1
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA KWA MWAKA 2018/19 KWA AJILI YA KUWASILISHWA NA KUJADILIWA KATIKA VIKAO MBALIMBALI VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI JANUARI 2018
MKURUGENZI MTENDAJI (W), S. L. P. 108, IRINGA
JANUARI 2018
2
Mh. Mwenyekiti Naomba kutoa hoja kikao chako kitukufu kipokee, kijadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa mwaka 2018/2019. Rasimu ya Mpango na Bajeti hii inawasilishwa kwa kuzingatia malengo na shabaha za Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano, Ilani ya Chama Tawala 2015 na Mpango Mkakati wa Halmashauri wa mwaka 2016/17 – 20120/21 ambayo imetafsiriwa katika bajeti ya utekelezaji kwa kila mwaka na maoteo ya muda wa kati. Mh. Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2018/2019 pia imezingatia vipaumbele vyake ambavyo ni kama vifuatavyo; a) Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri; Kutokana na jukumu la kisheria la Halmashauri (mandatory obligation) la kutoa huduma bora na
zinazotosha (quality and adequate services) kwa wananchi wake uwepo wa fedha za kutosha ni jambo la lazima hivyo kufanya ukusanyaji wa mapato kuwa kipaumbele muhimu kwa ajili ya uwepo wa Halmashauri.
b) Elimu; Ni moja kati ya vipaumbele vya Halmashauri kutokana na Changamoto zinazoikabili sekta hii kwa sasa. Uboreshaji wa elimu kwa
wananchi utasaidia kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto zinazoikabili Halmashauri.
c) Kilimo na Mifugo; Kutokana na nafasi kubwa na uhusiano wa kimaisha iliyo nayo Sekta hii kwa wananchi wa Wilaya ya Iringa na kuijumuisha katika vipaumbele vyake.
d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano miradi inayohusisha ujenzi wa miundombinu, n. k. Aidha umuhimu wa maji unawafanya wananchi wautumie muda wao mwingi kuyatafuta na hivyo kuathiri shughuli za uzalishaji mali.
e) Mapambano dhidi ya Ukimwi; Kutokana na uzito na ukubwa wa athari zinazosababishwa na janga hili katika Halmashauri yetu imepelekea kuwa kipaumbele muhimu. Ukweli ni kuwa juhudi zote za maendeleo na rasilimali inayotumiwa na Halmashauri mwishoni hazitakuwa na maana kama walengwa wa maendeleo haya watakwisha kwa Ukimwi!
f) Afya, Ni mojakati ya vipaumbele muhimu vya Halmashauri kwa kuwa afya ya mtu ni mtaji wa kumwezesha kushiriki na kuhimili mikikimikiki ya kimaisha bila shida kubwa.
3
g) Hifadhi ya Mazingira; kutokana na mchango wa sekta hii katika maendeleo ya sekta nyingine kama maji, kilimo (umwagiliaji maji ya mto Ruaha), mifugo, n. k. unafanya jambo hili kuwa kipaumbele muhimu kwa Halmashauri. Aidha uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na Halmashauri katika miundombinu ya umwagiliaji (kutokana na mto Ruaha), suala la Hifadhi ya mazingira haliwezi kupuuzwa kwa vyo vyote!
h) Utawala Bora; Eneo hili ndilo injiini ya kuratibu na kujumuisha vipaumbele vyote vilivyotambuliwa na Halmashauri. Uwepo wa utawala bora utapelekea ufanisi mkubwa katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri sambamba na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.
2.0 MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2018/2019 2. 1: UTANGULIZI Mh. Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya imekuwa ikifanya maandalizi muhimu ya Mpango na bajeti kwa mwaka 2018/2019 kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandaaji wa mipango ya kazi ngazi za Vitongoji, Vijiji na Kata lililokuwa limeanza tangu mapema mwezi Oktoba 2017. Mchakato huu umekuwa ukiendelea hadi mwishoni mwa mwezi Desemba 2017. Mapendekezo haya yanawasilishwa na kujadiliwa na Vikao vya Mamlaka za Halmashauri kwa ajili ya kupata kibali cha uhakika wa kushiriki katika utekelezaji wa Mpango huu. Hivyo kwa heshima kubwa Wajumbe wote wanaalikwa kushiriki katika majadiliano na upitishwaji wa Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka 2018/19 ili kusukuma mbele maendeleo ya Halmashauri yetu. Katika kufikia azma hii ya Halmashauri ya Wilaya, mahitaji muhimu ni rasilimali watu, fedha, ardhi, maji, na vitendea kazi. Katika rasimu hii, makadirio ya raslimali fedha yamefanywa kwa kuzingatia mwongozo wa mpango na bajeti wa mwaka 2018/2019 na ukomo wa kibajeti (budget ceiling) wa mwaka uliopita wa 2017/18 kwa fedha za ruzuku kutoka serikali kuu ambazo ukomo mpya (new budget ceiling) wa bajeti ya 2018/19 haujatolewa. 2.2 UMBILE LA BAJETI 2.2.1 Mapato ya mwaka 2018/19 Katika mwaka wa fedha wa 2018/19, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imekisia kukusanya na kutumia jumla ya Tshs. 61,895,374,493 kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato na kutumia Tshs. 61,895,374,493 kama ifuatavyo. a) Mapato Mchanganuo wa vyanzo vya mapato ni kama ilivyoonyeshwa katika jedwali lifuatalo;
NA AINA YA CHANZO KIASI
1 Mapato ya Ndani (Own Source) 2,532,900,000
2 Mapato ya Shule za Sekondari – Kidato cha 5 & 6 tu (Ada) 1,361,670,000
4
3 Mfuko wa Afya wa Jamii 150,800,000
4 Mchango wa Bima ya Afya 24,000,000
Jumla ndogo: mapato ya ndani 4,069,370,000
5 Ruzuku toka Serikali Kuu
Mishahara (PE) 45,514,738,470
Matumizi ya Kawaida (OC) 1,497,834,000
Jumla ndogo: Ruzuku ya Serikali kuu – Reccurent 47,012,572,470
6 Ruzuku ya Serikali: Miradi ya Maendeleo 5,160,862,500
7 Wadau wa Maendeleo 5,252,569,523
8 Michango ya Wananchi katika miradi ya maendeleo 400,000,000
Jumla ndogo: Miradi ya Maendeleo 10,413,432,023
Jumla kuu ya Mapato mwaka 2018/19 61,895,374,493
b) Matumizi: Matumizi yamegawanyika katika maeneo 3 ya matumizi ya fedha kama ifuatavyo:
NA AINA YA MATUMIZI KIASI
1 Mishahara:
Ruzuku ya Serikali (PE) 45,514,738,470
Fedha za ndani (PE) 0
Jumla ndogo - Mishahara: 45,514,738,470
2 Uendeshaji wa Halmashauri (OC)
Ruzuku ya Serikali 1,497,834,000
Fedha za mapato ya ndani 1,397,523,412
Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF) 150,800,000
Mchango wa Bima ya Afya 24,000,000
Jumla ndogo – Uendeshaji wa Halmashauri: 3,070,157,412
3 Miradi ya Maendeleo:
Fedha za ndani (Local funds- ruzuku kutoka serikali kuu) 5,160,862,500
Wadau wa Maendeleo ( Foreign funds) 5,252,569,523
Mapato ya ndani katika miradi ya Maendeleo (Own source) 2,497,046,588
Mchango wa Jamii – Miradi ya Maendeleo 400,000,000
Jumla ndogo – Miradi ya maendeleo: 13,310,478,611
Jumla Kuu – Matumizi 2018/19 61,895,374,493
5
2.2 MISHAHARA NA FEDHA ZA UENDESHAJI HALMASHAURI (RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU) Mh. Mwenyekiti Katika mwaka wa fedha 2018/19 Halmashauri ya Wilaya imekisia jumla ya Tshs. 47,012,572,470 ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikali kuu ambapo Tshs. 45,514,738,470 ni mishahara na Tshs. 1,497,834,000 ni gharama za uendeshaji wa Halmashauri na idara zake zote. Fedha hizi zote zitaelekezwa katika sekta mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao.
Kifungu Jina la Kifungu MISHAHARA (PE) UENDESHAJI (OC) JUMLA 2018/19
5004 Utawala 3,828,569,100 0 3,828,569,100
5000 Mishahara ya Watendaji wa Vijiji 789,721,920 0 789,721,920
5000 Utawala Rasilimali Watu 0 104,819,010 104,819,010
5000 Fedha 0 43,292,370 43,292,370
5000 Ugavi 0 7,710,150 7,710,150
5000 TEHEMA 0 4,638,470 4,638,470
5000 Ushirika 0 6,026,417 6,026,417
5000 Biashara na Masoko 0 6,026,417 6,026,417
5009 Usafi na Mazingira 0 6,026,417 6,026,417
5022 Usimamizi wa Maliasili 0 6,026,417 6,026,417
5003 Ukaguzi wa Ndani 0 9,278,040 9,278,040
5005 Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji 0 9,278,041 9,278,041
5022 Nyuki 0 6,026,417 6,026,417
5009 Ardhi 0 6,026,417 6,026,417
5027 Maendeleo ya Jamii 0 6,026,417 6,026,417
Jumla ndogo Utawala 4,618,291,020 221,201,000 4,839,492,020
5006 Elimu: Utawala Watu wazima 177,522,480 3,500,000 181,022,480
5007 Elimu Msingi 14,812,675,380.00 0 14,812,675,380.00
Uendeshaji: Shule za Msingi 0 40,879,000 40,879,000
Gharama za Uhamisho 0 111,867,000 111,867,000
Likizo 0 92,171,000 92,171,000
Mitihani Darasa la IV 0 70,704,000 70,704,000
Mitihani Darasa la VII 0 171,611,000 171,611,000
Jumla ndogo: Shule za Msingi 14,990,197,860 490,732,000 15,480,929,860
5008 Shule za Sekondari 16,808,523,480 0 16,808,523,480
6
Uendeshaji 0 45,980,000 45,980,000
Likizo 0 47,039,000 47,039,000
Gharama za Uhamisho 0 13,992,000 13,992,000
Mitihani ya Kidato cha II 0 74,327,000 74,327,000
Mitihani ya Kidato cha IV 0 187,287,000 187,287,000
Mitihani ya Kidato cha VI 0 61,766,000 61,766,000
Jumla ndogo: Sekondari 16,808,523,480 430,391,000 17,238,914,480
5010 Afya (CHMT) 0 68,957,258 68,957,258
5011 Afya Kinga 337,281,810 0 337,281,810
5012 Vituo vya Afya 2,372,223,060 68,135,742 2,440,358,802
5013 Zahanati 3,436,817,580 48,490,000 3,485,307,580
On-call allowances 0 67,740,000 67,740,000
Jumla ndogo: Afya 6,146,322,450 253,323,000 6,399,645,450
5014 Ujenzi 283,020,660 27,454,000 310,474,660
5017 Maji 276,692,760 22,154,000 298,846,760
5033 Kilimo 1,601,129,340 31,547,400 1,632,676,740
5034 Mifugo na Uvuvi 790,560,900 21,031,600 811,592,500
Jumla ndogo 2,951,403,660 102,187,000 3,053,590,660
Jumla Kuu mwaka 2017/18 45,514,738,470 1,497,834,000 47,012,572,470
2.3 MAKADIRIO YA MATUMIZI KUTOKANA NA MAKUSANYO YA NDANI YA HALMASHAURI, UENDESHAJI NA MIRADI YA MAENDELEO Mh. Mwenyekiti Kwa mwaka 2018/2019 Makusanyo ya Halmashauri yamekadiriwa kufikia Tshs. 4,069,370,000. Fedha hizi zimepangwa kutumiwa katika uendeshaji wa Halmashauri na idara zake kiasi cha Tshs 1,572,323,412 pamoja na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo ya Tshs. 2,497,046,588. Muhtasari wa makadirio ya matumizi yatokanayo na mapato ya ndani ni kama inavyooneshwa katika jedwali lifuatalo hapa chini:
FUNGU IDARA UENDESHAJI (OC) MAENDELEO JUMLA
500B Utawala na Rasilimali watu 603,794,700 79,742,063.85 683,536,763.85
Jumla ndogo 603,794,700 79,742,063.85 683,536,763.85
7
514B Sheria 12,858,072.96 0 12,858,072.96
515B Ukaguzi wa ndani 20,163,320.68 0 20,163,320.68
503B Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji 15,740,208.68 37,668,175.35 53,408,384.03
518A TEHAMA 18,167,270.33 15,000,000 33,167,270.33
Jumla ndogo 66,928,872.65 52,668,175.35 119,597,048
502A Fedha 115,055,392.27 845,014,178.60 960,069,570.86
Jumla ndogo 115,055,392.27 845,014,178.60 960,069,570.86
516B Ugavi 24,136,771.24 0 24,136,771.24
502E Biashara 16,507,588.47 40,000,000 56,507,588.47
507E Utamaduni na Michezo 22,254,013.86 0 22,254,013.86
Jumla ndogo 62,898,373.57 40,000,000 102,898,373.57
512A Ardhi 49,292,997.61 92,168,588.07 141,461,585.68
Jumla ndogo 49,292,997.61 92,168,588.07 141,461,585.68
506B Kilimo na Umwagiliaji 13,384,531.19 31,032,020.86 44,416,552.05
505D Ushirika 0 4,907,661.44 4,907,661.44
Jumla ndogo 13,384,531.19 35,939,682.3 49,324,213.49
512H Maliasili 35,375,315.93 0 35,375,315.93
519B Nyuki 12,411,921.92 0 12,411,921.92
Jumla ndogo 47,787,237.85 0 47,787,237.85
527B Maendeleo ya jamii 29,936,734.76 15,000,000 44,936,734.76
Wanawake na Vijana 0 253,290,000 253,290,000
Jumla ndogo 29,936,734.76 268,290,000 298,226,734.76
511G Ujenzi 0 26,769,062.38 26,769,062.38
Jumla ndogo 0 26,769,062.38 26,769,062.38
501B Usafi na Mazingira 12,634,105.14 0 12,634,105.14
Jumla ndogo 12,634,105.14 0 12,634,105.14
508B Afya 0 32,584,077.15 32,584,077.15
Jumla ndogo 0 32,584,077.15 32,584,077.15
505B Mifugo 20,103,565.84 34,907,661.44 55,011,227.28
505D Uvuvi 3,000,000 0 3,000,000
Jumla ndogo Mifugo na Uvuvi 23,103,565.84 34,907,661.44 58,011,227.28
8
Jumla ndogo 1,024,816,510.88 1,508,083,489 2,532,900,000
507H Sekondari 372,706,901 988,963,099 1,361,670,000
508F NIHF 24,000,000 0 24,000,000
508F Com. Health Funds (CHF) 150,800,000 0 150,800,000
Sub – Total 547,506,901 988,963,099 1,536,470,000
Jumla Kuu Mapato ya ndani 1,572,323,412 2,497,046,588 4,069,370,000
2.4 MIRADI YA MAENDELEO (RUZUKU YA SERIKALI KUU NA WADAU WA MAENDELEO) Mh. Mwenyekiti Kwa mwaka 2018/2019, Halmashauri imepanga kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia jumla ya Tshs. 13,310,478,611 zitakazotolewa na serikali Kuu Tshs. 8,057,909,088/= na Wadau wa Maendeleo Tshs. 5,252,569,523. Katika kiasi hiki jumla ya Tshs. 2,497,046,588 zinatarajiwa kupatikana kutokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, wakati mchango wa wananchi katika miradi ya maendeleo umekisiwa kufikia thamani ya Tshs. 400,000,000. Fedha hizi zinatarajiwa kutumika katika utekelezaji wa miradi ya Sekta mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao: 2.4.1 MIRADI YA FEDHA ZA SERIKALI NA WADAU WA MAENDELEO
IDARA Jina la Mradi Chanzo cha Fedha Fedha za ndani (Local funds)
Fedha za nje (Foreign Funds)
Total
Maji RWSSP NWSSP 385,319,000 385,319,000
Jumla Ndogo 385,319,000 385,319,000
Elimu Sekondari
SEDP -WB WB 0 373,532,000 373,532,000
Jumla ndogo 0 373,532,000 373,532,000
Mipango Jimbo la Isimani Serikali Kuu 50,258,000 0 50,258,000
Jimbo la Kalenga Serikali Kuu 45,849,000 0 45,849,000
Jumla Ndogo 96,107,000 0 96,107,000
Afya Sekta ya Afya Fedha za Basketi 0 0 0
Ofisi ya Mganga Mkuu (W) Fedha za Basketi 0 303,086,881 303,086,881
Hospitali ya Tosamaganga Fedha za Basketi 0 258,240,750 258,240,750
Vituo vya Afya Fedha za Basketi 0 214,069,705 214,069,705
9
Zahanati Fedha za Basketi 0 257,565,664 257,565,664
Kampeni ya Usafi Taifa Global fund 15,000,000 15,000,000
Jumla ndogo Afya 0 1,047,963,000 1,047,963,000
Mipango Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 1,026,711,400 0 1,026,711,400
Afya Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 54,000,000 0 54,000,000
Elimu (M) Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 60,000,000 0 60,000,000
Elimu (S) Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 60,000,000 0 60,000,000
Mifugo Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 16,000,000 0 16,000,000
Kilimo Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 18,000,000 0 18,000,000
Ardhi Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 45,400,000 0 45,400,000
Utawala Ruzuku maalum ya mafunzo (CBG) Serikali Kuu 142,234,600 0 142,234,600
Jumla ndogo – LGDG (CDG &CBG) 1,422,346,000 0 1,422,346,000
UNICEF
Mipango Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Cordination & Registration)
UNICEF 0 49,410,000 49,410,000
Elimu Msingi Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Equal) UNICEF 0 461,810,000 461,810,000
Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (SWASH) UNICEF 0 110,590,000 110,590,000
Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Afya ya mama na mtoto)
UNICEF 0 150,000,000 150,000,000
Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Health-child protection)
UNICEF 0 81,730,000 81,730,000
M/Jamii Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Prevention) UNICEF 0 53,935,000 53,935,000
Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Lishe) UNICEF 0 41,145,000 41,145,000
Afya/Maji Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Wash) UNICEF 0 319,095,250 319,095,250
Maji Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (SWASH) UNICEF 0 123,030,000 123,030,000
Jumla ndogo – UNICEF 0 1,390,745,250 1,390,745,250
M/JAMII Fedha za TASAF WB 0 2,055,010,273 2,055,010,273
Jumla ndogo – TASAF 0 2,055,010,273 2,055,010,273
10
Elimu Bure Elimu Msingi
CAPITATION Serikali Kuu 427,980,360 0 427,980,360
Chakula Serikali Kuu 39,992,000 0 39,992,000
Posho ya Madaraka kwa Walimu Wakuu Serikali Kuu 355,200,000 0 355,200,000
Posho ya Madaraka kwa Waratibu Elimu Kata
Serikali Kuu 84,000,000 0 84,000,000
Jumla ndogo Elimu bure: Elimu Msingi 907,172,360 0 907,172,360
Elimu Bure - Sekondari
CAPITATION Serikali Kuu 229,237,500 0 229,237,500
Chakula Serikali Kuu 2,084,400,000 0 2,084,400,000
FIDIA- KUTWA Serikali Kuu 290,420,000 0 290,420,000
FIDIA- BWENI Serikali Kuu 47,180,000 0 47,180,000
Posho ya Madaraka kwa Wakuu wa Shule Serikali Kuu 84,000,000 0 84,000,000
2,735,237,500
Jumla ndogo Elimu bure: Elimu Sekondari 2,735,237,500 0 2,735,237,500
Jumla ndogo fedha za ndani na fedha za nje 5,160,862,500 5,252,569,523 10,413,432,023
Michango ya wananchi 400,000,000 0 400,000,000
Maendeleo – Mapato ya ndani 2,497,046,588 0 2,497,046,588
Jumla kuu fedha za miradi 8,057,909,088 5,252,569,523 13,310,478,611
Mh. Mwenyekiti; Umbile la bajeti nililoliwasilisha linaelekeza tu maeneo muhimu ambayo fedha hizi zitatumika. Sehemu ifuatayo inaonyesha kwa kina shughuli/miradi itakakoelekezwa fedha husika na viwango vya fedha hizo kwa kila shughuli/mradi Kisekta. Mh. Mwenyekiti; Naomba Kuwasilisha
Robert M. Masunya Mkurugenzi Mtendaji (W)
IRINGA
11
4.0 KAZI ZITAKAZOTEKELEZWA NA HALMASHAURI YA WILAYA KUPITIA IDARA NA VITENGO VYAKE MWAKA 2018/2019
4.1. RASIMU YA MPANGO NA BAJETI WA IDARA YA UJENZI KWA MWAKA 2018/2019
Idara ya Ujenzi inatarajia kutumia jumla ya kiasi cha Tshs, 54,223,062.00 kwa mwaka 2018/19 ikiwa 27,454,000.00 ruzuku ya serikali kuu ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na uendeshaji wa ofisi na Tshs 26,769,062.00 mapato ya ndani ikiwa ni kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo ya ujenzi ya Halmashauri kwa mchanganuo ufuatao: RUZUKU SERIKALI KUU
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA
MAHALI GHARAMA TSHS
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma
na kupunguza
maambukizi ya virusi
vya UKIMWI
Kufanya semina kwa watumishi 6 kuhusu athari za UKIMWI ifikapo June 2019
Makao makuu 90,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
2 Kuwezesha na kuendeleza matumizi ya sheria ya kuzuia rushwa.
Kufanya semina ya siku 1 kwa watumishi 6 kuhusu athari za rushwa katika maeneo ya kazi ifikapo Juni 2019
Makao makuu 90,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
3 Kuongeza na
kuimarisha
upatikanaji wa
huduma bora za
kijamii na
miundombinu
Kuwezesha gharama za uendeshaji ofisi
ifikapo Juni 2019. Shajara, Vifaa vya
kufanyia Usafi, Umeme, Gharama za maji,
Petrol, Diesel na Gharama za matumizi ya
Barua pepe na Mtandao
Makao makuu 9,834,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
4
Kuwezesha uendeshaji wa Ofisi ya Ujenzi
na kulipa stahili mbalimbali za watumishi
ifikapo Juni, 2019. (Likizo, ya mwaka,
zawadi ya mfanyakazi bora, ukarabati wa
ofisi na kulipa madeni ya wazabuni.
Makao makuu 5,000,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
5
Kuwezesha ofisi ya Mhandisi kuandaa
michoro,BOQ na usimamizi wa kazi za
Makao makuu, Kata
na Vijiji.
11,900,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
12
ujenzi ifikapo Juni 2019 (kulipa posho
masaa ya ziada , posho ya kufanyakazi nje
ya kituo, vinywaji na viburudisho, gharama
za mazishi, matengenezo ya compyuta na
photocopy}
6 Usimamizi na
ufuatiliaji wa miradi
yote ya ujenzi.
Kusimamia miradi ya ujenzi inayotekelezwa
ndani ya Halmashauri. [Mafuta, Shajara
na posho za usimamizi].
Kata na Vijiji vyenye
miradi
5,400,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
7
Kujenga uwezo wa
Idara ya Ujenzi
kuwezesha watumishi 4 kushiriki katika
mafunzo ya muda mfupi ifikapo Juni 2019
Makao makuu 540,000 Ruzuku Serikali Kuu
Mhandisi wa Ujenzi
JUMLA RUZUKU SERIKALI KUU 27,454,000
MAPATO YA NDANI - MAENDELEO
8 Kuongeza na
kuimarisha
upatikanaji wa
huduma bora za
kijamii na
miundombinu
Kuwezesha matengenezo ya mitambo ya
Barabara Grader, Bowser na roller ifikapo
juni 2019
Makao makuu
26,769,062 Mapato ya ndani
Mhandisi wa Ujenzi
Jumla Kuu Ujenzi 54,223,062
4:3 IDARA YA MIPANGO, TAKWIMU NA UFUATILIAJI
4:3:0 UTANGULIZI Idara ya Mipango Takwimu na ufuatiliaji katika mwaka 2018/19 inatarajia kuendelea na utekelezaji wa majukumu yake ya uratibu wa uandaaji wa
Mipango na Bajeti ya Halmashauri, kuratibu usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli zilizopangwa katika Sekta zote za Halmashauri
zinatekelezwa na kutoa matunda yaliyokusudiwa na kwa wakati. Aidha Idara itaendelea na jukumu lake la kuratibu uandaaji wa taarifa mbalimbali za
utekelezaji wa miradi na shughuli za Halmashauri za robo, nusu na mwaka kama inavyohitajika kisheria. Ili kutekeleza majukumu haya ya Idara,
jumla ya Tshs. 1,234,914,825 zitahitajika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo ya maendeleo na uendeshaji wa Ofisi. Fedha zitatoka katika vyanzo
13
vinne vya mapato ya ndani, Ruzuku ya Serikali ya matumizi ya kawaida, ruzuku maalumu ya serikali (CDG) fedha za mifuko ya Maendeleo ya
Majimbo (Isimani na Kalenga) na UNICEF kama inavyooneshwa katika sehemu ya 2 ya mapendekezo haya katika majedwali hapa chini:-
4:3:1 MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2018/19
(A) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI
No LENGO KWA
MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI KIASI CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma
za Jamii na
kupunguza
maambukizi ya
VVU/Ukimwi.
Kufanya mafunzo ya siku moja kwa
watumishi 10 wa idara ya mipango juu ya
kujikinga na maambukizi ya VVU ifikapo
Juni 2019.
Halmashauri ya
Wilaya ya Iringa
100,000 Mapato ya ndani DPLO
2 Kukuza uelewa wa
watumishi wa idara
juu ya ubaya na athari
za rushwa.
Kufanya mafunzo ya siku moja kwa
watumishi 10 wa idara ya mipango juu ya
mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni
2019.
Makao makuu ya
Wilaya
100,000 Mapato ya ndani DPLO
3 Kuboresha
uendeshaji wa ofisi na
ustawi wa watumishi
Kuwezesha watumishi 7 wa idara ya
mipango kujiendeleza katika mafunzo
mbalimbali ya Kitaaluma ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya
Wilaya
1,500,000 Mapato ya ndani DPLO
4 Kuboresha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha upatikanaji wa vitendea kazi
vya ofisi (gharama za umeme, shajala,
matengenezo ya gari, mategenezo
madogo madogo ya ofisi, viburudisho na
madeni 3,400,209) na malipo ya watumishi
ya muda wa ziada wa kazi ifikapo Juni
2019.
Makao makuu ya
Wilaya
13,140,209 Mapato ya ndani DPLO
5 Kuwezesha wadau
kushiri katika upangaji
na utekelezaji wa
miradi ya maendeleo
Kuwezesha watumishi kushiriki maenesho
ya kilimo kikanda, kiwilaya na kikata
ifikapo Juni 2019.
Kata ya Ilolompya
na Mbeya
900,000 Mapato ya ndani DPLO
JUMLA NDOGO MAPATO YA NDANI 15,740,209
14
RUZUKU TOKA SERIKALI KUU (BLOCK GRANT)
6
Kuboresha
uendeshaji wa ofisi
na ustawi wa
watumishi
Kuwezesha ustawi wa watumishi 10 wa
Idara ya Mipango na upatikanaji wa vitendea
kazi (gharama za vifaa vya usafi, likizo,
gharama za mazishi, Uhamisho, ununuzi wa
shajala na gharama za simu na umeme)
Juni 2019.
Makao makuu ya
Wilaya
8,270,000
Ruzuku ya Serikali
kuu
DPLO
7 Kuboresha
uendeshaji wa ofisi
na ustawi wa
watumishi
Kuwezesha ulipaji wa madeni ya idara
ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya
Wilaya
1,008,041 Ruzuku ya Serikali
kuu
DPLO
Jumla ndogo – Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant) 9,278,041
JUMLA KUU FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA (OC) 25,018,250
(C) FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO KUTOKA SERIKALI KUU (CDG)
Na LENGO KWA
MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI
8 Kuboresha
miundombinu na
upatikanaji wa
huduma za jamii
Kuwezesha uendelezaji wa Ujenzi wa
Stendi ya Mabasi ya Wilaya iliyopo
Migoli kwa awamu ya 2 ifikapo Juni
2019.
Migoli 200,000,000 CDG DPLO
9 Kuwezesha ujenzi wa jengo la kitega
uchumi (Multipurpose Hall) katika mtaa
wa Gangilonga ifikapo Juni 2019
Gangilonga 100,000,000 CDG DPLO
10 Kukuza uwezo wa
Halmashauri
kukabiliana na
majanga
Kuwezesha Halmashauri kukabiliana
na majanga ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya
Wilaya
15,539,000 CDG DPLO
15
11 Kuboresha
miundombinu na
upatikanaji wa
huduma za jamii
Kuwezesha umaliziaji wa ujenzi wa
madarasa 13 na ofisi 3 katika shule za
msingi za Magombwe, Itunundu,
Ivangwa, Mahanzi, Tagamenda na
Nyabula ifikapo Juni 2019
Shule za Msingi 129,999,400 CDG DPLO
12 Kuwezeshaukamilishaji wa ujenzi wa
vyoo 6 katika shule za Makadupa,
Mahanzi, Lwato, Ivangwa, Holo na
Iguluba ifikapo Juni 2019
Shule za Msingi 30,000,000 CDG DPLO
13 Kuboresha
miundombinu na
upatikanaji wa
huduma za jamii
Kuwezesha ukarabati wa madarasa 3
katika shule ya msingi Ihemi ifikapo
Juni 2019
Shule ya msingi Ihemi 15,000,000 CDG DPLO
14 Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa
nyumba za walimu 4 katika shule za
msingi za Itagutwa, Kisilwa, Wangama
na Mlambalasiifikapo Juni 2019
Shule za Msingi 55,000,000 CDG DPLO
15 Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa
zahanati 11 katika vijiji vya
Lyamgungwe, Mkombilenga,
mfukulembe, Ibumila, Kinyika, Magozi,
Kilambo, Ufyambe na Makongati ifikapo
Juni 2019
220,000,000 CDG DPLO
16 Kuchangia ujenzi wa wodi 2 za wazazi
katika zahanati za Lumuli na Weru
ifikapo Juni 2019
Lumuli
Weru
20,000,000 CDG DPLO
17 Kuchangia ujenzi wa ofisi 7 za vijiji
katika vijiji vya Lyamgungwe, Magunga,
Wasa, Tungamalenga, Maperamengi,
Kiponzelo na Lupalama ifikapo Juni
2019.
49,000,000 CDG DPLO
18 Kuchangia ujenzi wa ofisi ya Kata ya
Wasa ifikapo Juni 2019
Wasa 10,000,000 CDG DPLO
16
19 Kuboresha
miundombinu na
upatikanaji wa
huduma za jamii
Kuchangia ukamilishaji wa ujenzi wa
maabara vyumba 5 katika shule za
sekondari za Wasa na Mlowa ifikapo
Juni 2019
Sekondari za Wasa
na Mlowa
39,939,000 CDG DPLO
20 Kuwezesha Gharama za mwanzo za
miradi (utangazaji, utengezaji wa
makabrasha ya zabuni na tathmini)
ifikapo Juni 2019
Halmashauri 5,200,000 CDG DPLO
21 Kuboresha
miundombinu na
upatikanaji wa
huduma za jamii
Kuwezesha ufuatiliaji na usimamizi wa
miradi ya maendeleo ngazi ya msingi
(LLG) ifikapo Juni 2019
Kata 28 71,117,000 CDG DPLO
22 Kufanya ufuatiliaji wa miradi ya
maendeleo kwa kila robo mwaka (HLG)
ifikapo Juni 2019
Halmashauri ya
wilaya ya Iringa
52,534,200 CDG DPLO
23 Kuwezesha maandalizi ya zoezi la
tathmini ya fedha za ruzuku ya
maendeleo kutoka serikali kuu (CDG)
ifikapo Juni 2019
Halmashauri ya
wilaya ya Iringa
13,382,800 CDG DPLO
JUMLA KUU RUZUKU YA MAENDELEO KUTOKA SERIKALI KUU (CDG) 1,026,711,400
(D) MCHANGO WA ASILIMIA 5% TOKA MAKUSANYO YA NDANI (OWN SOURCES)
24 Kuwezesha wadau
kushiri katika
upangaji na
utekelezaji wa
miradi ya
maendeleo
Kuwezesha maandalizi na uratibu wa Mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya kwa mwaka 2019/2020 ifikapo Juni 2019.
Ngazi ya kitongoji, kijiji, kata na Halmashauri
28,958,175 Mapato ya ndani-
Maendeleo
DPLO
17
25 Kuwezesha watumishi 8 kuhudhuria mafunzo
ya kitaalam na vikao kazi mbalimbali ifikapo
Juni 2019
Ndani ya Mkoa
na Nje ya Mkoa
1,460,000 Mapato ya ndani-
Maendeleo
DPLO
26 Kuwezesha utekelezaji wa shughuli za usajili
wa watoto wa umri chini ya miaka mitano
ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya
wilaya ya Iringa
2,250,000 Mapato ya ndani-
Maendeleo
DPLO
27 Kukuza uwezo wa
Halmashauri
kukabiliana na
majanga
Kuwezesha Halmashauri kukabiliana na
majanga ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya
Wilaya
5,000,000 Mapato ya ndani-
Maendeleo
DPLO
Jumla ndogo – Mchango wa Halmashauri wa 5% ya CDG mwaka
2018/19
37,668,175
4:3:2 SHUGHULI ZINAZOFADHILIWA NA UNICEF
(E) SEHEMU YA MIPANGO
Na LENGO KWA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI KIASI CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI
28 Kuwezesha wadau
kushiriki katika upangaji na
utekelezaji wa miradi ya
maendeleo.
Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa miradi
ya maendeleo kwa kila robo mwaka
ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya wilaya
ya Iringa
28,950,000 UNICEF DPLO
29 kufanya ziara ya siku 1 ya kutembelea
miradi kwa kushirikiana na wadau na
kuwa na kikao cha siku moja ili kujadili
utekelezaji na kupata maboresho ya
utekelezaji wa miradi ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya wilaya
ya Iringa
5,760,000 UNICEF DPLO
30 Kufanya ziara mbili za tathmini juu ya
matumizi wa rejesta katika vijiji 133
ifikapo Juni 2019.
Vijiji vyote 133 vya
Halmashauri
9,700,000 UNICEF DPLO
JUMLA NDOGO UNICEF – 2018/19 44,410,000
(F) SEHEMU YA USAJILI WA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO (5)
18
31 Kuboresha upatikanaji
wa huduma bora kwa
jamii
Kuwezesha matengenezo na ununuzi wa
vifaa vya kompyuta kwenye ofisi ya
Wilaya ya usajili wa watoto wa umri chini
ya miaka mitano ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya wilaya ya
Iringa
360,000 UNICEF DPLO
32 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa
shughuli za usajili wa watoto wa umri chini
ya miaka mitano kwa kila robo mwaka
ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya wilaya ya
Iringa
4,640,000 UNICEF DPLO
JUMLA NDOGO UNICEF 5,000,000
JUMLA FEDHA ZA UNICEF – 2018/19 49,410,000
(G) FEDHA ZA JIMBO
33
Kuwezesha utekelezaji wa miradi ya
maendeleo katika kata 13 za Jimbo la
Isimani ifikapo Juni 2018. ifikapo Juni
2019.
Kata 13 za
jimbo la
Ismani
50,867,000 CDCF DPLO
34 Kusaidia utekelezaji wa miradi ya
maendeleo katika kata 15 za jimbo la
Kalenga ifikapo Juni 2019.
Kata 15 za
jimbo la
Kalenga
45,240,000 CDCF DPLO
JUMLA NDOGO FEDHA ZA MAJIMBO 96,107,000
JUMLA KUU FEDHA ZA MIRADI ZA MAENDELEO 1,209,896,575
JUMLA KUU IDARA YA MIPANGO MWAKA 2018/19 1,234,914,825
4.4. IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI
Idara ya Utumishi na Utawala kwa mwaka 2018/2019 inatarajia kutumia jumla ya Tsh.46,382,427,480.00 kwa matumizi ya kawaida na mishahara
kwa mchangnuo ufuatao;- Matumizi ya kawaida (Own Source) Tsh. 603,794,700.00,Matumizi ya maendeleo (Own Source ),Tsh.79,742,063.85 ,
Fedha za Ruzuku (Local Government Block Grant) Tsh. 104,819,010.00 ,Fedha za kujengea uwezo Tsh.142,234,000.00 na mishahara ya
watumishi Tsh 45,514,738,470.00
19
A: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Fedha za Ruzuku za Serikali Kuu (Local Government Block Grant)
1 Kuboresha maslahi ya watumishi 258 ifikapo Juni 2021
Kuwezesha maslahi ya watumishi 150 ifikapo Juni 2019.
Dizeli, Likizo, Posho ya masaa ya Ziada, Gharama za matibabu na posho ya kujikimu.
Kata na wilaya 33,522,515.00
RUZUKU SERIKALI KUU
DHRO
JUMLA NDOGO 33,522,515
2 Kuboresha Mazingira ya kufanyia kazi yanaboreshwa kutoka 80% hadi 85% ifikapo Juni 2021.
Kuwezesha uendeshaji wa Kamati ya motisha kwa Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa vijiji 6 ifikapo Juni 2019
Mafuta, Shajala
Kata na Wilaya 1,950,000.00 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)
DHRO
JUMLA NDOGO 1,950,000
3 Kuboresha taarifa na kumbukumbu sahihi za Watumishi ifikapo Juni 2021
Kuwezesha uhakiki wa Watumishi waliopo kwa kila kituo ifikapo Juni 2019.Viburudisho,shajala na Mafuta
Vijiji, Kata na Makao Makuu
3,650,000 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)
DHRO
JUMLA NDOGO 3,650,000
4 Kuwezesha maadhimisho/sherehe za kitaifa ifikapo Juni 2021
Kuwawezesha watumishi 20 kushiriki maadhimisho/sherehe za kitaifa kama “Nane nane, Mei Mosi na maadhimisho ya Serikali za Mitaa ifikapo Juni 2019
Posho ya safari, Shajalai na Nauli
Makao Makuu, Kata na Vijiji
18,000,000 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)
DHRO
JUMLA NDOGO 18,000,000
5 Kuboreshasha Utawala bora na upatikanaji wa huduma za kiutawala ifikapo Juni 2021
Kuwezesha watumishi 20 kuhudhuria mafunzo ya muda mrefu ifikapo Juni 2019
Makao makuu,kata na vijiji
17,696,495 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)
DHRO
20
Ada,nauli na shajala
Kuwezesha uendeshaji wa vikao vya
waheshimiwa madiwani ifikapo june
2019 Ununuzi wa Ipad 33
Makao makuu ya
Wilaya
30,000,000 Ruzuku ya
Serikali kuu
(Block Grant)
DHRO
JUMLA NDOGO 47,696,495
B: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Mapato ya Ndani (OWN SOURCE).
Kuongeza Idadi ya
Watumishi/Wananchi
wanaohudumiwa kwa siku
kutoka 100 hadi 300 ifikapo
Juni 2021
Kuwezesha watumishi 4 kufanya
Mitihani ya Taaluma ifikapo Juni 2019
Makao Makuu na
Kata
3,440,000 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 3,440,000
Kuimarisha na kuendeleza
mkakati wa kuzuia na
kupambana na rushwa
ifikapo Juni 2021
Kutoa mafunzo kwa watumishi 150 dhidi
ya athari ya rushwa ifikapo Juni 2019
Makao Makuu na
Kata
2,215,000 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 2,215,000
Kuongeza Idadi ta Watumishi wanaohudumiwa kwa siku kutoka 100 hadi 300 ifikapo Juni 2021
Kuwezesha Vikao 16 vya Kamati ya Wakuu wa Idara na Mikutano 3 Baraza la Wafanyakazi Ifikapo Juni 2019
Posho ya kikao, viburudisho, shajala
Makao Makuu 42,850,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 42,850,000
21
Kuwezesha vikao 3 vya Bodi ya Ajira
kwa ajiri ya kufanya usaili, kupandisha
vyeo, Kubadilishwa vyeo na Kuthibitisha
kazini watumishi ifikapo Juni 2019
Posho ya Kikao, Shajala, Nauli, Posho
ya kujikimu
Makao Makuu 13,140,000 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 13,140,000
Kuwezesha uandaaji na uwasilishaji wa
taarifa mbalimbali kwenye mamlaka
husika ifikapo Juni 2019
Posho ya Safari, mafuta , gharama ya
posta,gharama ya fax ,vocha katika za
kuratibu kero ,Nauli na Shajala
Makao Makuu 20,640,000 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 20,640,000
Kuwezesha ununuzi wa shajala kwa ajili
ya matumizi ya Kata 28 ifikapo Juni
2019
Kata 11,150,000 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 11,150,000
Kuwezesha matumizi ya Idara ya Utawala na Rasilimali watu Ifikapo Juni 2019
Mafuta, Shajala, Kulipia bili za Maji na Umeme, simu, vifaa vya usafi, Posho za Kujikimu
Makao Makuu 77,071,800 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 77,071,800
22
Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya
Mkurugenzi Mtendaji ifikapo Juni 2019
Kulipa Kampuni ya Ulinzi na Usafi,
Matengenezo ya magari 5, mafuta,
posho za safari, viburudisho, Shajala,
Ununuzi wa spika za ukumbi wa siasa ni
kilimo, kulipa madeni ya wazabuni,
gharama za mazishi na Posho ya masaa
ya ziada.
Makao Makuu na
Kata
192,613,136 Mapato ya
Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 192,613,136
Kuwezesha maslahi ya Waheshimiwa Madiwani 38 ifikapo Juni 2021
Kuwezesha ufanyikaji wa mikutano 7 ya Baraza la Waheshimiwa Madiwani, vikao 44 vya Kamati za kudumu ifikapo Juni 2019
Posho ya Kikao, Posho ya Kujikimu, Nauli, Shajala, Viburudisho
Makao Makuu 87,725,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 87,725,000
Kuwezesha ulipaji wa maslahi ya waheshimiwa Madiwani ifikapo Juni 2019
Posho ya Mwezi, Posho ya Madaraka, Mchango wa Bima ya Afya
Makao Makuu 152,749,764 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 152,749,764
JUMLA KUU 603,794,700
C: Bajeti ya Utawala – Miradi ya Maendeleo (OWN SOURCE)
23
Kuongeza Idadi ya Watumishi wanaohudumiwa kwa siku kutoka 100 hadi 300 ifikapo Juni 2021
Kuwezesha ununuzi wa vitendea kazi ili kurahisisha utoaji wa huduma ifikapo 2019.
( Kompyuta mpakato 3 na printer 1 kwa matumizi ya Ofisi)
Makao Makuu
10,335,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 10,335,000
Kuwezesha ununuzi samani za ofisi kwa Kata 11 ifikapo Juni 2019
11,150,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 11,150,000
Kuwezesha ukarabati wa nyumba 5 za watumishi Ifikapo Juni 2019
20,840,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 20,840,000
Kuwezesha ununuzi wa Projector kwa ajili ya matumizi ya ukumbi wa siasa ni kilimo ifikapo Juni 2019
2,067,064 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 2,067,064
Kuwezesha ununuzi wa samani za ofisi ya Afisa Utumishi ifikapo Juni 2019
15,000,000 Mapato ya Ndani
DHRO
JUMLA NDOGO 15,000,000
B: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Fedha za kujengea uwezo (CBG)
Kuwezesha
Utawala bora
na upatikanaji
wa huduma za
kiutawala
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watendaji wa kata
28, watendaji wa vijiji 133 na maafisa ugani juu ya
ushirikishaji wa wadau katika miradi ya maendeleo
ifikapo June 2019
Chakula,nauli,diesel,na shajala
KATA NA VIJIJI 13,430,000 CBG DHRO
24
Kuwezesha ufuatiliaji wa vijiji 56 na kata 28 juu ya
utendaji kazi wa watumishi kwa kuzingatia malengo ya
utekelezaji Ifikapo June 2019
Ununuzi wa Diesel,shajala,
KATA NA VIJIJI
10,750,000 CBG
DHRO
Kutoa mafunzo kwa wajumbe 5 wa kamati ya uadilifu ya
watumishi ifikapo Juni 2018
Shajala,ada ya mafunzo,posho ya kujikimu na Nauli
WILAYANI 4,710,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 50 juu ya
kiapo cha utunzaji siri ifikapo June 2019 Chakula, Posho.
WILAYANI 890,000 CBG DHRO
Kutoa mafunzo kwa watumishi 532 ngazi ya Kata na
Vijiji namna sahihi ya kujaza form za OPRAS ifikapo
June 2019.
Diesel,Posho,shajala
KATA NA VIJIJI 11,900,000 CBG DHRO
Kuwezesha watumishi 23 wenye ulemavu kuhudhuria
mikutano na sherehe za kitaifa ifikapo June 2019
Nauli,Posho
NGAZI YA MSINGI 2,900,000.00 CBG DHRO
Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 230 ngazi
Halmashauri juu ya ujazaji wa form za OPRAS Ifikapo
Juni 2019.Shajala,diesel,chakula
WILAYANI 2,500,000.00 CBG DHRO
Kutoa mafunzo elekezi ya siku 1 kwa watumishi 250 wa
ajira mpya ifikapo Juni 2019.Shajala, posho na nauli.
WILAYANI 3,400,000 CBG DHRO
Kuwezesha kufanyaka kwa vikao na watumishi wote
katika kata 28 kuwakumbusha majukumu yao na stahiki
KATA NA VIJIJI 6,250,000.00 CBG DHRO
25
zao kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa
umma ifikapo Juni 2019 Posho, shajala na Mafuta
Kuwezesha mafunzo kwa WEO 28, VEO 133 na maafisa
ugani ngazi ya kijiji na kata juu ya utatuzi wa migogoro,
ukusanyaji mapato, taratibu za manunuzi na utunzaji wa
kumbukumbu ifikapo Juni 2019 Diesel, Shajala,Chakula
na Nauli.
KATA NA VIJIJI 16,099,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha Mafunzo ya siku 2 kwa kila Tarafa kwa
watendaji wa vijiji na kata juu ya
uongozi,utawala,uendeshaji wa vikao na mikutano na
uandishi wa mihtasari na ujazaji wa rejista za wakazi
ifikapo Juni 2019.
Mafuta, chakula, nauli shajala na ununuzi wa rejista za
wakazi.
KATA NA VIJIJI 14,495,000 CBG DHRO
Kuwezesha mafunzo ya siku 2 kwa watunza
kumbukumbu 10 juu ya utunzaji wa kumbukumbu wa
kisasa ifikapo Juni 2019
NGAZI YA WILAYA 1,050,600.00 CBG DHRO
Kuwezesha mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 9 wa
idara ya utawala juu ya uendeshaji wa vikao ifikapo Juni
2019
NGAZI YA WILAYA 2,550,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 ya watumishi 56 juu ya huduma kwa mteja (customer care) ifikapo Juni 2019
NGAZI YA WILAYA,KATA NA VIJIJI
1,580,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha watumishi 20 kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi ifikapo Juni 2019
MAKAO MAKUU, KATA NA VIJIJI
8,400,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi ifikapo Juni 2019
MAKAO MAKUU, KATA NA VIJIJI
5,170,000.00 CBG DHRO
26
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wah madiwani 38 juu ya uongozi, utatuzi wa migogoro na ushirikishaji wa wadau katika miradi ya maendeleo ifikapoJuni 2019.
NGAZI YA WILAYA 8,370,000.00 CBG DHRO
Kufanya vikao na wenyeviti wa vitongoji na vijiji kwa kata zote 28 kuwakumbusha majukumu yao na kushirikishana changamoto za utekelezaji wa majukumu yao ifikapo Juni 2019 Posho, diesel, Nauli,shajala
KATA NA VIJIJI 13,790,000.00 CBG DHRO
Kuwezesha utoaji wa huduma katika ofis za kata zenye mazingila magumu ifikapo Juni 2019 Kununua Pikipiki 7
KATA NA MAKAO MAKUU
14,000,000.00 CBG DHRO
JUMLA NDOGO-CBG 142,234,000.00
JUMLA KUU (OWN SOURCE) 620,636,000.00
JUMLA KUU (BLOCK GRANT) 104,819,010.00
MISHAHARA YA WATUMISHI 45,514,738,470.00
JUMLA KUU YA BAJETI 46,382,427,480.00
4:5 IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA
Idara ya Usafishaji na Mazingira inatarajia kutumia Jumla ya Tshs 18,660,522.14/= kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 ikiwa ni matumizi ya kawaida
kwa mchanganuo ufuatao, Mapato ya ndani (Own Source) Tshs 12,634,105.14/= na Fedha za Ruzuku kutoka Serikalini (Block Grant) Tshs
6,026,417/=
27
NA (A) RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU (LGBG)
LENGO LA MWAKA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma ya jamii
na kupunguza maambukizi
ya VVU/UKIMWI ifikapo
Juni 2021
Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa
watumishi 5 wa Idara na wadau wa
Mazingira ifikapo Juni 2019
Wilayani 50,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
2 Kuimarisha, kuendeleza na
kutekeleza kikamilifu
mkakati wa kupambana na
rushwa ifikapo 2021
Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa
watumishi 5 wa Idara kuhusu madhara
ya rushwa ndogo na kubwa ifikapo Juni
2019
Wilayani
50,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
3 Kuboresha usimamizi
endelevu wa maliasili na
mazingira ifikapo Juni 2021
Kuunda na Kuimarisha kamati 50 za
mazingira katika Halmashauri ifikapo
Juni, 2019
Kata zote 28 900,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
Kuwesha utambuzi wa kumbukumbu
na utunzaji wa vyanzo vya maji 67
ifikapo Juni 2019
Kata zote 28 664,800 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
Kuendesha mafunzo ya siku 2 kwa
wajumbe 10 wa timu ya mazingira ya
Wilaya kuhusu wajibu na majukumu
yao ifikapo Juni 2019
Wilayani 600,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
4 Kuboresha usimamizi
endelevu wa maliasili na
mazingira ifikapo Juni 2021
Kuwawezesha watumishi 3 wa Idara
kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi
ifikapo juni 2019
Wilayani
840,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
5 Kuboresha usimamizi
endelevu wa maliasili na
mazingira ifikapo Juni 2021
Kufanya ufuatiliaji wa athari za
kimazingira na kijamii katika miradi 32
midogo midogo ya maendeleo
inayotekelezwa Wilayani ifikapo Juni
2019
Kata zote 28 1,271,617 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
28
6 Kuboresha usimamizi
endelevu wa maliasili na
mazingira ifikapo Juni 2021
Kufanya ukaguzi na tathimini ya usafi
wa Mazingira kila Mwezi ifikapo Juni
2019
Kata zote 28 1,650,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO
Jumla ya Fedha kutoka Serikali Kuu Mwaka 2018/2019 6,026,417
B VYANZO VYA NDANI (OWN SOURCE)
7
Kuwezesha utawala na
huduma za kiutawala ifikapo
Juni 2021
Kuwezesha stahili za watumishi 5 wa
Idara na uendeshaji wa Ofisi ifikapo
Juni 2019
Wilayani 8,904,100 Vyanzo vya Ndani DCEO
8 Kuwezesha utawala na
huduma za kiutawala ifikapo
Juni 2021
Kuwezesha watumishi 2 wa Idara
kushiriki zoezi la mipango na bajeti
wa mwaka wa fedha 2019/2020
ifikapo Juni 2019
Wilayani 1,020,000 Vyanzo vya Ndani DCEO
9 Kuwezesha utawala na
huduma za kiutawala ifikapo
Juni 2021
Kuwezesha watumishi wa Idara ya
usafishaji na mazingira kushiriki
maadhimisho ya sherehe mbalimbali
za kitaifa ikiwemo Siku ya Mazingira,
Nanenane, Mwenge wa Uhuru, Mei
mosi n.k ifikapo Juni 2019
Wilayani 1,110,000 Vyanzo vya Ndani DCEO
10 Kuwezesha utawala na
huduma za kiutawala ifikapo
Juni 2021
Kuwezesha uendeshaji wa Idara ya
usafishaji na mazingira ifikapo Juni
2019
Wilayani 1,600,005 Vyanzo vya Ndani DCEO
Jumla ndogo ya fedha za Mapato ya ndani Mwaka 2018/2019 12,634,105.14
JUMLA KUU YA IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA 2018/2019 18,660,522.14
4:6 IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA KWA MWAKA 2018/2019 Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika inatarajia kutumia jumla ya cha Tshs, 104,898,014.00kwa ajili ya shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mchanganuo ufuatao; Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG) Tshs 18,000,000.00; Mapato ya Ndani Tshs 49,324,214.00 na Ruzuku ya serikali kuu Tshs 37,573,800.00.
29
A: KILIMO; Maendeleo LGCDG, TSHS, 18,000,000.00
Na LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI GHARAMA TSHS CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuongeza ubora na uwingi wa huduma za jamii pamoja na miundombinu
Kukarabati bwawa la kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya Kilimo cha umwagiliaji katika kijiji cha Kibebe ifikapo Juni 2019.
Kibebe 9,000,000.00 DADG –LGCDG
DAICO
2 Kukarabati mabomba ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji katika skimu ya Wangama ifikapo Juni 2019.
Wangama 9,000,000.00 DADG –LGCDG
DAICO
Jumla Kilimo 18,000,000.00
B. KILIMO: ii. MAPATO YA NDANI TSHS 44,416,552.56
3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa wa jamii
Kuwezesha maonesho ya Nane nane Kiwilaya na kikanda Jijini Mbeya ifikapo Juni 2019.
Wilayani na Mbeya mjini 34,032,021.56 Mapato ya Ndani DAICO
4 Kufanya mikutano 12 ya uhamasishaji uzalishaji wa mazao ya biashara ya Pamba na Korosho ifikapo Juni 2019
Tarafa za Ismani, Idodi, Pawaga, Kalenga, Kiponzelo na Mlolo
2,750,000.00 Mapato ya Ndani DAICO
5 Kuwezesha mikutano 24 ya uhamasishaji wa matumizi ya maghala 13 na masoko 11 yaliyojengwa/karabatiwa ifikapo Juni 2019
Tungamalenga, Magozi, Mbuyuni, Magulilwa, L/wasenga, Ifunda, Kaning’ombe, Ismani Tarafani, Chamdindi, Mfyome, Igula, Muwimbi, Ibangamoyo,
2,554,531.00 Mapato ya Ndani DAICO
30
6 Kuwezesha wakulima 20 kuzalisha mbegu za kuazimia ubora za Alizeti, Ufuta, Mahindi, Mtama na Mpunga katika Vijiji 20 vya Kata 14 ifikapo Juni 2019.
Taja kata hizo 4,000,000.00 Mapato ya Ndani DAICO
7 Kuwezesha watumishi watano wa Idara ya Kilimo wanaoishi na HIV/AIDS kupata Lishe bora ifikapo Juni 2019
H/wilaya 1,080,000.00 Mapato ya Ndani DAICO
Jumla ya Kilimo, Mapato ya Ndani 44,416,552.56
USHIRIKA: ii. MAPATO YA NDANI TSHS 4,907,661.44
8 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuwezesha wanachama 85 wa Ushirika kushiriki maadhimisho ya siku ya Ushirika Duniani ifikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Wilaya 1,200,000.00 Mapato ya Ndani
DAICO
9 Kuboresha
upatikanaji na
utoaji wa
huduma kwa
usawa katika
jamii
Kufanya ufuatiliaji, ukusanyaji wa takwimu na utekelezaji wa maagizo ya taarifa za ukaguzi katika vyama 12 kwa kila robo mwaka ifikapo Juni 2019.
Kiwere Tob, Kiwere AMCOs, Ikimo AMCOs, Kihorogota SAC, Magubike Tob, Mhanga Tob, Kitai Tob, Mbega Tob, Mfyome Tob, Migoli SAC, Mangalali Sac, Tungamalenga
3,707,661.44 Mapato ya Ndani
DAICO
Jumla Ushirika Mapato ya ndani 4,907,661.44
31
A: USHIRIKA – RUZUKU SERIKALI KUU TSHS 6,026,417.00
Na LENGO LA MWAKA
KAZI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI BAJETI TSH
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
10 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii
Kuwezesha maslahi ya watumishi 4 wa sekta ya Ushirika (likizo, uhamisho, matibabu na mazishi) ifikapo Juni 2019.
Makao Makuu ya Wilaya
1,600,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
11 Kuwezesha vikao / mikutano 4 ya kisekta katika wilaya/ mikoa na mafunzo rejea kwa watumishi 5 wa sekta ya Ushirika ifikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Wilaya
2,026,400.00 Ruzuku Serikali kuu
DAICO
12 Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe wa bodi 100 kutoka vyama vya mazao 12 kuhusu usimamizi na uongozi katika vyama vya Kiwemo, Kitai, Mfyome, Hanga, Magubike, Mbega, Lupembelwasenga, Chauki, Kihanga,Magulilwa, Mgama na Lutemi ifikapo Juni 2019.
Kata za Kiwere, Nzihi, Mgama, Ifunda, Maboga, Kihanga
2,400,000.00 Ruzuku Serikali kuu
DAICO
Jumla Ushirika Ruzuku ya Serikali kuu 6,026,400.00
B. KILIMO; RUZUKU SERIKALI KUU TSHS. 31,547,400.00
Na LENGO LA MWAKA
KAZI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI BAJETI TSH CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
13 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii
Kuwezesha upatikanaji wa maslahi ya watumishi 93 wa kitengo cha kilimo na umwagiliaji (matibabu, uhamisho, likizo na mazishi) ifikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Wilaya
7,930,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
14 Kuwezesha uendeshaji wa Ofisi ya kitengo cha Kilimo na Umwagiliaji (umeme, maji, shajala, matengenezo ya gari, mfumo wa ndani wa kompyuta, kulipia bima za pikipiki, samani za ofisi, vizuia moto, mafuta, posta, muda wa maongezi DAICO na madeni) ifikapo Juni 2019
Wilayani na Katani 5,380,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
32
15 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa kazi za kitengo cha Kilimo na Umwagiliaji kila robo mwaka ifikapo Juni 2019
Kata zote 28 11,637,400.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
16 Kuwezesha maandalizi ya mpango na bajeti wa Idara ya Kilimo ifikapo Juni 2019
Wilayani 4,500,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
17 Kuwezesha watumishi watano waajiriwa wapya kujikimu wanapoanza ifikapo Juni 2019
Wilayani 2,100,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DAICO
Jumla Kilimo ruzuku Serikali kuu 31,547,400.00
Jumla LGCDG 18,000,000.00
Jumla Ruzuku Serikali Kuu 37,573,800.00
Jumla Mapato ya Ndani Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika 49,324,214.00
Jumla Kuu, Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika. 104,898,014.00
4:7 IDARA YA ELIMU SEKONDARI
MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
Idara ya Elimu Sekondari kwa mwaka wa fedha 2018/2019 inategemea kutumia jumla ya Tshs 4,128,553,000 ambapo kati ya fedha hizo Tshs
417,169,000.00 ni Ruzuku ya Uendeshaji kutoka Serikali Kuu na Tshs 373,532,000.00 ni Fedha za Miradi ya Maendeleo (SEDP II) na Tshs
60,000,000.00 ni Ruzuku ya Miradi ya maendeleo (CDG) na Tshs 1,916,182,000.00 ni Fedha za Elimu ya Sekondari bila Malipo wakati Tshs
1,361,670,000.00 ni Fedha za Mapato ya Ndani (OWN SOURCE).
(A) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI RUZUKU YA UENDESHAJI (BLOCK GRAND)
S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA
ZILIZOPENDEKEZ
WA
CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI MAONI
1
Kuboresha huduma
na maambukizi ya
UKIMWI (UVU)
Kufanya Mafunzo ya siku moja kwa
walimu 60 katika shule 36 za
Sekondari juu ya UVU/UKIMWI
Tarafa ya
Isimani
400,000.00 Ruzuku
ya
Serikali
DSEO
33
ifikapo Juni 2019
2
Kuwezesha Walimu 15 wanaoishi
na UVU/UKIMWI kutoka katika shule
28 za Sekondari kupata lishe bora
kwa Miezi 12 Ifikapo Juni 2019.
Shule za
Sekondari
15
1,000,000.00 Ruzuku
ya
Serikali
DSEO
3
Kuimarisha ,
kuendeleza na
kutekeleza
kikamilifu mkakati
wa kupambana na
Rushwa
Kufanya mafunzo ya Siku moja kwa
Walimu 60 katika shule 36 za
Sekondari kuhusu namna ya
kukabiliana na Rushwa Ifikapo Juni
2019
Tarafa ya
Kiponzelo
400,000.00 Ruzuku
ya
serikali
4
Kuboresha
upatikanaji na utoaji
wa huduma kwa
usawa katika jamii
Kuwezesha Walimu 28 wa Sekondari
kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi
na mrefu kazini Ifikapo Juni 2019
Shule za
sekondari
28
4,200,000.00 Ruzuku
ya
serikali
DSEO
5
Kuwezesha ufuatiliaji wa Miradi ya
Shule na usimamizi wa ufundishaji
na ujifunzaji wa Wanafunzi kila
Mwezi katika shule 36 za sekondari
Ifikapo Juni 2019
Shule za
sekondari
36
16,456,000.00 Ruzuku
ya
Serikali
DSEO
6
Kuwawezesha watumishi 4 wa Idara
ya Elimu Sekondari kuandaa
Mpango na Bajeti ya Idara ya Elimu
Sekondari, taarifa ya LAC , kushiriki
maazimisho ya Nane Nane na
Sherehe za Kitaifa Ifikapo Juni 2019.
(shajala, Diesel na posho ya
kujikimu)
Wilayani 4,430,000.00 Ruzuku
ya
serikali
DSEO
7 Kuwezesha upatikanaji wa huduma
muhimu za kiofisi katika Ofisi ya Afisa
Elimu Sekondari ifikapo Juni 2019.
Wilayani 5,270,000.00 Ruzuku
ya
DSEO
34
(posho ya masaa ya ziada, Gharama
umeme, Maji, Simu na Kulipa
Madeni)
serikali
8
Kuwezesha uhamisho wa Walimu
10 katika Shule 16 za Sekondari
ifikapo Juni 2019. (posho ya
usumbufu na uhamisho)
Shule za
Sekondari
16
6,000,000.00 Ruzuku
ya
serikali
DSEO
S/N
LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA
ZILIZOPENDEKEZ
WA
CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI MAONI
9
Kuboresha
upatikanaji na utoaji
wa huduma kwa
usawa katika jamii
Kuwezesha masilahi ya watumishi 4,
Maafisa 3 na walimu 1006 wa Idara
ya Elimu Sekondari ifikapo Juni 2019.
(Likizo, Mazishi, Uhamisho, Madeni
na Matengezo ya magari.
Shule za
sekondari
28
153,031,000.00 Ruzuku ya
serikali
DSEO
10 Kuboresha
upatikanaji na utoaji
wa huduma kwa
usawa katika jamii
Kuwezesha Walimu 36 na Wanafunzi
56 wa Sekondari kushiriki Michezo ya
UMISETA Ifikapo Juni 2019.( Posho
ya kujikimu)
Shule 36
za
Sekondari
2,100,000.00 Ruzuku ya
serikali
11
Kuboresha
upatikanaji na utoaji
wa huduma kwa
usawa katika jamii
Kuendesha Mitihani ya Kidato cha
Pili, cha Nne na cha Sita Ifikapo Juni
2019
Shule 34
za
sekondari
323,380,000.00 Ruzuku ya
Serikali
DSEO
12
Kuwezesha
ujiandaaji wa
matukio ya Majanga
katika shule 36 za
sekondari
Kuwezesha mafunzo juu ya utokeaji
wa Majanga na namna ya kuyathibiti
katika shule 36 za sekondari ifikapo
juni 2018
Shule 36
za
sekondari
600,000.00 Ruzuku ya
Serikali
DSEO
13 JUMLA NDOGO (BLOCKGRAND) 417,169,000.00
35
(B) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI MIRADI YA MAENDELEO (SEDP II)
S/N LENGO LA
MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI MAONI
14
Kuongeza
miundombinu
katika shule za
sekondari 28
ifikapo June
2019
Kuwezesha umaliziaji wa ujenzi
wa vyumba 10 vya maabara
katika shule 6 za Sekondari
Ifikapo Juni 2019
Shule za
Sekondari za
Kiponzelo (2),
Ilambilole(2),
Muhwana (1), Mlowa
(3), Luhota (1) na
Mseke (1)
90,000,000.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
15
Kumalizia ujenzi wa Hosteli 2
shule za sekondari za Lumuli na
Dimitrios ifikapo Juni 2019
Shule za sekondari
za Lumuli na
Dimitrios
70,706,400.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
16
Kuwezesha ujenzi wa Nyumba
11 vya Madarasa katika shule za
sekondari za TANANGOZI (1),
LUHOTA (4) PAWAGA (3) na
KALENGA (3) ifikapo Juni 2019
Shule za sekondari
za , Tanangozi,
Luhota, Pawaga na
Kalenga.
122,887,464.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
17
Kuwezesha ujenzi wa nyumba
tatu za Walimu katika shule za
Sekondari za LUHOTA, LUMULI,
na MLOWA Ifikapo juni 2019
Lumuli , Luhota na
Mlowa
80,706,400.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
18
Kuwezesha kufanya ufuatiliaji na
tathmini ya Miradi ya Maendeleo
katika shule 28 za Sekondari
Ifikapo Juni 2019
Shule 28 za
Sekondari
9,231,736.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
JUMLA NDOGO 373,532,000.00
36
C) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI ELIMU YA SEKONDARI BILA MALIPO S/N
LENGO LA
MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA
ZILIZOPENDEKEZWA
CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI MAONI
19
Kuongeza
miundombinu
katika shule za
sekondari 28
ifikapo June
2019
Kuwezesha Ruzuku ya uendeshaji
(Capitation Grant) katika shule 28
za Sekondari, Fidia ya Ada Kutwa
katika shule 25 za Sekondari,
Fidia ya Ada Bweni shule ya
Sekondari Ifunda Ufundi, fedha ya
madaraka kwa wakuu wa shule 28
za sekondari na Chakula cha
Wanafunzi katika shule 8 za
sekondari za Bweni kila Mwezi
Ifikapo Juni 2019.
Shule 28 za
Sekondari
1,916,182,000.00 Ruzuku ya
Serikali
DESO
D) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA MAPATO YA NDANI (OWN SOURCE)
S/N
LENGO LA
MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA
ZILIZOPENDEKE
ZWA
CHANZO
CHA FEDHA
MSIMAMIZI MAONI
20 Kuboresha
upatikanaji na
utoaji wa
huduma kwa
usawa katika
jamii
Kuwezesha usimsmizi wa ufundishaji na
ujifunzaji kwa walimu 980 katika shule 28 za
Sekondari Ifikapo Juni 2019. (Gharama za
Umeme na Maji)
Shule 28 za
Sekondari
6,995,683.00 Own source DSEO
21 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao vya bodi za
shule 28 za sekondari kila robo mwaka
ifikapo Juni 2019. (Shajala, Posho , Chakula
na Viburudisho)
Shule 28
zasekondari
12,210,000.00 Own source DSEO
37
22 Kuwezesha gharama uendeshaji na
ukarabati mdogomdogo katika shule 28 za
sekondari ifikapo Juni 2019. ( gharama za,
Umeme, Maji, kulipa Mlinzi na ununuzi wa
Diesel)
shule 28 za
sekondari
215,796,000.00 Own source DSEO
23 Kuwezesha gharama za uendeshaji wa
shule 28 za Sekondari Ifikapo Juni 2019.(
ununuzi wa shajala, na kulipa vibarua).
shule 28 za
sekondari
35,750,000.00 Own source
24 Kuwezesha Wakuu wa shule za Sekondari
kuhudhuria Vikao vya kiutendaji vya Afisa
Elimu Sekondari Ifikapo Juni 2019. (Nauli na
Posho)
Wilayani 27,515,000.00 Own source DSEO
25 Kuwezesha walimu 10 na Wanafunzi 72
wa Sekondari kushiriki michezo ya
UMISETA katika ngazi ya Wilaya ,Mkoa na
Taifa Ifikapo Juni 2019. ( Ada ya kushiriki
Michezo, Nauli na Malazi)
Shule 28 za
sekondari
24,200,000.00 Own source DSEO
26 Kuwezesha gharama za mafunzo ya muda
mfupi na muda mrefu kwa walimu 56 katika
shule 28 sekondari ifikapo Juni 2019.
(Shajala, Nauli na Gharama za Mafunzu)
Shule 28 za
sekondari
15,847,301.00 Own source DSEO
27 Kuwezesha
na kusimamia
maandalizi ya
kujikinga na
kuthibiti
Matukio ya
Majanga
Kuwezesha vifaa vya kujikinga na kuzuia
majanga katika shule 28 za Sekondari
ifikapo Juni 2019. ( Vifaa vya kuzimia moto)
Shule 28 26,303,317.00 Own source DSEO
28 Kuongeza
idadi na
ubora wa
huduma na
Kuwezesha gharama za ujenzi wa nyumba
28 na matengenezo ya nyumba 28 katika
shule 28 za sekondari ifikapo Juni 2019.
Shule 28
zasekondari
412,299,000.00 Own source DSEO
38
miundombinu (Ukarabati Nyumba 28 za Walimu)
29 Kuwezesha gharama za ujenzi wa vyumba
23 vya maabara katika shule 20 za
sekondari ifikapo Juni 2019.
(Ujenzi wa vyumba 23 vya Maabara).
Shule 20
zasekondari
381,536,000.00 Own source DSEO
30 Kumalizia ujenzi wa vyumba 36 vya
Maabara katika shule 17 za sekondari
Ifikapo Juni 2019. (Ujenzi wa vyumba vya
Maabara).
Shule 17 za
sekondari
247,142,699.00 Own source DSEO
31 Kuwezesha Utengenezaji na ukarabati wa
Viti 2,735 na Meza 2,735 katika shule 28 za
Sekondari Ifikapo Juni 2019.
(Utengenezaji/Ukarabati wa samani katika
Shule za sekondari)
Shule 28 za
Sekondari
47,985,400.00 Own source DSEO
JUMLA KUU YA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA MAPATO YA NDANI 1,361,670,000.00
JUMLA KUU YA BAJETI YOTE ELIMU SEKONDARI 4,128,553,000.00
4:8 KITENGO CHA MANUNUZI
4.8.0 UTANGULIZI Kitengo cha Manunuzi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kinategemea kutumia Jumla ya Tsh. 31,846,921.00 ikiwa kiasi cha Tsh. 7,710,150.00 ni kutokana na ruzuku na kiasi cha Tsh. 24,136,771.00 kutokana na Mapato ya Ndani.
RUZUKU (GPG)
S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya
Kuendesha mafunzo ya siku 1 juu ya athari za maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi
Makao makuu 90,000 Ruzuku DCSO
39
VVU/UKIMWI. ifikapo Juni, 2019
2 Mapambano dhidi ya rushwa.
Kutoa mafunzo ya siku 1 ya mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi ifikapo Juni, 2019
Makao makuu 90,000 Ruzuku DCSO
4 Kuimarisha utawala bora na huduma bora kwa jamii.
Kuwezesha uandaaji, ufuatiliaji na usimamizi wa mipango ya manunuzi katika idara 13, Vitengo 6, Sekondari 28 na Shule za msingi 148 ifikapo Juni, 2019
Makao makuu 3,300,000 Ruzuku DCSO
5 Kuwezesha uandaaji wa mpango na bajeti ya Kitengo cha Manunuzi na Kuwezesha uandaaji wa mpango wa Manunuzi wa Halmashauri wa mwaka 2018/2019 ifikapo Juni, 2019
Makao makuu 990,000 Ruzuku DCSO
6 Kuwezesha mafunzo ya siku 4 ya sheria ya manunuzi ya mwka 2011 na kanuni zake za mwaka 2013, Pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa watumishi 9 wa PMU na wajumbe 6 wa Bodi ya Zabuni ifikapo Juni, 2019
Makao makuu, Morogoro, Dodoma & Dar es Salaam
2,140,000 Ruzuku DCSO
7
Kuendesha mafunzo ya siku 3 ya uelewa wa sheria na kanuni za manunuzi ya umma na ufuatiliaji wa taratibu za manunuzi katika Kata 6 ambazo ni Lumuli, Wasa, Ulanda, Kising’a, Migoli na Izazi na vijiji vyenye mazingira magumu vya Maperamengi, , mkumbwanyi, Ivangwa, Chamgogo, Kisilwa,Isaka, Makadupa, Mkombilenga na Holo ifikapo Juni, 2019.
Makao makuu Lumuli, Wasa, Ulanda, Kising’a, Migoli na Izazi
1,100,150 Ruzuku DCSO
JUMLA NDOGO TSH. 7,710,150
40
A. MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE)
S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA MSIMAMIZI
8 Uendeshaji wa ofisi na kuboresha maslahi kwa watumishi.
Kuboresha maslahi kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi ifikapo Juni, 2019
Makao makuu 10,796,771 Mapato ya Ndani DCSO
Uendeshaji wa ofisi (uandaaji nyaraka mbalimbali za manunuzi, likizo, matibabu na vitendea kazi mbalimbali)ifikapo Juni, 2019
Makao makuu 6,920,000 Mapato ya Ndani DCSO
9 Kuimarisha utawala bora na huduma bora kwa jamii.
Kuendesha vikao vya Bodi ya Zabuni, Kitengo cha Manunuzi na timu za tathmini za zabuni mbalimbali zilizotangazwa ifikapo Juni,2019
Makao makuu 3,300,000 Mapato ya Ndani DCSO
10 Kuimarisha Teknologia, Habari na Mawasiliano.
Kuwezesha mafunzo na uwekaji wa mifumo ya kielektronik ya Epicor kwa watumishi 9 wa PMU kwa siku 5 ifikapo Juni, 2019
Makao makuu,Dodoma, Morogoro & Dar es Salaam
3,120,000 Mapato ya Ndani DCSO
JUMLA NDOGO TSH. 24,136,771
JUMLA KUU TSH. 31,846,921
41
4:9 KITENGO CHA SHERIA 4.9.0 UTANGULIZI Kitengo cha Sheria kimepanga kutekeleza shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 zenye gharama ya jumla ya Tshs. 12,858,073 (Mapatoo ya Ndani) kutoka fedha za mapato ya ndani kama inavyoainishwa katika jedwali lifuatalo hapa chini.
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma ya
Jamii na kupunguza
maambukizi ya
VVU/Ukimwi.
Kuwezesha watumishi 3 wa kitengo cha Sheria kuhudhuria
mafunzo siku 1 juu ya maambukizi ya UKIMWI ifikapo Juni
2019.
30,000. Mapato ya Ndani LO
2 Kuendeleza na
kutekeleza kikamilifu
mkakati wa kupambana
na rushwa.
Kuwezesha watumishi 3 wa Kitengo cha Sheria kuhudhuria
mafunzo ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni 2019.
30,000 Mapato ya Ndani LO
3 Kuwezesha utawala
bora na huduma za
kiutawala.
Kuwezesha uandaaji wa wa sheria ndogo 15 na
kuziwasilisha katika mamlaka na taasisi husika ifikapo Juni
2019.
604,050 Mapato ya Ndani LO
Kuboresha maslahi ya watumishi 3 wa kitengo cha sheria.
Gharama za Likizo, Simu na Umeme kwa DLO
4,110,000 Mapato ya Ndani LO
Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Sheria kushiriki
katika uandaaji wa bajeti ya kitengo ya mwaka 2018/19
ifikapo Juni 2019.
600,000
Mapato ya Ndani LO
Kuwezesha upitiaji na uhakiki wa mikataba mbalimbali 40
ifikapo Juni 2019.
290,000 Mapato ya Ndani LO
Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa wajumbe wa mabaraza ya
kata 25 ifikapo Juni 2019.
1,170,000
Mapato ya Ndani LO
Kuwezesha kugharamia vitendea kazi vya ofisi ya kitengo
cha Sheria ifikapo Juni 2019.
1,800,000 Mapato ya Ndani LO
Kuwezesha watumishi 3 wa Kitengo cha sharia kuhudhuria
mafunzo mbalimbali na matukio ya kitaifa ifikapo Juni 2019.
4,224,023 Mapato ya Ndani LO
Jumla kuu sheria 12,858,073
42
4:10 IDARA YA AFYA
4:10:0 UTANGULIZI
Mh. Mwenyekiti, Idara ya Afya katika mwaka 2018/2019 inatarajia kupata na kutumia jumla ya Tshs 2,723,803,623.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kulipa mishahara ya watumishi, gharama za utoaji huduma na uendeshaji wa ofisi. Fedha zitakazotumika zitatoka katika vyanzo nane ambavyo ni Ruzuku kutoka Serikali Kuu jumla ya Tshs 724,047,658.00 (Ruzuku ya uendeshaji wa ofisi Tshs 253,323,000, Ruzuku ya dawa kupitia Bohari ya dawa MSD Tsh; 470,724,658, Mfuko wa Pamoja wa Wahisani (Basket fund) Tshs 1,032,963,000, Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM) Tshs 54,000,000; Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) Tshs 150,800,000; Bima ya Afya (NHIF) Tshs 24,000,000, Kampeni ya Kitaifa ya Usafi wa Mazingira (RWSSP) Tshs 35,000,000, Miradi ya Maendeleo kupitia Shirika la Watoto Duniani (UNICEF) Tshs 495,608,888. na Vyanzo vya Ndani (Own Source) Tshs 207,384,077 (Tshs. 32,584,077 miradi ya maendeleo, Tsh 174,584,077 uendeshaji wa ofisi)
Mh. Mwenyekiti, bajeti hii imezingatia makundi ya shughuli mbalimbali mfano ununuzi wa dawa na chanjo, ununuzi wa vifaa tiba na mitungi ya gesi, kukamilisha ujenzi wa majengo ya nje ya Zahanati katika vijiji viwili, kuunganisha umeme katika Zahanati tano, uendeshaji wa ofisi, malipo ya stahili mbalimbali za watumishi, usimamizi wezeshi, ufuatiliaji na ukaguzi, utoaji wa elimu kwa jamii na mafunzo mbalimbali.
Mh. Mwenyekiti, Idara ya Afya ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya 75 (i.e. Zahanati 64, Vituo vya Afya 10 na Hospitali moja (1),) hivyo bajeti hii imegawanyika katika majedwali ya kasma tano (5) kwa mujibu wa muongozo wa uandaaji wa Mpango Kamambe wa Afya. Kasma hizo ni Mganga Mkuu, Hospitali Teule ya Wilaya, Vituo vya Afya, Zahanati na Jamii. Ufuatao ni mchanganuo wa shughuli hizo kwa kina kwa mtiririko unaozingatia chanzo cha mapato
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA MGANGA MKUU WA WILAYA
1 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya ukaguzi wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma za afya ,kuwafundisha majukumu yao na kufundisha ujazaji wa fomu za OPRAS ifikapo juni 2019
Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.
11,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
43
2 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya 100 juu ya miongozo ,wajibu na majukumu yao katika utendaji kazi ifikapo juni 2019
Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.
12,380,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
3 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo ya siku 10 kwa wajumbe 20 wa uendeshaji huduma ya Afya wilaya (CHMT) juu ya utumiaji wa mfumo wa uandaaji wa mpango na bajet na utoaji wa taarifaPlanrep ifikapo juni 2019
Ifunda 12,650,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
4 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha matengenezo ya magari 4 kutoka katika ofisi ya mganga mkuu kila robo mwaka ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
45,156,625.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
5 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya usimamizi wezeshi kwa kila robo mwaka katika vituo 75 vya kutolea huduma ya Afya ifikapo juni 2019
Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.
42,302,108.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
6 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya maandalizi na uandaaji wa mpango kamambe wa Afya wa mwaka wa fedha 2019/2020 (CCHP) ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
20,975,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
7 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uandaaji wa taarifa mbalimbali za idara ya afya kama vile taarifa za robo, nusu mwaka, mwaka na za miradi ya maendeleo za basket fund, CDR, MTUHA, Usafi wa mazingira na Afya ya mama na mtoto ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
5,900,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
8 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uandaaji wa vikao vya bodi ya Afya ya wilaya vya kila robo mwaka ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
9,770,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
44
9 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika vituo 3 vya Afya wa ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019
Kituo cha Afya Kiponzelo, Kimande na Idodi.
3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
10 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo ya siku 5 kwa waganga 100 wa tiba asilia juu ya miongozo mbalimbali ya huduma ya tiba asilia ifikapo juni 2019
Nzihi 3,250,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
11 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo ya siku 3 kwa waganga wa tiba asilia 100 juu ya utunzaji kumbukumbu za wagonjwa wanaowahudumia ifikapo juni 2019
Nzihi 4,310,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
HOSPITALI TEULE YA TOSAMAGANGA
12 Kupunguza Vifo vya akina Mama Wajawazito
Kufanya Uchunguzi wa Vifo vya akina mama wajawazito ifikapo Juni 2019.
Mahali na mazingira alipokuwa anaishi marehemu
800,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
13 Kupunguza Vifo vya akina Watoto wachanga
Kufanya Mikutano ya kila mwezi Kujadili Vifo, Uchunguzi na Marejeo ya Vifo vya Watoto Wachanga Hospitalini ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
5,076,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
14 Kutoa chanjo na elimu ya uzazi Kutoa huduma za Mkoba kwa Mama,Baba na Mtoto kwa vijiji vitatu vinavyotuzunguka hospitali ya Tosamaganga kila mwezi ifikapo Juni 2019.
Nyamihuu,Ugwachanya na Lupalama
4,860,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
15 Kudhibiti maambukizi ya magonjwa
Kuwezesha ununuzi wa vifaa vya Kuzuia na Kudhibiti maambukizi ya magonjwa kila Mwezi ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
4,500,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
45
16 Kupunguza Vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza
Kuwezesha usafirishaji wa Sampuli za wagonjwa wanaosadikika kuwa na Saratani kwenda Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
1,080,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
17 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kufanya Manunuzi ya dawa na vifaa tiba kila robo mwaka kwa huduma ya Kinywa na Meno ifikapo Juni 2019
Tosamaganga Hospitali Teule
164,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
18 Kuboresha Mazingira ya Hospitali
Kuwezesha Ukarabati wa Wodi 3 za Wagonjwa na nyumba 4 chakavu za watumishi ifikapo Juni 2019
Tosamaganga Hospitali Teule
16,851,750.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
19 Kutoa Motisha kwa Wafanyakazi
Kuwezesha utoaji wa Posho kwa watumishi wanaofanya kazi baada ya muda wa kazi masaa ya ziada na za Watumishi wanaoitwa baada ya muda wa kazi kwa ajili ya dharura ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
62,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
20 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kuwezesha ununuzi wa shajala kwa ajili ya matumizi ya Ofisi na Kumbukumbu za Wagonjwa ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
12,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
21 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kufanya Mikutano ya kila mwezi ya Kamati ya Uendeshaji ya Hospitali ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
3,384,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
22 Kuandaa Mpango Kabambe wa Afya
Kuwezesha maandalizi na uwasilishaji wa Bajeti ya Hospitali katika Mpango Kabambe wa Afya kwa Mwaka wa Fedha 2019/2019 ifikapo Juni 2019.
Mafinga au sehemu nyingine itakayopendekezwa na DMO
6,595,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
23 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kufanya Mikutano ya kila robo mwaka ya Kamati ya Tiba ya Hospitali ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
1,128,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
46
24 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kufanya usimamizi wezeshi na usimamizi elekezi kwa vituo vya Afya na Zahanati zilizopo katika Tarafa za Kalenga na Mlolo ifikapo Juni 2019.
Tarafa za Kalenga na Mlolo
24,350,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
25 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa
Kufanya Matengenezo ya Magari 3 na Mitambo ya Hospitali ifikapo Juni 2019.
Tosamaganga Hospitali Teule
10,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mfawidhi
KASMA YA VITUO VYA AFYA
26 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha manunuzi ya dawa na vifaa tiba kwa ajili ya kusambaza katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
161,273,103.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
27 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa delivery kit 10 na kuzisambaza katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
2,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
28 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha rufaa za wagonjwa kutoka katika vituo vya kutolea huduma za afya kwenda Hospitali ya rufaa ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
9,071,125.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
29 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha utoaji wa huduma ya uzazi wa mpango kwa njia ya mkoba kila mwezi katika vituo vya Afya 3 ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 3 vya Kimande, Nzihi na Isman
7,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
47
30 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa vifaa vya upasuaji kwa ajili ya kituo cha Afya Kiponzelo ifikapo juni 2019
Kituo cha Afya Kiponzelo
23,677,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
31 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo elekezi kwa watoa huduma 10 kwa siku 3 kutoka katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
1,580,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
32 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uanzishwaji wa vikundi 2 vya wagonjwa wa TB katika vituo vya afya vya Idodi na Kimande ifikapo juni 2019
Vituo vya afya vya Idodi na Kimande
6,217,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
33 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji na usambazaji wa vifaa vya maabara katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
21,646,796.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
34 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 20 kutoka katika vituo vya Afya 10 juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono na jinsi ya kuyatibu ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
2,994,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
35 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya upasuaji wa vikope jicho katika vituo 5 vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 5 vya Isman, Migoli, Kimande, Idodi na nzihi
9,260,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
48
36 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa vifaa kwa ajili ya kliniki ya meno kituo cha Afya Nzihi ifikapo juni 2019
Kituo cha afya Nzihi
7,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
37 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uandaaji wa mipango na bajeti ya vituo vya Afya kwa mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
7,790,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
38 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika vituo 3 vya Afya wa ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 3 vya Kimande, Kiponzelo, na Mgama
7,348,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA ZAHANATI
39 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa dawa na vifaa tiba vya uzazi wa mpango katika zahanati 63 ifikapo juni 2019
Zahanati 63 4,450,034.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
40 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa delivery kit 10 na kuzisambaza katika zahanzti 10 ifikapo juni 2019
Zahanati 10 za Itwaga, Mangalali, Weru, Nyavangala, Ilambilole, Izazi, Udumka,Wasa, Igula na Makuka
4,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
41 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji na usambazaji wa vifaa vya mnyororo baridi na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 27,524,897.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
49
42 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya kampeni ya kitaifa ya ugawaji wa matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika vijiji 133 kwa awamu mbili ifikapo juni 2019
Vijiji 133 8,800,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
43 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kutoa huduma ya mkoba katika vijiji 42 ifikapo juni 2019
Vijiji 42 10,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
44 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ukusanyaji wa chupa 700 za damu salama kila robo mwaka kutoka kwa wanaojitolea kutoa damu katika vijiji 133 ifikapo juni 2019
Vijiji 133 7,700,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
45 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa vyandarua 126 vyenye dawa na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.
700,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
46 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa vifaa vya maabara vya upimaji wa TB na kuvisambaza katika zahanati 26 ifikapo juni 2019
Zahanati 26 zenye watumishi wa maabara
56,268,408.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
47 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya magonjwa ya ngono na kuzisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 2,851,500.00 Mfu ko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
48 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuaji wa vifaa vya kuhifadhia taka na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 5,300,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
49 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa za kisukari kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 32,217,315.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
50
50 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa za Afya ya akili kwa ajili ya zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 32,160,853.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
51 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa za kutibu magonjwa ya moyo kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 5,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
52 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya kampeni ya uhamasishaji na ugawaji wa dawa za magonjwa yasiyopewa kipaumbele katika vijiji 133 ifikapo juni 2019
Vijiji 133 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
53 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa za kutibu magonjwa ya macho kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 1,977,240.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
54 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya magonjwa ya meno kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 7,545,525.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
55 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kutoa huduma ya mkoba ya kutibu wagonjwa wa meno katika vituo 10 vya kutolea huduma za Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi, Mlowa na Mgama
5,450,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
56 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa viti 10 kwa ajili ya walemavu 10 ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
2,836,771.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
51
57 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha matengenezo ya kila robo ya vifaa tiba katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
58 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uandaaji wa mipango na bajeti ya zahanati 64 kwa mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 11,280,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
59 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika zahanati 10 kwa ajili ya ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019
Zahanati 10 za Itwaga, Mangalali, Weru, Nyavangala, Ilambilole, Izazi, Udumka, Makuka, Igula na Ifunda
8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
60 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba vya dharula kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati 64 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA JAMII
61 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
kuwezesha jamii ya isaka ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019
Kijiji cha Isaka 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
62 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
kuwezesha jamii ya magozi ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019
Kijiji cha Magozi 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
63 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
kuwezesha jamii ya Isupilo ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019
Kijiji cha Isupilo 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
64 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
kuwezesha jamii ya Msuluti ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019
Kijiji cha Msuluti 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani
Mganga Mkuu (W)
52
JUMLA KUU - MFUKO WA PAMOJA WA WAHISANI 1,033,163,000.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA MGANGA MKUU
65 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuandaa bajeti ya mishahara ya mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
1,950,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
66 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwesha malipo ya stahiki za watumishi 24 waliopo katika ofisi ya mganga mkuu wa wilaya ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
4,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
67 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha matengenezo ya magari 4 kutoka katika ofisi ya mganga mkuu kila robo mwaka ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
15,729,985.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
68 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kufanya usimamizi wezeshi kwa kila robo mwaka katika vituo 75 vya kutolea huduma ya Afya ifikapo juni 2019
Vituo 75 vya kutolea huduma za afya
7,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
69 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ulipaji wa bili za umeme,simu na maji katika ofisi ya mganga mkuu ifikapo juni 2019
Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya
13,700,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA HOSPITALI TEULE YA TOSAMAGANGA
53
71 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya watumishi 57 wanaoitwa kazini baada ya masaa ya kazi (Oncall alowance) katika hositali teule ya Tosamaganga ifikapo juni 2019
Hospitali Teule ya Tosamaganga
15,510,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA VITUO VYA AFYA
72 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba vya maabara kwa ajili ya HIV/AIDS na kuvisambaza katika vituo vya kutolea huduma ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
27,106,015.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
73 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya oncall allowance kwa watumishi 80 waliopo katika vituo vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
32,120,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
74 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ulipaji wa stahiki mbalimbali za watumishi 160 waliopo katika vituo vya Afya 10 vya kutolea huduma ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
38,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
75 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya wafanyakazi bora kutoka katika vituo vya kutolea huma ya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
2,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
54
76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha manunuzi na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kutoka bohari ya dawa (MSD) na kuvisambaza katika vituo vya afya 10 Ifikapo Juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
170,724,658.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (MSD)
Mganga Mkuu (W)
76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha matengenezo ya vifaa tiba kwa kila mwezi ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
31,998,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA ZAHANATI
76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya mishahara kwa watumishi mbalimbali wa zahanati 64 ifikapo Juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
2,700,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (Mishahara)
Mganga Mkuu (W)
77 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha manunuzi na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kutoka bohari ya dawa (MSD) na kuvisambaza katika Zahanati 64 Ifikapo Juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
300,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (MSD)
Mganga Mkuu (W)
78 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo mbalimbali ya stahili za watumishi 324 kutoka katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
39,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
55
79 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya oncall allowance kwa watumishi 324 waliopo katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
23,209,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu
Mganga Mkuu (W)
JUMLA KUU - RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU
724,047,658.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA VITUO VYA AFYA
80 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa tumia fedha za CHF ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
8,200,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
81 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya dharula kwa kutumia fedha za CHF ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
8,800,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
82 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha kamati za usimamizi wa huduma za Afya katika vituo vya Afya kushishiriki katika kuibua vipaumbele kwa ajili ya kuandaa mipango na bajeti ya vituo vya Afya 10 ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
7,750,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
83 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha kufanya mikutano ya kila robo mwaka ya kamati za vituo vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
4,760,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
56
KASMA YA ZAHANATI
84 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za CHF katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
97,500,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
85 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya kila mwezi ya utilities katika zahanati 64 kwa kutumia fedha za CHF ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
18,900,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
86 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa maboksi 64 ya kutolea maoni katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
5,000,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii
Mganga Mkuu (W)
JUMLA - MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
150,910,000.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
87 KASMA YA VITUO VYA AFYA
88 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za NHIF na kuzisambaza katika vituo vya Afya ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
11,050,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya
Mganga Mkuu (W)
89 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha kudurufu vitabu vya HMIS katika vituo vya Afya 10 ifikapo juni 2019
Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama
950,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya
Mganga Mkuu (W)
KASMA YA ZAHANATI
57
90 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za NHIF katika zahanati 64 ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
12,000,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya
Mganga Mkuu (W)
JUMLA - BIMA YA AFYA 24,000,000.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA JAMII
91 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha umaliziaji wa jengo la wagonjwa wa nje katika zahanati ya Mgera ifikapo juni 2019
Zahanati ya Mgera 25,000,000.00 HSDG/MMAM Mganga Mkuu (W)
92 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha umaliziaji wa jengo la wagonjwa wa nje katika zahanati ya Kihorogota ifikapo juni 2019
Zahanati ya Kihorogota 29,000,000.00 HSDG/MMAM Mganga Mkuu (W)
JUMLA - HSDG / MMAM
54,000,000.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA JAMII
93 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ujenzi wa Hospitali ya wilaya ifikapo juni 2019
Kijiji cha Mgama 32,584,077.00 MAPATO YA NDANI
Mganga Mkuu (W)
58
94 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii
Kuwezesha malipo ya ankara mbalimbali na ufungaji wa mifumo ya kieletroniki kwenye vituo 61 vya kutolea huduma ifikapo Juni 2019
vituo 61 vya kutolea huduma za afya
174,800,000.00 MAPATO YA NDANI
Mganga Mkuu (W)
JUMLA - MAPATO YA NDANI
207,384,077.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA MGANGA MKUU WA WILAYA
95 Kupanua wigo na ubora wa usafi wa mazingira katika shule za msingi toka 12% hadi 16% ifikapo Juni 2018
Kuandaa na kuendesha mafunzo kwa Maafisa Afya na Waratibu Elimu katika Kata 8 juu ya Mkakati wa maji safi/salama, Usafi wa mwili na mazingira (WASH) mashuleni kwa muda wa siku 6 ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu, Mboliboli, Izazi, Ilolompya, Mlowa, Idodi na Migoli
12,480,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
96 Kufanya Upembuzi wa kina juu ya hali halisi ya maji safi na salama, usafi wa mwili na mazingira mashuleni, katika shule zote zilizopo katika vijiji vya kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli kwa kutumia mwongozo maalumu (Revised SWASH guideline) hadi kufikia Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
7,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
59
97 Vituo 30 vya huduma ya afya na vijiji 60 vinatoa huduma ya uzazi na watoto wachanga zilizo boreshwa ifikapo juni 2018
Kutoa mafunzo kwa watoa huduma wapya 30 juu ya utoaji huduma na uandaaji wa taarifa za huduma ya uzazi na watoto wachanga kwa kufuata miongozo ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Mgama, Izazi, Migoli, Itunundu, Ilolompya na Idodi
8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
98 Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kupungua kutoka 6% kwenda chini ya 5% ifikapo juni 2018
Kuendesha mafunzo rejea kwa watumishi 30 kutoka katika vituo 30 yanayohusu kuzuia maambukizi vya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na ugunduzi wa mapema wa VVU kwa watoto wachanga kwa kutumia miongozo mipya kwa muda wa siku 5 ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli
11,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
99 Kuwezesha ukusanyaji na usafirishaji wa sampuli za damu kwa watoto wachanga waliozaliwa na mama wenye VVU katika vituo 75 na kuzipeleka maabara kuu ya kanda Hospitali ya rufaa Mbeya ifikapo juni 2019
Vituo 75 vinavyotoa huduma za afya.
9,600,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
100 Kutoa mafunzo kwa wasimamizi 22 wa uendeshaji wa huduma za afya wilaya juu ya utambuzi wa maeneo ambayo watoto hawafikiwi katika utoaji wa huduma za chanjo na kuandaa mpango kwa siku 3 ifikapo juni 2019
Ifunda 8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
60
101 Kuendesha mafunzo kwa vitendo na usimamizi wezeshi kila robo mwaka kuhusu utoaji wa huduma za kuzuia VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na ,ugunduzi wa mapema wa VVU kwa watoto wachanga na utunzaji sahihi wa takwimu za mama wenye VVU katika vituo 75 vya kutolea huduma za afya ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli
19,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
102 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2018
Kufanya vikao vya kamati ya wilaya ya lishe yenye wajumbe 12 kila robo mwaka ifikapo juni 2019
Makao Makuu (W) 7,805,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
103 Vituo 30 vya kutolea huduma ya afya na vijiji 60 vinatoa huduma ya uzazi na watoto wachanga zilizo boreshwa ifikapo juni 2018
Kufanya mikutano ya kujadili sababu za vifo vinavyotokana na uzazi na vifo vya watoto wachanga na kupanga mikakati ya kupunguza vifo hivyo kila robo mwaka ifikapo juni 2019
Makao Makuu (W) 5,600,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
104 Kuwafuatilia na kutoa chanjo kwa watoto walioachwa kwenye ratiba ya chanjo/waliochelewa kuchanjwa kwa kuzingatia mpango wa watoto walioachwa nje ya ratiba ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli
8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
KASMA YA JAMII
61
105 Kupanua wigo na ubora wa usafi wa mazingira toka Kaya 1,550 hadi kufikia kaya 2,385 ifikapo Juni 2017
Kuendesha vikao elekezi vya siku 2 kwa baraza la maendeleo la kata, mabaraza ya maendeleo ya vijiji vilivyopo kata ya Mlenge, Mboliboli na Itunundu, wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya na waalimu juu ya usafi bora wa mazingira na mpango wa WASH kwa mashule ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
14,355,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
106 Kiwango cha chanjo kuongezeka kutoka 83.3% kwenda 99% ifikapo juni 2018
Kuwezesha timu ya wilaya kutambua mapungufu ya watoa huduma za chanjo na kuimarisha timu ya uendeshaji huduma za afya wilaya kuhusu utoaji wa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma wapya ifikapo juni2019
Vituo 75 vinavyotoa huduma za afya.
16,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
107 Kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi kutoka 306/100,000 hadi 290/100,000 ifikapo juni 2018
Kutoa mafunzo kuhusu huduma za dharura za uzazi na usalama wa watoto wachanga ifikapo juni 2019
Kata ya Mgama 24,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
108 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019
Kufanya usimamizi elekezi wa masuala ya lishe katika vituo 75 vya kutolea huduma za afua na ukusanyaji wa takwimu ifikapo juni 2019
Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya
8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
109 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019
Kutoa mafunzo ya siku 5 kwa watoa huduma 44 kuhusu mikakati ya lishe ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama
11,244,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
62
110 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019
kufanya usimamizi wezeshi kwa vitendo kwa watoa huduma 45 juu ya utoaji wa huduma endelevu kwa watu wanaoishi na VVU juu ya lishe bora ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama
8,030,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
111 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019
Kuwezesha utoaji wa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma 15 kutoka vituo 5 katika kata 4 juu ya ulaji wa mtoto na unyonyeshaji pekee wa maziwa ya mama ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama
3,550,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
112 Uanzishaji na uendelezaji wa promosheni za Afya ya jamii, kinga na udhibiti wa magonjwa na ulemavu Katika ngazi za jamii na vituo vya kutolea huduma wilayani ifikapo Juni 2018
Kuandaa na kuendesha mafunzo rejea ya siku 2 kwa watoa huduma 56 wa afya ya Jamii juu ya Mfumo wa Kijamii wa ukusanyaji taarifa za afya ya uzazi na mtoto, chanjo na Lishe ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
6,290,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
113 Kuandaa na kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa watendaji wa kijamii 220 (CORPs) juu ya Early Child stimulation kwa watoto walio na umri wa miaka 0 hadi 3 ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
12,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
114 Kufanya uhamasishaji jamii juu ya ushiriki wa kina-baba kwenye huduma za kuzuia maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) ifikapo Juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
15,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
63
115 Kuinua ubora wa usafi wa mazingira na unawaji mikono kwa sabuni katika shule za msingi toka 12% hadi 16% ifikapo Juni 2014
Kuboresha matundu 40 ya vyoo bora katika shule 3 za msingi katika kata za Itunundu, Mlenge na Mboliboli ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
93,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
116 Kuwezesha uanzishwaji na kufundisha klabu za usafi wa mazingira katika shule za msingi 6, ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
2,850,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
117 Kuongeza kiwango cha ubora wa usafi wa mazingira toka Kaya 1,550 hadi kufikia kaya 2,385 ifikapo Juni 2018
Kutoa mafunzo ya ujenzi wa choo bora na aina mbalimbali za vifaa vya kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kwa mafundi wa ujenzi 18 ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
8,830,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
118 Kuendesha zoezi la uchefuaji ngazi ya jamii katika vijiji teule 6 ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
12,520,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
119 Kuendesha mashindano ya usafi wa mazingira ngazi ya shule za msingi, kaya katika vitongoji, na vijiji vilivyopo katika kata 3 za Mlenge, Itunundu na Mboliboli ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
7,660,800 UNICEF Mganga Mkuu (W)
120 Kuendesha vikao 4 vya tathmini ya utendaji na utoaji mrejesho kwa ngazi zote wa timu ya maji ya wilaya , usafi wa mwili na mazingira, watendaji wa Kata, watendaji wa vijiji na wahamasishaji ngazi ya jamii ifikapo Juni 2019
Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli
1,750,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
64
121 Uelewa wa wanajamii juu ya huduma za afya ya msingi kuongezeka katika vijiji 40 ifikapo juni 2018
Kutambulisha miongozo na taratibu za wahudumu ngazi ya jamii namna ya kuwahudumia na kuwashauri wazazi juu ya kuwatunza watoto wenye umri kuanzia 0 mpaka miaka 3 kila kijiji siku 1 ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
32,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
122 Kiwango cha chanjo kuongezo kutoka 83.3 kwenda 99% ifikapo juni 2018
kufanya mafunzo ya siku 7 ya kuwajengea uwezo wajumbe 22 wa kamati ya uendeshaji wa huduma ya afya wilaya kuhusu kutambua changamoto katika utoaji wa huduma za chanjo na kutoa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma za afya 30 ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
16,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
123 Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kupungua kutoka 6% kwenda chini ya 5% ifikapo juni 2018
Kufanya mikutano ya uhamasishaji kwa wahudumu wa afya wa msingi 56 juu ya namna ya utunzaji wa watoto katika vjiji 20 ifikapo juni 2019
Kata ya Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
32,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
124 Kufanya mikutano na kuanzisha vikundi vya akina mama na wenza wao wanaoishi na VVU katika vijiji 20 vinavyohudumiwa na zahanati hizo ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
20,873,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
0 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2018
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watoa huduma 56 wa Afya ya Msingi juu ya Afua muhimu za Lishe ifikapo juni 2019
Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
23,190,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)
122 Kuwafundisha watoa huduma wa Afya ya Msingi 56 juu ya ulishaji bora wa watoto kwa siku 1 ifikapo juni 2019
Kata ya Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama
29,380,200 UNICEF Mganga Mkuu (W)
JUMLA - UNICEF 495,608,000
65
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
KASMA YA JAMII
123 Kaya 3,534 kufikiwa na huduma ya vyoo bora na unawaji wa mikono kwa sabuni ifikapo juni 2018
Kukusanya takwimu za awali katika kaya na shule za msingi 6 ili kufaniksha usafi ifikapo juni 2019
Kata ya Mahuninga na Idodi
4,660,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
124 Kuwatambua na kutoa mafunzo ya siku 3 kwa wahudumu wa afya watano 5 na mafundi 5 wa kutengeneza visungura na ujenzi wa vyoo bora ifikapo juni 2019
Kata ya Mahuninga na Idodi
9,280,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
125 Kufanya mikutano ya robo mwaka kuangalia mafanikio ya utendaji kwa Timu ya huduma za maji na usafi wa mazingira Wilaya, Wawezeshaji ngazi ya Wilaya, WEO's, VEO's, Wawezeshaji ngazi ya Jamii na kupeana mshindo nyuma ifikapo june 2019
Kata ya Mahuninga na Idodi
3,310,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
126 Kuwezesha utekelezaji wa mashindano ya usafi wa mazingira na mtu binafsi nyumba kwa nyumba katika vitongoji 33 na vijiji 9 vya kata za Mahuninga na Idodi ifikapo 2019
Kata za Mahuninga na Idodi
6,750,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
127 Kufanya usimamizi wezeshi uelimishaji na ufuatiliaji kwa watumishi wa ugani na wachefuaji wa vijijini 9 vya kata ya Idodi na Mahuninga, mafundi wa vijijini 18 ifikapo juni 2019
Kata za Mahuninga na Idodi
7,000,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
66
4:11 IDARA YA MAENDELEO YA JAMII
Idara ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Tshs 2,413,198,418 kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ikiwa ni matumizi ya kawaida na miradi ya
maendeleo kwa mchanganuo ufuatao, Mapato ya ndani Tshs 298,226,735 (Fedha za uendeshaji wa ofisi 29,936,735, Fedha za mfuko wa wanawake
na vijana 253,290,000 na fedha mapambano dhidi ya UKIMWI 15,000,000), Fedha za ruzuku kutoa serikalini Tshs. 6,026,417 na fedha miradi za
wafadhili Tshs 2,108,945,266 (Mpango Makuzi na Malezi ya Mtoto ( UNICEF) 53,935,000 na Mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) Mpango wa
kunusuru kaya maskini Tshs 2,055,010,266 ).Mchanganuo wa shughuli zitakazotekelezwa umeonyeshwa kwenye jedwali hapa chini
A: RUZUKU KUTOKA SERIKALINI.
NA LENGO SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kupambana na rushwa ili kuboresha mazingira ya kiutendaji
Kutoa mafunzo kwa watumishi 38 juu ya kupambana na rushwa mahali pa kazi ifikapo 2019
Makao makuu 380,000.00 Fedha ya ruzuku ya serikali kuu
DCDO
2 Kuwezesha wadau wa maendeleo kushiriki katika upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo
Kutoa mafunzo ya siku 1 juu ya utawala bora,upangaji wa mipango , bajeti na usimamizi kwa wajumbe wa Halmshauri za vijiji 1000 katika vijiji 40 ifikapo Juni 2019
Katika kata 10 za Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Migoli, Mgama, Lyamgungwe Nyang'oro, Kiwere, Ilolompya na Magulilwa
3,555,000.00 Fedha ya ruzuku ya serikali kuu
DCDO
128 Kutoa mafunzo ya siku 2 kwa watoa huduma 6 na mafundi 18 juu ya utengenezaji wa Mafiga ya kisasa ya choo (Visungura) katika kata za Idodi na Mahuninha ifikapo Juni 2019
Kata za Mahuninga na Idodi
4,000,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)
JUMLA - RWSSP 35,000,000.00
JUMLA KUU - IDARA YA AFYA 2018 - 2019
9,476,098,492.00
67
3 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia
Kufanya ufuatiliaji wa utendaji kazi wa mabaraza ya watoto ngazi ya kata 12 na kuwezesha uanzishaji wa baraza la wilaya ifikapo Juni 2019
Katika Kata 12 za Mgama ,Wasa, Nyang'oro, Mlowa , Itunundu, Malengamakali ,Mboliboli,Izazi,Maboga, Lyamgungwe, Mlenge ,Ilolompya na Kihorogota.
2,091,417.00 Fedha ya ruzuku ya ruzuku ya serikali kuu
DCDO
JUMLA NDOGO VYANZO VYA BLOCK GRANT 6,026,417.00
B: FEDHA KUTOKA MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE)
NA LENGO SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
4
Kuwezesha utawala bora na huduma za kiutawala
Kuwezesha gharama ya uendeshaji wa ofisi na stahili za watumishi kwa kila mwezi na kulipa madeni ( rikizo za watumishi , matibabu , umeme , madeni ya watumishi , matengenezo ya gari, gharama za uhamisho, gharama za simu, ununuzi wa samani za ofisi, lishe kwa watumishi kwa watumishi wanaoishi na VVU/ UKIMWI vifaa vya usafi na ununuzi wa shajara ) ifikapo Juni 2019
Makao makuu 15,000,000 Mapato ya ndani
DCDO
Kuwawezesha watumishi kuhudhuria mikutano 4 ya kila robo ya kisekta (kitaifa,mkoa na wilaya ) ifikapo Juni 2019
Itategemea na mahali mkutano utakopofanyika
2,000,000 Mapato ya ndani
DCDO
5 Kufanya mikutano ya uhamasishaji na ufuatiliaji wa shughuli za kujitegemea ili kuamsha ari ya wananchi katika katika kushiriki shughuli za maendeleo katika vijiji 60 ifikapo Juni 2019
Katika kata za Mseke, Magulilwa, Nduli, Izazi , Migori ,Luhota, Mahuninga , Idodi , lumuli , Nyang'oro, Maboga , Kihanga. Lyamgungwe
4,141,735 Mapato ya ndani
DCDO
68
6 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia
Kufanya mikutano 25 ya kuelimisha jamii juu ya ukatili wa kijinsia katika vijiji 25 vya kata 10 ifikapo Juni 2019
Katika kata za kata, Malengamakali, Idodi, Kihorogota, Itunundu, Migoli, Ulanda, Wasa Magulilwa, Kiwere, Kisinga, Mboliboli. Mboga, Maboga.
1,275,000 Mapato ya ndani
DCDO
Kuwezesha maadhimisho 4 mbalimbali ya kitaifa katika ngazi ya wilaya(siku ya wanawake,siku ya familia na siku ya mtoto, Siku ya UKIMWI Duniani, Kampeni ya kupinga ukatili Dhidi ya wanawake na watoto ) ifikapo Juni 2019
Maeneo yatakayo pangwa Maadhimisho
4,040,000 Mapato ya ndani
DCDO
Kuwezesha watumishi 4 wa idara kuhudhuria kikao cha maandalizi ya bajeti ifikapo juni 2019
Itategemea na mahali mkutano utakopofanyika
1,960,000 Mapato ya ndani
DCDO
8
Kutoa mafunzo kwa viongozi wanawake kutoka katika vikundi 16 namna ya kushiriki kujitokeza katika nafasi mbalimbali za uongozi Ifikapo 2019
Kata 16 Mlowa , Kihanga na Mahuninga , Mlenge , Lumuli, Luhota, Kalenga , Nzihi , Ilolo Mpya , Nyang'oro , Malengamakali , Izazi , Migoli, Lyamgungwe
1,140,000 Mapato ya ndani
DCDO
9
Kuberesha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/UKIMWI
Kutoa mafunzo kwa watumishi 38 wa Idara juu ya kujikinga na mmambukizi ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2019
Watumishi 38 wa idara 380,000 Mapato ya ndani
DCDO
JUMLA NDOGO MAPATO YA NDANI 29,936,735
C: MCHANGO WA HALMASHAURI KUCHANGIA MFUKO WA WANAWAKE NA VIJANA KWA MAKUSANYO YA PATO LA NDANI
69
NA
LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
10 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia
15 Kutoa mafunzo ya siku 2 juu ya ujasiriamali na kuhamasisha uanzishaji wa viwanda vidogo vidogo kwa vya wanawake 140 na vikundi 60 ifikapo Juni 2019
Kata za Lumuli, Mgama, mseke, Ifunda, Ulanda, Kalenga , Nduli, Luhota, Migoli , Kiwere , Nzihi Migoli
11,645,000.00 Mapato ya ndani
DCDO
17
Kufanya ufutiliaji wa urejeshaji wa mikopo na uendeshaji wa vikundi kwa vikundi 140 vya wanawake , na vikundi 60 vya vijana ifikapo Juni 2019
katika kata zote 28 13,645,000 Mapato ya ndani
DCDO
18
Kutoa mikopo kwa vikundi 140 vya wanawake na 60 vya vijana ifikapo Juni 2019
Kata 28 Mikopo itatolewa kulingana na maombi kutoka kwenye vijiji
228,000,000 Mapato ya ndani
DCDO
JUMLA NDOGO VYANZO VYA NDANI VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA 253,290,000
D. MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI
LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
11 Kuboresha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/ UKIMWI
16 Kuendesha mafunzo ya siku 1 juu ya UKIMWI na afya ya Uzazi kwa wanafunzi 2300 wa sekondari katika sekondari 23 ifikapo Juni 2019
Katika shule za sekondari za Lipuli, Kidama ,Idodi, Dimitrius, Ilolompya, Pawaga, Kiwele, Kihanga, Wasa, Ilambilole, Isimani, Nyang'oro, Nyerere, Mseke, Lyandembela, Kiponzelo, Mgama, Isimila, Mhwana na Luhota.
2,100,000 Mapato ya ndani
DCDO/CHAC
12 18 Kuendesha mkutano wa siku 1 kwa viongozi wa kijamii , watu maarufu na viongozi wa dini 400 katika vijiji 10 juu ya shughuli za kudhibiti UKIMWI ifikapo Juni 2019
Kata za Kihanga, Malengamakali, Mbolimboli, Masaka, Mgama, Lyamgungwe, Nyang'oro, Wasa, Kalenga, Nzihi
3,400,000 Mapato ya
ndani
DCDO/CHAC
70
13 21 Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe 450 kwa kamati za UKIMWI kata 18 juu ya wajibu , majukumu yao na kuwapatia miongozo ya uendeshaji wa shughuli za mapamabano dhidi ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2019
Katika kata za Maguliwa, Ifunda ,Masaka, Wasa, Maboga, Kihanga , Ilolompya, Kihorogota, Migoli, na Malengamakali .
7,900,000 Mapato ya ndani
DCDO/CHAC
14 25 Kuwezesha uratibu, ufuatiliaji kwa kila robo ,gharama za ofisi na kuhudhuria vikao mbalimbali ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya wilaya 1,600,000.00 Mapato ya
ndani
DCDO/CHAC
15,000,000
F: MPANGO WA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO (UNICEF )
LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
15 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia
1 Kufanya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika na kutoa elimu ya kupinga akatili wa mtoto ifikapo June 2019
Eneo litakalo pangwa 3,650,000 UNICEF DCDO
2 Kufanya ufuatiliaji kwenye vikundi 15 vya malezi katika kata 15 juu ya utekelezaji wa shughuli za ulinzi na usama wa mtoto ifikapo June 2019
Kihorogota , izazi , Itunundu , Ilolo mpya , Malengamakali , Mgulilwa , Lyamgungwe , Lumuli , Ifunda , Kalenga , Nzihi , Migoli , Luhota , Mseka , Masaka
7,580,000 UNICEF DCDO
3 Kufanya ufuatiliaji na kutoa msaada wa fedha za usafiri kwa wawezashaji jamii wa malezi ngazi ya kata (TOTs) 60 katika kata 10 ifikapo Juni 2019.
Kihorogota , izazi , Itunundu , Ilolo mpya , Malengamakali , Mgulilwa , Lyamgungwe , Lumuli , Ifunda , Kalenga , Nzihi , Migoli , Luhota , Mseka , Masaka
3,840,000 UNICEF DCDO
71
4 Kuwezesha kutoa mafunzo na kuongoza mijadala ya siku mbili kwa viongozi 8 wa kijamii (LGAs, CBOs, NGOs and FBOs) juu ya kuzuia ukatili kwa watoto kwa mila kandamizi katika kata 5 ifikapo Juni 2019
Kata 10 migoli, Mboliboli, itunundu, kiwele, kihanga, mgama, mahuninga, ilolompya, maboga, malengamakali
8,225,000 UNICEF DCDO
5 Kuwezesha waandishi wa habari kutoa elimu kwa njia ya radio na kuibua matukio ya ukatili dhidi ywa watoto katika kata 16 ifikapo Juni 2019
Kata 10 Ulanda , Mseka , Masaka , Kihorogota , lyamgungwe, wasa, mlenge, ifunda, kihorogota, luhota, lumuli,ifunda, izazi, Nyang’olomalengamakali na nzihi
1,440,000 UNICEF DCDO
6 Kutoa mafunzo kwa walimu wakuu na walimu wa ushari nasaha 27 kutoka katika shule za masingi 9 juu malezi bora, kuzuia ukatili dhidi ya watoto na utoaji wa taarifa za matukio ya ukatili watoto ifikapo Juni 2019
Idodi , Mahuninga, Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Ilolo mpya, kiwere, magulilwa na wasa
9,640,000
UNICEF DCDO
7 Kutoa mafunzo wawezeshaji jamii ngazi ya kata 36 katika kata 6 juu ya malezi bora na kuzuia ukatili dhidi ya watoto ifikapo Juni 2019
Idodi, Mahuninga, Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Ilolo mpya,
11,400,000 UNICEF DCDO
16 8 Kutoa mafunzo kwa kwa wazazi wanaoamika 120 kutoka katika vijiji 60 kila kijiji watu 2 juu ya malezo bora ya mtoto na kuzuia ukatili dhidi ya mtoto ifikapo June 2019.
Kihorogota, izazi, Itunundu, Ilolo mpya, Malengamakali, Mgulilwa, Lyamgungwe, Lumuli, Ifunda, Kalenga, Nzihi, Migoli, Luhota, Mseka, Masaka
8,160,000
UNICEF DCDO
JUMLA 53,935,000
G: MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI ( PSSN)
72
LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA
FEDHA
MSIMAMIZI
Kuwezesha wadau wa maendeleo kushiriki katika upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo
19 Kufanya Uhawilishaji wa fedha (Cash Transfer ) kwa kaya 8,144 katika vijiji 82 vilivyopo kwenye Mpango wa kunusuru kaya Maskini ifikapo June 2019
Vijiji 82 vilivyopo katika kata 28 1,844,253,266 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF
21 Kuwezesha usimamizi na uhawilishaji fedha katika vijiji 82 kwa awamu 6 ikiwa ni posho za wanakamati wakati wa kuchukua fedha na kulipa,wawezeshaji ,wenyeviti wa vijiji na ununuzi wa shajala na mafuta katika ifikapo Juni 2019
Vijiji 82 katika kata 28 203,007,500 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF
23 Kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Kamati za usimamizi za miradi, wataalam na wadau mbalimbali wa utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya Maskini ifika June 2019
Kata 28 7,749,500 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF
JUMLA NDOGO MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII ( TASAF ) 2,055,010,266
1 FEDHA ZA RUZUKU KUTOKA SERIKALINI (BLOCK GRANT) 6,026,417
2 MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE) 29,936,735
3 MCHANGO WA MFUKO WA WANAWAKE NA VIJANA KUTOKA VYANZO VYA NDANI 10% 253,290,000
4 MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF 2,055,010,266
5 MCHANGO WA HALMASHAURI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI (OWNSOURCE) 15,000,000
6 MPANGO WA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO (UNICEF) 53,935,000
JUMLA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII + UNICEF+ TASAF 2,413,198,418
73
4:12 KITENGO CHA TEHAMA
4:12:0 UTANGULIZI
Kitengo cha TEHAMA kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kinatarajia kupata na kutumia kiasi cha Tsh. 37,805,740.00 kwaajili ya utekelezaji wa
shughuli za usimamiaji na uendeshaji wa mifumo yote ya Kompyuta, Uboreshaji wa Miundombinu ya mawasiliano ya Kompyuta, Kuwezesha vifaa
vya kugawanya mawasiliano ya internet, kuwezesha upatikanaji wa mtandao wa “Internet”, Tovuti na barua pepe za Halmashauri, kusimamia na
kuboresha Habari na Mahusiano katika Halmashauri pamoja na uendeshaji wa ofisi kwa ujumla. Fedha zitakazotumika na Kitengo zitatoka katika
vyanzo viwili, chanzo cha kwanza ni mapato ya ndani (Own source) ( Tshs 18,167,270 Kwaajili ya utekelezaji wa Shughuli za kawaida, na
Tsh 15,000,000 kwaajili ya miradi ya maendeleo. Chanzo cha pili ni Ruzuku Toka Serikali kuu (Block Grant) Tshs 4,638,470/=.
4:11:1 MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA KITENGO KWA MWAKA 2018/2019
(A) FEDHA ZA RUZUKU TOKA SERIKALI KUU (BLOCK GRANT)
LENGO SHUGHULI KIASI MAHALI CHANZO MHUSIKA
1. Kuboresha huduma za jamii na Kupunguza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI
1. Kufanya mafunzo ya siku moja ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.
60,000 HQ BG DICTO
2. Kuimarisha mapambano dhidi ya Rushwa.
2. Kufanya mafunzo ya siku moja juu ya mapambano dhidi ya Rushwa kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.
60,000 HQ BG DICTO
3. Kuwezesha Utawala bora na Huduma za kiutawala kwa watumishi.
3. Kuwezesha ukusanyaji, Uandaaji, Uandikaji na Usambazaji wa Habari za Halmashauri kwa jamii ifikapo Juni 2019
2,778,470 HQ BG DICTO
4. Kuwezesha huduma za jamii kwa watumishi wa kitengo cha TEHAMA kama kulipa Gharama za Umeme na simu.
1,740,000 HQ BG DICTO
JUMLA NDOGO
4,638,470
74
(B) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (Matumizi ya utekelezaji wa shughuli za kawaida)
Kuwezesha Utawala bora na Huduma za kiutawala kwa watumishi
1. Kuwezesha mafunzo ya kitaalamu ya siku nne kwa watumishi wawili wa kitengo cha TEHAMA, Likizo kwa watumishi 6, shajala, gharama za simu na umeme, kuhudhulia matukio ya kitaifa na malipo ya kufanya kazi kwa muda wa ziada kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.
5,700,000
HQ Mapato ya ndani
DICTO
2. Kuwawezesha watumishi wawili (2) wa kitengo cha TEHAMA kufanya maandalizi ya bajeti ya mwaka 2018/2019 ifikapo juni 2019.
910,000 HQ Mapato ya ndani
DICTO
4. Kuboresha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
3. Kuwezesha Tovuti ya Halmashauri, barua pepe na Upatikanaji wa Mtandao wa “Internet” ifikapo Juni 2019.
7,725,000 HQ Mapato ya ndani
DICTO
4. Kuwezesha ukarabati na ufanyaji kazi wa mifumo ya Kompyuta na vifaa vyote vya ki-elekitroniki ifikapo Juni 2019.
400,000
HQ Mapato ya ndani
DICTO
5. Kuwezesha upatikanaji wa kompyuta, program tumizi (Application software) na program za kuendeshea kompyuta (Operating system software, ifikapo juni 2019.
3,432,270 HQ Mapato ya ndani
DICTO
JUMLA NDOGO YA MAPATO YA NDANI ( MATUMIZI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA KAWAIDA)
Tsh. 18,167,270
(C) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (Matumizi ya Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo
Kuboresha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kugawanya mawasiliano ya Computer (Network Devices) kwaajli ya kukamilisha mradi wa GovNet ifikapo Juni 2019.
15,000,000 HQ Mapato ya ndani
DICTO
JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (UTEKELEZAJI WA MIRADI Tsh. 15,000,000
JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (MATUMIZI YA KAWAIDA Tsh. 18,167,270
JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA RUZUKU TOKA SERIKALI KUU Tsh. 4,638,470
JUMLA KUU YA FEDHA KWA VYANZO VYOTE Tsh. 37,805,740
75
4:13 IDARA YA FEDHA
IDARA YA FEDHA: MPANGO NA BAJETI YA IDARA 2018/19 Idara ya fedha na biashara kwa mwaka wa fedha 2018/2019 inategemea kutumia jumla ya Tshs 1,065,895,946 kwa ajili ya shughuli za uendeshaji na Miradi ya Maendeleo, kati ya fedha hizo Tshs 1,016,577,159 zinatokana na mapato ya ndani na Tshs 49,318,787 zinatokana na Ruzuku. Fedha za shughuli za uendeshaji ni Tshs. 180,881,767 na Miradi ya Maendeleo ni Tshs 885,014,179 1.1 FEDHA UTAWALA – MAPATO YA NDANI
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI
1 Kuboresha huduma za Jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/Ukimwi
Kuendesha kikao cha siku 1 juu ya uhamasishaji wa kupima VVU/Ukimwi na kupata ushauri nasaa ifikapo Juni 2019
H/0 Makao makuu ya Wilaya
500,000
Mapato ya ndani (Own source)
DT
2 Kukuza uelewa wa watumishi wa idara juu ya ubaya na athari za rushwa
Kuandaa mafunzo kwa watumishi 19 wa Idara ya fedha kwa siku 1 juu ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
140,000.00
Mapato ya ndani (Own source)
DT
3 Kudhibiti na kulipa madeni ya Halmashauri
Kuwezesha kulipa madeni ya Halmashauri ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
6,465,200 Mapato ya ndani (Own source)
DT
JUMLA YA OWNSOURCE 7,105,200
1.2 FEDHA: KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI
1 Kuwezesha kuboresha taarifa za fedha
Kuandaa taarifa ya fedha za mwaka 2017/2018 ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa Mafuta,Kujikimu shajala , matangazo na ushauri wa kitaalam.
Makao makuu ya Wilaya
21,424,875 Mapato ya ndani (Own source)
DT
Jumla Kitengo cha Hesabu za Mwisho 21,424,875
76
1.3 FEDHA: KITENGO CHA MATUMIZI
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMA MIZI
1 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha maandalizi ya taarifa za fedha za mwezi, robo na mwaka mzima na ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa shajala na masaa ya ziada)
Makao makuu ya Wilaya
8,675,000 Mapato ya ndani (Own source)
DT
2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na kuboresha maslahi ya watumishi 19 ya kila mwezi (Ununuzi wa shajala, samani za ofisi, umeme, simu) ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
42,541,502.73 Mapato ya ndani (Own source)
DT
3 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha mafunzo ya kitaaluma kwa watumishi 6 wa Idara ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
5,453,928.25 Mapato ya ndani (Own source)
DT
4 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha mafunzo ya msaada wa kitaalam kwa watumishi wa idara ya fedha 6 juu ya mfumo wa Epicor 0.9 ifikapo juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
4,530,000
Mapato ya ndani (Own source)
DT
JUMLA MATUMIZI 61,200,431
1.4 FEDHA KITENGO CHA MAPATO
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuwezesha ukusanyaji wa mapato, ufuatiliaji na usimamizi katika kata 28 na vijji 133 ifikapo Juni 2019, Ununuzi wa risiti za mashine za kukusanyia mapato(POS), diesel, matengenezo ya gari, nauli na kukijimu kwa mawasilisho mapato
Makao makuu ya Wilaya
25,324,886 Mapato ya ndani (Own source) na
DT
JUMLA MAPATO 25,324,886
77
1.5 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na maslahi ya watumishi 2 wa kitengo cha biashara ifikapo Juni 2019 (ununuzi wa Diesel,Shajala, Ushauri wa kitaalam).
Makao makuu ya
Wilaya
5,385,000 Mapato ya Ndani
DTO
2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha vikao 4 kufanyika kwa Mabaraza ya Biashara ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya Wilaya
1,132,038 Mapato ya Ndani DTO
3 Kuwezesha shughuli za uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kwa muongozo wa Baraza la Taifa
Kuwezesha Mikutano 28 ya madawati ya uwezeshji, Semina, ushauri wa kitaalam, usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za kila siku kwa wananchi
Makao makuu ya Wilaya/ Kata na
Vitongoji
9,990,550 Mapato ya Ndani DTO
JUMLA BIASHARA 16,507,588
JUMLA KUU YA MAPATO YA NDANI
131,562,980
1.1 FEDHA UTAWALA - RUZUKU
NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI
1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuchangia vijiji 133, 20% ya mapato yatokanayo na fidia ya vyanzo vilivyofutwa ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
31,179,070 Ruzuku DT
JUMLA UTAWALA 31,179,070
1.2 FEDHA: KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO
NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI
Kuwezesha maandalizi ya taarifa za za mahesabu za mwisho wa mwaka
Kuandaa taarifa mahesabu ya mwisho wa mwaka(Final account) ifikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Wilaya
7,421,300 Ruzuku
JUMLA KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO 7,421,300
78
1.3 FEDHA KITENGO CHA MAPATO
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuwezesha ukusanyaji wa mapato, ufuatiliaji na usimamizi katika kata 28 na vijji 133 ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
4,692,000 Ruzuku DT
JUMLA KITENGO CHA MAPATO 4,692,000
1.4 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA
NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha kwa upatikanaji huduma bora kwa jamii
Kufanya ukaguzi wa leseni za biashara 500 ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
4,024,917 Ruzuku DTO
2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za mwezi, robo mwaka, na mwaka mzima ifikapo Juni2019
Makao makuu ya Wilaya
2,001,500 Ruzuku DTO
JUMLA KITEMGO CHA BIASHARA
6,026,417
JUMLA KUU YA RUZUKU 49,318,787
1.1 FEDHA UTAWALA – MIRADI YA MAENDELEO
NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuchangia , Mfuko wa Serikali za Mitaa na miradi ya maendeleo ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
16,000,160.00 Mapato ya ndani DT
2 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuchangia Vijiji 133 asilimia 20% ya mapato ya ndani ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
480,288,492.11 Mapato ya ndani DT
79
3 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi
Kuwezesha kulipa mkopo wa ununuzi wa Caterpillar ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
72,725,528.50 Mapato ya ndani DT
JUMLA FEDHA UTAWALA 569,014,180.61
1.2 FEDHA KITENGO CHA MAPATO
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.
Kuwezesha ununuzi na usambazaji wa vifaa vya ukusanyaji wa mapato katika Kata 28 Vijiji 133 ifikapo Juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
30,000,000 Mapato ya ndani DT
Kuwezesha ada(Commission fee) ya Mawakala wanaokusanya Mapato ifikapo juni 2019
Makao makuu ya Wilaya
246,000,000 Mapato ya ndani DT
JUMLA KITENGO CHA MAPATO 276,000,000
1.3 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA
NA LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboresha mazingira ya uwekezaji wa viwanda
Kuwezesha mafunzo ya uwekezaji,kushawishi vijiji kutenga maeneo ya uwekezaji,kuibua viwanda bubu na kutangaza fursa zilizopo Halmashauri ya wilaya ifikapo juni 2019
Makao makuu ya Wilaya,Kata na
vitongoji
40,000,000 Mapato ya ndani DTO
JUMLA KITENGO CHA BIASHARA
40,000,000
JUMLA KUU YA MAENDELEO 885,014,179
JUMLA KUU IDARA YA FEDHA NA BIASHARA
1,065,895,946
80
4:14 IDARA YA MIFUGO NA UVUVI
Idara ya Mifugo na Uvuvi inatarajia kutumia jumla ya Tshs, 101,485,244.83 kwa ajili ya shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mchanganuo ufuatao;
Ruzuku ya maendeleo (LGCDG) Tshs 16,000,000; Matumizi ya kawaida (OC-ruzuku serikali kuu) Mifugo Tshs, 21,031,600.00 na Jumla ya mapato ya ndani Tshs 58,011,223.83 (matumizi ya miradi ya maendeleo Tshs 34,907,658 na matumizi ya kawaida Tshs 23,103,565.83. Mgawanyo wa Kisekta; Mifugo Tshs, 84,824,100.00 na Uvuvi Tshs, 16,661,144.83.
MIFUGO
A. MIFUGO- RUZUKU YA MAENDELEO YA LGCDG
Na Lengo Shughuli Mahali Gharama Chanzo Msimamizi
1 Kuwezesha ukarabati wa majosho 2 katika vijiji 2 vya Itengulinyi na Ilolompya ifikapo Juni 2019.
Itengulinyi na Ilolompya
6,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO
2 Kuwezesha ujenzi wa birika 1 la kunyweshea maji mifugo katika kijiji cha Mboliboli ifikapo Juni 2019.
Mboliboli 6,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO
3 Kuwezesha ukarabati wa mfumo wa maji bomba katika machinjio ya kisasa ya Nzihi ifikapo Juni 2019.
Nzihi 4,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO
Jumla Mifugo LGCDG 16,000,000
4 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii
Kuboresha ustawi wa watumishi 41 na stahiki zao (Likizo, uhamisho, tiba, zawadi za mei mosi na mazishi) ifikapo Juni 2019.
Makao makuu na kata 28
7,580,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DLFO
5 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya mifugo na uvuvi (matengenezo ya gari, shajala, dizeli, petroli, bili za maji, simu na umeme, na kulipa madeni ya idara) ifikapo Juni 2019
Makao makuu 4,065,000.00 Ruzuku Serikali Kuu
DLFO
81
6 Kuwezesha ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli za mifugo na uvuvi kila robo mwaka na katika wa ARDS web portal ifikapo Juni 2019.
Makao makuu na kata zote 28
9,386,600.00 Ruzuku Serikali Kuu
DLFO
Jumla Mifugo OC (Grants) 21,031,600.00
C: MIFUGO-Mpango na Bajeti mapato ya ndani (Own source) 2018/2019
7 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kutoa elimu ya masuala ya maambukizi na kujikinga na UKIMWI kwa watumishi 41 ifikapo Juni 2019.
Makao makuu na kata zote 28
400,000.00 mapato ya ndani
DLFO
8 Kutoa chanjo ya magonjwa ya mlipuko ya mifugo kwa Ng’ombe 5000 dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya mapafu (CBPP), ng’ombe 560 dhidi ya ugonjwa wa Chambavu (BQ), Mbwa 12,500 dhidi ya kichaa cha Mbwa na Kuku 570,500 dhidi ya kideri (NCD) ifikapo Juni 2019.
Vijiji vyote 133 2,822,421.00 Mapato ya ndani
DLFO
9 Kuwezesha uhamasishaji wa viwanda katika uendelezaji wa mnyororo wa thamani katika mifugo na mazao yake na kuboresha mazingira rafiki ya uwekezaji wa viwanda katka kata 16 ifikapo Juni 2019.
Kata za Migoli, Idodi, Nzihi, Ifunda, Kalenga, Mgama, Masaka, Itunundu, Lumuli, Magulilwa, Luhota, Kihorogota, Nyang’oro, Malengamakali, Ulanda na Kising’a.
620,000.00 Mapato ya ndani
DLFO
10 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii
Kuwezesha ushiriki wa wafugaji na wataalamu kwenye maadhimisho nanenane za Kiwilaya Kikanda na kitaifa ifikapo Juni 2019.
Wilayani, kikanda na kitaifa
2,600,000.00 Mapato ya
ndani
DLFO
Jumla mifugo mapato ya ndani
6,442,421.00
82
E: MIFUGO-Mpango na Bajeti ya maendeleo mapato ya ndani (Development Own source) 2018/2019
11 Kuwezesha ujenzi wa mnada wa awali wa mifugo wa Igingilanyi ifikapo Juni 2019.
Igingilanyi 30,000,000.00 Mapato ya
ndani
DLFO
12 Kutoa chanjo ya magonjwa ya mlipuko ya mifugo kwa Ng’ombe 2500 dhidi ya Ugonjwa wa Midomo na kwato (FMD), Mbwa 5000 dhidi ya kichaa cha Mbwa na Kuku 237,890 dhidi ya kideri (NCD) ifikapo Juni 2019.
Vijiji vyote 133 4,907,658.00 Mapato ya
ndani
DLFO
Jumla mifugo mapato ya ndani ya maendeleo
34,907,658.00
UVUVI
UVUVI-Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida (OWNSOURCE)
13 Kuboresha upatikanaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi za watumishi 6 wa uvuvi (Shajala, dizeli, bili za maji na umeme na matengenezo ya gari na boti) ifikapo Juni 2019
makao makuu 8,750,044.83 Mapato ya ndani
DLFO
14
Kuwezesha na kutoa mafunzo ya siku 2 kwa watu 50 katika vikundi vya 16 vya BMUs juu ya uendeshaji shughuli za uvuvi na ukusanyaji mapato katika bwawa la Mtera ifikapo Juni 2019
Mtera 825,000.00 Mapato ya ndani
DLFO
15
Kuendesha operesheni za kudhibiti uvuvi haramu kwa kufanya doria 160 kwa mwaka katika check pointi 2, bwawa la Mtera na Kibebe ifikapo Juni 2019
Mtera, Kibebe na vituo vya ukaguzi
6,161,100.00 Mapato ya ndani
DLFO
83
16
Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wafugaji samaki 50 juu ya ufugaji wa samaki katika mabwawa ya kuchimba katika vijiji 7 vya Itunundu, Wasa, Mkumbwanyi, Chamgogo, Tosamaganga, Mkombilenga na Isaka ifikapo Juni 2019.
Itunundu, Kihanga, Ilolompya, Wasa, Kalenga, Idodi, Masaka na Mgama.
925,000.00 Mapato ya ndani
DLFO
Jumla OC Uvuvi 16,661,144.83
Jumla ya mapato ya ndani mifugo &Uvuvi
23,103,565.83
JUMLA KUU MIFUGO NA UVUVI
101,485,244.83
4:15 IDARA YA MAJI
Idara ya Maji katika mwaka 2018/2019 inatarajia kupata na kutumia jumla ya Tshs 374,529,000 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uendeshaji wa ofisi. Fedha zitakazotumika na Idara zitatoka katika vyanzo vya Ruzuku ya Serikali ya matumizi ya kawaida Tsh.17,813,000 , fedha za maendeleo ya miradi ya maji WSDP Tsh 233,686,000 na UNICEF Tsh 123,030,000 kama inavyoonesha katika jedwari lifuatalo
A: WATER SECTOR DEVELOPMENT PROGRAM – NWSSP
NA LENGO KWA MWAKA
SHUGHULI ILIYOPANGWA
MAHALI
GHARAMA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kufanya usimamizi wa ujenzi wa miradi ya maji 4 (Pawaga,Izazi, Migoli, miradi ya jumla ya (Isupilo, itengulinyi na lumuli,) inayoendelea kujengwa hadi ifikapo Juni 2019
Izazi, Migoli,Pawaga na Isupilo
21,600,000.00
WSDP DWE
Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa Pawaga Mlenge hadi ifikapo Juni 2019
Kata ya Mlenge 80,000,000.00
WSDP DWE
84
3 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Izazi Mandani hadi ifikapo Juni 2019
Izazi na Mnadani 45,619,000.00
WSDP DWE
4 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Migoli Mtera hadi ifikapo Juni 2019
Migoli na Mtera 50,000,000.00
WSDP DWE
5 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Isupilo, Itengulinyi na Lumuli hadi ifikapo Juni 2019
Isupilo, Itengulinyi na Lumuli
60,000,000.00
WSDP DWE
6 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kufanya ukarabati wa vituo 20 vya kuchotea maji vilivyopo katika mradi wa maji Isimani na ukarabati wa tanki la maji Mwambao chini ya programu ya Payment by Result (PBR) ifikapo Juni 2019
Tarafa ya isimani 20,000,000.00
WSDP DWE
7 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha Kufanya uendeshaji wa mafunzo ya vyombo vya watumiaji maji 5 (Muwimbi, Kiponzero, Mgera na Mlenge) katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ifikapo Juni 2019
Jumuiya 5 6,900,000 WSDP DWE
8 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha ununuzi na ufungaji wa mfumo wa pampu na mfumo wa umeme jua katika mradi wa maji wa kijiji cha Mgera ifukapo Juni 2019
Mgera 44,000,000 WSDP DWE
9 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha timu ya wilaya ya Maji na usafi wa mazingira kuhudhuria vikao mbali mbali vya ngazi vya wilaya , mkoa na kitafa hadi ifikapo Juni 2019
Iringa, Mbeya, DSM na Arusha
2,320,000 WSDP DWE
10 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha Idara ya maji kulipa madeni inayodaiwa na wazabuni mbali mbali ifikapo Juni 2019
Makao makuu 900,000 WSDP DWE
11 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kupima ubora maji katika vyanzo 8 vya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ifikapo Juni 2019
Pawaga, Isimani, ,Magubike, Mgera na Tanangoz kalenga
3,800,000 WSDP DWE
85
12 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kazi ya usimamizi na ushauri wa mradi wa maji Pawaga Mlenge kwa kumlipa Mtaalam Mshauri (Consultant) ifikapo Juni 2019
Kata ya Malenge 40,000,000 WSDP DWE
Kuwezesha Ukarabati wa tanki la maji kijiji cha Mwambao ifikapo Juni 2019
Mwambao 10,000,000 WSDP DWE
JUMLA YA BAJETI YA MIRADI MAENDELEO – NWSSP 385,319,000
LENGO KWA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha upimaji wa maji ardhini (hydrogeology survey) kwa shule ya msingi Kibena ifikapo Juni 2019
Kibena 2,000,000.00 UNICEF DWE
2 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha uchimbaji wa kisima kirefu katika shule ya msingi Kibena hadi ifikapo Juni 2019
Kibena 23,800,000.00 UNICEF DWE
3 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha ununuzi na ufungaji wa pampu inayotumia umeme jua pamoja na miundombinu ya maji ikiwemo tanki na vituo vya kuchotea maji kwa shule ya msingi Kibena ifikapo Juni 2019
Kibena 32,050,000
UNICEF DWE
4 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha usimamizi wa kazi za upimaji maji ardhini shule 1, Uchimbaji kisima 1 na ufungaji wa mfumo wa pump, ujenzi wa miundombinu ya maji ya mtiririko na usambazaji wa maji katika shule za msingi 2 Kibena na Lumuli ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa mafuta, shajala na posho)
Kibena na Lumuli 6,380,000 UNICEF DWE
86
5 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kufanya mafunzo ya siku 3 juu ya uendeshaji wa miradi ya maji mashuleni kwa wajumbe 8 juu ya uendeshaji wa miradi ya maji kwenye maeneo ya shule za msingi Kibena na Lumuli ifikapo Juni 2019
Kibena na Lumuli 3,310,000.00 UNICEF DWE
6 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha ujenzi wa skimu ndogo ya maji ya mtiririko kwa shule ya msingi ya Lumuli
Lumuli 34,300,000 UNICEF DWE
7 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha ujenzi wa vinawia mikono kwa makundi kwa shule za Msingi Mboliboli, Itunundu, Magombwe, Chamgogo, Kimande, Luganga, Mibikimitali, Mkombilenga, Mbuyuni na Isele chini ya program ya Fit for School (F4S) ifikapo Juni 2019
Mboliboli, Itunundu, Magombwe, Chamgogo, Kimande, Luganga, Mibikimitali, Mkombilenga, Mbuyuni na Isele
10,000,000
UNICEF DWE
8 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu
Kuwezesha kufanya mafunzo rejea kwa kamati za maji za shule 21zilizopata ufadhili wa kujengewa miundombinu ya maji na UNICEF hadi ifikapo Juni 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Iringa
11,280,000 UNICEF DWE
JUMLA –UNICEF 123,030,000
JUMLA KUU FEDHA ZA MAENDELEO 508,169,000
C. RUZUKU YA MATUMIZI YA KAWAIDA
LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1
Kuongeza huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/UKIMWI
Kuwezesha kutoa chakua cha lishe kwa watumishi 2 wa Idara ya maji VVU ifikapo Juni 2019
Makao makuu 1,200,000 Ruzuku DWE
2
Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma za kijamii na kuendeleza mikakati ya mapambano dhidi ya rushwa.
Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 18 wa idara ya maji juu ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo juni 2019
87
3
Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii
Kuwezesha kumsaidia mtumishi mmoja masomoni kulipa karo ya shule ifikapo Juni 2019
Makao makuu 1,000,000 Ruzuku DWE
4
Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii
Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya mhandisi wa maji kwa kununua (mafuta, shajala, matengenezo ya gari, kulipa maji na umeme) ifikapo Juni 2019
Makao makuu 13,614,000 Ruzuku DWE
5
Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii
Kuwezesha watumnishi 18 wa idara ya maji kushiriki katika maadhimisho mbali mbali(wiki ya maji, wiki ya mazingira na siku ya wakulima nane nane) ifikapo Juni 2019
Makao makuu 5,140,000 Ruzuku DWE
6
Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii
Kuwezesha ukusanyajina uboreshaji wa takwimu za vituo vya maji vilivyopo ndani ya Halmashauri ifikapo Juni 2019
Vijiji 133 1,200,000 Ruzuku DWE
JUMLA KUU FEDHA ZA RUZUKU 22,154,000
JUMLA KUU IDARA YA MAJI 530,323,000
4:16 IDARA YA ELIMU MSINGI MPANGO NA BAJETI KWA KIPINDI CHA MWAKA 2018/2019
Idara ya Elimu Msingi kwa kipindi cha Mwaka 2018/2019 inatarajia kutumia kiasi cha fedha cha Tshs. 2,087,363,014.00 kutokana na vyanzo vya mapato vifuatavyo : Serikali kuu Tshs. 1,223,620,000.00 Mapato ya ndani Tshs. 20,284,964.42, UNICEF(EQUAL) Tshs. 458,670,000.00 na UNICEF (SWASH) Tshs. 342,440,000.00 Muhtasari wa shughuli zilizopangwa kutekelezwa na kiasi cha fedha zilizotengwa ni kama zinavyooneshwa hapa chini.
(A) ELIMU MSINGI -ELIMU YA WATU WAZIMA
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 kuongeza idadi ya wajifunzaji kutoka 600 hadi 1000 katika vituo 33 ifikapo Juni 2022
Kufanya ufuatiliaji na kusimamia utoaji wa honoraria kwa wawezeshaji katika vituo 33 vya watu wazima ifikapo Juni 2019.
VITUONI 1,500,000 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
88
2 kuongeza idadi ya wajifunzaji kutoka 600 hadi 1000 katika vituo 33 ifikapo Juni 2022
Kuwezesha na kuratibu JUMA la ELIMU YA WATU WAZIMA ifikapo Juni 2019
TARAFA YA PAWAGA
2,000,000 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 3,500,000
(B) ELIMU -UTAWALA
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
3 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kutoa mafunzo ya siku 2 kwa Maafisa na Wasaidizi 20 wa Idara ya Elimu juu ya kuzuia na kupambana na rushwa ifikapo Juni 2019
MAKAO MAKUU 450,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
4 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kufanya usimamizi na ufuatiliaji wa taaluma kwa shule za awali 133 na shule za msingi 148 ifikapo Juni 2019 (Posho,Mafuta,Shajala)
SHULENI 9,899,000.00
SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
5 Kuboreshwa kwa twakwimu na usimamizi wa fedha katika shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ukusanyaji wa taarifa za uandikishaji, utunzaji wa kumbukumbu na uwasilishaji wa TSM/TSA/TWM kwenye mamlaka husika ifikapo Juni 2019.
MAKAO MAKUU 13,527,000.00
SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
7 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha ustawi wa watumishi wa idara , na gharama za uendeshaji wa ofisi ifikapo Juni 2019.(Matengenezo ya magari,samani za ofisi,ankara mbalimbali,madeni ya wazabuni na Likizo)
MAKAO MAKUU 12,840,000.00
SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 36,879,000.00
89
(C) ELIMU MSINGI
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 Kupunguza maambukizo ya VVU&UKIMWI kwa wanafunzi na walimu 1500 ifikapo Juni 2022
Kutoa lishe bora kwa walimu 40 wanaoishi na VVU&UKIMWI ifikapo Juni 2019.
SHULENI 4,000,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
2 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha kufanyika kwa ukaguzi wa shule za msingi 50 kati ya 148 ifikapo Juni 2019 (Posho na mafuta kwa idara ya ukaguzi)
SHULE 50 ZA MSINGI
7,560,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
3 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha uboreshaji wa ustawi wa walimu 1500 ifikapo Juni 2019. (Likizo,Uhamisho,Matibabu,Mafunzo,Mazishi na Motisha)
SHULENI 193,641,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
4 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha ufanyikaji wa mitihani ya darasa la saba na darasa la nne na ufundi stadi ifikapo Juni 2019
SHULE 148 ZA MSINGI
242,315,000 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 447,516,000.00
JUMLA YA MAPENDEKEZO YA RASMU YA BAJETI ELIMU WATU WAZIMA, UTAWALA NA MSINGI TSHS. 487,732,000.00 (D) MAPENDEKEZO YA RASMU YABAJETI YA ELIMU YA MSINGI BILA MALIPO (FREE PRIMARY EDUCATION)
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha malipo ya posho ya madaraka kwa walimu wakuu 148 na waratibu Elimu kata 28 ifikapo Juni 2019
SHULE 148 ZA MSINGI
355,200,000 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
2 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha ugawaji wa fedha za ada mbadala (Capitation) kwa shule za msingi 148 ifikapo Juni 2019.
SHULE 148 280,696,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
90
3 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha uendeshaji wa shule ya msingi Kipera kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kuwapatia chakula kifikapo Juni 2019.
KIPERA S/M 39,992,000.00 SERIKALI KUU
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 675,888,000.00
(E) RUZUKU SERIKALI KUU (CDG)
NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
9 Kuboresha miundombinu na upatikanaji wa huduma za kijamii
Kuwezesha ujenzi wa miundo mbinu (madarasa katika shule za msingi za kidilo, Chamgogo, ibogo lwato, ibumila na kisilwa) ifikapo Juni 2019
SHULE YA MSINGI KIPERA
60,000,000.00 CDG AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 60,000,000.00
JUMLA KUU YA ELIMU WATU WAZIMA,UTAWALA NA MSINGI
(E) UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
NA.
LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022
Kuwezesha kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa utamaduni kwa Afisa elimu utamaduni ifikapo Juni 2019
HALMASHAURI YA WILAYA
707,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
2 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022
Kuratibu vikundi vya sanaa katika mapokezi ya wageni wa kitaifa ifikapo Juni 2019
HALMASHAURI YA WILAYA
2,381,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
3 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022
Kuwezesha kushiriki Maadhimisho ya sherehe mbalimbali za Kitaifa ifikapo Juni 2019
HALMASHAURI YA WILAYA
450,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
91
4 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022
Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa Vikundi 4 vya Sanaa ifikapo Juni 2019
HALMASHAURI YA WILAYA
700,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 3,080,000.00
(F) MICHEZO
NA.
LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022
Kuratibu na kuwezesha Ushiriki wa michezo ya UMITASHUMTA kwa watumishi 4 ifikapo Juni 2019
MAKAO MAKUU
3,700,964.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
2 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022
Kuwezesha ushiriki wa watumishi 40 wa Halmashauri katika michezo ya SHIMISEMITA ifikapo Juni 2019
DODOMA 4,108,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
3 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022
kuwezesha Kushiriki kwa Afisa Michezo katika ufunguzi na uzimaji wa Mwenge wa Uhuru ifikapo Juni 2019
DODOMA 6,300,000.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
4 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022
Kuwezesha na kuratibu shughuli za Mwenge wa Uhuru ifikapo Juni 2019
HALMASHAURI YA WILAYA
5,065,050.00 MAPATO YA NDANI
AFISA ELIMU MSINGI
JUMLA NDOGO 19,174,014.00
JUMLA NDOGO UTAMADUNI NA MICHEZO 22,254,014.00
(G) ELIMU MSINGI –UNICEF
NA.
LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI
1 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa walimu 20 wa shule za sekondari juu ya TUSEME na viongozi wa Wanafunzi 148 kuhusu mbinu na stadi za maisha ifikapo Juni 2019.
SHULENI 145,285,000.00 UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
92
2 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuendesha mafunzo ya siku 7 kwa walimu wa shule za Misingi 148 kuhusu ushauri nasaha,kujikinga dhidi ya VVU/UKIMWI na unyanyasaji kutoka shule 74 zilizochaguliwa ifikapo Juni 2019.
IFUNDA 104,880,000.00
UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
3 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuendesha mafunzo ya siku 1 kwa kamati za shule 148 juu ya uongozi na uendeshaji wa kamati za shule, WSDP na uwajibikaji ifikapo Juni 2019.
IFUNDA 37,000,000.00
UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
4 Kuborshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuendesha mafunzo ya siku 10 kwa walimu 39 wa IPOSA ifikapo Juni 2019.
IFUNDA 52,060,000.00
UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
5
Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo juni 2022.
Kuendesha mafunzo ya siku 6 kwa viongozi wa TUSEME 60 wa shule za sekondari juu ya mbinu za stadi za maisha ifikapo juni 2019.
IFUNDA 33,645,000.00 UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
6 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuwawezesha mafunzo ya siku 2 kuhusu tathimini ya elimu jumuishi katika shule za msingi 148 na kufanya ufuatiliaji wa shughuli kila robo mwaka ifikapo Juni 2019.
SHULENI 8,890,000.00 UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
8 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kuwezesha kufanyika kwa vikao 2 vya ufuatiliaji na vikao rejea kuhusu elimu maalum ifikapo Juni 2019.
SHULENI 50,450,000.00
UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
93
9 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.
Kufanya mkutano wa siku 1 kwa walimu na wadau 106 wa IPOSA ifikapo Juni 2019.
IFUNDA 26,460,000.00
UFADHILI WA UNICEF
AFISA ELIMU MSINGI
458,670,000.00
IDARA YA ELIMU (SWASH) SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kuboreshwa kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022 ,
Kufanya utafiti wa upatikanaji wa eneo la uchimbaji visima katika shule za Msuluti na Kibena ifikapo Juni 2019
Msuluti na Kibena 4,000,000.00
UNICEF DE0 (P)
2 Kuboreshwa kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha uchimbaji visima 2 katika shule teuzi za Msuluti na Kibena ifikapo Juni 2019
Msuluti na Kibena 47,600,000.00
UNICEF DEO (P24,00)
3 4
Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa umeme jua kwenye pampu za matanki ya maji katika shule za Msingi 2 za Msuluti na Kibena zilizoteuliwa ifikapo juni 2019.
Msuluti na Kibena 65,900,000 UNICEF DEO(P)
Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha utengenezaji wa mifereji
mseleleko katika shule ya Msingi Lumuli
ifikapo Juni 2019
Lumuli 35,300,000.00 UNICEF DEO(P)
Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ufatiliaji na tathimini katika
miradi 2 ya ujenzi wa visima ifikapo Juni
2019
Msuluti na Kibena 11,060,000.00 UNICEF DEO(P)
94
5 6 7 8 9
Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha kufanyika mafunzo ya siku 3
katika kamati za shule 2 kuhusu namna ya
utunzaji wa mradi,vifaa vya SWASH na
O&R katika shule 3 za (Msuluti,Kibena na
Lumuli) ifikapo Juni 2019.
Msuluti,Kibena na
Lumuli
4,660,000.00 UNICEF DEO(P)
Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha mafunzo ya siku 3 ya
kubadilishana uzoefu kwa kamati 21 (SWC)
za usafi shuleni zinazowezeshwa na
UNICEF namna ya usimamizi na
uendeshaji miradi,mafanikio na
changamoto kwa wajumbe 2 kwa kila
kamati za usafi (SWC) ifikapo Juni 2019
Ifunda 11,530,000.00 UNICEF DEO(P)
Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ujenzi wa maeneo ya kunawia
F4S kwa shule 10 ,( Mboliboli, Itunundu,
Magombwe, Ilolo Mpya, Kimande,
Luganga, Magozi, Mkombilenga, Mbuyuni)
ifikapo Juni 2019
Mboliboli, Itunundu,
Magombwe, Ilolo
Mpya, Kimande,
Luganga, Magozi,
Mkombilenga,
Mbuyuni
Mlambalasi
10,000,000 UNICEF DEO(P)
Kuboresha kupatikanaji wa smiundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa
matundu 12 ya vyoo shule ya Msingi
Mlambalasi kwa kuzingatia mwongozo wa
SWASH
19,200,000.00 UNICEF DEO (P)
Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kusimamia ujenzi wa matundu mapya 7 ya
choo shule ya Msingi Kibena kwa
kuzingatia mwongozo wa SWASH
Kibena 28,000,000.00 UNICEF DEO(P)
95
10 11
Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kusimamia ujenzi wa matundu 25 ya choo
katika shule za Msingi kidamali kwa
kuzingatia mwongozo wa SWASH
Mboliboli 100,000,000.00 UNICEF DEO(P)
Kuboreshaa upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022
Kuwezesha ufatiliaji , usimamiaji na ufanyaji
tathimini kwa kipindi cha ujenzi katika
shule tatu ifikapo Juni 2019
Mlambalasi,Kibena
na Mboliboli
5,190,000.00 UNICEF DEO (P)
JUMLA NDOGO SWASH
342,440,000.00
JUMLA KUU 2,087,363,014.00
4:17 IDARA YA ARDHI NA MALIASILI
Utangulizi: Idara ya Ardhi na Maliasili katika mwaka wa fedha wa 2018/2019 imepanga kutumia kiasi cha Tshs.266,640,334.00 kwa ajili ya shughuli za Maendeleo na uendeshaji wa ofisi. Kati ya fedha hizo Tshs. 209,187,500.00 ni mapato ya ndani , fedha za ruzuku kutoka serikali kuu ni Tshs. 12,052,834.00 na Ruzuku ya Maendeleo ni Tshs.45,400,000.00. Kiasi cha Tshs.159, 900,000.00 kitatumika kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na Tshs 106,740,334.00 zitatumika kwa ajili shughuli za kawaida za Idara ya Ardhi na Maliasili.
S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA PENDEKEZWA
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
UTAWALA – ARDHI
1 Kuendeleza na kutekeleza kikamilifu mkakati wa kupambana na rushwa.
Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 10 wa Idara kuhusu madhara ya rushwa mahala pa kazi fikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya
300,000.00
Ruzuku ya Serikali
DLNRO
96
2 Kupunguza maamukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI kwa kuboresha huduma kwa waathirika.
Kutoa mafunzo ya siku moja kwa watumishi 10 wa idara yahusuyo mapambano ya dhidi HIV/AIDS ifikapo Juni 2019
Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya
130,000.00 Ruzuku ya Serikali
DLNRO
3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuiwezesha idara ya Ardhi kulipia gharama kila siku za uendeshaji wa ofisi (matengenezo ya magari na ununuzi wa vipuri, mafuta na ulipaji wa madeni ya Idara) ifikapo Juni 2019.
Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya
5,766,417.00 Ruzuku ya Serikali
DLNRO
Jumla ndogo Ardhi na Utawala (Ruzuku ya Serikali) 6,026,417.00
UTAWALA – ARDHI
4 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuwezesha watumishi 13 wa idara ya Ardhi kuhudhuria mafunzo ya Kitaalam ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 2,600,000.00
Mapato ya Ndani
DLNRO
5 Kuwezesha watumishi 3 kushiriki katika maadhimisho ya kikata, kiwilaya, kikanda na kitaifa ya Nanene na serikali za mitaa ifikapo Juni 2019.
Mbeya/ Halmashauri ya Wilaya
2,500,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
7 Kuiwezesha idara ya Ardhi kulipia gharama kila siku za uendeshaji wa ofisi (maji, umeme, diseli, matengenezo ya magari na ununzi wa vipuri, vifaa vya usafi, shajala, uwekaji wa internet, ukarabati wa ofisi, mazishi, posho ya mkuu wa idara, viburudisho, na ulipiaji wa sanduku la posta pamoja kulipia likizo za watumishi) ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 22,710,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
97
8 Kuwezesha idara ya Ardhi kuandaa na kuwasilisha taarifa mbalimbali (Bajeti, Taarifa za utekelezaji, Mpango Mkakati wa Idara na LAAC) ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 2,550,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
9 Kuwezesha Idara kulipa madeni ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 6,483,500.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
Jumla ndogo Utawala – Ardhi (Mapato ya Ndani) 36,843,500.00
USIMAMIZI WA ARDHI
10 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuhakiki na kupima mashamba 350 ya wananchi wa Tarafa za Mlolo, Kiponzelo na Idodi kwa ajili ya utayarishaji wa hatimiliki za Kimila ifikapo Juni 2019.
Tarafa za Mlolo, Kipozelo, Idodi na Isimani.
2,650,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
11 Kusaidia uanzishaji wa masijala 2 za Ardhi Vijiji ifikapo Juni 2019.
Lupembelwasenga na
Matembo.
985,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
Kuiwezesha Halmashauri katika kulipia kodi za ardhi na majengo ambazo inadaiwa na Mamlaka nyingine ifikapo June 2019.
Halmashauri ya Wilaya 5,000,000.00 DLNRO
12 Kutayarisha na Kusajili Hatimiliki 350 za Kimila kutoka Tarafa za Mlolo, Kipozelo na Idodi ifikapo Juni 2019.
Tarafa za Mlolo, Kipozelo, Idodi na Isimani.
2,160,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
13 Kuandaa na kupeleka hati za miliki ya kiserikali 1000 kwa msajili wa hati Kanda ya Kusini Mbeya kwa ajili ya uthibitisho na usajili ifikapo Juni 2019.
Mbeya/ Halmashauri ya Wilaya
8,250,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
14 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao 2 vya kamati ya Ugawaji Ardhi Wilaya ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 2,250,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
98
15 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao vya utatuzi wa migogoro ya ardhi kati ya vijiji na vijiji na watumiaji wengine wa ardhi mara inapotokea ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 3,050,000.00 Mapato ya
Ndani
DLNRO
16 Kukagua viwanja 560 na mashamba 150 ili kubaini uvunjwaji wa masharti ya uendelezaji kufikia Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 3,514,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
17 Kuwezesha uwasilishaji wa taarifa za makusanyo kodi ya ardhi na tozo zake kila mwezi Wizara ya Ardhi ifikapo Juni 2019.
Dar es Salaam 1,800,000.00 Mapato ya
Ndani
DLNRO
Jumla Ndogo Usimamizi wa Ardhi (Mapato ya Ndani) 29,556,000.00
USIMAMIZI ARDHI
18 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuandaa na kupeleka hati za miliki ya kiserikali 1000 kwa msajili wa hati Kanda ya Kusini Mbeya kwa ajili ya uthibitisho na usajili ifikapo Juni 2019.
Kalenga, Ugwachanya, Migoli na Ifunda
8,709,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG
DLNRO
Jumla Ndogo Usimamizi wa Ardhi (Ruzuku ya Serikali - CDG) 8,709,000.00
Kitengo Cha Upimaji Na Ramani
19 Kupima na kuandaa ramani za upimaji wa viwanja 1000 katika maeneo ya Migoli, Kalenga na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.
Migoli, ,Kalenga (Isakalilo) na Ugwachanya
23,502,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
20 Kuwasilisha Ramani ya Upimaji yenye viwanja 1000 wizara ya Ardhi Dar Es Salaam kwa ajili ya ukaguzi na usajili wa ramani hizo ifikapo Juni 2019.
Dar es Salaam 2,100,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
21 Kupima mipaka ya vijiji vipya 2 vya Uhominyi, Ivangwa na Mikong’wi vilivyoanzishwa ifikapo Juni 2019.
Uhominyi, Ivangwa na Mikong’wi
1,954,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
99
Jumla Ndogo Upimaji na Ramani (Mapato ya Ndani) 27,556,000.00
Kitengo Cha Upimaji Na Ramani
22 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kupima na kuandaa ramani za upimaji wa viwanja 1000 katika maeneo ya Migoli, Kalenga na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.
Migoli, ,Kalenga (Isakalilo), Migoli na Ugwachanya
19,851,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG
DLNR0
Jumla Ndogo Upimaji na Ramani (Ruzuku ya Serikali) 19,851,000.00
KITENGO CHA UTHAMINI
23 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kufanya uthamini wa fidia ya ardhi na mazao ya wananchi kwa ajili ya uendelezaji miji ya inayokadiriwa kufikia ekari 150 ifikapo Juni 2019.
Kalenga,
Ugwachanya na
Ihemi.
2,900,000.00
Mapato ya Ndani
DLNRO
24 Kuwezesha wataalam kufanya utafiti wa bei za mazao na thamani za ardhi kwa ajili ya kanzi data ifikapo Juni 2019.
Vijiji vyote 6,620,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
25 Kuwezesha ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa ardhi yao kwa ajili ya upimaji viwanja eneo la Kalenga ifikapo Juni 2019.
Kalenga 42,448,000.00
Mapato ya Ndani
DLNRO
26 Kuwezesha uandaaji na uidhinishaji wa taarifa mbalimbali za uthamini wizarani Iringa ifikapo Juni 2019.
Vijiji Vyote 3,000,000.000 Mapato ya Ndani
DLNRO
Jumla ndogo Uthamini (Mapato ya Ndani) 54,968,000.00
KITENGO CHA MIPANGO MIJI
27 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.
Kutoa elimu ya uendelezaji miji na uhifadhi wa mazingira kwenye Kata 2 za Kalenga na Mseke ifikapo Juni 2019.
Kalenga na Mseke 2,120,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
28 Kufanya ufuatiliaji na usimamiaji wa shughuli za ujenzi kwenye maeneo ya
Kalenga,Tungamal
enga,Migoli, Mtera,
Ifunda, Tanangozi
5,510,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
100
Kalenga,Tungamalenga,Migoli, Mtera, Ifunda, Tanangozi na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.
na Ugwachanya
29 Kuwezesha uandaaji wa ramani ndogo za hati na viziduo kwa ajili ya uandaaji wa hati ifikapo Juni 2018
Halmashauri ya Wilaya
1,9500,000.00 Mapato ya Ndani
DLNRO
30 Kuwezesha utayarishaji na uidhinishaji wa michoro 6 ya Mipangomiji ya Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga ifikapo Juni 2019.
Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga
11,100,000.00
Mapato ya Ndani
DLNRO
Jumla ndogo ( Mapato ya Ndani) 20,680,000.00
31 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.
Kuwezesha uandaaji wa ramani ndogo za hati na viziduo kwa ajili ya uandaaji wa hati ifikapo Juni 2019
Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga
2,400,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG
DLNRO
32 Uidhinishaji wa michoro 6 ya Mipangomiji ya Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga ifikapo Juni 2019.
Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga
8,440,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG
DLNRO
Jumla Ndogo Mipango Miji (Ruzuku ya Serikali –CDG) 10,840,000.00
UTAWALA WA WATUMISHI SEKTA YA MALIASILI
33 Kuboresha huduma kwa watu wanaoishi na VVU na kupunguza maambukizi ya HIV/AIDS
Kuwezesha mafunzo ya kujikinga na UKIMWI kwa watumishi 18 na kuwezesha utoaji wa huduma ya lishe kwa watumishi 2 wanaoishi na maambukizi ya HIV/AIDS ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 400,000.00 Ruzuku ya Serikali
DLNRO
34 Kuendeleza na kutekeleza kikamilifu mkakati wa kupambana na rushwa.
Kutoa elimu ya kupambana na rushwa kwa watumishi 18 wa maliasili ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 180,000.00 Ruzuku ya Serikali
DLNRO
101
35 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii
Kuwezesha sekta ya Maliasili kugharamia malipo mbalimbali kama likizo kwa watumishi 18 , ununuzi wa shajara,umeme, maji, vifaa vya usafi, madeni n.k ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 4,606,417.00 Ruzuku ya Serikali
DLNRO
36 Kuwezesha watumishi 18 kushiriki katika maadhimisho ya kikata, kiwilaya, kikanda na kitaifa ya Nanene na serikali za mitaa ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya/Mbeya
840,000.00
Ruzuku ya Serikali
DLNRO
Jumla ndogo Utawala Maliasili (Ruzuku ya Serikali) 6,026,417.00
Jumla Kuu (Ruzuku ya Serikali) 12,052,834.00
USIMAMIZI WA MISITU
37 Kuboresha utawala bora na usimamizi wa utoaji huduma
Kuwezesha sekta kulipia gharama za uedeshaji wa ofisi za kila siku kama mai, umeme, ununuzi wa vipuri vya magari, matengenezo ya magari , watumishi kwenda likizo n.k ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 4,961,400.00 Mapato ya Ndani DLNRO
38 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira
Kuwezesha doria ya mazao ya misitu za kila wiki katika maeneo mbali mbali na barabara zote zinazoingia Manispaa ifikapo Juni 2019.
Maeneo yanayopakana na Manispaa
3,241,600.00 Mapato ya Ndani DLNRO
39 Kufanya doria katika misitu ya kupanda ya Halmashauri na misitu ya asili katika kata 23 ifikapo Juni 2019.
Maeneo yote yenye Misitu ya Asili
800,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
40 Kuwezesha uoteshaji wa miche 60,000 ya miti katika Bustani za miti za Ruaha na Udumuka ifikapo Juni 2019.
Ipogoro na Udumka 3,000,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
Jumla ndogo Kitengo cha Misitu (Mapato ya Ndani) 6,833,000.00
102
KITENGO CHA USIMAMIZI WA MISITU
41 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira
Kuwezesha uoteshaji wa miche 60,000 ya miti katika Bustani za miti za Ruaha na Udumuka ifikapo Juni 2019.
Ipogoro na Udumka 6,000,000.00 Ruzuku ya serikali (CDG)
DLNRO
Jumla ndogo Kitengo cha Misitu (Mapato ya Ndani) 6,000,000.00
KITENGO CHA WANYAMAPORI NA UTALII
42 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.
Kuwezesha sekta ya Maliasili kugharamia malipo mbalimbali kama likizo kwa watumishi 18 , ununuzi wa shajara,umeme, maji, vifaa vya usafi, madeni n.k ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya 4,780,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
43 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira
Kufanya doria za kuzuia ujangili katika Tarafa za Pawaga , Isman, Idodi na Kalenga ifikapo Juni 2019.
Tarafa za Pawaga , Isman, Idodi na Kalenga
4,650,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
44 Kuwezesha udhibiti wa wanyamapori waharibifu dhidi ya wananchi na mali zao kwenye vijiji vinavyopakana na Hifadhi za wanyama na eneo la Kalenga ifikapo mwezi Juni 2019.
Vijiji vinavyopakana na maeneo ya Hifadhi ya Wanyamapori
5,840,200.00 Mapato ya Ndani DLNRO
45 Kuwaelimisha wananchi namna ya kujikinga na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa kutumia njia za asili katika Tarafa za Pawaga, Idodi na Kalenga na Ismani ifikapo mwezi Juni 2019.
Tarafa za Pawaga, Idodi na Kalenga na Ismani
4,615,750.00 Mapato ya Ndani DLNRO
46 Kuwezesha vikao vya baraza la ushauri masuala ya maliasili Wilaya.
Halmashauri ya Wilaya 810,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
103
47 Kuwaelimisha wananchi toka vijiji 15 vya Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga juu ya umuhimu wa uwekezaji katika utalii wa kiikolojia na kiutamaduni ifikapo Juni 2019.
Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga
1,150,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
48 Kuwawezesha watumishi 3 kukagua ubora wa huduma za mahoteli katika Tarafa za Idodi, Pawaga na Ismani kufikia Juni 2019.
Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga
1,593,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO
Jumla ndogo – Kitengo cha wanyamapori na Utalii (Mapato ya Ndani)
22,812,000.00
49 Jumla Kuu (Mapato ya Ndani) 193,187,500.00
50 Jumla Kuu (Ruzuku ya Serikali) 12,052,834.00
51 Jumla Kuu (Ruzuku ya Maendeleo - CDG) 45,400,000.00
52 Jumla (Mapato ya Ndani na Ruzuku ya Serikali) 266,640,334.00
4:18 KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kimepanga shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 zenye gharama ya Tshs. 20,163,321.00 kutoka
fedha za mapato ya ndani na Tshs. 9,278,361.00 kutoka fedha za Ruzuku toka Serikali Kuu na kufanya jumla ya Tshs. 29,441,361.00 kama
inavyoonekana kwenye jedwali
Na LENGO LA MWAKA
SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA (TSH)
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
1 Kupunguza hatari ya
Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka kupata mafunzo ya
Makao makuu ya
50,000.00 MAPATO YA NDANI
DIA
104
maambukizi ya VVU.
uelewa wa maambukizi ifikapo Juni 2019. Wilaya
2
Kuimarisha huduma na utawala bora.
Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kuhudhuria mafunzo mbalimbali ya muda mfupi ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya wilaya na Nje ya Mkoa.
2,900,000.00
MAPATO YA NDANI
DIA
Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kufanyia kazi kwa wakaguzi 2 ili kuboresha utendaji kazi wa Kitengo cha ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (Diesel, shajala namatengenezo ya gari).
Makao makuu ya Wilaya
6,773,321.00
MAPATO YA NDANI
DIA
Kufanya ukaguzi wa taratibu za manunuzi na thamani ya fedha kwa miradi 25 ya sekta mbalimbali katika ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji kwa robo nne za mwaka ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya
9,380,000.00
MAPATO YA NDANI
DIA
Kuwezesha kuwasilisha taarifa za robo 4 na kaguzi maaalumu 10 za ukaguzi wa ndani katika Taasisis na mamlaka husika (IAG, NAO, WIZARA na RAS) ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya Wilaya na Nje ya mkoa.
420,000.00
MAPATO YA NDANI
DIA
Kuwezesha stahiki za watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (likizo, simu, umeme, posho na nauli).
Makao makuu ya Wilaya
640,000.00
MAPATO YA NDANI
DIA
JUMLA YA FEDHA MAPATO YA NDANI 20,163,321.00
Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA (TSH)
CHANZO CHA FEDHA
MSIMAMIZI
2 Kuwezesha watumishi wa Halmashauri kukabiliana na Rushwa.
Kuwezesha ukaguzi na utoaji elimu juu ya mapambano dhidi ya Rushwa katika kata 5 na ngazi ya wilaya ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya Wilaya
50,000.00 RUZUKU DIA
3
Kuimarisha huduma na utawala bora.
Kufanya ukaguzi wa taratibu za manunuzi na thamani ya fedha kwa miradi 25 ya sekta mbalimbali katika ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji kwa robo nne za mwaka ifikapo Juni 2019.
Halmashauri ya Wilaya
3,200,400.00 RUZUKU DIA
Kuwezesha kuwasilisha taarifa za robo 4 na kaguzi maaalumu 10 za ukaguzi wa ndani katika Taasisis na mamlaka husika (IAG, NAO, WIZARA na RAS) ifikapo Juni 2019.
Makao makuu ya Wilaya na Nje ya mkoa.
131,640.00 RUZUKU DIA
105
Kuwezesha stahiki za watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (likizo, simu, umeme, posho na nauli).
Makao makuu ya Wilaya
5,896,000.00 RUZUKU DIA
JUMLA YA FEDHA RUZUKU
9,278,040.00
JUMLA KUU (MAPATO YA NDANI NA RUZUKU) 29,441,361.00
4:18: KITENGO CHA NYUKI RASIMU YA MPANGO NA BAJETI MWAKA 2018/2019
Kitengo cha nyuki kimelenga kutumia kiasi cha Tshs 18,438,339 kwenye bajeti yake ya mwaka wa fedha 2018/2019. Kati ya fedha hizo Tshs
12,411,922 zinatokana na mapato ya ndani na Tshs 6,026,417 ni fedha za ruzuku kutoka serikali kuu. Fedha kiasi cha Tshs 8,081,922 zitatumika
kwa shughuli za kawaida na Tshs 10,356,417 zitatumika kwenye miradi ya maendeleo. Kama ilivyobainiskwenye jedwali hapa chini
1 Watumishi wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za UKIMWI ifikapo June 2019
Kuwezesha upatikanani wa lishe kwa mtumishi mwenye virusi vya UKIMWI ifikapo Juni 2019
400,000 Mapato ya ndani DBO
Watumishi wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za UKIMWI ifikapo June 2019
Kuendesha semina ya siku moja ya watumishi wa kitengo cha nyuki na watumishi wenzao wa idara zingine yenye lengo la kutoa elimu ya ugonjwa wa UKIMWI ifikapo Juni 2019
60,000.00 Mapato ya ndani DBO
2 Watumishi wa 3 wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za Rushwa ifikapo June 2019
Kuendesha mafunzo ya siku 2 kwa watumishi wa kitengo cha nyuki na watumishi wa idara zingine kuhusu madhara ya rushwa ifikapo Juni 2019
30,0000 Mapato ya ndani DBO
3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.
Kuwawezesha watumishi 3 wa kitengo cha nyuki kwenda likizo zao za mwaka na huduma muhimu za uendeshaji wa ofisi ifikapo Juni 2019
430,000 Mapato ya ndani DBO
4 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.
Kulipa madeni ya wazabuni na watumishi ifikapo Juni 2019
1,000,000 Mapato ya ndani DBO
5
Kuandaa mpango na bajeti ya kitengo cha nyuki ifikapo juni 2019
Kuwezesha maandalizi ya mpango na bajeti ya
720,000 Mapato ya ndani DBO
106
6 Kugharamia gharama za uendeshaji wa ofisi na stahiki za watumishi 3 ifikapo Juni 2019
Kugharamia ununuzi wa shajara, printa pamoja na stahiki za watumishi wapya watakaoajiriwa ifikapo Juni 2019
3,191,922 Mapato ya ndani DBO
7 Kugharamia maadhisho ya nanenane na maadhimisho rasmi mbalimbali ifikapo Juni 2019
Kuwezesha watumishi kuhudhuria maadhimisho mbalimbali kama vile Nanenane, maonesho ya asali, na siku ya wafanyakazi.
2,200,000 Mapato ya ndani DBO
Jumla ya Fedha za Matumizi ya Kawaida 8,081,922
8 Kuongeza uzalisahaji wa asali n anta kutoka kilo 40,000 za asali za sasa hadi kufikia kilo 50,000 na Nta kutoa kilo 2500 hadi 3500 ifikapo Juni 2019.
Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019
2,840,000 Mapato ya ndani DBO
Kuadhimisha na kuhamasisha wananchi kutundika mizinga katika wiki ya utundikaji wa mizinga kitaifa ifikapo Juni 2019
Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019
1,490,000 Mapato ya ndani DBO
JUMLA NDOGO (MAPATO YA NDANI) Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019
12,411,922
10 Kutambua wafugaji wapya na kuunda vikundi 4 katika kata 4
Kuwatambua wafugaji wapya wa nyuki na kuunda vikundi 4 vya ufugaji nyuki 4 kwenye kata nne ambazo ni Kiwere, Kising’a, Migoli na Idodi ifikapo Juni 2017
1,388,917 Ruzuku kutoka serikali kuu
DBO
11 Kuwezesha uanzishaji wa manzuki 10 (mashamba ya nyuki ifikapo 2019
4,637,500 Ruzuku kutoka serikali kuu
DBO
JUMLA NDOGO (RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU)
6,026,417
Jumla ya fedha ya miradi ya maendeleo 10,356,417
JUMLA KUU (KITENGO CHA NYUKI) 18,438,339
Naomba kuwasilisha
Robert M.Masunya MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA
IRINGA
107