Upload
others
View
8
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA
HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA
HESABU ZA SERIKALI
KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI
YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017
2
YALIYOMO
SURA YA KWANZA……………………………………………………………………….……………...3
1.0 UTANGULIZI .............................................................................................. 3
1.1 MAJUKUMU YA OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ......... 3
1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI ........................................................... 4
1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI ........................................................................ 5
1.4 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ....................... 7
1.5 UMUHIMU WA KUFANYA UKAGUZI .............................................................................. 7
1.6 SHUKURANI ............................................................................................................... 8
SURA YA PILI……………………………………………..………………………………………….....3
2.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017 ........................................... 9
2.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 ....... 9
2.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 KWA AJILI YA UKAGUZI
9
2.3 AINA YA HATI ZA UKAGUZI ........................................................................................ 12
SURA YA TATU……………………………………………..…………………………………………...3
3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI WA HESABU ZA MASHIRIKA NA
TAASISI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ................................................ 15
3.1 UKAGUZI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 ......................................... 15
3.2 SHIRIKA LA MAGAZETI .............................................................................................. 15
3.3 SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC) ................................................................. 22
3.4 CHUO CHA KILIMO – KIZIMBANI ................................................................................ 30
3.5 MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR (ZAWA) ........................................................................ 37
3.6 MAMLAKA YA VITEGA UCHUMI ZANZIBAR (ZIPA) ........................................................ 43
3.7 CHUO CHA UTAWALA WA UMMA - IPA ........................................................................ 49
3.8 CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR (ZITOD) ............................................... 55
3.9 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI. ............................................................................. 62
3.10 CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA) ................................................................ 68
3.11 SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA .................................................................................. 74
3.12 SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR ................................................................................ 87
3.13 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA ZANZIBAR – ZSTC ..................................................... 92
3.14 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA LA ZANZIBAR (ZSTC) TAWI LA DAR ES SALAAM ........ 102
3.15 MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR ......................................................... 103
3.16 MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI ZANZIBAR (ZURA) ........... 111
3
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA
SERIKALI KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI
YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - KWA MWAKA WA FEDHA
2016/2017
SURA YA KWANZA
1.0 UTANGULIZI
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kukagua hesabu zote
za Serikali, Mashirika ya Umma ,Taasisi za umma pamoja na Miradi mbali mbali ya
maendeleo na baadae kutoa taarifa za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hiyo itaeleza
udhibiti na uhifadhi wa fedha na mali za Umma.
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112(5) Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kuwasilisha kila taarifa ya ukaguzi
wa hesabu atakazotoa kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 112(3) cha Katiba.
Kutokana na mabadiliko ya kazi za ukaguzi kumekuwa na mafanikio makubwa
katika utendaji na uwajibikaji katika sekta za umma kwenye matumizi ya rasilimali
za umma. Aidha, kuimarika kwa mfumo wa fedha pamoja na utekelezaji wa sheria
za fedha na manunuzi za umma kumechangia kwa kuimarika kwa uwazi na
uwajibikaji katika taasisi za Serikali pamoja na utekelezaji wa miradi mbali mbali ya
maendeleo na kuleta tija kwa wananchi.
1.1 MAJUKUMU YA OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU
ZA SERIKALI
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua
hesabu za Taasisi za Serikali na baadae kutoa taarifa zake za ukaguzi huo kila
mwaka. Taarifa hizo zitaelezea hali halisi za mapato na matumizi ya fedha kutoka
Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na utekelezaji
wa sheria mbali mbali zikiwemo sheria za fedha, sheria za manunuzi na sheria
nyenginezo.
4
Kwa mujibu wa kifungu 112 (3) cha Katiba ya Zanzibar 1984,Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu anawajibika kufanya yafuatayo:-
“a) Kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu
wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, matumizi yake yameidhinishwa
kisheria na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo basi
ataidhinisha fedha hizo zitolewe.
b) Kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa
yanatokana na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa
na Baraza la Wawakilishi, na ambazo zimetumika kwa ajili ya shughuli zilizohusika na
matumizi ya fedha hizo na kwamba matumzi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini
iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na
c) Angalau mara moja kwa kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya
ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu zinazosimamiwa na
watumishi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu za Mahkama zote za
Zanzibar, hesabu za Tume au vyombo vyengine vilivyoanzishwa na Katiba hii na
hesabu zozote zinazohusika na Baraza la Wawakilishi. ”
Ukaguzi wa hesabu umefanywa kwa kuzingatia miongozo na vigezo mbali mbali vya
ukaguzi ili kukidhi matarajio ya wadau wetu na wananchi kwa ujumla. Ofisi ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendelea kufanya uchambuzi wa
njia bora zaidi kwa kufanya ukaguzi utakaoleta tija na kuongeza wigo na maeneo
yanayokaguliwa kwa lengo la kuimarisha utendaji na uwajibikaji katika sekta za
umma.
1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI
Ripoti hii imekusanya taarifa za ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar yakiwemo Mashirika ya Umma na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa
kuzingatia taarifa za mapato na matumizi ambazo zimeelezwa kwenye taarifa za
ukaguzi zilizotumwa kwa Taasisi husika.
Ukaguzi ulifanyika kwa mujibu wa viwango vya kimataifa vya taasisi kuu za ukaguzi
(ISSAIs) ili kutoa uhakika kama taarifa za fedha zinaonyesha sura halisi. Taratibu za
5
ukaguzi zinajumuisha uchambuzi na kumbukumbu za taarifa mbali mbali, mifumo ya
udhibiti wa ndani, mifumo ya taarifa za kisheria zinazosimamia uendeshaji wa taasisi
zilizokaguliwa.
Taarifa hizo zinaonesha kwa muhtasari matokeo ya ukaguzi uliofanyika kwa misingi
ya sampuli, kwa hivyo matokeo ya ukaguzi kwa kiasi kikubwa yalitegemea
kumbukumbu za taarifa na nyaraka tulizoziomba na kuwasilishwa kwa ajili ya
kufanya ukaguzi.
Taarifa hizo zilijumuisha hesabu za mwisho wa mwaka ambapo ziliandaliwa kwa
mujibu wa viwango vya kitaifa na kimataifa vya uhasibu kwa sekta ya umma.
Taarifa hizo ni kama zifuatazo: -
I. Mizani ya Hesabu
II. Taarifa ya Mapato na Matumizi
III. Taarifa kuhusu mabadiliko ya mtaji
IV. Taarifa ya mtiririko wa fedha
V. Taarifa ya uwiano wa bajeti na kiasi halisi cha matumizi
VI. Sera za uhasibu na maelezo ya taarifa za fedha
1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI
Katika kufanya ukaguzi wa Hesabu kwa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali
tulizingatia taratibu za ukaguzi zifuatazo: -
i. Kutoa barua za kushiriki ukaguzi kwa taasisi inayokaguliwa kabla ya kuanza kazi
za ukaguzi inayoeleza madhumuni na upeo wa ukaguzi, maeneo yanayotarajiwa
kufanya ukaguzi na kuelezea majukumu ya ukaguzi kwa mkaguzi (Engagement
Letter).
ii. Kuandaa mkakati na ujumla wa ukaguzi unaonesha muelekeo mzima wa ukaguzi,
vigezo vitakavyotumika katika hatua za mwanzo za kutathmini Mashirika ya
Umma na Taasisi za Serikali zinazokaguliwa.
iii. Kufanya kikao cha kuanza kazi za ukaguzi (Entrance Meeting) ambapo katika
kikao hicho uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali zinazokaguliwa
kwa lengo la kupata uelewa kabla ya kuanza kazi za ukaguzi.
6
iv. Kujadiliana na uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali kuhusu
utekelezaji na utendaji kwa kipindi cha mwaka husika.
v. Kupitia na kuhakiki nyaraka mbalimbali kwa ajili ya kupata uelewa wa shughuli za
Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali.
vi. Kutumia njia na mbinu nyingine za ukaguzi kama ilivyoainishwa kwenye
muongozo wa ukaguzi (Regularity Audit Manual).
vii. Kutoa ripoti ya ukaguzi mawazo kwa uongozi ambayo itakuwa inaonyesha
kilichobainika wakati wa ukaguzi na kutoa nafasi kwa uongozi kutoa maelezo
kuhusu ripoti hiyo.
viii. Kutoa rasimu ya ripoti ya ukaguzi kwa uongozi inayoeleza hoja za ukaguzi
zilizobainishwa na kutoa muda kwa uongozi kuweza kujibu hoja hizo.
ix. Kufanya kikao cha mwisho (Exit Meeting) na mkaguliwa baada ya kumaliza
ukaguzi ambapo katika kikao hicho hupitia kwa pamoja hoja zilizojitokeza wakati
wa ukaguzi.
x. Kutoa ripoti ya mwisho kwa uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali
inayoonesha matokeo ya ukaguzi ikiwemo hoja za ukaguzi na kutoa nafasi kwa
uongozi na mkaguliwa kuweza kujibu hoja hizo.
xi. Kutoa ripoti ya ukaguzi kwa uongozi inayoonesha hati ya ukaguzi aliyopata
mkaguliwa kuhusiana na taarifa za fedha.
Aidha mbinu za kuangalia viashiria vya maeneo hatarishi katika Mashirika ya Umma
na Taasisi za Serikali zilizokaguliwa zilitumika katika ukaguzi ambapo mbinu hizi za
ukaguzi zinasisitiza haja ya kuelewa kwa kina mazingira ya taasisi inayokaguliwa
ikiwemo mfumo wa udhibiti wa ndani, kutathmini vihatarishi na kubaini viashiria
vitakavyoathiri udhibiti wa ndani.
Mbinu za ukaguzi zinatekelezwa kwa kutumia muongozo na utaratibu wa ukaguzi, ili
kuhakikisha kwamba mbinu za ukaguzi zinaenda na wakati ambapo Ofisi inafanya
mapitio ya muongozo wa utaratibu na ukaguzi kila mwaka kwa kuimarisha ukaguzi
na kuhakikisha kwamba mabadiliko yoyote muhimu yanajitokeza katika fani ya
ukaguzi na uhasibu pamoja na mabadiliko ya mifumo ya sheria yanazingatiwa
ipasavyo.
Aidha utendaji wa mashirika ya umma na taasisi za Serikali zilizokaguliwa
umeangaliwa na kuonesha viwango vya kiutendaji kifedha na kiuendeshaji. Utendaji
7
wa kifedha umepimwa kwa kuangalia faida au hasara iliyopatikana kwa kipindi cha
mwaka husika. Utendaji wa kiuendeshaji umepimwa kwa kuangalia ni kwa kiasi gani
taasisi imeweza kufikia malengo yake ya msingi.
1.4 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA
SERIKALI
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua
hesabu za Mashirika ya Serikali pamoja na Taasisi za Serikali kama ilivyoainishwa
katika Katiba ya Zanzibar,1984 na sheria nyenginezo na baadae kutoa taarifa zake
za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hizo zitaelezea hali halisi za mapato na
matumizi ya fedha pamoja na utekelezaji wa sheria mbali mbali zikiwemo sheria za
fedha, sheria za manunuzi na sheria nyenginezo.
Baada ya kumaliza ukaguzi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
anawajibika kutoa maoni juu ya hesabu hizo na kuonesha hali halisi ya taarifa za
hesabu iwapo zinatoa sura sahihi na halisi kwa kipindi kilichokaguliwa. Maoni hayo
yatahusiana na mambo yafuatayo: -
i. Kutoa ushauri juu ya mambo yanayohitaji kufanyiwa marekebisho kuhusiana
na shughuli za Taasisi zinazokaguliwa.
ii. Kuzuia na kupunguza matumizi ya Fedha za umma yasiyokua na tija
iii. Kuongeza makusanyo na kuzuia upotevu wa fedha na rasilimali za umma.
iv. Kuzuia hasara au kutoa tahadhari juu ya hasara inayoweza kutokea kwa
uzembe, upotevu,kukosa uaminifu,udanganyifu au rushwa kuhusiana na
fedha au rasilimali za umma.
v. Kuongeza uchumi, tija na ufanisi katika kutumia fedha za umma.
1.5 UMUHIMU WA KUFANYA UKAGUZI
Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kumuwezesha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali kutoa maoni ya ukaguzi huru kuhusiana na hesabu za Taasisi
zilizokaguliwa ikiwemo Wizara, Idara, Wakala wa Serikali pamoja na Mamlaka mbali
mbali za Serikali. Vile vile kubaini kwamba hesabu hizo kama zinatayarishwa kwa
kuzingatia viwango vya kitaifa na kimataifa vya Uhasibu katika sekta ya umma au
kwa viwango vya kimatifa vya taarifa za fedha. Ufanisi wa ukaguzi unategemea
mawasiliano mazuri na uongozi wa taasisi inayokaguliwa.
8
Aidha tunahakikisha kwamba ukaguzi tunaofanya unalenga kutoa kipaombele katika
maeneo muhimu ili kuchangia maendeleo katika sekta za umma na hatimae
kuimarisha maendeleo ya wananchi kwa ujumla.
Ni imani yangu kwamba kuimarika kwa kazi za ukaguzi kutaongeza na kuimarisha
uwazi na uwajibikaji katika mapato na matumizi ya fedha na rasilimali za umma na
tunategemea ufanisi na tija vinapatikana kwa kila rasilimali itakayotumika kwa ajili
ya maendeleo ya wananchi na taifa kwa jumla.
1.6 SHUKURANI
Napenda kutoa shukurani kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyengine
kuanzia kazi za ukaguzi, ufuatiliaji maeneo mbali mbali yaliyokaguliwa hadi
kukamilika kwa ripoti hii ya ukaguzi ya mwaka 2016/2017.
Aidha, natoa shukrani zangu za dhati kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa
jitihada mbali mbali zinazochukuliwa katika kuimarisha Ofisi hii kiutendaji na
watendaji kwa ujumla. Vile vile napenda kuwapongeza na kuwashukuru
wafanyakazi wote wa Ofisi hii kwa juhudi zao wanazochukuwa hadi kufanikisha
kukamilika kwa ripoti hii kwa wakati.
Hali kadhalika, ninawashukuru viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar na watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali kwa
mashirikiano mazuri wanayotupa wakati wa kutekeleza kazi zetu za ukaguzi.
Mwisho, ninapenda kuishukuru Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za
Serikali (PAC), Kamati ya Sheria,Utawala Bora na Idara Maalum za Baraza la
Wawakilishi na wengineo kwa ujumla wao wamechangia maendeleo makubwa
yaliyopatikana katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.
……………………………
FATMA MOHAMED SAID
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
ZANZIBAR
9
SURA YA PILI
2.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017
Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 imebainika kwamba uwekaji wa
kumbukumbu na taarifa mbali mbali za hesabu ikiwemo fedha na rasilimali za umma
pamoja na udhibiti wa ndani umeimarika.
2.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA
2015/2016
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu imekuwa ikitoa ripoti zenye ushauri na
mapendekezo mbalimbali katika usimamizi wa matumizi ya rasilimali za umma kwa
lengo la kuwa na utawala bora unaoheshimu sheria za fedha na manunuzi na sheria
nyenginezo.
Kufuatia tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa tumebaini kwamba
mapendekezo yaliyotolewa katika ripoti za ukaguzi za mwaka uliopita 2015/2016
yamefanyiwa kazi na kuonesha matumaini ya kuimarika kwa nidhamu ya matumizi ya
fedha na rasilimali za umma.
Tunapongeza juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika
kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na kupelekea
kuimarika kwa utendaji na uwajibikaji katika Mashirika na Taasisi za umma.
Hata hivyo kumejitokeza dosari za usimamizi wa fedha na ukiukwaji wa sheria za fedha
na manunuzi ya umma kwa baadhi ya Mashirika na Taasisi na kupelekea mapungufu
katika hesabu za mwisho wa mwaka.
2.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 KWA
AJILI YA UKAGUZI
Kwa mujibu wa kifungu namba 119(1) cha sheria ya usimamizi wa Fedha za Umma
Namba 12 ya mwaka 2016 inazitaka Taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa
kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu za mwaka,
zinazojumuisha Mapato na matumizi ya Taasisi husika. Aidha kifungu Namba 119(2) cha
sheria hiyo, kinawataka wasimamizi wa fedha katika Taasisi za Serikali kuwasilisha kwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka
ndani ya miezi mitatu baada ya kukamilika kipindi cha mwaka.
10
Tunatoa pongezi kwa Mashirika na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa jitihada
walizochukuwa za kuwasilisha hesabu za mwisho wa mwaka kwa mujibu wa sheria.
Uwasilishwaji wa hesabu za mwisho wa mwaka kwa ajili ya ukaguzi kutoka kwa
Mashirika na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kama ifuatavyo: -
Nam Fungu Shirika/Taasisi Tarehe iliyowasilishwa kwa
ukaguzi
2015/2016 2016/2017
1. Ruzuku Shirika la Magazeti 30/09/2016 29/09/2017
2. Ruzuku Shirika la Utangazaji
Zanzibar
26/07/2016 29/09/2017
3. Ruzuku Chuo cha Kilimo
Kizimbani
27/09/2016 29/09/2017
4. Ruzuku Mamlaka ya Maji (ZAWA) 29/09/2016 28/09/2017
5. Ruzuku Mamlaka ya Vitega
Uchumi Zanzibar(ZIPA)
30/09/2016 27/09/2017
6. Ruzuku Chuo cha Utawala wa
Umma
30/09/2016 29/09/2017
7. Ruzuku Chuo cha Maendeleo ya
Utalii
30/09/2016 27/09/2017
8. Ruzuku Chuo cha Uandishi wa
Habari
30/09/2016 28/09/2017
9. Ruzuku Chuo cha Sayansi za Afya
Zanzibar
09/11/2016 06/10/2017
10. Ruzuku Chuo Kikuu cha Taifa
(SUZA)
27/09/2016 28/09/2017
11. Ruzuku Mamlaka ya Uvuvi wa
Bahari Kuu
29/09/2016 29/09/2017
11
12. Linajitegemea Shirika la Bandari 09/09/2016 28/09/2017
13. Ruzuku Shirika la Meli na
Uwakala
27/09/2016 29/09/2017
14. Linajitegemea Shirika la Biashara la
Taifa (ZSTC)
Haikuwasilishwa
kwa wakati
01/02/2018
12
2.3 AINA YA HATI ZA UKAGUZI
Hati za ukaguzi zinatolewa kutokana na matokeo ya ukaguzi ambapo hati hizo huonesha
aina ya hati inayotolewa kulingana na taarifa za hesabu zililizokaguliwa zenye
kuonyesha hali halisi ya hesabu hizo.
Aina tofauti ya hati za ukaguzi zinatolewa kwa mazingira tofauti kulingana na usahihi wa
hesabu zilizokaguliwa. Hati zenyewe ni kama zifuatazo:-
Hati inayoridhisha, Hati isiyoridhisha, Hati yenye mashaka na Hati mbaya.
Hati inayoridhisha
Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kutokana na kukidhi
viwango vilivyotumika katika uandaaji wa hesabu, usahihi wa taarifa pamoja na
ushahidi uliopatikana wakati wa ukaguzi, na kupelekea kutoa sura sahihi na halisi ya
hesabu hizo.
Hati isiyoridhisha
Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kwamba taarifa za hesabu
zilizoandaliwa imebainika kuwa zina dosari kubwa na za umuhimu, dosari ambazo
zinaweza kusababisha taarifa za hesabu kupoteza uhalisia wake na hivyo kutoaminiwa
na kupelekea kutokuonyesha sura sahihi na halisi ya hesabu hizo.
Hati yenye shaka
Hati ya aina hii hutolewa baada ya Ukaguzi kujiridhisha kuwa, kulingana na ushahidi wa
kiukaguzi mambo yafuatayo yamejitokeza.
Taarifa za fedha zilizoandaliwa zina dosari kubwa ambazo zinaweza kuathiri hesabu
endapo zikichukuliwa aidha moja baada ya moja au kwa ujumla wake kwenye taarifa
hizo haitoweza kuleta sura sahihi na halisi za hesabu hizo.
Pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata taarifa, nyaraka na vielelezo vya kutosha
vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kwa hesabu
hizo.
Kuwepo kwa kiasi kikubwa cha mapato na matumizi yasiyokua na nyaraka muhimu
na kufanya matumizi bila ya kuwa na kibali halali au matumizi ya mapato ambayo
hayakuidhinishwa kutumika.
13
Kutozingatiwa kwa Sheria na kanuni mbalimbali ambapo kunapelekea madhara
makubwa ambayo yanaweza kusababisha kutokutoa sura sahihi na halisi ya hesabu
hizo kwa mfano, kuwa na vitu ambavyo vilitakiwa kuripotiwa kwenye taarifa za
hesabu lakini havikuripotiwa na manunuzi ya vifaa hayakufuata Sheria na kanuni za
manunuzi.
Kufanya matumizi ambayo hayakuleta tija kwa Taasisi husika.
Kutofanyika kwa usuluhisho wa benki hali inayopelekea kushindwa kupata usahihi
wa salio la fedha mwishoni mwa mwaka wa fedha.
Hati mbaya
Hati hii hutolewa pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata nyaraka na vielelezo vya
kutosha wakati wa ukaguzi ili kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kutokana na mapungufu
yaliyojitokeza na kushindwa kugundua mambo ambayo yanaweza kusababisha madhara
makubwa katika Mashirika na Taasisi.
Hati zilizotolewa ni kama ifuatavyo: -
Nam Fungu Shirika/Taasisi Aina ya Hati
iliyotolewa
2015/2016
1. Ruzuku Shirika la Magazeti Hati inayoridhisha
2. Ruzuku Shirika la Utangazaji Zanzibar Hati inayoridhisha
3. Ruzuku Chuo cha Kilimo Kizimbani Hati inayoridhisha
4. Ruzuku Mamlaka ya Maji (ZAWA) Hati inayoridhisha
5. Ruzuku Mamlaka ya Vitega Uchumi
Zanzibar(ZIPA)
Hati inayoridhisha
6. Ruzuku Chuo cha Utawala wa Umma Hati inayoridhisha
7. Ruzuku Chuo cha Maendeleo ya Utalii Hati inayoridhisha
8. Ruzuku Chuo cha Uandishi wa Habari Hati inayoridhisha
14
9. Ruzuku Chuo cha Sayansi za Afya
Zanzibar
Hati inayoridhisha
10. Ruzuku Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA) Hati inayoridhisha
11. Ruzuku Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu Hati inayoridhisha
12. Linajitegemea Shirika la Bandari Hati inayoridhisha
13. Ruzuku Shirika la Meli na Uwakala Hati inayoridhisha
14. Ruzuku Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) Hati inayoridhisha
15
SURA YA TATU
3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI WA HESABU ZA MASHIRIKA
NA TAASISI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Ukaguzi uliofanyika katika Mashirika na Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar imebainika kujitokeza kwa dosari za kiutendaji kwa baadhi ya Mashirika na
Taasisi hizo ambapo hoja mbali mbali za ukaguzi ziliainishwa katika ripoti za ukaguzi
zilizotolewa kwa Mashirika na Taasisi hizo na baadhi ya hoja hizo zilipatiwa maelezo na
vielelezo vilivyokosekana wakati wa ukaguzi.
3.1 UKAGUZI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
Ukaguzi wa hesabu za mwisho wa mwaka 2016/2017 umebaini kwamba kumekuwa na
mabadiliko makubwa katika uwekaji wa kumbukumbu za hesabu pamoja na udhibiti
mzuri wa rasilimali za umma na kupelekea mafanikio katika ufungaji wa hesabu za
mwisho wa mwaka kwa Mashirika na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Matokeo ya ukaguzi wa hesabu hizo kwa Mashirika na Taasisi za Serikali pamoja na
maoni ya ukaguzi wa hesabu hizo ni kama ifuatavyo: -
3.2 SHIRIKA LA MAGAZETI
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Shirika la Magazeti lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 550,000,000 katika kipindi
cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ukusanyaji wa mapato ulikuwa ni
shilingi 932,581,775 sawa na asilimia 169 ya makadirio.
Mapato ya Shirika la Magazeti yamepungua kutoka shilingi 1,369,924,774 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 932,581,775 kwa mwaka 2016/2017 kukiwa na
upungufu wa shilingi 437,342,999 sawa na asilimia 32 ya upungufu.
Taarifa ya matumizi
Shirika la Magazeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia
jumla shilingi 1,075,592,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia Juni 2017, jumla ya
950,086,500 zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 88.3 ya makadirio.
16
Matumizi ya Shirika la Magazeti yameongezeka kutoka shilingi 616,889,381 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 950,086,500 kwa mwaka 2016/2017 kukiwa na
ongezeko la shilingi 333,197,119 sawa na asilimia 54 ya ongezeko.
17
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017.
THE CORPORATION OF GOVERNEMENT NEWSPAPERS (CGN)
AS AT 30TH JUNE 2017
18
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Shirika la Magazeti lina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima zake za mpito.
Hata hivyo kupungua kwa mali za mpito kumeathiri uwiano wa dhima za mpito ambapo
mazingatio ya kina yanahitajika ili Shirika liweze kumudu dhima zake za mpito.
2016/2017 2015/2016
Mali za mpito 446,286,448 600,362,509
Dhima za mpito 353,885,564 362,473,034
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za mpito / Dhima za mpito
1.3:1 1.6:1
19
THE CORPORATION OF GOVERNEMENT NEWSPAPERS (CGN)
AS AT 30TH JUNE 2017
20
Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Magazeti limepata hasara ya shilingi
140,549,909 kwa mwaka 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha 2015/2016 Shirika
lilipata faida ya shilingi 3,810,751. Ukaguzi umebaini kwamba hasara hiyo inaweza
kuongezeka iwapo hatua za kupunguza gharama za uendeshaji hazitochukuliwa.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA
Uwezo wa Shirika katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Shirika kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 932,581,775 883,221,624
Ruzuku kutoka Serikalini 544,979,750 486,703,150
Mapato yote 1,477,561,525 1,369,924,774
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na shirika kwa mapato yote
63.1 64.5
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini
36.9 35.5
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kujitegemea kupitia
vyanzo vyake vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 63.1 kwa mwaka wa
fedha 2017 ukilinganisha na asilimia 64.5 kwa mwaka wa fedha 2016.
Shirika linapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kupunguza utegemezi
kutoka Serikalini.
21
Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 932,581,775 883,221,624
Jumla ya gharama za uendeshaji 877,087,146 1,366,114,230
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
1.06:1 0.65:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.65:1 kwa
mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 1.06:1 kwa mwaka 2016/2017. Ukaguzi
unashauri uongozi wa Shirika la Magazeti kuongeza jitihada katika ukusanyaji na
usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Shirika liweze
kujiendesha kibiashara.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Magazeti kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Magazeti limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2017.
22
3.3 SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Shirika la Utangazaji lilikusanya jumla ya shilingi 853,236,998.05 kutoka katika vianzio
vyake vya ndani. Aidha Shirika la Utangazaji lilipata ruzuku ya shilingi 2,099,976,077.
Mapato ya Shirika la Utangazaji Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 2,262,200,453
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,953,213,075 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa
ni ongezeko la shilingi 691,012,622 sawa na asilimia 31.
Taarifa ya Matumizi
Shirika la Utangazaji kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia jumla ya
shilingi 1,739,536,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 kiasi cha shilingi
2,412,141,176 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 78 ikiwa
na upungufu wa jumla ya shilingi 384,271,780 ambapo ni sawa na asilimia 22 ya
makadirio.
Matumizi ya Shirika la Utangazaji yameongezeka kutoka shilingi 2,292,912,196.29 kwa
mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,868,586,433 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni
ongezeko la shilingi 575,674,236.71 sawa na asilimia 25.
23
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
24
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 502,848,138 543,642,228
Dhima za mpito 644,153,851 990,265,055
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
0.8:1 0.5:1
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hata hivyo Shirika la Utangazaji halina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima
zake za mpito.
25
26
Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Utangazaji Zanzibar limepata hasara ya shilingi
254,681,258 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 270,179,901 kwa mwaka
wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shilingi 15,498,643 sawa na asilimia 5.7 ya
hasara kwa mwaka uliopita.
Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara
iwapo Shirika litachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na
kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA
Uwezo wa shirika katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Shirika kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 853,236,998 552,545,818
Ruzuku kutoka Serikalini 2,099,976,077 1,709,654,635
Mapato yote 2,953,213,075 2,262,200,453
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na shirika kwa mapato yote 28.9 24.42
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini 71.1 75.58
Uchambuzi wa mapato ya Shirika unaonyesha kuwa Shirika linategemea zaidi ruzuku
kutoka Serikalini ambayo ni sawa na asilimia 71.1 ya mapato yake yote kwa mwaka wa
fedha 2016/2017. Shirika linapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa
mapato ili kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
27
Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 853,236,998 552,545,818
Jumla ya gharama za uendeshaji 3,207,894,333.40 2,588,654,615.29
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.27:1 0.21:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.21:1 kwa
mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.27:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Utangazaji kuongeza jitihada katika ukusanyaji
na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Shirika
liweze kujiendesha kibiashara.
MATOKEO YA UKAGUZI
3.3.1 Malipo yaliyolipwa kinyume na makubaliano ya Mkataba shilingi
17,426,485
Ukaguzi umebaini kwamba Shirika la Utangazaji limefanya malipo kupitia hati namba
7/2 kwa hundi namba TT yenye thamani ya shilingi 17,426,485 iliyolipwa kwa kampuni
ya Nangara Traders Limited kupitia mkataba wa makubaliano ya utengenezaji wa Studio
namba 4 iliyopo Rahaleo na ndugu Mark Evans mnamo tarehe 10/01/2017 ambapo
mkataba huo utadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja kutoka tarehe 18 Novemba 2016
hadi tarehe 18 Novemba 2017.
Kwa mujibu wa mkataba huo malipo hayo yalipaswa kulipwa kwa kampuni ya Nangara
Traders Limited kupitia Hesabu namba NMB 21203500116 kwa awamu mbili tofauti,
awamu ya mwanzo yatalipwa shilingi 9,000,000 na awamu ya pili yatalipwa fedha yote
iliyobakia.
28
Hadi ukaguzi unakamilika jumla ya shilingi 17,426,485 zimebainika kulipwa kinyume na
utaratibu, ambazo zimepelekea kubainika kwa dosari mbali mbali za kiutendaji katika
mkataba huo pamoja na njia za ulipwaji wa malipo hayo kama zifuatazo:-
Kasoro zilizojitokeza
Malipo yaliyolipwa awamu ya mwanzo kupitia hati namba 7/2 ya tarehe 08/02/2017
yalikuwa shilingi 17,426,485 ambapo makubaliano yalimtaka ZBC kufanya malipo ya
shilingi 9,000,000.
Mkataba huo uliandaliwa kwa upande mmoja tu wa Shirika la Utangazaji, na
hakukuwa na uhusiano wa upande wa pili.
Tarehe halisi za ufungwaji wa mkataba huo haziendani na uhalisia, kwani imebainika
mkataba umefungwa tarehe 10/01/2017 lakini muda wa mkataba utaanza tarehe 18
Novemba 2016 na kumalizika tarehe 18 Novemba 2017 malipo ya awamu ya
mwanzo yamelipwa tarehe 08/02/2017.
3.3.2 Malipo yaliyolipwa kinyume na makubaliano ya Mkataba shilingi
19,512,008
Ukaguzi umebaini Shirika la Utangazaji limefanya malipo kupitia hati namba 24/1 kwa
hundi namba TT yenye thamani ya shilingi 19,512,008 iliyolipwa kwa kampuni ya
Nangara Traders Limited kupitia mkataba wa makubaliano ya utengenezaji wa Studio
namba 3 iliyopo Rahaleo na ndugu Mark Evans mnamo tarehe 03/01/2017 ambapo
mkataba huo utadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja kutoka tarehe 03 January 2017
hadi tarehe 03 February 2018.
Kwa mujibu wa mkataba huo malipo hayo yalipaswa kulipwa kwa kampuni ya Nangara
Traders Limited kupitia Hesabu namba NMB 21203500116 kwa awamu mbili tofauti,
awamu ya mwanzo yatalipwa shilingi 10,000,000 na awamu ya pili yatalipwa fedha yote
iliyobakia.
Hadi ukaguzi unakamilika jumla ya shilingi 18,536,408 zimebainika kulipwa kinyume na
utaratibu, ambazo zimepelekea kubainika kwa dosari mbali mbali za kiutendaji katika
mkataba huo kama zifuatazo:-
29
Kasoro zilizojitokeza
Malipo yaliyolipwa awamu ya mwanzo kupitia hati namba 24/1 yalikuwa shilingi
18,536,408 ambapo makubaliano yalimtaka shirika la ZBC kufanya malipo ya shilingi
10,000,000.
Mkataba huo uliandaliwa na kusainiwa kwa upande mmoja tu wa Shirika la
Utangazaji, na hakukuwa na uhusiano wa upande wa pili wa mkandarasi huyo.
3.3.3 Malipo ya ujenzi wa studio nambari 1 na 2 yaliyofanyika bila ya kuwepo
kwa makubaliano ya mkataba wa ujenzi shilingi 30,422,777
Ukaguzi umebaini kwamba Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) limefanya malipo mbali
mbali kwa kampuni ya Nangara Traders Limited kwa ajili ya ujenzi wa studio namba
moja na namba mbili. Malipo hayo yalilipwa kupitia hati namba 34/11 na 49/12 zenye
jumla ya shilingi 30,422,777 pasi na kuwepo kwa mkataba katika utekelezaji wa kazi
hizo. Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Manunuzi ya Umma na Uondoshaji
wa Mali namba 11 ya mwaka 2016.
Malipo wenyewe ni kama ifuatavyo:-
Hati Namba Hundi Namba Aliyelipwa Thamani
34/11 TT Nangara Trader Ltd 14,713,957
49/12 TT Nangara Trader Ltd 15,708,820
Jumla 30,422,777
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Utangazaji Zanzibar kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Utangazaji Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
30
3.4 CHUO CHA KILIMO – KIZIMBANI
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa za Mapato.
Chuo cha Kilimo Kizimbani imekadiriwa kutumia jumla ya shilingi 858,245,700 kwa
mwaka wa fedha 2016/2017, kati ya hizo Shilingi 551,520,000 ikiwa ni ruzuku kutoka
Serikalini shilingi 211,390,700 ikiwa ni ada ya wanafunzi, Shilingi 83,335,000 ikiwa
mchango kwa Wahisani wa Maendeleo na Shilingi 12,000,000 ikiwa ni chanzo cha
mapato ya ndani.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2017 Chuo cha Kilimo Kizimbani kilikusanya kama ifuatavyo
Vyanzo vya Mapato Kilichokadiriwa
(shs)
Kilichokusanywa
(shs)
Ruzuku kutoka Serikalini 551,520,000 640,913,519
Ada ya Wanafunzi 211,390,700 198,338,000
Mchango kwa Wahisani 83,335,000 72,396,700
Mapato ya ndani 12,000,000 3,977,000
Jumla 858,245,700 915,625,219
Mapato ya Chuo cha Kilimo yamepungua kutoka shilingi 965,613,430 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 915,625,219 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni upungufu
wa shilingi 49,988,211 sawa na asilimia 5 ya upungufu.
Taarifa za Matumizi
Chuo cha Kilimo Kizimbani ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 858,245,700 kwa ajili ya
kazi za kawaida, kati ya hizo shilingi 551,520,000 ikiwa ni mishahara na shilingi
211,390,700 ikiwa ni Ada ya wanafunzi pamoja shilingi 12,000,000 ikiwa ni matumizi ya
mapato ya ndani na shilingi 83,335,000 ikiwa ni mchango wa wahisani.
Hadi kufikia 30 Juni 2017, Chuo kilitumia jumla ya shilingi 905,029,670 mchanganua wa
matumizi hayo kama ifuatavyo.
31
Vyanzo vya Matumizi Makadiri (shs) Matumizi (shs)
Ruzuku kutoka serikalini 551,520,000 610,461,000
Ada ya wanafunzi 211,390,700 238,264,170
Mchango kwa Wahisani wa Maendeleo
83,335,000 52,907,500
Mapato ya ndani 12,000,000 3,397,000
Jumla ya matumizi 858,245,700 905,029,670
Matumizi ya Chuo cha Kilimo yamepungua kutoka shilingi 1,030,647,506 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 905,029,670 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni upungufu
wa shilingi 125,707,836 sawa na asilimia 12.2 ya upungufu.
32
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
33
Uchambuzi wa hesabu za Chuo zinaonesha kwamba, Chuo hakina dhima za mpito
kutokana na kukosekana kwa madeni.
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 163,648,461 182,751,612
Dhima za mpito NIL NIL
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
NIL NIL
34
35
Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Kilimo Kizimbani kimepata hasara ya shilingi
47,289,217 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 111,138,282 kwa mwaka
wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shilingi 63,849,065 sawa na asilimia 57.5 ya
hasara kwa mwaka uliopita.
Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara
iwapo Chuo kitachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na
kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO
Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 202,315,000 167,892,100
Ruzuku kutoka Serikalini 640,913,519 695,364,210
Mapato kutoka kwa Wahisani 72,396,700 102,367,120
Mapato yote 915,625,219 965,623,430
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na Chuo kwa mapato yote 22.1 17.4
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini 70 72
Asilimia ya mapato kutoka kwa
Wahisani 7.9 10.6
Uchambuzi unaonyesha kwamba Chuo kinategemea zaidi ruzuku kutoka Serikalini
ambayo ni sawa na asilimia 70 ya mapato yake yote kwa mwaka wa fedha 2016/2017.
Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ili
kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
36
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Chuo gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 202,315,000 167,892,100
Jumla ya gharama za uendeshaji 962,914,436 1,076,751,712
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.21:1 0.16:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.16:1 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.21:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Kilimo Kizimbani kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji
ili Chuo kiweze kujiendesha.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Kilimo Kizimbani kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Chuo cha Kilimo Kizimbani kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
37
3.5 MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR (ZAWA)
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar ilikadiriwa kukusanya
jumla ya shilingi 15,707,868,424 kutokana na vyanzo mbali mbali vya mapato, Hadi
kufikia Juni 2017 imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 17,419,648,941.54 sawa na
asilimia 110.9 ya makadirio.
Mapato ya Mamlaka ya Maji yameongezeka kutoka shilingi 15,707,554,021 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 17,419,648,941.54 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni
ongezeko la shilingi 1,712,094,920.5 sawa na asilimia 11 ya ongezeko.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar ilikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 15,707,868,424 kati ya hizo shilingi 12,872,529,888 zilipangwa kwa
kazi za kawaida na shilingi 2,835,338,536 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar imetumia jumla ya shilingi
6,448,223,277 kati ya hizo shilingi 4,981,830,252 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia
38.70 ya makadirio na shilingi 1,466,393,025 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia
51.72 ya makadirio.
Matumizi ya Mamlaka ya Maji yamepungua kutoka shilingi 10,092,122,038 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia shilingi 14,751,736,095.4 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni
ongezeko la shilingi 4,659,614,057.4 sawa na asilimia 46 ya ongezeko.
38
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
39
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 10,220,363,883.30 9,130,415,580.46
Dhima za mpito 2,585,427,086.98 2,275,908,879
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
3.9:1 4:1
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hata hivyo Mamlaka ya Maji ina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima zake
za mpito.
40
41
Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Maji imepata hasara ya shilingi
1,276,545,628.04 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 524,845,759.89 kwa
mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la shillingi 751,699,868 sawa na asilimia
143.2 ya hasara kwa mwaka uliopita.
Ukaguzi umebaini kwamba hasara hiyo imezidi kuongezeka kutokana na kuongezeka
kwa gharama za uendeshaji kutoka shilingi 15,490,811,360.52 kwa mwaka 2015/2016
hadi kufikia shilingi 18,696,194,569.57 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la
gharama la shilingi 3,205,383,209.05 sawa na asilimia 20.7.
Uongozi wa Mamlaka ya Maji unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji na usimamizi
wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA
Uwezo wa Mamlaka katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Mamlaka kupitia vianzio vyake pamoja na
mapato yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Makusanyo ya Mamlaka 6,990,751,614 6,073,925,789.96
Ruzuku kutoka Serikalini 10,428,897,327.54 9,633,628,230.87
Mapato yote 17,419,648,941.54 15,707,554,020.83
Asilimia ya mapato
yanayokusanywa na Mamlaka
kwa mapato yote 40.13 38.67
Asilimia ya mapato ya Ruzuku
kutoka Serikalini kwa mapato
yote 59.87 61.33
42
Uchambuzi unaonyesha kwamba Mamlaka ya Maji inategemea zaidi ruzuku kutoka
Serikalini ambayo ni sawa na asilimia 59.87 ya mapato yote kwa mwaka wa fedha
2016/2017.
Mamlaka inashauriwa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ili
kuweza kujiendesha wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Mamlaka gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 6,990,751,614 6,073,925,789.96
Jumla ya gharama za uendeshaji 18,696,194,569.57 15,490,811,360.52
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.37:1 0.39:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.39:1 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.37:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Maji kuongeza jitihada katika ukusanyaji na
usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Mamlaka
iweze kujiendesha.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Maji Zanzibar, kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mamlaka ya Maji imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2017.
43
3.6 MAMLAKA YA VITEGA UCHUMI ZANZIBAR (ZIPA)
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) ilikusanya jumla ya shilingi
1,620,874,720.21 kutoka katika vianzio vyake vya ndani. Aidha Mamlaka ya Vitega
Uchumi Zanzibar (ZIPA) ilipata ruzuku ya shilingi 253,608,898 ikiwa ni jumla ya shilingi
1,874,483,618.21.
Mapato ya Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) yamepungua kutoka shilingi
1,992,907,959.51 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,874,483,618.21 kwa
mwaka 2016/2017 ikiwa na upungufu wa shilingi 118,424,341.3 sawa na asilimia 5.94
ya upungufu.
Taarifa ya Matumizi
Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilitumia
jumla ya shilingi 1,998,557,932.07 kwa kazi za kawaida.
Matumizi ya Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) yamepungua kutoka shilingi
2,230,799,200.75 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,998,557,932.07 kwa
mwaka 2016/2017 ikiwa na upungufu wa shilingi 232,241,268.68 sawa na asilimia
10.41 ya upungufu.
44
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
45
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 2,112,958,371.8 1,840,099,869.12
Dhima za mpito 296,410,320,.65 389,004,614.00
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
7.1:1 4.7:1
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Mamlaka ya Vitega Uchumi ina uwezo wa kukidhi dhima zake zote za mpito
kutokana na kuwepo kwa kiwango kikubwa cha dhima hizo.
46
47
Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Vitega Uchumi imepata hasara ya shilingi
112,200,424.02 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 201,080,568.68 kwa
mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shillingi 88,880,044.66 sawa na
asilimia 44.2 ya hasara kwa mwaka uliopita.
Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara
iwapo Mamlaka itachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na
kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA
Uwezo wa Mamlaka katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Mamlaka kupitia vianzio vyake pamoja na
mapato yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 1,620,874,720.21 1,742,907,963.51
Ruzuku kutoka Serikalini 253,608,898.00 249,999,996.00
Mapato yote 1,874,483,618.21 1,992,907,959.51
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na shirika kwa mapato yote
86.5 87.5
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini
13.5 12.5
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kujitegemea kupitia
vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 86.5 kwa mwaka wa fedha
2016/2017 ukilinganisha na asilimia 87.5 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Mamlaka inapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha
wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
48
Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Mamlaka gawanya na Gharama za
uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 1,742,907,963.51 1,764,864,269.22
Jumla ya gharama za uendeshaji 1,998,557,932.07 2,230,799,200.75
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.87:1 0.79:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.79:1 kwa
mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.87:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Vitega Uchumi kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mamlaka ya Vitega Uchumi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
49
3.7 CHUO CHA UTAWALA WA UMMA - IPA
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Chuo cha Utawala wa Umma kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 2,404,511,000.00
kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Chuo cha Utawala wa
Umma kilikusanya jumla ya shilingi 1,765,049,890.00 sawa na asilimia 73.4 ya
makadirio.
Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Chuo cha Utawala wa Umma kilikusanya jumla ya
shilingi 1,258,301,340 kutoka katika vianzio vyake vya ndani na shilingi 506,748,550
ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini na kufanya jumla ya shilingi 1,765,049,890.
Mapato halisi yaliyokusanywa ni kama ifuatavyo:-
Maelezo 2015/2016 2016/2017
Ruzuku 511,406,100.00 506,748,550
Ada ya wanafunzi 1,761,890,095.00 1,258,301,340
Jumla 2,273,296,195.00 1,765,049,890
Mapato ya Chuo cha Utawala wa Umma yamepungua kutoka shilingi 2,273,296,195
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,765,049,890 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa
na upungufu wa shilingi 508,246,305 ambapo ni sawa na asilimia 22 ya upungufu.
Taarifa ya Matumizi
Chuo cha Utawala wa Umma kilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 2,666,137,545.00
kwa matumizi ya kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni
2017 kiasi cha shilingi 2,317,009,060.00 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida
sawa na asilimia 87 ya makadirio ikiwa na upungufu wa shilingi. 349,128,485.00 sawa
na asilimia 13 ya makadirio.
50
Matumizi ya chuo cha Utawala wa Umma yamepungua kutoka shilingi 2,078,772,856
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,012,646,051 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa
na upungufu wa shilingi 66,126,805 ambapo ni sawa na asilimia 3 ya upungufu.
51
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
52
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 422,017,510 674,772,056
Dhima za mpito 21,750,436 475,696,457
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito/ Dhima za mpito 19:1 1.4 : 1
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Utawala wa Umma kina uwezo wa kuhimili na
kukidhi dhima zake za mpito.
53
54
Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Utawala wa Umma kimepata hasara ya shilingi
327,723,929.23 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha
2015/2016 Chuo chuo cha Utawala wa Umma kilipata faida ya shilingi 51,121,918.65.
Hasara hii inatokana na kupungua kwa mapato na ulipaji wa madeni uliofanywa kwa
kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017.
Uongozi wa Chuo cha Utawala wa Umma unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji
na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili
kupunguza hasara ya Chuo.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO
Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 1,258,301,340 1,761,890,095
Ruzuku kutoka Serikalini 506,748,550 511,406,100
Mapato yote 1,765,049,890 2,273,296,195
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na Chuo kwa mapato yote
71.3 77.5
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini
28.7 22.5
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia
vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 71.3 kwa mwaka wa fedha
2016/2017 ukilinganisha na asilimia 77.5 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha
wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
55
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Chuo gawanya na Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 1,258,301,340 1,761,890,095
Jumla ya gharama za uendeshaji 2,012,646,051 2,078,772,856
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.63:1 0.85:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.85:1 kwa mwaka 2015/2016
hadi kufikia wastani wa 0.63:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Utawala wa Umma kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Cha Utawala wa Umma kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Chuo Cha Utawala wa Umma kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
3.8 CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR (ZITOD)
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Chuo cha Utalii ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 938,194,000 katika kipindi cha
mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 Chuo cha Utalii kilikusanya jumla ya
shilingi 894,085,597 sawa na asilimia 95.3 ya makadirio.
Mapato ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi
780,882,180 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 894,085,597 kwa mwaka
2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 113,203,417 sawa na asilimia 14.5 ya ongezeko.
56
Taarifa ya Matumizi
Chuo cha Utalii kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi
938,194,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi
863,770,411 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 92 ya
makadirio.
Matumizi ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi
749,543,835 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 863,770,411 kwa mwaka
2016/2017 ikiwa na ongezeko la shilingi 114,226,576 ambapo ni sawa na asilimia 15 ya
ongezeko.
57
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
THE ZANZIBAR INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT (ZITOD)
FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE 2016/2017
58
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 247,546,934 206,472,788
Dhima za mpito 41,589,979 40,622,738
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
5.9:1 5.08:1
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Maendeleo ya Utalii kina uwezo wa kuhimili na
kukidhi dhima zake za mpito.
59
THE ZANZIBAR INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT (ZITOD)
FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE 2016/2017
60
Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Maendeleo ya Utalii kimepata hasara ya shilingi
87,566,568 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha 2015/2016
Chuo cha Maendeleo ya Utalii kilipata hasara ya shilingi 62,062,832.
Uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji
na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili
kupunguza hasara ya Chuo.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO
Uwezo wa Shirika katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 442,564,147 349,718,280
Ruzuku kutoka Serikalini 451,521,450 431,163,900
Mapato yote 894,085,597 780,882,180
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na Chuo kwa mapato yote
49.5 44.8
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka Serikalini
50.5 55.2
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia
vyanzo vya ndani vya mapato umeongezeka na kufikia asilimia 49.5 kwa mwaka wa
fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 44.8 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha
wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
61
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Chuo gawanya na Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 442,564,147 349,718,280
Jumla ya gharama za uendeshaji 981,652,165 842,945,012
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.45:1 0.41:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani umeongezeka kutoka wastani wa 0.41:1 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.45:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar kimepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
62
3.9 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI.
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Chuo cha Uandishi wa Habari kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 207,025,000
katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ukusanyaji wa
mapato ulikuwa ni shilingi 650,672,804 sawa na asilimia 81 ambapo ni upungufu wa
shilingi 38,832,250 sawa na asilimia 19 ya makadirio.
Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Chuo cha Uandishi wa Habari kilikusanya jumla ya
shilingi 168,192,750 kutoka katika vianzio vyake vya ndani na shilingi 482,480,054 ikiwa
ni ruzuku kutoka Serikalini na kufanya jumla ya shilingi 650,672,804.
Mapato ya Chuo cha Uandishi wa Habari yameongezeka kutoka shilingi 491,586,700
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 650,672,804 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni
ongezeko la shilingi 159,086,104 sawa na asilimia 32 ya ongezeko.
Taarifa ya Matumizi
Chuo cha Uandishi wa Habari kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia
jumla ya shilingi 668,686,000 kwa kazi za kawaida.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 kiasi cha
shilingi 664,261,858 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99 ya
makadirio.
Matumizi ya Chuo Cha Uandishi wa Habari yameongezeka kutoka shilingi
445,440,319.40 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 664,261,858 kwa mwaka
2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 218,821,538.6 sawa na asilimia 49.12 ya
ongezeko.
63
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
64
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 24,075,212.50 41,711,083.10
Dhima za mpito 52,512,710.00 18,883,890
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio) = Mali za
Mpito / Dhima za mpito
0.5:1 2.2:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na
dhima za mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na
mwaka 2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Uandishi wa Habari hakina uwezo wa
kuhimili na kukidhi dhima zake za mpito.
65
66
Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Uandishi wa Habari kimepata hasara ya shilingi
13,589,054.93 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha
2015/2016 Chuo cha Uandishi wa Habari kilipata faida ya shilingi 19,955,768.35.
Uongozi wa Chuo cha Uandishi wa Habari unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji
na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili
kupunguza hasara ya Chuo.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO
Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo:-
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 168,192,750 173,339,500
Ruzuku kutoka Serikalini 482,480,054 318,247,200
Mapato yote 650,672,804
491,586,700
Asilimia ya mapato yanayokusanywa
na Chuo kwa mapato yote
25.8 35.3
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini
74.2 64.7
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia
vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 25.8 kwa mwaka wa
fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 35.3 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha
wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
67
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 168,192,750 173,339,500
Jumla ya gharama za uendeshaji 637,003,694.60 471,630,931.65
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.26:1 0.37:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.37:1 kwa mwaka 2015/2016
hadi kufikia wastani wa 0.26:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Uandishi wa Habari kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Cha Uandishi wa Habari kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Chuo cha Uandishi wa Habari kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
68
3.10 CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikusanya
jumla ya shilingi 10,736,926,147 ikiwa ni jumla ya shilingi 3,838,149,112 kutoka katika
vianzio vyake vya ndani na shilingi 5,633,138,155 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini na
shilingi 1,265,638,880 kutoka kwa wahisani wa maendeleo.
Mapato ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) yameongezeka kutoka shilingi
10,955,608,931 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 10,736,926,147 kwa mwaka
2016/2017.
Taarifa ya Matumizi
Matumizi ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) yamepungua kutoka shilingi
10,535,798,205 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 10,440,490,173 kwa mwaka
2016/2017 ikiwa ni upungufu wa shilingi 95,308,032 sawa na asilimia 0.9 ya upungufu.
69
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
70
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hata hivyo Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kina uwezo wa kuhimili na
kukidhi dhima zake za mpito.
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 3,821,101,754 3,279,746,078
Dhima za mpito 707,126,969 218,321,692
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito 5.4:1 15.02 : 1
71
72
Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Taifa cha Zanzibar kimepata faida ya shillingi
4,047,840,810 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha
2015/2016 kilipata hasara ya shilingi 146,811,204.
Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo jitihada za makusudi zitachukuliwa ikiwemo
kupunguza gharama za uendeshaji, pamoja na udhibiti mzuri wa ukusanyaji wa mapato.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO
Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato
Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato
yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho
wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 8,828,560,154 4,651,789,989
Ruzuku kutoka Serikalini 6,900,777,035 6,303,818,942
Mapato yote 15,729,337,189 10,955,608,931
Asilimia ya mapato yanayokusanywa na
Chuo kwa mapato yote
56.13 42.46
Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka
Serikalini
43.7 57.54
Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia
vyanzo vya ndani vya mapato umeengezeka na kufikia asilimia 56.13 kwa mwaka wa
fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 42.46 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha
wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini. Hata hivyo Chuo kinaendelea
kutegemea Ruzuku kutoka Serikalini.
Ukaguzi unashauri kwamba Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Zanzibar ufanye juhudi zaidi
katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato kupitia vyanzo vya ndani sambamba na
kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.
73
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 8,828,560,154 4,651,789,989
Jumla ya gharama za uendeshaji 11,679,496,379 11,102,420,135
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.76:1 0.42:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 0.42:1 kwa mwaka 2015/2016
hadi kufikia wastani wa 0.76:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
74
3.11 SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
12,926,187,580 katika kipindi cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia Juni 2017 Shirika
limekusanya jumla ya shilingi 12,345,077,319.50 sawa na asilimia 96% ya makadirio.
Mapato ya Shirika la Meli Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 8,721,602,539.62 kwa
mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 12,345,077,319.50 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa
ni ongezeko la shilingi 3,623,474,779.88 sawa na asilimia 41.55 ya ongezeko.
Taarifa ya Matumizi
Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi
29,934,368,442.32. Kati ya fedha hizo, shilingi 11,946,808,362.32 kwa ajili ya Matumizi
ya kawaida na shilingi 17,987,560,080 kwa ajili ya kazi za maendeleo. Hadi kufikia Juni
2017 jumla ya shilling 14,884,047,647.30 zimetumika kwa ajili ya matumizi ya kawaida
sawa na asilimia 50 ya makadirio.
Matumizi ya Shirika la Meli Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 10,959,437,155.20
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 14,884,047,647.30 kwa mwaka 2016/2017
ikiwa na ongezeko la shilingi 3,924,610,492.14 sawa na asilimia 35.81 ya ongezeko.
75
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
76
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Hata hivyo Shirika la Meli na Uwakala halina uwezo wa kuhimili na kukidhi
dhima zake za mpito.
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 725,901,838.86 513,957,790.27
Dhima za mpito 1,780,840,323.55 2,154,703,649.31
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito 0.41:1 0.2:1
77
78
Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar limepata faida ya
shillingi 614,067,033.43 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa
fedha 2015/2016 Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilipata hasara ya shilingi
552,967,502.85.
Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo Shirika litaongeza juhudi katika ukusanyaji na
usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA
Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 12,345,077,319.50 8,721,602,539.62
Jumla ya gharama za uendeshaji 2,470,343,998.65 3,047,502,360.12
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
5:1 3:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 3:1 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia wastani wa 5:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Meli Zanzinbar kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
79
MATOKEO YA UKAGUZI
3.11.1 Ucheleweshwaji wa fedha za mapato kupelekwa benki shilingi
315,145,000
Ukaguzi umebaini jumla ya shilingi 315,145,000 zimekusanywa na Shirika la Meli na
Uwakala kupitia kifungu cha utoaji wa mizigo hesabu namba 021103000021, lakini
fedha hizo hazikupelekwa benki kwa wakati.
Kutozipeleka fedha za mapato benki kwa wakati ni kwenda kinyume na Sheria ya
Usimamizi wa Fedha na Mali za Umma namba 12 ya mwaka 2016.
Mapato yenyewe ni kama ifuatavyo:-
Stakabadhi
nam
Tarehe
iliyokusanya
fedha.
Tarehe
zilizopelekwa
bank
Idadi ya siku
zilizokaa
Idadi ya
fedha
11418 1/7/2016 8/7/16 Siku 7 3,625,000
11427 4/7/16 9/7/16 Siku 5 4,100,000
11431 5/7/16 15/7/16 Siku 10 2,265,000
11432 8/7/16 15/7/16 Siku 7 2,685,000
11433 11/7/16 16/7/16 Siku 5 2,190,000
11439 12/7/16 19/7/16 Siku 7 1,300,000
11440 13/7/16 19/7/16 Siku 6 1,765,000
11446 15/7/16 22/7/16 Siku 7 3,160,000
11445 14/7/16 22/7/16 Siku 8 2,650,000
11450 18/7/16 22/7/16 Siku 4 2,860,000
11553 19/7/16 23/7/16 Siku 4 3,770,000
11556 20/7/16 26/7/16 Siku 6 1,115,000
11557 21/7/16 27/7/16 Siku 6 3,340,000
11558 22/7/16 27/7/16 Siku 5 3,130,000
11560 25/7/16 30/7/16 Siku 5 3,215,000
80
11562 27/7/16 30/7/16 Siku 3 2,015,000
11579 2/8/16 10/8/16 Siku 8 1,690,000
11580 3/8/16 10/8/16 Siku 7 2,290,000
11581 4/8/16 10/8/16 Siku 6 1,695,000
11582 5/8/16 11/8/16 Siku 6 4,080,000
11584 9/8/16 12/8/16 Siku 3 2,800,000
11587 10/8/16 15/8/16 Siku 5 3,105,000
11591 11/8/16 17/8/16 Siku 7 5,530,000
11592 12/8/16 18/8/16 Siku 6 3,710,000
11593 15/8/16 19/8/16 Siku 4 2,385,000
11597 16/8/16 22/8/16 Siku 6 2,160,000
11652 17/8/16 23/8/16 Siku 6 2,050,000
11656 18/8/16 29/8/16 Siku 11 2,810,000
11657 19/8/16 29/8/16 Siku 10 1,545,000
11658 20/8/16 29/8/16 Siku 8 1,145,000
11659 22/8/16 29/8/16 Siku 7 2,125,000
11660 23/8/16 29/8/16 Siku 6 3,990,000
11663 24/8/16 30/8/16 Siku 6 1,500,000
11666 26/8/16 31/8/16 Siku 5 3,105,000
11669 29/8/16 6/9/16 Siku 7 4,735,000
11672 1/9/16 9/9/16 Siku 8 2,190,000
11677 2/9/16 6/9/16 Siku 4 1,675,000
11681 5/9/16 10/9/16 Siku 5 2,345,000
11682 6/9/16 14/9/16 Siku 8 3,750,000
11684 8/9/16 16/9/16 Siku 8 2,065,000
11693 9/9/16 17/9/16 Siku 9 5,850,000
81
11696 14/9/16 19/9/16 Siku 5 1,120,000
11697 15/9/16 19/9/16 Siku 4 1,065,000
11700 16/9/16 22/9/16 Siku 6 3,065,000
11807 19/9/16 26/9/16 Siku 7 2,175,000
11811 21/9/16 26/9/16 Siku 5 2,025,000
11812 22/9/16 28/9/16 Siku 6 2,155,000
11830 3/10/16 12/10/16 Siku 9 1,320,000
11831 4/10/16 12/10/16 Siku 8 2,000,000
11846 13/10/16 20/10/16 Siku 7 1,920,000
11847 17/10/16 21/10/16 Siku 4 2,055,000
11953 24/10/16 31/10/16 Siku 7 2,915,000
11954 25/10/16 31/10/16 Siku 6 2,245,000
11955 26/10/16 31/10/16 Siku 5 1,380,000
11977 3/11/16 11/11/16 Siku 8 1,610,000
11978 4/11/16 11/11/16 Siku 7 1,870,000
11982 7/11/16 15/11/16 Siku 8 2,935,000
11983 8/11/16 16/11/16 Siku 8 2,580,000
11984 9/11/16 19/11/16 Siku 10 3,360,000
11985 10/11/16 21/11/16 Siku 11 1,825,000
11986 11/11/16 17/11/16 Siku 6 1,490,000
11991 14/11/16 21/11/16 Siku 7 2,020,000
11992 15/11/16 25/11/16 Siku 10 3,260,000
11993 16/11/16 23/11/16 Siku 7 2,230,000
13002 21/11/16 28/11/16 Siku 7 2,855,000
13003 22/11/16 28/11/16 Siku 6 2,640,000
13004 23/11/16 28/11/16 Siku 5 1,770,000
82
13832 30/6/17 6/7/17 Siku 6 1,375,000
13831 29/6/17 5/7/17 Siku 6 2,085,000
13830 28/6/17 5/7/17 Siku 7 3,390,000
13827 23/6/17 6/7/17 Siku 13 1,665,000
13826 22/6/17 5/7/17 Siku 12 2,775,000
13843 21/6/17 12/7/17 Siku 21 3,020,000
13823 20/6/17 29/6/17 Siku 9 5,850,000
13822 19/6/17 30/6/17 Siku 11 5,220,000
13821 16/6/17 30/6/17 Siku 14 4,250,000
13820 15/6/17 21/6/17 Siku 6 2,990,000
13819 14/6/17 21/6/17 Siku 7 2,810,000
13818 13/6/17 21/6/17 Siku 8 6,110,000
13815 12/6/17 20/6/17 Siku 8 4,925,000
13811 9/6/17 20/6/17 Siku 11 1,680,000
13810 8/6/17 20/6/17 Siku 12 1,750,000
13807 7/6/17 14/6/17 Siku 7 1,645,000
13728 6/6/17 14/6/17 Siku 8 815,000
13727 5/6/17 14/6/17 Siku 9 1,195,000
13699 2/6/17 13/6/17 Siku 11 3,195,000
13698 1/6/17 13/6/17 Siku 12 2,330,000
13697 31/5/17 13/6/17 Siku 13 2,665,000
13696 30/5/17 9/6/17 Siku 9 3,040,000
13695 29/5/17 8/6/17 Siku 10 3,940,000
13694 26/5/17 1/6/17 Siku 5 1,680,000
13693 25/5/17 1/6/17 Siku 6 1,170,000
13692 24/5/17 31/5/17 Siku 7 910,000
83
13691 23/5/17 31/5/17 Siku 8 1,595,000
13690 22/5/17 31/5/17 Siku 9 1,365,000
13689 19/5/17 30/5/17 Siku 11 810,000
13688 18/5/17 30/5/17 Siku 12 2,340,000
13687 17/5/17 30/5/17 Siku 13 2,150,000
13686 16/5/17 30/5/17 Siku 14 1,895,000
13685 15/5/17 30/5/17 Siku 15 1,760,000
13684 12/5/17 27/5/17 Siku 15 2,210,000
13683 11/5/17 25/5/17 Siku 14 1,820,000
13682 10/5/17 25/5/17 Siku 15 2,745,000
13676 9/5/17 16/5/17 Siku 7 3,280,000
13675 8/5/17 16/5/17 Siku 8 2,530,000
13671 6/5/17 16/5/17 Siku 10 1,010,000
13670 5/5/17 10/5/17 Siku 5 2,095,000
13667 4/5/17 11/5/17 Siku 7 4,440,000
13666 3/5/17 9/5/17 Siku 6 4,060,000
13663 2/5/17 8/5/17 Siku 6 2,735,000
13580 3/4/17 19/4/17 Siku 16 4,655,000
13581 4/4/17 20/4/17 Siku 16 2,700,000
13583 5/4/17 22/4/17 Siku 17 1,960,000
13584 6/4/17 22/4/17 Siku 16 1,500,000
13585 10/4/17 22/4/2017 Siku 12 3,835,000
13587 12/4/17 24/4/17 Siku 12 1,015,000
13588 13/4/17 24/4/17 Siku 11 2,750,000
13594 18/4/17 24/4/17 Siku 6 3,495,000
13596 19/4/17 27/4/17 Siku 8 4,230,000
84
13598 20/4/17 25/4/17 Siku 5 2,460,000
13651 21/4/17 28/4/17 Siku 7 2,050,000
13654 24/4/17 28/4/17 Siku 4 3,780,000
Jumla 315,145,000
3.11.2 Malipo yasiokuwa na stakabadhi USD 56,122 na EURO 23,584
Ukaguzi umebaini jumla ya USD 56,122 na EURO 23,584 zimetumika kwa kazi mbali
mbali lakini stakabadhi za malipo hayo hazikuambatanishwa na hati za malipo.
Kutoambatanisha stakabadhi husika katika hati za malipo ni kwenda kinyume na Sheria
ya Usimamizi wa Fedha na Mali za Umma nambari 12 ya mwaka 2016.
Malipo yenyewe ni kama yafuatayo:-
Hati
namba
Hundi
namba
Alielipwa Thamani Maelezo
HESABU NAMBA 3000018
5/7 ya
7/8/16
T.T SASIL
INVESTMENT
LTD
USD 5,500 Malipo ya ununuzi wa Dawa ya
kutilia maji (Cooling water
Treatment additives) kwa ajili
ya matumizi ya Meli ya Mv.
Mapind. II. Quotation no. Sasil
0002908
6/7 ya
2/8/16
T.T SASIL
INVESTMENT
LTD.
USD 4,375 Malipo ya ununuzi wa
Lubricating Oil kwa ajili ya Mv.
Mapind. II. Quotation no. Sasil
0002907 ya 7/7/16
4/10 TT LEDOM –
TRAD (KJ)
USD 13,338 Ununuzi wa vifaa mbalimbali
kwa matumizi ya MV
MAENDELEO.
14/12 TT GREEN WAYS
SHIPS
USD 17,505 Ununuzi wa vipuri kwa ajili ya
meli ya MV MAPINDUZI 11.
85
8/10 TT LEDOM –
TRAD (J.K)
USD 15,404 Ununuzi wa CRANK SHAFT
kwa matumizi ya meli ya MV
MAENDELEO.
Jumla USD 56,122
25/2 TT WARSTILA EURO 490 Ununuzi wa variestor kwa
matumizi ya generator no 1 la
MV MAPINDUZI 11
26/2 TT WARSTILA
EURO 11,448 Malipo ya service Auix Engine
kwa MV MAPINDUZI 11
54/2 TT WARSTILA EURO 1,646 Ununuzi wa strainer ECO
ADAPTER kwa MV MAPINDUZI
11
4/11 T.T WARTSILA
Hamna
Mkataba.
EUR 10,000 Malipo ya kwanza ya
matengenezo ya Mv. Mapind.
II. Jumla ni EUR 17,487.76
Kilicholipwa ni EUR 10,000
Bakaa ni EUR 7,487.76
Jumla EUR 23,584
3.11.3 Malipo yaliyolipwa bila ya kuwepo mkataba wa makubaliano baina ya
Shirika la Meli na kampuni ya Mt. United Spirit USD 9,400
Ukaguzi umebaini jumla ya USD 9,400 zimelipwa kwa Kampuni ya Mt. United Spirit kwa
ajili ya huduma mbali mbali zilizotolewa na kampuni hiyo kupitia hesabu namba
021103000018 lakini mkataba wa makubaliano ulioelezea kiasi maalum cha malipo hayo
na njia za malipo haukupatikana kwa ukaguzi.
Kufanya malipo bila ya kuwepo kwa makubaliano ya kimaandishi ni kwenda kinyume na
Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma ya mwaka 2016.
86
Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-
Hati namba Hundi
namba
Aliyelipwa Thamani Maelezo
8/8 000206 SAID SALIM
AWADH
USD 900
Malipo ya kukodi Boti kwa
ajili ya kuhudumia meli ya
Mt. United Spirit
3/9 000211 SAID SALIM
AWADH
USD 900
Pia, hamna risiti.
Malipo ya kukodi Boti kwa
ajili ya kuhudumia meli ya
Mt. United Spirit ya
25/8/16.
13/3 000262 SAID SALIM
AWADH
USD 900
Malipo kwa ajili ya
kuhudumia meli ya MT.
Ukombozi
4/4 000266 SAID SALIM
AWADH
USD 400 Malipo ya kukodi Boti kwa
ajili ya kuhudumia meli ya
Kigeni Mv. Kumasi
¼ 000268 - USD 900
Malipo kukodi Boti kwa ajili
ya kuvuta Hose Pipe kwa
uteremshaji wa mafuta ya
JET AI
7/11 000233 SAID SALIM
AWADH
USD 900 Malipo ya kuhudumia meli
ya MT UNITED SPITITI
1/11 000235 SAID SALIM
AWADH
USD 900 Malipo ya kuhudumia meli
ya MT UNITED SPITITI
1/12 000242 - USD 900 Malipo ya kuhudumia meli
ya MT UNITED SPITITI
10/1 000246 SAID SALIM USD 900 Malipo ya huduma ya
87
AWADH kuvuta hose pipe meli ya
MT UNITED SPIRIT
HESABU NAMBA NO 021103000035
3/10 TT SAID SALIM
AWADH
USD 900 Malipo ya boti kwa ajili ya
MT UNITED SPIRITI
Jumla USD 9,400
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Meli na Uwakala kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Meli na Uwakala limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
3.12 SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Mapato ya Shirika la Bandari Zanzibar yamepungua kutoka shilingi 29,916,824,568.31
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 29,533,651,684.85 kwa mwaka 2016/2017
ikiwa ni upungufu wa shilingi 383,172,883.46 sawa na asilimia 1.28 ya upungufu.
Taarifa ya Matumizi
Matumizi ya Shirika la Bandari Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 23,886,625,020.5
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 29,259,083,064.34 kwa mwaka 2016/2017
ikiwa ni ongezeko la shilingi 5,372,458,043.84 sawa na asilimia 22.5 ya ongezeko.
88
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
89
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Kwa hali hiyo Shirika la Bandari lina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima
zake za mpito.
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito 18,682,455,730.44 18,045,555,484.92
Dhima za mpito 2,951,412,825.58 4,949,873,792.70
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito
6.3 3.6:1
90
91
Hesabu zinaonyesha kwamba faida ya Shirika la Bandari Zanzibar imepungua kutoka
shilingi 4,620,772,945.52 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hadi kufikia shilingi
655, 571, 733.70 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kukiwa na upungufu wa shilingi
3,965,201,211.82 sawa na asilimia 85.8 ya upungufu.
Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo Shirika litaongeza juhudi katika ukusanyaji na
usimamamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA
Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Chuo 30,487,729,228.3 30,195,614,112.4
Jumla ya gharama za uendeshaji 29,259,083,064.34 23,886,625,020.51
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
1.04:1 1.26:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia
vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 1.26:1 kwa mwaka 2015/2016
hadi kufikia wastani wa 1.04:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar kuongeza jitihada katika
ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Bandari Zanzibar kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Bandari Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
92
3.13 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA ZANZIBAR – ZSTC
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Shirika linakusanya mapato yake kupitia vyanzo vyake mbali mbali vya mapato ikiwa ni
mauzo ya karafuu, mauzo ya mafuta ya mimea, kodi za majengo, mauzo ya vifaa
chakavu na faida kutoka hesabu ya dhamana. Katika mwaka wa fedha 2016/2017
Shirika lilikadiria kukusanya jumla ya shilingi 54,037,102,977 kwa kupitia vyanzo vyake
vya mapato.
Hadi kufikia 30 Juni, 2017 shirika lilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 44,121,044,395
sawa na asilimia 81.65 ya makadirio.
Hali halisi ya ukusanyaji wa mapato ni kama ifuatavyo:-
Maelezo Makadirio
(shs)
Mapato halisi
( shs)
Ongezeko
/(upungufu)
( shs)
Asilimia
Makao Makuu 47,001,837,000 39,943,549,000 (7,058,298,000) 85
Kiwanda cha
makonyo
2,555,977,977 2,205,525,395
(350,452,582)
86
Tawi la Dubai 4,479,288,000 1,971,970,000 (2,507,318,000) 44
Jumla 54,037,102,977 44,121,044,395 (9,916,068,582) 81.65
93
Taarifa ya matumizi
Katika mwaka wa fedha 2016/2017 Shirika lilipanga kutumia jumla ya shilingi
13,240,174,239 kwa ajili ya matumizi mbali mbali ya Shirika. Hadi kufikia 30 Juni, 2017
jumla ya shilingi 9,719,321,137 zimetumika sawa na asilimia 73.4 ya makadirio. Hali
halisi ya matumizi ya shirika kwa mwaka 2016/2017 ni kama inavyoonekana katika
jadweli:-
Maelezo
Makadirio
(shs)
Matumizi halisi
( shs)
Ongezeko/(upungufu)
( shs)
Asilimia
(%)
Makao
Makuu
11,088,283,000 8,087,057,000
(3,001,226,000)
72.93
Kiwanda
cha
makonyo
1,612,620,000 1,281,817,977
(330,802,023.)
79.5
Tawi la
Dubai
539,271,239 350,446,160
(188,825,079)
65
Jumla 13,240,174,239 9,719,321,137 (3,520,853,102) 73.4
94
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
95
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwiano wa mali za mpito umepungua kutoka 62.52:1
kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia 62.48:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi umebaini kwamba deni la wadaiwa wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar
limeongezeka kutoka shilingi 1,742,546,120.69 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia
shilingi 4,254,498,850.94 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi
2,511,952,730.25 sawa na asilimia 144 ya deni hilo.
Ukaguzi unashauri kwamba Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kuweka mikakati
imara katika usimamizi na ufuatiliaji wa wadaiwa kwa lengo la kupunguza idadi kubwa
ya kiwango cha fedha za wadaiwa ili Shirika kuwa na uwiano unaokubalika kwa mujibu
wa kiwango cha kiuhasibu kitaifa na kimataifa ambacho ni 2:1.
2016/2017 2015/2016
Mali za mpito 15,734,242,623.15 20,121,490,940.12
Dhima za mpito 251,809,828.98 321,843,570.85
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za mpito / Dhima za mpito 62.48:1 62.52:1
96
97
Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata hasara ya
shilingi 5,202,399,127.04 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa
fedha 2015/2016 Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata faida ya shilingi
4,474,985,803.53.
Hasara hiyo inaweza kuongezeka iwapo jitihada za makusudi hazitachukuliwa ikiwemo
kupunguza gharama za uendeshaji, pamoja na udhibiti mzuri wa ukusanyaji wa mapato.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA
Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
2016/2017 2015/2016
Mapato yanayokusanywa na Shirika 43,168,690,504.4 99,045,914,883.3
Jumla ya gharama za uendeshaji 12,183,774,726.88 12,457,091,393.99
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
3.5:1 8:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar
kukidhi gharama za uendeshaji kupitia vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka
wastani wa 8:1 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 3.5:1 kwa mwaka
2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kuongeza jitihada
katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za
uendeshaji.
98
MATOKEO YA UKAGUZI
3.13.1 Ucheleweshaji wa Taarifa za Ufungaji wa hesabu na Uwasilishwaji
kwa ajili ya ukaguzi
Kwa mujibu wa Sheria ya usimamizi wa fedha za umma nambari 12 ya mwaka 2016,
kifungu namba 120(1) inazitaka taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa kwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Hesabu za Mwaka, zinazojumuisha
Mapato na Matumizi ya taasisi husika. Aidha kifungu namba 119(1) kinawataka
wasimamizi wa Fedha katika Taasisi kuwasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka miezi mitatu baada ya kukamilika
kipindi cha mwaka.
Ukaguzi umebaini Shirika la ZSTC limechelewa kufunga hesabu zake na kuziwasilisha
hesabu hizo kwa wakati, kwani imebainika hesabu za mwaka 2015/2016, na hesabu za
mwaka 2016/2017 hesabu zote hizo zimewasilishwa tarehe 15/2/2018.
3.13.2 Ukiukwaji wa Taratibu za Utumishi wa Umma
Ukaguzi umebaini Shirika la Biashara ZSTC kuwa na wafanyakazi wengi ambao wanafanyakazi
kwa mikataba ya muda mrefu kinyume na taratibu za utumishi Serikalini. Kwa mujibu wa kanuni
za Utumishi chini ya kifungu cha 37(4) cha sheria namba 2 ya mwaka 2011 ya Utumishi wa
Umma, kifungu kidogo 135(1),(2) Taasisi ya Serikali hairuhusiwi kuwatumikisha watumishi wa
muda (dayling pay) kwa kipindi kirefu, ikiwa kutakuwa na ulazima wa kuwatumia basi Katibu
Mkuu au Mkuu wa Taasisi anatakiwa kuomba kibali cha ajira kwa wafanyakazi hao.
Kwani imebainika Shirika limekuwa likiwatumia watumishi wa (dayling pay) kwa zaidi ya miaka 5
hadi 10 bila ya kupatiwa ajira ya kudumu kati ya watumishi hao ni kama ifuatavyo-: watumishi
35 kwa ajili ya eneo tengefu saateni, watumishi 20 Kiwanda cha makonyo Pemba kwa ajili ya
shamba la mtakata na watumishi wengine 2 kwa ajili ya uuzaji wa duka ZSTC Dar.
Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kanuni za utumishi wa umma chini ya sheria
namba 2 ya mwaka 2011.
3.13.3 Mapungufu katika usimamizi wa kurikodiwa kwa mali za shirika
Ukaguzi umebaini kujitokeza kwa mapungufu mbali mbali katika usimamizi na
kurikodiwa kwa mali za Shirika kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017, miongoni
mwa mapungufu hayo kumejitokeza kukosekana kwa daftari la kurikodia taarifa
muhimu za mali za kudumu za Shirika zilizowekwa ili kupata uhalisia wa mali hizo na
99
sehemu zilipo ambazo zinazomilikiwa na Shirika. Aidha kumejitokeza kwa baadhi ya
vituo vya kununulia karafuu vikiwa katika hali isiyoridhisha na chakavu sana.
3.13.4 Mapungufu katika Ukusanyaji wa Mapato katika jengo la kitega
uchumi shilingi 79,336,713.60
Ukaguzi umebaini kujitokeza kwa mapungufu ya ukusanyaji wa Mapato katika jengo la
kitenga uchumi lilokuwepo Gulioni Zanzibar. Kwa mujibu wa makubaliano baina ya ZSTC
na kampuni ya Night Frank, ambaye ndiyo wasimamizi wakuu wa kukodisha na
kufuatilia madeni ya nyumba hiyo lakini wameshindwa kuyafuatilia madeni ya baadhi ya
wapangaji wa nyumba hiyo na kuziwasilisha Shirika la biashara la taifa kwa mujibu wa
makubaliano.
Hadi tunakamilisha ukaguzi huo kumebainika wapangaji wengi kuhama pasi na kulipa
madeni yao na kufikia jumla ya shilingi 79,336,713.60 zinazodaiwa ikiwa kama ni
upotevu wa Mapato yatokanayo na biashara hiyo.
Wadaiwa hao ni kama ifuatavyo:-
Jina la mpangaji Kinachodaiwa
(US$)
Kinachodaiwa (Tshs)
1 Vice President’s Office 3,151.44 6,807,110.40
2 Millenium Challenge Account
(MoF)
3,212.16 6,938,265.60
3 Ministry Cooperation For East
Africa
9,928.84 21,446,294.40
4 Aids Business Colition 7,359.66 15,896,865.60
5 Ministry Of Trade, Industry &
Marketing
6,768.15 14,619,204.00
6 Tanzania Trade Development
Authority
6,309.71 13,628,973.60
Jumla US$ 36,729.96 Tzs 79,336,713.60
100
3.13.5 Unyweaji wa karafuu (shrinkage) shilingi 790,863,502.69
Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ZSTC limenunua karafuu tani 2,277.25 sawa na kilo
2,277,253 zenye thamani ya shilingi 31,952,035,250, aidha ukaguzi umebaini Shirika
lilikuwa na bakaa ya tani 50.8, hadi kufikia mwishoni mwa mwaka Shirika lilifanikiwa
kuuza tani 2253 sawa na kilo 2,253,000 ambazo sawa na upungufu wa tani 68.8 sawa
na kilo 68,800.0 ambazo ni unyweaji wenye thamani ya shilingi 790,863,502.69 sawa na
asilimia 2.45 ambayo ni hasara kwa Shirika. Sambamba na hasara hiyo kwa Shirika
ukaguzi umeshindwa kupatiwa kiwango maalum kilichowekwa na Mkemia Mkuu wa
Serikali kama ni (Shrinkage limit) kwa zao hilo la karafuu ambalo litaigharimu shirika
hasara kubwa sana siku hadi siku, kwani imebainika mwaka hadi mwaka kiwango hicho
hukuwa na kupanda zaidi.
3.13.6 Upotevu unaotokana na uyeyukaji (evaporation) shilingi
89,225,445.32
Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 89,225,445.32 ni upotevu unaotokana na
uyeyukaji wa karafauu (evaporation) unaotokana na uzalishaji wa Mafuta
yanayotengenezwa katika kiwanda cha Makonyo Pemba. Hali hiyo husababisha upotevu
mkubwa wa fedha kwani imebainika katika mwaka wa fedha 2015/2016 upotevu huo
ulikuwa kwa kiasi cha shilingi 6,206,306.05 na kufikia shilingi 89,225,445.32 kwa
mwaka wa fedha 2016/2017 kwa mujibu wa taarifa za ufungaji wa hesabu za mwaka
2016/2017.
3.13.7 Upotevu wa karafuu wakati wa usafirishaji (loss in transit) shilingi
121,528,646.58
Katika ununuzi wa karafu na kuzisafirisha imebainika kujitokeza kwa tatizo la idadi
kubwa ya karafuu kupotea njiani wakati wa usafirishaji kutokana na ufungashaji
usioridhisha. Ukaguzi umebaini kwamba kwa mwaka wa fedha 2016/2017 jumla ya
shilingi 121,528,646.58 zimetumika kama ni hasara iliyopatikana wakati wa kusafirisha
karafuu kutoka Pemba kwenda Unguja.
101
3.13.8 Vyombo vya moto (Motor Vehicles & Motor Cycles 717,088,057)
makosa yaliyojitokeza katika kuorodhesha gari za Shirika
Ukaguzi umebaini kwamba wakati wa kutayarisha hesabu za mwisho wa mwaka
unaoishia tarehe 30 juni 2017 baadhi ya gari ambazo ni mali ya Shirika
hazikuorodheshwa na baadhi yake zimeorodheshwa katika orodha ya gari za Shirika
lakini tayari zilikuwa zimeshauzwa.
Jadweli lifuatalo linafafanua:-
Aina ya gari Namba ya gari Thamani Maelezo
Toyota Landcruiser SLS 107A 40,800,000.00 Imeuzwa fedha
zimepokelewa benki
kwa risiti – 21937
ya tarehe
25/2/2017. Lakini
imo katika orodha
Honda XL SLS 134C 700,000.00 Haikuorodheshwa
katika orodha
Jumla 41,500,000.00
102
3.14 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA LA ZANZIBAR (ZSTC) TAWI LA DAR ES
SALAAM
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
ZSTC Tawi la DSM ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 174,000,000 katika kipindi cha
mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ZSTC Tawi la DSM zilikusanywa jumla ya
shilingi 96,629,000 sawa na asilimia 55.5 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
ZSTC Tawi la DSM lilipanga kutumia jumla ya shilingi 92,004,000 kwa ajili ya kulipa
mishahara na shughuli nyengine za Taasisi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2017.
Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ZSTC Tawi la Dar es Salaam zimetumika jumla ya shilingi
69,884,000 sawa na asilimia 75.95 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
3.14.1 Ucheleweshaji wa uwasilishwaji wa hesabu za mwisho wa mwaka
kwa ajili ya ukaguzi
Kwa mujibu wa Sheria ya usimamizi wa fedha za umma nambari 12 ya mwaka 2016,
kifungu namba 120(1) inazitaka taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa kwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu za mwaka, zinazojumuisha
Mapato na Matumizi ya taasisi husika. Aidha kifungu namba 119(1) kinawataka
wasimamizi wa Fedha katika Taasisi kuwasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka miezi mitatu baada ya kukamilika
kipindi cha mwaka.
Ukaguzi umebaini ZSTC Tawi la Dar es Salaam limechelewa kufunga hesabu zake za
mwisho wa mwaka na kushindwa kuziwasilisha hesabu hizo kwa wakati kwa mujibu wa
sheria. Ukaguzi umebaini kwamba hesabu za mwaka 2014/2015, 2015/2016 na mwaka
2016/2017 hesabu hizo zimewasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali tarehe 15/2/2018 kwa ajili ya kufanyiwa ukaguzi kwa barua yenye kumbu
kumbu namba SBT/AR.30/C2/24/VOL.V ya tarehe 14/02/2018.
103
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
3.15 MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017
Taarifa ya Mapato
Mapato ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi
7,761,241,499.93 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 9,086,972,066.14 kwa
mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 1,325,730,566.21 sawa na asilimia
17.08 ya ongezeko.
Taarifa ya Matumizi
Matumizi ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege yameongezeka kutoka shilingi
6,448,035,706.80 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 7,545,474,145.99 kwa
mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 1,097,438,439.19 sawa na asilimia
17.02 ya ongezeko.
104
HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017
105
106
Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.
Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za
mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -
Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za
mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka
2015/2016. Mamlaka ya Viwanja vya Ndege haina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima
zake za mpito.
2016/2017 2015/2016
Mali za Mpito
1,379,400,569.26 1,786,291,400.91
Dhima za mpito 3,392,462,215.43 3,694,259,166.97
Uwiano wa mali za mpito na dhima
za mpito (current ratio)
= Mali za Mpito / Dhima za mpito 0.41:1 0.48:1
107
108
Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar imepata hasara
ya shillingi 2,163,927,243.75 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa
fedha 2015/2016 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar imepata hasara ya shilingi
2,344,706,432.88.
Ukaguzi umebaini kwamba licha ya kuongezeka kwa mapato yatokanayo na huduma
zinazotolewa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege lakini gharama za uendeshaji
zimeongezeka na kupelekea kupatikana kwa hasara.
Ukaguzi unashauri kwamba uongozi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege uweke mikakati
madhubuti ya kupunguza hasara kwa kupunguza gharama za uendeshaji kulingana na
hali halisi ya mapato.
UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA
Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka
Serikali kuu
Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na
Gharama za uendeshaji
30/06/2017 30 /06/2016
Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 9,086,972,066.14 7,761,241,499.93
Jumla ya gharama za uendeshaji 11,586,544,077.9 10,363,978,301.8
Uwiano wa mapato na gharama za
uendeshaji
0.78:1 0.75:1
Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji
kupitia vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 0.75:1 kwa mwaka
2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.78:1 kwa mwaka 2016/2017.
Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar kuongeza
jitihada katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama
za uendeshaji.
109
MATOKEO YA UKAGUZI
3.15.1 Kukosekana kwa mkataba wa utoaji wa huduma kati ya Mamlaka ya
Viwanja vya Ndege na kampuni ya Transworld Company LTD
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar iliingia mkataba wa utoaji wa huduma mbali
mbali na kampuni ya Transworld Company LTD. Ukaguzi umeshindwa kupata mkataba
wa makubaliano hayo ili kuweza kujiridhisha kiasi cha malipo yanayolipwa kama
yanalingana na masharti ya mkataba huo. Malipo yenyewe ni kama yafuatayo:-
Jina la Mteja Jumla ya Fedha iliyolipwa
(USD)
Transworld ( lost and found office) 3,680
Transworld (B/ centre office) 5,278.5
Transworld (departure office) 2,889.90
Transworld (ramping office) 1,715.68
Transworld (emergence cargos) 2,614.89
Transworld work shop ( kicheko) 14,160
Transworid workshop area 13,341.93
Jumla ya malipo 43,680.90
3.15.2 Kushindwa kuthibitisha malipo ya asilimia 5 ya fedha zinazotokana na
watoa huduma mbali mbali wa Uwanja wa Ndege.
Ukaguzi umebaini kwamba Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imeingia mkataba wa utoaji
wa huduma mbali mbali katika Uwanja wa Ndege. Kwa mujibu wa makubaliano hayo
Mamlaka inatakiwa kulipwa asilimia 5 ya fedha zinazopatikana kutokana na huduma
wanazotoa. Hadi ukaguzi unakamilika ukaguzi umeshindwa kuthibitisha mapato ya
jumla yaliyopatikana kutokana na huduma zinazotolewa na makampuni mbali mbali
Uwanja wa Ndege. Orodha ya makampuni hayo ni kama yafuatayo:-
110
Nam Jina la Kampuni
1. AEROTECH ZANZIBAR
2. AIRBORN SERVICES
3. ARRIVAL B CHANGE
4. ARRIVAL CAFÉ
5. BUSINESS CLASS LOUNGE
6. COFFEE BAZAR
7. COFFEE SHOP – LEE ENTPR
8. CRDB BANK
9. DEPARTURE B CHANGE
10. DIRECT MAINTANANCE
11. HILMY B CHANGE
12. JAMANI BUSINESS CENTRE
13. JAMANI BUSINESS CL/LOUNGE
14. JAMANI DEPARTURE SHOP
15. JAMANI DUTY FREE SHOP
16. JAMANI JEWS SHOP
17. JAMANI PALM TREE RESTAURANT
18. JAMANI PALM TREE SHOP
19. JAMANI WRAPING MACHINES
20. MOZETI CO. LTD
21. PUMA ENERGY
22. PARADISE LOUNGE
23. SWAHILI B CHANGE
24. SOFT DRINKS
25. THE EXECUTIVE CHEF
26. TRANSWORLD AVIATION
27. ZAN AIR HANGAR
111
28. ZANZIBAR ART COLLECTION
29. ZANZIBAR B CHANGE
30. ZANZIBAR DATACOM
31. ZEE ENTERTAINMENT
32. ZSTC
33. ZAT
34. LOCAL FOOD BAZAAR
35. AL BASHASH BUREAU DE CHANGE
36. JAHAZI CAFÉ
37. OCEAN GIFT COMPANY
38. PUMA ENERGY (FUEL CONC)
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu
wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.
3.16 MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI ZANZIBAR
(ZURA)
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) haikuwasilisha
taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mdhibiti
na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu
za Serikali ilichukuwa hatua ya kuwakumbusha na kuwaandikia barua yenye
kumbukumbu namba AUD/D.33/1/VOL.I/3 ya tarehe 11/12/2018 na barua yenye
kumbukumbu namba AUD/D.33/1/VOL.I/4 ya tarehe 11/02/2019 lakini wameshindwa
kuwasilisha hesabu hizo hadi ukaguzi ulipokamilika.
112
Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kifungu 119(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha
za Umma nambari 12 ya mwaka 2016. Hivyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali ameshindwa kukagua na kutoa maoni ya hesabu za Mamlaka hiyo.