Upload
ahmad-issa-michuzi
View
311
Download
1
Embed Size (px)
Citation preview
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
1/45
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,
MHESHIMIWA DKT. PHILIP ISDOR MPANGO (MB),
AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA
MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
KWA MWAKA 20161!
1 JUNI, 2016
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
2/45
1.0 UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa hapa
Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti,
naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu sasa likubali kupokea,
kujadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya
Fedha na Mipango kwa mwaka 2!"#!$%
2. Mheshimiwa Spika, naomba kuanza hotuba yangu kwa
kumshukuru Mwenyezi Mungu, kwa kuniruhusu kusimama mbele ya
Bunge lako Tukufu kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango
kwa mwaka 2!"#!$%
". Mheshimiwa Spika, napenda kutumia fursa hii adhimu
kuwapongeza kwa dhati kabisa Mhe% &kt% 'ohn (ombe 'oseph Magufuli,
)ais wa 'amhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe% *amia *uluhu
+assan, Makamu wa )ais wa 'amhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
ushindi mkubwa waliopata katika -haguzi Mkuu wa tarehe 2.
/ktoba, 2!. na kuwawezesha kuongoza Taifa letu na *erikali ya
0wamu ya Tano% 0idha, nitumie fursa hii kumpongeza Mhe% Kassim M%
Majaliwa kwa ku-haguliwa na wanan-hi wa 'imbo la )uangwa kwa
kura nyingi kuwa Mbunge wao na hi1yo kutoa fursa kwa yeye
kuteuliwa na Mheshimiwa )ais kuwa Waziri Mkuu wa 'amhuri ya
Muungano wa Tanzania% Kwa pamoja, nawaombea afya njema na
hekima kutoka kwa Mungu katika kutekeleza majukumu yao -hini ya
!
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
3/45
kaulimbiu ya #H$%$ K$&' T kwa manufaa ya wanan-hi wote na
hasa masikini%*. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi kwa
ku-haguliwa kwako kuwa *pika wa Bunge la 'amhuri ya Muungano wa
Tanzania na kwa kuliongoza Bunge letu Tukufu kwa busara na hekima%
0idha, nampongeza pia Mhe% &kt% Tulia 0-kson Mwansasu, kwakuteuliwa kuwa mbunge na kwa ku-haguliwa kuwa aibu *pika na
hi1yo kukusaidia kuendesha 1yema shughuli za Bunge% awaombea
kwa Mungu awape afya na hekima ya kuendesha Bunge hili kwa
manufaa ya Taifa kwa ujumla%
+. Mheshimiwa Spika, naomba ku-hukua fursa hii pia
kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge wote kwa ku-haguliwa
kuwakilisha wanan-hi wa majimbo yenu na wote walioteuliwa
kuwakilisha makundi maalum katika jamii yetu% 0idha, nawapongeza
Mawaziri na aibu Mawaziri wote wa *erikali ya 0wamu ya Tano kwa
kuaminiwa na kuteuliwa na Mheshimiwa )ais kumsaidia katika
kuwaletea maendeleo Watanzania%
6. Mheshimiwa Spika, naomba pia nitoe shukrani zangu za dhati
kwa Mheshimiwa )ais wa 'amhuri ya Muungano wa Tanzania, &kt% 'ohn
(ombe 'oseph Magufuli kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri wa
Fedha na Mipango% +i1yo, kwa mara nyingine, ninamuahidi
Mheshimiwa )ais na Watanzania kwa ujumla kwamba nitatekeleza
jukumu hili kwa bidii, weledi na uadilifu%
2
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
4/45
!. Mheshimiwa Spika, kipekee nimshukuru aibu Waziri wa Fedha
na Mipango, Mheshimiwa &kt% 0shatu Ka-hwamba Kijaji 3 Mbunge wa
Kondoa, kwa ushirikiano anaonipa kutekeleza majukumu yangu kwa
ufanisi mkubwa% 0idha, niwashukuru pia 4iongozi wa Wizara, nikianza
na Katibu Mkuu na Mlipaji Mkuu wa *erikali, &kt% *er1a-ius Beda
5ikwelile, aibu Makatibu Wakuu, dugu &orothy *% Mwanyika, dugu
'ames &oto na dugu 0mina Kh% *haaban, kwa ari yao ya kujituma
katika kutekeleza majukumu ya Wizara ya Fedha na Mipango% 4ile1ile
napenda kuwashukuru (rof% Benno dulu, 6a1ana wa Benki Kuu ya
Tanzania, Bw% 0lphayo Kidata, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania, Bw% 5awren-e Mafuru 7 Msajili wa +azina na &kt% 0lbina
8huwa 7 Mkurugenzi Mkuu wa /9si ya Taifa ya Takwimu, kwa
kunisaidia kutekeleza majukumu yangu 1izuri na kuongoza taasisi
muhimu wanazosimamia kwa weledi mkubwa% 0idha, nawashukuru
Makamishna, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Wakuu wa 4itengo na
Wafanyakazi wote wa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kazi nzuri na
ushirikiano wao mkubwa wanaonipatia katika kutekeleza majukumu
yetu ya kila siku%
. Mheshimiwa Spika, napenda kuishukuru kwa dhati Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Bajeti -hini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa
+awa 0bdulrahman 6hasia, Mbunge wa Mtwara 4ijijini, na Makamu
Mwenyekiti Mheshimiwa 'osephat *inkamba Kandege, Mbunge wa
Kalambo kwa ushirikiano wao waliotupatia wakati wa kujadili
Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Wizara yangu% inaahidi
kwamba tutaendelea kushirikiana na Kamati hii na kuzingatia ushauri
:
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
5/45
na maelekezo wanayotupatia kwa lengo la kuleta ufanisi katika
kutekeleza majukumu ya Wizara yangu%
-. Mheshimiwa Spika, hotuba yangu itajikita katika maeneo
makuu matatu yafuatayo; Kwanza, ni Mwelekeo wa Majukumu ya
Wizara katika Kujenga Msingi wa -humi , alipokuwa
anawasilisha hotuba yake katika Bunge lako Tukufu mnamo tarehe 2.0prili 2!", alielezea mwelekeo wa *erikali ya 0wamu ya Tano yenye
falsafa ya +0(0 K0?< T nanukuu #M$/3 4$ S5'$/' 4$ K7'$
'%$83 9:$ $8' $ ;$4'$
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
6/45
12. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imejipanga ku-hukua hatua
madhubuti zinazolenga kujenga Taifa linalojitegemea kwa kukuza
u-humi na kupunguza umasikini% Moja ya hatua hizo ni kusimamia na
kufuatilia kwa ukamilifu utekekelezaji wa Mpango wa (ili wa
Maendeleo wa Miaka Mitano 2!"#!$ 7 22#2!% Mpango huu unajikita
katika kujenga msingi wa u-humi wa 1iwanda na maendeleo ya watu%
1". Mheshimiwa Spika, ili mpango huu uweze kutekelezwa kwa
ufanisi na kupata matokeo tarajiwa, ni dhahiri kuwa tutahitaji rasilimali
za kutosha, hususan rasilimali fedha% Wizara ya Fedha na Mipango
kwa kushirikiana na wadau wengine inalo jukumu la kuimarisha
ukusanyaji wa mapato ili kukabiliana na -hangamoto ya upungufu wa
rasilimali fedha% 0idha,
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
7/45
mapato yanayokusanywa na taasisi na mamlaka mbalimbali za
*erikali ili kuongeza ukusanyaji wa mapato ya *erikali% Tunalenga pia
kuimarisha ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi na kuboresha
usimamizi wake -hini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania kutokana na
uzoefu na mifumo ya ukusanyaji iliyopo n-hi nzimaA Kuendelea
ku-hukua hatua za kudhibiti na kupunguza misamaha ya kodi isiyo na
tijaA na Kuendelea kuimarisha usimamizi na kufanya ukaguzi wa mara
kwa mara bandarini na maeneo ya mipakani ili kuhakikisha kwamba
kodi stahiki zinakusanywa%
1+. Mheshimiwa Spika, mikakati mingine itakayotekelezwa na
Wizara ni kama ina1yooneshwa katika kitabu -ha hotuba yangu
kuanzia ukurasa wa $>$ hadi ukurasa wa % Mafungu hayo ni Fungu
"
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
8/45
. 7 Wizara ya Fedha na MipangoA Fungu 2! 3 +azinaA Fungu 22 7 &eni
la TaifaA Fungu 2: 7 ' $ K'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
9/45
zaidi% *era ya bajeti inalenga, pamoja na mambo mengine, kudhibiti
na kupunguza mfumuko wa bei na hi1yo kupunguza gharama za
maisha ya wanan-hi%
".1.2 U5$8'> ?$ M'%$3 4$ M$=/3 4$ T$';$
21. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuratibu uandaaji na
ufuatiliaji wa mipango ya maendeleo n-hini sambamba na kusimamia
u-humi%
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
10/45
pamoja na kufanya tathmini ya mkakati huo ambao baada ya
kuongezewa muda wa mwaka mmoja wa utekelezaji, una9kia ukomo
wake mwezi 'uni, 2!"% Matokeo ya tathmini hiyo yameainishwa katika
Taarifa ya tekelezaji wa MKKT07% Taarifa hii ilisambazwa kwa Waheshimiwa Wabunge
wakati nilipowasilisha mwelekeo wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka
Mitano 0wamu ya (ili =2!"#!$ 7 22#2!> kwenye semina ya
Waheshimiwa Wabunge mwezi Februari, 2!"% Tathmini hiyo imetoa
m-hango mkubwa katika kubainisha 1ipaumbele 1ya Mpango wa
Maendeleo 0wamu ya (ili ambao umejumuisha masuala ya
kupambana na umaskini%
2*. Mheshimiwa Spika, kwa ufupi, mafanikio yaliyopatikana katikautekelezaji wa MKKT07
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
11/45
Binadamu =+uman &e1elopment yalikuwa
:'/'' >'/'3' 10,"*6.++ sawa na $'/'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
12/45
Kuwatambua walipa kodi kupitia ta9ti mbalimbali na hatimaye
kuwasajiliA na Kutekeleza utaratibu wa ulipaji kodi kwa kutumia 1italu
1ya kodi%
2. Mheshimiwa Spika, hatua nyingine zilizo-hukuliwa ni pamoja
na; kuwatambua na kuwasajili wajasiriamali walio kwenye sekta isiyo
rasmi na kufuatilia mwenendo wa malipo yaoA Kutekeleza mkakati wa
ulipaji kodi kwa hiariA Kufanya uta9ti kuhusu kodi za pango za majengo
ambazo zinatoa mwelekeo wa kodi za mapato kutoka kwa wenye
majengo ya biasharaA Kutumia mifumo ya TE+0M0 katika kusajili na
malipo ya kodiA na uwasilishaji kwa njia ya kielektroniki wa )itani za
kodi ya ongezeko la thamani na miamala ya forodha% 0idha, *erikali
ilikamilisha *heria ya simamizi wa Mapato ya Mafuta na 6esi ya
mwaka 2!. yenye lengo la kuhakikisha kuwa matumizi ya mapato
yatokanayo na mafuta na gesi yatasimamiwa ipasa1yo kwa manufaa
ya kizazi -ha sasa na 1izazi 1ija1yo%
2-. Mheshimiwa Spika, katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato
yasiyo ya kodi Wizara imesimamia na kuhimiza utumiaji wa mfumo wa
kielektroniki katika utoaji wa risiti kwa tozo, faini, ada na malipo
mengine yote ya *erikali Kuu, Mamlaka za *erikali za Mitaa na
Mawakala wote wa *erikali% 0idha, Wizara imeendelea kuhimiza
uongezaji wa kufanya uthamini wa majengo mijini ili kuhakikisha
ulipaji wa 1iwango stahikiA na kusimamia kwa karibu zaidi Mashirika ya
mma na Wakala wa *erikali ili kuhakikisha *erikali inapata gawio
!!
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
13/45
stahiki, matumizi yasiyo na tija yanaondolewa na mapato ya ziada
yana-hangia Mfuko Mkuu wa *erikali%
=b> M'$$=$ $ M'3%3
"0. Mheshimiwa Spika, Wizara ililenga kuendeleza ushirikiano na
wadau mbalimbali wakiwemo Washirika wa Maendeleo katika
kutekeleza mipango ya maendeleo% Katika mwaka 2!.#!", Washirika
wa Maendeleo waliahidi ku-hangia bajeti ya *erikali kwa kiasi -ha
:'/'' >'/'3' 2,"22.+ ambapo misaada ya Kibajeti ni :'/''
>'/'3' 660, Mifuko ya kisekta ni :'/'' >'/'3' 1-- na miradi ya
Maendeleo ni :'/'' >'/'3' 1,*6"%
"1. Mheshimiwa Spika, hadi ku9kia Ma-hi, 2!" kiasi -ha :'/''
>'/'3' 1,06*.- sawa na $'/''/'3' 16-.6 =sawa na asilimia
2" ya ahadi>, Mifuko ya kisekta ni :'/'' >'/'3' 2*".-6 =sawa na
asilimia !2: ya ahadi> na Miradi ya Maendeleo :'/'' >'/'3'
6+1."2 =sawa na asilimia @" ya ahadi>%
"2. Mheshimiwa Spika, kupungua kwa misaada toka nje
kunatokana na kujiondoa kwa baadhi ya Washirika wa Maendeleo
wanao-hangia kupitia Misaada na mikopo ya kibajeti na baadhi ya
Washirika wa Maendeleo kupunguza ahadi zao% Wafadhili
wanao-hangia kupitia misaada ya kibajeti walipunguza mi-hango yao
!2
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
14/45
kutoka :'/'' >'/'3' 660 mpaka :'/'' >'/'3' "-- katikati ya
mwaka wa fedha 2!.#!" na wengine kuhusisha utoaji wa fedha na
masharti ambayo hayakuwemo katika makubaliano ya awali% Katika
kushughulikia -hangamoto hizi, *erikali inaendelea na mazungumzo
na Washirika wa Maendeleo ili kuhakikisha kwamba fedha
zilizoahidiwa zinatolewa kwa wakati%
".*.+.1. U$=$$C' $ U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
15/45
na matumizi ya 4ET0A fedha za J*kills &e1elopment 5e1yH kwa
Mamlaka ya Elimu Tanzania% 0idha, Wizara ilihakiki madeni ya *hirika
la +abari Tanzania =TB8>, Kampuni ya Magazeti Tanzania =T*>,
Kampuni ya *imu =TT85> yanayodaiwa katika Taasisi mbalimbali za
*erikali na *hirika la kudhibiti nzige wa jangwani na nzige wekundu%
Wizara pia ilifanya ufuatiliaji wa fedha za *&5 zilizotolewa kwenye
mradi wa G*upport *kills &e1elopment (roje-tI kwa Wizara ya Kazi%
".*.6. U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
16/45
"!. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kudhamini mafunzo ya
muda mrefu kwa watumishi 2: wa kada ya uhasibu, uga1i, u-humi
na kompyuta kutoka kwenye Wizara,
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
17/45
barabara, reli, ujenzi wa mitambo ya kufua umeme na ujenzi wa
1iwanja 1ya ndege%
"-. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2!.#!", *erikali ilitenga
shilingi bilioni .@%.$ kwa ajili ya kulipa riba ya deni la nje% +adi Ma-hi,
2!" shilingi bilioni @!@%"" sawa na asilimia 2 zilitumika kwa ajili
hiyo% 0idha, *erikali ilitenga shilingi bilioni CC%C kwa ajili ya kulipa
riba ya deni la ndani% +adi Ma-hi, 2!" shilingi bilioni .@$% sawa na
asilimia "! zilitumika kwa ajili hiyo%
*0. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2!.#!" *erikali
ilitenga pia shilingi bilioni @2!%2 kwa ajili ya kulipa mtaji wa deni la
nje% +adi Ma-hi, 2!" shilingi bilioni :C.%C sawa na asilimia C@zilitumika kwa ajili hiyo% 0idha, *erikali ilitenga shilingi trilioni 2%$ kwa
ajili ya kulipa mtaji wa deni la ndani% +adi Ma-hi, 2!" shilingi trilioni
!%" sawa na asilimia "C zilitumika kwa ajili hiyo%
".*.-. U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
18/45
1ili1yokuwa na thamani ya shilingi bilioni !%" 1ilitolewa kwa mamlaka
na taasisi mbalimbali za *erikali%
".*.10. U&' ?$ U
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
19/45
kwa kipindi -ha mwaka 2!@#!. kwa mujibu wa
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
20/45
Mkuu wa +esabu za *erikali 7 806A Kukirejesha kwenye umiliki wa
*erikali Kiwanda -ha General Tyre kwa kununua hisa za mbiaA
Kukamilisha uhakiki wa madai wa waliokuwa watumishi kwenye
mashirika yaliyobinafsishwaA Kufanya kaguzi wa Kimenejimenti
kwenye Taasisi tano ambazo ni 8huo -ha Kumbukumbu ya Mwalimu
yerere 3 Ki1ukoni, *hirika la Elimu 7 Kibaha, Bodi ya Kahawa Tanzania
na 8huo -ha baharia 7 &ar Es *alaam na Makumbusho ya Taifa
ambapo taarifa ya kaguzi hizo zimeandaliwa%*. Mheshimiwa Spika, mambo makubwa yaliyobainika katika
kaguzi hizo za kimenejimenti ni pamoja na; Matumizi yasiyoridhisha ya
rasilimali watu na fedhaA ajira zisizozingatia utaratibuA ulipaji
marupurupu na posho usiozingatia utaratibu na nyaraka za Msajili wa
+azinaA madeni ya wazabuni ya muda mrefu yaliyolimbikizwa
kutokana na ukosefu wa fedha, kutokana na ukosefu wa fedhaA baadhi
ya Taasisi kuingia mikataba ya kibiashara ambayo haina maoni ya
/9si ya Mwanasheria Mkuu wa *erikali, uendeshaji wa Taasisi bila
kuzingatia 1igezo 1ya utawala bora kwa baadhi ya taasisi na hi1yo
kushindwa kutumia rasilimali zilizopo kwa weledi na tijaA na Mamlaka
za uteuzi kushindwa kuteua Bodi za Wakurugenzi kwa wakati kwa
baadhi ya taasisi na kusababisha maamuzi ya msingi ku-helewa
kufanyika au kutokufanyika kabisa%
*-. Mheshimiwa Spika, hatua mbalimbali zime-hukuliwa ili
kurekebisha mapungufu yaliyobainishwa katika kaguzi hizo ikiwemoA
kuzijulisha Wizara Mama pamoja na mamlaka nyingine za *erikali
!C
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
21/45
matokeo ya kaguzi hizo ili ziweze ku-hukua hatua stahiki kwa Taasisi
na Mashirika wanayoyasimamiaA /9si ya Msajili wa +azina kutoa
maelekezo ya kusitisha malipo ya posho yasiyozingatia nyaraka na
kanuni za tumishi na kanuni za fedha, kuziagiza Taasisi husika
kuandaa miongozo inayohitajika katika uendeshaji wa Taasisi na
Mashirika, kuziagiza Bodi za Taasisi ku-hukua hatua stahiki dhidi ya
mapungufu yaliyobainishwa kwenye kaguzi na kumuomba
Mwanasheria Mkuu wa *erikali kupitia upya mikataba ya kibiashara
iliyoingiwa na Taasisi na Mashirika ya mma%
+0. Mheshimiwa Spika, Wizara pia ilifanya uperembaji
=Monitoring and E1aluation> kwenye Taasisi na Mashirika ya mma ..
yaliyobinafsishwa kwa lengo la kukagua ufanisi na kuhakiki utekelezajiwa masharti kulingana na mikataba ya ununuzi kwa mujibu wa agizo
la Mheshimiwa )ais wakati wa ufunguzi wa Bunge la !!% Baadhi ya
mashirika hayo ni Mwanza TeDtile, *hinyanga Meat,
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
22/45
+1. Mheshimiwa Spika, baada ya uperembaji huu Wizara
ime-hukua hatua mbalimbali zikiwemo; Kuwaita wawekezaji wote
waliobainika kutotekeleza mikataba ya mauzoA Kutoa notisi ya kusudio
la ku1unja mikataba ya mauzo kwa baadhi ya wawekezajiA Ku1unja
mkataba wa mauzo na wawekezajiA Kusaidia kutatua baadhi ya
-hangamoto ambazo zimesababisha kutotekelezwa ipasa1yo kwa
mikataba ya mauzo ikiwemo kutokuwepo mipango wa wekezajiA na
kuwapongeza baadhi ya wawekezaji ambao wameendelea kufanya
1izuri katika kuendeleza mali walizonunua na ku-ho-hea shughuli za
kiu-humi na hatimaye ku-hangia kwenye pato la Taifa%
".*.1". M$;$3 4$ W$8$$; $ M'5$8:'
+2. Mheshimiwa Spika, dhana ya msingi ya sekta ya hifadhi ya
jamii imejikita katika kuhakikisha kuwa wanan-hi wanawezeshwa
kuishi maisha yenye staha kwa kupata huduma za msingi katika
1ipindi 1ya uzee, maradhi, ukosefu wa kazi, uzazi, kifo na hali nyingine
itakayosababisha mtu asiweze kufanya shughuli za kujiongezea
kipato% *erikali kwa kutambua m-hango mkubwa uliotolewa na
wastaafu katika ujenzi wa Taifa imeendelea kuboresha huduma ya
malipo kwa wastaafu, kwa kulipa pensheni moja kwa moja kwenye
akaunti zao kwa kutumia mfumo wa TE+0M0 wa Benki Kuu ya
Tanzania uitwao T08+ kuanzia mwezi Mei, 2!.% 0idha kumbukumbu
za wastaafu zimeendelea kuhifadhiwa kwenye mfumo wa TE+0M0
2!
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
23/45
unaoitwa *0(E) na wadau wa ndani na nje ya n-hi
ikiwemo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na )ushwa na Kitengo -ha
Kudhibiti takasishaji wa Fedha +aramu -ha ?imbabwe na hi1yo
kufanya idadi ya hati za makubaliano na 1itengo mbalimbali kuwa
kumiA Kutoa elimu na mafunzo kwa wadau mbalimbali wakiwemo
watoa taarifa za jinsi ya kutumia mfumo maalum wa u-hambuzi wa
22
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
24/45
taarifa wa kompyuta kwa ajili ya kurahisisha uwasilishaji wa taarifa za
miamala shuku na u-hambuziA na Kuratibu na kusimamia zoezi la
Kitaifa la kutathmini 1iashiria hatarishi 1ya fedha haramu na ufadhili
wa ugaidi%
".*.1+. T'$ $8' 4$ S5'$/' $ S8$ B'$;'
+!. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!.#!", Wizara imeendelea
kupokea na ku-hambua miradi ya ubia kwa lengo la kuiidhinisha kwa
mujibu wa *heria% Wizara kupitia Kitengo -hake -ha bia kati ya *ekta
ya mma na *ekta Binafsi ime-hambua na kuidhinisha mradi wa
kufua umeme wa Kinyerezi lll% 0idha, upembuzi yakinifu wa mradi wa
barabara ya tozo kati ya &ar es *alaam na 8halinze unaendelea
kufanyika% Kadhalika, *erikali ipo katika hatua ya mwisho kumpata
mshauri elekezi kwa ajili ya mradi wa kuzalisha madawa muhimu na
utengenezaji wa 1ifaa tiba -hini ya Bohari Kuu ya Madawa =M*&>%
2:
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
25/45
4ile1ile, Wizara kupitia kitengo -hake -ha ubia inafanya u-hambuzi wa
maandiko ya mradi wa uendeshaji wa daraja la Kigamboni kwa lengo
la kuidhinisha Mradi huo tayari kwa kuandaliwa mkataba wa
uendeshaji%
+. Mheshimiwa Spika, sambamba na u-hambuzi wa miradi, katika
mwaka 2!.#!" mafunzo mbalimbali yalitolewa kwa makundi sita
yakiwemo watunga seraA Mao9sa Waandamizi *erikali Kuu na *erikali
za MitaaA Taasisi BinafsiA Mashirika ya mmaA Taasisi za *erikaliA na
taasisi za fedha kutegemea na mahitaji na majukumu ya kila kundi%
'umla ya wadau 2!$ walipatiwa mafunzo kuhusu *era, *heria na
Kanuni za Miradi ya bia%
".+. USIMAMIZI NA URATIBU WA TAASISI NA MASHIRIKA
YA UMMA HINI YA WIZARA
+-. Mheshimiwa Spika, kama nili1yoeleza hapo awali, Wizara
yangu inaratibu na kusimamia mashirika na Taasisi za mma :. zilizo
-hini yake% tekelezaji wa majukumu ya Taasisi na Mashirika haya kwa
mwaka 2!.#!" ni kama ina1yooneshwa katika kitabu -ha hotuba
yangu kuanzia ukurasa wa *6 hadi ukurasa wa !+% 0idha, utekelezaji
wa miradi ya maendeleo -hini ya Wizara kwa mwaka 2!.#!",
ikijumuisha mafanikio pamoja na -hangamoto ni kama pia
una1yooneshwa katika kitabu -ha hotuba yangu kuanzia ukurasa wa
!6 hadi ukurasa wa 2.
2@
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
26/45
*.0 MALENGO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 20161!
60. Mheshimiwa Spika, baada ya kuelezea utekelezaji wa mjukumu
ya Wizara kwa kina kwa mwaka 2!.#!", naomba sasa nieleze
malengo ya Mpango na Bajeti kwa mwaka 2!"#!$%
*.1 MAJUKUMU YA WIZARA
*.1.1 K>' $ K' ?$ M'%$3 4$ M$=/3 4$ T$';$
62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!"#!$ Wizara imepanga
kuendelea kuwaelimisha wadau mbalimbali kuhusu wajibu wao katika
2.
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
27/45
kutekeleza Mpango wa (ili wa Maendeleo wa Miaka Mitano =2!!#!2 3
22#2!>A Kuandaa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka
2!$#!A Kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo naA
Ku-hapisha, kusambambaza na kuelimisha wadau mbalimbali kuhusu
Mwongozo wa simamizi wa wekezaji wa mma =(% *hughuli
hii inalenga kuimarisha taratibu za uibuaji, utekelezaji na usimamizi
wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha kuwa miradi inayoibuliwa
inatekelezwa kikamilifu na kwa mafanikio makubwa%
*.1." U5$8'> ?$ M'$$8' 4$ K%&$
U
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
28/45
kuhusu masuala ya kuondoa umaskini hususan namna bora na
endele1u ya kuboresha jitihada za *erikali katika kuinua hali ya
maisha ya watanzania walio -hini ya mstari wa umaskini na kuongeza
kasi katika kuleta maendeleo ya binadamu%
*.1.* U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
29/45
6+. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!"#!$ *erikali itaendelea
kushirikiana na wadau mbalimbali ili kupata fedha za nje za
kugharamia miradi ya maendeleo% *erikali itaelekeza fedha za nje
katika kutelekeza miradi mikubwa ya maendeleo itakayo-ho-hea
ukuaji wa u-humi sambamba na kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa
mapato ya ndani na kuimarisha usimamizi wa matumizi ya *erikali%
+ata hi1yo, azma ya *erikali ni kupunguza na hatimaye kuondokana
na utegemezi wa kibajeti%
66. Mheshimiwa Spika, *erikali kwa kushirikiana na Washirika wa
Maendeleo tumekubaliana kuwaleta Washauri Elekezi wa kimataifa ili
waweze kufanya tathmini ya ushirikiano wetu pamoja na namna ya
kuendesha majadiliano% 5engo ni kuboresha ushirikiano wa maendeleona kushauriana na *erikali juu ya njia nzuri ya kupokea fedha za nje ili
ziweze kuwekezwa kwenye miradi ya maendeleo yenye kuleta ufanisi
zaidi%
*.1.+ U$=$$C' $ U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
30/45
Wizara,
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
31/45
*.1.! U' na mfumo wa +azina 7 Treasury )e1enue 0--ounting *ystem
kwa lengo la kupata taarifa za mapato ya kodi kutoka T)0
kielektroniki%
!0. Mheshimiwa Spika, Wizara imepanga pia kufuatilia utekelezaji
wa Miongozo ya ukaguzi wa ndaniA kukagua mfumo wa kuandaa
bajetiA Kufanya ukaguzi maalum kadri ya mahitaji ya Mlipaji Mkuu wa
*erikali na wadau wengineA na kuendelea kutoa mafunzo na kufanya
ufuatiliaji wa miongozo mbalimbali ambayo imetolewa na Wizara kwa
wakaguzi wa ndani wote na wadau mbalimbali wanaotumia miongozo
hiyo%
:
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
32/45
*.1. D' /$ T$';$
!1. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa mwaka 2!"#!$ imepanga
kuendelea kulipa madeni mbalimbali yaliyokopwa na *erikali ili
kugharamia miradi ya maendeleo n-hini pamoja na kuwasilisha
mi-hango ya *erikali kwenye Mifuko ya +ifadhi za 'amii% 0idha, kwakuwa malipo ya 9dia kwa wafanyakazi waliokuwa wakipata ajali
mahala pa kazi yalikuwa hayashughulikiwi ipasa1yo na waajiri na
mifuko iliyopo ya +ifadhi ya 'amii ambayo mingi ni ya (ensheni,
*erikali ilianzisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi na Wizara kwa
mwaka 2!"#!$ imepanga kuanza kuwasilisha m-hango wa mwajiri
kwenye Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi ili watumishi wa umma
wakipata ajali mahala pa kazi waweze kulipwa na Mfuko huu kwa
wakati%
*.1.- U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
33/45
kuepuka ulipaji wa 9dia usiokuwa wa lazima% 0idha, Wizara itahakiki
mali katika Wizara,
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
34/45
1ifaa tiba pamoja na manunuzi ya bidhaa mtambukaA Kuongeza uwezo
wa watumiaji wa *heria ya nunuzi wa mma kwa kufanya mafunzo
kwa wanataaluma na wadau wengine ikiwa ni pamoja na kufanya
uta9ti juu ya taaluma ya ununuzi na uga1i utakaopelekea kutoa
ushauri kwa *erikali kwenye maeneo ya taratibu na sera za ununuzi
na uga1i naA Kuongeza kiwango -ha ufaulu wa watahiniwa toka
kiwango -ha sasa -ha asilimia @2% hadi ku9kia asilimia . kwa
kuboresha mazingira ya kujifunzia%
!+. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!"#!$, Wizara kupitia
Wakala wa +uduma ya nunuzi *erikalini imepanga kuendelea na
ununuzi wa magari kwa pamojaA Kuongeza uwezo wa Wakala wa
kuhifadhi mafuta ku9kia wastani wa lita ., kila mkoa katika mikoaya
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
35/45
Kuu, Mamlaka za *erikali za Mitaa, Taasisi za *erikali na Mashirika ya
mma% 0idha, ukaguzi utahusisha *ekta ya mafuta na gesi na pia
ukaguzi katika sekta ya madini utaimarishwa% Wizara itaendelea
kuimarisha uwezo wa kitaalam kwa Wakaguzi wake, na kuendelea na
ujenzi wa majengo ya /9si ya Taifa ya kaguzi ili kuongeza uhuru wa
wakaguzi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na tija zaidi ili kukidhi
matakwa ya 1iwango 1ya kimataifa 1ya taasisi za ukaguzi pamoja na
maazimio ya kimataifa ya 5ima na MeDi-o ambayo Tanzania
imeyaridhia%
*.1.12 U'
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
36/45
!. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2!"#!$ shilingi trilioni !%!@
zimetengwa kwa ajili ya kulipa m-hango wa mwajiri kwenye Mifuko ya
+ifadhi ya 'amii% 0idha, Wizara itaendelea kuboresha kumbukumbu za
wastaafu ikiwa ni pamoja na kulipa pensheni kwa wakati%
*.1.1* U=:'>'8' ?$ F=:$ H$5$
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
37/45
katika mambo ya muungano% *tadi hii inalenga kubaini ushiriki wa
pande mbili za muungano katika uwekezaji kwa mambo ya muungano%
0idha, Wizara inakusudia kufanya mapitio ya stadi zilizofanywa na
Tume kuhusu mfumo bora wa kodi wa 'amhuri ya Muungano wa
Tanzania ikiwa ni pamoja na u-hambuzi wa masuala ya fedha
yanayohusu mambo ya muungano%
*.1.16 U>'$ $8' 4$ S5'$/' $ S8$ B'$;'
1. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!"#!$ Wizara itaendelea
kupokea na ku-hambua miradi ya ubia kwa lengo la kuiidhinishaA
Kutoa ushauri kwa Wizara na Taasisi za *erikali katika ku-hagua miradi
bora ya ubiaA Kuziwezesha taasisi zenye miradi ya ubia kuajiriwashauri elekezi pamoja na kuendelea kutoa elimu kwa wadau
mbalimbali kuhusu sera, sheria na kanuni za miradi ya ubia%
*.2 USIMAMIZI NA URATIBU WA TAASISI NA MASHIRIKA
YA UMMA HINI YA WIZARA
2. Mheshimiwa Spika, mipango na malengo ya bajeti kwa mwaka
2!"#!$ kwa upande wa mashirika na taasisi za umma zilizo-hini ya
Wizara ni kama ina1yooneshwa katika kitabu -ha hotuba yangu
kuanzia ukurasa wa C$ hadi ukurasa wa !2!%
+.0 MAKADIRIO YA MAPATO KWA MWAKA 20161!
:"
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
38/45
+.1 MAKADIRIO YA MAPATO
". Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2!"#!$, Wizara inakadiria
kukusanya maduhuli kiasi -ha shilingi **-,6--,!2!,+0" kutoka
katika 1yanzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mauzo ya nyaraka za
zabuni, kodi za pango, mauzo ya leseni za minada na mishahara
isiyolipwa, gawio, marejesho ya mikopo na mi-hango kutoka katika
Taasisi na Mashirika ya mma%
+.2 MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 20161!
*. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka
2!"#!$ kupitia mafungu yote tisa ya kibajeti inaomba kuidhinishiwa
jumla ya S:'/'' ,!16,*-",*00,+10 (>'/'3' ,!16.*-) kwa ajili
ya Matumizi ya Kawaida% Kati ya fedha hizo, S:'/''
*+,*+*,*!,000 (>'/'3' *+.*+) ni kwa ajili ya Mishahara na
S:'/'' ,6!1,0",-22,+10 (>'/'3' ,6!1.0*) ni kwa ajili ya
Matumizi Mengineyo% Kwa upande wa fedha za maendeleo, Wizara ya
Fedha na Mipango inaomba kuidhinishiwa jumla ya :'/''
!-1,--,*2*,26 (>'/'3' !-1.--)% Kati ya fedha hizo, S:'/''
!2",1+0,000,000 (>'/'3' !2".1+) ni Fedha za dani na S:'/''
6,*,*2*,26 (>'/'3' 6.+) ni Fedha za je% M-hanganuo kwa
kila fungu ni kama ifuata1yo;7
:$
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
39/45
+.2.1 FUNGU +0 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
+. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;
=a> Matumizi ya kawaida 7 S:'/'' +0,!16,!,000 (>'/'3'
+0.!2)% Kati ya hizo;=i> Mishahara 7 S:'/'' 6,-*,01,000 (>'/'3' 6.-)=ii> Matumizi Mengineyo 3 S:'/'' *",!"2,0!!,000 (>'/'3'
*".!")
=b> Miradi ya Maendeleo 7 S:'/'' 26,0"+,+-1,+00 (>'/'3'
26.0")% Kati ya hizo;=i> Fedha za dani 7 S:'/'' -,000,000,000 (>'/'3' -.00)%=ii> Fedha za je 7 S:'/'' 1!,0"+,+-1,+00 (>'/'3' 1!.0").
+.2.2FUNGU 21 HAZINA
6. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;
=a> Matumizi ya Kawaida 7 S:'/'' *11,2!-,2*0,+10 (>'/'3'
*11.2)% Kati ya hizo;
=i> Mishahara ya fungu hili 7 S:'/'' *,*!*,!+2,000 (>'/'3'*.*!).
=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' *06,0*,*,+10 (>'/'3'
*06.) ambazo ni kwa ajili ya matumizi ya Miradi ya maendeleo 7 S:'/'' !*0,1++,+2",*00 (>'/'3'
!*0.1+)% Kati ya hizo;
:
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
40/45
=i> Fedha za dani 7 S:'/'' 6--,+00,000,000 (>'/'3'
6--.+)=ii> Fedha za je 7 S:'/'' *0,6++,+2",*00 (>'/'3' *0.6+)
+.2." FUNGU 22 DENI LA TAIFA
!. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;
=a> Matumizi ya Kawaida 7 S:'/'' ,00-,"*1,1!,000 (>'/'3'
,00-."*). Kati ya hizo;
=i> Mishahara 7 S:'/'' -,"*0,!16,000 (>'/'3' -."*)=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' ,000,000,*!1,000
(>'/'3' ,000)
+.2.*FUNGU 2" MHASIBU MKUU WA SERIKALI
. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;7
=a> Matumizi ya Kawaida 7 S:'/'' *+,++,6+,000 (>'/'3' *+.+).
Kati ya hizo=i> Mishahara 7 S:'/'' 6,!*,116,000 (>'/'3' 6.!)=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' ",01,!*-,000 (>'/'3'
".).
=b> Miradi ya Maendeleo 3 S:'/'' *,*-",!+0,000 (>'/'3' *.*-).
Kati ya hizo;=i> Fedha za dani 7 S:'/'' 2,000,000,000 (>'/'3' 2).=ii> Fedha za je 7 S:'/'' 2,*-",!+0,000 (>'/'3' 2.*-).
:C
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
41/45
+.2.+ FUNGU ! OFISI YA MSAJILI WA HAZINA
-. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;
=a> Matumizi ya Kawaida 3 S:'/'' 160,11,000,000 (>'/'3'
160.1). Kati ya hizo;7=i> Mishahara 7 S:'/'' 1,-!*,"++,000 (>'/'3' 1.-!)=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' 1+,206,6*+,000 (>'/'3'
1+.21).=b> Miradi ya Maendeleo 3 S:'/'' ",22,+*0,000 (>'/'3' ".2")
Kati ya hizo;=i> Fedha za dani 3 S:'/'' 6+0,000,000 (>'/'3' 0.6+).=ii> Fedha za je 7S:'/'' 2,+!,+*0,000 (>'/'3' 2.+).
+.2.6 FUNGU 10 TUME YA PAMOJA YA FEDHA
-0. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;7
=a> Matumizi ya Kawaida 7 S:'/'' 1,"!*,2!0,000 (>'/'3' 1."!).
Kati ya hizo;7=i> Mishahara S:'/'' *6*,*!2,000 (>'/'3' 0.*6)
=ii> Matumizi Mengineyo7 S:'/'' -0-,!-,000 (>'/'3'0.-1).
+.2.!FUNGU 1" KITENGO HA UDHIBITI WA FEDHA HARAMU
@
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
42/45
-1. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kwa Matumizi ya Kawaida 7 S:'/''
1,60",01,000 (>'/'3' 1.6).
+.2. FUNGU *+ OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI
-2. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;
=a> Matumizi ya Kawaida S:'/'' "2,"!",0-6,000 (>'/'3' "2."!).
Kati ya hizo;7 =i> Mishahara ni S:'/'' 1",!0,!!*,000
(>'/'3' 1".!)('') Matumizi Mengineyo ni S:'/'' 1,+02,"22,000 (>'/'3'
1.+0)
=b> Miradi ya Maendeleo Fedha za je ni S:'/'' 12,2+,*2!,"6
(>'/'3' 12.2).=i>Fedha za dani 3 S:'/'' ,000,000,000 (>'/'3' .00)
=ii> Fedha za je 3 S:'/'' *,2+,*2!,"6 (>'/'3' *.2)
+.2.- FUNGU 66 TUME YA MIPANGO
-". Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;7
=a> Matumizi ya kawaida 7 S:'/'' *,0",!",000 (>'/'3' *.0*).
Kati ya hizo;=i> Mishahara 7 S:'/'' 1,+60,*-2,000 (>'/'3' 1.+6)=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' 2,*!,2-1,000 (>'/'3'
2.*)
@!
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
43/45
=b> Miradi ya Maendeleo 3 S:'/'' +,!--,+-2,000 (>'/'3' +.!-)%
Kati ya hizo;=i> Fedha za dani 7 S:'/'' *,000,000,000 (>'/'3' *).=ii> Fedha za je 7 S:'/'' 1,!--,+-2,000 (>'/'3' 1.!-).
-*. Mheshimiwa Spika, pamoja na kuwasilisha mbele ya Bunge lako
Tukufu maombi ya fedha kwa mafungu Tisa niliyoyataja katika aya ya !C ya
kitabu -ha hotuba yangu, ni-hukue fursa hii pia kuwasilisha maombi ya
fedha kwa mwaka 2!"#!$ kwa ajili ya Mfuko wa Mahakama =Fungu @> na
Mfuko wa Bunge =Fungu @2>% Maombi haya ni kwa mujibu wa marekebisho
yaliyofanyika kwenye kifungu -ha .C kifungu kidogo -ha : -ha *heria ya
tawala wa Mahakama *ura 2:$ na kifungu -ha 2C kifungu kidogo -ha :
-ha *heria ya tawala wa Bunge, *ura !!., kupitia *heria ya Bajeti ya
mwaka 2!.% *heria hizi zinampa mamlaka Waziri mwenye dhamana na
masuala ya fedha kuwasilisha Bungeni maombi ya fedha za matumizi ya
mifuko hii%
-+. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia sheria hii, naomba Bunge lako
Tukufu liidhinishe jumla ya S:'/'' 2"0,6-",160,000 (>'/'3' 2"0.6-)
kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Maendeleo kwa mafungu haya mawili%
Kati ya hizo, S:'/'' 1!6,-"1,*26,000 (>'/'3' 1!6.-") ni kwa ajili ya
Matumizi ya Kawaida na S:'/'' +",!61,!"*,000 (>'/'3' +".!6) ni kwa
ajili ya miradi ya Maendeleo% M-hanganuo wake ni kama ifuata1yo;7
+.2.10 FUNGU *0 MFUKO WA MAHAKAMA
-6. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;7
@2
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
44/45
=a> Matumizi ya kawaida 7 S:'/'' *,6+,"0-,000 (>'/'3' *.6)%
Kati ya hizo;=i> Mishahara 7 S:'/'' +0,"*+,!!+,000 (>'/'3' +0."+)=ii> Matumizi Mengineyo 3 S:'/'' "*,+1-,+"*,000 (>'/'3'
"*.+2)
=b> Miradi ya Maendeleo 7 S:'/'' *6,!61,!"*,000 (>'/'3'
*6.!6)% Kati ya hizo;
=i> Fedha za dani 7 S:'/'' 2*,000,000,000 (>'/'3'
2*.00)%=ii> Fedha za je 7 S:'/'' 22,!61,!"*,000 (>'/'3' 22.!6).
+.2.1 FUNGU *2 MFUKO WA BUNGE
-!. Mheshimiwa Spika, katika Fungu hili kwa mwaka 2!"#!$, Wizara
inaomba kuidhinishiwa kiasi -ha fedha kama ifuata1yo;7
=a>Matumizi ya kawaida 7 S:'/'' -2,066,11!,000 (>'/'3' -2.0!)%Kati ya hizo;
=i> Mishahara 7 S:'/'' 2",!-,60-,000 (>'/'3' 2".0)=ii> Matumizi Mengineyo 7 S:'/'' 6,26!,+0,000 (>'/'3'
6.2!)
=b>Miradi ya Maendeleo Fedha za dani 7 S:'/'' !,000,000,000(>'/'3' !.00)%
6.0 SHUKRANI
@:
8/16/2019 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO 2016/2017 MJINI DODOMA LEO
45/45
-. Mheshimiwa Spika, naomba nitumie nafasi hii kuzishukuru n-hi
na mashirika mbalimbali ya kimataifa ambayo kwa namna moja ama
nyingine yamesaidia katika utekelezaji wa bajeti ya Wizara% Kwanza
napenda kuzishukuru n-hi za Finland, ingereza kupitia shirika la
&F