52
7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 1/52 MWANZO Utangulizi Neno “Mwanzo” linatokana na neno la Kiyunani “genesis ” ambalo maana yake ni “asili,” “chimbuko” au “chanzo,” ambalo ndilo jina lililopewa kitabu hiki na watafsiri wa Agano la Kale la Kiyunani lijulikanalo kama Septuagint. katika karne ya tatu kabla ya Kristo. Ingawa kitabu hiki cha Mwanzo kinaanza kuelezea uumbaji wa vitu vyote, mtazamo mkubwa ni uumbaji wa mwanadamu. Kitabu hiki kinaeleza mwanzo wa ulimwengu, mwanzo wa mwanadamu, yaani, mwanamke na mwanamume, mwanzo wa dhambi ya mwanadamu, mwanzo wa ahadi na mipango ya Mungu ya wokovu na uhusiano wa kipekee kati ya Abrahamu na Mungu. Kitabu kinaelezea juu ya watu mahsusi wa Mungu na mipango Yake katika maisha yao. Baadhi ya watu hawa ni Adamu na Eva,wanadamu wa kwanza kabisa kuumbwa, Noa, Abrahamu, Isaki, Yakobo, Yosefu na ndugu zake na wengine wengi. Mwanzo ni kitabu cha kwanza miongoni mwa vile vitabu vinavyoitwa, ‘‘Vitabu Vitano vya Mose,’’ vilivyoko mwanzoni mwa Biblia. Vitabu hivi vinaitwa pia vitabu vya sheria kwa sababu ndipo palipoandikwa maagizo na sheria za Mungu kwa watu wa Israeli. Kitabu hiki cha Mwanzo kama kitabu cha utangulizi katika habari za Mungu kuendelea kujifunua mwenyewe katika jamaaa ya wanadamu,jambo hili ni la muhimu sana.Katika kitabu hiki ndiko tunapopata ahadi ya kwanza kabisa ya ukombozi wa mwanadamu aliyeanguka, “….uzao wa mwanamke utakuponda kichwa…”(3:15). Mwanzo kinaelezea jinsi ilivyotokea hadi Israeli wakafanyika watu maalum wa Mungu. Wazo Kuu Kueleza uumbaji, anguko, ukombozi wa uzao wa mwanadamu kwa njia ya Yesu Kristo.Katika maeneo haya ndipo ulipo ufunuo wote wa ki-Mungu na kweli yote katika Maandiko.Kitabu hiki ni kama kitalu cha mbegu cha Biblia nzima, hivyo ni muhimu sana kuwa na uelewa sahihi wa kila sehemu.Mwanzo ndio msingi ambako ufunuo wote wa ki-Mungu ulipo na ambako umejengwa. Kila msingi mkuu wa imani katika Maandiko, mizizi yake iko katika Mwanzo kama asili, kitu kamili au mfano,au ufunuo wa halisi. Mwandishi Mose. Kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwanzo ambacho ni mojawapo ya vile vitabu vitano viliandikwa na Mose, isipokuwa sura ya mwisho ya kitabu cha Kumbukumbu la Torati inayoelezeajuu ya kifo cha Mose. Mahali Sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Mashariki ya Kati. Wahusika Wakuu  Adamu, Eva, Kaini, Abeli, Enoki, Noa, Abrahamu, Sara, Loti, Isaki, Rebeka, Yakobo, Yosefu na ndugu zake. Tarehe Kitabu hiki kiliandikwa 1688 K.K. Mgawanyo  Kuumbwa kwa ulimwengu, dunia, mwanadamu. (1:1-2:25)   Anguko la mwanadamu na matokeo ya dhambi. (3:1-5:32)  Habari za Noa. (6:1-9:29)  Kutawanywa kwa mataifa. (10:1-11:32)  Maisha ya Abrahamu. (12:1-25:18)  Isaki na familia yake. (25:19-26:35)  Yakobo na wanawe. (27:1-37:1)  Maisha ya Yosefu. (37:2-50:26)

01 Bible Swahili Genesis

  • Upload
    -

  • View
    1.191

  • Download
    5

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 1/52

MWANZO

Utangulizi

Neno “Mwanzo” linatokana na neno la Kiyunani “genesis” ambalo maana yake ni “asili,” “chimbuko” au “chanzo,”ambalo ndilo jina lililopewa kitabu hiki na watafsiri wa Agano la Kale la Kiyunani lijulikanalo kamaSeptuagint.katika karne ya tatu kabla ya Kristo. Ingawa kitabu hiki cha Mwanzo kinaanza kuelezea uumbaji wavitu vyote, mtazamo mkubwa ni uumbaji wa mwanadamu. Kitabu hiki kinaeleza mwanzo wa ulimwengu, mwanzowa mwanadamu, yaani, mwanamke na mwanamume, mwanzo wa dhambi ya mwanadamu, mwanzo wa ahadi namipango ya Mungu ya wokovu na uhusiano wa kipekee kati ya Abrahamu na Mungu. Kitabu kinaelezea juu yawatu mahsusi wa Mungu na mipango Yake katika maisha yao. Baadhi ya watu hawa ni Adamu naEva,wanadamu wa kwanza kabisa kuumbwa, Noa, Abrahamu, Isaki, Yakobo, Yosefu na ndugu zake na wenginewengi.

Mwanzo ni kitabu cha kwanza miongoni mwa vile vitabu vinavyoitwa, ‘‘Vitabu Vitano vya Mose,’’ vilivyokomwanzoni mwa Biblia. Vitabu hivi vinaitwa pia vitabu vya sheria kwa sababu ndipo palipoandikwa maagizo nasheria za Mungu kwa watu wa Israeli. Kitabu hiki cha Mwanzo kama kitabu cha utangulizi katika habari zaMungu kuendelea kujifunua mwenyewe katika jamaaa ya wanadamu,jambo hili ni la muhimu sana.Katika kitabuhiki ndiko tunapopata ahadi ya kwanza kabisa ya ukombozi wa mwanadamu aliyeanguka, “….uzao wamwanamke utakuponda kichwa…”(3:15).  Mwanzo kinaelezea jinsi ilivyotokea hadi Israeli wakafanyika watu

maalum wa Mungu.

Wazo Kuu

Kueleza uumbaji, anguko, ukombozi wa uzao wa mwanadamu kwa njia ya Yesu Kristo.Katika maeneo hayandipo ulipo ufunuo wote wa ki-Mungu na kweli yote katika Maandiko.Kitabu hiki ni kama kitalu cha mbegu chaBiblia nzima, hivyo ni muhimu sana kuwa na uelewa sahihi wa kila sehemu.Mwanzo ndio msingi ambako ufunuowote wa ki-Mungu ulipo na ambako umejengwa. Kila msingi mkuu wa imani katika Maandiko, mizizi yake ikokatika Mwanzo kama asili, kitu kamili au mfano,au ufunuo wa halisi.

Mwandishi

Mose. Kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwanzo ambacho ni mojawapo ya vile vitabu vitano viliandikwa na

Mose, isipokuwa sura ya mwisho ya kitabu cha Kumbukumbu la Torati inayoelezeajuu ya kifo cha Mose.

Mahali

Sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Mashariki ya Kati.

Wahusika Wakuu

 Adamu, Eva, Kaini, Abeli, Enoki, Noa, Abrahamu, Sara, Loti, Isaki, Rebeka, Yakobo, Yosefu na ndugu zake.

Tarehe

Kitabu hiki kiliandikwa 1688 K.K.

Mgawanyo•  Kuumbwa kwa ulimwengu, dunia, mwanadamu. (1:1-2:25)

•   Anguko la mwanadamu na matokeo ya dhambi. (3:1-5:32)

•  Habari za Noa. (6:1-9:29)

•  Kutawanywa kwa mataifa. (10:1-11:32)

•  Maisha ya Abrahamu. (12:1-25:18)

•  Isaki na familia yake. (25:19-26:35)

•  Yakobo na wanawe. (27:1-37:1)

•  Maisha ya Yosefu. (37:2-50:26)

Page 2: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 2/52

Siku 

Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu nadunia. 2Sasa

 Sita za Uumbaji na Sabato

a  Dunia ilikuwa haina umbotena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya usowa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungualikuwa ametanda juu ya maji.

3Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuruikawepo. 4Mungu akaona ya kuwa nuru ninjema, ndipo Mungu akatenganisha nuru nagiza. 5Mungu akaiita nuru “mchana’’ na gizaakaliita “usiku.’’ Ikawa jioni ikawa asubuhi,siku ya kwanza.

6Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya majiigawe maji na maji.’’ 7Kwa hiyo Munguakafanya nafasi na akatenganisha majiyaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu

yake. Ikawa hivyo.8

Mungu akaiita hiyonafasi “anga.’’ Ikawa jioni, ikawa asubuhi,siku ya pili.

9Mungu akasema, “Maji yaliyopo chini ya angana yakusanyike mahali pamoja pawepona nchi kavu.’’Ikawa hivyo.10 Mungu akaiitanchi kavu “ardhi,’’ nalo lile kusanyiko la majiakaliita ‘’bahari.’’ Mungu akaona kuwa nivema. 11Kisha Mungu akasema, “Ardhi naitoe mimea: miche itoayo mbegu, miti juu yanchi itoayo matunda yenye mbegu ndani

yake, kila mmea kulingana na aina zakembalimbali.” Ikawa hivyo. 12 Ardhi ikachipuamimea: Mimea itoayo mbegu kulingana naaina zake na miti itoayo matunda yenyembegu kulingana na aina zake. Munguakaona ya kuwa hili ni jema. 13Ikawa jioni,ikawa asubuhi, siku ya tatu.

14Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenyenafasi ya anga ili itenganishe mchana nausiku, nayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali, siku na miaka, 15nayo

iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya angaitoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo.16Mungu akafanya mianga miwili mikubwa.Mwanga mkubwa utawale mchana namwanga mdogo utawale usiku. Pia Munguakafanya nyota. 17Mungu akaiweka katikanafasi ya anga iangaze dunia, 18itawalemchana na usiku na ikatenganishe nuru nagiza. Mungu akaona kuwa hili ni jema.19Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.

20Mungu akasema “Kuwepo na viumbe hai tele

a2 “Sasa” ina maana kwamba Mungu anatengeneza upya

kwenye maji, ndege waruke juu ya duniakatika nafasi ya anga.’’ 21Kwa hiyo Munguakaumba viumbe wakubwa wa baharini nakila kiumbe hai kiendacho majini, kulinganana aina zake na kila ndege mwenyemabawa kulingana na aina yake. Munguakaona kuwa hili ni jema. 22Munguakavibariki akasema, “Zaeni mkaongezekemkayajaze maji ya bahari, nao ndegewaongezeke katika dunia.’’ 23Ikawa jioni,ikawa asubuhi, siku ya tano.

24Mungu akasema, “Ardhi na itoe viumbe haikulingana na aina zake: Wanyama wakufugwa, viumbe vitambaavyo ardhini nawanyama pori, kila mnyama kulingana naaina yake.’’ Ikawa hivyo. 25Mungu akafanyawanyama pori kulingana na aina zake,

wanyama wafugwao kulingana na ainazake na viumbe vyote vitambaavyo juu yaardhi kulingana na aina zake. Munguakaona kuwa hili ni jema.

26Ndipo Mungu akasema, “Tufanye mtukwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale juu ya samaki wa baharini na ndege waangani, juu ya mifugo, juu ya dunia yote, na juu ya viumbe wote watambaao juu ya nchi.’’

27Kwa hiyo Mungu alimwumba mtu kwa

mfano wake mwenyewe,kwa mfano wa Mungu alimwumba,

mwanaume na mwanamke aliwaumba.

28Mungu akawabariki na akawaambia,“Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tenaduniab   na kuitiisha. Mkatawale samaki wabaharini, ndege wa angani na kila kiumbehai kiendacho juu ya ardhi.’’

29Kisha Mungu akasema, “Nimewapakila mche utoao mbegu juu ya uso wa dunia

yote na kila mti wenye matunda yenyembegu ndani yake. Vitakuwa kwa ajili yachakula chenu, 30Cha wanyama wote wadunia, ndege wote wa angani na viumbevyote viendavyo juu ya ardhi. Kila kiumbechenye pumzi ya uhai, ninawapa kila mchewa kijani kuwa chakula.’’ Ikawa hivyo.

31Mungu akatazama vyote alivyoumbana ilikuwa vizuri sana. Ikawa jioni, ikawaasubuhi, siku ya sita. 

b28  “mkaijaze tena dunia” hapa ina maana Mungu anawabariki

1

Page 3: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 3/52

MWANZO

Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika,pamoja na vyote vilivyomo.

2Katika siku ya saba Mungu alikuwaamekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya,hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazizake zote. 3Mungu akaibariki siku ya sabaakaifanya takatifu, kwa sababu katika sikuhiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumbaalizokuwa amefanya.

Adamu na Eva4Haya ndiyo maelezo ya mbingu na dunia

wakati zilipoumbwa.

BWANA Mungu alipoziumba mbingu nadunia, 5hapakuwepo na mche wa shambani

uliokuwa umejitokeza ardhini wala hapakuwepona mmea wa shamba uliokuwa umeota, kwakuwa BWANA Mungu alikuwa hajanyesheamvua juu ya nchi na hapakuwepo mtu wakuilima ardhi, 6lakini umande ulitokeza kutokaardhini na kunyesha uso wote wa nchi, 7BWANAMungu alimwuumba mtu kutoka mavumbi yaardhi akampulizia pumzi ya uhai puani mwake,mtu akawa kiumbe hai.

8Basi BWANA Mungu alikuwa ameoteshabustani upande wa mashariki, katika Eden, huko

akamweka huyo mtu aliyemwumba.9

BWANAMungu akafanya aina zote za miti ziote kutokaardhini, miti yenye kupendeza macho na mizurikwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mtiwa uzima na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.

10Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka tokaEdeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mitominne. 11Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, naohuzunguka nchi yote ya Havila ambako kunadhahabu. 12(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, luluna vito shohamu pia hupatikana huko.) 13Jina la

mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchiyote ya Kushi. 14Jina la mto wa tatu ni Tigrisi,unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne niEufrati.

15BWANA Mungu akamchukua huyo mtuakamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime nakuitunza. 16BWANA Mungu akamwagiza huyomtu akamwambia, ‘‘Uko huru kula matunda yamti wo wote katika bustani, 17lakini kamwe usilematunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya,kwa maana siku utakapokula matunda yake,

hakika utakufa.’’ 18BWANA Mungu akasema, ‘‘Si vema huyu

t k k Nit f i idi i

kumfaa.’’2 19Basi BWANA Mungu alikuwa amefanyizakutoka katika ardhi wanyama wote wa porini nandege wote wa angani. Akawaleta kwa huyu mtuaone atawaitaje, nalo jina lo lote alilokiita kilakiumbe hai, likawa ndilo jina lake. 20Hivyo Adamu akawapa majina wanyama wote wakufugwa, ndege wa angani na wanyama wotewa porini.

Lakini kwa Adamu hakupatikana msaidizi wakumfaa. 21Hivyo BWANA Mungu akamfanya Adamu kulala usingizi mzito, naye alipokuwaamelala akachukua moja ya mbavu zakeakapafunika mahali pale kwa nyama. 22KishaBWANA Mungu akamfanya mwanamke kutokakwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyomwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa

huyo mwanaume.23Huyo mwanaume akasema,

“Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yanguna nyama ya nyama yangu,

ataitwa ‘mwanamke,’kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.’’ 

24Kwa sababu hii mwanaume atamwacha babayake na mama yake na kuambatana na mkewenao watakuwa mwili mmoja.

25

 Adamu na mkewe wote wawili walikuwauchi, wala hawakuona aibu.

Ang 

Basi nyoka alikuwa mwerevu kulikowanyama wote wa porini ambao BWANA

Mungu aliowafanya. Nyoka akamwambiamwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwemsile matunda ya mti wo wote wa bustanini?’ ’’

uko la Mwanadamu

2Mwanamke akamjibu nyoka, “Tunawezakula matunda ya miti iliyoko bustanini, 3lakini

Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti uliokatikati ya bustani, wala msiguse kabisa, la sivyomtakufa.’ ’’

4Lakini nyoka akamwambia mwanamke,“Hakika hamtakufa. 5Kwa maana Mungu anajuaya kuwa wakati mtakapoyala macho yenuyatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu,mkijua mema na mabaya.’’

6Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mtihuo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendezamacho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima,

basi akachuma katika matunda yake, akala, piaakampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, nayek l 7Ndi h t ili

3

Page 4: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 4/52

MWANZO

yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwauchi, hivyo wakashona majani ya mtiniwakajifunika.

8Ndipo yule mwanamume na mkewe,waliposikia sauti ya BWANA Mungu alipokuwaakitembea bustanini wakati wa utulivu wa jioni,wakajificha kutoka mbele za BWANA Mungukatikati ya miti ya bustani. 9Lakini BWANAMungu akamwita Adamu, “Uko wapi?’’

10Naye akajibu, “Nilikusikia katika bustaninikaogopa kwa sababu nilikuwa uchi, hivyonikajificha.

11Mungu akamwuliza, “Ni nani aliyekuambiayakuwa ulikuwa uchi? Je, umekula matunda yamti niliokuamuru usile?’’

12 Adamu akasema, ‘‘Huyu mwanamkeuliyenipa awe pamoja nami, ndiye aliyenipa

sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, naminikala.’’13Ndipo BWANA Mungu akamwuliza

mwanamke, ‘‘Ni nini hili ambalo umelifanya?’’Mwanamke akajibu, ‘‘Nyoka alinidanganya,

nami nikala.’’14Hivyo BWANA Mungu akamwambia

nyoka, ‘‘kwa kuwa umefanya hili,

‘‘Umelaaniwa kuliko wanyama wote wakufugwa na wa porini!

Utatambaa kwa tumbo lako na kulamavumbi siku zote za maisha yako.

15Nami nitaweka uadui kati yako na huyomwanamke,

na kati ya uzao wako na wake,huo atakuponda kichwa,

nawe utamgonga kisigino.’’

16Kwa mwanamke akasema,

“Nitakuzidishia sana utungu wakati wa

kuzaa kwako,kwa utungu utazaa watoto,

tamaa yako itakuwa kwa mumeo nayeatakutawala.”

17Kwa Adamu akasema, “Kwa sababuumemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenyemti niliokuamuru, ‘msile tunda lake,’

“Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako,kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho

humo siku zote za maisha yako.18Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako,

t k l i h b i

19Kwa jasho la uso wako utakula chakula chakohadi utakaporudi ardhini,

kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo,kwa kuwa wewe u mavumbina mavumbini wewe utarudi.’’

20 Adamu akamwita mkewe Eva, kwa kuwaatakuwa mama wa wote walio hai.

21BWANA Mungu akawatengenezea Adamuna mkewe mavazi ya ngozi akawavika. 22KishaBWANA Mungu akasema, “Sasa mtu huyuamekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua memana mabaya. Sharti asiruhusiwe kunyooshamkono wake na kuchuma pia kutoka katika mtiwa uzima akala, naye akaishi milele.’’ 23HivyoBWANA Mungu akamfukuzia mbali kutokaBustani ya Edeni, akalime ardhi ambamo

alitolewa.24

Baada ya kumfukuzia mbali Adamu,Mungu akaweka makerubi mashariki ya Bustaniya Edeni pamoja na upanga wa moto, ukimulikahuku na huko kulinda njia ya kuuendea mti wauzima.

Kain 

 Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva,akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva

akasema, “Kwa msaada wa BWANA nimemzaamwanaume.” 2Baadaye akamzaa Abeli ndugu

yake.

i na Abeli

Basi Abeli akawa mfugaji na Kaini akawamkulima. 3Baada ya muda Kaini akaleta baadhiya mazao ya shamba kama sadaka kwaBWANA. 4Lakini Abeli akaleta fungu nonokutoka katika baadhi ya wazaliwa wa kwanza wamifugo yake. BWANA akamkubali Abeli pamojana sadaka yake, 5lakini Mungu hakumkubaliKaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kainiakakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.

6Kisha BWANA akamwambia Kaini, “Kwa

nini umekasirika? Kwa nini uso wako unahuzuni? 7Ukifanya lililo sawa, hutakubalika?Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuviziamlangoni mwako, inakutamani wewe, lakiniinakupasa uishinde.’’ 

8Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli,“Twende shambani.’’ Walipokuwa shambani,Kaini akamshambulia Abeli ndugu yakeakamwua.

9Kisha BWANA akamwuliza Kaini, “Nduguyako Abeli yuko wapi?’’ Akamjibu,

‘‘Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?’’10BWANA akasema, “Umefanya nini?

Sikili ! D d k i ilili i i

4

Page 5: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 5/52

MWANZO

kutoka ardhini. 11Sasa umelaaniwa naumehamishwa kutoka katika ardhi, ambayoimefungua kinywa chake na kupokea damu yandugu yako kutoka mkononi mwako.12Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazaoyake. Utakuwa mtu wa kutangatanga dunianiasiye na utulivu.’’

13Kaini akamwambia BWANA, “Adhabuyangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili. 14Leounanifukuza kutoka katika nchi, nami nitafichwambali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wakutangatanga asiyetulia duniani na ye yoteanionaye ataniua.’’

15Lakini BWANA akamwambia, “La sivyo,ikiwa mtu ye yote atamwua Kaini atalipizwakisasi mara saba zaidi.’’ Kisha BWANAakamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye

angemwona asimwue.16

Kwa hiyo Kainiakaondoka mbele za BWANA akaenda kuishikatika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.

17Kaini akakutana kimwili na mkewe, nayeakapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huoKaini alikuwa anajenga mji akauita Enoki jina lamtoto wake. 18Enoki akamzaa Iradi, Iradiakamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaaMethushaeli na Methushaeli akamzaa Lameki.

19Lameki alioa wanawake wawili, mmojaaliitwa Ada na mwingine Sila. 20 Ada akamzaa

Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katikamahema na kufuga wanyama. 21Kaka yakealiitwa Yubali, alikuwa baba wa wote wachezaozeze na filimbi. 22Pia Sila alikuwa na mtoto wakiume aliyeitwa Tubali – Kaini ambaye alifuavifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma.Naama alikuwa dada wa Tubali - Kaini.

23Lameki akawaambia wake zake,

“Ada na Sila nisikilizeni mimi,Wake wa Lameki sikieni maneno yangu.

Nimemwua mtu kwa kunijeruhi,kijana mdogo kwa kuniumiza

24Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba,basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.’’

25 Adamu akakutana kimwili na mke waketena, akamzaa mwana akamwita Seti, akisema,‘‘Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimwua.’’ 26Pia Setiakamzaa mwana akamwita Enoshi.

Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la

BWANA.

Kutoka Adamu Hadi Noa

Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu.

Wakati Mungu alipomuumba Adamu,alimfanya kwa sura ya Mungu. 2 Aliwaumbamwanamume na mwanamke, akawabariki.Walipokwisha kuumbwa akawaita“Mwanadamu.”

3 Adamu alipokuwa ameishi miaka 130alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake,mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.4Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka800 akawa na watoto wengine wa kiume na wakike. 5 Adam aliishi jumla ya miaka 930, ndipoakafa.

6

Sethi alipokuwa ameishi miaka 105,akamzaa Enoshi. 7Baada ya kumzaa EnoshiSethi aliishi miaka 807 akawa na watotowengine wa kiume na wa kike. 8Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.

9Enoshi alipokuwa ameshi miaka tisiniakamzaa Kenani. 10Baada ya kumzaa Kenani,Enoshi aliishi miaka 815 naye alikuwa na watotowengine wa kiume na wa kike. 11Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.

12Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini,

akamzaa Mahalaleli.13

Baada ya kumzaaMahalaleli Kenani aliishi miaka 840 akawa nawatoto wengine wa kiume na wa kike. 14Kenanialiishi jumla miaka 910, ndipo akafa.

15Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitinina mitano akamzaa Yaredi. 16Baada ya kumzaaYaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830 akawa nawatoto wengine wa kiume na wa kike.17Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipoakafa.

18Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162,

akamzaa Enoki. 19Baada ya kumzaa Enoki,Yaredi aliishi miaka 800 naye akawa na watotowengine wa kiume na wa kike. 20Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

21Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini namitano akamzaa Methusela. 22Baada ya kumzaaMethusela, Enoki alitembea na Mungu miaka300 na akawa na watoto wengine wa kiume nawa kike. 23Enoki aliishi jumla ya miaka 365.24Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka,kwa sababu Mungu alimchukua.

25Mathusela alipokuwa ameishi miaka 187,alimzaa Lameki. 26Baada ya kumzaa Lameki,M th l lii hi i k 782 k t t

5

Page 6: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 6/52

MWANZO

wengine wa kiume na wa kike. 27Methuselaaliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

28Lameki alipokuwa ameishi miaka 182,alimzaa mwana. 29 Akamwita jina lake Noa, Akasema, “yeye ndiye atakayetufariji katika kazina maumivu makali ya mikono yetuyaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa naBWANA.’’ 30Baada ya Noa kuzaliwa, Lamekialiishi miaka 595 akawa na watoto wengine wakiume na wa kike. 31 Aliishi jumla ya miaka 777,ndipo akafa.

32Baada ya Noa kuishi miaka 500 aliwazaaShemu, Hamu na Yafethi.

Sababu za Gharika

Watu walipoanza kuongezeka idadi katikauso wa dunia na watoto wa kike

wakazaliwa kwao,2

wana wa Mungu wakawaonakuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuriwa sura, wakaoa ye yote miongoni mwaowaliyemchagua. 3Ndipo BWANA akasema,“Roho yangu haitakaa ndani ya mwanadamumilele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zakezitakuwa miaka 120.’’

4Wanefili walikuwako duniani siku hizo, piana baadaye, hao walizaliwa na binti za watuwakati wana wa Mungu walipoingia kwao nakuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu

waliojulikana wa zamani hizo.5BWANA akaona jinsi ambavyo uovu wamwanadamu umekuwa mkubwa duniani naya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyowake wakati wote ulikuwa mbaya tu. 6BWANAakasikitika kwamba alimwumba mwanadamuduniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.7Kwa hiyo BWANA akasema, “Nitamfutilia mbalimwanadamu niyemwumba kutoka kwenye usowa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja naviumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa

maana nasikitika kwa kuwaumba.’’ 8Lakini Noaakapata kibali machoni pa BWANA.

9Hivi ndivyo vizazi vya Noa.

Noa alikuwa mtu wa haki, asiye na lawamamiongoni mwa watu wa wakati wake, tenaalitembea na Mungu. 10Noa alikuwa na wanawatatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

11Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifuna jeuri machoni pa Mungu. 12Mungu akaona

 jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu woteduniani walikuwa wameharibu njia zao.  13Kwahi M k bi N

“Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa duniaimejaa jeuri kwa sababu yao. Hakika miminitaangamiza watu pamoja na dunia. 14Kwa hiyo jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje,tengeneza vyumba ndani yake na uipake lamindani na nje. 15Hivi ndivyo utakavyoitengeneza:Safina iwe na urefu wa dhiraa 300, upana wakedhiraa hamsini, na kimo chake dhiraathelathinia. 16Itengenezee paa na umaliziesafina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja juu.Weka mlango ubavuni mwa safina na uifanye yaghorofa ya chini, ya kati na ya juu. 17Nitaletagharika ya maji juu ya nchi ili kuharibu uhai wotechini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi yauhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchikitaangamia. 18Lakini Mimi nitaweka aganolangu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina,

wewe pamoja na mke wako, wanao na wakezao. 19Utaingiza ndani ya Safina kila aina yakiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike,ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe. 20Wawili wakila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama nawa kila aina ya kitambaacho ardhini watakujakwako ili wahifadhiwe hai. 21Utachukua kila ainaya chakula kitakacholiwa na ukiweke akibakama chakula kwa ajili yako na yao.’’

22Noa akafanya kila kitu sawasawa kamavile Mungu alivyomwamuru. 

Gharika

Ndipo BWANA akamwambia Noa, “Ingiakatika safina wewe na jamaa yako yote,

kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwawewe ni mwenye haki. 2Uchukue wanyama sabawaliosafi wa kila aina, wa kiume na wa kike nawanyama wawili wawili wa kila aina walionajisiwa kiume na wa kike. 3Pia uchukue ndege sabawaliosafi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ilikuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.

4Siku saba tangu sasa nitaleta mvua juu ya nchikwa siku arobaini mchana na usiku, naminitafutilia mbali kutoka katika uso wa nchi kilakiumbe hai nilichokiumba.’’

5Noa akafanya yote kama BWANAalivyomwamuru.

6Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia. 7Noa na mkewe na wanawe nawake zao wakaingia katika safina ili waepuke ilegharika. 8Jozi ya wanyama wasio najisi na walionajisi, ndege na viumbe vitambaavyo, 9wa kiume

a15 Dhiraa 300 ni sawa na meta 140, dhiraa 50 ni sawa na

6

7

Page 7: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 7/52

MWANZO

na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katikasafina kama Mungu alivyomwamuru Noa.10Baada ya siku zile saba maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

11Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wapili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, sikuhiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sanaya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango yamafuriko ya mbinguni yakafunguliwa. 12Mvuaikanyesha juu ya nchi siku arobaini mchana nausiku.

13Siku hiyo Noa na mkewe na wanaweShemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zaowakaingia katika ile safina. 14Nao walikuwapamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatanana aina yake, wanyama wote wafugwaokufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho

 juu ya ardhi kwa aina yake, kila ndege kufuatanana aina yake kila kiumbe chenye mabawa.15Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndaniyake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katikasafina. 16Wanyama walioingia katika safinawalikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbechenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa,ndipo BWANA akamfungia ndani.

17Kwa siku arobaini mafuriko yaliendeleakujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka,yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa

nchi.18

Maji yakajaa na kuongezeka sana juu yanchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji. 19Majiyakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milimayote mirefu chini ya mbingu yote. 20Majiyakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kinacha zaidi ya dhiraa kumi na tanob. 21Kila kiumbehai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia:ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori,viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.22Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi yauhai kikafa. 23Kila kitu chenye uhai juu ya uso

wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama,viumbe vitambaavyo na ndege warukao anganiwakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki niNoa peke yake na wale waliokuwa pamoja nayendani ya safina.

24Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

Mwisho wa Gharika

Mungu akamkumbuka Noa na wanyamawote wa porini na wa kufugwa waliokuwa

b20 Dhiraa kumi na tano ni kama mita saba. Dhiraa moja ni kama

naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavumakatika dunia, nayo maji yakaondoka. 2Zilechemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja namalango ya mafuriko ya mbinguni yakawayamefungwa nayo mvua ikawa imekomakunyesha kutoka angani. 3Maji yakaendeleakupungua taratibu katika nchi. Kunako mwishowa siku ya 150 maji yalikuwa yamepungua,4katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba,safina ikatua katika milima ya Ararati. 5Majiyakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, nasiku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vyamilima vikaonekana.

6Baada ya siku arobaini Noa akafunguadirisha alilokuwa amelifanya katika safina 7naakamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda nakurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya

nchi.8

Kisha akamtoa hua ili aone kama majiyameondoka juu ya uso wa ardhi. 9Lakini huahakupata mahali pa kutua kwa kuwa majiyalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyoakarudi kwa Noa ndani ya safina. Noaakanyoosha mkono akamchukua yule huaakamrudisha ndani ya safina. 10Noa akangojeasiku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutokakatika safina. 11Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule!

Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juuya uso wa dunia. 12 Akangojea siku saba zaidi naakamtuma tena hua, lakini wakati huu huahakurudi tena kwa Noa.

13Katika siku ya kwanza ya mwezi wakwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa,maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noaakafungua mlango wa safina akaona ya kuwauso wa ardhi ulikuwa umekauka. 14Katika sikuya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwaimekauka kabisa.

15Ndipo Mungu akamwambia Noa, 16‘‘Tokandani ya safina, wewe na mkeo na wanao nawake zao. 17Utoe nje kila aina ya kiumbe haialiye pamoja nawe: ndege, wanyama na viumbevyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, nakuongezeka na kuijaza tena dunia.’’

18Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja namkewe, wanawe na wake zao. 19Wanyama wotena viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi nandege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, ainamoja baada ya nyingine vikatoka katika safina,

kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.

8

Page 8: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 8/52

MWANZO

Noa Atoa Dhabihu20Kisha Noa akamjengea BWANA

madhabahu, akachukua baadhi ya walewanyama wote wasio najisi na ndege wasionajisi, akatoa sadaka ya kuteketezwa juu yamadhabahu. 21BWANA akasikia harufu nzuri yakupendeza, naye akasema moyoni mwake,“Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu yamwanadamu, hata ingawaje kila mwelekeo wamoyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwesitaangamiza tena viumbe hai vyote kamanilivyofanya.’’

22“Kwa muda dunia idumupo,wakati wa kupanda na wa kuvuna,wakati wa baridi na wa joto,

wakati wa kiangazi na wa masika,mchana na usiku kamwe havitakoma.’’

Mungu Aweka Agano na Noa

Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe,akiwaambia, ‘‘Zaeni mkaongezeke kwa

idadi na mkaijaze tenaa dunia. 2Wanyama wotewa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbekitambaacho juu ya ardhi na samaki wote wabaharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, naowatawaogopa na kuwahofu. 3Kila kitu chenye

uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kamavile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasanawapa kila kitu.

4“Lakini kamwe msile nyama ambayo badoina damu ya uhai wake, kwa maana damu niuhai. 5Hakika damu ya uhai wenu nitadai.Nitadai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwakila mwanadamu pia nitadai kwa ajili ya uhai wamtu mwenzake.

6“Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu,

damu yake itamwagwa na mwanadamu,kwa kuwa katika mfano wa Mungu,

Mungu alimwumba mwanadamu.

7Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi,mzidi katika dunia na kuijaza.’’

8Ndipo Mungu akamwambia Noa nawanawe pamoja naye: 9“Sasa mimi ninawekaagano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baadayenu, 10pia na kila kiumbe hai kilichokuwa

a1 “Mkaijaze tena dunia” hapa ina maana Mungu anambariki Noana wanawe ili waongezeke wakaijaze tena dunia iliyoangamizwa

pamoja nanyi: ndege, wanyama wa kufugwa nawanyama wote wa porini, wale wote waliotokakatika safina pamoja nanyi, kila kiumbe haiduniani. 11Ninaweka agano nanyi: kamwe uhaihautafutwa tena kwa gharika, kamwehaitakuwepo tena gharika ya kuangamizadunia.’’ 

12Mungu akasema, “Hii ni ishara ya aganoninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbehai kilicho pamoja nanyi, agano kwa vizazivyote vijavyo:  13Nimeweka upinde wangu wamvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya aganonifanyalo kati yangu na dunia. 14Wakati wowoteninapotanda mawingu juu ya dunia na upindewa mvua ukijitokeza mawinguni, 15nitakumbukaagano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyotevilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji

hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhaiwote. 16Wakati wo wote upinde wa mvuaunapotokea mawinguni, nitauona na kukumbukaagano la milele kati ya Mungu na viumbe vyotevilivyo hai vya kila aina duniani.’’

17Hivyo Mungu akamwambia Noa, “Hii ndiyoishara ya agano ambalo nimelifanya kati yanguna viumbe vyote vilivyo hai duniani.’’ 

Wana wa Noa18Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina

ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiyealiyekuwa baba wa Kanaani.) 19Hawa ndiowaliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana naowatu walienea katika dunia.

20Noa akawa mkulima, akawa mtu wakwanza kupanda mizabibu. 21 Alipokunywa huomvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenyehema lake. 22Hamu, baba wa Kanaani, akauonauchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zakewawili waliokuwa nje. 23Lakini Shemu na Yafethiwakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao

wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume,wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zaozilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wababa yao.

24Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyowake na kujua lile ambalo mwanae mdogokuliko wote alilokuwa amemtendea, 25akasema,

“Alaaniwe Kanaani!atakuwa mtumwa wa chini sana kulikowatumwa wote kwa ndugu zake.’’

26Pia akasema,

9

Page 9: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 9/52

MWANZO

“Abarikiwe BWANA Mungu waShemu!

Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.27Mungu na apanue mipaka ya Yafethi,

Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu,Kanaani na awe mtumwa wake.’’ 

28Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350.29Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo

akafa.

Mataifa 

Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu,Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana

baada ya gharika.

Yaliyotokana na Noa

Wazao wa Yafethi2Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani,Tubali, Mesheki na Tirasi.3Wana wa Gomeri walikuwa:

 Ashkenazi, Rifathi na Togarma.4Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.5(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalieneakatika nchi zao kwa koo zao katika mataifa yao,kila moja kwa lugha yake lenyewe.)

Wazao wa Hamu6

Wana wa Hamu walikuwa:Kushi, Misria, Puti na Kanaani.

7Wana wa Kushi walikuwa:Seba, Havila Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:Sheba na Dedani.

8Kushi alikuwa baba yake Nimrodi, akakuaakawa mtu shujaa mwenye nguvu duniani.9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za BWANA.Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi,

hodari wa kuwinda mbele za BWANA.’’ 10Vituovyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwaBabeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.11Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru,ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala 12naReseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala, huo ndio mjimkubwa.

13Misri alikuwa baba wa Waludi, Wanami,Walehabi, Wanaftuhi, 14Wapathrusi,Wakasluhi, (ambao Wafilisti walitokana nao)

a6  “Misri” hapa ina maana “Misraimu” ambaye alikuwa mwana

na Wakaftori.15Kanaani alikuwa baba wa:

Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,16Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,17Wahivi, Waarki, Wasini, 18Waarvadi,Wasemari na Wahamathi.

Baadaye koo za Mkanaani zilitawanyika,19na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidonikuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekeaSodoma, Gomora, Adma na Seboimu hadikufikia Lasha.

20Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao nalugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Uzao wa Shemu21Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa

Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemualikuwa baba wa wana wote wa Eberi.

22Wana wa Shemu walikuwa:Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

23Wana wa Aramu walikuwa:Usi, Huli, Getheri na Mashi.

24 Arfaksadi alikuwa baba wa Sela,naye Sela akamzaa Eberi.

25Eberi akazaa wana wawili:mmoja aliitwa Pelegi, kwa kuwa katika

wakati wake ndipo dunia ilipogawanyika,nduguye aliitwa Yoktani. 26Yoktani alikuwababa wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi,

  Yera, 27  Hadoramu, Uzali, Dikla, 28Obali, Abimaeli, Seba, 29Ofiri, Havila na Yobabi.Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

30Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekeaSefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.

31Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao nalugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

32Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatanana vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana nahawa mataifa yalienea duniani kote baada yagharika.

Mnara wa Babeli

Wakati huo dunia yote ilikuwa na lughamoja na msemo mmoja. 2Watu

walipoelekea upande wa mashariki, wakafikakwenye tambarare katika nchi ya Shinaria  naowakaishi huko.

3Wakasemezana wao kwa wao, “Njoni,tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa

10

11

Page 10: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 10/52

MWANZO

moto.’’ Walitumia matofali badala ya mawe, nalami kwa ajili ya kulinganishia hayo matofali.4Ndipo wakasema, “Njoni, tujijengee mji wenyemnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.’’

5Lakini BWANA akashuka ili auone mji namnara waliokuwa wanaujenga wanadamu.6Kama taifa moja wanaozungumza lugha mojawameanza kufanya hili, basi hakuna lo lotewatakalopanga kufanya ambalo halitawezekanakwao. 7Njoni, tushuke tuvuruge lugha yao iliwasielewane wao kwa wao.’’

8Hivyo BWANA akawatawanya kutokamahali pale kwenda katika dunia yote, naowakaacha kuujenga huo mji. 9Ndiyo maanapakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipoBWANA alipoivuruga lugha ya dunia nzima.

Kutoka hapo BWANA akawatawanya katika usowa dunia yote.

Shemu Hadi Abramu10Hivi ndivyo vizazi vya Shemu.

Miaka miwili baada ya gharika, Shemualipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi.11Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishimiaka 500 akazaa watoto wengine wa kiume nawa kike.

12

Wakati Arfaksadi alipokuwa na miakathelathini na mitano, akamzaa Sela. 13Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403,akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

14Shela alipokuwa na miaka thelathini,akamzaa Eberi. 15Shela baada ya kumzaa Eberi,aliishi miaka 403 na akazaa watoto wengine wakiume na wa kike.

16Eberi alipokuwa na miaka thelathini naminne, akamzaa Pelegi. 17Baada ya Eberikumzaa Pelegi, aliishi miaka 430 na akazaa

watoto wengine wa kiume na wa kike.18Pelegi alipokuwa na miaka thelathini,

akamzaa Reu. 19Baada ya Pelegi kumzaa Reu,aliishi miaka 209 na akazaa watoto wengine wakiume na wa kike.

20Reu alipokuwa na miaka thelathini namiwili, akamzaa Serugi. 21Baada ya Reukumzaa Serugi, aliishi miaka 207 na akazaawatoto wengine wa kiume na wa kike.

22Serugi alipokuwa na miaka thelathini,akamzaa Nahori. 23Baada ya Serugi kumzaa

Nahori, aliishi miaka 200 akazaa watoto wenginewa kiume na wa kike.

24N h i li k i k i hi i i ti

akamzaa Tera. 25Baada ya Nahori kumzaa Tera,aliishi miaka 119 na akazaa watoto wengine wakiume na wa kike.

26Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

Wazao wa Tera27Hawa ndio wazao wa Tera.

Tera aliwazaa Abramu, Nahori na Harani.Harani akamzaa Loti. 28Tera alipokuwa badohai, Harani akafa huko Uru ya Wakaldayo, nchialimozaliwa. 29 Abramu na Nahori walioa. Mkewa Abramu aliitwa Sarai na mke wa Nahorialiitwa Milka, Milka na Iska walikuwa watoto waHarani. 30Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

31Tera akamchukua Abramu mwanawe, Loti

mwana wa mwanawe Harani na Sarai mkwewe,mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwapamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchiya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishihuko. 32Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka205.

Wito w 

BWANA akawa amemwambia Abramu,“Ondoka katika nchi yako, waache watu

wako na nyumba ya baba yako, uende mpaka

nchi nitakayokuonyesha.

a Abramu

2“Mimi nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki,Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa baraka.

3Nitawabariki wale wanaokubariki,yeyote akulaaniye nitamlaani

na kupitia kwako mataifa yote dunianiyatabarikiwa.”

4Hivyo Abramu akaondoka kama BWANAalivyokuwa amemwambia, naye Loti akaondokanaye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani,alikuwa na miaka sabini na mitano. 5 Abramuakamchukua Sarai mkewe pamoja na Lotimwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwanazo pamoja na watu aliokuwa amewapatahuko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani,wakafika huko.

6 Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafikahuko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloniulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwawanaishi katika nchi hiyo. 7BWANA akamtokea

 Abramu akamwambia, “Nitawapa uzao wakonchi hii.’’ Hivyo hapa Abramu akamjengeaBWANA madhabahu, ambaye alikuwa

12

Page 11: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 11/52

MWANZO8Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea

kwenye vilima mashariki ya Betheli, nayeakapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wamagharibi na Ai upande wa mashariki. Hukoalimjengea BWANA madhabahu na akaliitia jinala BWANA. 9Kisha Abramu akasafiri kuelekeaupande wa Negebu.

5Basi Loti, ambaye alikuwa anafuatana na Abramu, alikuwa pia na makundi ya mbuzi,kondoo, ng’ombe na mahema. 6Lakini nchihaikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingiwa mali zao. 7Ukazuka ugomvi kati ya wachungamifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo,Wakanaani na Waperezi ndiyo waliokuwawenyeji wa nchi hiyo.

Abramu Katika Nchi ya Misri10Basi kulikuwapo na njaa katika nchi, naye

 Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwamuda, kwa maana njaa ilikuwa kali. 11 Alipokuwakaribu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe,“Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuriwa sura. 12Wakati Wamisri watakapokuona,watasema, ‘huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua,lakini wewe watakuacha hai. 13Sema wewe ni

dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yakona maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababuyako.’’

14 Abramu alipoingia Misri, Wamisriwakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzurisana wa sura. 15Maafisa wa Faraowalipomwona, wakamsifia kwa Farao, ndipoSarai akachukuliwa kwenda kwenye jumba lakela kifalme. 16Kwa ajili ya Sarai, Faraoakamtendea Abramu mema, akapata kondoo,ng'ombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume

na wa kike.17Lakini BWANA akamwadhibu Farao nanyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwasababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu.18Ndipo Farao akamwita Abramu, akamwuliza,“Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mkewako? 19Kwa nini ulisema, ‘yeye ni dada yangu,’hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi,mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!’’20Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza, pamoja na mke wake

na kila alichokuwa nacho. 

Abramu na Loti Watengana

Hivyo Abramu akakwea kutoka Misrikwenda Negebu, yeye na mkewe na

kila kitu alichokuwa nacho, pia Loti akaendapamoja naye. 2Wakati huo Abramu alikuwa tajirisana wa mifugo, fedha na dhahabu.

3Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahalihadi akafika Betheli, mahali hapo ambapomwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai4hapo ambapo alikuwa amejenga madhahahuya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina laBWANA

8Hivyo Abramu akamwambia Loti,“Pasiwepo na ugomvi wo wote kati yangu nawewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako,kwa kuwa sisi ni ndugu. 9Je, nchi yote haikombele yako? Tutengane. Kama ukielekeakushoto, nitakwenda kulia, kama ukielekea kulia,mimi nitakwenda kushoto.’’

10Loti akatazama akaona lile bonde lote laYordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani

ya BWANA, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari.(Hii ilikuwa kabla BWANA hajaharibu Sodomana Gomora.) 11Hivyo Loti akajichagulia bondelote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki.Watu hao wawili wakatengana: 12 Abramuakaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishimiongoni mwa miji ya lile bonde na kupigamahema yake karibu na Sodoma. 13Basi watuwa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sanadhambi dhidi ya BWANA.

14Baada ya Loti kuondoka BWANA

akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo inuamacho yako utazame kaskazini na kusini,mashariki na magharibi. 15Nchi yote unayoionanitakupa wewe na uzao wako hata milele.16Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kamamavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyoteawezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wakoutahesabika. 17Ondoka, tembea katika marefuna mapana ya nchi, kwa maana ninakupawewe.’’

18Basi Abramu akaondoa mahema yake,

akaenda kuishi karibu na mialoni ya Mamrehuko Hebroni, huko akamjengea BWANAmadhabahu. 

Abram 

Wakati huu Amrafeli mfalme waShinari, Arioko mfalme wa Elasari,

Kedorlaoma mfalme wa Elamu na Tidali mfalmewa Goimu 2kwa pamoja walikwenda kupiganavita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birshamfalme wa Gomora, Shinabu mfalme wa Edma,

Shemeberi mfalme wa Seboimu na mfalme waBela, (yaani Soari.) 3Hawa wote waliotajwa

i h i li i h j hi k t k

u Amwokoa Loti1314

Page 12: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 12/52

MWANZO

bonde la Sidimu, yaani Bahari ya Chumvi.4Walikuwa wametawaliwa na mfalmeKedorlaoma kwa miaka kumi na miwili, lakinimwaka wa kumi na tatu waliasi.

5Mnamo mwaka wa kumi na nne, mfalmeKedorlaoma na wafalme waliojiunga nayewalikwenda kupigana na kuwashinda Warefaikatika Ashtarothkanaimu, Wazuzi katika Hamu,Waemi katika Shawe-kiriathaimu 6na Wahorikatika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Paranikaribu na jangwa. 7Kisha wakarudi wakaendaEnmisfati, (yaani, Kadeshi,) wakashinda nchiyote ya Waamaleki, pamoja na Waamoriwaliokuwa wakiishi Hasason Tamari.

8Ndipo mfalme wa Sodoma, mfalme waGomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimuna mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka

kupanga majeshi yao kwenye Bonde la Sidimu9dhidi ya Kedorlaoma, mfalme wa Elamu, Tidalimfalme wa Goimu, Amrafeli mfalme wa Shinarina Arioko mfalme wa Elasari, yaani wafalmewanne dhidi ya wafalme watano. 10Basi Bondela Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami,wafalme wa Sodoma na wa Gomorawalipokimbia, baadhi ya watu walitumbukia hukona wengine wakakimbilia vilimani. 11Walewafalme wanne wakateka mali yote ya Sodomana Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha

wakaenda zao.12

Pia walimteka Loti mwana wandugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwakuwa alikuwa akiishi Sodoma.

13Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akajakumpa Abramu Mwebrania taarifa. Sasa Abramualikuwa anaishi karibu na mialoni ya MamreMwamori, aliyekuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri ambao wote walikuwa wameungana na Abramu. 14 Abramu alipopata habari kwamba jamaa yake amechukuliwa mateka, akawaitawatu 318 wa nyumbani mwake waliokuwa

wamefunzwa wakawafuatilia hadi Dani. 15Wakatiwa usiku Abramu aliwagawa watu wake katikavikosi ili awashambulie na akawafuatilia,akiwafukuza hadi Hoba, kaskazini ya Dameski.16 Akarudisha mali zote na akamrudisha Loti jamaa yake na mali zake, pamoja na wanawakena watu wengine.

17 Abramu aliporudi baada ya kumshindamfalme Kedorlaoma na wale wafalmewaliojiunga naye, mfalme wa Sodoma akatokakwenda kumlaki katika bonde la Shawe, (yaani,

Bonde la Mfalme.)18Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu

li l t k t di i Alik k h i

Mungu Aliye Juu Sana, 19akambariki Abramu,akisema,

“Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye JuuSana,

Muumba wa mbingu na nchi.20 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,

ambaye amewaweka adui zako mkononimwako.’’ 

Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu yakumi ya kila kitu.

21Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, “Nipe hao watu na hizo mali uchukuewewe mwenyewe.’’

22Lakini Abramu akamwambia mfalme waSodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa BWANA,

Mungu aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu nadunia na nimeapa 23kwamba sitapokea kituchochote kilicho chako, hata kama ni uzi augidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema,‘Nimemtajirisha Abramu.’ 24Sitapokea cho choteila kile tu watu wangu walichokula na sehemuambayo ni fungu la watu waliokwenda pamojanami, ambao ni Aneri, Eshkoli na Mamre. Waona wapewe fungu lao.’’ 

Agano la Mungu na Abramu

Baada ya jambo hili, neno la BWANAlikamjia Abramu katika maono:

‘‘Usiogope, Abramu.Mimi ni ngao yako nathawabu yako kubwa sana.’’ 

2Lakini Abramu akasema, ‘‘Ee BWANAMwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtotona atakayerithi nyumba yangu ni huyu EliezeriMdameski?’’ 3 Abramu akasema, ‘‘Hukunipa

watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangundiye atakuwa mrithi wangu.’’

4Ndipo neno la BWANA lilipomjia: ‘‘Mtu huyuhatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetokakatika viuno vyako mwenyewe ndiyeatakayekuwa mrithi wako.’’ 5 Akamtoa nje nakusema, ‘‘Tazama juu kuelekea mbinguni nauhesabu nyota, kama hakika utawezakuzihesabu.’’ Ndipo akamwambia, ‘‘Hivyo ndivyouzao wako utakavyokuwa.’’

6 Abramu akamwamini BWANA, naye kwake

hili likahesabiwa kuwa haki.7Pia akamwambia, ‘‘Mimi ndimi BWANA,

ili k t t k U W k ld ik hi

15

Page 13: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 13/52

MWANZO

hii uimiliki.’’8Lakini Abramu akasema, ‘‘Ee BWANA

Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapatakuimiliki?’’

9Ndipo BWANA akamwambia, ‘‘Nileteemtamba wa ng’ombe, mbuzi na kondoo mume,kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua nakinda la njiwa.’’

10 Abramu akamletea hivi vyote, akampasuakila mnyama vipande viwili, akavipanga kilakimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyondege, hakuwapasua vipande viwili. 11Kishandege walao nyama wakatua juu yamizoga, lakini Abramu akawafukuza.

12Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramuakashikwa na usingizi mzito, giza nene na lakutisha likaja juu yake. 13Kisha BWANA

akamwambia, ‘‘Ujue hakika kwamba wazaowako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo siyao wenyewe, nao watakuwa watumwa nawatateswa kwa miaka mia nne. 14Lakininitaliadhibu taifa lile wanaolitumikia kamawatumwa, hatimaye watatoka huko na malinyingi. 15Wewe, hata hivyo utakwenda kwa babazako kwa amani na kuzikwa katika uzeemwema. 16Katika kizazi cha nne wazao wakowatarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamoribado haijafikia kipimo kilichojaa.’’

17

Wakati jua lilipokuwa limeshatua na gizalimeingia, tanuru la moshi na mwali wa motounaowaka vikatokea na kupita kati ya vilevipande vya nyama. 18Siku hiyo BWANAakafanya agano na Abramu na kumwambia,‘‘Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia mto waMisria hadi mto ule mkubwa, Eufrati, 19yaani nchiya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni, 20Wahiti,Waperizi, Warefai, 21Waamori, Wakanaani,Wagirgashi na Wayebusi.’’ 

H na Ishmaeliagari Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwahajamzalia watoto. Lakini alikuwa na

mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari, 2hivyoSarai akamwambia Abramu, ‘‘BWANAamenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutanekimwili na mtumishi wangu wa kike, huendanitaweza kupata watoto kupitia kwake.’’

 Abramu akakubaliana na lile Saraialilosema. 3Hivyo baada ya Abramu kuishi katikanchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua

a18 ‘‘Mto wa Misri’’ hapa ina maana ‘‘Wadi-el-Arish’’ kwenye

mtumishi wake wa kike wa Kimisri Hagari nakumpa mumewe awe mke wake. 4 Akakutanakimwili na Hagari, naye akapata mimba.

Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianzakumdharau Sarai. 5Ndipo Sarai akamwambia Abramu, ‘‘Unawajibika na manyanyasoninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangumikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwambaana mimba, ananidharau mimi. BWANA naaamue kati yako na mimi.’’ 

6 Abramu akamwambia, ‘‘Mtumishi wakoyuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikirini bora zaidi.’’ Ndipo Sarai akamtesa Hagarihivyo akamtoroka.

7Malaika wa BWANA akamkuta Hagarikaribu na chemchemi huko jangwani, ilikuwachemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara

iendayo Shuri.8

Malaika akamwambia, ‘‘Hagari,mtumishi wa Sarai, umetokea wapi naunakwenda wapi?’’

 Akamjibu, ‘‘Ninamkimbia bibi yangu Sarai.’’ 9Ndipo malaika wa BWANA akamwambia,

‘‘Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.’’ 10Malaika akaendelea akasema, ‘‘Nitazidishawazao wako kwamba watakuwa wengi mnowasiohesabika.’’

11Pia malaika wa BWANA akamwambia:

“Wewe sasa una mimbanawe utamzaa mwana.

Utamwita jina lake Ishmaelia,kwa sababu BWANA amesikia juu

ya huzuni yako.12 Atakuwa punda mwitu katikati ya wanadamu,

mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtuna mkono wa kila mtu dhidi yake,

naye ataishi kwa uhasama na ndugu zakewote.’’ 

13 Akampa BWANA aliyezungumza naye jinahili, ‘‘Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi.’’ Kwamaana alisema, ‘‘Sasa nimemwona yeyeanayeniona mimi.’’ 14Ndiyo sababu kisima kilekikaitwa Beer-lahai-roib, bado kipo huko hata leokati ya Kadeshi na Beredi.

15Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwananaye Abramu akamwita huyo mwana Hagarialiyemzalia Ishmaeli. 16 Abramu alikuwa na umriwa miaka themanini na sita wakati Hagarialipomzalia Ishmaeli. 

a11 “Ishmaeli” maana yake “Mungu husikia.’’

16

Page 14: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 14/52

MWANZO

Agano la Tohara

 Abramu alipokuwa na miaka tisini natisa, BWANA akamtokea

akamwambia, “Mimi ndimi Mungu MwenyeNguvu, enenda mbele zangu na uishi kwaunyofu. 2Nami nitafanya agano langu kati yanguna wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

3 Abramu akaanguka kifudifudi, naye Munguakamwambia, 4“kwa upande wangu, hili ndiloagano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wamataifa mengi. 5Jina lako hutaitwa tena Abramu,bali jina lako litakuwa Abrahamua, kwa maananimekufanya wewe baba wa mataifa mengi.6Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwakoyatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako.7Nitalithibitisha agano langu kama agano la

milele kati yangu na wewe na wazao wakobaada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wakona Mungu wa wazao wako. 8Nchi yote yaKanaani, unakoishi sasa kama mgeni, nitakupakuwa milki yako milele, na uzao wako, naminitakuwa Mungu wao.”

9Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu,“Kwa upande wako, lazima ushike agano langu,wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo.10Hili ni agano langu na wewe pamoja na wazaowako baada yako, agano mtakalolishika: Kila

mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.11Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama yaagano kati yangu na ninyi. 12Kwa vizazi vijavyo,kila mwanaume miongoni mwenu mwenye sikunane ni lazima atahiriwe, pamoja nawatakaozaliwa nyumbani mwako auwalionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni,wale ambao sio watoto wako. 13 Awe amezaliwanyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedhayako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katikamwili wako litakuwa ni agano la milele. 14Kila

mwanaume asiyetahiriwa, ambaye hajapatatohara ya mwilini, atatengwa na watu wake,amelivunja agano langu.’’

15Pia BWANA akamwambia Abrahamu,‘‘Kwa upande wa Sarai mkeo, hutamwita tenaSarai bali jina lake litakuwa Sara. 16Nitambarikina hakika nitakupatia mwana kwake.Nitambariki na kwamba atakuwa mama wamataifa, wafalme wa mataifa watatoka kwake.’’

17 Abrahamu akaanguka kifudifudi, akachekana kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka

mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaamtoto katika umri wa miaka tisini?’’ 18 Abrahamuakamwambia Mungu, ‘‘Laiti Ishmaeli nayeangeshiriki baraka yako!’’

19Ndipo Mungu akasema, ‘‘Ndiyo, lakinimkeo Sara atakuzalia wewe mwana, naweutamwita jina lake Isakib. Nitalithibitisha aganolangu naye kama agano la milele kwa ajili yakena wazao wake baada yake. 20Kwa upande waIshmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki,nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongezasana idadi yake. Atakuwa baba wa watawalakumi na wawili, nami nitamfanya awe taifakubwa. 21Lakini agano langu nitalithibitisha kwaIsaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujaomajira kama haya.’’ 22Wakati alipomalizakuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda

 juu akaondoka kwa Abrahamu.23Siku ile ile, Abrahamu akamchukuaIshmaeli mwanawe na wote waliozaliwanyumbani mwake pamoja na walionunuliwa kwafedha zake, kila mwanaume wa nyumbanimwake, akawatahiri, kama Mungualivyomwagiza. 24 Abrahamu alikuwa na umri wamiaka tisini na tisa alipotahiriwa, 25nayeIshmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wamiaka kumi na mitatu. 26 Abrahamu na Ishmaelimwanawe walitahiriwa siku ile ile, 27Kila

mwanaume nyumbani mwa Abrahamu, pamojana wote waliozaliwa nyumbani mwake aualiyenunuliwa kutoka kwa mgeni, alitahiriwapamoja naye.

Wageni Watatu

BWANA akamtokea Abrahamu karibuna mialoni ya Mamre wakati alipokuwa

ameketi kwenye ingilio la hema lake wakati waadhuhuri. 2 Abrahamu akainua macho akaonawatu watatu wamesimama karibu naye.

 Alipowaona, aliharakisha kutoka kwenye ingiliola hema lake kuwalaki na kuwasujudia hadi nchi.

3 Akasema, “Kama nimepata kibali machonipenu, ee bwana wangu, usimpite mtumishiwako. 4 Acha yaletwe maji kidogo, kisha ninyinyote mnawe miguu yenu na mpumzike chini yamti huu. 5Niruhusuni niwapatie chakula kidogomle, ili mpate nguvu mwendelee na safari yenu,kwa kuwa mmekuja kwa mtumishi wenu.’’

Nao wakamjibu, “Vema sana, fanya kamaunavyosema.’’

17

18

Page 15: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 15/52

MWANZO6Hivyo Abrahamu akaharakisha akaingia

hemani kwa Sara. Akasema, “Chukua vipimovitatu vya unga laini haraka, ukande na uokemikate.”

7Kisha akakimbia kwenda kwenye kundiakachagua ndama mzuri, laini na akampamtumishi, ambaye aliharakisha kumtayarisha.8Kisha akaleta jibini, maziwa na nyama ya yulendama iliyoandaliwa, akaviweka mbele yawageni. Walipokuwa wakila, alisimama karibunao chini ya mti.

9Wakamwuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?’’  Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.’’ 10Kisha BWANA akasema, “Hakika

nitakurudia tena majira kama haya mwakani naSara mkeo atakuwa ana mwana.’’ 

Sara alikuwa akiwasikiliza kwenye ingilio la

hema, lililokuwa nyuma yake.11

 Abrahamu naSara walikuwa wazee tena waliosogea miaka,naye Sara alikwishakoma katika desturi yawanawake. 12Hivyo Sara akacheka kimoyomoyoalipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwamkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je,nitaweza kufurahia jambo hili?’’

13Ndipo BWANA akamwambia Abrahamu,“Kwa nini Sara amecheka na kusema, ‘Kwelinitazaa mtoto nami sasa ni mzee?’ 14Je, kuna jambo lo lote gumu lisilowezekana kwa

BWANA? Nitakurudia mwakani majira kamahaya, naye Sara atakuwa na mwana.’’

15Sara akaogopa kwa kuwa alidanganya nakusema, “Mimi sikucheka.’’

Lakini Bwana akasema, “Ndiyo, ulicheka!’’

Abrahamu Aiombea Sodoma16Wakati watu hao waliposimama ili

waondoke, walielekeza nyuso zao Sodoma, Abrahamu akawatoa kitambo kidogo iliawasindikize. 17Ndipo BWANA akasema, “Je,

nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudiakufanya? 18Hakika Abrahamu atakuwa taifakubwa na lenye nguvu, kupitia kwake mataifayote ya dunia yatabarikiwa. 19Kwa maananimemchagua yeye, ili kwamba aongoze watotowake na jamaa yake kumtii BWANA, wawewaadilifu na kutenda haki, ili BWANA atimizeahadi yake kwa Abrahamu.’’

20Basi BWANA akasema, “Kilio dhidi yaSodoma na Gomora ni kikubwa sana na dhambiyao inasikitisha sana, 21kwamba nitashuka nione

kama waliyoyatenda ni mabaya kiasi cha kiliokilichonifikia. Kama sivyo, nitajua.”

22B i l t k k k d

kuelekea Sodoma, lakini Abrahamu akabakiamesimama mbele za BWANA. 23Ndipo Abrahamu akamsogelea akasema: “Je,utawaangamiza wenye haki na waovu? 24Je,ikiwa watakuwepo watu wenye haki hamsinikatika mji huo, hivi kweli utauangamiza na walahutauacha kwa ajili ya hao watu hamsini wenyehaki waliomo ndani yake? 25Hilo na liwe mbalinawe, kufanya jambo kama hilo, kuwaua wenyehaki pamoja na waovu, kuwatendea wenye hakisawasawa na waovu. Iwe mbali nawe! Je,Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?’’

26BWANA akasema, “Kama nikipata watuhamsini wenye haki katika mji wa Sodoma,nitausamehe huo mji wote kwa ajili yao.’’

27Kisha Abrahamu akasema tena: “Sasakwa kuwa nimekuwa na ujasiri wa kuzungumza

na Bwana, ingawa mimi si kitu bali ni mavumbina majivu, 28 je, kama hesabu ya wenye hakiimepungua watano katika hamsini,utauangamiza huo mji wote kwa ajili ya haowatano waliopungua?’’

Bwana akamwambia,  “Kama nikiwakutahuko watu arobaini na watano sitauangamiza.’’

29 Abrahamu akazungumza naye kwa maranyingine, “Je, kama huko watapatikana watuarobaini tu?’’

 Akamjibu, “Kwa ajili ya hao arobaini

sitauangamiza.’’30Ndipo akasema, “BWANA na asikasirike,lakini niruhusu nizungumze. Je, kama hukowatakuwepo thelathini tu?’’

 Akajibu, ‘‘Sitapaangamiza ikiwa nitawakutahuko watu thelathini.’’

31 Abrahamu akasema, ‘‘Sasa kwa kuwanimekuwa na ujasiri sana kuzungumza naBwana, je, kama wakipatikana huko watu ishirinitu?’’

Bwana akajibu, ‘‘Kwa ajili ya hao ishirini,

sitauangamiza.’’32 Abrahamu akasema, ‘‘Bwana na

asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tenamara moja tu. Itakuwaje kama watapatikanahuko watu kumi tu?’’

Bwana akajibu, ‘‘Kwa ajili ya hao kumi,sitauangamiza.’’

33BWANA alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, akaondoka, naye Abrahamu akarudinyumbani kwake. 

Kuang 

Malaika wale wawili wakafika Sodomak ti ji i L ti lik

amizwa kwa Sodoma na Gomora

19

Page 16: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 16/52

MWANZO

ameketi kwenye lango la mji. Wakatialipowaona, aliondoka kwenda kuwalaki nakuwasujudia hadi chini. 2 Akasema, ‘‘Bwanazangu, tafadhali karibuni kwenye nyumba yamtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu nakulala hapa kisha asubuhi na mapemamwendelee na safari yenu.’’

Wakamjibu, ‘‘La hasha tutalala hapa njeuwanjani.’’

3Lakini akasisitiza kwa nguvu kwambawaingie pamoja naye nyumbani kwake. Akawandalia chakula, mikate isiyotiwa chachu,nao wakala. 4Kabla hawajaenda kulala, watuwote kutoka kila sehemu ya mji wa Sodoma,vijana kwa wazee, waliizunguka nyumba.5Wakamwita Loti wakisema, ‘‘Wako wapi walewatu ambao walikuja kwako jioni hii? Watoe nje

kwetu ili tuweze kuwalawiti.’’6Loti akatoka nje kuonana nao, akaufungamlango nyuma yake, 7akasema, ‘‘La hasha,rafiki zangu. Msifanye jambo hili ovu. 8Tazama,ninao binti wawili ambao kamwe hawajakutanakimwili na mwanaume. Acha niwatoe nje kwenu,nanyi mnaweza kuwafanyia lolote mnalotaka.Lakini msiwafanyie cho chote watu hawa, kwasababu wako kwenye ulinzi chini ya dari langu.’’

9Wakamjibu, “Tuondokee mbali.’’Wakaendelea kusema, “Huyu mtu alikuja hapa

kama mgeni na sasa anataka kuwa mwamuziwetu! Tutakutenda vibaya kuliko wao.’’Waliendelea kumlazimisha Loti na kusongambele ili kuvunja mlango.

10Lakini watu wale waliokuwa ndaniwakanyoosha mkono wakamvuta Loti ndani yanyumba na kufunga mlango. 11Kishawakawapiga kwa upofu wale watu waliokuwamlangoni mwa ile nyumba, vijana kwa wazee,hivyo hawakuweza kuupata mlango.

12Wale watu wawili wakamwambia Loti,

“Una mtu mwingine yeyote hapa, wakwe zako,wana au binti, ama yeyote mwingine aliye wakokatika mji huu? Waondoe hapa, 13kwa sababutunapaangamiza mahali hapa. Kilio kwaBWANA dhidi ya watu wa hapa, ni kikubwa kiasikwamba ametutuma kupaangamiza.’’

14Kwa hiyo Loti alitoka ili kuzungumza nawakwe zake, waliokuwa wamewaposa bintizake. Akawaambia, “Fanyeni haraka kuondokamahali hapa, kwa kuwa BWANA ni karibukuangamiza mji huu!’’ Lakini wakwe zake

walifikiri kwamba alikuwa akitania.15Kunako mapambazuko, malaika

k hi i L ti k bi “F

haraka! Mchukue mke wako na binti zako wawiliwalioko hapa, vinginevyo utaangamizwa wakatimji utakapoadhibiwa.’’

16 Alipositasita, wale watu wakamshikamkono wake na mikono ya mke wake na bintizake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji,kwa kuwa BWANA alikuwa na huruma kwao.17Mara walipokwisha kuwatoa nje, mmoja waoakawaambia, “Mkimbie kwa usalama wenu!Msitazame nyuma, wala msisimame popotekatika tambarare! Kimbilieni milimani, ama sivyomtaangamizwa!’’

18Lakini Loti akawajibu, “La hasha, bwanazangu, tafadhalini! 19Mtumishi wenu amepatakibali mbele ya macho yenu, nanyi mmeonyeshawema mkubwa kwangu kwa kuokoa maishayangu. Lakini siwezi kukimbilia milimani, janga

hili litanikumba, nami nitakufa.20 

Tazama, hapakuna mji karibu wa kukimbilia, nao ni mdogo.Niruhusuni nikimbilie humo, ni mdogo sana, amasivyo? Ndipo maisha yangu yatasalimika.’’

21 Akamwambia, ‘‘Vema sana, nitalikubali hiliombi pia, sitauangamiza mji ulioutaja. 22Lakiniukimbilie huko haraka, kwa sababu sitawezakufanya lolote mpaka ufike huko.’’ (Ndiyo maanamji huo ukaitwa Soaria.)

23Wakati Loti alipofika Soari, jua lilikuwalimechomoza katika nchi. 24Ndipo BWANA

akanyesha moto wa kiberiti juu ya Sodoma naGomora, uliotoka mbinguni kwa BWANA.25Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote latambarare pamoja na wote waliokuwa wanaishikatika miji, pia mimea yote katika nchi. 26Lakinimke wa Loti akatazama nyuma, akawa nguzo yachumvi.

27 Asubuhi na mapema siku iliyofuata, Abrahamu akaamka na kurudi mahali palealiposimama mbele za BWANA. 28 Akatazamaupande wa Sodoma na Gomora, kuelekea nchi

yote ya tambarare, akaona moshi mzitoukipanda kutoka kwenye nchi, kama moshiutokao kwenye tanuru.

29Kwa hiyo Mungu alipoiangamiza miji yatambarare alimkumbuka Abrahamu, akamtoaLoti kutoka kwenye lile janga lililoharibu miji ileambamo Loti alikuwa ameishi.

Loti na Binti Zake30Loti na binti zake wawili waliondoka Soari

na kufanya makao yao kule milimani, kwa

maana aliogopa kukaa Soari. Yeye na binti zake

Page 17: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 17/52

MWANZO

wawili waliishi katika pango. 31Siku moja bintimkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetuni mzee na hakuna mwanaume mahali hapaatakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturiya mahali pote duniani. 32Tumnyweshe babayetu mvinyo kisha tukutane naye kimwili ilituhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.”

33Usiku ule walimnywesha baba yao mvinyo,alipolewa binti yake mkubwa akaingia nakukutana naye kimwili. Baba yao hakujuawakati binti yake alipoingia kulala naye walaalipotoka.

34Siku iliyofuata binti mkubwa akamwambiayule mdogo, “Usiku uliopita mimi nilikutanakimwili na baba yangu. Tumnyweshe divai tena,usiku huu nawe ukutane naye kimwili ili tuwezekuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.’’ 35Kwa

hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo tenausiku ule, naye binti yake mdogo akaingiaakakutana naye kimwili. Kwa mara nyinginebaba yao hakujua binti yake alipolala naye walaalipoondoka.

36Hivyo binti wawili wa Loti wakapata mimbakwa baba yao. 37Binti mkubwa akamzaa mwana,akamwita jina lake Moabu, ndio baba waWamoabu hata leo. 38Binti mdogo naye piaakamzaa mwana, naye akamwita Benami ndiyebaba wa Waamoni hata leo. 

Abrahamu na Abimeleki

Basi Abrahamu akaendelea mbelekutoka huko hadi nchi ya Negebu na

akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa mudamfupi alikaa Gerari kama mgeni, 2huko Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe,“Huyu ni dada yangu.’’ Kisha Abimeleki mfalmewa Gerari akatuma Sara aletwe nayeakamchukua.

3Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika

ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe nikama mfu kwa sababu ya huyu mwanamkeuliyemchukua, yeye ni mke wa mtu.’’

4Wakati huo Abimeleki alikuwa badohajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwanautaliharibu taifa lisilo na hatia? 5Hakusemakwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara piahakusema, ‘Huyu ni kaka yangu?’ Nimefanyahaya kwa dhamiri njema na mikono safi.’’

6Kisha Mungu akamwambia katika ndoto,“Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa

dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitendedhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse.7S di h h k t k

ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakinikama hukumrudisha, ujue kwa hakika kuwawewe na watu wako wote mtakufa.’’

8Kesho yake asubuhi na mapema Abimelekiakawaita maafisa wake wote, baada yakuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana.9Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu nakumwambia, “Wewe umetufanyia nini?Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwanamna hii juu yangu na ufalme wangu?Umenifanyia mambo ambayo hayakupasakufanyika.’’ 10 Abimeleki akamwuliza Abrahamu,“Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?’’

11 Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba,‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa,nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’12Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni

dada yangu, binti wa baba yangu ingawa simtoto wa mama yangu basi akawa mke wangu.13Wakati BWANA aliponifanya nisafiri mbali nanyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivindivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu:Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema,“Huyu ni kaka yangu.’’ 

14Kisha Abimeleki akatwaa kondoo nang'ombe na watumwa wa kiume na wa kikeakampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwamumewe. 15 Abimeleki akasema, ‘‘Nchi yangu iko

mbele yako, ishi popote unapotaka.’’16 Akamwambia Sara, ‘‘Ninampa kaka yakoshekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosalililofanyika dhidi yako mbele ya wote waliopamoja nawe, haki yako imethibitishwa kabisa.’’ 

17Kisha Abrahamu akamwomba Mungu,naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wakena watumwa wake wa kike kwamba wawezekupata watoto tena, 18kwa kuwa BWANAalikuwa ameyafunga matumbo ya wote katikanyumba ya Abimeleki kwa sababu ya mke wa

 Abrahamu.

Kuzaliwa kwa Isaki

Wakati huu BWANA akamrehemu Sarakama alivyokuwa amesema, naye

BWANA akamtendea Sara kile alichokuwaameahidi. 2Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yaleya Mungu aliomwahidi. 3 Abrahamu akamwitaIsakia yule mwana ambaye Sara alimzalia. 4Isakialipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu

akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.

20

21

Page 18: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 18/52

MWANZO5 Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isakimwanawe alipozaliwa.

6Sara akasema, “Mungu amenileteakicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hiliatacheka pamoja nami.’’ 7 Akaongeza kusema,“Nani angemwambia Abrahamu kuwa Saraangenyonyesha watoto? Tena nimemzaliamwana katika uzee wake.’’

Hagari na Ishimaeli Wafukuzwa8Mtoto akakua akaachishwa kunyonya na

siku hiyo Abrahamu alifanya sherehe kubwa.9Lakini Sara aliona kuwa mwana ambaye HagariMmisri aliyemzalia Abrahamu, alikuwaanadhihaki, 10Sara akamwambia Abrahamu,“Mwondoe mwanamke huyu mtumwa namwanawe, kwa kuwa mwana wa mwanamke

mtumwa kamwe hatashiriki urithi pamoja namwanangu Isaki.’’11Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu

kwa sababu lilimhusu mwanawe. 12Lakini Munguakamwambia, “Usihuzunike hivyo kwa sababuya kijana na mtumishi wako wa kike. Sikilizalolote Sara analokuambia, kwa sababu uzaowako utahesabiwa kupitia Isaki. 13Nitamfanyahuyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwataifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.’’  14Kesho yake asubuhi na mapema

 Abrahamu akachukua chakula na kiriba cha majiakampa Hagari. Akaviweka mabegani mwaHagari akamwondoa pamoja na kijana. Akashikanjia akatangatanga katika jangwa la Beersheba.

15Maji yalipokwisha kwenye kiriba,akamwacha kijana chini ya mojawapo yavichaka. 16Kisha akajiendea zake akaketi karibu,umbali wa kutupa mshale, akawaza, “Siwezikumwangalia kijana akifa.’’ Ikawa alipokuwaameketi pale karibu, akaanza kulia kwa huzuni.

17Mungu akamsikia kijana akilia, malaika wa

Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni nakumwambia, “Kuna nini Hagari? Usiogope,Mungu amesikia kijana analia akiwa amelalapale. 18Mwinue kijana na umshike mkono, kwamaana nitamfanya kuwa taifa kubwa.’’

19Ndipo Mungu akamfumbua Hagari machoyake naye akaona kisima cha maji. Hivyoakaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijanaanywe. 20Mungu akawa pamoja na huyu kijanaalipokuwa akiendelea kukua. Aliishi jangwani naakawa mpiga upinde. 21 Alipokuwa akiishi katika

Jangwa la Parani, mama yake akampatia mkekutoka Misri.

Mapatano Katika Beersheba22Wakati huo Abimeleki na Fikoli mkuu wa

majeshi yake wakamwambia Abrahamu, “Munguyu pamoja nawe katika kila kitu unachofanya.23Sasa niapie hapa mbele za Mungu kwambahutanitenda hila mimi, watoto wangu walawazao wangu. Nitendee mimi na nchi ambayounaishi kama mgeni wema ule ule ambaonimekutendea.’’ 

24 Abrahamu akasema, “Ninaapa hivyo.’’ 25Ndipo Abrahamu akalalamika kwa

 Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambachowatumishi wa Abimeleki walikuwawamekinyang'anya. 26Lakini Abimeleki akasema,‘‘Sijui ni nani ambaye amefanya hili.Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habarizake.’’

27

Hivyo Abrahamu akaleta kondoo nango'mbe akampa Abimeleki, nao watu hawawawili wakafanya mapatano. 28 Abrahamuakatenga kondoo wake saba kutoka kwenyekundi, 29 Abimeleki akamwuliza Abrahamu, ‘‘Ninini maana ya hawa kondoo wake sabauliowatenga peke yao?’’ 

30 Abrahamu akamjibu, ‘‘Upokee hawakondoo wake saba kutoka mkononi mwangukama ushahidi kuwa nilichimba kisima hiki.’’

31Hivyo mahali pale pakaitwa Beersheba,

kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.32Baada ya mapatano kufanyika hukoBeersheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wamajeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.33 Abrahamu akapanda mti wa mkwaju hukoBeersheba na hapo akaliitia jina la BWANAMungu wa Milele. 34Naye Abrahamu akakaakatika nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu. 

Kujua 

Baadaye Mungu akamjaribu Abrahamu.

 Akamwambia, “Abrahamu!’’ Abrahamu

Uthabiti wa Abrahamu

akajibu, “Mimi hapa.’’2Kisha Mungu akamwambia, “Umchukue

mwanao, mwana wako wa pekee, Isakiumpendaye, uende katika nchi ya Moria. Mtoehuko kama sadaka ya kuteketezwa juu ya mlimammojwapo nitakaokuambia.’’

3 Abrahamu akaamka asubuhi na mapemasiku iliyofuata akamtayarisha punda wake. Akawachukua watumishi wake wawili pamoja naIsaki mwanawe. Baada ya kuchanja kuni za

kutosha kwa ajili ya hiyo sadaka yakuteketezwa, akaondoka kuelekea mahali

22

Page 19: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 19/52

MWANZO

Mungu alipokuwa amemwambia. 4Siku ya tatu Abrahamu akainua macho, akapaona mahalipale kwa mbali. 5 Akawaambia watumishi wake,“Kaeni hapa pamoja na punda, wakati mimi nakijana tunakwenda kule. Tutakwenda kuabuduna kisha tutawarudia.’’

6 Abrahamu akachukua kuni kwa ajili yasadaka ya kuteketezwa, akamtwika Isakimwanawe, yeye mwenyewe akachukua moto nakisu. Walipokuwa wakienda pamoja, 7Isakiakanena akamwambia baba yake Abrahamu,“Baba yangu!’’

 Abrahamu akaitika, “Mimi hapa,mwanangu.’’

Isaki akasema, “Moto na kuni zipo, Je, yukowapi mwanakondoo kwa ajili ya sadaka yakuteketezwa?’’

8

 Abrahamu akajibu, “Mwanangu, Mungumwenyewe atajipatia mwana kondoo kwa ajiliya hiyo sadaka.’’ Nao hawa wawili wakaendeleambele pamoja .

9Walipofika mahali pale alipokuwaameambiwa na Mungu, Abrahamu akajengamadhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. Akamfunga Isaki mwanawe na akamlazakwenye madhabahu, juu ya zile kuni. 10Kishaakanyoosha mkono wake na akachukua kisu iliamchinje mwanawe. 11Lakini malaika wa

BWANA akamwita kutoka mbinguni,akamwambia, “Abrahamu! Abrahamu!’’

 Akajibu, “Mimi hapa.”12 Akamwambia, “Usimdhuru kijana,

wala usimtendee jambo lolote. Sasa ninajuakwamba unamcha Mungu, kwa sababuhukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee.’’

13 Abrahamu akainua macho yake, akaonakondoo mume amenaswa pembe zake nyumayake katika kichaka. Akaenda akamchukuahuyo kondoo mume, akamtoa awe sadaka ya

kuteketezwa badala ya mwanawe. 14 Abrahamuakapaita mahali pale Yehova-yirea, yaaniBWANA atatupatia. Mpaka siku ya leoinasemekana, “Katika mlima wa BWANAitapatikana.’’

15Basi malaika wa BWANA akamwita Abrahamu kutoka mbinguni mara ya pili,16akasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asemaBWANA, kwamba kwa sababu umefanya hili nahukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee,17hakika nitakubariki na nitauzidisha uzao wako

kama nyota za angani na kama mchanga ulioko

pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao,18kupitia uzao wako mataifa yote dunianiyatabarikiwa, kwa sababu umenitii.’’

19Ndipo Abrahamu akawarudia watumishiwake, wakaondoka wakaenda wote pamojampaka Beer-sheba. Abrahamu akaishi hukoBeer-sheba.

Wana wa Nahori  20Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa,

“Milka pia amepata watoto, amemzalia nduguyako Nahori wana: 21Usi mzaliwa wake wakwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu), 22Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu naBethueli.’’ 23Bethueli akamzaa Rebeka. Milkaalimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wanawanane. 24Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma

pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashina Maaka. 

Kifo ch 

Sara aliishi akawa na umri wa miakamia na ishirini na saba. 2Sara akafa

huko Kiriathi-Arba (yaani Hebroni) katika nchi yaKanaani, Abrahamu akamwombolezea nakumlilia Sara.

a Sara

3Ndipo Abrahamu akainuka kutoka palepenye maiti ya mke wake. Akazungumza na

Wahiti, akasema,4

‘‘Mimi ni mpitaji na mgenimiongoni mwenu. Niuzieni sehemu ya ardhiyenu ili niweze kumzika maiti wangu.’’

5Wahiti wakamjibu Abrahamu, 6‘‘Bwana,tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sanamiongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburiunalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtuwa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzikamaiti wako.’’

7 Abrahamu akainuka na akasujudu mbeleya wenyeji wa nchi, yaani Wahiti. 8 Akawaambia,

‘‘Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basinisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Soharikwa niaba yangu 9ili aniuzie pango la Makpela,lililo mali yake, nalo liko mwisho wa shambalake. Mwambieni aniuzie kwa bei kamiliatakayosema ili liwe mahali pangu pa kuzikiamiongoni mwenu.’’

10Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongonimwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele yaWahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.11‘‘La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa

shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake.Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti

k ’’

23

Page 20: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 20/52

MWANZO12 Abrahamu akasujudu tena, mbele ya

wenyeji wa nchi, 13akamwambia Efroni walewatu wakiwa wanasikia, ‘‘Tafadhali nisikilize.Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubalikuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu.”

14Efroni akamjibu Abrahamu, 15“Nisikilize,bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli400 za fedhaa, lakini hiyo ni nini kati yako namimi? Mzike maiti wako.’’

16 Abrahamu akakubali masharti ya Efroni,akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwaWahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana naviwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakatihuo na wafanya biashara.

17Hivyo shamba la Efroni huko Makpelakaribu na Mamre, yaani shamba pamoja napango lililokuwamo, nayo miti yote iliyokuwemo

ndani ya mipaka ya shamba hilo, vilikabidhiwa,18kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele yaWahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye langola mji. 19Baada ya hayo Abrahamu akamzikaSara mkewe kwenye pango ndani ya shamba laMakpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katikanchi ya Kanaani. 20Hivyo Wahiti wakamkabidhi Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwahumo kuwa mahali pa kuzikia.

Isaki na Rebeka

Wakati huu Abrahamu alikuwa mzee namwenye miaka mingi, BWANA alikuwa

amembariki katika kila njia. 2 Akamwambiamtumishi wake mkuu wa vitu vyote katikanyumba yake, yule aliyekuwa msimamizi wa vituvyote alivyokuwa navyo, “Weka mkono wakochini ya paja langu, 3Ninataka uape kwaBWANA, Mungu wa mbingu na Mungu wa nchi,kwamba hutamtwalia mwanangu mke kutokakatika binti za Wakanaani, ambao ninaishimiongoni mwao, 4bali utakwenda katika nchi

yangu na jamaa zangu umpatie Isaki mwanangumke.’’ 

5Yule mtumishi akamwuliza, “Je, kama huyomwanamke atakataa kuja nami katika nchi hii?Je, nimpeleke mwanao katika hiyo nchiuliyotoka?’’

6 Abrahamu akasema, “Hakikisha kwambahutamrudisha mwanangu huko. 7BWANA,Mungu wa mbingu, aliyenitoa nyumbani kwababa yangu na nchi yangu niliyozaliwa naaliyesema nami na akaniahidi kwa kiapo,

akisema, ‘Nitawapa watoto wako nchi hii,’

atatuma malaika wake akutangulie ili umpatiemwanangu mke kutoka huko. 8Kama huyomwanamke asipokubali kufuatana nawe, basiutafunguliwa kutoka kiapo nilichokuapisha. Ilausimrudishe mwanangu huko.’’ 9Basi yulemtumishi akaweka mkono wake chini ya paja labwana wake Abraham akamwapia kuhusushauri hili.

10Ndipo huyo mtumishi akachukua ngamiakumi miongoni mwa ngamia za bwana wakeakaondoka, akachukua aina zote za vitu vizurikutoka kwa bwana wake. Akaelekea AramNaharaimua  na kushika njia kwenda mji waNahori. 11 Akawapigisha ngamia magoti karibuna kisima cha maji nje ya mji, ilikuwa inaelekea jioni, wakati ambapo wanawake wanakujakuteka maji.

12

Kisha akaomba, “Ee BWANA, Mungu wabwana wangu Abrahamu, nipatie ushindi leo,uonyeshe huruma kwa bwana wangu Abrahamu. 13Tazama, nimesimama karibu nakisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mjihuu wanakuja kuteka maji. 14Basi na iwe hivi,nitakapomwambia binti mmojawapo, ‘Tafadhalitua mtungi wako nipate kunywa maji,’ nayeakisema, ‘kunywa, nitawanywesha na ngamiawako pia.’ Basi na awe ndiye uliyemchagua kwaajili ya mtumishi wako Isaki. Kwa hili nitajua

umemhurumia bwana wangu.’’15Ikawa kabla hajamaliza kuomba, Rebekaakatokea akiwa na mtungi begani mwake. Alikuwa binti wa Bethueli. Bethueli alikuwamwana wa Milka aliyekuwa mke wa Nahorindugu wa Abrahamu. 16Huyu msichana alikuwamzuri sana wa sura, bikira, ambaye hakuna mtualiyekuwa amekutana naye kimwili. Aliteremkakisimani, akajaza mtungi wake akapanda juu.

17Ndipo yule mtumishi akaharakishakukutana naye akamwambia, “Tafadhali nipe

maji kidogo katika mtungi wako.’’18Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana

wangu.’’ Akashusha kwa haraka mtungi mkononimwake na akampa, akanywa.

19Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji,akamwambia, “Nitateka maji kwa ajili ya ngamiazako pia mpaka wote watosheke.’’ 20 Akafanyaharaka kumimina maji kwenye birika yakunyweshea wanyama, akakimbia kisimanikuteka maji mengine na akateka ya kuwatoshangamia wake wote. 21Pasipo kusema neno, yule

a10 “Aramu Naharaimu” maana yake ni Mesopotania ya

24

Page 21: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 21/52

MWANZO

lisho, tena kuna nafasi kwa ajili

sha nyumbani kwa jamaa za

alia nyumba na

iwea.”

mtumishi akamtazama kwa makini aone kamaBWANA ameifanikisha safari yake, au la.

22Ikawa ngamia walipokwisha kunywa wote,yule mtumishi akampa huyo msichana pete yapuani ya dhahabu yenye uzito wa beka mojab na bangili mbili za dhahabu zenye uzito washekeli kumic. 23Kisha akamwuliza, “Wewe nibinti wa nani? Tafadhali uniambie, je, kunanafasi katika nyumba ya baba yakotutakapoweza kulala?’’

24Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti waBethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.’’25 Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majanimengi na mayenu kulala.’’

26Yule mtumishi akasujudu na kumwabuduBWANA, 27akisema, “Atukuzwe BWANA, Mungu

wa bwana wangu Abrahamu, ambayehakuondoa wema na uaminifu wake kwa bwanawangu. Mimi nami, BWANA ameniongozasafarini akanifikibwana wangu.’’

28Yule msichana akakimbia akawaelezawatu wa nyumbani mwa mama yake kuhusumambo haya. 29Rebeka alikuwa na kakaaliyeitwa Labani, huyo akaharakisha kukutanana yule mtumishi kule kisimani. 30Mara alipoionaile pete puani, na bangili mikononi mwa dada

yake na kusikia yale maneno Rebekaaliyoambiwa na huyo mtumishi, alimwendeahuyo mtumishi, akamkuta amesimama karibu nangamia wake pale karibu na kisima.31 Akamwambia, “Karibu nyumbani weweuliyebarikiwa na BWANA, kwa nini unasimamahuko nje? Mimi nimekuandmahali kwa ajili ya ngamia.”

32Hivyo yule mtumishi akaenda nyumbani,mizigo ikaondolewa juu ya ngamia. Majani namalisho yakaletwa kwa ajili ya ngamia na maji

kwa ajili yake na watu wake ili kunawa miguu.33Ndipo chakula kikaandaliwa kwa ajili yake,lakini akasema, “Sitakula mpaka nnimewaambia yale niliyo nayo ya kusem  Labani akasema, ‘‘Basi tuambie.’’

34Hivyo akasema, ‘‘Mimi ni mtumishi wa Abrahamu. 35BWANA amembariki sana bwanawangu, amekuwa tajiri. Amempa kondoo nang'ombe, fedha na dhahabu, watumishi wakiume na wa kike, ngamia na punda. 36Saramkewe bwana wangu amemzalia mwana katika

wenyewe, ukamtwalie

ti,

 ANA amemchagulia

i nikamwambia, ‘Tafadhali unipe maji

i nikanywa,

Bethueli mwana

, mniambie, ili niweze kujua

ukuambiaj b l l t b j 51R b k

b22 “Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5.

uzee wake, naye amempa kila kitu alichokuwanacho. 37Naye bwana wangu ameniapisha naakasema, ‘Kamwe usimtwalie mwanangu mkekatika binti za Wakanaani, ambao ninaishi katikanchi yao, 38ila uende mpaka kwa jamaa ya babayangu na ukoo wangu mmwanangu mke huko.’

39‘‘Kisha nikamwuliza bwana wangu, ‘Je,kama huyo mwanamke hatakubali kurudi nami?’

40‘‘Akanijibu, ‘BWANA ambaye nimetembeambele zake, atatuma malaika wake pamojanawe, na kuifanikisha safari yako, ili uwezekupata mke kwa ajili ya mwanangu katika ukoowangu na kutoka katika jamaa ya baba yangu.41Kisha, utakapokwenda kwenye ukoo wangu,utakuwa umefunguliwa kutoka katika kiapochangu hata kama wakikataa kukupa huyo bin

utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu.’42‘‘Nilipokuja kisimani leo, nilisema, ‘EeBWANA, Mungu wa bwana wangu Abrahamu,ikikupendeza, naomba uifanikishe safariniliyoijia. 43Tazama, ninasimama kando yakisima hiki, kama mwanamwali akija kuteka majinami nikimwambia, ‘Tafadhali niruhusu ninywemaji kidogo kutoka kwenye mtungi wako,’’44naye kama akiniambia, ‘Kunywa, nami nitatekamaji kwa ajili ya ngamia wako pia,’’ basi huyoawe ndiye mke ambaye BW

mwana wa bwana wangu.’45‘‘Kabla sijamaliza kuomba moyonimwangu, Rebeka akatokea, amebeba mtungibegani mwake. Akashuka kisimani akatekamaji, namninywe.’

46‘‘ Akafanya haraka kushusha mtungi wakebegani na kusema, ‘Kunywa na nitawanyweshangamia wako pia,’ basakawanywesha na ngamia pia.

47‘‘Nikamwuliza, ‘Wewe ni binti wa nani?’

 Akasema, ‘Mimi ni binti wawa Nahori, Milka aliyemzalia.’

‘‘Ndipo nilipotia pete puani mwake na bangilimikononi mwake, 48nikasujudu na nikamwabuduBWANA. Nikamtukuza BWANA, Mungu wabwana wangu Abrahamu, aliyeniongoza katikanjia sahihi ili nimtwalie mwana na bwana wangumke katika jamaa zake. 49‘‘Ikiwa mtaonyeshawema na uaminifu kwa bwana wangu,mniambie, la sivyonjia ya kugeukia.’’

50Labani na Bethueli wakajibu, ‘‘Jambo hililimetoka kwa BWANA, hatuwezi k

 

Page 22: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 22/52

MWANZO

yuko hapa, mchukue na uende, awe mke wamwana wa bwana wako, sawasawa na BWANAalivyoongoza.’’

52Ikawa huyo mtumishi wa Abrahamualiposikia waliyosema, alisujudu mpaka nchimbele ya BWANA. 53Ndipo huyo mtumishiakatoa vitu vilivyotengenezwa kwa dhahabu nakwa fedha pamoja na mavazi, akampa Rebeka,pia akawapa zawadi za thamani kubwa nduguyena mamaye. 54Kisha yeye na wale watuwaliokuwa pamoja naye wakala, wakanywa nakulala pale pale.

Walipoamka asubuhi, yule mtumishi,akasema, ‘‘Nipeni ruhusa nirudi kwa bwanawangu.’’

55Lakini ndugu yake Rebeka pamoja namama yake wakajibu, ‘‘Acha binti akae kwetu

siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.’’56Lakini yule mtumishi akawaambia,‘‘Msinicheleweshe, kwa kuwa BWANAamefanikisha safari yangu, nipeni ruhusa nirudikwa bwana wangu.’’

57Ndipo wakasema, ‘‘Acha tumwite huyobinti tumwulize tusikie atakavyosema.’’ 58Kwahiyo wakamwita Rebeka na kumwuliza, ‘‘Je,utakwenda na mtu huyu?’’

 Akasema, ‘‘Nitakwenda.’’59Hivyo wakamwaga ndugu yao Rebeka

aondoke, pamoja na mjakazi wake, mtumishi wa Abrahamu na watu wake. 60WakambarikiRebeka wakamwambia,

‘‘Ndugu yetu, uwe wewe kumi elfu,mara elfu nyingi,

nao wazao wako wamiliki malango ya aduizao.’’

61Rebeka na vijakazi wake wakajiandaa,wakapanda ngamia zao wakafuatana na yulemtu. Hivyo yule mtumishi akamchukua Rebekaakaondoka.

62Basi Isaki alikuwa ametoka Beer-Lahai-roi,kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya Negebu.63Isaki akatoka kwenda shambani kutafakariwakati wa jioni, alipoinua macho yake, akaonangamia wanakuja. 64Rebeka pia akainua machoakamwona Isaki. Akashuka kutoka kwenyengamia wake 65na akamwuliza yule mtumishi,‘‘Ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekujakutulaki?’’

Yule mtumishi akajibu, ‘‘Huyu ndiye bwanawangu.’’ Hivyo Rebeka akachukua shela yake

akajifunika.66Kisha yule mtumishi akamweleza Isakib t li t d 67Ndi I ki

akamwingiza Rebeka katika hema la Saramama yake, Isaki akamchukua Rebeka, hivyoakawa mke wake, Isaki akampenda, akafarijikabaada ya kifo cha mama yake.

Kifo ch 

 Abrahamu alioa mke mwingine,ambaye jina lake aliitwa Ketura. 2Huyu

alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,Ishbaki na Shua. 3Yokshani alikuwa baba waSheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwaWaashuri, Waletushi na Waleumi. 4Wana waMidiani walikuwa Efa, Eferi,Hanoki, Abida naEldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.

a Abrahamu

5 Abrahamu akamwachia Isaki kila kitualichokuwa nacho. 6Lakini alipokuwa bado hai,akawapa watoto wa masuria wake zawadi kisha

akawaondoa waende kuishi pande za masharikimbali na mwanawe Isaki.7Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka mia

moja sabini na mitano. 8Ndipo Abrahamuakapumua pumzi ya mwisho na akafa mwenyeumri mzuri, akiwa mzee ameshiba siku,akakusanywa pamoja na watu wake. 9Watotowake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pangola Makpela karibu na Mamre, katika shambalililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti,10Shamba ambalo Abrahamu alilinunua kwa

Wahiti. Hapo ndipo Abrahamu alipozikwapamoja na mkewe Sara. 11Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu akambariki mwanawe Isaki,ambaye baadaye aliishi karibu na Beer-Lahoi-roi.

Wana wa Ishmaeli12Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli mtoto wa

 Abrahamu, ambaye mjakazi wake Sara, HagariMmisri, alimzalia Abrahamu.

13Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli,

yaliyoorodheshwa kulingana na jinsiwalivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaelini Nebayothi, akafuatia Kedari, AdbeeliMibsamu, 14Mishma, Duma, Masa, 15Hadadi,Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema. 16Hawawalikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majinaya viongozi wa makabila kumi na mawilikulingana na makao yao na kambi zao. 17Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka mia thelathini nasaba. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, nayeakakusanywa pamoja na watu wake. 18Wazao

wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadiShuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekeaA h i H lii hi k h d

25

Page 23: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 23/52

MWANZO

zao wote.

19Hivi ndivyo vizazi vya Isaki mwana wa Abrahamu.

 Abrahamu akamzaa Isaki, 20Isaki alikuwa naumri wa miaka arobaini alipomwoa Rebeka bintiBethueli Mwaramu kutoka Padan-aramu,nduguye Labani Mwaramu.

21Isaki akamwomba BWANA kwa ajili yamke wake, kwa sababu alikuwa tasa. BWANAakajibu maombi yake na Rebeka mkeweakapata mimba. 22Watoto wakashindanatumboni mwake, akasema, “Kwa nini hayayanatokea kwangu?’’ Kwa hiyo akaendakumwuliza BWANA.

23BWANA akamjibu,

“Mataifa mawili yamo tumboni mwako,na mataifa hayo mawili kutoka ndani

yako watatenganishwa,mmoja atakuwa na nguvu zaidi kuliko

mwingine,na mkubwa atamtumikia mdogo.’’ 

24Wakati wake wa kujifungua ulipotimia,walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake.25Wa kwanza kuzaliwa alikuwa mwekundu, mwili

wake wote ulikuwa kama mtu aliyevaa vazilenye nywele, wakamwita jina lake Esaua.26Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wakeulikuwa umemshika Esau kisigino, akaitwa jinalake Yakobob. Isaki alikuwa mwenye miaka sitiniRebeka alipowazaa.

27Watoto wakakua, Esau alikuwa mwindajihodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwamtu mkimya, mwenye kukaa nyumbani. 28Isaki,ambaye alikuwa anapendelea zaidi nyama zaporini, alimpenda Esau, bali Rebeka alimpenda

Yakobo.29Siku moja Yakobo alipika mchuzi wa

dengu, Esau akarudi kutoka porini akiwa na njaakali. 30 Akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huomchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!’’ (Hiindiyo sababu pia aliitwa Edomuc.)

31Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza hakiyako ya mzaliwa wa kwanza.’’

a25 “Esau” maana yake “mwenye nywele nyingi.’b26 “Yakobo” maana yake “ashikaye kisigino, atwaaye mahali

pa mwingine, mdanganyaji, mwenye hila, mwerevu, mlaghai,

32Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibuya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wakwanza?’’

33Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.’’ Hivyo Esau akamwapia, akamwuzia Yakobohaki yake ya kuzaliwa.

34Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na ulemchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kishaakainuka akaenda zake.

Kwa hiyo Esau alidharau haki yake yamzaliwa wa kwanza.

Isaki n 

Basi njaa kubwa ikawa katika nchi hiyo,kuliko ile njaa iliyotangulia iliyotokea

wakati wa Abrahamu. Isaki akamwendea Abimeleki mfalme wa Wafilisti huko Gerari.2

BWANA akamtokea Isaki akamwambia,“Usiende Misri, bali ukae katika nchinitakayokuambia. 3Kaa katika nchi hii kwakitambo, mimi nitakuwa pamoja na wewe nanitakubariki. Kwa maana nitakupa wewe na uzaowako nchi hizi zote na nitatimiza kiaponilichomwapia Abrahamu baba yako. 4Nitafanyawazao wako kuwa wengi kama nyota za angani,nami nitawapa nchi hizi zote na kutokana nauzao wako mataifa yote yatabarikiwa, 5kwasababu Abrahamu alinitii mimi akatunza kanuni

zangu na maagizo yangu, amri zangu pamoja nasheria zangu.’’ 6Hivyo Isaki akaishi huko Gerari.

a Abimeleki

7Watu wa mahali pale walipomwuliza habariza mke wake, akasema, “Huyu ni dada yangu,’’kwa sababu aliogopa kusema, “Huyu ni mkewangu.’’ Alifikiri, “Watu wa mahali palewataweza kumwua kwa sababu ya Rebeka, kwakuwa alikuwa mzuri wa sura.’’

8Wakati Isaki alipokuwa amekaa huko sikunyingi, Abimeleki mfalme wa Wafilistiakachungulia dirishani, akaona jinsi Isaki

alivyomkumbatia Rebeka mke wake. 9 Abimelekiakamwita Isaki akamwambia, “Hakika huyu nimke wako! Mbona uliniambia, ‘Huyu ni dadayangu?’ ’’

Isaki akamjibu, ‘‘Kwa sababu nilifikiriningeweza kuuawa kwa sababu yake.’’

10Ndipo Abimeleki akamjibu, ‘‘Ni nini hikiulichotufanyia? Ingewezekana mtu ye yoteakawa amekutana kimwili na mke wako, naweungeleta hatia juu yetu.’’

11Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu

wote, akisema, ‘‘Yeyote atakayemnyanyasa mtuhuyu au mkewe hakika atauawa.’’

12I ki k d k tik hihi

26

Page 24: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 24/52

MWANZO

kwa mwaka uo huo, akavuna mara mia, kwasababu BWANA alimbariki. 13Isaki akawa tajiri,mali zake zikaendelea kuongezeka mpakaakawa tajiri sana. 14 Akawa na kondoo, ng’ombena watumishi wengi sana kiasi kwamba Wafilistiwakamwonea wivu. 15Kwa hiyo visima vyotevilivyochimbwa na watumishi wakati wa Abrahamu baba yake, Wafilisti wakavifukiawakavijaza udongo.

16Ndipo Abimeleki akamwambia Isaki,‘‘Ondoka kwetu, kwa maana umetuzidi nguvusana.’’

17Basi Isaki akatoka huko akajenga kambikatika Bonde la Gerari, akaishi huko. 18NdipoIsaki akavichimbua tena vile visima vya majiambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamubaba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada

ya kufa Abrahamu, akavipa majina yale yaleambayo baba yake alikuwa amevipa.19Watumishi wa Isaki wakachimba katika lile

bonde wakagundua huko kisima chenye majisafi. 20Lakini wachungaji wa Gerariwakagombana na wachungaji wa Isakiwakisema, ‘‘Maji haya ni yetu!’’ Ndipo akakiitakile kisima Esekia, kwa sababu waligombananaye. 21Kisha wakachimba kisima kingine, lakinihata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitnab.22 Akaondoka huko, akachimba kisima kingine,

wala hakuna yeyote aliyekigombania. AkakiitaRehobothic, akisema, “Sasa BWANAametufanyia nafasi, nasi tutasitawi katika nchi.’’

23Kutoka pale akaenda Beer-sheba. 24Usikuule BWANA akamtokea akamwambia, “Mimindimi Mungu wa Abrahamu baba yako.Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe,nitakubariki na kuongeza idadi ya wazao wakokwa ajili ya Abrahamu mtumishi wangu.’’

25Isaki akajenga madhababu huko, akaliitia jina la BWANA. Akapiga hema lake huko,

watumishi wake wakachimba kisima.26Wakati huo, Abimeleki alikuwa amemjia

kutoka Gerari, akifuatana na Ahuzathi mshauriwake pamoja na Fikoli jemadari wa majeshiyake. 27Isaki akawauliza, “Mbona mmekujakwangu na ninyi mlinichukia na kunifukuza?’’

28Wakamjibu, “Tuliona wazi kuwa BWANAalikuwa pamoja nawe, kwa hiyo tukasema,‘Inabidi kuwe na kiapo cha mapatano kati yetu,kati yetu na wewe. Na tufanye mkataba pamojanawe 29kwamba hutatudhuru, kama jinsi nasi

a20 “Eseki” maana yake hapa ni “ugomvi.’’

hatukuwanyanyasa bali tuliwatendea memawakati wote na kuwaondoa kwetu kwa amani.Tena sasa umebarikiwa na BWANA.’’

30Basi Isaki akawaandalia karamu, naowakala na kunywa. 31Kesho yake asubuhi namapema, wakaapizana wao kwa wao. KishaIsaki akawaruhusu waende zao, wakamwachaIsaki kwa amani.

32Siku hiyo watumishi wa Isaki wakajawakampa habari kuhusu kisima walichokuwawamekichimba, wakamwambia, “Tumepatamaji!’’ 33Naye akakiita Shibad, mpaka leo mji huounaitwa Beer-shebae.

34Esau alipokuwa na umri wa miakaarobaini, akamwoa Yudithi binti Beeri Mhiti,kisha akamwoa Basemathi binti Eloni Mhiti.35Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na

Rebeka. 

Yakobo Anaipata Baraka ya Isaki

Isaki alipokuwa mzee na macho yakeyalipokuwa yamekosa nguvu asiweze

kuona tena, akamwita Esau mwanawe mkubwaakamwambia, “Mwanangu.’’

 Akajibu, “Mimi hapa.’’ 2Isaki akasema, “Mimi sasa ni mzee na sijui

siku ya kifo changu. 3Sasa basi, chukua silahazako, podo na upinde, uende nyikani, ukawinde

nyama pori kwa ajili yangu.4

Uniandalie aina yachakula kitamu nikipendacho uniletee nile, iliniweze kukubariki kabla sijafa.’’

5Basi Rebeka alikuwa akisikiliza Isakialipokuwa akizungumza na mwanawe Esau.Esau alipoondoka kwenda nyikani kuwindanyama pori na kuleta, 6Rebeka akamwambiaYakobo mwanawe, “Tazama, nimemsikia babayako akimwambia ndugu yako Esau, 7‘Nileteemawindo, kisha ukaniandalie chakula kitamunile, ili niweze kukubariki mbele za BWANA

kabla sijafa.’ 8Sasa, mwanangu, nisikilize kwamakini na ufanye yale ninayokuambia: 9Nendasasa katika kundi ukaniletee wana mbuzi wawiliwazuri, ili niandalie chakula kitamu kwa ajili yababa yako, kama vile anavyotaka. 10Kishaumpelekee baba yako ale, ili apate kukubarikikabla hajafa.”

11Yakobo akamwambia Rebeka mama yake,

d33 ‘‘Shiba’’ maana yake ni ‘‘saba’’ kwa Kiebrania.e33 ‘‘Beer-sheba’’ maana yake ni ‘‘kisima cha wale saba’’ yaani

wale kondoo saba ambao Abrahamu aliwatoa kama ushahidi

27

Page 25: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 25/52

MWANZO

“Lakini ndugu yangu Esau ana nywele mwilini,mimi nina ngozi nyororo. 12Itakuwaje kama babayangu akinigusa? Itaonekana kwake kamaniliyemfanyia ujanja na kuleta laana juu yangubadala ya baraka.’’

13Mama yake akamwambia, “Mwanangu,laana na iwe juu yangu. Fanya tuninalokuambia, nenda ukaniletee haowanambuzi.’’

14Kwa hiyo alikwenda akawaleta, akampamama yake, akaandaa chakula kitamu, kamavile alivyotaka baba yake. 15Kisha Rebekaakachukua nguo nzuri za Esau mwanawe wakwanza, alizokuwa nazo nyumbani, akamvikaYakobo mwanawe mdogo. 16Pia akamfunikamikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngoziza mbuzi. 17Hatimaye akampa Yakobo hicho

chakula kitamu pamoja na mkate aliouoka.18 Akamwendea baba yake akasema, “Babayangu.’’

 Akajibu, “Naam, mwanangu, wewe ni nani?’’19Yakobo akamwambia baba yake, ‘‘Mimi ni

Esau mzaliwa wako wa kwanza. Nimefanyakama ulivyoniambia. Tafadhali uketi, ule sehemuya mawindo yangu ili uweze kunibariki.’’

20Isaki akamwuliza mwanawe. “Umepatajeharaka namna hii, mwanangu?’’

 Akajibu, “BWANA Mungu wako

amenifanikisha.’’21Kisha Isaki akamwambia Yakobo,“Mwanangu tafadhali sogea karibu nami ilinikupapase, nione kama hakika ndiwe Esaumwanangu, au la.”

22Yakobo akasogea karibu na baba yakeIsaki, ambaye alimpapasa na kusema, “Sauti niya Yakobo, bali mikono ni ya Esau.’’23Hakumtambua, kwa sababu mikono yakeilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau,kwa hiyo akambariki. 24 Akamwuliza, “Hivi kweli

wewe ni mwanangu Esau?” Akajibu, “Mimi ndiye.’’25Kisha akasema, “Mwanangu, niletee

sehemu ya mawindo yako nile, ili nipatekukubariki.’’

Yakobo akamletea naye akala, akamleteana divai akanywa. 26Kisha Isaki baba yakeakamwambia, “Njoo hapa, mwanangu, unibusu.’’ 

27Kwa hiyo akamwendea akambusu. Isakialiposikia harufu ya nguo zake, akambariki,akasema,

“Aha, harufu ya mwananguni kama harufu ya shamba

ambalo BWANA amelibariki.28Mungu na akupe umande kutoka mbinguni

na utajiri wa duniani,wingi wa nafaka na divai mpya.

29Mataifa na yakutumikiena mataifa yakusujudie.

Uwe bwana juu ya ndugu zako,wana wa mama yako wakusujudie.

Walaaniwe wale wakulaanio,nao wale wakubarikio wabarikiwe.’’ 

30Baada ya Isaki kumaliza kumbariki nabaada tu ya Yakobo kuondoka kwa baba yake,ndugu yake Esau akaingia kutoka mawindoni.31Naye pia akaandaa chakula kitamu akamletea

baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu,keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upatekunibariki.’’

32Isaki baba yake akamwuliza,“Wewe ni nani?’’

 Akajibu, “Mimi ni mwanao, mzaliwa wako wakwanza, Esau.’’

33Isaki akatetemeka kwa nguvu sanaakasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwindamawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja nanikambariki, naye hakika atabarikiwa!” 

34

Esau aliposikia maneno haya ya babayake, akalia sauti kubwa na ya uchungu nakumwambia baba yake, “Nibariki mimi, mimi pia,baba yangu!’’

35Lakini akasema, “Ndugu yako amekujakwa udanganyifu na akachukua baraka yako.’’

36Esau akasema, ‘‘Si ndiyo sababu anaitwaYakobo? Amenidanganya mara hizi mbili: Alichukua haki yangu ya kuzaliwa na sasaamechukua baraka yangu!’’ Kisha akauliza,“Hukubakiza hata baraka moja kwa ajili yangu?’’ 

37Isaki akamjibu Esau, “Nimemfanya yeyekuwa bwana juu yako, pia nimewafanya nduguzako wote kuwa watumishi wake,nimemtegemeza kwa nafaka na divai mpya.Sasa nitaweza kukufanyia nini, mwanangu?’’

38Esau akamwambia baba yake, “Je, babayangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia,baba yangu!’’ Kisha Esau akalia kwa sautikubwa.

39Baba yake Isaki akamjibu, akamwambia,

“Makao yako yatakuwambali na utajiri wa dunia,

b li d bi i j

Page 26: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 26/52

MWANZO40Utaishi kwa upanga,

nawe utamtumikia ndugu yako,lakini wakati utakapokuwa umejikomboa,

utatupa nira yake kutoka shingonimwako.” 

Yakobo Anakimbilia kwa Labani41Esau akawa na kinyongo dhidi ya Yakobo

kwa ajili ya baraka ambazo baba yake alikuwaamembariki. Akasema moyoni mwake, “Siku zakuomboleza kwa ajili ya baba yangu zimekaribia,ndipo nitamwua ndugu yangu Yakobo.’’

42Rebeka alipokwisha kuambiwa yalealiyoyasema Esau mwanawe mkubwa, alimwitaYakobo mwanawe mdogo akamwambia, “Nduguyako Esau anajifariji kwa wazo la kukuua.43Sasa basi, mwanangu, fanya nisemalo:

Kimbilia haraka kwa Labani ndugu yangu kuleHarani. 44Ukae naye kwa muda mpaka ghahabuya ndugu yako itulie. 45Wakati ndugu yakoatakapokuwa hana hasira nawe tena naamesahau uliyomtendea, nitakupelekea ujumbeurudi. Kwa nini niwapoteze wote wawili kwa sikumoja?”

46Kisha Rebeka akamwambia Isaki,“Nimechukia kuishi kwa sababu ya hawawanawake wa Kihiti. Ikiwa Yakobo ataoa mkemiongoni mwa wanawake wa nchi hii,

wanawake wa Kihiti kama hawa, sitakuwa nafaida kuendelea kuishi.’’ 

Basi Isaki akamwita Yakobo akambarikiakamwamuru akisema, “Usioe

mwanamke wa Kikanaani. 2Nenda mara mojampaka Padan-Aram, kwenye nyumba yaBethueli baba wa mama yako. Uchukue mke katiya binti za Labani ambaye ni ndugu wa mamayako. 3Mungu Mwenyezi na akubariki uwe nauzao uongezeke idadi yako upate kuwa jamii

kubwa ya watu. 4Na akupe wewe na uzao wakobaraka aliyopewa Abrahamu, upate kumiliki nchiunayoishi sasa kama mgeni, nchi ambayoMungu alimpa Abrahamu.’’ 5Kisha Isakiakamuaga Yakobo, naye akaenda Padan-Aram,kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu,ndugu wa Rebeka, aliyekuwa mama wa Yakobona Esau.”

6Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembarikiYakobo na kumtuma kwenda Padan-Aram iliachukue mke huko na kwamba alipombariki

alimwamuru akisema, “Usioe mke katika binti zaWakanaani,’’ 7tena kwamba Yakobo amewatiib b k k k d

Padan-Aram. 8Esau akatambua jinsi ambavyobaba yake Isaki anavyowachukia binti zaWakanaani, 9ndipo akaenda kwa Ishmaeliakamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na bintiwa Ishmaeli mwana wa Abrahamu, kuongezeawale wake wengine aliokuwa nao.

Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli10Yakobo akatoka Beer-sheba kwenda

Harani. 11 Alipofika mahali fulani, akalala hapokwa sababu jua lilikuwa limetua. Akachukua jiwemoja la mahali pale, akaliweka chini ya kichwachake akajinyoosha akalala usingizi. 12 Akaotandoto ambayo aliona ngazi imesimamishwa juuya ardhi, ncha yake ikiwa imefika mbinguni namalaika wa Mungu wakawa wakipanda nakushuka juu yake. 13Juu yake alisimama

BWANA, akasema, “Mimi ni BWANA, Mungu wababa yako Abrahamu na Mungu wa Isaki. Nchiambayo umelala juu yake, nitakupa wewe nauzao wako. 14Uzao wako utakuwa kamamavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wamagharibi na mashariki, kaskazini na kusini.Kupitia wewe na uzao wako mataifa yote yaduniani yatabarikiwa. 15Niko pamoja nawe naminitakulinda kila uendako na nitakurudisha katikanchi hii. Sitakuacha mpaka nitakapofanya hayoniliyokuahidi.’’

16

Yakobo alipoamka kutoka usingizini,akawaza, “Hakika BWANA yuko mahali hapa,wala mimi sikujua.’’ 17Kwa hiyo akaogopa,akasema, “Mahali hapa panatisha kama nini!Bila shaka hapa ndipo nyumba ya Mungu ilipo,hili ni lango la mbinguni.’’

18 Asubuhi yake na mapema, Yakoboakalichukua lile jiwe aliloliweka chini ya kichwachake, akalisimamisha kama nguzo nakumimina mafuta juu yake. 19Mahali paleakapaita Bethelia, ingawa mji ule hapo kwanza

uliitwa Luzu.20Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema,

‘‘Kama Mungu akiwa pamoja nami na kunilindakatika safari niendayo, akinipa chakula nile nanguo nivae 21na nirudi salama nyumbani kwababa yangu, hapo ndipo BWANA atakuwaMungu wangu, 22nalo jiwe hili nililolisimamishakama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu nakatika yote utakayonipa nitakutolea wewesehemu moja ya kumi.’’ 

28

Page 27: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 27/52

MWANZO

Yakobo Awasili Padan Aramu

Kisha Yakobo akaendelea na safariyake na akafika kwenye nchi za mataifa

ya mashariki. 2Huko akaona kisima katikashamba, pamoja na makundi matatu ya kondooyamelala karibu na kisima hicho kwa sababuwalikuwa wanakunywa maji kutoka kwenyekisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwakisima lilikuwa kubwa. 3Wakati kondoowanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungajihuvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wakisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.

4Yakobo aliwauliza wachungaji, ‘‘Nduguzangu, ninyi mmetoka wapi?’’

Wakamjibu, ‘‘Tumetoka Harani.’’5 Aliwaambia, ‘‘Je, mnamjua Labani, mjukuu

wa Nahori ?’’Wakamjibu, ‘‘Ndiyo, tunamfahamu.’’6Kisha Yakobo akawauliza, ‘‘Je, yeye ni

mzima ?’’Wakasema, ‘‘Ndiyo, ni mzima, na hapa yu

aja Raheli binti yake akiwa na kondoo.’’7 Akasema, ‘‘Tazama, jua bado liko juu, si

wakati wa kukusanya kondoo. Nyweshenikondoo na mwarudishe malishoni.’’

8Walijibu, ‘‘Haiwezekani, mpaka kondoowote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa

kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanyweshakondoo.’’

9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akajapamoja na kondoo wa baba yake, kwa maanaalikuwa mchunga kondoo. 10Yakobo alipomwonaRaheli binti Labani, ndugu wa mama yake,pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda nakulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisimana kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.11Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanzakulia kwa sauti. 12 Alikuwa amemwambia Raheli

kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake nakwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Rahelialikimbia na kumweleza baba yake.

13Mara Labani aliposikia habari kuhusuYakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakishakwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusuhalafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakoboakamwambia mambo yote. 14Ndipo Labaniakamwambia, ‘‘Wewe ni nyama yangu na damuyangu mwenyewe.’’

Yakobo Awaoa Lea na Raheli

Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezii 15L b i k bi ‘‘K il

ni jamaa yangu, ndiyo unifanyie kazi bila ujira?Niambie ujira wako utakuwa nini.’’

16Labani alikuwa na binti wawili, bintimkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwaRaheli. 17Lea alikuwa na macho dhaifu, lakiniRaheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuriwa sura. 18Yakobo akampenda Raheli,akamwambia Labani, ‘‘Nitakutimikia kwa miakasaba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yakomdogo.’’

19Labani akasema, ‘‘Ni bora zaidi nikupeRaheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaapamoja na mimi hapa.’’ 20Kwa hiyo Yakoboakatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakiniilionekana kwake kama siku chache tu kwasababu ya upendo wake kwa Raheli.

21Ndipo Yakobo akamwambia Labani, ‘‘Nipe

mke wangu. Muda wangu umekamilika, naminataka nikutane naye kimwili.’’22Basi Labani akaalika watu wote wa mahali

pale na akafanya karamu.23Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti

yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutananaye kimwili. 24Naye Labani akamtoa Zilpamtumishi wake wa kike kuwa mtumishi wa bintiyake.

25Kesho yake asubuhi, Yakobo akagunduakuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia

Labani, ‘‘Ni jambo gani hili ulilonitendea?Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, Sivyo? Kwa niniumenidanganya?’’

26Labani akajibu, ‘‘Si desturi yetu kumwozabinti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.27Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pianitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miakamingine saba.’’

28Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli bintiyake kuwa mke wake. 29Labani akamtoa Bilha

mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwamtumishi wake. 30Pia Yakobo akakutana naRaheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidikuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwamiaka mingine saba.

Wana wa Yakobo31BWANA alipoona kwamba Lea hapendwi,

akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa. 32Leaakapata mimba akazaa mwana. AkamwitaReubenia, kwa maana alisema, ‘‘Ni kwa sababu

29

Page 28: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 28/52

MWANZO

BWANA ameona huzuni yangu. Hakika mumewangu sasa atanipenda.

33 Akapata tena mimba, naye alipozaamwana, akasema, ‘‘Kwa sababu BWANA alisikiakwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.’’Kwa hiyo akamwita Simeonib.

34 Akapata tena mimba, naye alipozaamwana, akasema, ‘‘Sasa afadhali mume wanguataambatana na mimi, kwa sababu nimemzaliawana watatu.’’ Kwa hiyo akamwita Lawic.

35 Akapata tena mimba, naye alipozaamwana, akasema, ‘‘Wakati huu nitamsifuBWANA.’’ Kwa hiyo akamwita Yudad. Kishaakaacha kuzaa watoto.

Raheli alipoona hamzalii Yakobowatoto, akamwonea ndugu yake wivu.

Hivyo akamwambia Yakobo, ‘‘Nipe watoto, lasivyo nitakufa!’’2Yakobo akamkasirikia akamwambia, ‘‘Je,

mimi ni badala ya Mungu, ambaye amekuzuiausizae watoto?’’

3Ndipo Raheli akamwambia, ‘‘Hapa yupoBilha, mtumishi wangu wa kike. Kutana nayekimwili ili aweze kunizalia watoto na kwa kupitiayeye mimi pia niweze kuwa na uzao.’’

4Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awemke wake. Yakobo akakutana naye kimwili,5

akapata mimba naye akamzalia mwana.6

NdipoRaheli akasema, “Mungu amenipatia hakiyangu, amesikiliza maombi yangu na kunipamwana.’’ Kwa sababu hiyo akamwita Dania.

7Bilha mtumishi wa kike wa Raheli akapatamimba tena akamzalia Yakobo mwana wa pili.8Ndipo Raheli akasema, ‘‘Nilikuwa namashindano makubwa na ndugu yangu, naminimeshinda.’’ Kwa hiyo akamwita Naftalib.

9Lea alipoona kuwa amekoma kuzaawatoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa

naye akampa Yakobo awe mke wake.10Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzaliaYakobo mwana. 11Ndipo Lea akasema, “Hii nibahati nzuri iliyoje!’’ Kwa hiyo akamwita Gadi.

12Mtumishi wa kike wa Lea akamzaliaYakobo mwana wa pili. 13Ndipo Lea aliposema,

b33 “Simeoni’’ maana yake “Anasikia’’ – kwa sababu Bwanaalisikia kwamba sipendwi kama Raheli ataungana nami.

c34 “Lawi’’ maana yake “nimeunganishwa’’ – mume wangu

d35 “Yuda’’ maana yake “sifa’’ – Nitamsifu Yehova.a6 ‘‘Dani’’ maana yake ‘‘anahukumu’’ – Mungu amenipatia haki

angu.’’

“Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawakewataniita furaha.’’ Kwa hiyo akamwita Asheric.

14Wakati wa kuvuna ngano, Reubeniakaenda shambani akakuta tunguja, ambazoalizileta kwa Lea mama yake. Raheliakamwambia Lea, “Tafadhali nakuomba unipebaadhi ya tunguja za mwanao.”

15Lakini Lea akamwambia, “Haikukutoshakumtwaa mume wangu? Je, utachukua natunguja za mwanangu pia?’’

Raheli akasema, ‘‘Vema sana.’’ Yakoboatakutana nawe kimwili leo usiku, kwa malipo yatunguja za mwanao.’’ 16Kwa hiyo Yakoboalipokuja kutoka shambani jioni ile, Lea akaendakumlaki, akamwambia, ‘‘Lazima ukutane namikimwili. Nimekukodisha kwa tunguja zamwanangu.’’ Kwa hiyo akakutana naye kimwili

usiku ule.17Mungu akamsikiliza Lea, naye akapatamimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.18Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadiakwa kumpa mume wangu mtumishi wangu wakike.” Kwa hiyo akamwita Isakarid.

19Lea akapata mimba tena akamzaliaYakobo mwana wa sita. 20Ndipo Lea aliposema,“Mungu amenizawadia kwa zawadi ya thamanisana. Wakati huu mume wangu ataniheshimukwa sababu nimemzalia wana sita.’’  Kwa hiyo

akamwita Zabulonie

.21Baadaye akamzaa mtoto wa kikeakamwita Dinaf .

22Ndipo Mungu akamkumbuka Raheli,akasikia maombi yake na akafungua tumbo lake.23 Akapata mimba na akamzaa mwana nakusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.’’ 24 Akamwita Yosefug  na kusema, “BWANA naanipe mwana mwingine.’’ 

Makundi ya Yakobo Yaongezeka

25Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, Yakoboakamwambia Labani, “Nipe ruhusa nirudi katikanchi yangu. 26Nipe wake zangu na watoto,ambao nimetumika kuwapata, nami niendezangu. Unajua ni kazi kiasi gani ambayonimekufanyia.’’ 

c13 ‘‘Asheri’’ maana yake ‘‘Furaha.’’d18 ‘‘Isakari’’ maana yake ‘‘Zawadi’’ yaani Munguamenizawadia. 

e20 ‘‘Zabuloni’’ maana yake ‘‘heshima’’, alisema sasa mume

wangu ataniheshimu na kuishi nami.f 21 ‘‘Dina’’ maana yake ‘‘tetea haki’’ – Mungu amenitetea katika

mashindano yangu.

30

Page 29: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 29/52

MWANZO27Lakini Labani akamwambia, ‘‘Ikiwa

nimepata kibali machoni pako, tafadhali ukae.Nimegundua kwa njia ya uaguzi kwambaBWANAamenibariki kwa sababu yako.’’ 28 Akaongezakumwambia, ‘‘Taja ujira wako nami nitakulipa.’’

29Yakobo akamwambia, ‘‘Unajua jinsiambavyo nimekutumikia na jinsi ambavyowanyama wako walivyolishwa vizuri chini yauangalizi wangu. 30Kidogo ulichokuwa nachokabla sijaja kimeongezeka sana, naye BWANAamekubariki popote nilipokuwa. Lakini sasa, nilini nitashughulikia mambo ya nyumba yangumwenyewe?’’

31Labani akamwuliza, ‘‘Nikupe nini?’’Yakobo akamjibu, ‘‘Usinipe chochote lakini

kama utanifanyia jambo hili moja, nitaendelea

kuchunga na kuyaangalia makundi yako.32Niruhusu nipite katika makundi yako yote leoniondoe humo kila kondoo mwenyemabakabaka au madoadoa, kila mwana kondoomweusi na kila mbuzi mwenye madoadoa aumabakabaka. Hawa watakuwa ujira wangu.33Uadilifu wangu utanishuhudia siku zijazo, kilautakapochunguza ujira ambao umenilipa mimi.Mbuzi ye yote wangu ambaye hanamabakabaka wala madoadoa, au mwanakondooambaye si mweusi, atahesabika ameibwa.’’ 

34

Labani akasema, “Ninakubali na iwe kamaulivyosema.”  35Siku ile ile Yakobo akawaondoabeberu wote waliokuwa na mistari au madoadoana mbuzi wake wote waliokuwa na mistari aumadoadoa (wote waliokuwa na alama nyeupe juu yao) na wanakondoo weusi wote,akawaweka chini ya uangalizi wa wanawe.36Kisha Labani akamwacha Yakobo kwamwendo wa safari ya siku tatu kati yake naYakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchungalile kundi la Labani lililobaki.

37Hata hivyo, Yakobo, akachukua fito mbichizilizokatwa wakati huo huo za miti ya mlubna,mlozi na mwaramoni akazibambua ili mistarimyeupe ionekane katika fito hizo. 38Kishaakaweka fito alizozibambua kwenye mabirikayote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele yamakundi walipokuja kunywa maji. Wanyamawalipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitajimbegu, 39wakapandwa hizo fito zikiwa mbeleyao, wanyama waliopata mimba mbele ya hizofito, walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa

na mabakabaka. 40Yakobo akawatenga wadogowa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso zah li b ki k l i t i

weusi waliokuwa mali ya Labani. Hivyo akatengamakundi yake mwenyewe na walahakuwachanganya na wanyama wa Labani.41Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitajimbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenyemabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwekaribu na hizo fito, 42lakini ikiwa wanyamawalikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyowanyama dhaifu wakawa wa Labani nawanyama wenye nguvu wakawa wa Yakobo.43Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tenaakawa na makundi makubwa, watumishi wa kikena wa kiume na ngamia na punda. 

Yakobo Akimbia Kutoka kwa Labani

Yakobo akawasikia wana wa Labaniwakisema, ‘‘Yakobo amechukua kila

kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepatautajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwamali ya baba yetu.’’ 2Yakobo akatambuakwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kamaulivyokuwa mwanzo.

3Ndipo BWANA akamwambia Yakobo,‘‘Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watuwako, nami nitakuwa pamoja nawe.’’

4Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Rahelina Lea waje machungani yalikokuwa makundiyake. 5 Akawaambia, ‘‘Naona moyo wa baba

yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni,lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamojanami. 6Mnajua kwamba nimemtumikia babayenu kwa nguvu zangu zote, 7hata hivyo babayenu amenidanganya kwa kubadilisha ujirawangu mara kumi. Hata hivyo, Munguhakumruhusu kunidhuru. 8Kama alisema,‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basimakundi yote yalizaa wenye madoadoa, kamaalisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’‘basi makundi yote yalizaa wenye mistari. 9Hivyo

Mungu amechukua mifugo ya baba yenu naamenipa mimi.

10Wakati fulani majira ya kuzaliana niliotandoto ambayo niliinua macho na kuona kwambawale mabeberu waliokuwa wakipanda kundiwalikuwa wa mistari, madoadoa namabakabaka. 11Malaika wa Mungu akaniambiakatika ndoto, ‘Yakobo.’ nikamjibu, ‘Mimi hapa,’12akasema, ‘Inua macho yako uone walemabeberu wote wanaopanda kundi wanamistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana

nimeona yale yote ambayo Labani amekuwaakikutendea. 13Mimi ndiye Mungu wa Betheli,lik i i i il f t l h li

31

Page 30: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 30/52

MWANZO

uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchihii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’’  14Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tutunalo fungu lo lote katika urithi wa nyumba yababa yetu? 15Je, yeye hatuhesabu sisi kamawageni? Sio kwamba ametuuza tu, baliametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.16Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukuakutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watotowetu. Hivyo fanya lo lote lile Mungualilokuambia.’’

17Ndipo Yakobo akawapandisha watotowake na wake zake juu ya ngamia, 18nayeakawaswaga wanyama wote mbele yakepamoja na vitu vyote alivyokuwa amechumahuko Padan-Aram kwenda kwa baba yake Isakikatika nchi ya Kanaani.

19

Labani alipokuwa amekwenda kukatakondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu yanyumba ya baba yake. 20Zaidi ya hayo, Yakoboalimdanganya Labani Mwaramu kwakutokumwambia kwamba anakimbia. 21Hivyoakakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwanavyo na kuvuka Mto Eufrati akaelekea nchi yavilima katika Gileadi. 

Labani Amfuatilia Yakobo  22Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba

Yakobo amekimbia.23

 Akichukua jamaa zake,akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkutakwenye nchi ya vilima katika Gileadi. 24NdipoMungu akamjia Labani Mwaramu katika ndotousiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme nenolo lote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.’’

25Yakobo alikuwa amepiga hema lake katikanchi ya vilima katika Gileadi wakati Labanialipomkuta, Labani na jamaa yake wakapigakambi huko pia. 26Ndipo Labani akamwambiaYakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na

umewachukua binti zangu kama mateka katikavita. 27Kwa nini ulikimbia kwa siri nakunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuagekwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?28Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zanguna kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu chakipumbavu. 29Nina uwezo wa kukudhuru, lakiniusiku uliopita Mungu wa baba yako alisemanami, ‘Akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme nenololote kwa Yakabo liwe zuri au baya.’ 30Sasaumeondoka kwa sababu umetamani kurudi

nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa niniumeiba miungu yangu?’’

31Y k b k jib L b i “Nili k

sababu nilifikiri ungeweza kuninyang'anya bintizako kwa nguvu. 32Lakini kama ukimkuta ye yotealiye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaayetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo,kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Rahelialikuwa ameiba hiyo miungu.

33Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hemala Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani yahema la watumishi wawili wa kike, lakinihakukuta cho chote. Baadaye alipotoka katikahema la Lea, akaingia hema la Raheli. 34BasiRaheli ndiye aliyekuwa amechukua ile miunguya nyumbani kwao na kuiweka katika matandikoya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kilamahali kwenye hema lakini hakupata cho chote.

35Raheli akamwambia baba yake,

“Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezikusimama ukiwepo, niko katika hedhi.’’ Labaniakatafuta lakini hakuweza kuipata miungu yanyumbani kwake.

36Yakobo akakasirika na kumshutumuLabani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?’’ Akamwuliza Labani, ‘‘Ni dhambi gani niliyofanyahata unaniwinda? 37Sasa kwa kuwa umepekuavitu vyangu vyote umepata nini kilicho chanyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi

wawili.38“Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawemiaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wakohawajaharibu mimba, wala sijala kondoo waumekutoka katika makundi yako. 39Sikukuleteamfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibebahasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipokwa cho chote kilichoibwa mchana au usiku.40Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingiziulinipaa. 41Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini

niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miakaile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili,miaka sita kwa ajili ya makundi yako, naweulibadilisha ujira wangu mara kumi. 42KamaMungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu naHofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakikaungenifukuza mikono mitupu. Lakini Munguameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikonoyangu, naye usiku uliopita amekukemea.’’

43Labani akamjibu Yakobo, “Wanawakehawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto

wangu na makundi haya ni makundi yangu.Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyoi k f i i k h h bi ti

Page 31: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 31/52

MWANZO

au kuhusu watoto waliowazaa? 44Njoo sasa natufanye agano, wewe na mimi, na liwe kamashahidi kati yetu.’’

45Hivyo Yakobo akachukua jiweakalisimamisha kama nguzo. 46 Akawaambia jamaa yake, ‘‘Kusanyeni mawe.’’ Hivyowakachukua mawe na kuyakusanya yakawalundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.47Labani akaliita Yegarsahaduthaa  na Yakoboakaliita Galeedib.

48Labani akasema, ‘‘Lundo hili ni shahidi katiyako na mimi leo.’’ Ndiyo maana likaitwaGaleedi. 49Pia liliitwa Mispac, kwa sababualisema, “BWANA na aweke ulinzi kati yako namimi wakati kila mmoja akiwa mbali namwingine. 50Kama ukiwatenda mabaya bintizangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti

zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliyepamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu nishahidi kati yako na mimi.’’

51Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hilindilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamishakati yako na mimi. 52Lundo hili ni shahidi nanguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hilikuja upande wako kukudhuru, nawe kwambahutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upandewangu kunidhuru. 53Mungu wa Abrahamu naMungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue

kati yetu.’’Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya

baba yake Isaki. 54Yakobo akatoa dhabihu juuya kilima na akawaalika jamaa zake kulachakula. Baada ya kula, wakalala huko.

55Kesho yake asubuhi na mapema, Labaniakawabusu wajukuu zake, binti zake nakuwabariki. Kisha akaondoka akarudi nyumbani. 

Yakobo 

Yakobo pia akaondoka akaenda zake,

malaika wa Mungu wakakutana naye.2Yakobo alipowaona, akasema, ‘‘Hii ni kambi yaMungu!’’ Kwa hiyo akapaita mahali paleMahanaimu

 Ajiandaa Kukutana na Esau

a.3Yakobo akatuma wajumbe kumtangulia

kwa Esau ndugu yake huko Seiri, katika nchi yaEdomu. 4 Akawaagiza akisema: ‘‘Hili ndilomtakalomwambia bwana wangu Esau: ‘Mtumishiwako Yakobo anasema, nimekuwa nikiishi

a47 “Yegarsahadutha’’ maana yake ni “Lundo la Ushahidi’’ kwaKiaramu.

b47 “Galeedi’’ maana yake ni “Lundo la Ushahidi’’ kwa kiebrania. 

pamoja na Labani na nimekuwako huko mpakasasa. 5Ninao ng'ombe na punda, kondoo nambuzi, watumishi wa kiume na wa kike. Sasaninatuma ujumbe huu kwa bwana wangu, ilinipate kibali machoni pako.’ ’’ 

6Wajumbe waliporudi kwa Yakobo,wakamwambia, ‘‘Tulikwenda kuonana na nduguyako Esau, naye sasa anakuja kukulakiakifuatana na wanaume mia nne.’’ 

7Kwa hofu kuu na huzuni, Yakoboakagawanya watu aliokuwa nao katika makundimawili, pia akagawanya makundi ya kondoo nambuzi, ya vile vile ng’ombe na ngamia. 8Yakoboalifikiri, ‘‘Kama Esau akija na kushambulia kundimoja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.’’

9Ndipo Yakobo akaomba, ‘‘Ee Mungu wababa yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu

Isaki, Ee BWANA, ambaye uliniambia, ‘Rudikatika nchi yako na jamaa yako, naminitakufanya ustawi,’ 10mimi sistahili fadhili nauaminifu wako wote ulionitendea mimi mtumishiwako. Nilikuwa na fimbo tu mkononi mwangunilipovuka mto huu wa Yordani, lakini sasaninayo makundi mawili. 11Nakuomba, uniokoena mkono wa ndugu yangu Esau, kwa maananinaogopa kuwa atakuja kunishambulia, piamama pamoja na watoto wao. 12Lakiniumeshasema, ‘Hakika nitakufanya ustawi na

kuufanya uzao wako kuwa mwingi kamamchanga wa baharini ambao hauwezikuhesabika!’ ’’

13 Akalala pale usiku ule, miongoni mwa vitualivyokuwa navyo, akachagua zawadi kwa ajiliya Esau ndugu yake: 14Mbuzi waume ishirini nambuzi wake 200, kondoo waume ishirini nakondoo wake 200. 15Ngamia wake thelathinipamoja na ndama zao, ng’ombe wake arobainina mafahali kumi, punda wake ishirini na pundawaume kumi. 16 Akaviweka chini ya uangalizi wa

watumishi wake, kila kundi peke yake nakuwaambia, ‘‘Nitangulieni na kuacha nafasi katiya makundi.’’

17 Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa,‘‘Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe nakukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi?Wanyama hawa wote mbele yako ni mali yanani?’ 18Ndipo utakaposema, ‘Ni mali yamtumishi wako Yakobo. Ni zawadi ambazozimetumwa kwa bwana wangu Esau, nayeanakuja nyuma yetu.’ ’’

19 Akamwagiza pia yule mtumishi wa kundi lapili, la tatu na yale mengine yote yaliyofuataki bi ‘‘Mt bi E h

32

Page 32: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 32/52

MWANZO

hayo mtakapokutana naye. 20Hakikishenimmesema, ‘Mtumishi wako Yakobo anakujanyuma yetu.’ ’’ Kwa kuwa alifikiri, ‘‘Nitawezakumtuliza kwa zawadi hizi ninazotanguliza,hatimaye, nitakapomwona, huenda atanikubali.’’21Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbeleyake, lakini yeye mwenyewe alilala kambiniusiku ule.

Yakobo Ashindana Mweleka na Mungu22Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua

wake zake wawili, watumishi wake wawili wakike na wanawe kumi na mmoja na akavukakivuko cha Yaboki. 23Baada ya kuwavushang'ambo ya kijito, alivusha pia mali zake zote.24Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake na mtummoja akashikana naye mweleka mpaka

mapambazuko.25

Yule mtu alipoona kuwahawezi kumshinda, aligusa kiungio cha nyongaya Yakobo kwa hiyo nyonga yake ikategukawakati alipokuwa akishikana mweleka na yulemtu. 26Ndipo yule mtu akasema, ‘‘Niacheniende, kwa kuwa ni mapambazuko.’’

Lakini Yakobo akajibu, ‘‘Sitakuacha uendeusiponibariki.’’

27Yule mtu akamwuliza, ‘‘Jina lako nani?’’ Akajibu, ‘‘Yakobo.’’

28Ndipo yule mtu akasema, ‘‘Jina lako

halitakuwa tena Yakobo, bali Israelib

, kwasababu umeshindana na Mungu na watu pianawe umeshinda.’’

29Yakobo akasema, ‘‘Tafadhali niambie jinalako.’’ 

Lakini akajibu, ‘‘Kwa nini kuniuliza jinalangu?’’ Ndipo akambariki huko.

30Kwa hiyo Yakobo akapaita mahali palePenielic, akasema, ‘‘Ni kwa sababu nimemwonaMungu uso kwa uso na bado maisha yanguyameokoka.’’

31Jua lilikuwa linachomoza Yakoboalipoondoka Penueli, naye alikuwaakichechemea kwa sababu ya nyonga yake.32Kwa hiyo mpaka leo Waisraeli hawali mshipaulioungana na kiungio cha nyonga, kwa sababukiungio cha nyonga ya Yakobo kiliteguliwakaribu na mshipa huo. 

b28 ‘‘Israeli’’ maana yake ‘‘Yeye ashindanaye na Mungu.’’ c30 ‘‘Penieli’’ maana yake ‘‘uso wa Mungu’’ ambalo ni sawa na

Yakobo Akutana na Esau

Yakobo akainua macho akamwonaEsau akija na watu wake mia nne,

kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea,Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike.2 Akawaweka wale watumishi wa kike na watotowao mbele, Lea na watoto wake wakafuata,Raheli na Yosefu wakaja nyuma. 3Yeyemwenyewe akatangulia mbele na kusujudu marasaba alipomkaribia ndugu yake.

4Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlakina kumkumbatia, akamwangukia shingoni nakumbusu. Nao wakalia. 5Esau akainua machoakawaona wale wanawake na watoto. Akauliza,‘‘Hawa uliofuatana nao ni nani?’’

Yakobo akamjibu, ‘‘Ni watoto ambao Munguamempa mtumishi wako kwa neema.’’

6

Kisha wale watumishi wa kike na watotowao wakakaribia na kusujudu. 7Kisha Lea nawatoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wawote wakaja Yosefu na Raheli, nao piawakasujudu.

8Esau akauliza, ‘‘Una maana gani kuhusumakundi hayo yote niliyokutana nayo?’’

 Akasema, ‘‘Ni ili kupata kibali machoni pako,bwana wangu.’’

9Lakini Esau akamwambia, ‘‘Ndugu yangu,tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe

vyako mwenyewe.’’10Yakobo akasema, ‘‘La hasha! Tafadhali,kama nimepata kibali machoni pako, upokeezawadi hii kutoka kwangu. Kwa maana kuuonauso wako, ni kama kuuona uso wa Mungu, kwakuwa umenipokea kwa takabali kubwa.11Tafadhali ukubali zawadi iliyoletwa kwako, kwakuwa Mungu amenineemesha na ninavyo vyoteninavyohitaji.’’ Kwa sababu Yakobo alisisitiza,  12Ndipo Esau akasema, ‘‘Na tuendelee nasafari, nitakuwa pamoja nawe.’’

13Lakini Yakobo akamwambia, ‘‘Bwanawangu unajua kwamba watoto ni wachanga nakwamba ni lazima nitunze hawa kondoo wakena ng'ombe wanaonyonyesha. Wakipelekwakwa haraka hata kama ni kwa siku moja tu,wanyama wote watakufa. 14Hivyo bwana wanguumtangulie mtumishi wako, wakati mimi nikijapolepole kwa mwendo wa makundi yaliyo mbeleyangu na mwendo wa watoto, mpaka nifike kwabwana wangu huko Seiri.

15Esau akamwambia, ‘‘Basi na niwaache

baadhi ya watu wangu pamoja nawe.’’ Yakobo akauliza, ‘‘Lakini kwa nini ufanye

hi i h t i t kib li h i b

33

Page 33: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 33/52

MWANZO

wangu.’’16Hivyo siku hiyo Esau akashika njia akarudi

Seiri. 17Pamoja na hayo, Yakobo akaendaSukothi, mahali alipojijengea makazi kwa ajiliyake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hiindiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothia.

18Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu,alifika salama katika mji wa Shekemu hukoKanaani na kuweka kambi yake karibu na mji.19 Akanunua kiwanja kutoka kwa wana waHamori, baba wa Shekemu, kwa bei ya vipandemia vya fedha, ambapo alipiga hema lake.20Pale akajenga madhabahu na kupaita, El-Elohe-Israelib.

Dina n 

Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa

na Lea, akatoka nje kuwatembeleawanawake wa nchi ile. 2Ikawa Shekemu mwanawa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lilealipomwona, akamchukua na kumnajisi. 3Moyowake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo,akampenda huyu msichana na akazungumzanaye kwa kumbembeleza. 4Shekemuakamwambia baba yake Hamori, “Nipatiemsichana huyu awe mke wangu.’’

a Washekemu

5Yakobo aliposikia kwamba binti yake Dinaamenajisiwa, wanawe walikuwa mashambani

wakichunga mifugo yake, kwa hiyoakalinyamazia jambo hilo mpaka waliporudinyumbani.

6Kisha Hamori baba yake Shekemuakaenda kuzungumza na Yakobo. 7Basi wanawa Yakobo walikuwa wamerudi kutokamashambani mara tu waliposikia kilichotokea.Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu,kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambola aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili nabinti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa

kufanyika.8Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa

mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu.Tafadhali mpeni awe mke wake. 9Oaneni na sisi,tupeni binti zenu nanyi mchukue binti zetu.10Mwaweza kuishi kati kati yetu, nchi ni wazikwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humuna mjipatie mali.’’

11Kisha Shekemu akamwambia baba yakeDina pamoja na ndugu zake, ‘‘Na nipate kibali

a17 ‘‘Sukothi’’ maana yake ‘‘vibanda.’’b20 ‘‘El-Elohe-Israeli’’ maana yake ‘‘Mungu, Mungu wa Israeli

machoni penu, nami nitawapa chochotemtakachosema. 12Niambieni kiasi cha mahari nazawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani,nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipenitu huyu msichana awe mke wangu.’’

13Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwaamenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwaudanganyifu walipozungumza na Shekemupamoja na baba yake Hamori. 14Wakawaambia,“Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezikumtoa dada yetu kwa mtu ambayehakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.15Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwambamtakuwa kama sisi kwa kuwatahiri wanaumewenu wote. 16Kisha tutawapa binti zetu na sisitutawachukua binti zenu. Tutaishi kwenu natutakuwa watu wamoja nanyi. 17Lakini mkikataa

kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu nakuondoka.’’18Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori

na Shekemu mwanawe. 19Kijana mdogo,ambaye alikuwa ameheshimiwa kati ya wotewalioishi nyumbani mwa baba yake, hakupotezamuda kufanya waliyoyasema, kwa sababualikuwa amependezwa sana na binti Yakobo.20Kwa hiyo Hamori na Shekemu mwanawewalikwenda kwenye lango la mji kuzungumza nawenzao wa mjini. 21Wakasema, “Hawa watu ni

marafiki kwetu, tuwaruhusu waishi katika nchiyetu na kufanya biashara ndani yake, nchi inanafasi tele kwa ajili yao. Tunaweza kuoa bintizao. Nao wanaweza kuoa binti zetu. 22Lakiniwatu hao watakuwa tayari kukubali kuishi nasikama watu wamoja nao kwa sharti kwambawanaumewetu watahiriwe, kama wao. 23Je, si mifugo yao,mali zao na wanyama wao wengine wotewatakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, naowataishi miongoni mwetu.’’

24Wanaume wote waliotoka nje ya lango lamji walikubaliana na Hamori na mwanaeShekemu na kila mwanaume katika mji ulealitahiriwa.

25Baada ya siku tatu, wakati wote wakiwawangali katika maumivu, wana wawili waYakobo, yaani Simeoni na Lawi, ndugu zakeDina, wakachukua panga zao nakuvamia mjiambao haukutazamia vita, wakaua kilamwanaume. 26Wakawaua Hamori na mwanaweShekemu kwa upanga kisha wakamchukua Dina

kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.27Wana wa Yakobo walipita juu ya maiti nak tik k t k ji l b d d

34

Page 34: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 34/52

MWANZO

alikuwa amenajisiwa. 28Wakachukua kondoo nambuzi, ng’ombe, punda na kila kitu kilichokuwachao ndani ya mji ule na mashambani.29Walichukua utajiri wao wote pamoja nawanawake na watoto wao, wakachukua nyarakila kitu ndani ya nyumba zao.

30Kisha Yakobo akawaambia Simeoni naLawi, ‘‘Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanyaninuke kama uvundo kwa Wakanaani naWaperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi niwachache, kama wakiunganisha nguvu zaodhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumbayangu tutaangamizwa.’’

31Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vemakumtendea dada yetu kama kahaba?’’

Yakob 

Kisha Mungu akamwambia Yakobo,“Panda uende Betheli ukakae huko naukamjengee Mungu madhabahu huko, yeyealiyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau nduguyako.’’

o Arudi Betheli  

2Hivyo Yakobo akawaambia watu wanyumbani mwake pamoja na wote waliokuwanaye, “Iondoeni miungu ya kigeni ile iliyoko katikati yenu, jitakaseni na mkabadilishe nguo zenu.3Kisha njoni, twende Betheli, mahalinitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu

katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwapamoja nami po pote nilipokwenda.’’ 4Kwa hiyowakampa Yakobo miungu yote ya kigeniwaliyokuwa nayo pamoja na pete zilizokuwamasikioni mwao, Yakobo akavizika chini ya mtiwa mwaloni huko Shekemu. 5Kisha wakaondokana hofu ya Mungu ikawapata miji yoteiliyowazunguka kwa hiyo hakuna aliyewafuatia.

6Yakobo na watu wote waliokuwa pamojanaye wakafika Luzu, (ndio Betheli) katika nchi yaKanaani. 7Huko akajenga madhabahu na

akapaita mahali pale El-Bethelia, kwa sababumahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwakealipokuwa akimkimbia ndugu yake.

8Wakati huu Debora, mlezi wa Rebeka,akafa na akazikwa chini ya mti wa mwaloniulioko chini ya Betheli. Kwa hiyo pakaitwa Alon-Bakuthib.

9Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan- Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.10Mungu akamwambia, “Jina lako ni Yakobo,lakini hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa

Israeli.’’ Kwa hiyo akamwita Israeli.

11Mungu akamwambia, “Mimi ndimi MunguMwenye Nguvu, ukazae na kuongezeka. Taifana jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalmewatatoka viunoni mwako. 12Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, naminitawapa wazao wako baada yako.’’ 13KishaMungu akapanda juu kutoka kwake mahali palealipozungumza naye.

14Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwemahali pale Mungu alipozungumza naye,akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, piaakamimina mafuta juu yake. 15Yakobo akapaitamahali pale Mungu alipozungumza nayeBethelic.

Vifo vya Raheli na Isaki16Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa

umbali fulani kabla ya kufika Efratha, Raheliakaanza kusikia uchungu na alipata shida kuu.17 Alipokuwa katika shida hii katika kujifungua,mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababuumempata mwana mwingine.’’ 18Hapoalipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maanaalikuwa akifa, akamwita mwanawe Benonid.Lakini babaye akamwita Benyaminie.

19Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando yanjia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu.) 20Juu yakaburi lake, Yakobo akasimamisha nguzo,

ambayo mpaka leo inatambulisha kaburi laRaheli.

21Israeli akaendelea tena na safari yake nakupiga hema mbele ya Ederi. 22Wakati Israelialipokuwa akiishi katika nchi ile, Reubenimwanawe alikutana kimwili na suria wa babayake aitwaye Bilha, Israeli akasikia jambo hili.

Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili:23Wana wa Lea walikuwa:

Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo,

Simeoni, Lawi, Yuda, Isikari na Zabuloni.24Wana wa Raheli walikuwa:

Yosefu na Benyamini.25Wana waliozaliwa na Bilha mtumishi wa kikewa Raheli walikuwa:

Dani na Naftali.26Wana waliozaliwa na Zilpa mtumishi wa kikewa Lea walikuwa:

Gadi na Asheri.

c15 “Betheli’’ maana yake “nyumba ya Mungu.’’ d18 “Benoni’’ maana yake “mwana wa mkono wangu wa

kuume.’’ 

35

Page 35: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 35/52

MWANZO

Hawa walikuwa wana wa Yakobo,waliozaliwa kwake akiwa Padan-aramu.

27Yakobo akarudi nyumbani kwa baba yakeIsaki huko Mamre, karibu na Kiriath-arba (yaaniHebroni), ambapo walikuwa wameishi Abrahamu na Isaki. 28Isaki aliishi miaka 180.29Kisha Isaki akafa akiwa mzee wa miaka mingi.Basi wanawe Esau na Yakobo wakamzika.

Wazao 

Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani,Edomu).

wa Esau

2Esau akaoa wake kutoka miongoni mwawanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti,Oholibama binti wa Ana na mjukuu wa kike waSibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa

Ishmaeli na dada yake Nebayothi.4 Ada akamzalia Esau Elifasi, Basemathiakamzaa Reueli, 5Oholibama akamzaa Yeushi,Yalami na Kora. Hawa ndio wana wa Esauwaliozaliwa kwake huko Kanaani.

6Esau akawachukua wake zake, watotowake wa kiume na wa kike na wote wanyumbani mwake, mifugo yake pamoja nawanyama wake wengine wote na mali yake yoteambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani,akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo

ndugu yake.7

Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasikwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchiwaliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwaajili ya mifugo yao. 8Kwa hiyo Esau (ambaye niEdomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

9Hawa ndio wazao wa Esau, baba waWaedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

10Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe

 Ada alimzalia na Reueli, mwana wa Esauambaye mkewe Basemathi alimzalia.

11Wana wa Elifazi ni:Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.12Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia nasuria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa waliokuwa wajukuu wa Adamke wa Esau.

13Wana wa Reueli ni:Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio

waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkeweEsau.

14W Oh lib k E bi ti A

aliye mjukuu wa Sibeoni aliyemzalia Esau ni:Yeushi, Yalamu na Kora.

15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwawazao wa Esau.

Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanzawa Esau ni:Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 16KoraGatamu na Amaleki.Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwaElifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wakiume wa Ada.

17Wakuu wa wana wa Reueli mwana wa Esauni:

Nathani, Zera, Shama na Miza. Hawa ndiowakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu,

waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathimkewe Esau.18Wakuu wa wana wa Esau ambao mkeweOholibama alimzalia ni:

Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuuwaliotoka kwa mke wa Esau, Oholibamabinti Ana.19Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau

(ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuuwao.

20Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri Mhori,

waliokuwa wakiishi katika nchi ile:Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 21Dishoni,

  Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seirihuko Edomu waliokuwa wakuu walitoka kwaWahori.

22Wana wa Lotani walikuwa:Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yakeLotani.

23Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

24Wana wa Sibeoni walikuwa:

 Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aliyegunduachemchemi ya maji moto jangwanialipokuwa akichunga punda za Sibeoni babayake.

25Watoto wa Ana walikuwa:Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

26Wana wa Dishoni walikuwa:Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

27Wana wa Ezeri walikuwa:Bilhani, Zaavani na Akani.

28Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani29Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

L t i Sh b li Sib i A 30Di h i

36

Page 36: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 36/52

MWANZO

Ezeri na Dishani. Hawa ndio walikuwawakuu wa Wahori, kufuatana na makundiyao katika nchi ya Seiri.

Watawala wa Edomu31Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu

kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:32Bela mwana wa Beiri alikuwa mfalme waEdomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

33Bela alipokufa, nafasi yake ya ufalmeikashikwa na Yobabu mwanawe Zera kutokaBosra. 

34Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka nchi yaWatemani akatawala baada yake.

35Hushamu alipokufa, Hadadi mwana waBedadi, ambaye alikuwa ameshinda Midianikatika nchi ya Moabu, akatawala baada

yake. Mji wake uliitwa Avithi.36Hadadi alipokufa, Samla kutoka Masrekaakawa mfalme baada yake.

37Samla alipokufa, Shauli kutoka Rehoboting'ambo ya Mto Eufrati akatawala baadayake.

38Shauli alipokufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori alitawala badala yake.

39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipokufa,Hadadi akatawala baada yake. Mji wakeuliitwa Pau, mke wake aliitwa Mehetabeli

binti Matredi, binti Me-Zahabu.

40Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau,kwa jina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela,Pinoni, 42Kenazi, Femani, Mibsari,43Magdieli na Iramu. Hawa walikuwa ndiowakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yaokatika nchi waliyoimiliki.

Huyu ndiye aliyekuwa Esau baba wa

Waedomu.

Ndoto za Yosefu

Yakobo akaishi Kanaani katika nchiambayo baba yake alikuwa ameishi.

2Zifuatazo ni habari za Yakobo.

Yosefu, kijana wa miaka kumi na saba,alikuwa akichunga makundi ya kondoo na mbuzipamoja na ndugu zake wa mama wengine,

yaani wana wa Bilha na wana wa Zilpa wake zababa yake, naye akawa akimletea baba yaket if b k h h d k

3Basi, Israeli akampenda Yosefu kuliko yeyote miongoni mwa kaka zake, kwani nimwanawe wa uzeeni, akamshonea joholililorembwa vizuri sana. 4Ndugu zake walipoonakwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko yeyote mwingine miongoni mwao, walimchukia nahawakusema naye neno lo lote jema.

5Yosefu akaota ndoto, naye alipowaelezandugu zake, wakamchukia zaidi. 6 Akawaambia,‘‘Sikilizeni ndoto niliyoota: 7Tulikuwa tukifungamiganda ya nafaka shambani, ghafla mgandawangu ukasimama wima, wakati miganda yenuilizunguka na kuuinamia.’’

8Ndugu zake wakamwambia, ‘‘Weweunakusudia kututawala? Hivi kweli weweutatutawala sisi?’’ Wakaongeza kumchukia zaidikwa sababu ya ndoto yake pamoja na yale

aliyowaambia.9Kisha akaota ndoto nyingine, akawaambiandugu zake akisema, ‘‘Sikilizeni, nimeota ndotonyingine, wakati huu jua, mwezi na nyota kumina moja zilikuwa zinanisujudia.’’

10 Alipomwambia baba yake pamoja nandugu zake, baba yake akamkemea akisema,‘‘Ni ndoto gani hii uliyoota? Hivi kweli mamayako na mimi na ndugu zako tutakujakukusujudia wewe hadi nchi?’’ 11Ndugu zakewakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka

 jambo hilo moyoni.

Yosefu Anauzwa na Ndugu Zake12Basi, ndugu zake walikuwa wamekwenda

kuchunga makundi ya baba yao karibu naShekemu, 13naye Israeli akamwambia Yosefu,‘‘Kama ujuavyo, ndugu zako wanachungamakundi huko karibu na Shekemu. Njoo,nitakutuma kwao.’’

Yosefu akajibu, ‘‘Vema sana niko tayari.’’14Kwa hiyo akamwambia, “Nenda uone

kama mambo yote ni salama kwa ndugu zakona makundi, kisha uniletee habari.’’ Ndipoakamtuma Yosefu kutoka Bonde la Hebroni.

Yosefu alipofika Shekemu, 15mtu mmojaakamkuta akizunguka-zunguka mashambani naakamwuliza, ‘‘Unatafuta nini?’’

16 Akajibu, ‘‘Ninawatafuta ndugu zangu.Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundiyao?’’

17Yule mtu akajibu, ‘‘Wamehama hapa,nimesikia wakisema, ‘Twende Dothani.’ ’’

Kwa hiyo Yosefu akawafuatilia ndugu zakena kuwakuta karibu na Dothani. 18Ndugu zake

li ki b li k bl h j fiki

37

Page 37: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 37/52

MWANZO

wakapanga shauri baya la kumwua.19Wakaambiana, “Yule mwota ndoto

anakuja! 20Njoni sasa, tumwue na kumtupakatika shimo mojawapo na tuseme kwambamnyama mkali amemrarua. Kisha tutaonamatokeo ya ndoto zake.’’

21Reubeni aliposikia jambo hili, akajaribukumwokoa kutoka mikononi mwao akasema,“Tusiutoe uhai wake, 22tusimwage damu yo yote.Mtupeni katika shimo lililoko hapa jangwani,lakini msimguse.’’ Reubeni alisema hivyo iliamwokoe kutoka mikononi mwao kishaamrudishe nyumbani kwa baba yake.

23Kwa hiyo Yosefu alipowafikia ndugu zake,walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwavizuri alilokuwa amevaa. 24Kisha wakamchukuawakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo

lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake.25Walipokaa ili wale chakula chao, wakainuamacho wakaona msafara wa Waishmaeli ukijakutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwawamepakizwa mizigo ya vikolezo, uvumba namanemane, nao walikuwa njiani kuvipelekaMisri.

26Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidinini ikiwa tutamwua ndugu yetu na kuifichadamu yake? 27Njoni, tumwuze kwa hawaWaishmaeli, tusimguse kwa kuwa hata hivyo,

yeye ni ndugu yetu, nyama yetu na damu yetuwenyewe.’’ Ndugu zake wakakubali. 28Kwa hiyowale wafanya biashara Wamidiani walipofika,pale ndugu zake wakamtoa Yosefu kutokakwenye lile shimo na kumwuza kwa shekeliishirinia za fedha kwa wale Waishimaeli, ambaowalimpeleka Misri.

29Rubeni aliporudi kutazama kwenye lileshimo na kuona kwamba Yosefu hayupo,alirarua nguo zake. 30 Akawarudia ndugu zake nakusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi

sasa?’’31Kisha wakalichukua lile joho la Yosefu,

wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.32Wakalichukua lile joho lililorembwa vizuri nakulipeleka kwa baba yao na kusema,“Tumeliokota hili joho. Uchunguze uone kama nila mwanao.’’ 

33Baba yao akalitambua akasema, “Hili ni joho la mwanangu! Mnyama mkali amemrarua.Hakika Yosefu ameraruliwa vipande vipande.’’

34Kisha Yakobo akararua nguo zake,

akavaa nguo ya gunia na kumwombolezea

mwanawe kwa siku nyingi. 35Wanawe wote nabinti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubalikufarijiwa. Akasema, “Hapana,nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikiekaburini.’’ Kwa hiyo baba yake akaendeleakumlilia.

36Wakati ule ule, Wamidiani wakamwuzaYosefu huko Misri kwa Potifa mmojawapo wamaafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi.

Yuda na Tamari

Wakati ule, Yuda akawaacha nduguzake akaenda kuishi na Hira

Mwadulami. 2Huko Yuda akakutana na binti waKikanaani aitwaye Shua akamwoa na akakutananaye kimwili, 3akapata mimba akamzaa mwana,ambaye alimwita Eri. 4 Akapata mimba tena,

akamzaa mwana na kumwita Onani.5

 Akamzaamwana mwingine tena, akamwita Shela. Huyualimzalia mahali paitwapo Kezibu.

6Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wakwanza mke, aitwaye Tamari. 7Lakini Eri,mzaliwa wa kwanza wa Yuda alikuwa mwovumachoni pa BWANA, kwa hiyo BWANAakamwua.

8Kisha Yuda akamwambia Onani, “Kutanakimwili na mke wa ndugu yako na utimize wajibuwako kwake kama mke wa ndugu yako ili

umpatie ndugu yako uzao.’’9

Lakini Onani alijuakwamba uzao haungekuwa wake, kwa hiyo kilaalipokutana kimwili na mke wa ndugu yake,alimwaga chini mbegu za kiume ili asimpatiendugu yake uzao. 10 Alichofanya kilikuwa kiovumachoni pa BWANA, hivyo, pia BWANAakamwua Onani.

11Kisha Yuda akamwambia Tamarimkwewe, “Ishi kama mjane nyumbani mwa babayako mpaka mwanangu Shela atakapokua.”Kwa maana alifikiri, “Angeweza kufa pia kama

ndugu zake.’’ Kwa hiyo Tamari alikwenda kuishinyumbani kwa baba yake.

12Baada ya muda mrefu mke wa Yuda bintiwa Shua akafariki. Baada ya msiba, Yudaalikwenda Timna, kwa watu waliokuwa wakikatakondoo wake manyoya, naye alifuatana na rafikiyake Hira Mwadulami.

13Tamari alipoambiwa, “Baba mkwe wakoyuko njiani kwenda Timna kukata kondoo wakemanyoya,’’ 14alivua mavazi yake ya ujane,akajifunika kwa shela ili asifahamike, akaketi

kwenye mlango wa Enaimu, ambao upo njianikuelekea Timna. Akafanya hivyo kwa sababuli k b i Sh l k l ki i

38

Page 38: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 38/52

MWANZO

alikuwa hajakabidhiwa kwake kuwa mkewe.15Yuda alipomwona, alifikiri ni kahaba, kwa

sababu alikuwa amefunika uso wake. 16Pasipokutambua kwamba alikuwa mkwe wakeakamwendea kando ya njia na kumwambia,“Njoo sasa, nikutane na wewe kimwili.’’

Yule mkwewe akamwuliza, “Utanipa nininikikutana nawe kimwili?’’

17 Akamwambia, “Nitakutumia mwanambuzikutoka kundi langu.’’

 Akamwuliza, “Utanipa kitu chochote kamaamana mpaka utakapompeleka?’’

18 Akamwuliza, “Nikupe amana gani?’’ Akamjibu, “Pete yako na kamba yake

pamoja na fimbo iliyo mkononi mwako.’’ Kwahiyo akampa vitu hivyo kisha akakutana nayekimwili, naye akapata mimba yake. 19Tamari

akaondoka, akavua shela yake akavaa tenanguo zake za ujane.20Wakati ule ule, Yuda akamtuma rafiki yake

Mwadulami apeleke yule mwanambuzi iliarudishiwe amana yake kutoka kwa yulemwanamke, lakini yule rafiki yake hakumkutayule mwanamke. 21 Akawauliza watu wanaoishimahali pale, “Yuko wapi yule kahaba aliyekuwakando ya barabara hapa Enaimu?’’

Wakamjibu, “Hajawahi kuwepo mwanamkeyeyote kahaba hapa.’’

22

Kwa hiyo akamrudia Yuda na kumwambia,“Sikumpata. Zaidi ya hayo, watu wanaoishimahali pale walisema ‘Hapakuwahi kuwepomwanamke yeyote kahaba hapa.’’

23Kisha Yuda akasema, “Mwache avichukuevitu hivyo, ama sivyo tutakuwa kichekesho. Hatahivyo, nilimpelekea mwanambuzi, lakinihukumkuta.’’

24Baada ya miezi mitatu Yuda akaambiwa,“Tamari mkweo ana hatia ya kuwa kahaba, namatokeo yake ana mimba.’’

Yuda akasema, “Mtaoeni nje na achomwemoto hadi afe!’’

25 Alipokuwa akitolewa nje, akatuma ujumbekwa baba mkwe wake kusema, “Nina mimba yamtu mwenye vitu hivi,’’ akaongeza kusema,“Angalia kama utatambua kwamba pete hii nakamba yake pamoja na fimbo hii ni vya nani.’’

26Yuda akavitambua na kusema, “Yeye anahaki kuliko mimi, kwa kuwa sikumkabidhi kwamwanangu Shela ili awe mkewe.’’ Tangu hapohakukutana naye kimwili tena.

27Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa nawana mapacha tumboni mwake. 28 Alipokuwakijif j k t k k j k

hiyo muuguzi akachukua uzi mwekundu nakuufunga mkononi mwa yule mtoto akasema,“Huyu ametoka kwanza.’’ 29Lakini alipourudishamkono wake ndugu yake akaanza kutoka nayeakasema, “Hivi ndivyo ulivyotoka kwa nguvu!’’ Akaitwa Peresi. 30Kisha ndugu yake, aliyekuwana uzi mwekundu mkononi, akatoka nayeakaitwa Zera.

Yosefu na Mke wa Potifa

Wakati huu Yosefu alikuwaamechukuliwa mpaka Misri. Mmisri

aliyeitwa Potifa aliyekuwa mmojawapo wamaafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi, akamnunuaYosefu kutoka kwa Waishimaeli waliomletaMisri.

2BWANA alikuwa pamoja na Yosefu, naye

akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwanawake Mmisri. 3Potifa alipoona kuwa BWANAalikuwa pamoja na Yosefu na kwamba BWANAalimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, 4Yosefualipata kibali machoni pa Potifa, akamfanyamhudumu wake. Potifa akamweka kuwamsimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhikuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho.5Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefukuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zotealizokuwa nazo, BWANA aliibariki nyumba ya

Potifa kwa sababu ya Yosefu. Baraka yaBWANA ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwanacho Potifa, nyumbani na shambani. 6Kwa hiyoPotifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitualichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katikauongozi, Potifa hakuwa na sababu yakujishughulisha na kitu chochote isipokuwachakula alichokula.

Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na suraya kuvutia, 7baada ya kitambo mke wa Potifaakamtamani Yosefu akamwambia, “Njoo,

ukutane nami kimwili!’’8Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule

mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwanawangu hahusiki na kitu chochote katika nyumbahii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi. 9Hapanyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi.Bwana wangu hakunizuilia kitu chochoteisipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake.Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutendadhambi dhidi ya Mungu?’’ 10Ingawa yulemwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku

baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana nayekimwili wala kukaa karibu naye.

11Sik j Y f k i i d i

39

Page 39: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 39/52

MWANZO

nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepona mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba. 12Mkewa Potifa akashika vazi alilokuwa amevaaYosefu, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!’’Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwahuyo mwanamke, akatoka nje ya nyumbaakikimbia.

13Wakati yule mwanamke alipoona kwambaYosefu amemwachia vazi lake mkononi nakukimbilia nje ya nyumba, 14akawaita watumishiwake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni,Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili,lakini nikapiga kelele. 15 Aliposikia kelele zakuomba msaada, akaacha vazi lake kandoyangu akakimbilia nje.’’

16Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu

naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani.17

Ndipoakamweleza kisa hiki, akisema: “Yule mtumwawa Kiebrania uliyetuletea alinijia ili kunidhihaki.18Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada,akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia njeya nyumba.’’

19Wakati Potifa aliposikia kisa hiki mkewealichomweleza, akisema, “Hivi ndivyo mtumwawako alivyonitenda.’’ Hasira ya Potifa ikawaka.20Potifa akamchukua Yosefu na kumwekagerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme

walikuwa wamefungwa.Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko

gerezani, 21BWANA alikuwa pamoja naye,akamhurumia na kumpa kibali mbele yamsimamizi wa gereza. 22Kwa hiyo msimamizi wagereza akamweka Yosefu awe mkuu wawafungwa pamoja na kusimamia yote ambayoyalitendeka mle gerezani. 23Msimamizi wagereza hakujishughulisha tena na kitu chochotekilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwasababu BWANA alikuwa pamoja na Yosefu

akimfanikisha kwa kila alichofanya.

Mnyweshaji na Mwokaji

Baada ya muda, mnyweshaji namwokaji wa mfalme wa Misri,

wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.2Farao akawakasirikia hawa maafisa wakewawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,3akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba yamkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lilealimofungwa Yosefu. 4Mkuu wa kikosi cha ulinzi

akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia.Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa

d 5kil j h ili i

mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri,waliokuwa wamewekwa gerezani, waliota ndotousiku mmoja na kila ndoto ilikuwa na maanayake tofauti.

6Yosefu alipowajia asubuhi yake, akawaonakwamba walikuwa na huzuni. 7Ndipo Yosefuakawauliza maofisa hao wa Farao waliokuwachini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwabwana wake, akasema, “Mbona nyuso zenuzimejaa huzuni leo?’’

8Wakamjibu, “Sisi sote tuliota ndoto, lakinihakuna mtu yeyote wa kuzifasiri.’’ 

Ndipo Yosefu akawaambia, “Je, kufasirindoto si kazi ya Mungu? Niambieni ndoto zenu.’’

9Basi mkuu wa wanyweshaji akamwelezaYosefu ndoto yake. Akamwambia, ‘‘Katika ndotoyangu niliona

mzabibu mbele yangu,10

nao mzabibu ulikuwana matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipua,maua yalichanua na vishada vyake vikawazabibu zilizoiva. 11Kikombe cha Farao kilikuwamkononi mwangu, nikazitwaa zabibu,nikazikamua katika kikombe cha Farao nanikaweka kikombe mkononi mwake.’’

12Yosefu akamwambia, ‘‘Hii ndiyo maanayake, matawi matatu ni siku tatu. 13Katika sikuhizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuwekatena kwenye nafasi yako, nawe utaweka

kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vileulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshajiwake. 14Lakini wakati mambo yatakapokuwiamazuri, unikumbuke unifanyie wema, usememema juu yangu kwa Farao ili niondoke hukugerezani. 15Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvukutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa niliposikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.’’

16Yule mwokaji mkuu alipoona kuwa Yosefuamefasiri ikiwa na maana nzuri, akamwambiaYosefu, ‘‘Mimi pia niliota ndoto: Kichwani

mwangu kulikuwepo vikapu vitatu vya mikate.17Katika kikapu cha juu kulikuwa na aina zote zavyakula vilivyookwa kwa ajili ya Farao, lakinindege walikuwa wakivila kutoka kwenye kikapunilichokuwa nimebeba kichwani.’’

18Yosefu akamwambia, ‘‘Hii ndiyo maanayake, vikapu vitatu ni siku tatu. 19Katika siku hizitatu, Farao atakata kichwa chako nakukutundika juu ya mti. Nao ndege watakulanyama ya mwili wako.’’

20Mnamo siku ya tatu, ilikuwa kumbukumbu

ya kuzaliwa kwa Farao, akawaandalia maafisawake wote karamu. Akawatoa gerezani

h ji k k ji k k k

40

Page 40: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 40/52

MWANZO

mbele ya maafisa wake: 21Ndipo akamrudishamnyweshaji kwenye nafasi yake, ili awekekikombe mikononi mwa Farao tena, 22lakiniakamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake.

23Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuuhakumkumbuka Yosefu bali alimsahau.

Ndoto za Farao

Baada ya miaka miwili kamili kupita,Farao aliota ndoto: alikuwa amesimama

kando ya mto Nile, 2wakati  ng'ombe saba,wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilishakwenye manyasi. 3Baada yao ng'ombe wenginesaba, wabaya na waliokonda, wakatokea mtoniNile wakasimama kando ya wale wanonoukingoni mwa mto. 4Wale ng'ombe wabaya na

waliokonda wakawala wale saba wazuri nawanono. Kisha Farao akaamka.5Farao akaingia usingizini tena akaota ndoto

ya pili: Akaona masuke saba ya nafaka, yenyeafya na mazuri, yanakua katika bua moja.6Baadaye, masuke mengine saba yakachipua,yakiwa membamba yaliyonyaushwa na upepowa mashariki. 7Masuke yale membambayakameza yale masuke saba yenye afya nayaliyojaa. Basi Farao akaamka kutoka usingizini,kumbe ilikuwa ndoto.

8

 Asubuhi yake, alifadhaika akilini, hivyoakawaita waaguzi wote pamoja na watu wenyebusara wa Misri. Walipokuja, Farao akawaelezandoto zake, lakini hakuna hata mmoja aliyewezakumfasiria.

9Ndipo mnyweshaji mkuu alipomwambiaFarao, “Leo nimekumbushwa kuhusu kosalangu. 10Wakati fulani Farao aliwakasirikiawatumishi wake, akanifunga mimi na mwokajimkuu katika nyumba ya mkuu wa ulinzi. 11Kilammoja wetu aliota ndoto katika usiku mmoja na

kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti. 12Basikijana wa Kiebrania alikuwa pamoja nasi huko,alikuwa mtumishi wa mkuu wa kikosi cha ulinzi.Tulimweleza ndoto zetu, naye akatufasiria,akitupa kila mtu tafsiri ya ndoto yake. 13Nayomambo yakawa sawa kabisa na jinsialivyotufasiria ndoto zetu. Mimi nilirudishwakazini mwangu na huyo mtu mwingineakaangikwa.”

14Basi, Farao akatuma Yosefu aitwe, nayeakatolewa kifungoni haraka. Baada ya kunyoa

na kubadilisha nguo zake akaenda mbele yaFarao.

15F k bi Y f “Ni t

ndoto, wala hakuna mtu hata mmoja anayewezakuifasiri. Lakini nimesikia ikisemwa kwa habariyako kwamba unapoelezwa ndoto wawezakuifasiri.”

16Yosefu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri,lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.”

17Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Katikandoto yangu nilikuwa nimesimama ukingonimwa mto Nile, 18nikawaona ng'ombe saba,wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoniwakaja kujilisha kwenye manyasi. 19Baada yahao, ng'ombe wengine saba wakatokeawadhaifu, wabaya sana na waliokonda. Kamwesikuwahi kuona ng'ombe wabaya jinsi hiyokatika nchi yote ya Misri. 20Hao ng'ombewaliokonda na wabaya sana wakawala waleng'ombe saba walionona waliojitokeza kwanza.21

Lakini hata baada ya kuwala, hakuna mtuambaye angeweza kusema kwamba wamekula,bado walionekana wabaya kama mwanzoni.Kisha nikaamka kutoka usingizini.

22“Pia katika ndoto zangu niliona masukesaba ya nafaka, yamejaa na mazuri, yanakuakatika bua moja. 23Baada ya hayo masukemengine saba yakachipua, yaliyonyauka,membamba na yamekaushwa na upepo wamashariki. 24Yale masuke membamba ya nafakayakayameza yale masuke saba mazuri yaliyojaa

nafaka. Nimewaeleza waaguzi, wala hakuna yeyote aliyeweza kunifasiria.’’

25Ndipo Yosefu akamwambia Farao, “Ndotoza Farao ni ndoto iyo hiyo moja, Munguamemfunulia Farao jambo analokusudia kufanyakaribuni. 26Ng'ombe saba wazuri ni miaka saba,nayo masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka nimiaka saba, ni ndoto iyo hiyo moja. 27Ng'ombesaba waliokonda na wabaya wale waliojitokezabaadaye ni miaka saba, vivyo hivyo masukesaba ya ngano yaliyodhoofika na kukaushwa na

upepo wa mashariki, ni miaka saba ya njaa.28“Ni kama vile nilivyomwambia Farao:

Mungu amemwonyesha Farao jamboanalokusudia kufanya karibuni. 29Miaka saba yaneema inakuja katika nchi yote ya Misri, 30lakiniitafuata miaka saba ya njaa. Ndipo neema yoteya Misri itasahaulika na njaa itaikumba nchi.31Neema iliyokuwa katika nchi haitakumbukwa,kwa sababu njaa itakayofuata itakuwa kali mno.32Sababu ya ndoto kumjia Farao kwa namnambili ni kwamba jambo hilo Mungu ameshaamua

kwa hakika, naye Mungu atalifanya karibuni.33“Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye

kili h ki ili k k i i i

Page 41: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 41/52

MWANZO

nchi ya Misri. 34Farao na aweke wenye amrinchini kote wakusanye moja ya tano ya mavunoya Misri katika miaka hii saba ya neema.35Wakusanye chakula chote katika miaka hiisaba ya neema inayokuja na kuhifadhi nafakachini ya mamlaka ya Farao, iwe akiba yachakula katika miji. 36Chakula hiki kitakuwaakiba ya tahadhari kwa ajili ya nchi, ili kitumikekatika ile miaka saba ya njaa itakayokuja Misri,ili nchi isiharibiwe na njaa.’’

37Mpango huu ulionekana mzuri kwa Faraona kwa maafisa wake wote. 38Hivyo Faraoakawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kamamtu huyu, ambaye Roho wa Mungu yumo ndaniyake?’’

39Ndipo Farao akamwambia Yosefu,“Maadam Mungu amekufunulia yote haya,

hakuna mwingine yeyote mwenye akili nahekima kama wewe. 40Wewe utakuwamsimamizi wa jumba langu la kifalme, na watuwangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti chaufalme tu, nitakuwa mkuu kuliko wewe.’’

Yosefu Msimamizi wa Misri  41Kwa hiyo Farao akamwambia Yosefu,

“Sasa nakuweka uwe msimamizi wa nchi yoteya Misri.’’ 42Ndipo Farao akaivua pete yake yamhuri kutoka kidoleni mwake na kuivalisha

katika kidole cha Yosefu. Akamvika majohomazuri ya kitani safi na mkufu wa dhahabushingoni mwake. 43 Akampandisha katika garilake la farasi kama msaidizi wake, watuwakatangulia wakishangilia, wakisema, “Achieninjia!’’ Ndivyo Farao alivyomweka Yosefu kuwamsimamizi wa nchi yote ya Misri.

44Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Mimi niFarao, lakini pasipo neno lako, hakuna mtumwenye ruhusa kuinua mkono au mguu katikanchi yote ya Misri.’’ 45Farao akamwita Yosefu

Safenath-panea, pia akampa Asenathi bintiPotifera, kuhani wa mji wa Oni, kuwa mke wake.Ndipo Yosefu akaitembelea nchi yote ya Misri.

46Yosefu alikuwa na miaka thelathinialipoingia katika utumishi wa Farao mfalme waMisri. Naye Yosefu akatoka mbele ya Faraoakasafiri katika nchi yote ya Misri. 47Katika ilemiaka saba ya neema nchi ilizaa mazao kwawingi sana. 48Yosefu akakusanya chakula chotekilichozalishwa katika ile miaka saba ya neemanchini Misri, akakihifadhi katika ghala za miji.

Katika kila mji kulihifadhiwa chakulakilichozalishwa katika mashamba

li k ji h 49Y f lihif dhi

nafaka nyingi, mfano wa mchanga wa bahari,ilikuwa nyingi mno kiasi kwamba walishindwakuweka kumbukumbu kwa sababu akiba ilizidisana kupita kipimo.

50Kabla ya miaka ya njaa kuanza, Asenathibinti Potifera, kuhani wa mji wa Oni, alikuwaamemzalia Yosefu wana wawili wa kiume.51Yosefu akamwita mzaliwa wake wa kwanzaManase, akisema, “Ni kwa sababu Munguamenifanya nisahau taabu zangu zote pamojana jamaa yote ya nyumba ya baba yangu.’’52Mwana wa pili akamwita Efraimu, akisema, “Nikwa sababu Mungu amenistawisha katika nchiya mateso yangu.’’

53Ile miaka saba ya neema huko Misriikaisha, 54nayo miaka ile saba ya njaa ikaanza,sawasawa na alivyosema Yosefu. Kulikuwa na

njaa katika nchi nyingine zote, bali katika nchiyote ya Misri kulikuwa na chakula. 55Wakati nchiyote ya Misri ilipopatwa na njaa, watu wakamliliaFarao ili awape chakula. Ndipo Faraoalipowaagiza Wamisri wote, akisema, “Nendenikwa Yosefu, nanyi mfanye anachowaambia.’’ 

56Wakati njaa ilipokuwa imeenea katika nchiyote, Yosefu akafungua ghala za vyakula nakuwauzia Wamisri nafaka, kwa sababu njaailikuwa kali mno katika nchi yote ya Misri. 57Pianchi nyingine zote zilikuja Misri kununua nafaka

kutoka kwa Yosefu, kwa sababu njaa ilikuwa kalimno duniani kote.

Ndugu 

Wakati Yokobo alipofahamu kuwa kunanafaka huko Misri, akawaambia

wanawe, “Mbona mnakaa tu hapamnatazamana?’’ 2 Akaendelea kuwaambia,“Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka.Teremkeni huko mkanunue chakula kwa ajiliyetu, ili tuweze kuishi wala tusife.’’ 

za Yosefu Waenda Misri

3Ndipo wale ndugu kumi wa Yosefu,wakateremka huko Misri kununua nafaka.4Lakini Yakobo hakumtuma Benyamini, nduguyake Yosefu, pamoja na wengine, kwa sababualiogopa asije akapatwa na madhara. 5Hivyowana wa Israeli walikuwa miongoni mwa walewaliokwenda Misri kununua nafaka, kwani njaailikuwa katika nchi ya Kanaani pia.

6Wakati huo Yosefu alikuwa mtawala wanchi ya Misri, naye alikuwa ndiye aliyewauziawatu wote nafaka. Kwa hiyo wakati ndugu zake

Yosefu walipofika, wakamsujudia hadi nyusozao zikagusa ardhi. 7Mara Yosefu alipowaonad k k t b l ki i k jif

42

Page 42: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 42/52

MWANZO

mgeni na kuzungumza nao kwa ukali,akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?’’

Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi yaKanaani kuja kununua chakula.’’

8Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake,wao hawakumtambua. 9Ndipo Yosefualipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao,akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekujakuangalia mahali ambapo nchi yetu hainaulinzi.’’

10Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu.Watumishi wako wamekuja kununua chakula.11Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishiwako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.’’

12 Akawaambia, “La hasha! Mmekujakuangalia mahali ambapo nchi yetu hainaulinzi.’’

13

Lakini wakamjibu, “Watumishi wakowalikuwa kumi na wawili, wana wa mtu mmojaambaye anaishi katika nchi ya Kanaani. Sasamdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu namwingine alikufa.’’

14Yosefu akawaambia, “Ni sawa kabisakama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi! 15Nahivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Hakika kamaFarao aishivyo, hamtaondoka mahali hapampaka ndugu yenu mdogo aje hapa. 16Tumenimmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu,

wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenuyajaribiwe kuona kama mnasema kweli. Lasivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi niwapelelezi!’’ 17 Akawaweka wote chini ya ulinzikwa siku tatu.

18Siku ya tatu Yosefu akawaambia,‘‘Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maananamwogopa Mungu: 19Ikiwa ninyi ni watuwaaminifu, mmoja wa ndugu zenu na abakikifungoni, nanyi wengine pelekeni nafaka kwa jamaa yenu wanaoteseka kwa njaa. 20Lakini ni

lazima mniletee ndugu yenu mdogo hapa, ilimaneno yenu yathibitike na kwamba msife.’’Wakakubali kufanya hivyo.

21Wakaambiana wao kwa wao, “Hakikatunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu.Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihikuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza,hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.’’

22Reubeni akawajibu, “Sikuwaambienimsitende dhambi dhidi ya kijana? Lakinihamkunisikiliza! Sasa ni lazima tuadhibiwe kwa

ajili ya damu yake.’’ 23Hawakujua kuwa Yosefuangewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.

24Y f k jit k k li

kisha akawarudia na kuzungumza nao tena. Akataka Simeoni akamatwe na kufungwa mbeleyao.

25Yosefu akatoa amri ya kujaza maguniayao nafaka na kuweka fedha ya kila mmojandani ya gunia lake, kisha wapewe mahitaji yanjiani. Baada ya kufanyiwa hayo yote,26wakapakiza nafaka juu ya punda zao,wakaondoka. 27Walipofika mahali pa kulala hukonjiani mmoja wao akafungua gunia lake iliamlishe punda wake, akakuta fedha yakekwenye mdomo wa gunia lake. 28 Akawaambiandugu zake, “Fedha yangu imerudishwa. Ikondani ya gunia langu.’’ 

Mioyo yao ikazimia kila mmoja akamgeukiamwenzake wakitetemeka, wakaulizana, ‘‘Ni ninihiki Mungu alichotufanyia?’’

29

Walipofika kwa Yakobo baba yao katikanchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yoteyaliyowapata. Wakasema, 30‘‘Huyo mtu ambayendiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwaukali akatutendea kana kwamba sisi tulikuwatunaipeleleza nchi. 31Lakini tulimwambia, ‘Sisi niwatu waaminifu, sio wapelelezi. 32Tulizaliwandugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja.Mmoja alikufa na mdogo wetu wa mwisho yupona baba yetu huko Kanaani.’

33Ndipo huyo mtu aliye bwana katika nchi

hiyo alipotuambia, ‘Hivi ndivyo nitafahamu kuwaninyi ni watu waaminifu: Mwacheni mmoja wandugu zenu pamoja nami hapa, kisha nendenimpeleke chakula kwa ajili ya jamaa yenuinayoteseka kwa njaa. 34Lakini mleteni huyondugu yenu mdogo kwangu, ndipo nitajua kuwaninyi sio wapelelezi ila ni watu waaminifu. Kishanitamrudisha ndugu yenu, nanyi mtawezakufanya biashara katika nchi hii.’ ’’  35Walipokuwa wanamimina nafaka kutokakwenye magunia yao, ndani ya gunia la kila mtu

kulikuwa na mfuko wa fedha! Wakati wao nababa yao walipoona mifuko ya fedha,wakaogopa. 36Yakobo baba yao akawaambia,‘‘Ninyi mmenipokonya watoto wangu. Yosefuhayupo na Simeoni hayupo tena na sasamnataka kumchukua Benyamini. Kila kitu nikinyume yangu!’’

37Ndipo Reubeni akamwambia baba yake,“Waweza kuwauwa wanangu wote wawili, ikiwasitamrudisha Benyamini kwako. MkabidhiBenyamini katika uangalizi wangu, nami

nitamrudisha.’’38Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu

h t h k h k j i d k

Page 43: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 43/52

MWANZO

amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwaatapatwa na madhara katika safarimnayoiendea, mtashusha kichwa changuchenye mvi kaburini kwa masikitiko.’’

Safari ya Pili ya Kwenda Misri

Wakati huu njaa ilikuwa bado ni kalimno katika nchi. 2Hivyo wakati

walipokuwa wamemaliza kula nafaka yotewaliyoileta kutoka Misri, Yakobo baba yaoakawaambia, “Rudini Misri mkatununuliechakula kingine zaidi.’’

3Lakini Yuda akamwambia, “Mtu yulealituonya kwa msisitizo, ‘Hamtauona uso wangutena mpaka mje na ndugu yenu.’ 4Kamautakubali ndugu yetu aende pamoja nasi,tutakwenda kuwanunulia chakula. 5Lakini ikiwa

hutamruhusu aende, hatutakwenda, kwa sababumtu yule alituambia, ‘Hamtauona uso wangutena mpaka mje pamoja na ndugu yenu.’ ’’

6Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabuhii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugumwingine?’’

7Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undanisana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza,‘Je, baba yenu bado yungali hai? Je mnayendugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu.Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni

mdogo wenu hapa?’ ’’8Ndipo Yuda akamwambia baba yakeIsraeli, ‘‘Mtume kijana pamoja nami, nasitutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja nawatoto wetu tuweze kuishi, wala tusife. 9Mimimwenyewe nitakuhakikishia usalama wake,mimi mwenyewe nitawajibika kumrudisha. Ikiwasitamrudisha kwako na kumweka mbele yako,nitakuwa mwenye lawama mbele yako maishayangu yote. 10Hakika, kama hatukuchelewakuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi

mara mbili.’’11Basi baba yao Israeli akawaambia, “Kama

ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Wekenibaadhi ya mazao bora ya nchi katika mifukoyenu na mpelekeeni yule mtu kama zawadi, zerikidogo, asali kidogo, vikolezo, manemane,kungu na lozi. 12Chukueni fedha mara mbili, kwakuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwamidomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwakwa makosa. 13Mchukueni ndugu yenu pia mrudikwa huyo mtu mara moja. 14Naye Mungu

Mwenye Nguvu awajalieni rehema mbele yahuyo mtu ili apate kuwaachieni yule ndugu yenu

B i i k di j K

mimi kama nikufiwa nimefiwa.’’15Basi hao watu wakazichukua zile zawadi

na zile fedha mara mbili pamoja na Benyamini.Wakafanya haraka kwenda Misri na walipofikawakajionyesha kwa Yosefu. 16Yosefualipomwona Benyamini pamoja nao,akamwambia msimamizi wa nyumba yake,“Wachukue watu hawa nyumbani kwangu,mchinje mnyama na kuandalia chakula kwakuwa watakula chakula cha mchana pamojanami.’’

17Yule Msimamizi akafanya kama Yosefualivyomwambia na akawachukua wale watunyumbani kwa Yosefu. 18Basi watu haowakaogopa walipopelekwa nyumbani kwaYosefu. Wakafikiri, “Tumeletwa hapa kwa ajili yazile fedha zilizorudishwa katika magunia yetu

mara ile ya kwanza. Anataka kutushambulia nakutushinda, atuchukue sisi kama watumwa naatwae hawa punda zetu.’’

19Hivyo wakamwendea msimamizi wanyumba wa Yosefu na kuzungumza nayekwenye ingilio la nyumbani. 20Wakasema,“Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanzakununua chakula. 21Lakini mahali pale tulipotuawakati wa jioni tulifungua magunia yetu na kilammoja wetu akakuta fedha zake, kwenyemdomo wa gunia lake kiasi kile kile tulicholeta.

Kwa hiyo tumezirudisha.22

Pia tumeleta fedhanyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujuini nani aliziweka fedha hizo katika maguniayetu.’’

23 Akawaambia, “Vema msiogope. Munguwenu, Mungu wa baba yenu, amewapa ninyihazina katika magunia yenu, mimi nilipokeafedha yenu.’’ Ndipo akawaletea Simeoni.

24Msimamizi akawapeleka wale watu katikanyumba ya Yosefu, akawapa maji ya kunawamiguu na kuwapa punda wao majani.

25Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefuwakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwawalikuwa wamesikia kwamba watakula chakulahuko.

26Yosefu alipokuja nyumbani, walimkabidhizile zawadi walizokuwa nazo, ambazo walikuwawamezileta mle nyumbani, nao wakamsujudiahadi nchi. 27 Akawauliza kuhusu hali yao kishaakawaambia, “Yule baba yenu mzeemliyeniambia habari zake, yu hali gani? Je,bado yu hai?’’

28Wakamjibu, ‘‘Mtumishi wako baba yetubado anaishi na ni mzima.’’ Kisha wakainamahi i k h hi

43

Page 44: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 44/52

MWANZO29 Alipotazama na kumwona Benyamini

ndugu yake, mwana wa mama yake hasa,akauliza, “Je, huyu ndiye ndugu yenu wamwisho, ambaye mlinieleza habari zake?’’ Ndipoakasema, “Mungu na akufadhili mwanangu.’’30 Akiwa ameguswa sana kwa kumwona nduguyake, Yosefu akatoka nje kwa haraka nakutafuta mahali pa kulilia. Akaingia kwenyechumba chake cha pekee na kulilia humo.

31Baada ya kunawa uso wake, akatoka njena huku akajizuia akasema, “Pakueni chakula.’’

32Wakampakulia Yosefu peke yake, nduguzake peke yao na Wamisri waliokula pamojanaye peke yao, kwa sababu Wamisriwasingeweza kula pamoja na Waebrania, kwamaana ilikuwa ni chukizo kwa Wamisri. 33Watuhao walikuwa wameketi mbele yake kwa

mfuatano wa umri wao, kuanzia mzaliwa wakwanza hadi mzaliwa wa mwisho,wakatazamana wao kwa wao kwa mshangao.34Wakati walipopelekewa sehemu ya chakulakutoka mezani mwa Yosefu, sehemu yaBenyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu yawale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahipamoja naye.

Kikombe cha Fedha Ndani ya Gunia

Kisha Yosefu akampa yule msimamizi

wa nyumbani mwake maagizo haya:“Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakulaambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedhaya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.2Kisha weka kikombe changu, kile cha fedha,kwenye mdomo wa gunia la yule mdogo wawote pamoja na fedha zake ambazoangenunulia nafaka yake.’’ Naye akafanya kamaYosefu alivyosema.

3Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwakuondoka pamoja na punda zao. 4Kabla

hawajafika mbali kutoka mjini, Yosefuakamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie walewatu mara moja, utakapowakuta, waambie,‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya? 5Je,kikombe hiki sicho anachonywea bwana wangupia hukitumia kwa kutabiri mambo yajayo? Hili ni jambo ovu mlilolitenda.’ ’’

6 Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao.7Lakini wakamwambia mtumishi, ‘‘Kwa ninibwana wangu anasema maneno kama haya?Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya

 jambo kama hilo! 8Hata hivyo tulikurudishia zilefedha kutoka nchi ya Kanaani ambazo tulizikutak id i t Hi k

nini tuibe fedha au dhahabu kutoka nyumbanikwa bwana wako? 9Ikiwa ye yote miongoni mwawatumishi wako atapatikana nacho, auwawe, nasisi wengine tutakuwa watumwa wa bwanawangu.’’

10 Akajibu, ‘‘Vema sana na iwe kamamsemavyo. Yeyote atakayekutwa nachoatakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wenginemtakuwa hamna lawama.’’

11Kila mmoja wao akafanya harakakushusha gunia lake chini na kulifungua. 12Ndipomsimamizi akaendelea kutafuta, akianzia kwamkubwa wa wote na akaishia kwa mdogo wawote. Basi kikombe kikapatikana katika gunia laBenyamini. 13Kwa jambo hili, wakararua nguozao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu yapunda zao na kurudi mjini.

14

Yosefu alikuwa bado yuko nyumbanimwake wakati Yuda na kaka zake walipoingia,wote wakajitupa chini mbele yake. 15Yosefuakawaambia, ‘‘Ni jambo gani hili mlilolifanya?Hamjui kuwa mtu kama mimi anawezakufahamu mambo kwa njia ya kutabiri?’’

16Yuda akajibu, ‘‘Tutaweza kusema nini kwabwana wangu? Tutaweza kuzungumza nini?Tutawezaje kuthibitisha kwamba hatuna hatia?Mungu amefunua hatia ya watumishi wako.Sasa sisi tu watumwa wa bwana wangu, sisi

wenyewe pamoja na yule aliyepatikana nakikombe.’’ 17Lakini Yosefu alisema, “Liwe mbalinami kufanya jambo kama hili! Mtu yule tualiyekutwa na kikombe ndiye atakayekuwamtumwa wangu. Ninyi wengine, rudini kwa babayenu kwa amani.’’

18Ndipo Yuda akamwendea na kumwambia:“Tafadhali bwana wangu, mruhusu mtumishiwako aseme neno kwa bwana wangu.Usimkasirikie mtumishi wako, ingawa wewe nisawa na Farao mwenyewe. 19Bwana wangu

aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba aundugu?’ 20Nasi tukakujibu, ‘Tunaye baba yetuambaye ni mzee, pia yupo mwanawe mdogoaliyezaliwa katika uzee wake. Ndugu yakeamekufa, na huyu mdogo ndiye mwana pekeekwa mama yake aliyebaki, naye baba yakeanampenda.’

21“Ndipo ulipowaambia watumishi wako,‘Mleteni kwangu ili niweze kumwona kwa machoyangu mwenyewe.’ 22Nasi tukamwambia bwanawangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake,

akimwacha, baba yake atakufa.’ 23Lakiniukawaambia watumishi wako, ‘Ndugu yenu

d i h k j i h t

44

Page 45: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 45/52

MWANZO

uso wangu tena.’ 24Tuliporudi nyumbani kwamtumwa wako baba yangu, tulimwambia lilebwana wangu alilokuwa amesema.

25Ndipo baba yetu aliposema, ‘Rudini Misrimkanunue chakula kingine.’ 26Lakinitukamwambia, ‘Hatuwezi kushuka Misri mpakandugu yetu mdogo awe pamoja nasi ndipotutakapokwenda. Hatutaweza kuuona uso wayule mtu mpaka ndugu yetu mdogo awe pamojanasi.’

27Mtumwa wako baba yangu alituambia,‘Mnajua mke wangu alinizalia wana wawili.28Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakikaameraruliwa vipande vipande.’’ Nami sijamwonatangu wakati huo. 29Ikiwa mtaniondolea huyutena na akapatwa na madhara, mtashushakichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa

mwenye huzuni.’30Hivyo sasa, kama kijana hatakuwa pamojanasi nitakaporudi kwa mtumishi wako babayangu na kama baba yangu, ambaye maishayake yamefungamanishwa na uhai wa kijanahuyu, 31akiona kijana hayupo nasi atakufa.Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvicha baba yetu kaburini kwa huzuni. 32Mtumwawako alimhakikishia baba yangu usalama wakijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudishakwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako,

baba yangu, maisha yangu yote!’ 33“Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishiabaki hapa kama mtumwa wa bwana wangubadala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi nandugu zake. 34Ninawezaje kurudi kwa babayangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? Lahasha! Usiniache nikaone huzuni ileitakayompata baba yangu.” 

Yosefu Anajitambulisha

Hapo Yosefu hakuweza kujizuia zaidi

mbele ya wote waliokuwawamesimama karibu naye, akapaza sauti,akasema, “Mwondoeni kila mtu mbele yangu!’’Kwa hiyo hapakuwepo mtu ye yote pamoja naYosefu alipojitambulisha kwa ndugu zake. 2Nayeakalia kwa sauti kubwa kiasi kwamba Wamisriwalimsikia, hata watu wa nyumbani mwa Faraowakapata hizo habari.

3Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi niYosefu! Je, baba yangu angali hai bado?” Lakinindugu zake hawakuweza kumjibu, kwa sababu

walipatwa na hofu kuu mbele yake.4Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake,

“S i k ib i ’’ W li k

“Mimi ni ndugu yenu Yosefu, yule ambayemlimwuza Misri! 5Sasa, msihuzunike walamsijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwasababu ilikuwa ni ili kuokoa maisha ya watundiyo sababu Mungu alinituma niwatangulieninyi. 6Kwa miaka miwili sasa imekuwepo njaakatika nchi, pia kwa miaka mitano ijayohapatakuwepo kulima wala kuvuna. 7LakiniMungu alinitanguliza mbele yenu ili kuhifadhikwa ajili yenu mabaki katika nchi na kuokoamaisha yenu, kwa wokovu mkuu.

8Kwa hiyo basi, si ninyi mlionileta huku, balini Mungu. Alinifanya kuwa baba kwa Farao,bwana wa watu wa nyumbani mwake wote namtawala wa Misri yote. 9Sasa rudini haraka kwababa yangu na mwambieni, ‘Hili ndilo mwanaoYosefu asemalo: ‘Mungu amenifanya mimi kuwa

bwana wa Misri yote. Shuka uje kwangu, walausikawie. 10Nawe utaishi katika nchi ya Goshenina kuwa karibu nami, wewe, watoto wako nawajukuu wako, makundi yako ya kondoo, mbuzina ng'ombe, pamoja na vyote ulivyo navyo.11Nitawatunza huko, kwa sababu bado iko miakamingine mitano inayokuja ya njaa. Vinginevyowewe na nyumba yako na wote ulionaomtakuwa fukara.’

12Mnaweza kujionea wenyewe, hata nduguyangu Benyamini, kwamba hakika ni mimi

ninayezungumza nanyi.13

Mwambieni babayangu juu ya heshima yote niliyopewa hukuMisri na kuhusu kila kitu mlichokiona. Mletenibaba yangu huku haraka.’’

14Ndipo akamkumbatia Benyamini nduguyake na kulia, naye Benyamini akamkumbatiaakilia. 15Pia akawabusu ndugu zake wote, hukuakilia. Baada ya hayo ndugu zakewakazungumza naye.

16Habari zilipofika kwenye jumba la kifalmela Farao kwamba ndugu zake Yosefu wamefika,

Farao na maafisa wake wote wakafurahi.17Farao akamwambia Yosefu, “Waambie nduguzako, ‘Fanyeni hivi: Pakieni wanyama wenumrudi mpaka nchi ya Kanaani, 18mkamlete babayenu na jamaa zenu kwangu. Nitawapa sehemunzuri sana ya nchi ya Misri nanyi mtafurahiaunono wa nchi.’

19Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi:‘Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri,kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu,mkamchukue baba yenu mje. 20Msijali kamwe

kuhusu mali zenu, kwa sababu mema yote yaMisri yatakuwa yenu.’ ’’

21Hi I li k f hi i

45

Page 46: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 46/52

MWANZO

Yosefu akawapa magari ya kukokotwa, kamaFarao alivyoagiza, pia akawapa mahitaji kwa ajiliya safari yao. 22Kila mmoja mavazi mapya, lakiniBenyamini akampa shekeli mia tatu za fedha, na jozi tano za nguo, 23hivi ndivyo vitu alivyotumakwa baba yake: Punda kumi waliochukua vituvizuri vya Misri, punda wake kumi waliobebanafaka, mikate na mahitaji mengine ya safari.24 Akaagana na ndugu zake, walipokuwawakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!’’

25Basi wakatoka Misri na kufika kwa babayao Yakobo katika nchi ya Kanaani.26Wakamwambia baba yao, “Yosefu angali hai!Ukweli ni kwamba yeye ndiye mtawala wa Misriyote.’’ Yakobo akapigwa na bumbuwazi,hakuwasadiki. 27Lakini walipokwisha kumwelezakila kitu ambacho Yosefu alikuwa amewaambia,

na alipoona magari ya kukokotwa Yosefualiyokuwa amempelekea ya kumchukua aendeMisri, roho ya baba yao Yakobo ikahuishwa.28Ndipo Israeli akasema, “Nimesadiki!Mwanangu Yosefu bado yu hai. Nitakwendanikamwone kabla sijafa.’’

Yakobo Aenda Misri

Hivyo Israeli akaondoka na vyotevilivyokuwa mali yake, naye alipofika

Beer-sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki

baba yake.2Mungu akanena na Israeli katika maonousiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!’’ 

 Akajibu, “Mimi hapa.’’3Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu

wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwamaana huko nitakufanya taifa kubwa. 4NitashukaMisri pamoja nawe, nami hakika nitakurudishatena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewendiyo itakayofunga macho yako.’’

5Ndipo Yakobo akaondoka Beer-sheba nao

wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobona watoto wao na wake zao katika magari yakukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekeakumsafirisha. 6Wakachukua pia mifugo yao namali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobona uzao wake wote wakashuka Misri.7 Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuuwake wa kiume na wa kike, yaani uzao wakewote mpaka Misri.

8Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli

(Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

R b i li k Y k b

9Wana wa Reubeni ni:Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

10Wana wa Simeoni ni:Yemueli, Yemimi, Ohadi, Yakini, Soharina Shauli mwana wa mwanamkeMkanaani.

11Wana wa Lawi ni:Gershoni, Kohathi na Merari.

12Wana wa Yuda ni:Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera.(Lakini Eri na Onani walifariki katika nchiya Kanaani.)

Wana wa Perisi ni:Hesroni na Hamuli.

13Wana wa Isakiri ni:Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

14Wana wa Zabuloni ni:

Seredi, Eloni na Yaleeli.15Hawa ndio wana wa Lea aliomzaliaYakobo huko Padan Aramu pamoja na bintiyake Dina. Jumla ya wanawe na binti zakewalikuwa thelathini na watatu.

16Wana wa Gadi ni:Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodina Areli.

17Wana wa Asheri ni:Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao

alikuwa Sera.Wana wa Beria ni:

Heberi na Malkieli.18Hawa ndio watoto Zilpa, aliomzalia

Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea, jumla yao walikuwa kumi na sita.

19Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:Yosefu na Benyamini. 20Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwakuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu

wana wawili, Manase na Efraimu.21Wana wa Benyamini ni:

Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani,Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

22Hawa ndio wana wa Raheli aliomzaliaYakobo, jumla yao ni kumi na wanne.

23Mwana wa Dani ni:Hushimu.

24Wana wa Naftali ni:Yasieli, Guni, Yeseri na Shilemu.

25Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzaliaYakobo, ambaye Labani alikuwa amempaR h libi ti k j l lik b

46

Page 47: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 47/52

MWANZO

26Wote waliokwenda Misri pamoja naYakobo, ambao walikuwa wazao wake hasa,pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watusitini na sita. 27Pamoja na wana wawiliwaliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwasabini.

28Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aendekwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni.Walipofika nchi ya Gosheni, 29Gari kubwa zuri laYosefu, liliandaliwa naye akaenda Goshenikumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofikambele yake, alimkumbatia baba yake akalia kwamuda mrefu.

30Israeli akamwambia Yosefu, ‘‘Sasa niko

tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewekwamba bado uko hai.’’31Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na

watu wa nyumbani mwa baba yake, ‘‘Nitapandakwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu nawatu wa nyumbani mwa baba yangu, ambaowalikuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani,wamekuja kwangu. 32Watu hao ni wachungamifugo, huchunga mifugo, wamekuja namakundi ya kondoo, mbuzi na ng’ombe pamojana kila kitu walichonacho.’ 33Farao atakapowaita

na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’34

Mjibuni,‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugotangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetuwalivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaakatika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachungamifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.’’ 

Yakobo 

Yosefu akaenda na kumwambia Farao,‘‘Baba yangu na ndugu zangu,

wamekuja kutoka nchi ya Kanaani wakiwa na

makundi yao ya kondoo, mbuzi na ng'ombe,pamoja na kila kitu walichonacho, nao sasawapo huko Gosheni.’’ 2 Akachagua ndugu zakewatano na kuwaonyesha kwa Farao.

Ambariki Farao

3Farao akawauliza hao ndugu zake, ‘‘Kaziyenu ni nini?’’

Wakamjibu, ‘‘Watumishi wako ni wachungamifugo, kama vile baba zetu walivyokuwa.’’ 4Piawakamwambia, ‘‘Tumekuja kukaa huku kwamuda mfupi, kwa sababu njaa ni kali hukoKanaani, na mifugo ya watumishi wako haina

malisho. Kwa hiyo sasa, tafadhali uruhusuwatumishi wako wakae huko Gosheni.’’

5F k bi Y f ‘‘B b k

ndugu zako wamekuja kwako, nayo 6nchi yaMisri ipo mbele yako, uwakalishe baba yako nandugu zako katika sehemu iliyo bora kupita zotekatika nchi. Na waishi Gosheni. Kamaunamfahamu ye yote miongoni mwao mwenyeuwezo maalum, waweke wawe wasimamizi wamifugo yangu.’’

7Ndipo Yosefu akamleta Yakobo baba yakena kumtambulisha mbele ya Farao. Baada yaYakobo kumbariki Farao, 8Farao akamwuliza,“Je una umri gani?’’

9Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku zamiaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miakayangu imekuwa michache na ya taabu, walahaikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.’’10Kisha Yakobo akambariki Farao nayeakaondoka mbele ya uso wake.

11

Ndipo Yosefu akawakalisha baba yake nandugu zake katika nchi ya Misri na kuwapa milkikatika sehemu bora sana ya nchi, wilaya yaRamesesi kama Farao alivyoelekeza. 12PiaYosefu akampa baba yake na ndugu zake nawote wa nyumbani mwa baba yake vyakula, kwakulingana na hesabu ya watoto wao.

Uongozi wa Yosefu Wakati wa Njaa13Hata hivyo, hapakuwepo chakula katika

sehemu yote kwa kuwa njaa ilikuwa kali sana,

Misri na Kanaani zote zikaharibiwa kwa sababuya njaa. 14Yosefu akakusanya fedha zotezilizopatikana kutoka katika mauzo ya nafakahuko Misri na Kanaani akazileta kwenye jumbala kifalme la Farao. 15Fedha za watu wa Misri naKanaani zilipokwisha, Wamisri wote wakamjiaYosefu na kumwambia, “Tupatie chakula. Kwanini tufe mbele ya macho yako? Fedha zetuzimekwisha.’’

16Yosefu akawaambia, “Basi leteni mifugoyenu, nitawauzia chakula kwa kubadilisha na

mifugo yenu, kwa kuwa fedha zenuzimekwisha.” 17Kwa hiyo wakaleta mifugo yaokwa Yosefu, naye akawapa chakula kwakubadilishana na farasi zao, kondoo na mbuzizao, ng'ombe na punda zao. Katika mwaka huowote Yosefu akawapa chakula kwakubadilishana na mifugo yao yote.

18Mwaka ule ulipokwisha, wakamjia mwakauliofuata na kumwambia, “Hatuwezi kufichaukweli mbele ya bwana wetu kwamba, kwakuwa fedha zetu zimekwisha na wanyama wetu

ni mali yako, sasa hakuna chochote kilichosaliakwa ajili ya bwana wetu isipokuwa miili yetu na

dhi t 19K i i t i b l

Page 48: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 48/52

MWANZO

macho yako, sisi pamoja na nchi yetu?Utununue sisi pamoja na ardhi yetu ilikubadilishana kwa chakula. Nasi pamoja na nchiyetu tutakuwa watumwa wa Farao. Tupe sisimbegu ili tuweze kuishi wala tusife, nchi yetuisije ikawa ukiwa.’’

20Kwa hiyo Yosefu akamnunulia Farao nchiyote ya Misri. Wamisri, mmoja baada yamwingine waliuza mashamba yao, kwa sababunjaa ilikuwa kali sana kwao. Nchi ikawa mali yaFarao, 21Yosefu akawafanya watu watumikekama watumwa kuanzia upande mmoja wa Misrihadi upande mwingine. 22Hata hivyo, hakununuanchi ya makuhani, kwa sababu walikuwawanapata mgao wao wa kawaida kutoka kwaFarao, nao walikuwa na chakula cha kuwatoshakutokana na mgao waliopewa na Farao. Hii

ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao.23Yosefu akawaambia watu, ‘‘Kwa vilenimewanunua ninyi pamoja na nchi yenu leokuwa mali ya Farao, hapa kuna mbegu kwa ajiliyenu ili mweze kuziotesha. 24Lakini wakatimazao yatakapokuwa tayari, mpeni Faraosehemu moja ya tano. Sehemu hizo nnezitakazobaki mtaziweka kama mbegu kwa ajiliya mashamba na kwa ajili ya chakula chenuwenyewe na cha watu wa nyumbani mwenu nawatoto wenu.’’

25

Wakamwambia, ‘‘Umeokoa maisha yetubasi na tupate kibali mbele ya macho ya bwanawetu, tutakuwa watumwa wa Farao.’’

26Basi Yosefu akaiweka iwe sheria kuhusunchi ya Misri, ambayo inatumika mpaka leo,kwamba, sehemu moja ya tano ya mazao ni maliya Farao. Ni nchi ya makuhani tu ambayohaikuwa ya Farao.

27Basi Waisraeli wakaishi Misri katika nchiya Gosheni. Wakapata mali huko wakastawi nakuongezeka kwa wingi sana.

28Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba,nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147.29Wakati ulipokaribia wa Israeli kufa, akamwitamwanawe Yosefu na kumwambia, ‘‘Kamanimepata kibali machoni pake, weka mkonowako chini ya paja langu na uniahidi kuwautanifanyia fadhili na uaminifu. Usinizike Misri,30lakini nitakapopumzika na babu zangu,unichukue kutoka Misri ukanizike walipozikwa.’’

Yosefu akamwambia, “Nitafanya kamaunavyosema.’’

31 Akamwambia, ‘‘Niapie’’ Ndipo Yosefuakamwapia, naye Israeli akaabudu akijiegemezak h kit d h k

Manase na Efraimu

Baada ya muda Yosefu akaambiwakwamba, “Baba yako ni mgonjwa.’’ Kwa

hiyo akawachukua wanawe wawili Manase naEfraimu, pamoja naye. 2Yakobo alipoambiwa,“Mwanao Yosefu amekujia kukuona,’’ Israeliakakusanya nguvu zake akaketi kitandani.

3Yakobo akamwambia Yosefu, “MunguMwenye Nguvu alinitokea huko Luzu katika nchiya Kanaani, huko akanibariki, 4nayeakaniambia,‘Nitakufanya ustawi na kuongezeka hesabuyako, nitakufanya kuwa jamii ya mataifa, naminitakupa nchi hii uimiliki milele wewe na wazaowako baada yako.’

5“Sasa basi, wanao wawili waliozaliwakwako huku Misri kabla sijaja hapa kwakowatahesabiwa kuwa ni wangu, Efraimu na

Manase watakuwa wangu, kama vile Rubeni naSimeoni walivyo wangu. 6Lakini watotoutakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katikanchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina landugu zao. 7Nilipokuwa ninarudi kutoka Padani,katika huzuni yangu Raheli alifariki katika nchiya Kanaani tulipokuwa tungali tukisafiri, tukiwakaribu kufika Efratha. Kwa hiyo nilimzika huko,kando ya njia iendayo Efratha.’’ (Yaani,Bethlehemu.)

8Wakati Israeli alipowaona wana wa Yosefu

akauliza, “Hawa ni nani?’’9Yosefu akamjibu baba yake, “Hao ni wanaambao Mungu amenipa nikiwa huku.’’

Ndipo Israeli akasema, “Walete kwangu iliniwabariki.’’ 

10Basi macho ya Israeli yalikuwa hayaonivizuri kwa sababu ya uzee, naye aliona kwashida. Kwa hiyo Yosefu akawaleta wanawekaribu na baba yake, Israeli akawabusu naakawakumbatia.

11Israeli akamwambia Yosefu, “Kamwe

sikutazamia kuuona uso wako tena, sasa Munguameniruhusu kuwaona watoto wako pia.’’

12Ndipo Yosefu akawaondoa wanawemagotini mwa Israeli naye akasujudu hadi nchi.13Yosefu akachukua wale wana wawili, Efraimukwenye mkono wake wa kuume akimwelekezakwenye mkono wa kushoto wa Israeli naManase katika mkono wake wa kushotoakimwelekeza kwenye mkono wa kuume waIsraeli, akawaleta karibu na babu yao. 14LakiniIsraeli akaupeleka mkono wake wa kuume

akauweka juu ya kichwa cha Efraimu, ingawaalikuwa ndiye mdogo, na mkono wake wak h t k k ti h k k j ki h

48

Page 49: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 49/52

MWANZO

cha Manase, ingawa Manase alikuwa ndiyemzaliwa wa kwanza.

15Ndipo akambariki Yosefu akisema,

“Mungu ambaye baba zangu Abrahamu na Isaki walimtii,

Mungu ambaye amekuwa mchungajiwa maisha yangu yote mpaka leo hii,

16Malaika ambaye aliniokoa kutoka katikamadhara yote,

yeye na awabariki vijana hawa.Na waitwe kwa jina langu na kwa majina

ya baba zangu Abrahamu na Isaki,wao na waongezeke kwa wingi katika

dunia.’’ 

17

Yosefu alipoona baba yake akiwekamkono wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu,hakupendezwa, kwa hiyo akauchukua mkonowa baba yake kutoka kichwa cha Efraimu nakuuweka juu ya kichwa cha Manase. 18Yosefuakamwambia, “Hapana, baba yangu, huyu ndiyemzaliwa wa kwanza, uweke mkono wako wakuume juu ya kichwa chake.’’

19Lakini baba yake akakataa akasema,“Ninajua, mwanangu, ninajua. Yeye pia atakuwataifa, naye pia atakuwa mkuu. Hata hivyo, ndugu

yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye, naowazao wake watakuwa kundi la mataifa.’’20 Akawabarikia siku ile na kusema,

“Kwa jina lenu Israeli watatamkabaraka hii:

‘Mungu na awafanye kama Efraimu naManase.’ ’’ 

Kwa hiyo akamtanguliza Efraimu mbele yaManase.

21Ndipo Israeli akamwambia Yosefu, “Mimininakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa pamojananyi na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.22Kwako wewe, kama aliye juu ya ndugu zako,ninakupa sehemu moja zaidi ya ndugu zako, lileeneo nililoteka kwa Waamori kwa upanga wanguna upinde wangu.’’ 

Yakobo Abariki Wanawe

Ndipo Yakobo akawaita wanawe nakusema: “Kusanyikeni kunizunguka ili

niweze kuwaambia lile litakalowatokea sikuzijazo.

2“Kusanyikeni na msikilize, enyi wana waYakobo,

msikilizeni baba yenu Israeli.

3“Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu

zangu,umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.

4Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwamkuu tena,

kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda chababa yako,

kwenye kitanda changu na kukinajisi.

5‘‘Simeoni na Lawi ni wana ndugu,panga zao ni silaha za jeuri.

6 Mimi na nisiingie katika baraza lao,

nami nisiunganike katika kusanyiko lao,kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yaowalikata mishipa ya miguu ya mafahali kama

walivyopenda.7Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno,

nayo ghadhabu yao, ni ya ukatili!Nitawatawanya katika Yakobo

Na kuwasambaza katika Israeli.

8“Yuda, ndugu zako watakusifu,mkono wako utakuwa shingoni mwa adui

zako.Wana wa baba yako watakusujudia.

9Ee Yuda, wewe ni mwana simba,unarudi toka mawindoni, mwanangu.

Kama simba hunyemelea na kulala chini,kama simba jike, nani athubutuye

kumwamsha?10Fimbo ya ufalme haitaondoka kwa Yuda,

wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake,hadi aje yeye ambaye milki ni yake,

ambaye utii wa mataifa ni wake.

11 Atamfunga punda wake katika mzabibu,naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo

bora zaidi,atafua mavazi yake katika divai,

majoho yake katika damu ya mizabibu.12Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai,

meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.

13‘‘Zabuloni ataishi pwani ya baharina kuwa bandari za kuegesha meli,mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

14‘‘Isakari ni punda mwenye nguvub l l k ti i i k

49

Page 50: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 50/52

MWANZO15 Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa

kupumzika na jinsi nchi yakeinavyopendeza,

atainamisha bega lake kwenye mzigona kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu.

16“Dani atahukumu watu wake kwa hakikama mmoja wa makabila ya Israeli

17Dani atakuwa nyoka kando ya barabara,nyoka mwenye sumu kando ya njia,

yule aumaye visigino vya farasiili yule ampandaye aanguke chali.

18‘‘Ee BWANA, nautafuta wokovu wako.

19‘‘Gadi atashambuliwa ghafula na kundi lawashambuliaji,

lakini yeye atawageukia na kuwashindakabisa.

20“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono,naye atatoa chakula kitamu kimfaacho

mfalme.

21“Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huruazaaye watoto wazuri.

22Yosefu ni mzabibu uzaao,

mzabibu uzaao ulio kando ya chemchemi,ambao matawi yake hutanda ukutani.

23Kwa uchungu wapiga mshale walimshambulia,wakampiga mshale kwa ukatili.

24Lakini upinde wake ulibaki imara,mikono yake ikatiwa nguvu,

na mkono wa Mwenye Nguvu wa Yakobo,kwa sababu ya Mchungaji, Mwamba wa

Israeli,25kwa sababu ya Mungu wa baba yako,

anayekusaidia,

kwa sababu ya Mwenye Nguvu,yeye anayekubariki kwa baraka za mbinguni

 juu,baraka za kilindi kilichoko chini,

baraka za matitini na za tumbo la uzazi.26Baraka za baba yako ni kubwa

kuliko baraka za milima ya kale,nyingi kuliko vilima vya kale.

Baraka hizo zote na zikae juu ya kichwa chaYosefu,

 juu ya paji la mwana wa kifalme miongoni

mwa ndugu zake.

27‘‘B i i i b it l fi j

kuu,asubuhi hurarua mawindo yake,

 jioni hugawa nyara.’’

28Haya yote ndiyo makabila kumi na mawiliya Israeli, na hivi ndivyo baba yaoalivyowaambia alipowabariki, akimpa kila mmojabaraka inayomfaa.

Kifo cha Yakobo29Ndipo alipowapa maelekezo haya: “Mimi

niko karibu kukusanywa kwa watu wangu.Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pangokatika shamba la Efroni Mhiti, 30pango lililokokatika shamba la Makpela, karibu na Mamrehuko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwaajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni Mhiti,

pamoja na shamba.31

Huko ndiko Abrahamu naSara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isakina Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.32Shamba hilo na pango lililoko ndani yakelilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.’’ 

33Baada ya Yakobo kumaliza kutoamaelekezo hayo kwa wanawe, akarudishamiguu yake kitandani, akapumua pumzi yamwisho na akakusanywa kwa watu wake.

Basi Yosefu akamwangukia baba yake

akalilia juu yake na akambusu.2

NdipoYosefu akawaagiza matabibu waliokuwawakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawaili asioze, 3wakafanya hivyo kwa siku arobaini,kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa.Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwasiku sabini.

4Siku za kumwombolezea zilipokwisha,Yosefu akawaambia washauri wa Farao, “Kamanimepata kibali machoni penu semeni na Faraokwa ajili yangu. Mwambieni, 5‘Baba yangu

aliniapisha na kuniambia, “Mimi nipo karibu kufa,unizike katika kaburi lile nililochimba kwa ajiliyangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani.’’ Sasanakuomba uniruhusu niende kumzika babayangu, nami nitarudi.’ ’’

6Farao akasema, “Panda uende kumzikababa yako, kama alivyokuapiza kufanya.’’

7Hivyo Yosefu akapanda kwenda kumzikababa yake, maafisa wote wa Farao wakaendapamoja naye, watu mashuhuri wa baraza lakena watu mashuhuri wote wa Misri. 8Hawa ni

mbali na watu wote wa nyumbani kwa Yosefu nandugu zake na wale wote wa nyumbani mwab b k Ni t t k di

50

Page 51: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 51/52

MWANZO

Kifo cha Yosefukondoo, mbuzi na ng'ombe tu waliobakia katikanchi ya Gosheni. 9Magari makubwa na wapandafarasi pia walipanda pamoja naye. Likawa kundikubwa sana.

10Walipofika kwenye sakafu ya kupurianafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwasauti na kwa uchungu, huko Yosefu akapumzikakwa siku saba kumwombolezea baba yake.11Wakanaani walioishi huko walipoonamaombolezo yaliyofanyika katika sakafu ile yakupuria ya Atadi, wakasema, “Wamisriwanafanya maombolezo makubwa, kwa hiyomahali pale karibu na Yordani pakaitwa Abel-Mizraimua.

12Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kamababa yao alivyowaagiza: 13Wakamchukuampaka nchi ya Kanaani, wakamzika kwenye

pango katika shamba la Makpela, karibu naMamre, ambalo Abrahamu alilinunua kutoka kwaEfroni Mhiti pamoja na shamba liwe mahali pakuzikia. 14Baada ya Yosefu kumzika baba yake,akarudi Misri pamoja na ndugu zake na walewote waliokuwa wamekwenda naye kumzikababa yake.

Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka15Ndugu zake Yosefu walipoona kwamba

baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje kama

Yosefu ataweka kinyongo dhidi yetu na kutulipamabaya yote tuliyomtendea?’’ 16Kwa hiyowakampelekea Yosefu ujumbe, wakasema,Kabla baba yako hajafa aliacha maagizo haya:17‘Hili ndilo mtakalomwambia Yosefu:Ninakuomba uwasamehe ndugu zako dhambina mabaya kwa vile walivyokutenda vibaya.’Sasa tafadhali samehe dhambi za watumishi waMungu wa baba yako.’’ Ujumbe huu ulipomfikia,Yosefu akalia.

18Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini

mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwawako.’’

19Lakini Yosefu akawaambia, “Msiogope. Je,mimi ni badala ya Mungu? 20Mlikusudiakunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema ililitimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha yawatu wengi. 21Hivyo basi, msiogope. Miminitawatunza ninyi nyote pamoja na watotowenu.’’ Akawahakikishia na kusema nao kwawema.

22Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeyepamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishimiaka 110 23naye akaona kizazi cha tatu chawatoto wa Efraimu. Pia akaona watoto wa Makirimwana wa Manase, wakawekwa magotini mwaYosefu walipozaliwa.

24Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake,“Mimi ninakaribia kufa. Lakini kwa hakika Munguatawasaidia na kuwachukueni kutoka nchi hii nakuwapeleka katika nchi aliyomwahidi kwa kiapo Abrahamu, Isaki na Yakobo.’’ 25Naye Yosefuakawaapisha wana wa Israeli na kuwaambia,“Hakika Mungu atawasaidia, nanyi ni lazimamhakikishe mmepandisha mifupa yangu kutokamahali hapa.’’

26Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa

miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asiozeakawekwa kwenye jeneza huko Misri.

Page 52: 01 Bible Swahili Genesis

7/23/2019 01 Bible Swahili Genesis

http://slidepdf.com/reader/full/01-bible-swahili-genesis 52/52