22
FeedJournal Basic feedjournal.com 5/22/2011 - 6/12/2011 Uonevu wa Serikali ya Kikwete dhidi ya Chadema Ukomeshwe by [email protected] (EVARIST) (Kulikoni Ughaibuni) Submitted at 6/5/2011 9:27:00 PM Utawala wa Rais Jakaya Kikwete unaendelea na jithada zake za kutaka kuifanya Tanzania isitawalike baada ya jeshi lake la polisi kuendeleza ubabe dhidi ya viongozi wa Chadema. Katika matukio yanayoweza kuingizwa kwenye vitabu vya historia (chafu),jeshi hilo maarufu zaidi kwa ubabe kuliko uwezo wake kukabiliana na uhalifu limewatia mbaroni Mwenyekiti wa taifa wa Chadema,Freeman Mbowe,na Mbunge maarufu wa chama hicho Zitto Kabwe.Wakati Mbowe,ambaye pia ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni (wadhifa unaomfanya kuwa Waziri Mkuu Kivuli) alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za dhamana katika kesi inayomkabili huko Arusha,Zitto alikamatwa kwa madai ya kuzidisha muda wa kuhutubia mkutano wa hadhara. Tangu Tanzania iridhie uwepo wa mfumo wa vyama vingi vya siasa,mahusiano kati ya vyombo vya dola na vyama hivyo yamekuwa mabaya na ya ounevu kupindukia.Tatizo la wazi ni vyombo hivyo vinavyoendeshwa kwa fedha za walipa kodi pasipo kujali itikadi zao za kisiasa kuendelea kutekeleza majukumu yake kana kwamba ni matawi ya chama tawala.Wakati jeshi la polisi ndilo linaloongoza kwa kuwanyanyasa wapinzani,taasisi nyingine za dola kama Idara ya Usalama wa Taifa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania pia kwa nyakati mbalimbali zimeonyesha kuweka mbele unazi wa kisiasa na kuipendelea CCM. Lakini licha ya kushamiri kwa vitendo vya ukatili dhidi ya wanasiasa wa vyama vya upinzani,kuibuka kwa Chadema kama ngome kuu ya upinzani kumekuwa mithili ya pilipili inayowawasha polisi kiasi cha kuwaandama viongozi wa chama hicho kila kukicha. Ni dhahiri kuwa matendo haya yana baraka za Rais Kikwete kwani laiti angemwamuru rafiki yake Said Mwema,Inspekta Jenerali wa Polisi,kuhakikisha jeshi la polisi sio tu linawapa heshima viongozi wa upinzani bali pia lizingatie haki zao za kibinadamu,ni dhahiri tusingeshuhudia manyanyaso kama hayo waliyopewa Mbowe na Zitto. Kikwete na jeshi lake la polisi wanapaswa kutambua kuwa kadri wanavyotumia nguvu nyingi kuwadhibiti Chadema ndivyo wanavyozidisha huruma ya Watanzania kwa chama hicho.Mtu yeyote mwenye akili timamu hatoshindwa kubaini kuwa unyanyasaji unaofanywa na jeshi la polisi dhidi ya chama hicho unalenga kukipunguzia nguvu katika jitihada zake za kupambana na ufisadi unaolelewa na serikali ya Kikwete na chama chake cha CCM. Uzoefu unaonyesha kuwa tunaweza kulilaani jeshi la polisi hata kila sekunde lakini hiyo haitopelekea jeshi hilo lililosheheni mbumbumbu wa sheria za haki za binadamu kubadili utendaji kazi wao wa ovyo ovyo.Tunahitaji kwenda mbali zaidi ya kulaumu na kulaani pekee. Ni muhimu basi kwa Chadema kuchukua hatua za kisheria dhidi ya jeshi la polisi.Kwa vile mahakama zetu nazo zinaendeshwa kisiasa,basi pengine ni muhimu kujaribu kufungua mashtaka ya aina hiyo katika mahakama za kimataifa. Tetesi zinadai kuwa tawi la serikali ambalo kikatiba lina jukumu la kutafsiri ya sheria (Mahakama) chini ya uongozi wa Jaji Mkuu Othman Chande linaendesha shughuli zake "kishkaji" na tawi la serikali lenye jukumu la kusimamia sheria,yaani serikali kwa maana ya Executive branch.Tetesi hizo zinapigia mstari hoja kuu mbili.Kwanza,Jaji Mkuu Othman ni kaka wa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa Othman Rashid,ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Kikwete,kama alivyo IGP Mwema.Sasa ukiwa na kaka wawili kwenye nafasi nyeti kama hizo,na ambazo kikatiba zinapaswa kufanya kazi zake kwa kuzingatia mgawanyiko wa mamlaka (separation of powers),ni wazi kuwa nchi inaendeshwa kama kampuni ya mtu binafsi. Kwa upande mwingine,Jaji Mkuu alikuwa miongoni mwa waalikwa kwenye semina elekezi iliyofanyika majuzi jijini Dodoma.Yayumkinika kuhisi kuwa ushiriki wa Jaji Mkuu kwenye semina hiyo kumepelekea Mahakama kumezwa na Serikali (Executive),na si aabu Mahakama ikawa inatekeleza majukumu yake kwa maelekezo ya serikali.Changanya hali hiyo na hizo teuzi za kufahamiana...!!! All in all,ni lazima ukatili wa jeshi la polisi sio tu ulaaniwe kwa nguvu zote bali pia ukomeshwe kwa hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi yake.Na kwa vile mahakama za ndani ndio hivyo tena zishakuwa kama matawi ya CCM,kuna haja ya kutafuta haki kwenye mahakama za kimataifa. Mwisho,Kikwete na watendaji wake,na jeshi lake onevu la polisi wanaweza kuwatupa ndani viongozi wa vyama vya upinzani kadri watakavyo...kwa muda flani, lakini kamwe hali hiyo haitaendelea milele.Kama ameshindwa dikteta Hosni Mubarak ataweza Kikwete?Tawala dhalimu zinaweza kudhani kuwa ubabe na uonevu ni silaha muhimu za ustawi wake lakini ukweli ni kwamba vitendo hivyo huharakisha uchimbaji kaburi la kuzika tawala za aina hiyo. Ni muhimu kwa kila mpenda haki na usawa kukemea kwa nguvu zote uhuni huu wenye lengo moja tu: kudhoofisha mapambano yanayoongozwa na Chadema dhidi ya ufisadi unaolelewa na serikali ya Kikwete na CCM yake.Kadhalika,kashkash dhidi ya Chadema inamsaidia Kikwete na CCM yake kupooza mvurugano unaoendelea ndani ya chama hicho ambao umesababishwa na mgongano wa kimaslahi ya kifisadi. Enough is enough!

KulikoniUghaibuni

Embed Size (px)

DESCRIPTION

A magazine version of Kulikoni Ughaibuni

Citation preview

FeedJournal Basic feedjournalcom5222011 - 6122011

Uonevu wa Serikali ya Kikwete dhidi yaChadema Ukomeshweby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 652011 92700 PM

Utawala wa Rais Jakaya Kikweteunaendelea na jithada zake za kutakakuifanya Tanzania isitawalike baadaya jeshi lake la polisi kuendelezaubabe dh id i ya v iongoz i waChadema Kat ika matukio yanayowezakuingizwa kwenye vitabu vya historia(chafu)jeshi hilo maarufu zaidi kwau b a b e k u l i k o u w e z o w a k ekukabiliana na uhalifu limewatiambaroni Mwenyekiti wa taifa waC h a d e m a F r e e m a n M b o w e n aMbunge maarufu wa chama hichoZitto KabweWakati Mboweambayepia ni Kiongozi Mkuu wa UpinzaniBungeni (wadhifa unaomfanya kuwaWaziri Mkuu Kivuli) alikamatwa kwamadai ya kukiuka tarat ibu zadhamana katika kesi inayomkabilihuko ArushaZitto alikamatwa kwamadai ya kuzidisha muda wakuhutubia mkutano wa hadhara Tangu Tanzania iridhie uwepo wamfumo wa vyama v ing i vyasiasamahusiano kati ya vyombo vyadola na vyama hivyo yamekuwam a b a y a n a y a o u n e v ukupindukiaTatizo la wazi ni vyombohivyo vinavyoendeshwa kwa fedha zawalipa kodi pasipo kujali itikadi zaoza kisiasa kuendelea kutekelezamajukumu yake kana kwamba nimatawi ya chama tawalaWakati jeshila polisi ndilo linaloongoza kwakuwanyanyasa wapinzanitaasisinyingine za dola kama Idara yaUsalama wa Taifa na Jeshi laWananchi wa Tanzania pia kwanyakati mbalimbali zimeonyeshakuweka mbele unazi wa kisiasa nakuipendelea CCM Lakini licha ya kushamiri kwavi tendo vya uka t i l i dh id i yaw a n a s i a s a w a v y a m a v y aupinzanikuibuka kwa Chadema kamangome kuu ya upinzani kumekuwamithili ya pilipili inayowawashapolisi kiasi cha kuwaandama viongoziwa chama hicho kila kukicha Ni dhahiri kuwa matendo haya yanabaraka za Rais Kikwete kwani laitiangemwamuru rafiki yake SaidMwema Inspek ta Jene ra l i wa

Polisikuhakikisha jeshi la polisi siotu linawapa heshima viongozi waupinzani bali pia lizingatie haki zaoz a k i b i n a d a m u n i d h a h i r itusingeshuhudia manyanyaso kamahayo waliyopewa Mbowe na Zitto Kikwete na jeshi lake la polisiwanapaswa kutambua kuwa kadriw a n a v y o t u m i a n g u v u n y i n g ikuwadhib i t i Chadema nd ivyow a n a v y o z i d i s h a h u r u m a y aWatanzania kwa chama hichoMtuyeyote mwenye ak i l i t imamuh a t o s h i n d w a k u b a i n i k u w aunyanyasaji unaofanywa na jeshi lapolisi dhidi ya chama hicho unalengakukipunguzia nguvu katika jitihadazake za kupambana na ufisadiunaolelewa na serikali ya Kikwete nachama chake cha CCM Uzoefu unaonyesha kuwa tunawezakulilaani jeshi la polisi hata kilasekunde lakini hiyo haitopelekea jeshihilo lililosheheni mbumbumbu washeria za haki za binadamu kubadiliu t e n d a j i k a z i w a o w a o v y oovyoTunahitaji kwenda mbali zaidiya kulaumu na kulaani pekee Ni muhimu basi kwa Chademakuchukua hatua za kisheria dhidi yajeshi la polisiKwa vile mahakamazetu nazo zinaendeshwa kisiasabasipeng ine n i muh imu ku ja r ibukufungua mashtaka ya aina hiyokatika mahakama za kimataifa Tetesi zinadai kuwa tawi la serikali

ambalo kikatiba lina jukumu lakutafsiri ya sheria (Mahakama) chiniya uongozi wa Jaji Mkuu OthmanChande linaendesha shughuli zakekishkaji na tawi la serikali lenyejukumu la kusimamia sheriayaaniserikali kwa maana ya ExecutivebranchTetesi hizo zinapigia mstarihoja kuu mbiliKwanzaJaji MkuuOthman ni kaka wa Mkurugenzi waIdara ya Usalama wa Taifa OthmanRashidambaye pia ni rafiki wa karibuwa Kikwete kama a l ivyo IGPMwemaSasa ukiwa na kaka wawilikwenye nafasi nyeti kama hizonaambazo kikatiba zinapaswa kufanyak a z i z a k e k w a k u z i n g a t i amgawanyiko wa mamlaka (separationof powers)ni wazi kuwa nchiinaendeshwa kama kampuni ya mtubinafsi Kwa upande mwingineJaji Mkuualikuwa miongoni mwa waalikwakwenye semina elekezi iliyofanyikamajuzi jijini DodomaYayumkinikakuhisi kuwa ushiriki wa Jaji Mkuukwenye semina hiyo kumepelekeaMahakama kumezwa na Serikali(Executive)na si aabu Mahakamaikawa inatekeleza majukumu yakek w a m a e l e k e z o y aserikaliChanganya hali hiyo na hizoteuzi za kufahamiana All in allni lazima ukatili wa jeshi lapolisi sio tu ulaaniwe kwa nguvu zotebali pia ukomeshwe kwa hatua za

kisheria kuchukuliwa dhidi yakeNakwa vile mahakama za ndani ndiohivyo tena zishakuwa kama matawiya CCMkuna haja ya kutafuta hakikwenye mahakama za kimataifa MwishoKikwete na watendajiwakena jeshi lake onevu la polisiwanaweza kuwatupa ndani viongoziwa vyama vya upinzani kadriwatakavyokwa muda flani lakinikamwe hal i hiyo hai taendeleamileleKama ameshindwa diktetaH o s n i M u b a r a k a t a w e z aKikweteTawala dhalimu zinawezakudhani kuwa ubabe na uonevu nisilaha muhimu za ustawi wake lakiniukweli ni kwamba vitendo hivyohuharakisha uchimbaji kaburi lakuzika tawala za aina hiyo Ni muhimu kwa kila mpenda haki nausawa kukemea kwa nguvu zoteuhuni huu wenye lengo moja tuk u d h o o f i s h a m a p a m b a n oyanayoongozwa na Chadema dhidi yaufisadi unaolelewa na serikali yaK i k w e t e n a C C MyakeKadhalikakashkash dhidi yaChadema inamsaidia Kikwete naCCM yake kupooza mvuruganounaoendelea ndani ya chama hichoambao umesababishwa na mgonganowa kimaslahi ya kifisadi Enough is enough

2 FeedJournal Basic

Mahojiano Maalum na Bongo Bloggers(Waandaaji wa Tanzanian Blogs Awards 2011)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 632011 52400 AM

Mwana blogger wa wiki hii niEvar i s t Chaha l i wa Kul ikon iUghaibuni Author| Posted at 542PM | Filed Under Featured WeeklyBlog| Leo tumepata bahati ya kufanyamahojiano na Evarist Chahali waKulikoni Ughaibuni na kwenyeTwitter anapatikana kwa jina laChahali Toka nimefahamu hii blogmimi personal nimekua nikiifuatiliana nilipokea email kutoka kwaw a s o m a j i w a k e w a p e n z iwanaoifuatilia na kupendekeza kamatutaweza kufanya mahojiano nayelakini hata mimi nilikua nina mpangow a k u m w a n d i k i a i l i t u f a n y emahojiano naye Nilikua natamanisana mahojiano haya ili watu ambaohawajawahi kuiona hii blog yakewapate kuifahamu Ni blog yenyemambo mengi sana na anajadilimambo yake vizuri sana kwa upanana kama inavyotakiwa (Tell it like itis) Kama hujawahi kuisoma blogyake bas i us iache kuingia nakuisoma Asante sana Evarist kwakukubali kufanya mahjiano na sisi unaweza kutuambia kidogo kuhusublog yako Jina la blogu yangu laKulikoni Ughaibuni lilitokana naswali la msingi nililokuwa nikijiulizamara kwa mara nilipofika hapaUingereza kwa mara ya kwanzaK w a m b a ldquo k u l i k o n i w e n z e t uwanaweza hili lakini sie tushindwerdquoY a a n i k w a m f a n o k u l i k o n ininapokwenda tawi la benki hapaninyenyekewe kama mfalme lakinikwetu iwe kama manyanyaso japo nifedha zangu na za wateja wenginendizo zinaipa uhai benki husikaAukulikoni Waingereza kwa mfanowaweke mbele zaidi maslahi ya nchiyao kuliko maslahi ya kisiasa aukibinafsi Kwahiyo kimsingi hiyondio maana halisi ya jina la bloguyangu Blogu hii ina-focus zaidikwenye masuala ya siasa (hususan zaTanzania) pamoja na social justiceM i m i n i m w a n a h a r a k a t i w amtandaoni (e-Activist) na KulikoUghaibuni ndio kama ldquoofisirdquo yanguMalengo ya blogu ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishajamii Natumia Kiswahili japonyakati nyingine huwa naweka postskwa lugha ya Kiingereza japo ninadra Je wewe kazi yako ni kublogtu au hii ni kama kazi ya muda tu auhobby Hapana Mimi nina shughulinyingine zinazoniwezesha kumudumaisha Moja ya shughuli hizo niuanafunzi wa shahada ya uzamifukatika stadi za siasa (PhD in PoliticalStudies) Kwangu kublogu ni zaidiya hobby kwani ninaamini sanak a t i k a k u p a s h a n a h a b a r i k u e l i m i s h a n a k u k o s o a n akuburudisha pia Ila napenda kukirikuwa nina hobby ya kuandika na

siwezi kupitisha siku pasipo kuandikakitu fulani iwe ni mtandaoni aukwenye makabrasha yangu Jinsi ganiunaanza kublog na kwa niniNilianzisha blogu yangu mwezi Aprilmwaka 2006Wakati huo nilikuwanaandika makala kwenye magazeti yaMtanzania na Kulikoni Kwahiyolengo la awali la blogu yangulilikuwa kuifanya iwe mahala pakuwawezesha wasomaji kusomamakala hizo hasa kwa vile magazetih a y o y a l i k u w a h a y a p a t i k a n imtandaoni Lakini kwa vile makalahizo zilikuwa zinatoka mara moja tukwa wiki ilinilazimu niwe naandikahabari nyingine pia katika blogu zaidiya makala hizo Nini changamotounazozipata kwa kuwa na blog Kwau a p n d e m m o j a b l o g u h i iimeniwezesha kutengeneza marafikim b a l i m b a l i l a k i n i p i aimenitengenezea maadui hususankutokana na msimamo wangu mkalikuhusu suala la ufisadi Suala lauand i sh i l imen igha r imu sanakimaisha kwani nilishawahi kupotezaajira sehemu flani baada ya wenyemamlaka kutopendezwa na maandikoyangu Changamoto nyingine niukweli kwamba Watanzania wengiwanapenda zaidi picha kuliko habariau uchambuzi Pengine hili linaelezakwanini l icha ya blogu yangukuanzishwa mwaka 2006 badoimetembelewa na chini ya watu lakitano Wakati najibu maswali hayaidadi ya waliotembelea ni watu406660 tu Hata hivyo cha muhimukwangu sio mamilioni ya wasomajibali hata wasomaji wachache ambaow a n a w e z a k u f a n y i a k a z ininachojaribu kuishawishi jamii yetuhususan katika vita dhidi ya ufisadiUna fanya n in i waka t i uk iwa

hushughulikii hii blog yako Againkama nilivyojitambulisha hapoawalikwa upande mmoja mimi nimwanafunzi (kwa sasa ninasoma part-time) na pia ninafanya shughulinyingine za kimaisha ambazonisingependa kuziweka hadharanij apo n i shughu l i ha l a l i ( s i oufisadilol) Ni mara ngapi unafikirijuu ya blog yako wakati uko mbali nakompyuta Kwa kweli ni vigumukusema ni mara ngapi lakini bloguyangu ni sehemu muhimu ya maishayangu na ninajitahidi kuipa attentionmara kadhaa kwa siku Ni naniwasomaji wa blog yako Kwa hakikani vigumu kujibu swali hili lakininadhani wasomaji wakuu wa bloguhii ni pamoja na wasomaji wa safuyangu katika jarida la Raia Mwema(safu yangu inafahamika kama ldquoRaiaMwema Ughaibunirdquo) Penginewasomaji wengine wakuu ni watuwanaofahamu msimamo wangukatika vita dhidi ya ufisadiNa labdawasomaji wengine ni kila anayependakusoma uchambuzi wa habari namatukio kuliko kuangalia tu picha Jeni mitandao gani mingine ambayounatumia i l i iweze kukusaidiakuitangaza blog yako ili iwafikiewasomaji walengwa wa blog yakoMfano Twitter au Facebook Postszangu zinachapishwa pia hukoFacebook Twitter na LinkedInKadhalika kuna nyakati huwanasambaza baadhi ya posts kwa blogawenzangu sambamba na kutumakwenye kumbi za mtandaoni kamaJ a m i i F o r u m s N i n i h a s a n ic h a n g a m o t o k u b w a w a k a t iunatengeneza post ya kuweka kwenyeblog yako na kwanini Changamotoyangu kubwa ni kuwa sahihi katikakila ninachoposti kwenye blogu

yangu Kwa uzoefu wa hapaUingereza na nchi nyingine zaMagharibi kuandika kitu mtandaonipasipo kuwa na uhakika nachokunaweza kusababisha matatizom a k u b w a k i s h e r i a L a k i n ichangamoto nyingine ni lugha Watuwengi ninaofahamiana nao tangunifikie hapa Uingereza takribanmiaka 10 iliyopita hawafahamukiswahili Sasa inawawia vigumukwao kue lewa n inachoandikaj a p o k u w a n i m e w e k a G o o g l eTranslator kwenye blogu yanguMiongoni mwa malengo yangu yabaadaye ni kuanzisha version yakiingereza ya blogu hiyo ili kukidhimatakwa ya wasomaji waiofahamuKiswahili Unafanya nini iwapo kunawakati huna la kuandika kwenye blogyako Huwezi kuamini lakinihaijawahi kunitokea hata mara mojakukosa cha kuandika Nilibainishahapo mwanzo kuwa nina hobby yakuandika Hobby yangu nyingine nikusoma Hakuna siku ninayopitishabila kusoma iwe riwaya bloguhabari mtandaoni au chochote kileHobby nyingine ni habari kwa maanaya zinazotangazwa radioni au kwenyeruninga au mtandaoni Kwahiyohivyo ni vyanzo vyangu muhimu vyakupata vitu vya kuandika kwenyeblogu yangu Kingine kinachonisaidiasana kupata habari ni maongezi nawatu wa kada tofauti za maisha Je ninini mkakati wako na blog yako kwaujumla Lengo la muda mfupi nikuwa na tovuti kamili Lengo la mudamrefu ni kuwa na taasisi ya habariuchambuzi na utafiti Baadhi ya rafikizangu huwa wananiona kitukoninapowaambia kuwa malengo yanguya baadaye sana ni kuanzisha ldquothinktankrdquo au policy institute (yaani taasisiya sera)Actually mmoja wa rafikizangu hao alinipachika jina la one-man think tank na nimelitundika jinahilo kwenye profile yangu ya TwitterJe n i bora kupa ta ukwel i auuchunguzi wa jambo unalotakakuliandika kwenye blog yako wewemwenyewe au kupitia mtu mwingineNi vigumu kwa mimi au bloggermwingine kuwa ndio chanzo pekeecha habari Kwangu cha muhimu siokuwa chanzo cha habari bali usahihina umuhimu wa habari husika Nijambo gani bora blogger anawezak u t o a k w a w a s o m a j i w a k e Kufundishakuhabarishakukosoa naau kuburudisha Hayo ndio malengoyangu makuu ya blogu yangunaninaamini yanaendana na dhima yavyombo mbalimbali vya habari Nijinsi gani (mtu) anaweza kuelezeas ty l e ya yako unavyo b logDisgustingly criticalUandishi wanguu n a w e z a k u m k e r a m s o m a j ianayeangalia tu ldquoupinzanirdquo auldquoukosoajirdquo wanguKama mwanastadiwa taaluma ya siasamsimamo wangukitaaluma umeelemea zaidi kwenye

MAHOJIANO page 4

3FeedJournal Basic

Waandishi wa Habari Wakamatwa na Polisi kwaKupiga Picha jeneza Tarimeby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5242011 71700 PM

Askari wa Kikosi cha KuzuwiaGhasia (FFU) wakiwa tayari kuvunjah a k i z a b i n a d a m u n c h i n iTanzaniaPicha hii haihusiani nahabari ifuatayo Tanzania yetu inaelekea wapiTangulini kupiga picha jeneza imekuwakosa linalopelekea polisi kukamatawaandishi wa habari waliopiga pichamajeneza Kwa kweli Jeshi la Polisi linafanyakila jitihada kuhakikisha amani nautulivu vinaondoka nchiniJeshi hilolimekuwa likiendeshwa kibabe pasipokujali haki za binadamuInachukizak u o n a p o l i s i w a n a k u r u p u k akumkama ta mtu yeyo t e yu l ewanapojisikia lakini wanakuwawagumu kuchukua hatua dhidi yaw a b a k a u c h u m i w a n a o t e n d auhalifumkubwa kwa taifa kuliko raiawema hao wasio na hatia Kadhalikajeshi hilo limekuwa halinaheshima yoyote kwa wanasiasa nawanachama wa vyama vya upinzaniambapo polisi wanawakamata ovyoovyoWito wa tovuti hii ni kwawanaokamatwa kufungua kesi zam a d a i w a n a p o a c h i w a b i l akufunguliwa mashtakaTkuwaachawahuni hawa waliokabidhiwa jukumula usalama kwa raia lakini badalayake wanapelekea adha kwa raiawasio na hatia tutaishia kujilaumuhuko mbeleni Violence begetsviolencewananchi watafika mahalawakaamua liwalo na liwe na haopolisi waonevu hawatakuwa salama Ubabe sio ufumbuzi wa matatizokwani kama tumeshuhudia tawalakadhaa za k ibabe z ik iondokam a d a r a k a n i p a l e w a n a n c h iwanapoamua kuwa imetoshaenoughis enoughSoma habari ifuatayo nautaelewa ninacholalamikia hapa Polisi wadaiwa kupora maiti TarimeTuesday 24 May 2011 2244 W A D A I W A K U V A M I AMOCHWARI USIKU WABUNGEC H A D E M A W A T U P W AR U M A N D E W a a n d i s h i W e t uPOLISI Kanda Maalumu ya Tarimewanadaiwa kuvamia chumba chakuhifadhia maiti katika Hospitali yaWilaya ya Tarime Mara kuchukuamaiti za watu wanne waliouawakatika tukio la uvamizi wa Mgodi waNyamongo na kuziweka chini yaulinziHabari zilizolifikia gazeti hilijana zimeeleza kuwa tukio hilolilikwenda sambamba na kukamatwakwa watu 12 wakiwemo wabungewawili wa Chama cha Demokrasia naMaendeleo (Chadema) Waliokamatwa katika tukio hilo niMbunge wa Singida MasharikiTundu Lissu na Mbunge wa VitiMaalumu Ester Matiko Wengine nikada wa Chadema Waitara Mwita nawakazi wengine sita wa Tarime

ambao majina yao hayakupatikanamara moja Chanzo kimoja cha habari kilisemajana kwamba watu hao walikamatwamajira ya saa 323 juzi usiku baada yapolisi kupiga mabomu ya machozieneo la chumba cha kuhifadhia maitikuwatawanya watu waliojitokezakuzuia polisi kuchukua miili yamarehemu usiku huo Taarifa zilisema kuwa mbali na watuhao kukamatwa juzi jana majira yasaa 430 asubuhi waandishi wa habariw a t a t u A n t h o n y M a y u n g a(Mwananchi) Beldina Nyakeke (TheCitizen) na Anna Mroso (Nipashe)walikamatwa Waandishi hao walikamatwa jana nambunge huyo wa viti maalumu waC h a d e m a k a t i k a K i j i j i c h aNyakunguru na kuhojiwa kwa mudakatika Kituo cha Polisi Nyamwagakabla ya kupelekwa kwa Kamandawa Operesheni Maalumu PaulC h a g o n j a W a l i a c h i w a k w akujidhamini wenyewe saa 930 jioni Hata hivyo Mkuu wa Jeshi la Polisin c h i n i ( I G P ) S a i d M w e m aalipotafutwa kuzungumzia suala hilosimu yake ya mkononi ilipokewa namsaidizi wake ambaye alisemaanayeweza kulitolea ufafanuzi nimsemaji wa jeshi hilo Advera Senso Senso alipotafutwa naye alisemahawezi kulizungumzia akimtupiampira Kamanda wa Polisi KandaMaalumu Tarime Constant ineMassawe Hata hivyo Massawe alikanushamadai hayo ya kupora maiti akisemakwamba walipata taarifa kutoka kwandugu wa marehemu kwamba kunab a a d h i y a w a t u w a l i o k u w a

wakiwazuia kuchukua miili ya nduguzaoJana baada ya kufanyika uchunguzikama walivyotaka miili yote ilikuwachini ya familia Sasa uamuzi wakuzika ulikuwa juu yao lakini majiraya saa mbili usiku tulipata taarifakuwa kuna watu wako mochwariwamezuia ndugu wanaotaka kuzikawasichukue miili ya jamaa zaoalisema Kamanda Massawe nakuongezaTulipofika tulikuta wapo watuwanane wanne walikuwa ni wakaziwa Singida na wengine wannewakiwa ni wakazi wa TarimeTuliwakamata na kusimamia ulinziwa ndugu waliotaka kuchukua miiliya jamaa zao wakachukua Alisema baada ya mii l i hiyokuchukuliwa polisi ililitoa msaadawa kuwasafirishia ndugu hao hadimajumbani kwao na walikuwawanaishusha kadri walivyokuwawameambiwa na ndugu haolsquoSasa asubuhi hii (jana) tumeelezwakuwa kuna kundi la watu wenginelilikuwa likipita nyumba hadi nyumbakuwahamasisha wafiwa kutokubalikuzika maiti za ndugu zao baada yakufuatilia tuliwakamata na hawawaandishi wakiwa wanapiga pichajeneza alisema Kamanda Massawe Awali Katibu wa Chadema TarimeMjini Paschal Warioba alidai kuwapolisi walipora maiti hizo na kwambav i o n g o z i w a c h a m a c h a k ewalikamatwa juzi usiku majira ya saanneLissu yuko lockup (rumande) hapaNyamongo walikuwa wakifuatiliamaiti za watu waliouawa katikavurugu mgodini ili leo (jana) ziende

kuzikwa lakini kabla ya kufanikishazoez i h i lo jana ( juz i ) po l i s iw a l i z i p o r a m a i t i h i z o k w akuwadanganya baadhi ya ndugu kwakuwapa fedha ili waende kuzizikaalisema Warioba alidai kuwa baadhi ya maititayari wamezikwa lakini wenginewameonekana katika maeneo karibuna walipokuwa wakiishi Juzi alasiri maiti hao walifanyiwauchunguzi wa mwisho tayari kwa ajiliya maandalizi ya mazishi yaliyokuwayamepangwa kufanyika jana chini yauratibu wa Chadema kabla ya vurugukubwa kuibuka katika chumba chamaiti baada ya polisi kufika na kukutaumati wa watu uliokuwa tayariumekusanyika kuanzia saa 130 jioniili kuchukua miili hiyo kwa ajili yamazishi yaliyokuwa yamepangwakufanyika leo Hata hivyo Chadema kinadaikwamba baadhi ya ndugu wa wafiwawaliona maofisa wa polisi wakinunuamajeneza manne na kuyapakia katikagari lao kabla ya kufika hospitalihapo kuchukua miili hiyo Kutokana na taarifa hiyo LissuWaitara na makada wengine waChadema wakiwa na wananchiwengine waliamua kufika katika eneola mochwari na muda mfupi baadayeidadi ya watu iliongezeka kwa lengola kuzuia Polisi kubeba miili hiyoWakati tukio hilo hapo mochwaripolisi walifika majira ya saa mbiliusiku na kukuta timu kubwa ya watuambao walikuwa wamejitolea kulindamaiti hao wasichukuliwe alisemamkazi wa Tarime aliyejitambilisha

WAANDISHI page 12

4 FeedJournal Basic

MAHOJIANOcontinued from page 2

critical thinkingwanachoita thinkingabout thinking Ni nini imekuwamkakati wako kwa ajili ya kujengakujulikana kwa mwenyewe na blogyako Binafsi sipendi kujulikanaMimi ni mtu down-to-earth sanaNingependa zaidi maandiko yanguyaeleweke na pengine kufanyiwa kazikuliko mimi binafsi au blogu yangukujulikana Na kama kujulikanabasimakala zangu magazetini zingewezakufanya kazi hiyo kwa ufanisizaidilakini hiyo sio priority yanguk a b i s a K i l a m t u a n a p o s tanayoipenda au anayoichukia Jewewe ni post ipi unaipenda sana nakwanini Na ni post ipi unaichukiasana na kwanini Binafsi naaminikatika kupenda kila ninachokifanyaNapenda kazi zangu Maana kamam i e m h u s i k a n i s i p o p e n d aninachofanya nitarajie nini kutokakwa jamii Lakini kwa minajili yakujibu swlai lakopost iliyogusa hisiaz a w e n g i n i h i i h t t p wwwchahalicom201009chaguo-la-mungu-mafanikio-ya-kikwetehtmlNiliandika post hi i wakati wakampeni za Uchaguzina moja yamambo ya kupigiwa mstari nikwamba ilinukuliwa na aliyekuwamgombea ura is kwa t iket i yaChadema Dokta Willibroad Slaak a t i k a u k u r a s a w a k e w aFacebookSijawahi kuchukia postyoyote niliyoandika kwa vile siaminikwamba kuchukia kitu ni njia bora yakukirekebishaBadala ya kuandikakiitu kisha nikakichukiamie nakwepakabisa kuandika kitu cha aina hiyo Jeni bloggers wapi ambao weweunawaangalia na kufuata nyayo zaoNa kwanini Kuna bloga gwijianaitwa Ndesanjo Macha Huyundiye aliyenifundisha kublogu japo sikama tuliwasiliana Nilitembeleablogu yake nikafuata maelekezoyake ya namna ya kuanzisha bloguna hatimaye Kulikoni ughaibuniikazaliwa Blogger mwingine nim w a n a h a r a k a t i m w e n z a n g u Mwalimu Nkwazi Mhango waCanada (ambaye pia huandika makalamagazetini kwa jina la MpayukajiMsemaovyo) Kufuata nyayo wellmie sio mfuasi Si kwamba ni mbishikufuata walionitangulia bali naaminikatika kufuata njia sahihi Kwahiyolabda niseme nafuata nyayo zauandishi wa blogu katika namnainavyostahili badala ya kufata nyayoza mtuYou never know unawezakufuata nyayo zikakupeleka porini(Irsquom just kidding) Huwezi aminilakini kila siku ninajitahidi kupitiatakriban kila blogu ya Watanzaniawenzangu kupitia Google Readerkwenye kompyuta au kwenye simuyangu Nathamini kila kazi ya blogawenzangu japo nitakuwa sitendi hakinisipowataja watu kama Michuzi ldquoM k u b w a n a M d o g o rdquo S u b i Maprofesa Mbele na Masangu HakiNgowi Abdallah Mrisho MubelwaJestina George Dinahicious nawadogo zangu DjChoka Sarah(Angalia Bongo) na Faith CharlesHillary (Candy1) na wengineo(kutowataja haimaanishi kuwa

siwathamini) Pia nathamini sana kaziiliyotukuka ya Maxence Melo waJamii Forums Hebu tuambie ni watugani umewahi kukutana nao wakatiukisughulikia post za kuweka kwenyeblog yako Kukutana na watuphysically hapana Hilo halijatokeabado Kukutana na watu throughmtandao hao ni wengi Kamanilivyobainisha awali moja ya faidaya kublogu ni kufahamiana na watumbalimbali Nimetengeneza marafikikadhaa (na maadui pia) kupitia faniya kublogu Je unafikiria kuwaunadaiwa na mtu akiyeacha comments kwenye blog yako Deni kubwa nipale mtu anapoacha ushauri ambaponalazimika kuufanyia kazi Denijinginie ni uvumilivu pale mtuanapoamua kuacha comment kwalugha ya matusi Inataka moyokumezea kashfa au matusi lakini Irsquomnot just a grown up kid but thick-skinned too Je kunadhamani kujibucomment iliyoachwa kwenye blogyako wakati ukijua kuwa huyoaliyeiandika labda hatarudi kusomajibu lake tena Huwezi jualabdaatarudiWanasema bora uaminiMungu yupo ili ukifa na kukutahayupo yoursquoll have nothing tolose Imag ine unakufa waka t ihukuamini existence ya Mungu thenunafika huko waendapo wafu nakukutana naye mlangoniNi salamakuamini kuwa anayeacha commentatarejeana inapendeza kwa msomajikuona umethamini comment yake nakuijibu (kama inastahili kujibiwa) Jeumewahi kufikiria kuacha kupostcomment ambayo iko negative kwakona ukijua hamna mtu atakayejuaHilo hutokea mara kadhaaKunawaungwana flani tulipishana lughasiku za nyuma wanapenda kunitumiacomments zisizostahili kuchapishwabloguni Heymy blog is like myhomeand I reserve the right towelcome or deny someone kuingiahumo Lugha chafu haina nafasikabisa katika blogu yangu Jeunazitreat tofauti au unafikiri watuwanaoacha comment kwenye blogy a k o n a k u a c h a m a j i n a y a oyaonekane wazi wanastaili commentszao kujibiwa au hata kuacknowledgekuwa umeona maoni yao Mie nimuumini mkubwa wa uhuruMsomajiana uhuru wa kuandika jina lakeanapoacha comment au kubakianonymousCha muhimu kwangu siojina la mtoa comment bali umuhimuwa comment yakeMara nyinginapenda kutoingi l ia uhuru wawasomaji kuacha comments zaobloguni kwanguKwahiyo napendeleazaidi kutochangia comments unlesskuwe na umuhimu wa kufanya hivyoJe unafikiria ni makosa kucommentkwenye blog yako kwa kutumia jinalingine Kama una jina lako halisi nacomment unayotoa ni yako binafsisioni umuhimu wa kutumia jina lamtu mwingine Hilo ni kosa kisheriaIthink the word for that is identityfraud Lakini si kosa kutumianickname au kutotumia jina kabisakwa maana ya kubaki anonymous Jeunazichukulia comments zote sawa

unazotumiwa kwenye blog yako bilakujali maoni uliachwa Kwa hakikaninaheshimu comments zoteexceptzinazochafua hewa ie za matusikashfa nkKwa vile uandishi wanguumetawaliwa zaidi na kukosoakamwe sichukizwi na mie mwenyewekukosolewa Naamini kujifunzakutokana na constructive criticismJe unaamini comments kwenye blogyako zilizoandikwa kwa urefu sanazinahitaji kuzawadiwa zaidi kulikozile zilizoandikwa kwa ufupi tuInategemea kama urefu huo wacomment unaendana na uzito wakilichomo Comment ya mstarimmoja iliyojaa mantiki ni muhimuzaidi kuliko comment ya nusuu k u r a s a a u u k u r a s a m z i m ailiyosheheni ldquohewa tupurdquoLakinikimsingi ninazi-treat comment zotekwa uzito unaostahili Je wewe nimtu ambaye uko rahisi kukata tamaaHapana Kukata tamaa is only forl o s e r s M a i s h a n imapambanoVikwazo katika maishani sehemu muhimu ya maisha nawakat i mwingine vinatusaidiakujipanga upya Hakuna mahalakatika cheti cha kuzaliwa chamwanadamu palipoandikwa kuwa lifewill treat you fairly By the waykukata tamaa hakujawi kumsaidiamwanadamu yeyote kufikia malengoyake Kuna tofauti kati ya kukatatamaa na kuachana na jambo Kamamtu anaona hawezi kitu flani basi nivema akaachana nacho kul ikokupoteza muda kisha kukata tamaa nakuishia kuachana nacho mbeleni Kilasekunde n i sawa na muuj izausiojirudia maishani So itrsquos now ornever Je unaedit picha zako iliziwavutie sana wasomaji Kama ku-edit kwa minajili ya zionekane kwaufasaha jibu ni yes Lakini kamaediting kwa minajili ya kupachikakichwa cha mwarabu kwenye mwiliwa mswahili hapana Mie ninaallergy na photoshopping hususankwenye uwasilishaji habari kwaumma Je unaepuka kuweka postambazo ziko very controversykwasababu ya kuogopa wa tuhawatakubaliana na wewe au hunahizo post Bahati nzuri mimi siomwoga Nilisoma Tabora Boys HighSchool enzi hizo ikiwa ni mchepuowa kieshi nilipomaliza nikaendajeshini mwaka mzima kwa mujibu washeria Na baadaye nikapita maeneoflani ya ldquonusu-jeshirdquo (paramilitary)Uzoefu huo umeondoa kabisa kitukinachoitwa uoga Kwa upandemwingine kama mwanafunzi wazamani wa sosholojia natambuakuwa hakuna kitu kinachowezakuafikiwa na wote Kadhalikanatambua umuhimu na uwepo wamitizamo tofauti Kwahiyo kabla yakuandika chochote kile blogunikwangu huwa natafakari kwa makinikwa kutumia mizani hizo sambambana uzoefu wangu binafsi Je unajisikiavizuri zaidi ukiweka post kwenyeblog yako na ukapata maoni ya watuzaidi ya 20 au ukipata maoni ya mtummoja mashuhuri tu Kwanguoneuseful comment is more important

than 100 worthless comments Ofcourse inapendeza kuona watuwakichangia topic flani lakini what ifmichango yenyewe ni kwa minajili yakuandika tu Nina tabia ya ku-trackwanaotembelea blogu yangu kwak u t u m i a n j i a m b a l i m b a l izinazopatikana kwa bloggers Nam a r a k a d h a a n i n a o n a w a t uwanaotumia muda mwingi tu kwenyeblogu yangu lak in i hawaachicomment Hilo sio tatizo kwaniangalau kuna mtu amesoma nahuenda akafanyia kazi alichokisomaJe unasema b log yako kuwainamafanikio iwapo unapata watuwengi wa kusoma au unapata watuwengi wakuacha comment kwenyeblog yako Kwangu mafanikio yablogu sio idadi ya watu wanaoachacomment au kuitembeleaMafanikioni pale ninachoandika kinapochangiajambo flani kwenye jamii Kama mtummoja atatembelea blogu na kuonakitu cha maana kisha kafanyia kazikwa manufaa ya jamii hayo nim a f a n i k i o m a k u b w a k u l i k okutembelewa na watu milioni mojawanaopita bloguni ldquokuosha machordquoJe blog yako unatumia jina lakokamili au unablog kwa kutumia kivulikingine na watu wanasoma nakuenjoy blog yako lakini hawajuiwewe ni nani Ninatumia jina langukamili la Evarist Chahali Tatizo nikwamba nina majina mawili moja ldquolakiofisirdquo (official) na jingine ldquolamtaanirdquo Unajua katika baadhi yamila unapozaliwa unapewa jina lakuzaliwa na kisha unabatizwa (kwasie Wakristo) Sasa kwa niliokutanan a o m a s o m o n i a u k a z i n iwananifahamu zaidi kwa jina laEvarist lakini kwa marafiki wamtaani wananifahamu zaidi kwa jinala Jimmy Sasa inatokea baadhi yahao marafiki zangu wa mtaanikuhangaika kufahamu kuwa Evaristwa Kulikoni Ughaibuni ndiyehuyohuyo J immy wa mtaan i Anyway sichoki kuwaelimisha nataratibu tatizo hilo linazidi kupunguaZamani hizo niliwahi kuandikamakala kwenye magazeti ldquoya udakurdquoya Sanifu Kasheshe na KomeshaHuko nilianzisha safu ya nyota(unajimu ldquowa kizushirdquo) na nilikuwanatumia jina bandia la ldquoUstaadhBongerdquo Mpaka leo baadhi yam a r a f i k i z a n g u w a c h a c h ewanaendelea kutumia jina hilo lautani Lakini kwa sasa natumia jinalangu kamil i na hal is i kat ikamaandiko yangu yote Ni nini baadhiya malengo yako ya mwaka huu kwaajili ya blogu yako au unaonajemwenyeew kwa kipindi cha mwakammoja ua mitano toka sasa hivi blogya itakuaje Kama nilivyojibu hapoawali malengo ya muda mfupi nikuwa na tovuti kamili ya habari namalengo ya muda mrefu ni kuwa nataasisi kamili ya habarisambamba nauanzishwaji wa think tank Hadikufikia mwishoni mwa mwaka huuninataraji blogu yangu itakuwa tovutikamili Je upi ujumbe wako kwa wale

MAHOJIANO page 12

5FeedJournal Basic

Sporah Shows Exclusive Interview withSupermodel Miriam Odembaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 622011 114900 AM

I AM ADDICTED TO FACEBOOKAND THE SPORAH SHOWMIRIAM ODEMBA Miriam Odemba (from ArushaTanzania) is Miss Tanzania Earth2008 and Miss Earth Air 2008 (1strunner up) Miriam Odemba is a Tanzaniamodel She is one of the best modelsfrom Tanzania where she started hermodeling career at an early age andemerged into the limelight in 1997when she won the Miss Temeke titleThe following year she took part inthe Miss East Africa beauty pageantand finished second At 13 her life was tough and herparents had to move to their uncleShe always wondered what life wasall about then As she grew older sheperceived Godrsquos message of love andstarted appreciating everythingaround her especially the natureGodrsquos greatest gift to not only to herbut to all of us MISS EARTH 2008 In the final competition of the eighthedition of the international beautypageant Miss Earth Odemba wasannounced as one of sixteen semi-finalists who would move forward tocompete for the title She achievedone of the eight highest scores in theswimsuit competition for her stagechops which advanced her as one ofthe top eight finalists to participate inthe evening gown competition Shethen pulled away for the lead as shearticulated in her video interviewabout environmental concerns as akey issue in her country in which sheadvanced to the top four In the last round the court of fourwere asked one question ldquoWhatwould you tell US President about thestate of the global environment if everyou were to meet himrdquo She placedthe second highest score in theinterview round and at the conclusionof the competition she was crownedMiss Earth Air Talking to Miriam Odemba is apassion as she has a lot to say aboutherself her career and definitely tothe young women out there iMag How does getting marriedfeel MO I am not yet married I amengaged to a wonderful man and I amlooking forward to our wedding day MIRIAM AND HER FIANCELAURANCE How did you and Laurent meet MO I met Laurent whilst travellingin Hong Kong iMag What do you love most aboutbeing a mommy MO Being a mother has made memore responsible It is hard work butI believe that a mother is the engine

of the family I am much happier as amother and am really enjoyingmotherhood iMag How do you descr ibeyourself a house wife a model or abusiness woman and why MO I think I am all three becausethey are all differenct aspects of mylife I am first and foremost a motherand a housewife I will never stopbeing a model and I also enjoy beinga business woman iMag Whatrsquos the most romanticthing Laurent ever done for you MO Laurent is french and as youknow they are extremely romantic soI couldnt choose just one thing but Iwill say that I am the happiest womanin the planet right now iMag What do you think of todaysyoung mothers MO Mothers today are s t i l lfashionable We can be great mothersas well as beautiful wives It doesnthave to be one or the other It iswonderful to be a mother to bringanother human being into this worldIt is truly a blessing iMag What is your biggest fearabout being a Mommy MO I was afraid of the birthingprocess but because of my renewedfaith in God I found peace Dont beafraid to become a mother It is awonderful gift from God MIRIAM WITH HER BEAUTIFULDAUGHTER IRIS iMag Have you ever thought youcouldnt cope with a child and why MO I never felt that way asbecoming a mother has strengthenedme and made me feel completeMotherhood has not slowed me downat all I think that as women we arecreated to have children and if weembrace itit is an awesome thing iMag What bothers you most aboutyour career now after having a child MO Most women are afraid ofchangethey are afraid of changingjobs they dont like or changingboyfriends that they cant stand Youneed to know your worth The dayyou settle for less is the day you willget less I say - embrace changebecause you never know what liesaround the corner iMag Some young girls in Tanzanianow have negative attitude towardsTanzanian men Its like girls want tobe like Miriam Odemba and marry a white rich guy What do you thinkabout this MO Everyone is different and hasdifferent tastes I love Laurent somuch and it doesnt matter to me thathe is white Love doesnt knowcolour We all have our choices in lifethat we have to make I would simplysay that you have to live your life inthe way that is right for you Dont tryto be like anyone else Live YOURlife iMag Miriam You skin is flawlesshow do u maintain it

MO I use natura l products Everyone can have great skin if theytake care of it Make sure you protectyour skin well My brother JeremiahKagose has amazing skin So smoothand lovely He is also a forever livingagent so check him out for greatproducts people ) iMag Did anyone in the modelingindustry ask you to change your look MO No and I will never change mylook I love and I do enjoy being me iMaga Beauty products You can notdo without MO Skin Oil by clarins It helpshydrate my skin iMag What is the best beauty adviceu know of MO Stay natural and be true toyourself all the time Dont spoil yourskin by using bleaching products You willregret it later if you do iMag Miriam you had 90kilosduring your pregnacy please sharewith us how did you manage to dropall those Kilos within such a shortperiod of time MO The sky is the limiteverythingis possible in life its all in our handsWe have be focused and to put ineffort to get what we want in life Idefinately struggled with self esteemand body image issues I was incredibly overweight so I hada plan to lose weight and I stuck to itI prayed to God for strength and keptpushing myself If you have hope andtrust in God everything is possibleDont get me wrong I do believe thatpeople are beautiful no matter whattheir size is but I had to slim downbecause of my chosen career pathThe dukan diet helped me a lot MIRIAM ODEMBA WITH HERKILLER LEGS iMag You have a great bodyfantastic legs how do you stay inshape M O R u n n i n gswimmingwalkingdancing andaerobics I drink a lot of hot waterand eat lots of vegetables and fruitsall the time No white stuff like whitericebreadcerealpotatoes pasta and

fried food If you avoid eatinganything made with white flour youllbe safe iMag What is your definition ofsuccess MO Achieving your goals I believethat confidence is the key to successHave a goal a vision Qualities suchas fearlessness creativity disciplineand passion are vital elements tosucess Small opportunities can leadto many big opportunities in life iMag Do you think you haveachieved that MO Yes I have acheived manygoals I have set for myself but I havestill have many more things that Iwould like to achieve for example Iwant to one day have my own airlinecompany Lets never stop dreamingpeople iMag What one thing havent youdone you would still like to MO I would like to do something tohelp street children in the world bystarting with East Africa I believe allchildren have the right to educationand I would like to be a part of that iMag Tell me something people donot realize about you maybe its not asecret maybe it s not anythingspecial but it could be something noone else has ever asked you aboutuntil now MO I am addicted to facebook andthe Sporah show iMag OW Thank you iMag What bothers you most aboutmarriages of today MO These days couples seem to getbored of each other quicker Likethese celebrities people no longertake their vows seriously insickness and in health men neverput the toilet sit down after using thetoiletI think you get what I meanSome people forget manners onceyou have been married to them toolong iMag If you could change one thingsabout the world what would it be MO Its only God who can changeanything however I can try to help asmany people as I can along the way Ican do something small and free likesmiling at people or asking them how theirday has been It can make a hugedifference I may not be able tochange the world but maybe I canchange someones world iMag What makes you laugh MO Iris brings so much joy to myheart Laurent (my fiance) is alsovery funny and he makes me laugh alot THE BEAUTIFUL MIRIAMODEMBA iMag On money matters do youpersonally invest MO Yes I have a Shop in TanzaniaHOUSE OF FASHION HOUSE OF FASHION Greatly

SPORAH page 19

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

2 FeedJournal Basic

Mahojiano Maalum na Bongo Bloggers(Waandaaji wa Tanzanian Blogs Awards 2011)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 632011 52400 AM

Mwana blogger wa wiki hii niEvar i s t Chaha l i wa Kul ikon iUghaibuni Author| Posted at 542PM | Filed Under Featured WeeklyBlog| Leo tumepata bahati ya kufanyamahojiano na Evarist Chahali waKulikoni Ughaibuni na kwenyeTwitter anapatikana kwa jina laChahali Toka nimefahamu hii blogmimi personal nimekua nikiifuatiliana nilipokea email kutoka kwaw a s o m a j i w a k e w a p e n z iwanaoifuatilia na kupendekeza kamatutaweza kufanya mahojiano nayelakini hata mimi nilikua nina mpangow a k u m w a n d i k i a i l i t u f a n y emahojiano naye Nilikua natamanisana mahojiano haya ili watu ambaohawajawahi kuiona hii blog yakewapate kuifahamu Ni blog yenyemambo mengi sana na anajadilimambo yake vizuri sana kwa upanana kama inavyotakiwa (Tell it like itis) Kama hujawahi kuisoma blogyake bas i us iache kuingia nakuisoma Asante sana Evarist kwakukubali kufanya mahjiano na sisi unaweza kutuambia kidogo kuhusublog yako Jina la blogu yangu laKulikoni Ughaibuni lilitokana naswali la msingi nililokuwa nikijiulizamara kwa mara nilipofika hapaUingereza kwa mara ya kwanzaK w a m b a ldquo k u l i k o n i w e n z e t uwanaweza hili lakini sie tushindwerdquoY a a n i k w a m f a n o k u l i k o n ininapokwenda tawi la benki hapaninyenyekewe kama mfalme lakinikwetu iwe kama manyanyaso japo nifedha zangu na za wateja wenginendizo zinaipa uhai benki husikaAukulikoni Waingereza kwa mfanowaweke mbele zaidi maslahi ya nchiyao kuliko maslahi ya kisiasa aukibinafsi Kwahiyo kimsingi hiyondio maana halisi ya jina la bloguyangu Blogu hii ina-focus zaidikwenye masuala ya siasa (hususan zaTanzania) pamoja na social justiceM i m i n i m w a n a h a r a k a t i w amtandaoni (e-Activist) na KulikoUghaibuni ndio kama ldquoofisirdquo yanguMalengo ya blogu ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishajamii Natumia Kiswahili japonyakati nyingine huwa naweka postskwa lugha ya Kiingereza japo ninadra Je wewe kazi yako ni kublogtu au hii ni kama kazi ya muda tu auhobby Hapana Mimi nina shughulinyingine zinazoniwezesha kumudumaisha Moja ya shughuli hizo niuanafunzi wa shahada ya uzamifukatika stadi za siasa (PhD in PoliticalStudies) Kwangu kublogu ni zaidiya hobby kwani ninaamini sanak a t i k a k u p a s h a n a h a b a r i k u e l i m i s h a n a k u k o s o a n akuburudisha pia Ila napenda kukirikuwa nina hobby ya kuandika na

siwezi kupitisha siku pasipo kuandikakitu fulani iwe ni mtandaoni aukwenye makabrasha yangu Jinsi ganiunaanza kublog na kwa niniNilianzisha blogu yangu mwezi Aprilmwaka 2006Wakati huo nilikuwanaandika makala kwenye magazeti yaMtanzania na Kulikoni Kwahiyolengo la awali la blogu yangulilikuwa kuifanya iwe mahala pakuwawezesha wasomaji kusomamakala hizo hasa kwa vile magazetih a y o y a l i k u w a h a y a p a t i k a n imtandaoni Lakini kwa vile makalahizo zilikuwa zinatoka mara moja tukwa wiki ilinilazimu niwe naandikahabari nyingine pia katika blogu zaidiya makala hizo Nini changamotounazozipata kwa kuwa na blog Kwau a p n d e m m o j a b l o g u h i iimeniwezesha kutengeneza marafikim b a l i m b a l i l a k i n i p i aimenitengenezea maadui hususankutokana na msimamo wangu mkalikuhusu suala la ufisadi Suala lauand i sh i l imen igha r imu sanakimaisha kwani nilishawahi kupotezaajira sehemu flani baada ya wenyemamlaka kutopendezwa na maandikoyangu Changamoto nyingine niukweli kwamba Watanzania wengiwanapenda zaidi picha kuliko habariau uchambuzi Pengine hili linaelezakwanini l icha ya blogu yangukuanzishwa mwaka 2006 badoimetembelewa na chini ya watu lakitano Wakati najibu maswali hayaidadi ya waliotembelea ni watu406660 tu Hata hivyo cha muhimukwangu sio mamilioni ya wasomajibali hata wasomaji wachache ambaow a n a w e z a k u f a n y i a k a z ininachojaribu kuishawishi jamii yetuhususan katika vita dhidi ya ufisadiUna fanya n in i waka t i uk iwa

hushughulikii hii blog yako Againkama nilivyojitambulisha hapoawalikwa upande mmoja mimi nimwanafunzi (kwa sasa ninasoma part-time) na pia ninafanya shughulinyingine za kimaisha ambazonisingependa kuziweka hadharanij apo n i shughu l i ha l a l i ( s i oufisadilol) Ni mara ngapi unafikirijuu ya blog yako wakati uko mbali nakompyuta Kwa kweli ni vigumukusema ni mara ngapi lakini bloguyangu ni sehemu muhimu ya maishayangu na ninajitahidi kuipa attentionmara kadhaa kwa siku Ni naniwasomaji wa blog yako Kwa hakikani vigumu kujibu swali hili lakininadhani wasomaji wakuu wa bloguhii ni pamoja na wasomaji wa safuyangu katika jarida la Raia Mwema(safu yangu inafahamika kama ldquoRaiaMwema Ughaibunirdquo) Penginewasomaji wengine wakuu ni watuwanaofahamu msimamo wangukatika vita dhidi ya ufisadiNa labdawasomaji wengine ni kila anayependakusoma uchambuzi wa habari namatukio kuliko kuangalia tu picha Jeni mitandao gani mingine ambayounatumia i l i iweze kukusaidiakuitangaza blog yako ili iwafikiewasomaji walengwa wa blog yakoMfano Twitter au Facebook Postszangu zinachapishwa pia hukoFacebook Twitter na LinkedInKadhalika kuna nyakati huwanasambaza baadhi ya posts kwa blogawenzangu sambamba na kutumakwenye kumbi za mtandaoni kamaJ a m i i F o r u m s N i n i h a s a n ic h a n g a m o t o k u b w a w a k a t iunatengeneza post ya kuweka kwenyeblog yako na kwanini Changamotoyangu kubwa ni kuwa sahihi katikakila ninachoposti kwenye blogu

yangu Kwa uzoefu wa hapaUingereza na nchi nyingine zaMagharibi kuandika kitu mtandaonipasipo kuwa na uhakika nachokunaweza kusababisha matatizom a k u b w a k i s h e r i a L a k i n ichangamoto nyingine ni lugha Watuwengi ninaofahamiana nao tangunifikie hapa Uingereza takribanmiaka 10 iliyopita hawafahamukiswahili Sasa inawawia vigumukwao kue lewa n inachoandikaj a p o k u w a n i m e w e k a G o o g l eTranslator kwenye blogu yanguMiongoni mwa malengo yangu yabaadaye ni kuanzisha version yakiingereza ya blogu hiyo ili kukidhimatakwa ya wasomaji waiofahamuKiswahili Unafanya nini iwapo kunawakati huna la kuandika kwenye blogyako Huwezi kuamini lakinihaijawahi kunitokea hata mara mojakukosa cha kuandika Nilibainishahapo mwanzo kuwa nina hobby yakuandika Hobby yangu nyingine nikusoma Hakuna siku ninayopitishabila kusoma iwe riwaya bloguhabari mtandaoni au chochote kileHobby nyingine ni habari kwa maanaya zinazotangazwa radioni au kwenyeruninga au mtandaoni Kwahiyohivyo ni vyanzo vyangu muhimu vyakupata vitu vya kuandika kwenyeblogu yangu Kingine kinachonisaidiasana kupata habari ni maongezi nawatu wa kada tofauti za maisha Je ninini mkakati wako na blog yako kwaujumla Lengo la muda mfupi nikuwa na tovuti kamili Lengo la mudamrefu ni kuwa na taasisi ya habariuchambuzi na utafiti Baadhi ya rafikizangu huwa wananiona kitukoninapowaambia kuwa malengo yanguya baadaye sana ni kuanzisha ldquothinktankrdquo au policy institute (yaani taasisiya sera)Actually mmoja wa rafikizangu hao alinipachika jina la one-man think tank na nimelitundika jinahilo kwenye profile yangu ya TwitterJe n i bora kupa ta ukwel i auuchunguzi wa jambo unalotakakuliandika kwenye blog yako wewemwenyewe au kupitia mtu mwingineNi vigumu kwa mimi au bloggermwingine kuwa ndio chanzo pekeecha habari Kwangu cha muhimu siokuwa chanzo cha habari bali usahihina umuhimu wa habari husika Nijambo gani bora blogger anawezak u t o a k w a w a s o m a j i w a k e Kufundishakuhabarishakukosoa naau kuburudisha Hayo ndio malengoyangu makuu ya blogu yangunaninaamini yanaendana na dhima yavyombo mbalimbali vya habari Nijinsi gani (mtu) anaweza kuelezeas ty l e ya yako unavyo b logDisgustingly criticalUandishi wanguu n a w e z a k u m k e r a m s o m a j ianayeangalia tu ldquoupinzanirdquo auldquoukosoajirdquo wanguKama mwanastadiwa taaluma ya siasamsimamo wangukitaaluma umeelemea zaidi kwenye

MAHOJIANO page 4

3FeedJournal Basic

Waandishi wa Habari Wakamatwa na Polisi kwaKupiga Picha jeneza Tarimeby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5242011 71700 PM

Askari wa Kikosi cha KuzuwiaGhasia (FFU) wakiwa tayari kuvunjah a k i z a b i n a d a m u n c h i n iTanzaniaPicha hii haihusiani nahabari ifuatayo Tanzania yetu inaelekea wapiTangulini kupiga picha jeneza imekuwakosa linalopelekea polisi kukamatawaandishi wa habari waliopiga pichamajeneza Kwa kweli Jeshi la Polisi linafanyakila jitihada kuhakikisha amani nautulivu vinaondoka nchiniJeshi hilolimekuwa likiendeshwa kibabe pasipokujali haki za binadamuInachukizak u o n a p o l i s i w a n a k u r u p u k akumkama ta mtu yeyo t e yu l ewanapojisikia lakini wanakuwawagumu kuchukua hatua dhidi yaw a b a k a u c h u m i w a n a o t e n d auhalifumkubwa kwa taifa kuliko raiawema hao wasio na hatia Kadhalikajeshi hilo limekuwa halinaheshima yoyote kwa wanasiasa nawanachama wa vyama vya upinzaniambapo polisi wanawakamata ovyoovyoWito wa tovuti hii ni kwawanaokamatwa kufungua kesi zam a d a i w a n a p o a c h i w a b i l akufunguliwa mashtakaTkuwaachawahuni hawa waliokabidhiwa jukumula usalama kwa raia lakini badalayake wanapelekea adha kwa raiawasio na hatia tutaishia kujilaumuhuko mbeleni Violence begetsviolencewananchi watafika mahalawakaamua liwalo na liwe na haopolisi waonevu hawatakuwa salama Ubabe sio ufumbuzi wa matatizokwani kama tumeshuhudia tawalakadhaa za k ibabe z ik iondokam a d a r a k a n i p a l e w a n a n c h iwanapoamua kuwa imetoshaenoughis enoughSoma habari ifuatayo nautaelewa ninacholalamikia hapa Polisi wadaiwa kupora maiti TarimeTuesday 24 May 2011 2244 W A D A I W A K U V A M I AMOCHWARI USIKU WABUNGEC H A D E M A W A T U P W AR U M A N D E W a a n d i s h i W e t uPOLISI Kanda Maalumu ya Tarimewanadaiwa kuvamia chumba chakuhifadhia maiti katika Hospitali yaWilaya ya Tarime Mara kuchukuamaiti za watu wanne waliouawakatika tukio la uvamizi wa Mgodi waNyamongo na kuziweka chini yaulinziHabari zilizolifikia gazeti hilijana zimeeleza kuwa tukio hilolilikwenda sambamba na kukamatwakwa watu 12 wakiwemo wabungewawili wa Chama cha Demokrasia naMaendeleo (Chadema) Waliokamatwa katika tukio hilo niMbunge wa Singida MasharikiTundu Lissu na Mbunge wa VitiMaalumu Ester Matiko Wengine nikada wa Chadema Waitara Mwita nawakazi wengine sita wa Tarime

ambao majina yao hayakupatikanamara moja Chanzo kimoja cha habari kilisemajana kwamba watu hao walikamatwamajira ya saa 323 juzi usiku baada yapolisi kupiga mabomu ya machozieneo la chumba cha kuhifadhia maitikuwatawanya watu waliojitokezakuzuia polisi kuchukua miili yamarehemu usiku huo Taarifa zilisema kuwa mbali na watuhao kukamatwa juzi jana majira yasaa 430 asubuhi waandishi wa habariw a t a t u A n t h o n y M a y u n g a(Mwananchi) Beldina Nyakeke (TheCitizen) na Anna Mroso (Nipashe)walikamatwa Waandishi hao walikamatwa jana nambunge huyo wa viti maalumu waC h a d e m a k a t i k a K i j i j i c h aNyakunguru na kuhojiwa kwa mudakatika Kituo cha Polisi Nyamwagakabla ya kupelekwa kwa Kamandawa Operesheni Maalumu PaulC h a g o n j a W a l i a c h i w a k w akujidhamini wenyewe saa 930 jioni Hata hivyo Mkuu wa Jeshi la Polisin c h i n i ( I G P ) S a i d M w e m aalipotafutwa kuzungumzia suala hilosimu yake ya mkononi ilipokewa namsaidizi wake ambaye alisemaanayeweza kulitolea ufafanuzi nimsemaji wa jeshi hilo Advera Senso Senso alipotafutwa naye alisemahawezi kulizungumzia akimtupiampira Kamanda wa Polisi KandaMaalumu Tarime Constant ineMassawe Hata hivyo Massawe alikanushamadai hayo ya kupora maiti akisemakwamba walipata taarifa kutoka kwandugu wa marehemu kwamba kunab a a d h i y a w a t u w a l i o k u w a

wakiwazuia kuchukua miili ya nduguzaoJana baada ya kufanyika uchunguzikama walivyotaka miili yote ilikuwachini ya familia Sasa uamuzi wakuzika ulikuwa juu yao lakini majiraya saa mbili usiku tulipata taarifakuwa kuna watu wako mochwariwamezuia ndugu wanaotaka kuzikawasichukue miili ya jamaa zaoalisema Kamanda Massawe nakuongezaTulipofika tulikuta wapo watuwanane wanne walikuwa ni wakaziwa Singida na wengine wannewakiwa ni wakazi wa TarimeTuliwakamata na kusimamia ulinziwa ndugu waliotaka kuchukua miiliya jamaa zao wakachukua Alisema baada ya mii l i hiyokuchukuliwa polisi ililitoa msaadawa kuwasafirishia ndugu hao hadimajumbani kwao na walikuwawanaishusha kadri walivyokuwawameambiwa na ndugu haolsquoSasa asubuhi hii (jana) tumeelezwakuwa kuna kundi la watu wenginelilikuwa likipita nyumba hadi nyumbakuwahamasisha wafiwa kutokubalikuzika maiti za ndugu zao baada yakufuatilia tuliwakamata na hawawaandishi wakiwa wanapiga pichajeneza alisema Kamanda Massawe Awali Katibu wa Chadema TarimeMjini Paschal Warioba alidai kuwapolisi walipora maiti hizo na kwambav i o n g o z i w a c h a m a c h a k ewalikamatwa juzi usiku majira ya saanneLissu yuko lockup (rumande) hapaNyamongo walikuwa wakifuatiliamaiti za watu waliouawa katikavurugu mgodini ili leo (jana) ziende

kuzikwa lakini kabla ya kufanikishazoez i h i lo jana ( juz i ) po l i s iw a l i z i p o r a m a i t i h i z o k w akuwadanganya baadhi ya ndugu kwakuwapa fedha ili waende kuzizikaalisema Warioba alidai kuwa baadhi ya maititayari wamezikwa lakini wenginewameonekana katika maeneo karibuna walipokuwa wakiishi Juzi alasiri maiti hao walifanyiwauchunguzi wa mwisho tayari kwa ajiliya maandalizi ya mazishi yaliyokuwayamepangwa kufanyika jana chini yauratibu wa Chadema kabla ya vurugukubwa kuibuka katika chumba chamaiti baada ya polisi kufika na kukutaumati wa watu uliokuwa tayariumekusanyika kuanzia saa 130 jioniili kuchukua miili hiyo kwa ajili yamazishi yaliyokuwa yamepangwakufanyika leo Hata hivyo Chadema kinadaikwamba baadhi ya ndugu wa wafiwawaliona maofisa wa polisi wakinunuamajeneza manne na kuyapakia katikagari lao kabla ya kufika hospitalihapo kuchukua miili hiyo Kutokana na taarifa hiyo LissuWaitara na makada wengine waChadema wakiwa na wananchiwengine waliamua kufika katika eneola mochwari na muda mfupi baadayeidadi ya watu iliongezeka kwa lengola kuzuia Polisi kubeba miili hiyoWakati tukio hilo hapo mochwaripolisi walifika majira ya saa mbiliusiku na kukuta timu kubwa ya watuambao walikuwa wamejitolea kulindamaiti hao wasichukuliwe alisemamkazi wa Tarime aliyejitambilisha

WAANDISHI page 12

4 FeedJournal Basic

MAHOJIANOcontinued from page 2

critical thinkingwanachoita thinkingabout thinking Ni nini imekuwamkakati wako kwa ajili ya kujengakujulikana kwa mwenyewe na blogyako Binafsi sipendi kujulikanaMimi ni mtu down-to-earth sanaNingependa zaidi maandiko yanguyaeleweke na pengine kufanyiwa kazikuliko mimi binafsi au blogu yangukujulikana Na kama kujulikanabasimakala zangu magazetini zingewezakufanya kazi hiyo kwa ufanisizaidilakini hiyo sio priority yanguk a b i s a K i l a m t u a n a p o s tanayoipenda au anayoichukia Jewewe ni post ipi unaipenda sana nakwanini Na ni post ipi unaichukiasana na kwanini Binafsi naaminikatika kupenda kila ninachokifanyaNapenda kazi zangu Maana kamam i e m h u s i k a n i s i p o p e n d aninachofanya nitarajie nini kutokakwa jamii Lakini kwa minajili yakujibu swlai lakopost iliyogusa hisiaz a w e n g i n i h i i h t t p wwwchahalicom201009chaguo-la-mungu-mafanikio-ya-kikwetehtmlNiliandika post hi i wakati wakampeni za Uchaguzina moja yamambo ya kupigiwa mstari nikwamba ilinukuliwa na aliyekuwamgombea ura is kwa t iket i yaChadema Dokta Willibroad Slaak a t i k a u k u r a s a w a k e w aFacebookSijawahi kuchukia postyoyote niliyoandika kwa vile siaminikwamba kuchukia kitu ni njia bora yakukirekebishaBadala ya kuandikakiitu kisha nikakichukiamie nakwepakabisa kuandika kitu cha aina hiyo Jeni bloggers wapi ambao weweunawaangalia na kufuata nyayo zaoNa kwanini Kuna bloga gwijianaitwa Ndesanjo Macha Huyundiye aliyenifundisha kublogu japo sikama tuliwasiliana Nilitembeleablogu yake nikafuata maelekezoyake ya namna ya kuanzisha bloguna hatimaye Kulikoni ughaibuniikazaliwa Blogger mwingine nim w a n a h a r a k a t i m w e n z a n g u Mwalimu Nkwazi Mhango waCanada (ambaye pia huandika makalamagazetini kwa jina la MpayukajiMsemaovyo) Kufuata nyayo wellmie sio mfuasi Si kwamba ni mbishikufuata walionitangulia bali naaminikatika kufuata njia sahihi Kwahiyolabda niseme nafuata nyayo zauandishi wa blogu katika namnainavyostahili badala ya kufata nyayoza mtuYou never know unawezakufuata nyayo zikakupeleka porini(Irsquom just kidding) Huwezi aminilakini kila siku ninajitahidi kupitiatakriban kila blogu ya Watanzaniawenzangu kupitia Google Readerkwenye kompyuta au kwenye simuyangu Nathamini kila kazi ya blogawenzangu japo nitakuwa sitendi hakinisipowataja watu kama Michuzi ldquoM k u b w a n a M d o g o rdquo S u b i Maprofesa Mbele na Masangu HakiNgowi Abdallah Mrisho MubelwaJestina George Dinahicious nawadogo zangu DjChoka Sarah(Angalia Bongo) na Faith CharlesHillary (Candy1) na wengineo(kutowataja haimaanishi kuwa

siwathamini) Pia nathamini sana kaziiliyotukuka ya Maxence Melo waJamii Forums Hebu tuambie ni watugani umewahi kukutana nao wakatiukisughulikia post za kuweka kwenyeblog yako Kukutana na watuphysically hapana Hilo halijatokeabado Kukutana na watu throughmtandao hao ni wengi Kamanilivyobainisha awali moja ya faidaya kublogu ni kufahamiana na watumbalimbali Nimetengeneza marafikikadhaa (na maadui pia) kupitia faniya kublogu Je unafikiria kuwaunadaiwa na mtu akiyeacha comments kwenye blog yako Deni kubwa nipale mtu anapoacha ushauri ambaponalazimika kuufanyia kazi Denijinginie ni uvumilivu pale mtuanapoamua kuacha comment kwalugha ya matusi Inataka moyokumezea kashfa au matusi lakini Irsquomnot just a grown up kid but thick-skinned too Je kunadhamani kujibucomment iliyoachwa kwenye blogyako wakati ukijua kuwa huyoaliyeiandika labda hatarudi kusomajibu lake tena Huwezi jualabdaatarudiWanasema bora uaminiMungu yupo ili ukifa na kukutahayupo yoursquoll have nothing tolose Imag ine unakufa waka t ihukuamini existence ya Mungu thenunafika huko waendapo wafu nakukutana naye mlangoniNi salamakuamini kuwa anayeacha commentatarejeana inapendeza kwa msomajikuona umethamini comment yake nakuijibu (kama inastahili kujibiwa) Jeumewahi kufikiria kuacha kupostcomment ambayo iko negative kwakona ukijua hamna mtu atakayejuaHilo hutokea mara kadhaaKunawaungwana flani tulipishana lughasiku za nyuma wanapenda kunitumiacomments zisizostahili kuchapishwabloguni Heymy blog is like myhomeand I reserve the right towelcome or deny someone kuingiahumo Lugha chafu haina nafasikabisa katika blogu yangu Jeunazitreat tofauti au unafikiri watuwanaoacha comment kwenye blogy a k o n a k u a c h a m a j i n a y a oyaonekane wazi wanastaili commentszao kujibiwa au hata kuacknowledgekuwa umeona maoni yao Mie nimuumini mkubwa wa uhuruMsomajiana uhuru wa kuandika jina lakeanapoacha comment au kubakianonymousCha muhimu kwangu siojina la mtoa comment bali umuhimuwa comment yakeMara nyinginapenda kutoingi l ia uhuru wawasomaji kuacha comments zaobloguni kwanguKwahiyo napendeleazaidi kutochangia comments unlesskuwe na umuhimu wa kufanya hivyoJe unafikiria ni makosa kucommentkwenye blog yako kwa kutumia jinalingine Kama una jina lako halisi nacomment unayotoa ni yako binafsisioni umuhimu wa kutumia jina lamtu mwingine Hilo ni kosa kisheriaIthink the word for that is identityfraud Lakini si kosa kutumianickname au kutotumia jina kabisakwa maana ya kubaki anonymous Jeunazichukulia comments zote sawa

unazotumiwa kwenye blog yako bilakujali maoni uliachwa Kwa hakikaninaheshimu comments zoteexceptzinazochafua hewa ie za matusikashfa nkKwa vile uandishi wanguumetawaliwa zaidi na kukosoakamwe sichukizwi na mie mwenyewekukosolewa Naamini kujifunzakutokana na constructive criticismJe unaamini comments kwenye blogyako zilizoandikwa kwa urefu sanazinahitaji kuzawadiwa zaidi kulikozile zilizoandikwa kwa ufupi tuInategemea kama urefu huo wacomment unaendana na uzito wakilichomo Comment ya mstarimmoja iliyojaa mantiki ni muhimuzaidi kuliko comment ya nusuu k u r a s a a u u k u r a s a m z i m ailiyosheheni ldquohewa tupurdquoLakinikimsingi ninazi-treat comment zotekwa uzito unaostahili Je wewe nimtu ambaye uko rahisi kukata tamaaHapana Kukata tamaa is only forl o s e r s M a i s h a n imapambanoVikwazo katika maishani sehemu muhimu ya maisha nawakat i mwingine vinatusaidiakujipanga upya Hakuna mahalakatika cheti cha kuzaliwa chamwanadamu palipoandikwa kuwa lifewill treat you fairly By the waykukata tamaa hakujawi kumsaidiamwanadamu yeyote kufikia malengoyake Kuna tofauti kati ya kukatatamaa na kuachana na jambo Kamamtu anaona hawezi kitu flani basi nivema akaachana nacho kul ikokupoteza muda kisha kukata tamaa nakuishia kuachana nacho mbeleni Kilasekunde n i sawa na muuj izausiojirudia maishani So itrsquos now ornever Je unaedit picha zako iliziwavutie sana wasomaji Kama ku-edit kwa minajili ya zionekane kwaufasaha jibu ni yes Lakini kamaediting kwa minajili ya kupachikakichwa cha mwarabu kwenye mwiliwa mswahili hapana Mie ninaallergy na photoshopping hususankwenye uwasilishaji habari kwaumma Je unaepuka kuweka postambazo ziko very controversykwasababu ya kuogopa wa tuhawatakubaliana na wewe au hunahizo post Bahati nzuri mimi siomwoga Nilisoma Tabora Boys HighSchool enzi hizo ikiwa ni mchepuowa kieshi nilipomaliza nikaendajeshini mwaka mzima kwa mujibu washeria Na baadaye nikapita maeneoflani ya ldquonusu-jeshirdquo (paramilitary)Uzoefu huo umeondoa kabisa kitukinachoitwa uoga Kwa upandemwingine kama mwanafunzi wazamani wa sosholojia natambuakuwa hakuna kitu kinachowezakuafikiwa na wote Kadhalikanatambua umuhimu na uwepo wamitizamo tofauti Kwahiyo kabla yakuandika chochote kile blogunikwangu huwa natafakari kwa makinikwa kutumia mizani hizo sambambana uzoefu wangu binafsi Je unajisikiavizuri zaidi ukiweka post kwenyeblog yako na ukapata maoni ya watuzaidi ya 20 au ukipata maoni ya mtummoja mashuhuri tu Kwanguoneuseful comment is more important

than 100 worthless comments Ofcourse inapendeza kuona watuwakichangia topic flani lakini what ifmichango yenyewe ni kwa minajili yakuandika tu Nina tabia ya ku-trackwanaotembelea blogu yangu kwak u t u m i a n j i a m b a l i m b a l izinazopatikana kwa bloggers Nam a r a k a d h a a n i n a o n a w a t uwanaotumia muda mwingi tu kwenyeblogu yangu lak in i hawaachicomment Hilo sio tatizo kwaniangalau kuna mtu amesoma nahuenda akafanyia kazi alichokisomaJe unasema b log yako kuwainamafanikio iwapo unapata watuwengi wa kusoma au unapata watuwengi wakuacha comment kwenyeblog yako Kwangu mafanikio yablogu sio idadi ya watu wanaoachacomment au kuitembeleaMafanikioni pale ninachoandika kinapochangiajambo flani kwenye jamii Kama mtummoja atatembelea blogu na kuonakitu cha maana kisha kafanyia kazikwa manufaa ya jamii hayo nim a f a n i k i o m a k u b w a k u l i k okutembelewa na watu milioni mojawanaopita bloguni ldquokuosha machordquoJe blog yako unatumia jina lakokamili au unablog kwa kutumia kivulikingine na watu wanasoma nakuenjoy blog yako lakini hawajuiwewe ni nani Ninatumia jina langukamili la Evarist Chahali Tatizo nikwamba nina majina mawili moja ldquolakiofisirdquo (official) na jingine ldquolamtaanirdquo Unajua katika baadhi yamila unapozaliwa unapewa jina lakuzaliwa na kisha unabatizwa (kwasie Wakristo) Sasa kwa niliokutanan a o m a s o m o n i a u k a z i n iwananifahamu zaidi kwa jina laEvarist lakini kwa marafiki wamtaani wananifahamu zaidi kwa jinala Jimmy Sasa inatokea baadhi yahao marafiki zangu wa mtaanikuhangaika kufahamu kuwa Evaristwa Kulikoni Ughaibuni ndiyehuyohuyo J immy wa mtaan i Anyway sichoki kuwaelimisha nataratibu tatizo hilo linazidi kupunguaZamani hizo niliwahi kuandikamakala kwenye magazeti ldquoya udakurdquoya Sanifu Kasheshe na KomeshaHuko nilianzisha safu ya nyota(unajimu ldquowa kizushirdquo) na nilikuwanatumia jina bandia la ldquoUstaadhBongerdquo Mpaka leo baadhi yam a r a f i k i z a n g u w a c h a c h ewanaendelea kutumia jina hilo lautani Lakini kwa sasa natumia jinalangu kamil i na hal is i kat ikamaandiko yangu yote Ni nini baadhiya malengo yako ya mwaka huu kwaajili ya blogu yako au unaonajemwenyeew kwa kipindi cha mwakammoja ua mitano toka sasa hivi blogya itakuaje Kama nilivyojibu hapoawali malengo ya muda mfupi nikuwa na tovuti kamili ya habari namalengo ya muda mrefu ni kuwa nataasisi kamili ya habarisambamba nauanzishwaji wa think tank Hadikufikia mwishoni mwa mwaka huuninataraji blogu yangu itakuwa tovutikamili Je upi ujumbe wako kwa wale

MAHOJIANO page 12

5FeedJournal Basic

Sporah Shows Exclusive Interview withSupermodel Miriam Odembaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 622011 114900 AM

I AM ADDICTED TO FACEBOOKAND THE SPORAH SHOWMIRIAM ODEMBA Miriam Odemba (from ArushaTanzania) is Miss Tanzania Earth2008 and Miss Earth Air 2008 (1strunner up) Miriam Odemba is a Tanzaniamodel She is one of the best modelsfrom Tanzania where she started hermodeling career at an early age andemerged into the limelight in 1997when she won the Miss Temeke titleThe following year she took part inthe Miss East Africa beauty pageantand finished second At 13 her life was tough and herparents had to move to their uncleShe always wondered what life wasall about then As she grew older sheperceived Godrsquos message of love andstarted appreciating everythingaround her especially the natureGodrsquos greatest gift to not only to herbut to all of us MISS EARTH 2008 In the final competition of the eighthedition of the international beautypageant Miss Earth Odemba wasannounced as one of sixteen semi-finalists who would move forward tocompete for the title She achievedone of the eight highest scores in theswimsuit competition for her stagechops which advanced her as one ofthe top eight finalists to participate inthe evening gown competition Shethen pulled away for the lead as shearticulated in her video interviewabout environmental concerns as akey issue in her country in which sheadvanced to the top four In the last round the court of fourwere asked one question ldquoWhatwould you tell US President about thestate of the global environment if everyou were to meet himrdquo She placedthe second highest score in theinterview round and at the conclusionof the competition she was crownedMiss Earth Air Talking to Miriam Odemba is apassion as she has a lot to say aboutherself her career and definitely tothe young women out there iMag How does getting marriedfeel MO I am not yet married I amengaged to a wonderful man and I amlooking forward to our wedding day MIRIAM AND HER FIANCELAURANCE How did you and Laurent meet MO I met Laurent whilst travellingin Hong Kong iMag What do you love most aboutbeing a mommy MO Being a mother has made memore responsible It is hard work butI believe that a mother is the engine

of the family I am much happier as amother and am really enjoyingmotherhood iMag How do you descr ibeyourself a house wife a model or abusiness woman and why MO I think I am all three becausethey are all differenct aspects of mylife I am first and foremost a motherand a housewife I will never stopbeing a model and I also enjoy beinga business woman iMag Whatrsquos the most romanticthing Laurent ever done for you MO Laurent is french and as youknow they are extremely romantic soI couldnt choose just one thing but Iwill say that I am the happiest womanin the planet right now iMag What do you think of todaysyoung mothers MO Mothers today are s t i l lfashionable We can be great mothersas well as beautiful wives It doesnthave to be one or the other It iswonderful to be a mother to bringanother human being into this worldIt is truly a blessing iMag What is your biggest fearabout being a Mommy MO I was afraid of the birthingprocess but because of my renewedfaith in God I found peace Dont beafraid to become a mother It is awonderful gift from God MIRIAM WITH HER BEAUTIFULDAUGHTER IRIS iMag Have you ever thought youcouldnt cope with a child and why MO I never felt that way asbecoming a mother has strengthenedme and made me feel completeMotherhood has not slowed me downat all I think that as women we arecreated to have children and if weembrace itit is an awesome thing iMag What bothers you most aboutyour career now after having a child MO Most women are afraid ofchangethey are afraid of changingjobs they dont like or changingboyfriends that they cant stand Youneed to know your worth The dayyou settle for less is the day you willget less I say - embrace changebecause you never know what liesaround the corner iMag Some young girls in Tanzanianow have negative attitude towardsTanzanian men Its like girls want tobe like Miriam Odemba and marry a white rich guy What do you thinkabout this MO Everyone is different and hasdifferent tastes I love Laurent somuch and it doesnt matter to me thathe is white Love doesnt knowcolour We all have our choices in lifethat we have to make I would simplysay that you have to live your life inthe way that is right for you Dont tryto be like anyone else Live YOURlife iMag Miriam You skin is flawlesshow do u maintain it

MO I use natura l products Everyone can have great skin if theytake care of it Make sure you protectyour skin well My brother JeremiahKagose has amazing skin So smoothand lovely He is also a forever livingagent so check him out for greatproducts people ) iMag Did anyone in the modelingindustry ask you to change your look MO No and I will never change mylook I love and I do enjoy being me iMaga Beauty products You can notdo without MO Skin Oil by clarins It helpshydrate my skin iMag What is the best beauty adviceu know of MO Stay natural and be true toyourself all the time Dont spoil yourskin by using bleaching products You willregret it later if you do iMag Miriam you had 90kilosduring your pregnacy please sharewith us how did you manage to dropall those Kilos within such a shortperiod of time MO The sky is the limiteverythingis possible in life its all in our handsWe have be focused and to put ineffort to get what we want in life Idefinately struggled with self esteemand body image issues I was incredibly overweight so I hada plan to lose weight and I stuck to itI prayed to God for strength and keptpushing myself If you have hope andtrust in God everything is possibleDont get me wrong I do believe thatpeople are beautiful no matter whattheir size is but I had to slim downbecause of my chosen career pathThe dukan diet helped me a lot MIRIAM ODEMBA WITH HERKILLER LEGS iMag You have a great bodyfantastic legs how do you stay inshape M O R u n n i n gswimmingwalkingdancing andaerobics I drink a lot of hot waterand eat lots of vegetables and fruitsall the time No white stuff like whitericebreadcerealpotatoes pasta and

fried food If you avoid eatinganything made with white flour youllbe safe iMag What is your definition ofsuccess MO Achieving your goals I believethat confidence is the key to successHave a goal a vision Qualities suchas fearlessness creativity disciplineand passion are vital elements tosucess Small opportunities can leadto many big opportunities in life iMag Do you think you haveachieved that MO Yes I have acheived manygoals I have set for myself but I havestill have many more things that Iwould like to achieve for example Iwant to one day have my own airlinecompany Lets never stop dreamingpeople iMag What one thing havent youdone you would still like to MO I would like to do something tohelp street children in the world bystarting with East Africa I believe allchildren have the right to educationand I would like to be a part of that iMag Tell me something people donot realize about you maybe its not asecret maybe it s not anythingspecial but it could be something noone else has ever asked you aboutuntil now MO I am addicted to facebook andthe Sporah show iMag OW Thank you iMag What bothers you most aboutmarriages of today MO These days couples seem to getbored of each other quicker Likethese celebrities people no longertake their vows seriously insickness and in health men neverput the toilet sit down after using thetoiletI think you get what I meanSome people forget manners onceyou have been married to them toolong iMag If you could change one thingsabout the world what would it be MO Its only God who can changeanything however I can try to help asmany people as I can along the way Ican do something small and free likesmiling at people or asking them how theirday has been It can make a hugedifference I may not be able tochange the world but maybe I canchange someones world iMag What makes you laugh MO Iris brings so much joy to myheart Laurent (my fiance) is alsovery funny and he makes me laugh alot THE BEAUTIFUL MIRIAMODEMBA iMag On money matters do youpersonally invest MO Yes I have a Shop in TanzaniaHOUSE OF FASHION HOUSE OF FASHION Greatly

SPORAH page 19

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

3FeedJournal Basic

Waandishi wa Habari Wakamatwa na Polisi kwaKupiga Picha jeneza Tarimeby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5242011 71700 PM

Askari wa Kikosi cha KuzuwiaGhasia (FFU) wakiwa tayari kuvunjah a k i z a b i n a d a m u n c h i n iTanzaniaPicha hii haihusiani nahabari ifuatayo Tanzania yetu inaelekea wapiTangulini kupiga picha jeneza imekuwakosa linalopelekea polisi kukamatawaandishi wa habari waliopiga pichamajeneza Kwa kweli Jeshi la Polisi linafanyakila jitihada kuhakikisha amani nautulivu vinaondoka nchiniJeshi hilolimekuwa likiendeshwa kibabe pasipokujali haki za binadamuInachukizak u o n a p o l i s i w a n a k u r u p u k akumkama ta mtu yeyo t e yu l ewanapojisikia lakini wanakuwawagumu kuchukua hatua dhidi yaw a b a k a u c h u m i w a n a o t e n d auhalifumkubwa kwa taifa kuliko raiawema hao wasio na hatia Kadhalikajeshi hilo limekuwa halinaheshima yoyote kwa wanasiasa nawanachama wa vyama vya upinzaniambapo polisi wanawakamata ovyoovyoWito wa tovuti hii ni kwawanaokamatwa kufungua kesi zam a d a i w a n a p o a c h i w a b i l akufunguliwa mashtakaTkuwaachawahuni hawa waliokabidhiwa jukumula usalama kwa raia lakini badalayake wanapelekea adha kwa raiawasio na hatia tutaishia kujilaumuhuko mbeleni Violence begetsviolencewananchi watafika mahalawakaamua liwalo na liwe na haopolisi waonevu hawatakuwa salama Ubabe sio ufumbuzi wa matatizokwani kama tumeshuhudia tawalakadhaa za k ibabe z ik iondokam a d a r a k a n i p a l e w a n a n c h iwanapoamua kuwa imetoshaenoughis enoughSoma habari ifuatayo nautaelewa ninacholalamikia hapa Polisi wadaiwa kupora maiti TarimeTuesday 24 May 2011 2244 W A D A I W A K U V A M I AMOCHWARI USIKU WABUNGEC H A D E M A W A T U P W AR U M A N D E W a a n d i s h i W e t uPOLISI Kanda Maalumu ya Tarimewanadaiwa kuvamia chumba chakuhifadhia maiti katika Hospitali yaWilaya ya Tarime Mara kuchukuamaiti za watu wanne waliouawakatika tukio la uvamizi wa Mgodi waNyamongo na kuziweka chini yaulinziHabari zilizolifikia gazeti hilijana zimeeleza kuwa tukio hilolilikwenda sambamba na kukamatwakwa watu 12 wakiwemo wabungewawili wa Chama cha Demokrasia naMaendeleo (Chadema) Waliokamatwa katika tukio hilo niMbunge wa Singida MasharikiTundu Lissu na Mbunge wa VitiMaalumu Ester Matiko Wengine nikada wa Chadema Waitara Mwita nawakazi wengine sita wa Tarime

ambao majina yao hayakupatikanamara moja Chanzo kimoja cha habari kilisemajana kwamba watu hao walikamatwamajira ya saa 323 juzi usiku baada yapolisi kupiga mabomu ya machozieneo la chumba cha kuhifadhia maitikuwatawanya watu waliojitokezakuzuia polisi kuchukua miili yamarehemu usiku huo Taarifa zilisema kuwa mbali na watuhao kukamatwa juzi jana majira yasaa 430 asubuhi waandishi wa habariw a t a t u A n t h o n y M a y u n g a(Mwananchi) Beldina Nyakeke (TheCitizen) na Anna Mroso (Nipashe)walikamatwa Waandishi hao walikamatwa jana nambunge huyo wa viti maalumu waC h a d e m a k a t i k a K i j i j i c h aNyakunguru na kuhojiwa kwa mudakatika Kituo cha Polisi Nyamwagakabla ya kupelekwa kwa Kamandawa Operesheni Maalumu PaulC h a g o n j a W a l i a c h i w a k w akujidhamini wenyewe saa 930 jioni Hata hivyo Mkuu wa Jeshi la Polisin c h i n i ( I G P ) S a i d M w e m aalipotafutwa kuzungumzia suala hilosimu yake ya mkononi ilipokewa namsaidizi wake ambaye alisemaanayeweza kulitolea ufafanuzi nimsemaji wa jeshi hilo Advera Senso Senso alipotafutwa naye alisemahawezi kulizungumzia akimtupiampira Kamanda wa Polisi KandaMaalumu Tarime Constant ineMassawe Hata hivyo Massawe alikanushamadai hayo ya kupora maiti akisemakwamba walipata taarifa kutoka kwandugu wa marehemu kwamba kunab a a d h i y a w a t u w a l i o k u w a

wakiwazuia kuchukua miili ya nduguzaoJana baada ya kufanyika uchunguzikama walivyotaka miili yote ilikuwachini ya familia Sasa uamuzi wakuzika ulikuwa juu yao lakini majiraya saa mbili usiku tulipata taarifakuwa kuna watu wako mochwariwamezuia ndugu wanaotaka kuzikawasichukue miili ya jamaa zaoalisema Kamanda Massawe nakuongezaTulipofika tulikuta wapo watuwanane wanne walikuwa ni wakaziwa Singida na wengine wannewakiwa ni wakazi wa TarimeTuliwakamata na kusimamia ulinziwa ndugu waliotaka kuchukua miiliya jamaa zao wakachukua Alisema baada ya mii l i hiyokuchukuliwa polisi ililitoa msaadawa kuwasafirishia ndugu hao hadimajumbani kwao na walikuwawanaishusha kadri walivyokuwawameambiwa na ndugu haolsquoSasa asubuhi hii (jana) tumeelezwakuwa kuna kundi la watu wenginelilikuwa likipita nyumba hadi nyumbakuwahamasisha wafiwa kutokubalikuzika maiti za ndugu zao baada yakufuatilia tuliwakamata na hawawaandishi wakiwa wanapiga pichajeneza alisema Kamanda Massawe Awali Katibu wa Chadema TarimeMjini Paschal Warioba alidai kuwapolisi walipora maiti hizo na kwambav i o n g o z i w a c h a m a c h a k ewalikamatwa juzi usiku majira ya saanneLissu yuko lockup (rumande) hapaNyamongo walikuwa wakifuatiliamaiti za watu waliouawa katikavurugu mgodini ili leo (jana) ziende

kuzikwa lakini kabla ya kufanikishazoez i h i lo jana ( juz i ) po l i s iw a l i z i p o r a m a i t i h i z o k w akuwadanganya baadhi ya ndugu kwakuwapa fedha ili waende kuzizikaalisema Warioba alidai kuwa baadhi ya maititayari wamezikwa lakini wenginewameonekana katika maeneo karibuna walipokuwa wakiishi Juzi alasiri maiti hao walifanyiwauchunguzi wa mwisho tayari kwa ajiliya maandalizi ya mazishi yaliyokuwayamepangwa kufanyika jana chini yauratibu wa Chadema kabla ya vurugukubwa kuibuka katika chumba chamaiti baada ya polisi kufika na kukutaumati wa watu uliokuwa tayariumekusanyika kuanzia saa 130 jioniili kuchukua miili hiyo kwa ajili yamazishi yaliyokuwa yamepangwakufanyika leo Hata hivyo Chadema kinadaikwamba baadhi ya ndugu wa wafiwawaliona maofisa wa polisi wakinunuamajeneza manne na kuyapakia katikagari lao kabla ya kufika hospitalihapo kuchukua miili hiyo Kutokana na taarifa hiyo LissuWaitara na makada wengine waChadema wakiwa na wananchiwengine waliamua kufika katika eneola mochwari na muda mfupi baadayeidadi ya watu iliongezeka kwa lengola kuzuia Polisi kubeba miili hiyoWakati tukio hilo hapo mochwaripolisi walifika majira ya saa mbiliusiku na kukuta timu kubwa ya watuambao walikuwa wamejitolea kulindamaiti hao wasichukuliwe alisemamkazi wa Tarime aliyejitambilisha

WAANDISHI page 12

4 FeedJournal Basic

MAHOJIANOcontinued from page 2

critical thinkingwanachoita thinkingabout thinking Ni nini imekuwamkakati wako kwa ajili ya kujengakujulikana kwa mwenyewe na blogyako Binafsi sipendi kujulikanaMimi ni mtu down-to-earth sanaNingependa zaidi maandiko yanguyaeleweke na pengine kufanyiwa kazikuliko mimi binafsi au blogu yangukujulikana Na kama kujulikanabasimakala zangu magazetini zingewezakufanya kazi hiyo kwa ufanisizaidilakini hiyo sio priority yanguk a b i s a K i l a m t u a n a p o s tanayoipenda au anayoichukia Jewewe ni post ipi unaipenda sana nakwanini Na ni post ipi unaichukiasana na kwanini Binafsi naaminikatika kupenda kila ninachokifanyaNapenda kazi zangu Maana kamam i e m h u s i k a n i s i p o p e n d aninachofanya nitarajie nini kutokakwa jamii Lakini kwa minajili yakujibu swlai lakopost iliyogusa hisiaz a w e n g i n i h i i h t t p wwwchahalicom201009chaguo-la-mungu-mafanikio-ya-kikwetehtmlNiliandika post hi i wakati wakampeni za Uchaguzina moja yamambo ya kupigiwa mstari nikwamba ilinukuliwa na aliyekuwamgombea ura is kwa t iket i yaChadema Dokta Willibroad Slaak a t i k a u k u r a s a w a k e w aFacebookSijawahi kuchukia postyoyote niliyoandika kwa vile siaminikwamba kuchukia kitu ni njia bora yakukirekebishaBadala ya kuandikakiitu kisha nikakichukiamie nakwepakabisa kuandika kitu cha aina hiyo Jeni bloggers wapi ambao weweunawaangalia na kufuata nyayo zaoNa kwanini Kuna bloga gwijianaitwa Ndesanjo Macha Huyundiye aliyenifundisha kublogu japo sikama tuliwasiliana Nilitembeleablogu yake nikafuata maelekezoyake ya namna ya kuanzisha bloguna hatimaye Kulikoni ughaibuniikazaliwa Blogger mwingine nim w a n a h a r a k a t i m w e n z a n g u Mwalimu Nkwazi Mhango waCanada (ambaye pia huandika makalamagazetini kwa jina la MpayukajiMsemaovyo) Kufuata nyayo wellmie sio mfuasi Si kwamba ni mbishikufuata walionitangulia bali naaminikatika kufuata njia sahihi Kwahiyolabda niseme nafuata nyayo zauandishi wa blogu katika namnainavyostahili badala ya kufata nyayoza mtuYou never know unawezakufuata nyayo zikakupeleka porini(Irsquom just kidding) Huwezi aminilakini kila siku ninajitahidi kupitiatakriban kila blogu ya Watanzaniawenzangu kupitia Google Readerkwenye kompyuta au kwenye simuyangu Nathamini kila kazi ya blogawenzangu japo nitakuwa sitendi hakinisipowataja watu kama Michuzi ldquoM k u b w a n a M d o g o rdquo S u b i Maprofesa Mbele na Masangu HakiNgowi Abdallah Mrisho MubelwaJestina George Dinahicious nawadogo zangu DjChoka Sarah(Angalia Bongo) na Faith CharlesHillary (Candy1) na wengineo(kutowataja haimaanishi kuwa

siwathamini) Pia nathamini sana kaziiliyotukuka ya Maxence Melo waJamii Forums Hebu tuambie ni watugani umewahi kukutana nao wakatiukisughulikia post za kuweka kwenyeblog yako Kukutana na watuphysically hapana Hilo halijatokeabado Kukutana na watu throughmtandao hao ni wengi Kamanilivyobainisha awali moja ya faidaya kublogu ni kufahamiana na watumbalimbali Nimetengeneza marafikikadhaa (na maadui pia) kupitia faniya kublogu Je unafikiria kuwaunadaiwa na mtu akiyeacha comments kwenye blog yako Deni kubwa nipale mtu anapoacha ushauri ambaponalazimika kuufanyia kazi Denijinginie ni uvumilivu pale mtuanapoamua kuacha comment kwalugha ya matusi Inataka moyokumezea kashfa au matusi lakini Irsquomnot just a grown up kid but thick-skinned too Je kunadhamani kujibucomment iliyoachwa kwenye blogyako wakati ukijua kuwa huyoaliyeiandika labda hatarudi kusomajibu lake tena Huwezi jualabdaatarudiWanasema bora uaminiMungu yupo ili ukifa na kukutahayupo yoursquoll have nothing tolose Imag ine unakufa waka t ihukuamini existence ya Mungu thenunafika huko waendapo wafu nakukutana naye mlangoniNi salamakuamini kuwa anayeacha commentatarejeana inapendeza kwa msomajikuona umethamini comment yake nakuijibu (kama inastahili kujibiwa) Jeumewahi kufikiria kuacha kupostcomment ambayo iko negative kwakona ukijua hamna mtu atakayejuaHilo hutokea mara kadhaaKunawaungwana flani tulipishana lughasiku za nyuma wanapenda kunitumiacomments zisizostahili kuchapishwabloguni Heymy blog is like myhomeand I reserve the right towelcome or deny someone kuingiahumo Lugha chafu haina nafasikabisa katika blogu yangu Jeunazitreat tofauti au unafikiri watuwanaoacha comment kwenye blogy a k o n a k u a c h a m a j i n a y a oyaonekane wazi wanastaili commentszao kujibiwa au hata kuacknowledgekuwa umeona maoni yao Mie nimuumini mkubwa wa uhuruMsomajiana uhuru wa kuandika jina lakeanapoacha comment au kubakianonymousCha muhimu kwangu siojina la mtoa comment bali umuhimuwa comment yakeMara nyinginapenda kutoingi l ia uhuru wawasomaji kuacha comments zaobloguni kwanguKwahiyo napendeleazaidi kutochangia comments unlesskuwe na umuhimu wa kufanya hivyoJe unafikiria ni makosa kucommentkwenye blog yako kwa kutumia jinalingine Kama una jina lako halisi nacomment unayotoa ni yako binafsisioni umuhimu wa kutumia jina lamtu mwingine Hilo ni kosa kisheriaIthink the word for that is identityfraud Lakini si kosa kutumianickname au kutotumia jina kabisakwa maana ya kubaki anonymous Jeunazichukulia comments zote sawa

unazotumiwa kwenye blog yako bilakujali maoni uliachwa Kwa hakikaninaheshimu comments zoteexceptzinazochafua hewa ie za matusikashfa nkKwa vile uandishi wanguumetawaliwa zaidi na kukosoakamwe sichukizwi na mie mwenyewekukosolewa Naamini kujifunzakutokana na constructive criticismJe unaamini comments kwenye blogyako zilizoandikwa kwa urefu sanazinahitaji kuzawadiwa zaidi kulikozile zilizoandikwa kwa ufupi tuInategemea kama urefu huo wacomment unaendana na uzito wakilichomo Comment ya mstarimmoja iliyojaa mantiki ni muhimuzaidi kuliko comment ya nusuu k u r a s a a u u k u r a s a m z i m ailiyosheheni ldquohewa tupurdquoLakinikimsingi ninazi-treat comment zotekwa uzito unaostahili Je wewe nimtu ambaye uko rahisi kukata tamaaHapana Kukata tamaa is only forl o s e r s M a i s h a n imapambanoVikwazo katika maishani sehemu muhimu ya maisha nawakat i mwingine vinatusaidiakujipanga upya Hakuna mahalakatika cheti cha kuzaliwa chamwanadamu palipoandikwa kuwa lifewill treat you fairly By the waykukata tamaa hakujawi kumsaidiamwanadamu yeyote kufikia malengoyake Kuna tofauti kati ya kukatatamaa na kuachana na jambo Kamamtu anaona hawezi kitu flani basi nivema akaachana nacho kul ikokupoteza muda kisha kukata tamaa nakuishia kuachana nacho mbeleni Kilasekunde n i sawa na muuj izausiojirudia maishani So itrsquos now ornever Je unaedit picha zako iliziwavutie sana wasomaji Kama ku-edit kwa minajili ya zionekane kwaufasaha jibu ni yes Lakini kamaediting kwa minajili ya kupachikakichwa cha mwarabu kwenye mwiliwa mswahili hapana Mie ninaallergy na photoshopping hususankwenye uwasilishaji habari kwaumma Je unaepuka kuweka postambazo ziko very controversykwasababu ya kuogopa wa tuhawatakubaliana na wewe au hunahizo post Bahati nzuri mimi siomwoga Nilisoma Tabora Boys HighSchool enzi hizo ikiwa ni mchepuowa kieshi nilipomaliza nikaendajeshini mwaka mzima kwa mujibu washeria Na baadaye nikapita maeneoflani ya ldquonusu-jeshirdquo (paramilitary)Uzoefu huo umeondoa kabisa kitukinachoitwa uoga Kwa upandemwingine kama mwanafunzi wazamani wa sosholojia natambuakuwa hakuna kitu kinachowezakuafikiwa na wote Kadhalikanatambua umuhimu na uwepo wamitizamo tofauti Kwahiyo kabla yakuandika chochote kile blogunikwangu huwa natafakari kwa makinikwa kutumia mizani hizo sambambana uzoefu wangu binafsi Je unajisikiavizuri zaidi ukiweka post kwenyeblog yako na ukapata maoni ya watuzaidi ya 20 au ukipata maoni ya mtummoja mashuhuri tu Kwanguoneuseful comment is more important

than 100 worthless comments Ofcourse inapendeza kuona watuwakichangia topic flani lakini what ifmichango yenyewe ni kwa minajili yakuandika tu Nina tabia ya ku-trackwanaotembelea blogu yangu kwak u t u m i a n j i a m b a l i m b a l izinazopatikana kwa bloggers Nam a r a k a d h a a n i n a o n a w a t uwanaotumia muda mwingi tu kwenyeblogu yangu lak in i hawaachicomment Hilo sio tatizo kwaniangalau kuna mtu amesoma nahuenda akafanyia kazi alichokisomaJe unasema b log yako kuwainamafanikio iwapo unapata watuwengi wa kusoma au unapata watuwengi wakuacha comment kwenyeblog yako Kwangu mafanikio yablogu sio idadi ya watu wanaoachacomment au kuitembeleaMafanikioni pale ninachoandika kinapochangiajambo flani kwenye jamii Kama mtummoja atatembelea blogu na kuonakitu cha maana kisha kafanyia kazikwa manufaa ya jamii hayo nim a f a n i k i o m a k u b w a k u l i k okutembelewa na watu milioni mojawanaopita bloguni ldquokuosha machordquoJe blog yako unatumia jina lakokamili au unablog kwa kutumia kivulikingine na watu wanasoma nakuenjoy blog yako lakini hawajuiwewe ni nani Ninatumia jina langukamili la Evarist Chahali Tatizo nikwamba nina majina mawili moja ldquolakiofisirdquo (official) na jingine ldquolamtaanirdquo Unajua katika baadhi yamila unapozaliwa unapewa jina lakuzaliwa na kisha unabatizwa (kwasie Wakristo) Sasa kwa niliokutanan a o m a s o m o n i a u k a z i n iwananifahamu zaidi kwa jina laEvarist lakini kwa marafiki wamtaani wananifahamu zaidi kwa jinala Jimmy Sasa inatokea baadhi yahao marafiki zangu wa mtaanikuhangaika kufahamu kuwa Evaristwa Kulikoni Ughaibuni ndiyehuyohuyo J immy wa mtaan i Anyway sichoki kuwaelimisha nataratibu tatizo hilo linazidi kupunguaZamani hizo niliwahi kuandikamakala kwenye magazeti ldquoya udakurdquoya Sanifu Kasheshe na KomeshaHuko nilianzisha safu ya nyota(unajimu ldquowa kizushirdquo) na nilikuwanatumia jina bandia la ldquoUstaadhBongerdquo Mpaka leo baadhi yam a r a f i k i z a n g u w a c h a c h ewanaendelea kutumia jina hilo lautani Lakini kwa sasa natumia jinalangu kamil i na hal is i kat ikamaandiko yangu yote Ni nini baadhiya malengo yako ya mwaka huu kwaajili ya blogu yako au unaonajemwenyeew kwa kipindi cha mwakammoja ua mitano toka sasa hivi blogya itakuaje Kama nilivyojibu hapoawali malengo ya muda mfupi nikuwa na tovuti kamili ya habari namalengo ya muda mrefu ni kuwa nataasisi kamili ya habarisambamba nauanzishwaji wa think tank Hadikufikia mwishoni mwa mwaka huuninataraji blogu yangu itakuwa tovutikamili Je upi ujumbe wako kwa wale

MAHOJIANO page 12

5FeedJournal Basic

Sporah Shows Exclusive Interview withSupermodel Miriam Odembaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 622011 114900 AM

I AM ADDICTED TO FACEBOOKAND THE SPORAH SHOWMIRIAM ODEMBA Miriam Odemba (from ArushaTanzania) is Miss Tanzania Earth2008 and Miss Earth Air 2008 (1strunner up) Miriam Odemba is a Tanzaniamodel She is one of the best modelsfrom Tanzania where she started hermodeling career at an early age andemerged into the limelight in 1997when she won the Miss Temeke titleThe following year she took part inthe Miss East Africa beauty pageantand finished second At 13 her life was tough and herparents had to move to their uncleShe always wondered what life wasall about then As she grew older sheperceived Godrsquos message of love andstarted appreciating everythingaround her especially the natureGodrsquos greatest gift to not only to herbut to all of us MISS EARTH 2008 In the final competition of the eighthedition of the international beautypageant Miss Earth Odemba wasannounced as one of sixteen semi-finalists who would move forward tocompete for the title She achievedone of the eight highest scores in theswimsuit competition for her stagechops which advanced her as one ofthe top eight finalists to participate inthe evening gown competition Shethen pulled away for the lead as shearticulated in her video interviewabout environmental concerns as akey issue in her country in which sheadvanced to the top four In the last round the court of fourwere asked one question ldquoWhatwould you tell US President about thestate of the global environment if everyou were to meet himrdquo She placedthe second highest score in theinterview round and at the conclusionof the competition she was crownedMiss Earth Air Talking to Miriam Odemba is apassion as she has a lot to say aboutherself her career and definitely tothe young women out there iMag How does getting marriedfeel MO I am not yet married I amengaged to a wonderful man and I amlooking forward to our wedding day MIRIAM AND HER FIANCELAURANCE How did you and Laurent meet MO I met Laurent whilst travellingin Hong Kong iMag What do you love most aboutbeing a mommy MO Being a mother has made memore responsible It is hard work butI believe that a mother is the engine

of the family I am much happier as amother and am really enjoyingmotherhood iMag How do you descr ibeyourself a house wife a model or abusiness woman and why MO I think I am all three becausethey are all differenct aspects of mylife I am first and foremost a motherand a housewife I will never stopbeing a model and I also enjoy beinga business woman iMag Whatrsquos the most romanticthing Laurent ever done for you MO Laurent is french and as youknow they are extremely romantic soI couldnt choose just one thing but Iwill say that I am the happiest womanin the planet right now iMag What do you think of todaysyoung mothers MO Mothers today are s t i l lfashionable We can be great mothersas well as beautiful wives It doesnthave to be one or the other It iswonderful to be a mother to bringanother human being into this worldIt is truly a blessing iMag What is your biggest fearabout being a Mommy MO I was afraid of the birthingprocess but because of my renewedfaith in God I found peace Dont beafraid to become a mother It is awonderful gift from God MIRIAM WITH HER BEAUTIFULDAUGHTER IRIS iMag Have you ever thought youcouldnt cope with a child and why MO I never felt that way asbecoming a mother has strengthenedme and made me feel completeMotherhood has not slowed me downat all I think that as women we arecreated to have children and if weembrace itit is an awesome thing iMag What bothers you most aboutyour career now after having a child MO Most women are afraid ofchangethey are afraid of changingjobs they dont like or changingboyfriends that they cant stand Youneed to know your worth The dayyou settle for less is the day you willget less I say - embrace changebecause you never know what liesaround the corner iMag Some young girls in Tanzanianow have negative attitude towardsTanzanian men Its like girls want tobe like Miriam Odemba and marry a white rich guy What do you thinkabout this MO Everyone is different and hasdifferent tastes I love Laurent somuch and it doesnt matter to me thathe is white Love doesnt knowcolour We all have our choices in lifethat we have to make I would simplysay that you have to live your life inthe way that is right for you Dont tryto be like anyone else Live YOURlife iMag Miriam You skin is flawlesshow do u maintain it

MO I use natura l products Everyone can have great skin if theytake care of it Make sure you protectyour skin well My brother JeremiahKagose has amazing skin So smoothand lovely He is also a forever livingagent so check him out for greatproducts people ) iMag Did anyone in the modelingindustry ask you to change your look MO No and I will never change mylook I love and I do enjoy being me iMaga Beauty products You can notdo without MO Skin Oil by clarins It helpshydrate my skin iMag What is the best beauty adviceu know of MO Stay natural and be true toyourself all the time Dont spoil yourskin by using bleaching products You willregret it later if you do iMag Miriam you had 90kilosduring your pregnacy please sharewith us how did you manage to dropall those Kilos within such a shortperiod of time MO The sky is the limiteverythingis possible in life its all in our handsWe have be focused and to put ineffort to get what we want in life Idefinately struggled with self esteemand body image issues I was incredibly overweight so I hada plan to lose weight and I stuck to itI prayed to God for strength and keptpushing myself If you have hope andtrust in God everything is possibleDont get me wrong I do believe thatpeople are beautiful no matter whattheir size is but I had to slim downbecause of my chosen career pathThe dukan diet helped me a lot MIRIAM ODEMBA WITH HERKILLER LEGS iMag You have a great bodyfantastic legs how do you stay inshape M O R u n n i n gswimmingwalkingdancing andaerobics I drink a lot of hot waterand eat lots of vegetables and fruitsall the time No white stuff like whitericebreadcerealpotatoes pasta and

fried food If you avoid eatinganything made with white flour youllbe safe iMag What is your definition ofsuccess MO Achieving your goals I believethat confidence is the key to successHave a goal a vision Qualities suchas fearlessness creativity disciplineand passion are vital elements tosucess Small opportunities can leadto many big opportunities in life iMag Do you think you haveachieved that MO Yes I have acheived manygoals I have set for myself but I havestill have many more things that Iwould like to achieve for example Iwant to one day have my own airlinecompany Lets never stop dreamingpeople iMag What one thing havent youdone you would still like to MO I would like to do something tohelp street children in the world bystarting with East Africa I believe allchildren have the right to educationand I would like to be a part of that iMag Tell me something people donot realize about you maybe its not asecret maybe it s not anythingspecial but it could be something noone else has ever asked you aboutuntil now MO I am addicted to facebook andthe Sporah show iMag OW Thank you iMag What bothers you most aboutmarriages of today MO These days couples seem to getbored of each other quicker Likethese celebrities people no longertake their vows seriously insickness and in health men neverput the toilet sit down after using thetoiletI think you get what I meanSome people forget manners onceyou have been married to them toolong iMag If you could change one thingsabout the world what would it be MO Its only God who can changeanything however I can try to help asmany people as I can along the way Ican do something small and free likesmiling at people or asking them how theirday has been It can make a hugedifference I may not be able tochange the world but maybe I canchange someones world iMag What makes you laugh MO Iris brings so much joy to myheart Laurent (my fiance) is alsovery funny and he makes me laugh alot THE BEAUTIFUL MIRIAMODEMBA iMag On money matters do youpersonally invest MO Yes I have a Shop in TanzaniaHOUSE OF FASHION HOUSE OF FASHION Greatly

SPORAH page 19

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

4 FeedJournal Basic

MAHOJIANOcontinued from page 2

critical thinkingwanachoita thinkingabout thinking Ni nini imekuwamkakati wako kwa ajili ya kujengakujulikana kwa mwenyewe na blogyako Binafsi sipendi kujulikanaMimi ni mtu down-to-earth sanaNingependa zaidi maandiko yanguyaeleweke na pengine kufanyiwa kazikuliko mimi binafsi au blogu yangukujulikana Na kama kujulikanabasimakala zangu magazetini zingewezakufanya kazi hiyo kwa ufanisizaidilakini hiyo sio priority yanguk a b i s a K i l a m t u a n a p o s tanayoipenda au anayoichukia Jewewe ni post ipi unaipenda sana nakwanini Na ni post ipi unaichukiasana na kwanini Binafsi naaminikatika kupenda kila ninachokifanyaNapenda kazi zangu Maana kamam i e m h u s i k a n i s i p o p e n d aninachofanya nitarajie nini kutokakwa jamii Lakini kwa minajili yakujibu swlai lakopost iliyogusa hisiaz a w e n g i n i h i i h t t p wwwchahalicom201009chaguo-la-mungu-mafanikio-ya-kikwetehtmlNiliandika post hi i wakati wakampeni za Uchaguzina moja yamambo ya kupigiwa mstari nikwamba ilinukuliwa na aliyekuwamgombea ura is kwa t iket i yaChadema Dokta Willibroad Slaak a t i k a u k u r a s a w a k e w aFacebookSijawahi kuchukia postyoyote niliyoandika kwa vile siaminikwamba kuchukia kitu ni njia bora yakukirekebishaBadala ya kuandikakiitu kisha nikakichukiamie nakwepakabisa kuandika kitu cha aina hiyo Jeni bloggers wapi ambao weweunawaangalia na kufuata nyayo zaoNa kwanini Kuna bloga gwijianaitwa Ndesanjo Macha Huyundiye aliyenifundisha kublogu japo sikama tuliwasiliana Nilitembeleablogu yake nikafuata maelekezoyake ya namna ya kuanzisha bloguna hatimaye Kulikoni ughaibuniikazaliwa Blogger mwingine nim w a n a h a r a k a t i m w e n z a n g u Mwalimu Nkwazi Mhango waCanada (ambaye pia huandika makalamagazetini kwa jina la MpayukajiMsemaovyo) Kufuata nyayo wellmie sio mfuasi Si kwamba ni mbishikufuata walionitangulia bali naaminikatika kufuata njia sahihi Kwahiyolabda niseme nafuata nyayo zauandishi wa blogu katika namnainavyostahili badala ya kufata nyayoza mtuYou never know unawezakufuata nyayo zikakupeleka porini(Irsquom just kidding) Huwezi aminilakini kila siku ninajitahidi kupitiatakriban kila blogu ya Watanzaniawenzangu kupitia Google Readerkwenye kompyuta au kwenye simuyangu Nathamini kila kazi ya blogawenzangu japo nitakuwa sitendi hakinisipowataja watu kama Michuzi ldquoM k u b w a n a M d o g o rdquo S u b i Maprofesa Mbele na Masangu HakiNgowi Abdallah Mrisho MubelwaJestina George Dinahicious nawadogo zangu DjChoka Sarah(Angalia Bongo) na Faith CharlesHillary (Candy1) na wengineo(kutowataja haimaanishi kuwa

siwathamini) Pia nathamini sana kaziiliyotukuka ya Maxence Melo waJamii Forums Hebu tuambie ni watugani umewahi kukutana nao wakatiukisughulikia post za kuweka kwenyeblog yako Kukutana na watuphysically hapana Hilo halijatokeabado Kukutana na watu throughmtandao hao ni wengi Kamanilivyobainisha awali moja ya faidaya kublogu ni kufahamiana na watumbalimbali Nimetengeneza marafikikadhaa (na maadui pia) kupitia faniya kublogu Je unafikiria kuwaunadaiwa na mtu akiyeacha comments kwenye blog yako Deni kubwa nipale mtu anapoacha ushauri ambaponalazimika kuufanyia kazi Denijinginie ni uvumilivu pale mtuanapoamua kuacha comment kwalugha ya matusi Inataka moyokumezea kashfa au matusi lakini Irsquomnot just a grown up kid but thick-skinned too Je kunadhamani kujibucomment iliyoachwa kwenye blogyako wakati ukijua kuwa huyoaliyeiandika labda hatarudi kusomajibu lake tena Huwezi jualabdaatarudiWanasema bora uaminiMungu yupo ili ukifa na kukutahayupo yoursquoll have nothing tolose Imag ine unakufa waka t ihukuamini existence ya Mungu thenunafika huko waendapo wafu nakukutana naye mlangoniNi salamakuamini kuwa anayeacha commentatarejeana inapendeza kwa msomajikuona umethamini comment yake nakuijibu (kama inastahili kujibiwa) Jeumewahi kufikiria kuacha kupostcomment ambayo iko negative kwakona ukijua hamna mtu atakayejuaHilo hutokea mara kadhaaKunawaungwana flani tulipishana lughasiku za nyuma wanapenda kunitumiacomments zisizostahili kuchapishwabloguni Heymy blog is like myhomeand I reserve the right towelcome or deny someone kuingiahumo Lugha chafu haina nafasikabisa katika blogu yangu Jeunazitreat tofauti au unafikiri watuwanaoacha comment kwenye blogy a k o n a k u a c h a m a j i n a y a oyaonekane wazi wanastaili commentszao kujibiwa au hata kuacknowledgekuwa umeona maoni yao Mie nimuumini mkubwa wa uhuruMsomajiana uhuru wa kuandika jina lakeanapoacha comment au kubakianonymousCha muhimu kwangu siojina la mtoa comment bali umuhimuwa comment yakeMara nyinginapenda kutoingi l ia uhuru wawasomaji kuacha comments zaobloguni kwanguKwahiyo napendeleazaidi kutochangia comments unlesskuwe na umuhimu wa kufanya hivyoJe unafikiria ni makosa kucommentkwenye blog yako kwa kutumia jinalingine Kama una jina lako halisi nacomment unayotoa ni yako binafsisioni umuhimu wa kutumia jina lamtu mwingine Hilo ni kosa kisheriaIthink the word for that is identityfraud Lakini si kosa kutumianickname au kutotumia jina kabisakwa maana ya kubaki anonymous Jeunazichukulia comments zote sawa

unazotumiwa kwenye blog yako bilakujali maoni uliachwa Kwa hakikaninaheshimu comments zoteexceptzinazochafua hewa ie za matusikashfa nkKwa vile uandishi wanguumetawaliwa zaidi na kukosoakamwe sichukizwi na mie mwenyewekukosolewa Naamini kujifunzakutokana na constructive criticismJe unaamini comments kwenye blogyako zilizoandikwa kwa urefu sanazinahitaji kuzawadiwa zaidi kulikozile zilizoandikwa kwa ufupi tuInategemea kama urefu huo wacomment unaendana na uzito wakilichomo Comment ya mstarimmoja iliyojaa mantiki ni muhimuzaidi kuliko comment ya nusuu k u r a s a a u u k u r a s a m z i m ailiyosheheni ldquohewa tupurdquoLakinikimsingi ninazi-treat comment zotekwa uzito unaostahili Je wewe nimtu ambaye uko rahisi kukata tamaaHapana Kukata tamaa is only forl o s e r s M a i s h a n imapambanoVikwazo katika maishani sehemu muhimu ya maisha nawakat i mwingine vinatusaidiakujipanga upya Hakuna mahalakatika cheti cha kuzaliwa chamwanadamu palipoandikwa kuwa lifewill treat you fairly By the waykukata tamaa hakujawi kumsaidiamwanadamu yeyote kufikia malengoyake Kuna tofauti kati ya kukatatamaa na kuachana na jambo Kamamtu anaona hawezi kitu flani basi nivema akaachana nacho kul ikokupoteza muda kisha kukata tamaa nakuishia kuachana nacho mbeleni Kilasekunde n i sawa na muuj izausiojirudia maishani So itrsquos now ornever Je unaedit picha zako iliziwavutie sana wasomaji Kama ku-edit kwa minajili ya zionekane kwaufasaha jibu ni yes Lakini kamaediting kwa minajili ya kupachikakichwa cha mwarabu kwenye mwiliwa mswahili hapana Mie ninaallergy na photoshopping hususankwenye uwasilishaji habari kwaumma Je unaepuka kuweka postambazo ziko very controversykwasababu ya kuogopa wa tuhawatakubaliana na wewe au hunahizo post Bahati nzuri mimi siomwoga Nilisoma Tabora Boys HighSchool enzi hizo ikiwa ni mchepuowa kieshi nilipomaliza nikaendajeshini mwaka mzima kwa mujibu washeria Na baadaye nikapita maeneoflani ya ldquonusu-jeshirdquo (paramilitary)Uzoefu huo umeondoa kabisa kitukinachoitwa uoga Kwa upandemwingine kama mwanafunzi wazamani wa sosholojia natambuakuwa hakuna kitu kinachowezakuafikiwa na wote Kadhalikanatambua umuhimu na uwepo wamitizamo tofauti Kwahiyo kabla yakuandika chochote kile blogunikwangu huwa natafakari kwa makinikwa kutumia mizani hizo sambambana uzoefu wangu binafsi Je unajisikiavizuri zaidi ukiweka post kwenyeblog yako na ukapata maoni ya watuzaidi ya 20 au ukipata maoni ya mtummoja mashuhuri tu Kwanguoneuseful comment is more important

than 100 worthless comments Ofcourse inapendeza kuona watuwakichangia topic flani lakini what ifmichango yenyewe ni kwa minajili yakuandika tu Nina tabia ya ku-trackwanaotembelea blogu yangu kwak u t u m i a n j i a m b a l i m b a l izinazopatikana kwa bloggers Nam a r a k a d h a a n i n a o n a w a t uwanaotumia muda mwingi tu kwenyeblogu yangu lak in i hawaachicomment Hilo sio tatizo kwaniangalau kuna mtu amesoma nahuenda akafanyia kazi alichokisomaJe unasema b log yako kuwainamafanikio iwapo unapata watuwengi wa kusoma au unapata watuwengi wakuacha comment kwenyeblog yako Kwangu mafanikio yablogu sio idadi ya watu wanaoachacomment au kuitembeleaMafanikioni pale ninachoandika kinapochangiajambo flani kwenye jamii Kama mtummoja atatembelea blogu na kuonakitu cha maana kisha kafanyia kazikwa manufaa ya jamii hayo nim a f a n i k i o m a k u b w a k u l i k okutembelewa na watu milioni mojawanaopita bloguni ldquokuosha machordquoJe blog yako unatumia jina lakokamili au unablog kwa kutumia kivulikingine na watu wanasoma nakuenjoy blog yako lakini hawajuiwewe ni nani Ninatumia jina langukamili la Evarist Chahali Tatizo nikwamba nina majina mawili moja ldquolakiofisirdquo (official) na jingine ldquolamtaanirdquo Unajua katika baadhi yamila unapozaliwa unapewa jina lakuzaliwa na kisha unabatizwa (kwasie Wakristo) Sasa kwa niliokutanan a o m a s o m o n i a u k a z i n iwananifahamu zaidi kwa jina laEvarist lakini kwa marafiki wamtaani wananifahamu zaidi kwa jinala Jimmy Sasa inatokea baadhi yahao marafiki zangu wa mtaanikuhangaika kufahamu kuwa Evaristwa Kulikoni Ughaibuni ndiyehuyohuyo J immy wa mtaan i Anyway sichoki kuwaelimisha nataratibu tatizo hilo linazidi kupunguaZamani hizo niliwahi kuandikamakala kwenye magazeti ldquoya udakurdquoya Sanifu Kasheshe na KomeshaHuko nilianzisha safu ya nyota(unajimu ldquowa kizushirdquo) na nilikuwanatumia jina bandia la ldquoUstaadhBongerdquo Mpaka leo baadhi yam a r a f i k i z a n g u w a c h a c h ewanaendelea kutumia jina hilo lautani Lakini kwa sasa natumia jinalangu kamil i na hal is i kat ikamaandiko yangu yote Ni nini baadhiya malengo yako ya mwaka huu kwaajili ya blogu yako au unaonajemwenyeew kwa kipindi cha mwakammoja ua mitano toka sasa hivi blogya itakuaje Kama nilivyojibu hapoawali malengo ya muda mfupi nikuwa na tovuti kamili ya habari namalengo ya muda mrefu ni kuwa nataasisi kamili ya habarisambamba nauanzishwaji wa think tank Hadikufikia mwishoni mwa mwaka huuninataraji blogu yangu itakuwa tovutikamili Je upi ujumbe wako kwa wale

MAHOJIANO page 12

5FeedJournal Basic

Sporah Shows Exclusive Interview withSupermodel Miriam Odembaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 622011 114900 AM

I AM ADDICTED TO FACEBOOKAND THE SPORAH SHOWMIRIAM ODEMBA Miriam Odemba (from ArushaTanzania) is Miss Tanzania Earth2008 and Miss Earth Air 2008 (1strunner up) Miriam Odemba is a Tanzaniamodel She is one of the best modelsfrom Tanzania where she started hermodeling career at an early age andemerged into the limelight in 1997when she won the Miss Temeke titleThe following year she took part inthe Miss East Africa beauty pageantand finished second At 13 her life was tough and herparents had to move to their uncleShe always wondered what life wasall about then As she grew older sheperceived Godrsquos message of love andstarted appreciating everythingaround her especially the natureGodrsquos greatest gift to not only to herbut to all of us MISS EARTH 2008 In the final competition of the eighthedition of the international beautypageant Miss Earth Odemba wasannounced as one of sixteen semi-finalists who would move forward tocompete for the title She achievedone of the eight highest scores in theswimsuit competition for her stagechops which advanced her as one ofthe top eight finalists to participate inthe evening gown competition Shethen pulled away for the lead as shearticulated in her video interviewabout environmental concerns as akey issue in her country in which sheadvanced to the top four In the last round the court of fourwere asked one question ldquoWhatwould you tell US President about thestate of the global environment if everyou were to meet himrdquo She placedthe second highest score in theinterview round and at the conclusionof the competition she was crownedMiss Earth Air Talking to Miriam Odemba is apassion as she has a lot to say aboutherself her career and definitely tothe young women out there iMag How does getting marriedfeel MO I am not yet married I amengaged to a wonderful man and I amlooking forward to our wedding day MIRIAM AND HER FIANCELAURANCE How did you and Laurent meet MO I met Laurent whilst travellingin Hong Kong iMag What do you love most aboutbeing a mommy MO Being a mother has made memore responsible It is hard work butI believe that a mother is the engine

of the family I am much happier as amother and am really enjoyingmotherhood iMag How do you descr ibeyourself a house wife a model or abusiness woman and why MO I think I am all three becausethey are all differenct aspects of mylife I am first and foremost a motherand a housewife I will never stopbeing a model and I also enjoy beinga business woman iMag Whatrsquos the most romanticthing Laurent ever done for you MO Laurent is french and as youknow they are extremely romantic soI couldnt choose just one thing but Iwill say that I am the happiest womanin the planet right now iMag What do you think of todaysyoung mothers MO Mothers today are s t i l lfashionable We can be great mothersas well as beautiful wives It doesnthave to be one or the other It iswonderful to be a mother to bringanother human being into this worldIt is truly a blessing iMag What is your biggest fearabout being a Mommy MO I was afraid of the birthingprocess but because of my renewedfaith in God I found peace Dont beafraid to become a mother It is awonderful gift from God MIRIAM WITH HER BEAUTIFULDAUGHTER IRIS iMag Have you ever thought youcouldnt cope with a child and why MO I never felt that way asbecoming a mother has strengthenedme and made me feel completeMotherhood has not slowed me downat all I think that as women we arecreated to have children and if weembrace itit is an awesome thing iMag What bothers you most aboutyour career now after having a child MO Most women are afraid ofchangethey are afraid of changingjobs they dont like or changingboyfriends that they cant stand Youneed to know your worth The dayyou settle for less is the day you willget less I say - embrace changebecause you never know what liesaround the corner iMag Some young girls in Tanzanianow have negative attitude towardsTanzanian men Its like girls want tobe like Miriam Odemba and marry a white rich guy What do you thinkabout this MO Everyone is different and hasdifferent tastes I love Laurent somuch and it doesnt matter to me thathe is white Love doesnt knowcolour We all have our choices in lifethat we have to make I would simplysay that you have to live your life inthe way that is right for you Dont tryto be like anyone else Live YOURlife iMag Miriam You skin is flawlesshow do u maintain it

MO I use natura l products Everyone can have great skin if theytake care of it Make sure you protectyour skin well My brother JeremiahKagose has amazing skin So smoothand lovely He is also a forever livingagent so check him out for greatproducts people ) iMag Did anyone in the modelingindustry ask you to change your look MO No and I will never change mylook I love and I do enjoy being me iMaga Beauty products You can notdo without MO Skin Oil by clarins It helpshydrate my skin iMag What is the best beauty adviceu know of MO Stay natural and be true toyourself all the time Dont spoil yourskin by using bleaching products You willregret it later if you do iMag Miriam you had 90kilosduring your pregnacy please sharewith us how did you manage to dropall those Kilos within such a shortperiod of time MO The sky is the limiteverythingis possible in life its all in our handsWe have be focused and to put ineffort to get what we want in life Idefinately struggled with self esteemand body image issues I was incredibly overweight so I hada plan to lose weight and I stuck to itI prayed to God for strength and keptpushing myself If you have hope andtrust in God everything is possibleDont get me wrong I do believe thatpeople are beautiful no matter whattheir size is but I had to slim downbecause of my chosen career pathThe dukan diet helped me a lot MIRIAM ODEMBA WITH HERKILLER LEGS iMag You have a great bodyfantastic legs how do you stay inshape M O R u n n i n gswimmingwalkingdancing andaerobics I drink a lot of hot waterand eat lots of vegetables and fruitsall the time No white stuff like whitericebreadcerealpotatoes pasta and

fried food If you avoid eatinganything made with white flour youllbe safe iMag What is your definition ofsuccess MO Achieving your goals I believethat confidence is the key to successHave a goal a vision Qualities suchas fearlessness creativity disciplineand passion are vital elements tosucess Small opportunities can leadto many big opportunities in life iMag Do you think you haveachieved that MO Yes I have acheived manygoals I have set for myself but I havestill have many more things that Iwould like to achieve for example Iwant to one day have my own airlinecompany Lets never stop dreamingpeople iMag What one thing havent youdone you would still like to MO I would like to do something tohelp street children in the world bystarting with East Africa I believe allchildren have the right to educationand I would like to be a part of that iMag Tell me something people donot realize about you maybe its not asecret maybe it s not anythingspecial but it could be something noone else has ever asked you aboutuntil now MO I am addicted to facebook andthe Sporah show iMag OW Thank you iMag What bothers you most aboutmarriages of today MO These days couples seem to getbored of each other quicker Likethese celebrities people no longertake their vows seriously insickness and in health men neverput the toilet sit down after using thetoiletI think you get what I meanSome people forget manners onceyou have been married to them toolong iMag If you could change one thingsabout the world what would it be MO Its only God who can changeanything however I can try to help asmany people as I can along the way Ican do something small and free likesmiling at people or asking them how theirday has been It can make a hugedifference I may not be able tochange the world but maybe I canchange someones world iMag What makes you laugh MO Iris brings so much joy to myheart Laurent (my fiance) is alsovery funny and he makes me laugh alot THE BEAUTIFUL MIRIAMODEMBA iMag On money matters do youpersonally invest MO Yes I have a Shop in TanzaniaHOUSE OF FASHION HOUSE OF FASHION Greatly

SPORAH page 19

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

5FeedJournal Basic

Sporah Shows Exclusive Interview withSupermodel Miriam Odembaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 622011 114900 AM

I AM ADDICTED TO FACEBOOKAND THE SPORAH SHOWMIRIAM ODEMBA Miriam Odemba (from ArushaTanzania) is Miss Tanzania Earth2008 and Miss Earth Air 2008 (1strunner up) Miriam Odemba is a Tanzaniamodel She is one of the best modelsfrom Tanzania where she started hermodeling career at an early age andemerged into the limelight in 1997when she won the Miss Temeke titleThe following year she took part inthe Miss East Africa beauty pageantand finished second At 13 her life was tough and herparents had to move to their uncleShe always wondered what life wasall about then As she grew older sheperceived Godrsquos message of love andstarted appreciating everythingaround her especially the natureGodrsquos greatest gift to not only to herbut to all of us MISS EARTH 2008 In the final competition of the eighthedition of the international beautypageant Miss Earth Odemba wasannounced as one of sixteen semi-finalists who would move forward tocompete for the title She achievedone of the eight highest scores in theswimsuit competition for her stagechops which advanced her as one ofthe top eight finalists to participate inthe evening gown competition Shethen pulled away for the lead as shearticulated in her video interviewabout environmental concerns as akey issue in her country in which sheadvanced to the top four In the last round the court of fourwere asked one question ldquoWhatwould you tell US President about thestate of the global environment if everyou were to meet himrdquo She placedthe second highest score in theinterview round and at the conclusionof the competition she was crownedMiss Earth Air Talking to Miriam Odemba is apassion as she has a lot to say aboutherself her career and definitely tothe young women out there iMag How does getting marriedfeel MO I am not yet married I amengaged to a wonderful man and I amlooking forward to our wedding day MIRIAM AND HER FIANCELAURANCE How did you and Laurent meet MO I met Laurent whilst travellingin Hong Kong iMag What do you love most aboutbeing a mommy MO Being a mother has made memore responsible It is hard work butI believe that a mother is the engine

of the family I am much happier as amother and am really enjoyingmotherhood iMag How do you descr ibeyourself a house wife a model or abusiness woman and why MO I think I am all three becausethey are all differenct aspects of mylife I am first and foremost a motherand a housewife I will never stopbeing a model and I also enjoy beinga business woman iMag Whatrsquos the most romanticthing Laurent ever done for you MO Laurent is french and as youknow they are extremely romantic soI couldnt choose just one thing but Iwill say that I am the happiest womanin the planet right now iMag What do you think of todaysyoung mothers MO Mothers today are s t i l lfashionable We can be great mothersas well as beautiful wives It doesnthave to be one or the other It iswonderful to be a mother to bringanother human being into this worldIt is truly a blessing iMag What is your biggest fearabout being a Mommy MO I was afraid of the birthingprocess but because of my renewedfaith in God I found peace Dont beafraid to become a mother It is awonderful gift from God MIRIAM WITH HER BEAUTIFULDAUGHTER IRIS iMag Have you ever thought youcouldnt cope with a child and why MO I never felt that way asbecoming a mother has strengthenedme and made me feel completeMotherhood has not slowed me downat all I think that as women we arecreated to have children and if weembrace itit is an awesome thing iMag What bothers you most aboutyour career now after having a child MO Most women are afraid ofchangethey are afraid of changingjobs they dont like or changingboyfriends that they cant stand Youneed to know your worth The dayyou settle for less is the day you willget less I say - embrace changebecause you never know what liesaround the corner iMag Some young girls in Tanzanianow have negative attitude towardsTanzanian men Its like girls want tobe like Miriam Odemba and marry a white rich guy What do you thinkabout this MO Everyone is different and hasdifferent tastes I love Laurent somuch and it doesnt matter to me thathe is white Love doesnt knowcolour We all have our choices in lifethat we have to make I would simplysay that you have to live your life inthe way that is right for you Dont tryto be like anyone else Live YOURlife iMag Miriam You skin is flawlesshow do u maintain it

MO I use natura l products Everyone can have great skin if theytake care of it Make sure you protectyour skin well My brother JeremiahKagose has amazing skin So smoothand lovely He is also a forever livingagent so check him out for greatproducts people ) iMag Did anyone in the modelingindustry ask you to change your look MO No and I will never change mylook I love and I do enjoy being me iMaga Beauty products You can notdo without MO Skin Oil by clarins It helpshydrate my skin iMag What is the best beauty adviceu know of MO Stay natural and be true toyourself all the time Dont spoil yourskin by using bleaching products You willregret it later if you do iMag Miriam you had 90kilosduring your pregnacy please sharewith us how did you manage to dropall those Kilos within such a shortperiod of time MO The sky is the limiteverythingis possible in life its all in our handsWe have be focused and to put ineffort to get what we want in life Idefinately struggled with self esteemand body image issues I was incredibly overweight so I hada plan to lose weight and I stuck to itI prayed to God for strength and keptpushing myself If you have hope andtrust in God everything is possibleDont get me wrong I do believe thatpeople are beautiful no matter whattheir size is but I had to slim downbecause of my chosen career pathThe dukan diet helped me a lot MIRIAM ODEMBA WITH HERKILLER LEGS iMag You have a great bodyfantastic legs how do you stay inshape M O R u n n i n gswimmingwalkingdancing andaerobics I drink a lot of hot waterand eat lots of vegetables and fruitsall the time No white stuff like whitericebreadcerealpotatoes pasta and

fried food If you avoid eatinganything made with white flour youllbe safe iMag What is your definition ofsuccess MO Achieving your goals I believethat confidence is the key to successHave a goal a vision Qualities suchas fearlessness creativity disciplineand passion are vital elements tosucess Small opportunities can leadto many big opportunities in life iMag Do you think you haveachieved that MO Yes I have acheived manygoals I have set for myself but I havestill have many more things that Iwould like to achieve for example Iwant to one day have my own airlinecompany Lets never stop dreamingpeople iMag What one thing havent youdone you would still like to MO I would like to do something tohelp street children in the world bystarting with East Africa I believe allchildren have the right to educationand I would like to be a part of that iMag Tell me something people donot realize about you maybe its not asecret maybe it s not anythingspecial but it could be something noone else has ever asked you aboutuntil now MO I am addicted to facebook andthe Sporah show iMag OW Thank you iMag What bothers you most aboutmarriages of today MO These days couples seem to getbored of each other quicker Likethese celebrities people no longertake their vows seriously insickness and in health men neverput the toilet sit down after using thetoiletI think you get what I meanSome people forget manners onceyou have been married to them toolong iMag If you could change one thingsabout the world what would it be MO Its only God who can changeanything however I can try to help asmany people as I can along the way Ican do something small and free likesmiling at people or asking them how theirday has been It can make a hugedifference I may not be able tochange the world but maybe I canchange someones world iMag What makes you laugh MO Iris brings so much joy to myheart Laurent (my fiance) is alsovery funny and he makes me laugh alot THE BEAUTIFUL MIRIAMODEMBA iMag On money matters do youpersonally invest MO Yes I have a Shop in TanzaniaHOUSE OF FASHION HOUSE OF FASHION Greatly

SPORAH page 19

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

6 FeedJournal Basic

Nuru the Light Exclusive Interview with MissJestinaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 75700 PM

Nuru The Light Jestina George had an opportunity tointerview Artist Fashion BloggerNuru the Light and she gave us thefull deets on her latest singlelsquoMUHOGO ANDAZI Enjoy JG Why did you choose to pursue amusic career NURU IV BEEN SINGING SINCETHE AGE OF FOUR I USED TOSTAND WITH THE FAMILYCHOIR IN THE CHURCH ANDS I N G M Y G R A N D F A T H E RCANALIMCHUNGAJI MAGOKEWAS A MAN OF GOD ANDLIVED BY THE NAME OF GODSO BEING AROUND THAT WITHTHE CHOIR I STARTED SINGINGAT A VERY YOUNG AGE IT WASAT 16YEARS OF AGE THAT ISIGNED A RECORD DEAL WITHSTOCKHOLM RECORDS ANDMY ARTIST NAME THEN WASDANUMASO PROFESSIONALLYI STARTED AT 16 TO GO ONTOUR AND TRAVELLED ALOTPLUS ALL THAT COMES WITHTHE JOB JG How has the journey been sinceyou started doing music NURU AM GLAD THAT ISTARTED YOUNG BECAUSE ITGAVE ME THE TOOLS BOTHGOOD AND BAD THAT COMESWITH THIS JOB AND ALSO ACHANCE TO MAKE MISTAKESSO THAT TODAY I CAN SAY IKNOW BETTER IN TERMS OFSIGNING A GOOD DEAL ANDLOOK OUT FOR MYSELF AT 16 IW A S J U S T H A P P Y T O B ES I G N E D B U T T O D A Y IWOULDNT SETTLE FOR JUSTTHAT THE JOURNEY HAS BEEN BOTHGOOD AND BAD BUT THENAGAIN I DONT KNOW IF IWOULD HAVE IT ANY OTHERWAY BUT AT THE SAME TIMEIV LEARNED ALOT ALONG THEWAY BOTH AS A WOMAN ANDAN ARTIST IV BEEN LIED TO PROMISEDTHINGS THAT NEVER HAPPENS O M E E V E N T A K E N M YMONEY TRUSTED THE WRONGPEOPLE BUT AT THE END OFTHE DAY IT MADE ME STRONGSO THAT TODAY I CAN STANDUP FOR MYSELF AS OPRAHALWAYS TELLS HER GUESTSSIGN YOUR OWN CHECKS JG What inspires you as a singer NURU LIFE INSPIRES ME NOTJ U S T M I N E B U T O T H E R SA S W E L L S I N G I N G I S M YPASSION IS A WAY OF LIVINGAND ITS SOMETHING THATGOD BLESSED ME WITH MY VOICE IS A GIFT AND AM

NOT GONNA LET GOD DOWNBY NOT USING IT JG How long have you been singingfor and how have you evolved as anartist NURU IV BEEN SINGING SOLONG BUT EVOLVING AS ANARTIST HAS ALOT TO DO WITHHOW YOU SEE YOURSELF MYVOICE IS MY TOOL AND JUSTAS YOUR BODY YOU HAVE TOTAKE CARE OF IT SMOKING DRINKING DRUGSAND SOME FOOD DESTROYSWHAT YOU HAVE IF YOU ARENOT CAREFUL BUT TO METAKING LESSONSLISTENINGAND WORKING WITH OTHERA R T I S T S A N D A L W A Y SLEARNING NEW THING MAKESME EVOLVE AS AN ARTIST JG What are your views on theTanzanian entertainment industrytoday NURU OUR TANZANIAN MUSICI N D U S T R Y N E E D S M O R EPEOPLE INVOLVED CAUSE ASOF RIGHT NOW FEW PEOPLEC O N T R O L T H E M U S I CINDUSTRY AND THAT IS WHATMAKES US NOT TO MOVEFORWARD WE NEED MOREVARIETY RATHER THAN TWOVIEWS AND HOW TO RUNT H I N G S W E N E E D R I S KTAKERS WHO ARE WILLING TOTAKE A CHANCEINSHALLAHWE WILL SEE JG What are the best and worst partsof being an artist in Tanzania thoughyou live in Europe NURU THE WORST IS THATPEOPLE DONT SEE YOUR VIEWOR GET IT RIGHT AWAYTHEYA R E S O U S E D I N D O I N GSOMETHING IN ONE WAY THATIS WHY SO IT TAKES TIME TOCONVISCE THEM SOMETIMESTHEY DONT RESPECT SUDDENASPECTS LIKE TIME IS MONEYAND PROFFESIONALISM WHENIT COMES TO WORK FOR EXAMPLE IF I AM NOTPRESENT IN TANZANIA MYW O R K G O E S V E R Y S L O WBECAUSE AM NOT THERE TOPUSH EVERYBODY WHILETHEY ARE ALREADY PAID ANDTHATS VERY SAD THE GOODPART IS THAT IN EUROPE I CANLIVE MY LIFE AND GO ONWITHOUT THINKING THE PAPSARE THERE I CAN GO TO A CLUB AND GOWILD WITHOUT SAYING OHGOSH HERE AM JUST NURU ASOPPOSE TO NURU THE LIGHTOR NURU THE SINGER AT MYWORK PEOPLE DONT EVENKNOW THAT I SING AND AM OKWITH THAT JG Would you say the bad economycrisis the world is currently facing asaffected you directly as a singer NURU IT HASNT REALLY AS A

S I N G E R M A Y B E O N APERSONAL LEVEL BUT THEMUSIC INDUSTRY IS GONNALIVE BECAUSE WHEN PEOPLEARE SAD OR GOING THROUGHA HARD THING IN LIFE MUSICALWAYS HELPS SO IN THEL O N G R U N I T H A S N TEFFECTED ME MUCH WHICH ITHANK GOD FOR THAT JG How many videos have youmade till date Name them if you canplease NURU MORE THAN TENVIDEOS BUT AM JUST GONNANAME THE SWAHILI VERSIONS W A L I M W E N G U M S E L AKWANINIMUHOGO ANDAZIWAS FEAUTERED IN CHEGESVIDEO MORACKA AND QUICKR O C K A C A L L E D B U L L E TWHICH I WAS A LEAD GIRLFUN TIMES JG Tell us what inspired the conceptfor your latest single lsquoMUHOGOANDAZIrsquo and also tell us a bit aboutthe video NURU HAHAHAAHAHAHA THESONG CAME ABOUT AS A JOKEWE WERE IN THE STUDIO NBOB SAID NURU WE SHOULDCALL THE SONG MUHOGOANDAZI AND I WENT LIKEHAHAHAAHA WE MJINGA NINIUTANIITAJE MM ANDAZI ANDTHEN I STARTED SINGINGCAUSE THE MELODY JUSTCAME TO ME AND I SANG WEM U H O G O W E E A N D H EANSWERED ANDAZI WE ANDTHATS THE STORY OF HOW ITALL STARTED THIS SONG HASITS ON HISTORY BECAUSE SOMANY THINGS HAPPENEDW H I L E R E C O R D I N G L I K ECOMPUTER DIED ON US WHILERECORDING Nuru at the studio recordingMUHOGO ANDAZI JG How long did it take to shoot thevideo NURU THE VIDEO TOOK4HOURS ONLY TO SHOOTBECAUSE I ALWAYS COMEPREPARED ON MY VIDEO

SHOOT AND OTHERS JG Tell us about the team behind thevideo Who wrote the lsquoMuhogoAndazirsquo who produced it and whowas your glam squad Who are youwearing Wersquore style spotting alreadyand we spot Chichia London are weright N U R U T H E S O N G W A SRECORDED AT AT SHAROBARORECORDS IN MAGOMENI ANDBOB JUNIOR MR CHOCOLATEFLAVOUR PRODUCED THESONG AND WROTE MOST OFTHE LYRICS BUT MELODIESAND HARMONIES THAT WE DIDBOTH ME AND HIM THE TEAM BEHIND WASVISUAL LAB WITH ADAM JUMAAS A VIDEO DIRECTOR WHOCAME WITH HIS CREW ANDMAKE UP PEOPLE BUT I DID MYMAKE UP ALL BY MYSELFSINCE I KNEW EXACTLY WHICHKIND OF LOOK I WANTED FORTHE SHOOT I WORE MACFOUNDATION AS A BASE AND IDONT HAVE ANYTHING ELSEEXCEPT THAT AND THE REDLIPS OFFCOZ I WORE TWO DRESSES BYCHICHIA LONDON AND TWODRESSES FROM HampM I WORE ACOPPAR BRACELETNECKLACEAND BANGLES FROM MADE BYAFRICA ANOTHER TANZANIANBRAND MAKING GOOD STUFFAND MR CHOCOLATE FLAVOURW O R E H I S Y O U T H F U L LS W A G G Nuru at the shoot of her new videoMUHOGO ANDAZI JG Wow You did a great job withthe make up now our favourite partTalk us through wardrobe for themusic video NURU WHEN IT COMES TO MYWARDROBE FOR THE VIDEO IUSUALLY PUT TOGETHERE V E R Y T H I N G T H E N I G H TB E F O R E A N D I E A NE V E R Y T H I N G F R O M T H EA C C E S S O R I E S T OSHOESUNDERWEAR AND THEACTUAL DRESS OR PANTS I DOSO BECAUSE I WANNA COMEPREPARED AND IT SAVES ALOT OF TIME WHEN YOU AREIN LOCATION AND ITS STRESSFREE FOR THIS ONE IT WASVERY EASY SINCE I KNEW AMWEARING CHICHIA AND MYLONG GREEN MAXI DRESS ANDI WAS GOOD TO GO WHICH YOUALL CAN SEE YA ANOTHATHING DO YOU KNOW THAT IDID MY MAKE UP ON THE WAYTO LOCATION USING A SIGHTM I R R O R O F T H E C A RHAHAHAAHAH AND HOWGREAT IT TURNED OUT TO BE JG What should we look forward tonext from Nuru

NURU page 19

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

7FeedJournal Basic

Makala yangu katika gazeti la Raia Mwema Juni8 Utegemezi kwa akina Babu wa Loliondoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 73500 AM

Mkala yangu katika toleo la wiki hiila jarida maridhawa la Raia Mwemainazungumzia suala la tiba ya Babuwa LoliondoNimejaribu kuelezeakwanini kwa muda mrefu nimecheleak u z u n g u m z i a s u a l ahilonikitanabaisha uwepo wa suala laimani katika tiba ya Babunafasi yatiba zisizo za kisayansi katika jamii(hususan nafasi ya waganga wakienyeji) na uelewa wangu kitaalumakama mwanafunzi wa zamani wasosholojia ya dini Pamoja na makala hii jarida la RaiaMwema limesheheni habari namakala nyingine mbalimbali zenyekiwango cha hal i ya juuKwasasasoma makala husika hapa chini RAIA MWEMA UGHAIBUNI Vipi twawa tegemezi kwa tiba zisizoza kisayansi Evarist Chahali Uskochi Juni 82011 PAMOJA na kuvuma kwa habari zaldquo t iba ya Babu wa Lol iondordquonimekuwa nikichelea kuzungumziasuala hilo kwa sababu kadhaa zamsingi Kwa sasa yaweza kuelezwakwamba Mchungaji Mstaafu waKanisa la Kilutheri la Kiinji l iTanzania (KKKT) Ambil iki leMwasapile ni mmoja wa watumaarufu nchini Tanzania Na kwanini asiwe maarufu ilhali kunamaelfu ya Watanzania wanaoaminikuwa Mchungaji huyo anawezakuponya magonjwa kadhaa suguikiwemo upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) Nimechelea kuzungumzia suala hilikwa sababu kwanza suala hililinagusa imani Kwa mujibu wamaelezo ya ldquoBaburdquo uwezo wakuponya magonjwa sugu alipewa naMungu ndotoni Mimi ni Mkristo nakatika imani yetu tunaamini kuwaMungu anaweza kumpa binadamukipawa cha kufanya miujiza ikiwa nipamoja na kutibu magonjwa sugu Hata hivyo pamoja na Ukristowangu sina ujuzi wa kutosha waMaandiko Matakatifu japo huwanapata wasaa wa kuyasoma Namiongoni mwa yanayoelezwa katikaBiblia Takatifu ni jinsi Mungualivyomtuma mwanaye Yesu Kristokatika ubinadamu wake kuwafunuliawanadamu kuhusu ukombozi wakiroho Na moja ya mengi aliyofanyaYesu ni miujiza ya uponyaji Kwa mantiki hiyo uponyaji ni jambolinalowezekana katika imani yaKikristo Hata kabla ya habari zaldquoBabu wa Loliondordquo tulishawahikusikia habari za ldquowatumishi waMungurdquo wa l i oda iwa ku fanyauponyaji Majina kama FatherNkwera Esther wa Mikocheni nawengineo yamezoeleka masikionimwa Watanzania wengi

Kwa hiyo kwa wanaoamini kwenyenguvu ya Mungu katika uponyajikupitia watumishi wake uwezekanowa Mchungaji Mstaafu Mwasapilekuponya sio jambo la ajabu sanaHata hivyo hadi hapa simaanishikuwa madai ya Mchungaji huyo ni yakweli au ni uzushi tu Kwa upande mwingine ninatokakatika ukoo ambao mmoja wa nduguz a n g u n i m g a n g a m a a r u f u Nisingependa kumtaja jina lakini anaumaarufu mkubwa huko wilayaniKilombero Baba yangu huyo mdogoalirithishwa uganga na bibi yakealiyekuwa akitembelewa katikamakazi yake huko Malinyi (wilayaniUlanga mkoani Morogoro) na watukutoka sehemu mbalimbali za nchiyetu Ndugu yangu huyo ni Muislamu naanatibu kwa kutumia mitishamba naMaandiko Matakatifu ya dini yakeKutokana na ukaribu wetu nilipatafursa ya kudadisi mengi kutokakwake Kubwa nililojifunza katikautoaji wa huduma zake za tiba kwawatu wanaohitaji huduma yake niumuhimu wa imani katika ufanisi watiba hizo Mara kadhaa alinielezakuwa ili tiba anazotoa ziwe naufanisi ni lazima kwa mtumiaji watiba husika awe na imani sambambana ku fua t a masha r t i ya t i baa l i yopewa Ukaribu wangu na ndugu yanguhuyo uliniwezesha pia kuifahamujinsi jamii yetu ilivyo tegemezi kwatiba zisizo za kisayansi Kama ilivyokwa ldquoBabu wa Loliondordquo vigogokadhaa walikuwa miongoni mwawateja wakubwa wa baba yangu huyomdogo Suala jingine lililosababisha nicheleekujadili ldquotiba ya Babu wa Loliondordquoni ukweli kwamba wakati ninasomeaShahada ya kwanza katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam nilifanyakozi ya Sosholojia ya dini (Sociologyof Religion) Na kwa bahati nzurimhadhiri wa kozi hiyo alikuwa pia niPadre wa Kimarekani Dokta FatherJohn Sivalon wa Kanisa Katolikijijini Dar (wakati huo) Kimsingi somo hilo lilihusu nafasiya dini kwenye jamii kwa maana yajinsi dini husika inavyotendekahistoria yake maendeleo yake namada mbalimbali kuhusu dini husikad u n i a n i S o s h o l o j i a y a d i n ihaijihusishi na filosofia ya dini kwamaana ya kupima ukweli wa imanikatika dini husika Kwa hiyo uwepowa Padre kama mwalimu wa somoh i l o h a u k u a t h i r i a l i c h o k u w aakifundisha Kadhalika katikanyakati tofauti tulipata fursa yakutembelewa na viongozi mbalimbaliwa dini kutufundisha kuhusu imani zadini zao Kama sehemu ya kozi hiyo mimi nawanafunzi wenzangu watatu tulifanyautafiti mdogo kuhusu vikundi vipyavya kidini Utafiti wetu ulifanyikakatika kanisa moja ldquojipyardquo jijini Dar

es Salaam Kwa kifupi moja yamatokeo ya utafiti huo yalikuwaufahamu kuwa wengi wa waliojiungana kanisa hilo walikuwa na matatizoya aina Fulani kama vile ya kazifamilia afya nk Kadhalika wengi kati ya tuliowahojiwa l iba in i sha kuwa wa l i amuakuachana na dini zao za awali baadaya dini hizo kushindwa kuwapatiau f u m b u z i w a m a t a t i z o y a o Ikumbukwe kuwa asili ya dini(kisayansi jamii) ni katika harakati zamwanadamu kupata mahala pakuelekeza matatizo yake Kidini asiliya d in i n i haba r i t o fau t i nainatofautiana kati ya dini moja nanyingine Ili kuelewa kwa nini ldquonjia za mkatordquoza matatizo ya mwanadamu katikajamii yetu kwa misingi ya imanizinapata umaarufu ni muhimukufahamu kwamba kabla ya ujio wad i n i ldquo k u u rdquo n c h i n i T a n z a n i a kilichokuwepo ni dini za kitamaduniza Kiafrika (African TraditionalReligions) Japo sensa zetu za idadi ya watuzimekuwa zikikwepa kuainishamgawanyiko wa Watanzania kwamisingi ya imani zao za kidiniukweli ni kwamba dini kuu tatu hukonyumbani Tanzania ni UkristoU i s l amu na Upagan i ( ambaowanajumuisha pia wale wasio nadini ) Na hadi sasa Upaganiumeendelea kuwa sehemu muhimum i o n g o n i m w a W a k r i s t o n aWaislamu Na ndio maana mila nadesturi zetu zimeendelea kushamirilicha ya jitihada za mapadre namashehe kuzikemea hususan palezinapokinzana na mafundisho ya dinihizo Kwa hiyo ninaamini kuwa hadi hapautaelewa kwa nini nimekuwa nawakati mgumu kukemea au kuafikihaba r i za ldquo t iba ya Babu waLoliondordquo Lakini nafasi yanguinakuwa ngumu zaidi kutokana naukweli kwamba kadri ninavyoelimikaninatarajiwa na jamii kuangaliamambo ldquokisomirdquo zaidi kwa maanaya kuchambua mambo kwa misingiya kanuni za sayansi au sayansi jamii Kisayansi au kisayansi jamii

k inachoi twa t iba ya Babu waLoliondo ni sawa na tetesi tu kwavile hakuna uthibitisho wa kitaalumak u w a ldquo t i b a rdquo y a k e i n a p o n y a Natambua kuwa kuna idadi ndogo yawatu wanaodai kupona baada yakupata tiba hiyo lakini kitakwimuidadi hiyo ni ndogo sana kuhalalishahitimisho la uhakika Lakini kikubwa kinachozua wasiwasikuhusu ldquotibardquo hiyo ni kukosekanakwa ushuhuda wa waliopona baadaya kupewa ldquokikombe cha BaburdquoYayumkinika kuamini kuwa hadi sasatakriban Watanzania nusu milioniwameshapata ldquokikomberdquo Hivi kwelihatungeweza kusikia japo wenzetu1000 wakitoa ushuhuda wa kuponakansa (hata kama kilichowapelekaldquokwa Baburdquo ni ukimwi) Kulikonihabari zinazovuma zaidi (hasakwenye gazeti moja la kila siku) niza halaiki ya wanaokwenda kupataldquo k i k o m b e rdquo n a s i o y aw a l i o p o n y e s h w a Nimelazimika kuandika makala hiibaada ya kusoma habari kwambaidadi ya watu walikwishapotezamaisha (katika harakati za kupata tibah iyo) had i s a sa inaz id i 100 Nikiangalia hawa wenyeji wanguhapa Uingereza wanavyohangaikapindi kinapotokea kifo cha mtummoja tu nafadhaika kuona Serikaliyetu ikiendelea na ldquosintofahamurdquokatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo Ni rahisi kuwalaumu Watanzaniawanaohangaika kwenda kwa ldquoBaburdquolakini ni muhimu kuelewa kuwakama Serikali inaonekana kuafikikuwa ldquotibardquo hiyo ina ufanisi kwa ninibasi wananchi nao wasiaminiU n a p o s i k i a v i o n g o z i k a d h a awakifunga safari zao kwenda kupataldquotiba ya Baburdquo huku taratibu zakiserikali zikitumika kana kwamba nisehemu ya sera ya afya mwananchiw a k a w a i d a a n a w e z a k a b i s akushawishika kuamini habari zaldquotibardquo hiyo Serikali yoyote makini dunianiingeshtushwa na taarifa kuwa zaidi yawatu 100 wameshapoteza maisha yaokatika harakati zao za kupata ldquotiba yaB a b u w a L o l i o n d o rdquo L a k i n itutegemee nini kutoka kwa serikaliisiyoonekana kushtushwa na mamiaya wananchi wanaonyangrsquoanywamaisha yao kutokana na ajali zabarabarani ambazo kwa k ias ikikubwa zinachangiwa na kushamirikwa rushwa katika Jeshi la polisikitengo cha Usalama Barabarani Siombei hili litokee lakini ukweli nikwamba jambo pekee litakaloiamshaserikali yetu kuchukua hatua stahilikatika suala hili la ldquotiba ya Babu waLoliondordquo ni pale kigogo mmojaatakapokumbwa na zahma katikaharakati za kupata au baada yakutumia ldquotiba ya baburdquo Kama ambavyo umeme wetu

MAKALA page 16

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

8 FeedJournal Basic

Kizungumkuti CCM Magamba YamwekeaKibesi KikweteYagoma Kungokaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 102400 PM

Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01June 2011 SASA ni piga ni kupige ndani yaChama Cha Mapinduzi (CCM)Wanaotuhumiwa kwa uf i sad i wanakataa kujiuzulu MwanaHALISIlimeelezwa Taarifa zinasema walipoitwa mbeleya viongozi wakuu wa chama hicho ndashmakamu mwenyekiti Pius Msekwa nakatibu mkuu Wilson Mukama -w a n a o i t w a n a C C M k u w aldquowatuhumiwa wakuu wa ufisadinchinirdquo walishikilia msimamo kuwahawawezi kujiuzulu kwa kuwahawana hatia Wanaotakiwa kujiuzulu na viongoziwakuu wa CCM ni Edward LowassaRostam Aziz na Andrew ChengeM k u t a n o w a k u w a s h a w i s h iwajiuzulu ulifanyika Alhamisi naIjumaa wiki iliyopita katika ofisindogo za chama hicho zilizopoLumumba Dar es Salaam Taarifazinasema katika mkutano huoMsekwa na Mukama waliombaLowasa ajiuzulu ili kukiokoa chamahicho lakini yeye alipinga kwa hojakuwa hana hatia MwanaHALISI lilipowasiliana naM s e k w a k u t a k a k u f a h a m ukilichojadiliwa katika mkutano wakena viongozi hao haraka alisemaldquohellipUmetoa wapi habari hizordquo Alipoelewa ni vyanzo vya ndani yachama na serikali Msekwa alisemaldquoHayo ni mambo ya ndani ya chamaHatuwezi kuyaleta magazetinirdquoLowassa alipoulizwa juu ya kuwapokwa kikao hicho alisema ni kweliwamekutana Hata hivyo alisemahawezi kueleza walichojadili kwenyevyombo vya habari Rostam hakupatikana kuelezau p a n d e w a k e H a t a h i v y o MwanaHALISI limeelezwa na mtoataarifa wake kuwa mbunge huyo waIngunga alitoka kwenye ukumbi wam k u t a n o a k i w a a m e n u n a n akuvurumisha ldquomaneno makalirdquo Anasema Rostam alitoka pale akiwaamenuna na kusema yeye hana hatiayoyote na kwa hiyo hastahi l ikushambuliwa Amesema yoteyanayotokea sasa yanatokana nauadui wa siasa za urais wa mwaka2005 na ule wa 2015 Hili linatokea wakati uongozi wa juuwa chama h i cho uk i sh indwakukabidhi barua ya kuwatakaw a t u h u m i w a h a o w a j i u z u l u Kuchelewa kwa utekelezaji wam a a z i m i o y a k u w a w a j i b i s h aLowassa Ros tam na Chengekumezaa majungu na umbeya Hivisasa taarifa zinasema Mukamaanadaiwa kugoma kuandika barua yakuwataka watuhumiwa hao kuachianafasi zao za ujumbe wa Halmashauri

Kuu ya taifa (NEC) wanazozishikilia Baada ya Mukama kugoma kuandikab a r u a h i z o k w a h o j a k u w akilichoamuriwa na NEC hakifahamukwa kuwa alikuwa hajateuliwa ndipoNape Nnauye katibu wa itikadi nauenezi alipoandika barua hizo nakuzipeleka kwa Msekwa Naye Msekwa alizipokea barua nakuzirekebisha Akazirejesha kwaNape ili azipeleke kwa Mukamakuz i sa in i Mukama akagoma Zikapelekwa kwa mwenyekiti wachama hicho Rais Jakaya Kikwetea m b a y e t a a r i f a z i n a s e m a ldquo a m e z i f u n g i a k a b a t i n i rdquo Kwa mujibu wa taarifa za ndani yakikao h icho Lowassa a l i f ikaL u m u m b a s a a n n e a s u b u h i Mazungumzo kati yake Msekwa naMukama inakadiriwa yalichukuatakribani saa moja Katika mazungumzo hayo Msekwaananukuliwa akimweleza Lowassaldquounatakiwa ujiuzulu nyadhifa zako zauongozi katika chama ili kutekelezamaagizo ya NEC na falsafa ya chamaya kujivua gambardquo Akijibu hoja hiyo mtoa taarifaanasema Lowassa alijibu ldquoKuhusuRichmond (kampuni feki ya kufuaumeme wa dahuru la ) ukwel iunafahamikahellipKatika hili mimi sinamakosa Rais anafahamu hilo na kilammoja anajua hivyordquo Anasema Lowassa alisema kamakuwajibika kwa makosa yaliyotokanana Richmond tayari amefanya hivyokwa niaba ya chama chake na serikalipale alipoamua kujiuzulu wadhifawake wa uwaziri mkuu Anasemambali na kueleza hilo Lowassaalisikika akisema ldquonilikutana na RaisKikwete Aliyonieleza si hayardquo Alisema Rais Kikwete alimwelezakuwa hakuna maazimio yoyote yaNEC yaliyomtaka kujiuzulu AkahojildquoSasa n imwamini nani n inyimnaotaka nijiuzulu au rais aliyesemahakuna azimio kama hilordquo Habari zinasema mara baada yaLowassa kuwaeleza viongozi wakemsimamo juu ya mazungumzo yaken a K i k w e t e n d i p o M s e k w aaliposikika akisema ldquoLowassa achambio za uraisrdquo

Naye Lowassa hakumkawizaMsekwa Alijibu ldquoLini nimetangazakugombea urais Lakini hata kamaninataka kufanya hivyo ni haramukugombea nafasi hiyo Je kunamliowaandaardquo N i kau l i h iyo ya Lowassa iliyomshutua Msekwa na kusemaldquo H a p a n a H a p a n a H a k u n atuliyemuandaahellipHaya mambo yaurais yatatuvurugardquo Akihitimishahoja zake kabla ya kumalizika kwamkutano huo mtoa taarifa anasemaLowassa alikitaka chama chakekuisaidia serikali kutekeleza wajibuwake kwa wananchi badala yakufany ia kaz i k i l e a l i cho i t a ldquoma jungu ya wanas i a sa rdquo Naye Chenge taarifa zinasemaaliwaambia viongozi aliokutana naokuwa yeye si fisadi na hafahamumaana ya ufisadi Akataka kamatuhuma wanazomtuhumu wanawezak u z i t h i b i t i s h a w a m f i k i s h emahakamani ili aweze kujiteteaHakuna maelezo ya ziada Hata hivyo watu waliokaribu nakiongozi huyo wanasema Chengeamejipanga kuhakisha kwambahangrsquooki katika kiti chake cha NECikibidi kuondolewa kwa nguvuamet i sh ia kuondoka CCM nakuj iunga na up inzan i Kwa upande wa Rostam Aziz taarifazinasema alitakiwa kujiuzulu ujumbewa NEC kwa tuhuma za kuingizanchini kampuni feki ya Richmond nabaadaye Dowans Mtoa taarifa anasema mara baada yakuelezwa tuhuma hizo Rostamalihoji ldquoHaya ni maamuzi ya NECrdquoNaye Msekwa akaj ibu ldquoNECimetaka chama ki j ivue gambakuanzia ngazi ya taifa hadi chini kwakuondoa watu wote wanaotuhumiwaufisadirdquo H a b a r i z i n a s e m a k a t i k amazungumzo kati ya viongozi hao naRostam hakuna mahali popoteambapo Msekwa na Mukama walitajaushiriki wa mbunge huyo wa Igungakatika wizi wa fedha za umma kupitiakampuni ya Kagoda AgricultureLimited Kampuni ya Kagoda ni miongonimwa makampuni 22 yaliyothibitika

kuchota mabilioni ya shilingi kwenyeakaunti ya madeni ya nje (EPA) ndaniya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Gazeti hili limeshindwa kufahamumara moja kilichosababisha Msekwana wenzake kushindwa kumwelezaRostam ushiriki wake katika KagodaHata hivyo kwa zaidi ya miakam i n n e s a s a C C M i m e k u w aikituhumiwa kunufaika na fedha zaEPA hasa Sh 40 bilioni zilizoibwa naKagoda Wakati suala hilo likichukua surahiyo taarifa zilizofikia gazeti hilizinasema baadhi ya vigogo wa chamahicho wamepanga kupeleka hojakatika vikao vijavyo vya (CC) na(NEC) kushinikiza kufukuzwa ndaniya chama hicho wanaoitwa ldquowasalitindani ya chamardquo W a n a o p a n g i w a m k a k a t i w akufukuzwa ni spika wa zamani waBunge Samwel Sitta na mbunge waKyela Dk Harrison Mwakyembewanaotuhumiwa kuanzisha Chamacha Jamii (CCJ) wakati wakiwa badowanachama na viongozi wa CCM Wengine ni Nape Nnauye VictorMwambalaswa na Daniel PorokwaHabari kutoka ndani ya CCMzinawanukuu makada mawili raismstaafu na mjumbe mmoja wa NECwakitaka chama chao kuwafukuzawaas i s i wa CCJ kwa kukosauamin i fu MwanaHALISI limeelezwa naaliyekuwa naibu katibu mkuu waCCJ Dickson Ngrsquohily kwamba Sittan a M w a k y e m b e w a l i o k u w awaanz i l i sh i wa chama h icho walimkatiza masomo yake nchiniAfrika Kusini ili kusaidia kupatikanausajili wa chama hicho Ngrsquohily ambaye mahojiano yakeyatachapishwa kikamilifu katika toleolijalo amesema aliyemwingiza yeyeCCJ ni Sitta na Dk Mwakyembe naanasikitishwa na hatua ya viongozihao kutaka kuficha ukwelildquoHawa watu ndio waanzilishi hasa waCCJ Mimi na Makonda tulipewajukumu la kutafuta usajili wa chamaLakini naona wenzangu wameamuakuficha ukweli kwa maslahi binafsiHii si sahihirdquo ameeleza Ngrsquohily anaonyesha nyaraka zamuhtasari wa vikao walivyoshirikiviongozi wakuu wa CHADEMAJohn Mnyika Anthony Komu naTundu Lissu kuwa ni miongoni mwawatu walioshiriki katika majadilianoya kuunganisha nguvu kati ya CCJ yaSitta na CHADEMAldquoTulikubaliana kama CCJ itakosausaji l i basi mheshimiwa Sittaa t a g o m b v e a u r a i s k u p i t i aC H A D E M A L a k i n i k a m atutafanikiwa kusajili chama chetubasi Sitta angegombea urais kupitiaCCJ na CHADEMA wangetuungamkonordquo anaeleza Ngrsquohily Kuibuka kwa Ngrsquohily kuelezeaushiriki wa Sitta na Dk Mwakyembe

KIZUNGUMKUTI page 13

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

9FeedJournal Basic

Kikwete Asipomdhibiti IGP Mwema na Polisiwake wababe Yatamkuta ya Mubarakby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 22900 AM

Rais Kikwete na Waziri Mkuu Pindana wakuu wa vyombo vya dolaWakwanza kushoto ni CDF (Mkuu waM a j e s h i ) D a v i sMwamunyangeakifuatiwa na IGP(Mkuu wa Jeshi la Polisi) Mwema naDGIS (Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa) OthmanRashid Sio siri kwamba Jeshi la PolisiTanzan i a l i na s i f a cha fu nayayumkinika kuamini kuwa ni taasisiinayochukiwa sana na walalahoiSifakuu mbili za jeshi hili linaloongozwana IGP Saidi Mwema ni RUSHWAILIYOKUBUHU na UBABE WAKUPINDUKIA S i f a h i z o z i n a h u s i a n a k w akaribuRushwa ya polisi inachangiwazaidi na kipato duni kisichoendana nawajibu wao (ambao kwa asilimiakubwa hawautekelezi)Kutokana nau g u m u w a m a i s h aunaowakabiliambao tegemeo kubwala kuutatua ni kwa kulazimisharushwa (wakinyimwa hawakawiikumbambikia mtu kesi)askari wajeshi la polisi wanakuwa na hasiramuda wo te Lak in i bada l a yakuelekeza hasira hizo kwa mwajiriwao-yaani serikali-wao wanaelekezahasira hizo kwa wananchi wanyongewasio na watetezi (sambamba nawanasiasa wa vyama vya upinzanihususan Chadema) Kingine kinacholifanya jeshi la polisilifanane na Nazi Police wa Hitler niuhaba wa elimuPolisi limekuwakimbilio la vilaza (watu wenye uwezoduni kimasomo) na kwa upandemwingine jeshi hilo limegeuzwamahala pa vigogo kupeleka watotowao watukutuKimsingijeshi hilihalina nidhamu isipokuwa kwavigogo na mafisadi wanaowatunza Inafahamika kuwa Rais JakayaKikwete na IGP Said Mwema wanamahusiano ya kibinafsi zaid ya hayoya kiserikaliNa hili ndio tatizo lak u e n d e s h a n c h ikiushkajiKinachompa jeuri kubwaIGP Mwema ni ukweli kwamba mojaya sababu zilizopelekea kupewawadhifa huo ni ukaribu wake naKikweteKwa maana hiyo anajuawazi kuwa Kikwete hawezi kumtosahasa kwa vile uteuzi huo ni wamisingi ya nilinde nikulinde Lakini Kikwete akae akitambuakuwa moja ya sababu zilizopelekadikteta Hosni Mubarak kungolewamadarakani huko Misri ni unyama wajeshi lake la polisiJeshi hilo ndilolililopelekea vifo vingi wakati wamaandamano ya kudai mageuzi

nchini humoKama wenzao waT a n z a n i a p o l i s i w a M u b a r a kwalikuwa wanafahamu lugha mojatuUBABE Kikwete atambue kuwa kuwaachiawahuni waliovaa yunifomu za polisiw a n y a n y a s e w a n a n c h iwapendavyowaue wanachi kilaw a n a p o j i s k i a n a w a e n d e l e ekuwabambikia kesi walalahoisiku yasiku wananchi hao wataamua liwalona liweUbabe sio ufumbuzi wa kilakituKulikuwa na tawala ngapi zakibabe zilizoishia kuwa historia Kikwete na serikali yake ya CCMhawawezi kukemea uhuni na ukatiliwa polisi kwa vile jeshi hilokamaz i l i v y o t a a s i s i n y i n g i n e z adolalimeendelea kuwa tawi lislorasmi la chama tawalaLaiti Kikweteangekuwa anathamini haki zabinadamu asingeruhusu jeshi hilol i t a n g u l i z e n g u v u h a t a p a l epanapohitaji diplomasiaKwaniniawakemee ilhali wanawakomoaC h a d e m a n a w a l a l a h o iw e n g i n e U n a d h a n i K i k w e t easingechukua hatua laiti polisiwangelalamikiwa na mafisadi Eneweisoma habari zifuatazozinazohusu jeshi hilo la polisi Polisi wapambana na raia DarWednesday 25 May 2011 2156 Felix Mwagara na Ellen ManyanguVURUGU kubwa zilizuka usiku wakuamkia j ana ka t ika eneo l aKigamboni Dar es Salaam baada yamaofisa wa Manispaa ya Temekekuendesha operesheni ya kubomoavibanda vya wafanyabiashara wadogokwenye hifadhi ya barabara I l ib id i po l i s i ku ing i l i a ka t ikuwatawanya wafanyabiashara haowaliokuwa na hasira wakipingauharibifu wa mali zao wakidai kuwamkakati huo umetekelezwa bilawahusika kupewa taarifaZaidi yamabanda 50 ya wafanyabiashara haoyalibololewa katika agizo hilokwenye eneo lililopo karibu na Feriambalo mji wa Kigamboni unakuakwa kasi Baadhi ya walioshuhudia vuruguambazo ziliandamana na vitendo vyauporaji wa mali na fedha walisemawafanyab iashara wapa tao 50 walikamatwa Hadi jana mchanakulikuwa na idadi kubwa ya polisikwenye eneo hi lo wakiwazuiawafanyabiashara hao wasifanye fujohuku maofisa wa manispaa wakibebabidhaa mbalimbali zilizozagaa hapo Wafanyabiashara hao walisemakwamba walilazimika kupambana naaskari hao ili kunusuru mali zaokatika mpango huo uliotekelezwa bilanotisiIlitulazimu kupambana ili kuokoajapo mali kidogo kwani ubomoaji huoumefanyika usiku wa manane pasipo

taarifa yoyote Hatujapewa notisiyoyote ya kuhama katika eneo hilia l i s e m a R a j a b u M o h a m e d Mwenyekiti wa wafanyabiasharakatika eneo hilo Omary Mkwesualisema tukio hilo ni la kusikitishakwa sababu wamepoteza mali nyingi Alihoji kuwa kama ubomoaji huoulikua wa haki kwa nini wasingewapanotisi ili walau watoe mali zao katikamabanda hayo Alidai kwamba hatua hiyo ni njamaza diwani wa eneo hilo Zoezi hilil imesimamiwa na diwani wetuambaye amekuwa akitutishia kwam u d a m r e f u k u w a i p o s i k uatatubomolea na kwa kuthibitishahilo tumemuona akisimamia zoezihili la ibomoaji hovyo saa naneusiku Hata hivyo Diwani wa eneo hiloDotto Msama alikanusha kuhusika natukio hilo akisema Manispaa yaTemeke ilishatoa notisi zaidi ya sitakuwataka wafanyabiashara haowaondoke katika eneo hiloJambo hili limenisikitisha hata mimina sasa hivi naelekea manispaakuongea na uongozi wake juu yatukio hili Ni kweli sikuwa na taarifaza zoezi hili kufanywa leo tena usikuwa manane ila notisi zilishatolewa nanakala yake iko kwa mtendaji namwanasheria wa manispaa P o l i s i k w a u p a n d e w a k e wamekanusha kuwanyanyasawananchi hao na kusema walikuwepokwa ajili ya kulinda usalama hasabaada ya wananchi hao kufungabarabara CHANZO Mwananchi Na habari ifuatayo ni kuhusu mojaya SIFA KUU MBILI za Jeshi laPolisiyani RUSHWA (nyingine niUKATILI) Polisi mahakama zazidikutajwa kwa rushwa Wednesday 25May 2011 2154 Minael Msuya IDARA za POLISI na Mahakamazimetajwa tena kuwa ni taasisi suguzinazoongoza kwa kudai rushwanchiniKituo cha Sheria na Haki zabinadamu (LHCR) katika taarifa yakeimezitaja idara hizo kwamba ndizokinara kwa kudai rushwa Hivikaribuni Taasisi ya Kupambana nakuzuia Rushwa Takukuru) nayoilizitaja idara hizo kwamba ndizozilizo mstari wa mbele kudai rushwanchini

Ripoti ya mwaka 2010 ya LHCRiliyofanywa katika mikoa 26 nchinina kuhoji watu zaidi ya 5000ilibainisha kuwa polisi inaongozakwa asilimia 651 huku Mahakamaikifuatia ikiwa na asilimia 564Akisoma ripoti hiyo Mwanasheriawa LHCR Pasience Mlowe alisemapolisi na mahakama zinaongoza kwarushwa na matumizi mabaya ya ofisina kwamba zinashika nafasi ya 10kwa Afrika MasharikildquoUtafiti wa LHCR ulibaini kuwapolisi na mahakama ni taasisi suguzinazoongoza kwa rushwa nazinashika nafasi ya 10 kwa AfrikaMasharikirdquo alisema Mlowe Alisema Mamlaka ya MapatoTanzania (TRA) nayo inafuatia kwaasilimia 378 na kwamba inaendeleak u s h u k a k i w a n g o k i l a s i k uikilinganishwa na 2009 ambapoilikuwa katika nafasi ya tano ldquoHalihii inayonyesha ni jinsi gani baadhiya watu walivyozitelekeza sheria nahaki za binadamu wananchi wengiwanataabika usiku na mchana lakinihawapati haki zao stahiki tunaombamarekebisho ya vifungu vya sheriayafanyiwe kazi ili haki ya binadamuiweze kupatikanardquoalisema Mlowe alisema matatizo hayo yataas is i h izo nyet i za ser ika l iyanachangia kwa kiasi kikubwakuzorotesha uchumi wa nchi nak w a m b a s e r i k a l i i n a t a k i w akusimamia sheria muhimu Kwau p a n d e w a k e M t a f i t i n aMwanasheria wa LHCR OnesmoOlengurumwa alieleza kuwa utafitihuo ulibaini kuwa mauaji ya raiawengi yanasababishwa na vyombov y a d o l a k u t o k a n a n a w a okuj ichukul ia sher ia mikononi ldquoVifo vya watu 52 vilivyotokeamwaka 2010 vilisababishwa nawalinzi wa kampuni mbalimbali napolisi kwa kujichukulia sheriamikononi badala ya kutumia sheriai n a y o w a o n g o z a rdquo a l i s e m aOlengurumwa na kuongeza rdquoMfanomzuri ni wananchi wanaoishi kandoya Mgodi wa North Mara kuleTarime wanauawa bila sababu naukichunguza utakuta sheria za mgodiw a l i n z i w a k a m p u n i n d i owanaopaswa kulinda eneo lote sasaserikali inaingiliaje hukordquoalisema A l i s e m a m a u a j i y a w a t uyaliyotokana na mgodi huo serikalihaiwezi kujitetea kwa lolote nakwamba utetezi wake ni wakisiasaAlisema serikali ikisimamia tume yasheria na haki za binadamu nchiitaweza kuondokana na changamotoz a u k i u k w a j i w a h a k i h i z oz i n a z o i k a b i l i CHANZO Mwananchi

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

10 FeedJournal Basic

Makala Yangu Katika Gazeti La RAIAMWEMA Toleo la Juni 1 WawekezajiWavumiliwe Hadi Liniby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 612011 90100 PM

Karibu msomaji mpendwa usomeM A K A L A Y A N G U Y A N G UKATIKA TOLEO LA WIKI HII lagazeti linaloongoza nchini Tanzaniala Raia MwemaMakala nzima hiihapa chini Wawekezaji wavumiliwe hadi linikwa mauaji haya Evarist Chahali Uskochi Juni 12011 JUMAPILI iliyopita ilikuwa ni sikuambayo mimi na familia nzima yaChahali tuliadhimisha mwaka wa tatutangu mama mpendwa AdelinaMapango aage dunia Kwangu nakwa wanafamilia wengine kifo champendwa huyu ni kama kimetokeajana kwani bado tumegubikwa namajonzi makubwa Kifo hicho cha mama kimeathiri sanamaisha yangu Nilipofika hukonyumbani kwa ajili ya kumuuguzatayari alikuwa ameshapoteza fahamuMatumaini yangu kuwa labdaangepata nafuu japo kidogo yalikuwayakififia siku hadi siku kwa mudawote wa miezi mitatu aliyokuwaamelazwa Nilitamani angalau afungue mdomokunipa japo wosia ( japokuwasikutaka kabisa kuamini kuwaugonjwa wake ungeweza kusababishamauti yake) lakini haikutokea hadianafariki Kipindi tunamuuguza mama wakatina baada ya msiba kiliniwezesha piakulielewa vyema jambo moja lamsingi ambalo marehemu alikuwaakilisisitiza sana wakati wa uhai wake- upendo Nadhani hakuna mtu katika familiayetu ambaye hakuwahi kumlaumumarehemu mama kwa ldquokuendekezasana upendordquo Kuna wakati tulikuwatunash indwa kumuelewa pa lealipowathamani watu waliomtendeamabaya Siku zote alikuwa akisisitizakuwa kazi ya kuhukumu sio yetuwanadamu bali ni ya MwenyeziMungu Kadhalika alikuwa muumini wavitendo wa mafundisho ya kirohokwamba ldquohuwezi kudai unampendaMungu ambaye hujamwona ilhaliunamchukia binadamu mwenziounayemwonardquo Nakumbuka vizuri sana mahubiriyaliyotolewa na padre kabla yamaz i sh i ya marehemu mamaAlitufariji kwa kutuambia kuwa japosie tulimpenda Adelina lakini babayake (yaani Mungu) alimpenda zaidin a n d i o m a a n a a l i a m u ak u m c h u k u a T a n g u s i k u h i y onimekuwa nikiitumia kauli hiyokuwafariji wafiwa Kadhalika tulipewa wosia kwamba

japo tuna kila sababu ya kumliliamarehemu lakini njia mwafaka yakumwenzi ni kudumisha mema yakena kuzingatia mazuri yake yoteyaliyopelekea msiba wake kuvutaumati mkubwa Kabla ya kufikwa na msiba huonilikuwa nimeshahudhuria misibambalimbali lakini katika misiba yotehiyo sikuweza kuelewa kwa undaniuchungu waliokuwa nao wafiwa Siokwamba sikuguswa na misiba hiyobali ni ukweli kwamba ni vigumuk u z i e l e w a h i s i a p i n d i t u k i olinalosababisha hisia hizo halitokeikwakoWote tunalia misibani lakiniuchungu wanaosikia watu wa karibuzaidi na marehemu ni tofauti na watuwengine Baada ya msiba huo wa mamai m e k u w a k a n a k w a m b a k i f okimechukua maana mpya kwanguKila ninaposikia taarifa za vifoninarejea uzoefu niliopitia na kupatapicha ya kinachowasibu wafiwa Ni katika mantiki hiyo niliposomahivi karibuni taarifa za kifo chamkazi wa Kigamboni marehemu LilaHassan aliyefariki kwa kinachodaiwakuchomwa moto na mwekezajimwenye asili ya Kiasia nilipatwa nauchungu kana kwamba marehemu nindugu yangu Uchungu huo uliongezwa na ukwelikwamba n ik iwa mgen i hapaUingereza n inaelewa wazawaw a n a v y o p e w a k i p a u m b e l ek u l i n g a n i s h a n a s i e w a g e n i Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneola tukio marehemu alikumbana namkasa huo baada ya kuingia eneo lahoteli ya mwekezaji pasipo kulipakiingilio Hivi binadamu hao wenyeroho ya kinyama walishindwakuelewa kuwa lai t i marehemuangekuwa na uwezo kama waowawekezaj i as ingeweza japokufikiria kuingia eneo hilo bilakiingilio Kwa vile wao walimudu kujaTanzania kutoka huko walikotokawakanyenyekewa kwa ugeni wao nafedha zao na kupewa hadhi yauwekezaji basi wanadhani kilabinadamu ana ldquobahatirdquo kama hiyo Ninasema ldquobahatirdquo kwa vile ndivyoi l ivyo kwa anaye tokea kuwalsquomwekezajirsquo katika nchi yetu ambapobaadhi ya wawekezaji wamegeukakama miungu-watu kwa j ins iwatawala wetu wanavyowapapatikia Na usidhani upapatikiaj i huou n a t o k a n a n a ldquo u m u h i m u w awawekezajirdquo bali sana sana ni katikakuhalalisha ldquoteni pasentirdquo zao naufisadi mwingineo Kabla hatujasahau yaliyomkumbamarehemu Lila wala kufahamu hatmaya fedhuli hao waliomchoma motowakazi wa kijiji cha Nyamongomkoani Mara nao wameletewamajonzi

Tofauti na tukio la Kigambonia m b a p o w a h u s i k a w a l i k u w amwekezaji na wapambe wake katikatukio la hivi kartibuni la hukoNyamongo (Tarime) wahusika niWatanzania wenzetu wanaolipwamshahara kutokana na kodi zawananchi na-kibaya zaidi-ni watutuliowakabidhi dhamana ya usalamawa raia Katika kuendeleza utamaduni waowa ldquochinja chinjardquo askari wa jeshiletu la polisi waliwapiga risasi nakuwauwa wakaz i wa t ano waNyamongo kwa tuhuma za kuvamiamgodi wa dhahabu Waliua kinyamakulinda lsquomali ya mwekezajirsquo nap e n g i n e k w a m a e l e k e z o y am w e k e z a j i Kama ambavyo tulishuhudia katikavurugu zilizosababisaha mauaji yaraia watatu wasio na hatia hukoArusha (wakati wa maandamano yawafuasi wa CHADEMA) wafiwawamejikuta wakiongezewa machungukwa kauli zisizo za kibinadamukwamba wal iouawa wal ikuwawahal i fu Sasa kama kweli ni wahalifu kwanini basi serikali ilitaka kubebagharama za mazishi ya ldquowahalifurdquohao Tulimsikia Naibu Waziri wa Mamboya Ndani Balozi Hamis Kagashekialivyozungumzia tukio hilo nahatukupata shida kugundua kuwahajisikii uchungu wowote kutokanana vifo vya raia hao Katika maelezo yake waliuoawa nim i o n g o n i m w a w a h a l i f uwaliokwenda kwenye mgodi husikawa mwekezaji kwa minajili ya kuporadhahabu Hivi mwanadiplomasia huyu hatumiibusara japo kidogo kutambua kuwaanachozungumza ni upande mmoja tuwa tukio Hapo ninamaanisha kuwamaelezo aliyopewa Naibu Wazirihuyo ni kutoka Jeshi la Polisi ambalondio watuhumiwa wa mauaji hayo H a l a f u k a m a K a g a s h e k iameshahitimisha kuwa kilichowapa

ruhusa polisi wake kuua ni uvamiziwa raia hao eneo la mgodi sasa hiyotimu ya wataalamu iliyoundwa naIGP Said Mwema kwenda Nyamongoilikwenda kuchunguza nini maanaKagasheki ameshatueleza chanzo chatukio hilo Kwa bahati mbaya matukio yakusikitisha kama haya yataendeleakutokea kwa sababu baadhi yaviongozi na watendaji serikalinihawaja l i thamani ya uhai waWatanzania wenzao Kwa akinaKagasheki kwa mfano kabla hatauchunguzi haujakamilika jambo lamuhimu kwake ni kutetea kwa ninipolisi wameua raia hao pasipo kujalivifo vya marehemu hao na maumivuyanayowakabili wafiwa Tukiweka kando tukio la Kigambonina hili la Nyamongo kuna mauajitakriban kila mwaka yanayotokeakatika migodi nchini hususankwenye machimbo ya Tanzanite kuleMererani C h a n z o c h a m a u a j i h a y oyanayofanywa na walinzi wa migodihiyo kwa maelekezo ya wawekezajini mivutano ya muda mrefu yakimaslahi kati ya wawekezaji hao naa m a w a c h i m b a j i w a d o g o a uwanavijiji wa vijiji vinavyopakana namigodi hiyo Jambo la kusikitisha ni kwamba kilamauaji hayo yanapotokea Serikalihususan Jeshi la Polisi huteteawawekezaji hao wa kigeni hata paleinapoonekana dhahir i kwambahawakuwa na sababu yoyote muhimuya kuua Inasiki t isha kwambalinapokuja suala la wawekezaji wakigeni Serikali inasita kuwapenda nakuwatetea raia wake Kama nilivyoeleza mwanzonildquohuwezi kumpenda Mungu ilhaliunamchukia jirani yakordquo ndivyoambavyo haiwezekani kuipenda nchik a m a h a k u n a m a p e n d o k w amwananchi mwenzako Laiti askariw e p e s i w a k u f y a t u a r i s a s iwangekuwa na upendo kwa wananchiwenzao matukio kama ya Arusha nahuko Nyamongo yasingetokea Na kama mwekezaji wa Kigambonialiyemchoma moto Lila angekuwa naupendo kwa sie wenyeji waketuliomkaribisha kuwekeza nchinitukio hilo la kinyama lisingetokeaVivyo hivyo kwa wawekezaji waMererani na migodi mkingine nchini Tukiweza kutafsiri upendo wa ngaziy a f a m i l i a n a u k o o k i s h akuuhamishia kwa majirani zetu nahatimaye wananchi wenzetu nidhahiri kuwa ubinafsi ulafi ufisadina uhalifu mwingine dhidi ya taifa naWatanzania wenzetu kwa ujumlautapungua kwa kiasi kikubwaPamoja na makala hiiusikose kusomamakala nyingine na habari motomotokatika jarida la RAIA MWEMA kwakubonyeza HAPA

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

11FeedJournal Basic

Weirdest workplace disputesby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5302011 102200 PM

July 9 2007 Weirdest workplace disputes Last week the Employment AppealT r ibuna l c e l eb ra t ed i t s 30 thanniversary We marked the occasionby trawling the archives and dustingoff some of the more colourful UKemployment disputes from the pastfew years Alex Wade and Alex Spence 14 CSI Farnham Tony Price themanaging director of WStore UK anIT company based in Surrey demanded that his 80 staff submit to aDNA test after a piece of chewinggum got stuck to a directorsrsquo suittrousers When his global e-mailpointing out the firms chewing gumban leaked to the media Pricecheekily suggested he would forcestaff to take lie detector tests to flushout the culprit 13 Hands on treatment A 34-year-old masseuse sued the prestigious OldCourse Hotel at St Andrews for unfairdismissal and sexual discriminationafter she was allegedly fired foraccusing an A-list celebrity client oflewd conduct the employmenttribunal later identified the celebrityas Kevin Costner after his name waspos ted a l l ove r the in t e rne t According to the masseuse theDances With Wolves star removedhis towel and asked her to touch himeverywhere Costner who was onhis honeymoon and taking part in ag o l f t o u r n a m e n t d e n i e d t h eaccusation vehemently The hotellater settled with the woman 12 Porn at sea No thanks Theclicheacute of men in the armed servescheering themselves up with top-shelfliterature is well established but itwas too much for the Reverend MarkSharpe 37 The trainee chaplain leftthe Royal Navy declaring himselfldquohorr i f iedrdquo by the amount ofpornography below decks and issueda claim for sexual harassment anddiscrimination on the ground of hisreligious beliefs At a tribunal inExeter the Navy admitted sexualharassment but denied the religiousdiscrimination charge ReverendSharpe accepted an undisclosed sumin damages and is now a rural rector 11 Fine whine A Muslim insurancesalesman took offence when hisemployer began offering bottles ofwine for good performance ImranKhan 25 said that Direct Linersquosincentivisation scheme put him at adisadvantage because his religionforbade him to drink alcohol and hesought damages for ldquohurt feelingsrdquoHe lost 10 Witches have rights tooSommer de la Rosa a formerteaching assistant at the DorothyStringer School in Brighton accusedthe school of unfairly dismissing herbecause she was a witch The 34-year

-old claimed she had been made toldquofeel like a freakrdquo after she wasforbidden from wearing a pentagramand colleagues compared her Wiccanbeliefs to communism The schoolclaimed she had been let go becauseof her poor attendance The disputewas settled out of court 9 Chard is for lovers Sally Bing a31-year-old town clerk won herclaim for sexual discrimination andvictimisation against the mayor ofChard Tony Prior after the 67-year-o ld pu ta t ive lo thar io becameinfatuated with her ldquoWe werestanding shoulder to shoulder lookingat a wall map of Chardrdquo the mayorexplained ldquoWhen she stood close tome it sent a sexual thrill through meThat was possibly when I wonderedwhether she had sexual feelingstowards merdquo The married Priorinvited Bing on a walking tour ofAndorra and his advances eventuallybecame so bad she rearranged thefurniture in her office to create anescape route in case he appearedBing was awarded pound25000 from thecouncil and pound33697 from Prior Andall that from staring at a map ofChard 8 Wicked witchcraft Sariya Allen ateaching assistant who quit her jobafter three years at Durand primaryschool in Stockwell London suedt h e s c h o o l f o r a l l e g e d l ydiscriminating against her PentecostalChristian beliefs Allen had beendisciplined for refusing to let a childread Harry Potter claiming i tglorified witchcraft She lost 7 Donrsquot call me ginger SarahPrimmer a 41-year-old formerwaitress at the Rendezvous Cafeacute inP l y m o u t h w a s a w a r d e d aldquostaggeringrdquo pound17618 for unfairdismissal and sexual harassment aftersuffering taunts over her ginger locksPrimmer alleged the cafeacutersquos nightmanager had made a series of lewdand embarrassing comments in frontof other staff because ldquothey wanted toknow if the colour of my hairmatched the rest of my bodyrdquoDespite her vindication in the eyes ofthe law Primmer was intent on

ridding herself of her affliction ldquoI amgoing to try and get it lighter andlighterrdquo she said ldquoIt is not nice to begingerrdquo 6 Manrsquos best friend David Portmansuccessfully sued the Royal Mail forunfair dismissal after he lost his jobfor taking time off to mourn the deathof his dog The postman had missed137 days in five years for reasonsincluding breaking his foot whenpushing mail through a letter boxspraining his ankle when standing ona piece of wood and being injured ina car accident Throughout hisfaithful hound Brandy had providedunstinting companionship When onemorning he found her dead at the footof his bed Portman took her demisebadly and failed to show up to workfor a week He returned to find he hadbeen sacked A tribunal found thatldquonone of the claimantrsquos absenceswere for other than wholly legitimateand genuine reasonsrdquo 5 Foamy sales pitch WayneSimpson an EDF Energy salesmanlost his pound28000-a-year job after hesent a customer a picture of himselfsitting naked drinking whisky in abubble bath Simpson had met thefemale customer while selling door-to-door on Tyneside he obtained hernumber and later sent the picture witha message saying ldquoFancy going outfor a drink sometimerdquo The womandidnrsquot and instead reported him to thecompany and the police Simpsonaccused EDF of lacking a sense ofhumour ldquoI wasnrsquot even showing offmy naughty bitsrdquo he said 4 The farting chair Sue Storer a 48-year-old teacher at Bedminster DownSecondary School in Bristol soughtdamages of pound1 million for sexdiscrimination and constructivedismissal claiming she had beenforced to sit in a chair that madeembarrassing sounds every time shemoved ldquoIt was a regular joke that mychair would make these fartingsounds and I regularly had toapologise that it wasnrsquot me it was mychairrdquo she said Requests for a newchair had been repeatedly ignoredwhile male colleagues were given

sleek executive-style chairs she saidHer claim was thrown out 3 Look out for the flour CarolineGardener a lesbian shop worker at aBooker Cash and Carry won herclaim for unfair dismissal after shewas fired following an altercationwith a customer Gardner ofEastleigh Hampshire claimed acustomer abused her because hecouldnt find any lime cordial tellingher to Get your sex life sorted outShe responded by throwing a bag offlour at him ldquoWhen he called me afilthy dyke I had a pack of flour inmy hand and although I regret itnow I threw it at the back of hisheadrdquo she admitted ldquoHe then turnedround and said lsquoYou are a dyke andyoursquore going to get the sackrsquordquoGardner lost other claims for breachof contract and discrimination on thegrounds of her sexual orientation 2 Legal tender Fred Raine wasawarded pound2300 after an industrialtribunal agreed that his formeremployer Leersquos Coaches in LangleyMoor had underpaid him when heleft the company due to illness in2005 Nothing out of the ordinary inthat but the same cant be said for hisformer boss Malcolm Lees chosenmethod of payment The first pound1000of Raines severance pay was paid bycheque but the remaining pound1300turned up at his door in the form of acrate full of coins weighing 11 stoneRaine described the gesture asunacceptable and said he wasconsulting his lawyer 1 An axe to grind James Robertsona convicted murderer who had servedhis time and was working as a healthinspector for Preston City Councilfound himself back behind bars afterthreatening a colleague with an axeduring an argument at an Indianrestaurant in 2001 The council (notunreasonably you might feel)terminated his employment withoutnotice but Robertson sued for breachof contract The employment tribunalruled that the Council had actedillegally in not giving Robertson

WEIRDEST page 17

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

12 FeedJournal Basic

WAANDISHIcontinued from page 3

kwa jina la Mwita Nyankaira nakuongezaWalianza (polisi) kupiga mabomu yamachozi kuwatawanya watu na ndipowalipowakamata kina Lissu nawengine Sisi tulifanikiwa kukimbia A l i s e m a b a a d a y a p o l i s ik u w a s a m b a r a t i s h a w a n a n c h i wa l i rud i hosp i t a l in i hapo nakuchukua maiti hao na kuanzakuwapeleka usiku huohuo kwenyefamilia za wafiwa Habari zimeeleza maiti ya ChawaliBhoke ilipelekwa katika Kijiji chaBonchugu wilayani Serengeti naM w e n y e k i t i w a k i j i j i h i c h o Mwikwabe Makena alisema kulikuwana vurugu kubwa jana asubuhi kijijinihapo baada ya polisi kuwalazimishandugu kupokea mwili huo kwa ajiliya kuuzikaKumekuwa na vurugu kubwailiyoambatana na polisi kurushamabomu ya machozi alisemamwenyekiti huyo Maiti nyingine ilipelekwa katikaKijiji cha Nyakunguru Kata yaKibasuka Mwenyekiti wa Kitongojicha Nyamanche kilichoko kwenyekijiji hicho Isaack Marara alisemajana saa 1200 asubuhi alifuatwa namkazi wa eneo hilo Kisabo Ghati nakumweleza kuwa kuna jenezalimewekwa barabarani lakini hawajuikuna nini ndani yakeWatu wal ishtuka sana kwanihawajawahi kuona tukio hilo Babamdogo wa marehemu EmmanuelMagige Ambrose Nyabwanya alidaikuwa saa 600 usiku wa juzi magarimawili ya polisi yalisimama nakushusha jeneza mita 200 kutokanyumbani kwao kisha magari hayoyakaondoa harakardquo Akizungumza na waandishi wahaba r i Da r e s Sa l aam j ana Mwanasheria na Mjumbe wa KamatiKuu ya Chadema Mabere Marandoalisema kitendo cha polisi kuchukuakinguvu miili ya watu hao wanne kwalengo la kwenda kuizika ni kinyumena walivyokubaliana Marando alisema walikubaliana napolisi pamoja na ndugu wa marehemu

Jumapili iliyopita kwamba shughuliza mazishi zifanyike leo katikaUwanja wa SabasabaldquoChadema siyo kama tumeshikiliakidedea msiba huu Tunafanya hivikwa kuwa waliouawa ni makada waChadema na hiyo ndiyo siasa Ripoti ya uchunguzi wa miiliyawekwa hadharani Uchunguzi wa miili ya maiti wannewaliopigwa risasi na askari polisikatika Mgodi wa African BarrickNorth Mara uliofanywa na daktaribingwa kutoka Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii Dk Makattaimebaini kuwa marehemu wotewalipigwa risasi maeneo ambayohayakulenga kujeruhi bali kuua Uchunguzi huo uliochukua saa 427ulianza saa 520 asubuhi hadi saa 947alasiri Upande wa familia za wafiwau l i s imamiwa na Dk GreysonNyakarungu kutoka Hospitali yaWilaya ya Tarime na askari wawiliTaarifa hiyo itakabidhiwa kwahospitali Dk Nyakarungu alisema EmmanuelMagige mwenye jalada la uchunguziwa kidaktari namba za PM152011(TGH) alipigwa risasi katika nyongaya kushoto ambako kulikuwa natundu la duara llilokuwa na upana wasentimita 05 ilipoingilia na sentimita25 ilipotokealdquoMishipa ya damu iliharibiwa kibofucha mkojo mishipa ya fahamumfupa wa nyonga ulisagika damuikavia ndani ya tumbo lakini chini yamgongo karibu na risasi ilipotokeakulikuwa na tundu linaloonyeshakuwa alichomwa na kitu chenye nchakali kama singa ya bundukirdquo alisemana kuongezaldquoTumebishana sana kwa h i lowenzangu wakidai huenda aliangukiakitu kikamchoma ikumbukwe kuwaalipigwa kwa nyuma akikimbia hivyoasingeweza kuanguka chali zaidi yakifudifudirdquo alisema Kuhusu Chacha Ngoka mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM2511 (TGH) uchunguzi ulibainikuwa alipigwa risasi mgongonikaribu na kiuno na kutokea katikati

ya mbavu chini ya titi tundu lakuingilia likiwa ni sentimita za duara03 na ukubwa wa tundu pa kutokeaikiwa ni sentimita tano Mi sh ipa mikubwa ya damuiliharibiwa ini likasagwasagwadamu iligandia kwenye mfumo waupumuaji hali ambayo inadhihirishakuwa alipumua kwa nguvu damuilikwisha mwilini na kuwa alipigiwarisasi kwa mbali Alisema marehemu Bhoke mwenyejalada la uchunguzi wa kidaktari PM3511(TGH) alipigwa risasi yakichwani karibu na sikio na kidondachake pakuingilia ni sentimita zaduara 02 pa kutokea sentimita tanoza duara kwenye paji la uso hivyokuharibu ubongo fuvu na mifupayote kubomolewa Kuhusu uchunguzi wa MwikwabeMarwa Mwita mwenye jalada lauchunguzi wa kidaktari PM411(TGH) alisema alipigwa risasi karibuna nyonga na kuacha tundu lasentimita za duara 35 na risasihaikutoka nje na kuharibu mifupayote ya nyonga misuli ikawaimeharibiwa na kipande cha risasikilikutwa katikati ya misuli (PSOAS)damu ikiwa imevia tumbonildquoKilichoonekana hapo ni kuwawalipigwa risasi kwa mbali tena kwanyuma maana wote zimeingilia kwanyuma na maeneo waliyopigwa risasini yale ya kuua si kuwapunguzanguvu kama walikuwa wamegomakusalimu amrirdquo alisema daktari huyo Kuzuiwa kwa maziko ya pamoja A w a l i C h a d e m a k i l i p a n g akuendesha ibada ya maziko katikaUwanja wa Sabasaba leo kuanzia saa200 asubuhi kabla ya kupelekwakatika vijiji vyao kwa ajili ya mazishiya kifamilia Lissu alisema juzi usiku kuwa lichaya kukubaliana na wanafamilia naKamishina wa Jeshi la Polisi PaulChagonja jeshi la polisi lilibatilishakibali hicho baadayeTumekuwa katika maandalizi yamazishi hayo tangu jana jioni Hatahivyo jioni hii tumeletewa barua yaMkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tarime

kututaarifu kwamba haturuhusiwitena kuwaaga marehemu wetu kamailivyokubaliwa jana alieleza Lissu Waandishi waeleza walivyokamatwa Baadhi ya waandishi waliokamatwakatika sakata hilo walieleza kuwaw a l i k u w a k a z i n i k u t e k e l e z am a j u k u m u y a o Mmoja wa waandishi waliokamatwaalisema baada ya kusikia taarifa juziusiku juu ya polisi kupiga mabomu nakuchukua miili ya marehemu aliamuakuingia kazini kufuatilia tukio hiloldquoTulipofika hapo kijijini tulikuta piakuna mbunge wa viti maalum waChadema sasa wakat i tukiwatunamhoji pol is i wakafika nak u t u k a m a t a w a k i e l e z a k u w atumekuwa tukichochea nduguwasizike miili ya marehemu alisema Alisema kitendo cha polisi kuwahojijana kuanzia saa 510 asubuhi hadisaa 620 mchana kimewafanyawashindwe kuwajibika ipasavyojambo ambalo linapaswa kulaaniwana wadau wote wa habarildquoTulihojiwa hapa kwa zaidi ya saamoja na ilipofika saa 620 mchanawalituambia tusubiri maelekezokutoka kwa kamanda wa polisihellipalisema Mei 16 mwaka huu polisi wilayaniTarime iliwaua kwa kuwapiga risasiwatu wanne kati ya zaidi ya watu1 000 wa l iovamia mgod i waNyamongo wilayani humo kwa lengola kupora mchanga wa dhahabu Tukio hilo lililotokea katika Kijijicha Matongo lilizua msuguano bainaya polisi Chadema na wananchi waeneo hilo ambao juzi waligomakuzika miili ya marehemu hao nakukataa rambirambi ya polisi Habari hii imeandaliwa na AntonyM a y u n g a T a r i m e F r e d e r i c kKatulanda Mwanza na FidelisButahe Dar CHANZO Mwananchi

MAHOJIANOcontinued from page 4

watu wanaotaka kuanza kublogUjumbe wangu ni mwepesi tu KamaMichuzi aliweza na mimi nimejaribukwanini isiwe wewe Kuanzishablogu ni kitu rahisi tu palipo na niaNa kama kuna yeyote anayetakakuanzisha blogu lakini anakwamakwa namna moja au nyingine basinamkaribisha kwa mikono miwilikumsaidia katika hi lo na hatakumfanyia promosheni ya blogu yakekwenye blogu yangu Je kwa maoniyako ni lengo gani kubwa kwamwanablogger Kama nilivyojibuhapo awalilengo ni kuhabarishakufundisha kukosoa na kuburudishaHaya ni malengo yangu makuu japoninatambua kuna wanaoanzisha blogukwa minajili ya kuweka maisha yaohadharani Hilo sio kosa lakiniu k i f u n g u a m l a n g o u n a p a s w ak u t a m b u a s i o h e w a s a f i t u

itakayoingia bali pia hewa chafu nzihata nyoka nk Lakini hey kila mtua n a u h u r u w a k u f a n y aapendacho kula i le ki tu rohoinapenda Watu wengi wanafikiriakublog kwa ajili ya kupata hela Je ninini baadhi ya vidokezo kwa watuwanaofikiria kufanya hivyo Je niukweli upi wa baadhi ya matarajioyanayohusina na nini kinawezakufanywa na nini hakiwezi kufanywawakati wa kublog Ni kweli kunawenye mawazo hayoKwa mtizamowangu money isnrsquot everythingNaomba nifafanue kichaa anawezakuokota tiketi ya bahati nasibu akawamilionea Pengine anaweza kutumiautajiri wake kutibu ukichaa wakel a k i n i l a b e l y a u k i c h a ahaitamwondoka licha ya fedha zakeJambazi anaweza kupora fedha naakapata utajiri wa ghafla Lakini label

ya ujambazi itaendela kuwepo kamasi akilini basi mioyoni mwa watu Nakuna wanaopata fedha kwa kuuza utuwao Na wote hao wanawezakupoteza fedha na utajiri wao kamamzaha v i le Kwa huyo k ichaaanaweza kuz ima l i z i a kwenyematumizi ya kiendawazimu Kwajambazi anaweza pia kuzitapanyakwa vile hakuzitolea jasho kihivyoKwa upande mwingine vitu kamaelimu vinaendelea kubaki milelemaishani unless mwenye elimuakatwe kichwa which means deathNikilipwa mamilioni kwa kubloguilhali mamilioni ya Watanzaniawenzangu wakitarajia nitumie elimuyangu kusaidiana nao kuitengenezaTanzania bora nitabaki kuwa msalitiSintokuwa tofauti na huyo kichaa aujambazi aliyefuma utajiriNdiofedhani muhimu kwa minajili ya kumudu

maisha lakini kuna tuzo kubwamaishani zaidi ya fedha Na kamabloga tuzo kubwa kwangu s ioudhamini mnono wa blogu yangu balimichango wake katika jamii yetuAsanteni kwa mahojiano hayaTunashukuru sana hapa TanzaniaB l o g A w a r d trade k w a k u f a n y amahojiano na sisi na tunakutakiamafanikio mengi katika blog yako Ifyou or someone you know would begreat for our Weekly BloggerI n t e r v i e w p l e a s etanzanianblogawardsgmailcomand tell us

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

13FeedJournal Basic

Uropokaji wa Kikwete wawakeraMaaskofuWamtaka Ataje Viongozi wa DiniWazungu wa Ungaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 662011 104100 PM

Ama kwa hakika Rais JakayaKikwete anaweza kabisa kushindatuzo ya kuiongozi mbabaishajialiyepindukiaHivi inahitaji rocketscience kwa mkuu wa nchi kufahamum a j i n a y a v i o n g o z i w a d i n iwanaojihusisha na uuzaji wa madawaya kulevyakisha akayakalia majinahayo hadi kwenye halfa ya kidini nakulalamika BADALA YA kuchukuahatua stahiliHata askari mgamboangeweza kuchukua hatua katikatuhuma kama hii kwa kuliripoti kwavyombo vya dola K i k w e t e n imbabaishajiperiodNasema hivyokwani hii si mara yake ya kwanzakukurupuka na kauli zake tunazowezakabisa kuziita za kizushi akidaianawafahamu wahal i fuMwaka2006mara tu baada ya kuukwaa uraiskwa nguvu za wanamtandao (ambaob a a d h i y a o l e o w a n a i t w amagamba)Kikwete alifanya kitukokwa kudai sio tu anawafahamu walarushwa bali anawafahamu kwamajinaBadala ya kuchukua hatuastahiliyeye akatoa deadline kuwawajirekebishe la sivyo watamwonambaya Ni dhahiri wala rushwa waliamuakumpuuzana yeye mwenyeweameamua kupuuza deadline hiyok w a n i h a d i l e o h a j a i g u s i atenaUkidhani kuwa labda amejifunzalo lo t e kuhusu t ab i a h iyo yauropokajibaadaye alifanya ziaraBandarini Dar na kudai tena kuwaanawafahamu watu wanaosaidiakukwepa ushuru bandarini haponakwamba atawasilisha majina kwawahusika ili wachukuliwe hatuaKwavi l e ubaba i sha j i uko damunikwakehakuweza kuwasilisha majinahayo wala kuchukua hatua stahili Sasa sijui ni kucnganganyikiwa aumwendelezo wa ubabaishajisafari hiikakurupuka tena na uzushi mwingineakidai kuwa baadhi ya viongozi wadini wanashiriki kwenye biasharaharamu ya madawa ya kulevyaHivijamaniRais mzima anasubiri hadiaalikwe kwenye sherehe ya kidinindio atangaze kuwa anafahamuviongozi wa dini wanaojihusisha nauhalifuIna maana Kikwete hajuimajukumu yake kama Rais waTanzania ni pamoja na kulinda sheria

sambamba na kuchukua hatua dhidiya wanaovunja sheria (includingwazungu wa unga) Lakini safari hiiubabaishaji wakeunaweza kumtokea puani baada yaviongozi wa dini kumpa masaa 48(hadi muda huu yatakuwa yamebakikama 24 hivi) kuwataja hadharaniviongozi hao wa dini anaodaiwanashiriki katika biashara yamadawa ya kulevyaNa wamemtegavizuri kwelikweli kwa kumwambiaaidha ataje majina hayo ndani yamasaa 48 au jamii imhukumu kuwa nimnafiki na mzushi Soma habari husika hapa chini JK awapasha viongozi wa dinibullAsema wapo wanaouza dawa zakulevya na Stephano Mango Songea RAIS Jakaya Kikwete amewaonyaviongozi wa madhehebu mbalimbaliya dini nchini kuacha tabia yakushiriki biashara ya kuuza dawa zakulevya na badala yake washirikianena viongozi wa serikali kuidhibitibiashara hiyo haramu Alitoa kauli hiyo jana alipokuwaakihutubia waumini wa KanisaKatoliki Jimbo la Mbinga wakati waibada maalumu ya kupewa daraja lauaskofu na kusimikwa kwa askofu wajimbo hilo Mhashamu John Ndimbokatika kanisa la kiaskofu la MtakatifuKillian iliyohudhuriwa pia na Raism s t a a f u w a a w a m u y a t a t u B e n j a m i n i M k a p a Alisema baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara hiyo ya dawa za kulevyakwa kuwatumia vi jana ambaohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati za kusafiria (Passport) kwendanchi za nje B a d a l a y a k e R a i s K i k w e t e

amewataka viongozi hao nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisherialdquoInasikitisha sana na kutisha biasharahii haramu sasa inawavutia hatawatumishi wa Mungu taifa letulitaharibika tusipokuwa makini katikah i l i k w a n i b a a d h i y e n ut u m e w a k a m a t a ldquoKwa kauli zenu kemeeni jambo hilikwa kuelimisha jamii hususan vijanawaweze kuepuka na matumizi yadawa hizirdquo alisema Rais Kikwete Chanzo Tanzania Daima Maaskofu CCT wampa Rais Kikwetesaa 48 kuwataja Viongozi wa Diniwauza unga 06062011 L-R Kadinali Pengo Rais KikweteAskofu John Ndimbo (p icha CSikapundwa)Katika taarifa yahabari iliyosomwa leo saa mbili usikukupitia kituo cha runinga cha ITVimetamkwa kuwa Maaskofu waJumuiya ya Kikristo Tanzania CCTwamempa Rais Kikwete saa 48 zakuwataja kwa majina viongozi wotewa Dini anaowatuhumu kuhusuka nabiashara haramu ya madawa yakulenya unga Maaskofu hao wamesema endapoRais atashindwa kufanya hivyo basiitachukuliwa kwamba siyo mkweli Agizo la CCT l i l i to lewa naMwenyekiti wake taifa Askofu PeterKitula jijini Dar es Salaam katikamkutano na waandishi wa habarilinasema ldquoTunampa saa 48 raisawataje kwa majina viongozi haoambao yeye anadai wanajihusisha nakuuza dawa na kama atashindwa

kufanya hivyo tunamtafsir i nimwongo na mzushi Tunasikitishwana kushangazwa kwa kauli hiyo natunamheshimu kama kiongozi wanchi hivyo tunampa masaa hayoawataje kwa majinardquo alisema KaimuMwenyeki t i wa CCT AskofuMokiwa akichangia hoja Kauli ya Rais kuhusu viongozi wadini kuhusika na biashara ya madawaya kulevya inanukuliwa kuwailitamkwa siku ya Jumapili Juni 52011 wakati akiwa aalipowahutubiawaumini wa Kanisa Katoliki la Jimbola Mbinga wakati wa ibada maalumuya kuwekwa wakfu na kupewa darajala uaskofu na hatimaye kusimikwakuwa Askofu wa jimbo la MbingaMhashamu John Ndimbo Misa hiyo ilifanyika katika Kanisa laKiaskofu la Mtakatifu Killian nakuhudhuriwa na Rais MstaafuBenjamin Mkapa pamoja na mkeweAnna Mkapa Rais Kikwete amenukuliwa navyombo vya habari (1) (2) (3) (4)(5) (6) kuwa alisema ldquoInasikitishasana na kutisha biashara hii haramusasa inawavutia hata watumishi waMungu Taifa letu l i taharibikatusipokuwa makini katika hili baadhiyenu tumewakamatardquo ldquoKauli zenukemeeni jambo hili kwa kuelimishajamii hususani vi jana wawezekuepuka na matumizi ya madawa yakulevyardquo Kwamba baadhi ya viongozi haowamekuwa wakishiriki kufanyabiashara ya madawa ya kulevya kwak u w a t u m i a v i j a n a a m b a p ohuwafanyia mipango ya kuwatafutiahati na pasi za kusafiria kwenda nchiza nje kufanya biashara hiyo Raisakawataka viongozi wa dini nchinikuikemea biashara hiyo na kujengauhusiano mzuri na vyombo vya dolakatika kuhakikisha biashara hiyoinakomeshwa kwa kuwafichuaw a h u s i k a w a n a o i f a n y a i l iwachukuliwe hatua za kisheria Wakahoji ikiwa Rais anawafahamuviongozi wa dini wanaohusika nabiashara ya kuuza unga iwejeashinde kuwachukulia hatua zakisheria ikiwemo kuwakamata nakufunguliwa mashitaka Walisema viongozi wa dini wanalojukumu la kutetea na haki mbalimbaliza wananchi na kuionya Serikali paleinapokosea CHANZO Wavuti

KIZUNGUMKUTIcontinued from page 8

katika kuanzisha na kusimamia usajiliwa CCJ kumekuja wiki tatu baada yaFred Mpendazoe kumtaja NapeNnauye kuwa ni miongoni mwawaanzilishi wa kwanza wa CCJ

Mpendazoe aliuambia mkutanomkubwa wa hadhara mjini Njombekuwa yeye Sitta na Mwakyembendio walianzisha CCJ bali yeyea l i t a n g u l i a k u t o k a C C M i l i

kurahisisha usajili wa chama hichoWenzake wal ikuwa wamfuatebaadaye CHANZO Mwanahalisi

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

14 FeedJournal Basic

ALEX KAJUMULO EXCLUSIVE INTERVIEWWITH JESTINA GEORGE BLOGwwwmissjestinageorgeblogspotcomby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5292011 110300 PM

J G C A N Y O U P L E A S EI N T R O D U C E Y O U R S E L F ALEX My name is Alex KajumuloI was born in Muleba BukobaTanzania Currently I live in theUS (Seattle Washington) where Icoach youth soccer and run my ownsoccer training program Its the onlysoccer program run by an African inWashington State When I am notcoaching soccer I am making musicwriting books and designing sportsclothing and gear JG WHEN DID YOU STARTDOING MUSIC amp WHAT KIND OFMUSIC DO YOU DO ALEX I have loved music my wholelife especially when I was a child Ibegan making music professionally in1998 collaborating with my goodfriend Kool James Mtoto wa Danduand the amazing singer Mbilia Bellfrom DRCongo My music can notbe labelled by anyone it is its ownnew style Thats why I called myfirst album Never Before You canfind this album and all of my musicon I-tunes Spotify Amazon andanywhere digital music is sold JG WHAT DO YOU THINK OFBONGO FLAVA amp THE KILIMUSIC AWARDS ALEX As a Tanzanian I loveBongo Flava music But I dont thinkBongo Flava will translate to aninternational market If Bongo Flavamusicians want to get world wideappeal they have to do somethingmore original Someone like RemiOngallo who was a true original hismusic is still being listened to in theinternational world music marketeven today The music is so goodthey l is ten even if they don tunderstand the language You know the Kili Music Awardsstarted from my vision I wrote up aplan for the Tanzanian Music Awardsand gave the plan to James Dandu in1999 Its not an original idea it isjust a copy of the American MusicAwards James and I presented thefirst Tanzanian Music Awards AfterJames died his wife Devota wasable to put on one more TanzanianMusic Awards but then she returnedto Europe The people who are running the KiliMusic Awards took the event overand are continuing to this day Theychanged the name of the Awards andI do not have anything to do with it Idont like the way they manage theawards the awards are only given toinsiders and I dont think it is fair andopen to all Tanzanian musicians Ouroriginal vision was to recognizeoriginal talent no matter who they

were who they knew or how muchmoney they had Especially youngmusicians I am working to res tar t theTanzanian Music Awards so that Ican realize mine and my friendJamess vision of making it for allpeople of Tanzania JG IS THERE ANYTHING THATYOU THINK SHOULD BE DOENTO MAKE THINGS BETTER OR ISIT OK THAT WAY ALEX I am happy for them tocontinue to hold the Kili MusicAwards according to their ownvision But it is not my vision and Iwould l ike to br ing back theTanzanian Music Awards for thepeople One of the awards I amlooking forward to presenting is theJ A M E S D A N D U O R I G I N A LARTIST AWARD for the mostoriginal Tanzanian musician each

year JG WHAT ADVICE WOULDY O U G I V E T O O T H E RUPCOMING ARTISTS amp YOUNGPEOPLE OUT THERE ALEX Youve got to be originalThese days anyone can make musicand record with digital equipment soin order to stand out you must beoriginal JG WHO HAS BEEN YOURINSPIRATION ALEX My inspiration is me I grewwith a lot of problems and no one torely on I rely on myself forinspiration and I have gone far but Ialways put God in front of me foreverything I do but I am notreligious JG WHAT DIFFICULTIES DOUYOU FACE amp WHAT ARE YOURACHIEVEMENTS SO FAR ALEX The most difficult part of

being an independant musician ismarketing your music and makingenough money to eat JG WHERE DO YOU PERFORMIF ONE WOULD LIKE TO SEEYOU PERFOM LIVE ALEX I only really perform forspecial events that involve socialjustice When I do perform Iperform with a large band at least 8members I perform mostly atCollege venues Festivals and bigTheatres I am currently organizing a largeevent to promote Malaria Awarenessin Kyela District Tanzania TheMalaria is Dangerous concert willbe held on Saba Saba Day (July 7)2011 This will be my second bigMalaria is Dangerous Concert Thefirst was held in November of 2010

ALEX page 18

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

15FeedJournal Basic

Kumbukumbu ya Mwaka wa Tatu wa kifo chaMama Adelina Mapango (Mama Chahali)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5282011 91100 PM

I l i k u w adakikamasaasikuwikimwezimiezimwaka na sasa ni mwaka wa tatutangu mama yangu mpendwa AdelinaMapango alipotuacha na majonziambayo kamwe hayatafutika Mara ya mwisho kuonana na mamaa k i w a h a i n i m w a k a 2 0 0 5nilipokwenda nyumbani kwa ajili yafieldwork yanguNovemba mwakahuondoa ya Baba Mzee PhilemonChahali na Mama ilitimiza miaka50yaani nusu karneNiliwarekodikwenye video na kila ninapojaribukuangalia mkanda huo naishiakububujikwa na machoziBila kujuakuwa ananiachia wos ia mamaa l i s i s i t i z a s a n a k u h u s uupendoAliniambia kuwa nikiwamcha Mungu nitaweza kuwapendawatu woteAlinisisitiza kumtangulizaM u n g u k a t i k a k i l anifanyaloAlininiambia pia kuwazawadi kubwa nitakayoweza kumpayeye na mumewe ni kufanikiwakatika masomo na maisha yangu kwaujumlakuwatunza wazazi na nduguzangukwathamini marafiki na jamaazangukuheshimu kazi na pindinikioanimpe upendo mke wangu nawatoto kama ambavyo yeye na babawalivyonipenda M a m a a l i k u w a n a u p e n d ousioelezekaNakumbuka nikiwamdogo huko Kigoma timu ya PanAfrica ilifanya ziara hukoWakatihuobinamu yangu Gordian Mapangoalikuwa bado anacheza mpira (kamaw i n g a m a c h a c h a r i w a P a nAf r i ca ) Bas i Gord ian a l iku jakututembelea nyumbani akiwa narafiki zake marehemu IbrahimuKiswabi na mchezaji mwingine jinalimenitokaWalipoingia tu ndanimama akakaa chini na kumpakataGordian kama mwanae mchangavileJapo nilikuwa mdogo lakini badonakumbuka jinsi marehemu Kiswabin a y u l e m c h z a j i m w i n g i n ewalivyoguswa na upendo wa mamakwa mtoto wa kaka yake (Gordian) Kwa vile mwaka 2005 nilikaaTanzania kwa takriban miezi sitahivinilikuwa nikienda nyumbaniIfakara mara kwa marakila nilipopatafursa nje ya fieldwork yanguKilanilipokuwa hapo nyumbani mamaalisisitiza kunichemshia maji yakuogakunifulia na kunitunza kamamto to mchanga Mamaupendoulionipa nitaendelea kuukumbukahadi naungana nawe huko uliko N i l i m e s h a h u d h u r i a m i s i b ambalimbali lakini kufiwa na mzazi nikitu kisichoelezekaNakumbukanilikuwa Kinondoni Mtaa wa Isisipamoja na binamu yangu Gordian namarafiki wenginena majira ya saa430 usiku nikapigiwa simu kutokaIfakara (maana wakati huo nilikuwa

Dar kwa muda)Ile kupokea tunikamsikia sista (wa kanisani)a l iyekuwa mmoja ya mas i s tawal iokuwa wanamsaid ia s i s tamwenzao (mdogo wangu) Sr Maria-Solana kumuuguza mamaHukuakiliasista huyo akaniambia KakaEvaristmama hatunayeNikamuulizaunamaanisha niniAkaendelak u s e m a m a m ahatunayeametutokaNikawa kaman i m e p i g w a g a n z i v i l e Y a n iilinichukua kama nusu saa hivibaadaya kuondoka Kinondoni na kurejeaSinza (nilipokuwa nimefikia) kupata fahamu kuwa hatimaye mamayangu mpendwa Adelina Mapangoamefariki Niliongea na mama mara ya mwishomwezi Februari 2008Nilipiga simunil ipopata taar ifa kuwa mamamkubwa (dada yake mama) alikuwaamefarikiJapo hali ya mama wakatihuo haikuwa nzuri sanaalisistizakuwa lazima aende kumzika dadayakeNikamsihi mama kuwa kwa halialiyonayona kwa jinsi alivyompenda

d a d a y a k e n i v e m a a s i e n d emsibaniKumbe siku hiyo ndionilikuwa naongea nae kwa mara yamwishoSiku chache baadaye akapatastroke na akapoteza fahamuWikichache baadaye nikaenda Tanzaniakumuuguza lakini kwa bahati mbayahadi anafariki hakuweza kufumbuamdomo kuongea nami Kinachonitia uchungu hadi leo niukweli kwamba siku nilipomtembeleahospitalini Muhimbili baada yakufika Dar alitoa kama tabasamuhiviHata baadhi ya manesi na nduguwaliokuwa wanamuuguza wakasemainaelekea mama amefurahi mwanaenimekwenda kumuuguzaNiliendeleakuwa na matumaini kuwa ipo sikuatapata fahamu na hatimaye kurejeakwenye hali yake ya kawaidaKwabahati mbaya haikutokea hivyo hadianafariki Kwa kweli bado ninauchungu mkubwa sanaKuzidishamachungu hayo ni ndoto za mara kwamara ambapo mama namuonamamaPengine ni kwa vile namuwazasanaau pengine ni kwa vile alifariki

bila kuniambia chochoteMajonziniliyonayo moyoni hayaelezeki Kuna tatizo jingineWakati mamaanafarikibaba alikuwa amemzidikama miaka 10 hiviIkumbukwe piakuwa walikuwa kwenye ndoa kwamiaka 53 wakati mama anafarikiSasababa hadi leo hii anaendelea kuonakama yeye ndiye alistahili kutanguliakabla ya mkewe kwa vile alikuwaamemzidi umriBaba na marehemumama walikuwa zaidi ya mke namumeWalikuwa best friendsBabayangu si mzungumzaji sanana mudamwingi aliutumia nyumbani namkeweKifo cha mama kinamtesasana baba na kila ninapoongea naeanakumbushia uchungu alionao Kuna tatizo jingine piaWadogozangu wa mwisho ni mapachaBabana mama wali jal iwa kuwapatam a p a c h a h a w a w a k a t i u m r iu m e s h a w a t u p amkonoKwahiyoKulwa na Dotowamekuwa kama wajukuu kwa baba

KUMBUKUMBU page 20

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

16 FeedJournal Basic

MAMA PINDA AWA MGENI RASMISEMINA YA WAKINA MAMA NCHINIUINGEREZA (PICHA NA HABARI)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5262011 94300 PM

Mrs Agnes Atim Apea - MotivationSpeaker PhD Student Gender andHIV Reading University Dr BunmiArogunmat - Motivation SpeakerTerrence Higgins TrustMama BaloziTanzania Mama Waziri MkuuTanzania Dr Sylvia Anie DirectorSocial Transformation ProgrammesDivision Commonwealth SecretariatSponsors of the prommmae andMama Balozi Kenya M A M A B A L O Z I J O Y C EKALLAGHE AKIKARIBISHAWAKINA MAMA MARIAM MUNGULA NA MAMAPINDA M J U M B E W A N E C A S H ABARAKA AKIWA NA JESTINAGEORGEMKE WA BALOZI WA KENYAAKISALIMIA WAKINA MAMA MKE WA WAZIRI MKUU MAMATUNU PINDA AKIONGEA NAWAKINA MAMA WAKINA MAMA KATIKA POSENA MGENI RASMI WAKINA MAMA KATIKA PICHAYA PAMOJA YALIOYOJIRI SEMINA YAW A K I N A M A M A N C H I N IUINGEREZA TAREHE 21 MAY2011 TA-UK ikishirikiana na TAWAwaliandaa semina ya akina mamailiyofanyika nyumbani kwa Balozi waTanzania Uingereza Jumamosi 21Mei 2011Mgeni Rasmi alikuwaMama Pinda Mke wa Waziri MkuuTanzania M a d a y a S e m i n a i l i k u w aldquoWanawake kama Wakala waMabadilikordquo na mkazo zaidi kwenye- Mwamsho kuhusu Waafrika waishioUingereza wanaoishi au walioadhirika na UKIMWIrdquo ldquoHIV andAIDS Awareness Seminar forAfrican communities affected by HIVand AIDS in the United Kingdom Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudi ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkimwi kuzungumzia maswala yastigma ubaguzi watu kutokukubali(denia l ) kukubal i na kuwezakujitokeza Inategemewa hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish io

Uingereza Objectives The seminar aims toRaise HIV and AIDS awarenessd i s c u s s i s s u e s o f s t i g m a discrimination denial acceptanceand disclosure of HIV status trainingneeds develop support and socialnetwork groups among the Africancommunities living in the UK Semina ilikuwa katika sehemu mbiliSehemu ya kwanza ilikuwa kwaKiingereza na wazungumzaji wakuuwalitoa changamoto kuhusu AkinaMama kama Wakili wa Mabalikobull Akina mama walikumbushwakwamba afya ni jambo la mhimu kwakila mtu Maendeleo au mabadilikoyeyote yale yana leletwa na watuwenye afya nzuri Kwa hiyo ni vemamama kujali afya yako ikiwa nipamoja na kuungalia mwili wakokama vile kwenda hospital nakupimwa kwa magonjwa mbalimbali kubadilisha mwenendo wakoMama akiweza kujali na kubadilishamwenendo wake yeye atakua mfanona kuwa taa kwa watu waliokaribunaye ndash familia pamoja na jamii kwaujumlabull Kuishi kwa mategemeo ndashldquoLivingpositively with HIVrdquo ndash Hii ilikuwachangamoto sana kwa wajumbe watuwalielezwa kuwa ukiwa na UKIMWIsiyo mwisho wa maisha Mtoa mada

kwanza aliuza swali hivi nania n a w e z a k u m t u m b u a m t ualiyeaidhirika kwa Ukimwi yuko vipiau unaweza kumtambua vipi Jibuhakuna mtu ambaye anawezakutambua labda mtu akiwa mahututikitandani Jibu ni kwamba mtu yeyote Yule anaweza kuwa ana Ukimwilakini hakuna anayejua Mtoa madaalisema kuwa yeye ameadhirika tanguakiwa mdogo lakini sasa hiviameolewa na ana watoto Amesomana anafanya PhD na anaishi maishaya furaha kama watu wote Fundishojamani ukiwa na UKIMWI siyomwisho wa maisha Lakini unawezakufanikiwa kuishi haya maisha kamautapimwa na ikajulikana mapemakuwa umeadhir ika i l i ukapatamsaada

Sehemu ya pili Mama Balozialimkaribisha Mama Waziri MkuuM a m a P i n d a a l i s e m a k u w aamefurahishwa sana na kitendo chaakina mama kukutana na kuwa nasemina nzuri sana iliyoelimishakufumbua watu kuelewa mambozaidi Vile vile alimshukuru MamaBalozi kwa kuweza kuwakaribishawanawake nyumbani kwakeAliahidikuwa endapo atapata nafasi ya kujaUingereza tena atajihidi kukutana naakina mama Semina za uamusho kwa

Vile vile wakati huu wajumbewalipata nafasi ya kupata changamotonyingine toka kwa mtu ambaye vilev i l e a m e j i t o k e z a k u w a y e y eameadhiriwa na Ukimwi alisemasiyo jambo rahisi kujitokeza kwanikuna mambo mengi sana kama vilendashdharau kukata l iwa na ndugukuogopa kuondolewa etc Alisemaameweza kufika hapa kwa sababua l i t a m b u a m a p e m a k u w aameadhiriwa Kwa hiyo changomotoilikuwa jamani tujitahidi kupimwamara kwa mara Kusudu na Mategemeo ya SeminaMakusudu ya semina yalikuwakuwakumbushamwamko kuhusuUkumwi na kuzungumzia maswalay a s t i g m a u b a g u z i w a t ukutokukubali (denial) kukubali nakuweza kujitokeza na na hatimayekuweza kuwa na vikundi vyakusaidiana baini ya Waafr ikahususani Watanzania waish ioU i n g e r e z a T A - U K i t a e n d e l e ak u a n d a a a h i z i s e m i n a k w akushirikiano na vikundi mbali mbalivya Kitanzania Africa Masharikivilivyopo nchini Uingereza HiziSemina zinadhaminiwa na msaadakutoka Commonwealth Secretariat CHANZO Miss Jestina

MAKALAcontinued from page 7

umekuwa ukitegemea kudra zaMwenyezi Mungu inaelekea sasasekta ya afya nayo imeachwa katikamikono ya akina ldquoBabu wa Loliondordquon a n d i v y o p i a W a t a n z a n i a

watakavyozid i kuzama ka t ikautegemezi wa tiba zisizo za kisayansi Ni jambo la ajabu na la kushangazaakwamba yote haya yanatokea wakatinchi yetu inajiandaa kusherehekea

nusu karne tangu ipate uhuru Ndiyomiaka 50 ya Uhuru CHANZO Raia Mwema

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

17FeedJournal Basic

What a joker Mattaka Angoka ATCAjivuniaNembo MpyaNdege Zilizopo jeSIFURIby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 65800 PM

Mwangalie kwanzaHivi abiriawatasafiri kwenye hilo lijinembolisilo na mvutoAu anamaanishawapande kwenye mkono wakealioinuaHovyoooo Unajuabaadhi ya viongozi nchiniTanzania wanatuona sie kamam a c h i z i v i l e H o w c o m e m t uanayeamua kuondoka katika shirikamfu ajigambe kwa kubadilishanemboHuu ni uhuni wa hali yajuuLakini uhuni huu unasababishwana anayeteua wahuni wa aina hiiImean Rais Jakaya Kikwete HiviKikwete anajisikiaje kumsikia rafikiyake Mattaka akiwatusi Watanzaniakwa kujivunia mafanikio ya nembompya ilhali ATC haina ndege hatamoja inayorukaMajuzi tuKikwetekaendelezakulialia kuhusu wasaidiziwake anaodai ni mzigo-kana kwambawalimshikia mtutu wa bundukiawateuena wameendelea kumshikiamtutu wa bunduki asiwatimueHiimisemina elekezi ya kila kukichainasaidia nini katika mazingira hayaya mchezo wa kuigiza wa kisiasaambapo watu wanaosifika kwa tabiazao chafu kul iko ufanis i waowanaruhusiwa kula fedha za walipakodionly kuondoka kwa matusi dhidiya walipa kodi hao hao Its sooo disgustingEneweisomakichekesho hiki kinachoudhi Mattaka angoka ATCL Monday 23May 2011 2156 Fredy Azzah MKURUGENZI Mkuu wa Shirika laNdege Tanzania (ATCL) DavidMattaka ametangaza kustaafu kazihuku akijivunia kubadilisha nemboingawa ameliacha likiwa halina hatandege moja inayoruka Mattaka aliwaambia waandishi wahabari Dar es Salaam jana kuwaalistaafu rasmi Mei 11 mwaka huubaada ya kufika umri wa miaka 60 nakwamba alishindwa kulifufua shirikahilo la umma kwa sababu zilizokuwanje ya uwezo wa menejimenti Alitajamoja ya sababu hizo kuwa ni mzigowa madenildquoNaondoka lakini najivunia kuiondoaATCL chini ya Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) waliokuwawameingia ubia pia najivunia kuletanembo mpya ambayo inatumikasasardquo alisema Mattaka Desemba 2002 Shirika la NdegeTanzania (ATC) lilibinafsishwa kwa

kuingia ubia na Shirika la Ndege laAfrika Kusini (SAA) na kubadilishaj ina lake kuwa ldquoAir TanzaniaC o m p a n y L i m i t e d rdquo ( A T C L ) ldquo W a n a s e m a n a j i u z u l u Hii siyo kweli nastaafu kwa mujibuwa sheria ingetakiwa nistaafukuanzia Mei 11 lakini ni barua tundiyo ilichelewa kuja nimeombakustaafu na nimekubaliwardquo alisemaMattaka Mattaka alisema tangukuteuliwa kwake kuliendesha shirikahilo mwaka 2007 walikuwa na nia yakulifufua lakini sababu zilizokuwanje ya uwezo wao zilikuwa kikwazoldquoShirika lolote la ndege linahitajimtaji ili liweze kujiendesha sisitumechukua shirika likiwa na mtajihasi wa Sh43 bilioni na madeniyaliyofikia Sh23 bilionirdquo alisemaMattaka Alisema katika kujitahidi kulifufuashirika hilo kuanzia mwaka 2007mpaka mwishon i mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamojana kununua ndege moja yenye uwezowa kubeba abiria 50 na kukodinyingine aina ya Air Bus shughuliambayo alisema waliifanya katikamazingira magumu Alisema baada ya mwaka huomafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi

ya asilimia 50 jambo lililoyafanyam a s h i r i k a m e n g i y a n d e g eyaliyokuwa yakiendeshwa bilaruzuku ya serikali kuangukaldquoMwishoni mwa 2009 ndipo serikaliikaanza kutoa fedha kidogo kidogoambazo hata hivyo ilizielekezakwenye kulipa madeni Napenda tukusema kuwa sasa serikali inatakiwakuwa na shirika lake la ndegerdquoal isema Mattaka na kuongezaldquoUnapokuwa katika shirika la ummaukastaafu bila matatizo ni jambo lakumshukuru Mungu kwa hiyo kwasasa napenda tu kumshukuru Mungukwa kunifikisha hapardquo Amlaumu Mkapa Awali Mattakaalisema katika uongozi wake ndani yam a s h i r i k a y a u m m a k a m w ehatamsahau Rais wa Awamu ya TatuB e n j a m i n M k a p a a m b a y ea l i m s i m a m i s h a a l i p o k u w aMkurugunzi wa Mfuko wa Jamii wa( P P F ) k u t o k a n a n a k a s h f ambalimbali ikiwamo ya rushwa naubadhirifu wa fedha Anasema kitendo cha kusimamishwakwake ghafla kilimuumiza sanaingawa anadai kuwa baada ya Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) na Usalama wa Taifak u c h u n g u z a w a l i b a i n i k u w a

hapakuwa na ukweli wowote wakashfa zilizomfanya asimamishwekazildquoUnajua bwana siku zote mti wenyematunda ndiyo hurushiwa mawewaliona majengo yanaibuka tu maraPPF House PPF Tower na kile Kijijicha PPF kule Arusha wakasemal a z i m a h i z i n i 1 0 p e r c e n t rdquoldquoWalichunguza wakakuta yote yalehayana ukweli wowote na wakanilipas t a h i l i z a n g u a m b a z o n d i z ozilinifanya nikae takribani miakaninne mpaka nilivyokuja tena hukuATCLrdquo Alisema ameondoka ATCL nakuliacha likiwa halina hata ndegemoja inayoruka akidokeza kwambamoja ipo Afrika Kusini ikifanyiwamatengenezo ambayo anasemayamekamilika na kinachosubiriwa niSerikali kulipa fedha za matengenezo Alisema ndege nyingine ipo nchinilakini haifanyi kazi kutokana nakuhitaji matengenezo ya lazimaMattaka alisema serikali imemteuaWill iam Haji kukaimu nafasianayoiacha CHANZO Mwananchi

WEIRDESTcontinued from page 11

sufficient notice and ordered it to payh i m t w o w e e k s rsquo w a g e s a scompensation amounting to pound80750SOURCE

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

18 FeedJournal Basic

Worlds New Smallest Manby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 65700 PM

Can I have a short please Tiny teenenjoys his first beer as he becomesworlds new smallest man By DailyMail Reporter Last updated at 324PM on 10th June 2011 Junrey Balawing sips a beer nearlyas big as him as he celebratesbecoming the worlds smallest man The 22-inch Filipino turns 18 onSunday when Guinness WorldRecords will award him the crown -which he takes from Nepals 264-inch Khagendra Thapa Magar Mr Balawing saidI am so excited Iam small but now I am a manI have tried beer for the first time Ilike it but can only have a little Iwant a beautiful wifeI know she will probably be tallerthan me I cant wait for my party Celebration Junrey Balawing fromthe Philippines will be awarded thetitle of the worlds smallest man onhis 18th birthday this weekend Meetthe parents Junrey Balawing with hismother and father Reynaldo (L) andConcepcion in the Philippines Hisproud mother Concepcion 35 and 37-year-old father Reynaldo from a tinyvillage near the town of Zamboangadel Norte have been invited to areception with the local mayor Mrs Balawing said Weve been toldthe people from Guinness need tomeasure Junrey three times in oneday to confirm his height Only thencan he be named the smallest man inthe worldIts very exciting because we are apoor family and things like this havenever happened beforeI cant believe Junrey is going to befamous all over the world and people

are flying from countries like Britainand America to see him The young man is the same size as aone-year-old and loves to ride on topof his fathers shoulders or be carriedby his mother Tiny teen Junrey is so small most ofhis 18th birthday presents are biggerthan he is His family said he stoppedgrowing after his first birthday andhas remained the same size eversince His mother said she first noticedsomething was wrong as Junreyapproached the age of two but nodoctor was able to help

She said He was always sick andwe noticed he wasnt growing so wetook him to see a doctor but theywere baffled When Junrey was 12 the family tookhim back to the doctor but the onlyadvice they received was to give himvitamins which the family couldntafford Too tall Nepalese man KhagendraThapa Magar at 264 inches is nowonly the worlds second smallest manOther doctors in the capital Manilarefused to treat Junrey for less than100000 pesos (pound1500) - more than alifetimes wage for Reynaldo who

works as a blacksmith in a nearbytown He said I am only home atweekends because I have to work somuch to feed the familyBut even if I worked every day forthe rest of my life I couldnt affordthe expensive doctors in Manila He didnt even realise his son was setto be a record breaker until contactedby Guinness He said I was picked up by policeone time then brought to the mayorsofficeThe mayor told me that on Junreysbirthday there will be an importantvisitor who will come and I shouldbring Junrey with meIt was only then I realised Junrey wasabout to become famous far beyondour little villageTheres going to be a big party forJunrey in the town attended by lots ofimportant people Junreys younger but siblings Jaycel13 Jay-art 11 and Jeanritch sixwho are all tall go to school whiletheir older brother stays at home withhis mother Concepcion said I would love to beable to work while my other childrenare at school but I cant leave JunreyHe needs my care every minute ofevery dayJunrey can only walk with some helpand he cant stand for too longbecause hes in too much painBut he loves it when I tell him hesthe smallest man in the world - he isbeaming with pride Size matters The worlds tallest manBao Xishun who stands 79 feetshakes hands with He Ping Ping -who died last year - the smallest manin the world at 288 inches prior toMr Magar

ALEXcontinued from page 14

here in the US YOu can find clipsfrom the concert on my youtubechannel It was also televised locallyand broadcast live on the internet toan audience of over 8 million people JG APART FROM MUSIC WHATO T H E R T H I N G S A R E Y O UI N V O L V E D I N ALEX Soccer is a big part of mylife I have written a book forchildren called Soccer Monster youcan see it at wwwsoccermonsterorgAt that website you can also findinformation about my trainingprogram You can see my youthsoccer team at wwwkajumulofcorgYou can find out more about me andmy music at wwwbabukajucom andwwwalexkajumulocom or becomemy friend on facebook look for AlexKajumulo You can also find me onmyspace at wwwmyspacecom

alexkajumulo I have over 85 songson the market you can buy them at I-tunes or anywhere else and you cansee my videos on my youtube channela t w w w y o u t u b e c o m u s e r a l e x k a j u m u l o JG I HAVE HEARD THAT YOUHAVE A BOOK COMING OUTSOON CAN YOU PLESE TELL USABOUT IT AND WHERE WE CANGET OUR COPIES ALEX My latest book is calledFADHAA and will be released thissummer It is a novel (fiction) thatasks the question When love endsdoes life continue I wrote my firstnovel in Swahili because that is mynative language and I love mylanguage I have written this story forthe people of my country LaterFADHAA will be made into a moviebut I am currently shooting a movie

called Searching for Love whichwill be released next summer (2012)Of course I also have the SoccerMonster book for the children of theworld It is written in Englishbecause it is a universal sport I amplanning more Soccer Monster booksand translat ions into differentlanguages SOURCE The interview wasc o n d u c t e d b y M i s s J e s t i n aGeorgeYou can read the ful linterview in HER BLOG WHICH ISAVAILABLE HERE (CLICK THISLINK)

Gari la ObamaLakwama AkiwaZiarani DublinRepublicof Ireland (PICHA NAVIDEO)

by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5232011 51100 PM

BONYEZA PICHA HAPO JUUKUSOMA HABARI KAMILI CHANZO Daily Mail

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

19FeedJournal Basic

SPORAHcontinued from page 5

inspired by various trends IN HOUSE OF FASHION we sellhigh quality latest trend in fashionaccessories for party office amp casualwears Designs from European latesttrends Stylish amp high quality fashionwear - Shoes Bags Clutches etc inreasonable rates KARIBUNI WOTE MIRIAM AND HER FRIENDNAROLA iMag Which celebrity would youinvite to dinner and why MO I would invite Maria Sarungi asshe has changed the lives of manyyoung women in Tanzania I thinkshe is an intelligent business womanand she is very charming Also if Icould add one more I would inviteB e y o n c e b e c a u s e s h e i s m yinspiration She helps many youngmusicians and she has that starquality iMag If you could only bring onething on a desert island with youwhat would it be and why MO Water We cant survivewithout it iMag What is never miss in yourhand bag MO My make up bag and mobilephone - I would be lost without them iMag What is on your i-pod MO I dont have an i-pod but I listento music by Jennifer Lopez Beyonce I also love Gospel Tinaturner ce l ine d ione whi tneyhouston r ihanna e tc e tc iMag What rsquo s your g rea tes tindulgence

MO Shoes I love shoes I loveshopping and perfume i M a g W h a t rsquo s y o u r m o s te m b a r a s s i n g m o m e n t MO I dont talk about the past iMag Whatrsquos the best advice yoursquoveever received MO 1st is to wake up in the morningand be grateful to God for keepingyou here alive and healthy 2nd is togive iMag What makes you proud to be aTanzanian MO I am so proud to be TanzanianTanzania is not poor but it is poorlymanaged I hope my young brotherJeremiah Kagose will one daymanage everything so that we canhave a better Tanzania withoutcorruption iMag What period in your life haveyou been happiest MO When Iris came into this worldI have lived an exciting life for a longtime and still do in some respects butnow I enjoy being with my daughterIris - she is a joy As you settle into life you willdiscover that the things that make youmost happy really are the most simplethings like spending time with mywonderful fiance and a good nightkiss from Iris wow I am really proud MIRIAM ODEMBA AND HERBROTHER Miriam with her lil brother JeremiaKagose Odemba iMag Do you have any regrets MO No I am a born again Christian

I believe in Jesus Christ and He haswiped my past mistakes away iMag How do you feel about thefuture MO I am looking forward to all thatlife will bring I look forward towatching my daughter grow up (butnot too fast) My future is in Godshands iMag What do you love a part frommodelling MO Taking pictures going tomuseums like the Louvre spendingtime with my friends and my familyshopping eating good food My bestfriend Narola from childhood hasopened up a cupcake businessArusha Cupcakes She makes theyummiest cupcakes You have to tryit iMag Coffee or Tea MO Thank you but I prefer hotwater IMag Thank you Miriam for yourtime and i hope that all works outwell for you and your family GoodLuck And we hope to have yousometime soon on The Sporah ShowMO Aww Thank you Am lookingforward to If youd like to comment on anyaspect please send your emails toimagazinemagazinegmailcom

Tovuti Hii Inaomba KURA YAKO kwenyeTanzanian Blogs Awardsby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5252011 10200 PM

Hatimaye tovuti hii imeamuakushiriki kuwania tuzo za blogu zaKi tanzania z i ju l ikanazo kamaTANZANIAN BLOGS AWARDS Blogu hii inawania tuzo kwenyekundi la BLOGU BORA YA SIASAau kwa kimombo BEST POLITICALBLOG Cha kufanyanenda kwenye link hiihttpwwwtanzanianblogawardscom201104faqshtml K i s h a j a z a k a m a i f u a t a v y o(nimeweka picha za vipengelev i l i v y o p o k w e n y e f o m u y ak u c h a g u l i a b l o g u u i p e n d a y o

Hapa wanahitaji jina la mwandishiwa bloguKwahiyo kama unaonaKulikoni Ughaibuni inastahili basijina linalotakiwa hapa chini niEVARIST CHAHALI Hapa chini wanahitaji j ina lam a k a z i M a k a z i y a n g u n i

GLASGOW SCOTLAND Hapa chini wanahitaji j ina labloguKama ujuavyoblogu hi iinaitwa KULIKONI UGHAIBUNI Hapa chini wanahitaji anuani yablogu unayotaka kuichaguaAnuaniya tovuti hii ni wwwchahalicom

Hapa wanakupa fursa ya kuchagua nikundi gani unadhani blogu uipendayoinastahili tuzoTovuti hii inaombakura yako katika kundi la blogu zasiasayaani hapo chini walipoandikaBEST POLITICAL BLOGWeka tikihapo kwenye kipengele cha 19 Hapa wanaul iza kama bloguuliyoipigia kura ina mambo ya kiutuu z i m a n g o n o N a k a m aunavyofahamuhuo ni mwiko kwatovuti hiiKwahiyokama unaonatovuti hii inastahili tuzotiki hapokwenye NO Malizia kwa kubonyeza kitufekilichoandikwa SUBMIT NATANGULIZA SHUKRANIZANGU ZA DHATI

NURUcontinued from page 6

NURU AM NOT JUST A SINGERAM ALSO A FASHION BLOGGERSO YOU SHOULD EXPECT A LOTMORE FROM ME CAUSE THEREIS MORE COMING INSHALLAH JG Do you have a message for ourreaders and your fans NURU MY MESSAGE TO ALLTHE READERS IS THAT WE ASB L A C K W O M E N S H O U L D

LEARN TO LOVE YOURSELFTOSUPPORT EACH OTHER LOVEONE ANOTHER AND BE GREATR O L E M O D E L S T O O U RCHILDRENTHE TIME FOR ACHANGE HAS COME THATWHEN YOU SEE YOUR FELLOWSISTER TRYING TO MAKE ITLEND HER A HAND AND WALKWITH HER AND TELL HER GO

FOR IT BECAUSE SHE IS WORTHIT AHSANTE Check out the video MUHOGOANDAZI BELOW THANK YOU FOR YOUR TIMENURU amp WE WISH YOU ALL THEBEST JG XOXOXOXOXOXO For more on Nuru visit her blog

NURU THE LIGHT Chanzo Miss Jestina

Rapture inTanzaniaSortofby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 44000 AM

For you guys who Swahili is aforeign languagethe happy dude inthe middle is a BishopSeen in thepicture on the left is him preachingthe Gospel of JesusJoined by the twoladies in a poolthe Bishop couldntresist flashing a RAPTURous smile The same BishopJamal AllyH u s s e i n w h o c o n v e r t e d t oChristianity from Islamis seen posingr o m a n t i c a l l y w i t h a y o u n gg i r l R A P T U R E Photo credit Global Publishers

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

20 FeedJournal Basic

Pongezi kwa Mh Zitto Kabwe kwaUamuzi Huu wa Kizalendoby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 692011 74500 PM

Zitto ajitoa kupokea posho za BungeSend to a friend Thursday 09 June2011 2325 0 digg Mbunge waKigoma Kaskazini Zitto KabweExuper Kachenje MBUNGE wa Kigoma KaskaziniZitto Kabwe ameiandikia barua Ofisiya Bunge kuiomba isimamishekumlipa posho zake zinazotokana navikao vya Bunge kuanzia juziZittoametoa ombi hilo kwa barua rasmialiyoiwakilisha kwa Katibu waBunge Dk Thomas Kashililah Juni 7mwaka huu Katika barua hiyoambayo gazeti hili limefanikiwakuiona Zitto alisema anaamini kuwawatumishi wa Serikali na wabungeh a w a s t a h i l i k u l i p w a p o s h owanapohudhuria vikao rasmi vyauwajibikaji wao wa kawaida Zitto alisema kuwa posho hiyohaistahili kulipwa kwake wabungewengine wala watumishi wa ummakwa kuwa kuhudhuria vikao nisehemu ya kazi zaoKwa mujibu waSher ia ya Utawala wa Bunge(National Assembly Act of 2008) nakwa mujibu wa Masharti ya Kazi zaMbunge niliyokabidhiwa ninastahilikupata posho za vikao (sittingallowances) kila ninapohudhuriav ikao vya Bunge na Kamat izakealisema Zitto na kuongezaNi imani yangu kuwa posho yakikao haistahili kulipwa kwa mbungena mtumishi mwingine yeyote waSerikali kwani kuhudhuria kikao nisehemu ya kazi yangu Kupitiabarua hiyo Zitto ambaye pia niWaziri Kivuli wa Fedha alielezakwamba amekuwa akipendekezaposho za vikao hivyo ifutwe jamboambalo pia limo katika mapendekezoya chama chake (Chadema) katikaBajeti ya 20112012Nimekuwanikipendekeza kuwa posho hii ifutweChama changu cha Chadema piakimependekeza jambo hili katikamapendekezo yake ya Bajeti 20112012 alisema Zitto na kuendeleaMpaka hapo mfumo wa kulipana

posho za vikao utakapofutwaninaelekeza kwamba stahili zanguzote za posho zielekezwe katikaTaasisi ya Kigoma DevelopmentInitiative (KDI) utaratibu huu uanzekuanzia tarehe 862011 K a t i b u w a B u n g e a g o m ak u i z u n g u m z i a Katibu wa Bunge Dk ThomasKashililah alipoulizwa jana kamaamepokea barua hiyo ya Zittoalisema kuwa yeye kama mtendajiwa mhimili huo wa Dola anapokeabarua nyingi h ivyo s i rah is ikukumbuka kama barua hiyo imefikaofisini kwake Lakini akasema hatakama barua hiyo itakuwa imemfikiaofisini kanuni na taratibu haziruhusuBunge kutangaza habari za mtub i n a f s i A l i s e m a o f i s i y a k ehairuhusiwi kuandika masuala binafsiya wabunge yanayofikishwa ofisinina kwamba hilo linawezekana ikiwamhusika (Zitto) ameruhusu lifanyikekwa maandishiHaturuhusiwikuandika habari za mtu NikiwaKatibu wa Bunge napokea baruanyingi personal (binafsi) lakini

k a m a y e y e m w e n y e w eamewaambieni kuwa kaleta baruahiyo basi mwambieni pia atuandikieba rua ku tu ruhusu na s i s i i l itu l i tangaze hi lo a l isema DkKashililah Bajeti ya posho kulipawalimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia niNaibu Katibu Mkuu wa Chademaumekuja huku taarifa za utafiti wat a a s i s i y a P o l i c y F o r u minayojihusisha na tafiti mbalimbali zasera zikionyesha kuwa katika mwaka20082009 Serikali katika bajeti yakeilitenga Sh506 bilioni kwa ajili yamalipo ya posho Kwa mujibu wautafiti huo ambao taarifa yakeilitolewa mwaka uliopita fedha hizoni sawa na mishahara ya mwakamzima kwa walimu 109000 ambaoni robo tatu ya walimu wote nchiniKwa mujibu wa utafiti huo mwaka200910 kiasi cha fedha zilizotengwakwa ajili ya posho za watumishi waumma kilikuwa sawa na asilimia 59ya malipo ya wafanyakazi wa ngaziya chini CHANZO Mwananchi

KUMBUKUMBUcontinued from page 15

na mamaKwa wadogo zanguhawamama alikuwa ni za zaidi yamzazi waoAlikuwa ni mwalimu wao( a k i w a f u n d i s h akupikasalank)alikuwa kama bibiyao (walikuwa wanapenda sanakumtania na yeye alipenda kuwataniapia)alikuwa ni rafiki yao mkubwakwa vile madogo hao walikuwawanamwongopa babakwahiyo sirizaohabari zao na kila kitu chaowalikuwa wanashea na marehemumamaKwa ndugu zangu hawakifocha mama ni pigo kubwa sana sana Naweza kuandika kitabu kizimakuelezea tukio hili la kusikitishakupita kiasiLakini yote ni mipangoya MunguNakumbuka katika misa yakabla ya mazishi ya mamapadrealijaribu kutuliwaza kwa kutuambiakwamba sote tulimpenda Adelinalakini Baba yake aliyepo Mbinguniamemependa zaidi na hivyo ameamuakumchukua mwanae B a s i m a m a m p e n d w a l e otunaadhimisha mwaka wa tatu tanguu tuache Pengo l ako ha l iwez ikuzib ika Tunakukumbuka k i lasikuUpendo wakotabasamu lako lamuda wote na huruma uliyokuwan a y o n i v i t u t u n a v y o e n d e l akuvienziMafundisho uliyotupa ndiomwongozo wetu wa kila siku PUMZIKO LA MILELE AKUPEBWANA NA MWANGA WAM I L E L EAKUANGAZIEUPUMZIKE KWAAMANIAMINA

TANGAZO Renatha Benedicto Anatafutwaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 672011 101200 PM

Ndugu Kwa mara ny ing inenawakilisha ombi la kunisaidiakutangaza (wakati wowote upatapon a f a s i ) k u h u s u D a d a m d o g oRENATHA BENEDICTO ambayetumepoteana kwa takriban miaka 12sasa Renatha alikuwa mwanafunzi wa

shule ya Sekondari Kibasila jijini Darkati ya mwaka 1998 - 2001 na baadaya hapo a l ienda Songea TTCkujiunga na masomo ya ualimu Piaalikuwa kati ya wahanga wa ajalimbaya ya Tawfiq iliyotokea tarehekama ya leo mwaka 1999 ambapoalikuwa msaada mkubwa saanakuokoa maisha yangu (Maelezok a m i l i y a k o h t t p changamotoyetublogspotcom200904namtafuta-renatha-benedictohtml) Niliwasiliana naye kwa miaka miwili

iliyofuata mpaka alipoenda chuoniSongea nami nikaondoka nchini

mwaka 2003 na kwa miaka mingisasa nimekuwa nikijitahidi saanakumtafuta bila mafanikio Naombakama anaweza kusoma ama kunaanayesoma na kumfahamu anisaidiekuwasiliana naye E m a i l y a n g u n ic h a n g a m o t o g m a i l c o m NATANGULIZA SHUKRANI h t t p wwwchangamotoyetublogspotcom http wwwyoutubecomusermutwiba

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

21FeedJournal Basic

Dkt MigiroDkt Leacuteautier NdesanjoWaiwakilisha Tanzania Ktk Orodhaya Waafrika 100 Maarufu Kabisaby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 682011 113900 AM

SIASA NA HARAKATI Dr Asha-Rose Migiro (Tanzania)Prof At tahi ru Jega (Niger ia)Babatunde Fashola(Nigeria) Johnson-Sirleaf (Liberia) Goodluck Jonathan(Nigeria) Jacob Zuma (South Africa)John Githongo (Kenya) JuliusMalema (South Africa) Kah Wallah(Cameroon) Kofi Annan (Ghana)Nana Rawlings (Ghana) NelsonMandela (South Africa) Paul Kagame( R w a n d a ) R o b e r t M u g a b e(Zimbabwe) Salva Kir (South Sudan)Wael Ghonim (Egypt) FILAMU Chiwetel Ejiofor (Nigeria) DjimonHounsou (Benin) Genevieve Nnaji(Nigeria) Idris Elba (Sierra Leone) SAYANSI NA TEKNOLOJIACheikh Modibo Diara (Mali) MarkShuttleworth (South Africa) DrRashika el Ridi (Egypt) Dr ThebeRodney Medupe (South Africa) FASHENI NA MITINDO Alek Wek(Sudan) Alphadi (Niger) Iman(Somalia) Liya Kebede (Ethiopia)Oluchi Onweagba (Nigeria) WATUNZI WA VITABU NAWASHAIRI Chimamanda Ngoz i Adich ie(Nigeria) Chinua Achebe (Nigeria)Lebo Mashile (South Africa) Ngugiwa Thiongo (Ethiopia) Wole Soyinka(Nigeria) UTAMADUNI NA DINI Bishop Desmond Tutu (SouthAfrica) Dr John Sentamu (Uganda)Otumfuo Osei Tutu II (Ghana) W A N A W A K E W E N Y EU S H A W I S H I Ayaan Hirsi Ali (Somalia) BinetaDiop (Senegal) Bisi Adeleye-Fayemi(Nigeria) Dambisa Moyo (Zambia)Graccedila Machel (Mozambique) HelenZille (South Africa) Ory Okolloh(Kenya) Dr Precious Moloi ndashMotsepe (South Africa) SouhayrBelhassen (Tunisia) ProfessorWangari Maathai (Kenya) Dr Frannie Leacuteautier (Tanzania) BIASHARA NA FEDHA Aliko Dangote (Nigeria) ArnoldEkpe (Niger ia ) Arumna Oteh

(Nigeria) Chris Kirubi (Kenya) ProfChukwuma Soludo (Nigeria) CyrilRamamphosa (South Africa) DonaldKaberuka (Rwanda) Evelyn Oputu(Nigeria) Fred Swaniker (Ghana)Jean-Louis Ekra (Cocircte dIvoire) JimOvia (Niger ia ) Mehdi Houas(Tunisia) Mike Adenuga (Nigeria)Mo Ibrahim (Sudan) Mohamed El-Arian (Egypt) Moiumlse Katumbi(Congo) Naguib Sawiris (Egypt)Ngozi Okonjo-Iweala (Nigeria)Nicky Oppenheimer (South Africa)Oby Ezekwesili (Nigeria) PhuthumaNhleko (Swaziland) Salimo Abdula(Mozambique) Sam Jonah (Ghana)Stellah Kinonzo (Kenya) SanusiLamido Sanusi (Nigeria) TdjaneThiam (Cocircte dIvoire) Thierry Tanoh(Cocircte dIvoire) Tokyo Sexwale(South Afr ica) Tony Elumelu(Nigeria) Trevor Manuel (SouthAfrica) Vincent Le Guennou (Cocircte

dIvoire) Wale Tinubu (Nigeria) WANAHABARI Alain Foka (Cameroon) Amadou Ba(Senegal) Branko Brkic (SouthAfrica) Emna Ben Jemaa (Tunisia)Ferial Haffajee (South Africa) IshaSesay (Sierra Leone) NdesanjoMacha (Tanzania) Nduka Obaigbena(Nigeria) Tariq Ramadan (Egypt)Trevor Ncube (Zimbabwe) MUZIKI Aliune ldquoAkonrdquo Thiam (Senegal)Angelique Kidjo (Benin) Hamada ldquoElGeacuteneacuteralrdquo Ben Amor (Tunisia) NnekaEgbuna (Nigeria) Youssou NDour(Senegal) MICHEZO Danny Alexander Jordaan (SouthAfrica) Didier Drogba (Cocircte dIvoire)Haile Gebreselassie (Ethiopia) RogerMilla (Cameroon) Samuel Etoo(Cameroon) CHANZO Headturner

Mahojiano kati yaWaziri Mkuu Pinda naUrban Pulse (PICHA)by epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 5222011 40900 PM

URBAN PULSE CREATIVE Ilipatafursa ya kufanya mahojiano maalumna MH Waziri Mkuu Mizengo Pindaalipokuja katika Ziara yake hapanchini Uingereza s iku chachezilizopita Mahojiano hayo maalumyalilenga zaidi kuelemisha jamii yetuya ki tanzania vi le vi le kutoaMsimamo kutoka katika serikali yetuya Jamhur i ya Muungano waTanzania kuhusiana na mambombalimbali yanayomhusu Mtanzania Mahojiano hayo yaligusa maeneotofauti yakiwepo majukumu pamojana changamoto anazokumbana nazoMh waziri mkuu Suala la katibaUchumi Rushwa na Ufisadi MiundoMbinu Maendeleo Chakula NishatiJumuiya ya Africa mashariki pamojana mambo mengine mengiMahojianoyalifanywa na Baraka Baraka KutokaU R B A N P U L S E C R E A T I V EMEDIA na yatarushwa hewani mdasio mrefu MUNGU IBARIKI AFRICAMUNGU IBARIKI TANZANIA Asanteni URBAN PULSE CREATIVEMEDIA

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip

22 FeedJournal Basic

Todayor One of These Daysby epgc2yahoocouk(EVARIST) (KulikoniUghaibuni)

Submitted at 6102011 60100 PM

Today we have higher buildings andwide r h ighways bu t sho r t e rtemperments and narrower points ofview We spend more but enjoy less Wehave bigger houses but smallerf a m i l i e s W e h a v e m o r ecompromises but less time We havemore knowledge but less judgementWe have more medicines but lesshealth We have multiplied our possessionsbut reduced our values We talkmuch we love only a little and wehate too much We reached the moon and cameback but we find it troublesome to

cross our own street and meet ourneighbors We have conquered theouter space but not our inner space We have higher income but lessmoralshellip These are times with moreliberty but less joyhellip With muchmore food but less nutritionhellip These are days in which two salariescome home but divorces increaseThese are times of finer houses butmore broken homes Thatrsquos why I propose that as of today-- You do not keep anything for aspecial occasion because every daythat you live is a special occasionSearch for knowledge read more siton your front porch and admire theview without paying attention to theneeds Pass more time with yourfamily eat your favorite food visitthe place you love Life is a chain ofmoments of enjoyment it isnrsquot only

survival Use your crystal goblets Do not saveyour best perfumehellip use it every timeyou feel you want it Take out fromyour vocabulary phrases like ldquoone ofthese daysrdquo and ldquosomedayrdquo Letrsquoswrite that letter we thought of writingldquoone of these dayshelliprdquo Letrsquos tell our families and friendshow much we love them Never passup a chance at adding laughter andjoy to your life Every day hour andminute are specialhellip Because younever know if it will be your lasthellip If yoursquore too busy to take someminutes to share this message withsomeone you love and you tellyourself that you will share it ldquoone ofthese daysrdquohellip ldquoone of these daysrdquo canbe very far away and you may not bethere to see ithellip