ANNUUR 1162.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    1/16

    ISSN 0856 - 3861Na. 1162 RABIUL THANI 1436, IJUMAA , JANUARI 30-FEB. 5, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Bar mbele ya Kibla ziondolewekwa mikono sio kupiga Kunuti

    Ingieni serikali za mitaa, Bungeni

    Vinginevyo mtatawaliwa milele na

    Mtalikosesha Taifa viongozi waadilifu

    Mahakama ya Kadhi: kama hoja ni pesa za Serikali

    Serikali yadaiwa kutosimama katika uadilifu

    Jaji asisitiza umuhimu wa Mahakama hizo

    Ndugu wapendwa Wakristo

    Mchezo wenu mauti kwetu

    AMIR wa Shura ya Maimamu nchini, Sheikh Mussa Kundecha, akionesha Warakawa Sheikh Hassan Bin Ameir. Kushoto ni Mwalimu Adamu Kaoneka.

    Uk. 9

    WAZIRI wa Mambo

    ya Ndani MheshimiwaM a t h i a s C h i k a w e ,amezua mtafaruku janaBungeni, wabunge waCUF na CHADEMAw a k i m s h u t u m ukuongopa na kuteteau h a l i f u u n a o d a i w akufanywa na polisi.

    H a y o n i k u t o k a n ana taarifa yake ambapoalidai kuwa Prof. Lipumbana wafuasi wa Chamacha CUF, walishushiwakipigo na polisi kwasababu walikataa kutiiamri ya polisi ya kuzuiya

    Chikawe azua mtafaruku BungenJeshi la Polisi lashushiwa tuhuma nzitoMbunge CCM Unguja awakoromea PembaAdai waliuwana wenyewe kwa kishindo

    MoU ni ubaguzi, udini mtupu

    Na Shaban Rajab maandamano.Hayo yalijiri katik

    m j a d a l a w a h o jiliyowasilishwa BungenJumatano wiki hii na MhJames Mbatia.

    Hoja hiyo ni ile inayohusutendaji wa jeshi la Polinchini kufuatia kitendcha polisi kumkamata nkumpiga Mwenyekiti wChama cha Wananchi CUProf. Ibrahim Lipumbmwishoni mwa wikiliyopita.

    Kat ika mjadala wjana, katika ujumla wakwabunge wameonyeshkutoridhishwa na utenda

    Inaendelea Uk.

    Mh. Habib Mnyaa Mh. Yahya Kassim Issa

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    2/16

    2 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri

    HAKUNA jipya litakalopat ikana kat ika dhanaya umoja na mshikanomiongoni mwa Waislamunchini ikiwa waraka waSheikh Hassan Bin Amir wamwaka 1963 hautofanyiwakazi.

    Hayo yamebainishwa naAmir wa Shura ya Maimamun c h i n i , S h e i k h M u s s aKundecha, akiongea naMaimamu, Masheikh pamojana viongozi mbalimbali waTaasisi na Jumiya za Kiislamu,katika Ukumbi wa Hoteli yaLamada, Ilala Jijini Dar es

    Salaam, mwishoni mwa wikiiliyopita.Mbele ya viongozi hao wa

    Waislamu, Amir Kundecha,alikuwa akiwasilisha madayake ya dhana ya umoja namshikamano katika historiaya karibu inayotokana naji ti ha da za ku wako mb oaWaislamu.

    Amiri Kundecha, katikamada yake hiyo kwa kiasikikubwa alirejea waraka waSheikh Hassan Bin Amir, kwaWaislamu alioutoa Agasti26 mwaka 1963, aliouitaZawadi kwa Waislamuuliozungumizia dhana yaumoja na mshikamano.

    Amir Kundecha, alisema

    waraka huo wa SheikhHassan Bin Amir, chiniya Taasisi ya Kiislamu yaDawat-Li- Islamia, alisomakwa Masheikh na Maimamukatika jitihada za Sheikh huyoza kuwakomboa Waislamuwa Taifa hili.

    Amir Kundecha, alinukuumaneno ya Sheikh HassanBin Amir, aliyowaelezaMaimamu wa wakati huo(1963) kuwa wajibu wao nikuunganisha nguvu zaolakini kwa kuzingatia nawao wanapata mamlaka namadaraka ndani ya nchi yao.

    S h e ikh Has s an B inAmir, anasema ni lazimawafanikishe azma hiyo lakini

    anasema:Kwa kuwa kigezo nielimu lazima tuwasomeshewatoto wetu na kwa sababuShule zetu zilizopo nchinizipo kwenye madhehebu yadini na sisi lazima tuwe naShule zetu.

    Alisema Amir Kundechaakimnukuu Sheikh HassanBin Amir.

    Katika mtiririko huo wakuwapigania Waislamu,Amir Kundecha, anamnukuuSheikh Hassan, akisema kuwaamepata lawama nyingikwamba anachanganya Dinina Siasa.

    Amir Kundecha, alisemaSheikh Hassan Bin Amir,

    Zawadi kwa WaislamuIlitoka kwa Sheikh Hassan Bin Amir

    Sheikh Mussa Kundecha airejesha tenaNa Bakari Mwakangwale

    aliwaeleza maimamu kuwaanavyofahamu yeye hakunatatizo katika kuchanganyaDini na Siasa, bali Dini ndiosiasa na madhali wapokatika nchi hii, wajibu wao(Waislamu) ni kuunganishanguvu zao kwa lengo lakuingia katika mamlaka namadaraka katika nchi yao.

    Amir Kundecha, akirejeawaraka huo kwa ujumlambele ya Maimam na viongozi

    wengine wa Kiislamu, alisemakatika utangulizi wa warakahuo Sheikh Hassan Bin Amir,alisema lengo la Dawat-Li-Islamiya, ni kuwaunganishaWaislamu wote wa Kigomampaka Dar es Salaam, Lindimpaka Arusha kuwa kitukimoja katika kuihami Diniya Uislamu na kuelimishawatoto wa Kiislamu kwakujenga Shule nchini koteTanzania na kusomesha elimuzote sio Quran pekee.

    K w a M a s h e i k h ,Maimamu, Waalimu naja mi i ya Waisl amu ko tenchini Tanganyika (wakatih uo ) taar i f a h i i kam ailivyoandikwa na Dawat-Li-

    Islamiya, isomwe Misikitini,Majumbani, Mahotelini,Mabarabarani na hadharazote zinazohusu Uislamu ilikuhakikisha uhalali wakeumepatikana na kuwafikiaWaislamu wote. Imesemasehemu ya waraka huo.

    Amir Kundecha, alisemakatika para hiyo kinachoji on ye sh a ha po ni ku wamadhumuni ya Dawat-Li-Islamiya ni kuwaunganishaWaislamu wote nchini ,akasema huo ni warakawa mwaka 1963, na yeyeananukuu tu kilichoandikwa.

    Amir Kundecha, akasemakatika kupigia kele umoja na

    mshikamano kunahitajikmaelezo gani ikiwa hayya Sheikh Hassan Bin Amyanaonekana hayajafanyiwk a z i k w a n i h a d i s a sWaislamu bado suala la ntatizo.

    Lakini, akasema SheikHassan Bin Amir, katikwaraka huo wa mwaka 196ameeleza jinsi ya kupata nkukusanya fedha ili Waislamwaweze kujenga Shule za

    ili waweze kupta vijanwa Kiislamu watakaowezkuingia Serikalini.

    Alisema, katika Warakwake huo, Sheikh Hassan BiAmir, anaeleza kuwa amepabarua kutoka sehemu nyinza Tanganyika zikimpongezna kumtakia kheri, baraka nfanaka umoja huo ufanikiwna wamshinde kabisa aduujinga.

    Hata hivyo katika parnyingine, Sheikh Hassan bAmir, anaonyesha kulalalmikkwamba anasikitika kwambhakupata kuungwa mkonkatika msaada aliouombkutoka kwa Waislamu katikkusaidia gharama za osi.

    Sheikh Hassan Bin Amianasema jambo ambalo nlazima awatangazie kuwlinahudhunisha sana nkwamba msaada aliouombkuto ka kwa W ais lamhakupata kuungwa mkonhata kidogo.

    Hivi, Mzee huyu alitakiwafanye nini zaidi ya haya, aeleweke kama ambavyo lehii unataka aje Sheikh gani nawe na miujiza ya namna gankatika kulihimiza jambo hla umoja na mshikamano aWaislamu kusoma na kuingm ad arakan i . A l is em

    Inaendelea Uk.

    INJINIA Kilima (kushoto), Sheikh Amran Kilemi(katikati) pamoja na Amir Mussa Kundecha wakijadijambo muda mfupi baada ya kuwasilisha maoni yWaislamu kwa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria nUtawala hivi karibuni.

    Mtu unaweza kuuliza, hojailikuwa polisi kupiga watujij ini Dar es Salaam katikanamna ambayo wanaonekanakukiuka hata utaalamuna kanuni zao za kipolisi.U-Pemba hapo unahusikavipi?

    H o j a y a m t o a h o j aMheshimiwa James Mbatiaililenga kulisaidia jeshi la

    polisi, lisitumike kukiuka hakiza binadamu na kuharibuheshma yao na imani yawananchi kwa chombo hichomuhimu cha dola, chuki zawale Wapemba, zinatokawapi?

    Hoja ya MheshimiwaMbatia ilikuwa kuisaidiaserikali na nchi, ili amani tuliyonayo iendelee kudumu. Hiikushambuliana, Waunguja,Wapemba, inasaidia ninikatika hoja hii?

    Hoja ya wazungumzaji waawali akiwemo MheshimiwaTundu Lissu na MheshimiwaMnyaa, ilikuwa kwambapamoja na hoja ya msingiya Mheshimiwa Mbatia,lakini Mheshimiwa Wazirihusika, Mathias Chikawe,

    ameliongopea Bunge katikataarifa yake.

    K a t i k a t a a r i f a y a k eMheshimiwa Chikawe alidaikuwa Mwenyekiti wa Chamacha Wananchi, CUF, ProfesaIbrahim Lipumba, alipigwana polisi kwa sababu alikataaamri ya polisi ya kusitishamaandamano, badala yakeakayahimiza.

    L is s u a l i s em a kuwaa l i c h o k u w a a n a f a n y aLipumba ni kuisaidia Polisik u t a w a n y a w a t u k w akuwaambia waondoke, lakinibado akavamiwa na kupigwana polisi.

    Hayo yamesemwa pia nawasemaji wengine akiwemo

    Mbatia na MheshimiwaHabib Juma Mnyaa nawakasisitiza kuwa kauli yaProf. Lipumba imenaswana kamera akisisitiza watuwaondoke kutii amri ya polisi.

    K a m a h o j a n i h i y odhidi ya Waziri Chikawe,hii kuonyesha chuki kwaWapemba mpaka kutoahoja za uwongo kuhalalishamauwaji ya Januari 27 na hatakutoa kejeli kwa marehemuna wawa, inakujaje?

    Wote nyie Wazanzibari namnajinasibu kuwa Waislamukwa asilimia 98%, chuki zotehizi za nini?

    Kwa hakika inashangaza na

    Zanzibar inasikitishaHoja ya Mbatia, Upemba unahusikaje?Watu wameuliwa, wanafanya mzahaWote Waislamu, chuki zote hizi za nini?

    kusikitisha, hata hatujui naniatawanusuru Wazanzibari.Kama ni mchawi kawaloga,yaelekea kesha kufa. Aukama yupo hai, ni waowenyewe. Watafute namnaya kujigangua.

    K w a w a l i o k u w aw a k i f u a t i l i a m j a d a l aBungeni jana, bila shakawalimshuhudia Mbungemmoja akijinasibu kuwa

    yeye ni mwenye busara sanaakiwashutumu wenginekuwa wanaongea bila yakutumia busara.

    B u s a r a y e n y e w e ,anahamisha hoja na kuanzakuwashutumu Wapembana marehemu wa kadhiaya Januari 27, 2001 etiyaliyowakuta ni stahiki yaokwa sababu walitaka kutekavituo vya polisi!

    M a r a a n a s e m a e t i ,W a p e m b a w a l i u w a n awenyewe kwa wenyewekatika maandamano kwasababu walikuwa wakivutana.Huyu anasema twende hukuhuyu anasema twende kule!

    Wakati anaongea haya,k a m e r a i l i w a o n y e s h abaadhi ya wabunge wakiwa

    wamepigwa na mshangaowakitizama chini kimyaa, ilawachache tu wakipiga ko.

    Tunadhani umeka wakatina kwa hakika unawezakusema kuwa wamechelewasana, Wazanzibari waachanena hizi siasa za chuki, Upembana u-Uunguja.

    Ukimsikiliza Mbatia nahata Lissu, japo alizungumzakwa ukakasi uliowakerawabunge wa CCM, lakinihoja waliyoegemea ni nchi,taifa. Sio mkoa gani anatokaAfande Magu na MheshimiwaMathias Chikawe.

    W a z a n z i b a r i C C M ,katika hizi siasa zenu zamaskani Kisonge, kila mara

    kuwasakama Wapemba,mnachopigania nini? Agendayenu nini?

    Aus na Khazraji, walikuwawakielekea katika shimo laMoto, kwa neema ya Uislamu,tahamaki wakawa ndugu.

    Linalotisha ni kuwa,m aad h al i W azan zibar iwameshindwa kuupa nafasiUislamu uwaunganishe,U z a n z i b a r i w a o n a oum es h in d wa kuwale tapamoja, hatuoni kama kunasalama mbeleni.

    W a z e e , M a s h e i k h ,wakongwe wa siasa zaZanzibar, wakae watafakari.Mbele kiza.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    3/16

    3 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Habari

    Bar mbele ya Kibla ziondolewe kwa mikono sio kupiga KunutiM A S H E I K H , M a i m a m una waumini wa Kiislamu,wametakiwa kutambua kuwa,wao ndio wenye dhima ya

    kubadili hali zao katika jamiina sio kubweteka na kusubirikuomba sana dua na kuletaKunuti.

    Aidha, wamehimizwa kutoamchango wao katika kuongozajamii na taifa, kwani wanaojitengana uongozi huwa ni watu wakutawaliwa milele.

    K a t i k a m u k t a d h a h u o ,ukapigwa mfano kuwa matatizokama ya kuondoa kero za vilabuvya pombe na madanguro katikamakazi ya watu na mbele yaMisikiti, zinaweza kuondolewakwa wepesi kwa kutumia sheriaza nchi zilizopo kama Waislamuwataingia katika vyombo vya

    kusimamia utekelezaji wa sheriahizo.Wito huo kwa Maimamu,

    umekuja baada ya kuwasilishwakwa mada mbalimbali katikasemina ya Maimamu na viongoziwa dini ya Kiislamu iliyofanyikaJanuari 22, 2015, katika ukumbiwa Lamada, Ilala Jijini Dar esSalaam.

    Viongozi hao wameelezwakuwa muda wa kulalamika kwasasa haupo badala yake viongozihao waangalie njia mbadala zakuwafanya Waislamu watambuekuwa ipo haja ya wao kuingiakatika nafasi za utawala wa kijamiikupitia mlango wa siasa.

    Mbali na wito huo ukiwa nisehemu ya maazimio yaliyokiwakatika semina hiyo, lakini piawaliazimia kuwa kila Msikiti naTaasisi ya Kiislamu inapaswakushiriki katika shughuli zakijamii hususani katika masualaya Kisiasa.

    Maimamu wagombee nafasi zakisiasa ama kuandaa wagombeawalio waadilifu na kushirikikikamilifu katika shughuli zakijamii kama vile kuhamasishawaumini wao kujiandikisha katikadaftari la kudumu la wapiga kura.

    K u a n d a a n a k u en d es h amihadhara na makongamanoya kutoa elimu ya uraia kwawaumini wao na jamii kwa

    ujumla. Yameeleza maazimiohayo

    Lakini pia Maimamu haowametakiwa kuhakikisha kuwakila Msikiti na Taasisi inakuwa namikakati madhubuti na endelevuya kiuchumi ya muda mfupi namuda mrefu.

    Awali, akiwasilisha mada yakeya Uislamu na nafasi yake katikakuleta mabadiliko ya kijamii,Mwalimu Adamu Kaoneka,alianza kwa kuhoji kuwa baadaya kumalizika kwa uchaguzi waSerikali za Mitaa, ni Maimamuwangapi wameingia katika nafasihizo.

    Na Bakari mwakangwale Alisema, Waislamu kujitengakatika harakati za kisiasa kunaathari kubwa ikiwa ni pamoja nakulinyima taifa viongozi waadilifu.

    Akasema, hadhani kamak u n g e l i k u w a n a v i o n g o z i

    waadilifu na wajumbe wao katikaSerikali za Mitaa na vitongojikama kungelikuwa na mabaana madanguro katika mitaa yamakazi ya watu kinyume na sheriaza nchi.

    Mwalimu Kaoneka alisema,kasumba ya kuleta kunuti nyingipindi linapojengwa danguro aubaa mbele ya Kibla ya Msiki tihaina nguvu kuliko kujipangawenyewe kuingia katika vikaovya maamuzi na kuzuia hali hiyokujitokeza.

    Jalia mbele ya Msikitini wako(Qibla) kuna kiwanja jamaaanaamua kujenga danguro aubaa, sana sana wewe (Imamu) na

    waumini wako mtakachofanya nikuanza kuleta istighifari nyingikisha kunuti zitaanza kusomwa,kumlaani jamaa.

    Lakini kama kuna watumiongoni mwenu katika uongoziunaopitisha maamuzi, watakuwana uwezo wa kutoa ushauri aukuzuia ndani ya vikao bila kutumiaaya wala hadithi bali kwa kutumiasheria na kanuni za Serikali.Alisema Mwalimu Kaoneka.

    Alisema, hi i ni kero kwaWaislamu na kwa wasio Waislamu,sheria zipo zinakataza majumba yastarehe kukutanishwa pamoja nanyumba za Ibada au makazi yawatu, lakini mitaani kuna mabaana madanguro kinyume cha sheria

    wanapiga muziki watu hawasikilizani, hawalali, kazi kubwakwa Waislamu imebaki kusemaAstaghrullah!.

    Mwl. Kaoneka, alisema tatizokubwa kwa Waislamu ni kulewana propaganda za kuwatakakutochanganya Dini na Siasa nakuamini kuwa hayo ni mamboya kidunia na wao hayawahusu,lakini hawafahamu kuwa kilichokusudiwa hapo ni kuudidimizaUislamu kwani kundi mojalinapokosekana katika vyombovya maamuzi hutawaliwa milele.

    Mwalimu Kaoneka alisema,Nabii Shwaib, aliambiwa aendekatika jamii iliyokithiri katika

    kupunja watu vipimo, na hatakukaba watu njiani, hii yoteakasema Allah (s.w) alimtumakatika jamii ile akijua kuwa yeye(Shwaibu) ni muadilifu.

    Lakini pia akawataka Maimamuhao kutafakari kisa cha NabiiY u s u p h , k u t e u l i w a k u w amsimamizi wa hazina ya nchikwa uchamungu na uadilifu wake.

    Hii ni mifano kupitia kwaMitume wa Mungu walivyoshirikikatika masuala ya kijamii, sasakwa nini wewe Imamu usigombeeUdiwani, ukasimamia uadilifukatika eneo lako kuliko kuwaachiawatu ambao nyendo zao si za

    MWALIMU Adamu Kaoneka, akiwasilisha mada katika semina yMaimamu na viongozi wa dini ya Kiislamu iliyofanyika Januari 22015, katika ukumbi wa Lamada, Ilala Jijini Dar es Salaam.

    kiuadilifu katika jamii.Sasa nyinyi Maimamu mkitoka

    hapa mnatakiwa kwenda kuinuahamasa kwa waumini wenu wakaewakijua kwamba wanapaswakushiriki katika siasa kuanziangazi ya Mtaa na kuendelea.Alisema Mwl. Kaoneka.

    M w l . K a o n ek a , a l i s em aMwenyezi Mungu habadilishihali za watu mpaka kwanza

    wao wenyewe wabadilishe yayaliyomo ndani ya nafsi zao.

    Alisema, muda wa kulalamikkwa sasa haupo badala yakMaimamu, Masheikh na viongowa Taasisi za Kiislamu waangalnjia mbadala kwa kuwashajihishwaumini wa Kiislamu kujitambukwamba wao ni sehemu ya kuletmabadiliko katika jamii yao nTaifa kwa ujumla.

    Kama hoja ni pesa za serikaliMoU ni ubaguzi, udini mtupuIMETOLEWA hoja kuwa, kama niudini na ubaguzi wa kutisha, basiupo katika MoU baina ya serikalina makanisa.

    Hayo yamebainishwa na mmoja waMawakili nchini, ambaye hakupendajina lake liandiwe gazetini, akijaribukujibu hoja ya Jukwa la Wakristolinaloundwa na Jumuiya za Kikristonchini.

    Wakili huyo amesema kuwa,

    Makanisa kupitia Memorandum ofUndersanding (MoU) wanajipatiamabilioni ya pesa kutoka katika bajetiya Serikali kwa ajili ya kugharamiaHospitali zao, Shule na Vyuo vyao.

    Kitendo cha kuyapa Makanisamapesa hayo yote kwa mkataba wakipekee na wa siri baina yao na Serikaliambao hautoi fursa kwa wasiokuwaWakristo nao kupatiwa fedha kamahizo, ilipaswa nacho kionekane kuwani kitendo cha kibaguzi na hakunausawa katika hili. Alisema Wakilihuyo.

    Akifafanua zaidi alisema, sualala fedha hizo kupewa Makanisa nila kibaguzi ambao zaidi halipo hatakisheria bali ni mkataba hususia(maalum) kiuhalisia, huo ndio

    Na Bakari Mwakangwale unaotakiwa kupigiwa kelele na jambo ambalo lipo katika mchakawa Kisheria.

    A id h a , m wan as h er ia h uyaliyekuwemo katika kikao cha Kamaya Bunge ya Katiba na viongowa Dini, alisema kama ni kukiukmisingi ya Utaifa baina ya makundkatika nchi moja, basi ieleweke kuwkitendo cha Serikali kutoa fedha kwMakanisa na watu wa imani zinginwasipewe ni ubaguzi wa wazi.

    Alisema, kwa kitendo hich

    ni wazi kinatafsiri kuwa Serikaimefungamana na Dini ya Kikristokwani kupitia machapisho mbalimbaya Makanisa husika yanatumihuduma hizo za kijamii kufikishujumbe wao wa kiroho.

    Hivyo kwa Serikali kujiingizkatika kuyapa Makanisa fedha kwajili ya kuyasaidia katika kutohuduma hizo inayasaidia kufanykazi za kidini, sasa kuna tatizo ganikiwa na wao Waislamu, Serikaikahudumia Mahakama za Kadhi kuleta umoja na usawa katika jamiiAlisema wakili huyo.

    Alisema, wanaopinga wanapingkwa ubinafsi na chuki zao binafslakini kimsingi suala hili lipo kisher

    Inaendelea Uk.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    4/16

    4 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    Zawadi kwa WaislamuInatoka Uk. 2Sheikh Kundecha akiwahojiMaimamu.

    Amir Kundecha, alisemapmoja na kiongozi huyo waKiislamu kukabiliwa na hali

    hiyo, lakini aliwaita viongoziwake wa chini (Maimamu)na kusema:

    Leo tena nachukua nafasihii ikiwa ni mara ya tatukuzungumza na Waislamuwa Tanganyika, jambo hilini la dini, wenzetu wa dininyingine wanaendeshamambo ya dini yote kutokanana mipango ya sanduku,sidhani kama sisi Waislamuitakuwa vigumu, kwa mifanohiyo waitumiayo wenzetuhadi wakafanikiwa kwa ninina sisi tusiitumie wakatindio asili yetu kutokanana maelezo ya MwenyeziMungu.

    Waraka huo wa Hassan

    Bin Amir, aliwasihi waliona uwezo wa kuchangiamaendeleo ya Uislamukwamba wasitupe watotowa Kiislamu waliyo yatimana kuwaacha wanawayawayahovyo mambo ya kuwatupaw a t o t o w a K i i s l a m uyanasikitisha.

    Sheikh Kundecha, alisemak a t i k a k u w a s h a j i i s h aWaislamu wakati huo juu

    ya swala la elimu, SheikhHassan Bin Amir, aliwaelezakwamba pamoja na kuwawote wanaamini kuwawalikata kadi za TANUwakiwa sawa, wameitumikia

    TANU wote wakiwa sawawamehudhuria mikutanoyote juani, mvuani na hatavivulini wote wakiwa sawa.

    Lakini, Sheikh HassanBin Amir alisema, ilipokawakati wa kupewa kazina madaraka baada yaUhuru, ubaguzi ukaanzana hakubaguliwa mtu kwasababu yeye ni Muafrika,bali ulianza kutazama nanikasoma na waliosomawalijikuta wamepata nafasi.

    Sasa elimu imejitomakatikati kuingiza ubaguzibila ya kumjali mtu yoyoteni wazi mamlaka itampendamtu mwenye elimu nakutompenda mtu asiye na

    elimu. Kitu elimu kimepitishaamri kali yenye matokeo hayaya kuligawa taifa. UmesemaWaraka wa Hassan Bin Amir.

    Amir Kundecha, anasema,Hassan Bin Amir, anasemaElimu imeligawa Taifa kati yawenye elimu na wasio kuwana elimu, ambao walijulikanawakati huo kama BabaKabwela. Na sehemu kubwaya makabwela walikuwa ni

    Waislamu.Hasan Bin Amir, anaeleza

    katika waraka huo kuwaba ad a ya Uh ur u, el im ui k a t u m i k a k u m t e n g akatika madaraka Mzee

    aliyenusurika kuliwa naSimba, akigawa kadi zaTANU.

    Pamoja na kuwa weweulikuwa ni mwanachama wamwanzo wa kadi ya TANUya Julai 7, 1954, ujue haunanafasi katika Serikali balikinachohitajika ni elimu tu.

    Maneno haya amesemaSheikh Hassan Bin Amir,akiwa am ewakus an yaviongozi wa Kiis lamuanawapa ujumbe aliouitaZawadi kwa Waislamumwaka 1963. Alisema AmirKundecha.

    Amir Kundecha, alisemaHassan Bin Amiri, wakatianasoma waraka huo alikuwaanazungumza huku machozi

    yakimtoka.Alisema, wakati Waislamuwenzake wakimbeza watuwa Serikali ya wakati huowalipoisoma Zawadi hiyokwa Waislamu na walipobainianachokusudia kukifanyaMzee huyo kwa ummawa Kiislamu, alifukuzwanchini kwenda Zanzibar,na kupigwa marufukukukanyaga Tanganyika.

    MoU ni ubaguzi, udini mtupuInatoka Uk. 3

    zaidi kuliko wanavyodhanihao wanaopinga.

    Wakili huyo, alisemaMahakama yoyote Dunianihuanzishwa kwa njia mbilikuu, kwanza kikatiba,

    ambapo katika nchi husikaKatiba yake inatakiwa iwekewazi sheria ya kuitambuaMahakama hiyo, ikiwa nipamoja na muundo wake,utendaji wake wa kazi pamojana mipaka yake.

    Ama njia ya pili ni paleMahakama inapo anzishwahutungwa sheria maalumkwa ajili ya uanzishwaji waMahakama hiyo, kama vileilivyo sheria ya uanzishwajiwa Mahakama ya Biashara,Kazi, Ardhi.

    Hata hivyo, akasema jambohilo pia halikuzingatiwakatika mchakato huu waMahakama ya Kadhi, kituambacho akadai kuwa

    kinatia shaka kuwa Serikaliinasikiliza upande mmojawa wasiohitaji jambo hilohata kama haliwahusu, ndiomaana inataka kuwapaWaislamu Mahakama hewaisiyo na mamlaka yoyotekama yanavyota Makanisa.

    W a k a t i J u k w a a l aWakristo likipinga suala hilo,imeelezwa kuwa katika kikaocha viongozi wa Dini na

    Kamati ya Bunge ya Katibkilichofanyi hivi karibuni, Jawa Mahakama Kuu RobeVincent Makaramba, alisemumuhimu wa Mahakamya Kadhi unakuja kwkuwa Waislamu wanakoschombo cha kisheria kinach

    w a s h u g h u l i k i a k a t i kmasuala yanayowahusna kwamba haoni tatizo uanzishwaji wa Mahakamhiyo nchini.

    A ki f a f an ua , a l i s emM a h a k a m a z i l i z o pzinawahudumia Waislamkatika migogoro yao wakaMahakimu wanao hukumkesi zinazo husu imani yWaislamu hawana upejuu ya sheria za Kiis lamujambo ambalo akasema nhatari katika kutoa haki kwwahusika.

    Jaji Makaramba, ambae palisoma sheria za Kiislamkatika Chuo kimoja nchinUingereza, alisema Waislamwana sheria zao ambazkimsingi huwezi kuto

    hukumu kama hujazipitna kuzisoma ukazifahamkiufasaha.

    Hata hivyo, Jaji huyalionyesha kushangaa akihoni kitu gani kimesababishTanzania Bara pasiwepna kifungu cha sheria chkui tam bua Mah akamya Kadhi ilihali TanzanVisiwani, suala hilo lipo nlinatambulika kisheria.

    Chikawe azua mtafaruku BungeniInatoka Uk. 1

    wa jeshi hilo.Na hata Mheshimiwa

    Waziri Mathias Chikawe,a l i a h i d i k u f a n y i au c h u n g u z i t u h u m a

    kuwa Polisi wamekuwawakitumia nguvu kupitakiasi hali ambayo imekuwaikilalamikiwa siku nyingi.

    Kabla ya wabungekuanza kuchangia hojahiyo, Waziri wa Mambo yaNdani, Mathias Chikawealiwasil isha kauli yaserikali ambapo alisema,pamoja na kwamba CUFwaliwasilisha taarifa yakufanyika maandamanona mkutano wa hadharakwa ajili ya kuwakumbukawafuasi wa chama hichowaliouliwa Januari 27mwaka 2001, lakini jeshi

    la polisi liliona kuwa haliya usalama haikuwa nzuri,hasa kwa kuwepo kitishocha ugaidi, hivyo kuamuakuzuia maandamano namkutano huo.

    Alisema pamoja na Polisikuzuia maandamano hayokufanyika, Mwenyekitiwa CUF Prof. Lipumbana wafuasi wa chamah i c h o w a l i k a i d i n akufanya maandamanohuko Mbagala, jijini Dares Salaam.

    Hata hivyo alisema,serikali itafanya chunguziwa tukio hilo kuona

    i w a p o k u n a n g u v ukubwa ilitumika na iwapoitabainika, wahusikawatachukuliwa hatua.

    Wa kwanza kuchangiahoja hiyo alikuwa ni Mh.Tundu Lissu, ambayea l i s e m a j e s h i h i l olimekuwa likifanya kazizake katika utaratibu wakulinda watawala kamailivyokuwa wakati waukoloni.

    Alisema lengo kubwala jeshi la polisi la utawalakikoloni kabla ya kupata

    uhuru, lilikuwa ni kulindamaslahi ya wakolonibadala ya usalama wa raiana mali zao.

    Al isema jeshi h i lolimekithiri kwa vitendovya jinai za kuua, kutesana kupiga watu.

    Mhe. Lissu aliongezakuwa, kwa kuwa mfumowa utendaji wa jeshi lapolisi umerithiwa kutokautawala wa kikoloni,Je sh i hi lo li me en de le akupokea tu amri za kisiasakutoka kwa watawala na

    kuzitekeleza kwa maslahiya kisiasa ya watawalahao, huku raia wakiwandio wanaoumizwa.

    Jeshi letu limekuwal i n a p o k e a m a a g i z o(kutoka kwa wanasiasana) kuwaumiza watu,alisisitiza Bw. Lissu.

    Bw. Lissu aliongezakuwa haki ya kuandamanana kufanya mikutano yahadhara kwa vyama vyasiasa ni haki ya kikatiba nakidemokrasia.

    Alisema jeshi la polisi

    w a o w a n a c h o p a s wkufanya ni kutoa ulinzkatika maadamano amikutano hiyo baadya kupewa taarifa nkwamba, kama kunwasiwasi wa kiusalampolisi wanachopaswa nkuahirisha tu mkutano nkutoa nafasi ya kufanyiktena kwa muda unaofaa amahali panapofaa lakinsio kuzuia au kufuta kabismkutano au maandamanhayo.

    Alisema, sasa utekelezawa Kauli ya Waziri Mkualiyowahi kuitoa kwa jeshhilo, wapigeni tu, sasinazidi kudhihirika hivyakamtaka afute kauli yakhuku akimtaka Waziri wMambo ya Ndani nayajiuzulu kwa kutetea jinzinazofanywa na askari w

    jeshi hilo dhidi ya raia.Naye Mh. Saidi Rajabu

    alieleza jinsi jeshi hillilivyofanya mauaji kuPemba bila kuchukuliwhatua zozote.

    Mbunge huyo alitoo r o d h a y a v i j a nwaliouliwa Pemba katikyale mauaji ya Januari 22001.

    A l i s h a n g a a k u o nhata ile ripoti ya Tumy a H a s h i m M b i tiliyochunguza mauaji yahaikufanyiwa kazi.

    Waziri wa Mambo ya

    Ndani, Mathias Chikawe

    Mwenyekiti wa CUF, Prof.

    Ibrahim Lipumba.

    IGP Ernest Mangu.

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    5/16

    5 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Kimataifa

    RAIS Barack Obamawa Marekani, amesemakuwa Washington haikotayari kuingia vitani dhidiya Urusi kwa sababu yamgogoro wa Ukraine.

    Rais Obama aliyasemahayo alipokuwa ziaraninchini India na kusisitizakwam ba, v i ta ka t i yaMarekani na Urusi ni jambolililo mbali sana.

    Rais Obama amesemakuwa, inachoweza kukifanyaWashington, ni kuongezashinikizo dhidi ya Moscow nakutumia njia zote, isipokuwaile ya kijeshi.

    Marekani na nchi za Ulayaziliiwekea vikwazo Urusitangu mwaka jamna. Raiswa Marekani ameendeleakuituhumu Urusi kuwainayapatia silaha makundi ya

    upinzani yaliyoko masharikimwa Ukraine, tuhumaambazo zimekanushwavikali na serikali ya Urusi.

    Hivi karibuni Waziriwa Mambo ya Nchi za Nje

    Marekani haiko tayari kuingia vitani na Urusi- Obamawa Urusi, Sergei Lavrov,alisema kuwa njama zaWashington za kutaka

    Moscow itengwe kimataifahazitakuwa na tija yoyoteile.

    L a v r o v a l i o n g e z ak u w a , m a t a m s h i y aObama yanaonyesha

    kuwa Marekani inatakkuudhibiti ulimwengwote.(irib).

    MAAFISA wa upelelezikutoka kituo cha polisicha Mererani Kauntindogo ya Magarini ,w a m e w a k a m a t awanafunzi wa Madrasa 36na kuwashikilia kwa zaidisaa ya tano wakiwahojikatika kituo cha polisisiku nzima na kuwahojikwa takriban muda wasaa tano kisha kuwaachia

    huru.Vijana hao waliokuwawametoka katika shereheza Maulid huko Mambrui,wal ikamatwa kat ikakizuizi cha barabara cha

    Polisi washikilia wanafunzi wa MadrasaWalikuwa wakitoka maulidKanagoni baada ya polisikupashwa habari.

    Wanafunzi hao waM a d r a s a t u l I k h l a sFirqatu Muhibin, kutokaeneo la Mvita pamojana walimu wao wawili,kabla ya kukamatwa,usiku walihudhuria haaya Maulidi katika eneola Mambrui na alfajirwalikuwa safarini kwendaLamu, wakiwa na basi la

    shule walilolikodisha.Mudiri wa Madrasahiyo Ustadh Shay Yahya,alizungumza na kuelezakuwa walihojiwa kwa sikunzima na maasa wa polisi

    na kuachiwa majira ya saa11:00 jioni.

    Imeripot iwa kuwamaofisa wa usalamawalikuwa wamepatataarifa kutoka Mombasakuwa basi hilo lilikuwalimebeba watu hatarikwa usalama.

    Mkuu wa kituo chapolisi cha Mererani,W i l l i a m O y u g i ,alisema wanafunzi haowalikuwa wa kati yaumri wa miaka 20 na 35

    na baada ya kuhojiwawaliruhusiwa kuendeleana safari yao.

    Hata hivyo kunat a a r i f a k w a m b aWahubiri wa Kiislamu

    nchini Kenya wametowi to kwa s er i ka lwakiitaka iwahakikishusalama wao kutokana nkile kinachoonekana kuwni kukithiri kwa wimbla kutishiwa maishakudhalilishwa na kuuliwbaadhi ya Waislamu nviongozi wao.

    W a h u b i r i h aw a m e s e m a k u w aPolisi Kenya imekuwikitumia kisingizio chkupambana na ugaid

    kuwakamata na kuwatndani Masheikh, bilkutofautisha kati ya wawanaolingania amanna wale wanaohubirmachafuko.

    TULIKUWA na hali nzurikuliko kabla wakolonihawajaja Afrika. Hapakuwana jela, adhabu za vifo.Umewahi kusikia jelaimejengwa na mfalme waKiafrika au kiongozi waKiafrika?

    Kwa hivyo, hawana lak u t u f u n d i s h a k u h u s udemokrasia. Ingefaa kabisawasitusumbue, tufanye yetu,na wao, ya kwao. Kamawanadhani sisi ni watumwana wao ni mabwana nchiniGambia, wamekosea nasitakubali.

    S W A L I : H i v y oMheshimiwa Rais, leo vijanahapa Gambia, wengi waohawana kazi, wakijiulizakwanini wako katika halihii, hawaelekezi wote vidolevyao kwa IMF, Benki yaDunia, Umoja wa Ulaya.W a n a e l e k e z a v i d o l evyao kwako na kuuliza,Mheshimiwa Rais, kaziyangu iko wapi?

    JIBU: Sawa, hata Mwenyezi

    Mungu mtukufu aliyekuwana kila kitu, angewezakumfanya kila mtu awetajiri. Kama ukikaa chini yakutofanya lolote, utabakimasikini. Kuna propagandaza nchi za Magharibi kuwaserikali za Afrika - vijanakukosa kazi, wanazilaumuserikali za leo. Niambie kamakuna nchi yoyote dunianiambako hakuna vijana wasiona kazi. Kwa upande waGambia naweza kujiteteakwa sababu nimejengam a s h u l e m e n g i z a i d iya ambavyo Waingereza

    Yahya Jammeh, Rais wa Gambiaakiongea na Henry wa Press TVwangeweza kujenga endapowangeitawala Gambia kama

    koloni kwa miaka milionimoja. Nimefanya elimu iweni kama bure hadi chuokikuu. Tangu mwaka 1994nimewasomesha wanafunzi250,000 bila kujali mwelekeowa kisiasa wa wazazi wao.Na ninafanya elimu iwezekupatikana hata kwa mtoto wamvuvi. Ndicho ninachowezakufanya. Kama unaketi chinina kudhani kuwa huwezikuchafuka kwa sababu weweni mtu muhimu, ni tatizolako. Kukosa kazi kuko kilamahali. Hivyo wasinyooshevidole kuelekea kwanguna bila shaka miaka 400 ya

    unyonyaji unatazamia ninikatika miaka 50 ya uhuru?S W A L I : Hata h iv yo

    Mheshimiwa Rais, wakinzaniwao nchini Gambia nakwingineko na nchi zaMagharibi wanasema unayomikakati na unawajaliwatu, lakini hawako hurukikamilifu katika nchi yao.Bado unaamini katika adhabuza kifo, kama mtu ni shogainabidi akimbie nchi. Nawezakusema hii .inaharibu rekodiyako. Unasemaje?

    JIBU: Sijali wanachosema.Waafrika hawajawahi kuwa

    mashoga. Sijawahi kuonavyura mashoga. Ninao

    ng'ombe; sijawahi kuonang'ombe shoga. Ushogani hatari kwa uwepo wab in adamu. N i uch af u,hauna maadili na kinyumena Mungu. Soma Biblia naKurani. Sisi ni Waislamu natunaamini katika MwenyeziMungu na kile anachosema.Ch o ch o te an ach o s em aAllah kuwa ni haramututahakikisha kuwa niharamu. Sijali wanajisikiajekuhusu mimi. Sikuiletaadhabu ya kifo hapa. Niliikutana Waingereza waliiletaadhabu ya kifo serikalini.

    Kabla ya wako lo n i ,

    hapakuwa na adhabu yakifo katika Afrika, hujui hilo?Kaangalie historia. Niwekejambo hili wazi. Kama duniayote inalikubali (ushoga),naweza kukuhakikishiasiwezi kulikubali. Sijaliwanachosema, ninachojalin i M w e n y e z i M u n g uMtukufu anayeniona. Mimini Muislamu. Hakuna hatammoja wao anayewezakun ip e leka m o to n i aup ep o n i . B a l i n i A l lahMtukufu atakayenipelekaatakapoamua. Na ushogahautakubalika kamwe katika

    nchi hii.S W A L I : F ik i r ia kwa

    mfano mtu mwenye kipajina hata ni nasaba yako,anaka kwako anakwambia'ndivyo nilivyoumbwa.' Badoungemlaani au ungesemaMungu ni mwenye hurumana mwepesi wa kusamehe?

    JIBU: Katika kutekelezasheria sina nasaba. Nimeapakwa Kurani Tukufu kuwanitatekeleza majukumuy a n g u b i l a w o g a a uupendeleo. Na nilisemaMungu nisaidie. Sikusemanisaidieni jamaa zangu nasikusema isipokuwa jamaazangu. Nimeapa kwa sheriana Katiba ya nchi hii bila kujali

    nani anahusika. Kama rais,sina muafaka na usadi. Sinamuafaka hata kama ni nasabayangu. Na nimewapelekaba ad hi ya nd ug u za ng ujela. Sina kabrasha moja lakanuni kwa nchi nzima nakabrasha lingine kwa familiayangu, kwani sote sisi ni wa-Gambia. Siko juu ya sheria yaMwenyezi Mungu Mtukufu.Hivyo nitafurahi sana kamanikiona nasaba (wa aina hiyo)na nitaweka mfano.

    SWALI: Lakini wao wa-Gambia wengi, wengi tu;Gambia ina watu wengi

    w a n a o i s h i n j e n c h i nMarekani na Uingerezna kwingineko, na baadhwanasema hawawezi kurumradi bado wewe ni Rakwani wanaogopa watatupwkizuizini kutokana na hazao, au kwa vile wana histofauti kuhusu njia ambayGambia inaweza kufikimaendeleo. Unawaambnini watu hawa?

    JI BU : Ha wa ko nc hi nGambia, sawa, wako nje yGambia na wanasema wanhofu kurudi. Lakini wakmaelfu na maelfu ambawanarudi kila Desembkusherehekea mwaka mpyna chochote kingine. Wawanaofanya makosa ya jinahawana nafasi hapa nchinHili niliweke wazi kabisTuko wa-Gambia milionmbili na kama unatakmimi niwatoe mhanga hawa-Gambia milioni mbilustawi wao, usalama wao nutengamano, sitafanya hivyHiyo ndiyo falsafa yangu.

    W a n a w e z a k u s e mwako huru na waendelekufanya wanalotaka hukwaliko, kwani wako huruWamewakana watu wGambia, kama wanawazkuja ili kuyumbisha nchyangu, watanikuta hapa nndiyo maana wanaogopkurudi nchini hapa.

    SWALI: Mheshimiwa Raunafahamika kuwa Muislamwa dhati na Uislamu unnguvu kote barani AfrikTunaona Uislamu ukipewsura katika maeneo y

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    6/16

    6 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    JUMA lililopita tulianza namakala ya kwanza, kati yamakala kadhaa zenye nia yakujenga hoja ni kwa nini chaiya Haiiba Timamu inamfaakila mtu. Katika makala iletulianza kwa kuwaelezaw a s o m a j i w e t u k u w amagonjwa yamegawanyikakatika makundi mawili

    makuu, yaani magonjwa yakimfumo na magonjwa yakuambukiza. Tulitaja sababukuu nne zinazozalishamagonjwa ya kimfumo, nakusema kuwa miongoni mwasababu hizi ni ile inayohusuupungufu wa viini lishefulani fulani ndani yamwili ambavyo ni muhimukatika kuimarisha siha nakuendeleza maisha. Aidhatulisema kwamba kujitibukwa chai ya Haiiba Timamuni kwa kujirejeshea viinilishe mbalimbali ndani yamwili, na tukasema kuwatutazungumzia kupitiam a k a l a h i z i m a k u n d imbalimbali ya viini lishe

    vinavyopatikana katikachai hii, na faida za viinilishe hivi katika siha zetu.Tulimalizia makala yetukwa kuzungumzia kundila vitamini zinazopatikanandani ya chai ya HaiibaT i m a m u n a f a i d a y avitamini hizi katika siha. Leotutazungumzia kundi la pilila viini lishe vilivyomo ndaniya chai ya Haiiba Timamu.Kundi hili linahusisha madinilishe.

    M A D I N I L I S H E N ININI? Madini l ishe niviasili (elements) visivyovya kiorganiki (havinakiasili cha carbon ndaniyake) ambavyo hupatikana

    kwenye udongo na maji;na ambavyo vinatumiwana mimea kama sehemu yachakula chao. Wanadamuna wanyama hupata madinilishe yanayohitajika mwilinikwa kula mimea. Upungufuwa madini lishe mwilinihupelekea kuathirika kwaile michakato ya kibailojiainayosukumwa na uwepowa madini hayo na hivyokuzaa ugonjwa au magonjwayanayohusiana na upungufuhuo.

    Kwa kawaid a h uwatunatakiwa tupate madinilishe yote tunayohitaji kupitiakatika lishe. Hata hivyokutokana na mapungufu

    mbalimbali yaliyoko katikalishe zetu inatokea tukawana upungufu wa baadhiya madini lishe na hivyokukumbwa na magonjwayanayohusiana na huoupungufu.

    M A D I N I L I S H E M U H I M UYALIYOKO KATIKA HAIIBA TIMAMUTEA

    Baadhi ya madini lishemuhimu yaliyoko kwawingi katika chai hii niKalisi (calcium), Shaba(copper), Chuma (Iron),Magnesium, Phosphorous,Potassium, Zinc, Chromiumna Manganese.

    Kalisi (Calcium): Faida

    TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -2Na Juma Killaghai

    za Kalisi ni nyingi. Faidasaba muhimu ni pamojana: Kupunguza unene.Tafiti zinaonyesha kuwaulaji wa vyakula vyenyekalisi kwa wingi huongezakasi ya kuunguza mafuta

    ndani ya mwili. Inasaidiakupambana na saratani.Tafiti zimeonyesha kuwawingi wa kalisi na vitaminiD k w e n y e c h a k u l ahupunguza uwezekanowa kupata saratani hasa zakwenye utumbo mkubwa.Inapunguza hatari ya kupatakisukari cha ukubwani (typeII diabetes). Tati zinaonyeshakuwa wingi wa kalisi navitamini D kwenye chakulahupunguza uwezekanowa kupata kisukari chaukubwani, na hasa kwaw a n a w a k e . I n a s a i d i akuongeza uwezekano wa

    kupata ujauzito . Taf it izinaonyesha kuwa wingi wakalisi na vitamini D kwenyechakula huimarisha mbeguza kiume na kuondoa vizuizikwa mayai ya mwanamkekutunga mimba. Inasaidia

    kupambana na VUGUVUGUl a k a b l a y a h e d h i(Premenstrual syndrome).Hii ni hali inayowapatabaadhi ya wanawake kias icha juma moja hivi kabla yakupata hedhi. Dalili za halihii ni pamoja na chunusi,matiti yaliyojaa na kuwa laini,uchovu, kukosa usingizi,tumbo kujaa gesi, kukosachoo au kuharisha, kuumwana kichwa au mgongo, kukosahamu ya kula, au kuvamiwana uchu wa baadhi yavyakula, maumivu ya viungona misuli, kupungukiwa nakumbukumbu, kukereka

    bila sababu, na mfadhaiko.Hata hivyo dail i l i h izizinaweza kutofautiana bainaya mwanamke mmoja namwingine. Inalinda dhidi yamaradhi ya kinywa, hususanyale yanayoshambulia fizi;

    na Inasaidia kujenga mifupaimara na kukinga dhidi yamaradhi ya mifupa.

    Shaba (Copper): Faidaza Shaba ni nyingi. Faidatano muhimu ni pamoja na:Husaidia kuondoa upungufuwa chembechembe nyeupeza damu na hivyo huongezauwezo wa mwili kupambanana maambukizi. Huimarishamshikamano wa madiniyanayounda mifupa na hivyokupunguza uwezekano wamtu kupata ugonjwa wamifupa dhaifu (osteoporosis).Huboresha utendaji kazi wamishipa ya fahamu. Huondoa

    uwezekano wa kudumakatika kukua; na Hupunguzuwezekano wa kuchujukkwa rangi ya nywele nngozi.

    Chuma (Iron): Faida zChuma ni nyingi. Faidtano muhimu ni pamoja nKutengeneza chembechembn y e k u n d u z a d a m(Hemoglobin). Kufanykazi kama kibebaji ch

    gesi ya oxygen na husaidkusafirisha oxygen kaya seli moja ya mwili nnyingine. Husaidia utendakazi wa misuli. Chumni kiambata muhimu chprotini aina ya myglobiinayopatikana kwenymisuli. Protini hii huchukuo xygen kuto ka kat ikhemoglobin na kuisambazkatika maeneo yote ya msu. Kitendo hiki kinahitajikili misuli iweze kukaza nkukunjuka. Husaidia afya yubongo. Ubongo unahita20% ya oxygen yote iliyokmwilini. Chuma husaidd am u kuweza kubebkiasi kikubwa cha oxygena kwa hivyo husaidikutunza afya ya ubongo; nHusaidia dhidi ya upungufwa damu (anemia) nmagonjwa yanayohusishwna upungufu wa damkama uchovu, udhaifu wmwili, maumivu ya kichwongezeko la hisia kali dhiya baridi, na baadhi ymagonjwa ya go.

    Magnesium: Haya nmadini yenye faida nyins a n a m u h i m u k i a f y aMadini haya yanahitajika kusukuma zaidi ya michaka300 ya kibailojia na kikemndani ya mwili. Baadhi yfaida hizi ni pamoja na: Payanapotumika pamoja nmadini ya kalisi husaidku jen ga up ya m if upiliyodhoofika kutokana nkupoteza madini ya kalisMadini haya hupunguzhatari ya kukumbwa nugonjwa wa shambulio moyo. Na kiharusi. Husaidkuratibu shinikizo la dammwilini. Husaidia kuzukisukari cha ukubwani nkatika matibabu ya kisukahicho. Tafiti zinaonyeshkuwa magnesium husaidkatika uchakataji wa wangna na katika utendaji kazi whomoni ya insulin kwa namnambayo hufanya kiwango chsukari kwenye damu kuwndani ya wigo unaokubalikMagnesium husaidia katik

    kutibu maumivu endelevu ykichwa (migraines) , kukousingizi na mfadhaikona Magnesium hutibu pmaradhi ya kiakili kama hofisiyo na sababu, msongo, nwasiwasi.

    Phosphorous: Haya nmadini yenye faida nyinmuhimu kiafya. Baadhi yfaida hizi ni pamoja na: Sihya mifupa na meno. Madihaya hufanya kazi pamona kalisi kuimarisha meno nmifupa. Kuoza kwa meno nmagonjwa ya zi ni miongom wa d al i l i kubwa zupungufu wa phosphorou

    MOJA ya matibabu yameno yanayopendwas a n a n a m a d a k t a r iwa meno, pamoja nawagonjwa wao, ni yaleyanayojulikana kitaalamukama root canal. Kwaupande mmoja matibabuhaya yanapendwa namadaktari kwa kuwa ni yagharama kubwa, na hivyoyanamhakikishia daktarifursa ya kutengeneza helanzuri. Kwa upande wawagonjwa, wanayapendakwa kuwa aghalabum gon j w a a n a p on a jino lake (hasikii tenamaumivu) moja kwamoja.

    Root canal ni mferejimwembamba sana ambaounapita katikati ya jinohadi pale mzizi wa jinolako ulipojikita kwenyetaya . Kwa kawaida ,meno ya mbele yanamfereji mmoja, na yale

    ya nyuma na pembeniyana mifereji miwili .Ji no le ny e af ya nj emalinakuwa na huu mferejiukiwa umezungukwa natishu (tissue) hai ya rangiya pinki yenye vimirijavingi vodogo vidogo vyadamu. Tishu hii pamojana mishipa yake yadamu vinaizunguka nevakuu ambayo inatambaakatikati ya mzizi waji no hadi kwen ye ta yaambako inaungana naneva zingine.

    Aghalabu neva hii

    Jino mfu kinywaniTambua ulipolala mzizi wa ftna

    Na Juma Kilaghai inaposhambuliwa namaambukizi, mgonjwaanapata kiwango fulanicha maumivu, ambachok i n a m f a n y a a t a f u t emsaada kwa daktari wameno. Uozo wa aina hii nitofauti na ule uliozoelekaambao mara nyingi athariyake huishia kwenye fupala jino, na hauna maumivu

    kwa kuwa hauhusishineva.Matibabu ya root canal

    yanahusisha kufanyau p a s u a j i m d o g o w akuondoa mshipa wa nevailiyoathirika pamoja natishu inayoizunguka, nakukubakishishia jino lakokinywani likiwa mfu.Kimsingi kinachofanyikawakati wa upasuaji nikwamba daktari anaondoaneva iliyoathirika, na kishaanasafisha eneo lote lamfereji ilimokuwa nevahiyo. Kwa kawaida eneohili nalo kwa kiasi fulanilinakuwa limeathirika.Baada ya hapo sehemuya ndani ya jino lakoinatakaswa kuondoavijidudu (disinfected), nakujazwa kwa aina mojaama nyingine ya malighaza kuzibia matundu yameno, na kisha kufungwakabisa. Kwa kawaida jinohilo huvikwa pia taji kwanje.

    Faida kubwa ya upasuajihuu ni kwamba j inolinabaki kinywani kwakona hakuna ulazima wakulitoa. Hii inalifanya jinohili liendelee kukusaidia

    kutafuna na kuendeleakuboresha tabasamu lako!Kwa upande wa hasarani kwamba sasa umebebajino mfu kwa kuwa tishuhai pamoja na mishipa yadamu iliyokuwa kwenyetishu hiyo ambayo ilikuwana kazi muhimu ya kuletaviini lishe na virutubishovingine kwenye j ino

    imeondolewa. Na hapandiko ulipolala mzizi watna!

    T a t i z o k u b w a l amatibabu ya root canalni kwamba athari zauharibifu unaosababishwana matibabu haya ninadra kuweza kuonekanakwenye eneo halisi latukio. Hali hii tunawezatukaifananisha na ile yaathari za madini ya zebakiyanokuwepo kwenyeamalgams, au metaliya nikeli inayokuwepokwenye baadhi ya matajiya meno. Hata hivyo,kuhusiana na zebaki aunikeli walau tunajua kuwamadini haya ni sumumbaya kwa miili yetu; natuna uwezo wa kujua vituhivi vimetuathiri kiasigani kwa kufanya vipimo.Tofauti na zebaki na nikeli,athari mbaya za root canalni vigumu sana kujuazitakapojitokezea.Kunakitabu kinaitwa The RootCanal Cover-UP ambachom w a n d i s h i w a k e n idaktari bingwa wa meno,Dr. George E. Meinig. Dk.Meinig ameandika kitabu

    Inaendelea Uk. 7 Inaendelea Uk.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    7/16

    7 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -2Inatoka Uk. 6Huongeza ubora wa usagajichakula tumboni na wepesiwa kupata haja kubwa.Husaidia kuondoa uchovumwilini. Husaidia katikauratibu wa uzalishaji wahomoni, ikiwa ni pamoja nazile zinazohusiana na afyaya uzazi. Kupata kiasi chakutosha cha phosphoroushuongeza uwezekano wa

    kupata ujauzito na mimbakuwa salama. Uzalishajiwa protini. Phosphoroushuhusika na mchakato wakuzalisha protini ndani yamwili. Protini ni muhimukatika kuhakikisha siha yaseli. Seli zinapoharibikahuhitaji kujikarabati nakuunda seli nyingine.Uwepo wa phosphorousna protini huwezesha zoezihili kufanyika kwa weledi;na Utendaji kazi mwananawa ubongo. Phosphorous

    ni miongoni mwa viini lishevinavyopatikana kwa wingindani ya seli za ubongo. Hiiina maana kuwa ili ubongoufanye kazi vizuri mwiliunahitaji kuwa na kiasi chakutosha cha phosphorous.

    (Itaendelea).

    K W A M A E L E Z OZ A I D I W A S I L I A N ANA WATENGENEZAJIWA CHAI HII, YAAINIHERBAL IMPACT, KWASIMU NAMBA: 0754281131;0655281131; 0686281131;N A 0 7 7 9 2 8 1 1 3 1 A UWATEMBELEE OFISINIKWAO:

    M O S Q U E S T R E E T ,NO.1574/144, KITUMBINI,D A R E S S A L A A M

    (MKABALA NA LANGOK U U L A K U I N G I L I AMSIKITI WA SUNNI)

    Chai ya Timamu sasainapatikana katika baadhiya mikoa. Mawakala wetu

    katika mikoa husika ni:

    TANGAABDALLAH MWARABUSIMU: 0783-290921/0658-

    290921B A R A B A R A Y A 12 ,

    JIRAN I NA MSI KITI WAIBAADH

    TANGA MJINI

    MOROGORODOTTO MALENDA0715-282331MTAA WA KARUME

    (MKABALA NA MASJIDHAQ)

    MOROGORO MJINI

    MWANZASUBIRA OMAR MIDOLE0716969494

    YOTE MAISHA STORE,PENDA STREET, KIRUMBASOKONI

    MWANZA MJINI

    ZANZIBARSULEIMAN KHAMIS0777867178MASJID MUZHAMIL,

    DARAJANI

    ZANZIBARARUSHAMZEE MAGOMBA0764006630/0784546581

    A L M U N A W ASHOPPING CENTER

    BONDENI ROAD,ARUSHA MJINI.KILIMANJAROM A M A A S H

    KILLAGHAI MSHANA0754309908/0784309908SOWETO (KARIBU N

    BIBLE SCHOOL),MOSHI MJINI

    IRINGASHAIBU DADI NDINDA0787-007218MSIKITI WA IJUMAA

    MIYOMBONI,IRINGA MJINI.RUVUMAM A M A Z A B I B

    NANDANJE0782-247101SONGEA MJINIPEMBASALIM JUMA HARUNI0777-432331WETE, PEMBA.

    Jino mfu kinywaniInatoka Uk. 6hiki kufuatia uchambuzialioufanya kwenye taarifa

    ya utati ulioendeshwa nadaktari bingwa mwinginewa meno, Dk. Weston A.Price, ambaye aliongozakundi la watafiti 60 katiya mwaka 1900 na mwaka1925. Katika utafiti huuambao ulichukua zaidiya miaka 25, Dk Pricena kundi lake walifanyamajaribio kwa wanyamawa maabara zaidi ya 5,000na mwisho kuandaa ripotiiliyokuwa na kurasa 1,174zikiwa katika mkusanyikowa juzuu (volumes) mbili.

    The Root Canal Cover- Up au UdanganyifuK a t i k a M a t i b a b u y aRoot Canal (kwa tafsiriisiyo rasmi) ni kitabuk i n a c h o e l e z e a j i n s imatibabu ya root canaly a n a v y o w e z a k u w achanzo kibaya sana chamaradhi mengine ya hatarisana mwilini. Kwa mujibuwa kitabu hiki, utati wa DkPrice na wenzake uliwezakuthibitisha pasi na shakakuwa hata daktari anayefanyaroot canal angejitahidi vipi,asingeweza kutakasa eneola upasuaji aliofanya nakuondosha vijidudu vyotevya maambukizi. Sababukubwa ni kwamba kila jinolina mtando mkubwa wavibomba (tubules) vidogovisivyoonekana kwa macho,ambavyo vimesambaa kilamahala kwenye jino.

    Kazi ya vibomba hivipale jino linapokuwa hai,ni kusafirisha kimiminikakinachobeba viini lishe nahewa ya oksijeni kwa ajili yakuvisambaza katika maeneoyote ya jino. Inakisiwakuwa urefu wa vibombahivi iwapo vitaunganishwakimoja hadi kingine nakunyooshwa, ni wastaniwa maili tatu!

    Maambukizi kwenyejino yanapokuwa yamekakwenye vibomba hivi, nijambo lisiloepukika kuwakiasi fulani cha bakteriak i t a k u w a k i m ez a m andani sana kiasi cha

    kutoweza kufikiwa nakitakasaji (disinfectant)cha aina yoyote ile. Hiiina maana kuwa baadaya matibabu ya root canalkukamilika na jino lakokuzibwa, bado kutakuwana kiasi fulani cha bakteriakitakuwa kimebaki ndaniya vibomba tulivyotaja,huku kikiwa hai. Sasa kwakuwa upasuaji uliofanyikaumetuulia jino letu, inamaana kuwa hakutakuwatena na kimiminika kwenyevibomba hivi ambachokitaendelea kusambazaviini lishe pamoja naoksijeni. Bila kimiminika

    hiki hakuna njia mbadalaya kukisha viua vijasumu(anti biotics) kwa haobakteria waliofungiwa ilikuwaua.

    M u h i m u z a i d i n ikwamba kwa kukosekanakimiminika katika hivivibomba ina maana kuwasasa hakuna pia njia yakusarisha oksijeni ndaniya mtandao wa vibombahivyo. Hii ina maana kuwabakteria waliofungiwa ambaowalianza kama bakteriawa kawaida wanaotumiaoksijeni kujizalishia nishatiwan ayo h i ta j i ( aero bicbac ter ia) , kat ika kuj ihamiwanaweza kubadilika na

    kuwa aina ya wale bakteriaambao hawahitaji oksijeni ilikuishi (anaerobic bacteria).Kwa bahati mbaya sanani kwamba bakteria wasiotumia oksijeni wana uwezowa kuzalisha sumu mbayasana na zenye madharamakubwa.

    Dk. Price aligundua kuwaba kt er ia wa na of un giwandani ya jino ba ad a yamatibabu ya root canal,wanazalisha sumu mbayaambayo huchujuka nakutoka nje ya jino husikana kuingia kwenye tishuzinazopakana na jinomfu hilo. Sumu hizi

    zikishaingia katika tishuji ra ni , ki na ch of ua ta nikuingia kwenye mzungukowa damu na kusarishwakupitia mzunguko huokwenda katika maeneombalimbali ya mwili!

    Dk. Pr ice a l i fanyaugunduzi huu baaday a k u p a t a m a s h a k akuwa kuna uwezekanomagonjwa sugu ya baadhiy a w a g o n j w a w a k eyalitokana na meno yaoyaliyokuwa yamefanyiwamatibabu ya root canal.Kuondoa mashaka yakealingoa baadhi ya menohayo na kuchukua vipande

    vidogo vya meno hayo nakuviingiza chini ya ngoziya sungura waliokuwah a i . B a a d a y a s i k uchache alishangaa sanapale alipogundua kuwasungura wale walikuwaw a m e a n z a k u u g u amagonjwa yaliyokuwayanafanana sana na yaleya wagonjwa wake!

    Kwa mfano, Dk Pricealigundua kwamba kamaakichukua kipande chaji no li li lo fa ny iwa ro otcanal kutoka kwa mgonjwaaliyepatwa na shambuliola moyo (heart aack), nakukiweka chini ya ngoziya sungura, sungura huyo

    alikuwa anakufa baada yakiasi cha siku 10 hivi kwashambulio la moyo. Kitucha ajabu ni kwamba DkPrice aliona kuwa kwakutumia kipande hichohicho kimoja aliwezakurudia zoezi hilo hadiwakaka sungura 30!

    Kitu cha kushangazaz a i d i n i k w a m b as h a m b u l i o l a m o y ol i l iwakabi l i sungurapale tu kipande cha jinowalichowekewa kilipotokakwa mtu aliyekumbwa nashambulio la moyo. Kamakipande hicho kilitokakwa mtu aliyekabiliwa na

    ugonjwa wa go mathalani,sungura hao nao waliuguaf i g o , n a k a d h a l i k a !Kwa mfano, Dk. Pricealikutana na mwanamkem m o j a m g o n j w aaliyekuwa anakabiliwana ugonjwa mkali wajongo (arthriti s) . Baa daya uchunguzi aligunduakuwa mwanamke yulealikuwa na jino lililowahikufanyiwa root canalkinywani. Dk. Price alilitoaji no hi lo na ku ch uk uakipande kidogo ambachoalimwekea sungura. Ndaniya masaa 48 sungura yulealikumbwa na jongo kali

    kiasi cha kumtia ulemavu(crippling arthritis); nayule mwanamke akaanzakupata nafuu kubwa!

    K u p i t i a m a ja r i b i oyake Dk Price aligunduak u w a k u l i k u w a n amagonjwa mengi suguya kimfumo ambayoyalikuwa yakichochewana meno yaliyofanyiwaroot canal, hususan yaleyaliyohusiana na moyona mzunguko wa damu.M a g o n j w a m e n g i n eambayo tati za Dk Priceziliyahusisha na menoyaliyofanyiwa root canalni pamoja na jongo za ainambalimbali, magonjwa ya

    mfumo wa neva, na hatamagonjwa yanayohusumfumo wa uchakatuajichakula (digestive system).Kwa maelezo ya kinakuhusu ugunduzi wa Dk.Price ni vema ukatafutakitabu cha Dk. Meinig, TheRoot Canal Cover-Up.

    Mmoja wa madaktariambaye amechukua tishiola root canal kwa dhatikubwa ni Dk Josef Isselswa Ujerumani, ambayeni daktari bingwa wakutibu saratani mwenyesifa ya kimataifa. Kamasehemu ya matibabuyake, Dk. Issels huagiza

    kuwa wagonjwa wakwote waondolewe menyao ambayo yamewahkufanyiwa root cana

    Inasemekana ndani ymiaka 40 ya kutoa tibDk. Issels amewahi kutibzaidi ya wagonjwa 16,00wa saratani na hakundaktari ambaye amewahk u p a t a m a f a n i k imakubwa kama yeye kwwagonjwa waliokuwa nsaratani zilizopea (latstage terminal cancer).

    Katika kitabu chakeCancer- A second OpinioDk. Issels anaelezea jinmeno mfu kinywanyanavyozalisha summ b a y a i n a y o i t wthioethers ambayo inuwezo mkubwa sana wkuchochea kuibuka kwsaratani ndani ya mwili.

    Swali la msingi ambalbaadhi ya watu wanaulizni je: Kwa nini baadhi ywatu wana afya njema nhawana dalili yoyote ymaradhi na ilhali wanmeno mfu vinywanmwao?

    Tabibu mmoja wa tibmbadala amelijibu swahili kwa kusema:

    Matibabu ya root canni kama mkopo wa benkPale ambapo una fedha zkutosha kulipa kiasi chmarejesho kinachohitajikkila mwezi, hakuna tatiz

    Lakini pale unapoishiwna kushindwa kufanymalipo unayotakiwa kimwezi, uko ndani ymatatizo makubwa!

    Kwa maneno menginkama kinga zako za mwiziko vizuri, basi root canazebaki, nikeli, nakadhalikzinaweza kushindwkukusababishia madharwazi ya kiafya.

    L a k i n i j e , k a t i kulimwengu wa leo uliojavyakula hatari, msongmwingi, ni wangapi wenykinga imara za mwili?

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    8/16

    8 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    BAADA ya zile habari zautata katika lile shambuliola Charlie Hebdo kwambakulikuwa na watu juu yapaa wakichukua picha nakwamba askari anayedaiwakupigwa risasi ya kichwahaonyeshi kutoka damu,

    watu wamechambua pia liletukio lililodaiwa kuwa kijanaAmedy Coulibaly alitekanyara duka la Myahudi karibuna lango la Vincennes, Januari8, 2015 saa 11.15 jioni.

    Katika video ya uchambuziinayosambazwa sasa katikamtandao, wanaonyeshwakundi kubwa l a as kar iwakiingia katika lango la dukahilo, kisha wanapiga risasimfululizo lakini haionekaniw a n a p i g a n i n i . B a a d a eanaonekana anayedaiwakuwa gaidi aliyeteka nyara.Gaidi mwenyewe anaonekana

    kafungwa mikono. Anaachiwaatembee kuelekea waliko askariwengi, anapowakaribia, ghaarisasi zinarindima kila mmojaakijitahidi kumpiga kwa karibuna kupata shabaha.

    Umeona video ya shambuliola kuteka nyara duka? Polisimmoja aliingia, akiwa na ngao,kulinda eneo la kuondokeamaosa. Wengine dazeni mojawa polisi wakihitaji kutokahuku wakipiga risasi. Kwakuanzia, tukumbushe kuwakuzuia risasi za mteka nyara.Dhidi ya nani wangekuwawanapiga risasi polisi wote

    hao?Anasimulia mwandishi

    anayechambua picha za videoza tukio hilo. Kisha anasema:

    Tuangalie....Tuangalie...hata mmoja hamgusi...Bayazaidi ni kuwa yeye, hapigirisasi yoyote.

    Anayaeleza hayo hukuanayedaiwa kuwa gaidimtekaji nyara akionekanakwa mbali. Baada ya kuwapolisi wamepiga risasi ovyo,mtuhumiwa anaonekana kwambali anakuja, lakini hakunaanayempiga risasi. Na yeyehaonyeshi kuwa na silaha na

    hivyo harushi risasi.Lakini la kutisha zaidi bado

    linakuja. Hujaona lolote wakatiwa kuuawa mtekaji nyara?

    Anahoji msimuliaji akitakamtizamaji awe makini zaidikutizama pale inapodaiwakuwa ndio gaidi anauliwa.

    B a d o h u j a o n a k i t u ?Mwanzo nilijiuliza, kwaninihawaonekani kumpiga risasi?

    Mwangalie mtekaji Nyara.MwangalieMikono yakeimefungwa. Tuangalie tenahiyo video. Mikono yakeimefungwa.

    Ndugu wapendwa WakristoMchezo wenu mauti kwetu

    Na Omar Msangi

    Msimuliaji anasema hukuakichezesha picha hiyo, mbele,nyuma, kwa kasi na taratibu ilimtizamaji aone na kuhakikishakuwa aliyedaiwa kuwa gaidialiyeshikilia watu kwa sikutatu mfululizo chini ya mtutu,alikuwa amefungwa mikono.Picha inaonekana kijana huyoamefungwa mikono.

    Inavyoonyes ha ki j anahuyo anayedaiwa kuwa nigaidi alikuwa amefungiwamahali, kisha anaachiwa kuwa,nenda. Anaonekana akijaakitembea. Lakini amefungwamikono. Anapowakaribiaaskari, anapigwa risasi nakudondoka akirusha mikono

    juu iliyofungwa na kuonekana

    vizuri kabisa kuwa imefungwBaada ya kutizama pich

    hizi, baadhi ya waandishna wachambuzi wa mambwanasema, haya yalikuwmauwaji, sio utekaji nyarwala kupambana na gaidWalichofanya polisi ni mauwaya mtu anayeonekana kutokuwna hatia, kisha wakamtangaz

    kuwa ni gaidi.Sasa huyu ndiye tuliambiwkuwa ni gaidi na kwambmkewe ametorokea Syria nWafaransa kuachiwa danganytoto ya Samantha wao, HayaBoumeddiene. Na tunaambiwkuwa dege la kivita la Ufaranstayari limeelekea Syria tayakwa kumsaka. (Tazama: CharlHebdos Observez voyes vous lmeme chose? Donnez votre avdans le respect.)

    Mwezi Mei mwaka jan2014 alijitokeza Bwana mmojkatika televisheni za Marekanakijitaja kwa jina la Habil

    Adamu. Bwana huyu katiksimulizi zake alidai kuwalipigwa risasi kutoka bundukaina ya AK-47 risasi ikapitipuani na kutokea kisogonNani alimpiga? Alidai kuwni Boko Haram. Na kwamb

    baada ya kupigwa risasi hiyalikaa kwa masaa manan(8) bila ya kupata msaadkwa sababu mkewe alipotokkwenda kutafuta msaada kwmajirani, alikuta wote nawashauliwa na Boko Haram.

    Habila Adamu, kutokNigeria Kaskazini anadai kuwmnamo Novemba 28, 2012, satano za usiku, Boko Haramwalivamia nyumbani kwakwakiwa wamevaa kanzu nkufunika nyuso zao.

    Habila Adamu alidai kuwBoko Haram hao walimwambkuwa wamekuja kufanya kazya Allah ambayo ni kumuuwkwa vile amekataa kuwMuislamu.

    Upo tayari kufa kamMkristo? Alidai Habila kuwaliulizwa hivyo na akawajibkuwa yeye ni Mkristo nhaogopi kufa ndio wakampigrisasi huku wakisema: Allah

    Akbar.Inadaiwa kuwa akiwhospitalini, ndipo alipokutanna Mbunge mmoja kutokMarekani ambaye alimchukukwenda naye Marekani ndipakaandaa fursa kwa yeykuongea na wabunge pamojna kwenda kutoa ushuhudwake katika Ikulu ya Marekanna kule akawaambia:

    I am alive because God wanyou to have a message. I have message to everyone that will heamy story. Do everything that yo

    Inaendelea Uk. 1

    Picha mbalimbali za Habila Adamu, kutoka Nigeria Kaskazinianayedai kupigwa risasi ya pua na Boko Harram.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    9/16

    9 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    K U F U A T I A k u a n d a l i w amuswada wa sheria unaohusuMahakama ya Kadhi, chombokikubwa kabisa cha Umoja waMakanisa nchini, Jukwaa laWakristo Tanzania, kimetoak a u l i k u p i n ga m u sw a d ahuo. Hapana shaka upingajihuo, hautapokelewa vyema

    na Waislamu. Viongozi wajumuiya na taasisi mbalimbaliza Kiislamu, nao watakuwawanatafakari na pengine kutoamatamko kujibu kauli hiyo yaviongozi wa Kikristo.

    K u b w a k a t i k a h o j a z aviongozi wa Kikristo ni kuwahuo utakuwa ubaguzi wa kidini.Serikali itatumia pesa za ummakufaidisha Waislamu na kwambahiyo itakuwa sawa na serikalikuanzisha na kuendesha taasisiza Kiislamu kinyume na Katibaya nchi. Si nia yangu kuchambuana kuangalia uzito wa hoja zaviongozi wa Kikristo, lakininadhani tatizo juu ya mahusiano

    baina ya Waislamu na Wakristokatika nchi hii, ni makubwa zaidina yanayoathiriwa na unaoelekeakufanywa kuwa msimamo namtizamo wa kimataifa. Hili lakupinga Mahakama ya Kadhi,sambamba na lile la kupinga OIC,ni vielelezo tu vya tatizo la msingi,ambalo ni kubwa ila halijapatafursa ya kuelezwa likaeleweka nahatari yake kuwekwa wazi. Hilindilo nahangaika nalo.

    Lipo jarida moja la Kikristolinalosambazwa nchini, likipewajina la. MUINJILISTI litolewalona Life Challenger Africa, likiwana osi zake Dodoma na Nairobi.Ifuatayo ni nukuu katika jaridahilo:

    K U Z U N G U M Z AK U K U H U S U W E W E N AWAISLAMU Hilo ndilo swalamaalumu tunalozungumza katikatoleo hili: KUKUHIMIZA uwakieWAISLAMU waliokaribu nawewaujue upendo wa Mungu.

    Baada ya wito huo kwa wasomaji,sasa Jarida linawafahamishawasomaji, wawajue Waislamu.

    Katika ukurasa wa 12. Kunakibonzo (katuni) cha sokwe,aliyekaa akiwa ameshikilia ndiziiliyomenywa nusu, na amefunguam d o m o w a k e . N a k u n amchungaji Mzungu kwa nyumayake aliyecheka, na kunyooshamkono uliokunjua kiganja chake

    kuashiria dharau; na kuandikwamaneno haya:- M f a n o I G I Z O L A

    KUSISIMUA. Ndiyo nafasiya sokwe a i twaye Mickeykuwaamsha watazamaji wakewote wamshangilie kwa kichekokikubwa na makofi. Alipofikiamlango wa jengo lenye mfanowa kanisa hali amevaa kanzu,alivua viatu vyake kwa uangalifuna kuviweka kwenye ubao kablaya kusogelea bakuli ya kunawia,ambapo alijitupia maji mengikichwani, mikononi na miguuni.Baada ya kumaliza utaratibu huoaliingia ndani ya kanisa, akajilaza

    Haya ya Mahakamaya Kadhi ni madogo

    Yapo mengine mazito ya kutishaNi zaidi ya Crusade, Vita ya MajimajiWapambe wa akina Chris wasaidiweYawezekana hawatambui watendalo

    Na Omar Msangi

    kifudifudi mara kadhaa, akiwekamikono yake nyuma ya kichwachake alitamka sauti fulani kablaya kulala kifudifudi tena.

    Hatimaye kwa furaha, akiwaamekamilisha igizo lake vizuri,

    alivaa viatu na kukaa chiniakitafuna ndizi iliyokuwa thawabuyake, baada ya kuonyesha waziji ns i al iv yo ku wa na bi di i yapekee kabisa katika dini yake.Ni vema kwamba tendo hilohalikufanyika siku yoyote. Watuwengine wangechukizwa sana naigizo hilo. Si kusudi letu kuumizamtu yeyote. Sisi kama Wakristotunapaswa kuheshimu dini zawengine na taratibu zake.

    Lakini bila shaka ingewezekanakumfundisha sokwe kuonyeshatabia ya uchaji katika igizo. Maanayake ni nini? Ni ajabu jinsi watuwanavyojidanganya wenyewe

    pamoja na watu wengine wakikirikwamba wanampendeza Mungukwa kufuata taratibu za kidini tu.Je, huonyesha kujitoa kweli kwamoyo? Je, Mungu atakubali ufuasiwa taratibu za dini zinazokuwa

    mazoea ya kutekeleza pasipohata kukiri utakatifu na ukuuwa Mwumbaji wetu? Amuamwenyewe.

    Katika kibonzo hiki, nyaniM i c k e y a l i y e v a a k a n z uanawakilisha Waislamu. Jengolenye mfano wa kanisa, ni Msikiti.Alivua viatu vyake kwa uangalifuna kuviweka kwenye ubao kablaya kusogelea bakuli ya kunawia.Bakuli la kunawia, maana yake nimahali pa kutawadhia. Ambapoalijitupia maji mengi kichwani,mikononi na miguuni. Maanayake, alitawadha. Akajilazakifudifudi mara kadhaa, akiweka

    mikono yake nyuma ya kichwchake alitamka sauti fulani kabya kulala kifudifudi tena. Maanyake hapo anaigiza alichodai kuwndivyo Waislamu wanavyoswana kumuomba Mungu. Hatimaykwa furaha, akiwa amekamilishigizo lake vizuri, alivaa viatna kukaa chini akitafuna ndiziliyokuwa thawabu yake, baada ykuonyesha wazi jinsi alivyokuw

    na bidii ya pekee kabisa katikdini yake. Maana yake hapa nkuwa, kama ambavyo nyanMickey kaambulia ndizi kuwndio thawabu yake, Waislamu nahawana kitu katika ibada zao, sansana wataambulia ubwabwa kamwanakula ubwabwa Misikitinkama nyani Mickey alivyoambulndizi kama thawabu yake.

    Tizama ajabu ya watu hawna jarida la Muinjilisti, hebwasikilize:

    Si kusudio letu kuumizmtu yeyote. Sisi kama Wakristtunapaswa kuheshimu dini zwengine na taratibu zake.

    Wanawafananisha Waislam

    na nyani Mickey mla ndizi akiwkavaa kanzu na kutawadha, halafbado wan asem a hawak usudkumuumiza mtu yeyote! Hivwanawachukulia Waislamu kuwna ujinga wa kilo ngapi kiasi chkutokuelewa kejeli na matuhaya?

    Kisha wanawaambia Waislamkuwa ni watu wa ajabu kwa jinwanavyojidanganya wenyewpamoja na watu wengine wakikikwamba wanampendeza Mungkwa kufuata taratibu za kidintu zinazokuwa mazoea ykutekeleza pasipo hata kufikiutakatifu na ukuu wa Mwumbawetu?

    N i k w e l i , m a a d h a lmmewafananisha na nyani, tanglini nyani akawa na akili ya kukina kutambua Ukuu wa Mungu?

    Mahali pengine katika kijaridhicho wanasema kuwa Waislamwote ni wajinga kwa sababpamoja na kuwa wamesambaziwB i b l i a p o p o t e w a l i p o nwachungaji wanapaza sauti zakuhubiri kila mahali, lakini badhawajaritadi.

    Kila mwaka serikali yetimekuwa ikitoa mabilioni ypesa kuzipa taasisi za Kikristkupitia MoU. Lakini hata kablya kusainiwa hii MoU mwak1992, serikali ilikuwa ikichotpesa katika hazina ya serika

    inayochangiwa na wananchi wokwa ajili ya kuendesha taasiza makanisa. Kwa mujibu wtaarifa ya aliyekuwa Katibu Mkuwa Baraza la Maaskofu FatheRobinson, hadi kufikia mwak1965, bajeti za kuendesha taasisi zKikristo ikiwa ni pamoja na shuzao, zilikuwa zikitegemea peskutoka Hazina ya Serikali (Taifakwa asilimia mia moja (100%Ndio maana akasema kuwa laserikali itakata mrija huo, itabidmakanisa yafunge shule zakUkirejea nyuma utakuta kuwserikali ya Kikoloni ya Kiingerez

    Inaendelea Uk. 1

    AMERICAN Sniper, ikiwa na maana ya Mdunguaji wa Kimarekani(askari wa kuuwa kwa kulenga shabaha kutoka mbali)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    10/16

    10 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala/Tangazo

    Inatoka Uk. 8

    Ndugu wapendwa WakristoMchezo wenu mauti kwetu

    can to end this ruthlessreligious persecution innorthern Nigeria.

    K w a m b a e n y iW a m a r e k a n i , e w eB a r a c k O b a m a ,Pentagon na wakuuwa jeshi, fanyeni kilaliwezekanalo na harakas a n a k u w a n u s u r u

    Wakristo wa Nigeriawanaoangamizwa naWaislamu! Huo ndioujumbe wa Habila kwaBunge la Marekani,W h i t e H o u s e n aPentagon.

    Kwa mujibu wa taarifaza ABC News Radio,

    baada ya maelezo yaHabila Adamu katikaBunge la Marekani,ndipo Wizara ya Mamboya Nje ya Marekani(U.S. State Department)i l ichukua hatua yakulitangaza kundi laBoko Haram kuwa ni

    kundi la kigaidi.Lakini labda tufanye

    uchambuzi kidogo:Ri s as i kutoka AK-47 inaingilia puanina kutokea kisogoni,lakini kichwa kizimana Habila Adamu yuhai!!! Tizama pichazilizoambatanishwau o n e . K a t i k a h a l iya kwaida, kichwakilichofumuliwa kwarisasi ya AK-47 chawezakuwa kama hicho chaHabila Adamu wetu?

    Katika Filamu yaTurning Pointambayo

    nilikuwa MwongozajiMkuu (Director) katikakuandaa filamu hiyo,tu l i m fanyi a m ake-up, mchezaji mmojaaonekane kama kapataajali mbaya ya gari.Mchezaji huyo BakariMakuka (Beka) alitumap i c h a h i z o k a t i k awasapu. Haikupitam u d a , z i k a a n z akusambaa habari kuwaBeka huenda ikawaInnalillahi wanainnailaihir rajiuun. Watuhawakuamini kuwayale yalikuwa majeraha

    ya kutengeneza.K w a w a n a o j u amambo ya make-upkatika lamu wataonakuwa l i na l oda i wakuwa jeraha la risasini jeraha bandia lakutengenezwa.

    Kwa nini Habi laanatumiwa kufanyayote haya? Lengo nimambo mawili. Mosi,k u p a z a k i l i o k w awalimwengu kuwaNigeria kuna Waislamuk a t i l i w a l i o p a n i akuangamiza Wakristo.

    Na pili kutoa wito kwajumuiya ya kimataifa(Marekani) kuwashukiaWaislamu kwa hasira.Hilo linadhihirishwa nakauli yake anayosema:

    Do everything you can toend this ruthless persecutionin Northern Nigeria.

    Kwa mujibu wa taarifaya Associated Press (AP),Habila alipewa fursa ya

    kutoa ushuhuda wakekatika Bunge la Congressla Marekani. Na ndio haoanaowaambia kwambawafanye kila wawezalokuja Nigeria kuwaokoaWakristo.

    K w a W a k r i s t owanaotumiwa kamaHabila Adamu, wanawezawasione ubaya wa mchezowanaofanya penginekutokana na mapesawanayopewa na penginekwa kutokana na chukizao dhidi ya Waislamuwakaona kuwa hiyo nifursa ya kuwabamiza

    Waislamu. Lakini hebutulitizame suala hili kwaupande mwingine.

    Katika lile tukio laWestgate, Nairobi Kenya,tuliambiwa kuwa takribaniwatu 67 waliuliwa. Nakama si wote, basi wengiwao walikuwa Wakristokwa sababu tuliambiwakuwa kulikuwa na zoezi lakuwatambua watu dinizao, kisha wanaojulikanakuwa ni Wakristo ndiohuuliwa. Katika tukio laMandera ambapo abiria

    29 waliuliwa, tunaambiwakuwa magaidi walikuwawakiwatambua Wakristona kuwaweka kando,ndio wakawapiga risasi.Magaidi hao baada yak u u w a w a l i t o w e k a .Hakuna hata mmojaalikamatwa au kuuliwa

    sababu ya kuwepo kwaiendelee kuwepo. Maanyake nini? Maana yake nkuwa yale yanayodaiwmatukio ya kigaidi ykuuliwa Wakristo akuuliwa watu wengnwasio na hatia yataendeleKwa upande mmojm nam al i zana kw

    kuuwana ili kuendelezkitisho cha ugaidkwa upande wa pilmajeshi ya nje yanazidkuwakalia na kujitanukwa kisingizio chkuwasaidia kupambanna magaidi.

    Kwa bahati mbaykabisa, kama ambavywalioitwa wavumbuzn a w a m i s h e nwaliwatangulia akinCarl Peters, hivi sas

    baadhi ya makanisa nwatumishi wa Mungn d i o w a m e k u wwakitumiwa sana n

    mabeberu kuchochem a c h a f u k o k a t i k

    baadhi ya nchi nkuwafungulia milangCarl Peters wapatkutandaza makucha yana mirija yao kupora mal

    I l i t u s a l i m i k e nbal aa hil i, hatuna budkuwatizama akina SteveEmerson wa Fox Newna Paulo Robinson wMsema Kweli kuwa nwatangulizi wa akina KaPeters wa zama hizi.

    kama ilivyokuwa katikalile tukio la Westgate.Tujaaliye kuwa taarifahizo ni sahihi . Hapoutaona kuwa ili kitishoc h a u g a i d i k i k o l ee ,Kenya, waliouliwa zaidini Wakriso ikilinganishwana Masheikh waliouliwana vyombo vya dola.

    Lakini lililo muhimuzaidi kutizama ni kuwatunavyoita majeshi ya nje(Marekani) kutusaidiakukabiliana na ugaidi, waowanapokuja hawaji kwalengo la dini au kutusaidiakama tunavyolitizama.

    Wanakuja kwa masilahiyao. Ukitoa kilio kamakile cha Habila Adamukwamba jamani njoonih a p a k u n a m a g a i d iambao wametushinda,unawapa sababu ya waokuja kikachero na kijeshikukutawala na kudhibitimambo. Ni aina ya ukolonikatika zama hizi za dijitali.Na wakishaingia ndiowameingia. Itahakikishwakuwa kile kitisho chaugaidi hakimaliziki ili

    Shule ya Sekondari ya Kiislamu ya Sotele (Na S.701) iliyopo wilaya ya MkurangaPwani, inawatangazia nafasi za masomo ya kidato cha kwanza na pia kwwanaohamia kwa mwaka wa masomo 2015.

    Shule inaendeshwa na Jumuiya ya Wataalamu Waislamu Tanzania ( TAMPRO), nshule ya Bweni kwa Wavulana na Wasichana, yenye walimu wenye sifa na uzoefwa kutosha na kuongozwa na maadili ya Kiislamu.

    Shule ya Sotele ni bora katika wilaya ya Mkuranga na matokeo yake ya kidato chapili kwa mwaka 2014 ni kama ifuatvyo:-

    Alama A B+ B C D E F DISTINCTION MERIT CREDIT PASS

    IDADI 120 121 82 63 54 27 6 37 10 2 0

    Katika mitihani ya shule za Kiislamu, ( Inter Islamic) shule ilikuwa ya 5 kati ya shule 46Fomu za maombi zinapatikana Shuleni Mkuranga na Ofsi za TAMPRO MagomenUsalama- Dar es salaam. Gharama ya fomu ni Tshs 15,000/= tu.

    Kwa maelezo zaidi piga simu:-

    0716 567 471 au 0689 534 915 au 0716 776 226 au 0741 151 532 au 0767 15532 au 0683 670 553

    Tanzania Muslims Professionals Association ( TAMPRO)

    SHULE YA SEKONDARY SOTELE- MKURANGA, PWANI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA 2015

    Habila Adamu.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    11/16

    11AN-NUU

    RABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    Haya ya Mahakama ya Kadhi ni madogoInatoka Uk. 9ilikuwa ikigharamia bajeti yakuendesha taasisi za Kikristo kwaasilimia 66. (Tazama Muslims AndThe State In Tanzania, DUMT(2003))

    Sasa kama inavyoonekanak a t i k a t u s i h i l i l a n y a n iMickey, ambapo bado wenzetuwanatuambia kuwa hawakusudii

    kuwatukana Waislamu, ndiohaya ya Mahakama ya Kadhi.Yale ya MoU na mengine kamahaya anayosema Father Robinson,hayaonekani kuwa ni serikalikujiingiza kuendesha taasisi zaKikristo, haionekani kuwa niubaguzi kuchota pesa kutoka kodiza wananchi kuyapa makanisakuendesha shule na hospitali zao,linaloonekana ni hili la Mahakamaya Kadhi. Upo msemo kuwataasisi za dini zinaisaidia serikalikatika kuhudumia wananchi,katika hali kama hii ambapoyaweza kuwa takribani nusuya bajeti ya Wizara ya Afyainakwenda kuendesha taasisi zaKikristo, nani anamsaidia nani

    hapa, kama sio kutumia hazinaya taifa kuwaimarisha baadhi yawatu dhidi ya wengine.

    Ni hivi karibuni tu kumekuwakukisambazwa kipande chapicha ya video ya mchungajimmoja akishutumu uteuzi waRais Kikwete wa mmoja wawatumishi wa umma Muislamuakiwa na sifa ya Uprofesa katikafani inayohitajika katika nafasialiyopewa. Mtumishi huyo ambayendio kwanza alikuwa anaingiaosini, akatupiwa tuhuma kuwakitu cha kwanza kufanya alipokani kutaka ajengewe msikiti ndaniya osi! Kisha mchungaji anasema,ashindwe kwa jina la Yesu na

    waumini wake wanashangilia nakuitikia kwa vigelegele.Ni jambo lililozoeleka hapa

    nchini kuwa hata kama itatokeaserikali ikateuwa watu 20 katikaofisi fulani tena nyeti, wotewakawa Wakristo, wala hilohalionekani kuwa ni tatizo. Sasaitokee iwe Waislamu labda watanona Wakristo kumi, ishakuwabalaa. Aitudehii, mtizamo huu,ni saratani ambayo sasa inachukuasura mbaya kabisa.

    Hivi karibuni imetolewa lamukule Marekani inaitwa 'AmericanSniper'. American Sniper ni lamuiliyoanza kusambazwa mwishonimwa mwaka wa 2014 na kupata

    umaarufu mkubwa Marekani.Inatajwa kuwa miongoni mwafilamu iliyopata wahudhuriajiwengi katika matamasha yauzinduzi wake. American Sniper,ikiwa na maana ya Mdunguajiwa Kimarekani (askari wa kuuwakwa kulenga shabaha kutokambali) imetengenezwa kutokanana kitabu kilichoandikwa mwaka2012- American Sniper : TheAutobiography of the Most LethalSniper in U.S. Military Historykilichoandikwa na Chris Kyle,akishirikiana na Sco McEwen naJim DeFelice.

    Sniper huyu anatajwa kuwani muuwaji mahiri na hatari

    (most lethal) ambaye hajawahikutokea katika historia ya jeshi laMarekani. Anasiwa kwa kuuwawananchi wa Iraq 255.

    Katika ujumla wake, lamu hiiinawaonyesha Waislamu kamawatu washenzi, wasio stahikikuishi. Dini yao ya kishenziinayostahiki kungolewa kabisana mizizi yake. Kwa upandemwingine, Wazungu, Wakristowanaonyeshwa kuwa ndiowastaarabu na walimu waUstaarabu wa dunia ambaowamepewa kibali kuusafishaulimwengu na takataka yaUislamu na Waislamu. Hivyowao kuuwa Waislamu ni kufanya

    kazi ya Mungu. Ndio pale askarihuyo mdunguaji anasema:Savage, despicable evil. Thats

    what we were fghting in Iraq. Thatswhy a lot of people, myself included,called the enemy savages. I onlywish I had killed more. I loved killingbad guys. I loved what I did. I stilldo it was fun. Fanaticsthey hatedus because we werent Muslims. Thefanatics we fought valued nothingbut their twisted interpretation ofreligion.

    Savageni mshenzi. Despicable,maana yake ni (mtu) mwenyekustahiki kudharauliwa. Hanamaana. Sasa hapa askari huyuwa Marekani anasema kuwaa n a fu r a h i s a n a k u t o k a n ana Waislamu 255 aliowauwa

    kwa mkono wake kule Iraq naanatamani kama angeuwa wengizaidi. Kwa nini? Anasema, kwasababu ni washenzi tu, ni watuwaovu wasio na thamani yoyote.Watu waliostahiki kudharauliwana kupuuzwa, wanaofuata diniiliyopotoshwa.

    Hebu linganisha maneno ya askrihuyu mdunguaji wa Marekanina yale ya jarida la Muinjilistipale anaposema kuwa Waislamuwanafuata dini iliyopotoshwakama ilivyofafanuliwa na igizola nyani Mickey. Lakini pia jaridahilo linanukuu vitabu mbalimbalivya Kiislamu vikiwemo vyaMaududi na kudai kuwa Masheikhna wanazuoni wa Kiislamu

    wameandika mafundisho yao juuya Uislamu kwa kupotosha yalemafundisho mazuri ya Ukristo.

    Chris Kyle akijisia kwa Ukristowake na akijipongeza kwa yalealiyofanya kuuwa Waislamuanasema:

    I wanted everyone to know I wasa Christian. I had it put in red, forblood. I hated the damn savages Idbeen fghting. I always will.

    Anasema kuwa alitaka kila mtuajue kuwa yeye ni Mkristo nakwamba anawachukia (Waislamu)washenzi na atapigana kuwauwak a t i k a m a i s h a y a k e y o t e .Alieleza hayo akifafanua ni kwanini aliamua kujichora katika

    mkono wake alama waliyokuwawakitumia askari wa Kikristokatika zama za Vita ya Msalaba(taoo of a Crusader cross). Natattoo yake ya Msalaba waCrusade aliiweka rangi nyekundukama ishara ya kazi atakayoifanyaya kumwaga damu ya Waislamu.

    Katika lamu hii ya sniper, ilikuwatia wazimu na kuchota akiliza watizamaji waone ni jambola sawa unyama wanaofanyiwaWaislamu katika filamu hiyo,lamu inagusia matukio kadhaa yakigaidi (ya kisanii), kisha huelezwakuwa wanaofanya hayo niWaislamu wanaotaka kuwamalizaWakristo wa Marekani. Kwahiyo lazima tuwawahi hukohuko kwao Iraq. Kwa upande

    mwingine anaonyeshwa Muarabukavaa kanzu, raia wa Iraq. Huyukatika filamu amepewa jila laThe Butcher, maana ya chinjachinja, kazi yake ni kuuwa watuovyo kwa majambia na kuwakataviungo vyao akivishikilia hukudamu zikichirizika yeye anachekatu. Anauwa wazee, watoto, akinamama, ilimuradi ni chinjachinja.Kitoto cha Kiislamu kinaonyeshwakuwa hata chenyewe ni hatarik w a W a z u n g u W a k r i s t o .Kinaonyeshwa kikipewa bomuna mama yake, kisha kinamrushiaMzungu. Kila kitoto kinapouliwa,wala mama yake haonyeshikusikitika. Kuonyesha kuwa hanahata huruma na mtoto wake.

    Ukishaonyeshwa ukatili wwatu hao, picha inahamia kanisanKijana Chris Kyle, ambaye ndiybaadae ataingia jeshini na kuwAmerican Sniper, anaonekankatikati ya waumini wenginwakisikiliza mahubiri ambapmchungaji anawaeleza mpango wMungu kwa Wamareakni (Godplan for American Christians) kuwwakaisashe dunia kutokana nkuwepo watu washenzi. KijanChris anachukulia mahubiri yakuwa ni wito wa Mungu kwakkuwa akatumie kipaji chakcha kulenga shabaha kuuwWaislamu (called upon by God to uhis gift to kill evildoers).

    Baada ya hapo sasa ndilamu inakuonyesha jinsi Chralivyouwa Waislamu Iraq hukakiamini kuwa ni wajibu wake wKikristo kusasha watu waovu.

    Kwa muda sasa nchini hapkumekuwa kukijengwa pichhii hii inayoonyeshwa katikfilamu hii. Inajengwa pichkuwa Waislamu ni wachommakanisa, wanauwa viongozwa makanisa, wanatukanUkristo, wabaguzi na mambkama hayo. Kwa Marekani nUlaya ambapo lamu hii imepewnafasi kubwa sana ni kuwa jaminagawanyika katika makundmawili yanayohasimiana. Ninmatokeo yake?

    K w a h a p a k w e t uukishawajenga Wakristo kupitkijarida cha Muinjilisti na kupitkauli za baadhi ya wachungana propaganda katika vyombo vyhabari, unachofanya ni kuwatengmbali Wakristo na Waislamu mbahuku kukiwa kumejengwa chukkubwa kati yao. Nini hatma ya hahii?

    Wakati tukiwa watoto tukipewsimulizi nyingi kuhusu watani zetWachaga. Tukiambiwa kuwa mtowa Kichaga akizaliwa tu, hurushwdirishani aangukie nje. Hilo ni darsla kwanza kufundishwa wizi. SijuWachaga nao wakiambiwa nin

    Inaendelea Uk. 1

    AMERICAN Sniper, ikiwa na maana ya Mdunguaji wa Kimarekani (askari wa kuuwa kwa kulenga shabahkutoka mbali)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    12/16

    12 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 2012 MAKALA/MASHAIRI

    Haya ya Mahakama ya Kadhi ni madogoInatoka Uk. 11kuhusu Wapareee. Nakiriahali itakuwaje kama leouhusiano huu wa utani bainaya watu wa Kilimanjaroutaondoka na kujengwakatika utamaduni huu mpyawa haya yanayoelezwa naakina Chris.

    Lakini isisahaulike kuwakat ika W ach aga kun aWaislamu na Wakristo,halikadhalika kwa Wapare.Hap an a s h aka iwap oitajengwa chuki ya kidinikwa watu wa Kilimanjarotukatizamana kwa jicho hilila akina Chris, muziki wakeutakuwa mtamu zaidi. Sasalitizame hili kwa nchi nzima.

    A k i n a C a r l P e t e r swalipokuwa wakija kwamara ya kwanza, walituitaWaafrika washenzi nawao n d io was taarabuwaliotumwa na Mungukutuletea ustaarabu. Kila

    mwaka tuna kitu kinaitwaSikukuu ya Mashujaa.Ukirejea historia ya mashujaahao, utajua nini walitufanyawastaarbu wale.

    Akina Carl Peters hao, sasawanatujia tena kwa stailinyingine. Wanawatumiabaadhi yetu kujenga chuki,uhasama na kisasi bainayetu. Baadhi wawaonewenzao kuwa ni magaidiwaliopania kuwaangamizaWakristo. Kuwa kwamba leotuna Sikukuu ya mashujaa,n i k u w a t u l i u n g a n apamoja kupambana nahawa akina Chris. Ila hiiwanayokuja nayo sasa, kali

    zaidi. Tutakuwa tukiuwanawenyewe kwa wenyewemitaani, wao wanakuwamarefa. Tofauti na mpirawa miguu, mechi hii hainacha dakika tisini wala 120.Mtashuhudia tu ikianza,

    lakini muda wa kumalizikamtatamani uke, lakini wapi.K u l e N i g e r i a m a r a

    kadhaa ndege za wachungajizimekamatwa zikiwa katikaharakati za kuingiza silahanchini humo huku baadhiya wachungaji hao wakiteteamsimamo kuwa Wakristowana haki ya kijihami dhidiya Waislamu waliopaniakuwaangamzia Wakristo.

    J a p o h a p a n c h i n itumewahi kuambiwa kuwakuna Tume ya Majeshi yaKivita ya Kanisa Katoliki,lakini hatudhani kuwawamekia yale ya MchungajiAyodele Joseph Oritsejaforkuangiza silaha kutokaAfrika ya Kusini.

    Katika filamu AmericanSniper, Chris akitoka kuuwaWaislamu, anaonekanaakiwa bar akilewa sanana wasichana. Bila shakatutakuwa na kumbukizi zawale askari wa Uingerezawal io kuwa wam eto kakupigana Iraq wakaja nchinihapa wakafanya ufedhulina baadhi ya dada zetuambapo mmoja alikutwaamekufa. Mpaka leo hakunakesi. Kutakuwaje na kesiwakati hawa ni katika waletunaolazimishwa kuitakidikuwa ni wastaarabu wakuistaarabisha dunia?

    Kijarida cha Muinjilisti

    kinawaita Waislamu kuwni wapumbafu. Gazeti Msema K we l i l inapigchapuo kuwa kuna magaidWaislamu waliopania kuuwWakristo. Na kwa bahambaya yale yaliyosemw

    na Mheshimiwa WilliamLukuvi juu ya Zanzibar nWaislamu kwa ujumla, nkatika mtizamo huo huo wki-Msema Kweli na haya yFilamu ya Chris kuwatizamWaislamu kwa jicho la IS(ambao ni CIA/NATIntelligence Assets).

    Haya binafsi nadhanndiyo ya kutushughulishsana kama Waislamu nkama Watanzania kwsababu yanatishia uwepwetu sote.

    Hili la Kadhi, sio kwambsio muhimu, lakini ili uwna Mahakama si lazimkwanza uwe hai? Ili uwezkusikilizwa katika jamii, lazima kwanza jamii hiyikutambue na kukubakwamba nawe ni binadamna una akili zako timamsawa watu wengine? Saskama mambo yenyewndio haya ya kupigianmifano ya tumbili Mickenani atakusikiliza na kujamaoni yako katika vikao vykuandaa Katiba Mpya!

    Tuwasaidie Wachungana Wakristo walio nm t i z a m o w a a k i nChris wafahamu kuwushenga wanaoufanyutatuangamiza sote. Wawao hawatasalimika.

    JESHI letu la POLISI, aibu limejitia,Uozo limeakisi, sote tumeshuhudia,Kwa kuongoza uasi, wa kuivunja sheria,

    Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu.

    Sheria wameiasi, kwa kuwapiga raia,Kwa mabomu yenye gesi, na virungu kuwatia,Kama huu si uasi, ni nini naulizia?

    Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu.

    Kumbukeni kwa Mwangosi, Iringa nakumbushia,Walokifanya polisi, katu si cha kuridhia,Kwa ya juzi ninahisi, ishakuwa mazoea,

    Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu,

    Kamanda KOVA u bosi, wa kanda twakutambua,Ueleze umma 'SOSI', ya kuhujumu raia,Usitetee UASI, kauliyo twangojea,

    Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu.

    JENERALI wa POLISI, hatuazo twangojea,

    Kuhusu huu uasi, wa kuvunjwa kwa sheria,Ulofanywa na polisi, wako kwa kudhamiria,Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu.

    Na waziri Mathias, twangoja kukusikia,Kwa walotenda polisi, lipi la kutuambia,Falau ukijulusi, kimya tutakushakia,

    Jeshi Letu La Nchini, Limetenda Uhalifu.

    Mwisho ni kwako RAISI, kwa utuvu kiria,Utumizi wa polisi, wa nguvu za kuzidia,Kwalo ninachokihisi, doani litakutia!

    Jeshi Letu La Polisi, Limetenda Uhalifu.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    UHALIFU WA POLISI !!!

    Yahya Jammeh, Rais wa Gambia akiongea na Henry wa Press TVInatoka Uk. 5Nigeria na maeneo ya AfrikaMagharibi na hata Somaliaambayo tuinaiona inatishana kuogofya. Unawaambiajewale wanaoamini kuwaJihad ni ile ya kulipua nakuua?

    JIBU: Hao siyo Waislamu;ni wahalifu tu. Ni balaa kwabinadamu na chukizo kwaWaislamu na wanahitajikuteketezwa.

    SWALI: Tunazungumzia

    mifano ya Boko Haram, AlShabaab.

    J I B U : W o t e h a o n imawakala wakatili wa nchiza Magharibi walioundwaili kuharibu sifa ya Uislamu.Mtume (SAW) alifanya Jihadna kamwe hakuchoma motokanisa lolote. Kulikuwa namakanisa kabla ya Uislamu;hakuua Wayahudi. Alipiganana wale waliopigana nayeakiwa anahubiri. Na walewaliotubu, waliotekwana kuitamka shahada,waliachiliwa.

    Watu hawa wanawapiga

    risasi wanaoikiri shahada.(Wale wanaosema) Mimi niMuislamu kama wewe nakwa jina la Mungu na Mtumewake niache; wanaua watubila kujali. Hawa wanaitwawashika damu na wauaji;wanahitaki kuteketezwana hawana nafasi katikaUislamu.

    Hivyo ni Jihad ya ainagani ambao hawa watuwan azun gum zia . S iyosahihi; ni wahalifu nahawatavumiliwa nchini

    Gambia.SWALI: Mheshimiwa Raishii ni mara yangu ya pilikufika Gambia na naonanchi ambako Waislamun a W akr is to wan akaakwa amani. Unawezajekuhakikisha hilo wakatihuko mbali na watu wasiasa kali ambao wanatafutamakazi mapya?

    JIBU: Gambi a itakuwam a h a l i p a s i p o s t a h i l ikwa watu wa siasa kali.Tunasimamia Uislamukamili. Kama kuna kitukinaitwa Uislamu wa dhati,waulize wa-Gambia. Utiiwetu uko kwa Allah. Kama

    wewe ni Muislamu wa kwelina umejiweka kwa mapenziya Allah utakubali tofautikati ya watu kwa sababuAllah alituumba hivyo.

    U k i j a h a p a m w e z iD e s e m b a u t a d h a n inchi yote ni Wakristo,na ukija hapa mwezi waRamadhani, utafikiri nchiyote ni Waislamu. Hikindicho tunachokiamini,kuishi kwa amani kwamujibu wa mafundishoya Kurani Tukufu. Hivyo,

    kama wanatafuta maskanimapya, ni wazi kuwa hapasi kwao. Tumeshapita ngaziya kuamini kuwa watu wasiona hatia wanaweza kuuawasokoni. Au kuwapiga watumabomu msikitini, na halafuunajiita Muislamu! Na hataingekuwa kanisa. Kuuwawatu wasio na hatia niharam.Watu wanaokwendasokoni ambao hawajatendabaya lolote, watoto wa shuleambao hawajui baya! Hii nisiasa na haina uhusiano naUislamu.

    S W A L I : H a d i h i v ikaribuni watu walikuwawakizungumzia Afrika

    n a k w i n g i n e k o k u w aAfrika inainuka. Afrikainainuliwa, lakini kutokanana kile kilichotokea mwaka(jana) na gonjwa la Ebolawanasema labda kukuahuku hakukuwa na nguvuza kutosha. Unadhani Afrikaikoje, wakati huu?

    JIBU : Sawa, wako walewanaotaka kuona Afrikaikianguka badala ya kuinukana kila mmoja anazungumzahabari ya Afrika kuinuka ila

    ni kwa kudra ya MwenyeziMungu Mukufu. Kuinukakwa A f r ika h akuwezikuzuiwa. Wakati Afrikai k i w a n a m a e n d e l e om a k u b w a n a ( U l a y a )ikiwa maskini, walikuja nakutawala kwa miaka 400, nakugeuza mwenendo wetu.Lakini wakati huu, wafanyelolote, walete Ebola au kirusichochote, Afrika itainuka,kwani ndicho anachosemaMwenyezi Mungu Mtukufu,itainuka. Lakini mengiza id i wan ayo s em a n ipropaganda kwani - angaliainavyoshangaza - chanzo

    cha Ebola ni iliyokuwa ZairJamhuri ya Kidemokraya Congo na moja ya nchzenye utajiri mkubwa sanwa maliasili, na ukiangalAfrika Magharibi, nchinGuinea, Afrika Magharibi sawa na DRC, Sierra Leonna Liberia. Inakuwaje Eboinalenga nchi za Afrika zenyutajiri mkubwa wa maliasil

    Lazima kuna mtu nyumya virusi hivyo. Lakini pjambo liko wazi, kwani wakahuu, wamekosea, kwaninAllah amewaumbua. Iwekuwa Wazungu wakipaEbola wanapona, lakinWaafrika wanakufa kammbwa? Hivyo hili ndilswali ninalotaka kuwaulizWaafrika. Afrika itainuka iwnchi za Magharibi zinapendau la.. Lakini tunahitaviongozi wa Afrika waamkHili ni suala la viongozi.

    (Sehemu ya Mahojianya uso kwa uso na Yahya AJ. J. Jammeh, Rais, Jamhuya Gambia yaliyofanywa nna Henry Bonsu wa PreTV.)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1162.pdf

    13/16

    13 AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA JANUARI 30 - FEB. 5, 20Makala

    KUMEKUWA na wimbila Maaskofu na Masheikhla kuhubiri amani, mpakasasa imefkia amani hiyoinatafutwa kwa kuchezampira-mechi kati yaMaaskofu na Masheikh.

    Mimi natizama mechi

    hizi za Masheikh namaaskofu sawa yamini naMmasai na Mpare kuwawatakuwa ndugu wakiishikwa amani. Wakati wakula yamini, Mmasai yeyeanakalia rungu lake.

    W a k a t i M a s h e i k hwanacheza mpira naMaaskofu uwanjani ,wanafunzi wa Maaskofuw a m e t u a r i f u k i l ew a l i c h o f u n d i s h w akatika Sunday Schoolhivi: KUZUNGUMZAK U K U H U S U WE WENA WAISLAMU Hilondilo swala maalumutunalozungumza katikatoleo hili: KUKUHIMIZAuwafikie WAISLAMUwaliokaribu nawe waujueupendo wa Mungu. Lakiniiwapo wadhani kuwa:*WAISLAMU hawanasehemu katika amri kuu.*WAISLAMU wataingiambinguni kwa kuufuataUislamu. *WAISLAMUwanaiamini dini yao sanana wana kiburi kwambahawawezi kusikil izaInjili. Basi gazeti hiliSIKWA AJILI YAKO.Acha kul isoma sasahivi na umpe Mkristomwingine anayewajali

    Waislamu. Lakini iwapounaamini kuwa *WEWEunahitaji kujifunza zaidikuhusu Uislamu na jinsiya kuwafikia Waislamu.* W E W E u m e p o k e aupendo wa Mungu iliu w a e l ez ee m a j i r a n izako Waislamu pia. *Basi hiki ndicho ALAINAYOKUFAA Unahitajikuzipitia kurasa hizi kwamakini sana. Hakikishaumezingatia ombi letulililo kwenye ukurasawa mwisho. Jiandikishekama mwanafunzi katikakozi ya LCA kwa njiaya poste sasa. Mungu

    akubariki unapojitahidikufahamu zaidi kuhusuWaislamu ili kwakia naInjili. Ndugu Waltre.

    Hilo ni Jarida (gazeti)liitwalo MUINJILISTIl i tolewalo na LifeChallenger Africa SLP5 0 7 7 0 , 0 0 2 0 0 C i t ySquare Nairobi, KenyaE m a i l : L C A @ u m s g .org SLP 1424 DodomaTanzania.

    Kama mul ivyoonamaudhui zilizoainishwakwa alama za nyotah a p o j u u ; k w a l e on i t a s h u g h u l i k i aukurasa wa mwisho

    Mechi za kandanda Masheikh naMapadiri haziwezi kuleta amani

    Na Khatibu Mziray

    kama mwandishi huyoalivyomwagiza msomajiwa makala yake. Katikaukurasa huo wa 12 .Kuna kibonzo (katuni)ya sokwe mtu, aliyekaaakiwa ameshikilia ndiziiliyomenywa nusu, naa m e f u n g u a m d o m owake; na kuna mchungajiMzungu kwa nyuma yakealiyecheka, na kunyooshamkono uliokunjua kiganjachake kuashiria dharau; nakuandikwa maneno haya:-

    Mfano IGIZO LAKUSISIMUA. Ndiyo nafasiya sokwe aitwaye Mickeykuwaamsha watazamajiwake wote wamshangiliekwa kicheko kikubwa namako. Alipokia mlangowa jengo lenye mfano wakanisa hali amevaa kanzu,alivua viatu vyake kwauangalifu na kuviwekakwenye ubao kabla yakusogelea bakul i yakunawia, ambapo alijitupiamaji mengi kichwani,mikononi na miguuni.B a a d a y a k u m a l i z autaratibu huo aliingiandani ya kanisa, akajilazakifudifudi mara kadhaa,

    akiweka mikono yakenyuma ya kichwa chakealitamka sauti fulani kablaya kulala kifudifudi tena.Hatimaye kwa furaha,akiwa amekamilisha igizolake vizuri, alivaa viatu nakukaa chini akitafuna ndiziiliyokuwa thawabu yake,baada ya kuonyesha wazijinsi alivyokuwa na bidiiya pekee kabisa katika diniyake. Ni vema kwambatendo hilo halikufanyikasiku yoyote. Watu wenginewangechukizwa sana naigizo hilo. Si kusudi letukuumiza mtu yeyote. Sisikama Wakristo tunapaswa

    kuheshimu dini za wenginena taratibu zake. Lakinibila shaka ingewezekanak u m fu n d i