252
1 HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI, MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014 A. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2012/13. Aidha, naomba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha Mpango na bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2013/2014. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda na kunipa nguvu ya kutekeleza majukumu yangu na kuniwezesha kusimama mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha bajeti hii. 3. Mheshimiwa Spika, kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa

WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

  • Upload
    others

  • View
    9

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

1

HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI, MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA

MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA

KWA MWAKA 2013/2014

A. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge

lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2012/13.

Aidha, naomba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha Mpango na bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2013/2014. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote

napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru

Mwenyezi Mungu kwa kunilinda na kunipa nguvu ya kutekeleza majukumu yangu na kuniwezesha kusimama mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha bajeti hii. 3. Mheshimiwa Spika, kwa heshima na

taadhima nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa

Page 2: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

2

kuendelea kuiongoza nchi yetu vyema na kwa utekelezaji mahiri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na mipango na programu mbalimbali za kuiletea nchi yetu

maendeleo. Mheshimiwa Rais amekuwa mstari wa mbele katika kutafuta fedha za kutekeleza miradi iliyopo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 ambayo pia inajumuisha barabara. Aidha, nawapongeza Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais

wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu kwa jinsi ambavyo wamemsaidia Mheshimiwa Rais kusimamia na kuongoza shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mheshimiwa Spika, naomba

nikupongeze wewe binafsi, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge kwa hekima, umahiri na busara mnazotumia katika kuliongoza Bunge hili Tukufu. Namwomba Mwenyenzi Mungu azidi

kuwajalia busara na hekima katika kazi hiyo.

5. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii kutoa pole kwa kifo cha ghafla cha Mhe. Mbunge mwenzetu Hayati Salim Hemed Khamis, Mbunge wa Chambani kwa

tiketi ya CUF. Naungana na Waheshimiwa Wabunge wenzangu kutoa pole kwa familia, wewe Mhe. Spika, Bunge lako tukufu, ndugu,

Page 3: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

3

jamaa na marafiki wa marehemu na wananchi wote wa Jimbo la Chambani. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.

6. Mheshimiwa Spika, napenda nichukue

fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Peter Joseph Serukamba, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Mheshimiwa Athumani Juma Kapuya, Mbunge wa Jimbo la Urambo Magharibi kwa

kuteuliwa kuiongoza Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Vile vile nawapongeza wajumbe wote wapya walioteuliwa kuunda Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Ushauri wa Kamati na Wabunge wote kwa ujumla utaendelea kuzingatiwa katika utekelezaji wa majukumu ya

kila siku ya Wizara ya Ujenzi ili kuiletea nchi yetu maendeleo.

7. Mheshimiwa Spika, napenda kuungana na

Waheshimiwa Wabunge wenzangu, katika kumpongeza na kumshukuru Waziri Mkuu,

Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Mbunge wa Jimbo la Katavi kwa hotuba yake ambayo imetoa mwelekeo wa jumla katika masuala ya Mipango na Uchumi kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014. Naomba pia kuwashukuru Waheshimiwa Wabunge waliochangia hotuba hiyo.

Ni matumaini yangu kuwa maoni yao yatasaidia kuboresha mipango ya Serikali katika sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Ujenzi.

Page 4: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

4

DIRA NA DHIMA YA WIZARA 8. Mheshimiwa Spika, Dira ya Wizara ni

kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba

za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia usalama na utunzaji wa mazingira. Aidha, dhima ya Wizara ni kuwa na Barabara, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zilizo na uwiano na ambazo

zinakidhi mahitaji kwa viwango bora na kwa bei nafuu zinazoendana na mikakati ya Serikali ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na wakati huo huo zikiwa endelevu kiuchumi na kimazingira. MAJUKUMU YA WIZARA 9. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Ujenzi ina

majukumu ya kusimamia Sera za ujenzi na usalama barabarani; ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na vivuko; ujenzi na

ukarabati wa majengo ya Serikali; pamoja na masuala ya ufundi na umeme. Aidha, Wizara inasimamia shughuli za usajili wa makandarasi, wahandisi, wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi; masuala ya usalama barabarani na mazingira katika sekta; uboreshaji utendaji na

uendelezaji wa watumishi wa Wizara; pamoja na kusimamia utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zilizo chini ya Wizara.

Page 5: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

5

MALENGO YA WIZARA 10. Mheshimiwa Spika, katika kufanikisha

utekelezaji wa majukumu yake, Wizara imelenga

kujenga barabara ili kufungua fursa za maendeleo na kuhakikisha miji yote mikuu ya mikoa inaunganishwa kwa barabara za lami ifikapo mwaka 2017/18; kufanya matengenezo ya barabara kuu na za mikoa; kujenga barabara za kupunguza msongamano wa magari mijini

hususan katika Jiji la Dar es Salaam; kuhakikisha kuwa usafiri wa vivuko unaimarishwa katika maeneo yote yanayohitaji huduma hiyo; na kusimamia ujenzi wa nyumba za Serikali na watumishi. Aidha, Wizara itaendelea kusajili na kusimamia Makandarasi,

Wahandisi, Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi kwa kutumia bodi husika pamoja na kuweka mazingira mazuri ya kuvutia sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya Ujenzi. Wizara pia itaendelea kusimamia masuala ya usalama na mazingira katika barabara na vivuko pamoja

na kufanya matengenezo na ukarabati wa Magari ya Serikali na Mitambo. Vile vile Wizara itaendelea kushirikiana na taasisi husika katika kushughulikia masuala mtambuka kama vile kampeni za kupunguza maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI, uhifadhi wa mazingira,

masuala ya jinsia pamoja na uendelezaji wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na

Page 6: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

6

Mawasiliano (TEHAMA) katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Serikali.

MIKAKATI YA WIZARA KATIKA KUFIKIA MALENGO 11. Mheshimiwa Spika, ili kuweza

kutekeleza malengo yake, Wizara itaendelea kuzingatia kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa mwaka 2011/12 – 2015/16,

Ahadi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ahadi za Viongozi Wakuu wa Serikali na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA). Aidha, Wizara ya Ujenzi inazingatia utekelezaji wa Programu ya

Uwekezaji katika Sekta ya Miundombinu ya Usafirishaji (Transport Sector Investment Program – TSIP) ambayo ni programu ya miaka kumi (2006/07-2016/17) inayolenga kuimarisha na

kuboresha miundombinu ya usafirishaji. Wizara inatekeleza Sera ya Taifa ya Ujenzi (2003), Sera ya Usalama Barabarani (2009) na Sera ya Ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP). Wizara pia itaendelea kusimamia utoaji elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya barabara kwa mujibu wa Sheria ya Barabara

Na. 13 ya mwaka 2007 pamoja na sheria nyingine ili miundombinu ya barabara iweze kutunzwa na kudumu kwa muda uliokusudiwa. Wizara vile vile itaboresha mfumo wa upimaji

Page 7: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

7

magari ya mizigo kwa kuweka mizani itakayopima uzito wa magari yakiwa kwenye mwendo (weigh-in-motion) kwa lengo la kuzuia uharibifu wa barabara kutokana na magari

yanayozidisha mizigo. 12. Mheshimiwa Spika, mikakati mingine ni

pamoja na kusimamia fedha za Mfuko wa Barabara zinazopelekwa Mikoani ili kazi za matengenezo ya barabara zinazotekelezwa

zilingane na thamani ya fedha (value for money). Wizara pia itaendelea kutafuta vyanzo vipya ili kupanua wigo wa Mfuko wa Barabara. Aidha, Wizara itaendelea kuzifanyia marekebisho sheria za kisekta ili ziweze kuendana na mazingira ya sasa na kufikia viwango vinavyokubalika

kimataifa na kikanda kama vile Jumuiya ya Afrika Mashariki na Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika. Wizara itahakikisha kuwa Makandarasi, Wahandisi Washauri na Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi wa kizalendo wanahusishwa kikamilifu katika ujenzi wa

miradi mikubwa hususan miradi ya barabara, madaraja, nyumba na vivuko inayogharamiwa na Serikali badala ya kutegemea kampuni za nje. Lengo ni kuwajengea wananchi uzoefu stahili katika Sekta ya Ujenzi na kupunguza kasi na wingi wa fedha zinazotokana na vyanzo

vyetu kuhamishiwa nje ya nchi kwa kulipia kazi za kampuni za nje.

Page 8: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

8

B: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2012/13

Ukusanyaji wa Mapato

13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13, Wizara ilipanga kukusanya jumla ya Shilingi 15,628,580.00 kupitia Idara zenye vyanzo vya mapato. Idara hizo ni Utawala,

Huduma za Ufundi na Menejimenti ya Ununuzi. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya Shilingi 36,388,193.24 zilikuwa zimekusanywa. Sababu za kukusanya fedha zaidi ikilinganishwa na bajeti iliyopangwa ni kuongezeka kwa makusanyo ya ada za usajili wa vyombo vya

Serikali kufuatia zoezi la kufuta matumizi ya namba za kiraia kwenye magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya Serikali na kusajiliwa kwa namba za Serikali. Zoezi hili lilianza tarehe 19 Novemba, 2012 na hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya magari, pikipiki, bajaji na mitambo ya

Serikali iliyosajiliwa kwa namba za Serikali ni 2,268.

Bajeti ya Matumizi ya Kawaida

14. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13, Wizara ilitengewa kiasi cha Shilingi 329,085,354,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Aprili, 2013, Shilingi

Page 9: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

9

257,177,456,588.75 zilikuwa zimetolewa na Wizara ya Fedha kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Kiasi hicho ni asilimia 78.15 ya bajeti ya matumizi ya kawaida ya Wizara kwa mwaka

2012/13. Kati ya fedha zilizotolewa, Shilingi 15,490,538,152.00 zilikuwa za Mishahara ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake, Shilingi 237,811,447,236.75 ni za Mfuko wa Barabara na Shilingi 3,875,471,200.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo ya Wizara, Taasisi na

Wakala. UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13

15. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2012/13, Wizara iliidhinishiwa Shilingi 693, 948, 272,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi

296,896,892,000.00 zilikuwa fedha za ndani na Shilingi 397,051,380,000.00 zilikuwa fedha za nje. Hadi kufikia Aprili, 2013, Wizara ilishapokea fedha zote za ndani kiasi cha Shilingi 296,896, 892,000.00 na Shilingi 236,782,437,956.41 za nje.

Utekelezaji wa Miradi ya Barabara na Madaraja

16. Mheshimiwa Spika, nchi ya Tanzania ina mtandao wa barabara wenye jumla ya kilometa 87,581. Kati ya hizo, kilometa 35,000

Page 10: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

10

ni Barabara Kuu na za Mikoa zinazosimamiwa na Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS). Barabara zinazobaki ni za wilaya na zinasimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu,

TAMISEMI. Aidha, kuna jumla ya Madaraja 4,880 katika Barabara Kuu na za Mikoa. 17. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13, Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) ilipanga kukamilisha

ujenzi wa barabara kuu zenye urefu wa kilometa 414 kwa kiwango cha lami, kukarabati kilometa 135 kwa kiwango cha lami pamoja na kujenga na kukarabati madaraja 11. Hadi kufikia Aprili, 2013, ujenzi wa kilometa 374.65 za barabara kuu kwa kiwango cha lami na ukarabati wa

kilometa 140.63 kwa kiwango cha lami ulikamilika. Kuhusu matengenezo ya Barabara Kuu, lengo lilikuwa ni kuzifanyia matengenezo kilometa 10,534.3 na madaraja 1,154. Hadi kufikia Aprili, 2013 kilometa 6,052.8 za Barabara Kuu na madaraja 652 yalifanyiwa

matengenezo. 18. Mheshimiwa Spika, kwa upande

Barabara za Mikoa, Wizara ilipanga kujenga kwa kiwango cha lami kilometa 31.9, kukarabati kwa kiwango cha changarawe kilometa 573.6 na

ujenzi wa madaraja 27. Hadi kufikia Aprili, 2013, kilometa 8.23 zilijengwa kwa kiwango cha lami, kilometa 198.9 zilifanyiwa ukarabati kwa

Page 11: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

11

kiwango cha changarawe na ujenzi wa madaraja 8 ulikamilika. Kuhusu matengenezo ya Barabara za Mikoa, Wizara ilipanga kuzifanyia matengenezo barabara zenye urefu wa kilometa

22,482 na madaraja 1,263. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya kilometa 13,459.2 zilikuwa zimekamilika na madaraja 758 yalikuwa yamefanyiwa matengenezo. 19. Mheshimiwa Spika, kazi ya kudhibiti

uzito wa magari iliendelea katika mwaka wa fedha 2012/13 kwa kutumia mizani 26 ya kudumu na 17 inayohamishika katika barabara kuu za lami. Hadi Aprili, 2013 magari yapatayo 2,321,526 yalikuwa yamepimwa ambapo magari

598,074 yalikuwa yamezidisha uzito. Hii ni asilimia 25.76 ya magari yote yaliyopimwa. Jumla ya fedha zilizokusanywa kutokana na tozo ya uharibifu wa barabara na malipo ya kupitisha mizigo mipana na isiyo ya kawaida ilikuwa ni Shilingi 3,913,898,889.45.

20. Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza

maandalizi ya kujenga barabara ya Dar es Salaam - Chalinze (Expressway) kwa utaratibu wa ubia kati ya Serikali na Kampuni binafsi. Kufuatia tangazo lililotolewa na Wizara kupitia

TANROADS, Kampuni 19 zimewasilisha mapendekezo ya jinsi ya kujenga barabara hii kwa njia 6 kuanzia Dar es Salaam – Mlandizi na njia 4 kuanzia Mlandizi - Chalinze. Kazi za

Page 12: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

12

kuchambua mapendekezo hayo ili kumpata mbia anayeweza kufanya kazi hiyo inaendelea.

21. Mheshimiwa Spika, Mkataba wa

ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Makofia-Msata (km 64) ulisainiwa tarehe 15 Agosti, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 89.608. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 55.4 za tuta la barabara, km 51.2 za tabaka la chini, km 51.2 za tabaka la juu na km 51.2 za lami

zimekamilika.

22. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mradi wa barabara ya Usagara – Geita – Bwanga – Buzirayombo – Kyamyorwa (km 422) umegawanyika katika sehemu tatu. Sehemu ya

kwanza ilihusisha ujenzi wa Barabara ya Kyamyorwa - Geita (km 220) ambayo ilikamilika Februari, 2008. Sehemu ya pili ilihusisha ujenzi wa barabara ya Geita - Usagara (km 90) ambapo ujenzi wake ulianza Februari, 2008 na umekamilika Januari, 2010. Sehemu ya tatu

itahusisha ujenzi wa barabara ya Uyovu - Biharamulo kupitia Bwanga (km 112). Mikataba ya ujenzi imesainiwa Oktoba, 2012 na Mkandarasi ameshapeleka vifaa na wataalamu kuanza kazi.

23. Mheshimiwa Spika, Mradi wa barabara wa Kigoma – Kidahwe – Uvinza – Kaliua – Tabora (km 310.60) unahusisha ujenzi

Page 13: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

13

wa Barabara ya Tabora - Urambo (km 94), ujenzi wa daraja la Malagarasi na barabara zake za maingilio (approach roads – km 48), barabara ya Uvinza – Kidahwe (km 76.6), Kigoma- Kidahwe

(km 36) na Kaliua – Kazilambwa (km 56). Aidha, utekelezaji wa miradi hiyo ni kama ifuatavyo:-

• Tabora-Ndono (km 42):

Gharama za ujenzi wa mradi huu ni Shilingi bilioni 51.35. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 19 za tuta la barabara zimekamilika.

• Ndono-Urambo (km 52):

Gharama za ujenzi wa barabara ya Ndono – Urambo ni Shilingi bilioni 59.77. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 22 za tuta la barabara zimekamilika.

• Kaliua – Kazilambwa (km 50)

Mkataba wa ujenzi kwa sehemu ya Kaliua – Kazilambwa (km 56) umesainiwa tarehe 27 Machi, 2013 na kazi za maandalizi ya ujenzi

zinaendelea.

• Daraja la Kikwete

Kwa upande wa Daraja la Kikwete katika mto Malagarasi na barabara zake za maingilio, mkataba wa usanifu na ujenzi wa mradi huu

ulisainiwa tarehe 21 Oktoba, 2010. Mradi

Page 14: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

14

huu unafadhiliwa na Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi (Economic Development Cooperation Fund) wa Korea Kusini. Utekelezaji wa mradi huu

umegawanyika katika awamu mbili; awamu ya kwanza inahusisha ujenzi wa madaraja 3 ambapo moja lina urefu wa meta 200, la pili meta 50 na la tatu meta 25 pamoja na ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 11 kwa kiwango cha lami. Kazi zinafanyika kwa

utaratibu wa Kusanifu na Kujenga (Design and Build). Hadi kufikia Aprili, 2013 kazi za ujenzi wa daraja zimekamilika kwa asilimia 81 na ujenzi wa tuta la barabara, tabaka la chini na tabaka la juu umekamilika. Kwa awamu ya pili inayohusisha ujenzi wa

barabara yenye urefu wa kilomita 37 kwa kiwango cha lami, Serikali ya Korea Kusini imekubali kutoa fedha na Mkataba wa Mkopo wa Nyongeza (Supplementary Loan Agreement) umesainiwa tarehe 11/12/2012. Kazi za ujenzi zimeanza tarehe 4/1/2013.

• Uvinza – Kidahwe (km 76.6)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Uvinza – Kidahwe (km 76.6) ulisainiwa tarehe 24 Juni 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 78.241. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 74 za tuta

la barabara, km 73 za tabaka la chini, km 72 za

Page 15: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

15

tabaka la juu na km 70.18 za lami zimekamilika. 24. Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara

ya Marangu-Rombo Mkuu na Mwika-Kilacha (km 32), mkataba ulisainiwa tarehe 13 Mei, 2008 kwa gharama ya Shilingi bilioni 25.075. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 32 za tuta la barabara, km 32 za tabaka la chini, km 32 za tabaka la juu na km 29.3 za lami zimekamilika.

Kwa barabara Sanya Juu (Siha) – Kamwanga (km 75), taratibu za kumpata Mkandarasi wa ujenzi zinaendelea.

25. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi wa barabara ya Nangurukuru –

Mbwemkulu (km 95) ulisainiwa tarehe 14 Mei 2003 kwa gharama ya shilingi bilioni 39.239 na ulikamilika mwaka 2008. Hata hivyo Wizara ya Ujenzi haikupokea mradi huu kwa kuwa haukukamilika kwa kiwango kilichokusudiwa na hivyo kuwepo kwa marekebisho

yanayohitajika kufanyika. Kazi ya kufanya marekebisho imekamilika na mradi umepokelewa na Wakala wa Barabara tarehe 21 Februari, 2013.

26. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi

kwa kiwango cha lami wa barabara ya Dodoma – Manyoni (km 127) ulisainiwa tarehe 12 Machi, 2003 kwa gharama ya shilingi bilioni 63.888.

Page 16: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

16

Ujenzi wa barabara hii ulikamilika tarehe 22 Novemba, 2009 na kipindi cha uangalizi cha miaka mitatu kiliisha Novemba, 2012 na mradi umepokelewa na TANROADS.

27. Mheshimiwa Spika, mradi wa ujenzi

wa barabara ya Dumila – Kilosa (km 63) kwa kiwango cha lami umegawanywa katika sehemu mbili; Dumila – Rudewa (km 45) na Rudewa - Kilosa (km 18). Utekelezaji wa sehemu hizi mbili

ni kama ifuatavyo:

• Dumila-Rudewa (km 45):

Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya Shilingi bilioni 41.929. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla

ya km 44.72 za tuta la barabara, km 31.85 za tabaka la chini, km 0.3 za tabaka la juu na km 0.3 za lami zimekamilika.

• Rudewa-Kilosa (km 18):

Usanifu umekamilika na Serikali inaendelea na

juhudi za kutafuta fedha za ujenzi.

28. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi kwa upande wa mradi wa barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (km 112) ni wa Shilingi bilioni 133.286. Hadi kufikia Aprili,

2013, jumla ya km 38 za tuta la barabara, km

Page 17: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

17

27 za tabaka la chini, km 12 za tabaka la juu na km 12 za lami zimekamilika.

29. Mheshimiwa Spika, mkataba wa

mradi wa upanuzi wa barabara ya Kawawa Junction-Mwenge-Tegeta (km 17), sehemu ya Mwenge – Tegeta ulisainiwa tarehe 16 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 88.403 kwa fedha za msaada kutoka Serikali ya Japan. Aidha, sehemu ya Mwenge – Kawawa Junction

(km 4.3) itafadhiliwa pia na Serikali ya Japan. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 21.67 za tuta la barabara, km 12.12 za tabaka la chini na km 21.66 za tabaka la juu zimekamilika. Aidha, kwa sehemu ya Morocco – Mwenge malipo ya fidia kwa mujibu wa Sheria ya Barabara ya

mwaka 2007 yamefanyika kwa nyumba zinazotakiwa kuondolewa ili kupisha ujenzi wa barabara. 30. Mheshimiwa Spika, kwa mradi wa

barabara ya Kyaka-Bugene (km 59.1), mkataba

ulisainiwa kwa gharama ya shilingi bilioni 64.96. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 11.8 za tuta la barabara na km 7.9 za tabaka la chini zimekamilika. 31. Mheshimiwa Spika, Lengo la mradi

wa barabara ya Isaka- Lusahunga (km 382) ni kufanya ukarabati wa barabara hii kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali

Page 18: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

18

ya Tanzania na umegawanyika katika sehemu tatu (3). Utekelezaji wa sehemu zote tatu ni kama ifuatavyo:

Lot 1: Isaka – Ushirombo (Km 132)

Mkataba wa ujenzi unagharimu Shilingi bilioni 145.329 na kazi zilianza tarehe 18 Februari, 2010. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 111.77 za tuta la barabara, km 107.72 za

tabaka la chini, km 107.64 za tabaka la juu na km 106.74 za lami zimekamilika.

Lot 2: Ushirombo – Lusahunga (Km 110)

Mkataba wa ujenzi utagharimu Shilingi bilioni

114.556 na kazi zilianza tarehe 18 Februari, 2010. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 53.5 za tuta la barabara, km 53.5 za tabaka la chini, km 53.5 za tabaka la juu na km 53.5 za lami zimekamilika.

Lot 3: Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (km 150).

Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuikarabati kwa kiwango cha lami. Usanifu wa kina utakamilika katika mwaka 2012/2013.

Page 19: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

19

32. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga barabara ya Manyoni – Itigi – Tabora yenye urefu wa kilometa 264.35 kwa kiwango cha lami umegawanyika katika sehemu tatu kama

ifuatavyo-:

Lot 1: Manyoni – Itigi – Chaya (km 89.35)

Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya shilingi bilioni 109.642. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 39.8 za tuta la barabara na km 2.9 za tabaka la chini zimekamilika. Lot 2: Tabora – Nyahua (km 85)

Mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 kwa gharama ya shilingi bilioni 93.401.

Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 16.19 za tuta la barabara zimekamilika.

Lot 3: Chaya – Nyahua (km 90):

Usanifu umekamilika na ujenzi umepangwa kuanza mwaka 2013/14 kulingana na upatikanaji wa fedha. 33. Mheshimiwa Spika, mkataba wa

ujenzi wa barabara ya Handeni – Mkata (km

53.2) ni wa gharama ya Shilingi bilioni 57.338. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 53.2 za lami zimekamilika.

Page 20: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

20

34. Mheshimiwa Spika, kwa mradi wa barabara ya Korogwe – Handeni (km 65), mkataba wa ujenzi ni wa Shilingi bilioni 63.199. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 59 za

tuta la barabara, km 52 za tabaka la chini, km 51 za tabaka la juu na km 50 za lami zimekamilika. 35. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa

barabara ya Ndundu-Somanga (km 60)

unagharamiwa na Serikali ya Tanzania, KUWAIT Fund na OPEC. Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya Shilingi bilioni 58.814. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 52.38 za tuta la barabara, km 46 za tabaka la chini, km 36.53 za tabaka la juu na km 30 za lami zimekamilika.

36. Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara

ya Makutano – Natta – Mugumu /Loliondo – Mto wa Mbu (km 328) lengo ni kufanya usanifu wa kina ikiwa ni pamoja na maandalizi kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha

lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Mikataba kwa ajili ya kufanya usanifu wa kina kwa sehemu ya Natta-Mugumu-Loliondo (km 239) na Mto wa Mbu – Loliondo (km 213) ilisainiwa tarehe 26 Agosti, 2009. Utekelezaji wa mradi umegawanyika kama

ifuatavyo:

Page 21: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

21

Lot 1: Loliondo – Mto wa Mbu (km 213)

Usanifu wa kina wa barabara hii umekamilika na ujenzi utafanyika kwa awamu kulingana na

upatikanaji wa fedha.

Lot 2: Makutano - Natta – Mugumu (km 80)

Kazi ya usanifu wa barabara hii imekamilika na mkataba wa ujenzi kwa sehemu ya Makutano –

Sanzate (km 50) ulisainiwa Machi, 2013. 37. Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa

barabara ya Tanga - Horohoro (km 65) kwa kiwango cha lami, mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 22 Desemba, 2009 kwa gharama ya

Shilingi bilioni 69.894. Mradi huu umegharamiwa kwa fedha za msaada kutoka Mfuko wa MCC ya Marekani na mchango wa Serikali ya Tanzania. Hadi kufikia Aprili 2013, kazi za ujenzi wa barabara hii zimekamilika. Barabara ilifunguliwa rasmi tarehe 13 Aprili,

2013 na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 38. Mheshimiwa Spika, barabara ya

Nzega - Tabora (km 115) inaendelea kujengwa kwa kiwango cha lami na mradi umegawanyika

katika sehemu kuu mbili. Utekelezaji wa sehemu hizi ni kama ifuatavyo:-

Page 22: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

22

• Nzega-Puge (km 56.2):

Gharama ya mradi huu ni Shilingi bilioni 66.358. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 13.5 za tuta la barabara zimekamilika.

• Puge-Tabora (km 58.8):

Mradi huu unajengwa kwa mkataba wa

gharama ya Shilingi bilioni 62.737. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 23 za tuta la barabara na km 2.9 za tabaka la chini zimekamilika.

39. Mheshimiwa Spika, mradi wa ujenzi wa barabara ya Sumbawanga – Mpanda– Nyakanazi (km 829) kwa kiwango cha lami umegawanyika katika sehemu kuu nne: Sumbawanga – Kanazi (km 75), Kanazi – Kizi -

Kibaoni (km 76.6), Kizi – Sitalike – Mpanda (km 95) na Mpanda – Uvinza –Nyakanazi (km 582.4). Utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:

• Sumbawanga – Kanazi (km 75)

Gharama ya ujenzi kwa sehemu hii ni Shilingi

bilioni 78.84. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 25 za tuta la barabara, km 19.5 za tabaka la chini, km 6.4 za tabaka la juu na km 6.4 za lami zimekamilika.

• Kanazi – Kizi – Kibaoni (km 76.6)

Mkataba wa ujenzi unahusisha km 76.6 kwa gharama ya Shilingi bilioni 82.841. Hadi kufikia

Page 23: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

23

Aprili, 2013 jumla ya km 19 za tuta la barabara zimekamilika.

• Kizi – Sitalike – Mpanda (km 95) Mkataba wa ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu ya Sitalike – Mpanda (km 35) umesainiwa tarehe 22 Oktoba, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 37.097. Hadi kufikia Aprili, 2013 Mkandarasi ameshakamilisha

maandalizi (mobilization) na ameanza kazi za ujenzi.

• Mpanda – Uvinza –Nyakanazi (km 582.4) Usanifu wa kina wa barabara hii umekamilika na ujenzi utafanyika kwa awamu kulingana na

upatikanaji wa fedha. 40. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa

ukarabati kwa kiwango cha lami barabara ya Nyanguge – Musoma (km 183), mkataba wa kazi kwa sehemu ya Simiyu/Mara border -

Musoma yenye urefu wa kilomita 85.5 ulisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 85.368. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 75 za tuta la barabara, km 61.45 za tabaka la chini, km 50.97 za tabaka la juu na km 45.56 za lami zimekamilika. Kwa

upande wa ujenzi wa mchepuo wa Usagara - Kisesa (km 17), mkataba wa ujenzi ulisainiwa

Page 24: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

24

tarehe 26 Machi, 2013. Mkandarasi yuko katika maandalizi ya kuanza kazi. Kwa sehemu ya Nyanguge hadi mpakani mwa Simiyu/Mara, Serikali inatafuta fedha za ukarabati.

41. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa

mradi wa barabara ya Mziha – Turiani – Magole (km 84.6) umegawanywa katika sehemu mbili zifuatazo:

• Magole – Turiani (km 48): Mkataba wa ujenzi ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 41.89. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 34 za tuta la barabara na km 0.24 za tabaka la chini zimekamilika.

• Turiani – Mziha (km 36.6): Kazi ya usanifu wa barabara hii imekamilika na hatua inayofuata ni kutafuta fedha za ujenzi. 42. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa

barabara ya Bariadi-Lamadi (km 71.8), mkataba wa ujenzi utagharimu Shilingi bilioni 67.408. Mradi huu ni sehemu ya barabara ya Shinyanga – Mwigumbi – Maswa – Bariadi yenye urefu wa kilomita 171. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 6.88 za tuta la barabara na km 3.12 za

tabaka la chini zimekamilika.

Page 25: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

25

43. Mheshimiwa Spika, maandalizi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Mafia (Mafia Airport Access Road) yenye urefu wa km 14 yanaendelea. Mkataba wa

ujenzi wa barabara hii umesainiwa Machi, 2013 kwa gharama ya Shilingi bilioni 13.554 fedha za ndani. 44. Mheshimiwa Spika, Barabara ya

Dodoma – Chuo Kikuu cha Dodoma (Dodoma

University Road) (km 12) itajengwa kwa kiwango cha lami kwa kutumia fedha za ndani. Hatua za kumpata Mkandarasi kwa ajili ya mradi huu zinaendelea. 45. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa

mradi wa barabara ya Tunduma-Sumbawanga (km 223.0) unaogharamiwa kwa fedha za ‘Millennium Challenge Corporation’ (MCC) ya Marekani umegawanyika katika sehemu tatu zifuatazo:-

• Lot 1: Tunduma – Ikana (km 63.7)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara unagharimu Shilingi bilioni 82.52. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 43.75 za tuta la barabara, km 26.34 za tabaka la chini, km 24.88 za tabaka la juu na km 1.3 za lami

zimekamilika.

Page 26: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

26

• Lot 2: Ikana – Laela (km 64.0)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara ni wa gharama ya Shilingi bilioni 76.076. Hadi

kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 55.1 za tuta la barabara, km 45.04 za tabaka la chini, km 43.66 za tabaka la juu na km 43.39 za lami zimekamilika.

• Lot 3: Laela – Sumbawanga (km 95.3)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara ni wa gharama ya Dola za Kimarekani milioni 97.141. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 44.3 za tuta la barabara, km 41.9 za tabaka la chini, km 41.76 za tabaka la juu na km 33.76 za lami zimekamilika.

46. Mheshimiwa Spika, mradi wa

barabara ya Kagoma- Biharamulo-Lusahunga (km 154) ni sehemu ya barabara ya Mutukula – Bukoba – Biharamulo – Lusahunga (km 294). Mkataba mpya wa kumalizia ujenzi wa sehemu

ya barabara ya Kagoma – Lusahunga (km 154) kwa kiwango cha lami ulisainiwa tarehe 18 Juni, 2009 kwa gharama ya Shilingi bilioni 191.454. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania baada ya ADB kujitoa. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 150.9 za tuta la

barabara, km 150.9 za tabaka la chini, km

Page 27: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

27

130.5 za tabaka la juu na km 121 za lami zimekamilika. 47. Mheshimiwa Spika, Serikali ya Japan

imetoa msaada wa fedha za kugharamia ujenzi na upanuzi wa barabara ya Bendera Tatu – KAMATA. Kazi ya kuondoa mali zilizomo kwenye eneo la mradi imeanza. Utaratibu wa kumtafuta Mkandarasi unaendelea nchini Japan na ujenzi unatarajiwa kuanza katika mwaka wa fedha

2013/14.

48. Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara ya Minjingu – Babati – Singida (km 223.5) unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na mchango wa Serikali ya Tanzania. Ujenzi wa sehemu tatu za Singida-Kateshi (km 65.1),

Kateshi-Dareda (km 73.8) na Dareda-Babati-Minjingu (km 84.6) umekamilika.

49. Mheshimiwa Spika, barabara ya

Minjingu – Arusha (km 104) inafanyiwa ukarabati kwa kiwango cha lami kwa ufadhili

wa Benki ya Dunia kwa gharama ya Shilingi bilioni 75.511. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 12 za tuta la barabara, km 10 za tabaka la chini na km 9 za tabaka la juu zimekamilika.

Page 28: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

28

50. Mheshimiwa Spika, ukarabati wa

barabara ya lami ya Dar es Salaam – Tunduma

(TANZAM) unahusisha ukarabati wa sehemu ya

Iyovi - Kitonga Gorge (km 86.3), Ikokoto - Iringa

(km 60.9), mchepuo wa kuingia Iringa mjini (km

2.1) na Iringa-Mafinga (km 68.9). Mradi huu

unagharamiwa kwa mkopo kutoka Serikali ya

Denmark pamoja na mchango wa Serikali ya

Tanzania. Ukarabati wa Sehemu ya Msimba –

Ruaha Mbuyuni/Ikokoto – Mafinga (km 149.6)

umekamilika. Ukarabati wa sehemu ya Iringa –

Mafinga (km 69.4), ulianza tarehe 9 Septemba,

2011 kwa gharama ya EURO milioni 38.5. Hadi

kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 70.1 za tuta la

barabara, km 54.64 za tabaka la chini, km

53.91 za tabaka la juu na km 53.11 za lami

zimekamilika.

51. Mheshimiwa Spika, kazi ya ukarabati

wa barabara ya Korogwe - Mkumbara –Same

(km 172) zimegawanyika katika sehemu mbili na utekelezaji wa sehemu hizo ni kama ifuatavyo:-

• Korogwe - Mkumbara (km 76)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa

tarehe 16 Januari 2012 kwa gharama ya

Page 29: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

29

Shilingi bilioni 62.866. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 19.1 za tuta la barabara, km 14.2 za tabaka la chini, km 13.7 za tabaka la juu na km 3.4 za lami zimekamilika.

• Mkumbara – Same (km 96)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 16 Januari 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 65.130. Hadi kufikia Aprili, 2013,

jumla ya km 3.3 za tuta la barabara zimekamilika. 52. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea

na ujenzi wa barabara ya Mbeya – Chunya – Makongorosi (km 115) ambao umegawanywa

katika sehemu tatu zifuatazo:-

• Mbeya-Lwanjilo (km 36): Baada ya Mkandarasi wa awali (Kundan Singh) kushindwa kazi na kufukuzwa, Mkataba mpya wa ujenzi wa barabara ulisainiwa kwa gharama

ya Shilingi bilioni 55.385. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 3 za tuta la barabara zimekamilika.

• Lwanjilo-Chunya (km 36): Mkataba wa ujenzi wa sehemu ya Lwanjilo –

Chunya utagharimu Shilingi bilioni 40.28. Hadi

Page 30: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

30

kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 3 za tuta la barabara zimekamilika. 53. Mheshimiwa Spika, kuhusu ukarabati

na upanuzi wa barabara ya Chalinze - Segera

hadi Tanga, ukarabati wa sehemu ya Chalinze –

Kitumbi (km 125) umekamilika. Mkataba wa

ukarabati wa sehemu ya barabara ya Kitumbi –

Segera – Tanga (km 120 ulisainiwa tarehe 24

Desemba 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni

67.237. Hadi Aprili, 2013, upanuzi umekamilika

kwa jumla ya km 24.45 za tuta la barabara, km

24.45 za tabaka la chini na km 24.45 za tabaka

la juu. Aidha, km 90 za kuongeza tabaka la lami

(resealing) zimekamilika.

54. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa

barabara ya Dodoma – Iringa (km 260) unagharamiwa na fedha za mkopo toka ADB na JICA. Mradi umegawanyika katika sehemu tatu

kama ifuatavyo:-

• Iringa – Migori (km 95.10):

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 84.216. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 58.7 za tuta la

Page 31: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

31

barabara na km 39.1 za tabaka la chini, km 10.7 za tabaka la juu zimekamilika.

• Migori – Fufu Escarpment (km 93.80)

Mkataba wa ujenzi wa barabara hii katika sehemu unagharimu Shilingi bilioni 73.612. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 56.4 za tuta la barabara na km 25.3 za tabaka la chini, km 9.4 za tabaka la juu zimekamilika.

• Fufu Escarpment – Dodoma (km 70.90)

Mkataba katika sehemu hii ya barabara unagharimu Shilingi bilioni 64.327. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 64.8 za tuta la

barabara, km 39.2 za tabaka la chini, km 28 za tabaka la juu na km 6.9 za lami zimekamilika.

55. Mheshimiwa Spika, ujenzi kwa

kiwango cha lami kwa barabara ya Dodoma – Babati (km 261) umegawanywa katika sehemu

zifuatazo:-

• Dodoma – Mayamaya (km 43.65)

Mkataba wa ujenzi wa barabara hii ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 40.609. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 25.75 za tuta

la barabara, km 20 za tabaka la chini, km 18 za

Page 32: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

32

tabaka la juu na km 17.35 za lami zimekamilika.

• Mayamaya - Mela (km 99.35)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mayamaya – Mela imetangazwa Novemba, 2012 na taratibu za kumpata Mkandarasi zinaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya

Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Mela – Bonga (km 98.8)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mela – Bonga imetangazwa Novemba, 2012 na

taratibu za kumpata Mkandarasi zinaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Bonga – Babati (km 19.2)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 31 Mei, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 19.687. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 18.5 za tuta la barabara, km 18.5 za tabaka la chini, km 18.5 za tabaka la juu na km 18.2 za lami zimekamilika.

Page 33: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

33

56. Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara ya Masasi- Songea – Mbamba Bay umegawanywa katika sehemu zifuatazo:-

• Mangaka – Nakapanya (km 70.50) Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa sehemu ya Mangaka - Nakapanya imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi unaendelea. Mradi huu

unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Nakapanya - Tunduru (km 66.50) Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa

sehemu ya Nakapanya - Tunduru imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Mangaka – Mtambaswala (km 65.50)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mangaka - Mtambaswala imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi

unaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa

Page 34: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

34

fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Tunduru – Matemanga (km 58.70)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 63.409. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari, 2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive –

Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Matemanga – Kilimasera (km 68.20)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 64.016. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari 2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive – Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za

kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Kilimasera - Namtumbo (km 60.70)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 53.229. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari

2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive –

Page 35: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

35

Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Namtumbo – Songea (km 67.00) Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 25 Mei 2010 kwa gharama ya Dola za Kimarekani milioni 46.963. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 66 za tuta la barabara, km

58.5 za tabaka la chini, km 55 za tabaka la juu na km 52 za lami zimekamilika.

• Peramiho – Mbinga (km78.00) Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 2 Julai, 2010 kwa gharama ya Shilingi

bilioni 79.803. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 78 za tuta la barabara, km 78 za tabaka la chini, km 78 za tabaka la juu na km 78 za lami zimekamilika. Madaraja Makubwa 57. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/2013 Wizara inaendelea na ujenzi na ukarabati wa madaraja ya: Kirumi kwenye barabara ya Makutano – Sirari, daraja la Nanganga kwenye barabara ya Mingoyo – Masasi

– Tunduru, daraja la Sibiti kwenye barabara ya Ulemo – Gumanga – Sibiti, daraja la Maligisu

Page 36: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

36

(Mwanza) kwenye barabara ya Bukwimba – Kadashi - Maligisu, daraja la Kilombero kwenye barabara ya Mikumi - Ifakara – Mahenge, daraja la Kavuu kwenye barabara ya Majimoto-Inyonga,

daraja la Mbutu kwenye barabara ya Igunga-Manonga, daraja la Ruhekei kwenye barabara ya Mbinga-Mbamba Bay, daraja la Ruhuhu (Ruvuma) na ununuzi wa madaraja ya Chuma ya dharura na mtambo wa kukagua madaraja (Compact Emergency Bridges na Crane Lorry).

Utekelezaji wa ujenzi wa madaraja hayo umefikia hatua zifuatazo:-

(i) Daraja la Kirumi

Hatua za kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya usanifu wa kina wa ukarabati wa

daraja la Kirumi zinaendelea. Kazi za usanifu zinatarajiwa kukamilika katika mwaka 2013/14.

(ii) Daraja la Sibiti

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 7 Agosti, 2012 kwa gharama ya shilingi bilioni 16.302.

Hadi kufikia Aprili, 2013 Mkandarasi ameshakamilisha maandalizi (mobilization) na tayari kazi za ujenzi zimeanza.

(iii) Daraja la Kilombero

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 24 Oktoba, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni

53.214. Maandalizi ya kuanza ujenzi wa daraja yanaendelea.

Page 37: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

37

(iv) Daraja la Maligisu

Hadi kufika Aprili, 2013 ujenzi wa Daraja hili umefikia asilimia 90.

(v) Daraja la Kavuu

Hatua za kumpata Mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa msingi na nguzo za daraja zinaendelea. Ununuzi wa vyuma vya daraja (Mabey parts) umekamilika.

(vi) Daraja la Mbutu

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 27 Aprili, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 10.456. Hadi kufikia Aprili, 2013 kazi za ujenzi zimekamilika kwa asilimia 54.3.

(vii) Daraja la Ruhuhu

Matayarisho kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa daraja na bwawa la kumwagilia maji la Ruhuhu

yanaendelea.

(viii) Ununuzi wa Madaraja ya Chuma ya

Dharura na Mtambo wa Kukagua Madaraja (Compact Emergency Bridges na Under Bridge Inspection Lorry).

Taratibu za ununuzi wa Madaraja ya Chuma ya Dharura (Compact Emergency Bridges) zinaendelea na mkataba wa ununuzi wa Mtambo wa kukagua Madaraja (Under Bridge

Inspection Lorry) umesainiwa.

Page 38: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

38

58. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa Daraja la Kigamboni, mkataba wa ujenzi ulisaniwa tarehe 9 Januari, 2012. Mradi huu

unagharamiwa na Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF). Mkandarasi ameshakamilisha maandalizi (mobilization) kwa asilimia 90 na ameanza kazi za ujenzi.

59. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga Daraja katika Mto Ruvu kwenye barabara ya Dar es Salaam – Tunduma (TANZAM),

ulikamilika mwaka 2009. Fedha za ndani zimetengwa katika bajeti ya 2012/2013 kwa ajili ya kulipa sehemu ya madai la mkandarasi. Miradi ya Kupunguza Msongamano wa Magari katika Jiji la Dar es salaam 60. Mheshimiwa Spika, Lengo la mradi

huu ni kusanifu, kujenga na kukarabati barabara za Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Hadi Aprili, 2013, hatua za utekelezaji wa miradi

mbalimbali ni kama ifuatavyo:- (i) Ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo

kwa kasi kutoka Kimara hadi Kivukoni, Fire hadi Kariakoo na Magomeni hadi Morocco unaendelea. Aidha, kazi ya ujenzi wa Karakana na vituo vya mabasi

yaendayo kasi pamoja na uhamishaji wa

Page 39: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

39

miundombinu ya umeme inaendelea vizuri.

(ii) Ujenzi wa Flyover ya TAZARA: Maandalizi

ya kumpata mkandarasi yanaendelea. Mradi huu unafadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA).

(iii) Ujenzi na upanuzi wa Barabara ya Gerezani (Bendera Tatu – KAMATA): Serikali ya Japan imekubali kugharamia mradi huu na taratibu za kumpata mkandarasi zinaendelea.

(iv) Barabara ya Kilwa (Bendera tatu – Mbagala Rangi Tatu): Ujenzi wa barabara hii umekamilika.

(v) Hadi kufikia Aprili, 2013, sehemu kubwa ya kazi kwa kiwango cha lami imekamilika

kwa barabara ya Ubungo Bus Terminal – Mabibo-Kigogo Roundabout (km 6.4); Kigogo Roundabout-Bonde la Msimbazi –Twiga/Msimbazi Junction (km 2.7) na Barabara ya Jet Corner – Vituka – Davis Corner (km 10.3).

(vi) Kuhusu Usafiri wa vivuko/boti kati ya Dar es Salaam – Bagamoyo; mkandarasi wa kujenga kivuko/boti chenye uwezo wa kubeba abiria 300 amepatikana. Usanifu

Page 40: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

40

wa maegesho matatu (Magogoni, Jangwani Beach, Rungwe Oceanic) unaendelea. 61. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea

na miradi mingine ya barabara za kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam kama ifuatavyo:-

(i) Kazi za ujenzi zinaendelea kwa barabara ya Tabata Dampo – Kigogo na Ubungo Maziwa External (km 2.25).

(ii) Kwa upande wa barabara za Old Bagamoyo na Garden Road (km 9.1), kazi za usanifu zimekamilika Februari, 2013; na

(iii) Kazi ya Usanifu imekamilika kwa barabara za Mbezi (Morogoro road) –Malamba Mawili – Kinyerezi - Banana (km 14); Tegeta - Kibaoni-Wazo – Goba - Mbezi Mwisho (km 20); Tangi Bovu-Goba (km 9); Kimara

Baruti-Msewe-Changanyikeni (km 2.6) na Kimara-Kilungule-External Mandela Road (km 9). Hatua za kuwapata Wakandarasi wa ujenzi zinaendelea.

62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Wizara imeendelea kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara mbalimbali. Upembuzi yakinifu na usanifu wa kina umekamilika kwa barabara zifuatazo:- (i)

Page 41: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

41

Mbinga – Mbamba Bay (km 66) (ii) Sehemu ya Signali-Ifakara (km 16.8) katika barabara ya Kidatu-Ifakara (km 30). Hii ni kwa ajili ya ujenzi

kwa kiwango cha lami nyepesi. (iii) Barabara ya Turiani – Mziha (km 36.6), (iv) Barabara ya Mafinga – Igawa (Km 140.6), (v) Barabara ya Chunya-Makongorosi (km 43), (vi) Barabara ya

Same – Himo – Marangu (km 99.73), (vii) Barabara ya Mombo – Lushoto (km 32), (viii) Barabara ya Makambako – Songea (km 295) na (ix) Barabara ya Arusha – Moshi – Himo – Holili

(km 140). Kwa barabara hizi, kazi inayofuata ni kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami. 63. Mheshimiwa Spika, kazi za upembuzi

yakinifu na usanifu wa kina zinaendelea katika barabara zifuatazo:-

(i) Barabara ya Mtwara – Mingoyo - Masasi (km 200.00),

(ii) Makongolosi- Rungwa-Itigi- Mkiwa (km 413),

(iii) Mpemba-Isongole (Tanzania/Malawi Border),

(iv) Handeni – Kiberashi - Kibaya –Kwamtoro - Singida (km 461), na

(v) Bagamoyo (Makurunge) – Saadani – Pangani - Tanga (km178).

Aidha, taratibu za kuwapata Wataalam Mshauri kwa ajili ya kazi za upembuzi yakinifu na

Page 42: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

42

usanifu wa kina zinaendelea kwa barabara zifuatazo:-

(i) Matai- Kasesya (km 50), (ii) Ifakara-Mahenge (sehemu ya Lupilo-

Mahenge),

(iii) Kibondo-Mabamba (km 35), (iv) Omugakorongo – Kigarama- Murongo

(km 111), (v) Kyaka- Bugene/Benako (km 124), (vi) Kolandoto- Lalago- Mwanhuzi –Oldeani

(km 328),

(vii) Ipole – Rungwa (km 95), (viii) Mtwara – Newala – Masasi (km 209), (ix) Kidatu –Ifakara – Londo –

Lumecha/Songea (km 396) ambayo imepata ufadhili wa ADB na JICA kwa ajli ya Mtaalam Mshauri na

(x) Daraja la Wami.

Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi na Ukarabati wa Vivuko na Maegesho ya Vivuko 64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Wizara kupitia TEMESA ilipanga:

i) Kuendelea na taratibu za kununua vivuko vipya vya Ilagala (Tani 50) Mkoani Kigoma, Kahunda/Maisome (Geita) na kivuko cha mwambao wa

Page 43: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

43

Bahari ya Hindi kati ya Magogoni (Dar es Salaam) na Bagamoyo,

ii) Kukamilisha ukarabati wa vivuko vya MV. Chato (Geita), MV Kome I

(Mwanza), MV Kilombero I (Morogoro), Mv. Geita (Mwanza) na Itungi Port (Mbeya), pamoja na

iii) Kujenga maegesho katika vivuko vya Msanga Mkuu (Mtwara), Ruhuhu (Ruvuma), Maisome/Kahunda (Geita)

na Rugezi/Kisorya upande wa Ukerewe (Mwanza).

65. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia

Aprili, 2013, kazi za ujenzi na ukarabati wa vivuko ilikamilka kwa vivuko vifuatavyo:

i) Ujenzi wa kivuko cha Kilambo Mkoani

Mtwara, ii) Ujenzi wa kivuko cha Ilagala mkoani

Kigoma umekamilika huko Uholanzi na kivuko kimewasili hapa nchini tarehe

26 Aprili 2013, iii) Ujenzi wa maegesho ya Nkome, Rugezi

na Utete umekamilika na iv) Ukarabati wa vivuko vya MV Chato, MV

Sabasaba na MV Kyanyabasa umekamilika

Page 44: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

44

66. Mheshimiwa Spika, Miradi ya vivuko na maegesho inayoendelea katika mwaka 2012/13 ni kama ifuatavyo:

i) Ujenzi wa Kivuko cha Kahunda-Maisome umeanza na utakamilika Desemba, 2013,

ii) Maandalizi ya Ununuzi wa kivuko cha Itungi Port (Kyela Mbeya) unaendelea,

iii) Ujenzi wa kivuko cha Msanga Mkuu

(Mtwara) unaendelea Bandarini Dar es salaam,

iv) Ujenzi wa maegesho ya kivuko cha Msanga Mkuu mkoani Mtwara upande wa Msanga Mkuu umekamilka na umeanza kwa upande wa Msemo,

v) Ujenzi wa maegesho ya Kahunda -Maisome na maegesho katika vituo vya Mharamba, Senga na Ikumbitare umeanza Machi 2013,

vi) Usanifu wa maegesho ya kivuko kwa ajili ya usafiri kati ya Dar es Salaam na

Bagamoyo unaendelea. Aidha, mzabuni amepatikana kwa ajili ya ununuzi wa kivuko cha Dar es salaam hadi Bagamoyo,

vii) Ujenzi wa uzio katika vivuko vya Magogoni Dar es salaam na Kinesi

Mkoani Mara umekamilika,

Page 45: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

45

viii) Zabuni imetangwaza kwa ajili ya ukarabati wa vivuko vya MV Kome 1, na MV Kilombero 1, na

ix) Mkandarasi wa kukarabati kivuko cha

MV Geita amepatikana. Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba na Majengo ya Serikali 67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2012/13 Wizara kupitia Wakala wa Majengo imeendelea na utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya Viongozi na watumishi wa umma, majengo ya ofisi za Serikali na majengo ya biashara.

68. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Aprili, 2013 ujenzi wa nyumba za viongozi katika Wilaya za Bahi (2) na Kondoa (1), jengo la ghorofa 18 barabara ya Chimara (DSM); na jengo la ghorofa 8 barabara ya Haile Selasie Dar es salaam ulikamilika na yameanza kutumika.

69. Mheshimiwa Spika, awamu ya kwanza

ya ujenzi wa nyumba za Waheshimiwa Majaji; Dar es Salaam (2), Arusha (1), Songea (1), Tanga (1), Mbeya (1), Tabora (1), Mwanza (1), Iringa (1, Dodoma (1), pamoja na ujenzi wa nyumba za

viongozi Ukerewe(2) na Mvomero (1) upo kwenye hatua za mwisho za kukamilishwa. Taratibu za zabuni kwa ujenzi wa nyumba zingine 5

Page 46: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

46

(Kagera,Shinyanga, Kilimanjaro, Mtwara na Dar es Salaam) zimeanza. 70. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa majengo

mawili ya ghorofa ya kupangisha kibiashara jijini Arusha (Wachaga Street na Simeoni Street) unaendelea na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Juni, 2014. Miradi ya ujenzi wa ghorofa lenye nyumba 16 za kupangisha

kibiashara eneo la SIDA – Dar es Salaam, ghorofa lenye nyumba 8 Mbezi Beach – Dar es Salaam na nyumba 3 Arusha upo katika hatua za umaliziaji. Aidha, ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Bariadi, zahanati katika Manispaa ya Lindi na zahanati katika eneo la

Mwangaza Dodoma pamoja na ukarabati wa jengo la karakana za MT. Depot na Dodoma unaendelea.

Usalama Barabarani

71. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea na utekelezaji wa Sera ya Usalama Barabarani ya mwaka 2009 kwa kutekeleza yafuatayo katika mwaka 2012/13:- (i) Kutoa elimu ya usalama barabarani kwa

Shule za Msingi ili kupunguza ajali nchini, (ii) Kuandaa na kuendesha kampeni za

kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa usalama barabarani,

Page 47: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

47

(iii) Kushirikiana na wadau muhimu kama vile Jeshi la Polisi, Wizara ya Afya, Wizara ya Elimu, Sheria n.k. katika kutoa elimu ya Usalama barabarani na kusimamia

utekelezaji wa sheria zilizopo, (iv) Kudhibiti uzito wa magari yanayotumia

barabara na kufanya tafiti za kutumia tekinolojia ya kisasa katika kudhibiti uzito,

(v) Kuandaa taratibu za uanzishwaji wa Wakala wa Usalama barabarani,

(vi) Kuandaa mapendekezo ya rasimu ya Sheria ya Usalama barabarani,

Ushirikishwaji wa Wanawake katika Kazi za Barabara

72. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2012/13 masuala yafuatayo yametekelezwa ili kuongeza ushiriki wa wanawake katika kazi za barabara: Wizara imeteua Waratibu wa Mikoa katika mikoa yote Tanzania Bara ambao watakuwa na jukumu la

kuhamasisha wanawake kushiriki katika kazi za barabara katika mikoa husika. Wizara imefuatilia kujua idadi ya kampuni za makandarasi zinazomilikiwa na wanawake katika kila Mkoa ambao wako hai. Hadi sasa jumla ya kampuni za makandarasi 125

zinamilikiwa na wanawake. Aidha, Wizara kupitia Kitengo cha ushirikishaji Wanawake imeendesha mafunzo kwa vikundi vya

Page 48: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

48

Wanawake na Makandarasi Wanawake 30 ili kuwaongezea uwezo wa kujenga na kuzifanyia matengenezo barabara kwa kutumia Tekinolojia Stahiki ya Nguvu Kazi. Washiriki wa warsha

hiyo wamepata sifa ya kuanzisha kampuni za ukandarasi na kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi. Washiriki wa warsha hiyo walitoka mikoa ya Kilimanjaro, Singida, Manyara, Tanga, Geita, Dar es Salaam, Katavi, Njombe na Simiyu. Aidha, katika mwaka

2012/13 Wizara ilifanya kazi ya ufuatiliaji (Monitoring) kujua maendeleo na kiwango cha ushirikii wa wanawake katika miradi ya barabara. Wizara iliweza kujua kiwango cha ushiriki wa wanawake kwenye miradi ya

barabara hasa kwa wanawake wa kada za vibarua na wengineo ambao wanapata kipato kwa kazi za barabara. Ushiriki wa Wizara katika Jumuiya Mbalimbali za Kimataifa 73. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Wizara imeendelea kushiriki katika masuala yanayohusu Sekta ya Ujenzi katika Jumuiya za Kimataifa na Kikanda na hususan Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya

ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Kwa upande wa EAC Wizara imeshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya barabara zinazounganisha nchi wanachama ukiwemo

Page 49: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

49

mradi wa ujenzi wa barabara ya Arusha – Namanga kwa kiwango cha lami. Mradi huu umekamilika na kufunguliwa rasmi na Wakuu wa Nchi za Tanzania na Kenya tarehe 28

Novemba, 2012. Miradi mingine inayoendelea kutekelezwa ni ujenzi wa daraja la Rusumo linalounganisha Tanzania na Rwanda, usanifu wa barabara ya Bagamoyo – Saadani - Tanga, usanifu wa barabara ya Arusha – Himo – Holili/Taveta na ujenzi wa Vituo vya pamoja vya

mipakani (One Stop Border Posts) vya Namanga, Rusumo, Kabanga na Mutukula. 74. Mheshimiwa Spika, Wizara pia

ilishiriki katika maandalizi ya mswada wa Udhibiti wa Uzito wa Magari katika Jumuiya ya

Afrika Mashariki (EAC Vehicle Load Control Bill, 2012) ambao unasubiri kupitishwa na Bunge la Afrika Mashariki. Aidha, Wizara ilishiriki katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi za EAC uliofanyika Nairobi tarehe 29 Novemba, 2012 ambao pamoja na mambo mengine ulipitisha

miradi ya kipaumbele kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa huduma za bandari. Kwa upande wa barabara zetu, miradi iliyokubaliwa na Wakuu wa nchi za EAC ni barabara za kupunguza msongamano katika kuingia na kutoka Bandari ya Dar es Salaam; barabara ya Nyakanazi –

Kasulu – Kidahwe – Mpanda; barabara ya Tanga – Saadani – Bagamoyo, barabara ya Nyanguge – Musoma – Sirari; barabara ya Lusahunga –

Page 50: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

50

Rusumo na barabara ya Nyakasanza – Kobero. Miradi hii ya barabara ilijumuishwa kwenye mpango wa EAC wa kuboresha huduma za bandari na reli ambazo zinahudumia Tanzania

na nchi jirani. 75. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa

SADC, mwaka 2012/13 Wizara ilishiriki katika maandalizi ya Mpango wa Kuendeleza Miundombinu (SADC Regional Infrastructure

Development Master Plan) ambao ulipitishwa na Nchi Wanachama wa SADC mwezi Agosti, 2012 Maputo nchini Msumbiji. Lengo la Mpango huu ni kuwa na miundombinu ya uhakika

itakayoziunganisha nchi wanachama ili kupunguza gharama na kurahisisha biashara. Mpango huo unahusisha uendelezaji wa miradi ya kipaumbele ya miundombinu katika Sekta za Nishati, Uchukuzi, Utalii, Maji, Mawasiliano na Hali ya Hewa. Miradi ya barabara

inayojumuishwa katika Mpango Kamambe inahusisha: i) Barabara ya Dar es Salaam – Chalinze (Expressway - km 100) kwa ajili ya usafirishaji wa bidhaa za Burundi, DR Congo, Malawi, Rwanda, Uganda na

Zambia; ii) Barabara ya Mtwara – Mbamba bay

sehemu ya barabara ya Mbinga – Mbamba

Page 51: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

51

Bay (km 66) inayoiunganisha Tanzania na nchi za Malawi na Zambia;

iii) TANZAM Highway sehemu ya barabara ya Makambako – Songea (km 289)

inayoiunganisha Tanzania na nchi ya Msumbiji; na

iv) Barabara ya Manyoni – Tabora – Kigoma sehemu za barabara ya Nyahua – Chaya (km 90) na Kidahwe – Kasulu – Nyakanazi (km 310) zitakazoiunganisha Tanzania na

nchi za DR Congo, Zambia na Burundi. Nchi Wanachama kwa kushirikiana na Sekretarieti ya SADC zinaendelea na mikakati ya kutafuta fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kamambe wa Kuendeleza

Miundombinu.

Maendeleo ya Watumishi 76. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13, Wizara imeendelea kuwaendeleza

watumishi wake kitaaluma kwa kuwapeleka jumla ya watumishi 25 katika mafunzo ndani na nje ya nchi. Kati ya hao, watumishi 12 walishiriki mafunzo ya muda mrefu na watumishi 13 walipelekwa mafunzo ya muda mfupi. Watumishi 2 walipata mafunzo ya muda

mrefu na watumishi 2 walipata mafunzo ya muda mfupi nje ya nchi. Watumishi 10 walipata mafunzo ya muda mrefu na watumishi 11

Page 52: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

52

walipata mafunzo ya muda mfupi ndani ya nchi. Aidha, watumishi 20 walipandishwa vyeo, watumishi 2 walibadilishwa kada, watumishi 3 walithibitishwa kazini na watumishi 11

waliajiriwa kazini.

Mikakati ya Kupambana na Ukimwi 77. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa

fedha 2012/2013 Wizara iliendelea kutoa elimu

ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na VVU kwa watumishi kwa kutumia Wataalamu kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS). Aidha, watumishi wameendelea kuhamasishwa kupima afya zao pamoja na kuwapatia huduma ya lishe bora kwa watumishi walioathirika.

Vita Dhidi ya Rushwa 78. Mheshimiwa Spika, Wizara katika

mwaka wa fedha 2012/2013 iliendelea kuwaelimisha watumishi athari ya kutoa na

kupokea rushwa pamoja na kuwahimiza kupambana na rushwa katika mazingira yote ya kazi. Elimu kuhusu mapambano dhidi ya rushwa ilitolewa kupitia vipeperushi, semina na mikutano mbalimbali kwa ushirikiano na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa

(TAKUKURU).

Page 53: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

53

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

79. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu sera na mipango ya Wizara ya Ujenzi, umuhimu wa

kutunza barabara na kuzingatia sheria na kanuni za matumizi ya barabara na sheria zingine zinazosimamia Sekta. Aidha, Wizara imeendelea kuboresha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuongeza ufanisi na kutoa huduma kwa wakati.

Tovuti ya Wizara imeboreshwa ili kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa mbali mbali zinazohusiana na Sekta ya Ujenzi. Wizara imeshiriki katika mikutano na mafunzo yanayolenga matumizi ya TEHAMA ili kuboresha utendaji wa kila siku.

Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) 80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Bodi ya Mfuko wa Barabara ilikuwa na lengo la kukusanya jumla ya Shilingi bilioni 429.664. Hadi tarehe 31 Machi, 2013 Bodi ya

Mfuko wa Barabara ilikusanya na kugawa kiasi cha Shilingi bilioni 333.7 ambazo ni sawa na asilimia 77.7 ya lengo la Shilingi bilioni 429.664 kwa mwaka 2012/13. Kazi nyingine iliyofanywa na Bodi katika mwaka 2012/13 ni kufuatilia na kukagua miradi ya matengenezo ya barabara

Page 54: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

54

inayotumia fedha za Mfuko nchi nzima. Kwa mwaka 2012/13 bodi ilifanya ukaguzi katika mikoa kumi na moja (11) ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Rukwa, Tabora, Dar es

Salaam, Mwanza, Lindi, Mara, Katavi na Iringa. Pale inapobainika kuna udhaifu, mamlaka husika zilitaarifiwa na hatua stahiki zilichukuliwa. Wakala wa Ufundi na Umeme 81. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2012/13, Wizara kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imeendelea kusimamia uendeshaji wa vivuko 22 katika maeneo 15 hapa nchini kama ifuatavyo:

(i) Magogoni—Kigamboni;

• MV Magogoni, Tani 500,

• MV Kigamboni, Tani 170, (ii) Ilagala (Kigoma);

• MV Ilagala, Tani 50, (iii) Kinesi—Musoma (Mara);

• MV Musoma, Tani 85, (iv) Ifakara—Ulanga (Mto Kilombero);

• MV Kilombero I, Tani 50,

• MV Kilombero II, Tani 50, (v) Kisorya—Rugezi (Mwanza/Mara);

• MV Ujenzi, Tani 50,

• MV Sabasaba, Tani 85,

Page 55: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

55

(vi) Rusumo - Nyakiziba (Mto Ruvuvu, Kagera);

• MV Ruvuvu, Ton 35, (vii) Kasharu - Buganguzi (Mto Ngono, Kagera);

• MV Kyanyabasa, Tani 7, (viii) Utete (Mto Rufiji);

• MV Utete, Tani 50, (ix) Pangani—Bweni (Mto Pangani – Tanga),

• MV Pangani II, Tani 50, (x) Kigongo—Busisi (Mwanza);

• MV. Misungwi, Tani 250,

• MV. Sengerema, Tani 170,

• MV. Geita, Tani 65, (xi) Nyakaliro—Kome (Sengerema),

• MV Kome I, Tani 25

• MV Kome II, Tani 40, (xii) Ilunga - Kipingu (Mto Ruhuhu – Ruvuma);

• MV Ruhuhu, Tani 50, (xiii) Bugolora—Ukara (Ukerewe/Ukara);

• MV Nyerere, Tani 25, (xiv) Chato—Muharamba—Zumacheli—Senga-

Bukondo—Nkome.

• MV Chato, Tani 75,

• MV Ukara, Tani 25. (xv) Kilambo - Namoto

• MV Kilambo Tani 50

82. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia TEMESA imeendelea kusimamia huduma za ukodishaji magari ya viongozi. TEMESA pia

imetoa ushauri wa kihandisi kwa miradi ya

Page 56: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

56

usimikaji wa mifumo ya umeme, mitambo, elektroniki, viyoyozi na mabarafu katika majengo ya Serikali kama ifuatavyo:

(i) Miradi ya kuboresha vituo na vyuo vya Afya vya Mbeya, Mirembe (Dodoma), Tanga, Kairuki (Dar es Salaam), Sengerema, Rukwa na Mvumi,

(ii) Mradi wa maboresho ya ‘Theatre’

katika Hospitali ya Mawenzi Moshi, (iii) Mradi wa ujenzi wa Mahakama Kuu

ya Shinyanga, (iv) Mradi wa ukarabati wa Ofisi za muda

za TBA Mkoa wa Njombe,

(v) Mradi wa usimikaji wa lifti katika jengo la Ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria,

(vi) Miradi ya ununuzi na usimikaji wa jenereta katika Ofisi za Wizara ya Maji, Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi

ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, TANROADS – Lindi, Chuo cha Uvuvi Mbegani na Chuo cha Maji,

(vii) Miradi ya ujenzi wa karakana za vyuo vya maendeleo ya Jamii katika

mikoa ya Tanga, Tabora, Pwani na Mara,

(viii) Miradi ya ujenzi wa nyumba za Makazi ya Majaji katika miji ya Dar

Page 57: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

57

es Salaam, Arusha, Tanga, Tabora, Dodoma, Mbeya, Iringa na Mwanza,

(ix) Mradi wa ujenzi wa Ofisi za SIDO Mkoa wa Pwani,

(x) Mradi wa ukarabati wa nyumba za makazi za Majaji mikoa ya Mwanza, Iringa na Tabora.

83. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Wizara kupitia TEMESA ilipanga

kutengeneza magari katika Karakana zake zote zilizopo kila Mkoa. Hadi kufikia Aprili, 2013 TEMESA ilitengeneza magari 5,938. Matengenezo ya mifumo ya Umeme, Elektroniki Viyoyozi na Majokofu katika ofisi mbalimbali umeendelea kufanyika. Aidha, TEMESA

imeendelea kuimarisha karakana zake kwa vifaa vya umeme, elektroniki na mitambo. Mashine za kutambua matatizo ya magari (Computerized Diagonistic Machine) imepatikana. Mashine nyingine 10 kama hiyo ziko katika hatua ya manunuzi kwa ajili ya karakana 10.

Bodi ya Usajili wa Wahandisi 84. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Bodi ya Usajili wa Wahandisi ilipanga kusajili Wahandisi 955, kampuni za ushauri wa

kihandisi 25 na kusimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo ya vitendo kwa Wahandisi wahitimu 1,000. Hadi Aprili, 2013 Bodi ilisajili

Page 58: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

58

Wahandisi 838 na kampuni za ushauri wa kihandisi 10 na kufikisha jumla ya Wahandisi 12,102 waliosajiliwa katika ngazi mbalimbali na kampuni za ushauri wa kihandisi 237. Kati yao,

jumla ya Wahandisi waliosajiliwa 10,694 ni wazalendo, na 1,408 ni wageni. Kampuni za ushauri wa kihandisi 169 ni za kizalendo na 68 ni za kigeni. Aidha, katika kipindi hicho, Bodi ilisajili Wahandisi Washauri 17 na kufanya jumla ya Wahandisi Washauri kuwa 386, kati

yao 299 ni wazalendo na 87 ni wageni. Bodi ilifuta usajili kwa Wahandisi washauri 3 na kampuni ya ushauri wa Kihandisi 1.

85. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Usajili wa

Wahandisi imetekeleza majukumu mengine

kama ifuatavyo:

i) Kusimamia mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma kwa Wahandisi wote ili kuwafanya Wahandisi kwenda sambamba na mabadiliko ya kisayansi na kiteknolojia

na hivyo kuweza kufanya shughuli zao za kihandisi kwa ufanisi. Lengo pia ni kuwafanya Wahandisi kumudu ushindani unaoletwa na utandawazi. Wahandisi watalaamu zaidi ya 3,000 wamenufaika na mpango huu.

ii) Kukagua miradi ya ujenzi wa barabara na

majengo ili kuhakikisha kuwa inajengwa

Page 59: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

59

na Wahandisi waliosajiliwa. Katika kipindi hiki, jumla ya miradi 504 ilikaguliwa. Aidha, Wahandisi wa kigeni 15 walibainika kufanya kazi bila usajili. Kati yao 8

walikuwa na sifa na hivyo walisajiliwa na 7 walikataliwa usajili kwa sababu hawakuwa na sifa za kutosha.

iii) Kuendelea kusimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo kwa vitendo kwa Wahandisi Wahitimu. Katika kipindi hiki Bodi ilisimamia mafunzo ya Wahandisi

wahitimu 651. Kati ya Wahandisi hao, Wahandisi wahitimu 189 wa kike wanafadhiliwa na Serikali ya Norway. Jumla ya Wahandisi wahitimu 2,224 wameshapitia mpango huu tangu uanzishwe mwaka 2003. Aidha, Wahandisi wahitimu zaidi ya 177 toka

Serikali za Mitaa na Taasisi za Serikali wameshahitimu mafunzo hayo na kusajiliwa na Bodi kama Wahandisi watalaamu.

iv) Kukagua miradi na kuhakiki kama Makandarasi wana Wahandisi wa kutosha na wenye uwezo kutekeleza miradi hiyo.

Katika kipindi cha 2012/13, Bodi ilikagua jumla ya miradi 104. Makandarasi waliobainika kutokuwa na Wahandisi wa kutosha, walielekezwa kuajiri Wahandisi.

Page 60: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

60

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

86. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 lengo la Bodi lilikuwa kusajili Wabunifu Majengo 18, Wakadiriaji Majenzi 25, Wataalamu wenye sifa za kati 31, mafundi Sanifu 7, Warasimu (Draughtsmen) 3 na

Kampuni za Ubunifu Majengo 14 na Ukadiriaji Majenzi 9. Hadi kufikia Aprili, 2013, Bodi ilisajili Wabunifu Majengo 18 na Wakadiriaji Majenzi 25 na hivyo kufanya jumla ya wataalamu wa fani hizo waliosajiliwa na Bodi kuwa 549 (337 ni Wabunifu Majengo, 211 ni Wakadiriaji Majenzi

na “Building Surveyor 1). Aidha, Kampuni 11 za Wabunifu Majengo na Kampuni 9 za Wakadiriaji Majenzi zilisajiliwa na kufanya jumla ya kampuni zilizosajiliwa kuwa 270. Bodi pia iliwasajili wataalamu wa fani za sifa za kati 66. Bodi iliwafutia usajili Wabunifu Majengo 8,

Wakadiriaji Majenzi 7, makampuni 9 na kusitisha usajili wa Mbunifu majengo 1 kwa muda. Bodi pia ilisajili miradi ya ujenzi 774. Usajili wa miradi hiyo unasaidia kupatikana kwa taarifa za ujenzi kwa Serikali na pia wadau wote wa Sekta ya Ujenzi.

87. Mheshimiwa Spika, ili kuhakikisha

kwamba shughuli za majenzi zinasimamiwa na kampuni za Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi waliosajiliwa, Bodi ilikagua miradi ya

Page 61: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

61

ujenzi 2,112 katika mikoa 21 ya Tanzania Bara. Tathmini ya ukaguzi huo imeonesha kuwa kuna uelewa mdogo kwa waendelezaji kuhusu umuhimu wa kutumia ushauri wa Wabunifu

Majengo na Wakadiriaji Majenzi katika kuendeleza miradi ya ujenzi. Wengi wanachanganya taaluuma hizi na Wahandisi au Makandarasi. Bodi ilichukua hatua za kuwaelimisha wadau husika umuhimu wa kuwatumia wataalamu hao katika miradi ya

ujenzi wa majengo. Bodi ya Usajili wa Makandarasi 88. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Bodi ya Usajili wa Makandarasi

ilipanga kusajili jumla ya Makandarasi 807 na kutathmini Makandarasi 587 ili kujiridhisha kama wana sifa na uwezo wa kuendelea kuwa katika madaraja waliyopo. Aidha, Bodi ilipanga kukagua miradi ya ujenzi 3,090 nchi nzima kwa lengo la kuhakikisha kwamba kazi zote

zinafanywa na Makandarasi waliosajiliwa na pia kuwa makandarasi wanafuata sheria na taratibu za usajili wao.

89. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Aprili, 2013 Bodi ilisajili Makandarasi wapya 813, na ilifuta Makandarasi 366 walioshindwa kuzingatia sheria na taratibu za ukandarasi. Hivyo hadi kufikia Aprili, 2013, Bodi ilikuwa na

Page 62: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

62

Makandarasi 6,991. Aidha, Bodi ilikagua jumla ya miradi 2,480. Katika miradi iliyokaguliwa miradi 1,672 sawa na asilimia 67.4 ilionekana kutekelezwa kwa kuzingatia sheria na taratibu

za usajili na miradi 808 ambayo ni asilimia 32.6 ilikiuka sheria na taratibu hizo. Makandarasi husika walichukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ya Usajili wa Makandarasi Namba 17 ya mwaka 1997 kama ilivyorekebishwa na Sheria Namba 24 ya mwka 2008.

90. Mheshimiwa Spika, Bodi pia

imeendeleza programu za kuendeleza Makandarasi, kuimarisha mfuko wa kusaidia Makandarasi wadogo na kukuza uwezo wa Makandarasi wazalendo.

Baraza la Taifa la Ujenzi

91. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2012/13 Baraza liliendelea kutekeleza majukumu yake ya kushughulikia maendeleo ya

Sekta ya Ujenzi nchini. Baraza liliendesha mafunzo kwa wadau 163 wa sekta kuhusu shughuli za zabuni, menejimenti ya mikataba, usuluhishi wa migogoro, menejimenti ya madai, gharama za ujenzi wa barabara, shughuli za matengenezo na ukarabati wa majengo. Baraza

liliandaa mafunzo maalum (Tailor Made Course) yaliyofanyikia Mtwara kwa ajili ya Halmashauri ya Mtwara, ambapo wadau 13 walipatiwa

Page 63: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

63

mafunzo kuhusu matumizi ya mitambo ya kisasa kwenye upimaji na ramani, usimamizi wa miradi ya ujenzi na usuluhishi wa migogoro ya miradi ya ujenzi. Aidha, Baraza lilifanya tafiti

zifuatazo: i) Upimaji wa tija na ubora wa kazi katika

Sekta ya Ujenzi, ii) Ushindani wa Makandarasi wazalendo

katika kutekeleza miradi ya ujenzi

ikilinganishwa na Makandarasi wa kigeni, iii) Kanuni za mikataba katika utekelezaji wa

miradi ya ujenzi wa miundombinu (barabara, n.k.), na

iv) Usimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu kwa njia ya Kusanifu na

kujenga (Design and Build).

92. Mheshimiwa Spika, Baraza katika mwaka 2012/13 liliendelea kutoa ushauri wa kiufundi kwa wadau mbalimbali ikiwa ni

pamoja na Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), National Ranch Corporation (NARCO), National Audit Office (NAO) na Roads Fund Board (RFB). Aidha, Baraza lilishughulikia usuluhishi wa migogoro ya

miradi ya ujenzi ipatayo 39. Vikosi vya Ujenzi

93. Mheshimiwa Spika, Majukumu ya Vikosi vya Ujenzi ni kufanya kazi za ujenzi na

Page 64: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

64

ukarabati wa majengo na shughuli zingine zinazohusiana na ujenzi. Aidha, Vikosi vina jukumu la kubuni na kutekeleza miradi yoyote ya kibiashara yenye mahusiano na kazi za

ujenzi. Makao Makuu ya vikosi yapo Dar es Salaama. Vikosi vina matawi Arusha, Dodoma na Mwanza.

94. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2012/13 Vikosi vimekamilisha ujenzi wa maegesho (Ferry ramps) ya Rugezi kwa ajili ya Kivuko cha Rugezi – Kisorya, Ukerewe Mwanza. Aidha, Vikosi vimekamilisha ukarabati wa Ofisi zake Dar es Salaam na Mwanza na kuanza

ukarabati wa Karakana za useremala (Carpentry workshops) Dar es Salaam na Dodoma. Vikosi vinaendelea na ujenzi wa nyumba za viongozi Dar es Salaam na Mwanza ukiwemo ujenzi wa nyumba za Majaji Dar es Salaam na Mwanza (Phase I).

95. Mheshimiwa Spika, miradi mingine iliyofanywa na Vikosi ni pamoja na ujenzi wa maegesho ya Kivuko cha Msangamkuu-(Mtwara), ukarabati wa Jengo la Hospitali ya

Rufaa Mbeya, ukarabati wa Majengo ya Ofisi na Nyumba za watumishi Siha (Kilimanjaro), ujenzi wa uzio katika Kivuko cha Kigamboni, ujenzi wa uzio katika eneo la kuegesha magari Kimara (Dar es Salaam) na ujenzi wa uzio katika Kiwanja cha Ndege cha Ziwa Manyara.

Page 65: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

65

Kituo cha Usambazaji wa Tekinolojia katika Sekta ya Ujenzi na Uchukuzi (Tanzania Transportation Technology Transfer Centre-)

96. Mheshimiwa Spika, madhumuni ya Kituo hiki ni kuimarisha Sekta ya Ujenzi na

Uchukuzi kwa kusambaza tekinologia za kisasa kwa wadau wa sekta hizi.

Katika mwaka 2012/13, Kituo kilisambaza makala na taarifa 82 kwa wadau 94,500 zinazoelezea tekinolojia mbalimbali katika Sekta

ya Ujenzi na Uchukuzi. Kituo kimeendelea na maandalizi ya Mradi unaolenga kuboresha mifumo ya ujenzi, matengenezo na usimamizi wa miundombinu ya barabara na uchukuzi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Morgan State University ya Marekani.

Chuo cha Ujenzi – Morogoro

97. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Ujenzi Morogoro katika mwaka 2012/13 kilipanga kuendeleza ujenzi wa jengo jipya la madarasa na karakana ya ufundi, kukarabati majengo 3, pamoja na kununua samani na zana za kufundishia. Aidha, chuo kilipanga kufundisha

jumla ya wanafunzi 780 katika fani za fundi stadi wa kazi za barabara, majengo pamoja na udereva. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya wanafunzi wa fani za ujenzi 662 walipata mafunzo kama ifuatavyo: Basic technical course

Page 66: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

66

(224), Basic driving course (201), Passenger Service Vehicle (PSV) Driving course (140) na Technician Maintenance Management course (97).

Katika kipindi hiki Chuo kimefanya ukarabati

wa majengo ikiwa ni pamoja na karakana ya umeme wa majumbani na magari. Aidha, ujenzi wa jengo jipya ya karakana na madarasa unaendelea. Chuo kililinunua vifaa mbalimbali vya kufundishia na matumizi ya wanafunzi.

Chuo cha Matumizi Stahiki ya Nguvu Kazi- Mbeya

98. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Chuo cha Mafunzo ya Teknolojia

Stahiki ya Nguvukazi–Mbeya (ATTI) kimetoa mafunzo kwa Wahandisi 18 kutoka Somalia na Mafundi Sanifu 30 kutoka nchini. Aidha, Chuo kimetoa ajira kwa wananchi 150 kupitia mafunzo ya vitendo kuhusu ukarabati na matengenezo ya barabara kwa Teknolojia

Stahiki ya Nguvukazi. Chuo pia kimetoa elimu ya ukarabati na matengenezo ya barabara kwa wanavijiji wapatao 550 waliopo jirani na kukarabati barabara za wanavijiji jumla ya kilometa 11 kwa kujitolea kwa lengo la kuwaelimisha umuhimu wa utunzaji wa

barabara zinazowazunguka. Aidha, Chuo kimefanya matengenezo na ukarabati wa jumla ya kilometa 88.5 kwa barabara za mafunzo.

Page 67: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

67

C: MAKADIRIO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2013/2014

Makadirio ya Mapato 2013/2014 99. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Wizara ya Ujenzi inatarajia kukusanya jumla ya Shilingi 45,047,550.00 kutoka Idara zenye vyanzo vya mapato ambazo ni Idara za Utawala na Rasilimali Watu, Huduma za Ufundi

na Idara ya Menejimenti ya Ununuzi. Sehemu kubwa ya mapato hayo itatokana na ada za kusajili magari, pikipiki, bajaji na mitambo ya Serikali kwa namba za Serikali.

Matumizi ya Kawaida 2013/2014

100. Mheshimiwa Spika, bajeti ya Matumizi ya Kawaida ya Wizara kwa mwaka 2013/14 ni Shilingi 381,205,760,000.00. Kati ya fedha hizo, Shilingi 21,211,514,000.00 ni kwa

ajili ya Mishahara ya Watumishi, Shilingi 6,944,846,000.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo ya Wizara na Taasisi, na Shilingi 353,049,400,000.00 ni fedha za Mfuko wa Barabara.

Makadirio ya Bajeti ya Maendeleo kwa Mwaka 2013/2014

101. Mheshimiwa Spika, vipaumbele vya

miradi ya maendeleo itakayotekelezwa na

Page 68: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

68

Wizara kwa mwaka 2013/14 vimezingatia

miradi inayoendelea kutekelezwa, miradi

inayofadhiliwa na wahisani, utekelezaji wa

miradi iliyo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya

mwaka 2010 na Mpango wa Maendeleo wa

Miaka Mitano (2011/12 – 2015/16).

102. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014 Wizara ya Ujenzi imetengewa kiasi

cha Shilingi 845,225,979,000.00 kwa ajili ya

miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi

448,174,599,000.00 ni fedha za ndani na

Shilingi 397,051,380,000.00 ni fedha za nje.

Mgawanyo wa fedha za maendeleo pamoja na

miradi iliyotengewa fedha kwa mwaka

2013/2014 ni kama inavyooneshwa katika

Kiambatisho Na.1. Aidha, maelezo ya kila

mradi ni kama ifuatavyo: -

VIVUKO NA NYUMBA ZA SERIKALI Ujenzi wa Maegesho ya Vivuko Shilingi Milioni 5,990.00 103. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14 Wizara ya Ujenzi kupitia TEMESA

itaendelea kujenga maegesho (Landing Ramps)

Page 69: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

69

ya vivuko ili vivuko viweze kuegeshwa kwa urahisi na usalama.

Mradi huu umetengewa Shilingi milioni

5,990.00 kwa ajili ya kazi zifuatazo: ujenzi wa maegesho ya kivuko cha Msanga Mkuu awamu ya II (Shilingi milioni 150.00), Ujenzi wa maegesho ya Kilambo (Shilingi milioni 115.00), kumalizia ujenzi wa maegesho ya Ukara (Shilingi milioni 185.00) na kumalizia ujenzi wa

maegesho Kilombero (upande wa Ulanga) (Shilingi milioni 50.00). Aidha, ujenzi wa maegesho ya Kahunda – Maisome umetengewa Shilingi milioni 854.00, ujenzi wa maegesho Itungi Port (Shilingi milioni

375.00), ujenzi wa maegesho Ilagala Shilingi milioni 250.00, ujenzi wa maegesho mwambao mwa baharí ya Hindi katika maeneo ya Magogoni, Jangwani Beach na Rungwe Oceanic Shilingi milioni 2,500.00 na kumalizia ujenzi wa maegesho ya Bugolora Shilingi milioni 54.00.

Upanuzi wa sehemu ya Maegesho ya Kigamboni umetengewa Shilingi milioni 346.00, upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa maegesho ya usafiri wa majini kati ya Dar es Salaam – Bagamoyo Shilingi milioni 215.00, na ujenzi wa vituo vya kusubiria kivuko kati ya Dar es

Salaam – Bagamoyo katika maeneo ya Govenor Jet (Kivukoni), Jangwani Beach na Rungwe Oceanic Hotel Shilingi milioni 600.00. Upembuzi

Page 70: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

70

yakinifu kwa lengo la kuanzisha usafiri wa majini katika mwambao wa Ziwa Victoria ili kupunguza msongamano katika jiji la Mwanza umetengewa Shilingi milioni 200.00. Shilingi

milioni 96 zimetengwa kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi hii. Ununuzi wa Vivuko Vipya - Shilingi Milioni 4,484.00

104. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 4,484.00 kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko kipya cha Dar es Salaam - Bagamoyo, boti ya uokoaji, mashine za kisasa za kukatia tiketi (ticket vending machines) kwa kivuko cha

Magogoni na vifaa vya karakana za TEMESA. Ukarabati wa Vivuko - Shilingi Milioni 2,102.21

105. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha wa 2013/2014, mradi huu umetengewa jumla ya Shilingi milioni 2,102.21 kwa ajili ya ukarabati wa vivuko mbalimbali nchini.

Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba na Majengo ya Serikali - Shilingi Milioni 2,245.49) 106. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga

na kukarabati nyumba kwa ajili ya makazi ya

Page 71: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

71

Viongozi na Watumishi wa Serikali utaendelea kwa kutoa kipaumbele katika ujenzi wa nyumba za Majaji pamoja na viongozi wengine wa Serikali wenye stahili ya kupewa nyumba na

Serikali. 107. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 1,010.43 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa nyumba za Majaji katika Mikoa ya

Kilimanjaro (1), Mtwara (1), Kagera (1), Dar es Salaam (1) na Shinyanga (1). Shilingi milioni 250.00 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya Bariadi Mkoani Simiyu.

108. Mheshimiwa Spika, Wizara imetenga jumla ya Shilingi milioni 220 ajili ya kufanya ukarabati pamoja na kuendelea na ujenzi wa uzio kuzunguka nyumba za viongozi katika nyumba za viongozi wa Serikali zilizopo Mikocheni, Kijitonyama na Msasani Peninsullar.

Shilingi milioni 240.50 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa samani katika nyumba za viongozi wa Serikali wenye stahili hiyo. 109. Mheshimiwa Spika, kiasi cha Shilingi

milioni 150.00 zimetengwa kwa ajili ya

kuendelea na ukarabati wa karakana za TEMESA na Shilingi milioni 40 kwa ajili ya ukarabati wa karakana na ofisi za Vikosi vya

Page 72: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

72

Ujenzi Dar es Salaam na Dodoma. Aidha, Shilingi milioni 140.00 zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, Shilingi milioni 113.44 kwa

ajili ya kazi za ushauri na Shilingi milioni 81.12 zimetengwa kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi.

110. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Ujenzi kwa kupitia Wakala wa Majengo imeanza kutekeleza mradi wa kujenga nyumba 10,000 kwa ajili ya kuishi na kuwauzia wafanyakazi wa Serikali. Wakala umesajili Kikosi cha Ujenzi (Tanzania Building Agency Construction Co.); pamoja na kuwapatia mafunzo maalum

wataalamu wa vikosi vya ujenzi vya Jeshi la Polisi, Magereza, JKT na kikosi cha Wizara ya Ujenzi (CSWS) ambao watashiriki katika mradi huu. Maandalizi na mafunzo hayo ni kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa nyumba nyingi kwa muda mfupi.

Aidha, Wakala umepata jumla ya viwanja 2,490 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 10,000 kama ifuatavyo: Arusha (29), Dar es Salaam (627), Dodoma (37), Geita (24), Iringa (54), Kagera (2), Katavi (100), Kigoma (164), Kilimanjaro (63),

Lindi (41), Manyara (32), Mara (267), Mbeya (74), Morogoro (15), Mtwara (90), Mwanza (63), Njombe (102), Rukwa (70), Ruvuma (8), Shinyanga (131), Simiyu (308), Singida (22), Tabora (42), Tanga (123), na Pwani (2). Kati ya

Page 73: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

73

viwanja hivyo, jumla ya viwanja 413 vimepata hati miliki kama vifuatavyo: Dar es Salaam (314), Arusha (5), Iringa (53) na Lindi (41). Vile vile Wakala umeanza kazi ya ujenzi wa nyumba

132 kati ya nyumba 2,500. Nyumba 25 Bunju “B” DSM zimefikia hatua ya umaliziaji. Nyumba 87 Bunju “B” DSM; nyumba 20 katika mikoa mipya ya Simiyu (4), Geita (4), Njombe (4), Katavi (4) pamoja na Chalinze, Pwani (4) zitaanza kujengwa katika mwaka 2012/13.

Mradi huu maalum utatumia fedha za Wakala zitokanazo na mauzo ya nyumba na mikopo kutoka Taasisi za Fedha. Baadhi ya Taasisi hizo zimeonesha nia thabiti ya kushirikiana na Wakala.

111. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wakala utakamilisha mazungumzo na Taasisi za fedha ili kuweza kupata mkopo wa ujenzi; utakamilisha ujenzi wa nyumba 25 katika eneo la Bunju “B” na utaandaa upembuzi

yakinifu na usanifu wa majengo kwa ajili ya ujenzi katika mikoa 12 ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Mtwara, Iringa, Lindi, Simiyu, Geita, Njombe na Katavi. Aidha, Wakala utaendelea na ujenzi wa nyumba 2,500 katika mikoa ya DSM (1,400), Arusha

(150), Dodoma (250), Mwanza (150), Mbeya (150), Mtwara (100), Iringa (100), Lindi (50), Bariadi (50), Geita (50), Njombe (50) na Mpanda (50).

Page 74: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

74

BARABARA NA MADARAJA

Barabara ya Dar es Salaam – Chalinze – Morogoro (Expressway) km 200, Sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100) – Shilingi Milioni 100

112. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Dar es Salaam – Chalinze –

Morogoro (km 200) sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100) kwa kiwango cha “Expressway”. Maandalizi ya mradi huu utakaotekelezwa kwa ubia baina ya Serikali na makampuni binafsi yameanza. Baada ya mradi kutangazwa Kampuni 19 zimewasilisha maombi

ya kujenga barabara hii na kuonyesha jinsi ambavyo watatekeleza mradi huu. Uchambuzi wa maombi ya kampuni hizo unaendelea

113. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 100.00 zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa Awamu ya Kwanza itakayohusisha sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100).

Barabara ya Wazo Hill – Bagamoyo – Msata (sehemu ya Bagamoyo – Msata (km 64) - Shilingi milioni 10, 885.24 114. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga kwa kiwango cha lami sehemu ya Bagamoyo – Makofia - Msata (km 64). Mkataba

Page 75: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

75

wa Ujenzi ulisainiwa tarehe 11 Agosti 2010 kwa gharama ya Shilingi milioni 89,610. Kazi ya ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami inaendelea. Lengo pia ni kuendelea na usanifu

wa barabara ya Bagamoyo – Sadani – Tanga (km 178).

115. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 10,441.10 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Bagamoyo – Msata (km 64) kwa kiwango cha lami. Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 444.14 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na usanifu

wa barabara ya Bagamoyo – Sadani – Tanga (km 178).

Barabara ya Usagara – Geita – Kyamyorwa (km 422) Sehemu ya Uyovu – Biharamulo (km 112) - Shilingi Milioni 10,800.00

116. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Kyamyorwa – Buzirayombo – Geita hadi Usagara (km 310) na sehemu ya Uyovu - Biharamulo (km 112). Awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa Barabara ya Kyamyorwa - Geita (km 220) ambayo ilikamilika Februari,

2008. Awamu ya pili ilihusisha ujenzi wa barabara ya Geita - Usagara (km 90) ambapo ujenzi wake ulianza Februari, 2008 na umekamilika Januari, 2010. Awamu ya tatu

Page 76: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

76

itahusisha ujenzi wa barabara ya Uyovu - Biharamulo kupitia Bwanga (km 112). 117. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 8,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Uyovu – Biharamulo (km 112), kiasi cha Shilingi milioni 800.00 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kyamiyorwa –Buzirayombo (km120)

na kiasi cha Shilingi milioni 2,000.00 kimetengwa kwa ajili ya malipo ya mwisho ya sehemu ya Geita - Usagara (lot 1 na 2) (km 90).

Barabara ya Kigoma – Kidahwe – Uvinza – Kaliua – Tabora (km 443) – Shilingi Milioni 51,669.34

118. Mheshimiwa Spika, mradi huu

unalenga kufanya usanifu na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kati ya Kigoma na Tabora (km 443) pamoja na ujenzi wa daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi na barabara za maingilio ya daraja (km 48). Kazi ya ujenzi wa daraja ilianza tarehe 2 Desemba, 2010 na

inatarajiwa kukamilika Desemba, 2013. Ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Uvinza (km 76.6) ulianza tarehe 17 Desemba, 2010 na kazi za ujenzi zinaendelea. Ujenzi wa barabara za Tabora-Ndono (km 42) na Ndono-Urambo (km 52) ulianza tarehe 3 Januari, 2011.

Page 77: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

77

119. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 2,131.95 fedha za ndani na Shilingi milioni 10,693.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

kuendelea na ujenzi wa kiwango cha lami wa barabara ya Kidahwe-Uvinza (km 76.6). Kiasi cha Shilingi milioni 3,139.53 fedha za ndani na Shilingi milioni 10,130.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa Daraja la Kikwete. Kiasi cha Shilingi milioni

6,837.80 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Tabora - Ndono (km 42), Shilingi milioni 7,189.04 kwa ajili ya sehemu ya Ndono -Urambo (km 52) na kiasi cha Shilingi milioni 4,848.02 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Urambo –

Kaliua – Ilunde ( km 146). Barabara za Tabora – Sikonge (km 70) na Uvinza – Malagarasi (km 51) zimetengewa kiasi cha Shilingi milioni 6,700 kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Marangu – Tarakea – Kamwanga/Bomang’ombe – Sanya Juu (km 173) na Arusha – Moshi – Holili (km 140) – Shilingi Milioni 11,133.63

120. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kujenga barabara ya Marangu –

Tarakea – Rongai – Kamwanga (km 96) kwa kiwango cha lami na kukarabati barabara ya

Page 78: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

78

Arusha – Moshi – Holili pamoja na Arusha By-Pass (km 140). Ujenzi wa sehemu ya Tarakea – Rongai – Kamwanga (km 32) ulikamilika Septemba, 2009 na ujenzi wa sehemu ya

Tarakea – Rombo Mkuu (km 32) ulikamilika Januari, 2011. Kazi za ujenzi wa sehemu ya Marangu – Rombo Mkuu na Kilacha – Mwika (km 32 ) zinaendelea na zinatarajiwa kukamilika Septemba, 2013. 121. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 488.00

fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kulipia

sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi wa

Tarakea – Rombo na Shilingi milioni 2,146.00 ni

kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya

Marangu – Rombo Mkuu na Mwika- Kilacha (km

34). Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 5,000.00

kimetengwa kwa ajili ya kuanza maandalizi ya

ujenzi wa sehemu ya Sanya Juu – Kamwanga

(km 75). Jumla ya Shilingi milioni 1,000.00

fedha za ndani zimetengwa kuanza ujenzi wa

barabara ya njia nne katika mradi wa Arusha –

Moshi – Holili/Taveta-Voi sehemu ya Sakina-

Tengeru (km 14.10) na ujenzi wa Arusha Bypass

(km 42.41). Aidha, Shilingi milioni 2,500

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa

barabara ya KIA-Mererani (km 26).

Page 79: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

79

Barabara ya Nangurukuru - Mbwemkulu (km 95) – Shilingi Milioni 2,000.00 122. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni

sehemu ya barabara ya Dar es Salaam – Lindi – Mingoyo. Ujenzi wa barabara hii ulikamilika Januari, 2008. Katika mwaka 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 2,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho kwa Mkandarasi.

Barabara ya Dodoma – Manyoni (km 127) – Shilingi Milioni 1,309.28 123. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara

ya Dodoma - Manyoni (km 127) kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga (Design & Build). Mradi unagharamiwa na Serikali ya Tanzania na ulikamilika Novemba, 2009. Katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni

1,309.28 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya mchepuo kuingia Manyoni mjini (km 4.8) na kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi.

Barabara ya Mbwemkulu – Mingoyo (km 95) – Shilingi milioni 1,000.00 124. Mheshimiwa Spika, mradi huu

umehusisha kujenga kwa kiwango cha lami

Page 80: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

80

barabara ya Mbwemkuru - Mingoyo yenye urefu wa kilomita 95 kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga (Design & Build). Mradi huu ni sehemu

ya barabara ya Dar es salaam – Lindi – Mingoyo na ujenzi wake ulikamilika Desemba, 2007. Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa kiasi cha Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Barabara ya Manyoni – Singida: Sehemu ya Manyoni – Isuna (km54) – Shilingi Milioni 1,200 .00 125. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Manyoni - Isuna (km 54) kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga (Design & Build). Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Ujenzi ulikamilika tarehe 7 Januari, 2011.

Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,200.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya mkandarasi. Barabara ya Port Access (Nelson Mandela - km15.6) Rehabilitation – Shilingi Milioni 1,500.00

126. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu lilikuwa ni kukarabati na kuimarisha

Page 81: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

81

barabara ya Nelson Mandela (km15.6) iliyokuwa imeharibika ili kurahisisha kupita kwa magari ya mizigo yanayotoka au kuingia Bandari ya Dar es Salaam na kupunguza msongamano wa

magari kwa jiji la Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,500.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Barabara ya Dumila – Kilosa (km 78) – Shilingi Milioni 6,000.00 127. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara Dumila – Kilosa (km 78). Kazi ya ujenzi wa barabara ya Dumila - Rudewa (km 45) ilianza

Februari, 2010 na ujenzi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 6,000.00 fedha za ndani kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga Port (km 112) – Shilingi Milioni 11,241.37 128. Mheshimiwa Spika, mradi huu

unalenga kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Sumbawanga –Matai-Kasanga Port

(km. 112) kwa kiwango cha lami. Mradi unagharamiwa na Serikali ya Tanzania na unatekelezwa kwa utaratibu wa kusanifu na

Page 82: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

82

kujenga. Mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 8 Oktoba, 2009 na kazi ilianza Januari, 2010. Mkandarasi anaendelea na kazi za ujenzi. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha

Shilingi milioni 11,241.37 fedha za ndani kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi. Ujenzi wa Madaraja Makubwa (Nangoo, Kirumi, Sibiti, Kilombero Maligisu, Kavuu, Mbutu, Ruhuhu, Ruhekei na Momba; na Ununuzi wa Emergency Bridge Parts) – Shilingi Milioni 21,500.00 129. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni wa

kujenga/kukarabati madaraja makubwa kwenye barabara kuu. Madaraja hayo ni Daraja la

Nangoo kwenye barabara ya Mingoyo – Masasi – Tunduru, Daraja la Kilombero kwenye barabara ya Mikumi - Ifakara – Mahenge, Daraja la Maligisu (Mwanza) kwenye barabara ya Bukwimba – Kadashi - Maligisu, Daraja la Kavuu kwenye barabara ya Majimoto-Inyonga,

Daraja la Ruhekei katika barabara ya Mbinga-Mbamba Bay, Daraja la Kirumi (Mara), Daraja la Sibiti kwenye barabara ya Ulemo – Gumanga – Sibiti, Daraja la Mbutu kwenye barabara ya Igunga- Manonga, Daraja la Ruhuhu (Ruvuma) na Daraja la Momba kwenye barabara ya

Sitalike-Kilyamatundu/Kamsamba - Mlowo (Rukwa/Mbeya Border). Aidha, mradi

Page 83: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

83

unahusisha kununua Madaraja ya Chuma ya dharura (Compact Emergency Bridge).

130. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Daraja la Nangoo limetengewa kiasi cha Shilingi milioni 500.00, Daraja la Maligisu Shilingi milioni 200; Daraja la Sibiti Shilingi milioni 3,000.00, Daraja la Kilombero Shilingi milioni 7,500.00, Daraja la Kavuu Shilingi

milioni 1,000.00, Daraja la Mbutu Shilingi milioni 5,300.00, Daraja la Ruhekei Shilingi milioni 250.00, Daraja la Momba Shilingi 2,000.00. Aidha, Shilingi milioni 50.00 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa madaraja ya chuma ya dharura na mtambo wa kukagua

madaraja (Compact Emergency Bridge na Under Bridge Inspection Lorry) na Shilingi milioni 200.00 kwa ajili ya usanifu wa daraja la Ruhuhu. Ukarabati wa daraja la Kirumi umetengewa Shilingi milioni 1,500.00. Fedha

zote ni fedha za ndani. Barabara ya New Bagamoyo (Kawawa Jct - Tegeta km 17) – Shilingi Milioni 20,500.00 131. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kupanua barabara ya kuanzia makutano ya barabara za Kawawa na Ali Hassan Mwinyi eneo la Morocco hadi Tegeta kutoka njia mbili hadi njia nne ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara hiyo. Mradi huu

Page 84: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

84

unafadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la JICA. Mradi huu unatekelezwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza inahusisha mradi wa Mwenge –

Tegeta (km12) na awamu ya pili ni mradi wa Kawawa Jnct – Mwenge (km 4.2)

132. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 2,500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 18,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi, kulipa fidia na kuhamisha

miundombinu kwenye eneo la ujenzi (mabomba ya maji, nguzo na nyaya za umeme/simu n.k). Barabara ya Kyaka –Bugene – Kasulo (km 178) – Shilingi Milioni 7,037.53 133. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

kwa mwaka 2013/14 ni kujenga barabara ya Kyaka – Bugene – Kasulo (sehemu ya Kyaka-Bugene) yenye urefu wa kilometa 59.1 kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali kwa asilimia 100. Kazi ya ujenzi ilianza tarehe 15 Desemba, 2010 na kazi za ujenzi

zinaendelea. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 7,037.53 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Page 85: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

85

Barabara ya Isaka – Lusahunga (Km 242) na Lusahunga –Rusumo na Nyakasanza - Kobelo (km 150)- Shilingi Milioni 21,520.48 134. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kufanya ukarabati wa sehemu ya Isaka – Lusahunga (km 242) kwa kiwango cha lami kwa fedha za Serikali ya Tanzania. Mradi huu umegawanyika katika sehemu mbili za Isaka – Ushirombo (km 132) na Ushirombo – Lusahunga

(km 110). Mikataba ya ujenzi wa sehemu hizi ilisainiwa tarehe 18/08/2009. Kazi ya ujenzi kwa sehemu zote mbili inaendelea. 135. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014, barabara hii imetengewa fedha za

ndani Shilingi milioni 12,512.72 kwa sehemu ya Isaka – Ushirombo na Shilingi milioni 9,007.76 kwa sehemu ya Ushirombo – Lusahunga kwa ajili ya kuendelea na ukarabati. Barabara ya Manyoni – Itigi – Tabora (km 264) – Shilingi Milioni 22,499.57 136. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Manyoni - Itigi – Tabora kwa kuanzia na sehemu ya Manyoni – Chaya (km 89.35) na

sehemu ya Tabora –Nyahua (km 85) kwa kutumia fedha za ndani. Mikataba ya ujenzi ilisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 na kazi ya

Page 86: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

86

ujenzi inatarajiwa kukamilika katika mwaka 2013/14 kwa sehemu zote mbili.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha

2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 10,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Tabora – Nyahua na Shilingi milioni 10,299.57 kwa sehemu ya Manyoni – Itigi – Chaya. Kwa barabara ya Nyahua - Chaya (km 90) kiasi cha

Shilingi milioni 2,200.00 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami. Barabara ya Korogwe – Handeni (km 65) – Shilingi Milioni 6,356.73

137. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Korogwe – Handeni (km 65). Mradi huu

unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Kazi za ujenzi zinaendelea. Kwa mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 6,356.73 kwa ajili ya kuendelea na kazi za ujenzi. Barabara za Mikoa Shilingi Milioni 31,915.27 138. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kuzifanyia ukarabati barabara za Mikoa kwa kiwango cha changarawe, kujenga kwa kiwango cha lami na kujenga madaraja katika

Page 87: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

87

mikoa ya Tanzania Bara. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 kazi zilizopangwa kutekelezwa ni ukarabati wa jumla ya kilometa 515.6 kwa kiwango cha changarawe na kujenga kilometa

35.5 kwa kiwango cha lami. Kazi za ukarabati kwa kiwango cha changarawe zitafanyika katika Mikoa yote. Aidha, ujenzi wa madaraja 17 utafanyika katika Mikoa ya Katavi (1), Morogoro (1), Mbeya (3), Manyara (1), Ruvuma (2), Simiyu (4), Lindi (1), Mtwara (1), Geita (1) na Rukwa (2).

Orodha ya Miradi ya barabara za Mikoa kwa kutumia fedha za Bajeti ya Maendeleo imeoneshwa katika Kiambatisho Na. 2. Barabara ya Mwanza/Shinyanga Border – Mwanza (km 10) Shilingi Milioni 50.00 139. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kuendelea na ukarabati wa sehemu zilizoharibika katika barabara ya Mwanza/Shinyanga Border - Mwanza kwa mwaka 2013/14 jumla ya Shilingi milioni 50.00

za ndani zimetengwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Barabara ya Handeni – Mkata (km 54) – Shilingi Milioni 4,484.75

140. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Handeni – Mkata (km 54). Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Kazi ya

Page 88: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

88

ujenzi ilianza tarehe 28 Desemba, 2010 na umekamilika Novemba, 2012. Barabara hii imetengewa Shilingi milioni 4,484.75 kwa ajili ya kulipia sehemu ya madai ya mkandarasi.

Barabara ya Mwandiga – Manyovu (km 60) – Shilingi Milioni 1,234.35 141. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa

barabara ya kutoka Mwandiga hadi Manyovu

inayounganisha Mkoa wa Kigoma na nchi jirani ya Burundi kwa kiwango cha lami ulikamilika Oktoba 2010. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,234.35 kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo

ya mwisho ya mkandarasi.

Miradi ya Kupunguza Msongamano ya Magari Katika Barabara za Dar Es Salaam – Shilingi Milioni 28,634.00

142. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ulianza katika mwaka wa fedha 2009/10. Barabara hizo ni Ubungo Bus Terminal – Kigogo-Kawawa Roundabout (km 6.4), Kawawa Roundabout-

Msimbazi Valley – Jangwani/Twiga jct (km 2.7), Jet Corner – Vituka-Davis Corner (km 10.3) na ujenzi wa mfereji wa Bungoni unaoanzia

Page 89: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

89

barabara ya Nyerere hadi Uhuru (Bungoni). Aidha, mradi wa mabasi yaendayo kasi (Bus Rapid Transit Infrastructure) na vituo vyake unaendelea.

143. Mheshimiwa Spika, katika bajeti ya

mwaka 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 1,689.00 kimetengwa kwa ajili ya kukamilisha kazi zilizobakia kwa barabara ya Ubungo Bus Terminal – Kigogo - Kawawa Roundabout,

Shilingi milioni 605.00 kwa barabara ya Kawawa Roundabout - Msimbazi Valley – Jangwani/Twiga Jct na Shilingi milioni 1,290.00 kwa ajili ya barabara ya Jet Corner – Vituka - Devis Corner.

Kiasi cha Shilingi milioni 3,000.00 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Ubungo Maziwa – External na Tabata Dampo – Kigogo, Shilingi milioni 5,000.00 kwa barabara ya Kimara – Kilungule – External, Shilingi milioni 6,000.00

kwa barabara ya Mbezi (Morogoro road) – Malambamawili – Kinyerezi – Banana, Shilingi milioni 5,000.00 kwa barabara ya Tegeta - Kibaoni – Wazo Hill – Goba – Mbezi/Morogoro road, Shilingi milioni 3,000.00 kwa barabara ya Tangi Bovu – Goba, Shilingi milioni 1,500.00

kwa barabara ya Kimara – Baruti – Msewe – Changanyikeni na Shilingi milioni 1,500.00 kwa barabara ya Kibamba - Kisopwa sehemu ya

Page 90: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

90

Kibamba - Mlonganzila (km 4). Shilingi milioni 50.00 zitatumika kufuatilia na kusimamia Ujenzi wa Miundombinu ya Mabasi yaendayo kasi.

144. Mheshimiwa Spika, jumla ya Shilingi

milioni 1,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa

ajili ya maandalizi ya ujenzi wa ‘Fly Over’ ya

TAZARA na Shilingi milioni 3,000.00 zimetengwa

kwa ajili ya maboresho ya makutano ya

Chang'ombe, Ubungo, Magomeni, Mwenge,

Tabata/Mandela na Morocco kwa kutumia

mfumo wa Usanifu na Kujenga (Design and

Build). Aidha, Shilingi milioni 1,000.00

zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya upanuzi

wa sehemu ya Bendera Tatu – Gerezani

(KAMATA) katika barabara ya Dar es Salaam-

Mbagala (Kilwa road).

Barabara ya Ndundu – Somanga (km 60) - Shilingi Milioni 5,287.74 145. Mheshimiwa Spika, mradi huu

unalenga kujenga barabara sehemu ya Ndundu

hadi Somanga (km 60) kwa kiwango cha lami.

Kazi za ujenzi zinaendelea. Barabara hii

imetengewa Shilingi milioni 5,287.74 fedha za

Page 91: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

91

ndani katika mwaka 2013/2014 kwa ajili ya

kukamilisha kazi ya ujenzi.

Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (km 396) - Shilingi Milioni 1,600.00 146. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kufanya upembuzi yakinifu na usanifu

wa kina wa barabara ya Kidatu hadi Lumecha/Songea chini ya msaada wa Benki ya Maendeleo ya Afrika na mchango wa Serikali ya Tanzania. Barabara hii imetengewa Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 1,500.00 fedha za nje kwa ajili ya kuanza

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina. Barabara ya Tabora - Ipole - Koga – Mpanda (km 359) - Shilingi Milioni 2,000.00 147. Mheshimiwa Spika, Mkataba wa

kufanya kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina ulisainiwa tarehe 8 Juni, 2009 na kazi zimekamilika. Lengo la mradi ni utayarishaji wa nyaraka za zabuni za ujenzi wa barabara ya Tabora – Ipole – Koga – Mpanda kwa kiwango cha lami.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 2,000.00 fedha za ndani

Page 92: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

92

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami. Barabara ya Makutano - Natta – Mugumu/ Loliondo – Mto wa Mbu (km 452) – Shilingi Milioni 8,617.63 148. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kufanya usanifu wa kina na kujenga barabara

hii kwa kiwango cha lami. Mradi huu

unagharamiwa na Serikali ya Tanzania.

Mikataba kwa ajili ya kufanya usanifu wa kina

kwa sehemu ya Natta - Mugumu (km 50) na Mto

wa Mbu – Loliondo (km 213) ilisainiwa tarehe 26

Agosti, 2009. Kazi ya usanifu wa kina

imekamilika mwaka 2011. Katika mwaka wa

fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni

5,617.63 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili

ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami kwa

sehemu ya Makutano -Sanzate (km 50) na

Shilingi milioni 3,000.00 kwa sehemu ya Mto

wa Mbu – Loliondo (km 213).

Barabara ya Ibanda – Itungi/Kiwira Port (km 26) – Shilingi Milioni 1,000.00 149. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kufanya ukarabati wa barabara hii kwa kiwango

Page 93: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

93

cha lami. Barabara hii ni kiungo muhimu kwa bandari ya Itungi/Kiwira. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani kwa

ajili ya kuendelea na ukarabati ili kuiunganisha bandari mpya ya Kiwira. Barabara ya Nzega – Tabora (Km 115) – Shilingi Milioni 13,392.09 150. Mheshimiwa Spika, mradi unalenga

kujenga barabara ya Nzega – Tabora (km 115) kwa kiwango cha lami. Mradi huu umegawanyika katika sehemu mbili za Nzega-Puge (km 58.8) na Puge-Tabora (km 56.10). Kazi ya ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami

inaendelea kwa sehemu ya Nzega – Puge na sehemu ya Puge-Tabora. 151. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 6,696.05 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na

ujenzi wa sehemu ya Nzega – Puge na Shilingi milioni 6,696.04 kwa sehemu ya Puge – Tabora . Barabara ya Sumbawanga – Mpanda - Nyakanazi (km 829) – Shilingi Milioni 38,858.72

152. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Sumbawanga – Mpanda –

Page 94: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

94

Kasulu – Nyakanazi kwa kiwango cha lami. Kazi

za ujenzi kwa sehemu ya Sumbawanga-Kanazi

(km 75) na Kanazi-Kizi-Kibaoni (km 75.6)

zinaendelea.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya

Shilingi milioni 8,850.94 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya

ujenzi wa sehemu ya Sumbawanga-Kanazi,

Shilingi milioni 8,850.94 kwa sehemu ya

Kanazi-Kizi-Kibaoni na Shilingi milioni 6,617.63

kwa sehemu ya Kizi-Sitalike-Mpanda. Kiasi cha

Shilingi milioni 4,539.21 kimetengwa kwa ajili

ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Mpanda-

Mishamo (km 100). Sehemu ya Kigoma –

Nyakanazi imetengewa Shilingi milioni

10,000.00 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa

kilometa 100 kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Nyanguge – Musoma (km 183) na Mchepuo wa Usagara - Kisesa (km 17) – Shilingi Milioni 18,235.26

153. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kuikarabati barabara ya Nyanguge-Musoma (km

183) na kujenga kwa kiwango cha lami kilometa

17 za mchepuo wa Usagara - Kisesa. Ujenzi wa

Page 95: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

95

sehemu ya Simiyu/Mara Border – Musoma (km

85.5) unaendelea. Maandalizi ya ujenzi kwa

kiwango cha lami kwa barabara ya Nansio -

Kisorya - Bunda sehemu ya Kisorya - Bunda

(km 50) yanaendelea.

154. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014, mradi huu umetengewa

Shilingi milioni 9,735.26 kwa ajili ya kuendelea

na kazi ya ukarabati wa barabara ya Nyanguge -

Musoma. Kiasi cha Shilingi milioni 4,000.00

kimetengwa kwa sehemu ya barabara ya Kisesa

– Usagara Bypass kwa ajili ya kuendelea na kazi

ya ujenzi.

Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 4,500.00

kimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa

barabara ya Nansio - Kisorya - Bunda sehemu

ya Kisorya - Bunda (km 50).

Barabara ya Magole - Mziha (Magole-Turiani km 48.8) – Shilingi Milioni 6,266.84 155. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Magole – Mziha kwa kiwango cha lami. Jumla ya Shilingi milioni 6,266.84 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Magole - Turiani katika bajeti ya 2013/2014.

Page 96: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

96

Barabara ya Mwigumbi – Maswa – Bariadi – Lamadi (km 171) – Shilingi Milioni 11,965.65 156. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi-Lamadi yenye jumla ya kilometa 171 kwa kiwango cha lami. Kazi zilianza tarehe 8 Julai, 2010 kwa sehemu ya Bariadi – Lamadi na kazi inaendelea. Aidha, maandalizi ya ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Mwigumbi -

Maswa - Bariadi (km 100) yanaendelea.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 6,465.65 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi wa barabara ya Bariadi – Lamadi. Aidha, kiasi cha Shilingi

milioni 5,500.00 kimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi (km 100). Barabara ya Tabora - Ipole-Rungwa (Ipole-Rungwa – km 95) – Shilingi Milioni 500.00 157. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Tabora – Ipole – Rungwa

kwa kiwango cha lami kwa kuanza na sehemu

ya Ipole – Rungwa yenye urefu wa kilometa 95.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya

Tanzania na umetengewa Shilingi milioni 500.00

Page 97: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

97

mwaka 2013/14 kwa ajili ya kukamilisha

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina.

Barabara ya Kwenda Uwanja wa Ndege wa Mafia (Mafia Airport Access Road - km 14) – Shilingi Milioni 2,471.17 158. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege

wa Mafia kwa kiwango cha lami. Makubaliano

yaliyofikiwa kati ya Serikali na Shirika la

Misaada la Marekani (MCC) ni kwamba Serikali

itajenga barabara hii na MCC itatoa fedha za

ujenzi wa uwanja wa ndege wa Mafia. Katika

mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi

milioni 2,471.17 zimetengwa kwa ajili ya kazi ya

ujenzi wa barabara.

Barabara ya Kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma (Dodoma University Road - km 12) – Shilingi Milioni 3,000.00 159. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Chuo Kikuu Dodoma kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na

Serikali ya Tanzania. Jumla ya Shilingi milioni 3,000.00 zimetengwa kwa ajili ya kazi ya ujenzi kwa kiwango cha lami katika mwaka 2013/2014.

Page 98: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

98

Daraja la Kigamboni – Shilingi Milioni 3,000.00

160. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga daraja litakalounganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni. Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 3,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi. Mradi unajengwa

kwa ushirikiano kati ya Serikali na NSSF. Barabara ya Sam Nujoma (km 4) – Shilingi Milioni 21.51

161. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi lilikuwa ni kupanua barabara ya Sam Nujoma kutoka njia mbili kuwa njia nne pamoja na njia za waenda kwa miguu kuanzia Mwenge hadi

Ubungo. Mradi huu umegharamiwa na Serikali ya Tanzania na kazi za ujenzi wa barabara zilikamilika Julai, 2009. Shilingi milioni 21.51 fedha za ndani zimetengwa katika mwaka 2013/2014 kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi.

Barabara ya Tunduma - Sumbawanga (km 223) – Shilingi Milioni 57.88 162. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Tunduma – Sumbawanga

yenye urefu wa kilomita 223 kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za

Page 99: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

99

msaada kutoka Serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation (MCC) na mchango wa Serikali ya Tanzania. Utekelezaji

wa mradi umegawanywa katika sehemu tatu ambazo ni:-Tunduma – Ikana (km 63.7); Ikana – Laela (km 64.0) na Laela – Sumbawanga (km 95.3).

Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14,

jumla ya Shilingi milioni 17.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuhamisha miundombinu katika eneo la ujenzi na usimamizi kwa sehemu ya Tunduma – Ikana, Shilingi milioni 17.0 zimetengwa kwa sehemu ya Ikana-Laela na Shilingi milioni 23.88 kwa

sehemu ya Laela – Sumbawanga. Barabara ya Kagoma – Lusahunga (km 154) – Shilingi Milioni 14,477.25 163. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni

sehemu ya barabara ya Mutukula – Bukoba – Biharamulo – Lusahunga (km 294) iliyofanyiwa usanifu mwaka 1996 chini ya ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika. Ujenzi wa sehemu ya barabara ya Mutukula – Muhutwe – Kagoma ulianza Machi, 2001 na ulikamilika Septemba

2004. Awali Benki ya Maendeleo ya Afrika ilitoa mkopo kwa ajili ujenzi wa sehemu ya Kagoma – Lusahunga (km 154) kwa kiwango cha lami. Baada ya Mkandarasi China State Construction

Page 100: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

100

Engineering Corporation Ltd (CSCEC) wa China kushindwa kutekeleza mkataba wa awali na kuondolewa, mkataba mpya wa kumalizia ujenzi

wa barabara ya Kagoma – Lusahunga (km154) kwa kiwango cha lami ulisainiwa kwa fedha za Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/14 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 14,477.25 kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Barabara ya Arusha – Namanga (km 105) - Shilingi Milioni 3,517.12

164. Mheshimiwa Spika, mradi wa Arusha – Namanga (km 105) ni sehemu ya mradi wa kikanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojumuisha nchi za Tanzania na Kenya. Kwa

sehemu ya Tanzania, mradi unafadhiliwa na Japan Bank for International Cooperation (JBIC) kwa kushirikiana na Serikali za Tanzania. Kazi za ukarabati wa barabara hii kwa kiwango cha lami zimekamilika Desemba, 2012.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 1,228.12 fedha za ndani na Shilingi milioni 2,289.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kulipa sehemu ya madai ya mkandarasi.

Barabara ya Singida - Babati – Minjingu - Arusha (km 321) - Shilingi Milioni 26,396.39 165. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga kwa kiwango cha lami sehemu ya

Page 101: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

101

Singida - Babati -Minjingu yenye urefu wa kilomita 223 na kukarabati kwa kiwango cha lami sehemu ya Minjingu-Arusha yenye urefu wa kilometa 98.

Ujenzi wa barabara ya Singida - Babati - Minjingu umegawanywa katika sehemu tatu za Singida – Katesh (km 65.1), Katesh – Dareda (km 73.8) na Dareda – Babati – Minjingu (km 84.6). Kazi za ujenzi zilianza tarehe 11 Machi,

2009 na zimekamilika Agosti, 2012. Miradi hii inagharamiwa na ADB, JICA na Serikali ya Tanzania. Mkataba wa ukarabati wa sehemu ya Minjingu-Arusha umesainiwa tarehe 12 Mei, 2011 na kazi zinaendelea. Sehemu hii inakarabatiwa kwa kutumia fedha za mkopo

kutoka Benki ya Dunia. 166. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014 kiasi cha Shilingi milioni 240.56 zimetengwa kwa sehemu ya Singida – Katesh, Shilingi milioni 336.00 kwa ajili ya

sehemu ya Katesh – Dareda na Shilingi milioni 375.00 kwa ajili ya sehemu ya Dareda – Babati – Minjingu ili kukamilisha malipo ya Makandarasi wa sehemu zote tatu. Kiasi cha Shilingi milioni 444.83 fedha za ndani na Shilingi milioni 25,000.00 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa barabara ya Minjingu hadi Arusha.

Page 102: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

102

Barabara ya Msimba – Ruaha/Ikokoto - Mafinga (km 219) – Shilingi Milioni 25,716.53

167. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kufanya ukarabati wa barabara ya lami ya Dar

es Salaam – Tunduma (TANZAM). Mradi huu

unahusisha ukarabati wa sehemu ya Iyovi -

Kitonga Gorge (km 86.3), Ikokoto - Iringa (km

60.9), barabara ya mchepuo kuingia Iringa

mjini (km 2.1) na Iringa-Mafinga (km 68.9).

Mradi huu unagharamiwa kwa mkopo kutoka

Serikali ya Denmark pamoja na mchango wa

Serikali ya Tanzania. Aidha, maandalizi ya

ukarabati kwa kiwango cha lami kwa barabara

ya Mafinga - Igawa (km 146) yanaendelea kwa

mkopo kutoka Benki ya Dunia.

168. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni

5,516.53 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili

ya kuendelea na ukarabati wa kilometa 68.9 za

Iringa - Mafinga. Aidha, jumla ya Shilingi milioni

200.00 fedha za ndani na Shilingi milioni

20,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

ukarabati wa barabara ya Mafinga-Igawa yenye

urefu wa kilometa 146.

Page 103: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

103

Barabara ya Korogwe – Mkumbara - Same (km 172)- Shilingi Milioni 53,621.38

169. Mheshimiwa Spika, mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe - Mkumbara –Same (km 172) ambayo ni sehemu ya barabara

ya Segera – Moshi – Arusha unagharamiwa na Benki ya Dunia pamoja na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 kazi ya ukarabati wa barabara hii zitaendelea kama ifuatavyo:

(i) Korogwe – Mkumbara (km 76):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na

Shilingi milioni 32,671.38 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuendelea na kazi ya ukarabati wa sehemu hii ya barabara.

(ii) Mkumbara – Same (km 96):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 20,750.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuendelea na kazi ya ukarabati wa sehemu hii ya barabara.

Barabara ya Mbeya-Makongolosi (km 115) – Shilingi Milioni 15,691.68 170. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga barabara ya Mbeya hadi Makongolosi

(km 115) kupitia Chunya kwa kiwango cha lami.

Page 104: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

104

Ujenzi wa barabara hii umegawanyika katika

sehemu tatu ambazo ni: Mbeya – Lwanjilo (km

36); Lwanjilo-Chunya (km 36) na Chunya-

Makongolosi (km 43). Katika mwaka 2013/2014

barabara hii imetengewa jumla ya Shilingi

milioni 6,528.78 kwa ajili ya kuendelea na

ujenzi wa sehemu ya Mbeya-Lwanjilo, Shilingi

milioni 5,008.00 kwa sehemu ya Lwanjilo-

Chunya na Shilingi milioni 3,847.05 kwa

sehemu ya Chunya – Makongolosi. Aidha,

Shilingi milioni 307.84 zimetengwa kwa ajili ya

kukarabati sehemu ya Makongolosi – Rungwa –

Itigi – Mkiwa kwa kiwango cha changarawe.

Barabara ya Chalinze – Segera - Tanga (km 248) – Shilingi Milioni 7,700.00

171. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kuifanyia ukarabati na upanuzi barabara ya

Chalinze - Segera hadi Tanga. Utekelezaji wa

mradi umegawanyika katika sehemu mbili

ambazo ni: Chalinze-Kitumbi (km 125) na

Kitumbi-Segera-Tanga (km 120). Jumla ya

Shilingi milioni 3,200.00 fedha za ndani na

Shilingi milioni 4,500.00 fedha za nje

zimetengwa katika mwaka wa fedha 2013/14

kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa sehemu

ya Kitumbi-Segera-Tanga.

Page 105: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

105

Barabara ya Dodoma – Iringa (km 260) – Shilingi Milioni 86,539.31 172. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Dodoma – Mtera – Iringa (km 260). Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

Ili kuendelea na ujenzi, katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 615.68 fedha za ndani na Shilingi milioni 30,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa sehemu ya Iringa – Migori (km 95.1), Shilingi milioni 538.72 ` fedha za ndani na Shilingi milioni 28,000.00 fedha za

nje kwa ajili ya sehemu ya Migori – Fufu Escarpment (km 93.8) na Shilingi milioni 584.90 fedha za ndani na Shilingi milioni 26,800.00 fedha za nje kwa ajili ya sehemu ya Fufu Escarpment – Dodoma (km 70.9).

Barabara ya Dodoma – Babati (km 261) – Shilingi Milioni 56,992.41 173. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya

Dodoma – Kondoa – Babati (km 261). Utekelezaji wa mradi huu umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni: Dodoma-Mayamaya (km 43.65), Mayamaya-Bonga (km198.15) na Bonga-Babati

Page 106: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

106

(km 19.2). Katika mwaka wa fedha 2013/14, kiasi cha Shilingi milioni 6,606.15 zimetengwa kwa ajili ya sehemu ya Dodoma – Mayamaya na Shilingi milioni 2,386.26 kwa sehemu ya Bonga

– Babati. Aidha, ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu ya Mayamaya – Bonga ambayo imegawanywa katika sehemu mbili utaanza katika mwaka 2013/14 kama ifuatavyo: (i) Mayamaya - Mela (km 99.35):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 25,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa sehemu hii

ya barabara.

(ii) Mela - Bonga (km 98.8):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 22,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuanza ujenzi wa sehemu hii ya barabara.

Masasi- Songea – Mbamba Bay (km 659.7) – Shilingi Milioni 136,327.08 174. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni

kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya

Page 107: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

107

Masasi- Songea – Mbamba Bay (km 649). Katika mwaka wa fedha 2013/2014, Shilingi milioni 533.88 fedha za ndani na Shilingi milioni 24,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

kuanza ujenzi wa sehemu ya Mangaka-Nakapanya na Shilingi milioni 532.57 fedha za ndani na Shilingi milioni 23,200.00 fedha za nje kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Nakapanya – Tunduru. Shilingi milioni 532.93 fedha za ndani na Shilingi milioni 24,000.00

fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Mangaka-Mtambaswala na Shilingi milioni 3,567.32 fedha za ndani na Shilingi milioni 16,809.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Tunduru-Matemanga.

175. Mheshimiwa Spika, kwa sehemu ya

Matemanga-Kilimasera, Shilingi milioni

3,679.20 fedha za ndani na Shilingi milioni

14,944.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili

kuendelea na ujenzi. Aidha, Shilingi milioni

3,679.19 fedha za ndani na Shilingi milioni

13,715.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

sehemu ya Kilimasera – Namtumbo. Fedha

zilizotengwa kwa ajili ya fidia ni Shilingi milioni

17.00 fedha za ndani kwa barabara ya Songea –

Namtumbo na Shilingi milioni 17.00 fedha za

ndani kwa barabara ya Peramiho – Mbinga. Vile

vile Shilingi milioni 4,600.00 fedha za ndani

Page 108: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

108

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa

kiwango cha lami sehemu ya Mbinga-Mbamba

Bay na Shilingi milioni 2,500.00 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa

kiwango cha lami sehemu ya Masasi - Newala –

Mtwara (km 209) .

Ujenzi wa Barabara ya Uongozi Institute Shilingi Milioni 1,500.00 176. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga barabara ya mchepuo kutoka barabara ya Bagamoyo kuingia kwenye Chuo cha Uongozi pamoja na barabara zilizoko ndani

ya chuo hicho. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 1,500.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa barabara ya mchepuo kutoka barabara ya

Bagamoyo kuingia Chuo cha Uongozi pamoja na barabara zilizoko ndani ya Chuo hicho. Ujenzi wa Makao Makuu ya Wakala wa Barabara – Shilingi Milioni 1,100.00 177. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi

huu ni kujenga Makao Makuu ya Wakala wa Barabara pamoja na kuanza ujenzi wa Ofisi za mikoa ya Dar es Salaam, Katavi, Geita, Simiyu,

Page 109: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

109

Njombe na Lindi. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za ndani. Usanifu wa jengo la Makao Makuu ya Wakala umekamilika. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni

1,100.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi. USALAMA BARABARANI NA MAZINGIRA Usalama Barabarani - Shilingi Milioni 3,387.00 178. Mheshimiwa Spika, mradi huu una

lengo la kuimarisha shughuli za kudhibiti uzito wa magari yanayotumia barabara. Katika mwaka wa fedha 2013/14, kiasi cha Shilingi

milioni 887 fedha za ndani na Shilingi milioni 2,500 fedha za nje zimetengwa. Kazi zitakazofanyika ni zifuatazo:-

(i) Ujenzi wa mizani ya kisasa inayopima uzito wa gari likiwa katika mwendo (Weigh in Motion) katika eneo la Vigwaza ambao umetengewa Shilingi milioni 224 fedha ya ndani;

(ii) Uanzishwaji wa Wakala wa Usalama

Barabarani nchini (National Road Safety Agency) ambao umetengewa Shilingi milioni 293 fedha ya ndani na Shilingi 1000 fedha ya nje;

Page 110: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

110

(iii) Utafiti na tathmini wa ajali za barabarani ambao umetengewa Shilingi milioni 230 fedha ya ndani;

(iv) Ukaguzi wa hali ya usalama katika barabara (Road Safety Audit) Shilingi milioni 129 fedha ya ndani;na

(v) Uwekaji Mfumo wa Taarifa za Ajali

Barabarani (Road Accident Information

System) ambao umetengewa Shilingi milioni 11 fedha ya ndani na Shilingi milioni 1500 fedha ya nje.

Usalama Barabarani na Mazingira - Shilingi Milioni 891.98 179. Mheshimiwa Spika, mradi huu una

lengo la kugharamia shughuli za Usalama na Mazingira pamoja na Marekebisho ya Mfumo wa utekelezaji wa shughuli katika maeneo haya. Mradi huu unagharamiwa kwa pamoja kati ya

Serikali ya Tanzania na DANIDA.

Katika mwaka 2013/14 mradi huu umetengewa jumla Shilingi milioni 891.98. Kati ya fedha hizo Shilingi milioni 641.98 ni fedha za ndani na Shilingi milioni 250 fedha za nje. Aidha, kiasi

cha Shilingi milioni 255 za ndani na Shilingi milioni 100 za nje zimetengwa kwa ajili ya kutoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa shule

Page 111: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

111

za nyanda za juu kusini katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Rukwa, Katavi na Ruvuma. 180. Mheshimiwa Spika, kiasi cha Shilingi

milioni 349.98 za ndani na Shilingi milioni 150

za nje zimetengwa kwa ajili ya kutoa Elimu ya

Usalama Barabarani kwa umma kupitia vyombo

vya habari, vipeperushi n.k (Road Safety

Awareness Campaign). Aidha, kiasi cha Shilingi

milioni 37 za ndani zimetengwa kwa ajili ya

kuwajengea uwezo watumishi.

Menejimenti na Utunzaji wa Mazingira - Shilingi Milioni 200.00 181. Mheshimiwa Spika, mradi huu una

lengo la kuelimisha na kuwezesha utekelezaji

wa Sheria ya Mazingira katika sekta ya Ujenzi.

Katika mwaka wa fedha 2013/14 kiasi cha

Shilingi milioni 200.00 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kusimamia utekelezaji

wa Sheria ya Mazingira Na. 20 ya Mwaka 2004

kwa miradi ya ujenzi. Lengo lingine ni kutoa

mafunzo kuhusu tathmini na usimamizi wa

mazingira katika sekta ya ujenzi kwa

Wataalamu wa TANROADS, TEMESA, TBA,

Vikosi vya Ujenzi na wadau mbalimbali katika

sekta ya Ujenzi.

Page 112: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

112

Programu ya Kujenga Uwezo (Institutional Support) - Shilingi Milioni 500.131 182. Mheshimiwa Spika, mradi huu

unalenga kujenga uwezo (capacity building) wa wataalamu wa Wizara ya Ujenzi.

Katika mwaka 2013/14 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 200.131 fedha za ndani na Shilingi milioni 300.00 fedha za nje. Fedha hizo

zitatumika kuwajengea uwezo watumishi wa Wizara kwa kuwapatia mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika fani zao, pamoja na kununua vitendea kazi. Fedha za Mfuko wa Barabara kwa Mwaka 2013/14 183. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Mfuko wa Barabara unatarajiwa kukusanya jumla ya Shilingi 504,306,000,000.00 ikilinganishshwa na

Shilingi 429,664,000,000.00 katika mwaka 2012/13. Hii ni ongezeko la Shilingi 74,642,000,000.00 sawa na asilimia 17.37. Kimsingi, fedha hizi ni kwa ajili ya matengenezo ya barabara na zinagawanywa kwa Wizara ya Ujenzi na TAMISEMI kwa kuzingatia Sheria ya

Tozo za barabara ya mwaka 1998 kama ilivyorekebishwa mwaka 2006. Kati ya fedha hizo, Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake

Page 113: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

113

imetengewa Shilingi 353,049,400,000.00 ikilinganishwa na Shilingi 300,764,800,000.00 za mwaka 2012/13.

Katika fedha zilizotengwa chini ya Wizara ya Ujenzi, TANROADS imetengewa Shilingi 314,535,652,200.00 kwa ajili ya matengenezo ya barabara na Wizara ya Ujenzi imetengewa Shilingi 34,948,405,800.00 kwa ajili ya kazi za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa

barabara pamoja na ukarabati na ununuzi wa vivuko, usalama barabarani na usimamizi na ufuatiliaji wa miradi hiyo. Bodi ya Mfuko wa Barabara imetengewa Shilingi 3,565,342,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 934,245,067.00 ni kwa ajili ya mishahara, Shilingi 2,631,096,933.00 ni kwa ajili ya ukaguzi na ufuatiliaji wa miradi ya Barabara Kuu na za Mikoa katika mikoa yote pamoja na barabara za Halmashauri za Wilaya. Aidha, fedha hizo pia zitatumika kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Bodi ya Mfuko wa Barabara

Dodoma na kwa ajili ya matumizi mengineyo (OC) ya Bodi. 184. Mheshimiwa Spika, Fedha za Wizara

ya Ujenzi zitatumika kutekeleza miradi kama inavyoonyeshwa kwenye Kiambatisho Namba 3:-

Page 114: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

114

(i) Miradi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Barabara Kuu ambayo imetengewa Shilingi 9,126,610,000.00.

(ii) Miradi ya vivuko imetengewa Shilingi

3,163,730,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 906,270,000.00 ni kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko cha Itungi Port na Shilingi 787,950,000.00 ni kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko cha Kahunda - Maisome. Ununuzi wa boti ya uokoaji (Rescue boat) kwa vivuko vya Ukerewe (Rugezi - Kisorya and Buolora-Ukara) umetengewa Shilingi 469,510,000.00. Shilingi 900,000,000.00 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya vivuko na Shilingi 100,000,000.00 ni kwa ajili ya ufuatiliaji wa miradi.

(iii) Shilingi 1,325,370,000.00 zimetengwa kwa ajili ya kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi ya barabara, maandalizi ya Kanuni za Sheria ya Barabara, maandalizi na uchapishaji wa taarifa za kaguzi za

miradi ya barabara, uendelezaji wa teknolojia za ujenzi wa barabara, utoaji elimu kwa umma na kushiriki katika shughuli za kikanda (SADC,

Page 115: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

115

EAC, COMESA, Central Corridor, nk).

(iv) Usalama Barabarani na Mazingira umetengewa Shilingi 1,140,000,000.00.

(v) Barabara za Mikoa ambazo zimetengewa jumla ya Shilingi

20,192,695,800.00. Mchanganuo wa barabara hizo umeonyeshwa kwenye Kiambatisho Na. 4.

Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Mwaka 2013/14

185. Mheshimiwa Spika, Mpango wa matengenezo ya Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa mwaka 2013/14 kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara ni jumla ya Shilingi 314,535,652,200.00 kama

ilivyoonyeshwa katika Kiambatisho Na. 5. Muhtasari wake ni kama ifuatavyo:

(a) Barabara Kuu: Kilomita 11,276.87 na madaraja 1,272 kwa Shilingi 101,315,714,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara.

(b) Barabara za Mikoa: Kilomita 24,489.09 na madaraja 1,305 kwa Shilingi

Page 116: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

116

162,103,560,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara.

(c) Matengenezo ya Dharura na Tahadhari: Kiasi cha Shilingi milioni 6,871,541,200.00 zimetengwa kwa kazi hizi kutoka Mfuko wa Barabara.

(d) Mradi wa Majaribio wa Kufanya Matengezo ya Muda Mrefu (PMMR): Kilomita 273 kwa shillingi 2,324,837,000.00

(e) Matengenezo, Ukarabati na Ujenzi wa Mizani. Kiasi cha Shilingi 3,500,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

(f) Kazi/Shughuli Zinazohusiana na Matengenezo Zinazofanywa Kutokea Makao Makuu: Kiasi cha Shilingi 4,470,000,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara zimetengwa kwa ajili ya kuweka alama za barabarani; na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Barabara ikiwa ni pamoja na kuweka alama za kuonyesha mipaka ya hifadhi ya barabara. Aidha, fedha hizo pia

zitatumika kuandaa na kusimamia programu za matengenezo ya Barabara Kuu na za Mikoa; kukusanya na

Page 117: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

117

kuweka takwimu za barabara na matumizi yake; kufanya kaguzi za hali na uimara wa madaraja; kufuatilia masuala ya usalama barabarani ikiwa

ni pamoja na kubaini maeneo hatarishi (Black Spots) na kuandaa hatua za kuchukua.

(g) Usimamizi wa Kazi na Utawala. Kiasi

cha Shilingi 24,150,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

(h) Gharama za Uendeshaji wa Mizani

(Operational Costs): Kiasi cha Shilingi 9,800,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

186. Mheshimiwa Spika, mpango wa

matengenezo ya Barabara Kuu na za Mikoa kwa mwaka 2013/14 kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara umeoneshwa katika Viambatisho Na. 5A hadi 5E kama ifuatavyo: (i) Kiambatisho 5(A - 1): Matengenezo ya

Kawaida (Routine Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu: jumla ya shilingi milioni 24,291.040.

(ii) Kiambatisho 5(A - 2): Matengenezo

Kawaida (Routine Maintenance) kwa

Page 118: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

118

kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Babaraba za Mikoa: jumla ya shilingi milioni 33,527.835.

(iii) Kiambatisho 5(B - 1): Matengenezo Maalum (Periodic Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu: jumla ya shilingi milioni 64,619.335.

(iv) Kiambatisho 5(B - 2): Matengenezo Maalum (Periodic Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara za Mikoa: jumla ya shilingi milioni 90,002.156.

(v) Kiambatisho 5(C - 1): Matengenezo ya

sehemu Korofi (Sport Improvement) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu lami na Changarawe: jumla ya

shilingi milioni 1,348.720.

(vi) Kiambatisho 5(C - 2): Matengenezo ya sehemu Korofi (Sport Improvement) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara kwa mwaka 2013/14 –

Barabara za Mikoa lami na changarawe: jumla ya shilingi milioni 16,279.01.

Page 119: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

119

(vii) Kiambatisho 5(D): Matengenezo ya Kukinga Madaraja (Bridges Preventive Maintenance) kwa Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa kutumia fedha

za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14: jumla ya shilingi milioni 3,157.162.

(viii) Kiambatisho 5(E): Matengenezo Makubwa ya Madaraja na Makalvati kwa Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa kutumia fedha za Mfuko wa

Barabara mwaka 2013/14: jumla ya shilingi milioni 26,388.776.

Mpango Maalum wa Kitaifa wa Kuinua Matumizi ya Teknolojia ya Nguvu Kazi 187. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/201, Chuo cha Matumizi Stahiki ya Nguvu Kazi (Appropriate Technology Training Institute -ATTI) kitaendelea kutoa mafunzo ya ukarabati na matengenezo ya barabara za vijijini kwa wananchi wapatao 2,500 ili kuwa na miundombinu bora na inayopitika kirahisi.

Aidha, mafunzo yatatolewa kwa wahandisi 44 kutoka ndani na nje ya nchi; Makandarasi 100, Wahandisi washauri 10, na Viongozi wa Vikundi 200, ili waweze kutoa huduma bora katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara

Page 120: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

120

kwa kutumia taaluma na ujuzi wa teknolojia ya nguvu kazi (LBT).

Ushirikishwaji wa Wanawake Katika Kazi za Barabara Nchini 188. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014, Wizara itaendelea kuhamasisha wanawake kushiriki katika kazi za barabara kwa kuendesha mafunzo ya ukandarasi kwa

makandarasi wanawake na vikundi vya wanawake 25 kwa kutumia teknolojia ya Nguvu Kazi. Wizara itafanya ufuatiliaji wa maendeleo ya wanawake waliopatiwa mafunzo ya ushiriki katika kazi za barabara. Aidha, Wizara itaendelea kuhamasisha wanawake wengi zaidi

kushiriki katika kazi za barabara kama makandarasi na wafanyakazi katika ngazi mbalimbali za kazi za barabara. Maendeleo ya Watumishi

189. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, Wizara itaendelea kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapeleka katika mafunzo ya ndani na nje ya nchi. Mafunzo hayo yatakuwa ni ya muda mrefu na muda mfupi. Aidha, Wizara itaendelea kuajiri

watumishi wapya kukidhi mahitaji yake, kuwathibitisha kazini watumishi wanaostahili Wizara itawapandisha vyeo watumishi wake kwa

Page 121: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

121

kadiri ya Ikama itakayotolewa na kutimizwa kwa sifa na masharti ya kupata vyeo kwa mujibu wa kada husika.

Mikakati ya Kupambana na Ukimwi 190. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014 Wizara itaendelea kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na VVU kwa watumishi pamoja na kuepuka kusambaza

ugonjwa huo kwa kutumia vipeperushi mbalimbali. Pia kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Wizara itaandaa semina na mafunzo kwa watumishi na wataendelea kuhamasishwa kupima afya zao pamoja na kuwapatia huduma ya lishe bora kwa

watakaothibitika kuathirika na ugonjwa huo. Vita Dhidi ya Rushwa 191. Mheshimiwa Spika, Wizara katika

mwaka wa fedha 2013/2014 itaendelea

kuwaelimisha watumishi athari za kutoa na kupokea rushwa pamoja na kuwahimiza kupambana na rushwa katika mazingira yote ya kazi. Elimu kuhusu mapambano dhidi ya rushwa itatolewa kupitia vipeperushi, semina na mikutano mbalimbali kwa ushirikiano na

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

Page 122: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

122

Habari, Elimu na Mawasiliano 192. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Wizara itaendeleza mawasiliano na

wadau wote ili kuboresha utoaji wa elimu na taarifa kwa umma. Wizara itaendelea kutoa taarifa za shughuli zinazotekelezwa na Wizara kupitia vipindi vya televisheni, radio, Tovuti (www.mow.go.tz) pamoja na machapisho.

Nachukua fursa hii kuvipongeza vyombo mbalimbali vya habari, kwa ushirikiano wao na jinsi ambavyo vimekuwa vikifuatilia na kutoa taarifa za shughuli zinazohusu sekta ya Ujenzi. Ushirikiano huu utaendelea kudumishwa ili kuhakikisha kuwa umma unapata taarifa za

kutosha zinazohusiana na malengo, sera, sheria na kanuni mbalimbali zinazosimamiwa na Wizara ya Ujenzi. MPANGO WA UTEKELEZAJI KAZI KATIKA WAKALA / TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA KWA MWAKA 2013/2014 Wakala wa Barabara 193. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14 Wakala utaendelea kusimamia kazi za

kukarabati, kujenga na kufanya matengenezo ya barabara kuu na barabara za mikoa zenye urefu wa kilometa 35,000.

Page 123: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

123

Matengenezo ya barabara kuu na mikoa yatahusisha matengenezo ya kawaida (routine maintenance) kilomita 30,656, matengenezo ya muda maalum na korofi kilomita 5,109.90 na

madaraja 2,577. Mpango huu pia utajumuisha shughuli za utawala na usimamizi wa kazi, udhibiti wa uzito wa magari, kazi za dharura, mradi wa matengenezo ya muda mrefu na kazi zinazosimamiwa toka makao makuu kuhusu mipango, usalama barabarani na hifadhi ya

barabara.

194. Mheshimiwa Spika, Wakala pia utaendelea kusimamia miradi ya ujenzi wa barabara kilomita 495 kwa kiwango cha lami, ukarabati wa kilometa 190 kwa kiwango cha

lami pamoja na ujenzi na ukarabati wa madaraja 11 katika barabara kuu. Kwa upande wa barabara za mikoa, Wakala umepanga kukarabati kilomita 867.60 kwa kiwango cha changarawe, kujenga kilomita 66.1 kwa kiwango cha lami na kujenga/kukarabati madaraja 35.

Wakala umeandaa mpango wa mafunzo kwa watumishi 107. Kati ya watumishi hawa, 12 watahudhuria mafunzo ya muda mfupi nje ya nchi, 20 watahudhuria mafunzo ya muda mrefu (Shahada za Uzamili) na 75 watapatiwa mafunzo

ya muda mfupi katika vyuo mbalimbali ndani ya nchi.

Page 124: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

124

Wakala wa Majengo ya Serikali 195. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Wakala umepanga kutekeleza

majukumu yake mbalimbali ikiwemo kukamilisha ujenzi wa miradi inayoendelea, kununua viwanja zaidi mikoani ili kuuwezesha Wakala kujenga nyumba nyingi zaidi za Watumishi Mikoani, kufanya matengenezo ya nyumba za Serikali na kununua samani kwa

nyumba za Viongozi wa umma. Wakala utaendelea kuimarisha utoaji wa huduma za ushauri wa kitaalam kwa miradi ya ujenzi wa nyumba za Watumishi na ofisi za Serikali kwa kuzingatia mahitaji ya watu wenye

ulemavu. Wakala wa Ufundi na Umeme

196. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wakala umepanga kuendelea na ununuzi wa vivuko vya Kahunda – Maisome (Geita) na Itungi Port (Kyela – Mbeya); ununuzi wa boti ya uokoaji (rescue boat) na ununuzi wa kivuko cha Dar es Salaam – Bagamoyo;

ukarabati wa vivuko vya MV. Magogoni, MV. Geita, MV. Kome I na MV. Kilombero I; na ujenzi wa maegesho ya vivuko katika maeneo mbalimbali nchini. Aidha, Wakala utaendelea kukarabati karakana za Dar es Salaam, Arusha,

Page 125: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

125

Mwanza na Dodoma na kuzipatia vitendea kazi vya kisasa pamoja na kutengeneza magari ya Serikali katika karakana zote kila mkoa. Wakala pia utaendelea kutoa ushauri wa kihandisi kwa

miradi ya usimikaji wa mifumo ya umeme, mitambo, elektroniki, viyoyozi na majokofu katika nyumba za Serikali pamoja na kukodisha mitambo mbalimbali na magari maalum ya viongozi.

Bodi ya Mfuko ya Barabara 197. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Bodi ya Mfuko wa Barabara itaendelea kushirikiana na Wizara ya Ujenzi, TANROADS, EWURA na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufuatilia na kuweka mikakati ya kuziba mianya ya uvujaji wa mapato kwenye vyanzo vya

mapato ya Mfuko. Aidha, Bodi itaandaa mapendekezo ya kuboresha vipengele katika sheria iliyoanzisha Bodi ili kuboresha ufanisi wa utendaji wa Taasisi za barabara (Road Authorities) na Watendaji wanaosimamia matumizi ya fedha za Mfuko. Bodi itakamilisha

uandaaji wa Taratibu za Sheria ya Mfuko wa Barabara (regulations) na miongozo mbalimbali ili kuboresha usimamizi wa Fedha za Mfuko. Bodi itaimarisha ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za Mfuko kwa kutumia wataalam

Page 126: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

126

washauri na wataalam wa ndani katika kufanya ukaguzi wa kiufundi wa ubora wa kazi (value for Money) kwenye mikoa yote nchini. Bodi ya Usajili wa Wahandisi 198. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Bodi ya Usajili wa Wahandisi imepanga kusajili Wahandisi 800, Mafundi Sanifu 200 na kampuni za ushauri wa kihandisi

25. Aidha, Bodi itasimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo ya vitendo kwa wahandisi wahitimu 1,000. Idadi hii ni pamoja na wahandisi wahitimu 651 wanaoendelea na mafunzo kwa fedha za Serikali na watu binafsi.

Bodi pia itafanya ukaguzi wa shughuli za kihandisi nchini ili shughuli zote za kihandisi zifanywe na wahandisi waliosajiliwa na kwa kufuata maadili ya utendaji kazi za kihandisi. Bodi itatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa barabara Tanzania Bara, ikiwa ni pamoja na

barabara za Halmashauri ili kutathmini hali ya uhandisi katika halmashauri zote Tanzania bara. Lengo ni kuhakiki kama kazi zote za kihandisi zinafanywa na wahandisi wenye sifa na waliosajiliwa na Bodi. Hii ni pamoja na kupata idadi kamili ya wahandisi walioko katika

shughuli za kihandisi nchini.

Page 127: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

127

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi 199. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi inatarajia kusajili Wabunifu Majengo (362), Wakadiriaji Majenzi (240), Mafundi Sanifu, Warasimu (Draughtmen), pamoja na kampuni za Wabunifu Majengo (200) na kampuni za Wakadiriaji Majenzi (101). Katika

kupanua wigo wa usajili, Bodi itasajili wataalum wenye fani zinazoshabihiana na Kampuni za ushauri (Interior Designers, Landscape Architects, Conservation Architects, Furniture Designers, Naval Architects, Building Surveyors, Building Economists, Project Managers and

Construction Managers). Aidha, Bodi itaendelea kuwawezesha wahitimu kupata mafunzo kwa vitendo, ili kuhakikisha wanapata maarifa na uzoefu unaokidhi haja ya Sekta ya ujenzi kulingana na sheria pamoja na kuwaelimisha watekelezaji wa miradi ya ujenzi katika Mikoa ya

Tanzania Bara kuhusu umuhimu wa kutumia wataalam waliosajiliwa katika miradi yao. Bodi ya Usajili wa Makandarasi 200. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014, Bodi ya Usajili wa Makandarasi imepanga kusajili jumla ya makandarasi 813 wa fani za Majengo, Majenzi (Civil works),

Page 128: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

128

Umeme, Mitambo, Kazi maalum (Specialists) Makandarasi wa muda (Temporary Contractors na makandarasi wanaofanya kazi kwa ubia. Aidha, bodi itafanya tathmini (Review) ya vigezo

vinavyotumika kusajili makandarasi ili kuendelea kupata makandarasi walio bora zaidi.

Bodi pia itaendesha jumla ya kozi za mafunzo 6 katika mikoa mbalimbali ya Tanzania na zaidi ya makandarasi 270 wanatarajiwa kuhudhuria

mafunzo haya. Mafunzo yatalenga maeneo ya utawala/udhibiti wa fedha, utawala wa biashara, usimamizi wa mitambo, Matumizi ya Teknohama katika ujenzi, upangaji na udhibiti wa kazi za ujenzi. Ili kuhakikisha kazi zote zinafanywa na makandarasi waliosajiliwa na

makandarasi wanafuata sheria na taratibu za usajili wao, Bodi imepanga kukagua miradi ya ujenzi 3,090 nchini. 201. Mheshimiwa Spika, kwa kushirikiana

na Wizara ya Ujenzi na wadau wengine, Bodi

itaendelea kusimamia mpango maalum wa kukuza uwezo wa makandarasi wazalendo ukiwemo ujenzi wa daraja la Mbutu kwa mfumo wa Kubuni na Kujenga (Design and Build). Mradi huu unatekelezwa kwa ubia na Makandarasi wa kizalendo 13 na Wahandisi

washauri wazalendo wanne kwa lengo la kukuza uwezo wa wazalendo.

Page 129: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

129

Baraza la Taifa la Ujenzi 202. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014, Baraza la Taifa la Ujenzi limepanga

kukamilisha Kanuni za Utekelezaji wa Sheria iliyoanzisha Baraza (CAP 162 Revised Edition 2008), kufanya ukaguzi wa kiufundi wa miradi ya ujenzi. Aidha, itaratibu na kutoa mafunzo, ushauri wa kiufundi kuhusu utatuzi wa migogoro katika sekta pamoja na kuendelea na

utekelezaji wa miradi ya ujenzi kwa kutumia teknolojia ya nguvu kazi (Labour Based Technology). Bodi pia itaendelea na jitihada za kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Sekta ya Ujenzi (Construction Industry Development Fund (CIDF)), kuratibu mfumo wa kutoa taarifa

muhimu za miradi ya ujenzi ili kukuza uwazi na uwajibikaji (Construction Sector Transparency Initiative (CoST)); ikiwa ni njia mojawapo ya kupambana na rushwa katika sekta. Baraza vilevile, litaendelea kuratibu ukusanyaji, uwekaji na utoaji wa takwimu na taarifa za

Sekta ya Ujenzi na kuandaa majarida ya kiufundi kuhusu sekta ya ujenzi.

Katika mwaka 2013/2014, Bodi kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na mwekezaji binafsi itaendelea na ujenzi

wa jengo la ofisi la ghorofa 22 lililoko Barabara ya Samora, Dar es Salaam.

Page 130: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

130

Vikosi vya Ujenzi 203. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/14, Vikosi vya Ujenzi vitaendelea na

ujenzi wa maegesho ya Kivuko cha Msanga Mkuu na maegesho ya Senga ya Kivuko cha Chato, ujenzi wa nyumba za viongozi na watumishi wa Serikali pamoja na kuendeleza viwanja 38 vinavyomilikiwa na Vikosi vya Ujenzi Mjini Dodoma.

Vikosi vitaendelea na maboresho ya kiutendaji kwa kufanya ukarabati wa karakana (Carpentry Workshops) zilizopo Dar es Salaam na Dodoma, ukarabati wa Ofisi zilizopo Dodoma na Arusha pamoja na kuongeza vitendea kazi ili kuongeza

ufanisi katika utekelezaji wa Miradi. Chuo cha Ujenzi – Morogoro 204. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/14, Chuo kimepanga kufundisha

jumla ya wanafunzi 800 katika fani za ufundi stadi wa kazi za barabara, majengo pamoja na udereva. Aidha, chuo kitaendeleza ujenzi wa jengo jipya la madarasa na karakana ya ufundi pamoja na kununua samani na zana ndogo ndogo za kufundishia.

Page 131: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

131

Kituo cha Usambazaji wa Teknolojia Katika Sekta ya Uchukuzi (Tanzania Transportation Technology Transfer Centre) 205. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2013/2014, Kituo kimepanga kuendelea na jukumu la kusambaza teknolojia katika sekta ya barabara na uchukuzi hapa nchini. Kituo kitaandaa warsha na mafunzo yanayolenga kutatua changamoto zinazoikabili

sekta ya barabara na uchukuzi, kusambaza kwa wadau 120,000 jumla ya makala na taarifa 150 zinazohusu teknolojia mbalimbali katika sekta ya barabara na uchukuzi kwa ujumla pamoja na kuendelea kutoa huduma ya Maktaba ya Kituo.

Kituo kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Morgan State University ya Marekani pamoja na wadau wengine kitaanza kutekeleza mradi unaolenga kuboresha mifumo ya ujenzi, matengenezo na usimamizi wa miundombinu ya barabara na uchukuzi hapa

nchini. SHUKURANI 206. Mheshimiwa Spika, napenda nitumie

fursa hii kuwashukuru kwa dhati Wabunge

wote na Kamati ya Bunge ya Miundombinu chini ya uenyekiti wa Mheshimiwa Peter Serukamba, Mbunge wa Kigoma Mjini kwa michango,

Page 132: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

132

ushauri na ushirikiano waliotupa katika kuimarisha huduma zitolewazo na Wizara. Wizara inaahidi kufanyia kazi ushauri, na maamuzi ya Bunge lako Tukufu wakati wa

kujadili bajeti hii na katika fursa nyingine. 207. Mheshimiwa Spika, shukurani zetu

ziwaendee Washirika wetu wa Maendeleo waliochangia katika kutekeleza programu na mipango yetu ya sekta. Nchi na Mashirika ya

Kimataifa yaliyochangia kuboresha utoaji huduma na miundombinu ya sekta yetu ni pamoja na Abu Dhabi, Denmark (DANIDA), Japan (JICA), Korea, Marekani (MCC), Uingereza (DFID), Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB), Benki ya Dunia (WB), Benki ya Kiarabu ya

Maendeleo ya Afrika (BADEA), Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jumuiya ya Nchi za Ulaya, Kuwait Fund na OPEC Fund. 208. Mheshimiwa Spika, ninawashukuru

kwa dhati viongozi wenzangu katika Wizara kwa

ushirikiano walionipatia katika kipindi chote cha uongozi wa Wizara ya Ujenzi. Viongozi hao ni Mhe. Eng. Gerson H. Lwenge (Mb.), Naibu Waziri; Balozi Herbert E. Mrango, Katibu Mkuu; Eng. Dkt. John S. Ndunguru, Naibu Katibu Mkuu. Wengine ni Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Bodi za Mfuko wa Barabara, Usajili wa Makandarasi, Usajili wa Wahandisi, Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi,

Page 133: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

133

Baraza la Taifa la Ujenzi, TANROADS, TEMESA na TBA. Ninawashukuru Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo pamoja na wafanyakazi wote wa Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake kwa

ushirikiano wao mkubwa. Nawashukuru sana. 209. Mheshimiwa Spika, napenda pia

niwashukuru kwa dhati wapiga kura wangu wa Jimbo la Chato kwa ushirikiano wao mkubwa wanaonipa katika kuleta maendeleo ya Jimbo

letu pamoja na uvumilivu walionao kwangu wakati nikitekeleza majukumu ya kitaifa. Nawashukuru sana. HITIMISHO Makadirio ya Matumizi ya Kawaida 2013/2014 210. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/14, Wizara ya Ujenzi inaomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi

381,205,760,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ambapo kati ya fedha hizo Shilingi 21,211,514,000.00 ni kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake, Shilingi 353,049,400,000.00 ni fedha za Mfuko wa Barabara na Shilingi 6,944,846,000.00 ni kwa

ajili ya matumizi mengineyo ya Wizara na Taasisi.

Page 134: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

134

Bajeti ya Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka 2013/14

211. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, Wizara ya Ujenzi inaomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi

845,225,979,000.00 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi 448,174,599,000.00 ni fedha za ndani na Shilingi 397,051,380,000.00 ni fedha za nje.

Page 135: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

135

MUHTASARI WA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA 2013/2014

A. Matumizi ya Kawaida

MAELEZO KIASI (SHILINGI)

Mishahara 21,211,514,000.00

Mfuko wa Barabara 353,049,400,000.00

Matumizi Mengineyo 6,944,846,000.00

Jumla Fedha za Matumizi ya Kawaida

381,205,760,000.00

B. Fedha za Maendeleo

Fedha za Ndani za Miradi ya Maendeleo

448,174,599,000.00

Fedha za Nje za Miradi ya Maendeleo

397,051,380,000.00

Jumla Fedha za Maendeleo

845,225,979,000.00

JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO

1,226,431,739,000.00

212. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa

hoja.

Page 136: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

137

KIAMBATISHO NA.1

MGAWANYO WA FEDHA ZA BAJETI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2013/2014

KASMA JINA LA MRADI UREFU (Km/No)

MAKADIRIO 2013/14 (TSh millions) Chanzo

cha Fedha Fedha za Ndani

Fedha za Nje Jumla

SUB VOTE 1003: POLICY AND PLANNING DIVISION

6267 Institutional Support 200.131 300.000 500.131 GOT/EU

TOTAL 1003 200.131 300.000 500.131

SUBVOTE 2002: TECHNICAL SERVICES DIVISION

4125 Construction of Ferry Ramps

5,990.00 5,990.00 GOT

4139 Procurement of Ferries 4,484.00 4,484.00 GOT

4144 Rehabilitation of Ferries 2,102.21 2,102.21 GOT

6327 Construction of Government Houses

2,245.49 2,245.49 GOT

TOTAL 2002 14,821.700 - 14,821.700

SUB VOTE 2005: ROADS DEVELOPMENT DIVISION

4108 Dar es Salaam - Chalinze - Morogoro Express Way (Dsm- Chalinze Section),

200.00 100.00 - 100.00 GOT/ PPP

Page 137: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

138

4109 Wazo Hill - Bagamoyo - Msata

64.00 10,441.10 - 10,441.10 GOT

Bagamoyo - (Makurunge) - Sadani - Tanga and Lower Wami Bridge (DD)

178.00 444.14 - 444.14 GOT/ ADB

Sub total 242.00 10,885.24 - 10,885.24

4110 Usagara - Geita -Buzirayombo - Kyamyorwa (422km)

- -

(i) Kyamyorwa - Buzirayombo

120.00 800.00 - 800.00 GOT

(ii) Buzirayombo - Geita 100.00 - - - GOT

(iii) Geita - Usagara (Lot 1 & Lot 2)

90.00 2,000.00 - 2,000.00 GOT

(iv) Uyovu -Biharamulo 112.00 8,000.00 - 8,000.00 GOT

Sub total 422.00 10,800.00 - 10,800.00

4112 Kigoma - Kidahwe - Uvinza - Kaliua - Tabora

- -

(i) Malagarasi Bridge and Associated approach roads

48.00 3,139.53 10,130.00 13,269.53 S.KOREA/

GOT

(ii) Kigoma - Kidahwe section

36.00 - - - GOT

Page 138: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

139

(iii) Kidahwe-Uvinza 76.60 2,131.95 10,693.00 12,824.95 ABU

DHABI/ GOT

(iv) Uvinza - Malagarasi 51.10 2,000.00 2,000.00 ABU

DHABI/ GOT

(v) Tabora - Ndono 42.00 6,837.80 - 6,837.80 GOT

(vi) Ndono - Urambo 52.00 7,189.04 - 7,189.04 GOT

(vii)Urambo - Kaliua - Ilunde -Uvinza, (206.40km) (Kaliua -Kazilambwa Sect)

56.00 4,848.02 - 4,848.02 GOT

(viii) Tabora - Sikonge 70.00 4,700.00 - 4,700.00 GOT Sub total 431.70 30,846.34 20,823.00 51,669.34

4115

Marangu-Tarakea - Rongai - Kamwanga/Bomang'ombe - Sanya Juu

- -

(i) Marangu - Rombo Mkuu incl. Mwika - Kilacha

32.00 2,145.92 - 2,145.92 GOT

(ii) Rombo Mkuu - Tarakea 32.00 487.71 - 487.71 GOT

(iii) Sanya Juu - Kamwanga (Design +Constr)

75.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT

(iv) Arusha - Moshi - Himo - Holili & Arusha Bypass incl Himo Weighbridge compensation

140.00 1,000.00 - 1,000.00 GOT / ADB

Page 139: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

140

(v) Same - Himo - Marangu & Mombo - Lushoto (FS & DD)

132.00 - - - GOT/WB

(vi) KIA - Mererani 26.00 2,500.00 - 2,500.00 GOT

Sub total 437.00 11,133.63 - 11,133.63

4117 Nangurukuru - Mbwemkulu

95.00 2,000.00

- 2,000.00 GOT

4118 Dodoma - Manyoni (Incl. Manyoni Access Road)

126 1,309.28 - 1,309.28 GOT

4120 Mbwemkulu - Mingoyo 95.00 1,000.00 - 1,000.00 GOT

4121 Singida - Manyoni 54.00 1,200.00 - 1,200.00 GOT

4122 Port Access (Nelson Mandela) Road

15.6 1,500.00 - 1,500.00 GOT/EU

4123 Dumila - Kilosa - Mikumi, km 142) ( Dumila - Rudewa Sect)

45.00 6,000.00 - 6,000.00 GOT

4124 Sumbawanga -Matai - Kasanga Port

112.00 11,241.37 - 11,241.37 GOT

4126 Construction of Bridges - - GOT

(i) Rehabilitation of Kirumi Bridge

1No 1,500.00 - 1,500.00 GOT

(ii) Construction of Nanganga Bridge / Nangoo along Mingoyo - Masasi

2No 500.00 - 500.00 GOT

Page 140: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

141

(iii) Construction of Sibiti Bridge along Ulemo - Gumanga - Sibiti road

1No 3,000.00 - 3,000.00 GOT

(iv) Construction of Maligisu Bridge in Mwanza region

1No 200.00 - 200.00 GOT

(v) Construction of Kilombero Bridge Morogoro

1No 7,500.00 - 7,500.00 GOT

(vi) Kavuu Bridge along Majimoto-Inyonga

1No 1,000.00 - 1,000.00 GOT

(vii) Construction of Mbutu Bridge along Igunga-Manonga and Approach Roads

1No 5,300.00 - 5,300.00 GOT

(viii) Purchase of Mabey Bailey Compact Emergency Bridge and Crane Lorry

2No 50.00 - 50.00 GOT

(ix) Ruhekei Bridge along Mbinga-Mbambabay

1No 250.00 - 250.00 GOT

(x) Ruhuhu Bridge cum Dam

1No. 200.00 - 200.00 GOT

(xi) Momba Bridge along Sitalike-Kilyamatundu/ Kamsamba - Mlowo (Rukwa/Mbeya Border)

2,000.00 2,000.00

Sub total 12No 21,500.00 - 21,500.00

Page 141: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

142

4127 New Bagamoyo (Kawawa Jct - Tegeta)

17.00 2,500.00 18,000.00 20,500.00 GOT/ JAPAN

4128 Kyaka - Bugene – Kasulo (Constr. & DD)

180.00 7,037.53 - 7,037.53 GOT

4129 Isaka - Lusahunga (Rehabilitaion)

- -

(i) Isaka - Ushirombo (Rehabilitation)

132.00 12,512.72 - 12,512.72 GOT

(ii) Ushirombo- Lusahunga (Rehabilitation)

100.00 9,007.76 - 9,007.76 GOT

(iii) Lusahunga - Rusumo & Nyakasanza - Kobero (FS & DD)

150.00 - - - GOT

Sub total 392.00 21,520.48 - 21,520.48

4130 Manyoni - Itigi - Tabora Road

(i) Tabora - Nyahua Sect. 85.00 10,000.00 - 10,000.00 GOT

(ii) Nyahua - Chaya 90.00 2,200.00 - 2,200.00 GoT

(iii) Manyoni- Itigi - Chaya Sect.

89.35 10,299.57 - 10,299.57 GOT

Sub total 264.35 22,499.57 - 22,499.57 4131 Korogwe - Handeni 65.00 6,356.73 - 6,356.73 GOT

4132 Regional Roads Rehabilitation & upgrading (25 regions)

551.1 31,915.27 - 31,915.27 GOT

Page 142: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

143

4133 Mwanza – Shinyanga/ Mwanza Border road Rehabilitation

10.00 50.00 - 50.00 GOT

4134 Handeni - Mkata Road 54.00 4,484.75 - 4,484.75 GOT

4135 Mwandiga - Manyovu (Construction)

60.00 1,234.35 - 1,234.35 GOT

4137 Unity Bridge 1No - - - GOT/MZQ

4138 De-congestion of DSM Roads

- -

(i) Kawawa R/about – Msimbazi – Twiga (Jangwani)

2.70 605.00 - 605.00 GOT

(ii) Ubungo Terminal – Kigogo R/About

6.40 1,689.00 - 1,689.00 GOT

(iii) Jet corner- Vituka-Devis corner

10.30 1,290.00 - 1,290.00 GOT

(iv) Ubungo Maziwa - External & Tabata dampo - Kigogo

2.25 3,000.00 - 3,000.00 GOT

(v) Kimara - Kilungule - External

9.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT

(vi) Mbezi - Malambamawili - Kinyerezi - Banana

14.00 6,000.00 - 6,000.00 GOT

(vii)Tegeta - kibaoni - Wazo - Hill - Goba - Mbezi (Moro Rd)

20.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT

Page 143: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

144

(viii)Tangi Bovu - Goba 9.00 3,000.00 - 3,000.00 GOT

(ix) Kimara Baruti - Msewe - Changanyikeni

2.60 1,500.00 - 1,500.00 GOT

(ix) Bus Rapid Transit Infrastructure (BRT)

21.90 50.00 - 50.00 GOT

(x) Kibamba-Kisopwa (Kibamba-Mlonganzila Section)

4.00 1,500.0 1,500.00 GOT

Sub total 102.15 28,634.00 - 28,634.00

4143 Ndundu - Somanga 60.00 5,287.74 - 5,287.74 GOT/ OPEC

4147

Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (FS & DD)

396.00 100.00 1,500.00 1,600.00 GOT/ ADB

4148 Tabora - Ipole - Koga - Mpanda road (Ipole - Koga - Mpanda section)

359.00 2,000.00 - 2,000.00 GOT

4149 Makutano - Natta - Mugumu/ Loliondo - Mto wa Mbu (328km)

- - GOT

(i) Makutano-Natta - Mugumu, (125km) (Makutano -Sanzate Sect)

50 5,617.63 - 5,617.63 GOT

(ii) Mto wa Mbu – Loliondo section

213 3,000.00 - 3,000.00 GOT

Sub total 263 8,617.63 - 8,617.63 Sub total

Page 144: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

145

4150 Ibanda - Itungi Port 26.00 1,000.00 - 1,000.00 GOT

4151

Tanga - Horohoro Road (Construction)

65.00 - - - GOT/MCC

4152 Nzega - Tabora

- - GOT

Nzega - Puge 58.60 6,696.05 - 6,696.05 GOT

Puge - Tabora 56.40 6,696.05 - 6,696.05 GOT

Sub total 115 13,392.09 - 13,392.09

4154 Sumbawanga - Mpanda - Nyakanazi Road (DD & Construction)

- -

(i) Sumbawanga-Kanazi 75.00 8,850.94 - 8,850.94 GOT (ii) Kanazi – Kizi - Kibaoni 76.60 8,850.94 - 8,850.94 GOT

(iii) Kizi - Sitalike- Mpanda section

95.00 6,617.63 - 6,617.63 GOT

(iv) Mpanda - Mishamo section

100.00 4,539.21 - 4,539.21 GOT

Sub total 346.60 28,858.72 - 28,858.72

4155 Nyanguge - Musoma & Usagara - Kisesa Bypass

- -

(i) Nyanguge -Mwanza/ Mara Boarder

85.50 2,500.00 - 2,500.00 GOT

Page 145: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

146

(ii) Simiyu/ Mara Border - Musoma

80.00 7,235.26 - 7,235.26 GOT

(iii) Makutano - Sirari 83.00 - - GOT

(iv) Kisesa - Usagara Bypass

17.00 4,000.00 - 4,000.00 GOT

(v)Nansio - Kisesa - Bunda (Kisorya - Bunda)

50.00 4,500.00 4,500.00 GOT

Sub total 315.50 18,235.26 - 18,235.26

4160 Magole - Mziha - Handeni Road

- -

(i) Magole - Turiani 48.80 6,156.84 - 6,156.84 GOT

(ii) Turiani- Mziha 40.00 50.00 - 50.00 GOT (iii) Mziha - Handeni 68.00 60.00 - 60.00 GOT

Sub total 156.80 6,266.84 - 6,266.84

4161 DSM Road Flyovers and Approaches

- -

(i) TAZARA 1No. 1,000.00 - 1,000.00 GOT/JICA

(ii) Improvement of Junctions/Intersections at Chang'ombe, Ubungo, Magomeni/Nyerere, Mwenge,Tabata/Mandela and Morocco in Dar es Salaam (Design & Build)

4No. 3,000.00 - 3,000.00 GOT

Sub total 5No 4,000.00 - 4,000.00

Page 146: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

147

4162 Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi

- -

(i) Bariadi - Lamadi 71.80 6,465.65 - 6,465.65 GOT

(ii) Mwigumbi - Maswa - Bariadi

100.00 5,500.00 - 5,500.00 GOT

Sub total 171.8 11,965.65 - 11,965.65

4163 Tabora - Ipole - Rungwa (Ipole - Rungwa section FS & DD)

95.00 500.00 - 500.00 GOT

4164 Kidahwe - Kasulu - Nyakanazi

310.00 10,000.00 - 10,000.00 GOT

4165 Mafia Airport Access Road (Construction)

14.00 2,471.17 - 2,471.17 GOT

4166 Dodoma University Road 12.00 3,000.00 - 3,000.00 GOT

4167 Kigamboni Bridge Construction

1No. 3,000.00 - 3,000.00 GOT / NSSF

4168 Special Road Construction Projects

- - - GOT

4171 Sam Nujoma Road Upgrading

4.00 21.51 - 21.51 GOT

Page 147: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

148

4180 Tunduma - Sumbawanga Upgrading (Constr)

- - GOT/IDA/M

CC

(i) Tunduma - Ikana 63.70 17.00 - 17.00 MCC/GOT

(ii) Ikana - Laela 64.20 17.00 - 17.00 MCC/GOT

(iii) Laela - Sumbawanga 95.31 23.88 - 23.88 MCC/GOT

Sub total 223.21 57.88 - 57.88

4181 Kagoma - Lusahunga (Construction)

154.00 14,477.25 - 14,477.25 GOT

4182 (Arusha - Namanga) Rehab.

105.00 1,228.12 2,289.00 3,517.12 GOT/ADB/

JBIC

4183 Singida - Babati - Minjingu (Construction)

- -

(i) Singida - Katesh 65.10 240.56 - 240.56 GOT/ADB

(ii) Katesh - Dareda 73.80 336.00 - 336.00 GOT/ADB

(iii) Dareda - Babati -Minjingu

84.60 375.00 - 375.00 GOT/ADB

(iv) Minjingu - Arusha 98.00 444.83 25,000.00 25,444.83 GOT/ WB

Sub total 321.50 1,396.39 25,000.00 26,396.39

4185 D'Salaam - Mbagala Road Upgrading (Kilwa Road) Lot 3 (1.5km)

1.50 - - - GOT/JICA

Widening of Gerezani Road

1.30 1,000.00 - 1,000.00 GOT / JICA

Sub total 2.80 1,000.00 - 1,000.00

Page 148: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

149

4186

Msimba - Ruaha Mbuyuni / Ikokoto - Mafinga (TANZAM) (Rehab.)

- -

(i) Iringa - Mafinga 69.40 5,516.53 - 5,516.53 GOT/

DANIDA (ii) Mafinga - Igawa 146.00 200.00 20,000.00 20,200.00 GOT/WB

(iii) Rujewa - Madibira-Mafinga

152.00 - - GOT

Sub total

367.40 5,716.53 20,000.00 25,716.53

4187 Same - Mkumbara - Korogwe (Rehabilitation)

- -

(i) Korogwe - Mkumbara 76.00 100.00 32,671.38 32,771.38 GOT/WB (ii) Mkumbara - Same 96.00 100.00 20,750.00 20,850.00 GOT/WB

Sub total 172.00 200.00 53,421.38 53,621.38

4188 Mbeya - Makongolosi (Construction)

- -

(i) Mbeya - Lwanjilo 36.00 6,528.78 - 6,528.78 GOT

( ii) Lwanjilo - Chunya Sect.

36.00 5,008.00 - 5,008.00 GOT

(iii) Chunya - Makongolosi section

43.00 3,847.05 - 3,847.05 GOT

(iv) Makongolosi - Rungwa - Itigi - Mkiwa

413.00 307.84 - 307.84 GOT

Sub total 528.00 15,691.68 - 15,691.68

Page 149: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

150

4189 Chalinze - Segera - Tanga ( Kitumbi - Segera- Tanga Section)

248.00 3,200.00 4,500.00 7,700.00 GOT/

DANIDA

4192 New Ruvu Bridge 1No. - - - GOT

4195 Dodoma - Iringa - -

(i) Iringa - Migori 95.10 615.68 30,000.00 30,615.68 GOT/ADB

(ii) Migori - Fufu Escarpment

93.80 538.72 28,000.00 28,538.72 GOT/ADB

(iii) Fufu Escarpment - Dodoma

70.90 584.90 26,800.00 27,384.90 GOT/ADB

Sub total 259.80 1,739.31 84,800.00 86,539.31

4196 Dodoma - Babati - -

(i) Dodoma - Mayamaya 43.65 6,606.15 - 6,606.15 GOT (ii) Mayamaya - Mela 99.35 500.00 25,000.00 25,500.00 GOT/ADB

(iii) Mela - Bonga 88.8 500.00 22,000.00 22,500.00 GOT/ADB

(iv) Bonga - Babati incl. Kondoa Access road

19.2 2,386.26 - 2,386.26 GOT

Sub total 251 9,992.41 47,000.00 56,992.41

4197 Masasi - Songea - MbambaBay

- -

(i) Masasi - Mangaka 54.00 - - - GOT/J

ICA

(ii) Mangaka - Nakapanya 70.50 533.88 24,000.00 24,533.88 GOT/ADB/J

BIC

Page 150: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

151

(iii) Nakapanya - Tunduru 66.50 532.57 23,200.00 23,732.57 GOT/ ADB/ JBIC

(iv) Mangaka - Mtambaswala

65.50 532.93 24,000.00 24,532.93 GOT/ ADB

(v)Tunduru - Matemanga 59.00 3,567.32 16,809.00 20,376.32 ADB/ GOT

(vi) Matemenga - Kilimasera

68.20 3,679.20 14,944.00 18,623.20 ADB/ GOT

(vii) Kilimasera - Namtumbo

60.00 3,679.19 13,715.00 17,394.19 ADB/GOT

(viii) Namtumbo - Songea 72.00 17.00 - 17.00 MCC/GOT

(ix) Peramiho - Mbinga 78.00 17.00 - 17.00 MCC/ GOT

(x) Mbinga - Mbambabay 66.00 4,600.00

- 4,600.00 GOT

(xi) Makambako - Songea 295.00 - - - GOT/WB

(xii) Mtwara - Mingoyo - Masasi

200.00 - - GOT/WB

(xiii) Masasi - Newala - Mtwara

2,500.00 2,500.00

Sub total 1,154.70 19,659.08 116,668.00 136,327.08

Page 151: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

152

6383 Construction of TANROADS HQ (Design & Construction)

- -

(i) Construction of TANROADS HQ (Design & Construction)

1No 500.00 - 500.00 GOT

(ii) Construction of Dar es Salaam Regional Managers' Office

1No 100.00 - 100.00 GOT

(iii) Construction of Katavi Regional Managers' Office

1No 100.00 - 100.00 GOT

(iv) Construction of Geita Regional Managers' Office

1No 100.00 - 100.00 GOT

(v) Construction of Simiyu Regional Managers' Office

1No 100.00 - 100.00 GOT

(vi) Construction of Njombe Regional Managers' Office

1No 100.00

- 100.00 GOT

(vii) Construction of Lindi Regional Managers' Office

1No 100.00 - 100.00 GOT

Sub -total 7No 1,100.00 - 1,100.00

4198 Access Road - Uongozi Institute

8.8 1,500.00 - 1,500.00 GOT

TOTAL 2005 431,423.787 394,001.380 825,425.167

Page 152: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

153

SUBVOTE 5002: SAFETY AND ENVIRONMENT DIVISION

4136 Road Safety Activities 887.00 2,500.00 3,387.00 GOT/WB

6221 Institutional Support to Safety and Environment

641.98 250.00 891.98 GOT/

DANIDA

6571 EMA Implementation Support Programme

200.00 - 200.00 GOT

TOTAL 5002 1,728.981 2,750.00 4,478.981

GRAND TOTAL 448,174.599 397,051.380 845,225.979

Page 153: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

154

KIAMBATISHO NA.2

MIRADI YA MAENDELEO YA BARABARA ZA MIKOA (KASMA 4132) KWA MWAKA 2013/14

PROJECT NAME

TARGET (in km / No of

Bridges)

APPROVED BUDGET

2012/13 in Tsh mio

Estimated Budget 2013/14

Local Local

REGIONAL ROADS

1

ARUSHA REGION

Upgrading of Mbauda - Losinyai to DSD 27.69km 0.4 150.00 180.00

Rehab.Olokii (T/Packers) - Losinyai road km 22.68 2.0 35.00 65.00

Rehab.Mto wa Mbu - Loliondo road 212.36km 2.0 35.00 70.00

Rehab. Karatu Jnct. - Mangola - Matala ( 150km) 2.0 35.00 70.00

Upgrading to DSD Usa river - Momela - Arusha National Park

0.3 110.00 180.00

Rehab. Noondoto Jnct- Kitumbeine Road (80.6km) 2.0 35.00 70.00

Rehab. Karatu - Arusha/ Manyara boarder towards Mbulu (Karatu - Kilimapunda) 50.77km

2.0 40.00 65.00

FS & DD Kijenge - USA (Nelson Mandela University - 9km)

9.0 40.00 70.00

Sub- total Arusha 19.70 480.00 770.00

Page 154: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

155

2

COAST REGION

FS & DD Kisarawe - Maneromango road (54km) 54.0 70.00 84.00

Rehab. Mbuyuni - Saadan road ( 9.5km) 2.5 40.00 50.00

Rehab Kilindoni - Rasmkumbi road - 62km 2.5 40.00 50.00

Rehab. Mkuranga - Kisiju road (45.77km) 2.5 40.00 50.00

Upgrading of TAMCO - Vikawe - Mapinga road

(24km)

0.2 70.00 85.00

FS & DD Makofia - Mlandizi - Maneromango

100km

100.0 40.00 60.00

Rehab.Mbwewe - Lugira road 2.5 40.00 50.00

Upgrading off Msoga - Msolwa road (Otta Seal) 0.4 100.00 123.00

Rehab.Kibiti - Utete road ( 44.73km) 2.5 40.00 50.00

Upgrading to DSD Kwa Mathias - Nyumbu -

Msangani road (9.5km)

3.0 - 1,200.00

Sub- total Coast 170.10 480.00 1,802.00

Page 155: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

156

3

DAR ES SALAAM REGION

Upgrading Chanika - Mbande road (Otta seal) 29.6km

0.8 220 300.00

Rehab.Kimbiji - Tundwi Songani road (13km) 2.5 40 50.00

Rehab.Ukonga Mombasa - Msongola road 11 190 235.00

Rehab. Uhuru Road 0.2 70 87.00

Rehab. Shekilango road 0.1 60 75.00

Rehab. Sam Nujoma road 0.1 60 75.00

Rehab. United Nations road 0.2 70 86.00

Upgrading to DSD Mbagala Mission - Kijichi - Zakhem road (6.7km)

2 0 904.00

Sub- total Dar es Salaam 16.90 710.00 1,812.00

4 DODOMA REGION

Rehab. Kolo- Dalai (Mrojochini - Goima section) (118.07km)

2.0 35.00 60.00

Rehab. Mbande - Kongwa - Suguta (Ugogoni - Suguta section) (49.64km)

2.0 35.00 60.00

Rehab. Pandambili - Mlali - Ng'ambi (Mpwapwa - Suguta section) (100.31km)

2.0 35.00 60.00

Page 156: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

157

Rehab. Zemahero - Kinyamshindo (Kwamtoro - Kinyamshindo section) - 125.06km

2.0 35.00 60.00

Upgrading to DSD Shabibu- Dodoma/Arusha round about - 6km

0.8 290.00 400.00

Rehab. Mnenia - Itololo - Madege (85km) 2.5 - 69.00

Rehab. Manchali Kongwa - Hogoro Jctn (Kongwa - Hogoro Jctn) - 45.75km

2.0 30.00 60.00

Sub - Total Dodoma 13.30 460.00 769.00

5 GEITA REGION

Rehab. Busisi - Nyang'wale-53.51km 11.0 200.00 210.00

Rehab. Nyang'hwale - Nyanholongo road-56.43km

2.5 40.00 50.00

Rehab. Geita - Nzera -NKome road - 54km 8.0 160.00 160.00

FS & DD : Geita - Bukoli - Kahama(Busoka) Road 139km

139.0 220.00 220.00

Rehab. Ushirombo - Nyikonga - Katoro/ Buseresere road

11.0 220.00 220.00

Upgrading to DSD Geita - Bukombe road 0.5 150.00 200.00

Rehab. Bukombe - Nyikonga road (32km) 3.5 60.000 80.00

Page 157: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

158

Upgrading of Chato Port- Chato Ginery to DSD 0.2 50.000 150.00

Rehab. Buseresere - Kibumba - Makurugusi

road(8km)

2.5 40.00 50.00

Rehab. Butengolumasa – Iparamasa –

Masumbwe road

2.5 40.00 50.00

DSD Upgrading.Geita Township roads 1.0 500.00

Construction of Mkolani Bridge along Geita -

Nyang'hwale

1No - 110.00

Sub - Total - Geita 181.70 1,180.00 2,000.00

6 IRINGA REGION

Rehab. Paved section Iringa - Msembe (Ruaha

National Park) (104.6km)

6.5 110.00 135.00

Rehab. Paved section Iringa - Pawaga (64.0km) 0.3 110.00 135.00

DSD Iringa -Msembe (Kalenga Jnct-Ipamba

Hospital)

1 300.00

Rehab. Igowole - Kasanga - Nyigo (54.8km) 1.8 30.00 40.00

Page 158: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

159

Rehab. Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa road 83km

7.5 30.00 150.00

FS & DD Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa road 83km

83.0 112.00

Rehab. Iringa - Idete rd (68kms) 4.0 70.00 86.00

Rehab. Mbalamaziwa - Kwatwanga (50km) 5.0 90.00 122.00

Sub - Total - Iringa 109.10 440.00 1,080.00

7 NJOMBE REGION

Rehab. Ndulamo - Nkenja - Kitulo - Mfumbi 95km 2.5 30.00 50.00

Upgrading of Njombe - Ndulamo - Makete (109.4km) to DSD

3.0 1,610.00 1,610.00

Opening up Lupembe - Madeke - Taweta road(53km) along Kibena - Lupembe rd

4.0 30.00 50.00

Rehab. Mkiu - Madaba (79.8km) 2.0 30.00 50.00

Upgrading to DSD Njombe township roads(CCM and Kongo Streets - 4km)

0.3 110.00 250.00

Rehab. Mlevela-Mhaji -Ibumila (15km) 2.5 40.00 50.00

Sub - Total - Njombe 14.30 1,850.00 2,060.00

Page 159: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

160

8 KAGERA REGION

Rehab. Muhutwe - Kamachumu - Muleba rd (6km)

3.5 40.00 70.00

Rehab. Katoma - Kanyigo to gravel standard(6km)

3.5 40.00 80.00

Otta Seal. Bugene - Kaisho - Murongo road (Rwabunuka Escarpment) Sect.) (109km)

0.8 110.00 170.00

Rehab. Bukoba - Kabango bay ( 42 km) 5.0 75.00 110.00

FD & DD Murugarama - Rulenge - Nyakahura 86km

86.0 140.00 180.00

Rehab. Kashalunga - Ngote - Kasindaga (37km) 6.0 126.00

Rehab. Kyakailabwa - Nyakato (54km) 5.0 100.00

Sub - Total - Kagera 109.80 405.00 836.00

9

KATAVI REGION

Rehab. Kagwira - Karema (112km) 2.5 40.0 60.00

Rehab. Mamba - Kasansa(18km) Mamba - Kibaoni section

2.5 40.0 60.00

Rehab. Mwese - Kibo road(60Km) 3.0 50.0 70.00

Rehab. Mpanda (Kawajense) - Ugalla road(74Km)

18.0 290.0 360.00

Ugalla Bridge (Construction) 1No 150.0 286.00

Page 160: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

161

Rehab Majimoto-Inyonga 12.0 150.0 240.00

Rehab of Kibaoni-Mamba 3.0 50.0 70.00

Sub - Total - Katavi 41.00 770.00 1,146.00

10 KIGOMA REGION

Rehab. Simbo - Ilagala - Kalya (Upgrading to gravel std from Rugufu bridge)

9.0 150.00 200.00

Upgrading of Katonga - Ujiji road to DSD 0.6 180.00 250.00

Upgrading of Gungu - Kibirizi to DSD 0.6 180.00 226.00

Rehab.Mugunzu - Bukililo - Kinonko 56km 4.0 84.40

Sub - Total - Kigoma

14.20 510.00 760.40

11 KILIMANJARO REGION

Upgrading to Otta Seals Mwanga - Kikweni road (22.5km)

1.0 110.00 135.00

Rehab. Holili - Tarakea ( 55 km) 2.0 30.00 41.00

Rehab. Kibosho Shine - Mto Sere 2.0 30.00 41.00

Rehab.Sanya juu - Rongai – 80 km 2.0 30.00 40.00

Upgrading to DSD of Kawawa - Pakula - Nduoni, Nduoni - Marangu Mtoni road (15km)

0.5 220.00 270.00

Page 161: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

162

Upgrading to DSSD of Kibosho Shine- Kwa Raphael - International School road (12km)

0.4 180.00 222.00

Upgrading to DSSD Kwasadala - Masama 12.5km

0.3 150.00 185.00

Upgrading to DSD of Uru Njari - Rau Madukani (9.5km)

0.5 90.00 110.00

Construction to DSD of Same - Kisiwani - Mkomazi road(96.7Km).

1.0 220.00 500.00

Sub - Total - Kilimanjaro 9.70 1,060.00 1,544.00

12 LINDI REGION

Rehab. Ngongo - Mandawa - Ruangwa Road ( 45Km) (Ngongo - Mlola Sect)

10.00 40.00 250.00

Rehab. Lukuledi II Bridge along Mtama - Nyangamala road

1No. 140.00 157.00

Rehab. Nangurukuru - Liwale road 2.5 40.00 50.00

Rehab. Tingi - Kipatimu(50Km) 2.5 40.00 50.00

Rehab. Nanganga - Mandawa(60Km) 2.0 30.00 40.00

Rehab. Nachingwea - Liwale(30Km) 2.5 40.00 50.00

Page 162: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

163

Rehab. Mtupwa VillageAaccess Road 2.5 40.00 50.00

Rehab. Nachingwea - Kilimarondo(60Km) 2.5 30.00 50.00

FS & DD Masasi -Nachingwea - Nanganga road. 112.0 75.00 169.00

Sub - Total - Lindi 136.50 475.00 866.00

13

MOROGORO REGION

Rehab. Lusanga - Kibati road 2.5 30.00 60.00

Bridge Construction along Mvomelo - Ndole - Kibati (80km)

3.0 40.00 60.00

Upgrading to Otta seal Liwambanjuki hills(5km) along Lupiro - Malinyi road

4.5 70.00 90.00

FS & DD Ifakara - Kihansi road 130km 130.0 40.00 60.00

Rehab.Ubena Zamozi - Ngerengere road 52km ( Sect. 26+00 - 31+00)

3.0 45.00 60.00

Opening up of Kilosa kwa Mpepo - Londo road (Morogoro/ Ruvuma boarder) -121km

15.0 70.00 100.00

Rehab. Miyombo-Lumuma - Kidete (Moro/Dodoma Boarder) - km 73

2.0 30.00 70.00

Page 163: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

164

Construction of Mtibwa Bridge across Wami river along Dakawa/ Wami Mbiki game reserve - Lukenge/ Songambele road

1No. 75.00 100.00

FS & DD Morogoro (Bigwa)-Mvuha road (78km) 78 50.00 74.00

Rehab of Ngiloli - Iyongwe-Gairo road -48km. 3.0 30.00 70.00

Sub - Total - Morogoro 241.00 480.00 744.00

14

MBEYA REGION

Start of Constr. of Mpona Bridge along Galula - Namkukwe road 57km

1No. 90.00 110.00

Rehab. Mbalizi - Shigamba - Isongole 87km ( Mbalizi - Shigamba Sect 52km ) road

5.0 90.00 110.00

Rehab. Saza - Kapalala-63km 2.5 35.00 50.00

Rehab. Ilongo - Usangu road-36.846km 2.5 35.00 50.00

Rehab. Mlowo - Kamsamba road -130.141km (Itumba - Kamsamba Sect - 25km)

2.5 30.00 50.00

Construction of Mbaka & Mwalisi Bridge along Katumba - Tukuyu road (83km)

2No 90.00 110.00

Rehab. Matema - Ikombe (5.8km) 2.0 30.00 37.00

Rehab. Katumbasongwe- Njisi (Ipyana - Katumba Songwe section ) 19.8km

2.5 40.00 50.00

Page 164: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

165

Upgrading to DSD of Kikusya - Ipinda - Matema (Kyela-Matema) road -39.5 km.

3.0 220.00 1,500.00

Upgrading to DSD of Katumba-Lwangwa - Mbambo - Tukuyu road (83km).

2.5 220.00 1,270.00

Sub - Total - Mbeya 22.50 880.00 3,337.00

15 MANYARA REGION

Rehab. Losinyai - Njoro (306km) 2.5 35.00 134.00

Rehab. Kilimapunda - Kidarafa 2.5 35.00 100.00

Start Construction of Magara Bridge along Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu road

1No. 75.00 135.00

Upgrading to DSD KIA - Mererani Road 4.3 2,205.00 -

Constr. Concrete slab Along Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu (Rift Valley Section)

0.5 70.00 86.00

Rehab. Arusha/ Manyara boarder - Mbulu road 2.5 30.00 100.00

Rehab. Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu 2.5 30.00 100.00

Sub - Total - Manyara 14.80 2,480.00 655.00

Page 165: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

166

16 MARA REGION

Rehab. Nyamwaga - Mriba - Itiryo - Kegonda road

2.0 30.00 50.00

Rehab. Muriba - Kegonga 2.0 30.00 50.00

Rehab. Murangi - Bugwema(15km) 2.0 30.00 50.00

Reh. Guta - Kisorya road section (50km) along Bunda - Kisorya road -64km

2.0 30.00 50.00

Rehab. Manyamanyama - Nyambui (37km) 2.0 30.00 40.00

Feasibility study of Nyamuswa - Bunda - Kisorya (Bunda - Kisorya - Nansio) -118.5km

118.5 1,690.00 200.00

Rehab.Nyankanga - Rung'abure road (89km) 2.0 30.00 40.00

Rehab of Mugumu - Fort Ikoma(Km 31) 2.0 30.00 40.00

Rehab of Balili-Mugeta-Manchimwelu(Km 57) 2.0 30.00 40.00

Rehab of Tarime -Mugumu(Km 87) 10.0 180.00 200.00

Upgrading to DSD Tarime - Nyamwaga road - 25km (Tarime - Nyamigura Sect. ) Otta Seal

0.5 201.50

Upgrading to DSD of Mika Utegi - Shirati road-44Km

0.5 150.00 183.37

Sub - Total - Mara 145.50 2,260.00 1,144.87

Page 166: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

167

17 MTWARA REGION

Rehab. Mnongodi - Mdenganamadi - Kilimahewa - Michenjele (boarder road)

2.5 45.00 60.00

Construction of Lukwamba bridge along Mnongodi -Mdenganamadi - Kilimahewa - Michenjele (boarder road)

1No 50.00 200.00

DD and Rehab. Magamba - Mitema - Upinde Rd.297km)

7.0 110.00 140.00

Rehab. Newala - Mkwiti - Mtama road ( Amkeni - Mkwiti Section)

7.0 110.00 140.00

Rehab. Mangamba - Mnazi bay 3.0 50.00 62.00

Upgrading to DSD Kinorombedo escarpment along Newala - Mkwiti Road

0.1 75.00 60.00

Rehab of Mbuyuni - Makong'onda - Newala rd 8.0 - 157.00

Upgrading to SDS Kitangali Hill along Mtama- Kinorombedo - Mkwiti road

0.4 150.00

Sub - Total - Mtwara 27.60 440.00 969.00

Page 167: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

168

18

MWANZA REGION

Rehab. Bukongo - Rubya - Bukongo - Masonga road-60.18km

3.0 30.00 70.00

Construction of By- Pass Mwanza Airport - Kayenze road (17km)

0.0 70.00 -

Rehab. Nyakato - Bushwelu - Mhonze road 18km 4.0 80.00

Upgrading to DSD Mwanza Urban roads 0.3 125.00 200.00

Rehab of Bukwimba-Kadashi-Maligisu 3.0 30.00 60.00

FS & DD and Rehab. of 5km Mwanangwa - Misasi - Salawe (49.7km)

49.7 150.00 200.00

Rehab. Ngudu - Nyamilama - Hungumalwa (26km)

2.0 35.00 60.00

Rehab of Misasi Jct - Ihelele (57km) to Mza - Shy Water project

4.5 35.00 90.00

Sub - Total - Mwanza 66.50 475.00 760.00

19 RUKWA REGION

Rehabilitation Kasansa - Mamba - Muze (32Km) 2.0 40.00 60.00

Rehab. Laela - Mwimbi - Kizombwe-92.14Km 2.0 40.00 60.00

Rehab. of Kalepula Junction - Mambwenkoswe-59.9km

2.0 40.00 60.00

Page 168: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

169

Rehab Nkundi - Kate - Namanyere-74.14Km 2.0 40.00 60.00

Rehab Kaengesa - Mwimbi (51.11Km) 2.0 40.00 60.00

DD Mtowisa - Ilemba for Realignment and Construction of wash out section (61.37 Km)

2.5 70.00 86.00

Construction of Momba Bridge along Stalike - Kilyamatundu - Kamsamba Mby/Rukwa Boarder

1No 180.00 294.00

Construction of Sakalilo bridge along Mtowisa - Ilemba road

1No 150.00

Sub - Total - Rukwa 12.50 450.00 830.00

20 RUVUMA REGION

Construction of Box Culverts at Londo and its Approach Roads (Lumecha - Kitanda - Londo Rd)

1No. 70.00 80.00

Upgrading to Ottta Seal.Unyoni - Kipapa -Chamani-Mkoha (Mawono Escarpment) 15km

1.0 30.00 190.00

Rehab of Wino - Ifinga road 10km 3.0 50.00 60.00

Rehab. Lumecha - Kitanda - Londo road (Kitanda - Londo Section.) Ruvuma/ Morogoro Boarder 10km

3.0 50.00 60.00

Upgrading Hanga - Kitanda (Mhangazi sect.) ( Otta Seal)

1.0 150.00 193.00

Page 169: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

170

Upgrading to otta seal Mbinga - Mbuji - Litembo - Mkili road (Myangayanga escarpment.

1.1 160.00 190.00

Rehab. Nangombo - Chiwindi road (Ng'ombo - Chiwindi Sect )

3.0 50.00 60.00

Rehab. of Songea (Likuyufusi) - Mitomoni road 3.0 50.00 60.00

Rehab. and Realignment chainage 50+000 - 75+000 along Mbababay - Lituhi road

2.5 40.00 50.00

Rehab. Liuli - Lituhi Road 2.5 40.00 50.00

Upgrading of Lumecha - Kitanda - Londo Road (Hanga Section) to Otta Seal

0.5 70.00 80.00

Opening up of Kingosera -Kilindi - Hinga (Kilindi Hinga Sect)

20.0 90.00

DD and Construction of Box Culvert at Mbesa along Tunduru - Nalasi road

1No 30.00 150.00

FS&DD of Kitai - Lituhi - Ndumbi (New Port) rd 120.0 - 170.00

Sub - Total - Ruvuma 160.60 790.00 1,483.00

Page 170: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

171

21 SIMIYU REGION

Rehab. Sola - Bushashi - Sakasaka 78.31 km road

10.0 50.00 220.00

Construction of Gamaloha Bridge 0.0 330.00 -

Construction of Bukingwaminzi Bridge 0.0 290.00 -

Rehab of Bariadi-Budalabujiga-Gambasingu Bariadi/Meatu Boarder(Km 40)

7.5 70.00 150.00

Rehab of Lugulu-Kadoto-Malya (56.92 km) 4.5 70.00 100.00

Rehab. Bariadi - Kasoli - Salama (49.01 km) 4.5 70.00 100.00

Construction of 4Nos Box Culverts along Mwanuzi - Sibiti (54.73 km) road

4No. 130.00 160.00

Rehab Sisiyu - Maligisu road (18.48 km) 7.5 150.00

Rehab Mwandete - Mwamanoni road (50.88 km) 7.5 150.00

Rehab Malya - Malampaka - Ikungu road (31.34 km)

7.5 158.00

Rehab. Maswa - Lalago 34km 12.0 250.00

Sub - Total Simiyu 26.50 1,010.00 1,438.00

Page 171: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

172

22 SINGIDA REGION

Rehab.Manyoni - Ikasi - Chaligongo 4.0 60.00 80.00

Rehab.Ulemo - Gumanga - Sibiti 3.0 40.00 80.00

Rehab. Senkenke - Shelui 4.0 60.00 80.00

Rehab.Ikungi - Kilimatinde 3.0 40.00 60.00

Rehab. Iguguno - Nduguti - Gumanga 70km 4.0 60.00 80.00

Rehab. Ulemo - Gumanga - Chemchem - Sibiti (Chemchem - Sibiti sect)

3.0 40.00 70.00

Rehab.Mkalama - Mwangaza -Kidarafa road 4.0 60.00 80.00

Rehab. Kititimo - Kinyamshindo road 7.0 70.00 140.00

Rehab. Kisaga - Sepuka - Mlandala (Sepuka - Mlandala Sect.)

4.0 60.00 80.00

Sub - Total - Singida 36.00 490.00 750.00

23 SHINYANGA REGION

Rehab Kahama - Chambo road (Km 45) 7.5 110.00 180.00

Upgrading to DSD Kahama township roads (5.5km)

0.5 220.00 290.00

Rehab. Old Shinyanga - Salawe road 9.0 110.00 176.00

Rehab. Nyandekwa - Uyogo - Sunga 60km 7.5 160.00

Sub - Total - Shinyanga 24.50 440.00 806.00

Page 172: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

173

24 TABORA REGION

Rehab Puge - Ziba 5.0 45.00 100.00

Rehab. Usagali - Fuluma - Ndono road (38km) 5.0 45.00 100.00

FS & DD for a Bridge along Lusu - Nzega road 0.0 45.00 -

Rehab. Kaliua - Uyowa - Makazi road 5.0 45.00 100.00

Rehab. Mambali - Bukene 5.0 45.00 100.00

Rehab. Ibologero - Igurubi (Regravelling and 1 Bridge)

0.0 140.00 -

Rehab. Sikonge - Usoke road (Tutuo - Usoke) 5.0 45.00 100.00

Opening up of Tura - Iyumbu (upgraded rd) 4.0 40.00 100.00

Rehab. Sikonge - Mibono - Kipili - 165km 9.0 180.00

Sub - Total - Tabora 38.00 450.00 780.00

25 TANGA REGION

Rehab. Lushoto - Mlalo 2.5 40.00 60.00

Upgrading to DSD Mombo -Lushoto - Magamba road(Lushoto - Magamba Sect. Km 5.1)

0.3 120.00 199.00

Rehab of Mbuyuni-Kasera(Mkinga districts)-Km 9 3.0 45.00 70.00

Rehab. Handeni – Kiberashi - Songe 3.0 45.00 60.00

Page 173: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

174

Rehab of Songe-Vyadigwa-Mziha road(Km 103) (Kwaluguru - Songe)

3.5 60.00 75.00

Rehab. Kwekivu - Kwalugalu Road (Kwekivu - Iyogwe)

2.5 40.00 60.00

FS and DD of Muheza - Amani road 0.0 40.00 -

Resealing of Tanga - Pangani rd (Mabanda ya Papa - Boza jctn)

0.2 70.00 70.00

Upgrading of Muheza - Amani to DSD 1.0 500.00

Sub - Total - Tanga 16.00 460.00 1,094.00

WORKS/TANROADS 1,668.30 19,925.00 30,236.27

26 Consultancy Services for Identification and classification of Urban Roads.

0.00 500.00

27 ERB - SEAP Programme 0.00 500.00

28 MONITORING (MoW) 485.00 679.000

TOTAL CONSOLIDATED

1,668.30 20,410.000 31,915.270

& 17 Bridges

Page 174: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

175

KIAMBATISHO NA. 3 MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

Kasma Jina la Mradi Urefu/Km

Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka 2013/2014

Miradi ya Barabara

2326 Bagamoyo - Saadani - Tanga ( FS & DD) 178 50,000,000.00

2326 Sumbawanga - Matai - Kasanga Port/Matai-Kasesya Border(DD)

50 100,000,000.00

2326 Training & Technical Assistance TANROADS 300,000,000.00

2326 Ifakara - Mahenge (FS & DD) 67 200,000,000.00

2326 Kibondo - Mabamba (FS & DD) 35 200,000,000.00

2326 Mpemba - Isongole (Tanzania/ Malawi) (FS & DD) 49 200,000,000.00

2326 Omugakorongo - Kigarama - Murongo (FS & DD) 105 400,000,000.00

2326 Review and preparation of Standards and Specifications

300,000,000.00

2326 Kyaka - Bugene - Kasulo/Benako -Bugene - Kasulo Section (FS & DD)

124 400,000,000.00

2326 Handeni-Kiberashi- Kijungu - Kibaya - Njoro - Olboloti - Mrijo Chini - Dalai - Bicha - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro - Singida (FS & DD)

460 900,000,000.00

2326 Upgrading to DSD Mbezi – Malambamawili – Kinyerezi road.

17 1,000,000,000.00

Page 175: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

176

2326 New Wami Bridge (FS&DD) 1No. 300,000,000.00

2326 Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (FS & DD)

396 50,000,000.00

2326 Road Flyovers Compensation for TAZARA and Ubungo 1No. 100,000,000.00

2326 Mtwara - Newala - Masasi Including Mwiti Bridge (FS & DD) 209 600,000,000.00

2326 Kolandoto - Lalago - Mwanhuzi - Matala - Oldeani Junction (FS & DD)

328 500,000,000.00

2326 Environmental Impact Assesment (EIA) Rusumo Bridge in Kagera Region

1No. 50,000,000.00

2326 Central Materials Laboratory (CML) 1No. 500,000,000.00

2326 Preparation of Strategic Plan - TANROADS 100,000,000.00

2326 Monitoring and Evaluation of Strategic Plan, Development & Maintenance Projects – TANROADS

M&E 400,000,000.00

2326 Monitoring and Other Related Activities (MOW) 860,000,000.00

2326 Mwanangwa - Misasi - Salawe - Kahama (FS & DD) 149 500,000,000.00

2326 Itoni - Ludewa - Manda (FS & DD) 211 346,610,000.00

2326 Arusha-Kibaya-Kongwa (FS & DD) 430 500,000,000.00

2326 Provision of Escape Ramps for Long Steep Grades and Climbing Lanes along Major Trunk Roads - FS & DD

270,000,000.00

Jumla ndogo 9,126,610,000.00

Barabara za Mikoa 20,192,695,800.00

Miradi ya Vivuko

Page 176: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

177

2326 Procurement of New ferry for Kahunda-Maisome 787,950,000.00

2326 Procurement of New ferry for Itungi Port 906,270,000.00

2326 Procurement of ferry spare parts 900,000,000.00

2326 Procurement of Rescue boat for Ukerewe ferries (Rugezi- Kisorya and Buolora-Ukara).

469,510,000.00

2326 Monitoring, Evaluation and Other Related Activities 100,000,000.00

Jumla Ndogo 3,163,730,000.00

Road Related Activities

2326 Support to Roads Monitoring and Evaluation activities, Preparation of Roads Sector Performance Indicators and Roads Sector statistics

202,870,000.00

2326 Participation in East African Cooperation Road Network meetings, SADC Roads Related Programmes, COMESA-EAC-SADC Tripartite Free Trade Area and Sub Saharan Africa Transport Policy – SSATP meetings

185,000,000.00

2326 Co-ordination of Corridor Development Issues (Mtwara, Central and Dar es Salaam Corridors)

150,000,000.00

2326 Co-ordination of Ministry’s Budget and Action Plan Preparations and Roads Sector Concept Papers and Write- ups.

370,000,000.00

2326 Preparations of Roads Act Regulations 40,000,000.00

Page 177: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

178

2326 Preparations of Audit Reports for Roads Fund Accounts, Roads Fund Operational Plans and Roads Fund Progress Reports

107,500,000.00

2326 Contribution to Roads Associations and Participation in Roads and Transport Professional Bodies Meetings

70,000,000.00

2326 Facilitation to Technology Transfer Center (T2 Centre ) 100,000,000.00

2326 Expenses on television broadcasting on implementation of roads, bridges and ferries projects and advertisement of Ministry’s Budget Speech

100,000,000.00

Jumla Ndogo 1,325,370,000.00

Usalama Barabarani na Mazingira

2326 EAC Vehicle Load Control Bill 2012 and conduct optimal number of weighbridges

300,000,000.00

2326 Purchasing and installation of CCTV cameras to 26 weighbridge stations

200,000,000.00

2326 Construct Prototype resting station 200,000,000.00

2326 Support to Environmental Management in the Road Sector 132,000,000.00

2326 Skills development on road safety profession 50,000,000.00

2326 Promote through pilot projects and conduct training for weigh in motion weighbridges and road damage control sensors

200,000,000.00

2326 Monitoring and evaluation of Road and vehicle Safety 58,000,000.00

Jumla Ndogo 1,140,000,000.00

JUMLA KUU 34,948,405,800.00

Page 178: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

179

KIAMBATISHO NA.4 MCHANGANUO WA BARABARA ZA MIKOA INAYOTEKELEZWA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA 2013/14

S/N PROJECT NAME

TARGET (in km / No of bridges) 2013/14

APPROVED BUDGET

2012/13 in Tsh mio

BUDGET ESTIMATES

2013/14 in Tsh. Mio

Local Local

REGIONAL ROADS

1 ARUSHA REGION

Rehab. Longido - Kitumbeine - Lengai (Kitumbeine - Lengai Sect.) km 102.4

10.5 200.00 210.00

Rehab. KIA - Majengo along KIA - Mererani road km 25

7.5 150.00 150.00

Rehab. Tengeru Jct - Cairo 7.0 140.00

Sub- total Arusha 25.0 350.00 500.00

2 COAST REGION

Rehab. Kisarawe - Masaki - Msanga - Chole - Vikumburu Road

5.0 100.00 100.00

Rehab. Kiparang'anda-Nyamalile-Kibululu-Magonza Road

2.5 60.00 50.00

Purchase of Excavator/Roller/back hoe for Mafia roads

0.0 70.00 -

Page 179: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

180

FS & DD Mlandizi - Mweneromango road 137.0 90.00 120.00

Upgrading of TAMCO - Vikawe - Mapinga to DSD (24km)

0.7 65.00 310.00

Rehab of Ikwiriri - Mloka - Vikumburu 4.0 75.00 80.00

Rehab. Utete - Nyamwage (km 32) 2.0 40.00

Sub- total Coast 151.2 460.00 700.00

3

DAR ES SALAAM REGION

Rehab. Uhuru Road -1km 0.4 550.00 340.00

Upgrading Chanika - Mbande road DSD 29.6km

0.3 120.00 130.00

Upgrading to DSD Feri - Tungi Kibada road 0.3 120.00 130.00

Upgrading of Mzinga - Way to DSD 0.0 120.00 -

Upgrading Boko - Mbweni road to DSD (6.9km) 0.5 290.00 220.00

Sub- total Dar es Salaam 1.5 1,200.00 820.00

4

DODOMA REGION

Rehab. Izava - Dosidosi road (15km) 5.0 120.00 100.00

Upgrading of Mbande-Kongwa Junction-Mpwapwa(50Km) to Paved standard

0.1 110.00 200.00

Start Construction of Gulwe Bridge along Mpwapwa - Gulwe - Kibakwe - Chipogoro road

1N0 200.00 200.00

Sub - Total Dodoma 5.1 430.00 500.00

Page 180: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

181

5 GEITA REGION

Rehab. Chibingo - Bukondo road - 37km 4.0 100.00 80.00

Rehab. of Geita - Nkome - Mchangani-13km 4.0 80.00 80.00

Rehab. of Geita - Nyarugusu - Bukoli-52.85km 4.5 80.00 90.00

Design and Construction of Bugoyo Bridge along Ngw'amhaya-Itongoitale road

0.0 110.00 -

Upgrading to DSD Chato-Mkuyuni-Rubambangwe

1.0 70.00 350.00

Rehab. Muganza-Kasenda 4.0 70.00 80.00

Rehab. Kibehe-Kikumbaitale 4.0 100.00 80.00

DSD Upgrading.Geita Township roads 0.7 300.00

Rehab.Chato Ginnery - Bwina 5km 2.5 0.00 50.00

Sub - Total - Geita 24.7 610.00 1,110.00

6

IRINGA REGION

FS and DD Iringa - Msembe road 104.0 65.00 60.00

FS & DD Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa road(83km)

0.0 70.00 -

FS & DD Nyololo-Igowole-Kibao km 40.4 40.4 65.00 70.00

DSD Iringa -Msembe (Kalenga Jnct-Ipamba Hospital)

0.5 230.00

Rehab. Nyololo - Kibao km 40.4 4.5 100.00 90.00

Rehab. Ilula - Kilolo km 87.6 6.0 130.00 120.00

Sub - Total - Iringa 155.4 430.00 570.00

Page 181: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

182

7 KAGERA REGION

Rehab. Kajai -Swap along Katoma - Bukwali road (9km)

2.0 180.00 200.00

Rehab. Muhutwe - Kamachumu - Muleba road Km 53.2

15.0 170.00 300.00

Sub - Total - Kagera 17.0 350.00 500.00

8 KATAVI REGION

Rehab. Mamba - Kasansa(18Km) 5.0 100.00 110.00

Rehab. Mpanda - Ugala road(74Km) 6.0 100.00 120.00

Rehab. Mnyamasi - Ugallla km 29.2 6.0 95.00 120.00

Rehab. Inyonga - Majimoto (135km) 7.0 145.00 150.00

Sub - Total - Katavi 24.0 440.00 500.00

9 KIGOMA REGION

Construction of Kangwena bridge along Simbo - Ilagala - Kalya road

1No 275.00 210.00

Construction of 9 bridges along Simbo - Ilagala - Kalya road

9Nos 100.00 340.00

Rehab. Kakonko - Nyaronga - Ngara Boarder 6.0 125.00 120.00

Sub - Total - Kigoma

6.0 500.00 670.00

Page 182: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

183

10

KILIMANJARO REGION

Const. of Kikuletwa Bridge along TPC Road 1No 100.00 120.00

Rehab of Mwembe - Myamba - Ndungu 7.0 110.00 150.00

Upgrading of Same - Kisiwani - Mkomazi incl Mamba bridge

1.5 380.00 700.00

Sub - Total - Kilimanjaro 8.5 590.00 970.00

11 LINDI REGION

Mbwemkuru - Nanjilinji - Kiranjeranje (134km) 5.0 110.00 110.00

Rehab. Nangurukuru - Liwale road 6.0 150.00 120.00

Rehab. Nachingwea - Masasi road 5.0 0.00 110.00

Upgrading of Kinolombedo escarpment to DSD along Makao - Mtama road Sectn

110.00 -

Upgrading to DSD Ruangwa township roads 1.7 700.00

DD Lukuledi Bridge along Luchelegwa - Ndanda road

1NO 50.00

Sub - Total - Lindi 17.7 370.00 1,090.00

12 MANYARA REGION

Construction of Babati - Orkesumet/Kibaya New Acess Rd- 250km

7.0 130.00 140.00

Rehab Kibaya - Kibereshi road 92 km 4.5 80.00 90.00

Rehab. Nangwa - Gisambang - Kondoa Brd. 4.5 80.00 90.00

Page 183: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

184

Rehab Mogitu - Haydom 68 Km 4.5 80.00 90.00

Rehab. Magara Escarpment (concrete pavement)

1.0 270.00 270.00

Sub - Total - Manyara 21.5 640.00 680.00

13

MARA REGION

Rehab. Musoma - Makojo road(7km) 4.5 80.00 90.00

Rehab. Balili - Mgeta - Manchimweli - Rimwani road(57km)

4.5 80.00 90.00

Upgrading to DSD Bunda - Kisorya - Nansio road (Nansio - Kisorya sect.) -118.5km

0.3 110.00 120.00

Upgrading to DSD Mika - Utegi - Shirati road (60km)

0.3 130.00 140.00

Upgrading to DSD Tarime - Nyamwaga road - 25km (Tarime - Nyamigura Sect. ) Otta Seal

0.9 240.00 410.00

Rehab Makutano ya Kinesi - Kinesi (11km) 3.0 50.00

Rehab Nyamwigura-Gwitiryo 5.0 90.00 100.00

Sub - Total - Mara 18.5 730.00 1,000.00

14 MBEYA REGION

Rehab. of Gagula - Namkukwe road (57km) Construction of 3 No. structures

3.0 65.00 70.00

Rehab. Mbalizi - Shigamba - Isongole (Ibaba - Shigamba Sect 9km road

6.0 110.00 120.00

Upgrading to DSD Igawa - Rujewa - Ubaruku 0.3 150.00 160.00

Page 184: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

185

Construction of Mbalizi - Makongorosi ( Mbalizi - Utengule 8km) Otta Seal

0.4 150.00 180.00

Rehab. Ilongo - Usangu road( 36.846km) 4.0 70.00 80.00

Raising Embakment Msangano - Tindingoma (6km section) road

4.0 60.00 70.00

Upgrading to DSD of Kikusya - Ipinda - Matema (Kyela-Matema) road -39.5 km.

0.0 200.00 -

Sub - Total - Mbeya 17.7 805.00 680.00

15 MOROGORO REGION

Rehab. Mahenge - Mwaya-Ilonga road ( 40km) 2.5 50.00 60.00

Upgrading "Mlima Simba hills 6km" (Otta Seal) along Mahenge - Mwaya Road

0.5 180.00 180.00

Rehab Ifakara - Taweta-Madeke road (246km) 3.5 70.00 80.00

Feasibility study and Preliminary Engineering Design for Duthumi II bridge.

1No 80.00 80.00

Rehab. Gairo-Nongwe (74km) 15.0 700.00 300.00

Upgrading of Mahenge township roads 0.8 400.00

Sub - Total - Morogoro 22.23 1,080.00 1,100

Page 185: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

186

16 MTWARA REGION

Upgrading to DSD Newala Township Roads (5km)

1.0 460.00 340.00

Rehab.Tandahimba - Litehu Mkwiti Road 5.0 90.00 100.00

DD of Mwiti bridge along Mtwara -Newala -Masasi road (209km)

0.0 90.00 -

Constructioin of Lukwamba Bridge 1No 190.00 200.00

Upgrading to DSD Kinorombedo escarpment along Newala - Mwiti road

0.5 120.00

Sub - Total - Mtwara 6.5 830.00 760.00

17 MWANZA REGION

Rehab. Kayanze - Nyanguge road -20.24km 4.0 80.00 80.00

Rehab. Kabaganga Ferry - Mugogo - Nyakabanga (5km)

3.5 80.00 80.00

Rehab. Magu - Bukwimba Ngudu - Jojiro road (64km)

4.0 80.00 80.00

Rehab. of Lumaji - Nyanshana (14km) 4.0 80.00 80.00

Construction of Sukuma (Simiyu II) bridge along Magu - Mahaha road

1No. 90.00 100.00

Rehab Inonelwa - Kawekamo-(29km) 4.0 90.00 80.00

Page 186: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

187

Rehab Mwamhaya - Itongoitale-(51km) 3.5 70.00 70.00

Rehab.Nyambiti - Fulo road-(46.97km) 3.5 70.00 80.00

Rehab. Mwanangwa-Misasi-Buhingo-Ihelele 4.0 110.00 80.00

Purchase of Motor Grader for Ukerewe roads 1No 300.00

Sub - Total - Mwanza 30.5 750.00 1,030.00

18 NJOMBE REGION

Rehab. Ndulamo - Nkenja - Kitulo - Mfumbi 95km

5.0 100.00 100.00

Rehab Njombe - Ndulamo - Makete (109.4) 5.0 90.00 100.00

FS & DD of Kibena - Lupembe - Mfuji (Moro/Iringa Brd) 125.2km

125.0 150.00 140.00

FS & DD of Njombe - Iyayi 74km 74.0 100.00 240.00

Rehab of Ikonda - Lupila - Mlangali Rd (Lupila - Mlangali section)

5.0 110.00 110.00

Upgrading to DSD Igwachanya township roads 1.0 400.00

Sub - Total - Njombe 215.0 550.00 1,090.00

19 RUKWA REGION

Rehab. Ntendo - Muze (39km) Kizungu hill section to DSD

6.0 120.00 120.00

Rehab. Kasansa - Muze (32Km) 6.0 100.00 120.00

Rehab. Miangalua - Kipeta road (Miangalua - Chombe Section :19km)

7.5 90.00 150.00

Rehab Kalambanzite - Ilemba road 5.5 90.00 110.00

Sub - Total - Rukwa 25.0 400.00 500.00

Page 187: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

188

20 RUVUMA REGION

Rehab. Azimio - Lukumbule-Tulingane (Lukumbule-Tulingane section 16.3km) road

3.5 60.00 70.00

Rehab.of Lilondo Quarry Plants. set 60.00 50.00

Opening up Londo - Kilosa Kwa Mpepo road Section (40km)

15.0 110.00 150.00

F.S and DD of Songea - Mitomoni - Mkenda road (124km)

124.0 65.00 80.00

Rehab. Chamani - Matuta - Mango - Kihagara road 10km

3.0 65.00 60.00

Upgrading to DSD Kilimo Mseto - Makambi road (2km)

0.2 110.00 200.00

Upgrading to Otta Seal Hilly setions along Mtwara Pachani - Mkongo - Sasawala - Nalasi road 232km - (2km long streach)

0.5 90.00 100.00

Construction of Londo bridge approach road - Otta Seal ( 1km ) along Kitanda - Londo (Ruvuma/ Morogoro Brd)

0.5 110.00 100.00

Rehab of Kitai - Lituhi 4.0 70.00 80.00

Rehab. Matimira - Mkongo (11.8km) 4.0 110.00 80.00

Rehab. Mpitimbi - Ndongosi - Nambendo (63km)

4.0 110.00 90.00

Upgrading to Ottta Seal.Unyoni - Kipapa -Chamani-Mkoha (Mawono Escarpment) 15km

0.8 200.00

Sub - Total - Ruvuma 159.5 960.00 1,260.00

Page 188: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

189

21 SHINYANGA REGION

Upgrading to DSD Shinyanga - Old Shinyanga road

0.9 160.00 400.00

Constr. Of Vented Drift along . Isagenye - Budekwa - Mabaraturu road

1No 120.00 340.00

Kahama - Bulige - Mwakitolyo - Solwa 2.5 80.00 50.00

Rehab. Nyandekwa - Uyogo - Mwande (Shy/Tbr brd)

3.0 80.00 80.00

Rehab. Nyandekwa -Butigu road (20 km) 2.5 50.00

Sub - Total - Shinyanga 8.9 440.00 920.00

22 SIMIYU REGION

Rehab. Luguru - Kadoto - Malya road 7.5 75.00 150.00

Rehab. Maswa - Kadoto - Shishiyu - Jija - Maligisu road

7.5 75.00 150.00

Rehab. Mkoma - Makao road 10.0 70.00 200.00

Construction of Gamaloha Bridge 0.0 380.00 -

Sub - Total - Simiyu 25.0 600.00 500.00

23 SINGIDA REGION

Rehab. Soweto(Kiomboi)-Kisiriri-Chemchem 9.0 150.00 180.00

Rehab. Mkalama-Mwangeza-Kidarafa 8.5 135.00 170.00

Page 189: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

190

Construction of Msosi Box culvert and approaches along Iyumbu (Tabora brd) - Mgungira - Mtunduru - Magereza rd

1No. 105.00 150.00

Sub - Total - Singida 17.5 390.00 500.00

24 TABORA REGION

Rehab. Tutuo - Izimbili - Usoke (70km) 7.5 120.00 150.00

Rehab. Nzega - Itobo - Bukooba (54.5km) 8.5 120.00 170.00

Rehab. Sikonge - Mibono - Kipili road 9.0 115.00 180.00

Sub - Total - Tabora 25.0 355.00 500.00

25 TANGA REGION

Rehab Mlalo - Mng'aro road (25km) 4.5 125.00 90.00

Rehab.Muheza - Maramba (41km) 4.5 120.00 90.00

Rehab Mbaramo - Misozwe - Maramba - Kasera road (90km)

4.5 70.00 80.00

Rehab of Magamba - Mlola Km 35.7 4.5 70.00 90.00

FS & DD of Amani - Muheza 34km 34.0 150.00

Sub - Total - Tanga 52.0 385.00 500.00

Page 190: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

191

26

MoW ( Monitoring and Road Related Activities Including Purchase of one (1 ) Vehicle for Monitoring)

0.0 500.00 700.00

27 Road Classification Activities 0.0 120.00

28 SPECIFIC ROAD RELATED PROJECTS:

ATTI (Taking Labour Based Technology to Scale)

0.0 140.00 160.00

MWTI 0.0 160.00 180.00

WPU 0.0 79.90 82.696

TOTAL ROAD FUND 1,081.00 15,524.90 20,192.6958

18 bridges

Page 191: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

192

KIAMBATISHO 5 (A) – (E)

MPANGO WA MATENGENEZO YA BARABARA 2013/14

Page 192: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

193

KIAMBATISHO 5

MUHTASARI WA MPANGO WA MATENGENEZO YA BARABARA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA 2013/14

(i) Barabara za Kuu

S/NO MAINTENANCE ACTIVITY ANNUAL PLAN

PHYSICAL FINANCIAL (Tshs. mio.)

UNIT QTY ROAD FUND FOREIGN TOTAL

1.0 Routine & Recurrent - Paved km 5,798.11 15,301.389 - 15,301.389

2.0 Routine & Recurrent - Unpaved

km 4,386.73 8,989.651 - 8,989.651

3.0 Periodic Maintenance - Paved

km 258.80 49,576.594 - 49,576.594

4.0 Periodic Maintenance - Unpaved

km 741.59 15,042.745 - 15,042.745

5.0 Spot Improvement - Paved km 26.20 2,866.202 - 2,866.202

6.0 Spot Improvement - Unpaved km 65.44 1,348.720 - 1,348.720 7.0 Bridges Preventive Mtce Nos. 1,187 1,482.187 - 1,482.187

8.0 Bridges Major Repairs Nos. 85 6,708.226 - 6,708.226

SUB-TOTAL Routine & Recurrent

Km 10,184.84 24,291.040 - 24,291.040

SUB-TOTAL Periodic & Spot Maintenance

Km 1,092.03 68,834.261 - 68,834.261

SUB-TOTAL Bridges Nos. 1,272 8,190.413 - 8,190.413

TOTAL TRUNK ROAD BUDGET 101,315.714 - 101,315.714

Page 193: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

194

(ii) Barabara za Mkoa

S/NO MAINTENANCE ACTIVITY

ANNUAL PLAN PHYSICAL FINANCIAL (Tshs. mio.)

UNIT QTY ROAD FUND FOREIGN TOTAL

1.0 Routine & Recurrent - Paved km 972.63 2,530.780 - 2,530.780

2.0 Routine & Recurrent - Unpaved

km 19,498.59 30,997.055 - 30,997.055

3.0 Periodic Maintenance - Paved

km 131.82 36,654.144 - 36,654.144

4.0 Periodic Maintenance - Unpaved

km 2,888.64 53,348.012 - 53,348.012

5.0 Spot Improvement - Paved km 5.18 939.030 - 939.030

6.0 Spot Improvement - Unpaved km 992.23 16,279.015 - 16,279.015 7.0 Bridges Preventive Mtce Nos. 1,141 1,674.975 - 1,674.975

8.0 Bridges Major Repairs Nos. 164 19,680.550 - 19,680.550

SUB-TOTAL Routine & Recurrent

km 20,471.22 33,527.835 - 33,527.835

SUB-TOTAL Periodic & Spot Maintenance

km 4,017.87 107,220.200 - 107,220.200

SUB-TOTAL Bridges Nos. 1,305 21,355.525 - 21,355.525

TOTAL REGIONAL ROAD BUDGET 162,103.560 - 162,103.560

GRAND TOTAL TRUNK & REGIONAL ROADS(Works)

Routine & Recurrent

km 30,656.06

263,419.274 - 263,419.274 Periodic & Spot km 5,109.90

Bridges Bridges 2,577

Page 194: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

195

(iii) Dharura na Tahadhari

1.0 Emergency & Urgent Works 6,871.541 - 6,871.541 (iv) Mradi wa PMMR

1.0 Works & Supervision Consultancy

km 273.0 2,324.837 - 2,324.837

(v) Matengenezo, Ukarabati na Ujenzi wa Mizani

1.0 Improvements & Major Repairs

1,200.000 - 1,200.000

2.0 Installation of missing W/bridge

2,300.000 - 2,300.000

SUB-TOTAL 3,500.000 - 3,500.000

(vi) HQ BASED MAINTENANCE ACTIVITIES 1.0 RMMS Systems 680.000 - 680.000

2.0 Road Data Collection 720.000 - 720.000

3.0 Bridge Management System

400.000 - 400.000

4.0 Road Safety 1,870.000 - 1,870.000 5.0 Road Act Enforcement 800.000 - 800.000

SUB-TOTAL 4,470.000 - 4,470.000

Page 195: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

196

(vii) ADMINISTRATION AND SUPERVISION (Non Works)

1.0 Administration Cost 10,650.000 - 10,650.000

2.0 Supervision Cost 13,500.000 - 13,500.000

SUB-TOTAL 24,150.000 - 24,150.000 (viii) WEIGHBRIDGE OPERATIONS (Non Works)

1.0 Weighbridge Operations

9,800.000 - 9,800.000

SUB-TOTAL 9,800.000 - 9,800.000 TOTAL ROADS FUND BUDGET 314,535.652 - 314,535.652

Page 196: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

197

KIAMBATISHO NA. 5(A - 1)

MATENGENEZO YA KAWAIDA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA 2013/14 BARABARA KUU

(a) Barabara Kuu za Lami Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14

Mkoa Roads Fund Foreign Total Estimate

Arusha 253.05 909.997 - 909.997

Coast 396.29 1,021.449 - 1,021.449 Dar es Salaam 86.70 470.997 - 470.997 Dodoma 200.52 388.080 - 388.080 Geita 201.83 319.067 - 319.067

Iringa 270.00 909.995 - 909.995 Kagera 282.36 677.110 - 677.110 Katavi 1.30 5.620 - 5.620 Kigoma 172.58 391.764 - 391.764 Kilimanjaro 223.60 651.798 - 651.798

Lindi 335.48 546.834 - 546.834 Manyara 173.91 238.786 - 238.786

Mara 185.20 720.982 - 720.982 Mbeya 357.28 1,138.249 - 1,138.249 Morogoro 445.13 1,393.772 - 1,393.772

Mtwara 170.27 499.355 - 499.355 Mwanza 230.92 515.138 - 515.138 Njombe 194.06 493.320 493.320 Rukwa 242.68 439.936 - 439.936 Ruvuma 385.95 912.872 - 912.872 Shinyanga 209.20 526.131 - 526.131 Simiyu 66.72 249.979 249.979

Singida 340.60 874.900 - 874.900

Tabora 145.27 325.998 - 325.998 Tanga 227.21 679.260 - 679.260

Sub-Total 5,798.11 15,301.389 - 15,301.389

Page 197: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

198

(b) Barabara za Kuu za Changarawe/Udongo

Estimated Expenditure in Tshs mio.

Target (km) FY 2013/14

Mkoa Roads Fund Foreign Total Estimate

Arusha 125.62 74.981 - 74.981

Coast 3.00 5.790 - 5.790

Dar es Salaam 22.00 22.000 - 22.000 Dodoma 186.91 542.450 - 542.450 Iringa 66.40 168.347 - 168.347 Kagera 208.79 374.840 - 374.840 Katavi 327.80 869.000 869.000 Kigoma 641.49 1,422.140 - 1,422.140 Manyara 31.04 57.546 - 57.546 Mara 261.55 444.996 - 444.996 Mbeya 278.43 589.986 - 589.986

Morogoro 317.70 596.455 - 596.455

Njombe 209.00 353.134 353.134 Rukwa 203.00 424.650 - 424.650

Ruvuma 470.64 776.299 - 776.299 Shinyanga 69.13 168.373 - 168.373

Simiyu 196.09 418.978 418.978

Singida 224.40 504.486 - 504.486 Tabora 543.74 1,175.200 - 1,175.200

Sub-Total 4,386.73 8,989.651 - 8,989.651

Total Trunk Roads Routine/Recurrent Maintenance (TShs. Mio.)

Target Roads Fund Foreign Total

10,184.84 24,291.040 - 24,291.040

Page 198: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

199

KIAMBATISHO NA. 5(A - 2) MATENGENEZO YA KAWAIDA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 BARABARA ZA MIKOA

(a) Barabara za Mikoa za Lami Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14

Roads Fund Foreign Total Estimate

Arusha 33.00 51.000 - 51.000

Coast 18.10 22.999 - 22.999 Dar es Salaam 171.85 628.668 - 628.668 Dodoma 12.95 32.730 - 32.730

Geita 72.00 197.629 - 197.629 Iringa 20.40 132.436 - 132.436

Kagera 68.58 89.550 - 89.550 Kilimanjaro 131.02 350.817 - 350.817

Lindi 37.49 43.750 - 43.750

Manyara 10.62 26.597 - 26.597 Mara 44.10 234.994 - 234.994 Mbeya 28.44 72.768 - 72.768

Morogoro 52.95 223.361 - 223.361 Mtwara 50.40 86.309 - 86.309

Mwanza 15.54 33.120 33.120 Njombe 12.50 23.805 23.805

Rukwa 5.00 12.50 - 12.500

Ruvuma 12.27 45.960 - 45.960 Shinyanga 13.57 41.817 - 41.817

Singida 27.20 24.549 - 24.549

Tabora 6.30 11.997 - 11.997 Tanga 128.35 143.424 - 143.424

Sub-Total 972.63 2,530.780 - 2,530.780

Page 199: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

200

(b) Barabara za Mikoa za Changarawe/Udongo Estimated Expenditure in Tshs mio.

Target (km) FY 2013/14

Roads Fund Foreign Total Estimate Arusha 439.80 898.181 - 898.181

Coast 879.90 1,027.999 - 1,027.999 Dar es Salaam 226.40 410.594 - 410.594 Dodoma 1,113.18 1,659.970 - 1,659.970 Geita 373.62 689.740 689.740 Iringa 639.40 1,230.166 - 1,230.166 Kagera 864.28 1,258.000 - 1,258.000

Katavi 465.46 674.087 674.087

Kigoma 414.85 1,343.780 - 1,343.780 Kilimanjaro 541.01 778.607 - 778.607 Lindi 905.35 1,425.688 - 1,425.688 Manyara 1,437.33 1,682.650 - 1,682.650 Mara 896.12 1,914.405 - 1,914.405 Mbeya 1,414.99 1,548.552 - 1,548.552

Morogoro 988.36 1,489.287 - 1,489.287 Mtwara 716.80 1,020.042 - 1,020.042 Mwanza 685.63 1,198.137 - 1,198.137 Njombe 589.63 899.145 899.145 Rukwa 841.48 1,961.761 - 1,961.761 Ruvuma 1,062.70 2,154.660 - 2,154.660 Shinyanga 659.24 1,178.000 - 1,178.000

Simiyu 579.04 1,075.393 1,075.393 Singida 985.90 1,239.400 - 1,239.400 Tabora 691.28 965.001 - 965.001 Tanga 1,086.84 1,273.810 - 1,273.810 Sub-Total 19,498.59 30,997.055 - 30,997.055

Total Regional Roads Routine/Recurrent Maintenance (Tshs mio.):

Target Roads Fund Foreign Total

20,471.22 33,527.835 - 33,527.835

Page 200: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

201

KIAMBATISHO NA. 5 (B - 1)

MATENGENEZO MAALUMU (PERIODIC MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 BARABARA KUU

(a) Barabara Kuu za Lami

Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs) ARUSHA

KIA JCT - TCA JCT - Namanga 5.50 1,298.182

TCA Junction - Mijingu 1.71 544.100 Makuyuni - Ngorongoro Gate 1.40 354.430

Subtotal 8.61 2,196.712 COAST Kibaha - Mlandizi - Ngerengere 9.50 2,555.440

Kongowe - Kibiti - Nyamwage 9.00 864.080

Bunju - Bagamoyo 2.00 130.000 Subtotal 20.50 3,549.520

DAR ES SALAAM

Morogoro Road 2.00 570.000 Kilwa Road 5.00 2,300.000

New Bagamoyo Road 1.00 500.000 Nyerere Road (Shoulders, Service roads, walk way, cyclists path)

5.00 1,460.333

Improvement of TR Junctions 1.50 2,000.000 Climbing lane Morogoro Road (Kibamba)

1.20 1,800.000

Page 201: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

202

Road Safety Measures

Installation of Solar Traffic Lights at Sokota Jct (Mandela road)

1.00 200.000

Installation of pedestrian overhead bridge at Mbezi Mwisho along Morogoro Rd

2.00 200.000

Road Markings and signs along Trunk roads

500.000

Subtotal 18.70 9,530.333 DODOMA

Gairo - Dodoma - Kintinku 4.00 1,034.150

Installation of Traffic lights Dodoma Urban

400.000

Mtera - Dodoma 2.94 1,067.860

Dodoma – Bereko (Dom/Manyara Bdr) 3.88 458.150 Subtotal 10.82 2,960.160

IRINGA

Tanzam Highway 4.00 978.480

Mafinga - Mgololo 3.00 312.000

Subtotal 7.00 1,290.480

KAGERA

Mutukula - Bukoba - Kagoma - Kalebezo

1.35 510.000

Bukoba - Bukoba Port 1.00 300.260

Rusumo - Lusahunga 1.20 500.000

Kobero - Ngara - Nyakasanza 3.59 260.630

Subtotal 7.14 1,570.890 KIGOMA

Kasulu - Kigoma (Mwanga) - Kigoma 29.37 594.115

Subtotal 29.37 594.115

Page 202: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

203

KILIMANJARO

Same - Himo Jct - KIA Jct 6.20 1,604.923

KIA Jct - KIA 0.50 126.545

Subtotal 6.70 1,731.468

LINDI Mtegu - Mingoyo - Mkungu 19.50 2,007.422

Malendegu - Nangurukuru - Mingoyo 8.50 972.478

Subtotal 28.00 2,979.900

MARA

Sirari Jct - Sirari (Overlay & embankment reinstatement)

12.50 3,112.000

Subtotal 12.50 3,112.000

MBEYA

TANZAM (Iyayi (Iringa/Mbeya Border) - Tunduma (Tanz/Zambia brd))

3.30 1,023.302

Ibanda - Kiwira Port 4.90 1,242.100

Subtotal 8.20 2,265.402

MOROGORO

Tanzam Highway 10.90 1,100.000

Morogoro - Dodoma(Gairo) 14.40 1,605.640

Mikumi - Kidatu - Mahenge - K/mpepo - Londo

3.00 300.000

Subtotal 28.30 3,005.640

MTWARA

Mtwara - Mtegu 4.53 647.920

Mkungu - Masasi 18.00 1,470.883

Masasi-Mangaka (Lined Ditches) 200.000

Subtotal 22.53 2,318.803

MWANZA

Geita brd - Usagara - Mwanza - Simiyu bdr

8.00 1,799.630

Mwanza - Simiyu brd (Urgent repairs) 1.00 600.000

Mwanza - Shinyanga bdr 6.30 1,200.000

Subtotal 15.30 3,599.630

Page 203: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

204

NJOMBE

TANZAM 5.07 600.000

Lukumburu-Makambako 5.00 1,100.000

Itoni-Ludewa-Manda (DSD) 1.75 1,050.000

Subtotal 11.82 2,750.000

RUVUMA

Songea -Lukumbulu 2.00 1,122.000

Lumecha - Kitanda (Hanga & Kitanda sections)

2.00 450.000

Songea - Mbinga - Mbambabay 9.00 1,581.276

Subtotal 13.00 3,153.276

SIMIYU

Masanza (Mwz/Simiyu brd) - Simiyu/Mara brd

3.00 450.290

Subtotal 3.00 450.290

SINGIDA

Dodoma Brd - Singida - Tabora Brd 2.00 467.627

Subtotal 2.00 467.627

TABORA

Ipole - Tabora (Isike NBC) 1.00 734.088

Tabora (Isike NBC) - Nzega 0.96 302.860

SGD/Tabora bdr - Nzega 2.40 795.690

Tabora (Isike NBC) - Urambo 0.95 217.710

Subtotal 5.31 2,050.348

Grand total 258.80 49,576.59

Page 204: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

205

(b) Barabara Kuu za Changarawe/Udongo

Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs)

ARUSHA

Singida/Arusha brd (Matala) - Njia Panda 42.50 437.520

Subtotal 42.50 437.520

COAST

Bagamoyo - Msata 1.90 65.430

Subtotal 1.90 65.430

DAR ES SALAAM

Morogoro road (Unpaved service road) 1.50 150.000

New Bagamoyo road (Unpaved service road)

1.50 150.000

Nyerere road (Unpaved service road) 2.00 200.000

Subtotal 5.00 500.00

DODOMA

Dodoma - Bereko(Dom/Many Bdr) 28.37 663.090

Subtotal 28.37 663.090

IRINGA

Mafinga - Mgololo 19.00 436.970

Subtotal 19.00 436.970

KAGERA

Nyakanazi - Kagera/Kigoma Border 10.00 203.000

Bugene - Kasulo 25.00 501.160

Omugakarongo - Murongo 13.00 272.000

Subtotal 48.00 976.160

Page 205: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

206

KATAVI

Mpanda - Koga(Tabora Bdr) 39.00 925.000

Lyambalyamfipa - Mpanda 20.00 500.000

Mpanda-Kigoma Bdr 39.00 973.695

Subtotal 98.00 2,398.695

KIGOMA

Katavi/Kigoma border - Kasulu 10.00 200.700

Kidahwe - Kasulu 8.00 160.000

Kasulu - Kibondo 42.00 850.000

Kibondo - Kigoma/ Kagera brd 20.00 400.000

Subtotal 80.00 1,610.700

MANYARA

Bereko - Babati - Minjingu 9.04 101.500

Subtotal 9.04 101.500

MARA

Makutano Juu - Nabi Hill Gate 32.00 596.700

Subtotal 32.00 596.700

MBEYA

Mpemba - Isongole 14.00 286.960

Mbeya - Rungwa 10.00 200.000

Subtotal 24.00 486.960

MOROGORO

Kidatu - Ifakara-Mahenge/Lupiro-Kmpepo-Londo

37.00 750.000

Subtotal 37.00 750.000

NJOMBE

Itoni-Ludewa-Manda 46.50 950.000

Subtotal 46.50 950.000

Page 206: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

207

RUKWA

Sumbawanga - Lyambalyamfipa 32.00 628.990

Subtotal 32.00 628.990

RUVUMA

Songea -Mbinga-Mbambabay 20.44 409.670

Londo-Kitanda-Lumecha 7.18 343.770 Likuyufusi-Mkenda 31.50 695.000

Subtotal 59.12 1,448.440 SHINYANGA

Kolandoto -Mwangongo (Simiyu brd) 20.00 400.000

Subtotal 20.00 400.000

SIMIYU

Lamadi-Wigelekelo(Simiyu/Shy Bdr) 20.00 398.600 Mwangongo-Mwanhuzi-Sibiti 20.00 431.560

Subtotal 40.00 830.160

SINGIDA

Rungwa - Itigi - Mkiwa 20.00 381.190

Rungwa (Mby/Sgd bdr) - Rungwa (Sgd/-Tbr bdr)

2.40 36.000

Subtotal 22.40 417.190

TABORA

Ipole - Rungwa (Mbeya Brd) 10.00 108.000

Ipole - Tabora (Isike NBC) 39.36 391.580

Koga (Katavi Brd) - Ipole 16.00 172.800

Chaya - Kigwa - Tabora 18.30 300.780

Urambo-Kaliua-Chagu(Tbr/Kig Bdr) 33.10 371.080

Subtotal 116.76 1,344.240

TOTAL 741.59 15,042.745

GRAND TOTAL 64,619.335

Page 207: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

208

KIAMBATISHO NA. 5 (B - 2)

MATENGENEZO MAALUMU (PERIODIC MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 BARABARA ZA MIKOA (b) Barabara za Mikoa za Lami

Region Road name Length (km) Estimate (Mio Tshs)

ARUSHA

Mbauda - Losinyai 3.00 500.000

Kilala - Nkoaranga 1.00 250.000

Monduri - Engaruka Jct 1.00 100.000

Usa -Oldonyo - Sambu 1.00 200.000

Kijenge - Usa River 2.00 300.000

Subtotal 8.00 1,350.000

COAST

Pugu-Vikumburu 0.80 33.610

Kibiti - Utete - Nyamwage 0.30 100.000

TAMCO - Vikawe - Mapinga 1.00 500.000

Subtotal 2.10 633.610

Page 208: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

209

DAR ES SALAAM

Tabata Jct (Mandela rd) - Kinyerezi - Banana 2.40 1,000.000

Ukonga jct - G/Mboto - Chanika (widening) 7.50 1,000.000

Buyuni - Ununio - Boko to bitumen std 2.50 1,250.000

Kigamboni - Kibada - Dsm/Co bdr 1.00 750.000

Goba - Wazo Hill - Tegeta Kibaoni 1.90 632.030

Mbande - Mbagala rangi tatu 1.00 750.000

Mjimwema - Pembamnazi (DSD) 2.00 700.000

Kawe - Lugalo 1.00 300.000

Bunju A - Mbweni - Bunju 2.00 1,400.000

Kongowe-Mjimwema-Kivukoni 5.20 1,000.000

Subtotal 26.50 8,782.030

DODOMA

Chamwino Ikulu Jct - Chamwino Ikulu - Dabalo - Itiso

1.82 119.070

Jamatini R/About - CBE Jct 1.39 437.600

Bahi Road Jct - Dodoma Airport R/About 0.67 168.940

Subtotal 3.88 725.610

GEITA

Nyamirembe - Bwanga 3.60 500.000

Nyankumbu (Geita) - Nyang'hwale (Urban section)

2.00 500.000

Chato Jct - Chato Ginnery 3.60 500.000

Subtotal 9.20 1,500.000

Page 209: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

210

IRINGA

Iringa - Idete 1.50 882.040

Iringa - Pagawa 0.50 375.000

Subtotal 2.00 1,257.040

KAGERA

Bukoba CRDB - Kabangobay 1.50 358.200

Kyaka 2 - Kanazi - Kyetema 0.13 30.000

Murugarama - Nyakahura 1.00 401.230

Bugene - Nkwenda - Murongo 2 1.00 369.920

Muhutwe - Kamachumu - Muleba 1.35 449.824

Magoti - Makonge - Kanyangereko 0.13 30.000

Subtotal 5.11 1,639.174

KILIMANJARO

Bomang'ombe - Sanyajuu - Kamwanga - Tarakea

6.19 1,230.880

Mwanga - Kikweni - Vuchama 3.00 900.000

KMT - Machame 6.56 1,050.250

Subtotal 15.75 3,181.130

LINDI

Kilwa Masoko - Nangurukuru - Liwale 2.88 216.440

Liwale - Nachingwea - Lukuledi (Lindi/Mtwara Bdr)

2.55 184.450

Subtotal 5.43 400.890

MANYARA

Singe - Sukuro Jct 1.00 900.000

Kiru Jct - Mbulu 1.00 900.000

Subtotal 2.00 1,800.000

Page 210: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

211

MARA

Tarime - Nyamwaga (Rebu - Kibumayi) 0.48 390.000

Buhemba Jct - Tarime Hill 0.70 535.300

Musoma - Makojo 0.90 683.800

Mika - Ruari Port 0.10 86.000

Musoma Urban Roads (Makoko) 0.80 570.000

Subtotal 2.98 2,265.100

MBEYA

Mbalizi - Makongolosi 1.51 289.670

Igawa - Mbarali 0.34 150.000

Kyimo - Ibungu 0.45 200.000

Subtotal 2.30 639.670

MOROGORO

Mahenge - Mwaya - Ilonga 1.70 381.150

Bigwa - Kisaki 3.10 693.000

Subtotal 4.80 1,074.150

MTWARA

Lukuledi - Masasi - Newala 4.00 300.000

Mtama - Mkwiti - Newala 2.00 600.000

Mangamba - Msimbati (Mtawanya Hill) 1.00 400.000

Msangamkuu Ferry Acess road 0.60 300.000

Newala Urban section 1.00 500.000

Mbuyuni - Newala 1.00 100.000

Newala - Mtwara 2.50 403.810

Subtotal 12.10 2,603.810

Page 211: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

212

MWANZA

Rugezi-Nansio-Bukongo-Masonga 1.50 176.040

Magu - Ndagalu(Magu Town) 1.80 1,000.000

Misungwi Town( Divesion) 0.32 250.000

Subtotal 3.62 1,426.04

NJOMBE

Njombe - Iyayi 2.00 1,200.000

Subtotal 2.00 1,200.000

SHINYANGA

Shinyanga - Bubiki 6.00 995.610

Subtotal 6.00 995.610

SIMIYU

Bariadi - Kisesa (Urban section) 1.00 400.000

Bariadi - Salama (Urban section) 1.00 400.000

Subtotal 2.00 800.000

SINGIDA

Misigiri - Kiomboi DBST 2.00 500.000

Njuki - Ilongero - Ngamu 3.71 900.000

Gumanga - Sibiti 2.00 600.000

Iyumbu-Mgungira-Mtunduru-Magereza 3.00 900.000

Subtotal 10.71 2,900.000

TABORA

Tabora - Mambali 2.00 610.140

Tabora - Ulyankulu 2.00 550.140

Kasu - Airport 1.34 320.000

Subtotal 5.34 1,480.280

TOTAL 131.82 36,654.144

Page 212: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

213

(c) Barabara za Mikoa za Changarawe/Udongo

Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs)

ARUSHA

Monduli - Engaruka Jct 16.00 300.850

Mto wa Mbu - Loliondo 40.00 704.000 T/Packers - Losinyai 19.50 353.640

Mbauda - Losinyai 16.50 303.850 Tengeru - Mererani 11.00 200.000

Kijenge - Usa River 11.00 200.000

Longindo - Oldonyolengai Jnct 5.50 150.000 KIA-Majengo 8.00 47.500

Usa river - Oldonyosambu 16.50 300.000 Longido - Siha 42.00 490.000

Engusero - Kitumbeine Jct 8.00 100.000

Karatu - Kilimapunda 16.50 300.000

Monduli Jct - Lolkisale 8.00 150.000

Subtotal 218.50 3,599.840 COAST

Mbwewe - Lukigura bridge 7.00 150.000

Mbuyuni-Saadani-Makurunge 7.00 150.000

Mandera-Saadani 11.00 224.570

Chalinze - Magindu 3.50 71.705

Makofia - Mlandizi - Maneromango

20.00 352.220

Kiluvya - Mpuyani 4.00 80.000

Pugu - Vikumburu 14.00 288.665

Page 213: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

214

Mkuranga - Kisiju 18.00 271.590

Bungu - Nyamisati 3.00 80.000

Kibiti - Utete - Nyamwage 8.00 160.000

Kilindoni - Utende - Rasmkumbi 6.00 100.000

Kilindoni - Utende 1.10 6.600

Vikumburu - Mloka - Mkongo - Ikwiriri

- 100.000

Ubena Jct - Lugoba 1.00 35.000

Tamco - Vikawe - Mapinga 2.00 80.000

Subtotal 105.60 2,150.350

DSM

Kibamba - Kwembe - Makondeko 2.22 63.330

Victoria - Magoe Mpiji - Bunju 10.00 270.000

Mbezi -M/Mawili - Kinyerezi 10.23 291.770

Makabe Jct - M/Msakuzi 2.00 57.020

Goba - Wazo hill - Tegeta kibaoni 5.00 142.500

Mbezi Mwisho - Samaki wabichi 2.67 76.130

Temboni - Matosa - Goba 2.00 57.020

Chanika - Mbagala rangi tatu 7.20 220.370

Mjimwema - Pembamnazi 7.25 206.480

Kibada - T/Songani - C/Boarder 20.92 293.710

Pugu - Kajiungeni - Kiltex 6.72 146.620

Kimbiji Mwasonga jct - Kimbiji 1.00 28.000

Tundwi Songani - Buyuni II 4.00 73.970 Kibamba-Magoe-Mpiji 8.83 161.720

Kimara Baruti - Changanyikeni Jct 4.40 80.000

Subtotal 94.44 2,168.640

Page 214: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

215

DODOMA

Mtiriangwi-Gisambalan-Kondoa 15.95 348.000

Hogoro Jct- Dosidosi 15.00 327.000

Mpwapwa-Gulwe-Kibakwe-

Chipogoro

20.13 390.395

Ihumwa - Hombolo - Mayamaya 15.57 340.395

Kibaigwa-Ngomai-Njoge - Dongo 14.57 318.000

Mpwapwa-Makutano Jct-Lumuma 14.57 318.000

Chali Igongo (Sgd/Dom Bdr) -

Chidilo Jct - Bihawana Jct

5.00 109.000

Subtotal 100.79 2,150.790

GEITA

Nyankanga (Kagera/Geita Bdr) -

Nyamirembe Port

18.00 354.000

Mtakuja - Bukoli - Buyange

(Geita/Shy Bdr)

17.00 354.000

Wingi 3 (Mwz/Geita Bdr) -

Nyang'holongo (Geita/Shy Bdr)

21.00 421.000

Chato - Chato Ginery - Bwina 5.00 100.000

Nyankumbu - Nyang'hwale 19.00 398.000

Geita (Nzera Jct) - Nzera 8.00 176.000

Chibingo-Bukondo Port 6.00 111.000

Katoro - Ushirombo 23.00 453.500

Subtotal 117.00 2,367.500

Page 215: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

216

IRINGA

Iringa - Msembe 8.00 176.000

Iringa - Pawaga 8.00 176.000

Ilula-Kilolo 10.00 216.000

Iringa - Idete 10.00 220.000

Nyololo - Kibaoni 7.00 150.000

Igowole - Kasanga - Nyigo 6.00 132.000

Ihemi - Ihimbo 2.00 44.000

Ihawaga - Mgololo 8.00 172.000

Kinyanambo - Sadani - Mbeya BRD

5.00 110.000

Mbalamaziwa - Kwatwangwa 5.00 110.000

Kinyanambo C - Kisusa 10.00 216.000

Subtotal 79.00 1,722.000

KAGERA

Bugene - Nkwenda - Kaisho - Murongo 2

33.10 350.000

Kakunyu - Kagera Sugar Jct 2.00 40.600

Kyaka - 2 - Kanazi - Kyetema 4.90 100.000

Kamkumbwa - Nagetageta 1.50 30.000

Rusumo Custom-Ngara 3.40 70.000

Busimbe - Kagemu Kituoni 0.50 10.000

Kasharunga - Ngote - Kasindaga 4.90 100.000

Amushenye - Ruzinga 10.00 200.000

Muhutwe-Kamachumu-Muleba 13.30 269.180

Magoti - Makonge - Kanyangereko

1.90 38.670

Rutenge - Rubale - Kishoju 4.90 100.000

Mwogo-Makonge-Ruhija 1.00 20.300

Murugarama-Rulenge-Nyakahura 15.00 204.500

Page 216: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

217

Kabindi - Nyankatara 7.40 150.000

Katoma - Bukwari 2.50 50.000

Rulenge - Murusagamba - Kumubuga 4.90 100.000

Subtotal 111.20 1,833.250

KATAVI

Sitalike - Kibaoni - Kasansa 23.00 417.658

Majimoto - Inyonga 14.50 270.000

Kagwira-Karema 18.50 370.000

Subtotal 56.00 1,057.658

KIGOMA

Biharamuro Bdr - Nyaronga 3.17 48.534

Mabamba Jct - Mabamba 3.97 58.700

Simbo - Ilagala - Kalya 38.00 778.356

Kasulu - Manyovu 7.98 153.500

Kisili-Mahembe-Buhigwe 5.00 150.440

Subtotal 58.12 1,189.530

KILIMANJARO

Sanya juu - Kamwanga 10.73 86.360

Mwanga-Kikweni-Vuchama 12.00 269.520

Mwembe-Ndungu 12.00 246.262

Gunge Bridge - Hedaru 6.17 117.870

Same - Kisiwani- Mkomazi 8.00 173.760

Kwa Sadala - Kware - Lemira 4.00 66.237 Kibosho Road Jct - Mto Sere 2.00 33.119

Kawawa - Nduoni 5.00 112.300

Kifaru - Butu - Kichwa cha Ng'ombe 7.77 128.410

Kisangara - Nyumba ya Mungu 5.00 112.300

Bangalala - Ndolwa 8.00 141.158 Kikweni - Lomwe 8.72 195.810

Subtotal 89.39 1,683.106

Page 217: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

218

LINDI

Tingi - Chumo - Kipatimu 5.79 98.380

Kilwa - Nangurukuru - Liwale 73.22 1,126.960

Nachingwea - Nanganga 10.00 224.640

Nachingwea - Mtua - Kilimarondo 14.00 169.820

Liwale - Nachingwea - Lukuledi 53.80 927.630

Matangini - Chiola - Likunja 2.00 33.080

Ngongo - Ruangwa 27.02 371.580

Mikao - Nyangamara - Mtama 10.79 51.300

Chekereni - Likwachu 0.17 2.810

Kiranjeranje - Nanjirinji - Namichiga 19.40 300.000

Subtotal 216.19 3,306.200

MANYARA

Kilimapunda - Kidarafa 4.00 89.860

Singe - Kimotorok - Sukuro Jct 25.00 500.000

Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu 9.50 214.500

Kiru Jct - Mahakamani 42.43 290.276

Mirerani - Landanai - Orkesumet 42.05 377.039

Kibaya - Olboloti 9.51 213.610

Losinyai-Njoro 17.60 400.000

Dareda - Dongobesh 15.82 355.270

Mogitu - Haydom 20.25 449.174 Subtotal 186.16 2,889.729

MARA Shirati - Kubiterere 6.00 54.000

Mika - Ruari port 3.00 114.680

Tarime - Nata (Mbise) 20.00 369.020

Sirori Simba - Majimoto- Mto Mara 5.00 90.000 Nyankanga - Rung'abure 12.00 254.000

Page 218: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

219

Musoma - Makojo 39.80 718.956

Manyamanyama - Nyambui 3.00 54.000

Nyamuswa - Kisorya 6.00 134.780

Kuruya - Utegi 3.00 54.000

Muriba Jct - Kegonga 5.00 90.000

Mugumu - Fort Ikoma 3.00 67.390

Balili - Manchimwelu 6.00 82.000

Subtotal 111.80 2,082.826

MBEYA

Katumba - Lutengano - Kyimbila 7.03 145.670

Ipyana-Katumba Songwe 6.12 137.480

Igamba - Msangano - Utambalila 8.91 192.760

Kyimo - Ibungu 5.00 112.320

Tukuyu Mbambo-Ipinda 9.04 202.960

Shigamba - Ibaba 9.40 201.330

Muungano - Lubele (Kasumulu) 14.93 246.950

Isyonje-Kikondo 4.27 95.990

Mlowo-Kamsamba 13.00 262.320

Mbalizi - Makongorosi 10.00 200.000

Galula - Namkukwe 6.00 120.000

Igurusi - Utengule - Luhanga 2.00 40.000 Zelazela-Isansa-Itaka 5.00 112.320

Ndembo - Ngana - Kasumulu 3.00 60.000

Katumba-Lwangwa-Mbambo 4.45 100.050

Mahenje - Hansamba - Vwawa 5.00 112.320

Vensi - Maseshe - Mswiswi 31.00 238.850 Kikusya - Ipinda - Matema 11.48 245.610

Hasamba - Izilya - Itumba 15.04 322.960 Subtotal 170.67 3,149.890

Page 219: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

220

MOROGORO

Miyombo - Lumuma - Kidete 7.70 158.204

Mvomero-Kibati-Lusanga 17.00 350.950

Chazuru Jct-Melela 14.50 313.030

Bigwa-Kisaki 16.00 350.976

Ifakara-Taweta - Madeke 11.00 250.000

Subtotal 66.20 1,423.160

MTWARA

Lukuledi - Masasi - Newala 18.00 404.360

Newala - Mtwara 30.00 684.590

Madimba - Tangazo - Kilambo 20.00 400.000

Mpapura - Makao 15.00 300.000

Mangamba - Msimbati 2.40 61.050

Subtotal 85.40 1,850.000

MWANZA

Rugezi - Nansio - Bukongo - Masonga 3.00 63.504

Bukonyo - M/tunguru - Bulamba -Bukongo 3.00 63.504

Nyang'hwale Jct- Wingi 3 (Mwanza/Geita Bdr)

4.00 84.672

Magu - Ndagalu (Mwanza/Simiyu Bdr) 6.00 127.000

Fulo - Nyambiti 4.00 84.672

Nyakato - Buswelu 18.00 450.000

Bukwimba - Kadashi - Maligisu (Mwanza/Simiyu Bdr)

2.95 63.504

Ng'hwamhaya - Kawekamo - Itongoitale (Mz/Shy Bdr)

3.00 63.504

Ngudu - Malya (Mwanza/Shinyanga border)

3.00 72.960

Mwanangwa - Misasi - Salawe (Mwanza/Shy bdr)

10.00 211.680

Subtotal 56.95 1,285.000

Page 220: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

221

NJOMBE

Kikondo-Makete 14.00 325.000

Makete-Njombe 13.50 325.000

Ndulamo-Nkenja-Kitulo 7.50 150.000

Njombe(Ramadhan)-Iyayi 15.00 300.000

Kibena-Lupembe 18.70 187.000

Mkiwu-Lugarawa-Madaba 6.20 124.144

Ikonda-Lupila-Malangali 19.00 450.000

Subtotal 93.90 1,861.144

RUKWA

Kizwite - Mkima 37.24 618.080

Mtowisa - Ilemba 18.00 521.160

Kaengesa - Mwimbi 4.12 39.010

Laela - Mwimbi - Kizombwe 2.00 28.940

Lyazumbi - Kabwe 50.74 482.190

Chala - Nanyere - Kirando 2.80 259.400

Mtimbwa - Ntalamila 7.00 49.740

Kaoze - Kilyamatundu 5.00 72.350

Subtotal 126.90 2,070.870

RUVUMA

Mbambabay - Liuli - Lituhi 27.60 605.912

Tunduru - Nalasi/Chamba 7.00 158.760

Peramiho - Litumbandyosi - Kingole

23.00 403.652

Namtumbo - Likuyu road 8.00 181.440

Azimio - Tulingane 9.20 201.462 Nangombo - Chiwindi 5.50 115.890

Mbinga - Tangapachani - Mkiri 7.50 713.400

Unyoni - Liparamba - Mkenda 22.00 400.560

Mindu - Nachingwea 34.00 163.200

Naikesi - Mtonya 36.00 384.040 Subtotal 179.80 3,328.316

Page 221: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

222

SHINYANGA

Buyange - Busoka 20.00 423.468

Shinyanga-Bubiki 9.34 191.827

Kahama-Bulige-Solwa 2.99 13.392

Nyandekwa jct - Nyandekwa - Butibu 10.00 171.543

Salawe (Mza/Shy bdr) - Old Shinyanga 8.00 172.751

Kishapu-Businza 6.00 116.164

Kahama-Chambo 5.00 105.840

Kanawa - Mihama 0.87 18.501

Kagongwa - Bukooba (Shy/Tbr bdr) 10.00 211.680

Itongoitale(Mz brd) - Mwapalalu 1.50 30.000

Masabi - Mega 6.08 128.680

Kanawa jct - Manonga river (Tbr/Shy bdr) 5.07 79.063

Subtotal 84.85 1,662.909

SIMIYU

Bariadi (Butiama) - Kisesa (Bariadi/Meatu

Bdr)

12.76 275.510

Maswa - Lalago 10.00 210.590

Bariadi - Salama (Bariadi/Magu Bdr) 9.56 128.850

Malya - Malampaka - Ikungu 22.56 437.190

Subtotal 54.88 1,052.140

Page 222: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

223

SINGIDA

Kizaga - Sepuka - Mlandala - Mgungira 17.00 194.240

Iguguno Shamba - Nduguti - Gumanga 6.00 106.290

Ikungi - Londoni - Kilimatinde 10.00 160.000

Heka - Sasilo - Iluma 5.00 71.680

Manyoni - Heka - Sanza - Chali Igongo 15.00 270.000

Ulemo - Gumanga - Sibiti 4.00 60.000

Soweto - Kisiriri - Chemchem 5.00 80.000

Shelui - Sekenke 15.00 300.000

Ilongero - Mtinko - Ndunguti 13.00 150.000

Njuki - Ilongero - Ngamu 15.00 315.000

Kinyamshindo - Kititimo 10.00 160.000

Iyumbu - Mgungira - Mtunduru - Magereza 5.00 81.350

Mkalama - Mwangeza - Kidarafa 5.00 80.000

Subtotal 125.00 2,028.560

TABORA

Tabora - Ulyankulu 11.00 137.600

Mambali-Bukumbi 9.00 100.000

Tabora-Mambali 18.52 200.040

Mambali-Bukene 17.96 329.150

Sikonge - Mibono 10.00 200.000

Ugala - Kaliua 10.00 200.000 Igurubi-Iborogero 14.26 167.700

Puge-Ziba 28.94 273.360

Kahama border - Nzega 12.00 140.400

Subtotal 131.68 1,748.250

Page 223: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

224

TANGA

Malindi - Mtae 3.00 67.847

Boza jct - Muheza 14.26 322.411

Silabu - Dindira 17.00 407.295

Tanga - Pangani - Buyuni 9.98 225.796

Mkalamo Jct - Mkata 25.00 510.096

Nyasa - Magamba 10.00 197.728

Pangani - Mkalamo Jct 4.00 89.085

Muheza - Amani 10.00 170.364

Lushoto - Umba Jct 7.87 177.986

Nkelei - Lukozi 6.00 135.695

Muheza-Kwa Mkoro 14.11 319.109

Kiberashi(Manyara/Tanga Bdr)-Handeni 20.00 452.316

Vibaoni-Mziha 7.00 158.311

Umba jct - Mkomazi jct 10.00 226.158

Mbaramo-Maramba-Kwasongoro 10.00 226.158

Subtotal 168.22 3,686.354

TOTAL 2,888.64 53,348.012

GRAND TOTAL 90,002.156

Page 224: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

225

KIAMBATISHO NA.5 (C - 1)

MATENGENEZO YA SEHEMU KOROFI (SPOT IMPROVEMENT) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA

BARABARA KWA MWAKA 2013/14 5 - BARABARA KUU

Barabara Kuu za Lami na Changarawe/Udongo

REGION PAVED UNPAVED Road Name Target

Length (Km) Amount (TShs mio.)

Road Name Target Length (Km)

Amount (TShs mio.)

Coast

Kongowe - Kibiti - Nyamwage

1.00 349.690

Chalinze - Manga 1.00 750.000

Sub total 2.00 1,099.690

DSM

New Bagamoyo 1.00 150.000

Mandela 0.20 97.610 Sam Nijoma 0.30 21.200

Sub total 1.50 268.810 - -

Dodoma

- - Dodoma - Bereko

1.81 32.550

Sub total - - 1.81 32.550 Geita

Bwanga - Katoro - Ibanda (Mz brd)

2.00 256.000

Sub total 2.00 256.000 Katavi

Mpanda - Tabora Border

0.50 8.500

Mpanda - Kigoma border

0.50 8.500

Sub total - - 1.00 17.000

Page 225: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

226

Kigoma

Katavi brd - Kasulu

2.70 50.020

Kasulu - Kibondo

2.79 51.540

Kibondo - Kagera brd

2.48 43.800

Kasulu - Mwanga - Kigoma

5.61 145.890

Sub total - - 3.58 291.250

Lindi

Mtengu - Mingoyo - Mkungu

1.63 141.620

Malendegu - Nangurukuru

0.62 53.050

Sub total 2.25 194.670 - - Manyara

Bereko - Babati - Minjigu

3.60 53.500

Sub total - - 3.60 53.500 Mara

- - Makutano Juu - Nabi Hill

0.93 193.000

Sub total - - 0.93 193.000 Mbeya

Mbeya - Rungwa (Singida Border)

0.90 12.750

Mpemba - Isongole

0.02 0.200

Sub total - - 0.92 12.950

Page 226: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

227

Mtwara

Mtwara-Mtegu 6.00 395.645

Sub total 6.00 395.645 - -

Mwanza

Mwanza - Shinyanga border

0.65 67.820

Sub total 0.65 67.820 - -

Rukwa Sumbawanga - Kasesya

2.80 41.000

Sumbawanga - Lyamba Lya Mfipa

0.10 1.000

Sub total - - 2.90 42.000 Ruvuma

Lumesule - Songea 11.80 183.567 Songea - Mbinga - Mbamba Bay

19.78 313.120

Likuyufusi - Mkenda

0.06 51.240

Sub total 11.80 183.567 19.84 364.360 Singida

Dodoma Brd - Singida - Tbr Brd

2.00 400.000 Rungwa - Rungwa (Sgd/ tbr bdr)

0.30 4.500

Rungwa - Itigi - Mkiwa

6.60 118.030

Sub total 2.00 400.000 6.90 122.530

Page 227: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

228

Tabora

Tabora - Nzega 4.83 79.480

Ipole - Tabora (Isike NBC)

1.53 26.400

Koga - Ipole 5.93 87.750

Urambo - Kaliua - Chagu

1.67 25.950

Sub total - - 13.96 219.580

TOTAL 26.20 2,866.200 65.44 1,348.720

TOTAL (PAVED + UNPAVED) 4,214.920

Page 228: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

229

KIAMBATISHO NA. 5 (C - 2)

MATENGENEZO YA SEHEMU KOROFI (SPOT IMPROVEMENT) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 BARABARA ZA MIKOA Barabara za Mkoa za Lami na Changarawe/Udongo

REGION PAVED UNPAVED

Road Name Target Length (Km)

Amount (TShs mio.)

Road Name Target Length (Km)

Amount (TShs mio.)

Arusha

Majengo (Mererani) - KIA 2.00 44.967

Engusero - Kitumbeine 2.40 44.980

Sub Total - - 4.40 89.947

Coast

Mbuyuni - Saadani - Makurunge

2.20 53.200

Makofia - Mlandizi - Maneromango

2.10 28.730

Kiluvya - Mpuyani 0.40 6.880 Pugu - Vikumburu 1.00 15.570

Mkuranga - Kisiju 1.00 14.250

Mbwewe - Lukigura Bridge 1.90 28.750

Kilindoni - Utende - Rasmkumbi

0.80 8.720

Bungu - Nyamisati 0.70 8.500

Ubena Jct - Lugoba 1.30 17.640

Mwanambaya - Hoyoyo 0.20 2.250

Kilindoni - Utende 0.20 4.000

Kibiti -Uutete - Nyamwage 0.80 11.560

Sub Total - - 12.60 200.050

Page 229: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

230

DSM

Chanika - Mbagala Rangi Tatu

2.00 300.000 Makabe Jct - Mbezi Msakuzi

2.07 38.600

Boko - Kunduchi - Mbuyuni

0.50 250.000 Mbezi Victoria - Bunju Sport Motel

1.40 26.280

Morocco - Mlalakuwa - Africana

1.00 150.000 Kibamba - Kwembe - Makondeko

1.10 21.220

Veta/Changombe - Morrocco

0.50 150.000 Goba - Tegeta Kibaoni 1.00 20.000

Mbezi Mwisho - S/Wabichi 0.20 20.000

Mbezi Mwisho - Kinyerezi 2.00 50.000

Temboni - Goba 1.00 20.000

Chanika - Mbagala Rangi Tatu

2.50 43.500

Mji Mwema - Pemba Mnazi 2.56 38.400

Kigamboni - Kibada -T/Songani

1.58 29.160

Kimbiji Mwasonga Jct - Kimbiji

0.45 10.000

Buyuni II - Tundimwisongani 0.50 10.000

Page 230: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

231

Kimara Baruti Jct - Changanyikeni Jct

1.00 20.000

Kimbiji/Songani Jct - K/Mwasonga Jct

0.70 12.500

Kifuru - Pugu Station (Mnadani)

6.00 18.000

Kimara Mwisho - Kinyerezi 6.80 30.000

Kawe - TPDF Firing Range - Jangwani

5.20 15.600

Korogwe - Kilungule - External

8.80 26.400

Mlimani City - Ardhi - Makongo - Goba

7.00 21.000

Kigogo Round about - Jangwani

1.90 40.000

Ununio - Mpigi Bridge 15.70 47.130

Tabata Dampo - Kigogo 1.70 35.000

Temeke - Mtoni Mtongani 3.40 30.000

Buza - Kilungule - Nzasa 9.00 27.000

Kawawa/Nyerere Jct - Changombe Police (Chang'ombe Road)

3.00 10.000

Taifa Road 1.20 10.000

Page 231: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

232

Mgulani Road (DUCE - Mgulani JKT

1.40 10.000

Kinondoni Road (Kinondoni - Ally Hassanimwinyi Jct)

1.50 10.000

Shaurimoyo Road (Karume - Bohari)

0.70 10.000

DSM - Buguruni (Uhuru Road )

5.30 750.000

Sub Total 4.00 850.000 96.66 1,449.79

Dodoma

Pandambili - Mlali - Suguta - Mpwapwa

4.87 93.300

Hogoro Jct - Dosidosi 2.52 48.300

Ihumwa - Hombolo - Mayamaya

0.65 9.800

Mpwapwa - Gulwe - Kibakwe

6.38 116.400

Mpwapwa - Makutano Jct - Pwaga Ict - Lumuma

5.05 98.800

Olbolot - Dalai - Kolo 12.52 226.250

Chenene - Izava 0.33 4.550

Zamahero - Kinyamshindo 7.99 131.450

Chali Igongo - Chidilio - Bihawana Jct

1.54 31.450

Chamwino - Ikulu - Dabilo - Itiso

0.10 2.000

Sub Total - - 41.95 762.300

Page 232: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

233

Geita

Nyamirembe - Bwanga

1.00 74.000 Mtakuja - Bukoli - Bunyange 8.00 130.000

Wingi 3 (Mwz brd - Nhang'holongo(Shy brd)

10.00 220.000

Nyankumbu - Nyang'hwale 4.00 80.000

Katoro - Ushirombo 8.00 130.000

Sub Total 1.00 74.000 30.00 560.000

Iringa

Ihawaga - Mgololo 5.00 110.000

Iringa - Msembe 1.00 500.000

Kinyanambo c - Kisusa 5.00 110.000

Ilula - Kilolo 5.00 110.000

Sub Total - - 16.00 830.000

Katavi

Magamba - Mtisi 0.30 4.500

Ifukutwa - Lugonesi 1.73 29.450

Kawajense - Mnyamasi Jct 9.70 130.500

Majimoto - Inyonga 2.10 44.500

Sub Total - - 13.83 208.950

Kigoma

Kisili - Mahembe - Buhigwe 3.38 53.500

Ngara brd - Nyaronga - Kakonko

1.65 24.000

Rusesa - Kazuramimba 25.18 75.540

Mugunzu - Kakonko 56.23 168.690

Page 233: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

234

Kasulu - Manyovu 5.30 90.100

Nyaronga - Biharamulo Brd 1.41 26.100

Simbo - Ilagala - Kalya 7.93 129.790

Sub Total - - 101.08 567.720

Kilimanjaro

Sanyajuu - Kamwanga 1.50 33.750

Tingatinga - Nyumbamoja 15.34 46.020

Kawawa - Nduoni 0.30 12.000

Sub Total 17.14 91.770

Lindi

Kilwa Masoko - Nangurukuru - Liwale

0.10 1.200

Liwale - Nachingwea 0.40 5.500

Nachingwea - Nanganga 0.30 4.500

Ngongo - Ruangwa - Ruangwa

0.40 6.000

Sub Total - - 1.20 17.200

Manyara

Kilimapunda - Kidarafa 11.48 136.600

Losinyai - Njoro 22.25 351.784

Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu

2.55 34.000

Lolkisale - Sukuro 4.26 91.850

Dareda - Dongobesh 4.85 63.330

Page 234: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

235

Magidu - Haydom 2.83 36.200

Kiru Jct - Mbulu

Mahakamani

0.49 7.200

Singe - Sukuro Jct 6.72 84.020

Mirerani - Landanai -

Orkesumet

2.50 39.730

Kibaya - Dosidosi 3.20 50.250

Kibaya - Kibirashi 6.39 101.700

Orkusmet - Gunge 20.07 300.700

Cairo - Mererani 0.05 0.500

Kimotorok - Ngopito 1.94 24.800

Kijungu - Sunya - Dongo 15.08 230.800

Kibaya - Olboloti 1.33 20.550

Sub Total - 105.99 1,574.014

Mara

Nyamuswa - Bunda -

Kisorya

5.00 106.640

Sub Total - - 5.00 106.640

Page 235: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

236

Mbeya

Mbalizi - Makongolosi 10.99 139.510

Igawa - Mbarali 0.50 5.860

Mlowo - Kamsamba (Rukwa bdr)

0.65 9.000

Mbalizi - Shigamba - Isongole

0.74 3.000

Mahenje - Hansamba - Vwawa

1.15 12.250

Kikusya - Ipinda - Matema 2.75 32.000

Masebe - Kyejo 1.05 15.250

Zelezeta - Isansa - Itaka 2.88 35.800

Bujesi - Itete 0.10 1.000

Iseche - Ikonya 0.55 5.750

Isansa - Itumpi 0.30 4.000

Ruanda - Nyimbili 0.10 1.000

Majombe(Madibira Jct) - Mbarali/Mufindi Brd

0.60 18.750

Isongole II - Isoko 0.10 1.500

Malenje - Lungwa 0.05 0.500

Isonje - Kikondo 0.28 3.850

Sub Total - - 22.79 289.020

Page 236: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

237

Morogoro

Mziha - Magole 3.30 61.750

Mvomero - Ndole - Kibati - Lusanga

8.60 167.750

Dumila - Kilosa - Mikumi 10.60 222.140

Chanzuru Jct - Melela 6.00 115.000

Miyombo - Lumuma - Kidete 5.50 108.020

Ifakara - Taweta - Madeke 6.60 113.700

Kiswira - Tawa 0.30 4.950

Mtombozi - Lugenzi - Dutumi

5.00 100.000

Mahenge - Mwaya - Ilonga 3.60 57.750

Madamu - Kinole 0.20 3.000

Sub Total - - 49.70 954.060

Mtwara

Newala - Tandahimba - Mtwara

3.38 50.700

Mbuyuni - Newala 0.80 14.500

Mkwiti - Kitangari - Amkeni 8.65 173.500

Matipa - Kitama 4.20 73.000

Mpapura - Mikao - Kinolombedo

5.70 99.000

Msijute - Nanyamba 5.10 98.000

Page 237: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

238

Lukuledi - Masasi - Newala 5.86 90.340

Madimba - Tangazo - Namikupa

0.90 15.550

Magamba - Msimbati 1.40 21.000

Sub Total - - 35.99 635.590

Mwanza

Mwanza - Airport

0.18 15.030 Ngudu - Nyamilama - Hungumalwa

10.00 196.920

Sub Total 0.18 15.030 10.00 196.920

Njombe

Kitulo - Matamba - Mfumbi 8.01 111.400

Kandamija - Kipingu 0.50 6.030

Kikondo - Njombe 14.30 252.450

Madeke - Lupembe( Morogoro border)

14.50 290.000

Ludewa - Lupingu 20.00 400.000

Njombe (Ramadhan) - Iyayi 4.69 94.650

Kibena - Lupembe 3.24 46.250

Mkiwu - Lugarawa - Madaba(Songea brd)

4.49 61.350

Ibumila - Mlevela 0.63 10.400

Ilunda - Igongolo 1.00 15.250

Chalowe - Igwachanya 0.65 13.000

Mlangali - Ikonda 4.30 92.650

Ndulamo - Kitulo 6.24 129.900

Sub Total - - 82.55 1,523.330

Page 238: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

239

Rukwa

Mtowisa - Ilemba 3.65 64.700

Ilemba - Kaoze 1.07 5.550

Kaoze - Kilyamatundu 0.05 0.500

Lyazumbi - Kabwe 2.25 38.250

Chala - Nanyere - Kirando 2.80 60.500

Ntendo - Muze 0.35 3.500

Mtimbwa - Ntalamila 0.80 12.000

Sub Total - - 10.97 185.000

Ruvuma

Mtwarapachani-Lingusenguse-Nalasi.

16.13 264.940

Tunduru-Nalasi-Chamba 0.20 3.000

Azimio-Tulingane 0.20 4.000

Sub Total - - 16.53 271.940

Shinyanga

Shinyanga - Bubiki 0.40 7.500

Buyange [Mza/Shy Border - Busoka

3.23 51.500

Nyandekwa Jct - Nyandekwa - Butibu

0.70 10.500

Kanawa Jct - Manonga River [Tbr Bdr]

0.43 7.750

Bulyanhulu Jct - Bulyanhulu Mine

0.95 11.750

Kagongwa-Bukooba [Shy/Tbr Bdr]

0.30 4.500

Page 239: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

240

Kahama - Chambo 6.00 150.000

Kahama - Bulige - Solwa 20.00 500.000

Nyandekwa - Uyogo - Ng'hwande

20.00 500.000

Nyambula - Nyang'holongo 7.40 185.000

Sub Total - - 59.41 1,428.50

Simiyu

Nyashimo - Ngasamo - Dutwa

6.46 99.550

Bariadi - Salama 9.14 190.940

Sola Jct - Mwandoya - Sakasaka

8.36 122.960

Malya - Malampaka - Ikungu

2.13 27.390

Mwandete - Kabondo - Mwamanoni

8.17 146.500

Ndagalu (Sukuma) - Kabila - Mahaha

4.00 42.500

Sub Total - - 38.26 629.840

Singida

Kidarafa (Mny/Sgd Brd) - Nkungi

2.00 40.000

Kizaga - Sepuka - Mlandala - Mgungira

2.00 30.000

Iguguno Shamba - Nduguti - Gumanga

2.00 15.000

Page 240: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

241

Ilongero -Mtinko - Ndunguti 5.60 80.000

Njuki - Ilongero - Ngamu 6.70 134.000

Sabasaba - Sepuka 2.00 32.750

Iyumbu (Tbr Brd) - Mgungira - Magereza (Sgd)

1.50 15.130

Ikungi - Londoni - Kilimatinde (Solya)

3.00 45.000

Manyoni East - Heka - Sanza - Chali Igongo

3.70 52.810

Sub Total - - 28.50 444.690

Tabora

Tabora - Ulyankulu 11.01 195.950

Mambali - Bukumbi 4.46 68.900

Tabora - Mambali 2.37 41.360

Mambali - Bukene 2.59 45.830

Kaliua - Ulyankulu - Ng'wande

21.62 364.150

Kaliua - Ugala 25.00 500.000

Ziba - Choma 1.04 16.320

Kahama Border - Nzega 5.84 89.280

Sub Total - - 73.93 1,321.790

Page 241: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

242

Tanga

Lushoto - Umba Jct 8.58 127.950

Tanga-Mabanda ya Papa-Boza - Buyuni

17.85 278.090

Nkelei - Lukozi 6.47 97.050

Malindi - Mtae 6.81 109.135

Magamba - Mlola 8.20 124.670

Vuga - Vuga Mission 1.70 27.500

Maramba - Kasera 0.10 129.954

Boza Jct - Muheza 1 7.80 124.440

Mlingano Jct - Kiomoni Jct 3.17 43.300

Mkalamo Jct - Mkata 1 2.60 39.000

Bombani - Kimbe 1.35 19.580

Manyara Brd - Handeni - Kilole Jct

16.65 259.795

Umba Jct - Mkomazi Jct 16.73 250.450

Muheza - Bombani - Kwamkoro

4.79 82.970

Vibaoni - Mziha 10.95 163.750

Kwekivu Jct - Iyongwe 4.00 62.320

Sub Total - - 117.75 1,939.954

TOTAL 5.18 939.030 992.23 16,279.010

TOTAL (PAVED + UNPAVED) 17,218.040

Page 242: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

243

KIAMBATISHO NA. 5 (D) MATENGENEZO YA KUKINGA MADARAJA (PREVENTIVE MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 Barabara Kuu (TR) na Barabara za Mikoa (RR)

Estimated Expenditure TShs. ''mio.'' S/N REGION BRIDGES TO GET PREVENTIVE

MTCE ESTIMATED AMOUNT (TShs.) (ROAD FUND)

TOTAL AMOUNT (TShs.)

TR RR TOTAL TR RR

1 Arusha 68 32 100 25.923 57.765 83.688

2 Coast 13 30 43 14.663 21.522 36.185

3 DSM 15 30 45 28.125 17.000 45.125

4 Dodoma 102 168 270 209.147 278.701 487.848

5 Geita 7 35 42 15.090 67.120 82.210

6 Iringa 39 65 104 19.500 38.500 58.000

7 Kagera 155 42 197 71.200 18.220 89.420

8 Katavi 17 34 51 17.000 27.200 44.200

9 Kigoma 88 48 136 85.318 82.412 167.730

10 K’manjaro 25 35 60 90.000 120.000 210.000

11 Lindi 80 30 110 150.000 100.000 250.000

12 Manyara 2 28 30 4.000 56.000 60.000

13 Mara 20 35 55 154.630 144.558 299.188

14 Mbeya 186 190 376 102.300 52.250 154.550

15 Morogoro 75 91 166 75.000 91.000 166.000

16 Mtwara 50 9 59 50.000 30.000 80.000

Page 243: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

244

17 Mwanza 4 5 9 30.675 40.150 70.825

18 Njombe 35 35 70 17.500 31.000 48.500

19 Rukwa 11 43 54 11.000 34.400 45.400

20 Ruvuma 30 42 72 27.455 104.950 132.405

21 Shinyanga 8 7 15 37.524 59.027 96.551

22 Simiyu 4 3 7 64.949 45.000 109.949

23 Singida 23 12 35 106.188 27.500 133.688

24 Tabora 125 75 200 60.000 24.000 84.000

25 Tanga 5 17 22 15.000 106.700 121.700

TOTAL 1,187 1,141 2,328 1,482.187 1,674.975 3,157.162

NOTE:- TR – Trunk Road

RR – Regional Roads

Page 244: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

245

KIAMBATISHO NA. 5 (E)

MATENGENEZO MAKUBWA YA MADARAJA NA MAKALVATI (BRIDGE MAJOR REPAIR) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA WA FEDHA 2013/14 – BARABARA KUU NA ZA MIKOA (d) Barabara Kuu

Estimated Expenditure in TShs. ''mio.''

FY 2013/14 Total Total RF for Region Region Name of Bridge No. of

bridges Roads Fund

Foreign Estimate

Arusha Matala - Njia Panda 2 324.095 - 324.095 324.095

Coast Kibaha - Mlandizi - Ngerengere

1 218.098 218.098 787.098

Kibiti - Ikwiriri - Malendego 1 569.000 - 569.000

DSM Morogoro Road 5 160.000 - 160.000 330.000

Kilwa Road 3 40.000 - 40.000

Nyerere Road 1 10.000 10.000

New Bagamoyo Road 4 80.000 80.000

Mandela Road 3 40.000 - 40.000

Dodoma

Gairo (Morogoro/Ddm Brd) - Dodoma - Kintinku

2 389.712 - 389.712

Dodoma - Bereko ( Dodoma/Manyara Border)

1 80.000 80.000 469.712

Iringa

TANZAM 1 11.050 - 11.050

Mafinga - Mgololo ( Paved) 1 17.100 17.100

Mafinga - Mgololo (Unpaved) 1 50.000 - 50.000 78.150

Kagera Bukoba - Bukoba Port 1 399.250 - 399.250 399.250

Page 245: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

246

Katavi Mpanda - Koga (Katavi/Tabora Border)

1 60.000 - 60.000 60.000

Kilimanjaro Same - Himo Jct - KIA Jct 4 350.000 - 350.000 350.000

Mara Sirari Jct-Sirari 1 400.000 - 400.000 400.000

Mbeya Uyole - Ibanda - Kasumullu ( Tz/Malawi Border)

1 103.000 - 103.000 103.000

Morogoro

Tanzam Highway ( Coast/Moro /Iringa Brd

10 156.000 - 156.000 601.000

Morogoro - Gairo(Moro/Dodoma Brd)

10 185.000 - 185.000

Mikumi - Mahenge /Lupiro K/k Mpepo - Londo

6 260.000 - 260.000

Mtwara Mtwara - Mtegu 3 586.744 - 586.744 1,264.004

Mkungu - Masasi 2 377.260 - 377.260

Mangaka - Mtambaswala 1 300.000 - 300.000

Mwanza Mwanza - Simiyu brd (Mabatini pedestrian bridge)

1 300.000 - 300.000

Ibanda (Geita brd)- Usagara - Mwanza - Simiyu Brd

2 78.665 - 78.665 378.665

Njombe Lukumburu-Makambako 2 20.000 - 20.000 122.550

Itoni-Ludewa-Manda 4 102.550 - 102.550

Page 246: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

247

Ruvuma

Lumesule-Songea - Lukumburu

5 40.000 - 40.000 50.280

Lukufusi-Mkenda 1 10.280 - 10.280

Simiyu Mwangongo(Shy/Simiyu Border)-Lalago-Mwanhuzi

2 425.500 - 425.500 425.500

Singida Kintinku - (Dod/Sgd brd) - Sdg /Tbr Brd

1 400.000 - 400.000 400.000

Tabora Rungwa (Mbeya Border) - Ipole

1 164.922 - 164.922 164.922

Total 85 6,708.226 - 6,708.226 6,708.226

(b) Barabara za Mikoa

Estimated Expenditure in TShs. ''mio.''

Region Name of Bridge No. of bridges

FY 2013/14 Total Estimate

Total RF for Region Roads

Fund Foreign

Arusha

Usa river - Oldonyo Sambu 1 97.780 - 97.780

393.334

Olkoi II 1 100.000 - 100.000

T/Packers Losinyai 1 97.780 - 97.780

Karatu - Kilimapunda 1 97.774 - 97.774

Coast

Mbuyuni - Saadani - Makurunge

1 150.000 - 150.000

587.951 Kiluvya - Mpuyani 1 200.000 - 200.000

Makofia - Mlandizi - Maneromango

1 237.951 - 237.951

Page 247: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

248

DSM Kinyerezi -Majumba Sita Ukonga

1 2,100.000 - 2,100.000 2100.000

Dodoma

Olbolot - Dalai - Kolo 1 80.000 - 80.000

880.000

Pandambili-Mpwapwa-Ngambi

1 80.000 - 80.000

Zamahero - Kwamtoro - Kinyamshindo

1 80.000 - 80.000

Ihumwa - Hombolo - Mayamaya

1 80.000 - 80.000

Mpwapwa - Gulwe-Kibakwe-Chipogolo

1 80.000 - 80.000

Mpwapwa-Makutano Jct-Pwaga Jct-Lumuma

1 80.000 - 80.000

Chamwino Jct-Ikulu Jct - Chamwino - Dabalo -Itiso

1 80.000 - 80.000

Chali Igongo (D/Sg Bd) Chidilo Jct - Bihawana Jct

2 160.000 - 160.000

Kibaigwa-Manyata Jct-Ngomai-Njoge-Dongo (Dodoma Manyara Border)

1 80.000 - 80.000

Mtiriangwi/Gisambalang-Kondoa

1 80.000 - 80.000

Page 248: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

249

Geita

Wingi 3 ( Mz/Gt Brd) Nyang'olongo ( Gt/Shy Bdr)

1 70.000 - 70.000 520.000

Nyankumbu - Nyang'hwale 2 170.000 - 170.000

Mtakuja - Bukoli Buyange( Kagera/Geita Border)

2 180.000 180.000

Katoro - Ushirombo 1 100.000 - 100.000

Iringa

Kinyanambo - Sadani - Mbeya Brd

2 23.675 - 23.675

394.250

Iringa - Msembe 1 21.675 21.675

Iringa - Pawaga 3 25.000 - 25.000

Kinyanambo C - Kisusa 1 82.000 - 82.000

Iringa - Idete 1 100.000 100.000

Ihemi - Ihimbo 1 50.000 - 50.000

Mbalamaziwa - Kwatwanga 2 41.900 - 41.900

Ilula - Kilolo 2 50.000 - 50.000

Kagera

Murugarama - Rulenge -Nyakahura

1 35.000 - 35.000 111.550

Rutenge - Rubale - Kishoju 2 76.550 - 76.550

Katavi

Majimoto - Inyonga 13 648.000 - 648.000

953.375

Sitalike - Kibaoni - Kasansa 1 50.375 50.375

Kagwira - Karema 5 175.000 - 175.000

Ugalla-Myamasi 1 80.000 - 80.000

Kigoma Simbo - Ilagala - Kalya 8 1,140.000 - 1,140.000 1140.000

Page 249: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

250

Kilimanjaro

Same kwa Mgonja-Makanya

1 250.000 - 250.000

1225.000 Kifaru-Butu-Kichwa cha ng'ombe

1 225.000 225.000

Tarakea Jct - Tarakea Nayemi

1 250.000 - 250.000

Same - Kisiwani - Mkomazi 3 500.000 - 500.000

Lindi Kilwa Masoko - Nangurukuru - Liwale Road

2 149.260 - 149.260 1344.450

Liwale - Nachingwea - Lukuledi ( Lindi /Mtr Brd)

1 90.500 - 90.500

Mtama - Mikao (Lukuledi II bridge)

1 700.000 - 700.000

Ngongo - Ruangwa - Ruangwa Jct

1 70.000 - 70.000

Kiranjeranje - Nanjirinji - Namichiga

1 334.690 - 334.690

Manyara

Kilimapunda - Kidarafa 1 571.000 - 571.000

903.000 Losinyai - Njiro 2 182.000 - 182.000

Kiru Jct - Mahakamani 1 150.000 - 150.000

Mara Mika - Ruari Port 1 100.000 - 100.000 400.000

Sirori Simba - Majimoto - Mto Mara

1 100.000 - 100.000

Nyankanga - Rung'abure 1 100.000 - 100.000

Musoma - Makojo 1 100.000 - 100.000

Page 250: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

251

Mbeya

Mbalizi-Makongolosi 1 100.000 - 100.000

Isongole II - Isoko 1 100.000 100.000

Mbalizi-Shigamba-Isongole 1 100.000 - 100.000 300.000

Morogoro

Mvomero - Lusanga 2 40.000 - 40.000 851.000

Kimamba - Rudewa 2 300.000 - 300.000

Sangasanga - Langali 7 210.000 - 210.000

Msomvizi - Mikese 7 301.000 - 301.000

Mtwara

Mkwiti - Kitangari - Amkeni 1 183.325 - 183.325 483.325 Magamba - Mitemaupinde

(Likwamba ) 1 300.000 - 300.000

Mwanagwa -Misasi - Salawe(Mz /Shy Brd)

1 55.257 55.257

Mwanza Ngudu - Malya ( Mz / Shy Brd)

1 140.000 - 140.000 195.257

Njombe Kikondo-Njombe 3 30.327 - 30.327 272.661 Kibena-Lupembe 1 19.514 - 19.514

Mlangali-Ikonda 2 222.820 - 222.820

Rukwa Mtowisa - Ilemba 12 1,670.000 - 1,670.000 1670.000

Ruvuma

Mbambabay -- Lituhi 3 284.000 - 284.000

409.000

Kigonsera - Mbaha 2 10.000 10.000

Namtumbo-Likuyu 1 10.000 10.000

Mtwarapachani - Lingusenguse-Nalasi

4 75.000 75.000

Paradiso - Kingole 1 30.000 - 30.000

Page 251: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

252

Shinyanga

Shinyanga - Bubiki 2 475.147 - 475.147 902.816

Kishapu - Buzinza 1 110.000 110.000

Kanawa Jct – ManongaRiver ( Tbr/Shy Brd)

2 317.669 317.669

Simiyu Mwandete-Mwamanoni 1 275.000 275.000 275.000

Singida

Ilongero - Mtinko - Nduguti 1 160.000 - 160.000 1131.189

Kidarafa ( Mnyr/Sgd Brd)- Nkungi

2 350.000 - 350.000

Iguguno - Shamba - Nduguti - Gumanga

1 168.791 - 168.791

Iyumbi (Tbr brd) - Mgungira - Magereza (Sdg )

1 120.000 - 120.000

Njuki - Ilongero - Ngamu 1 60.000 - 60.000

Soweto - Kiomboi - Kisiriri - Chemchem

1 45.000 - 45.000

Ulemo-Gumanga-Sibiti 1 50.000 - 50.000

Kinyamshindo-Kititimo 1 177.398 - 177.398

Tabora

Ugala-Kaliua-Ulyankulu-Ng'wande

2 712.492 - 712.492 982.492

Manonga River (Shinyanga Tabora Border)-Igurubi

1 270.000 270.000

Tanga Kwekivu Jct - Iyongwe 3 1,254.900 - 1,254.910 1254.910

Total 164 19,680.550 - 19,680.550 19,680.560

TRUNK & REGIONAL ROADS BRIDGES: Major repairs FY 2013/14

Target Roads Fund Foreign Total

249.00 26,388.786 - 26,388.786

Page 252: WIZARA YA UJENZI - tanzania.go.tz · kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia

253

KIAMBATISHO NA. 6

RAMANI ZA MIKOA ZINAZOONYESHA MTANDAO WA BARABARA KUU NA ZA MIKOA