Upload
muhidin-issa-michuzi
View
10.543
Download
12
Embed Size (px)
DESCRIPTION
RAIS KIKWETE ATEUWA WABUNGE WAWILI WAPYA
Citation preview
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: [email protected] : www. ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya
Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Walioteuliwa ni Dkt. Grace Khwaya Puja na Bwana Innocent Sebba.
Rais amefanya uteuzi huu kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e) ambapo amepewa mamlaka ya kuteua wabunge wasiozidi 10.
Uteuzi huu umekamilisha idadi ya wabunge ambao Mheshimiwa Rais amepewa kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo Kikatiba.
Wabunge ambao wameshateuliwa ni:- Mhe. Profesa Makame Mnyaa Mbarawa- Mhe. Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo- Mhe. Dkt. Asha Rose Migiro- Mhe. Janet Zebedayo Mbene- Mhe. Saada Salum Mkuya- Mhe. Zakhia Hamdani Meghji- Mhe. Shamsi Vuai Nahodha- Mhe. James Fransis Mbatia
Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Machi, 2015.
……………………………MWISHO……………………………….Imetolewa na:Premi Kibanga,Mwandishi wa Habari wa Rais, MsaidiziIkulu-Dar-Es-Salaam26 Machi, 2015