48
MASOMO YA MAISHA YA MKRISTO

MASOMO YA MAISHA YA MKRISTO - jensenmissions.com

  • Upload
    others

  • View
    28

  • Download
    7

Embed Size (px)

Citation preview

MASOMOYAMAISHAYAMKRISTO

YALIYOMO SOMOLAKWANZA:FurahayaWokovu 1 SOMOLAPILI:Mateso 5 SOMOLATATU:KukuaKatikaKristo 11 SOMOLANNE:KufanyaUchaguziSahihi 13 SOMOLATANO:NguvuyaSala 17 SOMOLASITA:MafundishoyaBiblia 21 SOMOLASABA:Ibada–SehemuyaKwanza 25 SOMOLANANE:Ibada–SehemuyaPili 31 SOMOLATISA:KushirikishaUjumbewaWokovu 37 SOMOLAKUMI:Mbingu&Jehanamu 43

1

SomolaKwanza

FURAHAYAWOKOVUUtangulizi: 1. Nikwajinsiganinimuhimukupatamsamahawadhambizako? a. “Kwaniatafaidiwaninimtuakiupataulimwenguwote,nakupatahasara yanafsiyake?Aumtuatatoaninibadalayanafsiyake?”(Mathayo16:26). b. SomaLuka16:19-32.Alipokuwaakiishijuuyanchi,tajilialifurahiabaraka zakimwilizilizoborakabisa.Hatahivyohakuwanauzimawakiroho. c. Wakristowanatambuakuwakupatamsamahawadhambinibarakaisiyo nagharama! 2. Msamahanisababuyashangwekuu.Hayayameelezwandaniyamifano mitatukatikaLukasuraya15. a. Kondooaliyepotea(mistari3-7).“Furahinipamojanami,kwakuwa nimekwishakumpatakondoowangualiyepotea”(mstari6). b. Shilingiiliyopotea(mistari9-10).“Furahinipamojanami,kwakuwa nimeipatatenashilingiileiliyonipotea”(mstari9). c. Mwanampotevu(mistari11-32).“kwakuwahuyumwanangualikuwa amekufa,nayeamefufuka;alikuwaamepotea,nayeameonekana. Wakaanzakushangilia”(mstari24). 3. Badilikolakutokakupoteakwendakuokokanimwendowakutokamautiya kirohokwendauzimawakiroho. a. SomaWarumi6:2-4. b. SomaWaefeso2:1-4.I. Njiambilizamisamaha A. Munguananjiamojayamsamahakwaajiliyawasiowakristo,nanjia nyinginetofautikwaajiliyawakristo.Kwanzanilazimamtuafanyikemtoto waMungukiroho,nabaadayahapowanawezakufurahiabarakaya msamahakutokakwaBabayaowambinguni. B. Kuzaliwandaniyafamilia: 1. Umekuwamwanafamiliawafamiliayakoyakimwiliulipokuwa umezaliwakatikaduniahii.Halafuukaanzakufurahiabarakakutokakwa babayakowakimwili. 2. KufanyikamwanafamiliawafamiliayaMungukunahitajikuzaliwakiroho. a. SomaYohana3:3-5. b. Kuzaliwa“marayapili”hukuniubatizowamaji. C. HizinjiambilizamisamahazinaonekanakatikamaishayaSimoni. 1. SomaMatendo8:9-13.Simonialijifunzakweli,aliiaminikweli,na alibatizwa. a. Ubatizonikwaajiliya“ondoleoladhambizenu”(Matendo2:38).

2

b. HivyoSimonialisamehewadhambizakenaalifanyikakuwamtotowa Mungu. 2. SomaMatendo8:14-24.Simonialijaribukuwahongamitumekwafedha alitendadhambi. a. Hakuhitajiubatizotena!TayarialikwishakufanyikamtotowaMungu. b. Aliambiwa“tubia”na“ukamwombe”kwaajiliyakusamehewa (Matendo8:22). c. Pianilazimatuhiari“kuungama”dhambizetu. 1) SomaYakobo5:16. 2) Soma1Yohana1:9. D. Mpangiliowahizinjiambiliniwamuhimu.Haiwezekanikuzibadilisha,huwezi kuiwekanjiayapilikuwayakwanza. 1. KwanzaSimonialimtiiMungukwakulekubatizwa,halafubaadaye alipotendadhambi,aliwezakuombamsamahakatikasala. 2. Makanisamengiyakimadhehebuyanawaambiawatu“ombenikwaajili yamsamaha”halafubaadayewabatizwe.HuusiompangowaMungu! a. Wahubiriwengiwauongowanawaambiawatu“mwombeMungu aingiyendaniyamoyowakonaakuokoe.” b. Ileinayoitwa“salayatoba”haipatikanikatikaBiblia!II. MwendelezoWaKusafishwaKwaWakristoWaaminifu A. Inaonekanawakristowengikuchanganywajuuyamsamahanawokovu. 1. Wenginewanadhanikuwaukristonikuingianakutokakatikawokovu. a. Wanadhanikuwaikiwawametendadhambi,hatabilakujua,gafla wanakuwawamepotea,halafuwanapotambuadhambizao, wanaombamsamahanakuokolewatena,nakwambamzungukohuo unaendeleakujirudia. b. Wanahofukuwaikiwawatatendadhambinakufakablayakupata mudawakutamkasala,basiwatakuwawamepoteamilele. c. Wakristowengiwanaonekanakutokuwanaimaninawokovuwao. d. Hivyobasi,wengiwanakosamategemeohalisiyambigu. 2. Baadhiwanapitilizahatakwenyefundisholauongola“kutokuwepo uwezekanowakuangukatena.” a. Fundishola“baadayakuokokanimarazoteumeokoka”nilauongo. Soma2Petro2:20-22. b. WakatiBibliaikifundishauwezekanowakuangukabaadayakuokoka, piainafundishakwambaMunguhatatuachatujaribiwekupitauwezo wetu. c. Soma1Wakorintho10:13.

3

B. KunautofautikatiyakwendeleakujitoakwaMungunaukamilifu.Msamaha hufurahiwanamkristoanayejitoa,lakinihakunamkristoanayeishikwa ukamilifu. 1. Maishayakujitoa(Munguanayatakahayo). a. “Mwenyehakiataishikwaimani”(Warumi1:17).Hiinikupambana kuishikulingananamapenziyaMungu. b. “Kwamaanawalewaufuataomwilihuyafikirimamboyamwili;bali walewaifuataorohohuyafikirimamboyaroho”(Warumi8:5). Mkristoanayejitoaanawekamkazokatikamamboyakiroho. c. “Hapotenainayohitajiwakatikamawakili,ndiyomtuaonekanekuwa mwaminifu”(1Wakorintho4:2).Kumbukakuwaunaohitajikani uaminifu,nasioukamilifuwakutokuwanadhambi. d. Mtakatifuanayejitoabadoatakuwanaondoleoladhambi,dhambi alizozifanyabilahatayakujua. 2. Maishayaukamilifubiladhambi(Munguhayatakihayo): a. Hakunamwanadamuanayeishimaishayaukamilifupasinadhambi. Munguangetakamaishahayo,hakunammojaambayeangeokoka. b. “Tukisemakwambahatunadhambi,twajidanganyawenyewe,wala kwelihaimomwetu”(1Yohana1:8). C. Soma1Yohana1:5-10. 1. Sehemuhiiinatofautishakuenendagizanidhidiyakuenendanuruni. 2. Kumbukakwaumakinimistariyasitanasaba. a. “Tukisemayakwambatwashirikiananaye,tenatukienendagizani, twasemauongo,walahatuifanyiiliyokweli”(6). b. “balitukienendanuruni,kamayeyealivyokatikanuru,twashirikiana sisikwasisi,nadamuyake…”(7). 3. “tukienenda”kunasimamabadalayanamnatunavyoishi,mtindowa maishayetu,“mwenendowamaishayetu.” 4. Soma1Yohana1:7.Kuenendanuruni=maishayakujitoa. a. Nimuhimukukumbukavitenziviwilivyawakatiunaoendelea “tukienenda”na“yatusafisha.”Hiiinaonyeshakitendo kinachoendelea. b. Ikiwanamnatunavyoishinikuendeleakuenendanuruni,basituna uhakikawakuendeleakusafishwadhambizetu. c. Kuenendanurunihukuhakuhitajiukamilifuwabiladhambi, vinginevyokusingekuwanadhambizakusafishwa. d. Kwamaanahiyo,kwakadilimtotowaMunguanavyoishimaishaya kujitoa,atakuwaanafurahiakuendeleakusafishwadhambi! 5. Soma1Yohana1:9.Mkristoanayejitoaataendeleanamwenendowa unyenyekevu,nakudhamiria“kuungama”dhambizake,nakuombakwa ajiliyamsamaha.

4

III.Furahayawokovu A. MfanowaDaudi: 1. BaadayaDaudikufanyazinaa,nabiiNathanialimwambiahatiayake. Soma2Samweli12:1-8. 2. Soma2Samweli12:13.Daudialikuwanamoyowenyedhamiraya kukubalidhambiyake. 3. SomaZaburi51:1,2,12. a. Daudialiandikamanenohayabaadayakutendadhambi. b. AlimwombaMunguasamehewe. c. Alitakakuwanafurahayawokovutena. B. Walewotewaliojifunzanakuitiinjili,wanafurahiakusamehewadhambizao walizotanguliakufanya: 1. SomaMatendo8:35-39.Baadayakubatizwatowashi“alikwendazake akifurahi.” 2. SomaWarumi6:4.Nifurahailiyojekuinukatokakatikaubatizona “tuenendekatikaupyawauzima.” 3. FurahayajinsihiyohiyoinatakiwakuendeleakwamtotowaMungu anayejitoa. C. MfanowaPaulo: 1. SomaWafilipi3:13,14.Pauloalikubalikuwahakuwamkamilifu. Hakuufikiaukamilifu. 2. Soma2Timotheo4:6-8. a. Pauloalipokuwaakikielekeakifo,hakusema“ninatumaininitaokoka kwauhakika.” b. Alitangaza:“nimewekewatajiyahaki,ambayoBwana,mhukumu mwenyehaki,atanipasikuile;walasimimitu,balinawatuwotepia waliopendakufunuliwakwake.” D. SomaWarumi5:1,2. 1. Wakristowanaojitoawana“amanikwaMungu”nawanaweza“kufurahi katikatumainilautukufuwaMungu.” 2. Hiisiokwelikwamkristoambayeanamtazamowakuishiatakavyona kwamba“neemaitafunika”dhambiasizokusudiakuziacha.Hitimisho: 1. SomaWaebrania3:12.Ndiyo,nilazimatujilindedhidiya“kujitengana Mungualiyehai.” 2. Soma1Wakorintho10:12,13. a. Nilazimatujilindedhidiyakuanguka. b. Balitumetiwamoyo,kwambaMunguhatatuachatujaribiwekupita tuwezavyo. 3. Soma1Wakorintho1:18.“Kwasababunenolamsalabakwaowanaopoteani upuzi,balikwetusisitunaookolewaninguvuyaMungu.”

5

SomolaPili

MATESOUtangulizi: 1. WaisraeliwalipokuwakakifanyiwaukatilinaWamidianiGidionialiuliza“Ee Bwanawangu,ikiwaBWANAyupamojanasi,mbonamambohayayote yanatupata?”(Waamuzi6:13). 2. Kwamaelfuyamiakamwanadamuamekuwaakijiuliza.“NikwaniniMungu ayaruhusumatesoyotehaya?” 3. MwanafalsafawakiyunaniEpicurus(342-270K.K.)alianzishahojaambayo kwasasanihojayajuukabisa. a. IkiwaMunguananguvuzote,basiangewezakuondoakabisamateso. b. IkiwaMunguanaupendowote,basiangetakakuondoakabisamateso. c. Kwakuwabadomatesoyangalipo,basinilazimaMunguatakuwana upungufuwanguvuauupendo,auvyoteviwili. 4. KitendawilichaEpicuruskinawezatokeakukubalika,lakinisiokweli.I. Baadhiyamitazamoisiyosahihikuhusumateso A. Mtazamowaurahisishwajikupitakiasi–Matesoyoteyanatokananadhambi yamtu. 1. SomaAyubu2:11.MarafikiwatatuwaAyubu: a. SomaAyubu4:7-9Elifazi;SomaAyubu8:5,6Bildadi;SomaAyubu 11:6Sofari. b. HawawotewatatuwalidhanikuwamatesoyaAyubuyalisababishwa nadhambizakemwenyewe. c. SomaAyubu42:7.HawakuwasahihikuhusuAyubu. 2. SomaYohana9:1-3.“Rabi,niyupialiyetendadhambi,mtuhuyuauwazazi wake,hataazaliwekipofu?”Walidhanikuwaupofuwamtuulitokanana dhambi. 3. Yesualiteseka,lakinihakuwanadhambi. a. SomaWaebrania4:15. b. Soma1Petro2:21. B. WapingajiwamafundishoyaBiblia. 1. Baadhiyawanaoaminiukamilifukatikautuwamejifurahishakatika kuwafundishawaaminiojuuyatatizolamateso.Kwamfano,wanauliza: “NikwajinsiganiunawezakuaminikatikaMunguwaupendowakati katikaduniahiikumekuwanamatesomengisana?” 2. IkiwaMungu,hayupo,nanianawezakusemakwanamnayoyotekuwa matesoyanatakiwakupewalawama? a. Ikiwamaishanimatokeoyabilampangilionauwepowake umejitokeatu,basihakunakumlaumumtu.

6

b. Kwamujibuwawanaoaminimabadilikoyaviumbe(evolution), binadamunawanyamatofautiyaomuhimupekeenikiwangochao chamaendeleo. c. Simbaanamuuanyumbunamwanadamuanatoauhaiwa mwanadamuwingine.Ikiwahakunatofautiyamsingikatiya wanyamanamtubasiwanaoaminimabadilikokatikaviumbe hawapaswikuwanasababuyakumlaumumuuaji.II. Uhuruwakuchagua A. Kunamijadalayakidinijuuyauhurudhidiyautumwawamapenziya mwanadamu. 1. Mfano:Baadhiyamadhehebuyakibaptistiyanajiitayenyewe“Mapenzi huru,”wakatiwengineniwafuasiwaimaniyaCalvinkatikaimaniyao (wanashikiliakatikafundisholaUrithiKamiliWaUovu). 2. Mfano:Tamadunikadhaazinashikiliamtazamowamaishawakiajali: “Vyovyoteitakavyokuwaitakuwa!” B. Baadhiyachaguzi(nadharia)zamsingizauumbaji: 1. Munguangewezakumwekamwanadamukatikanamnayakufanya chaguzisahihitu(Munguhakufanyahivyo). a. Mungualiwekatabiazaasili(silika)katikawanyama. b. Mfano:wakatiwabaridindegewenginehurukakuelekeakusini. 2. Munguangewezakuwekauhuruwakuchagua,lakinitenauwezo unaojiendeshanaendelevuwakuzuiakilauchaguzimbaya(Mungu hakufanyahivyo). a. Munguangeingiliakati,wakatimtuanatakakuua. b. Mtuangeshikwanakigugumize,ikiwaanakaribiakusemauongo. c. Mpangiliowanamnahiyoungekuwaunazuiaumuhimuwauhuruwa kuchagua. 3. Munguamempatiamwanadamuuhuruhalisiwakuchagua. a. SomaYoshua24:15.“…chaguenihivileomtakayemtumikia;…” b. Soma2Wakorintho5:10. c. Uhuruwakuchaguaunategemeaulichokichagua: 1) Tukifanyakazikwabidiinakupokeamatokeoyenyefaida, tunapenda. 2) Hatahivyo,hatufurahimatokeoyauchaguziwetumbaya.

III.Baadhiyavisababishivyakwelivyamateso A. Uchaguzimbayawamtu. 1. Soma1Petro4:15.Maranyingitunayaletamatesojuuyetuwenyewe. 2. Mfano:Ikiwamtuatachaguakuvutasigara,anawezakuuguakikohozi, kushindwakupumua,naugonjwawamapafu. 3. SomaMathayo5:32.Mtuanawezakuchaguakufanyauasherati,na baadayekuachwanamwenziwake.

7

4. Ikiwatutakuwawakweli,tutakubalikuwamatesoyetumengi yanasababishwanauchaguziwetuwenyeweuliyombaya. B. Uchaguzimbayawawatuwengine. 1. Uchaguzimbayawamtumwingineunawezakutuleteamatesosisi. 2. Mfano:wakatimwinginewatotowasionahatiawanauwawana maderevawalevi. a. Katikamazingirakamahayokwaniniimekuwakwamba,maranyingi Munguanapewalawama?Swalilinaulizwa:“Kwaninialimchukua mtoto?” b. Lawamazimwangukieyeyealiyechaguakulewanakuendesha. 3. Mfano:Mwanamkemjamzitoaliyechaguakunywapombenamtoto akazaliwaakiwanadosari,mtotoanatesekakwasababuyauchaguziwa kidhambiwamama. C. Uchaguzimbayawakibinadamuwakizazikilichotangulia: 1. Matesomengineyanasababishwanauchaguzimbayauliofanywanawatu nyakatizilizopita. 2. Mfano:WalewotewanaofuatadiniyaKihindukuleIndia wanamheshimung’ombekamamnyamamtakatifu. a. SomaWarumi1:22,23.MababuzaowalimwachaMungunakuanza kuabuduviumbe. b. Watotowengiwanakufakutokanananjaawakating’ombe wanaachwahurukuzungukamitaaninakulamatundakatikamezaza biashara. c. Soma1Timotheo4:3,4.Munguameruhusukulanyama. D. Uvunjifuwasheriayaasili. 1. SomaYakobo2:26.Mtuameumbwanasehemumbili–anamwilina roho.Mazingirayakeyameumbwailikuendananaye.Tunaishikatika dunia-tukiongozwanasheriayakimwili. 2. Sheriazakimwilizinafaida–palezinapoheshimiwa. a. Mguvuyamvutanoinaturuhususisikusimamishagari,nakulikuta mahalipalepalebaadaye. b. Kusingekuweponamvutano,kilakitukingekuwakinaeleatu,kama inavyotokeakatikasehemuyawaziwambali. 3. Matesoyanawezakutokeakutokananamguvuyasheriayaasili. a. SomaLuka13:4.Katikasiloamumnarauliangukanauliwauawatu18. b. Leo,ikiwajengolitajengwakwakiwangokibovu,linawezakubomoka nakuwajeruhiwatu. 4. Watuwanawezakujengabwawakwaajiliyakukusanyamajina kufurahiaupatikanajiwakekwawingi. a. Lakiniikiwakutazakezitajengwanyembambasana,nguvuyamaji inawezakuliharibubwawa. b. Majiyaendayokasiyanawezafurikishakijijinawatuwanawezakufa.

8

IV.Faidakadhaazamateso A. Kuwanahisiazakimwili: 1. Hisiachanya: a. Niwangapimiongonimwetuwanapendamgusomwororokutokakwa wenziwetu? b. Vipikamahatutasikiamaumivuyoyotetutakaposhikakitukilichocha moto? c. Kuwanamaumivukunawezakututahadharishasisinakutufanya tutafuteuponyaji. 2. Hisiahasi:Mtuanawezakukutwakatikamotonakuuguliamaumivu kutokananakuungua. B. Unakumbushwakuwaduniahiisionyumbanikwetu. 1. SomaWaebrania11:13-16. 2. Soma2Petro3:10-13. C. YanawezakutuamshakumgeukiaBwana. 1. SomaZaburi18:6.“KatikashidayangunalimwitaBWANA,Na kumlalamikiaMunguwangu.” 2. Soma2Wakorintho12:7-10. a. “mwibakatikamwili”waPauloulikuwaukimsumbua. b. MatesoyakeyalimpelekeaamtegemeBwana(mst.10). 3. SomaLuka22:44.“Nayekwavilealivyokuwakatikadhiki,akazidisana kuomba;…” D. Unakumbushwajuuyaubayauzidiowadhambi. 1. Matesomengiukiyarejeleanyumachanzochakenidhambi.Utambuzi huuunawezakutusaidiakuizuiadhambi. 2. Hatutakiwikuongezajuuyamatesoambayotayariyapokatikadunia. 3. SomaZaburi119:104.“Kwamausiayakonajipatiaufahamu,Ndiyomaana naichukiakilanjiayauongo.” E. Yanaingizashukranikwaajiliyakilekilichokizuri. 1. Je,umewahikuwasikiawatuwalioivumiliasalataninahalafuwakawana shukranimpyakwaajiliyauzima? 2. Maranyingiwalewaliovumiliamatesowanakujanashukranikwaajiliya barakandogokatikamaisha. F. Matesoyanawazakuturuhususisikutoamsaadaborakwawenginewalio katikamateso. 1. SomaWaebrania2:18.“Nakwakuwamwenyewealiteswaalipojaribiwa, awezakuwasaidiawaowanaojaribiwa.” 2. Tunapokuwanauzoefukatikamateso,hurumazetunakujalihaliza wenginezinawezakuongezeka. G. Kuimarikakiroho. 1. Soma1Petro1:6,7. 2. Tabianzuriinatengenezwakatikatanuruyamatatizo.

9

H. Kuchekechanakupima. 1. Soma1Wakorintho3:12-15. a. Matatizoyanatenganishakatiyawaongofumakininawasiojali. b. BaadhiyaWakristowanaabuduwakatimamboyanapokuwamepesi tu. 2. SomaUfunuo2:10.Watakatifuhawawalikuwa“mamboyatakayokupata” (mateso). I. Marekebisho. 1. SomaDanieli4:22-25na5:18-22. 2. SomaWarumi12:4-11.Hitimisho: 1. Wakristowategemeemateso. a. Soma2Timotheo3:12. b. Soma1Petro2:20,21na4:12-16. 2. Tunapaswakujiandaakuteseka,hatakwakufanyayaliyoyahaki!

10

11

SomolaTatu

KUKUAKATIKAKRISTOUtangulizi: 1. SomaWaefeso2:1-3. a. Mitazamohiinanjiahizizakalemaranyingizimekuwazimezamandani yetu. b. “mapenziyamwilinayania”badoyanatusumbua. 2. Soma1Petro4:1-4. a. Njiazamataifanauchangahazipoteipundetubaadayaubatizo! b. Tunapaswakupambanakubadilikanakuundafikrampyanatabiampya. 3. Soma1Petro2:1-5.WatotowachangakatikaKristowanapaswakupambania kukuakuelekeautuuzimakatikaKristo.

I. Kukuakatikania A. Soma1Petro1:13. 1. “vifungeni.”Kwakawaidanenohilililitumikakumzugumziamtuambaye alizikusayapindozakanzuyakenakuzibananamkanda,ilikumwezesha kutembeakwaharakasafarini.Wakristowanapaswakukazaudhibitiwa fikrazao. 2. “kuwanakiasi”hiimaanayakenilazimatukaemacho,waangalifu,tukiwa nafikrasahihi. B. SomaWarumi12:1,2. 1. NilazimaWakristotupingekulazimishwakufuatishanjianafikrazadunia hii. 2. Je,watuwanawezasema,kuwaunafikirinakutendatofauti? 3. Munguanakupachangamotowewekwamba“mgeuzwekwakufanywa upyaniazenu.” C. Soma1Wakorintho3:1-3.Isharazatabiazamwilininipamojana“husuda nafitina.” 1. SomaWarumi12:10. 2. SomaWaebrania6:10.Hatakamawenginehawaonyeshikutiliamaanani, Munguhatasahau. D. Soma2Wakorintho8:12.Wakristohawawalikuwanautayari“Maana,kama niaipo”–kutoakwaajiliyakaziyakanisa. 1. Walewotewaliokomaakirohokamwehawaulizi“nikiasiganinapaswa kutoa?” 2. Watuwaliokomaakirohowanauliza“nikiasiganinawezakutoa?” 3. Soma2Wakorintho9:1,2. E. Niayaunyenyekevu. 1. SomaWafilipi2:3. 2. SomaMatendo20:18,19na1Petro5:5.

12

F. Niazetuzisishikamanishwenavituvyaduniani. 1. SomaWakolosai3:1,2. a. Zingatiamkazowakiakiliunaohitajiwanamaneno“yatafuteni”na “yafikirini.” b. NilazimaWakristowafikirikuamua,nijuhudiganizitafanya mabadilikoyakudumu. 2. SomaMathayo19:16-22. a. Mwanaumehuyualitakauzimawamilele(angalia19:16). b. Lakiniupendowakekwavituulikuwamkubwakulikoupendowake kwaBwana. c. KupendavitunimojayamitegoyakawaidakwaWakristo. 3. SomaWaebrania11:13-16.

II. Kukuakatikausemi A. SomaYakobo3:2. B. SomaWaefeso4:29.“Nenololotelililoovulisitokevinywanimwenu,…” C. SomaMathayo26:73. 1. UsemiwaPetroulioneshaalikuwaMgalilaya. 2. SomaMatendo4:13. D. SomaWakolosai4:6. E. SomaTito2:8.“Uzima”=yenyeafya.

III.Kukuakatikamatendo A. MifanoyauchangakatikaKristo: 1. Naamani–Soma2Wafalme5:11,12. a. WenginewakonamnahiiwanaposikiamafundishoyaBibliana kutoyapenda! b. Wenginewanaikataakwelikwasababuinaonekananirahisimno;na waoniwakisasa. 2. Yona–SomaYona4:1-3. B. SomaWarumi12:17-21. 1. SomaWalawi19:18. 2. SomaMithali14:29. 3. SomaMarko6:16-28.HerodiaalimchukiaYohanakwasababuYohona aliongeaukwelikuhusundoayakeiliokuwasikwamujibuwasheria. C. SomaDanieli3:15-18. 1. Wanaumewatatuhawawalikuwaimarakatikahatiayao. 2. Leo,tunatakiwakuonyeshanguvuyetuyakujitoakwaKristokimatendo.

Hitimisho: 1. SomaWafilipi3:15. a. Kamwehatuwezikuwawakamilifupasinadhambi,balitunawezakukua. b. Kablayasemizetunamatendoyetukuwaboranilazimatufikirikiutu uzima! 2. Je,ukuajiwakoumeongezekatanguulipobatizwakatikaKristo?

13

SomolaNne

KUFANYAUCHAGUZISAHIHIUtangulizi: 1. Maranyingitunatesekakwasababuyakufanyauchaguziwakipumbavu. 2. Matesomengiyanawezakuepukikakwamaamuzinyenyehekima. 3. Somohililitatufundishanamnaborayakufanyauchaguziwakitauwa.I. Kusikilizamaonyo A. Tunawezakuonaalamazamaonyomahalipengi: 1. Karibunanguzozaumemetunawezakusomaubao–“Hatari:Umeme Mkubwa.” 2. Karibuyabarabaraubaounawezakuonyeshambelekunakonakali. 3. Kushindwakusikilizaonyokunawezasababishamajeruhiaukifo. B. BibliainamaonyomengikutokakwaMungu. 1. Mungu,kamaBabawaupendo,anatutakasisikuikwepahatari. 2. KitabuchaMithalikimejaamaonyo. a. Sulemanialimtahadharishamwanayekujilindadhidiyahatarimbali mbali. b. Mifanomichache: 1) SomaMathali1:8,10. 2) SomaMathali6:16-19. C. MaonyoyaBibliayanachukuasurambalimbali: 1. “Jihadharini” a. SomaMathayo7:15.“Jihadharininamanabiiwauongo,…” b. SomaWafilipi3:2.“Jihadharininambwa,jihadharininawatendao mabaya,…” 2. “Msidanganyike” a. Soma1Wakorintho6:9. b. Soma1Wakorintho15:33. c. SomaWagalatia6:7. 3. “Kumbuka” a. SomaLuka17:32.“MkumbukenimkeweLutu.” b. SomaMatendo20:35.“…kuyakumbukamanenoyaBwanaYesu,jinsi alivyosemamwenyewe,…” 4. “Angalieni” a. SomaLuka12:15. b. SomaWaebrania3:12. 5. “sivyo”au“isipokuwa” a. SomaLuka13:3,5. b. SomaYohana8:24. c. Soma1Wakorintho7:5.

14

6. Maelezoyamojakwamoja. a. SomaMathayo6:25.“…,Msisumbukiemaishayenu…” 1) “Msisumbukie”=kitenzichawakatiuliopokatikalughaasili. 2) Hiiniamriambayoinatuitiakutendakitendoendelevu. b. SomaWarumi12:17.“Msimlipemtuovukwaovu.” 7. Manenoaukifunguchamanenokurudiwa: a. SomaYohana3:3,5.Bilaubatizowamajimtuhawezikuingiakatika ufalme. b. SomaYohana8:34. c. SomaWagalatia1:8,9.II. KufanyamaamuzikwakutumiaBiblia A. Nirahisikufuatanjiazaduniazinazopendeza,badalayakusimamana kuidadisiBiblia. B. KwaMkristokufanyamaamuzimuhimubilakuangaliakatikaBibliakwaajili yaushaurinamsaadakwanzaniupumbavu. 1. Maamuzimuhimubilashakayanastahilikuwekwakwenyekipimocha Biblia. 2. Baadhiyamaswaliyakipimorahisini: a. Je,kwamujibuwaBiblianisahihiaukosa? b. Je,jambohilikiroholinaelekeakunisaidiaaukuniumiza? c. Ikiwawenginewatanionanikifanyajambohili,je,litakuwanimfano mzurinawakuwasaidia? d. Hatakamalinakubalika,je,kunamaamuzimengineyaliyobora? C. Kuchaguamwenzi: 1. Maranyingiwatuwaduniahuchaguakulinganana:mwonekano,elimu, hadhi,kipato,n.k. 2. Soma1Wakorintho9:5. a. IkiwaPauloangetakakuchaguamke,angemchagua“mkealiye ndugu.” b. Kihalisia=“mkedada”katikalughaasili.Maanayakeni:dadakatika Bwana. 3. Soma1Wakorintho7:39. a. Mjane(mtualiyenauzoefukatikandoa)anapaswakuolewa“katika Bwanatu.” b. Nikwakiasiganizaidiyeyeambayehajawahikuwakatikandoa, anatakiwakuchaguamwenziMkristo? 4. Soma2Wakorintho6:15.“Auyeyeaaminiyeanasehemuganipamoja nayeyeasiyeamini?” 5. Soma1Petro3:12.Je,utajifungamwenyewekifungochamaishakwamtu ambayehatawezakuruhusiwakusalipamojanawe? D. Majukumunamatendowanayotendeanawanandoa. 1. SomaWaefeso5:22-25.

15

2. Soma1Petro3:7. 3. SomaTito2:4,5. 4. Soma1Timotheo5:14. E. Ibada: 1. SomaWakolosia2:23.“…ibadamliyojitungiawenyewe” a. Niibadaambayoimeanzishwaauimeamriwanamtukutokanana mapenziyakibinadamu. b. Hiiinawezakuwailiyokatazwaauisiyoamriwa. 2. SomaMatendo2:42. 3. SomaMatendo20:7.ChakulachaBwananamahubiri. F. Vituambavyohavijatajwakwauwazi: 1. Kuchezakumetajwakatikamaaganoyote. a. Lakini,vipikuhusuuchezajiwakisasa?Lazimatutumiekanuniza Biblia. b. SomaWagalatia5:19.“ufisadi” 1) Katikalughaasili,nenohililimeelezwanaThayerkuwa linajumuisha:…mjongeowamwiliusionaadabu,utunzajiusiofaa wamanaumenawanawake,n.k. 2) Uchezajimwingiwakisasaunajumuishaharakatimbaya (uchochezi)zamwili. c. SomaMathayo14:6-12.BintiyaHerodiaalichezakiuchochezi. 2. Ponografiayamtandao.SomaMathayo5:27,28naMathayo15:19. III.Fikirikuhusumatokeo A. Maono–yanaonambaliauyanaonakaribu? 1. Tabiayamsukumonikawaidamiongonimwawatoto/vijana. a. Maranyingiwatotowanafanyabilakufikirikwanza. b. Kwakuwawatotohawanauzoefu,inakuwavigumuzaidikwaokuona nininikinawezakuwanimatokeoyamatendoyao. 2. Maranyingiduniainaamrisha“msukumo”chiniyakivulicha“hiari, kupendeza,uhuruwakufanya,n.k.” 3. Wakristowakokatikambiozamasafamarefuambazozinawaelekeza mbinguni. a. Nimarathoninasiombiofupi! b. SomaWaebrania12:1.“…natupigembiokwasaburikatikayale mashindanoyaliyowekwambeleyetu.” B. SomaWaebrania11:24-26. C. SomaZaburi73:2-17. D. SomaMithali20:1na23:31-35. E. Baadhiyamaswaliyamsaadayakujiulizakablayakufanyamaamuzi: 1. Maamuzihayayatapelekeamatokeogani? 2. Je,kuchukuahatuahii,kunawezakupelekeavituvingineambavyosio vizuri?

16

IV.Maamuzimakubwamatatukatikamaisha A. Kunamaamuzimakubwamatatukatikamaisha:Kiroho,ndoa,uzazi. B. Fikiriumuhimuwake.Unatakiwakujibumaswalihayakwahekima: 1. Kiroho. a. Je,unatengamudawakujifunzainjilinakuitii? b. Je,utabakimwaminifukwaKristokwamaishayakoyaliyobakia? 2. Ndoa. a. Je,utachaguakuoa? b. Ikiwautachaguakuoa,je,utachaguakuoananaMkristomwaminifu? c. Je,utabakikuwamwaminifukwamwenziwakokwamaishayako yote? 3. Uzazi. a. Je,utachaguakuwaletawatotokatikaduniahii? b. Je,utawaleakatikanjiayaBwana? C. Matokeoyakilamaamuzi: 1. Kiroho. a. Soma2Timotheo4:7,8.Waaminifuwanazawadiwauzimawamilele. b. Soma2Wathesalonike1:7-9.Maangamiziyamilelenikwawalewote wasiomjuaMungunakwawotewasioendeleakuitiinjili. 2. Ndoa. a. SomaMithali18:22.Mwenzimtauwanibaraka. b. Soma1Wakorintho6:9,10.Wazinzinawaasheratihawawezikuurithi ufalmewaMungu. 3. Uzazi. a. SomaZaburi127:3.WatotonibarakatokakwaMungu. b. SomaMithali17:25na29:15.Mtotompumbavuhuletahuzuni.Hitimisho: 1. Kilauchaguzimdogotuufanyaoutakuwandiyosehemuyatabiazetukwa ujumla. a. Pandawazo,vunakitendo. b. Pandakitendo,vunatabia. c. Pandatabia,vunamtindowamaisha. d. Pandamtindowamaisha,vunahatima. 2. Nirahisisanakwendakufanyamaamuziyamaishabilakufikirizaidimbele. a. SomaMithali3:31.Tunapaswakujilindadhidiyakuchaguanjiazadunia. b. SomaIsaya56:4.Tunapaswakupambanakuyachaguamambo yampendezayoMungu. 3. SomaWaebrania11:25. a. MusaalichaguakukaanawatuwaMungubadalayakufurahiaanasaza dhambi. b. TuchaguekuwanawatuwaMungu,kanisa,badalayakujiingizakatika anasazamudamfupizadhambi.

17

SomolaTano

NGUVUYASALAUtangulizi: 1. SomaLuka11:1. a. Yohanaaliwafundishawanafunziwakekusali. b. WanafunziwalimwombaYesuawafundishekusali. c. Katikakujifunzakusalitunatakiwakuwanahamuyanamnahii. 2. Mawasilianosahihiyanahusishamambomawiliyamsingi–kuongeana kusikiliza. a. Soma1Petro3:12.SalanibarakakwaajiliyawatotowaMungu. b. MawasilianonaMunguyanahusisha: 1) Munguamesemanasisileokupitianenolake. 2) TunasemanaMungukupitiasala. 3. SomaYakobo5:16.“Kuombakwakemwenyehakikwafaasana,akiombakwa bidii.” a. Salayenyemafanikioniyamtumwenye“haki.” b. Tukitakasalazetuzifanyekazi,basinilazimatuishimaishayahaki.I. Mamboyamsingikatikasala A. Sifa. 1. Bilashaka,sotetunakusudia“kuomba”tunaposali. 2. Wengitunafikiri“sifa”nikatikamazingirayakuimba. 3. SomaDanieli9:4.DanielialiusifiaukuuwaMungu. 4. SomaZaburi5:1-4.DaudiameusifiautakatifuwaMungu. 5. SomaZaburi86:6-10.Munguhusifiwakatikasalakwaukuuwake. B. Shukrani. 1. Soma1Wathesalonike5:17,18. 2. Soma1Timotheo1:3-5.MaranyingiPauloalimshukuruMungukatika salakwaajiliyaimaniyaTimotheo. 3. SomaWafilipi4:6.Salazetuzinatakiwakujumuisha“shukrani.” 4. Maranyingitunaombakatikasala.Tunatakiwakukumbukakumshukuru Mungukwakujibusalazetu. C. Kuungama. 1. SomaLuka16:15.“Munguawajuamioyoyenu.” a. Hivyobasi,hatuwezikumfichaMungukituchochote. b. Hivyotunatakiwakuwawakwelinakukubalimakosayetumbeleza Mungu. 2. SomaEzra9:6,10-13na10:1. a. TunatakuwakuwanaaibutukiwatumemtendadhambiMungu(9:6). b. Kwahakika,“Munguwetuhakutuadhibukamatulivyostahilikwa maovuyetu”(9:13).

18

c. “BasihapoEzraalipokuwaakiombanakuungama,akilia,na kujiangushakifudifudimbeleyanyumbayaMungu”(10:1). d. Je,umewahikujisikiaaibukwadhambizakohataukalia,nakuomba nakuungamadhambizakokwaMungu? 3. Soma1Yohana1:9.Mashartinihaya.Bilakuungamahakunamsamaha. D. Haja. 1. Maombi–Binafsi. a. Bilashakahiindiyosehemuyakawaidasanayasalazetu.Maranyingi tunamwombaMungukwaajiliyakitufulani. b. SomaMathayo7:7-11. c. SomaYona2:1-9. d. SomaLuka22:39-42. 1) Yesuamewekamfanokamili. 2) Aliombakwaajiliyakitufulani,lakinialitakazaidimapenziya Munguyafanyike,badalayamapenziyake. 2. Maombi–kwaajiliyawengine(upatanisho). a. SomaAyubu42:8-10. 1) Nimtuwaajabukiasigani!Baadayakupatamashindanoyote hayakutokakwawatuhawa,badoaliniakuwaombea. 2) Je,unaomoyowakuombakwaajiliyawengine,hatawalewalio kukosea?SomaMathayo5:44. b. Soma1Timotheo2:1.II. SalaSahihi A. Endelevu. 1. Soma1Wathesalonike5:17.“ombenibilakukoma.” 2. SomaLuka18:1-8. 3. SomaWakolosai4:2. B. Unyeyekevu. 1. SomaYakobo4:6. 2. SomaLuka18:9-14. C. Heshima. 1. SomaMathayo6:9.KatikasalayamfanoyaBwanatumefundishwakutoa heshimakwaMungu. 2. SomaYohana17:11.YesualimwitaBaba“Babamtakatifu.” 3. SomaWaebrania4:16.Tunawezakukaribiakwa“ujasiri”kwasababuYesu ndiyekuhaniwetumkuumwenyekuchukuliananasi(angalia4:15).Hata hivyo,badotunapaswakukaribiatukitambuakwambatunamwendea Mungualiyejuusana. 4. Soma2Petro2:11.Ingawamalaikawana“uwezonanguvu,”mkuuna kufurahiafursayakumkaribiaMungu,lakiniwanaonyeshaheshima kamilimbelezaMungu.AngaliaIsaya6:2,3.

19

D. Imani. 1. SomaYakobo1:6-8. a. TunapaswakuwanaimanikwambaMunguatatupatiakilichobora. b. LinganishaWarumi4:20.Ibrahimualikuwanaimanikatikaahadiya Mungu. 2. SomaYakobo5:14,15.Kumbuka:“kuombakwaimanikutamwokoa mgonjwayule.” E. Mipaka. 1. Kamwehatupaswikuchezanakituambachonikinyumenamapenziya Mungu. a. SomaYuda11.Balaamualitakakupatazawadikwakuwalaaniwatu waMungu,lakinializuiliwa.AngaliaHesabusuraya22mpaka24. b. Mfano:hatupaswikumwombaMunguaibarikindoaambayosisahihi. SomaMarko6:17,18. 2. HatupaswikumwombaMungukuwasamehewalewotewaliokataa kutubu. a. SomaYeremia7:16-18.WakaziwaYudeawalikataakutubu,hata walipoonywanaYeremia. b. Soma1Yohana5:16. 1) Soma1Yohana1:9.Tunawezakupokeamsamahaikiwa tutaungamadhambizetu.Ielewekekwambanilazimaungamohili liwelakwelinahapondipotobainapofanyika. 2) Dhambiinayokupelekakwenyemauti“iliyoyamauti”nidhambi inayoendelea. 3) Mtuasiyetakakutubuanatendadhambi“iliyoyamauti.”Hitimisho: 1. Soma1Wafalme8:54. a. Sulemanikamamfalmealikuwananguvunamamlakailiyokuu. b. Hatahivyo,kwasalanamwiliwakealitambuakwambaMunguniwa kuheshimiwajuuyavyote.Angalia1Wafalme9:3. 2. SomaMithali15:8. a. WalewotewanaoishimaishamaovuwasimtegemeeMungukuikubali ibadayao. b. Munguhufurahishwanasalazawanaoishimaishamanyofu. 3. SomaIsaya38:1-8. a. Munguanahurumakwawotewamtumikiaokwamoyosafi. b. NimanenomazurijinsiganikwaHezekia,Mungualiposema:“Mimi nimeyasikiamaombiyako,nimeyaonamachoziyako”(mst.5). c. KadhalikaWakristowaishiomaishamatakatifuwanawezakutegemea umakiniwaMungukatikamaumivuyaoyamoyonasalazao.

20

21

SomolaSita

MAFUNDISHOYABIBLIAUtangulizi: 1. SomaWaebrania4:12,13. a. TunawezasomakuhusunguvuyanenolililonenwanaMungukatika Mwanzo1. b. Kadhalikanenolililoandikwalinamamlaka. c. SomaYohana12:48. 2. SomaZaburi119:105.“Nenolakonitaayamiguuyangu,Namwangawanjia yangu.” a. TunahitajimsaadawaMungukuzielekezahatuazetukwausahihi. b. SomaYeremia10:23.Watuwenyehekimawanaukubaliukwelihuu. 3. Mtuanahitajichakulachakimwilinakiroho. a. SomaMathayo4:4(NukuukutokaKumbukumbu8:3). b. MkristohawezikuwananguvubilakujilishanenolaMungu! 4. Hapanimadokezokadhaayanyongezayakusaidiakupatafaidazaidi kutokananakujifunzaBiblia.I. Bibliainaeleweka A. Wakatiwakipindichagiza,watuwaliambiwawawaacheviongoziwadini watafsiriBibliakwaajiliyao.WatuwengihawakuruhusiwakuikaribiaBiblia. B. BibliailitolewakwakusudilakutufikishiasisiujumbewaMungu. 1. SomaYohana8:31,32.Tunawezakuifahamukweli. 2. SomaYohana14:15.TunawezajekuzishikaamrizaYesu,ikiwahatuwezi kuielewa? 3. SomaWaefeso3:14.Zingatiakwaumakinimpangilio: a. UfunuoulitolewakwaPaulo. b. Aliandikaujumbekwamanenomachache. c. Tuyasomapotunawezakuelewa. C. IendeeBibliaukitegemeakuielewa. 1. Kamakujifunzamasomomengine,inahitajijuhudikuyaelewa(mf. Hesabu). 2. Je,unakusudiakuwekezanguvukatikakujifunzanenolaMungu?II. IendeeBibliakwahofu–Munguanaongea A. Soma2Petro1:20,21. B. Soma2Timotheo3:15.Maandikoni“maandikomatakatifu.” C. Mahalapengitunakutamaneno:“BWANAasema:” 1. Soma2Wafalme7:1.“Elishaakasema,LisikieninenolaBWANA;BWANA asemahivi,…” 2. SomaMathayo5:21,22.“Mmesikia…Balimiminawaambieni…”

22

D. Kamwehatutakiwikusema:“NafahamuBibliainasema…bali…” 1. Maranyingisanatumesikiawatuwakisemahivi.Maranyingiwanafanya hivyokwakituwasichotakakukitii. 2. NihatiakubwakukiwekapenbenikilekilichosemwanaBiblia. E. SomaNehemia8:1-3.III.Andaamoyowakokwamatendo A. MifanoyawatuambaowalikuwanatamaayakumsikianakumtiiMungu. 1. Soma1Samweli3:9,10.“Nena,BWANA;kwakuwamtumishiwako anasikia.” 2. SomaEzra7:10.“KwamaanahuyoEzraalikuwaameuelekezamoyowake kuitafutasheriayaBWANA,nakuitenda,nakufundishamaagizona hukumukatikaIsraeli.” 3. SomaMatendo10:33.“BasisasasisisotetupohapambelezaMungu, tupatekuyasikilizamanenoyoteuliyoamriwanaBwana.” B. Usisomekamazoezilakitaalumatu.Balisomanakuangaliahitajila mabadilikokatikamaishayako. 1. Somailikujifunzakileunachotakiwakufanya. 2. Somailikutafutanamnaganiunatakiwakuwa! 3. Somailikuboreshamtazamonamsukumowako.IV.FahamumigawanyikoyaBiblia A. AganolaKale. 1. Vitabu39–MwanzompakaMalaki. 2. Mgawanyiko: a. Sheria–MwanzompakaKumbukumbulaTorati(Vitabu5). b. Historia–YoshuampakaEsta(Vitabu12). c. Ushairi–AyubumpakaWimboUlioBora(Vitabu5). d. ManabiiWakubwa–IsayampakaDanieli(Vitabu5). e. ManabiiWadogo–HoseampakaMalaki(Vitabu12). B. AganoJipya. 1. Vitabu27–MathayompakaUfunuo. 2. Mgawanyiko: a. VitabuvyaInjili–MathayompakaYohana(Vitabu4). MaishanaKufakwaYesu. b. Historia–MatenoyaMitume(Kitabu1). KuanzanaKukuakwaKanisa. c. Nyaraka–WarumimpakaYuda(Vitabu21). MaishaNdaniyaKanisa. d. Unabii–Ufunuo(Kitabu1). UshindiwaKanisa.

23

V. MaelezoyakinakuhusuAganoJipya A. Injili–Mathayo,Marko,Luka,Yohana. 1. Kunainjilimojapekee.Lakinivitabuvinnevyainjilimoja. a. SomaWarumi1:16. b. SomaWagalatia1:11. c. SomaWaefeso4:5.Kuna“imanimoja”pekee. 2. Vitabuhivivinaelezakuhusu,kuzaliwa,mafundisho,nakifochaYesu. 3. Jedwali: Mathayo Marko Luka Yohana Yesuni:Mfalme MtumishiMwanadamu Mungu aliyetabiriwamtiifu mkamilifukatikamwili ________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Wasomaji wakwanza:WayahudiWarumi Wayunani Watuwote ________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Yesu MwanawaMtuwa Mwanawa Mwanawa kama: Ibrahimu Matendo Adamu Mungu

4. OfisimuhimuzaMasihi a. Mkombozi. 1) Mwanzo3:15. 2) Wagalatia4:4. 3) Matendo2:22,23. 4) 1Wakorintho2:8. 5) Waebrania2:14. b. Nabii. 1) Kumbukumbu18:18,19. 2) Matendo3:22,23. 3) Mathayo12:41;17:1-8. c. Kuhani. 1) Zaburi110:4. 2) Waebrania5:6,8-10;7:17. d. Mfalme. 1) Mwanzo49:10. 2) Matendo2:30,31. 5. KoozaYesu: a. Mathayo1:1-16. 1) AmeelekezaukootokaIbrahimumpakaYesu–kupitiaYusufu. 2) Mathayoametoaorodhayakisheria,kulingananautaratibuwa Kiyuhudi. 3) ManenoniyauangalifuyakionyeshakuwaYesualitokakwa “Mariamu”(Mathayo1:16),nasiokutokakwaYusufukimwili. b. Luka3:23-38. 1) LukaameonyeshamstarihalisiwaMariamu,badalayaYusufu. 2) LukaameelekezaukookuanzianyumatokeaAdamu.

24

B. Historia–MatendoyaMitume. 1. KitabuhikikimojachaMatendonihistoriayakuanzanakukuakwakanisa laYesu. 2. Lukandiyemwandishiwakitabuhiki(angaliaLuka1:3naMatendo1:1). a. LukapiaaliandikakitabuchaLuka. b. KitabuchaMatendokimeendeleakuelezakuhusuKristoaliyefufuka akiruditenambinguni(Matendo1:9). 3. Kitabuhikikinatoamifanoyauongofu.Mifanoyawatuwaliofanyikakuwa Wakristo.Mifanomiwiliyakufikiria: a. KatikaMatendo2tunajifunzawayahudiwakifanyikakuwaWakristo. b. KatikaMatendo10tunajifunzakuhusuwatuwamataifawakwanza wakifanyikakuwaWakristo. C. Nyaraka–WarumimpakaYuda. 1. NyarakazilizoandikwanaPaulo–Warumi,1&2Wakorintho,Wagalatia, Waefeso,Wafilipi,Wakolosai,1&2Wathesalonike,1&2Timotheo,Tito, Filimoni. 2. WarakakwaWaebrania–mwandishihajulikani. 3. Yakobo–kimeandikwanaYakobo. 4. 1&2Petro–vimeandikwanaPetro. 5. 1,2,3Yohana–vimeandikwanaYohana(piaInjiliyaYohana,naUfunuo). 6. Yuda-kimeandikwanaYuda. D. Unabii–Ufunuo. 1. KitabuhikikinaelezamatesodhidiyaWakristo(angalia2:10). 2. Ainamaalumuyauandishi: a. Kitabuhikikimejawanamamboyasiyoyakawaidaalamanapicha.Ni lughayapicha. 1) TunasomakuhusumwanaKondoo(Yesu,5:8),najokamkubwa (Shetani,12:9). 2) Vitasavyadhahabuvilivyojaamanukato(maombiyawatakatifu, 5:8). b. Pichananambahizizisichukuliwekihalisia. 1) 144,000(14:1)sionambahalisi.IsraeliwaMunguleoniwakiroho, siomakabila12halisi(angaliaWagalatia6:16). 2) Miaka1,000yakutawala(20:4)siokipindihalisichamuda.Yesu anatawalasasajuuyaufalmewakiroho(1Wakorintho15:25;pia Wakolosai1:13). 3. KiliandikwanaYohana(angalia1:4,9). a. Kiliandikwatakribani96B.K.namtumewamwishokuishi. b. UfunuowaMunguumekamilika.

Hitimisho: 1. Soma2Timotheo2:15.TengamudawakujifunzanenolaMungu. 2. SomaMatendo17:11.Wewepiaunatakiwa“wakayachunguzamaandikokila siku.”

25

SomolaSaba

IBADA–SehemuyaKwanzaUtangulizi: 1. SomaUfunuo4:11. a. “Umestahiliwewe,BwanawetunaMunguwetu,kuupokeautukufuna heshimanauweza;kwakuwawewendiweuliyeviumbavituvyote,na kwasababuyamapenziyakovilikuwako,navyovikaumbwa.” b. MunguBabaanapichakamaaliyekaakatikakitichaenzi.Anastahili kuabudiwa. 2. SomaUfunuo5:12. a. “AstahiliMwana-Kondooaliyechinjwa,kuupokeauwezanautajirina hekimananguvunaheshimanautukufunabaraka.” b. Yesuanapichakamamwanakondoo.Anastihilikuabudiwa. c. SomaWafilipi2:9-11.AngaliapiaWaebrania1:6,8. 3. TangumwanzonakuendeleamarazoteMunguamewaambiawanadamu jinsiyakuabudunakukubalika. a. SomaMwanzo4:1-8. b. SomaMamboyaWalawi10:1,2. c. SomaYohana4:24. d. Hakunauhuruwakuabudukatikanjiatulizozichaguawenyewe.I. MaandalizikwaajiliyaIbada A. MifanoyaAganolaKale. 1. SomaKutoka20:8-11. 2. SomaMarko15:42.Wayahudiwalikuwanamudawamaandalizisiku mojaKABLAyaSabato. 3. SomaKumbukumbu16:16,17.Waisraeliwalitakiwakujiandaakablaya mudakwaajiliyasafarihizizakuhiji. B. Maandalioyamoyo(nia). 1. Hamuyakuabudu. a. SomaZaburi122:1. b. Vitutunavyovifahamundiyotuvipendavyo.Kwakawaidatunaogopa wajibu. c. SomaMatendo8:27,28. 2. Amaninawengine. a. SomaMathayo5:23,24. 1) KABLAyakwendakatikaibadatunatakiwakumalizanana wengine. 2) SomaMathayo5:9.Tunapaswakupambanakuwawapatanishi. b. Soma1Petro3:7. 1) Waumewanapaswakuwatendeawakezaokwaupolenaheshima.

26

2) Ikiwamtuhatamtendeamkewakeilivyosahihi,hatasalayake inawezakuzuiliwa. c. SomaWarumi12:18. 1) Tunapaswakujaribukuwanaamaninawengine.Lazimatufanye tuwezavyo. 2) Unawezafanyakwasehemuyako,balihuwezikuwalazimisha wenginekuwanaamani. 3. Usafiwamoyo. a. SomaZaburi24:3,4. b. SomaMathayo5:27,28.Hatuwezikuwanatamaakatikatiyajuma (mf.kuangaliaponografia)nakumtegemeaMungukukubaliibada yetu,tukikutanaJumapili. C. Maandaliziyakimwili. 1. Mapumzikoyakutosha. a. SomaMatendo20:7-9. 1) Kwauhakikasisisotetumepigamiayonakuhisiusingiziwakatiwa ibada. 2) Hatahivyo,tunatakiwakujaribukwakadiliinavyowezekana kupatamapumzikoyakutoshausikuwaJumamosi.Hiinikwa watotonawatuwazima. b. UnafanyamaamuziganikwaajiliyakazizaJumamosi?Je,unapanga kuwanyumbanikwawakatiilikupatamapumzikomazuriusiku? 2. Vitukwaajiliyaibada. a. FanyamaadaliziKABLAyaJumapiliasubuhikwaajiliyavileutakavyo vihitaji. b. Mavazi–nadhifunasafi. 1) Ziandaenguozakonazawatotowako. 2) Hutakiwikuonekanashagalabagaranamchafu. c. Biblianadaftarinakalamu.Kuwanavituvyakovyotendaniyabegi tayarikuondoka. 3. Tegakengeleyasaa(simunyingizinakengeleinayofanyakazi). a. Ruhusumudawakutoshakwaajiliyakifunguakinywa.Watatowanao kujakwenyedarasalaBibliananjaahawawezikuzingatiavizuri. b. Wakristowengiwanatabiayakufikakwakuchelewa.Hiiinaonesha ninikwaMungu? 4. Tayarishachangizo. a. Wenginewanatoacheki,wenginetaslimu,wenginesalafu. b. Some2Wakorintho9:7.KilaMkristoanatakiwakuwanachotayari kama“alivyokusudiamoyonimwake.” c. Soma2Wakorintho9:1,2.Kwahitajihilimuhimu,watakatifu walijiandaamudamrefukablayawakati.

27

5. SomolaBiblia. a. Ikiwaunaendakufundisha,kamilishasomolakokatikadaftarikwa mpangilio. b. Ikiwawewenimwanafunzi–kamilishamasomoyakoyanyumbanina kaziyakukaririmistariuifanye. 6. Watuwakutumika. a. Ikiwaunaendakuongozanyimbo–ziandikenambazanyimbotayari. b. IkiwautakuwaunaongozachakulachaBwana–kuwanamaandiko tayari. c. Ikiwautakuwaunahubiri–kuwanasomolakotayari.II. ChakulachaBwana A. SomaMatendo20:7. 1. MstarihuuunaonyeshasikuambayoWakristowakwanzawalikula chakula–Jumapili. 2. Hikinikitendokilichojirudiaambachokiliamriwanamitume. 3. “kumegamkate”kunasimamiakwalughayapicha(sehemukwaajiliya kitukizima).Kwaajiliyavyotemkatenajuisi. 4. Walikutana“ilikumega”–hiikatikakiyunaniasiliinaonesha“kusudi.” B. Ushahidiwakihistoria.Wanahistoriawaliandikakwambahatakatikakarneya piliulikuwautamaduniwakiulimwengukwakanisakulachakulachaBwana kilajuma. C. Fundisholamaandalizi. 1. NilazimaikumbukwekwambahudumabinafsiyaYesuiliandaliwa. a. Alizungumzazaidikuhusuujiowaufalme,ambaoni,kanisaambalo angelijenga. b. NijambolinaloingiaakilinikwambaYesuangefundishakablaya wakatikuhusukilewafuasiwakewangefanyabaadayayeyekurudi mbinguni. 2. SomaMathayo26:26-29. a. Lughainadalilizawazikuhusumategemeoyakutazamiambele. 1) “hiindiyodamuyangu”–“imwagikayokwaajiliyawengikwa ondoleoladhambi.” 2) Nidhahilikwambakiashiliokingekuwabaadayakutolewa dhabihu. 3) Soma1Wakorintho11:23.Pauloalirejeanyumakwenyeusiku huuwausaliti. b. Manenoyasalayalikuwa: 1) “akabariki”(mst.26). 2) “akashukuru”(mst.27). 3) Kwahiyo,salahaibadilishivituvyamsingi.Badalayake,“kubariki” nisawasawatunakutoashukrani.

28

D. Soma1Wakorintho11:23-29. 1. Umuhimuwamstari23. a. PauloalipokeafundishotokakwaBwana,naakawafundisha wanafunzi. b. HiiniamrikutokakwaBwana,nasiokwawanadamu. 2. Mamboyamsingi: a. “ukumbusho”(mst.24,25).Tunakumbukakwashukrani. b. “mautiyaBwana”(mst.26).Tunatakiwakuzingatianakukumbuka mautiyaBwana.Huusioukumbushowakuzikwanakufufukakwake! c. “hataajapo”(mst.26).ChakulachaBwanakitakuwasehemuyaibada yaWakristompakaatakaporudiBwana. d. Inavyostahili(mst.27). 1) Hiimaanayakenilazimatukilekatikanjiasahihi. 2) Hiihaizungumziikuhusuustahiliwetu. 3) WatakatifuwaKorinthowalishindwakukilakwaheshima,katika njiasahihi. E. Kulahakumaanishi: 1. Kulahakuletimsamahawadhambi. a. Kulahakuzalishikusafishwakiroho. b. Ikiwaunaishikatikadhambi,hakunamsamahamaalumu unaopokelewaetikwasababutuyakulachakulachaBwana. 2. Kulahakusimamipekeyakekamaibadakamili. a. Kwaushahidikabisawenginehudhani,kulingananamatendayao, kwambakwakuwawamekulachakulachaBwanabasimatendo mengineyaibadasioyalazima. b. Wenginewanaonekanakufikiriwanawezakuachakutoa,kuimba, kukosasehemuyamahubiri,lakiniikiwawatakulawakakubalikana Mungu. 3. Kulahakuwahukumuwaleambaotayariwamepotea. a. MaranyingiwasioWakristowatakulawanapokuwawametembelea hudumayaibadayetu. b. Hatutakiwikufanyakamanijambokubwakwakujaribukuwazuia wenginekula.III.Kuimba A. MistariyaAganoJipyaikitajakuimba: 1. KunarejeatatukatikakitabuchaUfunuo(5:9;14:3;15:3).Ingawa, Ufunuonikitabuchaalamachahaliyajuu. 2. Mathayo26:30;Marko14:26;Matendo16:25;Warumi15:9; 1Wakorintho14:15(x2);Waefeso5:19;Wakolosai3:16; Waebrania2:12;Yakobo5:13.

29

B. MaelekezoyaAganoJipya: 1. SomaWaefeso5:19kwauangalifu. a. “mkisemezana”–kwakiyunani,nikilamojaanatakiwakushiriki. b. “mkiimba”–Hiiniainayaupekeeyauongeaji. 1) Munguhakusema–“Fanyamuziki”(mbayoingekuwaniamri yajumla). 2) Mungualimaanishahaswa.Munguametuamuru“kuimba.” c. “kumshangiliaBwanamioyonimwenu.” 1) WengiwamejadilimaanayanenolakiyunaniPsallo.Wengine wamedaikuwavyombovyamuzikivinatumika. 2) Ingawa,hapanenolimefungwapamojananenomoyo–hivyo hakunamuonekanowavyombohalisi. 2. SomaWakolosai3:16. a. “mkifundishananakuonyana” 1) Nilazimakuwenamaanainayoelewekakatikamanenoilikuweza kuwanakufundisha. 2) KwanzakuimbakunaelekezwakwaMungu,lakinipiakunaweza kutumikakuonyana. b. “mkifundishananakuonyana” 1) KilaMkristoanatakiwakushiriki. 2) Kuwanakwayawakatiwenginewakiwawamebakiwakisikiliza haipatikanikatikaAganoJipya. 3. Soma1Wakorintho14:15. a. “mtaimbakwaroho” 1) Nenohilirohohalitakiwikukuzwa. 2) Hii“roho”nirohoyamwanadamuaunia. 3) Tunapoimbakatikaibadatunatakiwakuhusishaniazetu. 4) Nirahisikuruhusuniazetuzikizagaanakutokufirikuhusukile tunachokiimba. b. “nitaimbakwaakili” 1) Tunatakiwakukielewakiletunachokiimba. 2) Tunatakiwakumaanishakwakwelikiletunachokiimba.Kwa mfano,ikiwatunaimba“natakakuwamtendakaziwaBwana”basi nilazimatuwetunapambanakuwawatendakazikwakweli. C. Vipikuhusunyongeza? 1. SomaWakolosai3:16,17. a. “katikajinalaBwana”maanayakeniyaleyaliyoruhusiwanaBwana. b. HatupochiniyaAganolaKale,SheriayaMusa. c. SomaWaebrania7:12.“Maanaukuhaniuleukibadilika,hapanabudi sherianayoibadilike.”

30

d. HatuwezikuyaletamatendoyaibadatokaSheriayaKalena kuyatendaleo. 1) SomaKutoka30:1.KufukizauvumbailikuwasehumuyaSheriaya Kale. 2) SomaZaburi47:1.Kupigamakofikumetajwa. 3) SomaZaburi150.Baragumu,kinanda,kucheza,navyombovya kuvutanyuzivimetajwa. 2. Nilazimatuheshimuukimyawamaandiko. a. AganoJipyalingekuwakubwakiasiganiikiwaMunguangeorodhesha kilajamboambalolilikuwalimekatazwa? b. SomaWaebrania7:14.IkiwaMunguhajasemachochotekuhusu jambofulani,basihatuwezikulifanya. 3. Vipikuhusuwaimbajibinafsinakwaya? a. Soma1Wakorintho14:26. 1) Baadhiwamedaikuwamstarihuuunatoaruhusakwaajiliya mwimbajibinafsi. 2) Ingawa,mstarihuuunaonyeshamtummojaanawezakuwatayari na“zaburi”tu. a) “zaburi”inawezakuwainasomwakwasautiyajuu. b) Mwanaumeanawezakuwatayarikuliongozakundikatika “zaburi.” c) Hakunadokezolakwambamtuakiwana“zaburi”kwaajiliya kuimbamwenyewe. b. Asiliyakuimbakwakubadilishana. 1) Je,mtuyeyoteanawezakuchukuachakulachaBwanakwaajili yako?Hapana! 2) Wakristowameamriwakuimba.Hakunamtuanawezakuimbakwa niabayako. c. Kutokakatikaenzizamitumemarazotekuimbakulikuwasehumuya hudumayakiungu,ambayomwiliwotewakanisauliunganapamoja; naulikuwaniuozowazoezihiliambaokwamarayakwanzaulileta utaratibuwawaimbajindaniyakanisa.1 d. “acappella”–KutokaKilatini“ad”kulinganana,na“cappella”jengo dogolakanisa.Maanayakeni:bilakuambatana;katikamtindowa kanisa.Kutokamwanzonikanisalazamanililikuwanauimbajiwa mdomopekee.Hitimisho: 1. WakristowanadeninafursayakukumbukamautiyaBwanakilaJumapili. 2. WatotowaMunguwanapaswakufurahiakatikakuimbasifakwaMungu.

1JohnMcClintock,JamesStrong,CyclopediaofBiblical,Theological,andEcclesiasticalLiterature(GrandRapids,Michigan:BakerBookHouse,1981),Vol.IX,p.776.

31

SomolaNane

IBADA–SehemuyaPiliUtangulizi: 1. SomaMatendo2:42. a. KumbukakuwaWakristowakwanzawalifuatafundisholamitumekwa umakinikabisa.Nilazimasisipiakufuatafundisholilohilo. b. Tunatakiwakudumukatika“ushirika,nakatikakuumegamkate,nakatika kusali.” 2. Katikasomohilitutaendeleakujadilikuhusuibadasahihi.I. Sala A. Ibadainakipengelechakubadilishana. 1. Mawasilianoyanahitajivituviwili–Kusikilizanakuongea. 2. Ibadainajumuisha: a. Mahubiri–TunalisikilizanenolaMungu. b. Sala–TunajielezawenyewekwaMungu. B. MaelekezoyaAganoJipya: 1. Fungua1Wakorinthosura14. a. Mstari15.“Imekuwajebasi?Nitaombakwaroho,tenanitaombakwa akilipia;...” b. Mstari16.Kusema:“Amina,”wakatiwakutoashukranikunaonyesha makubaliano. 2. Soma1Timotheo2:1-15. a. Mstari8. 1) KatikaKiyunani“wanaume”hapa,wametofautishwana wanawake. 2) “wanaume”–nenohilisionenolajumlakwaajiliyawanadanu. a) Nenohilimaanayakeni:wakiume. b) Siosahihikusemawanawakewasisalikatikaibada. c) Wanawakeangalau,wanajiungakatikasala,isipokuwa hawaongozisala. 3) “kilamahali” a) Kwakuwanazingirayanatofautishawanaumenawanawake basi,katikakilamahaliambapowanaumenawanawakewapo pamojakatikasala,wanaumewaongoze. b) SomaYohana4:21.Mahalipatakatifuhapahitajikitenakwa ajiliyaibada. b. Mstari12. 1) Sio“kumtawala”–Wanawakewamekatazwakuwanamamlaka juuyawanaume. 2) Hiiinajumuishakuongozasalanakufundisha/kuhubiri.

32

c. Mstari13.Sababuyawanawakekukatazwainatokananauumbaji (mpangiliowaMunguwaasili)haitokaninatamaduni. C. Salakwaajiliyamahitajimaalumu. 1. SomaMatendo12:5.Petroalikuwagerezanihivyokanisalikaombakwa ajiliyake. 2. SomaWarumi15:30.SalazilifanywakwaajiliyaPaulo mmisionari/mhubiri. 3. SomaMatendo14:23.Waliombawakatiwakuchaguawazee. D. Tahadharikadhaa: 1. SomaMathayo6:7.Tunapaswakuepukakutumia-marudioyasiyo maana. 2. SomaLuka20:47.Tunatakiwakuepukakujaribukutoa“salandefu”za maonyesho.Salandefusiotatizo. E. Uzuriwasala. 1. Soma1Timotheo5:5.Wajane,wanaosahauliwamaranyingi, wanaheshimiwaikiwawatajitoakatika“salamchananausiku.” 2. SomaUfunuo5:8.Pichaimetolewakatikamaneno. a. Maombiyawatakatifunikama“vitasavyadhahabuvilivyojaa manukato.” b. Kamavilemoshiwamanukatoupandavyojuu,ndivyomaombiya watuwaMunguyapandavyojuukwenyekitichaenzichaMungu. Kumbuka:hapamaombiyanapandakwa“Mwana-Kondoo.” 3. SomaWafilipi4:6.II. Kutoa A. SomaMatendo2:42. 1. Neno“ushirika”(koinonia)linawezakuwanamaanazotenyembambana pana. a. Maanayajumlani“muunganikowaushirika”au“hisa.” b. Mifanoyamatumizimaalumuni: 1) SomaWarumi15:26.“maanaimewapendezawatuwaMakedonia naAkayakufanyachangizo[koinonia]kwaajiliyawatakatifuhuko Yerusalemuwaliomaskini.” 2) Soma2Wakorintho9:13.“…ukarimuwenumliowashirikisha [koinonia]waonawatuwote.” 2. Kwakuwamatendomengineyaibadayametajwakatikamstarihuu, inaoneshakuwamaanahapaniushirikikatikakutoa. B. MaelekezoyaAganoJipya: 1. Matoleoyahiari. a. SomaMatendo4:34-37. b. Wakristowanawezakuhiarikutoakwakanisa. c. Watakatifuwanawezachaguakulitajakanisakatikawosiawaoili fedhaziendekanisanibaadayakufakwao.

33

2. Changizoyakilajuma. a. Soma1Wakorintho16:1,2. 1) “Sikuyakwanzayajuma” a) KatikalughaasiliyaKiyunanikunaneno“kila.” b) Hivyobasimaanahalisini:“kilaJumapili.” 2) “kilamtukwenu” a) HiinikwakilaMkristo. b) HiiinatakiwakuwatabiayetuyaJumapilikamavilekuimbaau kusaliaukamasehemuzinginezaibada. 3) “kwakadiriyakufanikiwa” a) Siokilammojaatatoakiwangokilekile. b) Kutoakwetukunatakiwakuendanenanamnatulivyobarikiwa. b. Matumizi: 1) IkiwaweweniMkristo,toakilajuma,kulingananaulichokipokea. 2) Mumenamke. a) Mumenikichwanaanatakiwakujadilimatoleopamojanamke wake. b) Wanandoawanatakiwawawenaumoja. c) Kwahiyowanawezakuwekapamojamafanikioyaonakutoa sehemukutokakatikahiyohesabu. c. Maranyingiswalilinaulizwa“itakuwajeikiwanalipwakwamwezi?” KwakuwaBibliaimesema“kilajuma”inaonekanakamatunaweza fanyahesaburahisiyakugawanyanabadotukatoakilajuma. 3. Soma2Wakorintho9:6-8. a. Kutoakunatakiwakupangwa. b. Mkulimaanafikirikwanzakablayakupanda. c. Hiaridhidiyahisiazakudaiwa.Kitendawili:Kutoanideni,lakinikwa mtazamosahihihaitakiwikuhisiwakamadeni.Hatutakiwi kulazimishwa,balikutamanikutoa. C. Vipikuhusunyongeza? 1. Kwakawaidamadhehebuyana:minada,kamari,mashambayakanisa, sehemuzakuosheamagari,ahadi,nabiasharazingine. 2. Hatupaswikuigayaleyanayofanywanamakanisayawanadamu. 3. Hatunamamlakayakuanzishabiasharazakuchangiaaukudhaminikaziza kanisa. 4. Hatunamamlakakwakanisakumilikinakuendeshakwaajiliyakupata faida–mashamba,kufugawanyama,kufugakukukwaajiliyakuuza nyamanamayai,n.k. 5. Munguamekwishatupatianjiazakukusanyafedhakwaajiliyakanisa. a. Mateleoyahiarikutokakwawashirika. b. Washirikakutoakilajuma.

34

D. Mamboyakufikiriazaidi: 1. Fikrazilizochanganyika: a. BaadhiyaWakristowanafanyamanunuzinamadenikaribiaauzaidi yavipatovyaohalafuwanadhanikuwahawawezikutoa.Kununuakwa kutumiakreditiumekuwamtegokwaWakristowengi. b. Tabiayakulipiaviburudishobinafsikwanza,nabaadayekutoaikiwa kunachochotekimebakia,nijambolaaibu. 2. HatukochiniyazakaAganolaKale(10%). a. BaadhiyaWakristowanauelewasahihikuwahatupochiniyaamriya zaka,lakiniwamehitimishavibayakwambakwasababuhiyo wanawezakutoakidogo. b. KwauhakikakatikakipindihikiWakristowanawezakutoasawasawa auzaidiyawatotowaMungukatikanyakatizakale. 3. Msaadakwamahubirinamafundisho. a. Soma1Wakorintho9:11,14.Wahuburiwaaminifuwanastahili kuwezeshwawaowenyewenafamiliazao. b. Soma1Timotheo5:17,18.Wazeewaaminifuwanastahili kuwezeshwa. 4. SomaYakobo5:3.Tusipozitumiabarakazetukwahekima“kutu”inaweza kuwandiyoshahidiwetu. 5. Marakwamaratunatakiwakujikumbushawenyewekwambatunauwakili nasioumilikiwabarakazetu! 6. SomaMatendo20:35.Hiitunawezaiita“barakamaalumu.”III.Mahubiri A. Thamaniyamahubiri: 1. SomaMatendo20:7. a. MfanowawazikuwaibadayaJumapiliilijumuishaujumbe uliohubiriwa. b. Vifunguvinginevitaonyeshasehemumuhimuyamahubirikatika ibadayakusanyiko. 2. Mahubirihayatakiwikuachakujumuishavituambavyonivigumuau visivyofahamikanawengi. a. SomaMatendo20:20.Paulohakuogopanakukaakimyakuhusu baadhiyakweliyenyechangamoto. b. SomaMatendo20:27.“Kwamaanasikujiepushanakuwahubiria habariyakusudilotelaMungu.” B. MaelekezoyaAganoJipya: 1. Soma1Timotheo5:17.Wazeewanatakiwawawewalimu. a. Mazingirahayahayawekiukomokwakusanyiko. b. Soma1Timotheo3:2.NilazimaMaaskofuwawe“ajuayekufundisha.” c. Maaskofuwanatakiwakuwanasehemukatika“kulilisha”kundikwa njiayakufundisha.

35

2. Fungakatika1Wakorinthosuraya14. a. WanafunziwaBibliawanakubalikwaujumlakuwaRohoMtakatifu anasehemundefujuuyaibadakatikakitabuhiki.Kutoka11:2– 14:40.2 b. Soma14:23.“…kanisalotelimekusanyikapamoja,…” c. Msisitizoumetolewakwa“kujenga”na“kujifunza.” 1) Somamstari3. 2) Somamstari19.“lakinikatikakanisa[kusanyiko]…kuwafundisha wengine,…” 3) Somamstari31.“…iliwotewapatekujifunza,nawote wafarijiwe.” 4) Somamstari35.“…niaibuwanawakekunenakatikakanisa [kusanyiko].” d. Hivyobasi,mafundishonisehemumuhimukatikakusanyiko. 3. MaagizokwaTimotheo(Mwinjilisti): a. Funguakatikakitabucha1Timotheo. 1) Soma4:6.“Uwakumbushendugumambohayo,naweutakuwa mtumishimwema…”Wenginewanamawazopotofukwamba MwinjilistianafundishawasioWakristopekee(kuinjilisha). 2) Soma4:11.“Mambohayouyaagizenakuyafundisha.”Mhubiri anaongeakimaamlakaanapotoanenolaMungu. 3) Soma4:13.“Hatanitakapokuja,ufanyebidiikatikakusomana kuonyanakufundisha.” a) “…jitoleekusomausomajiwamaandikohadharani,kuonya…” b) Katikakanisalakwanza,kipindiambachowatuwachachesana walimilikinakalabinafsizamaandikomatakatifu,nanakala zotehizozililazimikakunakiliwakwamkono,mtuanaweza kufikirinikwajinsiganiusomajiwamaandikowahalaiki ulikuwamuhimu.3 4) Soma6:17.“Waliomatajiriwaulimwenguwasasauwaagize wasijivune,…” b. Funguakatikakitabucha2Timotheo. 1) Soma1:13.“Shikakielelezochamanenoyenyeuzimauliyoyasikia kwangu,…” 2) Soma2:14.“Uwakumbushemambohayo,ukiwaonyamachonipa Mungu,…” 3) Soma4:2.“lihubirineno,uwetayari,wakatiukufaaonawakati usiokufaa,karipia,kemea,…”

2SimonJ.Kistemaker,NewTestamentCommentary,ExpositionoftheFirstEpistletotheCorinthians(GrandRapids,Michigan:BakerBooks,1993),p.v(Contents:Worship,parts1to4).3WilliamHendriksen,NewTestamentCommentary,ExpositionofThePastoralEpistles(GrandRapids,Michigan:BakerBookHouse,1978printing),p.159.

36

C. Mazingatiozaidi: 1. Mahubiriyakujengaimani: a. Soma2Timotheo4:2.MwinjilistiTimotheoaliamriwa“lihubiri neno.” b. SomaWarumi10:17.ImaniinajengwakwakusikianenolaMungu. c. Mahubiriambayoyamejazwanamashairi,utani,hadithi,matukioya wakatihuonavituvingineyanawezakuwekaumakinikwawasikilizaji nakuwafurahisha,lakinihayatajengaimani. 2. Thamaniyamahubirisiokutathiminiwanamajibu. a. YesualikuwaMwalimuMkamilifulakinialikataliwa. b. Stefanoalitangazaujumbekwauaminifumkubwalakinialiuwawa (Matendo7). 3. SomokutokakwamwinjilistiFilipo. a. SomaMatendo8:30-35. b. MahubiriyanatakiwakuwasaidiawatukulielewanenolaBwana. 4. SomaYakobo3:1. a. Kunahukumukubwazaidiimewekwajuuyawalimu. b. Soma1Timotheo4:16. 1) KwamafundishoyauaminifunasahihiTimotheoangejiokoayeye nawalewamsikiao. 2) Hatahivyo,kwamafundishoyauongowotewanawezakupotea mwalimunawasikilizaji. 5. SomaMathayo15:8,9. a. Kunauwezekanowaibadakuwayabure.Sioibadazotezinakubaliwa. b. Mafundishoyawanadamunilazimayaepukwe.Hitimisho: 1. SomaMathayo4:10.Mungupekeyakendiyeanayepaswakupokeaibada yetu. a. Soma1Wakorintho3:5.Hatupaswikuwainuawanadamu. b. SomaUfunuo22:8,9.Tunawezatusiabudumalaika. 2. SomaYohana4:23.Munguanawatafutawaabuduohalisi.

37

SomolaTisa

KUSHIRIKISHAUJUMBEWAWOKOVUUtangulizi: 1. SomaLuka15:3-6. a. Mtuhuyualifurahisanakumpatakondoowakealiyekuwaamepoteakiasi chakuwaambiamarafikizakehabarinjema. b. Ulikuwaumepoteakatikadhambinasasaumeokolewa.Unapaswakuwa nafurahakuwashirikishawenginehabarinjema. 2. Soma1Wathesalonike1:6-8. a. PauloaliwasifuWakristohawakwaajiliya“kutokakwenunenola Mungulimevuma”(mst.8). b. Nisahihikwawalewotewalio“lukipokeaneno”(mst.6).Kushirikisha “nenolaMungu”(mst.8)kwawengine.I. Vikwazovyakushinda A. Utambuziwauwajibikaji. 1. Chakusikitisha,Wakristowengihawatambuiwajibuwaowakushirikisha wengineujumbe. 2. Watakatifuwengiwanaonekanakufikirikuwauijilistinijukumula wachache.Kamavilewahubiri,wazee,nawamisionari. 3. SomaMathayo28:18-20.Amriilitolewakuwafanyawanafunzi,halafu kuwafundishawanafunziwapyakutiiyoteyaliyoamriwa. B. Ukosefuwamaarifa. 1. Wakristobaadhiwanahisihawajuivyakutoshakumfundishaasiye Mkristo. a. Tibayahilinikufanyabidiiyakujifunzanakujiandaakuwanauwezo wakuwafundishawaliopotea. b. Soma1Petro2:2.Kamawatoto,tunaanzanamaziwanatunaendelea nachakulakigumu. c. Ombakwendapamajanamtuambayeyukobizekufundisha waliopotea. 2. Semakileunachokijuatayari. a. Fikirinyumawakatiulipojifunzakweli. b. Anzakwakusemavituulivyovifaidi: 1) UlijifunzakuwaYesuni“Neno”wamilele,aliachambingu, akafanyikamwili,aliishinaalikufakwaajiliyadhambizetu. 2) Ulijifunzakuwakablayakujadhehebulolote,kulikuwanakanisa mojalakweli.Kanisahilolinaundwanawatuwaliookolewa. 3) UligunduamahitajiyaMunguyakupokeamsamahawadhambi. c. Kutakuwanauwezekanomtuakahitajimafundishozaidilakinihapani mahalipazuripakuanzia.

38

C. Aibu,wasiwasi,nahofu. 1. Kwendanamtumwengineambayeyukobizekufundishawaliopotea kunawezakukusaidiakukujengeakujiamini. 2. Jikumbushemwenyewe: a. Jikumbushemwenyeweumuhimuwakumshirikishamtuhuyu aliyepotea.UnawezakuwandiyeMkristowakwelipekeeambaye umekutananamtuhuyualiyepotea. b. Soma1Wakorintho3:6. 1) “Mbegu”ninenolaMungu(Luka8:11). 2) Jikumbushemwenyewekuwaunapaswakujaribukupandambegu duniani.KuongezaachakatikamikonoyaMungu. 3) Huwajibikikwaajiliyamajibuyamtu.Wanawezakuukataa ujumbeaukuutii. 4) Huwajibiki“kuwaokoa.” c. SomaWaebrania4:12. 1) JikumbushemwenyewekuwanenolaMungulinanguvu. 2) SomaWarumi1:16.Jikumbushewenyewekuwainjilininguvuya Munguyakuokoa. 3) Hitajikuusiowewekuwamwelevuaumshawishi,baliwaache wahukumiwenaneno. d. Watuwenginewanaogopawanawezafundishaisivyosahihikabisaau wanawezasemavitutofauti,aukumgeuziambalimtuhuyo. 1) Jikumbushemwenyewekuwatayarimtuamepotea.Wewehuendi kuwafanyawapotee. 2) Jaribukufundishakwakadiliuwezavyo,lakinitambuakuwa kujaribukuwafundishaniborazaidikulikowaokutokusikia kabisa. D. Kukosasubira. 1. Tunahakiyakuwaonawatuwakiitiinjili. a. Tunatambuauzitowawatukupotea. b. Tunahisiuharakakwaokujifunzakweliiliwawezekuokolewa. 2. Soma1Timotheo2:4. a. Munguhutaka“watuwotewaokolewe,nakupatakujuayaliyokweli.” b. Kuja“kupatakujuayaliyokweli”nihatuazakujifunzanasiotusomo moja! 3. Nilazimatufundishekwauvumilivu. a. TambuakuwakwawalewotewenyeufahamumdogowaBiblia itawachukuamafundishozaidikulikomtuanayeijuazaidiBiblia. b. Tambuatofautimojamuhimukatiyajuhudiyaufundishajiiliyo hitajikakatikakarneyakwanzanajuhudiyaufundishajiinayohitajika leo.

39

1) Sikilizakwaumakini–nilazimakweliiweileile.Tunapaswa kufundishaujumbeuleulekamaulivyofundishwakatikakarneya kwanza! 2) Wakatiwakarneyakwanzahakukuwana“kanisa”lolotela wanadamukamailivyoleo.HakukuwanakanisalaKatolikiwala madhehebu. 3) Kwahiyo,itahitajikufundishawatukwauangalifuzaidileo kuelewakuhusukanisalakweli. c. Kwamfano:TunawezasomaMathayo16:18.Yesualiahidikujenga kanisalake.PiatunasomaWakolosai1:18.Yesuni“kichwa”cha “mwili”ambaoni“kanisa.”NaWaefeso4:4panaonyeshakuna“mwili mmoja”pekee. 1) Watuwengiwamezoeasanakufikiriakatikamaswalaya madhehebufulanikiasikwambawanawezawasielewekiukweli. 2) MwalimuMkristoanawezakushangaawakatimwanafunziwake amerudikatikadhehebulake,pundetubaadayakufundishwa kuhusukanisamojalakwelinakuonekanakukubali.Mwanafunzi hataalisema“Ninaonakunakanisamojalakwelipekee.” 3) Alichoshindwakukitambuamwalimunikwambawakati alipofundishakuhusukanisamoja–mwanafunzialikuabado amechanganyikiwaakifikirikuwakanisamojalakwelilinaundwa namadhehebuyoteyakiwekwapamoja. E. Mbinuzamlangowanyuma. 1. SomaMathayo7:12.Tunatakiwakuwatendeawenginekatikanjia ambayotunatakawenginewatutendee. a. Jiulizeswalihili:“Mtuakiongeanawekuhusukitukimoja,lakini baadayeunagunduawalikuwananiayanyuma,Je,utapenda?” b. Tunatakiwakuepuka“mlangowanyuma”mbinuzakujifanyakufanya jambomoja,wakatitunajuakusudiletunikitukinginetofauti. 2. Fikirinjiayakupenda,kujali,uaminifu,nayamojakwamoja: a. “Rafikimpendwa,nimekuwanikikuombea.Nimefurahisana kufahamuBiblia,nakufurahiawokovu.Tafadhalinawezakukuambia juuyakilenilichojifunza?NingependauweMkristo.” b. SomaMatendo26:28,29.II. Sala A. Mchaguemtuunayemfahamuambayeamepotea. 1. Huyuanawezakuwa,jirani,mfanyakazimwenza,nduguyako, mwanafunzimwenzio,rafiki,n.k. 2. HuyuatakuwanimtuambayeutajaribukumfikishiaInjili.

40

B. Kablayakuongeanao,anzakuombakwaajiliyaokwakuwatajamajina. 1. Kwamfano:“BabaMtakatifuwambinguni,unaujuamoyowa ___________.TafadhalinisaidieniwezekuongeanaekuhusuYesu…” 2. OmbaMunguakubarikiunapotumiamudakuwaulizawajifunzepamoja naweBiblia. C. IkiwamtuatakubalikuwanadarasalaBibliaanzanasalakwakiladarasa.III.Umuhimuwakufundishakwautaratibu A. Walimuwazuriwanatambuaumuhimuwautaratibusahihikatikakufundisha. 1. Masomoyahesabuyanaanzakwanzanakujumlishanakutoakablaya kwendambelekatikakuzidisha. 2. Kwamfano:kablamtuhajawezakufanyauamuziusiofaakuhusu kumfanyaYesukuwaBwanawao,nilazimawajifunzekwanza utambulishowakewakweli(angaliaYohana8:14). B. Nilazimamafundishoyaanzenabaadhiyamamboyamsingi. 1. Bilauzoefuaukupanga,maranyingimwalimumchangaanaanza kumfundishaasiyemkristokuhusuubatizokwanza. a. Kunavituvingisanaambavyomtuanahitajikujifunzakwanza. b. Lakusikitisha,imetokeamaranyingikwambamtumpotovu anaonyeshwamistarikuhusuubatizo,anaongozwakatikamajina kuzamishwabaadayewanarudikatikamadhehebuyao,na hawaonekanitena,huusiouongofu. c. Kwamfano:Mkatolikianawezakuwaalinyunyiziwamajiakiwamtoto (unaitwa“ubatizowawatotowachanga”).Ikiwawatafundishwa kuhusu“kuzamishwa”kamanjiasahihiyakubatizwa(kuzikwa), wanawezakuombakuzamishwa.MwalimuMkristohatakiwi kushangaaikiwamtuataendeleakatikadiniyakeyaKatoliki.Kwa sababumwalimukamwehakuwafundishakuhusu“tulibatizwakuwa mwilimmoja”(1Wakorintho12:13),nakuwa“mwili”ni“kanisa” (Wakolosai1:18).Mtuhakufundishwakamwekuhusukanisalakweli dhidiyaUkatoliki. 2. SomaMatendo8:30-38. a. Lukaametoamuhtasari,bilamaelezoyakina,kuwaFilipo“akamhubiri habarinjemezaYesu”(mst.35). b. TowashialikuwaakisomatokakatikaIsaya53(Matendo8:32,33). 1) Filipoalianzakumfundisha“kwaandikolilohilo”(8:35). 2) HakunakumbukumbuyaubatizokatikasehemuhiiyaIsaya,hivyo basi,TowashialijifunzakwanzakuhusuYesunamatesoyakejuu yamsalabakwaajiliyadhambi. 3) IlikuwabaadayekwambalazimaFilipoalimfundishakuhusu ubatizo,kwakuwamtuyulealiulizakuhusuubatizo(8:36).

41

3. SomaMatendo8:12. a. KatikaSamaria,FilipoalihubirikwawasioWakristo“habarinjemaza ufalmewaMungu,najinalakeYesuKristo.” b. Wazolakawaidalauongo: 1) BaadhiyaWakristowanashikiliamaonikwambaasiyeMkristo anahitajikusikiakuhusu“hatuatano”pekee(sikia,amini,tubu, kiri,ubatizo)naanawezakujifunzabaadayekuhusumfalme (kanisa). 2) PaulopiaaliwafundishawasioWakristokuhusuufalme(Matendo 19:8;20:25;28:23). 3) SomaYohana3:3,5.Yesualifundishakuwakuzaliwa“marayapili” (ubatizo)ninjiayakuingiakatikaufalme.Mtuanatakiwa kufahamukuhusuufalmewakweliwakirohokabla hatujawaambiajinsiyakuingia. 4. Kijitabuchakufundishia“MpangowaMungukwaajiliyaWokovu”ni kitendeakazikimojawapochamwalimukinawezatumikakumsaidia kufuatautaratibuwaujifunzajiwakimantiki.IV.Wachanenolifanyeushawishi A. Maranyingi,mwalimumchangaataingiakatikamijadalanamwanafunzi. 1. Hililinapotokeavitainafuataambayoinamgombanishamwalimudhidiya mwanafunzi.Kwakawaidahiihainatija. 2. Pundetumambohuharibikanakuwa“imaniyangu”dhidiya“imani yako.” 3. MjadalawanamnahiimaranyingiunatokeabilakufunguaBibliayoyote; kilamtuanaongeatu,yaliyokichwanimwao. B. Mazingirayakujifunzahukuzwawakatiambapowotemwalimuna mwanafunziwanasomanakujifunzakileambachoBibliainasema! 1. Hataingekuwamwalimuanauwezowakunukuunenokwanenomistari yaBibliaambayoanashirikisha,mwanafunzihawezikujuaikiwakwelini nenolaMungu. 2. FunguaBibliakwakilamstari,nauliza:“Tunajifunzaninihapa?” a. Mwalimuanatakiwakumsaidiamwanafunzikuelewa. b. Lakiniinatakiwakuwawazikuwasio“imaniyamwalimu”bali ndivyoBibliainavyofundisha. c. Kadiriwanavyoendeleamwalimuanatakiwakusisitiza:“Hilisio fundisholangu.Mstarihuuunafunidishanini?” C. Tiamoyobilakufanyaujanja. 1. Hakikishashaukuyakohaimkandamizimtukinyumenakusadikikwake. 2. Kulazimishwasiosawanakuongolewa. 3. SomaMatendo8:37.Towashialipohukumiwanamafundishona kuyaelewaalichochewakutii.

42

Hitimisho: 1. SomaMatendo8:26-40.MungualijuaTowashihuyuanamoyomkweli. a. TiwamoyokwambaMunguanaujuamoyowakilamwanadamu. b. Inasisimuakufikirikuwaunawezakuwakitendeakazikatikamikonoya Mungukumfundishamtumwenyemoyowakweli. 2. Je,utamchaguamtuunayemfahamunakuanzakuombakwaajiliyakekwa kumtajajina? 3. Je,baadayeutawaulizawajifunzeBiblianawe?

43

SomolaKumi

MBINGU&JEHANAMUUtangulizi: 1. Katikamaishakunamotishazotehasinachanya. a. Ikiwamtuatafanyavizuri,anawezakupokeazawadi.Kwamfano,kazi ngumuinawezakuzawadiwanamshahara. b. Ikiwamtuhatafanyavizuri,anawezakupataadhabu.Kwamfano,watu winginewanawezatiisheriakwasababutuyakukwepaadhabu. 2. Munguamempatiamwanadamumotisha(mshahara)chanya,namotisha hasi(adhabu). a. SomaMathayo25:46. 1) Yesuametuambiakunauwezekanowaainambilipekeebaadaya hukumu. 2) Kutakuwana“uzimawamilele”au“adhabuyamilele”pekeekwakila mtu. b. Kunazawadiyakupatanaadhabuyakuikwepa. 3. Mitazamoinayobadilikakuhusumbingunajehanamu. a. Inasemekanakuwanyakatizahivikaribuni,wachachewanaonekana kuaminikatikajehanamu. b. FundisholaBibliahalijabadilika,lakiniwatuzaidinazaidiwanakataa fundishololotewanalokutahalipendeziaukusumbua. c. Piaimekuwamaarufukwawatukufikiriwengiwataendambinguni. SomaMathayo7:13,14.I. Jehanamu A. NenolaKiyunani: 1. NenolaKiyunanilililotafsiliwaniGeenna. 2. Neno“jehanamu”limetokeamara13katikatafsiriyaKiingereza(ASV). a. Ingawaje,katika2Petro2:4,kwakwelikunanenofofautitartarus. b. NakatikaYakobo3:6kunamatumizimaalumu. c. NenolilitumiwanaYesumarakuminamoja. 1) Mathayo5:22,29,30;10:28;18:9;23:43,45,47. 2) Marko9:43,45,47. 3) Luka12:5. 3. WalewotewanaodaikumpendanakumfuataYesu,lakiniwanalikataa fundisholajehanamu,hivyobasikiukweliwanakataafundisholaYesu. 4. Historiayaneno: a. Gehenna–JinalabondekusinimasharikimwaYerusalemu. b. Zamani,watotowalitolewakamadhabihuyawanadamukwamungu wauognoMoleki.AngaliaYeremia32:35.

44

c. Wakatiwakarneyakwanza,palikuwanimahalapakutupiana kuchomeatakataka,nakwaajiliyakutupiamaiti. d. Kwahiyopakawanjiainayofaayakuonyeshaubayawajehanamu. B. Tofautikatiyajehanamu(geenna)nakuzimu(hades). 1. SomaMathayo16:18.HapanenolaKiyunanisiogeenna,balihades. a. Yesuhakufanakwendajehanamu. b. YesualikwendaPeponi,upandemmojawakuzimu. 2. Kuzimunimahalipakatikatiparoho,mahalipakusubirimudawakifocha kimwilinasikuyahukumu. 3. Jehanamunimwisho,mahalipamatesopamilelekwaajiliyawaovu. C. Ainatofautizavifo. 1. Kifochakimwili. a. SomaYakobo2:26.Hikinimatenganoyarohotokakatikamwili. b. SomaWaebrania9:27.Sotelazimatutakufakimwili. 2. Kifochakiroho. a. SomaIsaya59:2.Hikinimatenganoyamwenyedhambitokakwa Mungu. b. SomaWaefeso2:1. c. Walewotewatakaoshindwakupatamsahahakatikamaishahaya watabakiwamejitengamileletokakwaMungu. 3. Mautiyamilele(jehanamu). a. SomaUfunuo20:14,15na21:8. 1) Hikipiakinaitwa“mautiyapili.” 2) Kifochakimwilinimautiyakwanza.Jehenamunimautiyapili. b. SomaWarumi6:23.Walewotewaliotendadhambiwanastahili mshaharawamautiyamilele. D. MuhtasariwaJehanamu. 1. SomaMathayo13:42.“nakuwatupakatikatanuruyamoto,ndiko kutakuwakokilionakusagameno.”AngaliaMathayo8:12na13:50. 2. SomaMathayo25:41.“Ondokenikwangu,mliolaaniwa,mwendekatika motowamilele,aliowekewatayariIbilisinamalaikazake.” 3. SomaMathayo25:46.Kunaitwa“adhabuyamilele.” 4. Soma2Wathesalonike1:9. E. Maangamiziauadhabuyamilele? 1. Watuhawatakikusikiakuhusujehanamu.Badalayakupuuziakweli, wanajaribukuelezeatofauti. 2. Njiailiyofanywanamwanadamunikudaikuwawaovuwatatoweka. Fundishohililinaitwamaangamizi(annihilation). 3. KweliyaBiblia: a. Mathayo3:12.Pichaniyamoto“usiozimika”motohuuhautaweza kuzimwa!

45

b. Marko9:47,48.Hapa“jehanamu”imeelezewakamamahaliambapo “funzawaohafi,walamotohauzimiki.”Haitoletamaanayoyote kuelezeafunza,wakatiwatuhutoweka! c. Mathayo10:28. 1) Huuunazungumzakuja“kuangamiza.” 2) Nenohiliapollumilimetumikamara92katikaAganoJipyakatika Kiyunani. 3) Inahusiananaupotevuwaustawi,nasioupotevuwakiumbe. F. Naniatapelekwajehanamu? 1. Soma2Wathesalonike1:7-9. a. “wasiomjuaMungu”(mst.8). 1) HayanimaelekezokuwahusuwotewaliombalinaMungu. 2) Soma1Wathesalonike4:5.Wasiookolewa. b. “nawaowasioitiiInjiliyaBwanawetuYesu”(mst.8). 1) Kihalisia,hawaniwalewote,“wasioitii”injili(wakatiuliopona endelevu). 2) Hawanipamojanawoteambaowalikwishatii,lakiniwakaanguka tena.Soma2Petro2:20-22. 2. SomaMathayo7:21-23. a. WatuwadiniwenyenianzuriwatapelekwambalitokakwaMungu. b. SomapiaWarumi10:1-5. G. Onyokubwa: 1. SomaWaebrania10:26-31. 2. SomaMathayo25:1-13.II. Mbingu A. Biblia: 1. Imeanzana“HapomwanzoMungualiziumbimbingunanchi”(Mwanzo 1:1). 2. Imeishianakumbukumbuya“mbingumpyananchimpya”(Ufunuo 21:1). B. Mbingutatu: 1. SomaMathayo6:26.“Waangalienindegewaangani[mbinguni].”Hilini angakuzungukadunia. 2. SomaWaebrania11:12.“...kamanyotazambinguniwingiwao.”Nafasiya nje. 3. SomaMathayo5:16.“...Babayenualiyembinguni.”MahaliMungu anakaa. C. Sifazambingu: 1. SomaYohana14:1-3.“Mahali.” 2. Soma1Wathesalonike4:16.MahaliYesu“atashukakutoka.”

46

3. Sehemutofautinamazingirayafamiliazetuzakidunia: a. 2Wakorintho5:1.Mwilimpyaunafaakwasehemuhiyo. b. 1Wakorintho15:50.Siomwiliwa“nyamanadamu.” c. 1Yohana3:2. d. Wafilipi3:20,21. 4. Mathayo25:46.Utakuwanimudausionakikomo. D. MakaziyaMungukwawanadamu. 1. Upungufuwamtu. a. Munguhutumiakileambachonisehemuyauzoefuwetukufikisha taarifakuhusukilekisichosehemuyaufahamuwetu. b. Vivyohivyokatikasayansi,tunatumiamifanoaupichakuonyeshakile kisichoonekanakwamachoyawazi.Mf.HeliyaDNAipolakini hatuwezikuionakwajicholakawaida. 2. MatumiziyaMunguyamanenoyapicha. a. KitabuchaUfunuokimeifananishambingukama: 1) “njiayamjinidhahabusafi”(21:21). 2) Vipimovyamjini“mailielfunamiatano”(21:16). 3) “Mwana-Kondooamesimama”(5:6). b. Matumizi: 1) “Mwana-Kondoo”siomnyamahalisi,balianasimamabadalaya Yesu. 2) Hivyopia,mbinguhainanjiayamjiwenyedhahabu,n.k.Bali Munguanatakasisitujueitakuwanzurinayakupendeza. 3. SomaUfunuo21:4.Hakunatenamachozi,mauti,maombolezo,kilio,wala maumivu!Hitimisho: 1. Bibliainaishiakwakusimuliajuuyambingunajehanamu. a. SomaUfunuo21:1-8. b. Kuingiakatikamjihuowatuwanahitajika“wazifuaonguozao”(Ufunuo 22:14). 2. Kumbukahaichukuijuhudikuishiajehanamu,inachukuauaminifuilikutuzwa makaziyambinguni.

Imeandaliwana:GeorgeJensen

Imetafsiriwana:

CharlesMwakalonge

Tanzania,EastAfrica2021