Upload
muhidin-issa-michuzi
View
22
Download
0
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Warning for heavy rains/Tahadhari ya mvua kubwa 18/01/2016 - 20/01/2016.
Citation preview
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Simu: 255 22 2460735/2460706
FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P. 3056
Barua pepe: [email protected] DAR ES SALAAM
Tovuti: www.meteo.go.tz
Unapojibu tafadhali nakili:
Kumb. Na.: TMA/1622 18 Januari, 2016
Taarifa kwa Umma: Vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa.
Taarifa Na. 201601-01
Muda wa Kutolewa
Saa za Afrika Mashariki Saa 9:00 Alasiri
Daraja la Taarifa: Tahadhari
Kuanzia:
Tarehe 18 Januari, 2016- Usiku
Mpaka:
Tarehe 20 Januari, 2016
Aina ya Tukio
Linalotarajiwa
Vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya
saa 24 katika siku hizo vinatarajiwa.
Kiwango cha uhakika: Wastani (70%)
Maeneo yanayotarajiwa
kuathirika
Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya
na Rukwa
Maelezo: Hali hii inatokana na kuimarika kwa ukanda wa mvua
katika maeneo yaliyotajwa hapo juu.
Angalizo:
Vipindi vya mvua kubwa vinaweza kujitokeza pia kwenye
maeneo machache katika mikoa ya Morogoro, Pwani na
Dar es salaam.
Wakazi wa maeneo tajwa wanashauriwa kuchukua
kuchukua tahadhari na hatua stahiki.
Maelezo ya Ziada Mamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea kufuatilia hali hii
na itatoa mrejeo kila itakapobidi.
Imetolewa na
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania.