344
Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org IMANI YA USHINDI USHINDI JUU YA DHAMBI NA UASI. ‘Hatua za Kumwezesha Mtu wa Mungu Kuishi Maisha Matakatifu.’

Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

  • Upload
    uttara

  • View
    1.206

  • Download
    260

Embed Size (px)

DESCRIPTION

IMANI YA USHINDI USHINDI JUU YA DHAMBI NA UASI. ‘ Hatua za Kumwezesha Mtu wa Mungu Kuishi Maisha Matakatifu. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. HATUA ZA IMANI YA USHINDI. Malengo ; - PowerPoint PPT Presentation

Citation preview

Page 1: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Mwl. Mgisa Mtebe

+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

IMANI YA USHINDIUSHINDI JUU YA

DHAMBI NA UASI.‘Hatua za Kumwezesha Mtu wa

Mungu Kuishi Maisha Matakatifu.’

Page 2: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

Malengo; Kumfundisha mtu wa Mungu

kutoka katika udhaifu na utumwa wa kushindwa na dhambi katika maisha yake

ya Wokovu (Kuokoka).

Page 3: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

USHINDI DHIDI YA DHAMBI

Warumi 8:5-11

Page 4: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,

lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.

Page 5: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,

wala haiwezi kuitii.

Page 6: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.

Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.

Page 7: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu

imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi

hai kwa sababu ya haki.

Page 8: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu

aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili

yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.

Page 9: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

Page 10: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 11: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)

mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya maisha na utakatifu, kwa

kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

Page 12: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu

ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia

za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.

KUTEMBEA KWA IMANI

Page 13: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 14: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu

katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi

wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.

Page 15: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha

ya utumwa juu ya dhambi.

Page 16: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12Ikiwa roho zetu zina uwezo wa Ki-

Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya Utakatifu, ni

kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa Nguvu za Mungu

unaowezesha ushindi huo?

Page 17: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21

Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Ukikosea kujiona,

utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa hayo,

yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na

kukusaidia kushinda.

Page 18: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

KUSTAHILISHWAPASIPO KUSTAHILI

Warumi 5:17-19Warumi 6:5-6, 11-14

Page 19: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19

18 … kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu

kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la mtu mmoja

la haki watu wote wamehesabiwa haki.

Page 20: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19

19 Kwa maana kama vile kwa kutokutii yule mtu mmoja,

watu wote walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja

wengi wamefanywa wenye haki.

Page 21: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19

17 Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja, mauti

ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na

kuhesabiwa haki [wokovu], …

Page 22: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19

17 … wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na

kuhesabiwa haki [wokovu], watatawala katika uzima

kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.

Page 23: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema

Kosa la Mtu 1, Tendo la Mtu 1, Wote ni Wote ni ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’(Wenye Dhambi) (Watakatifu)

Page 24: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10

9 Si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. 10 Kwa

maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa

katika Kristo Yesu (utakatifu) …

Page 25: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10

10 … tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate

kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia

kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.

Page 26: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10

Matendo mema yaliumbwa kwa ajili ya watakatifu

(wenye-haki); ndo kusema, kutenda mema wakati uko

upande wa Wakosaji, haikufanyi Mwenye haki

mbele za Mungu.

Page 27: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10

Matendo mema yaliumbwa kwa ajili ya watakatifu

(wenye-haki); ndo kusema, kutenda mema wakati uko

upande wa Wakosaji, haikufanyi Mwenye haki

mbele za Mungu.

Page 28: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10Ndio kusema;

Kufanya Makosa wakati uko upande wa Wenye-Haki,

haikufanyi ‘Mwenye Dhambi’ mbele za Mungu.

Page 29: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’

Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi HayakuondoiKtk Stahili/Haki. ktk Stahili/Haki.

Page 30: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’

Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi Hayakuondoi ktk Utakatifu. ktk Utakatifu.

Page 31: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14

11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;

Yaani “Mtakatifu”

Page 32: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 6:5-6, 11-14

4. MATOKEO; 14 Kwa maana dhambi

haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo

chini ya sheria, bali chini ya neema.

Page 33: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;

Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo

mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya

neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)

Page 34: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 35: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Macho ya RohoniMithali 24:14

‘Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako, ikiwa

umekwisha kuiona (kuipata) ndipo itakapokuja thawabu

yako, wala hutalikosa tarajio lako’

Page 36: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1, 6 1 Imani ni kuwa na hakika

wa mambo yasiyoonekana

(kabla ya kuona katika ulimwengu wa mwili).

Page 37: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema

Upande wa Upande wa Wote ni Wote ni ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’(Wenye Dhambi) (Watakatifu)

Page 38: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21

Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Ukikosea kujiona,

utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa hayo,

yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na

kukusaidia kushinda.

Page 39: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;

Njia ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kutembea kwa Imani

kwamba wewe ni Kiumbe Kipya.

(tayari umeshakuwa)

Page 40: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1, 6

6 “Kwa maana pasipo Imani haiwezekani

kumpendeza Mungu”.

Page 41: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 10:38

38 “Mwenye haki wangu ataishi kwa Imani, naye

akisisita-sita, Roho yangu haina furaha naye”.

Page 42: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu

katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi

wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.

Page 43: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Warumi 6:5-6, 11-14

Hatua ya kwanza;Kuelekea ushindi

juu Dhambi.

Page 44: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

KustahilishwaWarumi 5:17-19

Page 45: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’

Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi HayakuondoiKtk Stahili/Haki. ktk Stahili/Haki.

Page 46: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19

Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’

Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi Hayakuondoi ktk Utakatifu. ktk Utakatifu.

Page 47: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

MAISHA BAADA YA WOKOVU

- Swali Muhimu -

Page 48: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 5:17-19, Warumi 6:15Eti kwasababu katika Neema

ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea, Je, hii ina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na

maisha ya dhambi na anasa?

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 49: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 5:17-19

Jibu ni Hapana!

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 50: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 5:17-19Na Mungu akijua kwamba, dhana hii ya kustahilishwa, itazaa maswali ya namna hii

ndani ya watu, akaandika yafuatayo, kupitia mkono wa Mtume Paulo, ili tusipotoke.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 51: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILIWarumi 6:15, 1-2

15 Ni nini basi? [Je,] tufanye dhambi [eti] kwasababu hatuwi [hatupo] chini ya

sheria [torati], bali chini ya Neema [wokovu]? Hasha

[hapana kabisa]

Page 52: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 6:15, 1-21 Tuseme nini basi? Je, tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?

2. Hasha! [hapana kabisa]

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 53: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:15, 1-2

2. Hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutaishije tena

katika dhambi?

Page 54: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 5:17-19

Eti kwasababu katika Neema ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea,

haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na

maisha ya dhambi na anasa!

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 55: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3417 Tangu sasa nawaambia hivi,

tena nawasisitiza katika Bwana, kwamba, msienende

[wala msiishi] tena kama watu Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 56: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3418 Watu hao akili zao

zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa

sababu ya ujinga wao na ugumu wa mioyo yao.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 57: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3419 Wakiisha kufa ganzi,

wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila

aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 58: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3420 Lakini ninyi, hivyo sivyo

mlivyomjifunza Kristo. 21 Kama hivyo ndivyo ilivyo,

ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 59: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

22 Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa

zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake

za udanganyifu.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 60: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3423 Mfanywe upya roho ya nia

zenu, 24 mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawa

sawa na mfano wa Mungu katika haki yote na

utakatifu.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 61: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-3425 Kwa hiyo kila mmoja wenu

avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu

viungo vya mwili mmoja.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 62: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,

27 wala msimpe ibilisi nafasi.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 63: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

28 Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, bali afanye kazi zake mwenyewe, ili awe

na kitu cha kuwagawia wahitaji.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 64: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

29 Maneno mabayamwenu, bali yale yafaayo

kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na

mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 65: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu,

ambaye kwa huyo mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya

ukombozi.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 66: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele

na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 67: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

32 [Msiwe na choyo, bali] Iweni wafadhili [ninyi kwa

ninyi] na wenye kuhurumiana [kama Mungu alivyomtoa Mwanaye kwa

ajili yenu],

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 68: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 4:17-34

32 … [Msiwe na kinyogo, bali] msameheane [ninyi kwa

ninyi], kama vile naye Mungu katika Kristo

alivyowasamehe ninyi [makosa yenu].

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 69: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Mungu anatuonyesha kuwa, Eti kwasababu katika Neema

ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea,

haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na

maisha ya dhambi na anasa!

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 70: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Pamoja na kwamba, Mungu ametupa [ametuhesabia]

Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya

Utakatifu binafsi katika maisha yake.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 71: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hii ina maana kwamba;Kuna Utakatifu wa aina mbili. [1]. Utakatifu wa Kristo, Tuliopewa Bure kwa Neema

[2]. Utakatifu wa mtu, Unatakiwa kudumishwa.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 72: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Ufunuo 22:10-1211 ... Mwenye haki azidi

kutenda haki na yeye aliye Mtakatifu [1] na aendelee

kuwa Mtakatifu [2].’’

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 73: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Pamoja na kwamba, Mungu ametupa [ametuhesabia]

Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya

Utakatifu binafsi katika maisha yake.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 74: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-16

Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi

na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu

katika mwenendo wetu wote.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 75: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Warumi 6:23 Mauti Uzima

Torati NeemaMungu hakuwa Mungu huwa na ‘Uvumilivu’ ‘Uvumilivu’

wowote mkubwajuu ya Dhambi. juu ya dhambi.

Page 76: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Warumi 6:23Mungu wetu habadiliki,

japo Njia za Mungu hubadilika, lakini Mungu bado

ana tabia zake zile zile za kuchukia dhambi na uasi.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 77: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

15 Bali kama Yeye aliyewaita alivyo Mtakatifu, ninyi nanyi

iweni Watakatifu katika mwenendo wenu wote, …

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 78: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

16 kwa maana imeandikwa: “Mtakuwa Watakatifu, kwa kuwa Mimi ni Mtakatifu.”

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 79: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

17 Nanyi kama mnamwita “Baba,” Yeye ahukumuye kila

mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo …

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 80: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

17 … enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama

wageni [na wapitaji].

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 81: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa

kutoka katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi

kutoka kwa baba zenu, …

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 82: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

18 …mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, yaani, kwa

fedha na dhahabu, …

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 83: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

19 bali mlikombolewa kwa damu ya thamani ya Kristo, kama ile ya Mwana-Kondoo

asiye na dosari wala doa.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 84: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

15 [kwahiyo] kama Yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu

katika mwenendo wenu wote

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 85: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-16

Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi

na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu

katika mwenendo wetu wote.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 86: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Ufunuo 22:10-1210 Kisha akaniambia,

“Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu

wakati umekaribia.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 87: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Ufunuo 22:10-12

11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee

kuwa mchafu, ...’’

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 88: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Ufunuo 22:10-12

11 ... Mwenye haki azidi kutenda haki na yeye aliye

Mtakatifu na aendelee kuwa Mtakatifu.’’

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 89: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Ufunuo 22:10-12

12 “Tazama, naja upesi! nikiwa na mshahara wangu,

nami nitamlipa kila mtu sawasawa na alivyotenda.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 90: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Wakorintho 6:14-18

Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi

na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu

katika mwenendo wetu wote.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 91: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Wakorintho 6:14-18

‘... Hakuna ushirika kati ya nuru na giza ...’

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 92: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Kwahiyo, Eti kwasababu katika Neema, tunakuwa chini

ya mwamvuli wa haki ya Kristo hata kama tumekosea,

haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na

maisha ya dhambi na anasa!

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 93: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Wakorintho 6:14-18Katika Agano Jipya, Mungu akikutana na dhambi; ataipa muda wa ‘neema’. Muda wa

‘neema’ ukiisha, Mungu anaihikumu dhambi mara

moja, bila kusita.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 94: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Wakorintho 9:27Kwahiyo, kila siku, nautesa [naudhibiti] mwili wangu, ili

[isije ikatokea kwamba] nikiisha kuwahubiri

wengine, mimi mwenyewe nikawa mtu wa kukataliwa.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 95: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Wakorintho 9:27Hii ni picha ya wazi kwamba;

Hata walio chini ya Neema wanaweza kuhukumiwa

adhabu na pia wanaweza kukosa kuingia katika

Ufalme wa Mungu, mbinguni.

KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI

Page 96: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Kwahiyo, pamoja na kwamba, Mungu Baba ametupa

[ametuhesabia] Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa

Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya Utakatifu binafsi katika maisha yake.

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 97: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

USHINDI DHIDI YA DHAMBI

Warumi 8:5-11

Page 98: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,

lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.

Page 99: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,

wala haiwezi kuitii.

Page 100: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.

Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.

Page 101: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu

imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi

hai kwa sababu ya haki.

Page 102: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu

aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili

yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.

Page 103: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14

11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;

Yaani “Mtakatifu”

Page 104: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-1412 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya

miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii

tamaa mbaya.

Page 105: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 14 Kwa maana dhambi

haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo

chini ya sheria, bali chini ya neema.

Page 106: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

Page 107: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 108: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Yoh 5:4, Rum 8:37

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 109: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha

ya utumwa juu ya dhambi.

Page 110: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa

Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya

Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?

Page 111: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani

Page 112: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

BAADA YA DHAMBI

Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 113: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

BAADA YA WOKOVU

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 114: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

VITA YA MWILI NA ROHO

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 115: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa

Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya

Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?

Page 116: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21

Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Hivyo, ukikosea

kujiona, utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa

hayo, yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na kukusaidia kushinda dhambi.

Page 117: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;

Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo

mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya

neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)

Page 118: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 119: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;

Njia ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni

kutembea kwa Imani kwamba wewe ni Kiumbe

Kipya (tayari umeshakuwa).

Page 120: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Hatua za Imani Timilifu

Waebrania 11:1

Page 121: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Tumaini Imani “Nita …” mnayapokea “Nime ….” (sasa)

Kuanza IMANI yatakuwa

maombi (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 122: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIHatua Muhimu ya Kwanza

1. Kupata na Kutumia

Neno la Mungu. Waebrania 11:3 Warumi 10:17

Page 123: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

2. Kuomba kwa Bidii na Nidhamu ili Kuumba. - Maombi ya Kuumba -

Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45

Page 124: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

3. Usikivu kwa Uongozi wa

Roho MtakatifuWarumi 8:16, 26-27

2Tim 3:16-17

KUTEMBEA KWA IMANI

Page 125: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

4.Kubadilisha Mtazamo(a)Kuona tofauti (Machoni)(b)Kuwaza tofauti (Fikra)

Waefeso 1:15-19

KUTEMBEA KWA IMANI

Page 126: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

5. Kuamuru na Kutabiri.- Maombi ya Kufungulia -

Marko 11:23-24Ezekieli 37:1-14

Page 127: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa

uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,

yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’

Page 128: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-2424 ‘… Amini Amini

nawaambia, mambo yoyote mwombayo mkisali, aminini

mnayapokea [sasa], nayo yatakuwa yenu [baadaye].’

Page 129: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI YA USHINDI

Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu

(sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

Page 130: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)

Page 131: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Utaratibu wa Mungu katika kuleta mabadiliko duniani; ni

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.

Page 132: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 133: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea kwa imani (uhakika) ipo katika kupata

Neno, utakaloliatamia kwa njia ya maombi, ili kuleta mabadiliko

unayoyahitaji (rohoni), kisha utabiri (baada ya kupata uhakika

(imani) rohoni), ili kuyaumba mambo hayo katika U’mwili.

Page 134: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 135: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa

uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,

yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’

Page 136: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 5:9-10Katika Agano Jipya, Mungu

ametufanya sisi Makuhani na Wafalme katika Ufalme wake, ili kumiliki na kutawala dunia sawa-sawa na mapenzi yake.

Page 137: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

Page 138: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kuhani Mfalme Kuwasiliana na Kuamuru na Mungu ili Kutawala Kuumba mambo mambo katika ktk ulimwengu ulimwengu wa roho. wa mwili.

Page 139: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-10Mfalme hutawala kwa

Nguvu ya Neno lake.

Mhubiri 8:4‘Neno la Mfalme ni Amri’

Page 140: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo

pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya

kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.

Page 141: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mungu Mfalme

Kuhani Mazingira

Page 142: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHIRIKA WA MUNGU NA MKRISTO

1Wakorintho 9:6, Warumi 8:28

6 ‘Kwa maana sisi tu watenda kazi pamoja na Mungu …’

28 ‘Katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na wale

[watu] wampendao …’

Page 143: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19,1819 Mambo mtakayoyafunga

duniani, yatafungwa mbinguni, na mambo mtakayoyafungua

duniani, ytafunguliwa mbinguni.

Page 144: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mfano;Utabiri (Uamuru) wa

Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14

Page 145: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

Page 146: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14 Kwahiyo, kuna wakati, ili

Nguvu za Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani (Nguvu ya dhambi), ni lazima mtu wa

Mungu ajifunze kuamuru na kuagiza jambo hilo kufanyika.

Page 147: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)

yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …

Page 148: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),

yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).

Page 149: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9, Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na

Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya

kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia

mema (baraka/ushindi).

Page 150: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila

kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu

kufanya kazi pamoja na sisi.

Page 151: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao

binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote

viijazavyo.

Page 152: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana

Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari

ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.

Page 153: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

Page 154: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kwahiyo, kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie

Neno la Mungu ili kuumba hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile Roho atahitaji uachilie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 155: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo

pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya

kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.

Page 156: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Hii ni kwasababu Mungu ameweka USHIRIKA kati yake na sisi Binadamu, katika kumiliki na kutawala

mambo ya dunia.

Page 157: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya UshindiMtu wa Mungu asipofanya

sehemu yake, hali hiyo itamzuia Mungu kufanya sehemu yake.

‘Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani, na Mungu atayafunga mbinguni …’

Mathayo 16:19

Page 158: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha

kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa

nguvu za Mungu maishani mwetu.

KUAMURU MATOKEO

Page 159: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh

11:44)

KUAMURU MATOKEO

Page 160: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya UshindiKumbe Mtu wa Mungu

asipofafunga mambo hayo, Mungu atazuilika kuyafunga,

hata kama alitaka kuyafunga. ‘Mbingu ni mbingu za Bwana, bali NCHI (Dunia) amewapa Wanadamu.’ (Zaburi 115:16)

Page 161: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake

katika mwenendo [Kimwili].

Page 162: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake

katika mwenendo [Kimwili].

Page 163: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 164: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(Warumi 10:17)

‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,

huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.

Page 165: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,

tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta

mabadiliko)

Page 166: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu

vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’

Page 167: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,

lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’

(mafafanuzi)

Page 168: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

NGUVU YA NENOWaebrania 4:12

“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

Page 169: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho

anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni

Uzima; kwasababu’

Page 170: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),

kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

Page 171: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

Page 172: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

Page 173: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Math 16:19, Mark 11:23-24Ili nguvu za Mungu ziingie kazini,

kuvunja upinzani (nguvu ya dhambi), ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au

kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika/kuvunjika.

Page 174: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Mathayo 16:19, 18Watu wa Mungu wengi hufeli

kiroho na kimwili kwasababu hawajui

kwamba; Kuna saa ya kuongea na Mungu na kuna saa ya kuongea na milima.

Page 175: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa

uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,

yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’

Page 176: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Math 16:19, Mark 11:23-24Dhambi zote zinasukumwa na

roho wa aina fulani nyuma yake. Ikiwa ni ulevi, zinaa, uongo, kiburi, hasira, wivu,

matusi, magomvi, fitina, n.k;tabia zote hizi ni roho.

Page 177: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Luka 10:19, Math 16:19Ninawapa amri ya kukanyaga

‘nge’ na ‘nyoka’, na ‘nguvu zote za yule adui’; na

hakuna kitakachowadhuru kabisa.

Page 178: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Luka 10:19, Math 16:19

‘Nge’ = nguvu ya maumivuKama vile magonjwa,

umasikini na mateso ya kila namna.

Page 179: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Luka 10:19, Math 16:19

‘Nyoka’ = nguvu ya dhambi na nguvu ya uasi

Kama vile; ulevi, zinaa, uongo, kiburi, hasira, wivu, matusi, magomvi, fitina, n.k

Page 180: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Luka 10:19, Math 16:19

‘Nguvu zote’ = nguvu za shetani na wakala zake.

Kama vile; uchawi, ulozi, uganga, ushirikina,

matambiko, mila, n.k

Page 181: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Luka 10:19, Math 16:19Ninawapa amri ya kukanyaga

‘nge’ na ‘nyoka’, na ‘nguvu zote za yule adui’; na

hakuna kitakachowadhuru kabisa.

Page 182: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Yakobo 4:7, 1Pet 5:8-9Mtiini Mungu, mpingeni

shetani, naye atawakimbia; anazunguka-zunguka kama simaba, akitafuta mtu wa

kummeza, muwe thabiti na kumpinga huyo.

Page 183: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mungu Mfalme

Kuhani Mazingira

Page 184: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-10Mfalme hutawala kwa

Nguvu ya Neno lake.

Mhubiri 8:4‘Neno la Mfalme ni Amri’

Page 185: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake

katika mwenendo [Kimwili].

Page 186: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

6. Kusifu, Kuabudu na

Kushukuru2Nyakati 20:1-30

Matendo 16:13-25-36

Page 187: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini

ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.

Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi

zake, juu ya kukukamilisha.

Page 188: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.

(Zekaria 4:6)

Page 189: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Zaburi 84:1-4-7‘Heri wale wakaa hemani

mwako, wakuhimidi daima; kwasababu huendelea

kutoka nguvu hata nguvu.’

Page 190: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIZaburi 84:1-4-7

‘… wale wanaokaa wakikuhimidi [wakikusifu na kukutukuza] daima; huongezeka kutoka

[kiwango kimoja cha] Nguvu [mpaka kiwango kingine cha]

Nguvu [za Mungu, ili kuwapatia ushindi katika maisha yao].’

Page 191: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Zaburi 84:1-4-7Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili)

ni kutembea kwa Imani kwa kumsifu Mungu kabla

hata ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.

Page 192: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

‘Waimbaji na wanamuziki, walipokuwa kama mtu mmoja, wakamsikizisha Mungu sauti za

nyimbo na muziki wa sifa, ndipo nyumba ya Bwana ikajaa wingu la Utukufu na Nguvu za

Mungu. (2Nyakati 5:13-14)

Page 193: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Nyakati 5:13-14Kumsifu Mungu kunapofanyika

vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu

hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI

kwa watu wake.

Page 194: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kwa Mfano (1);

Mfalme Jehoshephat na Jeshi la Shamu 2Nyakati 20:1-31

Page 195: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfalme Jehoshephat, alipokuwa amezungukwa na

maadui, wamemhusuru pande zote; Hakusubiri kuona ushindi kwanza, ndipo aanze kumsifu

na kumtukuza Mungu, …2Nyakati 20:1-31

Page 196: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfalme Jehoshephat, alianza kuimba sifa na utukufu, kabla hata ya kufika kwenye uwanja wa mapambano; aliitambua

nguvu iliyopo katika kumsifu na kumwabudu Mungu;.

2Nyakati 20:1-31

Page 197: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Jehoshephat, alijua kwamba, sifa haitoki tu baada ya

ushindi; bali pia, sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi; hivyo inatakiwa kuachiliwa

kabla/wakati wa mapambano.2Nyakati 20:1-31

Page 198: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Jehoshephat, akamsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu za

Mungu zikaachiliwa, na maadui zake wakauana wao kwa wao. Israeli wakashinda ile vita bila kurusha upanga wala mkuki.

2Nyakati 20:1-31

Page 199: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Na wewe pia, Mungu anajua kwamba, umezungukwa na maadui mbalimbali, [wivu, hasira, wizi, tamaa, zinaa,

kiburi, uongo, umbea n.k.] na wamekuhusuru pande zote,

kama alivyokuwa Jehoshaphat.

Page 200: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Sasa basi, usisubiri kuona ushindi ndipo uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana,

anza sasa! Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;

hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.

Page 201: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu

za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio

kwa nguvu zako mwenyewe.

Page 202: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.

(Zekaria 4:6)

Page 203: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Nyakati 5:13-14Kumsifu Mungu kunapofanyika

vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu

hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI

kwa watu wake.

Page 204: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfn: Wewe si mkamilifu, lakini Mungu ameahidi kukukamilisha

kwa ukamilifu wake.Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na

kumtukuza Mungu kwa ahadi zake, juu ya kukukamilisha.

1Petro 1:15-16

Page 205: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kwa Mfano (2);

Paulo na Sila katika Kifungo cha Gereza Matendo 16:16-31

Page 206: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Matendo 16:16-31

Paulo na Sila walijikuta kifungo, wamezuiliwa uhuru wao na

gereza la kirumi. Lakini hawakusubiri wapate uhuru na ushindi, ndipo waanze kumsifu Mungu, Hapana! Walianza sifa

wakiwa bado kifungoni.

Page 207: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Matendo 16:16-31

Panapo usiku wa manane, walipokuwa wakiimba na

kuomba, ndipo Utukufu na Nguvu za Mungu,

zikatetemesha nchi, na milango ya gereza ikafunguka na pingu zilizowafunga, zikawaanguka.

Page 208: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Matendo 16:16-31

Paulo na Sila, hawakumkasirikia Mungu, kwa

vile alivyoacha wakapigwa mijaredi na kufungwa gerezani,

bila hatia; bali waliweka maumivu pembeni na

kujimimina katika sifa na ibada.

Page 209: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Na wewe pia, Mungu anajua kwamba, umefungwa katika

pingu na magereza ya dhambi na uasi, [wivu, hasira, wizi,

zinaa, kiburi, uongo, n.k.] na umekamatwa pande zote,

kama alivyokuwa Paulo na Sila.

Page 210: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Sasa basi, usisubiri kuona ushindi ndipo uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana,

anza sasa! Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;

hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.

Page 211: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu

za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio

kwa nguvu zako mwenyewe.

Page 212: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.

(Zekaria 4:6)

Page 213: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini

ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.

Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi

zake, juu ya kukukamilisha.

Page 214: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Matendo 16:16-31Kumsifu Mungu kunapofanyika

vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu

hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI

kwa watu wake.

Page 215: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Njia;

Namna ya Kumsifu Mungu2Nyakati 20:1-31

Matendo 16:16-31

Page 216: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(i) Jifunze kuisifia damu ya Yesu. ‘… damu yake yatusafisha na

dhambi zote’ [makosa]. ‘tuna ukombozi kwa damu

yake’ [vifungo].

1Yohana 1:7, Waefeso 1:7

Page 217: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(ii) Jifunze kumsifia Roho wa Yesu‘Nira/pingu huvunjika kwa

kutiwa mafuta [Roho wa Yesu].’‘Alipo Roho wa Mungu, hapo

pana uhuru [kweli-kweli].’

Isaya 10:27, 2Wakorintho 3:17

Page 218: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(iii) Jifunze kulisifia Jina la Yesu.‘Jina la Yesu ndilo Jina liotalo majina yote [lenye mamlaka].’‘Kwa Jina la Yesu, kila pepo linatoka [roho, tabia chafu].’

Wafilipi 2:9-11, Marko 16:16-18,

Page 219: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(iv) Jifunze kulisifia Neno la Yesu.‘Neno la Yesu li hai tena lina

nguvu [ya kuumba na kutenda].’‘Uwatakase kwa ile Kweli,

Neno lako ndio Kweli.’

Waebrania 4:12, Yohana 17:17

Page 220: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Wewe si mkamilifu, lakini Mungu ameahidi kukukamilisha

kwa ukamilifu wake.Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na

kumtukuza Mungu kwa ahadi zake, juu ya kukukamilisha.

1Petro 1:15-16

Page 221: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

(v) Jeshi la Malaika wa Yesu.Silaha nyingine ya ushindi katika mashindano tuliyonayo, ni Jeshi la malaika wa Yesu. Ila hatuwezi kuwasifu malaika, kwani wao, ni wenzetu katika kumsifu Mungu. Ufunuo 4:8-11, Ufunuo 5:11-14

Page 222: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kumbuka, Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;

hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.Usisubiri kuona ushindi ndipo

uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana, anza sasa!

Page 223: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini

ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.

Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi

zake, juu ya kukukamilisha.

Page 224: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

15 Bali kama Yeye aliyewaita alivyo Mtakatifu, ninyi nanyi

iweni Watakatifu katika mwenendo wenu wote, …

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 225: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Petro 1:15-19

16 kwa maana imeandikwa: “Mtakuwa Watakatifu, kwa kuwa Mimi ni Mtakatifu.”

USHINDI JUU YA DHAMBI

Page 226: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu

za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio

kwa nguvu zako.

Page 227: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Zaburi 84:1-4-7‘Heri wale wakaa hemani

mwako, wakuhimidi daima; kwasababu huendelea

kutoka nguvu hata nguvu.’

Page 228: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBIZaburi 84:1-4-7

‘… wale wanaokaa wakikuhimidi [wakikusifu na kukutukuza] daima; huongezeka kutoka

[kiwango kimoja cha] Nguvu [mpaka kiwango kingine cha]

Nguvu [za Mungu, ili kuwapatia ushindi katika maisha yao].’

Page 229: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Zaburi 84:1-4-7Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili)

ni kutembea kwa Imani kwa kumsifu Mungu kabla

hata ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.

Page 230: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

7. Kufanya Tendo la

Imani.Yakobo 2:17-18, 26

Page 231: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili

pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,

pia imekufa.

Page 232: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Baada ya kupata Uhakika (Imani) Mungu atakutaka uiingize imani

yako katika matendo, ili kuachilia NGUVU za Mungu, kuumba

ukamilifu wake katika maisha yako, kwenye Kimwili.

Page 233: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 234: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,

kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-

isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.

Page 235: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Ibrahimu;

Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim

Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

Page 236: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya;

Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya

mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43

Page 237: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yesu;

Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya

shukurani kabla ya kuona uponyaji.

Luka 17:11-14-19

Page 238: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Mitume;

Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya

kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16

Page 239: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya

kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya

kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya

kupata gari

Page 240: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,

kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-

isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.

Page 241: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfano (1);

Uponyaji wa Kilema Hekaluni, Mlangoni.

Matendo 3:1-10

Page 242: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Uponyaji wa Kilema huyu, ulishaumbika katika ulimwengu wa roho, na Petro na Yohana,

walishuhudiwa hilo; ndio maana walimwambia asimame na

kutembea.

Page 243: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Petro alipoona huyu mtu anachelewesha uponyaji wake,

kwa kutofanya kitendo alichoambiwa; Petro alijua

Muujiza huu unaweza kupotea, kwasababu ya kutoamini kwake.

Page 244: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Ndio maana Petro akalazimika kumkashika mkono na

kumnyanyua na kumtembeza, (aiingize imani katika matendo)

ili kuruhusu utendaji kazi wa Nguvu za Mungu, katika mwilini.

Page 245: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Kule kujaribu kutembea na kupepesuka kwa huyu kilema,

kuliruhusu Nguvu za Mungu kuanza kazi ya ukamilifu wa

miguu yake, kwasababu, Imani imeingizwa katika matendo.

Page 246: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule,

katika ulimwengu wa mwili, mpaka imani ilipoingizwa

katika matendo.

Page 247: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10

Na wewe pia, si ajabu umekuwa ukimwamini Mungu akufungue

kutoka katika tatizo la aina fulani [Mfano; dhambi na uasi]; usikae

ukisubiri nguvu za Mungu zija kukutoa hapo, bali chukua hatua.

Page 248: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 249: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfano (2);

Kusimamishwa kwa Maji ya Mto Jordan.Joshua 3:1-17

Page 250: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17

Wana wa Israeli, walitaka sana kwenda kumalizia safari yao ya kutoka Misri [Utumwani], kwa

kuuvuka mto Jordan, na kuirithi nchi takatifu, iliyojaa maziwa,

asali na unono mwingi.

Page 251: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17

Lakini kikwazo kingine, kilikuwa ni namna ya kuuvuka mto

Jordan. Mungu akawaambia, Nguvu zangu zipo tayari

kuwasaidia kuvuka, ili mkairithi nchi ya unono mwingi, lakini …

Page 252: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17

‘… Lakini waambie Makuhani, wakanyage maji kwanza, wakiwa wamelibeba lile

sanduku la agano; ndipo na mimi nitaingiza nguvu zangu

kazini, kuzuia maji.

Page 253: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17

Joshua akafanya kama Bwana alivyomwagiza, na maji ya mto

Jordan, yakasimama kama mlima upande wa juu. Na wana

wa Israeli, wakavuka mto wakipita mahali pakavu.

Page 254: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 1:1-17

Tunaona wazi kwamba; Nguvu za Mungu,

hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule, katika ulimwengu

wa mwili, mpaka imani yao ilipoingizwa katika matendo.

Page 255: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Kuna wakati, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,

kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-

isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.

Page 256: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26 Na wewe najua kuna maisha unayatamani sana, maisha ya usafi na utakatifu, unaoshinda

kila aina ya dhambi na uasi. Lakini mbele yako kuna tabia na maisha yanayokuzui, kama mto

Jordan kwa wana wa Israeli.

Page 257: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26 Nafahamu ya kwamba,

umekuwa ukimwomba Mungu na ukimsubiri Mungu

akufungulie njia ya kushinda majaribu na dhambi

zinazokuzunguka na kukuzui kufikia utakatifu wa kweli …

Page 258: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26… wenye kila aina ya baraka na

unono ambao Mungu amekuahidi. Nataka kikwambie kwamba, inawezekana njia ya

kuvuka na kushinda majaribu na dhambi zinazokuzunguka,

inakusubiri wewe na sio Mungu.

Page 259: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiJoshua 1:1-17

Tumeona wazi kwamba; Nguvu za Mungu,

hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule, katika ulimwengu

wa mwili, mpaka imani yao ilipoingizwa katika matendo.

Page 260: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,

kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-

isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.

Page 261: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 262: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Kwa Mfano;Huwezi kukaa unamlilia Mungu

akusaidie usivute sigara tena, wakati unatembea na kiberiti

mfukoni. Utajitia kwenye majaribu mwenyewe.

Page 263: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Kwa Mfano;Huwezi kukaa unamlilia Mungu

akusaidie usinywe pombe tena, wakati unashinda Baa na

umezungukwa na pombe. Unajitia kwenye majaribu.

Page 264: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Huwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usifanye uzinzi tena,

wakati mnashinda wawili wenyewe, nyuma ya mlango uliofungwa. Unajitia kwenye

majaribu wenyewe.

Page 265: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Huwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usifanye maovu tena, wakati unashinda na

marafiki wanaoishi maishi ya uovu, uasi na anasa. Lazima

utatumbukia tu katika maanguko.

Page 266: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiHuwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usipate mke au mume

mtarajiwa wa ajabu-ajabu, wakati unaukakasi wa kwenda

kanisani au makusanyiko ya watakatifu. Lazima utatumbukia tu kwa wayebusi na wagirigashi.

Page 267: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 268: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mithali 1:10 ‘Mwanagu, wenye

dhambi wakikushawishi, wewe usikubali.’

Page 269: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1814 ‘Msifungiwe nira [vifungo] pamoja na wasio amini, kwa jinsi isivyo sawasawa [i.e. ipo jinsi iliyo sawasawa ya kuishi

na wasio amini], ...’

Page 270: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1814 … ‘Kwa maana, pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru

na giza?

Page 271: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1815 ‘Tena pana ulinganifu gani

kati ya Kristo na Beliari [Ufisadi, Uchafu]? Au, yeye aaminiye, ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?

[Hawana sehemu]

Page 272: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1816 ‘Tena pana mapatano gani

kati ya hekalu la Mungu [mwili wako] na sanamu [ushetani]?

Kwa maana sisi [tuliookoka] tu hekalu la Mungu aliye hai, …’

Page 273: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1816 … ‘Kama Mungu alivyo-sema, ya kwamba, Nitakaa

ndani yako, na kati yao nitatembea; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa

watu wangu.

Page 274: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1817 ‘Kwahiyo, tokeni kati yao,

mkatebgwe nao, asema Bwana; msiguse kitu kilicho

kichafu, nami nitawakaribisha’.

Page 275: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

2Wakorintho 6:14-1818 ‘[Ndipo] Nitakuwa Baba

kwenu, nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na

wa kike, Asema BWANA MWENYEZI

Page 276: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26

Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,

kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-

isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.

Page 277: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 278: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Njia za Kujiepusha na Vishawishi;①Weka Mipaka (Stop) Aamua na

Usiivuke mipaka hiyo tena.②Tafuta Marafiki wazuri, na

badilisha mtindo wa maisha.③Inapobidi, Kimbia [Ondoka,

Usiende tena, kwa muda mrefu].

Page 279: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiMathayo 5:29

Jicho lako la kuume, likikukosesha, ling’oe na kulitupa mbali nawe; kwa

maana ni bora kupoteza kiungo kimoja, kuliko kwenda jehanum

ukiwa na mwili mzima wenye viungo kamili.

Page 280: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 281: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mfano (3);

Jaribu la Yusufu na Mke wa Waziri Mkuu [Potifa]

Mwanzo 39:1-20 (12)

Page 282: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20

Kwa jinsi Yusufu, alivyokuwa mzuri wa sura na umbo, mke wa Potifa, akamtamani na kumtaka kulala naye kwa uzinzi. Akafanya hivyo siku nyingi, siku kwa siku, lakini Yusufu hakumpa nafasi,

wala kuongea naye.

Page 283: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiMwanzo 39:1-20

Japo jaribu lilikuwa zito, lakini Yusufu hakuweza kujiepusha na mazingira yale kwasababu ndiko

alipokuwa amepangiwa kama eneo lake la kazi, yeye kama mtumwa tu na si mwajiriwa

ambaye angeweza kuacha kazi.

Page 284: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa

rahisi, kwasababu;1. Hakuweza kujiepusha kwani ndiko alipokuwa amepangiwa

kama eneo lake la kazi.

Page 285: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa

rahisi, kwasababu;2. Yeye Yusufu alikuwa MTUMWA, mtu maskini,

asiye na matumaini ya kuja kutoka na kuwa mtu huru

tena.

Page 286: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa

rahisi, kwasababu;3. Hakupendwa na House-girl,

alipendwa na MKE WA WAZIRI MKUU, maarufu,

mzuri na tajiri Namba Mbili, katika Misri yote.

Page 287: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa rahisi, kwasababu;

4. Yusufu alikuwa Mseja (Bachelor) yaani hana ndoa, (na kiafya ni mzima) hivyo

hana binadamu wa kumtenda kosa la kutoka nje ya ndoa.

Page 288: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa

rahisi, kwasababu;5. Walikuwa wamebaki wao wawili tu katika chumba cha

ndani cha Mkuu wa Nchi.(Siri Kuu – Salama)

Page 289: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20

Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa rahisi, kwasababu;

6. Yusufu angeweza kujitetea kwamba, Kosa si lake; kwamba si yeye aliyemtaka mke wa mtu,

bali ni mke wa mtu kamtaka Yusufu.

Page 290: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa

rahisi, kwasababu;7. Yusufu alitishiwa kupigiwa

kelele za ‘ubakaji’, tena ‘ubakaji’ kwa mke wa Waziri Mkuu. Alijua ni Kifo kinakuja!

Page 291: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20

Kwa wengine wasio na hofu ya Mungu, kwasababu ya umaskini na ukame wa ‘kimapenzi’ katika

maisha yao, si ajabu wangesema;

‘Ooh! Mungu anipe nini sasa …Baraka zenyewe si ndio hizi !!!’

Page 292: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20

Lakini pamoja na ‘fursa’ zote hizo, Yusufu alisema ‘Nitamtendaje Mungu wangu, dhambi kubwa

namna hii?’ Kumbe Yusufu, alitambua nafasi ya Mungu;

Japo hana mke wa kumtubia, lakini alijua ana Mungu wa

Kumtubia.

Page 293: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20

Biblia inasema, Yusufu akakimbia na kusema kama Shad, Mesh na Abed, kwamba; ‘liwalo na liwe,

‘Siwezi kumtenda Mungu wangu, dhambi kubwa namna

hii?’ Yusufu, alitambua nafasi ya Mungu, katika maisha yake’.

Page 294: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiDanieli 3:1-20

Shad, Mesh na Abed wakasema, ‘Mungu anaweza kutuokoa na

mkono wako ee Mfalme na huu moto pia. Lakini tukifa, na

tufie mikononi mwa Mungu wetu kuliko kumtenda dhambi

hii’.

Page 295: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20Biblia inasema;

Yusufu ‘akatimua mbio’

akisema; ‘liwalo na liwe, ‘Siwezi kumtenda Mungu wangu,

dhambi kubwa namna hii?’

Page 296: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiMathayo 5:29

Jicho lako la kuume, likikukosesha, ling’oe na kulitupa mbali nawe; kwa

maana ni bora kupoteza kiungo kimoja, kuliko kwenda jehanum

ukiwa na mwili mzima wenye viungo kamili.

Page 297: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

Mwanzo 39:1-20Huwezi kukaa unamlilia Mungu

akusaidie usifanye uzinzi tena, wakati unakubali kutengeneza mazingira ya kushikwa-shikwa,

wakati eti unajidai kukemea kimoyo-moyo!

Page 298: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

Mwanzo 39:1-20Kuna dhambi za kukemea na

kuna dhambi za kukimbia.Huwezi kuwa gangwe mbele ya

dhambi ukamshinda Samsoni na Mfale Sulemani.

Kimbia wewe, acha utani!

Page 299: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

Mwanzo 39:1-20Itakusaidia nini wewe kuupata

ulimwengu wote, unapata hasara ya roho yako? Halafu

unakufa na unakwenda jehanum ya moto?(Mathayo 16:26)

Page 300: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

“Kwani, atafaika nini mtu, akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake?Au Mtu atatoa nini badada ya

nafsi yake?”Mathayo 16:26

Page 301: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

32 Kwa maana mlistahimili mashindano makubwa ya

maumivu 33 pindi mlipoteswa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale

waliotendewa hayo, … (Waebrania 10:34)

Page 302: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi… mliwaonea huruma wale

waliokuwa katika vifungo, tena mkakubali kwa furaha,

kunyang’anywa mali zenu, mkijua kwamba, nafsini mwenu,

mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo. (Waebrania 10:34)

Page 303: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi‘… Kwa kitambo kidogo,

mmehuzunishwa kwa majaribu ya aina mbalimbali, ila kwa sasa

mnafurahi sana … Kujaribiwa kwa imani yenu, kwasababu ina

thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo. (1Petro 1:5-7)

Page 304: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi4 ‘Hamjafanya vita [na dhambi

hata kumwagika damu, mkishindana na dhambi. 5 Tena mmeyasahau yale maonyo. Basi usizimie moyo, ukikemewa naye

6 yeye ambaye Bwana humpenda, humwadhibu.

(Waebrania 12:4-6)

Page 305: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi25 ‘Je! Hamjui ya kuwa wale

washindanano katika michezo, hujizui katika yote? Wao hufanya

hivyo ili wapokee taji iharibikayo, lakini sisi hujizuia na

kushinda, ili tupokee taji isiyoharibika. (1Korintho 9:24-25)

Page 306: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindi

35 ‘… Basi [kama vile Shad, Mesh, Abed na Yusufu]

msiutupe Ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu [kuliko dhahabu ya dunaia ipoteayo]’.

(Waebrania 10:34-35)(1Petro 1:5-7)

Page 307: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18

Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za

kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza

kukuingiza ktk kufanya makosa.

Page 308: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Ushindi Juu ya Dhambi

Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili

pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,

pia imekufa.

Page 309: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3)Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4)Kubadilisha Mtazamo (Efe 1:18-19)(5)Kuamuru na Kutabiri (Mark 11:23)(6)Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(7)Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1-9)

Page 310: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 311: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu

katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi

wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.

Page 312: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

USHINDI DHIDI YA DHAMBI

Warumi 8:5-11

Page 313: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,

lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.

Page 314: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,

wala haiwezi kuitii.

Page 315: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.

Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.

Page 316: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11

10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu

imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi

hai kwa sababu ya haki.

Page 317: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu

aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili

yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.

Page 318: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI

Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14

11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;

Yaani “Mtakatifu”

Page 319: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-1412 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya

miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii

tamaa mbaya.

Page 320: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 14 Kwa maana dhambi

haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo

chini ya sheria, bali chini ya neema.

Page 321: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

Page 322: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 323: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

1Yoh 5:4, Rum 8:37

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 324: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha

ya utumwa juu ya dhambi.

Page 325: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa

Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya

Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?

Page 326: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani

Page 327: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

BAADA YA DHAMBI

Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 328: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

BAADA YA WOKOVU

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 329: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

VITA YA MWILI NA ROHO

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 330: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa

Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya

Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?

Page 331: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21

Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Hivyo, ukikosea

kujiona, utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa

hayo, yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na kukusaidia kushinda dhambi.

Page 332: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;

Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo

mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya

neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)

Page 333: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

UTU MPYA WA KRISTO

Warumi 8:5-12Ikiwa roho zetu zina uwezo wa Ki-

Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya Utakatifu, ni

kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa Nguvu za Mungu

unaowezesha ushindi huo?

Page 334: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha

ya utumwa juu ya dhambi.

Page 335: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21

Moja ya sababu, kwanini watu wa Mungu wanashindwa na

dhambi, ni kutokana na watu wa Mungu kutozingatia Kanuni za

Sheria ya Roho na Uzima.(Warumi 8:1-2)

Page 336: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBISheria ya Roho wa Uzima

(Warumi 8:1-2) 1. Kula Vizuri Kiroho (1Pet 2:2)

Mwili wako unashindana na roho; mwenye nguvu zaidi

[anayelishwa chakula chake zaidi] ndiye atakayemtawala

mwenzake (Gal 5:16-23).

Page 337: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

VITA YA MWILI NA ROHO

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 338: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

USHINDI JUU YA DHAMBISheria ya Roho wa Uzima

(Warumi 8:1-2)

1. Kula Vizuri Kiroho (1Pet 2:2)2. Epuka Vishawishi (Mith1:10)3. Vunja roho ya Utumwa wa dhambi na matezo. (Isa 52:2)

Page 339: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

Page 340: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako

ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 341: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 342: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

NGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Page 343: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Page 344: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe

(Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

www.mgisamtebe.org