10
Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018

Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

  • Upload
    others

  • View
    35

  • Download
    1

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018

Page 2: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“ ‘Kumcha Bwana ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu’ ”

(Mithali 9:10)

Fungu la Kukariri

Page 3: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

Mungu anataka watuwake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Munguni muhimu ili kuufikiaumoja. Tunapokuwawamoja, furaha namafanikio hulijaza kanisana injili itahubiriwa kwanguvu.

Kwa bahati mbaya, watuwa Mungu hawajawamfano mzuri mara zote. Kwa hiyo, ni lazimatujifunze katika historiaya watu wa Mungu, ilitujifunze kutoka katikamakosa yaliyopita nakuwa wamoja leo.

Watu wa Israeli.

Hitaji la Utii.

Kufanya kila ninachotaka.

Hitaji la hekima.

Kanisa la kikristo.

Upendeleo.

Masilahi binafsi.

Page 4: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti yaBwana, Mungu wako.” (Kumbukumbu la Torati 28:2)

Mungu alitoa masharti yaliyokuwa wazi sana kwa Israeli walipokaribia kuingia nchi ya ahadi:

KumtiiMungu Ukaiidi

Uzima tele naamani

(Kumb. 28:1-14)

Vita na Mizozo(Kumb. 28:15-

68)

Tunaweza kuuona huu mfululizo katika historia yote ya Israeli. Bahati mbaya, ukaidi ulikuwa mwingi kuliko utii.

Hata hivyo, Mungu alikuwa upandewao daima. Alituma manabii kuwaitawatubu kwa sababu aliwapenda watuwake (Yeremia 3:14-15; 31:3).

Mungu anayoshauku ya kuletamafanikio, umoja na afya kwa watuwake. Anaweza kufanya hivyotunapoishi katika Imani na utii.

Page 5: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“Kama ukimkaribia Yesu na kutafuta kupamba

taaluma yako kwa Maisha yaliyopangwa vyema na

mazungumzo ya kumcha Mungu, miguu yako

itaepushwa na njia mbaya. Kama tu utakesha, daima

kukesha katika maombi, kama utafanya kila kitu kana

kwamba uko mbele za Mungu kabisa, utaokolewa

usiingie majaribuni, na unaweza kuwa na tumaini la

kuwa safi, bila waa na usichafuliwa hata ule mwisho.

Ikiwa utaushika kwa uthabiti mwanzo wa ujasiri

wako hadi mwisho, njia zako zitathibitika katika

Mungu; na kile neema ilichokianzisha, utukufu

utakivika taji katika ufalme wa Mungu wetu.”E.G.W. (Testimonies for the Church, vol. 5, cp. 12, p. 148)

Page 6: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

Watu wa Israeli walizifuata tamaa zao za kidunia na kukaidi sheria za Mungu. Walifanya makosa mawili mabaya:

a) Walitumikia miungu mingine (Waamuzi 2:11-13)b) Walioana na wakaanani (Waamuzi 3:5-7)

Kwa kudhamiria walikwenda mbali nangao ya ulinzi wa Mungu. Israeli ilitaabikakwa vita na dhambi mbaya kamamatokeo ya maamuzi yao.

Zaidi ya hayo, watu wa mataifawaliielewa vibaya tabia na sheria yaMungu kwa sababu ya kielelezo cha Israeli.

Kufanya kila ninachotaka kuna matokeomabaya sana. Hebu tufanya uamuzi wakufanya mapenzi ya Mungu tangu sasa.

Page 7: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“Basi Israeli wote walipoona ya kuwa mfalmehakuwasikia, hao watu walimjibu mfalme, wakasema, Tuna sehemu gani katika Daudi? Wala hatuna urithikatika mwana wa Yese. Haya! Nendeni zenu hemani

kwenu, enyi Israeli; sasa itunze nyumba yakomwenyewe, Ee Daudi. Hivyo Israeli wakaenda zao

hemani kwao.” (1 Wafalme 12:16)

Je; Kwa nini Israeli iligawanyika katika falme mbili?

Rehoboamu, mwana wa Suleimani, alitafuta hekimasehemu isiyo sahihi. Hakusikiliza ombi la watu wake, pia alikuwa katili na asiye na huruma.

Je; Tutapata wapi hekima ili kufanya maamuzisahihi?

Biblia hutuhimiza tutafute hekima, na kumchaMungu ndicho chanzo cha Hekima (Mithali 4:7; 9:10). Tunahitaji tu kuiomba: “Lakini mtu wakwenu akipungukiwa na hekima, na aombedua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.” (Yakobo 1:5).

Page 8: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

Kulikuwa na makundi katikakanisa la korintho: Wenginewalisema walikuwa ni waApolo, wengine Paulo, wengineKefa na wengine Kristo.

Ndugu na dada huko Korinthowalielekeza macho yao kwawatu wema na kwa matendoyao. Hili lilileta faraka.

Mimi ni waApolo maana

yu mtu waelimu

Mimi ni waPaulo maanahuzungumzia

neema

Mimi ni wa Kefamaana alikuwa

na Yesu

Mimi ni waKristo

Moyo wa umoja ni Kristo. Ndiyekielelezo chetu na ni lazima macho yetu yaelekezwe kwake. Sotetukiutazama msalaba, tunaunganishwa kwa kusudi moja.

Page 9: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu wakaliwataingia kwenu, wasilihurumie kundi.” (Matendo 20:29)

Paulo alilitahadhalisha kanisa dhidi yawatu ambao wangekuja nakusababisha faraka ili kutumia kanisakujinufaisha.

Daima watakuwepo walimu wa uongo, lakini tunaweza kuzipinga kazi zao nakuuhifadhi umoja kanisani.

Kuna ushauri mzuri katika 2 Timotheo2:14-19 na 3:12-17 ili kuepukakupotoshwa:

Soma Biblia, ielewe na ufundishe.

Epuka mada za uvumi na zisizo na umuhimu. Iseme kweli.

Mtii Mungu.

Page 10: Somo la 2 kwa ajili ya Octoba 13, 2018 Mungu anataka watu wake wawe wamoja. Kutii mapenzi ya Mungu ni muhimu ili kuufikia umoja. Tunapokuwa wamoja, furaha na mafanikio hulijaza kanisa

“Mnyonroro wa dhahabu wa upendo,

unaowafunga pamoja waumini katika upendo,

katika mafundo ya ushirika na upendo, na katika

umoja na Kristo na Baba, hufanya muunganiko

kamili, na kupeleka kwa ulimwengu ushuhuda

wa nguvu ya ukristo ambao hauwezi kupingwa...

Ndipo ubinafsi utakapong’olewa na kukosa

uaminifu hakutaonekana. Hakutakuwa na

mivutano na migawanyiko. Usumbufu

hautaonekana ndani yake yule aliyefungwa

katika Kristo.” E.G.W. (That I May Know Him, June 16)