152
KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI TOLEO LA MEI 2005

KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

  • Upload
    others

  • View
    79

  • Download
    1

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

KATIBA

YA

CHAMA CHA MAPINDUZI

TOLEO LA MEI 2005

Page 2: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii
Page 3: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi laMei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hiiitungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977.

Kwa hali hii ni Toleo ambalo limezingatia nakuweka pamoja marekebisho yaliyofanywa katikaKatiba ya Chama Cha Mapinduzi Matoleo ya 1977,1980, 1982, 1984, 1987, 1990, Machi 1992,Septemba 1992, Januari 1994, Juni 1995 na 1997.

Page 4: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii
Page 5: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

YALIYOMO

Uk.1. Azimio la Mkutano Mkuu wa Taifa wa

pamoja wa TANU na ASP . . . . . . . . . . . . . . . . . .1

2. SEHEMU YA KWANZA:-Jina, Imani na Madhumuni . . . . . . . . . . . . . . . . .5

3. SEHEMU YA PILI:-Wanachama na Uongozi . . . . . . . . . . . . . . . . . . .9

4. SEHEMU YA TATU:-(i) Vikao vya Shina . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .16(ii) Vikao vya Tawi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .22(iii) Vikao vya Kata/Wadi . . . . . . . . . . . . . . . . . .37(iv) Vikao vya Jimbo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .52(v) Vikao vya Wilaya . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .69(vi) Vikao vya Mkoa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .88(vii) Vikao vya Taifa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .107

5. SEHEMU YA NNE:-Wazee na Jumuiya za Wananchi . . . . . . . . . . .140

6. SEHEMU YA TANO:-Mengineyo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .141

7. Ahadi za Wanachama wa Chamacha Mapinduzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .144

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

Page 6: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii
Page 7: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI

AZIMIO LA MKUTANO MKUU WA TAIFAWA PAMOJA WA TANU NA ASP

Kwa kuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wa pamoja, kwaniaba ya Wana-TANU na Wana-ASP, kwa pamojaunaelewa na kukubali kwamba jukumu letu katikaHistoria ya Taifa ni kuimarisha Umoja, kuleta Mapinduziya Kijamaa Tanzania na kuendeleza mapambano yaUkombozi katika Afrika na kote duniani;

Kwa kuwa tunatambua kuwa Mapambano yaKujenga Ujamaa katika Tanzania na kushiriki kwetukwa ukamilifu katika harakati za Mapinduzi ya Afrikana Dunia kunahitaji Chombo madhubuti cha uongozikinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazina wakulima;

Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri yakimapinduzi na ya mafanikio makubwailiyokwishafanywa na TANU na ASP katika kumwondoaMwafrika kutoka kwenye unyonge wa kunyonywa,kunyanyaswa na kudharauliwa na kumfikisha kwenyeuhuru na kuheshimiwa;

Kwa kuwa tunatambua kuwa Umoja wa TANU naASP unatokana na ushirikiano wetu wa miaka mingitangu wakati wa Mapambano ya kupigania Uhuruhadi sasa, na unatokana pia na Siasa yetu moja yaUjamaa na Kujitegemea.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 1

Page 8: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Kwa kuwa tunatambua pia kwamba kuweko kwaVyama viwili katika mazingira ya Chama kimoja chaSiasa kunapunguza upeo wa Nguvu na Umoja wetukatika kuendeleza mapambano ya kujenga ujamaanchini na kushiriki kwa pamoja kwa ukamilifu katikaharakati za mapinduzi ya Tanzania, ya Afrika na yadunia;

Kwa kuwa, kihistoria, tumeongozwa na kumbukumbuya kitendo kama hiki cha kimapinduzi na busaraambacho Waanzilishi wa TANU, chini ya Uongozi waMwalimu Julius K. Nyerere walikifanya hapo awali chakuvunja Chama cha African Association na kuundaTANU, na waanzilishi wa ASP chini ya uongozi waMarehemu Abeid Amani Karume, walikifanya hapoawali cha kuvunja Vyama vya African Association naShiraz Association na kuunda ASP, shabaha yao woteikiwa ni kuunda Chama kipya madhubuti na chakimapinduzi chenye uwezo mkubwa zaidi wakuongoza mapambano ya wananchi wetu katikamazingira mapya ya wakati huo.

Kwa hiyo basi:-

(1) Sisi wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wapamoja wa TANU na ASP tuliokutana leotarehe 21 Januari, 1977 mjini Dar es Salaam,chini ya uongozi wa pamoja wa Mwalimu JuliusK. Nyerere Rais wa TANU na Ndugu AboudJumbe, Rais wa ASP, kwa kauli moja tunaamuana kutamka rasmi kuvunjwa kwa Tanganika

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi2

Page 9: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

African National Union (TANU) na Afro ShiraziParty (ASP) ifikapo tarehe 5 Februari, 1977, nawakati huo huo kuundwa kwa Chama kipya chapekee na chenye uwezo wa mwisho katikamambo yote kwa mujibu wa Katiba.

(2) Vyama vya TANU na ASP vinavunjwa kwataadhima kubwa. TANU na ASP havikuamuakujivunja kama vyama kwa kuwa vimeshindwakutekeleza jukumu lao. Kwa hakika TANU naASP ni Vyama vilivyopata mafanikio ya kipekeekatika Afrika katika kulitekeleza jukumu lakihistoria na mafanikio hayo ndiyo leoyamewezesha kitendo hiki cha Vyama viwilikujivunja vyenyewe. TANU na ASPvitaheshimiwa siku zote kama viungo muhimukatika Historia ya Mapambano ya Ukombozi waTaifa letu na wa Bara la Afrika, na waanzilishi waTANU na ASP watakumbukwa daima kamamashujaa wa taifa letu waliotuwezesha leokupiga hatua hii ya kufungua ukurasa mpyakatika Historia ya Tanzania.

(3) Tumeamua kwa pamoja kuunda Chama kipyacha kuendeleza mapinduzi ya kijamaa nchiniTanzania na Mapambano ya Ukombozi wa Afrikajuu ya misingi iliyojengwa na TANU na ASP.

Chama tunachokiunda tunataka kiwe chombomadhubuti katika muundo wake na hasa katika fikrazake na vitendo vyake vya kimapinduzi vya kufutilia

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 3

Page 10: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

mbali aina zote za unyonyaji nchini, na kupambanana jaribio lolote lile la mtu kumuonea mtu au shirikaau chombo cha nchi kuonea na kudhalilishawananchi, kudhoofisha uchumi au kuzoroteshamaendeleo ya Taifa;

Chama tunachokiunda tunataka kishike barabarahatamu za uongozi wa shughuli zote za umma kwamaslahi ya wafanyakazi na wakulima wa Taifa letu;

Chama tunachokiunda tunataka kiwe kiungo kati yawanamapinduzi wa Tanzania na wanamapinduziwenzetu kokote waliko.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi4

Page 11: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

SEHEMU YA KWANZA

JINA, IMANI NA MADHUMUNI

1. Jina la Chama litakuwa CHAMA CHAMAPINDUZI, kwa kifupi CCM.

2. Makao Makuu ya CCM yatakuwa Dodoma nakutakuwa na Afisi Kuu ya Chama ChaMapinduzi Zanzibar na Ofisi Ndogo ya MakaoMakuu Dar es Salaam.

3. Bendera ya CCM itakuwa na rangi ya kijanikibichi, ambayo itakuwa na alama ya Jembe(alama ya mkulima) na Nyundo (alama yamfanyakazi) kwenye pembe ya juu upande wamlingoti.

4. Chama Cha Mapinduzi kinaamini kwamba:(1) Binadamu wote ni sawa.(2) Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa

na kuthaminiwa utu wake.(3) Ujamaa na Kujitegemea ndiyo njia pekee ya

kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

5. Kwa hiyo Malengo na Madhumuni ya CCMyatakuwa yafuatayo:-

(1) Kushinda katika Uchaguzi wa Serikali Kuuna Serikali za Mitaa Tanzania Bara naZanzibar ili kuunda na kushika Serikali Kuu

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 5

Jina la Chama

Makao Makuuya Chama

Bendera yaCCM

Imani ya CCM

Malengo naMadhumuni yaCCM

Page 12: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

na Serikali za Mitaa katika Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwa upandemmoja na Zanzibar kwa upande wa pili.

(2) Kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetuna raia wake.

(3) Kuhimiza ujenzi wa Ujamaa na Kujitegemeakwa mujibu wa Azimio la Arusha.

(4) Kusimamia utekelezaji wa Siasa ya CCMpamoja na kuendeleza fikra za viongoziwaasisi wa vyama vya TANU na ASP, kamazilivyofafanuliwa katika maandiko mbalimbali ya Vyama hivyo.

(5) Kuona kwamba kila mtu anayo haki yakupata kutoka katika Jamii hifadhi ya maishayake na mali yake kwa mujibu wa sheria.

(6) Kuona kwamba katika Nchi yetu kila mtualiye na uwezo wa kufanya kazi anafanyakazi; na kazi maana yake ni shughuli yoyotehalali inayompatia mtu riziki yake.

(7) Kusimamia haki na maendeleo yaWakulima, Wafanyakazi na wananchiwengine wenye shughuli halali zakujitegemea; na hasa kuona kwamba kilamtu ana haki ya kupata malipoyanayostahili kutokana na kazi yake.

(8) Kuona kwamba kwa kutumia Vikaovilivyowekwa, raia anayo haki ya kushirikikwa ukamilifu katika kufikia uamuzi wamambo ya Taifa na yanayomhusu, nakwamba anao uhuru wa kutoa mawazoyake, wa kwenda anakotaka, wa kuamini

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi6

Page 13: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Dini anayotaka na kukutana na watuwengine,maadamu havunji Sheria auTaratibu zilizowekwa.

(9) Kuona kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwamisingi ya kidemokrasia na ya kijamaa.

(10) Kuhifadhi, kukuza na kudumisha imani namoyo wa kimapinduzi miongoni mwaWatanzania pamoja na ushirikiano nawanamapinduzi wenzetu kokote waliko.

(11) Kuweka na kudumisha heshima yabinadamu kwa kufuata barabara Kanuni zaTangazo la Dunia la Haki za Binadamu.

(12) Kuona kwamba Dola inakuwa Mhimili waUchumi wa Taifa.

(13) Kuona kwamba Serikali na Vyombo vyote vyaUmma vinasaidia kwa vitendo kuanzishwa nakuendeleza shughuli za Ushirika na zaujamaa, na shughuli nyinginezo halali zawananchi za kujitegemea.

(14) Kuona kwamba matumizi ya utajiri wa Taifayanatilia mkazo maendeleo ya Wananchina hasa jitihada za kuondosha umasikini,Ujinga na Maradhi.

(15) Kuona kwamba Serikali na vyombo vyotevya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwaraia wote, wanawake na wanaume bilakujali rangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

(16) Kuona kwamba katika nchi yetu hakunaaina yoyote ya dhuluma, vitisho, ubaguzi,rushwa, uonevu na/au upendeleo.

(17) Kuendelea kupiga vita Ukoloni Mamboleo,

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 7

Page 14: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

ubeberu na ubaguzi wa aina yoyote.(18) Kuimarisha uhusiano mwema na Vyama

vyote vya Siasa vya Nchi nyingine vyenyeitikadi kama ya CCM ambavyo kwelivinapinga Ukoloni, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Ubaguzi wa aina yoyote.

(19) Kushirikiana na Vyama vingine katika Afrika,kwa madhumuni ya kuleta umoja wa Afrika,na kuona kwamba Serikali inaendeleza nakuimarisha ujirani mwema.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi8

Page 15: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

SEHEMU YA PILI

WANACHAMA NA VIONGOZI

FUNGU LA 1:WANACHAMA

6. Kila mtu aliyekuwa mwanachama wa TANU au waASP mara kabla ya kuvunjwa kwa Vyama hivyo, naaliyekuwa anatimiza masharti ya Uanachamawake, atakuwa mwanachamaa wa Chama ChaMapinduzi, isipokuwa kama atakataa mwenyewe.

7. Raia yeyote wa Tanzania mwenye umri usiopunguamiaka 18, anaweza kuwa Mwanachama waChama Cha Mapinduzi iwapo anakubali Imani,Malengo na Madhumuni ya CCM.

8. Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM, aukuendelea kuwa Mwanachama, ni yuleanayetimiza Masharti yafuatayo:-(1) Kuwa mtu anayeheshimu watu.(2) Kuwa mtu anayefanya juhudi ya kuielewa,

kuieleza, kuitetea na kuitekeleza Itikadi naSiasa ya CCM.

(3) Kuwa mtu mwenye kuamini kuwa kazi nikipimo cha Utu, na kuitekeleza imani hiyokwa vitendo.

(4) Kuwa mtu anayependa kushirikiana nawenzake.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 9

WanachamaWaasisi

WanachamaWapya

Masharti yaUanachama

Page 16: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(5) Kuwa mtu ambaye siku zote yuko mstari wambele katika utekelezaji wa mambo yote yaUmma, kulingana na Miongozo ya CCM.

(6) Kuwa wakati wote ni mfano wa tabia nzurikwa vitendo vyake na kauli yake, kuwamwaminifu na kutokuwa mlevi au mzururaji.

(7) Kuwa ama Mkulima, Mfanyakazi, au mwenyeshughuli nyingine yoyote halali ya kujitegemea.

9. Mtu atakayetaka kuwa Mwanachama atajazafomu ya maombi na kuipeleka kwa Katibu waTawi anapoishi.

10. Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi itafikiria na kutoa uamuzi wa mwishokuhusu maombi ya Uanachama.

11. CCM itakuwa na Mpango wa kutoa Mafunzokwa wanachama wake juu ya Imani, Malengo naMadhumuni ya Siasa ya CCM kwa jumla.

12. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama.(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi

isipokuwa kama akipenda anawezakulipa ada ya mwaka mzima mara moja.

(c) Atatoa michango yoyote itakayoamuliwa.

(2) Viwango vya kiingilio, ada na michangovitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi10

Utaratibu wakuomba

Uanachama

Utaratibu wakufikiria

maombi yaUanachama

Mafunzo kwaWanachama

Kiingilio na Adaza Uanachama

Page 17: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

13. (1) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-(a) Kujiuzulu mwenyewe;(b) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.(c) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.(d) Kutotimiza masharti ya uanachama. (e) Kujiunga na Chama kingine chochote cha

siasa.(2) Mwanachama ambaye uanachama wake

unakwisha kwa sababu yoyote ilehatarudishiwa kiingilio alichokitoa, adaaliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.

(3) Mwanachama aliyeachishwa au kufukuzwaUanachama akitaka kuingia tena katikaCCM, itabidi aombe upya, na atapelekamaombi yake hayo ama katika HalmashauriKuu ya Wilaya ama kikao kilichomwachishaau kumfukuza Uanachama.

(4) Mwanachama aliyejiuzulu akitaka kuingiatena katika CCM ataomba upya kwa kufuatautaratibu wa kuomba Uanachama kwamujibu wa Katiba ya CCM.

14. Mwanachama yeyote atakuwa na hakizifuatazo:- (1) Haki ya kushiriki katika shughuli zote za

CCM kwa kufuata utaratibu uliowekwa.(2) Haki ya kuhudhuria na kutoa maoni yake

katika mikutano ya CCM pale ambapoanahusika kwa mujibu wa Katiba.

(3) Haki ya kuomba kuchaguliwa kuwa Kiongoziwa CCM na ya kuchagua viongozi wake wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 11

Kuondoka katikaChama

Haki zaMwanachama

Page 18: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

CCM kwa mujibu wa Katiba au Taratibu zaCCM.

(4) Haki ya kujitetea au kutoa maelezo yakembele ya Kikao cha CCM kinachohusikakatika mashtaka yoyote yaliyotolewa juuyake, pamoja na haki ya kukata rufani yakwenda katika Kikao cha juu zaidi cha CCMkama kipo endapo hakuridhika na hukumuiliyotolewa.

(5) Haki ya kumuona kiongozi yeyote wa CCMmaadam awe amefuata utaratibu uliowekwa.

15. Kila Mwanachama atakuwa na wajibu ufuatao:-(1) Kujua kwamba Chama Cha Mapinduzi

ndicho chenye nguvu, uwezo na kwambanguvu hizo zinatokana na umoja waWanachama, fikira sahihi za CCM nakukubalika kwake na umma. Kwa hiyokulinda na kuendeleza mambo hayo niWajibu wa kwanza wa kila Mwanachama.

(2) Kutumikia nchi yake na watu wake wote kwakutekeleza wajibu wake bila hofu, chuki walaupendeleo wa nafsi yake, rafiki au jamaa.

(3) Kujitolea nafsi yake kuondosha Umasikini,Ujinga, Maradhi na Dhuluma, na kwa jumlakushirikiana na wenzake wote katikakujenga Nchi yetu.

(4) Kuwa wakati wote mkweli, mwaminifu naraia mwema wa Tanzania.

(5) Kukiri kwa imani na kutekeleza kwa vitendoSiasa ya CCM ya Ujamaa na Kujitegemea.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi12

Wajibu waMwanachama

Page 19: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(6) Kujielimisha kwa kadiri ya uwezo wake, nakutumia elimu hiyo kwa faida ya wote.

(7) Kuwa tayari kujikosoa na kukosolewa ilikuweza kuwa na msimamo sahihi wa siasa yaCCM.

(8) Kuwa wakati wowote hadaiwi ada zozoteza Uanachama.

(9) Kuhudhuria mikutano ya CCM inayomhusu.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 13

Page 20: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA IIVIONGOZI

16. Kiongozi wa CCM ni kila Mwanachama mwenyedhamana yoyote katika CCM aliyechaguliwa aukuteuliwa kwa mujibu wa Katiba.

17. Pamoja na kutimiza masharti ya Uanachamakama yalivyoelezwa katika Katiba, Kiongozisharti pia awe na sifa zifuatazo:-(1) Awe ni mtu aliyetosheka na asiwe mtu

aliyetawaliwa na tamaa.(2) Awe ni mtu anayependa kueneza matunda

ya Uhuru kwa wananchi wote kwa ajili yamanufaa yao na maendeleo ya Taifa kwajumla.

18. Ni mwiko kwa kiongozi:- (1) Kutumia madaraka aliyopewa ama kwa ajili

ya manufaa yake binafsi au kwaupendeleo, au kwa namna yoyote ambayoni kinyume cha lengo lililokusudiwamadaraka hayo.

(2) Kupokea mapato ya kificho, kutoa aukupokea rushwa, kushiriki katika mamboyoyote ya magendo au mambo mengineyaliyo kinyume cha lengo lililokusudiwamadaraka hayo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi14

Maana yaKiongozi

Sifa za Kiongozi

Miiko yaKiongozi

Page 21: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

19. (1) Uongozi wa kiongozi utakoma kwa:-(a) Kujiuzulu mwenyewe.(b) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.(c) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.(d) Kung’atuka /kuacha kazi. (e) Kujiunga na chama kingine cho

chote cha siasa.(2) Kiongozi aliyeachishwa au kufukuzwa

uongozi anaweza kuomba tena nafasi yauongozi wowote na maombi yakeyatafikiriwa na kutolewa uamuzi na kikaokilichomwachisha au kumfukuza uongozi.

20. (1) Mwanachama anayeomba nafasi ya uongozi wa aina yoyote katika CCMhatakubaliwa kuwa amechaguliwampaka awe amepata zaidi ya nusu yakura halali zilizopigwa.

(2) Katika uchaguzi wa kujaza nafasi nyingikwa pamoja, ushindi utahesabiwa kwakufuata wingi wa kura alizopatamwombaji wa nafasi hiyo zaidi yawenzake, bila kujali kama kura hizizinafikia nusu ya kura halali zilizopigwa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 15

Kiwango chakura katikauchaguzi waViongozi

Kuondoka katikauongozi

Page 22: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

SEHEMU YA TATU

VIKAO VYA CCM

FUNGU LA 1:VIKAO VYA SHINA

21. Kikao cha mwanzo kabisa cha CCM kitakuwani kikao cha Shina. Hapa ndipo kilamwanachama atadhihirisha uanachama wakekwa kutekeleza kwa vitendo wajibu wake wauanachama. Aidha hapa ndipo alamazinazokitambulisha Chama kama vile bendera,zitakapoanzia kutumika.

22. (1) Kutakuwa na aina zifuatazo za Mashina:-(i) Mashina ya Ndani ya Nchi:-

(a) Mashina yaliyoundwa katika maeneoya makazi.

(b) Mashina maalum yaliyoundwa katikaOfisi za CCM, Jumuiya za Wanainchizinazoongozwa na CCM na Taasisinyingine za CCM.

(c) Mashina ya Wakereketwa/Maskaniyaliyoundwa na Wana CCM katikamaeneo husika, baada ya kupataidhini ya Kamati ya Siasa ya Wilaya.

(ii) Mashina ya Nje ya Nchi:-Mashina yaliyoundwa Nje ya Nchikatika maeneo wanakoishi wanachama

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi16

Shina

Aina za Mashina

Page 23: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa CCM, baada ya kupata idhini yaKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.

(2) Ili Wanachama waweze kuunda Shina,idadi yao isiwe chini ya watano.

(3) Kila Shina la eneo la makazi au lililo nje yanchi na kila Shina Maalum litachaguaKiongozi wa Shina kwa mujibu wa utaratibuuliowekwa ambaye atajulikana kama Baloziwa Shina. Aidha kila Shina la Wakereketwa/Maskani litachagua Kiongozi wa Shina kwautaratibu uliowekwa ambaye atajulikanakama Mwenyekiti wa Shina laWakereketwa au la Maskani.

(4) Kila Shina lenye Wanachama wasiopunguakumi (10) litachagua Kamati itakayoitwaKamati ya Uongozi ya Shina yenye wajumbewatano akiwemo Balozi/Mwenyekiti waShina hilo. Katibu wa Shina atachaguliwa naKamati ya Uongozi ya Shina.

23. Pamoja na wajibu mwingine wowoteunaowahusu wanachama kwa jumla, kila Shinalitakuwa na wajibu ufuatao:-(1) Kulinda na kuendeleza Siasa ya CCM

katika Shina.(2) Kuona kwamba unakuwepo ulinzi na

usalama wa umma katika eneo lake.(3). Kueneza itikadi na Siasa ya CCM katika

Shina.(4) Kutekeleza ipasavyo maamuzi na maagizo

ya ngazi za juu ya CCM na ya Serikali

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 17

Wajibu waShina

Page 24: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

pamoja na shughuli nyinginezo za umma.

24. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCM katikakila Shina:-(1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina.(2) Mkutano wa Wanachama wote wa Shina.(3) Kamati ya Uongozi ya Shina pale

panapohusika.

25. (1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina utakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Balozi/Mwenyekiti wa Shina(b) Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya

Shina pale panapohusika kwa mujibu waKatiba.

(c) Wanachama wengine wote wa Shinahilo.

(2) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinandicho kikao kikuu cha CCM katika Shina.

(3) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautafanyika kwa kawaida mara moja kwamwaka, lakini unaweza kufanyika wakatiwowote mwingine endapo itatokea haja yakufanya hivyo, au kwa maagizo ya vikao vyajuu.

(4) Balozi/Mwenyekiti wa Shina ataongozaMkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina. LakiniBalozi/Mwenyekiti wa Shina asipowezakuhudhuria, Mkutano unaweza kumchaguamjumbe mwingine yeyote miongoni mwaokuwa Mwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi18

Vikao vya CCMvya Shina

Mkutano waMwaka wa CCM

wa Shina

Page 25: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

26. Kazi za Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinazitakuwa zifuatazo:-(1) Kufikiria taarifa ya kazi za CCM katika

Shina na kutoa maelekezo ya utekelezajiwa Siasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuzungumzia mambo yote yanayohusumaendeleo kwa jumla katika Shina.

(3) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi, Mkutanowa Mwaka wa CCM wa Shinautashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Balozi/Mwenyekiti wa

Shina.(b) Kuwachagua wajumbe wa Kamati ya

Uongozi ya Shina pale panapohusika.

27. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachama wote wa Shina kwa kila Shina.

(2) Mkutano wa wanachama wote wa Shinautazungumzia mambo yenye maslahi yaCCM na ya wananchi mahali pale Shinalilipo, kama vile shughuli za Ulinzi naUsalama, maendeleo katika Shina nakufikisha mapendekezo ya wanachamakatika vikao vya juu.

(3) Utawapigia kura za maoni wana-CCMwanaogombea nafasi ya Mwenyekiti waKitongoji/Mtaa wakati wa uchaguzi waSerikali za Mitaa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 19

Kazi za Mkutanowa Mwaka waCCM wa Shina

Mkutano waWanachamawote wa Shina

Page 26: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(4) Mkutano wa Wanachama woteutafanyika kwa kawaida si chini ya maramoja kwa mwezi.

(5) Kiwango cha mahudhurio katika mikutanoya wanachama wote katika Shina kitakuwani zaidi ya theluthi moja ya wajumbe waliona haki ya kuhudhuria kikao hicho.

(6) Balozi/Mwenyekiti wa Shina ataongozaMkutano wa wanachama wote wa Shinalakini asipoweza kuhudhuria, Mkutanoutamchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

28. Kamati ya Uongozi ya Shina pale panapohusikakwa mujibu wa Katiba itakuwa na wajumbewafuatao:-(1) Balozi/Mwenyekiti wa Shina(2) Wajumbe wanne wa Kamati ya Uongozi ya

Shina.

29. Kazi za Kamati ya Uongozi ya Shina zitakuwazifuatazo:-(1) Kuongoza na kusimamia utekelezaji wa

maamuzi yote ya CCM na utendaji kazikatika Shina.

(2) Kuandaa shughuli za vikao vyote vya CCMvya Shina.

30. (1) Balozi/Mwenyekiti wa Shina atachaguliwa na Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi20

Kamati yaUongozi ya

Shina

Kazi za Kamatiya Uongozi ya

Shina

Balozi wa Shina

Page 27: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Atakuwa katika nafasi ya Uongozi kwa mudawa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangalia mamboya CCM na utendaji kazi katika Shina.

(3) Atakuwa kiungo cha wanachama wote katikaShina.

(4) Atakuwa ndiye mwenezi na mhamasishajimkuu wa Siasa ya CCM katika eneo lake.

(5) Atakuwa na wajibu wa kuwaeleza Wanachamamaamuzi yote ya CCM, kuwaongoza nakuwashirikisha katika utekelezaji wa maamuzihayo, na kufikisha mapendekezo yawanachama katika vikao vya juu.

(6) Atakuwa na wajibu wa kufuatilia utekelezajiwa mambo yote ya siasa katika Shina lake.

(7) Atakuwa na wajibu wa kujenga uhusianomwema wa wakazi wa Shina lake kwa lengola kuunda mazingira ya amani na utulivu.

(8) Ataongoza Kamati ya Uongozi ya Shina palepanapohusika.

(9) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano wa Mwakawa CCM wa Shina, na Mkutano waWanachama wote wa Shina.

(10) Katika Mikutano anayoongoza zaidi ya kuwana kura yake ya kawaida, atakuwa pia na kuraya uamuzi, endapo kura za wajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 21

Page 28: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA IIVIKAO VYA TAWI

31. (1) Kutakuwa na aina nne za Matawi ya CCM kama ifuatavyo:-(a) Matawi ambayo yameundwa vijijini

ambayo yataitwa Matawi ya Vijijini.(b) Matawi ambayo yameundwa katika

maeneo wanayoishi watu mijiniambayo yataitwa Matawi ya Mitaani.

(c) Matawi maalum ambayo yameundwakwenye Ofisi za CCM, Taasisi za CCM,na Taasisi nyingine zinazoongozwa naCCM.

(d) Matawi ambayo yameundwa nje ya nchiyenye wana-CCM wengi wanaoishikatika sehemu mbalimbali za nchi hiyona ambao wana Mashina yao. Matawihaya yatafunguliwa kwa idhini ya KamatiKuu.

(2) Tawi litafunguliwa tu iwapo mahali hapopanapohusika kuna Wanachamawasiopungua hamsini na wasiozidi mia sita.

32. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCM katikakila Tawi:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi.(2) Mkutano wa Wanachama wote wa Tawi.(3) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi.(4) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM

ya Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi22

Aina za Matawiya CCM

Vikao vya CCMvya Tawi

Page 29: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi.

33. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi utakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.(e) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu

ya CCM ya Tawi.(f) Mwenyekiti wa Serikali ya

Kijiji/Mtaa/Kitongoji anayetokana naCCM, anayeishi katika Tawi hilo auwa Mtaa/Kitongoji cha Tawi hilo.

(g) Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi waliomo katikaTawi hilo.

(h) Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya waliomo katika Tawihilo.

(i) Mabalozi wa Mashina wa Tawi hilo.(j) Wenyeviti wa Mashina ya

Wakereketwa/ Maskani ya Tawi hilo.(k) Wajumbe watatu ambao ni wana-CCM

kutoka kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikisha naCCM iliyomo katika Tawi hilo.

(l) Diwani aliyependekezwa na Tawi hilo(m) Wanachama wengine wote wa Tawi

hilo.(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi ndicho

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 23

Mkutano Mkuuwa CCM wa

Tawi

Page 30: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

kikao kikuu cha CCM katika Tawi.(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi utafanyika

kwa kawaida mara moja kwa mwaka, lakiniunaweza kufanyika wakati wowotemwingine endapo itatokea haja ya kufanyahivyo au kwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi ataongozaMkutano Mkuu wa CCM wa Tawi. LakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Mkutano huo unaweza kumchagua mjumbemwingine yeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

34. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawizitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili Taarifa ya Kazi za CCM

katika Tawi, iliyotolewa na HalmashauriKuu ya CCM ya Tawi na kutoa maelekezoya utekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio na maagizoya ngazi za juu yanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama na Maendeleo kwajumla katika Tawi hilo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi, MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi utashughulikiamambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa CCM wa

Tawi.(b) Kuwachagua wajumbe watano wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi24

Kazi za MkutanoMkuu wa CCM

wa Tawi

Page 31: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCMwa Kata/Wadi.

(c) Kumchagua mjumbe mmoja wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCMwa Jimbo na wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe kumi wakuingia katika Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi.

(e) Kuwapigia Kura za MaoniWanachama wa CCM wanaogombeanafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji,Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji,Mwenyekiti wa Mtaa, na Wajumbewa Kamati ya Mtaa wakati waUchaguzi wa Serikali za Mitaa.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu wa CCMwa Tawi kwa kadri itakavyoonekana inafaa.

35. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachama wote wa CCM katika kila Tawi.

(2) Mkutano huo utazungumzia mamboyaliyo na maslahi ya CCM na ya wananchimahali pale Tawi lilipo, kama vile shughuliza Ulinzi na Usalama, na maendeleokatika Tawi.

(3) Mkutano wa Wanachama wote utafanyikakwa kawaida mara moja katika kila miezimitatu, lakini unaweza kufanyika wakatiwowote endapo itatokea haja ya kufanyahivyo au kwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Kiwango cha mahudhurio katika Mikutano

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 25

Mkutano wawana-CCMwote wa Tawi

Page 32: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

ya Wanachama wote katika Tawi kitakuwazaidi ya theluthi moja ya Wajumbe wakewenye haki ya kuhudhuria kikao hicho.

(5) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi ataongozaMkutano wa Wanachama wote wa Tawi,lakini Mwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Mkutano utamchagua mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

36. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi itakuwana wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.(e) Wajumbe kumi waliochaguliwa na

Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi.(f) Mwenyekiti na Katibu wa Tawi wa kila

Jumuiya ya Wananchi inayoongozwana CCM.

(g) Wajumbe watano wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawihilo.

(h) Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji/Mtaaanayetokana na CCM anayeishi katikaTawi hilo.

(i) Mjumbe mmoja wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya aliyechaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Tawi hilo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi26

HalmashauriKuu ya CCM

ya Tawi

Page 33: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(j) Wajumbe watatu ambao ni wana CCMkutoka kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikisha naCCM wanaowakilisha Jumuiya zaokwenye Mkutano Mkuu wa CCM waTawi.

(k) Wenyeviti wa Vitongoji wanaotokanana CCM wanaoishi katika Tawi hilo.

(l) Diwani aliyependekezwa na Tawi hilo.(m) Mabalozi/Wenyeviti wote wa Mashina

katika Tawi hilo.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi itafanya

Mikutano yake ya kawaida mara moja kilamiezi mitatu lakini inaweza kufanya Mkutanousiokuwa wa kawaida wakati wowoteendapo itatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi ataongozaMkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi;. lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Tawiatakuwa Mwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

37. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya kila Tawizitakuwa zifuatazo-(1) Kuongoza na kusimamia Ujenzi wa Ujamaa

na Kujitegemea katika eneo la Tawi.(2) Kueneza Siasa na kueleza mipango ya CCM

kwa Wanachama wote wa Tawi na kutafutakila njia inayofaa ya kuimarisha CCM katikaeneo la Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 27

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 34: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(3) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani yaUchaguzi ya CCM na kufanya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo katika Tawi.

(4) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama katika eneo la Tawi.

(5) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama na viongozi wa CCM katikaTawi, na inapolazimu kutoa taarifa kwavikao vya CCM vinavyohusika.

(6) Kuongoza Mashina ya Tawi hilo katikavitendo na njia zinazofaa za kuimarisha CCM.

(7) Kufikisha maazimio na maagizo ya Vikaovya CCM vya juu kwa Wanachama, nakufikisha mapendekezo ya Wanachamakatika vikao vya juu.

(8) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kufikiria na kufanya Uteuzi wa Mwisho

wa wanachama wanaoomba nafasi zauongozi wa Shina.

(b) Kumchagua Katibu wa CCM wa Tawi;(c) Kumchagua Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Tawi.(d) Kumchagua Katibu wa Uchumi na

Fedha wa Tawi.(e) Kufikiria na kutoa mapendekezo yake

kwa Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi juu ya Wana CCMwanoomba kugombea Uenyekiti waVitongoji kwa mujibu wa Sheria za

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi28

Page 35: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

uchaguzi wa Serikali za Mitaa.(f) Kuwachagua wajumbe watano wa

kuingia katika Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawikutoka miongoni mwao.

(9) Kujaza nafasi wazi za uongozi zinazotokeakatika Tawi isipokuwa nafasi yaMwenyekiti wa Tawi wa CCM.

(10) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikama itakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa Siasa na kaziza CCM katika Tawi.

(11) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za utekelezaji wa kazi za CCMkatika Tawi.

(12) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(13) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili yaCCM ya Tawi.

38. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi itakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.(e) Wajumbe watano waliochaguliwa na

Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi kutokamiongoni mwao.

(f) Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 29

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 36: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

anayetokana na CCM anayeishi katikaTawi hilo.

(g) Diwani aliyependekezwa na Tawi hilo.(h) Mwenyekiti wa Tawi wa kila Jumuiya ya

Wananchi inayoongozwa na CCMiliyomo katika Tawi hilo.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi itakutana si chini ya mara moja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi ataongozaMkutano wa Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya Tawi. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Tawi atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

39. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi zitakuwa zifuatazo:- (1) Kutoa uongozi wa Siasa katika eneo lake.(2) Kueneza itikadi na Siasa ya CCM katika

Tawi.(3) Kuandaa mikakati ya kampeni za uchaguzi

na kampeni nyinginezo katika Tawi.(4) Kusimamia Utekelezaji wa kila siku wa

Siasa na maamuzi ya CCM chini yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawi.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhati utekelezajiwa mipango hiyo, kudhibiti mapato nakusimamia matumizi bora ya fedha namali za Chama katika Tawi.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi30

Kazi za Kamatiya Siasa ya

HalmashauriKuu ya CCM

ya Tawi

Page 37: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

itashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwa

Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi juuya Wanachama wanaoomba nafasi yauongozi wa Shina katika Tawi hilo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawi juuya wana-CCM wanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa Kitongoji wakati waUchaguzi wa Serikali za Mitaa.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi juu yaWanachama wanaoomba nafasi yaUjumbe wa Halmashauri Kuu ya Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi,Ukatibu wa Uchumi na Fedha waTawi, Udiwani, Uenyekiti wa Mtaa,Ujumbe wa Kamati ya Mtaa,Uenyekiti wa Kijiji na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji kupitia Tawi hilokwa mujibu wa sheria za uchaguzi waSerikali za Mitaa.

(7) Kufikiria na kutoa uamuzi wa mwishokuhusu maombi ya Uanachama.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuu yaCCM katika Tawi.

(9) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama wa umma katika Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 31

Page 38: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

40. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi itakuwa na wajumbe wafuatao:(a) Katibu wa CCM wa Tawi ambaye atakuwa

Mwenyekiti.(b) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.(d) Makatibu wa Matawi ya Jumuiya za

Wananchi zinazoongozwa na CCM.

41. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Tawi yatakuwa yafuatayo:-(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za

Chama katika Tawi.(b) Kuandaa Vikao vyote vya CCM katika

Tawi.(2) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya Tawi yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Tawi.(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya Tawi.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Tawi.(d) Idara ya Organaizesheni ya Tawi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Tawi isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Tawi atakuwandiye Katibu wa Organaizesheni katika Tawi.

42. (1) Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katika Tawi:(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi(a) Katibu wa CCM wa Tawi(a) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi32

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Wakuu waCCM wa Tawi

Page 39: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(a) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.

43. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi atachaguliwa na Mkutano Mkuu wa Tawi. Atakuwakatika nafasi hiyo ya uongozi kwa mudawa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Tawi.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkuano Mkuu waCCM wa Tawi, Mkuano wa Wanachamawote wa Tawi, Mkutano wa HalmashauriKuu ya Tawi na Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawi.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza, zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Tawi atakuwa piana kura ya uamuzi, endapo kura zawajumbe wanaoafiki na wasioafikizitalingana.

44. (1) Katibu wa CCM wa Tawi atachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi lake.Atakuwa katika nafasi hiyo ya uongozikwa muda wa miaka mitano, lakinianaweza kuchaguliwa tena baada yamuda huo kumalizika.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Tawi, na atafanya kazi chini yauongozi wa Halmashauri Kuu ya CCM ya

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 33

Mwenyekitiwa CCM waTawi

Katibu waCCM wa Tawi

Page 40: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Tawi lake na majukumu yake ni hayayafuatayo:- .(a) Kuratibu kazi zote za CCM katika

Tawi.(b) Ataitisha na kuongoza vikao vya

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaTawi kwa madhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati ya Siasa yaTawi na kuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Tawi.

(d) Kufuatilia na kuratibu masuala yaUsalama na Maadili ya Chama katikaTawi.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedha naMali ya Chama katika Tawi.

(f) Ataitisha mikutano ya Kamati ya Siasaya Tawi, Halmashauri Kuu ya Tawi naMkutano Mkuu wa Tawi baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCMwa Tawi.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzikatika Tawi.

(5) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katika Tawi,ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya vikao

vya Chama.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi34

Page 41: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(c) Kusimamia Jumuiya za Wananchizinazoongozwa na CCM na Wazeewa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya CCM ngazi yaShina na Tawi, na ule wa Uwakilishikatika vyombo vya Dola,

(e) Kusimamia Muundo, Katiba, Kanunina Taratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM,

45. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Tawi. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-(a) Kusimamia, kueneza na kufafanua

masuala yote ya Itikadi, Siasa na Sera zaCCM katika Tawi.

(b) Kushughulikia mafunzo na maandalizi yaMakada na Wanachama katika Tawi.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za CCM zakijamii na Ilani za uchaguzi za CCM katikaTawi.

(d) Kuwa na mipango ya mawasiliano nauhamasishaji wa Umma katika Tawi.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa katika Tawi.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 35

Katibu waSiasa naUenezi waTawi

Page 42: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

46. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Tawi. Majukumu yakeni haya yafuatayo:(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa

Sera za CCM za Uchumi katika Tawi.(b) Kubuni njia mbalimbali za kukipatia

Chama mapato.(c) Kutekeleza mipango ya uchumi na

uwekezaji wa Chama katika Tawi.(d) Kusimamia mapato na matumizi ya fedha

na kutoa taarifa kwa Kamati ya Siasa yaTawi.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Tawi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi36

Katibu waUchumi naFedha waTawi

Page 43: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA III

VIKAO VYA KATA/WADI

47. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Kata ya Tanzania Bara yenye Matawi yaCCM yasiyopungua mawili, na katika kila WadiZanzibar:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya

Kata/Wadi. (4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM

ya Kata/Wadi.

48. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutakuwa na Wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa

Kata/Wadi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/

Wadi.(e) Mbunge na Mjumbe wa Baraza la

Wawakilishi wa Jimbo linalohusikaanayetokana na CCM.

(f) Wenyeviti wote wa CCM wa Matawiya Kata/Wadi hiyo.

(g) Makatibu wote wa CCM wa Matawi yaKata/Wadi hiyo.

(h) Makatibu wa Siasa na Uenezi wa CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 37

Vikao vya CCMvya Kata/Wadi

Mkutano Mkuuwa CCM waKata/ Wadi

Page 44: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa Matawi yote ya Kata/Wadi hiyo.(i) Makatibu wa Uchumi na Fedha wa

CCM wa Matawi ya Kata/Wadi hiyo.(j) Wajumbe watano waliochaguliwa na

Mkutano Mkuu wa CCM wa kila Tawikuhudhuria Mkutano Mkuu waKata/Wadi.

(k) Mjumbe mmoja anayewakilisha Tawila CCM kwenye Mkutano Mkuu waJimbo na Wilaya.

(l) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(m) Wajumbe kumi waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi wa kuhudhuria MkutanoMkuu wa CCM wa Wilaya.

(n) Wajumbe waliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadi wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCMwa Mkoa, mmoja kutoka kila Kata yaTanzania Bara na watano kutoka kilaWadi ya Zanzibar.

(o) Wenyeviti wote wa Serikali zaVijiji/Mitaa wa Kata/Wadi hiyowanaotokana na CCM.

(p) Madiwani wote wanaotokana na CCMwaliomo katika Kata/Wadi hiyo.

(q) Wajumbe wa Halmashauri Kuu yaWilaya waliomo katika Kata/Wadi hiyo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi38

Page 45: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(r) Wajumbe watatu ambao ni wana-CCMkutoka kila jumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM iliyomo katikaKata/Wadi hiyo.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi ndichokikao kikuu cha CCM katika Kata/Wadi.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutafanyika kwa kawaida mara moja kwamwaka, lakini unaweza kufanyika wakatiwowote mwingine endapo kutatokea haja yakufanya hivyo au kwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi ataongozaMkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria, Mkutanohuo utamchagua Mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa Mkutano huo.

49. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadizitakuwa zifuatazo:(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za

CCM katika Kata/Wadi iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadina kutoa maelekezo ya utekelezaji waSiasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio na maagizoya ngazi ya juu yanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama, na maendeleo kwajumla katika Kata/Wadi.

(4) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Mkutano

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 39

Kazi za MkutanoMkuu wa CCMwa Kata/Wadi

Page 46: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa CCM wa

Kata/Wadi.(b) Kuwachagua wajumbe watano wa

kuingia katika Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi.

(c) Kuwachagua wajumbe watano wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa Jimbona wajumbe kumi wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCMwa Mkoa, mmoja kutoka kila Kata yaTanzania Bara na watano kutoka kilaWadi ya Zanzibar.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

(6) Kupiga kura za maoni kwa majina ya wana-CCM wanaoomba nafasi za Udiwani waKata/Wadi. Kwa madhumuni ya kupiga kuraza mapendekezo, wajumbe wa MkutanoMkuu wa Kata/Wadi watakuwa wafuatao:-(i) Wajumbe wote wanaotajwa na

Katiba ya CCM Ibara ya 48(1) (a-r) (ii) Wajumbe wote wa Kamati ya Siasa

ya kila Tawi la CCM lililoko katikaKata/Wadi hiyo.

(iii) Wajumbe wote wa Kamati zautekelezaji za Jumuiya zinazoongozwa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi40

Page 47: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

na CCM: Vijana, Wanawake naWazazi wa ngazi ya Kata/Wadi hiyo.

(iv) Mabalozi/Wenyeviti wote wa Mashinakatika Kata/Wadi inayohusika.

50. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi.(e) Mbunge na Mjumbe wa Baraza la

Wawakilishi wa Jimbo liliomo katikaKata/Wadi wanaotokana na CCM.

(f) Diwani wa Kata na Madiwani wa Wadiwanaotokana na CCM.

(g) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa Kata/Wadi hiyo.

(h) Wenyeviti wote wa CCM wa Matawi yaKata/Wadi hiyo.

(i) Makatibu wote wa CCM wa Matawi yaKata/Wadi hiyo.

(j) Makatibu wote wa Siasa na Uenezi waMatawi.

(k) Makatibu wote wa Uchumi na Fedha waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(l) Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilayawaliomo katika Kata/Wadi hiyo.

(m) Mwenyekiti, Katibu wa Kata/Wadi naMjumbe mmoja ambao ni wana-CCMkutoka kila Jumuiya ya Wananchi

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 41

HalmashauriKuu ya CCM yaKata/ Wadi

Page 48: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

inayoongozwa au iliyojishirikisha na CCMiliyomo katika Kata/Wadi hiyo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitafanya Mikutano yake ya kawaida maramoja kila baada ya miezi mitatu, lakiniinaweza kufanya mikutano isiyo ya kawaidawakati wowote endapo kutatokea haja yakufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano wa Halmshauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi; lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu wa CCM waKata/Wadi atakuwa Mwenyekiti wa mudawa Mkutano huo.

51. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadizitakuwa zifuatazo-(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi wa

Ujamaa na Kujitegemea katika eneo lake laKata/Wadi.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi na Siasa yaCCM, na kueleza mipango ya CCM kwaMatawi yote ya Kata/Wadi na kubunimbinu zinazofaa za kuimarisha CCMkatika eneo la Kata/Wadi inayohusika.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni za uchaguzina kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani yaCCM na kusimamia utekelezaji wa siasa namaazimio ya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi42

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCM yaKata/ Wadi

Page 49: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Usalama katika eneo la Kata/Wadi hiyo. (6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM za

Matawi yaliyo katika Kata/Wadi hiyokuhusu vitendo na njia zinazofaa zakuimarisha CCM.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama pamoja na viongozi wa CCMna inapolazimu kutoa taarifa kwa vikaovinavyohusika.

(8) Kufikisha Matawini maazimio na maagizoya vikao vya juu na kufikisha kwenye Vikaovya juu mapendekezo kutoka Matawini.

(9) Unapofika wakati wa UchaguziHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Katibu wa CCM wa

Kata/Wadi .(b) Kumchagua Katibu wa Siasa na

Uenezi wa Kata/Wadi. (c) Kumchagua Katibu wa Uchumi na

Fedha wa Kata/Wadi ,(d) Kuwachagua wajumbe watatu wa

Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi kutokamiongoni mwao.

(e) Kwa Tanzania Bara itafikiria na kufanyauteuzi wa mwisho wa wanachamawanaoomba kugombea Uenyekiti waVitongoji vya Kata/Wadi hiyo.

(f) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majinaya Wanachama wa CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 43

Page 50: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

watakaosimama katika uchaguzi waMwenyekiti na Katibu wa Tawi wa kilaJumuiya inayoongozwa na CCM nawajumbe wa kuiwakilisha kila Jumuiyakatika vikao vya Matawi ya CCMyaliyomo katika Kata/Wadi hiyo.

(10) Kujaza, kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi, nafasi za uongozizinazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kumsimamisha Uanachama Mwanachamayeyote ambaye mwenendo na tabia yakevinamuondolea sifa za Uanachamaisipokuwa kwamba Wadi ya TanzaniaZanzibar itaangalia mwenendo na vitendovya Wanachama pamoja na Viongozi waCCM, na inapolazimu kutoa taarifa kwaVikao vinavyohusika.

(13) Kuunda Kamati Ndogo kwa kadriitakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa kazi za CCMkatika Kata/Wadi hiyo.

(14) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa kazi za CCM zaKata/Wadi na Kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi.

(15) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili yaCCM ya Kata/Wadi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi44

Page 51: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

52. (1): Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Mwenyekiti wa CCM Kata/Wadi.(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa

Kata/Wadi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa

Kata/Wadi.(e) Diwani anayetokana na CCM katika

Kata/wadi.(f) Madiwani wa Viti Maalum wa CCM

wanaoishi katika Kata/Wadi.(g) Wajumbe watatu waliochaguliwa na

Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi hiyo.

(h) Mwenyekiti wa Kata/Wadi wa kilaJumuiya ya Wananchi inayoongozwana CCM katika Kata/Wadi hiyo.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi itakutana si chini yamara moja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano wa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi.Lakini Mwenyekiti asipoweza kuhudhuriaKatibu wa CCM wa Kata/Wadi atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

53. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi zitakuwa zifuatazo:-

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 45

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/ Wadi

Kazi za Kamatiya Siasa yaKata/ Wadi

Page 52: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Kata/Wadi hiyo.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katika

Kata/Wadi hiyo.(3) Kuandaa mikakati ya kampeni za uchaguzi na

kampeni nyinginezo katika Kata/Wadi hiyo.(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za kila

siku za CCM katika Kata/Wadi chini yauongozi wa Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi hiyo.

(5) Kumsimamisha uongozi kiongozi yeyotewa ngazi ya Tawi au Shina endapoitaridhika kwamba tabia na mwenendowake vinamuondolea sifa ya uongozi.

(6) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhati utekelezajiwa mipango hiyo, kudhibiti mapato nakusimamia matumizi bora ya fedha namali za Chama katika Kata/Wadi

(7) Unapofika wakati wa Uchaguzi Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi itashughulikia mambo yafuatayo:(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo yake

kwa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya juu ya wanachamawanaoomba nafasi ya uongozi wa CCMkupitia Kata/Wadi hiyo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya juu ya Wanachamawanaoomba Udiwani, Uenyekiti waMtaa, Ujumbe wa Kamati ya Mtaa,

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi46

Page 53: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Uenyekiti wa Kijiji na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji kwa mujibu washeria za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

(c) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwishowa Wanachama wanaoomba Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi,Ukatibu wa Uchumi na Fedha waTawi, Wajumbe wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi, Jimbo naWilaya kutoka katika Tawi.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya Kata/Wadi juu yaWanachama wa CCM wanaoombaUenyekiti na Ukatibu wa Tawi wa kilaJumuiya ya Wananchi inayoongozwana CCM, na Ujumbe wa kuiwakilishakila Jumuiya katika vikao vya CCM vyaKata/Wadi hiyo.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi.

(9) Kuona kwamba masuala wa Ulinzi naUsalama katika Kata/Wadi yanazingatiwa.

54. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi itakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi ambaye

atakuwa Mwenyekiti.(b) Katibu wa Siasa na Uenezi Kata/Wadi.(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi,(d) Makatibu wa Kata/Wadi wa Jumuiya za

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 47

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 54: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Wananchi zinazoongozwa na CCM.55 (1): Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya CCM ya Kata/Wadi-(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za

Chama katika Kata/Wadi.(b) Kuandaa Vikao vyote vya Chama vya

Kata/Wadi.(2) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya Kata/Wadi yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi .(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya Kata/Wadi.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Kata/Wadi.(d) Idara ya Organaizesheni ya Kata/Wadi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiisipokuwa kwamba Katibu wa CCM waKata/Wadi atakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Kata/Wadi.

56. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaKata/Wadi:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.(2) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.(3) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadi.(4) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi.

57. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiatachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCMwa Kata/Wadi. Atashika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miaka mitano lakinianaweza kuchaguliwa tena baada ya muda

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi48

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Wakuu waCCM wa Kata/Wadi

Mwenyekiti waCCM wa Kata/Wadi

Page 55: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

huo kumalizika.(2) Atakuwa na madaraka ya kuangalia mambo

yote ya CCM katika Kata/Wadi.(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa

CCM wa Kata/Wadi, Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi na Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(4) Katika mikutano anayoiongoza, zaidi ya kuwana kura yake ya kawaida, Mwenyekiti waCCM wa Kata/Wadi pia atakuwa na kura yauamuzi endapo kura za Wajumbe wanaoafikina wasioafiki zitalingana.

58. (1) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Kata/Wadi na atafanya kazi chini yauongozi wa Halmashauri Kuu ya Kata/Wadiyake. Majukumu yake ni haya yafuatayo:-(a) Kuratibu kazi zote za CCM katika

Kata/Wadi.(b) Ataitisha na kuongoza vikao vya

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agenda za Kamatiya Siasa ya Kata/Wadi na kuchukua hatuaza utekelezaji wa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi zote za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Kata/Wadi.

(d) Kufuatilia na kuratibu masuala ya Usalamana maadili ya Chama katika Kata/Wadi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 49

Katibu waCCM wa Kata/Wadi

Page 56: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedha na Maliya Chama katika Kata/Wadi.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasa yaKata/Wadi, Halmashauri Kuu ya Kata/Wadina Mkutano Mkuu wa Kata/Wadi baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCM wa KataWadi

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzikatika Kata/Wadi.

(5) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katika Kata/Wadi,ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya Vikao

vya Chama.(c) Kusimamia Jumuiya za wananchi

zinazoongozwa na CCM na Wazee waChama.

(d) Kusimamia masuala yote ya Uchaguzindani ya Chama na ule wa uwakilishikatika vyombo vya Dola,

(e) Kusimamia Muundo, Katiba, Kanunina Taratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

59. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi na atashughulikia masuala yote yaSiasa na Uenezi katika Kata/Wadi. Majukumuyake ni haya yafutayo:-(a) Kusimamia, kueneza na kufafanua masuala

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi50

Katibu waSiasa naUenezi waKata/ Wadi

Page 57: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

yote ya Itikadi, Siasa na Sera za Chama katikaKata/Wadi.

(b) Kupanga na kusimamia mafunzo namaandalizi ya Makada na wanachamakatika Kata/Wadi.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chama zaKijamii na Ilani za Uchaguzi za Chama katikaKata/Wadi.

(d) Kuwa na mipango ya Mawasiliano naUhamasishaji wa Umma katika Kata/Wadi.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati za Vyamavya Siasa katika Kata/Wadi.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya za Kijamiikatika Kata/Wadi.

60. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Kata/Wadi Majukumuyake ni haya yafuatayo:-(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa

Sera za CCM za Uchumi katika Kata/Wadi.(b) Kutekeleza Sera za CCM za Uchumi na

uwekezaji wa Chama katika Kata/Wadi.(c) Kubuni njia mbalimbali za kukipatia

Chama mapato.(d) Kusimamia mapato na matumizi ya fedha

na kutoa taarifa kwa Kamati ya Siasa yaKata/Wadi,

(e) Kusimamia mali za Chama na Kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Kata/Wadi.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 51

Katibu waUchumi naFedha waKata/ Wadi

Page 58: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA IV

VIKAO VYA JIMBO

61 (1) Kwa upande wa Tanzania Bara, kutakuwa naMkutano Mkuu wa Jimbo kwa kila Jimbo laUchaguzi wa Wabunge.

(2) Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Jimbowatakuwa ni hawa wafuatao:- (a) Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya

waliotajwa katika ibara ya 77(1)(a-e) yaKatiba ya CCM ambao ni:- Mwenyekiti waCCM wa Wilaya, Katibu wa CCM waWilaya, Mkuu wa Wilaya anayetokana naCCM, Katibu wa Siasa na Uenezi waWilaya, na Katibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya.

(b) Viongozi wote wa CCM wa Wilayawanaoishi katika Jimbo la Uchaguzilinalohusika.

(c) Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilayawaliotajwa katika ibara ya 77(1) (h-v)wanaoishi katika Jimbo la Uchaguzilinalohusika.

(d) Wajumbe wote wa Kamati za Siasa za Katazilizomo katika Jimbo la Uchaguzilinalohusika.

(e) Makatibu wa Jumuiya za UVCCM, UWT,na WAZAZI wa Kata zote zilizomo katikaJimbo la Uchaguzi linalohusika.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi52

Mkutano Mkuuwa JimboTanzania Bara

Page 59: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(f) Mbunge wa CCM wa Jimbo hilo laUchaguzi, na Wabunge wa CCM wa ainanyingine kama vile wa Viti Maalum au waKuteuliwa wanaoishi katika Jimbo laUchaguzi linalohusika.Isipokuwa kwamba katika Wilaya ambazoWilaya nzima ni Jimbo moja la Uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayauliotajwa katika Ibara ya 77(1) ya Katibandio utakaowapigia kura za maoniwanaoomba kugombea Ubunge.

(3) Mkutano huu utakuwa na kazi moja tu yakupiga kura za maoni kwa wagombeaUbunge kwa tiketi ya CCM. Kwa sababuhiyo, Mkutano huu utafanya vikao vyakekatika nyakati zile tu ambapo kuna zoezi lakura za maoni.

62. Kwa upande wa Tanzania Zanzibar, kutakuwana Vikao vya CCM vifuatavyo katika kila Jimbo:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya

Jimbo.(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya

Jimbo.

63. (1): Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo la Tanzania Zanzibar utakuwa na wajumbewafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 53

Vikao VyaCCM vyaJimbo

MkutanoMkuu waCCM wa JimboTanzaniaZanzibar

Page 60: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.(e) Mbunge na Mjumbe wa Baraza la

Wawakilishi wa Jimbo linalohusikaanayetokana na CCM.

(f) Wenyeviti wote wa CCM wa Matawi yaJimbo hilo.

(g) Makatibu wote wa CCM wa Matawi yaJimbo hilo.

(h) Makatibu wa Siasa na Uenezi wa CCMwa Matawi yote ya Jimbo hilo.

(i) Makatibu wa Uchumi na Fedha wa CCMwa Matawi yote ya Jimbo hilo.

(j) Wenyeviti na Makatibu wa Jumuiya zaCCM wa Jimbo.

(k) Mwenyekiti na Katibu wa CCM wa kilaWadi ya Jimbo.

(l) Makatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCMwa Wadi zote za Jimbo.

(m) Makatibu wa Uchumi na Fedha wa CCMwa Wadi zote za Jimbo.

(n) Wenyeviti na Makatibu wa Jumuiya zaCCM wa Wadi zote za Jimbo.

(o) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo kuingiakatika Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(p) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM waWilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi54

Page 61: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(q) Wajumbe waliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Jimbo wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa,watano kutoka kila Wadi ya Zanzibar.

(r) Madiwani wote wanaotokana na CCMwaliomo katika Wadi za Jimbo hilo.

(s) Wajumbe wa Halmashauri Kuu yaWilaya na Mkoa waliomo katika Jimbohilo.

(2) Mkutano Mkuu wa Jimbo ndicho kikao kikuucha CCM katika Jimbo.

(3) Mkutano Mkuu wa Jimbo utafanya mikutanoyake ya kawaida mara moja kwa mwaka,lakini unaweza kufanyika wakati wowotemwingine endapo itatokea haja ya kufanyahivyo, au kwa maagizo ya vikao vya juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo ataongozaMkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo. LakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria, Mkutanoutamchagua mjumbe mwingine ye yotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa Mkutano huo.

64. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbozitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za CCM

katika Jimbo iliyotolewa na HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo na kutoa maelekezoya utekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 55

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM wa Jimbo

Page 62: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

maagizo ya ngazi ya juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama na maendeleo kwajumla katika Jimbo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi, MkutanoMkuu wa CCM wa Jimbo utashughulikiamambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa CCM wa

Jimbo.(b) Kuwachagua wajumbe watano wa

kuingia katika Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo

(c) Kuwachagua wajumbe watano wakuhudhuria Mkutano Mkuu wa Wilaya

(d) Kuwachagua wajumbe watano kutokakila Wadi wa kuhudhuria MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa.

(e) Kupiga kura za maoni kwa majina yawana-CCM wanaoomba nafasi zaUbunge au Ujumbe wa Baraza laWawakilishi katika kila Jimbo laUchaguzi linalohusika. Kwamadhumuni ya kupiga kura za maoni,wajumbe wa Mkutano Mkuu wa JimboZanzibar watakuwa wafuatao:-(i) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(ii) Katibu wa CCM wa Jimbo.(iii) Wajumbe wengine wote wa

Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi56

Page 63: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(iv) Mbunge wa Jimbo anayetokanana CCM.

(v) Mwakilishi wa Jimboanayetokana na CCM.

(vi) Madiwani wa Wadi za Jimbowanaotokana na CCM.

(vii) Wajumbe wote wa Kamati zaSiasa za Halmashauri Kuu zaCCM za Wadi zote za Jimbo.

(viii) Wajumbe wote wa Kamati zaSiasa za Halmashauri Kuu zaCCM za Matawi yote ya Jimbo.

(ix) Wajumbe kumi waliochaguliwana Mkutao Mkuu wa CCM waJimbo kuhudhuria MkutanoMkuu wa CCM wa Wilaya.

(x) Wajumbe wa Halmashauri Kuu yaTaifa ya CCM wanaoishi katikaJimbo.

(xi) Wabunge wa Viti Maalum (CCM)wanaoishi katika Jimbo.

(xii) Wawakilishi wa Viti Maalum(CCM) wanaoishi katika Jimbo.

(xiii) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM waJimbo kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo.

(xiv) Wajumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya wanaoishi katikaJimbo.

(xv) Wenyeviti na Makatibu wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 57

Page 64: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Jumuiya za CCM ngazi ya Jimbo.(xvi) Wenyeviti na Makatibu wa

Jumuiya za CCM wa ngazi yaWadi zilizomo katika Jimbo.

(xvii) Wenyeviti na Makatibu waJumuiya za CCM wa ngazi yaMatawi yaliyomo katika Jimbo.

(xviii) Wajumbe wa Kamati zaUtekelezaji za Jumuiya za CCMwa ngazi ya Jimbo.

(xix) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa Taifa wa CCMwanaoishi katika Jimbo.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu wa CCMwa Jimbo kwa kadri itakavyoonekana inafaa.

65. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo itakuwana wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.(e) Mbunge na Mjumbe wa Baraza la

Wawakilishi wanaotokana na CCM waJimbo hilo.

(f) Madiwani wa Wadi za Jimbo hilowanaotokana na CCM.

(g) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa Jimbo kuingia katikaHalmashauri Kuu ya Jimbo.

(h) Wenyeviti wote wa CCM wa Wadi za

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi58

HalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 65: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Jimbo hilo.(i) Makatibu wote wa CCM wa Wadi za

Jimbo hilo.(j) Makatibu wote wa Siasa na Uenezi wa

Wadi za Jimbo hilo.(k) Makatibu wote wa Uchumi na Fedha wa

Wadi za Jimbo hilo.(l) Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya

ya CCM waliomo katika Jimbo hilo.(m) Mwenyekiti, Katibu wa Wadi na Mjumbe

mmoja ambao ni wana-CCM kutoka kilaJumuiya ya Wananchi inayoongozwa naCCM iliyomo katika Jimbo hilo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo itafanyamikutano yake ya kawaida kila baada yamiezi mitatu, lakini inaweza kufanyamikutano isiyo ya kawaida wakati wowoteendapo itatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo ataongozaMkutano wa Halmashauri Kuu ya Jimbo;lakini Mwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Jimbo atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

66. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbozitakuwa zifuatazo:-(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi wa

Ujamaa na Kujitegemea katika eneo lakela Jimbo.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi na Siasa yaCCM, na kueleza mipango ya CCM kwa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 59

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 66: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Wadi zote za Jimbo, na kubuni mbinuzinazofaa za kuimarisha CCM katika eneola Jimbo.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni za uchaguzina kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani yaCCM na kusimamia utekelezaji wa Siasana maazimio ya CCM kwa jumla katikaJimbo,

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama katika eneo la Jimbo.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM zaWadi za Jimbo kuhusu vitendo na njiazinazofaa za kuimarisha CCM.

(7) Kumsimamisha Uanachama Mwanachamayeyote ambaye mwenendo na tabia yakevinamuondolea sifa za Uanachama.

(8) Kufikisha kwenye Wadi maazimio namaagizo ya vikao vya juu na kufikishakwenye Vikao vya juu mapendekezokutoka Wadi.

(9) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Katibu wa CCM wa

Jimbo.(b) Kumchagua Katibu wa Siasa na

Uenezi wa Jimbo.(c) Kumchagua Katibu wa Uchumi na

Fedha wa Jimbo.(d) Kuwachagua Wajumbe watatu wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi60

Page 67: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo kutoka miongonimwao.

(e) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika uchaguzi waMwenyekiti na Katibu wa Wadi wakila Jumuiya inayoongozwa na CCMna wajumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCM vyaWadi zote za Jimbo hilo.

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Jimbo nafasi za uongozizinazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa Jimbo.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo kwa kadriitakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa kazi za CCMkatika Jimbo.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa Kazi za CCM zaJimbo na Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Jimbo.

(14) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili yaCCM ya Jimbo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 61

Page 68: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

67. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo itakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM wa

Jimbo.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM

wa Jimbo.(e) Mbunge na Mwakilishi wanaotokana

na CCM katika Jimbo.(f) Madiwani wanaotokana na CCM katika

Wadi za Jimbo.(g) Madiwani wa Viti Maalum wa CCM

wanaoishi katika Jimbo.(h) Wajumbe watatu waliochaguliwa na

Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbohilo.

(i) Mwenyekiti wa Jimbo wa kila Jumuiyaya wananchi inayoongozwa na CCMkatika Jimbo hilo.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaJimbo itafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi miwili.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo ataongozaMkutano wa Kamati ya Siasa ya Jimbo.Lakini Mwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Jimbo atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi62

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 69: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

68. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo zitakuwa zifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Jimbo.(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za kila

siku za CCM Jimboni chini ya uongozi waHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katikaJimbo.

(4) Kuandaa mikakati ya kampeni za uchaguzina kampeni nyinginezo katika Jimbo.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhati utekelezajiwa mipango hiyo, kudhibiti mapato nakusimamia matumizi bora ya fedha na maliza Chama katika Jimbo.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamati yaSiasa ya Jimbo itashughulikia mamboyafuatayo:-(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo yake

kwa Kamati ya Siasa ya Wilaya juu yawanachama wanaoomba uongozi waCCM wa Jimbo na kupitia Jimbo hilo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaKamati ya Siasa ya Wilaya juu yawanachama wanaoomba Udiwani auUwakilishi wa aina nyingine katikaSerikali za Mitaa kwa mujibu waSheria zilizopo.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya Jimbo juu yawanachama wa CCM wanaoomba

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 63

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 70: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Uenyekiti na Ukatibu wa Wadi wa kilaJumuiya ya wananchi inayoongozwa naCCM; na ujumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCM vyaWadi.

(7) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

(8) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama katika Jimbo yanazingatiwa.

69. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo itakuwa na wajumbe wafuatayo:-(a) Katibu wa CCM wa Jimbo ambaye atakuwa

Mwenyekiti,(b) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo,(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo,(d) Makatibu wa Jimbo wa Jumuiya za

wananchi zinazoongozwa na CCM.

70. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo yatakuwa yafuatayo:-(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za

Chama katika Jimbo.(b) Kuandaa vikao vyote vya Chama vya Jimbo.

(2) Majukumu ya Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya Jimbo yatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Jimbo.(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya Jimbo.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Jimbo.(d) Idara ya Organaizesheni ya Jimbo.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi64

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 71: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Halmashauri Kuu ya Jimbo isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Jimbo atakuwandiye Katibu wa Organaizesheni katika Jimbo.

71. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaJimbo:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(2) Katibu wa CCM wa Jimbo,(3) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo,(4) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.

72. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboatachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCMwa Jimbo. Atashika nafasi hiyo ya uongozikwa muda wa miaka mitano lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangalia mamboyote ya CCM katika Jimbo.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Jimbo, Mkutano waHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo naKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida, Mwenyekitiwa CCM wa Jimbo pia atakuwa na kura yauamuzi endapo kura za Wajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 65

Wakuu waCCM katikaJimbo

Mwenyekiti waCCM wa Jimbo

Page 72: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

73. (1) Katibu wa CCM wa Jimbo atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Jimbo na atafanya kazi chini yaHalmashauri Kuu ya Jimbo lake. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-(a) Kuratibu kazi zote za CCM katika Jimbo.(b) Kuitisha na kuongoza vikao vya

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaJimbo kwa madhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati ya Siasa yaJimbo na kuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM,

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Jimbo.

(d) Kufuatilia na kuratibu masuala ya Usalamana Maadili ya Chama katika Jimbo.

(e) Kusimamia Udhibiti wa fedha na mali yaChama katika Jimbo.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasa yaJimbo, Halmashauri Kuu ya Jimbo na MkutanoMkuu wa Jimbo baada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Jimbo

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzikatika Jimbo.

(5) Atashughulikia na kusimamia masuala yoteya Organaizesheni ya CCM katika Jimbo,ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya vikao vya

CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi66

Katibu waCCM wa Jimbo

Page 73: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(c) Kusimamia Jumuiya za wanachizinazoongozwa na CCM na Wazee waChama,

(d) Kusimamia masuala yote ya Uchaguziwa ndani ya Chama na ule waUwakilishi katika Vyombo vya Dola,

(e) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanuni naTaratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

74. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Jimbo. Majukumu yake nihaya yafuatayo:-(a) Kusimamia, kueneza na kufafanua

masuala yote ya Itikadi, Siasa na Sera zaCCM katika Jimbo.

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo namaandalizi ya Makada na Wanachamakatika Jimbo.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chama zaKijamii na Ilani za Uchaguzi za CCM katikaJimbo.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na vyombovya habari na kuwa na mipango yamawasiliano na uhamasishaji wa Ummakatika Jimbo.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa Jimboni.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Jimbo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 67

Katibu waSiasa naUenezi waJimbo

Page 74: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

75. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Jimbo. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa

Sera za CCM za Uchumi katika Jimbo.(b) Kutekeleza Sera za CCM za uchumi katika

Jimbo.(c) Kubuni na kutekeleza njia mbalimbali za

kukipatia Chama mapato.(d) Kusimamia mapato na matumizi ya fedha

na kutoa taarifa kwa Kamati ya Siasa yaJimbo.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Jimbo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi68

Katibu waUchumi naFedha waJimbo

Page 75: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA VVIKAO VYA WILAYA

76. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Wilaya:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya.(2 Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya

CCM ya Wilaya.(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya

Wilaya.(5) Kamati ya Madiwani wote wa CCM.

77 (1): Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayautakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Mkuu wa Wilaya ambaye ni

Mwanachama wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa

Wilaya(f) Mbunge au Wabunge/Wawakilishi

wanaotokana na CCM wanaowakilishaWilaya hiyo na Wabunge/Wawakilishiwa aina nyingine wanaotokana na CCMwanaoishi katika Wilaya hiyo.

(g) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya hiyo.

(h) Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa waliochaguliwa na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 69

Vikao vyaCCM vyaWilaya

MkutanoMkuu waCCM waWilaya

Page 76: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayahiyo.

(i) Wajumbe watatu ambao ni wana-CCMkutoka kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikisha naCCM iliyomo Wilayani.

(j) Wajumbe wote ambao ni wana-CCMkutoka kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikisha naCCM wanaowakilisha Jumuiya hizokatika Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa wanaoishi katika Wilaya hiyo.

(k) Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji,Meya wa Manispaa au Mwenyekiti waHalmashauri ya Wilaya anayetokana naCCM.

(l) Madiwani wote wa Wilaya hiyowanaotokana na CCM.

(m) Wenyeviti na Makatibu wa CCM waKata/Wadi za Wilaya hiyo.

(n) Makatibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi za Wilaya hiyo.

(o) Makatibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi za Wilaya hiyo.

(p) Wajumbe kumi waliochaguliwa na kilaKata ya Wilaya hiyo.

(q) Mjumbe mmoja aliyechaguliwa naMkutano Mkuu wa kila Tawi la Wilayahiyo.

(r) Wenyeviti wote wa CCM wa Matawikatika Wilaya hiyo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi70

Page 77: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(s) Makatibu wote wa CCM wa Matawikatika Wilaya hiyo.

(t) Makatibu wa Siasa na Uenezi wote waMatawi katika Wilaya hiyo.

(u) Makatibu wa Uchumi na Fedha wote waMatawi katika Wilaya hiyo.

(v) Wajumbe wengine wote wa MkutanoMkuu wa Mkoa wanaoishi katika Wilayahiyo.

(w) Kwa Wilaya za Zanzibar, Wajumbewengine wa Mkutano Mkuu wa Wilaya nihawa wafuatao:-- Wenyeviti na Makatibu wote wa CCM

wa Majimbo.- Makatibu wa Siasa na Uenezi wa

Majimbo.- Makatibu wa Uchumi na Fedha wa

Majimbo.- Wenyeviti na Makatibu wa Majimbo wa

Jumuiya zinazoongozwa na CCM.- Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa

Wilaya na Mkoa kupitia kila Jimbolinalohusika.

(2) Mkutano Mkuu wa Wilaya ndicho kikao kikuucha CCM katika Wilaya.

(3) Madiwani wote wanaotokana na CCM, kwapamoja, watakuwa Kamati ya Madiwani waCCM ambayo kazi yake itakuwa ni kusimamiakwa jumla utekelezaji wa Ilani ya CCM na Siasaya CCM katika shughuli zote zinazoendeshwana Halmashauri za Wilaya. Pale ambapo CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 71

Page 78: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

haiongozi Halmashauri ya Wilaya, Kamati yaMadiwani wote wa CCM itahusika nakusimamia, kutetea na kuendeleza maslahi yaCCM katika Halmashauri ya Wilaya inayohusika.Kwa upande wa Zanzibar, Wabunge naWawakilishi wa kila Wilaya watakuwa Wajumbewa Kamati ya Madiwani wote wa CCM kwautaratibu na kiwango cha uwakilishikitakavyowekwa na Halmashauri Kuu ya Wilaya.

(4) Mkutano Mkuu wa Wilaya utafanya mikutanoyake ya kawaida mara moja kila mwaka, lakiniunaweza kukutana wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo au kwa maagizoya vikao vya juu.

(5) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ataongozaMkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya; lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria Mkutanoutamchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa Mkutano huo.

78. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayazitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za CCM

iliyotolewa na Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya, na kutoa maelekezo ya utekelezajiwa Siasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio na maagizoya ngazi za juu yanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuulinzi na usalama na maendeleo kwa jumlakatika Wilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi72

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waWilaya

Page 79: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi MkutanoMkuu wa CCM wa Wilaya utashughulikiamambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti wa CCM waWilaya.

(b) Kuwachagua Wajumbe kumi kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.

(c) Kuwachagua Wajumbe wawili kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa.

(d) Kuwachagua Wajumbe watanokuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu wa CCMwa Wilaya kwa kadri itakavyoonekana inafaa.

(6) Mkutano Mkuu wa Wilaya waweza kukasimumadaraka yake kwa Halmashauri Kuu yaWilaya kuhusu utekelezaji wa kazi zake kwakadri utakavyoona inafaa.

79. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya itakuwana wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Mkuu wa Wilaya ambaye ni

Mwanachama wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya,(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya.(f) Mbunge au Wabunge/Wawakilishi

wanaotokana na CCM wanaowakilishaWilaya hiyo au Wabunge/Wawakilishi waViti Maalum wanaoishi katika Wilaya hiyo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 73

HalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 80: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(g) Wajumbe wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM wanaowakilishaWilaya hiyo au Wawakilishi wa VitiMaalum wanaoishi katika Wilaya hiyo.

(h) Wajumbe kumi waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya.

(i) Mwenyekiti, Katibu wa Wilaya naMjumbe mmoja ambao ni wana-CCMkutoka kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikisha naCCM iliyopo Wilayani wanaowakilishaJumuiya hiyo kwenye Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya.

(j) Wenyeviti wa CCM wa Kata/Wadi naJimbo waliomo katika Wilaya hiyo.

(k) Makatibu wa CCM wa Kata/Wadi naJimbo waliomo katika Wilaya hiyo.

(l) Makatibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi na Jimbo waliomo katikaWilaya hiyo.

(m) Makatibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi na Jimbo waliomo katikaWilaya hiyo.

(n) Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji,Manispaa au Mwenyekiti wa Halmashauriya Wilaya hiyo anayetokana na CCM.

(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaMadiwani wa CCM na Madiwani wenginewa CCM waliomo katika Wilaya hiyo.

(p) Wajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi74

Page 81: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wanaoishi katika Wilaya hiyo.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya itafanya

mikutano yake ya kawaida mara moja kilabaada ya miezi mitatu. Lakini inawezakufanya mkutano usiokuwa wa kawaidawakati wowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo.

(3) Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Wilayautakaofanyika katika kipindi cha miezi sita yakwanza ya kila mwaka utakuwa pia na KaziMaalum ya kupokea na kujadili Taarifa yaUtekelezaji wa Ilani ya CCM unaofanywa namamlaka za Serikali za Mitaa katika Wilayahiyo, katika mwaka wa Fedha uliopita wamamlaka hizo, uliomalizika tarehe 31Desemba ya mwaka unaohusika. Isipokuwakwamba kwa Halmashauri ya Jiji, ambalomipaka yake inaunganisha Wilaya zaidi yamoja, Taarifa zake zitapokelewa nakujadiliwa na Halmashauri Kuu ya Mkoaunaohusika na Mamlaka hiyo.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ataongozaMkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya, lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Wilaya atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

80. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayazitakuwa zifuatazo:-(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi wa Ujamaa

na Kujitegemea katika eneo la Wilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 75

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 82: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi na Siasa yaCCM na kueleza mipango ya CCM kwaKata/Wadi na Majimbo yote ya Wilaya, nakubuni mbinu zinazofaa za kuimarishaCCM katika Wilaya.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni za uchaguzina kampeni nyinginezo katika Wilaya.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani yaCCM na kusimamia utekelezaji wa Siasa naMaazimio ya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba shughuli za maendeleo yaUlinzi na Usalama zinazingatiwa katikaWilaya.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM zaKata zote upande wa Tanzania Bara; na zaWadi na Majimbo upande wa Zanzibar,kuhusu njia zinazofaa za kuimarisha CCMna kuleta maendeleo Wilayani.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama pamoja na viongozi wa CCMkatika Wilaya na inapolazimu kutoa taarifakwa vikao vinavyohusika.

(8) Kufikisha kwenye Kata, Wadi, Jimbomaazimio na maagizo ya vikao vya juu nakufikisha kwenye Vikao vya juumapendekezo kutoka kwenye Kata/JWadina imbo.

(9) Unapofika wakati wa uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kuwachagua kutoka miongoni mwao

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi76

Page 83: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Wajumbe watano kwa Wilaya zaTanzana Bara, na watatu kwa Wilayaza Tanzania Zanzibar kuingia katikaKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaWilaya.

(b) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwishowa wanachama wanaoomba Uenyekitina Ukatibu wa CCM wa Tawi, Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi, Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Kata/Wadi na Ukatibu waUchumi na Fedha wa Kata/Wadi,Uenyekiti wa Mtaa, Ujumbe waKamati ya Mtaa, Uenyekiti na Ujumbewa Halmashauri ya Kijiji.

(c) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majina yawanachama wa CCM watakaosimamakatika uchaguzi wa Mwenyekiti naKatibu wa Kata/Wadi wa kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa na CCM naUjumbe wa kuiwakilisha kila Jumuiyakatika vikao vya CCM vya Kata/Wadi zaWilaya inayohusika.

(d) Kumchagua Katibu wa Siasa na Ueneziwa Wilaya,

(e) Kumchagua Katibu wa Uchumi naFedha wa CCM wa Wilaya.

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya nafasi za Uongozizinazokuwa wazi isipokuwa ya Mwenyekitiwa CCM wa Wilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 77

Page 84: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo kamaitakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa kazi za CCM katikaWilaya. Isipokuwa kwamba Halmashauri Kuuya Wilaya itaunda Kamati Ndogo kwa kilaJimbo la Uchaguzi wa Wabunge/Wawakilishilililomo katika Wilaya hiyo, ambayo itaitwaKamati ya Jimbo. Kamati hiyo itakuwa naWajumbe wote wa Halmashauri Kuu yaWilaya wanaotoka katika Jimbo la Uchaguzilinalohusika, na itakuwa na uwezo wakuchagua Mwenyekiti na Katibu wake. Kazikubwa ya Kamati ya Jimbo la Uchaguziitakuwa ni kubuni mbinu za kuimarishaChama katika Jimbo hilo, pamoja na kupangamikakati inayofaa ya Kampeni za uchaguzikwa lengo la kuipatia CCM ushindi.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji waKazi za CCM za Wilaya na Kamati yaMadiwani wa CCM wa Wilaya.

(14) Kumwachisha au kumfukuza uongoziMwenyekiti au Katibu wa CCM wa Tawi.

(15) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili yaCCM ya Wilaya.

(16) Halmashauri Kuu ya Wilaya yawezakukasimu madaraka yake kwa Kamati ya Siasaya Wilaya kuhusu utekelezaji wa kazi zakekwa kadri itakavyoona inafaa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi78

Page 85: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

81. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya itakuwa na wajumbe wafuatao:(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Mkuu wa Wilaya ambaye ni

Mwanachama wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya;(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa

Wilaya.(f) Mbunge au Wabunge wanaotokana na

CCM wanaowakilisha Wilaya hiyo auWabunge wa aina nyingine wanaoishikatika Wilaya hiyo.

(g) Wajumbe wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM wanaowakilishaWilaya hiyo au Wawakilishi wa ainanyingine wanaoishi katika Wilaya hiyo.

(h) Wajumbe waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilayakuingia katika Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilayawatano kwa Wilaya za Tanzania Bara nawatatu kwa Wilaya za TanzaniaZanzibar.

(i) Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji,Manispaa au Mwenyekiti waHalmashauri ya Wilaya hiyoanayetokana na CCM.

(j) Mwenyekiti wa Wilaya wa kila Jumuiyaya Wananchi inayoongozwa na CCMiliyomo katika Wilaya hiyo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 79

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 86: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(k) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaMadiwani wa CCM.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaWilaya itafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kwa mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ataongozaMkutano wa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya. LakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria Katibuwa CCM wa Wilaya atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

82. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya zitakuwa zifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Wilaya.(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za kila

siku za CCM Wilayani chini ya uongozi waHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.

(3) Kueneza Itikadi ya CCM katika Wilaya.(4) Kupanga mikakati ya kampeni za uchaguzi

na kampeni nyinginezo.(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chama

mapato, kusimamia kwa dhati utekelezajiwa mipango hiyo, kudhibiti mapato nakusimamia matumizi bora ya fedha namali za Chama katika Wilaya.

(6) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya itashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi80

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 87: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

ya CCM ya Mkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi za uongozi wa CCMkupitia Wilaya hiyo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya juuya wanachama wanaoomba Uenyekitina Ukatibu wa CCM wa Tawi; Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi; Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/Wadi; Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Kata/Wadi, Uenyekiti waMtaa, Uenyekiti na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa juu ya Wanachamawanaoomba Uenyekiti na Ukatibu waCCM wa Jimbo; Katibu wa Siasa naUenezi wa Jimbo; Katibu wa Uchumi naFedha wa Jimbo; Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo,Uenyekiti na Ukatibu wa CCM waKata/Wadi, Katibu wa Siasa na Ueneziwa Jimbo; Katibu wa Uchumi na Fedhawa Jimbo na wagombea Udiwani waCCM kwa mujibu wa sheria zilizopo zaUchaguzi wa Serikali za Mitaa.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Ubunge na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 81

Page 88: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wanachama wanaoomba nafasi yaUjumbe wa Baraza la Wawakilishi.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya Wilaya juu yawanachama wa CCM wanaoombaUenyekiti na Ukatibu wa Kata/Wadi wakila Jumuiya ya Wananchi inayoongozwana CCM na wanaoomba Ujumbe wakuiwakilisha kila Jumuiya katika vikaovya CCM vya Kata/Wadi za Wilayainayohusika.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongozi yeyote waKata/Wadi endapo itadhihirika kwambatabia na mwenendo wake vinamwondoleasifa za uongozi.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama yanazingatiwa katika Wilaya.

83: Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya itakuwa na wajumbe wafuatao:-(1) Katibu wa CCM wa Wilaya ambaye

atakuwa Mwenyekiti.(2) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.(3) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya

(4) Makatibu wa Wilaya wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi82

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 89: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

84 (1) Majukumu ya Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya yatakuwa yafuatayo:-(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za

Chama katika Wilaya.(b) Kuandaa shughuli za vikao vyote vya

Chama vya Wilaya.(2) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu

ya CCM ya Wilaya yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Wilaya.(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya Wilaya.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Wilaya.(d) Idara ya Organaizesheni ya Wilaya.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Wilaya isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Wilaya atakuwandiye Katibu wa Organaizesheni katika Wilaya.

85. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaWilaya:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.(2) Katibu wa CCM wa Wilaya.(3) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.(4) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya.

86. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya atachaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya.Atashika nafasi hiyo kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwa tenabaada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na wajibu wa kuangalia mambo yoteya CCM katika Wilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 83

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Wakuu waCCM katikaWilaya

Mwenyekiti waCCM waWilaya

Page 90: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya, Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya na Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi ya kuwana kura yake ya kawaida, Mwenyekiti waCCM wa Wilaya pia atakuwa na kura yauamuzi endapo kura za wajumbe wanaoafikina wasioafiki zitalingana.

87. (1) Katibu wa CCM wa Wilaya atateuliwa naKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMWilayani na atafanya kazi chini ya uongoziwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.Majukumu yake ni haya yafuatayo:-(a) Kuratibu kazi zote za CCM katika

Wilaya.(b) Ataitisha na kuongoza vikao vya

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agenda za Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilayana kuchukua hatua za utekelezaji wamaamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Wilaya,

(d) Kufuatilia na kuratibu masuala yaUsalama na Maadili ya Chama katikaWilaya.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedha na Mali

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi84

Katibu waCCM waWilaya

Page 91: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

ya Chama katika Wilaya.(3) Kuitisha mikutano ya Kamati ya Siasa ya

Wilaya, Halmashauri Kuu ya Wilaya naMkutano Mkuu wa Wilaya baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCM waWilaya.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzikatika Wilaya.

(5) Atashughulikia na kusimamia masuala yoteya Organaizesheni ya CCM katika Wilaya,ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya vikao

vya Chama.(c) Kusimamia Jumuiya zinazoongozwa na

CCM na Wazee wa Chama.(d) Kusimamia masuala yote ya Uchaguzi

wa ndani ya Chama na ule waUwakilishi katika Vyombo vya Dola.

(6) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanuni naTaratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

88. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Wilaya. Majukumu yake nihaya yafuatayo:(a) Kushughulikia masuala yote ya Itikadi,

Siasa na Sera za CCM katika Wilaya,(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 85

Katibu waSiasa naUenezi waWilaya

Page 92: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Maandalizi ya Makada na Wanachamakatika Wilaya.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chama zaKijamii na Ilani za Uchaguzi za CCM katikaWilaya.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na Vyombovya Habari na kuwa na mipango yamawasiliano na uhamasishaji wa ummakwa ujumla katika Wilaya.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa Wilayani.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Wilaya.

89. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya Wilaya naatashughulikia masuala yote ya Uchumi naFedha katika Wilaya. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa

sera za CCM za Uchumi katika Wilaya,(b) Kubuni na kufuatilia mipango ya Vitega

Uchumi na Uwekezaji wa Chama katikangazi ya Wilaya.

(c) Kutekeleza mipango ya vitega uchumi nauwekezaji wa Chama katika ngazi yaWilaya.

(d) Kuchochea na kuratibu vitega uchumi namipango ya uwekezaji wa Chama katikangazi za chini za Wilaya inayohusika,

(e) Kutafuta na kusimamia mapato na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi86

Katibu waUchumi naFedha waWilaya

Page 93: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

matumizi ya fedha na kutoa taarifa kwaKamati ya Siasa ya Wilaya.

(f) Kusimamia mali za Chama na kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Wilaya.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 87

Page 94: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA VIVIKAO VYA MKOA

90. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Mkoa:(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya

CCM ya Mkoa.(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya

Mkoa.

91.(1): Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa utakuwana Wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.(c) Mkuu wa Mkoa ambaye ni

Mwanachama wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa(f) Mjumbe au Wajumbe wa Halmashauri

Kuu ya CCM ya Taifa nafasi ya Mkoa naWajumbe wengine wa Halmashauri Kuuya Taifa wanaoishi katika Mkoa huo.

(g) Wabunge wote wanaotokana na CCMwanaowakilisha Wilaya za Mkoa huo naWabunge wa aina nyingine wanaotokanana CCM wanaoishi katika Mkoa huo.

(h) Wajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana na CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi88

Vikao vyaCCM vyaMkoa

MkutanoMkuu waCCM wa Mkoa

Page 95: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wanaowakilisha Wilaya za Mkoa huo auWawakilishi wa aina nyingine wanaoishikatika Mkoa huo.

(i) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

(j) Mwenyekiti, Katibu, Mjumbe waMkutano Mkuu wa Taifa wa Mkoa naMjumbe mwingine mmoja aliyechaguliwana kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM iliyomo Mkoani.

(k) Meya wa Jiji au Mji wenye hadhi ya Jiji.(l) Wajumbe wawili waliochaguliwa kutoka

kila Wilaya.(m) Wenyeviti na Makatibu wote wa CCM

wa Wilaya katika Mkoa huo.(n) Wakuu wote wa Wilaya ambao ni

Wanachama wa CCM katika Mkoa huo.(o) Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya

za Mkoa.(p) Makatibu wa Uchumi na Fedha wa

Wilaya za Mkoa.(q) Wenyeviti wa Halmashauri za Mji, Meya

wa Manispaa na Wenyeviti waHalmashauri za Wilaya katika Mkoa huo,

(r) Wajumbe watano wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa, wanaowakilisha kilaWilaya ya Mkoa huo.

(s) Wenyeviti na Makatibu wa CCM waMajimbo ya Mkoa unaohusika, waTanzania Zanzibar.

(t) Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 89

Page 96: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Kata/Wadi zilizomo katika Mkoa huo.(u) Makatibu wa Siasa na Uenezi; na

Makatibu wa Uchumi na Fedha waMajimbo ya CCM ya Mkoa unaohusikawa Tanzania Zanzibar.

(v) Madiwani wote wanaotokana na CCMwanaoishi katika Mkoa huo.

(w) Makatibu wa Siasa na Uenezi; naMakatibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi zilizomo katika Mkoa huo.

(x) Mjumbe mmoja kutoka kila Kata kwaupande wa Tanzania Bara na Wajumbewatano kutoka kila Wadi kwa upandewa Tanzania Zanzibar waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wa kilaWadi iliyomo katika Mkoa huo.

(y) Wajumbe watatu waliochaguliwa kutokakila Jimbo la Mkoa unaohusika waTanzania Zanzibar.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa ndichokikao kikuu cha CCM katika Mkoa.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa utafanyamikutano yake ya kawaida mara tatu katikakipindi cha miaka mitano. Mikutano miwiliitakuwa ya uchaguzi na mmoja wa kazi.Lakini mkutano usio wa kawaida unawezakufanyika wakati wowote endapo itatokeahaja ya kufanya hivyo au kwa maagizo yakikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa ataongozaMkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa, lakini

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi90

Page 97: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

asipoweza kuhudhuria mkutano huoutamchagua Mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa mkutano huo.

(5) Madiwani wote wanaoishi katika Jiji au Mjiwenye hadhi ya Jiji wanaotokana na CCMkwa pamoja watakuwa ni Kamati yaMadiwani wa CCM ya Mkoa katika Jiji au Mjiunaohusika. Kazi yake itakuwa ni kusimamiakwa jumla utekelezaji wa Ilani ya CCM naSiasa ya CCM katika shughuli zotezinazoendeshwa na Halmashauri ya Jiji auHalmashauri ya Mji wenye hadhi ya Jiji.

92. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoazitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za CCM

iliyotolewa na Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa na kutoa maelekezo ya utekelezajiwa Siasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama, na maendeleo kwajumla katika Mkoa huo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi, MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa utashughulikiamambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti wa CCM waMkoa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 91

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM wa Mkoa

Page 98: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(b) Kumchagua Mjumbe mmoja kwaMikoa ya Tanzania Bara na Wajumbewanne kwa Mikoa ya TanzaniaZanzibar wa kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifanafasi za Mkoa.

(c) Kuwachagua Wajumbe wawili kutokakila Wilaya ya Tanzania Bara naWajumbe watano kutoka kila Wilaya yaTanzania Zanzibar kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(4) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa kwa kadri itakavyoonekanainafaa.

(5) Mkutano Mkuu wa Mkoa waweza kukasimumadaraka yake kwa Halmashauri Kuu yaMkoa kuhusu utekelezaji wa kazi zake kwakadri utakavyoona inafaa.

93. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa itakuwana wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.(c) Mkuu wa Mkoa ambaye ni Mwanachama

wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa(f) Mjumbe au Wajumbe wa Halmashauri

Kuu ya CCM ya Taifa nafasi za Mkoa huo.(g) Wenyeviti wote wa CCM wa Wilaya za

Mkoa huo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi92

HalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 99: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(h) Makatibu wa CCM wa Wilaya za Mkoa huo.(i) Makatibu wa Siasa na Uenezi na

Makatibu wa Uchumi na Fedha waWilaya za Mkoa huo.

(j) Wabunge wote wanaotokana na CCMwanaowakilisha Wilaya za Mkoa huo auWabunge wa wa aina nyingine wanaoishikatika Mkoa huo.

(k) Wajumbe wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM wanaowakilishaWilaya za Mkoa huo au Wawakilishi waaina nyingine wanaoishi katika Mkoa huo.

(l) Meya wa Jiji au Meya wa Mji wenyehadhi ya Jiji anayetokana na CCM

(m) Wenyeviti wa Halmashauri za Miji, Meyawa Mji au Wenyeviti wa Halmashauri zaWilaya katika Mkoa huo wanaotokana naCCM.

(n) Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Mkoawanaochaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa, wawili kutoka kila Wilayaya Tanzania Bara na watano kutoka kilaWilaya za Tanzania Zanzibar.

(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaMadiwani wa CCM ya Mkoa wenye Jijiau Mji wenye hadhi ya Jiji.

(p) Mwenyekiti, Katibu wa Mkoa na Mjumbeau wajumbe ambao ni Wana-CCMwa Baraza Kuu la Taifa wa kila Jumuiya ya Wananchi inayoongozwa auinayojishirikisha na CCM iliyopo Mkoani.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 93

Page 100: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa itafanyamikutano yake ya kawaida mara moja kilabaada ya miezi mitatu, lakini inaweza kufanyamkutano usiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja ya kufanyahivyo au kwa maagizo ya Kikao cha juu.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa ataongozaMkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Mkoa atakuwaMwenyekiti wa muda wa mkutano huo.

94. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoazitakuwa zifuatazo:-(1) Kuongoza na Kusimamia ujenzi wa

Ujamaa na Kujitegemea katika Mkoa.(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi na Siasa ya

CCM, kueleza Mipango ya CCM kwaWilaya za CCM za Mkoa huo, na kubunimbinu zinazofaa za kuimarisha CCMkatika Mkoa.

(3) Kupanga mikakati ya Kampeni za Uchaguzina kampeni nyinginezo katika Mkoa.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilaniya CCM na kusimamia utekelezaji waSiasa na maazimio yaliyopitishwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa naMkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa.

(5) Kuona kwamba shughuli za Maendeleona za Ulinzi na Usalama katika Mkoazinazingatiwa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi94

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 101: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(6) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(7) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM zaWilaya katika njia zinazofaa zakuimarisha CCM, na za kuletamaendeleo katika Mkoa.

(8) Kuangalia mwenendo na vitendo vyaWanachama na viongozi wa CCM katikaMkoa na inapolazimu kutoa taarifa kwavikao vinavyohusika.

(9) Kufikisha maazimio na maagizo ya vikaovya juu kwa ngazi za chini yake, nakufikisha mapendekezo kutoka ngazihizo kwa vikao vya juu.

(10) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Katibu wa Siasa na

Uenezi wa Mkoa.(b) Kumchagua Katibu wa Uchumi na

Fedha wa Mkoa.(c) Kuwachagua Wajumbe wa Kamati ya

Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa, watano kwa Mikoa ya TanzaniaBara, na watatu kwa Mikoa ya TanzaniaZanzibar kutoka miongoni mwao.

(d) Kwa upande wa Tanzania Bara,itafikiria na kufanya uteuzi wa mwishowa wanachama wanaoomba Uenyekitiwa CCM wa Kata; Ukatibu wa CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 95

Page 102: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa Kata; Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Kata; Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Kata; Udiwani; Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Wilaya; Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wilaya; Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCM yaKata,Wilaya na Mkoa, Wajumbe waMkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya,Mkoa na Mkutano Mkuu wa CCMTaifa.

(e) Kwa upande wa Tanzania Zanzibar,itafikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa wanachama wanaoombaUenyekiti wa CCM wa Wadi; Ukatibuwa CCM wa Wadi; Ukatibu wa Siasana Uenezi wa Wadi; Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wadi, Udiwani;Ukatibu wa Siasa na Uenezi waJimbo; Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Jimbo; Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Wilaya, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wilaya,Uenyekiti na Ukatibu wa Jimbo,Ujumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wadi, Jimbo, Wilaya naMkoa, Ujumbe wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya,Mkoa na Taifa.

(f) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majinaya wanachama wa CCMwanaogombea Uenyekiti wa Wilayawa kila Jumuiya ya Wananchi

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi96

Page 103: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

inayoongozwa na CCM na majina yakuiwakilisha kila Jumuiya katika vikaovya CCM vya Wilaya za Mkoaunaohusika.

(11) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa nafasi za uongozizitakazokuwa wazi isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(12) Kuunda Kamati Ndogo kwa kadriitakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa kazi za CCMkatika Mkoa.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za utekelezaji wa kazi za CCM zaMkoa na Kamati ya Madiwani wa CCMya Mkoa pale panapohusika.

(14) Kumwachisha au kumfukuza UanachamaMwanachama yeyote endapo itaridhikakwamba tabia na mwenendo wakevinamwondolea sifa za Uanachama.Mwanachama anayeachishwa aukufukuzwa Uanachama anaweza kukatarufaa kwa Kamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(15) Kumwachisha au kumfukuza uongozikiongozi yeyote ambaye uteuzi wake wamwisho unafanywa na Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa.

(16) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili yaCCM ya Mkoa.

(17) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 97

Page 104: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

yaweza kukasimu madaraka yake kwaKamati ya Siasa ya Mkoa kuhusuutekelezaji wa kazi zake kwa kadriitakavyoona inafaa.

95. (1) Kutakuwa na Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa katika kila Mkoaambayo itakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.(c) Mkuu wa Mkoa ambaye ni Mwanachama

wa CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.(e) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa.(f) Mjumbe au Wajumbe wa Halmashauri

Kuu ya CCM ya Taifa nafasi za Mkoa huo.(g) Mwenyekiti wa Mkoa wa kila Jumuiya ya

wananchi inayoongozwa na CCM katikaMkoa huo.

(h) Wajumbe waliochaguliwa na HalmashauriKuu ya Mkoa kuingia katika Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa,watano kwa mikoa ya Tanzania Bara nawatatu kwa mikoa ya Tanzania Zanzibar.

(i) Meya wa Jiji ambalo mipaka yakeinaunganisha zaidi ya Wilaya mojaanayetokana na CCM.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa ataongozaMkutano wa Kamati ya Siasa ya

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi98

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 105: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa. LakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria, Katibuwa CCM wa Mkoa atakuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

96. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa zitakuwa zifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Mkoa.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katika

Mkoa.(3) Kuandaa mikakati ya kampeni za uchaguzi

na kampeni nyinginezo katika Mkoa.(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za kila

siku za CCM na maamuzi yote ya CCMchini ya Uongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhati utekelezajiwa mipango hiyo, kudhibiti mapato nakusimamia matumizi bora ya fedha namali za Chama katika Mkoa.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa itashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kwa upande wa Tanzania Bara,

itafikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachama wanaoombanafasi ya Mwenyekiti wa CCM waKata, Katibu wa CCM wa Kata,Diwani, Katibu wa Siasa na Uenezi waKata na Wilaya; Katibu wa Uchumi na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 99

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 106: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Fedha wa Kata na Wilaya; Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata,Wilaya na Mkoa. Ujumbe waMkutano Mkuu wa CCM wa Wilayana Mkoa na Ujumbe wa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa.

(b) Kwa upande wa Tanzania Zanzibar,itafikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachama wanaoombanafasi ya Mwenyekiti wa CCM waWadi; Katibu wa CCM wa Wadi;Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wadina Jimbo, Katibu wa Uchumi naFedha wa Wadi na Jimbo. Diwani,Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya;Katibu wa Uchumi na Fedha waWilaya; Mjumbe wa Halmashauri Kuuya CCM ya Wadi Jimbo, Wilaya naMkoa, na Mjumbe wa Mkutano Mkuuwa Wilaya, Mkoa na Taifa.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa juu ya wanachamawanaoomba nafasi ya uongozi katikakila Mkoa wa Tanzania Bara ambaouteuzi wao wa mwisho hufanywa navikao vya juu.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya Taifa juu ya Wanachama

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi100

Page 107: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wanaoomba nafasi za uongozi katikakila Mkoa wa Tanzania Zanzibarambao uteuzi wao wa mwishohufanywa na vikao vya juu.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa juu ya Wanachamawanaoomba Ubunge kutoka TanzaniaBara.

(f) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa juu yaWanachama wanaoomba Ubunge naUjumbe wa Baraza la Wawakilishikutoka Zanzibar.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya Wanachama wa CCMwanaoomba nafasi za uongozi katikaJumuiya za Wananchi zinazoongozwana CCM, ngazi ya Wilaya ambazouteuzi wake wa mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaunaohusika. Vile vile itafikia na kutoamapendekezo yake kwa Vikao vyaChama ngazi ya juu kuhusu Wana-CCM wanaoomba nafasi za uongozi wakila Jumuiya ya CCM ngazi ya Mkoa.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongozi yeyotewa ngazi ya Wilaya endapo itaridhikakwamba tabia na mwenendo wake

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 101

Page 108: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

vinamwondolea sifa za uongozi,isipokuwa kwamba haitakuwa na uwezowa kumsimamisha uongozi Kiongoziambaye uteuzi wake wa mwishohaukufanywa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama na ya Maendeleo yanazingatiwakatika Mkoa.

97. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa itakuwa na wajumbe wafuatao:-(1) Katibu wa CCM wa Mkoa ambaye

atakuwa Mwenyekiti.(2) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.(3) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa.(4) Makatibu wa Mkoa wa Jumuiya za

Wananchi zinazoongozwa na CCM.

98. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa yatakuwa yafuatayo:-(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za

Chama katika Mkoa.(b) Kuandaa shughuli za vikao vyote vya

Chama vya Mkoa.(2) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya Mkoa yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Mkoa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi102

Page 109: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya Mkoa.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Mkoa.(d) Idara ya Organaizesheni ya Mkoa.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Mkoa atakuwandiye Katibu wa Organaizesheni katika Mkoa.

99. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaMkoa:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(2) Katibu wa CCM wa Mkoa.(3) Mjumbe au Wajumbe wa Halmashauri

Kuu ya CCM ya Taifa nafasi ya Mkoa.(4) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.(5) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa.

100 (1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa atachaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa naatashika nafasi hiyo ya Uongozi kwa mudawa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangalia mamboyote ya CCM katika Mkoa.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa, Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa na Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida, Mwenyekiti

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 103

Wakuu waCCM wa Mkoa

Mwenyekiti waCCM wa Mkoa

Page 110: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa CCM wa Mkoa atakuwa pia na kura yauamuzi iwapo kura za wanaoafiki nawasioafiki zitalingana.

101. (1) Katibu wa CCM wa Mkoa atateuliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa

(2) Atakuwa Mtendaji Mkuu wa shughuli zoteza CCM katika Mkoa na atafanya kazi chiniya uongozi wa Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa wake. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCM katikaMkoa.

(b) Ataitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agenda za Kamatiya Siasa ya Mkoa na kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Mkoa.

(d) Kufuatilia na kuratibu masuala yaUsalama na Maadili ya Chama katikaMkoa.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedha na Maliya Chama katika Mkoa.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasa yaMkoa, Halmashauri Kuu ya Mkoa naMkutano Mkuu wa Mkoa baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCM waMkoa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi104

Katibu wa CCMwa Mkoa

Page 111: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzikatika Mkoa.

(5) Atashughulikia na kusimamia masuala yoteya Organaizesheni ya CCM katika Mkoa,ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya vikao

vya Chama.(c) Kusimamia Jumuiya zinazoongozwa

na CCM na Wazee wa Chama.(d) Kusimamia na kuratibu masuala yote ya

Uchaguzi wa ndani ya Chama na ulewa Uwakilishi katika vyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanunina Taratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

102. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Mkoa. Majukumu yake nihaya yafuatayo:-(a) Kusimamia, kueneza na kufafanua masuala

yote ya Itikadi, Siasa na Sera za CCM katikaMkoa.

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo naMaandalizi ya Makada na Wanachamakatika Mkoa.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chama zaKijamii na Ilani za Uchaguzi za CCM katikaMkoa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 105

Katibu wa Siasana Uenezi waMkoa

Page 112: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na Vyombo vyaHabari na kuwa na mipango ya mawasilianona Uhamasishaji wa Umma kwa jumla katikaMkoa.

(e) Kufuatilia hali ya Kisiasa Mkoani.(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya za Kijamii

Mkoani.

103. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Mkoa. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa

Sera za CCM za Uchumi katika Mkoa.(b) Kubuni na kufuatilia mipango ya Vitega

Uchumi na Uwekezaji wa Chama ngazi yaMkoa.

(c) Kuchochea na kuratibu vitega uchumi namipango ya uwekezaji wa Chama katikaWilaya zote za Mkoa.

(d) Kusimamia mapato na matumizi ya fedhana kutoa taarifa kwa Kamati ya Siasa yaMkoa.

(e) Kusimamia mali ya Chama na kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Mkoa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi106

Katibu waUchumi naFedha wa Mkoa

Page 113: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

FUNGU LA SABAVIKAO VYA TAIFA

104. Kutakuwa na Vikao vifuatavyo vya CCM vyaTaifa:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.(3) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

ya Taifa.(4) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya

Taifa ya CCM (Zanzibar).(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM

Taifa.(6) Sekretarieti ya Kamati Maalum ya

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.(7) Kamati ya Wabunge wote wa CCM.(8) Kamati ya Wajumbe wa Baraza la

Wawakilishi wote wa CCM (Zanzibar).

105. (1)Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa utakuwana wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM.(b) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania wanaotokana naCCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(d) Rais wa Zanzibar anayetokana na CCM.(e) Katibu Mkuu wa CCM.(f) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 107

Vikao vya CCMvya Taifa

Mkutano Mkuuwa CCM waTaifa

Page 114: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(g) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni.

(h) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi.

(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

(k) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(l) Wabunge wote wanaotokana na CCM aukama Bunge limevunjwa wale wanachamawote waliokuwa Wabunge mara kabla yakuvunjwa Bunge.

(m) Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM au kama Barazahilo limevunjwa wale wanachama wotewaliokuwa Wajumbe wa Baraza laWawakilishi mara kabla ya kuvunjwa kwaBaraza hilo.

(n) Makatibu wa Siasa na Uenezi wote waMikoa.

(o) Makatibu wa Uchumi na Fedha wote waMikoa

(p) Wenyeviti wote wa CCM wa Wilaya.(q) Makatibu wote wa CCM wa Wilaya.(r) Makatibu wote wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.(s) Makatibu wote wa Uchumi na Fedha wa

Wilaya.(t) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati ya

Wabunge wote wa CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi108

Page 115: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(u) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWajumbe wote wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM.

(v) Mwenyekiti, Katibu Mkuu na MakamuMwenyekiti kutoka kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa au iliyojishirikishana CCM ambao ni wana-CCM.

(w) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa kila Wilaya.

(x) Mwenyekiti, Katibu wa Mkoa na Mjumbemwingine mmoja aliyechaguliwa kutokakila Mkoa wa Bara na Zanzibar kwa kilaJumuiya ya wananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM ambao ni wanaCCM.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa utakuwandicho Kikao Kikuu cha CCM kupita vyote nandicho kitakachokuwa na madaraka yamwisho.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa utafanyamikutano yake ya kawaida mara tatu katikakipindi cha miaka mitano. Mikutano miwilikati ya hiyo itakuwa ya uchaguzi na mmojautakuwa wa kazi. Kalenda ya vikao vya Chamaitaonyesha ni lini mikutano hiyo mitatuitafanyika. Lakini mkutano usiokuwa wakawaida unaweza kufanyika wakati wowoteukiitwa na Mwenyekiti wa CCM au ukiombwana theluthi mbili ya wajumbe wote waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Taarifa ya kukutana Mkutano Mkuu wa CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 109

Page 116: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa Taifa ni lazima itolewe si chini ya miezimitatu kabla ya tarehe ya kukutana. Lakiniinaweza kutolewa taarifa ya muda mfupi zaidiya huo ikiwa unafanyika mkutano usiokuwawa kawaida.

(5) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa unawezakukiagiza kikao chochote cha CCM kufanyakazi zozote ambazo ni za Mkutano huo bilaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa wenyewekuathiri uwezo wake wa kufanya kazi hizo.

(6) Wabunge wote wanaotokana na CCM kwapamoja watakuwa ni Kamati ya Wabunge waCCM ambao kazi yake itakuwa ni kusimamiakwa jumla utekelezaji wa Ilani ya CCM na Siasaya CCM katika shughuli zote zinazoendeshwana Bunge. Endapo CCM itakuwa katikaupinzani, Kamati ya Wabunge wote wa CCMitahusika na kusimamia, kutetea na kuendelezamaslahi ya CCM katika Bunge.

(7) Kamati hii itakuwa na uwezo wa kutungaKanuni zake kwa ajili ya uendeshaji bora washughuli zake. Kanuni hizo itabidiziidhinishwe na Halmashauri Kuu ya Taifakabla hazijaanza kutumika.

(8) Mwenyekiti wa CCM anaweza kuamua kuitishavikao vya pamoja baina ya Halmashauri Kuu yaTaifa ya CCM na Kamati ya Wabunge wote waCCM kwa ajili ya kushughulikia mambo kamaitakavyoonekana inafaa.

(9) Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge wote waCCM pamoja na Katibu wa Kamati hiyo

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi110

Page 117: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

watakuwa Wajumbe wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(10) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamati yaWabunge wote wa CCM itachagua Wajumbekumi (10) kutoka miongoni mwao, kuwaWajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.

(11) Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM kwa pamoja watakuwani Kamati ya Wajumbe wa Baraza laWawakilishi wa CCM ambayo kazi yakeitakuwa ni kusimamia kwa jumla utekelezaji waIlani ya CCM na Siasa ya CCM katika shughulizote zinazoendeshwa na Baraza la Wawakilishi.Endapo CCM itakuwa katika upinzani, Kamatiya Wawakilishi wote wa CCM itahusika nakusimamia, kutetea na kuendeleza maslahi yaCCM katika Baraza la Wawakilishi.

(12) Kamati hii itakuwa na uwezo wa kutungaKanuni zake kwa ajili ya uendeshaji bora washughuli zake na kwamba Kanuni hizo itabidiziidhinishwe na Halmashauri Kuu ya Taifakabla ya kuanza kutumika.

(13) Mwenyekiti wa CCM anaweza kuitisha vikaovya pamoja baina ya Halmashauri Kuu ya Taifaya CCM na Kamati ya Wajumbe wa Baraza laWawakilishi wa CCM kwa ajili ya kushughulikiamambo kama itakavyoonekana inafaa.

(14) Mwenyekiti wa Kamati ya Wajumbe waBaraza la Wawakilishi wa CCM pamoja naKatibu wa Kamati hiyo watakuwa Wajumbewa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 111

Page 118: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(15) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamati yaWajumbe wote wa Baraza la Wawakilishiwanaotokana na CCM watachagua Wajumbewatano (5) kutoka miongoni mwao kuwaWajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.

(16) Kiwango cha mahudhurio ya Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa kitakuwa ni theluthi mbiliya Wajumbe kutoka Tanzania Bara na theluthimbili ya Wajumbe kutoka Tanzania Zanzibar.

(17) Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa atakuwa ni Mwenyekiti wa CCM naasipoweza kuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekiti wa CCM ataongoza Mkutano huo.Iwapo itatokea kwamba wote watatu hawawezikuhudhuria Mkutano fulani, Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa itamchagua Mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo kwa ajili ya shughulihiyo. Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifainaweza kukutana hata kama Mwenyekiti naMakamu wote wa Mwenyekiti hawapo.

106. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifazitakuwa zifuatazo:-(1) Kupanga Siasa ya CCM na kusimamia

utekelezaji wa shughuli zote za CCM(2) Kupokea na kufikiria taarifa ya kazi za CCM

iliyotolewa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa na kutoa maelekezo ya mipango nautekelezaji wa Siasa ya CCM kwa kipindikijacho.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi112

Kazi zaMkutano Mkuuwa CCM waTaifa

Page 119: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(3) Kuthibitisha, kubadili, kukataa au kuvunjauamuzi wowote uliotolewa na kikaochochote cha chini yake au na mkuuyeyote wa CCM.

(4) Kubadili sehemu yoyote ya Katiba ya CCMkwa uamuzi wa theluthi mbili za Wajumbewalio na haki ya kupiga kura kutokaTanzania Bara na theluthi mbili kutokaTanzania Zanzibar.

(5) Unapofika wakati wa uchaguzi, MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa utashughulikiamambo yafuatayo:-(a) Kuwachagua Mwenyekiti wa CCM na

Makamu wa Mwenyekiti wa CCM.(b) Kuchagua jina moja la Mwanachama

atakayesimama katika uchaguzi waRais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania.

(c) Kuchagua jumla ya Wajumbethemanini na tano kutoka TanzaniaBara na Zanzibar wa kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifakutoka orodha ya Taifa.

(6) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa kwa kadri itakavyoonekanainafaa.

(7) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa wawezakukasimu madaraka yake kwa HalmashauriKuu ya Taifa kuhusu utekelezaji wa kazizake kwa kadri itakavyoona inafaa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 113

Page 120: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

107. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwana wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM.(b) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania wanaotokana naCCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(d) Rais wa Zanzibar anayetokana na CCM(e) Katibu Mkuu wa CCM.(f) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM(g) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Organaizesheni.(h) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Itikadi na Uenezi.(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

(k) Wenyeviti wote wa CCM wa Mikoa.(l) Makatibu wote wa CCM wa Mikoa.(m) Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Makamu

Mwenyekiti kutoka kila Jumuiya yawananchi inayoongozwa auinayojishirikisha na CCM.

(n) Wajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya Taifawanaopatikana kwa mujibu wa vifungu:92(4)(b); 105(10); 105(15); 106(5)(c) na108(13)(e).

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi114

HalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 121: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishi waCCM.

(p) Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania anayetokanana CCM na Spika wa Baraza laWawakilishi Zanzibar anayetokana naCCM.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itafanyamikutano yake ya kawaida mara moja kilabaada ya miezi minne, lakini inaweza kufanyamkutano usiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja ya kufanyahivyo au kwa maagizo ya kikao cha juu.Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifautakaofanyika katika kipindi cha miezi sita yamwisho wa kila mwaka utakuwa pia na kazimaalum ya kupokea na kujadili taarifa yautekelezaji wa Ilani ya CCM unaofanywa naSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniapamoja na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibarkatika mwaka wa fedha uliopita wa Serikalihizo ambao ulimalizika tarehe 30 Juni yamwaka unaohusika.

(3) Katika mikutano yote ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa, uamuzi utafikiwa kwamakubaliano ya jumla, au kwa wingi wa kuraza Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura.Lakini ukitokea uamuzi unaohitajika kutolewakuhusu vyombo vya Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania au vyombo vya

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 115

Page 122: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au kuhusumuundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muunganowa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar, uamuzi huo ni lazima upitishwekwa azimio lililoungwa mkono na theluthimbili ya kura za Wajumbe kutoka TanzaniaBara na theluthi mbili ya kura za Wajumbekutoka Tanzania Zanzibar.

(4) Mwenyekiti wa CCM atakuwa Mwenyekiti waMkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa, lakini Mwenyekiti wa CCM asipowezakuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekiti wa CCM atakuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

108. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifazitakuwa zifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa ya CCM kwa

jumla kwa Tanzania nzima. Kwa hiyoitakuwa na uwezo wa kubuni, kujadili,kuamua na kutoa Miongozo ya Siasa yaCCM katika mambo mbalimbali.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,kuongoza mafunzo ya Siasa ya CCM nakukuza nadharia na Itikadi ya CCM yaUjamaa na Kujitegemea.

(3) Kuongoza na kusimamia ujezi wa Ujamaana Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzi nakutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilanihiyo.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi116

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 123: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(5) Kufikisha maazimio na maagizo ya CCMkatika Mikoa na kufikiria na kutoa uamuzijuu ya mapendekezo kutoka vikao vyaCCM vya chini.

(6) Kuona kwamba shughuli za Maendeleona za Ulinzi na Usalama wa Taifazinazingatiwa.

(7) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo za kitaifa.

(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendo vyaWanachama na Viongozi wa CCM naendapo itadhihirika kwamba tabia namwenendo wa Mwanachama fulanivinamwondolea sifa za Uanachama auUongozi itakuwa na uwezo wa kumwachishaau kumfukuza Uanachama au Uongozi alionao. Kuhusu mtu aliyeachishwa aukufukuzwa Uanachama, Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa ndiyo itakayokuwa na uwezowa mwisho wa kumrudishia Uanachamawake kwa mujibu wa Katiba, endapoitaridhika kuwa amejirekebisha.

(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM zaMikoa kuhusu vitendo na njia zinazofaaza kuimarisha CCM na za kuletamaendeleo.

(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuwekataratibu za kuongoza shughuli mbalimbaliza CCM.

(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 117

Page 124: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(13) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kuteua jina la Mwanachama

atakayesimama katika uchaguzi waMwenyekiti wa CCM, na majina mawiliya Wanachama watakaosimama katikauchaguzi wa Makamu wa Mwenyekitiwa CCM.

(b) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa majina yasiyozidi matatuya Wanachama wanaogombea nafasiya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na kuyawasilisha mbele yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.

(c) Kuchagua jina moja la Mwanachamaatakayesimama katika uchaguzi waRais wa Zanzibar.

(d) Kuwachagua Katibu Mkuu wa CCM,Manaibu Katibu Mkuu wa CCM, Katibuwa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni, Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa wa Itikadi naUenezi, Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Mambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa na Katibu wa HalmashauriKuu ya Taifa wa Uchumi na Fedha.

(e) Kuwachagua Wanachama wasiozidikumi kuwa Wajumbe wa HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa kutokana namapendekezo ya Mwenyekiti wa CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi118

Page 125: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(f) Kuwachagua Wajumbe kumi nawanne wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya Taifa kutokamiongoni mwao, wakiwemowanawake wasiopungua wanne,wawili kutoka Tanzania Bara nawawili kutoka Tanzania Zanzibar.

(g) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Ubunge namajina ya Wanachama wanaoombanafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi kwa mujibu wa sheriazilizopo za uchaguzi huo.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa;Uenyekiti wa CCM wa Wilaya naMikoa, Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Mkoa, Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Mkoa.

(i) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majinaya Wanachama wa CCMwanaogombea Uenyekiti wa Mkoa,Uenyekiti wa Taifa na Ukatibu Mkuuwa kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM, na majina yaWanachama watakaochaguliwakuiwakilisha kila Jumuiya katika vikaovya CCM vya Mkoa na Taifa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 119

Page 126: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(j) Kuwachagua jumla ya Wajumbewanane wa Baraza la Wadhaminikutoka Tanzania Bara na TanzaniaZanzibar.

(14) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa, nafasi za uongozizitakazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM na Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(15) Kuunda Kamati au Tume kwa shughulimaalum bila kuathiri majukumu yaKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa.

(16) Kupokea na kujadili taarifa za Tume naKamati Maalum za CCM, Kamati yaWabunge wa CCM, na Kamati ya Wajumbewa Baraza la Wawakilishi wa CCM.

(17) Kuweka kiwango cha kiingilio katikaCCM, ada za Uanachama na michangomaalum.

(18 Kusimamisha kwa maslahi ya CCM utumiajiwa kifungu chochote cha Katiba ya CCM aukuruhusu kifungu kutumika kabla yakuingizwa ndani ya Katiba. Uamuzi huosharti uungwe mkono na theluthi mbili yaWajumbe kutoka Tanzania Bara na theluthimbili za Wajumbe kutoka TanzaniaZanzibar. Hata hivyo Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itafikisha uamuzi wake mbeleya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwauamuzi wa mwisho.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi120

Page 127: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(19) Kushughulikia uhusiano kati ya CCM naJumuiya mbalimbali za wananchi nakuziorodhesha Jumuiya zinazoongozwaau zinazojishirikisha na CCM.

(20) Kutengeneza na kurekebisha Muundo waCCM katika maeneo na nyanja mbalimbalikwa kadri itakavyoonekana inafaa.

(21) Kumsimamisha Mwenyekiti wa CCM auMakamu Mwenyekiti wa CCM iwapomwenendo na utendaji wake wa kazivinamwondolea sifa za uongozi. Hatahivyo Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafikisha mapendekezo yake mbele yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwauamuzi wa mwisho.

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozikiongozi yeyote ambaye uteuzi wake wamwisho ulifanywa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(23) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili.(24) Kuidhinisha Kanuni za Kamati za

Wabunge wote wa CCM, Wawakilishiwote wa CCM, Madiwani wote wa CCM;Katiba/Kanuni za Jumuiya za wananchizinazoongozwa na CCM na kuidhinishamarekebisho ya Katiba/Kanuni hizo.

(25) Halmashauri Kuu ya Taifa yawezakukasimu madaraka yake kwa Kamati Kuukuhusu utekelezaji wa kazi zake kwa kadriitakavyoona inafaa.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 121

Page 128: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

109. (1) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa itakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM.(b) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri

ya Muungano wa Tanzaniaanayetokana na CCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(d) Rais wa Zanzibar anayetokana naCCM.

(e) Katibu Mkuu wa CCM.(f) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.(g) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

wa Organaizasheni.(h) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

wa Itikadi na Uenezi.(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

wa Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Uchumi na Fedha.

(k) Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano anayetokan a na CCM, naSpika wa Baraza la Wawakilishi laZanzibar anayetokana na CCM.

(l) Wajumbe wengine wasiozidi kumi nawanne waliochaguliwa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa wakiwemowanawake wasiopungua wanne, wawilikutoka Tanzania Bara na wawili kutokaTanzania Zanzibar.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi122

Kamati Kuu yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 129: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(m) Mwenyekiti wa Taifa wa kila Jumuiyaya Wananchi inayoongozwa na CCM.

(n) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWabunge wa CCM.

(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishiwa CCM.

(2) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafanya mikutano yake ya kawaida mara mojakila miezi miwili.

(3) Mwenyekiti wa CCM atakuwa Mwenyekiti waMkutano wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa, lakini Mwenyekiti wa CCMasipoweza kuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekiti atakuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

110. Kazi za Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika nchi.(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za kila

siku za CCM.(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM nchini.(4) Kusimamia kampeni za Uchaguzi na

kampeni nyinginezo.(5) Kuteua Makatibu wa CCM wa Wilaya,

Katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa, Makatibu WasaidiziWakuu wa Idara na Wakuu wa Vitengo vyaMakao Makuu ya Chama.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi Kamati

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 123

Kazi za KamatiKuu yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 130: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo kwa

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa juuya Wanachama watakaosimama katikauchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu majina ya Wanachamawasiozidi watano wanaoombakugombea kiti cha Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifajuu ya Wanachama watakaosimamakatika uchaguzi wa Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya majina ya Wanachamawasiozidi watatu ambao wanaombakugombea kiti cha Rais wa Zanzibar.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya Wanachama wanaoombanafasi za uongozi katika CCM ambaouteuzi wao wa mwisho unafanywa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(f) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya Wanachama wanaoomba

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi124

Page 131: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

nafasi ya Ubunge na Wanachamawanaoomba nafasi ya Ujumbe waBaraza la Wawakilishi.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Halmashauri Kuu ya Taifa juu yaWanachama wa CCM wanaoombanafasi za uongozi katika Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM,ngazi ya Mkoa na Taifa, ambazouteuzi wake wa mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya CCM Taifa.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongozi yeyoteisipokuwa Mwenyekiti wa CCM naMakamu wa Mwenyekiti wa CCM endapoitaridhika kwamba tabia na mwenendowake vinamwondolea sifa za uongozi.

(8) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama wa Taifa na Maendeleoyanazingatiwa.

(9) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(10) Kuwa na mikakati endelevu ya kuimarishaChama kimapato, kudhibiti mapato na maliza Chama na kuthibitisha matumizi yaChama katika ngazi ya Taifa.

111. Kutakuwa na Sekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa ambayo itakuwa na wajumbewafuatao:-(1) Katibu Mkuu wa CCM ambaye atakuwa

Mwenyekiti.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 125

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 132: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(2) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Organaizesheni.(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Itikadi na Uenezi.(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(6) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

(7) Makatibu Wakuu wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

112. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Taifa yatakuwayafuatayo:-

(a) Kusimamia shughuli zote za utendajiza Chama kitaifa.

(b) Kuandaa shughuli za vikao vya Chamangazi ya Taifa.

(2) Majukumu ya Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya Taifa yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu Mkuu wa CCM.(b) Idara ya Organaizesheni.(c) Idara ya Itikadi na Uenezi.(d) Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano

wa Kimataifa.(e) Idara ya Uchumi na Fedha.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM. Idaraya Utawala na Uendeshaji Bara au

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi126

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 133: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Zanzibar itaongozwa na Naibu KatibuMkuu wa CCM.

(4) Kila Idara ya Makao Makuu ya Chamaitakuwa na Kamati ya Ushauri yenyeWajumbe wasiozidi watano akiwemo naKatibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa.Wajumbe hao watateuliwa na Kamati Kuuya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

113. Kazi za Idara za Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya Taifa:-(1) Idara ya Organaizesheni:-

(a) Kushughulikia masuala yote yawanachama wa CCM.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi ya vikaovya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiya za Wananchizinazoongozwa na CCM na Wazeewa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote ya Uchaguziwa ndani ya CCM na ule waUwakilishi katika Vyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanunina Taratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

(2) Idara ya Itikadi na Uenezi:-(a) Kushughulikia masuala ya msingi ya

Itikadi na Sera za Chama ChaMapinduzi.

(b) Kueneza na kufafanua Itikadi na Seraza CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 127

Kazi za Idara zaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa

Page 134: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(c) Kupanga na kusimamia Mafunzo naMaandalizi ya Makada naWanachama.

(d) Kusimamia Vyombo vya Habari vyaChama, Mawasiliano naUhamasishaji wa Umma kwa jumla

(e) Kuongoza na kusimamia maandaliziya Sera, Programu na Ilani zaUchaguzi za CCM.

(f) Kusimamia Utafiti, Maktaba naNyaraka za Chama.

(3) Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa:-(a) Kufuatilia hali ya kisiasa nchini.(b) Kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya

Uchaguzi na Sera za Kijamii zaCCM.

(c) Kufuatilia harakati za Vyama vyaSiasa nchini.

(d) Kufuatilia maendeleo ya Jumuiya zaKijamii nchini.

(e) Kuratibu uhusiano na ushirikiano waCCM na vyama vya siasa vya kidugu,kirafiki na vya kimapinduzi.

(f) Kufuatilia hali ya kisiasa katika nchijirani na nchi nyinginezo duniani.

(g) Kufuatilia maendeleo ya Kamati zaUrafiki na mshikamano kati yaWatanzania na wananchi wa nchirafiki.

(h) Kushughulikia masuala ya Itifaki

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi128

Page 135: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

KamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa Zanzibar

ndani ya Chama.(4) Idara ya Uchumi na Fedha:-

(a) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaCCM za Uchumi.

(b) Kuratibu mapato ya fedha za Chamanchini kote kwa ajili ya maamuzi yauwekezaji wa Chama.

(c) Kusimamia vitega uchumi nauwekezaji katika Chama.

(d) Kusimamia Mali za Chama nchinikote.

(e) Kusimamia mapato na matumizi yaChama katika ngazi zote za uongoziwa CCM.

114. Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa Zanzibar itakuwa na Wajumbewafuatao:-(a) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar.(b) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.(c) Rais wa Zanzibar anayetokana na CCM.(d) Waziri Kiongozi wa Zanzibar anayetokana

na CCM.(e) Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri

Kuu ya CCM Taifa kutoka Zanzibar.(f) Wenyeviti wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar.(g) Makatibu wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar.(h) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu ya

CCM ya Taifa wanaotoka Zanzibar.(2) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM

ya Taifa itafanya mikutano yake ya kawaida

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 129

Page 136: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

mara moja kila miezi miwili(3) Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa atakuwaMakamu Mwenyekiti wa CCM kutokaZanzibar. Katibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa atakuwaNaibu Katibu Mkuu wa CCM kutokaZanzibar.

(4) Mwenyekiti wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa ataongozamikutano ya Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Mkutano huoutamchagua Mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa mkutano huo.

115. Kazi za Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:-(1) Kusaidia Kamati Kuu kutoa Uongozi wa

Siasa Zanzibar.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM Zanzibar.(3) Kuisaidia Kamati Kuu katika kusimamia

utekelezaji wa shughuli za kila siku zaCCM Zanzibar.

(4) Kutafuta na kubuni njia au mbinumbalimbali zinazoweza kukifanya Chamakujitegemea kimapato Zanzibar.

(5) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeniza uchaguzi na kampeni nyinginezo.

(6) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi130

Kazi za KamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa Zanzibar

Page 137: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Usalama na ya Maendeleo yanazingatiwa.(7) Unapofika wakati wa Uchaguzi Kamati

Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa itashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo yake

kwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi za uongozi katikaCCM kutoka Zanzibar, ambao uteuziwao wa mwisho unafanywa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya Taifa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Rais waZanzibar, Ubunge na Ujumbe waBaraza la Wawakilishi Zanzibar.

(c) Kupendekeza kwa Kamati Kuukumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa CCM wa Zanzibarisipokuwa Makamu Mwenyekiti waCCM endapo itaridhika kwamba tabiana mwenendo wake vinamwondoleasifa za uongozi.

(d) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa inaweza kuundaKamati Ndogo za CCM. Aidha,inaweza kujiwekea utaratibu wake wakufanya kazi kwa kadri itakavyoonainafaa kwa ajili ya kufanikisha shughuliza CCM Zanzibar.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 131

Page 138: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(e) Kuwachagua Katibu wa KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya Taifawa Organaizesheni Zanzibar, Katibuwa Kamati Maalum ya Halmashaurikuu ya Taifa wa Itikadi na UeneziZanzibar, Katibu wa Kamati Maalumya Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa Zanzibar na Katibu waKamati Maalum ya Halmashauri Kuuya Taifa wa Uchumi na Fedha,Zanzibar, kutoka miongoni mwao.

(f) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za CCM.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Kuu juu ya Wanachamawa CCM wanaoomba nafasi zauongozi katika Jumuiya za Wananchizinazoongozwa na CCM, ngazi yaMkoa na Taifa kwa upande waTanzania Zanzibar, ambazo uteuziwake wa mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya Taifa.

116. Sekretarieti ya Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbewafuatao:-(1) Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar)

ambaye atakuwa Mwenyekiti.(2) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara ya

Organaizesheni.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi132

Sekretarieti yaKamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCM yaTaifa Zanzibar

Page 139: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

(3) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara yaItikadi na Uenezi.

(4) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara yaMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(5) Katibu wa Kamati Malum wa Uchumi naFedha.

(6) Manaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCMwanaoishi na kufanya kazi Zanzibar.

117. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa yatakuwa yafuatayo:-(a) Kusimamia na kuratibu shughuli zote

za utendaji za Chama Zanzibar.(b) Kuandaa shughuli za vikao vya

Kamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa Zanzibar.

(2) Majukumu ya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya TaifaZanzibar yatagawanyika ifuatavyo:-(a) Naibu Katibu Mkuu wa CCM

(Zanzibar).(b) Idara ya Organaizesheni, Zanzibar.(c) Idara ya Itikadi na Uenezi, Zanzibar(d) Idara ya Mambo ya Siasa na

Uhusiano wa Kimataifa, Zanzibar.(e) Idara ya Uchumi na Fedha, Zanzibar.

(3) Kila Idara ya Zanzibar itaongozwa naKatibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 133

Majukumu yaSekretarieti yaKamatiMaalumu

Page 140: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Kuu ya Taifa ambaye atateuliwa na KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(4) Idara za Sekretarieti ya Kamati Maalumya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifazitatekeleza kazi na majukumu ambayokwa upande wa Bara yanatekelezwa naIdara za Sekretarieti za Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa.

118. Chama cha Mapinduzi kitakuwa na Wakuu waCCM wafuatao:-(1) Mwenyekiti wa CCM.(2) Makamu wawili wa Mwenyekiti wa

CCM.(3) Katibu Mkuu wa CCM.

119. Mwenyekiti wa CCM ndiye kiongozi mkuu nandiye msemaji mkuu wa CCM.(1) Atachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM

wa Taifa na atakuwa katika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miaka mitano,lakini anaweza kuchaguliwa tena baada yamuda huo kumalizika.

(2) Anaweza kuondolewa katika uongozi kwaazimio litakalopitishwa katika MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa na kuungwamkono na theluthi mbili za Wajumbekutoka Tanzania Bara na theluthi mbili zaWajumbe kutoka Tanzania Zanzibar.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi134

Wakuu waCCM

Mwenyekiti waCCM

Page 141: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

wa CCM wa Taifa, Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida Mwenyekitiatakuwa pia na kura ya uamuzi endapokura za Wajumbe wanaoafiki na wasioafikizitalingana.

120. (1) Kutakuwa na Makamu wa Mwenyekiti waCCM wawili watakaochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.Kutakuwa na Makamu wa Mwenyekitianayeishi na kufanya kazi zake TanzaniaBara; na kutakuwa na Makamu waMwenyekiti wa CCM anayeishi na kufanyiakazi zake Zanzibar. Isipokuwa kwambakuishi kwao hivyo hakutapunguza upeo wamadaraka yao ya kushughulikia kazi zaCCM kwa Tanzania nzima.

(2) Makamu Mwenyekiti wa CCM atakuwakatika madaraka hayo kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwa tenabaada ya muda huo kumalizika.

(3) Makamu wa Mwenyekiti wa CCManaweza kuondolewa katika madarakahayo kwa azimio litakalopitishwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa nakuungwa mkono na theluthi mbili zaWajumbe kutoka Tanzania Bara, natheluthi mbili za Wajumbe kutoka

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 135

Makamu waMwenyekiti waCCM

Page 142: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Tanzania Zanzibar.(4) Makamu wa Mwenyekiti watakuwa ndiyo

wasaidizi wakuu wa Mwenyekiti wa CCMna watafanya kazi zote za CCMwatakazopewa na Mwenyekiti wa CCM.

121. (1) Katibu Mkuu wa CCM atachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa Katibu wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa, Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa, na Kamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(3) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMna atafanya kazi chini ya uongozi waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Atakuwa na wajibu wa kuitisha Mikutanoyote ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa, Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.

(5) Ataitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa kwa madhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati Kuu, nakuchukua hatua za utekelezaji wamaamuzi ya CCM.

(6) Atakuwa ndiye Mkurugenzi wa Uchaguziwa Chama nchini.

(7) Kazi na majukumu ya Katibu Mkuu waCCM:-(a) Kuratibu kazi zote za Chama Cha

Mapinduzi.(b) Kusimamia kazi za Utawala na

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi136

Katibu Mkuuwa CCM

Page 143: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Uendeshaji katika Chama.(c) Kufuatilia na kuratibu masuala ya

Usalama na Maadili katika Chama(d) Kusimamia Udhibiti wa Fedha na Mali

za Chama.122. Kutakuwa na Viongozi wengine wa CCM wa

Kitaifa wafuatao:-(1) Naibu Katibu Mkuu Bara na Naibu

Katibu Mkuu Zanzibar.(2) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Organaizesheni.(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Itikadi na Uenezi.(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa

Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

123. (1) Kutakuwa na Manaibu Katibu Mkuu waCCM wawili.

(2) Kutakuwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCMatakayeishi na kufanyia kazi zake TanzaniaBara, na kutakuwa na Naibu Katibu Mkuu waCCM atakayeishi na kufanyia kazi zakeZanzibar. Isipokuwa kwamba kuishi kwaohivyo hakutapunguza upeo wa madaraka yaoya kushughulikia kazi za CCM kwa Tanzanianzima.

(3) Naibu Katibu Mkuu wa CCM atakayefanyakazi Zanzibar atakuwa na wajibu wa kuandaa

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 137

Viongoziwengine waKitaifa wa CCM

Manaibu KatibuMkuu wa CCM

Page 144: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

na kuitisha mikutano ya Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Zanzibar,na ataitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya TaifaZanzibar.

(4) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM watakuwandio wasaidizi wakuu wa Katibu Mkuu waCCM na watafanya kazi zozote za CCMwatakazopangiwa na Katibu Mkuu waCCM.

124. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Organaizesheni atachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waOrganaizesheni ya CCM.

(3) Atakuwa Naibu Mkurugenzi wa Uchaguziwa Chama nchini na atafanya kazi hii chiniya uongozi wa Katibu Mkuu wa CCMambaye ndiye Mkurugenzi wa Uchaguziwa Chama.

125 (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atashughulikia masuala ya msingi yaItikadi na Sera za CCM.

(3) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu washughuli za Uenezi wa Itikadi, Siasa na Seraza CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi138

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifa waOrganaizesheni

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifa waItikadi naUenezi

Page 145: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

126. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waMambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifandani ya Chama.

(3) Atashughulikia masuala ya kuimarishauhusiano mwema wa CCM na vyama vyasiasa vya nchi nyingine; na harakati zavyama vya siasa na maendeleo ya Jumuiyaza Kijamii nchini.

127. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu wamasuala ya Uchumi, Fedha na Mali zaChama.

(3) Atafuatilia utekelezaji wa Sera za CCM zaUchumi na ataratibu mapato ya fedha zaChama nchini kote kwa ajili ya maamuziya uwekezaji wa Chama.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 139

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifa waMambo yaSiasa naUhusiano waKimataifa

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifa waUchumi naFedha

Page 146: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

SEHEMU YA NNE

WAZEE NA JUMUIYA ZA WANANCHI

128. Kutakuwa na Sehemu ya Wazee ambamowatakuwemo Wazee wote wanaokubaliimani, malengo, na madhumuni ya CCM.

129. Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na uhusianona Jumuiya mbalimbali za Wananchi:-(1) Kutakuwa na Jumuiya zinazoongozwa na

CCM ambazo kwa sasa ni:-(a) Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM),(b) Umoja wa Wanawake Tanzania

(UWT).(c) Umoja wa Wazazi (WAZAZI).

(2) Kutakuwa na Jumuiya nyinginezilizojishirikisha na CCM.

(3) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifainaweza kuongeza na kupunguza katikaorodha, Jumuiya zinazoongozwa auzilizojishirikisha na CCM.

(4) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitakuwa na uwezo wa kushauri, kutoamaagizo ya jumla, na maelekezo maalumkwa Jumuiya zinazoongozwa na CCM.

(5) Halmashauri Kuu ya Taifa itathibitishaKanuni/Katiba za kila Jumuiyainayoongozwa na CCM kablahazijatumika.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi140

Sehemu yaWazee

Jumuiya zaWananchi

Page 147: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

SEHEMU YA TANO

MENGINEYO

130. (1) Kutakuwa na Baraza la Wadhamini waCCM.

(2) Baraza hilo litakuwa na Wajumbewafuatao:-(a) Mwenyekiti ambaye atateuliwa na

Mwenyekiti wa CCM kutoka miongonimwa Wajumbe wa Baraza.

(b) Wajumbe wanane waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(c) Wenyeviti wa Mabaraza ya Wadhaminiya Jumuiya zinazoongozwa na CCM.

(3) Baraza hili litakuwa na uwezo wote ule wawadhamini kwa mujibu wa Sheria.

(4) Mali yote ya CCM inayoondosheka naisiyoondosheka, itakuwa mikononi mwaBaraza la Wadhamini.

(5) Baraza hili litafanya kazi chini ya uongoziwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa na litawajibika kutoa taarifayake kwa kikao hicho.

(6) Mdhamini atashika nafasi hiyo ya uongozikwa muda wa miaka mitano, lakinianaweza kuchaguliwa tena baada yamuda huo kumalizika.

(7) Iwapo Mwenyekiti wa Baraza hilihataweza kuhudhuria Mkutano wowote,

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 141

Baraza laWadhamini waCCM

Page 148: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

Baraza lenyewe litachagua Mjumbemwingine miongoni mwao atakayekuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

131. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM, kiwango cha mahudhuriokatika mikutano ya CCM kitakuwa ni zaidi yanusu ya Wajumbe walio na haki ya kuhudhuriakatika kikao kinachohusika.

132. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM uamuzi ufafikiwa katikavikao vyote vya CCM kwa kufuatamakubaliano ya jumla au wingi wa kura zaWajumbe waliohudhuria na kupiga kura.Lakini katika shughuli zozote za uchaguzi waViongozi, kura zitakuwa za Siri.

133. Wakati wowote kunapotokea nafasi wazimiongoni mwa viti vyovyote vya CCM, kikaokinachohusika kitajaza nafasi hiyo bilakuchelewa kwa kufuata utaratibu uliowekwa.

134. (1) Mwanachama anayetaka kujiuzuluatafanya hivyo kwa kuandika barua yakujiuzulu kwake na kuipeleka kwa Katibuwa Tawi lake.

(2) Kiongozi anayetaka kujiuzulu atafanyahivyo kwa kuandika barua ya kujiuzulukwake na kuipeleka kwa Katibu wa Kikaokilichomchagua au kumteua.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi142

Kiwango chaMahudhuriokatika kufikiaUamuzi

Kiwango chaKura katikakufikia Uamuzi

Nafasi zikiwawazi

Kujiuzulu

Page 149: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

135. (1) Kiongozi anayetaka kung’atuka atafanyahivyo kwa kuandika barua ya kung’atukakwake na kuipeleka kwa Katibu wa kikaokilichomchagua au kumteua, au

(2) Kwa kutangaza uamuzi wa kung’atukakwake mbele ya kikao kilichomchagua.

136. Mjumbe yeyote wa kikao chochotekilichowekwa na Katiba hii ataacha kuwaMjumbe wa kikao hicho iwapo hatahudhuriamikutano mitatu mfululizo ya kikao chakeisipokuwa kama ni kwa sababu zinazokubaliwana kikao chenyewe.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 143

Kung’atuka

Kuacha Ujumbewa Kikao

Page 150: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

NYONGEZA “A”

AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMACHA MAPINDUZI

(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote(3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini,

ujinga, magonjwa na dhuluma.(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa

rushwa.(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala

cha mtu mwingine kwa faida yangu.(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na

kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi

yetu.(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na

raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi144

Page 151: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii

NYONGEZA “B”

Katiba, Kanuni na Taratibu za utekelezaji zilizotungwakatika kuongoza shughuli mbalimbali za CCM ni hizizifuatazo:-

(1) Taratibu za Sehemu ya Wazee.(2) Kanuni za Uchaguzi wa CCM.(3) Kanuni za Utendaji kazi za Uongozi katika

Chama Cha Mapinduzi.(4) Kanuni za Fedha na Mali za Chama.(5) Kanuni za Umoja wa Vijana wa CCM.(6) Katiba ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania.(7) Kanuni za Umoja wa Wazazi.(8) Kanuni za Uongozi na Maadili.(9) Kanuni za Uteuzi wa Wagombea Uongozi katika

Vyombo vya Dola.(10) Kanuni za Kamati ya Wabunge wote wa CCM(11) Kanuni za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi

wote wa CCM.(12) Kanuni za Madiwani wote wa CCM.

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 145

Page 152: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI...Toleo hili la Katiba ya Chama Cha Mapinduzi la Mei 2005 ni Toleo la Kumi na Moja tangu Katiba hii itungwe kwa mara ya kwanza mwaka 1977. Kwa hali hii