28
SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI MUHTASARI WA RIPOTI 2013 TANZANIA BARA

SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

  • Upload
    others

  • View
    10

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI

MUHTASARI WA RIPOTI

2013TANZANIA BARA

Page 2: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

DiraKuwa kitovu cha takwimu rasmi nchini.

DhamiraKutoa takwimu rasmi zilizo bora na huduma zinazokidhi mahitaji ya wadau wa kitaifa na kimataifa kwa ajili ya kupanga mipango na kutoa maamuzi.

Page 3: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI 2013

TANZANIA BARA

MUHTASARI WA RIPOTI

Page 4: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

4

Kwa taarifa zaidi kuhusiana na Muhtasari wa Ripoti ya Sensa ya Uzalishaji Viwandani, 2013 zinapatikana:

Ofisi ya Taifa ya Takwimu, 18 Barabara ya Kivukoni,S.L.P. 796, 11992 Dar es Salaam – Tanzania.Simu: +255 22 2122722/3 | Nukushi: +255 22 2130852 | Anuani ya barua pepe: [email protected] | Tovuti: www.nbs.go.tz

Nukuu inayoshauriwa ni: Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji (MITI), Sensa ya Uzalishaji Viwandani, 2013: Muhtasari wa Ripoti. Dar es Salaam

Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

UNIDOOfisi ya Taifa ya TakwimuWizara ya Fedha na Mipango

Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania

Septemba, 2016

Page 5: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

i

Orodha ya Majedwali ............................................................................................................ ii

Orodha ya Michoro ............................................................................................................... iii1.0 Utangulizi .................................................................................................................................... 1

2.0 Aina ya Viwanda .......................................................................................................................... 2

2.1 IdadiyaViwandaKatikaSektaNdogozaViwanda .................................................................. 2

2.2 IdadiyaViwandakwaShughulizaUzalishajiViwandani ........................................................ 3

2.3 IdadiyaViwandaKi-Mkoa....................................................................................................... 5

2.4 IdadiyaViwandakatikaMakundiyaWafanyakazi .................................................................. 7

2.5 IdadiyaViwandaKulingananaAinayaUmiliki ....................................................................... 9

2.6 IdadiyaViwandakwaMsingiwaUmilikiKisheria .................................................................. 9

3.0 Idadi ya Wafanyakazi Viwandani ................................................................................................ 10

3.1 IdadiyaWafanyakaziKatikaSektaNdogozaViwanda .......................................................... 10

3.2 IdadiyaWafanyakaziKijinsiaKatikaSektaNdogozaViwanda ............................................. 10

3.3 IdadiyaWafanyakazikwaShughulizaViwanda ................................................................... 11

3.4 IdadiyaWafanyakaziKi-Mkoa .............................................................................................. 12

3.5 IdadiyaWafanyakaziKatikaSektaNdogozaViwanda .......................................................... 13

4.0 Malipo kwa Wafanyakazi ........................................................................................................... 15

4.1 MalipokwaWafanyakaziKatikaSektaNdogozaViwanda ................................................... 15

5.0 Ongezeko la Thamani ................................................................................................................. 16

5.1 OngezekolaThamanikatikaSektaNdogozaViwanda ......................................................... 16

5.2 OngezekolaThamaniKatikaShughulizaViwanda ............................................................... 16

5.3 OngezekolaThamaniKi-Mkoa .............................................................................................. 19

YALIYOMO

Page 6: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

ii

JedwaliNa.1: IdadiyaViwandaKatikaShughulizaUzalishajiViwandani,TanzaniaBara,CIP2013 ...... 4

JedwaliNa.2: IdadiyaViwandakatikaSektaNdogoyaUtengenezajiwaBidhaaViwandaniKi-Mkoana

MakundiyaWafanyakazi,TanzaniaBara,CIP2013 ...................................................... 6-7

JedwaliNa.3: IdadiyaViwandavyaUtengenezajiwaBidhaakwashughuliyaKiwandanaUkubwawa

Ajira,TanzaniaBara,CIP2013 .......................................................................................... 8

JedwaliNa.4: IdadiyaViwandaKulingananaAinayaUmiliki ............................................................... 9

JedwaliNa.5: IdadiyaViwandakwaMsingiwaUmilikiKisherianaUkubwawaAjira,TanzaniaBara,CIP

2013 ................................................................................................................................. 9

JedwaliNa.6: IdadiyaWafanyakazikwaSektaNdogozaViwandanaUkubwawaAjira,TanzaniaBara,

CIP2013 ......................................................................................................................... 10

JedwaliNa.7: IdadiyaWafanyakaziKijinsikwaSektaNdogozaViwandanaUkubwawaAjira,Tanzania

Bara,CIP2013 ................................................................................................................ 11

JedwaliNa.8: IdadiyaWafanyakazikwaShughulizaViwanda,TanzaniaBara,CIP2013 ...............11-12

JedwaliNa.9: MalipokwaWafanyakaziKatikaSektaNdogozaViwandanaUkubwawaAjira,Tanzania

Bara,CIP2013 ................................................................................................................ 15

JedwaliNa.10: OngezekolaThamanikwaSektaNdogozaViwandanaukubwawaAjira,TanzaniaBara,

CIP2013 ......................................................................................................................... 16

JedwaliNa.11: OngezekolaThamanikwaShughulizaViwandanaUkubwawaAjira,TanzaniaBara,CIP

2013 ............................................................................................................................... 17

JedwaliNa.12: OngezekolaThamanikwaSektaNdogoyaUtengenezajiwaBidhaaViwandani,Tanzania

Bara,CIP2013 ................................................................................................................ 18

JedwaliNa.13: MgawanyowaOngezekolaThamaniKatikaViwandavyaUtengenezajiBidhaaViwandani

kwaMakundiyaWafanyakazi,TanzaniaBara,CIP2013 ................................................ 18

JedwaliNa.14: OngezekolaThamanikatikaSectaNdogoyaUtengenezajiwaBidhaaViwandani,Tanzania

Bara,CIP2013 ................................................................................................................ 19

JedwaliNa.15: OngezekolaThamanikwaMkoanaUkubwawaAjira,TanzaniaBara,CIP2013 ........... 20

ORODHA YA MAJEDWALI

Page 7: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

iii

MchoroNa.1: IdadiyaViwandaVyotekatikaSektaNdogozaViwanda,TanzaniaBara,CIP2013 ......... 2

MchoroNa.2: Idadi ya Viwanda Vikubwa VyenyeWafanyakazi Kumi au Zaidi katika SektaNdogo za

Viwanda,TanzaniaBara,CIP2013 ................................................................................... 3

MchoroNa.3: IdadiyaViwandaVidogoVyenyeMfanyakaziMmojaHadiWafanyakazi ........................ 3

MchoroNa.4: IdadiyaViwandaVikubwaVyenyeWafanyakaziKumiauZaidiKi-Mkoa,TanzaniaBara,

CIP2013 ........................................................................................................................... 5

MchoroNa.5: Idadi ya Viwanda VikubwaVyenyeWafanyakazi Kumi au Zaidi katika SektaNdogo ya

UzalishajiwaBidhaaViwandaniKi-Mkoa,TanzaniaBara,CIP2013 ................................ 6

MchoroNa.6: IdadiyaViwandakwaMakundiyaWafanyakazi,TanzaniaBara,CIP2013 ...................... 7

MchoroNa.7: IdadiyaWafanyakaziKi-Mkoa,TanzaniaBara,CIP2013 ............................................... 13

MchoroNa.8: AsilimiayaWafanyakazikwaMakundiyaWafanyakazi,TanzaniaBara,CIP2013 ......... 14

ORODHA YA MICHORO

Page 8: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

iv

Page 9: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

1

Sura ya 1 Utangulizi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji (MITI), na Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania (CTI) ilifanya Sensa ya Uzalishaji Viwandani ya mwaka 2013. Kihistoria Sensa ya Viwanda ni ya Nne kufanyika Tanzania Bara tangu kupatikana kwa uhuru mwaka 1961. Kwa mara ya kwanza Sensa ya Viwanda ilifanyika mwaka 1963 ikifuatiwa na mwaka 1978 na 1989.

Sensa ya Uzalishaji Viwandani imefanyika kwa msaada wa kiufundi uliotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) na fedha zilitolewa na Serikali ya Tanzania na Washirika wa Maendeleo kupitia fungu linalotolewa kwa ajili ya Mpango Kabambe wa Kitaifa wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu Tanzania (Tanzania Statistical Master Plan - TSMP).

Lengo kuu la Sensa ya Uzalishaji Viwandani lilikuwa ni kutoa taarifa sahihi zinazohusu sekta ya viwanda na ambazo zitatumika katika kutathmini mchango wa sekta ya viwanda kwa uchumi wa Nchi. Aidha, sensa ilikuwa na lengo la kutoa taarifa za msingi ambazo zitatumika kufanikisha tafiti nyingine na kuwezesha uchambuzi wa mipango mbalimbali, utungaji wa sera na kusaidia katika kufanya maamuzi sahihi.

Sensa ya Uzalishaji Viwandani ya mwaka 2013 imehusisha viwanda vyote vyenye maeneo ya kudumu Tanzania Bara kwa mujibu wa Viwango vya Kimataifa vya Mgawanyo wa Shughuli za Uzalishaji na Utoaji Huduma (ISIC) toleo Namba 4 ili kuhakikisha ulinganishi kimataifa. Sensa hii imejumuisha viwanda vyote vilivyojishughulisha na Uchimbaji madini na mawe; Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani; Uzalishaji na usambazaji wa Umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi); na Kukusanya, kutibu na kusambaza maji. Hata hivyo, sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani ndiyo inayoongoza katika sekta zote ndogo za uzalishaji viwandani. Kwa hiyo, mwelekeo wa ukuaji wa sekta nzima ya viwanda kwa kiasi kikubwa, ulitegemea uzalishaji wa sekta hii ndogo.

Utengenezaji wa bidhaa viwandani unahusu ubadilishaji wa malighafi kuwa bidhaa mpya kwa kubadilisha muundo na maumbo. Bidhaa zinazobadilishwa ni malighafi ambazo zinatokana na kilimo, misitu, uvuvi, uchimbaji madini na mawe pamoja na bidhaa za shughuli nyingine za utengenezaji wa bidhaa viwandani ambazo ni malighafi kwa sekta hii. Shughuli za ubadilishaji, urekebishaji wa bidhaa pia hutambulika kama utengenezaji wa bidhaa viwandani.

Madhumuni ya ripoti hii ni kuwasilisha kwa muhtasari, matokeo muhimu yanayohusu Sensa ya Uzalishaji Viwandani ili kutoa rejea muhimu juu ya nini kinapatikana kwenye ripoti kuu. Ripoti imetoa kwa ufupi, matokeo muhimu yanayohusu aina na mifumo mbalimbali ya viwanda husika, ajira na malipo yake, pato ghafi, gharama za uzalishaji na ongezeko la thamani. Matokeo haya yamegawanyika kulingana na aina ya uzalishaji, ukubwa wa kiwanda kulingana na idadi ya wafanyakazi, eneo la kijiografia mahali kiwanda kilipo na hali ya umiliki.

Page 10: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

2

Sura ya 2 Aina ya Viwanda

2.1 Idadi ya Viwanda Katika Sekta Ndogo za ViwandaIli kukidhi mahitaji ya Sera ya Nchi kuhusu Viwanda Vidogo na vya Kati (SMEs), viwanda viligawanywa katika makundi makuu mawili kama ifuatavyo:

1. Viwanda vikubwa; vyenye idadi ya wafanyakazi kumi au zaidi (10+). Idadi yake ilikuwa 1,322 sawa na asilimia 2.7 ya viwanda vyote kwa mwaka 2013. Kundi hili liligawanywa katika makundi madogo matano; viwanda vyenye wafanyakazi 10 hadi19, 20 hadi 49, 50 hadi 99, 100 hadi 499, na wafanyakazi 500 au zaidi.

2. Viwanda vidogo; vyenye idadi ya mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa. Idadi ya viwanda hivi ilikuwa 47,921 sawa na asilimia 97.3 ya viwanda vyote kwa mwaka 2013. Kundi hili liligawanywa katika makundi madogo mawili; wafanyakazi wasiozidi wanne na lile lenye wafanyakazi kuanzia watano hadi tisa.

Matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda vyote 49,243 (vikubwa na vidogo) vilivyohusika katika Sensa ya Uzalishaji Viwandani kwa mwaka 2013, sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani iliongoza kuwa na idadi kubwa ya viwanda 48,474 (asilimia 98.4) kuliko sekta yoyote ndogo, ikifuatiwa na uchimbaji madini na mawe 391 (asilimia 0.8); usambazaji maji, usimamizi wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) yenye viwanda 151 sawa na asilimia 0.3 ya viwanda vyote.

Mchoro Na. 1: Idadi ya Viwanda Vyote Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

3

Mchoro Na. 1: Idadi ya Viwanda Vyote Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Kuhusu viwanda vikubwa, matokeo yanaonesha kuwa; kati ya viwanda 1,322, sekta ndogo ya

utengenezaji wa bidhaa viwandani ilikuwa na viwanda 998 sawa na asilimia 75.5 ya viwanda vyote

vya sekta hii, ikifuatiwa na sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe viwanda 210 (asilimia 15.9),

kukusanya, kutibu na kusambaza maji viwanda 87 (asilimia 6.6) na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na

usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) ambayo ilikuwa na viwanda 27

au asilimia 2.0 ya viwanda vyote vikubwa.

Mchoro Na. 2: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Kuhusu viwanda vikubwa, matokeo yanaonesha kuwa; kati ya viwanda 1,322, sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani ilikuwa na viwanda 998 sawa na asilimia 75.5 ya viwanda vyote vya sekta hii, ikifuatiwa na sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe viwanda 210 (asilimia 15.9), kukusanya, kutibu na kusambaza maji viwanda 87 (asilimia 6.6) na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) ambayo ilikuwa na viwanda 27 au asilimia 2.0 ya viwanda vyote vikubwa.

Page 11: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

3

3

Mchoro Na. 1: Idadi ya Viwanda Vyote Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Kuhusu viwanda vikubwa, matokeo yanaonesha kuwa; kati ya viwanda 1,322, sekta ndogo ya

utengenezaji wa bidhaa viwandani ilikuwa na viwanda 998 sawa na asilimia 75.5 ya viwanda vyote

vya sekta hii, ikifuatiwa na sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe viwanda 210 (asilimia 15.9),

kukusanya, kutibu na kusambaza maji viwanda 87 (asilimia 6.6) na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na

usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) ambayo ilikuwa na viwanda 27

au asilimia 2.0 ya viwanda vyote vikubwa.

Mchoro Na. 2: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Mchoro Na. 2: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Kwa upande wa viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa, matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda 47,921, utengenezaji wa bidhaa viwandani ulikuwa na viwanda 47,475 sawa na asilimia 99.1 ya viwanda vyote vya sekta hii ndogo, ikifuatiwa na sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe viwanda 182 (asilimia 0.4), usambazaji maji, usimamizi wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji viwanda 140 (asilimia 0.3) na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) ambayo ilikuwa na viwanda 124 sawa na asilimia 0.3 ya viwanda vyote vidogo.

Mchoro Na. 3: Idadi ya Viwanda Vidogo Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi Wafanyakazi Tisa Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

4

Kwa upande wa viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa, matokeo

yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda 47,921, utengenezaji wa bidhaa viwandani ulikuwa na

viwanda 47,475 sawa na asilimia 99.1 ya viwanda vyote vya sekta hii ndogo, ikifuatiwa na sekta

ndogo ya uchimbaji madini na mawe viwanda 182 (asilimia 0.4), usambazaji maji, usimamizi wa

maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji viwanda 140 (asilimia 0.3) na ya mwisho

ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi) ambayo

ilikuwa na viwanda 124 sawa na asilimia 0.3 ya viwanda vyote vidogo.

Mchoro Na. 3: Idadi ya Viwanda Vidogo Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi Wafanyakazi Tisa Katika Sekta Ndogo za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

2.2 Idadi ya Viwanda kwa Shughuli za Uzalishaji Viwandani

Idadi ya viwanda kwa kila shughuli ya uzalishaji hutofautiana kutoka shughuli moja hadi nyingine.

Shughuli nne za uzalishaji zilizoongoza zimechangia asilimia 52.8 ya jumla ya idadi ya viwanda,

nazo ni: utengenezaji wa bidhaa za chakula viwanda 19,696 (asilimia 40.0); utengenezaji wa bidhaa

za nguo 13,392 (asilimia 27.2); utengenezaji wa samani 6,823 (asilimia 13.9); na utengenezaji wa

bidhaa za chuma isipokuwa mitambo na vifaa viwanda ilikuwa na viwanda 3,805 (asilimia 7.7).

2.2 Idadi ya Viwanda kwa Shughuli za Uzalishaji ViwandaniIdadi ya viwanda kwa kila shughuli ya uzalishaji hutofautiana kutoka shughuli moja hadi nyingine. Shughuli nne za uzalishaji zilizoongoza zimechangia asilimia 52.8 ya jumla ya idadi ya viwanda, nazo ni: utengenezaji wa bidhaa za chakula viwanda 19,696 (asilimia 40.0); utengenezaji wa bidhaa za nguo 13,392 (asilimia 27.2); utengenezaji wa samani 6,823 (asilimia 13.9); na utengenezaji wa bidhaa za chuma isipokuwa mitambo na vifaa viwanda ilikuwa na viwanda 3,805 (asilimia 7.7).

Page 12: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

4

Jedwali Na. 1: Idadi ya Viwanda Katika Shughuli za Uzalishaji Viwandani, Tanzania Bara, CIP 2013

Shughuli ya Kiwanda Idadi ya Viwanda Asilimia

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 19,696 40.0

Utengenezaji wa mavazi 13,292 27.0

Utengenezaji wa samani 6,823 13.9

Utengenezaji wa bidhaa za metali, isipokuwa mitambo na vifaa 3,805 7.7

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia 1,770 3.6

Utengenezaji wa bidhaa zingine za madini zisizo za metali 1,103 2.2

Utengenezaji wa nguo 708 1.4

Uchimbaji wa madini mengine na mawe 347 0.7

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 253 0.5

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 222 0.4

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 177 0.4

Utengenezaji mwingine wa bidhaa vya viwandani 175 0.4

Upigaji chapa na uandaaji wa media zilizonakiliwa 168 0.3

Uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi) 151 0.3

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 99 0.2

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 88 0.2

Utengenezaji wa vinywaji 76 0.2

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 65 0.1

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 47 0.1

Uchimbaji wa metali ghafi 44 0.1

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 37 0.1

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 28 0.1

Utengenezaji wa metali za msingi 19 0.0

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 18 0.0

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 14 0.0

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea 7 0.0

Ukusanyaji taka, shughuli za kutibu na kutupa taka; urejeshaji nyenzo 5 0.0

Utengenezaji wa makaa ya mawe na bidhaa za mafuta ya petroli iliyosafishwa 3 0.0

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 2 0.0

Uchimbaji wa Makaa ya mawe magumu na mepesi 1 0.0

Jumla 49,243 100.0

Page 13: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

5

2.3 Idadi ya Viwanda Ki-MkoaIdadi ya viwanda kimkoa kwa viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi, matokeo yanaonesha kuwa; kutoka jumla ya viwanda 1,322, Mkoa wa Dar es Salaam uliongoza kwa kuwa na viwanda 389 (asilimia 29.4%) , ukifuatiwa na mikoa ya Manyara 167 (asilimia 12.6); Arusha 89 (asilimia 6.7) na Kilimanjaro viwanda 66 (asilimia 5.0). Hata hivyo, kwa mkoa wa Manyara, viwanda 149 sawa na asilimia 89.2 ya viwanda vinavyoshiriki katika shughuli za uchimbaji wa madini vilihusika zaidi na uchimbaji madini ya tanzanite.

Mchoro Na. 4: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

6

2.3 Idadi ya Viwanda Ki-Mkoa

Idadi ya viwanda kimkoa kwa viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi, matokeo

yanaonesha kuwa; kutoka jumla ya viwanda 1,322, Mkoa wa Dar es Salaam uliongoza kwa kuwa na

viwanda 389 (asilimia 29.4%) , ukifuatiwa na mikoa ya Manyara 167 (asilimia 12.6); Arusha 89

(asilimia 6.7) na Kilimanjaro viwanda 66 (asilimia 5.0). Hata hivyo, kwa mkoa wa Manyara, viwanda

149 sawa na asilimia 89.2 ya viwanda vinavyoshiriki katika shughuli za uchimbaji wa madini

vilihusika zaidi na uchimbaji madini ya tanzanite. Mchoro Na. 4: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

*Viwanda vingi vilihusika na uchimbaji wa madini ya tanzanite *Viwanda vingi vilihusika na uchimbaji wa madini ya tanzanite

Kwa upande wa sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani, matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda 998, idadi kubwa ya viwanda hivyo ilikuwa katika mkoa wa Dar es Salaam, ikiwa na viwanda 376 sawa na asilimia 37.7; ikifuatiwa na mikoa ya Arusha, viwanda 87 (asilimia 8.7); Kagera, viwanda 74 (asilimia 7.4) na mkoa wa Mbeya, viwanda 48 (asilimia 4.8). Mikoa 21 iliyobaki ilikuwa na jumla ya viwanda 413 sawa na asilimia 41.4 ya viwanda vyote katika sekta hii ndogo.

Page 14: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

6

Mchoro Na. 5: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi katika Sekta Ndogo ya Uzalishaji wa Bidhaa Viwandani Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

7

Kwa upande wa sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani, matokeo yanaonesha kuwa,

katika jumla ya viwanda 998, idadi kubwa ya viwanda hivyo ilikuwa katika mkoa wa Dar es Salaam,

ikiwa na viwanda 376 sawa na asilimia 37.7; ikifuatiwa na mikoa ya Arusha, viwanda 87 (asilimia

8.7); Kagera, viwanda 74 (asilimia 7.4) na mkoa wa Mbeya, viwanda 48 (asilimia 4.8). Mikoa 21

iliyobaki ilikuwa na jumla ya viwanda 413 sawa na asilimia 41.4 ya viwanda vyote katika sekta hii

ndogo.

Mchoro Na. 5: Idadi ya Viwanda Vikubwa Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi katika Sekta

Ndogo ya Uzalishaji wa Bidhaa Viwandani Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

Jedwali Na. 2: Idadi ya Viwanda katika Sekta Ndogo ya Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani Ki-Mkoa na Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

MkoaMakundi ya Wafanyakazi

Jumla 1-4 5-9 10-19 20-49 50-99 100-499 500+

Dodoma 1,588 199 11 8 2 1 - 1,809

Arusha 1,822 229 30 15 20 17 5 2,138

Kilimanjaro 1,483 188 22 11 9 5 1 1,719

Tanga 1,498 158 13 6 6 11 3 1,695

Morogoro 2,599 397 15 15 1 3 7 3,037

Pwani 1,204 231 8 6 1 4 1 1,455

Dar es Salaam 5,763 1,233 109 114 65 79 10 7,373

Lindi 664 150 6 - - - - 820

Mtwara 866 110 - 2 2 2 - 982

Ruvuma 3,257 197 9 4 - - - 3,467

Page 15: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

7

MkoaMakundi ya Wafanyakazi

Jumla 1-4 5-9 10-19 20-49 50-99 100-499 500+

Iringa 2,245 206 9 7 4 5 3 2,479

Mbeya 2,527 245 23 18 2 5 - 2,820

Singida 1,383 214 21 5 1 - - 1,624

Tabora 852 83 7 2 - 1 - 945

Rukwa 866 61 2 4 - - - 933

Kigoma 836 102 7 1 - - - 946

Shinyanga 923 225 18 9 - - - 1,175

Kagera 2,042 269 35 30 1 6 2 2,385

Mwanza 1,074 279 22 13 8 7 4 1,407

Mara 2,971 517 5 5 2 3 - 3,503

Manyara 2,063 154 12 9 - - - 2,238

Njombe 1,536 116 - 4 2 1 1 1,660

Katavi 199 20 - - - - - 219

Simiyu 637 109 7 1 - - - 754

Geita 762 129 - - - - - 891

Jumla 41,660 5,821 391 289 126 150 37 48,474

2.4 Idadi ya Viwanda katika Makundi ya WafanyakaziKundi lenye wafanyakazi kuanzia mmoja hadi wanne (1-4) lilikuwa na idadi kubwa zaidi ya viwanda (41,919) sawa na asilimia 85.1 ya viwanda vyote (vikubwa na vidogo), likifuatiwa na kundi lenye wafanyakazi kuanzia watano hadi tisa (5-9) lenye viwanda 6,002 sawa na asilimia 12.2 ya viwanda vyote. Hii inaonesha kuwa, viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa (1-9) vilikuwa vingi zaidi kwa kuchangia asilimia 97.3 ya viwanda vyote.

Mchoro Na. 6: Idadi ya Viwanda kwa Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

9

Mchoro Na. 6: Idadi ya Viwanda kwa Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

Jedwali Na. 2: Idadi ya Viwanda katika Sekta Ndogo ya Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani Ki-Mkoa na Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013 (inaendelea)

Page 16: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

8

Jedwali Na. 3: Idadi ya Viwanda vya Utengenezaji wa Bidhaa kwa shughuli ya Kiwanda na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

Shughuli ya Kiwanda

Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Mfanyakazi Mmoja hadi Wafanyakazi Tisa Jumla

Idadi Asilimia Idadi Asilimia Idadi Asilimia

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 382 38.3 19,315 40.7 19,697 40.6

Utengenezaji wa vinywaji 47 4.8 29 0.1 76 0.2

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 4 0.4 10 0.0 14 0.0

Utengenezaji wa nguo 32 3.2 676 1.4 708 1.5

Utengenezaji wa mavazi 13 1.3 13,280 28.0 13,293 27.4

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 18 1.7 159 0.3 177 0.4

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia

68 6.8 1,702 3.6 1,770 3.7

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 12 1.2 6 0.0 18 0.0

Upigaji chapa na uandaaji wa media zilizonakiliwa 48 4.8 120 0.3 168 0.3

Utengenezaji wa makaa ya mawe na bidhaa za mafuta ya petroli iliyosafishwa

3 0.3 0 0.0 3 0.0

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 40 3.9 48 0.1 88 0.2

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea 5 0.5 2 0.0 7 0.0

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 42 4.3 22 0.0 64 0.1

Utengenezaji wa bidhaa nyingine za madini zisizo za metali 89 8.8 1,014 2.1 1,103 2.3

Utengenezaji wa metali za msingi 14 1.4 5 0.0 19 0.0

Utengenezaji wa bidhaa za metali, isipokuwa mitambo na vifaa 54 5.4 3,751 7.9 3,805 7.8

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 1 0.1 1 0.0 2 0.0

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 20 2.0 233 0.5 253 0.5

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 14 1.5 85 0.2 99 0.2

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 13 1.4 24 0.0 37 0.1

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 2 0.2 45 0.1 47 0.1

Utengenezaji wa samani 60 6.0 6,763 14.2 6,823 14.1

Utengenezaji mwingine wa bidhaa za viwandani 13 1.3 162 0.3 175 0.4

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 4 0.4 24 0.1 28 0.1

Jumla 998 100.0 47,476 100.0 48,474 100.0

Page 17: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

9

2.5 Idadi ya Viwanda Kulingana na Aina ya UmilikiKutoka jumla ya viwanda 49,243, viwanda 48,975 sawa na asilimia 99.4 vilimilikiwa na mashirika binafsi, viwanda 238 sawa na asilimia 0.5 vilimilikiwa na Serikali, wakati viwanda 30 sawa na asilimia 0.1 vilimilikiwa kwa ubia kati ya Serikali na mashirika binafsi. Matokeo pia yanaonesha kuwa, kati ya viwanda vikubwa, asilimia 86.5 ni vya mashirika binafsi, asilimia 11.4 ni vya Serikali na asilimia mbili (2) ni viwanda vyenye ubia kati ya Serikali na mashirika binafsi. Kwa ujumla, karibu viwanda vyote vidogo vilikuwa vya umiliki wa mashirika binafsi kwa asilimia 99.8.

Jedwali Na. 4: Idadi ya Viwanda Kulingana na Aina ya Umiliki

Aina ya Umiliki Wafanyakazi kumi au Zidi Mfanyakazi Mmoja Hadi

Wafanyakazi Tisa Jumla

Idadi Asilimia Idadi Asilimia Idadi Asilimia

Serikali 151 11.4 87 0.2 238 0.5

Mashirika Binafsi 1,144 86.5 47,831 99.8 48,975 99.4

Ubia 27 2.0 3 0.0 30 0.1

Jumla 1,322 100.0 47,921 100.0 49,243 100.0

2.6 Idadi ya Viwanda kwa Msingi wa Umiliki Kisheria Kuendana na msingi wa umiliki wa kisheria, matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda 49,243, umiliki wa mtu mmoja ulikuwa na viwanda 44,748 sawa na asilimia 90.9, ikifuatiwa na ubia, viwanda 3,388 (asilimia 6.9) na mashirika binafsi yenye hisa za dhima isiyo na ukomo, viwanda 416 (asilimia 0.8). Umiliki wa misingi mingine ya kisheria ilihusisha viwanda 693 sawa na asilimia 1.4 ya viwanda vyote.

Kuhusu idadi ya viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi, ambavyo vilikuwa 1,322, umiliki wa msingi kisheria ni kama ifuatavyo: mashirika binafsi yenye hisa za dhima isiyo na ukomo yalikuwa na viwanda 374 (asilimia 28.3) ikifuatiwa na umiliki wa mtu mmoja 372 (asilimia 28.1) na ubia viwanda 353 (asilimia 26.7). Misingi mingine ya kisheria ilihusisha viwanda 223 sawa na asilimia 16.9 ya viwanda vyote vikubwa.

Kuhusu viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa vipatavyo 47,921, umiliki kwa msingi kisheria ilikuwa kama ifuatavyo: umiliki wa mtu mmoja ulikuwa na viwanda 44,374 sawa na asilimia 92.6, ikifuatiwa na ubia, viwanda 3,035 (asilimia 6.3); na ushirika, viwanda 315 (asilimia 0.7). Umiliki wa misingi mingine kisheria ilihusisha viwanda 198 sawa na asilimia 0.4 ya viwanda vyote vidogo.

Jedwali Na. 5: Idadi ya Viwanda kwa Msingi wa Umiliki Kisheria na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

Msingi wa Umiliki Kisheria

Viwanda Vyenye Wafanyakazi Kumi

au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja

Hadi Wafanyakazi Tisa Jumla

Idadi Asilimia Idadi Asilimia Idadi Asilimia

Umiliki wa Mtu mmoja 372 28.1 44,376 92.6 44,748 90.9

Ubia 353 26.7 3,035 6.3 3,388 6.9

Umma 87 6.6 60 0.1 147 0.3

Shirika la Umma 36 2.7 3 0.0 39 0.1

Ushirika 48 3.6 315 0.7 363 0.7

Shirika Binafsi ya hisa za dhima isiyo na ukomo

42 3.2 5 0.0 47 0.1

Shirika Binafsi ya hisa za dhima yenye ukomo 374 28.3 42 0.1 416 0.8

Misingi mingine ya umiliki kisheria 10 0.8 85 0.2 95 0.2

Jumla 1,322 100.0 47,921 100.0 49,243 100.0

Page 18: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

10

Sura ya 3 Idadi ya wafanyakazi viwandani

3.1 Idadi ya Wafanyakazi Katika Sekta Ndogo za ViwandaMatokeo yanaonesha kuwa, idadi ya wafanyakazi katika sekta ndogo nne ilikuwa 264,223; kati ya hao, wafanyakazi wa viwanda vilivyojihusisha na utengenezaji wa bidhaa viwandani walikuwa 231,099 (asilimia 87.5), ikifuatiwa na sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe yenye wafanyakazi 19,906 (asilimia 7.5). Sekta ndogo mbili zilizobaki (umeme na maji) zilikuwa ni asilimia 5.0 ya wafanyakazi wote viwandani.

Aidha, viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi vilikuwa na wafanyakazi 138,887 (asilimia 52.5) na vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa vilikuwa na wafanyakazi 125,336 (asilimia 47.5). Matokeo yanaonesha kwamba, sekta ndogo ya viwanda ndiyo iliyoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi kwa viwanda vidogo na vikubwa kwa asilimia 76.6 na 98.4 kwa mtiririko huo.

Jedwali Na. 6: Idadi ya Wafanyakazi kwa Sekta Ndogo za Viwanda na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

Sekta Ndogo

Viwanda Vyenye Wafanyakazi Kumi au

Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi

Wafanyakazi Tisa Jumla

Idadi Asilimia Idadi Asilimia Idadi Asilimia

Uchimbaji Madini na Mawe 18,917 13.6 989 0.8 19,907 7.5

Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani 107,733 77.6 123,366 98.4 231,099 87.5

Uzalishaji na Usambazaji wa Umeme, Gesi, Mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi)

7,915 5.7 335 0.3 8,250 3.1

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 4,322 3.1 646 0.5 4,968 1.9

Jumla 138,887 100.0 125,336 100.0 264,223 100.0

3.2 Idadi ya Wafanyakazi Kijinsia Katika Sekta Ndogo za Viwanda Matokeo yanaonesha kuwa, viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi; sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe ilikuwa na wafanyakazi wanaume 17,702 ambao ni asilimia 93.6 na wanawake 1,215 ikiwa ni asilimia 6.4 ya wafanyakazi wote katika sekta hiyo; sekta ndogo ya viwanda ilikuwa na wafanyakazi wanaume 75,791 ambao ni asilimia 70.4 na wanawake 31,942 ikiwa ni asilimia 29.6; umeme, gesi, mvuke na hali ya hewa wafanyakazi wanaume 6,690 ambao ni asilimia 84.5 na wanawake 1,225 asilimia 15.5; na sekta ndogo ya kukusanya, kutibu na kusambaza maji, wafanyakazi wanaume 3,348 ambao ni asilimia 77.5 na wanawake 974 ikiwa ni asilimia 22.5. Kwa ujumla, viwanda vikubwa vilikuwa na wafanyakazi wengi wanaume 103,531 (asilimia 74.5) kuliko wanawake 35,356 (asilimia 25.5%).

Kwa upande wa viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa, matokeo yanaonesha kuwa, sekta ndogo ya uchimbaji madini na mawe ilikuwa na wafanyakazi wanaume 759 ambao ni asilimia 76.7 na wanawake 230 sawa na asilimia 23.2 ya wafanyakazi wote; utengenezaji wa bidhaa viwandani, wafanyakazi wanaume walikuwa 98,001 ikiwa ni asilimia 79.4 na wanawake 25,365 sawa na asilimia 20.6; umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali ya hewa (joto na baridi), wafanyakazi wanaume 310 ambao ni asilimia 92.5 na wanawake 25 sawa na asilimia 7.5; kukusanya, kutibu na

Page 19: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

11

kusambaza maji, wanaume 435 (asilimia 67.5) na wanawake 209 (asilimia 32.5). Hali hii inafanana na ile ya viwanda vikubwa kwa kuwa na wafanyakazi wengi wanaume 99,507 (asilimia 79.4) kuliko wanawake 25,829 (asilimia 20.6).

Kwa ujumla, Sekta ya Viwanda ilikuwa na wafanyakazi 264,223 ambao kati yao; wafanyakazi 203,038 sawa na asilimia 76.8 ni wanaume na wafanyakazi 61,185 sawa na asilimia 23.2 ni wanawake.

Jedwali Na. 7: Idadi ya Wafanyakazi Kijinsi kwa Sekta Ndogo za Viwanda na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

Sekta Ndogo

Viwanda Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi Wafanyakazi Tisa

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Uchimbaji Madini na Mawe 17,702 1,215 18,917 759 230 989

Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani 75,791 31,942 107,733 98,001 25,365 123,366

Uzalishaji na usambazaji wa Umeme, Gesi, Mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi) 6,690 1,225 7,915 310 25 335

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 3,348 974 4,322 436 209 646

Jumla 103,531 35,356 138,887 99,507 25,829 125,336

3.3 Idadi ya Wafanyakazi kwa Shughuli za ViwandaIdadi ya wafanyakazi katika shughuli za viwanda hutofautiana kutoka shughuli moja hadi nyingine kwa mwaka 2013 ambapo idadi ya wafanyakazi katika viwanda ilikuwa 264,223. Shughuli kuu tatu za viwanda zilikuwa na asilimia 52.8 ya wafanyakazi hao, kama ifuatavyo: utengenezaji wa bidhaa za chakula, wafanyakazi 85,330 sawa na asilimia 32.3, utengenezaji wa bidhaa za mavazi, wafanyakazi 30,539 sawa na asilimia 11.6, na utengenezaji wa samani wafanyakazi 23,740 sawa na asilimia 9.0. Shughuli nyingine za viwanda zimechangia jumla ya wafanyakazi 124,616 sawa na asilimia 47.2 ya wafanyakazi wote viwandani.

Jedwali Na. 8: Idadi ya Wafanyakazi kwa Shughuli za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013

Shughuli ya Kiwanda Idadi ya Wafanyakazi Asilimia

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 85,330 32.3

Utengenezaji wa mavazi 30,539 11.6

Utengenezaji wa samani 23,740 9.0

Utengenezaji wa nguo 17,714 6.7

Utengenezaji wa bidhaa za metali, ispokuwa mitambo na vifaa 14,889 5.6

Uchimbaji wa madini mengine na mawe 9,988 3.8

Uchimbaji wa metali ghafi 9,843 3.7

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia 9,418 3.6

Utengenezaji wa bidhaa zingine za madini zisizo za metali 9,384 3.6

Uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi) 8,250 3.1

Utengenezaji wa vinywaji 7,004 2.7

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 6,645 2.5

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 5,110 1.9

Page 20: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

12

Shughuli ya Kiwanda Idadi ya Wafanyakazi Asilimia

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 4,725 1.8

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 4,342 1.6

Upigaji chapa na Uandaaji wa media zilizonakiliwa 3,339 1.3

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 2,253 0.9

Utengenezaji wa metali za msingi 2,194 0.8

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 1,742 0.7

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 1,725 0.7

Utengenezaji mwingine wa bidhaa vya viwandani 1,709 0.6

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 1,391 0.5

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea 790 0.3

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 726 0.3

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 417 0.2

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 330 0.1

Utengenezaji wa makaa ya mawe na bidhaa za mafuta ya petroli iliyosafishwa 243 0.1

Ukusanyaji taka, shughuli za kutibu na kutupa taka; urejeshaji nyenzo 242 0.1

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 124 0.0

Uchimbaji wa Makaa ya mawe magumu na mepesi 77 0.0

Jumla 264,223 100.0

3.4 Idadi ya Wafanyakazi Ki-MkoaMkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wafanyakazi wengi kuliko mikoa mingine ambao ni 60,754 (asilimia 23.0) ikifuatiwa na Morogoro, 24,001 (asilimia 9.1); Arusha 17,701 (asilimia 6.7); Tanga 14,618 (asilimia 5.5); Kagera 14,614 (asilimia 5.5); Mara 14,418 (asilimia 5.5) na Manyara wafanyakazi 12,023 (asilimia 4.5). Mkoa wa Katavi ulikuwa na wafanyakazi wachache kuliko mikoa mingine kwa kuwa na wafanyakazi ambao ni 526 (asilimia 0.2). Mikoa iliyobaki idadi ya wafanyakazi ni kama inavyoonekana katika mchoro namba saba (7).

Jedwali Na. 8: Idadi ya Wafanyakazi kwa Shughuli za Viwanda, Tanzania Bara, CIP 2013 (inaendelea)

Page 21: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

13

Mchoro Na. 7: Idadi ya Wafanyakazi Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

16

3.4 Idadi ya Wafanyakazi Ki-Mkoa

Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wafanyakazi wengi kuliko mikoa mingine ambao ni 60,754

(asilimia 23.0) ikifuatiwa na Morogoro, 24,001 (asilimia 9.1); Arusha 17,701 (asilimia 6.7); Tanga

14,618 (asilimia 5.5); Kagera 14,614 (asilimia 5.5); Mara 14,418 (asilimia 5.5) na Manyara

wafanyakazi 12,023 (asilimia 4.5). Mkoa wa Katavi ulikuwa na wafanyakazi wachache kuliko mikoa

mingine kwa kuwa na wafanyakazi ambao ni 526 (asilimia 0.2). Mikoa iliyobaki idadi ya

wafanyakazi ni kama inavyoonekana katika mchoro namba saba (7).

Mchoro Na. 7: Idadi ya Wafanyakazi Ki-Mkoa, Tanzania Bara, CIP 2013

3.5 Idadi ya Wafanyakazi Katika Sekta Ndogo za ViwandaViwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi wanne vilikuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi 86,960 (asilimia 32.9) vikifuatiwa na viwanda vyenye wafanyakazi 500 au zaidi 64,384 (asilimia 24.4); na viwanda vyenye wafanyakazi 100 hadi 499 vilikuwa na wafanyakazi 43,363 (asilimia 16.4). Viwanda vyenye wafanyakazi 10 hadi 19 vilikuwa na wafanyakazi wachache, 6,767 (asilimia 2.6) kuliko makundi mengine.

Page 22: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

14

Mchoro Na. 8: Asilimia ya Wafanyakazi kwa Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

17

3.5 Idadi ya Wafanyakazi Katika Sekta Ndogo za Viwanda

Viwanda vidogo vyenye mfanyakazi mmoja hadi wafanyakazi wanne vilikuwa na idadi kubwa ya

wafanyakazi 86,960 (asilimia 32.9) vikifuatiwa na viwanda vyenye wafanyakazi 500 au zaidi 64,384

(asilimia 24.4); na viwanda vyenye wafanyakazi 100 hadi 499 vilikuwa na wafanyakazi 43,363

(asilimia 16.4). Viwanda vyenye wafanyakazi 10 hadi 19 vilikuwa na wafanyakazi wachache, 6,767

(asilimia 2.6) kuliko makundi mengine.

Mchoro Na. 8: Asilimia ya Wafanyakazi kwa Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

Page 23: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

15

Sura ya 4 Malipo kwa Wafanyakazi

4.1 Malipo kwa Wafanyakazi Katika Sekta Ndogo za ViwandaMalipo kwa wafanyakazi yanahusu jumla ya malipo kwa wafanyakazi wote kwa fedha taslimu au fadhila, yanajumuisha mishahara, malipo ya muda wa ziada, gharama za usafiri, michango kwa mfanyakazi kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na malipo ya ziada kwa kuchangia uzalishaji katika kipindi husika.

Matokeo yameonesha kuwa, jumla ya malipo kwa wafanyakazi viwandani mwaka 2013 yalifikia Shilingi milioni 1,366,744. Malipo makubwa zaidi yalitolewa katika sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani yaliyogharimu Shilingi milioni 791,311 sawa na asilimia 57.9 ya gharama zote kwa wafanyakazi; yakifuatiwa na sekta ndogo ya madini na uchimbaji mawe Shillingi millioni 364,299 sawa na asilimia 26.7; na sekta ndogo ya umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali ya hewa Shilingi milioni 181,050 sawa na asilimia 13.2. Sekta ndogo ya kukusanya, kutibu na kusambaza maji yaligharimu Shilingi milioni 30,084 sawa na asilimia 2.2 ya malipo yote ya kazi viwandani.

Matokeo pia yanaonesha kuwa, viwanda vikubwa vililipa jumla ya malipo ya Shilingi milioni 1,253,835 sawa na asilimia 91.7 wakati viwanda vidogo vililipa jumla ya Shilingi milioni 112,909 sawa na asilimia 8.3 ya malipo yote ya kazi. Viwanda vya sekta ndogo ya utengenezaji wa bidhaa viwandani yaliongoza katika viwanda vikubwa na vidogo. Katika viwanda vikubwa, jumla ya malipo yalikuwa Shilingi milioni 680,428 sawa na asilimia 54.3 ya malipo wakati viwanda vidogo vililipa jumla ya Shilingi milioni 110,883 sawa na asilimia 98.2 ya malipo ya kazi katika sekta ndogo husika.

Jedwali Na. 9: Malipo kwa Wafanyakazi Katika Sekta Ndogo za Viwanda na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Sekta NdogoViwanda Vyenye

Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja

Hadi Wafanyakazi Tisa Jumla

Uchimbaji Madini na Mawe 363,111 1,188 364,299

Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani 680,428 110,883 791,311

Uzalishaji na usambazaji wa Umeme, Gesi, Mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi) 180,794 256 181,050

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 29,502 582 30,084

Jumla 1,253,835 112,909 1,366,744

Page 24: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

16

Sura ya 5 Ongezeko la Thamani

Ongezeko la Thamani ni mrejesho unaotokana na shughuli za uzalishaji mali, ambao ni tofauti kati ya Pato Ghafi (Gross Output) na Gharama za Uzalishaji (Intermediate Consumption). Ni kipimo cha mchango wa kiwanda husika katika Pato la Taifa (Gross Domestic Product - GDP).

5.1 Ongezeko la Thamani katika Sekta Ndogo za ViwandaMatokeo yanaonesha kuwa, jumla ya ongezeko la thamani kwa sekta yote ya viwanda ni Shilingi milioni 8,220,560. Viwanda vikubwa vyenye wafanyakazi kumi au zaidi vilikuwa na ongezeko la thamani la Shilingi milioni 7,857,680, sawa na asilimia 95.6 ya jumla ya ongezeko la thamani. Ambapo mchango wa viwanda vidogo vyenye wafanyakazi mmoja hadi wafanyakazi tisa ulikuwa ni Shilingi milioni 362,880, sawa na asilimia 4.4 ya ongezeko la thamani kwa viwanda vyote.

Kama kawaida, sekta ndogo ya utengenezaji bidhaa viwandani iliongoza kwa kuwa na mchango mkubwa zaidi wa Shilingi milioni 4,907,991, sawa na asilimia 59.7 ya jumla ya ongezeko la thamani viwandani. Viwanda vikubwa vilichangia Shilingi milioni 4,552,716 sawa na asilimia 92.8 ya sekta hii ndogo.

Sekta ndogo iliyofuatia kwa mchango mkubwa ilikuwa ya uchimbaji madini na mawe iliyochangia Shilingi milioni 2,920,392, sawa na asilimia 35.5 ya ongezeko la thamani viwandani; ikifuatiwa na uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilishaji hali ya hewa iliyochangia Shilingi milioni 311,730, sawa na asilimia 3.8 ya ongezeko la thamani viwandani. Sekta ndogo ya kukusanya, kutibu na kusambaza maji ilikuwa na mchango mdogo kuliko mingine, kwa kuchangia Shilingi milioni 80,447 sawa na asilimia 1.0 ya ongezeko la thamani yote viwandani.

Jedwali Na. 10: Ongezeko la Thamani kwa Sekta Ndogo za Viwanda na ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Sekta NdogoViwanda Vyenye

Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja

Hadi Wafanyakazi Tisa Jumla

Uchimbaji Madini na Mawe 2,915,516 4,876 2,920,392

Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani 4,552,716 355,275 4,907,991

Uzalishaji na usambazaji wa Umeme, Gesi, Mvuke na kubadilisha hali(joto/baridi) 310,910 820 311,730

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 78,538 1,909 80,447

Jumla 7,857,680 362,880 8,220,560

5.2 Ongezeko la Thamani Katika Shughuli za ViwandaOngezeko la thamani lilitofautiana kati ya shughuli moja hadi nyingine. Kwa viwanda vikubwa vilivyokuwa na wafanyakazi kumi au zaidi, shughuli za uchimbaji wa metali ghafi ziliongoza kwa kuwa na ongezeko la thamani la Shilingi milioni 2,796,275 (asilimia 35.6); ikifuatiwa na utengenezaji wa bidhaa za chakula kwa ongezeko la thamani la Shilingi milioni 1,760,221 (asilimia 22.4). Utengenezaji wa vinywaji ongezeko lilikuwa Shilingi milioni 1,019,260 (asilimia 13.0); na utengenezaji wa bidhaa za tumbaku ongezeko lilikuwa Shilingi milioni 409,867 (asilimia 5.2). Viwanda vingine vilichangia jumla ya Shilingi milioni 1,872,057 sawa na asilimia 23.8 ya ongezeko la thamani yote viwandani.

Page 25: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

17

Jedwali Na. 11: Ongezeko la Thamani kwa Shughuli za Viwanda na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Shughuli ya Kiwanda

Viwanda Vyenye

Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi

Wafanyakazi Tisa

Jumla

Uchimbaji wa Makaa ya mawe magumu na mepesi 393 0 393

Uchimbaji wa metali ghafi 2,796,275 1,006 2,797,281

Uchimbaji wa madini mengine na mawe 118,848 3,870 122,718

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 1,760,221 148,297 1,908,518

Utengenezaji wa vinywaji 1,019,260 1,051 1,020,311

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 409,867 71 409,938

Utengenezaji wa nguo 163,733 3,749 167,482

Utengenezaji wa mavazi 10,050 54,189 64,239

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 13,965 1,439 15,404

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia

67,907 18,865 86,772

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 16,319 101 16,420

Upigaji chapa na uandaaji wa media zilizonakiliwa 69,475 3,490 72,965

Utengenezaji wa makaa ya mawe na bidhaa za mafuta ya petroli iliyosafishwa

15,060 0 15,060

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 171,859 959 172,818

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea

19,580 13 19,593

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 186,043 591 186,634

Utengenezaji wa bidhaa zingine za madini zisizo za metali 306,985 25,133 332,118

Utengenezaji wa metali za msingi 32,589 61 32,650

Utengenezaji wa bidhaa za metali, isipokuwa mitambo na vifaa 36,204 36,360 72,564

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 30,967 29 30,996

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 22,315 2,571 24,886

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 4,248 2,173 6,421

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 16,222 690 16,912

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 13,883 265 14,148

Utengenezaji wa samani 107,416 52,568 159,984

Utengenezaji mwingine wa bidhaa za viwandani 26,683 2,191 28,874

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 31,864 421 32,285

Uzalishaji na usambazaji wa umeme, gesi, mvuke na kubadilisha hali (joto/baridi)

310,910 820 311,730

Kukusanya, kutibu na kusambaza maji 75,844 1,803 77,647

Ukusanyaji taka, shughuli za kutibu na kutupa taka; urejeshaji nyenzo

2,694 106 2,800

Jumla 7,857,679 362,882 8,220,561

Page 26: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

18

Jedwali Na. 12: Ongezeko la Thamani kwa Sekta Ndogo ya Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Shughuli ya KiwandaViwanda vyenye wafanyakazi kumi au zaidi

Pato Ghafi Gharama za Uzalishaji

Ongezeko la Thamani

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 3,953,075 2,192,855 1,760,220

Utengenezaji wa vinywaji 1,743,089 723,829 1,019,260

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 655,603 245,736 409,867

Utengenezaji wa nguo 404,590 240,857 163,733

Utengenezaji wa mavazi 24,619 14,570 10,049

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 55,042 41,077 13,965

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia

124,421 56,514 67,907

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 96,703 80,384 16,319

Upigaji chapa na uandaaji wa media zilizonakiliwa 177,532 108,057 69,475

Utengenezaji wa makaa ya mawe na bidhaa za mafuta ya petroli iliyosafishwa 70,052 54,992 15,060

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 554,111 382,252 171,859

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea 60,170 40,590 19,580

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 631,542 445,498 186,044

Utengenezaji wa bidhaa zingine za madini zisizo za metali 759,228 452,242 306,986

Utengenezaji wa metali za msingi 170,807 138,218 32,589

Utengenezaji wa bidhaa za metali, isipokuwa mitambo na vifaa 115,917 79,713 36,204

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 36,456 5,488 30,968

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 102,967 80,652 22,315

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 10,393 6,145 4,248

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 38,856 22,634 16,222

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 60,480 46,597 13,883

Utengenezaji wa samani 369,046 261,629 107,417

Utengenezaji mwingine wa bidhaa za viwandani 70,301 43,618 26,683

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 34,946 3,081 31,865

Jumla 10,319,946 5,767,228 4,552,718

Jedwali Na. 13: Mgawanyo wa Ongezeko la Thamani Katika Viwanda vya Utengenezaji Bidhaa Viwandani kwa Makundi ya Wafanyakazi, Tanzania Bara, CIP 2013

Kundi la Wafanyakazi Shilingi Milioni Asilimia1-9 355,275 7.2

10 -19 152,800 3.1

20 - 49 182,357 3.7

50 – 99 336,860 6.9

100 - 499 1,758,339 35.8

500+ 2,122,361 43.2

Jumla 4,907,992 100.0

Page 27: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

19

Jedwali Na. 14: Ongezeko la Thamani katika Secta Ndogo ya Utengenezaji wa Bidhaa Viwandani, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Shughuli ya Kiwanda

Viwanda vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi Wafanyakazi Tisa

Pato Ghafi Gharama za Uzalishaji

Ongezeko la Thamani

Utengenezaji wa bidhaa za chakula 278,054 129,757 148,297

Utengenezaji wa vinywaji 1,822 771 1,051

Utengenezaji wa bidhaa za tumbaku 104 33 71

Utengenezaji wa nguo 6,084 2,335 3,749

Utengenezaji wa mavazi 76,725 22,536 54,189

Utengenezaji wa ngozi na bidhaa zinazohusiana 2,425 986 1,439

Utengenezaji wa mbao na bidhaa zitokanazo na mbao, fomaika, isipokuwa samani; utengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mabua na malighafi za kusukia

31,142 12,277 18,865

Utengenezaji wa karatasi na bidhaa za karatasi 185 84 101

Upigaji chapa na Uandaaji wa media zilizonakiliwa 6,808 3,318 3,490

Utengenezaji kemikali na bidhaa za kemikali 1,670 711 959

Utengenezaji wa madawa ya binadamu, kemikali za kutibia na bidhaa za mimea 23 10 13

Utengenezaji wa bidhaa za mpira na plastiki 1,180 590 590

Utengenezaji wa bidhaa zingine za madini zisizo za metali 48,697 23,563 25,134

Utengenezaji wa metali za msingi 109 48 61

Utengenezaji wa bidhaa za metali, isipokuwa mitambo na vifaa 63,530 27,171 36,359

Utengenezaji wa kompyuta, vifaa vya kielektroniki na uoni 97 68 29

Utengenezaji wa vifaa vya umeme 4,008 1,438 2,570

Utengenezaji wa mashine/mitambo na vifaa ambavyo havijatajwa 3,653 1,480 2,173

Utengenezaji wa magari na matela ya malori 1,246 557 689

Utengenezaji wa vyombo vingine vya usafiri 586 321 265

Utengenezaji wa samani 83,571 31,004 52,567

Utengenezaji mwingine wa bidhaa za viwandani 4,493 2,301 2,192

Ukarabati na ufungaji wa mitambo na vifaa 639 217 422

Jumla 616,851 261,576 355,275

5.3 Ongezeko la Thamani Ki-MkoaMkoa wa Dar es Salaam ulichangia kiasi kikubwa zaidi ya mikoa mingine Shilingi milioni 2,268,952 (asilimia 27.6) ikifuatiwa na Morogoro Shilingi milioni 1,038,188 (asilimia 12.6); Mara Shilingi milioni 1,029,078 (asilimia 12.5); Shinyanga Shilingi milioni 896,788 (asilimia 10.9); na Geita Shilingi milioni 837,068 (asilimia 10.2). Mikoa hii mitano ilichangia jumla ya Shilingi milioni 6,070,074 (asilimia 73.8) ya ongezeko la thamani viwandani. Mikoa 20 iliyobaki ilichangia jumla ya Shilingi milioni 2,150,488 sawa na asilimia 26.2 ya ongezeko la thamani yote viwandani.

Page 28: SENSA YA UZALISHAJI VIWANDANI TANZANIA BARA 2013 · wa maji taka, uthibiti wa taka na shughuli za kutibu maji 227 (asilimia 0.5); na ya mwisho ilikuwa uzalishaji na usambazaji wa

20

Jedwali Na. 15: Ongezeko la Thamani kwa Mkoa na Ukubwa wa Ajira, Tanzania Bara, CIP 2013

(Shilingi Milioni)

Mkoa Viwanda Vyenye Wafanyakazi Kumi au Zaidi

Viwanda Vyenye Mfanyakazi Mmoja Hadi Wafanyakazi Tisa Jumla

Dodoma 21,399 16,289 37,688

Arusha 354,046 19,042 373,088

Kilimanjaro 238,685 10,198 248,883

Tanga 264,782 12,056 276,838

Morogoro 1,008,892 29,296 1,038,188

Pwani 22,775 10,135 32,910

Dar es Salaam 2,170,810 98,142 2,268,952

Lindi 3,017 4,856 7,873

Mtwara 44,331 2,515 46,846

Ruvuma 7,456 13,799 21,255

Iringa 98,694 9,931 108,625

Mbeya 291,624 16,794 308,418

Singida 18,936 14,652 33,588

Tabora 76,607 5,756 82,363

Rukwa 54,182 4,034 58,216

Kigoma 27,799 2,709 30,508

Shinyanga 877,589 19,199 896,788

Kagera 79,391 8,456 87,847

Mwanza 269,818 14,793 284,611

Mara 1,006,535 22,543 1,029,078

Manyara 64,926 12,033 76,959

Njombe 20,707 3,897 24,604

Katavi 226 2,311 2,537

Simiyu 1,525 5,306 6,831

Geita 832,929 4,139 837,068

Jumla 7,857,681 362,881 8,220,562