Upload
others
View
14
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
248
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Vinyume vya vitenzi
Dhima ya fasihi
Usalama barabarani
Vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutofautisha baina ya kinyume na
kukanusha.• kueleza maana ya vinyume vya vitenzi.• kutumia vinyume katika sentensi sahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhima ya fasihi. • kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kubainisha umuhimu wa usalama
barabarani.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua tofauti baina ya vitenzi
asili na vile vya kigeni. • kufafanua mzizi wa vitenzi.• kuainisha viambishi awali na tamati.• kutumia vitenzi sahihi katika sentensi.
1
2
3
4-5
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 1-2
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 1-2
• Wanafunzi• Ubao• Vielelezo• Majedwali
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 2-3
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 2
• Wanafunzi• Mchoro• Mikusanyo ya kazi za
fasihi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 3-6
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 2-3
• Takwimu au tarakimu• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 6-9
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 3-4
• Jedwali • Vielelezo• Maandishi
mbalimbali
• Marudio • Maelezo• Maswali na majibu• Mifano • Mazoezi• Kutofautisha
• Maelezo• Kuandika • Mifano • Tajriba
• Tajriba• Maelezo• Usomaji• Maswali na majibu• Utafiti
• Marudio • Mazoezi• Maelezo • Mifano ya vitenzi• Kazi mradi
JUM
A 1
249
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
6
1-2
3-4
5-6
1-2
Kuandika
Fasihi teule
Fasihi andishi
Sarufi
Kuandika (Utunzi)
Insha ya hadithi (masimulizi)
• Usuli katika riwaya• Utangulizi wa Mwisho
wa kosa (sura 1)
Hadithi fupi:Utenzi wa moyoni
Uakifishaji
Insha ya hadithi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vipengele vya insha ya
masimulizi.• kuandika insha ya masimulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usuli.• kueleza umuhimu wa usuli wa riwaya.• kumwelewa mwandishi na jumuia yake.• kueleza dhamira ya mwandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja maudhui ya hadithi hii.• kujadili mbinu za lugha zilizotumiwa.• kujadili wahusika.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuzitambua, kutaja na kueleza alama za
uakifishaji na matumizi yake.• kuakifisha makala mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vipengele vya insha ya hadithi.• kueleza namna ya kuandika insha ya
hadithi.• kuandika insha ya hadithi kulingana na
mada iliyotolewa.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 12
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 6-7
• Visa vya wanafunzi• Makala ya magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 11
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 5
• Wanafunzi• Riwaya ya Mwisho wa
kosa, uk. 1-9
• Kitabu cha Mayai Waziri wa Maradhi,
uk. 13-19
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 9-10
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 4-5
• Maumbo ya alama za uakifishaji
• Maandishi mbalimbali
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 12
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 6-7
• Vielelezo
• Mazoezi • Tajriba • Maelezo• Kuandika
• Mifano• Uchunguzi• Usomaji• Majadiliano• Kuandika
• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Uchambuzi• Kuandika
• Mifano ya alama za uakifishaji
• Matumizi ya alama za uakifishaji
• Majadiliano • Mazoezi
• Tajriba • Visa tofauti• Kuandika
JUM
A 1
JUM
A 3
JUM
A 2
250
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4-5
6
1
2-3
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Ufasaha wa lugha
Sarufi
Hali ya kuamrisha
Fasihi simulizi: Vipera vya fasihi simulizi.
Haki za wanyama
Kuandika barua
Nyakati na hali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja njia mbalimbali za kuamrisha. • kutunga sentensi za kuamrisha.• kubainisha viambishi vya kuamrisha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya fasihi simulizi.• kufafanua umuhimu wake.• kutaja mifano ya vipera tofauti vya
fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kujadili kwa ufasaha matendo mazuri
na mabaya kwa wanyama.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufahamu sifa za barua rasmi.• kubainisha mitindo ya barua tofauti.• kueleza sifa za lugha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha viambishi vya nyakati na
hali.• kutunga sentensi sahihi akitumia
viambishi tofauti vya nyakati na hali.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 13
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 7-9
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 14-15
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 10
• Mikusanyo ya vipera tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 16-18
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 10-11
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 20-21
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 11-12
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 18-20
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 11
• Jedwali la kubainisha viambishi
• Maigizo• Maelezo• Tajriba• Tofauti kati ya
kuamrisha, kurai na kuhimiza
• Mifano ya maneno na sentensi
• Uchunguzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Maelezo• Kunukuu hoja
muhimu• Kazi mradi
• Usomaji• Maswali na majibu• Kujadili• Mifano• Maelezo
• Usomaji wa makala tofauti ya barua
• Maelezo• Kujadili• Maswali na majibu• Kuandika
• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Kuandika• Mazoezi • Kunakili
JUM
A 3
JUM
A 4
251
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
4-5
6
1
2
3-4
Hadithi fupi
Fasihi teule
Kusikiliza na kuzungumza
Utunzi
Hadithi fupi
Siku ya Mganga
Maudhui katika riwaya
Lugha ya dini
Umbo la barua rasmi
Pwaguzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kujadili dhamira ya mwandishi.• kuchambua maudhui na tamathali za
lugha zilizotumiwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya riwaya na maudhui.• kufafanua mambo ya kuzingatia katika
kuchambua maudhui.• kueleza hatua katika uchambuzi wa
maudhui.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za lugha ya kidini.• kutumia sifa hizi katika utekelezaji
maishani mwao.• kubainisha madhumuni na maudhui ya
lugha ya kidini.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua umbo la barua rasmi.• kutofautisha kati ya barua rasmi na
barua ya kirafiki.• kubuni maudhui ya barua rasmi.• kuandika barua rasmi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kueleza visa vya ulaghai.• kufafanua maudhui na sifa za wahusika.
• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 20-37
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 22-23
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 12-13
• Makala mafupi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 25
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 14-16
• Makala tofauti• Kanda za kunasia
sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 23-24
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 13-14
• Vielelezo
• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 50-56
• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Muhtasari wa hadithi• Maswali na majibu
• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Kujadili sifa za
maudhui• Kuandika• Uchunguzi• Tajriba• Uhakiki
• Kusoma • Kuigiza• Maswali na majibu• Kujadili • Mifano
• Maelezo ya barua rasmi
• Mifano• Kufafanua hoja
muhimu kuhusu mtindo
• Kuandika barua rasmi
• Majadiliano• Kuchambua hoja kuu
za maudhui, lugha na wahusika
• Uchambuzi • Maswali na majibu
JUM
A 4
JUM
A 5
252
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
5
6
1
2-3
Fasihi yetu
Sarufi
Ufahamu
Fasihi teule
Ulumbi(Hotuba)
Ukanushaji
Matumizi ya simu tambamaabadini
Wahusika katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kanuni za ulumbi.• kutaja mifano ya ulumbi.• kueleza umuhimu wa ulumbi.• kueleza baadhi ya walumbi na sifa zao.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuelewa na kubainisha viambishi vya
kukanusha.• kutofautisha kinyume na kukanusha.• kukanusha sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma ufahamu.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kujadili na kueleza aina za wahusika
katika riwaya.• kufafanua sifa na umuhimu wa
wahusika.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 25-26
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 16-17
• Fanani • Kanda za video zenye
hotuba za walumbi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 29-33
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 18-20
• Jedwali la maumbo ya viambishi vya kukanusha
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 26-29
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 17-18
• Mifano• Vinyago• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 36-38
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 22
• Vitabu vya ziada• Riwaya teule
• Uigizaji• Majadiliano• Hotuba• Maswali na majibu• Kazi ya makundi
• Ufafanuzi• Mifano• Tofauti kati
ya kinyume na kukanusha
• Maumbo ya viambishi vya kukanusha
• Mazoezi • Kuandika
• Kusoma kifungu• Kujadili msamiati
mpya• Mazungumuzo• Uigizaji• Kazi ya makundi• Maswali na majibu
• Maelezo• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Makundi• Uhakiki
JUM
A 5
JUM
A 6
253
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
4
5-6
1
2-3
Ufasaha wa lugha
Hadithi fupi
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Historia na chimbuko la Kiswahili
Tuzo
Hotuba
Utunzi: Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza historia na chimbuko la
Kiswahili.• kujadili lahaja za Kiswahili.• kubainisha ukweli kuhusu asili ya
Kiswahili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi.• kujadili wahusika, maudhui na lugha
kwa ufasaha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha hoja za kuzingatia mtu
anapotoa hotuba.• kueleza hoja muhimu katika hotuba.• kutoa hotuba mbele ya darasa.• kuandika muhtasari wa mambo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za insha za mazungumzo.• kufafanua mbinu za utunzi wa insha ya
mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 33-36
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 20-21
• Ramani ya Afrika ya Mashariki
• Historia ya Kiswahili (OUP)
• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 57-62
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 39-40
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 24-25
• Kanda za sauti• Picha za magazeti• Chati za grafu na pai
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 38
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 22-24
• Wanafunzi
• Kusoma • Majadiliano• Tajriba• Mifano• Makundi • Ufafanuzi wa asili ya
ya lugha ya Kiswahili
• Majadiliano• Kusoma• Kuchambua hadithi• Kujibu maswali
• Maelezo ya hotuba• Maswali na majibu• Maigizo• Uigizaji wa kutoa
hotuba • Kuandika
• Maelezo• Maigizo• Maswali na majibu• Kuandika• Majadiliano• Makundi
JUM
A 6
JUM
A 7
254
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
4
5-6
1
2
Sarufi
Hadithi fupi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Kauli ya vitenzi:kutendesheana,kutendeshewa,kutendesheka
Mayai Waziri wa Maradhi
Hotuba
Mawaidha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli tofauti.• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi
nyingine.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
katika kauli maalumu.• kueleza maana ya sentensi zenye vitenzi
katika kauli maalumu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhamira, maudhui na
wahusika.• kuchunguza lugha iliyotumiwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua mambo ya kuzingatia mtu
atoapo hotuba.• kuandaa muswada wa hotuba.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maana ya mawaidha.• kueleza sifa, muundo na manufaa ya
mawaidha.• kutoa mawaidha kutegemea hali fulani
maalumu.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 43-45
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 28
• Jedwali• Vitu halisi• Mazingira ya shule
• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 63-77
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 39-40
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 24-25
• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 40-41
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 25-27
• Mkusanyo wa mawaidha
• Mwalikwa au fanani• Vielelezo
• Maelezo• Mazoezi ya kutunga
sentensi• Mifano• Tajriba
• Kusoma• Uchambuzi wa
dhamira, lugha, maudhui na wahusika
• Kujadili• Maswali na majibu
• Ufafanuzi kuhusu maana ya hotuba
• Maelezo• Maigizo • Uvumbuzi• Uchunguzi kifani
• Ufaraguzi• Ufafanuzi• Utafiti• Mifano• Uigizaji
JUM
A 7
JUM
A 8
255
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4-5
6
1
2
Ufahamu
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Umaskini Afrika
Muhtasari: Ratiba ya mkutano
Muundo na mtindo katika riwaya
Hotuba
Hojaji na kujaza fomu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno na misemo.• kuzingatia mafunzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa ratiba.• kubainisha saa za ratiba.• kuandaa ratiba ya mikutano ya hadhara.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maelezo ya muundo na mtindo
katika sura tofauti za riwaya teule.• kufafanua sura za muundo na mtindo
wa kazi ya riwaya.• kueleza kwa kutumia mifano sura za
muundo na mtindo wa riwaya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika hotuba kama ipasavyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hojaji na kujaza fomu.• kueleza namna ya kutayarisha na kujaza
hojaji na fomu.• kufafanua madhumuni ya kutumia
hojaji au fomu.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 42-43
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 27-28
• Tarakilishi• Ramani• Picha
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 45-46
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 29
• Mikusanyo ya ratiba• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 47
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 30-31
• Riwaya teule
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 48
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 31-33
• Kanda za sauti• Vielelezo ubaoni
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 49
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 34-35
• Vielelezo vya hojaji au fomu
• Utafiti• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani• Maswali na majibu• Usomaji
• Maagizo• Tajriba • Ufafanuzi wa muundo• Kuandika mfano wa
ratiba
• Uchunguzi• Kusoma• Udadisi• Maelezo ya muundo
na mtindo• Uchambuzi
• Utatuzi wa mambo• Uvumbuzi• Maigizo• Uchunguzi kifani• Kuandika • Maelezo
• Utafiti• Maswali na majibu• Kutayarisha hojaji na
fomu• Kujaza • Maelezo
JUM
A 8
JUM
A 9
256
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4
5-6
1
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Malumbano ya utani katika fasihi simulizi
Ugaidi
Kauli za vitenzi
Uhusiano wa Kiswahili na lugha za Kibantu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza utani na umuhimu wake.• kutoa mifano ya utani.• kueleza mabadiliko katika utanzu wa
utani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kugeuza vitenzi katika kauli
zinazoshughulikiwa.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
kauli ya vitenzi hivyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza uhusiano wa Kiswahili na lugha
za Kibantu.• kueleza muundo wa maneno katika
lugha za Kibantu kwa kutumia Kiswahili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 50-51
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 35-36
• Wanafunzi wenyewe• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 51-53
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 37-39
• Kanda za video• Magazeti • Picha
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 54-55
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 39-40
• Jedwali ya mageuzo• Vitu halisi• Matini tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 56
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 40
• Vielelezo vya msamiati wa lugha za Kibantu na maneno ya Kiswahili
• Wanafunzi
• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Majadiliano• Kazi ya vikundi• Mifano
• Tajriba• Masimulizi• Mjadala • Majadiliano• Uchunguzi wa
msamiati• Usomaji
• Maelezo ya dhana ya mnyambuliko
• Ufafanuzi wa viambishi vya mnyambuliko
• Kuigiza• Ufaraguzi• Mazoezi
• Maelezo • Ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba • Mifano• Makundi
JUM
A 1
0JU
MA
9
257
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
2-3
4
5
6
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Matumizi ya lugha katika riwaya
Insha ya mawazo
Vitendawili na mafumbo
Soga katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa lugha katika
riwaya.• kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia wakati wa kuhakiki lugha katika riwaya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya insha ya mawazo.• kuandika insha ya mawazo kulingana na
kichwa walichopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kupambanua
umuhimu wa vitendawili na mafumbo.• kutoa mifano ya vitendawili na
mafumbo.• kutega vitendawili na kufumbua
mafumbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya soga.• kufafanua umuhimu na mafunzo ya
soga.• kufanya mazoezi ya kutoa soga.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 56-58
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 41
• Mwisho wa kosa• Kanda za sauti• Wanafunzi• Vielelezo vya
tamathali za semi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 58
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 41-42
• Magazeti na majarida• Vielelezo vya insha ya
mawazo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 59-61
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 42-43
• Picha au michoro• Mkusanyo wa
vitendawili na mafumbo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 61-62
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 43
• Kanda za sauti• Mkusanyo wa soga
• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu.• Tajriba• Kuandika
• Michezo• Maelezo ya mafumbo
na vitendawili• Utafiti• Ufafanuzi • Mifano
• Maigizo• Ufaraguzi• Maswali na majibu• Maelezo
JUM
A 1
1
258
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
1
2-3
4
5-6
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Chanzo cha matatizo barani Afrika
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja
Uundaji wa maneno
Mafunzo katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa na kujibu maswali kwa
usahihi.• kueleza aina na sababu za matatizo
barani Afrika.• kufafanua maana za maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutambua vitenzi vya silabi moja.• kubainisha maana na vitenzi hivi.• kutunga sentensi sahihi akitumia
vitenzi vya silabi moja.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya uundaji wa maneno.• kufafanua jinsi maneno yanavyoundwa.• kubainisha umuhimu wa kuunda
maneno.• kuunda maneno kwa viambishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya mafunzo katika
riwaya.• kueleza namna na hatua za kupata
mafunzo.• kubainisha mafunzo katika riwaya.
• Mjadala• Tajriba• Ufaraguzi• Uchuguzi• Maswali na majibu• Usomaji
• Maelezo na ufafanuzi• Mifano • Tajriba• Masimulizi• Vikundi• Mazoezi
• Majaribio ya uundaji• Uvumbuzi• Mifano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Tajriba • Utatuzi wa mambo• Kuigiza• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Usomaji• Majadiliano• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 62-64
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 43-45
• Chati na grafu• Magazeti • Picha • Tarakilishi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 64-65
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 45-46
• Chati vya vitenzi vya silabi moja
• Kadi za maneno• Mkusanyo wa vitenzi
vya silabi moja
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 66-67
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 46-47
• Kadi za maumbo ya maneno
• Majedwali ya maneno
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 67-68
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 47-48
• Mwisho wa kosa (Riwaya teule)
• Picha• Michoro• Magazeti
JUM
A 1
1
259
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
1
2
3-4
5
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Dayolojia
Mahojiano baina ya wataalamu wawili
Ngano katika fasihi simulizi
Saratani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya dayolojia.• kufafanua sifa bora za dayolojia.• kuandika dayolojia kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa mahojiano kati
ya wataalamu wawili.• kufafanua sifa hizo za mahojiano.• kuendesha mahojiano.• kufafanua maenezi ya ugonjwa wa
kansa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhima ya ngano, masimulizi
na hadhira.• kueleza muundo wa ngano.• kufafanua mafunzo katika tanzu hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza chanzo cha saratani, dalili na
matibabu yake.• kushauri jinsi ya kugundua kansa
mapema na kuizuia.
• Ufaraguzi• Kuandika dayolojia• Maswali na majibu• Maigizo
• Maelezo • Ufafanuzi• Mifano • Mahojiano• Maigizo • Usomaji • Maswali na majibu
• Ufafanuzi• Masimulizi ya visa
tofauti• Maigizo • Maswali na majibu• Ufahamu wa
kusikiliza
• Usomaji• Maelezo na
ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Mjadala• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 68
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 48-49
• Kanda za sauti• Kanda za video• Matini ya dayolojia
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 69-70
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 49-50
• Picha, michoro• Makala ya magazeti
au majarida• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 70-72
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 50-51
• Kanda za kunasia sauti
• Ngano tofauti• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 72-74
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 51-52
• Mabango kutoka Wizara ya Afya
• Picha au michoro • Majarida na makala• Mwalikwa
JUM
A 1
2
260
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
6 Sarufi
Mtihani na kusahihisha
Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kigeni
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza tofauti kati ya vitenzi vya asili
na kigeni.• kugeuza vitenzi katika hali tofauti.• kutumia vitenzi vya asili ya kigeni
katika sentensi na kueleza maana zake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 74-75
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 53-54
• Jedwali• Mifano halisi• Vielelezo
• Karatasi za mitihani• Kalamu
JUM
A 1
2JU
MA
13
261
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
1
2
3-4
5
6
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Muhtasari
Tathmini katika riwaya
Mahojiano
Maenezi ya Kiswahili kabla ya uhuru
Visasili katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kudondoa hoja kuu kutoka makala
tofauti.• kueleza mambo kwa muhtasari bila
kupoteza maana.• kuandika muhtasari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza jinsi ya kujitayarisha kwa
tathmini katika riwaya.• kubainisha aina za maswali ya riwaya
katika mtihani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza na kufafanua mtindo na
madhumuni ya mahojiano.• kuandika insha ya mahojiano.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za kuenea kwa Kiswahili.• kutetea sababu za kukithamini na
kuhodhi Kiswahili kama lugha ya taifa.• kuyafahamu maeneo ya maenezi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua maana na sifa za
visasili.• kutoa mfano wa kisasili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 76-77
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 54
• Makala• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 77-78
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 55
• Riwaya teule• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 78• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 55• Mikusanyo ya
mahojiano • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 79-81• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 56• Ramani ya maeneo ya
Afrika Mashariki• Picha na michoro• Historia ya Kiswahili
(OUP) • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 81• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 56-58• Vielelezo• Wanafunzi
• Maelezo• Mifano • Ufafanuzi• Maswali na majibu• Kazi mradi• Kuandika
• Usomi wa riwaya teule
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano
• Mahojiano• Mifano• Maigizo• Maswali na majibu
• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi• Majadiliano• Tajriba• Makundi• Maelezo na ufafanuzi
• Maelezo ya sifa za visasili
• Mifano• Masimulizi• Uhakiki• Maswali na majibu
Kiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa PiliJU
MA
1
262
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
1
2-3
4
5
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Urafiki baina ya Binadamu na Mbwa
Vielezi
Uhusiano wa Kiswahili na lugha za kigeni
Maana na usuli wa hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kuhakiki matumizi ya lugha na ujumbe
wa hadithi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya vielezi.• kutaja na kueleza aina za vielezi.• kutunga sentesi kwa kutumia vielezi
tofauti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza uhusiano baina ya Kiswahili na
lugha za kigeni.• kutaja msamiati wa kukopwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usuli na hadithi fupi.• kueleza umuhimu wake katika kuhakiki
wa hadithi fupi.• kufafanua usuli wa hadithi katika kitabu
kiteule cha hadithi fupi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 82-84
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 58-60
• Kamusi• Vielelezo • Picha • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 84-87• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 60• Picha• Michoro • Vibonzo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 87-88• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 60-61• Ramani• Michoro na picha • Vielelezo• Historia ya Kiswahili
(OUP) • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 89-90• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 61-62• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi
• Kusoma• Uhakiki• Tajriba • Maswali na majibu• Ufafanuzi
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano
• Maelezo ya mwingiliano wa Kiswahili na lugha za kigeni
• Maswali na majibu• Majadiliano• Makundi• Tajriba
• Maelezo• Mifano• Tajriba • Majadiliano• Makundi• Kusoma• Maswali na majibu• Uhakiki
JUM
A 2
263
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
6
1-2
3
4-5
Utunzi
Fasihi teule
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Insha ya masimulizi
Hadithi fupi
Wasifu wa kitu au mtu
Mighani katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za insha ya masimulizi.• kusimulia na kuandika kisa juu ya mada
waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi.• kuichambua kwa usahihi.• kujadili maudhui na lugha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa fasili ya neno wasifu.• kutoa mifano ya wasifu.• kueleza mafunzo kutoka kwa wasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na sifa ya mighani.• kutoa mifano ya mighani.• kupambanua umuhimu wa mighani.
• Maelezo• Maswali na majibu• Masimulizi• Kuandika
• Kusoma• Maelezo• Majadiliano• Kuandika• Maswali na majibu• Uchambuzi
• Maelezo • Mifano• Maigizo• Ziara nyanjani
• Ziara nyanjani• Utafiti• Mifano• Maelezo • Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 90
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 62-63
• Kanda za sauti zenye masimulizi
• Magazeti
• Kitabu kiteule cha hadithi fupi
• Miongozo ya uchambuzi wa hadithi fupi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 91-92
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 63-64
• Kanda za sauti au video
• Mikusanyo ya wasifu
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 92-93
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 64-65
• Mikusanyo ya mighani
• Mazingira halisi
JUM
A 3
JUM
A 2
264
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
6
1-2
3
4-5
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Wasifu wa Shaaban Robert
Viwakilishi
Tawasifu
Muundo na mtindo wa hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kueleza maana za maneno na vifungu.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kazi ya baadhi ya
viwakilishi.• kutoa mifano ya viwakilishi.• kutunga sentensi kwa kutumia baadhi
ya viwakilishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana na sifa za tawasifu.• kupambanua vipengele vya tawasifu.• kueleza matumizi na umuhimu wa
tawasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua muundo na mtindo wa
hadithi fupi.• kufafanua matumizi ya lugha katika
hadithi fupi.
• Kusoma • Ufafanuzi • Maswali na majibu• Tajriba
• Maelezo• Kuigiza • Ufafanuzi• Mifano• Kazi mradi• Uchunguzi • Maswali na majibu
• Maelezo• Uchunguzi• Tajriba • Maswali na majibu
• Usomaji• Uchunguzi• Ufafanuzi • Mifano• Maelezo• Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 94-95
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 65-66
• Picha za Shaaban Robert
• Mikusanyo ya maandishi ya Shaaban Robert
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 96-100
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 66-67
• Mandhari ya shule• Chati • Vitu halisi• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 100-101• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 67-68• Mikusanyo ya
tawasifu• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk101-102• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 69• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi• Jedwali
JUM
A 3
JUM
A 4
265
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
6
1-2
3-4
5
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Insha ya wasifu na tawasifu
Kupasha ujumbe siku hizi
Miviga katika fasihi simulizi
Satalaiti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo na hatua za kuandika
wasifu na tawasifu.• kuandika insha ya tawasifu na wasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kukariri shairi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza sifa za ujumbe wa rununu
ulioandikwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana na faida ya miviga.• kutoa mifano ya miviga kutoka jamii
mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.
• Majaribio• Uchunguzi• Vikundi• Mifano• Kuandika
• Kukariri • Mjadala• Tajriba• Maelezo• Ufahamu wa
kusikiliza• Maswali na majibu• Usomaji
• Maigizo• Tajriba• Majadiliano• Utazamaji• Ufafanuzi
• Usomaji • Utafiti• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 102-104
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 69-70
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 105-106
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 70-72
• Simu tamba• Michoro na picha• Shairi kutoka MwM
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 106-107
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 72-73
• Kanda za sauti• Wanafunzi• Picha za sherehe• Mafanani toka jamii
tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 107-109
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 73-74
• Picha• Wavuti• Kamusi
JUM
A 4
JUM
A 5
266
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Viwakilishi
Lugha ya kompyuta
Maudhui katika hadithi fupi
Baruapepe
Methali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na matumizi ya
viwakilishi.• kutoa mifano ya baadhi ya viwakilishi
na kuvitumia katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza matatizo ya lugha ya kompyuta
na ufumbuzi wake.• kufafanua istilahi za kompyuta.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui ya hadithi fupi.• kufafanua jinsi ya kufichua maudhui ya
hadithi fupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha sura za baruapepe.• kueleza maana ya baruapepe.• kuandika baruapepe.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu, maana na matumizi
ya methali.• kupambanua uhusiano kati ya methali
na mazingira zinamotumika.
• Maelezo• Mifano• Tajriba
• Maelezo • Mahojiano• Utafiti• Mifano• Tafsiri
• Usomaji• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Maelezo • Uhakiki • Uchunguzi
• Majaribio• Mifano• Utafiti• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika
• Maelezo• Ufafanuzi• Utafiti• Uchambuzi• Tajriba
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 109-112
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 74-75
• Jedwali la viwakilishi• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 112-113• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 75• Kamusi• Kadi za maneno
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 113
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 75-76
• Kitabu kiteule cha hadithi fupi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 114• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 76• Tarakilishi• Mikusanyo ya
baruapepe • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 115-116• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 77-78• Kamusi za methali• Vielelezo
6
1
2-3
4
5
JUM
A 5
JUM
A 6
267
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
6
1
2
3-4
5-6
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Sifa za methali katika fasihi simulizi
Tapeli hatari
Viwakilishi
Tamathali za semi
Ushairi mapokeo (wa jadi)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua na kutathmini lugha ya
methali.• kubainisha muundo wa methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kueleza ujumbe wa kifungu.• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua baadhi ya viwakilishi vya
ngeli na a- unganifu.• kubainisha maumbo ya viwakilishi.• kutunga sentensi sahihi kudhihirisha
matumizi ya viwakilishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua baadhi ya
tamathali za semi.• kutumia tamathali za semi katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ushairi wa mapokeo
na sifa zake.• kuhakiki mashairi ya arudhi.
• Uchunguzi• Maelezo • Mifano• Tajriba• Ufahamu wa
kusikiliza
• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Usomaji
• Maelezo • Uchunguzi• Mifano• Ufafanuzi na
maelezo
• Ufafanuzi• Mifano ya tamathali• Maelezo• Kuchambua
• Mijadala• Mifano• Uhakiki • Maelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 116-118
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 78-80
• Kamusi za methali• Shairi toka MwM• Mandhari tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 118-120
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 80-81
• Kamusi za methali
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 120-122
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 81-82
• Chati za maumbo ya viwakilishi
• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 122-124• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 82-83• Picha, mashairi,
hadithi au riwaya zilizo na tamathali
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 124-125
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 83-85
• Vielelezo • Magazeti
JUM
A 6
JUM
A 7
268
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
1
2
3
4
Utunzi
Kusikiliza na kuzunguma
Fasihi yetu
Ufahamu
Insha ya methali
Misemo
Ushairi: Nyimbo
Situmiki kinafiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua methali. • kuandika insha inayothibitisha ukweli
na matumizi ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misemo na nahau
mbalimbali.• kutoa mifano na kuitumia misemo na
nahau katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, sifa na aina za nyimbo.• kupambanua miundo tofauti ya nyimbo
na umuhimu wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kariri kwa ufasaha.• kuhifadhi kiini cha habari katika shairi.• kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.
• Ufafanuzi• Masimulizi• Mifano • Kuandika
• Utafiti• Mifano• Maelezo• Mashindano
• Utazamaji• Mahojiano• Maelezo• Mifano• Uimbaji• Ufahamu wa
kusikiliza• Imla
• Kuigiza• Kusoma na kukariri• Tajriba• Uchunguzi• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 126
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 85
• Vielelezo • Michoro• Kamusi • Mikusanyo ya methali • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 127-128• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 86-87• Jedwali• Mikusanyo ya misemo
na nahau• Michoro ya
kubainisha dhana mbalimbali
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 128-130• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 87-89• Kanda za muziki• Malenga mwalikwa• Zana za muziki
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 130-132
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 89-90
• Kanda za sauti• Picha magazetini• Ramani ya Afrika
Mashariki
JUM
A 8
269
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
5-6
1
2
3-4
Fasihi teule
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Riwaya teule
Upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi
Mlinganisho wa mashairi ya arudhi na mashairi huru
Ushairi wa jadi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi.• kueleza sifa na tabia za wahusika.• kujadili maudhui na matumizi ya lugha
katika riwaya teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.• kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi
wingi na kinyume chake.• kutunga sentensi katika umoja na wingi
akizingatia upatanisho wa kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuonyesha kufanana kwa mashairi ya
mapokeo na huru.• kupambanua tofauti zilizomo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhana ya ushairi wa jadi
kimuundo, lugha na wahusika, n.k.
• Usomaji• Uhakiki• Majadiliano• Uchambuzi wa
maudhui, lugha na wahusika
• Uchunguzi• Mifano• Ufafanuzi na maelezo• Maswali na majibu
• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani• Kuigiza• Maswali na majibu
• Maelezo • Maigizo• Ufafanuzi • Uchunguzi• Ugunduzi• Maswali na majibu
• Wanafunzi wenyewe• Kitabu kiteule chenye
riwaya
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 132-133
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 90-93
• Jedwali la viambishi vya ngeli
• Kadi za maneno
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 134-135
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 93-95
• Mkusanyo wa mashairi
• Michoro ya vina na mizani
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 135-137• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 95-96• Kanda za sauti• Chati za vina na
mizani• Vielelezo vya
mashairi
JUM
A 8
JUM
A 9
270
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua hatua za utunzi wa mashairi.• kutunga shairi la arudhi au huru kama
njia ya kisanii.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi,
kimuundo na lugha.• kuchambua maudhui na wahusika
katika hadithi hiyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuzua hoja na kuzitetea.• kuziwasilisha katika mjadala kwa
ufasaha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua aina tofauti za
maghani.• kueleza sifa za utanzu mbalimbali wa
maghani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza chanzo na madhara ya ufisadi.• kujibu maswali kwa usahihi.
• Majaribio• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Utafiti• Kuandika
• Usomaji• Majadiliano• Uchambuzi
• Mjadala • Utendaji• Ufafanuzi• Tajriba
• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi• Maigizo • Ufaraguzi• Majadiliano• Vikundi
• Usomaji • Ufafanuzi na maelezo• Tajriba• Makundi• Mjadala
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 137-138
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 96-97
• Kamusi tofauti• Makala tofauti
• Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 139
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 97-98
• Kanda za sauti• Makala tofauti• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 13-141
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 98-100
• Malenga wa Vumba (OUP)
• Malenga wa Mvita (OUP)
• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 141-144
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 101-103
• Makala ya magazetini• Fanani• Wanafunzi
5
6
1
2-3
4
Utunzi
Hadithi fupi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Shairi la arudhi
Hadithi teule
Mjadala
Maghani katika fasihi simulizi
Sakata za ufisadi
JUM
A 9
JUM
A 1
0
271
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
5-6
1
2
3
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi
Muhtasari
Mashairi huru
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.• kutunga na kugeuza sentensi katika hali
moja hadi nyingine.• kubainisha viambishi visisitizi na vya
vivumishi vya pekee.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika muhtasari.• kuandika muhtasari wa kifungu teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya shairi huru.• kufafanua na kuhakiki mashairi huru.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo wa insha ya mjadala.• kufafanua sifa na kuandika insha ya
mjadala kwa usahihi.• kujadii hoja ya kuwaadhibu mafisadi
kwa ufasaha.
• Maelezo• Ufafanuzi• Tajriba• Majadiliano• Makundi• Mazoezi
• Maswali na majibu• Kazi mradi• Uchunguzi • Kuandika• Kufupisha
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu.• Makundi• Uchambuzi• Kukariri
• Maelezo na ufafanuzi• Mjadala• Utafiti na uchunguzi• Maswali na majibu• Tajriba
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 144-148
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 103
• Majedwali ya ngeli na viambishi
• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 148-149
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 103-105
• Vielelezo • Wanafunzi • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 149-150• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 105-107• Vielelezo vya
mashairi huru• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 150
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 107-108
• Vielelezo vya insha za mjadala
• Mikusanyo ya maoni ya watu
• Jedwali la hoja
JUM
A 1
0JU
MA
11
272
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
4-5
6
1
2
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Afisa mtawala na raia
Ngomezi katika fasihi simulizi
Historia ya katiba
Upatanisho wa kisarufi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za migogoro baina ya
watu na wanyama mwitu.• kupendekeza suluhisho.• kueleza maana ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kuainisha ngomezi.• kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi.• kukusanya mifano ya ngomezi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kusoma taarifa kwa kuzingatia kanuni
za usomaji bora.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhana ya upatanisho wa
kisarufi akizingatia ‘amba’ rejeshi, ‘o’ rejeshi na ‘a’ unganifu.
• kutunga sentesi sahihi akidhihirisha upatanisho wa kisarufi.
• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Uchunguzi• Kusoma• Maswali na majibu
• Maigizo• Maelezo na• ufafanuzi• Utafiti• Mahojiano• Ukusanyaji na
uhifadhi
• Usomaji • Maswali na majibu• Majadiliano • Utafiti• Maelezo• Tajriba
• Maelezo• Tajriba• Mifano• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 151-153
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 108-109
• Picha• Vibonzo• Makala ya magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 153-154
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 110
• Kanda za sauti• Zana halisi• Mkusanyo wa
ngomezi • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 154-156• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 110-111• Mikusanyo
magazetini • Katiba (kielelezo)• Fanani • Machapisho na
miswada • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 156-157• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 112-114• Vielelezo• Chati za maumbo ya
viambishi• Majedwali
JUM
A 1
1JU
MA
12
273
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
3
4
5-6
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Mtihani na kusahihisha
Magazeti
Usuli wa tamthilia
Tahariri
Mazoezi na marudio ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa mifano ya aina za magazeti na
sifa zake.• kupambanua muundo na lugha ya
gazeti.• kuandika makala ya kuchapishwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, hatua na mbinu za
kuchambua usuli wa tamthilia.• kufafanua usuli wa tamthilia teule
kulingana na masharti mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na sifa za tahariri.• kufuata hatua za kuandika tahariri ya
gazeti.• kuandika tahariri.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Maelezo na ufafanuzi• Uchunguzi kifani• Mifano• Utafiti• Maswali na majibu
• Uchunguzi• Maigizo• Michezo• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi
• Maana ma maelezo• Utafiti wa mambo• Uchunguzi• Dayolojia• Kuandika
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk158-159
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 115-116
• Michoro• Picha• Tarasha• Magazeti tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 159-160
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 116-117
• Maleba• Video• Kanda za sauti • Tamthlia teule
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 160
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 117-118
• Machapisho• Tarasha• Vielelezo • Karatasi za mitihani• Kalamu
JUM
A 1
3JU
MA
12
274
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
1
2
3
4-5
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Misimu na lakabu
Lugha ya nathari na ufupisho katika ushairi
Kujali wenye ukimwi
Aina za virai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misimu na lakabu.• kujadili umuhimu wao.• kutoa mifano ya misimu na lakabu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ufupisho na lugha ya
nathari katika shairi.• kuandika shairi katika lugha ya nathari.• kufafanua umuhimu wa lugha ya
ufupisho katika shairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujadili yaliyomo.• kueleza maana ya istilahi ngeni na
msamiati.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza virai.• kutaja na kueleza aina za virai.• kubainisha virai mbalimbali katika
sentensi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 161-162
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 119-120
• Vielelezo• Wanafunzi• Kadi za maneno
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 162-163
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 120-121
• Vielelezo • Sauti ya Dhiki (OUP)• Kanda za sauti• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 163-165
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 121-122
• Picha au michoro• Waalikwa• Kanda za video• Magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 166-167
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 123
• Vielelezo vya virai• Wanafunzi
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba • Ufahamu wa
kusikiliza
• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Mifano• Makundi• Uhakiki• Tajriba
• Tajriba ya wanafunzi• Mazungumzo• Mjadala• Maelezo• Maswali na majibu• Usomaji
• Maelezo • Ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi
Kiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa TatuJU
MA
1
275
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
6
1-2
3-4
5-6
Utunzi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Hadithi fupi
Insha ya maelezo
Muhtasari: Usanifishaji wa lugha ya Kiswahili
Maudhui katika tamthilia
Wahusika katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mambo ya kuzingatiwa wakati
wa kuandika insha ya maelezo.• kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usanifishaji.• kufafanua sababu za kusanifisha lugha.• kujadili udhaifu katika usanifishaji wa
Kiswahili.• kufupisha makala kama alivyoagizwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui na dhamira katika
tamthilia.• kueleza namna ya kuhakiki maudhui.• kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia katika uchambuzi wa maudhui.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kuchambua hadithi teule
kama alivyoagizwa.• kueleza wahusika wanavyojipambanua
katika hadithi fupi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 170
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 125
• Vielelezo• Majarida• Makala ya magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 167-169
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 123-124
• Historia ya Kiswahili (OUP)
• Ramani• Orodha ya lahaja za
Kiswahili
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 169-170
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 124-125
• Tamthilia teule• Vielelezo• Wanafunzi• Kanda za sauti na
video
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 171-172
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 127-128
• Hadithi fupi teule• Jedwali
• Maelezo• Maigizo• Tajriba• Maswali na majibu• Kuandika
• Maelezo• Ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi• Kufupisha• Utafiti
• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Tajriba• Makundi• Uhakiki
• Maelezo• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Makundi• Uhakiki
JUM
A 1
JUM
A 2
276
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
1
2
3-4
5-6
1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Maagizo na maelekezo
Povu la sabuni
Aina za vishazi
Mwingiliano wa maneno
Wahusika katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.• kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo.• kuandika ripoti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali
kwa usahihi.• kuzingatia mafunzo yaliyomo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha vishazi.• kutunga sentensi kwa kutumia vishazi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha na kubainisha aina za maneno
kutegemea matumizi.• kutunga sentensi kubainisha
mabadiliko ya aina ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua nafasi ya mhusika.• kueleza uumbaji na uchoraji wa
wahusika.• kupambanua aina za wahusika.• kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.
• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Kazi mradi• Tajriba • Kuandika • Ufahamu wa
kusikiliza
• Tajriba• Mjadala• Mifano• Maigizo• Usomaji
• Maelezo• Mifano• Tajriba
• Uchunguzi• Mifano• Michezo ya lugha• Maelezo na ufafanuzi
• Maigizo• Uchunguzi• Mjadala• Utazamaji• Ufahamu wa
kusikiliza• Ufafanuzi• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 171
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 125-127
• Vielelezo• Chati za vielelezo• Mifano ya ripoti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 172-174
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 128-129
• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 175-176
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 129-130
• Vielelezo• Mazingira halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 177-179
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 130
• Kadi za maneno• Chati za sentensi• Vielelezo ubaoni
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 179-181
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 131-132
• Picha au michoro• Mazingira halisi• Kanda za sauti
JUM
A 3
JUM
A 4
277
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
3
4
5-6
1
2-3
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Hadithi fupi
Habari na ripoti za runinga na redio
Matumizi ya lugha katika hadithi fupi
Ripoti za michezo
Sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua hatua za kuandika hadithi
fupi.• kuandika hadithi fupi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, umuhimu na jinsi ya
kutoa ripoti za redio na runinga.• kuanisha ripoti hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza fani ya lugha katika hadithi
fupi.• kufafanua umuhimu wa fani hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza aina ya michezo.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha sentensi.• kueleza sifa na aina za sentensi.• kutoa mifano ya kila aina ya sentensi.
• Mifano• Majaribio• Uchunguzi• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Vidokezo
• Maelezo• Masimulizi• Mifano• Ufahamu na
kusikiliza• Mjadala
• Kusoma• Uchunguzi• Ufafanuzi• Mjadala• Masimulizi• Uchambuzi
• Utafiti• Tajriba• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji
• Majadiliano• Makundi • Mifano • Ufafanuzi• Mazoezi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk.181-182
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk.132-133
• Vielelezo • Vitu halisi• Visa vya magazetini
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk.183
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 133-135
• Runinga• Redio• Nakala za ripoti• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 183-184
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 135-136
• Sadiki ukipenda (JKF)
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 184-186
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 136-137
• Picha na vifaa vya michezo na wachezaji
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 186-188
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 137
• Vielelezo vya sentensi
• Majedwali ya sentensi
JUM
A 5
JUM
A 4
278
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
4
5-6
1-2
3
4-5
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Lugha za ripoti na uandishi wake
Muundo na mtindo wa tamthilia
Insha ya ripoti
Mahakama
Aina za maigizo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.• kueleza lugha ya ripoti.• kuandika ripoti maalumu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha na kueleza muundo na
mtindo wa tamthilia.• kuhakiki muundo na mtindo wa
tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hatua za kuandika ripoti.• kuandika ripoti kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua aina za mahakama na
shughuli zao.• kutumia msamiati unaofaa wa
mahakama kutungia sentensi.• kuendesha mazungumzo ya
mahakama.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maigizo na sifa zake.• kubainisha sura za sanaa za maonyesho
ya kawaida.
• Maelezo• Mifano• Utafiti
• Maelezo• Ufafanuzi• Utazamaji• Masimulizi• Uhakiki • Kuigiza
• Ufaraguzi • Utafiti • Kazi mradi • Kuandika
• Ziara• Masimulizi• Utafiti• Maelezo• Ufaraguzi• Ufahamu wa
kusikiliza
• Kuigiza• Ziara• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 188-189
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 137-138
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 189-190
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 138
• Kitabu kiteule cha tamthilia
• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 190• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 138-139• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 191
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 139-142
• Picha michoro• Maleba• Mandhari halisi• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 192-193
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 142
• Vitu halisi• Maleba• Mandhari• Vielelezo• Picha
JUM
A 5
JUM
A 6
279
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
6
1
2
3
4-5
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Haki za binadamu
Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mishale
Muhtasari –Haki za watoto
Matumizi ya lugha katika tamthilia
Mchezo wa kuigiza
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza ujumbe wa shairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuchanganua sentensi kwa njia ya
mishale au mistari. • kueleza muundo wa kikundi nomino
(KN) na kikundi tenzi (KT).
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kudondoa hoja muhimu.• kuandika muhtasari wa kifungu.• kubainisha haki za watoto.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za lugha katika tamthilia.• kutoa mifano ya aina mbalimbali za
matumizi ya lugha katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua aina ya michezo ya
kuigiza.• kuandika mchezo wa kuigiza kwa
usahihi kama njia ya kisanii.
• Kusoma kwa sauti au kimya
• Kukariri• Maswali na majibu• Maelezo• Makundi
• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Mazoezi
• Utatuzi wa mambo• Masimulizi• Maelezo na ufafanuzi• Makundi
• Kuigiza • Uchunguzi kifani• Mifano• Ufafanuzi • Uhakiki
• Kuigiza • Majadiliano• Majaribio• Kuandika
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 194-195
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 142-143
• Vibonzo• Magazeti• Kadi za maneno
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 195-196
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 143-144
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 196-198
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 144
• Mabango• Tarasha• Kielelezo cha katiba
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 198-199
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 144-145
• Vibonzo• Tamthilia teule
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 199-200
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 145
• Vielelezo vya michezo ya kuigiza
• Kanda za sauti na redio
JUM
A 6
JUM
A 7
280
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
• Mifano • Utafiti• Vikundi• Maelezo na
ufafanuzi• Ufahamu wa
kusikiliza
• Ziara • Utafiti• Uchunguzi• Maswali na majibu• Maelezo na
ufafanuzi• Maigizo • Uhakiki
• Maswali na majibu• Majadiliano• Maelezo• Kuigiza
• Mazoezi • Maelezo na
ufafanuzi
• Ufafanuzi• Dayolojia• Mahojiano
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 201-202
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 145-149
• Kadi za mialiko• Vielelezo ya mialiko• Tarasha
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 202-203
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 149
• Mazingira halisi• Vifaa na maleba• Kanda za sauti• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 204-206
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 149-150
• Kadi za hoja• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 206-208
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 150-151
• Majedwali• Vielelezo• Kadi za sentensi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 208-209
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 151-152
• Tarasha• Vielelezo
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
6
1-2
3
4-5
6
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Mialiko
Aina za maigizo
Kumbukumbu za mkutano
Uchanganuzi wa sentensi
Kumbukumbu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa
mialiko.• kupambanua sifa za mialiko.• kuanisha mialiko.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa mifano ya aina mbalimbali za maigizo.• kupambanua umuhimu wa maigizo.• kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kumbukumbu kwa ufasaha.• kueleza maana za maneno na vifungu.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha dhana ya uchanganuzi.• kuchanganua sentensi kwa njia ya
jedwali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa kumbukumbu.• kupambanua sifa za kumbukumbu.• kujibu maswali kwa usahihi.
JUM
A 8
JUM
A 7
281
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
• Tajriba• Mifano• Mjadala• Maelezo na ufafanuzi
• Maelezo • Ugunduzi• Majaribio• Uchunguzi kifani• Kuandika • Ufahamu wa
kusikiliza
• Maelezo• Tajriba• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Ufahamu wa
kusikiliza• Uhakiki
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 209-210
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 152-153
• Picha za mambo tofauti
• Mikusanyo ya tahakiki mbalimbali
• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 210
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 153-155
• Mazingira halisi• Tarasha• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 211
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 155-158
• Kanda za sauti• Vielelezo vya
matangazo• Wanafunzi wenyewe
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 211-213
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 158-159
• Vielelezo vya kazi za fasihi simulizi
• Kanda za sauti• Wanafunzi
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
1-2
3-4
5
6
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Mafunzo katika tamthlia
Insha ya kumbukumbu
Matangazo
Mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya mafunzo.• kufafanua mbinu wanazozitumia
wasanii kutoa mafunzo katika tamthilia.
• kueleza mafunzo kwenye tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua mambo ya kuzingatia wakati
wa kuandika kumbukumbu.• kuandika kumbukumbu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za matangazo katika redio
na runinga.• kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo
ya redio na runinga.• kuhakiki na kuandaa matangazo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa kukusanya na
kuhifadhi fasihi simulizi.• kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihi
simulizi.
JUM
A 9
282
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
1
2-3
4
5
6
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Maji na uhai
Uchanganuzi wa sentensi
Matangazo
Tathmini katika tamthilia
Insha ya makala ya kitaaluma
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kufafanua hali ya maji na umuhimu
wake.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya uchanganuzi.• kuchanganua sentensi sahili, ambatano
na changamano kwa njia ya michoro ya matawi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika tangazo la kuvutia kulingana
na kichwa walichopewa.• kueleza sifa za matangazo ya
maandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za tathmini katika
tamthilia.• kueleza namna ya kujibu maswali
katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya makala ya
kitaaluma.• kuandika insha ya kitaaluma kuhusu
mada waliyopewa kwa usahihi.
• Usomaji • Tajriba• Maswali na majibu• Uvumbuzi• Uchunguzi
• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba • Mifano• Majadiliano• Makundi• Mazoezi
• Maelezo• Maswali na majibu• Makundi• Tajriba
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Uhakiki• Uchunguzi• Tajriba
• Ufaraguzi • Makundi• Mahojiano• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 213-215
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 159-217
• Picha na michoro za mambo ya maji
• Chati za hali za maji
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 216-217
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 161-166
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 218
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 166-167
• Magazeti• Wanafunzi• Mabango
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 219-220
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 167-168
• Vielelezo • Tamthilia teule
• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 220
• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 168
• Vielelezo vya makala ya kitaaluma
• Magazeti au majarida
JUM
A 1
0
283
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
Mtihani na kusahihisha Mazoezi na marudio ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi • Karatasi za mitihani• Kalamu
JUM
A 1
1-12