Utetezi mara kwa mara huchanganywa na dhana zingine, kama vile shughuli za Mabadiliko ya Tabia Hatarishi (BCC), juhudi za kuchangisha fedha, shughuli za kuleta ufahamu wa jambo, au shughuli za kushawishi jamii13. Kutofautisha kati ya dhana hizo inaweza kusaidia kwa kuhusisha makusudio, malengo, na matokeo ya kila njia. Ingawa shughuli za kuleta ufahamu au kushawishi jamii husika zinaweza kuwa ni hatua/njia ya kampeni ya utetezi, lengo kuu la utetezi kwa ajili ya watoa maamuzi (wanasiasa, viongozi wa serikali), na malengo haswa ni kupata mabadiliko kwenye (au utengenezaji wa) machapisho (sera, mikakati, bajeti). Kampeni za kupata nguvu ya jamii kupitia umma, mikutano ya jamii, na vyombo vya habari mara nyingi ni mikakati ya kufikia hayo malengo, lakini pia kutumia njia ya utetezi wa moja kwa moja ni muhimu(mara nyingi huitwa kushawishi) kwa wanaotoa maamuzi; hii mara nyingi huhitaji kufanya kazi na washirika na watu wa ndani.

2.2 Mbinu na mikakati iliyofanikiwa katika Utetezi wa maswala ya Afya SerikaliniManeno ya msingi katika tafsiri ya utetezi hapo juu ni mfumo na mipango. Mfumo uliopangiliwa kwenye utetezi maana yake ni kuelezea kwa umakini malengo yako na kuchukua hatua stahiki katika kupanga na kutekeleza kampeni zako za utetezi. Mipango maana yake ni kazi endelevu (siyo kazi za mara moja). Kuna rasilimali nzuri za utetezi (angalia rasilimali kwenye sehemu ya 5); ingawa sehemu hii inatoa maelezo mafupi juu ya hatua katika kupanga utetezi na kuonyesha mbinu kadhaa zilizofanikiwa nchini Tanzania.

“Utetezi wa bajeti ya Afya unahusisha kushawishi na kufanya kampeni ili kubadili namna rasilimali za umma zinavyotumika kutoa huduma za afya. Kwa kuchambua jinsi gani huduma za afya zinafadhiliwa na jinsi gani bajeti zinaandaliwa, vikundi vya Asasi za Kiraia vitakuwa na nafasi kubwa ya kushawishi jinsi gani serikali inatoa kipaumbele kwenye matumizi kwa ajili ya afya.”Ushawishi wa Sekta ya Afya, Save the Children, 2012, uk. 2

Page 10: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

8 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Kwenye kufanya ushawishi na utetezi kwa mara ya kwanza, ni muhimu kwa Asasi za Kiraia kuchunguza mahusiano waliyonayo na serikali. Malengo ya serikali na asasi za serikali za mitaa ni tofauti, lakini zote zipo katika kuwahudumia na kujenga maisha mazuri ya baadaaye kwa ajili ya watu na jamii ya Tanzania. Maono hayo yanatakiwa kusukuma vyote Serikali na Asasi za Kiraia, na sekta zote hizo zinatakiwa zielewe kuwa majukumu yao yanahusiana na kwamba hakuna hata moja inayoweza kuchukua majukumu ya mwingine. Wakati mwingine, uhusiano kati ya Serikali na Asasi za Kiraia zinaweza kupingana au ushindani kwasabau ushawishi na utetezi mara nyingine vinaweza kuonekana kama ni kukosoa serikali tu. Ingawa, lengo la Asasi za Kiraia linatakiwa kuwa pande zote, kuisaidia serikali kufanya shughuli zake na pia kuikumbusha pale inapotakiwa kufanya maboresho. Wakati wote, Asasi za Kiraia zinatakiwa kutoa suluhisho kama sehemu yao ya ushawishi na utetezi, kujaribu kubadilisha vitu hasi kwenda chanya, na inapowezekana, kujenga daraja na hoja inayokubalika na wote kati ya Asasi za Kiraia na serikali. Angalia pia nyenzo zitakazosaidia kwenye ngazi ya 6.

2.2.1 Mipango ya Ushawishi

Hatua ya 1: Uchaguzi wa hoja au tatizo la kutatua

Tatizo la linalotakiwa kutetewa linatakiwa liwekwe wazi, lieleweke, lipimwe (kuangalia nani ana athirika na kwa kiasi gani, matokeo yake ni nini kama hayajaoanishwa), na kuangaliwa kama ni kwa ajili ya manufaa ya jamii. Tatizo linalotambulishwa linatakiwa liwe linalohitaji mabadiliko (na wanaotoa maamuzi) yanayohusiana na sera, bajeti, mikakati, au sheria. Lengo la ushawishi linatakiwa liwe bayana (ili kujua unashawishi kwa ajili ya nini, na lini umefanikiwa), na suluhisho lako liwe na matokeo kwenye afya ya jamii na kuboresha haki za binadamu.

Mara wazo la kuingia kwenye kampeni ya ushawishi likikubaliwa, Afisa za kiraia zinatakiwa kutengeneza mkakati wa ushawishi, unaoongozwa na hatua zifuatazo. Ingawa Asasi za kiraia zinatakiwa zitambue kuwa ushawishi siyo mpango ulioonyoka, na pamoja na kuwa hatua hizo zimeorodhoshwa katika mpangilio, mpangilio na

Ushawishi wa Uzazi Salama: Tatizo la Afya ya Jamii

Kuna watoto zaidi ya Millioni 1.6 wanaozaliwa kila siku nchini Tanzania, lakini ni asilimia 50 tu ya hao wanaozaliwa kwenye vituo vya afya licha ya sera ya serikali ya matibabu bure kwa kila mama mjamzito, uzazi na huduma ya watoto. Kujifungulia katika vituo vyenye kiwango na vyenye vifaa vya kutosha hupunguza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa vifo na magonjwa yatokanayo na uzazi. Pamoja na hayo, bajeti ya Serikali ya madawa na vifaa tiba ni nusu ya inayohitajika, na ukosekanaji huu wa vifaa katika mpango wa afya huchangia kuvunja moyo wamama kujifungulia katika vituo vya afya. Hii hutia matatania afya ya wote, mama na mtoto, na itazuia Tanzania katika kufikia malengo ya MKUKUTA ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kutoka 454 hadi 265/100,000 ifikapo mwaka 2015.

Page 11: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 9Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

umuhimu wake utategemea na hali na taratibu. Kwa mfano, mtu anaweza kugundua wakati wa utekelezaji (hatua namba 6), ni muhimu kukusanya takwimu zaidi au kuchambua taratibu za ndani kwa undani zaidi (hatua namba 3) kwa sababu maamuzi mengine hayafanyiki kama yanavyotarajiwa.

Hatua ya pili: Jinsi ya kuandaa malengo na madhumuni

Pamoja na kutambua tatizo la afya, washawishi wanatakiwa pia kufafanua ufumbuzi – mabadiliko ambayo wanategemea watoa maamuzi kuyafanya. Mabadiliko hayo ndiyo lengo la jitahada za ushawishi. Lengo litakapopangwa, ndipo mafanikio ya kati kuelekea dhumuni kuu yanapangwa (madhumuni). Kwa kila dhumuni, kazi husika na mikakati inahitajika kupangwa ili kufikia malengo.

Ushawishi kwa ajili ya vifaa vya uzazi salama Malengo na madhumuni ya utetezi

Lengo: Kuongeza bajeti ya serikali kwa ajili ya afya ya uzazi kwa manunuzi ya vifaa vya uzazi salama.

Madhumuni: (1) kuongeza uelewa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wabunge juu ya mahitaji ya vifaa vya uzazi salama ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi. (2) ahadi itakayosainiwa na wabunge kwamba pesa itatengwa kwa ajili ya vifaa vya uzazi, na (3) kuongeza uelewa wa timu ya MSD juu ya umuhimu wa kuwa na vifaa vya uzazi kila wakati.

Vifaa vya kuzalishia ni kifurushi chenye vifaa muhimu kwa ajili ya mama kujifungulia maeneo ya uzazi na mara nyingi kunakuwa na vifaa kama gozi salama, pamba safi, kamba??? a cord tie, ergometrine (kidonge cha kuzuia kuvuja kwa damu), sindano, glovu, wembe, n.k. Faida ya kuwa na kit ni kuwa na vifaa kila vinapohitajika, badala ya kituo kuishiwa gozi au glovu ambavyo hutumika kwa matumizi mengine.

Hatua ya 3: Uchunguzi wa taratibu za ndani na nje

Mipango ya kampeni ya utetezi unahitaji Asasi ya kiraia kuchunguza taratibu za ndani na nje zinavyofanya kazi. Shirika (muungano/timu) linatakiwa kuchunguza uwezo na udhaifu wake katika utekelezaji wa mikakati ya utetezi. Kama vile lina rasilimali fedha inayoweza kutekeleza kampeni kwenye vyombo vya habari? Je, kuna msemaji ambaye anakubalika na walengwa/wasikilizaji? Je, kuna takwimu za kutosha kushawishi kwamba utetezi uliopo utafanya kazi? Je, kuna kazi zingine ambazo zitaathiri utendaji halisi na usimamizi wa kampeni ya utetezi?

Pia, ukaguzi wa nje (mara nyingi hutambulika kama “mwonekano wa nje au uchunguzi wa sura ya nchi”) utasaidia kuonyesha na itaonyesha mtu gani mwignine wa kufanya naye kazi (au kumkwepa) na fursa ambazo kampeni ya utetezi inaweza elekezwa (kwa mfano, siku ya UKIMWI duniani).

Page 12: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

10 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Watetezi wanatakiwa wawatambue washiriki (wafuasi) na wapinzani (wakashifishaji), pia kujadili juu ya changamoto za msingi na njia za kuzikabili. Ingawa nguvu nyingi za utetezi zinapata msaada kwenye Asasi za kiraia, usisahau kuangalia upande wa sekta ya biashara, kwenye mashirika ya kidini, na kwenye wanasiasa wanaovutwa na matukio ili kupata wafuasi.

Hatua ya 4: Kuandaa mipango kazi

Kampeni ya utetezi ni sawa na mipngo mingine yoyote, kwa hiyo unahitaji kuchanganua, kutengeneza njia ya kufikia madhumuni, na kugawa majukumu kwa wanachama mahususi ili kuweka uwajibikaji wa wazi. Kama mnafanya kazi kwenye muungano na kila mwanachama ataleta vipawa mahsusi katika kundi, utahitaji kuchagua kugawanya mipango kazi kufuatana na malengo kati ya wanachama (kwa mfano, kundi la utafiti litahusika na kuandaa na kuchanganua takwimu).

Kitu cha msingi sana kwenye bajeti ya utetezi ni muda. Ushawishi katika bajeti ya serikali unahitaji muda muafaka kuleta matokeo. Kama inavyoonyeshwa kwenye sehemu ya 3.4, kuna nafasi nyingi katika muda ambapo unaweza kuleta mabadiliko kwa sababu kuandaa bajeti ya taifa kuna hatua nyingi zinazohusishwa watendaji wengi tofauti katika ngazi ya serikali.

Kama utachukua bajeti ya afya ya serikali ya Tanzania, unaweza kufikiria kuwa na mojawapo ya matokeo matatu: (1) kuongeza sehemu ya bajeti kuhusu afya; (2) kuongeza mgao wa fedha kwenye jambo maalumu ndani ya bajeti ya afya; au (3) kuongeza vyote, bajeti ya afya kwa ujumla na mgao kwenye jambo maalumu ndani ya bajeti ya afya.

Hatua ya 5: Kuandaa mikakati

Ni muhimu kuchunguza jinsi watu wako wanavyopokea jambo na uamue jinsi ya utakavyoandaa jambo kadiri ya watu wako wanavyolichukulia. Mambo mengine yanajulikana na hayahitaji ubishi/hayana ubishi, wakati wengine wanaweza kuwa

Utetezi kwa ajili ya vifaaa salama vya kujifungulia: Ushawishi kutoka nje

Kabla ya kuanza kampeni ya ushawishi kwa ajili ya vifaa vya uzazi salama, uchunguzi wa nje utahitaji (1) kukusanya wa takwimu za msingi kuhusu afya ya uzazi Tanzania, pamoja na viashiria vya huduma za uzazi kwa wakati huo; (2) kutambua watu na mashirika mengine yanayoweka kipaumbele kwenye maswala ya afya ya uzazi kama vile Shirika la nyota nyeupe, Wanawake na Maendeleo (WAMA), Shirika la Mke wa Raisi (Taasisi ya Mama Kikwete), Jumuiya ya madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi (AGOTA), Jumuiya ya madaktari wanawake Tanzania, nk. Wakati uzazi salama siyo swala linaloweza kupingwa (labda hakuna wakashifishaji halisi), itahitaji kushindanishwa na maswala mengine ya afya ya jamii. Kampeni ya utetezi inahitaji kujiandaa kujibu kwanini serikali itumie pesa kwenye vifaa vya uzazi, wakati nusu ya wanawake wanajifungulia nyumbani.

Page 13: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 11Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

wabishi au yanaweza kuchukua muonekano mdogo kwa waamuzi/watoa maamuzi. Kwa hiyo uchaguzi unatakiwa ufanyike kwa kuangalia mtoa maamuzi gani analengwa na jinsi ya kufikisha ujumbe. Inashauriwa sana Asasi za kiraia waandae jumbe muhimu na maneno ya kuongea mapema kabla ya kuanza kampeni za utetezi, haswa kama wanafanya kazi na wasemaji wengi na/au kwenye muungano. Ujumbe wa utetezi na maswali ya kisiasa yawe ni yale yale wakati wote wa kampeni, na itasaidia kuwa na nyaraka za aina moja kwa washawishi wote ili kuwaweka sawa. Pia ni mazoea mazuri kufikiria maswali magumu yanayoweza kuulizwa kwenye kampeni, ili kuandaa majibu sahihi mapema yatakayoweza kusaidia kwenye madhumuni ya utetezi.

Uchaguzi wa msemaji mzuri kuna umuhimu wake. Watoa maamuzi wanakubaliana vyema na wanataaluma au walio kwenye mambo ya utabibu (mfano: mkuu katika kitivo cha utafiti au mkuu jumuiya ya matabibu). Wengine watavutiwa na viongozi wa biashara, dini au tamaduni. Mara nyingi watoa maamuzi wanasikia kuhusu takwimu lakini wanaamua kutokana na uzoefu au mvuto wa ushuhuda binafsi kutoka kwa wengine. Msemaji pia anapaswa kuelewa ujumbe ambao yeye anaupeleka.

Watetezi wanashauriwa kuwa watu wenye msaada wanapokutana na watoa maamuzi kama vile wabunge, na wawe tayari kutoa takwimu zinazoweza kulinganishwa na miaka mingine au kulinganishwa na nchi nyingine za Afrika mashariki. Watunga sera wanafurahia kusemwa vizuri ukiwalinganisha na wengine waliopo nchi zingine, kwa hiyo ni muhimu kulinganisha maendeleo ya Tanzania na nchi nyingine jirani zinazofanya vizuri. Vilevile ni muhimu kuonyesha haiba nzuri utoapo ujumbe wako. Kwa mfano, kwenye bunge la Tanzania, asilimia na uwiano mara nyingi havisadikiki. Kauli kama vile “vifo vitokanavyo na uzazi vipo juu kwenye watu 454 katika kila watu 100,000” haileti kumbukumbu nzuri kwa wabunge. Fikiria kuweka takwimu zako katika hali inayoeleweka na watu wengi kama vile: Kila mwaka inakadiriwa kuwa wanawake 7,559 hufa kutokana na sababu zitokanazo na uzazi; hii humaanisha vifo vya wamama 629 kwa mwezi au 20 kila siku.

Mwisho, ni muhimu majadiliano yakahusu ahadi za serikali na kwamba watetezi wanaonyesha umuhimu wa kuchukua hatua (jinsi gani madhumuni ya utetezi yatanufaisha watoa maamuzi na wapiga kura wao). Kutetea ongezeko la bajeti kwenye afya ya uzazi kwa mfano, inaweza kulinganishwa na itakavyosaidia kufanikiwa katika “Kilimo kwanza” – kwa sababu wanawake wanachukua nafasi kubwa katika

Mifano ya mbinu na zana za utetezi:

Kushawishi Muhtasari wa seraOmbi Position papersKampeni kwenye vyombo vya habari Video/multi-mediaShughuli za kijamii/mashindano/vikao Shuhuda Midahalo ya kijamii/Majadiliano Mitandao ya kijamii (Jamii Forum, Twitter)

Page 14: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

12 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

wafanya kazi nchini Tanzania. Bila afya ya uzazi hakuna “Maisha bora kwa kila Mtanzania”

Hatua ya 6: Utekelezaji wa kazi

Kiini cha ufanisi wa utetezi kipo katika sehemu ya 1–5, mipango madhubuti na uchambuzi. Japokuwa kwenye utekelezaji wa kazi ndipo asasi za kiraia zitatumia muda wao mwingi na rasilimali watu na fedha, pia kwenye kupima maendeleo na kufanya marekebisho. Kama ndivyo, na pia muhimu kutekeleza kazi kufuatana na njia mbadala za kuwezesha mradi na kuhakikisha kuwa kazi zinafanyika kulingana na mipango kazi mizuri.

Utekelezaji wa kazi unahusisha ngazi zote zinazohusika katika kukamilisha kazi kubwa. Kwa mfano, kabla ya kukutana na kundi la watoa maamuzi, utahitaji kuandaa taarifa thabiti au muhtasari wa sera kwa ajili yao kupitia kiurahisi. Hii itatokana na takwimu ulizokusanya na itatoa angalizo la “suluhisho” unazopendekeza.

Baada ya kila tukio la utetezi, timu ya watetezi inatakiwa kukutana kupitia jinsi walivyotekeleza, jinsi gani jumbe zao zilipokelewa, maswali gani yaliulizwa, na ahadi gani zilifanywa (angalia pia sehemu ya 7). Hii itasaidia kupata njia za kuboresha

Angalizo muhimu:

Kama utapata nafasi ya kukutana na watoa maamuzi kujadili mambo ya kushawishi, ni muhimu kuwa na taarifa inayovutia. Taarifa yako inatakiwa iwe na kichwa cha habari kitakachokumbukwa na kitakachopendeza na itanguliwe na ufumbuzi (dhumuni au lengo la utetezi wako) unaopendekeza. Kwenye taarifa yako unatakiwa uthamini na utambue ahadi za sera za serikali iliyopo, na uwepo wa mipango iliyopo, bajeti iliyotengwa na ulipaji mchango chanya wa hoja yako. Taarifa yako inatakiwa kuonyesha uhusiano kati ya mipango iliyopo na mwelekeo katika kufadhili ajenda kubwa za maendeleo ya taifa kama vile “Kilimo kwanza” na matokeo ya hayo malengo makubwa kama hoja yako haijaonishwa. Malizia kwa kuonyesha imani/matumaini uliyonayo kwa watoa maamuzi huku ukirudia suluhisho ulizopendekeza mwanzoni mwa taarifa yako. Timu ya utetezi inashauriwa kuwa yenye kutoa msaada na iwe tayari kujibu maswali na kutoa maelezo yatakayohitajika. Kama huna uhakika na jibu la swali fulani, USISEME UWONGO; badala yake ahidi kutafuta ukweli na urudi kwao.

Angalizo muhimu:

Nchini Tanzania kama unaongea na wanakamati katika Bunge, unatakiwa uvae VIZURI bila kuonekana na utambulisho kisiasa/kiitikadi (pini, rangi), na lazima utambue uwepo wa Mwenyekiti wa Kamati. Unatakiwa utumie neno “Mheshimiwa” – kusahau kufanya hivyo kunaweza kuhatarisha kukataliwa kwa ajenda yako. Mwisho, unatakiwa uongee ukiwa na nyaraka zako (muhtasari, position papers, marejeo) zikiwa zimeandikwa kwa kiswahili.

Page 15: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 13Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

mkutano ujao na pia kuongeza kazi katika mpango kazi kama vile, kazi maalumu ya kufuatilia.

Hatua ya 7: Kupima mafanikio

Kupima matokeo ni muhimu kwenye utetezi kama ilivyo kwenye utekelezaji, mawasiliano ya mabadiliko ya tabia, au mipango mingine. Ni muhimu pia kuthamini “ushindi wa haraka” ambao ni ushindi endelevu ambao huweza kuonyesha mwanga kwenye maendeleo ya kampeni kufikia upatikanaji wa lengo kuu. Kwa mfano, mikutano ya mara kwa mara inapendekezwa kila baada ya shughuli kubwa ili kuangalia na kuchambua jinsi gani mlifanikiwa katika shughuli, kama ilisaidia katika kufanikisha lengo na kama kampeni inaendelea vema. Na pia ni muhimu kuchunguza kama kuna uhitaji wa mabadiliko katika mwelekeo au kazi mpya zinahitajika. Kampeni za utetezi zinahitajika kupokelewa kwa ajili ya mabadiliko na “ugunduzi”.

Kwa mfano, kama mheshimiwa au mtu mashuhuri amepata mtoto, kampeni ya uzazi au afya ya mtoto yaweza kutoa tamko la pongezi, lakini pia kutumia nafasi hiyo kuelezea maswala ya afya ambayo wamama wa Tanzania wengi wanakutana nayo. Asasi za kiraia za Tanzania pia zinaweza kutumia nafasi nje ya Tanzania, kama vile kwenye mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu UKIMWI au tamko lililotolewa na kiongozi wa nchi nyingine, kuandika tangazo kwenye gazeti kuhusu swala hilo. Aina hii ya fursa zinawezekana hazikuonekana wakati wa kuandaa mikakati, lakini mara nyingi zinaweza kusaidia kuboresha ajenda za ututezi. Pia watetezi wanashauriwa kutokata tamaa kama kazi mojawapo haijafanikiwa. Majadiliano ya kina juu ya wapi walipokosea yanahitajika, na timu inaweza kujadili kuhusu ni namna gani wanaweza kurekebisha mipango ya utetezi kama inavyotakiwa.

Angalizo muhimu:

Jaribu kuchunguza nini watoa maamuzi wanasema ndani na nje ya Tanzania utumie tangazo kwa umma kusaidia malengo yako ya utetezi. Kama mtoa maamuzi ametoa tamko ambalo huoanisha tatizo, watetezi mnatakiwa (1) kuandika barua ya kumshukuru kwa ahadi na/au (2) andaa mkutano na wanahabari kumshukuru mtoa maamuzi kwa kitendo hicho na ueleze ni jinsi gani itasaidia wananchi. Kwa mfano Raisi Kikwete alialikwa kuwa mwenyekiti mshiriki kwenye Taasisi ya habari na uwajibikaji kwenye afya ya wanawake na watoto ya Shirika la Afya Duniani na akatoa andiko juu ya afya ya uzazi kwenye afya ya jumla na diplomasia [http://www.ghdnews.com/index.php/global-health-challenges/maternal-and-child-health/45-the-fight-for-maternal-and-child-health-in-sub-saharan-africa]. Tamko la kama hili kutoka kwa Raisi linaweza kutumika kuchangia umuhimu wa vifaa vya uzazi salama na aina nyingine ya miradi ya afya ya uzazi.

Page 16: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

14 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

2.2.2 Kufanya kazi na wenyejiWenyeji ni watu walio ndani ya mfumo ambao wanaweza kusaidia kwenye tatizo na pia kwenye nafasi ya kutoa maamuzi au kuwashawishi wengine. Mara nyingi, kwa nafasi zao au wajibu wao, wenyeji hawawezi kuwa waongeaji wa jamii au utetezi katika hoja zinazoathiri jamii. Isipokuwa, wahusika wanaweza kuwa vyanzo muhimu katika kupata taarifa muhimu wakati huohuo kama kiunganishi kati ya watetezi na wasikilizaji. Kwa upande mwingine, kama wakichukuliwa kimzaamzaa au kufanyiwa ubaya, wahusika wanaweza kuwa kikwazo kwenye shughuli za utetezi. Kwa hiyo, watetezi wanatakiwa wawatambue wenyeji na kufanya mahusiano/urafiki nao katika njia itakayowafanya wajisikie wanaheshimiwa na kutambuliwa. Wanaweza kushirikishwa katika maswala madogomadogo bila kuwanukuu kwenye maswala hayo, kitendo kinachoweza kuwatisha au kutishia usalama wa nafasi zao, isipokuwa pale ambapo wamehusishwa kiofisi kama washauri kutokana na ujuzi au elimu zao. Pia wenyeji wanahitaji kuhakikishiwa faida za kazi za utetezi na kuweka wazi jinsi gani kazi hizo au mashirika hayo husadia malengo na madhumuni yao.

Kwa mfano, kama unatetea ongezeko la bajeti kusaidia huduma rafiki kwa vijana katika ngazi ya wilaya, utahitaji msaada kutoka kwa mratibu wa shughuli za afya ya uzazi. Afisa huyo atakupatia taarifa za msingi kuhusu mimba za utotoni, huduma rafiki za vijana zinazopatikana, matatizo ya kuyaelezea, pesa zilizotengwa kwa wakati huo, n.k.

2.2.3 Kufanya kazi na washawishiWashawishi ni watu ambao wapo ndani ya mfumo na wanaofanya kazi karibu na watoa maamuzi (au wana uhusiano na watoa maamuzi, kama vile ndugu walioko kwenye madaraka au wafanya biashara). Kwa hiyo, hawa ni watu siyo tu wanaojua kuhusu mfumo lakini pia watoa maamuzi kama watu. Wanaweza kuwa ni chanzo cha taarifa muhimu sana kwa walengwa wetu na wanaweza kuwa msaada kwenye kujua ratiba za walengwa, vitu wavipendavyo, au njia muafaka za kuwapata. Pia wanaweza, kama wakishirikishwa vizuri na kuingizwa kwenye makubaliano kuhusiana na mambo yako ya utetezi, wakawapatia walengwa taarifa za msingi kuhusu mambo ya utetezi na kuwaandaa kusaidia kwenye hoja hizo.

Washawishi, kwa sababu hiyo, wanahitaji kutambuliwa kwa uangalifu, kuchaguliwa, na kuelezwa kwa ufasaha kuandaa mazingira kwa ajili ya kupata ushawishi wa watoa maamuzi. Washawishi ni watu muhimu kwenye mafanikio ya utetezi wa hoja, na kama walivyo wenyeji, hawatakiwi kunukuliwa.

2.2.4 Kufanya kazi na wanachama na washindiMashirika ya utetezi yanahitaji sauti za pamoja. Wanachama na washindi hutengeneza nafasi kwa ajili ya kuimarisha na kuunganisha sauti moja toka kwa wananchi mbalimbali. Wakati wanachama ni watu walioungana na wadau kutoka mashirika yenye madhumuni yanayofanana, washindi ni watu wenye vyeo ambao wanaheshimika katika jamii kutokana na sababu mbalimbali na ni watetezi wa hoja

Page 17: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 15Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

hizo. Washindi wanaweza wakawa pia wale walio “mstari wa mbele” kwenye hoja – kama mtoa huduma za afya, kijana anayetetea elimu ya uzazi mashuleni, au mtu anayeishi na VVU.

Uchaguzi wa wanachama na washindi unatakiwa ufanyike kwa uangalifu ili kupata msaada tunaotegemea kupata kutoka kwao. Ni muhimu kwa wanachama na washindi kuelewa kiundani juu ya hoja, wanaotetea malengo yako, na wako tayari kutoa muda wao na taaluma zao kuhakikisha ajenda zinafanikiwa kama ilivyopangwa.

2.2.5 Kufanya kazi na vyombo vya habariJukumu la vyombo vya habari kwenye kusaidia na kupeleka mbele ushawishi haviwezi kuelezwa ya kutosha. Vyombo vya habari vina uwezeka mkubwa katika kuanzisha na kuimarisha majadiliano ya hoja, kusambaza ajenda haraka na kuwezesha kupata msaada kwa jamii. Katika ya kufanya kazi na vyombo vya habari, washawishi wanatakiwa kuhakikisha kuwa waandishi wa habari na wafanya kazi wengine katika tasnia ya habari wanaelewa vizuri hoja zilizopo ili waweze kuziwasilisha kwa usahihi na kwa ufasaha. Mashirika mengi yanapata elimu ya wanahabari ambayo huhusiana na elimu ya ndani ya hoja (kwa siku kadhaa), ikifuatiwa na mafunzo ya mara kwa mara/mafunzo ya kupiga msasa. Umuhimu wake ni kuendeleza uhusiano unaoendelea na vyombo vya habari, kuwahimiza na kuwaelezea juu ya hoja, na kuwapa motisha wa kukufikiria wewe kama mtu anayeaminiwa kama chanzo cha habari kuhusu somo hilo.

Kufanya kazi na muungano na mitandao

Fursa

• Uwezo kwa wingi/muungano – hii huhusisha nguvu kubwa ya ushawishi kama biashara • Ajenda moja/ufumbuzi wa pamoja – majadiliano ndani ya asasi za kiraia yanaweza malizwa kiusiri • Rasilimali shirikishi – kama vile fedha, wanataluma; mbinu zingine zinaweza kufanikiwa kama gharama ni za pamoja, kama vile kampeni kwa kutumia vyombo vya habari • Uvumbuzi zaidi – uzoefu tofauti, kuwa na marafiki, mikakati inajadiliwa kwa pamoja

Changamoto

• Kufanikisha muungano kunachukua muda, rasilimali watu, mawasiliano mengi ya ndani • Kufikia makubaliano kunachukua muda na kunahitaji maafikiano – Asasi za Kiraia huweza kukata tamaa au kubadilisha namna ya kuhoji ili kumridhisha kila mmoja katika muungano. Makubaliano ya pamoja – yanaweza kuchelewesha fursa mpya • Ubinafsi na kujikweza vinaweza kutokea (sifa ziwe kwa wote na weka hoja ya)

Page 18: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

16 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Nchini Tanzania, nafasi ya mwonekano na uhakika wa habari hutegemea sana na uelewa wa mhariri. Kama mhariri ana ufahamu mdogo juu ya somo (kama itakavyokuwa kwa mada nyingi za afya) taarifa nyingi husika zaweza ondolewa au kufifilishwa. Kufanya kazi na wahariri kuhakikisha wanaelewa somo husika ni njia mojawapo ya uhakika katika kufanya kazi na wana habari nchini Tanzania. Wahariri na waandishi wa habari wana njia tofauti za kuwapata watoa maamuzi. Wanaweza kuwaita maafisa/viongozi wa serikali na kupata taarifa zao (tamko au majibu kwenye taarifa ya habari). Vyombo vya habari vinaonekana havina upendeleo kitu ambacho hukaribisha watoa maamuzi kutoa mchango wao wa habari. Wakati huohuo, kama inaongezeka au mgao siyo hoja inayopingana, taarifa ya habari kwenye matumizi ya serikali huweza onekana kama siasa. Taarifa kuhusu rushwa mara nyingi hazichapishwi, na vyombo vya habari vinaweza kuwa vinamilikiwa na watu wenye mtazamo wa kisiasa na ajenda zake. Kama ndivyo, mtetezi anatakiwa ajue kuwa siasa inaweza kuchukua nafasi yake katika kufanya taarifa ya habari ichapishwe au la.

Ukiwa unafuatilia hoja mpya au hoja inayopingwa, ni muhimu kutokuegamia upande mmoja na kuwa na msimamo hadi vyombo vya habari vinapolipokea vizuri. Uwafanye watu wako na habari wawe na taarifa kwa wakati kuhusu hoja; unatakiwa utengeneze taarifa iendane na habari za kisasa ili itambulike kama habari ya kweli. Wakati wa mahojiano na vyombo vya habari, baki kwenye malengo yako na fokasi/weka malengo yako kwenye hoja muhimu kwako. Mhojaji anayehoji anaweza kukubadili kiurahisi na kukupeleka siko, kitu ambacho kinaweza kupoteza au kupunguza umuhimu wa ujumbe wako.

2.2.6 Ufuatiliaji wa ahadiKazi haiishii tu kwenye kufanya kampeni za utetezi na kupata ahadi. Watoa maamuzi mara nyingi hutingwa na mahitaji mengi na huhusishwa na hoja nyingi zinazohitaji mchango wao, kwa hiyo kupata ahadi haitoshi kuonyesha jambo limeisha. Watoa maamuzi mara nyingi huwaachia wajibu wa utekelezaji watu wao wa teknokrasia. Teknokrasia wao wanaweza elemewa na mambo yanayoshindana kwa umuhimu, au hawatakuwa wanahusika na hoja fulani wao kama wao; hivyo huweza kupelekea teknokrasia kusahau au kugoma kutekeleza jambo ambalo mtu mwingine alikubaliana nalo.

Kwa hiyo, watetezi wanatakiwa watenge muda na rasilimali kwa ajili ya kufuatilia ahadi hadi ahadi hizo zimetimizwa; au kutengeneza mkakati mwingine wa kushawishi kama utekelezaji haujafanyika (angalia kipengele cha 7 kwenye sehemu ya 2.2.1)

Endnote13. Mradi wa Sera, mwaka 1999.

Page 19: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 17Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

3 Uandaaji Bajeti Nchini Tanzania

3.1. Pesa zinatoka wapi?Pesa za serikali kwa ajili ya maswala ya afya hupatikana kutoka kwenye mapato ya kodi (mfano, ushuru na vitu visivyolipa ushuru), kukopa toka vyanzo vya ndani, na msaada toka washirika wa maendeleo. Sehemu ya pesa hupangwa kwa ajili ya matumizi ya afya katika ngazi ya taifa, kama vile bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (MoHSW). Serikali pia hutumia mapato ya ndani na kutoka kwa wahisani kutengeneza kitu kinaitwa Ruzuku za Maendeleo kwa ajili ya wakala wa serikali za mitaa (LGAs), na pesa hizo hugawiwa kufuatana na utaratibu (fomula) mahususi.14 Baadhi ya wahisani wa kimataifa huipatia pesa serikali ya Tanzania maalumu kwa ajili ya sekta ya afya inayojulikana kama Mfuko wa Sekta ya Afya (HSBF). Mfuko wa Ruzuku wa Sekta ya Afya (HSBF) inatakiwa itumike kwenye masuala ya afya pekee, ingawa ndani ya sekta ya afya kuna mambo mengi yanayohusisha utawala wa serikali kupanga kugawa pesa kwenye mambo tofauti ya afya (mfano, malaria, UKIMWI, uzazi wa mpango).

Mapato ya ndani

58%

Mikopo na ruzuku toka nje

29%

Kuazima toka ndani

11%

Figure 2: Sources of Funding in the Government Budget 2012

Kutoka Mamlaka ya Serikali za Mitaa

2%

Umbo namba 2: Vyanzo vya pesa kwenye bajeti ya serikali

Chanzo: Takwimu kutoka Wizara ya Fedha Mwongozo wa Bajeti kwa Mwaka 2012/2013

Page 20: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

18 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Mapato ya ndani

Bajeti ya Serikali kuu

Matumizi ya serikali kuu (Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii)

Pesa kwa ajili ya Serikali za Mitaa (wilaya/mkoa)

Pesa kwa ajili ya Serikali za Mikoa

Pesa za kata(Matumizi huelekezwa kutokana na kilichoidhinishwa kwenye Mpango

Kabambe wa Afya Wilayani)

Msaada wa kibajeti (Msaada wa kifedha

usiokuwa na masharti toka kwa wahisani)

Mfuko wa Ruzuku wa Afya. Msaada elekevu wa fedha – ni lazima kutumika kwenye

masuala ya Afya, lakini ndani ya shughuli ya afya, Serikali ya Tanzania ina uhuru katika kuitumia.

Pesa za Wahisani (mara nyingi ni kwa ajili ya miradi mahususi ambayo hazipitii serikali kuu na

zinaenda moja kwa moja kwenye wilaya/mikoa)

Pesa zisizotoka serikalini.Mara chache Wahisani au mashirika yasiyo ya kiserikali hufadhili shughuli

katika ngazi ya kata (mf. Kujenga kisima kipya, kujenga kituo kipya cha afya). Serikali hupewa taarifa na mashirika yasiyo ya kiserikali lakini rasilimali

zinaweza kuanishwa ama kutoanishwa kwenye Mpango Kabambe

wa Afya Wilayani)

Pesa kwa ajili ya halmashauri ya Wilaya (Mpango Kabambe wa Afya Wilayani)

Vyanzo vya kawaida (mf. Ada za watumiaji,

vinginevyo)

Vyanzo vya kawaida (mf. Ada za watumiaji,

vinginevyo)

Pesa za Wahisani (mara nyingi ni kwa ajili ya miradi mahususi ambayo hazipitii serikali kuu na

zinaenda moja kwa moja kwenye wilaya/mikoa)

Mikopo

Umbo namba 3: Vyanzo na Mgawanyo wa fedha za bajeti ya serikali

Page 21: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 19Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Kwenye ngazi ya serikali za mitaa, bajeti ya sekta ya afya hutolewa kutoka Serikali kuu na pesa kutoka serikali za mitaa zenyewe. Wafadhili wengine hutoa msaada maalum kwa ngazi ya wilaya ambao haupiti kwenye bajeti ya taifa (inayoitwa “msaada wa bajeti ya nje”). Zaidi ya hayo, wafadhili wa nje wanaweza kununua vifaa tiba na bidhaa moja kwa moja na kuwapatia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (MoHSW) (mfano, kondomu). Kwa hiyo jumla ya ufadhili kwenye sekta ya afya inaweza kupatikana kwa kujadili bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii; msaada maalumu kutoka kwa wafadhili, haswa kwenye manunuzi ya vifaa tiba na madawa; na pia kwenye ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na serikali za mitaa inayohusisha bajeti ya wakala wa serikali za mitaa (LGAs) (pamoja na matumizi kwa ajili ya afya).

3.2. Bajeti inapangwaje?Bajeti ya taifa inahusiana na vipengele vinne. Kipengele cha kwanza kinaelezea mapato yanayotegemewa na serikali (hii yaweza kutokana na kodi zitakazokusanywa au kiasi kinachotoka kwenye pesa za wafadhili; angalia sehemu ya 3.1 hapo juu). Kipengele cha pili na tatu ni matumizi ya “kawaida” kutoka wizara tofauti tofauti, vitengo na mamlaka ya maendeleo (MDAs) na serikali za mitaa (LGAs). Matumizi ya kawaida ni matumizi endelevu yanayohitajika kwa ajili ya shughuli za utendaji kama vile mishahara na mafao ya wafanyakazi wa serikali. Matengenezo ya kawaida ya majengo ya serikali na manunuzi yanayoendelea. Kipengee cha 4 cha bajeti ni kwa ajili ya matumizi ya “maendeleo” ya Wizara, vitengo na wakala (MDAs) na Mamlaka ya serikali za mitaa (LGAs). Matumizi kwa ajili ya maendeleo ni uwekezaji kwenye huduma mpya au miradi, uendelezaji mkubwa kwenye shughuli zinazoendelea, au matumizi mengine yenye mwelekeo wa uwekezaji (mfano ujenzi wa kituo kipya cha afya). Ndani ya kila kipengele kuna line items (ziitwazo votes) kwa ajili ya kila wizara na vitengo vikubwa; wakala wengine wana line items (sub votes). Mathalani, kwenye bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inaitwa Vote 52.

Kama tulivyojadili kwenye sehemu ya 3.1 ni muhimu kuelewa kuwa bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee haitengenezi bajeti yote ya maswala ya afya. Hii ni kutokana na kuwa pesa zinazotumika kwa ajili ya maswala ya afya zinatoka sehemu mbalimbali kwenye bajeti ya taifa. Kupata na kuchunguza jumla kuu ya pesa serikali inazotumia kwenye masuala ya afya, unatakiwa kuangalia kwenye line items tofauti tofauti (angaliwa jedwali namba 2).

Page 22: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

20 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Jedwali namba 2: Bajeti ya Serikali ya Tanzania kwenye sekta ya Afya

Mgao wa bajeti ya Serikali ya Tanzania kwenye sekta ya AfyaAina ya matumizi Wizara/vitengo Mahali ambapo ‘line item’

zinapatikana

Matumizi ya Kawaida

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ‘Volume’ II, Kasma 52

Mikoa & Wakala wa Serikali za mitaa

‘Volume’ III, Kasma 70 to 95, Kamati Maalum ya Huduma za Afya

Maendeleo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ‘Volume’ IV, Kasma 52

Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa l & pesa toka nje

‘Volume’ IV, Kasma 56

Pesa za Serikali ya Mkoa na za kutoka nje

‘Volume’ IV, Kasma 70 to 95

Wakala wa Serikali za mitaa Kamati Maalum ya Huduma za Afya (CCHPs)

Unapochambua bajeti kwenye sekta ya afya, bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapatikana kwenye kipengele namba II na IV, Kasma 52. Kwenye kipengele namba II kuna matumizi ya kawaida na kwenye kipengele namba IV kuna matumizi ya maendeleo. Pesa za sekta ya afya kwenye ngazi ya mkoa na wilaya/halmashauri zinapatikana kwenye kipengele namba III na IV kuanzia Kasma namba 70 hadi 95. Kupata jumla ya kiasi kilichopo kwa ajili ya matumizi ya sekta ya afya, utajumlisha kiasi cha pesa zinazopatikana kwenye kila vote. Mashirika machache yasiyo ya kiserikali (NGOs) (mfano: Sikika, Health Promotion Tanzania (HDT) mara nyingi kwa kawaida huchambua matumizi katika sekta ya afya; Asasi za kiraia wanaweza kuwasiliana na mashirika hayo yanayofanya kazi za utetezi wa bajeti kwenye ‘Annex’ 5.2 kwa ajili ya taarifa zaidi.

3.3. Jinsi gani bajeti inaandaliwa?Mzunguko wa bajeti ya serikali ya Muungano wa Tanzania huanza tarehe 1 Julai hadi tarehe 30 Juni kila mwaka, kukiwa na nafasi nyingi kwa Asasi za Kiraia kuchangia kwenye mipango ya kuanzisha na utekelezaji. Mipango ya bajeti inatekelezwa na Wizara ya Fedha (MoF).

Mwanzoni mwa uandaaji wa bajeti ya mwaka, Wizara ya Fedha hutoa bajeti na miongozo ya uandaaji. Miongozo hiyo huonyesha vipaumbele vya serikali katika kipindi chote cha maandalizi na kupanga kiwango cha juu kwa kila wizara. Miongozo ya bajeti huwa na:

• Maelezo ya jumla ya utendaji wa uchumi mpana na makadirio• Kipaumbele cha Sekta kwenye mfumo wa Mpango wa Muda wa Kati wa Matumizi (MTEFs) (imeandaliwa na Kikosi Kazi cha Sekta)

Page 23: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 21Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

• Ukomo wa matumizi ya fungu kulingana na upatikanaji wa mapato • Taratibu za kuandaa na kutuma mswada wa bajeti Wizara ya Afya

Ingawa umetolewa na Wizara ya Fedha, mwongozo wa bajeti unaandaliwa na kamati ambayo inahusisha wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha; ofisi ya Raisi, Mipango; Ofisi ya Waziri mkuu, ofisi ya Raisi, kitengo cha huduma kwa jamii na ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na serikali za mitaa. Miongozo ya bajeti inatumwa kwenye vitengo vya sera na mipango vya kila wizara; baada ya hapo wizara ina wajibu wa kuandaa Mpango wa Muda wa Kati wa Matumizi (MTEF) na bajeti ya mwaka ya wizara husika. Mpango wa Muda wa Kati wa Matumizi (MTEF) inaandaa matumizi ya serikali kwa miaka mitatu ijayo na bajeti ya mwaka ndiyo ina mchanganuo zaidi, ikiwa na matumizi tarajiwa kwa mwaka huo wa fedha.

Bajeti zilizopendekezwa na wizara zinawekwa kwenye mswada jaribio la kwanza la bunge inajumuisha mahitaji ya bajeti baada ya mazungumzo na mamlaka ya vitengo vya wizara (MDAs), vipaumbele vya serikali, na matokeo ya kifedha . Hii inapelekwa kwenye Kamati ya Kitaalamu/Wataalamu ya Makatibu Wakuu (IMTC), inayojumuisha makatibu wakuu wa kila wizara. Kamati ya Kitaalamu/Wataalamu ya Makatibu Wakuu (IMTC) inaikagua bajeti pendekezwa kabla ya kupitishwa na bunge.

Mara bajeti ya afya itakapopitishwa na bunge, Waziri wa Afya anaipeleka kwa Kamati ya Bunge inayoshughulikia Maswala ya Jamii kwa mapitio. Kamati hiyo inaweza kupendekeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kufanya marekebisho kwenye bajeti yake kuelezea mahitaji muhimu. Mara baada ya kamati kuipitisha bajeti, kamati mara nyingi huitetea kwenye bunge.

Umbo namba 4: Mzunguko wa bajeti kwa mwaka

Uandaaji wa bajeti

Oktoba-Machi

Utekelezaji wa bajeti

Julai-Juni

Usimamiaji wa Bajeti

Julai-Juni

Uchunguzi na kuidhinisha bajeti

Machi-Juni

Mzunguko wa bajeti

Page 24: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

22 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo namba 5 linaonyesha hatua tofauti na kazi zao kwenye zoezi la bajeti ya afya ya serikali.

3.4. Sehemu zinazopitia kwenye Utetezi wa Bajeti ya Sekta ya AfyaSehemu hii inaelezea jinsi bajeti inavyoandaliwa nchini Tanzania kwenye ngazi zote, za taifa na za wilaya na kupendekeza “walengwa” muhimu kwa ajili ya ushawishi. “Walengwa” hao ni watu ambao watoa maamuzi katika nafasi na maandalizi na wanaweza kuwa na umuhimu kama mtetezi angependa kuwashawishi. Japo Asasi za Kiraia wanatakiwa kuwa wamefanya uchunguzi wa mazingira (angalia hatua ya 3, sehemu ya 2.2.1) ili kuelewa walengwa wakuu kwenye utetezi na kwenye maandalizi, angeweza kuwatambua walengwa namba mbili au washawishi (sehemu ya 2.2.3) ambao wangepeda kuwafikia. Zaidi sana ratiba iliyotolewa inaelezea lini na kazi gani zifanyike ndani ya serikali. Japo kama watetezi wangependa kushawishi sehemu fulani katika zoezi la bajeti wanatakiwa kuanzisha shughuli hiyo kabla ya muda uliopangwa hapa chini, kwa mfano kama mkutano maalum utafanyika mwezi wa tatu, watetetezi wanatakiwa waanze kushawishi walengwa wasikilizaji mwezi wa pili au mapema zaidi.

3.4.1. Ngazi ya taifaKatika kipindi chote cha zoezi la bajeti, kuna sehemu nyingi kwa Asasi za Kiraia kuingia kushawishi matumizi ya serikali kwenye afya, ama kwa utetezi wa nyongeza katika jumla ya pesa iliyotengwa kwa ajili ya sekta ya afya au kushawishi ugawaji wa bajeti ya afya kuongeza matumizi katika vipengele muhimu kwenye afya kama vile afya ya uzazi wa mpango, VVU/UKIMWI au Malaria.

Zoezi la bajeti linaanza mwezi wa kumi na moja ambapo Wizara ya Fedha husambaza miongozo ya bajeti na vikomo vya matumizi kwa wilaya, mikoa na wizara.

Kama Asasi za Kiraia zitafanikiwa kuwapata kamishna wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha, zitaweza kushawishi kikomo cha matumizi yaliyopangwa kwa ajili ya afya. Hii ni sehemu muhimu ya kuanzia kwa Asasi za kiraia ambazo wanapenda kusisitiza serikali ili kufikia Azimio la Abuja kwa kutenga asilimia 15 ya matumizi ya serikali kwa ajili ya afya. Mwezi wa kwanza inakusanya pamoja bajeti yake na kuiwakilisha Wizara ya Fedha. Hiki ni kipindi cha zoezi la kuwapata wakuu wa bajeti kwenye vitengo vya sera na mipango vya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa utetezi ili kuwashawishi kupanga bajeti ndani ya bajeti ya afya (mfano pesa zaidi kwa ajili ya afya ya uzazi au uzazi wa mpango). Mwezi wa pili Wizara ya Fedha inajadiliana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuhusu mapendekezo yao ya bajeti na kumpata kamishna wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha kunaweza kusaidia ongezeko la jumla la bajeti au kupanga upya katika sekta ya afya kwa ajili ya jambo maalumu au vyote viwili. Katika kipindi hicho chicho, mikutano ya serikali na wadau wa maendeleo hufanyika. Kumpata mwenyekiti wa afya au mjumbe wa wadau wa

Page 25: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 23Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Ngazi ya JamiiSerikali za kata na vijiji zinaanisha mahitaji

(kupitia Fursa na Changamoto za Maendeleo) kwa ajili ya kujumuisha kwenye Mpango

Kabambe wa Afya Wilayani; wakuu wa vituo vya afya ni wajumbe katika zoezi hili

Ngazi ya MkoaInapitia bajeti ya afya kutoka wilaya/halmashauri na kutoa

mapendekezo

Ofisi ya Waziri MkuuTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

zinafanya majumuisho ya bajeti ya afya kutoka wilaya na halmashauri zote

Bunge la TanzaniaLinaidhinisha bajeti ya sekta ya afya

Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Inapitia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

(PMO-RALG) na kuidhinisha au kuomba marekebisho

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii

Inapitia bajeti ya Wizara ya Afya na kuidhinisha au kuomba marekebisho

Wizara ya Afya na Ustawi wa JamiiInaandaa bajeti kuu kwa ajili ya sekta

ya afya na kupokea maombi kutoka vitengo vyake

PSU, Bohari ya Madawa, RCHS, EPI, Mamlaka ya

Chakula na Lishe Tanzania, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania, Programu ya Taifa

ya Kudhibiti UKIMWIVitengo tofauti wanaandaa na kuwakilisha maombi ya bajeti

kwa ajili ya kazi kwenye vitengo vyao

Ngazi ya wilayaKamati ya Usimamizi wa Afya wa

Halmashauri inaandaa mpango wa afya na bajeti (Kamati Maalum ya Huduma za Afya); inapokea pesa, kuzigawa na

kusimamia pesa

Umbo namba 5: Majukumu ya Ngazi mbalimbali za Serikali katika Kuandaa Bajeti kwa ajili ya Sekta ya Afya

Page 26: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

24 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

maendeleo kunaweza kushawishi upangaji upya kwa ajili ya jambo maalumu kwenye sekta ya afya. Hii ni sehemu nzuri ya kuingilia kwa sababu wahisani wana ushawishi kwenye namna gani pesa za Mfuko wa Ruzuku wa Sekta ya Afya (HSBF) zitumike/zinatumika. Uchambuzi wa bajeti na maongezi na Kamati ya Kitaalamu/Wataalamu ya Makatibu Wakuu (IMTC) unafanyika mwezi wa tatu, kumpata katibu mkuu (au mfanyakazi mwenzake) ni mkakati mzuri katika kipindi hiki ili kushawishi ugawaji katika sekta ya afya.

Ifikapo mwishoni mwa mwezi wa tatu au mwanzoni mwa mwezi wa nne bunge linaanza, na pia uchambuzi wa bajeti. Zoezi hili linaanza kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Jamii (PSSC) kupitia bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, ambapo inaweza kuipitisha kama ilivyo au kuomba kugawa upya kwa ajili ya mambo maalumu (mfano kuongeza pesa kwa ajili ya UKIMWI). Katika kipindi hiki, nguvu za utetezi wa bajeti zielekezwe kwa wanachama wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Jamii (PSSC). Wakati huohuo, ila kwa upande mwingine, kamati ya Kamati ya Bunge, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) inapitia bajeti jumuishwa ya afya kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na nguvu ya utetezi wa bajeti zielekezwe kwa wanachama ndani ya kamati ya Kamati ya Bunge, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Bunge la wazi linafuatia kuanzia mwezi wa nne hadi wa sita, ambapo wajumbe wa bunge wanapewa nafasi ya kuongea kuhusu kuongezwa pesa za afya, kiujumla au kwa ajili ya jambo maalumu katika ngazi hii na kwenye nafasi zingine huwa kuna klabu za wabunge kwa ajili ya mambo maalum (kama vile klabu za uzazi wa mpango au klabu za afya ya uzazi). Kwenye mahojiano hayo ya wazi, kunaweza kushawishi bunge kuweka pesa zaidi kwa ajili ya afya au kuagiza ongezeko kwenye maeneo maalumu kwenye programmu.

Mwezi wa saba, bajeti ikiwa imeshapitishwa, mgao wa pesa huanza. Asasi za Kiraia zina nafasi kubwa katika kufuatilia matumizi ya fedha serikalini. Asasi za Kiraia zinaweza kuitaka serikali iwajibike au kukagua ‘thamani ya pesa” kwa kukusanya na kuchambua takwimu ili kuonyesha matokeo fulani katika matumizi (au kukosekana kwake) Asasi za Kiraia zinaweza kulenga au kufaya kazi na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenye kitengo watakachopenda (mfano Mama na mtoto, Chanjo, Madawa) kuongeza uwazi kwenye matumizi ya serikali kwenye maeneo maalumu ya afya (angalia umbo namba 6).

3.4.2. Ngazi ya wilayaMfumo wa mgawanyo wa madaraka nchini Tanzania umetengeneza fursa mpya kwa jamii na asasi za kiraia kujihusisha na zoezi la bajeti na kushawishi jinsi gani huduma za afya zinatolewa. Wakala wa serikali za mitaa ina nafasi muhimu haswa katika ya utoaji huduma za afya na jamii. Halmashauri za wilaya na manispaa zinajumuisha madiwani kutoka kata na wabunge wa jamii ambao wana jukumu kubwa la kupitisha

Page 27: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 25Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

bajeti pendekezi. Chini ya halmashauri kuna kamati ya maendeleo ya kata (WDC), ambayo ndiyo bodi inayosimamia kuwaunganisha halmashauri za wilaya/manispaa na vijiji, mitaa na balozi. Wajumbe wa kamati ya maendeleo ya kata hujumuisha washauri wa kata, vijiji na wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata. Wakurugenzi wa halmashauri (Wakurugenzi watendaji wa Wilaya au Wakurugenzi wa manispaa) wana jukumu la kusimamia uandaaji na utekelezaji wa bajeti. Kwenye ngazi ya sekta ya afya/kitengo, daktari mkuu wa wilaya ndiyo mwenye jukumu la kuandaa na kusimamia bajeti ya afya.

Bajeti ya afya kwenye ngazi ya wilaya inatoka katika vyanzo vya serikali za mitaa au serikali kuu, pia hutengwa kama matumizi ya kawaida na matumizi kwa ajili ya maendeleo. Pesa hizi zinaweza toka kwenye mapato ya ndani au pesa za wahisani (angalia sehemu ya 3.2). Huduma za afya zinaweza kupata pesa zaidi kutoka michango ya watumiaji, mfuko wa afya wa jamiii, the revolving drug fund, mgao kutoka Mfuko wa bima ya afya ya taifa kwa ajili ya vituo vya afya,Pesa kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali, au msaada wa moja kwa moja kutoka wahisani ambazo hazipitii serikali kuu (angalia umbo namba 3). Bajeti ya afya katika ngazi ya wilaya inapatikana kwenye Kamati Maalum ya Huduma za Afya (CCHPs).

Kama ilivyoelekezwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (angalia kwenye kielelezo namba 18), uandaaji wa Kamati Maalum ya Huduma za Afya (CCHPs) unaanzia katika ngazi ya kijiji ambapo viongozi wa kijiji wanakutana na wananchi kuoanisha mahitaji kwenye sekta mbalimbali (kwenye afya, elimu, maji, n.k.). Hii hujulikana kama zoezi la Fursa na Changamoto za Maendeleo (O&OD)15 na linajumuisha wakuu wa zahanati (kama ipo moja kijijini). Hayo mahitaji ya kijiji yanawakilishwa juu kwenye ngazi ya kata, ambapo kamati ya maendeleo ya kata, pamoja na kamati ya afya, viongozi wa vijiji, na wakuu wa kituo cha afya cha kijiji, wanapeleka mapendekezo kwenye wilaya. Kwa vile zoezi la Fursa na Changamoto za Maendeleo (O&OD) ni la pamoja na linajumuisha wananchi, ni mahali pazuri kwa Asasi za Kiraia kuweka ushawishi wa bajeti kwenye ngazi ya kijiji kuanza na kuwahusisha wanakijiji kwenye hoja hiyo. Kuwahamasisha wananchi kwenye haki na wajibu wao kwenye zoezi zima la bajeti ya serikali itaongeza uwezo wa kutetea kwa ajili ya mahitaji yao kwa viongozi wa vijiji.

Mipango ya kata hufikishwa kwenye ngazi ya wilaya ambapo Kamati ya Afya ya Wilaya hutengeneza mipango ya afya ya halmashauri, ambayo huwasilishwa kwa makatibu tawala wa mikoa (Katibu Tawala wa Mkoa, akiwa ni sehemu ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ajili ya kupitiwa, na pia mipango na bajeti hurudishwa kwenye wilaya kwa marekebisho, kama yapo. Mipango na bajeti pia huwasilishwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na madaktari wa wilaya huitwa kutetea bajeti zao kama itahitajika. Mwisho Kamati Maalum ya Huduma za Afya (CCHPs) huunganishwa kwenye bajeti Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (angalia umbo namba 5, sehemu ya 3.3 kuhusu zoezi la bajeti.

Page 28: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

26 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo namba 6: Utaratibu wa Kuaandaa Bajeti katika Ngazi ya Taifa

Nafasi ya ushawishi

kiwango cha juu au mgawanyo

mpya wa fedha ndani ya sekta

ya afya

Mlengwa: Wizara ya Fedha

(Kamishna wa Bajeti)SE

HEM

U Z

A K

UA

NZ

IA U

SHA

WIS

HI

UAANDAAJI WA BAJETI

Nafasi ya kushawishi mgao katika sekta ya afya ili kufikia

malengo ya Abuja ya asilimia 15 ya

matumizi ya serikali

Mlengwa: Wizara ya Fedha

(Kamishna wa Bajeti)

Nafasi ya ushawishi wa mgawanyo wa fedha ndani ya

bajeti ya afya (mf. Afya ya Mama na Mtoto, Uzazi wa

Mpango)

Mlengwa: Mkuu wa mambo bajeti

katika kitengo cha sera na

mipango

Nafasi ya kushawishi

mgawanyo mpya ndani ya sekta ya

afya

Mlengwa: Mwenyekiti wa

Afya au wanachama katika DPG

Wizara ya Fedha

inasambaza miongozo ya bajeti kwenye wilaya, mikoa,

na wizara

NOVEMBA

Wizara ya Afya na Ustawi Jamii

inafanya majumuisho ya bajeti zake na

kuituma Wizara ya

Fedha

JANUARI

Wizara ya Fedha

inajadiliana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuhusu maombi yao

ya bajeti

FEBRUARI

Mashauriano na wahisani kufanyika

FEBRUARI

Uchunguzi makini na mazungumzo

ya bajeti kufanywa na Kamati ya Kitaalamu/

Wataalamu ya Makatibu Wakuu

MACHI

Baraza la mawaziri linapitisha maombi ya

bajeti

MACHI

Uchunguzi makini bajeti kufanywa na Kamati ya Kudumu ya

Bunge ya Mambo ya Jamii

MACHI-APRILI

Mdahalo wa Umma na kupitisha

APRILI-JUNI

UAANDAAJI WA BAJETI

Nafasi ya kushawishi mgao

katika sekta (inaongeza

mgawanyo wa bajeti ya afya)

Walengwa: Katibu Mkuu

au Wataalamu

Nafasi ya kushawishi mgao

katika sekta (inaongeza

mgawanyo wa bajeti ya afya)

Mlengwa: Waziri wa Afya

Nafasi ya kushawishi pande zote mgao katika sekta ya afya na

kugawa upya ndani ya sekta ya afya

Walengwa: Wajumbe wa

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

Huduma za Jamii

Nafasi ya kushawi-shi mgao katika sekta ya afya ili

kufikia malengo ya Abuja ya asilimia

15 ya matumizi ya serikali

Walengwa: Wabunge

machachari (mf. Wanachama katika klabu ya

Uzazi wa Mpango ndani ya bunge)

Ulipaji na uhasibu,

machapisho ya matumizi ya robo mwaka

JULAI-JUNI

Nafasi ya kusimamia

matumizi na kuhakiki “thamani

ya pesa”

Walengwa: Wakuu wa vitengo vilivyopendekezwa katika Wizara ya

Afya (mf. Uzazi wa Mpango, Chanjo) na masuala washirika

UCHUNGUZI MAKINI WA BAJETI (BUNGE LINAANZA)

UTEKELEZAJI, USIMAMIZI

NA UDHIBITI WA BAJETI

HA

TU

A K

AT

IKA

MC

HA

KA

TO

WA

BA

JET

I

Page 29: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 27Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo namba 6: Utaratibu wa Kuaandaa Bajeti katika Ngazi ya Taifa (continued)

Nafasi ya ushawishi

kiwango cha juu au mgawanyo

mpya wa fedha ndani ya sekta

ya afya

Mlengwa: Wizara ya Fedha

(Kamishna wa Bajeti)SE

HEM

U Z

A K

UA

NZ

IA U

SHA

WIS

HI

UAANDAAJI WA BAJETI

Nafasi ya kushawishi mgao katika sekta ya afya ili kufikia

malengo ya Abuja ya asilimia 15 ya

matumizi ya serikali

Mlengwa: Wizara ya Fedha

(Kamishna wa Bajeti)

Nafasi ya ushawishi wa mgawanyo wa fedha ndani ya

bajeti ya afya (mf. Afya ya Mama na Mtoto, Uzazi wa

Mpango)

Mlengwa: Mkuu wa mambo bajeti

katika kitengo cha sera na

mipango

Nafasi ya kushawishi

mgawanyo mpya ndani ya sekta ya

afya

Mlengwa: Mwenyekiti wa

Afya au wanachama katika DPG

Wizara ya Fedha

inasambaza miongozo ya bajeti kwenye wilaya, mikoa,

na wizara

NOVEMBA

Wizara ya Afya na Ustawi Jamii

inafanya majumuisho ya bajeti zake na

kuituma Wizara ya

Fedha

JANUARI

Wizara ya Fedha

inajadiliana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuhusu maombi yao

ya bajeti

FEBRUARI

Mashauriano na wahisani kufanyika

FEBRUARI

Uchunguzi makini na mazungumzo

ya bajeti kufanywa na Kamati ya Kitaalamu/

Wataalamu ya Makatibu Wakuu

MACHI

Baraza la mawaziri linapitisha maombi ya

bajeti

MACHI

Uchunguzi makini bajeti kufanywa na Kamati ya Kudumu ya

Bunge ya Mambo ya Jamii

MACHI-APRILI

Mdahalo wa Umma na kupitisha

APRILI-JUNI

UAANDAAJI WA BAJETI

Nafasi ya kushawishi mgao

katika sekta (inaongeza

mgawanyo wa bajeti ya afya)

Walengwa: Katibu Mkuu

au Wataalamu

Nafasi ya kushawishi mgao

katika sekta (inaongeza

mgawanyo wa bajeti ya afya)

Mlengwa: Waziri wa Afya

Nafasi ya kushawishi pande zote mgao katika sekta ya afya na

kugawa upya ndani ya sekta ya afya

Walengwa: Wajumbe wa

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

Huduma za Jamii

Nafasi ya kushawi-shi mgao katika sekta ya afya ili

kufikia malengo ya Abuja ya asilimia

15 ya matumizi ya serikali

Walengwa: Wabunge

machachari (mf. Wanachama katika klabu ya

Uzazi wa Mpango ndani ya bunge)

Ulipaji na uhasibu,

machapisho ya matumizi ya robo mwaka

JULAI-JUNI

Nafasi ya kusimamia

matumizi na kuhakiki “thamani

ya pesa”

Walengwa: Wakuu wa vitengo vilivyopendekezwa katika Wizara ya

Afya (mf. Uzazi wa Mpango, Chanjo) na masuala washirika

UCHUNGUZI MAKINI WA BAJETI (BUNGE LINAANZA)

UTEKELEZAJI, USIMAMIZI

NA UDHIBITI WA BAJETI

HA

TU

A K

AT

IKA

MC

HA

KA

TO

WA

BA

JET

I

Page 30: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

28 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo namba 7: Mchakato wa Kuandaa Bajeti katika Ngazi ya Serikali za MitaaSE

HEM

U Z

A K

UA

NZ

IA U

SHA

WIS

HI

UANDAAJI WA BAJETIUCHUNGUZI MAKINI

NA KUIDHINISHAUTEKELEZAJI, USIMAMIZI NA UDHIBITI WA BAJETI

UCHUNGUZI MAKINI NA KUIDHINISHA

Fursa na Changamoto za

Maendeleo katika ngazi ya kijiji

SEPTEMBA–NOVEMBA

Mipango ya kata kuidhinishwa na

Kamati ya Maendeleo ya Kata

OCTOBA– NOVEMBA

Timu ya halmashauri ya mipango ya afya

inakutana kuandaa bajeti

JANUARI

Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuyafanyia kazi

mapendekezo ya Katibu Tawala wa Mkoa (Februari)

FEBRUARI

Bajeti inawasilishwa

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

FEBRUARI

Nafasi ya kuweka kipaumbele

mambo ya afya katika ngazi

ya kijiji

Mlengwa: Mwenyekiti wa

kijiji au mfawidhi wa kituo cha afya (msimamizi wa

kituo)

Nafasi ya kuweka kipaumbele

mambo ya afya katika ngazi ya

kata

Mlengwa: Mwenyekiti wa

kamati ya afya au Diwani wa kata au Mfawidhi wa kituo

cha afya

Nafasi ya kuweka vipaumbele sahihi kwenye mambo

ya afya

Mlengwa: Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) au Mkuu wa kitengo katika sekta ya

afya

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Afisa mipango wa wilaya/halmashauri na Mganga Mkuu

wa Wilaya

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Afisa wa bajeti

kwenye Wizara ya Afya

HA

TU

A K

AT

IKA

MC

HA

KA

TO

WA

BA

JET

I

Page 31: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 29Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo namba 7: Mchakato wa Kuandaa Bajeti katika Ngazi ya Serikali za Mitaa (continued)

SEH

EMU

ZA

KU

AN

ZIA

USH

AW

ISH

I

UANDAAJI WA BAJETIUCHUNGUZI MAKINI

NA KUIDHINISHAUTEKELEZAJI, USIMAMIZI NA UDHIBITI WA BAJETI

UCHUNGUZI MAKINI NA KUIDHINISHA

Fursa na Changamoto za

Maendeleo katika ngazi ya kijiji

SEPTEMBA–NOVEMBA

Mipango ya kata kuidhinishwa na

Kamati ya Maendeleo ya Kata

OCTOBA– NOVEMBA

Timu ya halmashauri ya mipango ya afya

inakutana kuandaa bajeti

JANUARI

Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuyafanyia kazi

mapendekezo ya Katibu Tawala wa Mkoa (Februari)

FEBRUARI

Bajeti inawasilishwa

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

FEBRUARI

Nafasi ya kuweka kipaumbele

mambo ya afya katika ngazi

ya kijiji

Mlengwa: Mwenyekiti wa

kijiji au mfawidhi wa kituo cha afya (msimamizi wa

kituo)

Nafasi ya kuweka kipaumbele

mambo ya afya katika ngazi ya

kata

Mlengwa: Mwenyekiti wa

kamati ya afya au Diwani wa kata au Mfawidhi wa kituo

cha afya

Nafasi ya kuweka vipaumbele sahihi kwenye mambo

ya afya

Mlengwa: Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) au Mkuu wa kitengo katika sekta ya

afya

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Afisa mipango wa wilaya/halmashauri na Mganga Mkuu

wa Wilaya

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Afisa wa bajeti

kwenye Wizara ya Afya

HA

TU

A K

AT

IKA

MC

HA

KA

TO

WA

BA

JET

I

UTEKELEZAJI, USIMAMIZI NA UDHIBITI WA BAJETI

UCHUNGUZI MAKINI NA KUIDHINISHA

Kufuatilia kutolewa kwa pesa za robo

mwaka kwenye ubao za

matangazo

JULAI-JUNI

Kufuatilia repoti za utekelezaji za

robo mwaka

JULAI-JUNI

Kamati ya huduma za jamii

ya madiwani inapitia bajeti

FEBRUARI-MACHI

Kuwakilisha bajeti kwa Katibu

Tawala wa Mkoa

MACHI

Baraza la madiwani lakutana kuidhinisha bajeti

MACHI

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Katibu Tawala

Mkoa au Kamati ya Uendeshaji wa

Afya ya Mkoa

Nafasi ya kuangalia uwajibikaji na

kuepusha ugawaji mpya

Mlengwa: Mkurugenzi Mtendaji wa

Wilaya (DED)

Nafasi ya kusimamia

matumizi na kuhakiki

“thamani ya pesa”

Mlengwa: Mkurugenzi Mtendaji wa

Wilaya (DED) na Daktari Mkuu wa Wilaya (DMO)

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Madiwani

Nafasi ya kuweka vipaumbele

kwenye bajeti ya afya

Mlengwa: Mkurugenzi wa

Wilaya/Halmashauri au Afisa Mipango wa Wilaya/Halmashauri

Page 32: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

30 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Asasi za Kiraia zinaweza kuchukua wajibu siyo tu kushawishi kwenye zoezi la kuandaa bajeti kwenye ngazi ya mtaa, lakini pia kuchangia kwenye uwazi na uwajibikaji wa serikali kuhusu jinsi pesa inavyotumika. Nchini Tanzania mgao wa pesa hutengenezwa upya kila robo ya mwaka na kuwekwa kwenye mbao za matangazo.16 Asasi za Kiraia zinaweza kufuatilia hizo marekebisho, kuhakiki kama matumizi yanaendana na kilichopangwa kwenye bajeti na pia kuchunguza ubora wa kilichofanyika. (Mfano: ubora wa marekebisho kwenye vituo vya afya.) (Angalia umbo namba 7.)

Endnotes14. Ruzuku kwa ajili ya maendeleo zinatakiwa zigawiwe kufuatana na idadi ya watu katika wilaya

(asilimia 70), kiasi cha umaskini (asilimia 10), vifo vya watoto chini ya miaka mitano (asilimia 10), na umbali unaoutumia gari la wilaya kusafiri kwa ajili ya usimamizi (asilimia 10). Watetezi katika ngazi ya wilaya watatakiwa kuhakiki kuwa fomula inatumika ipasavyo na wilaya inapata mgao wa pesa unaostahili. Kama vile, utafiti wa mwaka 2007 uligundua kuwa vifo vya watoto chini ya miaka mitano havikuwa na uwiano na ruzuku ya afya iliyokuwa inapatiwa na Mamlaka ya serikali za mitaaa; zaidi sana, mgao wa Mamlaka ya serikali za mitaa kwa ajili ya wananchi maskini na umbali wa safari zilizokuwa zinafanyika na magari kwa ajili ya matibabu yalikuwa sawa na safari za wiki ukilinganisha ruzuku za afya zilizotolewa. Angalia Allers, Maarten A. ya mwaka 2007. Je fomula inapunguza umashuhuri wa kisiasa kwenye mgao wa ruzuku katika serikali? Ushuhuda kutoka Tanzania. Inapatikana kwenye http://www.rug.nl/staff/m.a.allers/politicalinfluenceongrants.pdf

15. Katika maeneo mengine, taratibu za Fursa na Changamoto za Maendeleo hazifanyiki kama inavyotakiwa. Jamii inaweza kupata habari zaidi kuhusu taratibu za Fursa na Changamoto za Maendeleo Tanzania, pamoja na Mchakato wa Kijijini na Mchakato wa Mjini, hapa: http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/programmes/O-OD/ ; na wanaweza wanaweza kushirikiana na uongozi wa mtaa kutetea kwa kutekeleza taratibu za pamoja kama inavyotakiwa.

16. Ripoti za mgao na matumizi katika kila robo ya mwaka kwa ajili ya wilaya huwa zinapatikana kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya. Maelezo ya kina kuhusu matumizi ya afya kwenye wilaya yanapatikana kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa wilaya.

Page 33: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 31Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

4 Uchunguzi kifani uliofanikiwa kwenye Utetezi wa Bajeti

Zifuatazo ni seti tatu za uchunguzi kifani zilizofanikiwa kwenye mambo ya utetezi wa bajeti za serikali. Uchunguzi kifani hizo zinatupatia taarifa jinsi ya ajenda za utetezi zilivyotengenezwa, mikakati/mbinu gani ya/za utetezi zilitumika na matokeo. Taarifa zaidi za uchunguzi kifani unaweza kuzipata kwa kuwasiliana na anuani zilitajwa.

4.1 Ushawishi wa ngazi ya Wilaya kwenye bajeti ya serikali kuhusu Uzazi wa Mpango

Utangulizi:Huduma za uzazi wa mpango nchini Tanzania zinapata ufadhili mdogo sana. Kwa makadirio mmoja kati ya kila wanawake wane walioko katika umri wa kuzaa huwa anakosa mahitaji muhimu ya uzazi wa mpango. Bajeti ya uzazi wa mpango inategemea kwa kiasi kikubwa kwenye ufadhili wa nje. Sehemu kubwa ya rasilimali za ndani kwa ajili ya uzazi wa mpango hutolewa kwa ajili ya vifaa, na kiasi kingine kwa ajili ya usimamizi. Utoaji wa huduma halisi huwa ni wajibu wa mamlaka ya serikali za mtaa. Ingawa vifaa vinatolewa nchi nzima na serikali kuu, gharama zingine kama vile kutafuta wahitaji/soko, huduma za majumbani, na gharama nyingi za usimamizi zinatolewa na wakala wa serikali za mitaa au zinatolewa na michango mingine kutoka wafadhili wa nje na mashirika yasiyo ya kiserikali. Uchunguzi kifani ufuatao unaonyesha uzoefu wa Health Promotion Tanzania (HDT) kwenye utetezi wa kuongezewa rasilimali kutoka mamlaka ya wilaya ikiwa halmashauri ya manispaa iliyopo Dar es Salaam.

Tatizo la utetezi lilikuwa nini?Mamlaka ya wilaya hayakuweka bajeti kwa ajili ya uzazi wa mpango. Uongozi wa wilaya ulikuwa na uelewa mdogo kwenye mahusiano kati ya uzazi wa mpango, afya ya mama na mtoto na mikakati ya kupunguza umaskini. Kwa hiyo hakukuwa na hamasa au kujitoa kwa dhati kwenye kutenga rasimali kwenye bajeti ya uzazi wa mpango.

Nani walikuwa watetezi? Uhusiano gani ulitengenezwa?Health Promotion Tanzania (HDT) liliongoza timu ya watetezi kutoka kwenye Asasi za Kiraia zinazofanyakazi kwenye afya ya uzazi na uzazi wa mpango nchini Tanzania. Mradi huu ulifadhiliwa na Mradi wa Gates unaotoa msaada kwenye mambo ya uzazi wa mpango nchini Tanzania na utetezi ulifanyika kati ya mwezi Aprili na Agosti mwaka 2012

Nani walikuwa watoa maamuzi?Watoa maamuzi kwa ajili ya ushawishi walikuwa Daktari Mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa (Mheshimiwa Meya). Mheshimiwa Meya ndo alikuwa mtoa maamuzi mkuu.

Page 34: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

32 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Mbinu na hatua gani za utetezi mlitumia?Uchunguzi wa mazingira ulifanyika ili kujua hali ya uzazi wa mpango kwenye wilaya, huduma gani hupatikana, hali ya ufadhili kwa ajili ya uzazi wa mpango, na changamoto ambazo mteja anaweza kuzipata anapojaribu kutafuta huduma. Ripoti ya kurasa mbili ya mambo ya sera iliandaliwa na kuonyeshwa “policy asks” – mabadiliko maalumu ambayo watetezi walitaka watunga sera kuwafikia. Kwa kutumia njia ya utetezi ya ‘Smart Chart’ iliyoandaliwa na shirika elekezi la ‘Spitfire Strategies’, mkutano ulifanywa na mganga mkuu wa manispaa wakati wa mlo wa mchana (uso kwa uso) kupata uelewa wake kwenye hoja na kutaka kujua anafanya uangalizi upi na ina uhusiano gani na uzazi wa mpango, watetezi walifanya mkutano wa ufuatiliaji na mratibu wa afya ya uzazi wa wilaya, na pia walitembelea vituo – wakiambatana na washauri wachache toka manispaa huenda kwenye baadhi ya vituo vya afya kukagua mazingira huduma zinapofanyika. Baadaye watetezi waliitisha mkutano na Meya, ambapo walimwelezea kuhusu matokeo ya uchunguzi wao juu ya upatikanaji wa huduma za KMC na matokeo yake kwenye afya na maendeleo kama halmashauri ya manispaa ingeshindwa kufanyia kazi. Hawa walengwa wa mwanzo wa utetezi walikuja kuwa washindi ambao walianza kuliongelea na kuwashawishi wengine kuhusu uhitaji wa kupata fedha kwa ajili ya uzazi wa mpango.

Mkutano mkuu wa halmashauri uliitishwa ili kuelezea matatizo yatakayotokea kwa kukosa pesa za uzazi wa mpango na kujadili kuhusu njia za kulifikisha. Utoaji wa taarifa ulifanywa juu ya hali ya taifa ya upatikanaji wa huduma za uzazi wa mpango, kwa kuonyesha takwimu mahsusi kutoka manispaa ya kinondoni, madhara ya takwimu, na hatua za kufanyia kazi. Meya na Meya msaidizi walikuwa ni miongoni mwa wanachama waliounga mkono juu ya hoja ya kuongeza mgao wa fedha za uzazi wa mpango.

Nini zilikuwa jumbe kuu za utetezi?Jumbe kuu zilikuwa:

• Wekeza kwenye uzazi wa mpango ili kuokoa maisha ya akina mama Wekeza kwenye uzazi wa mpango kupunguza vifo vya watoto• Wekeza kwenye uzazi wa mpango ili kuongeza uchaguzi wa maisha na uzalishaji kwa wasichana na wanawake• Wekeza kwenye uzazi wa mpango kupunguza umaskini Tanzania• Uzazi wa mpango unachangia kwenye maendeleo

Changamoto gani mlizipata kwenye zoezi la utetezi?Changamoto za msingi tulizopata wa zoezi hili la utetezi zilikuwa:

• Fikra kuwa malaria ndiyo ilikuwa kipaumbele katika taifa na kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kuwekeza kwenye uzazi wa mpango.

Page 35: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 33Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

• Uelewa mbaya kuwa uzazi wa mpango huzuia ongezeko la watu na kwamba dawa za uzazi wa mpango zina madhara makubwa

Changamoto zilitatuliwajwe?Kipaumbele ni Malaria: Tuliwaonyesha takwimu zinaonyesha kuwa malaria ilikuwa juu kwa mama wajawazito, wengi wao walikuwa hawakupanga kupata ujauzito; kwa hiyo kwa kutoa huduma za uzazi wa mpango, tutapunguza vyote, mimba zisizotarajiwa na hatari za malaria. Kwa kupunguza mimba zisizotarajiwa na zisizotakiwa pia tutapunguza idadi ya watoto chini ya miaka mitano (ambao wanaugua sana malaria) ambao wanahitaji matibabu bure kutoka serikalini. Hii itapungza gharama za matumizi ambazo serikali huingia kwa ajili ya afya. Hatimaye kwa kupunguza mimba zisizotarajiwa na za bahati mbaya pia itasaidia kurahisisha mfumo wa elimu, ambao una wanafunzi wengi kuliko wanaoweza kumudu.

Uzazi wa mpango ni njia ya kudhibiti idadi ya watu: Uzazi wa mpango husaidia mtu mmoja mmoja na wanandoa kuchagua kama ni lini, na watoto wangapi wapate na zaidi ya nusu ya wanawake walio katika umri wa kuzaa (miaka miwili hadi mitatu ndio huchukuliwa kaa ndiyo uachanisho mzuri na kwa afya bora) unapunguza uwezekano wa vifo na magonjwa/maradhi kwa watoto na kwa hiyo ni faida kwa wote baba na mama. Kwa vile serikali ya manispaa ndiyo inahusika katika kutoa huduma za afya, kuwekeza kwenye uzazi wa mpango kutapunguza gharama zote za elimu na huduma ya afya. Zaidi ya hayo, viongozi wa manispaa walionyeshwa takwimu zinazoonyesha ni kiasi kidogo ambacho serikali kuu inatoa kwa ajili ya uzazi wa mpango na hata kama hutolewa huwa mara nyingi haitolewi kwa ajili ya kutumia.

Nini yalikuwa matokeo ya utetezi?Halmashauri ya Manispaa iliahidi kuongeza pesa kwa ajili ya uzazi wa mpango. Waliamu kutenga angalau asilimia moja ya mapato kila mwaka, kuanzia bajeti ya mwaka 2012/2013 (juu kutoka asilimia 0.07 kwa mwaka 2011/12). Ahadi hii ilipopitishwa, Health Promotion Tanzania (HDT) waliandaa hati na kuomba isainiwe na Meya na Daktari Mkuu wa Manispaa. Kwa makubaliano mengine, hii inamaanisha kuwa bajeti ya serikali za mitaa ya uzazi wa mpango imeongezeka kutoka dola za kimarekani 10,080 kwa mwaka hadi dola za kimarekani 143,750 kwa mwaka.17 Pesa hizo zitatumika kuongeza uwezo kwa watoa huduma ya uzazi wa mpango wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kuongeza upatikanaji wa huduma rafiki kutoka vituo 11 hadi kusambaa kwenye vituo vyote 143 vya manispaa.

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na:

Health Promotion Tanzania Barua pepe: [email protected]

Page 36: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

34 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

4.2. Uboreshaji wa Upatikanaji wa Madawa: Kwa kutumia njia jamii za ufuatiliaji katika kuwajibika

Utambulisho:Upatikanaji wa dawa kweye vituo vya afya vya serikali limekuwa ni tatizo linaloongezeka nchini Tanzania. Kwa ushahidi kuwa kukosekana kwa madawa ni kizuizi kwa ajili ya upatikanaji wa huduma na kwamba huduma zilizokuwa na miundo mbinu mibovu inaweza kuathirika zaidi. Jamii inatoa sababu nyingi za kutokupata huduma za afya, zikiwemo kutokupatikana kwa madawa,vifaa tiba, na vipimo vya maabara; familia zilizoripoti kuwa zina shida ya gharama walisema wanaazima kutoka kwa marafiki, wanafamilia au kwa wakopeshaji na huhitaji kuuza mali zao au kuchelewa tiba.18 Mwaka2006/07 ni asilimia 21 tu ya watu waliweza kupata dawa muhimu kwa njia endelevu. Kwenye ukaguzi wa mwaka 2007 ukosekanaji ulisemekana ni kutokana na sababu zifuatazo: kuwa na miundombinu mibovu kwa jili ya kuhifadhi dawa, uwezo mdogo wa utawala kwenye kununua madawa, ukosefu wa akiba, kutokuwa na uhakika wa idadi ya dawa zilizoagizwa, na shida kwenye bajeti nzuri ya madawa.19

Sikika, shirika lisilo la kiserikali Tanzania, hufanya utetezi kuhakikisha kuwa huduma bora za afya kwa wote zinapatikana. Njia mojawapo inayotumiwa na Sikika ni Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii. Kwa kutumia njia ya ufuatiliaji wa uwajibikaji kwa jamii Sikika hufanya kazi na mawakala mbalimbali wa wilaya kuwawezesha kuulizia huduma bora kutoka kwa watoa huduma na kuwashikilia viongozi wao kuwajibika kwa huduma zilizotolewa.

Tatizo lilikuwa nini?Kwenye utafiti wa mwaka 2011 uliohusu vituo vya huduma vya wilaya na vya msingi, Sikika iligundua upungufu wa madawa na vifaa tiba (kwa mfano, glovu za upasuaji na sindano), zilizoharisha ubora wa huduma.

Nani walikuwa watetezi? Uhusiano gani ulitengenezwa?Katika ngazi ya taifa, Sikika walifanya kazi na wabunge na kikosi kazi wa bajeti za afya.

Nani walikuwa watoa maamuzi?Katika ngazi ya taifa washawishi waliwalenga maafisa kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye ngazi ya taifa; Wakurugenzi watendaji wa wilaya na Wenyeviti wa halmashauri walilengwa kama watoa maamuzi kwenye ngazi ya mamlaka ya serikali za mitaa.

Mlitumia mbinu na njia gani za utetezi?Kati ya mwezi Mei na Agosti mwaka 2011, Sikika walifanya utafiti wa haraka wa

Page 37: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 35Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

vituo vya afya na kugundua kuwa vituo vya afya vilikuwa na tatizo la ukosefu wa dawa muhimu. Sikika pia walifanya uchambuzi wa bajeti ili kuona mgao wa dawa ukilinganisha na matumizi ya kawaida yasiyo ya lazima, kama vile posho, safari, na kukarimu. Kwenye bajeti ya mwaka ya 2011/2012 ya dawa muhimu na vifaa, Kitengo cha kutoa dawa cha Bohari ya ya Madawa kilikaridia kuwa shilingi bilioni 198 zilihitajika kwa ajili ya kukabili hitaji la dawa muhimu kwenye sekta ya jamii. Lakini kwenye Mpango wa Muda wa Kati wa Matumizi (MTEF) bajeti ya dawa muhimu ilitengewa shilingi bilioni 78 (kama asilimia 40). Wakati huohuo, matumizi yasio lazima (mfano; posho, safari, ukarimu, na vifaa, na ununuzi wa magari) yalipanda kutoka shilingi bilioni 16.1 (kwa mwaka 2010/2011) hadi kufikia shilingi bilioni 20.9 (mwaka 2011/12) kwa ongezeko la asilimia 29.

Kwa mchanganuo huu, Sikika waliwakilisha kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Jamii (PSSC) siku moja kabla ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuwasilisha bajeti yake kwenye kamati kwa ajili ya majadiliano. Wakati wa kuwasilisha, Sikika walishauri kuwa mgao mpya wa fedha kutoka matumizi yasiyo ya lazima kwenda kwenye dawa muhimu. Matokeo yake ni ongezeko la shilingi bilioni 5 kwenye kipengele cha dawa muhimu (ongezeko la asilimia 6.5 ukilinganisha na mwaka jana).

Ili kukagua ubora wa huduma za afya kwenye ngazi ya vituo vya afya, ukichukulia mgao kwa ajili ya madawa na vifaa ulikuwa ni asilimia 40 ya makadilio ya mahitaji, Sikika waliungana na wawakilishi wa wananchi kutoka majimbo tofauti tofauti (Asasi za kiraia za wilaya, viongozi wa dini, ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa wilaya, washauri, na timu ya usimamizi wa maswala ya afya ya halmashauri kwenye wilaya za Kiteto, Mpwapwa, Kondoa, Iramba, na Singida vijijini. Sikika waliitisha mikutano na watoa maamuzi (halmashauri kuu, ofisi za wakuu wa wilaya, na ofisi za wakurugenzi watendaji wa wilaya) ili kupata mchango wao. Halafu wakatengeneza timu za Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii na kuwafundisha juu ya ufuatiliaji wa utoaji huduma za afya kwenye wilaya. Timu za Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii zilitoa elimu ya uangalizi wa utoaji wahuduma za afya kwenye ngazi zote – hospitali za wilaya, vituo vya afya na zahanati. Ufuatiliaji huo ulionyesha kuwa matumizi kwenye huduma za afya yalikuwa madogo ukilinganisha na pesa zilizotengwa kwenye bajeti ya wilaya kwa sababu ya ukosefu wa uwazi kwenye uandaaji na matumizi. Hii ikaleta matokeo mabaya kwenye utoaji wa huduma kutokana na matengenezo ya chini, upungufu wa dawa na vifaa tiba kwenye zahanati na upungufu wa rasilimali watu, kwa kutokuwa na mfumo wa kubakiza watu makazini. Baada ya hapo Sikika waliandaa mikutano kati ya watoa huduma, viongozi na timu ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii kujadili matokeo ya zoezi la ufuatiliaji na kutoa mapendekezo.

Nini zilikuwa jumbe za utetezi?Kwenye ngazi ya taifa: Utengajiwa pesa za kutosha kwa ajili ya madawa ni muhimu na huokoa maisha.

Page 38: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

36 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Kwenye ngazi ya wilaya: Kama uwazi kwenye matumizi ya pesa za umma utaongezeka, ubora wa huduma utaongezeka.

Ni changamoto gani zilitokea kwenye zoezi la utetezi?Changamoto za msingi zilizojitokeza kwenye zoezi la utetezi ni:

• Uelewa mdogo kati ya wananchi wa kawaida juu ya haki zao kwenye ngazi ya mamlaka ya wilaya• Ugumu wa upatikanaji wa taarifa kutoka maafisa wa serikali.• Uelewa mbaya juu ya utetezi (yaani: maafisa wa serikali na watumishi wa umma walichukulia utetezi kama wasumbufu)

Changamoto zilitatuliwaje?Uelewa mdogo wa wananchi: Sikika waliamua kutengeneza kijarida kiitwacho Fursa za Kufanya Mabadiliko nchini Tanzania: Mwongozo wa Wananchi Kuboresha Huduma za Afya ya Jamii (iko karibu kutokea). Waratibu wa Sikika wa wilaya pia walijihusisha kwenye mikutano ya jamii ili kuelimisha, kuwapa motisha, na kuwasaidia wananchi juu ya kuhusika kwao kwenye zoezi la kuandaa bajeti.

Ugumu kwenye upatikanaji wa taarifa: Baada ya utekelezaji wa kazi hii, makubaliano yalifanyika kati ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Asasi za kiraia (kitengo cha Sera) ikiorodhesha nyaraka muhimu ambazo zinaweza kupatikana kwenye wilaya. Asasi za kiraia zinatakiwa kuzifahamu hizo ili watambue haki zao katika kupata taarifa. Pamoja na hayo, upatikanaji wa nyaraka hizo unaweza kuwa bado ni changamoto kwa sababu ya mwonekano toka kwa watumishi wa umma kuwa nyaraka zote za serikali ni siri. Kuongelea uelewa mbaya juu ya utetezi, Asasi za kiraia zinatengeneza uhusiano kwa kufanya uhusiano chanya na mazungumzo utakaoboresha makubaliano ya hiyari na kupunguza fadhaa hiyo.

Nini yalikuwa matokeo ya utetezi?Serikali iliongeza bajeti ya madawa kwa shilingi bilioni 5 kwenye mwaka wa bajeti wa 2012/13, ongezeko la asilimia 6.5.

Wananchi kwenye wilaya 5 waliwezeshwa kuhoji juu ya uwajibikaji wa viongozi na matokeo yake walianza kufanya ufuatiliaji wa utoaji wa huduma za afya. Uwajibikaji wa serikali kwenye ukosekanaji wa dawa na uwazi kwa watoa huduma na viongozi uliongezeka. Sikika wataendelea kuwafundisha timu ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii ili kuongeza uelewa wao kwenye nyaraka za bajeti ya serikali na kuboresha ujuzi na uchambuzi.

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na:

Sikika Barua pepe: [email protected]

Page 39: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 37Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

4.3 Uchunguzi kifani kwa ajili ya Kushawishi Mfumo wa Bajeti kwa Maendeleo

Tatizo lilikuwa nini?Pesa kwa ajili ya UKIMWI zilitolewa tu kwenye bajeti ngazi ya taifa (wizara na vitengo vyake), kitu ambacho kiliacha wilaya bila rasilimali za kusaidia utoaji wa moja kwa moja wa huduma. Mfumo wa bajeti wa serikali haukuruhusu kuweka bajeti ya UKIMWI katika ngazi ya wilaya. Hii ilimaanisha kuwa mamlaka ya serikali ya mitaa isingeweza kuandaa na kufanya utekelezaji wa kazi za VVU na UKIMWI zaidi ya kutoa matibabu, kwa hiyo vifaa vilitoka moja kwa moja stoo ya madawa. Mkakati wa kupunguza umaskini wa mwaka 2005-2010 ulijumuisha VVU na UKIMWI kama tatizo la kimaendeleo chini ya fungu la kwanza (ukuaji wa uchumi) na fungu la pili (ustawi wa jamii); hii ilitoa nafasi ya kutetea mabadiliko kwenye zoezi la bajeti ambalo litawezesha mamlaka za wilaya kutenga pesa kwa ajili ya VVU na UKIMWI kwenye maandalizi ya bajeti.

Nani walikuwa watetezi? Uhusiano gani ulitengenezwa?Hoja hii kwa mara ya kwanza ilitolewa kwenye mkutano wa Asasi za kiraia, wakati huo zikijulikana kama Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER) kikundi cha baraza la Sera. Wajumbe walijumuisha Shirika la ‘Oxfam Ireland’, Shirika la Misaada (Action Aid), Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Health Promotion Tanzania (HDT), Shirika la ‘Concern Worldwide’, Shirika la ‘Care International’, Shirika la ‘Voluntary Services Overseas’ (VSO), na Taasisi ya Utafiti Juu ya Kuondoa Umaskini (REPOA).

Nani walikuwa watoa maamuzi?Mtoa maamuzi mlengwa alikuwa Kamishna wa bajeti toka Wizara ya Fedha; huyu ni mtu ambaye anasimamia zoezi la uandaaji wa bajeti ya serikali.

Mlitumia mbinu na njia gani za utetezi?Mradi wa kutathmini changamoto wanazopata kamati za halmashauri zinazojumuisha sekta nyingi ili kusaidia mambo ya UKIMWI (the Councils’ Multi-Sectoral AIDS Committees) na kwa jinsi gani zilikuwa zikifanya kazi. Mradi ulitoa taarifa ya halmashauri gani zilipatiwa pesa toka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na zipi hazikupata; na pia ilitoa taarifa za jinsi gani upungufu wa pesa uliathiri kazi zao. Matokeo yalikusanywa na kutengeneza muhtasari wa sera na kugawiwa kamati ya Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER) (iliyojumuisha Asasi za kiraia, serikali na wahisani). Taarifa juu ya hali ya UKIMWI katika ngazi ya taifa ilitolewa na ililenga katika kuonyesha jinsi gani wale waathirika wa VVU walivyokuwa wakihamia vijijini na kuongeza uhitaji wa mamlaka za serikali za mitaa kupata rasilimali za kutunza watu waishio na VVUna kuzuia maambukizo mapya. Taarifa pia ilionyesha jinsi gani utendaji wa kamati za halmashauri zinazojumuisha

Page 40: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

38 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

sekta nyingi ziliathirika kwa kukosa pesa na matokeo mabaya ya mbeleni kwenye juhudi za mapambano ya VVU na UKIMWI nchini. Lengo la utetezi (policy ask) lilikuwa ni kuhakikisha serikali inaanzisha mfumo wa bajeti kwa ajili ya VVU na UKIMWI kwenye wakala wote wa serikali, ambao utaruhusu mawakala wa serikali kuweka kipaumbele kwenye hota za UKIMWI ndani ya sehemu za kazi na zaidi.

Uongozi wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ulikubaliana kuwa kukosekana kipengele cha bajeti ni hoja ya msingi na kuona ni lengo la wote. Kupitia Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER), ilithibitika kuwa kulikuwa na pesa kidogo sana kwa ajili ya serikali za mitaa. Timu ya utetezi ilitoa taarifa kama hiyo kwenye Kamati ya Bunge inayoshughulikia UKIMWI Tanzania (TAPAC) na kufanikiwa kupata muafaka baina ya mashirika tofauti na watunga sheria wenye jukumu kwenye VVU na UKIMWI serikali. Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ilikuwa mthamini na kuandaa mkutano uliofanikiwa kwa niaba ya timu ya utetezi na Wizara ya Fedha na pendekezo lilipokelewa.

Nini zilikuwa jumbe za msingi za utetezi?Lengo lilikuwa ni kutambulisha kanuni za bajeti kwenye mfumo wa bajeti wa serikali kwa ajili ya VVU na UKIMWI ili kuwafikia vema wahitaji wote na kuchangia kwenye kupunguza umaskini na kukua kwa uchumi. Jumbe zilikuwa: (1) kutenga pesa kwa ajili ya UKIMWI ili kuwawezesha kutoa matunzo kwa waathirika, (2) kutenga pesa kwa ajili ya UKIMWI kwa mamlaka ya serikali za mitaa ili kuzuia maambukizo mapya ya VVU.

Changamoto gani zilitokea kwenye zoezi la utetezi?Baadhi ya wataalamu hawakukubaliana kuwa UKIMWI ulihitaji uangalizi wa hali ya juu hivyo ndani ya sera na bajeti za serikali; hiyo ilitokea zaidi katika kuangalia uhusiano kati ya UKIMWI na umaskini. Kwa hiyo walipinga mpango huo. Changamoto nyingine ilikuwa ni vipaumbele vinavyoshindana kwenye serikali – wakati timu ya utetezi ilipotaka utambulisho wa kanuni ya bajeti kwa ajili ya UKIMWI, teknokrasia walihoji kwa namna gani hiyo itaathiri vipaumbele vingine kama vile maji, mazingira, na magonjwa yasiyoambukiza, ambavyo vilikuwa vinazidi kuongezeka.

Changamoto zilitatuliwaje?Changamoto zilitatuliwa kwa kuonyesha takwimu na kuzitetea kwa “human face” kupitia uchunguzi kifani. Watetezi mara zote walirudia kuonyesha mambo ambayo yametokea na uzalishaji utakavyopotea kutokana na kutokuwezesha mamlaka ya serikali za mitaa kuandaa na kutekeleza shughuli za VVU na UKIMWI.

Nini yalikuwa matokeo ya utetezi?Mwaka 2007, mfumo wa bajeti wa serikali ulibadilishwa kuongeza Dhumuni A, ambalo ni mahsusi kwa ajili ya VVU na UKIMWI; sasa ni sharti kwa mamlaka zote kutenga pesa kwenye kipengele hicho. Ni fomula inayochukua nafasi kama ile ya

Page 41: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 39Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Block Grants kwenye sekta ya afya: watu asilimia 70, mzigo wa magonjwa asilimia 10, njia ya magari ya wilaya asilimia 10, na umaskini kwa kila kichwa asilimia 10. Matokea yake, pesa zinazotengwa kwa ajili ya wakala wa serikali za mitaa kwa ajili ya VVU na UKIMWI imeongezeka mara 3 zaidi, kutoka chini ya shilingi bilioni 4 hadi kufikia bilioni 12 ilipofika mwaka 2011/12.

Endnotes17. Manispaa ya halmashauri ya Kinondoni hukusanya karibu Shilingi za Bilioni 23 za kitanzania kwa

mwaka, ikiwa ni sawa na karibu ya dola la kimarekani milioni 14.4.18. Wengine walitoa sababu zinazozuia kuwa ni umbali kutoka kwenye vituo vya afya, gharama

za usafiri na upungufu wa watoa huduma za afya. Macha, J., H.P. Mushi and J. Borghi.2011. Kuchunguza mahusiano baina ya uwajibikaji, uaminifu na ufanisi wa utoaji wa huduma za afya Tanzania. Ifakara health Institute.

19. URT, 2008.

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na:

Health Promotion Tanzania Barua pepe: [email protected]

Tanzania Commission for AIDS Barua pepe: [email protected]

Page 42: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

40 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Vifupisho

AGOTA Chama Cha Madaktari wa Uzazi Tanzania

AJAAT Chama Cha Waandishi wa Habari Dhidi ya UKIMWI Tanzania

ANAT Mtandao wa Mapambano Dhidi ya UKIMWI Tanzania

BCC Mabadiliko ya Tabia Hatarishi

CCHP Kamati Maalum ya Huduma za Afya

CHMT Kamati ya Usimamizi wa Afya wa Halmashauri

CHPT Kamati ya Uhamasishaji wa Afya katika Halmashauri

CSO Asasi za Kiraia

DED Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya

DMO Daktari Mkuu wa Wilaya

DPLO Afisa Mipango wa Wilaya

GoT Serikali ya Tanzania

HDT Mpango wa Uhamasishaji Afya Tanzania

HIV Ukosefu Wa Kinga Mwilini

HSBF Mfuko wa Ruzuku wa Sekta ya Afya

IMTC Kamati ya Kitaalamu/Wataalamu ya Makatibu Wakuu

KMC Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

LGA Mamlaka ya Serikali za Mitaa

MDAs Wizara, Idara, Wakala

MEWATA Chama Cha Madaktari Wanawake Tanzania

MKUKUTA Mkakati wa Kupunguza Umaskini Tanzania

MMR Uwiano wa Mpango wa Uzazi

MoF Wizara ya Fedha na Uchumi

MoHSW Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

MSD Bohari ya Madawa

Page 43: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 41Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

MTEF Mpango wa Muda wa Kati wa Matumizi

NGO Mashirika yasiyo ya Kiserikali

NHIF Bima ya Afya ya Taifa

O&OD Fursa na Changamoto za Maendeleo

PAT Chama cha Madaktari wa Watoto Tanzania

PER Mapitio ya Matumizi ya Umma

TAMISEMI Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

PSSC Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Jamii

RAS Katibu Tawala wa Mkoa

REPOA Taasisi ya Utafiti Juu ya Kuondoa Umaskini

RHMT Kamati ya Uhamasishaji Afya wa Mkoa

SAM Ufuatiliaji wa Uwajibikaji katika Jamii

TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania

TAMA Chama cha Wakunga Tanzania

TAMWA Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania

TAPAC Kamati ya Bunge inayoshughulikia UKIMWI Tanzania

TAWLA Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania

TGNP Mtandao wa Jinsia Tanzania

TWG Kikosi Kazi

UMATI Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania

USAID Shirika la Maendeleo/Msaada la Watu wa Marekani

VSO Voluntary Services Overseas

WDC Kamati ya Maendeleo Kata

WHA Baraza la Afya la Dunia

Page 44: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

42 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Mashirika yanayofanya kazi kwenye Utetezi wa Bajeti nchini Tanzania

Jina la Shirika Mawasiliano

Health Promotion Tanzania HDT P.O. Box 65147 Dar es Salaam Tel: +255 22 2772264/86 Barua pepe: [email protected]

Delloite Delloite Tanzania 10th Floor, PPF Tower Corner of Ohio Street & Garden Avenue P.O. Box 1554 Dar es Salaam Tel: +255 222 334 4455

DSW DSW (Deutsche Stiftung Weltbevoelkerung) P.O. Box 1427 Arusha Tel: +255 27 255 5020 Mobile: +255 764 990009 Fax: +255 27 255 5064 Barua pepe: [email protected] www.dsw-tanzania.org

Engender Health EngenderHealth Tanzania Plot 277 Chato Street Regent Estate P.O. Box 105410 Dar es Salaam Tel: +255 222 774941 Barua pepe: [email protected]

The Palladium Group Palladium Group International Plot # 214 Lukuledi Street Mikocheni P.O. Box 76724 Dar es Salaam Tel: +255.22.2700721 / +255.22.2700717 Fax: +255-22-2700725

Page 45: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 43Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Pathfinder Pathfinder International, Tanzania Chato Street, Plot No. 260 Off New Bagamoyo Road Regent Estate Dar es Salaam Tel: 255-22-2700-726/729/753 Fax: 255-22-2700-731 or 255-22-2700-815 Barua pepe: [email protected]

Policy Forum Policy Forum P.O. Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Mobile:+255 782317434 Barua pepe: [email protected]

REPOA REPOA 157 Mgombani Street Regent Estate P.O. Box 33223 Dar es Salaam Tel: +255 (22) 270 0083 / +255 (22) 277 2556 Fax: +255 (22) 277 5738 Mobile: +255 (0)78 455 5655 Barua pepe: [email protected]

Save the Children Save the Children International, Tanzania Plot 257, Kiko Avenue Mikocheni A, Old Bagamoyo Rd. P.O. Box 10414 Dar es Salaam Tel: +255 22 2701 725 Fax: +255 22 2701 726

Sikika Sikika P.O. Box 12183 Dar es Salaam Tel: +255 22 26 663 55/57 Fax: +255 22 26 680 15 Barua pepe: [email protected]

Page 46: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

44 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Kumbukumbu na Rasilimali

Allers, Maarten A. 2007. “Do Formulas Reduce Political Influence on Intergovernmental Grants? Evidence from Tanzania.” Retrieved from http://www.rug.nl/staff/m.a.allers/politicalinfluenceongrants.pdf.

BRIDGE Project. 2008. “Repositioning Family Planning: Guidelines for Advocacy Action.” Geneva: WHO. Retrieved from http://www.who.int/reproductivehealth/publications/family_planning/fp_advocacy_tool/en/index.html.

Carlitz, Ruth. Review of Impact and Effectiveness of Transparency and Accountability Initiatives. Annex 2. 2010: Budget Processes. Institute of Development Studies (IDS).

Development Partners Group. 2006. “The Framework for Development Co-operation between the Government of the United Republic of Tanzania and its Development Partners to Achieve National Development and Poverty Reduction Goals.” Retrieved from http://www.aideffectiveness.org/Country/Tanzania/ Joint-Assistance-Strategy-Tanzania-2006.html.

Dewji, Ismat. 2006. “All about the Health Budget! Dar es Salaam, Tanzania.” Retrieved from http://www.sikika.or.tz/en/cms/functions/files/publication122.pdf.

Dickinson, C., T. Collins, R. Loewenson, and S. Ghosh. Fall 2012. “Civil Society’s Contribution to Budget Advocacy for Sexual and Reproductive Health: Findings and Lessons Learned from Three Country Studies in Bangladesh, The Philippines and Uganda.” Global Health Governance VI(1).

Garza, Manuela. 2009. Civil Society Budget Analysis and Advocacy as a Tool for Maternal Health Accountability. Washington, DC: International Budget Partnership.

HakiKazi Catalyst. 2004. “Demystifying the Budget Process in Tanzania: A Seminar to Promote Civil Society Advocacy.” Arusha, Tanzania: Tanzania Natural Resource Forum. Retrieved from http://www.hakikazi.org/papers/Budgeting-Seminar-Report.pdf.

HDT. 2010. Advocacy Training Manual for Civil Society Organizations. Dar Es Salaam, Tanzania.

International Planned Parenthood Federation. 2012. “International Budget Partnership: Handbook for Budget Analysis and Tracking in Advocacy Projects.” New York: IPPF. Retrieved from http://www.ippfwhr.org/en/resource/ handbook-budget-analysis.

Page 47: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

n 45Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Macha J., H.P. Mushi, and J. Borghi. 2011. Examining the Links between Accountability, Trust and Performance in Health Service Delivery in Tanzania. Dar es Salaam, Tanzania: Ifakara Health Institute.

Narton, Andy. 2002. What’s Behind the Budget? London.

“Policy Forum. Strengthening Parliament’s Budgetary Oversight Function: The Case for a Budget Office.” Retrieved from http://www.policyforum-tz.org/files/Parliamentary%20Budget%20Office%20Brief.pdf.

Policy Forum and Hakielimu. 2008. Understanding Budget Process in Tanzania, a Civil Society Guide.

POLICY Project. October 1999. “Networking for Policy Change: An Advocacy Training Manual.” Washington, DC: Futures Group, The POLICY Project. Volume IX. Retrieved from http://www.policyproject.com/pubs/AdvocacyManual.cfm.

Save the Children. 2012. “Health Sector BUDGET Advocacy: A Guide for Civil Society Organizations.” London. Retrieved from http://www.savethechildren.org.uk/resources/online-library/health-sector-budget-advocacy-guide-civil-society-organisations.

Spitfire Strategies. n.d. “SMART CHART 3.0.” Washington, DC. Retrieved from http://www.smartchart.org/content/smart_chart_3_0.pdf.

United Nations. 1976. International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, Article 12 of International covenant on Economic and Social Rights.

The United Republic of Tanzania. 2012. The HIV and AIDS and Malaria Indicator Survey. Dar es Salaam, Tanzania.

The United Republic of Tanzania. 2012. Public Expenditure Review Report for Ministry of Health for Year 2011/12. Dar es Salaam, Tanzania.

The United Republic of Tanzania. 2008. Health Sector Performance Profile Report, Ministry of Social Welfare. Dar es Salaam, Tanzania.

The United Republic of Tanzania. 2001. “Opportunities and Obstacles for Development.” Retrieved from http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/programmes/O-OD/.

World Health Organization. 2012. The Rio Political Declaration on Social Determinants of Health (WHA 65.8). Geneva, Switzerland.

Page 48: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

46 n Ushawishi wa bajeti ya Afya katika serikali ya Tanzania: Mwongozo wa Asasi za kiraia

Umbo na. 1: Mgao wa Bajeti kwenye Sekta ya Afya kati ya Serikali na Wahisani ..................................................................................... 5

Jedwali na. 1: Wajibu wa Asasi za Kiraia katika Kuandaa Bajeti ............................... 6

Umbo na. 2: Vyanzo vya pesa kwenye bajeti ya serikali ...........................................17

Umbo na. 3: Vyanzo na Mgawanyo wa fedha za bajeti ya serikali .......................18

Jedwali na. 2: Bajeti ya Serikali ya Tanzania kwenye sekta ya Afya .........................20

Umbo na. 4: Mzunguko wa Bajeti kwa Mwaka ..........................................................21

Umbo na. 5: Majukumu ya Ngazi mbalimbali za Serikali katika Kuandaa Bajeti kwa ajili ya Sekta ya Afya ..............................................................23

Umbo na. 6: Utaratibu wa Kuandaa Bajeti katika Ngazi ya Taifa ...................26-27

Umbo na. 7: Mchakato wa Kuandaa Bajeti katika Ngazi ya Serikali za Mitaa ...................................................................................28-29

Orodha ya Majedwali na Takwimu

Page 49: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna

ii Influencing Government Health Budgets in Tanzania: A Guide for Civil Society

Health Promotion TanzaniaPO Box 65147Dar Es Salaam

Tel: +255 22 2772264/[email protected]

The Palladium Group Headquarters1331 Pennsylvania Avenue NW, Suite 600

Washington, DC 20004 USATel: +1.202.775.9680Fax: +1.202.775.9694

HEALTHPOL ICYP R O J E C T

Page 50: Ushawishi wa Bajeti ya Afya katika Serikali ya Tanzania · Mratibu wa Afya wa Manispaa ya Kinondoni ; Simon Moshy, Afisa Mradi wa Sikika; Elinami Mungure, kutoka DSW Tanzania; Anna