102
i JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2012 KWA KIPINDI CHA MWAKA 2014-2024 RASIMU YA KWANZA MACHI, 2013

Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Iwe Elimu Kwanza

Citation preview

Page 1: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

i

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

YA MWAKA 2012 KWA KIPINDI CHA MWAKA 2014-2024

RASIMU YA KWANZA

MACHI, 2013

Page 2: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

ii

YALIYOMO

FASIRI ..................................................................................................................................................... v SURA YA KWANZA .............................................................................................................................. 1 MAUDHUI YA MIKAKATI KUTEKELEZA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO ............................ 1

1.0 Utangulizi ....................................................................................................................................... 1 SURA YA PILI ........................................................................................................................................ 8 DIRA, DHIMA NA MALENGO KATIKA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA SERA ................... 8 2.0. Utangulizi ....................................................................................................................................... 8 SURA YA TATU ..................................................................................................................................... 9

MIFUMO, MIUNDO NA TARATIBU NYUMBUFU KUMWEZESHA MTANZANIA

KUJIENDELEZA KWA NJIA MBALIMBALI KATIKA MIKONDO YA

KITAALUMA NA KITAALAMU. .............................................................................................. 9 3.0. Utangulizi ....................................................................................................................................... 9

3.1. LENGO Na.1: Kuweka mfumo, miundo na taratibu nyumbufu katika elimu na mafunzo

ili kuleta ulinganifu, muunganiko na ufanisi katika ngazi na fani mbalimbali za

kitaaluma na kitaalamu ili kumwezesha mwanafunzi kutoka mkondo mmoja kwenda

mwingine........................................................................................................................................ 9

3.2. LENGO Na. 2: Elimu ya Awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye umri

kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja. ........................... 10 3.3 LENGO Na. 3: Elimu-Msingi kuwa ya lazima kuanzia darasa la kwanza hadi kidato

cha nne; na kutolewa kwa miaka kumi na umri wa kuanza darasa la kwanza kuwa kati

ya miaka minne hadi sita kulingana na maendeleo na uwezo wa mtoto kumudu masomo

katika ngazi husika. ...................................................................................................................... 10 3.4 LENGO Na. 4:Kuweka utaratibu ili kuhakikisha muda wa kukamilisha elimu na

mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu baada ya Elimu - Msingi unakuwa na tija na

ufanisi. .......................................................................................................................................... 11

SURA YA NNE ..................................................................................................................................... 13 ELIMU NA MAFUNZO YENYE VIWANGO VYA UBORA UNAOTAMBULIKA

KIKANDA NA KIMATAIFA NA YANAYOKIDHI MAHITAJI YA SASA NA YA

BAADAYE YA TAIFA. ............................................................................................................. 13 4.0 Utangulizi ..................................................................................................................................... 13

4.1 LENGO Na.1: Kuimarisha ithibati na uthibiti wa ubora wa elimu na mafunzo katika

ngazi zote yakiwemo masuala ya ushauri. ................................................................................... 13

4.2 LENGO Na. 2: Kuimarisha ukuzaji, utayarishaji na utekelezaji wa mitaala kwa

kuzingatia mahitaji ya taifa na ya walengwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo. ................ 14 4.3 LENGO Na.3: Kuimarisha usimamiaji na upimaji wa utekelezaji wa mitaala katika

taasisi za elimu na mafunzo katika ngazi zote ili kuleta ufanisi wa elimu na mafunzo

yatolewayo. .................................................................................................................................. 16

4.4 LENGO Na 4: Kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ili kuwa na wanafunzi

mahiri wenye uwezo wa kuwasiliana kwa Kiswahili, Kiingereza na lugha nyingine za

kigeni katika mfumo wa elimu na mafunzo. ................................................................................ 16 4.5 LENGO Na. 5: Kuwezesha lugha ya alama kutumika katika ngazi zote za elimu na

mafunzo........................................................................................................................................ 17 4.6 LENGO Na. 6: Kuimarisha uthibiti wa programu, mitihani na tuzo za nje zinazotolewa

nchini katika ngazi zote za elimu na mafunzo. ............................................................................ 17 SURA YA TANO .................................................................................................................................. 19

Page 3: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

iii

UPATIKANAJI WA FURSA MBALIMBALI ZA ELIMU NA MAFUNZO NCHINI ....................... 19

5.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 19 5.1 LENGO Na.1: Kuongeza fursa anuwai za elimu na mafunzo kwa usawa kwa makundi

yote ya kijamii katika ngazi zote. ................................................................................................ 19

5.2 LENGO Na. 2: Kuondoa vikwazo vinavyozuia fursa ya wanafunzi kuendelea na

masomo na kukamilisha mzunguko wa elimu na mafunzo katika ngazi husika. ........................ 20 5.3 LENGO Na.3: Kuweka utaratibu utakaowezesha maendeleo ya wanafunzi wenye

vipaji, vipawa na kasi tofauti katika kujifunza kwa ngazi zote za elimu na mafunzo. ................ 21 5.4 LENGO Na. 4: Kuweka utaratibu na kuimarisha utambuzi wa viwango vya Elimu na

mafunzo ili kutoa fursa ya kila Mtanzania kujiendeleza kielimu, kupata maarifa na stadi

za kazi kwa kuzingatia kwamba elimu au mafunzo hayana mwisho........................................... 21 SURA YA SITA ..................................................................................................................................... 23 ONGEZEKO LA RASILIMALI MBALIMBALI KULINGANA NA MAHITAJI KATIKA

NGAZI ZOTE ZA ELIMU NA MAFUNZO .............................................................................. 23 6.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 23

6.1 LENGO Na.1: Kuimarisha mfumo wa ajira katika sekta ya elimu na mafunzo ili uwe

mahsusi na kukidhi mahitaji, upatikanaji na usimamizi wa rasilimaliwatu kwa ajili ya

maendeleo ya sekta ya elimu na mafunzo.................................................................................... 23 6.2 LENGO Na. 2: Kuweka mazingira bora na kuhakikisha kuwa sekta ya elimu na

mafunzo inatoa rasilimaliwatu wa kutosha na mahiri kukidhi mahitaji ya sekta

mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa. .......................................................................................... 24 6.3 LENGO Na. 3: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha uwepo wa miundombinu bora na

stahiki ya kutosheleza mahitaji ya elimu na mafunzo katika ngazi zote. .................................... 25 6.4 LENGO Na. 4: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha vifaa, nyenzo na zana stahiki za

kufundishia na kujifunzia katika elimu na mafunzo zinatosheleza kulingana na mahitaji

na maendeleo ya sayansi, teknolojia na mbinu za kufundishia na kujifunzia katika ngazi

zote. .............................................................................................................................................. 26 6.5 LENGO Na 5: Kuweka utaratibu wa kuwezesha lugha ya Kiswahili na Kiingereza

kuwa lugha za kufundishia na kujifunzia katika ngazi zote za elimu na mafunzo ...................... 27

6.6 LENGO Na. 6:Kuweka utaratibu na mazingira wezeshi ya kuhakikisha elimu na

mafunzo katika ngazi zote inatolewa kwa ufanisi kwa njia huria na masafa. ............................. 28

6.7 LENGO Na. 7: Kuhakikisha kila taasisi ya elimu na mafunzo inakuwa na hatimiliki ya

ardhi mahali ilipo taasisi hiyo kwa ngazi zote. ............................................................................ 29

SURA YA SABA ................................................................................................................................... 30 MFUMO ENDELEVU WA UGHARIMIAJI WA ELIMU NA MAFUNZO NCHINI ........................ 30 7.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 30 7.1 LENGO Na. 1: Kuimarisha mfumo wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo kwa ngazi

zote kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu na mafunzo. ............................ 30

SURA YA NANE .................................................................................................................................. 32 UONGOZI, USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA ELIMU NA MAFUNZO NCHINI ...................... 32

8.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 32 8.1 LENGO Na. 1: Kuongeza ufanisi, tija uwajibikaji na uongozi bora, usimamizi na

uendeshaji wa elimu na mafunzo nchini ...................................................................................... 32 8.2 LENGO Na. 2: Kuimarisha mfumo wa menejimenti ya data na taarifa za elimu na

mafunzo kwa ngazi zote za elimu na mafunzo. ........................................................................... 32 SURA YA TISA ..................................................................................................................................... 34

Page 4: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

iv

MASUALA MTAMBUKA KATIKA ELIMU NA MAFUNZO KUZINGATIWA ............................ 34

9.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 34 9.1 LENGO Na.1: Elimu na Mafunzo yenye maudhui ya masuala mtambuka kwa ajili ya

maendeleo endelevu ya Taifa....................................................................................................... 34

9.2 LENGO Na. 2: Kuweka utaratibu wa kuimarisha utoaji wa huduma ya ushauri na

unasihi katika ngazi zote za elimu na mafunzo. .......................................................................... 34 9.3 LENGO Na. 3: Kuweka utaratibu utakao hakikisha kuwa haki za binadamu zinalindwa

na hawapewi adhabu za kutesa au kudhalilisha wakati wakipatiwa elimu au mafunzo

katika ngazi mbalimbali. .............................................................................................................. 35

9.4 LENGO Na.4: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha maadili ya walimu na watumishi

wengine yanazingatiwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo. ................................................ 36 9.5 LENGO Na.5: Kuimarisha muundo wa kutekeleza maazimio na itifaki za ushirikiano

baina ya Tanzania na nchi nyingine, kikanda na kimataifa katika elimu na mafunzo ................. 36

9.6 LENGO Na. 6: Kuimarisha utaratibu wa kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa ufanisi

masomo ya hisabati, sayansi na tekinolojia katika ngazi zote za elimu na mafunzo. .................. 37

9.7 LENGO Na. 7: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha matumizi zaidi ya sayansi na

tekinolojia katika utoaji wa elimu na mafunzo katika ngazi zote. ............................................... 37

9.8 LENGO Na. 8: Kuweka utaratibu na kuimarisha ushiriki fanisi wa wadau mbalimbali

katika sekta ya elimu na mafunzo katika ngazi zote .................................................................... 38 SURA YA KUMI ................................................................................................................................... 40

MGAWANYO WA MAJUKUMU NA WAJIBU KWA WADAU MBALIMBALI ........................... 40 10.0 UTANGULIZI ............................................................................................................................. 40

10.1 Ngazi ya Taifa .............................................................................................................................. 40 10.2 Ngazi ya Mkoa ............................................................................................................................. 45 10.3 Halmashauri za Wilaya, Mji, Manispaa na Jiji ............................................................................ 46

10.4 Ngazi ya Kata ............................................................................................................................... 46

10.5 Ngazi ya Shule na Chuo ............................................................................................................... 46 SURA YA KUMI NA MOJA ................................................................................................................ 47 UFUATILIAJI NA TATHMINI ............................................................................................................ 47

Page 5: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

v

FASIRI

NENO FASIRI

MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umasikini Tanzania MMEJ Mpango wa Maendeleo ya Elimu Ya Juu

MMEM Mpango wa Maendeleo ya Elimu Ya Msingi

MMES Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari

OWM Ofisi ya Waziri Mkuu

OWM-TAMISEMI Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

PMSE Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu

SADC Southern African Development Community (Nchi Wanachama wa

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi Kusini mwa Afrika VETA Vocational Education and Training Authority (Mamlaka ya Elimu na

Mafunzo ya Ufundi Stadi) WEMU Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Page 6: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

1

SURA YA KWANZA

MAUDHUI YA MKAKATI WA KUTEKELEZA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

1.0 Utangulizi

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (WEMU) imeandaa Sera ya Elimu na Mafunzo ya

mwaka 2013 ikiwa na madhumuni ya kuhakikisha taifa linapata wananchi walioelimika, wenye

ujuzi, stadi na maarifa stahiki ili kuchangia kikamilifu katika kutekeleza malengo ya taifa ya

maendeleo; na kuboresha maisha ya wananchi kama ilivyoainishwa katika Dira ya Taifa ya

Maendeleo ya mwaka 2025 na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania

(MKUKUTA). Mikakati iliyotamkwa hapa itatekelezwa kwa kipindi cha miaka kumi, yaani

kuanzia 2014 hadi 2024. Mkakati unaonyesha kikamilifu maeneo ya utekelezaji, vipaumbele

vyake, shabaha zake, mgawanyo wa majukumu katika kufikia shabaha hizo, mahitaji ya

kirasilimali ili kutekeleza majukumu hayo, muda wa utekelezaji wa majukumu hayo, taratibu za

kupima utekelezaji na viashiria vya kupima ufanisi wa utendaji kazi katika kufanikisha

majukumu hayo.

1.1 Sababu ya kuwa na Mikakati

Ufanisi katika utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2013 unahitaji uwepo wa

mikakati mbalimbali katika kila eneo ambalo Sera imelilenga kuliimarisha. Mikakati hii

itawezesha:

a) Wadau mbalimbali kutekeleza matamko mbalimbali yaliyomo katika Sera;

b) Asasi na taasisi za elimu na mafunzo kuandaa mipango mkakati yake ya muda mfupi na

mrefu;

c) Kubaini vipaumbele vya utekelezaji wa sera ya elimu na mafunzo;

d) Kubaini rasilimali zitakazowezesha utekelezaji wa vipaumbele vya sera ya elimu na

mafunzo; na

e) Wizara inayohusika na elimu na mafunzo kusimamia, kuratibu utekelezaji na kufanya

tathmini;

1.2 Mambo yanayotarajiwa kutekelezwa

Muktadha wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2013 unahitaji mabadiliko makubwa katika

miundo, mfumo na taratibu za utoaji elimu na mafunzo yatakayogusa shule, vyuo, taasisi

mbalimbali, watendaji, viongozi, asasi na wadau mbalimbali wa elimu na mafunzo kwa ujumla.

Kwa mantiki hii mikakati iliyopo hapa inatarajiwa kutekeleza mambo muhimu yafuatayo:

a) Kuhuisha muundo na taratibu mpya za elimu na mafunzo kwa kuhakikisha kuwa kila

mtoto mwenye umri kati ya miaka mitatu na mitano anapitia elimu ya awali kwa

kipindi kisichopungua mwaka mmoja kabla ya kujiunga na elimu - msingi; na

kuunganisha elimu ya msingi na elimu ya sekondari ya kawaida ya sasa ili kuunda elimu

- msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka kumi.

Page 7: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

2

b) Kuhuisha mitaala ya sasa ya elimu ili iweze kukidhi muundo mpya wa elimu na

mafunzo nchini.

c) Kuhuisha sheria na taratibu mbalimbali za utoaji elimu nchini ili ziendane na muundo

mpya wa elimu – msingi.

d) Kuimarisha mfumo wa usimamizi, ithibati na uthibiti wa ubora wa elimu na mafunzo

katika ngazi zote ili uweze kukidhi malengo na muundo mpya wa elimu – msingi.

e) Kuongeza ubora wa miundombinu katika shule za sasa za msingi ili kukidhi mahitaji na

malengo ya elimu - msingi ikiwa ni pamoja na kuongeza madarasa ya elimu- msingi

katika kila shule ya msingi ya sasa; kujenga maabara za sayansi na maktaba katika kila

shule ya elimu – msingi.

f) Kutenga rasilimali fedha za kutosha kwa ajili ya nyenzo, vifaa na zana za kufundishia

na kujifunzia, vitabu vya kiada na ziada, maandiko, machapisho ya maktaba pamoja na

vifaa vya maabara.

g) Kuimarisha matumizi ya lugha za Kiswahili na Kiingereza katika ngazi ya elimu msingi

kama lugha za kujifunzia na kuwasiliana

h) Kuweka utaratibu utakaohakikisha kuwa wanafunzi wanaomaliza elimu na mafunzo ya

ngazi husika kwa ufanisi na wale wanaokatisha masomo au mafunzo yao kwa sababu

mbalimbali wanaendelea na kuhitimu masomo au mafunzo yao katika mfumo rasmi wa

elimu na mafunzo.

i) Kutoa elimu kwa umma kuhusu madhumuni, malengo na matarajio ya sera mpya ya

elimu na mafunzo.

1.3 Mgawanyo wa majukumu ya Utekelezaji

Ili kutekeleza mkakati huu, inatarajiwa kuwa wadau wote muhimu wa elimu na mafunzo nchini

watashiriki kikamilifu katika utekelezaji wa malengo, shabaha na kazi mbalimbali

zilizoainishwa katika mkakati huu. Watekelezaji muhimu wa mkakati huu ni pamoja na hawa

wafuatao:

a. Wizara yenye dhamana ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi pamoja na taasisi zake.

b. Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na taasisi zake.

c. Wizara ya Fedha, Wizara ya yenye dhamana ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na,

na wizara za sekta nyingine pamoja na taaisi zake.

d. Halmashauri za Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya.

e. Mashirika na taasisi za dini.

f. Mashirika, asasi na taasisi zisizo za serikali.

g. Shule na vyuo vya umma na binafsi.

h. Washirika wa maendeleo.

1.4 Matokeo chanya yanayotarajiwa kupatikana baada ya mkakati kutekelezwa

Katika kipindi cha utekelezaji wa mkakati huu, matokeo yanayotarajiwa kupatikana ni pamoja

na haya yafutayo:

a) Kuwepo kwa elimu ya awali ya lazima kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja kabla

ya kujiunga na elimu - msingi.

b) Kuwepo kwa elimu - msingi ya miaka kumi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha

nne cha sasa kwa watoto wote wenye rika lengwa la kwenda shule.

Page 8: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

3

c) Kuwepo kwa mfumo nyumbufu, miundo na taratibu za kujiendeleza katika mikondo

anuai ya kitaalamu na kitaaluma.

d) Kuwepo kwa elimu na mafunzo yenye viwango, ubora na sifa zinazotambulika kitaifa,

kikanda na kimataifa.

e) Kuwepo kwa fursa mbalimbali za elimu na mafunzo zinazokidhi mahitaji ya wananchi

na ya nchi kiuchumi, kijamii, kisayansi na kitekinolojia.

f) Kuwepo kwa ugharimiaji endelevu wa elimu na mafunzo.

g) Kuwepo kwa mfumo wa elimu na mafunzo unaozingatia masuala mtambuka.

1.5 Hali ilivyo

Katika kutekeleza malengo yaliyowekwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, sekta ya

elimu imepewa kipaumbele cha pekee. Elimu katika dira hii inatazamwa si tu kama nyenzo

muhimu ya kufikia malengo ya dira, bali na elimu yenyewe ni sehemu ya malengo mahsusi ya

dira hii. Dira ya Maendeleo ya Taifa inalenga, pamoja na mambo mengine, kuiwezesha Tanzania

kufikia uchumi wa kati. Ili kukamilisha ‘ndoto’ hii, limewekwa lengo mahsusi la kuhakikisha

kuwa ifikapo mwaka 2025 Tanzania inakuwa jamii iliyoelimika na inayopenda kujielimisha

zaidi.

Ni kwa kutambua umuhimu wa elimu katika kufikia malengo yaliyomo katika Dira ya

Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025, sekta ya elimu imepewa kipaumbele cha pekee. Kwa

mfano, katika Bajeti ya Taifa ya mwaka 2012/2013, sekta ya elimu ilitengewa jumla ya shilingi

trilioni 3.6, ikiwa ni sawa na asilimia 24 ya bajeti nzima ya Taifa, ikiwa ni bajeti kubwa zaidi

kuliko sekta zingine katika Bajeti ya Mwaka 2012/2013.

Katika kufanikisha malengo ya kielimu, serikali imekuwa ikitekeleza mipango mbalimbali.

Mipango hii ni pamoja na Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM), Mpango wa

Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES) na Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Juu

(MMEJ).

Mafanikio mbalimbali yamepatikana katika utekelezaji wa mipango hii. Mafanikio haya ni

pamoja na kupanuka kwa fursa za kujiunga na elimu kuanzia ngazi ya elimu ya msingi hadi

elimu ya juu. Kwa mfano, kumekuwa na ongezeko la idadi ya shule za msingi kutoka shule 14,

257 mwaka 2005 hadi shule 16,331 mwaka 2012. Idadi hii imeongeza uandikishaji wa

wanafunzi wa shule za msingi kutoka 7,541,208 (Wavulana 3,855,712 na wasichana 3,685,496)

mwaka 2005 hadi 8,247,172 (wavulana 4,086,280 na wasichana 4,160,892) mwaka 2012.

Ongezeko la idadi ya shule za msingi na mkazo katika uandikishaji umeiwezesha Tanzania

Page 9: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

4

kufikia kiwango cha asilimia zaidi ya 90 ya uandikishaji wa rika lengwa, na kuifanya Tanzania

kuwa moja ya nchi duniani zinazoelekea kufanikiwa kutekeleza kikamilifu lengo la pili (2) la

Maendeleo ya Milenia, linalotaka watoto wote wenye umri wa kujiunga na elimu ya msingi

wawe wamejiunga ifikapo mwaka 2015.

Kwa upande wa elimu ya sekondari, takwimu zinaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la

shule za sekondari kutoka shule 1,745 mwaka 2005 hadi shule 4,528 kwa mwaka 2012.

Kupanuka kwa fursa za kujiunga na shule za msingi na sekondari kumewezesha ongezeko la

wanafunzi wa elimu ya sekondari ngazi ya kawaida kutoka 489,942 (wavulana 258,134 na

wasichana 231,808) mwaka 2005 hadi wanafunzi1,802,810 (wavulana 954,961 na wasichana

447,849) mwaka 2012. Aidha, Idadi ya wanafunzi katika elimu ya sekondari ngazi ya juu

imeongezeka kutoka 34,383 (wavulana 21,620 na wasichana 12,763) mwaka 2005 hadi

wanafunzi 81,462 wavulana 55,512 na wasichana 25,950) mwaka 2012. Katika Elimu na

Mafunzo ya Ufundi Stadi kumekuwa na ongezeko la vyuo kutoka 695 mwaka 2005 hadi 750

mwaka 2011 na kuwezesha ongezeko la wanachuo kutoka 78,586 (wanaume 43,022 na

wanawake 35,564) mwaka 2005 hadi wanachuo 104,840 (Wanaume 54,350 wanawake 50,190)

mwaka 2011.

Aidha, vyuo vya elimu ya ufundi na mafunzo viliongezeka kutoka Vyuo 195 mwaka 2005 hadi

kufikia vyuo 260 mwaka 2011 na kuongeza udahili wa wanachuo kutoka 40,059 (Wanaume

30,123 na wanawake 9,636) mwaka 2005 hadi 85,040 (wanaume 46,342 na wanawake 38,698)

mwaka 2011. Hali kadhalika katika vyuo vya ualimu kumekuwa na ongezeko la vyuo kutoka 52

mwaka 2005 hadi vyuo 103 mwaka 2011 na kuwezesha ongezeko la wanachuo kutoka 26,224

(Wanaume 13,484 na wanawake 12,740) mwaka 2005 hadi 43,258 (wanaume 24,360 na

wanawake 18,898) mwaka 2012. Upande wa Vyuo vya Elimu ya juu kumekuwa na ongezeko la

vyuo vikuu na Vyuo vikuu vishiriki kutoka 23 mwaka 2005 hadi Vyuo Vikuu na Vyuo Vikuu

vishiriki 46 mwaka 2011 na kuongeza udahili wa wanachuo kutoka 37,667 (Wanaume 25,061na

wanawake 12,606) mwaka 2005 hadi 166,484 (wanaume 105,892 na wanawake 60,592) mwaka

2012.

Pamoja na mafanikio yaliyopatikana katika kupanua fursa za kujiunga na taasisi za elimu katika

ngazi mbalimbali, mafanikio haya bado ni madogo ukilinganisha na takwimu kama hizo katika

Page 10: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

5

bara la Afrika na duniani kwa ujumla. Kwa mfano, ni asilimia kumi (10) tu ya wahitimu wa

elimu ya msingi na ambao hawaendelei na elimu ya sekondari ndio wanaojiunga na mafunzo ya

ufundi stadi na wanaobaki hujiunga na ulimwengu wa kazi bila kuwa na stadi stahiki. Pamoja na

kwamba karibu asilimia hamsini (50) ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi hupata fursa

ya kujiunga na elimu ya sekondari, ni asilimia 12.1 pekee ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya

sekondari ndio hupata fursa ya kujiunga na elimu ya juu ya sekondari ya kidato cha tano. Aidha,

Tanzania ipo nyuma katika udahili wa wanafunzi katika elimu ya juu ambapo ni aislimia 1.5

pekee ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya sekondari ndio hupata fursa ya kujiunga na vyuo

mbalimbali vya elimu ya juu nchini, ukilinganisha na wastani wa asilimia 13 kwa nchi zilizo na

uchumi wa kati. Kiwango hiki pia ni kidogo zaidi katika nchi zilizopo ukanda wa kusini mwa

Jangwa la Sahara. Viwango hivi duni vya udahili katika ngazi ya sekondari na elimu ya juu

vinatishia utekelezwaji wa malengo ya Taifa kama yalivyoanishwa katika Dira ya Taifa ya

Mwaka 2025 na mipango mingine ya maendeleo.

Aidha, kupanuka kwa kiwango cha uandikishaji katika ngazi ya elimu ya msingi na sekondari

kumeambatana na changamoto katika ubora wa elimu inayotolewa. Kwa mfano, miaka kumi ya

upanuzi wa elimu ya sekondari imeshuhudia vilevile kuendelea kushuka kwa kiwango cha ufaulu

katika mitihani ya Taifa, hasa ya mitihani ya Kidato cha Nne. Takwimu zinaonyesha kuwa

kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wanaofanya mitihani ya Kidato cha Nne kimekuwa kikishuka

tangu miaka ya 2000, ambapo kiwango cha ufaulu kilishuka kutoka asilimia 90.3 mwaka 2007,

hadi asilimia 72.5 mwaka 2009, na hadi 53.6 mwaka 2011. Kiwango cha ufaulu kiliporomoka

hadi kufikia asilimia 34.5 mwaka 2012 (Tazama umbo Na. 1 hapo chini).

Page 11: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

6

Umbo Na. 1: Kiwango cha ufaulu kidato cha nne 2001-2012

Changamoto mbalimbali zimechangia katika kushuka kwa kiwango cha ubora wa elimu, ambazo

sera mpya na mkakati wa utekelezaji zitajikita kuzikabili. Changamoto hizi ni pamoja na

kutokuwa na:

a) Mfumo nyumbufu unaoruhusu elimu na mafunzo kupatikana na kutambulika kwa njia

mbalimbali mbadala.

b) Mitaala inayokidhi mahitaji halisi ya rasilimaliwatu katika kuleta maendeleo ya Taifa.

c) Miundo mbinu, Vifaa na nyenzo bora na za kutosha kwa ajili ya kufundishia, utafiti na

kujifunzia kwa kuzingatia mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

d) Walimu wa kutosha katika shule zote, na hasa shule za maeneo ya vijijini

e) Mfumo unaotoa motisha ya kutosha kwa wahitimu waliofaulu vizuri katika ngazi za

elimu ya sekondari kujiunga na kubaki katika taaluma ya ualimu

f) Mfumo wa ajira unaowezesha upatikanaji wa wataalam wa kada mbalimbali

wanaohitajika katika sekta elimu na mafunzo nchini.

Page 12: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

7

g) Uwezo wa kuhakikisha fursa kwa usawa inatolewa kwa kila Mtanzania kulingana na

mahitaji yake na sehemu na mazingira aliyopo.

Page 13: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

8

SURA YA PILI

DIRA, DHIMA NA MALENGO KATIKA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA SERA

2.0. Utangulizi

Mkakati huu unalenga kutekeleza Dira, Dhima na malengo ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya

mwaka 2012 kama inavyoelezwa katika sura hii.

2.1. Dira

Kuwa na mtanzania aliyeelimika na mwenye maarifa, stadi, umahiri, uwezo na mtazamo

chanya ili kuweza kuchangia katika kuleta maendeleo ya Taifa.

2.2. Dhima

Kuweka na kuboresha mifumo na taratibu zitakazowezesha kupata watanzania walioelimika na

wanaopenda kujielimisha ili waweze kuchangia katika maendeleo ya Taifa.

2.3. Malengo ya Mkakati wa utekelezaji wa Sera

2.4. Lengo la Jumla:

Mtanzania aliyeelimika na mwenye maarifa na ujuzi anayeweza kuchangia kwa haraka katika

kuleta maendeleo ya taifa ili kuhimili ushindani wa kikanda na kimataifa.

2.4.1. Malengo Mahsusi

Malengo mahsusi ya Mkakati wa Sera ni kuwa na:

(a) Mfumo,miundo na taratibu nyumbufu kumwezesha Mtanzania kujiendeleza kwa njia

mbalimbali katika mikondo ya kitaaluma na kitaalamu.

(b) Elimu na mafunzo yenye viwango vya ubora unaotambulika kitaifa, kikanda na

kimataifa.

(c) Upatikanaji wa fursa mbalimbali za elimu na mafunzo katika ngazi zote nchini.

(d) Ongezeko la rasilimali mbalimbali kulingana na mitaala katika ngazi husika.

(e) Mfumo endelevu wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo nchini.

(f) Mfumo wa elimu na mafunzo unaozingatia masuala mtambuka

Page 14: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

9

SURA YA TATU

MIFUMO, MIUNDO NA TARATIBU NYUMBUFU ZA KUMWEZESHA MTANZANIA

KUJIENDELEZA KWA NJIA MBALIMBALI KATIKA MIKONDO YA KITAALUMA

NA KITAALAMU

3.0. Utangulizi

Mfumo wa sasa wa elimu na mafunzo una miundo ya kitaaluma na kitaalamu ambayo

haiingiliani kwa ufanisi katika masuala ya mitaala, upimaji, tuzo, ithibati na uthibiti. Hali hii

imechangia elimu na mafunzo kutokuwa na tija na ufanisi wa kutosha katika ngazi mbalimbali

za elimu na mafunzo na hivyo kusababisha baadhi ya wahitimu kukosa mwendelezo katika

ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo na wengine kutokuwa na mwelekeo kabisa.

Serikali inakusudia kuweka mfumo wa elimu na mafunzo wenye tija na ufanisi ambao utakuwa

na miundo anuai na taratibu nyumbufu zenye kuleta ulinganifu, muunganiko na ufanisi wa ngazi

na fani mbalimbali za kitaaluma na kitaalamu ili kumwezesha mwanafunzi kutoka mkondo

mmoja kwenda mwingine baada ya kuhitimu Elimu-Msingi.

Ili kufanikisha azma hiyo, Serikali imedhamiria kurekebisha muda wa elimu na mafunzo katika

ngazi mbalimbali ili kuleta tija, ufanisi. Kupitia Sera, muda wa elimu ya awali umerekebishwa

kuwa mwaka mmoja badala ya miaka miwili. Aidha, muda wa elimu ya lazima umerekebishwa

kuwa miaka kumi ya elimu-msingi badala ya miaka saba ya elimu ya msingi. Pia, mikakati na

shabaha zinalenga kuwa na elimu-msingi ambayo inajumuisha elimu ya msingi na elimu ya

sekondari ngazi ya kawaida. Marekebisho haya yanalenga kuwa na mhitimu wa elimu – msingi

mwenye maarifa, stadi na mwelekeo utakaomwezesha kuendelea kwa ufanisi na elimu ya

sekondari au elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi. Muda wa elimu baada elimu - msingi

utarekebishwa kulingana na fani, maudhui na umahiri unaotambulika katika ulimwengu wa kazi

3.1. LENGO Na.1: Kuweka mfumo, miundo na taratibu nyumbufu katika elimu na

mafunzo ili kuleta ulinganifu, muunganiko na ufanisi katika ngazi na fani mbalimbali za

kitaaluma na kitaalamu ili kumwezesha mwanafunzi kutoka mkondo mmoja kwenda

mwingine.

3.1.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha mfumo wa elimu na mafunzo uliopo sasa na kuweka mfumo mpya ulio nyumbufu

utakaomwezesha mtanzania kujiendeleza kwa njia mbalimbali ili kukidhi mahitaji ya

maendeleo ya kitaifa, kikanda na kimataifa.

Page 15: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

10

2. Kuweka Mfumo wa Tuzo wa Taifa unaozingatia vigezo na viwango vya ubora wenye kuleta

ulinganifu, muunganiko katika ngazi zote za elimu na mafunzo ya kitaaluma na kitaalamu.

3.1.2 SHABAHA

1. Mfumo wa elimu na mafunzo nchini kuwa nyumbufu ili kumwezesha mtanzania

kujiendeleza kwa njia mbalimbali katika mikondo ya kitaaluma na kitaalamu ifikapo mwaka

2018.

2. Mfumo wa tuzo wa Elimu na mafunzo wenye kuleta ulinganifu, muunganiko unaomwezesha

mtanzania kujiendeleza kutoka mkondo mmoja kwenda mwingine kuwepo na kuanza

kutumika ifikapo mwaka 2018.

3.1.3 VIASHIRIA

a) Mfumo wa elimu na mafunzo uliohuishwa;

b) Sheria ya elimu na mafunzo iliyohuishwa;

c) Muundo wa tuzo wa kitaifa ambao ni nyumbufu wenye kuleta ulinganifu na muunganiko;

d) Idadi ya programu za kuelimisha umma zilizoendeshwa kwa njia mbalimbali kote nchini;

e) Idadi ya watekelezaji katika ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo waliyohudhuria mafunzo

kuhusu muundo mpya wa tuzo.

3.2. LENGO Na. 2: Elimu ya Awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye

umri kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja.

3.2.1. MKAKATI

Kuweka vigezo, viwango na utaratibu ili elimu ya awali iwe ya lazima na itolewe katika kila

shule ya Elimu –Msingi.

3.2.2. SHABAHA

1. Sheria, miongozo na taratibu kuruhusu elimu ya awali kuwa ya lazima kuwekwa na

kutekelezwa ifikapo mwaka 2018;

2. Elimu ya awali kwa watoto wote wa rika lengwa kutolewa ifikapo mwaka 2018.

3.2.3 VIASHIRIA

a) Sheria na miongozo iliyohuishwa kuhusu elimu ya awali kutumika katika shule zote za

elimu-msingi;

b) Idadi ya watoto wa rika lengwa waliojiunga na elimu ya awali.

3.3 LENGO Na. 3: Elimu-Msingi kuwa ya lazima kuanzia darasa la kwanza hadi kidato

Page 16: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

11

cha nne; na kutolewa kwa miaka kumi na umri wa kuanza darasa la kwanza kuwa kati ya

miaka minne hadi sita kulingana na maendeleo na uwezo wa mtoto kumudu masomo

katika ngazi husika.

3.3.1 MKAKATI.

Kuhuisha sheria na taratibu ili elimu - msingi iwe ya lazima na itolewe hadi kidato cha nne.

3.3.2 SHABAHA

1. Sheria na Miongozo kuhusu elimu - msingi kuwekwa na kutekelezwa ifikapo mwaka 2016.

2. Mpango wa utekelezaji wa utoaji wa elimu – msingi kuwepo ifikapo mwaka 2018.

3. Elimu – msingi kutolewa ifikapo mwaka 2018.

3.3.3 VIASHIRIA

a) Sheria na miongozo kuhusu elimu-msingi iliyohuishwa.

b) Idadi ya wanafunzi wa rika lengwa waliojiunga na elimu-msingi.

c) Idadi ya shule za elimu-msingi

3.4 LENGO Na. 4:Kuweka utaratibu ili kuhakikisha muda wa kukamilisha elimu na

mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu baada ya Elimu - Msingi unakuwa na tija

na ufanisi.

3.4.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha sheria na utaratibu wa utoaji wa elimu ya sekondari ngazi ya juu

2. Kuimarisha vyuo vya elimu ya juu na mafunzo ya ufundi stadi, mafunzo ya ualimu, elimu ya

ufundi na mafunzo ya kitaalamu ili viweze kutoa elimu na mafunzo mbalimbali kulingana na

mahitaji ya maendeleo ya taifa na soko la ajira.

3. Kuweka utaratibu wa kuhakikisha mafunzo yanakamilika kwa muda stahiki katika ngazi zote

za elimu na mafunzo.

3.4.2 SHABAHA

1. Sheria na taratibu za utoaji wa elimu ya sekondari ngazi ya juu kuhuishwa ifikapo mwaka

2017.

Page 17: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

12

2. Utaratibu wa kuwaendeleza wanafunzi wanaofaulu elimu - msingi kuendelea na elimu ya

sekondari ngazi ya juu, elimu ya ufundi na elimu na mafunzo ya ufundi stadi kuwekwa

ifikapo mwaka 2015.

3. Udahili wa wanafunzi wa sekondari ngazi ya juu kuongezeka kutoka asilimia 5.2 mwaka

2012 hadi asilimia 40 ifikapo mwaka 2019.

4. Sheria na kanuni za matumizi ya vyuo vya elimu ya juu, mafunzo ya ualimu, mafunzo ya

ufundi stadi, elimu ya ufundi na mafunzo ya kitaaluma elimu na mafunzo kuhuishwa ifikapo

mwaka 2017.

5. Utaratibu wa kuwaendeleza wanafunzi wanaofaulu elimu ya sekondari ngazi ya juu

kuendelea na Elimu ya juu, mafunzo ya ualimu, mafunzo ya ufundi stadi, elimu ya ufundi na

mafunzo ya kitaalam kuwekwa ifikapo mwaka 2016.

6. Utaratibu wa matumizi fanisi ya vyuo vya elimu na mafunzo kulingana na miundo ya mitaala

mipya kuandaliwa ifikapo mwaka 2016.

7. Fursa anuwai za kuendelea na masomo katika ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo

kuongezwa ifikapo mwaka 2020.

8. Idadi ya wahitimu katika ngazi mbalimbali kuongezeka ifikapo mwaka 2020.

9. Ujuzi mhitimu alioupata katika ngazi ya elimu au programu ya mafunzo kutambuliwa kwa

ajili ya kujiunga na ngazi ya elimu au programu nyingine ifikapo mwaka 2018.

10. Ujuzi ambao mtu ameupata katika ulimwengu wa kazi na ujasiriamali kubainishwa na

kutambuliwa kwa ajili ya kujiendeleza kielimu na kiujuzi ifikapo mwaka 2018.

3.4.3 VIASHIRIA

a) Miongozo ya utekelezaji wa elimu ya sekondari ngazi ya juu;

b) michepuo yakinifu;

c) Idadi ya wanafunzi wanoendelea na elimu ya sekondari ngazi ya juu;

d) Sheria na kanuni za matumizi ya vyuo vya elimu ya juu, mafunzo ya ualimu, mafunzo ya

ufundi stadi, elimu ya ufundi na mafunzo ya kitaaluma zilizohuishwa;

e) Idadi ya wanafunzi wanoendelea na elimu ya juu, mafunzo ya ualimu, mafunzo ya ufundi

stadi, elimu ya ufundi na mafunzo;

f) Idadi ya fursa anuwai za kuendelea na masomo katika ngazi mbalimbali za elimu na

mafunzo;

g) Idadi ya wahitimu katika ngazi mbalimbali kuongezeka;

h) Muda wa elimu na mafunzo wenye ufanisi na tija; na

i) Mfumo wa kutambua ujuzi uliopatikana katika ngazi nyingine ya mafunzo, nje ya mfumo

rasmi na kazini.

Page 18: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

13

SURA YA NNE

ELIMU NA MAFUNZO YENYE VIWANGO VYA UBORA UNAOTAMBULIKA

KIKANDA NA KIMATAIFA NA YANAYOKIDHI MAHITAJI YA SASA NA YA

BAADAYE YA TAIFA

4.0 Utangulizi

Ubora wa elimu ya Tanzania unatambuliwa kimataifa kunakodhihirishwa na kukubalika kwa

vijana wanaohitimu katika mfumo wa elimu wa Tanzania kujiunga na taasisi za elimu

mbalimbali duniani. Aidha, wahitimu mbalimbali waliomaliza katika mfumo wa elimu wa

Tanzania wamekuwa wakiajiriwa katika nafasi za kitaalamu na uongozi katika nchi mbalimbali

duniani. Hata hivyo, katika miaka ya karibuni, kiwango cha ubora wa elimu Tanzania

kinaonekana kushuka, kunakothibitishwa na vigezo mbalimbali, kama vile: kushuka kwa

kiwango cha ufaulu katika ngazi ya shule ya msingi na sekondari. Kwa mfano, kiwango cha

ufaulu katika mitihani ya kidato cha nne kimeshuka kutoka asilimia zaidi ya 70 mwaka 2000

hadi asilimia 35 mwaka 2012.

Changamoto mbalimbali zimechangia hali ya kushuka kwa kiwango cha ubora wa elimu,

zikiwemo: upatikanaji wa nyenzo; vifaa na zana nyingine stahiki za kujifunzia na kufundishia;

miundombinu kama majengo, mifumo ya maji, umeme na barabara kuwa duni. Pia kuna

viashiria vya udhaifu katika mitaala ya elimu na mafunzo na utekelezaji wake.

Ili kuhakikisha Viwango na vigezo vya ubora wa elimu na mafunzo vinavyotambulika kikanda

na kimataifa Serikali itaendesha zoezi la kupitia upya mitaala ya elimu na mafunzo katika

ngazi zote ili iendane na maendeleo na mabadiliko ya sayansi na teknolojia kitaifa, kikanda na

kimataifa. Sheria za vyombo vya ithibati na uthibiti elimu na mafunzo pia vitaimarishwa ikiwa

ni pamoja na kuimarisha muundo wa kitaasisi, ithibati na uthibiti wa program mbalimbali za

elimu na mafunzo za ndani na program za nje pamoja na masuala ya upimaji na tathmini ya

maendeleo ya mwanafunzi.

Katika yote haya mikakati ifuatayo itatumika.

4.1 LENGO Na.1: Kuimarisha ithibati na uthibiti wa ubora wa elimu na mafunzo

katika ngazi zote yakiwemo masuala ya ushauri.

4.1.1 MKAKATI

Kuimarisha muundo wa kitaasisi wa ithibati na uthibiti wa elimu na mafunzo katika ngazi zote.

4.1.2 SHABAHA

1. Chombo madhubuti cha ithibati na uthibiti wa elimu - msingi na sekondari ngazi ya juu

kuwepo ifikapo mwaka 2018.

Page 19: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

14

2. Chombo madhubuti cha ithibati na uthibiti wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi na

ujasiriamali kuimarishwa ifikapo mwaka 2019.

3. Chombo madhubuti cha ithibati na uthibiti wa elimu ya ufundi kuimarishwa ifikapo mwaka

2019.

4. Chombo madhubuti cha ithibati na uthibiti wa elimu ya juu Tanzania kuimarishwa ifikapo

mwaka 2019.

5. Chombo madhubuti cha uratibu, ithibati na uthibiti wa maendeleo ya sayansi, tekinolojia,

utafiti na ubunifu Tanzania kuimarishwa ifikapo mwaka 2019.

6. Viwango na vigezo vya ubora wa elimu na mafunzo vinavyotambulika kikanda na kimataifa

kuwepo ifikapo mwaka 2019.

7. Tekinolojia za kisasa na za kisayansi kutumika katika usimamizi, ithibati na uthibiti katika

ngazi zote za elimu na mafunzo ifikapo mwaka 2019

4.1.3 VIASHIRIA

a) Sheria za vyombo vya ithibati na uthibiti elimu na mafunzo zilizohuishwa;

b) Viwango na vigezo vya ubora wa elimu na mafunzo katika ngazi zote vilivyohuishwa; na

c) Mbinu za kisasa zinazotumika katika uthibiti na ithibati.

4.2 LENGO Na. 2: Kuimarisha ukuzaji, uboreshaji na utekelezaji wa mitaala kwa

kuzingatia mahitaji ya taifa na ya walengwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

4.2.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha miundo ya mitaala ya kitaifa katika ngazi zote za elimu na mafunzo kwa kuzingatia

umahiri unaotarajiwa katika kila ngazi ya elimu na mafunzo kulingana na mahitaji ya

maendeleo ya taifa na soko la ajira.

2. Kuhuisha na kuimarisha miongozo ya ukuzaji, utayarishaji, utekelezaji na uhuishaji wa

mitaala kwa kuzingatia mahitaji ya taifa na ya walengwa katika ngazi zote za elimu na

mafunzo kulingana na muundo wa tuzo wa taifa.

3. Kuhuisha mitaala katika ngazi zote za elimu na mafunzo ili iendane na miundo mipya ya

mitaala ya kitaifa.

4. Kuimarisha mpango wa upatikanaji wa vitabu vya kiada na ziada kwa ngazi zote za elimu na

mafunzo.

5. Kuhuisha na kuimarisha au kuweka muundo wa upimaji wa kitaifa wa maendeleo ya

mwanafunzi katika kila ngazi ya elimu na mafunzo.

6. Kujenga miundo ya ulinganifu wa programu mbalimbali kulingana na mitaala kwa mahitaji

ya taifa pamoja na yale ya ulimwengu wa kazi, utandawazi na sehemu nyingine.

Page 20: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

15

4.2.2 SHABAHA

1. Muundo wa mtaala wa kitaifa wa elimu ya awali kulingana na muundo na tuzo za elimu na

mafunzo kuhuishwa ifikapo mwaka 2016.

2. Miongozo ya ukuzaji, utayarishaji, utekelezaji na uhuishaji wa mitaala kuhuishwa na

kutekelezwa ifikapo mwaka 2016.

3. Muundo wa mtaala wa kitaifa wa elimu – msingi na elimu ya sekondari ngazi ya juu

kuhuishwa kulingana na muundo wa tuzo kuwepo ifikapo mwaka 2016.

4. Miundo ya mitaala ya kitaifa katika ngazi nyingine kuhuishwa ili iendane na mabadiliko ya

muundo katika elimu-msingi, sekondari ngazi ya juu na soko la ajira kuwepo ifikapo mwaka

2016.

5. Miongozo ya ukuzaji, utayarishaji, utekelezaji na uhuishaji wa mitaala kuimarishwa na

kutekelezwa ifikapo mwaka 2016.

6. Mitaala kusambazwa nchini na kutoa elimu kwa umma, watekelezaji na walengwa wa

mitaala kufanyika na kutekelezwa ifikapo mwaka 2016

7. Kuwa na mitaala nyumbufu yenye viwango vinavyokubalika kitaifa kikanda na kimataifa

ifikapo mwaka 2016.

8. Muundo wa upimaji wa kitaifa wa maendeleo ya mwanafunzi kwa kuzingatia umahiri

kuandaliwa kwa kila ngazi ya elimu na mafunzo ifikapo mwaka 2016.

9. Programu rekebishi itakayowezesha kubaini uwezo, utayari na kuwasaidia wanafunzi

kuendelea na masomo ngazi za juu kuandaliwa ifikapo mwaka 2016.

10. Ulinganifu wa masomo, programu na fani mbalimbali za elimu na mafunzo baada ya elimu

ya sekondari kuandaliwa ifikapo mwaka 2016.

11. Vitabu vya kutosha vya kiada na ziada kwa ngazi zote za elimu na mafunzo kuwepo katika

shule na vyuo ifikapo mwaka 2020.

4.2.3 VIASHIRIA

a) Miundo ya mitaala ya kitaifa ya elimu ya awali, elimu- msingi na sekondari ngazi ya juu

iliyohuishwa;

b) Idadi ya wataalamu waliojengewa uwezo wa kukuza na kutekeleza mitaala ;

c) Idadi ya programu za kuelimisha umma kupitia njia mbalimbali za mawasiliano kuhusu

miundo mipya ya mitaala ya kitaifa ya elimu ya awali, elimu-msingi na sekondari ngazi ya

juu na idadi ya waliohudhuria;

d) Muundo mpya wa mitaala ya elimu na mafunzo katika ngazi nyingine za elimu na mafunzo

zilizohuishwa;

e) Idadi ya programu ya kuelimisha umma kupitia njia mbalimbali za mawasiliano, semina

elekezi kwa watekelezaji kuhusu miundo mipya ya mitaala baada ya elimu msingi na idadi ya

waliohudhuria;

f) Miongozo ya ukuzaji, utayarishaji na utekelezaji wa mitaala iliyopitishwa kwa muda

uliopangwa na kwa kuzingatia mahitaji ya wakati;

g) Idadi ya watekelezaji na walengwa waliosambaziwa mitaala;

Page 21: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

16

h) Mitaala iliyohuishwa na kuandaliwa kulingana na mahitaji ya taifa;

i) Muundo wa upimaji wa kitaifa wa maendeleo ya mwanafunzi kwa kuzingatia umahiri wa

stadi kwa kila ngazi ya elimu na mafunzo ulioandaliwa;

j) Idadi ya wanafunzi wenye kasi kubwa ya kujifunza, vipawa na vipaji walioendelezwa;

k) Idadi ya wanafunzi wenye kasi ndogo ya kujifunza walioendelezwa ;

l) Miongozo ya ulinganifu wa programu kulingana na mahitaji ya kitaifa na kimataifa;

m) Idadi na aina za programu zilizofanyiwa ulinganifu; na

n) Upatikanaji endelevu wa vitabu vya kiada na ziada vilivyobainishwa kwa ajili ya ngazi zote

za elimu na mafunzo.

4.3 LENGO Na.3: Kuimarisha usimamiaji na upimaji wa utekelezaji wa mitaala katika

taasisi za elimu na mafunzo katika ngazi zote ili kuleta ufanisi wa elimu na mafunzo

yatolewayo.

4.3.1 MKAKATI

Kuhuisha na kuimarisha vigezo, misingi na utaratibu yakinifu wa kuhakiki, kusimamia na

kupima utekelezaji wa mitaala katika asasi za elimu na mafunzo katika ngazi zote.

4.3.2 SHABAHA

1. Miongozo ya kuhakiki, kusimamia na kupima utekelezaji wa mitaala katika asasi za elimu na

mafunzo katika ngazi zote kuandaliwa na kutumika ifikapo mwaka 2016.

2. Usimamizi fanisi wa utekelezaji wa mitaala kwa kuhusisha ngazi mbalimbali za usimamizi

wa elimu na mafunzo ifikapo mwaka 2015.

3. Wasimamizi na watekelezaji mahiri wa mitaala katika taasisi za elimu na mafunzo

kuandaliwa ifikapo mwaka 2016.

4.3.3 VIASHIRIA

a. Miundo na miongozo ya kuhakiki, kusimamia na kupima utekelezaji wa mitaala katika

taasisi za elimu na mafunzo.

b. Idadi ya wasimamizi na watekelezaji mahiri wa mitaala katika ngazi zote.

c. Idadi ya taasisi za elimu na mafunzo zilizofanyiwa tathmini ya utendaji kazi.

4.4 LENGO Na 4: Kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ili kuwa na wanafunzi

mahiri wenye uwezo wa kuwasiliana kwa Kiswahili, Kiingereza na lugha nyingine za

kigeni katika mfumo wa elimu na mafunzo.

Page 22: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

17

4.4.1 MIKAKATI

1. Kuweka, kuendeleza na kuimarisha mbinu za kufundisha na kujifunza kwa umahiri na

kuwasiliana kwa ufasaha kwa Kiswahili na Kiingereza kwa kutumia wataalamu na walimu

mahiri.

2. Kuweka mazingira na utaratibu utakaowezesha wanafunzi walengwa kujifunza lugha

nyingine za kigeni na kuwasiliana kwa ufasaha.

4.4.2 SHABAHA

1. Kuwa na wanafunzi mahiri katika kujifunza na kuwasiliana kwa Kiswahili na Kiingereza

ifikapo mwaka 2016.

2. Kuwa na wanafunzi wenye uwezo wa kujifunza na kuwasiliana kwa ufasaha lugha nyingine

za kigeni zilizoidhinishwa kutumika katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC na Umoja

wa Afrika ifikapo mwaka 2016.

4.4.3 VIASHIRIA

a) Wanafunzi mahiri katika lugha za Kiswahili na Kiingereza.

b) Sheria na Miongozo inayowezesha kufundisha na kujifunza lugha nyingine za kigeni.

c) Idadi ya walimu mahiri wa kufundisha lugha mbalimbali za kigeni kwa ufasaha pamoja na

stadi za kuwasiliana.

4.5 LENGO Na. 5: Kuwezesha lugha ya alama kutumika katika ngazi zote za elimu na

mafunzo

4.5.1 MKAKATI

Kuweka mazingira na utaratibu utakaowezesha kujifunza, kufundishia na kuwasiliana kwa

kutumia lugha za alama katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

4.5.2 SHABAHA

Kuwa na wanafunzi mahiri katika kujifunza na kuwasiliana kwa lugha za alama kwa ufasaha

ifikapo mwaka 2016.

4.5.3 VIASHIRIA

a) Miongozo inayowezesha kufundisha na kujifunza kwa lugha za alama

b) Idadi ya wanafunzi mahiri katika kutumia lugha za alama

c) Idadi ya walimu mahiri katika kufundisha na kutumia lugha za alama

4.6 LENGO Na. 6: Kuimarisha uthibiti wa programu, mitihani na tuzo za nje

Page 23: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

18

zinazotolewa nchini katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

4.6.1 MKAKATI

Kuhuisha sheria, kanuni na miongozo ya ithibati na uthibiti wa programu na mitihani ya nje

inayoendeshwa nchini.

4.6.2 SHABAHA

Uratibu na uthibiti wa tuzo na vyeti vinavyotolewa na vyuo vya ndani na nje ya nchi kukidhi

mahitaji ya mfumo wa tuzo wa taifa ifikapo mwaka 2016.

4.6.3 VIASHIRIA

Sheria, kanuni na miongozo ya ithibati na uthibiti wa programu na mitihani ya nje

inayoendeshwa nchini

Page 24: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

19

SURA YA TANO

UPATIKANAJI WA FURSA MBALIMBALI ZA ELIMU NA MAFUNZO

NCHINI

5.0 UTANGULIZI

Utoaji wa elimu na mafunzo unazingatia upatikanaji wa fursa za elimu na mafunzo bila ubaguzi

wa jinsi, rangi, kabila, dini hali ya kijamii au kipato. Pamoja na juhudi za Serikali, sekta binafsi

na washirika wa maendeleo kuongeza fursa za elimu kwa makundi yote, baadhi ya makundi

bado hayajafikiwa kikamilifu kutokana na sababu za kijamii, kiuchumi na kijiografia.

Ili kutimiza lengo la kuwa na mtanzania aliyeelimika na anayependa kujielimisha, serikali

imedhamiria kuondoa vikwazo vyote vinavyoweza kuzuia mwanafunzi kupata elimu na mafunzo

madhalan, sababu za ujauzito, ndoa za utotoni, ajira za watoto na utoro.

5.1 LENGO Na.1: Kuongeza fursa anuwai za elimu na mafunzo kwa usawa kwa

makundi yote ya kijamii katika ngazi zote.

5.1.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha sheria, kanuni na miongozo ya kuhakikisha upatikanaji wa fursa za elimu na

mafunzo kwa usawa kwa makundi yote ya kijamii katika ngazi zote.

2. Kuimarisha na kuweka utaratibu wa kuongeza, na kutumia fursa za elimu na mafunzo ya

ndani na nje ya nchi kwa makundi yote ya kijamii kwa usawa katika ngazi zote

3. Kuimarisha elimu na mafunzo yanayoshirikisha vyuo vya elimu ya ufundi stadi, viwanda vya

umma na sekta binafsi (uanagenzi) ili kuongeza fursa na ubora wa elimu na mafunzo ya

ufundi stadi kwa usawa kwa makundi yote ya kijamii.

4. Kuimarisha ushiriki wa wadau mbalimbali katika utoaji wa mafunzo tarajali na mazoezi kwa

vitendo sehemu za kazi kwa wanachuo.

5. Kuimarisha utoaji wa elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa kuhakikisha inawafikia

watu wa rika na mahitaji mbalimbali.

5.1.2 SHABAHA

1. Sheria, kanuni na miongozo ya kuhakikisha upatikanaji wa fursa za elimu na mafunzo kwa

usawa kwa makundi yote ya kijamii kwa ngazi zote kuhuishwa na kutumika ifikapo mwaka

2016.

2. Fursa za elimu na mafunzo zinapatikana na kutumika kwa usawa kwa makundi yote ya

kijamii katika ngazi zote ifikapo mwaka 2016.

3. Programu za Maendeleo ya sekta ya elimu na mafunzo zinazoongeza fursa kutekelezwa kwa

ufanisi na tija ifikapo mwaka 2016.

Page 25: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

20

5.1.3 VIASHIRIA

a) Sheria, kanuni na miongozo inayohusu upatikanaji wa fursa za elimu na mafunzo kwa

usawa kwa makundi yote iliyoandaliwa.

b) Miundombinu nyenzo, vifaa na zana rafiki kwa makundi yote ya kijamii

c) Idadi ya programu za maendeleo zinazoongeza fursa sawa kwa makundi yote ya jamii

d) Idadi ya shule na vyuo

e) Idadi ya sekta binafsi zinazoshiriki kikamilifu katika kuongeza fursa

f) Sheria na miongozo ya uanagenzi iliyohuishwa

g) Wanachuo kupata mafunzo tarajali na mazoezi kwa vitendo sehemu za kazi

h) Elimu na mafunzo yanayotolewa kwa njia huria na masafa yanayokidhi viwango

i) Idadi ya programu zilizofanyika kuhamasisha umma kuhusu elimu na mafunzo kwa njia

huria na masafa.

j) idadi ya washiriki katika programu za elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa

5.2 LENGO Na. 2: Kuondoa vikwazo vinavyozuia fursa ya wanafunzi kuendelea na

masomo na kukamilisha mzunguko wa elimu na mafunzo katika ngazi husika.

5.2.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha miongozo kuhusu wanafunzi kukamilisha mzunguko wa elimu – msingi.

2. Kuweka mpango maalumu na taratibu zitakazowezesha wanafunzi waliokatiza masomo

kutokana na vikwazo na sababu mbalimbali kuendelea na masomo na/au kukamilisha

mzunguko husika.

5.2.2 SHABAHA

1. Taratibu na miongozo ya kuwezesha mwanafunzi kukamilisha mzunguko wa elimu msingi

kuhuishwa katika ngazi zote ifikapo mwaka 2016

2. Wanafunzi wanaokamilisha mzunguko wa elimu msingi kuongezeka ifikapo mwaka 2016

3. Miongozo na taratibu za wanafunzi waliokatiza masomo kutokana na vikwazo mbalimbali

kuendelea na masomo na/au kukamilisha mzunguko wa elimu na mafunzo husika kuwepo

ifikapo mwaka 2016.

4. Utambuzi wa masomo aliyofaulu mwanafunzi ili kumwezesha kuendelea na masomo kwa

ngazi husika au ngazi nyingine ifikapo mwaka 2016

5.2.3 VIASHIRIA

a. Miongozo na mipango ya kuwarudisha katika mfumo wa elimu na mafunzo wanafunzi

walioacha masomo kutokana na sababu mbalimbali

b. Idadi ya wanafunzi waliorejea katika mfumo wa elimu na mafunzo

c. Idadi ya wanafunzi waliokatiza masomo kukamilisha mzunguko wa elimu na mafunzo

husika.

Page 26: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

21

d. Mwanafunzi kuendelea na kumaliza mzunguko wake kwa kutambua limbikizo alama za

ufaulu

5.3 LENGO Na.3: Kuweka utaratibu utakaowezesha maendeleo ya wanafunzi wenye

vipaji, vipawa na kasi tofauti katika kujifunza kwa ngazi zote za elimu na mafunzo.

5.3.1 MKAKATI

Kuweka utaratibu na vigezo vya kuwatambua mapema wanafunzi wenye vipaji, vipawa na

wenye kasi ya kujifunza na wengine wenye mahitaji maalumu katika ngazi mbalimbali za elimu

na mafunzo.

5.3.2 SHABAHA

Vipaji, vipawa na kasi ya kujifunza ya wanafunzi katika ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo

kutambuliwa na kukuzwa ifikapo mwaka 2016.

5.3.3 KIASHIRIA

Idadi ya wanafunzi wenye vipaji, vipawa na wenye kasi ya kujifunza katika ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo kuongezeka.

5.4 LENGO Na. 4: Kuweka utaratibu na kuimarisha utambuzi wa viwango vya Elimu

na mafunzo ili kutoa fursa ya kila Mtanzania kujiendeleza kielimu, kupata maarifa na

stadi za kazi kwa kuzingatia kwamba elimu au mafunzo hayana mwisho.

5.4.1 MKAKATI

Kuimarisha utaratibu wa kuwa na vigezo vya utambuzi wa uwezo na umahiri wa mtu alioupata

akiwa nje ya mfumo wa shule au chuo na kumpa tuzo itakayomwezesha kujiendeleza katika

ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo kulingana na mahitaji yake au kupata sifa ya kujiunga na

fani husika.

5.4.2 SHABAHA

1. Vigezo vya utambuzi wa uwezo na umahiri wa mtu alioupata nje ya mfumo wa shule au chuo

kuwekwa ifikapo mwaka 2016.

2. Tuzo kwa watu wenye ujuzi na uzoefu mbalimbali walioupata nje ya mfumo wa elimu

kutolewa ifikapo mwaka 2016.

3. Tuzo na umahiri alioupata mtu akiwa nje ya mfumo wa shule au chuo kutambulika ili

kumwezesha kujiunga na kujiendeleza katika ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo ifikapo

mwaka 2016

Page 27: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

22

5.4.3 VIASHIRIA

a. Idadi ya watu waliopata tuzo nje ya mfumo wa elimu

b. Idadi ya watu waliojiendeleza katika ngazi mbalimbali za elimu baada ya kutambuliwa ujuzi

wao na kupata tuzo

Page 28: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

23

SURA YA SITA

ONGEZEKO LA RASILIMALI MBALIMBALI KULINGANA NA MAHITAJI KATIKA

NGAZI ZOTE ZA ELIMU NA MAFUNZO

6.0 UTANGULIZI

Uwezo wa utoaji wa elimu na mafunzo unaathiriwa na uhitaji mkubwa wa rasilimali

mbalimbali ikiwa ni pamoja na rasilimaliwatu hususan walimu, wahadhiri, wakufunzi na

watendaji wengine katika shule na vyuo; upungufu wa vifaa, nyenzo na zana za kujifunzia na

kufundishia hususan vitabu, vifaa vya maabara na karakana katika shule na vyuo pamoja na

miundombinu. Rasilimali watu pia imekuwa haitoshi na hivyo kusababisha baadhi ya shule na

vyuo kuwa na upungufu wa waalimu na watumishi wenginge muhimu katika utoaji wa elimu

bora.

Hali hii inachangiwa na changamoto katika mfumo na miundo ya kuwatambua na

kuwatayarisha, ajira, usimamizi, kuwavutia na kuwabakisha kazini na kuwaendeleza watumishi

katika sekta ya elimu na mafunzo katika fani husika.

6.1 LENGO Na.1: Kuimarisha mfumo wa ajira katika sekta ya elimu na mafunzo ili

uwe mahsusi na kukidhi mahitaji, upatikanaji na usimamizi wa rasilimaliwatu kwa ajili ya

maendeleo ya sekta ya elimu na mafunzo.

6.1.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha miundo ya utumishi na utayarishaji, ajira na maendeleo ya walimu na wasimamizi

wa elimu na mafunzo kwa ajili ya elimu ya awali, elimu- msingi na sekondari ngazi ya juu.

2. Kuhuisha miundo ya utumishi na utayarishaji, ajira na maendeleo ya walimu na wasimamizi

wa elimu na mafunzo katika Vyuo vya ufundi stadi, vyuo vya ufundi, vyuo vya ualimu na

vyuo vikuu (ngazi mbalimbali baada ya elimu – msingi).

3. Kuandaa utaratibu wa kuongeza nafasi za mafunzo ya ualimu, mafunzo ya ukufunzi, uhadhiri

kukidhi ongezeko la wanafunzi katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

6.1.2 SHABAHA

1. Miundo ya utumishi katika sekta ya elimu na mafunzo ngazi ya elimu ya awali, elimu msingi

na sekondari ngazi ya juu kuhuishwa ifikapo mwaka 2016.

2. Miongozo, vigezo na viwango vya elimu na ujuzi wa walimu na wasimamizi wa elimu ya

awali, elimu - msingi na sekondari ngazi ya juu kuhuishwa ifikapo mwaka 2016.

3. Uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi katika elimu ya awali kupungua kutoka 1:124 mwaka

2012 hadi kufikia 1:25 ifikapo mwaka 2025.

Page 29: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

24

4. Walimu mahiri wenye uwezo wa kufundisha elimu ya awali kwa ufanisi na ufasaha

kupatikana ifikapo mwaka 2018.

5. Wasimamizi wa utekelezaji wa elimu ya awali na elimu – msingi katika ngazi mbalimbali za

uongozi kuwepo ifikapo mwaka 2016.

6. Uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi katika elimu –msingi kuimarika ifikapo mwaka 2025.

7. Walimu mahiri na wenye uwezo wa kufundisha elimu –msingi kwa ufanisi na ufasaha

kupatikana ifikapo mwaka 2016.

8. Mpango wa kuandaa mipango ya kuongeza nafasi za mafunzo ya ualimu, wakufunzi,

wahadhiri katika ngazi zote za elimu na mafunzo ifikapo mwaka 2017.

6.1.3 VIASHIRIA

a) Miundo ya utumishi wenye ufanisi na tija katika sekta ya elimu na mafunzo ngazi ya elimu

ya awali, elimu msingi na sekondari ngazi ya juu;

b) Miongozo, vigezo na viwango vya elimu na ujuzi wa walimu na wasimamizi wa elimu ya

awali elimu msingi na sekondari ngazi ya juu;

c) Idadi ya walimu wa shule za awali ili kuwa na uwiano wa mwalimu na wanafunzi katika

elimu ya awali kupungua kuwa 1:25;

d) Idadi ya walimu wa shule za awali waliopata mafunzo;

e) Idadi ya wasimamizi wa shule za awali waliopata mafunzo;

f) Idadi ya walimu wa shule za elimu –msingi ili kuwa na uwiano wa mwalimu na wanafunzi

katika elimu –msingi kuwa 1:40;

g) Idadi ya walimu wa shule za elimu –msingi waliopata mafunzo;

h) Idadi ya wasimamizi wa shule za elimu –msingi waliopata mafunzo;

i) Miundo ya utumishi wenye ufanisi na tija katika sekta ya elimu na mafunzo katika ngazi

mbalimbali baada ya elimu – msingi;

j) Muundo na mfumo wa ajira ya walimu, wakufunzi, wahadhiri na wasimamizi;

k) Ongezeko la Idadi ya walimu, wakufunzi, wahadhiri, waendeshaji na wasaidizi wengine;

l) Idadi ya walimu, wakufunzi wahadhiri, waendeshaji na wasaidizi wengine walioendelezwa

kitaaluma na kitaalamu; na

m) Nafasi za mafunzo ya ualimu, wakufunzi na wahadhiri zilizoongezeka.

6.2 LENGO Na. 2: Kuweka mazingira bora na kuhakikisha kuwa sekta ya elimu na

mafunzo inatoa rasilimaliwatu wa kutosha na mahiri kukidhi mahitaji ya sekta

mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa.

6.2.1 MIKAKATI

1. Kuweka utaratibu wa sekta ya elimu na mafunzo kuandaa rasilimaliwatu ya kutosha yenye

ujuzi na umahiri unaotakiwa kwenye sekta mbalimbali za uchumi.

2. Kuweka utaratibu wa elimu na mafunzo kutoa kipaumbele kwenye sekta zinazokuwa haraka

na zinazojitokeza mfano mafuta, gesi na madini ili kuongeza rasilimaliwatu wenye ujuzi na

umahiri unaotakiwa katika sekta hizi kwa ngazi mbalimbali za ajira.

3. Kuweka utaratibu wa kutoa elimu na mafunzo kwa ajili ya sekta zisizo rasmi na kilimo ili

kulifanya taifa kukua kutoka uchumi wa chini kwenda wa kati

Page 30: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

25

6.2.2 SHABAHA

1. Elimu na mafunzo inayotolewa kuendana na mahitaji ya soko la ajira ifikapo mwaka

2018.

2. Kuwa na vyuo maalumu vinavyotoa elimu na mafunzo yanayokidhi mahitaji ya sekta

zinazokua haraka na zinazoibuka ifikapo mwaka 2018.

3. Vyuo vya ufundi stadi vya Wilaya pamoja na vyuo vya maendeleo ya wananchi

kuongezwa na kuimarishwa ifikapo mwaka 2019.

4. Vituo atamizi kwa ajili ya kuandaa wahitimu kujiajiri kuanzishwa ifikapo mwaka 2017.

5. Idadi ya vijana, na watu wazima wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabukupungua

ifikapo 2018.

6.2.3 VIASHIRIA

a) Ongezeko la ajira kwa wahitimu wa elimu na mafunzo katika sekta rasmi na isiyo rasmi;

b) Idadi ya wataalamu katika sekta zinazokuwa haraka na zinazoibuka;

c) Idadi ya vyuo vyenye ubora vinavyotoa elimu na mafunzo kwa ajili ya sekta isiyo rasmi;

na

d) Kuwepo kwa idadi ya vituo atamizi.

e) Ongezeko la vijana, na watu wazima wanaojua kusoma, kuandika na kuhesabu.

6.3 LENGO Na. 3: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha uwepo wa miundombinu bora na

stahiki ya kutosheleza mahitaji ya elimu na mafunzo katika ngazi zote.

6.3.1 MIKAKATI

1. Kuweka vigezo na viwango vya miundombinu ya shule za elimu-msingi ili kukidhi mahitaji

ya elimu ya awali na elimu - msingi.

2. Kuimarisha na kujenga miundombinu inayokidhi mahitaji ya elimu ya awali na elimu-

msingi.

3. Kuimarisha na kujenga miundombinu inayokidhi mahitaji ya elimu ya sekondari ngazi ya juu

4. Kuweka vigezo na viwango vya miundombinu inayokidhi mahitaji ya Vyuo vya ufundi stadi,

vyuo vya ufundi, vyuo vya ualimu na vyuo vikuu (ngazi mbalimbali baada ya elimu –

msingi)

5. Kuimarisha na kujenga miundombinu inayokidhi mahitaji ya Vyuo vya ufundi stadi, vyuo

vya ufundi, vyuo vya ualimu na vyuo vikuu (ngazi mbalimbali baada ya elimu – msingi)

6. Kujenga utamaduni wa utunzaji, usimamizi, ukarabati na ukarafati wa miundombinu ya asasi

za elimu na mafunzo.

6.3.2 SHABAHA

1. Vigezo na viwango vya miundombinu ya shule za elimu-msingi kuwepo ifikapo mwaka

2016.

2. Miundombinu, inayokidhi mahitaji ya elimu ya awali na elimu -msingi ifikapo mwaka 2019.

Page 31: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

26

3. Shule za elimu ya sekondari ngazi ya juu za kutosha zenye miundombinu inayokidhi mahitaji

kuwepo ifikapo mwaka 2019.

4. Vigezo na viwango vya miundombinu ya asasi za elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali

baada ya elimu – msingi kuwepo ifikapo mwaka 2016.

5. Vyuo vya ufundi stadi, vyuo vya ufundi, vyuo vya ualimu na vyuo vikuu kuwa na

miundombinu inayokidhi mahitaji na ongezeko la udahili kuwepo ifikapo mwaka 2019.

6. Miongozo ya usimamizi, utunzaji, ukarabati na ukarafati wa miundombinu kuwepo ifikapo

mwaka 2016.

6.3.3 VIASHIRIA

a. Miongozo, vigezo na viwango vya miundombinu katika ngazi ya elimu ya awali, elimu

msingi na sekondari ngazi ya juu;

b. Mfumo mpya wa elimu msingi kutekelezwa katika viwango vilivyowekwa;

c. Idadi ya shule za elimu – msingi;

d. Idadi ya shule za sekondari ngazi ya kawaida zinazotoa masomo ya elimu ya sekondari ngazi

ya juu;

e. Miongozo, vigezo na viwango vya miundombinu baada ya elimu msingi;

f. Idadi ya vyuo vyenye miundombinu bora;

g. Sheria, kanuni na miongozo ya utunzaji, ukarabati na ukarafati wa miundombinu; na

h. Miundombinu yenye ubora stahiki.

6.4 LENGO Na. 4: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha vifaa, nyenzo na zana stahiki za

kufundishia na kujifunzia katika elimu na mafunzo zinatosheleza kulingana na

mahitaji na maendeleo ya sayansi, teknolojia na mbinu za kufundishia na kujifunzia

katika ngazi zote.

6.4.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha viwango vya ubora wa nyenzo, vifaa na zana za kufundishia na kujifunzia ili kuleta

usawa katika upatikanaji wa Elimu na mafunzo katika shule na vyuo ngazi zote.

2. Kuweka utaratibu yakinifu wa upatikanaji wa vifaa, nyenzo,na zana za kufundishia na

kujifunzia katika shule na vyuo vya Elimu na mafunzo katika ngazi zote.

3. Kujenga utamaduni wa utunzaji, usimamizi, ukarabati wa vifaa, nyenzo,na zana za

kufundishia na kujifunzia mafunzo.

6.4.2 SHABAHA

1. Miongozo ya ubora wa nyenzo, vifaa na zana katika shule na vyuo vya elimu na mafunzo

katika ngazi zote kutolewa na kusambazwa ifikapo mwaka 2016.

2. Shule na vyuo vya elimu na mafunzo katika ngazi zote vyenye vifaa, nyenzo,na zana za

kufundishia na kujifunzia kulingana na viwango vilivyowekwa ifikapo mwaka 2025

3. Miongozo ya usimamizi, utunzaji, ukarabati wa vifaa, nyenzo na zana kuwepo ifikapo

mwaka 2016.

Page 32: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

27

6.4.3 VIASHIRIA

a. Miongozo ya viwango vya msingi vya ubora kati ya shule na vyuo vya elimu na mafunzo vya

serikali na vya binafsi katika ngazi zote;

b. Idadi ya vifaa,nyenzo, na zana za kufundishia na kujifunzia katika shule na vyuo vya elimu

na mafunzo katika ngazi zote; na

c. Sheria, kanuni na miongozo ya utunzaji, ukarabati wa nyenzo,na zana za kufundishia na

kujifunzia.

6.5 LENGO Na 5: Kuweka utaratibu wa kuwezesha lugha ya Kiswahili na Kiingereza

kuwa lugha za kufundishia na kujifunzia katika ngazi zote za elimu na mafunzo

6.5.1 MIKAKATI

1. Kuweka utaratibu utakaowezesha lugha ya Kiswahili kutumika kufundishia katika ngazi zote

za elimu na mafunzo.

2. Kuweka utaratibu utakaowezesha lugha ya Kiingereza kama lugha ya mawasiliano kikanda

na kimataifa kufundishwa kwa ufasaha katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

3. Kuimarisha kujifunza na kufundisha lugha mbalimbali za kigeni katika ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo

6.5.2 SHABAHA

1. Vifaa, nyenzo na zana za kufundishia na kujifunzia kwa umahiri kwa kutumia lugha ya

Kiswahili kuwepo ifikapo mwaka 2025.

2. Vitabu kutafsiriwa au kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa masomo mbalimbali ifikapo

mwaka 2018.

3. Maktaba kuimarishwa kuwa na vitabu na maandiko mengine kiswahili ifikapo mwaka 2019.

4. Maabara zenye kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili kuwepo kwenye

shule na vyuo nchini ifikapo mwaka 2019.

5. Vifaa, nyenzo na zana za kufundisha na kujifunza kwa umahiri kwa kutumia lugha ya

Kiswahili kuwepo ifikapo mwaka 2018.

6. Maktaba kuimarishwa kwa vitabu na maandiko mengine ya Kiingereza ifikapo mwaka 2017.

7. Maabara za lugha ya Kiingereza kuwepo kwenye shule na vyuo nchini ifikapo mwaka 2016.

8. Vifaa, nyenzo na zana za kufundishia na kujifunzia kwa umahiri lugha za kigeni kuwepo

ifikapo mwaka 2016.

6.5.3 VIASHIRIA

a. Sheria, kanuni na miongozo ya lugha ya Kiswahili kutumika kufundishia;

b. Lugha ya Kiswahili kutumika kufundishia;

c. Vitabu kutafsiriwa au kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili;

Page 33: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

28

d. Andiko la programu ya kuwezesha ujenzi wa maabara za lugha katika shule na vyuo

lililoidhinishwa na Serikali;

e. Miongozo ya kujifunza lugha ya Kiingereza;

f. Andiko la mpango wa kufundisha lugha ya Kiingereza lililoidhinishwa na serikali ;

g. Andiko la mpango wa kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya maabara za lugha katika shule na

vyuo lililoidhinishwa na serikali;

h. Idadi ya walimu wa lugha za kigeni, nyenzo, vifaa na zana zinazotumika kujifunza lugha za

kigeni; na

i. Andiko la programu ya kufundisha lugha zingine za kigeni lililoidhinishwa na serikali.

6.6 LENGO Na. 6:Kuweka utaratibu na mazingira wezeshi ya kuhakikisha elimu na

mafunzo katika ngazi zote inatolewa kwa ufanisi kwa njia huria na masafa.

6.6.1 MIKAKATI

1. Kuimarisha njia za utoaji wa elimu na mafunzo zikiwemo huria na masafa ili kuwawezesha

watanzania wengi kujiendeleza kielimu bila vikwazo.

2. Kuhakikisha taasisi zote zinazotoa elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa

zimeunganishwa katika mkongo wa taifa na kwa njia nyingine za kisasa.

3. Kuimarisha uhusiano kati ya sekta ya umma na binafsi ili kuleta tija na ufanisi katika utoaji

wa elimu kwa njia huria na masafa.

6.6.2 SHABAHA

1. Rasilimaliwatu wanaosimamia na wanaotekeleza elimu na mafunzo huria na masafa kuwa

wamejengewa uwezo ifikapo mwaka 2025.

2. Miundombinu, vifaa, nyenzo na zana kwa ajili ya elimu na mafunzo kwa njia huria na

masafa kuwepo ifikapo mwaka 2020.

3. Kuhakikisha taasisi zote zinazotoa elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa

zimeunganishwa katika mkongo wa taifa na kwa njia nyingine za kisasa ifikapo mwaka

2019.

4. Huduma bora kupitia elimu kwa njia huria na masafa kupatikana nchi nzima ifikapo mwaka

2020.

6.6.3 VIASHIRIA

a) Idadi na aina ya programu za elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa;

b) Programu rekebishi za kuimarisha utoaji wa elimu na mafunzo kwa njia huria na masafa;

c) Idadi ya taasisi za elimu na mafunzo zilizounganishwa kwenye mkongo wa taifa;

d) Idadi ya mikataba ya ushirikiano baina ya sekta binafsi zinazoshiriki kutoa elimu kwa njia na

huria na masafa.

Page 34: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

29

6.7 LENGO Na. 7: Kuhakikisha kila taasisi ya elimu na mafunzo inakuwa na hatimiliki

ya ardhi mahali ilipo taasisi hiyo kwa ngazi zote.

6.7.1 MKAKATI

Kuwezesha upatikanaji wa Ardhi na hatimiliki ya ardhi kwa taasisi za elimu na mafunzo kwa

ngazi zote.

6.7.2 SHABAHA

1. Taasisi za elimu na mafunzo kuwa na ardhi na hatimiliki kuanzia mwaka 2014.

2. Ardhi kwa ajili ya matumizi ya shughuli za elimu na mafunzo kutambulika na kutengwa

kuanzia mwaka 2014.

6.7.3 VIASHIRIA

a. Idadi ya taasisi zilizo na ardhi ya kutosha yenye hatimiliki.

b. Mpango wa kuwezesha taasisi zote kupata ardhi.

Page 35: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

30

SURA YA SABA

MFUMO ENDELEVU WA UGHARIMIAJI WA ELIMU NA MAFUNZO NCHINI

7.0 UTANGULIZI

Pamoja na serikali kutoa kipaumbele katika sekta ya elimu, ongezeko la mahitaji ya elimu na

mafunzo ni changamoto kwa serikali katika ugawaji wa bajeti ambayo ni endelevu katika

ugharimiaji wa elimu na mafunzo. Kwa kutambua hili, serikali imekuwa ikitenga kati ya asilimia

3.6 hadi 6.3 ya pato la taifa kugharimia elimu na mafunzo.Pamoja na jitihada hizi bado

ugharamiaji wa elimu na mafunzo umeendelea kuwa changamoto kubwa na hivyo kuhitaji

mikakati endelevu katika kutatua changamoto hizo. Aidha, serikali imenuaia kuendeleza ubia

na sekta binafsi na kuimarisha ushiriki wa wadau mbalimbali katika ugharimiaji wa elimu na

mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu na mafunzo.

7.1 LENGO Na. 1: Kuimarisha mfumo wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo kwa ngazi

zote kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu na mafunzo.

7.1.1 MIKAKATI

1. Kuimarisha muundo wa ugharimiaji endelevu wa elimu na mafunzo nchini.

2. Kujenga na kuendeleza ubia kati ya sekta ya umma na binafsi katika kufanikisha miradi ya

elimu na mafunzo kwa ngazi zote.

3. Kuimarisha ushiriki wa wadau katika sekta mbalimbali katika ugharimiaji wa mafunzo

tarajali na mazoezi kwa vitendo sehemu za kazi kwa wanachuo.

7.1.2 SHABAHA

1. Gharama halisi ya kuelimisha mwanafunzi kwa ngazi zote ikiwemo elimu na mafunzo kwa

njia huria na masafa kubainishwa ifikapo mwaka 2014.

2. Vyanzo vya kugharimia elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali kubainishwa na

kutumika ifikapo mwaka 2016.

3. Utaratibu utakaohusisha sekta mbalimbali na jamii katika kugharimia elimu kwa ngazi zote

kuainishwa na kutumika ifikapo mwaka 2016.

4. Tengeo la bajeti ya serikali ya kugharimia elimu na mafunzo lisipungue asilimia 25 ya bajeti

ya serikali ifikapo mwaka 2015.

5. Huduma ya elimu na mafunzo yanayotolewa na sekta binafsi kuwa ya gharama nafuu kwa

kadri iwezekanavyo ifikapo mwaka 2016.

6. Utaratibu endelevu wa kuwawezesha wanafunzi wanaoshindwa kuchangia gharama za elimu

na mafunzo kuwepo ifikapo mwaka 2016.

Page 36: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

31

7. Mazingira ya kufanya taasisi za fedha kushiriki katika ugharimiaji wa elimu na mafunzo

kujengwa ifikapo mwaka 2015.

8. Wahitimu wa elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali na jamii kushiriki kugharimia elimu

na mafunzo ifikapo mwaka 2016.

9. Wadau mbalimbali kushiriki katika kugharimia mafunzo tarajali na mazoezi kwa vitendo

katika sehemu mbalimbali za kazi ifikapo mwaka 2016.

7.1.3 VIASHIRIA

a. Gharama halisi ya kumsomesha mwanafunzi kwa ngazi zote za elimu na mafunzo;

b. Idadi ya vyanzo mahsusi vya fedha za kugharimia elimu na mafunzo;

c. Asilimia 25 ya tengeo la bajeti ya serikali kugharimia elimu na mafunzo;

d. Sheria, kanuni na miongozo ya ugharimiaji wa elimu iliyohuishwa;

e. Gharama nafuu za huduma katika taasisi za elimu na mafunzo;

f. Mwongozo wa utaratibu yakinifu wa kuwawezesha wanafunzi wanaoshindwa kuchangia

gharama za elimu na mafunzo;

g. Taasisi za fedha kushiriki katika ugharimiaji wa elimu na mafunzo;

h. Idadi ya miradi ya elimu na mafunzo baina ya sekta binafsi na sekta ya elimu na mafunzo;

i. Muundo wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo tarajali na kwa vitendo ; na

j. Ushiriki wa wadau katika ugharimiaji wa mafunzo tarajali na mafunzo kwa vitendo katika

sehemu mbambali za kazi.

Page 37: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

32

SURA YA NANE

UONGOZI, USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA ELIMU NA MAFUNZO NCHINI

8.0 UTANGULIZI

Uongozi na utawala bora ni muhimu kwa ufanisi wa mfumo wa elimu na mafunzo. Watekelezaji

na wasimamizi wa elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali hawana budi kuwa na sifa stahiki

za kitaalam na kitaaluma, uzoefu na ujuzi kulingana na nafasi zao. Mikakati iliyoandaliwa

imelenga kuongeza ufanisi katika uongozi na utawala katika ngazi zote za elimu na mafunzo kwa

kuweka mfumo madhubuti wa utendaji, usimamiaji na uwajibikaji.

8.1 LENGO Na. 1: Kuongeza ufanisi, tija uwajibikaji na uongozi bora katika usimamizi

na uendeshaji wa elimu na mafunzo nchini

8.1.1 MIKAKATI

1. Kuhuisha mfumo wa uongozi, usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo katika ngazi

zote za elimu na mafunzo ikiwa ni pamoja na ugatuaji wa madaraka.

2. Kuweka mpango wa utambuzi, usajili, kuendeleza na kusimamia taaluma ya ualimu, weledi

na maadili.

8.1.2 SHABAHA

1. Miongozo kuhusu vigezo, viwango na taratibu za uongozi, usimamiaji na upimaji wa

maendeleo ya elimu na mafunzo ifikapo mwaka 2016.

2. Mgawanyo wa majukumu, usimamizi na uwajibikaji wenye tija na ufanisi katika elimu na

mafunzo kuwepo ifikapo mwaka 2016.

3. Majukumu na umahiri wa watendaji katika masuala mbalimbali kwa ngazi zote za elimu na

mafunzo kuhuishwa na kuboreshwa mara kwa mara kuanzia mwaka 2014.

4. Utambuzi na usajili wa walimu katika sekta ya elimu na mafunzo kuwepo ifikapo mwaka

2016.

8.1.3 VIASHIRIA

a) Sheria na miongozo kuhusu uongozi, usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo

Iliyohuishwa;

b) Miundo ya uongozi, usimamizi na uendeshaji; na

c) Sheria, kanuni na miongozo kuhusu utambuzi na usajili wa walimu.

8.2 LENGO Na. 2: Kuimarisha mfumo wa menejimenti ya data na taarifa za elimu na

mafunzo kwa ngazi zote za elimu na mafunzo.

Page 38: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

33

8.2.1 MKAKATI

Kuimarisha mfumo wa menejimenti ya taarifa za elimu ili kuleta tija na ufanisi katika kuweka

mipango na maamuzi kuhusu utoaji wa elimu na mafunzo katika ngazi zote za elimu na

mafunzo.

8.2.2 SHABAHA

1. Data na taarifa zinazoaminika kupatikana ifikapo mwaka 2016.

2. Data na taarifa kutumika katika mipango na maamuzi katika sekta ya elimu na mafunzo

ifikapo mwaka 2016.

8.2.3 VIASHIRIA

a. Miongozo ya kuimarisha Mfumo wa Menejimenti ya taarifa za Elimu.

b. Matumizi stahiki ya taarifa za elimu.

Page 39: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

34

SURA YA TISA

MASUALA MTAMBUKA KATIKA ELIMU NA MAFUNZO KUZINGATIWA

9.0 UTANGULIZI

Umuhimu wa masuala mtambuka katika elimu na mafunzo haukwepeki. Mikakati iliyoandaliwa

inakusudia kuingiza maudhui ya masuala mtambuka katika mitaala na programu kwa ngazi zote

za elimu na mafunzo ili kuleta maendeleo endelevu

9.1 LENGO Na.1: Elimu na Mafunzo yenye maudhui ya masuala mtambuka kwa ajili

ya maendeleo endelevu ya Taifa.

9.1.1 MKAKATI

Kuingiza katika mitaala maudhui ya masuala ya stadi za maisha na mabadiliko ya tabianchi na

stadi nyinginezo muhimu katika maendeleo ya nchi.

9.1.2 SHABAHA

1. Mitaala na programu yenye maudhui ya stadi za maisha na mabadiliko ya tabianchi

kuwepo ifikapo mwaka 2016.

2. Walimu mahiri katika kuwawezesha wanafunzi kujifunza masomo mbalimbali yenye

maudhui mtambuka ifikapo mwaka 2016.

3. Wanafunzi wenye uelewa wa stadi za maisha na mabadiliko ya tabianchi ifikapo mwaka

2018.

9.1.3 KIASHIRIA

Programu na mihtasari inayojumuisha maudhui ya masuala mtambuka.

9.2 LENGO Na. 2: Kuweka utaratibu wa kuimarisha utoaji wa huduma ya ushauri na

unasihi katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

9.2.1 MKAKATI

Kuimarisha muundo wa ushauri na unasihi katika ngazi zote za elimu na mafunzo nchini.

Page 40: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

35

9.2.2 SHABAHA

1. Miongozo na utaratibu wa utoaji wa ushauri na unasihi katika elimu na mafunzo kuandaliwa

ifikapo mwaka 2015.

2. Miundombinu na nyenzo za kutolea ushauri nasaha na unasihi katika elimu na mafunzo

kuwepo ifikapo mwaka 2018.

3. Kuwepo na wataalamu mahiri wa ushauri na unasihi wa kutosha katika ngazi zote elimu na

mafunzo ifikapo mwaka 2020.

4. Wanafunzi kupata huduma za ushauri na unasihi kwa kutumia wataalamu mahiri katika shule

na vyuo ifikapo mwaka 2020.

9.2.3 VIASHIRIA

a. Miongozo ya ushauri na unasihi;

b. Huduma za ushauri na unasihi katika elimu na mafunzo; na

c. Idadi ya wataalamu mahiri wa huduma za ushauri na unasihi katika ngazi zote za elimu na

mafunzo.

9.3 LENGO Na. 3: Kuweka utaratibu utakao hakikisha kuwa haki za binadamu

zinalindwa na hawapewi adhabu za kutesa au kudhalilisha wakati wakipatiwa elimu au

mafunzo katika ngazi mbalimbali.

9.3.1 MKAKATI

Kuweka muundo, miongozo, kanuni na taratibu za kurekebisha tabia na mienendo ya wanafunzi

wanaokiuka taratibu mbalimbali za shule na vyuo bila kuwadhalilisha au kukiuka haki za

binadamu.

9.3.2 SHABAHA

1. Adhabu za kutesa au kudhalilisha zinazuiliwa katika mfumo wa elimu na mafunzo ifikapo

mwaka 2016.

2. Wanafunzi wanaokiuka taratibu za shule au za vyuo kurekebishwa kwa njia endelevu na za

kitaalamu ifikapo mwaka 2016.

3. Taratibu za kuwafukuza shule wanafunzi wa elimu - msingi kutokana na sababu mbalimbali

kuhuishwa ifikapo mwaka 2016.

4. Walimu na jamii kuelewa taratibu za kutatua matatizo ya kinidhamu ya wanafunzi shuleni na

vyuoni ifikapo mwaka 2016.

Page 41: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

36

9.3.3 KIASHIRIA

Sheria, kanuni na miongozo inayohusu haki za binadamu katika mfumo wa elimu na

mafunzo iliyohuishwa

9.4 LENGO Na.4: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha maadili ya walimu na watumishi

wengine yanazingatiwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

9.4.1 MKAKATI

Kuweka muundo na utaratibu wa kuhakikisha kwamba maadili ya walimu na watumishi wengine

yanazingatiwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo kwa kuzingatia sheria za kazi na haki za

binadamu.

9.4.2 SHABAHA

1. Sheria, miongozo, kanuni na taratibu kuhusu maadili ya walimu na watumishi wengine

kuhuishwa ifikapo mwaka 2016.

2. Nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kuimarika katika ngazi zote za elimu na mafunzo ifikapo

mwaka 2017.

3. Mazingira bora ya kazi na ya kuishi mwalimu kuwepo ifikapo mwaka 2020.

9.4.3 VIASHIRIA

a. Muundo na utaratibu wa nidhamu na maadili ya kazi na uwajibikaji wa walimu uliohuishwa

na kutumika;

b. Sheria na kanuni kuhusu maadili ya walimu na watumishi wengine katika ngazi zote za elimu

na mafunzo zilizohuishwa na kutumika; na

c. Mazingira ya kazi na ya kuishi mwalimu kwa kuzingatia haki za binadamu

9.5 LENGO Na.5: Kuimarisha muundo wa kutekeleza maazimio na itifaki za

ushirikiano baina ya Tanzania na nchi nyingine, kikanda na kimataifa katika elimu na

mafunzo

9.5.1 MKAKATI

Utaratibu wa kushughulikia makubaliano ya utekelezaji wa maazimio mbalimbali yanayogusa

elimu na mafunzo kikanda na kimataifa.

9.5.2 SHABAHA

Miongozo na utaratibu wa kushughulikia na kutekeleza maazimio na itifaki yanayohusu elimu na

mafunzo kuwepo ifikapo mwaka 2016.

Page 42: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

37

9.5.3 KIASHIRIA

Muundo wa kutekeleza maazimio na itifaki za ushirikiano na nchi nyingine.

9.6 LENGO Na. 6: Kuimarisha utaratibu wa kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa

ufanisi masomo ya hisabati, sayansi na tekinolojia katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

9.6.1 MKAKATI

Kuimarisha na kuweka utaratibu utakaowezesha masomo ya hisabati, sayansi na tekinolojia

kufundishwa kwa ufanisi zaidi.

9.6.2 SHABAHA

1. Hisabati, sayansi, na tekinolojia, kufundishwa kwa ufanisi ifikapo mwaka 2018.

2. Rasilimaliwatu mahiri na wakutosha kuwezesha wanafunzi kujifunza masomo ya hisabati,

sayansi na tekinolojia katika ngazi zote za elimu na mafunzo kuwepo ifikapo mwaka 2018.

3. Umahiri wa wanafunzi katika nyanja za hisabati, sayansi na tekinolojia kuongezeka ifikapo

mwaka 2018.

9.6.3 VIASHIRIA

a. Viwango vya ufaulu wa wanafunzi katika masomo ya hisabati, sayansi, na tekinolojia.

b. Idadi ya wataalamu wenye uwezo na umahiri katika kufundisha masomo ya hisabati, sayansi

na tekinolojia.

c. Idadi ya wahitimu wenye umahiri katika masomo ya hisabati, sayansi na tekinolojia.

9.7 LENGO Na. 7: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha matumizi zaidi ya sayansi na

tekinolojia katika utoaji wa elimu na mafunzo katika ngazi zote.

9.7.1 MIKAKATI

1. Kuweka mpango wa kutumia vifaa bandia (Simulators) katika kufundisha masomo kwa

vitendo katika maabara na karakana ili kupunguza gharama za elimu na mafunzo

2. Kuimarisha ubia baina ya sekta ya elimu na mafunzo na viwanda ili kuwezesha upatikanaji

wa vifaa, zana na nyenzo za kufundishia na kujifunzia hisabati, sayansi na tekinolojia

3. Kuwezesha kila taasisi ya elimu na mafunzo kuwa kitovu cha sayansi na tekinolojia katika

jamii.

Page 43: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

38

9.7.2 SHABAHA

a) Vifaa bandia (Simulators) kutumika katika kufundisha na kujifunza kwa ngazi zote za elimu

na mafunzo ifikapo mwaka 2020.

b) Maabara za shule na vyuo kubuni na kutengeneza vifaa, zana na nyenzo za kufundishia na

kujifunzia hisabati, sayansi na teknolojia katika ngazi husika ifikapo mwaka 2020.

c) Walimu na Wanafunzi wenye uwezo wa kubuni na kutengeneza vifaa, zana na nyenzo za

kufundishia na kujifunzia kuwepo ifikapo mwaka 2025.

d) Ushiriki wa viwanda na sekta binafsi kuwezesha upatikanaji wa vifaa, zana na nyenzo za

kufundishia na kujifunzia hisabati, sayansi na tekinolojia ifikapo mwaka 2016.

e) Mpango wa taifa wa kushirikisha sekta binafsi katika upatikanaji wa vifaa, zana na nyenzo za

kufundishia na kujifunzia hisabati, sayansi na tekinolojia kuwepo na kutumika ifikapo

mwaka 2016.

f) Taasisi za elimu na mafunzo kuwa kitovu cha matumizi ya sayansi na tekinolojia katika jamii

ifikapo mwaka 2018.

g) Taasisi za elimu na mafunzo kuwa ni vituo vya elimu (Resource centers) katika jamii ifikapo

mwaka 2016.

h) Taasisi za elimu na mafunzo kuwa vituo atamizi ili kujenga uwezo wa wahitimu katika jamii

ifikapo mwaka 2017.

9.7.3 VIASHIRIA

a. Matumizi ya vyombo bandia (Simulators) katika karakana na maabara za shule na vyuo;

b. Idadi ya vifaa, zana na nyenzo zilizotengenezwa shuleni na vyuoni;

c. Idadi ya wanafunzi na walimu wenye uwezo wa kubuni na kutengeneza vifaa, zana na

nyenzo;

d. Sheria na miongozo ya ubia baina ya sekta ya elimu na mafunzo na sekta binafsi;

e. Idadi ya miradi ya ubia ya sekta binafsi katika upatikanaji wa vifaa, zana na nyenzo za

kufundishia na kujifunzia hisabati, sayansi na tekinolojia;

f. Sheria na miongozo kuwezesha taasisi za elimu kuwa kitovu cha sayansi na tekinolojia;

g. Idadi ya taasisi za elimu na mafunzo ambazo ni vitovu vya sayansi na teknolojia; na

h. Idadi ya taasisi zenye vituo atamizi.

9.8 LENGO Na. 8: Kuweka utaratibu na kuimarisha ushiriki fanisi wa wadau

mbalimbali katika sekta ya elimu na mafunzo katika ngazi zote

9.8.1 MIKAKATI

1. Kupanua wigo wa ushiriki wa wadau katika mipango, uendeshaji, ugharimiaji, ufuatiliaji na

tathmini katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

2. Kuongeza ushiriki wa wadau katika utoaji wa huduma mbalimbali mfano chakula na malazi

katika elimu na mafunzo.

Page 44: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

39

9.8.2 SHABAHA

1. Wigo wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo katika ngazi zote za elimu kwa kushirikisha

wadau mbalimbali kupanuka ifikapo mwaka 2016.

2. Ushiriki wa wadau katika mipango, uendeshaji na tathmini ya elimu na mafunzo katika ngazi

zote kuongezeka ifikapo mwaka 2016.

3. Utaratibu wa kushirikisha wadau katika utoaji wa huduma mbalimbali mfano chakula na

malazi katika elimu na mafunzo kuwekwa ifikapo mwaka 2016.

4. Huduma mbalimbali katika shule na vyuo kutolewa kwa kushirikisha wadau ifikapo mwaka

2016.

9.8.3 VIASHIRIA

a. Wigo wa ushiriki wa wadau katika ugharimiaji wa elimu na mafunzo;

b. Idadi ya wadau wanaoshiriki katika uendeshaji, ugharimiaji na ufuatiliaji wa elimu na

mafunzo;

c. Utaratibu wa huduma mbalimbali zinazotolewa na wadau; na

d. Aina za huduma mbalimbali zinazotolewa na wadau.

Page 45: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

40

SURA YA KUMI

MGAWANYO WA MAJUKUMU NA WAJIBU KWA WADAU MBALIMBALI

10.0 UTANGULIZI

Utekelezaji wa sera ya elimu na mafunzo, unategemea ushirikishwaji wa wadau mbalimbali

katika kufikia malengo yaliyokusudiwa. Wadau hao ni pamoja na Wizara yenye dhamana ya

Elimu na Mafunzo, Wizara yenye dhamana ya masuala ya Fedha, Wizara yenye dhamana ya

Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto; Wizara yenye dhamana ya Ardhi na Maendeleo ya

Makazi, Wizara yenye dhamana ya Afya na Ustawi wa Jamii; Wizara yenye dhamana ya

Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia; Wizara yenye dhamana ya Kilimo, Chakula na Ushirika;

Wizara yenye dhamana ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi; Wizara yenye dhamana ya Ujenzi;

Wizara yenye dhamana ya Maliasili na Utalii; Wizara yenye dhamana ya Viwanda na Biashara;

Wizara yenye dhamana ya Nishati na Madini; Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa Serikali

za Mitaa (OWM – TAMISEMI), mashirika na taasisi za Serikali na zisizo za Serikali, shule na

vyuo, washirika wa maendeleo wa ndani na nje, jamii na wadau wengine wa elimu na mafunzo.

Aidha, kiutawala, Mkakati wa kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo utatekelezwa katika ngazi

za Taifa, Mkoa, Mamlaka za Halmashauri, Kata, Shule na Vyuo.

10.1 Ngazi ya Taifa

Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo utaelekeza utekelezaji wa Sera ya Elimu na

Mafunzo katika Wizara mbalimbali pamoja na taasisi zake kulingana na majukumu

yaliyokasimiwa kwa wizara na taasisi hizo. Wizara, idara na taasisi hizo zitatekeleza majukumu

na wajibu huo katika sekta ya elimu kwa kushirikiana na wizara yenye dhamana ya elimu na

mafunzo ya ufundi. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo:

10.1.1. Wizara yenye dhamana ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Jukumu kuu la wizara ni kuandaa, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera kwa kuhuisha

sheria, kanuni, miongozo na viwango vya utekelezaji wa sera. Majukumu mengine ni haya

yafuatayo:

a) kulinda uhuru na kujenga uwezo wa vyombo vya ithibati na uthibiti wa ubora wa elimu

nchini;

b) Kujenga uwezo wa idara za makao makuu, taasisi na vyombo vilivyo chini ya wizara

kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake kama yanavyoainishwa na mkakati wa

utekelezaji wa sera; Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa sera na kutumia

matokeo ya tathmini, tafiti na taarifa mbalimbali zinazohusu hali halisi ya utoaji elimu

na mafunzo ili Wizara iweze kutoa maamuzi yenye tija na yatakayoongeza ufanisi

katika utekelezaji wa mkakati wa sera;

c) Kuhuisha utekelezaji wa mkakati wa sera ya elimu na mafunzo kwa kushirikiana na

wadau wengine wa elimu; na

d) Kuelimisha jamii kuhusu sera, mkakati wa utekelezaji wa sera na majukumu ya WEMU,

Page 46: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

41

wizara nyingine za serikali na wadau wa elimu na mafunzo katika utekelezaji wa

mkakati wa sera ya elimu na mafunzo.

10.1.2. Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM –

TAMISEMI),

Wizara hii inajukumu la kuhakikisha uwepo wa shule katika maeneo mbalimbali ya nchi. Hivyo

basi, katika ngazi ya mkoa sera za serikali zinasimamiwa na Sekretarieti ya Mkoa

inayoongozwa na Afisa Tawala wa Mkoa. Afisa elimu wa mkoa ni mtaalamu wa elimu katika

Sekretarieti na ana jukumu la kusimamia mkakati wa utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo

katika katika ngazi ya mkoa. Hakuna muunganiko mzuri wa mgawanyo wa majukumu na

uwajibikaji kati ya Afisaelimu wa Mkoa na Ma-Afisa elimu katika ngazi ya Halmashauri. Hali

hii inasababisha udhaifu katika utekelezaji wa sera.

Katika ngazi ya halmashauri, utendaji wa idara ya elimu unasimamiwa na Afisa elimu Elimu

Sekondari na Afisa elimu Msingi. Hawa wanateuliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Ufundi na wanapata maelekezo miongozo na taratibu za utekelezaji kutoka kwa

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi; katika utendaji wao wa kazi wa kila siku

wanawajibika moja kwa moja kwa Mkurugenzi wa Halmashauri. Mkaguzi Mkuu wa Shule wa

wilaya anawajibika moja kwa moja kiutendaji kwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na mafunzo

kupitia kwa Mkaguzi Mkuu wa Kanda. Ili kusimamia utekelezaji wa mkakati wa sera kwa

ufanisi katika ngazi mbalimbali mambo yafuatayo yanapendekezwa:

a) Pawepo na mgawanyo wa majukumu uliobayana na taratibu za uwajibikaji kati ya Afisa

elimu wa Mkoa na Afisa elimu wa Halmashauri. Uwekwe utaratibu wa mgawanyo wa

majukumu katika ngazi zote za Wilaya, Tarafa, Kata na Kijijini/Mtaa. Ofisi ya Mratibu

wa Elimu Kata iimarishwe kiutendaji na kujengewa uwezo wa kumudu jukumu la

kuratibu shule na vyuo katika eneo husika. Kamati /bodi za shule na vyuo ziwajibike

kwa wananchi katika kusimamia shule za msingi na sekondari kupitia ofisi za Waratibu

Elimu Kata; na

b) Kuweka utaratibu utakaowezesha Halmashauri na jamii kushiriki kikamilifu katika

ugharimiaji wa elimu – msingi kwa wote. Halmashauri zitawajibika kuratibu na

kuunganisha nguvu za wananchi na wadau wengine katika eneo husika katika

kuwezesha upatikanaji wa miundombinu, vifaa, nyenzo na zana na kuhakikisha shule

zote na vyuo vinakuwa na vitabu, vifaa, nyenzo na zana za kujifunzia na kufundishia za

kutosha kulingana na mahitaji.

10.1.3. Kamati Maalum ya Kisekta na Wadau

Wizara yenye dhamana ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na OWM-TAMISEMI zitashirikiana

kuunda kamati maalumu itakayo jumuisha wawakilishi kisekta toka Wizara ya Fedha, Wizara

ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto; Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Wizara

ya Afya na Ustawi wa Jamii; Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika; Wizara ya Maendeleo ya

Mifugo na Uvuvi; Wizara ya Miundombinu; Wizara ya Viwanda na Biashara; Wizara ya

Nishati na Madini; na wadau kutoka mashirika na taasisi za Serikali na zisizo za Serikali,

washirika wa maendeleo wa ndani na nje, jamii na wadau wengine wa elimu na mafunzo.

Page 47: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

42

10.1.4. Wizara yenye dhamana ya masuala ya Fedha

Wajibu wa wizara hii ni kuhakikisha kuwa fedha za kugharimia elimu katika ngazi mbalimbali

zinapatikana kama ifuatavyo:

a) Kuwezesha mifuko mbalimbali ya kugharimia elimu kuanzishwa na wakala

mbalimbali wanahusishwa katika kuchangia mifuko ya elimu;

b) Kuweka sheria au taratibu za kutenga asilimia ya pato la taifa na bajeti ya

serikali ili kuelekezwa katika kuchangia gharama za elimu katika ngazi zote za

elimu na mafunzo;

c) Kutumia vyuo vilivyo chini ya wizara katika kupata wataalamu, vifaa na zana za

kufundishia na kujifunzia;

d) Kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya elimu kwa kutumia kituo cha uwekezaji;

na

e) Kuhusisha kituo cha uwekezaji katika kutafuta fedha kwa ajili ya kugharimia

elimu na mafunzo.

10.1.5. Wizara yenye dhamana ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

Wizara yenye dhamana ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto itahusika moja kwa moja na

uandaaji wa mitaala ya watoto kwa ajili ya vituo vya kulelea watoto wadogo. Majukumu

mengine ni kama ifuatavyo:

a) Kuratibu na kusimamia elimu ya makuzi katika vituo vya kulelea watoto wadogo;

b) Kuandaa walezi wa watoto wadogo watakaofanya kazi katika vituo vya kulelea watoto

wadogo; na

c) Kusimamia na kuratibu mafunzo katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii.

10.1.6. Wizara yenye dhamana ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi

Jukumu kubwa la wizara hii ni kuandaa mpango wa matumizi ya ardhi kwa ajili ya shule, vyuo

na taasisi nyingine za elimu na mafunzo. Majukumu mengine mahsusi ni kama ifuatavyo:

a) Kuandaa na kuwezesha upatikanaji wa hati miliki za ardhi kwa shule, vyuo na taasisi

nyingine za elimu na mafunzo;

b) Kuanzisha uhusiano kati ya vyuo vya elimu na mafunzo ya ardhi na shule za elimu

msingi katika kuleta ufanisi wa ufundishaji shuleni na vyuoni; na

c) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na waweze kushiriki kikamilifu

katika soko la ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.7. Wizara yenye dhamana ya Afya na Ustawi wa Jamii

Wizara hii itakuwa na jukumu la kuandaa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa huduma za

afya katika ngazi zote za elimu na mafunzo. Katika kufanya hivyo wizara itawajibika kufanya

yafuatayo:

a) Kuhakikisha kuna mpango mahsusi wa upatikanaji wa huduma za afya katika shule na

vyuo;

Page 48: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

43

b) Kuandaa wataalamu wa afya watakao hitajika shuleni na vyuoni na kuhakikisha afya za

watoto zinaimarishwa kwa kupatiwa chanjo na mafunzo ya huduma ya kwanza;

c) Kuandaa Kliniki za afya katika shule na vyuo kwa kushirikiana na wataalamu

mbalimbali wa tiba na afya ya binadamu pamoja na taasisi za utafiti wa masuala ya

magonjwa na afya ya binadamu;

d) Kuleta ushirikiano baina ya vyuo na viwanda vya kutengeneza madawa mbalimbali ili

kuwezesha upatikanaji wa nafasi za wanafunzi kupata fursa ya kujifunza kwa vitendo

katika viwanda hivyo;

e) Kuleta ushirikiano baina ya shule, vyuo na viwanda vya kutengeneza madawa

mbalimbali ili kuwezesha upatikanaji wa madawa ya maabara za shule na vyuo kwa njia

ya msaada au kwa bei nafuu; na

f) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na waweze kushiriki kikamilifu

katika soko la ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.8. Wizara yenye dhamana ya Kilimo, Chakula na Ushirika

Jukumu la wizara hii litakuwa ni kuandaa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa chakula kwa

ajili ya elimu- msingi na ngazi nyingine za elimu na mafunzo. Majukumu mengine ni:

a) Kuanzisha miradi ya lishe shuleni na vyuoni

b) Kusimamia vyuo vya kilimo na vya ushirika viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika soko la

ajira na ulimwengu wa kazi; na

c) Kusimamia vyuo vya kilimo na vyuo vya ushirika katika kupanua nafasi za mafunzo.

10.1. 9. Wizara yenye dhamana ya Viwanda na Biashara

Jukumu kubwa la wizara hii litakuwa kusimamia na kuratibu ushiriki wa viwanda katika

uandaaji wa vifaa vya shule na vyuo. Majukumu mengine ni:

a) Kushirikiana na Wizara husika katika kuandaa mpango wa ushirikishaji wa

wanafunzi katika mafunzo ya vitendo viwandani,

b) Kuweka mazingira ya uanagenzi (apprenticeship) kwa wanavyuo wa vyuo vya

ufundi stadi ili wapate mafunzo viwandani; na

c) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara ili viandae mitaala kulingana na maelekezo

ya mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika

soko la ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.10. Wizara yenye dhamana ya Nishati na Madini

Jukumu la wizara hii litakuwa ni kuandaa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa nishati ya

umeme wa uhakika kwa ajili ya shule na taasisi za elimu na mafunzo. Majukumu mengine ni:

a) Kuandaa mpango wa kuwezesha shule, vyuo na taasisi nyingine za elimu na mafunzo

kuwa na miundombinu bora ya nishati.

b) Kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo katika kampuni mbalimbali zinazohusika

na nishati na madini.

c) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara ili viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika soko la

ajira na ulimwengu wa kazi.

Page 49: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

44

10.1.11. Wizara yenye dhamana ya masuala ya Maji

Jukumu la wizara hii litakuwa ni kuandaa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa maji safi na

salama ya kutosha kwa ajili ya shule na taasisi za elimu na mafunzo. Majukumu mengine ni:

a) Kuhakikisha shule zote na vyuo vinakuwa na vyanzo salama vya maji safi na salama;

b) Kuhakikisha shule, vyuo na taasisi nyingine za elimu na mafunzo zina miundombinu

bora ya kusambaza maji safi na salama;

c) Kuhakikisha shule, vyuo na taasisi nyingine za elimu na mafunzo zina miundombinu

bora ya maji taka; na

d) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara ili viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika soko la

ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.12. Wizara yenye dhamana ya masuala ya Ujenzi

Jukumu la wizara hii litakuwa ni kuandaa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa miundombinu

bora kwa ajili ya shule na taasisi za elimu na mafunzo. Majukumu mengine ni:

a) Kuhakikisha kwa kushirikiana na halmashauri zote nchini kunakuwa na mpango wa

ujenzi wa nyumba za walimu na vyumba vya madarasa vinavyokidhi mahitaji ya shule

na vyuo;

b) Kuandaa mpango wa kuwezesha shule, vyuo na taasisi nyingine za elimu na mafunzo

zinakuwa na miundombinu stahiki na ya kutosha;

c) Kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo katika kampuni mbalimbali zinazohusika

na miundombinu na katika sekta ya ujenzi; na

d) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara ili viandae mitaala kulingana na maelekezo ya

mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika soko la

ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.14. Wizara yenye dhamana ya Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia

Jukumu la wizara hii litakuwa ni kuandaa, kusimamia na kuratibu mpango wa kufanya shule na

vyuo kuwa vitovu vya sayansi na tekinolojia. Majukumu mengine ni:

a) Kuwezesha tekinolojia ya mawasiliano kutumika shuleni na vyuoni ili kutimiza

azma ya shule na vyuo kuwa vitovu vya sayansi na tekinolojia; na

b) Kusimamia vyuo vilivyo chini ya wizara ili viandae mitaala kulingana na maelekezo

ya mkakati wa kutekeleza sera ili wahitimu wawe mahiri na wanaohitajika katika

soko la ajira na ulimwengu wa kazi.

10.1.15. Wizara yenye dhamana ya masuala ya Kazi na Ajira

Jukumu la wizara hii ni kuwezesha waajiri kutoa nafasi za mafunzo ya uanagenzi, mafunzo

tarajali na mazoezi ya vitendo sehemu za kazi kwa wanafunzi wa vyuo. Aidha, kama

msimamizi wa ajira, wizara hii itakuwa na jukumu la kutoa taarifa za ajira ili kuandaa

programu za elimu na mafunzo stahiki kulingana na mahitaji ya rasilimaliwatu.

Page 50: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

45

10.1.16. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma

Jukumu la Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma litakuwa kuhuisha muundo wa

utumishi wa walimu na watumishi wengine katika sekta ya elimu ili kuongeza tija na ufanisi.

Majukumu mengine ni pamoja na:-

a) Kuandaa mpango wa kuajiri na kubakiza idadi ya kutosha ya walimu katika shule na

vyuo;

b) Kuandaa mpango wa ajira kwa watendaji wa elimu katika shule na vyuo ambao siyo

walimu; na

c) Kutoa posho kwa ajili ya walimu na watendaji wengine wa sekta ya elimu kuwezesha

kufanya kazi katika mazingira magumu.

10.1.17. Vyombo vinavyosimamia Ubora wa Elimu na Mafunzo

Vyombo hivi vikiwa mkono wa kitaalamu wa wa serikali katika elimu na mafunzo, vitakuwa na

wajibu wa kuandaa vigezo na viwango vya ubora wa elimu na mafunzo na kuhakikisha

vinazingatiwa. Aidha, vyombo hivi vitahakikisha kuwa shule na vyuo vinafanyiwa usajili,

ithibati na uthibiti.

10.1.18. Sekta Binafsi, Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Vyama vya Jamii

Sekta binafsi inajukumu la:

a) Kushirikiana na Wizara mbalimbali, Halmashauri na vyama vya kijamii kuwezesha

utoaji wa elimu katika ngazi zote za elimu na mafunzo;

b) Kushiriki katika mipango mbalimbali ya uendeshaji wa elimu na mafunzo;

c) Kutoa huduma mbalimbali za elimu na mafunzo katika shule na vyuo;

d) Kuhamasisha wananchi katika kuchangia maendeleo ya elimu na mafunzo katika nyanja

mbalimbali; na

e) Kushiriki katika kupanua fursa za elimu na mafunzo kwa kumiliki shule na vyuo,

kuchangia fedha au kusaidia wanafunzi katika mazingira magumu.

10.1.19. Washirika wa Maendeleo

a) Kushiriki katika kusaidia miradi ya elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu

na mafunzo; na

b) Kushiriki katika ujenzi wa miundombinu ya shule na vyuo.

10.2 Ngazi ya Mkoa

Jukumu la mkoa ni kupokea, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sheria, kanuni na miongozo

ya elimu na mafunzo katika ngazi ya halmashauri ikiwa ni pamoja kuelimisha watekelezaji

kuhusu miongozo hiyo kwenye ngazi ya Halmashauri za Wilaya, Mji, Manispaa na Jiji. Aidha,

mkoa utawajibika katika kuratibu utekelezaji wa mipango ya elimu na mafunzo ya halmashauri,

kutathmini na kutoa taarifa ya utekelezaji wa sera kwa ngazi ya taifa. Katika kutekeleza

majukumu yake ngazi ya mkoa itahitaji kuwa na timu ya uongozi wa elimu na mafunzo yenye

nyenzo muhimu na wataalamu wa elimu katika kutekeleza majukumu yake.

Page 51: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

46

10.3 Halmashauri za Wilaya, Mji, Manispaa na Jiji

a) Halmashauri zitapokea miongozo mbalimbali ya uendeshaji na usimamizi wa elimu-

msingi, elimu ya sekondari ngazi ya juu na vyuo na kutoa elimu kwa watekelezaji

kuhusu miongozo hiyo;

b) Halmashauri zitahusika katika usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo wa

siku kwa siku katika shule za elimu-msingi, sekondari na vyuo na programu

nyingine katika eneo lake;

c) Ngazi hii itasimamia moja kwa moja uendeshaji wa shule za elimu - msingi na

sekondari ngazi ya juu zilizoko katika halmashauri hiyo na utoaji wa elimu katika

njia mbalimbali ikiwemo njia huria na masafa kwa watu wa rika mbalimbali;

d) Halmashauri itawajibika katika kupanga, kuratibu, kutekeleza, kutathmini na kutoa

taarifa ya utekelezaji wa sera kwa ngazi za mkoa na taifa; na

e) Halmashauri kuajiri watalamu mahiri wa elimu na mafunzo wenye uwezo na nyenzo

za kutekeleza majukumu hayo.

10.4 Ngazi ya Kata

a) Ngazi ya Kata itahusika na uratibu wa utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo katika

ngazi hiyo;

b) Kata itawajibika katika kuratibu utekelezaji wa mipango ya shule za elimu- msingi,

sekondari ngazi ya juu na elimu kwa njia mbalimbali ikiwemo masafa na huria;

c) Utekelezaji wa majukumu ya elimu katika ngazi hii kufuatana na mfumo mpya wa

elimu utahitaji rasilimaliwatu iliyo elimika na yenye uwezo stahiki; na

d) Kupokea miongozo mbalimbali ya uendeshaji na utekelezaji wa sera ya elimu na

mafunzo na kuisambaza kwa walengwa ikiwemo mitaala.

10.5 Ngazi ya Shule na Chuo

a) Wakuu wa shule na vyuo watahusika katika usimamizi wa utekelezaji wa utoaji wa

elimu wa siku kwa siku katika taasisi zao;

b) Mkuu wa shule ya elimu - msingi na wa shule ya sekondari ngazi ya juu atasimamia na

kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo katika shule na atawajibika kupanga, kusimamia

utekelezaji kwa kushirikiana na mamlaka ya kijiji/ mtaa na kutoa taarifa za utekelezaji

kwa Kata na Halmashauri; na

c) Mkuu wa chuo cha ualimu, chuo cha elimu ya ufundi, chuo cha mafunzo ya ufundi stadi

na chuo kikuu atapanga, atasimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo katika

chuo na kutoa taarifa za utekelezaji kwa mamlaka zilizo juu yake.

d) Wakuu wa shule na vyuo watakuwa na wajibu wa kuelimisha walimu na watendaji

wengine katika ngazi ya shule na vyuo kuhusu miongozo mbalimbali inayotolewa na

wizara ya elimu na mafunzo ikiwemo mitaala na mihtasari ya masomo.Aidha,

watatakiwa kuhakikisha wakati wote mitaala na mihtasari inafahamika kwa walimu na

walengwa wote kwenye shule na chuo husika.

Page 52: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

47

SURA YA KUMI NA MOJA

11.0. UFUATILIAJI NA TATHMINI

Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo muhimu katika kuweka mfumo wa kujenga msingi

wa kutambua ufanisi katika utekelezaji wa Mkakati wa Sera ya Elimu na Mafunzo ambao ni wa

kipindi cha miaka 15. Mkakati huo unalenga kupata taarifa za utendaji na ufanisi katika maeneo

yote yaliyoainishwa kwenye Mkakati wa Sera kulingana na hatua mbalimbali za utekelezaji wa

malengo yaliyowekwa kwa ajili ya kufanya maamuzi muhimu kwa wakati muafaka

yatakayofanikisha malengo yaliyokusudiwa na Sera.

Serikali inatambua michango ya wadau mbalimbali katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji

wa malengo ya Sera zilizopo ingawa hakukuwa na uratibu rasmi wa ufuatiliaji na tathmini.

Wadau waliweza kutoa taarifa mbalimbali kuhusu hali ya elimu na mafunzo na taarifa hizo

zimesaidia sana katika mchakato wa kuandaa Sera mpya ya Elimu na Mafunzo na Mkakati wake.

Mafanikio na tija ya utekelezaji wa Sera inategemea kwa kiasi kikubwa jinsi Mkakati

utavyooanishwa na mifumo na taratibu mbalimbali zilizopo ndani ya taasisi zitakazotekeleza

Mkakati wa utekelezaji wa Sera kwa kutumia viashiria vinavyokubalika na wadau ambao ndio

watekelezaji. Kila mdau ataandaa Mpango wa Ufuatiliaji na Tathmini katika eneo lake kwa

kutumia Viashiria vinavyohusu upatikanaji wa mahitaji au rasilimali (Input Indicators);

mchakato wa utekelezaji (Process Indicators); kufanikisha utekelezaji (Output Indicators);

kuonekana kwa matokeo ya awali (Effects/Results Indicators) na kufikiwa kwa matokeo

yaliyokusudiwa (Impact Indicators). Mkakati huu unatambua na kuainisha Nafasi, majukumu na

wajibu wa kila mdau kuanzia ngazi ya Serikali Kuu hadi Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sekta

Binafsi na Washirika wa Maendeleo.

Page 53: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

48

Mfumo, miundo na taratibu nyumbufu za kumwezesha mtanzania kujiendeleza kwa njia mbalimbali katika mikondo ya kitaaluma na

kitaalamu.

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

Lengo 1: Kuweka mfumo, miundo na taratibu nyumbufu katika elimu na mafunzo ilikuleta ulinganifu, muunganiko na ufanisi wa ngazi na fani

mbalimbali za kitaaluma na kitaalamu ili kumwezesha mwanafunzi kutoka mkondo mmoja kwenda mwingine.

1. Kuhuisha

mfumo wa elimu

na mafunzo

uliyopo sasa na

kuweka mfumo

mpya na

nyumbufu

utaomwezesha

mtanzania

kujiendeleza kwa

njia mbalimbali ili

kukidhi mahitaji

ya maendeleo ya

kitaifa, kikanda na

kimataifa.

1.1. Mfumo wa elimu

na mafunzo

nchini kuwa

nyumbufu ili

kumwezesha

mtanzania

kujiendeleza kwa

njia mbalimbali

katika mikondo

ya kitaaluma na

kitaalamu ifikapo

2018.

1.1.1. Kuhuisha

mfumo wa

elimu na

mafunzo.

1.1.2. Kuhuisha Sheria

na kanuni za

elimu na

mafunzo

a) Mfumo wa elimu na

mafunzo uliohuishwa.

b) Sheria ya elimu na

mafunzo iliyohuishwa

i. Waraka wa mfumo

wa elimu

ulioidhinishwa na

serikali.

ii. Sheria ya elimu na

mafunzo

iliyoidhinishwa na

Serikali.

Wizara zenye

dhamana na Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto; Sheria na

Katiba;OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; Ofisi

ya Mwanasheria

Mkuu

2. Kuweka Muundo

wa Tuzo wa

Taifa

unaozingatia

vigezo na

viwango vya

ubora wenye

kuleta

ulinganifu,

muunganiko

katika ngazi

zote za elimu na

mafunzo ya

kitaaluma na

2.1. Muundo wa tuzo

wa Elimu na

mafunzo wenye

kuleta ulinganifu,

muunganiko

unaomwezesha

mtanzania

kujiendeleza

kutoka mkondo

mmoja kwenda

mwingine kuwepo

na kuanza

kutumika ifikapo

2018.

2.1.1. Kuandaa muundo

tuzo wa kitaifa

wenye

muunganiko,

mchanganuo wa

vigezo na

viwango vya

ubora kuanzia

elimu ya awali

hadi elimu ya juu

pamoja na elimu

na mafunzo ya

kitaalamu.

a) Muundo wa tuzo wa

kitaifa ambao ni nyumbufu

wenye kuleta ulinganifu na

muunganiko.

i. Waraka wa

muundo wa Tuzo

wa kitaifa

ulioidhinishwa na

Serikali

Wizara zenye

dhamana na Elimu

na Mafunzo;

Viwanda na

Biashara; Vyombo

vya ithibati na

uthibiti wa ubora;

OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; na

Wizara zote.

Page 54: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

49

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

kitaalamu. 2.1.2. Kutoa elimu kwa

umma kuhusu

muundo wa tuzo

wa taifa

a) Idadi ya programu za

kuelimisha umma

zilizoendeshwa kwa njia

mbalimbali kote nchini

i. Taarifa za

utekelezaji

2.1.3. Kutoa elimu na

mafunzo kwa

watekelezaji

kuhusu matumizi

ya muundo wa

tuzo wa taifa

a) Idadi ya watekelezaji

kutoka ngazi mbalimbali

za elimu na mafunzo

waliohudhuria za mafunzo

kuhusu muundo mpya wa

tuzo.

i. Taarifa ya

utekelezaji

Lengo Na. 2: Elimu ya Awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua

mwaka mmoja.

1. Kuweka vigezo,

viwango na

utaratibu ili

elimu ya awali

iwe ya lazima

na itolewe

katika kila shule

ya Elimu –

Msingi.

1.1. Sheria, miongozo

na taratibu

kuruhusu elimu

ya awali kuwa ya

lazima kuwekwa

na kutekelezwa

ifikapo 2018

1.1.1. Kupitia na

kuweka sheria,

miongozo ili

kuruhusu elimu

ya awali kuwa ya

lazima na

kutolewa katika

shule zote za

Elimu-Msingi

a) Sheria na miongozo

iliyohuishwa kuhusu

elimu ya awali kutolewa

katika shule zote za

Elimu-Msingi

i. Nyaraka za Sheria

na miongozo

iliyopitishwa na

Serikali.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; OWM-

TAMISEMI; Wizara

yenye dhamana ya

Sheria na Katiba

1.2. Elimu ya Awali

kuanza kutolewa

kwa watoto wote

wa rika lengwa

ifikapo mwaka

2018

1.2.1. Kujenga na/ au

kuimarisha

miundombinu

inayokidhi elimu

ya awali katika

shule zote za

elimu – msingi

b) Idadi ya watoto wa rika

lengwa waliojiunga na

elimu ya awali

i. Takwimu za

udahili na

maendeleo

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa Jamii;

Maendeleo ya Jamii,

Jinsia na Watoto;

Sheria na Katiba;

OWM-TAMISEMI;

Asasi Zisizo za

Page 55: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

50

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

Kiserikali; Ofisi ya

Mwanasheria Mkuu

Lengo Na 3: Elimu-Msingi kuwa ya lazima kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne; na kutolewa kwa miaka kumi na umri wa kuanza darasa

la kwanza kuwa kati ya miaka minne hadi sita kulingana na maendeleo na uwezo wa mtoto kumudu masomo katika ngazi husika.

1. Kuhuisha sheria

na taratibu ili

elimu - msingi

itolewe hadi

kidato cha nne.

1.1. Sheria na

Miongozo kuhusu

elimu - msingi

kuwekwa na

kutekelezwa

ifikapo 2016

1.1.1. Kuandaa sheria,

miongozo ya

uendeshaji wa

elimu-msingi

a) Sheria na miongozo

kuhusu elimu – msingi

iliyohuishwa

i. Nyaraka za sheria

na miongozo

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto; Sheria na

Katiba;

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; Ofisi

ya Mwanasheria

Mkuu

1.2. Mpango wa

utekelezaji wa

utoaji wa elimu –

msingi kuwepo

ifikapo mwaka

2018

1.2.1. Kuandaa mpango

wa kuwezesha

utoaji wa elimu -

msingi

b) Idadi ya wanafunzi wa

rika lengwa waliojiunga na

elimu-msingi.

ii. Takwimu za udahili

na maendeleo

1.3. Elimu – msingi

kutolewa ifikapo

mwaka 2018

c) Idadi ya shule za elimu-

msingi

iii. Takwimu za elimu

Lengo Na 4 : Kuweka utaratibu ili kuhakikisha muda wa kukamilisha elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu baada ya Elimu - Msingi

unakuwa na tija na ufanisi.

1. Kuhuisha Sheria

na utaratibu wa

utoaji wa elimu

ya sekondari

ngazi ya juu

1.1. Sheria na taratibu

utoaji wa elimu

ya sekondari

ngazi ya juu

ifikapo mwaka

2017

1.1.1. Kuandaa

miongozo ya

utekelezaji wa

elimu ya

sekondari ngazi

ya juu

a) Miongozo ya utekelezaji

wa elimu ya sekondari

ngazi ya juu

i. Nyaraka za

miongozo

iliyoidhinishwa

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto; Viwanda

na Biashara; Sheria

na Katiba; OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; Ofisi ya

1.2. Utaratibu wa

kuwaendeleza

wanafunzi

wanaofaulu elimu

msingi kuendelea

na Elimu ya

1.2.1. Kuandaa utaratibu

wa kuwezesha

wanaofaulu elimu

msingi kuendelea

na elimu ya

sekondari ngazi ya

b) Idadi ya wanafunzi

wanoendelea na elimu ya

sekondari ngazi ya juu

ii. Waraka kuhusu

utaratibu wa

kuendelea na

masomo katika

ngazi ya sekondari

Page 56: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

51

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

sekondari ngazi ya

juu au elimu ya

ufundi na mafunzo

ya ufundi stadi

ifikapo mwaka

2015

juu kwa miaka

miwili.

ya juu

uliyoidhinishwa na

Serikali

Mwanasheria

Mkuu, WAAJIRI

1.3. Udahili wa

wanafunzi wa

sekondari ngazi ya

juu kuongezeka

kutoka asilimia

5.2 mwaka 2012

hadi asilimia 40

ifikapo mwaka

2019

1.3.1. Kuandaa mpango

wa kuongeza

udahili wa

wanafunzi wa

elimu ya sekondari

ngazi ya juu

iii. Takwimu za elimu

na mafunzo

2. Kuimarisha vyuo

vya elimu ya juu

na mafunzo ya

ufundi stadi,

mafunzo ya

ualimu, elimu ya

ufundi, mafunzo

ya kitaalamu ili

viweze kutoa

elimu na

mafunzo

mbalimbali

kulingana na

mahitaji ya

maendeleo ya

taifa na soko la

ajira.

2.1 Sheria na kanuni

za matumizi ya

vyuo vya elimu ya

juu, mafunzo ya

ualimu, mafunzo

ya ufundi stadi,

elimu ya ufundi na

mafunzo ya

kitaaluma elimu na

mafunzo

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2017

2.1.1 Kuhuisha sheria

na kanuni za

matumizi ya

vyuo vya elimu

ya juu, mafunzo

ya ualimu,

mafunzo ya

ufundi stadi,

elimu ya ufundi

na mafunzo ya

kitaaluma.

a) Sheria na kanuni za

matumizi ya vyuo vya

elimu ya juu, mafunzo ya

ualimu, mafunzo ya ufundi

stadi, elimu ya ufundi na

mafunzo ya kitaaluma vya

elimu na mafunzo

zilizohuishwa

i. Nyaraka za Sheria

na kanuni za

matumizi ya vyuo

vya elimu na

mafunzo

zilizoidhinishwa na

vyombo husika.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; Ofisi ya

Mwanasheria

Mkuu; na

WIZARA ZOTE.

2.2 Utaratibu wa

kuwaendeleza

wanafunzi

wanaofaulu elimu

ya sekondari ngazi

ya juu kuendelea

na Elimu ya juu,

2.2.1 Kuandaa

utaratibu wa

kuwezesha

wahitimu elimu

ya sekondari

ngazi ya juu

kuendelea na

b) Idadi ya wanafunzi

wanoendelea na elimu ya

juu, mafunzo ya ualimu,

mafunzo ya ufundi stadi,

elimu ya ufundi na

mafunzo.

ii. Takwimu za

udahiliwa

wanafunzi katika

vyuo

Page 57: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

52

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

mafunzo ya

ualimu, mafunzo

ya ufundi stadi,

elimu ya ufundi na

mafunzo ya

kitaalam ifikapo

mwaka 2016

elimu ya juu,

mafunzo ya

ualimu mafunzo

ya ufundi stadi,

elimu ya ufundi

na mafunzo ya

kitaalam.

2.3 Utaratibu wa

matumizi fanisi

ya vyuo vya elimu

na mafunzo

kulingana na

miundo ya

mitaala mipya

kuandaliwa

ifikapo mwaka

2016

2.3.1 Kuandaa

utaratibu wa

matumizi fanisi

ya vyuo vya

elimu na mafunzo

kulingana na

miundo ya

mitaala mipya.

3. Kuweka

utaratibu wa

kuhakikisha

mafunzo

yanakamilika

kwa muda

stahiki katika

ngazi zote za

elimu na

mafunzo.

3.1 Fursa anuwai za

kuendelea na

masomo katika

ngazi mbalimbali

za elimu na

mafunzo

kuongezwa

ifikapo mwaka

2016.

3.1.1 Kuweka

mazingira

stahiki

kuwezesha

utekelezaji wa

miundo ya

mitaala

nyumbufu.

a) Idadi ya fursa anuwai za

kuendelea na masomo

katika ngazi mbalimbali

za elimu na mafunzo

i. Taarifa ya

utekelezaji

1.1. Idadi ya

wahitimu wa

katika ngazi

mbalimbali

kuongezeka

ifikapo mwaka

2020

1.1.1. Kuandaa

utaratibu wa

kuongeza fursa

za kuendelea na

masomo katika

ngazi

mbalimbali za

elimu na

b) Idadi ya wahitimu wa

katika ngazi mbalimbali

kuongezeka

ii. Taarifa ya

utelezaji

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za Kiserikali;

Ofisi ya

Mwanasheria Mkuu;

na WIZARA ZOTE.

Page 58: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

53

MIKAKATI SHABAHA

KAZI/ SHUGHULI

VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA KUHAKIKI WAHUSIKA

mafunzo

1.2. Ujuzi mhitimu

alioupata katika

ngazi ya elimu

au programu ya

mafunzo

kutambuliwa

kwa ajili ya

kujiunga na

ngazi ya elimu

au programu

nyingine ifikapo

mwaka 2018

1.2.1. Kuandaa

utaratibu wa

kutambua ujuzi

wa mtu

alioupata katika

ulimwengu wa

kazi au sehemu

nyingine kwa

ajili ya

maendeleo yake

ya elimu na

mafunzo

c) Muda wa elimu na

mafunzo wenye ufanisi na

tija

iii. Nyaraka

zinazoonyesha

muda wa elimu

na mafunzo

1.3. Ujuzi ambao

mtu ameupata

katika

ulimwengu wa

kazi na

ujasiriamali

kubainishwa na

kutambuliwa

kwa ajili ya

kujiendeleza

kielimu na

kiujuzi ifikapo

mwaka 2018

1.3.1. Ujuzi mtu

alioupata katika

ulimwengu wa

kazi au sehemu

nyingine

kubainishwa na

kutambuliwa

kwa ajili ya

maendeleo yake

kielimu ifikapo

2016

d) Mfumo wa kutambua

ujuzi uliopatikana katika

ngazi nyingine ya

mafunzo, nje ya mfumo

rasmi na kazini

iv. Nyaraka

zinazoonyesha

mfumo wa

utambuzi

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za

Kiserikali; Ofisi

ya Mwanasheria

Mkuu; na

WIZARA ZOTE.

Page 59: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

54

Elimu na mafunzo bora yenye viwango vinavyotambulika kikanda na kimataifa na yanayokidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye ya taifa.

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na 1: Kuimarisha ithibati na uthibiti wa ubora wa elimu na mafunzo katika ngazi zote ikiwemo masuala ya ushauri.

1. Kuimarisha

muundo wa

kitaasisi wa

ithibati na

uthibiti wa elimu

na mafunzo

katika ngazi

zote.

1.1. Chombo cha

ithibati na uthibiti

wa Elimu -

Msingi na

Sekondari ngazi

ya juu kuwepo

ifikapo mwaka

2018

1.1.1. Kupitia na kuhuisha

sheria, kanuni na

miongozo

inayosimamia ithibati

na uthibiti Elimu -

Msingi na Sekondari

ngazi ya juu

1.1.2. Kuunda chombo cha

ithibati na uthibiti wa

Elimu – Msingi na

Sekondari ngazi ya

juu

a) Sheria za vyombo vya

ithibati na uthibiti elimu

na mafunzo

zilizohuishwa.

i. Nyaraka za

Sheria za

chombo cha

ithibati na

uthibiti wa

elimu – msingi

na sekondari

ngazi ya juu

zilizoidhinishw

a na serikali.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, na

Sheria na Katiba.

1.2. Chombo cha

ithibati na uthibiti

wa Elimu na

Mafunzo ya

Ufundi Stadi na

Ujasiriamali

kuimarishwa

ifikapo mwaka

2019.

1.2.1. Kuhuisha sheria,

kanuni na

miongozo

inayosimamia

ithibati na uthibiti

wa elimu ya ufundi

stadi na

ujasiriamali

b) Viwango na vigezo vya

ubora wa elimu na

mafunzo katika ngazi zote

vilivyohuishwa

ii. Nyaraka za

Sheria za

vyombo vya

ithibati na

uthibiti

zilizoidhinishw

a na serikali.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Vyombo vya

Ithibati na Uthibiti.

1.3. Chombo cha

ithibati na uthibiti

wa Elimu ya

Ufundi

kuimarishwa

ifikapo mwaka

2019

1.3.1. Kupitia na

kuhuisha sheria,

kanuni na

miongozo

inayosimamia

ithibati na uthibiti

wa elimu ya ufundi

Page 60: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

55

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

1.4. Chombo cha

ithibati na uthibiti

wa Elimu ya Juu

Tanzania

kuimarishwa

ifikapo mwaka

2019

1.4.1. Kupitia na kuhuisha

sheria, kanuni na

miongozo

inayosimamia

ithibati na uthibiti

wa elimu ya juu

1.5. Chombo cha

uratibu, ithibati na

uthibiti wa

maendeleo ya

Sayansi,

Tekinolojia,

Utafiti na Ubunifu

Tanzania

kuimarishwa

ifikapo mwaka

2019

1.5.1. Kupitia na kuhuisha

sheria, kanuni na

miongozo

inayosimamia

ithibati na uthibiti

wa maendeleo ya

Sayansi,

Tekinolojia, Utafiti

na Ubunifu

1.6. Viwango na vigezo

vya ubora wa

elimu na mafunzo

vinavyotambulika

kikanda na

kimataifa kuwepo

ifikapo mwaka

2019.

1.6.1. Kuandaa viwango

na vigezo vya

ubora wa elimu na

mafunzo katika

ngazi zote

a) viwango na vigezo vya

ubora wa elimu na

mafunzo katika ngazi

zote

i. Nyaraka za

viwango na

vigezo vya

ubora wa elimu

na mafunzo

katika ngazi

zote

vilivyoidhinish

wa

1.7. Tekinolojia za

kisasa na za

kisayansi

kutumika katika

usimamizi, ithibati

na uthibiti kwa

ngazi zote za

elimu na mafunzo

1.7.1. Kubuni na kutumia

mbinu za kisasa za

ithibati na uthibiti

wa elimu na

mafunzo

b) Mbinu za kisasa

zinazotumika katika

ithibati na uthibiti

ii. Taarifa za

utekelezaji

Page 61: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

56

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

ifikapo mwaka

2019.

Lengo Na. 2: Kuimarisha ukuzaji, uboreshaji na utekelezaji wa mitaala kwa kuzingatia mahitaji ya taifa na ya walengwa katika ngazi zote za elimu

na mafunzo.

1. Kuhuisha

miundo ya

mitaala ya kitaifa

(National

Curriculum

Framework)

katika ngazi zote

za elimu na

mafunzo kwa

kuzingatia

umahiri

unaotarajiwa

katika kila ngazi

ya elimu na

mafunzo.

1.1. Muundo wa mtaala

wa kitaifa wa

elimu ya awali

kulingana na

muundo na tuzo

za elimu na

mafunzo

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2016

1.2. Miongozo ya

ukuzaji,

utayarishaji,

utekelezaji na

uhuishaji wa

mitaala

kuimarishwa na

kutekelezwa

ifikapo mwaka

2016

1.2.1. Kuhuisha muundo

wa mtaala wa

kitaifa wa elimu ya

awali ili uendane na

muundo mpya na

tuzo za elimu na

mafunzo

1.2.2. Kutoa elimu kwa

umma na

watekelezaji

kuhusu muundo

mpya wa mtaala

wa elimu ya awali

a) Miundo ya mtaala ya

kitaifa ya elimu ya awali,

elimu- msingi na sekondari

ngazi ya juu iliyohuishwa

b) Idadi ya wataalamu

waliojengewa uwezo wa

kukuza na kutekeleza

mitaala.

i. Muhtasari na

nyaraka

mbalimbali

zinazoakisi

muundo mpya

wa mtaala wa

kitaifa wa

elimu ya awali

ulioidhinishwa

na chombo

husika

ii. Taarifa za

utekelezaji za

kila robo

mwaka na

mwaka.

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo

pamoja na

WIZARA

ZOTE.

1.3. Muundo wa mtaala

wa kitaifa wa

elimu – msingi na

elimu ya

sekondari ngazi ya

juu kuhuishwa

kulingana na

muundo wa tuzo

ifikapo mwaka

2016

1.3.1. Kuhuisha muundo

na mitaala ya

kitaifa ya elimu-

msingi na

sekondari ngazi ya

juu

1.3.2. Kujenga uwezo wa

wakuza mitaala na

watekelezaji wa

mitaala kuhusu

muundo mpya wa

c) Idadi ya Programu za

kuelimisha umma kupitia

njia mbalimbali za

mawasiliano kuhusu

miundo mipya ya mitaala

ya kitaifa ya elimu ya

awali, elimu-msingi na

sekondari ngazi ya juu na

idadi ya waliohudhuria

iii. Mihtasari na

nyaraka

mbalimbali

zinazoakisi

miundo mipya

ya mitaala wa

kitaifa ya

elimu msingi

na sekondari

Page 62: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

57

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

mtaala wa kitaifa

wa elimu -msingi

na sekondari ngazi

ya juu

1.3.3. Kuelimisha umma

na watekelezaji wa

mitaala kuhusu

muundo mpya wa

mtaala wa kitaifa

wa elimu -msingi

na sekondari ngazi

ya juu

ngazi ya juu.

iv. Taarifa za

utekelezaji

1.4. Miundo ya mitaala

ya kitaifa katika

ngazi nyingine

kuhuishwa ili

iendane na

mabadiliko ya

muundo katika

elimu-msingi,

sekondari ngazi ya

juu na soko la

ajira ifikapo

mwaka 2016.

1.4.1. Kuhuisha miundo ya

mitaala ya kitaifa

katika ngazi nyingine

ili iendane na

mabadiliko ya

muundo katika

elimu-msingi,

sekondari na soko la

ajira

1.4.2. Kuelimisha umma

na kujenga uwezo

kwa watekelezaji wa

elimu na mafunzo

kuhusu misingi na

utekelezaji wa

muundo mpya wa

mitaala.

d) Miundo mipya ya mitaala

ya elimu na mafunzo

katika ngazi nyingine za

elimu na mafunzo

iliyohuishwa

e) Idadi ya programu ya

kuelimisha umma kupitia

njia mbalimbali za

mawasiliano, semina

elekezi kwa watekelezaji

na idadi ya waliohudhuria

v. Miundo ya

mitaala ya

elimu na

mafunzo

katika ngazi

nyingine

iliyoidhinishw

a na vyombo

husika.

vi. Taarifa ya

utekelezaji

kuhusu

programu za

elimu kwa

umma

i.

2. Kuhuisha na

kuimarisha

miongozo ya

ukuzaji,

utayarishaji,

2.1. Miongozo ya

ukuzaji,

utayarishaji,

utekelezaji na

uhuishaji wa

2.1.1. Kuandaa miongozo

ya ukuzaji

utayarishaji,

utekelezaji na

uhuishaji wa mitaala

a) Miongozo ya ukuzaji,

utayarishaji na utekelezaji

wa mitaala iliyopitishwa

kwa muda uliopangwa na

kwa kuzingatia mahitaji

i. Nyaraka za

ukuzaji,

utayarishaji na

utekelezaji wa

mitaala

Page 63: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

58

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

utekelezaji na

uhuishaji wa

mitaala kwa

kuzingatia

mahitaji ya taifa

na ya walengwa

katika ngazi zote

za elimu na

mafunzo

kulingana na

muundo wa tuzo

wa Taifa.

mitaala

kuimarishwa na

kutekelezwa

ifikapo mwaka

2016

kwa kuzingatia

mahitaji ya taifa na

ya walengwa katika

ngazi zote za elimu

na mafunzo

kulingana na

Muundo wa Tuzo wa

Taifa.

ya wakati. iliyoidhinishwa

na vyombo

husika.

ii. Nyaraka za

mitaala kuwepo

katika ngazi

zote za asasi za

elimu na

mafunzo

2.2. Mitaala kuhuishwa

kila baada ya

kipindi cha miaka

mitano au pale

uhuishaji huo

utakapohitajika

kwa sababu ya

mabadiliko

yanayosababisha

uhuishaji wa

mtaala ufanyike

ifikapo mwaka

2016.

2.2.1. Kuhuisha mitaala

itakayokuwa

imetumika kipindi

cha miaka 5

b) Idadi ya watekelezaji na

walengwa

waliosambaziwa mitaala.

Nyaraka za mitaala

iliyoidhinishwa.

2.3. Mitaala

kusambazwa

nchini na kutoa

elimu kwa umma,

watekelezaji na

walengwa wa

mitaala kufanyika

na kutekelezwa

ifikapo mwaka

2016

2.3.1. Kuandaa utaratibu

yakinifu wa

kusambaza Mitaala

ya kitaifa kwa ngazi

ya elimu msingi na

sekondari kwa

kuhusisha ofisi za

elimu mkoa, wilaya

na kata kwa umma

na watekelezaji.

i. Taarifa za

utekelezaji

katika ngazi

zote.

3. Kuhuisha

mitaala katika

ngazi zote za

3.1. Kuwa na mitaala

nyumbufu yenye

viwango

3.1.1. Kuhuisha mitaala

iliyopo na kuandaa

mitaala mipya

a) Mitaala iliyohuishwa na

kuandaliwa kulingana na

i. Nyaraka za

mitaala

zilizoidhinish

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo pamoja

Page 64: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

59

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

elimu na

mafunzo ili

iendane na

miundo mipya

ya mitaala ya

kitaifa

vinavyokubalika

kitaifa kikanda na

kimataifa ifikapo

mwaka 2016.

kulingana na mahitaji

ya taifa

mahitaji ya taifa wa na WIZARA ZOTE

4. Kuimarisha

mpango wa

upatikanaji wa

vitabu vya kiada

na ziada kwa

ngazi zote za

elimu na

mafunzo.

4.1. Vitabu vya

kutosha vya kiada

na ziada kwa ngazi

zote za elimu na

mafunzo kuwepo

katika shule na

vyuo ifikapo

mwaka 2020.

4.1.1. Kuhuisha mpango

wa upatikanaji wa

vitabu vya kiada na

ziada kwa ajili ya

ngazi zote za elimu

na mafunzo

4.1.2. Kuhamasisha

uandishi wa vitabu

kwa ngazi ya kitaifa

kwa ajili ya shule na

vyuo

a) Upatikanaji endelevu

wa Vitabu vya kiada

na ziada

vilivyobainishwa kwa

ajili ya ngazi zote za

elimu na mafunzo

i. Taarifa ya

uhakiki wa

vitabu kila

mwaka

katika

shule na

vyuo

5. Kuhuisha na

kuimarisha au

kuweka muundo

wa upimaji wa

kitaifa wa

maendeleo ya

mwanafunzi

katika kila ngazi

ya elimu na

mafunzo.

5.1. Muundo wa

upimaji wa

kitaifa wa

maendeleo ya

mwanafunzi kwa

kuzingatia

umahiri

kuandaliwa kwa

kila ngazi ya

elimu na

mafunzo ifikapo

mwaka 2016

5.1.1. Kuandaa muundo wa

upimaji wa kitaifa

wa maendeleo ya

mwanafunzi kwa

kuzingatia umahiri

wa stadi kwa kila

ngazi ya elimu na

mafunzo

a) Muundo wa upimaji wa

kitaifa wa maendeleo ya

mwanafunzi kwa

kuzingatia umahiri wa

stadi kwa kila ngazi ya

elimu na mafunzo

ulioandaliwa

i. Nyaraka za

muundo wa

upimaji wa

kitaifa wa

maendeleo ya

mwanafunzi

kwa kuzingatia

umahiri wa

stadi kwa kila

ngazi ya elimu

na mafunzo

ulioidhinishwa

na vyombo

husika.

5.2. Programu

rekebishi

itakayowezesha

kubaini uwezo,

5.2.1. Kuwabaini

wanafunzi wenye

uwezo na

kuwaendeleza, ngazi

b) Idadi ya wanafunzi wenye

kasi kubwa ya kujifunza,

vipawa na vipaji

walioendelezwa.

ii. Taarifa za

utekelezaji na

takwimu za

wanafunzi

Page 65: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

60

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

utayari na

kuwasaidia

wanafunzi

kuendelea na

masomo ngazi za

juu kuandaliwa

ifikapo mwaka

2016.

za juu za elimu na

mafunzo.

5.2.2. Kuwabaini

wanafunzi wenye

uwezo mdogo na

kuwaendeleza, ngazi

za juu kulingana na

uwezo wao.

c) Idadi ya wanafunzi wenye

kasi ndogo ya kujifunza

walioendelezwa.

walioendelezw

a.

6. Kujenga miundo

ya ulinganifu wa

programu

(benchmarking

of programs)

mbalimbali

kulingana na

mitaala kwa

mahitaji ya Taifa

pamoja na yale

ya ulimwengu

wa kazi,

utandawazi na

sehemu

nyingine.

6.1. Ulinganifu wa

masomo,

programu na

fani mbalimbali

za elimu na

mafunzo baada

ya elimu ya

sekondari

kuandaliwa

ifikapo mwaka

2016.

6.1.1. Kuandaa miongozo

ya ulinganifu wa

programu katika

ngazi zote baada ya

elimu ya sekondari

a) Miongozo ya ulinganifu

wa programu kulingana na

mahitaji ya kitaifa na

kimataifa

i. Nyaraka za

miongozo ya

ulinganifu

6.1.2. .Kufanya ulinganifu

wa programu katika

fani na ngazi

mbalimbali za

elimu na mafunzo

baada ya elimu ya

sekondari

b) Idadi ya programu

zilizofanyiwa ulinganifu.

ii. Taarifa ya

utekelezaji na

mihtasari ya

programu

zilizofanyiwa

ulinganifu.

Lengo Na 3: Kuimarisha usimamiaji na upimaji wa utekelezaji wa mitaala katika taasisi za elimu na mafunzo katika ngazi zote ili kuleta ufanisi wa

elimu na mafunzo yatolewayo.

1. Kuhuisha na

kuimarisha

vigezo, misingi

na utaratibu

yakinifu wa

kuhakiki,

kusimamia na

kupima

utekelezaji wa

mitaala katika

1.1. Miongozo ya

kuhakiki,

kusimamia na

kupima utekelezaji

wa mitaala katika

asasi za elimu na

mafunzo katika

ngazi zote

kuandaliwa na

kutumika ifikapo

1.1.1. Kuandaa miongozo

ya kuhakiki,

kusimamia na

kupima utekelezaji

wa mitaala katika

asasi za elimu na

mafunzo

a) Miundo na Miongozo ya

kuhakiki, kusimamia na

kupima utekelezaji wa

mitaala katika taasisi za

elimu na mafunzo

i. Nyaraka

zilizoidhinishw

a

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

OWM-

TAMISEMI;Vyom

bo vya Ithibati na

Uthibiti wa ubora

wa elimu; pamoja

na WIZARA

ZOTE

Page 66: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

61

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

taasisi za elimu

na mafunzo

katika ngazi

zote.

mwaka 2016.

1.2. Usimamizi fanisi

wa utekelezaji wa

mitaala kwa

kuhusisha ngazi

mbalimbali za

usimamizi wa

elimu na mafunzo

ifikapo mwaka

2015

1.2.1. Kuandaa utaratibu

utakaowezesha

usimamizi fanisi wa

utekelezaji wa

mitaala katika elimu

na mafunzo kwa

ngazi zote

b) Idadi ya wasimamizi na

watekelezaji mahiri wa

mitaala katika ngazi zote.

ii. Taarifa za

utendaji wa

wasimamizi

1.3. Wasimamizi na

watekelezaji

mahiri wa mitaala

katika asasi za

elimu na mafunzo

kuandaliwa

ifikapo mwaka

2016.

1.3.1. Kuajiri idadi ya

kutosha ya watendaji

katika ngazi zote za

elimu na mafunzo

kulingana na

miongozo

c) Idadi ya taasisi za elimu

na mafunzo zilizofanyiwa

tathmini ya utendaji kazi

iii. Takwimu

zinazoonyesha

idadi ya

wasimamizi na

watendaji

iv. Taarifa ya

utendaji kazi

Lengo Na 4: Kuimarisha ufundishaji, ujifunzaji wa lugha ili kuwa na wanafunzi mahiri wenye uwezo wa kuwasiliana kwa Kiswahili, Kiingereza na

lugha nyingine za kigeni katika mfumo wa elimu na mafunzo.

1. Kuweka,

kuendeleza na

kuimarisha

mbinu za

kufundisha na

kujifunza kwa

umahiri na

kuwasiliana kwa

ufasaha kwa

Kiswahili na

Kiingereza kwa

kutumia

wataalamu na

1.1. Kuwa na

wanafunzi

mahiri katika

kujifunza na

kuwasiliana kwa

Kiswahili na

Kiingereza

ifikapo mwaka

2016.

1.1.1. Kuandaa walimu

mahiri

watakaofundisha

Kiswahili na

kiingereza katika

ngazi mbalimbali

kulingana na

miongozo

1.1.2. Kuandaa utaratibu

wa kupata walimu

wa lugha ya

kiingereza kutoka

sehemu mbalimbali

a) Wanafunzi wenye umahiri

katika lugha za Kiswahili

na kiingereza

i. Taarifa za

ufuatiliaji wa

umahiri wa

wanafunzi na

wahitimu kila

miaka mitatu

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Habari,

Vijana, Utamaduni

na Michezo; na

Asasi zisizo za

Kiserikali;

Page 67: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

62

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

walimu mahiri. duniani

2. Kuweka

mazingira na

utaratibu

utakaowezesha

wanafunzi

walengwa

kujifunza lugha

nyingine za

kigeni na

kuwasiliana kwa

ufasaha.

2.1. Kuwa na

wanafunzi wenye

uwezo wa

kujifunza na

kuwasiliana kwa

lugha nyingine za

kigeni

zilizoidhinishwa

kutumika katika

Jumuiya ya Afrika

Mashariki, SADC

na Umoja wa

Afrika kwa

ufasaha ifikapo

mwaka 2016

2.1.1. Kuandaa walimu

mahiri

watakaofundisha

lugha za kigeni

zilizoidhinishwa

katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo.

a) Sheria na Miongozo

inayowezesha kufundisha

na kujifunza lugha za

kigeni

ii. Taarifa za

utekelezaji wa

miongozo na

sheria

2.1.2. Kuandaa utaratibu

wa kupata walimu

wa lugha nyingine

kutoka sehemu

mbalimbali duniani

b) Idadi Walimu mahiri wa

kufundisha lugha

mbalimbali za kigeni kwa

ufasaha pamoja na stadi

za kuwasiliana.

iii. Takwimu za

walimu mahiri

wa lugha

2.1.3. Kuandaa mihtasari

ya lugha

zitakazofundishwa.

Lengo Na. 5

Kuwezesha lugha ya alama kutumika katika ngazi zote za elimu na mafunzo

1. Kuweka

mazingira na

utaratibu

utakaowezesha

kujifunza,

kufundishia na

1.1. Kuwa na

wanafunzi mahiri

katika kujifunza

na kuwasiliana

kwa lugha za

alama kwa

1.1.1. Kuweka miongozo

ambayo itawezesha

lugha za alama kuwa

ya lazima katika

elimu msingi

.

a) Miongozo inayowezesha

kufundisha na kujifunza

kwa lugha za alama

i. Taarifa za

utekelezaji wa

sheria miongozo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo;

Habari, Vijana,

Utamaduni na

Page 68: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

63

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA UFANISI NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

kuwasiliana kwa

kutumia lugha za

alama katika

ngazi zote za

elimu na

mafunzo.

ufasaha ifikapo

mwaka 2016.

1.1.2. Kuandaa walimu

mahiri

watakaofundisha za

lugha ya alama

katika ngazi

mbalimbali

kulingana na

miongozo

b) Idadi ya wanafunzi mahiri

katika kutumia lugha za

alama

ii. Taarifa za

ufuatiliaji wa

umahiri wa

wanafunzi na

wahitimu kila

miaka mitatu

Michezo; Asazi

za Lugha za

Kigeni;

1.1.3. Kuandaa utaratibu

wa kupata walimu

wa lugha za alama

kutoka sehemu

mbalimbali duniani

c) Idadi ya walimu mahiri

katika kufundisha na

kutumia lugha za alama

1.1.4. Kuandaa mihtasari

ya kufundushia lugha

za alama.

Lengo Na 3: Kuimarisha uthibiti wa programu, mitihani na tuzo za nje zinazotolewa nchini katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

1. Kuhuisha sheria,

kanuni na

miongozo ya

ithibati na

uthibiti wa

programu na

mitihani ya nje

inayoendeshwa

nchini

1.1. Uratibu na uthibiti

wa Tuzo na Vyeti

vinavyotolewa na

vyuo vya ndani na

nje ya nchi kukidhi

mahitaji ya Mfumo

wa Tuzo wa Taifa

ifikapo mwaka

2016.

1.1.1. Kuandaa sheria,

kanuni na miongozo

ya ithibati na uthibiti

wa programu na

mitihani ya nje

inayoendeshwa

nchini

a) sheria, kanuni na

miongozo ya ithibati na

uthibiti wa programu na

mitihani ya nje

inayoendeshwa nchini

i. Nyaraka za

sheria, kanuni

na miongozo

ya ithibati na

uthibiti

iliyoidhinishwa

na vyombo

husika

Wizara zenye dhamana ya Elimu na Mafunzo; Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Page 69: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

64

Upatikanaji wa fursa mbalimbali za elimu na mafunzo nchini

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na 1: Kuongeza fursa anuwai za elimu na mafunzo kwa usawa kwa makundi yote ya kijamii kwa ngazi zote.

1. Kuhuisha sheria, kanuni na

miongozo ya kuhakikisha

upatikanaji wa fursa za

elimu na mafunzo kwa

usawa kwa makundi yote

ya kijamii kwa ngazi zote.

1.1 Sheria, kanuni na

miongozo ya

kuhakikisha

upatikanaji wa fursa

za elimu na mafunzo

kwa usawa kwa

makundi yote ya

kijamii kwa ngazi

zote kuhuishwa na

kutumika ifikapo

mwaka 2016.

1.1.1. Kurekebisha na

kutunga sheria, kanuni

na miongozo ya

kuhakikisha

upatikanaji wa fursa za

elimu na mafunzo kwa

usawa kwa makundi

yote ya kijamii kwa

ngazi zote.

a) Sheria, kanuni na

miongozo ya

kuhakikisha

upatikanaji wa

fursa za elimu na

mafunzo kwa

usawa kwa

makundi yote ya

kijamii kwa ngazi

zote iliyoandaliwa.

Nyaraka za Sheria,

kanuni na miongozo

iliyoidhinishwa na

vyombo husika.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Fedha;

OWM-TAMISEMI;

Asasi Zisizo za

Kiserikali;

WMM,WIZARA

NYINGINE

2. Kuimarisha na kuweka

utaratibu wa kuongeza, na

kutumia fursa za elimu na

mafunzo ya ndani na nje

ya nchi kwa makundi yote

ya kijamii kwa usawa

katika ngazi zote

2.1. Fursa za elimu na

mafunzo

zinapatikana na

kutumika kwa

usawa kwa makundi

yote ya kijamii

katika ngazi zote

ifikapo mwaka 2016

2.1.1. Kujenga na

kuongeza

miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana rafiki makundi

yote ya kijamii

katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo

a) Miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana rafiki kwa

makundi yote ya

kijamii

Kuhakiki uwepo wa

miundo mbinu.

2.2. Programu za

maendeleo ya sekta

ya elimu na

mafunzo

zinazoongeza fursa

kutekelezwa kwa

ufanisi na tija

ifikapo mwaka 2016

2.2.1. Kutathmini programu

ya maendeleo ya

sekta ya elimu na

mafunzo ili kubaini

fursa zilizopo

zinazotumika kwa

usawa na maeneo

yanayohitaji

kuimarishwa

b) Idadi ya programu

za maendeleo

zinazoongeza fursa

sawa kwa makundi

yote ya jamii

Kuhakiki kuwepo

kwa programu na

taarifa za utekelezaji

Page 70: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

65

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

2.2.2. Kutumia fursa na

nafasi zilizopo kwa

ufanisi.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto; na

WAUJ

2.2.3. Kuandaa mpango wa

kuongeza shule na

vyuo katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo kwa

kuzingatia upatikanaji

fursa sawa kwa

makundi yote ya

kijamii.

c) Idadi ya shule na

vyuo

Taarifa za

utekelezaji na

kufanya uhakiki

2.2.4. Sekta binafsi

kushiriki

kikamilifu katika

kuongeza fursa

sawa za elimu na

mafunzo ifikapo

2016.

2.2.5. Kuandaa mpango wa

ushirikishaji wa sekta

binafsi katika

kuongeza fursa sawa

za elimu na mafunzo.

d) Idadi ya sekta

binafsi

zinazoshiriki

kikamilifu katika

kuongeza fursa

Taarifa za

utekelezaji na

kufanya uhakiki

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma;Kazi na

Maendeleo ya

Vijana, Asasi Zisizo

za Kiserikali;

WIZARA

NYINGINE

3. Kuimarisha elimu na

mafunzo yanayoshirikisha

vyuo vya elimu ya ufundi

stadi, viwanda vya umma

na sekta binafsi

(Apprenticeship/uanagenzi

) ili kuongeza fursa na

ubora wa elimu na

mafunzo ya ufundi stadi

kwa usawa kwa makundi

yote ya kijamii.

3.1. Wanafunzi wa

uanagenzi wa fani

mbalimbali za

ufundi stadi

kupokelewa

viwandani ifikapo

2016.

3.1.1. Kuhuisha sheria na

miongozo ya

uanagenzi

(Apprenticeship) ili

kuongeza fursa na

ubora wa elimu na

mafunzo ya ufundi

stadi kwa usawa kwa

makundi yote.

a) Sheria na miongozo

ya uanagenzi

iliyohuishwa

i. Nyaraka na

miongozo ya

uanagenzi

iliyoidhinishwa

na chombo husika

Wizara yenye

dhamana ya Elimu ,

na Mafunzo; OWM-

TAMISEMI; Asasi

Zisizo za Kiserikali;

Page 71: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

66

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

3.1.2. Kuandaa utaratibu wa

kuwezesha viwanda

katika sekta za

uchumi kutoa fursa za

uanagenzi katika fani

mbalimbali kutoka

vyuo vya elimu ya

ufundi stadi

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, AZAKI

4. Kuimarisha ushiriki wa

wadau mbalimbali katika

utoaji wa mafunzo tarajali

na mazoezi kwa vitendo

sehemu za kazi kwa

wanachuo

4.1. Wanachuo wanapata

fursa za mafunzo

tarajali na mazoezi

kwa vitendo katika

sehemu mbalimbali

za kazi ifikapo 2016

4.1.1. Kupitia na Kuandaa

sheria, kanuni na

miongozo kuhusu

ushiriki katika kutoa

mafunzo tarajali na

mazoezi kwa vitendo

kwa wanachuo

a) Wanachuo kupata

mafunzo tarajali

na mazoezi kwa

vitendo sehemu

za kazi.

i. Taarifa za

uhakiki kuhusu

mafunzo hayo

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa Jamii;

Maendeleo ya Jamii,

Jinsia na

Watoto;OWM-

TAMISEMI

5. Kuimarisha utoaji wa

elimu na mafunzo kwa njia

huria na masafa

kuhakikisha inawafikia

watu wa rika na mahitaji

mbalimbali.

5.1. Elimu na mafunzo

yanayotolewa kwa

wanafunzi katika

ngazi mbalimbali

kwa njia Huria na

Masafa kulingana

viwango vya tuzo

husika yanapatikana

ifikapo 2016.

5.1.1. Kuandaa utaratibu na

kuhakikisha mfumo

wa kufundisha na

kujifunza kwa masafa

unatumika katika

ngazi zote za elimu

na mafunzo

a) Elimu na mafunzo

yanayotolewa kwa

njia huria na

masafa

yanayokidhi

viwango

b) Idadi ya programu

zilizofanyika

kuhamasisha umma

kuhusu elimu kwa

njia huria na

masafa

c) Idadi ya washiriki

katika programu za

elimu kwa njia

i. Taarifa za

ufuatiliaji wa

wanafunzi na

wahitimu kila

baada ya miaka 3.

ii. Taarifa ya

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Viwanda na

Biashara;

Page 72: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

67

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

huria na masafa

5.1.2. kuandaa na kuweka

teknolojia na

miundombinu stahiki

kwa ajili ya

kufundisha na

kujifunza kwa njia ya

masafa katika ngazi

zote za elimu na

mafunzo

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa Jamii,

Maendeleo ya Jamii,

Jinsia na Watoto;

Mawasiliano

Sayansi na

Teknolojia; Habari,

Utamaduni na

Michezo, OWM-

TAMISEMI

NA WIZARA

NYINGINE

5.1.3. Kuandaa na kujenga

uwezo wa

rasilimaliwatu mahiri

kwa ajili ya

utekelezaji na

matumizi ya njia ya

masafa katika elimu

na mafunzo nchini

5.1.4. Kuhamasisha

ushirikiano baina ya

sekta ya umma na

binafsi katika kutoa

elimu na mafunzo

kwa njia masafa

5.1.5. Kuhamasisha jamii

kuhusu elimu na

mafunzo kwa njia

Page 73: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

68

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

masafa

5.1.6. Kuandaa na kuweka

huduma stahiki kwa

ajili ya walimu na

wanafunzi kuwezesha

utoaji fanisi wa elimu

na mafunzo kwa njia

masafa

Lengo Na. 2: Kuondoa vikwazo vinavyozuia fursa ya wanafunzi kuendelea na masomo na kukamilisha mzunguko wa elimu na mafunzo katika ngazi

husika.

1. Kuhuisha miongozo

kuhusu wanafunzi

kukamilisha mzunguko wa

elimu – msingi

1.1.Taratibu na

miongozo ya

kuwezesha

mwanafunzi

kukamilisha

mzunguko wa elimu

-msingi kuhuishwa

katika ngazi zote

ifikapo mwaka 2016

1.1.1. Kuandaa miongozo

itakayowezesha

wanafunzi

kukamilisha

mzunguko wa

elimu -msingi

a) Miongozo na

mipango ya

kuwarudisha katika

mfumo wa elimu

wanafunzi waliacha

masomo kutokana

na sababu

mbalimbali

i. Nyaraka za

miongozo

iliyopitishwa na

Serikali

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

1.2.Wanafunzi

wanaokamilisha

mzunguko wa elimu

msingi kuongezeka

ifikapo mwaka 2016

1.2.1. Kuweka utaratibu

wa wanafunzi

wanaokatisha

masomo yao ya

elimu msingi kwa

sababu mbalimbali

kupimwa ujuzi

walioupata na

kuwawezesha

kuendelea na elimu

na mafunzo katika

ngazi nyingine.

b) Idadi ya wanafunzi

waliorejea katika

mfumo wa elimu

i. Machapisho na

Takwimu

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Asasi

Za Kiraia.

2. Kuweka mpango maalumu

na taratibu

zitakazowezesha

2.1. Miongozo na

taratibu za

wanafunzi

2.1.1. Kuandaa miongozo

itakayowezesha

a) Idadi ya wanafunzi

waliokatiza

masomo

i. Takwimu za

wanafunzi

waliokatiza

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Asasi

Page 74: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

69

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

wanafunzi waliokatiza

masomo kutokana na

vikwazo na sababu

mbalimbali kuendelea na

masomo na/au kukamilisha

mzunguko husika.

waliokatiza

masomo kutokana

na vikwazo

mbalimbali

kuendelea na

masomo na/au

kukamilisha

mzunguko wa

elimu na mafunzo

husika kuwepo

ifikapo mwaka

2016.

wanafunzi

waliokatiza masomo

kutokana na vikwazo

na sababu

mbalimbali

kuendelea na

masomo na/au

kukamilisha

mzunguko wa elimu

na mafunzo husika.

kukamilisha

mzunguko wa

elimu na mafunzo

husika.

masomo na

baadae

kukamilisha

mzunguko wa

elimu na

mafunzo husika.

Za Kiraia.

2.2. Utambuzi wa

masomo aliyofaulu

mwanafunzi ili

kumwezesha

kuendelea na

masomo kwa ngazi

husika au ngazi

nyingine ifikapo

mwaka 2016

2.2.1. Kuandaa miongozo ya

kulimbikiza na

kutumia alama za

ufaulu katika masomo

ili kumwezesha

mwanafunzi

kukamilisha

mzunguko wa elimu

na mafunzo katika

ngazi husika au ngazi

nyingine

b) Mwanafunzi

kuendelea na

kumaliza

mzunguko wake

kwa kutambua

limbikizo alama za

ufaulu

ii. Takwimu za

wahitimu

waliokamilisha

mafunzo kwa

utaratibu wa

limbikizo la alama

za ufaulu.

Lengo Na.3

Kuweka utaratibu utakaowezesha maendeleo ya wanafunzi wenye vipaji, vipawa na kasi tofauti katika kujifunza kwa ngazi zote za elimu na mafunzo.

1. Kuweka utaratibu na

vigezo vya kuwatambua

mapema wanafunzi wenye

vipaji, vipawa na wenye

kasi ya kujifunza na

wengine wenye mahitaji

maalumu katika ngazi

mbalimbali za elimu na

1.1. Vipaji, vipawa na

kasi kujifunza ya

wanafunzi katika

ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo

kutambuliwa na

kukuzwa ifikapo

1.1.1. Kuandaa vigezo vya

kuwatambua

wanafunzi wenye

vipaji, vipawa na kasi

ya kujifunza

a) Idadi ya wanafunzi

wenye vipaji,

vipawa na wenye

kasi ya kujifunza

katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo

kuongezeka.

i. Takwimu za

wanafunzi wenye

vipaji na kazi ya

kujifunza.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Asasi

Za Kiraia; Afya na

Ustawi wa Jamii,

Maendeleo ya Jamii,

Jinsia na Watoto;

SHULE, VYUO

Page 75: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

70

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

mafunzo. mwaka 2016.

1.1.2. Kuwatambua na

kuwaendeleza

wanafunzi wenye

vipaji, vipawa na

wenye kasi ya

kujifunza katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo

1.1.3. Kuandaa utaratibu

mahsusi wa

kuwahudumia na

kuwaendeleza

kielimu wanafunzi

wenye vipaji, vipawa

na wenye kasi ya

kujifunza na wenye

mahitaji maalumu

kulingana na mahitaji

yao.

1.1.4. Kuelimisha jamii

kuhusu utambuzi wa

wanafunzi wenye

vipaji na kasi

yakujifunza na

utaratibu wa

kuwaendeleza

Lengo Na. 4: Kuweka utaratibu na kuimarisha utambuzi wa viwango vya Elimu na mafunzo ili kutoa fursa ya kila Mtanzania kujiendeleza kielimu, WEMU,AZAKI,

Page 76: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

71

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

kupata maarifa na stadi za kazi kwa kuzingatia kwamba elimu au mafunzo hayana mwisho. WAMJ,WMJJW,SHUL

E, VYUO

4. Kuimarisha utaratibu wa

kuwa na vigezo vya

utambuzi wa uwezo na

umahiri wa mtu alioupata

akiwa nje ya mfumo wa

shule au chuo na kumpa

tuzo itakayomwezesha

kujiendeleza katika ngazi

mbalimbali za elimu na

mafunzo kulingana na

mahitaji yake au kupata

sifa ya kujiunga na fani

husika.

4.1. Vigezo vya utambuzi

wa uwezo na

umahuru wa mtu

alioupata nje ya

mfumo wa shule au

chuo kuwekwa

ifikapo mwaka 2016

4.2. Tuzo kwa watu

wenye ujuzi na

uzoefu mbalimbali

walioupata nje ya

mfumo wa shule au

chuo kutolewa

ifikapo 2016.

4.2.1. Kuandaa mpango wa

kutoa tuzo kwa watu

wenye ujuzi na

uzoefu mbalimbali

walioupata nje ya

mfumo wa elimu

a) Idadi ya watu

waliopata tuzo nje

ya mfumo wa elimu

i. Machapisho na

Takwimu.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Viwanda na

Biashara; SHULE,

VYUO;

4.3. Tuzo na umahiri

alioupata mtu akiwa

nje ya mfumo wa

shule au chuo

kutambulika ili

kumwezesha

kujiunga na

kujiendeleza katika

ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo

ifikapo mwaka 2016

4.3.1. Kuandaa utaratibu wa

kutambua umahiri na

kupima uwezo

kulingana na tuzo

kwa mtu mwenye

ujuzi na uzoefu

mbalimbali alioupata

nje ya mfumo rasmi

wa elimu ili

kumwezesha kujiunga

na kujiendeleza

katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo

b) Idadi ya watu

waliojiendeleza

katika ngazi

mbalimbali za

elimu baada ya

kutambuliwa ujuzi

wao na kupata tuzo.

ii. Takwimu za

watu

waliojiendeleza

baada ya kupata

tuzo ya

kutambua

umahiri

uliopatikana nje

ya mfumo wa

elimu na

mafunzo.

Ongezeko la rasilimali mbalimbali kulingana na mahitaji katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

Page 77: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

72

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na.1 :Kuimarisha mfumo wa ajira katika sekta ya elimu na mafunzo ili uwe mahsusi na kukidhi mahitaji, upatikanaji na usimamizi wa

rasilimaliwatu kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya elimu na mafunzo.

1. Kuhuisha miundo ya

utumishi na utayarishaji,

ajira na maendeleo ya

walimu na wasimamizi

wa elimu na mafunzo kwa

ajili ya elimu ya awali,

elimu msingi na sekondari

ngazi ya juu.

1.1.Miundo ya utumishi

katika sekta ya elimu

na mafunzo ngazi ya

elimu ya awali, elimu

- msingi na sekondari

ngazi ya juu

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2016.

1.1.1. Kuhuisha miundo

ya utumishi ya

walimu,

wasimamizi na

watendaji wengine

wa elimu na

mafunzo katika

ngazi ya elimu ya

awali, elimu

msingi na

sekondari ngazi ya

juu.

a) Miundo ya utumishi

wenye ufanisi na

tija katika sekta ya

elimu na mafunzo

ngazi ya elimu ya

awali, elimu

msingi na

sekondari ngazi ya

juu

i. Nyaraka za

miundo wa ajira

katika sekta ya

elimu na mafunzo

ngazi ya elimu ya

awali, elimu

msingi na

sekondari ngazi

ya juu

zilizoidhinishwa

ii. Tathimini ya

ufanisi na tija ya

miundo

Wizara yenye dhamana ya Elimu

na Mafunzo na

Maendeleo ya

Jamii, Jinsia na

Watoto, Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma na Wizara

ya Fedha.

1.2.Miongozo, vigezo na

viwango vya elimu

na ujuzi wa walimu

na wasimamizi wa

elimu ya awali elimu

msingi na sekondari

ngazi ya juu

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2016.

1.2.1. Kuandaa

miongozo, vigezo

na viwango vya

elimu na ujuzi wa

walimu na

wasimamizi wa

elimu ya awali

elimu msingi na

sekondari ngazi ya

juu

a) Miongozo, vigezo

na viwango vya

elimu na ujuzi wa

walimu na

wasimamizi wa

elimu ya awali elimu

msingi na sekondari

ngazi ya juu

Nyaraka za viwango

vya elimu

1.3.Uwiano wa mwalimu

kwa wanafunzi

katika elimu ya

awali kupungua

kutoka 1:124

mwaka 2012

kufikia 1:25 ifikapo

mwaka 2025.

1.3.1. Kuajiri walimu,

wasimamizi na

watendaji wengine

kwa kuzingatia

miongozo na

uwiano wa

mwalimu na

wanafunzi katika

elimu ya awali

b) Idadi ya walimu wa

shule za awali ili

kuwa na uwiano wa

mwalimu na

wanafunzi katika

elimu ya awali

kupungua kuwa

1:25.

Nyaraka

zinazoonyesha

takwimu za idadi ya

walimu na

wanafunzi.

Page 78: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

73

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

1.4.Walimu mahiri na

wenye uwezo wa

kufundisha elimu ya

awali kwa ufanisi na

ufasaha kupatikana

ifikapo mwaka 2018

1.4.1. Kuandaa mpango

wa kupima na

kuendeleza

walimu wa elimu

ya awali

c) Idadi ya walimu wa

shule za awali

waliopata mafunzo.

Taarifa za

utekelezaji

1.5.Wasimamizi wa

utekelezaji wa elimu

ya awali katika ngazi

mbalimbali za

uongozi katika elimu

ya awali kuwepo

ifikapo mwaka 2016

1.5.1. Kuandaa mpango

wa kupima na

kuendeleza

wasimamizi wa

elimu ya awali

d) Idadi ya wasimamizi

wa shule za awali

waliopata mafunzo.

Taarifa za

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma, Wizara ya

Fedha.

2. Kuhuisha miundo ya

utumishi na utayarishaji,

ajira na maendeleo ya

walimu na wasimamizi

wa Elimu na mafunzo

katika vyuo vya ufundi

stadi, vyuo vya ufundi,

vyuo vya ualimu na vyuo

vikuu (Ngazi mbalimbali

baada ya elimu –msingi).

2.1.Uwiano wa mwalimu

kwa wanafunzi

katika elimu –

msingi kuimarika

ifikapo mwaka

2025.

2.1.1. Kuajiri walimu,

wasimamizi na

watendaji wengine

kwa kuzingatia

miongozo na

uwiano wa

mwalimu na

wanafunzi katika

elimu –msingi

a) Idadi ya walimu wa

shule za elimu –

msingi ili kuwa na

uwiano wa

mwalimu na

wanafunzi katika

elimu –msingi

kupungua kuwa

1:25.

i. Nyaraka

zinazoonyesha

takwimu za

idadi ya walimu

na wanafunzi.

2.2.Walimu mahiri na

wenye uwezo wa

kufundisha elimu –

msingi kwa ufanisi na

ufasaha kupatikana

ifikapo mwaka 2018

2.2.1. Kuandaa mpango

wa kupima na

kuendeleza

walimu wa elimu –

msingi

b) Idadi ya walimu wa

shule za elimu –

msingi waliopata

mafunzo.

ii. Taarifa za

utekelezaji

2.3.Wasimamizi wa

utekelezaji wa elimu

ya awali na elimu-

msingi katika ngazi

mbalimbali za

uongozi kuwepo

2.3.1. Kuandaa mpango

wa kupima na

kuendeleza

wasimamizi wa

elimu –msingi

c) Idadi ya wasimamizi

wa shule za elimu –

msingi waliopata

mafunzo.

iii. Taarifa za

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

OWM-

TAMISEMI; Asasi

Za Kiraia

Page 79: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

74

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

ifikapo mwaka 2016 ,

3. Kuhuisha miundo ya

utumishi na utayarishaji,

ajira na maendeleo ya

walimu na wasimamizi

wa elimu na mafunzo

katika vyuo vya ufundi

stadi, vyuo vya ufundi,

vyuo vya ualimu na vyuo

vikuu (ngazi mbalimbali

za elimu baada ya elimu

msingi)

3.1.Miundo ya utumishi

katika sekta ya

elimu na mafunzo

katika ngazi

mbalimbali baada

ya elimu – msingi

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2016.

3.1.1. Kuhuisha miundo

ya utumishi ya

walimu/wakufunzi

/wahadhiri,

wasimamizi na

watendaji wengine

wa elimu na

mafunzo katika

ngazi mbalimbali

baada ya elimu –

msingi

a) Miundo ya utumishi

wenye ufanisi na

tija katika sekta ya

elimu na mafunzo

katika ngazi

mbalimbali baada

ya elimu – msingi

i. Nyaraka za

miundo wa ajira

katika sekta ya

elimu na

mafunzo katika

ngazi

mbalimbali

baada ya elimu –

msingi

zilizoidhinishwa

ii. Tathimini ya

ufanisi na tija ya

miundo

3.2.Miongozo, vigezo na

viwango vya elimu

na ujuzi wa

walimu/wakufunzi/w

ahadhiri na

wasimamizi wa

baada ya elimu-

msingi kuandaliwa

ifikapo 2016.

3.2.1. Kuandaa miongozo

ya viwango vya

elimu na ujuzi

stahiki wa

mwalimu/wakufunzi

/wahadhiri na

wasimamizi katika

elimu na mafunzo

baada ya elimu -

msingi

b) Muundo na mfumo

wa ajira ya walimu,

wakufunzi,

wahadhiri na

wasimamizi.

iii. Nyaraka za

muundo wa ajira

ya walimu,

wakufunzi,

wahadhiri na

wasimamizi

3.3. Idadi ya walimu,

wakufunzi

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine

kuongezeka ifikapo

2025.

3.3.1. Kuajiri walimu

wakufunzi

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine

kwa kuzingatia

miongozo na

mahitaji katika

ngazi mbalimbali

baada ya elimu –

c) Ongezeko la Idadi

ya walimu,

wakufunzi,

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine.

iv. Nyaraka

zinazoonyesha

takwimu za idadi

ya walimu,

wakufunzi

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi

wengine.

Wizara zenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Fedha; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto; Mambo ya

Nje na Ushirikiano

wa Kimataifa;

Asasi Za Kiraia;

OWM-

TAMISEMI.

Page 80: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

75

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

msingi

3.4.Idadi ya walimu,

wakufunzi

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine

kuendelezwa

kitaaluma na

kitaalamu ifikapo

2025

3.4.1. Kuandaa mpango wa

kupima na

kuendeleza walimu,

wakufunzi,

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine

katika ngazi zote za

elimu na mafunzo

baada ya elimu –

msingi.

d) Idadi ya walimu,

wakufunzi

wahadhiri,

waendeshaji na

wasaidizi wengine

walioendelezwa

kitaaluma na

kitaalamu.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

OWM-

TAMISEMI, Asasi

Za Kiraia;

4. Kuandaa utaratibu wa

kuongeza nafasi za

mafunzo ya ualimu,

mafunzo ya ukufunzi,

uhadhiri kukidhi

ongezeko la wanafunzi

katika ngazi zote za elimu

na mafunzo.

4.1.Mipango ya kuongeza

idadi ya walimu,

ukufunzi na

wahadhiri kukidhi

ongezeko la

wanafunzi katika

ngazi zote za elimu na

mafunzo kuandaliwa

ifikapo mwaka 2017.

4.1.1. Kuandaa mipango

ya kuongeza nafasi

za mafunzo ya

ualimu, ukufunzi na

uhadhiri katika

ngazi zote za elimu

na mafunzo

a) Ongezeko la nafasi

za mafunzo ya

ualimu, ukufunzi

na uhadhiri katika

ngazi zote za elimu

na mafunzo

i. Takwimu na

taarifa za

tathmini

Ofisi yenye

Dhamana ya

Utumishi wa

Umma;

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo.

LENGO 2: Kuweka mazingira bora na kuhakikisha kuwa sekta ya elimu na mafunzo inatoa rasilimaliwatu wa kutosha na mahiri kukidhi mahitaji ya

sekta mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa.

1. Kuweka utaratibu wa

sekta ya elimu na

mafunzo kuandaa

rasilimaliwatu ya kutosha

yenye ujuzi na umahiri

unaotakiwa kwenye sekta

mbalimbali za uchumi.

1.1. Elimu na mafunzo

inayotolewa

kuendana na

mahitaji ya soko la

ajira

1.1.1. Kuandaa utaratibu

mahsusi wa kupata

taarifa kutoka

kwenye soko la ajira

Ongezeko la ajira kwa

wahitimu wa elimu na

mafunzo katika sekta

rasmi na isiyo rasmi

Taarifa za tathmini

za ufuatiliaji wa

wahitimu

2. Kuweka utaratibu wa 2.1. Kuwa na vyuo

maalumu

2.1.1. Kuandaa utaratibu

wa kuwa na vyuo

Idadi ya wataalamu Taarifa za tathmini

za ufuatiliaji wa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

Page 81: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

76

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

elimu na mafunzo kutoa

kipaumbele kwenye sekta

zinazokuwa haraka na

zinazojitokeza mfano

mafuta, gesi na madini ili

kuongeza rasilimaliwatu

wenye ujuzi na umahiri

unaotakiwa katika sekta

hizi kwa ngazi mbalimbali

za ajira.

vinavyotoa elimu na

mafunzo

yanayokidhi

mahitaji ya sekta

zinazokua haraka na

zinazoibuka ifikapo

2018

maalumu vinavyotoa

elimu na mafunzo

yanayokidhi mahitaji

ya sekta zinazokua

haraka na

zinazoibuka

katika sekta

zinazokuwa haraka na

zinazoibuka

wahitimu na Mafunzo; na

WIZARA ZOTE

3. Kuweka utaratibu wa

kutoa elimu na mafunzo

kwa ajili ya sekta zisizo

rasmi na kilimo ili

kulifanya taifa kukua

kutoka uchumi wa chini

kwenda wa kati

3.2 Vyuo vya ufundi stadi

vya Wilaya pamoja na

vyuo vya maendeleo

ya wananchi

kuongezwa na

kuimarishwa ifikapo

2019

3.2.1 Kutekeleza mpango

wa kuimarisha na

kuongeza vyuo vya

ufundi vya Wilaya

na vile vya

maendeleo ya

wananchi

a) Idadi ya vyuo

vyenye ubora

vinavyotoa elimu

na mafunzo kwa

ajili ya sekta isiyo

rasmi

i. Takwimu za

vyuo vinavyotoa

mafunzo kwa

ajili ya sekta

maalumu (sector

specific training

centres and

colleges)

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Kilimo,chakula na

Ushirika; na

Utumishi wa

Umma

3.3 Vituo atamizi kwa ajili

ya kuandaa wahitimu

kujiajiri kuanzishwa

ifikapo 2017

3.3.1 Kuandaa utaratibu

wa kuwa na vituo

atamizi

vitakavyosaidia

kuandaa wahitimu

wa elimu na

mafunzo kujiajiri.

b) Idadi ya vituo

atamizi

ii. Takwimu za

vituo atamizi

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo;

Kilimo, Chakula na

Ushirika; na

Utumishi wa

Umma

Lengo Na.3: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha uwepo wa miundombinu bora na stahiki ya kutosheleza mahitaji ya elimu na mafunzo katika ngazi zote WEMU, OWM-

TAMISEMI, OR-

MUU

1. Kuweka vigezo na

viwango vya

miundombinu ya shule za

elimu-msingi ili zikidhi

mahitaji ya elimu ya awali

1.1. Vigezo na viwango

vya miundombinu ya

shule za elimu-

msingi kuwepo

1.1.1. Kuandaa miongozo,

vigezo na viwango

vya miundombinu

kwa ajili ya shule za

a) Miongozo, vigezo

na viwango vya

miundombinu

katika ngazi ya

elimu ya awali,

Nyaraka za

miongozo, vigezo na

viwango vya

miundombinu

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo; Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

Page 82: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

77

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

na elimu - msingi. ifikapo mwaka 2016 elimu - msingi. elimu –msingi na

sekondari ngazi ya

juu

zilizoidhinishwa ya Jamii, Jinsia na

Watoto; Sheria na

Katiba;

TAMISEMI, Asasi

Za Kiraia; Ofisi

ya Mwanasheria

Mkuu

2. Kuimarisha na kujenga

miundombinu inayokidhi

mahitaji ya elimu ya awali

na elimu- msingi.

2.1 Miundombinu,

inayokidhi mahitaji

ya elimu ya awali na

elimu -msingi

ifikapo mwaka

2016.

2.1.1 Kubadilisha shule

16,331za elimu ya

msingi ili kutoa

elimu ya awali na

elimu – msingi.

2.1.2 Kujenga shule

mpya kwa ajili ya

elimu ya awali

elimu - msingi

ikijumuisha

a) Mfumo mpya wa

elimu- msingi

kutekelezwa katika

viwango

vilivyowekwa

b) Idadi ya shule za

elimu - msingi.

Taarifa na uhakiki

wa utekelezaji wa

elimu msingi

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo , Afya

na Ustawi wa

Jamii; Maendeleo

ya Jamii, Jinsia na

Watoto, Ujenzi,

Mawasiliano

Sayansi na

Teknolojia,

Mawasiliano na

uchukuzi, Mambo

ya Nje, Nishati na

Madini OWM-

TAMISEMI, Asasi

Za Kiraia,

3. Kuimarisha na kujenga

miundombinu inayokidhi

mahitaji ya elimu ya

sekondari ngazi ya juu

3.4 Shule za elimu ya

sekondari ngazi ya

juu za kutosha zenye

miundombinu

inayokidhi mahitaji

kuwepo ifikapo

mwaka 2019.

3.5 Kuandaa utaratibu wa

kutumia baadhi ya

shule za Sekondari

ngazi ya kawaida

kutoa masomo ya

sekondari ngazi ya

juu

a) Idadi ya shule za

sekondari ngazi ya

kawaida zinazotoa

masomo ya elimu

ya sekondari ngazi

ya juu

Takwimu za elimu

msingi na elimu ya

sekondari ngazi ya

juu

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu, Ujenzi,

Asasi Za Kiraia

4. Kuweka vigezo na

viwango vya

miundombinu inayokidhi

mahitaji ya Vyuo vya

ufundi stadi, vyuo vya

ufundi, vyuo vya ualimu

4.1 Vigezo na viwango

vya miundombinu ya

asasi za elimu na

mafunzo katika

ngazi mbalimbali

baada ya elimu –

4.1.1 Kuhuisha miongozo,

vigezo na viwango vya

miundombinu kwa ajili ya

asasi za elimu na mafunzo

katika ngazi mbalimbali

baada ya elimu – msingi

a) Miongozo, vigezo na

viwango vya

miundombinu

baada ya elimu -

msingi

Nyaraka za

miongozo, vigezo na

viwango vya

miundombinu

zilizoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na

Mafunzo,Ujenzi,

TAMISEMI,

Fedha.

Page 83: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

78

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

na vyuo vikuu (ngazi

mbalimbali baada ya

elimu – msingi)

msingi kuwepo

ifikapo mwaka 2016

5. Kuimarisha na kujenga

miundombinu inayokidhi

mahitaji ya Vyuo vya

ufundi stadi, vyuo vya

ufundi, vyuo vya ualimu

na vyuo vikuu (ngazi

mbalimbali baada ya

elimu – msingi)

1.1. Vyuo vya ufundi stadi,

vyuo vya ufundi,

vyuo vya ualimu na

vyuo vikuu kuwa na

miundombinu

inayokidhi mahitaji

na ongezeko la

udahili kuwepo

ifikapo mwaka 2019.

1.1.1. Kujenga na

kuimarisha

miundombinu katika

vyuo vya ufundi

stadi, vyuo vya

ufundi, vyuo vya

ualimu na vyuo

vikuu

a) Idadi ya vyuo

vyenye

miundombinu bora

Takwimu

zinazoonyesha idadi

ya vyuo vyenye

miundombinu bora

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

TAMISEMI, WUJ,

WF

1.1.2. Kuandaa mpango wa

kitaifa wa kujenga

vyuo vipya katika

maeneo mbalimbali

nchini

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

WIZARA ZOTE

6. Kujenga utamaduni wa

utunzaji, usimamizi,

ukarabati na ukarafati wa

miundombinu ya asasi za

elimu na mafunzo.

3.6 .Miongozo ya

usimamizi, utunzaji,

ukarabati na

ukarafati wa

miundombinu

kuwepo ifikapo

mwaka 2016

3.6.1 Kuandaa miongozo

ya utunzaji,

usimamizi, ukarabati

na ukarafati wa

miundombinu.

a) Sheria, kanuni na

miongozo ya

utunzaji, ukarabati

na ukarafati wa

miundombinu.

b) Miundombinu

yenye ubora stahiki

i. Nyaraka za

sheria, kanuni

na miongozo

iloyoidhinishwa

ii. Taarifa ya

tathmini ya

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo , OWM-

TAMISEMI na

Asasi Za Kiraia,

3.6.2 Kuhamasisha

uongozi na jamii

inayozunguka shule,

wazazi na wadau

wengine kuhusu

utunzaji, usimamizi,

ukarabati, ukafati wa

miundombinu.

Lengo Na 4:

Kuweka utaratibu wa kuhakikisha vifaa, nyenzo na zana stahiki za kufundishia na kujifunzia katika elimu na mafunzo

Page 84: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

79

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

zinatosheleza kulingana na mahitaji na maendeleo ya sayansi, tekinolojia na mbinu za kufundishia na kujifunzia katika ngazi zote.

1. Kuhuisha viwango vya

ubora wa nyenzo, vifaa na

zana za kufundishia na

kujifunzia ili kuleta usawa

katika upatikanaji wa

elimu na mafunzo katika

shule na vyuo ngazi zote.

1.1. Miongozo ya ubora

wa nyenzo, vifaa na

zana katika shule na

vyuo vya elimu na

mafunzo katika ngazi

zote kutolewa na

kusambazwa ifikapo

mwaka 2016.

1.1.1. Kuandaa miongozo

ya ubora wa nyenzo,

vifaa na zana katika

shule na vyuo vya

Elimu na mafunzo

katika ngazi zote

a) Miongozo ya

viwango vya

msingi vya ubora

kati ya shule na

vyuo vya elimu na

mafunzo vya

serikali na vya

binafsi.katika ngazi

zote.

i. Nyaraka za

miongozo

iliyoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI, na

Asasi Za Kiraia,

2. Kuweka utaratibu yakinifu

wa upatikanaji wa vifaa,

nyenzo,na zana za

kufundishia na kujifunzia

katika shule na vyuo vya

elimu na mafunzo katika

ngazi zote

2.1 Shule na vyuo vya

elimu na mafunzo

katika ngazi zote

zenye vifaa,

nyenzo,na zana za

kufundishia na

kujifunzia kulingana

na viwango

vilivyowekwa ifikapo

mwaka 2025

2.2 Kuandaa mpango

mahsusi wa

kuhakikisha shule na

vyuo vya elimu na

mafunzo katika ngazi

zote zina vifaa,

nyenzo,na zana

kufundishia na

kujifunzia kulingana

na viwango

vilivyowekwa.

a) Idadi ya

vifaa,nyenzo, na

zana za

kufundishia na

kujifunzia katika

shule na vyuo vya

elimu na mafunzo

katika ngazi zote

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Asasi Za Kiraia.

3. Kujenga utamaduni wa

utunzaji, usimamizi,

ukarabati wa vifaa,

nyenzo,na zana za

kufundishia na kujifunzia.

Mafunzo.

2.1. Miongozo ya

usimamizi, utunzaji,

ukarabati wa vifaa,

nyenzo na zana

kuwepo ifikapo

mwaka 2016

2.1.1. Kuandaa miongozo

ya utunzaji,

usimamizi, ukarabati

wa vifaa, nyenzo,na

zana za kufundishia

na kujifunzia.

a) Sheria, kanuni na

miongozo ya

utunzaji, ukarabati

wa nyenzo,na zana

za kufundishia na

kujifunzia.

i. Nyaraka za

sheria, kanuni

na miongozo

iloyoidhinishwa

ii. Taarifa ya

tathmini ya

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI, Asasi

Za Kiraia,

Lengo Na 5:

Kuweka utaratibu wa kuwezesha lugha ya Kiswahili na Kiingereza kuwa lugha za kufundishia na kujifunzia katika ngazi zote za elimu na mafunzo

1. Kuweka utaratibu

utakaowezesha lugha ya

1.1.Vifaa, nyenzo na zana

za kufundisha na

1.1.1. Kufanya tathmini ya

kitaifa ya hali

a) Sheria, kanuni na

Miongozo ya lugha

Nyaraka za

miongozo inayohusu

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

Page 85: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

80

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Kiswahili kutumika

kufundishia katika ngazi

zote za elimu na mafunzo.

kujifunza kwa

umahiri kwa

kutumia lugha ya

Kiswahili kuwepo

ifikapo mwaka

2025

halisi ya mahitaji

ya miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana za

kufundishia na

kujifunzia lugha ya

Kiswahili.

ya kiswahili

kutumika

kufundishia.

matumizi ya

Kiswahili

na Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI,

1.2.Vitabu kutafsiriwa au

kuandikwa kwa

lugha ya Kiswahili

kwa masomo

mbalimbali ifikapo

mwaka 2018

1.2.1. Kuandaa programu

ya lugha ya

Kiswahili

kutumika katika

kufundishia kwa

ngazi zote za

elimu na mafunzo

b) Lugha ya Kiswahili

kutumika

kufundishia

Taarifa ya tathmini

ya matumizi ya

lugha ya Kiswahili

katika shule na vyuo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Utamaduni Asasi

Za Kiraia,

1.3.Maktaba kuimarishwa

kwa vitabu na

maandiko mengine

ya kiswahili ifikapo

mwaka 2019

1.3.1. Kuweka mpango wa

upatikanaji wa

vitabu na

maandiko mengine

kwa lugha ya

kiswahili

c) Vitabu kutafsiriwa

au kuandikwa kwa

lugha ya Kiswahili

Vitabu na nyenzo

nyingine za

kufundishia kwa

lugha ya Kiswahili.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

TAMISEMI,

WAANDISHI

WA VITABU

1.4. Maabara zenye

kuwezesha

ufundishaji na

ujifunzaji wa lugha

ya Kiswahili

kuwepo kwenye

shule na vyuo

nchini ifikapo

mwaka 2019

Kuandaa mpango wa

kuwezesha ujenzi wa

maabara za lugha katika

shule na vyuo

d) Andiko la programu

ya kuwezesha

ujenzi wa maabara

za lugha katika

shule na vyuo

vilivyoidhinishwa

na Serikali

Waraka wa

Programu na taarifa

za utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI na

Utamaduni

2. Kuweka utaratibu

utakaowezesha lugha ya

Kiingereza kama lugha ya

mawasiliano kikanda na

kimataifa kufundishwa

2.1. Vifaa, nyenzo na zana

za kufundishia na

kujifunzia kwa

umahiri kwa kutumia

lugha ya Kiswahili

2.1.1. Kufanya tathmini

ya kitaifa ya hali

halisi ya mahitaji

ya miundombinu,

nyenzo, vifaa na

a) Miongozo ya

kujifunza lugha ya

Kiingereza.

Nyaraka za

miongozo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

Page 86: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

81

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

kwa ufasaha katika ngazi

zote za elimu na mafunzo.

kuwepo ifikapo

mwaka 2018

zana za kujifunzia

lugha ya

Kiingereza.

TAMISEMI,

2.2. Maktaba kuimarishwa

kwa vitabu na

maandiko mengine ya

kiingereza ifikapo

mwaka 2017

2.2.1. .Kuandaa Mpango

wa kufundisha

lugha ya

Kiingereza

b) Andiko la Mpango

wa kufundisha

lugha ya kiingereza

lililoidhinishwa na

na Serikali

Waraka wa mpango

na taarifa za

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

2.3. Maabara za lugha ya

kiingereza kuwepo

kwenye shule na vyuo

nchini ifikapo mwaka

2016

Kuandaa mpango wa

kuwezesha upatikanaji

wa vifaa vya maabara za

lugha katika shule na

vyuo

e) Andiko la mpango

wa kuwezesha

upatikanaji wa

vifaa vya maabara

za lugha katika

shule na vyuo

lililoidhinishwa na

Serikali

Waraka wa

Programu na taarifa

za utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Utamaduni

3. Kuimarisha kujifunza na

kufundisha lugha

mbalimbali za kigeni

katika ngazi mbalimbali

za elimu na mafunzo

3.1. Vifaa, nyenzo na zana

za kufundishia na

kujifunzia kwa

umahiri lugha za

kigeni kuwepo ifikapo

mwaka 2016

3.1.1. Kufanya tathmini ya

kitaifa ya hali halisi

ya miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana kwa ajili ya

kujifunza na

kufundisha lugha

nyingine za kigeni

a) Idadi ya walimu wa

lugha za kigeni,

nyenzo, vifaa na

zana zinazotumika

kujifunza lugha za

kigeni

Nyaraka za takwimu Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Utamaduni

3.1.2. .Kuandaa programu

za kufundisha lugha

za kigeni katika

elimu na mafunzo

b) Andiko la programu

za kufundisha lugha

zingine za kigeni

lililoidhinishwa na

Serikali

Waraka wa

Programu na taarifa

za utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Utamaduni Asasi

za Kiraia.

Lengo Na.6: Kuweka utaratibu na mazingira wezeshi ya kuhakikisha elimu na mafunzo katika ngazi zote inatolewa kwa ufanisi kwa njia huria na

masafa.

Page 87: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

82

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

1. Kuimarisha njia za utoaji

wa elimu na mafunzo

zikiwemo huria na masafa

ili kuwawezesha

Watanzania wengi

kujiendeleza kielimu bila

vikwazo.

1.1.Rasilimaliwatu

wanaosimamia na

wanaotekeleza Elimu

na mafunzo huria na

masafa kuea

wamejengewa uwezo

ifikapo mwaka 20125

1.1.1. Kufanya tathmini ya

kitaifa ya hali halisi

ya mahitaji

rasilimaliwatu,

miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana kwa ajili ya

kutoa elimu na

mafunzo kwa njia

huria na masafa

katika ngazi

mbalimbali za elimu

na mafunzo

a) Idadi na aina ya

programu za elimu

na mafunzo kwa

njia huria na

masafa

Nyaraka za taarifa

na takwimu

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

Menejimenti ya

Utumishi wa

Umma.

1.2.Miundombinu, vifaa,

nyenzo na zana kwa

ajili ya elimu na

mafunzo kwa njia

huria na masafa

kuwepo ifikapo

mwaka 2020

1.2.1. Kuweka programu

rekebishi ili

kuimarisha

rasilimaliwatu,

miundombinu,

nyenzo, vifaa na

zana kwa ajili ya

kujifunza na

kufundisha kwa njia

huria na masafa

b) Programu rekebishi

za kuimarisha

utoaji wa elimu na

mafunzo kwa njia

huria na masafa

Nyaraka za

programu na taarifa

ya utekelezaji wa

programu

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Asasi zisizo za

Serikali

2. Kuhakikisha taasisi zote

zinazotoa elimu na

mafunzo kwa njia huria

na masafa

zimeunganishwa katika

mkongo wa taifa na kwa

njia nyingine za kisasa.

2.1. Kuhakikisha taasisi

zote zinazotoa elimu

na mafunzo kwa njia

ya huria na masafa

zimeunganishwa

katika mkongo wa

Taifa na kwa njia

nyingine za kisasa

ifikapo mwaka 2019

2.1.1. Kuweka programu

ya kitaifa ya

kuunganisha asasi

zinazotoa elimu na

mafunzo katika

mkongo wa Taifa.

a) Idadi ya Taasisi za

elimu na mafunzo

zilizounganishwa

kwenye mkongo

wa taifa

Orodha ya taasisi za

elimu zenye mkongo

wa taifa

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Asasi zisizo za

Serikali

3. Kuimarisha uhusiano kati

ya sekta ya umma na

binafsi ili kuleta tija na

3.1. Huduma bora kupitia

elimu kwa njia huria

na masafa

3.1.1. Kuandaa mpango wa

ushirikiano baina ya

sekta ya umma na

a) Idadi ya mikataba ya

ushirikiano baina

ya sekta binafsi

Taarifa, Miakataba

na takwimu za

ushiriki wa sekta

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Page 88: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

83

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

ufanisi katika utoaji wa

elimu kwa njia huria na

masafa

kupatikana nchi

nzima ifikapo

mwaka 2020

binafsi katika

masuala ya

Rasilimaliwatu,

Miundombinu, vifaa,

nyenzo na zana za

kujifunzia na

kufundishia katika

ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo

zinazoshiriki kutoa

wa elimu kwa njia

huria na masafa

binafsi Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Asasi zisizo za

Serikali

Lengo Na.7: Kuhakikisha kila taasisi ya elimu na mafunzo inakuwa na hatimiliki ya ardhi mahali ilipo taasisi hiyo kwa ngazi zote.

1. Kuwezesha upatikanaji

wa ardhi na hati miliki ya

ardhi kwa taasisi za elimu

na mafunzo kwa ngazi

zote

1.1. Taasisi za elimu na

mafunzo kuwa na

ardhi na hati miliki

kuanza mwaka 2014

1.1.1. Kuandaa miongozo

ya upatikanaji wa

Ardhi na hati miliki

kwa asasi za elimu na

mafunzo kwa ngazi

zote

a) Idadi ya taasisi

zilizo na ardhi ya

kutosha yenye

hatimiliki

Taarifa ya asasi

zilizo na ardhi na

hatimiliki

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI,

Ardhi na

maendeleo ya

makazi

1.2. Ardhi kwa ajili ya

matumizi ya shughuli

za elimu na mafunzo

kutambulika na

kutengwa kuanzia

mwaka 2014

1.2.1. Kuandaa mpango wa

kitaifa utakaowezesha

upatikanaji wa ardhi

kwa ajili ya matumizi

ya asasi za elimu na

mafunzo

b) Mpango wa

kuwezesha taasisi

zote kupata ardhi

Taarifa ya

utekelezaji wa

Mpango

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo ,

OWM-

TAMISEMI, Ardhi

na maendeleo ya

makazi

Page 89: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

84

Mfumo endelevu wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo nchini

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na. 1: Kuimarisha mfumo wa ugharimiaji wa elimu na mafunzo kwa ngazi zote kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu na

mafunzo.

1. Kuimarisha muundo wa

ugharimiaji endelevu wa

elimu na mafunzo nchini.

1.1.Gharama halisi ya

kuelimisha

mwanafunzi kwa

ngazi zote

ikiwemo elimu na

mafunzo kwa njia

huria na masafa

kubainishwa

ifikapo mwaka

2014

1.1.1. kufanya tathmini ya

hali halisi ya

ugharimiaji wa elimu

na mafunzo nchini

a) Gharama halisi ya

kumsomesha

mwanafunzi kwa

ngazi zote za

elimu na mafunzo

Nyaraka za

gharama na taarifa

za tathmini

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Asasi za

Kiraia na OWM-

TAMISEMI

1.2.Vyanzo vya

kugharimia elimu

na mafunzo katika

ngazi mbalimbali

kubainishwa na

kutumika ifikapo

mwaka 2016.

1.2.1. Kubainisha vyanzo

mbalimbali vya

rasilimali fedha kwa

ajili ya kugharimia

elimu na mafunzo

katika ngazi zote.

b) Idadi ya vyanzo

mahsusi vya

fedha za

kugharimia elimu

na mafunzo

Taarifa yenye

orodha ya vyanzo

vya fedha

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Viwanda,

Asasi za Kiraia na

OWM-TAMISEMI

1.3.Utaratibu

utakaohusisha

sekta mbalimbali

na jamii katika

kugharimia elimu

kwa ngazi zote

kuainishwa na

kutumika ifikapo

mwaka 2016

1.3.1. Kuweka utaratibu wa

kubaini gharama halisi

za kumsomesha

mwanafunzi katika

kila ngazi

c) Asilimia 25 ya

tengeo la bajeti ya

Serikali

kugharimia elimu

na mafunzo

Bajeti ya Serikali

1.4.Tengeo la bajeti ya

serikali ya

kugharimia elimu

1.4.1. Kuweka utaratibu wa

kushirikisha sekta

binafsi katika

d) Sheria, kanuni na

miongozo ya

ugharamiaji wa

i. Sheria na

kanuni

zilizopitishwa

Page 90: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

85

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

na mafunzo

lisipungue asilimia

25 ya bajeti ya

serikali ifikapo

mwaka 2018.

kugharimia elimu na

mafunzo katika ngazi

zote

1.4.2. Kuandaa muundo wa

utekelezaji wa

ugharimiaji kwa

kuzingatia matokeo ya

utendaji wa asasi za

elimu na mafunzo

elimu

iliyohuishwa

na Serikali

1.5.Huduma ya elimu

na mafunzo

yanayotolewa na

sekta binafsi kuwa

ya gharama nafuu

kwa kadri

iwezekanavyo

ifikapo mwaka

2016

1.5.1. Kuandaa utaratibu wa

kuwezesha asasi za

elimu na mafunzo za

binafsi kutoa huduma

kwa gharama nafuu

e) Gharama nafuu za

huduma katika

taasisi za elimu

na mafunzo

ii. Taarifa ya

tathmini kuhusu

gharama

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Viwanda,

Asasi za Kiraia na

OWM-TAMISEMI

1.6.Utaratibu endelevu

wa kuwawezesha

wanafunzi

wanaoshindwa

kuchangia

gharama za elimu

na mafunzo

kuwepo ifikapo

mwaka 2016

1.6.1. Kuandaa Utaratibu

endelevu wa

kuwawezesha

wanafunzi

wanaoshindwa

kuchangia gharama za

elimu na mafunzo

f) Mwongozo wa

utaratibu yakinifu

wa kuwawezesha

wanafunzi

wanaoshindwa

kuchangia

gharama za elimu

na mafunzo

iii. Mwongozo

ulioidhinishwa

2. Kujenga na kuendeleza

ubia kati ya sekta ya

umma na binafsi katika

kufanikisha miradi ya

2.1.Mazingira ya

kufanya taasisi

za fedha

kushiriki katika

ugharamiaji wa

2.1.1. Kufanya tathmini ya

maeneo ya ubia kati

ya sekta ya elimu na

mafunzo na sekta

a) Taasisi za fedha

kushiriki katika

ugharimiaji wa

elimu na

mafunzo.

i. Nyaraka za

sheria na

kanuni

zilizopitishwa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Viwanda,

Page 91: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

86

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

elimu na mafunzo kwa

ngazi zote

elimu na

mafunzo

kujengwa ifikapo

mwaka 2015.

binafsi Asasi za Kiraia na

OWM-TAMISEMI

2.2.Wahitimu wa elimu

na mafunzo katika

ngazi mbalimbali

na jamii kushiriki

kugharimia elimu

na mafunzo ifikapo

mwaka 2016.

2.2.1. Kubuni miradi ya ubia

ubia kati ya sekta ya

elimu na mafunzo na

sekta binafsi

b) Idadi ya miradi ya

elimu na mafunzo

baina ya sekta

binafsi na sekta

ya elimu na

mafunzo

ii. Taarifa ya miradi

na takwimu za

ushiriki wa

sekta binafsi

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Viwanda,

Asasi za Kiraia na

OWM-TAMISEMI

3. Kuimarisha ushiriki wa

wadau mbalimbali katika

ugharimiaji wa mafunzo

tarajali na mazoezi kwa

vitendo sehemu za kazi

kwa wanachuo

3.1.Wadau mbalimbali

kushiriki katika

kugharimia

mafunzo tarajali

na mazoezi kwa

vitendo katika

sehemu

mbalimbali za

kazi ifikapo

mwaka 2016

3.1.1. Kuandaa utaratibu wa

kugharimia mafunzo

tarajali na mazoezi kwa

vitendo kwa

kushirikisha wadau

mbalimbali sehemu za

kazi

a) Muundo wa

ugharimiaji wa

elimu na mafunzo

tarajali na mazoezi

ya vitendo

sehemu za kazi

i. Nyaraka za

muundo

ulioidhinishwa

na Taarifa za

tathmini za

ushiriki

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo, Fedha,

viwanda, Taasisi za

Fedha, Viwanda,

Asasi za Kiraia na

OWM-TAMISEMI

Page 92: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

87

Uongozi, usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo nchini

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na.1: Kuongeza ufanisi, tija, uwajibikaji na uongozi bora katika usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo nchini

1. Kuhuisha mfumo wa

uongozi, usimamizi na

uendeshaji wa elimu na

mafunzo katika ngazi

zote za elimu na

mafunzo ikiwa ni

pamoja na ugatuaji wa

madaraka

1.1 Miongozo kuhusu

vigezo, viwango na

taratibu za uongozi,

usimamiaji na

upimaji wa

maendeleo ya elimu

na mafunzo ifikapo

mwaka 2016.

1.1.1 Kuweka miongozo

kuhusu uongozi,

usimamiaji na

upimaji wa

maendeleo katika

masuala mbalimbali

ya elimu na mafunzo

a) Sheria na

miongozo kuhusu

uongozi,

usimamiaji na

upimaji wa

maendeleo ya

elimu na mafunzo

iliyohuishwa

i. Nyaraka

zilizoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

TAMISEMI, Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma

1.2 Mgawanyo wa

majukumu,

Usimamizi na

uwajibikaji wenye tija

na ufanisi katika

elimu na mafunzo

kuwepo ifikapo

mwaka 2016

1.2.1 Kuhuisha

mgawanyo wa

majukumu,

utekelezaji na

uwajibikaji katika

ngazi mbalimbali

za uongozi,

usimamizi na

uendeshaji wa

elimu na mafunzo.

b) Miundo ya

uongozi,

usimamizi na

uendeshaji

ii. Nyaraka

zilizoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

TAMISEMI, Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma

1.3 Majukumu na umahiri

wa watendaji katika

masuala mbalimbali

kwa ngazi zote za

elimu na mafunzo

kuhuishwa na

kuboreshwa mara

kwa mara kuanzia

2014

1.3.1 Kuandaa utaratibu

endelevu wa kujenga

uwezo kwa

viongozi,

wasimamizi na

watekelezaji katika

elimu na mafunzo

1.3.2 Kuhuisha na

kuandaa mpango wa

kurithishana

majukumu ya

Page 93: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

88

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

uongozi, usimamizi

na utekelezaji katika

elimu na mafunzo

kwa kuzingatia

vigezo na viwango

stahiki.

2. Kuweka mpango wa

utambuzi, usajili,

kuendeleza na

kusimamia maadili ya

mwalimu.

2.1. Utambuzi na usajili

wa walimu katika

sekta ya elimu na

mafunzo kuwepo

ifikapo mwaka 2016

2.1.1. Kuhuisha na

kuandaa Sheria,

kanuni na miongozo

kuhusu utambuzi na

usajili wa walimu

wa ngazi zote.

a) Sheria, kanuni na

miongozo kuhusu

utambuzi na

usajili wa walimu.

i. Nyaraka

zilizoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya Elimu,

TAMISEMI, Ofisi

yenye Dhamana ya

Utumishi wa

Umma

Lengo Na.2 : Kuimarisha mfumo wa menejimenti ya data na taarifa za elimu na mafunzo kwa ngazi zote za elimu na mafunzo.

1. Kuimarisha mfumo wa

menejimenti ya taarifa

za elimu ili kuleta tija na

ufanisi katika kuweka

mipango na maamuzi

kuhusu utoaji wa elimu

na mafunzo katika ngazi

zote za elimu na

mafunzo

1.1.Data na taarifa

zinazoaminika

kupatikana ifikapo

mwaka 2016

1.1.1. Kuandaa miongozo

ya kuimarisha

EMIS ili kuleta tija

na ufanisi katika

kuandaa mipango

na kufanya

maamuzi.

a) Miongozo ya

kuimarisha

Mfumo wa

Menejimenti ya

taarifa za elimu

i. Nyaraka za

miongozo ya

Mfumo wa

Menejimenti ya

taarifa za Elimu

(EMIS)

iliyoidhinishwa na

vyombo husika.

Wizara yenye

dhamana ya Elimu

na Mafunzo,

OWM-TAMISEMI,

Wizara zote, , Ofisi

ya Rais, NIDA

1.2.Data na taarifa

kutumika katika

mipango na

maamuzi katika

sekta ya elimu na

mafunzo ifikapo

mwaka 2016

1.2.1. Kuandaa mfumo

unganifu na wa kisasa

wa ukusanyaji,

utunzaji, uchambuzi

na upatikanaji wa

data katika ngazi zote

za elimu na mafunzo.

b) Matumizi stahiki

ya taarifa za

elimu

Page 94: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

89

Masuala mtambuka katika elimu na mafunzo kuzingatiwa

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Lengo Na.1 : Elimu na Mafunzo yenye maudhui ya masuala mtambuka kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Taifa.

1. Kuingiza katika

mitaala maudhui ya

masuala ya stadi za

maisha na

mabadiliko ya

tabianchi na stadi

nyinginezo

muhimu katika

maendeleo ya nchi.

1.1.Mitaala na programu

yenye maudhui stadi

za maisha na

mabadiliko ya

tabianchi kuwepo

ifikapo mwaka

2016

1.1.1. Kuhuisha mitaala na

programu kuingiza

dhana ya stadi za maisha

na mabadiliko ya

tabianchi na stadi

nyinginezo muhimu

katika maendeleo ya

nchi.

Programu, mihtasari

inayojumuisha maudhui

ya masuala mtambuka

Programu za masomo

na mitasari

iliyoidhinishwa

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo,

MAZINGIRA,

Maji, Asasi za

Kiraia, OWM-

TAMISEMI,

OMR.

1.2.Walimu mahiri katika

kuwawezesha

wanafunzi kujifunza

masomo mbalimbali

yenye maudhui

matambuka ifikapo

mwaka 2016

1.2.1. Kuandaa miongozo

itakayowezesha

wanafunzi kujifunza

masuala ya stadi za

maisha na mabadiliko

ya tabianchi.

1.3.Wanafunzi wenye

uelewa wa stadi za

maisha na

mabadiliko ya

tabianchi ifikapo

mwaka 2018

1.3.1. Kuandaa walimu

mahiri

watakaowezesha

wanafunzi kujifunza

masuala ya stadi za

maisha na mabadiliko

ya tabianchi

Lengo Na.2 : Kuweka utaratibu wa kuimarisha utoaji wa huduma ya ushauri na unasihi katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

1. Kuimarisha

muundo wa

ushauri na unasihi

katika ngazi zote

za elimu na

1.1.Miongozo na

utaratibu wa utoaji

wa ushauri na

unasihi katika elimu

na mafunzo

1.1.1. Kuandaa taratibu na

miongozo ya utoaji wa

ushauri na unasihi

katika elimu na

a) Miongozo ya

ushauri na unasihi

Nyaraka za miongozo

ya ushauri na unasihi

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, Afya

na Ustawi wa

Page 95: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

90

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

mafunzo nchini kuandaliwa ifikapo

mwaka 2015

mafunzo Jamii, Asasi za

Kiraia na OWM-

TAMISEMI. 1.2.Miundombinu na

nyenzo za kutolea

ushauri nasaha na

unasihi katika elimu

na mafunzo kuwepo

ifikapo mwaka 2018

1.2.1. Kuandaa miundombinu

na nyenzo muhimu za

kutolea ushauri na

unasihi katika elimu na

mafunzo

b) Huduma za ushauri

na unasihi katika

elimu na mafunzo

Taarifa za utekelezaji

1.3.Kuwepo na

wataalamu mahiri

wa ushauri na

unasihi wa kutosha

katika ngazi zote

elimu na mafunzo

ifikapo mwaka

2020.

1.3.1. Kuandaa utaratibu wa

kupata wataalamu

mahiri wa ushauri na

unasihi katika ngazi

zote elimu na mafunzo.

c) Idadi ya wataalamu

mahiri wa huduma

za ushauri na unasihi

katika ngazi zote

elimu na mafunzo.

Nyaraka za takwimu

za washauri nasihi

1.4.Wanafunzi kupata

huduma za ushauri

na unasihi kwa

kutumia wataalamu

mahiri katika shule

na vyuo ifikapo

mwaka 2020

Lengo Na. 3: Kuweka utaratibu utakao hakikisha kuwa haki za binadamu zinalindwa na hawapewi adhabu za kutesa au kudhalilisha wakati

akipatiwa elimu au mafunzo katika ngazi mbalimbali.

1. Kuweka muundo,

miongozo, kanuni

na taratibu za

kurekebisha tabia

na mienendo ya

wanafunzi

1.1.Adhabu za kutesa au

kudhalilisha

zinazuiliwa katika

mfumo wa elimu na

mafunzo ifikapo

mwaka 2016

1.1.1. Kuhuisha sheria,

miongozo, kanuni na

taratibu kuhusu

kurekebisha tabia na

mienendo ya

wanafunzi wanaokiuka

a) Sheria, kanuni na

miongozo inayohusu

haki za binadamu

iliyohuishwa

Nyaraka na taarifa za

utekelezaji

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI,

Page 96: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

91

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

wanaokiuka

taratibu

mbalimbali za

shule na vyuo bila

kuwadhalilisha au

kukiuka haki za

binadamu.

taratibu mbalimbali za

shule na vyuo.

Katiba na

Sheria,

Maendeleo ya

Jamii, Jinsia na

Watoto na Afya

na Ustawi wa

Jamii.

1.2.Wanafunzi

wanaokiuka taratibu

za shule au za vyuo

kurekebishwa kwa

njia endelevu na za

kitaalamu ifikapo

mwaka 2016.

1.2.1 Kuweka utaratibu wa

kuelimisha walimu,

wazazi na jamii na

wamiliki wa shule na

vyuo kwa ujumla juu

ya taratibu za

kurekebisha tabia na

mienendo ya

wanafunzi katika

ngazi mbalimbali za

elimu na mafunzo

Idadi ya wanafunzi wa

shule na vyuo

waliorekebishwa

1.3.Utaratibu wa

kuwafukuza shule

wanafunzi wa elimu

- msingi kutokana

na sababu

mbalimbali

kuhuishwa ifikapo

mwaka 2016

1.3.1 Kuandaa mwongozo

utakaowezesha

wanafunzi

waliofukuzwa shule

na vyuo kuendelea na

masomo

Miongozo iliyoandaliwa Miongozo iliyopo

1.4.Walimu na jamii

kuelewa taratibu za

kutatua matatizo ya

kinidhamu ya

wanafunzi shuleni

na vyuoni ifikapo

mwaka 2016

1.4.1 Kuhamasisha walimu

na jamii kuhusu

utatuzi wa masuala ya

kinidhamu

Kupungua matatizo ya

kinidhamu katika shule

na vyuo

Nyaraka za Taarifa

ya utekelezaji

Lengo Na.4: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha maadili ya walimu na watumishi wengine yanazingatiwa katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

1. Kuweka muundo

na utaratibu wa

kuhakikisha

1.1.Sheria, miongozo,

kanuni na taratibu

kuhusu maadili ya

1.1.1. Kuhuisha muundo na

utaratibu wa

a) Muundo na utaratibu

wa nidhamu na

i. Nyaraka za

miundo na

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Page 97: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

92

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

kwamba maadili

ya walimu na

watumishi

wengine

yanazingatiwa

katika ngazi zote

za ellimu na

mafunzo kwa

kuzingatia sheria

za kazi na haki za

binadamu.

walimu na watumishi

wengine kuhuishwa

ifikapo mwaka 2016

kuhakikisha kuwa

nidhamu na maadili ya

kazi na uwajibikaji wa

walimu

maadili ya kazi na

uwajibikaji wa

walimu uliohuishwa

na kutumika

taratibu. Mafunzo,

Utumishi wa

Umma, OWM-

TAMISEMI,

OMR,

TAKUKURU 1.2.Nidhamu, uwajibikaji

na uadilifu kuimarika

katika ngazi zote za

elimu na mafunzo

ifikapo mwaka 2017.

1.2.1. Kuhuisha sheria,

miongozo, kanuni na

taratibu kuhusu maadili

ya walimu na

watumishi wengine

katika ngazi zote za

ellimu na mafunzo.

b) Sheria na kanuni

kuhusu maadili ya

walimu na

watumishi wengine

katika ngazi zote za

elimu na mafunzo

zilizohuishwa na

kutumika

ii. Nyaraka za sheria

na kanuni

zilizopitishwa

1.3.Mazingira ya bora

ya kazi na ya kuishi

mwalimu kuwepo

ifikapo mwaka 2020

1.3.1. Kuweka mazingira ya

kufanyia kazi na ya

kuishi mwalimu

yanayozingatia afya na

haki za binadamu

c) Mazingira ya kazi na

ya kuishi mwalimu

kwa kuzingatia haki

za binadamu

Lengo .5: Kuimarisha muundo wa kutekeleza maazimio na itifaki za ushirikiano baina ya Tanzania na nchi nyingine, kikanda na kimataifa katika

elimu na mafunzo

1. Utaratibu wa

kushughulikia

makubaliano ya

utekelezaji wa

maazimio

mbalimbali

yanayogusa elimu

na mafunzo

kikanda na

kimataifa

1.1. Miongozo na

taratibu wa

kushughulikia na

kutekeleza

maazimio na itifaki

yanayohusu elimu

na mafunzo kuwepo

ifikapo mwaka 2016

1.1.1. Kuandaa miongozo na

utaratibu wa

kutekeleza maazimio

na itifaki mbalimbali

yanayohusu elimu na

mafunzo kikanda na

kimataifa

a) Muundo wa

kutekeleza

maazimio na itifaki

za ushirikiano na

nchi nyingine.

Nyaraka za muundo

wa kutekeleza

maazimio na itifaki

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, Mambo

ya Nje na

Ushirikiano wa

kimataifa,

Ushirikiano wa

Afrika Mashariki,

Katiba na Sheria

Lengo Na. 6

Page 98: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

93

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

Kuimarisha utaratibu wa kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa ufanisi masomo ya hisabati, sayansi na tekinolojia katika ngazi zote za elimu na

mafunzo.

1. Kuimarisha na

kuweka utaratibu

utakaowezesha

masomo ya

hisabati, sayansi

na tekinolojia

kufundishwa kwa

ufanisi zaidi.

1.1. Hisabati, sayansi,

na tekinolojia,

kufundishwa kwa

ufanisi ifikapo

mwaka 2018.

1.1.1. Kuhuisha mbinu za

ufundishaji na

ujifunzaji wa Hisabati,

Sayansi, na tekinolojia,

a) Viwango vya

ufaulu wa

wanafunzi katika

masomo ya

hisabati, sayansi, na

tekinolojia.

Taarifa za maendeleo

ya kitaaluma za

wanafunzi katika

masomo hayo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI

WIZARA ZOTE

1.2. Rasilimaliwatu

mahiri na

wakutosha

kuwezesha

wanafunzi

kujifunza

masomo ya

hisabati, sayansi

na tekinolojia

katika ngazi zote

za elimu na

mafunzo kuwepo

ifikapo mwaka

2018.

1.2.1. Kuandaa mpango wa

kitaifa utakaowezesha

hisabati, sayansi na

teknolojia kufundisha

na kujifunza kwa

ufanisi katika ngazi

zote za elimu na

mafunzo

1.2.2. Kuandaa na kuajiri

rasilimaliwatu mahiri

kwa ajili ya kuwezesha

wanafunzi kujifunza

masomo ya hisabati,

sayansi na teknolojia

katika ngazi zote za

elimu na mafunzo.

b) Idadi ya wataalamu

wenye uwezo na

umahiri katika

kufundisha masomo

ya hisabati, sayansi

na tekinolojia.

Takwimu za

wataalamu

wanaofundisha

masomo hayo katika

ngazi zote za elimu

na mafunzo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo,

OWM-

TAMISEMI

WIZARA ZOTE

1.3. Umahiri wa

wanafunzi katika

nyanja za hisabati,

sayansi na tekinolojia

kuongezeka ifikapo

mwaka 2018.

1.3.1. Kuhamasisha na

kumotisha ufundishaji

na ujifunzaji wa

masomo ya hisabati,

sayansi na teknolojia

c) Idadi ya wahitimu

wenye umahiri

katika masomo ya

hisabati, sayansi na

tekinolojia.

Takwimu za

wataalamu wa

hisabati, sayansi na

teknolojia.

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI

WIZARA ZOTE

Lengo .7: Kuweka utaratibu wa kuhakikisha matumizi zaidi ya sayansi na tekinolojia katika utoaji wa elimu na mafunzo katika ngazi zote.

Page 99: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

94

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

1. Kuweka mpango

wa kutumia vifaa

bandia

(Simulators)

katika kufundisha

masomo kwa

vitendo katika

maabara na

karakana ili

kupunguza

gharama za elimu

na mafunzo

1.1. Vifaa bandia

(Simulators)

kutumika katika

kufundisha na

kujifunza kwa ngazi

zote za elimu na

mafunzo ifikapo

mwaka 2020

1.1.1. Kuandaa utaratibu wa

utakaowezesha

matumizi ya vyombo

bandia (Simulators)

katika kufundisha

masomo kwa vitendo

darasani, kwenye

maabara na karakana

a) Matumizi ya

vyombo bandia

(Simulators) katika

karakana na

maabara za shule

na vyuo

i. Vyombo bandia

katika karakana

na maabara

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Wizara zote,

Ofisi yenye

Dhamana ya

Utumishi wa

Umma

1.2. Maabara za shule na

vyuo kubuni na

kutengeneza vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia hisabati,

sayansi na

tekinolojia katika

ngazi husika ifikapo

mwaka 2020

1.2.1. Kuandaa utaratibu wa

kutumia karakana na

maabara za vyuo kubuni

na kutengeneza vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia hisabati,

sayansi na teknolojia.

b) Idadi ya vifaa,

zana na nyenzo

zilizotengenezwa

shuleni na vyuoni

ii. Taarifa

zinazoonyesha

idadi ya vifaa

vifaa, zana na

nyenzo

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, Fedha,

OWM-

TAMISEMI,

Wizara zote,

Taasisi za

uwekezaji.

1.3. Walimu na

Wanafunzi wenye

uwezo wa kubuni na

kutengeneza vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia kuwepo

ifikapo mwaka 2025

1.3.1. Kuwajengea walimu

na wanafunzi uwezo wa

kubuni na kutengeneza

vifaa, zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia

c) Idadi ya wanafunzi

na walimu wenye

uwezo wa kubuni

na kutengeneza

vifaa, zana na

nyenzo

iii. Taarifa za

walimu na

wanafunzi

wabunifu

2. Kuimarisha ubia

baina ya sekta ya

elimu na mafunzo

na viwanda ili

kuwezesha

upatikanaji wa

vifaa, zana na

nyenzo za

2.1. Ushiriki wa viwanda

na sekta binafsi

kuwezesha

upatikanaji wa vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia hisabati,

sayansi na

2.1.1. Kuandaa sheria na

miongozo ya ubia baina

ya sekta ya elimu na

mafunzo na sekta

binafsi

a) Sheria na

miongozo ya ubia

baina ya sekta ya

elimu na mafunzo

na sekta binafsi

i. Taarifa ya

utekelezaji

Page 100: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

95

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

kufundishia na

kujifunzia

hisabati, sayansi

na tekinolojia

tekinolojia ifikapo

mwaka 2016

2.2. Mpango wa taifa wa

kushirikisha sekta

binafsi katika

upatikanaji wa vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia hisabati,

sayansi na tekinolojia

kuwepo na kutumika

ifikapo mwaka 2016.

2.2.1. Kuabuni miradi ya Ubia

baina ya sekta ya umma

na binafsi katika

masuala ya upatikanaji

wa vifaa, zana na

nyenzo za kufundishia

na kujifunzia hisabati,

sayansi na teknolojia.

b) Idadi ya miradi ya

ubia ya sekta

binafsi katika

upatikanaji wa

vifaa, zana na

nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia hisabati,

sayansi na

tekinolojia

ii. Taarifa, za

utekelezaji wa

miradi takwimu

za ushiriki wa

sekta binafsi

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, OWM-

TAMISEMI,

Taasisi za

uwekezaji,

Fedha,Mawasilia

no, Sayansi na

Teknolojia, na

Wizara zote

2.2.2. Kuandaa mpango wa

taifa wa kushirikisha

sekta binafsi katika

upatikanaji wa vifaa,

zana na nyenzo za

kufundishia na

kujifunzia hisabati,

sayansi na teknolojia.

3. Kuwezesha kila

taasisi ya elimu na

mafunzo kuwa

kitovu cha sayansi

na tekinolojia

katika jamii.

3.1. Taasisi za elimu na

mafunzo kuwa

kitovu cha matumizi

ya sayansi na

tekinolojia katika

jamii ifikapo mwaka

2018

3.1.1. Kuandaa sheria na

miongozo kuwezesha

kila asasi ya elimu na

mafunzo kuwa kitovu

cha sayansi na

teknolojia.

a) Sheria na miongozo

kuwezesha taasisi za

elimu kuwa kitovu

cha sayansi na

tekinolojia

i. Nyaraka za sheria

na miongozo

3.2. Taasisi za elimu

na mafunzo kuwa ni

vituo vya elimu

(Resource centers)

katika jamii ifikapo

3.2.1. Kuandaa mpango wa

taifa wa kuwezesha kila

asasi ya elimu na

mafunzo nchini kuwa

kitovu cha sayansi na

b) Idadi ya taasisi za

elimu na mafunzo

ambazo ni vitovu

vya sayansi na

ii. Orodha ya Asasi

ambazo vituo vya

sayansi na

teknolojia

Page 101: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

96

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

mwaka 2016 teknolojia katika jamii tekinolojia

3.3. Taasisi za elimu na

mafunzo kuwa vituo

atamizi ili kujenga

uwezo wa wahitimu

katika jamii ifikapo

mwaka 2017

3.3.1. Kuwezesha asasi za

elimu na mafunzo kuwa

vituo atamizi vya

kujenga uwezo wa

wahitimu katika jamii

c) Idadi ya taasisi

zenye vituo

atamizi

iii. Orodha ya Asasi

ambazo vituo

atamizi

Lengo Na.8: Kuweka utaratibu na kuimarisha ushiriki fanisi wa wadau mbalimbali katika sekta ya elimu na mafunzo katika ngazi zote.

1. Kupanua wigo wa

ushiriki wa wadau

katika mipango,

uendeshaji,

ugharimiaji,

ufuatiliaji na

tathmini katika

ngazi zote za

elimu na

mafunzo.

1.1. Wigo wa ugharimiaji

wa elimu na

mafunzo katika

ngazi zote za elimu

kwa kushirikisha

wadau mbalimbali

kupanuka ifikapo

mwaka 2016.

1.1.1. Kuandaa miongozo ya

ushiriki wa wadau

katika mipango,

uendeshaji,

ugharimiaji, ufuatiliaji

na tathmini katika

ngazi zote

a) Wigo wa ushiriki

wa wadau katika

ugharimiaji wa

elimu na mafunzo

i. Nyaraka za

tathmini na

miongozo ya

ushiriki

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo,OWM-

TAMISEMI,

Wizara zote

1.2. Ushiriki wa wadau

katika mipango,

uendeshaji na

tathmini ya elimu na

mafunzo katika ngazi

zote kuongezeka

ifikapo mwaka 2016.

1.2.1. Kuandaa utaratibu wa

kuhamasisha ushiriki

wa wadau katika

mipango, uendeshaji,

ugharimiaji na

ufuatiliaji wa

utekelezaji wa elimu na

mafunzo

b) Idadi ya wadau

wanaoshiriki

katika uendeshaji,

ugharimiaji na

ufuatiliaji wa

elimu na mafunzo

ii. Taarifa ya idadi

ya wadau

wanaoshiriki

katika elimu na

mafunzo

2. Kuongeza ushiriki

wa wadau katika

utoaji wa huduma

mbalimbali mfano

chakula na malazi

2.1. Utaratibu wa

kushirikisha wadau

katika utoaji wa

huduma mbalimbali

mfano chakula na

2.1.1. Kuandaa miongozo na

taratibu wa

kuhamasisha ushiriki

wa wadau katika utoaji

c) Utaratibu wa

huduma

mbalimbali

zinazotolewa na

i. Taarifa ya idadi

ya wadau

wanaoshiriki

katika kutoa

Wizara yenye

dhamana ya

Elimu na

Mafunzo, Fedha,

OWM-

Page 102: Rasimu ya Kwanza ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Elimu

97

MIKAKATI SHABAHA KAZI/ SHUGHULI VIASHIRIA VYA

UFANISI

NJIA YA

KUHAKIKI

WAHUSIKA

katika elimu na

mafunzo

malazi katika elimu

na mafunzo

kuwekwa ifikapo

mwaka 2016

wa huduma

mbalimbali1

wadau huduma

mbalimbali

TAMISEMI, na

Wizara ZOTE

2.2. Huduma mbalimbali

katika shule na vyuo

kutolewa kwa

kushirikisha wadau

ifikapo mwaka 2016

d) Aina za huduma

mbalimbali

zinazotolewa na

wadau

1 Chakula, Maji safi na salama, Afya na usafiri na nyinginezo katika asasi za elimu na mafunzo