112
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

  • Upload
    others

  • View
    8

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA

HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA

HESABU ZA SERIKALI

KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI

YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Page 2: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

2

YALIYOMO

SURA YA KWANZA……………………………………………………………………….……………...3

1.0 UTANGULIZI .............................................................................................. 3

1.1 MAJUKUMU YA OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ......... 3

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI ........................................................... 4

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI ........................................................................ 5

1.4 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ....................... 7

1.5 UMUHIMU WA KUFANYA UKAGUZI .............................................................................. 7

1.6 SHUKURANI ............................................................................................................... 8

SURA YA PILI……………………………………………..………………………………………….....3

2.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017 ........................................... 9

2.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 ....... 9

2.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 KWA AJILI YA UKAGUZI

9

2.3 AINA YA HATI ZA UKAGUZI ........................................................................................ 12

SURA YA TATU……………………………………………..…………………………………………...3

3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI WA HESABU ZA MASHIRIKA NA

TAASISI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ................................................ 15

3.1 UKAGUZI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 ......................................... 15

3.2 SHIRIKA LA MAGAZETI .............................................................................................. 15

3.3 SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC) ................................................................. 22

3.4 CHUO CHA KILIMO – KIZIMBANI ................................................................................ 30

3.5 MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR (ZAWA) ........................................................................ 37

3.6 MAMLAKA YA VITEGA UCHUMI ZANZIBAR (ZIPA) ........................................................ 43

3.7 CHUO CHA UTAWALA WA UMMA - IPA ........................................................................ 49

3.8 CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR (ZITOD) ............................................... 55

3.9 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI. ............................................................................. 62

3.10 CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA) ................................................................ 68

3.11 SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA .................................................................................. 74

3.12 SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR ................................................................................ 87

3.13 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA ZANZIBAR – ZSTC ..................................................... 92

3.14 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA LA ZANZIBAR (ZSTC) TAWI LA DAR ES SALAAM ........ 102

3.15 MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR ......................................................... 103

3.16 MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI ZANZIBAR (ZURA) ........... 111

Page 3: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

3

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA

SERIKALI KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI

YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - KWA MWAKA WA FEDHA

2016/2017

SURA YA KWANZA

1.0 UTANGULIZI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kukagua hesabu zote

za Serikali, Mashirika ya Umma ,Taasisi za umma pamoja na Miradi mbali mbali ya

maendeleo na baadae kutoa taarifa za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hiyo itaeleza

udhibiti na uhifadhi wa fedha na mali za Umma.

Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu 112(5) Mdhibiti na

Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kuwasilisha kila taarifa ya ukaguzi

wa hesabu atakazotoa kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 112(3) cha Katiba.

Kutokana na mabadiliko ya kazi za ukaguzi kumekuwa na mafanikio makubwa

katika utendaji na uwajibikaji katika sekta za umma kwenye matumizi ya rasilimali

za umma. Aidha, kuimarika kwa mfumo wa fedha pamoja na utekelezaji wa sheria

za fedha na manunuzi za umma kumechangia kwa kuimarika kwa uwazi na

uwajibikaji katika taasisi za Serikali pamoja na utekelezaji wa miradi mbali mbali ya

maendeleo na kuleta tija kwa wananchi.

1.1 MAJUKUMU YA OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU

ZA SERIKALI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua

hesabu za Taasisi za Serikali na baadae kutoa taarifa zake za ukaguzi huo kila

mwaka. Taarifa hizo zitaelezea hali halisi za mapato na matumizi ya fedha kutoka

Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na utekelezaji

wa sheria mbali mbali zikiwemo sheria za fedha, sheria za manunuzi na sheria

nyenginezo.

Page 4: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

4

Kwa mujibu wa kifungu 112 (3) cha Katiba ya Zanzibar 1984,Mdhibiti na Mkaguzi

Mkuu wa Hesabu anawajibika kufanya yafuatayo:-

“a) Kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu

wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, matumizi yake yameidhinishwa

kisheria na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo basi

ataidhinisha fedha hizo zitolewe.

b) Kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa

yanatokana na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa

na Baraza la Wawakilishi, na ambazo zimetumika kwa ajili ya shughuli zilizohusika na

matumizi ya fedha hizo na kwamba matumzi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini

iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na

c) Angalau mara moja kwa kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu zinazosimamiwa na

watumishi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu za Mahkama zote za

Zanzibar, hesabu za Tume au vyombo vyengine vilivyoanzishwa na Katiba hii na

hesabu zozote zinazohusika na Baraza la Wawakilishi. ”

Ukaguzi wa hesabu umefanywa kwa kuzingatia miongozo na vigezo mbali mbali vya

ukaguzi ili kukidhi matarajio ya wadau wetu na wananchi kwa ujumla. Ofisi ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendelea kufanya uchambuzi wa

njia bora zaidi kwa kufanya ukaguzi utakaoleta tija na kuongeza wigo na maeneo

yanayokaguliwa kwa lengo la kuimarisha utendaji na uwajibikaji katika sekta za

umma.

1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI

Ripoti hii imekusanya taarifa za ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar yakiwemo Mashirika ya Umma na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa

kuzingatia taarifa za mapato na matumizi ambazo zimeelezwa kwenye taarifa za

ukaguzi zilizotumwa kwa Taasisi husika.

Ukaguzi ulifanyika kwa mujibu wa viwango vya kimataifa vya taasisi kuu za ukaguzi

(ISSAIs) ili kutoa uhakika kama taarifa za fedha zinaonyesha sura halisi. Taratibu za

Page 5: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

5

ukaguzi zinajumuisha uchambuzi na kumbukumbu za taarifa mbali mbali, mifumo ya

udhibiti wa ndani, mifumo ya taarifa za kisheria zinazosimamia uendeshaji wa taasisi

zilizokaguliwa.

Taarifa hizo zinaonesha kwa muhtasari matokeo ya ukaguzi uliofanyika kwa misingi

ya sampuli, kwa hivyo matokeo ya ukaguzi kwa kiasi kikubwa yalitegemea

kumbukumbu za taarifa na nyaraka tulizoziomba na kuwasilishwa kwa ajili ya

kufanya ukaguzi.

Taarifa hizo zilijumuisha hesabu za mwisho wa mwaka ambapo ziliandaliwa kwa

mujibu wa viwango vya kitaifa na kimataifa vya uhasibu kwa sekta ya umma.

Taarifa hizo ni kama zifuatazo: -

I. Mizani ya Hesabu

II. Taarifa ya Mapato na Matumizi

III. Taarifa kuhusu mabadiliko ya mtaji

IV. Taarifa ya mtiririko wa fedha

V. Taarifa ya uwiano wa bajeti na kiasi halisi cha matumizi

VI. Sera za uhasibu na maelezo ya taarifa za fedha

1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI

Katika kufanya ukaguzi wa Hesabu kwa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali

tulizingatia taratibu za ukaguzi zifuatazo: -

i. Kutoa barua za kushiriki ukaguzi kwa taasisi inayokaguliwa kabla ya kuanza kazi

za ukaguzi inayoeleza madhumuni na upeo wa ukaguzi, maeneo yanayotarajiwa

kufanya ukaguzi na kuelezea majukumu ya ukaguzi kwa mkaguzi (Engagement

Letter).

ii. Kuandaa mkakati na ujumla wa ukaguzi unaonesha muelekeo mzima wa ukaguzi,

vigezo vitakavyotumika katika hatua za mwanzo za kutathmini Mashirika ya

Umma na Taasisi za Serikali zinazokaguliwa.

iii. Kufanya kikao cha kuanza kazi za ukaguzi (Entrance Meeting) ambapo katika

kikao hicho uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali zinazokaguliwa

kwa lengo la kupata uelewa kabla ya kuanza kazi za ukaguzi.

Page 6: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

6

iv. Kujadiliana na uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali kuhusu

utekelezaji na utendaji kwa kipindi cha mwaka husika.

v. Kupitia na kuhakiki nyaraka mbalimbali kwa ajili ya kupata uelewa wa shughuli za

Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali.

vi. Kutumia njia na mbinu nyingine za ukaguzi kama ilivyoainishwa kwenye

muongozo wa ukaguzi (Regularity Audit Manual).

vii. Kutoa ripoti ya ukaguzi mawazo kwa uongozi ambayo itakuwa inaonyesha

kilichobainika wakati wa ukaguzi na kutoa nafasi kwa uongozi kutoa maelezo

kuhusu ripoti hiyo.

viii. Kutoa rasimu ya ripoti ya ukaguzi kwa uongozi inayoeleza hoja za ukaguzi

zilizobainishwa na kutoa muda kwa uongozi kuweza kujibu hoja hizo.

ix. Kufanya kikao cha mwisho (Exit Meeting) na mkaguliwa baada ya kumaliza

ukaguzi ambapo katika kikao hicho hupitia kwa pamoja hoja zilizojitokeza wakati

wa ukaguzi.

x. Kutoa ripoti ya mwisho kwa uongozi wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali

inayoonesha matokeo ya ukaguzi ikiwemo hoja za ukaguzi na kutoa nafasi kwa

uongozi na mkaguliwa kuweza kujibu hoja hizo.

xi. Kutoa ripoti ya ukaguzi kwa uongozi inayoonesha hati ya ukaguzi aliyopata

mkaguliwa kuhusiana na taarifa za fedha.

Aidha mbinu za kuangalia viashiria vya maeneo hatarishi katika Mashirika ya Umma

na Taasisi za Serikali zilizokaguliwa zilitumika katika ukaguzi ambapo mbinu hizi za

ukaguzi zinasisitiza haja ya kuelewa kwa kina mazingira ya taasisi inayokaguliwa

ikiwemo mfumo wa udhibiti wa ndani, kutathmini vihatarishi na kubaini viashiria

vitakavyoathiri udhibiti wa ndani.

Mbinu za ukaguzi zinatekelezwa kwa kutumia muongozo na utaratibu wa ukaguzi, ili

kuhakikisha kwamba mbinu za ukaguzi zinaenda na wakati ambapo Ofisi inafanya

mapitio ya muongozo wa utaratibu na ukaguzi kila mwaka kwa kuimarisha ukaguzi

na kuhakikisha kwamba mabadiliko yoyote muhimu yanajitokeza katika fani ya

ukaguzi na uhasibu pamoja na mabadiliko ya mifumo ya sheria yanazingatiwa

ipasavyo.

Aidha utendaji wa mashirika ya umma na taasisi za Serikali zilizokaguliwa

umeangaliwa na kuonesha viwango vya kiutendaji kifedha na kiuendeshaji. Utendaji

Page 7: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

7

wa kifedha umepimwa kwa kuangalia faida au hasara iliyopatikana kwa kipindi cha

mwaka husika. Utendaji wa kiuendeshaji umepimwa kwa kuangalia ni kwa kiasi gani

taasisi imeweza kufikia malengo yake ya msingi.

1.4 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA

SERIKALI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua

hesabu za Mashirika ya Serikali pamoja na Taasisi za Serikali kama ilivyoainishwa

katika Katiba ya Zanzibar,1984 na sheria nyenginezo na baadae kutoa taarifa zake

za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hizo zitaelezea hali halisi za mapato na

matumizi ya fedha pamoja na utekelezaji wa sheria mbali mbali zikiwemo sheria za

fedha, sheria za manunuzi na sheria nyenginezo.

Baada ya kumaliza ukaguzi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

anawajibika kutoa maoni juu ya hesabu hizo na kuonesha hali halisi ya taarifa za

hesabu iwapo zinatoa sura sahihi na halisi kwa kipindi kilichokaguliwa. Maoni hayo

yatahusiana na mambo yafuatayo: -

i. Kutoa ushauri juu ya mambo yanayohitaji kufanyiwa marekebisho kuhusiana

na shughuli za Taasisi zinazokaguliwa.

ii. Kuzuia na kupunguza matumizi ya Fedha za umma yasiyokua na tija

iii. Kuongeza makusanyo na kuzuia upotevu wa fedha na rasilimali za umma.

iv. Kuzuia hasara au kutoa tahadhari juu ya hasara inayoweza kutokea kwa

uzembe, upotevu,kukosa uaminifu,udanganyifu au rushwa kuhusiana na

fedha au rasilimali za umma.

v. Kuongeza uchumi, tija na ufanisi katika kutumia fedha za umma.

1.5 UMUHIMU WA KUFANYA UKAGUZI

Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kumuwezesha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa

Hesabu za Serikali kutoa maoni ya ukaguzi huru kuhusiana na hesabu za Taasisi

zilizokaguliwa ikiwemo Wizara, Idara, Wakala wa Serikali pamoja na Mamlaka mbali

mbali za Serikali. Vile vile kubaini kwamba hesabu hizo kama zinatayarishwa kwa

kuzingatia viwango vya kitaifa na kimataifa vya Uhasibu katika sekta ya umma au

kwa viwango vya kimatifa vya taarifa za fedha. Ufanisi wa ukaguzi unategemea

mawasiliano mazuri na uongozi wa taasisi inayokaguliwa.

Page 8: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

8

Aidha tunahakikisha kwamba ukaguzi tunaofanya unalenga kutoa kipaombele katika

maeneo muhimu ili kuchangia maendeleo katika sekta za umma na hatimae

kuimarisha maendeleo ya wananchi kwa ujumla.

Ni imani yangu kwamba kuimarika kwa kazi za ukaguzi kutaongeza na kuimarisha

uwazi na uwajibikaji katika mapato na matumizi ya fedha na rasilimali za umma na

tunategemea ufanisi na tija vinapatikana kwa kila rasilimali itakayotumika kwa ajili

ya maendeleo ya wananchi na taifa kwa jumla.

1.6 SHUKURANI

Napenda kutoa shukurani kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyengine

kuanzia kazi za ukaguzi, ufuatiliaji maeneo mbali mbali yaliyokaguliwa hadi

kukamilika kwa ripoti hii ya ukaguzi ya mwaka 2016/2017.

Aidha, natoa shukrani zangu za dhati kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa

jitihada mbali mbali zinazochukuliwa katika kuimarisha Ofisi hii kiutendaji na

watendaji kwa ujumla. Vile vile napenda kuwapongeza na kuwashukuru

wafanyakazi wote wa Ofisi hii kwa juhudi zao wanazochukuwa hadi kufanikisha

kukamilika kwa ripoti hii kwa wakati.

Hali kadhalika, ninawashukuru viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar na watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali kwa

mashirikiano mazuri wanayotupa wakati wa kutekeleza kazi zetu za ukaguzi.

Mwisho, ninapenda kuishukuru Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za

Serikali (PAC), Kamati ya Sheria,Utawala Bora na Idara Maalum za Baraza la

Wawakilishi na wengineo kwa ujumla wao wamechangia maendeleo makubwa

yaliyopatikana katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

……………………………

FATMA MOHAMED SAID

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

ZANZIBAR

Page 9: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

9

SURA YA PILI

2.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2016/2017

Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka 2016/2017 imebainika kwamba uwekaji wa

kumbukumbu na taarifa mbali mbali za hesabu ikiwemo fedha na rasilimali za umma

pamoja na udhibiti wa ndani umeimarika.

2.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA

2015/2016

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu imekuwa ikitoa ripoti zenye ushauri na

mapendekezo mbalimbali katika usimamizi wa matumizi ya rasilimali za umma kwa

lengo la kuwa na utawala bora unaoheshimu sheria za fedha na manunuzi na sheria

nyenginezo.

Kufuatia tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa tumebaini kwamba

mapendekezo yaliyotolewa katika ripoti za ukaguzi za mwaka uliopita 2015/2016

yamefanyiwa kazi na kuonesha matumaini ya kuimarika kwa nidhamu ya matumizi ya

fedha na rasilimali za umma.

Tunapongeza juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika

kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na kupelekea

kuimarika kwa utendaji na uwajibikaji katika Mashirika na Taasisi za umma.

Hata hivyo kumejitokeza dosari za usimamizi wa fedha na ukiukwaji wa sheria za fedha

na manunuzi ya umma kwa baadhi ya Mashirika na Taasisi na kupelekea mapungufu

katika hesabu za mwisho wa mwaka.

2.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017 KWA

AJILI YA UKAGUZI

Kwa mujibu wa kifungu namba 119(1) cha sheria ya usimamizi wa Fedha za Umma

Namba 12 ya mwaka 2016 inazitaka Taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa

kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu za mwaka,

zinazojumuisha Mapato na matumizi ya Taasisi husika. Aidha kifungu Namba 119(2) cha

sheria hiyo, kinawataka wasimamizi wa fedha katika Taasisi za Serikali kuwasilisha kwa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka

ndani ya miezi mitatu baada ya kukamilika kipindi cha mwaka.

Page 10: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

10

Tunatoa pongezi kwa Mashirika na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa jitihada

walizochukuwa za kuwasilisha hesabu za mwisho wa mwaka kwa mujibu wa sheria.

Uwasilishwaji wa hesabu za mwisho wa mwaka kwa ajili ya ukaguzi kutoka kwa

Mashirika na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kama ifuatavyo: -

Nam Fungu Shirika/Taasisi Tarehe iliyowasilishwa kwa

ukaguzi

2015/2016 2016/2017

1. Ruzuku Shirika la Magazeti 30/09/2016 29/09/2017

2. Ruzuku Shirika la Utangazaji

Zanzibar

26/07/2016 29/09/2017

3. Ruzuku Chuo cha Kilimo

Kizimbani

27/09/2016 29/09/2017

4. Ruzuku Mamlaka ya Maji (ZAWA) 29/09/2016 28/09/2017

5. Ruzuku Mamlaka ya Vitega

Uchumi Zanzibar(ZIPA)

30/09/2016 27/09/2017

6. Ruzuku Chuo cha Utawala wa

Umma

30/09/2016 29/09/2017

7. Ruzuku Chuo cha Maendeleo ya

Utalii

30/09/2016 27/09/2017

8. Ruzuku Chuo cha Uandishi wa

Habari

30/09/2016 28/09/2017

9. Ruzuku Chuo cha Sayansi za Afya

Zanzibar

09/11/2016 06/10/2017

10. Ruzuku Chuo Kikuu cha Taifa

(SUZA)

27/09/2016 28/09/2017

11. Ruzuku Mamlaka ya Uvuvi wa

Bahari Kuu

29/09/2016 29/09/2017

Page 11: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

11

12. Linajitegemea Shirika la Bandari 09/09/2016 28/09/2017

13. Ruzuku Shirika la Meli na

Uwakala

27/09/2016 29/09/2017

14. Linajitegemea Shirika la Biashara la

Taifa (ZSTC)

Haikuwasilishwa

kwa wakati

01/02/2018

Page 12: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

12

2.3 AINA YA HATI ZA UKAGUZI

Hati za ukaguzi zinatolewa kutokana na matokeo ya ukaguzi ambapo hati hizo huonesha

aina ya hati inayotolewa kulingana na taarifa za hesabu zililizokaguliwa zenye

kuonyesha hali halisi ya hesabu hizo.

Aina tofauti ya hati za ukaguzi zinatolewa kwa mazingira tofauti kulingana na usahihi wa

hesabu zilizokaguliwa. Hati zenyewe ni kama zifuatazo:-

Hati inayoridhisha, Hati isiyoridhisha, Hati yenye mashaka na Hati mbaya.

Hati inayoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kutokana na kukidhi

viwango vilivyotumika katika uandaaji wa hesabu, usahihi wa taarifa pamoja na

ushahidi uliopatikana wakati wa ukaguzi, na kupelekea kutoa sura sahihi na halisi ya

hesabu hizo.

Hati isiyoridhisha

Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kwamba taarifa za hesabu

zilizoandaliwa imebainika kuwa zina dosari kubwa na za umuhimu, dosari ambazo

zinaweza kusababisha taarifa za hesabu kupoteza uhalisia wake na hivyo kutoaminiwa

na kupelekea kutokuonyesha sura sahihi na halisi ya hesabu hizo.

Hati yenye shaka

Hati ya aina hii hutolewa baada ya Ukaguzi kujiridhisha kuwa, kulingana na ushahidi wa

kiukaguzi mambo yafuatayo yamejitokeza.

Taarifa za fedha zilizoandaliwa zina dosari kubwa ambazo zinaweza kuathiri hesabu

endapo zikichukuliwa aidha moja baada ya moja au kwa ujumla wake kwenye taarifa

hizo haitoweza kuleta sura sahihi na halisi za hesabu hizo.

Pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata taarifa, nyaraka na vielelezo vya kutosha

vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kwa hesabu

hizo.

Kuwepo kwa kiasi kikubwa cha mapato na matumizi yasiyokua na nyaraka muhimu

na kufanya matumizi bila ya kuwa na kibali halali au matumizi ya mapato ambayo

hayakuidhinishwa kutumika.

Page 13: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

13

Kutozingatiwa kwa Sheria na kanuni mbalimbali ambapo kunapelekea madhara

makubwa ambayo yanaweza kusababisha kutokutoa sura sahihi na halisi ya hesabu

hizo kwa mfano, kuwa na vitu ambavyo vilitakiwa kuripotiwa kwenye taarifa za

hesabu lakini havikuripotiwa na manunuzi ya vifaa hayakufuata Sheria na kanuni za

manunuzi.

Kufanya matumizi ambayo hayakuleta tija kwa Taasisi husika.

Kutofanyika kwa usuluhisho wa benki hali inayopelekea kushindwa kupata usahihi

wa salio la fedha mwishoni mwa mwaka wa fedha.

Hati mbaya

Hati hii hutolewa pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata nyaraka na vielelezo vya

kutosha wakati wa ukaguzi ili kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kutokana na mapungufu

yaliyojitokeza na kushindwa kugundua mambo ambayo yanaweza kusababisha madhara

makubwa katika Mashirika na Taasisi.

Hati zilizotolewa ni kama ifuatavyo: -

Nam Fungu Shirika/Taasisi Aina ya Hati

iliyotolewa

2015/2016

1. Ruzuku Shirika la Magazeti Hati inayoridhisha

2. Ruzuku Shirika la Utangazaji Zanzibar Hati inayoridhisha

3. Ruzuku Chuo cha Kilimo Kizimbani Hati inayoridhisha

4. Ruzuku Mamlaka ya Maji (ZAWA) Hati inayoridhisha

5. Ruzuku Mamlaka ya Vitega Uchumi

Zanzibar(ZIPA)

Hati inayoridhisha

6. Ruzuku Chuo cha Utawala wa Umma Hati inayoridhisha

7. Ruzuku Chuo cha Maendeleo ya Utalii Hati inayoridhisha

8. Ruzuku Chuo cha Uandishi wa Habari Hati inayoridhisha

Page 14: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

14

9. Ruzuku Chuo cha Sayansi za Afya

Zanzibar

Hati inayoridhisha

10. Ruzuku Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA) Hati inayoridhisha

11. Ruzuku Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu Hati inayoridhisha

12. Linajitegemea Shirika la Bandari Hati inayoridhisha

13. Ruzuku Shirika la Meli na Uwakala Hati inayoridhisha

14. Ruzuku Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) Hati inayoridhisha

Page 15: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

15

SURA YA TATU

3.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI WA HESABU ZA MASHIRIKA

NA TAASISI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Ukaguzi uliofanyika katika Mashirika na Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar imebainika kujitokeza kwa dosari za kiutendaji kwa baadhi ya Mashirika na

Taasisi hizo ambapo hoja mbali mbali za ukaguzi ziliainishwa katika ripoti za ukaguzi

zilizotolewa kwa Mashirika na Taasisi hizo na baadhi ya hoja hizo zilipatiwa maelezo na

vielelezo vilivyokosekana wakati wa ukaguzi.

3.1 UKAGUZI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Ukaguzi wa hesabu za mwisho wa mwaka 2016/2017 umebaini kwamba kumekuwa na

mabadiliko makubwa katika uwekaji wa kumbukumbu za hesabu pamoja na udhibiti

mzuri wa rasilimali za umma na kupelekea mafanikio katika ufungaji wa hesabu za

mwisho wa mwaka kwa Mashirika na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Matokeo ya ukaguzi wa hesabu hizo kwa Mashirika na Taasisi za Serikali pamoja na

maoni ya ukaguzi wa hesabu hizo ni kama ifuatavyo: -

3.2 SHIRIKA LA MAGAZETI

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Shirika la Magazeti lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 550,000,000 katika kipindi

cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ukusanyaji wa mapato ulikuwa ni

shilingi 932,581,775 sawa na asilimia 169 ya makadirio.

Mapato ya Shirika la Magazeti yamepungua kutoka shilingi 1,369,924,774 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 932,581,775 kwa mwaka 2016/2017 kukiwa na

upungufu wa shilingi 437,342,999 sawa na asilimia 32 ya upungufu.

Taarifa ya matumizi

Shirika la Magazeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia

jumla shilingi 1,075,592,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia Juni 2017, jumla ya

950,086,500 zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 88.3 ya makadirio.

Page 16: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

16

Matumizi ya Shirika la Magazeti yameongezeka kutoka shilingi 616,889,381 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 950,086,500 kwa mwaka 2016/2017 kukiwa na

ongezeko la shilingi 333,197,119 sawa na asilimia 54 ya ongezeko.

Page 17: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

17

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017.

THE CORPORATION OF GOVERNEMENT NEWSPAPERS (CGN)

AS AT 30TH JUNE 2017

Page 18: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

18

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Shirika la Magazeti lina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima zake za mpito.

Hata hivyo kupungua kwa mali za mpito kumeathiri uwiano wa dhima za mpito ambapo

mazingatio ya kina yanahitajika ili Shirika liweze kumudu dhima zake za mpito.

2016/2017 2015/2016

Mali za mpito 446,286,448 600,362,509

Dhima za mpito 353,885,564 362,473,034

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za mpito / Dhima za mpito

1.3:1 1.6:1

Page 19: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

19

THE CORPORATION OF GOVERNEMENT NEWSPAPERS (CGN)

AS AT 30TH JUNE 2017

Page 20: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

20

Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Magazeti limepata hasara ya shilingi

140,549,909 kwa mwaka 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha 2015/2016 Shirika

lilipata faida ya shilingi 3,810,751. Ukaguzi umebaini kwamba hasara hiyo inaweza

kuongezeka iwapo hatua za kupunguza gharama za uendeshaji hazitochukuliwa.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA

Uwezo wa Shirika katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Shirika kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 932,581,775 883,221,624

Ruzuku kutoka Serikalini 544,979,750 486,703,150

Mapato yote 1,477,561,525 1,369,924,774

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na shirika kwa mapato yote

63.1 64.5

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini

36.9 35.5

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kujitegemea kupitia

vyanzo vyake vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 63.1 kwa mwaka wa

fedha 2017 ukilinganisha na asilimia 64.5 kwa mwaka wa fedha 2016.

Shirika linapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kupunguza utegemezi

kutoka Serikalini.

Page 21: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

21

Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 932,581,775 883,221,624

Jumla ya gharama za uendeshaji 877,087,146 1,366,114,230

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

1.06:1 0.65:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.65:1 kwa

mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 1.06:1 kwa mwaka 2016/2017. Ukaguzi

unashauri uongozi wa Shirika la Magazeti kuongeza jitihada katika ukusanyaji na

usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Shirika liweze

kujiendesha kibiashara.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Magazeti kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Magazeti limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 22: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

22

3.3 SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Shirika la Utangazaji lilikusanya jumla ya shilingi 853,236,998.05 kutoka katika vianzio

vyake vya ndani. Aidha Shirika la Utangazaji lilipata ruzuku ya shilingi 2,099,976,077.

Mapato ya Shirika la Utangazaji Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 2,262,200,453

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,953,213,075 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa

ni ongezeko la shilingi 691,012,622 sawa na asilimia 31.

Taarifa ya Matumizi

Shirika la Utangazaji kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia jumla ya

shilingi 1,739,536,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 kiasi cha shilingi

2,412,141,176 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 78 ikiwa

na upungufu wa jumla ya shilingi 384,271,780 ambapo ni sawa na asilimia 22 ya

makadirio.

Matumizi ya Shirika la Utangazaji yameongezeka kutoka shilingi 2,292,912,196.29 kwa

mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,868,586,433 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni

ongezeko la shilingi 575,674,236.71 sawa na asilimia 25.

Page 23: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

23

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 24: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

24

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 502,848,138 543,642,228

Dhima za mpito 644,153,851 990,265,055

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

0.8:1 0.5:1

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hata hivyo Shirika la Utangazaji halina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima

zake za mpito.

Page 25: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

25

Page 26: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

26

Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Utangazaji Zanzibar limepata hasara ya shilingi

254,681,258 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 270,179,901 kwa mwaka

wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shilingi 15,498,643 sawa na asilimia 5.7 ya

hasara kwa mwaka uliopita.

Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara

iwapo Shirika litachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na

kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA

Uwezo wa shirika katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Shirika kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 853,236,998 552,545,818

Ruzuku kutoka Serikalini 2,099,976,077 1,709,654,635

Mapato yote 2,953,213,075 2,262,200,453

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na shirika kwa mapato yote 28.9 24.42

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini 71.1 75.58

Uchambuzi wa mapato ya Shirika unaonyesha kuwa Shirika linategemea zaidi ruzuku

kutoka Serikalini ambayo ni sawa na asilimia 71.1 ya mapato yake yote kwa mwaka wa

fedha 2016/2017. Shirika linapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa

mapato ili kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 27: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

27

Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 853,236,998 552,545,818

Jumla ya gharama za uendeshaji 3,207,894,333.40 2,588,654,615.29

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.27:1 0.21:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.21:1 kwa

mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.27:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Utangazaji kuongeza jitihada katika ukusanyaji

na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Shirika

liweze kujiendesha kibiashara.

MATOKEO YA UKAGUZI

3.3.1 Malipo yaliyolipwa kinyume na makubaliano ya Mkataba shilingi

17,426,485

Ukaguzi umebaini kwamba Shirika la Utangazaji limefanya malipo kupitia hati namba

7/2 kwa hundi namba TT yenye thamani ya shilingi 17,426,485 iliyolipwa kwa kampuni

ya Nangara Traders Limited kupitia mkataba wa makubaliano ya utengenezaji wa Studio

namba 4 iliyopo Rahaleo na ndugu Mark Evans mnamo tarehe 10/01/2017 ambapo

mkataba huo utadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja kutoka tarehe 18 Novemba 2016

hadi tarehe 18 Novemba 2017.

Kwa mujibu wa mkataba huo malipo hayo yalipaswa kulipwa kwa kampuni ya Nangara

Traders Limited kupitia Hesabu namba NMB 21203500116 kwa awamu mbili tofauti,

awamu ya mwanzo yatalipwa shilingi 9,000,000 na awamu ya pili yatalipwa fedha yote

iliyobakia.

Page 28: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

28

Hadi ukaguzi unakamilika jumla ya shilingi 17,426,485 zimebainika kulipwa kinyume na

utaratibu, ambazo zimepelekea kubainika kwa dosari mbali mbali za kiutendaji katika

mkataba huo pamoja na njia za ulipwaji wa malipo hayo kama zifuatazo:-

Kasoro zilizojitokeza

Malipo yaliyolipwa awamu ya mwanzo kupitia hati namba 7/2 ya tarehe 08/02/2017

yalikuwa shilingi 17,426,485 ambapo makubaliano yalimtaka ZBC kufanya malipo ya

shilingi 9,000,000.

Mkataba huo uliandaliwa kwa upande mmoja tu wa Shirika la Utangazaji, na

hakukuwa na uhusiano wa upande wa pili.

Tarehe halisi za ufungwaji wa mkataba huo haziendani na uhalisia, kwani imebainika

mkataba umefungwa tarehe 10/01/2017 lakini muda wa mkataba utaanza tarehe 18

Novemba 2016 na kumalizika tarehe 18 Novemba 2017 malipo ya awamu ya

mwanzo yamelipwa tarehe 08/02/2017.

3.3.2 Malipo yaliyolipwa kinyume na makubaliano ya Mkataba shilingi

19,512,008

Ukaguzi umebaini Shirika la Utangazaji limefanya malipo kupitia hati namba 24/1 kwa

hundi namba TT yenye thamani ya shilingi 19,512,008 iliyolipwa kwa kampuni ya

Nangara Traders Limited kupitia mkataba wa makubaliano ya utengenezaji wa Studio

namba 3 iliyopo Rahaleo na ndugu Mark Evans mnamo tarehe 03/01/2017 ambapo

mkataba huo utadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja kutoka tarehe 03 January 2017

hadi tarehe 03 February 2018.

Kwa mujibu wa mkataba huo malipo hayo yalipaswa kulipwa kwa kampuni ya Nangara

Traders Limited kupitia Hesabu namba NMB 21203500116 kwa awamu mbili tofauti,

awamu ya mwanzo yatalipwa shilingi 10,000,000 na awamu ya pili yatalipwa fedha yote

iliyobakia.

Hadi ukaguzi unakamilika jumla ya shilingi 18,536,408 zimebainika kulipwa kinyume na

utaratibu, ambazo zimepelekea kubainika kwa dosari mbali mbali za kiutendaji katika

mkataba huo kama zifuatazo:-

Page 29: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

29

Kasoro zilizojitokeza

Malipo yaliyolipwa awamu ya mwanzo kupitia hati namba 24/1 yalikuwa shilingi

18,536,408 ambapo makubaliano yalimtaka shirika la ZBC kufanya malipo ya shilingi

10,000,000.

Mkataba huo uliandaliwa na kusainiwa kwa upande mmoja tu wa Shirika la

Utangazaji, na hakukuwa na uhusiano wa upande wa pili wa mkandarasi huyo.

3.3.3 Malipo ya ujenzi wa studio nambari 1 na 2 yaliyofanyika bila ya kuwepo

kwa makubaliano ya mkataba wa ujenzi shilingi 30,422,777

Ukaguzi umebaini kwamba Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) limefanya malipo mbali

mbali kwa kampuni ya Nangara Traders Limited kwa ajili ya ujenzi wa studio namba

moja na namba mbili. Malipo hayo yalilipwa kupitia hati namba 34/11 na 49/12 zenye

jumla ya shilingi 30,422,777 pasi na kuwepo kwa mkataba katika utekelezaji wa kazi

hizo. Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Sheria ya Manunuzi ya Umma na Uondoshaji

wa Mali namba 11 ya mwaka 2016.

Malipo wenyewe ni kama ifuatavyo:-

Hati Namba Hundi Namba Aliyelipwa Thamani

34/11 TT Nangara Trader Ltd 14,713,957

49/12 TT Nangara Trader Ltd 15,708,820

Jumla 30,422,777

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Utangazaji Zanzibar kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Utangazaji Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 30: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

30

3.4 CHUO CHA KILIMO – KIZIMBANI

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa za Mapato.

Chuo cha Kilimo Kizimbani imekadiriwa kutumia jumla ya shilingi 858,245,700 kwa

mwaka wa fedha 2016/2017, kati ya hizo Shilingi 551,520,000 ikiwa ni ruzuku kutoka

Serikalini shilingi 211,390,700 ikiwa ni ada ya wanafunzi, Shilingi 83,335,000 ikiwa

mchango kwa Wahisani wa Maendeleo na Shilingi 12,000,000 ikiwa ni chanzo cha

mapato ya ndani.

Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2017 Chuo cha Kilimo Kizimbani kilikusanya kama ifuatavyo

Vyanzo vya Mapato Kilichokadiriwa

(shs)

Kilichokusanywa

(shs)

Ruzuku kutoka Serikalini 551,520,000 640,913,519

Ada ya Wanafunzi 211,390,700 198,338,000

Mchango kwa Wahisani 83,335,000 72,396,700

Mapato ya ndani 12,000,000 3,977,000

Jumla 858,245,700 915,625,219

Mapato ya Chuo cha Kilimo yamepungua kutoka shilingi 965,613,430 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 915,625,219 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni upungufu

wa shilingi 49,988,211 sawa na asilimia 5 ya upungufu.

Taarifa za Matumizi

Chuo cha Kilimo Kizimbani ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 858,245,700 kwa ajili ya

kazi za kawaida, kati ya hizo shilingi 551,520,000 ikiwa ni mishahara na shilingi

211,390,700 ikiwa ni Ada ya wanafunzi pamoja shilingi 12,000,000 ikiwa ni matumizi ya

mapato ya ndani na shilingi 83,335,000 ikiwa ni mchango wa wahisani.

Hadi kufikia 30 Juni 2017, Chuo kilitumia jumla ya shilingi 905,029,670 mchanganua wa

matumizi hayo kama ifuatavyo.

Page 31: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

31

Vyanzo vya Matumizi Makadiri (shs) Matumizi (shs)

Ruzuku kutoka serikalini 551,520,000 610,461,000

Ada ya wanafunzi 211,390,700 238,264,170

Mchango kwa Wahisani wa Maendeleo

83,335,000 52,907,500

Mapato ya ndani 12,000,000 3,397,000

Jumla ya matumizi 858,245,700 905,029,670

Matumizi ya Chuo cha Kilimo yamepungua kutoka shilingi 1,030,647,506 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 905,029,670 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni upungufu

wa shilingi 125,707,836 sawa na asilimia 12.2 ya upungufu.

Page 32: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

32

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 33: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

33

Uchambuzi wa hesabu za Chuo zinaonesha kwamba, Chuo hakina dhima za mpito

kutokana na kukosekana kwa madeni.

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 163,648,461 182,751,612

Dhima za mpito NIL NIL

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

NIL NIL

Page 34: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

34

Page 35: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

35

Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Kilimo Kizimbani kimepata hasara ya shilingi

47,289,217 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 111,138,282 kwa mwaka

wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shilingi 63,849,065 sawa na asilimia 57.5 ya

hasara kwa mwaka uliopita.

Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara

iwapo Chuo kitachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na

kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO

Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 202,315,000 167,892,100

Ruzuku kutoka Serikalini 640,913,519 695,364,210

Mapato kutoka kwa Wahisani 72,396,700 102,367,120

Mapato yote 915,625,219 965,623,430

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na Chuo kwa mapato yote 22.1 17.4

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini 70 72

Asilimia ya mapato kutoka kwa

Wahisani 7.9 10.6

Uchambuzi unaonyesha kwamba Chuo kinategemea zaidi ruzuku kutoka Serikalini

ambayo ni sawa na asilimia 70 ya mapato yake yote kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ili

kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 36: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

36

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Chuo gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 202,315,000 167,892,100

Jumla ya gharama za uendeshaji 962,914,436 1,076,751,712

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.21:1 0.16:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.16:1 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.21:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Kilimo Kizimbani kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji

ili Chuo kiweze kujiendesha.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Kilimo Kizimbani kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo cha Kilimo Kizimbani kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 37: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

37

3.5 MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR (ZAWA)

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar ilikadiriwa kukusanya

jumla ya shilingi 15,707,868,424 kutokana na vyanzo mbali mbali vya mapato, Hadi

kufikia Juni 2017 imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 17,419,648,941.54 sawa na

asilimia 110.9 ya makadirio.

Mapato ya Mamlaka ya Maji yameongezeka kutoka shilingi 15,707,554,021 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 17,419,648,941.54 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni

ongezeko la shilingi 1,712,094,920.5 sawa na asilimia 11 ya ongezeko.

Taarifa ya Matumizi

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar ilikadiriwa kutumia

jumla ya shilingi 15,707,868,424 kati ya hizo shilingi 12,872,529,888 zilipangwa kwa

kazi za kawaida na shilingi 2,835,338,536 kwa kazi za maendeleo.

Hadi kufikia 30 Juni 2017 Mamlaka ya Maji Zanzibar imetumia jumla ya shilingi

6,448,223,277 kati ya hizo shilingi 4,981,830,252 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia

38.70 ya makadirio na shilingi 1,466,393,025 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia

51.72 ya makadirio.

Matumizi ya Mamlaka ya Maji yamepungua kutoka shilingi 10,092,122,038 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia shilingi 14,751,736,095.4 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni

ongezeko la shilingi 4,659,614,057.4 sawa na asilimia 46 ya ongezeko.

Page 38: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

38

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 39: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

39

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 10,220,363,883.30 9,130,415,580.46

Dhima za mpito 2,585,427,086.98 2,275,908,879

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

3.9:1 4:1

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hata hivyo Mamlaka ya Maji ina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima zake

za mpito.

Page 40: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

40

Page 41: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

41

Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Maji imepata hasara ya shilingi

1,276,545,628.04 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 524,845,759.89 kwa

mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la shillingi 751,699,868 sawa na asilimia

143.2 ya hasara kwa mwaka uliopita.

Ukaguzi umebaini kwamba hasara hiyo imezidi kuongezeka kutokana na kuongezeka

kwa gharama za uendeshaji kutoka shilingi 15,490,811,360.52 kwa mwaka 2015/2016

hadi kufikia shilingi 18,696,194,569.57 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la

gharama la shilingi 3,205,383,209.05 sawa na asilimia 20.7.

Uongozi wa Mamlaka ya Maji unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji na usimamizi

wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA

Uwezo wa Mamlaka katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Mamlaka kupitia vianzio vyake pamoja na

mapato yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Makusanyo ya Mamlaka 6,990,751,614 6,073,925,789.96

Ruzuku kutoka Serikalini 10,428,897,327.54 9,633,628,230.87

Mapato yote 17,419,648,941.54 15,707,554,020.83

Asilimia ya mapato

yanayokusanywa na Mamlaka

kwa mapato yote 40.13 38.67

Asilimia ya mapato ya Ruzuku

kutoka Serikalini kwa mapato

yote 59.87 61.33

Page 42: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

42

Uchambuzi unaonyesha kwamba Mamlaka ya Maji inategemea zaidi ruzuku kutoka

Serikalini ambayo ni sawa na asilimia 59.87 ya mapato yote kwa mwaka wa fedha

2016/2017.

Mamlaka inashauriwa kuongeza wigo katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ili

kuweza kujiendesha wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Mamlaka gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 6,990,751,614 6,073,925,789.96

Jumla ya gharama za uendeshaji 18,696,194,569.57 15,490,811,360.52

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.37:1 0.39:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.39:1 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.37:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Maji kuongeza jitihada katika ukusanyaji na

usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili Mamlaka

iweze kujiendesha.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Maji Zanzibar, kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Maji imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha

unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 43: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

43

3.6 MAMLAKA YA VITEGA UCHUMI ZANZIBAR (ZIPA)

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) ilikusanya jumla ya shilingi

1,620,874,720.21 kutoka katika vianzio vyake vya ndani. Aidha Mamlaka ya Vitega

Uchumi Zanzibar (ZIPA) ilipata ruzuku ya shilingi 253,608,898 ikiwa ni jumla ya shilingi

1,874,483,618.21.

Mapato ya Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) yamepungua kutoka shilingi

1,992,907,959.51 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,874,483,618.21 kwa

mwaka 2016/2017 ikiwa na upungufu wa shilingi 118,424,341.3 sawa na asilimia 5.94

ya upungufu.

Taarifa ya Matumizi

Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilitumia

jumla ya shilingi 1,998,557,932.07 kwa kazi za kawaida.

Matumizi ya Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) yamepungua kutoka shilingi

2,230,799,200.75 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,998,557,932.07 kwa

mwaka 2016/2017 ikiwa na upungufu wa shilingi 232,241,268.68 sawa na asilimia

10.41 ya upungufu.

Page 44: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

44

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 45: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

45

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 2,112,958,371.8 1,840,099,869.12

Dhima za mpito 296,410,320,.65 389,004,614.00

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

7.1:1 4.7:1

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Mamlaka ya Vitega Uchumi ina uwezo wa kukidhi dhima zake zote za mpito

kutokana na kuwepo kwa kiwango kikubwa cha dhima hizo.

Page 46: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

46

Page 47: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

47

Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Vitega Uchumi imepata hasara ya shilingi

112,200,424.02 kwa mwaka 2016/2017 ukilinganisha na shilingi 201,080,568.68 kwa

mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni upungufu wa shillingi 88,880,044.66 sawa na

asilimia 44.2 ya hasara kwa mwaka uliopita.

Mwenendo wa hesabu unaonesha kwamba kuna uwezekano wa kupungua kwa hasara

iwapo Mamlaka itachukuwa juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato sambamba na

kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA

Uwezo wa Mamlaka katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Mamlaka kupitia vianzio vyake pamoja na

mapato yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 1,620,874,720.21 1,742,907,963.51

Ruzuku kutoka Serikalini 253,608,898.00 249,999,996.00

Mapato yote 1,874,483,618.21 1,992,907,959.51

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na shirika kwa mapato yote

86.5 87.5

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini

13.5 12.5

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kujitegemea kupitia

vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 86.5 kwa mwaka wa fedha

2016/2017 ukilinganisha na asilimia 87.5 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.

Mamlaka inapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha

wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 48: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

48

Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Mamlaka gawanya na Gharama za

uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 1,742,907,963.51 1,764,864,269.22

Jumla ya gharama za uendeshaji 1,998,557,932.07 2,230,799,200.75

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.87:1 0.79:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani unaonekana kuimarika kutoka wastani wa 0.79:1 kwa

mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.87:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Vitega Uchumi kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Vitega Uchumi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 49: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

49

3.7 CHUO CHA UTAWALA WA UMMA - IPA

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Chuo cha Utawala wa Umma kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 2,404,511,000.00

kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni 2017 Chuo cha Utawala wa

Umma kilikusanya jumla ya shilingi 1,765,049,890.00 sawa na asilimia 73.4 ya

makadirio.

Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Chuo cha Utawala wa Umma kilikusanya jumla ya

shilingi 1,258,301,340 kutoka katika vianzio vyake vya ndani na shilingi 506,748,550

ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini na kufanya jumla ya shilingi 1,765,049,890.

Mapato halisi yaliyokusanywa ni kama ifuatavyo:-

Maelezo 2015/2016 2016/2017

Ruzuku 511,406,100.00 506,748,550

Ada ya wanafunzi 1,761,890,095.00 1,258,301,340

Jumla 2,273,296,195.00 1,765,049,890

Mapato ya Chuo cha Utawala wa Umma yamepungua kutoka shilingi 2,273,296,195

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 1,765,049,890 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa

na upungufu wa shilingi 508,246,305 ambapo ni sawa na asilimia 22 ya upungufu.

Taarifa ya Matumizi

Chuo cha Utawala wa Umma kilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 2,666,137,545.00

kwa matumizi ya kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni

2017 kiasi cha shilingi 2,317,009,060.00 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida

sawa na asilimia 87 ya makadirio ikiwa na upungufu wa shilingi. 349,128,485.00 sawa

na asilimia 13 ya makadirio.

Page 50: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

50

Matumizi ya chuo cha Utawala wa Umma yamepungua kutoka shilingi 2,078,772,856

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 2,012,646,051 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa

na upungufu wa shilingi 66,126,805 ambapo ni sawa na asilimia 3 ya upungufu.

Page 51: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

51

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 52: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

52

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 422,017,510 674,772,056

Dhima za mpito 21,750,436 475,696,457

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito/ Dhima za mpito 19:1 1.4 : 1

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Utawala wa Umma kina uwezo wa kuhimili na

kukidhi dhima zake za mpito.

Page 53: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

53

Page 54: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

54

Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Utawala wa Umma kimepata hasara ya shilingi

327,723,929.23 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha

2015/2016 Chuo chuo cha Utawala wa Umma kilipata faida ya shilingi 51,121,918.65.

Hasara hii inatokana na kupungua kwa mapato na ulipaji wa madeni uliofanywa kwa

kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017.

Uongozi wa Chuo cha Utawala wa Umma unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji

na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili

kupunguza hasara ya Chuo.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO

Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 1,258,301,340 1,761,890,095

Ruzuku kutoka Serikalini 506,748,550 511,406,100

Mapato yote 1,765,049,890 2,273,296,195

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na Chuo kwa mapato yote

71.3 77.5

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini

28.7 22.5

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia

vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 71.3 kwa mwaka wa fedha

2016/2017 ukilinganisha na asilimia 77.5 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.

Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha

wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 55: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

55

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Chuo gawanya na Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 1,258,301,340 1,761,890,095

Jumla ya gharama za uendeshaji 2,012,646,051 2,078,772,856

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.63:1 0.85:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.85:1 kwa mwaka 2015/2016

hadi kufikia wastani wa 0.63:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Utawala wa Umma kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Cha Utawala wa Umma kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo Cha Utawala wa Umma kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

3.8 CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR (ZITOD)

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Chuo cha Utalii ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 938,194,000 katika kipindi cha

mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 Chuo cha Utalii kilikusanya jumla ya

shilingi 894,085,597 sawa na asilimia 95.3 ya makadirio.

Mapato ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi

780,882,180 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 894,085,597 kwa mwaka

2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 113,203,417 sawa na asilimia 14.5 ya ongezeko.

Page 56: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

56

Taarifa ya Matumizi

Chuo cha Utalii kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

938,194,000 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi

863,770,411 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 92 ya

makadirio.

Matumizi ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi

749,543,835 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 863,770,411 kwa mwaka

2016/2017 ikiwa na ongezeko la shilingi 114,226,576 ambapo ni sawa na asilimia 15 ya

ongezeko.

Page 57: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

57

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

THE ZANZIBAR INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT (ZITOD)

FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE 2016/2017

Page 58: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

58

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 247,546,934 206,472,788

Dhima za mpito 41,589,979 40,622,738

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

5.9:1 5.08:1

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Maendeleo ya Utalii kina uwezo wa kuhimili na

kukidhi dhima zake za mpito.

Page 59: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

59

THE ZANZIBAR INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT (ZITOD)

FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE 2016/2017

Page 60: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

60

Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Maendeleo ya Utalii kimepata hasara ya shilingi

87,566,568 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha 2015/2016

Chuo cha Maendeleo ya Utalii kilipata hasara ya shilingi 62,062,832.

Uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji

na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili

kupunguza hasara ya Chuo.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO

Uwezo wa Shirika katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 442,564,147 349,718,280

Ruzuku kutoka Serikalini 451,521,450 431,163,900

Mapato yote 894,085,597 780,882,180

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na Chuo kwa mapato yote

49.5 44.8

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka Serikalini

50.5 55.2

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia

vyanzo vya ndani vya mapato umeongezeka na kufikia asilimia 49.5 kwa mwaka wa

fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 44.8 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.

Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha

wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 61: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

61

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato ya Chuo gawanya na Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 442,564,147 349,718,280

Jumla ya gharama za uendeshaji 981,652,165 842,945,012

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.45:1 0.41:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani umeongezeka kutoka wastani wa 0.41:1 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.45:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura halisi na sahihi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar kimepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 62: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

62

3.9 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI.

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Chuo cha Uandishi wa Habari kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 207,025,000

katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ukusanyaji wa

mapato ulikuwa ni shilingi 650,672,804 sawa na asilimia 81 ambapo ni upungufu wa

shilingi 38,832,250 sawa na asilimia 19 ya makadirio.

Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Chuo cha Uandishi wa Habari kilikusanya jumla ya

shilingi 168,192,750 kutoka katika vianzio vyake vya ndani na shilingi 482,480,054 ikiwa

ni ruzuku kutoka Serikalini na kufanya jumla ya shilingi 650,672,804.

Mapato ya Chuo cha Uandishi wa Habari yameongezeka kutoka shilingi 491,586,700

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 650,672,804 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni

ongezeko la shilingi 159,086,104 sawa na asilimia 32 ya ongezeko.

Taarifa ya Matumizi

Chuo cha Uandishi wa Habari kwa mwaka wa fedha 2016/2017 iliidhinishiwa kutumia

jumla ya shilingi 668,686,000 kwa kazi za kawaida.Hadi kufikia 30 Juni, 2017 kiasi cha

shilingi 664,261,858 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99 ya

makadirio.

Matumizi ya Chuo Cha Uandishi wa Habari yameongezeka kutoka shilingi

445,440,319.40 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 664,261,858 kwa mwaka

2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 218,821,538.6 sawa na asilimia 49.12 ya

ongezeko.

Page 63: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

63

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 64: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

64

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 24,075,212.50 41,711,083.10

Dhima za mpito 52,512,710.00 18,883,890

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio) = Mali za

Mpito / Dhima za mpito

0.5:1 2.2:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na

dhima za mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na

mwaka 2015/2016. Hali hii inaonesha Chuo cha Uandishi wa Habari hakina uwezo wa

kuhimili na kukidhi dhima zake za mpito.

Page 65: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

65

Page 66: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

66

Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Uandishi wa Habari kimepata hasara ya shilingi

13,589,054.93 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha

2015/2016 Chuo cha Uandishi wa Habari kilipata faida ya shilingi 19,955,768.35.

Uongozi wa Chuo cha Uandishi wa Habari unashauriwa kuongeza juhudi za ukusanyaji

na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji ili

kupunguza hasara ya Chuo.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO

Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo:-

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 168,192,750 173,339,500

Ruzuku kutoka Serikalini 482,480,054 318,247,200

Mapato yote 650,672,804

491,586,700

Asilimia ya mapato yanayokusanywa

na Chuo kwa mapato yote

25.8 35.3

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini

74.2 64.7

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia

vyanzo vya ndani vya mapato umepungua na kufikia asilimia 25.8 kwa mwaka wa

fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 35.3 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.

Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha

wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 67: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

67

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 168,192,750 173,339,500

Jumla ya gharama za uendeshaji 637,003,694.60 471,630,931.65

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.26:1 0.37:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 0.37:1 kwa mwaka 2015/2016

hadi kufikia wastani wa 0.26:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo cha Uandishi wa Habari kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Cha Uandishi wa Habari kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo cha Uandishi wa Habari kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 68: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

68

3.10 CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilikusanya

jumla ya shilingi 10,736,926,147 ikiwa ni jumla ya shilingi 3,838,149,112 kutoka katika

vianzio vyake vya ndani na shilingi 5,633,138,155 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini na

shilingi 1,265,638,880 kutoka kwa wahisani wa maendeleo.

Mapato ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) yameongezeka kutoka shilingi

10,955,608,931 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 10,736,926,147 kwa mwaka

2016/2017.

Taarifa ya Matumizi

Matumizi ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) yamepungua kutoka shilingi

10,535,798,205 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 10,440,490,173 kwa mwaka

2016/2017 ikiwa ni upungufu wa shilingi 95,308,032 sawa na asilimia 0.9 ya upungufu.

Page 69: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

69

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 70: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

70

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hata hivyo Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kina uwezo wa kuhimili na

kukidhi dhima zake za mpito.

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 3,821,101,754 3,279,746,078

Dhima za mpito 707,126,969 218,321,692

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito 5.4:1 15.02 : 1

Page 71: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

71

Page 72: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

72

Hesabu zinaonyesha kwamba Chuo cha Taifa cha Zanzibar kimepata faida ya shillingi

4,047,840,810 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa fedha

2015/2016 kilipata hasara ya shilingi 146,811,204.

Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo jitihada za makusudi zitachukuliwa ikiwemo

kupunguza gharama za uendeshaji, pamoja na udhibiti mzuri wa ukusanyaji wa mapato.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA CHUO

Uwezo wa Chuo katika ukusanyaji wa mapato

Uwiano wa Mapato yanayokusanywa na Chuo kupitia vianzio vyake pamoja na mapato

yatokanayo na Ruzuku kutoka Serikalini. Mapato yote kwa mujibu wa hesabu za mwisho

wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 8,828,560,154 4,651,789,989

Ruzuku kutoka Serikalini 6,900,777,035 6,303,818,942

Mapato yote 15,729,337,189 10,955,608,931

Asilimia ya mapato yanayokusanywa na

Chuo kwa mapato yote

56.13 42.46

Asilimia ya mapato ya ruzuku kutoka

Serikalini

43.7 57.54

Uchambuzi wa kifedha unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kujitegemea kupitia

vyanzo vya ndani vya mapato umeengezeka na kufikia asilimia 56.13 kwa mwaka wa

fedha 2016/2017 ukilinganisha na asilimia 42.46 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.

Chuo kinapaswa kuongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ili kuweza kujiendesha

wenyewe na kupunguza utegemezi kutoka Serikalini. Hata hivyo Chuo kinaendelea

kutegemea Ruzuku kutoka Serikalini.

Ukaguzi unashauri kwamba Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Zanzibar ufanye juhudi zaidi

katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato kupitia vyanzo vya ndani sambamba na

kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kupunguza utegemezi kutoka Serikalini.

Page 73: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

73

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 8,828,560,154 4,651,789,989

Jumla ya gharama za uendeshaji 11,679,496,379 11,102,420,135

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.76:1 0.42:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 0.42:1 kwa mwaka 2015/2016

hadi kufikia wastani wa 0.76:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya Ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 74: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

74

3.11 SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi

12,926,187,580 katika kipindi cha mwaka 2016/2017. Hadi kufikia Juni 2017 Shirika

limekusanya jumla ya shilingi 12,345,077,319.50 sawa na asilimia 96% ya makadirio.

Mapato ya Shirika la Meli Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 8,721,602,539.62 kwa

mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 12,345,077,319.50 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa

ni ongezeko la shilingi 3,623,474,779.88 sawa na asilimia 41.55 ya ongezeko.

Taarifa ya Matumizi

Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi

29,934,368,442.32. Kati ya fedha hizo, shilingi 11,946,808,362.32 kwa ajili ya Matumizi

ya kawaida na shilingi 17,987,560,080 kwa ajili ya kazi za maendeleo. Hadi kufikia Juni

2017 jumla ya shilling 14,884,047,647.30 zimetumika kwa ajili ya matumizi ya kawaida

sawa na asilimia 50 ya makadirio.

Matumizi ya Shirika la Meli Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 10,959,437,155.20

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 14,884,047,647.30 kwa mwaka 2016/2017

ikiwa na ongezeko la shilingi 3,924,610,492.14 sawa na asilimia 35.81 ya ongezeko.

Page 75: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

75

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 76: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

76

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Hata hivyo Shirika la Meli na Uwakala halina uwezo wa kuhimili na kukidhi

dhima zake za mpito.

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 725,901,838.86 513,957,790.27

Dhima za mpito 1,780,840,323.55 2,154,703,649.31

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito 0.41:1 0.2:1

Page 77: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

77

Page 78: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

78

Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar limepata faida ya

shillingi 614,067,033.43 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa

fedha 2015/2016 Shirika la Meli na Uwakala Zanzibar lilipata hasara ya shilingi

552,967,502.85.

Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo Shirika litaongeza juhudi katika ukusanyaji na

usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA

Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 12,345,077,319.50 8,721,602,539.62

Jumla ya gharama za uendeshaji 2,470,343,998.65 3,047,502,360.12

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

5:1 3:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 3:1 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia wastani wa 5:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Meli Zanzinbar kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Page 79: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

79

MATOKEO YA UKAGUZI

3.11.1 Ucheleweshwaji wa fedha za mapato kupelekwa benki shilingi

315,145,000

Ukaguzi umebaini jumla ya shilingi 315,145,000 zimekusanywa na Shirika la Meli na

Uwakala kupitia kifungu cha utoaji wa mizigo hesabu namba 021103000021, lakini

fedha hizo hazikupelekwa benki kwa wakati.

Kutozipeleka fedha za mapato benki kwa wakati ni kwenda kinyume na Sheria ya

Usimamizi wa Fedha na Mali za Umma namba 12 ya mwaka 2016.

Mapato yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Stakabadhi

nam

Tarehe

iliyokusanya

fedha.

Tarehe

zilizopelekwa

bank

Idadi ya siku

zilizokaa

Idadi ya

fedha

11418 1/7/2016 8/7/16 Siku 7 3,625,000

11427 4/7/16 9/7/16 Siku 5 4,100,000

11431 5/7/16 15/7/16 Siku 10 2,265,000

11432 8/7/16 15/7/16 Siku 7 2,685,000

11433 11/7/16 16/7/16 Siku 5 2,190,000

11439 12/7/16 19/7/16 Siku 7 1,300,000

11440 13/7/16 19/7/16 Siku 6 1,765,000

11446 15/7/16 22/7/16 Siku 7 3,160,000

11445 14/7/16 22/7/16 Siku 8 2,650,000

11450 18/7/16 22/7/16 Siku 4 2,860,000

11553 19/7/16 23/7/16 Siku 4 3,770,000

11556 20/7/16 26/7/16 Siku 6 1,115,000

11557 21/7/16 27/7/16 Siku 6 3,340,000

11558 22/7/16 27/7/16 Siku 5 3,130,000

11560 25/7/16 30/7/16 Siku 5 3,215,000

Page 80: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

80

11562 27/7/16 30/7/16 Siku 3 2,015,000

11579 2/8/16 10/8/16 Siku 8 1,690,000

11580 3/8/16 10/8/16 Siku 7 2,290,000

11581 4/8/16 10/8/16 Siku 6 1,695,000

11582 5/8/16 11/8/16 Siku 6 4,080,000

11584 9/8/16 12/8/16 Siku 3 2,800,000

11587 10/8/16 15/8/16 Siku 5 3,105,000

11591 11/8/16 17/8/16 Siku 7 5,530,000

11592 12/8/16 18/8/16 Siku 6 3,710,000

11593 15/8/16 19/8/16 Siku 4 2,385,000

11597 16/8/16 22/8/16 Siku 6 2,160,000

11652 17/8/16 23/8/16 Siku 6 2,050,000

11656 18/8/16 29/8/16 Siku 11 2,810,000

11657 19/8/16 29/8/16 Siku 10 1,545,000

11658 20/8/16 29/8/16 Siku 8 1,145,000

11659 22/8/16 29/8/16 Siku 7 2,125,000

11660 23/8/16 29/8/16 Siku 6 3,990,000

11663 24/8/16 30/8/16 Siku 6 1,500,000

11666 26/8/16 31/8/16 Siku 5 3,105,000

11669 29/8/16 6/9/16 Siku 7 4,735,000

11672 1/9/16 9/9/16 Siku 8 2,190,000

11677 2/9/16 6/9/16 Siku 4 1,675,000

11681 5/9/16 10/9/16 Siku 5 2,345,000

11682 6/9/16 14/9/16 Siku 8 3,750,000

11684 8/9/16 16/9/16 Siku 8 2,065,000

11693 9/9/16 17/9/16 Siku 9 5,850,000

Page 81: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

81

11696 14/9/16 19/9/16 Siku 5 1,120,000

11697 15/9/16 19/9/16 Siku 4 1,065,000

11700 16/9/16 22/9/16 Siku 6 3,065,000

11807 19/9/16 26/9/16 Siku 7 2,175,000

11811 21/9/16 26/9/16 Siku 5 2,025,000

11812 22/9/16 28/9/16 Siku 6 2,155,000

11830 3/10/16 12/10/16 Siku 9 1,320,000

11831 4/10/16 12/10/16 Siku 8 2,000,000

11846 13/10/16 20/10/16 Siku 7 1,920,000

11847 17/10/16 21/10/16 Siku 4 2,055,000

11953 24/10/16 31/10/16 Siku 7 2,915,000

11954 25/10/16 31/10/16 Siku 6 2,245,000

11955 26/10/16 31/10/16 Siku 5 1,380,000

11977 3/11/16 11/11/16 Siku 8 1,610,000

11978 4/11/16 11/11/16 Siku 7 1,870,000

11982 7/11/16 15/11/16 Siku 8 2,935,000

11983 8/11/16 16/11/16 Siku 8 2,580,000

11984 9/11/16 19/11/16 Siku 10 3,360,000

11985 10/11/16 21/11/16 Siku 11 1,825,000

11986 11/11/16 17/11/16 Siku 6 1,490,000

11991 14/11/16 21/11/16 Siku 7 2,020,000

11992 15/11/16 25/11/16 Siku 10 3,260,000

11993 16/11/16 23/11/16 Siku 7 2,230,000

13002 21/11/16 28/11/16 Siku 7 2,855,000

13003 22/11/16 28/11/16 Siku 6 2,640,000

13004 23/11/16 28/11/16 Siku 5 1,770,000

Page 82: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

82

13832 30/6/17 6/7/17 Siku 6 1,375,000

13831 29/6/17 5/7/17 Siku 6 2,085,000

13830 28/6/17 5/7/17 Siku 7 3,390,000

13827 23/6/17 6/7/17 Siku 13 1,665,000

13826 22/6/17 5/7/17 Siku 12 2,775,000

13843 21/6/17 12/7/17 Siku 21 3,020,000

13823 20/6/17 29/6/17 Siku 9 5,850,000

13822 19/6/17 30/6/17 Siku 11 5,220,000

13821 16/6/17 30/6/17 Siku 14 4,250,000

13820 15/6/17 21/6/17 Siku 6 2,990,000

13819 14/6/17 21/6/17 Siku 7 2,810,000

13818 13/6/17 21/6/17 Siku 8 6,110,000

13815 12/6/17 20/6/17 Siku 8 4,925,000

13811 9/6/17 20/6/17 Siku 11 1,680,000

13810 8/6/17 20/6/17 Siku 12 1,750,000

13807 7/6/17 14/6/17 Siku 7 1,645,000

13728 6/6/17 14/6/17 Siku 8 815,000

13727 5/6/17 14/6/17 Siku 9 1,195,000

13699 2/6/17 13/6/17 Siku 11 3,195,000

13698 1/6/17 13/6/17 Siku 12 2,330,000

13697 31/5/17 13/6/17 Siku 13 2,665,000

13696 30/5/17 9/6/17 Siku 9 3,040,000

13695 29/5/17 8/6/17 Siku 10 3,940,000

13694 26/5/17 1/6/17 Siku 5 1,680,000

13693 25/5/17 1/6/17 Siku 6 1,170,000

13692 24/5/17 31/5/17 Siku 7 910,000

Page 83: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

83

13691 23/5/17 31/5/17 Siku 8 1,595,000

13690 22/5/17 31/5/17 Siku 9 1,365,000

13689 19/5/17 30/5/17 Siku 11 810,000

13688 18/5/17 30/5/17 Siku 12 2,340,000

13687 17/5/17 30/5/17 Siku 13 2,150,000

13686 16/5/17 30/5/17 Siku 14 1,895,000

13685 15/5/17 30/5/17 Siku 15 1,760,000

13684 12/5/17 27/5/17 Siku 15 2,210,000

13683 11/5/17 25/5/17 Siku 14 1,820,000

13682 10/5/17 25/5/17 Siku 15 2,745,000

13676 9/5/17 16/5/17 Siku 7 3,280,000

13675 8/5/17 16/5/17 Siku 8 2,530,000

13671 6/5/17 16/5/17 Siku 10 1,010,000

13670 5/5/17 10/5/17 Siku 5 2,095,000

13667 4/5/17 11/5/17 Siku 7 4,440,000

13666 3/5/17 9/5/17 Siku 6 4,060,000

13663 2/5/17 8/5/17 Siku 6 2,735,000

13580 3/4/17 19/4/17 Siku 16 4,655,000

13581 4/4/17 20/4/17 Siku 16 2,700,000

13583 5/4/17 22/4/17 Siku 17 1,960,000

13584 6/4/17 22/4/17 Siku 16 1,500,000

13585 10/4/17 22/4/2017 Siku 12 3,835,000

13587 12/4/17 24/4/17 Siku 12 1,015,000

13588 13/4/17 24/4/17 Siku 11 2,750,000

13594 18/4/17 24/4/17 Siku 6 3,495,000

13596 19/4/17 27/4/17 Siku 8 4,230,000

Page 84: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

84

13598 20/4/17 25/4/17 Siku 5 2,460,000

13651 21/4/17 28/4/17 Siku 7 2,050,000

13654 24/4/17 28/4/17 Siku 4 3,780,000

Jumla 315,145,000

3.11.2 Malipo yasiokuwa na stakabadhi USD 56,122 na EURO 23,584

Ukaguzi umebaini jumla ya USD 56,122 na EURO 23,584 zimetumika kwa kazi mbali

mbali lakini stakabadhi za malipo hayo hazikuambatanishwa na hati za malipo.

Kutoambatanisha stakabadhi husika katika hati za malipo ni kwenda kinyume na Sheria

ya Usimamizi wa Fedha na Mali za Umma nambari 12 ya mwaka 2016.

Malipo yenyewe ni kama yafuatayo:-

Hati

namba

Hundi

namba

Alielipwa Thamani Maelezo

HESABU NAMBA 3000018

5/7 ya

7/8/16

T.T SASIL

INVESTMENT

LTD

USD 5,500 Malipo ya ununuzi wa Dawa ya

kutilia maji (Cooling water

Treatment additives) kwa ajili

ya matumizi ya Meli ya Mv.

Mapind. II. Quotation no. Sasil

0002908

6/7 ya

2/8/16

T.T SASIL

INVESTMENT

LTD.

USD 4,375 Malipo ya ununuzi wa

Lubricating Oil kwa ajili ya Mv.

Mapind. II. Quotation no. Sasil

0002907 ya 7/7/16

4/10 TT LEDOM –

TRAD (KJ)

USD 13,338 Ununuzi wa vifaa mbalimbali

kwa matumizi ya MV

MAENDELEO.

14/12 TT GREEN WAYS

SHIPS

USD 17,505 Ununuzi wa vipuri kwa ajili ya

meli ya MV MAPINDUZI 11.

Page 85: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

85

8/10 TT LEDOM –

TRAD (J.K)

USD 15,404 Ununuzi wa CRANK SHAFT

kwa matumizi ya meli ya MV

MAENDELEO.

Jumla USD 56,122

25/2 TT WARSTILA EURO 490 Ununuzi wa variestor kwa

matumizi ya generator no 1 la

MV MAPINDUZI 11

26/2 TT WARSTILA

EURO 11,448 Malipo ya service Auix Engine

kwa MV MAPINDUZI 11

54/2 TT WARSTILA EURO 1,646 Ununuzi wa strainer ECO

ADAPTER kwa MV MAPINDUZI

11

4/11 T.T WARTSILA

Hamna

Mkataba.

EUR 10,000 Malipo ya kwanza ya

matengenezo ya Mv. Mapind.

II. Jumla ni EUR 17,487.76

Kilicholipwa ni EUR 10,000

Bakaa ni EUR 7,487.76

Jumla EUR 23,584

3.11.3 Malipo yaliyolipwa bila ya kuwepo mkataba wa makubaliano baina ya

Shirika la Meli na kampuni ya Mt. United Spirit USD 9,400

Ukaguzi umebaini jumla ya USD 9,400 zimelipwa kwa Kampuni ya Mt. United Spirit kwa

ajili ya huduma mbali mbali zilizotolewa na kampuni hiyo kupitia hesabu namba

021103000018 lakini mkataba wa makubaliano ulioelezea kiasi maalum cha malipo hayo

na njia za malipo haukupatikana kwa ukaguzi.

Kufanya malipo bila ya kuwepo kwa makubaliano ya kimaandishi ni kwenda kinyume na

Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma ya mwaka 2016.

Page 86: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

86

Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-

Hati namba Hundi

namba

Aliyelipwa Thamani Maelezo

8/8 000206 SAID SALIM

AWADH

USD 900

Malipo ya kukodi Boti kwa

ajili ya kuhudumia meli ya

Mt. United Spirit

3/9 000211 SAID SALIM

AWADH

USD 900

Pia, hamna risiti.

Malipo ya kukodi Boti kwa

ajili ya kuhudumia meli ya

Mt. United Spirit ya

25/8/16.

13/3 000262 SAID SALIM

AWADH

USD 900

Malipo kwa ajili ya

kuhudumia meli ya MT.

Ukombozi

4/4 000266 SAID SALIM

AWADH

USD 400 Malipo ya kukodi Boti kwa

ajili ya kuhudumia meli ya

Kigeni Mv. Kumasi

¼ 000268 - USD 900

Malipo kukodi Boti kwa ajili

ya kuvuta Hose Pipe kwa

uteremshaji wa mafuta ya

JET AI

7/11 000233 SAID SALIM

AWADH

USD 900 Malipo ya kuhudumia meli

ya MT UNITED SPITITI

1/11 000235 SAID SALIM

AWADH

USD 900 Malipo ya kuhudumia meli

ya MT UNITED SPITITI

1/12 000242 - USD 900 Malipo ya kuhudumia meli

ya MT UNITED SPITITI

10/1 000246 SAID SALIM USD 900 Malipo ya huduma ya

Page 87: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

87

AWADH kuvuta hose pipe meli ya

MT UNITED SPIRIT

HESABU NAMBA NO 021103000035

3/10 TT SAID SALIM

AWADH

USD 900 Malipo ya boti kwa ajili ya

MT UNITED SPIRITI

Jumla USD 9,400

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Meli na Uwakala kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Meli na Uwakala limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

3.12 SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Mapato ya Shirika la Bandari Zanzibar yamepungua kutoka shilingi 29,916,824,568.31

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 29,533,651,684.85 kwa mwaka 2016/2017

ikiwa ni upungufu wa shilingi 383,172,883.46 sawa na asilimia 1.28 ya upungufu.

Taarifa ya Matumizi

Matumizi ya Shirika la Bandari Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi 23,886,625,020.5

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 29,259,083,064.34 kwa mwaka 2016/2017

ikiwa ni ongezeko la shilingi 5,372,458,043.84 sawa na asilimia 22.5 ya ongezeko.

Page 88: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

88

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 89: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

89

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mkubwa ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umeongezeka ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Kwa hali hiyo Shirika la Bandari lina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima

zake za mpito.

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito 18,682,455,730.44 18,045,555,484.92

Dhima za mpito 2,951,412,825.58 4,949,873,792.70

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito

6.3 3.6:1

Page 90: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

90

Page 91: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

91

Hesabu zinaonyesha kwamba faida ya Shirika la Bandari Zanzibar imepungua kutoka

shilingi 4,620,772,945.52 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hadi kufikia shilingi

655, 571, 733.70 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kukiwa na upungufu wa shilingi

3,965,201,211.82 sawa na asilimia 85.8 ya upungufu.

Faida hiyo inaweza kuongezeka iwapo Shirika litaongeza juhudi katika ukusanyaji na

usimamamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA

Uwezo wa Chuo kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Chuo 30,487,729,228.3 30,195,614,112.4

Jumla ya gharama za uendeshaji 29,259,083,064.34 23,886,625,020.51

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

1.04:1 1.26:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Chuo kukidhi gharama za uendeshaji kupitia

vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka wastani wa 1.26:1 kwa mwaka 2015/2016

hadi kufikia wastani wa 1.04:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar kuongeza jitihada katika

ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za uendeshaji.

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Bandari Zanzibar kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Bandari Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa

fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

Page 92: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

92

3.13 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA ZANZIBAR – ZSTC

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Shirika linakusanya mapato yake kupitia vyanzo vyake mbali mbali vya mapato ikiwa ni

mauzo ya karafuu, mauzo ya mafuta ya mimea, kodi za majengo, mauzo ya vifaa

chakavu na faida kutoka hesabu ya dhamana. Katika mwaka wa fedha 2016/2017

Shirika lilikadiria kukusanya jumla ya shilingi 54,037,102,977 kwa kupitia vyanzo vyake

vya mapato.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 shirika lilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 44,121,044,395

sawa na asilimia 81.65 ya makadirio.

Hali halisi ya ukusanyaji wa mapato ni kama ifuatavyo:-

Maelezo Makadirio

(shs)

Mapato halisi

( shs)

Ongezeko

/(upungufu)

( shs)

Asilimia

Makao Makuu 47,001,837,000 39,943,549,000 (7,058,298,000) 85

Kiwanda cha

makonyo

2,555,977,977 2,205,525,395

(350,452,582)

86

Tawi la Dubai 4,479,288,000 1,971,970,000 (2,507,318,000) 44

Jumla 54,037,102,977 44,121,044,395 (9,916,068,582) 81.65

Page 93: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

93

Taarifa ya matumizi

Katika mwaka wa fedha 2016/2017 Shirika lilipanga kutumia jumla ya shilingi

13,240,174,239 kwa ajili ya matumizi mbali mbali ya Shirika. Hadi kufikia 30 Juni, 2017

jumla ya shilingi 9,719,321,137 zimetumika sawa na asilimia 73.4 ya makadirio. Hali

halisi ya matumizi ya shirika kwa mwaka 2016/2017 ni kama inavyoonekana katika

jadweli:-

Maelezo

Makadirio

(shs)

Matumizi halisi

( shs)

Ongezeko/(upungufu)

( shs)

Asilimia

(%)

Makao

Makuu

11,088,283,000 8,087,057,000

(3,001,226,000)

72.93

Kiwanda

cha

makonyo

1,612,620,000 1,281,817,977

(330,802,023.)

79.5

Tawi la

Dubai

539,271,239 350,446,160

(188,825,079)

65

Jumla 13,240,174,239 9,719,321,137 (3,520,853,102) 73.4

Page 94: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

94

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 95: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

95

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwiano wa mali za mpito umepungua kutoka 62.52:1

kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia 62.48:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi umebaini kwamba deni la wadaiwa wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar

limeongezeka kutoka shilingi 1,742,546,120.69 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia

shilingi 4,254,498,850.94 kwa mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi

2,511,952,730.25 sawa na asilimia 144 ya deni hilo.

Ukaguzi unashauri kwamba Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kuweka mikakati

imara katika usimamizi na ufuatiliaji wa wadaiwa kwa lengo la kupunguza idadi kubwa

ya kiwango cha fedha za wadaiwa ili Shirika kuwa na uwiano unaokubalika kwa mujibu

wa kiwango cha kiuhasibu kitaifa na kimataifa ambacho ni 2:1.

2016/2017 2015/2016

Mali za mpito 15,734,242,623.15 20,121,490,940.12

Dhima za mpito 251,809,828.98 321,843,570.85

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za mpito / Dhima za mpito 62.48:1 62.52:1

Page 96: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

96

Page 97: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

97

Hesabu zinaonyesha kwamba Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata hasara ya

shilingi 5,202,399,127.04 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa

fedha 2015/2016 Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata faida ya shilingi

4,474,985,803.53.

Hasara hiyo inaweza kuongezeka iwapo jitihada za makusudi hazitachukuliwa ikiwemo

kupunguza gharama za uendeshaji, pamoja na udhibiti mzuri wa ukusanyaji wa mapato.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA SHIRIKA

Uwezo wa Shirika kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

2016/2017 2015/2016

Mapato yanayokusanywa na Shirika 43,168,690,504.4 99,045,914,883.3

Jumla ya gharama za uendeshaji 12,183,774,726.88 12,457,091,393.99

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

3.5:1 8:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar

kukidhi gharama za uendeshaji kupitia vyanzo vyake vya ndani umepungua kutoka

wastani wa 8:1 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia wastani wa 3.5:1 kwa mwaka

2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kuongeza jitihada

katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama za

uendeshaji.

Page 98: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

98

MATOKEO YA UKAGUZI

3.13.1 Ucheleweshaji wa Taarifa za Ufungaji wa hesabu na Uwasilishwaji

kwa ajili ya ukaguzi

Kwa mujibu wa Sheria ya usimamizi wa fedha za umma nambari 12 ya mwaka 2016,

kifungu namba 120(1) inazitaka taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa kwa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Hesabu za Mwaka, zinazojumuisha

Mapato na Matumizi ya taasisi husika. Aidha kifungu namba 119(1) kinawataka

wasimamizi wa Fedha katika Taasisi kuwasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa

Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka miezi mitatu baada ya kukamilika

kipindi cha mwaka.

Ukaguzi umebaini Shirika la ZSTC limechelewa kufunga hesabu zake na kuziwasilisha

hesabu hizo kwa wakati, kwani imebainika hesabu za mwaka 2015/2016, na hesabu za

mwaka 2016/2017 hesabu zote hizo zimewasilishwa tarehe 15/2/2018.

3.13.2 Ukiukwaji wa Taratibu za Utumishi wa Umma

Ukaguzi umebaini Shirika la Biashara ZSTC kuwa na wafanyakazi wengi ambao wanafanyakazi

kwa mikataba ya muda mrefu kinyume na taratibu za utumishi Serikalini. Kwa mujibu wa kanuni

za Utumishi chini ya kifungu cha 37(4) cha sheria namba 2 ya mwaka 2011 ya Utumishi wa

Umma, kifungu kidogo 135(1),(2) Taasisi ya Serikali hairuhusiwi kuwatumikisha watumishi wa

muda (dayling pay) kwa kipindi kirefu, ikiwa kutakuwa na ulazima wa kuwatumia basi Katibu

Mkuu au Mkuu wa Taasisi anatakiwa kuomba kibali cha ajira kwa wafanyakazi hao.

Kwani imebainika Shirika limekuwa likiwatumia watumishi wa (dayling pay) kwa zaidi ya miaka 5

hadi 10 bila ya kupatiwa ajira ya kudumu kati ya watumishi hao ni kama ifuatavyo-: watumishi

35 kwa ajili ya eneo tengefu saateni, watumishi 20 Kiwanda cha makonyo Pemba kwa ajili ya

shamba la mtakata na watumishi wengine 2 kwa ajili ya uuzaji wa duka ZSTC Dar.

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kanuni za utumishi wa umma chini ya sheria

namba 2 ya mwaka 2011.

3.13.3 Mapungufu katika usimamizi wa kurikodiwa kwa mali za shirika

Ukaguzi umebaini kujitokeza kwa mapungufu mbali mbali katika usimamizi na

kurikodiwa kwa mali za Shirika kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017, miongoni

mwa mapungufu hayo kumejitokeza kukosekana kwa daftari la kurikodia taarifa

muhimu za mali za kudumu za Shirika zilizowekwa ili kupata uhalisia wa mali hizo na

Page 99: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

99

sehemu zilipo ambazo zinazomilikiwa na Shirika. Aidha kumejitokeza kwa baadhi ya

vituo vya kununulia karafuu vikiwa katika hali isiyoridhisha na chakavu sana.

3.13.4 Mapungufu katika Ukusanyaji wa Mapato katika jengo la kitega

uchumi shilingi 79,336,713.60

Ukaguzi umebaini kujitokeza kwa mapungufu ya ukusanyaji wa Mapato katika jengo la

kitenga uchumi lilokuwepo Gulioni Zanzibar. Kwa mujibu wa makubaliano baina ya ZSTC

na kampuni ya Night Frank, ambaye ndiyo wasimamizi wakuu wa kukodisha na

kufuatilia madeni ya nyumba hiyo lakini wameshindwa kuyafuatilia madeni ya baadhi ya

wapangaji wa nyumba hiyo na kuziwasilisha Shirika la biashara la taifa kwa mujibu wa

makubaliano.

Hadi tunakamilisha ukaguzi huo kumebainika wapangaji wengi kuhama pasi na kulipa

madeni yao na kufikia jumla ya shilingi 79,336,713.60 zinazodaiwa ikiwa kama ni

upotevu wa Mapato yatokanayo na biashara hiyo.

Wadaiwa hao ni kama ifuatavyo:-

Jina la mpangaji Kinachodaiwa

(US$)

Kinachodaiwa (Tshs)

1 Vice President’s Office 3,151.44 6,807,110.40

2 Millenium Challenge Account

(MoF)

3,212.16 6,938,265.60

3 Ministry Cooperation For East

Africa

9,928.84 21,446,294.40

4 Aids Business Colition 7,359.66 15,896,865.60

5 Ministry Of Trade, Industry &

Marketing

6,768.15 14,619,204.00

6 Tanzania Trade Development

Authority

6,309.71 13,628,973.60

Jumla US$ 36,729.96 Tzs 79,336,713.60

Page 100: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

100

3.13.5 Unyweaji wa karafuu (shrinkage) shilingi 790,863,502.69

Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ZSTC limenunua karafuu tani 2,277.25 sawa na kilo

2,277,253 zenye thamani ya shilingi 31,952,035,250, aidha ukaguzi umebaini Shirika

lilikuwa na bakaa ya tani 50.8, hadi kufikia mwishoni mwa mwaka Shirika lilifanikiwa

kuuza tani 2253 sawa na kilo 2,253,000 ambazo sawa na upungufu wa tani 68.8 sawa

na kilo 68,800.0 ambazo ni unyweaji wenye thamani ya shilingi 790,863,502.69 sawa na

asilimia 2.45 ambayo ni hasara kwa Shirika. Sambamba na hasara hiyo kwa Shirika

ukaguzi umeshindwa kupatiwa kiwango maalum kilichowekwa na Mkemia Mkuu wa

Serikali kama ni (Shrinkage limit) kwa zao hilo la karafuu ambalo litaigharimu shirika

hasara kubwa sana siku hadi siku, kwani imebainika mwaka hadi mwaka kiwango hicho

hukuwa na kupanda zaidi.

3.13.6 Upotevu unaotokana na uyeyukaji (evaporation) shilingi

89,225,445.32

Ukaguzi umebaini kwamba jumla ya shilingi 89,225,445.32 ni upotevu unaotokana na

uyeyukaji wa karafauu (evaporation) unaotokana na uzalishaji wa Mafuta

yanayotengenezwa katika kiwanda cha Makonyo Pemba. Hali hiyo husababisha upotevu

mkubwa wa fedha kwani imebainika katika mwaka wa fedha 2015/2016 upotevu huo

ulikuwa kwa kiasi cha shilingi 6,206,306.05 na kufikia shilingi 89,225,445.32 kwa

mwaka wa fedha 2016/2017 kwa mujibu wa taarifa za ufungaji wa hesabu za mwaka

2016/2017.

3.13.7 Upotevu wa karafuu wakati wa usafirishaji (loss in transit) shilingi

121,528,646.58

Katika ununuzi wa karafu na kuzisafirisha imebainika kujitokeza kwa tatizo la idadi

kubwa ya karafuu kupotea njiani wakati wa usafirishaji kutokana na ufungashaji

usioridhisha. Ukaguzi umebaini kwamba kwa mwaka wa fedha 2016/2017 jumla ya

shilingi 121,528,646.58 zimetumika kama ni hasara iliyopatikana wakati wa kusafirisha

karafuu kutoka Pemba kwenda Unguja.

Page 101: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

101

3.13.8 Vyombo vya moto (Motor Vehicles & Motor Cycles 717,088,057)

makosa yaliyojitokeza katika kuorodhesha gari za Shirika

Ukaguzi umebaini kwamba wakati wa kutayarisha hesabu za mwisho wa mwaka

unaoishia tarehe 30 juni 2017 baadhi ya gari ambazo ni mali ya Shirika

hazikuorodheshwa na baadhi yake zimeorodheshwa katika orodha ya gari za Shirika

lakini tayari zilikuwa zimeshauzwa.

Jadweli lifuatalo linafafanua:-

Aina ya gari Namba ya gari Thamani Maelezo

Toyota Landcruiser SLS 107A 40,800,000.00 Imeuzwa fedha

zimepokelewa benki

kwa risiti – 21937

ya tarehe

25/2/2017. Lakini

imo katika orodha

Honda XL SLS 134C 700,000.00 Haikuorodheshwa

katika orodha

Jumla 41,500,000.00

Page 102: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

102

3.14 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA LA ZANZIBAR (ZSTC) TAWI LA DAR ES

SALAAM

MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

ZSTC Tawi la DSM ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 174,000,000 katika kipindi cha

mwaka 2016/2017. Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ZSTC Tawi la DSM zilikusanywa jumla ya

shilingi 96,629,000 sawa na asilimia 55.5 ya makadirio.

Taarifa ya Matumizi

ZSTC Tawi la DSM lilipanga kutumia jumla ya shilingi 92,004,000 kwa ajili ya kulipa

mishahara na shughuli nyengine za Taasisi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2017.

Hadi kufikia 30 Juni, 2017 ZSTC Tawi la Dar es Salaam zimetumika jumla ya shilingi

69,884,000 sawa na asilimia 75.95 ya makadirio.

MATOKEO YA UKAGUZI

3.14.1 Ucheleweshaji wa uwasilishwaji wa hesabu za mwisho wa mwaka

kwa ajili ya ukaguzi

Kwa mujibu wa Sheria ya usimamizi wa fedha za umma nambari 12 ya mwaka 2016,

kifungu namba 120(1) inazitaka taasisi zote za Serikali zitayarishe na kuwasilishwa kwa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hesabu za mwaka, zinazojumuisha

Mapato na Matumizi ya taasisi husika. Aidha kifungu namba 119(1) kinawataka

wasimamizi wa Fedha katika Taasisi kuwasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa

Hesabu za Serikali, hesabu zao za mwisho wa mwaka miezi mitatu baada ya kukamilika

kipindi cha mwaka.

Ukaguzi umebaini ZSTC Tawi la Dar es Salaam limechelewa kufunga hesabu zake za

mwisho wa mwaka na kushindwa kuziwasilisha hesabu hizo kwa wakati kwa mujibu wa

sheria. Ukaguzi umebaini kwamba hesabu za mwaka 2014/2015, 2015/2016 na mwaka

2016/2017 hesabu hizo zimewasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali tarehe 15/2/2018 kwa ajili ya kufanyiwa ukaguzi kwa barua yenye kumbu

kumbu namba SBT/AR.30/C2/24/VOL.V ya tarehe 14/02/2018.

Page 103: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

103

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na

vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Shirika la Biashara la Taifa la Zanzibar limepata hati inayoridhisha kwa

mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

3.15 MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/2017

Taarifa ya Mapato

Mapato ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar yameongezeka kutoka shilingi

7,761,241,499.93 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 9,086,972,066.14 kwa

mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 1,325,730,566.21 sawa na asilimia

17.08 ya ongezeko.

Taarifa ya Matumizi

Matumizi ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege yameongezeka kutoka shilingi

6,448,035,706.80 kwa mwaka 2015/2016 hadi kufikia shilingi 7,545,474,145.99 kwa

mwaka 2016/2017 ikiwa ni ongezeko la shilingi 1,097,438,439.19 sawa na asilimia

17.02 ya ongezeko.

Page 104: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

104

HESABU ZA MWISHO WA MWAKA 2016/2017

Page 105: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

105

Page 106: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

106

Uchambuzi wa hesabu za mwisho wa mwaka.

Uwiano wa mali za Mpito Ukilinganisha na Dhima za Mpito kwa mujibu wa hesabu za

mwisho wa mwaka ni kama ifuatavyo: -

Uchambuzi unaonyesha uwiano wa mali za mpito ni mdogo ukilinganisha na dhima za

mpito ambapo kwa mwaka 2016/2017 uwiano umepungua ukilinganisha na mwaka

2015/2016. Mamlaka ya Viwanja vya Ndege haina uwezo wa kuhimili na kukidhi dhima

zake za mpito.

2016/2017 2015/2016

Mali za Mpito

1,379,400,569.26 1,786,291,400.91

Dhima za mpito 3,392,462,215.43 3,694,259,166.97

Uwiano wa mali za mpito na dhima

za mpito (current ratio)

= Mali za Mpito / Dhima za mpito 0.41:1 0.48:1

Page 107: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

107

Page 108: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

108

Hesabu zinaonyesha kwamba Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar imepata hasara

ya shillingi 2,163,927,243.75 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo kwa mwaka wa

fedha 2015/2016 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar imepata hasara ya shilingi

2,344,706,432.88.

Ukaguzi umebaini kwamba licha ya kuongezeka kwa mapato yatokanayo na huduma

zinazotolewa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege lakini gharama za uendeshaji

zimeongezeka na kupelekea kupatikana kwa hasara.

Ukaguzi unashauri kwamba uongozi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege uweke mikakati

madhubuti ya kupunguza hasara kwa kupunguza gharama za uendeshaji kulingana na

hali halisi ya mapato.

UCHAMBUZI WA KIFEDHA KATIKA UTENDAJI WA MAMLAKA

Uwezo wa Mamlaka kujiendesha kiufanisi pasipo kutegemea Ruzuku kutoka

Serikali kuu

Kujiendeleza kiufanisi = Mapato yanayotokana na Biashara gawanya na

Gharama za uendeshaji

30/06/2017 30 /06/2016

Mapato yanayokusanywa na Mamlaka 9,086,972,066.14 7,761,241,499.93

Jumla ya gharama za uendeshaji 11,586,544,077.9 10,363,978,301.8

Uwiano wa mapato na gharama za

uendeshaji

0.78:1 0.75:1

Uchambuzi unaonyesha kwamba uwezo wa Mamlaka kukidhi gharama za uendeshaji

kupitia vyanzo vyake vya ndani umeimarika kutoka wastani wa 0.75:1 kwa mwaka

2015/2016 hadi kufikia wastani wa 0.78:1 kwa mwaka 2016/2017.

Ukaguzi unashauri uongozi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar kuongeza

jitihada katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato sambamba na kupunguza gharama

za uendeshaji.

Page 109: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

109

MATOKEO YA UKAGUZI

3.15.1 Kukosekana kwa mkataba wa utoaji wa huduma kati ya Mamlaka ya

Viwanja vya Ndege na kampuni ya Transworld Company LTD

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar iliingia mkataba wa utoaji wa huduma mbali

mbali na kampuni ya Transworld Company LTD. Ukaguzi umeshindwa kupata mkataba

wa makubaliano hayo ili kuweza kujiridhisha kiasi cha malipo yanayolipwa kama

yanalingana na masharti ya mkataba huo. Malipo yenyewe ni kama yafuatayo:-

Jina la Mteja Jumla ya Fedha iliyolipwa

(USD)

Transworld ( lost and found office) 3,680

Transworld (B/ centre office) 5,278.5

Transworld (departure office) 2,889.90

Transworld (ramping office) 1,715.68

Transworld (emergence cargos) 2,614.89

Transworld work shop ( kicheko) 14,160

Transworid workshop area 13,341.93

Jumla ya malipo 43,680.90

3.15.2 Kushindwa kuthibitisha malipo ya asilimia 5 ya fedha zinazotokana na

watoa huduma mbali mbali wa Uwanja wa Ndege.

Ukaguzi umebaini kwamba Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imeingia mkataba wa utoaji

wa huduma mbali mbali katika Uwanja wa Ndege. Kwa mujibu wa makubaliano hayo

Mamlaka inatakiwa kulipwa asilimia 5 ya fedha zinazopatikana kutokana na huduma

wanazotoa. Hadi ukaguzi unakamilika ukaguzi umeshindwa kuthibitisha mapato ya

jumla yaliyopatikana kutokana na huduma zinazotolewa na makampuni mbali mbali

Uwanja wa Ndege. Orodha ya makampuni hayo ni kama yafuatayo:-

Page 110: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

110

Nam Jina la Kampuni

1. AEROTECH ZANZIBAR

2. AIRBORN SERVICES

3. ARRIVAL B CHANGE

4. ARRIVAL CAFÉ

5. BUSINESS CLASS LOUNGE

6. COFFEE BAZAR

7. COFFEE SHOP – LEE ENTPR

8. CRDB BANK

9. DEPARTURE B CHANGE

10. DIRECT MAINTANANCE

11. HILMY B CHANGE

12. JAMANI BUSINESS CENTRE

13. JAMANI BUSINESS CL/LOUNGE

14. JAMANI DEPARTURE SHOP

15. JAMANI DUTY FREE SHOP

16. JAMANI JEWS SHOP

17. JAMANI PALM TREE RESTAURANT

18. JAMANI PALM TREE SHOP

19. JAMANI WRAPING MACHINES

20. MOZETI CO. LTD

21. PUMA ENERGY

22. PARADISE LOUNGE

23. SWAHILI B CHANGE

24. SOFT DRINKS

25. THE EXECUTIVE CHEF

26. TRANSWORLD AVIATION

27. ZAN AIR HANGAR

Page 111: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

111

28. ZANZIBAR ART COLLECTION

29. ZANZIBAR B CHANGE

30. ZANZIBAR DATACOM

31. ZEE ENTERTAINMENT

32. ZSTC

33. ZAT

34. LOCAL FOOD BAZAAR

35. AL BASHASH BUREAU DE CHANGE

36. JAHAZI CAFÉ

37. OCEAN GIFT COMPANY

38. PUMA ENERGY (FUEL CONC)

Maoni ya ukaguzi

Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa mujibu

wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo

vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.

Kwa hali hiyo Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imepata hati inayoridhisha kwa mwaka

wa fedha unaoishia 30 Juni, 2017.

3.16 MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI ZANZIBAR

(ZURA)

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) haikuwasilisha

taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Mdhibiti

na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu

za Serikali ilichukuwa hatua ya kuwakumbusha na kuwaandikia barua yenye

kumbukumbu namba AUD/D.33/1/VOL.I/3 ya tarehe 11/12/2018 na barua yenye

kumbukumbu namba AUD/D.33/1/VOL.I/4 ya tarehe 11/02/2019 lakini wameshindwa

kuwasilisha hesabu hizo hadi ukaguzi ulipokamilika.

Page 112: OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR RIPOTI YA MDHIBITI NA ... · 2019. 7. 16. · 3 RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MASHIRIKA

112

Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na kifungu 119(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha

za Umma nambari 12 ya mwaka 2016. Hivyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali ameshindwa kukagua na kutoa maoni ya hesabu za Mamlaka hiyo.