220
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk SHULE YA FEDHA KWA WANAOAMINI Maneno kamili toka katika kurasa za tovuti katika mfumo wa word Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, hata tuweze kutoa kwa hiyari hivi? Kwani vitu vyote vyatoka kwako, na katika vitu nyako mwenyewe tumekutolea. (1 Mambo ya Nyakati 29:14) Kuchapisha masomo haya tafadhali tumia ukubwa wa karatasi wa barua za Kimarekani, si A4, na herufi za ukubwa wa 10 Arial font, au unaweza kubadili mfumo wa maandishi kwa staili yako mwenyewe kwa kuwa faili ina kiwango cha chini wa mpangilio wa mwonekano. Maandiko yote yametoka katika Bibilia Takatifu,toleo jipya la kimataifa © Hodder and Stoughton Nyumba zote za maombi kwaajili ya mataifa maskini mwishoni mwa kila kurasa zinalenga juu ya kushughulikia ulimwengu, ( Toleo la karne ya 21): Patrick Johnstone na Jason Mandryk. Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha kwa Paternoster. ISBN 1-85078-357-8. ©http://www.operationworld.org/ 'Nyumba za sala kwa mataifa maskini' mwishoni mwa kila kurasa ni kuhusu kushughulikia ulimwengu, (Toleo la karne ya 21 ): Patrick Johnstone na Jason Mandryk. Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha ya kwa Paternoster. ISBN 1-85078-357-8. © http://www.operationworld.org/ Likielezea sababu maalumu. Kitabu hiki kinaonyesha maoni binafsi ya mwandishi kama mkristo na kimeandikwa kwa ndugu wakristo kuhusiana na Bibilia. Kwa hiyo hakubali majukumu au mawajibisho yoyote, na hatoi makubaliano yeyote, kwa ajili ya moni yaliyo kwenye kitabu. Wote wanaotarajia kuwa na misingi inayohusu fedha juu ya maoni yeyote katika kitabu hiki hufanya hivyo kwaajili ya hasara ya maisha yao yote. Mwandishi anarudia tena kwa msomaji katika ukurasa ulionakiliwa 'Aina mbalimbali za baraka za Mungu' ambazo zinahusiana na mda, aina, dhana, na viwango vya kila thawabu kwaajili ya kupewa kitu cha thamani linachoamriwa na Mungu mwenyewe. © 2003 The DCI Trust, England

SHULE YA FEDHA kWA WANAOAMINI - The DCI Pages YA FEDHA kWA... · 2019-07-30 · Kitabu hiki kinaonyesha maoni binafsi ya mwandishi kama mkristo na kimeandikwa kwa ndugu wakristo kuhusiana

  • Upload
    others

  • View
    37

  • Download
    1

Embed Size (px)

Citation preview

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

SHULE YA FEDHA KWA WANAOAMINI

Maneno kamili toka katika kurasa za tovuti katika mfumo wa word

Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani,

hata tuweze kutoa kwa hiyari hivi?

Kwani vitu vyote vyatoka kwako,

na katika vitu nyako mwenyewe tumekutolea.

(1 Mambo ya Nyakati 29:14)

Kuchapisha masomo haya tafadhali tumia ukubwa wa karatasi wa barua za Kimarekani,

si A4, na herufi za ukubwa wa 10 Arial font, au unaweza kubadili mfumo wa maandishi

kwa staili yako mwenyewe kwa kuwa faili ina kiwango cha chini wa mpangilio wa

mwonekano.

Maandiko yote yametoka katika Bibilia Takatifu,toleo jipya la kimataifa

© Hodder and Stoughton

Nyumba zote za maombi kwaajili ya mataifa maskini mwishoni mwa kila kurasa

zinalenga juu ya kushughulikia ulimwengu, ( Toleo la karne ya 21): Patrick Johnstone

na Jason Mandryk. Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha kwa Paternoster.

ISBN 1-85078-357-8. ©http://www.operationworld.org/

'Nyumba za sala kwa mataifa maskini' mwishoni mwa kila kurasa ni kuhusu

kushughulikia ulimwengu, (Toleo la karne ya 21 ): Patrick Johnstone na Jason Mandryk.

Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha ya kwa Paternoster. ISBN

1-85078-357-8. © http://www.operationworld.org/

Likielezea sababu maalumu.

Kitabu hiki kinaonyesha maoni binafsi ya mwandishi kama mkristo na kimeandikwa

kwa ndugu wakristo kuhusiana na Bibilia. Kwa hiyo hakubali majukumu au

mawajibisho yoyote, na hatoi makubaliano yeyote, kwa ajili ya moni yaliyo kwenye

kitabu. Wote wanaotarajia kuwa na misingi inayohusu fedha juu ya maoni yeyote katika

kitabu hiki hufanya hivyo kwaajili ya hasara ya maisha yao yote. Mwandishi anarudia

tena kwa msomaji katika ukurasa ulionakiliwa 'Aina mbalimbali za baraka za Mungu'

ambazo zinahusiana na mda, aina, dhana, na viwango vya kila thawabu kwaajili ya

kupewa kitu cha thamani linachoamriwa na Mungu mwenyewe.

© 2003 The DCI Trust, England

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

http://www.worldchristians.org

Barua pepe: [email protected]

Yaliyomo

1. Mungu wa Utoshelevu katika Agano la Kale

2. Mungu wa Utoshelevu katika Maisha ya Yesu

3. Mungu wa Utoshelevu katika Agano Jipya

4. Ushawishi Kamili wa Wema wa Mungu

5. Mungu Hutoa Mahitaji, Kwa aajili ya Uhai. Siyo Tamaa.

6. Kugharimia Matendo Mema

7. Hakuna Tajiri, Hakuna Maskini

8. Shahidi Katika Dunia

9. Fedha Inaweza Kuwa Sanamu

10. Fedha Inakuja na Uwajibikaji

11. Fedha Inahitaji Hekima

12. Fedha – Mpotoshaji wa Roho zetu

13. Uwakili

14. Baraka Zina Masharti Katika Uwakili Wetu

15. Kutoa Ni Fursa ya Uwakili

16. Aina nyingi ya Baraka za Mungu

17. Zaka

18. Maswali Kutoka kwa Wasiotoa Zaka

19. Maswali kwa Wasiotoa zaka

20. Zaka Kwa Kila kitu

21. Zaka ni Mali Takatifu Ya Mungui

22. Sadaka

23. Zaka na Matoleo

24. Sadaka Hushindaniwa

25. Kazi ya Kimishenari

26. Masikini

27. Makanisa/ Wahudumu

28. Waumini Wenzetu

29. Maadaui

30. Fedha ni kigezo cha Mungu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

31. Wapenzi ni watoaji

32. Kutoa Fedha Kunaleta Furaha.

33. Faida za Kidunia za Utoaji

34. Faida za Mbinguni za Utoaji

35. Gharama Za Kutokutoa

36. Nia Njema ya Kutoa

37. Nia Isiyo Sahihi ya Kutoa

38. Njia za Baraka

39. Vizuizi vya Baraka

40. Ahadi ya Fedha na Neno la Mungu

41.Kupanda Mbegu za Kiroho na za kifedha

42. Sheria za Mavuno

43. Kuzuia Mfumo wa Maisha ya Tamaa

44. Tamaa Inaleta Hukumu ya Mungu

45. Kuwa na Mfumo wa Maisha Rahisi

46. Utoaji katika Akaunti za Benki za Dunia

47. Utoaji katika Akaunti ya Benki za Mbinguni

48. Wakati wa Kutoa ni Sasa

49. Utoaji kwa Mara ya Kwanza

50. Utoaji Licha ya Hali

51. Utoaji licha ya Kuchoka Kutoa

52. Shetani Hutumia Fedha

53. Udhalimu hutuanika

54. Haki Hutukinga

55. Kipawa Cha Utoaji

56. Utoaji na Vipawa vingine vya Kiroho

57. Chochea Karama yako

58. Utume Mkuu - Ahadi ya Agano la Kale

59. Utume Mkuu – Amri ya Agano jipyai

60. Utume Mkuu – Kazi Kuu ya Mungu

61. Utume Mkuu - Tambua Sehemu yako

62. Kuhudumu Kama Mtumwa

63. Kuongeza Kasi au Kupunguza kasi ya Kurudi kwa Yesu

64. Wakati Wa Mwisho Wa Kurejeshwa Kwa Mali

65. Mwaliko binafsi

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Shukrani.

1. Mungu wa Utoshelevu Katika Agano la Kale

Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Mwanzo 12:1-3

Kumbuka Msitari Huu: Yohana 10:10 ‘Mwivi haji ila aibe, na kuchinja na kuharibu,

mimi nalikuja ili wawe na uzima kisha wawe nao tele'

Baada ya Hapo Zungumzia hili: Unafikiri Mungu anamaanisha nini anaposema katika

Malaki 3; 10-12 kwamba atafungua madirisha ya mbinguni.

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Ukiona somo hili linakufurahisha,

kwa hiyo kabla ya wakati mwingine ujao jitahidi ulete mtu mwingine pamoja nawe

wote muendelee na somo hili.

Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika ukrasa mmoja ukielezea baraka walizo ahidiwa

watu wa Mungu kwaajili ya utii unaopatikana katika Kumbukumbu la torati 28.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Yeremia 29: 11

Katika kurasa hizi tatu, kipanoramia, maoni ya kihistroria yatachukuliwa na kuhusishwa

na mpango wa Mungu na watu toka zamani za Adamu hadi majumuisho ya kitabu cha

ufunuo. Tukiendelea katika zama tunaweza kupata uhalisia na usahihi kama, Mungu ni

Mungu wa utoshelevu na mafanikio na hasa ni shauku yake kuona watu wake wanaingia

katika upaji na shauku yake kwao.

Kuingia kwa maneno ya Mungu kunaleta mwanga (Zaburi 119:130) Tunapo yatazama

maandiko toka Mwanzo hadi Ufunuo, nuru halisi ya neno la Mungu hutufunulia utele

wake, Upaji wake, na mapenzi yake na uwezo wake kuhakikisha watu wake wanaingia

ndani yake.

Mwanzoni tunaona kwamba dunia iliumbwa na kujazwa wanyama, mimea, ndege na

miti na katika Mwanzo 1:27-31 tunaona kwamba Adam alipewa mamlaka kutawala na

kumiliki urithi huu mkubwa na uliosheheni.

Ni muhimu kukumbuka kwamba dunia iliumbwa kwa ajili ya furaha ya Mungu na watu

wake – hakika haikuwekwa pale kwa ajili ya shetani na wafuasi wake. Kuanguka kwa

mwanadamu kumeshuhudia kuingia kwa shetani na nia yake ilikuwa kuiba, kuua na

kuharibu urithi ulikuwa wa kitajiri sasa umevamiwa na miba na magugu (Mwanzo:3:17-

18). Vita hii ambayo ilianza kitambo bado inapiganwa sasa. Yesu alitoa mfano aliposema

alikuja kutupa uhai, afya, utajiri na zaidi mambo mema, lakini shetani huja na kuiba

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

urithi wetu (Yohana 10:10)

Mungu amejidhihirisha kwa Abraham kama Mungu wa ahadi, alimpa hadi saba – zote

zikizingatia utashi wake kumbariki Abraham, na kwa kupitia kwake kuubariki

ulimwengu wote (Mwanzo 12:1-3) – ingelionekana kwamba katika Abraham Mungu

aliona mtu wa kutimiza lengo alilokuwa nalo mwanzo. Hivyo utashi wa Mungu mkuu

kumbariki (na hatimaye Ulimwengu) kwamba alithibitisha ahadi yake kwake kwa mara

nyingine (Mwanzo 15:1:17:3-6:18:17-18:22:17) na kabla ya kifo chake ilizungumzwa

kuhusu yeye kwamba “Na Bwana alikuwa amembarikia katika vitu vyote.” (Mwanzo

24:1).

Tukihamia katika nyakati za Musa tunaona watu wa Mungu (na uzao wa Abraham)

kuingia katika mpango, na ndoto ambayo Mungu alimuonesha Abraham (Kutoka 1:7) –

hata wakati wakiwa mateka. Kama ambavyo Adam alivyopewa urithi tajiri uliosheheni –

Musa alipewa lengo hilo hilo la nchi kubwa iliyosheheni (Kutoka 3:8), kama pia

Abraham alivyopewa (Mwanzo 12:6-7). Waisraeli hawataondoka katika umateka kama

mafukara watateka nyara za wamisri (Mwanzo 3:21-22 12:36) ili ahadi ya Mungu kwa

Abraham iwe ya kweli (Mwanzo 15:14)

Katika nyakati ambazo zilitumika kujiandaa kuingia nchi ya ahadi na Waisraeri

wakalazimika kutangatanga katika jangwa sawa na muda walioishi Misri, hata katika

hali isiyo ya ukamilifu wa mapenzi ya Mungu, neema na rehema za Mungu zingalipo

kwa ajili ya watu wake. watu wa Mungu wanashuhudia miujiza inayoendela, ya kuona

chakula kikishuka toka mbinguni, nguo zao hazikuchakaa licha ya kuzunguka kote,

viatu vyao havikuchakaa pia (kumbukumbu la torati8:4 & 29:5). sawasawa na urithi

ambao ulipaswa kuwa wao uliobakizwa kuwa katika uangalizi wao ili wajiweke katika

ujazo wa upaji wa Mungu: (Kumbu kumbu la Torati 5:33:6:10:8:10 & Joshua 1:8).

Katika Kumbu kumbu la Torati 28 tunaona kauli ya wazi kwamba umasikini ni laana na

utoshelevu ni mapenzi ya Mungu kwa watu wake – somo hili halioneshi kwa uwazi

mpango wa Mungu kwa ajili ya watu wake?

Slemani anaweza kuonekana kama mtu pekee tajiri na sababu ni Mungu ndiye aliyempa

utajiri. Katika Wafalme 3:10-14 Sulemani aliomba hekima, lakini kama baadae

anavyojidhihirisha kwetu katika Mithali 3:16 (kumbuka kwamba aliandika maandiko

hayo!), yeyote anayehitaji hekima pia atapata utajiri na heshima ona mwenyewe

matokeo katika wafalme 1: 10:14-29. Unapozungumzia hekima, nini kinachoonyeshwa

katika kitabu cha hekima cha Ayubu, Zaburi, Mithali na Muhubiri? Naam, licha ya

majaribu na magumu yote, Ayubu 42:10-16 inaonesha kwamba neno la mwisho la

Mungu juu ya yote yaliyotokea kuwa Ayubu alipaswa kuufahamu utajiri kwa mara

nyingine, na hata katika kiwango kinachoongezeka. Kwa vitabu vingine vya hekima

vinajielezea vyenyewe:

Zaburi 25:13 ‘Nafsi yake itakaa katika hali ya kufanikiwa ,wazao wake watairithi inchi.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Zaburi 35:27 ‘Washangie na kufurahi wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme

daima Bwana apendezwaye na mafanikio ya mtumishi wake.”

Zaburi 128:2 ‘Taabu ya mikono yako hakika utaila utakuwa heri na kwako kwema.'

Mithali 10:22 ‘Baraka ya Bwana hutajirisha wala hachanganyi huzuni nayo.’

Mithali 13:21 ‘Uovu huwaandamia wenye dhambi bali mwenye haki atalipwa mema.’

Muhubili 2:26' ' Kwa sababu Mungu humpa yeye anayemridhia hekima na maarifa na

furaha, bali mkosaji humpa taabu ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye

Mungu amridhia.'

Hata katika umateka wa Babiloni, Bwana aliinua nabii tena ili kutimiza mipango yake

mema na shauku yake kwao. Mara nyingi watu husoma yeremia 29:11 kuonyesha

wema wa Mungu, ambao ni kweli kabiasa lakini ni zaidi ya kweli na halisi kama

ilivyoongelewa katika utumwa, watu waasi 'Kwa maana najua mawazo niliyo nayo juu

yenu asema Bwana ni mawazo ya mema si ya mabaya kuwapa tumaini siku zenu za

mwisho'. Hatimaye baada ya umateka wa Babiloni, mwishoni mwa kurasa za kitabu cha

Agano la kale tunaona Mungu akiwashawishi watu wake kushirikiana naye ili aweze

kufungua malango ya mbinguni na kumwaga baraka nyingi kiasi kwamba watu wake wa

wafunikwe nazo (Malaki 3:10-12).

kwa hiyo kutoka kurasa zilizopita za kitabu cha Agano la kale hadi kurasa za mwisho za

kitabu cha mwisho, kutoka Adeni, Misri, jangwani, Kanaani mpaka Babiloni, tunaona

Mungu akishawishi na kukumbusha watu wake ju ya utosherevu na mafanikio.

Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa Masikini

Omba kwa ajili ya Afghanistani

watu 22,720,000, asilimia 98 waisilam

Taliban imeweka mfumo mgumu wa uislam ulimwenguni

lakini wakati ni sasa kwa ajili ya injili © www.operationworld.org

2. Mungu wa Utosherevu katika Maisha ya Yesu

Katika Biblia Yako Somo Haya Kwa Sauti: Luka 4:14-21

Kumbuka Mstari Huu: Yohana 2:5 ‘Mamaye akawaambia watumishi, “Lolote

atakalowaambia fanyeni.“

Baadae Zungumzia Hili: Nini unafikiri ni mfumo wa maisha unaokubalika kwa mtu

anayeamini katika utamaduni wako, ambao utakufanya uwe na ziada kwa ajili ya

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuwapa wengine?

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Inawezekana usiweze kulisha watu

5,000 lakini ukamudu kuipatia mlo wa kawaida familia masikini ambayo hujawahi kula

nao. Waalike nyumbani kwako, katika chumba au kanisa au wapelekee na kula pamoja

nao.

Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika kurasa moja ukiorodhesha matukio mengi

tofauti uwezavyo, wakati gani Yesu alitoa kitu kwa ajili ya wenye mahitaji.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Luka 19:26

Tukihamia katika kitabu cha Mathayo, tunaweza kuthibitisha kauli kwamba Mungu

habadiliki – hususani katika suala la fedha, kutokana na maandiko katika Agano Jipya

ambayo yanatuongoza katika hitimisho hilo. Kimsingi, tunaweza kuona Bwana ambaye

habadiliki waziwazi ambaye anakuja ulimwenguni kama Yesu – maisha yake na huduma

yake, inaonesha ambavyo wale wote waliomtii walivyopokea kutoka kwake, na mara

nyingi upaji ulikuwa waasili ya ya ajabu.

Katika Luka 4:16, Yesu anajiandaa kuanza huduma yake na kuingia katika Sinagogi na

kuhusisha sehemu ya Agano la Kale na yeye, na nini huduma yake atweza kufanikisha,

‘Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini

habari njema'.

Hatimaye, ingelionekana kuwa jambo la kwanza Yesu alilolizungumzia ni kuhusu utume

wake na kazi yake kama Masihi, ni kwa kutaka kugusa mahitaji ya masikini. Baada ya

hapo wafuasi wa Yohana Mbatizaji walikuja na kumuuliza Yesu kama yeye ndiye Masihi

na Yesu aliwathibitishia kwamba ndiye, hatahivyo hakuthibitisha moja kwa moja lakini

kama ushahidi kwamba ndiye Masihi alianza kwa kusema yale ambayo tayari

ameyafanikisha.. Katika Mathayo 11:5 moja ya ishara ambazo Yesu aliziorodhesha kwa

wafuasi wa Yohana Mbatizaji, kuonesha kwamba yeye ni Masihi ni, ‘Habari njema

alizozihubiri kwa masikini’.

Nje ya huduma yake, ishara ya kwanza ya kimuujiza ilikuwa ya kubadili maji kuwa

mvinyo katika harusi ya Kana (Yohana 2:11) – upaji na utoshelevu huu ulionyesha

utukufu wake na kuwafanya wanafunzi wake kumwamini – ingelionekana kwamba

wanafunzi wake walijua kwamba yeye ndiye Masihi, angekuwa na sifa ya upaji na

utajiriri. Sivyo ilivyo kwa sasa kwamba wanaume na wanawake kumwamini Yesu halisi

kwa mazuri na upaji – lakini mara nyingi akionekana kama fukara ambaye anahitaiji

wafuasi wake kuwa masikini pia? Huenda ikawa ni taswira isiyo ya kweli kwamba kuwa

mkristo inabidi uwe masikini hivyo kusababisha watu kushindwa kuja kwa Yesu na

kuishi maisha yao kumfuata yeye.

Ingelioneka kwamba nia hii ilitumiwa sana na Yesu – kwanza alionesha uzuri na utayari

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

wake kwa watu hii huwaongoza watu kutambua utukufu wake na ukuu na matokeo

yake kutokujizuia kumfuata yeye - Luka 5:1-11 inaonesha namna hii haswa kutumiwa

tena na Yesu. Baada ya uchovu wa usiku wanafunzi wenye uchovu wanasikia sauti ya

Bwana wao na upaji wa Yesu, inaonekana katika kuchanika kwa nyavu wakati wa kuvua

samaki (Luka 5:7). Matokeo yake, Simoni Petro (na Yakobo na Yohana), wanapata

ufunuo wa ukuu na utukufu wake (Luka 5:8-10) na hatimaye ule uliokuwa ndio ufahamu

wao unageuka kwa kujitoa na kujitolea kwa Yesu. Katika yote kubadilika kwa maji

kuwa mvinyo na kuvua samaki, Yesu anawavuta watu kumwamini kwa kuonesha utayari

na uwezo wake wa kutoa kwa wingi kwa ajili yao.

Hakika, kama ambavyo Yesu alivyotumia njia hii katika utumishi wake kwa ajili ya

kuonesha undani wake kwa wanafunzi wake na kuwavuta wao kwake karibu na

utumishi wake duniani, anafanya hivyo tena kutia nguvu, kutia moyo na kuthibitisha

imani ya wanafunzi wake. Baada ya kufufuka toka katika wafu (na miaka mitatu ya

kutembea na Yesu), imani ya wanafunzi inadhoofika na kurudi katika mienendo yao ya

awali ya maisha ya uvuvi (Yohana 21:1-30). Neno la Bwana linasema na kukubaliwa na

Yohana 21:6 anaonyesha Yesu anavyodhihirisha wema wake kwa wanafunzi wake

Yohana 21:7 inaonyesha kuwa tendo hili la utoaji linamaanisha kwamba wanafunzi

ambao awali hawakutambua kwamba ni Yesu, walitambua kuwa ndiye Bwana katika

utukufu wake. Mwishowe, hatua hizi mbili zina matokeo yanayofanana kama awali –

wanafunzi sasa hawawezi kujitoa isipokuwa kumfuata yeye, kwa kuvutiwa na wema

wake kwao.

Kati ya miujiza yote, mmoja ambao umeandikwa katika injili zote nne ni muujiza wa

kulisha watu 5000. Tena kanuni inathibitisha kwamba wote waliomfuata Yesu

walihudumiwa na Yesu, na tunaona katika Mathayo 14:21 kwamba pamoja na kuwa na

wanaume 5000, pia kulikuwa na wanawake na watoto ambao jumla ya waliopata

chakula kuwa zaidi ya watu 10,000. Hali hii inahusika pia na watu 4,000 walipatiwa

chakula 4000 Mathayo 15:38 inaonyesha kuwa kulikuwa na wanaume 4000 lakini pia

kulikuwa na wanawake na watoto hivyo ni sawa na kupendekeza mara mbili ya idadi

hiyo kupatiwa chakula.

Upaji wa Yesu kwa wote waliomfuata inaonekana hata katika tukio ambalo Petro

alielekezwa kuwa atapata fedha ya kulipa kodi katika mdomo wa samaki (Mathayo

17:27) hata hali ya kushangaza na mazingira ya yasiyotarajiwa, uwezo wa Mungu kutoa

kwa ajili yake hata hivyo hauwezi kufananishwa.

Mwisho, wakati tukiangalia katika maisha ya Yesu tuonaona wazi maisha yake kwa

mtazamo wa fedha kuwa aliwakirimu wanafunzi wake, na hata alikuwa na mfuko wa

fedha na hazina, ulioitwa Yuda Iskariote. Hakika, Yohana 12:29 inaonyesha kwamba

wakati Yuda anaenda kumsaliti Yesu, baadhi ya wanafunzi walifikiri kuwa alienda

kuwasaidia masikini – ilionekana kuwa ilikuwa ni kawaida Yesu kumtuma Yuda

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuwasaidia masikini.

Zaidi ya hayo imekadiriwa kuwa takribani nusu ya mifano ambayo Yesu alifundisha ni

kuhusu fedha – ilionekana kuwa fedha ni eneo muhimu ambalo Mwana wa Mungu

alizungumzia kwa mapana. Hususani mfano wa Talanta (Mathayo 25:14-30) na mfano

wa wakili asiyemwaminifu (Luka 19:12-27) kutoa masomo ya kituo kama tabia ya Yesu

juu ya utajiri, utafutaji utajiri na umasikini. Katika mifano yote miwili, ni mtu ambae

alikuwa safi na mwanafunzi mwenye akili juu ya fedha na ambaye amejitahidi kutumia

fedha kwa busara ambazo alikabidhiwa na kutukuzwa na kuthibitishwa na Bwana wake.

Tofauti na hayo, mtu ambaye hakufanya jitihada kuzalisha mara dufu fedha ambazo

alikabidhiwa na kujitajirisha mwenyewe badala ya Bwana wake, katika mifano yote

alipata kukaripiwa sana. Ni wazi kwamba Yesu anatarajia kuwa tutakuwa mahiri katika

kuzalisha fedha ambazo ametukabidhi ili tupate zaidi kwa ajili ya kuwekeza katika

Ufalme wake. Hivyo mwishowe hatuwezi kustarehe katika mema ya Yesu na kusema,

kama anaweza kutoa fedha katika mdomo wa samaki kulipa kodi kwa wapangani, kiasi

gani zaidi anaweza kutoa fedha kuona kwamba tumebarikiwa katika aina ya maisha

yanayokubaliwa na kuwa na ziada kwa ajili ya kutoa kuona wanaume na wanawake

wanaokolewa toka jehanamu?

Nyumba ya maombi kwaajili ya mataifa maskini,

Tuoobee Albania

3,113,434 Ya watu, ni Wakristo wachache kati ya waislamu.

Wanaathiriwa na Ukommunism, Unthesm na wala rushwa.

Kanisa ni changa lakini linakua. © www.operationworld.org

3. Mungu wa Utoshelavu Wakati wa Agano Jipya

Katika Biblia Yako Soma Haya Kwa Sauti: 2 Wakorinto 8:9

Kumbuka Mstari Huu: 3 Yohana 2 ‘Naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na

afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.'

Baada ya Hapo Zungumza Kuhusu Hili: kwa namna gani Yesu alikuwa masikini, na

ni namna gani atatufanya kuwa matajiri

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Andika mambo katika maisha yako

ambayo unataka kuuona Baraka za Mungu na uziombee.

Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika kurasa moja ya majadiliano yote toka katika

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Agano Jipya kwamba Mungu apenda uwe masikini. (Usihofu kama hutaweza kujaza

kurasa nzima!)

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Wafilipi 4:19

Tukihamia katika kitabu cha Matendo ya Mitume, tunaona jamii ya mfano wa

wanaoamini ambao Mungu angependa watu wake wote waishi hivyo – badala ya Yesu

kutatua mahitaji ya masikini mwenyewe, waamini wenyewe ndio sasa wanakuwa

mikono na miguu ya Yesu katika kutimiza mahitaji hayo. Katika maandiko mawili

yafuatayo tunaweza kuona ujasiri wa jamii ya watu waliojitoa kabisa kwa ajili ya

kumpenda Bwana Yesu – kwamba hakuna mtu masikini au mahitaji aliyekuwa miongoni

mwao.

Matendo ya Mitume 2:45”Waaminio wote walikuwa pamoja walikuwa na vitu vyote

katika shirika, wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu

wote kama kila mtu alivyokuwa na haja,'

Matendo ya Mitume 4:34, ' Wala hakukuwa na mtu miongoni mwao mwenye mahitaji,

kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza wakaleta thamani ya

vitu vile walivyo viuza wakaiweka miguuni mwa Mitume kila mtu akagawiwa kwa

kadri ya alivyo hitaji.'

Utiii wa sauti ya Roho Mtakatifu unaweza kuonekana tena katika Matendo ya Mitume

11:29 ambapo mara baada ya hitaji kutambuliwa, wanafunzi kwa pamoja walitoa kwa

ajili ya hitaji hilo la fedha – kila mmoja kulingana na uwezo wake (Kama makanisa

pekee ya magharibi yalivyo leo wanaposikia juu ya wakristo wengine walio katika hitaji

kubwa katika sehemu nyingine za dunia).

Rejea ya mwisho kuhusu fedha katika kitabu cha Matendo ya Mitume ni maandiko

maalum, ambayo yameweka kumbukumbu ya maneno pekee ambayo hayajaandikwa

katika injili - Matendo ya Mitume 20:35 inasema, ‘Ni heri kutoa kuliko kupokea.' maana

katika neno hili ni kwamba Yesu yule yule ambae anapenda wafuasi wake waondoke

toka kuwa wapokeaji kuwa watoaji atawapa nguvu na kuwapa neema na uwezo wa

kufanya hayo.

Kuendelea toka Matendo ya Mitume kwenda utume, mtume Paulo anatoa mtazamo

muhimu wa Kiapo kipya kuhusu fedha na mwongozo ambao wafuasi wa Yesu

wanapaswa kuutumia kuhusu fedha. Katika Warumi sura ya 12 tunaona pia kutoa

zawadi hizi kama utabiri, mafundisho na uongozi kwa kanisa, Mwokozi

alivyonyakuliwa ametoa vipawa katika kanisa ambavyo vinapaswa kufundishwa,

kuhubiriwa, kuamshwa na kutumiwa kama zawadi nyingine za kiroho ambazo

zimetolewa kwa kanisa. Katika Warumi 10:32 Paulo anaendelea kutoa hoja kwamba

kama Mungu alimtoa Yesu, hataweza kutupatia kila kitu – je haina maana kutoa wazo la

kwamba fedha ni sehemu ya “vitu vingine vyote” ambavyo Mungu atatupatia? Hakika,

kama Mungu alikuwa tayari kutoa sadaka ya hali ya juu ya Mwana wake kwa ajili yetu,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kwa kiwango gani atakuwa tayari kututajirisha ili tushirikiane nae katika kutekeleza

mpango wake duniani.

Tukiendelea katika kitabu cha Wakorinto 2 sura 8-9 tuonaona fedha inavyotumika

kwamba ilitolewa kila mahali katika Biblia – licha ya majaribio ya watu wengi ya

kuyarahisisha kiroho maneno kuhusu maana ya Paulo yanayosema – Ufunuo wote ni juu

ya mali na utajiri – si utajiri wa kiroho, (ingawa katika kitabu cha Waefeso Paulo

anashughulikia mambo haya). Maandiko hapo chini yanahusisha kwetu kwa uwazi

utashi mkuu wa Mungu kuleta utajiri kwa watu wake – kwamba wanaweza kushiriki na

wengine walichonacho.

2 Wakorinto:8:9 Maana, mumejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa

maskini kwaajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa

umaskini wake.'

2 Wakorinto:9:8 Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa mingi, ili ninyi, mkiwa na

riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema;'

2 Wakorinto:9:11 'Mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote,

umpatioao Mungu shukrani kwa kazi yenu.'

Kuna majadiliano makubwa matatu juu ya fedha katika barua za Paulo, yote kati ya

hayo yanatoa mahitimisho yanayofanana kwamba moyo wa Mungu ni juu ya

kuwatajirisha watu. Wagalatia 6:6-10 itatupeleka katika utoaji wa fedha katika maeneo

ambayo yanatujaza kiroho na ahadi ni kwamba kama tutavumilia katika utoaji wetu na

upandaji kumpendezesha Roho Mtakatifu tutapata mavuno katika wakati mwafaka.

Katika Wafilipi 4:10-20, Paulo anashauri kanisa la Ufilipino kwa ajili ya ubia wao wa

kifedha pamoja nae katika injili. Kama matokeo ya uadilifu wao katika uwekezaji fedha,

Paulo anawatia moyo kwamba, 'Mungu wangu atawapatia mahitaji yenu yote kulingana

na utakufu wa utajiri wake katika Kristo Yesu'.

Baada ya maonyo makali kwa Timotheo katika 1 Timotheo 6 juu ya hatari ya fedha,

Paulo anamtia moyo kuwaamuru watu matajiri kutokuangalia katika utajiri wao lakini

‘kuweka matumaini katika Mungu, ambaye atatupa kwa wingi vitu vingi kwa ajiri ya

furaha yetu’

Tukihamia mwisho wa Biblia tunaona maombi mazuri na yenye utimilifu yaliyoandikwa

na Yohana, Utume katika upendo katika 3 Yohana 2 kwamba tunaweza kufurahia afya

nzuri, mafanikio na utajiri katika mambo yote ya maisha yetu. Sababu Roho Mtakatifu

hupenda Biblia, atakuwa alipenda maombi haya, ambayo yako katika utashi wa Mungu

(Warumi 8:27) – hivyo tunaweza kwa ujasiri kusema kwamba utashi wa Mungu ni

kututajirisha katika mambo yote ya maishani mwetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mwisho, mtazamo wetu katika maisha ya nyuma katika Biblia tunakuja kitabu cha

mwisho cha Biblia ambacho kinaelezea urithi ambao Mungu ameuandaa kwa ajili ya

wale watakaomfuata yeye. Ufunuo 21:15-21 inatuonesha utajiri ambao Mungu

mwenyewe anaufurahia na anaopendezwa kushirikiana na watu wake – hakika, kama

amabavyo tumeona katika Mwanzo hadi Ufunuo, hatuhitaji kusubiri paradiso kabla ya

kupata urithi wetu – Mungu anataka tufahamu uko hapa Duniani sasa hivi– hatuwezi

kuurithi sasa?

Nyumba ya maombi kwaajili ya Mataifa maskini

Omba kwaajili ya Algeria 31,471,278 ya watu , 96% ni Waislam

Wameathiriwa na sheria kali ya kiislamu iliyotangazwa Imegubika kanisa.

© www.operationworld.org

4. Ushawishi Kamili wa wema wa Mungu

Katika Biblia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Luka 12:32

Kumbuka Mstari Huu: Zaburi 35:27 ‘Washangilie na kufurahi wapendezwao na haki

yangu. Naamu, waseme daima atukuzwe Bwana apendezwaye na mafanikio ya

mtumishi wake.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Je umashawishika kwa ukamilifu kwamba Mungu

anaweza kukubariki?

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Andika hofu yako kuu na uiwasilishe

kwa Mungu kwa maombi

Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika ukurasa mmoja kwanini kama tukiweza kuwa

jasiri tutauona wema wa Mungu mashani mwetu.

Tafakali Neno Baada ya Neno: Zaburi 23:6

Hivyo, baada ya kuona toka mwanzo wa Bibilia mpaka mwisho, wema na utajiri wa

Mungu, namna gani neno la Mungu limekubadili? Labda umepata ufahamu wa wema

wa Mungu na maandiko yamekupa nguvu na kukuthibitishia kwamba ufahamu huo kwa

kadri unavyoendelea kusoma vitabu vilivyobakia utaendelea kukua katika ufahamu juu

ya wema wa Mungu. Labda umepata wakati mgumu kuukubali wema wa Mungu na

umefundishwa ya kuwa katika hali ya Kimungu unapaswa kuwa masikini – Neno la

Mungu limekupa changamoto na kuangaza fikra zako. Neno la Mungu huonesha sifa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yake na asili na tunaamini na kukubali neno la Mungu kuhusu utajiri wake na

unyenyekevu, tutakuza uaminifu na uhakika wa wema wake.

Kitabu cha Waebrania ni kitabu kinachoonesha tofauti kati ya kujihusisha na Mungu

katika Agano la Kale na katika Agano Jipya na uthabiti na imani tunayoweza kuwa nayo

katika maombi kukikaribia taji la neema. Chini kuna baadhi ya maandiko yanayohusiana

na kumkaribia Mungu katika maombi na mafundisho – tambua ambavyo neno UJASIRI

linatumika.

Waebrania 4:16 ‘Basi na tukaribie kiti cha rehema kwa ujasiri,ili tupewe neema,na

kupata neema ya kutusaidiawakati wa mahitaji.

Waebrania 10:19 ‘ Basi ndugu,kwakua tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu

ya yesu,kwa njia ile aliyotuanzishia iliyo mpya,iliyo hai,ipitayo katika pazia,yaani mwili

wake,na kwakua tuna kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu,na tukaribie wenye moyo

wa kweli,kwa utimilifu wa imani'.

Maandiko mengine yanayohusiana na kumkaribia Mungu kwa Maombi yakiwa na neno

UJASIRI

Waefeso 3:12 ‘katika yeye tunao ujasiri wa kumkaribia katika tumaini kwa njia ya

kumwamini.

1 Yohana 3:21 ‘Wapenzi mioyo yetu isipoyuhukumu tuna ujasiri kwa Mungu,na lolote

tiliombalo tutaripokea.

1 Yohana 5:14 ‘Na huu ndio ujasiri tulionao kwake,ya kuwa,tukiomba kitu sawasawa na

mapenzi yake,atatusikia.

Unahisi unaweza kumkaribia Mungu kwa ukakamavu na ujasiri katika maeneo yako ya

fedha – kusadiki na kuamini kwamba utajiri wake utakujia katika maisha yako? Kwa

huzuni, watu humtazama Mungu kama mtu ambae ni vigumu kumkaribia na asiyetaka

kubariki, ambaye anataka watoto wake wabaki ‘masikini na wanyonge’ – hatimaye,

hawana ujasiri wa kumkaribia Mungu. Kutokana na ufahamu juu ya nini Bibilia inasema

kuhusu wema wa Mungu, watoto wake watashawishika na wema wake na kuweza

kumkaribia na kumwamini kwamba atawapatia mahitaji yao na kuwapa utajiri juu ya

hayo.

Kutumia muda katika bibilia inaweza kukuletea Baraka ambazo hazijawahi

kuzungumziwa katika maisha yetu kama ambavyo Bibilia inaonesha asili ya kweli na

sifa za Mungu na kama maoni yetu juu yake yanabadilika kuwa kama ambavyo Bibilia

inasema kuhusu yeye, tunaweza kutulia katika wema wake. Wengi wetu hatuna tatizo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kumkaribia Baba wa dunia tunapokuwa na hitaji au tatizo – mara ngapi zaidi hili

linawezekana pamoja na Baba yetu wa dunia. Labda, kwa kadri unavyosoma kitabu hiki

uko katika hitaji la fedha na unahitaji kuona Mungu akiingilia kati mara moja katika

fedha zako – unaamini kwamba Mungu yuko tayari na anaweza kufanya hili?

unashawishika na kuwa na hakika juu ya wema wake kwako?

Ni vigumu kuwa mkakamavu na jasiri katika kumkaribia Mungu katika mambo yako ya

fedha kama huamini kwamba utashi wake wa kutenda muujiza katika fedha zako, ni

vigumu kumwamini mtu ambaye humfahamu vizuri au kuwaamini watu kuwa

wanaweza kutaka kukusaidia. Baada ya kuona kwa ukamilifu katika Bibilia juu ya

utajiri wa Mungu, kwa nini usimkaribie sasa, kwa moyo safi na imani ambayo

imehakikishwa juu ya wema wake kwako. Ruhusu mwangaza wa neno la Mungu umlike

katika moyo wako na kushawishika kikamilifu katika wema wake.

Bibilia inasema kwamba Mungu atatimiza mahitaji yetu yote

Zaburi 23:1 ‘Bwana ni mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu.

Zaburi 34:9 ‘Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,yaani,wamchao hawahitaji kitu.wana-

simba hutindikiwa,huona njaa.Bali wamtafutao Bwana hawahitaji kitu chochote kilicho

chema.

Zaburi 84:11 ‘Kwakua Bwana,Mungu,ni jua na ngao,Bwana atatoa neema na

utukufu.Hatawanyima kitu chema hao waendao kwa ukamilifu.

Mungu atatoa vitu vyote muhimu kwa ajili ya maisha (ikiwa ni pamoja na fedha) kwa

watoto wake

2 Petro 1:3 ‘kwakua uwezo wake Mungu umetukilimia vitu vyotevipasavyo uzima na

utauwa,kwakumjua yeye alietuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.

Warumi 8:32 ‘Yeye asiemwachilia mwana wake mwenyewe,bali alimtoa kwa ajili yetu

sisi sote atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?

Bibilia inasema kuwa tutazidishiwa baraka na baraka za Mungu zitatufuata nje na chini

hadi zitufikie!. Tambua kwamba Bibilia inasema ya kwamba baraka zitatutafuta –

haisemi tuzitafute Baraka, wakristo wengi wanatafuta Baraka za Mungu badala ya

kumtafuta Mungu mwenyewe! Mtafute Mungu kwa bidii na Baraka zake zitakutafuta

kwa bidii.

Deuteronomy 28:2 ‘na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana

Mungu wako.’

Zaburi 23:6 ‘Hakika wema na fadhiri za Bwana zitanifuata siku zote za maisha yangu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.'

Malachi 3:10 ‘ leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu,

mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi mjue kama sitawafungulia

madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka hata isiwepo nafasi ya kutosha au la.'

Mwishoni, kwa wote wanaoweka juhudi, watakuwa na ziada ya fedha kuwekeza katika

kazi ya Mungu.

2 Wakoritho 8:9 Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na

riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'

2Wakoritho 9:11 ‘mkitajirisha katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote umpatiao

Mungu shukrani kwa kazi yenu.'

Yesu alisema katika Luka 12:32 ‘Msiogope enyi kundi dogo kwa kuwa Baba yenu

ameona vema kuwapa ule ufalme.' Na mzaburi anasema katika zaburi 35:27

‘Washangilie na kufurahi wapendezwao na haki yangu. Naamu waseme daima atukuzwe

Bwana apendezwaye na mafanikio ya mtumishi wake.'

Nyumba ya Sala kwa Mataifa Masikini

Omba kwa ajili ya Angola

12,878,188 ya watu,wengi ni wakristo

Pesa inatumika kwa ajili ya kuchochea vita ya wenyewe kwe wenyewe,

Kanisa limewaajibika sana

kuleta amani, ila linahitaji Uponyaji. © www.operationworld.org

5. Mungu Hutoa Mahitaji kwa ajili ya Uhai Siyo-Tamaa

Katika Bibilia Yako Soma Hapa kwa Sauti: 1 Timotheo 6:3-10

Kumbuka Mstari Huu: Yakobo 4:3 ‘Hata mkiomba, wala hampati kwa sababu

mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Ni rahisi kwa Mungu kuweka fedha katika mikono

ya watu wake au kuwafanya wazitafute.

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Jaribu kutofautisha vitu vya lazima

na vya anasa katika maisha yako wakati huu.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Kwa upande mwingine andika ni kwa nini kila mkisto

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

apate mahitaji yake.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: wakolosai 1:12

Katika Mathayo 12:25-28, Yesu anatambua falme mbili ambazo zinaonekana katika hali

ya kiroho isiyoonekana:- Ufalme wa shetani na Ufalme wa Mungu. Wote ambao si

Wakristo wako katika Ufalme wa Shetani na wanafanya kazi katika utawala wake

wakati Wakristo wako katika Ufalme wa Mungu na wako katika upendo na kinga yake.

Mtu anapokuwa Mkristo anabadilishwa kiroho kutoka katika Ufalme wa Shetani na

kuingia katika Ufalme wa Mungu na kama raia wa Ufalme mpya anastahili mambo ya

Ufalme. Kwa mfano, Wakolosai 1:12 inasema, ‘Mkimshukuru Baba aliyewastahilisha

kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru. Naye alituokoa katika nguvu za

giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa mwana wa pendo lake.

Matokeo ya kuingia katika Ufalme wa Mungu tunarithi stahili maalumu za kifedha.

Sehemu kubwa na muhimu ya bibilia kuhusu fedha ni 2 Wakorinto sura ya 8 & 9, na

yeyote anetaka kutumika pamoja na Mungu katika eneo la utoaji anapaswa kuzingatia

maandiko haya. Ni katika maandiko haya tunaweza kutoa kauli ya msingi – MUNGU

ANATUTAJIRISHA ILI KUTIMIZA MAHITAJI. Maandiko matatu hapo chini

yanaonesha kuwa tukiwa watu wa Mungu tuna kila haki ya kumwamini Mungu kutimiza

mahitaji yetu kama baba yoyote mwema anavyoweza kufanya, na hatupaswi kuhofia

umasikini, au kukosa uhakika.

2 Wakorinto 8:14 ‘Bali mambo yawe sawasawa, wakati huu wa sasa wingi wenu uwafae

upungufu wao, ili na wingi wao uwafae ninyi mtakapopungukiwa.'

2 Wakoritho 9:8 ‘Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi mkiwa na

riziki za kila namna, siku zote mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'

2 Wakorinto 9:12 ‘ Maana utumishi wa huduma hi hauwatimizii watakatifu riziki

walizopungukiwa tu, bali huzidi sana kuwa na faida kwa shukran nyingi apewazo

Mungu.'

Zaidi ya hayo, katika eneo kuu la utoaji katika Wafilipi 4:10-19 Paulo anataja katika

mstari wa 16 jinsi ambavyo mahitaji yake yalitimizwa na Wafilipi na kuwalipa kwa

kusema kwa ujasiri, ‘na Mungu wangu atawapatia mahitaji yenu kwa kadiri ya utajiri

wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.' Bahati mbaya, watu wengi wanasoma mstari

huu vibaya na kufikiri kwamba inasema Mungu atatutimizia matamanio ya mahitaji

yetu! kwa kupindisha mstari huu watu wameanza kutafuta magari ya anasa na nyumba

toka kwa Mungu. Ukiichukulia kama ambavyo ilivyo, mstari huu unazungumzia

mahitaji ya awali ya lazima na ya kumfanya mtu ajisikie murua, lakini sio ya anasa,

mtindo wa maisha hakika haukupi hundi ambayo haijajazwa kuibadilisha kuwa fedha

katika Benki ya Mbinguni.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Tukiendelea, kauli ya pili tunayoweza kuitoa ni, MUNGU ANATUTAJIRISHA

KUTIMIZA MAHITAJI YETU, NA SI MAHITAJI YA UCHOYO. Kwa uchungu, ni

katika hatua hii ambayo imesababisha kuharibiwa hususani kwa mwili wa Yesu,

Wakristo wa Magharibi wanauchukulia Ukristo kama mpango wa kutajirika mapema.

Paulo anamwonya Timotheo kuhusu watu wa aina hii katika 1Timotheo 6:3-5 na

kutamka kwamba watu wa aina hii wanahamasisha mahubiri ya uongo na kupotosha

ukweli kwa kufikiri na kujenga hoja kwamba uungu ni njia ya kufanikiwa kifedha.

Yakobo anajenga hoja pia kwamba maombi ya watu yafike katika taji la neema kwa

kuamini kwamba Mungu ni juu ya furaha na mambo ya anasa badala ya kutimiza

mahitaji ya dunia. Yakobo 4:3 ‘Hata mkiomba wala hampati kwa sababu mwaomba

vibaya ili mvitumie kwa tamaa zenu.' Je Mungu hana Wakristo wa kutosha wanaojaza

taji la neema kwa mahitaji ya fedha kwa ajili ya magari ya anasa na mali kinyume na

fedha kwa ajili ya kusaidia wajane, yatima na masikini wanaostahili?

Huu ni mtego ambapo wengi huanguka katika kitanzi ambacho Paulo alionya katika 1

Timotheo 6:9-10 kama wakati ambao wanapata utajiri wa Mungu, badala ya kuishi

maisha ya kawaida na kutoa ziada kwa ajili ya kazi ya Mungu wanatumia kwa ajili yao

wenyewe, kwa gharama ya waliopotea, masikini, wajane na yatima. Ni jambo moja kwa

Mungu kuweka fedha kwenye mikono ya watu wake, ni jambo lingine kwake

kuwafanya wao wazitafute! Paulo anasema katika 1 Timotheo 6:8 kwamba

hatutafurahishwa na chakula na mavazi – je hii sivyo ambavyo Wakristo wachache

wanaweza kusema kwamba wanafurahishwa na chakula na nguo na wanafurahi sana

kuwekeza zaidi katika kazi ya Mungu?

Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini

Omba kwa ajili ya Argentina

Idadi ya Watu 37,027,297

Kanisa linakuwa kwa nguvu.

Imepandwa mbegu ya rushwa,

Inayo sababisa mavuno machungu katika uchumi wenye machafuko © www.operationworld.rg

6. Kugharimia Matendo Mema

Katika Biblia Yako Soma Aya hii Kwa Sauti: Tito 2:11-14

Kumbuka Mstari Huu: Waebrania 10:24 ‘Tuangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

katika upendo na kazi nzuri.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Binafsi, unaamini Mungu ameandaa kazi gani njema

zaidi kwaajili yako wewe kufanya? (Efeso 2:10)

Jambo la kufanya kabla ya wakati mwingine: Katika maombi muulize Mungu ni kazi

gani njema alizoziandaa kwaajili yako.

Kazi ya Diploma ya kunadika: Andika kwa upande mwingine kwanini mwili wa

Kristo ugharimiwe kwaajili ya matendo mema.

Tafakari Nano baada ya Neno katika Aya Hii: Waefeso 2:10

Tumeona katika maeneo mengine wakati ambavyo mtu anapokuwa Mkristo, anaingia

katika Ufalme wa Mungu na kupata upendeleo ambao ni haki ya kila Mkristo. Kwa

kufafanua kwamba, Mungu anatutajirisha kwa ajili ya kutimiza mahitaji yetu (na si

tamaa zetu), ingelionaka kuwa kuna sababu ya pili kwamba Mungu anataka kututajilisha

ili tuwe na fedha za ziada kwa ajili ya kuwekeza katika mambo mema ya Ufalme wake.

Mtu anapokuwa Mkristo, Roho Mtakatifu atakuja na kuishi ndani yake na kumlinda

kama ambavyo maandiko hapo chini yanaonesha.

Yohana 14:17 ‘Kwa kuwa anakaa ndani yenu naye atakuwa ndanib yenu.'

1 Wakorinto 6:19 ‘Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho mtakatifu aliye

ndani yenu.'

Warumi 8:11 ‘Aliyemfufua Yesu katika wafu ataifufua na miili yenu iliyo katika hali ya

kufa kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.'

Matokeo ya uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya mtu, wakati mtu anapokuwa Mkristo,

asili yake hubadilishwa kuwa asili ya kimungu kwa Kristo kama Roho Mtakatifu

ambavyo anamwongoza mtu kutenda katika madili ya Kristo. Kwa mfano, kuongelea

Roho Mtakatifu, Yesu mwenyewe alisema katika Yohana 16:15 ‘Atatwaa katika yaliyo

yangu, na kuwapasheni habari.' Sifa kubwa ya asili ya utakatifu ambayo Roho Mtakatifu

atawaongoza waaminio kupata ni kupitia upendo, kama ilivyo kipekee kwamba Mungu

ni upendo (1 Yohana 4:8). Ukweli huu wa asili ya upendo mtakatifu ambao tumepewa na

Roho Mtakatifu unazungumziwa katika Warumi 5:5 ‘Kwa maana pendo la Mungu

limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho mtakatifu tuliyepewa sisi.'

Hivyo ni tofauti gani upendo wa kimungu kwa asili unafanya? ni jinsi gani Mkristo

ambaye anaweza kuishi maisha yake katika upendo wa kimungu na kutenda tofauti na

mtu asiye Mkristo, mkristo anayeishi maisha mema na mtu aliyeanguka, na upendo

haribika. Sehemu ya upendo wa kweli wa kiungu ni kwamba utaendelea kuwa

pamoja,na kuonekana kwa matendo mema ambayo yanatendwa kumtukuza Mungu na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuvutia wengine kwake. Katika hali hiyo hiyo wakati mbegu bora inapopandwa katika

udongo itazaa matunda, wakati upendo wa Mungu unapandwa katika moyo wa mtu siku

zote utazaa matunda mema. Ni kweli, kadri unavyopitia maandiko kuhusu mambo

mema utagundia kwamba si upendo pekee bali imani na hekima vitamsababisha Mkristo

kufanya mambo mema.

Wahebrania 10: 24 ‘Tuangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi

nzuri.'

2 Thes 1:11 ‘Ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekubali kuitwa kwenu, akatimiza kila

njia ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu.'

Yakobo 3:13 ‘Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aonyeshe kazi zake kwa

mwenendo wake mzuri, katika upole na hekima.'

Kuna hamu katika kila Mkristo ya kutosholeza utashi huu wa Mungu kwa kuishi na

kutenda na kufanya mambo mema na kuonesha upendo kutumtukuza Mungu na

kuwavutia wangine kwake. Si mtu pekee, bali kwa pamoja tunatoa fedha na kufanya

mambo mema kufanikisha mengi zaidi pamoja badala ya sote kila mmoja kufanya kazi

na kujiimarisha binafsi. Tutapata asili yetu ya kweli na utambulisho wa kweli aliotupa

Mungu kwa kufanya matendo binafsi na mambo mema na kuwekeza fedha zetu katika

kusaidia wengine ambazo zinaonyesha upendo wa Mungu. Tito 2:14 ni picha nzuri

ambayo yesu ametudhihirishia kutoka kwa Baba kwaajili ya jamii ya watu ambao wana

shauku ya kuwa waovu na wasiofaa lakini sasa wanashauku ya kufanya kazi njema.

‘Ambaye alijitoa nafsi yake kwaajili yetu ili atukomboe na maasi yote na kujisafishia

watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.'

Hivyo, ikiwa kila Mkristo amepewa asili ya kuwa na shauku na utashi wa kufanya

mambo mema na kazi, Mungu atatengeneza njia ya kutolea na namna ya kuonesha hisia

ya utashi huu. Kweli, Mungu amekuwa mbunifu zaidi katika kupanga kazi njema

kwamba kila mtoto wake aingie, kabla ya kutuumba katika tumbo la mama zetu, na

hakika kabla ya kuumba ulimwengu, alipanga na kuumba. Tangu Mungu aende umbali

kiasi hiki kuandaa kazi njema ni lazima kujua ni vitu gani, kuvitenda na kufadhili na

kuwekeza fedha katika hivyo. Maandiko ya hapo chini kutoka kitabu cha Waefeso 2:10

yanaonesha kuwa ulazima wa Mungu ambae anatufahamu na kupanga maisha yetu

kabla hatujazaliwa na wito kwa watoto wake kufanya mambo mema.

‘Maana tu kazi yake tuliumbwa katika Kristo yesu, tutende matendo mema, ambayo

tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.'

Mwisho, baada ya kujenga hoja awali kwamba Mungu huweka fedha katika mikono

yetu kutatua mahitaji yetu na si tamaa zetu, atatuwekea fedha katika mikono yetu

kufadhili kazi njema ambazo anahitaji tuzitekeleze. Maandiko ya hapo chini

yanachukuliwa kutoka kukatishwa tamaa juu ya fedha, katika bibilia yote inaonesha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

uhitaji wa Mungu kututajirisha ili tutoe fedha kwa ajili ya kazi hizi njema. Hatimaye

tunaweza kuhitimisha vile vile kwamba Mungu ametupa roho, hitaji la kufanya kazi

njema, amepanga kazi hizi njema kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu, ataruhusu fedha

kwetu kwa ajili ya kufadhili kazi hizi njema.

2 Wakorinto 9:8 ‘Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi mkiwa na

riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini

Omba kwa ajili ya Armenia

Idadi ya watu 3,519,569, ina historia ndefu ya Ukristo.

Ni sehemu muhimu ya kupeleka wamishionari wengi

Kama fedha zinatolewa. © www.operationworld.org

7. Hakuna Tajiri, Hakuna Masikini

Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kumbu kumbu la torati 15:4-6

Kumbuka Mstari Huu: Matendo 4:34 ‘Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao

mwenye mahitaji.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Kanisa lione udogo uliokithiri wa utajiri kuliko

dunia.

Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama inawezekana, fanya jambo la

kubariki watu masikini waliokithiri.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mwingine juu ya kumbukumbu ya

usawa ambao paulo alifanya katika 2 Koritho 8:13.

Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya hii: 2 Koritho 8:13

Hao ambao wako katika Ufalme wa Mungu wanaopata sehemu muhimu ya Mungu ya

fedha si tu kwamba watapata mahitaji yao lakini watawekeza ziada ya fedha zao, mara

mahitaji yao ya lazima yanapokuwa yamelipiwa, katika mwendelezo wa Ufalme wa

Mungu. Paulo alimwambia Timotheo kutafuta furaha katika vyakula na mavazi (1

Timotheo 6:8) na kama kila Mkristo atafanya hivi atakuwa na kiasi kikubwa kwa ajili ya

kuwekeza katika mambo mema ya Ufalme wa Mungu. Matokeo yake, wale walio katika

Ufalme wa Mungu watakuwa katika jamii ya kiuchumi wa kiupendo na thabiti ambapo

Ndugu na dada katika Yesu wanautafuta, na utoaji wa fedha, huondoa umasikini katika

watu wa Mungu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Ni jambo la kustaajabisha kama kuna yeyote katika Ufalme wa Mungu anahitaji halisi,

ambaye anaongozwa na kaka au dada zake ambao ni matajiri. Kupitia kwa kila mmoja

katika Ufalme ambae anashiriki kifedha na kuwekeza fedha katika mambo mema na

matendo ya upendo miongoni mwa kaka na dada, umasikini hautaweza kuendelea

kunyemelea Ufalme wa Mungu. Uondoaji wa umasikini ni jambo zuri, katika Agano la

Kale na Jipya, tunaweza kuona usahihi wa lengo hili ambalo Mungu amependa watu

wake kulitimiza.

Katika Agano la Kale kuna amri nyingi juu ya fedha na hususani amri ya kusamehe deni

katika kila miaka 7 ambalo limezungumzwa katika Kumbu Kumbu la Torati sura ya 15

na amri ya kulima katika sura 14. Ni moja ya yaliyomo katika amri hii, Mungu

anaonesha nia yake kwamba hakutakuwa na masikini miongoni mwa watu wa Mungu.

Hata hivyo, kama ambavyo nukuu zinavyoonyesha hapo chini, hili linaweza kufikiwa na

watu wote wa Mungu kushiriki na kutii amri ambazo Mungu amezitoa kuhusu fedha.

Katika sura zinazoendelea za Kumbu Kumbu sura ya 28 tuonaona kuwa ushriki na utii

unaweza kuungoza watu wa Mungu kuwa jamii tajiri mno katika dunia.

Kumbu kumbu 15:4 ‘Lakini hawatakuwako maskini kwenu; (kwa kuwa Bwana

atakubarikia kweli katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako;)

Kwamba utaisikiza tu kwa bidii sauti ya Bwana, Mungu wako, uyatunze maagizo haya

yote nikuagizayo leo, kuyafanya.'

Kumbukumbu 28:1 ‘Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii,

kutunza kuyafanya maagizo yake nikupayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapo

kutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata

usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako.'

Lengo hili la jamii ya kiuchumi ambamo umasikini unaondolewa linatokea katika

kanisa takatifu la mwanzo. Kwa upendo wa Kristo ambao umemiminwa katika mioyo

yetu kupitia Roho Mtakatifu ambaye ametumwa karibuni, kanisa la mwanzo

lilishughulika sana na utoaji kwa wale wenye mahitaji halisi. Kama ambavyo maandika

mawili hapo chini yanavyoonyesha, hitaji linapotokea miongoni mwa ndugu, ndugu hao

huamka kutatua hitajihili hilo, tambua jinsi ndugu matajiri ambavyo wamechukulia kwa

umakini wajibu wao kwa ndugu zao masikini. Tofauti na Wakristo tajiri wa sasa ambao

hupenda kuwekeza fedha zao za ziada katika moyo safi wa watoto wa Mungu kinyume

na mali za kidunia.

Matendo 2:45 ‘Wakiuza malizao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu

wote kama kila mtu alivyokuwa na haja.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Matendo 4:34 ‘Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa

sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaleta thamani ya

vitu vile vilivyouzwa, wakiweka miguni pa mitume.'

Baada ya kuona wajibu wa Wakristo matajiri katika kanisa la mwanzo, tunaweza

kusema kwamba hata kusingekuwepo masikini halisi katika Ufalme wa Mungu

kusingekuwa na matajiri wa tofauti pia. Kweli, ingelikuwa ndivyo kwa Wakristo matajiri

kulazimishwa na upendo wa Mungu ambao umemiminwa katika mioyo yetu

kushirikiana utajiri na kaka na dada masikini halisi. Kwa mfano, Mtume Yohana aliuliza

namna gani mtu tajiri kudai kuwa Mkristo, huku akishindwa kushirikiana utajiri wake

pamoja na ndugu na dada masikini pale inapohitajika.

1 Yohana 3:17 ‘Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni

mhitaji akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaje ndani yake huyo?'

Ni wazi, kila mmoja katika ufalme wa Mungu hatokuwa na kipato sawa, na Yesu

mwenyewe alifundisha kwamba Baraka zitategemea imani yetu (Mathayo 25:10-30).

Hata hivyo, wakati kuna umasikini na utajiri uliokithiri duniani, haya hayatatokea katika

Ufalme wa Mungu, na wote katika Ufalme watakuwa katika mazingira ya upendo wa

kindugu na hakika ya kifedha. Wazo hili la Ufalme wa Mungu lenaongelea hali ya kiasi

na kukimbia utajiri uliokithiri, hii inaangazwa na Paulo katika mafunuo yake kuhusu

fedha katika 2 Wakorinto sura ya 8 na 9.

Paulo anajenga hoja kwa Wakorintho kwamba, kwa kusaidia watu masikini walio

Jerusalemu siku moja watakurudisha fadhila wakati hitaji litakapotokea, tambua neno

‘sawa’ limetumika mara mbili.

2 Wakoritho 8:13 ‘Maana sisemi hayo, ili wengine wapate raha nanyi mpate dhiki; bali

mambo yawe sawasawa; wakati huu wa sasa wingi wenu uwafae upungufu wao, ili na

wingi wao uwafae ninyi mtakapopungukiwa; ili mambo yawe sawasawa.'

Watu wenye tamaa, watu wenye asili ya mioyo baridi walio na utu usiofaa wamezalisha

utajiri uliokithiri ambao ni dhihaka dhidi ya utu wa watu maskini. Licha ya mifumo

mbalimbali ya kisiasa iliyojaribu kuondoa hali hizi zilizokithiri, sababu hazijaondoa asili

ya tamaa ya kibinadamu. Ni upendo wa Mungu pekee uliopandwa katika mioyo ya

binadamu ndio utakao anza kuona usawa mkubwa wa utajiri.

Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini

Maombi kwa ajili ya Azerbaijan

watu 7,734,015, waisilam ni asilimia 83.67

Rushwa na uhalifu vimeharibu uchumi.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Tafsiri ya Bibilia ina uhitaji mkubwa. © www.operationworld.org

8. Shahidi katika Dunia

Katika Bibilia Yako Soma Haya: Mathayo 5:14-16.

Kumbuka Mstari Huu: 1 Petro 2:12 ‘Muwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa,ili,

iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri,

wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.'

Baada ya Hapo Zungumzia Haya: Jukumu la mambo mema katika kuimarisha

mahubiri ya injili.

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Fanya mambo mema kueneza

Ufalme.

Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika upande mwingine faida ya kutekeleza matendo

mema kwa wakristo na wasio kuwa wakristo.

Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: 1 Petro 2:15

Miundo ya kiuchumi ambayo Mungu ameiingiza katika Ufalme itazaa jamii ya pekee

katika dunia ambayo itahamasishwa na upendo wake kutoa fedha kwa ajili ya mambo

mema katika maeneo mawili yafuatayo.

1. Mambo mema ya watu wa Mungu kwa ajili ya watu wa Mungu, na

2. Mambo mema ya watu wa Mungu kwa watu nje ya Ufalme

Aina zote mbili za mambo mema pale ambapo yamewezeshwa kifedha na kutekelezwa

vizuri na watu wa Mungu yatasababisha uimarishwaji mkubwa wa mahubiri ya injili.

Kama ambavyo mambo yote yalivyoshughulikiwa hapo chini, inakuwa wazi kwa

mahitaji makubwa ya watu wa Mungu kupatiwa fedha na kuwekeza katika mambo

mema ambayo Mungu ameliwekea wakfu kanisa lake liyatende, kutokuyafanya hivyo

kunazuia uenezaji wa injili.

Mtume Yohana emeweka kumbukumbu katika injili yake sura ya 13 mstari wa 35,

maneno ya Mungu ambayo inawezekana kuwa ni mkakati mkubwa wa uinjilisti kwa

ulimwengu, katika bibilia ni kwa dunia yote kubadilishwa na Ufalme wa Mungu wakati

watoto wa Mungu watakapopendana wao kwa wao.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mwanzo tumeona kwamba upendo wa kweli utaendana na mambo mema na mtume wa

kwanza Yohana anaongezea nini maan ya kupenda kwa kuhusianisha na matendo,

yanafuatana na matendo ya upendo na upole. Hatimaye, Wakristo zaidi wanapendana

wao kwa wao, na hususani Wakristo matajiri wanavyozidi kuwapenda Wakristo maskini

na kuthibitisha upendo huu kwa kufadhili mambo mema, ndivyo ushahidi wa kanisa

utakavyoongezeka.

Yohana 13:35 ‘Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi

wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi.'

1 Yohana 3:18 ‘Watotot wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi,bali kwa tendo na

kweli.'

chukua mfano wa kanisa la Afrika ya Kusini ambalo bado ni changa na limekuwa

likinyanyaswa na kupingwa na idadi kubwa ya dini ya Kiisilamu katika eneo hilo. Je

halingekuwa ushahidi wa nguvu kama Wakristo matajari kutoka Ulaya na Kasikazini na

Amerika ya Kusini kutoa fedha kuwezesha Wakristo hawa kununua ardhi kwa ajili ya

kujenga makanisa na vituo vya watoto yatima, kompyuta na nyenzo za kujifunzia? Ni

ushuhuda kwani kwa Waisilamu kama wangeona meli ya rehema za Kristo ikitia nanga

kutoa vitu vizuri kwa ajili ya kusaidia wenzao Wakristo. Kama mwili wa Kristo

ulimwenguni unatoa upendo na mambo mema kati yake itaimarisha ushahidi na

kuondoa hofu ya kanisa ulimwenguni.

Eneo la mambo mema yanayoimarisha mahubiri ya injili ni mambo mema

yanayofanywa na Wakristo na wasio Wakristo: - fikiria tena kanisa la Afrika Kaskazini

likizungukwa na wingi wa dini ya Kiislamu. Je! mahubiri ya injili kwa Waislamu

yakiimarishwa mara mmoja Wakristo wakajenga hospitali na kutibu wagonjwa na

kuwaingiza Waislamu katika taasisi hizo pia?

Waislamu wasingevutiwa zaidi na ujumbe wetu kama tungejenga vituo vya watoto

yatima na kuwatunza waliotelekezwa, waliokatika mazingira magumu na watoto wenye

ulemavu na kutoa chakula na mavazi kwao pia? Kanisa lisingekuwa katika hali hii,

Wakristo wasingeenda katika vijiji vya Waislamu na magari ya mizigo ya misaada na

kuchimba visima kutoa maji safi ya kunywa?

Nukuu mbili za hapo chini ni maneno ya Yesu na Petro zikifuatana na ambazo

zinafanana kama mambo mema yana athari kubwa katika ushahidi wake kwa watu

wasioamini. Hakika, maandiko haya yote yanaonyesha mambo mema yanoyofadhiliwa

na kutendwa na Wakristo mbele ya watu wasio Wakristo yana mtukuza Mungu kweli

kweli, wasiyemjua au anaetumikiwa kwa ajili ya mambo yanayofanywa na watoto wake.

Kama maandiko yanavyoonyesha hapo chini, watu wasio Wakristo wavutwa kwa Yesu

kwa ajili ya matendo mema yanayofanywa na Wakristo pekee, wengi watabadili dini

kuwa Wakristo baada ya injili kuhubiriwa vizuri!

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mathayo 5:16 ‘Vivyo hivyo nuru yenu na ingaze mbele ya watu, wapate kuaona

matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliyembinguni.'

1 Petro 2:12 ‘Muwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa

watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya

kujiliwa.'

watu wasio Wakristo wanaweza kudhihaki na kupuuza imani yetu, kushutumu huduma

zisizo na msisimko na zisizohusiana za makanisa yetu na kucheka majaribio ya kufanya

uinjlisti na kuhubiri injili. Hata hivyo aya ya 1 Petro 2:15 inasema, ‘kwa sababu ndiyo

mapenzi ya Mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu

wapumbavu;.' Hivyo njia njia pekee ya kuziba vinywa nya wanotushutumu ni

kutekeleza mambo mema na matendo ya upondo.

Tuwapakulie makaa ya moto katika vichwa vya wanaotuchukia kwa kufanya matendo

mema na kuwekeza fedha katika matendo yanayoendeleza Ufalme wa Mungu. Eneo

ambalo watu ambao si Wakristo hawawezi kubeza ni wakati tunapotoa kwa upendo wa

Mungu na kufanya mambo mema kwa watu wanaotuzunguka –hasa wakati tunajiandaa

kuweka fedha zetu katika midomo ambayo inafadhili matendo ya upendo.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini

Omba kwa ajili ya Bangladesh

watu 129,155,152, wakristo 0.72%

Idadi kubwa ya watu na majanga ya asili yamesababisha umasikini,

utapiamlo na kutojua kusoma na kuandika. © www.operationworld.org

9. Fedha Inaweza Kuwa Sanamu

Katika Bibilia Yako Soma Haya kwa Sauti: Luka 16:13

Kumbuka Mstari Huu: Luka 11:41 ‘Lakini toeni sadaka vile vya ndani, (kwa maskini)

na tazama, vyote huwa safi kwenu.'

Baada ya Hapo Zungumza Kuhusu Hili: Ni nini hatari kubwa ya hukumu ya kanisa

au matendo?

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Omba Mungu akuonyeshe mambo

katika maisha yako ambaye unaiabudu fedha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika ukurasa mmoja juu ya nini ni ushahidi

kwamba watu hawatumikii fedha

Tafakari Beno Baada ya Neno katika Aya Hii: Luka 16:15

Hivyo baada ya kuona utashi mkubwa wa Mungu wa kuweka utajiri katika mikono ya

watu wake, eneo hili linatafuta kuweka usawa wa ukweli juu ya nini bibilia inafundisha

kuhusu fedha. Wakati tumesoma maandiko mengi yanayohusiana na utajiri, inalazimika

kuwekwa wazi kuwa kuna maandiko mengi ambayo yanaonya kuhusu hatari za fedha –

mengi toka katika kinywa cha Yesu mwenyewe. Wakati utajiri unaotumiwa vizuri na

katika njia sahihi na kwa lengo sahihi utakuwa ni Baraka kubwa, inaweza kuwa pia

hatari kubwa kwa wale ambao hawaonyeshi uadilifu na haki katika shughuli zao za

kifedha. Kwa uchungu, kumekuwa na mafundisho mengi juu ya utajiri ambayo watu

wanapenda kuyasikia, lakini ni mafundisho machache tu yanayoelekeza juu ya namna ya

kutunza na kutafuta fedha katika mtindo ambao unaleta heshima kwa Kristo, kama

unatafuta vitu vizuri kwa kumtafuta Mungu tahadhari kuu ya Mungu, ni juu ya fedha.

Kama ambavyo Mungu ameonyesha asili yake katika Agano la Kale, moja ya matakwa

yake ni kutaka watu wake wamuabudu yeye pekee, Mungu ametimiza matakwa ya

maisha ya watu wote ambao wamemwabudu yeye pekee. Binadamu ameumbwa kwa

hitaji la kumwabudu na kumtukuza Mungu – wanaposhindwa kufanya hivyo, takwa

halipotei, ila linajitokeza katika namna nyingine, kama kuabudu timu ya mpira wa

miguu, michezo na nyota wa muziki wa rock. Matokeo yake, Yesu mwenyewe

ametambua amri kuu ambazo Mungu amezitoa kwa wanadamu – kama kumwabudu

yeye, katika Mathayo 22:37 ‘Akamwambia, mpende Bwana Mungu wako kwa myo

wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo amri iliyo kuu tena

ni ya kwanza.'

Ufunuo zaidi wa sifa za Mungu katika Agano la Kale ni kwamba yeye ni Mungu wa

wivu wa kweli ambae anahuzunika watu wake wanapoabudu vitu na watu tofauti na

yeye – hebu angalia katika maandiko hapo chini ambapo Bwana yeye mwenyewe

anasema haya mahali pengi.

Kutoka 20:4 ‘Mimi na Bwana mungu wako Mungu mwenye wivu,

Kutoka 34:14 ‘Maana hutamwabudu Mungu mwingine, kwa kuwa Bwana, ambaye jina

lake ni mwenye wivu, ni Mungu mwenye wivu.'

Kumbu kumbu 4:24 ‘kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ni moto ulao, ni Mungu mwenye

wivu.'

Kwa uchungu, wana wa Israel wamechagua kuabudu Miungu ya kigeni na kama Kumbu

Kumbu 32:16 inavyoonesha, hii inaamsha hasira na wivu wa Mungu,‘Wakamtia wivu

kwa miungu migeni, Wakamkasirisha kwa machukizo. Wazo hili la wivu wa Mungu

linaendelezwa katika Agano Jipya katika Kiapo Kipya, Roho Mtakatifu anakuja na

kuishi miongoni mwa Wakristo kuwapa nguvu ya kupenda na kumtukuza Mungu na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutembea kwa kumwamini yeye. Hata hivyo, wakati tunapochagua kitu au mtu badala

ya Mungu bibilia inasema katika Yakobo s 4:5 kwamba Roho Mtakatifu analipa kisasi

kwa hili ‘Huyo Roho akaaye ndani yenu hututamani kiasi cha kuona wivu?.'

Hivyo, swali linaibuka, fedha inaweza kuwa Mungu wa uongo na sanamu ambayo watu

huabudu? – mara nyingine tena Agano Jipya na Agano la Kale vyote kwa pamoja

vinakubaliana katika hili. Kama wana wa Israeli waliojiandaa kuingia katika nchi ya

ahadi na kuingia katika ukamilifu ambao Mungu amepanga kwa ajili, hata kabla ya

hawajaingiza miguu ndani walipewa onyo juu ya nini utajiri unaweza kutenda kwa mtu.

Wingi wa fedha unaweza kuwaongoza watu kuwa wanaojitegemea na kuwa mbali na

maisha ya kila siku ya uaminifu na mahusiano na Mungu. Mbaya zaidi inaweza

kuwapelekea watu kumwibia Mungu utukufu ambao ni kwa ajili yake na kudanganyika

kwa fedha inaweza kuwafanya watu wakajisifu kwa ajili ya mambo mazuri ya maisha.

Kumbukumbu 6:10-12 ‘Tena itakuwa atakapokwisha Bwana wako, Mungu wako,

kukuleta katika inchi aliyowaapia baba zako, Ibrahimu na Isaka naYakobo, ya kuwa

atawaopa miji mikubwa mizuri usiyojenga wewe ,na visima vimefukuliwa usivyo

vifukua wewe, mashamba ya mizabibu na mizeituni usiyoipanda wewe, na we utakula

na kushiba; ndipo ujitunze, usije ukamsahau Bwaba aliyekutoa katika nchi ya Misri,

nyumba ya utumwa.'

Kumbukumbu 8:10 ‘Utakula ushibe, utamshukuru Bwana, Mungu wako, kwa nchi

nzuri aliyokupa. Jihadhari, usije ukamsahau Bwana, Mungu wako......... na moyo wako

ukajivuna na kumsahau Bwana, Mungu wako.'

Kumbu kumbu 8:17 ‘Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu, na uweza wa mkono

wangu ndiyo ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana

ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri.'

Tunapohamia katika Agano Jipya, Yesu mwenyewe alionyesha hili katika mazingira

haya na nakosa katika Luka 16:13 wakati alipotambua fedha kama mungu wa uongo,

‘Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; Kwa maana, ama atamchukia

huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi

kumtumikia Mungu na mali.'

Aliendelea kusema katika lugha yenye nguvu kwamba watu wanapopenda fedha kabla

ya kumpenda Mungu inakuwa chukizo katika macho ya Mungu, ‘kwa maana lilitukuka

kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.' (mstari wa 15).

Mwisho, kama mistari miwili hapo chini inavyoonesha, mtu mwenye tama ambaye

anapenda fedha anatazamwa na Mungu kama mwabudu sanamu.

Waefeso 5:5 ‘Maana neno hili mnalijua hakika, ya kuwa hakuna mwasherati wala

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa

Kristo na Mungu.'

Colossians 3:5 ‘Basi, vifisheni viungo nyenu vilivyo katika nchi: uasherati, uchafu,

tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu.'

Hivyo kwa kuitimisha tunaweza kusema kuwa tuamini na kupokea mambo mazuri ya

Mungu katika fedha ili tufurahie kila anachotupatia. Hata hivyo, tuwe makini kwamba

baraka zake zinakuja na maonyo kuwa, fedha inaweza kuwa mungu wa uongo, na

ikawa kuishia kuabudu mungu wa uongo. Kwa hiyo, labda tumalizie sehemu hii kwa

kutahadharisha kuwa bibilia inasema kuwa si juu ya fedha – sababu fedha ni uovu –

lakini ni juu ya upendo wa fedha ambao ndio onyo kuu kwa watu wa Mungu ambao

unakuja na utajiri ambao Mungu amependa kuwapa watu wake.

1 Timotheo 6:9 ‘Lakini hao watakao kuwa na mali huangukia katika majaribu na tanzi,

na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotofu

na uharibifu.' Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha.'

2 Timotheo 3:1 ‘lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwepo nyakati

za hatari; maana watu watakuwa wenyekujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha.'

Waebrania 13:5 ‘Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo.'

Mhubiri 5:10 ‘apendaye fedha hatashiba fedha, wala apendaye wingi hatashiba

maongeo.'

Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini

Maombi kwa ajili ya Belarus

watu 10,236,181, idadi kubwa ya watu wa hali ya chini

Madhara ya Chernobyl badi yanagusa hisia za mazingira na afya ya watu wake.

© www.operationworld.org

10. Fedha Inakuja na Uwajibikaji

Katika Bibilia Yako Soma Haya kwa Sauti: 2 Wakorinto 5:9-10

Kumbuka Mstari Huu: Warumi 14:12 ‘basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa

habari zake mwenyewe mbele za Mungu.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Namna gani Yesu anatuwajibisha katika shughuli

zetu za kifedha siku ya hukumu?

Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Tafuta aina ya watu ambao Yesu

anawaita ndugu zake katika Mathayo 25:31-46 (wenye njaa, wagonjwa, wafungwa) na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuwapa kitu.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika kurasa moja kuhusu kitu kinacho tofautisha

kondoo na mbuzi katika mathayo 25:31-46

Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya hii: Hebrews 9:27

Katika Wakorinto wa 2, 5:10 Paulo anazungumzia ahadi mbili za kiulimwengu ambazo

kila moja inapasa kifo na hukumu na kama waamini tunapaswa kumpa nafasi Yesu kwa

namna ambavyo tumeishi maisha yetu. Hakika Yesu alizungumza mifano kadhaa juu ya

siku hii ya hukumu na kuonyesha kwamba moja ya mambo ambayo tunapaswa kumpa

nafasi ni juu ya ambavyo tunadhibiti fedha.

Sehemu hii inakusudia kuweka wazi ukweli kwamba pamoja na utajiri kupatikana

uwajibikaji huongezeka labda kama ukweli huu ungeeleweka katika mwili wa Kristo

ndipo mafuriko ya fedha yatajitokeza kwa mtu mtafutaji na akaunti ya benki ya kanisa

na kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Moja ya mifano mikubwa ambayo Yesu aliisema kuhusu fedha na siku ya hukumu ni

mfano wa mtumishi mwaminifu katika Mathayo 25:14-30. Hapa, watumishi wawili

ambao wamekuwa waadilifu na waaminifu katika fedha ambazo wamepewa na kusifiwa

kwa uaminifu wao laki ambaye hakuwa makini katika kuzifanyia kazi fedha hizo

ambazo amepewa analaumiwa siku ya kutoa hesabu.

Je hii inamaanisha kwamba Wakristo waliongia katika utajiri wa Mungu watapata moja

kwa moja “sifa ya kufanya vizuri na kuwa watumishi waaminifu,’ au kuna zaidi ya

hayo? Vema, kama tukisoma katika mstari unaofuatia (Mathayo 25:31) Yesu

anazungumza mfano mwingine kuhusu siku ya hukumu na kutoa maoni zaidi juu ya

wajibu wa uwajibikaji na fedha.

Wale waliothibitishwa ni wale ambao wamefanya jambo kuhusu kutumia muda wao,

fedha na uwezo wao kusaidia waliopotea, jamii ya mwisho na ya karibu na mwisho ni

ile iliyolaumiwa ambao hawakufanya kitu.

Si busara kupendekeza kwamba sehemu kubwa ya huduma kwa ajili ya watu wasio na

fursa ni kwamba watu wanatumia fedha kwa ajili ya chakula kwa wenye njaa, kunywa

kwa wenye kiu, ukarimu kwa wageni, mavazi kwa walio uchi, dawa kwa wagonjwa na

zawadi kwa wafungwa?

Hakika, Je Yesu hatapitia na kusifia wale ambao wamekuwa waaminifu kwa kuwekeza

fedha katika kazi za kuwafikia wengine kama zile ambazo zimeelezewa katika Mathayo

25:34-36 wakati wanalaumiwa wale ambao walijikweza kumfahamu yeye lakini

hawakuthibitisha kujitoa kwao kwa ajili yake kwa kuwekeza fedha katika kazi zake

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

duniani?

Mifano hii miwili katika Mathayo sura ya 25 kuhusu siku ya hukumu na fedha kwa hiyo

inaonekana kuonyesha kuwa fedha ni jambo muhimu la uwajibikaji. Mungu anatazamia

watu wake kuwa waadilifu na waaminifu katika fedha waliyonayo na ili waongeze kile

walichopewa, na Mungu anatarajia zaidi watu wake kutumia fedha zao kuwekeza katika

maisha ya wale walio katika jamii ya chini na kuuleta Ufalme wa Mungu kwao.

Hakika, Yesu anazungumzia mfano zaidi katika Luka 19:12-27 ambao unafanana na

mfano wa mtumishi mwaminifu, maudhui yanayofanana kama ilivyo katika mfano huu

kwamba watu wamepewa kazi ya kuzalisha fedha (mstari wa 13) na wanapata hukumu

kulingana na matendo yao.

Yakobo pia anotoa makaripio yanayochoma kwa ‘Wakristo’ matajiri ambao hawafanyi

chochote na utajiri wao na kusema kwamba wanaimani iliyokufa, (katika namna

inayofanana Yesu anawaumbua wanafiki katika Mathayo 25:40-43).

Yakobo 2:15 anasema ‘Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na

kupungukiwa na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, enendeni zenu kwa amani,

mkaote moto na kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini? Vivyo hivyo na

imani, isipokuwa ina matendo, imakufa nafsini mwake.' Katika barua yake, mtume

Yohana anaungana na Yakobo katika makaripio yake kwa ‘Wakristo’ matajiri ambao

hawawekezi fedha zao kwa watu wanaoumia na wenye uhitaji na kuuliza wapi upendo

wa Mungu upo katika maisha yao waraka wa 1 Yohana 3:17 ‘Lakini mtu akiwa na riziki

ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni muhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo

wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?

Mistari hii katika Yakobo2:15 na 1 Yohana 3:17 inatumika sana kwa uchungu kwa

mamilioni ya Wakristo matajiri wa leo wanaosikia taarifa katika maeneo ya matukio na

kuona katika runinga dunia ya mahitaji, hususani miongoni mwa jamaa zao wanaoamini

na kutofanya chochote juu ya hili. Siku ya hukumu inakuja na matajiri wana wajibu

mkubwa juu ya Mwana wa Mungu aliyefufuka, wale waliowekeza kwa Mfalme na

Ufalme wake wataitwa ‘Wema na watumishi wazuri’ (Mathayo 25:23). Wale ambao

hawajatangaza kuwa na imani iliyokufa na bila ya upendo wa Mungu katika mioyo yao.

Hakika itakuwa maono ya ajabu katika siku ya hukumu wakati Wakristo wengi ambao

wameonyesha mitego yote ya kidini na kuheshimiwa watakuja mbele ya Enzi ya

Mfalme Yesu. Waraka wa 1 Samweil 16:7 inasema, ‘Bwana haangalii kama binadamu

aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali Bwana huutazama moyo.'

wanachama wengi wa makanisa ambao hawakuwajali masikini, wajane na yatima

wataumbuliwa na watarajie kuamshwa kwa hasira.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Nini kitatokea kama utakufa jioni ya leo na ukatakiwa kutoa hesabu kwa Yesu juu ya

shughuli zako za kifedha – uko tayari kwa ajili ya hukumu ambayo wote wanaifahamu

ambayo inakuja dhidi ya fedha zetu? Angeweza kusema ‘Umefanya vizuri mtumishi

mwema na mwaminifu’ kwenu kwa namna mlivyodhibiti fedha?

Kila fedha ya mwisho ambayo tumewahi kuimiliki tutatoa hesabu zake namna ambavyo

tumepata na kuitumia. Hii itatusababishia kufikiri kwa makini ni kwa vitu gani

tunatumia fedha zetu na namna tunavyodhibiti kazi za fedha zetu. Wakristo wengi

katika siku ya hukumu watajutia kwa kutumia kiasi kikubwa cha fedha sababu ya ukweli

kwamba hawakuwa waaminifu katika kazi zao za kifedha, na kwasababu ya ukweli

kwamba hawakuwa waaminifu katika kazi zao za kifedha, vyote vitakavyoletwa itakuwa

ni kuongezeka kwa wajibu na hasara ya zawadi ya ufalme katika siku ya hukumu.

Bibilia inaonya kwamba kama tunatafuta Baraka za Mungu tunatakiwa kufanya hivyo

katika ufahamu wa kweli juu ya kifo, hukumu na zawadi ya pepo na matumizi ya fedha

tukiwa na ukweli huu akilini.

Warumi 14:10 b ‘kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha

Mungu...Ndipo kila mmja wetu atatoa heasabu yake mbele za Mungu.

Wahebrania 9:27 ‘Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya

kufa hukumu.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini

Maombi kwa ajili ya Benin

Watu 11,109,357, Uislam na Ukristo

unashindana na dini za jadi

Rais ni mwamini na kanisa linakua

lakini tafsiri ya bibilia inahitajika sana. © www.operationworld.org

11. Fedha Inahitaji Hekima

Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Methali 2:1-11

Kumbuka Mstari Huu: Methali 4:7 ‘Bora hekima. Basi jipatie hekima.'

Baada ya Hapo Zungumzia Haya: Namna gani tunaweza kupata haki ya hekima

kudhibiti fedha zetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Soma Yakobo 1:5 na umuulize

Mungu akupe hekima katika kazi zako za kifedha

Kazi ya Diploma ya kuandikak: Andika ukurasa mmoja juu ya njia za hekima na

zisizo za hekima ambazo mkristo aweza kutumia kudhibiti fedha zake.

Tafakari Neno Baada ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 16:16

Mwongozo zadi wa utajiri ambao bibilia inaudhihirisha ni hitaji kuu la kupata hekima

kujua namna ya kutumia na kuwekeza na kutumia fedha ambazo Mungu anataka

kuziweka katika mikono yetu. Katika sehemu hii tutaonyesha mengi katika kitabu cha

Methali, ambacho kimeandikwa zaidi kwa sifa zisizo za kawaida kutoka katika bibilia –

kama Mfalme Sulemani. Sulemani alikuwa na sifa ya kuwa mtu mwenye hekima nyingi

duniani katika nyakati hizo na kuwa tajiri sana ambaye amewahi kuishi (ona mwenyewe

katika waraka wa 2 wa Mambo ya Nyakati sura ya 1). Matokeo yake, kunaweza kuwa

na watu wachache ambao wanaweza kuzungumziwa kuhusu hekima na kazi za fedha

ambazo zinazidi za Sulemani, na katika kitabu cha Methali anaelezea ukweli mwingi

kwa ajili yetu.

Methali 4:7 inasema ‘Bora hekima, basi jipatie hekima.'Bora hekima, basi jipatie

hekima. Naam kwa mapato yako yote jipatia ufahamu.' kwa hiyo bibilia inatuambia

kwamba kabla ya kutafuta chochote katika maisha tutafute kwanza hekima na Mtazamo

wa Mungu katika hilo. Hili ni muhimu hasa katika fedha zetu – fedha ni kama mnyama

pori ambaye anatakiwa kutegwa – tunataka hekima ya Mungu ili kujua namna ya

kudhibiti na kuzuia isiharibu mahusiano yetu na Mungu. Labda unatafuta kwa kiasi

maisha yako yaliyo mazuri sana na kuona Mungu anafingua milango ya fedha, lakini

umeshatafuta hekima zake kujua namna utakavyodhibiti na kutawala hiyo fedha?

Kitabu cha Methali kina mengi ya kusema kuhusu hekima moja ni maono

yanavyoshangaza ni kama inavyoonyeshwa, hekima inapaswa kuthaminiwa kuliko

tunavyothamini fedha. Hii ni kweli na ni kofi usoni kwa Wakristo wengi ambao

wamefanya Baraka za Mungu kuwa kama sanamu katika maisha yao na wanajali tu

kuwa matajiri haraka na kutofikiria namna ya kutumia fedha. Nini unachothamini sana –

hekima au fedha?

Mungu anapenda tuwe na vitu vyote viwili lakini mtiririko wa mambo inapaswa kuanza

na hekima na baadae fedha (na si fedha kwanza na baadae hekima wakati akaunti ya

benki imejaa!). Hebu angalia jinsi bibilia inavyopanga viwango na kuthamini hekima

zaidi kuliko fedha, dhahabu, madini ya fedha au mawe ya thamani.

Mithali 2:3 ‘Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu, Ukiutafuta kama

fedha, Na kuutafuta kama hazina iliyositirika, Ndipo utakapo fahamu kumcha Bwana,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Na kupata kumjua Mungu.'

Methari 3:13 ‘Heri mtu yule aonaye hekima, na mtu yule apataye ufahamu, maana

biashara yake ni bora kuliko biashara ya fehda, Na faida yake ni nyingi kuliko faida ya

dhahabu. Yeye ana thamani kuliko marijani, wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.'

Mithali 16:16 ‘Si afadhari kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua

ufahamu kuliko fedha.'

Nini unathamini zaidi ukijua namna ya kupokea Baraka za Mungu katika maisha yako

au kujua namna ya kudhibiti na kutafuta Baraka? Ahadi ya ajabu katika kitabu cha

Methali ni kama tukitafuta hekima zaidi ya vitu vyote (ikiwa ni pamoja na fedha) hivyo

kwa kufanya hivyo tutakuwa tumebarikiwa na kutajirishwa na Mungu sababu tumeweka

vipaumbele vyetu sahihi. Hekima ni jambo binafsi kama ilivyo kwa mwanamke

mwelevu katika kitabu cha Methali ambae alizungumza na kuwaelekeza watu wa

Mungu – alitangaza tukiwa tunamtafuta na hekima zake kabla ya vitu vingine, atatujaza

utajiri na heshima.

Mithali 3:16 ‘Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume,Utajiri na heshima

katika mkono wake wa kushoto.'

Mithali 8:17 ‘Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona,

Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo na haki pia.'

Kanuni hii ni sawa sawa kabisa na vile Yesu alivyokuwa akisema katika Mathayo 6:33

aliposema ‘Tafuteni kwanza Ufalme wake na haki yake, na hayo mengine mtazidishiwa.'

Hatimaye, kama unataka kuingia katika mambo mema ya Mungu hivyo tafuta kwanza

Ufalme wake na hekima yake juu ya vitu vyote mtafute Mungu kabla ya Baraka za

Mungu na ukifanya hivyo utapata Baraka za Mungu. Muombe Mungu mambo mema

zaidi katika maisha yako, mtafute kwa ajili ya Baraka zake zote alizonazo kwa ajili

yako, lakini tafuta pia hekima ya Mungu kujua jinsi ya kudhibiti, kwa sababu hekima ni

ya thamani kubwa kuliko fedha.

Mfalme Sulemani ni mfano mzuri katika bibilia, mtu aliyepata kipaumbele moja kwa

moja na kutafuta hekima na matokeo yake Baraka za Mungu zikamfuata Mfalme huyu.

Katika 1 Wafalme 3:5 tunamwona Sulemani anapoanza kutawala kama Mfalme katika

Israeli na anapokutana na Mungu katika ndoto anaomba hekima ili kutawala kwa

uadilifu, hapa hakukutajwa ombi la fedha. Maombi yake yanamfurahisha Bwana, na

sababu ya ukweli ni kwamba Sulemani alimweka Mungu na hekima zake kuwa wa

kwanza, Sulemani alipewa si hekima tu bali pia na utajiri.

1 Wafalme 3:11 inasema, ‘Mungu akamwambia, kwa kuwa umeniomba neno hili wala

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka

roho za adui zako; bali umejitakia alikili za kujua kuhukumu; basi, tazama nimefanya

kama ulivyosema. Tazama nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako

hapatakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe, na mambo

yale usiyoomba nimekupa, mali na fahari, hata hapatakuwa na mtu katika wafalme kama

wewe.'

Mwisho, tunaona katika Zaburi 49:20 onyo la hatari ambalo bibilia linatoa kwa wale

wenye fedha lakini hawana hekima au kukua kiroho kuidhibiti, ‘Mwanadamu mwenye

heshima, iwapo hana akili, Amefanana na wanyama wapoteao.' Labda moja ya maombi

mazuri ambayo tunaweza kuomba kwa ajili ya maisha yetu ni kuwa na hekima katika

kila tunachofanya, na kufahamu utashi halisi wa Mungu katika mazingira yetu.

Mwangaza wa maonyo na mwangozo umetajwa katika bibilia juu ya hekima ya

kudhibiti fedha zetu, tunapaswa kumtafuta Mungu muda wote kuelekeza masuala ya

fedha zetu.

Wakati gani ilikuwa mara ya mwisho kuomba juu ya gari lipi ununue au nyumba ipi au

mapumziko? umeomba angalau kuhusu manunuzi madogo au umetumia fedha katika

kile unchohitaji wakati unapohitaji. Imetolewa hoja kwamba kama unataka kufanya

manunizi makubwa hivyo kabidhi hilo kwa Mungu kwa maombi ya wiki 1 kabla ya

kutaka kununua hicho na kumpa Mungu muda wa kukupa uthibitisho wa amani kwamba

uko katika utashi wake.

Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa Maskini

Omba kwa ajili ya Bhutan

Watu 2,123,970 ya Wakristo wanatawaliwa na wabudha pamoja na wahindu

lakini Neno la Mungu linahubiriwa © www.operationworld.org

12. Fedha- Mpotoshaji wa Nafsi zetu

Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Yeremia 17:9

Kumbuka Mstari Huu: 1 Timotheyo 6:10 ‘Maana shina moja la mabaya ya kila namna

ni kupenda fedha.'

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Mifano ipi inayoonyesha fedha zinaweza

kusababisha watu kutenda kwa namna isiyo ya ki-Mungu

Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama inawezekana, jaribu kutafuta

mtu aliye wahi kupotoshwa na fedha, na umshirikishe majadiliano hayo.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi ya Diploma ya kuandika: kwa kuwa kupenda fendha ni shina la mabaya ya kila

namna, andika upande mwingine uelezee kama fedha yenyewe ni uovu.

Tafakari Neno Baada ya Neno Katika Aya Hii: Ebrania 13:5

Baada ya kuona katika sehemu iliyopita baadhi ya maonyo ya kibilia yanayohusu fedha,

sehemu hii itaangalia baadhi ya vitu hatari ambavyo fedha inasababisha watu kufanya.

Bibilia inaonesha wazi wazi kuwa asili ya binadamu ni dhaifu, iliyoshindwa na

kudanganywa, hata hivyo inaweza kuonekana kuwa wakati ambapo asili ya mwanadamu

haitaweza kubadilika kuwa mbaya, fedha inakuja na kuindoa. Pesa inaamsha yote

ambayo yameoza na mabaya na kugeuza na kupotosha mioyo yetu – kutufanya kuwa na

tamaa, walafi, wadanganyifu na yote mabaya. Kuongeza ushawishi wa fedha kwa asili

ya binadamu ni kama kuongeza mafuta katika moto – zinaweka mazingira kuwa mabaya

zaidi. Kwasababu ya pesa watu watafanya mambo usiweza kuamini kwa kutumia fedha

– fedha ni chanzo cha mambo mabaya ambayo hayajawahi kuzungumzwa na uhalifu

ambao haujawahi kuzungumzwa na shughuli haramu. Kwa sababu ya fedha, watu

watafanya mambo kinyume na sauti ya ufahamu wao, na hata sauti ya Roho Mtakatifu

na kufanya mambo ya mabaya – Baadhi ya mifano iko hapo chini.

Watu wakali na wauaji watafanya zaidi hata kuua binadamu mwingine kwa ajili ya

fedha. Wanawake watafanya umalaya na kujiuza kwa ajili ya picha za ngono kwa ajili ya

fedha. Wafanya biashara ya utumwa watauza wanadamu wenzao katika utumwa kwa

ajili ya fedha. Wazazi watauza hata watoto wao katika ukahaba kwa ajiili ya fedha.

Katika kufuatilia taaluma na fedha, Wazazi wataruhusu shule za awali kuibua na

kufundisha mambo ya thamani kwa watoto wao badala ya wao wenyewe kufanya

hivyo.Wanaojihusisha na madawa ya kulevya watauza madawa na kusababisha athari

zisizoelezeka kwa jamii ili kupata fedha. Wafanyakazi watafanya ngono na mabosi wao

ili kupata cheo na kupandishwa mshahara. Watu wanaopokea rushwa wako tayari

kufanya lolote kwa wale wanaohusika na ulinzi na kudhuru maisha ya watu kwa ajili ya

fedha . Watekaji nyara watateka binadamu wenzao na kutaka fedha ili kuwaachia

waliowateka.

Vibaka watasababisha maumivu ya mwili kwa binadamu wengine ili kupata fedha

kutoka kwao. Watu wataiba kutoka katika familia zao ili kupata fedha kidogo. Matapeli

watatumia kila njia ya hila na kulaghai watu wazima ili kupata fedha toka kwao. Watu

watatafuta jamaa matajiri wa jinsia tofauti ili kuoa/ kuolewa nao ili kupata fedha. Watu

wataua jamaa wa familia zao ili kupata urithi wa haraka. Viongozi wachache wa kanisa

wataomba kwa ajili ya Baraka za Mungu kwa ajili ya maisha yetu – kama tutawapa kiasi

kikubwa cha fedha! Watu watamkataa Yesu katika kiwango cha juu na upendo na

wokovu wake utapotea na kuabudu fedha.

Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Omba kwa ajili ya Bolivia

watu 8,328,665, Idadi kubwa ya Wakatoliki, madawa ya kulevya yanaathiri vijana, uinjilist unakuwa – Ukatoliki unapungua.

© www.operationworld.org

13. Uwakili

Katika Bibilia Yako Soma Haya: Warumi 14:7

Kumbuka Mstari Huu: Psalm 24:1 ‘Nchi na vyote viijavyo na mali ya Bwana,Dunia

na wote wakaao ndani yake.

Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Fedha katika mfuko wako ni mali yako au ya

Mungu?

Mambo ya kufanya kabla ya wakati mwingine: Omba kwa ajili ya mfuko wako wa

fedha, kitabu cha hundi na kadi za mkopo, ili uvitumie kwa ajili ya utukufu wa Mungu

Kazi ya Diploma ya kuandika:Andika kwa upande mwingine kuhusu kuwa wakili wa

fedha za Mungu.

Tafakali Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: 1 Nyakati 29:14

Baada ya kuona sehemu zilizotangulia dhamira ya Mungu kutubariki na maonyo na

malengo yanayoambatana na wingi wa vitu, sehemu hii itaangalia katika majukumu

ambayo tunakuwanayo tuposhirikiana naye katika kutoa Baraka zake. Itakuwa katika

kumbukumbu zetu milele kwamba hatupati Baraka za Mungu katika maisha yetu, hivyo

kikwazo ni juu yetu. Baraka za Mungu zimekuwa zikimiminika katika maisha yetu na

neema zake na wema uliminika na utaendelea kumiminika kwetu lakini tuna uwezo wa

kuzuia mambo yake mazuri katika maisha yetu.

Sehemu hii mahususi itaangalia eneo la Uwakili na namna Mungu anavyotuita kuwa

wanafunzi katika Ufalme wake.Uwakili ni pale ambapo mtu anamwamini mwingine

kwa ajili ya kusaidiwa akiendelea kumiliki vitu ambavyo amepewa. Kwa mfano fikiria

unakwenda kwa ajili ya safari fupi ya kimishionari kwa miezi na kumuomba mtu

akutunzie nyumba yako hivyo mtu huyu atakuwa wakili wa nyumba yako. Katika

maeneo ya fedha,Uwakili una kanuni 2 zifuatazo:

1. Kila kitu katika dunia ni mali ya Mungu (ikiwa ni pamoja na fedha)

2. Pesa tuliyonayo hivyo ni ya Mungu na tunaitumia kwa niaba yake na kwa ajili ya

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

faida yake.

Kwamba Mungu kumiliki kila kitu ni ukweli ambao umeelezwa vizuri katika maandiko

kwa mfano Zaburi inasema

Zaburi 24:1 ‘Nchi ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo, Dunia na wote wakaao ndani

yake'.

Zaburi 89:11 ‘Mbingu ni mali yako, Nchi nayo ni mali yako, ulimwengu na vyote

viiujazavyo, Ndiwe ulieupiga msingi wake'.

Walawi 25:23 ‘Nayo nchi haitauzwa kabisa kabisa, kwani nchi ni yangu mimi; maana

ninyi ni wageni na wasafiri wangu.’

Si tu dunia ni mali ya Mungu bali maandiko yanasema kuwa kila binadamu ni mali ya

Mungu wale ambao wamekuwa Wakristo ni mali ya Mungu katika hali ya kipekee

kabisa, kuishi maisha yao kwa ajili ya Mungu na kutokujifurahisha wenyewe. Hatimaye,

sifa hii ya ubinafsi na kutokujitegemea hakika inamsikitisha Mungu ambaye ametokwa

damu na kutuokoa katika giza ili tuishi kwa ajili yake. Kabla ya Mungu kuumba

ulimwengu na kabla ya binadamu kuwa katika tumbo la mama, Mungu alitengeneza

mpango kwa ajili ya maisha yao na watatembea na kupata furaha kubwa kuingia katika

mpango wake. Hakika kila Mkristo ni lazima aachane na utashi wake, mipango, ubinafsi

na kutokujitegemea ili kupata matakwa na mpango ambao Mungu anao kwa ajili yao.

Yeremia 10:23 ‘Ee Bwana, najua ya kuwa njia ya mwanadamu haimo katika nafsi yake,

kuelekeza hatua zake si katika uwezo wa mwanadamu.'

Rumi 14:7 ‘kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishie kwa nafsi yake, wala

hakuna afaye kwaajili yake.'

1 Kor. 6:19 ‘Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho mtakatifu aliye ndani

yenu, mliyepewa na Mungu? wala si mali yenu wenyewe.'

1 Kor. 6:19 ' Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliyendanin

yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe maana mlinunuliwa

kwa thamani.'

Ukweli halisi ni kwamba dunia yote na kila kilichomo ndani yake ni mali ya

Mungu,fedha na dhahabu pamoja na mawe yote ya thamani na mali zote ndani yake ni

mali yake. Hii ina maanisha kwamba watu wa Mungu wanapaswa kuahca majivuno ya

kutumia fehda zao kama wapendavyo kwa sababu ya kudai kuwa, 'Nguvu zangu

zimenipatia fedha' Si fedha zao bali ni za Mungu.ikiwa milki yetu ya fedha ni ya Mungu

tunapaswa kuwa makini kutumia fedha ya Mugnu kwa njia anayotaka yeye sisi tuitumie.

Namna hii ya kutazama pesa zetu kiuhalisi kama za Mungu ni jambo linalotambuliwa

na Wakristo wachache,kutumia fedha katika tabia na hasara zao katika kumtafuta Mungu

juu matumizi ya fedha yake inaonyesha kwamba wana fedha kama milki zao.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Daudi ni mfano mzuri sana wa mtu ambaye kuelewa kwamba kila kitu katika maisha

yetu ni mali ya Mungu na sisi tunatakiwa kutumia kwa busara kwa niaba yake.Wakati

wa kutoa kwaajili ya ujenzi wa hekalu yeye anatangaza katika 1 Nyakati 29:14 Vitu

vyote vyatoka kwako,na katika vitu vyako mwenyewe tumekutolea. Kwani sisi tu

wageni mbele zako, na wasafiri, kama walivyokuwa baba zetu wote ni kama kivuli siku

zetu duniani, wala taraji la kuakaa hapana. Ee Bwana Mungu wetu, akiba hii yote

tuliyoiweka, ili tukujengee nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu yote yatoka mkononi

mwako na yote ni yako wewe.'

Mfano zaidi ya ukweli kwamba fedha zetu ni fedha ya Mungu inapatikana katika

Matendo 4:32 ambayo inaeleza mfano wa jinsi waumini wanapaswa kushughulikia mali

na fedha. Hapa, maandiko ya kanisa la kwanza kutangaza kwamba ' Hakuna mtu yeyote

aliyedai kwamba kuwa ni mali yake binafsi , ila waligawana vyote walivyokuwa navyo .

Waumini walikuwa wamekata madai yote na haki ya pesa na mali kwamba walikuwa

tayari kushiriki hivyo kama walivyoongozwa na Mungu.

Ili tuweze kuona kibiblia kwamba dunia yote , watu wote ndani yake, mali yote ndani

yake na fedha zote ndani yake ni mali ya Mungu . Mungu kwa neema nia ya fedha yake

kwetu sisi ni kutarajia kuwa wenye hekima na bidii katika utunzaji wetu wa fedha yake

na kushirikiana pamoja naye katika kutumia fedha kuendeleza madhumuni yake duniani.

Hivyo , kama kanisa la kwanza uliofanyika madai yoyote ya umiliki juu ya fedha zao au

mali, lazima sisi tutambue kwamba wao ni wa Mungu. Mungu hutumia fedha zake

kuendeleza ukomavu, uwakili na Kristo katika tabia kama watoto wake na anatuita kwa

busara kushughulikia fedha yake.

Hivyo , unaweza kusema kwa moyo wako wote kwamba wewe unaona mali na pesa

kama si mali yako wewe lakini inamilikiwa na Mungu? Kama unaweza basi utakuwa

umetambua ni nini jukumu kubwa, kwamba ni kuangalia fedha ya Mungu kwa ajili

yake na kuwa wakili mwaminifu. Inaweza kuwa alisema kwamba Mungu anafurahi

kuwa na watoto ambao ni mawakili ambao hawaja haribiwa na fedha, na kwamba fedha

anazotaka kuweka katika maisha yetu ni kwa ajili ya kuendeleza tabia zaidi katika

anasa. Pesa inakuja kama mtihani kutoka kwa Mungu na katika kutumi inaonyesha

kiasi kikubwa juu ya uhusiano wetu na Mungu - ni kweli hutenganisha wanaume kiroho

kutoka kwa wavulana.

Hatua ya mwisho kuhusu uwakili ni kwamba lazima tutatoa hesabu kwa Mungu kuhusu

namana tulivyotumia fedha zake - hii imesemwa katika 1 Wakorintho 4:1-5. Kwanza

anasema katika aya ya 2 , 'Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili, ndiyo mtu

aonekane kuwa mwaminifu.'

Mungu amewaka fedha zake kwetu kwa namna ya kuendeleza uwakili na uwana kwa

watoto wake na kwa hiyo lazima tuwe makini na wenye juhudi katika kutumia fedha za

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mungu kwaajili yake. Kadri Mungu alivyowekeza fedha zake kwetu, anatazamia

marejesho ya kuwekeza kwake na ni jukumu zuri kwamba wote tunatakiwa kuwa

mawakili wa fedha za Mungu kwaajili yake.Hatutumii fedha zetu kwa njia tunayofikiri

ni bora lakini fikra zetu zinatakiwa ziwe juu ya kutumia pesa za Mungu kwa njia ya

Mungu.

Pili inasema katika mstari wa 5, 'Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata

ajapo Bwana, ambaye atayamulikisha yaliyostrika gizani na kuyadhihiridha mashauri ya

moyo ndipo kila mtu atakapo pata sifa yake kwa Mungu.' Kama matokeo ya bidii

uwakili wetu tutapokea sifa kutoka kwa Mungu ni jambo moja kwa ajili ya mwalimu,

kwa mzazi, kwa mke au Mchungaji kukusifu lakini unaweza ukafikiri kuhusu siku ya

hukumu Mungu atakapoimba sifa za wote wliokuwa mawakili wema wa vipawa vya

Mungu, upako, na fedha. Huzuni. Kwa wote ambao hawakuwa mawakili wa bidii juu ya

fedha za Mungu, hawatapata wimbo mzuri wa sifa zao na haijarishi kama wamekuwa

wakisifiwa na wachungaji, wazee, mashemasi na mapadre, kama hawakuwa mwakili

wema watapokea siku ya dhihaka usoni pao.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Botswana

1,622,220 watu ,Idadi kubwa ya watu ni wenye tamaduni za jadi / na dini

Wanaathiriwa na ukimwi na ufugaji, kanisa linahitaji kufundisha juu ya utume

wa Yesu. © www.operationworld.org

14. Baraka Zina Masharti Katika Uwakili Wetu

Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti: Mathayo 25:14-30

Kariri Aya Hii: Mathayo 25:23 'Vema, mtumwa mwema na mwaminifu !

Ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi'

Baada ya hapo Zungumzia Hili: Katika mfano wa talanta (Mathayo 25:14-30 ),

nini kinatofautisha kati ya wakili mwema na mbaya

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Andika maeneo ya fedha yako

kwamba Mungu anataka kuwa wakili mwema wa kutoa, kutumia na kuweka,nk

kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mmoja juu ya kiasi gani cha baraka zetu

zinategemea uwakili wetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Tafakari neno baada ya neno katika aya Hii: Kumbukumbu la Torati 30:19

Kupitia eneo la uwakili kiwango cha utimilifu wa baraka za Mungu maishani mwetu

tunachopata ni kikubwa zaidi kwetu- uwakili ni tendo aliloliwekla Mungu ambalo

pengine linafanya kazi kwaajili yetu au kinyume chetu. Biblia inatupa marejeo mengi ya

ukweli kwamba Mungu hutazama uaminifu na watu waaminifu kwa ajili ya fedha

zake,na zaidi tunavyokuwa mawakili bora ndivyo zaidi Mungu hutuamini. Baraka zetu

ni za masharti siyo juu ya Mungu kwa sababu yeye milele amekamilika na kukusudia

kutubariki, lakini zina masharti kulingana na jinsi tutakavyo zitumia na uwakili wetu juu

yake.

Katika Agano la Kale , hamu kubwa ya Mungu ilikuwa ni kuona watu wake walulia

katika nchi aliyomwahidia ibrahimu na uzao wake, na kuona wanastawi na kufanikiwa -

Kitabu cha Kumbukumbu kinaongelea hili mara nyingi. Si tu kwamba Mungu alitaka

kuingia katika urithi lakini pamoja na ushawishi huo ukatokea ujumbe kwamba kama

watingia katika furaha yake watatakiwa kuenenda katika kumtii na kukosa kutii kunge

wapelekea kuyakosa mema yake. Maandiko chini yote kutoka kitabu cha Kumbukumbu

la torati- yanaongelea mambo mawili kuhusu ukweli kwamba, Mungu amedhamiria

kutubariki lakini pia tunahitaji kutembea katika kumtii.

Kumbukumbu 7:12 "Naitakuwa kwa sababu mwazisikiliza hukumu hizi na kuzishika na

kuzitenda, basi Bwana Mungu wako atakutimilizia agano na rehema alilowaapia baba

zako naye atakupenda na kukubarikia na kukuongeaza tena ataubarikia uzao wa tumbo

lako, na uzao wa nchi yako nafaka zako na divai yako na mafuta yako maongeo ya

ng'ombe zako na wadogo wa kondoo zako katika nchi aliyo waapia baba zako kuwa

atakupa,

Kumbukumbu 15:4 'Lakini hawatakuwepo mskini kwenu, Kwa kuwa Bwana

atakubarikia kweli katika inchi akupayo Bwana, Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako

kwamba utaisikiza tu kwa bidii sauti ya Bwana Mungu wako uyatunze maagizo hayo

yote nikuagizayo leo kuyafanya.'

Kumbukumbu 28:1 "Itakuwa utakapasikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii,

kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana Mungu wako

atakapo kutukuza juu ya mataifa yope ya duniani, na baraka zote hizi zita kujilia na

kukupata usikiapo sauti ya Bwana Mungu wako.

Kumbukumbu 29:9 'Shikeni basi maneno ya agano hili myafanye, ili mfanye,ili

mfanikiwe katika yote mfanyayo.

Kumbukumbu 30:9 'Na Bwana,Mungu wako, atakufanya uwe na wingi wa uheri katika

kazi yote ya mkono wako, katika uzao wa tumbo lako, na katika uzao wa ng'ombe wako,

na katika uzao wa nchi yako;kwa kuwa Bwana atafuarahi tena juu yako kwa wema,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kama alivyofuarahi juu ya baba zako; Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana,Mungu wako,

kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizo andikwa katika chuo hiki cha torati.'

Mawazo mawilim makuu yametokana na maandiko hapo juu ni shauku ya Myngu,

kubariki watu wake na ni jukumu kwamba watu wa Mungu kuachilia hizo baraka

ambazo zimetokana na utiifu.Na ijulikane tena kwamba baraka za Mungu maishani

mwetu zinatokana na mengi tuyafanyayo sisi kuliko Mungu, kama maandiko hapo chini

anavyoonyesha kwamba Mungu mwenyewe ametangaza hivi kuwa jambo na sababu ya

watu wake kuchukua baraka. Hivyo, kama unataka kujua baraka za Mungu lazima

uchague kwamba unazitaka na unatembea katika utii kwa Mungu ili kuzipata.

Kumbukumbu 11:26 'Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana.'

Kumbukumbu 30:15 'Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti

na mabaya.'

Kumbukumbu la Torati 30:19 'Nazishuhudaza mingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa

nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima,ili uwe

hai, wewe na uzao wako.'

Wazo hili la utii linaloleta baraka liko katika Agano jipya na limefundishwa na Yesu,

(Hasa katika maeneo ya fedha) katika mfano wa taranta (Mathayo 25:14-30) na Mfano

wa Fedha ( Luka 19:11) taranta na kabaila ni wahusika wakuu wa fedha katika wakati

wa Yesu.kuhusu uwakili unatamkwa katika Mathayo 25:14,'Maana ni mfano wa mtu

atakaye kusafiri, aliwaita watumwa wake, wakaweka kwao mali zake.'

Hapa tunaona tunamuona Yesu akisema kwamba fedha ni mali ya Mungu na

tumeaminiwa naye, kutumia kwaajili ya faida zake na utukufu. Mifano yote

inatuonyesha ukweli kuhusu watumwa waaminifu ambao wanatumia fehda kwa hekima

na hata wakipata kwa ziada, yule mabaye hakutumia fehda kwa hekima akiishia kuwa

hana chochote.

Utaratibu wa uwakili kuachilia baraka za Mungu, na ni ulinzi kwetu na kwa Mungu na

Mungu hutafuta mawakili waaminifu na wenye bidii ambao anaweza kuwaamini

kwaajili ya fehda zake na ambao watatumia kwa hekima. Methali 10:22 inasema,

'Baraka ya Bwana hutajirisha, wala hachanganyi huzuni noyo.'

Mungu hakika hatabariki wakili asiyemwaminifu ni kwamba baraka zisimletee matatizo

na kusababisha mtu kamsahau Munguau kutawanya fedha kwaajili ya tamaa zake

mwenyewe. Tukielevuka na kutumia pesa kwa hekima hakika ni furaha ya Mungu

kutubariki zaidi na zaidi, lakinini jukumu letu kujihakikisha kwamba ni waaminifu na

tunaaminiwa na Mungu kwaajili ya pesa zake.

Swali tunalotakiwa kujiuliza wenyewe, ni nini tunatakiwa kufanya ili tuwe mawakili

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

wema wa pesa za Mungu? Chini ni orodha ya maeneo yanayotakiwa kuhusika na haya

yataelezewa katika kurasa zijazo.

Kutoa kupata

kuokoa Kuwekeza

mikopo Kukopa

Kutumia Kupokea

pengine unahutaji thamani ya umakini, ulikuwa unatumiaje pesa za Mungu wakati

uliopita? Na pengine una amani moyoni kwamba Mungu anpendezwa na uwakili wako

kwa pesa zake.mahusiano yetu ya fehda ni muhimu na njia makini inatakiwa kuhusika,

na tabia yetu kuhusu mambo ya fedha zetu wakati pesa zikiwa chini ya miliki yako

hazimilikiwi na wewe au siyo za kwako,hauna jambo la kuzitumia ili kumpendeza

Mungu na hivyo kutumia kwaajili ya utukufu wa Mungu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Brazil

170,115,463 ya watu , idadi kubwa ya wamishonari hutuma Taifa.

Omba kwa ajili ya watoto wa mitaani ambao wameathiriwa na wimbi la uovu na

giza. © www.operationworld.org

15. Kutoa Ni Fursa Ya Uwakili

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Waebrania 10:38

Kariri Aya hii: Waebrania 11:6 "lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa

maana mtu amwndeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na kwamba huwapa

thawabu wle wampendao.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Je, kutoa ni suala la muhimu zaidi ya kuwa wakili

mwema wa fedha za Mungu?

Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Tazama maandiko yote katika

Agano Jipya juu ya imani

kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya umuhimu wa imani

katika uhusiano wetu na Mungu

Tafakari neno baada ya neno katika aya hi: Warumi 14:23

Katika sehemu iliyopita tulihitimisha kwa kuorodhesha baadhi ya maeneo ambayo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

uwakili unahusika,kuhusiana na fedha zetu-zaidi ya maeneo yote ilikua ni kutoa na

sehemu hii itapanua wazo kua kutoa ni eneo kuu la kua wakili wa pesa za Mungu.Eneo

la kutoa pesa zetu linaonekana kuhitaji imani zaidi kuliko lolote lile tunalohusika nalo

na fedha zzetu,na kama tukiweza kuwa mawakili wema wa kutoa pesa zetu pia twaweza

kuwa mawakili wa mambo mengine ambayo Mungu anatuita kufanya kwa pesa

zetu.Vivyo hivyo,kunahitaji la kuimarisha kile kinachosemwa katika biblia kwamba ni

lazima tuambatanishe imani yetu na pesa zetu,na hasa katika eneo la utoaji.

Katika Habakuki 2:4 , Biblia inatangaza kwamba mwenye haki ataishi kwa imani andiko

ambalo baadaye linanukuliwa katika maeneno si chini ya matatu katika agano jipya

(Warumi 1:17, Wagalatia 3:11 na Waebrania 10:37-38 ) kwa hily andiko lolote ambalo

limetamkwa mara tatu katika Biblia lazima liwe la muhimu.

Ikiwa tunatakiwa kuishi kwa imani hivyo lazima tutumie pesa zetu kwa imani pia katika

ukweli kwamba Warumi 14:23 inasema kwamba pasipo kuishi kwa imani na kuhusiana

na Mungu ni dhambi.Zaidi Waebrania 11:6 inasema kwamba Pasipo na imani

haiwezekani kumpendeza Mungu-tunaweza kusema kwamba tusipotumia pesa zetu kwa

imani itakuwa ni vigumu mbele za Mungu katika maeneno yanayohusu fedha.

Kwa hiyo Biblia inasema nini kuhusu namna tunavyotakiwa kishi kwa imani kuhusiana

na fedha zetu? Kulingania na Waebrania 11:6 tunalazimika kuzitumia kwa imani

kwamba Mungu yupo na ni mpaji wa wote wanaomtafuta kuishi kwaajili yake. Katika

nuru ya andiko hili, njia ya kiblia ya kuishi kwa imani katika maeneo ya fedha ni kutoa

fungu la pesa zako katika upana wa Ufalme wa Mungu , katika imani kwamba Mungu

atatuma baraka zake mbali mbali maishani mwetu na kukurudishia thawabu.

Ulimwengu utakuambia tunza fedha zako zote na kuzitumia kwaajili yako mwenyewe,

Biblia inasema wekeza fungu la pato lako katika ufalme wa Mungu kwa imani na

kuamini kwamba utabarikiwa zaidi kuliko.

Hivi vinafungana na Waebrania 11:6 kwamba unatoa kwa kufahamu kwamba Mungu

anaishi na pesa unazotoa haziendi kupotea na kwamba Mungu atakupa thawabu kwaajili

hiyo, kwa kukubariki kama ulivyo mpa. Kama inavyoonekana hapo chini, orodha ya

maandiko ni ndefu sana na muonekano wake katikati ni kuhusu kupanda na kuvuna

mwenye shamba atatoa mbegu kwaajili ya kupanda kwa ufahamu kwamba itazaa

matunda na hayo matunda yatatoa mbegu nyingi zaidi kwaajili ya wakati ujao. Kama

vile tambavyo Mun gu ameweka sheira ya asili duniani kama vile mvutano na mazao na

mabadiliko ya majira, ameweka pia sheria ya rohoni isiyoonekana kwa namna kwamba

yeyote atakayeshiriki katika sheria hizi atabarikiwa kwazo.

Katika maeneo ya fedha, pato lako huonyesha mbegu na kazi yako kwa Ufalme wa

Mungu huonyesha udongo, Yesu anatukaribisha kupanda mbegu katika udongio kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutoa. Katika kazi ya Ufalme wake. Zaidi, kama vile mpandaji apandavyo mbegu yake

badala ya kula kwa sababu itakuwa bora kwake baada ya muda mchache, Biblia

inatangaza kwamba tutakuwa wema zaidi kwa kipindi kirefu kama hatutatumia pesa

zetu kwaajili yetu wenyewe lakini badala ya kupanda sehemu yake katika kazi ya

Mungu.Maandiko hapo chini yanaongea juu ya sheria ya kulinda maisha yetu na hiyo ni

namna Mungu alivyo weka kwamba tuishi kwa imani tukiheshimu fedha zetu.Pengine

umegundua siri hii kwamara ya kwanza au unahangaika juu ya wazo la kutoa baadhi ya

pesa zako, kwa nini usikumbuke maandiko haya na kumwachia Bwana taratibu

azungumze nawe kwayo?

Mwanzo 8:22 'Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na

wakati wa hari, wakati wa kaskazini'

Mithali 11:24 'Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isinyo haki,

lakini huelekea uhitaji. Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; anyweshaye atanyweshwa

mwenyewe.

Mathayo 6:3 'amini, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao, bali wewe utoapo

sadaka hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka

yako iwe kwa siri; na baba yako aonaye sirini atakujazi.'

Wagalatia' 6:7 Msidanganyike : Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho

mtu, ndicho atakacho vuna.'

2 Wakorintho 9:6 'Lakini nasema neno hili, apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa

ukarimu atavuna kwa ukarimu.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Brunei

328,080 ya watu , 64 % ni Waislamu

Uislamu unatishia kutokomeza dini zote nyingine,

Wengi ni makundi ya watu wasiofikiwa na Injili.

© www.operationworld.org

16. Aina nyingi za Baraka ya Mungu

Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Kumbukubu la Torati 28:1-14

Karri Aya Hii: Wagalatia 6:7 'Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

apandacho mtu, ndicho atakacho vuna.'

Baadaye Zungumzia Hili: Kwa namna gani Mungu atatubariki

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Orodhesha namna Mungu

amekubariki tangia uwe Mkristo.

Kazi ya Diploma ya Kuandika Kuandika: Orodhesha faida zinazoelezwa katika

Zaburi 103

Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya Hii: Zaburi 103:2

Umekwisha ona tena kwamba Biblia inaonyesha dhahili kuhusu kupanda na kuvuna na

kuonyesha namna gani Mkristo anatakiwa kuhusika na fedha zake,hususani kurasa mbili

chini zitaonyesha kutoa na kupokea(yaani kupanda na kuvuna / mbegu wakati wa

mavuno ). Maandiko mawili chini ni mhimu sana katika Agano Jipya ambayo

yanaonyesha kuhusu kupanda na kuvuna kwa fedha za Mkristo, na yaliyomo

yaliyoandikwa, yote ni kwaajili fedha.Vivyo hivyo,unapofanya marejeo katika kitabu

hiki kwa habari ya sheria ya kupanda na kuvuna/kutoa na kupokea/wakati wa kupanda

mbegu na mavuno, inafanyika kulingana na maandiko.

Gal '6:7 Msidanganyike: Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho

atakachovuna '

2 Wakorintho 9:6 ' Kumbuka hili: Apandaye haba atavuna haba, apandaye kwa ukarimu

atavuna kwaukarimu '

Ufafanuzi zaidi wa maneno mahusisho yanatolewa kwenye wazo la kupanda na kuvuna

katika yaliyo katika fedha,ambayo yanakiwa kutumiwa katika wazo la kupokea/kuvuna

mavuno yaliyopandwa muda uliopita kwa kutoa/kupandwa fedha. Kwa huzuni,watu

wanaweza kufikiri kuwa kama wakitoa paundi kidogo kama sadaka kanisani watatarajia

kiasi kikubwa cha pesa kupewa ndani ya miezi miwili au watasema kuwa

wamedanganywa! Kiuhalisi si jambo,zifuatazo chini ni ni baadhi ya sifa zinazoruhusu

kupokea/kuvuna mavuno ya fedha kuona sheria za kupanda na kuvuna kazzi kwa kibali

chetu,kama zlivyotajwa katika kitabu hiki.

1) Mungu hutuma mavuno Hatimaye ni Mungu achiliae baraka zake katika maisha ya wakrisro na akiwa anajua

mawazo na dhamila za kila mmoja,Yeye mwenyewe ataona kama kana mtu anastahili

kupokea baraka zake.

2) Mavuno si uhakika Ukiendelea mbele,kama tutakavyo husika na kurasa za baadae,inawezekana kutoa fedha

na baadaeukafunga mavuno yako na kwa namna hiyo mavuno si ya uhakika,na hapo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

tumetoa fedha.vitu vya namna hiyo ni uwakili mbaya,kupungukiwa imani,kutokuwa na

fedha za Haki,Dhamila mbaya na kutokua mwenye shukrani kunaweza kufunga au

kusababisha kupoteza mavuno yetu.

3) Majira ya mavuno Hakuna hakika ya muda ambao tunaweza kutarajia kupokea mavuno ya fedha wakati

tunapokuwa tunapokuwa tumetoa fedha kama biblia inavyosema,'kwa kuwa tutavuna

kwa wakati wake tusipozimia roho.' Kwa mfano, kama mtoto anatoa kutoka umri mdogo

inaweza kuwa kwamba wao kuvuna mavuno yao baadaye sana katika maisha wakati

wao nchi kazi ndoto ambayo Mungu amewapa kwa mara nyingine tena majira ya

mavuno yoyote ni katika mikono ya Mungu

4 ) Aina Za mavuno Mavuno wanaweza kuja katika aina mbalimbali na chini ya hali yoyote lazima sisi

kutarajia kuwa ni ngumu fedha katika akaunti yetu ya mkono / benki. Kwa mfano ,

inaweza kuwa katika mfumo wa kukuza katika kazi, kupanda kwa thamani ya nyumba

au kipande cha ardhi. Mungu anaweza kutuma mnunuzi kununua kitu ambacho mmoja

wa watoto wake anataka kuuza ,kupata kazi karibu na nyumbani Ikiwa na maana kuwa

haitakugharimu usafiri , biashara ya mtu kutakiwa kuuzwa kwa faida kubwana ukapewa

bidhaa ya thamani kama vile gari.

5) Dhana za mavuno Mavuno daima si kupokea kitu kizuri katika maisha yetu lakini inaweza kuwa ya kuzuia

kitu kibaya. Kwa mfano, mkulima anaweza kuvuna mavuno yake kwa njia ya baraka za

Mungu kwa kuwa na wanyama ambao hawakabiliwi na ugonjwa wowote wakati

wakulima wengine wanyama wao wanaugua magonjwa katika mazizi yao ,kama vile

ugonjwa wa miguu na midomo nchini Uingereza.

6) Kiwango cha mavuno Hatimaye, tangia Biblia haijamwekea Mungu mipaka ya aina za mavuno,hakuna uhalisia

wa viwango vya mavuno-Mungu anaweza kuachilia viwango tofauti tofauti vya mavuno

kwa ajili ya kiwango cha pesa kilichopandwa na watu tofauti,kadili tulvyo sisi wenyewe

katika viwango tofauti katika uwakili wetu.kwa mfano,kama umetoa dola mia moja

huwezi kutegemea kupokea dola mia mbili keshi miezi miwili ijayo kama ambavyo

hakuna msingi maalum wa kibiblia juu ya hili.

Hivyo kama tukiendelea kuangalia kiundani zaidi katika eneo la kupanda na kuvuna

katika sifa zilizo hapo juu inabidi tuweke akilini,rejea inapofanyika katika kitabu hiki

cha kupokea/kupanda mavuno,baraka,na kuona sheria za kupanda na kuvuna katika kazi

kwa kibali chetu.Biblia haitupi Ahadi maalum au Hisani za muda,aina na kiwango cha

mavuno ya fedha ambacho kinaweza kutarajiwa wakati akiwa ametoa pesa,wala hata

hiki kitabu.Msimamo wa msomaji unaradishwa tena katika maandiko hapo juu kutoka

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Wagalatia 6:7 na 2 Wakorintho 9:06 na maneno ya Yesu katika Matendo 20:35 ambaye

alisema ' Ni heri kutoa kuliko kupokea. Kama mtu anaanza kuwa mtoaji Biblia kamwe

haijasema kuwa atake au kutegemea muda,Aina,dhana na kiwango cha baraka,ni kwa

kadri Mungu mwenyewe atakavyo amua ni nini kilicho bora kwa ajili ya mtuna

inawezekana pia kupoteza mavuno ya kifedha.Kwa mfano, Ayubu 42:12 inaonyesha

kwamba Ayubu alikuwa amebarikiwa na Mungu kwa ngamia , hata hivyo, kama Mungu

alitaka kubariki mtu anayeishi leo katikati ya New York, ngamia inaweza kuwa ni dhana

ya baraka yake.Wakati marejeo yanafanyika katika kitabu hiki cha kupokea/kuinua

mavuno ya kifedha,na kutumia sheria ya kupanda na kuvuna kwa kibali chetu,ikiwa

umekwisha pewa fedha kadha wa kadha,bi hiyo imefanyika kwa kupitia sifa 6 hapo juu

na ukweli kwamba baraka za Mungu zinaweza mida tofauti,Aina,dhana na viwango.

Zekaria 8:12 Mbegu, Zabibu, Mazao.

Mithali 3:9 Divai Mpya

Kumbukubu la Torati 28:1-14 Watoto

Mifugo

Nvua ya kutosha kwaajili ya kuinyedhea aridhi

Kazi zote za mikono yako

Malaki 3:11 Wadiudu kuzuiliwa kuharibu mazao.

Kutoka 23:25 Chakula, Maji,Kinga ya maradhi, Kulefushwa kwa maisha.

Mambo ya Walawi 26:4-5 Matunda, Zabibu

Yoeli 2:24 Nafaka

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini

Omba kwa ajili ya Bulgaria

8,225,045 ya watu , wengi ni waKikristo lakini 11.87 % ni Waislamu

Kanisa linasongwa na Ukomunisti, Utengano na Magomvi vinazuia ukuaji wa

kanisa . © www.operationworld.org

17. Zaka

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Mathayo 23:23

Kariri Aya Hii: Mwanzo 14:20 'Abrahamu akampa fungu la kumi la vitu vyote'

Baadaye Zungumzia Hili: Je, Mungu anatarajia vingi kutoka kwetu anapotutaka tutoe

zaka?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwangine:

Eleza, ni asilimia ngapi ya mapato yako unayotumia kwaajili ya mambo mengine kuliko

mambo ya muhimu.

Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu sababu ya Mungu

kututaka tumpe asilimia kumi ya mapato yetu.

Tafakari Neno Baada Ya Neno katika Aya Hii: Malaki 3:10

Baada ya kuona namna ya kuishi kwa imani kuhusiana na fedha zetu ni kupitia kuto

katika kazi ya Mungu na maono ya kiBilia juu ya kupanda na kuvuna na kutoa na

kupokea, sehemu zifuatazo zitatazama kwa kina juu ya umuhimu wa kutoa. Sehemu hii

itahusu swali juu ya kiasi gani Mungu anavyotarajia kila mmoja wetu kutoa, mwanzo

mzuri ni hadithi ya sadaka ya mama mjane katika Marko 12:41-44. Pointi ya kwanza

hapa ni kwamba Yesu aliangalia na kujua kiwango gani cha sadaka ambacho kila mtu

ametoa sawasawa kweli leo, Yesu anajua hakika ni nani anayetoa sawasawa ( na

asiyetoa sawasawa) katika kazi ya Mungu na anajua hakika ni kiwango gani kila mtu

alichotoa. Kwa mfano, wakati mwingine sahani ya sadaka ilipitishwa kanisani kwanini

isiwe kwamba ni Yesu anayepitisha sahani? Kwa sababu kiuhalisi anaona kiwango

anachotoa kila mmoja ndani yake!

Pointi ya pili ya kunakili ni kwamba Yesu alikwa makini sana juu ya idadi ya watu

waliopinga na jinsi walivyotoa. Kwa mfano, mwanamke mjane alitoa kidogo kuliko

wote lakini alikubaliwa na Yesu zaidi ya wote kwa sababu sadaka yake ilimwachia

kidogo cha kutegemea kuliko watu wote na ilikuwa ni dhabihu kubwa. Pinti ya mwisho

tunaweza kumalizia zaidi ni kwamba Mungu huhusika na sisi kila mmoja binafsi katika

eneo la fedha kulingana na asilimia ya uwezo wa kutoa. Wote walio na fedha nyingi

watatakiwa kutoa nyingi zaidi kuliko wale walio na vichache na kwa hiyo kwa kutenda

kulingana na aslimia hakuna aliye na faida juu ya mwingine -kama Mungu anatutaka

tutoe kiasi cha fedha ambacho kingekuwa rahisi kwa wengine kutoa kuliko

wengine.kanuni ya watu wa Mungu ni kutoa kulingana na uwezo wao na sawasawa na

mapato yao, hiyo inatokana na maaandiko yanayohusiana na fedha.

Matendo 11:29 na wale wanafunzi, kila mtu kwa kadiri ya alivyoazimia waliazimu

kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa uyahudi'

jumla ya fedha zinazotunzwa na mapato yaliyo hifadhiwa mimi nitakapokuja hakuna

makusanyo yatakayo fanyika.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Wagalatia 6:10 'Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema.'

Kumbukumbu 16:10 'Nawe idi ya majuma umfanyie Bwana, Mungu wako kwa kutoa

sadaka ya hiyari ya mkono wako, utakayotoa kwa kadiri akubarikiavyo Bwana,Mungu

wako.'

Kumbukumbu la Torati 16:17 'Kila mtu na atoe kama awezavyo kwa kadiri ya baraka ya

Bwana , Mungu wako, alivyokupa. Biblia ingeonyesha tema kwamba ni asilimia kiasi

gani Mungu anatutarajia kuwekeza kwake na katika Ufalme wake ni 10 % (bora

inajulikana kama zaka). Wakati mshindi Abram aliporudi kutoka vitani na kutoa sehemu

ya kumi ya nyara na Mfalme wa Salemu-Mzee Melkizedeki ambaye baadaya anajeshwa

katika Waebrania 7:4. Katika Mwanzo 28:22 tunaona Yakobo pia akiapa kumpa Mungu

zaka ya kila atakacho wekewa mkononi na Mungu-Kumbuka kwamba Abramu na

yakobo wote walitoa zaka kabla ya sheria ya kutoa kutangazwa hata kabla haijaanza

wala haijapotea.

Hata hivyo, Sheria ilipotokea walifanya hivyo, kulingana na amri ya zaka ilivyoonekana

katika maandiko yafuatayo:

Mambo ya Walawi 27:30 'Tena zaka yote ya nchi, kama ni mbegu ya nchi, au kama ni

matunda ya nhi, ni ya Bwana;ni takatifu kwa Bwana.'

Hesabu 18:21 'Na wana wa lawi,nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao.'

Malaki 3:10 "Leteni zaka kamili ghalani.'

Waebrania 7:5 'Na katika wana wa Lawi nao, wale waupatao ukuhani, wana amri kutwaa

sehemu

ya kumi kwa watu wao.

Kwa sababu zaka haikuanza na sheria, basi haijapotea nayo, Hata hivyo Yesu aliagiza

kwamba wafuasi wake wawe watoaji kama vile Mathayo 6:2 anasema Mnapo (kama si)

toa, na katika Mathayo 23:23 Anawashutumu mafarisayo kwaajili ya kutoa zaka lakini si

kwa nia njema.

Yesu anatoa maneno yake makali kwa mafarisayo lakini katika eneo lao la utoaji wa

zaka, ingeonekana kuwa ni moja ya maeneo machache akiwashutumu. Ingeonekana tena

kwamba Mungu hatendei tu kazi asilimia lakini aslimia zile ambazo anatutaka sisi

kutoa ni aslimia 10.Tangia mfumo wa Mungu umelenga katika asilimia, basi hakuna

anayeweza kusema kwamba hawezi kutoa kama kutoa kwa mtu kulivyo kulingana na

mapato yake na maskini hawazuiwi kufanya zaidi ya matajiri.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Omba kwa ajili ya Burkina Faso

11,936,823 ya watu , 50 % ni Waislamu lakini nguvu ukuaji wa kanisa

Maskini sana lakini ni ipo kutolewa wamisionari wengi kama fedha ni huru. © www.operationworld.org

18. Maswali kutoka kwa waotoa zaka

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Malaki 3:10-12

Tafakari Aya Hii: Luka 11:41 'Lakini, toeni sadaka vile vya ndani, natazama, vyote

huwa safi kwenu.'

Baadaye Zungumzia Hili: Hoja kutoka kwa wasiotoa zaka na jinsi ya kuwajibu.

Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Ujao: Muulize Mungu kupitia maombi ikiwa

hautakuwa mtoaji wa zaka.

Kazi ya Diploma ya Kuandika: Orodhesha hoja za wasiotoa zaka na jaribu kuzijibu.

Tafakari Neno kwa Neno Katika Aya Hii: Mithali 3:9-10

Kutoa zaka pasiposhaka inaweza kuwa changamoto kubwa kwa wote wasiotoa kwa

mara ya kwanza na kawaida watauliza maswali mengi. Kuna wengine ambao

hawatatumia udhuru wowote na kuzalisha hoja kwaajili ya kupatia uamuzi wao wa haki

juu ya kutokutoa zaka, lakini hoja hizi kidogo zitaharibu kutokutii kwao.Kuna ambao

watakuwa na uaminifu wa haki na maswali ya maana juu ya kutoa zaka haya yote

yamewekwa chini kwa uaminifu na majibu ya maana. Ulimwengu unasema kwamba

ujinga ni gharama katika maisha ya Mkristo kupungukiwa maarifa kunaweza kukuua,

(Hosea 4:6 ) Mkristo anaweza kuanguka katika ujinga wa kutoa fungu la kumi na

kubeba hoja yoyote ya kujihekimisha mwenyewe,kuliko kwenda katika kufanya

maamuzi

ya kumtii Mungu?

Kutoa zaka ni sheria ya Agano la kale nasi kama Wakristo tuko chini ya neema, siyo

sheria, pengine ne kweli kwamba Wakristo hawaamriwi kutunza sheria ya Agano la kale

na mtizamo ya kifedha yako chini ya sheria kama vile mwaka wa Jubilii 7 mwaka wa

kufuta madeni hayatufungi. Hata hivyo, Abrahamu na Yakobo walitoa fungu la kumi

kabla ya sheria ya Musa haijatangazwa na Yesu katika Mathayo 23:23 alisema

Mafarisayo walikuwa kweli wantoa zaka kwa haki ingawa dhamiri zao hazikuwa

sahihi.wakati sisi tuko chini ya neema na hakuna orodha ya mambo yakufanya

haimaniishi kwamba twaweza iishi jinsi tutakavyo wenyewe.hauhitaji kuomba ila ila

maisha yaakuwa bora zaidi kama ukifanya hivyo,hauhitaji kusoma biblia lakini utakua

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

bora zaidi kimaisha kama utafanya hivyo,huhitaji kutoa zaka lakini maisha yako

atafnguka zaidi katika ukarimu wa asili ya Mungu kama ukifanya hivyo.

Lakini Yesu,na kadhalika Agano Jipya inatamka hilo mara moja.Kuna wakristo

wengi,makanisa na madhehebu yote ambayo yangepigana kwa hasira kwa ajili ya

ukweli kwamba Yesu alisema hilo mara moja tu-kwamba,'Lazima uzaliwe mara ya

pili'(yohana 3:7).kama tuna amini kuwa Yesu alikua Mungu kamili tena kama alisema

jambo mara moj,ingetosha kwamba chochote amesema kingesimama kama hakika ya

ukweli milele yote.Kama Yesu alitutaka tusitoe zaka basi isingekua ajabu kwamba

lilikua ni eneo pekee alilowaamuru mafarisayo kufanya.

Utoaji zaka unaweza kuwa halali kama ukitaka kufanya hivyo kila wiki.Hoja hii ni ya

kweli – lakini kawaida chochote unachofanya mara kwa mara katika maisha ya kikristo

kinakua halali.Kama ukiacha kutoa zaka kwasababu kwa kufanya hivyo inaweza kuwa

ya mhimu,basi unatakiwa kuacha kwenda kanisani jumapili asubuhi kama mara nyingi

huwa unaenda kanisani na kuacha kwenda katikati ya wiki acha pia ibada za vikundi vya

nyumbani,acha pia kwenda kanisani ikiwa huwa unaenda jumatano.Maombi ya kila

mara nyakati za asubuhi,usomaji Biblia kila wakati na utoaji wa zaka kila mara vyote

vinaweza kuwa muhim japo haimanishi kuwa shughuli zenyewe zina tatizo – ila ni

dhamila zetu wenyewe za kufanya hivyo ndio mbaya.

Utoaji wa zaka huwasababishia watu hofu na kuogopa kwamba kama wasipotoa

hawatakumbukwa. Hoja hii ni njema-yaani kwa sababu hatua hii inatuwezesha kuwa

madhabahuni,na hata kuchochea baraka zetu wenyewe ni mafundisho ya Kibilia.

Wagalatia 6:7 - 10 inaonyesha kwamba tunao uwezo kwa pamoja wa kusahau mavuno

yetu na 2 Wakorintho 9:6 inatuambia kuhusu kuvuna kulingana na kile tulichopanda.

Pengine watu hawapendi wazo la kuwa wakuu wa hatima za fedha zao wenyewe na

wazo la kusahaulika katika baraka za Mungu. Labda, hoja ileile inweza kutumika katika

maombi-yaani kwamba maombi yanachochea watu kuwa na hofu ndani yao na kuogopa

kupoteza vitu vizuri vya Mungu kama hawataviomba.

Watu hutoa zaka ili kwamba waweze kutumia baraka za Mungu kwa ubinafsi. Hakika

hii ni kweli lakini wasiotoa zaka waombao kwa siri niwangapi, wanaolia,wanouugua na

kumsihi Mungu kwaajili ya baraka zake! Utofauti uliopo kati ya wanaotoa na wasiotoa

zaka ki kwamba wote wanatafuta baraka za Mungu, mtoaji wa zaka hutenda hilo kwa

sababu aliyoiamuru Mungu kwamba kila mtu afanye hivyo tena unaweza kusema

kwamba sababu pekee watu kuomba ni kwaajili ya kupata kitu kutoka kwa Mugnu -

Je!hii inamaanisha kwamba tuwazuie watu kuomba? Sisi Kama Wakristo tunapaswa

kuongozwa na Roho mtakatifu, na kutoa tunasikia kuongozwa kufanya hivyo.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Hii ni hoja kwamba mtoaji wa zaka anatakiwa kutumia na isemekane kwamba Roho

mtakatifu amewaongoza katika maandiko juu ya utoaji wa zaka kama msingi wao

kufanya hivyo. Zaidi,lisiwe jambo kwamba ni pale tunaposikia tu kutoka kwa Mungu

kuhusu kutoa maana si tutahangaika kuhusu fedha zetu na kuwa na ukiziwi wa rohoni?

Unaweza kusema kwamba mara zote huwa una masikio ya kusikia nini Mungu anasema

juu ya kiwango cha kutoa kwako na kwa hakika unaweza ukasema kwamba mara zote

unatoa katika wakati unapohisi kuongozwa kufanya hivyo hivyo kama kila mtoaji wa

zaka katika mwaka uliopita amaetoa kwa uaminifu asilimia 10 basi wanaweza kutulia

katika ukweli kwamba hakika wametii nini dhamiri zao ziliwaambia kufanya.Je! wote

wanaotaka kuongozwa na Roho Mtakatifu wanaweza kuwa katika nafasi sawa ya kutoa

kwa kuwa na uhakika kwamba wamefanya hasa kile Mungu amewataka wao kufanya?

Wanawezaje kuwa na hakika kwamba wametii mpaka kiasi cha pesa ambacho mtoa zaka

anaweza?

Wachungaji hutumia zaka kujenga majengo yao wenyewe kwa ajili ya faida ya fedha

pengine hili linatokea hivyo, jambo la utii kwa wote wenye mamlaka ya Roho na

kuchunga wamekuwa wakitumiwa na wachungaji kujenga himaya zao binafsi.Je! Hili

linasababisha utoaji zaka na utii kwa wote wenye mamlaka kimakosa? Kiuwazi, ni kwa

sababu Mchungaji amekiuka kanuni za Kibilia, Biblia yenyewe haijitengenezei kanuni

isiyo sahihi lakini nitabia na thamira ya Mchungaji ndiyo mbaya.

Je! itakuwa inamaanisha kama ukitoa chini ya asilimia kumi. Je! Huwa unatazama

chenchi yako baada ya kununua kitu chochote?

Je! huwa unahakikisha kwamba umegharimiwa kiasi cha pesa sawasawa na

ilivyotangazwa?

Kama unanunua kitu mabacho kipo katika poromosheni je!huwa unahakikisha kuwa

umepata punguzo?

Je! Huwa unatazama lisiti yako kuhakikisha kwamba umelipwa kiwango sawasawa?

Kuna kitu katika asili ya mwanadamu kwamba kila wakati anapihitaji zaidi sana

kuhusiana na fedha, hukaa chini na kuhesbu gharama hadi senti ya mwisho-

Je! Tunafikiri kwamba Mungu ana utofauti wowote na hilo?

Nymba Ya Maombi kwaajili Ya Mataifa Maskini

Omba Kwaajili Ya Burundi

6,695,001 ya watu,asilimia 90 ni wakristo

Nchi imeharibiwa na Vita vya Watusi na Wahutu

Uponyaji zaidi unahitajika

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

© www.operationworld.org

19.Maswali kwa wasiotoa zaka

Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1Koritho 16:1-2

Kariri Aya Hii: Walawi 27:30 'Tena yote ya nchi kama ni mbegu ya nchi au kama ni

matunda ya nchi ni ya Bwana, ni takatifu kwa Bwana.'

Baadaye Zungumzia Hili: Hoja ambazo angetumia kumshawish mwamini aanze kutoa

zaka.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi Muombe Mungu

akuonyeshe kama unatakiwa uwe unatoa zaka.

Kazi ya Diproma ya kuandika: Orodhesha hoja kuu kwaajili ya utoaji wa zaka na

uzijaribu na kuzihakikisha.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithari 3:1

Siyo Kwamba kuna hoja ambazo wasiotoa zaka watainua dhidi ya utoaji wa zaka

ambazo zimeonekana katika sehemu iliyopiata, lakini pia zipo hoja kwaajili ya utoaji wa

zaka kwaajili ya wasiotoa zaka na hizi zitahusiana na sehemu hii.kama mtu hafurahii

utoaji wa zaka basihakuna kiwango halisi cha kuwashawishi lakini inatumainiwa

kwamba wote walio na shauku hakika ya kupenda kutoa zaka watashinda si kwa kujibu

majibu kuhusu kutoa zaka katika sehemu ya mwisho, na vilevile hoja kwaajili ya kutoa

zaka katika sehemu hii.

Je! Wasiotoa zaka wanatoa zaidi ya wanaotoa. Ingeweza kufahamika kwamba kama

wasiotoa zaka walitoa zaidi ya wale waliotoa basi, pengine ilikuwa hoja nzuri kwamba

kwa nini watu wasitoe hata hivyo, ni kiasi gani wasiotoa zaka hasa wanatoa? Wanaweza

hakika kusema kuwa mwaka hadi mwaka huwa wanatoa zaidi ya asilimia 10 ya mapato

yao? Pengine wewe siyo mtoaji wa sadaka kwa nini ujiulize kuhusu asilimia ya mapato

uliyokwisha kuta miaka mitatu iliyopita-Je! Inakaribiana na asilimia 10. Kama siyo basi

namna ya utumiaji wako wa fedha haujafanikiwa kulingana na yule ambaye amekuwa

akitoa zaka kwa uaminifu mara zote.

Kwa nini wengi wa wasiotoa zaka hufikiri kuwa hawawezi kumudu kutoa. Hii ni hoja

kubwa zaidi ya wasiotoa kutokutoa zaka lakini bado siyo hoja ya nguvu kuonyesha

kwamba watakuwa wanatoa zaka. Fikiri kwamba mtu alikuwa Mkristo wa miaka kumi

na hakuwahi kutoa zaka na anafikiri hawezi kudiriki kutoa zaka. Kawaida kuna msemo

usemao kwamba miaka kumi ya kutokutoa zaka imezalisha umaskini tu na ukosefu wa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

fedha kwa miaka kumi ya kutokutoa imekuwa si yamafanikio katika kujaza hazina za

fedha zao ambazo wanafikiri hawawezi kudiriki kuzitoa!

Mtu ambaye amekuwa hatoi zaka kwa miaka na kusema hawezi kudiriki kutoa zaka

wanasema kuwa amekwisha kujihakikisha yeye mwenyewe kuwa masikini miaka yote

ya kutoa zaka.kama wewe sio mtoaji wa zaka ambaye unafikiri kwamba huwezi kudiriki

kutoa zaka unataka jambo litokee katika fedha zako ambalo halijakutokea hapo kabla, na

tena utafanya jambo kwaajili ya fedha zako ambalo haujawahi kulifanya hapo kabla.

Kama miaka ya kutokutoa zaka imezalisha hali ya kimaskini kifedha kiasi kwamba

unafikiri huwezi kudiriki kutoa zaka, basi lazima ubadilishe namna unavyotumia fedha

zako.Kama miaka yote ya kutokutoa zaka imekusababishia umaskini tu basi kwa nini

uendelee kutoa zaka- hakika kutokuendelea kutoa zaka kutakuletea matokeo yaleyale

mabaya.

Zaidi, ni watu kiasi gani wanosema hawawezi kudiriki kutoa zaka hakika usingependa

kuona taarifa zao za benki au kadi ya fedha zao. Ni wangapi wasiotoa zaka ambao

wamefunikwa na giza, Na kwa siri wanatumia mda mwingi zaidi ya aslimia 10 ya

mapato yao katika matumizi,Vitu vya starehe wakati mwingine, na pia kwa ujinga

hufikiri kutokuweza kutoa zaka wakti mwingine. Ni giza la jinsi gani wasiotoa wataishi

ndani yake kama wanatabia za matumizi ya siri juu ya mali za dunia na starehe ambaye

hakuna anayejua, haliafu wanafikiri kutokuwa tayari kutoa zaka na matoleo kwaajili ya

kupanua Ufalme wa Mungu.

Pengine Unafikiri kwamba ungependa kutoa zaka lakini ni kwa sababu tu huwezi

kudiriki.Je! Unaweza kiuhakika kusema kwamba asilimia 100 ya mapato yako

yametumika kwa ajili ya mabo yasiosaidia na hakuna je! pesa ambayo haijatumuka kwa

kitu ambacho si muhimu? Je unauhakika kuwa hakuna eneo katika tabia za matumizi

yako unaweza kukata ili kukusaidia kutoa,au kiuhalisi haujipangi kawaajili ya kuvitoa.

Unaposema ungependa kutoa zaka kama ungekuwa na fedha, Je! Unamaanisha kweli na

kwa uwazi au ni jambo kwamba hata kama mapato yako yakiongezeka asilimia 10 kila

siku ungeendelea kupinga kwamba huwezi kutoa zaka?

Nilijaribu kutoa zaka kwa muda lakini haikusaidia. Hiyo siyo sababu ambayo waliyo na

mioyo nusu ya kujaribu kutoa huitazama kuwa sababu ya kuonyesha kwamba kutoa

zaka hakusaidii kwa hiyo wanaweza kusema kwamba walijaribu na haikuwasaidia

chochote? Hebu turejee tena kwenye mfano uliopita katika mfano uliopita wa Mkristo

ambaye amekuwa hatoi zaka kwa muda wa miaka iliyopita. Kwa sababu imepita mika

mingi ya kutokutoa zaka na kukupeleka katika umaskini wa hali ya kifedha, Je!

Kiuhakika unaamini kwamba miezi miwili ya kutoa zaka itakuwa suluhisho la matatizo

yako yote ya kifedha! Sheria nzuri ya kufuata ni kutoa zaka miaka mingi zaidi uwezavyo

kuliko ambavyo hukuweza kutoa kabla hujawa Mkristo na kuona vipindi vyenye baraka-

hakika hii ni sahihi kabisa kutoa zaka kulinaga na miaka ulioishi duniani kadiri ya ule

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mda ambao haukutoa.

Nitatoa zaka mara moja kadiri nitakavyoweza. Usipoanza kutoa sasa basi kuna nafasi

kidogo utakayotumia kutoa hata kama mapato yako yameongzeka sana. Biblia sasawa

inasema kwamba tusipokuwa waaminifu katika vitu vidogo na vichache hatutaaminiwa

katika vitu vikubwa, kwa kutokuchagua kutoa zaka katika mapato yako yaliyopita

ungeweza kuzuia uwezo wa Mungu kuachilia pato kubwa. Zaidi, nikiwango kiasi gani

cha mapato kinaweza kutosha kukusababisha wewe kuanza kutoa zaka? Je! Umekwisha

wahi kumwahidi Mungu kwamba pindi pato hilo litakapotimia utaanza kutoa zaka? Au

sababu ni kuwa milionea ndipo utakapoanza kujisikia kutoa zaka?

Kama watu wa Mungu walimwabudu na aslimia 10 katika Agano la kale,kwa nini sisi

tulikuwa kataka Agano jiya tusimwabudu na ziada ukilinganisha kuwa kristo alifufuka

ili tumwabubu hata zaidi.Kama watu wa Mungu walimwabudu Mungu na 10 % ya

mapato yao kabla ya kristo,nasi hatuthubutu kumwabudu Yesu chochote cha ziada ya 10

%.Wote wanapinga kuwa tusitoe zaka wameachwa katika mahali pagumu pa kupinga

kuwa sisi tulio katika Agano jipya na kuu,tuna pendo la kiungu la asili ya Kristo lililo

juu yetu,wote walioishi katika Agano la kale.hakika wakristo wa Agano jipya kwa pendo

la Yesu kwa asili mioyoni mwao wanatakiwa kuwa wakarimu kuliko watu ambao

hawakuwa na asili hii.

Sikiliza shuhuda za wote wanaotoa zaka.kuna makundi ya Wakristo wasio na mashaka

ambao watashuhudia kwamba kutoa zaka kumebadilisha maisha yao ya Kikristo, kihisia,

kiroho na kivitendo wengi watashuhudia Furaha ya kutoa ya zaka na watatia moyo

wengine kufanya hivyo. Hata hivyo, ni wakristo wangapi unaowajua walioshuhudia

miaka hiyo yote kuhusu hiyo kanuni kuharibu maisha yao kiroho na wanajaribu kuwatoa

marafiki zao wakristo katika kutoa zaka? Imekuwa ni uzefu wa mwandish kwamba kila

anapoongea na watoaji wa zaka huwa wanachanganko la moyo,furaha,amani na shuhuda

zao kama faida ya kutoa zaka.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini

Omba kwa ajili ya Cambodia

11,167,719 ya watu , Wabuda ni Wengi sana,

Kanisa linumizwa sana na mauaji ya Khmer Rouge kimbari, lakini kanisa ni

kuongezeka kwa Nguvu. © www.operationworld.org

20. Zaka kwa kila kitu.

Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: Mwanzo 14:17-20

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Tafakari Aya Hii: 2 Mambo ya Nyakati 31:5 'wakatoa kwa wingi malimbuko, na zaka

za vitu vyote.

Baadaye Zungumzia Hili: Ni aina gani ya mambo tunapaswa kuyatolea zaka?

Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Mwingine: Orodhesha vyanzo vyote vya mapato

na kokotoa zaka ya fungu la kumi.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine vitu vyote katika Biblia

ambavyo watu walivitolea zaka.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mwanzo 28:22

Ikiwa Mungu anatutaka tutoe fungu la kumi la mapato yetu, swali linaloinuka ni

kwamba tutolee nini na jinsi gani itatenda kazi maishani mwetu. Jambo zuri la kufanya

kuhusiana na utoaji zaka, ni kwamba zaka kwanza zaka inatakiwa iwe ya kwanza na

bora-kama watu waliokomaa katika uwakili wetu wa fedha tutazamia sababu ya mambo

yahusuyo kutowa zakakama inavyoonekana kuhusu matoleo yetu. Ibrahimu ni mfano

wa kwanza tulionao katika Biblia kuhusianza na utoaji wa zaka na Mwanzo 14:20

inaonyesha kwamba yeye alitoa zaka kwa kila kitu. Zaidi, Mwanzo 28:22 inaonyesha

Yakobo akiapa kufanya sawasawa na kutoa zaka kwa yote atakyeyapokea kutoka kwa

Mungu, 'Na katika yote utayonipa nitakupa sehemu ya kumi.'

Wazo hili la kutoa zaka ya kila kitu linaweza kuonekana katika maandiko matatu yanayo

fuata na yote yaliyoorotheshwa chini ni baadhi ya mambo ambayo Biblia imenakili

kwamba watu wanatoa zaka kwa kutazama upana na wingi wa vitu walivyotolea zaka.

Walawi 27:30 : - Kila kinachotoka katika ardhi.

Nafaka kutoka katika udongo

Matunda kutoka juu ya miti

2 Mambo ya Nyakati 31:5 : - Mahindi

Divai mpya

Mafuta

Asali

Na yote yazaliwayo katika mashamba

Nehemia 13:12 : - mahindi, mvinyo mpya na Mafuta

Eneo la msingi la kutolea zaka yetu linatakiwa liwe na mapato ya kazi zetu -swali

ambalo linaulizwa mara nyingi ni kuhusu labda, tunatakiwa kutoa nusu ya mapato au

katika mapato yote.Tunapotumia kanuni ya kwamba utoaji wa zaka zetu unatakiwa uwe

wa kwanza na bora tena inaweza kujulikana kwamba tunatakiwa kutoa zaka zetu katika

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

nusu ya mapato-kuna sababu madhubuti kwaajili ya hili.jambo la kwanza kuwa ni

kwamba ikwa tutatoa nusu ya ya mapato tutapokea nusu ya baraka.Sababu ya pili

inaelezea maana ya mapato ya jumla-je ni mapato baada ya kodi,au nini juu ya Bima ya

afya, Umoja wa wanachama wa wafanya biashara na mafao?wapi umechora mstali?

Acha isemekane tena kwamba-utoaji wa zaka ni lazima uwe wa kwanza tena bora na

kwa kutoa katika nusu ya mapato yetu tutakuwa kweli tunamheshimu Mungu na

kumrudishia kutoka ya mwanzo na bora. Hakika, ukielewa umuhimu wa kutoa zaka

hautakwepa na kumpunguza Mungu katika mapato yako bali utatafuta kumheshimu

Mungu kwa mapato yako yote.kwa huzuni, watu wengi wanatoa zaka ya nusu ya mapato

yao na kuanza kufikiri kwamba wamefanya yote waliyotakiwa kufanya- hata hivyo, si

jambo kwamba tutoe zaka ya mapato yetu yote na siyo pesa kutokana na kazi zetu?

Hapo chini ni baadhi ya maeneo ya muhimu ya kuyatolea zaka kama yote yatakavyo

wakilisha pesa katika maisha yetu, pengine unahitaji kuhusika na utoaji wa haya.

Fedha za kuzawadiwa

Nyongeza ya mda wa kazi

Mirathi

Fedha za Krismasi

Fedha za siku ya Kuzaliwa

Faida kutokana na mauzo ya mali

Faida kutokana na mauzo ya hisa

Faida za Serikali

Mafao

Mgawo

Zawazi za shirika la fedha

Pointi inayafuaata juu ya utoaji wetu ni kwamba Mungu yuko makini haswa katika

kiwango cha fedha anayohitaji tutoe-Mungu hataki 8% au 9% lakini amehaji 10%.

Hivyo,tunatakiwa kuwa makini sisi wenyewe kurudisha 10% ya mapato yetu pasipo

kupunguza hata senti-na kwasababu Mungu yuko makini na jambo hili na sisi pia

tunatakiwa kuwa makini vilevile.

Umekuwa bidii ili kuhakikisha kwamba umetoa Mungu 10% ya mapato yako yote au

umekuwa kutoa ' takribani ' 10 %, lakini si kweli kujua kwa uhakika kama una alikutana

mahitaji ya chini kwamba Mungu ni kutarajia ? Wakati wa kuandika kwa Wakorintho

kuhusu sadaka kwa ajili ya watakatifu maskini katika Yerusalemu, Paulo anasema katika

1 Wakorintho 16:02 ' Kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha katika kutunza na mapato

yake , kuokoa it up ' wazi , mzigo mara juu ya watu kwa usahihi na bidii kufanya kazi

nje ya nini kutoa .

Kwa mfano tuseme kwamba mtu anaanza kutoa na katika ulimwengu wa roho kuna

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuna watu wengi wanaosubiria mavunona malaika wa Bwana wanasubiri kuyaachilia

juu yao na mara tu wanapokuwa wametoa mapato yao yote.Hata hivyo,kutokana na

ukweli kwamba hawakutoa vyema zaka zao,wangetumia miaka mitatu ya maisha yao

kutoa asilimia 8 au 9 ya mapato yao yote na kutokutegemea mavuno muda wote

huo.Kwa huzuni,wangepunguza kutoa 10 % kwa pesa kidogo,lakini hiyo ingesaidia

kuvuta yale mavuno ambayo hawakuyapata japo ingekuwa kweli huzuni.Hivyo basi,kwa

ajili ya kupokea baraka nyingi za Mungu,tendea kazi mapato yako na hakikisha kwamba

unatoa zaka yako kwa Mungu na kutokukosa baraka kwa ajili ya pesa kidogo.(Ni Wazo

zuri kutoa zaka yako na kuanza na paundi ya karibu kisha tena kuiongeza hadi paundi ya

5 au 10 ili kuhakikisha kuwa umetoa zaka yako yote kwa Mungu).

Katika malaki Malaki 3:10 Bwana anaongea neno la kuwafaa kwa Israeli wakati

anaposema, ' Leteni zaka kamili ghalani ' pengine Mungu hafurhii matoleo kidogo au

watoaji wa muda.na imesemekana kuwa kama tukitoa kwa ukarimu tutavuna kwa

ukarimu kwahiyo zaka zetu yanatakiwa kuwa ya uhakika na ya mara zote.Kwa mfano

ikwa tutatoa zaka kila wiki,na kusahau kufanya hivyo nyakati za mapumziko yetu ama

nyakati za krismasi,tutakuwa hatujatoa zaka kamili kwa Mungu.Tena,ikwa tutatoa

nyakati nzuri tu na sio mbaya tutakuwa hatujatoa zaka kamili kwa Mungu. Ni muhimu

kwahiyo,tuntakiwa kufanya kwa bidii kuhakikisha ni ya uhakika na katika mapato yetu

yote ama pengine tunaweza kuishia kutokumheshimu Mungu kwa pesa zetu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Cameroon

15,084,969 ya watu ,walio wengi wakristo

25 % ni Waislamu

Rushwa imekithiri na kanisa umejawa na matabaka na Utengano

© www.operationworld.org

21. Zaka Ni Mali Takatifu Ya Mungu

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Mambo ya Walawi 27:30

Kariri Aya Hii : Malaki 3:10 Leteni zaka kamili ghalani '

Baadaye Zungumzia Hili : Nini maana ya Mambo ya Walawi 27:30 kuonyesha

kwamba zaka ni mali , na ni imetengwa kwa ajili ya mbali na Mungu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Anza kuweka kumbukumbu kuhusu

kutoka kwako na kuingia kwako ili kujua namna unavyoweza kutumia pesa zako.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu ni kwanini Mungu

anhukumu wasio toa zaka wanaomwibia.

Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: Mathayo 23:23

Zaka ni kutoa asilima 10% ya mapato yetu kwa Mungu na pengine angetutaka tutoe

zaida ya hapo. Hata hivyo,Biblia inatoa maono kuhusu zaka, ina maanisha nini hasa kwa

Mungu na kwa jinsi sisi tunavyotakiwa tuitazame.Kwanza tumeelewa ni nini zaka ina

wakilisha na jinsi Mungu anavyotuelekeza kuhusiana zaka,kwahiyo hatutakiwi kuwa

kusita au kuwa na shaka au kuwa na hofu juu ya kutoa zaka na inatakiwa kuwa ni furaha

kwetu jufanya hivyo. Pointi ya kwanza kuhusiana na na zaka ni kwamba sio lazima sisi

kumpa Mungu pesa zetu,-zaka ni marudisho kwa mliki halisi.Tumekwisha kuona kuwa

pesa zote duniani zinamilikiwa na Mungu,na pesa tunazo zimiliki,sisi ni mawakili

wake.Kwakutoa katika mapato yetu yote tunakuwa tunamrudishia Mungu kilichokuwa

chake mara ya kwanza.Pointi ya pili,kuhusiana na utoaji wa zaka,ni kwamba,Mungu

huitazama zaka yetu kuwa ya thamani kubwa na mhimu sana kwake kwahiyo huifurahia

tunapomrudishia zaka zetu.Zaka lazima kiwe ni kitu kilichotengwa kinchoonekana kuwa

kitakatifu,mhimu na cha pekee na tunatakiwa kuhakikisha tunchukuwa tahadhali

kwamba tunalipa zaka zetu maadam tendo la kutoa zaka ni la thamani kubwa kwa

Mungu. Mambo ya Walawi 27:30 inasema, 'Tena zaka yote ya nchi, au kama ni matunda

ya nch, ni ya Bwana; ni takatifu kwa Bwana.' kumbuka jinsi

Bwana anavyotangaza mwenyewe kwamba zaka ni mali yake na imetengwa kwa ajili

yake mwenyewe.

Wazazi wengi wanatenga pesa kwa ajili ya kulipia siku ya kuzaliwa kwa ajili ya watoto

wao na kwa ajili ya zawadi za krismasi na kuona pesa hizi zinafanya chochote

wanachotaka,kwa watu wanaowapenda sanana kuwapatia vitu vya thamani.kwa namna

hiyo tunatakiwa kuwa makini kutenga zaka zetu kwa ajili ya Bwana na kutambua kuwa

pesa hizo ni takatifu na kutakaswa na Mungu.Mungu anafurahia sana zaka zetu na siyo

kwamba anahitaji pesa zetu lakini tunapotoa zaka anafurahi utii wetu. Kupitia kutoa

Mungu ametupatia uwezo wa kutoa zawadi nzuri na muhimu kwakena tunatakiwa

kuiona zaka kuwa ni mali takatifu ya Mungu.

Kwahiyo ni nini kinachoonyesha kuwa zaka ni marudisho na inatakiwa kutengwa ikiwa

hatuhitaji kuitoa?Vizuri ukweli ni kwamba ikiwa hatutaki kutoa zaka basi tunashikiria

kitu kitu chenye thamani kubwa mbele za Mungu na kawaida ni mali ya Mungu,na

hivyo ikiwa tuna shikiria kitu ambacho si chetu tunamwibia Mungu mali yake.Ukweli

huu ni kitu kinachozungumziwa na Mungu mwenyewe katika Malaki 3:8

'Je!mwanadamu atamwibia Mugu? lakini ninyi mnaniibiamimi. Lakini ninyi

mwasema,Tumekuibia kwa namna gani?-mmeniibia zaka na dhabihu. Ninyi

mmelaaniwa kwa laana; maana mmeniibia mimi, naam, taifa hili lote.' Hakika huwezi

kumwibia mtu kitu ambacho si chake,Mungu anaposema tuna muibia zaka, inaonyesha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuwa zaka ni mali yake.

Ukweli halisi ni kwamba wasiotoa zaka ni wezi wanamuibia Mungu ni ufahamu wa hali

ya juu lakini fikiria matukio yafuatayo. Pengine umekuwa Mkristo kwa miaka mingi na

kujiona kuwa unajua na kumpenda Mungu ingawa kwa mda huo wote wewe umekuwa

si mtoaji wa zaka-Ukweli ni kwamba huyo Mungu unayesema wampenda umekuwa

unamuibia wiki hadi wiki kwa miaka yote. Pengine umekuwa mwaminifu kuhudhuria

kanisani na umepata maelekezo ya neno la Mungu toka kwa Mchungaji wako kwa

miaka mingi ingawa kwa mda wote huu Mchungaji wako naye hajatoa zaka. Hii

inamaanisha kuwa umetoa muda wako kuteketeza fedha kwa kumsikiliza mtu

anayekuelekeza namana ya kupata uhusiano wa ndani zaidi na Mungu, wakati yeye

mwenyewe ni mguu ndani, mguu nje, na akimuibia Mungu.

Katika mwanga wa hapo juu jinsi gani mtazamo wa zaka zenu? Kama tukianalia kwa

makini zaka zetu tutaona kuwa ni za thamani,na ni halisi, takatifu zimetengwa kwa ajili

ya Bwana na zinarejeshwa kwake tunatunza kitu cha thamani kubwa mbele yake.

Tunapaswa kuchukua wajibu kutoa zaka kwa umakini sana na ni lazima kuwa makini

sana kuhakikisha kwamba tuna bidii na hatukosei katika utoaji wa zaka yetu pia

tunapaswa kuitenga zaka yetu kama mali takatifu ya Mungu, kama ambavyo Mungu

anavyoithamanisha kwa kiwango cha thamani ya juu. Mungu ametangaza kwa ajili yetu

katika Malaki 3:10 kwamba washirika wasio toa zaka ni wezi wanamuibia yeye kwa

kufanya hivyo unataka Mwenyezi Mungu akuite wewe mwizi katika siku ya hukumu,

unapaswa kuwa mtoaji zaka.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini

Omba kwa ajili ya Jamhuri ya Afrika

3,615,266 watu , 70% ya Kikristo

Historia ya vurugu na kuyumbishwa-Waamini wanahitaji kufanywa Kuwa

Wafuasi Wema. © www.operationworld.org

22. Sadaka Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mark 12:41-44

Kariri Aya Hii: Waefeso 4:28 'Mwibaji asiibe tena; bali afadhari afanye juhudi,

akatende kazi iliyonzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha

kumgawia mhitaji.'

Baadaye Zungumzia Hili: Ni wakati gani na kwa nini tunapaswa kutoa Sadaka.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Jambo La Kufanya Kabla wakati Ujao: Muombe Mungu akujulishe ni mda upi ujao

anataka wewe umtolee Sadaka.

Kazi Ya Kuandika Ya Diploma: Jadili tofauti kati ya zaka na sadaka.

Tafakari Neno Baada Ya Katika Aya Hii: Kumbukumbu 15:07

kwa hiyo hapo mwanzo tumeona kwamba zaka ni kiwango ambacho Biblia inaonyesha

sisi kama waumini tunapaswa kumlipa Mungu, Je! Tunatakiwa kutoa zaka mpaka

kiwango cha senti ya mwisho,na kukunja midomo yetu na kusema sisi tumefanya

sehemu yetu? Naam , katika Agano la Kale na Agano Jipya kuna ushahidi unaoweka

wazi juu ya uchoyo na ukarimu. Hakika Je! Si jambo la muhimu kama tutaruhusu pendo

la Mungu kutiririka katika maisha yetu si kwemba tutajisaidia wenyewe tu lakini

tutachochewa na huruma wakati hitaji linapotokea? Hivyo kadiri tunavyotolea Mungu

zaka ingeonekana kuwa kidogo na kwamba tungetakiwa kufunguka na kudhamilia kutoa

kwa ziada (ni bora kuitambua kama sadaka)kama vile tunavyoongozwa na Roho

mtakatifu.

Kwa mfano kama tulivyoona maandiko baadhi katika Agano la kale kuhusiana na utoaji

wa zaka lakini zaidi ya haya mahimizo mengine kuhusu kuto acha kutoa zaka lakini

kuwa tayari kutoa kwa ziada kadri inavyowezekana.Kwa mfano,Kumbukumbu la Torati

15:7 inasema,ikiwa kuna ndugu masikini miongoni mwenu kati ya miji yenu katika nchi

Bwana Mungu wenu awapayo,msiwe na mioyo migumu au kufungwa juu ya ndugu

masikini.bali mfungulie moyo na kumpa kadili atakavyo.'Ingeonekana kuwa kutokana

na mahitaji makubwa ya kifedha duniani hakuna kiwango maalumu tunacho weza kutoa

kama sadaka lakini pengine tunatakiwa kuwepo na kukusudia kutoa hitaji linapotokea,na

kuona kuwa ni jukumu letu kuhudumia mahitaji hayo.

Tangu Mungu alipowaita watu wake karne na karne kutoka katika mataifa yote kwa

namna na kwa namna mbalimbaliza kifedha kutoa sadaka kwa watu mbalimbali na kwa

kazi ,biblia haionyeshi sheria yoyote ngumu na ya haraka kuhusu utoaji wa sadaka juu

na zaidi ya zaka.Pengine sheria pekee ni kuwa na Roho ya ukarimu na utayari, na kuwa

tayari na kudhamilia kutumiwa na Mungu katika eneo hili.kama tukitoa zaka na

kutozidisha hata senti basi tutakuwa tumepungukiwa na mema ya Mungu kwa sababu

tumetoa mahitaji kidogo.tunapotoa sadaka kwa ukarimu juu na zaidi ya zaka tunaingia

katika utele wa mema ya Munguna kufanyika njia ya baraka zake kwa watu wengi sana .

Hitaji hili la kuwa na Roho ya ukarimu,utayari na furaha wakati wa kutoa unapofika na

hii inaonekana katika 2 Wakorinto 9:6 'Kumbuka hili:Atoaye haba atavuna haba,na

atoaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.kila mtu atoe kama alivyokusudia kutoa,si

kwa huzuni au kwa lazima maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa

ukunjufu.'Ingeonekana kuwa tunapoanza kukua katika utoaji wetu tungekuwa na kutoka

katika huzuni na lazima hadi katika utoaji wa ukarimu na furaha kwa ajili ya kazi ya

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mungu.kuacha kutoa zaka au kutoa kwa huzuni sadaka kidogo juu yake inaonyesha

kuwa tunapungua katika eneo hili la utoaji na hatufurahii na kutegemea kutoa kama

ambavyo tungetakiwa.

Kwahiyo kwa habari ya swali,ni kiasi gani tunakiwa kutoa,biblia inatuagiza kutoa zaka

kiasi na zaidi ya hapo kutoa sadaka kwa ziada pia.biblia haitupi sheria yoyote iliyo

ngumu kuhusu sadaka zetu zinakiwa ziwe za kiasi gani lakimnni tutakapo komaa katika

eneo hili la utoaji tutakuwa na furaha na kuwa tayari na kutarajia katika matoleo yetu na

hivyo matoleo yetu yatakuwa makubwa na makubwa.Zaidi tutakavyokuwa katika eneo

la utoaji na sadaka,tutaanza kutazamia fursaza kutoa maana sasa utoaji wetu utakuwa wa

furahana shauku ya moyo.Zaidi matoleo yetu yatakavyokua makubwa na sadaka ya kila

wakati,si kwamba tutabariki watu wengi zaidi,bali zaidi tutajibariki wenyewe-Heri

Mungu afanye watu na kazi kuwa njia ya matoleo

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Chad

7,650,982 Ya watu , 55 % ni Waislamu - 22.78 %ni wakristo.

Uislamu na Ukristo inazidi ukipambana kwa ajili ya moyo na roho ya Chad. © www.operationworld.org

23.Sadaka Ya Kuteketezwa

Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: 2 Samweli 24:18-25

Tafakari Aya Hii: Waebrania 13:16 "Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana;

maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Bwana.'

Baadaye Zungumzia Hili: Je, ni haki kwa kusema kwamba kama matoleo yetu si hoja

yetu wao si hoja Mungu?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Kutoa kitu cha thamani mbali ili kupanua

ufalme wa Mungu

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha watu wengi kama iwezekanavyo kutoka

katika Biblia walotoa sadaka ya dhabihu

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:18

Katika sehemu kuhusiana na utoji wa zaka,ilisemekana kwamba sheria bora ya kufuata

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuhusiana na utoji wa zaka ,ni kwa mba tunatakiwa kutoa zaka ya kwanza na bora

Katika kile tulichokipokea.imejulikana kuwa sadaka zaidi ya zaka,hapa kuhusiana na

sadaka-kwamba sadaaka zetu zinatakiwa ziwe dhbihu.imesemekana kuwa ikiwa sadaka

zetu hazimanishi wingi tulio nao,bila shaka hazita maanisha wingi alio nao Mungu,

biblia mara kwa mara inaongelea Dhabihu na jinsi inavyo fanya kazi ,na pia inapatikana

katika utoaji wa fedha.inaonekana kuwa Mungu hazuili sadaka ya Dhabihu ya utoaji wa

fedha na zaidi tunavyothubutu kwa sadaka zetu,na zaidi tutakavyo zawadiwa.Kiwango

cha sadaka ya utoaji wa fedha ni kiwango cha kopokea kwake na biblia haitoai sheria

maalumu,lakini inaonekana nin kutoa sadaka kuwa Dhabihu kwa mtoaji na kwa

Mungu.Mfano bora wa mtu kumtolea Mungu sadaka ambao ulikuwa Dhabihu,ilikuwa ni

pale Yesu alipojitoa kwa ajili dhambi za Ulimwengu,kwa mfano Waefeso 5:1 anasema,

'Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa; mkaenende katika upendo, kama

Kristo naye alivyo wapenda ninyi; tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa

Mungu, kuwa harufu ya manukato.' Yesu mwenyewe anajua nini maana ya kutoa sadaka

ya gharama na kile anchotutaka tufanye Yeye alikwisha fanya kiasi cha kutoa uhai

wake.Tuliona kipindi kilichopita kuhusu mwanamke mjane katika Marko 12:41-44

pengine alitoa sadaka ambayo ilikuwa Dhabihu kama maandiko yanavyosema kwamba

alitoa kila kitu alichobakiwa nacho katika hazina.(kama kawaida pamoja na Dhabihu

yao ya sadaka,hawakufichika na dhahili iligusa jicho la mwana wa Mungu mwenyewe

kama sadaka ya dhabihu yako itakavyomgusa.)

Mfalme Daudi ni moja wa watoaji wakubwa ambao biblia imewanakilina sheria hii

ambayo inatakiwa kuwa dhabihu,ni kitu anachoonyesha katika maisha yake

mwenyewe.Katika 2 samweli 24,baada ya mtiririko wa makosa kukaririwa katika sensa

ya jeshi,Daudi anakutana na ghadhabu ya Mungu na kama matoke anaomba rehema na

matokeo yake anaelekezwa kumjengea Bwana madhabahu juu ya uwanda wa

Arauna.Kwa hekima aliamua kumpunguza sadaka ya Arauna kwa kumpa uwanda wa

kumpumzikia bure na kwa ujasiri ametangaza katika Aya ya 24 'Lakini Mfalme

akamwambia Arauna, La, sivyo, lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake,

wala sitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka isiyo ya gharama.'

Bila shaka, moja ya kanisa aliyoyapendelea Mtume Paulo ni kanisa la ufilipino na barua

zote za ufilipino zilijaa upendo ,furaha na ushirika pamoja na washirika wake.Wafilipi

sura ya 4 ni moja ya kurasa kubwa katika biblia na Paulo anasema hapa kwamba kanisa

la filipi lilikuwa ni kanisa toaji na lilikuwa ni kanisa pekee lililokuwa likimpelekea

sadaka kwa ajili ya Utume wa safari yake. Ni sawa kabisa kwamba wafilipi walikuwa

wakituma zaka zao kanisani na kila mara walipeleka sadaka kwa Paulo na utoaji wa

dhabihu na asili ya utoji huu wa sadaka unaonekana katika Aya ya 18'Ni sada yenye

manukato,na Dhabihu yenye kukubalika,na kumpendeza Mungu.'

Mfano zaidi wa mtu alietoa sadaka ya Dhabihu ni zawadi ya Maria ya manukato

aliyotumia kumpaka Yesu,na hadithi hiyo inafanana na Yohana 12:1-6.Hapa Maria

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

anampatia mwana wa Mungu zawadi yeye mwenyewe na Aya 7 inaonyesha kwamba

zawadi hiyo Maria alikuwa ameitunza.

Zaidi,thamani ya manukato ilikuwa Dinari 300 Mathayo 20:2 inasema kwamba Dinari

moja ilikuwa ni sawa na mshahara wa kutwa kwahiyo thamani ya manukato ilikuwa

mshahara wa miaka.Dhabihu hii ya sadaka kamwe haitasahaurika na sadaka ya Maria

imenakiriwa katika maandiko kwakuwa kubwa mbele ya macho ya Mwana wa Mungu.

Kanuni inyofanana na hiyo ya utoaji wa dhbihu imeonyeshwa na mwandishi katika

waebrania anposema,na msisahau kutenda mema na kushiriki na wengine,kwa maana

kwa dhabihu ya namna hiyo Mungu hupendezwa' (Waebrania 13:16 ).

Kumbuka kwamba yaliyomo ni moja ya utoaji wa kifedha na Neno 'Dhabihu'

lililotumika, Mungu anatangaza kwamba hupendezwa wakati sadaka ya dhbihu

inapotolewa na watu wa Mungu.Pengine,mara kwa mara unahangaika (au pengine

hofu)ikiwa Mungu anafurahia maisha yako ya kiroho na kama unafanya kile Mungu

amekuambia kufanya vyema,katika eneo la fedha kama unatoa zaka na na kutoa dhabihu

ya sadaka hivyo kulingana na Waebrania 13:16, Mungu anapendezwa na kile unafanya.

Pengine mfano bora wa kibiblia kuhusu utoaji wa dhabihu ya zaka ni makanisa ya

Makedonia (rejea katika 2 wakorintho 8:1-6) yaliyochangia kwa ajili ya watakatifu

walioko Yerusalemu.matoleo yao yalikuwa ya kipekee kama Biblia inavyoonyesha aina

tatu za uhalisia kuhusu utoaji.

1)Walitoa kwa FURAHA!(Aya)

2)Walitoa zaidi ya uwezo wao wa kutoa (Aya ya 3)

3)Waliomba watoe matoleo (Aya ya 4) Bahati mbaya kuna mifano michache siku hizi ya

watu kuomba kutoa sadaka kwa ajili ya kazi ya Mungu ila Wamekedonia walikuwa

wakifanya hivyo, na shuhuda zimenakiriwa na nyakati zote katika maandiko. Kutoa

dhabihu ni mara chache kuhubiriwa au kufanyika leo hii.kwa kuogopa kukasirisha au

kuhuzunisha watu,wachungaji wengi hawazungumzii pesa na utoaji wa dhabihu na hii ni

kwa sababu ya aibu yao na kwasababu marejeo mengi ya maandiko huhusu sadaka na

kufungua mikono kwa ajili ya kutoa fedha.kutoa sadaka kubwa ya dhabihu inaweza

isiwezekane lakini waamini wa Makedonia si kwamba walifanya hivyo bali walifurahia

kufanya hivyo. Hakika waamini hawa walifika kiwango cha utoaji na ujasiri kwa Mungu

wao ambacho baadhi yetu hatutafikia -lakini ni sehemu gani inaweza kuwa ni sababu ya

kuwa na kiwango cha imani ya ajabu.

Kutoa dhabihu ni nadra alihubiri juu au mazoezi leo. Kwa hofu ya upsetting au

kuwaudhi watu Wachungaji wengi hawana kuzungumza juu ya fedha na dhabihu na hii

ni aibu yao kwa sababu ya marejeo mengi maandiko sadaka na fedha wazi- handedness .

Kutoa sadaka kubwa sadaka inaweza kuwa jambo ngumu kufanya lakini waumini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kimasedonia si tu alikiri kufanya moja lakini alikuwa na furaha katika kufanya hivyo.

Hakika hawa waumini yaliyopatikana ngazi ya kutoa na imani katika Mungu wao

kwamba wachache wetu milele kuifikia - bado ni nafasi gani wa kushangaza ni lazima

kuwana imani kubwa vile ngazi.

Hatimaye katika kitabu cha Malaki sura ya 1 masuala ya Bwana kukemea sadaka ya

wanafiki ambayo walimtolea na inakaririwa katika Aya ya 14” Kwa maana mimi ni

Mfalme mkuu' Asema mwenyezi Mungu.na jina langu lazima liheshimiwe katika

mataifa yote''. Mungu anafurahia matoleo yetu kwasababu hufunua pendo letu,uchaji

upekee wake ,bahati mbaya wakristo wengi,matoleo yao huonyesha jinsi

wanavyotembea mara chache na Mungu.Hivyo,je! Matoleo yako yanampa Mungu wako

wa Mbinguni heshima? Je! Huwa unatoa matoleo ambayo ni dhabihu? Je! Matoleo

yako yanaonyesha kuwa una mahusiano mazuri na Mungu? Watu wengi wa dunia

hufurahi kulipa pesa zaidi ili kuwa na bidha njema wanazonunua -kama ubora wa pesa

ulivyo na thamani ya juu machoni pa ulimwengu,ubora na utukufu na ukuu wa Mungu

lazima uwe na thamani ya juu kifedha kwa sadaka zetu.

Kwa hiyo,kwakumalizia kwa swali kuhusu ni kiasi gani tunatakiwa tutoe, kuna mambo

kadhaa tunaweza kusema.Katika Agano la kale,pamoja na utambulisho wa sheria,watu

wa Mungu walitakiwa kuwa watoaji zaka na kimaandiko hii inaonekana katika vyanzo

vyote vya mapato na maongezeko maeneo hayo ni kama vile mifugo,matunda,mafuta

na divai mpya.Japokuwa biblia haijamalizia vyema juu ya jambo hili ingeonekana kuwa

kanuni hii ya kutoa ni adhabu ya waamini wapya, Aganojipya linaongea juu ya utoji wa

sadaka ya fedha pia(kwa namna hiyo hiyo ambayo Agano la kale linazungumzia kuhusu

sadaka zaidi na juu ya zaka)

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Chile

5,211,294 ya watu ,wengi ni wakatoriki

Wakatoliki wanapungua lakini wainjilisti wana wanatengana, ubinafsi, na

kuingilana. © www.operationworld.org

24. Sadaka Hushindaniwa

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti : Mwanzo 4:1-16

Kariri Mstari Huu : Mwanzo 15:11 ' Kisha ndege wa kuwinda alishuka juu ya mizoga ,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

lakini Abramu akawafukuza

Baadaye Zungumzia Hili : Baadhi ya uongo Shetani kutumia na kuacha watu kutoka

kutoa sadaka

Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Muulize Mungu kuonyesha wazi

nini sadaka anataka wewe kufanya

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Mungu na

shetani ni hivyo nia katika matoleo yetu .

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Waebrania 11:04

Tuliona hapo awali kwamba, sadaka kubwa ina nguvu za kiroho na kwamba Mungu

hawezi kuipinga dhabihu hii na atawalipa wale wote wapandao dhabihu kweke.

Kutokana na nguvu ya kiroho ambayo ni imeambatanishwa katika dhabihu hiiyo

haitavutia to nguvu za Mungu bali pia ni upinzani mkali toka kwa shetani. Dabihu

hupingwa vikali na Shetani , lakini mara tu inapotolewa toka mikononi mwa mtu,

baraka za Mungu huachiliwa kutoka mikononi mwa Mungu.

Muda ambao Mungu anaongea na mtu kuhusu maamuzi ya kutoa dhabihu, had muda

wa mwisho ambao dhabihu inaachiliwa, kunaweza kuwa na mapambano makali

yanayompinga huyu mtu asiachlie. Shetani atahakikisha ametafuta mbinu ya kupanda

mawazo mabaya ya hofu na mashaka na tamaa ya kujaribu kuzuia dhabihu kwa mtoaji.

Chini ni mifano miine ya kibiblia inayoonyesha jinsi dhabihu ilivyokuwa inapinwa na

kushindaniwa na shetani na namna alivyotumia wanadamu mawakala waliojitoa kwake

kwaajili ya kupinga kuachiliwa kwa dhabihu.

1) Kaini Na Abeli - Mwanzo 4:1-16 Kumbukumbu ya kwanza kwa dhabihu kubwa ni ile iliyotolewa na Abeli. (Kwa kweli,

sadaka hii ilikuwa ni maarufu na muhimu kiasi kwamba Waebrania 11:4 inaonyesha

kuwa hili lilikuwa ni tendo kubwa la imani na kwamba Mungu alisema mema kuhusu

ana na sadaka yake. Hakika . Itakuwa baraka ya ajabu siku ya hukumu kwa wale

ambao Mungu atawasifu kwaajili ya sadaka za fedha walizotoa wakati walipokuwa hapa

duniani.)

Kutoa dhabihu yenye ubora namna hii, ilifanya shetani afikirie kuzuia baraka zisimfikie

Habeli na akamtumia Kaini kumuua Habeli na kuvunja nguvu ya sadaka yake . 1

Yohana 3:12 inasema wazi kuwa Kaini iliwasilishwa kwa , na pamoja na kuwa yeye

alikuwa upande wa shetani na shetani akamtumia kaini kupigana na kupinga sadaka ya

kwanza kabisa ambayo ilikuwa inatolewa kwa Mungu. Ni ya kuvutia sana kuona kuwa

sadaka ya kwanza kabisa katika Biblia iliongozwa na mauaji ya kwanza kabisa katika

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Biblia. Kwa jinsi hiyo Mungu hawezi kuzuia kutoa dhawabu kwaajili ya dhabihu kama

hiyo , shetani hawezi kujizuia kupambana dhidi ya sadaka.

2) Abramu - Mwanzo 15:1-20

Hapa, Mungu anahitaji dhabihu dhabihu ya kuteketezwa kutoka kwa Abramu ambayo

hatimaye ilisababisha Mungu kutembea kwa njia ya sadaka na kudhihirisha ujumbe

wake kwa Abramu. Abramu aliandaa sadaka zake , hata hivyo, aya ya 11 inasema

kwamba ndege wa kuwinda walitua na kunyakua sadaka ya Abramu akashinana noa na

kuwafukuzia mbali. Mfano wa mpanzi katika Marko 4:4 , Yesu anafananisha nguvu za

giza kama ndege ambao wanakwapua neno la Mungu liliopandwa ndani ya mioyo ya

watu. Hivyo, haina maana kufikiri kuwa dhabihu ya Abram ilikwapuliwa limwili, je! si

pia ni jambo la kiroho kupitia shetani ambae alikuwa na mawazo ya kumpinga Abram

katika kutoa dhbihu? Abramu akayapinga mashambulizi na akatoa dhabihu yake –

Mungu hupendezwa kiasi kwamba utukufu wake hutembea kati ya dhabihu; Mungu

hawezi kupinga dhabihu!

3)Mariamu - Yohana 12:1-11 Kama Mariamu alivyojiandaa kutoa sadaka manukato yenye gharama kubwa kwa

Yesu,sadaka yake yake ilishindanishwa na shetani,ambae pia alitumia moyo wa

mwanadamu.Moyo huu uliotumiwa ni Yuda -ambae bila hofu alijitoa kwa shetani kama

Yohana 13:27 inavyoonyesha kwamba shetani alimwingia na kumuongoza kumsaliti

Yesu.Mariamu anapotoa sadaka yake Yuda sauti ya Yuda inataka kuchafua sadaka yake

lakini Bwana Yesu anamkemeaYuda na kumpatia Maria haki yeye na sadaka yake.Hata

hivyo,katika mstari inyofuata katika Marko 14:9,Yesu anasema kwamba sadaka hii

kubwa itahubiriwa ulimwenguni kote kama kumbukumbu ya kile alichokifanya.ukweli

ni ule ule hata leo hii kwamba kama mtu anataka kumtolea Yesu sadaka kubwa sauti ya

kudhihaki ya shetani itajaribu kumshawishi asifanye hivyo.Hata hivyo mtu anapo ipinga

sauti ya shetani na kusisitiza kutoa sadaka kama Maria basi,Yesu humpatia haki.

4) Anania na safira -Matendo 5:1-11 Sadaka ya mwisho ambayo ilizuiliwa na shetani ni ile inayohusu hadithi mbaya ya

Anania na safira.Kwa huzuni,sio kwamba Anania alileta sadaka na kuiweka miguuni pa

mitume,bali aliileta pamoja na uongo na na kuzuia sehemu ya pesa.Tena,Anania alikuwa

amejitoa kwa shetani kwahiyo hamna shaka ikiwa Pita anamkemea anaposema katika

Aya ya 3 'Imekuaje shetani ameujaza moyo wakohata ukadiliki kumdanganya Roho

Mtakatifu'.

Tangia hapo kanisa lilikuwa likiongezeka kwa idadi na kifedha.Kama kanisa shetani

alikua amechanganyikiwa ili kupinga ukuaji huu na anaenda moja kwa moja kwenye

sadaka kwasababu ya nguvu unaotokana nayo.Shetani anafanikiwa kumchafua na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuharibu sadaka ya Anania na safira na wote wanapigwa na kufa na kanisa la kwanza

linalengwa na mashambulizi ya kiroho kutokana na nguvu za giza.

Kwahiyo sadaka ni dhana ya nguvu ya ajabu kiroho ambayo ina malengo kwa Mungu

na kwa shetani kwa ujumla.Tumeona kuwa wote wanaopinga upinzani wa shetani na

kuendelea kutoa sadaka zao hupokea baraka za Mungu-kama vile Ibrahimu na

Maria.Tumeona kwamba shetani anapofanikiwa katika mapigano dhidi ya sadaka huleta

mauti ya kimwili-kama yulivyoona kwa habari ya Habiri,Anania na

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Colombia

15,941,727 ya watu , 47% ni waKikristo.

Kanisa linatingwa na ibada za mizimu . na uchawi.

Kuna haja kubwa ya shule za Biblia na Mafunzo. http://www.operationworld.org

25. Kazi Ya Umisionari

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : Warumi 15:23-24

Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 16:6 'Labda nitakaa kwenu,naam, labda wakati wote wa

barid,mpate kunisafirisha kokote nitakako kwenda.

Baadaye Zungumzia Hili :Kwanini Paulo mara nyingi anayaandikia makanisa na

kuyataka yamsaidie kifedha kwa ajili ya kazi yake ya kimisionari.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Kama kikundi, andaeni zawadi kwa

ajili ya mmisionari au kwa ajili ya kazi ya umisionari.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jukumu mbalimbali

makanisa yaliyochukua kwa ajili ya kusaidia Paulo katika umisionari wake.

Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii : Warumi 10:15

Sehemu zifuatazo zitahusiana na maswali ya nayofanana kuhusiana na zaka ,ni mahali

gani tunatakiwa kutolea zaka zetu.toka mwanzo na ijulikane kuwa biblia inatoa aina tatu

za maelekezo kuhusu mahali pa kuwekeza pesa zetu Wengine asema kuwa zaka

inatakiwa kuwekwa kwenye kusanyiko kuu kama itakavyo onekana baadae, kwa habari

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ya wazo la kidunia pengine si sheria mbaya kufuata.Hata hivyo wazee wa kanisa

hufunisha kwa makini washirika wao kutoa zaka makanisani kwao ,wanakuwa

wanafundisha ni nini kanisa linatakiwa kufanya na pesa zao kwa vile makanisa mengi

hayafanyi hasa maagizo yaliyopewa na Mungu.

Ni matumaini kuwa kurasa hizi zitakuwa msaada kwa wakristo ambao wamekuwa mara

zote wakifundishwa kutoa yu katika makusanyiko yao tu na wamekuwa wakifanya

hivyo,lakini hawajawahi kuuliza kuhusu matunda yaliyopo kanisani kwa matoleo yao na

hasa matumizi yake.Hakuna haki ya kibiblia ya kulipa kanisa lisilotii,lisilozaa matunda

na kufanya chochote kwa ajili ya kuendeleza Ufalme wa Mungu na katika mambo

mengi kuzuia .Mamilioni ya paundi yamezuiliwa na uchoyo wa makanisa na watu

kwakutiwa giza wanaendelea kutoa zaka zao-pengine Mungu ana jambo bora na pesa

zako kuliko kuliko kuliwa na kanisa ambalo halimheshimu.

Eneo la kwanza la kutolea ni katika Utume mkuu wa Yesu uliopewa kanisa kwa kupaa

kwake katika mkono wa kuume wa uweza wake juu,ili kuipeleka injili kwa makundi ya

makabila,tamaduni na Lugha ambayo hayajaisikia.Na ina semekana hakuna atakaeisikia

injili mara mbili labda kila mtu hajawahi kuisikia na hata hivyo kanisa linachukuwa

jukumu hilo kuu kwa wote ambao bado hawajahi kuipokea.Hakuna siri kubwa kuwa

makanisa ya magharibi yanatumia kiasi kikubwa cha pesa zao kwa ajili yao

wenyewe,Ukweli ni kwamba Yesu haisubiri magharibi kupokea injili na kuwa na

makanisa na wakristo ndani yake.

Zidi ,ni kiasi hasa kinachotumika kwa ajli ya Uinjilisti kinachotumika mara nyingi kwa

ajili ya kuokoa watu katika kanisa la kijijini kama vile,kupeleka katika maeneo ambayo

tayari ya biblia,makanisa na wakristo.Kuinjilisha eneo la kijijni ni kitu cha muhimu

kukifanya lakini kipaumbele kinatakiwa kuwa kwa wale wote ambao hawana injili na ni

bora kila mchungaji wa kila kanisa kufanya hili ni kipaumbele kikuu na Mungu atabariki

kazi nyumbani.Kama kanisa litaweka utume mkuu kama kipaumbele chao,Mtume

mkuuu mwenyewe atelekeza mambo ya kufanya.Kiuhalisi,kutoa kwa ajili ya uinjilisti

wa maeneo ya watu waliobaki kufikiwa ni jambo la muhimu kufanya unapotazamia ni

wapi pa kuwekeza pesa zako.

Mtume Paulo pengine ni mtu alie amini kuwa kazi ya umisionari hupatikana katika

mwili wa kristo.Maelezo matatu yaliyonakiriwa chini yanaonyesha kwamba alipokuwa

katika kazi yake ya umisionari akiwa anasafiri hakufanya siri kwamba alitegemea

kupokea msaada wa kifedha kwa ajili ya kazi yake ya umisionari kwa hiyo aliweka wazi

maelezo yake katika mistari hii,haipingiki tabia ya Paulo ya kutegemea kwa ujasiri

waamini wenzake kumsaidia katika kazi ya umisionari wake na tabia ya zamani ya

wachungaji wengi na viongozi wa makanisa wenye tabia yakuwa wapolo na wachungaji

kuomba watu wa Mungu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu,na wote wanaohitaji pesa

kwa ajili ya wito wa maono/umisionari hawatakiwi kuona haya kuomba ndugu zao wa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kiume na wakike kuwasaidia. Warumi 15:24 'Natumaini kuwatembelea wakati

nitakapopita na kuhitaji msaada wenu kwa ajili ya safari yangu,baada ya kupumzika kwa

muda pamoja nanyi.'

1wakorintho 16:6 'pengine nitakaa nayi kwa mud,na pegine wakati wa majira ya

baridi,ili kusudi mpate kunisaidia katika safari yangu,popote nitakakoenda'

2 wakorintho 1:16 'nilipanga kuwatembelea wakati naelekea Makedonia na kurudi tena

kwenu kutoka Makedonia, na kunisafirisha tena kwa safari yangu'

Huduma ya kutumika kama Mtumwa inahusishwa katika sehemu ifuatayo pamoja na

kipawa cha kutoa na kutakuwepo na huduma kubwa kwa ajili ya kusaidia huduma

nyingine na kazi ya umisionari.Na kwasababu si wote walioitwa kama wajumbe,basi

tunakiwa kubeba injili na kuipeleka kwa makundi ya watu wote ambao hawana nayo.Ni

fursa na furaha na mwaliko kwa kila Mkristo kutoa kwa ajili ya kazi ya umisionari na

kuona injili ikipelekwa katika pande za mwisho za dunia.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Colombia

42,321,361ya watu , kanisa linakuwa kwa nguvu

Nchi imeshikiriwa na uuzaji wa madawa ya kulevya, wanamgambo na waasi

bawa waliobakizwa. © www.operationworld.org

26. Maskini

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:19-31

Kariri Aya Hii: Mithali 19:17 'Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye

atamlipa kwa tendo lake jema '

Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Mungu anasema katika Yeremia 22:16 kwamba

alihukumu hukumu ya maskini na mahitaji yake, huku ndiko kumjua Mungu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Angalia maandiko yote

yanayoonyesha mahali Yesu alisema kuwapa maskini.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Yesu alitaja

kuwapa maskini mara nyingi

Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii: 28:27 Mithali

Eneo la pili linalotakiwa kufikiriwa kuhusi sisi kuwekeza utoaji wetu ni eneo la

kuwapatia maskini, maandiko menyi yaonya ( kwa makaripio !) Kwamba sisi

tunawapuuzia wao kwa hasara yetu, maandiko hapo chini yanatoa mwaswali katika

baadhi ya makanisa ambayo wako makini kuchunga makanisa yao viti vya mbele na viti

vya heshima wakati uo huo wanapuusia jambo kubwa muhimu la mahitaji ya Binadamu

wanao wazunguka. Labda tuangalie maandiko yenye changamoto juu ya somo hili

katika Yeremia 22:16 'Alihukumu maneno ya Maskini na mhitaji; hapo ndipo

alipofanikiwa. Je! Huko siko kunijua asema Bwana? .

Wakristo wangapi na makanisa mangapi wanaojidai kuwa wamejazwa Roho Mtakatifu

na wenye injili iliyo kamili lakini hawafanyi lolote juu ya maskini na mhitaji? Ni

makanisa mangapi yaliyopo sasa yanayojitahidi kuwa na ubora katika mziki na karama

za kiroho na hata katika mwitikio wa kanisa lao, lakini hawajitahidi kuwa makini

kutunza maskini?

Mithali 14:21 `Adharauye mwenzake afanya dhambi;

Bali amhurumiaye maskini ana heri.'

Mithali 14:31 "Amwoneaye Maskini husuta Muumba wake.

Bali yeye awahurumiaye maskini humhershimu.”

Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo

lake jema.'

Mithali 22:9 "Mwenye jicho laukarimu atabarikiwa;

Maana huwapa maskini chaklula chake .'

Mithali 28:27 'Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu;

Bali afichaye mikono yake atakuwa na laana nyingi.'

Mithali 29:7 ' Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini;

Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.''

Wagalatia 2:10 'Ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo

nalikuwa na bidii kulifanya.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Itatokea kama vile rude alivyowainukia viongozi wengi wa kanisa ambao walikuwa

waangalifu kufundiasha kundi lao na walijitoa kwa ajili ya kanisa, ili kujua kwamba

Yesu kamwe hakuonyesha kutoa kwaajili ya kanisa lakini mara nyingi anataja

kuwapatia maskini. Maandiko hapo chini ni maneno yote ya Yesu - wakati wingi

anataja kutoa kwaajili ya maskini hili liko kwenye mawazo kuwa ni kwa kufanya hivyo

ndito upiokeaji wa karama zetu.

Hakika , Kanisa lolote na mKikristo yeyote atakuwa mjinga akipuuzia maneno haya ya

Yesu, kama kanisa lako halitoi kwa maskini, na je! unautajiri kutokana na juhudi ya

kazi za uchumi wa pesa zako? Maandiko , eneo kubwa ambalo Yesu amebainisha kuwa

ni njia pekee ya sisi kuwa wapokeaji wa thawabu ya Utoaji wetu kutoa kwaajili ya

maskini

na wasiojiweza

Mathayo 11:5 (b) 'Na maskini wanahubiriwa habari njema.'

Mathayo 19:21 'Ukitaka kuwa makamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini,

nawe utakuwa na hazina mbinguni '.

Marko 14:7 'Maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo, mwaweza

kuwatendea mema.'

Luka 4:18 "Roho wa Bwana yu juu yangu , Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri

maskini hari njema.'

Luka 11:41 ' lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vyote huwa salama.'

Luka 12:33 'Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka, jifanyieni mifukoisiyochakaa, akiba

isiyopungua katika mbingu.'

Luka 14:13 "bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa

heri.'

Hivyo ni maskini wa namna gani hasa ambao Biblia inazungumzia ? Naam, hapo chini

kuna mtiririko wa watu walitajwa ambao Biblia inazunguzia juu yao na marejeo husika

ya maandiko yanayo onyesha watu hao kimsingi au jamii haina muda wa kuyatumia,

Lakini Yesu , ana haja nao na anataka kuleta Ufalme wake kwao . Wao ni wa mwisho ,

waliopotea , na lakini wao ni milki yenye tuzo ambalo Yesu amelipatia kaniasa uridhi ni

watu ni hawa watu ingawa kanisa na jamii limewa geuzia kisogo ( halitambui kwamba

kwa njinsi hiyo wanamgeuzia kisogo Yesu). Je, ni mantiki kusema kwamba hatuna

upendo kwa Yesu tena zaidi ya watu kama hawa ?

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Wafungwa : Mathayo 25:36 , Waebrania 13:03

Kiu: Mathayo 10:42:25:35

Yatima : Kumbukumbu la Torati 10:17 , Kutoka 22:22 , Yeremia 5:28:7:5:22:5 , Zaburi

10:17, Zaburi 68:5 , Zaburi 146:9 , Isaya 01:16 , Yakobo 1:27

Wajane: Kumb. 10:17 , Kutoka 22:22 , Isaya 01:16 , Yeremia 7:5:22:4:1 Timotheo 5:03 ,

Yakobo 1:27

Wageni / Wageni : Yeremia 7:5:22:3 Zaburi 146:9

Kudhulumiwa / taabu : Zaburi 10:17, Isaya 1:17.

Kwa hiyo kama utele huu wa maandiko unavyoonyesha ,kutoa kwa ajili ya maskini ni

jambo la muhimu kufanya ili kuwekeza pesa zetu katika kazi ya Mungu.Hata

hivyo,katika nyakati hizi ambapo kanisa linaelekezwa katika nchi tajiri ulimwenguni

na kupotea,makanisa ya mwisho na machache yanaelekezwa katika sehemu maskini za

kanisa,kutoa kwa ajili ya maskini ni muhimu zaidi.Tena,ni makanisa mangapi

yanayotumia pesa zao katika kuinua washirika wao na kuwapa burudani binafsi wakati

maskini ulimwenguni wanatupwa na kukataliwa na kanisa ? Yakobo 1:27 inaonyesha

kwamba kuwasaidia yatima na wajane ni sahihi kabisa na si kosa mbele za

Mungu,kama tungetaka kumjua Mungu tungekuwa watu wanaotenda kulingana na dini

safi na tungefanya kwa kuwapa maskini.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kongo

2,943,464 ya watu , 91% ni wakristo,

Ukomunisti umeacha alama yake katika kanisa – baadhi ni maeneo yasiyofikiwa .

© www.operationworld.org

27. Makanisa / Wahudumu

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : 1 Timotheo 5:17-18

Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 9:14 `Bwana aliagiza kwamba wale wanaohubiri Injili

lazima wapate maisha yao kutoka katika injili '

Baadaye Zungumzia Hili : Je, tunatakiwa tutoe pesa zetu zote kataka makanisa

tunayohudhuria mara nyingi.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fanya jambo kwa ajili ya kumbariki mtu

anaekuhudumia neno la Mungu mara nyingi.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja kuhusu eneo ambalo kanisa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

linatakiwa kutumia pesa zake kwalo.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Wagalatia 6:6

Eneo la tatu kuzingatia ni kwamba Biblia anawaelekeza waumini kutoa katika kanisa

ambalo wanahudhulia kila mara kwa mfano,Malaki 3:10 inawainua watu wa Agano la

kale, 'Toeni zaka kamili gharani'. Hapo ingeonekana kimaandiko sababu ya kutoa mara

katika kusanyiko.

1. Wote walioihudumi injli kwa uwaminifu na kufanya kazi ya Mungu kwa muda wote

hupokea malipo ambayo ni kanuni iliyowekwa na Mungu (hii inapatikana katika sheria

ya Agano la kale kutoa kwa ajili ya kusaidia makuhani /walawi kwa mfano

.kumbukumbu la torati 14:27: 29;1-2: 2mambo ya nyakati 31:4-20)

2. Pesa zinazotolewa zitasaidia kwa ajili ya kutunza na mabo yanayohusiana na kanisa

ambalo linakabiliana kwa uwazi na mahali ambapo hamna wakristo ili kukutana na

waumini na (ni matumaini) na injili.

Hivyo sababu ya kwanza kutoa katika kanisa ni kwa ajili ya kutoa mahitaji ya kifedha

kwa wote wanaoshiriki neno la Mungu pamoja nasi (mara nyingi ni mchungaj) kwa

mfano, wagalatia 6:6 inasema,kila anaepokea maelekezo katika neno la Mungu ni

lazima ashiriki mema yote na muelekezaji'. Makusudio ya andiko hili ni kwamba ni

lazima tuwe katika kanisa linalotoa maelekezo kila mara kwa neno la Mungu na kwa

kupitia kutoa katika kanisa pesa hizi zinapelekwa kwa mchungaji /mzee wa kanisa

ambae amefundishwa neno la Mungu.Kwa habari ya wazee wanaolihudumia neno la

Mungu kanisani,Paulo anaiweka Nuruni kanuni hii na kusema kwa uwazi kwa habari ya

wazee wanaolihudumia neno la Mungu. 1 Timotheo 5:17-18 inasema, 'Wazee

watawalao vema na wahesabiwe kustahili heshima mara dufu; hasa wao wajitaabishao

kwa kuhutubu na kufundisha. Kwa maana andiko lasema, " Usimfunge kinywa

ng'ombe apurapo nafaka,” Na tena mtenda kazi astahili ujira wake.”

1Wakorintho 9:7-14 ni fungu la maandiko Paulo anapozungumzia kanuni hii ya utoaji

mahali unapolishwa anapoongelea huduma yake kwa mfano, katika Aya ya 11

anasema,ikiwa tumewapandia vya rohoni je! ni neno kubwa tukivuna vyenu vya

mwilini'. Paulo anapokuwa na matarajio yakupata msaada wa kifedha kwa

kuwahudumia kiroho, aliamua kutokupokea ili asiizuilie injili (hata hivyo,aliiweka

kanuni hii kwa ajili ya makanisa ya ufilipino kama vile, wafilipi 4:11-19 ) .zaidi kabisa,

Paulo anaelezea kuhusu wahudumu wa muda wote wa injili kwamba wanatakiwa

wapokee msaada kutoka kwa waamini anaposema katika Aya ya 14 'Bwana ameamuru

kuwa wote wanaoihubiri injli wanatakiwa kupata maisha yao katika injli'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Makanisa mengi hayalishi watu, cha zaidi ambacho waumini wanaweza kutarajia ni

kipindi cha dakika ishirini katika wiki utani kuliko maandiko. kama kila mkristo

angefuata utaratibu huu basi ingesaidia kuondoa wachungaji wasiozaa matunda ambao

hawalihudumii neno la Mungu kwa uwaminifu na pia ingeondoa makanisa yasio na

matunda ambao wanadanganya watu wao kwa neno la Mungu. Pengine ni kwasababu

makanisa mengi hayalishi waumini wake kwasababu ya kuwepo na mafundisho mengi

ya huduma ambayo yamebarikiwa na Mungu?

Sababu nyingine ya kutoa ni kwa ajili ya kutunza na kupanua makanisa kulingana na

utoaji na shuhuda zinazoonekana kwa wale wasiokoka. Kumbukumbu ya andiko hili

ni kuhusu kujenga hekalu Kutoka 25:1-8 Mungu aliopomuamuru Musa kuchukua

sadaka miongoni mwa wana wa israeli na kumjengea hekalu na mfano zaidi ni ujenzi

wa hekalu la Daudi na Suleimani katika 1mambo ya nyakati 29:6-9. na mfano wa

nyakati hizi ungekua kutazama kanisa ambalo linakuwa sana kwa wale wanaokolewa

lingekua hitaji la kupanua kanisa na hapo inasemekana kuwa wale wanaohudhulia

kanisa hilo wanatakiwa kutoa kw ajili ya upanuzi wa kanisa. Kwa huzuni, kanisa lililo

beba mzigo wa umaskini linaweza kuwa kizuizi kwa wasio amini na wanaweza kuacha

shuruti kuwa wakristo hawajajiandaa kuweka pesa zao mahali mdomo ulipo.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Ivory Coast

14,785,832 ya watu , 38 % ni Waislamu

Kanisa na Uislamu umeona ukuaji na wanashindana kwa ajili ya ukubwa .

© www.operationworld.org

28. Waumini Wenza

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: James 2:14-17

Kariri Aya Hii: Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi a tuwatendee watu

wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'

Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inaweka msisitizo juu ya kutoa kwa

wafuasi wenzetu ndugu na dada?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Katika maombi, Muombe Mungu

ili akuonyeshe ndugu / dada katika Kristo, utakaoweza kuwahudumia.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine juu ya hoja ambayo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

twapaswa kuipa kipaumbele kwa ndugu wenzetu na dada katika Kristo.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Yohana 3:17

Hatimaye , eneo moja la mwisho kuangaliwa ni utoaji wa fedha kwa Wakristo wenzetu,

maandiko matatu chini ni magumu kusoma wakati mwingine, na yanapanua kanuni

hiyo yaani, kwamba moja ya alama ya Wakristo wa kweli ni wale wanaojibidisha katika

kuwabariki Wakristo wenzao ambao ni wahitaji, ( ona kwambaneno 'Ndugu ' linatumika

kwa wote) . Pia ni vizuri kukumbuka kwamba sehemu kubwa katika Biblia nzima juu ya

kutoa (2 Wakorintho 8:01 -9:15 ) inahusika na suala la kupeleka sadaka kwa watu wa

Mungu maskini katika Yerusalemu

Mathayo 25:40 'Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amini, nawaambia, kadiri

mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.'

Yakobo 2:15 ' Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa

na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, Enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na

kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?'

1 Yohana 3:17 ' Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ngugu yake ni

mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?'

Katika Agano la Kale kuna hata amri kwamba kuwafundisha watu wa Mungu kwa

karibu kuonyesha upendeleo wa kiuchumi kuelekea Wayahudi wenzao dhidi ya wageni

katika nchi yoyote . Kwa mfano, katika maandiko ya chini, si kwamba Mungu aliagiza

Wayahudi kwa wenzake ili kuleta tofauti kwa walio wageni wageni lakini kuna ahadi

kwamba yeye atawabariki watu ambao kufanya hivyo! Kwa hiyo, sisi lazima kwenda

nje ya njia zetu na kupanua tija ya ukarimu na hasa kwa Wakristo wenzetu.

Kumbukumbu 23:20 ' Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu

yako kwa riba, ili Bwana, Mungu wako, apate kukubariki katika yote utiyayo, mokno

wako,'

Yesu mwenyewe anatia moyo kanuni tunayopaswa kuitafuta na kuwabariki ndugu

wafuasi wenzetu na kuna ahadi nyingi za baraka kwa wale watakaofanya hivyo Marko

9:41 anasema, 'Kwa kuwa yeyote atakaye wanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa

kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amini, nawaambia, hatakosa dhawabu yake.' Paulo pia

anaifuata kanuhiyo pale asemapo katika Wagalatia 6:10 'Kwa hiyo, kadiri tupatavyo

nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Je, si wengi, ndugu na dada katika Kristo ambao wanamlingano wa hali kama wale

wote wanaoelezewa katika maandiko ya hapo juu? Na si Mungu anayetuita baadhi yetu

kuweka imani yetu katika matende na kufanya kitu juu yake ? -bila shaka tuko wengi.

Wakristo maskini wanaotarajia msaada wa Wakristo matajiri toka Magharibi kwa ujumla

wanatoka nchi ambapo kanisa linakabiliwa na ukuaji mkubwa -nini motisha buli

lazima kwetu sisi kuwa na jukumu la kupeleka kuwasaidia wao na kuona fedha zetu

zinakwenda mbalikupanua Ufalme katika mataifa hayo.

Kwa mfano, katika nchi ya Burkina Faso katika Afrika, gharama ya kulisha mtoto katika

kituo cha watoto yatima kimisionari inafikia 6pence kwa siku siku -kwa njia ya zawadi

kutoka kwa Wakristo matajiri, kazi hii ya Mungu miongoni mwa watoto yatima

tunaweza kuona elfu kutunzwa na maelfu kuletwa kwa Mkristo katika kuweka- fursa ni

kutokuwa na mwisho, na hakika Mungu atakuongoza wewe kuwekeza kwenye miradi

mizuri. Tena, makanisa mengi ya natoa kwa ndugu na dada katika Kristo -wao

wanatunza hayo yote kwaajili yao wenyewe ! - tumeitwa kutoa kwa Wakristo wenzetu

walio wahitaji, si kuwapendeza wakristo matajiri kwa kujenga makanisa ma kubwa na

yenye kiwamgo kizuri zaidi. Je, si ni kesi kwamba Wachungaji wengi na Wazee

wanaficha uwajibikaji unao wapasa wenyewe na itakuwaje katika siku ile ya huku

wakiwa wanatenda mambo kama haya?

Hivyo katika hitimisho Biblia inatoa maeneo matano ambapo sisi tunapaswa kufikiria

kuyatolea kifedha.

Agizo Kuu / Kazi ya Umisioni

Maskini

Kutoa kwa wale wanatulisha sisi ( katika muktadha wa mkutano wa ndani)

Kutoa kwa ajili ya Miradi ya ujenzi / Upanuzi wa kanisa

Kutoa kwa jamii ya waaminio

Je! Nizipi kati ya hizi zinapaswa kuchukua kipaumbele? kama ilivyoelezwa katika

mwanzo wa sura hizi Biblia inatoa mwelekeo ila kukwepesha. Inaweza alisema kutoka

Malaki 3:10 kwamba tunapaswa kuleta zaka zetu kwenye mkutano wa ndani

tunaohudhuria vjzuri, kama kanisa lako linawawezesha wamisionari, linalisha maskini

na kuwasaidia jamii ya waaminio inaweza kuonekana kuwa ni muongozo mzuri

unaopaswa kufuatwa. Katika ulimwengu halisi itakuwa ni kesi ya kwamba mkutano wa

wenyeji ungekuwa pedi uzinduzi wa mafuriko ya baraka kwa ncha ya dunia sana hivyo

kwamba waumini wenyeji inaweza wote kushiriki kikamilifu katika kazi ya Mungu.

Bahati mbaya, kama uongozi wa kanisa ni aliyepooza na roho ya zuio na ni ndani

kuangalia na tu wasiwasi kuhusu mahitaji ya kanisa , watakuwa baraka kuzuia kuwa

iliyotolewa duniani kote.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Hivyo, n nini kama kanisa lako haliwajibiki chochote kwa ajili ya umisioni duniani na

wala hililishi na kuwajali watu wachaech waliookoka- na kuendelea kutoa? Hii litakuwa

ni jambao lanalohitaji maombi kumtafuta Mungu kwa ajili ya uongozi wake labda

asilimia ya zaka inaweza kwenda katika mkutano na kinachobakia kikusanywe kwaajili

ya kazi ya umisioni duniani na kulisha maskini na jamii ya waaminio wanaohangaika.

Hatuitwi kutiwa upofu kubeba zaka zetu mwaka hadi mwaka kwenye makanisa yasiyo

zaa matunda na sisi tukakuwa ni waendelezaji wa shirika lisilozaa matunda. Je, wewe

unafurahia mahali utapotoa pana zaa matunda na pana stahili kwa pesa yako unaytoa?

Hili linaweza kuwa ni swali gumu kwa wengine lakini ni si kesi kwamba tunapaswa

kuwekeza fedha zetu katika matunda, si pasipokuwa na matunda, makanisa, na umisioni

na Huduma?

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kroatia

4,472,600 watu, 94. 43 % ni Waislamu

Mateso mengi kutokana na vita lakini Ushuhuda wa wa kristo unaimarishwa kwa

jitihada za amani. © www.operationworld.org

29. Maadui

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kutoka 23:04

Kariri Aya Hi : Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa , mpe chakula;

Tena akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa '

Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuweka katika vitendo kutoa kwa maadui zetu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Ujao : Kama inawezekana, tafuta watu ambao

wana, au ni wapinzani wako jaribu kuwabariki kwa njia fulani.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jinsi ya kutoa kwa

maadui zetu kuimarisha ya nguvu ya kuhubiri injili kwa ajili yao.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Luka 6:35

Kuna eneo zaidi kwamba tunapaswa kufikiria kuwapa kwamba kuonekana kuwa nadra

kuliko kawaida na kwamba ni kutoa kwa maadui wetu na wale wanaotupinga , na

ujumbe wa Yesu. Kama Wakristo tunapaswa bila shaka una maadui hakuna hata hivyo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutakuwa na wale ambao ni kinyume na sisi katika njia sawa kwamba kuna wale ambao

walikuwa kinyume na Yesu. Inaonekana kwamba kwa njia ya kutoa yetu na ukarimu

wetu tunaweza kugeuka maadui hawa ndani ya marafiki na kushinda yao juu ya sisi ( na

Yesu) kwa kushinda upinzani wao na upinzani pamoja na Kristo -kama upendo na

ukarimu.

Mfano wa kwanza wa kibiblia wa utoaji kwa maadui zetu, unapatikana katika Mwanzo

sura ya 26 katika hadithi ya Isaka. Isaka alikuwa mtu ambaye alitembea katika baraka ya

Mungu aya ya 12 inaonyesha kwamba siyo tu alipanda na kuvuna mara mia lakini pia

alifanya hivyo wakati nhi ilipokuwa na njaa. Katika mistari 19-21 Isaka alijionea

upinzani kutoka kwa Wachungaji wa Gerari na mara mbili wakati akijaribu kuchimba

visima na kuteka maji, waligombana naye na kumzuia. Pamoja na kuwa Abimeleki

ambaye alikuwa Mfalme juu ya eneo la Gerari alikuja na kufanya usuluhisho na Isaka

hakuna alichofaulu kwao ila alitengenea tatizo jingine liliendelea wakaiendea nji yao ya

kawaida asubuhi iliyofuata.

Inaonekana kwamba kama Isaka alikuwa anakwenda kuendelea katika mafanikio ya

Mungu wake aliyempa mafanikio aliyokuwa nayo kutoa na kupanua ukarimu kuelekea

maadui zake.

Kama tunavyosoma katika Mwanzo tunaona mtu mwingine ambaye alikwenda katika

baraka za Mungu na ambaye pia alitoa kwa wale ambao wanampinga, alikuwa ni

Yusufu hadithi ya Yusufu ni moja ya hadithi inyotoa mwanga zaidi katika Biblia. Ndugu

zake Yusufu wakamuonea wivu na wakamuuza katika utumwa Yusufu Yusufu alitoka

kwa mmjawapo aliyeona ndoto toka kwa Mungu kwa kuwa katika utumwa katika taifa

la kigeni. Yusufu alikuwa na kila sababu ya kuwa na uchungu na kutosamehe dhidi ya

ndugu zake lakini kama tutakavyoona anachagua msamaha na ukarimu kuelekea ndugu

zake kinyume na chuki.

Usidharau mtu mwema! Mtu akiwa amebarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe hawezi

kmshusha bali atainua hata katika matatizo yachukizayo na kwa kuingilia kati kwa

Mungu Yusufu alitolewa kwenye jela ya Misri na kuwa na kuwa mtu wa pili wenye

mamlaka katika nchi yote ya Misri.

Baadaye akakutana na ndugu zaka ambao hata hawakuweza kumtambua na bila kujua

kuwa yeye alikuwa na uwezo mkubwa wa kujilipiza kisasi lakini alidhihirisha Roho ya

Kristo, na katika Mwanzo 45:1-11 tunaona yeye anaapa kuwalinda wote na katika

Mwanzo 50:19-20 yeye - anathibitisha nadhiri yake kwa ndugu zake. Isaka na Yusufu ni

waeili katika takwimu ya Agano la kale ambao si tu walitembea katika baraka za

Mungu lakini pia walitoka kwa wale ambao waliwafanyia mabaya na kuwapinga.

Pamoja na kuanzishwa kwa sheria ya amri ya kupanua wema kuelekea maadui zako ,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

iliyotolea na Mungu kwa watu wake (angalia Kutoka 23:4 ) na haja ya kutoa kifedha

kwa maadui zetu inaonekana katika Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa mpe

chakula; tena akiwa ana kiu mpe maji ya kunywa; Maana utatia maka ya moto kichwani

pake; Na Bwana atakupa thawabu.'

Tazama jinsi nukuu hii inavyoonyesha kwamba Mungu atawalipa wale wanaotoa kwa

maadui zao. Kadiri tunavyokuwa watoajikatika kazi ya Mungu, Biblia inasema

tutapokea malipo kutoka kwa Mungu-vile vile hata tunapotoa kwa maadui zetu!

Hatimaye Paulo analeta nukuu hapao juu kutoka Mithali katika Warumi 12:20

kuonyesha kuwa ni sehemu yetu ya kuhubiri kwa watu wasiookoka na kwa njia ya

kutenda mema na kuwapa adui zetu tunaweza kuwavuta na kuwafanya kuwa marafiki na

kuwafanya pia kuwa marafiki wa Yesu.

Aidha katika injili ya Luka , Yesu mwenyewe inafundisha upendo na vitendo kutoa kwa

maadui zetu, katika Luka 6:27-36 tunaona kwamba wale ambao wanaachilia upendo wa

kweli wa Kristo kwa maadui zao, watawakopesha bila kutarajia kurudishiwa na

watawafanyia mema. Tukihamia katika Luka 10:30 mfano wa Msamaria mwema hapa

tena Yesu anazungumzia upendo kwamba wafuasi wake watakuwa nao kwa wale ambao

ni maadui zao – Je! Na wewe umegundua kuwa Msamaria Mwema sio tu alitoa srafu

ya fedha- kwenye nyumba ya wageni lakini pia alikuwa tayari kulipa gharama zote

ambazo zingezidi - (Mstari 35). Ni wazi kuwa kutoa kwaajili ya adui zetu inaweza kuwa

siraha muhimu katika uenezaji wetu wa injili katika makundi ya watu maadui wa injili

na injili itaenda hata mwisho wa dunia. Ilielezwa katika mwanzo wa sehemu hii kwamba

ynaonekana kuwa kutoa kwa maadui zetu inawezakutokea kuwa nadra kuliko kawaida

hivyo ni jinsi gani tunaweza kufikisha tendo hili kwa walengwa wetu?

Pointi hii inazungumzia kuwa utoaji wetu unatakiwa ulenge utume wa ulimwengu wote

ili kuokoa wanaume na wanawake katoka kuzimu kama inavyotakiwa na sin kumpa

mtu au mahali ambapo kuna zaa matunda ya kutosha kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.

Pengine yawezekana ikawa ni kwa ajili ya mtu anaefanya kazi na watu katika nchi

ambao ni tofauti na dinihiyo ambayo ni vibaya na kinyume na injli.Unaweza ukampatia

mtu ambae ni mmissionari na huyu mmissionari akatumia hizo pesa kununulia chakula

na madawa huenda kama kuna njaa au hali ngumu mahali wanapofanya kazi.Aina hii ya

upendo inaweza kuyeyusha mioyo ya wote ambao huipinga injli Pointi imekuwa

inasemea kuwa utoaji wetu wote waliokuwa wakiipinga injli na kufungu mioyo yao

kuipokea injli ambayo inafundishwa katika nchi za Afrika kusini na Afrika magharibi ya

kati ambapo kuna upinzani mkuu wa injli, matumizi ya pesa kuleta chakula na madawa

yanaweza kuwa mlango wa injli kuhubiriwa .

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Omba kwa ajili ya Cuba

11,200,684 ya watu , 46% ni wakristo

Ukuaji wa kanisa umefunika ukuaji wa miaka 40 iliyopita zaidi.

© www.operationworld.org

30. Fedha Ni Kigezo Cha Mungu

Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Luka 12:34

Kariri Aya hii : Luka 16:11 "ikiwa haujawa mwaminifu katika kutunza makli za

duniani,ni nani basi atakaekuamini klwa ajili ya utajiri wa kweli”

Baadaye Zungumzia hili: Ni kiwango gani pesa ni kigezo katika maisha yetu ya

kikristo?

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Omba kuhusu kuiwango chako

chako cha utoaji kinavyoonyesha namna unavyofa kazi na Mungu.

Kazi ya diploma ya kuandika : Andika upande mwingine namna ambavyo pesa ni

kigezo katika misha ya ya mkristo

Tafakari neno baada ya neno katika Huu : yakobo 2:17

Baada ya kuona haja ya kuwa watoaji,na ni kiasi gani na ni wapi pa kutoa pesa zetu,eneo

hili litaangalia sababu nyingi na faida za kutoa pesa zetu.tunapotazama sababu na faida

za kutoa na gharama tunazokumbana nazo kwa kutokutoa kwakweli ni linaweza kuwa

jambo ambalo hatuwezi kulitatua sisi wenyewe na hivyo tutataka kuwa watoaji. Katika

maeneo fulani inaonekana kuwa Mungu hutumia pesa zetu kuimarisha maisha yetu ya

kikristo na kwakutathimini hali zetu za kifedha tunaweza kuona sisi wenyewe hali

yetuya kutembea na Mungu. Si kwamba pesa zinazotolewa kwa Mungu zinatusababisha

kuishi maisha yetu ya kila siku tu bali zinatumika kama kigezo kwa Mungu na kwetu pia

kuhukumu na kusimamia maisha yetu ya kikristo.

Eneo la kwanza ambalo pesa husimamia ni kwamba pesa huonyesha kweli kama

tunamtumikia Mungu au kama tunamtumikia mungu asiye kweli wa pesa,Mungu

ametangaza mwenyewe kuwa ni Mungu mwenye wivu na kwamba hatavumilia kutuona

tunamwabudu mwingine.Katika luka 16:13 Yesu anasema kuwa pesa ni mungu asie wa

kweli ambae watu wanamwabudu na sisi wakristo hatuwezi kusema kuwa tunamwabudu

Mungu na huku tunaabudu pesa. Mafarisayo ni kundi kubwa la watu lililopenda na

kuabudu pesa badala ya Mungu na katika luka 11: 41, Yesu akasema kuondoa pesa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

katika maisha yao ni kuanza kuwapa masikini na kujisafisha na vinyago.Kwahiyo si

jambo kwamba pesa zinaonyesha kuwa ni aina gani ya Mungu tunaemwabu? Wote

wanaotoa kila mara katika Ufalme wa Mungu wanamwabudu Mungu wa kweli wakati

wale wasiotoa wakiwa wanaonyesha ni aina gani ya Mungu wanaemwabudu .

Eneo la pili ambalo pesa huimaisha ni mioyo yetu, Yesu anathibisha kwamba amri

kubwa ni kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote

na kwa akili zako zote (Mathayo 23:7). Yesu pia anatangaza katika luka 12:32-34

kwamba zilipo hazina zetu ndipo mioyo yetu itakapokuwa na chochote tunachowekeza

pesa zetu kwa pesa ndicho mioyo yetu inatamani na kuwa na shauku nacho. Ikiwa

tutawekeza pesa zetu katika kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha kuwa

tamaa na shauku na hisia za mioyo yetu ni katika Ufalme wa Mungu.Ikiwa kama

wakristo hatutoi kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha

kuwa mioyo yetu ina upendo kidogo sana ,hisia na matamanio yetu kwa Mungu na ukuu

wa Ufalme wake.Tutatumia pesa zetu kwa vitu vinavyopendeza na maalumu kwetu na

kuwekeza mambo yetu ya pesa kwako na kwa Mungu inaweza kuonyesha ni nini hisia

sahihi na tamanio la moyo wako.

Eneo lingine ambalo pesa himarisha katika maisha yetu ya kikristo ni katika ene la

Uwaaminifu.imeelezewa kale mifano miwili na Yesu kuhusiana na pesa- kama vile

mfano wa Talanta (mathayo 25:14-30) na mfano wa mjumbe mwenye hekima (luka

19:12) na ni katika mifano hii tunarudi. Yesu angeweza kuoweka maeneo mengi ambayo

tungeza kushudiwa nae kuwa uwaaminifu,kuendelea kwa kanisa,utakatifu na wema ulio

na haya yote mema ,aliona asisitize juu ya pesa kama uimara wa uwaminifu.

(Watu wamekuwa wakisema kuwa mifano hii miwili inahusu karama zetu,taranta na

uwezo na pengine ni jambo la muhimu kufanya hivyo.Pengine eneo linalo husiana nalo

ni pesa kama taranta na wakili mwaminifu ikihusiana na siku kuuzwa Yesu na katika

mathayo 25: 27 na luka 19:23 itifaki ni ileile ya kuwekeza pesa na kupata riba hakika

huwezi kufanya hivyo kwa habari ya karama ya kiroho au karama uliyopewa na Mungu

). Hii inahusiana na uwaaminifu na pesa zinaongelewa kwa kirefu na Yesu katika luka

16: 11 Anaposema , kwahiyo ikiwa hukuwa mwaminifu katika kutunza mali ya

duniani,ni nani atakaekuamini kwa habari ya utajiri wa kweli'.

Kwahiyo ikwa tunasema sisi ni waaminifu kwa Mungu na Ufalme wake na bado

hatuwekezi na kutoa pesa zetu kwa ajili ya kazi ya Mungu hapo tunajidanganya

wenyewe.

Eneo la upendo ni jambo la muhimu katika maisha yetu ya kikristo ambalo pesa

himarisha. 1Wakorintho 13:13 inasema kwamba nguvu kubwa duniani ni upendo na

ikiwa tunahitaji kumfuata Yesu,zaidi ya yote,lazima tuachilie pendo la Mungu katika

maisha yetu maandiko yanayofua yote yanaonyesha ukuu wa pendo.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Yohana 13:34 'Amri nawapeni:mpendane.kama nilivyowapenda ninyi,basi nanyi

pendaneni.ili watu wote wafahamu yakwamba ninyi ni wanafunzi wangu,endapo

mtapendana'

1 yohana 4:7 'Natupendane, kwa maana pendo latoka kwa Mungu'

1petro 4 :8 'zaidi ya yote pendaneni,kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi '

1yohana 3:14 'tunajua kwamba tutoka katika mauti kwenda uzimani,kwakuwapenda

ndugu zetu.

Tunapokuwa wakristo,Warumi 5:5 huwa inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo

lake mioyoni mwetu na ukristo wetu unaanza kufanana na ukuu wa asili ya

upendo.tena tunakuwa ni njia ya Mungu kupitia kuachilia pendo hili kuwinda

ulimwengu kadri tunavyomruhusu kristo- kuachilia upendo na kulionyesha katika

maisha yetu . Eneo hili kuu la upendo ni muhimu kwamba tunatakiwa makini sana

(kama sio tayari) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na Biblia inasema kwamba kutoa

kwetu ni udhihirisho wa kuachilia pendo la kristo.Kwa mfano: 1yohana 3:17

inasema,ikwa mtu navyo na ndugu yake muhitaji wala asimsaidie ,ni namna gani pendo

la Mungu linaweza kuwa ndani yake?

Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kwamba kama wakristo hatuna uoendo wa

kibinadamu,lakini kil;e kinachotutenganisha na wale wasio wakristo ni upendo wenye

asili ya Mungu mioyoni mwetu ambao unajifunua kwa vitendo kwa muonekano wa

kristo.

Hata hivyo,Aya ya hapo juu inauliza swali kwa yule mtu anaesema kuwa ni mkristo

lakini hatoi kwa maskini 'Ni namna gani pendo la kristo linawez kuwa ndani yake ?

Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu

kinachoachiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachoachiliwa

mikononi mwetu. Kadri tunavyotoa pesa ndivyo kadri kiwango cha upendo wa Mungu

kinavyopanda mioyoni mwetu na katika maisha yetu.

Eneo linalofuata ambalo pesa inaimarisha ni lile la imani yetu kama tulivyoona hapo

kale kama Biblia inavyosema maneno yaliyokaririwa kuhusu kuachilia imani na hivyo

na hivyo ni lazima tuhahikikishe imani yetu inakuwa kwa viwango vya juu -maandiko

hapo chini yanaonyesha hitaji la imani.

Unahitaji imani ili uwe mkristo:- Efeso 2: 8

Unahitaji kuishi maisha ya kikristo kwa imani:- 1:17

Kama hutumii imani unatenda dhambi:- warumi 14:23

Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu:- waebrani 11: 6

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Imani yetu ni ya muhimu sana tunapomuomba Mungu:-marko 11:23

Pesa ni zaidi ni njia nzuri ya kuupima ubora wa ukristo. Kitabu cha yohana, ukurasa wa

pili, kinaonyesha ukubwa wa hitaji la imani katika maisha yetu ya kikristo na kinyume

chake ni aina mbili za imani iliyokufa inayoonekana kuaminika lakini bado haina

matendo na imani ya kweli na iliyo hai ambayo siku zote itakuwa na kazi njema na

matendo kuthibitisha upekee wake.Yohana anatoa mifano ya matendo

yatakayoambatana na imani ya kweli na kati ya nifano miwili anaonyesha maeneo ya

kutoa kama uhakika wa imani.

Mfano wa kwanza ni kuwapa maskini (Aya ya 14) – na wa pili na wa Ibrahimu kumtoa

mwanae kama dhabihu (Aya ya 21) – Hata hivyo, imani inayo ishi siku zote itatoa !

Kwahiyo,si jambo kusema kuwa wale wote walio katika viwango vikubwa vya imani

ndio wale wenye viwango vikubwa vya utoaji,na wale wenye viwango viwango vidogo

vya imani ndio walio na viwango vidogo vya utoaji au hakuna wanachotoa kumrudishia

Mungu?

Yaliyo changanuliwa hapo chini ni maeneo ya maisha yetu ya kikristo ambayo pesa

huimarisha .kutoa kwako kunasema nini kuhusu maeneo hapo chini?

*Kumpenda Mungu au pesa

*Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote

*Uwaaminifu

*Upendo

*Imani

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Djibouti

637,634 ya watu , Uislamu na nguvu na unakuwa

Makanisa mengi maskini yanahitaji kutumia uhuru ili kuihubiri injli.

© www.operationworld.org

31. Wapenzi Ni Watoaji

Katika Biblia yako soma hapa kwa sauti: Mathayo 22:37-40

Kariri Aya hii : 1 Petro 4: 8 ' Zaidi ya yote pendanan sana'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Baadaye Zungumzia Hili : Je inamaanisha nini hasa kuhusu kupendana kama Yesu

alivyoagiza.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta mtu wa kumpatia Upendo wa

Mungu.

Kazi ya diploma ya kuandika :Andika upande mmoja kuhusiana na kupenda na kutoa.

Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: 1 Wakorintho

13:13

Ikiwa imeeleweka kwamba pesa ni kigezo cha Mungu nasi pia tunachoweza kutumia ili

kupima maisha yetu ya kikristo; eneo hili litatazamia sehemu ya muhimu ambayo pesa

hupima, na hilo ni pendo. Biblia inasema jambo hilo la kutikisa kuhusu hitaji la wakristo

kudhihirisha upendo ambalo hakika kwa ukuu litaonyesha kuwa hili ndilo jambo

linalohusu maisha yetu–kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha. Lingeonekana

kuwa pamoja na upendo na utoji na Biblia inatokezea wazo kuwa wapenzi ni watoji na

zaidi tunavyopenda ndivyo zaidi tunavyotoa.

Upendo ni nguvu kubwa duniani (1wakorintho 13:13)

' Na sasa haya matatu yanadumu: imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu kupita yote

ni upendo '.

Asili ya Mungu ni upendo ( 1 Yohana 4:8)

'Mungu ni upendo'.

Ulimwengu utawajua wanafunzi wa Kristo na upendo wao (Yohana 13:35)

' Watu wote watafahamu ya kwamba ninyi ni wanafunzi wangu kama mkipendana'

zaidi ya yote, pendaneni, kwasababu upendo husitiri maovu wingi wa dhambi (1 Petro

4:8

)

Yesu alisema amri kuu ni kumpenda Mungu (Mathayo 22:37)

Yesu akamjibu , Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako

yote na kwa akili yako yote '. Hii ndiyo amri kuu ya kwanza '.

... Na amri ya pili inafanana na hii ni kuwapenda jirani zetu (Mathayo 22:39)

'Na ya pili yafanana nayo: Mpende jirani yako kama nafsi yako .

Hii ikiwa inahusiana na kupenda na kutoa inaweza vinaweza kuimarisha vyote kwa

Mungu, ambae ni mwanzo wa asili ya upendo.Maandiko hapo chini yanathiitisha hili na

yote yanaongelea upendo wa kwanza wa Mungu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Biblia inasema kuwa Mungu anawapenda wanadamu,lakini zaidi ya hili,Mungu

amwkwisha hakikisha na kuonyesha pendo lake kwetu kwakutoa zawadi hii kwetu,

hakika zawadi ya mwanae. Warumi 5: 8 inasema kwamba Mungu ameonyesha uhalisia

wa pendo lake kwetu kwakumtuma Yesu:- Upendo wa asili ya Mungu hauna maneno

matupu bali kwa matendo halisi.

Yohana 3:16 ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae

wa pekee'

Wagalatia 2:20 ' mimi naishi kwa imani ndani ya mwana wa Mungu,alie nipenda na

kujitoa kwa ajili yangu'.

Waefeso 5:25 ' kama vile Kristo alivyolipenda kanisa , akajitoa kwa ajili yake '.

Wakati tunapokuwa wakristo, warumi 5:5 inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo

lake mioyoni mwetu na asili ya kristo ni asili ya upendo wa Mungu. Na tunapokuwa

njia ambayo Mungu anaweza kupitishia pendo lake katika ulimwengu ulioumizwa

tunapokuwa tumeruhusu asili ya pendo la kristo kuonekakana katika maisha yetu.

Eneo kuu la upendo ni la aina hiyo muhimu kwamba tunatakiwa makini sana (kama sio

chonjo) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na biblia inaonyesha kwamba kutoa

kwetu ndio kuachilia pendo la Mungu.

Kwa mfano: 1 yohana 3 :17 inasema, kuwa iwapo mtu ana mali na kumuona ndugu yake

mhitaji na kutomhurumia, je1 pendo la Mungu linaweza kuwa ndani yake?

Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kuwa kama wakristo hatupaswi kuwa na upendo wa

kibinadamu bali ule unaotutofautisha na wasio wakristo ni asili ya upendo wa Mungu

mioyoni mwetu ambalo linadhihirika kwa matendo ya kristo.

Hatahivyo, Aya ya juu inauliza swali kwa mtu anaesema kuwa mkristo lakini hawapi

maskini ' namna pendo la Mungu laweza kuwa ndani yake? Katika eneo la upendo

tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu kinacho achiliwa mioyoni

mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachotoka mikononi mwetu. Zaidi tunavyotoa,

zaidi kiwango cha pendo la Mungu linavyoachiliwa mioyoni mwetu na katika maisha

yetu.

Pointi zaidi kuhusu pendo la Mungu moja ya sifa zake ni usafi wake;

warumi 12 :9 ' pendo na liwe safi'

2 wakorintho 6:6 'katika Roho mtakatifu na katika usafi wa pendo'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Katika 2 wakorintho ukurasa wa 8, Paulo anawambia wakorintho watoe sadaka kwa

ajili ya ndugu walio jerusalemu na anasisitiza jambo hili la usafi wa upendo. Na

anawaambia kuwa ikiwa pendo safi la kiungu limeachiliwa mioyoni mwao litaonekana

katika kutoa kwao. Paulo analinganisha usafi wa pendo lao na utoaji wa pesa zao na

kusema kwamba ni kujaribiwa kwa upendo wao. Jambo hilohilo ni ukweli mtupu kwetu

leo hii – iwapo pendo la Mungu mioyoni mwetu litatumika basi inabidi liwe safi kwa

asili yake na kiwango cha usafi wake na lazima kiwe ni kiwango cha utoji wa fedha.

2 wakorintho 7 :8 ' si kwamba ninawaamuru,bali ninataka kujaribu usafi wa pendo lenu

kuhusiana na utoaji wenu kwa wengine'.

Pointi ya mwisho kuhusiana na upendo ni kwamba biblia inatoa onyo kali kuhusu:-

kama vile tukirudi katika kurudi kwa Yesu itakwisha katika maisha ya watu wengi.

Kwa mfano ,tukiongelea hakika ya muda wa kurudi katika dunia, Yesu mwenyewe

anasema katika mathayo 24: 12 'kwasababu ya kuongezeka kwa maasi,upendo wa

wengi utapungua “. Paulo anarithibitisha neno la Yesu katika maelezo yake kuhusu

matukio ya ajabu yatakayo tokea siku za mwisho katika 2 timotheo 3: 1-5;

anaorodhesha baadhi ya vitu watu watakavyopenda:-

- Wenyewe

- Pesa

- Anasa (kuliko Mungu )

Zaidi,anasema katika mstari wa 3 kwamba katika siku za mwisho, watu hawtakuwa na

upendo.

Kwakupitia kuchagu kuachilia pendo, na kulionyesha katika kutoa kwake, mkristo

anaweza kujizuia mwenyewe kuhesabiwa katika wote ambao Yesu na Paulo

wanawaonya kwakutokuwa na upendo.

Nyumba ya maombi kwa mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Makedonia

2,023,580 ya watu,asilimia 63 ni wakristo

wengi wa waislamu wanahitaji kufikiwa

wakristo wanahitaji kubwa la kufundishwa

© http://www.operationworld.org

32. Kuachilia Pesa Huachilia Furaha

Katika bibilia Yako Soma Hapa Kwa sauti: Luka 9:23

Kariri Ayaya Hii: Yohana 27:13 'Na sasa naja kwako namaneno haya nayasema

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ulimwenguni ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.'

Baadaye Zungumzia Hili: Vitu vianavyoweza kutuzuia kujua furaha ambayoYesu

aliijua

Jambao La Kufanya kabla Ya Wakati Mwingie: Soma kuhusu furaha ya Yesu katika

Zaburi ya 45

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika Upande mmoja kuhusisna na kuachilia Pesa

na kuachilia furaha .

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 2:21

Katika Yohana 17:13 Yesu anaonyesha kwamba wote wanaomfuata wanatakiwa kujua

ubora wa furaha ambayo wasio waKristo hawataifahamu -kama vile Furaha ya Kingu

ambayo Yesu mwenyewe alikuwa nayo, Wafuasi wake wanatakiwa kuwa nayo, wakati

wapagani wanayo kidogo, furaha isiyokoma, mKristo anatakiwa awe nayo kwa kiwango

kikubwa, kukaa, kiwango cha furaha ya Mungu. Kwahuzuni,wakristo wengi hawatapata

furaha hii katika maisha yao na hii ni kutokana na hali tofauti, pengine kushikiria pesa

na kuamua kutokutoa kunaweza kuzuia furaha ya Yesu katika maisha yetu.

Sehemu hii itazungumzia hilo kwa kiwango kikubwa, kiasi cha pesa ambacho

tunamtolea Mungu kitadhihirisha kiwango cha furaha ya Mungu kitakachoachiliwa

ndani yetu. Maandiko yanayofuata ni maneno ya Yesu ambayo yatakuwa ni msingi wa

habari katika sehemu hii; hapa, hapa, Yesu anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanza

kuachilia uzima na furaha katika maisha yetu. Ni upekee katika Biblia kwamba sehemu

mbalimbali ndani yake imetajwa katika injili zote nne, kwa hiyo Roho mtakatifu

amaweka msisitizo juu yake.

Luka 9:23 'Akawambia wote mtu akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe ajitwike

msalaba wake kila situ anifuate, kwa kuwa mtu atakae kuiponya nafsi yake ataingasmiza

na mtu atakaye ingamiza nafsi yake kwaajili yangu ataisalimisha.'

Yesu anaongelea moja ya kichocheo kikubwa kinachomfanya mwanadamu kkuwa

mtumwa na huo ni uchoyo -watu ambao wamejirithisha wenyewe na maisha yao

pasipo wazo kwaajili ya wengine. Yesu angetokea na kusema kwamba zaidi

tunavyokuwa wabinafsi, ndivyo tunavyokosa furaha. Kinyume chake, kadiri

tunavyojitoa na kuwa watoaji, ndivyo kadiri tunavyokuwa na furaha kama tukianza

kugundua kuhusu ukarimu, upendo wa asili ya Yesu utaachiliwa ndani yetu. Si kweli

kwamba watu wabinafsi ndio wanaohangaika kwa urahisi, kuwa na hasira kidodgo,

hisia, kuudhiwa na zaidi ya yote kuwa wasio na furaha?

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Ni kanuni ya Ufalme tene kwamba wote wanaotumiwa na faida za ubinafsi wao na

kutawaliwa na anasa zao hawataona au kupata kile wanachokitafuta. Kwa huzuni mtindo

huu wa maisha ya ubinafsi umeonyeshwa katika maisha ya watu wengi ambao wako

bize sana kwa yeyote au chochote licha ya anasa zao wenyewe. Hata hivyo hili siyo

jipya; katika maandiko hapo chini kutoka Wafilipi 2:21 Paulo anakazia mchocheo huu

wa ubinafsi na katika 2Timotheo 3:1-2, Paulo anaoanya kwamba ishara moja wapo ya

siku za mwisho ni kwamba watu watajipenda wenyewe.

Wafilipi 2:21 'Maana wote wnaotafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu '

2Timotheo 3:1 ' Lakini fahamu neno hili ya kuwa siku zamwisho kutakuwako na nyakati

maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenyekupenda fedha,'

(Ni vizuri kunakili kwamba katika 2Timotheo 3:1-3 ; Paulo anaweka mkazo kuhusu

nyakati za mwisho, kutakuwa mambo ya hatari yakiendelea katika dunia. Nakili

kwamba hatari kubwa ya kwanza mabayo anaiorothesha ni kwama watu watajipenda

wenyewe na ya pili anaorodhesha kuwa watu watapenda fedha. Ingeonekana kwamba

iwapo mtu ni mbinafsi iwe ni uhalisi katika mahusiano yao ya kifedha kama walivyo

wapenda pesa.)

Tunapotumia kanuni hi ya kiroho kwa ajili ya pesa binafsi tunaweza tukaona jinji watu

wanvyotafuta kutuza kila senti wanayopata ili kupata furaha. Bila shaka, tabaka lililopo

kati ya ubinafsi kwa watu na pesa zao ni kubwa- kwa mfano, ni watu wamgapi

wangehuzunika iwapo watapoteza Paundi 10! Nakili mfano zaidi ni jinsi watu

watakavyozungumzia, kukasilika, kupigas kelele, kugomba, na kupigana kwaajili kiasi

kidogo sana cha pesa, siyo mshangao jinsi ambavyo kiasi kidogo sana cha fedha

kinaweza kusababisha mwamko mkubwa.

Ubinafsi utaonekana katika maisha yetu binafsi ya kifedha tutakapo tumia pesa zetu

zote kwaajili yetu wenyewe -tabaka la ubinafsi liweza likavunjika tutakachagua kuwa

watoaji; Kumbuka jinsi yesu alivyosema kwamba tunapomfuata lazima tujikane

wenyewe (Luka 9:23). Mtu anayependa fehda na kutumia kila senti kwaajili yake

hatajua kiwango cha furaha na ukidhi atakaopata mtu mtoaji. Tunapotoa pesa zetu

tunaachilia furaha katika maisha ya wengine inaonekana kwamba Mungu huachilia

furaha katika maisha yetu na hapohapo kiwango cha furaha kinakuwa kikubwa

kwasababu ya kiwango cha utoaji wetu.

Mahusianao haya ya kutoa na furaha yanaweza kuonekana katika mifano ya maandiko

hapo chini ;

1)

1 Nyakati 29:9 'Ndipo hao watu wakafurahi kwasababu wametoa kwa hiyari yao

wenyewe kwa sababu ya ukamilifu wa mioyo kwa hiyari yao wenyewe wamemtolea

Bwana.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

1 Nyakati 29:20 ' Basi kusanyiko lote wakamuabudu Bwaba, Mungu wa baba zao

wakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwana na Mfalme naye.'

1Nyakati 29:22 ' Wakala na kunywa mbele za Bwana siku ile.'

Kinachoonekana hapa ni kutoa kwa wana wa Israel katika hekalu la Daudi. Watu

walipotoa sadaka kubwa namna hii iliachilia furaha kubwa miongoni mwa watu wa

Mungu. Lazima ingekuwa na muonekano mzuri katika kundi, mzuri, wenyefuraha,

furaha, sadaka ya ushirika kwa kutii ; furaha ya kutoa hakika ilikuwa katika yao.

2)

Zaburi 126:5-6 ' Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu

anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu za kupanda hakika atarudi kwa kelele za

furasha.' zaburi injulikana kwa uwazi wakena hapa mzaburi anaelezea jinsi miongni

mwetu tulivyo katika matoleo yetu. Inawezekana ikawa ni vigumu kupand kifedha- hata

katika pointi ya kupanda kwa machozi machoni petu .Hata hivyo, kutoa kunapelekea

kupokea na unapovuna mazao yako inakupatia furaha.

3)

2Wakorintho 8:2 'Maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha

yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongeza utajiri wa ukarimu wao.' Kutoa

kunawezakuwa kugumu wakati wa nyakati nzuri -ni vipi zaidi nyakati ngumu. Wakristo

wa Makedonia walithubutu kutoa zaidi ya umaskini na kuingia katika mpenyo wa

mtiririko wa furaha .

Nyumba Ya maombi Kwa ajili ya mataifa Maskini

Omba Kwa ajili Ya Malawi

10,925,238 Ya watu , 80% Ni Wakristo.

Ukimwi umekithiri nchini.

Uislam unakua na unaweza kusitisha vurugu. © http://www.operationworld.org/

Jambo hilohilo la uwazi wa pesa na ukarimulinapatikana pia katika maeneo mbalimbali

katika Agano jipya kuhusu wapi mahali pa kutoa,hakuna sheria ngumu na haraka bali

kutusaidia kufunguka na kukusudia kutoa mahali linaonekana kuwepo na hitaji.

Efeso 4:28 'Mwizi asiendelee kuiba tena,bali afanye kazi,na kazi yenye manufaa kwa

mikono yake mwenyewe,ili kuwa na kitu cha kumpa mwingine mwenye mahitaji.'

1Timotheo 6:18 'waamuru kutenda mema,wajawe na matendo mema,kwa ukarimu wawe

tayari kushirikiana' Warumi 12:13 'shiriki na watu wa Mungu ambao ni wahitaji.kuweni

wakarimu' Waebrania 13:12 'Na msisahau kutenda mema mema na kushirikiana na

wengine,kwa maana Mungu hufurahishwa na dhabihu kama hiyo.'

Tangu Mungu alipowaita watu wake karne na karne kutoka katika mataifa yote kwa

namna na kwa namna mbalimbaliza kifedha kutoa sadaka kwa watu mbalimbali na kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kazi ,biblia haionyeshi sheria yoyote ngumu na ya haraka kuhusu utoaji wa sadaka juu

na zaidi ya zaka.Pengine sheria pekee ni kuwa na Roho ya ukarimu na utayari, na kuwa

tayari na kudhamilia kutumiwa na Mungu katika eneo hili.kama tukitoa zaka na

kutozidisha hata senti basi tutakuwa tumepungukiwa na mema ya Mungu kwa sababu

tumetoa mahitaji kidogo.tunapotoa sadaka kwa ukarimu juu na zaidi ya zaka tunaingia

katika utele wa mema ya Munguna kufanyika njia ya baraka zake kwa watu wengi sana .

Hitaji hili la kuwa na Roho ya ukarimu,utayari na furaha wakati wa kutoa unapofika na

hii inaonekana katika 2 Wakorinto 9:6 'Kumbuka hili:Atoaye haba atavuna haba,na

atoaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.kila mtu atoe kama alivyokusudia kutoa,si

kwa huzuni au kwa lazima maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa

ukunjufu.'Ingeonekana kuwa tunapoanza kukua katika utoaji wetu tungekuwa na kutoka

katika huzuni na lazima hadi katika utoaji wa ukarimu na furaha kwa ajili ya kazi ya

Mungu.kuacha kutoa zaka au kutoa kwa huzuni sadaka kidogo juu yake inaonyesha

kuwa tunapungua katika eneo hili la utoaji na hatufurahii na kutegemea kutoa kama

ambavyo tungetakiwa.

Kwahiyo kwa habari ya swali,ni kiasi gani tunakiwa kutoa,biblia inatuagiza kutoa zaka

kiasi na zaidi ya hapo kutoa sadaka kwa ziada pia.biblia haitupi sheria yoyote iliyo

ngumu kuhusu sadaka zetu zinakiwa ziwe za kiasi gani lakimnni tutakapo komaa katika

eneo hili la utoaji tutakuwa na furaha na kuwa tayari na kutarajia katika matoleo yetu na

hivyo matoleo yetu yatakuwa makubwa na makubwa.Zaidi tutakavyokuwa katika eneo

la utoaji na sadaka,tutaanza kutazamia fursaza kutoa maana sasa utoaji wetu utakuwa wa

furahana shauku ya moyo.Zaidi matoleo yetu yatakavyokua makubwa na sadaka ya kila

wakati,si kwamba tutabariki watu wengi zaidi,bali zaidi tutajibariki wenyewe-Heri

Mungu afanye watu na kazi kuwa njia ya matoleo

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Chad

7,650,982 Ya watu , 55 % ni Waislamu - 22.78 %ni wakristo.

Uislamu na Ukristo inazidi ukipambana kwa ajili ya moyo na roho ya Chad. © www.operationworld.org

23. Sadaka Ya Kuteketezwa

Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: 2 Samweli 24:18-25

Tafakari Aya Hii: Waebrania 13:16 "Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana;

maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Bwana.'

Baadaye Zungumzia Hili: Je, ni haki kwa kusema kwamba kama matoleo yetu si hoja

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yetu wao si hoja Mungu?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Kutoa kitu cha thamani mbali ili kupanua

ufalme wa Mungu

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha watu wengi kama iwezekanavyo kutoka

katika Biblia walotoa sadaka ya dhabihu

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:18

Katika sehemu kuhusiana na utoji wa zaka,ilisemekana kwamba sheria bora ya kufuata

kuhusiana na utoji wa zaka ,ni kwa mba tunatakiwa kutoa zaka ya kwanza na bora

Katika kile tulichokipokea.imejulikana kuwa sadaka zaidi ya zaka,hapa kuhusiana na

sadaka-kwamba sadaaka zetu zinatakiwa ziwe dhbihu.imesemekana kuwa ikiwa sadaka

zetu hazimanishi wingi tulio nao,bila shaka hazita maanisha wingi alio nao

Mungu,biblia mara kwa mara inaongelea Dhabihu na jinsi inavyo fanya kazi ,na pia

inapatikana katika utoaji wa fedha.inaonekana kuwa Mungu hazuili sadaka ya Dhabihu

ya utoaji wa fedha na zaidi tunavyothubutu kwa sadaka zetu,na zaidi tutakavyo

zawadiwa.Kiwango cha sadaka ya utoaji wa fedha ni kiwango cha kopokea kwake na

biblia haitoai sheria maalumu,lakini inaonekana nin kutoa sadaka kuwa Dhabihu kwa

mtoaji na kwa Mungu.Mfano bora wa mtu kumtolea Mungu sadaka ambao ulikuwa

Dhabihu,ilikuwa ni pale Yesu alipojitoa kwa ajili dhambi za Ulimwengu,kwa mfano

Waefeso 5:1 anasema, 'Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa; mkaenende

katika upendo, kama Kristo naye alivyo wapenda ninyi; tena akajitoa kwa ajili yetu,

sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.' Yesu mwenyewe anajua nini

maana ya kutoa sadaka ya gharama na kile anchotutaka tufanye Yeye alikwisha fanya

kiasi cha kutoa uhai wake.Tuliona kipindi kilichopita kuhusu mwanamke mjane katika

Marko 12:41-44 pengine alitoa sadaka ambayo ilikuwa Dhabihu kama maandiko

yanavyosema kwamba alitoa kila kitu alichobakiwa nacho katika hazina.(kama kawaida

pamoja na Dhabihu yao ya sadaka,hawakufichika na dhahili iligusa jicho la mwana wa

Mungu mwenyewe kama sadaka ya dhabihu yako itakavyomgusa.)

Mfalme Daudi ni moja wa watoaji wakubwa ambao biblia imewanakilina sheria hii

ambayo inatakiwa kuwa dhabihu,ni kitu anachoonyesha katika maisha yake

mwenyewe.Katika 2 samweli 24,baada ya mtiririko wa makosa kukaririwa katika sensa

ya jeshi,Daudi anakutana na ghadhabu ya Mungu na kama matoke anaomba rehema na

matokeo yake anaelekezwa kumjengea Bwana madhabahu juu ya uwanda wa

Arauna.Kwa hekima aliamua kumpunguza sadaka ya Arauna kwa kumpa uwanda wa

kumpumzikia bure na kwa ujasiri ametangaza katika Aya ya 24 'Lakini Mfalme

akamwambia Arauna, La, sivyo, lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake,

wala sitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka isiyo ya gharama.'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Bila shaka,moja ya kanisa aliyoyapendelea Mtume Paulo ni kanisa la ufilipino na barua

zote za ufilipino zilijaa upendo ,furaha na ushirika pamoja na washirika wake.Wafilipi

sura ya 4 ni moja ya kurasa kubwa katika biblia na Paulo anasema hapa kwamba kanisa

la filipi lilikuwa ni kanisa toaji na lilikuwa ni kanisa pekee lililokuwa likimpelekea

sadaka kwa ajili ya Utume wa safari yake. Ni sawa kabisa kwamba wafilipi walikuwa

wakituma zaka zao kanisani na kila mara walipeleka sadaka kwa Paulo na utoaji wa

dhabihu na asili ya utoji huu wa sadaka unaonekana katika Aya ya 18'Ni sada yenye

manukato,na Dhabihu yenye kukubalika,na kumpendeza Mungu.'

Mfano zaidi wa mtu aliyetoa sadaka ya Dhabihu ni zawadi ya Maria ya manukato

aliyotumia kumpaka Yesu,na hadithi hiyo inafanana na Yohana 12:1-6.Hapa Maria

anampatia mwana wa Mungu zawadi yeye mwenyewe na Aya 7 inaonyesha kwamba

zawadi hiyo Maria alikuwa ameitunza.

Zaidi,thamani ya manukato ilikuwa Dinari 300 Mathayo 20:2 inasema kwamba Dinari

moja ilikuwa ni sawa na mshahara wa kutwa kwahiyo thamani ya manukato ilikuwa

mshahara wa miaka.Dhabihu hii ya sadaka kamwe haitasahaurika na sadaka ya Maria

imenakiriwa katika maandiko kwakuwa kubwa mbele ya macho ya Mwana wa Mungu.

Kanuni inyofanana na hiyo ya utoaji wa dhbihu imeonyeshwa na mwandishi katika

waebrania anposema,na msisahau kutenda mema na kushiriki na wengine,kwa maana

kwa dhabihu ya namna hiyo Mungu hupendezwa' (Waebrania 13:16 ).

Kumbuka kwamba yaliyomo ni moja ya utoaji wa kifedha na

Neno'Dhabihu'lililotumika,Mungu anatangaza kwamba hupendezwa wakati sadaka ya

dhbihu inapotolewa na watu wa Mungu.Pengine,mara kwa mara unahangaika (au

pengine hofu)ikiwa Mungu anafurahia maisha yako ya kiroho na kama unafanya kile

Mungu amekuambia kufanya vyema,katika eneo la fedha kama unatoa zaka na na kutoa

dhabihu ya sadaka hivyo kulingana na Waebrania 13:16, Mungu anapendezwa na kile

unafanya.

Pengine mfano bora wa kibiblia kuhusu utoaji wa dhabihu ya zaka ni makanisa ya

Makedonia (rejea katika 2 wakorintho 8:1-6) yaliyochangia kwa ajili ya watakatifu

walioko Yerusalemu.matoleo yao yalikuwa ya kipekee kama Biblia inavyoonyesha aina

tatu za uhalisia kuhusu utoaji.

1)Walitoa kwa FURAHA!(Aya)

2)Walitoa zaidi ya uwezo wao wa kutoa (Aya ya 3)

3)Waliomba watoe matoleo (Aya ya 4)

Bahati mbaya kuna mifano michache siku hizi ya watu kuomba kutoa sadaka kwa ajili

ya kazi ya Mungu ila Wamekedonia walikuwa wakifanya hivyo,na shuhuda

zimenakiriwa na nyakati zote katika maandiko.kutoa dhabihu ni mara chache

kuhubiriwa au kufanyika leo hii.kwa kuogopa kukasirisha au kuhuzunisha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

watu,wachungaji wengi hawazungumzii pesa na utoaji wa dhabihu na hii ni kwa sababu

ya aibu yao na kwasababu marejeo mengi ya maandiko huhusu sadaka na kufungua

mikono kwa ajili ya kutoa fedha.kutoa sadaka kubwa ya dhabihu inaweza isiwezekane

lakini waamini wa Makedonia si kwamba walifanya hivyo bali walifurahia kufanya

hivyo.Hakika waamini hawa walifika kiwango cha utoaji na ujasiri kwa Mungu wao

ambacho baadhi yetu hatutafikia -lakini ni sehemu gani inaweza kuwa ni sababu ya

kuwa na kiwango cha imani ya ajabu.

Kutoa dhabihu ni nadra alihubiri juu au mazoezi leo. Kwa hofu ya upsetting au

kuwaudhi watu Wachungaji wengi hawana kuzungumza juu ya fedha na dhabihu na hii

ni aibu yao kwa sababu ya marejeo mengi maandiko sadaka na fedha wazi- handedness .

Kutoa sadaka kubwa sadaka inaweza kuwa jambo ngumu kufanya lakini waumini

Kimasedonia si tu alikiri kufanya moja lakini alikuwa na furaha katika kufanya hivyo.

Hakika hawa waumini yaliyopatikana ngazi ya kutoa na imani katika Mungu wao

kwamba wachache wetu milele kuifikia - bado ni nafasi gani wa kushangaza ni lazima

kuwa na imani kubwa vile ngazi.

Hatimaye katika kitabu cha Malaki sura ya 1 masuala ya Bwana kukemea sadaka ya

wanafiki ambayo walimtolea na inakaririwa katika Aya ya 14” Kwa maana mimi ni

Mfalme mkuu' Asema mwenyezi Mungu.na jina langu lazima liheshimiwe katika

mataifa yote''. Mungu anafurahia matoleo yetu kwasababu hufunua pendo letu,uchaji

upekee wake ,bahati mbaya wakristo wengi,matoleo yao huonyesha jinsi

wanavyotembea mara chache na Mungu.Hivyo,je! Matoleo yako yanampa Mungu wako

wa Mbinguni heshima? Je! Huwa unatoa matoleo ambayo ni dhabihu? Je! Matoleo

yako yanaonyesha kuwa una mahusiano mazuri na Mungu? Watu wengi wa dunia

hufurahi kulipa pesa zaidi ili kuwa na bidha njema wanazonunua -kama ubora wa pesa

ulivyo na thamani ya juu machoni pa ulimwengu,ubora na utukufu na ukuu wa Mungu

lazima uwe na thamani ya juu kifedha kwa sadaka zetu.

Kwa hiyo,kwakumalizia kwa swali kuhusu ni kiasi gani tunatakiwa tutoe, kuna mambo

kadhaa tunaweza kusema.Katika Agano la kale,pamoja na utambulisho wa sheria,watu

wa Mungu walitakiwa kuwa watoaji zaka na kimaandiko hii inaonekana katika vyanzo

vyote vya mapato na maongezekomaeneo hayo ni kama vile mifugo,matunda,mafuta na

divai mpya.Japokuwa biblia haijamalizia vyema juu ya jambo hili ingeonekana kuwa

kanuni hii ya kutoa ni adhabu ya waamini wapya,Aganojipya linaongea juu ya utoji wa

sadaka ya fedha pia(kwa namna hiyo hiyo ambayo Agano la kale linazungumzia kuhusu

sadaka zaidi na juu ya zaka)

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Chile

5,211,294 ya watu ,wengi ni wakatoriki

Wakatoliki wanapungua lakini wainjilisti wana wanatengana, ubinafsi, na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuingilana. © www.operationworld.org

24. Sadaka Hushindaniwa

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti : Mwanzo 4:1-16

Kariri Mstari Huu : Mwanzo 15:11 ' Kisha ndege wa kuwinda alishuka juu ya mizoga ,

lakini Abramu akawafukuza

Baadaye Zungumzia Hili : Baadhi ya uongo Shetani kutumia na kuacha watu kutoka

kutoa sadaka

Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Muulize Mungu kuonyesha wazi

nini sadaka anataka wewe kufanya

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Mungu na

shetani ni hivyo nia katika matoleo yetu .

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Waebrania 11:04

Tuliona hapo awali kwamba, sadaka kubwa ina nguvu za kiroho na kwamba Mungu

hawezi kuipinga dhabihu hii na atawalipa wale wote wapandao dhabihu kweke.

Kutokana na nguvu ya kiroho ambayo ni imeambatanishwa katika dhabihu hiiyo

haitavutia to nguvu za Mungu bali pia ni upinzani mkali toka kwa shetani. Dabihu

hupingwa vikali na Shetani , lakini mara tu inapotolewa toka mikononi mwa mtu,

baraka za Mungu huachiliwa kutoka mikononi mwa Mungu.

Muda ambao Mungu anaongea na mtu kuhusu maamuzi ya kutoa dhabihu, had muda

wa mwisho ambao dhabihu inaachiliwa, kunaweza kuwa na mapambano makali

yanayompinga huyu mtu asiachlie. Shetani atahakikisha ametafuta mbinu ya kupanda

mawazo mabaya ya hofu na mashaka na tamaa ya kujaribu kuzuia dhabihu kwa mtoaji.

Chini ni mifano miine ya kibiblia inayoonyesha jinsi dhabihu ilivyokuwa inapinwa na

kushindaniwa na shetani na namna alivyotumia wanadamu mawakala waliojitoa kwake

kwaajili ya kupinga kuachiliwa kwa dhabihu.

1) Kaini Na Abeli - Mwanzo 4:1-16 Kumbukumbu ya kwanza kwa dhabihu kubwa ni ile iliyotolewa na Abeli. (Kwa kweli,

sadaka hii ilikuwa ni maarufu na muhimu kiasi kwamba Waebrania 11:4 inaonyesha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuwa hili lilikuwa ni tendo kubwa la imani na kwamba Mungu alisema mema kuhusu

ana na sadaka yake. Hakika . Itakuwa baraka ya ajabu siku ya hukumu kwa wale

ambao Mungu atawasifu kwaajili ya sadaka za fedha walizotoa wakati walipokuwa hapa

duniani.)

Kutoa dhabihu yenye ubora namna hii, ilifanya shetani afikirie kuzuia baraka zisimfikie

Habeli na akamtumia Kaini kumuua Habeli na kuvunja nguvu ya sadaka yake . 1 Yohana

3:12 inasema wazi kuwa Kaini iliwasilishwa kwa , na pamoja na kuwa yeye alikuwa

upande wa shetani na shetani akamtumia kaini kupigana na kupinga sadaka ya kwanza

kabisa ambayo ilikuwa inatolewa kwa Mungu. Ni ya kuvutia sana kuona kuwa sadaka

ya kwanza kabisa katika Biblia iliongozwa na mauaji ya kwanza kabisa katika Biblia.

Kwa jinsi hiyo Mungu hawezi kuzuia kutoa dhawabu kwaajili ya dhabihu kama hiyo ,

shetani hawezi kujizuia kupambana dhidi ya sadaka.

2) Abramu - Mwanzo 15:1-20

Hapa, Mungu anahitaji dhabihu dhabihu ya kuteketezwa kutoka kwa Abramu ambayo

hatimaye ilisababisha Mungu kutembea kwa njia ya sadaka na kudhihirisha ujumbe

wake kwa Abramu. Abramu aliandaa sadaka zake , hata hivyo, aya ya 11 inasema

kwamba ndege wa kuwinda walitua na kunyakua sadaka ya Abramu akashinana noa na

kuwafukuzia mbali. Mfano wa mpanzi katika Marko 4:4 , Yesu anafananisha nguvu za

giza kama ndege ambao wanakwapua neno la Mungu liliopandwa ndani ya mioyo ya

watu. Hivyo, haina maana kufikiri kuwa dhabihu ya Abram ilikwapuliwa limwili, je! si

pia ni jambo la kiroho kupitia shetani ambae alikuwa na mawazo ya kumpinga Abram

katika kutoa dhbihu? Abramu akayapinga mashambulizi na akatoa dhabihu yake –

Mungu hupendezwa kiasi kwamba utukufu wake hutembea kati ya dhabihu; Mungu

hawezi kupinga dhabihu!

3)Mariamu - Yohana 12:1-11

Kama Mariamu alivyojiandaa kutoa sadaka manukato yenye gharama kubwa kwa

Yesu,sadaka yake yake ilishindanishwa na shetani,ambae pia alitumia moyo wa

mwanadamu.Moyo huu uliotumiwa ni Yuda -ambae bila hofu alijitoa kwa shetani kama

Yohana 13:27 inavyoonyesha kwamba shetani alimwingia na kumuongoza kumsaliti

Yesu.Mariamu anapotoa sadaka yake Yuda sauti ya Yuda inataka kuchafua sadaka yake

lakini Bwana Yesu anamkemeaYuda na kumpatia Maria haki yeye na sadaka yake.Hata

hivyo,katika mstari inyofuata katika Marko 14:9,Yesu anasema kwamba sadaka hii

kubwa itahubiriwa ulimwenguni kote kama kumbukumbu ya kile alichokifanya.ukweli

ni ule ule hata leo hii kwamba kama mtu anataka kumtolea Yesu sadaka kubwa sauti ya

kudhihaki ya shetani itajaribu kumshawishi asifanye hivyo.Hata hivyo mtu anapo ipinga

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

sauti ya shetani na kusisitiza kutoa sadaka kama Maria basi,Yesu humpatia haki.

4) Anania na safira -Matendo 5:1-11 Sadaka ya mwisho ambayo ilizuiliwa na shetani ni ile inayohusu hadithi mbaya ya

Anania na safira.Kwa huzuni,sio kwamba Anania alileta sadaka na kuiweka miguuni pa

mitume,bali aliileta pamoja na uongo na na kuzuia sehemu ya pesa.Tena,Anania

alikuwa amejitoa kwa shetani kwahiyo hamna shaka ikiwa Pita anamkemea anaposema

katika Aya ya 3 ' imekuaje shetani ameujaza moyo wakohata ukadiliki kumdanganya

Roho Mtakatifu'.

Tangia hapo kanisa lilikuwa likiongezeka kwa idadi na kifedha.Kama kanisa shetani

alikua amechanganyikiwa ili kupinga ukuaji huu na anaenda moja kwa moja kwenye

sadaka kwasababu ya nguvu unaotokana nayo.Shetani anafanikiwa kumchafua na

kuharibu sadaka ya Anania na safira na wote wanapigwa na kufa na kanisa la kwanza

linalengwa na mashambulizi ya kiroho kutokana na nguvu za giza.

Kwahiyo sadaka ni dhana ya nguvu ya ajabu kiroho ambayo ina malengo kwa Mungu

na kwa shetani kwa ujumla.Tumeona kuwa wote wanaopinga upinzani wa shetani na

kuendelea kutoa sadaka zao hupokea baraka za Mungu-kama vile Ibrahimu na

Maria.Tumeona kwamba shetani anapofanikiwa katika mapigano dhidi ya sadaka huleta

mauti ya kimwili-kama yulivyoona kwa habari ya Habiri,Anania na

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Colombia

15,941,727 ya watu , 47% ni waKikristo.

Kanisa linatingwa na ibada za mizimu . na uchawi.

Kuna haja kubwa ya shule za Biblia na Mafunzo. http://www.operationworld.org

25. Kazi Ya Umisionari

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : Warumi 15:23-24

Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 16:6 'Labda nitakaa kwenu,naam, labda wakati wote wa

barid,mpate kunisafirisha kokote nitakako kwenda.

Baadaye Zungumzia Hili :Kwanini Paulo mara nyingi anayaandikia makanisa na

kuyataka yamsaidie kifedha kwa ajili ya kazi yake ya kimisionari.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Kama kikundi, andaeni zawadi kwa

ajili ya mmisionari au kwa ajili ya kazi ya umisionari.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jukumu mbalimbali

makanisa yaliyochukua kwa ajili ya kusaidia Paulo katika umisionari wake.

Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii : Warumi 10:15

Sehemu zifuatazo zitahusiana na maswali ya nayofanana kuhusiana na zaka ,ni mahali

gani tunatakiwa kutolea zaka zetu.toka mwanzo na ijulikane kuwa biblia inatoa aina tatu

za maelekezo kuhusu mahali pa kuwekeza pesa zetu Wengine asema kuwa zaka

inatakiwa kuwekwa kwenye kusanyiko kuu kama itakavyo onekana baadae, kwa habari

ya wazo la kidunia pengine si sheria mbaya kufuata.Hata hivyo wazee wa kanisa

hufunisha kwa makini washirika wao kutoa zaka makanisani kwao ,wanakuwa

wanafundisha ni nini kanisa linatakiwa kufanya na pesa zao kwa vile makanisa mengi

hayafanyi hasa maagizo yaliyopewa na Mungu.

Ni matumaini kuwa kurasa hizi zitakuwa msaada kwa wakristo ambao wamekuwa mara

zote wakifundishwa kutoa yu katika makusanyiko yao tu na wamekuwa wakifanya

hivyo,lakini hawajawahi kuuliza kuhusu matunda yaliyopo kanisani kwa matoleo yao na

hasa matumizi yake.Hakuna haki ya kibiblia ya kulipa kanisa lisilotii,lisilozaa matunda

na kufanya chochote kwa ajili ya kuendeleza Ufalme wa Mungu na katika mambo

mengi kuzuia .Mamilioni ya paundi yamezuiliwa na uchoyo wa makanisa na watu

kwakutiwa giza wanaendelea kutoa zaka zao-pengine Mungu ana jambo bora na pesa

zako kuliko kuliko kuliwa na kanisa ambalo halimheshimu.

Eneo la kwanza la kutolea ni katika Utume mkuu wa Yesu uliopewa kanisa kwa kupaa

kwake katika mkono wa kuume wa uweza wake juu,ili kuipeleka injili kwa makundi ya

makabila,tamaduni na Lugha ambayo hayajaisikia.Na ina semekana hakuna atakaeisikia

injili mara mbili labda kila mtu hajawahi kuisikia na hata hivyo kanisa linachukuwa

jukumu hilo kuu kwa wote ambao bado hawajahi kuipokea.Hakuna siri kubwa kuwa

makanisa ya magharibi yanatumia kiasi kikubwa cha pesa zao kwa ajili yao

wenyewe,Ukweli ni kwamba Yesu haisubiri magharibi kupokea injili na kuwa na

makanisa na wakristo ndani yake.

Zidi ,ni kiasi hasa kinachotumika kwa ajli ya Uinjilisti kinachotumika mara nyingi kwa

ajili ya kuokoa watu katika kanisa la kijijini kama vile,kupeleka katika maeneo ambayo

tayari ya biblia,makanisa na wakristo.Kuinjilisha eneo la kijijni ni kitu cha muhimu

kukifanya lakini kipaumbele kinatakiwa kuwa kwa wale wote ambao hawana injili na ni

bora kila mchungaji wa kila kanisa kufanya hili ni kipaumbele kikuu na Mungu atabariki

kazi nyumbani.Kama kanisa litaweka utume mkuu kama kipaumbele chao,Mtume

mkuuu mwenyewe atelekeza mambo ya kufanya.Kiuhalisi,kutoa kwa ajili ya uinjilisti

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

wa maeneo ya watu waliobaki kufikiwa ni jambo la muhimu kufanya unapotazamia ni

wapi pa kuwekeza pesa zako.

Mtume Paulo pengine ni mtu alie amini kuwa kazi ya umisionari hupatikana katika

mwili wa kristo.Maelezo matatu yaliyonakiriwa chini yanaonyesha kwamba alipokuwa

katika kazi yake ya umisionari akiwa anasafiri hakufanya siri kwamba alitegemea

kupokea msaada wa kifedha kwa ajili ya kazi yake ya umisionari kwa hiyo aliweka wazi

maelezo yake katika mistari hii,haipingiki tabia ya Paulo ya kutegemea kwa ujasiri

waamini wenzake kumsaidia katika kazi ya umisionari wake na tabia ya zamani ya

wachungaji wengi na viongozi wa makanisa wenye tabia yakuwa wapolo na wachungaji

kuomba watu wa Mungu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu,na wote wanaohitaji pesa

kwa ajili ya wito wa maono/umisionari hawatakiwi kuona haya kuomba ndugu zao wa

kiume na wakike kuwasaidia. Warumi 15:24 'Natumaini kuwatembelea wakati

nitakapopita na kuhitaji msaada wenu kwa ajili ya safari yangu,baada ya kupumzika kwa

muda pamoja nanyi'

1wakorintho 16:6 'pengine nitakaa nayi kwa mud,na pegine wakati wa majira ya

baridi,ili kusudi mpate kunisaidia katika safari yangu,popote nitakakoenda'

2 wakorintho 1:16 'nilipanga kuwatembelea wakati naelekea Makedonia na kurudi tena

kwenu kutoka Makedonia,na kunisafirisha tena kwa safari yangu'

Huduma ya kutumika kama Mtumwa inahusishwa katika sehemu ifuatayo pamoja na

kipawa cha kutoa na kutakuwepo na huduma kubwa kwa ajili ya kusaidia huduma

nyingine na kazi ya umisionari.Na kwasababu si wote walioitwa kama wajumbe,basi

tunakiwa kubeba injili na kuipeleka kwa makundi ya watu wote ambao hawana nayo.Ni

fursa na furaha na mwaliko kwa kila Mkristo kutoa kwa ajili ya kazi ya umisionari na

kuona injili ikipelekwa katika pande za mwisho za dunia.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Colombia

42,321,361ya watu , kanisa linakuwa kwa nguvu

Nchi imeshikiriwa na uuzaji wa madawa ya kulevya, wanamgambo na waasi

bawa waliobakizwa. © www.operationworld.org

26. Maskini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:19-31

Kariri Aya Hii: Mithali 19:17 'Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye

atamlipa kwa tendo lake jema '

Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Mungu anasema katika Yeremia 22:16 kwamba

alihukumu hukumu ya maskini na mahitaji yake, huku ndiko kumjua Mungu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Angalia maandiko yote

yanayoonyesha mahali Yesu alisema kuwapa maskini.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Yesu alitaja

kuwapa maskini mara nyingi

Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii: 28:27 Mithali

Eneo la pili linalotakiwa kufikiriwa kuhusi sisi kuwekeza utoaji wetu ni eneo la

kuwapatia maskini, maandiko menyi yaonya ( kwa makaripio !) Kwamba sisi

tunawapuuzia wao kwa hasara yetu, maandiko hapo chini yanatoa mwaswali katika

baadhi ya makanisa ambayo wako makini kuchunga makanisa yao viti vya mbele na viti

vya heshima wakati uo huo wanapuusia jambo kubwa muhimu la mahitaji ya Binadamu

wanao wazunguka. Labda tuangalie maandiko yenye changamoto juu ya somo hili

katika Yeremia 22:16 'Alihukumu maneno ya Maskini na mhitaji; hapo ndipo

alipofanikiwa. Je! Huko siko kunijua asema Bwana? .

Wakristo wangapi na makanisa mangapi wanaojidai kuwa wamejazwa Roho Mtakatifu

na wenye injili iliyo kamili lakini hawafanyi lolote juu ya maskini na mhitaji? Ni

makanisa mangapi yaliyopo sasa yanayojitahidi kuwa na ubora katika mziki na karama

za kiroho na hata katika mwitikio wa kanisa lao, lakini hawajitahidi kuwa makini

kutunza maskini?

Mithali 14:21 `Adharauye mwenzake afanya dhambi;

Bali amhurumiaye maskini ana heri.'

Mithali 14:31 "Amwoneaye Maskini husuta Muumba wake.

Bali yeye awahurumiaye maskini humhershimu.”

Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo

lake jema.'

Mithali 22:9 "Mwenye jicho laukarimu atabarikiwa;

Maana huwapa maskini chaklula chake .'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mithali 28:27 'Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu;

Bali afichaye mikono yake atakuwa na laana nyingi.'

Mithali 29:7 ' Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini;

Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.''

Wagalatia 2:10 'Ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo

nalikuwa na bidii kulifanya.'

Itatokea kama vile rude alivyowainukia viongozi wengi wa kanisa ambao walikuwa

waangalifu kufundiasha kundi lao na walijitoa kwa ajili ya kanisa, ili kujua kwamba

Yesu kamwe hakuonyesha kutoa kwaajili ya kanisa lakini mara nyingi anataja

kuwapatia maskini. Maandiko hapo chini ni maneno yote ya Yesu - wakati wingi

anataja kutoa kwaajili ya maskini hili liko kwenye mawazo kuwa ni kwa kufanya hivyo

ndito upiokeaji wa karama zetu.

Hakika , Kanisa lolote na mKikristo yeyote atakuwa mjinga akipuuzia maneno haya ya

Yesu, kama kanisa lako halitoi kwa maskini, na je! unautajiri kutokana na juhudi ya

kazi za uchumi wa pesa zako? Maandiko , eneo kubwa ambalo Yesu amebainisha kuwa

ni njia pekee ya sisi kuwa wapokeaji wa thawabu ya Utoaji wetu kutoa kwaajili ya

maskini

na wasiojiweza

Mathayo 11:5 (b) 'Na maskini wanahubiriwa habari njema.'

Mathayo 19:21 'Ukitaka kuwa makamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini,

nawe utakuwa na hazina mbinguni '.

Marko 14:7 'Maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo, mwaweza

kuwatendea mema.'

Luka 4:18 "Roho wa Bwana yu juu yangu , Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri

maskini hari njema.'

Luka 11:41 ' lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vyote huwa salama.'

Luka 12:33 'Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka, jifanyieni mifukoisiyochakaa, akiba

isiyopungua katika mbingu.'

Luka 14:13 "bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa

heri.'

Hivyo ni maskini wa namna gani hasa ambao Biblia inazungumzia ? Naam, hapo chini

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuna mtiririko wa watu walitajwa ambao Biblia inazunguzia juu yao na marejeo husika

ya maandiko yanayo onyesha watu hao kimsingi au jamii haina muda wa kuyatumia,

Lakini Yesu , ana haja nao na anataka kuleta Ufalme wake kwao. Wao ni wa mwisho ,

waliopotea , na lakini wao ni milki yenye tuzo ambalo Yesu amelipatia kaniasa uridhi ni

watu ni hawa watu ingawa kanisa na jamii limewa geuzia kisogo ( halitambui kwamba

kwa njinsi hiyo wanamgeuzia kisogo Yesu). Je, ni mantiki kusema kwamba hatuna

upendo kwa Yesu tena zaidi ya watu kama hawa ?

Wafungwa : Mathayo 25:36 , Waebrania 13:03

Kiu: Mathayo 10:42:25:35

Yatima : Kumbukumbu la Torati 10:17 , Kutoka 22:22 , Yeremia 5:28:7:5:22:5 , Zaburi

10:17, Zaburi 68:5 , Zaburi 146:9 , Isaya 01:16 , Yakobo 1:27

Wajane: Kumb. 10:17 , Kutoka 22:22 , Isaya 01:16 , Yeremia 7:5:22:4:1 Timotheo 5:03 ,

Yakobo 1:27

Wageni / Wageni : Yeremia 7:5:22:3 Zaburi 146:9

Kudhulumiwa / taabu : Zaburi 10:17, Isaya 1:17.

Kwa hiyo kama utele huu wa maandiko unavyoonyesha ,kutoa kwa ajili ya maskini ni

jambo la muhimu kufanya ili kuwekeza pesa zetu katika kazi ya Mungu.Hata

hivyo,katika nyakati hizi ambapo kanisa linaelekezwa katika nchi tajiri ulimwenguni

na kupotea,makanisa ya mwisho na machache yanaelekezwa katika sehemu maskini za

kanisa,kutoa kwa ajili ya maskini ni muhimu zaidi.Tena,ni makanisa mangapi

yanayotumia pesa zao katika kuinua washirika wao na kuwapa burudani binafsi wakati

maskini ulimwenguni wanatupwa na kukataliwa na kanisa ? Yakobo 1:27 inaonyesha

kwamba kuwasaidia yatima na wajane ni sahihi kabisa na si kosa mbele za

Mungu,kama tungetaka kumjua Mungu tungekuwa watu wanaotenda kulingana na dini

safi na tungefanya kwa kuwapa maskini.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kongo

2,943,464 ya watu , 91% ni wakristo,

Ukomunisti umeacha alama yake katika kanisa – baadhi ni maeneo yasiyofikiwa .

© www.operationworld.org

27. Makanisa / Wahudumu

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : 1 Timotheo 5:17-18

Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 9:14 `Bwana aliagiza kwamba wale wanaohubiri Injili

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

lazima wapate maisha yao kutoka katika injili '

Baadaye Zungumzia Hili : Je, tunatakiwa tutoe pesa zetu zote kataka makanisa

tunayohudhuria mara nyingi.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fanya jambo kwa ajili ya kumbariki mtu

anaekuhudumia neno la Mungu mara nyingi.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja kuhusu eneo ambalo kanisa

linatakiwa kutumia pesa zake kwalo.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wagalatia 6:6

Eneo la tatu kuzingatia ni kwamba Biblia anawaelekeza waumini kutoa katika kanisa

ambalo wanahudhulia kila mara kwa mfano,Malaki 3:10 inawainua watu wa Agano la

kale, 'Toeni zaka kamili gharani'. Hapo ingeonekana kimaandiko sababu ya kutoa mara

katika kusanyiko.

1. Wote walioihudumi injli kwa uwaminifu na kufanya kazi ya Mungu kwa muda wote

hupokea malipo ambayo ni kanuni iliyowekwa na Mungu (hii inapatikana katika sheria

ya Agano la kale kutoa kwa ajili ya kusaidia makuhani /walawi kwa mfano

.kumbukumbu la torati 14:27: 29;1-2: 2mambo ya nyakati 31:4-20)

2. Pesa zinazotolewa zitasaidia kwa ajili ya kutunza na mabo yanayohusiana na kanisa

ambalo linakabiliana kwa uwazi na mahali ambapo hamna wakristo ili kukutana na

waumini na (ni matumaini) na injili.

Hivyo sababu ya kwanza kutoa katika kanisa ni kwa ajili ya kutoa mahitaji ya kifedha

kwa wote wanaoshiriki neno la Mungu pamoja nasi (mara nyingi ni mchungaj) kwa

mfano, wagalatia 6:6 inasema,kila anaepokea maelekezo katika neno la Mungu ni

lazima ashiriki mema yote na muelekezaji'. Makusudio ya andiko hili ni kwamba ni

lazima tuwe katika kanisa linalotoa maelekezo kila mara kwa neno la Mungu na kwa

kupitia kutoa katika kanisa pesa hizi zinapelekwa kwa mchungaji /mzee wa kanisa

ambae amefundishwa neno la Mungu.Kwa habari ya wazee wanaolihudumia neno la

Mungu kanisani,Paulo anaiweka Nuruni kanuni hii na kusema kwa uwazi kwa habari ya

wazee wanaolihudumia neno la Mungu. 1 Timotheo 5:17-18 inasema, 'Wazee watawalao

vema na wahesabiwe kustahili heshima mara dufu; hasa wao wajitaabishao kwa

kuhutubu na kufundisha. Kwa maana andiko lasema, " Usimfunge kinywa ng'ombe

apurapo nafaka,”

Na tena mtenda kazi astahili ujira wake.”

1Wakorintho 9:7-14 ni fungu la maandiko Paulo anapozungumzia kanuni hii ya utoaji

mahali unapolishwa anapoongelea huduma yake kwa mfano, katika Aya ya 11

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

anasema,ikiwa tumewapandia vya rohoni je! ni neno kubwa tukivuna vyenu vya

mwilini'. Paulo anapokuwa na matarajio yakupata msaada wa kifedha kwa

kuwahudumia kiroho, aliamua kutokupokea ili asiizuilie injili (hata hivyo,aliiweka

kanuni hii kwa ajili ya makanisa ya ufilipino kama vile, wafilipi 4:11-19 ) .zaidi kabisa,

Paulo anaelezea kuhusu wahudumu wa muda wote wa injili kwamba wanatakiwa

wapokee msaada kutoka kwa waamini anaposema katika Aya ya 14 'Bwana ameamuru

kuwa wote wanaoihubiri injli wanatakiwa kupata maisha yao katika injli'

Makanisa mengi hayalishi watu, cha zaidi ambacho waumini wanaweza kutarajia ni

kipindi cha dakika ishirini katika wiki utani kuliko maandiko. kama kila mkristo

angefuata utaratibu huu basi ingesaidia kuondoa wachungaji wasiozaa matunda ambao

hawalihudumii neno la Mungu kwa uwaminifu na pia ingeondoa makanisa yasio na

matunda ambao wanadanganya watu wao kwa neno la Mungu. Pengine ni kwasababu

makanisa mengi hayalishi waumini wake kwasababu ya kuwepo na mafundisho mengi

ya huduma ambayo yamebarikiwa na Mungu?

Sababu nyingine ya kutoa ni kwa ajili ya kutunza na kupanua makanisa kulingana na

utoaji na shuhuda zinazoonekana kwa wale wasiokoka. Kumbukumbu ya andiko hili

ni kuhusu kujenga hekalu Kutoka 25:1-8 Mungu aliopomuamuru Musa kuchukua

sadaka miongoni mwa wana wa israeli na kumjengea hekalu na mfano zaidi ni ujenzi

wa hekalu la Daudi na Suleimani katika 1mambo ya nyakati 29:6-9. na mfano wa

nyakati hizi ungekua kutazama kanisa ambalo linakuwa sana kwa wale wanaokolewa

lingekua hitaji la kupanua kanisa na hapo inasemekana kuwa wale wanaohudhulia

kanisa hilo wanatakiwa kutoa kw ajili ya upanuzi wa kanisa. Kwa huzuni, kanisa lililo

beba mzigo wa umaskini linaweza kuwa kizuizi kwa wasio amini na wanaweza kuacha

shuruti kuwa

wakristo hawajajiandaa kuweka pesa zao mahali mdomo ulipo.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Ivory Coast

14,785,832 ya watu , 38 % ni Waislamu

Kanisa na Uislamu umeona ukuaji na wanashindana kwa ajili ya ukubwa .

© www.operationworld.org

28. Waumini Wenza

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: James 2:14-17

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kariri Aya Hii: Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi a tuwatendee watu

wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'

Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inaweka msisitizo juu ya kutoa kwa

wafuasi wenzetu ndugu na dada?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Katika maombi, Muombe Mungu

ili akuonyeshe ndugu / dada katika Kristo, utakaoweza kuwahudumia.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine juu ya hoja ambayo

twapaswa kuipa kipaumbele kwa ndugu wenzetu na dada katika Kristo.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Yohana 3:17

Hatimaye , eneo moja la mwisho kuangaliwa ni utoaji wa fedha kwa Wakristo wenzetu,

maandiko matatu chini ni magumu kusoma wakati mwingine, na yanapanua kanuni

hiyo yaani, kwamba moja ya alama ya Wakristo wa kweli ni wale wanaojibidisha katika

kuwabariki Wakristo wenzao ambao ni wahitaji, ( ona kwambaneno 'Ndugu ' linatumika

kwa wote) . Pia ni vizuri kukumbuka kwamba sehemu kubwa katika Biblia nzima juu ya

kutoa (2 Wakorintho 8:01 -9:15 ) inahusika na suala la kupeleka sadaka kwa watu wa

Mungu maskini katika Yerusalemu

Mathayo 25:40 'Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amini, nawaambia, kadiri

mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.'

Yakobo 2:15 ' Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa

na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, Enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na

kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?'

1 Yohana 3:17 ' Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ngugu yake ni

mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?'

Katika Agano la Kale kuna hata amri kwamba kuwafundisha watu wa Mungu kwa

karibu kuonyesha upendeleo wa kiuchumi kuelekea Wayahudi wenzao dhidi ya wageni

katika nchi yoyote . Kwa mfano, katika maandiko ya chini, si kwamba Mungu aliagiza

Wayahudi kwa wenzake ili kuleta tofauti kwa walio wageni wageni lakini kuna ahadi

kwamba yeye atawabariki watu ambao kufanya hivyo! Kwa hiyo, sisi lazima kwenda

nje ya njia zetu na kupanua tija ya ukarimu na hasa kwa Wakristo wenzetu.

Kumbukumbu 23:20 ' Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu

yako kwa riba, ili Bwana, Mungu wako, apate kukubariki katika yote utiyayo, mokno

wako,'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Yesu mwenyewe anatia moyo kanuni tunayopaswa kuitafuta na kuwabariki ndugu

wafuasi wenzetu na kuna ahadi nyingi za baraka kwa wale watakaofanya hivyo Marko

9:41 anasema, ' Kwa kuwa yeyote atakaye wanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa

kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amini, nawaambia, hatakosa dhawabu yake.' Paulo pia

anaifuata kanuhiyo pale asemapo katika Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo, kadiri tupatavyo

nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'

Je, si wengi, ndugu na dada katika Kristo ambao wanamlingano wa hali kama wale

wote wanaoelezewa katika maandiko ya hapo juu? Na si Mungu anayetuita baadhi yetu

kuweka imani yetu katika matende na kufanya kitu juu yake ? -bila shaka tuko wengi.

Wakristo maskini wanaotarajia msaada wa Wakristo matajiri toka Magharibi kwa ujumla

wanatoka nchi ambapo kanisa linakabiliwa na ukuaji mkubwa -nini motisha buli

lazima kwetu sisi kuwa na jukumu la kupeleka kuwasaidia wao na kuona fedha zetu

zinakwenda mbali kupanua Ufalme katika mataifa hayo.

Kwa mfano, katika nchi ya Burkina Faso katika Afrika, gharama ya kulisha mtoto katika

kituo cha watoto yatima kimisionari inafikia 6pence kwa siku siku -kwa njia ya zawadi

kutoka kwa Wakristo matajiri, kazi hii ya Mungu miongoni mwa watoto yatima

tunaweza kuona elfu kutunzwa na maelfu kuletwa kwa Mkristo katika kuweka- fursa ni

kutokuwa na mwisho, na hakika Mungu atakuongoza wewe kuwekeza kwenye miradi

mizuri. Tena, makanisa mengi ya natoa kwa ndugu na dada katika Kristo-wao

wanatunza hayo yote kwaajili yao wenyewe ! - tumeitwa kutoa kwa Wakristo wenzetu

walio wahitaji, si kuwapendeza wakristo matajiri kwa kujenga makanisa ma kubwa na

yenye kiwamgo kizuri zaidi. Je, si ni kesi kwamba Wachungaji wengi na Wazee

wanaficha uwajibikaji unao wapasa wenyewe na itakuwaje katika siku ile ya huku

wakiwa wanatenda mambo kama haya?

Hivyo katika hitimisho Biblia inatoa maeneo matano ambapo sisi tunapaswa kufikiria

kuyatolea kifedha.

Agizo Kuu / Kazi ya Umisioni

Maskini

Kutoa kwa wale wanatulisha sisi ( katika muktadha wa mkutano wa ndani)

Kutoa kwa ajili ya Miradi ya ujenzi / Upanuzi wa kanisa

Kutoa kwa jamii ya waaminio

Je! Nizipi kati ya hizi zinapaswa kuchukua kipaumbele? kama ilivyoelezwa katika

mwanzo wa sura hizi Biblia inatoa mwelekeo ila kukwepesha. Inaweza alisema kutoka

Malaki 3:10 kwamba tunapaswa kuleta zaka zetu kwenye mkutano wa ndani

tunaohudhuria vjzuri, kama kanisa lako linawawezesha wamisionari, linalisha maskini

na kuwasaidia jamii ya waaminio inaweza kuonekana kuwa ni muongozo mzuri

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

unaopaswa kufuatwa katika halisi itakuwa ni kesi ya kwamba mkutano wa wenyeji

ungekuwa ni uzinduzi wa mafuriko ya baraka duniani kote waumini wenyeji wanaweza

wote kushiriki kikamilifu kayika kazi ya Mungu. Bahati mbaya, kama uongozi wa

kanisa uwe na roho zilizopooza na zilizofungwa kwa kuhofia kuhusu mahitaji ya kanisa,

hao watakuwa wanazuia baraka zilizoachiliwa duniani kote.

Hivyo, n nini kama kanisa lako haliwajibiki chochote kwa ajili ya umisioni duniani na

wala hililishi na kuwajali watu wachaech waliookoka- na kuendelea kutoa? Hii litakuwa

ni jambao lanalohitaji maombi kumtafuta Mungu kwa ajili ya uongozi wake labda

asilimia ya zaka inaweza kwenda katika mkutano na kinachobakia kikusanywe kwaajili

ya kazi ya umisioni duniani na kulisha maskini na jamii ya waaminio wanaohangaika.

Hatuitwi kutiwa upofu kubeba zaka zetu mwaka hadi mwaka kwenye makanisa yasiyo

zaa matunda na sisi tukakuwa ni waendelezaji wa shirika lisilozaa matunda. Je, wewe

unafurahia mahali utapotoa pana zaa matunda na pana stahili kwa pesa yako unaytoa?

Hili linaweza kuwa ni swali gumu kwa wengine lakini ni si kesi kwamba tunapaswa

kuwekeza fedha zetu katika matunda, si pasipokuwa na matunda, makanisa, na umisioni

na Huduma?

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kroatia

4,472,600 watu, 94. 43 % ni Waislamu

Mateso mengi kutokana na vita lakini Ushuhuda wa wa kristo unaimarishwa kwa

jitihada za amani. © www.operationworld.org

29. Maadui

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kutoka 23:04

Kariri Aya Hi : Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa , mpe chakula;

Tena akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa '

Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuweka katika vitendo kutoa kwa maadui zetu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Ujao : Kama inawezekana, tafuta watu ambao

wana, au ni wapinzani wako jaribu kuwabariki kwa njia fulani.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jinsi ya kutoa kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

maadui zetu kuimarisha ya nguvu ya kuhubiri injili kwa ajili yao.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Luka 6:35

Kuna eneo zaidi kwamba tunapaswa kufikiria kuwapa kwamba kuonekana kuwa nadra

kuliko kawaida na kwamba ni kutoa kwa maadui wetu na wale wanaotupinga, na

ujumbe wa Yesu. Kama Wakristo tunapaswa bila shaka una maadui hakuna hata hivyo

kutakuwa na wale ambao ni kinyume na sisi katika njia sawa kwamba kuna wale ambao

walikuwa kinyume na Yesu. Inaonekana kwamba kwa njia ya kutoa yetu na ukarimu

wetu tunaweza kugeuka maadui hawa ndani ya marafiki na kushinda yao juu ya sisi ( na

Yesu) kwa kushinda upinzani wao na upinzani pamoja na Kristo -kama upendo na

ukarimu.

Mfano wa kwanza wa kibiblia wa utoaji kwa maadui zetu, unapatikana katika Mwanzo

sura ya 26 katika hadithi ya Isaka. Isaka alikuwa mtu ambaye alitembea katika baraka ya

Mungu aya ya 12 inaonyesha kwamba siyo tu alipanda na kuvuna mara mia lakini pia

alifanya hivyo wakati nhi ilipokuwa na njaa. Katika mistari 19-21 Isaka alijionea

upinzani kutoka kwa Wachungaji wa Gerari na mara mbili wakati akijaribu kuchimba

visima na kuteka maji, waligombana naye na kumzuia. Pamoja na kuwa Abimeleki

ambaye alikuwa Mfalme juu ya eneo la Gerari alikuja na kufanya usuluhisho na Isaka

hakuna alichofaulu kwao ila alitengenea tatizo jingine liliendelea wakaiendea nji yao ya

kawaida asubuhi iliyofuata.

Inaonekana kwamba kama Isaka alikuwa anakwenda kuendelea katika mafanikio ya

Mungu wake aliyempa mafanikio aliyokuwa nayo kutoa na kupanua ukarimu kuelekea

maadui zake. Kama tunavyosoma katika Mwanzo tunaona mtu mwingine ambaye

alikwenda katika baraka za Mungu na ambaye pia alitoa kwa wale ambao wanampinga,

alikuwa ni Yusufu hadithi ya Yusufu ni moja ya hadithi inyotoa mwanga zaidi katika

Biblia. Ndugu zake Yusufu wakamuonea wivu na wakamuuza katika utumwa Yusufu

Yusufu alitoka kwa mmjawapo aliyeona ndoto toka kwa Mungu kwa kuwa katika

utumwa katika taifa la kigeni. Yusufu alikuwa na kila sababu ya kuwa na uchungu na

kutosamehe dhidi ya ndugu zake lakini kama tutakavyoona anachagua msamaha na

ukarimu kuelekea ndugu zake kinyume na chuki. Usidharau mtu mwema! Mtu akiwa

amebarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe hawezi kmshusha bali atainua hata katika

matatizo yachukizayo na kwa kuingilia kati kwa Mungu Yusufu alitolewa kwenye jela

ya Misri na kuwa na kuwa mtu wa pili wenye mamlaka katika nchi yote ya Misri.

Baadaye akakutana na ndugu zaka ambao hata hawakuweza kumtambua na bila kujua

kuwa yeye alikuwa na uwezo mkubwa wa kujilipiza kisasi lakini alidhihirisha Roho ya

Kristo, na katika Mwanzo 45:1-11 tunaona yeye anaapa kuwalinda wote na katika

Mwanzo 50:19-20 yeye - anathibitisha nadhiri yake kwa ndugu zake. Isaka na Yusufu ni

waeili katika takwimu ya Agano la kale ambao si tu walitembea katika baraka za

Mungu lakini pia walitoa kwa wale ambao waliwafanyia mabaya na kuwapinga.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Pamoja na kuanzishwa kwa sheria ya amri ya kupanua wema kuelekea maadui zako ,

iliyotolea na Mungu kwa watu wake (angalia Kutoka 23:4 ) na haja ya kutoa kifedha

kwa maadui zetu inaonekana katika Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa mpe

chakula; tena akiwa ana kiu mpe maji ya kunywa; Maana utatia maka ya moto kichwani

pake; Na Bwana atakupa thawabu.'

Tazama jinsi nukuu hii inavyoonyesha kwamba Mungu atawalipa wale wanaotoa kwa

maadui zao. Kadiri tunavyokuwa watoaji katika kazi ya Mungu, Biblia inasema

tutapokea malipo kutoka kwa Mungu-vile vile hata tunapotoa kwa maadui zetu!

Hatimaye Paulo analeta nukuu hapao juu kutoka Mithali katika Warumi 12:20

kuonyesha kuwa ni sehemu yetu ya kuhubiri kwa watu wasiookoka na kwa njia ya

kutenda mema na kuwapa adui zetu tunaweza kuwavuta na kuwafanya kuwa marafiki na

kuwafanya pia kuwa marafiki wa Yesu. Aidha katika injili ya Luka , Yesu mwenyewe

inafundisha upendo na vitendo kutoa kwa maadui zetu, katika Luka 6:27-36 tunaona

kwamba wale ambao wanaachilia upendo wa kweli wa Kristo kwa maadui zao,

watawakopesha bila kutarajia kurudishiwa na watawafanyia mema. Tukihamia katika

Luka 10:30 mfano wa Msamaria mwema hapa tena Yesu anazungumzia upendo kwamba

wafuasi wake watakuwa nao kwa wale ambao ni maadui zao – Je! Na wewe

umegundua kuwa Msamaria Mwema sio tu alitoa srafu ya fedha- kwenye nyumba ya

wageni lakini pia alikuwa tayari kulipa gharama zote ambazo zingezidi - (Mstari 35). Ni

wazi kuwa kutoa kwaajili ya adui zetu inaweza kuwa siraha muhimu katika uenezaji

wetu wa injili katika makundi ya watu maadui wa injili na injili itaenda hata mwisho wa

dunia. Ilielezwa katika mwanzo wa sehemu hii kwamba ynaonekana kuwa kutoa kwa

maadui zetu inawezakutokea kuwa nadra kuliko kawaida hivyo ni jinsi gani tunaweza

kufikisha

tendo hili kwa walengwa wetu?

Pointi hii inazungumzia kuwa utoaji wetu unatakiwa ulenge utume wa ulimwengu wote

ili kuokoa wanaume na wanawake katoka kuzimu kama inavyotakiwa na sin kumpa

mtu au mahali ambapo kuna zaa matunda ya kutosha kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.

Pengine yawezekana ikawa ni kwa ajili ya mtu anaefanya kazi na watu katika nchi

ambao ni tofauti na dinihiyo ambayo ni vibaya na kinyume na injli.Unaweza ukampatia

mtu ambae ni mmissionari na huyu mmissionari akatumia hizo pesa kununulia chakula

na madawa huenda kama kuna njaa au hali ngumu mahali wanapofanya kazi.Aina hii ya

upendo inaweza kuyeyusha mioyo ya wote ambao huipinga injli Pointi imekuwa

inasemea kuwa utoaji wetu wote waliokuwa wakiipinga injli na kufungu mioyo yao

kuipokea injli ambayo inafundishwa katika nchi za Afrika kusini na Afrika magharibi ya

kati ambapo kuna upinzani mkuu wa injli, matumizi ya pesa kuleta chakula na madawa

yanaweza kuwa mlango wa injli kuhubiriwa .

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Cuba

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

11,200,684 ya watu , 46% ni wakristo

Ukuaji wa kanisa umefunika ukuaji wa miaka 40 iliyopita zaidi.

© www.operationworld.org

30. Fedha Ni kigezo Cha Mungu

Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Luka 12:34

Kariri Aya hii : Luka 16:11 "ikiwa haujawa mwaminifu katika kutunza makli za

duniani,ni nani basi atakaekuamini klwa ajili ya utajiri wa kweli”

Baadaye Zungumzia hili: Ni kiwango gani pesa ni kigezo katika maisha yetu ya

kikristo?

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Omba kuhusu kuiwango chako

chako cha utoaji kinavyoonyesha namna unavyofa kazi na Mungu.

Kazi ya diploma ya kuandika : Andika upande mwingine namna ambavyo pesa ni

kigezo katika misha ya ya mkristo

Tafakari neno baada ya neno katika Aya Hii: Yakobo 2:17

Baada ya kuona haja ya kuwa watoaji,na ni kiasi gani na ni wapi pa kutoa pesa zetu,eneo

hili litaangalia sababu nyingi na faida za kutoa pesa zetu.tunapotazama sababu na faida

za kutoa na gharama tunazokumbana nazo kwa kutokutoa kwakweli ni linaweza kuwa

jambo ambalo hatuwezi kulitatua sisi wenyewe na hivyo tutataka kuwa watoaji. Katika

maeneo fulani inaonekana kuwa Mungu hutumia pesa zetu kuimarisha maisha yetu ya

kikristo na kwakutathimini hali zetu za kifedha tunaweza kuona sisi wenyewe hali

yetuya kutembea na Mungu. Si kwamba pesa zinazotolewa kwa Mungu zinatusababisha

kuishi maisha yetu ya kila siku tu bali zinatumika kama kigezo kwa Mungu na kwetu pia

kuhukumu na kusimamia maisha yetu ya kikristo.

Eneo la kwanza ambalo pesa husimamia ni kwamba pesa huonyesha kweli kama

tunamtumikia Mungu au kama tunamtumikia mungu asiye kweli wa pesa,Mungu

ametangaza mwenyewe kuwa ni Mungu mwenye wivu na kwamba hatavumilia kutuona

tunamwabudu mwingine.Katika luka 16:13 Yesu anasema kuwa pesa ni mungu asie wa

kweli ambae watu wanamwabudu na sisi wakristo hatuwezi kusema kuwa tunamwabudu

Mungu na huku tunaabudu pesa. Mafarisayo ni kundi kubwa la watu lililopenda na

kuabudu pesa badala ya Mungu na katika luka 11: 41, Yesu akasema kuondoa pesa

katika maisha yao ni kuanza kuwapa masikini na kujisafisha na vinyago.Kwahiyo si

jambo kwamba pesa zinaonyesha kuwa ni aina gani ya Mungu tunaemwabu? Wote

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

wanaotoa kila mara katika Ufalme wa Mungu wanamwabudu Mungu wa kweli wakati

wale wasiotoa wakiwa wanaonyesha ni aina gani ya Mungu wanaemwabudu .

Eneo la pili ambalo pesa huimaisha ni mioyo yetu, Yesu anathibisha kwamba amri

kubwa ni kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote

na kwa akili zako zote (Mathayo 23:7). Yesu pia anatangaza katika luka 12:32-34

kwamba zilipo hazina zetu ndipo mioyo yetu itakapokuwa na chochote tunachowekeza

pesa zetu kwa pesa ndicho mioyo yetu inatamani na kuwa na shauku nacho.Ikiwa

tutawekeza pesa zetu katika kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha kuwa

tamaa na shauku na hisia za mioyo yetu ni katika Ufalme wa Mungu.Ikiwa kama

wakristo hatutoi kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha

kuwa mioyo yetu ina upendo kidogo sana ,hisia na matamanio yetu kwa Mungu na ukuu

wa Ufalme wake.Tutatumia pesa zetu kwa vitu vinavyopendeza na maalumu kwetu na

kuwekeza mambo yetu ya pesa kwako na kwa Mungu inaweza kuonyesha ni nini hisia

sahihi na tamanio la moyo wako.

Eneo lingine ambalo pesa himarisha katika maisha yetu ya kikristo ni katika ene la

Uwaaminifu.imeelezewa kale mifano miwili na Yesu kuhusiana na pesa- kama vile

mfano wa Talanta (mathayo 25:14-30) na mfano wa mjumbe mwenye hekima (luka

19:12) na ni katika mifano hii tunarudi. Yesu angeweza kuoweka maeneo mengi ambayo

tungeza kushudiwa nae kuwa uwaaminifu,kuendelea kwa kanisa,utakatifu na wema ulio

na haya yote mema ,aliona asisitize juu ya pesa kama uimara wa uwaminifu.

(Watu wamekuwa wakisema kuwa mifano hii miwili inahusu karama zetu,taranta na

uwezo na pengine ni jambo la muhimu kufanya hivyo.Pengine eneo linalo husiana nalo

ni pesa kama taranta na wakili mwaminifu ikihusiana na siku kuuzwa Yesu na katika

mathayo 25: 27 na luka 19:23 itifaki ni ileile ya kuwekeza pesa na kupata riba hakika

huwezi kufanya hivyo kwa habari ya karama ya kiroho au karama uliyopewa na Mungu

). Hii inahusiana na uwaaminifu na pesa zinaongelewa kwa kirefu na Yesu katika luka

16: 11 Anaposema , kwahiyo ikiwa hukuwa mwaminifu katika kutunza mali ya

duniani,ni nani atakaekuamini kwa habari ya utajiri wa kweli'. Kwahiyo ikwa tunasema

sisi ni waaminifu kwa Mungu na Ufalme wake na bado hatuwekezi na kutoa pesa zetu

kwa ajili ya kazi ya Mungu hapo tunajidanganya wenyewe.

Eneo la upendo ni jambo la muhimu katika maisha yetu ya kikristo ambalo pesa

himarisha. 1Wakorintho 13:13 inasema kwamba nguvu kubwa duniani ni upendo na

ikiwa tunahitaji kumfuata Yesu,zaidi ya yote,lazima tuachilie pendo la Mungu katika

maisha yetu maandiko yanayofua yote yanaonyesha ukuu wa pendo.

Yohana 13:34 'Amri nawapeni:mpendane.kama nilivyowapenda ninyi,basi nanyi

pendaneni.ili watu wote wafahamu yakwamba ninyi ni wanafunzi wangu,endapo

mtapendana'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

1 yohana 4:7 'Natupendane, kwa maana pendo latoka kwa Mungu'

1petro 4 :8 'zaidi ya yote pendaneni,kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi '

1yohana 3:14 'tunajua kwamba tutoka katika mauti kwenda uzimani,kwakuwapenda

ndugu zetu.

Tunapokuwa wakristo,Warumi 5:5 huwa inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo

lake mioyoni mwetu na ukristo wetu unaanza kufanana na ukuu wa asili ya

upendo.tena tunakuwa ni njia ya Mungu kupitia kuachilia pendo hili kuwinda

ulimwengu kadri tunavyomruhusu kristo- kuachilia upendo na kulionyesha katika

maisha yetu . Eneo hili kuu la upendo ni muhimu kwamba tunatakiwa makini sana

(kama sio tayari) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na Biblia inasema kwamba kutoa

kwetu ni udhihirisho wa kuachilia pendo la kristo.Kwa mfano: 1yohana 3:17

inasema,ikwa mtu navyo na ndugu yake muhitaji wala asimsaidie ,ni namna gani pendo

la Mungu linaweza kuwa ndani yake?

Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kwamba kama wakristo hatuna uoendo wa

kibinadamu,lakini kil;e kinachotutenganisha na wale wasio wakristo ni upendo wenye

asili ya Mungu mioyoni mwetu ambao unajifunua kwa vitendo kwa muonekano wa

kristo. Hata hivyo,Aya ya hapo juu inauliza swali kwa yule mtu anaesema kuwa ni

mkristo lakini hatoi kwa maskini 'Ni namna gani pendo la kristo linawez kuwa ndani

yake ? Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu

kinachoachiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachoachiliwa

mikononi mwetu. Kadri tunavyotoa pesa ndivyo kadri kiwango cha upendo wa Mungu

kinavyopanda mioyoni mwetu na katika maisha yetu.

Eneo linalofuata ambalo pesa inaimarisha ni lile la imani yetu kama tulivyoona hapo

kale kama Biblia inavyosema maneno yaliyokaririwa kuhusu kuachilia imani na hivyo

na hivyo ni lazima tuhahikikishe imani yetu inakuwa kwa viwango vya juu -maandiko

hapo chini yanaonyesha hitaji la imani.

Unahitaji imani ili uwe mkristo:- Efeso 2: 8

Unahitaji kuishi maisha ya kikristo kwa imani:- 1:17

Kama hutumii imani unatenda dhambi:- warumi 14:23

Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu:- waebrani 11: 6

Imani yetu ni ya muhimu sana tunapomuomba Mungu:-marko 11:23

Pesa ni zaidi ni njia nzuri ya kuupima ubora wa ukristo. Kitabu cha yohana, ukurasa wa

pili, kinaonyesha ukubwa wa hitaji la imani katika maisha yetu ya kikristo na kinyume

chake ni aina mbili za imani iliyokufa inayoonekana kuaminika lakini bado haina

matendo na imani ya kweli na iliyo hai ambayo siku zote itakuwa na kazi njema na

matendo kuthibitisha upekee wake.Yohana anatoa mifano ya matendo yatakayo

ambatana na imani ya kweli na kati ya nifano miwili anaonyesha maeneo ya kutoa kama

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

uhakika wa imani.

Mfano wa kwanza ni kuwapa maskini (Aya ya 14) – na wa pili na wa Ibrahimu kumtoa

mwanae kama dhabihu (Aya ya 21) – Hata hivyo, imani inayo ishi siku zote itatoa !

Kwahiyo,si jambo kusema kuwa wale wote walio katika viwango vikubwa vya imani

ndio wale wenye viwango vikubwa vya utoaji,na wale wenye viwango viwango vidogo

vya imani ndio walio na viwango vidogo vya utoaji au hakuna wanachotoa kumrudishia

Mungu?

Yaliyo changanuliwa hapo chini ni maeneo ya maisha yetu ya kikristo ambayo pesa

huimarisha .kutoa kwako kunasema nini kuhusu maeneo hapo chini?

*Kumpenda Mungu au pesa

*Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote

*Uwaaminifu

*Upendo

*Imani

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Djibouti

637,634 ya watu , Uislamu na nguvu na unakuwa

Makanisa mengi maskini yanahitaji kutumia uhuru ili kuihubiri injli.

© www.operationworld.org

31. Wapenzi ni watoaji

Katika Biblia yako soma hapa kwa sauti: Mathayo 22:37-40

Kariri Aya hii : 1 Petro 4: 8 ' Zaidi ya yote pendanan sana'

Baadaye Zungumzia Hili : Je inamaanisha nini hasa kuhusu kupendana kama Yesu

alivyoagiza.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta mtu wa kumpatia Upendo wa

Mungu.

Kazi ya diploma ya kuandika :Andika upande mmoja kuhusiana na kupenda na kutoa.

Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: 1 Wakorintho 13:13

Ikiwa imeeleweka kwamba pesa ni kigezo cha Mungu nasi pia tunachoweza kutumia ili

kupima maisha yetu ya kikristo; eneo hili litatazamia sehemu ya muhimu ambayo pesa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

hupima, na hilo ni pendo. Biblia inasema jambo hilo la kutikisa kuhusu hitaji la

wakristo kudhihirisha upendo ambalo hakika kwa ukuu litaonyesha kuwa hili ndilo

jambo linalohusu maisha yetu – kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha.

Lingeonekana kuwa pamoja na upendo na utoji na Biblia inatokezea wazo kuwa

wapenzi ni watoji na zaidi tunavyopenda ndivyo zaidi tunavyotoa.

Upendo ni nguvu kubwa duniani (1wakorintho 13:13)

' Na sasa haya matatu yanadumu: imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu kupita yote

ni upendo '.

Asili ya Mungu ni upendo ( 1 Yohana 4:8)

'Mungu ni upendo'.

Ulimwengu utawajua wanafunzi wa Kristo na upendo wao (Yohana 13:35)

' Watu wote watafahamu ya kwamba ninyi ni wanafunzi wangu kama mkipendana'

zaidi ya yote, pendaneni, kwasababu upendo husitiri maovu wingi wa dhambi (1 Petro

4:8 )

Yesu alisema amri kuu ni kumpenda Mungu (Mathayo 22:37)

Yesu akamjibu , Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako

yote na kwa akili yako yote '.Hii ndiyo amri kuu ya kwanza '.

... Na amri ya pili inafanana na hii ni kuwapenda jirani zetu (Mathayo 22:39)

'Na ya pili yafanana nayo: Mpende jirani yako kama nafsi yako .

Hii ikiwa inahusiana na kupenda na kutoa inaweza vinaweza kuimarisha vyote kwa

Mungu, ambae ni mwanzo wa asili ya upendo.Maandiko hapo chini yanathiitisha hili na

yote yanaongelea upendo wa kwanza wa Mungu. Biblia inasema kuwa Mungu

anawapenda wanadamu,lakini zaidi ya hili,Mungu amwkwisha hakikisha na kuonyesha

pendo lake kwetu kwakutoa zawadi hii kwetu, hakika zawadi ya mwanae. Warumi 5: 8

inasema kwamba Mungu ameonyesha uhalisia wa pendo lake kwetu kwakumtuma

Yesu:- Upendo wa asili ya Mungu hauna maneno matupu bali kwa matendo halisi.

Yohana 3:16 ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae

wa pekee'

Wagalatia 2:20 'Mimi naishi kwa imani ndani ya mwana wa Mungu,alie nipenda na

kujitoa kwa ajili yangu'.

Waefeso 5:25 'kama vile Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake '.

Wakati tunapokuwa wakristo, warumi 5:5 inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

lake mioyoni mwetu na asili ya kristo ni asili ya upendo wa Mungu. Na tunapokuwa

njia ambayo Mungu anaweza kupitishia pendo lake katika ulimwengu ulioumizwa

tunapokuwa tumeruhusu asili ya pendo la kristo kuonekakana katika maisha yetu.

Eneo kuu la upendo ni la aina hiyo muhimu kwamba tunatakiwa makini sana (kama sio

chonjo) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na biblia inaonyesha kwamba kutoa

kwetu ndio kuachilia pendo la Mungu.

Kwa mfano: 1 yohana 3 :17 inasema, kuwa iwapo mtu ana mali na kumuona ndugu yake

mhitaji na kutomhurumia, je1 pendo la Mungu linaweza kuwa ndani yake?

Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kuwa kama wakristo hatupaswi kuwa na upendo wa

kibinadamu bali ule unaotutofautisha na wasio wakristo ni asili ya upendo wa Mungu

mioyoni mwetu ambalo linadhihirika kwa matendo ya kristo. Hatahivyo, Aya ya juu

inauliza swali kwa mtu anaesema kuwa mkristo lakini hawapi maskini ' namna pendo la

Mungu laweza kuwa ndani yake? Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa

kiwango cha upendo wa Mungu kinacho achiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango

cha pesa kinachotoka mikononi mwetu. Zaidi tunavyotoa, zaidi kiwango cha pendo la

Mungu linavyoachiliwa mioyoni mwetu na katika maisha yetu.

Pointi zaidi kuhusu pendo la Mungu moja ya sifa zake ni usafi wake;

warumi 12 :9 'pendo na liwe safi'

2 wakorintho 6:6 'katika Roho mtakatifu na katika usafi wa pendo'

Katika 2 wakorintho ukurasa wa 8, Paulo anawambia wakorintho watoe sadaka kwa

ajili ya ndugu walio jerusalemu na anasisitiza jambo hili la usafi wa upendo. Na

anawaambia kuwa ikiwa pendo safi la kiungu limeachiliwa mioyoni mwao litaonekana

katika kutoa kwao. Paulo analinganisha usafi wa pendo lao na utoaji wa pesa zao na

kusema kwamba ni kujaribiwa kwa upendo wao. Jambo hilohilo ni ukweli mtupu kwetu

leo hii – iwapo pendo la Mungu mioyoni mwetu litatumika basi inabidi liwe safi kwa

asili yake na kiwango cha usafi wake na lazima kiwe ni kiwango cha utoji wa fedha. 2

wakorintho 7 :8 'Si kwamba ninawaamuru, bali ninataka kujaribu usafi wa pendo lenu

kuhusiana na utoaji wenu kwa wengine'.

Pointi ya mwisho kuhusiana na upendo ni kwamba biblia inatoa onyo kali kuhusu:-

kama vile tukirudi katika kurudi kwa Yesu itakwisha katika maisha ya watu wengi. Kwa

mfano ,tukiongelea hakika ya muda wa kurudi katika dunia, Yesu mwenyewe anasema

katika Mathayo 24: 12 'kwasababu ya kuongezeka kwa maasi,upendo wa wengi

utapungua “. Paulo anarithibitisha neno la Yesu katika maelezo yake kuhusu matukio ya

ajabu yatakayo tokea siku za mwisho katika 2 timotheo 3: 1-5; anaorodhesha baadhi ya

vitu watu watakavyopenda:-

- Wenyewe

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

- Pesa

- Anasa (kuliko Mungu )

Zaidi,anasema katika mstari wa 3 kwamba katika siku za mwisho, watu hawtakuwa na

upendo. Kwakupitia kuchagu kuachilia pendo, na kulionyesha katika kutoa kwake,

mkristo anaweza kujizuia mwenyewe kuhesabiwa katika wote ambao Yesu na Paulo

wanawaonya kwakutokuwa na upendo.

Nyumba ya maombi kwa mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Makedonia

2,023,580 ya watu,asilimia 63 ni wakristo

wengi wa waislamu wanahitaji kufikiwa

wakristo wanahitaji kubwa la kufundishwa

© http://www.operationworld.org

32. Kuachilia Pesa Huachilia Furaha

Katika bibilia Yako Soma Hapa Kwa sauti: Luka 9:23

Kariri Ayaya Hii: Yohana 27:13 'Na sasa naja kwako namaneno haya nayasema

ulimwenguni ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.'

Baadaye Zungumzia Hili: Vitu vianavyoweza kutuzuia kujua furaha ambayo Yesu

aliijua

Jambao La Kufanya kabla Ya Wakati Mwingie: Soma kuhusu furaha ya Yesu katika

Zaburi ya 45

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika Upande mmoja kuhusisna na kuachilia Pesa

na kuachilia furaha .

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 2:21

Katika Yohana 17:13 Yesu anaonyesha kwamba wote wanaomfuata wanatakiwa kujua

ubora wa furaha ambayo wasio waKristo hawataifahamu -kama vile Furaha ya Kingu

ambayo Yesu mwenyewe alikuwa nayo, Wafuasi wake wanatakiwa kuwa nayo, wakati

wapagani wanayo kidogo, furaha isiyokoma, mKristo anatakiwa awe nayo kwa kiwango

kikubwa, kukaa, kiwango cha furaha ya Mungu. Kwahuzuni,wakristo wengi hawatapata

furaha hii katika maisha yao na hii ni kutokana na hali tofauti, pengine kushikiria pesa

na kuamua kutokutoa kunaweza kuzuia furaha ya Yesu katika maisha yetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Sehemu hii itazungumzia hilo kwa kiwango kikubwa, kiasi cha pesa ambacho

tunamtolea Mungu kitadhihirisha kiwango cha furaha ya Mungu kitakachoachiliwa

ndani yetu. Maandiko yanayofuata ni maneno ya Yesu ambayo yatakuwa ni msingi wa

habari katika sehemu hii; hapa, hapa, Yesu anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanza

kuachilia uzima na furaha katika maisha yetu. Ni upekee katika Biblia kwamba sehemu

mbalimbali ndani yake imetajwa katika injili zote nne, kwa hiyo Roho mtakatifu

amaweka msisitizo juu yake.

Luka 9:23 'Akawambia wote mtu akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe ajitwike

msalaba wake kila situ anifuate, kwa kuwa mtu atakae kuiponya nafsi yake ataingasmiza

na mtu atakaye ingamiza nafsi yake kwaajili yangu ataisalimisha.'

Yesu anaongelea moja ya kichocheo kikubwa kinachomfanya mwanadamu kkuwa

mtumwa na huo ni uchoyo -watu ambao wamejirithisha wenyewe na maisha yao

pasipo wazo kwaajili ya wengine. Yesu angetokea na kusema kwamba zaidi

tunavyokuwa wabinafsi, ndivyo tunavyokosa furaha. Kinyume chake, kadiri

tunavyojitoa na kuwa watoaji, ndivyo kadiri tunavyokuwa na furaha kama tukianza

kugundua kuhusu ukarimu, upendo wa asili ya Yesu utaachiliwa ndani yetu. Si kweli

kwamba watu wabinafsi ndio wanaohangaika kwa urahisi, kuwa na hasira kidodgo,

hisia, kuudhiwa na zaidi ya yote kuwa wasio na furaha?

Ni kanuni ya Ufalme tene kwamba wote wanaotumiwa na faida za ubinafsi wao na

kutawaliwa na anasa zao hawataona au kupata kile wanachokitafuta. Kwa huzuni mtindo

huu wa maisha ya ubinafsi umeonyeshwa katika maisha ya watu wengi ambao wako

bize sana kwa yeyote au chochote licha ya anasa zao wenyewe. Hata hivyo hili siyo

jipya; katika maandiko hapo chini kutoka Wafilipi 2:21 Paulo anakazia mchocheo huu

wa ubinafsi na katika 2Timotheo 3:1-2, Paulo anaoanya kwamba ishara moja wapo ya

siku za mwisho ni kwamba watu watajipenda wenyewe.

Wafilipi 2:21 'Maana wote wnaotafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu '

2Timotheo 3:1 'Lakini fahamu neno hili ya kuwa siku zamwisho kutakuwako na nyakati

maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenyekupenda fedha,'

(Ni vizuri kunakili kwamba katika 2Timotheo 3:1-3 ; Paulo anaweka mkazo kuhusu

nyakati za mwisho, kutakuwa mambo ya hatari yakiendelea katika dunia. Nakili

kwamba hatari kubwa ya kwanza mabayo anaiorothesha ni kwama watu watajipenda

wenyewe na ya pili anaorodhesha kuwa watu watapenda fedha. Ingeonekana kwamba

iwapo mtu ni mbinafsi iwe ni uhalisi katika mahusiano yao ya kifedha kama walivyo

wapenda pesa.)

Tunapotumia kanuni hi ya kiroho kwa ajili ya pesa binafsi tunaweza tukaona jinji watu

wanvyotafuta kutuza kila senti wanayopata ili kupata furaha. Bila shaka, tabaka lililopo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kati ya ubinafsi kwa watu na pesa zao ni kubwa- kwa mfano, ni watu wamgapi

wangehuzunika iwapo watapoteza Paundi 10! Nakili mfano zaidi ni jinsi watu

watakavyozungumzia, kukasilika, kupigas kelele, kugomba, na kupigana kwaajili kiasi

kidogo sana cha pesa, siyo mshangao jinsi ambavyo kiasi kidogo sana cha fedha

kinaweza kusababisha mwamko mkubwa.

Ubinafsi utaonekana katika maisha yetu binafsi ya kifedha tutakapo tumia pesa zetu

zote kwaajili yetu wenyewe -tabaka la ubinafsi liweza likavunjika tutakachagua kuwa

watoaji; Kumbuka jinsi yesu alivyosema kwamba tunapomfuata lazima tujikane

wenyewe (Luka 9:23). Mtu anayependa fehda na kutumia kila senti kwaajili yake

hatajua kiwango cha furaha na ukidhi atakaopata mtu mtoaji. Tunapotoa pesa zetu

tunaachilia furaha katika maisha ya wengine inaonekana kwamba Mungu huachilia

furaha katika maisha yetu na hapohapo kiwango cha furaha kinakuwa kikubwa

kwasababu ya kiwango cha utoaji wetu.

Mahusianao haya ya kutoa na furaha yanaweza kuonekana katika mifano ya maandiko

hapo chini ;

1)

1 Nyakati 29:9 'Ndipo hao watu wakafurahi kwasababu wametoa kwa hiyari yao

wenyewe kwa sababu ya ukamilifu wa mioyo kwa hiyari yao wenyewe wamemtolea

Bwana.'

1 Nyakati 29:20 'Basi kusanyiko lote wakamuabudu Bwaba, Mungu wa baba zao

wakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwana na Mfalme naye.'

1Nyakati 29:22 ' Wakala na kunywa mbele za Bwana siku ile.'

Kinachoonekana hapa ni kutoa kwa wana wa Israel katika hekalu la Daudi. Watu

walipotoa sadaka kubwa namna hii iliachilia furaha kubwa miongoni mwa watu wa

Mungu. Lazima ingekuwa na muonekano mzuri katika kundi, mzuri, wenyefuraha,

furaha, sadaka ya ushirika kwa kutii ; furaha ya kutoa hakika ilikuwa katika yao.

2)

Zaburi 126:5-6 'Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu

anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu za kupanda hakika atarudi kwa kelele za

furasha.' zaburi injulikana kwa uwazi wakena hapa mzaburi anaelezea jinsi miongni

mwetu tulivyo katika matoleo yetu. Inawezekana ikawa ni vigumu kupand kifedha- hata

katika pointi ya kupanda kwa machozi machoni petu .Hata hivyo, kutoa kunapelekea

kupokea na unapovuna mazao yako inakupatia furaha.

3)

2Wakorintho 8:2 'Maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha

yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongeza utajiri wa ukarimu wao.' Kutoa

kunawezakuwa kugumu wakati wa nyakati nzuri -ni vipi zaidi nyakati ngumu. Wakristo

wa Makedonia walithubutu kutoa zaidi ya umaskini na kuingia katika mpenyo wa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mtiririko wa furaha .

Nyumba Ya maombi Kwa ajili ya mataifa Maskini

Omba Kwa ajili Ya Malawi

10,925,238 Ya watu , 80% Ni Wakristo.

Ukimwi umekithiri nchini.

Uislam unakua na unaweza kusitisha vurugu. © http://www.operationworld.org/

33. Faida za Utoaji za Kidunia

Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mithali 19:17

Kariri Aya Hii: Mathayo 25:40 ' Kadilri mlimtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu

walio wadogo mlinitendea mimi.'

Baaye Zungumzia Hili: Ninini matokeo ya Mungu kumpa mmoja ya watoto wake

zawadi kama zawadi yake binafsi

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika Maombi muombe Mungu

akuonyeshe faida zaidi za kutoa.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu faida za utoaji za

kidunia.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mathayo 10:42

Sehemu iliyopita kuhusiana na pesa kuwa kigezo cha Mungu ambayo Mungu anatumia

kuhukumu maisha ya wakristo lazima yenyewe itoe sababu za kutosha ili zitumike

katika utoaji wa pesa zao katika kazi ya Mungu. Hata hivyo, itorodhesha hata sababu

zaidi na faida ya kutoa hata kama sio tayari mtoaji moyo wako utashinda kutaka kutoa

kwa Mungu na katika kupanua Ufalme wake.Kwa habari ya eneo la utoaji pengine

wewe ni mtoaji mwaminifu katika mapato yako yote muda wote au Biblia haina cha

kusema kwa watoaji wa muda. Hata hivyo,ukisoma sababu na faida za kuwa mtoaji

ruhusu Mungu azungumze na moyo wako na kuona iwapo wewe ni mtii katika matoleo

yako,au kama unahitaji kuwa mtoaji wa wakati wote.

Faida kubwa ya kutoa ni kwamba tunatoa, ndipo tunapoanza kurusu sheria zitakazo

achilia aina nyingi za baraka za Mungu ,kiasi kwamba tutakuwa katika mahali pazuri pa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutoa hapo baadae.Kwa mfano,unaweza kuchukua mbegu moja ya epo na kuipanda na

kuzaa mti wenye maepo 8 juu yake- kila epo likawa na mbegu 5 za epo kwahiyo kutoka

kupanda mbegu moja unazalisha mbegu 40 ambazo zinaweza tena kupandwa nazo pia

zikazaa miti na maepo 5 yenye mbegu 4 ndani yake na kusababisha jumla ya mbegu

800 zaidi. Mbegu hizi 800 zinaweza pia kupandwa na kuzaa miti yenye maepo 5 yenye

mbegu 4 ndani yake na kutoa jumla ya mbegu 16,000 zaidi za kupanda.

Sheria za milele za kupanda na kuvuna ziko kwa ajili ya faida zetu wenyewe na

kuachiliwa kwa aina nyingi za baraka za Mungu katika maisha yetu kwa kutoa

tunajifungua wenyewe kwa ajili ya kuruhusu sheria ya kupanda na kuvuna kazini kwa

ajili ya faida yetu wenyewe. Kuoitia kutoa tunapanda mbegu zitakazo turudia wenyewe

kwa wimbi la aina nyingi za baraka za Mungu,kutoa kwetu ni kuwekeza kwetu kw ajili

ya fedha zetu za baadae na iwapo tutakua na bidii na kuendelea na uwaminifu,tunakila

haki ya kuwa na ujasiri kutazamia baraka za Mungu maishani mwetu.Iwapo mkulima

hatapanda basi hatapata mavuno katika ulimwengu wa kawaida wala hakuna mavuno ya

gafla katika ulimwengu wa Roho nasi pia hatuwezi kupata mavuno pasipo kupanda

mbegu za kifedha katika kazi ya Mungu.

Sababu nyingine ya kuwa mtoaji ni kwamba kutoa fedha zetu ni njia ambayo Mungu

anaweza kuona ni nani aliyekua na anauwezo wa vile alivyoelekezwa na kuwekwa

wakfu na kuwa na vipawa katika uongozi ambao utathihirishwa ukuaji na uongozi

katika maisha ya Wakristo. Katika Luka 16:1-13 Yesu anasimulia juu ya fedha na

mwisho wa mfano katika mstari wa 11 anasema, 'basi kama ninyi hamkuwa waaminifu

katika mali ya udhalimu, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli?' Bila ya sisi

kuonyesha uongozi, uwakili na bidii katika fedha zetu tunajikosesha wenyewe kuingia

katika uwezo wetu kamili , Upako wetu wa kweli na hatima yetu ya mwisho katika

Ufalme wa Mungu.

Hii ni kweli halisi kabisa kwamba kama ingalitumika kwa Wachungaji wengi, Wazee,

Wainjilisti na Viongozi Ibada ingewadhirisha kuwa ni watu wasiokamili kroho

ikilinganishwa na nafasi walizo nazo katika Kanisa. Kwa bahati nzuri, makanisa mengi

hayawaruhusu watu kuingia katika jumuiya ( na kuachilia uongozi) isipokuwa wao

kujitoa kwa kuwa watoa zaka na hii ni njia nzuri sana kwa utawala Mchungaji yeyote

yule kutekeleza katika kanisa. Pengine Mungu amewapa ninyi kuwa na ndoto ya kujua

uwezo wako wa kweli katika Mungu na kutimiza hatima yake kwa ajili yenu ili kufanya

hivyo ni lazima kuingia kwa kupitia lango la hatima yako na hili ni lango la ushirikiano

wako wa kifedha. Kama fedha yako na Utoaji wako si wa haki mbele za Mungu hauwezi

kuruhusu kufikia katika hatima yako ya mwisho ya kuwa mtoaji na kuwa na maendeleo

ya ukomavu, upako na uongozi katika Ufalme wa Mungu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Sabau moja kubwa ya kutoa ni kwamba Biblia inaonyesha kuwa kama sisi tutatoa kwa

ajili ya kazi ya ufalme na kwa watu wa Mungu, inaonekana kwamba Mungu anachukua

kama neema binafsi kwa chochote tufanyacho kwa ajili ya watoto wake, na pia

tunafanya hivyo kwa Bwana. Kwa mfano kama una watoto na mtu flani akaenda katika

mahitaji yao na kuwasaidia, ungeheshimu na kuwashukuru kwa hilo- na unadhani Baba

yetu wa mbinguni ni tofauti! Angalia maandiko haya hapa chini wakati sisi tunapotoa,

Mungu anaona kuwa ni kitendo cha upendo na wema si tu kwa mtu ambaye anapata ,

lakini pia hata kwake. Hatuwezi kutoa fedha zetu kwa Mungu moja kwa moja, lakini

tunapotoa pesa zetu kwa jina lake kwa wale wanaotuzunguka ili kuwaingiza ndani ya

ufalme wa Mungu, ingeonekana kuwa ni vizuri kutoa kwa Mungu mwenyewe.

Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo

lake jema.'

Mathayo 25:40 'kadiri mlivyowatendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio

wadodgo, mlinitendea mimi'

Mathayo 10:40 'Awapokeaye ninyi, anipokea mimi, naye anipokeaye mimi, ampokea

yeye aliyenituma.'

Waebrania 6:10 'Maan Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile

mlilothihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sas

mngali mkiwahudumia.'

Waebrania 13:16 'Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama

hizi ndizo zimpendezazo Mungu.'

Moja ya sababu ya kusisimua juu ya kutoa ni kwamba tunaweza kuwa na uzoefu katika

njia ya kweli sana na wakati mwingine Mungu ataingilia kati ndani ya maisha yetu.

Biblia inasema katika Kumbukumbu la Torati 6:16 kwamba hatupaswi kumtia

Mungukatika majaribu, hata hivyo, mmoja katika hili hupatikana katika Malaki 3:10

ambapo Bwana mwenyewe anatamani watu wake wamjaribu waone uaminifu wake

kwa njia ya kuwa watoaji wa zaka waone kama yeye hatawafungulia milango ya

baraka. Labda hujawahifikia kiwango cha imani na kupokea majibu ya ajabu ya

maombi? Kwa nini usimjaribu Mungu wa utosherevu katika kumjaribu na ujiandae

kushangaa! Wakati utakapoona Mungu akiingilia kati katika maisha yako na baraka

kuanza kutiririka kukuelekea wewe , inafanya Mungu kuwa mkubwa sana, na wa

uhakika na itakutia nguvu katika imani yako na unaweza kupumzika na kuwa na amani

katika maarifa ya wema wake.

Aidha, katika 2 Petro 1:3 inaonyesha kuwa Mungu anakusudia sis kushiriki katika asili

yake ya kimungu na kuzidi kudhihirisha asili ya Kristo katika maisha yetu ingekuwa

yoyote kati yetu angethubutu kusema kwamba Mungu ni mbinafsi na mwenye ubaguzi -

Hakika sivyo! Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu, hata ALIMTOA ! Yesu,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

hivyoalitupenda na alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu, asili ya Mungu ni utoaji, asili ya

kutokuwa na ubinafsi - kwa njia ya ukarimu utoaji tunajithibitisha wenyewe kuendana

na asili ya Yesu. Pengine inafaa tuhitimishe kwa maneno ya Yesu kwa yale aliyosema

tunapaswa kuamini na kuweka katika vitendo, kwa ufahamu wa kweli anajua ni nini

kilicho bora kwa ajili yetu. Matendo 20:35 inasema, 'Ni heri kutoa kuliko kupokea '

kama hakuna sababu nyingine , tunapaswa kuwa watoaji kwa sababu Yesu alisema

kwamba inatupasa na tutabarikiwa kama tukifanya hivyo. Kwa hiyo tunaweza kuona

kwamba Yesu unathibitisha kwamba maisha yataongezeka, ni bora zaidi kwa ajili ya

mKikristo mtoaji, badala ya mashirika yasiyo ya Kikristo kutoa.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Ecuador

12,646,068 watu , kupungua waKatoliki ni wengi.

Kuna kasi Kubwa ya ukuaji wa kanisa lakini lipo katika Mapambano na

Wakatoliki na Waprotestanti . © www.operationworld.org

34. Faida Za Mbinguni Za Utoaji

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:1-9

Kariri Aya Hii: 2 Wakorintho 4:18 'Tusiviangalie vinayoonekana, bali visivyoonekana.

Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.'

Baadaye Zungumzia Hili: Unafikiri nini Yesu anapozunguza pale asemapo ya kuwa

unakaribishwa katika makao ya milele .

Jambo La Kufanya Kabla Wakati Mwingine: Andika orodha ya watu wote una

kusukumwa kwa ajili ya injili yako ya utoaji.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya jinsi gani tunaweza

kuhakikisha ukubwa wa ukaribisho Mbinguni kama iwezekanavyo

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Daniel 12:03

Tumeona hapo awali kwamba kuna faida nyingi amabzo tunaweza kijionea katika muda

tunapokuwepo duniani tunapokuwa watoaji, hii ni orodha ya faida za kidunia haitoi

picha kamili ya faida ya kutoa , pia kuna faida za kimbingu . Biblia mara kwa mara

inatuhimiza kama Wakristo na si tu kufikiria wakati wetu duniani lakini pia hatima yetu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ya mwisho ya mbinguni. Kwa mfano , Sulemani anasema katika Mhubiri 3:11 'Kila kitu

amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao.'

Paulo anasema katika 2 Wakorintho 4:18, 'Tusiviangalie vinavyoonekana, bali

visivyoonekana.', na Wafilipi 3:20 anasema, 'Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko

mbinguni.' Kwa kuwa tutakuwa na mda mrefu mbinguni kuliko duniani tutafanya vizuri

sana kwa na kwa makini juu ya mbinguni , kama vile ilivyo faida ya kidunia ya kutoa.

Labda ukeosefu mkubwa wa kutoelewa kuhusu mbinguni ni kwamba kila mtu atakuwa

katika kiwango linganifu na kufurahia kiwango kilekile cha baraka, lakini Biblia

inaonyesha hali ya utofauti mkubwa. Sababu ya kwanza kuhusu siku ya hukumu ni

kwamba itakuwa ni Bwana Yesu pekee ndiye atafanya hukumu, katika Yohana 5:22

anasema, 'Tena, Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote ,ili

watu wote wamheshibu mwana kama vile wanvyomheshimu Baba. 'jambo la pili ni

kwamba Yesu anatangaza kuwa atamlipa kila mtu kulingana na njia waliyoiendea katika

maisha yao ya hapa duniani. Kwa mfano, katika 22:12 Ufunuo anasema, ' Tazama naja

upesi na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.'Tena,

anathibitisha hili katika Mathayo 16:27 wakati anaposema, 'Kwa sababu Mwana wa

adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo

atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.'

Mtume Paulo pia anathibitisha mafundisho ya Yesu kuhusu tuzo la mbinguni kama

maandiko awili hapa chini yanavyoonyesha. Fikiria jinsi anavyoongea ukweli

kwamba kiti cha hukumu ni cha Kristo , na jinsi maandiko yote mawili

yanavyozungumzia kuhusu tuzo la mbinguni. 1Wakorintho 3:12 'Lakini kama mtu

akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fehda au mawe ya thamani, au miti au majani,

au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri, maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa

yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna

gani. Kazi ya mtu aliyejenga juu yake ikikaa atapata thawabu.'

2 Wakorintho 5:10 ' Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha

hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyoyatenda kwa mwili, kadiri

alivyotenda kwamba ni mema au mabaya. 'Katika mfano wa Fedha katika Luka 19:11-

27 Yesu ameweka wazi wazo hili la thawabu mbinguni na hufanya tamko kwamba moja

ya msingi wa tuzo ya mbinguni itakuwa Utoaji wetu wa fedha. Kwa mfano, watumishi

wawili waaminifu walitumia talanta zao za fedha za bwana wao kwa busara, walilipwa

na kuambiwa wakusanye malipo ya miji. Hii ni kumbukumbu ya utawala wa baadaye

kwenye Ufalme wa Mungu ambapo wale ambao walitumika kwa uaminifu duniani

watapata maeneo ya uongozi na kuwa watangulizi. ( Wazo hili la thawabu ya mbinguni

lina msingi kwa sehemu juu ya ushirikiano wetu wa kifedha, pia lina upana katika

mfano wa talanta katika Mathayo 25:14-30 ambapo mawakili waaminifu wa fedha

wanaambiwa,'Nitakuweka juuya mambo mengi' (mstariwa 23).

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Eneo la pili kwamba tuzo ya mbinguni ni msingi ni eneo la kushinda roho ya thamani

katika Ufalme wa Mungu - zaidi kwamba tuna kutumika wakati sala zetu , na fedha

kuona watu kuokolewa kutoka kuzimu mkubwa malipo yetu itakuwa. Old msingi Agano

kwa hii yanaweza kupatikana katika Danieli 00:03 , ' Na walio na hekima watang'aa

kama mwangaza wa mbinguni, na wale ambao kuongoza wengi kutenda haki , kama

nyota milele na milele '. Kwa hiyo sisi kutoa zaidi katika Ufalme wa Mungu na hekima

sisi ni kuhusu ambapo sisi kutoa fedha zetu, mkuu wetu thawabu mbinguni itakuwa

kama kutoa wetu wamekuwa kiungo katika mlolongo wa kuona mtu kuokolewa.

Kwa mfano tuseme wewe mara kwa mara kutoa kuona kazi za kimisionari mikutano na

katika nchi ambako injili haijapenya na kama matokeo ya kazi zao, wafanyakazi wa

kimisionari unaowafadhili wanaona mavuno ya roho za watu. Kutokana na ukweli

kwamba wafanyakazi wa kimisionari wasingeweza kuwa katika nchi ile bila msaada

wako wa kifedha, fedha yako imesaidia kuona mavuno ya roho za wasiookoka, wewe

nawe utashiriki katika tuzo la kuvuna. Hata kama utatoa katika kanisa ambalo

wamisionary hawafadhiliwi na kuna idadi ndogo sana ya watu wanaookolewa wiki hadi

wiki, wewe nawe utapata tuzo dogo mbinguni katika siku ya hukumu kwa sababu

umewekeza fedha zako katika shirika lisilozaa matunda.

Hivyo ni muhimu kujua ili kuwekeza fedha yako kwa busara sana vile kwamba fedha

yako iko ndani ya nafsi na hautoi mahali popote nawe utauna matunda machache

kulingana na ulivyo wekeza. Yesu alizungumzia haja ya kutumia fedha zetu kwa busara

kuona watu wanokolewa katika Luka 16:9 anasema, 'Nawaambia, jifanyieni rafiki kwa

mali ya udhalimu, ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele.'

utakapoingia mibinguni watu wale wote uliowasaidia wakapata wokovu kupitia utoaji

wako wa fedha watakusalimu na watakushukuru kwaajili ya uaminifu wako kwa injili

iliyowafikia. Ni siku ya furaha ya ajabu ikiwa utatumia maisha yako kuwekeza fedha

yako katika wamisionari wakigeni-utapata watu weupe, weusi, maji ya kunde, wanjano

toka katika miisho ya dunia wakikusalimu na kukubariki kwaajili ya msaada wako wa

kifedha uliowasaidia wamisionari kupeleka neno la Mungu kwao.

Wazo hili la salimiwa mbinguni lipo katika 2 Petro 1:11 ambapo Petro anasema, '

Maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kingia katika Ufalme wa milele wa Bwana wetu,

Mwokozi wetu Yesu Kristo.' Nini kingetokea kama ungalikufa usiku wa leo ,

ukaribishwaji wako ungekuwaje huko mbinguni? Kungekuwa na watu wengi toka

mabara ya dunia wakikusalimia na kukushukuru kaajili msaada wako wa kifedha kwa

umisioni wa kigeni au kungekuwa na watu wachache wanokukaribisha kwao? Kuna

muda mfupi tu kwetu sisi wote katika dunia hii kwaajili ya kutumia muda wetu na fedha

kwa ajili ya kufanya marafiki kwaajili yetu kwaajili ya maisha yetu ya milele. Unaweza

kuwekeza katika ujumbe wa kigeni na kuwa na marafiki wengi kwa ajili ya yako ambao

pengine hutakutana nao katika maisha haya lakini siku ya hukumu wewe utakutana na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ndugu na dada wengi.

Hatimaye, utakuwa muda mzuri zaidi katika mbingu kuliko hapa duniani kwa kuwazi

zaidi juu ya hili tunapaswa kutafuta ili kufikia kiwango cha juu tunachoweza kupata

mbinguni - hata kama hii itamaanisha kuwa kuna raha katika dunia hii. Cha kusikitisha ,

Wakristo ni wanatumia fedha zao ili kuongeza hadhi yao na furaha katika maisha haya

bila kuwa na wazo kwa ajili ya maisha yajayo – Watafurahia kwa muda mfupi tu!

Wakristo wenye busara watajaribu kutumia fedha zao ili kuongeza kiwango chao

mbinguni na kulipwa na kujipatia hazina tele mbinguni hazina iwezekanavyo - ni bora

kuwekeza ukiwa katika ulimwengu. Andiko chini linazungumzia hii na linaonyesha

kwamba kwa kadiri tutoavyo, tunajitengenezea msingi imara mbinguni. 1 Timotheo

6:18 'Watende mema,wawe matajiri kwa kutenda mema, wawe tayari kwa kutoa mali

zao, washirikiane na wengine kwa moyo; huku wajiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa

wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Misri

68,469,695 watu , 86 % ni Waislamu - 13% ya Kikristo. Sauti ya extremist Uislamu

ni kelele na kutishia katika kanisa. © www.operationworld.org

35. Gharama Za Kutokutoa

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Malaki 3:8-12

Kariri Aya Hii: Malaki 1:6 'Mwana huheshimu babayake, na mtumishi humcha bwana

wake; basi kama mimi na baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi na

Bwana wenu kicho changu ki wapi?

Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Kwa kiasi gani ukosefu wa fedha unazuia kazi ya

Mungu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi,muulize Mungu

kama Matoleo yako yanasaidia au yanazuia kuenea kwa injili.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine watu watatu ambao

wanaiba tunapochagua kuwa si watoaji.n

Tafafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 11:24

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Sehemu ya awali tumeangalia kila sababu na faida tunaweza kunufaika kwa kadiri

tutoavyo na kwa hakika kuna mengi mema na sababu ya kuwa na wanaotoa . Kama

zilivyo faida kwa utoaji, pia kuna gharama za kuchagua kutokuwa mtoaji. Eneo kubwa

sehemu hii tutaangalia ukweli kwamba wakati tunapochagu kuwa si watoaji tunakuwa

wezi sisi wote aina tofauti 3 za watu wa Mungu sisi wenyewe, na ndugu na dada katika

mwili wa Kristo.Imekwisha tajwa katika Malaki sura ya 3 ambapo Bwana mwenyewe

anatangaza kwamba wasiotoa zaka wanamwibia. Kwa kuwa fedha zote katika dunia ni

za Mungu, sisi tunapochagua kutorudisha kwake zaka, tunabakia na mali isiyoyetu na

tumekuwa tumeficha fedha toka za Mungu zilizotoka kwake. Wakristo wengi hawan

hata wazo la kuiba kitu toka kwa marafiki zao au kwa washika wenzao bali

wamechagua kuiba kwa Mungu wiki nyingine ndani wiki nyingine inje hawatoi zaka.

Wale ambao wamechagua kutokutoa wamevunja uhusiano na Baba yao wa mbinguni na

kuwa vigumu kuwa karibu nao, ni vigumu sana kuwa na ukaribu na mtu ambaye

ambaye unamuibia. Mkristo ambaye amechagua kutokutoa, hana haki mara kwa mara

kwenda kanisani na kuabudu na kumsifu Mungu na kisha ananyosha njia moja kwa

moja baada ya kumwibia Mungu kwa kuto kutoa kitu chochote kwenye chombo cha

sadaka. Wasiotoa wataimba juu ya jinsi ukubwa na ajabu na Utukufu ambao Mungu

aliotenda na hawakuamini kuwa Mungu ni tajiri wa utoaji aslimia 10% katika mapato

yako. Inaweza kuwa kweli na sahihi kwamba 'mkristo' asietoa kwa ajili ya kazi ya

Mungu hujitatanisha katika mambo mengi.

Pengine si mtoaji bado na na je! hiyo haimaniishi kuwa kwa upande wako hakuna utata?

Ikiwa Mungu ni mkubwa na mwenye utukufu kama unavyoimba kuwa yeye ni mwema

na kwama ni wa ajabu basi unatakiwa umwabie kila mtu kuwa pia anaaminika kwa

habari ya pesa zako pia.Hata hivyo unatakiwa kuweka pesa zako mahali mdomo wako

ulipo ikiwa Mungu unaemtaja kuwa na mahusiano nawe ni kweli na alie hai, na si

Mungu alie mfu, na sasa ni muda wa kumwamini Mungu kwa habari ya pesa zako.

Kama hutaweza kumwamini Mungu na pesa zako kwa habari ya eneo ambalo ni

muhimu katika maisha yako (kwakutoa kwanza na uone akikubariki kwa kile

ulichopanda kwake) na kwahiyo ni aina gani ya Mungu asie mwaminifu na asie aminika

unaemtumikia?

Mtu wa pili tuna mwibia Mungu wakati tunapoamu kuto kutoa na hiyo ni kujiibia

wenyewe baraka za Mungu. Na ieleweke kwamba, kwanza ya yote pendo la Mungu si

la masharti kwa namna tunavyoishi maisha yetu sisi wenyewe kwa kuhusiana na Mungu

kwa njia ya neema na sio kwa mateno mema kwakumaanisha kuwa Mungu hatupendi tu

wakati tunapokuwa wema na kutotupenda tunapokuwa wabaya. Hata hivyo,kwasababu

pendo la Mungu halina masharti ,baraka za Mungu zina masharti kwetu kwa ajili ya

kufanya mabo yaliyo katika biblia yanayotakiwa ili kukutana na baraka . Mambo

ambayo Mungu ameyyaweka kuhusiana na baraka za kifedha si kwa kuziomba au

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuzisihi bali kwakumtolea kwanza nae kuachilia baraka nyingi tofauti kwetu.

Kwa kutokutoa hatujionyeshi wenyewe kuwa watu wa sheria ya rohoni na masharti

yanayo simamia fedha na kwakutokutoa sheria huturudia kinyume chetu. Kwakuto

kutoa tunashindwa kuona utele wa baraka za Mungu kwasababu tunajiweka wenyewe

mahali ambapo funga mikono ya Mungu na hakuna kiasi cha maombi,mambo ya rohoni

na kumzuia ibilisi hakutasababisha baraka za Mungu kuja. Mungu amekusudia na

kudhamilia kutubariki lakini ili kurusu baraka hizi inabidi tukae katika sheria za wakati

wa mbegu na mavuno na kutoa na kupokea na kutokutoa tunaiba baraka zetu kutoka

kwetu. Kwa huzuni,watu wanataka mambo ya haraka na njia fupi ili kupata mafanikio

ya kifedha na wakati Mungu anaweza kufanya hili, Pengine tungefahamu kuhusu baraka

za muda mrefu zinazo kaa na hivyo tunahitaji kipindi kirefu, kupanda fedha kwa moja

kwa moja katika ufalme wa Mungu. Kutoa kunakiwa kuwa ni jukumu la muda wote

nasio jambo la kujaribu tunapopata pesa za ziada na kwenda katika mapumziko.

Mtu wa tatu tunaye muibia kwa kutokutoa ni ndugu na dada zetu katika Kristo- mtu

ambae Mungu anataka ambariki kupitia wewe na mimi kwa jia ya kuwapati fedha zetu.

Tutakapingia katika Ufalme wa Mungu moja kwa mja tutakuwa tumeungamanishwa

katika kizazi kipya cha wanadamu walio na baba mmoja wa mbinguni na tutakuwa watu

wa Rohoni wote ndugu na Dada. Kupitia ushirika wa Ufaleme kwa utoaji, Mungu

ametoa muongozo kuhusu kile kitakacho fanya umaskini usiwe na sehemu kati ya

watoto wake na kazi ya kuhubiri injili popote kamwe haitakuwa ngumu itainuliwa kwa

kiwango cha juu. Kwa kutokutoa tunachelewesha mpango halisi wa Mungu na inaweza

kumzuia baraka za mmojawapo ambazo Mungu anapenda kututumia sisi kuhudumia

mahitaji ya mahangaiko ya ndugu na dada zetu.

Kwa mfano, tuseme mtu kutoka kanisa lako kwa uaminifu anaitikia mwito kuwa

umisionari kwa nchi injili sugu katika Afrika ya Kaskazini hii zimetolewa kwa kanisa na

mwito imethibitishwa na uongozi. Kama uamuzi huu kutuma nje kimisionari

zimetolewa kwa kanisa inaweza kuwa kwamba Mungu anaongea na watu 5 maalum

ambao ni mafanikio kwa kufanya ahadi ya msaada wa fedha kwa hii kimisionari.

Kimisionari inaweza kisha kuwasilisha maono yao kwa kanisa na wao kwa busara

kuwaambia watu kwamba wao si kwenda shamba ujumbe mpaka wao kupokea ahadi za

kutosha kifedha. Kama 2 tu kati ya watu 5 kufanya ahadi za kifedha basi fedha haitoshi

atakuja na mmisionari hawezi kwenda shamba ujumbe na injili haiwezi kuchukuliwa

ambapo haijawahi njema. Kama wewe si mtoaji , wewe ni kuzuia kuenea kwa injili na

kazi ya Mungu ni kuchelewa na una kuiba baraka kutoka kaka zenu na dada zenu.

Gharama zaidi kwa kutokutoa kwetu ni kwamba tunasaliti hisia ya kweli ya Mungu na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mpango wake wa kupeleka injili kwa makundi ya watu wasiofikiwa. Kwa kutokutoa, ni

tendo la kufunga kila kanisa, na kumchelewesha kila mchungaji na wakristo watenda

kazi, na kila nyumba yenye wito wa kimisionari toka katika shamba la umisionari na

kwa kila shule ya Kikristo iliyokaribu, Hosipitali na vituo vya yatima.Kwa kutokutoa

tunafikiri kwamba Mungu haistahiri pesa zetu tunaweza kusema kwamba tunaamini

katika mahubiri ya injili na kuona watu wakiokoka lakini kukatataa kwetu kutoa katika

kazi ya Mungu kunakuwa kunachanganya kile tunachofikiri tunakiamini .Endapo mtu

anachagua kutokutoa katika kazi ya Mungu basi Ufalme wa Mungu utalemaa ,Na iwapo

kila mtu atakuwa mkarimu katika utoaji Ufalme utakuwa na kuongezeka sana ,lipi kati

ya hya mawili unachagua kutenda?

Hatimae,gharama ya mwisho ya kutokutoa ni ukweli kwamba asiemtoaji humdhihaki

Mungu kwakutokutoa,kwa mfano,Galatia 6:7, 'Msidanganyike Mungu hadhihakiwi. Kila

mtu atavuna alichokipanda'. Mungu amesema katika neno lake kwamba ameweka sheria

ya rohoni ya wakati wa kuanda mbegu na mavuno na wakati wa kupanda na wa kuvuna

na kwakutokutoa tunamdhihaki Mungu kwa kukataa kile amesema katika neno

lake.Kwakutokutoa tunakuwa tunamwambia Mungu kuwa hatumhitaji katika fedha zetu

na hivyo sasa tunaweza kukataa kile anachosema kuhusu kutoa na kupokea ambacho

Galatia 6:7 inasema kwamba asietoa anajidanganya na kumdhihaki Mungu. Unaweza

usiote ukimdhihaki Mungu kwa sifa zako na ibada na maombi lakini maandiko

yanasema kwamba kwakutokutoa unamdhihaki Mungu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya El Salvador

6,276,023 ya watu , 97% ni wakristo Pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe ,

kanisa limekuwa vyema.

© www.operationworld.org

36. Dhamila Njema ya Kutoa

Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Mathayo 6:1-4

kariri Aya hii: 1Wakorintho 13:03 "Kama nikitoa mali zangu zote kuwapa maskini na

kujitoa mwili wangu uungue ,lakini pasipo upendo haifaidii kitu'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuwa na hakika kuwa tunatoa kwa dhamila

sahihi.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta kupitia maombi iwapo unatoa

kwa dhamila sahihi.

Kazi ya Dploma ya kuandika: Andika upande mmoja kuhusu kutoa kwa Dhamila

sahihi.

Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii:Kutafakari neno kwa neno kwenye Hii

Mstari: 2 Wakorintho 9:05

Haja ya kutoa kifedha katika kazi ya Mungu lazima sasa kuwa wazi sana na wazi na

sababu nyingi na faida ya kufanya hivyo lazima kuimarisha hoja kwamba swala la

kutokua kwa Mkristo ni suala la utata. Hata hivyo Biblia inaonyesha kwamba

tunapokuwa watoaji huenda pengine tunakuwa hatujafikia mapenzi ya Mungu katika

pesa zetu kama dhamila ya kutoa kwetu ilivyo ya muhimu. Kuna vitu maishani mwa

mkristo tunavyoweza kuvifanya na bado tuna weza kuvifanya kwa dhamila mbaya na

hiyo inahusiana na matoleo yetu ya fedha. Ukurasa huu unatafuta kuonyesha dhamila

sahihi na mbaya za kutoa na zitakuwa ni Nuru ili kuhakikisha kwamba matoleo yetu

yanaambatana na Dhamila safi.

Kwa huzuni, ni kwamba asili ya mwanadamu ni ile kufanya matendo mema kwa

dhamila mbaya na Biblia yenyewe inasema kwamba hii inahusiana na matoleo yetu ya

kifedha.

Kwa mfano :1 wakorintho 13:3 inasema,'nikitoa mali zangu zote na kuwapa masikini na

kujitoa mwili wangu uungue moto,lakini sina upendo,haifaidii kitu. Zaidi sana, Mathayo

6:2 Yesu anakemea wote wanaotoa na kupiga panda ili wapate sifa kwa watu.

Inaonekana kwamba dhamili zetu za kutoa ni muhimu kama kitendo cha kutoa

chenyewe na hakika tutafanya vyema kuzisimamia dhamili zetu za kutoa.

Bila shaka sababu muhimu ya kutoa ni kwamba tunatoa pesa zetu kwa Mungu kama

ishara ya upendo na ibada na kutambua kuwa ni Bwana na Mungu wa kweli na alie .

Tunaposhindwa kutoa pesa zetu kwa Mungu binafsi,na tunapotoa pesa zetu katika

Ufalme wake kwa ajili ya kuukuza,Mungu huitazama kana kwamba tumempa . Tunatoa

kwa ajili ya kazi tena,tunamtolea Mungu kwanza,tunatoa kanisani tena,tunamtolea

Mungu kwanza,tunatoa kwenye mikutano ya injili pia,tunamtolea Mungu kwanza.

Wakati unapokuwa sahihi kumwabudu Mungu kuoitia maombi,nyimbo na mitindo yetu

mizuri, tunahitaji pia kumwabudu Mungu kwa pesa zetu ni rahisi kwenda kanisani na

kumwabudu Mungu na wakati wa kipindi cha sifa na bado hiyo ni muhimu (blakini ni

ngumu) kwenda kanisa na na kumwabudu Mungu kwa matoleo yetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

2 wakorintho sura ya 8 na 9 ni hoja kubwa katika Biblia yote katika kutoa, Paulo

anayaamuru makanisa ya Makedonia kwa ajili ya kutoa na anaelezea ukweli kuhusu

kumtolea Mungu. Kwa mfano,katika ukurasa wa 8 mstari wa 5 Paulo anasema ,'

walijitoa wenyewe kwa Bwana na kwetu kul;ingana na mapenzi ya Mungu'.Pengine

Mungu hana hana hitaji la pesa zetu, bali kwa kutoa anatambua kuwa tumetoa kitu

ambacho ni chema kwetu na kumbariki Bwana. Wengi wtu tunafanya kazi sana kuhusu

pesa zetu – na si kwamba Mungu hatumbui hili na tunapompa sehemu ya pesa zetu za

ugumu hakika itmpatiam furaha kubwa.

Kama mimi na wewe tunaenda kuelezea upendo wetu kwaajili ya Mungu haitoshi

kuimba na kupata hisia nzuri katika mikutano yetu ya kanisa lakini pia tunapaswa kuwa

na haja ya kujitoa kifedha kwa Mungu. Nasisitiza kuwa sababu kubwa ya kutoa ni tendo

la ibada na kuabudu , ambayo inatangaza upendo wetu kwa Bwana. Kuna njia nyingi

zinazotuwezesha kumheshimu Mungu - kwa njia ya ibada , maombi, matendo na utii,

lakini kwa hakika utoaji wa fedha zetu ni moja ya njia kubwa ambayo inatuwezesha

kumheshima yeye. Kitabu cha Malaki ni kitabu cha mwisho cha Agano la Kale ambacho

kina mengi ya kusema kuhusu fedha , na ndani yake tunaona kwamba Mungu anataka

watu wake wamheshimu kwa dhabihu zao na utoaji wao. Tukirudi nyuma hapa tunaona

kwamba makuhani walikuwa wakitoa dhabihu walio kilema na walikuwa wnakataa

kumtolea Mungu dhabihu iliyobora katika sura ya 3 tunaona kwamba watu walikuwa

hawatoi zaka na hivyo walikuwa wakimwibia Mungu. Hivyo, katika mstari wa 6,

Mungu anaulizaswalilakuwasihi,

'Mwana humheshimu baba yake , na mtumishi humcha bwana wake. Basi, kama mimi ni

baba yenu, heshima yangu iko wapi? N akama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki

wapi?' Kwa hiyo, je! Si mbaya tunapo acha kumuheshimu Mungu zaidi kuliko, matoleo

yetu kumuheshimu yeye na wakrito wanokataa kutoa hawamuheshimu Mungu? Kama

anavyoonyesha Malaki , Mungu anataka heshima yetu, heshima na kicho na ameteua

kuwa moja ya njia kuu ya sisi kuelezea kwake ni fedha zetu. Kama Mungu ni muhimu

kwako na unataka kumuheshimu, mfuko wako wa kuwekiea fedha utakuwa na muundo

mzuri katika kutenda hayo. Ujuzi huu umeelezwa pia katika kitabu cha Mithali na

maandiko yote hapo chini yanaongelea ju ya kumuheshimu Mungu katika muundo wa

kutumia pesa zetu. 'Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko yako

yote.'Mithali 3:9. Mithali 14:31 "Bali yeye amuhurumiaye mhitaji humuheshimu.'

makusudi zaidi ya haki katika kutoa ni kutaka kuona Ufalme wa Mungu umesimama

duniani na unawagusa wale wote walio karibu nasi, kwa njia ya Injili na kwa kutoa

tunaipigania neema ya Ufalme wa Mungu. Tuna paswa kuwa watoaji ili tuone ukiroho

unakuwa katika katika frdha setu tulizopanda, na kuona kuwa fedha hisi zimebadilishwa

na kuwa ndani ya wokovu katika nafsi zilizo za thamani. Kumbuka kwamba Yesu

alisema katika Luka 16:9 , 'Nami nawaambia, jifanyieni rafiki kwa mali ya udharimu, ili

itakapo kosekana wawakaribishe katika makao ya milele.' hivyo utoaji wetu lazima

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ziwe ni fedha zenye kiwezesha kuwafikia watu waliopotea wanaume kwa wanawake

kwa njia ya injili na hatimaye kuona wao wanokolewa. Kwa nini kujisumbua kuwekeza

fedha yako katika hazina za ki duniani, katika mitindo za mahusiano ya kidunia?

Wekeza fedha yako katika nafsi zenye thamani za wanaume na wanawake, basi utoaji

wako uwe na kivutio kuona Injili inaenea duniani kote na kugusa watu wengi kwaajili

ya Mungu.

Kivutio cha tatu kwa ajili ya utoaji wetu ni kwamba tunapaswa kutoa ili kutimiza sheri

ya kupanda na kuvuna na kwa njia hiyo tutapokea aina nyingi za baraka, huu ndiyo

muundo wa baraka za Mungu, natutakuwa bora na kuwa na viwango vya kutoa ndani ya

Ufalme wa Mungu. Kama itakavyo fafanuliwa katika sura ifuatayo, ni makosa kutoa nila

kuona hata mavuno kidogo kurudi tunania ya kutumia ziada yetu kwaajili yetu

wenyewe , hakika huu utakuwa ni ubinafsi na matumizi mabaya ya sheria ya kupanda na

kuvuna. Hata hivyo, ni sahihi kabisa kwamba tunatazamia kupokea baraka kubwa zaidi

kutoka kwa Mungu ili tuzidi kuwa watoaji wakubwa katika kazi ya Mungu. Pia utakuwa

ni ubinafsi ka wewe hupandi mbegu katika kazi ya Mungu ili kuna baraka nyngi tofauti

za Mungu zikiachiliwa kwako zaidi kuliko ulivyofanya, kamwe hauwezi kuwa bariki

wele wote wewe uwabariki. Hivyo muhtasari hapa chini unaongelea nia tunayopaswa

kuwa nayo katika utoaji wetu na pia imeorodheshwa ili kuonyesha jambo la muhimu

kwa Mungu la kwanza, ni kufikishia Ufalme wa Mungu kwa wengine, la pili na

lamwisho, ni sisi wenyewe kubarikiwa na kuwa baraka kwa wengine. Kama tutatoa kwa

nia kama ilivyo hapao chini itatuhakikishia kuweka uwiano wa kuhakikisha kwamba

tunataka kubarikiwa sisi wenyewe na hata baraka kubwa kwaajili ya Ufalme wa Mungu,

kinyume na kubarikiwa kwa manufaa yetu wenyewe. Nia yako kwa ajili ya kutoa ni

muhimu kama kutoa kwaajili yako yenyewe na labda kama utasoma sehemuzote mbili

juu ya nia mbaya ya kutoa, itakuwa busara kuuliza nia yako ya kutoa.

NIA YA KUTOA

1) YA KUMBARIKI MUNGU: -1 Wakorintho 10:31 inasema, ' Mtendapo neno lolote,

fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.' hivyo tunapotoa tunatoa ili kumbariki Mung na

kurudisha utukufu kwa Mungu.

2) KUWABARIKI WANAOTUZUNGUKA:- Kutumia fedha zetu kujipatia marafiki

wetu binafsi (Luka 16:90 na hii ni sababu muhimu zaidi kuliko kutafuta kutoa ili

kubarikiwa wenyewe (angalia chini) kwa sababu Yesu alisema katika Matendo 20:32 '

Ni heri kutoa kuliko kupokea.

3) KUBARIKIWA SISI WENYEWE :- Si kwa sababu za ubinafsi bali kufikia kiwango

cha juu hata kuwa watoaji ndani ya kazi ya Mungu. Katika 2 Wakorintho 9:11, Paulo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

anawahimiza ndugu wakarimu katika Makedonia kwamba, 'Mkitajirishwa katika vitu

vyote mpate kuwa na ukarimu wote.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Guinea ya Ikweta

452,661 ya watu , waKatoliki ni wengi

Serikali ni mbaya, wa serikali , rushwa na kukosa maelewano katika kanisa

kunaumiza taifa. © www.operationworld.org

37. Nia Isiyo Sahihi Katika Kutoa

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1 Timotheo 6:3-5

Kariri Aya Hii: 2 Wakorintho 2:17 ' Kwa maana sisi si kama walio wengi, walighoshio

neno la Mungu kaajili ya faida.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Nikipi kilicho cha muhimu- Utoaji au Nia kwaajili

ya kufanya hivyo?

Jambo La Kufanya Kabla wakati Mwingine: Fikiria kama mahali / . Mtu unayetoa

kwake kamwe hana shinikizo la kutumia.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Kwa kumbukumbu ya maandiko na uzoefu binafsi ,

andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kulinda dhidi ya matokeo ya kushinikizwa

.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katik Aya Hii: 2 Petro 2:1-3

Labda kosa kubwa la motisha kwa ajili ya kutoa linatibu sheria ya kutoa, na kupokea ni

kama ' kupata utajiri wa haraka ' kusudi ambalo linafanya sisi kutafuta baraka za Mungu

kwa ajili ya tamaa zetu za kichoyo. Watu wanasikia juu ya baraka za Mungu na

mafanikio yake lakini cha ajabu hawasikii kuhusu madhumuni ya baraka zake, na

wanatafuta baraka za Mungu kama ndiyo mwisho wake. Hakika toa kadiri uwezavyo,

amini kadiri uwezavyo na uopokee kadiri uwezavyo lakini tafadhari uzuie baraka kwa

kadiri uwezavyo. Mungu anataka kukubariki ili uweze kuwa na baraka kama sababu tu

ya wewe kutoa na kupokea kutumia kaajili yako mwenyewe wewe ni mwenye ubinafsi

sana kwa kila njia unayotumia kutafuta baraka za Mungu - lakini pia uanataka kupitia

juu yake.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Nia Mbaya nyingine ya Utoaji ni wazo kwamba kama usipotoa, Mungu hatakufurahia

wewe na atatuma umaskini juu yako, kwa hiyo kwa kutoa kwako unanunua msamaha

wa Mungu. (Mfano wa hii ni pale Mchungaji anapowaambia mkutano wake kwamba

kama hawana zaka, Mungu atatuma magonjwa juu yao, na atachukua fungu la kumi

10% kutoka kwao kwa njia ya gharama za malipo ya kwa Daktari !) Upendo wa Mungu

kwetu hautegemei matendo yetu ( wala is kwa sbabu ya kwetu ) wala upendo wa

Mungu hauongezeki wakati sisi tunapomtolea. Inasemekana kuwa kabla ya wakati

baraka za Mungu zipo katika masharti ya utoajia wetu , upendo wake hauna mashariti

yoyote ya vitendo kwa upande wetu. Ni kesi kwamba maisha yatakuwa bora kwa mtoaji

na mkarimu kinyume na asiye toa, bali kwa kutokutoa tunajiondoa wenyewe kwenye

opareshini ya sheria ya Mungu ya kutoa na kupokea. Njia tunayopaswa kuitumia na

kutoa zaka zetu ni dalili zinazoonyesha i kwamba sisi tunaweza kutoa kwa nia mbaya.

Tumeshauriwa awali kuwa tunapaswa kuchukua tahadhari kubwa ya kuhakikisha

kwamba tunatoa zaka katika toka katika mapato yetu yote na kuhakikisha kuwa tunatoa

sehemu ya kumi %. Hata hivyo kama sisi tunatumia hata senti ya mwisho na bila kutoa

hata senti moja haionyeshi kuwa tunajaribu hata kutoa hata kiwango cha kinachotakiwa

cha sehemu ya kumi 10%. Kwanini usitoe sehemu ya kumi ya senti yako ya mwisho na

ndipo mzunguko mzima wa kiwango cha paundi 10 kwa kuonyesha roho ya ukarimu na

roho ya utayari na ili kufanya uhakika kuwa umekwisha fanya kuliko kiwango

kilichotarajiwa.Tumekwisha kuona katika baadhi ya nia mbaya kwa ajili ya utoaji wetu

kuna eneo lifuatalo ambalo ni muhimu linafafanua na kuna zaidi ya kuelezea juu ya hili.

Tangu kanisa lilipoletwa kwemye umakini huu, kumekuwa na wale walio katika uongozi

wa kikristo ambao wametumia nafasi zao kwa ajili ya kupata fedha – muonekano wa

uongozi kama kazi ya kawaida kinyume na nafasi ya wito na imekuwa ni njia kwa ajili

ya kupata fedha. Cha kusikitisha , kuna viongozi wengi wa kanisa ambao wanatumia

nafasi zao za mamlaka kufanya fedha na ustawi wa kiroho ni kwa ajili makutano na

kupanua Ufalme ina kwaajili ya secondari. Viongozi wa jinsi hii watazuia ueneaji wa

Ufalme na hawatajitajirisha kwa kulipwa na itokayo kwa watu wa Mungu.

Kwa mfano, katika 1 Timotheo 6:5 , Paulo anamuonya Timotheo juu ya waalimu wa

mafundisho ya uongo ambao, 'huku wakidhani ya kuwa utauwa ni njia ya kupata faida.'

Aidha katika 2 Wakorintho 2:17 Paulo analinganisha huduma yake na wele ambao

walikuwa wanahubiri kwa faida binafsi ya kifedha, kama asmavyo tena, ' Tofauti na

wengi hivyo , hatuwezi kuligwa neno la Mungu kwa ajili ya faida '. Aidha : 2 Petro 2:3

inazungumzia manabii wa uongo. anasema , 'Na Katika kutamani watajipatia faida

kwenu kwa maneno yaliyotungwa; 'Kuna mabo mengi ya kufanya ukweli kwamba

viongozi wa kikristo watatumia vibaya nafasi zao kuwaibia watu wa Mungu fedha,

Kwakulazimisha ,uongo, hatia na kubadilisha uongo kuwa ukweli,watu wanaweza

kulazimishwa katika kutoa fedha wakati sio kusudi la Mungu wao kufanya hivyo.

Pengine watu wanatakiwa kuelewa fursa za utoaji na mahitaji yaliyopo lakini kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

huzuni habari hii inaweza kutumika kupiga watu vichwani mwao ili kuwafanya wao

watoe. Biblia inaonya katika 2 wakorintho 9:7 kwamba tunatakiwa kutoa kwa furaha,

na si kwakushurutishwa,kila mtu atoe kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa

huzuni, wala si kwa lazima, maana Mungu humpenda yeye atoae kwa moyo wa

ukunjufu.

Ntuangalie mifano ya uongo iliyo kwa watu wa Mungu na viongozi wa kikristo. Fikiria

Mchungaji hazaa matunda na kanisani lake limedumaa na hivyo kuna pesa za kanisa

kwa ajili ya kuongeza nguvu sehemu yake na hapo analiambia kusanyiko kuwa kama

hawatatoa zaka zao kanisani Mungu hatawabariki. Mfano zaidi ni kiongozi wa kanisa

mwenye kupend kuwa na neno la kinabii ' kwa ajili ya kusanyiko ili kusababisha pesa

nyingi kwahiyo wanafanya mchango kwa ajili ya kanisa au kwa ajili ya kiongozi

mwenyewe. Kama mtu akikuambia ' Mungu ameniambi ni kuambie kwamba unatakiwa

utoe pesa ', kuwa makini na kutaka kujua kwamba wanakukudanganya.

Kwa huzuni, hata watu wenye huduma za televisoan wanaweza kutumia mbinu hizo

hizo za unyonyaji kutaka watu watoe. Kwa mfano wiki iliyopita walikuwa hewani na

kusema kuwa ikiwa wote wanaotazama hawatachangia katika huduma yao kuliko isivyo

kawaida watasitisha vipindi vyao. Mfano zaidi, ni kwamba ikiwa utatoa paundi 50

katika huduma makao makuu wataomba kwa ajili ya baraka za Mungu katika familia

yako. Zaidi,wanaweza kusema kuwa upako tofauti' katika huduma yao na hivyo

utapokea baraka tofauti'. Hatimae, wanaweza kuandaa sherehe kwa ajili ya wachangiaji

na kuthibitisha kwamba Mungu amewaonyesha kwamba kuna watu 5 katika chumba

wanaotakiwa kutoa paundi 1000 kila mmoja, kupitia uongo, na hatia, kwa mmoja

mmoja watapata faida.

Pengine huzuni kubwa na sehemu isiyo ya kawaida ya uongo wa viongozi wa kanisa

kwa ajili ya kutoa ni kwamba hufanikiwa sana, na kwa baraka za Mungu, hitaji la

kushiriki fursa ya kutoa, na mahitaji halisi ya watu wa Mungu. Wakati wachungaji na

wainjilisti wanapofanikiwa kwa uongo na wamisionari wenye hatia wanaorudi kutoka

katika kazi yao na kushirikiana hadithi za mahitaji makubwa na kujikuta wenyewe

nyuma ya mstari wakati watu wa Mungu wanafanikiwa. Badala ya wajane yatima,

wagonjwa , waliopotea na makundi ambayo hajafikiwa na kumwagiwa baraka

zimeibiwa kutika kwao kwa tamaa , viongozi wakristo waongo.

Hakuna shaka kwamba tunakiwa kuwa watoaji , lazima tuwe wepesi, wakarimu na

wenye mikono iliyofunguka kwa ajili ya kutoa wenye nia ya kutoa .Hata hivyo

tunatakiwa na kujua kwamba kweli tunampa mtu, kanisa au kwa sababu ni mapenzi ya

Mungu kwamba tufanye hivyo na si kwamba tunafanya hivyo kwasababu ya presha

inayokuwa imewekwa juu yetu. Wakolosai 3:15 inasema ,' amani ya kristo iamue

mioyoni mwenu' hili ni andiko zuri la kutumia kwa ajili ya utoaji, tunatakiwa turuhusu

amani, sio presha kutawala kutawala mioyo yenu wakati mnapo toa. Kama kila mkristo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

atatumia kanuni hii kwa ajili ya matoleo yao basi washindi watakuwa ni maskini

,wagonjwa na wahitaji na waliopoteza watakuwa ni wakristo wenye tamaa na wapotezaji

watakuwa viongozi wakristo wenye tamaa wanaoaibisha nafasi zao.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini Omba kwa ajili ya Eritrea

3,850,388 ya watu , Wakristo & Waislamu wote ni 47%

wameachana na vita na Ethiopia,ni makundi kadhaa ambayo hayajafikiwa. © www.operationworld.org

38. Njia za Baraka

Kika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Zaburi 75:6

Kariri Aya Hii: Wakolosai 3:23 'Lolote, mfanyalo lifnyeni kwa moyo, kama kwa

Bwana si kwa wanadamu.'

Baadaye Zungumzia Hili: Je, Wakristo ni watu walofanikiwa kataka ajira ulimwengu?

Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Mwingine : Wakati ujao wewe nenda kafanye

kazi ukufikiria kwamba Yesu ndiye Bosi wako

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Kwa mujibu wa Zaburi 1 inasema na kila tufnyacho

chochote kitafanikiwa, andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kufanya ili kufaulu

kwa ajili ya ahadi hii.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mhubiri 02:26

Katika sehemu ilioko katika sura hii kuhusu kuachiliwa kwa baraka za Mungu,

tukizingatia utapewa njia ambazo Mungu ataweza kutuwezesha kupitia njia hizo, na

mambo ambayo yanaweza kuzuia njia hizo. Hivyo baada ya kuanza mtindo wa maisha

ya kutoa tunaweza kutarajia vyanzo vya fedha kuonekana katika mifuko yetu au kuja

katika post? au tuna sehemu ya kucheza kwa ubatili wetu wenyewe katika neema ya

Mungu? Kamwe Biblia haijaahidi sisi kupata kpata utajiri wa harakaharaka, na wakati

kwa Mungu mambo yote yanawezekana, inaonekana kwamba zaidi sana tunasehemu ya

kucheza katika imani na kuona kuwa Mungu anainilia kati. Kumbukumbu 8:18

anasema, 'bali utamkumbuka Bwana Mungu wako, maana ndite akupaye nguvu za

kupata utajiri, ili alifanye imara agano lake alilo waaia baba zako kama hivi leo.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mzaburi katika 37 anaoroddhesha urithi mwenye haki anaweza kutarajia kufurahia, si tu

watakapofika mbinguni bali wakiwa hapa na wakati huu.

Aya ya 9 'Kwa waovu watakatiriwa mbali, bali wamtumainio Bwana watairithi nchi'

Aya ya 11 ' wapole watairithi nchi na kufurahia neema kubwa'

Aya ya 22 'Wale Bwana awabarikio watairithi nchi'

Aya ya 29 ' wenye haki watairithi nchi

aya ya 34 'Atawatukuza muirithi nchi'

Hata hivyo, Yesu mwenyewe anatangaza ukweli uleule kwa kina anaposema katika

mathayo 5: 5 'Heri wenye upole maana watairithi nchi'. Kadharika, watu wa Mungu

wasimwamini Mungu kwa ajili ya kazi nzuri, zenye mishahara mizuri na viwango – sio

kwasababu za kibinafsi lakini kuwa na ziada ya kutoa katika kazi ya Mungu. Je! Hayapo

makampuni mengi yanayoendeshwa na watu wasio wa Mungu na kuyaendesha kwa njia

zinazosababisha pesa na kwa tamaa kwa yote yanayofanywa na hakuna wazo kumhusu

Mungu? Kwanini watu wasio wa Mungu walipwe vizuri katika kazi na nafasi zenye

nguvu – Je! Watu wasiinuke kwa imanina kumwamini ili awakuze na kuirithi vitu vizuri

vya nchi. Mzaburi baadae anasema katika zaburi 75: 6 'maana siko mashariki wala

magharibi wala nyikani itokako heshima. Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humdhiri

huyu na kumwinua huyu.'

Zaidi,Paulo anaandika katika wakolosai 3: 23 'Lolote mfanyalo lifanyeni kwa

moyo,kama kwa wanadamu,mkijua kwamba mtapokea ujira wa urithi kwa Bwana.

Mnamtumikia kristo Bwana'. Linaweza likawa jambo kwamba wakati wasioamini katika

kazi zao wanaptafuta kupata vingi kadri iwezekanavyo, wakristo wanatakiwa kuwa

watahiwa wakuu kazini ili kupata kibali maofisini. Kama vile mzaburi anavyo sema,

Paulo anatumia neno urithi acha kanisa liachilie imani kwa ajili ya urithi huu na nafasi

nzuri na

utajiri wa ulimwengu huu utatiririka katika Ufalme.

Sulemani katika kitabu cha Mhubiri analeta ufahamu zaidi kwanza, anakubaliana na

wakolosai 3:23 inayosema katika 9:10 'Lolote mfanyalo lifanyeni kwa moyo,'. Jambo la

pili anasema 2:26 anasema, 'mtu ampendezae Mungu humpatia hekima, ufahamu na

furaha, lakini kwa waovu huwapa kazi ya kukusanya na kutwita mikononi mwa

mwenye haki'. Hebu tumwamini Bwana kwa ajili ya hekima,ufahamu na furaha katika

kazi yetu ya kuwinda na maamuzi yetu kielimu ili kwamba tupate kazi bora na waovu

kulipwa kidogo katika kazi (na hata hivyo watatwita katika mwili wa kristo )

Kwa nini wapagani wawapige watu wa Mungu katika kazi nzuri na katika kuweka

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

msimamo – hebu tuwawinde wapagani na kuwateka nyara mali zao kwa ajili ya kristo

na kuupeleka Ufalme kwa maskini na waliopoteza matumaini.Njia zaidi ya mafanikio

iko katika eneo la kuanza biashara mpya. Je1 watu wa Mungu wasitafute kuchukua

masoko yenye hisa za makampuni mengi yanayoendeshwa kwa tamaa na faida nasio

kwa ajili ya Ufalme wa Mungu?

Tunapoongelea wote wanatafakari juu ya ahadi za Mungu, mzaburi anasema katika

zaburi ya kwanza 'ni kama mti uliopandwa katika vijito vya maji ya uzima, uzaao

matunda kwa majira wala jani lake halinyauki. Kila alitendalo hufanikiwa'. Yakobo

anafunu baraka zilezile kwa wote wanaotafakari kuhusu ahadi za Mungu anaposema

katika Yakobo 1;25, 'Atabarikiwa kwa kila alitendalo'

Hakika ni wakati kwa ajili ya biashara ya Kikristo kuinuka ulimwenguni kwa ufahamu

kwamba chochote wafanyacho kitafanikiwa na kubarikiwa na Mungu. Pesa zitahama

kutoka kwa wasio na Mungu na makampuni yasio aminika kwa makampuni

yanayoendeshwa kwa maono ya kuuimarisha Ufalme wa Mungu duniani. Matakwa ya

Mungu ni kwa kila aaminie ahadi hizi nzuri na kubwa . Umekwisha ona katika mfano

wa kabaila katika luka 19: 13 kwamba watumwa wa bwana waliambiwa 'kuweka pesa

hizi katika kazi'? Roho Mtakatifu ametumwa kwa ajili ya kuwaongoza waamini katika

kweli yote na kuwafundisha kuhusu yajayo (Yohana 16:13). mwamini yeyote

anaemfanya Roho Mtakatifu rafiki yake mkuu katika kampuni yake kutakuwa na

udhihirisho wa mafanikio

Eneo lingine zaidi la mafanikio ambalo Mungu analitumia ni kufanya maamuzi chini ya

ouongozi wa Roho Mtakatifu. Kwa mfano,wakati mwingine utakapotaka kufanya

maamuzi makubwa kwa ajili ya kununua kitu kama nyumba, gari,baiskeli, au mashine

ya kufuria -kwanini usiombe kuhusu hilo na kumuomba Mungu akuongoze kwa nguvu

za Roho Mtakatifu katika bei nzuri.Hebu na tumwamini Mungu kwamba tutanunua

nyumba sahihi ambayo itaongezeka thamani haraka kuliko zote zilizo kuwepo, na kwa

ajili ya gari na mashie ya kufuria itakayodumu kuliko zote zilizokuwepo, na kwamba

atatuweka mahali sahihi kwa wakati sahihi kupata thamani ya pesa kwa kile

tunachotaka kutumia.

Kumbuka kwamba wana wa Israel walitangatanga kwa muda mrefu nyikani lakini nguo

zao na viatu vyao havikuchakaa, tunaweza tusimwamini Mungu kwamba vitu

tunavyonunua havitadumu kwa muda mrefu na ni bora tusifikiri kuhusu uongozi wake

katika kufanya maamuzi? Kwa mfano,ndugu mmoja alipanda mbegu kisha

zikaoza,akenda katika neno la Mungu kuhusu ahadi ya kila alitendalo atafanikiwa na

kupanda tena mbegu na kuimuru izae matunda na baadae ilitoa mazao. Pengine baadhi

yetu tunatakiwa kuombea magari yetu,biashara,kuombea mifugo yao, kuombea ardhi

yetu na mazao yetu na kuyaamuru kubarikiwa na kufanikiwa kwa jina la Yesu. Tamka

maneno ya Roho na uzima kwao na hiyatakuwa na mjadara bali mema ya Mungu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Njia nyingine ya mafanikio ambayo makanisa mengi ya magharibi hayataki kusikia ni

kumruhusu Mungu kubadilisha matakwa yetu ili kwamba tuwee kuishi maisha halisi

zaidi na na yenye mitindo ya gharama. Ni watu wangapi wanaoenda kanisani na

kumwimbia Yesu nyimbo kwakuwa kila kitu wanachohitaji na bado kwa siri

hawajihusishi na Yesu bali wanatka maisha yenye mitindo ya maisha vilevile!

Kwakumruhusu Mungu kubadilisha matakwa yako na kumwacha aorodheshe maeneo ya

tamaa katika maisha yako kunaweza kuachilia pesa nyingi, ambazo badala ya kuzitumia

katika mambo ya dunia hii zinaweza kutumiwa katika kazi ya Mungu.

Eneo moja la mwisho ambalo kila mmoja katika Ufalme wa Mungu akilitendea kazi

aweza kuwa na faida zisizoaminika ni eneo la kutunza pesa baina ya ndugu waamini.

Kwa mfano, kuna kadri ya wakristo bilioni duniani wenye pesa nyingi – je!kwahiyo

tusitafute kadri kazi iwezekanavyo na kufanya biashara baina yetu na kuwaachia kodogo

iwezekanavyo wasio na Mungu? Kama utahitaji gari jipya kuna mkristo anae husika na

magari unaweza kumwendea? Kama unahitaji kompiuta basi kuna kampuni ya

kompiuta ya mkristo unaweza kumwendea? Kwanini usipende kufanya biashara na

kampuni la mkristo mara nyingi uwezavyo na kuweka pesa nyingi iwezekavyo kwa ajili

ya Ufalme. Sehemu hizi mbili natumaini zimekuchochea ili kumtazamia Mungu

kukupeleka katika baadhi ya maeneo. Kuna mashaka mengi zaidi, kwahiyo endelea

kutazama na kumtarajia Mungu kufanya kazi kwa namna ya ajabu kukubariki na

kukufanikisha.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Ethiopia

62,564,875 ya watu , 65%ni wakristo

Kanisa linakuwa kwa nguvu lakini waislamu wanaipeleka nchi katika uislamu

© www.operationworld.org

39. Vizuizi Vya Baraka

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mithali 11:24

Kariri mstari huu: Waebrania 6:12 ' Iga wale ambao kwa imani na uvumilivu walirithi

kutokana na ahadi '

Baadaye Zungumzia Hili : Yesu anapozungumza kuhusu kuwa mwaminifu kwa vitu

vidogo, hilo linaonekanaje maishani mwako.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine :Ikiwa Mungu amekuonyesha kitu

kinachozuia baraka katika maisha yako, hakikisha unakiondoa.

Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika upande mmoja kuhusu namna tunavyoweza

kupoteza mavuno ya kifedha.

Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya hii: Wagalatia 6:9

Baada ya kuonA katika sehemu ya awali baadhi tu ya njia na njia ambazo Mungu

anaweza kutumia kutufanikisha, sehemu hii tutaangalia baadhi ya mambo ambayo

yanaweza kuzuia na kuchelewesha mambo mema ya Mungu kuja kwetu. Kama katika

sehemu iliyopita hakukuwa na vizuizi katika njia zote ambazo Mungu anaweza kutumia

kutufanikisha, sehemu hii pia haizuii kila eneo linalofungwa. Eneno hili ni muhimu kwa

kila wanaosoma hapa Roho mtakatifu awafafanulie. Imekwisha elezwa toka mwamnzo

kuwa Milele Mungu amekusudia kubariki na kutuinua na kama hatutaona hili lina tokea

ndipo tatizo kwetu, si Mungu. Kama hujawahi kuona utosherevu wa mema ya Mungu

katika maisha yako, basi badala ya kuomba kwa Mungu akubariki (jambo ambalo yeye

tayari alisema atafanya ), kwa nini usiombe na kumusihi Mungu akuonyeshe ni kitu gani

kinachozuia hizo baraka.

Sababu nyingine kubwa inayofanya watu wanazuiliwa utosherevu wa Mungu katika

maisha yao ni kwamba wao si waaminifu katika utoaji wao. Wanataka mavuno lakini

hawajawahi kupanda mbegu, wansubiri meli yao ije lakini wala hawajawahi kuituma

iende inje katika nafasi ya kwanza, wanasubiri mkate wao uje juu ya maji wakati

hwajawahi kuwatupia katika nafasi ya kwanza! Limetimia neno lisemwalo Mkristo

asyetoa hana biashara ananun'gunika kwa Mungu kuhusu ukosefu wa fedha. Mithali

11:24 inasema ' Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi.' kuna azuiaye pasipo haki

lakini huelekea uhitaji.' Muamini yeyote ambaye haiawahi kutoa, amezuia zuio la fedha

za Mungu amabazo zingemrudia yeye, kweli hawana sababu ya kulalamika kama

maishani mwao wamechagua umaskini. Eneo zaidi la kufikiria kuhusu nia kwa ajili ya

utoaji ni eneo la upendo, ni sisi kuwapa watu kwa upendo wa kweli kwaajili ya Mungu

na upendo kwa watu tunao watumikia ? au mara nyingine tena ni kama tu nje ya wajibu.

Kwa mfano, katika Luka 11:42 Yesu inaonyesha hii kuhusu Mafarisayo anaposema, 'Ole

wenu mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na

huku mwayaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu.' kwa kweli katika

1Wakorintho 13:3 , Paulo anafanya tamko lenye nguvu juu ya haja ya kutoa kwa

upendo wa Mungu ndani ya mioyo yetu anasema, 'Tena nikitoa mali zangu zote

kuwalisha maskini, tena nikajitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo ,

hainifaidii kitu ' Utoaji wetu ni muundo wa kila mara na ufanyika kila Jumapili , au ni

ishara halisi ya upendo wetu kwa Mungu na kwa wale wanaotuzunguka ambao

watafaidika kutokana na utoaji wetu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Sababu nyingine inayoweza kumfanya mtu asiweza kuwa kufikia ukamilifu wa

mafanikio ya Mungu ni kushindwa kuchunguza sheria ya muda wa upandaji mbegu na

muda wa mavuno. Kwa mfano, Mwanzo 8:22 inasema kwamba sheria ya muda wa

mavuno haitaachwa, lakini labda watu wa Mungu wamekuwa wapuuziaji. Kwa mfano,

haitakuwa ajabu kama mkulima alipanda mbegu zake na kisha asubuhi ifuatayo

anakwenda kutafuta matunda? Wazi ni kwamba kuna wakati wa kupanda na wakati wa

kuvuna. Labda wewe umepanda mbegu kwa Mungu na bado hujapokea mafuno yako,

uendelee kuamini kwa sababu si tu ni sheria kwamba mavuno atakuja, lakini yanaweza

kuwa yapo karimu sana! Aidha Wagalatia 6:9 anasema 'Tena tusichoke katika kutenda

mema, maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimi roho.' mambo matatu zaidi

yanaweza kufikiwa kutokana na andiko hili kuthibitisha kike kilichosemwa awali.

Kwanza, haisemi tunaweza au wanaweza kuvuna mavuno , maandiko yatambua

mavuno kwa sababu kama umetoa utapkea, sheria inayoendesha utaratibu huu ni ya

kweli kama ilivyo sheria ya nia. Pili, inataja uhalisi wa muda - tena kumbukumbu ya

misimu ya nyakati na mavuno, kupanda na kuvuna na haja ya kuheshimu kipengele cha

wakati husika. ( Waebrania 6:12 inaonyesha kwamba tunarithi ahadi za Mungu kwa

imani na uvumilivu na Warumi 8:25 inazungumzia vile vile). Mwisho, anamtamka

tusikate tamaa na hivyo haja ya kuendelea na kudumu katika imani na kuwa na

matumaini ya mavuno toka kwake imewekwa mbele yetu. Nasema tena, kama umetoa

na bado hujapokea mavuno yako uendelee kuamini na kuendelea kutoa, mavuno hakika

yatatokea.

Zekaria 4:10 hutoa ufahamu zaidi katika kile kinachoweza kuzuia utimilifu wa

mafanikio ya Mungu katika maisha yetu na kwamba hili ni eneo la kudharau siku ya

mwanzo mdogo. Kwa mfano , unaweza kuwa umetoa na yakaonekana mavuno kidogo

sana na hayatoshi, na wewe unliamini katika Mungu kuona mavuno mengi zaidi. Hata

hivyo, jinsi gani wewe uliitikia katika hili? kwa kushukuru na shukrani au ulikuwa

aliyeidharau siku ya mwanzo mdogo na kulalamika? Kama hutashukuru mavuno

kidogo pengine hutashukuru na mavuno makubwa. Kutokuwa na shukrani kwa Mungu

hakutaruhusu ukamilifu wake, katika: 1 Wathesalonike 5:18 anasema Shukuruni kwa

kila jambo. Sababu nyingine kwa nini baadhi ya watu tu kuonekana sehemu ya mavuno

na hakuna zaidi ni njia ya wao kuwa na kubebwa nini fedha wameona kuja nao . Kwa

mfano, badala ya kutumia busara kutoa hata zaidi katika kazi ya Mungu na kutumia

busara ili kukidhi mahitaji yao wenyewe , imekuwa ni kutumia katika ubinafsi katika

mapenzi ya mungu wa dunia. Yesu anaonya katika Luka 16:10 "Aliye mwaminifu katika

liliodogo sana, huwa mwaminifu katika lililokubwa pia; na aliyedhalimu katikika lililo

dogo huwa dhalimu katika lililokubwa pia. 'Labda watu wa Mungu wanatakiwa

kuangalia tabia ya matumizi yao na kuona kama wao ni waaminifu katika kidogo

wapacho, ambayo kwa kurudisha atawaongoza wapewe vingi. Kama tutakuwa na

ubinafsi na fedha zetu na hatuangalii utaratibu wa kuwekeza katika kazi ya ufalme wa

Mungu basi labda baraka za Mungu zitakwenda kwa mtu mwingine ambaye itatumia

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

busara kwa kuwafikia watu kwa injili. Mwisho sababu kubwa inayofanya kwamba

baadhi ya watu wa Mungu hawana kiwango cha juu cha mafanikio ni kwamba inaweza

kuwa ni uharibifu wa tabia za kiroho katika neema yake na rehema, Mungu anajaribu

kuwaokoa kutoka hii. Methali 10:22 inasema 'Baraka za Bwana hutajirisha na anaongeza

wala hachanganyi huzuni nayo.' Kwa baadhi ya Wakristo, ustawi wa Mungu unazuiwa

kutokana na nia mbaya au ukosefu wa tabia za uadilifu au kutokana na ukweli kuwamba

tabia hizo zinawaongoza mbali na Mungu. Yakobo pia anaongea juu ya eneo hili

katika Yakobo 4:3 "Walai mwaomba, lakini hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili

mvitumie kwa tamaa zenu', katika mwanga katika hili tunatakiwa kuwa makini

kuchunguza tamaa zetu na nia ya kumwamini Mungu kwa ajili ya mafanikio.

Tumeona hapo awali kwamba wakati wana wa Israeli walipokuwa karibu kuingia katika

nchi ya ahadi , walikuwa wanonywa mara kadhaa na Mungu kwamba mambo mema na

mafanikio yao wanayoweza kufurahia yanaweza kuwa chanzo cha kusababisha wao

wamsahau. Je! Labda wewe unatafuta baraka za Mungu zaidi kuliko kumtafuta Mungu

mwenyewe? wakati Mungu wakati wote huwa anataka kutu bariki sisi, hatumtafuti yeye

kujua yeye ni nani na kwa jinsi gani anaweza kutupatia. Ukweli ni kwamba, wakati

tunapokuwa tumekomaa, waaminifu na imara katika uhusiano wetu na Mungu tutaona

utimilifu wa baraka zake lakini ni katika maana ya wakati, katika huruma na upendo

wake anasubiri kutupatia ili isiwe uharibifu kwetu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Fiji

816,905 watu , Wakristo ni wengi lakini asilimia 33%. ni wa Hindu.

Ukuaji wa kanisa umesababisha ukuaji wa makundi ya pembezoni. © www.operationworld.org

40. Ahadi ya Fedha na Neno la Mungu

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 2 Wakorintho 9:6-10

Kariri Aya Hii: Luka 6:38 ' Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa na

kushindiliwa na kusukwa sukwa hata kumwagika ndicho watu watachowapa vifuani

mwenu.'

Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inasema zaidi kuhusu kutoa kuliko

kupokea?

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kariri maandiko maatatu 3 hapo

chini.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika baraka zote ambazo zimeorodheshwa katika

Zaburi 112 na kile asemacho unatakiwa kufanya ili kuzianzisha.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Zaburi 112:5

Maandiko yanazungumzia mpango kamili juu ya fedha na daima maandiko yanatoa

mtirirko linganifu kati ya Utoaji wa fedha na kupanda mbegu. Tunapotoa fedha kwaajili

ya kazi ya Mungu inalinganishwa na kupanda mbegu katika ardhi, na tunapopokea fedha

toka kwa Mungu inalinganishwa na kuvuna mavuno. Hapa chini ni baadhi ya maandiko

ambayo ni ya msingi juu ya fedha na mandhari inayopelekea kujua muda na yote

yaonyesha utoaji wa fedha- na yanaonyesha upokeaji wa fedha na baraka nyingi kwa

muda mwingi. Utoaji wa fedha ni jukumu letu, kutupatia baraka za fedha ni jukumu la

Mungu, na maandiko hapo chini yanapozunguzia zaidi juu ya kupokea kuliko kutoa

inaonyesha kuwa Mungu anachukua jukumu lake kutubariki kwa umakini sana.

LUKA 6:38 :- TOA

* Nawe utapewa

* Kipimo cha kujaa

* Na kumwagika

* Na kushindiliwa

* Na kusukwasukwa

* Ndicho watu watakacho wapa vifuani mwenu.

2 Wakorintho 9:6-8 : -

APANDAYE KWA UKARIMU ATAVUNA KWA UKARIMU

* Mungu anawezo kufanya utimilifu wa neema yote kwako

* Hivyo kwamba katika mambo yote

* Wakati wote

* Kupata yote yale unayoyahitaji

* Nawe utafanikiwa katika kila kazi njema

2 Wakorintho 9:9 : - AMETAPANYA, AMEWAPA MASKINI

*Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda na mkate uwe chakula

* Atawapa mbegu za kupanda na kuzizalisha.

* Naye atayaongeza mazao ya haki yenu.

* Mkitajirishwa katika vitu vyote

* Mpate kuwa na ukarimu wote.

Malaki 3:10 :- Leteni zaka kamili GHALANI ili kiwemo chakula katika nyumba yangu

* Mkanijaribu kwa njia hiyo, mjue kama sita wafungulia madirisha ya mbinguni

* Na kuwamwagieni baraka hata pasiwepo nafasi ya kutosha, au la.

* Nami kwaajili yenu,nitamkemea yeye alaye wala hataharibu mazao ya ardhi yenu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

* Wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake.

ZABURI 112:5 : -

HERI ATENDAYE FADHILI NA KUKOPESHA

* Kwa maana hataondoshwa kamwe.

* Mwenye haki atakumbukwa milele

* Hataogopa habari mbaya

* Moyo wake u imara , ukimtumaini Bwana.

* Moyo wake umethibitika hataogopa

*Hata awaone watesi wake wameshindwa.

* Amekarimu na kuwapa maskini

* Haki yake yakaa milele

* Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.

Katika maandiko yote ya hapo juu , kwa kila wakati kutoa kunatajwa, kuna uthibitisho

mwingi juu ya kupokea kwa wingi kama ulivyo mfano wa kibiblia juu ya kupanda na

kuvuna kama inavyotumika katika fedha zetu. Kwa kuwa kuna uthibitisho mwingi zaidi

juu ya kupokea kuliko kutoa katika maandiko ya hapo juu, Je! ha ionyeshi jinsi moyo

wa Mungu unavyotuheshimu sisi kuliko sisi tunavyomuheshimu yeye? Kwa nini

tusianaglie tena katika maandiko ya hapo juu kuona uthibitisho kutoa na uthibitisho

zaidi juu ya kupokea, Mbona si kuangalia tena katika maandiko hapo juu kuangalia

marejeo ya kutoa na marejeo mengi zaidi ya kupokea, Je! Haita endeleza uhakika katika

wema wa Mungu?

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Gabon

1,226,127 watu asilimia , 77% ni waKikristo - Uislamu unaongezeka kwa kasi zaidi.

Rais kawa muumini wa Kiislamu , Kanisa lina nguvu kwa idadi lakini ni dhaifu

kwa kina. © www.operationworld.org

41. Kupanda Mbegu Za Kiroho na Za Kifedha

Katika Biblia Yako Soma Hpa Kwa sauti: Zaburi 1

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kariri Aya Hii: Methali 3:1 ' Usisahau mafundisho yangu ,bali tunza amri zangu

moyoni mwako,maana zitakuongezea wingi wa siku,na miaka ya uzima na mafanikio'

Baadaye Zungumzia Hili : Taja njiaza kupanda mbegu za kiroho na za kifedha.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : panda mbegu za kifedha na za

kiroho.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mmoja kuhusu sababu zilizotolewa

katika mfano wa mpanzi (Marko 4:1-20 ) zinazosababisha watu kupoteza mavuno yao.

Tafakari neno baada ya neno katika aya Hii: Isaya 55:10

Kama waumini , tunatakiwa tutafute mtindo unaolingana na kile Biblia inachofundisha

na hasa , kile ambacho Biblia inafundisha kuhusiana na fedha zetu. Ssehemu ilyopita

ilionyesha kuwa Biblia inaongelea sana kuhusu baraka kuliko kutoa kama vile mkulima

anavyovuna zaidi ya vile alivyopanda, kwa hiyo inakuwa hivyo hivyo kwa kila andiko

kwahabari ya matoleo ya kifedha kwamba ni lazima kuwepo na kupokea zaidi kifedha.

Biblia inaongelea kuhusu aina mbili ya mbegu ambazo tunaweza kupanda kama

waamini ya kwanza ni neno la Mungu na ya pili ni fedha na sehemu hii itatazamia

namna ya kupanda aina mbili ya mbegu na kwa utaratibu gani.

Moja kati ya vitu vya pekee katika Biblia ni kwamba inafanya muonekano wa tofauti

binafsi na kuahidi kuwa wote wanaoishi kwakufanya kile inasema wataona maisha bora

zaidi. Pia maandiko hapo chini yanaongelea sababu na matokeo yatakayotokea kwa

mkristo yeyote kama vile, kwamba ikiwa watafurahi, na kutamani kuishi kwa neno la

Mungu, watasbarikiwa na Mungu . Nakiri matokeo hayo yayo katika maandiko hapo

chini ikiwa kwanza utalitumia neno la Mungu katika maisha yako, basi utajua baraka za

Mungu (hebu angalia namna maneno kama Mafanikio ,ustawi na baraka yalivyotumika).

Zaburi 1 'Lakini furaha hii i katika sheria ya Bwana na sheria yake huitafakari mchana

na usiku. Yeye ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji , unaozaa matunda yake

kwa majira na ambao majani hayanyauki . Chochote afanyacho hufanikiwa'

Mithali 3:1 ' mwanangu , usisahau mafundisho yangu , Bali moyo wako uzishike amri

zangu.maana zitakuongezea wingi wa siku,na miaka ya uzima na mafanikio.

Yoshua 1:8 "Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako bali kitafakari mchana

na usiku,ili uweze kufanya kulingana na yote yaliyoandikwa humo. Maana ndipo

utakapo ifanikisha njia yako kisha ndipo utakapo stawi sana'

Yakobo 1:22 'Lakini iweni watendaji wa neno wala si wasikilizaji tu,hali mkijidanganya

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

nafsi zenu. Kwasababu mtu akiwa msikilizaji wa neno tu, wala si mtendaji,mtu huyo ni

kama mtu anaejiangali uso wake katika kioo maana hujiangalia,kisha huenda zake,mara

akasau jinsi alivyo.

Kadharika kwa ajili ya Nuru ya maandiko hapo juu, ikiwa tunahitaji mafanikio, ustawi

na baraka katika fedha zetu basi ni lazima tutende kulingana na Biblia inavyosema

tutende. Cha kusikitisha, wakristo wengi wanahitaji baraka zinazotamkwa katika biblia

lakini hawataki kufanya Mungu anavyotaka na hata hivyo hukataa kutoa kwa ajili ya

kazi ya Mungu. Hakika hakuna njia ya mkato kwa ajili ya baraka ambazo biblia

inazungumzia – na kama tunahitaji kujua baraka za Mungu intubidi tufuate za Mungu

kama zilivyowekwa katika maandiko. Baina ya mambo mengine mengi, Biblia ni kitabu

chetu cha mkononi kilicho na dhana zilizowekwa wakfu na Mungu kwa ajili ya mambo

yote ya kifedha.

Kuna wajibu mkubwa kwa kila mkristo binafsi tena kufuatiliwa vyema na kuhusishwa

na Biblia na ikiwa tunahitaji baraka za kifedha kwa ujumla, tunahitaji kujua ni nini

Biblia inasema kuhusu fedha.Watu wanasema kuwa ujinga ni kaburi katika Ufalme wa

Mungu,ujinga utakuua (Hosea 4:6 inasema 'Watu wangu wanaangamia kwakukosa

maarifa' kwahiyo ni muhimu kujisahihisha na kutafuta kufahamu mtindo hasa wa

Mungu na sheria zake. Swali zuri la kujiuliza ikiwa imani yako ni dhaifu kwa ajili ya

fedha ni kujiuliza kuhusu idadi ya maandiko ya kifedha uliokariri. Biblia katika maeneo

kadhaa yanahusiana na maneno yaliyo ndani yake kama mbegu na tunpoendelea

kufahamu zaidi Biblia kupitia kusoma, kutafakari,kusikiliza na kukumbuka,- Biblia

inahusiana na huku kupanda mbegu.

Kwa mfano kati ya mifano mikubwa ya Yesu ulikuwa ni mfano wa mpanzi yeye

mwenyewe alitangaza katika Marko 4:13 kwamba ikiwa hamlewi maana ya mfano huu,

hamtaelewa namna Ufalme wa Mungu ulivyo,' Ikiwa hamuelewi mfano huu

mtayaelewaje na yale mengine?. Hata hivyo,mfano wa mpanzi ni wa mhimu sana na

moja ya maudhui ya mfano huo ni kwamba Neno la Mungu ni kama mbegu ipandwayo

mioyoni mwa watu . Maana zaidi ya neno la Mungu kuwa kama mbegu watu wanaweza

kupanda mioyoni mwao ni Isaya 55:10 'Kama vile mvua ishukavyo na thaluji

ishukavyo kutoka mbinguni,wala hairudi huko;bila kuinyeshea ardhi na kuizalisha na

kuichipuza,ikampa mtu apande mbegu na mtu alae mkatendivyo litakavyokuwa neno

langu litokalo katika kinywa changu'

Kwahiyo aina ya kwanza ya mbegu tunayopanda ni neno la Mungu – kupitia ufahamu

wa maandiko yanavyosema kuhusu fedha tutajiweka katika marisho mazuri, kwa ajili ya

kupanda aina ya pili ya mbegu ambayo ni mbegu ya kifedha. Kwakupitia neno la Mungu

mioyoni mwetu tutapata marifa kuhusu kupanda na kuvuna,kutoa na kupokea. Hili

litatuweka mahali pindi tutakapoanza kutoa kifedha hivyo twaweza kushinda hofu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yoyote na mashaka, na tunaweza kutarajia kwa ujasiri aina nyingi za baraka za Mungu

anapotuheshimu kwa kumheshimu

Si kwamba tu tunahitaji kupanda kwa utaratibu sahihi (mbegu za kiroho na pia mbegu za

kifedha),lakini pia tunahitaji kupanda aina zote mbili za mbegu – huwezi kupanda aina

moja na kuacha nyingine ili kujua utimilifu wa za Mungu. Kwa mfano, unaweza kujua

yote biblia inasema kuhusu kutoa na kupokea na kupanda na kuvuna bali ikiwa huta

piga hatua kwa imani na kuanza kutoa basi ahadi zote za biblia hazitan tenda kwako.

Kwa upande mwingine, ikiwautapanda mbagu ya kifedha na kutoa kila wakati na

kutokuelewa shauku ya Mungu kuhusu kuvuna kile umempandia, hutakuwa na imani au

tarajio la kuona mpenyo wa kifedha kwasababu pasipo imani (itakayoinuka kwakutoa

mbegu za kiroho) hutapokea kutoka kwa Mungu (waebrania 11:6).

Yaliyoorodheshwa chini ni aina mbili za mbegu tulizozitamia

DHANA YA KUPANDA MBEGU

Matoleo ya kifedha (pesa)

Kumbukumbu za kiroho na Ahadi za kibiblia

Nyumba ya Maombi kwa ajili ya mataifa masikini

Omba kwa ajili ya Gambia

1,305,363 ya watu,88% ni waislamu

Uislamu umeng'ang'ania na kanisa linakuwa kwa shida licha ya uhuru wa

kuhubiri Neno.©

© www.operationworld.org

42. Sheria Za Mavuno Katika Biblia yako soma Hapa kwa sauti: Galatia 6:7-10

Kariri Aya hii: 2 Wakorintho 9:6

Kumbuka Neno hili :Apandae haba atavuna haba ,apandae kwa ukarimu atavuna kwa

ukarimu'

Baadae zungumzia Hili: husishaneni shuhuda ulipokuwa umetoa na kupokea.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Jambo la kufanya wakati mwingine: Nunua paketi ya mbegu na uzipande na

uzichukulie kama ni fedha zilizo pandwa.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika kwa upande mmoja juu ya namna sheria

zinavyotumika katika fedha kama katika mazao.

Tafakari Neno kwa Neno katika Aya Hii: Mithari 11:24

Unapotoa fedha,Biblia inalinganisha na kupanda mbegu na kama vile maandiko chini

yanavyoonyesha. Kama vile sheria zinavyotumika katika mazao na mavuno ndivyo

ambavyo sheria zinavyotumika katika mbegu za kifedha na mavuno ya kifedha. Sehemu

hii itahusisha kati ya sheria za asili na sheria za kiroho za kupanda na kuvuna na kusudi

si kutupeleka kisasa zaidi – kuna mahusiano yanayoweza kuwekwa.

Galatia 6:7 'Msidanganyike. Mungu hadhihakiwi. Kwakuwa apandacho mtu ndicho

atakachovuna'

2 wakoritho 9:6 'Apandae kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu'

Sheria zinazoendesha hali ya hewa tunazijua au hatuzijui

Mwanzo 8:22 inaonyesha kuwa sheria za asili za wakati wa kupanda na kuvuna daima

zitabaki katika ulimwengu wa asili.

Kadhalika,kupanda na kuvuna na kutoa na kupokea ni sheria za kifedha ambazo daima

zitatawala ulimengu wa roho. Kutokuzielewa sheria hizi itakuwa ni kwa ajili ya hasara

yetu Hosea 4:6 inasema , 'watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa' Sheria huongoza

kila mtu na hutumika kwa wote. Ikiwa mkulima tajiri na mkulima masikini watapanda

kiwango kilekile cha mbegu katika udongo uleule watapata kiwango sawa cha

mavuno.ikiwa mtu mme mkulima na mtu mke mkulima watapanda kiwango sawa cha

mbegu watapokea kiwango sawa cha mavuno. Ikiwa mkulima mweusi na mkulima

mweupe watapanda kiwango sawa cha mavuno watapokea kiwango sawa cha mavuno.

Sheria za kupanda na kuvuna hazitendi kazi kwa rangi au jinsia hutenda kazi kwa kila

anaezitumia.

Kaa katika sheria nanyi mtabarikiwa.Kiwango kidogo cha ufahamu wa sheria

hakitasaidia kusababisha mavuno kuja kwako ,sheria za kupanda na kuvuna ziko kwa

ajili yetu kukaa kwazo na kubarikiwa kwazo.Sheria za kupanda na kuvuna hazipo kwa

ajili ya kutuzuia bali zipo kwa ajili ya faida yetu,inabidi tuzitumie ili zitende kwa ajili

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kibali chetu.

Usipopanda chochote hutavuna chochoteSauti hii ni ya kawaida ila haistahili kutamkwa!

Bado kuna makundi ya wakristo ambao hampi Mungu hata hela na bado wanasal,

wanatabiri,ombaomba,wanahitaji,na kumzuia ibilisi. Ili kupata mavuno! Hakuna

mavuno ya ghafla katika ulimwengu wa roho,ikiwa hujapanda mbegu yoyote na hakuna

mavuno ya ghafla katika roho pia hakuna ikiwa hujapanda mbegu za kifedha.

Kuvuna kwako ni sawasawa na kupanda kwako

2 wakoritho 9:6 inasema 'Apandae haba atavuna haba ,Apandae kwa ukarimu atavuna

kwa ukarimu'.

Ikiwa ulishawahi kuona mfereji wa mavuno ya kifedha na uko tayari kwa ajili ya

chemichem kubwa ya mavuno ya kifedha basi unatakiwa kupanda chemichemi kubwa

ya mbegu ya kifedha.

Unapanda mbegu kwa matarajio ya kuzalisha mavuno.

Hakuna mkulima apandae mbegu na kuenda na kulisahau shamba – bali hulitazamia

kuzaa mavuno. Ikiwa umepanda mbegu za kifedha usizisahau – pesa zaweza kuondoka

mikononi mwako lakini si maishani mwako ,pesa hutoka kwako wakati uliopo hadi

wakati ujao – tarajia mavuno!

Upandaji wa kichoyo huleta mavuno ya kichoyo.

Ikiwa mkulima atapanda mbegu nusu ya shamba lake na kuacha nusu nyingine atapokea

mavuno machache. Vilevile,ikiwa unatoa mara chache hiyo in maanisha kuwa

unajiweka mwenyewe katika mahali pa kupokea mfereji imara wa baraka.

Chagua udongo mzuri kwa ajili ya kupanda

Hakuna mkulima anaeweza kupanda mbegu yake mchafu mgumu au katika njia ya zege

wakati ana kipande cha ardhi yenye rutuba wa kupanda- bila shaka atapanda mahali

ambapo patampatia faida kubwa.

Vilevile,unatakiwa makini sana kutoa katika kanisa, taasisi,umishonari n.k ,unaefikiri

atakupatia faida bora kutokana na pesa ulioipata – kwanini uipoteze katika makanisa na

huduma zisizo na matunda?

Mbegu nzuri huzaa mazao mazuri

mtolee Mungu kilicho bora na panda mbegu bora – mpatie Mungu zaka ya kila kitu na

sadaka za ukarimu zaidi ya yote mpatie Mungu kilicho bora na mwamini kwa ajili ya

aina mbalimbali za baraka zake kukupata. Nenda zaidi ya kiwango chako na hakikisha

unampa Mungu kilicho bora nae ataenda zaidi ya kiwango na kukupa kilicho bora.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mbegu mbaya huzaa mavuno mabaya

Ikiwa unapanda isiyo haki katika fedha zako itaongezeka na kukurudia tena kwa namna

ya ukame wa kifedha badala ya mavuno. Kwa makini,tathimini kama kuna eneo la

kifedha lisilo la haki ambalo linakusababisha upande mbegu mbaya na kuvuna mavuno

ya machungu. Mkristo anaejizidishia pesa zisizo za haki ni sawa na mkulima anae panda

mbegu za miba katikati ya mazao yake,tafadhali heshimu muda wa kupanda na kuvuna.

Uliona mkulima mara ya mwisho lini akipanda mbegu Jumapili na kwenda kuona

mavuno Jumatatu jioni! Kwa bahati mbaya,wakristo hutoa sadaka zao jumapili jioni na

kuona bahasha ikiwa imejaa pesa jumatatu asubuhi. Galatia 6:7-10 inaonyesha kuwa

kuna mavuno yanayokuja kwa wakati sahihi Mungu anapoona vyema kuachilia kwako -

kwa subira subilia mavuno yako!

Mavuno ni ya taratibu

Yesu aliongelea mavuno kuwa ya taratibu katika Marko 4:28 Anaposema, 'Nchi huzaa

yenyewe;kwanza jani tena suke'. Badala ya kutarajia miujiza mikubwa ya kifedha

ungetarajia kuona mfereji wa baraka katika maisha yako kama mavuno kadri

yanavyokomaa.

Kila mbegu hujizaa yenyewe

Ikiwa mkulima anataka mti ya mchungwa hawezi kupanda mbegu za maepo kwa maana

kila mbegu hujizaa yenyewe. Hivyo,ikiwa unahitaji baraka – panda baraka na ikiwa

unataka urafiki panda urafiki katika maisha ya watu wengine,ikiwa pia unahitaji watu

kuwa wema kwa ajili yako,kuwa mwema kwa ajili watu wengine.

Kila mbegu huzaa tunda lenye mbegu zaidi ambazo zitaonekana

Yesu akasema katika Yohana 12:24 'ngano isipoanguka katika nchi ,ikafa ,hukaa hali

hiyo hiyo peke yake;bali ikifa hutoa mazao mengi.' sheria ya kupanda na kuvuna ni

kama vile ungepanda moja na kama utapanda mbegu zote ambazo zimezaliwa zinaweza

kujaza shamba lote –kutokana na kwakupanda mbegu moja.

Usile mavuno yako yote

2wakorintho 9:10 inasema 'na yeye ampae mbegu mwenye kupanda,na mkate uwe

chakula,atwapa mbegu za kupanda na kuzizidisha,nae atayaongeza mazao ya haki yenu.'

Hivyo Munu huweka pesa mikononi mwetu kwa sababu

1.Mkate kwa ajili ya chakula kama vile mahitaji y muhimu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

2.Mbegu kwa ajili ya kupanda kama vile ziada ya pesa kuwekeza kwa ajili ya Ufalme

wake.

Usisubiri hadi una njaa kabla hujapanda mbegu yako

Kama ungetaka tunda la epo jumapili jioni usingepanda mbegu ya epo jumapili asubuhi.

Hata hivyo,wakristo wengi husubiri majanga ya kifedha yamekuwa juu yao kabla

hawajaanza kupanda mbegu zao za kifedha kwa ajili ya tumaini la kuondokana na janga

walilo nalo. Usisubiri nyakati mbaya ndipo uanze kupanda mbegu bali panda nyakati

nzuri na nyakati mbaya,kwa hakika, panda kila wakati ili kusudi uwe na mavuno yasiyo

koma.

Ng'oa kila gugu linaloweza kuharibu mavuno.

Yesu alionya katika Marko 4:19 kuhusu pesa isiyo ya haki huwa kama magugu, 'Bali

shughuri za dunia,na udanganyifu wa mali,na tamaa za mambo mengine zikiingia

,hulisonga lile neno,likawa halizai. Pesa isiyo ya haki itasonga na kuua mavuno yetu

,kwahiyo tunahitaji kuyaondolea mbali ya maisha yetu.

Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Ghana

20,212,495 ya watu,63% ni wakristo – 21% ni waislam

Hofu ipo kati ya Waislam na Wakristo – kutokana na kuwepo kiwango cha watoto waliokataliwa.

© www.operationworld.org

43.Kuzuia Mtindo wa Maisha ya Tamaa

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Waefeso 5:5

Kariri Aya Hii: Wakolosai 3:5 'Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi;

uasherati , uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu '

Baadaye Zungumziia Hili : Jadili mifano ya tamaa katika kanisa la leo.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fikiria ni kwa nini watu wenye tamaa

wanaitwa waabudu sanamu katika Biblia.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha kila aina za watu wanaotajwa kuwa ni

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

moja ya wenye tamaa katika Waefeso 5:5 , Wakolosai 3:05 & 1 Wakorintho 6:9 .

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Wakorintho 6:9

Sura hii itazingatia mazingira ya tamaa na baadhi ya maonyo makali ambayo Biblia

inatoa dhidi ya tamaa na baadhi ya mifano ya kibiblia juu ya tamaa inavyo sababisha

hukumu ya Mungu. Katika siku za hivi karibuni baadhi ya dhambi zimeonyesha

matokeo yake ya hatia na aibu miongoni mwa watu wa Mungu ( kama vile uasherati na

wizi) wakati dhambi fulani zimepta kibali sana – tamaa imekuwa ni mfano na imepata

nafasi kubwa katika jamii yetu. Kuna baadhi ya dhambi ambazo ni ziko wazi sana

kwetu ( kama vile wakati tunaposema uongo au kuiba ) lakini, tamaa si rahisi kuigundua

na inaweza kututeka nyara. Sehehmu hii muhimu itatutazamisha mtazamo wa kiBilia

dhidi ya tamaa, Misingi mitatu 3 ya maandiko ambayo yote yanaeleza juu ya neno

tamaa yatatupatia kumbukumbu.

Waefeso 5:5 "Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala

mchafu wala mwenye tamaa – ndiye mwabudu sanamu, aliye na uridhi katika Ufalume

wa Kristo na Mungu.

Wakolosai 3:5 ' Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi; uasherati , uchafu,

tamaa mbaya, mawazo mabaya na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu kwaajili ya mabo

hayo, huja ghadhabu ya Mungu.'

1 Wakorintho 6:9 'Msidanganyike, washerati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala

waabudu sanamu wala wazinzi wala wafiraji wala walawiti wala wezi wala watamanio,

wala walevi wala watukanajiwala wanyang'anyi hawataurithi ufalme wa Mungu'

Hatua ya kwanza ya kuzingatia ni kwamba maandiko yote katia Waefeso 5:5 na

Wakolosai 3:5 yanaonyesha kwamba mtu mwenye tamaa hakika ni mwabudu sanamu

kwa hivyo fedha ni sanamu na ni Mungu wa uongo ambayo watu huiabudu, hii ni

pointi aliyofaywa katika kurasa za kitabu hiki. Kwa mfano, tuseme wakati ujao wewe

utaenda kanisani hapohapo mtu mwingine karibu na wewe analeta sanamu na kuanza

kupiga magoti chini yake wakati wa kuabudu – je! si tatizo linaloleta ghasia kanisani?

Hata hivyo, kila Jumapili katika maelfu ya makanisa duniani kote, Wakristo hawajui

magendo ya sanamu katika huduma za makanisa haya, sanamu ipo katika mifuko yao

ya fedha na kadi zao za kuchukulia fedha benki. Sababu ni kwamba wakati wewe

unapotoa mwenyewe kwa uchoyo na tamaa na kupenda pesa na kuruhusu pesa kuwa

Mungu walo badala ya Yesu, hapo unakuwa mwabudu sanamu.

Hatua ya pili ya kuzingatia ni kwamba Waefeso 5:5 na 1 Wakorintho 6:9 zote mbili

zinaonyesha kwamba mtu mwenye tamaa hatakuwa na urithi katika ufalme wa Mungu –

kunaonekana kuwa kuna njia mbili hapa katika kuangalia maelezo haya. Kwanza ni

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kwamba Paulo anaonya kuwa tamaa ni tabia ya wale ambao hawajaokoka , na hivyo

wakristo wanapokuwa ni wenye tamaa wanafana na kuwa na vitendo kama mtu

asiyeookoka. Ya pili ni kwamba kwa aajili ya tamaa, Mkristo hujiondoa mwenyewe

katika urithi wake wa Ufalme wa Mungu na kupata hasara ya baraka ambazo

zingekuwa za kwake. Aidha, kwa njia ya tamaa hatutapata kuwa wanufaikaji katika

rasilimali kamili ya Ufalme wa Mungu na kubadilishana urithi wetu mtukufu (Waefeso

1:8 ) kwa ajili ya hazina chache zenye huzuni za kidunia.

Aidha, ni hakika imekuja kama mshtuko kuona aina ya watu kwamba Biblia inaweka

katika darasa moja kama tamaa watu hapa chini ni watu waliotajwa katika Waefeso 5:05

na 1 Wakorintho 6:19 ni haki katika miongoni mwao, wenye tamaa watu waliotajwa. Ni

lazima hakika kuwa rude kuamka kwa Mkristo yeyote tamaa ya kutambua kwamba wao

ni classified katika Biblia pamoja na mashoga na makahaba kiume!

Washerati

Wachafu

Waabudu sanamu

wazinzi

Walawiti

Wafiraji

Wezi

Wenye tamaa

Walevi

Wasingiziaji

Wanyang'anyi

Aidha, Wakolosai 3:5 inasema kwamba ghadhabu ya Mungu inakuja dhidi ya dhambi

hizi zote zilizoorodheshwa na mmoja wao ni wazi na tamaa - ni huzuni lakini ni kweli

kwamba kundi kubwa la watu ambao watakwenda Jehanamu na kujionea ghadhabu ya

Mungu watakuwa ni wenye tamaa.

Huenda bila kusema kwamba ni kwa kumkataa Yesu tu peke yake ndiko kutawapeleka

watu Jehanamu, lakini ni wazi kwamba watu watakataa kumfuata Yesu kwa sababu

nyingi –sababu kubwa ni kwamba watu wanafuata fedha na kuitumikia. Kumbuka

kwamba Yesu alisema katika Luka 16:13, 'Huwezi kumtumikia Mungu na fedha' Katika

tamaa yao,wengi wantumikia fedha badala ya Mungu na kwa sababu ya hii, kama

inavyoelezwa katika Wakolosai 3:5 anasema, ghadhabu ya Mungu huja.

Hatua ya mwisho ya kuzingatia ni kwamba watu wenye tamaa kwa kamwe hawaridhiki

na kwa tamaa na uchoyo na kwa kutafuta vya ziada, watu wengi hawatapata udhuru.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Huu ni ukweli unaoleta huzuni, kwahiyo watu wengi na furaha wanayoitafuta

itawatoweka kama hawtakuwa watoaji na kuachilia pesa zao kwa Mungu, kwakufanya

hivyo utavunja tamaa kifungo cha tamaa katika maisha yako.Tamaa na uchoyo ni kama

madawa ya kulevya kama vile kokeini–daima vitaunda shauku kwa ziada na

furahavinavyosababisha inatoweka na inakaa kwa muda. Yanayofuata yaliyonakiriwa

katika Muhubiri 5:10 yanatokea kwa watu wengi – natumaini umekwishajua siri hii

tayari, Apendae fedha hatashiba fedha wala apendae mali hataridhika kwa mapato yake'.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Guatemala

11,385,295 ya watu ,wakotoliki wengi wanapungua

Nguvu ya utamaduni wa kikatoriki imedhoofishwa lakini kanisa linakuwa kwa

nguvu.

© www.operationworld.org

44. Tamaa huleta hukumu ya Mungu

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Matendo 5:1-11

Kariri Aya Hi: 1 Samweli 15:26

Baadaye Zungumzia Hili : Kitu gani kingetokea kama Mungu atawahukumu watu

wenye tamaa katika kanisa la leo kama alivyofanya kwa Anania na Safira.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi, Muombe Mungu

akuonyeshe maeneo ya uchoyo katika maisha yako

Kazi Ya Kuandika Ya Diploma: Andika upande mmoja juu ya kwa nini baadhi ya

hukumu ya Mungu ni juu ya wenye tamaa.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Yoshua 7:15

Baada ya kuonekana katika sehemu iliyopita maonyo kuhusu tamaa sehemu hii

itatazamia mifano ya kibiblia kuhusu watu waliokuwa na tamaa na matokeo yaliyofuata.

Kumbuka wakolosai 3:5 inatangaza kwamba ghadhabu inakuja dhidi ya tamaa na biblia

inatoa mifano kadha wa kadha kwamba ghadhabu ya Mungu itatokea kwa ajili ya lipi

kwa kila mtu. Kama vile ukarimu unavyovuta baraka za Mungu ndivyo tamaa

inavyovuta hukumu ya Mungu na watu wafuatao wanatoa uhakika juu ya hili.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mtu wa kwanza ambae tutamtazamia ni Mfalme Sauli katika 1samueli ukurasa wa 15

tunaona namna sauli alivyopokea maelekezo kutoka kwa Mungu kupitia Nabii samweli

kushambulia waamaleki na kuwaangamiza pamoja na mifugo yao yote. Sauli

alifanikiwa kushinda vita lakini tamaa ikamshinda badala ya kuangamiza mifugo yote

anahifadhi wengine bora kwa ajili yake mwenyewe. Mungu akaona tamaa ya Sauli na

Nabii akatumwa na Mungu kwenda kumdhihaki kuhusu tamaa yake na kutokutii ,

kutokutii kwa Sauli kunaonekana kuwa kubaya kwasababu alianza kudanganya kuwa

ametekeleza maagizo ya Mungu (aya ya 13) na kutokutii kwake kunaonekana kuwa

kubaya zaidi anapotumia hila ya kiroho kuwa atamtolea Bwana dhabihu.

Ukweli wa mambo ulikuwa kwamba ingawa sauli anasema kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya

kusudi la kiroho ndio maana akahifadhi mifugo bora bado alikuwa na tamaa katika hili

kama inavyoonekana katika aya ya 24. Kama matokeo ya uasi wake na tamaa hukumu

inakuwa juu yake na kukataliwa milele kama Mfalme wa Israel 1Samweli 15:35

inasema 'Na Mungu akaghairi kuwa amemtawaza sauli awe Mfalme juu ya Israeli'.

Haishangazi kwa wasiookoka kuwa wenye tamaa – ni kama vile kuwategemea lakini ni

vibaya wakristo wanapokuwa wenye tamaa ,lakini ni hatari zaidi wanapotoa kile

kinachoitwa uongo wa 'kiroho' kutetea tamaa na uchoyo wao. Wachungaji hutetea

viwango vya matumizi yao kwa ajili ya matengenezo na madilisha ya vioo wakitarajia

kuwa kanisa litaona utukufu wa Mungu – kwa uhalisi, kuwa na madilisha ya vioo ni

muhimu sana kwa baadhi ya watu kuliko kuwapa yatima chakula?.

Makanisa hutumia maelfu ya paundi kupeleka viongozi wake mikutano mikubwa , au

kuzindua michezo' ili wapate muda wa mapumziko ya kiroho. Kwa kweli, matumizi ya

pesa yanaweza kuwasababisha wachungaji ving'ang'anizi wakati wamechelewa katika

ukombozi ' lakini ni bora kufuja pesa na kuona yatima wakijifurahisha na maji safi,

chakula kizuri na mabadiliko ya mavazi . Si ajabu kwamba kiwango cha maneno ya

kiroho yanaweza kusaidia tabia za ufujaji wa pesa kwa baadhi ya wakristo na makanisa?

Sauli alijaribu akashindwa,kwahiyo tutaweza siku ya hukumu wakati Yesu atapokuwa

anatoa adhabu kutokana na ladhi zetu nae atasema, 'kadri msivyowatendea mmoja wapo

wa hao wali wadogo,hamkunitendea mimi' (mathayo 25:45)

Mtu wa pili mwenye tamaa aliepata hukumu ya Mungu ni Akani hadithi inafanana

katika Yoshua ukurasa wa 7. Wana wa israeli walifanikiwa kuuteka nyara Yeriko lakini

walionywa kuwa vitu vya almasi na dhahabu vitengwe na vyombo vitakatifu kwa ajili

ya Mungu na vilitakiwa kuwekwa katika hazina ya Mungu. Akani hakutii na kwa siri

akatunza baadhi ya vyombo vya fedha na dhahabu kwa ajili yake lakini tazama

matokeon yake, Tamaa ya Sauli ilifunuliwa kwa nguvu ya Mungu kwa samweli na kwa

njia hiyo hiyo, Tamaa ya Akani ikafunuliwa kwa nguvu ya Mungu kwa Yoshua – tamaa

kawaida itaibuka kwa watu wa Mungu. Kkutokutii kwa Akani kukamsababishia

kupigwa mawe na kuchomwa moto na familia yake na kila kitu alichokuwa nacho.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Matokeo yatokea kuhusu hatua ya dhambi ya Akani kwa ajili ya tamaa kwa sababu

dhambi yake haikutubiwa ilisababisha Waisraeli wakaangamizwa na maadui zao, na

Bwana alithihirisha kwa Yoshua kwamba mpaka tamaa itolewe nje na isipate mafanikio.

Cha kusikitisha, katika makanisa leo kuna ma Akani wengi kati yetu, wanaozuia kazi

ya Mungu na kutoa kibali kwa adui kwa njia ya tamaa zao na ubinafsi. Je, wewe ni

Akani wa kisasa au wewe ni mtoaji? Je! Kanisa lako linabarikiwa au limezuiwa na

matendo yenu ya kifedha? Kanisa lilijaa Ma Akani litavamiwa maadui ya ibilisi, lakini

kanisa lililojaza akina Yoshua litakuwa linaendelea mbele na kuirithi nchi kaajili ya

Mungu.

2 Wafalme 5:19-27 inatukumbusha mtu afuataye mwenye tamaa ambaye ni Gehazi.

Baada ya kuponywa kwa mwenye ukoma , Naamani aliambiwa na Elisha njiani, lakini

Gehazi kwa tamaa akamfuta Naamani na akatumia uongo na hila ya kutafuta fedha na

nguo kutoka kwake kwa njia ya udanganyifu. Tena tamaa yake ilifunuliwa na mtu

mwenye haki (Elisha ) kama vile Elisha livyosema kwamba roho yake ilikuwa na

Gehazi, wakati yeye alikuwa anadanganya na kusema uongo (mstari 26). Mara nyingine

tamaa inatuongoza kwenye hukumu ya Mungu na Gehazi alipigwa na ukoma kama

hukumu hii ingalitumika leo katika tamaa zilizopo kati ya watu wa Mungu, makanisa

mengi yangegeuka kuwa makoloni ya ukoma.

Agano la Kale linatoa mifano zaidi juu ya tamaa inayosababisha hukumu ya Mungu

katika 1 Samweli 25 tunasoma habari za Daudi na mume na mkewe Nabali, na Abigaili.

Aya ya 3 inasema kwamba Nabali , 'alikuwa muovu katika kazi zake zote ' , na wakati

wa tu wa Daudi walipomsihi kwa ajili ya chakula alikataa na matokeo ya tamaa yake

na ubinafsi Daudi aliandaa watu wake ili kumshambulia. Hata hivyo mkewe alitambua

uchoyo wa mume wake aliandaa mahitaji kwa ajili ya Daudi na akazuia umwagaji

damu na kupoteza maisha, ukweli ni kwamba Daudi alikuwa mtu wa Mungu alikuwa

anastahili kupewa sehemu ya chakula cha Nabali na nyama. Baadaye Abigaili alikutana

na Nabali na kumwelezea kile kilichotokea – habari hii imstusha moyo wake na

akawa kama jiwe (mstari wa 38) tena tamaa yake ilimuhuku na Mungu akampiga huyo

Nabali hata akafa. ( mstari 38)

Mfano mwingine unaopatikana katika Agano Jipya ni habari ya kutisha ya Anania na

Safira ambayo hupatikana katika Matendo 5:1-10 . kwaajili ya matendo yao mbaya ,na

wakati huo kanisa la kwanza lilikuwa linatembea katika utukufu na nguvu , Matendo

2:45 na Matendo 4:34 inaonyesha kwamba Roho Mtakatifu alikuwa na mikono yake

imara juu ya masharti ya mfuko wa fedha wa kanisa. Hata hivyo Shetani alitaka

kuvamia mtindo huu wa fedha ya jamii kwa njia ya tamaa na roho ya vizuizi, Matendo

5:3 inaonyesha kwamba moyo wa Anania 'haukuwa mkamilifu katika pendo la Mungu,

hivyo shetani alimjaza moyo wa tamaa. Anania na Safira wakasema uongo si tu kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

watu bali pia walimdanganya Roho Mtakatifu (mstari wa 3 ), na wote wakateswa na

hukumu ya kutisha ya Mungu na kufa. Ujue ya kuwa ile kanuni ambayo Mungu

aliitumia kuondoa tamaa ilidhihirishwa na mtu wa Mungu (aitwaye Petro ) na mtu wa

Mungu msimamizi aliagiza hukumu ya Mungu ishuke juu ya watu hawa wawili Anania

na Safira

.

Hadithi ya Biblia inaonekana katika sura hii kufidia baadhi ya hukumu za Mungu

kubwa na za kutisha zaidi, zinapatikana katika maandiko yote- - ni onyo kubwa kwa

wote wanaosoma na wanapaswa kutupilia mabali tamaa katika maisha yao. Hakika ,

katika Nuru ya maandiko hapo juu kuhusu hukumu ya ghadhabu ya Mungu ni kuwa

tunapaswa kuwa makini sana ili kwamba tamaa isitunyemelee. Uchambuzi hapo chini

ni hukumu ya Mungu ambayo tumekwisha ona aina mbali mbali za watu wenye tamaa

hawa wanatakiwa kuwa mfano kwa mtu yeyote anayedai anamfuata Yesu.

Andiko, Mtu wa Mungu, mwanaume kwa mwanamke mwenye tamaa ya uchoyo

alibainika katika mateso ya hukumu.

1 Samweli sura ya 15 Samweli Sauli

alikataliwa asiwe Mfalme

Yoshua 7 Yoshua; Akani

alipigwa kwa mawe na kuchomwa moto

2 Wafalme 5:19 Naamani Gehazi

aligwa kwa ukoma

1 Samweli 25 Abigaili Nabali

akampiga chini na akafa

Matendo 5:1-10 Petro Anania na Safira wakaanguka chini wakafa

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Guinea

7,430,346 ya watu 4% ni wakristo

Uislamu umeenea lakini kanisa linaongezeka na limekuwa ushuhuda kwa

waislamu

© www.operationworld.or

45. Kuwa Na Mfumo Rahisi Wa Maisha

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Wafilipi 4:12

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kariri aya hii : 1 Timotheo 6:8

Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kujua kuwa tunaishi maisha rahisi.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Mwombe Mungu akufunulie kama

kuna kitu chochote katika maisha yako ambacho kingeweza kuuzwa na pesa zikawekwa

kwenye kazi ya Mungu.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Jadilini pengine Biblia inashauri wakristo kutokuwa na

maisha ya anasa.

Tafakari Katika Aya hii: 1 Timotheo 6:6 .

Hata hivyo Biblia inatoa baadhi ya maonyo kuhusu tamaa na tumeona mifano kadha wa

kadha kusiana na watu waliokumbatia tamaa na matokeo yake wakavuta hukumu ya

Mungu. Kama wakristo tumeitwa kuishi maisha yanayopinga tamaa na kukumbatia

unyenyekevu kwasababu mali za anasa sio chanzo cha furaha yetu bali kuridhika na

mahitaji ya muhimu ya maisha na mabaki yanayowekwa katika kazi ya Mungu ndio

chanzo cha furaha yetu. Lazima tuhitaji kupata vingi, maana ni furaha zaidi kutumia

pesa zetu kwa ajili ya kuona waliopotea wanaokolewa kutoka jehanamu na umisionari

ulimwenguni kuwa na pesa, licha ya kutumia pesa zote kwa ajili yetu wenyewe.

Yaliyopo chini ni maeneo matatu ambayo maandiko yanaonyesha kwamba tunatakiwa

kuiga namna tunatakiwa kuishi maisha yetu.

1. Ishi maisha yako na vitu vichache vya anasa na mali iwezekanavyo.

2. Kama mali nyingi kuwa wazi na dhamilia kutoa kwa ajili ya Ufalme, ikiwa unahisi ni

kusudi la Mungu katika maisha yako.

3. Kama matokeo ya pointi mbili hapo juu, unapaswa kuwa na wingi kwa ajili ya kutoa

kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Kwanza kama wewe ungefungiwa anasa zote katika maisha yako ni nini kingetokea

katika furaha yako ? Je umepata furaha na mahitaji muhimu ya maisha yako ? umepata

ridhaa kwa Mungu peke yake au kufanya haja ya kura ya anasa kutoa kwa furaha.

Yaliyopo ni ni maandiko 4 ya muhimu ambayo yote yana neno ' ridhaa ' na kila moja

ya mwisho wa maandiko yanaongelea mazingira ya fedha. Kwa makini soma maandiko

haya kama ni mapenzi ya Mungu kwa maisha yako - Mungu anatuita kupata ridhaa

katika yeye na kwa misingi ya maisha

Wafilipi 4:12 'Najua kudhiriwa tena najua kufanikiwa; katika hali yeyote na katika

mambo yeyote.'

1 Timotheo 6:6 "Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa '

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

1 Timotheo 6:8 Ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.'

Waebrania 13:5 'Msiwe na tabia ya kupend fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo.'

Umhimu wa pili wa kuishi maisha rahisi ni kwamba tunatakiwa kuwa wazi na

kudhamilia kutoa mali zetu ikiwa tunahisi kuwa ni kusudi la Mungu na ziada yoyote

tulionayo zaidi ya mahitaji ya muhimu ya maisha tunatakiwa tutoe kwa ajili ya kupanua

Ufalme wa Mungu. Wakristo wengi wa magharibi pesa ni kwa ajili ya maghari ya

kifahari,vyombo vya kifahari na mavazi licha ya kufungwa katika injili kama vile Yesu

alivyoonya katika Luka 12:15 " Angalieni jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu

haupo katika wingi wa vitu alivyo navyo.' Je, unaweza kufikiri nini kingetokea kama

kila mkristo angeweza kuamua kuishi kwa mahitaji ya muhimu ya maisha na kuuza mali

iliyozidi na kuitoa katika Ufalme wa Mungu? - mabilioni ya watu wangeachiliwa na

kuokolewa katika kuzimu.

Jamo limetamkwa hapo zamani kuwa sisi ni mawakili wa pesa na mali tulizo nazo kwa

kuwa zinamilikiwa na Mungu. Kwahiyo, kwakuwa hatuna chochote juu ya mali zetu

hatutakiwi kusita sita au hoja kuhusu kuziachilia kwa ajili ya Ufalme kama unahisi

hivyo basi ni Mungu anaezungumza nasi. Mfano mzuri, wa mtu kutumia ni hadithi ya

Zakayo katika Luka 19:1-5 tajiri huyu ambae hajaokoka anapo badilishwa kabisa na

kushawishika kuvunja nguvu ya utajiri katika maisha yake. Kama uhakika kwa Yesu

kwamba ameamua kumfuata, Zakayo anasema katika Aya ya 8, 'Tazama Bwana! Wakati

huu na sasa ninawapa maskini nusu ya mali yangu , na kama nimemdanganya mtu

yeyote kwa chochote,nitamrudishia mara nne'

Yesu mwenyewe alizungumzia mengi kuhusu kusalimisha mali zetu – kwa wote

waliokuwa wanafinzi wake na wale ambao hawakuwa wanafunzi wake.

Kwa wale waliokuwa wanamfuata alisema

'Uzeni mali zenu na kuwapa maskini. (luka 12:33)

Kwa wale waliokuwa wakimpinga alisema

'Toeni sadaka vile vilivyo ndani na vyote vitakuwa safi kwenu' (Luka 11:41)

Na kwa mtawala tajiri anaetaka kumfuata anasema

'Uzeni kila mlicho nacho mkawape maskini'(luka 18:22)

Aidha Kitabu cha Matendo wazi kanisa la kwanza lilivyomilikiwa na Roho Mtakatifu

na eneo haswa lilokuwa limemilikiwa na Roho Mtakatifu ni mali za waumini.

kinaonyesha kanisa la kwanza kuwa inamilikiwa na Roho Mtakatifu na moja ya eneo

fulani kwamba ilikuwa inamilikiwa ya Roho Mtakatifu alikuwa muumini mali.Kadri ya

waumini katika kusanyiko walivyosema juu ya umiliki walikuwa wanamiliki, kuna

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mifano baadhi ya mali zilizouzwa na pesa kuwekwa kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Matendo 2:45 , ' wakiuza mali zao na bidhaa, na kumpa kila mmja kadri ya alivyohitaji'

Matendo 4:32, ' Hakuna mtu alidai kuwa na mali yake mwenyewe'

Matendo 4:34, 'Hakukuwa na mhitaji baina yao. Kwa maana kila wakati wote

waliokuwa na viwanja na nyumbani waliziuza, na kuleta thamani ya vitu walivyoviza

miguuni pa mitume,kila mtu akagawiwa kwa kadri alivyohitaji. Na Yusuphu aliitwa

mlawi kutoka kipro alikuwa na shamba akaliuza akaileta fedha,akaiweka miguuni pa

mitume.'

Eneo la tatu na la mwisho ni kwamba kama matokeo ya pointi mbili zilizopita tutakua

na pesa za ziada na hizi hazitakiwi kuwekezwa katika vitu au katika fasheni za

ulimwengu huubali katika kazi ya milele ya Ufalme wa Mungu. 1 Yohana 2: 15-17

anaongea kuhusu tamaa ya mwenye dhambi na matamanio yake ya zaidi zaidi aya ya 17

inaonyesha mkanganyiko inaposema,'Dinia inapita pamoja na tamaa zake,bali yeye

afanyae mapenzi ya Mungu adumu hata milele',

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Guyana

861,334 ya watu , 33% ya ni wahindu,

Licha ya uchinjaji wa wanadini kabla 1985, kanisa bado linaongezeka.

© www.operationworld.org

46. Kutoa katika Akaunti ya Benki ya Kidunia

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 2 Wakorintho 12:14

Kariri Aya hii: Mithali 13:11 'fedha ilyopatikana kwa haraka itapungua,Bali yeye

achumae kidogo kidogo atazidishiwa.

Baadaye Zungumzia Hili : Je,tuwekeze kwa ajili ya siku ya mvua,au tuweke kwa ajili

ya kuwekeza katika Ufalme wa Mungu.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Kama Mungu amekwambia, fungua

akaunti kwa ajili ya kuwekeza pesa ambazo zinazoweza kuwekezwa katika Ufalme wa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Mungu.

Kazi ya Diploma ya Kuandika:1 Wakorintho 16:1- 4

Tafakari neno baada ya neno: Marko 14:6

Marko 14:1-9 inazungumzia hadithi ya mwanamke aliekuja kumpaka Yesu mafuta na

chupa ya manukato ya gharama ambayo ilikuwa ni gharama ya mshahara wa mwaka

mzima –Yesu mwenyewe akasema kwamba popote injili itakapofundishwa

ulimwenguni jambo hili litaongelewa kwa ajili ya kumbukumbu yake na katika hadithi

hii tutaanza kutazamia wajibu wa kuhifadhi fedha kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Ukweli haipingiki kwamba mwanamke huyu alikuwa mtoaji ndio maana alitoa zawadi

kubwa iliyokuwa ya thamani kwake, lakini pointi zaidi ni kwamba Yohana 12:7

inaonyesha kuwa alikuwa amewekeza pesa kwa ajili yake kwa ajili ya makusudi ya

haraka ya kumhudumia Bwana. Unaweza kunimbia watu hujitolea kwa ajili ya yale

wanayo wekeza, kwa maana wengine huwekeza kwa ajili ya ya mapumziko, au kwa ajili

ya gari,baada ya kustafu – yote yaliyomo ni sahihi. Hatahivyo, ikiwa tunahitaji kuwa

watoaji wa nyakat zote katika kazi ya umisionari wa ulimwengu na kulisha maskini na

kusema kwamba tumejitoa kwa ajili yake je! tusiitumikie pia ?

Kama tulivyoona hapo awali ,kwasababu Biblia haijatia mkazo katika pointi

hii,ingeonekana kuwa chini na juu ya zaka, sisi kama watoaji tungetakiwa kujiachilia

kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu katika kutoa sadaka kwa watu na miradi kadri

tunapojisikia kufanya hivyo . Kwa mfano,baada ya kutoa zaka zetu kwa wiki au kwa

mwezi pengine pesa za ziada zingekuwa zinatengwa kila mwezi kwa ajili ya miradi

katika nchi za nje au kusaidia umisionari. Pengine ungeweka mwenyewe lengo

kufanyika katika kioindi furani hna kuungana na wengine katika kuweka katika akaunti

ya pamoja ambayo ianaweza kutumwa na kumbariki mtu au mradi katika nchi tofauti.

Dhana hii pengine itahitaji adabu fulani na kutoa kutahitaji kufanyika kila mara, bali

matokeo ya kutoa zawadi ya pesa nyingi mwishoni hustahili.

Kutokana na jamii tunaishi katika wewe si kweli kuwa kuwafundisha watu jinsi ya

kutumia fedha zao kwa kweli, matumizi ya fedha ni eneo moja watu wengi sana

maendelea. Hata kwa namna nyingine kutunza fedha ni jambo lilikuwa kwa wachache

sana na watu wengi wanapata matatizo kwa swala hili na inakuwa rahisi kwao na

kufurahisha zaidi katika kutumia pesa zetu kuliko kuweka akiba. Kupitia kuokoa fedha

kwa njia ya kuweka akiba tunaweza kupata zawadi kubwa hata kufikia kuwa mtu tajiri

au mradi na kupata riba kwa kiwango kinachowekezwa. Pengine kuna mtu au mradi

ambao Mungu ameweka katika moyo wako ila hadi kuzalisha pesa yako, kwa hiyo

kwanini usianze leo kuwekeza pesa zako ndani ya nafsi za watu waliopotea badala ya

kuwekeza katika anasa za kidunia.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Pengine moja ya mifano ya kusikitisha zaidi ambayo Yesu kamweasingeisema ni ule

mfano tajiri mpumbavu katika Luka 12:13-21 . Huyu hakuwekeza fedha zake katika

kazi ya Ufalme wa Mungu lakini alihifadhi fedha yake kwa ajili ya madhumuni yake

mwenyewe ya ubinafsi - hata kujenga ghala kubwa kuweka akiba yote aliyokuwa nayo .

Je, unaweza kufikiria jinsi mtu huyu ingeweza kuangukia katika hukumu siku ambayo

Mungu Mwenyezi alimuita mpumbavu (mstari wa 20?) Ni jambo rahisi kwa mtu yeyote

kukuita wewe mjinga, awe mwajiri wako au mzazi lakini ni jambo la kutisha Mungu

akuite wewe mpumbavu. Labda unatumia maisha yako yote na kutumia fedha zako kwa

ajili ya ko mwenyewe? Kutunza ni jambo kubwa kulifanya lakini kama kazi hiyo yote ni

kwa ajili yako mwenyewe na hata hakuna senti inayobakizwa kwa lengo ya kupanua

Ufalme wa Mungu, basi wewe uko katika hatari ya kuitwa mpumbavu katika siku ya

hukumu.

1 Wakorintho 16:1 Inatoa mfano mzuri wa Kibiblia wa kutunza au kuokoa ,Paulo

anawasihi makanisa yale ya Kikorintho kutenga fedha kwa ajili ya Watakatifu maskini

wa Yerusalemu mpaka atakapokuja katika kanisa la Korintho. 'Siku ya kwanza ya juma

kila mtu kwenu aweke akiba kwake kwa kadri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba

michango isifanyike hapo nitakapokuja '. Kumbuka kwamba nia ya Paulo ilikuwa ni

kumwokoa kila wiki kana kwamba yeye inatarajiwa watu kuwa mara kwa mara na

utaratibu katika kuwka fedha zao. Kwa kweli kanuni hii ya mara kwa mara kuweka

fedha kwa ajili ya matumizi ya kazi ya Mungu ni zaidi ya kusema katika Mithali 13:11,

'mali ilyopatikana kwa haraka itapotea upesi, bali yeye achumae kidogo kidogo

atazishiwa '.

Katika kitabu chake cha pili kwa Wakorintho, Paulo zaidi kuangazisha hili wazo la

kuweka fedha katika sura ya 8 & 9 ambayo ni Nakala kubwa juu ya kutoa katika Biblia

nzima. Kutokana na maandiko hapo chini tunaweza kupata mambo 3 ya kweli kuhusu

yale yanayosiana na ' Hifadhi ya mbegu' -yaani mahali ambapo fedha zetu ni

zinhifadhiwa ili iweze kusambazwa wakati inahitajika.

1) Mungu anataka tuwe na akiba ya mbegu

2) Mungu atatupatia hifadhi mbegu

3) Mungu itaongeza ghala yetu ya mbegu

2 Wakorintho 9:10 ' Sasa yeye ampaye mbegu mpandaji na mkate uwe ,atawapa mbegu

za kupanda na kuzizidisha,nae atayaongeza mazao ya haki yenu'.

Hatimaye, kwa mara nyingine tena katika barua yake ya pili kwa makanisa yale ya

Kikorintho , Paulo analeta sababu zaidi kwa ajili ya waumini kuhifadhi fedha na hiyo

ni kuzipata wenyewe, watoto wa kiroho na kutoa kwa ajili ya ukuaji wao wa kiroho .

Kwa mfano: 2 Wakorintho 12:14 inasema, ' Baada ya yote , watoto wanapaswa kuwa na

akiba kwa wazazi wao, bali si wazazi kwa watoto . Hivyo mimi nitakuwa na furaha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutumia kila kitu na mimi mwenyewe pia kwa ajili yenu '. Paulo kulinganisha ukweli

kwamba kama wazazi kiasili huweka akiba kwa ajili ya watoto wao hivyo hivyowazazi

wa kiroho lazima kuwekeza fedha kwa watoto wao wa kiroho.

Kwa mfano , hebu tuseme kwamba unapenda kuona watoto yatima na waliotelekezwa

wanatunzwa lakini wewe hujaitwa katika shamba la utume huu na matokeo ya

kuamua kuwekeza pesa mara kwa mara kutuma zawadi kusaidia kuanzisha kituo cha

watoto yatima . Kama matokeo ya kuwasaidia kuwa wapenzi na wamisionari ambao

wanaendesha nyumba za yatima na watoto ambao wanapata kuokolewa si kwamba

wanakuwa watoto wa wamisionari kiroho watoto tu, lakini pia kuwa watoto wako wa

kiroho pamoja na fedha yako iliyosaidia katika mchakato kuokolewa kwao. Ukiwaona

wameokoka unaweza unaweza kuwa unatoa mara kwa mara kwa miaka na daima kutoa

kifedha ili wapate viwekezo vya kiroho na mafundisho.

Labda huna watoto wako mwenyewe ? kwanini kuanza kuwekeza sasa na kujipatia

mwenewe watoto wengi wa kiroho duniani kote. Yesu alisema kwamba wale ambao

wanapata kuokolewa kwa matokeo ya Utoaji wetu wa fedha watatukaribisha katika

makao ya milele (Luka 16:9 ) ikiwa unapata maono haya basi watoto wengi wa

kiroho siku moja watakushukuru kwa kuwekeza fedha yako ajili yao. Kwanini usiunde

ushirika wa pamoja wa kimeshenari au kazi ya mradi na kwa kutoa kwako na kazi yao

mnayosaidiana itakusanya watoto wa kiroho chini ya uangalizi wako ambao unaweza

ukatumia miaka mingi kuwekezea.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Haiti

8,222,025 ya watu , 95% wengi ni wakristo - wa majina.

Nchi amefungwa na Voodoo na uchawi wa kiafrika, kanisa limeanza kupambana

na nguvu hizi.

© www.operationworld.org

47. Kuweka katika Akaunti ya Benki ya Mbinguni

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Mathayo 6:20

Kariri Aya Hii: Wafilipi 4:17 ' Si kwamba nakitamani kile kipawa ,bali nayatamani

mazao yanayozidi kuwa mengi'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unafikiri ni mfuko wa fedha usiochakaa ambao

Yesu anarejea katika Luka 12:33

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Katika maombi, nenda kwa kwa

Baba yako wa mbinguni na fungua benki yako ya mbinguni.

Kazi ya Diploma ya kuandika : Wakati Yesu anazungumza juu ya kuhifadhi hazina

mbinguni (Mathayo 6:20) , kuandika upande mmoja juu ya jinsi gani sisi kwenda juu

yake.

Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: Matendo 10:4

Katika mfano wa tajiri mpumbavu ya Luka 12:16-21 , Yesu anazungumza juu ya fedha

na ulafi na haja ya kuwa tajiri mbele ya Mungu , lakini ni nini hili neno ' Tajiri mbele ya

Mungu ' kusema ya ? Aidha, anaendelea kusema katika aya ya 33 ya kutoa kwa ajili ya

mikoba wenyewe kwamba si kuvaa nje hivyo nini hakuweza kuwa akimaanisha katika

mawazo haya ? Naam, tu kama tunaweza kulipa katika akaunti ya benki ya dunia na

tumeona awali kuwa tunapaswa kufanya hivyo, Biblia katika nafasi kadhaa anaongea ya

akaunti ya benki ya mbinguni ambayo pia tunaweza kulipa ndani . Kama kweli hii

inakuwa ukweli kwetu inaweza kufanya kutoa kitu kusisimua na furaha ya kufanya

kama sisi kukamata maono ya hii hatutakuwa tena kuweka zaka yetu ya ndani ya sahani

sadaka kwa namna ile ile ya zamani mitambo lakini sisi kuona ni kama uwekezaji katika

akaunti yetu ambapo sisi kuwa matajiri kwa Mungu. Kama kweli hii hueneza kwetu

inaweza sisi kutenda kwa matumizi ya maisha yetu ya kuwekeza katika akaunti hii ya

mbinguni.

Labda bora ya kumbukumbu ya kibiblia kwenye akaunti hii ya mbinguni ni kupatikana

katika Wafilipi 4:16 ' Kwa maana hata nilipokuwa Thesalonike, wewe ulinituma misaada

tena na tena wakati mimi nilikuwa katika haja. Si kwamba mimi ni kuangalia kwa

zawadi, lakini Mimi ni kuangalia kwa nini inaweza kuwa sifa kwa akaunti yako. ' Hapa,

Paulo alikuwa anagiza kanisa la Wafilipi kwa kifedha kusaidia huduma yake na yeye

inaonyesha kwamba si tu kwamba zawadi ugavi mahitaji yake, lakini wao walikuwa

kumbukumbu na kuonekana kwa Mungu na sifa kwa akaunti yao wa mbinguni.

Ingekuwa kuonekana basi, kwamba kila wakati sisi kutoa kifedha kila senti ya mwisho

sisi kutoa ni alibainisha kwa Mungu na rekodi ni agizo katika akili ya Mungu ya nini

kila mmoja wetu amewapa

.

Hatua zaidi kwa kutambua kuhusu akaunti hii ni kwamba kama akaunti ya benki ya

dunia , tuna fedha zilizoingia ndani inaweza kuondolewa na itakuwa na riba juu yake

pia. Badala ya sisi kufanya uondoaji inaonekana kwamba Mungu kutolewa fedha na sisi

katika wakati wake mwenyewe na njia yake mwenyewe. Kwa mfano , baada ya kusema

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kuhusu akaunti zao na waamini wao kutoa, Paulo anamalizia katika mstari wa 19 kwa

kusema, ' Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake

katika utukufu ndani ya Kristo Yesu. Ukweli huu wa akaunti ya mbinguni lazima faraja

kubwa na faraja kwetu sisi wote ambao wamekuwa mara kwa mara wanaotoa kila senti

imekuwa kumbukumbu na Bwana wa mbingu na ardhi ni mdhamini wa akaunti yetu na

tunaweza imani naye kushughulikia akaunti yetu kwa wetu faida.

Biblia inazungumzia juu ya kuwekewa hazina mbinguni kama show zifuatazo mistari

ambayo huleta nje mawazo sawa kuhusu akaunti ya mbinguni na mstari kutoka 1

Timotheo 6:19 huleta hela mawazo zaidi. Wakati sisi kutoa katika kazi ya Mungu si tu

kufanya sisi kupata faida katika maisha haya ya kuwa ni sifa kwa akaunti yetu ya dunia

lakini pia kuna faida ambayo sisi uzoefu katika maisha yajayo. Wakati sisi kusimama

mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo (2 Wakorintho 5:10) bila ya shaka tutakuwa

kuhukumiwa katika njia ya sisi kuwa na kubebwa fedha zetu na itakuwa na kesi kwamba

michango ya akaunti ya benki yetu wa mbinguni watahukumiwa kama vile? Biblia

inazungumzia tuzo ya mbinguni na 1 Timotheo 6:19 ingekuwa yatangaza kuwa moja ya

misingi ya kusambaza tuzo hizo ni rekodi yetu na akaunti ya kutoa yetu, kama wewe

alifariki usiku wa leo gani Mungu kusema juu ya akaunti yako ya mbinguni?

Mathayo 6:20 "Bali jiwekeeni hazina mbinguni,kusiko haribika kitu kwa nondo wala

kutu,wala wevi hawavunjiwala hawaibi.kwakuwa hazina yako ilipo,ndipo

utakapokuwapo na moyo wako.

Luka 12:33 'Jifanyieni mifukoa isiyochakaa, akiba isiyopungua katika mbingu'.

1 Timotheo 6:19 '....waagize watende mema,wawe matajiri wa kutenda mema,wawe

tayari kutoa mali zao,washirikiane na wengine kwa moyo,huku wakijiwekea akiba iwe

msingi mzurikwa wakati ujao,ili wapate uzima ulio kweli kweli'.

Andiko yataonyesha kwamba hata wasio Wakristo kuwa na akaunti na Mungu na kila

senti ya mwisho ya shughuli zao za kifedha ni kufuatiliwa na Mungu kuzingatia hadithi

ya Kornelio katika Matendo 10:1-8 . Mst 2 inaonyesha kwamba Kornelio alitoa mara

kwa mara kwa maskini kabla ya uongofu wake (kumbuka kwamba mpaka alipokutana

Petro alikuwa mtu ambaye hajaokoka ) na aya inaonyesha 4 kwamba wakati malaika

ziara Kornelio, kutaja ni wa maandishi Kornelio akaunti mbinguni `, Sala zako na

zawadi kwa maskini wamekuja kama sadaka ya ukumbusho mbele za Mungu ' . Ni

lazima kuwa ya faraja kubwa kwa wale wa kwetu ambao wamekuwa utaratibu kutoa

kwa miaka mingi kwamba kama Mungu kuona juu ya akaunti ya mbinguni ya watu hata

wasiookoka kama vile Kornelio jinsi zaidi haina yeye kuangalia juu ya akaunti ya

mbinguni ya watoto wake.

Hatimaye, yaliyowekwa chini ni mbili sawa maandiko ambayo wote kusema ya hifadhi

hadi mikopo katika akaunti yetu wa mbinguni bado kuteka Tofauti kati ya mtoaji na

mashirika yasiyo ya mtoaji. Maandiko ya kwanza ni kusema dhidi ya watu waliokuwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

wakitumia fedha zao zote kwa wenyewe na walikuwa wakitoa chochote kwa kazi ya

Mungu inakuja kutoka katika kitabu cha Hagai ambapo Bwana masuala kukemea kwa

watu wake kwa kusahau kuwekeza fedha zao katika ujenzi wa hekalu. Andiko la pili ni

maneno ya Yesu akawaambia wanafunzi wake - hapa tunaona neno la kuwafaa kuwa

wanaotoa na uhakika kwamba kama sisi kuwapa maskini sisi hutoa wenyewe na mfuko

wa fedha wa mbinguni ambayo si kuvaa nje. Ambayo ya mikoba mbili amesema ya

chini mnataka nini? kama wewe ni kusahau kumpa kazi ya Mungu utakuwa na mfuko

wa fedha duniani ambayo kuvaa nje , kama wewe ni mpaji utakuwa na mfuko wa fedha

wa mbinguni ambayo si kuvaa nje.

Hagai 1:6 Yeye apatae mshahara apata mshahara ili kuutia katika uliotoboka toboka '

Luka 12:33 ' viuzeni mlivyo,mtoe sadaka .jifanyieni mifuko isiyo chakaa,akiba

isiyopungua katika mbingu,mahari pasipokaribia mwivi,wala nondo haharibu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Honduras

6,485,445 ya watu ,wengi ni wakatoliki

Walikumbwa na upepo wa Mitch mwaka 1998, kanisa linahitaji kuongoza

mchakato wa uponyaji.

© www.operationworld.org

48. Wakati Wa Wutoa Ni Sasa.

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Mhubiri 11:1-2

Kariri Aya Hii: Yohana 9:4 ' Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye alienituma maadamu

ni mchana'.

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unawezaje kuhakikisha kwamba kupata faida ya

juu nje ya kutoa yako katika wakati una kushoto juu ya nchi.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Kama Mungu amesema na wewe

kubadili nyanja ya kutoa kwako basi kufanya hivyo kabla ya kukutana ijayo .

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya madhara ya mtu

kuchelewesha uamuzi wa kuwa mtoaji .

Tafakari neno baada ya neno: Waefeso 5:15

Baada ya kuona misingi ya kutoa katika wote wa mbinguni na wa kiroho akaunti ya

benki na kuonekana hapo awali wazo la thawabu mbinguni siku ya hukumu kuna kanuni

zaidi kwamba ni husika kwa tuzo ya mbinguni, hesabu mbinguni benki na akaunti ya

benki ya dunia . Kanuni hii ni kwamba wakati wa kutoa kwa akaunti ya mbinguni /

kidunia benki na wakati wa kuanza kupata hazina mbinguni ni sasa na wakati wa kuanza

kutoa katika kazi ya Mungu ni SASA. Kama wewe ni bado mtoaji kuwe na uharaka na

karibu kukata tamaa na kuanza kutoa kama kuchelewesha uamuzi huu utakuwa na

gharama ya milele ambayo itakuwa mateso juu ya siku ya hukumu.

Pengine Mungu amesema na moyo wako juu ya kufungua akaunti ya benki ya dunia

kuokoa kwa madhumuni maalum kama vile watoto yatima, hospitali , kipande cha vifaa

vya matibabu, mmishenari au mradi maalum ya kupanua ufalme wa Mungu na

itachukua 4 au miaka 5 kwa ajili ya kuokoa . Kwa mfano, kama kusubiri miaka 2 kabla

ya kuanza kuokoa kwa sababu wewe kutumia fedha yako juu ya anasa kama kinyume na

kuuhifadhi , basi wewe ni kuchelewesha baraka kwamba Yesu anataka kupanua kwa

wale wanaohitaji . Kama Mungu amesema na wewe kuanza kuokoa kisha katika utii

kwa hii ni muhimu kwamba wewe kuonyesha nidhamu katika tabia yako ya matumizi na

kuokoa yako na hata ni muhimu zaidi kwamba kuanza kuokoa sasa.

Pengine Mungu amesema na wewe juu ya akaunti ya benki yenu wa mbinguni na haja

ya kuanza kutoa na kuangalia utoaji wako kama malipo katika akaunti ya benki ya

mbinguni ambayo angeweza kusimamia kwa ajili yenu wakati wa kutoa na kufanya

amana katika akaunti yako ni sasa. Kwa mfano, tuseme kwa muda ya miaka 2 uchumi

ulipga nchi yako au vita au njaa kama umekuwa kutoa uaminifu basi utakuwa na kubwa

mbinguni akaunti ya benki kwamba Mungu anaweza ataongoza . Kama wewe

umechagua kutokutoa basi hutakuwa na baraka hakuna kumwita na msiba huo wa fedha

kwamba anakuja juu ya wasio Wakristo inaweza kuja juu yenu, kama wewe si tajiri

mbele ya Mungu. Wakati wa giza la ugumu linaweza kuja juu ya nchi zetu au miji katika

siku zijazo lakini wale ambao kujengwa kubwa mbinguni akaunti ya benki itakuwa na

hifadhi kubwa ya baraka kwa waomba na kuwa na uwezo wa kucheka hofu ya kifedha

kwamba wasio Wakristo mapenzi uzoefu!

'Naam wala Nakumbuka siku ya huzuni. Mamia ya watu alikuja ofisini kanisa kwa ajili

ya msaada. Mara kadhaa niliwauliza mswali. Hakuna hata mmoja wao aliekuwa na

uwezo wa kusema kwamba alikuwa pamoja na Mungu wakati wa siku ya mafanikio.

Mungu huangalia wale ambao humkumbuka 'Oswald J Smith' mateso ya nafsi '

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kweli hii ni mengi sana kupanua katika Mhubiri 11:1 ambayo anasema, 'Tupa mkate

wako juu ya maji , kwa maana baada ya siku utaupata tena. Kutoa sehemu ya saba,

ndiyo, hadi nane, kwa ajili yenu hawajui nini maafa inaweza kuja juu ya ' nchi. Jinsi ya

kweli aya hii ni kutokana na vita ugaidi, , njaa , magonjwa na mambo mengine mengi

sisi tu hawajui nini maafa atakuja juu ya ardhi yetu, miji yetu na sisi wenyewe - ! Sisi

bila shaka kuishi katika nyakati ya kutokuwa na uhakika mkubwa. Hata hivyo wale

ambao kupanda kwa Mungu katika nyakati nzuri wakati mambo yanaenda vizuri shaka

kuwa na uwezo wa kuvuna nyuma kutoka kwa Mungu katika nyakati mbaya, na Utoaji

yao ya awali itakuwa ya sanduku la ulinzi dhidi ya msiba wowote wa kifedha kwamba

anakuja juu ya nchi . Mbona si kuanza sasa kuwekeza kwa ajili ya baadaye yako ya

kifedha kwa kuwa mtoaji ukarimu na kujenga safina nguvu ya ulinzi wa kifedha duniani

maisha yako

Wazo hili la shielding mwenyewe kutoka msiba wa fedha ni kusema ya katika Zaburi

37:18 . Bwana anazijua siku za wakamilifu,na urithi wao utakua wa milele.Hawataabika

wakati wa ubaya,na siku ya njaa watashiba.'

Pengine Mungu amesema na wewe kwamba una kidogo mbinguni hazina na kupitia si

kutoa utaratibu mmewagusa watu wachache kwa milele. Kama wewe kuchelewesha

uamuzi kuwa mtoaji utaratibu na kuwekeza fedha yako katika uongofu wa roho

waliopotea kwa Ufalme wa Mungu basi utakuwa kupunguza muda una kushoto juu ya

nchi ili kupata hazina ya mbinguni. Kumbuka kwamba Yesu mwenyewe alisema

kwamba sisi watakaribishwa mbinguni na wale ambao maisha tuna wanashikiliwa na

kutoa yetu. Je kuingia mbinguni miongoni mwa furaha na sherehe au wewe kuingia

katika upweke na kimya kama wewe si wanashikiliwa maisha ya watu kwa njia ya kutoa

yako? muda wa kuanza kufanya marafiki kwa milele ni sasa, wakati wa kutoa ni sasa.

Labda wewe ni kijana na unaposoma kitabu hiki imani yako inakuwa hai kuamini

Mungu kuona maelfu mamilioni na wakiwekeza katika kazi ya Mungu. Ili kuanza

kuamsha sheria ya kupanda na kuvuna katika maisha yako kuanza kutoa sasa, na

utakuwa na uzoefu wa maisha ya kutoa katika kazi ya Mungu rafiki mdogo - wakati wa

kuanza kutoa ni sasa. Inaweza kuwa kwamba Mungu amekusudia kwamba wewe

kutumia 50 ijayo , 60 au miaka 70 kama kuwa mtu ambaye inatoa kiasi isiyohesabika ya

fedha katika ujumbe wa dunia na ili kuanza wimbi hili la baraka unahitaji kuanza kutoa

na kupanda mbegu za fedha.

Labda wewe ni mzee na siku yako katika dunia hii zinahesabika , kwa nini kufanya

wengi wa wakati huo ni wa kushoto kweli kuhesabu kwa uzito kuwekeza fedha yako

katika kazi ya Mungu. Kumbuka kwamba Yesu alisema katika Yohana 9:4 ' Kama mrefu

kama ni siku , ni lazima kufanya kazi za yule aliyenituma. Usiku unakuja ambapo

hakuna mtu anaweza kufanya kazi ' wakubwa rafiki, wakati unakuja ambapo wewe

kamwe kuwa na nafasi ya kutoa kwa kazi ya Mungu, wakati wa kutoa ni sasa kabla ya

siku ya kuwa upatikanaji wa samaki up na wafishwe wewe. Andiko chini inaonyesha

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kwamba hata wazee wanaweza kuzaa matunda ya kudumu kwa ajili ya Mungu - kwa

sababu ya wakati una basi katika dunia hii, kwa nini matumizi ya fedha yako kuteka

watu kwa Yesu.

Zaburi 92:12 'Mwenye haki atastawi kama mtende,atakua kama mwelezi wa

Lebanoni.watazaa matunda hadi wakati wa uzee.'

Kama Mungu amesema na wewe juu ya mahali ambapo wewe kutoa pesa yako na kuwa

na matunda ya haja ya kuwekeza mahali pengine basi muda wa kufanya mabadiliko ni

sasa. Kwa nini kujisumbua matumizi ya zaidi ya fedha yako juu ya shirika hilo ni si

kuzaa matunda na ambapo wewe ni kuona anarudi chache kwa ajili ya pesa yako chuma

ngumu ? Kama wewe unaendelea katika kutoa kwa shirika yasiyofaa wewe tu kutumika

kuendeleza kitu ambacho si kutimiza ni Mungu aliyopewa mamlaka, na wewe ni hayo

nafasi ya kuwekeza katika mahali fulani kwamba ni kufanya kazi ya Mungu. Wakati wa

kufanya mabadiliko yoyote ya lazima katika nafasi ya kutoa fedha yako ni sasa - hata

kama una aliyopewa kanisa maisha yako yote , ukizaa matunda kidogo unapaswa

kutafuta nje shirika linlostahili pesa yako unyopata kwa ugumu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Hungary

10,035,568 ya watu , 92% ni wakristo

Kanisa limekuwa baada ya ukomunisti lakini viongozi waliokomaa ni wachache

kwa ajili ya kutuimika .

© www.operationworld.org

49. Kutoa Kwa Mara Ya Kwanza

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Zaburi 23

Kariri Aya hii: Zaburi 27:13 ' Ninaamini kuwa nitauona wema wa Bwana ,katika nchi

ya walio hai.

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : shiriki uzoefu wa wakati alitoa kwa mara ya

kwanza .

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Soma hadithi ya Ibrahimu wakati

akimtoa Isaka sadaka katika Mwanzo 22.

Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya vikwazo vinavyozuia

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

watu wasitoe.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Mwanzo 22:17

Sura hii haki ya ' Kutoa katika nyakati ngumu' kufikiria baadhi ya wasiwasi kweli sana

na maswali kwamba watu wanaweza kuwa juu ya kutoa wakati hali zao kifedha ni

uhakika sana . Sehemu katika sura hii tutaangalia kutoa kwa mara ya kwanza , kutoa

wakati unaweza kuona hakuna kurudi na hatimaye kutoa fedha wakati ni mfupi hivyo

kuwa hakutakuwa na watu wengi ambao kusoma sehemu hizi kwamba si kuwa na

kufikiria sehemu hizi katika baadhi ya katika maisha yao. Wakati mengi ya nini

imekuwa alisema awali itakuwa changamoto nguvu ni mengi sana nia ya kuwa hizi

sehemu kuwa na huruma sana na hali halisi na mgumu sana fedha ambazo zinaweza

kuonekana katika maisha ya watu. Hivyo sehemu ya kwanza kufikiria kutoa kwa mara

ya kwanza labda kama una kusoma hadi sasa , umekuwa na hatia ya haja yako ya kuwa

mtoaji ukarimu - basi sehemu hii moyo kuchukua hii ya kwanza ya hatua kubwa .

Pengine njia bora ya kuwashawishi mwenyewe kwamba unapaswa kuwa mtoaji ni

kuuliza ubinafsi wako swali - Je uaminifu kuamini kwamba Mungu hataki wewe kutoa

pesa yako kuona watu kuokolewa kutoka laana ya milele katika ziwa la moto katika

kuzimu , au ina ukweli Mungu amesema na wewe juu ya haja ya kuwa mtoaji . Wakristo

wengi kukubali kwamba Mungu inahitaji wao kuwa wakarimu katika kutoa zao lakini

Wakristo wengi kuchagua kupuuza yale Mungu amesema na yao. Hatimaye kutoa si

hisia kwamba anakuja juu yenu na inafanya wewe kutoa lakini ni uchaguzi rahisi kati ya

kumtii Mungu au kuchagua kuasi Mungu . Kama wewe kumtii Mungu katika fedha yako

utakuwa kutolewa Mungu katika fedha yako kuwa fedha yako binafsi mshauri unapaswa

kuchagua kutotii kile Mungu amesema kuhusu kutoa zaka wewe kufunga mikono yake

na kufunga mdomo wake na kumzuia elekezi yako masuala ya fedha .

Sababu ya pili ni kwamba kwa kutoa wewe unaamsha sheria ya kupanda na kuvuna

katika neema yako na kama matokeo zawadi ndogo unaweza cheche mtiririko ya baraka

katika maisha yako. Mungu ana wimbi la baraka kwa watoto wake wote , ambayo yeye

anataka kuwafungulia hata hivyo, yeye hawezi kufanya hivyo mpaka kucheza sehemu

yao katika kuipokea. Haraka kama wewe kuamua kuwa mtoaji utakuwa kuanza

msimamo mwenyewe kupokea mazuri ya Mungu wimbi kurejea na badala ya baraka

inapita karibu na wewe wao kati yake ndani yenu. Kuona baraka za Mungu katika

maisha yako ni zaidi ya kuamua na wewe kuliko Mungu, yeye ni kuamua kubariki

watoto wake wote - lakini mtiririko wa Mungu wa baraka zinaweza dammed juu kupitia

sisi si kutoa (na kwa sababu nyingine pia). Kama wewe kuchagua kuwa mtoaji na

kutolewa fedha yako kwa Mungu yeye kwa upande kutolewa mtiririko yake ya baraka

na wewe.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Aidha kuwa mtoaji ni hatua kubwa katika maisha ya Kikristo ambayo Mungu

amekusudia kwamba watoto wake wote wanapaswa kutembea kwa njia ya ili maendeleo

na kukomaa katika imani ya Kikristo. Kuna baadhi ya milstenarna kwamba sisi sote na

kupita njia ambayo tunaweza kuangalia nyuma juu ya kuwa ni muhimu uzoefu katika

uhusiano wetu na Mungu - baadhi ya mifano ni hapa chini. Inaonekana kwamba kama

sisi uzoefu ukamilifu wa Roho Mtakatifu kubadilisha maisha yetu sisi kuongozwa katika

furaha ya kutoa.

.wokovu

Ubatizo wa Maji

Ubatizo katika Roho Mtakatifu

Akizungumza katika lugha

Uendeshaji katika Karama za Kiroho

zaka

Wakati mapya kwa kuwa mtoaji watu bila shaka hofu kwa ajili ya hali yao ya kifedha na

ya baadaye na badala ya uhuru kurudi fedha Mungu nyuma yake kwa kutoa , wanakuwa

amepooza kwa hofu na mtazamo zuio. Hakika Mungu si mwenye kughafilika na

ubinadamu wetu, hofu zetu na wasiwasi wetu Zaburi 139:2 anajua mawazo yetu toka

mbali. Kuwa mtoaji ukarimu ni hatua kubwa ya imani na kwa ajili ya mtu kwa basi

kwenda ya fedha zao kwa Mungu wakati maisha yao yote wamejizoesha kuweka

kushikilia sana kila senti itakuwa uamuzi mkubwa. Sauti nyingi watakuja kwako wakati

kuamua kumtii Mungu kwa kuwa mtoaji sauti ya mwili wako mwenyewe , sauti ya

shetani na sauti ya ulimwengu wote kukuambia kwa basi kwenda ya senti moja. Hata

hivyo , kati ya hizi giza sauti , ugly sauti kumtuliza ya Roho Mtakatifu itaendelea

kuhimiza wewe kuwa mtoaji

.

Hatupaswi kupumzika katika upendo wa Mungu kwamba ni kuweka juu ya maisha yetu

, na wema wa Mungu. na kumwamini kuangalia juu ya maisha yetu ili mipango yake

nzuri kwa ajili ya maisha yetu itatokea ? Kama una hofu kuwa mtoaji , basi si hakika ya

upendo wa Mungu na una imani zaidi kwamba Mungu basi wewe chini kuliko

akubariki. Kama wewe heshima Mungu kifedha yeye heshima wewe kifedha Mungu ni

mdaiwa hakuna mtu ! kama wewe kutafakari kuwa mtoaji , kwa nini imani naye ? Sheria

ya kutoa na kupokea na kupanda na kuvuna ni pale kwa faida yetu - wema na baraka za

Mungu zimegawanywa na sheria hizi. Kama wewe kujua baraka kwamba wakisubiri

wewe, basi wewe unataka kutoa ili kwamba unaweza kutolewa hii kati yake Mungu ya

baraka katika maisha yako. Amini , kupumzika na uaminifu katika wema wa Mungu na

kujiunga na imani ya Daudi katika Zaburi 27: 13 kwamba , 'Mimi kuona wema wa

Bwana katika nchi ya walio hai '.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya India

1013661777 ya watu , 2. 4% ni wakristo

Mungu anatikisa mfumo mgumu uliopo, kanisa linatakiwa kujiandaa kwa ajili ya

mavuno.

© www.operationworld.org

50.Utoaji Licha Ya Hali

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mwanzo 26:1-15

Kariri aya hii : Zaburi 126:5

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini wale waliotoa katika biblia katika hali

mbaya ndio waliopata thawabu kubwa.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Soma tena kuhusu wajane maskini

waliotoa katika 1 Wafalme 17 na Luka 21:1-4

Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya watu katika Biblia

waliotoa katika hali za kutatanisha na kuvuna mavuno.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Mwanzo 26:12

Sehemu hii itahusika na utaji wakati pesa ni chache na majaribu yametokea kwa ajili

ya kuzuia utoaji - hakika watu wengi watakumbana na haya wakati fulani katika maisha

yao. Sehemu hii inakuhimiza wewe kuendelea kutoa licha ya hali na baada ya kuona

mifano ya kibiblia ya watu waliotoa katika nyakati ngumu , wewe kuja na hitimisho

kwamba wakati mmoja unahitaji kutoa ni wakati mwingine ni mbaya. Biblia inatoa

mifano mingi ya watu ambao wanakabiliwa na hali ngumu na alikuwa na kufanya

uamuzi kuhusu kama ngumu kutoa au si (uchaguzi huo kwamba wengi wetu itakuwa na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kufanya wakati fulani katika maisha yetu ). Popote ambapo watu waliamua kutoa utii

wao walipata thawabu na inaonyesha Biblia katika maeneo kadhaa watu alitoa katika

nyakati ngumu na akapata baraka.

Mfano wa kwanza ni ile ya Ibrahimu ambaye alikuwa wanakabiliwa na uamuzi mgumu

sana ya kutoa kitu hata thamani zaidi kuliko fedha na kwamba alikuwa mwana wake

Isaka . Hapo awali, Mungu aliahidi Abrahamu kuwa angekuwa Baba wa mataifa mengi

(Mwanzo 17:3 ), na baada ya kuwa na mwana kupitia kwa Hajiri kijakazi wake , mke

wake Sarah kimiujiza anamzaa Mwana aitwaye Isaka. Kati ya wawili wana wake (

Ishmaeli na Isaka ), Mungu akamwambia Ibrahimu katika Mwanzo 21:12 kuwa itakuwa

ni kupitia Isaka kwamba uzao wake wangekuwa ungeonekana, hata hivyo katika

Mwanzo 22:0, Mungu anamjaribu Ibrahimu na kumtaka Isaka atolewe kuwa dhabihu .

Ibrahimu anakutana na hali iliyomfanya amtoe Isaka wanaonekana kufanya uwamuzi

wa kijinga lakini yeye alimtii Mungu na kuamua kutoa na matokeo yake Mungu

anaitakabali zawadi yake na kumrudisha Isaka kwake - Ibrahimu kuwa mtoaji wa

sadaka kubwa katika hali ngumu.

Jambo la kushangaza ni kwamba kilichotokea kwa Ibrahimu alikuwa kuwa uamuzi

wake wa kuwa mtoaji kupita chini kwa Mwana wake Isaka na yeye ni mtu wa pili

ambao waliamua kutoa katika hali ngumu - hadithi ni kuhusiana katika Mwanzo sura ya

26. Aya ya 1 inaonyesha kwamba kulikuwa na njaa katika nchi lakini Bwana anaongea

na Isaka na anamwambia abaki katika ardhi na atakuwa heri - Isaka kuyapinga majaribu

ya kwenda Misri na anakaa huko aliko. Katika mstari wa 12 Isaka anakabiliwa na

uchaguzi katika muda wa njaa lazima yeye anakusanya nafaka yake au lazima yeye

kupanda ni katika matumaini ya mbali ya mavuno ya baadaye :- dhahiri uchaguzi

itakuwa kusanya mbegu zake. Isaka akachagua kuthibitisha kwamba Mungu wake,

alikuwa hai na kupanda mbegu yake katika wakati wa njaa na huvuna mara mia mavuno

na aya ya 13 inaonyesha kwamba ilikuwa hakuna mavuno - utajiri wa Isaka uliendelea

kuongeza mpaka wivu wa Wafilisti ulipoinuka. Labda wewe ni unapitia njaa katika

fedha zako , kama Isaka utakuwa na mbegu kwamba unaweza ama kupanda au kusanya

Isaka akachagua kupanda mbegu zake naye akashinda hali yake.

Mfano wa tatu wa mtu kutoa katika hali hasa ngumu ni mjane wa Sarepta

aliyemhudumia Eliya, mtu wa Mungu – hadithi inapatikana katika 1 Wafalme sura ya

17 . Mstari wa 12 inaonyesha kwamba yeye na mtoto wake hali ya njaa na wanatarajia

kufa - na kile walichonacho ni konzi ya unga na mafuta kidogo . Eliya anafanya kile

kinachoonekana kuwa ombi ajabu kwa mwanamke huyu kufa na njaa kutumia kile

kidogo ili amtengenezee chakula - mjane kuchagua ili kutoa katika hali ya namna hii.

Eliya alitangaza neno la Bwana kwa mjane kwamba kama atatii na kumpa Eliya

chakula basi hifadhi yake ndogo ya unga na mafuta kupungua bila kujali jinsi gani yeye

anatumia. Kwakutii neno la Bwana na kuamua kutoa angpokea baraka tele na hifadhi

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yake ya chakula kamwe isingepungua ingawa yeye anakabiliwa na hali ngumu,

alichagua kuwa mtoaji na kupokea muujiza

.

Kwakumtazama mjane katika Agano la Kale ambaye aliyetoa katika hali ngumu sana

tunaweza pia kurejea kwa Agano Jipya na kuona mwingine mjane ambaye alitoa katika

hali ngumu inasimuliwa katika Luka 21:1-4. Kama zawadi ya fedha walikuwa

wanaweka katika hazina ya Hekalu , mjane maskini katika umaskini wake aliweka

yote aliyokuwa nayo katika hazina - jambo lililo gusa jicho la Mwana wa Mungu.

Inaweza kuwa kwamba hakuwa anajua mtu angejua ni kiasi gani yeye aliweka -

Yesu alimwona akiweka sadaka yake. zaidi ya hayo, yeye hakika alikuwa hawajui

kwamba sadaka yake ilikuwa kwa kuwa kumbukumbu katika maandiko kwa milele

yote. Kama Yesu alijua kuhusu hali ya mjane mgumu na kupongezwa yake kwa ajili ya

kumpa , yeye pia anajua kuhusu hali yako ya kifedha na ninawaweka ninyi kwa uamuzi

wako wa kutoa na Utoaji wako kupata jicho la bwana.

Wakristo wengi mno hutoa udhuru pathetic kwamba hawawezi kumudu zaka na ni wazi

kufikiri kwamba maneno haya maskini itakuwa udhuru wa kutosha juu ya Siku ya

Hukumu wakati Yesu inaonekana katika njia ya wao kuwa na kubebwa fedha zao wao ni

kwa ajili ya rude kuamka . Mjane wa Sarepta njaa alitoa mbali chakula yake na mama

mmoja mjane maskini kuweka yote yeye alikuwa na kuishi katika hazina - wewe hakika

si kukamata ama ya wajane hawa wakidai kuwa hawawezi kumudu kutoa . Kama mtu

yeyote angeweza kujificha nyuma ya hoja kuhusu kutokuwa na uwezo wa kumudu kutoa

itakuwa hawa wanawake wawili walijua utoaji bora kuliko ya kutoa hoja na wao

walipata kutoa na kupokea thawabu. Je, hilo si jambo litakalohusika siku ya hukumu ,

kutoa kwa wajane hawa wawili kunadhihirisha heshima nyingi 'kujazwa Roho ' na

waumini 'wa injili kamili' waliojiachilia maisha yao yote kuwa hawatatoa zaka.

Mfano wa mwisho wa kutoa katika nyakati ngumu ni waumini wa makanisa ya

Makedonia ambao walitoa sadaka kwa ajili ya watakatifu huko Yerusalemu maskini -

kama ilivyoandikwa katika 2 Wakorintho 8:1-15 . Mst 2 inaonyesha kwamba waumini

hawa si tu walitoa zawadi kubwa bali katika ' umaskini uliokithiri' lakini pia alikuwa

wingi furaha katika kufanya hivyo - mara ngapi wewe kusikia kwamba siku hizi ! Aidha

, katikati ya mstari wa zao uliokithiri Umaskini ' 3 unaonyesha kwamba alitoa hata zaidi

ya uwezo wao wa kutoa kifedha wazi hawakujua chochote cha 'Siwezi kumudu kutoa

zaka 'hiyo ndio tabia ya Wakristo wengi.

Hivyo, mifano ya Ibrahimu, Isaka , mjane wa Sarepta, mjane maskini na waumini wote

wa Makedonia kuonyesha kwamba wakati wao kuchagua kutii na kutoa kwa Mungu

katika hali ngumu umesababisha muujiza katika hali yao. Zaburi 126:5 anasema, ' Wale

ambao hupanda kwa machozi watavuna kwa nyimbo za furaha. Yeye ambaye huenda

zake akilia , amebeba mbegu ya kupanda , atarudi na nyimbo za furaha , amebeba

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

miganda pamoja naye '. Biblia kamwe haisemi kwamba kuwa na hali ngumu ya ya

kifedha inamaanisha kutokutoa lakini kama watu katika Biblia aliyepanda mbegu wakati

hali iilipokua ngumu na akili yao kuwa wasitoe,walipata mavuno ushindi na ambayo

yaliwasababisha wamcheke Ibilisi.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Indonesia

212,991,926 ya watu , 80 % ni Waislamu

Ni Taifa lenye wakazi wengi ambao ni Waislamu lakini Uislamu umezidiwa na

ukuaji wa kanisa.

© www.operationworld.org

51. Kutoa Licha Ya kuchoka Kufanya Hivyo

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Waebrania 6:12

Kaririri Aya Hii : Zaburi 103:2

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Imani na uvumilivu zilizonenwa katika Waebrania

6:12 tunahitaji kurithi ahadi za kifedha.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tengeneza orodha ya nyakati

Mungu alizokubariki kifedha.

Kazi ya Diploma ya kuandika:Andika upande mmoja juu ya kwa nini mavuno ya

kifedha yanaweza kuchelewa.

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Zaburi 25:13

Sehemu hii kuhusu kutoa nyakati ngumu itazingatia haja ya kuendelea kutoa licha ya

kuchoka. Idadi kubwa ya Wakristo ambao mara kwa mara hutoa itakabiliwa na nyakati

ambapo unaona hakuna mavuno dhahiri kwa ajili ya mbegu za kifedha zilizo pandwa .

Ni wakati wa nyakati hizi aliye na mashaka kuja dhidi ya imani , kuvunjika moyo na seti

katika majaribu lililojitokeza kuacha kutoa kabisa. Kama ni kwenda wakati ambapo

wewe ni kujaribiwa kuacha kutoa kama una mbegu nyingi lakini si kuonekana mavuno,

kisha sura hii ni kwa wewe kuteka kutia moyo kutoka kwa maandiko ambayo tutayaona

.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Hasa katika hali ambapo mtu ana uaminifu imekuwa kutoa lakini bado kuona mavuno ,

ni lazima alisisitiza kuwa wana haki ya kutarajia mavuno. Haijalishi kama mtu mweusi

au mzungu , mwanamume au mwanamke , Marekani au Afrika imepanda mbegu fedha -

Mungu hana ubaguzi wa rangi au jinsia au utaifa apandacho mtu yeyote ndicho atavuna

. Sheria ya kupanda na kuvuna si kama sheria ya kamari ambapo wewe au anaweza

kuona kurudi - mtu yeyote ambaye alitii na aliamini Mungu na utoaji wao kupokea

kutoka kwa Mungu. Hivyo si suala la mtu kusubiri miaka wanashangaa kama Mungu

ameona utoaji wao na wanashangaa kama yeye kuamua kupeleka mavuno ya kifedha

njia yao. Si kesi ya mavuno kama anakuja lakini linapokuja - kama umekuwa kuheshimu

Mungu kifedha unaweza ujasiri na ujasiri kutarajia mavuno.

Aidha si tu ni kesi ya wakati, kama sio, mavuno yatakuja lakini sababu nyingine kubwa

ya kuchukuliwa ni kwamba mavuno atakuja katika majira ya Mungu na chochote na

hakuna mtu anaweza kuharakisha mavuno yao. Mkulima hakuna ingekuwa kupanda

mbegu ya Jumapili na kuangalia kwa mavuno siku ya Jumatatu asubuhi bado Wakristo

wengi kutoa sadaka katika sahani Jumapili jioni na wanatarajia hundi katika post

asubuhi Jumatatu. Wagalatia 6:9 anasema, 'kwa wakati wake tutavuna mavunotusipo

kata tamaa' na hakuna kiwango cha vita vya kiroho , kwa kuomba na kutabiri

tutaharakisha mavuno. Pumzika katika maarifa ya hekima ya Mungu na upendo ili

aweze kuachilia mavuno kwa wakati sahisahi - hakika yeye hatakuangusha.

Imekuwa ikisemekana awali kwamba muda , aina , dhana na kiwango cha mavuno

yoyote viko katika maamuzi ya Mungu na sisi tu hawezi kumwambia Mungu wakati,

wapi na jinsi ya kutubariki kwakufanya hivyo ingeweza pia kutusababisha sisi kukosa

baraka za Mungu. Mungu wake usio maarifa watajaribu kutubariki kwa njia nzuri

iwezekanavyo lakini hii wakati mwingine haina fit katika nini tunafikiri anapaswa kuwa

baraka kwetu! Kumbuka kwamba Biblia inazungumzia Mungu kuikopesha bahari katika

kiganja cha mkono wake - Mungu ni mkubwa, kutisha na Bwana wa wote na hii Mungu

huo si mwenye kughafilika na wale ambao wamekuwa kuheshimu yake na fedha zao na

wale ambao hawana.

Andiko uliopita kutoka Wagalatia 6:9 inaongoza kwenye hatua kubwa sana juu ya

kuwapa wakati wewe bado hawajaona mavuno yaani, kwamba tuna uwezo wa huru

mavuno yetu andiko anasema ' Sisi kuvuna mavuno kama hatuwezi kutoa up '. Hivyo ,

swali linalopaswa - kile ni ushahidi kwamba mtu aliyeacha katika imani zao na

kimesimama kumwamini Mungu kwa ajili ya mavuno ya kifedha? Hakika moja ya

ushahidi ni kwamba wao kuacha kutoa kifedha kwa sababu kama wewe hakuna tena

kuamini kwamba Mungu anaenda akubariki kifedha, basi utakuwa na hakuna haja au

motisha kutoa kifedha. Kwa hiyo ni muhimu mno kwamba kuendelea kutoa licha ya

kuwa na uchovu wa kufanya hivyo na si kuona licha ya mavuno kuweka imani wako hai

kwa kuchagua kuendelea kutoa. Kuendelea kuomba na kusema na kuamini kwamba

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mavuno ni kuja kuendelea kutoa na wala kuwa na uchovu wa kufanya hivyo. Shetani ni

nje ya kula mavuno yako - kama ukichagua kutoa hasa katika nyakati ngumu utakuwa

unaweka ngao katiaka mavuno yako na kufunga mdomo wake na mashaka yake

kukatisha tamaa kwake .

Cha kusikitisha si tu kwamba kuna haja kubwa ya kuendelea kutoa wakati mgumu lakini

yote mara nyingi Wakristo kutoa up na kuacha kutoa na kuacha kuamini juu ya dakika 5

kabla ya mavuno yao ni kutokana - Mfano mzuri wa hili ni hadithi ya miujiza kukamata

samaki katika Luka 5:1-11. Baada ya kfanya kazi usiku wote wafuasi umechoka na

kuzimia bado sauti ya bwana ikawahimiza kutwika nyavu zao mara moja zaidi wakati

mgumu hata nao uchovu wao kutii sauti ya bwana na wao kupokea wavu kuvunja

kupata samaki . Labda wewe pia wamekuwa toiling katika eneo la fedha yako na wewe

umekuwa kutoa mpaka umekuwa uchovu wa kufanya hivyo - hana sauti sauti ya bwana

pia kuja kwenu , na kuwahamasisha wewe kuendelea kutoa? Inaweza kuwa kwamba

mavuno yako ni wiki tu , siku au hata masaa mbali - labda wewe tu na kutoa michache

mara zaidi na kwamba trigger mafuriko ya Mungu ya baraka katika maisha yako -

WALA USIKATE TAMAA! - ENDELEA KUTOA .

Hatimaye, zoezi nzuri sana ya kufanya wakati wewe wamekuwa kutoa kwa muda mrefu

bila kuona mavuno ni kuweka mwenyewe katika kumbukumbu ya mavuno yako ya

zamani na kutafakari juu ya wema wa Mungu kwamba tayari kuonekana katika maisha

yako. Zaburi 103:2 anasema ,Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana wala usizisahau fadhili

zake zote. ' kwa bahati mbaya , hivyo mara nyingi sisi kuzingatia ukweli sisi wamekuwa

wakisubiri kwa muda kwa ajili ya mavuno kwamba sisi kusahau kabisa uliopita kila

mara Mungu ana heri. Kama Mungu amekubariki awali yeye kubariki nitakubariki

katika siku zijazo hivyo basi baraka yako uliopita moyo kuvumilia na kuendelea kutoa

ili kwamba unaweza uzoefu hata zaidi. Wakristo wote wanaotoa kwenda kwa vipindi

ambapo kuona hakuna matokeo dhahiri lakini wakati wote wamekuwa wakitoa inaweza

kuwa malaika wa Mungu wamekuwa kazi katika ulimwengu wa roho ghaibu kuandaa

mavuno kwa ajili yao ambayo itakuwa iliyotolewa katika kamili wa Mungu majira.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Iran

67,702,199 ya watu , 99 % ni Waislamu

Mapinduzi ya Kiislamu yameokoa kidogo , Kanisa lililoteswa linahitaji ujasiri &

kutiwa moyoi.

© www.operationworld.org

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

52. Shetani Anatumia Fedha

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mathayo 26:14-16 .

Kariri Aya Hii: Matendo 5:03

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Tunawezaje kijikinga wenyewe na mtego ya shetani

katika fedha.

Jambo La Kufanya Kabla Wakati Ujao: Omba ili kwamba Mungu akuepushe mbali

na majaribu ya shetani katika fedha.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya njia ambazo shetani

anatumia fedha kuwanasa watu wa Mungu.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Marko 4:19

Sura hii itazingatia mazingira ya fedha katika mazingira ya vita vya kiroho kama vile

itakavyo dhihirisha wazi jinsi kupigana vita vizuri katika fedha zetu na kumshinda

shetani. Fedha ni bila shaka ni uwanja wa vita kuu kati ya Ufalme wa Mungu na Ufalme

wa Giza katika ngazi zote binafsi na ngazi ya ushirika kwa sababu mkristo, na hata

kanisa , bila ya fedha watakuwa wanakwamishwa katika uwezo wao wa kufanya

Utume Mkuu. Aidha, Shetani anaweza kutumia fedha kama kishawishi kwa kuwaweka

mbele watu wa Mungu na kuweka kama mtego wa kukamata watu wa Mungu. Sehemu

hii hasa itachukua utafiti wa kibiblia juu ya namna shetani anavyotumia fedha kama

silaha kubwa dhidi ya watu wa Mungu, fedha ni kama upanga ukatao-kuwili kwamba

tunaweza ama kutumia au kutumika kinyume chetu - kama tutatembea katika haki katika

fedha zetu tunaweza kufuta upanga na kumchinja adui yetu kwa huo.

Katika Marko 4:1-20 , Yesu anazungumzia mfano wa mpanzi ambapo yeye alikuwa

anatangaza umuhimu wa mifano yake yote kama anavyosema katika aya ya 13,

'Akawaambia, hamjui mfano huu?basi mifano yote mtaitambuaje?' Yesu anatangaza

kwamba shetani atalishambulia neno la Mungu ambalo limepandwa katika mioyo yetu

na hapo chini ni msululu wa vifaa ambavyo Yesu alisema Shetani huvitumia. Angalia

aina mbili ya silaha za shetani, nazo ni, Udanganyifu wa mali na tamaa na tamaa za

mambo mengine (tazama, neno tamaa katika wingi, linatumika )

Dhiki

Mateso

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Masumbufu ya Maisha haya

Udanganyifu wa mali

Tamaa kwa mambo mengine.

Biblia pia inatoa mifano zaidi ya watu maalum ambao si tu walishambuliwa na Shetani

lakini silaha maalum iliyotumiwa na shetani dhidi yao ilikuwa ni fedha. Mfano wa

kwanza ni ule wa Yuda Iskariote - kwamba yeye alishambuliwa na Shetani, bila shaka

kama maandiko yasemavyo katika Yohana 13:2 'Hata wakati wa chakula cha jioni;

naye ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskariote moyo wa kumsaliti

Yesu.' Aidha mbinu aliyotumia shetani akasababisha Yuda kumsaliti Yesu ilikuwa ni

fedha, maandiko hapo chini ni Mathayo 26:14 na inaonyesha jinsi Yuda alivyokuwa

tayari kumsaliti Mwana wa Mungu kwa ajili ya fedha. Licha ya kutembea na Yesu kwa

miaka 3 na kumwona akifanya uponyaji miujiza, na ukombozi , shetani alimulipa Yuda

fedha ndipo yuda akageuka nyuma kwa hasira akaghadhabikia Yesu na hatimaye

alimsaliti.

Wakati huo mmoja wa wale dhenashara jina lake Yuda Iskariote – aliwaendea makuhani

wakuu akasema, ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande

therasini vya fedha. Tokea wakati huo akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.'

Mfano ufuatao wa Kibiblia wa watu walioshambuliwa na shetani katika eneo la fedha ni

hadithi ya Anania na Safira katika Matendo 5:1 . Kanisa jipya la Bwana Yesu kristo

lililojaa utukufu usio wa kawaida wa Roho Mtakatifu ambaye alikuwa imara katika

udhibiti wa uendeshaji wa kampuni ya waumini. Hivyo, shetani alikuwa nahitaji

kuvamia uwezo huu kwa uovu na ukosefu wa haki, na silaha ya kwanza aliyotumia

kushambulia ni fedha- ilikuwa ni nji rahisi sana ya kuwajaribu na kuwanasa Anania na

Safira na shetani angekuwa na uwezo wa kupata nafasi. Shetani alipowajaribu Anania

na Safira Petro akawauliza bila hofu, 'Anania, kwa nini shetani amakujaza moyo kwako

kumwambia uongo Roho Mtakatifu?' Uongo kuhusu kiwango gani cha fedha ambazo

wamepokea kutokana na mauzo ya ardhi yao na matokeo yake ni kutokuwa na kweli

katika fedha, dhambi na hatimaye kifo cha wote Anania na Safira – ni wazi kwamba

shetani alitumia fedha na alama ya mashambulizi yanayolenga utukufu wa kanisa jipya.

Kama tunavyosoma katika kitabu cha Matendo tukirejea katika mfano wa pili ya shetani

kutumia fedha kwa kuwadanganya watu wa Mungu ifuatayo ni hadithi ya Simon

mchawi kama ilivyoandikwa katika Matendo 8:9 -25 . Simon hakika alikuwa chini ya

ushawishi wa Shetani si tu kwamba yeye alivyokuwa mcahwi lakini yeye pia alipata

ibada kutoka kwa watu na ilikuwa inajulikana kama 'MwenyeNguvu Kubwa '. Alipoona

Petro ikitoa nguvu ya Roho Mtakatifu katika maisha ya watu alivutiwa kwa uovu

kumshawishi Petro kwamba atoa pesa kununu karama ya Mungu kutoka kwa Petro .

Nashukuru Petro alikataa ushawisi huu, lakini kama Shetani angepata upenyo wa

kumweza Petro kupitia fedha za Simon basi kungetokea athari kubwa juu ya kanisa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kama athari kuubwa iliyowatokea Anania na Safira walioangukia jaribu la shetani la

awali.

Hatimaye, barua ya kwanza ya Paulo kwa Timotheo inatoa mfano zaidi juu ya uwanja

wa vita ambao upo katika fedha kati ya shetani na watu wa Mungu - hasa tunaweza

kuona hili katika 1 Timotheo 5:6-9 . hapo chini msululu wa mabo yaliyotokea wakati

mtu anapojaribiwa na wanatanguliza tamaa zao kwa kupenda fedha kabla ya kutembea

kwao na Mungu -Je! Biblia haina orodha ya kutosha juu ya onyo kutoka kifungu hiki

kifupi sana juu ya haja ya kutawala fedha zetu ? Hasa andiko linalinganisha fedha na

mtego ambao unawanasa watu wa Mungu – ni wazi shetani ameweka mitego mingi ya

kifedha na tumeona jinsi alivyomnasa Yuda, Anania, Safira na Simon mchawi. Na wewe

usipotawala fedha zako kwa ungalifu zaidi, unaweza kunaswa na shetani.

'Kuanguka katika majaribu

'Na mtego '

'Kwa udanganyifu mwingi na tamaa '

' Wapige wanadamu katika upotevu na uharibifu '

' Wakatangatanga mbali na imani '

' Wakachomwa wenyewe kwa maumivu mengi.'

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Iraq

Watu 23,114,884 asilimia , 96 % ni Waislamu

Vita na kutengwa kisiasa vinafungua Iraq kuitambua habari njema ya Yesu.

© www.operationworld.org

53. Udhalimu Hutuanika

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: : 10:9 Mithali

Kariri Aya Hi: 1 Timotheo 5:24

Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Ni nini hatari ya matendo yasiyo ya haki katika

fedha zetu.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Omba kwamba Mungu akufunulie

maeneo yote ya uovu wa kifedha.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha mifano mingi ya udhalimu wa kifedha

kama inawezekana.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 11:18 Mithali

Hivyo baada ya kuona kwamba Shetani hutumia fedha kama mtego kujaribu dhidi ya

watu wa Mungu, sehemu hii itakuwa makini juu ya eneo ambalo shetani anataka sisi :-

tuitwe waovu. Zaidi sana sisi tuwe mavuno kwa tabia ya dhambi na waovu (hasa katika

eneo la fedha zetu) ,Na zaidi ili sisi tufunge mlango juu ya uwezo wa Mungu ambao

unafanya kazi katika katika fedha zetu na ili sisi tuzidi kufungua mlango wa shetani

kwa kuiba mambo mazuri ya Mungu. Cha kusikitisha , Wakristo wanadhani kwamba

wanaweza kuchukua fedha kwa haraka na kujiingiza katika udhalimu kidogo katika

imani za ujinga kwamba wao watapata kutawala fedha nyingi, sawa – Kama tu walijua

ukweli! Sehemu itatazamisha mambo mawili ya kibibilia na kivitendo katika eneo la

udhalimu vile kwamba sisi tunaweza kuhitimisha kwamba njia pekee ya utulivu wa

muda mrefu wa kifedha ni kwa njia ya utakatifu wa muda mrefu na haki katika fedha

zetu.

Moja ya mambo ya kutisha kuhusu kutembea katika udhalimu ni ukweli kwamba

hatimaye utajikuta uko nje na hakika utajionea mambo ya aibu na fedheha ya jambo hii

ama katika maisha haya au siku ya hukumu. Maandiko hapo chini ya nazungumzia

udhalimu unavyokuwinda na kukusababisha wewe unapokuwa katika dunia kama ilivyo

nukuu katika Mithali, au katika siku ya hukumu kama ilivyo nukuu katika 1 Timotheo.

Mungu anajua yote haijalishi namna gani unajaribu kufunika uovu wako, dhambi zako

utakuwinda na kukuangusha, utajikuta uko nje namambo ya aibu yatakuandama. Tazama

jinsi aya ya 1 Timotheo inavyosema juu ya dhambi kufikia hatua ya hukumu kabla ya

mtu husika hajatenda. Utakuwa ni wakati wa kutisha katika siku ya hukumu, Watu

watakaposimama mbele ya Yesu ambaye atakuwa nakala za malipo ya dhambi

zao,karatasi zilizo jazwa na kodi inayorudishwa kimakosa mikononi mwake, inayohitaji

maelezo.

Mithali 10:9 'Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake zake

atajulikana.'

Mithali 28:18 'Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia yake ataanguka

mara.'

1 Timotheo 5:24 ' Dhambi za watu wengine zi, dhahiri zatangulia kwenda hukumuni.'

Aidha kutumia njia ya mkato za fedha na utendaji usio wa haki utaleta faida ya muda

mfupi tu ya kidunia wala haitaleta mkondo wa baraka za kudumu- kama maandiko

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yanavyoonyesha hapo chini. Tazama katika Mithali 11:18 inasema kwamba mtu mbaya

hupata mshahara wa udanganyifu - kitu chochote utakacholipwa kupitia uovu ni

udanganyifu kama ni ya kidunia, ni kwa muda mfupi tu, bora ya Mungu. Watu

wanafikiri kwamba wanaweza kujiingiza katika udhalimu kidogo na ' halafu baadaye

watajiepusha mbali na hayo ' cha kusikitisha , kila wanachokifanya ni kubadilisha

baraka za Mungu zilizo bora kwa ajili ya maisha yao na kwa ajili ya kujipatia malipo

yasiyo haki. Mithali 10: 22 anasema, 'Baraka ya Bwana hutajirisha, wala hachanganyi

huzuni nayo.', bila ya shaka ni bora zaidi kuridhika na mapato ya haki ya baraka za

Mungu katika maisha yako kuliko kujaribu kujipatia fedha za ziada zisizo halali zenye

masumbufu, hatia na kuleta mambo mabaya.

Mithali 15:16 'Kuwa na mali chache pamoja na kumcha Bwana; Ni boro kuliko kuwa na

mali nyingi pamoja na taabu'.

Mithali 11:18 "Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu '

Mithali 13:11 'Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua.'

Mithali 21:6 'Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo ni moshi upeperushwao; ni

kutafuta mauti.'

Aidha si tu mapato ya fedha katika matendo yasiyo haki ndiyo yaletayo faida ya muda

mfupi, bali cha kusikitisha mkristo anaweza kuwa na hali mbaya kuliko alivyokuwa

hapo mwanzo alipokuwa nanajaribu kujipatia fedha kwa njia ya uovu. Sheria ya

kupanda na kuvuna ni pingamizi na hakuna Mkristo ambaye hajatekwa na hali hiyo,

haifanyi tu kinyume chetu bali si tu kufanya nao kazi katika neema yetu lakini pia kazi

dhidi yetu. Kwa hiyo, kama utapanda udhalimu na udanganyifu katika shughuli yako ya

kifedha utakuwa ukipanda kwa shetani ( katika hali iyo hiyo utapanda haki katika fedha

zako ulizopanda kwa Mungu ) na shetani naye pia atazidisha uovu ulioupanda kwake.

Kama Wakristo wangeelewa ukweli huu basi hao wangeondokana na matumizi mabaya

ya fedha. kama hatimaye, katika muda mrefu , watakuwa na hali mbaya kama

inavyoonyesha katika maandiko ya hapo chini yanavyodhibitisha.

Mithali 10:2 'Hazina ya uovu haifadii kitu'

Mithali 10:16 'Kazi yake mwenye haki huelekea uzima.'

Mithali 15:6 'Bali mapato ya muovu huwa tabu tu.'

'

Mithali 22:8 '

apandaye uovu atavuna msiba.'

Ayubu 4:8 'wapandao madhara huvuna yayo hayo.'

Wagalatia 6:8 'Maana yeye apandaye kwa mwili katika mwili wake atavuna uharibifu.'

Hapa chini ni baadhi ya mifano ya udhalimu wa kifedha uliokithiri leo - orodha si

kamilifu lakini inatoa wazo zuri la aina ya mambo ambayo sisi kama Wakristo

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

tunapaswa kuwa makini sana na tusijiingize kwayo - jisikie huru kuchagua ni fungu gani

ambalo wewe ungependa kujiunga nalo! Vinginevyo kama unataka shetani awe

msimamizi wa fedha zako uwe na uhakika kuwa kakuna yeyote chini au muundo

wowote ule wa uovu upo katika fedha yako.

Uongo kukamilika wakati shuka

Uongo kukamilika nyongeza aina

Kutumia kadi ya mikopo wa kampuni kwa ajili ya manunuzi ya binafsi

Kuchukua nyumba ya vifaa vya kiofice

Kufanya kazi za msimu kwa malipo yasiyoweza kukuwezesha kulipa kodi.

Kufungua kwa siri akaunti ya benki ambayo mwenzi wako haijui

Kutumia huduma ya kampuni ya posta

Kujaza uongo kwenge fomu ya codi

Kuto kumjulisha mmojawapo wanapokuwa wamekupa mabadiliko makubwa

Kutokuwa na leseni ya luninga

Kupigia simu kazini kwako ukijifanya kuwa unaumwa na wakati si hivyo.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Jamaica

Watu 2,582,577asilimia, 10% ni waRastafarian

walionaswa na mtego wenye nguvu wa madawa ya kulevya-kanisa linahitaji ujasiri

mkuu.

© www.operationworld.org

54. Haki Hutukinga

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Zaburi 112

Tafakari Aya Hii: Luka 8:15

Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Ni jinsi gani sisi tunaweza kutenda haki katika fedha

zetu

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama Mungu amebaini eneo la

fedha zako kuwa linahitaji kushikiliwa na utakatifu, basi, fanya mabadiliko ya lazima.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika ukurasa mmoja juu ya faida ya utendaji wa

haki katika fedha zetu.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 10:9

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Baada ya kuona hapo awali kwamba tunapo jiingiza katika udhalimu kwenye shughuli

zetu za fedha zinatuanika kwa Shetani, sehemu hii itahusisha upande mwingine wa

hadithi na jinsi haki inavyoaachilia utendaji wa Mungu katika fedha zetu. Twende

pamoja, maeneo haya juu ya uovu na matendo ya haki katika mambo yetu ya fedha

inapaswa kuhakikishwa kwamba wangalizi mkubwa unafanyika katika shughuli zetu

zote katika hali ya usahihi. Kuna faida zisizo elezeka katika matendo ya haki kwenye

fedha zetu na sehemu hii tutaangalia jinsi utendaji wa haki katika fedha utakavyo

tulinda, utatupatia amani ya akili na hatimaye kutuinua zaidi kifedha.

Utendaji wa haki kwanza utalinda fedha zetu kutoka kwa shetani ambaye yeye hutaka

kuiba na kuziondo fedha katika mwili wa Kristo. Shetani hushinikiza udanganyifu,

uongo na uovu wa upatikanaji wa fedha kwa njia zisizo halali, tukikataa kutenda

matendo yasiyo haki tumzuia na atakuwa mbali na fedha zetu na haki itakuwa itakuwa

ulinzi unaozunguka fedha zetu na ita kuwa ngumu kwa shetani kushinda. Mtunga

mashairi wa kitabu cha Mithali ana mengi ya kusema kuhusu haki uadilifu, na kutenda

katika njia ya haki kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha:- tazama jinsi haki

inavyowalinda watu wa Mungu.

Mithali 10:9 'Aendaye kwa unyofu huenda salama.'

Mithali 11:3 'Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza'

Mithali 11:5 'Haki yao wenye haki itawaokoa''

Mithali 11:6 'Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza'

Mithali 11:8 "Mwenye haki huokolewa katika dhiki'

Mithali 13:6 'Haki humulinda yeye aliye mvyofu katika njia yake'

Mithali 28:18 'Aendaye kwa unyofu ataokolewa'

Zaburi 25:21 'Ukamilifu na unyofu zinihifadhi'

Manufaa zaidi katika matendo ya haki ni kwamba tunafunguliwa ufahamu na kujua

ulimwengu mpya wa furaha katika kutembea kwetu na Mungu. Ni upendeleo wa hali ya

juu na ni wazo zuri kujua kwamba majukumu yako yote ya kifedha yako katika mjia

inayo mletea Mungu heshima na kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu. Kama

matokeo ya kutenda haki katika fedha yako unaweza kutarajia utajiri wa baraka za

Mungu uthibitisho wa Mungu kuendeleza uendeshaji endelevu wa fedha yako. Watu

ambao walitenda haki kwa fedha zao wanaweza kutarajia mambo mema tu katika siku

zijazo na wanaweza kuwa na hofu ya habari mbaya na haki yao huwaweka juu ya zaidi

ya makundi ya shetani. Haki itakuwa italinda akili yako na kulinda fedha yako kama

maandiko hapo chini yanavyoonyesha, mtu mwenye haki anaweza kujua ukuu wa uhuru

katika akili, amani na furaha.

Zaburi 112:5 ' Heri atendaye fadhili na kukopesha; atengenezaye mambo yake kwa haki

kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele Hataogopa habari

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mbaya; Moyo wake u imara ukimtumaini Bwana. Moyo wake umethibitika hataogopa.'

Mithali 3:25 'Jusiogope hofu ya ghafla, wala uhalibifu wa waovu utakapokujia

Kwakuwa Bwana atakuwa tumaini lako, naye Naye atakulinda mguu wako usinaswe.'

Zaburi 37:18 'Bwana anazijua siku za wakamilifu na urithi wao utakuwa wamilele

Hawataaibika wakati wa ubaya na siku za njaa watashiba.'

Hatimaye , kama vile haki hutuwezesha na kutulinda na kutupatia amani ya akili,

nyanja ya mwisho ya kutenda haki katika fedha zetu itatuinua na kutuongoza kwenye

mavuno ya kifedha. Unajifunza katika utaona kuwa neno 'Mavuno ' na ' Haki ' mara

nyingi kuonekana pamoja na kuna sababu na athari kwamba haki itasababisha mavuno.

Maandiko hapo chini yanathibitisha hili uhusiano kati ya haki huongoza kwenye

mavuno / matunda / baraka. Haki inafanana na mbegu ya kupanda ambayo baadaye

inakuja kukubariki.

2 Wakorintho 9:10 'Naye ataongeza mazao ya haki yenu.

Yakobo 3:18 ' Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.'

Waebrania 12:12 ' Baadaye, hata hivyo , inazalisha mavuno ya haki na amani kwa wale

ambao wamepata mafunzo kwa hilo '

Wafilipi 1:11 'Hata mmejazwa matunda ya haki.'

Isaya 32:17 'na kazi ya haki itakuwa amani.'

Hosea 10:12 'Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili.'

Mithali 11:18 'Apandaye haki, anadhawabu ya hakika.'

Mithali 10:16 'Kazi yake mwenye haki huelekea uzima.'

Uhusiano huu kati ya haki inayopelekea mavuno inatoa mwanga zaidi kupitia mfano wa

Yesu juu ya mpanzi. Katika mfano huu , anaorodhesha aina 4 za watu , ambapo ni mmja

tu aliyetoa mavuno na anaelezea kwa nini mtu huyu ilifanikiwa ambapo watu wengine

watatu walishindwa. Katika Luka 8:15 anaorodhesha sifa ambazo atapata mtu yule

ambaye alizalisha mavuno kwa ajili ya Mungu, na jinsi huyo mmojawao atakapopata

tuzo zuri la kwaajili ya moyo mwema.'. Aidha, maandiko ya hapo chini ni maneno ya

Yesu na yote yanaoongelea inayomshukia mwenye njaa na kiu na kumtafuta mwenye

haki ( na kutafuta haki kabla ya baraka ) kama tukitafuta kwa bidii uadililifu ndipo na

kwa hakika baraka za Mungu zitatutafuta sisi kwa bidii.

Mathayo 5:6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watashibishwa.

Mathayo 6:33 ' Bali utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake, na hayo yote

mtazidishiwa.'

Kama tulichunguza sehemu hii kwa karibu tumeona kwamba fedha ni uwanja wa vita

kuu ya kwamba ufalme wa giza hujipanga kwa vita dhidi ya Kikristo. Hatimaye,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kiwango ambacho shetani anaweza kugusa fedha zetu hakiadiliwi nayeye lakini tu

kinakadiliwa ni kwa kiwango gani sisi wenyewe tunajiachilia kwake. Kama Mkristo

atatembea katika haki kamili katika fedha yake ndipo fedha yake haitaguswa, na

shetani hawezi kuweka mikono yake juu ya fedha hiyo. Hivyo baada ya kusoma sura hii

utafanya vizuri sana na kutathmini kwa makini na kuomba juu ya matendo utendaji

wako wa kifedha ili kuhakikisha hakuna sehemu hata kidogo ya uovu , ambayo inaweza

kukuweka kwenye mikono ya shetani amabye hutafuta fedha yako.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Jordan

Watu 6,669,341 asilimia, 2.75 % ni waKikristo

Uhuru wa dini kati ya kuongeza extremist Uislamu lazima utumike.

© www.operationworld.org

55. Kipawa Cha Utoaji

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti:Matendo 4:34-37

Tafakari Aya Hii: Warumi 12:8 'mwanye kukirimu kwa moyo mweupe.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini ni Kipawa cha utoaji ni kama

kimesahauliwa katika mwili wa Kristo.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Waulize watu katika kundi lako kile

wanachoamini katika vipawa vyako vya kiroho

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Toa mifano kutokana na uzoefu binafsi wa Biblia na

oparasioni ya kipawa cha utoaji.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Mambo ya Nyakati 29:17

Uzoefu wa maisha ya sadaka binafsi na utoaji ambao unapitia katika njia za maisha ya

kidunia ukikamilishwa na kipawa na neema ya Mungu ambayo itabadilisha matakwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yetu na mwenendo wetu juu ya fedha. Sehemu hii inazingatia utoaji kama ni moja ya

kipawa toka kwa Mungu. Mengi yameandikwa juu ya vipawa vya kiroho na watu

wanasema kwamba kuna karama 9 za kiroho 1 Wakorintho 12:8-11 ni uthibitisho wa

kibibilia hatua kama rejea ya msingi ya kibiblia, hata hivyo: 1 Wakorintho 12:27-30:1

Petro 4:9-10 na Warumi 12 :6 -8 wote wanasema zaidi juu ya vipawa vya kiroho na

Warumi 12:8 inazungumzia kipawa cha utoaji. Hivyo kutoa ni kipawa cha kiroho

kilichotolewa kwaajili ya kanisa ili kuujenga mwili kama vipawa vingine ulivyo

gawiwa na Roha Mtakatifu vinahitaji kuchochewa, vitumike kwa faida ya ndugu na

dada na wewe utatoa hesabu kwaajili ya uwakili wako, lakini ni ni nini kipawa cha

utoaji?

Naam, kama mtu ana karama ya uponyaji, anakuwa ni mtu wa haki mahali husika, na

wakati husika kuachilia baraka ( uponyaji) , kwa kunufaisha mtu mwenye haki. Ndivyo

ilivyo kwa mtu mwenye kipawa cha utoaji atakuwa mtu wa haki katika mahali sahihi

katika wakati sahihi na kuachilia fedha nanyenzo za baraka kwa mtu wenye haki na

itakuwa furaha kwao, na wajibu wa fursa ya kufanya hivyo. Labda mfano mzuri wa

maandiko kuhusu kipawa cha utoaji ni Matendo 4:34 -36 ambapo Barnaba na Mitume

wengine waliuza mashamba, ardhi na nyumba ili kukidhi mahitaji ya kanisa la kwanza.

Aidha, mfano wa Kale wa mtu aliyepata furaha, na mwenye kipawa cha kutoani Daudi

ambaye alichangisha kwaajili ya ujenzi wa hekalu. Hebu angalia katika maandiko hapo

chini baadhi ya vitu alivyosema.

1 Mambo ya Nyakati 28:2 'Mimi nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ya kustarehe

kwaajili ya sanduku ya Agano la Bwana.'

1 Mambo ya Nyakati 29:17 'Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa yote haya.'

Kama una kipawa cha kutoa ndani yako basi maneno ya Daudi pia yanakuhusu wewe -

yaani yakuwa katika moyo wako utatoa na kwa hiyari na hata kuwa na furaha katika

kutoa kifedha kwa kazi ya Mungu. Labda hujawahi kusikia juu ya kipawa cha utoaji

lakini siku zote umejisikia mzigo ndani na kuwa na hamu kupata fedha nyingi ili

uwekeze katikaInjili - labda sehemu hii itakusaidia kujiachilia katika wakfu wa Mungu

na upako katika kipawa cha utoaji. Kama Mungu ameweka moyoni mwako nia na

karama ya utoaji kwako ba karamanyingine ya kiroho haichukua nafasi hiyo nawe utajua

amani ya kweli na furaha wakati utakapoanza kuitumia karama hiyo. Barnaba ni mfano

bora wa mtu anayesukumwa na karama ya utowaji, lakini hapa chini kuna mifano ya

watu wengine wenye karama za utoaji.

Andiko Kupokea Mtoaji

Kipawa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

2 Wakorintho 11:9 Paulo

Ndugu wamakedonia Ndugu mahitaji ya muhimu

Wafilipi 4:16 Paulo

Ndugu wafilipi mahitaji ya muhimu

2 Timotheo 1:16 Paulo

Onesiforo mahitaji ya muhimu

Luka 8:3 Yesu

Wafuasi wa kike Mahitaji ya muhimu

Luka 22:10 Yesu & Wafuasi

Mmiliki nyumba Chumba cha juu

Warumi 16:1 Foibe

Kanisa la Rumi Chochote alichohitaji

Warumi 15:26 Yerusalemu waumini

Makedonia & Akaya Mahitaji ya muhimu

1 Wakorintho 16:1 Yerusalemu

waamini Wakorintho

mahitaji ya muhimu

2 Wakorintho 8:1 Yerusalemu

Waumini Wa Makedonia

mahitaji ya muhimu.

Kipawa cha kutoa kinaonekana kuwa ni karama iliyochini sana kutumika katika mwili

wa Kristo kuna sababu kadhaa kwa hili. Kwanza, mafundisho mengi na vitabu na vituo

vya kaseti juu ya Karama za Kiroho katika 1 Wakorintho 12:8-11 na migawanyo ya

karama mbalimbali za kiroho. Kwa mfano, ni wakati gani ulikuwa ni mwisho kwako

kusikia mahubiri juu ya karama inayoonyesha huruma ( warumi 2 : 8) , au karama ya

utu wema ( 1 Wakorintho 12:28) au karama ya ukarimu (1 Petro 4:9 ). Pili, ni karama

ambapo wewe ufahamu kdogo kutoka waamini wenzako. Kwa mfano, kama mtu anatoa

unabii kwa neno la usahii mbele ya kanisa kubwa basi watatambua kuwa yeye ana

kipawa cha unabii. Hata hivyo, kama kipawa chako ni kipawa cha kutoa fedha kwa

shirika au mtu basi hakuna mtu atakeye tambua kuwa hii nayo ni karama ya utoaji

imefichika sana na ni ya kipekee sana karama hii.

Tatu, kama tutahitaji kudhihirisha karama ya utoaji itatugharimu kifedha, kwa mfano ,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kutoa neno la maarifa , au la unabii au uponyaji wagonjwa haitakughrimu chochote

itakuwa kama wewe uttaka kutumia kipawa cha kutoa na kama vile si karama maarufu

sana katika jamii yetu binafsi, materialistic. Kama wewe utajisikia kwamba karama hii

ya kutoa ni yako na nia ya kiroho na unataka kutumia sehemu ya maisha yako kwa

kuitumia kwa faida ya mwili wa Kristo, kuna baadhi ya njia hapa utakazotumia

kuchochea kipawa hiki.

Ushirika na wengine walio na kipawa. Warumi 1:11 inaonyesha kwamba vipawa vya

kiroho vinaweza kushirikishwa kutoka kwa waumini ambao tayari wanavyo hadi kwa

wale amba hawana. Kwa nini usitafute wale waliokuwa navyo hivyo vipawa nawe

uvipate, wataweka mikono yao juu yako na utajazwa vile walivyo navyo. 2 Timotheo

1:6 pia anaongea juu ya vipawa vya kiroho kuwa wengine walivipokea kwa kuwekewa

mikono.

Muombe Mungu akuonyeshe watu na miradi ambayo yeye anataka kubariki. Fedha

zinatolewa kwa mtu husika kwa wakati unaofaa unaweza kuwa Ufalme wa dthamani

ya milele usioelezeka na baraka kwa watoaji na washiriki -basi wale ambao wana

vipawa vya utoaji waombe kwamba watumie sehemu ya maisha yao kuwa katika

mapenzi kamilifu ya Mungu na daima kutoa na hasa kwa watu na katika maeneo

ambayo Mungu anataka wawe .

Kutoa, na kutoa kwa ukarimu . Ushauri wa Warumi 12:8 ni kwamba njia ya

kuendeleza kipawa cha kutoa kwa kifupi ni kuwa mtoaji kwa ukarimu, kadiri unavyotoa

kwa kadiri iyo hiyo utapokea na utakuwa una wabariki watu zaidi.

Hivyo maisha ya utoaji wa fedha yatawezeshwa tu kwa njia ya neema ya Mungu wakati

anapotuvuvia karama ya utoaji tunakuwa na hamu na furaha yetu inakuwa ni kuishi kwa

kutoa maneno ya Yesu katika hali halisi Matendo 20:35 kuwa kwa sisi ' ni heri kutoa

kuliko kupokea. Ni lazima alisisitiza kuwa kipawa cha utoaji si kwa kila mtu lakini

kama kwa njia vile ulivyosoma unaamini kwamba hii inaweza kuwa ni karama yako,

basi anza hatua katika imani na hekima na kutoa kwa moyo - utii utasababisha

changamko na furaha si tu kwa wale wapokeaji lakini kwa wewe pia! Kama Biblia

inavyosema katika Warumi 12:8 kama hiki ni Kipawa chako basi, toa ukarimu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Kazakhstan

Watu 16,222,563 asilimia , 60 % ni Waislamu - asilimia 24 % ni WaKikristo.

Ujinga na ukosefu wa usambazaji Biblia vinazuia ukuaji wa kanisa lililaanzishwa.

© www.operationworld.org

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

56. Kutoa Na Vipawa Vingine Vya Kiroho

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Luka 8:3

Kariri aya hii: 2 Wakorintho 8:4 ' Wakituomba sana pamoja na kutusihi kwa habari ya

neema hii, na shirika hili la kuwahudumia watakatifu.

Baadaye Zungumzia jambo hili : Njia nyingi tofauti na aina ya kuwa mtoaji .

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tangu Biblia inatutia moyo wa kuwa

wakarimu (Warumi 12:13), alika mtu kwa ajili ya mlo.

Kazi ya Diloma ya kuandika : Andika jinsi zawadi ya kutoa inaweza kutumika kwa

kushirikiana na zawadi nyingine ya kiroho.

Tafakari neno baada ya neno: kwa neno kwenye Mstari Huu : Warumi 12:13

Baada ya kuanzisha kutoa wakati kutoa ni wajibu wa waamini wote , kuna maalum

kiroho zawadi ya kutoa - sehemu hii kufikiria jinsi ya kutoa zawadi kivitendo kazi na

baadhi ya zawadi nyingine ya kiroho inaweza kutumika kwa kushirikiana na . Mara

nyingi , zawadi ya kiroho yanaweza kutumika pamoja kwa mfano , Mchungaji anaweza

kuwa na neno la maarifa kuhusu mtu mwingine wanaohitaji kuponywa magonjwa na

kisha ikitoa zawadi ya uponyaji katika maisha yao. Kama yako ya kiroho zawadi ya

msingi ni zawadi ya kutoa unaweza vizuri matumizi yake kwa kushirikiana na zawadi

nyingine ya kiroho na unaweza pia kuitumia katika njia mbalimbali ya ubunifu – hebu

tutazame baadhi yao.

Kipawa cha kutoa kimetajwa katika Warumi 12:8 na katika mstari huo huo zaidi zawadi

ya kiroho tajwa - yaani zawadi ya kuonyesha huruma , ambayo inaweza mara nyingi

wanaohusishwa na zawadi ya kutoa. Kwa mfano, unaweza kusikia ya hali ya kukata

tamaa kutoka shamba ujumbe - kama vile haja ya kujenga kituo cha watoto yatima na

kuwatunza watoto kutelekezwa. Kama matokeo zawadi ya kuonyesha huruma inaweza

vizuri hadi ndani wewe na utakuwa na hamu kubwa ya kusaidia yatima hawa. Katika

hatua hii ya kutoa zawadi pia inaweza iliyotolewa na itakuwa ni furaha yako nzuri na

hamu ya moyo wa kutuma mchango kubwa ya kusaidia kujenga kituo cha watoto yatima

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

- hivyo vipawa wa kuonyesha huruma na kutoa yanaweza iliyotolewa wakati huo huo na

pongezi kila mmoja. Kwa kiasi leo ukali , uchungu na ubinafsi katika dunia , ikitoa

zawadi wa kuonyesha huruma na kutoa ni kama ikitoa wimbi baada ya wimbi la upendo

wa Mungu juu ya majeraha kuumiza ya wanaume na wanawake.

Zawadi zaidi ambazo zinaweza kutumika kwa kushirikiana na kipawa cha kutoa ni

zawadi ya ukarimu - inaweza pia kuwa na mshangao kwa baadhi ya watu kwamba

ukarimu ni zawadi ya kiroho na mshangao hata kubwa kwa kugundua kwamba ni kweli

moja ya zawadi ambayo Mungu amewapa wao! Warumi sura ya 12 orodha ya karama za

kiroho na katika mstari wa 13 inasema kuwa ' Kushiriki na watu wa Mungu walio katika

uhitaji. Mazoezi ya ukarimu '. Aidha : 1 Petro 4:9-11 pia anaongea juu ya vipawa vya

kiroho na mstari wa 9 anasema, ' Kutoa ukarimu kwa kila mmoja bila wakilalamika ' na

Waebrania 13:2 inasema, ' Usisahau kuwakaribisha wageni , maana kwa kufanya baadhi

ya watu walipata kuwakaribisha malaika bila kujua '.

Hivyo, unaweza kuwa na furaha ya kufungua nyumba yako na kulisha watu wengi

wapweke kanisani ambao hawana familia yao wenyewe au ambao ni wanafunzi na kuwa

na fedha kidogo au wageni ambao ni mpya na nchi yako. Imekuwa ni furaha ya

mwandishi na kuwakaribisha watu kutoka mbali mbali kama Ethiopia, Japan, Korea,

Urusi na Liberia - kwa kutoa kifedha wa kununua chakula kwa ajili yao imekuwa

inawezekana kupanua upendo wa Mungu kwao. Labda kuna baadhi ya watu katika

mkutano wako ambao upendo mlo mzuri na ushirika na wewe? Kwanini usizitafute n

kuchanganya na zawadi ya ukarimu.

Hatua zaidi kuhusu zawadi ya kutoa ni kwamba si tu utoaji wa fedha lakini inaweza

kutumika katika njia nyingi tofauti na Roho Mtakatifu bila shaka kuwaita ninyi kuwa

wabunifu na kutoa katika njia tofauti na katika njia tofauti. Inaonekana kwamba hii

inajulikana katika maandiko kama ' Kuhudumu kwa watu wa Mungu ' au ' Kuosha

miguu watu wa Mungu 'au' kuwahudumia watu wa Mungu - kama maandiko chini

zinaonyesha. Hivyo, zawadi ya kutoa inaweza kuwa walionyesha si tu kifedha lakini

wengi katika vitendo tofauti ya ukarimu na matendo mema na matendo ya wema na

zawadi ya kimwili. Kama wewe kutafuta zoezi zawadi hii basi hakika hakutakuwa na

uhaba wa fursa ya kutoa kwa watu wa Mungu - Hakika inategemea kama una macho ya

kuona kwao.

2 Wakorintho 8:4 ' Wakituomba sana pamoja na kutusihi kwa habari ya neema hii,na

shirika hili la kuwahudumia watakatifu.

2 Wakorintho 9:1 "sina haja ya kuwaandikia kwa habari ya kuwahudumia watakatifu.'

1 Timotheo 5:10 ' Nae amashuhudiwa kwa matendo mema;ikiwa amelea watoto,ikiwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

amekaribisha wageni,ikiwa amewaosha watakatifu miguu'

Moja ya mambo ya kipekee kuhusu zawadi hii ya kutoa katika mazingira ya huduma /

kuwahudumia watu wa Mungu inaweza kuonekana katika huduma ya Yesu. Yesu bila

shaka kuendeshwa katika zawadi ya kiroho na alitumia unabii , maneno ya uponyaji

hekima na maarifa , na miujiza ya pembejeo katika maisha ya watu hata hivyo, kuna

karibu hakuna mifano ya Yesu mwenyewe ndiye mpokeaji wa zawadi ya mtu mwingine

wa kiroho. Ukiondoa hii ni ukweli kwamba Yesu mara kwa msaada mkono Suzanna

Yohana na wanawake wengine ambao iliyotolewa zawadi ya kutoa katika maisha yake

kwa mfano, Luka 8:3 inasema, 'Hawa wanawake walikuwa kusaidia kwa msaada wao

nje ya njia yao' . Kwa hiyo , kama Mwana wa Mungu zinahitajika kuwa mpokeaji wa

kipawa cha kutoa wakati alipokuwa duniani , ni kiasi gani zaidi kufanya maskini, mjane

na yatima wanahitaji kuwa wapokeaji wa zawadi yetu ya kutoa?

Hivyo tumeona kuwa zawadi ya kutoa inaweza kutumika kwa kushirikiana na zawadi

nyingine sawa kiroho kama vile ukarimu na kuonyesha huruma zaidi ya hayo , inaweza

kuchukua aina nyingi tofauti kama vile. Kwa mfano , unaweza kutoa fedha, au unaweza

kutoa chakula , unaweza kutoa nguo, unaweza kutoa zawadi au kweli aina yoyote ya

utoaji - zawadi ni hakika si tu mdogo kwa kutoa fedha .Wakristo wengi huwa na sababu

ya kotokutoa pesa zao na mali zao kwa ajili ya kazi ya injili – na ikiwa una karama ya

utoaji basi hakika tabia hii itahangaishwa kwako! Jaribu kutafuta sababu na ridha ya

kutokutoa ,tazamia buni njia njema ya kutoa toa si pesa pekee bali toa hata kwa namna

nyingine pia. Tafuta watu na fursa za kutoa ili kuifanya biashara yako ya kutoa kuwa

kubwa na kufanyika kuwa baraka kwa watu wanao kuzunguka kadri uwezavyo

Nyumba Ya Maombi Kwaajili Ya Mataifa Maskini

Omba kwa ajili ya kenya

30,080,372 ya watu, 78% ni waislamu

Ngome ya kanisa la Afrika – jeshi la wamissionari wakujitolea wanasubiria

kuruhusiwa.

© www.operationworld.org

57. Chochoa kipawa chako

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 1 Wakorintho 14:12

Kariri Aya Hii: 2 Timotheo 1:6 ' Nakukumbusha uchochee karama ya Mungu,iliyo

ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.

.

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Tunawezaje kutoa kwa ubora vipawa vyetu vya

kiroho - hasa katika karama ya kutoa.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Ombeni Mungu katika sala kama

njia bora ya wanachochea yako vipawa vya kiroho.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Je, ni faida kwa muumini anayopata wakati

anapokuwa ametumia kwa ukamilifu vipawa vyake.

Tafakari neno baada ya neno: 1 Timotheo 4:14

Inasemekana hapo awali kwamba zawadi ya kutoa ni zaidi ya kutoa zawadi ya kiroho

kama vile kutabiri au kuponya, kiuwazi ni kwamba si ni kila mtu awezae kuitwa

kutumika katika karama hii. Hata hivyo, iwapo unahisi kuwa karama hii ya utoji ni

msingi wa karama yako ya kiroho basi sehemu hii itakutia moyo kuendeleza karama ya

utoaji. Katika barua zote mbili kwa Timotheo , Mtume Paulo alimhimizass Mchungaji

kijana Timotheo kuchochea karama yake ya kiroho , kama maandiko chini

yanaonyesha . Hivyo , chochote vipawa vyako vya kiroho ni (pamoja kipawa cha kutoa

), basi hakika maandiko chini kuomba kwenu - hivyo hebu tufikirie faida ya

kuchochea kipawa cha kutoa .

1 Timotheo 4:14 ' Je, si kupuuzwa zawadi yako , ambacho ulipewa kwa neno la unabii

wakati wazee wa kanisa waliweka mikono yao juu yenu '

2 Timotheo 1:6 ' Kwa sababu hii nakukumbusha kuichochea moto zawadi ya Mungu ,

ambayo ni katika wewe kwa kuwekewa mikono yangu '

Moja ya siri ya kushangaza zaidi kwamba Biblia inafunua kuhusu maisha yetu ni

kwamba kabla ya Mungu alituumba , na umba dunia , yeye tayari alijua sisi na tayari

alikuwa amepanga maisha yetu, Wizara yetu na vipawa vyetu - kama maandiko chini

yanaonyesha. Hivyo kama umekuwa amefanya na zawadi ya kutoa basi kabla ya

uumbaji wa dunia , na kabla walikuwa katika Mungu mama yako tumboni amekusudia

kwamba unapaswa kazi katika zawadi ya kutoa. Aidha, Mungu ataweka ndani ya tabia

yako na asili yako hamu ya kuwa mtoaji vile kwamba utapata kiwango cha juu cha

furaha na amani na ukamilifu. Kwa kuchagua koroga hadi zawadi ya kutoa wewe

kuingia katika karama wito, na maisha ya kwamba Mungu aliagiza unapaswa kutembea

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

katika kabla ya uumbaji wa ulimwengu na kuna utapata ngazi ya juu ya ridhaa.

Isaya 49:1 'Kabla sijazaliwa Bwana aliniita '

Yeremia 01:5 "Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujazaliwa

nalikutakasa '

Waefeso 2:10 ' Kwa maana sisi ni kazi ya Mungu , tuliumbwa katika Kristo Yesu tutende

matendo mema, ambayo toka awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo '.

Manufaa zaidi kwa kuchochea kipawa cha kutoa ni ukweli kwamba zawadi ya kiroho

pewa kanisa ili kwamba sisi kama watu binafsi kuwa na uwezo wa kupita baraka ya

Mungu kwenye ndugu na dada zetu . Kwa kuchagua si zoezi zawadi ya kutoa wewe ni

kuiba mbali baraka kutoka kwa ndugu na dada katika Kristo kwamba Mungu aliagiza

unapaswa kutoa fedha kwa . Kwa kuchagua si kukupa kuchelewesha na kuzuia

makusudi ya Mungu katika ardhi, na kwa njia ya ubinafsi wako wewe kuwaibia baraka

mbali na kaka zenu na dada zenu. Hatimaye katika 1 Wakorintho 14:12 , Paulo anasema

kwa waamini wa Korintho kutumia vipawa vyao kubariki ndugu zao na dada

' Tangu wewe ni hamu ya kuwa na karama za kiroho , jaribu kuutumia katika vipawa

kujenga kanisa '.

Zaidi, moja ya sheria ya Ufalme wa Mungu ni kwamba mwaminifu zaidi sisi ni pamoja

na vipawa vyetu vya kiroho - basi Mungu kutolewa zawadi hata zaidi ya kiroho katika

maisha yetu. Katika Luka sura ya 16 Yesu anazungumza wote kuhusu fedha na yeye

anasema katika aya ya 10 , `Mtu anaweza kuaminiwa na kidogo sana inaweza pia

kuaminiwa na kiasi '. Kama wewe kuchagua kuwa wakili mwema wa zawadi yako ya

kutoa na wewe mwenyewe kuthibitisha kuaminika basi Mungu nitakupa zawadi zaidi

kama yeye hataki kutolewa zawadi kwa wale ambao watakuwa kupuuza yao. Cha

kusikitisha , Wakristo wengi ni kutafuta ' upako safi ' na ' giftings mpya' lakini kamwe

kupata yao mpaka wao ni waaminifu na zawadi zao zilizopo kiroho.

Sheria ya kupanda na kuvuna pia kufaidika wewe kwa njia mbili tofauti kama wewe

wanachochea zawadi ya kutoa - katika maeneo ya fedha na zawadi ya kiroho. Kwanza,

kama wewe wanachochea zawadi yako ya kutoa na kupanda fedha utakuwa kutolewa

aina nyingi za baraka za Mungu na ambayo kwa zaidi kutumia kipawa cha kutoa . Pili,

kama wewe kutumia zawadi yako ya kiroho ( ya kutoa ) kubariki maisha ya watu

pamoja, utakuwa kuvuna zawadi ya kiroho kwamba watu kupanda katika maisha yako.

Kwa mfano, tuseme wewe kumtii Mungu wakati yeye unaweka katika njia ya mtu

ambaye anahitaji kuwa mpokeaji wa zawadi yako ya kutoa na wewe utiifu kutoa zawadi

kubwa ya fedha kwao. Wakati ni zamu yako kuwa mpokeaji wa zawadi ya mtu wa

uponyaji au unabii au utambuzi , Mungu itahakikisha kwamba wale ambao kazi katika

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

giftings haya na ustadi itakuwa kuweka katika njia yako. Wakristo wengi ni upset

kwamba hakuna milele mawaziri kwao na hakuna kuwapa unabii au neno kutoka kwa

Bwana - labda unahitaji kuanza kupanda zawadi yako katika maisha ya watu wengine na

kama wewe kufanya , utakuwa na vipawa vya kiroho akapata nyuma yenu.

Nia ya mwisho kwa kutaja kama haja kuchochea kipawa cha kutoa ni ukweli wa siku

ya hukumu , na uwajibikaji wetu kwa Mungu kwa ajili ya zawadi na vipaji kwamba

yeye ameitoa kwa kila mmoja wetu . Kutokana na ukweli kwamba Mungu aliyepanda na

imewekeza vipawa vyake katika maisha yako yeye ni kuangalia kwa ajili ya kurudi

katika uwekezaji wake na wakati wewe kusimama mbele ya Mungu wewe kutoa hesabu

kwake kwa njia una ( au kuwa si ) kutumia vipawa vyako . Kama baada ya kusoma

kurasa hizi amesema na wewe juu ya zawadi ya kutoa kisha hatua nje na kutoa, na kutoa

kwa ukarimu isipokuwa unataka kuangalia wajinga siku ya hukumu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Korea ya Kaskazini

24,039,193 ya watu.

Ukandamizaji uliokithiri na mateso - hali ya kanisa kiasi kikubwa haijulikani .

© www.operationworld.org

58. UTume Mkuu –Ahadi ya Agano la kale

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Zaburi ya 2

Kariri Aya Hii: Zaburi 46:10 ' Acheni na kujua kuwa mimi ni Mungu,nitatukuzwa

katika mataifs ,nitatukuzwa katika nchi.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unaelewa nini kama rejeo kuwa Ibrahimu

angebariki mataifa yote katika Mwanzo 12:3 .

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Omba kwa ajili ya watu, fedha ,

wanaume na vitendea kazi vya Utume mkuu.

Kazi ya Diploma ya kuandika: Orodhesha marejeo mengi kadri iwezekanavyo katika

Tume ya Mkuu katika Agano la kale.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Habakuki 2:14

Utume Mkuu unaweza kufafanuliwa kwa urahisi kama ahadi ya Yesu Kristo hatimaye

injili ihubiriwe kwa makabila yote ya watu duniani ili kwamba kila moja ya makundi

haya litakuwa la kiasili, kushuhudia kanisa na Biblia kuchapishwa. Hivyo, siku hatimaye

kuja wakati kila kikundi la watu katika uso wa dunia kutoka makabila ya Amazon kwa

Waeskimo , kutoka Mbilikimo wa Aborigines, itakuwa na Wakristo makanisa na Biblia .

Agano la Kale lilitoa marejeo kadha wa kadha kwa kuitazamia siku ambayo maarifa ya

Mungu yangeufikia ulimwengu mzima. Vivyo hivyo,maandiko haya ya Agano la kale

si marejeo kwa Mungu wa Agano la kale bali ni kwa ajili ya kutafuta maana timilifu ya

mtu Yesu Kristo na injili yake kuuenda ulimwengu mzima.Sehemu hii pia itatazamia

Utume Mkuu katika yale yaliyo mo katika ahadi ya Agano la kale ambayo

yamefahamika ndani ya Kristo na kanisa laje – maandadikon muhimu yameonekana

chini. marejeo Sehemu hii kwa hiyo kuangalia Utume Mkuu katika mazingira ya kuwa

ni Agano la Kale ahadi kwamba ni kikamilifu katika Kristo na kanisa lake - maandiko

maalum ni kuweka chini.

1. Mwanzo 12:3 'Watu wote duniani watabarikiwa kupitia wewe'

Hii ni moja ya ahadi ya Mungu kwa Abramu ambaye baadaye alimwita Ibrahimu na ni

ahadi wazi kwamba kwamba kila kundi la watu duniani watabarikiwa kupitia Ibrahimu.

Kwa hakika Ibrahimu hakuitimiliza hii kwa muda wa wakati wake na hata hivyo

asingeza kulitimiliza yeye peke yake kwahiyo ni namna gani watu duniani wanaweza

kubarikiwa na mwanadamu aliye kufa zaidi ya miaka 4000 iliyopita? Wagalatia 3:8 ni

Ufunguo wa andiko la Agano la kale ambao unanakiri Mwanzo 12:3 hapa ,inasemekana

kuwa wote walioiweka imani yao kwa Kristo (kwa namna hiyo hiyo Ibrahimu aliweka

imani yake kwa Mungu), shiriki imani ya Ibrahimu kama watoto wake wa kiroho. Hata

hivyo,Wakristo ambao ni watoto wa Ibrahimu kiroho watabariki watu wote duniani kwa

kuichukua imani ya Kristo na kuishiriki pamoja nao.

2. Zaburi 2:8 ' Uniombe, nami nitakupa mataifakuwa urithi wako,na miisho ya dunia

kuwa milki yako.

Zaburi ya pili ingeonekana kuonyesha mazungumzo kati ya Mungu Baba na Mungu

Mwana na Baba katika mstari wa 8 anatangaza kwamba Mwana wake hatimaye kurithi

miisho ya dunia kuwa milki yake.

Agano Jipya daima linatumia Zaburi hii ku husisha na Yesu (angaslia Aya

zilizoorodheshwa hapa chini ), na kunaweza kusiwe na shaka kwamba Aya ya 8 ni kivuli

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

cha Utume Mkuu

Mistali 1-2 > Matendo 4:25-27

Mstari wa 7 > Matendo 13:33 Waebrania 1:5 Waebrania 5:05

Aya ya 9 > Ufunuo 02:26 12:05 19:15 .

3. Zaburi 22:27 ' Miisho yote ya dunia itakumbuka na watu watamrea Bwana, jamaa

zote za mataifa watamsudia Bwana '.

Ingawa imeandikwa na Daudi, Zaburi 22 bila shaka ni kielelezo cha kusulubishwa na

ufufuo wa Yesu, ( Yesu mwenyewe ananukuu kutoka juu ya msalaba ) mara nyingine

tena, hapa chini ni mistari kutoka Zaburi kwamba ni kutumika kwa Yesu katika Agano

Jipya. Mstari wa 27 anatumia usemi huo kama Zaburi 2:8 inaposema , 'Mwisho wa

dunia ' - kuonyesha mara nyingine tena kwamba injili ya Yesu itafikia kila kundila watu

.

Mst 1 > Mathayo 27:46

Mstari wa 18 > Yohana 19:24

Mstari wa 22 > Waebrania 2:12

4. Isaya 49:6 Nitakutoa uwe Nuru ya Mataifa,upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya

dunia.

Hii sehemu ya maandiko ni kumbukumbu ya Yesu sio tu kuwa mtumishi na Masihi

Wayahudi bali pia kwa dunia nzima - yaani watu wa mataifa. Paulo na Barnaba rejea ni

katika Matendo 13:47 kuondoka Wayahudi waliokataa Injili na kwenda katika dunia

pana na kuhubiri kwa watu wa mataifa

5. Isaya 52:15 ' Ndivyo ata kavyo wasitusha mataifa mengi;Wafalme watamfumbia

vinywa vyao,maana mambo wasipambiwa watayaona,na mambo wasioyasikia

watayafahamu.

Fungu zima la maandiko kutoka Isaya 52:13 -53:12 tena ni kielelezo cha maisha, kifo na

ufufuo wa Yesu na sehemu ya mara hii ni alinukuliwa kutoka humo kadhaa katika

Agano Jipya. Isaya 52:15 inazungumzia Yesu utakaso mataifa mengi ya dhambi zao na

Paulo ananukuu andiko hili katika Warumi 15:21 kuhalalisha tamaa yake na tamaa ya

kwenda ulimwenguni kote na kuhubiri injili ambapo Kristo haikujulikana

Hivyo tumeona jinsi Tume Kuu ina ahadi kadhaa Agano la Kale kwamba ni

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

yamejumuishwa katika Agano Jipya kama akiwa na mtu, na Injili, ya Yesu Kristo. Aidha

pia kuna mengine mengi ya Agano la Kale maandiko ambayo pia kuangalia mbele na

kuenea duniani kote ya elimu na utawala wa Mungu (hatimaye njia ya Injili ya Kristo)

Zaburi 46:10 'Acheni mjue yakuwa mimi ni Mungu,nitatukuzwa katika

mataiofa,nitatukuzwa katika nchi.

Zaburi 57:5 'Eeh! Mungu utukuzwe juu ya mbingu,Na juu ya nchi uwe utukufu wako'.

Zaburi 67:2 ' Njia yake ijulikane duniani,Wokovu wake katikati ya mataifa yote.

Zaburi 86:9 ' Mataifa yote uliyoyafanya yatakuja ,watakususudia wewe Bwana

,Watalitukuza jina lako.

Isaya 52:10 ' Bwana amewka wazi mkono wake mtakatifu,Machini pa ,mataifa yote;Na

ncha zote za dunia

Zitauona wokovu wa Mungu wetu.'

Habakuki 2:14 ' Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa Bwana,kama maji

yaifunikavyo bahari'.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Korea ya Kusini

46,843,989 ya watu , 31% ni wakristo

Nguvu ya umisionari ni kubwa - hakika bora bado halijatokea.

© www.operationworld.org

59. UTume Mkuu -Amri ya Agano Jipya

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mathayo 28:19

Kriri Aya Hii: Marko 16:15 ' Nendeni ulimwenguni kote na mkaihubiri habari njema

kwa kila kiumbe'.

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : marejeo Yesu aliyoyafanya kwa habari ya Utume

Mkuu na matokeo yake kwa kanisa.

Jambo La Kufanya Kabla ya wakati ya mwingine: Omba kwa ajili ya kikundi cha

watu ambao hawajawahi kusikia Injili.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kazi ya Diploma ya kuandika: Orodhesha maandiko yote ambapo Yesu alilenga

Agizo Kuu.

Tafakari neno baada ya neno katika Aya Hii: Matendo 1:8

Baada ya kuanzisha Kale msingi kwa ajili ya Utume Mkuu na maandiko husika ambayo

inaonekana mbele kwenye utimilifu wa Agano Jipya, sehemu hii tutaangalia utambuzi

huu Agano Jipya wa ahadi ya Agano la Kale . Kimsingi, Tume Kuu ulianza katika mtu

Yesu alipohubiri kwanza ya yote katika Israeli hata hivyo, mahubiri ya injili kamwe

maana tu kwa ajili ya Israeli na Wayahudi lakini kwa dunia nzima. Hatimaye, ni Yesu

ambaye ataamuru Utume Mkuu kwa wanafunzi wake , na si tu kwao, lakini kwa wote

ambao wanamfuata , Tume ya Mkuu ni mpango mkuu wa Mungu kwamba kanisa lake

lazima kufanya kazi kuelekea.

Katika Mathayo 24:1-35 Yesu anajibu swali kuhusu mwisho wa nyakati na inaelezea

baadhi ya matukio ya kuumiza kwamba kitatokea kabla hajarudi tena. Hata hivyo ,

katikati ya maelezo yake ya nyakati za mwisho, katika aya ya 14 yeye inasema kwamba

kitu maalum sana lazima yatokee kabla anaweza kurudi - yaani , dunia nzima kusikia '

injili hii Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa katika yote dunia kama ushuhuda kwa

mataifa yote , na ndipo mwisho utakapokuja '. Kwa hiyo, Yesu mwenyewe amefungwa

kwa neno lake na yeye hawezi na si kurudi duniani hata kanisa lake wamechukua injili

yake kwa makabila yote ya watu duniani. Wakristo mara nyingi husema kwamba, ' Yesu

angeweza kurudi usiku wa leo ' hii tu si kweli kama kuna makundi mengi ya watu katika

dunia ya leo ambao hawajawahi kusikia jina la Yesu na hawana Biblia. Mpaka wao ni

kufikiwa na Injili , Yesu si kuwa na uwezo wa kurudi duniani.

Kati ya ufufuo wake na kupaa kwake kwenda mbinguni , Yesu ataamuru amri yake ya

mwisho kwa wanafunzi wake maneno haya yameelezwa katika injili ya 3 ya 4 na hawa

wamekuja kujulikana kama Tume ya Mkuu. Hakika, Yesu itahakikisha kwamba maneno

ya mwisho aliongea wakati juu ya nchi, kwa wanafunzi kwamba alikuwa na kuacha

nyuma , itakuwa juu ya somo karibu na moyo wake. Yeye ataamuru mifano, utume wa

milele kwa wanafunzi wake, (na wote yake ya baadae wanafunzi), kuchukua injili kwa

wale ambao hawajawahi kusikia jina lake - kama inaweza kuonekana kwa njia ya

maandiko ya chini. Kama wanafunzi wake walitaka Yesu kupaa kwenda mbinguni,

ingekuwa ni haya maneno ya mwisho ambayo itakuwa ya kwanza kabisa katika mawazo

ya wanafunzi.

Mathayo 28:19 'Basi enendeni Mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi,'

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Marko 16:15 ' Nendeni ulimwenguni kote na kuhubiri habari njema kwa kila kiumbe '

Luka 24:47 ' Toba na msamaha wa dhambi itahubiriwa katika jina lake,kwa mataifa yote

'.

Tugeukapo kutoka kwenye injili katika Kitabu cha Matendo tunaona jinsi kanisa la

kwanza umakini alichukua amri wa kuchukua injili katika dunia nzima. Katika Matendo

1:8 tunaona jinsi kanisa la kwanza walisubiri kwa Roho Mtakatifu aliyeahidiwa ili

kuanza Utume Mkuu, na andiko hili kwa kweli ananukuu maneno ya Yesu anaposema, '

Mtapokea nguvu wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi na mtakuwa

mashahidi wangu katika Yerusalemu, na Yudea yote na Samaria, na hata miisho ya dunia

'.

Mara nyingine tena , tunaweza kuona katika maneno ya Yesu msisitizo mkubwa yeye

ameweka juu ya wanafunzi wake kupeleka injili kwa miisho ya dunia . Roho Mtakatifu

hivyo tumwa ili kuwawezesha wafuasi wa Yesu kukamilisha Agizo Kuu wale ambao

wanatembea katika hatua na Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:25) ni wale ambao ni shauku

ya Utume Mkuu.

Unaposoma kitabu cha Matendo unakuta kwamba awali wafuasi walihubiri katika wote

wa Yerusalemu katika Matendo 5:28 Mitume wanatuhumiwa na kuhani mkuu , 'Wewe

mmeijaza Yerusalemu mafundisho yenu '. Hata hivyo, kama kusoma kwa njia ya

Matendo wafuasi si kukaa katika Yerusalemu lakini kwenda kuhubiri katika Dunia. Kwa

mfano, wakati wanafunzi hatimaye kwenda mbali kama Thesalonike , Wayahudi ambao

wanapinga yao wanasema katika Matendo 17:6 'Watu hawa ambao wamesababisha

matatizo yote juu ya dunia na sasa wako hapa '.

Aidha, Matendo 19:10 hufanya kauli ya ajabu kwamba wote wa Mkoa wa Asia

wamesikia injili! Hii inawakilisha juhudi za kiuinjilisti ajabu kwamba alikuwa kueneza

milele zaidi katika ni kuwafikia. Kitabu cha Matendo ya kuanza kwa waumini huko

Yerusalemu lakini kuishia na Paulo akihubiri Injili mbali mbali kama Roma injili

zinazochukuliwa milele kuendelea kuelekea mwisho wa dunia.

Baada yakujulikana kuwa Paulo amefika Roma na Injili , nini tunaweza kusema kuhusu

maoni yake juu ya Utume Mkuu? barua ambayo Paulo aliandika yanaonyesha jinsi

Tume Kuu ilikuwa kiu yake na nia yake kubwa. Kitabu cha Warumi Paulo ni kitheolojia

Kito na ilivyonukuliwa hapa chini ni moja ya mistari makubwa zaidi katika Biblia nzima

kwamba inaonyesha Paulo motisha na kufikiri kuelekea kuhubiri Injili. Kubwa ya Paulo

kwa tamaa ya maisha na huduma yake ilikuwa kwamba aweze kuchukua injili kwa wale

ambao hawajawahi kusikia jina la Yesu. ( Angalia jinsi yeye kiteolojia inahalalisha kauli

hii kwa kunukuu Isaya 52:15 ambayo ni moja ya maandiko tuliyoyaangalia awali

kuhusu Agano la Kale ahadi ya Tume Kuu ). Hakika kila Mkristo anahitaji ndoto ,

mpango, tamaa ya kuungua kwa maisha yao ya kikristo Paulo , mtu huyu wa ajabu wa

Mungu alifanya hivyo tamaa yake ya kupeleka injili kwa wale ambao hawajawahi

kusikia hivyo.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Warumi 15:20 'Ni daima imekuwa nia yangu kuhubiri injili ambapo Kristo haikujulikana

, ili mimi bila kuwa na kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Badala yake, kama

ilivyoandikwa, 'Wale ambao hawakuwa aliiambia kuhusu yeye kuona , na wale ambao

hawajapata kusikia , wataelewa . "

(Dalili zaidi ya tamaa ya Paulo kwa kuchukua injili na kuendelea milele kwa wale

ambao hawajawahi kusikia ni inaweza kupatikana katika 2 Wakorintho 10:16 '... Ili

tuweze kuhubiri Injili katika mikoa ya zaidi '). Aidha, kuenea duniani kote na matumizi

ya injili ni kusema ya Paulo katika Wakolosai 1:6 wakati yeye anasema, ' wote juu ya

dunia injili hii ni kuzalisha matunda na kukua '. Aidha , kama sisi kusoma kitabu kipaji

cha Warumi tunaweza kuona mengi zaidi kubwa ya Paulo tamaa na wasiwasi kwa Tume

ya Mkuu kama yeye wawili kufungua na kufunga kitabu cha Warumi na marejeo kwa

Tume ya Mkuu. Maandiko chini ya kuonyesha imani ya Paulo na kujiamini katika

kuenea baadaye duniani kote na ushindi wa injili.

Warumi 1:5 ' Ambae katika Yeye tulipokea Neema ya Utumeili mataifa wapate kujitiisha

chini ya imani.'

Warumi 16:26 '... ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii,ikajulikana kwa

mataifa kama alivyo amuru Munguwa milele ili waitii imani.'

Hatimaye, katika kitabu cha Ufunuo tunaweza kuona jinsi hatimaye Tume Kuu itakuwa

imekamilika na siku moja kutakuwa na watu wengi mbinguni kutoka kila watu kikabila

kambi kama injili kufikia mwisho wa dunia . Yesu kweli kuwa mwokozi wa dunia kama

maarifa na injili ya upendo wake na wokovu itahubiriwa kwa dunia nzima na

hakutakuwa na kundi la watu ambayo si kuzaa matunda kwa ajili ya injili. Lazima kuwe

hakuna hoja hiyo kwamba kikundi chochote cha watu ni vigumu kufikia na pia sugu

kwa injili injili kushinda wanajiunga na miisho ya dunia .

Ufunuo 5:9 "Wastahili wewe kukitwa hicho kitabu na kufungua mihuri yake;kwakua

ulichinjwa,ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na jamaa na Taifa.'

Ufunuo 7:9 `Baada ya hayo nikaona na tazama,mkutano mkubwa sanaambao hapana

mtu awezae kuuhesabu,watu wa kila Taifa,kila kabila,na jamaa na lugha,wamesimama

mbele ya kile kiti cha enzi,na mwana kondoo.'

Hili lingetushawishikatika matoleo yetu kwamba tunawekeza pesa zetu katika mpango

mkuu wa Mungu na shauku ya moyo wake kuifikia dunia kwa injili – ni kweli kwamba

hakuna njia Hii inapaswa kutuhimiza sisi katika utoaji wetu kwamba sisi tunatakiwa

kuwekeza fedha zetu katika mpango mkuu wa Mungu na haja ya moyo ya kufikia

ulimwengu kwa injili -ni kweli kwamba hakuna mahali bora pa kuwekeza pesa

zako.Hatuwekekezi pesa zetu kanisani litakalo kuwa dhaifu na makazi yenye uchungu

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ambalo litatakiwa kuokolewa na Yesu atakapo rudi kutoka katika vifungo vya mpinga –

Kristo.

Pesa zetu zinawekezwa ulimwenguni kote katika Ufalme wa milele wa Mungu ambao

siku moja utaitawala ulimwengu huu,na ndio maana pesa zetu zinatakiwa kufikia kundi

la mwisho ambalo halijawahi kuisikia injili ni muhimu.Kupitia kutoa kwetu tunaweza

kuwafikia watu wa kila Lugha, kila kabila, na kila usemi ambao siku moja wataweza

kusimama mbele ya kiti cha enzi cha Mfalme Yesu.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kuwait

1,971,634 ya watu , 87 % ni Waislamu

Idadi kubwa ya wafanya kazi wa kigeni wanaweza kuipeleka injili kwa watu.

© www.operationworld.org

60. Utume ya Mkuu – Kazi Kuu Ya Mungu

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 24:45

Tafakari Aya Hii: Mathayo 24:14 "Tena habari Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa

katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote, hapo ndipo ule mwisho

utakapokuja '

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini ilikua ni makusudi ya Paulo kuhubiri injili

mahali ambapo haijawahi kufika (warumi 15:20)

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Omba kwa ajili ya kazi ya

wamishenari duniani kote

Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja, kwanini Utume ni kipaumbele

cha Mungu

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Warumi 15:20

Baada ya kuanzisha Utume mkuu wa kibiblia katika Agano la kale na Agano jipya

inaweza kueleweka kwamba Utume Mkuu ni kipambele cha juu cha Mungu duniani

hasa kwa wakati huu na pia ni vita kali na ufalme wa shetani. Katika sehemu tatu,

maelezo tofauti lazima yaeleweke ambayo yanayotakiwa yawe ni hitimisho kwamba

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Utume Mkuu unatakiwa kuwa ni kipaumbele binafsi cha juu kwa kila ndugu mkristo.

Mengi zaidi ya kutumika yataonekana katika kurasa zinazofuata katika kitabu

kinachoitwa ''Tamaa ya Nafsi' kilichoandikwa na pengine na mmissionari mkubwa wa

kanisa ambae hajawahi kutokea -Oswold J Smith.

Huo ndi muonekano wa ukuu wa kiroho kama ilivyoandikwa kwa habari ya utambulisho

wa kitabu na Mwinjilisti Mkubwa wa Ulimwengu -DR Billy Graham,aliyesema, 'kama

mmissinari wa ulaya utofauti wa kijinsia.Duniani kote jina la Oswold J Smith

linatambulisha Uinjilisti Ulimwenguni kote'.

1) Swali Lisilojibika

' Kwa nini mtu yeyote asikie Injili mara mbili,

Kabla mwingine hajawahi hata kusikia hata mara moja'?

Swali la hapo juu hakika ni swali lisilojibika kwa mkristo yeyote muamini wa Biblia

ambayo inaonyesha kipaumbele cha Utume Mkuu katika mpango wa Mungu katika

dunia kwa wakati huu. Kumbuka, Yesu aliwaambia wanafunzi wake wakung'ute

mavumbi ya miguu yao ikiwa kijiji walichohubiri ndani yake hawakutaka kusikia na

kuondoka kijiji kinachofuata.

Kumbuka kwamba pia mtume Paul alikua na shauku kubwa maishani mwake kuhubiri

injili mahali ambapo kristo hakua amesikika (warumi 15:20). Je! Unaweza kujibu swali

hili na kibiblia haisemi kuwa unatakiwa kuweka Utume kama kipaumbele chako namba

moja.

Kwa hili, na kwa hili pekee,ni lazima tuhukumu watu wote wa rohoni,wenye ufahamu

wote wa kibiblia,wote walio na mafunzo nawenye mijadala ya kitheologia.

Ikiwa kweli sisi ni watu wa rohoni, ikiwa kweli sisi ni wanafunzi wa kibiblia, ikiwa

mafunzo yetu ni ya kimaandiko, tutaweka uinjlisti wa ulimwengu kwanza tutatoa ,na

kutoa zaidi,kwa ajili ya huduma .Wenye Ufahamu wote wa biblia,watu wetu wote wa

rohoni,wenye viwango vya mafunzo si chochote bali kuamini,tusipoweka vitu kwanza

vitu vitu havitakuwa vya kwanza,nahivyo tutakuwa tukijidanganya wenyewe.'

2) Kipaumbele kichoharibika

' Kipaumbele kikubwa cha kanisa ni kubeba injili

katika makundi yote ambayo hayajawahi kuisikia'

Ikiwa umeshindwa kujibu swali lisiloweza kujibika basi kinachofuatia ni kipaumbele

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

namba moja ambacho ni kuipeleka injili katika makundi ya kidini ambayo hayajawahi

kuisikia .Ikiwa nchi yako na mji wako hauna Biblia,kanisa au wakristo basi eneo lako ni

la pili kwa umhimu kwa maeneo yote hayo ambayo wakazi wake hawana biblia ,wala

makanisa au wakristo. Je! Utatumia muda wako ,pesa na maisha yako yote mahali

ambapo tayari pana injili au utafanya ni jukumu lako kuu la kuipeleka injili kwa

makundi ambayo hayajawahi kuisikia ?

'Fikiria ,kama wewe utaeneza injili kwa mashirika tofauti tofauti kwa mamia kwa

mamia.

Pia fikiria machache ya nje.Hakika haiwi sawa .tumelenga kwa habari ya kazi ya

nyumbani na kusahau kwa wote ambao injili imeandaliwa kwa ajili yao.......kwa nini

sasa tilenge tu kwa wote walio nyumbani,ambao kwa kiasi kikubwa hawahitaji,na hivyo

wanakuwa wanahitaji wachache kama wangekuwa na na nafasi'

Oswold J Smith -Tamaa Ya Nafsi

3) Nani anasubiri kwa ajili ya nani?

Cha kusikitisha ,kuna mafundisho mengi,nyimbo nyingi ziimbwazo na maombi mengi

yanaombwa ili kusudi Yesu arudi duniani kama alivyo ahidi kuwa angerudi - msukumo

uliopo ni kwamba limekusudia na kumtazamia Yesu angani kurudi na inaonekana kuwa

kanisa linauvumilivu! Nai mara ngapi tunasikia wakristo wakidanganya kuwa 'Yesu

atarudi usiku huu'?

Ukweli ni kwamba Yesu hawezi, na hawezi kurudi duniani iwapo injili haijafika katika

makundi yote ya kienyeji (Mathayo 24:14)

Matokeo yake,si jambo kuwa kanisa linamsubiri Yesu kurudi wakati wowote bali ni

jambo la Yesu kulizubiri kanisa kutimiliza Utume Mkuu ili kumruhusu yeye kurudi.Je!

Unamini kuwa Yesu alikuwa akisema ukweli aliposema angerudi tena? Je! Unashauku

ya kumuona akirudi ili kuimarisha Utawala na Ufalme wake? Ikiwa ni hivyo,usisubiri

na kustajaabu hili litatokea lini bali enenda katika tumaini hili kwa kulifanya kipaumbele

chako cha juu kwa kuipeleka injili kwa wote ambao hawaja wahi kuisikia na kwamba

ishara za kurudi kwake lazima zitimie.

'Kristo anataka kurudi. Anatamani kutawala. Ni haki yake. Na kwa hivyo anasubiri nini?

Anatusubiri mimi na wewe kumaliza kazi. Anatususubiri sisi kufanya kile ametuamuru

kufanya.Mara nyingi iwezekanavyo ni lazima aliseme hivyo akaapo huko, 'kwa kipindi

gani,nina shangaa, Je! Wataendelea kunifanya nisubiri? Wataniruhusu kurudi lini? Je!

nitarudi lini duniani na kukaa katika kiti changu cha enzi na kutawala”'Tunayo kazi bali

kazi moja kubwa na neno la Mungu, “Damu yake nitaihitaji mikononi

mwake,”itatumika kwetu ikwa tutaishikiria injili. Ikiwa basi Mfalme anakiwa

kutawala, basi ni lazima tuimalize kazi. Ni lazima tuweke vyote pembeni na

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

kushughulika na kazi hii moja, mwisho wa Uinjilishaji wa ulimwengu katika kizazi

chetu wenyewe.' Oswold J Smith – Tamaa Ya Nafsi

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Kyrgyzstan

4,699,337 ya watu , 13% ni wapagani

Umaskini , Uislamu na Spiritism wote wanawinda kuchomoza kwa kanisa

© www.operationworld.org

61. Utume Mkuu - Ijue Sehemu Yako

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mathayo 24:14

Kariri Aya Hii: Yohana 4:36 ' Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda

kawa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.'

Baadaye Zungumzieni Jambo Hili : Kwa nini mtu yeyote kusikia Injili mara mbili, kabla

ya kila mtu amesikia ni mara moja.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi, muombe Mungu

akuonyeshe sehemu yako katika Utume Mkuu.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya makundi makuu matatu

ya huduma kuhusiana na Agizo Kuu.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Warumi 10:14-15

Biblia inatoa mifano kadhaa ya shughuli ambazo wasifu kwa wakristo ambao

wanamtumikia Mungu kikamilifu - baadhi zimetajawa mara 2,3,4 au mara nyingi zaidi

nje ya Biblia . Tuliona hapo awali kwamba Mungu ameweka kipaumbele zaidi Utume

Mkuu katika dunia kwa wakati huu kama inavyoonyesha kurudi mara ya pili kwa

Mfalme Yesu kuanzisha utawala wa ufalme wake duniani. Hivyo, Biblia inatoa marejeo

mengi kwamba Wakristo wanapaswa kuangalia mbele , na kufanya kazi kuelekea

kwenye kukamilisha Utume Mkuu na kurudi kwa Yesu.Hakika maeneo 9 ya Biblia

yanaonyesha kwamba Wakristo wanapaswa kuwa na subira na kuangalia mbele na

kuwezesha kurudi kwa Yesu.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

1Wakorintho 1:7 'Hata hamkupungukiwa na karama yeyote, mkikutazamia sana

kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kriasto.'

Wafilipi 3:20'Kwa maana, sisi wenyeji wetu uko mbinguni, kutoka huko tena

tunamtazamia mwokozi.'

1 Wathesalonike 1:10 'Na kumungojea mwanae kutoka mbinguni, ambaye alimfufua

katika wafu.'

2 Timotheo 4:8 'Baada ya hayo nemewekewa taji ya haki,ambayo Bwana muhukumu

mwenye haki, atanipa siku ile-wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda

kufunuliwa kwake.'

Tito 2:13 ' Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu

Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.'

Waebrania 9:28 'Kadhalika Krsto naye, atatokea mara ya pili, pasipo dhambi kwa hao

wamtazamiao kwa wokovu.'

Waebrania 10:25 "wala tusiache kusaidiana pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine bali

tuonyane na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.'

2 Petro 3:12 'Kitazamia hata ije siku ile ya Munguna kuhimiza.' ambayo katika siku hiyo

mbingu zitafunuliwa.'

Yuda 21 'Jilindeni katika upendo wa Mungu huku mkingojea rehema ya Bwana wetuhta

mpate uzima wa milele.'

Baada ya kusoma aina 9 za ushuhuda wa neno la Mungu, unaweza kusema kwamba

maandiko hayo hapo juu yanaelezea uzoefu wako wa Kikristo? Ie!usonaga mbele, na

kufanya kazi kwaajili ya siku ya kurudi kwa Yesu duniani? Je! Umekuwa miliki wa

maono haya ya kupeleka injili kwa wale ambao hawajawahi kusikia? Je! kazi ya

maisha yako kwamba wewe kutumia muda wako, nguvu na pesa zako? Labda wewe ni

mwaminifu katika kazi kujitolea katika kanisa lako lakini hujawekeza katika kazi

kubwa katika dunia kwa wakati huu wa kuchukua injili kwa wale ambao hawajawahi

kusikia.

'Wengi ni wamojawapo, mimi ninahofu, ni kwenda kukosa mwelekeo. Unaweza

kuponya roho za watu wengi katika mji wako. Unaweza kuwa ni mmoja kati ya walio

waaminifu katika kanisa lako, lakini Umefanya nini kwa wale mataifa waliogizani? Je!

uliwahi kufikiria kuwaendea? Je! Umewahi kutoa fedha yako kwaajili ya mtu mwingine

ili awaendee? Je! Umewaombea? Ni eneo gani ambalo wewe umehusika katika

kuinjilisha ulimwenguni? Je, uliitii amri? ' Takwa la Oswold J Smith - ? kwaajili roho za

watu?

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Kwa hiyo, ni muhimu sana kwamba kila Mkristo atoke inje na kufanya kwa sehemu

yake katika Utume Mkuu kama inavyoonyeshwa hapo juu na Oswold J Smith anavyo

bainisha maeneo matatu kwa upana ambayo kwamba watu wanaweza kuchangia.

1) Wale ambao wanaweza kwenda na kuhubiri.

2) Wale ambao wanaweza kuomba kwa ajili ya wale wanaokwenda na kuhubiri

3) Wale ambao wanuwezo kifedha kuchangia wale wanaokwenda na kuhubiri.

Bila shaka aina hizi zote za huduma ni za muhimu na zinachangia umisioni duniani ni

vema kama ungeonekana upo kati ya mojawapo. Haja kubwa ni kwa kila mmoja wetu

kupata nafasi kuelekeza mioyo yetu ili kutimiliza kazi hi kubwa kwa wakati

unaokubalika.

Yeyote anayetuma fedha ni muhimu. Kuna wale ambao watakuwa wakishikilia kamba

nyumbani. Na kama wewe , rafiki yangu , hauwezi kwenda , basi labda Mungu anataka

wewe kuwa mtumaji na kuona kwamba mwingine huenda kwa niaba yako. Nafasi yako

wewe ni kuzalisha fedha na kumfanyia mwingine uwezekano wa kwenda. Na

ukumbuke mwamba, utashiriki sawasawa katika ujira .

Pia kuna maombi. Inaweza kuwa wewe huwezi kupata fedha na kwamba unayo to ya

kukutosha wewe kwa ajili ya mahitaji yako mwenyewe. Huwezi kuwa na uwezekano wa

kutuma mwingine lakini unaweza kuwa tu katika kuomba. Unaweza kutumia muda

kidogo kuomba kwaajili ya Afrika, na India , na China, kila siku. Unaweza kupata

orodha ya wamisionari na kuwaombea. Hiyo unaweza kuwa ni wajibu wako, na kama

ndivyo ilivyo, utadaiwa kama utajitoa katika wajibu huo. Wewe, pia, unaweza kushinda

tuzo kwa uaminifu kuomba kwa ajili ya wale ambao wamekwenda wale ambao

umeshiriki katika kazi zao.

Basi, bila shaka , kuna kwenda- , na kama wewe una afya na nguvu, au kama unaweza

kupata mafunzo muhimu, na kama umejiandaa, unaweza kwenda. Maombi yatakushukia

kama mabavyo huwa unaomba kwaajili ya kazi za maisha yako na wewe utakuja kujua

kama ni wito waMungu. Mimi nakuhamasisha kwaajili ya kazi kubwa sana katika

dunia. Nakusihi uende kama unaweza. Hakuna jambo zuri kama hilo.Kwanini

Wamisionari ni watumwa wa Mungu.ni watumwa wa kanisa . Utajihusisha na watu

wazuri duniani'

sOswold J Smith

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Laos

5,433,036ya watu , 61% ni Wabuddha

Kanisa linakua licha ya mateso makali ya serikali ya kikomunisti kwa waumini. © www.operationworld.org

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

62. Kuhudumu Kama Mtumwa

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Warumi 10:14-15 .

Tafakari Aya Hi: 3 Yohana 6 'Utafanya vizuri ukiwasafirisha kama ipasavyo kwa

Mungu.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Jinsi mtu anaweza kukamilisha zaidi umisioni

katika shamba kwa njia ya kutuma fedha zao badala ya kwenda wenyewe.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: waulize wazee kwa upole waulize

wazee wako wa kanisa ni jukumu gani linalofanywa na kanisa lako juu ya Utume Mkuu.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Pamoja na kumbukumbu kwa Warumi 10:14-16 ,

jadili jinsi ya mchakato wa kumfanya mtu aokolewe anza na mtu wa kwanza ambaye

amewahi kumwa.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:16

Kama ulivyoona hapo awali juu ya umuhimu wa Utume Mkuu, sehemu hii itatazamisha

utoaji na Utume Mkuu na hasa jukumu la kuwahudumu kama mtumwa na kutoa ili

kwamba mtu mwingine mwenye karama ya kimisionari / mtume anaweza kwenda

kuinjilisha kwenye makundi ya watu ambao hawajafikiwa.

Rejea kumbukumbu hii maarufu andiko la kimisionari la Warumi 10:13 'kwa kuwa,

kila takaye liitia jina la Bwana ataokoka. Basi wamwitaje yeye wasiye mwamini? Tena

wamwaminije yeye wasiye msikia? Tena wamsikiaje pasipo mhubiri? Tena wahubirije,

wasipopelekwa?'

Hapa chini ni maneno muhimu kutoka Warumi 10:13 kifungu ambayo kinaonyesha

mchakato wa mtu kupata kuokolewa, mchakato mzima huanza na mtu kumtuma mhubiri

/kimisionari. Mtumaji anahitaji mumisionari kwenda shambani na mumisionari anahitaji

mtumaji kumtuma na kumsaidia, wakati ushirikiano huu unapowekwa katika vitendo

ndipo injili inaweza kuenea duniani kote, lakini chanzo cha haya yote ni lazima kuna

wale ambao wanawatuma wamisionari.

Kuokolewa > Wito>Kuamini > Kusikia > Kuhubiri > Kutuma>

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Labda mfano mzuri wa kibiblia juu ya kuhudumu kama mtumwa ni Gayo ambaye

Waraka wa 3 wa Yohana imeandikwa. Muonekano wa barua hii ni kwamba wahubiri

waliotumwa na Yohana walikataliwa nakuto kuelewana na Deotrefe (Aya ya 9) lakini

Gayo aliwatendea kwa ukarimu na Yohana anamtukuza kwakufanya hili na zaidi katika

Aya ya 6 anaposema, ' utafanya vyema ukiwawasafirisha tena kama ipasavyo katika

Mungu.Ilikuwa ni kwa ajili ya jina walilopelekwa kwalo,ndio maana hawakupokea

msaada wowote kutoka kwa wapagani'.Pengine hili lingehushishwa katika

ukarimu,pendo kutiwa moyo na maombi na pengine njia kubwa ambayo Gayo

angewasafirisha kwayo kwa habari ya umishonari wao ilikuwani kwa kupitia zawadi

ya pesa . Mfano zaidi,ni Tito ambaye anatukluzwa na Paulo katika Tito 3:13 kwakutoa

kwa ajili ya ndugu waamini , ' fanya kila uwezalo kumsaidia Zena na Apolo katika safari

yao ili wasipungukiwe na chochote'

Pamoja na watu kutumika kama watumwa,kibiblia tunaweza kuona makanisa

yaliyotenda hivyo – ni vyema sana watu wanaposaidia wamisionari na utme mkuu wa

mathayo 28:18-20, lakini kwa hakika ni mapenzi ya Mungu kuona kanisa linatoa fedha

kwa ajili ya kusaidia kazi ya umisinari ulimwengu kote.Kwa mfano, Paulo na Barnaba

walipoliacha kanisa la Antiokia katika safari ya umisinari wao wa kwanza kanisa

lilichanga ili kuwasafirisha kwa mfgano,Matendo 13:3 inasema,' kwahiyo \,baada ya

kufunga na kuomba, waliweka mikono juu yao na kuwasafirisha'. Tunaposoma katika

kitabu cha matendo tunapata mifano zaidi ya Barnaba na Paulo kusaidiwa na kanisa

Matendo 15:3 inasema,kanisa liliwasafirisha'. Zaidi katika barua yake kwa wafilipi,

Paulo analiagiza kanisa la filipi kwa ajili ya msaada wao wa ki\fedha kwa huduma

Wafilipi 4:16 "Hatas nilipokuwa Thesalinia, mlinitumia msaada tena na tena nilipokuwa

mhitaji.

Kiuhalisi kuna mifano mitatu zaidi ya kibiblia Paulo anapohusisha ushirika huu wa

utume/kutoa na umisionari na hasa kwa ajili ya makanisa kusafirisha wamisionari.

Paulo analitazama hilo kama mtu alietumwa kwa ajili ya safari ya umisinari na

kuandika juu ya shauku na matarajio yake kuona makanisa yakimsaidia kifedha. Kwetu

sote tunaohitaji kuishi maiosha yetu yote katika kutoa basi hili eneo la kutuma na

kusaidia wamisionari ni eneo muhimu la kusaidiwa kupitia utoaji wetu. Kwa huzuni,

Wamisionari wengi hawajawahi katika kazi ya umisionari na pengine wanaondoka

kutokanana upungufu wa pesa Je!sisi wenye karama ya utoaji tumekwisha kubadili

mwenendo huu.

Warumi 15:24 ' Natamani kuwatembelea wakati nitakapopita na kuniosaidia katika

safari yangu'

1 Wakorintho 16:6 'Pengine nanyi kidogo,au kukaa nanyi wakati wa baridi, ili kusudi

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

mpate kunisaida katika safari yangu popote nitapoenda'

2 Wakorintho 1:16 ' Nilitarajia kuwatembelea wakati wa kurudi kutoka Makedonia na

kurudi tena wakati wa kurudi kutoka Makedonia ,na kunisafirisha kwend Yudea'

Ilisemekana habari ya Mkristo mmoja aliekuwa akitoa mara kwa mara katika kwa ajili

ya kazi ya umisionari ambayo ilipata matokeo makubwa kutoka na michango yake ya

kifedha na kuona utume mkuu ukiimalika kuliko kama angeenda au kuwa yeye

mwenyewe kuwa mmisionari. Si kila mtu meitwa na kuwa mmisinari lakini kuna

walioitwa m,aishani mwao kutoa pesa zao kwa wamisionari na kuwasaidia ili waweze

kwenda katika kazi ya umisionari.Ikiwa umeitwa umeitwa kama mtumwa, nawe

unampa mtu alieitwa kama mmisionari /mafuta ya Utume kwenda na kufanya kazi ya

Utume,unaweza kugusa bara lolote na nchi yoyote ulimwenguni hata kama hujaenda

pale wewe mwenyewe.

Katika wakati ulipo wa kuandika mwandishi amekwisha kutoa kwa ajili ya kazi ya

Mungu kwa zaidi ya nchi 20 na pia ana ndoto za kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu kwa

kila nchi ulimwenguni!

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Kuomba kwa ajili ya Latvia

2,356,508 ya watu , 40%ni nchi zisizo za kidini licha ya uhuru,kanisa bado

limesimama katika wito wake.

© www.operationworld.org

63. kuongeza au kupunguza Kasi ya Kurudi kwa Yesu

Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 1 Wathesalonike 1:9-10

Kariri Aya Hii: 2 Petro 3:12 ' Iwmewapasa kuishi maisha matakatifu na utauwa

mkitazamia hata ilesiku ya Mungu, na kuihimiza ;

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Je, sisi kusubiri kwa Yesu au ni yeye kusubiri kwa

ajili yetu .

Jambo La Kufanya Kabla ya wakaiti mwingine : Omba kwa ajili ya uongozi wa

kanisa lako ili kwamba kanisa lako liwajibike katika kuharakisha kurudi kwa Yesu.

Kazi ya Diploma Ya kuandika: Andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kufanya

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

ili kuchochea kurudi kwa Yesu.

Tafakari neno kwa neno katika Aya hii : 2 Timotheo 4:8

Katika maeneo ya si chini ya 9 tofauti Biblia inaonyesha kweli kwamba Mkristo

anapaswa kuangalia mbele , na kufanya kazi kuelekea, kurudi kwa mara y pili kwa

Yesu duniani Maandiko yameorodheshwa katika sehemu ilyopita. Hasa, katika

utoshelevu huu wa maandiko, kati yake yanatoa maandiko ya muhimu kahusu kurudi

kwa Yesu.

2 Petro 3:12 ' Imewapasa kuishi maisha matakatifu na utauwa mkiitazamia siku ile ya

Mungu na kuiharakisha'

Ingeonekana kuwa mwili wa kristo, na hasa kila mkristo anweza kuathiri kurudi kwa

Yesu duniani . Wakati maandiko hapo juu yanavyoonesha kuwa tunaweza kuharakisha

na kuhimiza kurudi kwa Yesu duniani, basi kinyume chake ni kweli – tunaweza kuzuia

na kuichelewesha . Mpango wa Mungu umefungwa pamoja na kanisa na shughuli zake

duniani na wakati kiasi kwamba kanisa linaamua kushiriki na na mpango huu.

Wakati biblia inaonesha ukweli huu kwamba mwili wa kristo unaweza kusaidia au

kuzuia kurudi kwa Yesu, Tunaweza kuonyesha vipi ikiwa sisi ni wakristo kuwa

tunafanya sehemu yetu?Na kwasababu imesemekana kuwa Utume mkuu lazima

utimiekabla Yesu hajarudi, na sisi kila mmoja tuna sehemu ya kufanya katika kuitimiliza

Utume mkuu, na inweza kupelekea tu ukweli wa mwisho. Wale wote wanaofanya

sehemu zao kwa uwaminifu wanakidhi na kusaidia kurudi kwa Yesu duniani Wale

wasitenda wanazuia na kumkinga Bwana wao asirudi.

Kama mfano maalumu hebu tuwatazamie wale walioitwa kama watumwa na kuwekeza

pesa zao kwa ajili ya kuwasaidia wamisionari kuhubiri neno la Mungu

Kupitia kutokutoa na kuzuia pesa ambazo Mungu amezitenga na kuziachilia kwa ajili

kusaidia wamisionari, Milango yao ya kazi inachelewa. Zaidi,kuchelewa katika kutoka

kwa wamisionari katika kazi ya umision kutachelewesha kufikiwa kwa makundi

yasiofikiwa kupokea injili, ambako kutachelewesha kuchelewa kwa kurudi kwa Yesu

duniani. Ikiwa unajua kuwa umeitwa kutumika kama mtumwa ,jaribu kuzuia pesa na

kuzuia kurudi kwa Yesu.

Je! Mungu anahitaji vingi anapokuwa anahitaji pesa zako, anapokutaka ushiriki nae vile

alivo kupa, ili kwamba wale waliofichwa na giza waweze kuisikiqa injili? Je! Karama ya

pesa ilinganishwe na karama ya uhai? Ikiwa wamatiya walitoa vyote je hatuwezi kutoa

hata kidogo, na kwa kufanya hivyo tushiriki nafasi zetu kuinjilisha ulimwengu? Oswold

J Smith – Tamaa ya Nafsi.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Inaweza kusemekana zaidi kuwa kuna njia nyingine kwamba wale walioitwa wanaweza

kuzuia kurudi kwa Yesu kuliko wale wanaokataa kutoa pesa zao. Pengine njia kubwa

hili kutokea ni pale pesa zinapotakiwa kutolewa katika umisionari wa nje badala yake

zikatolewa katika huduma ya ndani.

Wito wa Yesu ni ni kuipeleka injili kwa wale ambao hawajawahi kuisikia,kwa nini basi

unawekeza pesa zako ili kuipeleka injili nyumbani kwako ambak tayari ipo, wakati

kuna mamilioni ya watu ambao hawaja wahi kuisikia na wanahitaji wamisionari

kupelekwa kwao?

' Kama injili ya ulimwengu ingekuwa ya kwanza,basi tungeshughulika katika kutoa kwa

ajili ya umisionari na kuwaacha wale ambao hawana maono kuchangia vitu vingine.

Daima kutakuwa na vingi zaidi kwa ajili ya kazi ya nyumbani, kwakuwa kunqa wale

wanaoitanguliza kazi ya nyumbani kwanza. Kazi nyingi za nyumbani hapa zitajaliwa

sana, wakati watu wachache watashughulika na kazi kubwa ya kanisa............acha wale

wasio na maono, wale wasiojua mipango ya Mungu, acha watoe katika kazi nyingi

zinazostahili hapa nyumbani Bali sisi tulioisikia wito wa Mungu, acha tuendelee katika

kazi iliyo njema zaidi ya mipaka.Hebu tuweke pesa katika jambo moja na jambo moja

pekee, hilo la kufikia makabila elfu yasiyo injilishwa na injili ya Kristo.

Kuna wale wasio na maono,walem wanaoendeshwa na mashitaka na kuamua kutoa

kidogo hapa kidogo pale, na wanavyo lakini hutoa kidogo, badala wangeweka matoleo

yao katika kazi kubwa ya wakati na kuona nchi mpya nzima ikiinjilishwa . Kuna watu

ambao walio na furaha isiyoelezeka ya kusaidia wamisionari hamsini au mia katika

himaya kubwa,

Wanaotoa leo kwa mamia na hakuna mwenye shirika' Oswold J Smith – Tamaa ya Nafsi

Pengine umekuwa ukitoa kwa uwaminifu katika kazi ya nyumbani kwa miaka na bila

shaka umetumia pesa zako ili kuona Nafsi zinaokolewa katika eneo lako- lakini

umefanya nini kwa maeno ya nje kwa wale ambao hawajawahi kuisikia injili? Kwa

muda mfupi ulio baki kwa nini muwazi na kuelekeza sehemu ya matoleo kwa wale

ambao wako tayari katika injili, na kuwekeza katika kazi kubwa kwa muda uliopo wa

kufikia wasiofikia.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Lebanon

3,281,787 ya watu , 31% ni wakristo

Msingi wa kanisa ni kuifikia Mashariki ya Kanisa limedhoofishwa na uhamiaji.

© www.operationworld.org

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

64.Wakati Wa Mwisho Wa Kurejeshwa Kwa Mali Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mhubiri 02:26

Kariri Aya Hii: Isaya 60:11 ' Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hyatafunga

mchana wala usiku, ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwanini hatuoni kiwango cha utoajikilichofanyika

wakati wa ujenzi wa hekalu katika Kutoka 36 ambapo watu wa Mungu waliambiwa

kuacha kutoa.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Ombeni dhidi ya kuhodhi vizuizi vya

utajiri katika ulimwengu wa uovu vitakavyo ruhusiwa kuathiri mwili wa Kristo.

Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya misingi ya kibiblia kwa

ajili ya uhamisho wa mali wakati wa mwisho.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Isaya 66:12

Biblia ameweka mpango wa Mungu kwamba kama tulivyofikia karibu na kurudi kwa

Yesu mara ya pili, Ufalme wake utakua duniani kote na ufalme wake atakuja katika

mali ya watu wasiomcha Mungu na kuitumia kubariki na kuleta Ufalme kwa maskini na

waliopotea katika siku za mwisho. Mpango huu hakika lazima utachochea kila mshirika

wa mwili wa Kristo kutoka nje na kufanya kwa sehemu katika mpango huu na

kuwanyang `anya waovu mali zao na kuzitumia kwa upanuzi wa Ufalme.

Sababu ya kwanza kwa ajili ya uhamisho huu wa mali siku za mwisho ni kwamba kabla

ya kurudi kwa Yesu mara ya pili, Ufalme wa Mungu utaenea katika kambi ya kila

mwisho wa kikabila katika dunia na hakika utaenea katika mabilioni ya watu. Kwa

mfano , Yesu mwenyewe anatangaza kwamba kabla ya kurudi kwake duniani , injili

itaenea kote kote-hata mwisho wa inchi Mathayo 24:14 "Na hii Habari Njema ya

Ufalme itahubiriwa katika dunia yote kuwa shuhuda kwa mataifa yote , na hapo ndipo

mwisho utakapokuja .' Tunaishi katika siku ambazo maandiko haya yanatambulikana

katika ulimwengu wa Umaksi na Ukomunisti wametekwa na injli, uislam ni wa pili

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

katika kukua na Ukristo unakuwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya 100,000 kwa siku na

utaendelea kukua na kuenea kila mahali duniani kote.

Sababu ya pili kwa ajili ya uhamisho wa mali wakati wa mwisho ni kwamba mwili wa

Kristo utapata urithi wake na kukataa umaskini kutakaribishwa tena kufurahia mafanikio

ambayo ni ya haki yake. Kwa mfano, Waefeso 5:25 anasema, 'Enyi waume, wapendeni

wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake ili makusudi

alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea kanisa takatifu, lisilo na ila

wala kunyanzi wala lolote kama hayo bali liwa takatifu lisilo na mawaa.' Je, umaskini si

doa, kasoro na dosari itakayoondolewa katika mwili wa Kristo kabla hajarudi kuwa

pamoja na bibi Arusi wake? -Je! hakutakuwa na kanisa lenye mafanikio, ushindi na

kufaulu likisubiri kusalimiana na Bwana wake wakati atakapokuja katika utukufu?

Kma ilivyo katika maeneno yote mawili ya maandiko, Mathayo 24:14 na Waefeso 5:25

pamoja tunaweza kusema kwamba kama tunavyokaribia kuelekea nyakati za mwisho na

kurudi kwa pili kwa Kristo kutakuwa na kanisa laenye mafanikio na Wakristo wenye

mafanikio duniani kote kwa kila kikabila wakieneza - ufalme wa Mungu utakaopata

utajiri mkubwa wa milele. Fedha zitakazo kuja katika Ufalme wa Mungu zitakuwa ni

gharama ya wasiomcha Mungu na waovu kwamba wapate kuokolewa wenyewe, au

waachilie fedha zao ili zipendeze watu wa Mungu. Maandiko hapo chini yanaongelea

mada hii pia .

Mithali 13:22 ' Mali ya mkosaji huwa ni akiba kwa mwenye haki!'

Mithali 28:8 'Yeye azidishae mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu

awasaidiaye maskini.'

Mhubiri 2:26 'Kwa sababu Mungu humpa yeye aliye mrithia hekima na maarifa na

furaha; bali mkosaji humpa taabu ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye

Mungu amrithia.'

Kama ilivyosemwa hapo awali kwamba Biblia inaonyesha kwamba Mungu ni mmiliki

wa mwisho wa kila kitu katika ulimwengu - ikiwa ni pamoja na watu wote na ikiwemo

fedha ndani yake. Kwa njia ya urejesho wa mali wakati wa mwisho, fedha zitarudi na

kuwa mmiliki ya halali kwake, ingawa hazitaenda kwa Mungu moja kwa moja, badala

yake zitakwenda kwa watoto wake ambao wanashughulikia hilo kwa niaba yake. Nabii

Isaya anatazama mbele zaidi kuhusu siku hizi na si chini ya maandiko manne 4

anazungumzia kanisa la wakati wa mwisho kukusanya utajiri wa mataifa.

Isaya 60:5 ' Kwa kuwa wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri wa mataifa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

utakuwasilia.'

Isaya 60:11 'Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; hayatafungwa mchana wala

usiku; ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa.'

Isaya 61:6 'Mtakula utajiri wa mataifa na kujisifia utukufu wao.'

Isaya 66:12 'Tazama nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama

kijito kifurikacho.'

Katika Kutoka 36: 1-7 , Mungu alitaka kuanzishwa sehemu ya Ufalme wake juu ya nchi

kwa njia ya ujenzi wa maskani ambayo aliona watu wengi wanatoa hivyo aliwaambiwa

waache fedha nyingi mno zilikuwa zimetolewa. Sasa kwa kuwa sisi tunaishi chini ya

agano jipya (lililo bora zaid), na kama tunavyoweza kuona kuanzishwa kikamilifu

Ufalme wa Mungu duniani, hakika siku zitakuja ambapo mengi mno yatatolewa kwaajili

ya kazi ya Mungu na watu wataambiwa waache kutoa. Hakika siku zitakuja ambapo

hakutakuwa na shwali namna ya kupata fedha kwa ajili ya kazi ya Mungu, lakini kama

watu wa Mungu wamekuwa na tabia ya uadilifu na kushughulikia mlima wa fedha,

yatakuja mafuriko, katika : 2 Wakorintho 8:3 inaeleza Wakristo wa Makedonia ambao,

'nawashudia kwamaba kwa uwezo wao na zaidi ya uwezo wao, kwa hiyari yao wenyewe

walitoa vitu vyao nakutuombea sana na kutusihi kwa habari ya neema hii na shirika hili

la kuwahudumia watakatifu.'Je! aina hii ya utoaji haitakuwa ni suala la kawaida

kinyume na ubaguzi katika mwili wa Kristo katika siku zijazo?

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Liberia

3,154,661ya watu , 48% Jadi / ukabila udini

Vita, umaskini na vuguvugu, kanisa limeacha watoto wengi waliopotea na

kuumizwa.

© www.operationworld.org

65. Mwaliko Binafsi

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1 Mambo ya Nyakati sura ya 29

Kariri Aya Hii: 1 Mambo ya Nyakati 29:17 ' nami sasa nimeona kwa furaha watu wako

walioko hapa wakikutolea kwa hiyari yao.'

Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini kozi hili imekuwa ya maana sana kwako.

Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Wahimize wengine kufanya kozi

hii.

Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Elezea kwa kifupi muhtasari wa baadhi ya viongozi

ambao Mungu amewatumia kukusanya sadaka kutoka kwenye kampuni kubwa ya watu

wa Mungu.

Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Matendo 20:35

Biblia inatoa mifano kadhaa ya watu wakuu wa Mungu ambaow alisimama imara kama

viongozi wa kweli na ubora, ni kwamba baadhi ya viongozi wa Kikristo walioonyeshwa

katika Biblia ni kwamba walitia moyo na kuongoza watu wa Mungu katika wingi wa

ukarimu katika kutoa kutoa. Kaama kuna viongozi wa kuabudu ambao huwaongoza

watu wa Mungu katika ibada, na viongozi wa maombi ambao huongoza watu wa

Mungu katika maombi pia kuna wale walioitwa kuonyesha uongozi katika kutoa na

kuongoza watu wa Mungu katika wimbi la ukarimu wa kutoa.Kama ilivyo wakati

karama zote za Mungu zinapochochewa na kutumiwa na wale wote wanaotumia karama

na wanufaikaji wa hizo karama hubarikiwa- iwakati wanapo puuzwa, baraka zinakuwa

zimeibiwa kutoka katika Mwili wa Kristo.

Mfano wa kwanza wa mtu anaeonyesha uongozi na kuongoza watu wa Mungu katika

matoleo yao ni Musa aliyeongoza watu katika ujenzi wa madhabahu. Kwanza katika

Kutoka 25:1,Musa lipokea maono moja kwa moja kutoka kwa Mungu kuhusiana na

ujenzi wa hekalu na kuelekezwa na Mungu kuwaongoza wana wa Israel katika kutoa

kwao kwa fedha, mali na muda.

Musa tena anaelezea maono kwa watu katika kutoka 35:5 na matokeo yake

yanaonekana katika kutoka 36:5 fundi mashuhuri anaposema, ' Watu wanaleta vitu zaidi

ya vilivyohitajika kwa ajili ya uttmishi wa kazi hiyo'.Je! Umekwishaona sadaka kubwa

kuliko ile ambayo watu waliamuriwa kutoa ? - kiuhalisi, Musa alionyesha uongozi

mzuri katika kuwashawishi watu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Mfano wa pili wa uongozi kwa habari ya kutoa ni Mfalme Daudi aliewaongoza watu

wa Mungu kutoa kwa ajili ya ujenzi wa hekalu kama inavyoelezewa katika 1Nyakati

28 – 29,kama vile Musa alivyipokea mpango kutoka kwa Mungu kujenga madhabahu,

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

na katika 1Nyakati 28:2 anasema,' Nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ya kustarehe

kwa ajili ya sanduku la Agano'. Katika 1 Nyakati 29 Daudi analiambia kusanyiko la

watu wa Mungu na kuandaa mpango kwa ajili ya hekalu na kile binafsi alichopewa

kusanyiko linataarifiwa.

Anawashawishi watu kutoa katika Aya ya 5 anapotoa matazamio na maswali ya uelewa,

'ni nani basi ajitoae kwa moyo ili ajiweke kwa Bwana?

Tunapoelekea kwa manabii katika Agano la kale, tunawakuta manabii watatu

walioinuliwa na kutumiwa na Mungu kuwaita watu wa Mungu katika ukarimu wa utoji:

Hagai, Nehemia na Malaki. Baada ya Wayahudi kuruhusiwa na Cairasi kwenda

Yerusalemu na kujenga hekalu, walitumia muda zaidi na pesa zao kwa ajili ya nyumba

zao na kwa ajili ya faraja yao. Mungu aliongea na watu kupitia Nabii Hagai na

kuwaagiza kuweka kipaumbele katika hekalu lake na kujitoa wenyewe (na pesa zao

)kwa ajili ya kulijenga.

Watu walipokea maelekezo kupitia Nabii Hagai kuweka kipaumbele na kuwa makini

katika utoaji wao na Hagai 1:14 inaonyesha kwamba watu walijitoa wenyewe katika

ujenzi wa hekalu.

Sauti ya kinabii ya Hagai aliwageuza watu w Mungu kutoka katika uchoyo na kuwa

watoaji washiriki.

Bahati mbaya, kadri muda ulivyoendelea, watu wakarejea katika tabia yao mbaya na

uchoyo ukawaandama watu wa Mungu na matokeo yake Mungu akainua sauti ya Nabii

mwingine kwa Namna ya Nehamia aliye ruhusiwa na Mfalme wa Uwajemi Artexerxes

pia kurudi Yerusalemu ili kuimarisha jamii ya watu wa Mungu.Uongozi wake na

matokeo ya unabii hatimae yalisababisha Wayahudi kuwajibika katika kutoa na watu

wanachaguliwa ili kuwa wasimamizi wa nyumba ya hazina kwa ajili ya makusanyo,

malimbuko na sadaka (Nehemia 12:44).

Nehemia anarudi mara kwa Mfalme Artaxerxes na katika kurudi kwake anakuta watu

tena wamekataa kutoa zaka – mara nyingine tena Nehemia anapaza sauti ya Kinabii na

Nehemia 13:12 inasema , 'watu wote wa Yud walitoa zaka ya nafaka, mvinyo mpya na

mafuta katika nyumba ya hazina'.

Muonekano huu wa mzunguko wa Mungu kutuma Nabii kwa ajili ya kutaka watu

kurudi katika mtindo wa kutoa, watu wanarudi nyuma na tena Nabii mwingine

anatumwa na bado haijaishia mwish mwa Manabii wa Agano la kale – kama vile

Malaki, ambae ametokea pengine wakati ule ule, au baada ya Nehemia. Malaki alikuwa

ni Nabii jasiri aliye mcha Mungu nasi sura za watu na kupitia Malaki, Mungu alikua

tayari kutoa maonyo makali kwa watu wa Mungu. Hasa, Malaki alifanya jambo ambalo

hakika hakuna anaejiandaa kulifanya hata sasa, kama vile,alitoa mkaripio kali kwa

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

viongozi wa dini kwakukosa ukarimu, zawadi zao mbaya na sadaka na kushindwa

kuwafundisha neno la Mungu.

Inaonekana kuwa tunahitaji maelfu wakina Malaki leo hii mahubiri yanayoanguka na

utunzaji hafifu wa fedha uliopo miongoni mwa viongozi wa kanisa. Malaki anaendelea

kutoa makaripio makali kuhusu pesa kila mahali katika Biblia katika ukurasa wa 3:6-12

anapowaambia watu wa Mungu hasa kwa habari ya kumwibia Mungu kwakukataa

kwao kutoa zaka.Kwakumalizia Muntgu alikuwa anahusika sana na kiwango cha utoaji

wa watu wake baada ya uhamisho wa wababiloni kwa kuwapaka mafuta Manabii

watatu tofauti kuongoza watu kwa habari ya kutoa sadaka zao na zaka zao.

Mfano wa uongozi katika kutoa ni Paulo anapowaandika barua yake ya pili kwa

wakorinto na kulisifu kanisa la korintho kwa ajili ya makusanyo ya michango ya

watakatifu katika ukurasa wa 8-9. Katika kurasa mbili nzito katika biblia kwa habari ya

pesa na kutoa Paulo anaelezea kwa kina kuhusu hitaji la kutoa kwa sadaka hii muhimu

na kuonyesha uongozi bora na ushawishi kwa wakorintho kuhusu kutoa. Wakati

zikiwapo Aya nyingi katika kurasa hizi mbili ambazo tungeweza kuzinakiri ili

kuonyesha uongozi wa Paulo katika jambo hili,kwa urahisi anasema hili katika kurasa

wa 8 mstari wa 7, ' Vivyo hivyo mpate wingi w neema hii ya kutoa '.

Kama vile Musa, Daudi, Hagai, Nehemia,Malaki na Paulo walivyo karibisha na

kukaribisha watu wa Mungu kuwa wakarimu katika utoaji, Ninahitaji binafsi

kuwakaribisha kuwa watoaji katika kazi ya Ufalme wa Mungu ili kuona injili

inapelekwa kwa wote ambao hawajahi kuisikia.Ninakukaribisha kugeuka na kutoka

katika uchoyo na matamanio ya ulimwengu huu, na ninakukaribisha katika kutoa

dhabihu, uza mali zako na fanya kadri itavyohitaji kuwa mtoaji mtoaji mkarimu katika

kazi ya Ufalme wa Mungu

Ninakukaribisha katika nafsi za thamani za wanaume na wanawake zilizopotea na

kuziona zikiokolewa kutoka kuzimu, wekeza pesa zako kwa yatima na wajane na

masikini na kuleta kwao Ufalme. Ninakukaribisha kutoa ili kumuondoa mungu pesa wa

uongo katika maisha yako, toa ili kuonyesha kuwa una imani ya kweli na iliyo hai na

kwamba pendo la Mungu liko ndani ya maisha yako, toa ili kuonyesha kuwa unaamini

kuwa yuko hai na kwamba anaweza kushulikia hali yako ya kifedha.

Ninakualika kutoa iwapo si kwa sababu yoyote licha ya ukweli kwamba Yesu amesema

katika Matendo 20:35 'Ni heri kutoa kuliko kupokea'. Yakobo 1:2-25 inasema kwamba

ikiwa utasikia neno la Bwana na kutokufanya asemayo unajidanganya

mwenyewe,katika kitabu hiki umesoma maandiko miamoja na maneno elfu kuhusu pesa

na kutoa na iwapo utatupilia mbali na kutokuwa mtoaji basi utakuwa unajidanganya

mwenyewe.

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Zaidi, Wagalatia 6:7 inasema, ' Msidanganyike:Mungu hadhihakiwi. Apandacho mtu

ndicho atakachovuna'. Hii inapelekea Yakobo 1:22 inayosema kwamba ikiwa tutadharau

yale Mungu anayosema kwa ajili ya mambo fulani (kama vile pesa) tutaanguka katika

udanganyifu.

Kw jina la Yesu, nikiwa katika kuongelea uzoefu binafsi, ninakukaribisha, ninakuomba ,

ninakusihi kuwa mtoaji.

Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini

Omba kwa ajili ya Lithuania

3,670,269 ya watu , 76% ni wakristo

Wengi wa kanisa Katoliki wanahitaji mabadiliko kwa ajili ya mahitaji ya watu.

©www.operationworld.org

Yaliyomo

'George Muller'- Whitaker House- ISBN 0-88368-159-5

'Juu ya nembo ya wimbi' -Peter Wagner- Regal -Books ISBN 0-8307-0895-2

'Tamaa ya Nafsi '- Oswald J Smith ( kati ya yale yaliyo chapishwa)

'Nguvu kutoka juu '- Charles Finney (kati ya yale yaliyochapishwa)

'Afya bora na miujiza ilyo hai '- Oral Roberts ( hakuna namba ya ISBN )

'Mwongozo wa kila siku wa miujiza '- Oral Roberts ( hakuna namba ya ISBN )

'Ulimi nguvu ubunifu' Charles Capps Harrison House ISBN 0-89274-0612

'Wakati wa mbegu na mavuno ' - Charles Capps - Harrison House ISBN 0-89274-397-2

'Kubadilisha muonekano na kutengeneza wasioonekana ' - Charles Capps - Harrison

House -ISBN 0-89274-220-8

'Kiini cha mambo ' - Charles Capps - Harrison House - 0-89274-599-1

'Mafaniki yatokanayo na neno ' - Charles Capps - Harrison House

ISBN 0-89274-183 -X

' kushusha katika kilindi cha maji '- Miguel Diez , Remar Hispania (No Idadi ISBN )

' Mungu upendoni ' - Miguel Diez , Remar Hispania (No Idadi ISBN )

' CT Studd '- Norman Grubb - Lutterworth Press

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

'Kuhudumu kama Mtumwa '- Neal Pirolo , STL Vitabu

' Mungu anaweza kufanya hivyo hapa ' - Eileen Vincent - Marshalla - ISBN 0551 01118

' Zawadi ya Roho ' - Cecil binamu - Kingsway Publications ISBN 0-86065-477 -X

'Njia ya baraka kibiblia ' - Benny Hinn - Thomas Nelson Publishers -

ISBN 0-7852-7053-1

'Nguvu ya kupenda ' - Martin Luther King - Fontana Kidini

'Nje ya ukanda wa faraja' - George Verwer - OM Publishing ISBN 1-85078-353-5

'Meza katikati ya jangwa ' - Watchman Nee - Ushindi Press

'Toa matarajio yako kidogo' - Michael Griffiths - Inter Press Varsity

'Ushindi binafsi' - Colin Urquart - Hodder na Stoughton ISBN 0-340-48501-9

' Nimezaliwa kushinda ' - Daudi Shearman - Enzi Kuu ya Dunia - ISBN 1-85240-260-1

' Waraka kwa Wafilipi - Mchungaji FB Meyer (Kati ya magazeti)

' Ufunuo mpya wa kifedha ' - Clive Pick - New Wine Press -

ISBN 1-874367-80-9

'Katika Roho ' - Larry Christenson - Kingsway Publications - ISBN 0 86065 055 3

' Namna ya kufunga kanisa lako katika muongo ' - David Cohen na Steven Gaukroger -

maandiko Umoja - ISBN 0 86201 568 5

'kuharibika kwa chungu ' Gerald Coates ( Ed) Kingsway - ISBN 0 86,065 699 3

' Ufuasi ' - Daudi Watson - Hodder na Stoughton - ISBN 0 340 33213 1

'Chochote utakacho '- Colin Urquart - Hodder na Stoughton - ISBN 0340 23348 6

' Tazama nje ! Wapentekoste wanakuja '- Peter Wagner - Coverdale House - ISBN 0

902088 599

' Roho kuwajaza waamini ' - Derek Prince - Neno Publishing - ISBN 0 85009 668 5

'Zawadi ya kutoa ' - RT Kendall - Hodder na Staunton - ISBN -0-340-72156-1

'Operesheni ya ulimwengu ' - Patrick Johnstone na Jason Mandryk - Paternoster Maisha

- ISBN 1-85078-357-8

Shukrani

© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk

Masomo yafuatayo yametokana na ushirikiano mzuri wa wasemaji au waandishi

waliopo chini. Kazi yao ya asili inathaminiwa sana na kila mahali ambapo vitabu vyao

vimekuwa vikiorodheshwa.

Hoja kutoka kwa wasiotoa - R.T. Kendall (zawadi ya kutoa - Hodder na Staunton -

ISBN - 0-340-72156-1 -)

Hoja ya wasiotoa - RT Kendall (zawadi ya kutoa - Hodder na Staunton - ISBN - 0-340-

72156-1 -)

Zaka kwakila kila kitu - Clive Pick

Zaka ni mali takatifu ya Mungu- Clive Pick

Kusimamia kama mtumwa - Neal Pirolo - ' -Ku - Kuhudumu kama mtumwa'- STL

Vitabu.

www.dci.org.uk

[email protected]