16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1125 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 16-22, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] Balaa la kutisha linakuja nchini Mwanza, Dar chukueni tahadhari Boko Haram aliyefufuka kuteka wasichana Hatari kubwa! “HUU ndiyo Mfumokristo, Ustadhi Ilunga aliokuwa akilia nao maana unajieleza katika makaratasi, lakini pia unajionyesha wazi kivitendo.” Hayo ni baadhi ya mambo yaliyobainishwa katika kongamano lililofanyika katika Msikiti wa Mtambani kwa lengo la kujikumbusha nasaha na harakati za Sheikh Ilunga. Katika kilele cha kongamano hilo, ilisisitizwa kuwa kubwa na la maana wanaloweza Huu ndio mfumokristo aliouzungumzia Ilunga Na Bakari Mwakangwale AL-MARHUUM Sheikh Ilunga Hassan Kapungu. Inaendelea Uk. 3 kufanya Waislamu katika kumuenzi Sheikh Ilunga, HISTORIA iliyofumuliwa Bungeni na Tundu Lissu, imepelekea watu wengi kuhaha kusaka kitabu cha Harith ambacho kinaonekana kuadimika katika maduka ya vitabu. Japo masuala ya kupotea kwa akina Hanga, Saadalla, Othaman Sharif, Mdungi Usi na Jaha Ubwa, yamekuwa Lissu atonesha vidonda Ya akina Hanga yazua simanzi Kwa heri uhuru chasakwa kila kona TUNDU Lissu. Na Bakari Mwakangwale yakisikika kwa muda mrefu, lakini hii ni mara ya kwanza na katika namna ya kipekee masuala hayo kuzungumzwa kwa upana na katika kikao rasmi. Jambo hilo, limeibua shauku kwa watu wengi Bara na Visiwani kutaka kujua nini kiliwasibu watu hao, kwa nini na hapo awali nini ulikuwa Inaendelea Uk. 5 Abubakar Shekau anayedaiwa kuwa kiongozi wa Boko Haram. Ponda amaliza kifungo lakini bado yupo jela Uk. 16

ANNUUR 1125

Embed Size (px)

Citation preview

ISSN 0856 - 3861 Na. 1125 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 16-22, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

Balaa la kutisha linakuja nchiniMwanza, Dar chukueni tahadhariBoko Haram aliyefufuka kuteka wasichana

Hatari kubwa!“ H U U n d i y o Mfumokristo, Ustadhi Ilunga aliokuwa akilia nao maana unajieleza katika makaratasi, lakini pia unajionyesha wazi kivitendo.”

Hayo ni baadhi ya mambo yaliyobainishwa k a t i k a k o n g a m a n o lililofanyika katika Msikiti wa Mtambani kwa lengo la kujikumbusha nasaha na harakati za Sheikh Ilunga.

K a t i k a k i l e l e c h a k o n g a m a n o h i l o , ilisisitizwa kuwa kubwa na la maana wanaloweza

Huu ndio mfumokristo aliouzungumzia IlungaNa Bakari Mwakangwale

AL-MARHUUM Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.

Inaendelea Uk. 3

kufanya Waislamu katika kumuenzi Sheikh Ilunga,

HISTORIA iliyofumuliwa Bungeni na Tundu Lissu, imepelekea watu wengi kuhaha kusaka kitabu c h a H a r i t h a m b a c h o kinaonekana kuadimika katika maduka ya vitabu.

Japo masuala ya kupotea kwa akina Hanga, Saadalla, Othaman Sharif, Mdungi Usi na Jaha Ubwa, yamekuwa

Lissu atonesha vidondaYa akina Hanga yazua simanziKwa heri uhuru chasakwa kila kona

TUNDU Lissu.

Na Bakari Mwakangwale yakisikika kwa muda mrefu, lakini hii ni mara ya kwanza na katika namna ya kipekee masuala hayo kuzungumzwa kwa upana na katika kikao rasmi.

Jambo hi lo , l imeibua shauku kwa watu wengi Bara na Visiwani kutaka kujua nini kiliwasibu watu hao, kwa nini na hapo awali nini ulikuwa

Inaendelea Uk. 5

Abubakar Shekau anayedaiwa kuwa kiongozi wa Boko Haram.

Ponda amaliza kifungo lakini bado yupo jela

Uk. 16

2 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Tangazo

WAKATI zilipozuka vurugu Zanzibar baada ya kutoweka na kuibuka Sheikh Farid k a t i k a m a z i n g i r a y a kutatanisha, yalisemwa megi na wanasiasa wetu. Yale matukio ya kuchoma moto matairi barabarani na kuchomwa badhi ya maskani za CCM, yakahusishwa na ugaidi na magaidi weyewe ikadaiwa kuwa ni masheikh wa Uamsho.

K e j e l i , p o r o j o n a propaganda zikaenda mbali zaidi, wengine wakadai kuwa ‘Uamsha’ ni Boko Haram. Wanayasema hayo huku taarifa za mashuhuda mitaani zikisema kuwa waliokuwa wakichoma moto ni watu na heshma zao na magari yao yakionekana yakiranda mtaa hadi mtaa. Wanayasema hayo huku mashuhuda mitaani wakishuhudia vijana wa kihuni wakifanya hujuma hizo.

Labda kabla ya kusema mengi zaidi tuwatake radhi wasomaji wetu kwa sababu watakuta mada hii ya Boko Haram imepewa nafas i kubwa sana katika gazeti letu la leo. Tumefanya hivyo kwa sababu kubwa mbili: Moja ni hili la kutekwa watoto wa shule takriban 200 ambao mpaka sasa yapata mwezi hawajapatikana. Ukitaka kujua uzito wa tukio hili, jaaliya ingekuwa ni binti yako katekwa na maharamia katili kama wanavotajwa Boko Haram, ungekuwa katika hali gani.

Lakini ukilitizama tukio hili, linaonekana kubeba mambo mengi ambayo nayo yanahitaji kutizamwa ili kujua kwa uhakika, nini hasa kimetokea.

Sababu ya pili ni kuwa sisi tuna wasiwasi kuwa ipo hatari inatunyemelea huku hatuna habari. Bali kinyume chake tunafanya mambo ya kuiharakisha zaidi na kuitia nguvu mizizi yake. Tunafanya mzaha wakat i wahenga wanatuambia kuwa nyimbo m b a ya h a b e m b e l e z e w i mwana.

Tunaamini kuwa kama utafanyika uchambuzi wa kina juu ya kitisho kinachoendelea hivi sasa Nigeria cha Boko Haram, huenda tukanabahi na tukachukua hatua za kujinusuru.

Ilipofikia Nigeria hivi sasa inatisha. Nguvu za kidunia za kijeshi na kikachero, sasa

Boko Haram na ilipofikishwa Nigeria iwe fundisho kwetu

zinaelekezwa huko katika kile kinachoelezwa kuwa ni kusaidia kupatikana kwa watoto waliotekwa na magaidi.

Kibwagizo “Bring Back our Girls”, ghafla kimepata umaarufu, kikishikiwa bango kutoka pembe zote za dunia. Yote hii ikiwa ni kuonyesha kuwa Nigeria imekwama na inahitaji usaidizi wa kijeshi kutoka nje.

B o k o H a r a m i l i a n z a kama taasisi ya kawaida, ikijiita "Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad. Japo ikiwa na sera zenye utata hata miongoni mwa Waislamu, lakini hakuna aliyetarajia kuwa ingeifikisha Nigeria hapa ilipo. Imekuwa kama jinamizi na nunda linalotisha mpaka jeshi la nchi!

Ukitizama mlolongo wa matukio toka kuanza kwake hadi hapa ilipofikia, kuna maswali mengi yanaibuka ambayo hayana majibu ila mpaka yakitizamwa mambo kwa jicho pevu.

H i l o n d i l o t u n a t a k a wasomaji wetu walitizame katika uchambuzi tuliofanya katika makala mbalimbali tulizochapisha.

Boko Haram wanapata wapi silaha nzito nzito? Kwa nini kulikuwa na mlolongo wa baadhi ya Wakristo kulipua makanisa yao na hata kufanya mauwaji kisha inasingiziwa kuwa ni Boko Haram? Kwa nini umesemwa uwongo mwingi?

Mwanzoni mwa tukio la kutekwa wanafunzi , z i l i s a m b a z w a h a b a r i katika mitandao ya kijamii i k i o n y e s h a m s i c h a n a ak i teswa hadi kuul iwa kikatili. Ikadaiwa kuwa hayo ni mateso wanayofanyiwa w a s i c h a n a w a s h u l e waliotekwa na Boko Haram. Hata hivyo, picha hizo za video ni zile zile zilizotumika takriban miaka kumi iliyopita zikionyesha kilichodaiwa kuwa ni ukatili wa Al Shabab Somalia.

Swali ni je, uwongo wote huu, kwa sababu gani?

Hivi sasa tunapoandika maoni haya, kuna picha za video katika mitandao na ka t ika vyombo vya habari zikidaiwa kuwa ni za wasichana waliotekwa wakiwa wamevaa hijabu. Inadaiwa kuwa wasichana hao wamevalishwa hijabu baada ya kusilimishwa kwa

nguvu. Lakini ukitizama picha hizo, utaona baadhi yao ni watu wazima kabisa, sio wa makamu ya kusoma shule . Lakini pia watu hao wanasikika wakisoma Qur’an kwa ufasaha kabisa. Wamesilimishwa kwa nguvu na wakalazimishwa kujua kusoma Qur’an kwa nguvu, kufumba na kufumbua wakajua! Pengine haya ni maajabu katika maajabu ya Boko Haram.

Bado swali ni lile lile, uwongo huu wa nini? Hapana shaka jibu ni jepesi kabisa. Huu mhemko wa kidunia na hii haraka ya Marekani, Israel na Ulaya kuingia Nigeria, ndiyo ilikuwa ikitafutwa. Ilikuwa lazima yapatikane mazingira ya kuonyesha kuwa hali Nigeria ni ya kutisha.

Baada ya kuyasema yote hayo tumalizie na nasaha zifuatazo: Waswahili wana msemo wao, ukiona mwenzio ananyolewa, tia kichwa chako maji.

Yapo mambo yakiachwa yakiendelea, itakuwa ni sababu ya uhakika ya kuleta machafuko na sisi kujitafutia sababu na mazingira ya kuwapa mwanya mabeberu kutuomba watupe msaada wa kijeshi. Njia hiyo ni huu ujinga unaoendelea hivi sasa wa kelele za kuchomwa moto makanisa na kuuliwa viongozi wa makanisa. Kama kweli

yupo muhalifu akamatwe a f ik i shwe mahakamani kama muhalifu, sio kupiga propaganda za kuchochea chuki baina ya Waislamu na Wakristo.

Pili , katika mazingira tunayokwenda nayo hivi sasa, inabidi viongozi wa dini kuwa makini sana na kauli zao. Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hata kama awali Boko Haram haikuwa imeanzishwa na maadui wa Uislamu na maadui wa Nigeria, lakini yaliyokuwa yanafanywa na kikundi hicho yametoa mwanya kutumika jina lao kufanya uharamia na kuleta kitisho cha kweli ambacho kimeiacha Nigeria ikiwa imegawika mapande kati ya Waislamu na Wakristo.

La tatu na lenye uzito wa kipekee ni kuwa ni matarajio yetu kuwa vyombo vyetu vya usalama na viongozi wetu wa serikali hawatakuwa sehemu ya wapiga propaganda za ‘Uamsha’ , Boko Haram na kauli za jumla jumla za kuchomwa makanisa, bali watakuwa wazaendo wa kweli, walinda usalama, amani na utulivu wa nchi hii.

Yanayojiri Nigeria toka kuibuka kwa Boko Haram mpaka hizi salam za kukubali haraka haraka maombi ya kuletewa usaidizi wa kijeshi kutoka Marekani na Israel, inatupa wasiwasi kuwa akina

Jonathan na makamanda wake katika vyombo vya ulinzi na usalama, watakuwa na mchango mkubwa katika kuisambaratisha Nigeria japo kwa kauli wanatamba kupigania amani na usalama wa nchi hiyo.

Mwandish i Margare t Kimberley alisema kuwa, kama kuna kitu Nigeria inatakiwa ikiepuke kama ukoma, ni kukubali msaada wa k i jeshi kutoka kwa mabeberu. Alisema “the last thing Nigeria needs is a foreign military presence to prop up its corrupt government.”

Hoja yake ya msingi ni kuwa kukubali msaada huo ni sawa na kujitia kitanzi. Itakuwa ni kukamilisha mpango wa Africom wa kuikalia nchi hiyo ili kudhibiti rasilimali, kubwa ikiwa mafuta. Katika uchambuzi wake akaonyesha kuwa viongozi wa Nigeria kuanzia serikali kuu mpaka Magavana wa Majimbo, wamekuwa mafisadi ambao kutumika na mabeberu ilimuradi wanahakikishiwa kuendelea kufaidi utajiri wao binafsi, hilo sio tatizo kwao.

Sasa inawezekana hata hapa kwetu mashinikizo yakawa mengi ya kimasilahi na hata vitisho, lakini tukiwa kama akina Raúl Capote wa Cuba, tutapata msaada wa Mwenyezi Mungu na tutasalimika.

0715-860120 / 0758-447051 / 0653-532456

NAFASI ZA MASOMO 2014-2015

Bismillahir Rahmanir Raheem

K AMBONI IGTEACHERS’ COLLEGEKIGOGO

NaUsajili

CU 130

CU 124

Bw

en

i

Ku

twa

na

“WAHITIMU WOTE WATAAJIRIWA NA SERIKALI”

NB: Inawezekana Kuunganisha

VYETI

RESITING PROGRAMME

DIPLOMA YA UALIMU WA SEKONDARI (Miaka 2)

Kituo No. 5089,

WALIOKOSA POINTI 34, WATARUHUSIWA KUSOMA UALIMU HUKU WANARUDIA

MITIHANI YA KIDATO CHA NNE

CHETI UALIMU WA AWALI (Mwaka 1)

(Vigezo:Principal Pass 2, Kuanzia 2004-2013)Ufaulu: Div I,II,III kwa masomo ya sayansi watapewa

RUZUKU na MKOPO na SERIKALI)

Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia 2004-2013 NA Awe na Credit 2 katika masomo ya Sayansi/Hisabati na English.

Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia 2004-2013.

Ufaulu: Awe na Uzoefu wa Miaka 2 kaziniKidato cha VI,na kupata Principal Pass moja

na Subsidiary moja

(Msingi) ondari) (Sek

DIPLOMA MAALUM YA UALIMU-KIDATO CHA IV (Miaka 3)(masomo ya Sayansi/Hisabati na English)

(Msingi na Sekondari)

DIPLOMA YA UALIMU-ELIMU YA MSINGI (Miaka 3)

DIPLOMA YA UALIMU-KAZINI (Miaka 2)

Awe amemaliza Form IV

DIPLOMA UALIMU WA AWALI

(Miaka 2)

UALIMU WA MSINGI (Grade IIIA Miaka 2) Form 4: Div III Point 25-31, Waliomaliza 2013

Au Div III, waliomaliza 2004-2012 Na

Form 4: Div IV, Point 32-34, Waliomaliza 2013 Au Point 26 - 27, waliomaliza 2004-2012 Au Mwenye Ufaulu wa D katika

Masomo ya Sayansi, Hisabati, English na Kiswahili wataruhusiwa baada ya kufanya Foundation Course

Waliopata Principal Pass 1 na Subsidiary 1 au Subsidiary 2 katika masomoyote ataruhusiwa kusoma Ualimu baada ya kufanya Foundation Course.

3 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Habari

KWA muda mrefu gazeti hili limekuwa likipokea malalamiko juu ya suala zima la kutokuwepo kwa historia kamili inayowahusu waasisi wa uhuru wa nchi yetu (Tanganyika).

Kwa jinsi inavyofahamika kwa walio wengi, historia za nchi mbili zinazounda Jamhuri ya muungano wa Tanzania, yaani Tanganyika na Zanzibar, zinaonekana kuanzia wakati wa Mwalimu Nyrerere na Sheikh Abeid A m a n K a r u m e p a l e walipoingia katika harakati za kisiasa.

Maandiko na propaganda nyingi kuhusu historia za mataifa haya, yameonekana kutoshughulika na waasisi wengine wal iohangaika kuanzisha harakati za kudai uhuru na haki na hata katika mchakato mzima wa kuziunganisha nchi hizi.

Wengi hawatajwi wala kuzungumzwa katika historia ya nchi.

Kwa mfano, huku Tanzania b a r a wa l i o a s i s i w e n g i walioshiriki katika kuanzisha vyama vya harakati za kudai uhuru na haki kama vile TAA na hata TANU. Wapo watu wengi walioshiriki, walioanzisha na kuweka mikakati na mifumo ya uongozi katika vyama hivyo na kuanza harakati za uhuru kabla hata ya kuja Mwalimu Julius Nyerere kuingia katika medani ya siasa kwenye miaka ya 1950s.

Wengi wao hawatajwi, hawajulikani walipo wala haujulikani mchango wao katika historia nzima ya nchi yetu.

Tu n a v y o f a h a m u , n i Watanzania wachache sana wanaowafahamu watu kama akina Dosa Azizi, Mshume Kiate, Mzee Tambaza, Kleist Sykes, Ali Sykes, Sheikh Ramia, John Rupia na wengine wengi, ambao wamebeba historia halisi ya Taifa hili.

Hatujui ni kwa makusudi au kwa malengo maalum, vizazi na vizazi vimerithishwa historia ya Taifa kuanzia miaka ya 1960s na kuendelea. Nyuma ya hapo historia halisi unaweza kuipata tu kwa mapokeo kutoka kwa watu wafuatiliaji na wadadisi kama akina Mohammed Said na wazee wachache waliosalia ambao ni sehemu ya historia yenyewe, hususan watu wa kaliba ya akina Mzee Abbas Sykes.

Kwa jinsi tunavyoona, tunahisi sasa kuna upepo wa udadisi ambao umewapata vijana wengi wa Kitanzania wa kuhoji mambo ya kihistoria ya Taifa lao.

Hoja za vijana wasomi wa sasa juu ya historia ya nchi hii, ni matokeo ya kuwepo mashaka makubwa kuhusu

Kuna upungufu katika historia ya TaifaNa Mwandishi Wetu uhalisia wa historia iliyopo.

Dal i l i z ina tuonyesha kwamba umefika wakati Watanzania wanaona kuna haja ya kuifahamu historia halisi ya Taifa lao.

Katika siku za nyuma, lilikuwa ni jambo la hatari kama si jinai kuhoji masuala kama ya muungano, tabia a m b a y o i l i j e n g e k a n a kuwalemaza Watanzania wal io wengi , k ias i cha kuwajengea woga kuhoji masuala ya namna hiyo.

Tayari Bw. Tundu Lisu, (Mb) ameonyesha njia kwa kuhoji swali la msingi ambalo hal ikutakiwa kuhoj iwa, hususan kuhusu masuala ya historia ya Muungano na wale walioshiriki kikamilifu katika mchakato wake.

W a t a n z a n i a w e n g i hawawafahamu kwa kina ni akina nani na ni namna

gani watu wengine mahiri wal ip igania muungano uliopo sasa kwa kushirikiana na akina Nyerere na Karume.

Aidha wengi hawajui ni akina nani waliongoza mikakati ya Mapinduzi ya Zanzibar, ambapo wengi wao walipoteza maisha na historia yao pia. Historia yao ya kweli imewekwa katika hali ya kuwasahau, huku wakitukuzwa wateule wachache tu.

Sasa z ina ibuka ho ja , ambazo kimsingi zinahitaki majibu kwa ajili ya kuweka rekodi nzuri na sahihi ya Historia za matukio muhimu ya Taifa letu.

Kitabu kilichoandikwa na Dkt. Harith Ghassan kiitwacho “Kwaheri ukoloni, kwa heri uhuru” kitabu cha kitafiti chenye ukubwa kiasi,

kinatoa picha halisi kuhusu shaka ya kukosekana historia ya kweli ya nchi yetu.

Kitabu hicho kimekusanya nyaraka halisi na za uhakika za kihistoria za nchi yetu kutoka taasisi za kimataifa na kitaifa. Pia kimekusanya mazungumzo ya mashuhuda ambao ni miongoni mwa watu wachache waliosalia waliokuwa sehemu ya historia ya nchi yetu bara na visiwani.

Kitabu hiki kimekuwa chanzo muhimu cha kufungua watu fahamu zao juu ya historia sahihi ya Taifa letu. Bila shaka Tundu Lissu na bila shaka Watanzania walio wengi, wamezinduliwa na sasa wameanza kuhoji, wako wapi akina Abdallah Kassim Hanga, Abdulaziz Twala, Othman Shariff, Saleh Akida, Jaha Ubwa, Mdungi Ussi na

wengineo. Hoja zinakuja nini ulikuwa mchango wao katika Muungano.

Msingi wa kuondoka mashaka yanayoibuka sasa kuhusu historia ya Taifa letu, ni kuandikwa kwa usahihi historia halisi na iliyofanyiwa utafiti wa kina kwa nchi zetu Tanganyika na Zanzibar.

Kuanzia mapambano ya kudai uhuru, kupata uhuru, Mapinduzi ya Zanzibar hadi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hata kama yapo makosa ya kihistoria, nayo yabainishwe kwa kuwa hilo nalo ni sehemu ya historia pia.

Kama alivyohoji Tundu Lissu, tuelezwe tu kwamba wako wapi akina Hanga na nini kilichowasibu. Wote hao ni sehemu muhimu sana kwa historia ya Zanzibar.

Huu ndio mfumokristo aliouzungumzia IlungaInatoka Uk. 1

ni kufanya kazi kwa bidii katika kupigania Uislamu, haki na uadilifu katika jamii ya Watanzania.

I k a e l e z w a k u w a Serikali haikujibu hoja za Al-marhum Sheikh Ilunga Hassan, alizozitoa katika Makongamano ya Mfumokristo akiwa hai hiyo ikiwa ni ushahidi kuwa yote aliyosema ni kweli, haziwezi kukanushwa.

Hayo yameelezwa na Imam Hamza Omari , a k i z u n g u m z a n a Waislamu katika Msikiti wa Mtambani, mara baada ya swala ya Ijumaa wiki iliyopita katika Kongamano hilo l i l i loandaliwa na wanafunzi wa Marhumu Sheikh Ilunga.

I m a m H a m z a amesema Sheikh Ilunga atakumbukwa na kila M u i s l a m u n c h i n i n a hata wasio Waislamu, kwani alifumua mambo mengi ambayo yalikuwa hayafahamiki.

Imamu Hamza, aliye mmoja wa wanafunzi wa Sheikh Ilunga, amesema Serikali ilipaswa kujibu na kutoa ufafanuzi kuhusu h o j a a l i z o t o a n a s i o kumkamata.

Akizungumzia suala l a y e y e m w e n y e w e k u k a m a t wa a l i s e m a , mambo aliyotuhumiwa kwayo, ndio hay ohayo aliyotuhumiwa Askofu Mpemba, lakini kukawa n a u b a l a k a l a k a t i k a kuwashughulikia wote wawili.

Uadilifu unaodaiwa kuwepo katika kutekeleza sheria haukukonekana bali udini na upendeleo.

Akire jea kisa hicho Imam alisema, Februari 2 6 , 2 0 1 3 , k a m a n d a wa Polisi, Mkoawa wa Mwanza (RPC), alitoa amri wakamatwe watu watatu, Imamu Hamza Omari Mohammed, Sheikh Ilunga Hassan Kapungu pamoja na Askofu Mpemba.

Al i sema, wote hao walitafutwa kwa tuhuma za uchochezi kupit ia mikanda (CD), iliyodaiwa ya uchochezi, ambapo mmoja (Imamu Hamza) alikamatwa na kufikishwa Mahakamani, na kukaa dani.

“Pamoja na kukaa humo ndani¸alinyimwa dhamana miezi minne, lakini wakati huo RPC, wa Mkoa alitoa tamko ambalo kisheria ilitakiwa alirejee kama lilikuwa limefanyiwa kazi.”

A l i m n u k u u R P C akisema kuwa, “Askofu Mpemba, anata futwa kwa udi na uvumba na atakayeweza kumpata atapewa shilingi milioni 20 kama zawadi” na taarifa hiyo ilinukuliwa katika vyombo mabalimbali vya habari.

Hata hivyo Askofu huyo hakukamatwa na kuwekwa ndani kama alivyofanyiwa Imam Hamza.

“ H u u n d i y o Mfumokristo, Ustadhi Ilunga aliokuwa akilia nao maana unajieleza katika makaratasi, lakini pia unajionyesha wazi

kivitendo mfano wa kisa hiki.” Alisema Imamu Hamza.

K w a u p a n d e mwingine Sheikh Hamza alitahadharisha juu ya Masheikh aliodai kuwa wanatumiwa kuupa uhai na nguvu Mfumokristo.

“Ukimtazama usoni, u n a m u o n a k a b e b a Uislamu, lakini ndani ya nafsi yake kabeba Mfumokristo, na kwamba utawajua kwa kauli zao tu, mfano wale waliosimama kumtetea Waziri Wiliam Lukuvi.

I m a m H a m z a , alikumbushia pia kikao chao baina ya viongozi wa dini na Waziri Mkuu (Mizengo Pinda) Geita, ambapo katika kikao hicho Maaskofu walionekana wakishikiza Sheikh Ilunga akamatwe wakidai kasema maneno mazito, akasema, ye ye ( I m a m H a m z a ) alimuomba Waziri Mkuu, kwa kumueleza kwamba kabla ya kumkamata Sheikh Ilunga kwanza hoja za Ilunga zijibiwe.

Imam Hamza alirejea hoja za Sheikh Ilunga, ambazo alitaka zi j ibiwe kabla ya kukamatwa akikariri kuwa, ‘ndani ya Tanzania k u n a M f u m o k r i s t o ’ , ambao unathibitishwa na ukweli kwamba kuna vijana sita wa Kiislamu na Wachungaji wawili wal iokamatwa kat ika kadhia iliyowakutanisha hapo, lakini ni Waislamu p e k e e w a l i o w e k w a n d a n i n a k u n y i m wa dhamana, lakini Wakristo

waliachiliwa njiani.H a w a k u f i k i s h w a

polisi na hivyo makosa yao hayakusajiliwa rasmi wakati vielelezo vipo katika kanda/cd.

Aligusia pia hatua ya serikali kubadili msimamo wake juu ya suala la OIC kwa kufuata msimamo wa Maaskofu.

N a y e I m a m w a M t a m b a n i , U s t a d h i Suleiman, alisema baada ya Mtume Muhammad (s a w), kufariki, Swahaba Abubakari, alitoa hotuba fupi akisema, yoyoye aliyekuwa akimwamudu M u h a m m d , b a s i Muhammad amefariki, na yoyote a l iyekuwa anamuabudu Mwenyezi Mungu, Mungu yupo hai mwenye uhai wa milele.

Akasema, kauli aliyoitoa S w a h a b a A b u b a k a r , ndiyo ambayo Waislamu wanatakiwa kubaki nayo juu ya msiba wa kiongozi wao Sheikh Ilunga.

“ S h e i k h I l u n g a , a l i tuz indua Wis lamu tukaujua Mfumokristo, kwani alijitolea kuzunguka nchi nzima kuuelezea mfumo huo na kuelezea mambo ambayo pengine wewe ungepewa jukumu hilo usingeweza kulifanya, lakini yeye al iweza”. Alisema Imam Suleiman.

Kwa hiyo, kilichosalia n i k u y a f a n y i a k a z i a l iyohimiza ik iwa ni pamoja na kuchukua h a t u a k u h a k i k i s h a k u w a m f u m o k r i s t o unakomeshwa.

4 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Habari

WIKI i l iyopi ta Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitoa salamu za pole kwa wananchi wa Nigeria kutokana na vitendo vya kigaidi vinavyoendelea k a t i k a n c h i h i y o . Akihudhuria Kongamano la Uchumi Duniani (WEF) lililokuwa likifanyika Abuja, Nigeria, Rais Kikwete alikutana na Rais Goodluck Jonathan ambapo alimpa salamu za rambirambi na pole kwa niaba ya Watanzania kutokana na vitendo vya kigaidi ambavyo vimeua maelfu ya wananchi wasio na hatia.

“Yanayoendelea katika nchi hii ni wendawazimu wa kiwango cha juu sana, binadamu anao uwezo mkubwa wa kufanya mambo ya ukatili wa hatari kabisa, hawa ni watu wasio na roho wala moyo, ni ukatili wa kiwango cha juu sana.” Alinukuliwa Rais Kikwete akisema.

Watuhumiwa wakubwa k a t i k a u g a i d i h u u unaoendelea Nigeria ni kundi linalojulikana kama Boko Haram, ambao katika tukio la hivi karibuni wanatuhumiwa kuteka wa s i c h a n a wa s h u l e wapata 200 na mpaka sasa hawajapatikana.

Aliyosema Rais Kikwete ni sawa kabisa. Watu wanaofaya vitendo vya kigaidi-kwa maana ya kuuwa watu wasio na hatia, ni ukatili na wehu uliopindukia mipaka. Hakuna sababu yoyote inayoweza kutolewa na kujengewa hoja kwamba inaweza kuhala l i sha vitendo vya kigadi kama vinavyodaiwa kufanywa na Boko Haram.

Akizungumzia juhudi zinazofanywa na serikali yake katika kupambana n a B o k o H a r a m n a kutokomeza vitendo vya kigaidi kwa ujumla, Rais Jonathan amesema kuwa ana matumaini makubwa kuwa ugaidi katika nchi yake unaelekea mwisho baada ya kupata usaidizi kutoka Marekani na Uingereza.

Labda hapa niseme kuwa, kama ni usaidizi, Nigeria imekuwa ikipata usaidizi huo wa Marekani toka mwanzo wa tatizo hili. Na taarifa zinaonyesha kuwa kwa miaka kadhaa sasa, Nigeria ina bajeti kubwa ya kijeshi, kipolisi na kikachero kwa ajili ya kupambana na Boko Haram na wafadhi l i wakubwa wa bajeti hiyo

Amesema kweli Rais Kikwete…Lakini magaidi hao kina nani?

Na Omar Msangi

BAADHI ya mabinti waliotekwa na kundi la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria.

ni Marekani. Kwa hiyo misaada na mipango ya kikachero, kipolisi, kijeshi na kipesa kutoka Marekani imekuwepo kwa muda mrefu, lakini kila uchao ndio vitendo vya kigaidi vinazidi na kuchukua sura mbaya zaidi.

Lakini pengine jingine la kusema hapa ni kuwa h a k u n a n c h i y o y o t e duniani iliyowahi kupewa misaada na Marekani ya kijeshi, kikachero na vikosi maalum vya kupambana na ugaidi, ikawa salama. Tazama historia ya El Salvador, Guatemala, Chile, Equador, Panama na Nicaragua. Tizama pia Pakistan, Afghanistan, Iraq, Yemen, Somalia, Libya, Syria na sasa Kenya.

Ukiangalia historia ya nchi hizo na zilikofikishwa baada ya kuahidiwa na kupokea misaada kutoka Marekani ya kikachero na kijeshi ili kupambana na ugaidi, utaona kuwa inakuwa kana kwamba misaada h iyo , n i ya kuzivuruga na kuzitia katika machafuko zaidi nchi hizo.

Libya ilikuwa ni nchi i l iyotuliwa. Ikapigwa p r o p a g a n d a k u w a inaongozwa na dikiteta katili, asiyewapa wananchi demokrasia na muuwaji katili. Marekani ikaingia kutoa usaidizi kumng’oa dikiteta muuwaji. Leo Walibya wanajuta. Nchi

haikaliki.Kenya kuna kikosi

maalum cha polisi cha kupambana na ugaidi chenye bajeti maalum k u t o k a M a r e k a n i . Kinaitwa Anti-Terror Police Unit (ATPU). Lakini ndio kwanza vitendo vya kigaidi vinapamba moto. Kabla ya hapo hapakuwa na matukio kama lile la Westigate Shopping Mall, Nairobi. Lakini baya zaidi ni kuwa hali inavyoendelea hivi sasa, si ajabu ikalipua mapambano ya kweli au vitendo vya kigaidi vya kweli baina ya Waislamu na Wakristo, kama ilivyo, Sunni na Shia kule Iraq na Pakistan.

Somalia ilikuwa hivyo hivyo. Baada ya kupata u t u l i v u k wa m u d a , Marekani ikadai kuwa, Umoja wa Mahkama za Kiislamu walioleta amani, u s a l a m a n a u t u l i v u Somal ia n i maga id i , l a z i m a wa n g ’ o l e we . Na s i s i huku Afr ika Mashariki tukapigwa propaganda, tukawa-‘programmed’ (brain washed), tukajumuishwa katika vita ya kupambana na waliodaiwa kuwa ni magaidi Somalia. Leo, kuna kilio Afrika Mashariki yote juu ya unaodaiwa kuwa ni ugaidi wa Al Shabab. Kabla ya hapo, vita na uharamia uliokuwa ukifanywa na wababe wa kivita, ilikuwa ni tatizo la

ndani ya Somalia. Kwa ujio wa Marekani na sisi kutumbukizwa katika vita hiyo, sasa ni tatizo la Afrika Mashariki na Kati!!! Kampala inapigwa, Nairobi inashambuliwa s a w i y a M o m b a s a . Huku kwetu nako mara tunaambiwa Al Shabab wapo Unguja, Arusha na wanasiasa wetu pamoja na vyombo vya usalama, hawaishi kutahadharisha juu ya kitisho cha Al Shabab.

Katika hali kama hii, Rais Goodluck anaposema kuwa amewakaribisha Wamarekani watokomeze ugaidi Nigeria, huyo ni bundi analia juu ya nyumba mchana kweupe. Ni paka mweusi kakatiza n j ia . Hakuna sa lama inayotarajiwa kupatikana kwa siku za usoni.

Akihitimisha uchambuzi wake juu ya unaoitwa usaidizi wa Marekani katika kupambana na ugaidi, mwandishi mmoja wa Nigeria anasema kuwa Marekani ina rekodi chafu kutoka Vietnam mpaka Iraq na Afghanistan. Hali ni hiyo hiyo kule Latin America, ambapo hakuna ila historia ya mateso na ukatili wa kutisha kwa wananchi wazalendo wasio na hatia.

“Nigerians let us stop and think before we allow the big bad wolf in, for we will have nobody but ourselves to blame

when our chickens start to get missing.”

A k i t o a w i t o k w a Wa n i g e r i a w e n z a k e a n a s e m a k u w a , n i lazima tahadhari kubwa i c h u k u l i w e w a s i j e kujikuta wamelifungulia milango mbweha kwani h a w a t a k u w a n a w a kumlaumu watakapoanza kuliwa momoja baada ya mwingine.

Akizungumza ndani ya Bunge Maalum la Katiba, mjini Dodoma hivi karibuni, Profesa Hamza Njozi alisema kuwa upo mkakati wa mabeberu wa kuz ivuruga nch i za ukanda huu-kutoka Somalia na hii Afrika ya Mashariki. Ile ‘staili’ ya zamani ya wakoloni na mabeberu ya kuzivamia nchi kijeshi, ishapitwa na wakati, lakini malengo yao yapo pale pale.

Kupitia kitisho cha ugaidi, huzivuruga nchi na kisha kuzikalia kwa kusambaza utando wake wa kikachero na kijeshi na kuzitia kitanzi ili kupata fursa ya kupora rasilimali. Iraq wanapigana wenyewe kwa wenyewe-Sunni/Shia, Somalia wanapigana wenyewe kwa wenyewe-serikali vs Al Shabab. Hivi sasa Kenya inaonekana ni Waislamu/Wasomali wanaul iwa na pol i s i kwa tuhuma za ugaidi, lakini inakoelekea ni machafuko ya Waislamu na Wakristo. Hali hiyo n d i y o i n a y o o n e k a n a pia kupandikizwa hapa nchini.

Katika maelezo yake P r o f . N j o z i a l i s e m a kuwa wakati hapo awali m s a m i a t i u l i o k u w a u k i t u m i k a k u p e p e a ugaidi ulikuwa Al Qaidah, sasa bango limeshikwa na Al Shabab. Kila mtu anaimbishwa ugaidi wa Al Shabab. Lakini akasema pia kuwa tafiti zinaonyesha kuwa wanaowauzia silaha AMISOM/Ser ika l i ya Somalia, ndio hao hao wanaowapa silaha Al Shabab.

Katika hali kama hiyo, na kwa tahadhari kama hiyo, upo uwezekano pia, walioweka bajeti maalum ya kuisaidia serikal i ya Goodluck Jonathan kupambana na Boko Haram, ndio hao hao, ama moja kwa moja au kupitia mtu wa tatu, wanaowasaidia na kuwalinda Boko Haram, waendelee kuwepo.

B i n a f s i n a d h a n i inachotakiwa kufanya Nigeria, na nchi yoyote inayokabiliwa na kitisho

5 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Habari /Tangazo

KINGDOM OF SAUDI ARABIA

COMMITTEE OF DA-AWAH IN AFRICA

TANGAZO LA MASHINDANDANO YA FAMILIA YA MTUME (S.A.W.) NA MASWAHABA

MSHIKAMANO: 1435H - 2014MKamati ya Da-awah ya Afrika inawatangazia waislam wote kwamba kuna mashindano

kuhusu familia ya mtume (s.a.w.) na maswahaba (r.a. ) kuanzia tarehe 16 / 5 /2014 hadi tarehe 13/6 /2014.

Nakala za mashindano hayo zinapatikana katika vituo vifuatavyo:Tanga Msikiti wa Alkheir - muone sheikh Ally M. Kiroboto 071573597.Dar es –salaam fika Alfurqan buguruni - muone Sheikh Juma O. Pori.0754302082.Unguja, fika ofisi za Africa Muslims Agency Mwanakwerekwe- muone Sheikh

Twaalib juma 0777413502Pemba Kengeja - muone Sheikh Yusuph HamzaArusha, - muone sheikhe Twaha S. Urasa 0784224825Morogoro, - muone sheikhe Waziri wamaduga 0716288098.Iringa, - muone sheikhe Shams Elmiy 0784448484Moshi, - muone sheikhe Abubakari Mwaita 0655628843Wanaoruhusiwa kuingia katika mashindano hayo ni waislam wote wake kwa waume

kuanzia miaka 20 ishirini na kuendelea.Mashindano yameandaliwa kwa lugha ya Kiarabu na Kingereza na Kiswahili.Wahi nakala yako mapema muda ni mfupi, na wale watakaokosa nakala oreginal

wanaruhusiwa kutoa fotocopy .

ZAWADI ZA WASHINDI KATIKA MASHINDANO HAYA BAADA YA KURA NI KAMA IFUATAVYO :

- Safari za kwenda Hija.- Computer (laptop).-Vyombo vya kusomeshea Qur-an tukufu.- Simu za mikononi.Wabillahi tawfiqNB: 1 - Mwisho wa kupokea majibu ya mashindano ni tarehe 13 / 6 / 20142- Majibu yatarudishwa na kukusanywa katika vituo vilivyotajwa .

Lissu atonesha vidondaInatoka Uk. 1mchango wao katika siasa za nchi hii kabla ya kufikwa na maafa yaliyo wakuta.

H a d i j a n a t u k i e n d a mitamboni, watu mbalimbali walikuwa wakipiga simu katika chumba chetu cha habari, wakiuliza ni wapi watakipata kitabu cha Harith-Kwa heri ukoloni Kwa heri uhuru.

I l ikuwa kitabu hicho alichotumia Tundu Lissu kunukuu mambo mengi ya l i y o h u s u wa n a s i a s a ambao walishiriki mapinduzi na mzee Karume na hata katika kuleta muungano, l a k i n i i n a d a i wa k u wa waliuliwa katika mazingira ya kutatanisha na kuzikwa (kufukiwa) katika shimo moja.

K wa u p a n d e m m o j a simulizi hizi zimeleta simanzi hasa kwa watu waliokuwa karibu na watu hao katika siasa na waliohusiana nao kwa udugu na urafiki.

Lakini hata waliopata kuwasikia tu kwa kusoma n a k u p i t i a s i m u l i z i , wanaonekana kuwa na shauku ya kujua habari zao kwa undani, jambo ambalo linasababisha wengi wao kukisaka kitabu alichotumia Mheshimiwa Tundu Lissu kunukuu habari zao.

Hoja ya Tundu Lissu kuwataja waasisi hao wa mapinduzi na muungano, ni kuwa inavyoonekana h a w a k u n d e w a h a k i , w a m e d h u l u m i w a n a ndio maana akahoji , ni mahakama gani walipelekwa

barabara zote Kuu za Mji wa Zanzibar, ikiwemo ile inayotoka Mji Mkongwe, kupitia Ikulu ya Zanzibar, hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, hakuna picha za waasisi wa Muungano, kama zilivyo pambwa Jijini Dar es Salaam.

“Badala yake zimepambwa picha za Maraisi wa Zanzibar, kutoka Mapinduzi ya mwaka 1964, hadi wa sasa. Ni ndani ya eneo la wageni maarufu pekee, ndiyo kuna picha moja tu ya Sheikh Karume na Mwl. Nyerere”. Alibainisha Mh. Lissu.

A i d h a , M h . L i s s u , alisema hata katika picha za kuchanganya udongo wa Zanzibar na Tanganyika, z i n a m u o n ye s h a M wl . Nyerere , akichanganya udongo huo wa pande mbili peke yake wakati Sheikh Karume, haonekani kabisa.

Alisema, hata hivyo baadhi ya picha zilizopambwa katika mitaa mingi Jijini Dar es Salaam, zinawaonyesha watu wengine ambao wamefutwa kabisa katika historia ya nchi wanayofundishwa watoto mashuleni na vyuoni.

“Kwa mfano, katika picha maarufu ya Sheikh Karume na Mwl. Nyerere, wakisaini hati za makubaliano ya Muungano, wapo pia kwa upande wa Tanganyika Oska Kambona, Boke Munanka na Job Lusinde, wakati kwa upande wa Zanzibar wanaoonekana katika picha hiyo ni Abdallah Kassim Hanga, Abdul-azizi Twala na Ally Mwinyigogo, watu hawa wamefutika katika historia ya mapinduzi na hata ya Muungano.” Alisema Mh. Lissu.

Alisema, katika kitabu chake, ‘Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru’, Harith Ghassany, ameonyesha jinsi ambavyo Oska Kambona, Abdallah Kassim Hanga, Abdul-azizi Twala na Saleh Saadala Akida, walivyotoa mchango mkubwa katika kufanikisha Mapinduzi ya Januari 12, 1964 na baadae kufaniksha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mh. Lissu, alisema juu ya Muungano huu kuna kauli na majigambo kwamba, Muungano huu ni wa kipekee, akadai kwamba inawezekana ikawa ni kweli wa kipekee kwa sababu haujaigwa na nchi yoyote katika Afrika.

Alisema, kama Muungano h u u u n g e k u wa n i wa kupigiwa mfano Duniani kote, kama inavyodaiwa na Waziri Mkuu (Mizengo Pinda), basi kungekuwa na angalau na nchi moja i l iyoomba kuj iunga na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au kungekuwa na nchi zilizoiga mfano wa Muungano huu kwingineko Afrika na Duniani kote.

Akasema, kwa kuwa hakuna hata nchi moja i l iyoomba kuj iunga na hakuna nchi zingine zilizoiga muundo wa Muungano huu, akaliasa Bunge akisema, p e n g i n e h u u n i m u d a muafaka wa kuhoji ukweli wa kauli kwamba Muungano huu ni kielelezo cha umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi wa Tanganyika na Zanzibar.

na kwa makosa gani ndio wakahukumiwa kifo cha kidhalili na mateso.

Akijenga hoja zake, Lissu akaitaka serikali ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maelezo na ufafanuzi wa kina kwa Watanzania aina ya makosa waliyofanya akina Abdallah Kassim Hanga na wenzake na kiasi cha kustahiki vifo na kuzikwa katika handaki moja Visiwani Zanzibar.

Lissu alitoa wito huo kwa Serikali, katika nafasi yake Bungeni ya msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano).

H i y o i l i k u w a s i k u ilipowasilisha hotuba ya makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais na Mazingira kwa 2014/2015, mapema wiki hii.

M h . T u n d u L i s s u , mbali ya Hanga, aliwataja wengine kuwa ni Abdul-azizi Twala, Saleh Akida pamoja na viongozi wengine waandamizi katika Serikali ya Zanzibar, kama vile Othaman Sharif, Mdungi Usi na Jaha Ubwa, wakiwa ni waasisi wa Muungano ambao wamepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Mh. Lissu, akahoji kuwa mbali ya kuuwawa waasisi hao wa Muungano kwa upande wa Zanzibar , akahoji ni kwanini akina Oska Kambona, Boke Munanka na Job Lusinde kwa upande wa Tanganyika, hawatajwi katika historia halisi ya

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.?

Huku akinukuu kitabu cha Harith Ghassany, ‘Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru’ amesema mwandishi huyo ameonyesha j insi akina Abdallah Kassim Hanga, Abdul-azizi Twala, Saleh Akida pamoja na viongozi w e n g i n e w a a n d a m i z i katika Serikali ya Zanzibar, kama vile Othaman Sharif, Mdungi Usi na Jaha Ubwa walivyouwawa na kuzikwa katika handaki moja katika sehemu iitwayo Kama, nje kidogo ya mji wa Zanzibar.

“ S i s i wa k i z a z i c h a Muungano tunataka tuelezwe kwa kina walipotelea wapi waasisi hawa na kwa nini hawatajwi katika historia halisi ya Muungano, lakini pia tunataka kujua ukweli juu ya makosa waliyoyafanya waasisi hawa wa Muungano hadi wakauwawa wakazikwa katika kaburi au handaki moja”. Alisema Mh. Tundu Lissu.

Mh. Lissu, alikwenda mbali zaidi akisema, inatakiwa ijulikane wazi kama walifanya m a k o s a wa l i s h i t a k i wa kat ika Mahakama gani iliyowahukumu adhabu ya kifo, pia wananchi wambiwe ukweli ni kwa nini mchango w a o k a t i k a k u z a l i w a Muungano umefichwa.

Mh. Lissu, alifafanua kwamba Kassim Hanga, alikuwa Waziri Mkuu na baadae Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Twala, alikuwa Waziri wa Fedha wa Serikali hiyo na Saleh Akida, alikuwa m j u m b e wa B a r a z a l a Mapinduzi Zanzibar.

Akasema, kwa upanade wa Tanganyika, Oska Kambona, alikuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ulinzi, wakati Bonke Munanka alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais mwenye dhamana ya Usalama na Job Lusinde, alikuwa Waziri wa Serikali za Mitaa.

Alisema, kuhusu Oska Kambona, inafahamika kwamba katika miaka ya mwisho ya Ukoloni na miaka ya mwanzo wa Uhuru mwasisi huyo wa Muungano, alikuwa mtu wa karibu wa Mwl. Nyerere, aliyekuwa Rais wa kwanza, hata hivyo alidai Kambona alikosana na Mwl. Nyerere, na kulazimika kukimbilia nchini Uingereza, al iposhi hadi aliporudi Tanzania baada ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kuanzishwa mwaka 1992.

“Tuliosoma miaka ya sabini na themanini tulifundishwa mashuleni na kuimbishwa nyimbo zilizotuaminisha kwamba Oska Kambona, alikuwa msaliti aliyetaka kuipindua Serikali yetu tukufu.

Hata hivyo hatukuwahi kuambiwa kama alishitakiwa katika Mahakama yoyote hapa nchini, tunachojua n i k wa m b a a l i p o r u d i nchini mwaka 1992, Mzee Kambona hakukamatwa wala hakushitakiwa popote kwa kosa lolote lile”. Alisema Mh. Lissu.

A l i s e m a , S e r i k a l i iwatendee haki wananchi kwa kuambiwa ukweli juu ya tuhuma za usaliti zidi ya Mzee Kambona, kwa Mwl. Nyerere, ambaye kwa sasa anaandikiwa vitabu kuwa ni mmoja wa watu waliotoa mchango mkubwa katika kuzaliwa kwa Muungano huu.

Alisema, Watanzania wamekuwa wanapigwa propaganda za kila aina juu ya Muungano, lakini kumekuwa na kila aina ya kukosekana kwa dalili za Muungano kwa upande wa Zanzibar, wakati wa kilele cha sherehe za Muungano hivi karibuni, jambo ambalo linatia shaka juu ya uimara na misingi ya Muungano wenyewe.

Alisema, kutokana na hali hiyo ndiyo kusema kwamba pengine kuna ukweli katika hitimisho la Rasimu ya Katiba mpya kwamba Tanganyika ndiyo imevaa koti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Na ndiyo maana pengine Muungano huu haujawahi kuungwa mkono Zanzibar, k w a k i a s i k w a m b a wanaopenda kuaminisha vinginevyo wamekuwa wakidai, amelielezea Bunge Mh. Lissu.

Ushahidi wa kimazingira umeonekana katika kuelekea katika sikuku ya Muungano, akasema kwamba , Jijini Dar es Salaam, karibia barabara zote kuu na katikati ya J i j i , kul ipambwa picha mbalimbali za waasisi wa Muungano, yaani Mwl. Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume, wakiwa katika matukio mbalimbali ya s iku za mwanzo za Muungano.

Hata h ivyo a l i sema, kwa upande wa Zanzibar,

6 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

TAIFA limeshuhudia v i tuko v i l ivyokuwa vikiendelea kwenye B u n g e M a a l u m u l a Katiba mjini Dodoma. Kwa kweli inasikitisha na kukatisha tamaa sana, kuona watu wazima, waliopewa dhamana k u b wa ya k u t u n g a Katiba ya nchi, wakifanya mambo yasiyofanana kabisa na uzi to wa dhamana hiyo. Huu ni Msiba!

Inauma sana kuona B u n g e M a a l u m u l a K u t u n g a K a t i b a , likigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano ya kisiasa, badala ya kuwa jukwaa la maridhiano ya kitaifa! Lengo hasa la kuundwa kwa Bunge hilo, kama S h e r i a i n a v y o t a k a , kimsingi halipo tena.

Wabunge wa chama tawala cha CCM, walio ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, wana dhamira m b a y a y a k u j a d i l i kinyemela rasimu isiyo rasmi, ambayo haikuwahi kutambulishwa mbele ya wajumbe wa Bunge hilo.

Mchakato wa Kuandika Katiba Mpya Tanzania, unaongozwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka 2012, ambayo i m e a i n i s h a m a m b o yote, ikiwemo Muundo wa Bunge Maalumu la Katiba, Idadi ya wajumbe wa Bunge hilo, na ajenda Kuu ya majadiliano ndani ya Bunge hilo.

K a z i ya Tu m e ya Mabadiliko ya Katiba, kwa mujibu wa Sheria hiyo, ilikuwa ni kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi. Na tumeona Tume imefanya kazi hiyo kwa umakini na weledi wa hali ya juu. Hata Rais Jakaya Kikwete amethibitisha hilo.

Tu m e i m e k u j a n a Rasimu ya Katiba, ikiwa n i M a p e n d e k e z o ya Wananchi. Yaani kile ambacho wananchi wengi wa Tanzania wanataka kiwemo ndani ya Katiba. Sasa Bunge Maalumu la Katiba limeundwa kwa maana ya kuboresha zaidi maoni ya wananchi (Rasimu) na kuyapitisha, siyo kubadili maoni hayo, kama inavyofanyika sasa.

Utaratibu ulivyotaka, Rais Jakaya Kikwete, kama kiongozi mkuu wa

Katiba ya wananchi, kiza zaidi kuliko mwanga!Said Rajab.

dola, alipaswa kuanza kulizindua Bunge hilo, kabla ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, hajawasilisha ras imu i le mbele ya wajumbe wa Bunge hilo.

L a k i n i , k a m a a l i v y o s e m a T u n d u Lissu, "waliozoea vya kunyonga, vya kuchinja hawawezi" , utaratibu huo ukakiukwa, na Jaji Warioba akawasilisha rasimu ya Katiba mbele ya Bunge Maalumu la Katiba, kabla ya Bunge hilo halijazinduliwa rasmi na Rais.

N a k u m b u k a s i k u moja kabla ya uzinduzi wa Bunge hilo, Machi 21 mwaka 2014, chama cha Mapinduzi CCM, kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye kilifanya mkutano mkubwa wa Waandishi wa Habari na kikatangaza rasmi msimamo wake wa kutaka Muungano wa Serikali mbili, ambao haumo ndani ya rasimu.

M k u t a n o u l e w a Waandishi wa Habari kufanyika siku moja kabla ya uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba, tafsiri yake ilikuwa ni kuwaandaa wananchi kisaikolojia kuipokea hotuba ya Rais Kikwete, ambayo kimsingi imepinga kabisa rasimu iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba. Hapo ndipo tatizo lilipoanzia, ingawa Waziri Mkuu Mizengo Pinda anakataa!

Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kwenye uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba imeligawa kwa kiasi kikubwa Bunge hilo. Rais alitumia muda mrefu kuishambulia rasimu iliyowasilishwa na Jaji Warioba, hususan katika

kipengele cha muundo wa Muungano.

Rais Kikwete na CCM yake wanang'ang'aniza Muungano wa Serikali mbili, wakati wananchi kupitia rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume wanataka Muungano wa Serikali tatu.

Lakini Bunge Maalumu la Katiba linawajibika kisheria kuijadili rasimu ya wananchi iliyoletwa mbele yake na siyo nyingine! Mjadala wa Serikali mbili u m e i n g i z wa k we n ye bunge hilo kwa idhini ya nani?

K w a w a t u w a kawaida, waliotekwa na propaganda za CCM, wanawaona wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba waliosusia Bunge hilo, (UKAWA) kama watu wa ajabu waliokacha hoja bungeni na kukimbilia kwa wananchi. Ukweli wa mambo ni kwamba waliokacha hoja kwenye Bunge Maalumu la Katiba ni CCM. Wabunge wa CCM ndani ya Bunge hilo wanataka kujadili rasimu batil i ambayo haipo. Na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta anaacha tu! Sitta amekuwa sehemu ya tatizo badala ya ufumbuzi. Unataka UKAWA wasubiri nini Bungeni? Ni wazi hakuna Katiba ya wananchi hapo!

B u n g e l a K a t i b a limepoteza mwelekeo. Wajumbe wanajadili watu badala ya rasimu iliyo mbele yao, na mbaya zaidi inaonekana hakuna mtu wa kunusuru hali hiyo. Kujazana kwa wabunge wa CCM ndani ya Bunge hilo, kumeishinda dhamira njema ya kuundwa kwake. Wa n a t a k a k u t u m i a wingi wao kupit isha mapendekezo ya CCM,

badala ya rasimu iliyoletwa na Tume. Hili halikubaliki kamwe!

M o y o w a r a s i m u i l i y o p e n d e k e z wa n a Tume ya Jaji Warioba ni mfumo wa Serikali tatu. Unapokataa Serikali tatu, maana yake umeikataa rasimu nzima, kwa sababu vipengele vyote vya rasimu hiyo vimewekwa kwa ajili ya kuubeba mfumo huo.

Ni vyema Waislamu wa k a e l e wa k wa m b a katika mifumo ya tawala z a K i d e m o k r a s i a , s i kweli kwamba wananchi ndiyo wenye mamlaka y a k u t u n g a K a t i b a i takayol inda maslahi yao. Katiba inatungwa na kikundi kidogo tu cha watu, na maslahi ya kikundi hicho ndiyo y a n a y o l i n d w a k w a gharama ya umma.

Pamoja na kwamba Katiba ni Muafaka wa Kitaifa, lakini Katiba p i a n i c h o m b o c h a u t a w a l a . K i k u n d i kidogo kinachotawala nchi, huwa hakipendi mabadiliko yanayoweza kutishia utawala wao. Wa n a p e n d e l e a z a i d i K a t i b a i t a k a y o l i n d a utawala wao mi le le ! Wananchi wanaburuzwa tu kwa kutumia hila, hadaa, vitishio, propaganda, danganya toto na ubabe.

Ningewaomba sana Waislamu watoe tafsiri sahihi ya matukio yaliyojiri ndani ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, n a w a s i y u m b i s h w e kabisa na wapotoshaji wa mambo. Kuna watu wameshapewa tenda ya kuvuruga mtazamo wa Waislamu kuhusu Katiba. Utawaona tu wanajitahidi sana kuhalalisha usaliti wao dhidi ya Waislamu wenzao kwa hoja za

kijinga.T u m e f u n d i s h w a

kwamba Demokrasia ni mfumo wa utawala wa Watu, unaowekwa na Watu kwa ajili ya Watu hao. Hiyo ndiyo dhana kuu inayotawala mfumo wa Demokrasia, ambayo sisi kama taifa tunaufuata na Katiba tunayotaka kuitunga imezingatia.

Tumeshuhudia kwenye B u n g e M a a l u m u l a Katiba jinsi genge dogo la watu kupitia CCM, linavyotaka kuvuruga Katiba iliyopendekezwa na wananchi, kwa maslahi ya genge hilo. Baadhi ya wa s o m a j i wa n g u watashangaa sana, lakini hivyo ndivyo Demokrasia inavyofanya kazi! Siyo kweli kwamba wananchi ndiyo wenye mamlaka ya mwisho kwenye tawala za Kidemokrasia. Wananchi huwa wanatumika tu.

Mi jada la kama h i i inapotokea, ndiyo wakati muafaka wa kuonyesha upotofu wa mifumo ya Kitwaghuti na ubora wa Uislamu. Akili za Waislamu makini wenye kuyatafsiri mambo kwa usahihi , hazi i sh i i tu kwenye michezo ya kisiasa inayochezwa na Chadema, CUF, NCCR na CCM ndani ya Bunge Maalumu la Kat iba . Wais lamu wanapaswa kuona mbali zaidi kuliko hapo.

Waasisi wa Siasa za Kidemokrasia duniani, wa n a a m i n i k wa m b a u k i w a p a w a n a n c h i mamlaka kamili kupitia Katiba, basi unahatarisha t a a s i s i y e n y e w e y a Demokrasia. Wananchi hao wanaweza kutupilia m b a l i m f u m o w a Demokrasia kwa kutumia n g u v u w a l i y o n a y o kikatiba. Wasimamizi wa Demokrasia, ambao ni genge dogo la watu, ndiyo walinzi halisi wa mfumo huo.

Wanaamini kwamba katika mfumo wa Siasa za Kidemokrasia, Katiba ni chombo tu cha watawala kuwabana watawaliwa, ingawa kwenye majukwaa ya s i a s a wa n a h a d a a kwamba wananchi ndiyo wenye mamlaka yote. Hicho ndicho kinachotokea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma. CCM inapora kwa hila mamlaka ya Wananchi

Inaendelea Uk. 12

7 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

MARA tu baada ya tukio la kuitekwa wasichana wa shule kule Chibok, Nigeria, zilisambaa habari k a t i k a v y o m b o vya habari kuwa w a s i c h a n a h a o walikuwa wakiuliwa kwa kupigwa mawe hadi kufa.

“One Of Abducted Chibok Girls Allegedly Stoned To Death By Boko Haram”, vilisema baadhi ya vichwa vya habari.

H a b a r i h i y o ikapambwa na picha zifuatazo: Kwanza anaonekana msichana aliyevaa hijabu rangi nyeusi, akiongozwa na mtu aliyevaa kilemba (hegeli) , akidaiwa kuwa ni Boko Haram.

Pili wanafika mahali p a n a p o o n e k a n a kuchimbwa shimo. B o k o H a r a m huyo anaonekana akimfunga kamba miguu msichana huyo na kisha kumfunga kitambaa machoni na kumtumbukiza shimoni.

Anamfukia hadi katika kidevu, kisha anamponda kichwa kwa mawe hadi kufa.

Imethibitika kuwa picha hii ilitumika huko nyuma zaidi ya miaka kumi iliyopita i k i d a i w a k u w a ni katika moja ya matukio ya kikatili ya Al Shabab.

Mapema wiki hii, z i l isambaa habari katika magazeti hapa n c h i n i i k i e l e z wa k u w a k i o n g o z i w a B o k o H a r a m Abubakar Shekau a l i j i tokeza kat ika video al iyorekodi mwenyewe akitangaza kuwa amewasilimisha w a t o t o w o t e waliotekwa.

H a t a h i v y o , u k i t i z a m a p i c h a ya kiongozi huyo

Uwongo huu wa nini?i l iyotolewa katika magazeti, inaonekana kuwa ni picha ya kughushi . Tizama k a p i g w a p i c h a a k i wa k a s i m a m a , kanyoosha mikono bunduki inaonyesha kukaa kifuani bila kushikwa ikionyesha k u w a n i p i c h a z i l i zounganishwa katika komputa.

L a k i n i t i z a m a viganja vyake vya mikono. Viganja vya Kizungu, lakini mtu mweusi.

Lakini kubwa la kutisha zaidi ni kuwa habari za kuaminika ni kuwa anayedaiwa kuwa ni Abubakar Shakau, alishafariki muda mrefu uliopita.

anayedaiwa kiongozi w a B o k o H a r a m alishakufa zamani.

Ta a r i f a z a j u z i zilizotolewa na Idara ya Usalama ya Nigeria, iliambatanisha pia na picha ya Abubakar Shekau akiwa maiti. (Tazama Nigeriana online).

Chini ya picha hizo ikaelezwa kuwa hali ni ya kutatanisha nchini Nigeria ambapo wakati zikendelea kutolewa taarifa kuwa kiongozi w a B o k o H a r a m Abubakar Shekau a m e w a s i l i m i s h a watoto wa Kikristo aliowateka, taarifa iliyotolewa na Idara ya Usalama ya Nigeria (State Security Service- SSS), inaeleza kuwa Abubakar Shekau alishakufa siku nyingi na kwa hiyo taarifa

“ C O N F U S I O N : SSS insist Abubakar S h e k a u I s D e a d , release photo.”

H i i n i m o j a ya vichwa vya habari juzi Jumatano, Mei 14, 2014, nchini Nigeria i k i e l e z w a k u w a

zinazotolewa juu yake ni za uwongo na picha zake ni za kughushi, hii ikiwa ni pamoja na ile anayotolewa akiongea akiwa na wasichana anaodaiwa kuwateka

Inaendelea Uk. 15

8 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

H ATA R I n a m s i b a mkubwa upo mbeleni. Lau hakutakuwa na hatua za haraka na za makusudi z i t a k a z o c h u k u l i w a , mbele ni kiza kitupu.

Zipo kila ishara kuwa zile jitihada za kupandikiza ugaidi na kuchochea vurugu na vita ya wenyewe kwa wenyewe, zinazidi kushika kasi.

Kinachosikit isha ni kuwa jambo hili la hatari limekaliwa kimya na hata kushabikiwa.

Wakati wapo baadhi ya Wakristo wanaosambaza kauli za chuki na uhasama, wapo pia Waislamu ambao hupandikiza mafundisho b a t i l i ya k u c h o c h e a uhasama na mapigano baina ya watu katika jamii.

Linalosikitisha ni kuwa haionekani jamii kujali, bali badala yake watu wapo kimya wakati ungetarajia kuwa viongozi wa kidini wangekemea hali hiyo na kuchukua hatua.

Masheikh wanatuambia kuwa halal ipo wazi na haramu ipo wazi pia.

Leo akisimama mwenye kusimama katika mimbari ya msikit i akihutubu Ijumaa na kudai kuwa mali ya kafiri ni halali ya Muislamu kuipora hata kama ni kwa kumuuwa mwenye mali hiyo, hapana shaka Masheikh wetu wanajua, kuwa hakuna kitu kama hicho katika Uislamu. Ni haramu.

Sasa anapos imama Imam katika Mihrabu akawaambia Waislamu kuwa ni ujinga Muislamu kuwa masikini na kulala njaa, wakati kuna kafiri jirani yake ana mali, huyu tutamuita mlinganiaji Uislamu au anapotosha na kuhujumu Uislamu.

Katika ulimwengu huu wa vita dhidi ya ugaidi ni kuwa anachochea mauwaji na kukaribisha vita na kila aina ya mateso dhidi ya Waislamu.

‘Kama huna si laha, uza televisheni ununue bunduki, akikuuliza mtu kuwa una kibali cha kuwa na silaha mtwange risasi’.

Habari kutoka Mwanza zinaarifu kuwa ipo baadhi ya misikiti ambapo maneno kama hayo yamesikika yakitamkwa na wanaotoa mahubiri hayo wanazidi kupata wafuasi na kupata umaarufu katika makundi ya vijana.

Zipo pia taarifa kuwa

Hatari kubwa!Balaa la kutisha linakuja nchiniKimya cha Masheikh mauti kwetuMwanza, Dar chukueni tahadhari

Na Omar Msangi

IGP ERNEST Mangu.watu hao, wameingia jijini Dar es Salaam.

H a y o n i k a t i k a yanayosemwa hadharani, hatujui yanayojadiliwa na kupangwa sirini yakoje na yamefikia hatua gani.

“Tunavyoifahamu nchi hii, na kwa hakika nchi yoyote duniani, huwezi kutamka maneno kama yale na ukaachwa ukamaliza hotuba, kama utamaliza hutafika nyumbani, itabidi wakudake ukajieleze”.

Anasema mtu mmoja ambaye kwa dharura tu, alibahatika kuswali katika msikiti mmoja ambapo m a n e n o k a m a h a y o yalitamkwa.

Anasema, pamoja na kuhimizwa watu kuuza k i l a w a l i c h o n a c h o kununua silaha, ilisemwa pia kuwa mpango uliopo ni kugeuza misikiti na taasisi za Kiislamu kuwa makambi na magahala ya kuwekea silaha.

A k i z u n g u m z a n a mwandishi wa habari hizi, alifahamisha kuwa upo wasiwasi mkubwa k w a m b a h u e n d a watu wanaosambaza

mafundisho hayo batili na hatari, wana ulinzi, ndio maana wanaendelea kuteka vijana bila ya kuwa na wasiwasi.

“ H a p a n a s h a k a wamehakikishiwa ulinzi”, amesimulia mpasha habari huyo.

Hata hivyo hakufafanua ni ulinzi gani na nani hao waliomhakikishia ulinzi.

Linalosikitisha zaidi anasema kuwa Masheikh wamekaa kimya, hawatoi k a u l i y o y o t e j u u ya mafundisho hayo potofu.

“Mtume aliitwa mkweli, muaminifu ambapo hata makafiri wa Kikuraishi wa l i k u wa wa k i we k a amana zao kwao, na yamejaa mafundisho katika Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w) juu ya haki za watu katika mali, haki ya heshma zao na haki ya damu zao, leo anasimama mtu ‘shehe’ anahamasisha wafuasi wake kupora mali za watu, Masheikh wenye vilemba vya elimu wanasikia, lakini kimyaa!! Hii inatisha.” Alisema.

M p a s h a h a b a r i

m w i n g i n e a m b a y e amezungumzia juu ya kadhia hii ya Mwanza anasema kuwa, umekuwa ni mtindo sasa kwamba kila Ijumaa utaona vijana na misururu ya pikipiki wakielekea atakakoswali kiongozi wao kwa siku hiyo.

Na kwamba kiongozi h u y o h u o n e k a n a akitembea na msururu wa magari ya kifahari akipewa ul inzi k ias i kwamba utamwona akitoa hotuba ya Ijumaa, lakini atakapoondoka hutajua kapita wapi.

Ukisoma historia ya Boko Haram, ilianza na kundi lililoitwa ‘Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad’ lililoanzishwa mwaka 2002 na Ustaz Mohammed Yusuf (29 Januari 1970 – 30 Julai 2009), awali ikidaiwa kuwa alikuwa akipinga Waislamu kusoma akidai kuwa ni ukafiri. Jina la Boko Haram, limebuniwa baadae kutoka lugha ya ki-Fulan, kwa vile Boko inadaiwa kuwa ni neno lenye maana ya elimu ya

shule. Kwa hiyo Boko Haram, unaweza kusema linawakilisha msemo, elimu ya shule haram.

Inaelezwa kuwa kidogo kidogo kundi hilo liliingia katika utumiaji nguvu, mwanzoni likilenga vituo vya polisi na ofisi za serikali. Kiongozi wake wa awali Mohammed Yusuf aliuliwa na polisi mwaka 2009 jambo lililosababisha vi jana wake kudaiwa kuingia katika wazimu wa ulipizaji kisasi na kufanya mashambulizi makubwa zaidi.

Yusuf aliuliwa siku moja baada ya kutokea mapambano baina ya vi jana wake na jeshi ambapo watu takriban 186 waliuliwa.

Kama nilivyotangulia kusema, baada ya kupiga darsa na kuwavuta vijana kwa muda na kupata umaarufu, ikafuatia hatua ya pili ambapo baadhi ya viongozi wa kundi hilo waliuliwa na polisi. Vijana wakacharuka wakaanza kushambulia vituo vya polisi.

Punde mashambulizi yakahamia Makanisani, sokoni, mitaani, shuleni na vyuoni.

Ukifanya uchambuzi wa kina utaona kuwa m l o l o n g o w o t e w a matukio ulikuwa kama jambo lililopangwa (stage managed). Kwamba ile kuibuka kwa Ustaz na kuanzisha harakati zake, ilikuwa kama mtaji/msingi wa kuifikisha Nigeria hapa ilipo.

Awal i k i l i chokuwa kinatakiwa ni kupandikiza uwepo wa Boko Haram na kwamba ni wauwaji. Kazi ya kuendeleza sasa inafanywa na wengine na bila kupungukiwa w a s h a m b u l i a j i k w a mabomu na wateka nyara watoto wa shule.

Wanatokea majambazi w a n a u w a w a t u n a kupora mali, inasemwa ni Waislamu siasa kali, Boko Haram.

Wanatumwa vi jana wanalipua shule au Kanisa, inasemwa ni Boko Haram na matukio kama hayo. Nigeria sasa hakukaliki na inakoelekea ni kubaya zaidi. Uhasama wa kutisha ushapandikizwa miongoni mwa watu katika nchi m o j a , s a s a h a k u n a kuaminiana tena. Ni kufanyiana ugaidi mbele kwa mbele, Mungu ndiye

Inaendelea Uk. 10

9 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

WANASEMA, ngoma i m a p e t a wa c h e z a j i . M a r e k a n i n a I s r a e l z i m e i n g i a N i g e r i a kusaidia kupambana na magaidi wa Boko Haram. Kwa mujibu wa taarifa za habari wiki hii, Marekani itapeleka jeshi na wanausalama w e n g i n e N i g e r i a kusaidia kuwatafuta wa t o t o wa l i o t e k wa . Maofisa wa Washington wamenukuliwa wakisema kuwa ni katika mkakati wao kupeleka jeshi kusaidia kukabiliana na magaidi walioteka watoto hao.

Kwa zaidi ya wiki tatu sasa , wasichana 2 7 6 w a l i o t e k w a n a w a n a o d a i w a k u w a ni Boko Haram, bado hawajapatikana. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, m a p e m a J u m a n n e amesema kuwa amempigia simu Rais wa Nigeria G o o d l u c k J o n a t h a n , akimtaka akubali kupokea msaada wa Marekani wa kijeshi na kipolisi ambapo alisema kuwa Rais Jonathan amekubali.

"President Goodluck Jonathan was very happy to rece ive th is o f fer and ready to move on it immediately. We are immediately engaging in order to implement this."

A l i s e m a K e r r y akimaanisha kuwa Rais Jonathan alifurahi sana kupokea ombi la Marekani la kutoa msaada wa kijeshi na kwamba harakati za utekelezaji zinaanza mara moja.

Kerry aliyasema hayo akiongea na waandishi wa h a b a r i b a a d a ya mazungumzo yake na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya (EU foreign policy chief ) , Catherine Ashton.

A k a o n g e z a k u w a kutakuwa na kitengo k a t i k a U b a l o z i w a Marekani Abuja ambacho kitaratibu shughuli hizo za kijeshi na kikachero ndani ya Nigeria.

Kwa upande mwingine inafahamishwa kuwa Nigeria imekubali pia kupokea wanajeshi na makachero kutoka Israel na Uingereza.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amenukuliwa mapema wiki hii akisema kuwa ametuma salamu kwa

Mambo yameiva NigeriaYaliyotabiriwa sasa yametimiaNgoma sasa imepata wachezajiKiroja: BH kusilimisha Waislamu

Na Mwandishi Maalum

Rais Jonathan kumwomba akubali msaada kutoka Israel, na amekubali na kufurahi sana.

Habari hizo zikitolewa, tayari makachero kutoka Marekani , Uingereza wa l i k u wa wa s h a t u a

Nigeria toka tarehe 9 ya mwezi huu.

“Nigeria itafurahi sana kupata usaidizi wa Israel

ambayo ina uzoefu wa kupambana na ugaidi wa kimataifa,” alisema Jonathan akitoa shukurani kwa Netanyahu.

Hadi Jumanne, Marekani ilikuwa ishatuma ndege za kikachero huku ikiangalia pia kutumia ndege zisizo na rubani ‘drone’.

Kwa upande mwingine, U f a r a n s a i n a p a n g a kufanya mkutano wa kimataifa Mei 17, (kesho) juu ya hali ilivyo Nigeria.

R a i s wa U f a r a n s a F r a n c o i s H o l l a n d e amesema kuwa mkutano huo uta jadi l i juu ya masuala ya kiusalama na hasa kitisho cha Boko Haram.

Kabla ya kufika hatua hii ya nchi za Marekani na Ulaya kuingilia suala hili kwa kupeleka jeshi na makachero Nigeria, v y o m b o v ya h a b a r i vil i fanya kazi kubwa kutangaza janga hili na kutoa mwito kwa jumuiya ya kimataifa kuingilia kati.

Katika kukoleza kilio cha dunia, mpasha habari wa ABC News kutokea Abuja aliarifu kuwa wateka nyara wamewavalisha hijabu wasichana wote waliowateka baada ya kuwasilimisha.

Akizungumza huku ikipita picha ya video ikiwaonyesha watoto hao wakiwa wamevaa hijabu, mmoja wao akiwa kasimama akishiki l ia bango lililoandikwa Laaila ha ila llah, kwa Kiarabu, alikoleza kitisho cha Boko Haram kuwa imefikia kiwango cha kutisha cha kuwafanyia ukatili Wakristo.

Habari hiyo na video hiyo ya kiasi dakika k a d h a a k w a m b a w a t o t o w a l i o t e k w a wa m e s i l i m i s h wa n a kuvikwa Hijabu, ilidakwa na vyombo vya habari mbalimbali vikiwemo vya kwetu nchini.

Taasis i za Kikr is to nchini Nigeria zikatoa taarifa kali zikisema kuwa kusilimishwa watoto hao ni vita dhidi ya Kanisa na dhidi ya Wakristo wote duniani.

Hata hivyo, kat ika video hiyo inayodaiwa kutolewa na kiongozi wa Boko Haram, inaonyesha akina mama wengine watu wazima na sio watoto wa shule.

Lakini pia ukisikiliza v i d e o h i y o y e n y e

AKIHITIMISHA hotuba yake katika Bunge la bajeti juu ya makadirio ya bajet i of is i yake kwa mwaka wa fedha 2014/15, Waziri Mkuu, mheshimiwa Mizengo Pinda, alizungumzia madai yanayotolewa kila siku kuwa kumekuwa na mfululizo wa kuchoma makanisa.

“ J a m b o l i n g i n e linalonipa hofu ni hali iliyojitokeza ya kuchoma Makanisa. Tumeshuhudia k a t i k a k i p i n d i c h a muda mfupi Makanisa yakichomwa…hali hii si nzuri. Ni vizuri vyombo vya dola kuchukua hatua za makusudi kudhibiti hali hii.” Amenukuliwa Waziri Mkuu akisema.

Kwa upande mwingine vyombo vya habari vya Kikristo vimeendelea

Uchomaji wa Makanisa Tanzaniana Boko Haram Waislamu Nigeria

kuzungumzia suala hilo, h u k u v i k i c h o m b e z a kuwa Waislamu ndio wanaochoma makanisa hayo. Mwisho juzi hapa Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Will iam Lukuvi, akalizungumzia akilihusisha na Masheikh wa Uamsho, Zanzibar, akisherehesha kauli ya Au g u s t i n o L ya t o n g a Mrema aliyedai kuwa M a s h e i k h h a o n d i o wanaouwa Maaskofu na kuchoma makanisa.

K a t i k a m a t u k i o makubwa yanayoweza kuitwa ni ya kigaidi ya l i y o wa h i k u t o k e a hapa nchini, ni lile la kulipuliwa bomu katika k a n i s a l a M t a k a t i f u J o s e p h M f a n ya k a z i , Arusha, ambapo watu watatu wal iul iwa na

w e n g i k u j e r u h i w a vibaya. Kufuatia tukio lile, serikali ilisema kuwa itafanya kila iwezalo kufanya uchunguzi ili kujua wahusika na kutoa taarifa kamili juu ya tukio lile. Katika hatua za awali za kushughulikia tukio lile, vyombo vya usalama vilimkamata kijana mmoja kat ika eneo la tukio aliyetajwa kwa jina la Victor Ambrose Calisti. Huku uchunguzi ukiendelea, kijana huyo alifikishwa mahakamani. Hata hivyo, hadi leo haijulikani kesi ile imeishia wapi. Lakini pia hadi leo, wakati Waziri Mkuu akivitaka vyombo v ya d o l a k u c h u k u a hatua juu ya matukio ya uchomaji wa makanisa, hakuna taarifa yoyote iliyotolewa na serikali juu

Inaendelea Uk. 11Inaendelea Uk. 11

MICHELLE Obama, Mke wa Rais Obama wa Marekani (kushoto)

10 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

May 10, 2014 'Mtandao wa Kupashana Habari'

KUTEKWA nyara kwa wasichana wasiopungua 200 kaskazini ya Nigeria kumechukiza watu duniani kote. Ni tukio la kutawala a n g a z a v y o m b o v ya habari kwa nguvu: mahali palipojificha duniani na waasi wenye hulka mbaya kutoka kundi la uasi la kaskazini, Boko Haram.

K w a m u d a m r e f u nimewafahamu watuhumiwa ubaya wa nchi to faut i zinazoendelea, kuanzia miaka ya '60 wakati wa Papa Doc, mtawala na kinara wa ushirikina wa voodoo nchini Haiti. Wengi kati ya watuhumiwa hawa, ni malofa tu ambao walipata sifa kubwa kimataifa kutokana na kufoka hiki au kile, kutoa vitisho vizito na kufanya ubaya wa kushangaza mahali fulani.

Mpya katika safu hiyo ni mkuu wa Boko Haram aitwaye Abubakar Shekau. Kichaa huyu amekuwa mlaumiwa wa kwanza duniani kwa kutekwa kwa wasichana hao wa shule, akipita mbele ya camera za televisheni, na kutoa ahadi za kuwauza katika utumwa wa kinyumba.

Miinuko ya hasira ikatoka makundi ya kiharakati ya wanawake nchini Marekani, na kutoka kwa maofisa waandamizi wapiganaji wanawake wa Rais Obama, Naibu

Waziri wa Mambo ya Nje Susan Rice and Balozi wa Umoja wa Mataifa Susan Powers, Hillary Clinton (mgombea tara j iwa wa chama cha Democratic), naye hakupoteza muda kudandia suala hili linaloweza kuleta idadi si ndogo ya kura.

Katika hatua ambayo ilileta faraja kwa wanaharakati kiasi fulani, China ikasema i t a p e l e k a ' wa t a a l a m u ' kusaidia kutafuta walipo hao wasichana. Hii ni moja ya juhudi za China kuingiza mirija katika raslimali za Afrika na ushindani wake unaoogezeka dhid i ya Marekani na Ulaya katika bara hili. Marekani inataka vikosi vyake vya jeshi viwasili hapo kabla Wachina hawajafika.

Si wengi kokote pale wal io ja l i sana kuhusu maelfu ya wanavijiji nchini Afghanistan waliofukiwa hai na mkondo mkubwa wa tope. Ni wachache zaidi ambao wanajali kuwa mashambulizi yal iyopita ya kundi la Boko Haram kaskazini ya Nigeria yameua zaidi ya raia 1,500. Au kuwa uelekeo wa kiharamia wa vikosi vya jeshi na polisi kulipiza au kuwasaka wapiganaji wa kundi hilo umeua maelfu ya wanavijiji Waislamu.

Siyo wenye hasira wengi

Boko Haram na maharamia wa NigeriaNa Eric Margolis

katika nchi za magharibi w a n a j u a k u w a k u i b a wasichana ni sehemu ya jadi ya kawaida katika maeneo mengi ya Afrika kusini ya Sahara, hivyo kupata mke-mtoto ni jambo la pili ( la uharamia wa kawaida) nyuma ya wizi wa ng'ombe. Hapakuwa na uelewa jijini Washington kuwa mifarakano ya kikabila na umwagaji damu nchini Sudan Kusini, ni mwendelezo tu wa mashambulizi ya kuiba ng'ombe na kukamata wanawake kati ya makabila shindani ya Dinka na Nuer. Washington i l ishindwa kutilia maanani suala hili i l iposhika usukani wa kuvunja Sudan na kuunda Sudan Kusini kama taifa tegemezi kwa Marekani lenye utajiri mwingi wa mafuta.

Siasa ya nje ya Marekani i n a r u k i a c h o c h o t e kinachohusu mafuta na gesi kama paka wangu wanavyorukia vyakula vya dukani wanavyovipenda. Sasa, chini ya kisingizio cha kujawa na simanzi kuhusu wasichana hao waliojulikana walipo, Marekani na mkoloni wa zamani wa Nigeria, U i n g e r e z a , w a n a j a z a majasusi na vikosi maalum katika nchi hii kubwa ya watu milioni 170, kubwa zaidi katika Afrika.

Mikakati feki ya misaada ya kibinadamu iko katika m a w i m b i ya j u u h i v i sasa katika uingiliaji nchi zinazoendelea unaofanywa na nchi za Magharibi. Libya na Syria zinatoa mifano hai. Vikosi maalum vya Marekani sasa vinafanya operesheni kutoka Djibouti na Uganda katika eneo la Mashariki ya Afrika, ikisemekana kuwa wanawatafuta wauaji wasio na akili timamu wa Lord's Resistance Army, kundi la watumia madawa ya kulevya wanaosimamia jadi

linalojificha katika misitu minene. Uwanja wa ndege wa kijeshi wa Marekani huko Djibouti unapanuliwa kuwezesha askari elfu nne kuwepo hapo kwa wakati mmoja na kuongeza ndege z a ' d r o n i ' z a k u f a n ya mashambulizi.

Nigeria ndiyo nchi ya kwanza Afrika kwa uzalishaji wa mafuta na gesi. Zaidi ya asilimia 40 ya uzalishaji wake unauzwa Marekani, ikiwa ni kiasi cha asilimia 10 ya mahitaji ya nishati ya nchi

hiyo, Jirani yake Angola nayo imekuwa muuzaji muhimu wa mafuta kwa Marekani.

Nigeria ina maliasi l i muhimu za madini ya kilimo. Hata hivyo imebaki katika lindi la umasikini wa kina na aibu. Asimilia moja ya nchi imeshika utajiri wote na unaiba mabilioni kila mwaka. Kwa mfano, Umoja wa Mataifa unakisia kuwa mapato sehemu kubwa ya utajiri wa mafuta nchini Nigeria yameibwa, kufujwa au kuwekwa katika akaunti za siri nchini Switzerland. Mapato kutokana na mafuta yanaenda moja kwa moja se r ika l in i , ha la fu kwa magavana wa majimbo. Kinachotiririka moja kwa moja kwa wananchi wa Nigeria ni mvua tu.

Nigeria ya Kaskazini, ambako wengi zaidi ni Waislamu, ina ufukara wa kutupwa. Utajiri wa mafuta unaenda kwa walioneemeka zaidi ambao ni Wakristo k u s i n i y a n c h i h i y o . Makabila ya Hausa na Fulani yamechukizwa sana na wizi wa kutisha wa raslimali za nchi hiyo na wajanja kutoka kusini ambao walipendelewa na utawala wa kikoloni wa Uingereza. Ni kweli kuwa Uingereza inahusika katika kuunda mkorogo wa kikabila ambao ni Nigeria ya sasa, taifa lililoundwa kwa kubambika tu mipaka na

kuunganisha makabila, kama Irak au Burma (Myanmar).

Wimbi la Boko Haram linahitaji kuangaliwa katika maz ing i ra haya , kama uasi unaoungwa mkono maeneo mengi dhidi ya ufisadi, rushwa, umaskini na ubadhirifu usio na mpaka wa serikali ya Nigeria. Boko inatumia dhana ya Uislamu lakini hakuna Uislamu ndani yake. Kama ilivyo katika maeneo mengine ya dunia kunakofuatwa Uislamu, wanaotaka mageuzi wanaitisha kuingizwa kwa sheria ya Kiislamu kama jibu kwa ufisadi serikalini na mahakamani ambao kwa sehemu kubwa umejengwa na ukoloni wa nchi za Magharibi.

Kupaza sauti dhidi ya ' u g a i d i w a K i i s l a m u ' h a k u t a o n d o a m l i p u k o unaokaribia nchini Nigeria. Ikiwa inafahamika kuwa ni moja ya nchi zilizokithiri kwa ufisadi duniani, Nigeria inahitaji kusafisha mwenendo wake - tena haraka.

(Eric S . Margolis ni mwanasafu wa kimataifa aliyewahi kushinda tuzo k a d h a a . M a k a l a z a k e zimechapishwa kat ika magazeti kama New York Times, International Herald Tr ibune , Los Angeles Times, Times of London, Gulf Times, Khaleej Times, N a t i o n ( l a Pa k i s t a n ) , Hurriyet (la Uturuki). Sun Times (la Malaysia) na mitando kadhaa ya habari katika bara la Asia. Makala imetafsiriwa Kiswahili na Anil Kija)

Hatari kubwa!Inatoka Uk. 8

mjuzi watakapoishia.Jambo moja j iulize,

katika baadhi ya picha Boko Haram wanaonyeshwa wakiwa na silaha nzito yakiwemo magari mithili ya vifaru, wanayatoa wapi? Wanayaficha wapi yasionekane? Magari na silaha nzito, hayawezi kuingia nchini bila ya kupi t ia ama Uwanja wa Ndege au bandarini ambako kote huko serikali ipo. Magari ya kijeshi na silaha nzito, zinapitaje na zinatoka wapi?

Akizungumzia njama zilizokuwa zikifanywa k u i v u r u g a C u b a , kachero mmoja, Raúl Capote, anasema kuwa walipandikizwa watu, kwanza kusambaza chuki na uhasama kuichukia serikali ya Cuba. Katika k u k a m i l i s h a a g e n d a h i y o , u k a a n d a l i w a mpango ambapo watu wangeuliwa, mauwaji ya kupanga, na vijana

waliokwisha andaliwa w a n g e l e t a v u r u g u ambapo polisi na jeshi wangelazimika kutumia nguvu kukomesha hali hiyo, hali ambayo ingezua vurugu na mauwaji zaidi hadi kuporomoka kwa serikali.

(Tazama: Interview with ex-CIA collaborator, “The CIA’s plans in Venezuela are far advanced”, March 27, 2014 By Raúl Capote/Chavez Vive Magazine.) Tazama pia USAID plot to destabilize Cuba exposed. Agency set up U.S.-funded “Cuban Twitter” to spread rumors and unrest- April 23, 2014.)

Akie lezea tukio la mwaka 2006 kachero Raúl Capote, anasema kuwa ili kuporomosha serikali ya Cuba, ilikuwa yafanyike mauwaj i ya kupanga n a k u t o k e e v u r u g u zitazofanywa na vijana waliokwisha andaliwa huku vyombo vya habari v ikipewa jukumu na kupiga debe kufanikisha

mpango huo.Hiyo ilikuwa ni wakati

ambapo kutokana na sababu za kiafya, Rais Fidel Castro aliamua kuachia madaraka. Kwa mahesabu ya maadui wa mapinduzi ya Cuba ni kuwa, kwa kazi waliyokwishakufanya ya kuwatia ‘bangi’ vijana kumchukia na kuchukia siasa zake, basi mapinduzi yataondoka naye. Kwa hiyo zogo hili lilipangwa kutokea siku iliyofuata baada ya Castro kutangaza kuachia madaraka.

Hata hivyo haikuweza kufanyika kwa sababu akina Raúl Capote ambao walitarajiwa kutumika kufanikisha mpango huo, walikuwa “double agents”. Walikuwa makachero wazalendo na watiifu kwa serikali ya Cuba.

M a m b o ya m s i n g i anayoeleza kachero huyo n i kuwa z ipo n jama zinazofanywa na mabeberu katika kuvuruga nchi

Inaendelea Uk. 14

11 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

Mambo yameiva NigeriaInatoka Uk. 9m c h a n g a n y i k o w a wasichana wa umri wa baleghe na watu wazima, wanasikika wakisoma Suratul Fatiha mwanzo mpaka mwisho, kwa lafudhi safi ya Kiarabu.

I t a k u wa n i k a t i k a maajabu ya karne hii kwamba msichana Mkristo ambaye hajasoma hata alifu, huku akiwa katika kit isho cha kutekwa, anaweza kujifunza Qur’an kwa wiki tatu akajua kusoma kwa ufasaha kabisa. Akizitamka Qaaf, A’in, dhwadi na kutia shada, mada na kuzipa haki tan’wini!!!

Lakini alichosahau pia mpasha habari huyo wa ABC News ni kuwa Borno ni moja ya Majimbo katika Nigeria ambayo yana Wakristo wachache sana na haiwezi kuwa watoto hao waliotekwa katika skuli ambayo si seminari y a K a n i s a w a k a w a wote, ni Wakristo. Shule walikotekwa watoto ni ya serikali.

Shule wal ikotekwa wasichana hao ni ya serikali, haiwezi kuwa ikawa ya Wakristo watupu. Lakini pia ukitizama baadhi ya watoto waliopigwa picha wakiwa katika shule hiyo, wote/wengi sare zao ni hijabu kamili. Katika jumla ya wazazi waliojitokeza na kunaswa na kamera wakililia watoto wao, ni akina mama ambao dhahiri ni Waislamu. Wamevaa hijabu kamili.

I t a k u m b u k wa p i a , awali kuna picha ya video iliyokuwa imesambazwa k a t i k a m i t a n d a o n a k u d a k wa n a b a a d h i ya vyombo vya habari ikidai kuwa inaonyesha jinsi watoto waliotekwa wanavyoteswa na kuuliwa kikati l i . Mkanda huo ulimuonyesha msichana aliyepondwa pondwa kichwa chake kwa mawe. H a t a h i v y o b a a d a e zikatolewa taarifa kuwa mkanda huo ulikuwa wa kughushi. Awali picha hiyo ilitumika miaka ya nyuma huko Somalia ikionyesha kilichodaiwa kuwa ni ukatili wa Al Shabab. Leo picha hiyo hiyo inatumika Nigeria.

Katika mazingira haya, picha inayojitokeza ni kuwa yapo maswali mengi yanaibuka kuhusu kadhia hii.

Yapo mengi yanasemwa ambayo s i ya kwel i , lakini muhimu zaidi ni kuwa yapo mengi yanayozunguka kadhia

hii ambayo hajayasemwa na hayajulikani na pengine hayatajulikana kwa sasa mpaka miongo kadhaa

ijayo.Itakumbukwa kuwa Mei

2008, kama anavyoripoti, Daniel Volman jeshi la

Marekani liliendesha kitu kilichoitwa “war games”, ili kutizama ni kwa namna gani Marekani inaweza kuingia kijeshi Nigeria kama ikibidi ili kulinda na kudhibiti visima vya mafuta katika eneo la Niger Delta.

Zoez i h i lo ambalo lilifanyika katika Chuo cha Kijeshi (United States Army War College), kule Carlisle, Pennsylvania, l i l ipewa anuwani ya "Unified Quest 2008."

Inaelezwa kuwa "Unified Quest 2008", lilikuwa zoezi muhimu sana kwa sababu ilikuwa ni kwa mara ya kwanza Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ilikuwa imeijumuisha Afrika katika mipango yake ya kijeshi ambapo ndipo i l iamuliwa pia kuanzishwa Kamandi ya Kijeshi- Africa Command (Africom).

Zoezi hilo liliendeshwa kwa siku tano likihudhuria na wataalamu mbalimbali wa kijeshi na kikachero

kutoka Jeshini, Wizara ya Ulinzi na ile ya Mambo ya Nje, wasomi, waandishi wa habari walioteuliwa na taasisi nyingine za kiserikali.

Walikuwepo pia maofisa wa kijeshi na kikachero kutoka NATO, Australia na muhimu zaidi Israel. Rand Corporation and Booz-Allen, inata jwa kuwa ni kampuni binafsi iliyobuni, kuendesha na kusimamia ‘gemu’ hiyo.

Mpasha habari Daniel Volman, anasema kuwa maazimio ya mwisho nini kitafanyika ambayo yaliwasilishwa kwa Mkuu wa Majeshi wakati huo (Army's Chief of Staff ) General George Casey, hayakuwekwa hadharani.

Hata hivyo anasema k u w a i l i c h u k u l i w a tahadhari na kusemwa kuwa Marekani i s i j e kuingia tu kibabe kwani haitaeleweka, bali lazima kuwe na ombi rasmi kutoka kwa serikali ya Nigeria.

Anasema kuwa General Casey aliamua kuwapa taarifa rasmi waliokuwa wagombea urais Marekani wakat i wa kampeni , John McCain na Barack Obama, ili yeyote kati yao atakayeingia White House, ajue kabisa na awe tayari kutekeleza yaliyoamuliwa na kikosi kazi hicho cha kijeshi na kikachero juu ya Nigeria.

Inaelezwa kuwa lengo kuu na agenda kuu ya yote haya ni raslimali kama al ivyoeleza kamanda wa Africom, General William Ward. General Wa r d a k i z u n g u m z a katika Kamati ya Kieshi y a B u n g e ( A r m e d Services Committee) , Machi 13, 2008, alisema kuwa Marekani inazidi kuitegemea Afrika kupata mafuta, kwa hiyo litakuwa lengo kuu la Africom k u h a k i k i s h a k u w a ‘African oil’ inapatikana, halikadhalika kuiwekea kizingiti China ambayo nayo inajitahidi kukimbilia rasilimali hiyo muhimu.

Hayo yalikaririwa pia na Vice Admiral Moeller k a t i k a m k u t a n o wa Africom uliofanyika Fort McNair Februari 18, 2008, ambapo ilielezwa kuwa kulinda utiririkaji huru wa mafuta kutoka Afrika, itakuwa ndio agenda kuu ya Africom.

Lakini tukumbushe pia ule mpango wa makusudi wa k u i s a m b a r a t i s h a Nigeria ambapo ilielezwa kuwa hatua ya kwanza

Uchomaji wa Makanisa Tanzaniana Boko Haram Waislamu Nigeria

Inatoka Uk. 9ya uchunguzi wa tukio lile la Arusha. Serikali imepigia kimyaaa!!!

Lakini wakati serikali ikipiga kimya juu ya uchunguzi uliofanywa na vyombo vya dola, na wakati ule tukaambiwa kuwa na FBI nao wamefika kusaidia, propaganda na taarifa zinaendelea kusambazwa zikisema ama moja kwa moja au kwa kuashiria kuwa Waislamu ndio wachoma makanisa na kuuwa viongozi wa makanisa.

Mwaka 2012 kulifanyika shambulio la kigaidi kule Nigeria, likilengwa kanisa la Church of Christ in Nigeria (COCIN) katika Jimbo la Bauchi. Hata hivyo, vi jana tisa (9) waliokamatwa eneo la tukio, wakakutwa kuwa wote ni Wakristo. Hao walikuwa ni Lamba Goma, Filibus Danasa, Joshua Ali, Danjuma Sabo na Joseph Audu. Wengine walikuwa

Simon Gabriel , Bulus Haruna, Yohanna Ishaya na Daniel Ayuba.

Wa t u h u m i w a h a o ambao wal ishushiwa kipigo kikali na wananchi wenye hasira kabla ya kuokolea na polisi, wote walikuwa ni waumini wa kanisa hilo- COCIN Church, Unguwar Rimi, ambalo ni kanisa jipya katika eneo moja la vilima vya Shere (Shere Hills).

Taar i fa za k ipol i s i kutoka makao makuu ya polisi Jimbo la Bauchi zilithibitisha juu ya tukio hilo. Hata hivyo kama ilivyokuwa kwa lile tukio letu la Arusha, hakukuwa na taarifa zilizofuatia juu ya hatua walizochukuliwa vijana hao wa Kikristo wala serikali kutoa kauli juu ya mtindo huo wa Wakristo kulipua makanisa na kusingizia Waislamu. Bali wimbo na kibwagizo cha Boko Haram, kikaendelea.

Katika kipindi hicho h icho , bomu l ing ine

lilipuka katika makao makuu ya kanisa hilo hilo la COCIN Jimbo la Plateau, ambapo taarifa za awali za uchunguzi ziligundua mchezo kama ule uliofanywa na wale vijana tisa.

Taarifa za Shirika la habari la AFP, liliripoti kuwa katika shambulio h i l o , w a t u w a t a t u waliuliwa hali iliyotumiwa na vijana wa Kikristo wenye hasira kuvamia mitaa ya Waislamu na kuuwa watu wanane, n y u m b a n a m a d u k a kuchomwa moto.

“This is however not the first time Christians has been implicated in attack on Churches and Christians. It will be recalled that a Christian, Wisdom Kings, dressed in Muslim attire, was arrested attempting to set fire to a church in Yenagoa, Bayelsa State.”

Ilisema taarifa moja ikieleza kuwa ni mara

Inaendelea Uk. 13 Inaendelea Uk. 13

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameroon.

12 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Mashairi/Makala

Katiba ya wananchi, kiza zaidi kuliko mwanga!Inatoka Uk. 6kwenye Katiba! Siyo kweli kwamba imewazidi hoja UKAWA! Hoja gani iliyowazidi?

Tumeshuhudia jinsi Demokrasia ilivyopora haki ya Wananchi wa Misri, Uturuki, Algeria, Tunisia, Iraq, Afghanistan na Palestina. Hakuna a s i y e j u a k w a m b a wananchi wa nchi hizo wa k i p e wa m a m l a k a kamili lazima watachagua Uislamu. Lakini kwanini nchi hizo za Kidemokrasia, hazitawaliwi Kiislamu leo? Wananchi wake hawana mamlaka yoyote. Hiyo ndiyo kanuni ya Demokrasia!

Ama kuhusu kauli ya Waziri Lukuvi kwamba mfumo wa Serikali tatu utavunja Muungano, na Zanzibar itakuwa dola ya Kiislamu, Waislamu hapa nchini wanapaswa kujifunza zaidi kuliko kuilalamikia kauli hiyo. Wa j i f u n z e k w a m b a alichofichua Lukuvi ndiyo sababu hasa ya CCM kuitia kitanzi Zanzibar kupitia muundo wa Muungano wa Serikali mbili.

Kauli ya Waziri William L u k u v i i n a u o n g o , uzandiki na ukweli ndani yake. Ni uongo ulio dhahiri kukihusisha chama cha CUF na nia ya kuigeuza Zanzibar kuwa dola ya Kiislamu. CUF ni chama cha kisekula kinacholinda na kusimamia misingi yote ya usekula. Waziri Lukuvi hajui kwamba CUF inashirikiana na chama chake cha CCM katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar?

Ni uzandiki kusema kwamba Zanzibar inataka kuwa dola ya Kiislamu. Hakuna ubishi kwamba ni wajibu kwa Waislamu duniani kutawaliwa na Uislamu. Lakini dola ya Kiislamu inaanzishwa katika mazingira na vigezo maalumu kutoka ndani ya Uislamu. Zanzibar inakosa sifa na vigezo hivyo kwa sasa, ingawa wakazi wake wengi ni Waislamu.

Mtume wa Mwenyezi Mungu aliunda dola ya kwanza ya Kiislamu mjini Madina, baada ya kufanya uchambuzi wa kina na kuridhika kwamba wale waliokuwa tayari kuiunga mkono dola hiyo, wana nguvu za kuilinda dhidi ya maadui wa ndani na

nje. Hakukurupuka tu.Ama kuhusu ukweli wa

kauli ya Lukuvi, ni pale alipoanika wazi uadui wake dhidi ya Uislamu na mfumo wake wa utawala. Jambo hili linatarajiwa kutoka kwa wanasiasa na serikali za nchi masikini kama yetu, kutokana na shinikizo la Marekani na propaganda chafu dhidi ya Uislamu na mifumo yake yote.

Waziri William Lukuvi a l i k u s u d i a k u j e n g a mazingira ya chuki na uhasama kati ya Waislamu n a Wa k r i s t o n c h i n i Tanzania. Ndiyo maana ametolea kanisani kauli yake ile ya uchochezi.

Kwa kumalizia, Waziri

Lukuvi na wanasiasa wote katika nchi zinazoendelea, a m b a o w a m e j a z w a chuki na propaganda za uadui dhidi ya Uislamu, wanahitaji kufahamu kwamba dola ya Kiislamu inaweza kuibuka mahali popote duniani Mwenyezi Mungu akitaka. Hakuna k i u m b e a n a y e w e z a kuizua:

" N a k w a h a k i k a walifanya hila zao, na hila zao ziko kwa Mwenyezi M u n g u ( a n a z i j u a ) . Wala haiwi hi la zao k u w e z a k u o n d o s h a majabali (yaani hila zao haziwezi kuondosha y a l i y o t h u b u t u ) " Qur(14:46)

Ponda amaliza kifungo lakini bado yupo jela

Inatoka Uk. 16Ponda, la kukiuka amri ya Mahakama ya Kisutu, mpaka rufaa dhidi ya hukum nzima ya Kisutu itakapo sikilizwa.”

Alisema, kwa sasa kesi ya Morogoro inaendelea kutajwa tu kutokana na mgongano wa tatu, ambapo kinachozuia kusikilizwa sio kwa sababu Mahakama Kuu kuna rufaa waliyokata, bali ni kwa sababu Mahakama ya Morogoro, hawana faili la kesi hiyo.

Wakili Nasoro, alisema, faili la kesi inayomkabili S h e i k h P o n d a , M j i n i Morogoro lipo Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam, kutokana na maombi ya upande wa utetezi, jambo ambalo linafanya kesi hiyo kuendelea kutajwa.

“Ina maana kuwa kama sisi hatutakuwa na maombi Mahakama Kuu ya kusitisha kesi ya Morogoro, basi itaendelea kusikilizwa, lakini tumeomba Mahakama itoe maelekezo ya kuisitisha kesi hiyo, ili kesi isubiri hatma ya

rufaa tuliyoikata”. Alisema Wakili Nasoro.

Sheikh Ponda Issa Ponda, akiwa katika kifungo cha nje, inadaiwa alipigwa risasi na Polisi, akitoka katika muhadhara Mjini Morogoro, ambapo Agosti 15, 2013, alikamatwa na Jeshi la Polisi akiwa amelazwa akiendelea na matibabu katika Taasisi ya Tiba na Mifupa (Moi), Muhimbili.

Akiwa hospitalini hapo, awali alisomewa mashitaka ya uchochezi aliyodaiwa kufanya katika sehemu mbalimbali nchini, na baada ya hapo siku hiyo hiyo, alitolewa Moi, na kupelekwa katika Gereza la Segerea, kabla ya kufungul iwa M a s h i t a k a m e n g i n e , katika Mahakama ya Mjini Morogoro.

Tokea kukamatwa kwake Sheikh Ponda, amekuwa akisota rumande kufuatia dhamana yake kuzuiwa na DPP, akidai kuwa ni kwa usalama wa Taifa, hivi sasa Sheikh Ponda, yupo katika gereza la Mahabusu, Morogoro.

Ni ada yetu insani, mauti katujalia Si mwingine RAHMANI, faradhi kutufikia Si leo tangu zamani, kwa Adamu kuanziaIlunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Ni kathiri kwa yakini, walokwishatanguliaSi sahali aswilani, orodha kukadiriaItawili naamini, yakiniye kwa Jalia,Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Sheikh wetu ikhiwani, kwa Allah katanguliaJinale kwenu si geni, Ilunga nakumbushia Kapungu wake ubini, mashuhuri Tanzania Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Mwanarakati makini, Afrika sharkiya, Mfunda kaumu dini, na harakati sawiya,Lengo idhihiri Dini, kwa dini zote aliya, Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Darsaze rejeeni, Thaqibu masjidiya Zihusuzo yetu dini, kadhalika na duniaHilo mtalibaini, si kwa shaka hakikia Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Kwa elimu mashuleni, mbele alitangulia Taqwa Thaqafa jijini, wana katufundishia Na Bismark shuleni, msingi katulelea Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Nako makongamanoni, elimu 'litupatiaSi Bara si Visiwani, kote alizungukiaDhamira kuubaini, mfumo wa masihiyaIlunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Elimu mtandaoni, yake tunajipatiaKadhalika kasetini, kwa sikio twasikia Waaidha 'sidiini', kwa jicho twajioneaIlunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Ndugu zangu waumini, Bara na ZanjibariaKazi tuyafanyieni, mema tuloshuhudia Na muwi tuyaacheni, Allah asoyaridhia Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Nasi tujiandaeni, kwani yetu sote njiaBarzakhi luhudini, na fufuko baadiyaMwisho ya Allah mizani, pamwe na jaza sawiya Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Adhimu nakuombeni, japo katutanguliaDua tumuombeeni, bukrata wa ashiya Dhunubuze Rahmani, aweze 'mghufiriaIlunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Kadhalika na mizani, ya wema kumpimia Kila penye nuksani, mazidi kumjazia Kwa ya insafu mizani, Ilahi twamuachia, Ilunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Allahumma aamini, kwa dua twakulilia Ya Ilahi ya Manani, kubuli twatarajiya Muepushe na nirani, kwa janna kumpatiaIlunga katangulia, nasi kesho tu nyumaye.

Kwa makiwa na huzuni, nimefika akhiria Kalamu naweka chini, kwa dua kumaliziaMlaze pema peponi, kwa yako Allah mashiaKaditama buriani, Ilunga ametutoka.

ABUU NYAMKOMOGI SAFARINI KAGERA.

INNAA LILLAAHI WA INNAA ILAYHI RAAJIUUN

(BURIANI-SHEKHE ILUNGA)

JAJI Joseph Warioba (kushoto), Dkt. Salim Ahmed Salim

13 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

Mambo yameiva NigeriaInatoka Uk. 11itakuwa ni kuizamisha i l i k o z a m a P a k i s t a n (Pakistanizing Nigeria).

Hatua ya pili ikaelezwa kuwa ni kulifanya tatizo la Nigeria kuwa ni janga la kibinadamu linalohitaji nguvu kutoka jumuiya ya kimataifa, na hasa mataifa yenye nguvu. Hatua hii iliitwa ‘Internationalizing the Crisis’.

Ni dhahiri kuwa tukio hili la kutekwa watoto wa s h u l e n a k e l e l e

zinazopigwa duniani kote hivi sasa, lishafikisha m g o g o r o wa u g a i d i Nigeria katika uwanja wa kimataifa.

“Bring Back Our Girls”, ni kauli mbiu, kibwagizo na bango lililoshikiliwa duniani kote, kuanzia ndani ya White House mpaka Paris na London.

A n g a l i a m a b a n g o na maneno yalivyo ya a ina mo ja , u tadhani yamechapishwa sehemu moja na kusambazwa duniani kote.

Ni dhahiri pia kuwa mambo yameenda kwa kasi sana. Hatua hii ya ‘internationalizing Crisis”, i m e f u n g u l i a m l a n g o

majeshi ya Marekani, Israel na Uingereza, na kwa hiyo haraka haraka kupiga hatua kuelekea hatua ya kuita “international peace keeping force.”

K i m s i n g i h i y o ‘ i n t e r n a t i o n a l p e a c e keeping force’ itakuwa ndio watawala wa Nigeria (occupying powers) na hao ndio watakaoamua lolote

juu ya rasilimali za nchi hiyo.

Ukitizama mlolongo w a m a m b o h a y a ukiweko uwongo juu ya kusilimishwa watoto kwa nguvu; ukichanganya na yale yaliyojadiliwa katika ‘gemu’ Unified Quest 2008, na huu wito wa sasa kwa Marekani na Israel, kuomba ipeleke jeshi na Rais Goodluck, kukubali haraka haraka; u t a o n a k u wa j a m b o hili lina mambo mengi yaliyojificha.

Uchomaji wa Makanisa Tanzaniana Boko Haram Waislamu Nigeria

Inatoka Uk. 11nyingi watu waliovaa kama Waislamu, walifanya uhal i fu wa kuchoma makanisa au kushambulia Wakristo, halafu hutolewa taarifa haraka haraka kuwa hilo ni shambulio la kigaidi lililofanywa na Waislamu.

Kuhusu Emmanuel King, huyu alikamatwa akitaka kulipua bomu katika kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) Yenagoa, Jimbo la Bayelsa. Katika tukio hilo lililotokea Desemba 28, 2011, mlipuaji Emanuel King, alivaa kanzu na kibandiko, ukimtizama utaamini ni Muislamu.

L i n a t a j wa p i a l i l e tukio la Adamawa Yola, ambapo watu watatu waliuliwa kanisani, kisha wakakamatwa Waislamu kadhaa ikidaiwa kuwa ndio waliohusika. Hata hivyo uchunguzi wa polisi baadae ulikuja kugundua k u w a w a l i o h u s i k a walikuwa ni Wakristo. Tukio hilo lilitanguliwa na lile la Lydia Joseph, aliyejaribu kulichoma moto kanisa lake mwenyewe, St John’s Catholic Church kule Bauchi, Septemba 12, 2011 huku wengine jirani na eneo hilo nao wakitaka kulipua bomu.

Yupo pia yule mchungaji kule Kaduna ambapo Februari 20, 2012, alipigwa risasi na polisi baada ya kuendesha gari lake na kutaka kuvuka kizuizi kilichokuwa kimewekwa na polisi katika lango la kuingilia nyumba moja ya serikali. Ndani ya gari hilo kulikuwa na milipuko kama ilivyokuwa kwa l i l e g a r i l i l i l o k u wa limeegeshwa na muumini mmoja wa kanisa la Christ Embassy Church Morocco Road, Suleja, Jimbo la Niger (Februari 21, 2012). Bomu katika gari hilo lililipuka.

Matukio ni mengi, bila kumsahau “Christ ian

bomber” aliyeuliwa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akijaribu kukimbia baada ya kuchoma moto kanisa COCIN, Jos Jumapili ya Februari 26, 2012. Wakati Madam Ruth alikamatwa akijaribu kulipua kwa bomu kanisa la ECWA, Kalaring Kaltingo, Jimbo la Gombe.

U k i a c h a m a t u k i o hayo ambapo Wakristo wamekamtwa wakichoma moto makanisa yao au kulipua mabomu, wapo pia waliokamatwa na silaha ambazo uchunguzi ulionyesha kuwa zilikuwa z ik ipe lekwa kupewa ‘Boko Haram’ kwa ajili ya kufanyia mashambulizi.

“Nigeria: Police Nab Woman With 10 AK 47 Rifles in Borno.”

Ni moja ya vichwa vya habari vilivyogonga katika magazeti ya Nigeria Novemba 2010 ambapo m w a n a m k e m m o j a mwenye umri wa miaka 35, Lucy Dangana alikamatwa akiwa na bunduki 10 aina ya AK rifles na magazine tisa (9).

Taar i fa za k ipol i s i zilifahamisha kuwa Lucy alikuwa akiingiza silaha hizo kutoka nje ya nchi na alikiri kuwa ilikuwa ziishie mokononi mwa Boko Haram.

“Five arrested for allegedly smuggling arms”, hicho kilikuwa kichwa kingine cha habari katika magazeti Januari 11, 2012. Habari hiyo ikasema kuwa:

“The Grea t e r Accra Regional Police Command has arrested five people, two Nigerians and three Ghanaians in Accra for allegedly attempting to

smuggle quantities of arms and ammunition to Nigeria.”

Ikiarifu kuwa watu wa t a n o wa l i k a m t wa wakiingiza milipuko ya kutengenezea mabomu na shehena kubwa ya silaha kutokea Ghana. Watu hao walitajwa kuwa ni Kwesi Asamoah (29), Kofi Aboagye (52) na Kojo Baffour (38). Hao wakiwa ni raia wa Ghana. Wengine ni Sunday Eze na Taiwo Samuel, raia wa Nigeria, wote wakikadiriwa kuwa na miaka 35.

Taarifa ya Kamanda w a P o l i s i ( D e p u t y Commissioner of Police-DCOP, Rose Atinga Bio, (Greater Accra Regional Po l i ce Commander ) , kupitia Shirika la Habari la Ghana (Ghana News Agency), iliarifu kuwa vitu vilivyokamatwa vilikuwa ni pamoja na “pump action guns, double barreled guns and a huge amount of cartridges.”

Wadadisi wa mambo wamekuwa wakihoji, nani Boko Haram na nani yupo nyuma yao? Na lengo lake nini? Maswali kama haya yanakuja baada ya Lucy Dangana, kukiri kuwa silaha alizokamatwa nazo zilikuwa zikienda kwa Boko Haram. Hata hivyo hakukuwa na taarifa za kiserikali kujua Lucy ni nani na anatumwa kazi na nani. Ilibaki kitendawili kama kile cha Victor kule Arusha.

Lakini pia lipo lile tukio la kukamtwa shehena ya si laha Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Murtala Mohammed, Lagos, ambapo vyombo vya habar i v i l iarufu vikisema:

“Michael Awara Ernest intercepted trying to clear 11 cartons of explosives a t M M A ( M u r t a l a Muhammed International Airport, Ikeja, Lagos).”

K w a m b a M i c h a e l Awara Ernest alikamatwa akijaribu kuingiza nchini Nigeria katoni 11 za milipuko kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Murtala Mohammed. Hiyo ilikuwa Machi, 2012.

Taarifa ya afisa wa idara ya forodha, Mr. Charles Edike, ilisema kuwa katoni hizo zilidaiwa kuwa ni wino wa printa na vifaa vingine vya kiofisi, lakini kukaguliwa ndio ikakutwa kuwa ni milipuko.

Taar i fa za k ipol i s i z i l i f a h a m i s h a k u wa mzigo huo ulipitishwa bila kulipiwa kodi huku baadhi ya maofisa wa Uwanja wa Ndege wakishirikiana na muingiza silaha huyo kukwepa ukaguzi wa maofisa usalama.

I n a d h a n i w a k u w a shehena kama hizo za silaha na milipuko, ndio huishia mikononi mwa ‘magaidi’ wanaodaiwa kuwa ni Boko Haram.

Nimeyaeleza haya, sio kutaka kujenga hoja kuwa Wakristo ndio magaidi a u wa h a l i f u , l a k i n i kuonyesha kuwa mambo haya sio mepesi kama inavyodhaniwa. Upo uwezekano kuwa kuna mikono mingi inayotumika kupandikiza uhasama na chuki katika jamii na kisha kulipua machafuko. P i c h a i n a y o j i t o k e z a ni kuwa inawezekana kuna watu wanatumika k u p a n d i k i z a u g a i d i Nigeria kama ambavyo inawezekana wakawepo watu wanaopandikiza chuki na uhasama baina ya Waislamu na Wakristo Ta n z a n i a i l i k u l e t a machafuko.

Kinachowashangaza Wanigeria, hasa Waislamu, n i k u wa p a m o j a n a

kutokea matukio mengi ya k u o n ye s h a k u wa kuna matukio ya kigaidi y a k u p a n g a , l a k i n i hakuna hatua madhubuti zinazochukuliwa wala kutolewa kauli ya kiserikali kuonya juu ya hali hiyo. Huachwa tu yakapita hivi hivi, bali likashikiliwa bango la Boko Haram.

H a p a k we t u n a p o yamesemwa mengi na yanaendelea kusemwa k u h u s u u c h o m a j i w a m a k a n i s a n a kinachodaiwa kuwa ni kuuliwa viongozi wa makanisa. Inanikumbusha ile taarifa ya baadhi ya viongozi wa makanisa waliowataka waumini wao kujihami kwa mapanga, visu, mikuki, sime na mishale wakidai kuwa kuna vikosi vya Waislamu vinazunguka mikoani kwa lengo la kuchoma makanisa na serikal i imeshindwa kuwalinda Wakristo.

H a d i s a s a h a k u n a kauli yoyote ya serikali i l iyotolewa kukemea uchochezi ule. Lililo la uhakika ni kuwa serikali inajua kuwa hapakuwa na kikosi cha wachoma makanisa kilichokuwa njiani kwenda kuchoma moto makanisa Mbeya kama ambavyo hapakuwa na Uamsho walioingia Dar es Salaam kwa boti maalum za kukodi ili kutia nguvu uchomaji wa makanisa Mbagala na Tandika, kama walivyodai baadhi ya wachungaji na baadhi ya vyombo vya habari.

Sasa inapokuwa serikali inanyamazia uchochezi kama huu, bali ikaona li l i lowajibu kwake ni Waziri Mkuu kutoa kauli ile ile ya kila siku kuwa makanisa yanachomwa moto, huku wachungaji n a o wa k i s h e r e h e s h a kuwa wachoma makanisa n i W a i s l a m u , h i l i lazima litupe wasiwasi. Kinachotafutwa nini?

14 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014 Makala

Hatari kubwa!mbalimbali duniani katika kufanikisha malengo yao ya kibeberu. Anatoa mifano ya yaliyojiri Iraq, Libya, hivi sasa Syria na Ukraine. Anasema, kupitia taasisi zinazoonekana sio za kijeshi au zenye hatari, bali za misaada ya kibinadamu kama USAID, mambo mengi hufanyika ambapo wasomi katika vyuo vikuu na vijana mitaani na katika taasisi mbalimbali hukamatwa na kutumiwa kusaliti nchi zao. Anasema, mipango hiyo hufanikiwa kwa sababu kunakuwa na mapesa yasiyo na hesabu kwa kazi hiyo. Na kwamba w a k i k a m a t w a w a t u wenye umasikini wa pesa mfukoni na umasikini akilini, huchanganywa na mapesa hayo.

Jambo la pili analosema ni kuwa vijana hutolewa kutoka mwelekeo wa k i m a p i n d u z i , k w a maana ya kupambana na kupanga mipango ya kuboresha maisha yao na maendeleo ya jamii zao kwa ujumla na kufanywa w a t u w a k u l i p u k a -“reactionary.” Ni kama hivi mtu unachochewa kuwa usikubali kulala njaa wakati kafiri jirani yako ana mali au badala ya kufanya juhudi ya kufuata Sunnah ya Mtume (s.a.w) katika kufikisha Uislamu, kuupigania n a k u u s i m a m i s h a , unaambiwa, kusoma, kulima, kufanya kazi yote hiyo ni kazi bure. Ni kuchelewa. Kinachotakiwa ni kushika bunduki mara moja.

Kachero akizungumzia walichokuwa wakitaka mabeberu Cuba anasema kuwa ni kupandikiza fitna na chuki ionekane ujamaa ni itikadi iliyofeli Cuba, haikuleta ila umasikini na machafuko na wakati huo huo kuonyesha kuwa ufumbuzi wa matatizo ya wananchi wa Cuba upo Washington. Anasema n d i o m a a n a k a t i k a mpango wa 2006, katika kilele cha vurugu na mauwaji ilipangwa kuwa yeye atasimama na kutoa taarifa katika vyombo vya habari akiomba msaada kutoka Marekani, kwamba iingie kusaidia kutuliza hali ya mambo. Hapo ndio lingeingia jeshi na makachero wa kutosha k u r e k e b i s h a h a l i ya usalama na kulinda raia na huo ndio ungekuwa m w i s h o w a C u b a

Inatoka Uk. 10

inayojulikana leo.K w a m n a o j u a

Kiingereza, hebu someni sehemu hii ya mahojiano:

“ T h e y c a l l e d m e automatically. We met, the CIA station chief and I, here in Havana. Diplomatic functionaries also showed up, and one of them said to me, we’re going to organize a provocation. We’re going to organize a popular uprising in a central neighborhood in Havana. There will be a person going there to rise up for democracy, and we’re going to execute a group of provocations, in different locations, in such a way that Cuban security forces will be forced to act against these people, and later we’ll start a big press campaign and start explaining how all of this will function. The interesting part of that, what really caught my attention, was this: How was it possible that a functionary of the US Interests Section could have the power to call upon the principal media, and that those people would obey with such servility?”

Q . S o , w h a t w a s supposed to happen in those circumstances?

Once all the opinion

matrices were created, and all the media matrices had constructed that image, the whole world was supposed to have the image of Cuba as a great disaster, and that they’re killing the people, that they are killing them all. Then, my organization was to complete the final task.

Q. What was the final task?

We l l , t o g a t h e r t h e international press, in my capacity as a university professor, and as a writer, and as a leader of that organization, that I go out publicly to ask the government of the United States to intervene in Cuba, to guarantee the lives of the civilians and to bring peace and tranquility to the Cuban people. To speak to the country in the name of the Cuban people. Just imagine that!

That plan fell apart on them. It gave them no result, but as you could see, later, the way the war in Libya went, and the way it was set up. More than 80% of the information we saw, was fabricated. They’re doing the same in Syria, and they’ve

done the same in Ukraine.”Katika nchi za Kiislamu

au kat ika nchi kama Tanzania ambapo pamoja na malengo hayo ya kibeberu kuna agenda pia ya kupiga vita Uislamu, hupandikizwa watu wa kufikisha mahali ionekane kuwa Uislamu ni dini ya shari, mauwaji, uporaji na ugaidi. Lakini hayo yakifanyika, hufanyika katika namna ambayo hupandikiza chuki na ulipizaji kisasi baina ya Waislamu na Wakristo.

K a m a a l i v y o s e m a kachero Raúl Capote, wakishapandikizwa watu wa kutosha kama kianzio, litafuatia tukio la kupuliza filimbi kuanza kazi. Kama hivi anaweza kuvamiwa mtu akauliwa, yeye na familia yake akaporwa mali. Vyombo vya habari vilivyokwisha andaliwa vitaripoti kuwa hao ni Waislamu siasa kali ambao wanadai kuwa mali za makafiri ni halali yao. Ikifika hapo, hakuna wa kutunusuru tena. Itakuwa t u m e j i t a f u t i a b a l a a ambalo, tutaona mwanzo wake tu, mwisho wake hautajulikana. Ni kama

ilivyo kwa Boko Haram Nigeria hivi sasa.

K i t u k i n g i n e alichokisema Raúl Capote ni kuwa mambo kama haya huchukua muda. Kidogo kidogo watu hujazwa propaganda na kuandaliwa kutumika huku wakiaminishwa kuwa wanalofanya ni j a m b o l a s a wa s a wa kabisa. Lakini akasema pia kuwa, pamoja na nguvu kubwa inayotumiwa na adui, kama kukiwa na umoja na uzalendo, si rahisi kufanikiwa. Na hilo ndilo somo linalopatikana kutoka Cuba.

L a k i n i k a t i k a h a l i kama hii yetu ambapo w a k a t i b a a d h i y a ‘mashehe’ na vijana wa Kiislamu wakitumika kupandikiza mafundisho p o t o f u , w a c h u n g a j i n a o w a k i t u m i k a kukoleza uchochezi kwa kuwasingizia Waislamu h a t a y a l e a m b a y o hawakufanya, halafu Masheikh wasomi, wajuzi wanapiga kimyaa, serikali nayo ikielemea upande wa kuzidi kuwafitinisha Waislamu na jamii badala ya kusimama madhubuti kudhibiti na kukomesha f i t n a , u c h o c h e z i n a u h a s a m a ; h a t u w e z i kusalimika.

WAKATI ugonjwa hatari wa Dengue ukipamba moto na kuwaweka wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika taharuki, afya za wakazi wengi wa j i j i hi lo ziko mashakani kufuatia kukithiri kwa hali ya uchafu katika masoko mbalimbali ya jiji hilo.

H a l i n i m b a y a k u a n z i a s o k o l a Mahakama ya Ndizi M a b i b o , S o k o l a Tandale Manzese,

Afya za wakazi Dar hatariniMasokoni bidhaa zinauzwa kwenye matopeNa Abdulkarim Msengakamba

S o k o l a Te m e k e , Buguruni na hali ya uchafu imekidhiri zaidi katika soko la Ilala.

Katika soko la Ilala, wauzaji wa bidhaa wanauza juu ya tope lililosheheni kila aina ya uchafu.

W a n u n u a j i wanaotumia soko hilo kwa manunuzi mbalimbali hususan v y a k u l a , n a o hulazimika kununua bidhaa zao kwenye lundo la matope na uchafu wa kila aina.

Wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati

tofaut i , wananchi wamelalamikia suala la bidhaa zinazo uzwa juu ya matope katika Soko la Ilala katika maeneo ya mitaa ya Ute te , Morogoro , Nzasa, Bukoba na Moshi.

“ T u n a u z i w a mboga za majani, nafaka mbalimbali, matunda kama vile nyanya, karoti, pilipili hoho, vitunguu juu ya matope, hali ni mbaya sana. Kwa hali hii hadi msimu wa mvua uishe, hatutapona na magonjwa ya mlipuko, t u n a l i n d w a n a

Mwenyezi Mungu tu ”. Alisema Bi. Sikujua Mohamed Saidi mkazi wa Mchikichini.

Bi. Sikujua alisema w a n a c h o f a n y a wachuuzi wa bidhaa hizo sokoni, ni kuweka majani juu ya tope na kuweka matunda na mboga mboga zao juu ya majani hayo bila kujali afya za walaji.

“Wachuuzi wa hapa ni watu wanaojali zaidi pesa kuliko uha i na a fya za walaji, si rahisi kwao kuthamini usafi wa maeneo wanayofanyia biashara zao na hakuna wa kuwafuat i l i a” alisema Bw. Salumu.

15 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014Makala

Uwongo huu wa nini?Inatoka Uk.7na kuwasilimisha.

“With the rate at which the insurgents have been releasing v i d e o s s i n c e t h e a b d u c t i o n o f t h e female students of the Government Secondary School Chibok, Borno State, allegedly by Shekau, the SSS, at a press briefing, said they have strong evidence that the man in the videos cannot be the real Shekau as he was killed by the military sometime ago.”

Kimesema chombo kimoja cha habari kikinukuu taarifa za SSS.

M k u r u g e n z i Msaidizi wa Idara ya Usalama, Nigeria anayeshughulikia M a h u s i a n o ( S S S P u b l i c R e l a t i o n s ) , M s M a r i l y n O g a r , amesema kuwa Boko Haram imekuwa h a k i m i l i k i n a jina lisilokuwa na mwenyewe ambalo kila mmoja anajiona kuwa na haki nalo. Atafanya afanyalo na kisha kudai yeye ni Boko Haram.

“If security sources tell you that somebody is dead, you don’t have to come out and doubt that”.

Alisema Marilyn O g a r a k i wa t a k a w a t u k u a m i n i wanaloambiwa na SSS na waachane n a u w o n g o n a p r o p a g a n d a z inazosambazwa juu ya mtu huyo

Hawa ni watoto wa shule?

anayedaiwa kuwa ni kiongozi wa Boko Haram.

Kufuatia taarifa h i z o z a u t a t a , kumekuwa na taarifa z i n a s a m b a z w a

k a t i k a v y o m b o vya habari zikidai k u w a m k a n d a wa Shekau ni wa kweli zikidai kuwa baadhi ya wazazi w a m e w a t a m b u a

watoto wao walio katika video hiyo.

Hawa wafuatao ndio wanadaiwa k u wa n i wa t o t o w a s h u l e y a

msingi/sekondari w a l i o t e k w a n a k u s i l i m i s h w a . Tazama nyuso za watu hawa, hawa ni wasichana au watu wazima?

16 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RAJAB 1435, IJUMAA MEI 16-22, 2014

SHEIKH Ponda Issa Ponda, amemaliza kifungo chake cha nje alichohukumiwa na Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam, huku akiwa gerezani Mkoani Morogoro, kutokana na DPP kuzuia dhamana yake.

Wakili Juma Nassoro amethibitisha hilo akiongea na Gazeti la An-nuur, ofisini kwake mapema wiki hii kuwa mteja wake Sheikh Ponda, amemaliza kifungo chake cha mwaka mmoja nje tokea Mei 9, 2014, na sasa yupo huru pamoja na kwamba yupo gerezani, Mjini Morogoro.

Wakili Nassoro, alisema Ponda alihukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja katika Mah ak ama ya K isut u , Jijini Dar es Salaam, mbele ya Mheshimwa Hakimu Victoria Nongwa, katika kesi ya jinai namba 245/2012.

“Sheikh alihukumiwa mwezi Mei 9, mwaka 2013, baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kuingia kwa nguvu katika kiwanja cha Markazi, Chang’ombe, Mahakama ikamukumu kifungo cha nje cha miezi 12, ambapo kisheria huanza tarehe ya hukumu.

Sasa miezi hiyo 12, ilianzia Mei 9, 2013, na imeisha Mei 9 au 8, 2014, hivyo kifungo hicho cha Sheikh Ponda, kimemalizika”. Alisema Wakili Nassoro.

A l i s e m a , k i s h e r i a muda huo wa ki fungo unapokwisha mshitakiwa a n a k u wa h u r u , ya a n i anakuwa ameondolewa ki fungo chake cha n je kama ambavyo Mahakama ilivyokuwa imemuhukumu.

Wakili Nassoro, alisema kwa bahati mbaya ndani ya kifungo hicho Sheikh Ponda, akawa ameshitakiwa na kufunguliwa mashitaka m a t a t u k a t i k a k e s i inayomkabil i hivi sasa katika Mahakama ya Mjini Morogoro.

Wakili Nassoro, alianisha mashitaka hayo kuwa ni kutot i i amri ha la l i ya hukumu ya Mahakama ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam, kwa madai kuwa akiwa Mkoani Morogoro, alitoa mhadhara wenye maneno

Ponda amaliza kifungo lakini bado yupo jelaNa Bakari Mwakangwale ya uchochezi. Kwa hivyo

upande wa mashi taka unadai, kwa kutoa maneno hayo, amekiuka masharti ya hukumu al iyopewa Mahakama ya Kisutu.

Alisema, pi l i Ponda, ameshitakiwa kwa kutoa maneno yenye kuumiza hisia za kidini, maneno yenyewe ni kusema kwamba Serikal i i l ipeleka jeshi Mkoani Mtwara, na kupiga Waislamu, lakini ikaacha kufanya hivyo Manyara kwa sababu kule kuna Wakristo wengi.

Akasema, shitaka la tatu linalomkabili Sheikh Ponda, ni uchochezi , kwamba maneno hayo aliyoyatamka yamewachochea watu.

H a t a h i v y o , Wa k i l i Nassoro alisema kimsingi mashitaka yote hayo matatu yana dhamana kwa mujibu wa s h e r i a , i s i p o k u wa imeshindika kwa Sheikh Ponda, kupata dhamana kwa sababu DPP, ameweka pingamizi.

Akasema, kwa kuwa kifungo cha Sheikh Ponda, kimekwisha, alistahili sasa awe huru lakini anaendelea kuwa gerezani (Mahabusu) kwa sababu ya pingamizi la DPP, aliyeweka pingamizi katika dhamana yake bila kuzingatia kuwa makosa yote aliyonayo yanadhaminika kisheria.

Wakili Nasoro, alisema kwa ujumla katika kadhia nzima ya Ponda, tokea k u h u k u m i w a k w a k e mpaka suala la kesi yake inayomkabili sasa Mkoani Morogoro ina migongano mitatu.

Al i sema, angependa kuifafanua migongano hiyo ili Waislamu na wananchi kwa ujumla waifahamu i l i w a w e z e k u e l e w a kinachoendelea.

Alisema, kwanza kuna suala la rufaa Mahakama Kuu aliyokata Sheikh Ponda, katika hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja.

Pili, alisema ni maombi yao upande wa utetezi kwa Mahakama Kuu, wakiitaka isit ishe kuendelea kwa kesi ya Mjini Morogoro, ili kusubiria rufaa ya hukumu ya Kisutu waliyowasilisha Makahakama Kuu, na tatu ni kesi ya Morogoro ambayo imesimama baada ya faili la kesi hiyo kuwepo Mahakama

Kuu, kufuatia maombi ya kutaka kesi hiyo isitishwe.

Akifafanua zaidi, Wakili Nasoro, alisema kwamba Sheikh Ponda, alihukumiwa Mei 9, 2013, na kiutaratibu h u k u m u i n a p o t o k a usiporidhika unatakiwa upeleke taarifa ya kukata rufaa ndani ya siku kumi toka siku ya hukumu, na kuipeleka katika Mahakama iliyokuhukumu.

Alisema, Sheikh Ponda, hakuridhika na hukumu iliyomtia hatiani, kwa sababu aliamini alikwenda katika eneo la Markazi Chang’ombe, bila kuvunja sheria yoyote, kinyume na Mahakama ilivyosema, hivyo walipeleka taarifa ya kukata rufaa ndani ya siku kumi.

Lakini Wakili Nasoro, alisema baada ya taarifa hiyo Mahakama ya Kisutu iliwachukua miezi minne kuwapatia nakala ya hukumu ya Sheikh Ponda, hata hivyo alidai waliweza kuipata nakala hiyo Septemba 3, 2013, baada ya kufuatilia kwa muda mrefu.

Hivyo, alisema mara tu baada ya kupata nakala ya hukumu hiyo walikata rufaa katika Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, na kuiwasilisha mnamo mwezi Septemba 14, 2013, na kupewa namba 89/2013.

Wakili Nassoro, alisema cha ajabu rufaa hiyo toka mwezi Septemba, mwaka jana mpaka hivi sasa mwezi huu wa tano, haijapangiwa Jaji wa kuisikiliza, mpaka Sheikh Ponda, kamaliza kifungo chake.

Alisema, kila wakifuatilia suala hilo Mahakama Kuu wal ikuwa wakiambiwa k w a m b a f a i l i k u t o k a M a h a k a m a ya K i s u t u , l i l i k u w a h a l i j a e n d a Mahakama Kuu, ili rufaa hiyo iweze kusikilizwa jambo ambalo lilikuwa ni kikwazo katika kuipangia Jaji.

“Baada ya kuona hali hiyo, nililazimika kwenda kuongea na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Kisutu, ili faili la hukumu ya Sheikh Ponda, liweze kwenda Mahakama Kuu.

Mahakama ya Kisutu toka Mei, 2013, walikuwa hawajapeleka faili la hukumu hiyo. Sasa mwezi huu wa Mei, 2014, ndiyo tumepewa taarifa kwamba faili hilo

limepelekwa Mahakama Kuu na kesi ipo kwa Jaji Kaduli, wa Mahakama Kuu.” Alisema Wakili huyo wa Shkh Ponda.

Alisema, kisheria rufaa haiwezi kusikilizwa ikiwa faili la hukumu ya kesi husika haijafika Mahakama Kuu, kwa lengo la kupitiwa ili kuweza kuangalia tatizo lipo wapi, hivyo hivi sasa alisema, wanasubiri kesi lini itapangiwa Jaji wa kuisikiliza rufaa hiyo.

Wakili Nasoro, alisema licha ya kupigwa dana dana mpaka Sheikh Ponda, kamaliza kifungo chake, bado rufaa hiyo ni muhimu kwa umma wa Kiislamu, kwa sababu wanaamini k wa m b a h a k u n a k o s a lililotendeka.

Alisema, kile kitendo cha Mahakama ya Kisutu kumtia hatiani, kwa kosa la kuingia katika kiwanja cha Waislamu Chang’ombe, ndicho ambacho wanataka kupambana nacho, kwani Sheikh hakutenda kosa kwenda katika eneo lile la kiwanja cha Markazi Chang’ombe.

Wakili Nasoro, alisema Wa i s l a m u wa n a p a s wa kutambua kuwa msingi

wa Ponda, kukata rufaa s i o k w a m b a a l i k u w a akitaka afutiwe kifungo alichohukumiwa, bali lengo ni kutokukubaliana na Mahakama kwamba kuingia katika kiwanja cha Waislamu cha Markazi ni kosa.

A l i s e m a , k a t i k a mgongano wa pi l i n i kwamba hivi karibuni walipeleka maombi katika Mahakama hiyo wakiomba isimamishe usikilizwaji wa kesi ya Mkoani Morogoro, ili kutoa nafasi kwanza rufaa waliyokata juu ya hukumu ya Ponda, iwezwe kusikilizwa kwanza.

Wakili Nasoro, alisema wametoa ombi hilo kwa s a b a b u , k e s i h i y o ya Morogoro ina mantiki moja kuwa endapo rufaa hiyo ikisikilizwa na Mahakama K u u k i s h a i k a t e n g u a hukumu ya Kisutu, basi h u k u m u h i y o i t a f u t a mashitaka aliyofunguliwa Ponda Mjini Morogoro.

“Kwa hiyo tumepeleka m a o m b i t u k i o m b a M a h a k a m a K u u i t o e m a e l e k e z o k w a Mahakama ya Morogoro, isimame kusikiliza shauri walilomfungulia Sheikh

Inaendelea Uk. 12

SHEIKH Ponda Issa Ponda

(4) JEE, UMESHAMZURU MTUME WAKO?Mtume (s.a.w) amesema, “Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenitembelea wakati wa uhai wangu”. Kumzuru Mtume(saw) ni ushahidi wa imani na mapenzi ya muislamu. Wewe umeshamzuru Mtume(saw) mara ngapi? Unajisikiaje kwa kukosa kumzuru? Karibuni wapenzi wa Mtume(saw). Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/06