Transcript
Page 1: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

MUHTASARI WA MAAMUZI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI DHIDI YA RUFAA ZA UBUNGE NA UDIWANI

1. Rufaa za Wabunge

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa za Wabunge 55 na imeshatolea maamuzi rufaa 42 bado rufaa za Wabunge 13 ambazo vielelezo vyake vinasubiriwa kutoka kwenye Halmashauri husika. Kulikuwa na Rufaa 16 za Wabunge waliokuwa wameenguliwa. Kati ya hizo Wabunge 13 wamerudishwa kuendelea na kampeni na rufaa 3 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hivyo hao hawatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea. Aidha, rufaa 24 zimekataliwa na Tume ambapo maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi yataendelea kubaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea. Pia kuna rufaa 2 ambazo Tume haijazijadili kwa kuwa hazikufuata utaratibu wa kuwasilisha Tume yaani kupitia kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo husika hivyo, maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi yatabaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea kama walivyoteuliwa. (Jedwali 1)

2. Rufaa za Madiwani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa za Madiwani 200 na imeshatolea maamuzi rufaa 82 bado rufaa za Madiwani 118 ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi. Kulikuwa na Rufaa 16 za Madiwani waliokuwa wameenguliwa. Kati ya hizo Wabunge 15 wamerudishwa kuendelea na kampeni na rufaa 1 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi hivyo hao hatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea. Aidha, rufaa 64 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hivyo yataendelea kubaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea. (Jedwali 2)

1

Page 2: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Jedwali 1 (Tarehe 31/08/2015)

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

1 Rungwe Frank George MaghobaACT Wazalendo

Saul Henry AmonCCM

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

2 Kinondoni Karama Masoud Suleiman, ACT Wazalendo

Azzan Iddi Mohamed CCM

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kinondoni.

3 Peramiho Mwingira Erasmo Nathan CHADEMA

Jenista Joakim Mhagama CCM

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Peramiho.

4 Lindi Mjini Barwany Salum Khalfan(CUF)

Kaunje Hassani Selemani (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

5 MLALO GOGOLA SHECHONGE GOGOLA (CUF)

RASHID ABDALLAH SHANGAZI (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Mlalo.

6. MAFIA KIMBAU OMARY AYOUB (CUF)

DAU MBARAKA KITWANA (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

7. MJI WA HANDENI

DAUDI KILLO LUSEWA (CHADEMA)

KIGODA ABDALLAH OMARI (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Mji wa

2

Page 3: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

Handeni.

8. NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODGREY MASONGA (CHADEMA)

EDWARD FRANS MWALONGO (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

9 NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODFREY MASONGA

(CHADEAMA)

WILLIAM EDWARD MYEGETA

(DP)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

10. NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODFREY MASONGA

(CHADEMA)

EMILIAN JOHN MSIGWA

(ACT -wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

11. KINONDONI KALUTA, AMIRI ABEDI

(CHAUMMA)

AZZAN IDD MOHAMED

(CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

12. MICHEWENI

KHAMIS JUMA OMARI (CCM)

HAJI KHATIB KAI (CUF)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

13. CHALINZE SHOO GASPER AIKAELI (ACT –Wazalendo)

KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Chalinze.

14. CHALINZE TORONGEY MANGUNDA MATHOYO (CHADEMA0

KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA

(CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Chalinze.

3

Page 4: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

15. KASULU MJINI MACHALI MOSES JOSEPH

(ACT – Wazalendo)

NSANZUGWANKO DANIEL NICODEMUS

(CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

16. MWANGA KILEWO HENRY JOHN (CHADEMA)

PROF. MAGHEMBE JUMANNE ABDALLAH (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

17. Tarime Mjini Esther Nicholas Matiko

(CHADEMA )

Deogratius Meck Mbagi

(ACT – Wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

18. Ulanga Celina Ompeshi Kombani (CCM)

Ikongoli Pancras Michael (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

19. Nzega Mjini Mezza Leonard John (CUF)

Bashe, Mohammed Hussein (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

20 Nkenge Bagachwa Salim Abubakar (CUF)

Kamala Diodorus Buberwa (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

21. Ulanga Celina Ompeshi Kombani (CCM)

Isaya Isaya Maputa (ACT – Wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

22. Bukene Elias Michael Machibya (CCM)

Simbi Alex Mpugi (CUF)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

23. Ileje Janeth Zebedayo Mbene (CCM)

Emmanuel Amanyisye Mbuba

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na

4

Page 5: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

(NCCR – Mageuzi)kampeni za uchaguzi.

24 Ileje Emmanuel Amanyisye Mbuba

(NCCR – Mageuzi)

Janeth Zebedayo Mbene (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

25 Kigoma Kusini

Bidyanguze Nashon William (ADA – TADEA)

Msimamizi wa Uchaguzi (RO)

Tume imekubali Rufaa ya mrufani kwani aliwasilisha fomu 4 za uteuzi zenye jumla ya wadhamini 52. Hivyo, Tume imemrejesha Mgombea wa ADA TADEA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kigoma Kusini .

26 BUMBULI DAVID JOHN CHAMYEGH

(CHADEMA)

JANUARY YUSUF MAKAMBA ( CCM)

Tume imekubali rufaa na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Bumbuli aendelee na Kampeni.

27 DODOMA MJINI

KIGAILA BENSON SINGO (CHADEMA)

MAVUNDE PETER ANTONY (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

28 LUDEWA MSAMBICHAKO BARTHOLOMEO A. MKINGA

FILIKUNJOMBE DEO HAULE (CCM)

Tume imekubali Rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi

5

Page 6: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

( CHADEMA) wa Uchaguzi na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Ludewa. Aendelee na Kampeni.

29 KINONDONI

MTULIA MAULID SAID ABDALLAH CUF

AZZAN IDD MOHAMED CCM

Tume imeikubali rufaa na imemrejesha Mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kinondoni aendelee na Kampeni.

30 MTAMA SELEMANI SAIDI MTULUMA

UPDP

MCHINJITA RASHID ISIHAKA

CUF

Tume imekataa rufaa na inakubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi hivyo Mrufani ameondolewa kwenye ugombea kihalali na kisheria.

31 UKONGA JERRY WILLIAM SILAA (CCM)

WAITARA MWIKABE (CHADEMA)

Tume imeikataa imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Waitara Mwikwabe ni Mgombea halali. Wagombea waendelee na kampeni.

32 SENGEREMA

FRANCISCO K. SHEJUMABU

(UDP)

TABASAM H. MWAGAO (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na inakubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo, Tabasam H. Mwagao ni mgombea halali.

6

Page 7: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

33 SENGEREMA TUMAINI MWALE KABUSINJA (NCCR – Mageuzi)

HAMIS MWAGAO TABASAM (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo, Tabasam H. Mwagao ni mgombea halali.

34 MOSHI MJINI

KIRETI KAMASHO ISSAC (SAU)

JAPHARY RAPHAEL MICHAEL (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa ya mrufani, kwa kuwa hajatoa uthibitisho kuwa mrufaniwa siyo raia wa Tanzania. Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo, Japhary Raphael Michael ni mgombea halali.

35 MADABA BUSARA LOSTOON KAISARI (ACT – Wazalendo)

Msimamizi wa Uchaguzi

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha BUSARA LOSTOON KAISARI, Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Madaba.

36 TANGA MJINI

NUNDU OMARI RASHID (CCM)

KIDEGE HAMAD AYUBU MHAMED (ACT – Wazalendo)

Tume imekubaliana na, uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo rufaa imekataliwa. Wagombea wanaendelea na kampeni

37 TANGA NUNDI OMARI MUSSA BAKARI Tume imekubaliana

7

Page 8: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

MJINI RASHID (CCM) MBAROUK (CUF) na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa na Wagombea wanaendelea na kampeni.

Tarehe 02/09/2015

38 ARUMERU MASHARIKI

NASSARI JOSHUA SAMWEL (CHADEMA)

PALLANGYO JOHN DANIELSON (CCM)

Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa na wagombea wanaendelea na Kampeni..

39 SHINYANGA MJINI

STEVEN JULIUS MASELE (CCM)

PATROBAS PASCHAL KATAMBI (CHADEMA)

Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa. Wagombea waendelee na kampeni.

40 MTAMBWE KHAMIS SEIF ALLI (CCM)

ALI SALIM OMARI (AFP)

Rufaa hii haikujadiliwa na Tume kwa sababu utaratibu wa uwasilishaji fomu za rufaa haukufuatwa.

8

Page 9: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na. Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

41 MGOGONI ISSA JUMA HAMAD(CCM)

SULEIMAN ALI YUSUF

Rufaa hii haikujadiliwa kwa sababu utaratibu wa uwasilishaji fomu za rufaa haukufuatwa.

9

Page 10: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Jedwali 2 Tarehe 01/07/2015

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

1. CHIKUNJA/

NDANDA

KASTOR JOSEPH

MMUNI

(CHADEMA)

MPONDA

FILEMON

NOAMECK

DISMAS (NLD)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

2 KIMAMBA

‘A’/KILOSA

SILAS

RAMADHANI

KASSO (CUF)

AIRU MUSTAPHA

KAISI (ACT-

WAZALENDO)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

3 NYAMISANGU

RA/TARIME

MJINI

BASHIRI

ABDALLAH

SELEMANI

(CHADEMA)

NCHANGWA

SAMWELI

MAGOIGA

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Nyamisungura

4 OLMOLOG/

LONGIDO

MATHIAS

ORKIREYE

MOLLEL

(CCM)

DIYOO LOMAYANI

SYOKINO LAIZA

(CHADEMA)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

5 MWISENGE/

MUSOMA

LADISLAUS

MANYAMA

MAGESA

(CCM)

BWIRE NYAMERO

BWIRE

(CHADEMA)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

6 BOMANI/

TARIME MJINI

MECCO

KAZIMOTO

KABILA

(CHADEMA)

MASUBO

GODFREY

MICHAEL

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya BOMANI.

7. ISYESYE/JIJI

LA MBEYA

MDEMU MELAS

PAUL (CCM)

IBRAHIM JOHN

MWAMPWANI

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na

10

Page 11: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

(CHADEMA) kampeni za uchaguzi.

8 MBARIKA/

MISUNGWI

IZENGO

TUMAINI PETER

(CHADEMA)

ZUBERI MANZA

NGUKULA (ACT-

WAZALENDO

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

9 KILAGANO/

WILAYA YA

SONGEA

BATHLOMEO

SIXMUNDI

MKWERA

(CHADEMA)

EMANUEL

EMILIAN

NGONYANI

(CCM)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

10 ISAMILO/Jiji la

Mwanza

TIBA DEUS TIBA

(TADEA)

YAHAYA IDDI

NYALENGA

(ACT-

WAZALENDO)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

11 BENDERA/

SAME

MICHAEL

RICHARD

MCHARO

(CHADEMA)

CHRISTOPHER

MAIKO MZIRAI

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Bendera.

12 MBWEWE MAHAMBA

BAKARI

RAMADHANI

(CCM)

MOHAMEDI JUMA

RAJABU

(CUF)

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea CUF kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Mbwewe

13 MABIBO JOSEPH

WILLIAM KESSY

(CCM)

DASTAN

ATHANASIO

ERNEST

(CUF)

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Mabibo. Wagombea

11

Page 12: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

waendelee na kampeni.

14 WANGING’O

MBE

HINGI ROSINA

GABRIEL

(CHADEMA)

NYAGAWA

GEOFREY

KILUNDO

(CCM)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi

15 TALAWANDA/

CHALINZE

SHABANI

MAULIDI

SEMINDU

(SAU)

ZIKATIMU SAIDI

OMARI

(CCM)

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Talawanda.

16 KIWANGWA/

CHALINZE

OMARI RASHIDI

DAVID

(CHADEMA)

MALOTA HUSEIN

KWAGGA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

17 LUGOBA/

CHALINZE

UCHECHE IDDI

MRISHO

(CHADEMA)

MWENE ISSA

REHEMA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

18 ISYEYE/

MBEYA JIJI

MDEMU MELAS

PAUL (CCM)

SANKE ENOCK

SESO (APPT-

Maendeleo)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

19 ISYEYE/

MBEYA JIJI

MDEMU MELAS

PAUL (CCM)

MWASEBA

SARAH

MWASAMBOMA

(NCCR-Mageuzi)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na wagombea wote wanaendelea na zoezi

12

Page 13: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

20 ISYEYE/

MBEYA JIJI

MDEMU MELAS

PAUL (CCM)

FABIAN ERNEST

DEO (ACT-

WAZALENDO)

Tume imkataa rufaa na imekubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi.

21 KASHAI/

BUKOBA

MJINI

KABAJU

NURULHUDA

ADULKADIR

(CHADEMA)

SAMORA A.

LYAKURWA

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Kashai. Wagombea waendelee na kampeni.

22 MBWEWE/

CHALINZE

MAHAMBA

BAKARI

RAMADHANI

(CCM)

PAPA JUMA HAMISI

(CHADEMA)

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea CHADEMA kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Mbwewe

23 KIWANGWA/

CHALINZE

MALOTA

HUSSEIN

KWAGGA (CCM)

OMARI RASHID

DAVID

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

24 MCHANGANI/

TUNDURU

KASKAZINI

MAWILA

MOHAMED

YASIN

CUF

HAIRU HEMED

MUSSA

CCM

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea MAWILA MOHAMED YASIN CUF kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya

13

Page 14: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

Mchangani.

25 BUGORORA/

MISENYI

SWALEH

AHMADA MLISA

(CHADEMA)

PROJESTUS M.

RUZIGIJA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

26 SIRARI/

TARIME

SAGARA AMOS

NYABIKWI

(CCM)

NYANGOKO PAUL

THOMAS

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

27 KIBASUKA/

TARIME

ISAYA

NYANGOYE

TARRIMO

(ACT-Wazlendo)

LOICE CHACHA

MANYATA

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi

28 Kibasuka/

Tarime

ISAYA

NYANGOYE

MATIKO

(ACT-

Wazalendo)

KELEMANI

NYAKIHA

KEHEMGU (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

29 IYELA/ JIJI LA

MBEYA

EMMANUEL

ELIAH

LYATINGA

(CCM)

CHARLES

CHANGANI

MKELLA

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

30 IGANJO WASHAHA

JAIVU MIHALI

(CCM)

DAVID EDWARD

MWANGONELA

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

31 ISYESYE MDEMU MELAS MWASEBA

SARAHA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi

14

Page 15: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

PAUL

CCM

MWASAMBOMA wa Msimamizi wa Uchaguzi.

32 MIYUJI/

MANISPAA

DODOMA

WALLACE

DANIEL

LUSSINGU

DAVID WILLIAM

MGONGO

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

33 MNADANI EUSTACE

RWENYANGILA

RUBANDWA

FARIDA ISSA

MBARUKU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

34 THEMI/ JIJI LA

ARUSHA

LABORA PETRO

NDARPOI

CCM

MELANCE

EDMOND KINABO

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

35 LUFILYO/

BUSOKELO

MWAMAFUPA

LUCAS GIDION

CCM

RICHARD AFRICA

MWANGOMALE

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

36 SOMANDA/

BARIADI

HERI MCHUNGA

ZEBEDAYO

CHADEMA

ROBERT LWEYO

MGATA

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

37 ULEMO/

IRAMBA

ELIKANA

MAKALA

SHOMIA

SAMWELY F.

SHILA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

38 KIEGEANI/

MAFIA

SELEMANI

DARUSI ALLY

HASSAN

MOHAMED

SWALHU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

15

Page 16: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

39 ISYESYE/ JIJI

LA MBEYA

MDEMU MELAS

PAUL

SANKE ENOCK

SESO

Tume imepitia vielezo vya mrufani na kujiridhisha rufaa haina msingi. Hivyo Tume imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na wagombea wote wanaendelea na zoezi

40 PERA/

CHALINZE

MAJIDI MUSSA

ISALE

(CHADEMA)

LEKOPE

LAINI

LANG’WESI

(CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Pera

41 MWAYA/

ULANGA

LILONGERI

FADHILI

FURAHA

(CCM)

MOHAMEDI

KAPELEWELE

RASHIDI

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

42 KIRUSHYA/

NGARA

SOSPETER

SALAZIEL

KAPFHUM

(CHADEMA)

SENTORE

MIBULO JACOB

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

43 IYELA/ JIJI LA

MBEYA

EMMANUEL

ELIAH

LYATINGA

KELVIN HENRY

MYEMBA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

44 MBEZI RAMADHANI RASHID Tume imekataa rufaa

16

Page 17: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

MKURANGA MOHAMED

MBWELA

CUF

MOHAMED

SERUNGWI

CCM

na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

45 SHUNGUBWE

NI/

MKURANGA

KULWA

SELEMANI

MSUMI

CUF

KAMBWIRI OMARI

SHAIBU

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

46 CHIFUTUKA/

BAHI

NOLLO MWINJE

MNZAJILA

CCM

RUBENI SALI

LUHENDE

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

47 KITUNTU/

KARAGWE

MODEST

KATARE

KALOKOLA

CHADEMA

ZIDINA TAYEBWA

MURUSHID

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

48 VIANZI/

MKURANGA

NAZIRU JUMA

CHUMU

CUF

NASSOR ALLY

CHUMA

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

49 IPALA/

DODOMA

MJINI

SHUKRANI

AMOSI

MHALINGA

GEORGE

STEPHEN

NGAWA,

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

17

Page 18: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na.

Jimbo Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

NCCR-MAGEUZI VICTORIA,

MATAGI

MAGABE, AMANI

CHIBWANA

MADELEMU

CCM na ACT-

WAZALENDO

50 LUKANDE/WILAYA YA ULANGA

MAJIJI NOVATUS SILVATUS (CCM)

MHAWI AWDHI AMIRI (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

51 MONDO/CHEMBA

SAMBALA SAID OMAR (CCM)

ATHUMAN HUSSEIN KIDUNDA (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

52 UPONERA/ULANGA

MWENTI MARIA MAGNUSI (CCM)

EMELIANA ZAKARIA MHAWI (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

53 BUSIS/SENGEREMA

BUZANGI FLAVIAN ARBOGAST (ACT –Wazalendo)

DICKSON YONA SAMWEL (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

01/09/2015

18

Page 19: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

54 MINZIRO/ MISENYI

TWAHA YUNUSU LUBYAYI (CCM)

GEORGE MUKASA KAZIBA (CHADEMA)

Hakuna ushahidi kuthibitisha kuwa Mrufaniwa si mkazi wa kawaida wa Kata ambayo anagombea. aliiwasilisha barua kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuthibitisha Pingamizi lake kwa kupitia kwa Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti. Rufaa hina msingi Serkretatieti inapendekeza ikataliwe. Wagombea waendelee na kampeni.

55.

MAWASILIANO/ULANGA

SALUM DOTTO MOHAMED (ACT-WAZALENDO)

INNOCENT VICTOR MWACHIPA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

56 MADUKANI BAHAJI HUSSEIN ALLY (CCM)

SAIDI LUGA KITEGILE (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

57.

VIANZI SEIF RAJABU LUMU (CHADEMA)

ANDASON FRANCIS MBANGUKA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

58 MUNDEM/ FELIX THOMAS GORDEN M. Tume imekubali

19

Page 20: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

. BAHI MBUNA (CHADEMA)

ENYAGALO (CCM) rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi. Imemrudisha mgombea wa CHADEMA. Wagombea waendelee na kampeni.

59.

KILOSA MPEPO/ HALMASHAURI YA MALINYI

KIWANGA KILIAN BONAVE NTURA (CHADEMA)

HAMISA YUSUPH KYELULA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

60.

LUPILO/WILAYA YA ULANGA

MAHUNDU AYUBU HASSAN (CCM)

MADUNDA ABDALA MKALIMOTO (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

61 NYARUYEGE/ BUSANDA

CHARLES KALEMELA MAKONA (CHADEMA)

MALIMI SAMSONI SAGUDA (CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea wa CHADEMA. Wagombea waendelee na kampeni.

62 MKURANGA MWARAMI SHAHA MKETO (CUF)

SAID MOHAMED KUBENEA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

20

Page 21: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

63

.

CHIROMBOLA FUNDI YAHAYA

CHUMA

MGUBA HILGAD

ITATIRO

Tume imekataa rufaa

na imekubali uamuzi

wa Msimamizi wa

Uchaguzi.

64

.

MKONGOTEM

A/ MADABA

OSWARD P.

NJIKU

VITUS M. MFIKWA Tume imekubali

rufaa na imetengua

uamuzi wa

Msimamizi wa

Uchaguzi na

imemrejesha

mgombea

kugombea udiwani

katika kata ya

Mkongotema.

65

.

CHIKUNJA/

NDANDA

KASTOR JOSEPH

MMUNI –

(CHADEMA)

OMARI

MOHAMED

MKOKO-(CCM)

Tume imekataa rufaa

na imekubali uamuzi

wa Msimamizi wa

Uchaguzi.

66

.

NKINGA/

MANONGA

SALI ALPHONCE

LWAMBO (ACT-

WAZALENDO)

ISACK GILBERT

KIBONA-

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa

na imekubali uamuzi

wa Msimamizi wa

Uchaguzi.

67 KILINDI MOHAMEDI S. LUGENDO- CUF

MOHAMED BAKARI MKOMWA-CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

68.

NYAMISANGURA/ TARIME MJINI

DIDAS NCHAMA MAKARANGA(ACT –

SAMWEL NCHANGWA MAGOIGA (CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua

21

Page 22: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

WAZARENDO) uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea Didasi Nchana Makaranga kugombea kwenye Kata ya Nyamisangura.

69.

IGWACHANYA /WANG’INGOMBE

MHABUKA HENRY AMOS-(CHADEMA)

MAHWATA ANTHON EMANUEL (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

70.

KEMAMBO JOHN MASYAGA MANG”ERANYI(CHADEMA)

BOGOMBA RASHID CHICHAKE(CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA kugombea udiwani.

71 MAJENGO/MOSHI DC

MINJA PETER PANTALEO –(CHADEMA)

SABITIPA MWALIMU MCHOMVU – (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

72 MOROGORO

JUU

EMIRY

ALPHONCE

KIDEVU-(CCM)

YASSINI KONDO

KUNGWA-

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa

na imekubali uamuzi

wa Msimamizi wa

Uchaguzi.

22

Page 23: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

73 KYERWA/

RUTUNGURU

RICHARD

BURCHARD

KABARA –

(CHADEMA)

FRUGENCE

MUZORA

FREDERICK –

(CCM)

Tume imekataa rufaa

na imekubali uamuzi

wa Msimamizi wa

Uchaguzi.

74 MWEMA/

TARIME

PETRUES

JOSEPH ITAARA

(CHADEMA)

NTOGORO PETER

KURATE (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

75 KITAJI/

MUSOMA

MJINI

FRANK DIONIS

WABARE (CCM)

HAILE SIZZA

TARAI

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

75 UBENA/

CHALINZE

MUYUWA

NICHOLOUS

GEORGE (CCM)

MHOKA

AUGUSTINO

EVARISTO

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

76 UBENA/

CHALINZE

MUYUWA

NICHOLOUS

GEORGE (CCM)

MGAMA ASHRAF

ATHUMANI (ACT-

WAZALENDO)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

77 BUJULA/

WILAYA YA

GEITA

KANIJO AMINA

SWEDI

KONGEJA

YOHANA MULELE

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

78 MBERE/ILEJE CHAGHI

ANDREA

KALINGA

OMARI

AMBILIKILE

KAMENDU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

23

Page 24: Muhtasari Wa Maamuzi Ya Tume Wabunge Na Madiwani

Na

JIMBO Aliyekata Rufaa Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

79 HUNYARI/

BUNDA

SUMERA

KIHARATA

MZUMARI

(CCM)

MAKIMA

HAMAROSI

JOSEPHAT

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

80 KEMAMBO/

TARIME

VIJIJINI

JOHN MASYAGA

MENG’ENYA

(CHADEMA)

BOGOMBA

RASHID

CHICHAKE (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

81 BOMANI/

TARIME

MECCO

KAZIMOTO

KABILA

(CHADEMA)

MASUBO

GODFREY

MICHAEL (CCM)

Tume imekubali rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea agombee Udiwani.

82 MADABA OSWALD P.

NJIKU

(CHADEMA)

VISTUS M.

MFIKWA (CCM)

Tume imekubali rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea agombee Udiwani.

24


Recommended