6
Life inakupelekaje Filo? Najaribu lakini ni hardest… hata naona afadhali ni give-up. Filo! Mbona unasema hivyo, nini iliku-happen-ia?! Ulikuwa leader mpoa zamani lakini una-give up! Malkia, sio kwa kupenda… 9 jitambulishe!

19.b – Malkia

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Chapta 19– Malkia :Jitambulishe (I.D)

Citation preview

Page 1: 19.b – Malkia

Life inakupelekaje Filo?

Najaribu lakini ni hardest…

hata naona afadhali ni give-up.

Filo! Mbona unasema hivyo, nini iliku-happen-ia?!

Ulikuwa leader mpoa zamani

lakini una-give up!

Malkia, sio kwa kupenda… 9

jitambulishe!

Page 2: 19.b – Malkia

Nikimada seco nilikuwa na morale sana…

Wasee, mimi nafikisha 18 years…

Na elections ndio hizi zina-come. Lazima nichukue hatua ni-vote!

Nani ako na mimi?!

WAZI FILO!

WAZI FILO!

Nilifanya application yangu ya ID vipoa…

10

Page 3: 19.b – Malkia

Kijana, naona umerudi kuchukua

ID yako?

Ndio…iko tayari?

Hehehe! Si wewe uli-apply 3 months ago? Baaaado! Utangoja tu!

Ngoja kabisa!

Sawa.

BAADAE KIASI…

Tena umerudi? Bado kabisa! Unataka nikuzalie

ID ama?...Lakini ungekuwa unaongea vizuri, ungesaidika…

Sina dooh…

Kwani nafaa kulipa tena…?

Usirudi hapa kama hauezi

kuongea mzuri!

11

Page 4: 19.b – Malkia

Sijui kama hizi dooh zitatosha yule officer, manze lazima ni-vote!

Turn yangu itafika kweli?

12

Page 5: 19.b – Malkia

Orait! Tunafunga. Wengine mtarudi Monday!

Haki wacha tu nichukue yangu,

ntashindwa ku-vote!! Mbona mnaonea mayuts hivi?!

Mafala. Wakae na hizo

elections zao!

Vile violence ilitokea, nika-join wasee

tukavunja ma-shops.

Nilijam juu sikuona use ya kuwa patriotic any more…

13

Page 6: 19.b – Malkia

Unacheki Malkia, hakuna haja ya

ku-struggle sana…

Usi-give up Filo! Wewe ni m-young na unaweza achieve vitu biggie!

Kuna vitu unaweza do kama unakosa kusaidika kwa ofisi za ID. Nitatuma SMS kwa 3008

ndio DJB a-show mafans issue yako tupate solution.

Sawa, sina credo, tutumie simu yako…

ID ni LAZIMA kama unataka KU-VOTE kwa election yoyote! Anza mapema!

Apply-ia ID kwa District Registration Office (hii office iko kwa kila district). Wataku-show requirements za ku-apply, kumbuka…

hii service ni free!!

sare!!

bwerere!!

Usitumie ma-broker ku-apply ID, ma-officer wa registration wote wako na badge yenye inawatambua as workers wa gava. Usilipe broker, usilipe bribe. Kupata ID ni SARE!

Nairobi 18 working days (Mon – Fri)

Arid & Semi-Arid Lands na Border Districts 38 working days

Ma-district zingine zote 28 working days

After hii time imepita, enda

uulizie ID yako kwa place penye

uli-apply. Usipoipata, na kama

hauelewi mbona ID yako haiko,

bonga na District Registrar

in Charge kwa hiyo ofisi.

Kama bado una maswali bonga na customer care kwa hii address: National Registration Bureau

P.O Box 57007 – 00200, NAIROBI020 2722526 020 [email protected]

Hizi ndio time ya kawaida ye ID kutokelezea kwa areas tofauti Kenya:

14