Upload
others
View
0
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
UCHUNGUZI WA HARAKA KATIKA SECTA MBALI MBALI (ERM)-AINA 2 – Uchunguzi ya nyumba
Version 1.0 – Mars 2020 - DRAFT
Habari ya uchunguzi
0.1. Tarehe ya uchunguzi
/___/___/_____/
0.2. Shirika
………….
0.3. Kazi za mashirika
Ndiyo
Apana
0.4. Nambari ya muchunguzi
………….
0.5. Jina ya muchunguzi
………….
0.6. Nambari ya uchunguzi wa nyumba
………….
0.7. Nambari ya shida muhimu
Mahali ya mazungumuzo
0.8. Jimbo
0.9. Wilaya
0.10. Eneo la afia
0.11. Eneo
0.12. Mkoa
0.13. Eneo/kijiji
0.14. Mawasiliano (Cordonnées GPS)
0.14. a Latitude
|__|__| degrés |__|__| Dakika |__|__|, |__|__| Segunda
0.14. b Longitude
|__|__| degrés |__|__| Dakika |__|__|, |__|__| segunda
0.14. c Altitude
|__|__| mètres
0.14. d Précision
|__|__| mètres
Jambo, jina langu ni_____ mimi ni mufanyakazi kwa-------------Tunatumika kwa uchunguzi wa haraka katika secta mbali mbali ya mahitaji na tunapenda kuuliza maswali machache kuhusu shida ya wakaaji wanao patikana ndani ya hiki kijiji- kiwango cha mapato, kupatikana kwa chakula wala maji, afia, elimu na ukingo. Mazungumuzo yatachukuwa dakika makumi mbili na tano (25). Habari yeyote utakayo tupa, italindwa kwa siri. Ni kazi ya kujitowa na uko huru kujibu, kunyamaza ao ku vunja mazungumuzo wakati wowote. Ila tunamatumaini kuwa utashiriki nasi kwa maana maoni yako ni ya muhimu sana. Ni muhimu piya kuelewa kwamba tuko hapa juu ya kujifunza hali ya maisha ya wakaaji wa eneo hili na sio kutoa musaada wowote wa kibinadamu. Kufanyiwa uchunguzi ao la haikupe bahati yakupata msaada. Je unamaswali yoyote ? Naweza ku anza ?
**Kiongozi wa nyumba hawezi kuwa na umri chini ya miaka kumi na nane (18)
Nyumba: Kikundi cha watu ambao hula mara kwa mara kwenye bakuli moja (kuchangia chakula na vitu vingine) na hulala katika nafasi moja asilimia kubwa ya usiku kwa juma. Wanaweza kuishi mahali tofauti katika eneo. Haijalishi watu hawa wawe wandugu ao apana. Nikusema nyumba haiko tu jamaa moja.
0.15. Makubaliano * (ikiwa muchunguziwa hakubali, acha uchunguzi
Ndiyo Apana
0.16. Jinsia ya mwenye kuchunguzwa
Mwanaume Mwanamke Mwanamuke mjamuzito na mwenye ku nyonyesha Hasemi kitu
0.17. Umri ya mwenye kuchunguzwa (muchunguzwa hawezi kuwa na umri chini ya miaka kumi na nane (18), kama iko na miaka hiyo, mushukuru na umalize mazungumuzo, hatahivyo u ricodi (enregistrer) mazungumuzo yake.
|__|__|
0.18. Je mwenye kuchunguzwa ndiye kiongozi wa nyumba ambayo anaripotia ?
Ndiyo Apana
0.19. Kama apana, umri ya kiongozi wa nyumba
|__|__|
0.20. Kama apana, Jinsia ya kiongozi wa nyumba
Mwanaume Mwanamuke Mwanamuke mjamuzito na mwenye ku nyonyesha Hasemi kitu
0.21. Wakati wa mwanzo wa mazungumuzo
/___/___/_____/
0.22. Wakati wa mwisho wa mazungumuzo
/___/___/_____/
1.Hali
1.1. Aina za shida
1.1.1 Ni aina gani ya shida muliyopata katika nyumba ? (Chagua zinazo stahili kwa ulizo)
Mizozo
Magonjwa ya kuambukia
Janga
Ingine (taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.1.2 Kama ni « Mizozo », ni aina gani ? (Chagua jibu moja)
Wanao shika silaha kinyume ya sheria
Mizozo ya jamii
Kupinganiya uongozi wa kiasili
Mizozo ya udongo
Ingine (taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.1.3 Kama ni « janga », ni aina gani ? (Chagua jibu moja)
Tetemeko la udongo
Mafuriko ya maji
Jua kali
Muripuko wa volkeno
Ingine (taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.2. Nyakati za shida
1.2.1 Shida hiyo ilianza wakati gani ?
/___/___/ Mwezi/Mwaka
1.2.2 Shida ingali naendelea ?
Ndiyo Apana
1.2.3 Kama apana, shida iliisha wakati gani
/___/__ / Mwezi/Mwaka
1.3. Idadi ya watu, hali ya makao na mwenendo ya wakaaji
1.3.1 Ni nini hali ya nyumba yako
Wahami wanaokaa katika inchi yao
Wahami wanaorudi katika muji wao
Wakimbizi toka inchi ya kigeni
Watu wenye Kurejeshwa/watu wenye kufukuzwa
Wakaaji kamili (apana wahami tangu chini ya myezi kumi na mbili (12)
Jamaa ya mapokezi
1.3.2 Ikiwa kuna Wahami /Wakimbizi/Watu wenye ku fukuzwa ao warudi/ wenye kurejeshwa tangu miezi ngapi ?
Chini ya juma ine (4
Kati ya mwezi moja (1) na myezi tatu (3) Kati ya myezi tatu (3) na myezi sita (6)
Kati ya miezi sita (6) na myezi kumi na mbili (12)
Zaidi ya kumi na mbili (12)
1.3.2. Nyumba yako ilikaribisha muhami ?
Ndiyo Apana
1.3.3 Ni mahali gani jamaa yako imetoka ?
1.3.3.a Nchi (ikiwa inje ya DRC)
………….
1.3.3.b Jimbo
………….
1.4.3.c Wilaya
………….
1.3.3.d Eneo la afia
………….
1.4.3.e Eneo
………….
1.3.3.f Mkoa
………….
1.4.3.g Eneo/kijiji
………….
1.3.3.g. Nyumba yako ilipata uharibifu / uporaji wa vitu muhimu kwa sababu ya shida ?
Ndiyo Apana Hajuwi Hasemi kitu
1.3.4 Ikiwa muhami, Ni sababu gani kubwa iliacha jamii nyenu ina amuwa toka eneo la ku ondokea? (Jibu moja tu)
Usumbufu ya vikosi vyenye silaha mahali mulikuwa
Kuondoka mbele shida ikuwe (oga/shambulizi)
Ukosefu wa chakula mahali wanatokeya
Mvutano wa kijamii katika eneo wanaotokea
Ukosefu wa huduma za afia
Ukosefu wa huduma ya elimu
Ukosefu wa kufika kwenye soko
Ukosefu wa kupata maji
Mafuriko mahali wanatokeya
Ukosefu wa upatikanaji wa shamba
Ingine (Taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.3.5. Ikiwa uko wakimbizi, jamaa yako inakusudia kurudi katika eneo ulipo ondokea?
Ndiyo Apana Hajuwi Hasemi kitu
1.3.6 Ikiwa ndio, siku gani njo utarudi kwenye eneo lako laku ondokea (eneo ambalo ulikuwa kabla ya kuhamishwa)?
Katika juma mbili (2) zijazo
Juma mbili (2) hadi ine (4)
Mwezi moja (1) hadi tatu (3)
Myezi ine (4) hadi sita (6)
Zaidi ya myezi sita (6)
1.3.7. Ni sababu gani kubwa inayoweza kuacha jamaa yako inaamua kurudi katika eneo ulipotoka ?
Kuboreshwa kwa hali ya usalama
Kupatikana kwa huduma za afya
Kupatikana kwa huduma za elimu
Kupatikana kwa shamba
Kupatikana kwa soko
Kupatikana kwa maji
Ingine (Taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.3.8. Ikiwa umerudishwa, ni nini sababu kuu iliyosukuma jamaa yako kuamua kurudi katika eneo lako lakuondokea?
Kuboreshwa kwa hali ya usalama
Kupatikana kwa huduma za afya
Kupatikana kwa huduma za elimu
Kupatikana kwa shamba
Kupatikana kwa soko
Kupatikana kwa maji
Ingine (Taja) ………….
Sijuwe
Hasemi kitu
1.3.9. Kuna watu ngapi katika jamaa yako ? andika idadi na jinsia kwenye nafasi inayopatikana hapa chini
Vijana
Wasichana
myezi 0-6
|__|__|
|__|__|
myezi 7 – miaka 2
|__|__|
|__|__|
miaka 3 – miaka 5
|__|__|
|__|__|
miaka 6 – miaka 11
|__|__|
|__|__|
miaka 12 – miaka 17
|__|__|
|__|__|
Wanaume
Wanawake
miaka 18 - miaka 19
|__|__|
|__|__|
miaka 20 - miaka 64
|__|__|
|__|__|
Zaidi ya miaka 64
|__|__|
|__|__|
1.3.10. Kwa jumla, muko watu ngapi katika nyumba yako ?
|__|__|
1.3.11 Ni wanawake wangapi wajawazito na wanaonyonyesha katika nyumba yako ?
|__|__|
2. Malisho
2.1. Idadi ya kesi ya malisho mabaya zaidi
*** Kwa kujuwa shida ziwezekanazo za malisho kwa watu walio wanyonge zaidi katika jamaa, kupima mikono ya watoto na wanawake. Inaruhusiwa kupima mkono ya watoto na wanawake ? Una maulizo yoyote ? Naweza kuanza ?
2.1.1 Makubaliano
Ndiyo Apana
Idadi ya watoto wa myezi sita (6) hadi myezi makumi tano na tisa (59) wenyi wiko sasa
|__|__|
2.1.2. (Mzunguko wa mkono ya mtoto tangu myezi sita hadi makumi tano na tisa katika nyumba (kamata vipimo vya muzunguko ya mkono na andika kwa milimita). Ikiwa chini ya 115mm, Picha ya mkono wa mtoto.
Mtoto
1
2
3
4
5
6
7
Jinsia
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Kijana
Msichana
Umri (na mwezi)
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
Mzunguko wa mkono kwa mm
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
2.1.3. Mzunguko wa mkono wa wanawake wajawazito na wanaonyonyesha katika nyumba
Wanawake wajawazito na wanaonyonyesha
1
2
3
4
5
6
7
Umri (mwaka)
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
|__|__|
Mzunguko wa mkono
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
|__|__|__|
3. Usalama wa chakula na ginsi ya kutafuta maisha
3.1 Ginsi ya kutafuta maisha
3.1.1 Ni chemchemu gani ya kwanza ya mapato kwa jamii yako katika juma mbili zilizopita ? (Jibu moja tu)
Kazi kwa siku
Kilimo ya ku jitegemea
Mulimo wa mapato
Kazi za uvuvi
Kazi za uwindaji/kulokota lokota
Ufugaji
Uchimbaji madini
Biashara ndogo (pamoja na kuuzisha makala, navivi hivi.
Kazi za mushahara (kazi ya kudumu)
Kutuma pesa (kwa mufano, imetumwa na ndugu ao rafiki)
Ingine, Taja ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
3.1.2. Jamaa yako inapata udongo kirahisi (hata pasipo kulima) ?
Ndiyo Apana Hajuwi Hasemi kitu
3.1.3. Kwa jumla, jamii yako inafanya mulimo (hata kama haina mapato)?
Ndiyo Apana Hajuwi Hasemi kitu
3.1.4. Una shida gani katika kulima udongo? (Majibu 3 inawezekana)
Ukosefu wa udongo / eneo kidogo linapatikana
Ukosefu wa mbegu
Shida ya mboleo ya udongo
Magonjwa ya mimeya / na ingine vidudu
Uwepo wa nyimbo
Shamba lililoharibiwa na wanyama wa porini
Ukosefu wa vyombo/ mashine
Ukosefu wa gala kwa mimeya
Ukosefu wa wafanya kazi
Ukosefu wa mtiririko kwa uzalishaji
Ukosefu wa Mvua
Wingi wa mvua / Mafuriko
Ukosefu wa usalama/ubakaji/ mapigano
Uporaji wa mavuno
Ingine (taja) ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
3.2 Kupatikana kwa soko na matumizi yake
3.2.1. Je, jamii yako imetumiya soko kwa siku 7 zilizo pita
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
3.2.2 Unachukua muda gani kwenda kwenye soko?
Chini ya dakika 45
Dakika 46 - saa 2
Zaidi ya masaa 2 – nusu ya siku Nusu ya siku (ao hakuna ufikiaji)
Chini ya dakika 45
Dakika 46 - saa 2
Zaidi ya masaa 2– nusu ya siku
Nusu ya siku (ao hakuna ufikiaji)
Hajuwe
Hasemi kitu
3.2.3. Jamaa yako ilipatwa na mabadiliko katika kupatikana kwa vitu fulani fulani kwenye soko katika siku 7 zilizo pita ?
Hakuna tofauti
Vitu vingi vimepatikana kwenye soko
Vitu vidogo njo vimepatikana kwenye soko
Hajuwe
Hasemi kitu
3.2.4. Jamaa yako ilipatwa na mabadiliko katika kushuka ao kupanda kwa bei ya vitu kwenye soko katika siku 7 zilizo pita?
Hakuna tofauti
Vitu vingi vimepatikana kwenye soko
Vitu kidogo njo vimepatikana kwenye soko
Hajuwe
Hasemi kitu
3.2.5. Nyumba yako inapata huduma za malipo kupitia simu kama vile M-pesa ?
Apana Ndiyo Hajuwi Hasemi Kitu
3.3 Chemuchemu ya chakula na gala ya chakula
3.3.1 Ni chemuchemu gani (ao 3 kubwa) ya chakula cha jamaa yako katika juma mbili zilizopita ?
Uzalishaji wa binafsi
Imepokelewa kama msaada wa chakula kutoka kwa gavementi, ONG, umoja wa mataifa na vivi hivi
Imepokelewa kama zawadi kutoka kwa marafiki
Soko
Kazi kwa chakula
Kulokota, uwindaji ao uvuvi
Kununua kwa jirani
Biashara ndogo (pamoja na kuuza makaa )
Kubadilisha vifaa kwa chakula
Kujikopesha chakula kutoka kwa jamaa, majeshi
Kujikopesha chakula kutoka kwa wageni katika eneo
Zakat / sadaka ya chakula
Ingine (Taja) ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
3.3.3 Ni kwa juma ngapi njowatu wa nyumba yako wanaweza tumia hivi vifaa vya nyumbani? (gala ya chakula , shamba ya mimea na pesa)?
|__|__| Juma
3.4 Matumizi ya chakula
3.4.1 Katika siku 7 zilizopita, ni mara ngapi watu wa nyumba yako walikula ?
3.4.1.a Kwa watu wazima: |__|__| mulo( repas)
3.4.1.b Kwa watoto : |__|__|mulo( repas)
3.4.2 Katika siku 7 zilizopita, ni siku ngapi mtu wa nyumba yako alikula hasa chakula tu cha musituni (majani, mizizi na matunda ya porini) ? (Chakula cha porini ni kile ambacho hakikupandwa na mtu kwenye shamba lakini kimepatikana porini)
|__| siku (haziwezi kuwa zaidi ya saba (7)
3.4.3 Ni siku ngapi katika juma iliyopita (ya siku 7 zilizopita) nyumba yako imetumia vifaa vifuatavyo kama viungo muhimu ? soma kwa sauti kikundi cha kwanza cha chakula na mifano, kumbuka idadi ya siku za matumizi, na kisha angalia nambari ya mahali aina hii ya chakula inatoka. Endelea kwa njia hiyo hiyo kwa kikundi cha pili, na kazalika.
Nambari ya mahali chakula inatoka: 0= Chakula ambacho hamukukula; 1 = Uzalishaji wa mwenyewe, 2 = Kununuwa kwenye Soko; 3 = Uwindaji, Kulokotalokota , uvuvi; 4 =( Malipo kwa vitu); 5 = Mkopo, 6 = Zawadi (Familia, majirani, jamii na kazalika; 7 = Msaada wa Chakula kotoka(NGOs,PAM,serekali)
Idadi ya siku za matumizi
Nambari ya chemuchemu muhimu
Mutama, muchele, muhindi, mukate, mihogo, viazi, masidi, (Mimea)
|__|
|__|
Pois, Maharangi (haricot, (Légumineuses) kalanga (arachide), sésame, (Oléagineux)
|__|
|__|
Majani na mboga za majani
|__|
|__|
Matunda na mboga za majani, hembe, pastèque, avocado, ndimo tamu, ananasi, ndizi, mbilingano, tomato, matungulu
|__|
|__|
Nyama, nyama ya ndege, Mayai, Samaki (poisson/crustacés –
|__|
|__|
Sukari
|__|
|__|
Maziwa, fromage, yuguru
|__|
|__|
Mafuta
|__|
|__|
3.4.4 Kiwango cha Njaa ndani ya nyumba
3.4.4.a Katika juma 4 zilizopita / siku 30], kumefika wakati nyumbani kumekosekana chakula chochote kutokana na ukosefu wa pato ?
Ndiyo Hapana (pita kwa 3.4.4.c)
3.4.4.b Hii ni mara ngapi imetokea katika [juma 4 / siku 30]?
1 = Mara chache (mara 1 hadi 2)
2 = Wakati mwingine (mara 3 hadi 10)
3 = Mara nyingi (zaidi ya mara 10)
3.4.4.c Katika [juma 4 zilizopita / siku 30], Wewe ao mtu yeyote wa familia yako alilazimishwa kulala njaa usiku kwa sababu hakukuwa na chakula cha kutosha ?
Ndiyo Hapana (pita kwa 3.4.4.e)
3.4.4.d Hii ni mara ngapi imetokea katika [juma 4 / siku 30]?
1 = Mara chache (mara 1 hadi 2)
2 = Wakati mwingine (mara 3 hadi 10)
3 = Mara nyingi (zaidi ya mara 10)
3.4.4.e Katika [Juma 4 zilizopita / siku 30], Wewe ao mtu yeyote wa familia yako alipitisha siku nzima usiku bila kula chochote kwa sababu hakukuwa na chakula cha kutosha ?
Apana Ndiyo
3.4.4.f Ikiwa ndio, hii imekuwa mara ngapi katika [juma 4 / siku 30]
1 = Mara chache (mara 1 hadi 2)
2 = Wakati mwingine (mara 3 hadi 10)
3 = Mara nyingi (zaidi ya mara 10)
3.4.5 Katika [juma 4 zilizopita / siku 30], Ni siku ngapi kwa juma familia yako imetumia mbinu (stratégies) zifuatazo katika siku 7 zilizo pita ?
|__| Kutumia vyakula vya bei chini/ visivyopendwa (wakati vyakula vya kawaida vinapatikana)
|__| Kujikopesha chakula ao kuomba msaada kutoka kwa marafiki / majirani / wazazi / familia juu ya kulisha nyumba yako
|__| Kupunguza ukubwa wa sehemu wakati wa kula
|__| Kupunguza matumizi ya watu wazima kwa faida ya watoto
|__| kupunguza idadi ya chakula ya kila siku
3.5. Mbinu (stratégies) za nyumba kwa kuishi :
3.5.1 Katika siku makumi tatu (30) zilizopita, kuna mtu yeyote wa nyumba yako ametumia tabia ifuatayo kwa sababu haukuwa na chakula cha kutosha ao pesa ya kuinunua ?
3.5.1.a Kuuzisha mali / vitu vya nyumba visivyo toa (redio, runinga, ....)
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa (Non applicable)
3.5.1.b Kupunguza garama muhimu zisizo za chakula kama vile elimu, afya (pamoja na dawa).
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumisiwa
3.5.1.c Kuuzisha mali yenye kutoa ao njia za usafirishaji (mashine ya kushona, baskeli, gari, ...)
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.d Matumizi ya akiba
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.e Kukopesha pesa / chakula kutoka kwa wakopeshaji / benki
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.f Kuuzisha nyumba ao udongo
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.g Kutosha watoto shuleni
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.h Kuuzisha wanyama wa kike
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.i Kuomba omba
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.j Kuuzisha wanyama zaidi (wasio zaa tena) kuliko kawaida
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.k (Tumia uuzaji wa mbegu kwa wakati muhimu wa kulima ujao.)
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1.l Mavuno / kukula chakula yenyi haikomae
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
3.5.1. Kutumia umalaya
Ndiyo
Hapana, kwa sababu haikuwa lazima
Hapana, kwa sababu tayari nimeuzisha mali hizi ao nimefanya kazi hii katika miezi kumi na mbili (12) iliyopita na siwezi kuendelea kufanya hivyo
Isiyo tumikishwa
4. Makao
4.1 Aina ya Makao
4.1.1 Katika nyumba gani munaishi
Makao (majengo ya ku dumu)
Makao ya mbiyo mbiyo isio dumu, pia hujengwa kwa vifaa vinavyo patikana
Kituo cha pamoja (wakimbizi waishi kwa nyumba la utawala, kituo cha afya)
Masomo iliyobadilishwa kuwa kituo cha pamoja
Hakuna nyumba
Ingine (taja)
|__| Hajuwe
|__| Hasemi kitu
4.1.1.a (kama majengo ni ya ku dumu) ni hali gani ya kumiliki ?
Mimi mwenyezi
Kupokelewa na familia
Ku jikopesha bila malipo yoyote kwa ruhusa ya mwenye nyumba
Ku ikala kwa bure kwa ruhusa ya mutu mwengine
Kuikala kwa bure bila ruhusa ya mutu
Kupanga
Ingine (Taja) ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
4.1.1.b Kama ni makao ya mbiyo mbiyo ni hali gani ya kumiliki ?
Kupokelewa na familia
Kujenga katika parcele ya familia ya mapokezi kwa bure
Kujenga katika parcele ya familia ya mapokezi kwa malipo (loyer) ao kwa kazi zilzotolewa
Kujenga katika parcele yake mwenyewe
Katika kambi ya wakimpizi iliyo karibu, nje kidogo ao katika kijiji wanaopata urahisi wa huduma zilizopo na soko za kijiji
Katika kambi ipatikanayo mbali na kijiji, wakimpizi hawapati huduma na soko zilizopo
Ingine (taja);
Hajuwe;
Hasemi kitu
4.2 Kuzidi katika makao
4.2.1 Makadirisiyo ya ukubwa ya makao (kwa m²) Pata ruhusa na upime nyumba (urefu*upana, mufano 2 mètre na 3 mètre = 2 * 3 = 6 m²) totale de l’abri (en m²) Obtenir
|__|__| m2
4.2.2 Watu wa nyumba yako wanalala wote pamoja kwenye chumba moja ?
Apana Ndiyo Hajuwe
5. Vitu muhimu vya nyumbani
5.1.1 Nyumba yako ina vitu ngapi vifuatavyo?
|__|__| Jumla ya uwezo wa ma bidon ao galon (kwa litre)
|__|__| Idadi ya bassin
|__|__| Idadi ya msaada wa kulala (vitanda, godoro, mukeka, ...) (ikiwa 1 ao 2, tia = 1 ao 2) |__|__| Idadi ya Mavazi kamili ya Wanawake
|__|__| Idadi ya chungu ya litre 5 na zaidi
|__|__| Idadi ya vyombo vya kilimo (kufanya kazi shambani)
|__|__| Idadi ya blanketi |__|__| Idadi ya mavazi Kamili kwa Mtoto wa Umri ya masomo
6. Maji, usafi, usafi wa mazingira
6.1 Kupatikana kwa maji safi kwa uwingi na kwa idadi ya kutosha
6.1.1. Ni nini chemchemu muhimu ya maji ya kunywa yanayotumiwa na nyumba yako siku hizi? Chemchemu ya maji ziliyoboreshwa ni zile ambazo hutoa maji safi / kulingana na kuundwa pia kutengenezwa kwake. kuunda na majengo (mufano kwa kulinda maji kutoka nje)
Maji ya arzi (mufano : mto, barage, ziwa, bahari)
Chemuchemu isiyo tengenezwa (yaani isiyo kingwa, na ku funikwa /ya asili, chemuchemu ya asili ambayo haija tengenezwa,...)
Chemuchemu yenyi kutengenezwa (yaani isiyo achwa inje mufano maji ya kawaida/robinet, kisima kinacho funikwa, gari la tank, Kioski / duka la maji, maji ya chupa; maji ya sachet,... na maji ya mvua)
Ingine (Taja) ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
6.1.2. Nyumba yako ina maji ya kutosha kwa kujibu mahitaji yafuatayo?
Ndiyo
Apana
Hajuwe
Hasemi kitu
Kunywa
Kupikia
Usafi wa kibinafsi
Kazi zengine ya nyumba
6.1.3. Unachukua muda gani kupata chemuchemu muhimu ya maji kutoka kwenye nyumba yako, kuchukua maji na kurudi (ikiwemo ku chunga mustari mahali ya ku shotea) ?
Chini ya dakika makumi ine na tano (45)
Dakika makumi ine na sita (46)- Masaa pili (2)
Zaidi ya masaa pili (2)
6.1.4. Uwezo wa maji yaliyotumiwa
6.1.4. a. Nyumba yako ina bido ngapi, ina uwezo gani na umejaza mara ngapi kwa siku ? Hesabu tu bido ambayo nyumba hutumiya kushota maji. Uzihesabu hata kama haziko katika hali nzuri sana, kwa muda mrefu kama zinaweza kutumika (Hakuna hesabu ya nusu ikiwa imeharibika. Ikiwa imekamilishwa kuwa imetoboka haiwezi kuhesabiwa basi kwani nyumba haiwezi kuitumiya
kikundi (Catégorie)
Uwezo unao zaniwa kwa litre za bido (Capacité estimée en Litres du bidon)
Idadi ya bido
Idadi ya ku jazwa maji (Nombre de fois remplis)
0 - 4 Litres
|__|__|
|__|__|
|__|__|
5 - 7.4 Litres
|__|__|
|__|__|
|__|__|
7.5 – 15 Litres
|__|__|
|__|__|
|__|__|
Zaidi ya 15 Litres
|__|__|
|__|__|
|__|__|
6.1.5. Ni shida gani kubwa ambazo zinapunguza kupatikana kwa maji katika nyumba yako? ((Majibu 3 yanawezekana)
Maji iko mbali sana
Ni kungumu kupata maji (hasa kwa watu wenye ulemavu)
Kutafuta maji ni kazi ya hatari
Vikundi fulani (watoto, wanawake, wazee, watu wa kabila ndogo, ...) hawapati maji
Idadi ya chemuchemu ya maji ni kidogo / wakati wa kungojea kwenye vituo vya maji
Chemuchemu ya maji hazifanyi kazi ao zimefungwa
Maji hayapatikani kwenye soko
Maji imekuwa bei kali
Hakuna vyombo vya ku weka maji
Sipendi maji / maji si safi
Ingine (Taja) ………….
Hajuwe
Hasemi kitu
6.2. Usafi
6.2.1 Nyumba yako ina kifaa ya kuosha mikono hapo? (mufano : mbengeti na robine, bido yenyi kutoboka)
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
6.2.2 Kuna maji ya kuosha mikono yako kwa kifaa cha kuosha? (angaliya)
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
6.2.3 Sabuni inapatikana hapa kwa kifaa cha kuosha? (angaliya)
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
6.2.4 Una Sabuni katika nyumba yako? (Angaliya)
Ndio (sabuni imeonyeshwa)
Ndio (sabuni haijaonyeshwa)
Apana
Hajuwe
Hasemi kitu
6.2.5 Ni wakati gani watu wa familia yako huosha mikono ? (majibu mengi yanawezekana)
Baada ya choo
Baada ya kusafisha ao kubadilisha kilaliyo ya mtoto Mbele ya kuandaa chakula
Mbele ya kula
Mbele ya kunyonyesha mtoto
Kurudi kutoka shambani
6.3. Kupatikana kwa choo zilizo boreshwa
6.3.1 Ni aina gani ya choo (vyoo) ambayo nyumba yako hutumia kwa jumla ? (chagua aina kubwa)
Choo zilizo boreshwa ni zile ambazo zimeundwa kutenganisha kiusafi uchafu wa tumbo(mavi) na mwanadamu .
Hakuna choo/ ku nyamba inje
Choo isiyo boreshwa (yaani ambayo inaruhusu mawasiliano kati ya inje na mavi, kwa mfano, Choo ya shimu wazi, isiyo funikwa na beton, vyoo vya asili, ...)
Choo ulioboreshwa (yaani ambayo inaepusha mawasiliano ya nje na mavi, kwa mfano, Choo yenye kufunikwa ao Choo yenye mufereji ya maji machafu
Ingine (taja)….
Hajuwe
6.3.2. Ni shida gani kubwa ambazo hupunguza kupatikana kwa vifaa vya usafi (vyoo) kwa nyumba yako? (Majibu 3 inawezekana)
Ukosefu wa choo (vyoo)/ choo yenye watu wengi
Choo (vyoo) havifanyi kazi ao ujenzi hauja malizika
Choo (vyoo) visivyo kuwa na usafi
Choo (vyoo) visivyo vya kibinafsi (hakuna kufuli/mlango /ukuta /taa, ...)
Choo (vyoo) hazitenganishwi kati ya wanaume na wanawake
Choo (vyoo) ni mbali sana
Choo (vyoo) ni kungumu kupata (hasa kwa walemavu)
Ni hatari kwenda kwenye choo (vyoo)
Vikundi fulani (watoto, wanawake, wazee, watu wa kabila ndogo, ...) hawapati choo (vyoo)
Ingine (taja) ………….
Hakuna shida
Hajuwe
Hasemi kitu
6.3.3 Choo inatumiwa na zaidi ya nyumba inne?
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
7. Afia
7.1 Kupatikana kwa kituo cha afya
7.1.1 Watu wa nyumba yako wanaenda wapi kwa matunzo wanapo gonjwa ?
Kituo cha afya (kituo, kilinike, hospitali, ...)
Mganga wa asili/ wa kidini
Kukaa nyumbani / Kujitunza mwenyewe Ingine (taja)
7.1.2 Wanawake wa nyumbani wanaenda wapi kujifungua?
Nyumbani na familia
Nyumbani na mwanamuke mwenye ku zalisha
Nyumbani na munganga
Kituo cha afya / mapokezi
Ingine (Taja)
7.1.3 Unachukua muda gani kwenda kwa kituo cha afya cha karibu na nyumba yako
Chini ya dakika 45
Kati ya dakika 45 na masaa 2
Kati ya masaa 2 na nusu ya siku
Zaidi ya nusu ya siku / hakuna kituo cha afya kinachopatikana
7.1.4 Ni shida gani kuu ambayo inazuia kutoenda kwa matunzo ya afya ?
Kituo cha afya kiko mbali sana / ama haiko
Ukosefu wa pato ya kulipia matunzo
Ukosefu wa dawa kwenyi vituo vya afya
Kituo cha afya kinakosa vifaa
Kituo cha afya kinakosa wafanyakazi wa afya
Kituo cha afya kimejaa wagonjwa wengi
Ingine (taja)
7.2 7.2 Katika juma mbili zilizopita, ni watoto wangapi walio chini ya miaka tano (5) wamegonjwa :
Kuraha
|__|__| watoto
Homa (Fièvre)
|__|__| watoto
Kikohozi (Toux)
|__|__| watoto
7.3 7.3 Katika juma mbili zilizopita, ni watu wangapi wa zaidi ya miaka tano (5) wamegonjwa :
Kuraha
|__|__| watoto
Homa (Fièvre)
|__|__| watoto
kikohozi (Toux)
|__|__| watoto
7.4 Watu wa nyumba yako kwa kawaida wanalala ndani ya chandaruwa ?
Ndiyo Apana Hajuwe
8. Ukingo
8.1 Usalama na ulinzi
8.1.1. Kati ya tukio zifuatazo za wapi zilizo pata mutu moja katika nyumba yako ?
Muuaji
Unyanganyi wa ufugo
Kuvunjika/Kupigwa/kuumizwa
Kufungwa bila sababu
Ujeuri wa makabila
Upelelezi wa habari
Ubakaji
Kuandikishwa kwa kinguvu kwa watu wazima kwenye vikosi vyenye kubeba silaha
Jaribio ao kutekwa nyara
Kuandikishwa kwa kinguvu kwa watoto katika vikosi vyenye kubeba silaha
Kuumizwa / kifo kutokana na mabomu
Watu wazima wa nyumbani wenye kuondoshwa kwenye vikosi vyenye kubeba silaha
Ndoa ya mapema/ya ku kazwa
Watoto wa nyumbani wenye kuondoshwa kwenye vikosi vyenye kubeba silaha
Ubakaji katika unyumba
Kutumika kazi kwa kinguvu
Kuachana kwa jamaa
Ingine, taja
Uporaji
Hajuwe
Unyanganyi wa mali/wizi/kuingiliwa na wajambaji
Hasemi kitu
8.2 Ulinzi wa watoto
8.2.1 Familia yako haikupokea watoto kwa hiari, ndiyo kusema kuwa haukupanga kuwapokea (inawezekana wawe watoto wasiyo na wasaidizi ao waliotengwa na jamaa zao, lakini pia watoto wa familia kubwa ambayo wazazi wao hawakuweza ku tunza
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
8.2.2 Ikiwa ndiyo, ngapi ?
|__|__|__| Watoto
8.2.3 Una uwezo wa kuwatunza watoto hawa ipasavyo
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
8.3 Mtu mwenye ulemavu
8.3.1. Kuna watu wenye ulemavu katika Nyumba yako ?
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
8.3.2. Ikiwa ndiyo, ngapi ?
|__|__|
Watoto
|__|__|
Watu wazima
|__|__|
Wazee
8.3.3. Ikiwa ndiyo, huyo mulemavu ndiye mukubwa wa nyumba ?
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
8.3.4. Ikiwa mukubwa wa nyumba ni mulemavu, anafanya kazi ya kuongeza mapato?
Ndiyo Apana Hajuwe Hasemi kitu
8.4 Kuishi pamoja kwa amani
8.4.1. Ni maoni gani ya jamii la pahali kuhusu wahami na/ao wanao warudi katika eneo hili ?
Mvutano na jamaa iliyo wa pokea
Jamii iko tayari kusaidiya kwa wakati inapohitajika
Jamii iko tayari kusaidiya kwa muda mchache
Niwafanya kazi wa bei rahisi kwa kazi zetu za kila siku
Ni wao wanao husika katika shida za ulinzi na ukosefu wa usalama
Hakuna habari
8.4. Je kuna utaratibu wa upatanisho katika jamii ambao nyumba yako inaweza husisha (référer) katika tukio la mvutano wa kijamii ?
Ndiyo Apana Hajuwe
8.5 Haki ya makao, udongo na umiliki
8.5.1 Je nyumba yako ilipatwa na mvutano wa kijamii kulingana na swala la umilikii na udongo katika kijiji tangu shida ?
Ndiyo, mvutano mbaya sana
Ndiyo, mvutano mdogo
Apana, hakuna mvutano
Hajuwe
Hasemi kitu
8.6 kupambana na mabomu na mabaki ya vita
8.6.1 Nyumba yako ilipatwa na matukio ya mabaki ya vita katika kijiji hiki tangu mwanzo ya shida ?
Ndiyo Apana Hasemi kiyu
8.6.2 Unawaza kwa sasa inawezekana matukio ya mabaki ya vita kuweza kutokea katika ao karibu na kijiji ?
Ndiyo Apana Hasemi kitu
9. Elimu
9.1 Kupatikana kwa masomo
9.1.1 Inachukua muda gani kwenda kwa masomo ya msingi inayofanya shuhuli za kawaida/ ya karibu ?
Chini ya saa moja
Zaidi ya saa moja/hakuna masomo ya msingi inafanya kazi
9.1.2 Kama zaidi ya saa moja/ hakuna masomo ya msingi inafanya kazi/ inayoweza kutumika « kwanini hakuna masomo ya msingi inayofanya kazi/ inayoweza kutumika »
Mbali sana/ masomo haijawai kuwa
Ime chukuliwa na wakimbizi
Ime chukuliwa na watu wenyi kubeba silala
Kuharibiwa kwa sababu ya vurugo za jamii ao janga la asili
Kuharibiwa kwa sababu ya shambulizi ya watu wenyi kubeba silaha
Kuharibiwa kwa sababu hazi husiane na vurugu ao janga
Imefungwa
Ingine (taja)
Hajuwe
9.1.3 Je masomo imeharibiwa ?
Ndiyo Apana Hajuwe
9.1.4 Kwa nini Masomo imeharibiwa ?
Vurugu za jamii ao janga la asili
Shambulizi ya watu wenyi kubeba silaha
Sababu zisizo husiana na vurugu ao na janga
9.1.5 Je masomo ilihudhuriwa ao sehemu ilitumiwa na watu wenye silaha
Ndiyo Apana Hajuwe
9.2. Kuhudhuriwa kwa shule
9.2.1 Ni watoto wangapi wa umri ya kwenda shule katika nyumba yako njo wameandikishwa kwenye shule la msingi (hata kama hawaendi) ?
9.2.1. a Wavulana
|__|__| (6-11 miaka)
9.2.1. b Wasichana
|__|__| (6-11 miaka)
9.2.1. c Wavulana
|__|__| (12-17 miaka)
9.2.1. d Wasichana
|__|__| (12-17 miaka)
9.2.2 Ni watoto wangapi wa umri ya masomo katika nyumba yako wameenda shuleni kila mara katika siku kumi na ine (14) zilizopita ?
9.2.2. a Wavulana
|__|__| (6-11 miaka)
9.2.2. b Wasichana
|__|__| (6-11 miaka)
9.2.2. c Wavulana
|__|__| (12-17 miaka)
9.2.2. d Wasichana
|__|__| (12-17 miaka)
9.2.3 Ikiwa hata mtoto moja wa umri ya shule hajahuzuria, ni nini sababu kubwa ?
Ukosefu wa pesa za kulipa shule
Kusitishwa (Interruption) sababu ya uhami/kurudi
Shule katika eneo la mwenyeji haikubali watoto waliohamishwa
Mtoto anaogopa kwenda shule
Mtoto anasumbuliwa (mafadhaiko, vidonda vya ndani)
Mtoto hajaenda shule
Ingine (taja)
Hasemi kitu
9.2.4 Ni watoto wangapi wa umri wa kwenda shule hawaendi, wangapi walikuwa na enda shuleni mara kwa mara kabla ya shida ?
9.4.1. a Wavulana
|__|__| (6-11 miaka)
9.4.1. b Wasichana
|__|__| (6-11 miaka)
9.4.1. c Wavulana
|__|__| (12-17 miaka)
9.4.1. d Wasichana
|__|__| (12-17 miaka)
9.2.5 9.2.5 Ikiwa mtoto moja mwenye umri ya masomo alienda shuleni kabla ya shida lakini haendi tena, ni tangu juma ngapi njo haendi tena ?
|__|__|
9.2.6 Ikiwa hata mtoto moja katika nyumba anaenda masomo myongoni mwa chaguzi zifuatazo, unaweza sema nini juu ya waalimu katika masomo ambayo watoto wako wanaenda ?
Idadi hiyo hiyo ya walimu njo wanafundisha sasa kama vile kabla ya shida
Sehemu ya walimu walioacha kufundisha kwa sababu ya shida
Wengi wa waalimu waliacha kufundisha kwa sababu ya shida
ldadi kubwa ya waalimu wamekuwa wakifundisha tangu shida
9.2.7 Ni wapi kunafanyika darasa kwa watoto wanaoenda shuleni ?
Shule ziko
Fasi ya muda mfupi (mufano : kanisa, vibanda vya nyasi, …) Inje/chini ya muti
Ingine (taja)
Hajuwe
Hasemi kitu
10. Mahitaji ya kibinadamu
10.1 Ni hitaji gani ya kwanza kwa familia yako (jibu moja tu)
Hakuna musaada wa kiutu
Chakula
Namna ya kuishi (mbegu, vifaa vya mulimo, nyama, …)
Malisho
Makao (Abris) Vitu muhimu vya nyumbani (vyungu, bidons, nguo, …)
Maji / usafi / usafi wa mazingira(maji, sabuni, choo,...)
Afya Elimu Ukingo(ikiwemo ulinzi)
Ushirikiano wa jamii na ku tafuta amani Mawasiliano Njia ya kupata pesa (cash) Ingine (taja) : …………. Hajuwe
Hasemi kitu
10.2 Ni hitaji gani ya pili kubwa kwa familia yako (jibu moja tu)
Hakuna musaada wa kiutu
Chakula
Namna ya kuishi (mbegu, vifaa vya mulimo, nyama, …)
Malisho
Makao (Abris) Vitu muhimu vya nyumbani (vyungu, bidons, nguo, …)
Maji / usafi / usafi wa mazingira(maji, sabuni, choo,...)
Afya Elimu Ukingo(ikiwemo ulinzi)
Ushirikiano wa jamii na ku tafuta amani Mawasiliano Njia ya kupata pesa (cash) Ingine (taja) : …………. Hajuwe
Hasemi kitu
10.3 Ni hitaji gani ya tatu kubwa kwa nyumba yako (jibu moja tu)
Hakuna musaada wa kiutu
Chakula
Namna ya kuishi (mbegu, vifaa vya mulimo, nyama, …)
Malisho
Makao (Abris) Vitu muhimu vya nyumbani (vyungu, bidons, nguo, …)
Maji / usafi / usafi wa mazingira(maji, sabuni, choo,...)
Afya Elimu Ukingo(ikiwemo ulinzi)
Ushirikiano wa jamii na ku tafuta amani Mawasiliano Njia ya kupata pesa (cash) Ingine (taja) : …………. Hajuwe
Hasemi kitu
10.4 Tangu mwanzo ya shida, nyumba yako ilipata msaada wa kibinadamu gani ? (Jibu tatu zinawezekana)
Malisho
Makao
Vitu vya lazima nyumbani
Maji / usafi / usafi wa mazingira
Afia
Elimu
Chakula
Namna ya kuishi
Ukingo (ikiwemo ulinzi)
Ushirikiano wa jamii na ku tafuta amani
Mawasiliano
Pesa (Cash (inconditionnel)
Ingine (Taja)
Hajuwe
Hasemi kitu
Haya pata musaada
4