36

July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

  • Upload
    others

  • View
    17

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 1

Page 2: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

2 Bible News Prophecy

KatiKa toleo hili:3 Umoja wa Eurasia Ujao (The Eurasian Union): Yapo makubaliano ya kuunda Umoja wa Nchi za UlayaMasharikinaAsia(Eurasia)hapoitakapofika2015.NikipiambachoBibliainaashiriakwambaUmojahuu ujao wa Eurasia utakifanya?

8 Kozi ya Jifunze Biblia Somo la 3: Kristo Atakomesha Maangamizi ya Ulimwengu HilindilosomolatatulaKozihiiyakuwasaidiawatuwajifunzenakuielewavemaBiblia.

20 Je, Wakristo wa Nyakati za Leo Wanapaswa Kuishika Sikukuu ya Baragumu? Wayahudihuiita“RoshHoshanah”.WengiwawajiitaokuwaniWakristosikuhizihawaishiki!Je,weweunapaswa uishike?Je,inafundishakitugani?

27 Imani: Je, Ni Kitu Gani? Imani Yaweza Onyeshwa Namna Gani? Imani ni mojawapo ya mambomakuuyasheria,lakinihasaImanininini?

31 Ni Kwanini Watu Hupungukiwa Imani:MarehemuHerbertW.Armstronganalifafanuahili.

32 Hatua ya Mwisho ya Kazi: Kuifikia AfricaHatuayamwishoyakaziinayomaeneomengi.Kanisa laContinuingChurchofGodliliendeshamkutanokwaviongozihukoNairobiunaohusukazihii.Je,Africa inafanyikakielelezochakuigakwaWana-Philadelphia?

Jarida la Nyuma: Tovuti na Radio Hili linaonyesha ni wapi watu wanaweza kuupata ujumbe kutoka Kanisa la ContinuingChurchofGod.

Kuhusu Jarida la Mbele: Je,‘UmojawaEurasia’unakuja?Je,Bibliainaonyeshanininiwalewatakaokuwemokwenyeumojahuuwa‘Eurasia’watafanyanyakatizamwisho?

habari za Unabii wa biblia

20 318

UnabiiwaHabarizaBibliahuchapishwanaKanisalaContinuingChurchofGod,1248E.GrandAvenue,SuiteA,ArroyoGrande,CA,93420.http://www.ccog.org©2014ContinuingChurchofGod. LimechapishwakatikaU.S.A.Hakizotezimehifadhiwa.Kunakiri makala yote ama sehemu yake pasipo ruhusa ya kimaandishitokakwammilikihairuhusiwi.Tunaheshimuhakizakohivyohatutoi,kuuzaamakukodishaorodhayamawasilianoyetu.Endapohaungependakuendeleakupokeagazetihili,wasiliananaofficeyetuiliyokoArroyoGrande.MaandikoyamenukuriwatokaNewKingJamesVersion(©ThomasNelson,Inc.,Publishers,usedbypermission)Isipokuwapaletutumeelekezavinginevyo.

Unabii wa Habari za Biblia-HUWEZESHWA KWAMICHANGOYENUBible News Prophecy has no subscription ornewsstand price. This magazine is provided free ofchargeby theContinuingChurchofGod. It ismadepossible by the voluntary, freely given tithes andofferingsofthemembershipoftheChurchandotherswhohaveelectedtosupporttheworkoftheChurch.Contributions are gratefully welcomed and are tax-deductible intheU.S.ThosewhowishtovoluntarilyaidandsupportthisworldwideWorkofGodaregladlywelcomedasco-workersinthismajorefforttopreachand publish the gospel to all nations. Contributionsshould be sent to: Continuing Church of God, 1248E.GrandAvenue,SuiteA,ArroyoGrande,CA,93420.

Mhariri Mkuu: Bob Thiel

Mpigachapa/Mhariri Msaidizir: Joyce Thiel

Masahihisho na: Kayla Morgan

Maandalizi &Uchapaji: Burdine Printing

Picha: Picha zote zimetokana na familia ya Thiel ama na vyanzo vya mitandao ya kijamii kama vile Wikipedia (ikiwa chanzo hakikutajwa , itakuwa ni kwa sababu inaaminika kwamba chanzo husika kiliiachia picha iwe kwa matumizi ya umma pasipo masharti yeyote).

Page 3: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 3

KUtoKa Kwa Mhariri MKUU: bob thiel

UMoja wa eUrasia UjaoJe, kutakuwepo Umoja wa Ulaya ya Mashariki na Asia(Eurasian Union) utakaoanzishwa? Je, muungano kama huotayari umo katika maandalizi kwa sasa? Je, wako viongoziwowote wanaohangaikia swala hili katika karne hii ya 21? Je,Biblia inafundisha popote kwamba kutakuwepo na Umoja waEurasia hapo baadaye? Iwapo aina kama ya Umoja wa Eurasia ukianzishwa, ni nani wanaweza kunufaika nao na ni naniwanaweza kuathiriwa nao?

Putin wa Urusi Anahitaji Umoja wa Eurasia

Wazo la aina kama ya Umoja wa Eurasia awali lilipendekezwa na Raiswa Kazakhstan, NursultanNazarbayev,wakatiwa hotubayakemwaka1994,alipohutubiakatikaChuoKikuuchaMoscow.

MnamoOctoba2011,RaiswaUrusiVladimirPutinakatangazarasmi azima ya kuanzishwa kwa shirikisho litakaloitwa Umoja wa Eurasia-TheEurasianUnion(EAU).

Tarehe18Novemba2011,MaraisiwaBelarus,KazakhstanandUrusiwalitia sahihimakubaliano,wakiazimia kwamba taratibuza kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe na Umoja wa Eurasiauwezekuanzarasmiifikapo2015.Makubalianowaliyotiasahihi yalihusisha maelekezo ya hatua watakazopitia kufikia muunganiko,nahapowakaanzishaJumuiayaEurasia(EurasianCommission, iliyoundwa kufuatamuundowa Jumuia yaUlaya(EuropeanCommission)napiawakaanzishaJumuiayaKiuchumiyaEurasia(EurasianEconomicSpace),ambayoilianzakazirasmitarehe1Januari2012.

Tangia hapo, jitihada za kuanzishwa kwa EAU zimeshika kasi.Baadhiyamataifajiraninayopiayameonyeshaniayakujiunga.

IfuatayonitaarifaaliyoitoaRaisVladimirPutinjuuyaumojahuo:

“KuundwakwaJumuiayaUshuru(CustomsUnion)pamojana Shirikisho la Eneo la Kiuchumi (Common EconomicSpace)vinawekamsingiwakufikiakuanzishwakwaJumuiaya Kiuchumi ya Eurasia ijayo. Wakati huohuo itapanuamipakayakeyaJumuiayaUshuru(CustomsUnion)pamojana Shirikisho la Eneo la Kiuchumi (Common EconomicSpace)kufikiaunganikokamilikwakuziingizaKyrgyzstannaTajikistan.

Hatujifungi katika kuishia hapo tu bali tumeweka kusudikuuzaidi:Kwendakwenyehatuayajuuzaidiyashirikisho–UmojawaEurasia.

Kwa hiyo ni nini kile tukionacho na ni nini matarajio ya mradi huu?...

Tumekusudiaainayashirikisholenyenguvulamuunganiko

wa mataifa mengi liwezalo kufikia kuwa moja ya nguzokuu za ulimwenguwa kisasa litakaloweza kutoamchangowa kuwa “kiunganishi muhimu” kati ya Ulaya na eneolinalopanukakiuchumilaAsiayaPasifiki...kuundajumuiayakiuchumiyenyemafanikio.

…Umoja wa Eurasia utafanyika kuwa ni kituo cha kuwezesha kupanuka zaidi kwa shirikisho”.

Hivyo,VladimirPutinanaitakaEAU,napiaanategemeaitaelekeakufikiakuwanimamlakakuuyakikandanayakimataifa.Wengiwanaamini kwamba kujihusisha kwa Urusi katika Ukraine pamojanaCrimeakulitokananamipangoyakeyajumuiayaEAU.MalengoyaVladimirPutinkatikaUkraineyamashariki,Moldova,pamojanamataifamenginejiraniyanatokananahamuyakeyakuyaingizayawesehemuyajumuiayakeyaEAU.

Vipi kuhusu vikwazo toka nchi za Magharibi? Ebu jioneeyafuatayo:

ST. PETERSBURG, Aprili 17 (RIA Novosti) – Vikwazo tokanchi zaMagharibi dhidi yaMoscow vinaweza kuzisukumanchi za ukanda wa Asia ya Pasifiki ziamue kujiunga najumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kale iliyopendekezwa, inayochukuliwa na wengi kuwaimeanzishwa na Urusi itoe ushindani kwa jumuia ya Uchumi yaUlaya,EU;alielezamsemajiwaSerkaliyaUrusi, SergeiNaryshkin…

Naryshkin alieleza kwamba jumuia ya kiuchumi ya Eurasia iliyombionikuanzishwa(EurasianEconomicUnion,auEAU)ni “Mshindani muhimu wa siasa za Kikanda” ambayo hapo baadayeitakuwandiyodarajabainayaUlayayaMagharibi,ambayo kwa sasa katika miaka saba iliyopita imekumbwa na kuporomoka kwauchumiwake, naukandawaAsia yaPasifikiunaokuakwakasikiuchumi.

Hatua hii inakuja katika wakati ambapo Moscow imo katika jitihadazakujipimamchangowakekatikauchumiwadunianakuwekaumuhimukatikamradiwaEurasia.(Imenukuriwatokamakalaiitwayo:Westernsanctionstopushintegrationof Eurasian Union and Asia-Pacific – Russian official. TheJournal of Turkish Weekly, April 17, 2014. http://www.turkishweekly.net/news/165766/western-sanctions-to-push-integration-of-eurasian-union-and-asia-pacific-russian-official.html).

Vikwazo vya nchi za Magharibi yaonekana vinachocheakuimarikakwaUmojawaEurasia (TheEurasianUnion). Kamamfanommoja, paleUlaya ilipofikiria na kutangaza azima yakeya kupunguza utegemeziwakewa kununua nishati tokaUrusikamaonyokutokananaUrusikuichukuaCrimea,UrusipalepaleikatangazakuingiamakubalianoyakuiuzianishatiChina.

Page 4: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

4 Bible News Prophecy

Shirikisho Lijalo la Eurasia Litahusisha China na Yawezekana pia hata India

Yafuatayo ni maelezo aliyoyaandika marehemu Herbert W.Armstrongmapemahatakablayapendekezo lahivikaribuni lamipangoyakuanzishwakwaUmojawaEurasia,EurasianUnion:

“Gogi” katika nchi ya “Magogi” nimaeneomakubwamnoya U.S.S.R. katika kaskazini mwa Eurasia yakienea kutokaeneolabaharizaBaltichadiPacific.“Mesheki”niMoscow,“Tubali”niTobol’sk.

Tambuawafuatanaonaokatikavitahiiijayo.Utakutakuna:“Gomeri,” “Togarmah,” “Magogi,” “Mesheki,” “Tubali”ambao wametambuliwa katika kitabu cha Mwanzo sura ya 10 kuwa ni wana wa Yapheth, baba wa wa-Eurasia. (Tokamakala ya Armstrong HW. Kwanini Urusi HaitaishambuliaMarekani,chapaya1980,uk.8).

Oleyapili, ikiwanavielelezovyakevya farasinawapandafarasi...ambayo pia inatajwa kuwa ni tukio katika SIKU YABWANA katika Yoeli 2:4. Hii inaashiria mamlaka ya kijeshiyenye uwezo mkuu—pia kuelekea KASKAZINI—kwendakaskazini! Wanakuja na jeshi la askari millioni mia mbili!TafakarijuuyaHilo—jeshilaaskarimillionimiambili!Matukioya ulimwengu yanatia kasi kuelekea kuwezesha kuundwakwajeshilaKikomnistilaEurasialenyeidadiyaaskariwengikiasikisichotegemewa! (Imenukuriwatoka:ArmstrongHW.KitabuchaUfunuoHatimayeChawekwaWazi!Toleola1972.Uk.38-39).

Wazo la kuundwa kwa Umoja wa Eurasia linapatana kabisa na unabiiwa Biblia, na pia na baadhi ya uelewawa unabiiwamarehemuHerbertArmstrong.InatakiwaielewekekwambajeshilaKi-Eurasiasilazimaliundwekikamilifuamanabaadhiyaaskariwakikomnisti(ijapokuwanchinyingimiongonimwazileambazoHerbert Armstrong alizitaja kuwa zitaunda Umoja wa Eurasia,hapomwanzowakatiArmstronganaandikamakalatuliyoinukuruhapo juu, zilikuwani sehemuyahimayayaKikomnisiti chini yaUrusi).

HatuanyingizakuwezeshajumuiailiyopendekezwayaEAUianzezimekwishachukuliwa:

Wataalamu toka Strategic wanadai Umoja wa Eurasia nimenoyaserkaliyaMoscowyakuiwezeshakuzing’atakatikakulipiza kisasiUSAna kujitanua kwaNATO katikaUlaya yaMashariki;jambolitakayoyafanyabaadhiyamataifayaeneola kati yapime ama kujiunga na Ulaya ama na Umoja waEurasia kuona ni wapi yatajipatia manufaaa ya juu kiuchumi na kibiashara (Imenukuriwa toka: Alam SS.Why Dream ofEurasianUnion?29July2013.http://blogs.thenews.com.pk/blogs/2013/07/why-dream-of-eurasian-union/).

Urusi, Belarus na Kazakhstan yamekubaliana kuanzishaUmoja wa Kiuchumi wa Eurasia, ulioundwa kufuatishaJumuia yaUchumi yaUlaya-EU,wakikubaliana ianze rasmimwaka 2015. Nchi hizi tatu tayari zinaumoja ya forodhalakini sasa zimeazimia kusonga mbele na kuondoa kabisa

vikwazovyabiashara(Imenukuriwatoka:Russiaseesunionwith Belarus and Kazakhstan by 2015. BBC,November 18,2011. http://www.bbc.co.uk/news/world-europe-15790452viewed08/12/13).

“AzimioletulakujiungakatikaUmojawaForodhapamojanaJumuia yaKiuchumi (CommonEconomic Space), naUmojawa Eurasia ujao, una malengo muhimu ya kijeshi-kisiasapamojanakiulinzipia”.Sawanalinavyotaarifu“Armenpress”,Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Armenia, Tigran Sargysanalieleza haya…(Imenukuriwa toka: Armenia’s decision tojoinEurasianUnionhasmilitary-politicalcontent:Armenia’sPM. Armenpress.am, March 29, 2014. http://armenpress.am/eng/news/755965/armenia%E2%80%99s-decision-to-join-eurasian-union-has-military-political-content-armenia%E2%80%99s-pm.html‎).

Pamojanakwambahilohalitajitokezasanamwanzoni,JumuiayaUlaya (the European Union) nayo pia ilianza kama chombo cha mkatabawakibiasharatumiongonimwanchindogozaUbelgiji,Uholanzi,naLuxembourg (wakatihuo ikiitwaBenelux),nasasatayariumekuanakufikianchi28.

UmojahuuwaEurasiapiaunategemewauwenaushirikianozaidiwakijeshi.Urusiinajitahidikuyahusishamataifamenginekadhaa,moja kwa moja ama kiushirikiano yakiwemo China na India.Kusema kweli, India tayari imekwisha kupendekezwa kuwa nimwanachama wa mara kwa mara wa chombo hiki kinachoundwa chaEAU.

ZikosababukadhaazinazoifanyaChinanayoihitajikujumuishwa.MojawaponikwambaUrusinaChinazinahitajikuongezathamaniya pesa zao “Rouble” na “Yuan” katika soko la pesa. Wotewanahitaji kuongeza utendajikazi wa pesa zao katika biasharaya kimataifa.Wotewanakusudia kuzipendekeza pesa zao ziwesehemuya sarafu zaubadirishanajiwakidunia (GlobalReserveCurrency).Wotewanalengo lakuiondoleambali sarafuyaDolayaMarekani,pamojanakupunguzauwezowaMarekanikatikamaswalayakidunia.

Kadharika, tusisahau kwamba Marekani imekuwa ikijirundikiamadeni na hivyo kuzidi kuishusha thamani ya sarafu yake kupitiamipangomibovu ya kifedha.Wataalamuwamamboyafedha wanatakiwa watambue kwamba kile ambacho Marekani imekuwaikikifanyanikushushathamaniyafedhayake.KibibliaMarekani imekuwa ikiongeza “takataka” kwenye fedha yakehivyo kuishusha thamani, jambo lisilo sahihi (Isaya 1:22,25;Mithali25:4a).Mudaunakujaambaohaukombali,hililitaileteaMarekanijangakuukulingananaunabiiwaBiblia(Habakuki2:6-8).

Yale yanayotokea kule Asia, pamoja na maeneo mengine,yanaonyeshakwambaulimwenguumeanzakuondokatokakatikakuitegemea sarafu ya Marekani (Dola) kama fedha ya dunia.MaandalizimengiyamefanywanaWachina,Warusi,pamojanawengine(kamavilemataifayaUlaya)yatakayopelekeakuachanana matumizi ya Dola ya Marekani yatakayotupeleka kwenyewakatiwamwishowawatuwamataifa.

Page 5: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 5

Biblia Inaelezea Kuanzishwa kwa Mamlaka ya Kijeshi

Biblia inatumia maelezo kama vile ‘mfalme wa mashariki/machweoyajua(Ufunuo16:12),wafalmewaWamede(Yeremia51:11),napia“wafalmewengi”kutajajuuyafalmezipatikanazomaeneo ya kaskazini mwa Eurasia (Yeremia 50:41). Bibliainafundisha kwamba zaidi ya taifa moja yatahusika kuunda umoja wakijeshiutakaokuwawenyenguvu—naumojahuuutatokananamataifayaEurasia.

VladimirPutinamekuwaakitajamarakwamarakuimarishwakwajeshi laUrusinapiakuliunganisha jeshi lanchihiyonamataifamenginemengikatikaAsianahatabaadhiyaUlaya.

UrusitayarininchiisambazayovifaavingivyakijeshikwamataifayaAsia, ikiwemo India,wakati Indianayopia inazidi kubuninakutengenezasilahazakeyenyewe.ChinanayopiahununuasilahatokaUrusiwakatinayopiainazidikubuninakutengenezasilahazake yenyewe. Urusi na China zenyewe tayari zina mikatabakadhaa tofauti ya ushirikianowa kijeshi. Zote ziko kinyume nanchizamagharibi.

Miaka kadhaa iliyopita, nilisoma makala toka India ambapomwandishi wake alidai kwamba Urusi, China, pamoja na Indiazinaamini kwamba Wamarekani pamoja na nchi za Ulaya hakika hawawezi kuwachukulia kuwa ni sawa na wao na hivyo wameamua kwamba wachukue hatua za ziada za kuendeleza ushirikianomiongonimwao.NapiawawekinyumenaMagharibikatikakilanjiainayowezekana.

Onayafuatayo:

MipangoyakuundaUmojawaEurasianibaadhiyavitendovyambinuzakiulinzizinazoelekezwakiasifulanikwaNATOpamojananchizaMagaharibikiujumlanazaidizikielekezwakatika umuhimu wa Umoja wa Ushirikiano wa Shanghai -ShanghaiCooperationOrganization(SCO).

SCO ni chombo kinachodhaminiwa na China. Na, wakatihaijulikani kabisa iwapo China inayo mipango yoyote yakuimiliki Asia ya kati kwanamna yoyote, ndiyonchi yenyeuwezonanguzu zaidi za kiuchumi, kijamii na kijeshi katikaeneohilo.Imekuwasasanikawaidakusikiamsemokwambasoko la Asia ya Kati limetapakaa bidhaaa na wafanya biasharawaKichina.(Imenukuriwatoka:PetersonA.CentralAsia unlikely to become another unstable Middle East.GlobalTimes,August13,2013.http://www.globaltimes.cn/content/803601.shtml#.Ugqr96z8az4viewed08/13/13).

Hivyo, China nimdhamini wa SCO na kulingana namwandishimmoja, mazingira ya SCO ndicho ambacho hasa Umoja waEurasiaunachotaka.Hivyo,wengiwanaonawazikwambaUmojawaEurasiauliopendekezwaunalengohasalakujengaushirikianowakiuchumi,nakijeshi.Tukishasemahilo,RaiswaUrusiVladimirPutin anawazahasa kwambaEAUni chombokitakachomsaidiakuzidhibitinchizaMagharibipamojanaNATO.

Kijeshi, Biblia inaonyesha kwamba namna ya umoja wa kijeshiwa ki-Eurasia utatokea utakaohusisha wale walio Kaskazini na

MasharikinaumojahuuutamwogopeshaMfalmewaKaskazini:

…mfalme wa Kaskazini … 43Atamiliki hazina za dhahabu,fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia naWakushikwakujisalimisha.44Lakinitaarifakutokamasharikina kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabunyingiilikuangamizanakuharibukabisawengi.45Atasimikamahema yake ya kifalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, walahakunayeyoteatakayemsaidia(Dan11:40,43-45).

Maeneo kama Armenia (hapa chini yakiitwa Ararati) yametabiliwa kuhusikanaMamlakayaKaskazini(ikijulikanakama‘wafalmewaWamedihapochini):

27“Twekenibendera katikanchi!pigeni tarumbeta katikatiya mataifa! Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,itenifalmehizidhidiyake:Ararati,MininaAshenazi.Wekenijemadari dhidi yake, pelekeni farasi wengi kama kundi lanzige.28Andaenimataifakwaajiliyavitadhidiyake,wafalmewaWamedi,watawalawaonamaafisawaowote,pamojananchizotewanazotawala.

29Nchi inatetemeka na kugaagaa, kwa kuwamakusudi yaBWANAdhidiyaBabeliyanasimama,yaani,kuangamizanchiya Babeli ili kwamba pasiwe na ye yote atakayeishi humo(Yeremia51:27-29).

Nchi ya Armenia kwa sasa iko katika maombi ya kujiunga naUmojawaEurasia. Iwezeama isiwezekufaulukujiungakwenyeEAU,imetabiriwakuwaitakuwaupandewamamlakayaEurasiaitakayopiganadhidiyamamlakayaMnyamawaUlaya.

Agano Jipya linaonyesha kwamba kundi la mataifa lijulikanalokamaWafalmewaMasharikilitaundwa:

12Malaika wa sita akamimina bakuli lake kwenye mtomkubwa Eufrati, maji yake yakakauka ili kutayarisha njiakwa ajili ya wafalme watokao mashariki. 13Kisha nikaonaroho wachafu watatu waliofanana na vyura wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika kinywa cha yule mnyama na katikakinywachayulenabiiwauongo.14Hizondizorohozapepowachafuzitendazomiujiza.NazohuwaendeawafalmewaulimwenguwotenakuwakusanyatayarikwaajiliyavitakatikasikuilekuuyaMunguMwenyezi.

15“Tazama, naja kamamwivi! Amebarikiwa yeye akeshayenakuziwekatayaringuozakeiliasiendeuchinakuoenekanaaibuyake”.16Ndipowakawakusanyawafalmepamojamahalipaitwapo“Armagedoni’’kwaKiebrania(Ufunuo16:12-16).

Gundua:AndikolaUfunuo16:12awalililiandikwa:“wafalmetokamawioya jua”nahivyohii itahusishapianchikamavileChina,Japan, Korea, Indochina (ikiwemoVietnam), Indonesia, pamojana nchi zingine pia (kwa kuwa Indonesia ni nchi ya kiislamu,yaonekana itahitaji kuwa na mahusiano zaidi na China katika siku zamwishoikipingananaMfalmewaKaskazinipaleatakapokuwaamemshindaMfalmewaKusini aliyenchi zaKiislamu, sawana(Danieli 11:40-43). India hali kadharika yaonekana itakuwamiongonimwawafalmehao.

Page 6: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

6 Bible News Prophecy

Urusi, iliyo nampaka ueneao hadi bahari ya Pacific, ni dhahiriitakuwa ni miongoni mwa wafalme hao wa Mashariki.Kutakuweponamwunganikowanyakatizamwishowamataifaya Asia pamoja na baadhi ya mataifa ya Ulaya utakaounda umoja huowawafalmewamashariki.

MaeneomenginepiayaBibliayanaonyeshakwambamilkihiiya“Babeli/Ulaya”itaangamizwanamamlakatokaKaskazini.

Katika kitabu cha Yeremia, kwamfano, imeonyeshwa kwambawatu kutoka Kaskazini (ambayo kimsingi ni kutoka Urusi)watakuwa ni sehemu ya jeshi litakaloifadhaisha na hatimaye kuivamiamilkiyaBabeliyasikuzamwisho(ambayo itakuwanimamlakayaUlaya):

41‘‘Tazama! Jeshi linakuja kutoka kaskazini, taifa kubwanawafalmewengi

wameamshwa kutoka miisho ya dunia. 42Wamejifungapindenamikuki,

ni wakatili na wasio na huruma. Wanasikika kama bahariinayonguruma

wanapoendeshafarasizao,wanakujakamawatuwaliojipangakwa

vita ilikukushambulia,EeBintiBabeli.43MfalmewaBabeliamesikiahabarikuwahusuhao,nayomikonoyakeimelegea.Uchungu umemshika, maumivu kama yale ya mwanamkealiyekatikautunguwakuzaa…”(Yeremia50:41-43).

3EeGogu,miminikinyumenawe,mtawalamkuuwaRoshi,Mesheki na Tubali.. 6 kaskazini yambali pamoja na vikosivyakevyote,mataifamengiwakiwapamojanawe..(Ezekieli38:3,6).

Hivyo,MilkiyaUlaya(“bintiwaBabeli”)ataangamizwana jeshitoka kaskazini (yaonekana likiongozwa na Urusi). Jeshi ambaloyaonekanalitakuwalimeungananakushirikiananamajeshitokamataifayaMashariki,ikiwemopiapengineIran,nahataUkraine.(Wakati kutimizwa kwa Ezekieli 38 kutatokea baadaye, ukwelikwambaunatajajuuyawatutokaKASKAZINIYAMBALIinasaidiakuonyeshakwambakuna mamlka ingine iliyokokaskazini zaidimwa mamlka ya mwisho ya Ulaya ambayo ndiyo mfalme wa Kaskazini,inayopatananaDanieli11:44).

Elewa,piakwambaBibliayaonyeshakwambaBabeliiliangamizwakwamaumivuyauzazinakundikutokanchiyambali:

1Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozialiliona: 2Inueni bendera juu ya mlima usio na kitu,wapazienisauti,wapungienimkonowaingiekatikamalangoya wenye heshima. 3Nimewaamuru watakatifu wangu,nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu,wale wanaoshangilia ushindi wangu. 4Sikilizeni kelele juumilimani, kama ile ya umati mkubwa wa watu! Sikilizeni,makelele katikati ya falme, kamamataifa yanayokusanyikapamoja!BWANAMwenyeNguvuanakusanyajeshikwaajiliyavita.5Wanakujakutokanchizambalisana,kutokamiisho

yambingu,BWANAnasilahazaghadhabuyake,kuangamizanchi yote. 6Ombolezeni, kwa maana siku ya BWANA ikaribu, itakujakamauharibifukutokakwaMwenyeNguvu.7Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea, moyo wa kilamtuutayeyuka. 8Hofu itawakamata,uchungunamaumivumakaliyatawashika,watajinyonganyongakamamwanamkealiyenautunguwakuzaa.Watatazamanakwahofukilamtunamwenzake,nyusozaozikiwakatikahaliyakuwakakamamoto(Isaya13:1-8).

Hivyo,maelezoyote,liletokakitabuchaYeremianaliletokaIsayayaonekana kuelezea wavamizi walewale. Haya ni maelezo yamuunganowanyakatizamwisho,namnayaumojawamamlakakutokamasharikiutakaoihusishaUrusi,ambayondiyomamlakakuuyakaskaziniyambali.

Na aina hii yamwunganiko ndicho chombo ambacho VladimirPutin amekuwa akikitaja mara kwa mara. Hili ndilo swalaatakaloendelea kulitetea na kujibidisha nalo. Japo hata kamaatakuwandiyemkuuwachombohichoamala,badomuunganohuoutaanzishwa.

Umojawakaskazini (uonekanaokuwautaongozwanaUrusinayamkini unaonekana kuhusisha kaskazini ya mbali na mashariki yambali/sehemuyapwaniyaPacificyaAsia)utaiangamizaBabeliyaKiulaya.Mafunguyafuatayonayopiayanafafanuajuuyaswalahili:

9KwamaananitaamshanakuletadhidiyaBabelimuunganowamataifamakubwa kutoka nchi ya kaskazini.Watashikanafasizaodhidiyake,nayekwakutokeakaskaziniatatekwa.Mishale yao itakuwa kama mishale ya mashujaa walio hodari ambaohawawezikurudimikonomitupu(Yeremia50:9).

Hivyo, japo wengi wanawasiwasi kwamba Urusi itakuja kuwatishio kubwa la kijeshi kwaMarekani, ukweli halisi ni kwambaBibliayaonyeshakwambaniwatuwaUlayandiowatakaokabiliwanauvamizimkubwatokakwamataifayaliyonaUrusi.Napenginesiyomiakamingitangiasasa(kadriyamiaka3½baadayakuanzakwaDhikiKuu).HuuUmojawaEurasiandichochomboambachoVladimir Putin anakitetea na anatarajia kuendelea kujibidishakatikakuhakikishakinafanikiwa.

Jioneeyafuatayo:

13Malaikawa sitaakaipiga tarumbetayake,naminikasikiasauti ikitoka katika zile pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokombele zaMungu. 14Ile sauti ikamwambiayule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “WafunguliewalemalaikawannewaliofungwakwenyeulemtomkubwaEufrati.’’15Basiwalemalaikawannewakafunguliwaambaowalikuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo na siku hiyo na mwezi huo na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu. 16Idadi ya majeshi wapandao farasi ilikuwa200,000,000. 17Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi nawapandafarasikatikamaonoyangu:Wapandafarasiwalivaadiriivifuanizenyerangiyamotonayakutisamawinakiberiti.Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba.Moto,moshinakiberitivilitokavinywanimwao.18Theluthiya wanadamu wakauawa kwa maafa hayo matatu, yaani,

Page 7: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 7

huomoto,moshinakiberiti,vilivyotokakwenyevinywavyahaofarasi(Ufunuo9:13-18).

Jeshikubwanamnahiilawezakupatikanawapi?

NikutokamajeshiyanchizaAsiapekee,nchikamavileChinaamaIndianapenginenchi zinginepia zitakazoshikamananazo, hukondikopekeetuwezakokupataaskariwengikuwezakufikishajeshilawatumilionimiambili. India, China, na nchi zingine za Asiayaonekanawatashikamana na Urusi katikamuungano dhidi yaMilkiyaUlaya.

JioneekileambachoYoeli2inaashirianininibaadhiyahaoaskarimilionimiambiliwatakachokifanya:

2….jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja. Jambo kama hilihalijakuwapotanguzamaniwalahalitakuwapotenakamwe.3Mbele yaomotounateketeza, nyuma yaomotounawakakwa nguvu. Mbele yao nchi iko kama bustani ya Edeni,nyuma yao jangwa lisilofaa, hakuna kitu kinachowaepuka.4Wanaonekana kama farasi, wanakwenda mbio kamaaskariwapandafarasi.5Wanatoasautikamamagariyavita,wanaporukaruka juu ya vilele vya milima, kama mlio wamiali yamoto ilayomabua, kama jeshi kubwa lililojipangakwaajiliyavita.6Wanapoonekana,mataifayanakuwakatikamaumivumakuu,kilausounabadilikarangi.7Wanashambuliakamawapiganajiwavita.wanapandakutakamaaskari.Wotewanatembea katika safu, Hawapotoshi safu zao. 8Hakunaanayemsukuma mwenzake, kila mmoja anakwenda mbelemoja kwamoja.Wanapita katika vizuizi bila kuharibu safuzao. 9Wanaenda kasi kuingia mjini, wanakimbia ukutani.Wanaingiandaniyanyumba,kwakuingiliamadirishanikamawevi(Yoeli2:2-9).

Jeshihilokuulitasababishakitishonauangamifumkubwa.

Umoja wa Eurasia Utaanzishwa

Vladimir Putin anataka Umoja wa Eurasia uundwe. Urusiimechukua hatua kadhaa kujaribu kushirikiana na yale mataifa ambayo hapo zamani yalikuwa sehemu ya Muungano waKisovieti. Lakini hata zaidi ya hapo,Urusi pia imechukuahatuazakujaribukuboreshaushirikianonaKoreayaKaskazini,China,India,Pakistan,namataifamenginemengi.

Ukweli kwamba Biblia inayataja mataifa haya kama “Wafalmewa Wamedi” au “Wafalme wa Mashariki” inaashiria kwamba hatuayamwishoyaumojahuo itakuwani aina yamuungano/ushirikianonawalasitaifamoja.

BibliainaelezeajuuyawakatiambapowafalmehaowataunganikanakufanyaumojanahatimayewataangamizasehemukubwayaMilkiyaBabeliyamwishoambayowazunguwaUlayawataijenga.

Jumuia ya Eurasia ambayo inaundwa kwa sasa inaweza kuwandiyo utangulizi wa kupelekea kwenye ushirikiano wa mwishoutakaoyahusishamataifamengiyaeneolaEurasia.

Lakini hata iwapo vyombo vilivyopendekezwa kuanzishwa kwasasakamaEAUamaSCOvikishindikana,ukwelinikwambaBiblia

ikowazi kwamba katika nyakati zamwisho,muunganowa nchizaEurasiautaanzishwanautahusikanauangamifuwamamlakayaBabeliyanyakatizamwishoambayowazunguwaUlayawakokatikaharakatizakuijenga.

Matukio ya habari yanathibitisha kwamba Urusi, China, nawenginewanajibidishakuwezeshakuongezauwezonamamlakayaeneolaEurasiakatikaulimwengu.HilinieneoambaloBibliainalitabirilitahusikanavitakubwamwishonimwazamahizi.

Page 8: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

8 Bible News Prophecy

Kozi Ya KUjiFUnza biblia

Somo la 3: Kristo Atazuia Kujiangamiza Kwa Dunia

BobThiel,MhaririMkuu

Imechapishwa2014naKanisalaContinuingChurchofGod____________________________________________________Utangulizi: Kozi hii kwa kiasi kikubwa inatokana na kozi kwamawasiliano iliyoanzishwa mwaka 1954 iliyoanza chini yausimamiziwamarehemuC.PaulMeredithenzizaRadioChurchofGod.Maeneokadhaayameboreshwailiyaendanenakarneya21(japosehemukubwayamafundishoyaawaliimebakikamailivyo).PiatumeongezanukuruzaMaandiko,taarifanamaswaliambavyohavikuwemokatikakoziyaawali.____________________________________________________

USTAARABU UMEFIKIA NJIAPANDA! MWANADAMU akiachwayeyemwenyeweATAJIANGAMIZAnakujifutiliambali tokausowa dunia endapo Mungu atashindwa kuingilia kati (Mathayo24:22)! Lakini sasa, MUNGU HAWEZI KUSHINDWA! Munguhatauachiaulimwenguhuuuendeleekamaambavyoumekuwaukijiendesha. Hata hivyo, chakushangaza kusema, wengi wawalewaaminiouwepowaMungu,wanakataakuaminikwambaatajiingizakwauwezowakiMungukatikamaswalayaulimwengu.

Ni juu ya kipindi hiki chenye mashaka cha siku za mwisho,punde tu kablaKristohajarudi, ambachoPetroanazungumzia:“3Kwanza kabisa ni lazima mfahamu ya kwamba SIKU ZAMWISHO watakuja WATU WENYE DHIHAKA wakidhihaki nakuzifuatatamaazaombaya.4naKUSEMA,“IKOWAPIILEAHADIYAKUJAKWAKE?TANGUBABAZETUWALIPOKUFA,KILAKITUKINAENDELEA KAMA KILIVYOKUWA TANGU MWANZO WAKUUMBWA.’’(2Petro3:3-4).

Lakini Kristo atarejea kuja kuzuia ulimwengu kujiangamizawenyewe!

MATAIFA WATAKASIRIKA wakati huo. Mapambano miongonimwao kwa ajili ya umiliki wa ulimwengu yatakuwa yamefikiakiwango cha hatari! UHARIBIFU MKUBWA NA UANGAMIVUMKUBWAWA UHAI WAWANADAMU UTAKUWA UMETOKEA.

Vita itakuwa KALI SANA! Kisha—ghafla—KRISTO ATATOKEAakiwapamojanamalaikazakewotewatakatifu,nayeatajiingizakwenyemapambanoyao.MATAIFAHAWATAJITOAKWAKUMTIIKAMAKONDOOkamawengiwadhaniavyopasipoushahidi!

Waowatadhani kwamba jeshi la Kristo pengine ni ama kundijingine lawanadamuwakawaidaambaowamebuni teknolojiaya kisasa zaidi ya kivita ya kutaka kuitawala dunia ama ni kundi liongozwalo na Ibilisi sawa namajeshi yaMpingakristo! Yesuatalazimikakuyashughulikiamajeshiyawatuwamataifakupitiakatikalughapekeewawezayokumwelewa—kipigokikubwa,chajeshilamalaikalenyenguvu.Mataifawatajikutahawananjiayakugeukia.

Watajikuta fahamu zao zimeathirika kiasi cha kugeukianawaokwawaokwakushambuliananakuangamizana!Mpambanohuuutamalizikaje?

KRISTO ATAYAANGAMIZA MAJESHI NA SILAHA ZAO NAKUWAACHA MATAIFA BILA YA UWEZO WOWOTE WAKUUUPINGA UTAWALA WAKE! NI YEYE, SIYO MWANADAMU,NDIYE ATAKAYEKUWA MKUU JUU YA DUNIA! Kristo anakujakuzuiawanadamukuangamizananakuufutauhaiwotetokajuuya nchi jambo ambalo limezungumzwa sana na Biblia. Huu nisehemuyampangomuhimuwaKUSUDIlaMungu.

Lakinini jinsiganiKRISTOATAFANYAKATIKAKULETAUTULIVUKWENYEULIMWENGUHUU,ULIOJAAVURUGU?

Utaratibu wa Kuondolewa Machafukoni

Kristo,mwenyewe,alitangaza:“NITAKUJATENA”(Yohana14:3).Jinsi atakavyorudi ni swala ambalo limefanywa na manenoyamalaika liweni jambo lisilonamashaka.WalitokeakwenyeMlima wa Mizeituni wakiwatokea Mitume ambao walikuwa wakishuhudia Bwana wao akipaa mbinguni. Malaika haowakasema:“HuyuYesuyuleyule,aliyechukuliwakutokakwenukwendaMbinguni,ATARUDITENAJINSIHIYOHIYOmliyomwonaakienda Zake Mbinguni” (Matendo 1:11). Yesu atarejea kwamtindouleuleSAWANAALIPOENDA!

HivyoKristoatakujaKIUHALISIAnaKWAKUONEKANAwazi,kujakwenyeduniahii.Paleajapotena,atakuja,siyokamaatesekaye,walasikamamtumwenyesimanzi,balianakujakamaMFALMEna kamaMSHINDI, kuja kuketi juu ya taji la utukufu.Manenoyake mwenyewe alisema: “Mwana wa Adamu atakapokujakatikautukufuwakenamalaikawotewatakatifupamojanaye,NDIPO ATAKAPOKETI JUU YA KITI CHA ENZI CHA UTUKUFUWAKE”(Mathayo25:31).

UtabirinimwingisanakatikaBibliaukisemakwambaYesuKristoatamilikiKITICHAENZI,nakutawalaakiwakamaMfalmejuuyakitihicho.Munguametangaza:“Sikuzinakuja,nitakapomwinuliaDaudiTawilenyehaki,MFALMEATAKAYETAWALAKWAHEKIMAnakutendalililohakinasawaKATIKANCHI”(Yeremia23:5).

Kristo atamfanya SHETANI, MFALME ATAWALAYE KWA SASAMIONGONIMWAWANADAMU,akamatwenaafungwe(Ufunuo

Page 9: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 9

20:2).Kisha,katikamudahuo,“BWANAatakuwaMFALMEJUUYADUNIAYOTE.KatikasikuhiyoatakuwepoBWANAmmojanajinalakemoja”(Zekaria14:9).

Maelekezo Muhimu ya Mwisho

Sasa tuko tayari kwaajili ya somo lenyewe. Je,Biblia yako ikombeleyako?Kamahaiko,tafadhariusiendeleekusomazaidikozihii!SIMAMAHAPA!NENDAKALETEBIBLIAyako.

Vilevile kumbuka kuandaa karatasi kadhaa, pamoja na penseliama kalamu, ili uweze KUCHUKUA NOTISI zitakazokuwezeshakukumbukakileunachojifunza.

Kozi hii imejikita kwenye nakala ya Bibilia iitwayo New KingJamesVersion (NKJV) kwakuwa imekusudiwa iweni tafsiri yanenokwanenonainatumiaainayalughayaKiingerezaambayoinazungumzwakatikakarnehiiya21.Kwamengikatikasomo,wawezakutumianakalazinginezatafsiriyaBiblia,lakinimaswalina majibu hususani yanalenga tafsiri ya NKJV labda pale tupatakapoelekezwa. Hivyo, kwa wengi, nakala ya NKJV ndiyochaguoboralakutumiakatikaKoziyaKujifunzaBiblia.

Sasatukotayarikuanzakujisomeakozihii.KUMBUKAunapaswauifungue Biblia yako ili kujithibitishia kila aya tunayotoa kamakieleelzo chakile tunachosemakatika kozihii.Usiamini tu kiletukisemacho(timuiliyoongozwanamarehemuC.PaulMeredithna/amaBobThiel)—aminikileambachoBibliainakifundisha.

Unapaswa USOME, na kurudia tena kusoma, na kwa kweliujifunzeKILAAYAKATIKABIBLIAYAKO.HiinikoziyaKUJIFUNZABiblia—ni kujisomea Biblia, siyo tu kujisomea haya manenotunayokutumia. Maneno yetu yamekusudiwa tu yakuongozekufika pale unakotakiwa kuangalia katika Biblia yako—nikukusaidiaujuenamnayakujifunzaBiblia.

Sasa,ukiwanaBibliayako,KAMUSI(DICTIONARY)kamaunayo,na karatasi zako za kuandika na penseli ama kalamu zote juu ya meza yako mbele yako, mfumo wa kujisomea utakuwa kamaifuatavyo: Andika kwa ufasaha kwenye karatasi yako, kichwachasomo:“Somola3,Sehemuya1,”naupapigiemstarichiniyake.KIANDIKEKICHWACHASOMOpamojanakilakichwachasehemuyamaswali.Kisha,chiniyakeandikanambayakilaswali,nauandikejibukwakilaswali,kwamwandikowakomwenyewe(baadhi yenu mwaweza kuamua kuandika kwa computer ama typewriter).

KamaMFANO,kwaajiliyakipengelechaswali,hikindichokichwachasomoutakachoandikakwenyekaratasiamanotebookyako:KristoAtakujaAkiwanaGhadhabu:

1. Danieli 2:28—“Lakini yukoMungumbinguni afunuaye siri.Amemwonyesha Mfalme Nebukadneza kitakachotokea SIKUZIJAZO....”

Vilevile andika mawazo yoyote ama vipengele unavyohitajikuvikumbuka. Jisomeenakujitahidikulielewaswali,nandippouendekwenyeswalilinalofuata.

Yahifadhi masomo haya pamoja na notisi zako zenye majibu

kwenye faili ama binder. USITUTUMIE MAJIBU YAKO KWAMASWALIHAYAyaSOMO.Yahifadhikwaajiliyakujikumbusha.(Inawezekana pengine tutatoa cheti (certificate) kwa walewatakaokamilishakoziyoteauhatasehemukubwayakozihii,ilahililitakuwanibaadayamwaka2014,natutalitangazahilikupitiamtandaona sehemu zingine. Endapo tutafikia kufanya hivyo,basitutakuombaututumienakalazamasomouliyokamilisha).

2.SwalilapililaSomola3linapaswalifanyikesawanaswalilakwanza, isipokuwatuhauhitajiunakiliayazote.Ayaya42naya44ndizozilizomuhimuzaidikwenyekipengelehikinandizounazopaswakuzinakiliamakuzi-type.

Kwakuyaandikamajibukwamaswalihaya,napiakwakuandikanotisi zitokanazo na aya za Biblia unazojifunza kwa kila swali,utakutakwamba inakuwezeshaKUKUMBUKAyaleuliyojifunza.Inachukuamudazaidikidogokwakufanyahivyo,lakinihiindiyoitakusaidia KUJIFUNZA masomo yako vema, na kuyakumbukabaadaye.

Kwakuandikakileunachojifunzaitakusaidiakukumbukavema.

Halikadharika,ITAKUWEZESHAKUFANYAMAPITIOYAMASOMOYAKO KWA HARAKA, kila ihitajikapo, endapo utakuwa nayokatikamtindo huu. Vilevile, itakusaidia sana katika kuifafanuaBibliakwawengine.

TUNAKUPATIADONDOOZABIBLIAZAUKWELIKWAUFUPINAKWAUFASAHA.Utahitajikufanyamarejeokwenyemasomohayana MAELEZO YAKE ukitumia sasa ufafanuzi wako mwenyewekwamiakamingiijayokilautakapoyatumiakufafanuavipengelembalimbalikatikaBiblia.Kumbuka,utahitaji kutumiaangalaunusu saakila sikuukijisomeaBIBLIAYAKOukitumiahii Kozi yaKujifunzaBiblia.

--------------------------------------------------------------------

SOMO La 3

Kristo Atarejea Akiwa na GADHABU

1. Ni kwa nani Mungu ALIFUNUA kile KITAKACHOTOKEAKATIKASIKUZAMWISHO?Danieli2:28.

2. Je,kulitakiwakuwenamilkizaulimwenguzitakazofuatanamara nne, zikitawala falme? Danieli 2:31-40. (Somo labaadayelitafafanuaumuhimukamiliwakilamilkihizinne).Katika siku za wafalme wa mwisho kumi (wakiwakilishwa na vidole kumi vya aya ya 42), ambao bado hawajainukakutokananamilkiyanne,je,MunguATAUSIMIKAUFALME/MILKIAMBAOKAMWEHAUTAANGAMIZWA?Danieli2:44.

3. Jiwelitawaangamizahawawafalmekumiwamwisho.Jiwehili ninani?Matendo4:10-11. Je, LILIIGONGA ile sanamukwenyevilevidolekumivyamiguu?Danieli2:34.

4. Niwapi pengine ambako tukio lamwishowa ufalme huulimefafanuliwa? Ufunuo 17:12-14. Je, hapa pia wafalmeKumi wametajwa?

5. Huyu aliyetajwa katika Ufunuo 19:11 ATAFANYA VITA?

Page 10: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

10 Bible News Prophecy

Anaitwa Mfalme wa Waafalme na Bwana wa Mabwana(Aya16).Huyuhasaninani?Ufunuo17:14.MwanaKondoowaMungu ni nani? Yohana 1:29. Je, Aya hizi zinaonyeshakwamba ni Kristo na ndiye atakayekuja na jeshi la malaika kuja kufanya vita na majeshi ya dunia?

6. LENGOlakujakwakelitakjuwaninini?Ufunuo19:15.Nininikitakachotokea kwa watu mashuhuri ambao watampinga?Ayaza17-18.

MAELEZO: Msemo “nyama ya watuWOTE”, upatikanao katikaUfunuo 19:18 haumaanishi watu WOTE walioko duniani, baliWOTE ambao wamo katika majeshi yaliyojikusanya dhidi yaYerusalemu.LinganishanaZekaria14:12-15.

7. Je, Ufunuo 11:15-19 inazungumzia juu ya kipindi kilekile?Tunawezajekujua?Ayaya15.Je,malaikahuyuniwamwishomiongoni mwa malaika saba watakaopiga baragumu?Ufunuo8:6.

8. Je,hiiniBARAGUMUyaSABA?Linganisha1Wathesalonike4:15 na 1 Wakorintho 15:52. Je, Baragumu katika 1Wakorintho 11:52 ndiyo Baragumu ya mwisho? TambuahakunatenabaragumuiliyopulizwabaadayaUfunuo11:15.Je,FALMEZAULIMWENGUHUUZITAFANYIKAKUWAFALMEZAKRISTOpalebaragumuyasaba–yamwishoitakapolia?Aya15.

9. Kristo alikuja safari ya kwanza akiwa kamamwanakondoompoleaendayekuuawa.Je,paleajapomarayapiliatarudiakiwa na hali gani? Je, Kristo atakuja akiwa mwenyeGADHABU?Ufunuo11:18.Je,NabiiSefaniaalitabirikuhusuKIPINDIhikichaGADHABUYAMUNGU?Sefania1:15.Je,SIKUKUBWAYABWANAndiyoSIKUYAGADHABUYAMUNGUkwawakaziwadunia?Ayaza14-16.

MAELEZO: “Siku ya Bwana” INAHUSISHA KUPULIZWA KWABARAGUMUZOTESABA,sitamiongonimwakezitapulizwandaniyakipindichamiezikadhaapundetukablayakurudikwaKristo.

10. SomapiaIsaya13:6;Ezekieli7:19,naIsaya34:8.Je,ayahizizinathibitishapasipomashakajuuya“SikuyaBwana”nikitugani?

11. Wengiwanaaminikwambaulimwenguhivikaribuniutakuwanaamani.Je,Bibliayasemajejuuyahili?Ufunuo11:18.Palewatuwawaponahasira,wenginehupigana.Je,kutakuweponaMAPIGANOYAULIMWENGUMZIMAkatikanyakatihizizamwisho?Mathayo24:7;Ufunuo19:19-21.

12. Ni kwanini Kristo atazichukua na kujimilkisha falme hizi zaulimwengu?Ufunuo11:15-19 inatupatiabaadhi ya sababu.Isome.

MAELEZO: MUNGU ANAHITAJI WATU WAMTII. Anasema:“Jihadharini msimsahau BWANA Mungu wenu, mkashindwakushikamaagizo yake, sheria na amri zake . . .” (Kumbukumbula Torati 8:11). Katika Ufunuo 11:19 Mungu anatoa picha yaSANDUKULAAGANO.Ebunatuelewekwanini!

Je, Sanduku la Agano la hapaDuniani lilikuwa na vitu gani? 2Mambo ya Nyakati 5:10; Kumbiukumbu la Torati 10:4-5. Je,

Ulimwenguwa leo unashika amri zaMungu? Je,watuwa leowanaiharibunchi?Ufunuo11:18.“Usiue”nimojawapoyaamrihizi,Kutoka20:13.

Hivyo sasa tumetambua kwamba Kristo atareje akiwa amejaa gadhabu kuja kuyaadhibu mataifa kwa sababu YANAZIVUNJAAMRIZAMUNGU!

13. Biblia inaonyesha kwamba watakatifu, pale Kristo ajapomarayapili,watabadirishwanakuishidaimapamojanaye1 Wathesalonike 4:17. Watu walio wengi leo wanaaminikwambapalewatakapobadirishwawataishimaishayauvivu.PaleKristopamojanamajeshiyakeyamalaikawatakapoanzakuwadhibitimataifa, je,watakatifuwaowatakuwahawanakabisa kitu chochote cha kufanya? Soma Danieli 7:18. Je,neno“Wataupokea”hasalinaashiriakitugani?

Waongofusikwambawataishimaishayakukaatubilashughuliyoyote pale watakapobadirishwa. Watashiriki kwa kiwangokikubwa pamoja na Kristo katika kuzimilki falme za ulimwenguhuu.

14. Ni nini kingine kitakachotokea wakati wa kupulizwa kwabaragumukuu(yasaba)ambapondipoKristoanakuja?Isaya27:12-13.JE,ISRAELIWATAKUSANYWATENA?Ayaya12.Nininiwatakachokifanya?Ayaya13.

IwapowatamwabuduMungunakutokakwenyehuuulimwenguwa Kibabeli ambako ndiko walikokuwa wametawanyikia; je,wataepukamapigoyakeyajayo?Ufunuo18:4.

---------------------------------------------------------------------

Gadhabu ya Kimungu Kuja kwa Ulimwengu Usioshika Sheria

1. Ulimwengunimuasi.HatapalebaadayaKristokuwaamekujayeye binafsi hapa duniani, bado mataifa hawatampokea.Ni jambo gani moja ambalo Mungu atalifanya kuchocheaKUKUBALIWAKWAKRISTOpamojanaserkaliyake?Ufunuo16:1.

2. NijuuyananihiviVITASAVYAGADHABUvitaangukia?Je,sijuuyaulimwenguwotemuasi?Ufunuo16:1.

3. Je,kunavitasavingapi?Ufunuo16:2,3,4,8,10,12,17.Je,kunayeyotemiongonimwahivi“vitasa”sabavyagadhabuyaMunguambavyopiavinaitwa“Mapigo”?Linganishaayaya17yaUfunuo16naayaya21.

4. Je, Mapigo haya yataipiga Babeli ya nyakati za mwisho?Ufunuo18:8.

5. Ni juu ya nani KITASA CHA KWANZA kilimiminwa?Ufunuo16:2.

MAELEZO: Pale Kristo ajapo tena, Kitamiminwa juu ya woteambaowanashirikikatikamfumowaulimwenguhuuwakijamiinakidini.

6. Tunawezajekujuakwambakitasachakwanzakitamiminwa

Page 11: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 11

BAADA ya Kristo kuja? (Kumbuka kwamba Kristo anarejeawakatiwabaragumu/parapandayamwisho--Ufunuo11:5.Baragumuhiindiyoinayoanzishamapigosabayamwisho).

7. MataifawaowatafanyajepalewamwonapoKristoakirudi?Ufunuo 11:18. Je, huo ndio pia utakaokuwa wakati wagadhabu ya Mungu? Aya 17-18. Kwa vile vitasa vyotevinawakilisha gadhabu ya Mungu (Ufunuo 16:1), ni wazikiasiganikwambavitamiminwaBAADAyaKristokujiingizakwenyemaswalayaulimwengu.

8. VITASA VYA PILI na VYA TATU vitamiminwa juu ya nani?Vitasababisha madhara gani? Ufunuo 16:3-7. Tambuakwamba VITASA VYOTE HIVI VITASABABISHA MATOKEOYASIYOYAKIASILI.MUNGUATAJIINGIZAKATIKAMASWALAYAULIMWENGUKUPITIAMAPIGOHAYAYASIYOYAKIASILI!

9. MunguatatumiaHATUAKALI.EbujioneejuuyaKITASACHANNE.Ufunuo16:8-9(Kunavitasasabakwaujumla).Je,JOTOlake litakuwa lamadharamakubwa? Ni kwa kiwango ganikikuumwangawajuautakavyokuwakwamudamfupi?Isaya30:26.

10. Ni madhara gani yote haya yatasababisha kwa wakazi wadunia?Isaya24:6.Je,kwaujumlaniWATUWACHACHEZAIDINDIOWATAKAOSALIAhaiwakatiwamwanzowautawalawaKristo?

MAELEZO: Tambua kwamba SI WANADAMU WOTEWATAANGAMIZWA—baadhiwatabaki hai. Kupitia hawa Kristoataanzishautawalawake.

11. NI KWANINI Mungu atafanya hili? Isaya 24:5. Kristoatatekeleza gadhabu ya Mwenyezi juu ya dunia hii kwasababuyauasiwaowasheriazaMungu.

12. Ni kipi kingine kinatuonyesha kwamba gadhabu yaMunguitatokea pale Kristo aanzapo kuusimika utawala wake duniani?Isaya24:10.“MjiwaMachafuko”nikitugani?

MAELEZO: Katika Kiebrania na Kigiriki, neno “Babeli” (Babylon)humaanisha“machafuko”.BabeliMkuu—mfumowaulimwenguhuuuliochanganyikiwaambaonichimbukolamfumowaBabeliya kale—utaanguka mapema punde baada ya kujiingiza kwaKristo(Ufunuo18:2).

13. Je,Ufunuo18:21,23nayopiainathibitishakwambatukiohililitatokea katika muda huo?Mungu kwa hiyo ataangamizaidadi kubwa ya watu waasi watoke duniani kabla Kristo hajausimika ufalmewake. Je,wengiwawalewatakaosaliaWATATUBU pale watakapokabiliwa na joto hilo kali sana?Ufunuo16:9.

14. KITASAchaTANOkitamiminwakatikaeneo lanchiambalolitakuwa likitumiwa sana na wanadamu kupambana dhidi ya ufalmewaKristo.Je,linaitwaje?Ufunuo16:10.Je,watuhawawatatubudhidiyamatendoyaomaovu?Je,hapokunanuru?Je,Kristoanajilinganishamwenyewenanini?Yohana8:12.

MAELEZO:Kwadhahirineno“giza”laUfunuo16:10linamaana

mbili—kutakuweponaGIZAKWELi kwakukosekanamwanga—kuwepomawingumazito—lakinipia“gizalakiroho”katikaeneolotelamfumowaMnyamaulipo.KATIKABIBLIAkiunabiiMAMBOMENGI YAMEANDIKWA KUMAANISHAMAMBOMAWILI KAMAHILI.

Wengi wameamini kwa kuchukulia kwamba wakazi wa duniawatamkubali Kristo mara moja japo hata kama hawatamtambua pale mwanzoni. Inashangaza kujionea kile ambacho hasaulimwengu huu utakachokifanya. Adhabu ya kitasa cha nneitakuwaniadhabukalisana.Itauasehemukubwayawakaziwadunia hii. Katika historia yote, Shetani amempiga vita Kristo.Wengiwatapoteakwakuangukia“mafundishoyamashetani”(1Timotheo4:1;Ufunuo16:14)nakushindwakumpokeaYesuKristokamaBwananaMwokozi.

Viongozi wa mfumo huu wa Babeli watapata adhabu hii nakupitia kwenye adhabu nyingine zaidi kwenye miji yao. Lakinibado hawatatubu. NGUVU ZAIDI, NA PENGINE HATA MUDA,VITAHITAJIKAILIKUUSHINDAUPINZANI.

---------------------------------------------------------------------

Ulimwengu Utakusanyika KUMPINGA Kristo;

Kukusanyikia Harmagedoni

1. KITASA CHA SITA cha gadhabu ya Mungu kitakuwaje?Ufunuo16:12,14.Je,jinalaSEHEMUWATAKAYOkusanyikalinaitwaje?Ayaya16.

2. NI NANI ATAKAYE IKUSANYA DUNIA YOTE KUPAMBANADHIDIYAMWUMBAJIWAO?UfunuoSuraya16,Ayaza13na14.Jokandiyenani?Ufunuo12:9.Je,wale“roho/mapepo”niMASHETANIwaIBILISI?Marko1:23,34;Luka11:18-19.

3. Wale mapepo watafanyaje ili wawakusanye wanadamupamoja?Ufunuo16:14.Je,Yule“Mnyama”nikiongozimkuuwakijeshinakiutawala,mwenyemamlakamakuudhidi yamajeshimengi?Ufunuo17:13-14.Je,Yule“NabiiwaUongo”nikiongozimashuhuriwakidini?Ufunuo13:11-17.

4. Ni “dhidi ya nani” wafalme wote wa dunia pamoja naulimwengu wote kwa ujumla watakusanyika kumpigavita? Ufunuo 17:14. (Tayari tumekwisha kuona kwamba“Mwanakondoo” inamaanisha Kristo. Tambua pia kwambaKristo anayo pia majina na nyadhifa nyingine nyingi:SomaUfunuo 19:11, 16 na 19.)Mandiko hayaNI DHAHIRIYANATHIBITISHAKWAMBAKRISTOPAMOJANASERKALIYAKEHAWATAKUBALIWA WALA KUPOKELEWA NA WANADAMUWATAKAOMUUNGAMKONOYULEMNYAMA.

5. Ufunuo16:15inafafanuajambogani?Je,ayahiiiliyosimikwakama nyongeza inatoa onyo kwa watu wa dunia kwambawajitahidi kujikita kwenye nabii za Mungu ili wasijewakahadaiwa na kujikuta nao wamehusika katika vita dhidi yaMungu,ambavyovitafuatiakukusanyikakwamataifakuleHarmagedoni?

MAELEZO:Ayahiiya15niwazolililochomekwakamaziada—ni

Page 12: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

12 Bible News Prophecy

onyokwaSISIWOTE!HaimaanishikwambaKristoatarejeabaadayavitasavitanovyakwanzakuwavimemiminwa.Badalayake,hiini onyo kwamba tusihusike na maandalizi hayo ya kijeshi ambayo nidhahiriyataanzamiezikadhaakablaKristohajarejea.

KITASACHASITAKINAWAKILISHAMAPIGOYAKUTISHAYAKRISTODHIDI YA MATAIFA. YANAANZA MARA WAJIKUSANYAPO KULEHARMAGEDONIKUTAKAKUPAMBANANAYE.

6. Je,Munguatawahukumuwapaganihuko?Yoeli3:12.

MAELEZO:“YEHOSHAPHATI”,nenolaKiebrania,maanayakeni“HukumuyaYehovah”.Hivyoeneohilomahsusilinajulikanakwajinala“BondelaHukumuyaMwenyezi”.

7. Nilinihukumuhiiitafanyika?Ayaya14yaYoeli3.Linganishawakati wa tukio hilo (la aya ya 14) na wakati wa tukiolililoelezewakatikaUfunuo14:19.

MAELEZO:MapiganohayayatafanyikakwenyeSikuyaGadhabu“KUU”yaMungu—itakuwanisikuambayovitasavyotesabavyaBaragumuyasabavitakamilika.SikuhiiambayondiyomiguuyaKristoitatuanakuikanyagaduniaitaanzishwakwakupulizwakwaBaragumu ya Saba. Kama ambavyo tumetangulia kuonyesha,misemo ya “Siku ya Bwana” pamoja na ule wa “Gadhabu yaMungu” mara kwa mara imetumiwa katika Biblia kumaanishaswalalilelilenahivyoinaelezeanyakatinatukiolaainamoja.Je,sikwambamatukiohayamawiliyanatukiakatikawakatiuleule?Je,sikwambaMunguatachukuahatuayakujiingizakatikamaswalayaulimwengupalelolotebainayamambohayayatakapotekelezwa?

8. Je,matukiohayayoteyatatufikishakatika“SikiyaBwana”?Linganisha Yoeli 3:14 na Ufunuo 14:19-20. Je, si ukwelikwamba msemo wa damu itapanda hadi katika “Hatamu zaFarasi”unaonyeshakwambatukiohililinatendekakatikabonde?

MAELEZO: Elewa kwamba msemo “damu itatoka kwenyeshinikizoladivai...kamamwendowamailimiambilihivi”!Damuiliyotokana na askari waasi itafurika na kujaa eneo lote la bonde la Megido,linalotapakaatokeachiyaPalestinahadiYerusalemunakusambaakiasichamaili110kuelekeakusinihadikwenyenchiyazamaniyaEdomu.LinganishahilinaIsaya63:1-6,ambakoKristoamefafanuliwa kuwa anaitekeleza gadhabu yake katika nchi yaEdomu.IangalieramaniyaKibibliayaeneolaPalestinailiuyaonenakuyatambuamaeneohaya.

Damu Itamwagika Kutokana na Uasi

1. LinganishaYoeli3:13naUfunuo14:19.Je,matukioambayoyanafafanuliwa katika aya hizi yanahusu mavuno?

MAELEZO:Elewakwambahukumukamailivyoelezewakatikaayahizi zote inafananishwa na mavuno ambapo zabibu (ikiwakilisha watuwaovu) ya gadhabuyaKristo zitakamuliwa.MvinyowakeutakaotokananakukamuliwahukokunalinganishwanaMAVUNOYADAMU.

2. BONDELAYEHOSHAPHATInieneolenyekinakirefunapanalenye kingo kali, ambalo linapakana namjiwa Yerusalemu

upandewamashariki.Je,sikwambahatamavunoyaUfunuo14:20nayoyatafanyikianjeyamji?

3. NinaniambayeatatekelezajambohililamavunoyaMungu?Ufunuo14:14.“MwanawaMtu/Adamu”ndiyenani?Danieli7:13-14;Mathayo9:6.

4. Ni kipi atakachokifanya pale atakapokuja? Fungua Ufunuo19:11. Je, si kwamba atawahukumu pia katika Bonde laYehoshaphati? Je, atarejea akiwa na majeshi? Aya ya 14.Je,watuwaduniawatapambanadhidiyake?Ayaya19.Sikwambayeye,akiwanamajeshiyake,“atakanyagaSHINIKIZOlaMVINYOwahasirayaGADHABUyaMUNGUMwenyezi”?Ayaya19.

MAELEZO: Linganisha msemo huu wa Ufunuo 14:19 na Yoeli3:12-13. Je, si dhahiri kwamba mapambano haya yatapiganwakatika BONDE LA YEHOSHAPHATI NA YATAKUWA NI VITA KALIYA KUHITIMISHA MAMBO? Vita vyenyewe vitatukia karibu naYerusalemuambayoinapakananabondehili.

5. Isome pia Zaburi ya 2, zingatia aya ya 8. Je, si kwambawatakuwekopiawapaganikwenyeBondelaYehoshaphati?Yoeli3:12. Linganisha“FimboyaChuma”yaZaburi2:9,nakile ambacho Kristo atatumia kuwavunjavunja, je, itakuwakupitia fimbo hiihii ndiyo atakayotumia kuwatawala mataifa? Ufunuo19:15.

Je, msemo huu hauhusishi pia majeshi? Je, haitakuwa Kristo,kupitiamajeshiyake,ambayendiye“ATAKANYAGAMVINYOWAGADHABU YAMUNGU” KWENYE BONDE LA YEHOSHAFATI NAKUSABABISHADAMUYAWAPAGANIWANAOMPIGA IMIMINIKEKATIKASIKUYAVITAKUUKULIKOZOTEULIMWENGUNI?

6. Ni kwa nini mataifa watampiga vita Kristo? Zaburi 2:2-3; Ufunuo 11:8. Je, wataihitaji aina ya serkali yake? JeKRISTONDIYEATAKAYESHINDA? Zaburi 2:9. Zingatia neno“kuwavunja”.

7. Bonde la Yehoshaphati linapakana na YERUSALEMU. Je,Kristo ataichukuaYerusalemupia, kupitia vitahii? Zekaria14:2-4.Je,Zekaria14:2inaonyeshakwambanusuyamjiwaYerusalemu itakuwa ilikuwa imetekwa na mataifa ya dunia hii kabla Kristo hajaikomboa kupitia vita hivi?

MAELEZO:Inawezekanasasatukafahamuvemanikwaninivitavikubwakuliko vyoteulimwenguni vitapiganiwa kwenyebondelaYehoshaphatinawalasikuleHarmagedoni!VITAHIVINIKWAAJILI YA NANI AUTAWALE ULIMWENGU. Yerusalemu, MakaomakuuyaSerklaiijayoyaulimwengu,ndioutakaokuwakiinichamapiganohayo.

“Konde/MbugayaMegido”nieneotambararelipatikanalokusinimwauwandampanawaEsdraeloni.Niuwandauliokokadriyamaili70kaskazinihadimagharibimwaYerusalemunaumetumikamara kwa mara kama uwanja rasmi wa kupambania kwa sababu ya utambarare wake. Katika enzi za kale, ulikuwa unafanyasehemuyanjiapandakuu iunganishayoAsianaAfrica.Kutokeakwenye huu uwandampanawa asili wa kukusanyikia,majeshiyaulimwenguyatasongakuelekeakusini kwaajili yamapigano

Page 13: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 13

makubwadhidiyaKristo.

8. NinaniatakayemsaidiaKristokatikavitavyakevya“SikuyaBwana”? Zekaria 14:5 pamoja na 2 Wathesalonike 1:7-10.Jionee Yeremia 25:30-33: Kristo atakanyaga “Shinikizo laMvinyo” kila paliponauasi! Ni kitu gani kitakachowapatawalewatakaoendakumpingaKristokulekwenyeVitadhidiyaYerusalemu?Zekaria14:11-12.Kristondiyeatakayeibukamshindi.

NininikinafuatapundetumarayaKITASACHASABAS?Ufunuo16:18-21.

Matokeo ya Ushindi wa Kristo

1. MATOKEO YA MAPIGANO YA KWENYE BONDE LAYEHOSHAPHATI YAMEELEZEWA KATIKA MAENEO MENGIMBALIMBALIYABIBLIAKUTOKANANAUMUHIMUWAKE.NIkipi ambacho Kristo amesema atakifanya dhidi ya Yerusalemu naMlimaSayunipalearudipo?Zekaria8:3.

MAELEZO: YERUSALEMU ni mji ambao Mungu ameuchaguauwenasifanamatumizimakubwazaidimiongonimwamijiyoteya wanadamu. JINA LAKE LENYEWE LINAMAANA YA “JIJI LAAMANI”.

HAPATUNAMUONAKRISTO, “MFALMEWAAMANI” (Isaya9:6)AKIUTWAAMJIHUOWAAMANIKWAKUSUDILAKUUFANYAUWEMAKAOMAKUU YA DUNIA (Yeremia 3:17). KUTOKEA SAYUNI,SHERIA ZA MUNGU ZITATOKA NA KUUENDEA ULIMWENGUWOTE,KITUKITAKACHOLETAAMANIKWADUNIAYOTE! (Isaya2:2-4). KRISTOATAWAADHIBUWOTEWALEWATAKAOENENDAKINYUMENAMAELEKEZOYAKE.

2. NI nini kitakachompata KIONGOZIWA KIJESHI wa mataifahayo, Mnyama, ambaye atapambana na Kristo? Ufunuo19:19-20.

MAELEZO:HayoyanafafanuaZIWALAMOTONAKIBERITIlilelile,ambamondimoMnyama—KiongoziwaKijeshi—atatupwaakiwahai!

3. “Mnyama”aliyetajwahapaniKiongoziwaKijeshiwaduniaambaye ataungwa mkono kijeshi na wafalme madikitetakumi ambao kwa pamoja watapambana na Kristo kwenye BondelaYehoshaphati?Ufunuo17:12-14.

MAELEZO: Biblia hutumia usemi wa “wafalme kumi”. Hawawatakuwa ni viongozi kumi watakaokuwa wakiiongoza Ulaya.KatikaenzizaBiblia,usemi“mfalme”marakwamaraulitumiwakumaanisha mtawala ambaye siku hizi tunaweza kumuita kama rais ambaye kwa siku hizi angeweza kuwamkatili amadicteta.Je,ayaya14kimsingihaithibitishikwambaHUYUKIONGOZIWAKIJESHIATASHINDWA?

4. Sasaebujioneejambojinginejuuyahuyukiongoziwakijeshi.Ataendesha namna ya utawala usio wa kawaida. SomaDanieli 11:45. Tambua kwambamtu huyuhuyu ametajwamahalihapatenakamakiongoziwakijeshi(“nayeataondokakwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa

wengi”—ayaya44). PiaATAENDESHAENEONASHUGHULIZA IBADAZAKIDINI—madhahabu!Katika lughaya kiBiblia,neno “madhabahu” mara nyingi humaanisha sehemu yakufanyiaibada(mfano:Kutoka27:21).Nikwaniniataendeshamadhabahu?AtalifanyahilikwaajiliyaKUJIPATIAWAFUASItoka kwawalewanadiniwaliopotoka, ili aweze kuendeshamaswalayakeyakijeshibilaupinzaniwandani.Yule“NabiiwaUongo”,“MnyamaatokayekatikaNchi”,ataiungamkonodiniyaMnyamahuyuyauongo(Ufunuo13:11-17).

5. Je, huyu NABIIWAUONGO, ambaye ndiye atakuwamkuuwa madhabahu hiyo, yeye naye atapokea ADHABU ILEILEkama ya Yule Mnyama aendeshaye majeshi ya vita? Ufunuo 19:20,piaUfunuo14:9-11.Je,badopiaupounabiimwingineambao nao unathibitisha huyu mtu atapatwa na tukio hilo?

6. Pale Kristo atakapowashinda na kuwateka hawa wafalmekumi, je, ataanza kutimizauleunabii kwamba, “katika sikuza wafalme hawa” (yaani wale wanaowakilishwa na vidole kumi),ndipoatakapousimikaufalmeambaohautaangamizwanamtu?Danieli2:42-44.

MAELEZO: PamojanakwambaniMungundiyeatakayempatiaKristofalmezaulimwenguwote iliazitawalepaleBaragumuyaSaba Ipulizwapo, kusema kweli BADO UFALME HAUTAKUWAWAKE HADI KWANZA AWAPIGE MATAIFA NA KUWASHINDA.LinganishaUfunuo11:15naUfunuo17:14.

---------------------------------------------------------------------

Ustaarabu Huu Uliobuniwa na Mwanadamu Utatupiliwa Mbali

Kristo Ataanzisha Ustaarabu Mpya

Muungano wa majeshi ya Ulaya sasa yatakuwa yameshindwana kiwango kikubwa cha vifo kuwa kimetokea kwawanadamuwote. MIJI mingi ya ustaarabu wa ulimwengu huu—“BABELIKUU”—ulimwengu wa kipagani ambamo ndimo tunaishi, badoitakuwa imesimama, haijaharibiwa, hatahivyo. HATA PIA “JIJIKUU” (Ufunuo 16:19), ambalo limeuendeleza mfumo huu wakibinadamutangiaenzizaMilkiyaRumi,nalobadolitakuwalipo.

1. Je,Munguataiachamiji hii iendelee kusimamana kuwepona atausimika utaratibu wake mpya miongoni mwake?Ama MENGI YA MAJENGO YA MFUMO WA ULIMWENGUHUU YATABOMOLEWA ILI KUUPISHA USTAARABU MPYAWAULIMWENGUWAKRISTO?Ufunuo16:18-21. Je,hizininguvu mbili za asili ambazo atazitumia katika kutekelezahili? RADI KUBWA PAMOJA NA MATETEMEKO MAKALIYATASAMBARATISHA NA KUBOMOA KABISA MAJENGONA MIUNDOMBINU KARIBIA YOTE ILIYOJENGWA NAWANADAMU ULIMWENGUNI! Hiki ndicho KITASA CHASABA!

2. Mapigo ya mwisho manne miongoni mwa mapigo sabayataleta matokeo yasiyo na kifani; lakini, pamoja na hayayote, je,wanadamuwatajifunza KUMCHAMungu?Ufunuo16:21. Je, hatimaye watajifunza na kutambua kwamba

Page 14: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

14 Bible News Prophecy

mfumo bora zaidi ulikuwa unaanzishwa? Ama bado watataka WAENDELEE KUUNG’ANG’ANIA ULE MFUMO WA AWALI?Ufunuo18:9,11,17-19.Mfumohuumbovuulikuwananiniambacho wanadamu bado wataendelea kukitamani hata baadayaMungukuwaameuteketeza?Ufunuo18:2-3,14,19.

3. JehuondiouliokuwamtazamosikuzaLutupalealipokimbiakutokamjimuovuwa Sodoma? Je, alitamani abakie japokidogo ndani yake? Kwa kutazama nyuma akiuangalia?Kubakiakaribunao?Naje,ilikuwanikwaajiliyamtazamowaainakamahiikwambamkeweALIUAWA?Mwanzo19:16,17,20,26.

4. Je, Mungu, ambaye yeye anajua kwamba yapo mambomema yanakuja, anawaamuru watu wake wafanye ninikuhusukuangukakwaustaarabuwaleokunakokuja—BabeliKuu ya kileo? Ufunuo 18:20. HII NIA YA MWANADAMUYA KUENDELEA KUNG’ANG’ANIA USTAARABU wa leo JE,HAIONYESHI KWAMBA UTAHITAJIKA MUDA NA JUHUDIKUTOKAKWAKRISTO,WATAKATIFU,PAMOJANAMALAIKAKATIKA KUWAELIMISHA UPYAWANADAMU JUU YA ZAMAMPYA?WATAHITAJIKUJIFUNZAKWAMBANJIAYAMUNGUNDIYOILIYOBORA.

MAELEZO:UpinzanimkuudhidiyaKristoutakuwaumedhibitiwa.Kiongozimkuuwakidiniwaulimwengupamojanakiongozimkuuwakewakijeshiwatakuwatayariwameangamizwa.Idadikubwaya waovu wasiotaka kutubu watakuwa wameuawa. Radi naumemewakiwangokikubwapamojana tetemekokubwamnokuwahi kutokea duniani navyo vitakuwa vimeteketeza makazi ya idadikubwa.

5. NikwanamnaganiKRISTOsasaATAISIMIKAAINAYAKEYASERKALI, ambayo italeta amani duniani kote? Je, atajengaMJI WAMFANO KWA ULIMWENGUWOTE KUIGA? Jiji hililitakuwani lipi? Isaya62:1-2.Je,duniayote italijua jijihilo?Ayaya7.

6. JeIsraelindiyoitakuwaMFANOKWADUNIA?Yeremia33:7-9.Ni makundi yapi mawili ambayo ndiyo yataunda taifa hili? Aya ya7.KuelimishwakwaochiniyaKristoje,kutawaleteanini?Ayaya8.Je,TAIFALAMFANOlaMunguLITASIFIWAhatimayenaMATAIFAMENGINEYOTE?Sefania3:20naZekaria8:3.Je,Yerusalemupiautaitwaje?Zekaria8:3. UkwelindichokitumuhimuzaidikwaMungu.

7. Taifa hili litakuwa limetoka wapi? Litakuwa linapatikanasehemuganipalehatimayelitakapokuwaniutukufunasifakwa dunia? Ezekieli 34:1, 12. (“Kondoo” ndiyo Israeli. Je,wametawanywa?) Je,niwapiambakowatasimikwakuishi?Aya ya 13. Je, si kwambamji huuwa kuigwautapatikanandani ya eneo la taifa la kimfano?

8. PamojanakwambaKristoatakuwasasaameushindaupinzaniwa PAMOJAwa ulimwengu unaotawaliwa namnyama, je,mataifayoteyatamfurahiayeyenaserkaliyake?AupengineATAUANZAUTAWALAWAKEKATIKATIYAADUI?Zaburi110:2.

9. Nikwajinsiganiupinzanihuoutakaosaliautakavyodhibitiwa?Hagai2:22.Ataanzakufanyaninidhidiyawatawalawaliosalia

waulimwenguhuu?Zaburi149:8.Je,vilevileATAWAADHIBUWAPAGANI? Aya ya 7. Je, Kristo atamtumia nani katikakutekelezamambohaya?Ayaya5-9.IsomeZaburiyote.Je,wewe unaona hili linaonyesha kama watakatifu “wataenda mbinguni”nakuketihukobilakaziyoyote?

Je,KristoatachoshwanajukumulakehilonakuachananalokwavileLITACHUKUAMUDANAKUHITAJIUVUMILIVU?Isaya42:4.Ninaniyule“mtumishiwangu,”aliyetajwakatikaayaya1yaIsaya42?LipatejibulakekatikaMathayo12:15-18naWafilipi2:5-7.

Urusi na China Watajaribu Mapinduzi ya Mwisho

Urusi na China watakuwa ndio “Wafalme wa Mashariki” watakaokuwa mashuhuri katika nyakati za mwisho (Ufunuo 16:12). Jeshi lao walilounganisha na kuwa la askari wengilitaangamizwakwenyeBondeYehoshafati(Yoeli3:12)pamojapianaMUUNGANOwamajeshiyaUlayayotenamataifamengineyaliyojikusanyadhidiyaYerusalemu.

1. NieneolipilaulimwengulitakalohusikadhidiyaMfalmewaKaskazini?Danieli 11:44. Tambua kwambaMfalmewaKaskazini (Danieli 11:40), alifadhaishwa na mamlaka iliyokaskazininamasaharikiyake.Jambohili tunajifunzakutokawapipengine?Yeremia50:41-43.

MAELEZO: Yeremia 50:1-3 na 51:7–11 zinaonyesha kwambataifa toka kaskazini ama mataifa toka upande wa kaskazini (Yeremia 50:9,41) yataiangamiza Babeli na yanaweza kuwakatika mstari wa mbele wa kile kiwezacho kuwa ni mashambulizi ya nyukilia dhidi ya Rumi yenyewe (ona Ufunuo 18:9–10). Ninchi zaScandinaviapekee,pamojanazile za jumuiayazamaniyaMuunganowaUrusi (SovietUnion)ndiyo yaliyopo kaskazinikijiografia,mwaUjerumani, ionekanayo kuja kuwaMfalmewaKaskazini.Napamojanakwambanimataifamengiyakokaskazinimwa Yerusalemu (na nabii nyingi yaonekana hutoamaelekezoyaupandekutokeamwelekeowaYerusalemu),Maandikomengiyanaashiria swala hili kuwahusu wale walioko kaskazini ya mbali yaEurasia.

Je,nitaifalipilenyenguvukubwazakijeshilililokokaskazinimwaUlaya? Ni Urusi. Kinyume kabisa namadai ya wahubiri wengiwa Kiprotestant, Urusi SIYO “mfalmewa kaskazini” wa siku zamwisho,balindiyoinayohusikakatikakumwangamiza!

2. Pale Urusi pamoja na washirika wake wa Eurasiawatakapoona kwamba mamlaka ya Kibabeli ya mnyama yanaweza kuangamizwa, je, ndipowatakapochukuahatua?Yeremia51:11-32; Isaya13:1-8,17-19. Je, sikwambaUrusinaChina,tukitoamifanomiwili,ndiomataifatokasehemuza“miishoyanchi”(Yeremia51:11;Isaya13:5)kwakuyaangaliakutokea uelekeo wa Yerusalemu ama Ulaya?

3. Je,jeshilenyeaskarimilioni200litaundwa?Ufunuo9:16.

MAELEZO: Nyakati za enzi ambapo kitabu cha Ufunuokilipoandikwa, hakukuwa na idadi ya kutosha ya watu dunianikuwezakuwanajeshilaaskarimilioni200.LakinibadoMungualilibainishauwezekanowahilikadriyamiaka2,000kabla.Katikaenzizetuzasikuhizi,itahitajikaushirikianowanchizaAsiaama

Page 15: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 15

Eurasia kuweza kuunda jeshi la askari wengi namna hiyo—naeneo hili lenye idadi ya watu wengi zaidi kuliko pengine poteduniani ndilo linaloashiriwa na unabii wa kibiblia kuwa “wafalme wamashariki”(ama,“wafalmetokamawioyajua”).Kwasababuya eneo lake lililoko masharki ya mbali pamoja na uwepo wa idadi kubwayawatu,jeshilenyeaskariwafikiaomilioni200linatarajiwaliihusisheChinapia.

MAELEZO:TUNAWEZAJEKUJUAKWAMBAITAKUWANIURUSINACHINAambazozitadirikikujadhidiyanchiyaPalestinaambakomakaomakuuyaKristoyaulimwengundikoyatakuwa?

Tambuakwambaneno“Gog” linamaanisha “ajaye tokeapandezakaskazini”—KASKAZINImwaeneolaPALESTINAEzekieli38:15!Gog ndiye nani? UpoUFUNGUOwa kimsingiwa kutuwezeshakuelewa ni taifa lipi katika enzi zetu ndilo linaashiriwa pale linapotamkwa kwenye unabii wa Biblia. Tukielewa namna yakuutumia ufunguo huo, TUNAWEZA KUJUA, MBELE YA TUKIO,KWA UHAKIKA NI MATAIFA YAPI YA LEO– Urusi, Ujerumani,Uturuki, Marekani, na mengine mengi—YATAKACHOKIFANYAKATIKANYAKATIZILIZOPUNDETUMBELEYETU!Hilinilamuhimusanakulijuakatikasikuhizizamwisho.Ufunguohuuninini?

Ufunguo huo ni huu:MATAIFA YA ENZI ZA NYAKATI ZA BIBLIANDIYOYAMEZAAMATAIFAYALIYOPO LEO.HivyoMungu katikanabiialitumiaMAJINAYALEYALEYALIYOKUWEPOENZIHIZO, ILIKUTABIRI KILE AMBACHO WAZAO WAO WATAKACHOKIFANYAKATIKAENZIZAZAMAZETU!

Wazao wa haya mataifa kwa sasa wamebadiri na kuchukua majinamenginekatikanyakatizaleo,LAKINInikipindikifupitucha muda kimepita kati ya muda waliokuwa wakitumia majina yaoyakalenawalipobadirinakuchukuamajinayasikuhizi,kiasikwambaSIKAZIKUBWAWALANGUMU,maranyingi,kuchukuavitabu vya historia ya mataifa ya kale na kujionea ni jina jipi kila taifa—liliitwakatikaBIBLIA!

Hivyo,kulijua JINALAKI-BIBLIA la taifa la leonakujuauhakikawa unabii wa Mungu—kujua MATAIFA YATUZUNGUKAYOinawezekana. Sasa tutajionea kwamfano utumiaji wa KANUNIHIIKIUTEKELEZAJI.Hakutakuwanakukisia.Munguhakukusudiakwamba tukisie kuhusiana na unabii wake, sawa na wengi yawanadamuwafanyavyoleopalewatafutapokuufafanua!

Tambua kwamba ni ‘Gog na Magog’ (Ezekieli 38:2) ndiowatakaokuja dhidi ya taifa ambako makao makuu ya Kristo anakusudia yawe (Aya ya 16). Tambua tena kwamba Gog naMagogwanakuja“KUTOKEAPANDEZAKASKAZINI”(Ayaya15)—ambakoUrusi,MongolianaChinandikozilikoleo.

Je, inaweza kuonyeshwa kwa uthibitisho kwamba Urusi ndilotaifa litakalokuja kutokea pande za kaskazini kuja kuivamia nchi yaPalestina?“KutokananamaelezoyapatikanayokwaWaarabu,WaajeminaWaashuru”,tunajifunzakwambamataifahayamatatuzamani yalitumia majina ya “Yajuj na Majuj” (jionee kufanana kwa matamshikatikamajinaya‘MajujnaMagog’)kuyataja“mataifayawatuwakatilinawasiojulikanawamaeneoyoteyaKaskazini-magharibi na Kaskazini-mashariki mwa Asia”—AMBAKO URUSINA UCHINA YA MONGOLIA ZILIKO LEO! (Imenukuriwa toka:McClintockandStrong,article“Magog”).

Jionee kwamba ‘Mesheki na Tubali (aya ya 2) naowataungananao katika uvamizi huu. Je, tunaweza kuthibitisha kwambamakabila haya ya kale pia kuwa ndiyo wazazi wa Warusi wa leo? Kumbuka,Urusiiliundwakutokananakuunganikakwamakabilakadhaamakubwa.ProfessorSayceanaelezakuhusuMeshechnaTubal: “KatikahistoriayaWaashurumajinahayayameandikwakama ‘Tubla na Muska’, na walikuwa wakijulikana kuwa niwataalamuwakubwawaJiografia,huku(Wagiriki)waowakiwaita‘TiberaninaMoskhi’.”BaadayasikuzaNebuchadnezzar,Wagirikiwaliwakuta jamii hii ya makabila maeneo ya “Kaskazini zaidi ya pale walipokuwawakiishinyakatizaenzizaWaashuru...walilazimikakuhamiakuelekeakaskazinikaribunaBahariNyeusi,......”(KutokaTheRacesoftheOldTestament).WalihamiakuelekeaKASKAZINIkwendakwenyenchitunayoijualeokuwaniUrusi.

Baada ya kuwaWAMEVUKA HADI KWENYEMBUGA ZA URUSIwatuhawawaMeshech,walioitwaMoskhinaWagiriki,wakaanzakujulikanakwajinalaMuskovs.Kutokananajinahili“Muskov”jina la jiji lao la leo liitwaloMOSCOW LIMEPATIKANA. Wazaowa Tubal ndio waliobandika jina lao mto uitwao leo “TobolRiver”pamojanamjiwaTobolskuliokoeneolaUrusiyaupandewa Asia. Hivyo tumethibitisha pasi na shaka kwa taarifa hizikwamba mataifa yanayotajwa katika sura hii ya unabii wa Ezekieli yanalengaURUSIPAMOJANACHINAZALEO! ItakuwaniUrusina Uchina pamoja na washirika wake ndio watakaokuja dhidi ya PalestinabaadayaKristokuwaameanzakuisimikaIsraelikatikanchihiyoiwekamataifalakelakimfano.

-----------------------------------------------------------------

Kristo Kuwa Mbadala wa Ibilisi Kama Mtawala wa Ulimwengu

KatikaWaebrania2:5tunasomakifuatacho:“Munguhakuuwekaulimwenguujaoambaotunanenahabarizakechiniyamalaika”.Kwamanenomengine,ufalmeambaoKristoatausimikakwenyeduniahiihautatawaliwanamalaikawalioasi, kamavileShetanina mapepo wake. Hawa mapepo, pamoja na ibilisi ambayendiye kiongozi wao, wanautawala ulimwengu huu wa sasa nawanawapotoshawanadamu.

Kristo anakuja ili kuja kubadiri hali hiyo. Mwanadamuameruhusiwa apitie na kujionea matokeo ya uovu wa kujitawala chiniyaupotofuwaShetanikwamiaka6000.Wakatiwamilleniainayokuja (utawalawaKristowamiaka1000),ndipokwamarayakwanzaatajioneamwenyewematokeoyautawalawaMungumwenyeuwezohapaduniani.

1. NinaniambayeKristoalikiriwazikuwandiyeMTAWALAWASASAwaulimwengu?Mathayo4:8-9.SHETANIalimwonyeshaKristotawalazotezaulimwengu,naakamwambia:“Nitakupahivivyote......”Je,KristoalikataakwambasiyovyaShetaniwala hana uwezo wa kumpa?

2. Jionee katika Waefeso 2:2 kwamba Shetani anaitwa ni“mfalme.” Je, KRISTO AMESHINDA ILI AWE MFALME?Matendo5:31.Je,YohanaalisemaKristoangekuwamtawaladhidiyanani?Ufunuo1:5.

Page 16: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

16 Bible News Prophecy

3. Je, Shetani anatambua wazi kwamba utawala wake juuya dunia hii umekaribia kumalizika? Ufunuo 12:12. Ni liniambapoSHETANIATANG’OLEWAtokakwenyeutawalawakenaKRISTOkuchukuanafasi yakekamaMTAWALA?Ufunuo20:2-4.Je,hilisikwambalinafuatiamapematumarabaadayaushindiwaKristowakwenyeBondelaYehoshafati?

4. Jina jingine la Shetani ni lipi? Waefeso 2:2. Je, amekuwaakiudanganyaulimwenguwote?Ufunuo12:9.PALESHETANIATAKAPOFUNGIWAKWENYESHIMOLISILONAMWISHO,JE,BADOATAKUWANAUWEZOWAKEWAKUPOTOSHAWATU?Ufunuo20:3.

5. Ni WATAWALA WAKUU wa dunia wangapi ambaowatakuwepo baada ya Kristo kuwa ameusimika kiimara utawalawake?Zekaria14:9.

6. Je, MAPEPO—malaika waovu walio wafuasi wa Shetani,wenye mioyo michafu—nao pia watawekwa KIFUNGONI?Zekaria13:2.

---------------------------------------------------------------------

MUHTASARI

KRISTOSHARTIAJE akiwanaUWEZOMKUUNAUTUKUFU. NiLAZIMA ajiingize kwa nguvu za kiungu kwenye maswala yaulimwengu huu! Hakuna kingine mbali na nguvu za kimungukiwezacho kusitisha kasi ya wanadamu kujiangamiza wenyeweinayoikabiliduniahii!Mwanadamuhawezikuizuia!

NiMungupekeendiyemwenyeUWEZOwakumuondoaShetaniambayeamewadanganyawakaziwaduniahiikwakarnehizizote,ambaye amewasababishawaziasi sheria zaMungu pasipowaokujua,auamesababishadhambiionekaneniyakuvutiasanakiasikwambawanadamuwalitekwanayo.NiMUNGUpekeyakendiyeatakayekuwa na uwezo wa kuwashinda madikiteta waovu–wakidini nawa kiulimwengu—ambao sasawanaibuka, na ambao,wakiwa wamevuviwa na Shetani, wanabuni kuiweka duniachiniyautawalaWAOpasipokujaligharamayamaishayawatuyatakayoangamia. NI YEYE PEKEE NDIYE AWEZAYE KUIBADIRIASILIYAMWANADAMU.

NI MUNGU PEKEE NDIYE MWENYE HEKIMA ya kuyatekelezaMAPIGO YA ADHABU KALI ambayo itakuja hivi karibuni. NIYEYEPEKEEndiyemwenyehekimayaKimungu.Yeyepekeyakendiye ajuaye ni nani ndiye anastahili kupita kwenye mapigohayo. Ndiye atakayejua kwa usahihi pale uangamifu wa idadikubwa ya wanadamu kwa gadhabu yake kama imetimia kwakiwango na muda muafaka kiasi kwamba ni wale waliotubupekeeetokamataifayotendiowasaliehapaduniani.KupitiahayaATAANZISHA USTAARABU BORA ZAIDI chini yaMFUMO BORAWASERKALI. YotehayasiMAONGEZIYAPOROJOZAKINDOTOtu yaliyobuniwa na “mhubiri” aliye pagawa.WewemwenyeweUMEMALIZAKUJISOMEATAARIFAHIZIKUTOKAKWENYEBIBLIAyakomwenyewe! SASAUTACHUKUAHATUAGANI KUTOKANANA HAYA?

Si jambo lakushangazakwambahuusasasiyomudaPEKEEwawokovu.Munguanawaambiawatuwataifahili:“Wakatiwangu

uliokubalikanitakujibu,namikatikasikuyawokovunitakusaidia…ilikurudishanchinakugawanyiatenaurithiwaliokuwaukiwa”(Isaya49:8).DUNIAHIVIKARIBUNIITABAKIAKARIBIATUPUshauriya dhambi za mwanadamu zitakazosababishaMungu amiminevitasa vya gadhabu juu yake. BAADA YA HAYA, UTARATIBUMPYAUTAANZISHWA. Ni baada ya haya kwambaNDIPO SASAATAANZAKUWALETAWANADAMUCHINIYAUTAWALAWAKENAKUWAOKOA!

KWELI UPASWAZO KUZIJUA

VITA KALI YA 3 YA ULIMWENGU INAKUJA!

Usitieshaka!—VitaambayohivikaribuniinakujaambayoniVitaya 3 ya Dunia itakomesha vita vyote! Itaamua ni nani ndiyeatautawalaulimwengu.

VitayaDuniaya2inachukuliwailipiganwakwakusudihili,lakinihaikuleta matokeo yaliyotoa uamuzi wa mwisho. Mataifa kwasasa yanazo nguvuna uwezo—kuweza kuangamiza kabisa uhaiwoteutokekatikasayariduniakupitiamabomukamayanyukilia,Hydrogennazanazingine!

Vitaya1yaDuniayamwaka1914pamojanaVitaya2yaDunia—ambayo ilisababisha vifo mara nne zaidi kuliko ile ya kwanza—zilikuwanimanyunyutuyamvua!ZilikuwaniutangulizipekeyakewaUHARIBIFUNAMAANGAMIZIMAKUBWAambavyovitatokeaghafla hivi karibuni kwenyemataifa!Wanaopambania utawalawaulimwenguhawawezikuachatamaazao.HiyondiyosababuMunguanasema:“CHUNGA’!(Luka21:36).

Hili ni agizo toka kwaMungu. Ebubasi na tujifunze taarifa juuya wapambanaji hawa wenye tamaa ambao ama wataitawala duniahiiaukuiharibu.Uhaiwakowenyeweutategemeauelewawako mzuri juu ya hatari kubwa ambayo makundi ya mataifa yanavyojiandaa kutimiza kusudi lao.Unahitaji kuwa na jitihadakatika kujifunza njia ya Mungu ya KUKUEPUSHA iliyofichuliwakupitiamasomoyajayoyaKoziyaKujifunzaBiblia.

Hapa tunakupa dondoo za kustaajabisha pamoja na maoni yanayokufunulia azimakali pamojanawerevuwakiwango chajuuambavyokilammojawahawawadanganyajiwakuuamebunikutekelezailikufikialengolake—kuitawaladunia—hadhiambayokimsinginapekeyakeinamstahiliKristo!

Ujerumani Karibia ITAUSTAAJABISHA Ulimwengu Tena!

Tangia kichwa cha habari hapo juu kilipoandikwa hapo awali,Ujeurmaniimeushangazaulimwengukwakuinukaharakakutokakwenyemaangamizinauharibifu ilioupatakwenyeVitaya2yaDunianasasaimefikiakuwaniuchumimkubwanamuhimuikiwaninchiyenyeuwezomkuuwakiteknolojiakwamaranyingine.

Kwamiakamingi kupitia karnembalimbali,Waashuru/Wasyriaambao ndio mababu wa Ujerumani ya leo, walikuwa wakijiita“Herenvolk”—yaani “KABILA BORA.” Hadi leo bado wangaliwakijiitahivyo.Je,Ujerumaniyaleoimetupiliambaliazimayakeya kuifikia ndoto hii?

Page 17: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 17

Kilichomo ndani ya fikra za Kijerumani kiliwekwa wazi mnamo mwaka 1950. Wakati huo, kulingana na kitabu cha T.H. Tetenkiitwacho:GermanyPlotswith theKremlin (yaani “Mipangoyasiri ya Ujerumani pamoja na Kremlin”), Dr. Adenauer, kiongoziwa Ujerumani kipindi hicho, alisababisha wasiwasi mkuu kwakuwaongoza mkusanyiko wa raia wa Ujerumani waimbe:“DeutschlandUberAlles”—yaani“UJERUMANIJUUYAWENGINEWOTE”—wakiwa mbele ya wawakilishi wa mataifa menginemakubwa ya dunia kipindi hicho. Kwanini wazo hili lilijitokezandani ya moyo wake?

Hapa Tunakupa Dodoso Kadhaa Kuhusu MWELEKEO WA SASA WA UJERUMANI

“Hakuna, kushindwa siyo mwisho. Kushindwa kiujumla nimasomo tu ya kujifunza kwa ajili ya shambulizi lifuatalo ambalo ni kubwa, ‘’ alisema Jenerari wa Ujerumani, Von Stuelpnagelmwaka1944.Zaidiyahayo,piaalisema,‘KatikaVITAVYADUNIAVITAKAVYOFUATA…makosayaleyalehayapaswikurudiwa.ADUIWETUMKUUATAKUWANIMAREKANI,najitihadazetuzoteshartituzielekezedhidiyanchihiitangiamwanzo...kushindwakwetukatika vita ya sasa hakutakiwi kufikiriwa isipokuwa kama tukio tu Katika mwendelezo wa Ujerumani kusongambele kuelekeaKUITEKADUNIA‘’—DeutschlandUberAlles!

Kwa mara mbili zote tayari Ujerumani imejaribu kuuteka utawala wadunia.Namarambilizotehizi,niUingereza,USApamojanawashirikawaondiowameizuia isifanikiwekutimizaazimayake.SafarihiiitahakikishakwambaUSAhaipokabisa!

AdolfHitler alituelezea juu ya hatua inayofuata katikampangowakijeshiuliobuniwakwauangalifumkubwawakuitawaladuniaalipokuwa akihutubia kupitia Mein Kampf. Alieleza kwambaUjerumani sharti KWANZA IZISHINDE NCHI ZA MAGHARIBI iliiwezekuwanamkonohurukwaajiliya“DrangNachaOsten”—gwaridelakuelekeaMashariki—kuiendeaUrusi!Nikwausahihikiasi gani haya yanaenda sambamba na unabii uliopo! HitleralikuwaakiufuatampangohuuhuuwakatiwaVitayaPiliyaDuniahadi pale Urusi ilipositisha kumpa mafuta yaliyokuwa yakimsaidia kuendelezajitihadazakezakivitanandipoakalazimikakumgeukiaakijaribukuitekaUrusiiliajipatiemafutayake.

Ujerumaniimekusudiakuutekaulimwengu.NajinsiilivyomuhimuKWAAJILI YAUSALAMAWAKO kwamba uwe umeelewa swalahili vema,ebuna tuangalie zaidiuthibitishomwingine. EbunatuangaliemipangoyaajabuambayondiyoUjerumaniimeibuniiliiwezekutimizalengolakelakuutawalaulimwengu.

Miongo mingi iliyopita wataalamu wa viwanda wa Ujerumaniwalianzisha chama ambacho waliamua kukiita PAN GERMANLEAGUE. Wimbo wao ulikuwa ni “Deutschland uber alles!”—Ujerumani JuuyaWote.Walitumiaalamayakibiashara:“MadeinGermany’’kamauthibitishowauborawaUjerumani.Nyumayambinu zao za kiuchumi na kibiashara kulikuwanaMKAKATIMKUUnawaKUDUMU–wenyeLENGOLAKUITEKADUNIA!

Ilikuwa ni wao ndio waliomshawishi kwa kiasi kikubwa Kaiser kuingiakwenyeVitaKuuya1yaDunia. Ilikuwapianiwaondiowaliokuwa nyuma ya Vita Kuu ya 2 ya Dunia. Wakishilikiana

na Wataalamu wa Kijeshi wa Ujerumani pamoja na CHAMA CHAMIPANGO YA SIRI kilichoanzishwa na Jenerali Ludendorff,ambaye ndiye alimteua Adolf Hitler awe rais, ndio hawahawawanaviwanda ambaowaligharamiampangowa Chama cha Ki-Nazi,nakwaujumlandiowaliomuinuaHitlernamamlakayake.(TaarifayaSenetaKilgore’skwakamatiyaMaswalayaKijeshiyaMarekani inatakiwa kuzingatiwa hapa). BAADHI WANAAMINIKWAMBA HITLER ALITUMIKA KAMA CHOMBO TU. Alikuwa nikamafilimbiwaliyohitajikatikakuwapigianakuwakusanyaumatiwawatuwaUjerumaniwaunganenao katikampangowaowakiwendawazimuwakuitawaladunia.

Ulimwengu ulimsikia na kumuona Hitler. Lakini wengi wawaliokuwa nyuma yake na waliobuni falsafa zake walibaki wamejifichawasijulikane, IliendapoHitlerhatafauluwakatiwahiyohatuayapiliyaVitaVyaDunia,walikuwawameazimiayeyendiye aibebe lawama mbele ya ulimqwengu, na wao wabakieHURUKUENDELEATENAKUBUNIKWASIRIAWAMUYATATU—VITA vya 3 vya DUNIA! Hivi vita ambavyo vinakuja! Pamojana kwamba viongozi hawa kwa sasa wamekufa, wafuasi waombalimbali na watoto wao wapo na wameachiwa jukumu la kulitekelezalengohilo.

Ilikuwa ni hawa wakuu wa viwanda ambao walikutana kuchukua hatua mnamo katikati ya mwezi Mei, 1943. Walielewa vemakwambatayariHitleralikuwaamepotezavita.Walibainikwambamuda ulikuwa umewadia wa wao kwa mara ingine KUZAMAMAFICHONI—kumwachia lawama zote za Vita ya 2 ya Duniaaibebe yeye Hitler sawa kabisa na walivyokuwa wamefanya kwa kumfanyaKaiseraonekanendiyewakulaumiwakwaVita—ya1ya—Dunia.

Kuanzia wakati huo hadi sasa, wanaviwanda wa Ujerumaniwameishi maisha ya kofiambili. Kwa ulimwengu kwa ujumla,wameonekana kama wafanya biashara wakubwa na mashuhuri tu. LAKINI KISIRI WANAYO MIPANGO MINGINE MIKUBWA!Wajibu wao mkubwa ni kuhakikisha wanavifanya viwanda vya Ujerumaniviwetayarikuzalishasilaha,mabomunarisasi,pamojanateknolojiasahihikwaajiliyavitayatatu.Jukumulaonikutoafedha za kuiwezesha hatua hii ya tatu, ambayo wao wanaiitakwa jina wajuao wenyewe, itimize lengo hili kuu mara wakatiutakapokuwatayari.

HapakunamaoniyajinsiMWANAVIWANDAMKUUmmojakwaMFANO, ambavyo amekuwa akitekeleza sehemu ya jukumulake katika mpango huu. Ni Milionaire tajiri mkuu na mmilikiwa viwanda vingi sehemu nyingi, aitwaye Fritz Thyssen. Hilililifunuliwa kupitia kitabu, “TheNazisGoUnderground”–yaani“Wana-NAZI Wajichimbia chini”, kilichoandikwa na Curt Riess.Wakati wa mwanzo (jionee ujanja na werevu mkuu walionao) wa Vitaya2yaDunia,ThyssenalikimbizwaharakakwenyenchiyaSwitzerlandambayohaikuwanaupandewowowtekwenyehiyovita, ambako huko alitangaza wazi kuwa Hitler alimdanganyaakifadhilichamachaNazi,namaraalipopandakwenyemadaraka,Hitler amemkana na kumgeuka akitaifisha utajiri wake, hukuakimwacha maskini. Wana-Nazi wakajifanya wanamfukuzaThyssentokakwenyechamachao.Thyssenakaandikakitabujuuya “maovu” aliyotendewa nawatu hawa. Lakini baadaye paleNaziwalipoivamiaUfaransa, ambako ndiko Thyssen alikokuwa,

Page 18: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

18 Bible News Prophecy

Wana-Naziambaoilitegemewawangemchukia,walimuachahuruwala bila ya madhara yoyote na mda mfupi baada ya hapo alirudi zake Berlin ambako ndiko makao ya Nazi yalikokuwa, akiishikwaufaharinautajirimkubwa.KELELEzotealizopigailikuwanikuwadanganyamataifa yawashirika iliwaweke imani yao kwaThysseniliendapomajeshiyahawawashirikayakishindaawezekuiwezeshaUjerumanikifedhakwaajiliyaVitaKuuya3.

Leo,shukranikwampangohuuuliobuniwakwakiwangochajuupamojanamingineyaainahii,KrupppamojanawafanyabiashawenginewengimashuhuriwaKijerumaniwamokatikaharakatiza kubuni na kuanzisha viwanda vikubwa ulimwenguni koteili waweze kujipatia fedha za kuendeshea Vita Kuu ya Duniaya 3. Mipango ya Nazi imebuniwa kwa weredi mkuu. (Chakushangaza, baada ya dakika tano za kuipitia makala hii hapojuu,katikamwaka2014,ambayoiliandikwamiakaya1950,Mimi,BobThiel,nilipandandege ilikusafairi (jetairliner)nanikabainikwenyengazi zakekubwa zaautomatiki zikiwa zinajina liitwalo“ThyssenKrupp”!—mamlakayakiviwandaambayoimeendeleakuwepohadileo).

WENGI WA WANA NAZI WALIJICHIMBIA MAFICHONI, MEI 16,1943!—miakamiwilihatakablavitahavijamalizika!MajemedariwaKijerumani,wanasayansi,wanaviwanda,watuwamabenki,nawenginemashuhuritayariwalishatambuamapemakwambaVitaVikuuvya2vyaDuniawalikuwawameshindwa.Hivyowakatihuowalijiandaakwaajiliyabaadaye.Serkaliyakisirikulikozotekatikahistoria ya nyakati zetu ikaanza kufanya kazi—KICHINICHINI!Katikamwaka1951Dr.AdenaueralikirikuwepokwaWana-Naziwa awali wapatao 134, ambao walikuwa wamefanyakazi begakwabeganaHitler,wakiwakatikanyazifazajuuzaserkaliyakehukoBonnUjerumani.

Ni vipi kuhusu nyakati zetu hizi? Ujerumani ndiyo nchi yenye uchumi bora na mkubwa kuliko zote katika Ulaya. InajulikanakotekwambaUjerumanindiyoinayoiendeshaJumuiayaUchumiyaUlaya(EU)/EuropeanUnionkatikamaswalamengi.Zaidi,hataleowatuwaUlayambalimbaliWANAJITAHIDIKWABIDIIkuundasilahazakisasakabisapamojanamiradimingine.Kuanziamradiwa“LargeHadron”na“F.A.I.R.”hadikwenyempangowakuundaainayasatelliteyakisasazaidi iitwayoGalileo“GPS”systemnahataaina ya silaha za kutumiamionzi (Laserweaponry-ELI)piana miradi ya anga za juu iitwayo “European Space Agency”,Umoja wa Uchumi wa Ulaya (EU) unaotawaliwa na Ujerumani umechukuamwelekeowakijeshizaidi.

Siku hizi utasikia zaidi juu ya European Union (EU), ambayoni chanzo cha kuweza kuleta Serkali moja ya Ulaya (UNITEDSTATESOFEUROPE).HililinaendananamnaganinamipangoyaUJerumaniyakuutekaulimwengu?

Dr.AdenaueralibainishakatikahotubayakekwambaUjerumaniilikuwaikichukuliakuundwakwaJumuiayaUchumiyaUlaya(EU)kama hatua ya kwanza katika kufikia kusimikwa kwa Mamlaka Kuu ya Tatu (Third Power bloc). Mnamo 1950 Dr. Adenaueraliandika, “Ulaya iliyounganishwa kama nchi moja itakuwa niMamlakayaTatukatikaUlimwengu”.Baadayealisema,“HakunayeyoteatakayenufaikakutokananakuunganakwaUlayazaidiyaWajerumaniambaowaondiowengi zaidinawalionamipango

mingizaidimiongonimwamataifayaUlayayaliyokonmagharibimwa Urusi (U.S.S. R. {Russia}”. Dr. Adenauer hapa alikuwaakionyesha kwambaUJERUMANI inatamani kuwe na serkali yaUmojawaUlaya(UnitedStatesofEurope)naakafichuakwambayenyewe ndiyo ITAKAYOONGOZA pindi ikianzishwa—katikanyakatizakarneya21,tayaritunajioneakuibukakwamamlakahiiinayosimamiwanaUjerumani.

Tunatambua ni nini ambacho Ujerumani inakusudia. Tunajuajinsi Serkali ya Umoja wa Ulaya (United States of Europe)Itakavyotumiwa na nchi hiyo kujaribu kufikia kuutawala ulimwengu. UNABII unaonyesha wafalme 10—MADIKTETAKUMI—wataibuka katika Ulaya na kuamua kutoa madaraka ya utawalawanchizaokwaUJERUMANI.

Unawezakuwaunajisemeamoyonimwako:“Kwakuwamengiyayaliyotajwahapo juuyaliandikwamiakaya1950,haiwezikuwanaukweli kwaUjerumanikatikanyakati zakarneya21.Wengikwa sasa wanaamini kwamba Ujerumani imekuwa ni mshirika wa kutumainiwawamaswalayaamaniyaduniakwamiongokadhaanahivyohaiwezikudirikikuitawaladuniatena.Unawezakuiaminidhanahiyo,nahataWajerumaniwengipamojanawatuwenginewaUlayawanaaminihivyo,lakinifahamuutakuwaumekosea!

Ebuonaunabiiufuatao:

“5 Ole wa Waashuru, fimbo ya hasira yangu, ambayemkononimwakeikorunguya

ghadhabu yangu! 6Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjuaMungu,ninamtumadhidiyataifalinalonikasirisha,kukamatamateka na kunyakua nyara, pia kuwakanyaga chini kamamatopeyabarabarani.7Lakinihilisiloanalokusudia,hilisiloalilonaloakilini,

kusudi lake ni kuangamiza, kuyakomesha mataifa mengi.8Maana asema, ‘Je, wafalme wote si majemadari wangu?(Isaya10:6-8).

IsayaanazungumziamudaambaomamlakayaKiashuruyakipindichamwishoitatumwadhidiyataifa“nafiki”, lisiloshikamanenoyaMungu. Neno la Kigiriki lililotumiwa kutaja taifa lililo nafikilinaashiriakuwa“lililochafuka,lililoasi”,nahiindiyohalihalisikwamataifayaasiliyaKiisraelihususaniMarekani(USA).KuibukakwasirizilizofichuliwanaSnowdenjuuyaMarekanikuzipelelezanchizingineimeiongezeahasiraUjerumani.

SikwambatuwanaonaMarekaniimekuwawanafikikwao,lakinipia walikasirishwa sana walipotambua kwamba kulingana nataarifa zilizovuja juu ya Taasissi ya Ujasusi yaMarekani (NSA),Ujerumani ilikuwa ni moja ya nchi zilizopelelezwa zaidi na Marekani. Taarifa nyingine yaNSA ilisema kwambanchi pekeeambazo Marekani inazichukulia kama “marafiki wa karibu” (washirika wa kuaminiwa) ambao hawahitajiwi kupelelezwa sana walikuwa ni nchi za Uingereza, Canada, Australia, naNew Zealand—mataifa yenye asili ya Ki-anglo-Saxon-Kiceltic.Ujerumani na wengine wamelibaini hili na watachukua hatuadhidiyahaowajiitao“marafikiwakaribu”hapobaadaye(JioneekatikaDanieli11:39;Zaburi83:-3-8).

Page 19: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 19

Lakini zingatia aya ya 7 ya Isaya 10. Inasema kwamba hiimamlaka ya “Kiashuru” haifikirii wala kudhamiria kwa sasa kuwa itaangamizawengi katikanyakati zamwisho. Lakini,wazohilolikokatikafikrazake,nahistoriayake,namtazamowakejuuyaulimwenguutaifanyaifanyehivyo.

KWANINI?

Kwasababusawanaayaya8inavyoashiria,taifahililinajichukuliakuwalenyewenikabilabora.

Vatican Itajiingiza Katika Maswala

Je, Ujerumani inayo mipango ya kupewa usaidizi toka kwa“Kanisa Kuu” ili limsaidie kufikia kuumiliki ulimwengu? Taarifaijulikanayokama“MadridCircularLetter”,ambayoinaelezeajuuyamawazoyawalewaliokatikautawalawaUjeurmani,inasema:“WatuwaUjeurmani,walioelimishwavemanakuimarishwachiniyamtazamowauongoziwaumojawakitaifa(nationalsocialistleadership), wanatawaliwa na aina mbili za mitazamo mikuu:MtazamowaUborawaKabilalaKijerumani,nalengolaUjerumanilauongoziwaulimwengu...jadiyakidiniiliyomokatikawazolauborawaokulikowengine,ndilolinatoamsukumowakisiasanandilolinalopendelewazaidindaniyaulimwenguwaKikatholiki”.

DHANAYAKIJERUMANIYAKUFAULUKUUTAWALAULIMWENGUINAUFURAHISHA ULIMWENGU WA KIKATHOLIKI KWA KIASIKIKUBWA!Sasaebunatuelewenikwaninihililikohivyo.Litaathirimaishayetu—uhaiwako—zaidisanakulikolabdaunavyodhania!

MnamoFebruari10,1952wakatiwahotubayakePAPAALIONYA:“ULIMWENGU WOTE SHARTI UJENGWE UPYA kutoka kwenyemisingi yake”. Kwa siri Wawakilishi wa Vatican wamekuwawakijengamisingiyaMPANGOambaoUTAUBADIRIUSTAARABUWANCHIZAMAGHARIBI!IlibidiIBUNIWEKWASIRIiliisibainikehadi ifikie muda ambao wote wamechelewa kuuzuia! Vaticaninadai kwamba amani ya dunia inaweza kupatikana tu pale kutakapokuwepo na chombo cha kimataifa KILICHOCHINI YAUKATHOLIKIkilichonaMENOYACHUMAYAKUWEZAKUUVUNJAUPINZANIWOWOTE.

“Chombohiki/Taasisi hii”, alisemaPapaPiuswakatiwahotubayake ya sikukuu ya Christmas ya mwaka 1944, “kitakuwa nauwezo...namamlakamakuunaNGUVUYAKUPONDAPONDA...CHOKOCHOKO”.ElewachombohikiambachoPapainakiwaziakiwe na uwezo, kitakuwa na nguvu za kijeshi za kiasi kikubwakuwezakuzimaupinzaniwaainayoyotekwahatakanisa.Chombohikikinachokujakitakachotawakaulimwenguwotekitakuwahivyobasi ni MUUNGANIKOWA KANISA NA SERKALI ambapo Papa,ambayenabiizote,zaKibiblianazilezaKikatholikizinamuashiriakwamba yeye ndiye atakuwa namna ya papa wa kipinzani na hatimaye kuwa ndiye Mpinga-Kristo wa mwisho, analisukumambelehili(Ufunuo13:11-18).Vaticanhaiwezikulibuniswalahilimoja kwamoja naWarusi, naWamarekani hawanamsukumowowotewatanguasiliwakutamanikuutawalaulimwengukwanamna hiyo. Lakini Wajerumani mbalimbali pamoja na baadhiyamataifamengineyaUlayanimuafakakwamalengohayayaPapa.Ujerumaniinahitajinguvu-kaziyamamilioniyawanadamuambao Vatican inaweza kuwatupa kwake ili kuusaidia uongozi

wakewaKanisabatilinapotofulakipindichamwisho;uwezowajeshilaUjerumanilenyemakalindiounaowezakulifanikishahili!Mambohayapiayanakubaliananaunabiikwakiwangokikubwa:KatikaSomo la3,Kipengele ‘KukusanyikiaHarmagedoni’, somaswalila2.Nasehemuisemayo:‘MatokeoyaUshindiwaKristo’,somaswalila4na5.NYAKATIZINAPITAKWAHARAKA!

Vatican,sawana“nabiibinafsizaKikatholiki”mbalimbaliinaaminikwambaUlayaitainukakwamaranyinginekwaajiliyakuifufuatena kwamara yamwisho, ile ambayo imekuwa ikiitwa “MilkiTakatifuyaRumi”.

Jambo moja zaidi linatakiwa kuangaliwa. Je, UJERUMANIITAENDELEA KUWA KARIBU NA URUSI hadi ifikie kuwezakuziteketezanchi zaUlaya (magharibi)? Jibuni “NDIYO”. Katikaangalau safari sita ama saba ndani ya miaka kama mia mbilina hamsini iliyopita, ambapo Ujerumani imepigana na nchiza Magharibi, ilianza kwanza kufunga mkataba na Urusi iliijihakikishieusalamakutokeaupandewakewaMashariki. Hatasafarihiihaitakuwatofauti.

Matukio ambayo yametajwa hapa ni ya uhakika na yatatokea.Muungano wa kustaajabisha baina ya Jumuia ya Ulayaikiongozwa na Ujerumaniwakiungana na kanisa kuu utatokea!YASOME Magazeti yako ya taarifa za habari—Sikiliza Rediona Television nyakati za taarifa za habari. Soma makala zamagazeti yanayotoa habari za kimataifa. Utajonea mamboyaliyoelezewahapayakijitokezanakuchukuasurataratibu,sikubaada ya siku. Ulimwengu “utashangaa”—na kusimama kwakuduwaa—pale watakapouona muungano huu wa serkali nakanisaukitokea(Ufunuo17:8).Wewehauhitajikusimamakatikamshangao.Kumbuka,Munguanasema:“Kesheni(fuatilienikwatahadhari) na muombe ili muweze kustahiri kuepuka (kupenya na kutoroka)”.IkosababukwaMungukutoaahadikwawatuwakekuwawanatakiwawapenye,watoroke.

Endelea kujisomeamasomo haya kwa bidii yote. Utaongezekakatika neema na elimu ya neno laMungu na unaweza kupataulinziwaMungukatikakupenyanakuyatorokamapiganoyaVitavya3vyaDuniavikali.Lakinipiaunapaswauwekeumakinikatikakufuatiliamatukioyaulimwenguiliukutweukotayari!

Muhimu!

YAWEKEMASOMOHAYAMUHIMUKWENYEJARIDA(FILE),

Hasa Karatasi za kurasa zifuatazo baada ya SOMO la 3.JISOMEEhayamara kwamara. Nimuhimumno kuuwekaukweli huu ndani ya kumbukumbu yako. “Fuatilia kwamakini!”

Page 20: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

20 Bible News Prophecy

je, waKristo wa leo wanapaswa KUishiKa siKUKUU Ya baragUMU?

NaBobThiel

Je,WakristowanapaswakuishikaSikukuuyaKuzipigaBaragumu,ijulikanayokwaWayahudikama“RoshHashanah”?Je,unaelewani lini inapaswa kufanyika? Ni mambo yapi ambayo Wakristo wa leo wanaweza kujifunza kwa kuishika?

Sikukuu ya Baragumu (Rosh Hoshana) hutimia kwenye jioni yatarehe ya kwanza ya mwezi Tishri (mwezi ambao mara nyingihuanza katika mwezi Septemba kwenye kalenda ya Kirumi—itasherehekewakuanziamachweoyajuayatarehe24yamweziSeptembahadimachweo ya Septemba25 katikamwaka2014;na itasherehekewa kwenye jioni ya Septemba 13 hadi jioni yaSeptemba14katikamwaka2015).

WauminikatikaKanisa laMunguwameishikaSikukuuhiyokwamudamrefu.

Kiongozi mmoja wa Kanisa la Mungu, Herbert W. Armstrong,alifundisha:

“23BWANA akamwambiaMusa, 24“WaambieWaisraeli:‘Katikasikuyakwanzayamweziwasabamtakuwanasikuya mapumziko, KUSANYIKO TAKATIFU, ni ukumbusho wakupigwa kwa tarumbeta. 25Msifanye kazi zenu zo zote zakawaida.”(Walawi23:23-25).

Hapa inatolewa kwetu kama kielelezo kwamba tukio lifuatalokatikampangowaMunguwaukombozilenyebaraka,ambapondipoKristoATAKAPOREJEAtenakatikamawingu,kukiwana sauti kuuna sauti yaMalaikaMkuu,pamojanaparapanda/baragumuyaMungu (IWathesalonike4:14-17).Itakuwaniwakatiwa:“parapandayamwishoitakapolia.Kwakuwa parapanda italia, nao wafu watafufuliwa wakiwa namiiliisiyoharibika,nasitutabadilishwa”(IWakorinto15:52).

Sharti Kristo arejee kuja kuwafufua wafu, vinginevyohatutaweza kuupata uzima wa milele, iwapo hakunakufufuliwa: “18Hivyo basi wote waliolala katika Kritowamepotea(wameangamia)”(IWakorintho15:18).

Kristo atajiingiza moja kwa moja kwenye maswala yaulimwengu kuanzia wakati baragumu/parapanda ya sabaitakapopulizwa (Ufunuo 11:15-19). Baragumu ni kielelezochavita.Atarejeakatikawakatiambaokutakuwanavitayaulimwengumzimapalemataifayatakapokuwayamekasirika!Mara tu pale kazi ya kuwakusanya malimbuko (inaainishwa na Pentekoste) itakapokamilika katika kizazi hiki, ndipoKristo atakapoanza kuisimamisha tena madhabahu ya Daudi (Matendo15:16), iliapelekemkonowake tenamaraya pili kujipatia mabaki ya watu wake waliosalia (Isaya 11:11), kuwatafuta na kuwapata kondoo wake waliopoteaambao wahubiri wa makanisa wameshindwa kuwatafuta na kuwaponyakatikanyakatizetuhizi(Ezekieli34:1-14).

Gundua hasa ni lini haya yanatimia: “13Katika sikuile tarumbeta kubwa italia. Wale (Israeli) waliokuwawakiangamia …..watakuja na kumwabudu BWANA katikamlimamtakatifuhukoYerusalemu”.(Isaya27:13).

Ni lini Israeli watakusanywa? Ni wakati wa kupulizwa kwa baragumu/parapanda, wakati wa kuja kwa KristoMara yaPili.KwasababumakanisayameitupiliambalainakuisahauSikukuu ya Baragumu, wengi wanadhani kwamba kurejeakwa baadhi yaWayahudi wachache kwenye Nchi Takatifupamoja na kuundwa kwa taifa la Israeli miongo kadhaailiyopitandikokulikuwakutimizwakwaunabiihuo!

Kujiingiza kwa Kristo kwenye maswala ya ulimwengukutakuwa ndilo tukio litakalofuata katika mpango wakewaukombozi. (Na:ArmstrongHW.Kutokamakala iitwayo:“PaganHolidays-orGod’sHolyDays-Which?”).

SikukuuyaBaragumukwahakika inaelekezakwenyeupulizwajiwa parapanda na Biblia inaonyesha matukio ya aina kadhaayataambatananakupigwakwaparapanadambalimbali.

Agano la Kale

MaandikoyaKiebraniayanaeleza:

2“Sikukuu zilizoamuriwa za BWANA, ambazomtazitangazakuwa makusanyiko matakatifu, hizi ni Sikukuu zangu......24 ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwana mapumziko ya sabato, ukumbusho wa kupigwa kwatarumbeta,nikusanyikotakatifu(Walawi23:2,24).

1 Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa nakusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni sikukwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta. 2Mtatayarisha sadakaya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo BWANAyafahalimmojamchanga,kondoomumemmojanawana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiwe na dosari.3Pamoja na fahali andaeni sadaka ya nafaka sehemu yakumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa namafuta,kondoomume,ungasehemuyakumimbilizaefa,4pamoja

Page 21: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 21

nawana-kondoosabakilammojaaandaliwenasehemuyakumi moja ya efa ya unga. 5Ongeza beberummoja kamasadakayadhambikufanyaupatanishokwaajiliyenu.6Hivininyongezayasadakazakuteketezwayakilamwezinakilasiku pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa BWANA kwamoto,harufuinayopendeza.(Hesabu29:1-6).

4Kisha kulingana na kile kilichoandikwa, wakaiadhimishaSikukuuyaVibandawakitoaidadiyasadakazakuteketezwakama ilivyohitajika kila siku kama ilivyoagizwa. 5Baada yahayo,walitoasadakazakuteketezwazakawaida,sadakazaMwandamo wa Mwezi na dhabihu zote za sikukuu takatifu za BWANA zilizoamuriwa, pamoja na zile sadaka za hiarizilizotolewakwaBWANA.6IngawabadomsingiwahekalulaBWANAulikuwahaujawekwa,watuwalianza kutoa sadakazakuteketezwakwaBWANAkwamototangusikuyakwanzayamweziwasaba(Ezra3:4-6).

(Tambua: Kwa vile sadaka za kuteketezwa za wanyama zilipitakwa kutimia katika Kristo kulingana na Waebreania 10:3-10,sisi Wakristo hatutoi aina hiyo ya sadaka—tunatakiwa tujitoe sisiwenyewekama sadaka iliyohai (Warumi12:1).Hatahivyo,kama desturi ilivyo, siku hiyo tunatoa sadaka yamatoleo yetuya shukrani sawa na alivyofundisha Mtume Paulo kupitia 2Wakorinto9:6-8,pamojanaKumbukumbulaTorati16:16;kamaEzraanavyoiunganishasikuyakwanzayamweziwasabapamojanaSikukuuyaVibandainayofuatia).

Katikanyumbayetu, tumekuwana jadiyamtotomdogokulikowote kwenye familia kupuliza tarumbeta kwenye mwanzo wa SikukuuhiipamojanamudawoteunaofuatawaSikukuuhii.

Mwezi wa saba huitwa “Tishri katika Kiebrania na Sikukuu yaBaragumuhuitwawakatimwinginekatikamaandikoyahistoriazaKiyahudi kama“TshiriMoja”. Ijapokuwakwa sasaWayahudiwanaiita“RoshHoshana”,kiujumlahilohalikuwandilo jina lakelaawali:

“Rosh Hashana, ambayo tafsiri yake ya neno kwa nenoinamaanishaKichwa chaMwaka” {likuwa} “haikuitwaRoshHashanah hadi nyakati za Talmud” (Kramer, Amy J. RoshHashanaOrigins.Copyright©1998-1999EverythingJewish,Inc. http://www.everythingjewish.com/RoshH/RH_origins.htm9/16/04).

(Nyakati za kuanzishwa kwa Talmud (Kitabu cha Kiyahudi chaHistoriayadiniyao)ilikuwakatiyamwaka70-500B.K.).Kwavilemajina ‘kichwa’na ‘mwaka’hayamokatikamaandikoyaAganola Kale yanayoielezea Sikukuu hii, jina linalotumiwa na Kanisala Mungu la kuitaja Sikukuu hii ndilo la Kibiblia tofauti na hili‘RoshHashanah’ laKiyahudiambaloni lahivi karibuni (ambalohaliifafanuiSikukuukiuhalisia).

Haieleweki vema ni lini na ni kwa namna gani WayahudiwaliihusishaSikukuuyaBaragumuna“KitabuchaUzima”,swalaambalowalilifanyakatikanyakatizilizopita.

Kutokana na kujisomea kwangu katika taarifa za Talmud,inaonekana kwamba kwa kuwa viongozi wengi wa Kiyahudi

waliaminikwambaMunguamefundishakuwauumbajiyaonekanakama ulifanyika katika majira ya Kipupwe (Autumn), kinyumenamajira ya Vuli (Spring). Hii inaonekana kuwa imetokana nakuifafanuakwaoayayaMwanzo1:11.Katikaayahii,paleMungualiposema:“Ardhinaitoemimea:micheitoayombegu,miti juuya nchi itoayo matunda yenye mbegu ndani yake, kila mmeakulingananaainazakembalimbali”;waowakaonahiiinawezekanailikuwanikipindichakuelekeamwanzonimwamajirayaKipupwe,maana ni wakati wa majira haya ndipo huwa kuna nyasi za kijani namitihutoamatundakatikaeneo lao.ViongoziwaWayahudiwaliaminikwambaSikukuuyaBaragumuiinaashiriamwanzowauumbaji,nahivyoinawakilishauhai.

Kitabu cha Uzima

Talmud yenyewe inatamka kwamba ukweli wa baragumu tatutofauti zitakazopulizwa zilizoelezewa katika Hesabu 10:1-10,zinawakilishavitabuvitatu,kimojawapokikiwaKitabuchaUzima.

Kiashiliochakwanzachaki-bibliachaKitabuchaUzimayaonekanakuwanikatikaKutoka32:32-34:

“32Lakinisasa,nakusihiwasamehedhambiyao,lakinikamasivyo,basinifutekutokakwenyekitabuulichoandika.’’

33BWANA akamjibu Musa, “Ye yote aliyenitenda dhambindiyenitakayemfutakutokakwenyekitabuchangu.34Sasanenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia,nayemalaikawanguatakutangulia.Pamojanahayo,wakatiutakapofikawamimikuwaadhibu,nitawaadhibukwaajiliyadhambiyao”.

Musaalikuwaanajuakwambayeyealikuwemokatikakilekitabu.Vile vile inaonekana kutokana na aya hizi juu kwambaMunguanazungumziavyote,kitabuchauzimapamojanasikuyahukumu.

Yaonekana kuwa kitabu kilekile kimetajwa tena katika Zaburi69:27-28ambakomawazoyotemawiliyameongelewa:

27Walipize uovu juu ya uovu, usiwaache washiriki katikawokovuwako.

28Wafutwe kutoka kitabu cha uzima na wasiorodheshwepamojanawenyehaki.

Zaidi tena, kitabu kilekile yawezekana kimetamkwa tena katikazaburizinginetatu:

7Ndipo niliposema, ‘‘Mimi hapa, nimekuja, imeandikwakuhusu mimi katika gombo la kitabu. 8Ee Mungu wangu,natamani kufanyamapenzi yako, sheria yako iko ndani yamoyowangu”(Zaburi40:7-8).

8Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangukatika gombo lako, je, haya hayapo katika kumbukumbuzako?(Zaburi56:8).

16Macho yako yaliniona kablamwili wangu haujakamilika.Sikuzanguzoteulizonipangiaziliandikwakatikakitabuchakokablahaijakuwapohatamoja(Zaburi139:16).

Page 22: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

22 Bible News Prophecy

KatikaMalaki3:16inaelezwa:

16NdipowalewaliomchaBWANAwakasemezanawaokwawao, naye BWANA akasikiliza naye akasikia. Kitabu chakumbukumbu kikaandikwa mbele yake kuhusu wale ambao walimchaBWANAnakulitafakariJinalake.

Aya hizi zinaonyesha kwamba wale wanaomcha BWANAwameandikwa kwenye kitabu, lakini wale wasio wenye hakihawamokatikakitabuhicho.

KatikaIsaya27:13imeandikwa:

13Katika siku ile tarumbeta kubwa itapulizwa; WalewaliokuwakaribunakuangamiakatikanchiyaAshuru,naowale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu BWANA katika mlima mtakatifu hukoYerusalemu.

Aya hizi yaonekana zinaashiria juu ya baragumu/parapandayamwisho, ambayondiyo itakayoashiria kurejea kwaKristonakusimikwakwaUfalmewaMungu.

Agano Jipya

Baadhi ya desturi za Kiyahudi kuhusu maana ya Sikukuu yaBaragumuzinafanananakileambachoAganoJipyalinaonekanakufundishakuhusuSikukuuhii.

Pamoja na kujadili juu ya Kitabu cha Uzima kwenye Siku hiyo,desturizaKiyahudizinasemakuhusuRoshHashana:

“RoshHashana...ndiyoSikuyaHukumu...NiSikuyaKupulizwaShofar (tarumbeta za asili za Wayahudi zilizotengenezwakwa pembe za wanyama)...” (The Jewish Holiday of RoshHashanah.HighHolyDaysontheNet.http://www.holidays.net/highholydays/rosh.htmverified9/12/07).

AganoJipyamaranyingilimetajakuhusukupigwakwabaragumu/parapanda.

YesuKristoalifundisha:

30‘‘.....Nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu yamawinguyaangani,katikauwezonautukufumkuu.31Nayeatawatumamalaika zake kwa sauti kuu ya tarumbeta,naowatawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa mbingu hadi mwishomwingine(Mathayo24:30-31).

HililinapatananalilealilolifundishaMtumePaulo:

16Kwamaana Bwanamwenyewe atashuka tokambinguni,akitoa amri kwa sauti kuu pamoja na sauti ya malaika mkuunasautiyatarumbetayaMungu,naowalewaliolalamauti wakiwa wanamwamini Kristo watafufuka kwanza.17Baadayahilosisituliohaibado,tuliosalia,tutanyakuliwapamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani (1Wathesalonike4:16-17).

Hivyo wote Yesu pamoja na Paulo walifundisha kwamba

watakatifuwatakusanywapalebaragumufulaniitakapopulizwa.NakwambakujakwaKristokutaambatananamliowabaragumu.

Baragumuipi?Niparapandayamwisho:

51Sikilizeni, nawaambia siri: Sote hatutalala, lakini sotetutabadilishwa52ghafla,kufumbanakufumbua,parapandayamwishoitakapolia.Kwakuwaparapandaitalia,naowafuwatafufuliwa na miili isiyoharibika, nasi tutabadilishwa (1Wakorintho15:51-52).

Kwa kuwa hii inaongelea juu ya baragumu ya mwisho, basimaandiko ni yamkini hayaungi mkono dhana ya ‘watakatifu/kanisakunyakuliwa’kablayakuanzakwadhikikuu,kinyumenamadhehebumengiyanavyoamini!

Pamoja na kwamba maandishi yake siyo sehemu ya AganoJipya, Polycarp aliyekuwamfuasiwaMtumeYohana alitazamiakutimilizwakwabaragumuhii,sawanaalivyoandika:

Hivyo basi, ukijifunga mkanda wako kiunoni, “mtumikieniBwanakwakutetemeka”naukweli,kamawatuwaliokuachakupotoka kwa wengi pamoja na mazungumzo yasiyo nafaida, na “wanaomwamini yeye aliyemfufua Bwana YesuKristokutokakwawafu,nakumpautukufu”,pamojanakiticha enzi katika mkono wake wa kuume. Kwake yeye vituvyote mbinguni na duniani vimetiishwa. Ni yeye kila rohohumtumikia.AtakujakamaHakimuwawaliohainawaliokufa.DamuyakeMunguataidaikutokakwawalewasiomuaminiYeye. Lakini yeye ambaye alimfufua kutoka mautini,atatufufuanasisipia, iwapotutayafanyamapenziyake,nakuenendakatikaAmrizake,nakupendayalealiyoyapenda!(Polycarp. Waraka kwa Wafilipi, sura ya II. Ante-NiceneFathers,Volume1aseditedbyAlexanderRoberts&JamesDonaldson.AmericanEdition,1885).

Hiibaragumuyamwishoiliyotajwakatika1Wakorintho15,ndiyoparapandayasabailiyotajwakatikaUfunuo11:15:

15Yulemalaikawa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawanasautikubwambinguniiliyosema:‘‘UfalmewaulimwenguumekuwaufalmewaBwanawetunawaKristowake,nayeatatawalamilelenamilele!”

Hivyo, parapanda/baragumu, angalau kiunabii, ni lazima iwemuhimusanakwaWakristo!

Kitabu cha Uzima katika Agano Jipya

Ni majina ya akina nani ndiyo yamo katika Kitabu cha Uzima?

YaWakristopamojanawenginembalimbaliwakutokeaenzizaAganolaKale.

YesuKristoalifundisha:

18Yesuakawaambia,“NilimwonaShetaniakiangukakutokambinguni kama umeme wa radi. 19Tazama nimewapamamlakayakukanyaganyokanang’enajuuyanguvuzotezaadui,walahakunakituchochotekitakachowadhurukwa

Page 23: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 23

namna yo yote. 20Basimsifurahi kwa kuwapepowachafuwanawatii,balifurahinikwakuwamajinayenuyameandikwambinguni”(Luka10:18-20).

Pauloaliandika:

3Naam, nawasihi ninyi pia, wenzi wangu waaminifu,wasaidienihawawanawake,kwasababuwalijitaabishakatikakazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega,wakiwa pamojanaKlementinawatendakaziwenzanguambaomajinayaoyameandikwakatikaKitabuchaUzima(Wafilipi4:3).

22Lakini ninyimmeufikiaMlimawa Sayuni, Yerusalemu yambinguni,mjiwaMungualiyehai.Mmefikapenyekusanyikokubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia, 23kwenye kanisa la wazaliwa wa kwanzawa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni.Mmekuja kwa Mungu, mhukumu wa watu wote, kwenyerohozawenyehakiwaliokamilishwa(Waebrania12:22-23).

Yohanaaliandika:

5Yeye ashindaye atavikwa vazi jeupe kama wao, namisitafuta jina lake kutoka katika Kitabu cha Uzima, balinitalikirijinalakembelezaBabayangunambelezamalaikaWake(Ufunuo3:5).

Hivyo,niwatakatifundiomajinayaoyameandikwakatikaKitabuchaUzima.Nawatakatifuniwaleambaowatafufuliwawakatiwaparapandayamwisho.

Maeneo mengine katika Kitabu cha Ufunuo yanataja kwambawale watakaomsujudu mnyama (Ufunuo 13:1, 8; 17:8), waleambao wanahusika na machukizo (Ufunuo 21:27), pamoja nawale watakaoyapunguza maneno ya Ufunuo (Ufunuo 22:19),HAWATAKUWEMO miongoni mwa wale ambao majina yaoyameandikwakatikaKitabuchaUzima.

Kitabu cha Ufunuo Kinaelezea Juu ya Baragumu Nyingi Zitakazopulizwa

Talmud inafundisha kwambamaeneo kadhaa ya Agano la Kale(Hesabu10:1-10)yahusuyokupulizwakwabaragumukutoaisharapiayanauhusianonaSikukuuyaBaragumu.Kwakuwakunaainatatutofautizabaragumuambazozimetajwakatikasehemuhiyo,wasomi wa Kiyahudi walionelea kwamba baragumu hizo tatutofautizinawakilishavitabuvitatutofautiambavyovitafunguliwakwenyesikuyakwanzayamweziwaTishri.TalmudpiainachukuliakwambaSikukuuyaBaragumuinahusiananawakatiwahukumu.

Cha kushangaza, ni dhahiri kulingana na Kitabu cha Ufunuowa Yohana kwamba baragumu saba zitapulizwa (Ufunuo 8:2),AdhabuitakujakwawaleambaohawakochiniyaulinziwaMungu(Ufunuo9:4),nakishandipohukumuitafuata(Ufunuo11:18).

Hapa jionee taarifa juu ya baragumu sita za kwanza (italikizilizoonyeshwa hapo chini ni maelezo ambayo hayamo katika Biblia,baliyaliongezwanawachambuziwaKitabuchaUfunuo):

8:1Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri (muhuri) ya saba,

pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. 2Naminikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele za Mungu,naowakapewatarumbetasaba.3Malaikamwinginealiyekuwanachetezochadhahabu,akajanakusimamambeleyamadhabahu.Akapewauvumbamwingi ili autoepamojanamaombi yaWatakatifu wote, juu ya ilemadhabahu yadhahabu iliyokombeleyakilekiti chaenzi.4Ulemoshiwauvumbapamojanayalemaombiyawatakatifu,vikapandajuumbelezaMungu,kutokamkononimwahuyomalaika.5Kishayulemalaikaakachukuakilechetezo,akakijazamotokutokakwenye ilemadhabahu, akautupa juu ya dunia. Pakatokeasautizaradi,ngurumo,umemewaradinatetemekolanchi.6Basiwalemalaikasabawaliokuwanaziletarumbetasabawakajiandaakuzipiga.

Baragumu ya Kwanza: Mimea yateketezwa.

7Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, pakatokeamvuayamawenamotouliochanganyikanadamu,vikatupwakwanguvujuuyanchinatheluthiyaduniaikateketea,theluthiyamitiikateketeanamajaniyotemabichiyakateketea.

Baragumu ya Pili: Bahari yaangamizwa.

8Malaikawapiliakaipigatarumbetayakenakitukamamlimamkubwa unaowaka moto kikatupwa baharini. Theluthiya bahari ikawa damu, 9theluthi ya viumbe vyenye uhaiviishivyobaharinivikafanatheluthiyamelizikaharibiwa.

Baragumu ya Tatu: Maji yanaharibiwa.

10Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake na nyotakubwa iliyokuwa ikiwakakama taa, ikaanguka tokaangani,ikaangukiatheluthiyamitonachemchemizamaji.11Nyotahiyoinaitwa“Uchungu(pakanga)”.Theluthiyamajiyakawamachungunawatuwengiwakafakutokananamajihayokwamaanayalikuwamachungu.

Baragumu ya Nne: Anga laangamizwa.

12Kishamalaikawanneakaipigatarumbetayakenatheluthiyajua,theluthiyamwezinatheluthiyanyota,zikapigwa.Kwahiyotheluthimojayamwangaikawagiza.Theluthiyamchanaikawahainamwanganapiatheluthiyausiku.13Nilipokuwatena nikitazama, nikamsikia tai mmoja akipiga kelele kwasautikuuwakatiakirukakatikatiyambingu,akisema,“Ole,Ole,Ole,wawatuwaishioduniani,kwasababuyatarumbetaambazomalaikawenginewatatuwanakaribiakuzipiga.’’

Baragumu ya Tano: Nzige waja kutoka Shimo Lisilo na Mwisho.

9:1Malaikawatanoakaipigatarumbetayake,naminikaonanyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini.Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa shimo lisilo na mwisho.2Alipolifunguahiloshimolisilonamwisho,moshiukapandakutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua naanga vikatiwa giza naulemoshi uliotoka katika hilo shimo

Page 24: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

24 Bible News Prophecy

lisilokuwa na mwisho. 3Ndipo katika ule moshi wakatokanzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kamazilezangewaduniani.4Wakaambiwawasidhurumajaniyanchi,walammeawalamtiwowote,baliwawadhurutuwalewatu ambao hawana alama ya Mungu kwenye vipaji vyanyuso zao. 5Wakaruhusiwa kuwatesa kwamuda wamiezimitano,lakiniwasiwaue.Uchunguwakuumakwaoulikuwakamaulewamtuaumwaponange.6Katikasikuhizowatuwatatafutakifo lakinihawatakiona,watatamanikufa, lakinikifo kitawakimbia. 7Wale nzige walikuwa na umbo kamala farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwavyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwakamazabinadamu.8Walikuwananywelekamazawanawakenamenoyaoyalikuwakamayasimba.9Walikuwana dirii kama za chuma na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za magari mengi ya farasi wanaokimbilia vitani.10Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge.Nguvuyaoyakutesawatukwahuowamiezimitanoilikuwakatikahiyomikiayao.11Walikuwanamalaikakutokakwenyehiloshimolisilonamwishokamamfalmewao,ambayejinalakekwaKiebranianiAbadoninakwaKiyunaniniApolioni.12Oleyakwanzaimepita,badonyinginembilizinakuja.

Baragumu ya Sita: Malaika toka Mto Frati.

13Malaikawa sitaakaipiga tarumbetayake,naminikasikiasauti ikitoka katika zile pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokombele zaMungu. 14Ile sauti ikamwambiayule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “WafunguliewalemalaikawannewaliofungwakwenyeulemtomkubwaEufrati.’’15Basiwalemalaikawannewakafunguliwaambaowalikuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo na siku hiyo na mwezi huo na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu. 16Idadi ya majeshi wapandao farasi ilikuwa200,000,000. 17Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi nawapandafarasikatikamaonoyangu:Wapandafarasiwalivaadiriivifuanizenyerangiyamotonayakutisamawinakiberiti.Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba.Moto,moshinakiberitivilitokavinywanimwao.18Theluthiya wanadamu wakauawa kwa maafa hayo matatu, yaani,huomoto,moshinakiberiti,vilivyotokakwenyevinywavyahaofarasi.19Nguvuzahaofarasizilikuwakatikavinywavyaona kwenyemikia yao, kwa sababumikia yao ilikuwa kamanyoka; yenye vichwa ambayowaliitumia kuwadhuruwatu.20Wanadamuwaliosalia,ambaohawakuuawakatikamaafahayo,badowalikataakutubunakuachakumwabudushetaninavituwalivyotengenezakwamikonoyaowenyewe,yaani,sanamuzadhahabu,zafedha,zashaba,zamawenazamiti,ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea. 21Walahawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi,uasheratiwalawiziwao(Ufunuo8:1-13,9:1-21).

Hivyo kuna baragumu nyingi zitakazopulizwa katika Kitabu chaUfunuo,nandiyomaanaparapandanyingiziliamuliwazipulizwekwenye Sikukuu ya Baragumu (Walawi 23:24)—tunatumainiwengiwatauonauhusianohuo.

Lakini iliyo ya umuhimu mkubwa zaidi, katika swala hili labaragumu zinazohusiana na Sikukuu ya Baragumu, pengine ni

ileyamwisho,BaragumuyaSaba.HapanikileambachoUfunuoinafundisha kuhusiana nayo (kama awali, italiki hazimo katikaBiblia,balizimeongezwanawachambuzi).

Baragumu ya Saba: Ufalme Unatangazwa Rasmi.

15Yulemalaikawa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawanasautikubwambinguniiliyosema:“UfalmewaulimwenguumekuwaufalmewaBwanawetunawaKristowake,nayeatatawala milele na milele” 16Nao wale wazee ishirini nawanne,waliokuwawameketimbelezaMungu,kwenyevitivyaovyaenziwakaangukakifudifudiwakamwabuduMungu,17wakisema, “Tunakushukuru, Bwana Mungu Mwenyezi,uliyeko na uliyekuwako, kwa kuwa umetwaa uwezaWako mkuu na ukaanza kutawala. 18Mataifa walikasirikakwa kuwa wakati wa ghadhabu Yako umewadia. Wakatiumewadia wa kuwahukumu waliokufa na kuwapa thawabu watumishi wako manabii na watakatifu wako pamoja na walewotewanaoliheshimuJinaLako,wakubwakwawadogona kuwaangamiza wale wanaoiangamiza dunia”. 19NdipoHekalulaMungulililokombingunilikafunguliwanasandukulaaganolakelikaonekanahumondani.Kukatokeamiangayaumemewaradi,ngurumo,sautizaradi,tetemekolanchinamvuakubwayamawe(Ufunuo11:15-19).

Ufalme wa Mungu ujao ni ule ambao Yesu Kristo anawatakawafuasi wake wautangaze kwa sasa na kisha ndipo mwishouwadie(Mathayo24:14).

Je, Wakristo wa Enzi za Mwanzo Waliishika Sikukuu ya Baragumu?

Pamoja na kwamba amri ya kuishika Sikukuu ya Baragumuhaikutajwa moja kwa moja katika Agano Jipya, mbali yakufundishajuuyaniniinamaanisha,woteYesupamojanaMtumePaulowaliishika.

Biblia inafundisha kwamba Yesu Kristo aliishika Sheria nawalahakutenda dhambi (Waebrania 4:15), hivyo alizishika SikukuuTakatifu zote za majira ya kipupwe ikiwemo na Sikukuu yaBaragumu.

Pengine ni muhimu kuelewa kwamba Mtume Paulo ni lazimaaliishikaSikukuuyaBaragumuhatabaadayakuongokakwakenakuwaMkristo.

EbujioneebaadhiyamaelezokutokakwaMtumePaulo:

17…..“Ndugu zangu, ingawa sikufanya jambo lo lote dhidiyawatuwetuaudhidiyadesturizababazetu….(Matendo28:17).

4Ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainiamwili. Kama mtu ye yote akidhani anazo sababu zakuutumainia mwili, mimi zaidi. 5Nilitahiriwa siku ya nane,mimi niMwisraeli wa kabila la Benyamini,Mwebrania waWaebrania.Kwahabariyasheria,niFarisayo,6kwahabarizajuhudi,nilikuwanalitesakanisa,kuhusuhakiipatikanayokwasheria,miminilikuwasinahatia(Wafilipi3:4-6).

Page 25: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 25

Kwa kuwaMtume Paulo alisema kwamba alizishika desturi zawatu wake, basi ni dhahiri, alizishika Sikukuu Takatifu zote zamajirayaKipupweikiwemonaSikukuuyaBaragumu.Kamasivyo,asingeweza kujigamba kama alivyobainisha kwenye maelezohayohapojuuyaMatendo28:17walayaWafilipi3:4-6.

WenginehujiulizaendapolabdabaadayanyakatizaakinaMtumePaulo,ikiwaWakristowaliendeleakuishikaSikukuuyaBaragumu.JibuniNDIYO,Wakristowaaminifuwaliendeleakufanyahivyo.Nawalifanya hivyo hata wale waliokuwa kwenye maeneo ya watu wamataifa.

Kwamfano, Polycarp wa Smyrna alizishika Sikukuu Takatifu zamajirayaKipupwe:

“Nitayatoa maelezo kwa mfuatano, hivyo kufikia hadikwenyehistoriayaPolycarpmbarikiwa…HivyopiaalifuatausomajiwaMaaandikoMatakatifu tangia utotowakehadiuzeeni, yeye mwenyewe akiyasoma kanisani na kuwaasawenginenaowafanyehivyo,akiwaelezakwambakuvisomavitabu vya Sheria na vyaManabii ilikuwa ndiyomsingiwakuipokea neema, kuandaa na kunyoosha njia za Bwana,ambayonimioyo, iliyokamavitabuambamoainafulanizaimani na mitazamo potofu ambayo ilikuwa imeandikwa kabla elimu sahihi haijaja, hunyooshwa na kusawazishwa kupitiakulielewanenolaAganolaKale,pamojanatafsirisahihijuuyake,ambapo,paleRohoTakatifuyaMunguinapokujakamakalamu juu ya mioyo hii, neema na shangwe iletwayo nasauti ya Injili pamoja na mafundisho ya kutokufa naya Kristo aliyekombinguniyatawezakuandikwavemandaniyao.NaaliwaambiakwambawasingewezakuipokeachapayamhuriwaMungu itolewayokupitiaubatizonawalawasingewezakudhihirisha utayari wao utokanao na kufanywa wana kupitia tendo hilo, hadi kwanza nta iwe imeyeyushwa nakujazwakwenyenyufawalizokuwanazondaniyao.Hivyopiaalifikiri kwamba mioyo ya waliomsikiliza inapaswa kwanza ilainishwena ikubali kutiwa chapa yaNeno. Kwani alielezakwamba, mioyo ya wale walioingia kwenye imani hivikaribuni ilifunguka sawa namilango iliyokuwa imefungwa;nandivyomanabiiwalivyoamliwanaMungu:“Pigenikelelekwanguvuwalamsiache,inuenisautizenukamabaragumu”.Ni nini mtu awezacho kusema, pale hata yeye ambayealikuwampole kulikowatuwenginewote atokeapo akisihina kuhubiri kwa sauti kuuwakatiwa Sikukuu ya Vibanda?Maanaimeandikwa;Nakatikasikuyamwisho,ilesikukuuyasikukuu,Yesualisimamanakusemakwasautikuuakisema:Mtuyeyoteakionakiu,naajekwanguanywe.(Imenukuliwatokamakalaiitwayo:Pionius,LifeofPolycarp(1889)fromJ.B.Lightfoot,TheApostolicFathers,vol.3.2,pp.488-506).

Hivyo Polycarp, kulingana na maelezo hapo juu, yaonekanaalikuwaakifundishajuuyaSikukuuTakatifuzamajirayaKipupweambazohuanzanaSikukuuyaBaragumu,nahufuatiwanaSikukuuyaVibandanabaadayekumalizianaSikukuuTakatifuyaMwisho.

Vilevile katika Asia Ndoto kunataarifa zilizoandikwa kwamba,hadi kufikia mwishoni mwa karne ya nne, John ChrysostomaliwalaumuwauminiwaKristowaliokuwawakiishikaSikukuuyaBaragumu,imeandikwa:

Sikukuu zaWayahudiwaliowaovunawakuhurumiakaribuzitawadiadhidiyetumojabaadayanyinginenakwamfaatanowa haraka: Sikukuu ya Baragumu, Sikukuu ya Vibanda,SikukuuyaKufunga(Mfungo).Wapowengimiongonimwetuambaohusemawaowanaaminisawanasisi tunavyoamini.Lakini baadhi ya hawawataenda kuzishuhudia sikukuuhizina wengi wataungana na Wayahudi katika kusherehekeaSikukuu hizi ikiwemo pia hata kushiriki katika Mfungowao. Kwa sasa ninatamani kuziondolea mbali desturi hizipotofu kutoka kwenye kanisa …Maana iwapo sikukuu hizi zaWayahudinitukufunabora,basizakwetunizauongo…JeMungu anazichukia sikukuu zao nanyi mnashiriki katikakuzishika?Munguhajasemasikukuuhiiamaile,balikazikataazote. (Imenukuliwa toka hotuba ya John Chrysostom.“Homily I Against the Jews’ (Tuhuma Dhidi ya Wayahudi)I:5;VI:5;VII:2. IlihubiriwahukoAntiokia,SyriakwenyemajirayaKipupweyamwakawa387B.K.;Medieval Sourcebook:Saint John Chrysostom (c.347-407): Eight Homilies Againstthe Jews. Fordham University. http://www.fordham.edu/halsall/source/chrysostom-jews6.html12/10/05).

Mfungu mwovu na usio safi wa Wayahudi sasa tayariumewadiamudawake.Mnafikirinimfungo,walamsishangaekwanini nimeuita kuwa ni mchafu…Lakini sasa mwovuhuwavuta wake zenu wahudhurie Sikukuu ya Baragumunaohuyaelekezamasikio yaokwakuuitikiawitohuu,walahamuwazuii.Mnawaachiawajichanganyekwenyedhihakayawasio-wachaMungu,mnawaruhusuwavutwekuzifuatanjiazaupoto.(MahubiriyaJohnChrysostom.“HomilyIIagainsttheJews”(TuhumaDhidiyaWayahudi)I:1;III:4.YalihubiriwakuleAntioki,Syria;sikuyaJumapili,Septemba5,387B.K.).

Sasa,wakatimengiyamadaiyaJohnChrysostomniyakimakosa,ukweli ni kwamba asingeliweza kutoa hotuba hizo zinazohusukuwalaumu Wakristo waliokuwa wanazishika hizi sikukuu iwapo hakuna aliyekuwa anamkiri Kristo aliyekuwa akiishika Sikukuuya Baragumu pamoja na Sikukuu Takatifu zingine zamajira yaKipupwekatikakipindihikichakarneyanne.

Zaidiyahapo,wauminiwakanisalaRumi,JeromenaEpiphanius,kuelekea muda huohuo, waliandika kwambaWakristo, ambaowao waliwaita kuwa ni wa kundi la “Wanazarayo” walizishika SikukuuTakatifuzamajirayaKipupwe.

Pamoja na hayo, tambua kwamba Wakristo washika Sabatowamaeneo ya nchi ya Transylvania, katikamiaka ya 1500 (nainaaminiwakuwahatabaadayahapo)walizishikaSikukuuTakatifuzamajirayaKipupwekamavileSikukuuyaUpatanishopamojanaSikukuuyaBaragumu(inayoitwaSikukuuyaUkumbushohapochini):

Wasabato hawa walijichukulia kuwa wao ni Watu wa Mataifa walioongoka..Waliendelea kuzishika sikukuu za kibiblia...Sikukuu ya Upatanisho ilikuwa kwao ni siku ya mfungo,ijapokuwa walisisitiza kwamba kitubio kinapatikana zaidi pale mtu anapojiweka katika mazingira ya amani, utulivuna kutafakari zaidi juu ya sheria na maisha yake hata kuliko kufunga. Sikukuu ya Ukumbusho (ambayo kwao ndiyoilikuwaMwakaMpya, ambayo waliisherehekea wakati wa

Page 26: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

26 Bible News Prophecy

majira ya Kipupwe) ilikuwa ndiyo siku ambayo walimshukuru Munguhasakwauumbajiwakewaulimwengu.Hakukutajwalolote juu ya kutahiriwa, hivyo ni dhahirki hawakuwawanafuata tohara (Imenukuliwa tokamakala ya Liechty D.“Sabbatarianism in theSixteenthCentury” (Usabatokatikaenzi za Karne ya Kumi na Sita). Andrews University Press,BerrienSprings(MI),1993,pp.61-62).

Watu waliojitahidi kuwa waaminifu kwa Biblia wamekuwawakiishikaSikukuuyaBaragumukatikanyakatizotezahistorianasisituliokatikaKanisalaContinuingChurchofGodtunaendeleakufanyahivyokatikaenzihizizakarneya21.

Vipengele vya Imani ya Kanisa la Continuing Church of God: Sikukuu ya Baragumu

KatikaVipengelevyaImaniyaKanisaletu,ContinuingChurchofGodinaeleza:

SikukuuyaBaragumuinasaidiakutoapichaya“KupigwakwaBaragumuSaba”kulikofafanuliwakatikakitabuchaUfunuo(Ufunuo 8,9,11:15-18), ikiwemo “Parapanda ya Mwisho”.“Maana parapanda italia, nao wafu watafufuliwa wakiwabilayauharibifu,nasitutabadirishwa”(1Wakorintho15:52).“Maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguniakiambatananamliomkuu,pamojanasautiyamalaikamkuu,naparapandayaMunguBaba.NaowaliokufakatikaKristowatafufuliwakwanza” (1Wathesalonike4:16). Kilamwakawa saba, mwaka mbao ni wa sabato kwa ardhi (kuiachaardhi ipumzike) na kuachilia madeni huanzia kwenye siku hii (Walawi25:1-7;KumbukumbulaTorati15:7-11).

SikukuuyaBaragumuniyamuhimusananainatakiwaichukuliwakwaumakininawalewanaomkiriKristo.

Biblia inafundisha wazi kabisa kwamba Yesu Kristo atarejeaakiambatana na mlio mkuu wa baragumu (Mathayo 24:30-31;1 Wathesalonike 4:16-17), na inaiita baragumu hiyo kuwa ni“parapanda yamwisho” (1Wakorintho 15:51-52).Wale ambaohawazishiki sikukuu takatifu za kibiblia, kwa ufupi hawawezikuzielewavemanabiizakibiblia,nawengiwajiitaowapentekostewameipokea dhana potofu ya “Kunyakuliwa kwa Kanisa” kabla Kristo hajarejea, ambayo kamwe haipo wala haitatokea,kulingananaunabiiwa1Wathesalonike4:16-17;ambapohayahayatatokea hadi parapanda ya mwisho ipulizwe, ambayoWakristoinawabadiribaadayakuwafufuatokakaburini,nandiyoinamletaKristo(1Wakorintho15:51-52).

Biblia inakubalianana fundisho kwambawaleambaokwa sasawameandikwa katika Kitabu cha Uzima watafufuliwa wakati wa mliowaparapandayamwisho(1Wakorintho15:51-52),ambaondiounaoashiriwanaSikukuuyaBaragumu(ambayohutimiakilamweziTishri1unapofika).

Waumini wa Kristo wa enzi za mwanzo wa Kanisa katika maeneo yawatuwamataifa,waliishikaSikukuuyaBaragumu.Wakristowaaminifuwameendeleakufanyahivyohadileo.

Sisi tuliomo katika Kanisa la Continuing Church of God

tumebarikiwakwakuwatunaliaminiAganoJipyanatunazishikaSikukuu Takatifu za kibiblia–hivyo tumeweza kuwa na uelewasahihizaidi(onaMatendo18:26)wampangowakweliwaMungu.

Page 27: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 27

iMani: ni KitU gani? iMani hUonYeshwa jinsi gani?NaBobThiel

Yesu alisema kwamba, pamoja na rehema na hukumu (uamuziwa haki), imani ndiyo iliyokuwa moja ya mambomazito zaidi,muhimuzaidi,katikasheria(Mathayo23:23).

Sikumoja:

5Wanafunzi Wake wakamwambia Bwana, “Tuongezeeimani”(Luka17:5).

Badala ya kuwaelezea namna ya kuiongeza imani yao, Yesualiwafahamishakwambawalikuwanaimanindogotu.

Lakini katika maeneo mengine ya Biblia, Yeye pamoja nawaandishiwenginewalitoamaelezoyakinakuhusuimaninamnaiwezavyo kuongezwa.Makala hii fupi itajadili maswala kadhaaya imani. Kujaribu kujadiri yote itahitajimadandefu sana.Kwamfano,nakalayaKiingerezayaNewKingJamesVersion(NKJV)imelitaja neno “imani” takribanimara 243 katika Agano Jipya,(mara2katikaAganolaKale)naneno“aminifu”mara53katikaAganoJipya(namara32katikaAganolaKale).

Tafsiri ya Biblia ya Imani ni Ipi?

Bibliainatoatafsiriyaimanikamaifuatavyo:

1Basi imani ni kuwa na hakika yamambo yatarajiwayo, niudhahiri wa mambo yasiyoonekana. 2Maana kwa imanibabazetuwakalewalishuhudiwa.3KwaimanitunafahamukwambaulimwenguuliumbwakwanenolaMungu,navituvyotevinavyoonekanaviliumbwakwavituvisivyoonekana.

6LakinipasipoimanihaiwezekanikumpendezaMungu,kwamaana ye yote anayemjia Mungu lazima aamini kwambaYeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwabidii“(Waebrania11:1-3,6).

Je unaamini kwa dhati kwamba Mungu anawapa tuzo wale,ambao amewaita na kuwateua, wale wamtafutao kwa bidii?Ikiwanihivyo,hilo linamatokeoganikatikamaishayako?Nenola Kigiriki ambalomara nyingi limetafsiriwa katika Agano Jipyakama ‘Imani’ ni πíστις, ambalo limetafsiriwa katika Kiingerezakamapistis.KamusiyakiingerezayaBibleSoftinalifafanuakuwalinamaanisha:

πíστιςpistis(pis’-tis)ushawishi,mfanokusadiki;kujithibitishiamoyoni(juuyaukweliwakidini,auukwelijuuyaMunguaujuuyamwalimuwadini),hasahasakuwanamatumaini juuyaKristokwawokovu;kifikra,kuwanauthabitiwakutumainikatikautaalamwakazi;kwakuongezea,nimfumowaukweliwa kidini (Injili) wenyewe: (Biblesoft’s New ExhaustiveStrong’sNumbersandConcordancewithExpandedGreek-HebrewDictionary.Copyright©1994,2003,2006Biblesoft,Inc.andInternationalBibleTranslators,Inc).

Kwa mfumo wa ukweli, angalau mhubiri mmoja wa Kanisa laMungualidhanikwambainahusupiadhanayakazi,nakwavileWakristo nao ni sehemu ya kazi ya Mungu, ni halali kusemakwambaimaninisehemuyakazi.Nanidhahiriinahitajikiwangokikubwacha imaninyakati zingine ilikuwezakuifanyakazi.EbujioneekituambachoWakristowanategemewakukifanya:

3.... mwishindanie imani iliyokabidhiwa watakatifu maramojatu(Yuda3).

YudaanaandikakwaWakristowawekejitihadakatikaimani,waleambaowameitwanakuteuliwa(1Wakorintho1:26-28;Mathayo22:14). Siyo kwamba tu tunatakiwa kuwa na imani, bali pitunatakiwakuiwekeajitihada(Mathayo24:14;28:19-20).NahilondiloambalosisituliowaContinuingChurchofGodtunajitahidikulifanya.

Onyesha Imani kwa Kutenda, Si kwa Kudai Unaamini tu

Pauloaliandika:

7”Kwamaanatwaenendakwaimaniwalasikwakuona“(2Corinthians5:7).

Katikauhalisia,hili linamaanishakwambatunaishikatikanjiayaMunguyamaishahatapaletuwapokatikamajaribunavishawishi,pale mambo yaonekanapo kuwa hayaendi, au pale wenginewajaribupokutulaghai.Paulopiaaliandika:

“Je,tunaibatilishasheriakwaimani?La,hasha!Badalayaketunaithibitishasheria”(Warumi3:31).

Kwakuongezea,Yakoboaliandika:

17Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana namatendo,imekufa.18Lakinimtumwingineatasema,‘‘Weweunayoimani,mimininayomatendo.’’Nionyesheimaniyakopasipo matendo nami nitakuonyesha imani yangu kwamatendo.19UnaaminikwambakunaMungummoja.Vema!Hatamashetaniyanaaminihivyonakutetemeka.

20Je,watakakujua,wewemwanadamuusiyekitu,kwambaimani bila matendo haifai kitu? 21Je, Abrahamu babayetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoamwanawe Isaka madhabahuni? 22Unaona jinsi ambavyoimani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda kazi pamoja,nayoimaniyakeikakamilishwanakilealichotenda.23Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo,‘‘Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwahaki,’’nayeakaitwarafikiwaMungu.24Mnaonayakwambamtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imanipekeyake.25Vivyohivyo,hataRahabu,yulekahaba,hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda alipowapokea wale wapelelezinakuwaambiawaendenjianyingine?26Kamavileambavyomwilipasiporohoumekufa,kadhalikanayoimanipasipomatendoimekufa(Yakobo2:17-26).

Hivyobasi,imaniinaendazaidiyakusadikipekeyake.Imaniiliyohai inahusisha piamatendo ambayoMungu anayakubali. Si tu

Page 28: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

28 Bible News Prophecy

kuishikaSabatoamaSikukuuuyaVibandapaleionekanapokuwakunaugumu,bali piani kwakulipa zaka, kwakuepuka sikukuuzakipaganikamavileChristmas,nakwakuwamwaminifukatikaulimwenguusionauaminifu.Lakinipianikwakuwapendawaleambaohawakupendiwewe(Mathayo5:44-48).

Yesualifundisha:

48KwahiyoiweniwakamilifukamaBabayenuwambingunialivyomkamilifu’’(Mathayo5:48).

Hatuokolewikwamatendo,balikwaimani:

8Kwamaanammeokolewa kwaneema, kwanjia ya imani,walahii si kwamatendoyenumema.Hii ni zawadi kutokakwa Mungu, 9si kwa matendo, mtu awaye yote asijeakajisifu. 10Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu,tulioumbwakatikaKristoYesu, ili tupatekutendamatendomema,ambayoMungualitanguliakuyaandaatupatekuishikatikahayo(Waefeso2:8-10).

Jionee kwamba, Biblia yaonyesha kwambapamojana kwambatunaokolewakwaneema,hatahiyonayonizawadikutokakwaMungu.GunduakwambatuliumbwakatikaKristoYesukwaajiliyamatendomema.

Walioitwa na Kuteuliwa Wanapaswa kuwa Waaminifu

Wakati karibia wote walio kweli kwenye Kanisa la Munguwanaamini kwamba wameitwa na kuteuliwa, wote shartiwatambuekwambawanatakiwapiakuwawaaminifu.PaleYesuatakaporejea,ebujioneeniyupiatakayekuwanaye:

14... Yeyeni BwanawamabwananaMfalmewawafalme;na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, wateule, nawaaaminifu(Ufunuo17:14).

Sisis tulioitwa na kuchaguliwa tunahitaji kubakia waaminifu. SikwambatumtiiMungupekee,balipiatunatakiwatuwenaimanikwambanjiazakendizoborakwetu.

EbujioneemaeneomenginemawilikatikaMaandiko:

18Nayahesabu mateso yetu ya wakati huu kuwa si kitukulinganisha na utukufu utakaodhihirishwa kwetu. 19Kwamaana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwakwawatotowaMungu(Warumi8:18-19).

28NasitunajuayakuwakatikamamboyoteMunguhutendakazipamojanawotewampendao,katikakuwapatiamema,yaani, wale walioitwa kwa kusudi Lake. 29Maana waleMungu aliowajua tangu mwanzo, pia aliwachagua tangumwanzo, wapate kufanana na mfano wa Mwanawe, iliYeyeawemzaliwawakwanzamiongonimwanduguwengi(Warumi8:28-29).

Pale mambo yaendapo mrama, tunahitaji imani tuwezekustahimilihadimwisho.

Imani dhidi ya Hisia

Wengi huidhania hisia kuwa ndiyo imani! Wakati waaminifuwanatakiwa wawe namatumaini kwaMungu, imani siyo hisiaambazohumjaamtukifkranakwamdamfupi.

Sasa,niukwelikwambaiwapoShetanianamsumbuamtu,hatuazamaramojazapaswakuchukuliwa:

7Basi mtiiniMungu.Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.8Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakasenimikonoyenu,ninyiwenyedhambinakuisafishamioyoyenu,ninyiwenyeniambili(Yakobo4:7-8).

5…. “Mungu huwapinga wenye kiburi bali huwapawanyenyekevuneema.”

6Basi, nyenyekeeni chini yamkonowaMunguulio hodari,ili awakweze kwa wakati Wake. 7Mtwikeni Yeye fadhaazenuzotekwamaanahujishughulishasananamamboyenu.8Muwenakiasinakukesha,maanaadui yenu Ibilisi, kamasimba angurumaye huzungukazunguka akitafuta mtu iliapatekummeza.9Mpingenihuyomkiwathabitikatikaimani,mkijua ya kwamba mateso yayo hayo yanawapata nduguzenu pote duniani. 10Nanyimkiisha kuteswa kwa kitambokidogo, Mungu wa neema yote aliyewaita kuingia katikautukufuWakewamilele ndani ya Kristo, Yeyemwenyeweatawatengeneza upya, atawasaidia, atawatia nguvu nakuwathibitisha(1Petro5:5-10).

Na kwa kuchukua hatua hizo za kibiblia ni lazima kutuongezeeimani. Lakinihilo silo lilelile sawananamnaya fikrazahisia zakumfanyamtukwamudaajisikieanayoimani!

Mwenyehaki Ataishi kwa Imani

Wakristowameteuliwailiwawematajirikatikaimani:

5Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu hakuwachagua walewaliomaskinimachoni pa ulimwengu kuwamatajiri katikaimani na kuurithi Ufalme aliowaahidi wale wampendao? (Yakobo2:5).

Biblia, katika maeneo matatu inafundisha kuwa wenyehakiwataishikwaimani.

SehemuyakwanzanikatikaHabakuki2:4:

4“Tazama,amejaamajivuno,anavyovitamanisivyaunyofu.Lakinimwenyehakiataishikwaimaniyake.

Mfananisho baina ya wenye majivuno na wenyehaki unaonyesha kwambawaaminifuhawamokatikakundilawenyemajivuno,balinimiongonimwawema.Wenyemajivunowanajitumainiawaowenyewekwakiwangokikubwa.

Pauloaliandika:

11Basinidhahirikwambahakunamtuyeyoteanayehesabiwahaki mbele za Mungu kwa sheria, kwa maana, “Mwenyehaki ataishi kwa imani”. 12Lakini sheria haitegemei imani,

Page 29: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 29

kinyumechake,“Yeyoteatendayematendoyasheriaataishikwasheria(Wagalatia3:11-12).

Hii aya ya mwisho yaonyesha kwamba ijapokuwa sheria siyo imani,lakinibadomwenyehakianatakiwakuishika.

KatikaWarumi1:17-19,MtumePauloaliandika:

17Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Munguimedhihirishwa, haki ile iliyo kwanjia ya imani hadi imani.Kamailivyoandikwa:‘‘Mwenyehakiataishikwaimani.’’

18Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbingunidhidiyauasiwotenauovuwawanadamuambaohuipingakweli kwa uovu wao, 19kwa maana yote yanayowezakujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababuMungumwenyeweameliwekawazikwao.

KuhusuhakiyaMungu,Zaburi119:172inaeleza:

172Ulimiwangunauimbekuhusunenolako,kwakuwaamrizakozotenizahaki.

Waebrania inaeleza yafuatayo kuhusu baadhi ya wenyehaki waliokuwawaaminifu:

13Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokeazile ahadi, lakiniwaliziona kwambali na kuzishangilia.Naowalikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa namaskani hapa duniani. 14Watu wasemao mambo kamahaya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yaowenyewe.15Kwakwelikamawangekuwawanafikirikuhusunchiwaliyoiacha,wangalipatanafasiyakurudihuko.16Lakinibadala yake wanatamani nchi iliyo bora zaidi, yaani, nchiitokayo mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwaMunguwao,kwakuwaamekwishakuandaamjikwaajiliyao(Waebrania11:13-16).

Hivyowaaminifu,pamojanakuishi kwakufuatanjiayaMunguyamaishahapaduniani,wametiliamkazozaidikwenyetumainila tuzo yao inayokuja baadaye kutoka kwa Mungu. Wanau“tafutakwanzaufalme”(Mathayo6:33).Lakinipiahapadunianiwanazishikaamri:

12Hapa ndipo penye subira na uvumilivu wa watakatifu,yaani,walewanaozishika amri zaMunguna imani ya Yesu(Ufunuo14:12).

Lakini siyokirahisi siku zotekuwa sehemuyawaaminifu.Neno‘subiranauvumilivuwawatakatifu’linaashiriakupitiataabuadhanadhikikubwakatikanyakatizingine.

Kumbuka kwamba Biblia inaihusisha imani na matumaini/matarajio,“imaninikuwanauhakikawamamboyatarajiwayo”.Tumaininiswalaambalotunatakiwatuwenalo:

15Nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata waowenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwawotewenyehaki nawasionahaki. 16KwahiyoninajitahidisikuzotekuwanadhamirisafimbelezaMungunambelezawanadamu(Matendo24:15-16).

Si kwamba tu tumaini linatakiwa lidhihirishwe, imani ni yaumuhimumkubwa.Mtuhuonyeshaimaniyakekwakuishikatikahiyo.Nahiisiyoile‘imaniyaukipofu’.ElewakileambachoBibliainafundisha:

21Thibitishenikilakitu.Yashikeniyaliyomema.22Jiepusheninauovuwakilanamna(1Wathesalonike5:21-22).

Biblia inafundisha kwambamtu anatakiwa athibitishe kwambaMungu yupo na pia ayathibitishe yote anayojifunza kuhusuMungu:

20Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili yaMungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uwezo Wakewa milele na asili Yake ya Uungu, umeonekana waziwaziukitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwenaudhuru.

21Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuzaYeyekamandiyeMunguwalahawakumshukuru,bali fikirazao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza(Warumi1:20-21).

Nidhahiri,tunapaswatutafitipiazaidiyamamboyakimwili:

16Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa njeunachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwasiku. 17Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitamboinatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi kupita kiasi, 18kwa sababu hatuangalii yaleyanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana,kwamaana yale yanayoweza kuonekanani ya kitambo tu,baliyaleyasiyowezakuonekananiyamilele (2Wakorintho4:16-18).

Kwa kuishi kulingana na imani,mtu pia atanufaika kwa kukutaanathibitisha kwamba maelekezo na maamrisho yaliyomo katika neno la Mungu ni ya kweli –Wakristo hawana aina ya imaniiliyo ya kiupofu, itokanayo na hisia tu na yenyemsukumousiowakimantikiyoyote.Imaninikituhalisi—niuhakikawamamboyatarajiwayo(Waebrania11:1).

EbujioneekitukingineambachoMtumePauloalikiandika:

12Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wamileleambao ndio ulioitiwa ulipokiri kule kukiri kuzuri mbele ya mashahidiwengi(1Timotheo6:12).

Walioitwa wanapaswa kuwa na imani na mifano ya wale waliotutangulia itatusaidia. Pale ninaposomabaadhi ya ulaghaikwenye internet unaoelezwa kunihusu, ama iwapo utakutanana baadhi yake, kumbuka kile ambacho Yesu Kristo pamoja naStefanomfiadiniwalichosema:

11Mna heri ninyi watu watakapowashutumu na kuwatesanakunenadhidiyenumabayayaainazotekwauongokwaajili yangu. 12Furahini na kushangilia kwamaana thawabuyenuni kuumbinguni,maanahivyo ndivyowalivyowatesamanabiiwaliokuwepokablayenu(Mathayo5:11-12).

Page 30: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

30 Bible News Prophecy

51“Ninyiwatuwenye shingongumu,wasio tahiriwamioyowalamasikio, daima hamwachi kumpinga RohoMtakatifu,kamawalivyofanyababazetu.52Je,kunanabiiganiambayebaba zetu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki, nanyi sasa mmekuwawasalitiwakenawauaji?(Matendo7:51-52).

Yesu anaeleza kwamba vielelezo vya wale waliotutanguliavinapaswa kutusaidia kuyaelewa yale yanayotutokea leo. NayeStefano alieleza wazi kwamba viongozi wa kidini siku zotehawatawasikilizamanabiiwaMungu.

Imani Huja Kwa Kusikia Neno la Mungu Kupitia Kwa Wale Mungu Aliowatuma Kuhubiri

ImaninifundisholaMungulakimsingi:

1Kwahiyo,tukiachananamafundishoyaleyaawalikuhusuKristona tusongembele ili tufikieutimilifu, si kuweka tenamsingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai naimanikatikaMungu(Waebrania6:1).

Je,imanihutokawapi?

Pauloaliandika:

2Je,mlipokeaRohowaMungukwakushikasheria,aukwakusikiakunakotokananaimani?(Wagalatia3:2).

Paulopiaaliandika:

6Lakiniilehakiitokanayonaimanihusemahivi:…8‘‘Lilenenolikaribunawe,likinywanimwakonamoyonimwako,’’yaani,nililenenolaimanitunalolihubiri.13Kwamaana,“KilamtuatakayeliitiaJinalaBwana,ataokoka.’’14LakiniwatamwitajeYeye ambaye hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini Yeye ambaye hawajamsikia? Tena watamsikiaje bila mtukuwahubiria? 15Nao watahubirije wasipopelekwa? Kamailivyaoandikwa, “Nimizurimnomiguu yahaowanaohubiriInjiliyaamaninakuletahabariyamema!’’16LakinisiwotewaliotiiHabariNjema.KwamaanaIsayaasema,‘‘Bwana,ninanialiyeaminiujumbewetu?’’17Basi,imanichanzochakenikusikianakusikiahujakwaNenolaMungu.18Lakininauliza,Je,waohawakusikia?Naam,wamesikia”,(Warumi10:6,8,13-18).

Kisha alisema kwamba sehemu ya tatizo la Israeli ilikuwa ni kutokuwanautii(Ayaya21).HivyoPauloanasemawazikwambaili watu waweze kuwa na imani, ni lazima kwanza wawasiklizewahubiri ambaoMunguamewatuma.Wahubiri hawani lazimawawewakwelikatikanenolaMungu(Ayaya17).Kwavilekusikiahuja“kwakulisikianenolaMungu”,makalahii,sehemukubwayamahubiri,pamojanataarifazingineambazosisituliokatikakanisalaContinuingChurchofGodtumeziwekambelezinanukurukwakiwangokikubwatokaBiblia,ambayondiyonenolaMungu.

Umuhimu wa kuhubiri na wa neno la Mungu umethibitishwakatika maelekezo yafuatayo kutoka kitabu cha Matendo ya Mitume:

10Usikuuleule,walenduguwalioaminiwakawapelekaPaulona Sila waende zao Beroya. Walipowasili huko wakaendakwenyesinagogilaWayahudi.11HawaWayahudiwaBeroyawalikuwa waungwana zaidi kuliko wale wa Thesalonike,12Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake nawanaumewaKigirikiwatabakalajuu(Matendo17:10-12).

KuyasomaMaandiko kila siku nalo, ni swalamuhimu na lenyemsaadakatikakuiongeza imani.Lakinibaadhihudhanikwambahilopekeyakendilowanalohitajikulifanya!

Mungu Atatukirimia Mahitaji Yetu IWAPO Tutamtanguliza Yeye na Kuwa na Imani

Wengi miongoni mwa wale ambao hawajaitwa ama kuteuliwahuwanawasiwasi juuyamambomengi.Yesualisemakwambawafuasiwakehawapaswikuwanamnahiyo:

24‘‘Hakuna mtu ye yote awezaye kuwatumikia mabwanawawili,kwakuwaamaatamchukiahuyunakumpendayulemwingine, au atashikamana sana na huyu na kumdharauhuyumwingine.NinyihamwezikumtumikiaMungunamali.’’

25‘‘Kwahiyonawaambia,msiwenawasiwasikuhusumaishayenu:mtakulaniniaumtakunywanini,aukuhusumiiliyenu,mtavaanini.Je,maishasizaidiyachakulanamwilizaidiyamavazi? 26Waangalieni ndege wa angani, wao hawapandiwala hawavuni au kuweka ghalani, lakini Baba yenu wambinguni huwalisha hao. Je, ninyi si wa thamani zaidikulikohaondege?27Ninanimiongonimwenuambayekwakujitaabisha kwake aweza kujiongezea hata saamoja zaidikatikamaishayakeaukuongezadhiraamojakwenyekimochake?

28‘‘Nanyikwaninikujitaabishakwaajili yamavazi?Fikirinimauayashambaniyameavyo.Hayafanyikaziwalahayafumi.29Lakini nawaambia, hata mfalme Solomoni katika fahariyakeyotehakuvikwakamamojawapoyahayomaua.30LakiniikiwaMunguanayavikahivimajaniyashambani,ambayoleoyaponakeshoyanatupwamotoni,je,hatawavikaninyivizurizaidi,enyiwaimanihaba?

31Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’Au‘Tutakunywanini?’Au‘Tutavaanini?’32Kwamaanawatuwasiomjua Mungu ndio wanaoshindania hayo, lakini Babayenuwambingunianafahamukwambamnahitajihayoyote.33Lakiniutafuteni kwanzaUfalmewaMungunahaki yakeyotenahayayotemtaongezewa.34Kwahiyomsiwenawasiwasikuhusukesho,kwasababukeshoitajitaabikiayenyewe.Yatoshakwasikumasumbufuyake’’(Mathayo6:24-34).

Je wewe unayo imani katika ahadi za Mungu? Yesu alisemakwambawalikuwepowalewaliokuwanaimanindogo(haba),je,nawe unataka uchukuliwe na Yesu kuwa uko sawa na hao?

Maoni juu ya Imani

Kuongezakiwangochaimaniniswalalinalohitajimudawauhaiwetu wote. Wakati mwingine huonekana kama jambo gumu

Page 31: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 31

sana. Vipo vipengele vyake vingi sana, kiasi kwamba haviwezikukamilishwa kwa makala fupi tu. Lakini kutokana na BibliatunaonakwambawalewalioitwanaMunguwalikuwana imanina waliishi kwa imani. Tumeona kwamba imani ni uhakika wamambo yatarajiwayo. Kwamba imani huja kwa kulisikia nenola Mungu kupitia kwa wahubiri ambao Mungu amewatuma.Tumeona kwamba wenye haki waliyachunguza Maandiko iliwawe na uhakika kwamba wanaowahubiri kweli wametumwa na Mungu. Kwamba wenyehaki walikuwa watiifu, kwambahawakuachakukusanyikanawenzao,kwambawalifundishananakutianamoyo,kwambawalisali,napiakwambawalifunga(somaMathayo17:20-21).

Imanini zawadi (karama) kutoka kwaMungu (Waefeso2:8)nani kipengele muhimu cha sheria (Mathayo 23:23). Wenyehakiwanategemewa waishi kwa imani (Habakuki 2:4; Warumi1:17; Wagalatia 3:11). Biblia inaonyesha kwamba wenyehakiwameidhihirisha imani yao kwa kuzishika amri na pia kwa kufanya yale ambayo Mungu anayataka wayafanye, hata ingawa badowalikuwawakiishikatikaulimwenguusiomfuataMungu.

KwakumwaminiMungunakuyafanyamamboyotehaya, Imaniyawezakuongezeka.TafadhalijaribukujitahidiuwemtuambayekwelianayoimaniKristoarudipo.

This booklet and others are available online atwww.ccog.org/booklets

Katika kijitabu kiitwacho: “Imani ni Nini”, kilichoandikwa naBwanaHerbertW.Armstrongkimejadiriyafuatayo:

Kwanini watU hUpUngUKiwa iManiNasasa,kwaufupitu,NiKWANINIhatunaIMANI,natutawezajekuipata, na itawezaje kuongezeka? Wengi sana husema,“Haielekei–Sijisikii,sijashawishika–kwambanitalipatajibu.”

Wanatakawasubiri hadi palewatakapopataUSHAWISHI fulani,hali fulani ya KUJISIKIA, namna fulani ya uthibitisho ambayowanaweza KUIHISI–kabla kwanza hawajaamini kwamba kweliwatalipatajibu.

LakiniHIYOsiyoimani!HiyoniHISIA!

Kujisikiakwako,ushawishiunaosubirikuwanao,msisimkowako,kwa dhahiri hauna hata sehemu moja ama nyingine katikakuhusiana na IMANI. IMANI INAHUSIKA NA NENO LAMUNGUPEKEYAKE!Swalimojaunalohitajini, Je,MunguameliahidihilokatikaBiblia?Iwapoameahidi,basiyamkini,uwezekano,kujisikia,ushawishi,hisia,vyotehivihavinauhusianowowotenaswalahilo.Munguanazozaidiyamaelfuyanjiaambazosisihatuzijui,paleanapohitajikujibuamakutupatiachochoteambachoametuahidi.Hatuhitaji tufahamu jinsi atakavyotekeleza ahadi hizo. Nahilo ni jambo jingine—ambalo kwa uhakika hatalitenda kwaNAMNA ambayo sisi tunaitarajia. Hivyo usijisumbue kutafakariuwezekanoambaoMunguatalifanyahilo.UmewekatumainilakokwaMUNGUMWENYEUWEZOWAAJABU!BasiUAMINIuwezohuo.Munguhutendakazikatikanjiazisizojulikanananimtenda

Page 32: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

32 Bible News Prophecy

miujiza. Kile ambacho amekiahidi, atakitekeleza; lakini elewaatakitenda kwa njia YAKE mwenyewe, na kwaWAKATI WAKE.MwachieyotehayoYEYEnaweweWEKA IMANI tu. LitumainieNenolake.

Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu

Na ni sharti tukumbuke, IMANI ni ZAWADI (Karama) KUTOKAKWAMUNGU.

Hivyo wengi hudhani kwamba kilakitu kingine chochotekinachotokakwaMungunizawadiyake,lakiniIMANIinayohitajikakuvipokea vitu hivi ni kitu ambacho sisi wenyewe lazima kwa namnafulanituitafute,tuwenayo,amatujitahidikuipata.LakinitunatakiwatustarehetunaKUMTUMAINIAMUNGU,hatakatikaIMANI ambayo ndiyo hutuwezesha kupokea vingine vyote!(Waefeso2:8).

Katika Ufunuo 14:12 tunakuta ufafanuzi wa Kanisa la kweli laKIPINDICHETU.WalewaliomokatikaKanisahiliwanayoIMANIYAYESU.Jionee,niIMANIYAYESU!SiyotuimaniyetusisiwenyewekatikaYEYE,bali ni imani yakeyeyemwenyewe—yaanini ileileimani ambayo yeye ndiyo aliyoitumia kutenda miujiza yake—iwemondaniyetunaitendekazindaniyetu!

Ni kwa jinsi gani utaweza kuipata? Mkaribie Mungu. Jitahidiumjue.SalimishanjiazakozotekwakeYEYE,nauyatendemapenziyake. Na kisha SALI. UNAFIKIA kumjua yeye kila uwapo katikaKUSALI. Tumejiweka karibu mno na vitu vya kimwili. KupitiaMAOMBI,maombiyamarakwamara,unafikiakuwakaribunaMUNGUpamojanamamboyakiroho.Nanihaliyafurahanayashangwekiasigani,paleutakapokuwaumeifanyakiukweli!

Imani ni zawadi ya Mungu (Waefeso 2:8), lakini ni zawadiambayoWakristowakweliwanawezakuistawisha. Siyokupitiakujiskiakihisia,balikupitiakatikakuishisawanaYesumwenyewealivyoishi na kwa kumtumainia Mungu kuwa atahakikishatunavukamajaribunadhiki.Hisiazawezakukupotosha,imaniniyaukweli.

hatUa Ya Mwisho Ya Kazi: KUiFiKia aFrica

Africa Conference, Nairobi, Kenya

NaBobThiel

KanisalaContinuingChurchofGodlinapaswalielekeewapi?

Yesualifundisha:

“18....Nimepewamamlakayotembinguninaduniani.19Kwasababuhii,enendeniulimwengunimkawafanyemataifayotekuwawanafunzi,mkiwabatizakwaJinalaBabanalaMwanana la Roho Mtakatifu, 20nanyi wafundisheni kuyashikamamboyoteniliyowaamuruninyi.HakikaMiminikopamojananyisikuzote,hadimwishowanyakati”(Mathayo28:18-20).

Vilevilealifundisha:

14Injili hii ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni pote, kuwaushuhudakwamataifayote.Ndipoulemwishoutakapokuja(Mathayo24:14).

Hivyo,hayayanahusikajenaAfrica?

Kiujumla yanahusika sana kwani hiyo ni mojawapo ya maeneo ambakoYesuanaowafuasiwengi.TofautinamaeneokamavileUlayanaAmerikayakaskazini,mawasilianoyainternetyapokwakiwango hafifu katika Africa, hivyo kuitekeleza vemaMathayo24:14 pamoja na Mathayo 28:19-20, mkutano wa viongozi waKanisalaMungukutokaAfricayaMasharikiulifanyika,baadayakuwanimetuakwamudahukoUingereza.

NilifanikiwakumbatizamtummojakutokaMsumbijikuleLondonkwenye siku ya Ijumaa (Machi 29, 2014) na baadaye kufanyaibadayaSabatokwamarayakwanzakwaKanisa laContinuingChurchofGod(CCOG)katikaUingerezakwenyesikuyaJumamosi.AsubuhiyasikuyaJumapilinilisafirikwandegekutokauwanjawandegewaLondonhadiNairobi,Kenya.

UsikuwaJumapili,MwakilishiwetuwaKanda,MchungajiEvansOchieng,akiwanamkewakeRose(ambayenishemasi)walikujakunilaki kwenye uwanja wa ndege wa Nairobi. Tuliingia jijiniNairobipamoja.

MkutanowaViongozikatikaNairobi

Page 33: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 33

Siku ya Jumatatu, Mchungaji Evans Ochieng pamoja na mimitulikutana kujadiri juu ya maswala mbalimbali yanayohusu kazi ya MungukatikaKenyanaAfricaMasharikikwaujumla.Mwakilishiwa Kampuni ya Uchapishaji ya Nairobi alikuja kukutana nasi na tukajadiri kuhusu uwezekano wa kuchapisha baadhi ya mahitaji yetuyavijitabunamagazetinatukajadirianajuuyagharamakwakazihiyo.

Baadayesikuhiyo,viongoziwakanisakutokasehemumbalimbaliza Kenya walianza kuwasili jioni ya siku hiyo ya Jumatatu, natulikutananabaadhiyaomudahuo.KeshoyakeambayoilikuwaniJumanne,watuwawiliwaliungananasikutokaTanzania.

Ijapokuwa wengi wa viongozi hawa walikuwa tayariwameshakuwanamahusianonaKanisalaContinuingChurchofGod, hakuna hatammoja wao ambaye alikuwa ameshakutananamimikablayamkutanohuu.ViongozikutokakwenyevikundivyenyemahusianonaContinuingChurchofGodnaopiawalikuwawamealikwanawalihudhuria.

Mkutano ulifanyikia kwenye ukumbi wa Hotel Karibu,Nairobi, Kenya. Karibu ni neno la Kiswahili lenye maana ya“unakaribishwa”,natuliwakaribishaviongozimbalimbalikutokamaeneo mbalimbali ya Kenya na pia kutoka Tanzania. Karibiawote waliohudhuria walilazimika kusafiri kutoka mbali kwa bus ilikuhudhuria.

Wazee,mashemasi,mashemasiwakike,pamojanawaleambaowamejitoanyumbazaokufanyiaibadakwavikundividogowotewalihudhuria mkutano huo. Kulikuwa na jumla ya viongozi 34waliohudhuria. Viongozi hawa ni wawakilishi wa watu zaidi ya400wakwenyemikusanyikoyaibadambalimbali,ambayosiyotenisehemuyaKanisalaContinuingChurchofGod.

KatikaKenya,kulingananamanenoyaYesuya“muwafundishekuyashika yote niliyowaamuru ninyi”, mada nyingi mbalimbalizilijadiriwa kuanzia kutoa maelezo juu ya umuhimu wa upendo kwakanisa,kuelezeahistoriayaKanisalaMungu,juuyaUunguulivyohadijuuyatarehenawakatiwakuishikaPasaka;napiajuuyamaswalayandoanataraka,juuyaubatizonajuuyaZakahadijuuyaunabiina juuyakipindi chamwishochakaziyaMungu.KatikaKenyakunamahitajimengiyahaliyakimaisha,ambayopiatunajaribukuyatatuabaadhiyake.

Mkutano huu ulifanyika siku ya Jumanne pamoja na siku yaJumatano, ambapo siku ya mwisho ya mkutano majadirianoyaliendeleahadikaribiausikuwamanane.Kwaujumla,mkutanowenyeweulifanikiwasana.

Wengi waliondoka siku ya Alhamisi asubuhi kusafiri tena kwabasi kwamasaamengi (wenginehadi kufikiamasaa10) kurudinyumbanikwao.Wenginewalisaliakwamudazaidi,nanilijikutaninakuwanavikaonaosikunzimahadijioni.Kutokananamaswalayandegepamojanadharurazakuharibikakwake,ilinibidinipandendegetanotofauti,magarimanne,nanisafirikwajumlayamasaa50kwendanakurudinyumbani,kwakadiriilivyowezekana.

Watendakazi kwa ajili ya Mavuno

Ndugu zangu, mara kwa mara nimekuwa nikiwasihi mfuate

maonyoyaYesuya:

38mwombeniBwanawamavuno, iliapelekewatendakazikatikashambalakelamavuno(Mathayo9:38).

Vema,katikamkutanohuuwaNairobi,nilikutananawatendakaziwengiwasasanawalewatakaofaakwamavunohapobaadaye.Mkutano ulitoa fursa ya ziada ya mafunzo kwao ili waweze kusaidiakaziyaMungu.

Viongozi ambao hapomwanzo walikuwa sehemu yamakanisaya GCG, LCG, WCG, COGaIC, COGIT, COGTE, CG7, SDA, na/ama VWCG, bali sasa wamekuwa sehemu ya CCOG nao piawalihudhuria.Hiikwangundiyoilikuwasafariyakwanzaambayonimeweza kukutana ana kwa ana nao (baadhi yao wamekuwa na mawasilianoyaemailnamikabla).

Kuhusu wale viongozi waliokuwa wageni kwa Kanisa la CCOG,baadayamkutano,baadhiyaowaliombawawesehemuyaCCOG.MchungajiEvansna/amamimi,tulijadirinaojuuyakutofautianakatika uongozi, uelewa wa unabii, pamoja na kazi ya Mungubaina ya CCOG na makundi mengine. Na tuliwahimiza wotewaliokuwa wamevutiwa, waisome na kuielewa vema makalayetuyaVipengelevyaImani,ambayotunatarajiakuitafsirikatikaangalaulughambilizaidizaKiafrica—KiluonaEkegusii(ambachopiahuitwaKikisii).MakalayetuyaVipengelevyaImanikwasasainapatikana katika lugha zaKiingereza, Kiswahili, Kihispania, naKitagalog(lughayaKifilipino).

KwasababuyaMkutano,kuwatembeleandugukihuduma,imaniyetu,pamojanamachapisho;walewalionamahusianonaCCOGwameongezeka. CCOG kwa sasa inayo makusanyiko 30 auzaidikatikaAfricayaMashariki.Tunaozaidiyawatu500wenyemahusianonaCCOGkatikaKenya,Tanzania,pamojanaUganda.

ViongoziwaCCOGkwenyemkutanowalionyeshakuthaminikwakiwangokikubwauwingiwamafundisho,historiayakanisa,madazakiunabiinazingineambazozilizungumziwa.UelewawaojuuyamaswalambalimbaliyahusuyoCCOGpamojanahatuayamwishoyaKaziulikuwaniwakuvutia.WengikatikaAfricawanaonekanakuwanaumakinizaidikatikamamboyakiimanikulikowenginewasehemuzinginenatumainilangunamaombiyangunikwambawalewalionjeyaAfricawafananenao,wayachunguzemaandikoili kujionea ikiwa kile tunachokifundisha ndivyo kilivyo (soma Matendo17:10-11),nawawezekuwanakiu sahihi ya kuisaidiahatua ya mwisho ya kazi. Wengine pia walibainisha kwambanamna fulani ya ujasiri katika kuitangaza Injili kunahitajika,kitu ambacho wengi hawakukiona katika makundi mengine yaMakanisa yaMungu, bali waliuona katika Kanisa la ContinuingChurchofGod.

EvansOchiengalibainishakwambaumojabainayamakanisayaMungu pamoja na ule wamafundisho, wa kihistoria na katikahabari za unabii ulikuwa umerejeshwa katika Africa kupitia CCOG. Mimi binafsi nilihamasishwa nilipoona jinsi wengi waowalivyobainisha kuwawameyasomamachapisho ya CCOG kwakiwangokikubwanandiyosababuwalikuwawamefikiakuamuakwambaCCOGyawezakuwandiyoinayoongozahatuayamwishoyaKaziyaMungu.

Page 34: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 34

Mipango kwa Ajili ya Kazi katika Africa

Katikasafariyanguhii,nilichukuakiasikikubwachaBibliakamailivyowezekana,MagazetiyaHabarizaUnabiiwaBiblia,pamojana kijitabu kipya kihusuchohistoria ya kanisa, ili nitumie vemauzitounaoruhusiwakatikandegekwamizigoyakilamsafiri,kuletamasomo Kenya,. Nilibeba kiasi kikubwa hadi kwamba sandukulangulaonekanakuwalimechanikakutokananauzitowake.Kwamakusudi, nilchukua aina ya sanduku jepesi ili niweze kubebakiasi kikubwa zaidi cha masomo na vijitabu ili kuwapelekea.Kijitabu kipya cha historia ya kanisa kilikuwa ni hamasa kuu kwenyemkutanohuo.

HalikadharikanilimleteaMchungajiEvansOchienglaptopmpyapamojanamabangomawili ya kuonyeshaSikukuuyaKanisa laCCOGambayoyanawezakutumikawakatiwaSikukuuyaVibandainayokuja. Kwa kuwana computer kutaweza kumsaidia awezekusimamia vema maswala mbalimbali ya kazi katika Africa,ikiwemokuchapishamafundishonamawasiliano.

Kutokananamahitajimakubwakwaeneohili, vilevile tulitumaidadikubwayaBiblia,vitabuvyanyimbo,vijitabujuuyaunabii,vitabu, magazeti, pamoja na vijitabu vya historia ya kanisa,ambavyovitawasilibaadayamkutano;kwaMchungajiOchiengnakwawenginekatikaAfrica. Kunaumasikinimkubwakatikaeneo hili la ulimwengu, nawengi hawamudu kujinunulia Bibliawenyewe au hata uwezo wa kuwa na Maandiko kupitia vyombo vyaKielectroniki kamacomputer, kiasi kwamba sisi kuwatumiaBiblianamachapishomenginekutasaidiakulipunguza.

Washiriki wetu huko wanakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwawananduguwaonakutokakwajamiipalewanapoachananaimanizaozaawalinakuukubaliukweliwaBiblianakuishikamaWakristowakweli.Utayariwaowakukubalikutesekanakujitoakwa ajili ya ukweli na kwa ajili ya kazi kunapaswa kuwe ni mfano wa kuigwa nawotewanaoamini kwambawao niWakristowasehemuyaWanafiladefiawakipindichamwisho(Ufunuo3:7-13).

GeorgeLemi,kiongoziwakundilaCCOGkatikaTanzania,ambayepiandiyemtafasiriwetumkuuwamasomokwaKiswahili,yeyenaye aliweza kuhudhuria mkutano huu katika Nairobi, Kenya.Tulijadiriananaye juuyamipangominginekuwezeshakuipanuakaziyaCCOGnawauminikatikaTanzania.TulijadirianapiajinsiyakufanyahivyohukoUgandanakwingineko.Mimipiaalikuwaupendeleo kubatiza mtu kutoka Tanzania (Paulo Makinda)JumatanowaliokujapamojanaGeorgeLemi.

Kwenyemkutanonilibainikwambawengiwaviongoziwalikuwawakizungumza lugha mbili au tatu (Kwa kawaida Kiingereza,Kiswahili,na/amalughayaoyakikabila).

KaribiawotekatikaKenyawanaongeavemalughayaKiingereza.Wengi pia wa Kenya na Tanzania wanaongea Kiswahili kwaufasaha.Lakini,katikamaeneohayo,napiakatikaUganda,wengiwanapendelea zaidi kuzungumza lugha zao za kikabila. KwakuwawengimiongonimwawauminiwaCCOGkatika eneohiliwanapendelea zaidi kuzungumza lugha ya Kiluo, nilipendekezakwa viongozi kwamba tuanze kuyatafasiri mafiundisho namachapishokamavileVipengelevyaImaniyaKanisalaContinuing

ChurchofGod,amakijitabuchetuchaHistoriainayoendeleayaKanisalaMungukatikalughayaKiluo,nahatimayehatanagazetiletulaHabarizaUnabiiwaBiblia.

Kwasasatunachapishagazeti letu laHabarizaUnabiiwaBibliakatika lugha za Kiingereza, Kiswahili, Kichina cha ki-Mandarin,Tagalog, na pia kwa Kihispania. Ijapokuwa kitabu chetu chanyimbo, The Bible Hymnal, mwanzoni kilikuwa kinapatikanakatika lughayaKiingerezapekee,kablayamkutanowaNairobitulikuwa tumeanza kazi ya kuandaa kukichapisha kwa lughaya Kiswahili pia, na tunatarajia hili litakuwa limefanyika kufikiawakatiunalisomagazetihili.KitabuchanyimbokatikalughayaKiluonimradiambaotayarikwasasaukombioni,natunatarajiapenginekitakuwatayarikablayaSikukuuyaVibandayamwaka2014.

Wakatiwakikaohicho,niliainishamipangoyakuifikiaAfricakwamahubiri.Hiinipamojanakupitiaupyanakuangaliajinsitovutizetu kwa sasa, huduma yamahubiri, pamoja namahojiano yakwenyeradioyanalifikiajeeneohililaulimwengu.Pianilibainishamipango yetu kwa ajili ya Africa hususani kuwa na tovutimaalum, inayotarajiwa kubeba machapisho yetu kwa njia yamtandaokatikaangalaulughatatu,hukutukitarajialughazinginekuongezekahapobaadaye.Nilibainishakwambani lazimatuwenataarifasahihijuuyapalemakusanyikoyalipo,mawasilianoyaemailyakilakiongozi,nahatapichazakilaukumbiamasehemuambapo kusanyiko hukutanikia ili iwe rahisi kwa wale ambao wanakusudia kujumuika na makundi yetu ya CCOG wawezekufanyahivyokwaurahisi.

Viongozi kutoka Kenya na Tanzania walitoa ushirikiano mzurikuhusumipango yetu hii na walionekana kuifurahia na kutiwamoyokwambaCCOGilikuwananiayadhatijuuyaAfricakatikakaziyaMungu.

Mlango Ulio katika Harakati za Kufunguliwa Zaidi

Ijapokuwa kwa wakati huu, yaonekana ni wachache tu katikaKenya na Tanzania ambao wanayo fursa ya mawasiliano yainternet bila ya kuhitaji kwenda kwenye kibanda kitoacho huduma hiyo (ambapo ni wachachewanaweza kumudu gharama zake),nilibainikwambakaribiawotewalikuwanasimuzamkononi.

Pale simu za kisasa (smart phones) zitakaposhamiri katikaeneohili (sikuona yeyotealiyekuwanayowakatiwaMkutano),itatuwezesha tuweze kuwafikia wengi, wengi kuliko ambavyotumewezakwakutumiainternet.Mipangoyetuyatovutipamojana makusanyiko inatakiwa iwe tayari kufikia wakati ambapo wengikatikaAfricaMasharikiwatakapofikiakuwanauwezowakuzifikia.“Mlango”umewekwawazikwawanafiladelfia(Ufunuo3:7-8)wawezekuihubiriInjili(somaMatendo14:28;1Wakorintho16:9;2Wakorintho2:12)yaufalme(Mathayo24:14)naunazidikufunguliwa zaidi kwa ajili yetu, na tunatarajia tuutumiekuwafikiawengizaidi.Tafadhali,muombeMunguaufunguewazizaidimlangohuukwaajiliyetu(somaWakolosai4:3).

Mambomeni yahatua yamwishoya kazi kwa sasa yanasongambelekimyakimya,nasawanahaliilivyokuleKenya,jiweketayaripale muda utakapokuwa muafaka kwa wengine nao kuusikia

Page 35: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe

July - September 2014 35

ujumbewaUfalmewaMungu.

Africa kwa namna fulani inatekeleza jukumu la kuwa kama “eneo la kuthibitishia” kwamba jinsi kazi hii inavyotekelezwa ndiyo njia ambayoYesuKristoanavyotakatuifanye.SisituliokatikaCCOGpia tunategemea kuongoza katika kutimiza lile ambalo Bibliainaliitakuwani“kazifupi”(yaharaka)katikaWarumi9:28nanihatuanyingizinachukuliwakulingananaswalahilopia.

Kwakuongezea,kulingananamtazamowakimwili,yapomahitajimakubwa katika Africa na siku zote tunajaribu kutafakari ni jinsi gani bora tutaweza kuyatatua mahigtaji ya ndugu zetu hawa,ikiwemowajanenayatima,waliokohuko.

Pamojanaumasikiniwakimaisha,AfricanisehemumuhimuyahatuayamwishoyaKaziyaMungu.Nitumainilangunamaombikwambamawaidha,maoninaushirikianouliokohukoutasaidiakama hamasa kwa wale walioko katika maeneo mengine yaulimwengu iliwaweze kuufuatamfanowaowa Kifiladefia kwakuisaidianakuiungamkonoCCOGkatikaharakatihizizakuongozahatuayamwishoyakazi.

KaziyaMungukupitiaKanisalaContinuingChurchofGodinazaamatunda (soma,Mathayo7:15-20)ulimwenguni kote (Mathayo28:19-20)naAfricainathibitishakwambahilindivyolilivyo.

Ubatizo wa Paulo Makinda ya Tanzania katika pool katika Kenya na Dk Thiel.

Bw na Bi Evans Ochieng Kisiengo

Mkutano Picha

Mkutano Picha

Page 36: July - September 2014 1 · Urusi walitia sahihi makubaliano, wakiazimia jumuia ya uchumi ya nchi za Umoja wa Kisoviet wa kwamba taratibu za kuanza rasmi kwa shirikisho hilo zikamilishwe