32
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI TOLEO Na. 8 Aprili 2017 – Machi 2018 “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” Wakazi wa Kijiji cha Kinywang’anga Mkoa wa Iringa wakiwa na hati zao za umiliki wa ardhi mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (aliyevaa miwani) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID) Ndugu David Thompson na Mkuu wa wilaya ya Iringa, Mhe. Richard Kasesela.

“JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

  • Upload
    others

  • View
    23

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NAMAENDELEO YA MAKAZIWIZARA YA ARDHI, NYUMBA NAMAENDELEO YA MAKAZI

TOLEO Na. 8 Aprili 2017 – Machi 2018

“JITIHADA ZA UMILIKISHAJIARDHI NCHINI”

Wakazi wa Kijiji cha Kinywang’anga Mkoa wa Iringa wakiwa na hati zao za umiliki wa ardhi mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (aliyevaa miwani) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID) Ndugu David Thompson na Mkuu wa wilaya ya Iringa, Mhe. Richard Kasesela.

Page 2: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

PICHA ZAUKURASA WAMBELE

YALIYOMO

• Mkazi wa Wilaya ya Makete Mkoani Iringa Bibi Ferena Sanga akipokea Hati yake ya Kumiliki Ardhi kutoka kwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabulla.

• Wataalamu wa Idara ya Upimaji na Ramani wakiweka alama za msingi kwa ajili ya upigaji wa picha za Anga katika Wilaya za Kilombero na Ulanga, kupitia mradi wa Land Tenure Support Programme. (Picha na: Hannah Mwandoloma LTSP.)

• Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akimkabidhi fomu ya umiliki wa kiwanja mkazi wa Chanika, Bibi Tausi Masongela, wakati wa hafla ya utoaji wa fomu kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam.

UKURASA

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya MakaziBarabara ya Chuo Kikuu cha Dodoma,

Jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ghorofa ya 6,S LP 2908, Dodoma

Barua Pepe: [email protected]: www.ardhi.go.tz

TIMU YA UHARIRI:-Bibi Mboza Lwandiko, Bibi Rehema Isango, Bw. Hassan Mabuye,

Bibi Eliafile Solla na Bw. Simon Kyando

JARIDA HILI HUTOLEWA NA:-

01

02

Dawati la Katibu Mkuu

Jitihada za Umilikishaji Ardhi Nchini

03 Mmiliki ardhi na athari za kutolipakodi ya pango la ardhi

05 Ushirikishwaji katika zoezi laurasimishaji makazi nchini

07 Maboresho ya sera ya taifa yaardhi ya mwaka 1995

09 Kijue chuo cha ardhi Tabora

12 Huduma za sekta ya ardhi sasakutolewa kwa teknolojia

14 Yajue mabaraza ya Ardhina nyumba ya wilaya

20 Dhana na taratibu za uthamini wa fidia nchini

22 Ushiriki wa sekta binafsikatika upangaji miji

Page 3: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

01Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tzToleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

DAWATI LA KATIBU MKUU

Ndugu Wananchi,

Napenda kuwataarifu kuwa sasa Wizara ya Ardhi imehamia rasmi Makao Makuu ya nchi – Dodoma, hivyo shughuli za Wizara zitakuwa zinafanyika katika ofisi mpya Dodoma.

Mawasiliano yote yafanyike kupitia anuani ifuatayo:-Barabara ya Chuo Kikuu cha Dodoma,Jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ghorofa ya 6,S LP 2908, Dodoma.

Namba ya Simu Na. + 255 262 322 185/262 320194Nukushi: + 255 262 320 029Barua Pepe: [email protected]: www.lands.go.tz

Aidha, naomba mzingatie kuwa, huduma nyingine za kisekta kama vile malipo ya kodi ya pango la ardhi, kituo cha huduma kwa mteja na ofisi za kanda ya Dar es Salaam na Pwani zitaendelea kufanyika kama ilivyokuwa awali.

Vile vile, ninapenda kusisitiza kwenu Wananchi kuwa tushirikiane vyema katika kuhifadhi na kulinda vyema Mtaji wetu “Ardhi”, jukumu linalotuhusu sote kwa Maendeleo ya Taifa letu sote. Hivyo kila Mwananchi azingatie taratibu zinazopaswa kufuatwa katika upatikanaji na umiliki wa ardhi, ili kupata haki yake kihalali na kuepuka migogoro ya ardhi inayoweza kujitokeza kwa sababu za kutozingatia utaratibu sahihi, ikiwa ni pamoja na kuzingatia kulipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati. Usipolipa kodi ya pango la ardhi, utanyang’anywa umiliki wa ardhi yako, kutokana na Sheria ya Ardhi, Na. 4 ya Mwaka 1999, katika kifungu cha 49 na 51.

Kumbuka kuwa huna sababu ya kutolipa Kodi ya pango la ardhi kwa wakati kwani malipo yake hufanyika katika Manispaa au Halmashauri husika ya eneo lako na katika ofisi za malipo ya kodi – Dar es Salaam, kwenye eneo la jengo la wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Yamungu KayandabilaKatibu MkuuWizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Page 4: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

02 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI

aziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi hivi karibuni

amekuwa na zoezi la kukabidhi hati kwa Wananchi katika maeneo kadhaa nchini. Akiwa mkoani Morogoro, Waziri Lukuvi amekabidhi hati miliki za ardhi 1,361 kwa wakazi wa vijiji vya Hembeti na Dihombo wilayani Mvomero.

Waziri Lukuvi amegawa hati hizo na kuwasisitiza wananchi wa wilaya ya Mvomero kuhakikisha wanapata hati za umiliki wa ardhi pamoja na kuwataka viongozi wa vijiji kote nchini kuhakikisha wanakuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi ili kuepusha migogoro ya wakulima na wafugaji kuendelea katika maeneo yao.

Pia amesema ili mwananchi aweze kujikimu kimaisha ahakikishe anazitumia hati miliki hizo za kimila kujiletea maendeleo na anaweza kuomba mkopo benki kwa kutumia hati hiyo ili kuendesha shughuli zake za kujipatia kipato kupitia eneo analomiliki kisheria.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Stephen Kebwe amewataka wananchi kuzitunza hati hizo walizokabidhiwa na kuyatumia mashamba yao waliyomilikishwa kwa kuyalima na sio kuyauza au kukodisha kwa watu wengine na wao kubaki masikini.

Waziri Lukuvi pia alimtaka Mkuu wa mkoa wa Morogoro ayaainishe mashamba mengine makubwa yasiyoendelezwa na kugeuka kuwa mashamba pori ili amshauri Rais kuyafutia umiliki wa mashamba hayo na kurudishwa kwao ili kuweza kuwapa kaya maskini ambazo zinaishi katika maeneo ya hayo.

Kazi hii ya upimaji wa maeneo na kutoa hati kwa wananchi ni katika mpango wa nchi wa matumizi bora ya ardhi,ambapo serikali imechangua Mkoa wa Morogoro kuwa wa mfano katika upimaji wa ardhi na utahusisha nchi nzima kwa wapimaji wa ardhi kutumia vipimo vya kisasa zaidi ambavyo kwa kiasi kikubwa vipimo hivyo vitaweza kupima ardhi kwa kipindi kifupi na kila mtu kumiliki kipande cha eneo lake.

Lukuvi alisema kuwa wakati wa kampeni mwaka 2015,Rais Dkt. John Magufuli aliahidi wazi kuwa kipindi cha miaka 10 kutakuwa na upimaji katika maeneo yote ya nchi kwa utaratibu wa mpango mzuri na wa kisasa, na kwa miaka mitano takribani vijiji 7,500 vitapimwa kwa kupangwa kila halmashauri 25 ambapo kila mwaka vitapima vijiji 1,500 na kutoa hati. Alisema kuwa zoezi la upimaji linaloendelea hivi sasa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa wananchi katika kuondoa migogoro inayojitokeza.

Ndugu Yohanes Keng’ena na Mkewe Elizabeth Makang’olo wakipokea hati miliki ya ardhi kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi.

Page 5: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

03Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

“MMILIKI ARDHI NA ATHARI ZAKUTOLIPA KODI YA PANGO LA ARDHI”

ipa Kodi ya Ardhi kwa wakati, uepuke kutozwa Tozo, Kutangazwa kwenye Vyombo vya Habari, Kupelekwa Mahakamani na

Kufutiwa umiliki wa ardhi yako, kwani Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999 inaainisha gharama hizo kwa wasiozingatia ulipaji Kodi. kutozingatia kulipa Kodi ya pango la Ardhi kwa wakati, ambapo mmiliki asiyezingatia hilo kwanza; atatozwa Tozo na baadae Kupelekewa hati ya

madai na kufikishwa Mahakamani kulingana na kifungu Na. 50 na hatimaye kufutiwa umiliki wa ardhi kulingana na Sheria hiyo hiyo katika kifungu Na. 49-51.

Akizungumza na Waandishi wa habari hivi karibuni wakati wa zoezi la kutoa notisi ya siku 14 kwa wadaiwa sugu wa Kodi ya Pango la Ardhi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila amesisitiza kwa umma kuwa wadaiwa wote wa Pango la Ardhi wamekumbushwa na Serikali kwa muda mrefu, na hivyo ni wakati wao kuhakikisha wanalipa madeni yao yote ipasavyo. Aliendelea kusema kuwa; kwa Mwaka wa fedha 2016/17 Wizara imepanga kukusanya Sh. bilioni 111.77 kutokana na Kodi ya Pango la Ardhi, ada na tozo nyingine kutokana na sekta ya ardhi.

Dkt. Kayandabila alisema kwakuwa Kodi ya Ardhi inatambulika bayana chini ya Sheria, kila mmiliki wa Ardhi hana budi kuzingatia hilo. Malipo ya pango la ardhi yanatozwa kwa wamiliki wa viwanja na mashamba yaliyopimwa na kumilikishwa kisheria. Pia mtu yeyote anayemiliki ardhi iliyopimwa kisheria iwe imeendelezwa au haijaendelezwa bado anapaswa kulipa kodi ya pango. Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia kodi ya pango la ardhi kila mwaka tarehe 1 (Mosi) Julai, Sheria ya Ardhi Na.4 ya mwaka 1999 kifungu cha 33 na kifungu kidogo cha 11 imetoa mwanya kwa walipa kodi kuendelea kulipa bila riba hadi tarehe 31 Desemba ya mwaka unaohusika. Baada ya hapo riba inatozwa. Mteja anapaswa kufanya malipo ya Kodi ya pango la Ardhi kwa kuwa ananufaika na matumizi ya ardhi hiyo.

Vile vile, Mkuu wa Kitengo cha Kodi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Bw. Dennis Masami ameeleza kwa waandishi wa habari kuwa opereshini iliyoanza ya kutoa notisi ya siku 14 kwa wadaiwa ni endelevu na kueleza kuwa hati za madai zaidi ya 5000 zimeshasambazwa jijini Dar es Salaam. Alitaja baadhi ya Kampuni ambazo zina madeni sugu ambazo zimepewa notisi ya siku 14 kulipa madeni ni pamoja na Mamlaka ya Maeneo. Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) inayodaiwa Shilingi milioni 144 na Mwananchi Engineering wana deni la milioni 22. Kampuni nyingine ambazo zilipatiwa notisi ni; Mohamed Interprise waliokuwa na deni la milioni 73 na wameshalipa deni lote hivi karibuni na Lamada/Ilala – waliokuwa na deni la milioni 54, wamepunguza deni kwa kulipa milioni 25.

Utaratibu wa ukadiriaji wa kodi ya ardhi hufanyika kwa kuzingatia ukubwa wa ardhi inayomilikiwa na thamani ya ardhi mahali ilipo (land value),

huduma muhimu zilipo (miundombinu) na Matumizi ya ardhi husika kama vile Biashara, viwanda, makazi, kilimo.

Aidha, Makadirio na malipo ya kodi ya ardhi Kwa wamiliki wa ardhi yanafanyika katika maeneo mbalimbali. Dar es Salaam; malipo ya kodi hufanyika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi – Kivukoni, kwenye Kitengo cha Kodi na pia kwenye Ofisi za Ardhi za Manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke. Katika Mikoa; makadirio hufanywa kwenye Ofisi za Ardhi zinazotambulika katika halmashauri Manispaa, za Miji na Wilaya kote nchini.

Malipo ya kodi kwa toleo jipya la Kiwanja (Letter of Offer) yanapaswa kulipwa ndani ya muda wa siku 30 kuanzia tarehe ya toleo, vinginevyo itachukuliwa kwamba kiwanja kimekataliwa ambacho kilikuwa kimeshakabidhiwa kwa muhusika.

Katika Kampeni ya uhamasishaji ulipaji Kodi ya Pango la Ardhi, katika eneo la Mbagala – Dar es Salaam, zoezi lililofanywa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kwa kushirikiana na Kitengo cha Kodi. Afisa Sheria; Seif Mahiza, aliyekuwa akiongea na Wananchi wa Mbagala alisisitiza kuwa; “Mwananchi ataona mzigo wa kulipa pango lake la Kodi ya Ardhi pale tu atakapoacha kulipa kwa wakati na kuwa na malimbikizo, lakini Mwananchi akijitahidi kulipa kodi yake ya pango la Ardhi kila mwaka kwa wakati hataona mzigo katika kutimiza jukumu hilo”.

Malipo ya kodi ya Pango la Ardhi ni ya manufaa kwa Mmiliki ili kumhakikishia miliki salama na uhalali wa mali yake ambayo ina uwezo wa kuzalisha katika nyanja mbalimbali; mfano katika kukopa, kuzalisha mazao, kukodisha n.k. Lakini pia Ardhi hiyo hiyo hutumika kunufaisha Taifa kwa ujumla kwa Maendeleo ya nchi nzima.

“Lipa Kodi ya Pango la Ardhi kwa Maendeleo ya Taifa Letu”.

L Wananchi katika maeneo ya Temeke wakihamasika kuchukua vipeperushi mbalimbali vya wizara, wakati wa Kampeni ya kuhamasisha ulipaji wa kodi ya pango la Ardhi. Ndani ya gari ni kikundi cha Fataki, ambacho kimeshiriki katika kutoa elimu hiyo kwa njia ya mashairi. Uhamasishaji huo umefanyika katika wilaya tatu za Dar es Salaam (Ilala, Temeke na Kinondoni).

Rahma Moyo, kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Ardhi akibandika stika yenye ujumbe wa kuhamashisha ulipaji wa kodi ya pango la Ardhi, kwenye gari la mmoja wa wakazi wa Dar es Salaam, wakati wa Kampeni ya uhamasishaji wa ulipaji wa kodi ya pango la Ardhi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 6: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla akikagua mfumo wa kielektroniki wa ukadiriaji na ulipaji kodi ya ardhi wilayani Iringa mjini, mkoani Iringa, alipotembelea kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi. Anayetoa maelezo ya ufanyaji kazi wa mfumo huo ni Afisa Ardhi wa Halmashauri ya Wilaa ya Iringa mjini, Bw. Shadrack Haule. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa mjini Bw. Richard Kasesela.

04 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

ipa Kodi ya Ardhi kwa wakati, uepuke kutozwa Tozo, Kutangazwa kwenye Vyombo vya Habari, Kupelekwa Mahakamani na

Kufutiwa umiliki wa ardhi yako, kwani Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999 inaainisha gharama hizo kwa wasiozingatia ulipaji Kodi. kutozingatia kulipa Kodi ya pango la Ardhi kwa wakati, ambapo mmiliki asiyezingatia hilo kwanza; atatozwa Tozo na baadae Kupelekewa hati ya

madai na kufikishwa Mahakamani kulingana na kifungu Na. 50 na hatimaye kufutiwa umiliki wa ardhi kulingana na Sheria hiyo hiyo katika kifungu Na. 49-51.

Akizungumza na Waandishi wa habari hivi karibuni wakati wa zoezi la kutoa notisi ya siku 14 kwa wadaiwa sugu wa Kodi ya Pango la Ardhi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila amesisitiza kwa umma kuwa wadaiwa wote wa Pango la Ardhi wamekumbushwa na Serikali kwa muda mrefu, na hivyo ni wakati wao kuhakikisha wanalipa madeni yao yote ipasavyo. Aliendelea kusema kuwa; kwa Mwaka wa fedha 2016/17 Wizara imepanga kukusanya Sh. bilioni 111.77 kutokana na Kodi ya Pango la Ardhi, ada na tozo nyingine kutokana na sekta ya ardhi.

Dkt. Kayandabila alisema kwakuwa Kodi ya Ardhi inatambulika bayana chini ya Sheria, kila mmiliki wa Ardhi hana budi kuzingatia hilo. Malipo ya pango la ardhi yanatozwa kwa wamiliki wa viwanja na mashamba yaliyopimwa na kumilikishwa kisheria. Pia mtu yeyote anayemiliki ardhi iliyopimwa kisheria iwe imeendelezwa au haijaendelezwa bado anapaswa kulipa kodi ya pango. Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia kodi ya pango la ardhi kila mwaka tarehe 1 (Mosi) Julai, Sheria ya Ardhi Na.4 ya mwaka 1999 kifungu cha 33 na kifungu kidogo cha 11 imetoa mwanya kwa walipa kodi kuendelea kulipa bila riba hadi tarehe 31 Desemba ya mwaka unaohusika. Baada ya hapo riba inatozwa. Mteja anapaswa kufanya malipo ya Kodi ya pango la Ardhi kwa kuwa ananufaika na matumizi ya ardhi hiyo.

Vile vile, Mkuu wa Kitengo cha Kodi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Bw. Dennis Masami ameeleza kwa waandishi wa habari kuwa opereshini iliyoanza ya kutoa notisi ya siku 14 kwa wadaiwa ni endelevu na kueleza kuwa hati za madai zaidi ya 5000 zimeshasambazwa jijini Dar es Salaam. Alitaja baadhi ya Kampuni ambazo zina madeni sugu ambazo zimepewa notisi ya siku 14 kulipa madeni ni pamoja na Mamlaka ya Maeneo. Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) inayodaiwa Shilingi milioni 144 na Mwananchi Engineering wana deni la milioni 22. Kampuni nyingine ambazo zilipatiwa notisi ni; Mohamed Interprise waliokuwa na deni la milioni 73 na wameshalipa deni lote hivi karibuni na Lamada/Ilala – waliokuwa na deni la milioni 54, wamepunguza deni kwa kulipa milioni 25.

Utaratibu wa ukadiriaji wa kodi ya ardhi hufanyika kwa kuzingatia ukubwa wa ardhi inayomilikiwa na thamani ya ardhi mahali ilipo (land value),

huduma muhimu zilipo (miundombinu) na Matumizi ya ardhi husika kama vile Biashara, viwanda, makazi, kilimo.

Aidha, Makadirio na malipo ya kodi ya ardhi Kwa wamiliki wa ardhi yanafanyika katika maeneo mbalimbali. Dar es Salaam; malipo ya kodi hufanyika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi – Kivukoni, kwenye Kitengo cha Kodi na pia kwenye Ofisi za Ardhi za Manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke. Katika Mikoa; makadirio hufanywa kwenye Ofisi za Ardhi zinazotambulika katika halmashauri Manispaa, za Miji na Wilaya kote nchini.

Malipo ya kodi kwa toleo jipya la Kiwanja (Letter of Offer) yanapaswa kulipwa ndani ya muda wa siku 30 kuanzia tarehe ya toleo, vinginevyo itachukuliwa kwamba kiwanja kimekataliwa ambacho kilikuwa kimeshakabidhiwa kwa muhusika.

Katika Kampeni ya uhamasishaji ulipaji Kodi ya Pango la Ardhi, katika eneo la Mbagala – Dar es Salaam, zoezi lililofanywa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kwa kushirikiana na Kitengo cha Kodi. Afisa Sheria; Seif Mahiza, aliyekuwa akiongea na Wananchi wa Mbagala alisisitiza kuwa; “Mwananchi ataona mzigo wa kulipa pango lake la Kodi ya Ardhi pale tu atakapoacha kulipa kwa wakati na kuwa na malimbikizo, lakini Mwananchi akijitahidi kulipa kodi yake ya pango la Ardhi kila mwaka kwa wakati hataona mzigo katika kutimiza jukumu hilo”.

Malipo ya kodi ya Pango la Ardhi ni ya manufaa kwa Mmiliki ili kumhakikishia miliki salama na uhalali wa mali yake ambayo ina uwezo wa kuzalisha katika nyanja mbalimbali; mfano katika kukopa, kuzalisha mazao, kukodisha n.k. Lakini pia Ardhi hiyo hiyo hutumika kunufaisha Taifa kwa ujumla kwa Maendeleo ya nchi nzima.

“Lipa Kodi ya Pango la Ardhi kwa Maendeleo ya Taifa Letu”.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 7: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

USHIRIKISHWAJI KATIKA ZOEZILA URASIMISHAJI MAKAZI NCHINI

Mfano wa Makazi holela-Manzese

05Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

rasimishaji makazi ni mpango wa serikali wa kuboresha makazi yaliyojengwa kiholela

kwa kuongeza huduma za jamii na miundombinu katika makazi haya na kuongeza usalama wa miliki kwa kutoa hati za kumiliki ardhi kwa muda mrefu. Mpango huu unatekelezwa kwa kushirikisha wananchi na viongozi wa maeneo husika. Wananchi wanawajibika kuonyesha mipaka ya miliki zao pamoja na kuchangia ardhi kwa ajili ya barabara. Aidha kila mwananchi anawajibika kutoa taarifa kwa usahihi ili kurahisisha umilikishaji. Urasimishaji unatekelezwa kulingana na sheria ya Ardhi Namba 4 ya Mwaka 1999 fungu la 56-60 na kanuni zake Namba 85 za Mwaka 2001, Sheria ya Mipangomiji Namba 8 ya Mwaka 2007 Programu ya Taifa ya Kurasimisha na Kuzuia Makazi Holela Mijini (2013-2023) imeainisha mikakati mbalimbali ya kushughulikia makazi holela.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatekeleza mradi wa kurasimisha maeneo yaliyojengwa kiholela katika Jiji la Dar es Salaam katika kata ya Kimara kwa kushirikiana na Halmashauri ya Ubungo. Pamoja na urasimishaji katika Jiji la Dar es Salaam halmashauri nyingine 6 zimepangwa kutekeleza

mradi huu. Halmashauri hizo ni; Manispaa za Musoma, Kigoma-Ujiji, Tabora, Singida, Sumbawanga na Lindi ambapo viwanja 3000 vitapimwa katika kila Halmashauri.

Utafiti uliofanyika katika halmashauri hizi ulionyesha kuwa kiwango cha maeneo yaliyojengwa kiholela katika Manispaa zote sita ni wastani wa 36% wa maeneo yaliendelezwa mijini. Hiki si kiwango kidogo hususan katika miji ya kati inayokua haraka. Hali hii ikiendelea bila kudhibitiwa itapelekea kuwa na makazi mengi holela itakapofikia ngazi ya majiji. Musoma ilikuwa na kiwango kikubwa zaidi (57%) ikilinganishwa na Halmashauri nyingine. Kiwango cha chini kiliripotiwa kuwa Singida (8%). Singida ina fursa kubwa ya kuondoa kabisa tatizo la ujenzi holela kama itatekeleza vizuri zoezi hili la urasimishaji.

Katika utafiti huo pia jumla ya viwanja 50,200 vimebainishwa katika halmashauri zote sita zilizohakikiwa. Hiki ni kiwango kikubwa ikilinganishwa na lengo la kurasimisha viwanja 18,000 kwa Halmashauri zote sita. Viwanja vingi viliripotiwa kutoka katika Halmashauri za Sumbawanga (19,100), Lindi (7,085), Tabora (7,063), Musoma (6,900) Kigoma Ujiji (5,152) na Singida (4,900).

Utekelezaji wa miradi wa urasimishaji kati ya mwaka 2009 hadi 2013 katika halmashauri mbalimbali ulitambua jumla ya viwanja 109,717. Viwanja 30,476 kati ya hivyo vimepimwa na hati 7,736 zimeshatolewa kwa wamiliki. Jitihada zinafanyika kuhamasisha wananchi wa maeneo yaliyorasimishwa tayari wachukue hati zao.

Wizara ya Ardhi kwa kushirikana na halmashauri husika pamoja na viongozi wa wananchi inaboresha makazi yaliyorasimishwa kwa kufungua barabara ambazo wananchi wamejitolea. Wakala wa barabara wanawajibika kufungua barabara zilizopandishwa hadhi kuwa za wilaya au mkoa ambao zinapita katika maeneo yaliyorasimishwa. Mashirika mengine ya huduma kama mamlaka ya maji, shirika la umeme, Songas n.k. wanashirikiana na wataalamu kubainisha mipaka ya miundombinu yao ili kuondoa migogoro inayoweza kujitokeza.

Zoezi hili linalenga kuboresha hali ya mazingira katika maeneo yasiyopangwa kwa kuongeza miundombinu ya barabara na mifereji ya maji ya mvua. Aidha, urasimishaji unapunguza makazi holela mijini. Urasimishaji makazi holela unatoa fursa kwa wamiliki wa ardhi katika maeneo haya kutumia hatimiliki zao kupata mitaji kutoka taasisi za fedha ili kujiendeleza kiuchumi na hivyo kupunguza umasikini; kuongeza usalama wa miliki na hivyo kupunguza migogoro ya ardhi mijini. Kanzidata itawezesha halmashauri kusimamia utawala wa ardhi kwa ufanisi na hivyo kuepusha migogoro.

Wizara ya Ardhi itaendelea kushirikiana na Halmashauri nchini kuandaa mipango ya zoezi la Uramishaji. Baada ya Urasmishaji, miji inatarajiwa kuendelezwa kwa kulingana na mapendekezo ya mipango kabambe.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 8: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

06 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

rasimishaji makazi ni mpango wa serikali wa kuboresha makazi yaliyojengwa kiholela

kwa kuongeza huduma za jamii na miundombinu katika makazi haya na kuongeza usalama wa miliki kwa kutoa hati za kumiliki ardhi kwa muda mrefu. Mpango huu unatekelezwa kwa kushirikisha wananchi na viongozi wa maeneo husika. Wananchi wanawajibika kuonyesha mipaka ya miliki zao pamoja na kuchangia ardhi kwa ajili ya barabara. Aidha kila mwananchi anawajibika kutoa taarifa kwa usahihi ili kurahisisha umilikishaji. Urasimishaji unatekelezwa kulingana na sheria ya Ardhi Namba 4 ya Mwaka 1999 fungu la 56-60 na kanuni zake Namba 85 za Mwaka 2001, Sheria ya Mipangomiji Namba 8 ya Mwaka 2007 Programu ya Taifa ya Kurasimisha na Kuzuia Makazi Holela Mijini (2013-2023) imeainisha mikakati mbalimbali ya kushughulikia makazi holela.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatekeleza mradi wa kurasimisha maeneo yaliyojengwa kiholela katika Jiji la Dar es Salaam katika kata ya Kimara kwa kushirikiana na Halmashauri ya Ubungo. Pamoja na urasimishaji katika Jiji la Dar es Salaam halmashauri nyingine 6 zimepangwa kutekeleza

mradi huu. Halmashauri hizo ni; Manispaa za Musoma, Kigoma-Ujiji, Tabora, Singida, Sumbawanga na Lindi ambapo viwanja 3000 vitapimwa katika kila Halmashauri.

Utafiti uliofanyika katika halmashauri hizi ulionyesha kuwa kiwango cha maeneo yaliyojengwa kiholela katika Manispaa zote sita ni wastani wa 36% wa maeneo yaliendelezwa mijini. Hiki si kiwango kidogo hususan katika miji ya kati inayokua haraka. Hali hii ikiendelea bila kudhibitiwa itapelekea kuwa na makazi mengi holela itakapofikia ngazi ya majiji. Musoma ilikuwa na kiwango kikubwa zaidi (57%) ikilinganishwa na Halmashauri nyingine. Kiwango cha chini kiliripotiwa kuwa Singida (8%). Singida ina fursa kubwa ya kuondoa kabisa tatizo la ujenzi holela kama itatekeleza vizuri zoezi hili la urasimishaji.

Katika utafiti huo pia jumla ya viwanja 50,200 vimebainishwa katika halmashauri zote sita zilizohakikiwa. Hiki ni kiwango kikubwa ikilinganishwa na lengo la kurasimisha viwanja 18,000 kwa Halmashauri zote sita. Viwanja vingi viliripotiwa kutoka katika Halmashauri za Sumbawanga (19,100), Lindi (7,085), Tabora (7,063), Musoma (6,900) Kigoma Ujiji (5,152) na Singida (4,900).

Utekelezaji wa miradi wa urasimishaji kati ya mwaka 2009 hadi 2013 katika halmashauri mbalimbali ulitambua jumla ya viwanja 109,717. Viwanja 30,476 kati ya hivyo vimepimwa na hati 7,736 zimeshatolewa kwa wamiliki. Jitihada zinafanyika kuhamasisha wananchi wa maeneo yaliyorasimishwa tayari wachukue hati zao.

Wizara ya Ardhi kwa kushirikana na halmashauri husika pamoja na viongozi wa wananchi inaboresha makazi yaliyorasimishwa kwa kufungua barabara ambazo wananchi wamejitolea. Wakala wa barabara wanawajibika kufungua barabara zilizopandishwa hadhi kuwa za wilaya au mkoa ambao zinapita katika maeneo yaliyorasimishwa. Mashirika mengine ya huduma kama mamlaka ya maji, shirika la umeme, Songas n.k. wanashirikiana na wataalamu kubainisha mipaka ya miundombinu yao ili kuondoa migogoro inayoweza kujitokeza.

Zoezi hili linalenga kuboresha hali ya mazingira katika maeneo yasiyopangwa kwa kuongeza miundombinu ya barabara na mifereji ya maji ya mvua. Aidha, urasimishaji unapunguza makazi holela mijini. Urasimishaji makazi holela unatoa fursa kwa wamiliki wa ardhi katika maeneo haya kutumia hatimiliki zao kupata mitaji kutoka taasisi za fedha ili kujiendeleza kiuchumi na hivyo kupunguza umasikini; kuongeza usalama wa miliki na hivyo kupunguza migogoro ya ardhi mijini. Kanzidata itawezesha halmashauri kusimamia utawala wa ardhi kwa ufanisi na hivyo kuepusha migogoro.

Wizara ya Ardhi itaendelea kushirikiana na Halmashauri nchini kuandaa mipango ya zoezi la Uramishaji. Baada ya Urasmishaji, miji inatarajiwa kuendelezwa kwa kulingana na mapendekezo ya mipango kabambe.

Eneo linaloendelea na zoezi la Urasimishaji - ChasimbaZoezi la urasimishaji likiendelea Kimara, ambapo hatua ya kuchonga barabara za mitaa inaendelea .

Eneo linaloendelea na zoezi la Urasimishaji – Kimara

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 9: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

07Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Mvumi wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wakishiriki kujaza dodoso la maoni kuhusu Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995.

MABORESHO YA SERA YA TAIFA YAARDHI YA MWAKA 1995

izara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baada ya kuona kwamba Sera ya

Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995 haikidhi mahitaji ya Watanzania walio wengi hasa baada ya kuongezeka kwa migogoro ya ardhi baina ya watumiaji ardhi, ilianzisha mchakato wa kuboresha Sera ya Ardhi ya mwaka 1995.

Ili kutekeleza hili, Wizara ya Ardhi iliunda tima ya kukusanya maoni ambayo ni Sekretarieti ya mapitio ya Sera mpya ya Taifa ya mwaka 1995 (National Land Policy Review Team) na ilianza kazi mnamo Mwezi April Mwaka 2016.

Sekretarieti ilisimamia kikamilifu ukusanyaji wa maoni ya wananchi, wadau wote na watumiaji wa ardhi nchi nzima ili kuwezesha kupata Sera mpya ya Ardhi ya Mwaka 2017 iliyochangiwa na kukubalika na watumiaji wote wa ardhi.

Hatua hii inazingatia Mwongozo wa kuandaa na kuwasilisha Nyaraka katika Baraza la Mawaziri uliotolewa na Ofisi ya Rais - Ikulu Oktoba, 2010.

Mwongozo huo unaelekeza ulazima wa ushirikishwaji wa wadau kabla Sera haijatungwa au Sera iliyopo kufanyiwa marekebisho.

Mikutano ya kukusanya maoni ya wananchi na wadau ilifanyika katika Kanda nane za Ofisi ya Kamishna wa Ardhi zilizopo Tanzania Bara ambazo zinawakilisha mikoa yote.

Kanda hizo ni Kanda ya Mashariki (Pwani na Morogoro), Kanda ya Kati (Dodoma na Singida), Kanda ya Ziwa (Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Simiyu, Geita), Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga), Kanda ya Kusini (Mtwara na Lindi), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Njombe, Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Songwe na Iringa), Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma na Katavi) na Dar es Salaam.

Mikutano ya kukusanya maoni ilifanyika kwa siku mbili kwa kila Kanda. Siku ya kwanza ilikuwa ni mikutano ya wadau katika vijiji/kata zilizoteuliwa na siku ya pili ilikuwa ni mikutano mikuu ya

wadau kutoka katika mikoa yote inayounda Kanda.

Katika mikutano ya wananchi na wadau kwenye vijiji/ kata zilizoteuliwa katika kila Kanda ilijumuisha wajumbe wa Halmashauri za Vijiji, Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji, wananchi, wazee maarufu na wawakilishi wa wakulima na wafugaji.

Aidha, katika mikutano mikuu ya wadau iliyofanyika katika Makao Makuu ya Kanda ilijumuisha wadau kutoka Mikoa yote iliyopo katika Kanda. Wadau walioshiriki katika mikutano hii ni wakuu wa Mikoa wenyeji, baadhi ya Wakuu wa Wilaya, Meya/Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa Halmashauri, wawakilishi wa wakulima/wafugaji/wavuvi, wawakilishi kutoka sekta zinazohusiana na ardhi (maliasili, kilimo, mifugo, madini, wanyamapori n.k).

Wengine ni wawakilishi wa Vyama vya Ushirika, wawakilishi wa NGO na CBO, wawakilishi kutoka madhehebu ya dini, wawakilishi wa sekta binafsi, wawakilishi wa wachimbaji wadogo, wawakilishi wa wakufunzi/wanafunzi wa vyuo, wawakilishi kutoka tasisi za fedha na wawakilishi wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Utaratibu uliotumika katika kukusanya maoni ya wadau ulifanyika kwa kupokea maoni ya wadau kutokana na michango ya kuongea au maandishi katika mikutano, kupokea maoni ya wadau kupitia dodoso (questioner) ambalo lilijazwa na kila mdau aliyeshiriki katika mikutano na kupokea maoni kupitia katika tovuti ya Wizara (www.ardhi.go.tz) na barua [email protected].

Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wananchi ni pamoja na kuomba kutengewa maeneo maalum kwa ajili ya wakulima na wafugaji kwani migogoro kati ya wakulima na wafugaji imekuwa ikigharimu maisha na mali za wananchi wengi.

Vilevile wadau na wananchi wengi wamependekeza kuwa ardhi iendelee kuwa mali ya umma na kukabidhiwa kwa Rais kama mdhamini (msimamizi) mkuu kwa niaba ya watanzania wote.

Timu kwa kushirikiana na wadau imekamilisha shughuli ya kukusanya maoni na. Kuondoa Rasimu ya Sera ya Tarifa ya Ardhi. Rasimu hiyo iliwasilishwa kwa wadau ambao waliiboresha na kuipitisha Novemba 16. Sera ya Tarifa ya Ardhi, 2017 inawasilishwa na Wizara na inasubiri kuidhinishwa na Baraza la Mawaziri.

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 10: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

08 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

izara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baada ya kuona kwamba Sera ya

Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995 haikidhi mahitaji ya Watanzania walio wengi hasa baada ya kuongezeka kwa migogoro ya ardhi baina ya watumiaji ardhi, ilianzisha mchakato wa kuboresha Sera ya Ardhi ya mwaka 1995.

Ili kutekeleza hili, Wizara ya Ardhi iliunda tima ya kukusanya maoni ambayo ni Sekretarieti ya mapitio ya Sera mpya ya Taifa ya mwaka 1995 (National Land Policy Review Team) na ilianza kazi mnamo Mwezi April Mwaka 2016.

Sekretarieti ilisimamia kikamilifu ukusanyaji wa maoni ya wananchi, wadau wote na watumiaji wa ardhi nchi nzima ili kuwezesha kupata Sera mpya ya Ardhi ya Mwaka 2017 iliyochangiwa na kukubalika na watumiaji wote wa ardhi.

Hatua hii inazingatia Mwongozo wa kuandaa na kuwasilisha Nyaraka katika Baraza la Mawaziri uliotolewa na Ofisi ya Rais - Ikulu Oktoba, 2010.

Mwongozo huo unaelekeza ulazima wa ushirikishwaji wa wadau kabla Sera haijatungwa au Sera iliyopo kufanyiwa marekebisho.

Mikutano ya kukusanya maoni ya wananchi na wadau ilifanyika katika Kanda nane za Ofisi ya Kamishna wa Ardhi zilizopo Tanzania Bara ambazo zinawakilisha mikoa yote.

Kanda hizo ni Kanda ya Mashariki (Pwani na Morogoro), Kanda ya Kati (Dodoma na Singida), Kanda ya Ziwa (Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Simiyu, Geita), Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga), Kanda ya Kusini (Mtwara na Lindi), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Njombe, Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Songwe na Iringa), Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma na Katavi) na Dar es Salaam.

Mikutano ya kukusanya maoni ilifanyika kwa siku mbili kwa kila Kanda. Siku ya kwanza ilikuwa ni mikutano ya wadau katika vijiji/kata zilizoteuliwa na siku ya pili ilikuwa ni mikutano mikuu ya

wadau kutoka katika mikoa yote inayounda Kanda.

Katika mikutano ya wananchi na wadau kwenye vijiji/ kata zilizoteuliwa katika kila Kanda ilijumuisha wajumbe wa Halmashauri za Vijiji, Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji, wananchi, wazee maarufu na wawakilishi wa wakulima na wafugaji.

Aidha, katika mikutano mikuu ya wadau iliyofanyika katika Makao Makuu ya Kanda ilijumuisha wadau kutoka Mikoa yote iliyopo katika Kanda. Wadau walioshiriki katika mikutano hii ni wakuu wa Mikoa wenyeji, baadhi ya Wakuu wa Wilaya, Meya/Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa Halmashauri, wawakilishi wa wakulima/wafugaji/wavuvi, wawakilishi kutoka sekta zinazohusiana na ardhi (maliasili, kilimo, mifugo, madini, wanyamapori n.k).

Wengine ni wawakilishi wa Vyama vya Ushirika, wawakilishi wa NGO na CBO, wawakilishi kutoka madhehebu ya dini, wawakilishi wa sekta binafsi, wawakilishi wa wachimbaji wadogo, wawakilishi wa wakufunzi/wanafunzi wa vyuo, wawakilishi kutoka tasisi za fedha na wawakilishi wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Utaratibu uliotumika katika kukusanya maoni ya wadau ulifanyika kwa kupokea maoni ya wadau kutokana na michango ya kuongea au maandishi katika mikutano, kupokea maoni ya wadau kupitia dodoso (questioner) ambalo lilijazwa na kila mdau aliyeshiriki katika mikutano na kupokea maoni kupitia katika tovuti ya Wizara (www.ardhi.go.tz) na barua [email protected].

Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wananchi ni pamoja na kuomba kutengewa maeneo maalum kwa ajili ya wakulima na wafugaji kwani migogoro kati ya wakulima na wafugaji imekuwa ikigharimu maisha na mali za wananchi wengi.

Vilevile wadau na wananchi wengi wamependekeza kuwa ardhi iendelee kuwa mali ya umma na kukabidhiwa kwa Rais kama mdhamini (msimamizi) mkuu kwa niaba ya watanzania wote.

Timu kwa kushirikiana na wadau imekamilisha shughuli ya kukusanya maoni na. Kuondoa Rasimu ya Sera ya Tarifa ya Ardhi. Rasimu hiyo iliwasilishwa kwa wadau ambao waliiboresha na kuipitisha Novemba 16. Sera ya Tarifa ya Ardhi, 2017 inawasilishwa na Wizara na inasubiri kuidhinishwa na Baraza la Mawaziri.

Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Oldonyosambu wilaya ya Ngorongoro wakijaza Dodoso la kukusanya maoni ya kuboresha Sera ya Taifa ya Ardhi ya 1995.

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 11: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

09Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabilia akiwa ameambatana na mwenyeji wake, Mkuu wa

Chuo cha Ardhi – Tabora (ARITA); Bwn. Biseko Musiba, wakati wa mahafali ya Chuo ya 34.

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

KIJUECHUO CHA

ARDHITABORA

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabilia katika picha ya pamoja na Wahitimu wa kozi ya Ubunifu na Uchapishaji, wakati wa mahafali ya Chuo ya 34.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 12: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

10 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabilia, akimkabidhi cheti mmoja wa aliyekuwa Kiongozi wa Wanachuo wa Chuo cha Ardhi – Tabora (ARITA).

Page 13: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

11Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

Jengo la Chuo cha Ardhi – Tabora (ARITA).

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 14: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

HUDUMA ZA SEKTA YAARDHI SASA KUTOLEWA

KWA TEKNOLOJIAIZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya

makazi imeandaa mchakato wa kujenga mfumo unganishi wa taarifa za ardhi ujulikanao kama Intergrated Land Management Information System (ILMIS) unao lenga kurahisisha utoaji wa huduma za sekta ya ardhi kwa wananchi.

Mfumo huu utarahisisha utaratibu wa upatikanaji wa hatimiliki za ardhi kwa kipindi kifupi zaidi kwa

kusogeza huduma za upangaji, upimaji, na usimamizi wa ardhi karibu na wananchi kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Mfumo huu utawezesha wananchi kupata huduma kupitia mitandao mingine ya mawasiliano kama vile simu za mikononi na computer, na zaidi mwananchi ataweza kutoa na kupokea taarifa muhimu anazohitaji kwa wakati

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akifungua mfumo unganishi wa taarifa za ardhi (ILMIS) utakaoboresha utaratibu wa upatikanaji wa hatimiliki za ardhi kwa urahisi zaidi katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia Kulia ni Naibu waziri wa wizara hiyo, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla na Wa kwanza kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. George Simbachawene na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashassa Nditiye.

12 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

muafaka na kuepusha vitendo vya kughushi nyaraka za ardhi na kuondoa urasimu na hatimaye kupunguza mianya ya rushwa.

Kwa sasa Wizara imeingia mkataba na Mkandarasi (IGN FI) wa kujenga Mfumo wa kielektroniki (ILMIS). Mkataba ulisainiwa tarehe 5/7/2016. Mfumo huu unganishi utarahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za ardhi, kuongeza kasi na ufanisi wa utoaji wa huduma pamoja na kuongeza mapato ya Serikali.

Kazi ya ujenzi wa Mfumo awamu ya kwanza ilizinduliwa rasmi tarehe 26/8/2016. Mkandarasi ameanza kazi ya ujenzi wa mfumo huo. Sambamba na ujenzi wa ILMIS, Wizara inakamilisha ujenzi wa kituo cha Taifa cha Taarifa za Ardhi (NLIC).

Pia, Mfumo wa ILMIS utaweka mazingira ya usalama wa nyaraka za mwanachi pamoja na

umiliki wake na hivyo kuondoa urasimu uliozoeleka kwenye sekta ya ardhi. Hili linawezekana kwa sababu, matumizi ya mfumo yataruhusu kuonekana na kujulikana kwa kila Ofisa atakayeshughulikia jalada pamoja na kubainisha kazi iliyofanyika kwenye jalada husika.

Ni wazi kwamba, ujenzi wa mfumo huu utaweka huduma zote zinazohusu sekta ya ardhi wazi kwa kila mwananchi kujua ni nini wajibu wake na anatakiwa afanye nini ili kupata haki yake ya msingi. Kwa kutekeleza hili, Wizara itakuwa imemaliza changamoto kubwa zilizokuwa zinasababishwa na usalama wa taarifa za ardhi, ugumu wa kupata taarifa kwa wakati na usahihi na kutokuwepo kwa ufanisi wa utoaji huduma za ardhi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 15: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

IZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya makazi imeandaa mchakato wa kujenga

mfumo unganishi wa taarifa za ardhi ujulikanao kama Intergrated Land Management Information System (ILMIS) unao lenga kurahisisha utoaji wa huduma za sekta ya ardhi kwa wananchi.

Mfumo huu utarahisisha utaratibu wa upatikanaji wa hatimiliki za ardhi kwa kipindi kifupi zaidi kwa

kusogeza huduma za upangaji, upimaji, na usimamizi wa ardhi karibu na wananchi kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Mfumo huu utawezesha wananchi kupata huduma kupitia mitandao mingine ya mawasiliano kama vile simu za mikononi na computer, na zaidi mwananchi ataweza kutoa na kupokea taarifa muhimu anazohitaji kwa wakati

13Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

muafaka na kuepusha vitendo vya kughushi nyaraka za ardhi na kuondoa urasimu na hatimaye kupunguza mianya ya rushwa.

Kwa sasa Wizara imeingia mkataba na Mkandarasi (IGN FI) wa kujenga Mfumo wa kielektroniki (ILMIS). Mkataba ulisainiwa tarehe 5/7/2016. Mfumo huu unganishi utarahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za ardhi, kuongeza kasi na ufanisi wa utoaji wa huduma pamoja na kuongeza mapato ya Serikali.

Kazi ya ujenzi wa Mfumo awamu ya kwanza ilizinduliwa rasmi tarehe 26/8/2016. Mkandarasi ameanza kazi ya ujenzi wa mfumo huo. Sambamba na ujenzi wa ILMIS, Wizara inakamilisha ujenzi wa kituo cha Taifa cha Taarifa za Ardhi (NLIC).

Pia, Mfumo wa ILMIS utaweka mazingira ya usalama wa nyaraka za mwanachi pamoja na

umiliki wake na hivyo kuondoa urasimu uliozoeleka kwenye sekta ya ardhi. Hili linawezekana kwa sababu, matumizi ya mfumo yataruhusu kuonekana na kujulikana kwa kila Ofisa atakayeshughulikia jalada pamoja na kubainisha kazi iliyofanyika kwenye jalada husika.

Ni wazi kwamba, ujenzi wa mfumo huu utaweka huduma zote zinazohusu sekta ya ardhi wazi kwa kila mwananchi kujua ni nini wajibu wake na anatakiwa afanye nini ili kupata haki yake ya msingi. Kwa kutekeleza hili, Wizara itakuwa imemaliza changamoto kubwa zilizokuwa zinasababishwa na usalama wa taarifa za ardhi, ugumu wa kupata taarifa kwa wakati na usahihi na kutokuwepo kwa ufanisi wa utoaji huduma za ardhi.

Wajumbe wa Mkutano wa Uzinduzi wa mfumo unganishi wa taarifa za ardhi (ILMIS) katika picha ya pamoja.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 16: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

14 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

huo cha Ardhi Tabora (ARITA) ni chuo kinachoendeshwa na kusimamiwa na Wizara

ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Chuo hiki kilitokana na mafunzo ya ndani (Inhouse Training) yaliyokuwa yakiendeshwa kwa muda mfupi kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi –

Sehemu ya Urasimu Ramani (Cartographers) kuanzia mwaka 1955. Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji.

Mwaka 1964 mafunzo hayo yalihuishwa na kuendeshwa kwa muda wa miezi sita. Kutokana

na upungufu wa nafasi ya kuendeshea mafunzo hayo wizarani na kadri mahitaji ya wataalam yalivyozidi kuongezeka, mwaka 1979 Wizara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tabora, iliamua kuhamisha mafunzo hayo kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora katika majengo ya muda ya kambi ya upimaji, yaliyoachwa wazi na Kampuni ya Upimaji ya “Kenting Surveys” kutoka Canada.

Kuanzia mwaka 1980 mafunzo hayo, yaliongezewa muda kutoka miezi sita hadi mwaka mmoja na ilipofika mwaka 1983 yaliboreshwa zaidi na kufikia miaka miwili. Mwaka 1989 chuo kilibuni na kuanzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili, kikiwa na lengo la kuimarisha utendaji katika huduma za ardhi nchini. Mwaka 1991 chuo kilianzisha mafunzo ya Cheti ya miaka miwili katika fani ya Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji.

Kwa sasa Chuo kina Usajili wa Kudumu na Ithibati Kamili kutoka Baraza la Elimu ya Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE). Aidha kwa sasa kinaendesha mafunzo katika ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mafundi sanifu katika fani tatu za: Urasimu Ramani (Cartography), Usimamizi wa Ardhi, Uthamini na Usajili (Land Management, Valuation and Registration) na Sanaa, Ubunifu na Uchapishaji (Graphic Arts & Printing). Katika mwaka huu wa masomo 2016/2017, chuo kinaendesha mafunzo kwa wanachuo 419, kati yao wanawake wakiwa 151 na wanaume 268. Wahitimu katika chuo hiki, ndiyo watendaji na wasaidizi wakuu wa kazi zote za uwandani zinazohusu sekta ya ardhi katika taasisi au idara za Serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na halmashauri zote nchini.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wanataaluma wa chuo hiki walisema yafuatayo; Mkuu wa Idara ya Urasimu Ramani, Emmanuel Jikora, alisema changamoto kuu zilizopo katika idara yake ni ufinyu wa nafasi katika darasa, kwani darasa halina uwezo wa kuchukua zaidi ya wanafunzi 25, ufaulu mdogo wa masomo ya Sayansi na ufinyu wa vitendea kazi. Hatahivyo, alisema kuwa mafunzo kwa wanataaluma, huzingatiwa na chuo kina ushirikiano wa karibu na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Uthamini na Usajili, Donald Rweramila alisema kuwa anahusika na kufundisha masomo ya Uongozi, Sheria na Uthamini. Alitaja changamoto kubwa iliyopo kuwa ni ukosefu wa

vifaa vya kufundishia. Naye, Mkuu wa Taaluma, Hellena Kenekeza alieleza kwa kifupi kuwa baadhi ya kazi zake kuu ni kuandaa mitaala na kuwa mshauri kwa mkuu wa chuo katika masuala yanayohusu taaluma chuoni.

Vile vile, Mwanafunzi wa Idara ya Usimamizi Ardhi, Zakaria Mdeta alieleza “Najivunia kusoma katika chuo hiki na nategemea baada ya masomo yangu nitahusika katika kuandaa hati za umiliki wa ardhi, kushughulikia uhamisho wa milki za ardhi, kuwapelekea barua, yaani “demand notice” wale wenye madeni ya muda mrefu na kutatua migogoro ya Ardhi.” Wanafunzi Florencea Cliford, Erick Daniel na Yoel Makinga walieleza changamoto kuu wanayopata chuoni hapo kuwa ni kukosekana kwa vifaa vya kutosha. Walieleza kuwa changamoto hiyo ni dhahiri, kwa kila mwanachuo na hata wanataaluma, hivyo haina budi kuzingatiwa ili kuboresha ufanisi chuoni.

Mkuu wa chuo hicho, Biseko Musiba alisema kuwa pamoja na changamoto za upungufu wa watumishi, vitendea kazi, madarasa na maabara, chuo hicho kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeendelea kuimarisha

elimu na kuongeza ufanisi kiutendaji, kwa kuwawezesha watumishi kujiendeleza kielimu katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Stashahada ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na kuboresha elimu itolewayo chuoni. Pia Chuo kinaendelea na ujenzi wa maktaba ya kisasa, ambayo inatarajiwa kukamilika mwaka huu wa 2016/2017, kukamilika kwa ujenzi huu kutakidhi mahitaji ya wanachuo 150 kwa wakati mmoja na kuwawezesha kuongeza uwezo wao kimasomo. Mkuu wa Chuo aliongeza kuwa hatua ya chuo kupata ithibati kamili kutoka NACTE, itakiwezesha chuo kuongeza zaidi udahili ili kuweza kutengeneza wahitimu mahiri, ambao wataendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya ardhi nchini.

Vyuo vingine vya ardhi nchini ni: Chuo cha Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), ambacho kilianzishwa mwaka 1958 kikiwa Mgulani – Dar es Salaam kama chuo cha kuzalisha mafundi sanifu wa upimaji na ramani na pia utayarishaji wa ramani za mipangomiji kwa muda wa miezi sita kwa vijana waliofuzu elimu ya kidato cha nne. Kwa

wakati huo, chuo kilitambulika kama “Survey Training Centre”.

Mwaka 1976 mafunzo ya cheti cha upimaji yaliongezwa muda na kuwa ya mwaka mmoja. Mwaka 1978 Chuo cha Ardhi Morogoro kama tawi la Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, kilihamishiwa rasmi Morogoro kutokana na ufinyu wa nafasi katika Chuo cha Ardhi Dar es Salaam.

Akizungumza katika Mahafali ya 34 ya chuo cha Ardhi - Tabora, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila alisema Halmashauri nyingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa ardhi, jambo ambalo huchangia katika kusababisha Migogoro ya Ardhi, aliendelea kusema; tatizo hilo linaweza kupungua kama Halmashauri nchini zitawatumia wahitimu wa vyuo vya ardhi ambao watashiriki vyema kutatua migogoro hiyo.

YAJUE MABARAZAYA ARDHI NA NYUMBA

YA WILAYA

Jengo jipya la Baraza la Ardhi na Nyumba la Mkoani Kigoma

Page 17: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

15Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 18: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

16 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi na mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joel Bendera wakikata utepe kufungua rasmi Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya ya Kiteto.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 19: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akifungua Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya ya Kigoma, Kushoto ni Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Kabwe na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga.

17Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 20: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

18 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla akikata utepe kufungua Baraza la Ardhi na Nyumba ya wilaya ya Kilindi Mkoani Tanga.

Page 21: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabulla akikagua Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya lililopo Songea Mjini mkoani Ruvuma ambapo hakuridhishwa na hali ya jengo hilo na kumuagiza mkandarasi kurudia upya ukarabati wake

19Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 22: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

20 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

miamala inayohusiana na masuala ya ardhi, ukadiriaji wa malipo ya mbele (Premium) kwa milki mpya na kodi ya pango la ardhi.

Sheria nyingine ambazo zimekuwa zikiongoza taaluma na huduma za uthamini ni pamoja na; Sheria za Ardhi Na. 4 na 5 ( The Land Act No. 4&5) za mwaka 1999, Kanuni za Sheria za Ardhi ( The Landa Regulations) za mwaka 2001, Sheria ya Utwaaji Na. 47 ( The Land Acquiisition Act No. 47) ya mwaka 1967 na Waraka Na. 1 wa Mwaka 2015 unaosisitiza uwepo wa tengeo la bajeti kabla ya kufanya uthamini.

Hivi karibuni sheria kuu zaidi inayoongoza masuala yote ya uthamini iliundwa, sheria hiyo ni Sheria ya Uthamini na Usajili wa Wathamini Na. 7 ya mwaka 2016 . Sheria imeanza kutumika rasmi tarehe 1 Januari 2017 kupitia Tangazo la Serikali (GN) Na.1 ya tarehe 6 Januari 2017.

Akizungumza katika kipindi cha KUMEKUCHA, katika Televisheni ya ITV Kaimu Mthamini Mkuu Tanzania, Bi.Evelyne Mugasha ameeleza kwa uuma kuwa uthamini ni taaluma, hivyo ni lazima wananchi waiheshimu na kuwaamini wathamini. Alizungumzia uwepo wa Sheria Kuu mpya ya uthamini ambayo itawezesha kusimamia mwenendo wa huduma ya Uthamini nchini kuondoa kasoro na migogoro iliyokuwa ikitokana na ukosefu wa maadili kwa wathamini kwa kuhakikisha kuwa huduma inayotolewa inazingatia weledi, viwango vya uthamini na maadili ya taaluma. Pia Sheria itaratibu usajili wa Wathamini kwa kuweka taratibu za kusajili na kufuta Wathamini na kampuni ya Uthamini, kusimamia mafunzo ya kujiendeleza, pamoja na kuweka taratibu za kulinda watumiaji wa huduma ya wathamini

Akitoa Elimu kwa Waandishi wa Habari kuhusu taratibu za Uthamini wa Fidia nchini, Kaimu Mthamini Mkuu wa Serikali Bi. Evelyne Mugasha alieleza; “Tumefanya utafiti nchi nzima ili kujua bei elekezi za ardhi (indicative land value rates) kwa nchi nzima, hata hivyo taratibu za kufanya tathmini ziko wazi tena zipo kisheria na siyo suala la kubahatisha, ingawa malalamiko ya wananchi wengi yanatokana na kutojua taratibu”. Aliendelea kusema; fidia hupaswa kulipwa ndani ya miezi sita tu na iwapo itachelewa zaidi walipaji fidia watalazimika kutoa riba ya fidia hiyo. Fidia hulipwa kutokana na wakati uliopo na si wakati ujao kwa mujibu wa Sheria, kifungu na . 3 (1) (g) cha Sheria za Ardhi na 4, na sheria ya ardhi ya vijiji na. 5 za mwaka 1999 na Kanuni zake za Mwaka 2001.

DHANA NA TARATIBU ZAUTHAMINI WA FIDIA NCHINI

Naye Mthamini Mwandamizi; Bwn. Juma S. Jingu katika mazungumzo hayo na Waandishi wa Habari, alieleza kuhusu changamoto kadhaa wanazokutana nazo, moja ya changamoto hizo alieleza ni kutokuwepo kwa uelewa wa ujazaji fomu Na. 70 ambayo madhumuni yake ni kumtaka mwananchi kutoa maelezo kadhaa kuhusu mali yake ili iweze kufidiwa kihalali na wakati mwingine wananchi kudai viwango vya juu zaidi kuliko uhalisia wa ubora wa maendelezo yao, licha ya kupewa ufafanuzi wa uhalali wa kutumika kwa viwango stahili.

Aliendelea kufafanua kwamba, katika ulipaji wa fidia ni vyema awepo Mthamini kushuhudia nyaraka za uthamini walizoachiwa wananchi wakati wa uthamini, mfano Fomu Na. 69, fomu ya uthamini Na. 1 na michanganuo ya mali za wananchi huambatanishwa na hundi zao ili waweze kujua namna mahesabu ya fidia zao yalivyopatikana.

Alisisitiza kwa upande wa wathamini baadhi ya mambo ya msingi kuzingatiwa kwa mfidiwa ni ; Thamani ya ardhi na mali isiyohamishika (unexhausted improvements), Posho mbalimbali stahili kwa mfidiwa, kama vile posho ya usumbufu (Disturbance allowance), Posho ya upotevu wa makazi (Loss of Accomodation), posho ya upotevu wa faida (loss of profit), Posho ya usafiri (Transport allowance) na gharama za awali za kupata ardhi.

Kaimu Mthamini Mkuu Bi Evelyne Mugasha alihitimisha kwamba kuongezeka kwa ushindani wa mahitaji ya ardhi, ikilinganishwa na ardhi iliyopo kumejenga umuhimu wa kusimamia na kutawala rasilimali hiyo adimu kwa umakini mkubwa. Uthamini ni nguzo mojawapo ya utawala na usimamizi bora wa ardhi kwa kuwezesha maamuzi ya maendeleo bora ya ardhi kufanyika.

Ni wajibu wa Wathamini kuhakikisha kuwa viwango vya fidia vinahuishwa mara kwa mara ili viendane na wakati na kutimiza matakwa ya Sheria. Vilevile, mamlaka na wadau wote wenye jukumu la kulipa fidia wana wajibu wa kusimamia utaratibu wa kuhakikisha uwepo wa bajeti ya kutosha kulipa fidia kwa wakati kabla ya kufikiria kutwaa maeneo ya wananchi ili kuepuka malalamiko toka kwa walipa au walipwa fidia. Wathamini hawana budi kuzingatia Taratibu na Sheria

ara nyingi nchini tumekuwa tukishuhudia katika maeneo mbalimbali nyumba

zikibomolewa kupisha miradi mbalimbali kwa manufaa ya umma. Kwa mfano kupisha ujenzi wa miundombinu ya barabara, maji safi na maji taka, umeme n.k. Wamiliki halali wa nyumba na maeneo hayo yanayo athiriwa na mradi wanayo haki ya kulipwa fidia, yaani gharama zitakazowawezesha kuhamia katika maeneo mengine kuanzisha makazi mapya.

Dhana ya Fidia inazingatiwa nchini kwa kuwa ardhi ya Tanzania ni mali ya wananchi wote na Rais ndiye mwenye dhamana ya kuilinda kwa manufaa ya wote. Hata hivyo mwananchi anaruhusiwa kuitumia, na pale ambapo inahitajika kutwaliwa kwa ajili ya sababu nyingine hasa za maendeleo ya taifa, basi mmiliki wa ardhi hiyo anastahili kulipwa fidia. Kifungu namba 3 cha Sheria ya Utwaaji (Land Acquisition Act No.47 of 1967) kinampa uwezo Mheshimiwa Rais kutwaa Ardhi yoyote pale inapohitajika kwa Manufaa ya Umma.

Kwa kuzingatia utekelezaji wa Sera ya Ardhi ya Taifa ya mwaka 1995, Sheria ya Ardhi Na.4 ya 1999 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na.5 ya 1999 chini ya Kifungu 3(1)g zimesisitiza juu ya uthamini wa fidia kwamba uzingatie malipo ya kutosheleza, ya haki na yatolewe kwa wakati ndani ya kipindi cha miezi sita. Kanuni za Sheria za Ardhi (The Land Regulations) za mwaka 2001 zimebainisha namna ya utekelezaji wa uthaminiwa fidia nchini.

Utaratibu wa uthamini wa fidia ambayo mmiliki wa eneo husika anapaswa kulipwa unatolewa na Mthamini Mkuu wa Serikali. Ofisi ya Mthamini mkuu wa serikali ni mojawapo ya Kitengo muhimu sana katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kinachoshughulikia masuala yote ya uthamini nchini na kinaongozwa na Mthamini Mkuu wa Serikali.

Neno uthamini linatokana na neno thamani, ambapo Uthamini ni utaratibu wa utaalam wa kukadiria na kushauri kuhusu thamani ya mali isiyohamishika (kama vile ardhi,majengo na mazao) na pia zinazohamishika kama vile samani, mashine, magari na vifaa.

Uthamini upo wa aina kuu mbili; Uthamini wa ujumla/kawaida (General Valuations); ambao hauna maelekezo ya sheria mahsusi, unatokana na mahitaji maalum mfano; uthamini kwa ajili ya rehani ili kupata mikopo benki, mauzo/ununuzi, uhamisho wa milki, mizani, bima n.k. Aina ya pili ni Uthamini wa Kisheria (Statutory Valuations); huu unaongozwa na sheria mahsusi zilizopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Serikali ya Muungano ya Tanzania. Mathalani uthamini kwa ajili ya kuweka misingi ya kulipa fidia, utozaji mapato (ushuru na ada) ya Serikali kutokana na Uthamini wa Ardhi.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 23: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

21Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

miamala inayohusiana na masuala ya ardhi, ukadiriaji wa malipo ya mbele (Premium) kwa milki mpya na kodi ya pango la ardhi.

Sheria nyingine ambazo zimekuwa zikiongoza taaluma na huduma za uthamini ni pamoja na; Sheria za Ardhi Na. 4 na 5 ( The Land Act No. 4&5) za mwaka 1999, Kanuni za Sheria za Ardhi ( The Landa Regulations) za mwaka 2001, Sheria ya Utwaaji Na. 47 ( The Land Acquiisition Act No. 47) ya mwaka 1967 na Waraka Na. 1 wa Mwaka 2015 unaosisitiza uwepo wa tengeo la bajeti kabla ya kufanya uthamini.

Hivi karibuni sheria kuu zaidi inayoongoza masuala yote ya uthamini iliundwa, sheria hiyo ni Sheria ya Uthamini na Usajili wa Wathamini Na. 7 ya mwaka 2016 . Sheria imeanza kutumika rasmi tarehe 1 Januari 2017 kupitia Tangazo la Serikali (GN) Na.1 ya tarehe 6 Januari 2017.

Akizungumza katika kipindi cha KUMEKUCHA, katika Televisheni ya ITV Kaimu Mthamini Mkuu Tanzania, Bi.Evelyne Mugasha ameeleza kwa uuma kuwa uthamini ni taaluma, hivyo ni lazima wananchi waiheshimu na kuwaamini wathamini. Alizungumzia uwepo wa Sheria Kuu mpya ya uthamini ambayo itawezesha kusimamia mwenendo wa huduma ya Uthamini nchini kuondoa kasoro na migogoro iliyokuwa ikitokana na ukosefu wa maadili kwa wathamini kwa kuhakikisha kuwa huduma inayotolewa inazingatia weledi, viwango vya uthamini na maadili ya taaluma. Pia Sheria itaratibu usajili wa Wathamini kwa kuweka taratibu za kusajili na kufuta Wathamini na kampuni ya Uthamini, kusimamia mafunzo ya kujiendeleza, pamoja na kuweka taratibu za kulinda watumiaji wa huduma ya wathamini

Akitoa Elimu kwa Waandishi wa Habari kuhusu taratibu za Uthamini wa Fidia nchini, Kaimu Mthamini Mkuu wa Serikali Bi. Evelyne Mugasha alieleza; “Tumefanya utafiti nchi nzima ili kujua bei elekezi za ardhi (indicative land value rates) kwa nchi nzima, hata hivyo taratibu za kufanya tathmini ziko wazi tena zipo kisheria na siyo suala la kubahatisha, ingawa malalamiko ya wananchi wengi yanatokana na kutojua taratibu”. Aliendelea kusema; fidia hupaswa kulipwa ndani ya miezi sita tu na iwapo itachelewa zaidi walipaji fidia watalazimika kutoa riba ya fidia hiyo. Fidia hulipwa kutokana na wakati uliopo na si wakati ujao kwa mujibu wa Sheria, kifungu na . 3 (1) (g) cha Sheria za Ardhi na 4, na sheria ya ardhi ya vijiji na. 5 za mwaka 1999 na Kanuni zake za Mwaka 2001.

Naye Mthamini Mwandamizi; Bwn. Juma S. Jingu katika mazungumzo hayo na Waandishi wa Habari, alieleza kuhusu changamoto kadhaa wanazokutana nazo, moja ya changamoto hizo alieleza ni kutokuwepo kwa uelewa wa ujazaji fomu Na. 70 ambayo madhumuni yake ni kumtaka mwananchi kutoa maelezo kadhaa kuhusu mali yake ili iweze kufidiwa kihalali na wakati mwingine wananchi kudai viwango vya juu zaidi kuliko uhalisia wa ubora wa maendelezo yao, licha ya kupewa ufafanuzi wa uhalali wa kutumika kwa viwango stahili.

Aliendelea kufafanua kwamba, katika ulipaji wa fidia ni vyema awepo Mthamini kushuhudia nyaraka za uthamini walizoachiwa wananchi wakati wa uthamini, mfano Fomu Na. 69, fomu ya uthamini Na. 1 na michanganuo ya mali za wananchi huambatanishwa na hundi zao ili waweze kujua namna mahesabu ya fidia zao yalivyopatikana.

Alisisitiza kwa upande wa wathamini baadhi ya mambo ya msingi kuzingatiwa kwa mfidiwa ni ; Thamani ya ardhi na mali isiyohamishika (unexhausted improvements), Posho mbalimbali stahili kwa mfidiwa, kama vile posho ya usumbufu (Disturbance allowance), Posho ya upotevu wa makazi (Loss of Accomodation), posho ya upotevu wa faida (loss of profit), Posho ya usafiri (Transport allowance) na gharama za awali za kupata ardhi.

Kaimu Mthamini Mkuu Bi Evelyne Mugasha alihitimisha kwamba kuongezeka kwa ushindani wa mahitaji ya ardhi, ikilinganishwa na ardhi iliyopo kumejenga umuhimu wa kusimamia na kutawala rasilimali hiyo adimu kwa umakini mkubwa. Uthamini ni nguzo mojawapo ya utawala na usimamizi bora wa ardhi kwa kuwezesha maamuzi ya maendeleo bora ya ardhi kufanyika.

Ni wajibu wa Wathamini kuhakikisha kuwa viwango vya fidia vinahuishwa mara kwa mara ili viendane na wakati na kutimiza matakwa ya Sheria. Vilevile, mamlaka na wadau wote wenye jukumu la kulipa fidia wana wajibu wa kusimamia utaratibu wa kuhakikisha uwepo wa bajeti ya kutosha kulipa fidia kwa wakati kabla ya kufikiria kutwaa maeneo ya wananchi ili kuepuka malalamiko toka kwa walipa au walipwa fidia. Wathamini hawana budi kuzingatia Taratibu na Sheria

ara nyingi nchini tumekuwa tukishuhudia katika maeneo mbalimbali nyumba

zikibomolewa kupisha miradi mbalimbali kwa manufaa ya umma. Kwa mfano kupisha ujenzi wa miundombinu ya barabara, maji safi na maji taka, umeme n.k. Wamiliki halali wa nyumba na maeneo hayo yanayo athiriwa na mradi wanayo haki ya kulipwa fidia, yaani gharama zitakazowawezesha kuhamia katika maeneo mengine kuanzisha makazi mapya.

Dhana ya Fidia inazingatiwa nchini kwa kuwa ardhi ya Tanzania ni mali ya wananchi wote na Rais ndiye mwenye dhamana ya kuilinda kwa manufaa ya wote. Hata hivyo mwananchi anaruhusiwa kuitumia, na pale ambapo inahitajika kutwaliwa kwa ajili ya sababu nyingine hasa za maendeleo ya taifa, basi mmiliki wa ardhi hiyo anastahili kulipwa fidia. Kifungu namba 3 cha Sheria ya Utwaaji (Land Acquisition Act No.47 of 1967) kinampa uwezo Mheshimiwa Rais kutwaa Ardhi yoyote pale inapohitajika kwa Manufaa ya Umma.

Kwa kuzingatia utekelezaji wa Sera ya Ardhi ya Taifa ya mwaka 1995, Sheria ya Ardhi Na.4 ya 1999 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na.5 ya 1999 chini ya Kifungu 3(1)g zimesisitiza juu ya uthamini wa fidia kwamba uzingatie malipo ya kutosheleza, ya haki na yatolewe kwa wakati ndani ya kipindi cha miezi sita. Kanuni za Sheria za Ardhi (The Land Regulations) za mwaka 2001 zimebainisha namna ya utekelezaji wa uthaminiwa fidia nchini.

Utaratibu wa uthamini wa fidia ambayo mmiliki wa eneo husika anapaswa kulipwa unatolewa na Mthamini Mkuu wa Serikali. Ofisi ya Mthamini mkuu wa serikali ni mojawapo ya Kitengo muhimu sana katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kinachoshughulikia masuala yote ya uthamini nchini na kinaongozwa na Mthamini Mkuu wa Serikali.

Neno uthamini linatokana na neno thamani, ambapo Uthamini ni utaratibu wa utaalam wa kukadiria na kushauri kuhusu thamani ya mali isiyohamishika (kama vile ardhi,majengo na mazao) na pia zinazohamishika kama vile samani, mashine, magari na vifaa.

Uthamini upo wa aina kuu mbili; Uthamini wa ujumla/kawaida (General Valuations); ambao hauna maelekezo ya sheria mahsusi, unatokana na mahitaji maalum mfano; uthamini kwa ajili ya rehani ili kupata mikopo benki, mauzo/ununuzi, uhamisho wa milki, mizani, bima n.k. Aina ya pili ni Uthamini wa Kisheria (Statutory Valuations); huu unaongozwa na sheria mahsusi zilizopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Serikali ya Muungano ya Tanzania. Mathalani uthamini kwa ajili ya kuweka misingi ya kulipa fidia, utozaji mapato (ushuru na ada) ya Serikali kutokana na

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 24: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

USHIRIKI WA SEKTA BINAFSIKATIKA UPANGAJI MIJI

odi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji ni chombo cha Serikali kilichoundwa chini ya

Sheria ya Usajili wa Watalaam wa Mipangomiji Na. 7 ya mwaka 2007. Sheria hiyo inaipa bodi hiyo mamlaka ya kusimamia viwango (standards) vya utendaji, tabia na maadili ya wataalam wa mipangomiji pamoja na kampuni zinazofanya kazi za mipangomiji hapa nchini.

Kwa kuzingatia kuwa lipo tatizo la upungufu wa Wataalam wa Mipangomiji kulingana na mahitaji nchini, Serikali imeruhusu Sekta Binafsi kushiriki katika shughuli za kupangaji miji. Kwa kupitia sera ya Serikali ya PPP (Public Private Partnership), kampuni binafsi zilizosajiliwa na Bodi ya Mipangomiji zinaweza kushirikiana na serikali katika sekta ya uendelezaji makazi bora mijini na vijijini.

Hadi sasa zipo kampuni 39 zilizosajiliwa na Bodi ya Mipangomiji kwa ajili ya kufanya kazi za upangaji ardhi. Ili kuepuka zoezi hili kufanyika kiholela, halmashauri za Jiji, Manispaa, Wilaya na

Miji zinalazimika kuratibu utendaji kazi wa kampuni hizi. Zuieni watu kuingia kiholela kwa wananchi katika halmashauri zenu bila nyie kuwa na taarifa zao.

Utendaji kazi wa kampuni binafsi usiporatibiwa vizuri, unaweza kusababisha migogoro kwa vile hata wasiokuwa na sifa wanaweza kujiingiza huko na wakafanya kazi kwa kivuli cha Sekta Binafsi. Zipo kampuni zinazofanya vizuri, lakini wapo pia wasio na sifa ambao wamejiingiza huko.

Bodi ya usajili wa Wataalamu wa Mipango Miji, inatoa wito kwa halmashauri za Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji zihakikishe kuwa kampuni zinazofanya kazi katika maeneo yao ni zile tu zilizosajiliwa. Na wale wasiosajiliwa na wanakwenda kuwarubuni wananchi kuwafanyia kazi zao, wakumbuke kuwa ni kosa la jinai kwa mujibu wa Kifungu cha 22 na 23 cha Sheria ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji Na. 7 ya mwaka 2007.

Mwenyekiti wa bodi ya usajili wa Wataalam wa Mipango Miji na Vijiji; Prof. Wilbard Kombe akisisitiza jambo katika moja ya Mikutano ya bodi hiyo, kulia kwake ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi.

22 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

oja ya changamoto kubwa zinazoikabili Serikali ya Awamu ya Tano ni changamoto ya migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Hatahivyo, Serikali imekuwa ikiendelea kukabiliana

na changamoto hiyo kwa nia ya kupunguza migogoro husika na hatimaye kuimaliza.

Vyombo pekee vya kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba vipo bayana. Hivi ni Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 za mwaka 1999. Sheria hizo zimetungwa ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kutekeleza Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995. Sheria hizi zinaainisha: Baraza la Ardhi la Kijiji–(The Village Land Council), Baraza la Kata – (The Ward Tribunal), Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya (The District Land and Housing Tribunal), Mahakama Kuu Kitengo

cha Ardhi (The High Court Land Division) na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania (The Court of Appeal of Tanzania).

Mfumo huu wa utatuzi wa migogoro, unaoanzia katika ngazi ya kijiji, unalenga kuchukua muda mfupi na kutumia taratibu rahisi na shirikishi, zisizokuwa na gharama kubwa kwa watanzania. Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 (The Land Disputes Courts Act, 2002) imeanza kutumika tangu tarehe 1/10/2003 na inafuta mamlaka ya Mahakama ya

Mwanzo, Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi kusikiliza na kuamua masuala yote ya madai kuhusu ardhi. Inafuta Mabaraza ya Nyumba ya Mikoa, Baraza la Rufaa la Nyumba, Mabaraza ya Usuluhishi wa Ardhi ya Wilaya/Mikoa na Baraza la Rufaa la Ardhi. Sheria hiyo nayo inaunda na inatoa majukumu na mamlaka ya Mahakama

zilizotajwa katika Sheria Namba 4 na 5 za mwaka 1999, kushughulikia migogoro ya ardhi na nyumba.

Kwa upande wa Baraza la Kijiji - Hili lina mamlaka ya usuluhishi na endapo wahusika hawaridhiki na uamuzi wake, wanaruhusiwa kupeleka masuala yao kwenye Baraza la Kata. Baraza la Kata lenyewe linaundwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka1985 (The Ward Tribunal Act, 1985). Baraza hili pamoja na majukumu yake chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1985, limeongezewa mamlaka ya kimahakama ya kushughulikia usuluhishi na maamuzi ya migogoro ya ardhi kwenye eneo lake. Rufaa kutoka Baraza la Kata zinapekekwa kwenye Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya.

Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya- Hili linaundwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Kifungu cha 22 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002. Kwa mujibu wa sheria, linaweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa au kanda, kutegemeana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba kwenye eneo husika. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Vivyo hivyo, yule ambaye hataridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, atakuwa na haki ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Baraza la Ardhi la Kijiji linasuluhisha au linasaidia wananchi wenye migogoro katika kijiji kufikia muafaka. Baraza hili huitisha kikao baada ya pande zinazohusika, kukubali huduma ya upatanishi ya baraza hilo. Hata hivyo, wananchi hawalazimiki kutumia huduma ya Baraza la Ardhi la Kijiji. Lakini, hata kama watatumia huduma hiyo, wanaweza pia kukataa maamuzi yake. Kwa sababu hiyo, wananchi wanaweza kupeleka masuala yao moja kwa moja.

Kimsingi, kazi ya Baraza la Kata na Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ni kupokea na kusikiliza migogoro ya ardhi na nyumba. Migogoro yote ambayo thamani yake kifedha haizidi Shilingi milioni tatu (3), huanza kushughulikiwa na Baraza la Kata. Hata hivyo, kama mhusika anawakilishwa na Wakili au yapo mazingira mengine maalum, kesi hiyo inaweza kufunguliwa moja kwa moja katika Baraza la Wilaya. Baraza la Wilaya linapokea migogoro yote, ambayo thamani ya nyumba, ardhi au kinachodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni tatu (3) na haizidi Shilingi milioni arobaini (40) kwa vitu vinavyohamishika na Shilingi milioni hamsini (50) kwa vitu visivyohamishika.

Katika Mabaraza haya, Wajumbe au Washauri (Assessors) wa Baraza ni viungo muhimu katika utatuzi. Mfumo huu unazingatia ushirikiano na kwa njia hii unawashirikisha wananchi katika kutatua migogoro yao kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Mahakama Kuu Idara ya Ardhi. Wananchi wanashiriki kutokana na baadhi yao kuteuliwa kuwa wajumbe au washauri wa Baraza.

Kwa mujibu wa Sheria Namba 5 ya mwaka 1999, Baraza la Ardhi la Kijiji lina wajumbe saba (7) na lazima watatu (3) kati yao wawe wanawake. Wajumbe hao wanateuliwa na Halmashauri ya Kijiji na majina yao yanafikishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kijiji ili yathibitishwe kabla ya kuanza kazi.

Wajumbe wa Baraza la Kata kwa mujibu wa Sheria Namba 7 ya mwaka 1985 (The Ward Tribunal Act, 1985), wanatakiwa wawe kati ya wanne (4) na wanane (8) na kati yao, watatu (3) lazima wawe wanawake. Nalo Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kwa mujibu wa Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 lina wajumbe wasiozidi saba (7) na watatu (3) kati yao lazima wawe wanawake. Wajumbe hawa huteuliwa na Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na mapendekezo ya Mkuu wa Mkoa na lazima watoke katika eneo la Wilaya husika.

Sifa za Mjumbe ni kuwa: Mtu mwenye heshima, mtu mwenye msimamo na ufahamu wa Sheria za

Ardhi za eneo husika, Lazima awe raia wa Tanzania na mkazi wa Kijiji, Kata au Wilaya husika, Umri wake uwe miaka 18 na kuendelea kwa Baraza la Ardhi la Kijiji, na Baraza la Kata ni miaka 21 na kuendelea. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya awe na akili timamu na asiwe na kumbukumbu zozote za makosa ya jinai, Asiwe Mbunge au Hakimu katika Wilaya husika, Diwani au Mjumbe wa Halmashauri ya Wilaya, Kata au Kijiji. Kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, kiwango cha chini cha elimu yake kiwe kidato cha nne (4), Mawakili hawaruhusiwi kuwakilisha.

wananchi katika Baraza la Kata isipokuwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya. Hata hivyo, kama mtu hawezi kufika mbele ya Baraza la Kata kutokana na sababu za msingi, Baraza linaweza kumruhusu ndugu wa karibu kumwakilisha mtu huyo.

Aidha, utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya hutekeleza hukumu

zake lenyewe kwa kutumia madalali wake (tribunal brokers). Vilevile Baraza hili linasimamia utekelezaji wa hukumu za Baraza la Kata. Kwa sababu hiyo. Baraza la Kata halina mamlaka ya kukaza hukumu zake lenyewe.

Katika kuboresha huduma inayofanywa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa usimamizi wa Waziri mwenye dhamana. Mheshimiwa William Lukuvi (Mb) imeshafungua mabaraza mapya.

Hivi karibuni Kaimu Msajili wa Mabara ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya, Amina Rashid akizungumza na waandishi wa habari alisisitiza kwa umma kutumia Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Alisema: “Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ndiyo chombo pekee kilichoundwa kwa ajili ya kutatua matatizo yote yanayohusu ardhi na nyumba”. Aliendelea kwa kutaja mifano ya mashauri yatolewayo katika mabaraza hayo. Alisema: “Mashauri ya wananchi

yanayotokana na milki pandikizi (double allocation) au mashauri ya wananchi wanaopakana, kwa mmoja wao kutaka kujipanulia eneo”. Pia alisema kuwa yapo mashauri ya wenye nyumba na wapangaji, yanayofunguliwa kwa kutokana na kukiukwa kwa Mikataba.

Kwa kipindi cha Julai 2016 hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2016, mashauri mapya yaliyofunguliwa ni 9,145. Pamoja na mashauri 14,163 yaliyokuwepo barazani, jumla ya mshauri yaliyokuwa yakiendelea kwenye mabaraza ni 23,308. Kati ya mashauri hayo, mashauri 7,706 yaliamuliwa ukilinganisha na mashauri 8,000 yaliyotarajiwa kuamuliwa katika kipindi hicho. Mashauri 15,602 yanaendelea kushughulikiwa. Vile vile Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kilindi, lilikarabatiwa na kuzinduliwa; na Baraza ya Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kigoma, limemalizika kujengwa na kuzinduliwa kwa ajili ya kuendelea na kazi.

Page 25: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Wakazi wa kijiji cha Mang’ola juu wilayani Karatu Mkoani Arusha waliosimamisha msafara wa Mhe. Lukuvi wakimweleza kero za ardhi kwenye kijiji chao.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akikagua mafaili yenye hati za kumiliki ardhi katika Masijala ya Ardhi ya Mkoani Kigoma ambapo aligundua kuwepo kwa mpangilio mbovu kuhifadhi hati na kuagiza kuwepo kwa mpangilio mzuri wa hati miliki za ardhi za wakazi wa kigoma.

23Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tzToleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 26: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

24 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

Wananchi wa Musoma mjini wakikwasilisha Kero zao za migogoro ya ardhi kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ili aweze kuzipatia ufumbuzi.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Angeline Mabulla (kulia) akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa Halmashauri ya Momba mkoani Songwe ambazo zinajengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Mradi huo unaogharimu zaidi ya Tsh.Bil 2/ unajumuisha nyumba ishirini ambapo nane kati ya hizo zipo katika hatua za mwisho kukamilika. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Momba Bw. Juma Irando na nyuma yao Meneja wa NHC Mbeya, Songwe na Njombe Bw. Juma Kiaramba.

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 27: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Kamanda wa Kambi ya Itende JKT mkoani Songwe, Luteni Kanali David Mwaijumba akimuonesha Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula mipaka ya eneo la Kambi hiyo ambapo sehemu ya eneo hilo limevamiwa na wananchi na hivyo kusababisha matatizo kwa shughuli za kambi hiyo yenye jukumu la kuwaanda vijana kujenga taifa. Aidha, Dkt. Mabula aliamuru wataalam wa upimaji ardhi kutoka Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi kushirikiana na mkoa wa Songwe ili kupata suluhu ya jambo hilo.

Mzee Ali Juma mkazi wa kijiji cha Hembeti wilayani Mvomero mkoani Morogoro akimshukuru Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi kumuwezesha kupata hati ya kumuliki ardhi yake ambayo amekuwa nayo kwa miaka mingi bila kupewa hati hiyo, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Stephen Kebwe na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango na Matumizi ya Ardhi (NLUPC), Dkt. Stephen Nindi anayemsaidia kwa kumshika mkono.

25Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz

Page 28: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Waziri wa Ardhi Mhe William Lukuvi akiwaelezea Mawaziri kutoka Zanzibar jinsi Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kinavyorahisisha kutoa Huduma za Ardhi bila usumbufu kwa Wananchi. Kuanzia Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Mohamed Aboud, Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Hamad Rashid, Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar Mhe. Salama Talib na Katibu Mkuu Wizara wa Ardhi Dkt. Yamungu Kayandabila.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabulla akioneshwa alama nyingine (haionekani pichani) ya jiwe la mpaka wa kimataifa kati ya Tanzania na Zambia inayofanana na aliyoigusa na mkono wake wakati alipotembelea mpaka huo wa kimataifa uliopo Tunduma mkoani Songwe. Anayemuonesha ni Mpima Ardhi katika ofisi ya Mkoa huo Bw. Abdul Salum.

26 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 29: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Yamungu Kayandabila akifunga Semina ya Uongozi kwa watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yaliyofanyika katika Ukumbi wa BOT Jijini Dar es salaam.

Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Steven Kebwe wakiwa na baadhi ya Wahariri na Waandishi wa Vyombo vya Habari nchini katika jukumu la utoaji wa Elimu kuhusu Sheria, Kanuni na Taratibu za Utawala wa Ardhi ili kusaidia kutatua Migogoro ya Ardhi.

27Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tzToleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 30: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Afisa Habari wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, Rehema Isango akiwagawia vipeperushi wakazi wa Mbagala, wakati wa Kampeni ya uhamasishaji wa kulipa kodi ya pango la ardhi. Uhamasishaji huo umefanyika katika wilaya tatu za Dar es Salaam (Ilala, Temeke na Kinondoni).

Wajumbe kutoka Tanzania, kutoka kushoto ni; Katibu Mkuu; Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila, Mkurugenzi katika Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji na Vijiji, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Immaculata Senje; na Mkurugenzi wa sheria wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Fatma Chullo; wakifuatilia Mkutano wa wa Umoja wa Mataifa wa Makazi na Maendeleo Endelevu ya Miji (UN-HABITAT III, Quito – Ecuador).

28 Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tz Toleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 31: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

Waziri wa Maendeleo ya Miji na Vijiji wa Namibia; Sophia Shaningwa akielekezwa na Mhe.Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla jinsi ya kutumia Queuing machine/ inayozingatia utoaji huduma kwa mpangilio maalum, kadiri ya muda aliofika mwananchi kituoni kwa ajili ya kupata huduma katika Kituo cha Huduma kwa Mteja. Waziri huyo alifika nchini kujifunza Utawala wa Ardhi.

Waziri wa Maendeleo ya Miji na Vijiji wa Namibia; Sophia Shaningwa akimpa mkono wa pongezi Mwenyekiti wa kijiji cha Kurui – Kisarawe, kama pongezi kwa kijiji hicho kuwa mfano bora katika Mpango wa Utekelezaji wa Matumizi bora ya Ardhi. Katika picha ya pamoja na Watendaji mbalimbali wa Sekta ya Ardhi na ujumbe ulioambatana na Waziri huyo nchini kujifunza kuhusu Utawala wa Ardhi.

29Tembelea tovuti yetu: www.ardhi.go.tzToleo No. 8 | Aprili 2017 – Machi 2018

Page 32: “JITIHADA ZA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI” - lands.go.tzlands.go.tz/uploads/documents/sw/1494414280-Ministry of Land Newsletter... · Kila mmiliki anaongozwa na mkataba wa kulipia

MABORESHO YA OFISI ZAKANDA ZA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe. William Lukuvi na Naibu wake; Mhe. Dkt. Angeline Mabulla na Watendaji wakuu wa wizara wakikabidhi Magari ya Ofisi za Kanda za Ardhi kuboresha utendaji.

MABORESHO YA OFISI ZAKANDA ZA ARDHI

LIPA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA WAKATIUsipolipa Kodi ya Pango la Ardhi, utanyang’anywa umiliki wa

Ardhi yako, kutokana na sheria ya Ardhi,Na. 4 ya Mwaka 1999, katika kifungu cha 49 na 51.

Kodi ya ardhi hulipwa kila ifikapo Julai Mosi ya kilaMwaka katika Manispaa au Halmashauri husika na katika

eneo la jengo la Wizara – Dar es Salaam.