Upload
well-told-story
View
359
Download
1
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Chapta 13 - Full Comic
Citation preview
chapta 13
inspiring kenyan youth
not for sale
check out our
new website
www.shujaaz.fm
web fm sms comix
Anarudi bana! Niunganishie kuku tumpikie, at least ka-welcome hivi!
...ksskss...
Unakumbuka O.G.? Yule boy alituingiza kwa
gang?
...ksskss...
oe!
tosh!!!
kumbe ni wewe, slim? mbona unajificha?
Ni kutuliza kiasi, si unajua tunasakwa na
makarao mtaani.
Hizo risto za gang nilichoka nazo. Ndio job ni hard lakini najitegemea.
heh.
uko down.
Napenda sana ma-electronics na radio. So nimeamua kujenga pirate radio station- Shujaaz.fm! DJ B mwenyewe, ndani ya nyumba!
Lifeya Gangsta
3
Ala! Nani huyo
anakuja na hiyo kelele
yote?
Skia vile ndai yake inachuna ngoma!!
Chunga wasichana
wako wasiharibiwe
na huyu!
ati o.g. amehepa
jela mara 10!
wacha?!
ana garikama 20!
Walalala!
sasa amerudi
huku kufanya nini???
aki nataka kuwa kama
o.g. ...
4
Eh, Mwas alidedi.
Oh?! Lakini hiyo ndio life ya magangsta
kama sisi.
mwas yuko wapi?
Na Blackie mnamskia?
alishikwa.
Chekini, Godpapa ameni-organiz-ia nitulize huku kiasi.
Nasakwa.
Ni tuff, lakini sisi ni ma-thug.
Hatu-represent-iwi kwa gava, so
wana-expect nini?
Mabuda hawatujali. Lazima sisi mayuts tujitetee kwa hizi gang zetu, ausio?
No mercy!
Msi-mind, elections zina-come, Godpapa ataangusha dooh
ile mbaya.
Sasa acheni niende nicheki mtoi wangu.
Sijamwona kwa miaka kama 15 hivi.
Si sasa mtoi amekusahau?
Sasa ni-do? Lazima aelewe hali ya
u-gangsta! Twende Slim.
baadaye kwa gangheadquarters...
5
LiPA!!!
Hii ni youth group ya aina gani?!
AAAAAAH,Slim!
Hizi mbio zinanikumbusha
operations zetu za tene!
Hehehehe! Ah! Kama hii ndio life
ya u-gangsta wacha
nirudi kwa shamba!
oe! Slim bana, si unionyeshe
kwenye nitajificha kwanza?!
Sema, Slim! Kuna youth group flani nime-join. Si uicheki?
7
Unaweza ni-save na job? Nimechoka na story za gang,
jo! Si uli-help Tosh?
Wazi Slim. Kuwa gangsta ni kuji-waste. Unaskianga DJ B? Ana show flani ina ideas mob za ku-make
dooh.
slim?Sema.
niaje boyie?
Yule wa Shujaaz.FM? Hata wacha nimtumie
sms nimwambie a-show mayuts
vile gangs hazibambi!
ala! kumbe Hii ndio
maisha ya gangsta?!
Ah, shhhh! Makarao
watanipata!
SKIA KUTOKA MSEE WA NGUVU,
JOHN KIRIAMITI.
Ina dooh sana.
Utajibamba, utaweza ku-buy
nguo noma, ndula, kama
wasee wa majuu wa music video.
Uki-get dooh kwa njia illegal, ni rahisi
kupatikana na makarao, hizo dooh
hazi�chiki easily!
Music videos
zime-act-iwa, si real!
Uki-join gang, utafanya
vitu mob dangerous
kabla upate dooh, na
hauta-enjoy hizo dooh
juu utabambwa uishie
jela. Usiamini kila kitu
unaona kwa TV!
“Kuwa kwa gang ndio mwanzo wa kuwa criminal.”
“Ukitaka kutoka kwa gang, toka na usi-communicate na wasee wenye wamebaki huko!
“Kuwa na friends positive.”
“Gang si ‘brotherhood’. Kila mtu atashikwa peke yake, na utaenda jela peke yako!”
SI WORTH KUWA GANGSTA!Kuna njia mob za ku-make
dooh, kaa rada, cheki www.shujaaz.fm.”
BIG UP JOHN KIRIAMITI KWA ADVICE!
REALITY!
REALITY!
CHEKI MAVACO NA REALITY JUU YA GANG LIFE…
8
Nili-discuss na buda juu ya
interest yangu...Nilipenda sana fish tangu
nikuwe mtoi. Kuna time hata nilijaribu ku-plant bones za fish
kwa shamba!
Er, um, er, Erico. Kwa nini uli-decide
kufuga fish?
He, he, alitaka kukuuliza
swali kidogo
11
So, unalisha fish nini?
Cheki, hata wewe unaweza try kwa ka-pond
kadogo ausio? Shika hizi
fingerlings.
Mdogomdogo, tulianza.
Tunatumia vitu cheap kuzilisha,
kama mbolea ya kuku.
After form 4, alinigawia kaploti kwa
shamba yake nitumie kufuga fish. Then,nika-share idea yangu na mabeste
ndio tu-work pamoja.
As a group, tuli-manage ku-apply
for youth fund na tuka-get
dooh.
Thanks sana Erico. Er, em, nikupe number yangu ndio tubonge
hii story more baadaye?
12
Ha, ha. Nitamwuliza.
Amekuwa akinipe tips mob na nili-share na DJB ndio mayuts
wengi wapate hii idea. Erico ni guy mpoa sana.
, ulienda ocha ku-do?
Hata sidhani huyo chali alikuwa
m-hot…
Malkia, alikupe number ya
beste yake yeyote
uniunganishie?
13
» Naskia una kichwa bigi, ukienda kinyozi ina-bidi ukuwe admitted.
» Ati umechapa hadi shadow yako hukuambia “endaga, na-come”.
» Nyanya yako ni toothless hadi hawezi uma vaco.
» Comp yako ni mzee hadi inatumia miti shamba kama anti-virus.
» Una kisogo refu, ukivaa marvin kichwa inakaa windsock.
» Ma-siz wako ni ma-ugly hadi buda wenyu ameandika kaw gate: “Marry
1, get 2 free”.
» Umefanya dhambi mob hadi sheito akikuona, ye huwika: “Oh my God!”
» Wewe ni fala, ulienda bloodtest na mwakenya.
» Ati wewe ni mjinga, mwalimu wa Kiswahili alikuuliza udogo was mawe
ukasema kokoto.
» Kwenyu kuna insecurity hadi ukipigwa ngeta unapewa receipt.
» Ati wewe ni mnono, uliingia Facebook kama group.
» Sanifu (v) - Tafuta
» Mrengo (n) - Food
» Kisisa / Mawinch (n) - Dooh /Money
» Kabambe (n) - Job / Kazi
» Chwara / Maurero (n) - Dem / Girl
» Buju (n) - Gari
» Usoro (v) - Kuchunguza
» Gouko (n) - Vita / Fight
» Gwangi (adj) - Mwanaume ugly
» Duanzi (adj) - Fala
» *Maru (n) - Works / Job *by Gadisa Gashu
[ UME-WIN TISHO! ]
Shuj
aaz(
TM) i
s pu
blis
hed
by W
ell T
old
Stor
y Lt
d. ,
P. O
. Box
170
0 00
502
Nairo
bi, K
enya
. Tel
: 02
0260
3214
ww
w.w
ts.c
o.ke
. Prin
ted
by C
olou
rprin
t Lim
ited,
P. O
. Box
444
66 -
0010
0 Na
irobi
GPO
. Pro
duce
d in
col
labo
ratio
n w
ith: S
afar
icom
, Tw
awez
a, R
IU.
Dist
ribut
ed b
y Sa
turd
ay N
atio
n an
d Sa
faric
om.
Cont
ent p
rodu
cers
: Aud
rey
Wab
wire
Co
nten
t: Pa
ul P
eter
Kad
es, C
harle
s O
uda,
Dav
id O
uma
Ar
t Pro
duce
r: Fa
tima
Aly
Jaffe
r L
ayou
t Des
ign:
Sal
im B
usur
u
Art:
Dani
el M
uli,
Eric
Mut
hoga
, Nad
dya
Olu
och-
Olu
nya,
Jo
e Ba
rasa
Ra
dio:
Eun
ice
Mai
na
Spe
cial
than
ks to
Jus
t A B
and
for t
heir
fant
astic
mus
ic o
n Sh
ujaa
zFM
radi
o
Wel
l Tol
d St
ory
© 2
011
All r
ight
s re
serv
ed. N
o pa
rt of
this
pub
licat
ion
may
be
repr
oduc
ed, s
tore
d in
any
retri
eval
sys
tem
or b
e tra
nsm
itted
in a
ny fo
rm o
r by
any
mea
ns, e
lect
roni
c or
mec
hani
cal w
ithou
t prio
r per
mis
sion
of t
he
publ
ishe
rs. A
lthou
gh e
very
effo
rt ha
s be
en ta
ken
to e
nsur
e th
e ac
cura
cy o
f inf
orm
atio
n co
ntai
ned
in th
is p
ublic
atio
n, in
no
even
t sha
ll th
e pu
blis
hers
be
liabl
e fo
r any
inci
dent
al, i
ndire
ct, c
onse
quen
tial l
osse
s or
dam
ages
of a
ny
kind
with
out l
imita
tion
aris
ing
out o
f or i
n co
nnec
tion
with
the
use
of th
e in
form
atio
n in
this
pub
licat
ion.
15
Hi DJ B, just did my KCPE but Shujaaz imeni-keep home. Huwa c zururi. Instead, mi hupanda skuma home na 2me save dooh mob. Ian, KTL, 14 yrs from Kitale.
Sema Boyie, mi na like comix yenu, ime tu-encourage sisi ma-youth. Kama hiyo story ya skuma ita help many youths. Nilikuwa nataka ku advise vijana waanze entertainment group zao na wata get pesa. Eva Maina from Nyeri district, Munyu location.
Rabbit noma; moja hu bear upto 10 kids, zina grow faster, na kuzaana faster pia. Urine yake na manure pia ni dooh, ukiuza ama utumie kupanda healthy crops. Meat yake ni super na ni white meat. Gatimu L.
Mi ni Richard, kutoka mtaani Kibera. Hiyo idea ya kuanza TV station ni poa sana. Ita-help ma-yuth na pia itawa-encourage. Asante sana DJ B!
Hi DJ B! Imagine my poultry project imeni-inua tu sana kidooh. Nimeji-cloth na ku-achieve vitu mob. Mayouth wai-try. Ken Mukonyi, 18. Kakamega.
Niaje DJ B. Idea ni wasee wenye wame-mada chuo waache kukaa home idle so sakanya works yeyote uanze ku-earn. Si works ni works bora unaearn doo yako? Betty K.
Manze DJ B wewe hunibamba mbaya sana nimekuwa addicted 2 ur show. Tresia ELDY aka DJ T
Niaje DJ B. Mko yuu maze. Na-like zile ma advise mnagive. Pia da dicmusi iko swadakta.
Asante DJ B. Yaani items zako ziko poa mpaka sina hamu ya food na uzingizi. Tena hakuna homework roundi hii. Ryan Paul Kipkorir from Sotik
Hi DJ B! It's Mavo 4rm Juja. Hapa mtaani wajamaa walikuwa na shida ya maji lakini mimi na mabeshte wangu tuli-talk na chief na sisi mayouth tuli-represent shida zetu kisha tukaungana na ma-villagers ku-help in the job of tapping water and within 2 days it was finished. You can build a better nation! Mayouth, don't be afraid to express your grievances. Mavo Premier from Juja.
IDEA ZA
KU-MAKE DOOH
Cheki chapta 14, ina-come na info ya
rabbit farming!
Cheki Chapta 9 na 10 www.shujaaz.fm!
Cheki Chapta 8 www.shujaaz.fm
IDEA YA CAREER
MI NA-LIKE SHUJAAZ!
KU-APPROACH
LEADERZ
NI POA KUFUGA WANYAMA..
T-SHO WINNERS
16
Sup DJ B! Mi natoa advice ya myn kwa ma youths, na especially mateeniez, wa join groups za maana ili ku-avoid kuwa idle na wa discover talents zao. Groups kama karate ime-nisaidia 2 sana. Kwanza kwa ma-dem ina-help na self-defence against rape.
Vijana tu-form youth groups ili tujiinue kiuchumi. Kwani ni rahisi ku access loans tukiwa wengi kuliko individually.
Hi DJ B! Manze when I cleared 4th I was idle bt idea ya ku-dry fruits ime-nisave 2 sana. Nilishow matha akaanza hiyo projo na sasa amenifungulia base ya pudding. - Edu.
Niaje DJ B. Thanks kwa ku-help mayouths. Why can't u tackle the issue of drug abuse? Manze zina-kill na ku-waste time mob ya may-ouths. Wa-show drugs ni gwan. Thanks. Ann M.
Niaje DJ B, walahi risto zako za alcoholism ni true. Kip it up. What I wld tel u iz that advice ma-youth much more about drug abuse pliz. Oliver from Dandora.
“Congrats wote kwa kupata cert za KCSE!! Hii ni step kubwa na I
hope mna-plan kitu mta-do next. Hata kama hauta-make kuenda cole, kuna ideas mob hapa
Shujaaz.FM zenye unaeza try uanze kujitegemea!”
Eunice MwangiBase: DandoraDream: Kuwa Bank Manager
Eunice example poa kwa mayuts wengine, coz hapendi story za traibo.
“Shujaaz imenifundisha vitu mob. Uki-scream kama kuna shida, ni neighbour wako ndio atakuja kuku-saidia. Sio necessarily mtu wa tribe yako.”
Asanteni kwa tips zenu wasee. Nitaangalia
story ya drug abuse vipoa hivi karibuni.
Hi DJ B! Hiyo risto ya new variety sweet potato vines imeni-jaz sana nimei-try na nina sale vine moja 5bob. Dooh nilipata nimenunua mbegu za kales. Kudos
NEW SWEET POTATO VARIETY
IMPORTANCE YA KUWA
KWA YOUTH GROUP
KUKAUSHA MA-FRUITS
SHUJAAOF THE MONTH
NOMA YAALCOHOLISM
facebook 3008sms
17
Walalala!
Si yule ni Tina?! Woshe pole,
nini ime-happen?
Rubo amenipiga!
Ni kama Rubo ameumia,
tumpeleke hosi.
Asante Afande. Tujaribu
kuongeza security hapa…
Eeeeesh! Ondokeni
hapa!
uuuuwi!!
uuuuuww w wiii ! !uuuuuww w wiii ! !
19
CLINIC
Manze karibu bizna yangu i-die, juu ya
hizi risto za gej!
Pombe ina dangers nyingi sana, lakini watu hawajui.
Kulewalewa inaweza kukupa risks kadhaa na HIV.
Usi-suffer peke yako.
Unaweza kupata usaidizi.
Rubo alikuwanga mpoa, lakini gej inam-spoil!
20
Asante sana. Naskia ubao, unaweza
ni-save na finje…?
leta keg ingine!
Karibuni chai. Naona gej
inaturudisha nyuma sana.
We wacha! Si nimezika kijana yangu juzi tu!
Alitafuta kazi sana after Form 4,
mwishowe alichoka na akamalizwa na ulevi.
Na-like Rubo sana, lakini pombe zake
hum-show anipige! Sasa hata kiosk
yake anashindwa ku-manage.
Bwana yangu amefukuzwa kazi juu ya ulevi. Nyumbani
hakuna chakula, watoto hawaendi shule!
Keshoye…
21
Cheki JK ana-come na Chief.
Nimeitwa na huyu kijana kwa sababu,
nimesikia complaints mengi juu ya pombe
hapa mtaani.
Ni vizuri sasa tusimame tukatae hii
maneno. Tuite wanaume wetu kwa baraza ndio
tujadiliane zaidi. Ama mnaonaje?
22
Ulevi ukizidi unaweza kusababisha hasara nyingi sana: » Ku-fight ovyo ovyo, » Ku-lose relationship na family na mabeste, »Na kwa ma-stude, hopes za chuo zote zitaishia hapo pap!
Kama una-feel concerned kwa msee alcoholic, get help kwa AA [Alcoholics Anonymous] helpline: 0726 530137
Wacha ni SMS DJ B kwa 3008, nim-show vile pombe ime-mess wasee mtaani.
I believe excessive drinking, lyk Cruiz’s bro is as a result of an underlying issue lyk emotional problem flani. He is hiding behind alcohol. Pliz make him open up and deal with what he’s running away from. - Judith K.
My younger bro, i don’t know what 2 do. Akipata job, hui-lose
after 1 week. Weekends ye hulewa sana na ikifika Monday hajijui, Amefutwa
kazi mara mob! Then my neighbour, imagine ye alikuwa msee gej mbaya. He
died eti gej ilimchoma maini. atazikwa this week. Advice them pliz. - Cruiz B.
23
Discussion ya alcoholism imekuwa hot kwa Fan page ya DJ Boyie
Facebook. Cheki vile wasee wanadai:
eish, charlie! unangara
sunday-best tuesday?
kwani unaenda
wapi?
naenda kwa
funeral.
nyanya wa rosie ameaga
dunia...
24
N i !
Field ya ball ndio base yangu sanasana, lakini
budangu ni mkabila vinoma, I hope kuna siku ata-change….
nimewaacha. naweza
ku-respect maagizo yenyu.
poleni kwa kifo...
sawa.
ahem!
aaaah, mimi siwezi kuenda kabla nisikike!
watu wangu, najua mnataka kupata ujumbe wangu
wa leo!
election ziko around the
corner! ni lazima
tuungane...
hatuwezi kubali kunyanyaswa
hivi!
serikali imetusahau! mkinipa kura
zenyu, nitawa-
represent vipoa...
nitaleta development
funds hapa hata sisi tuji-enjoy
kidogo...
28
kuna nyoka
nguoni! mmenirogaaaa!!!!
dere, tuhepe! Hawa
watu ni wachawi!
Viongozi wengine hawana tabia!
Leo, ni siku yetu ya kuomboleza, sio mahali pa
campaign! Tukatae haya mambo
kabisa!
ndio!
kuna nyoka
nguoni! mmenirogaaaa!!!!
dere, tuhepe! Hawa
watu ni wachawi!
Viongozi wengine hawana tabia!
Leo, ni siku yetu ya kuomboleza, sio mahali pa
campaign! Tukatae haya mambo
kabisa!
ndio!
29
MPS NA
MASOURC
E
WENGINE
WANAHAK
I YA
KUONGE
A:
• Kwa mikutano yenye wame-organise
wenyewe.
• Kama amekuwa invited kuongea.
• Kwa rally na mikutano ya chama yake.
Mnaonaje hii noma? Ni poa ku-use
functions kama harusi, mazishi ama
family meeting kwa campaign? Tu-
debate hii noma kwa Facebook [DJ
Boyie Fanpage], sms views zako kwa
3008!
wacha ni sms dj b kwa 3008 nimwambie hii risto. leaders lazima wajifunze
kuheshimu wananchi.
naomi kariuki
i
joni
joni
silas wabwile
ARTKONAartkona
Asanteni sana kwa wale wote walinitumia artwork.
Mko Juu tu sana! Wote nawapatia T-sho
30