ANNUUR 1156.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1156 SAFAR 1436, IJUMAA , DESEMBA 19-25, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Uk. 2

    Mtuhumiwa ugaidi kutoka

    Zanzibar afanyiwa upasuajiNi aliyedai kudhalilishwa na PolisiHali yake ilikuwa inatisha, arejeshwa Segerea

    SHEIKH Mohamed Idd, amesema BAKWATA ntatizo kwa mustakabali wa Waislamu.

    Aidha amesema kuwa, Baraza hilo limekuwa ndiosababu ya Waislamu kuwa nyuma nchini.

    Limekuwa kikwazo katika juhudi za Waislamukujiletea maendeleo huku likiwa limehodhi mali zWakfu likizitumia kinyume na nia na malengo ywaliozitoa.

    Sheikh Mohammed Iddaikosoa vikali Bakwata

    Halina mwelekeo, wala mipangoAhoji mali za Wakfu zinavyotumika

    Awataka wajifunze kwa MaaskofuNa Bakari Mwakangwale

    Inaendelea Uk.

    SHEIKH Mohamed Idd.

    MTUHUMIWA wa ugaidi Ust. Salum Ally.

    Mitawi kizimbani

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    2/16

    2 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    M K U R U G E N Z IMkuu wa Shirika laUtangazaj i Zanzibar(ZBC) Hassan AbdallaMitawi amefikishwamahakamani kwa makosakadhaa ikiwemo kosa lamatumizi mabaya ya ofsina ukwepaji kodi.

    M k u r u g e n z i h u y oalipanda kizimbani majiraya saa 5 asubuhi juzi katikamahakama ya mkoa Vuga,

    mbele ya Hakimu AliAmeir.

    Akisoma mashitakambele ya hakimu huyo,Muendesha mashitakaAbdalla Issa Mgongo,alisema mshitakiwa huyoamefikishwa mbele yamahakama hiyo akiwa namashitaka mawili.

    Alisema, kosa la kwanzalinalomkabili ni kukwepakodi kinyume na vifungu44 kifungu kidogo cha (1)(e) na kifungu kidogo cha(2) pamoja na kifungu cha61 vya sheria ya Kuzuia

    Mitawi kizimbaniNa Mwandishi Wetu Rushwa na UhujumuUchumi Zanzibar.

    Katika kosa hilo lakwanza, ilidaiwa kuwam s h i t a k i w a H a s s a nAbdalla Mitawi na MamyJames Matata kwa nyakatit o fa u t i m w a k a 2 0 1 4katika jengo la Shirikala Habari na Utangazaji(ZBC ) Televisheni kwam a k u s u d i w a l i fa n y abishara ya kuuza magaribila ya kujiandikisha kuwawalipa kodi na kulipa kodi

    hizo kwa mamlaka husika.Aidha, Mgongo alisema

    kosa la pili la matumizimabaya ya osi kinyumena vifungu vya 53 na 61vya sheria namba mojaya mwaka 2012 ya KuzuiaRushwa na UhujumuUchumi Zanzibar.

    Katika kosa la pil imuendesha mashitakahuyo alisema kwambamshitakiwa kwa nyakatitofauti mwaka 2014 hukojengo la ZBZ Televisheniakiwa Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la ZBC alitumia

    nafasi yake kwa kufanybiashara ya kuuza magakatika eneo la ofisi kwlengo la kujipatia maslahbinafsi.

    Kwa upande wakHakimu Ali Ameir alimtakmshitakiwa huyo kutojibl o l o t e m a h a k a m a nhapo kwa sababu nkesi inayosikilizwa nMahakama Kuu, hivyataenda kujibu shitaka hilmbele ya Jaji wa MahakamKuu.

    Hata hivyo, mshitakiwamepewa dhamana ymaandishi ya shilingmilioni moja pamoja nwadhamini wawili kwkima hicho hicho kwa kimmoja.

    Hivi karibu serikaimepi t i sha sheria yk u z u w i a r u s h w a nuhujumu uchumi ambayinakataza watumishi wserikali kujihusisha nmipango yoyote ambayni kinyume na matumizi yosi za serikali ya kisheria

    Sheikh kahujumu WaislamuSheikh Mohammed Issa, Alhad, JongoKuweni makini na waandishi wa habari

    SHEIKH mmoja nchiniPakistan, ametoa kauli kaliakilani mauwaji ya watu140 yaliyofanyika Khyber-Pakhtunkhwa, Peshawar.S h e i k h h u y o H a f i zMohammad Saeed amesemakuwa Uislamu ni dini yaamani na hakuna namnaambavyo inaruhusu mauwajikama hayo kufanyika.

    Uislamu ni Dini ya amani,hata katika Jihad hairuhusiwikuuwa watoto na wanawake.Amesema Sheikh Saeed katika

    taarifa yake ndefu aliyoitoakwa lugha ya Urdu.

    Mauwaji anayozungumziahapa ni yale yaliyofanyikaJumanne Desemba 16, wikihii ambapo ilidaiwa kuwamagaidi saba walivamia shulena kuuwa watu 140, wengiwao wakiwa wanafunzi nabaadhi wakiwa walimu nawatumishi wengine wa shulehiyo inayoendeshwa na jeshi.

    Kwa upande wake serikalikatika eneo hilo nayo ikaungamkono kauli ya Sheikh Saeedikisema:

    Hakuna dini inayoruhusukuuwa watoto. Uislamu,kwa madhehebu yake yote,unakataza kuwa watoto na

    wanawake.Mara tu baada ya shambuliohilo, vyombo vya habarivilidai kuwa waliohusikana shambulio hilo lililouwawatoto wasio na hatia zaidiya 100 ni kundi la Kiislamulinalojulikana kwa jina laTehrik-e Taliban Pakistan(TTP) maarufu PakistaniTaliban (Taliban wa Pakistan).

    Zikishatolewa habari kamahizi, kwamba waliohusika niWaislamu wa kundi fulaniau Waislamu hao wamedaik a t i k a m t a n d a o w a o ,Sheikh ukitoa taarifa kuwaUislamu ni Dini ya amani,hairuhusiwi kuuwa watoto nawanawake, japo ulilosema

    ni kweli, lakini kwa upandemwingine unathibitisha kuwawaliofanya mauwaji hayoni hao Waislamu. Na hilondilo wanalotafuta watu wapropaganda iwe wanasiasaau vyombo vya habari.

    Tunachosema ni kuwa,y a n a p o t o k e a m a t u k i okama haya, mara nyingiwanasiasa na vyombo vyahabari wanakimbilia kutakamaoni ya Masheikh. Sheikhakisema kuwa mauwaji hayohayakubaliki katika Uislamuau kama Sheikh Saeedalivyosema kuwa Uislamuhaurusu kuuwa watoto nawanawake hata iwe katika

    Jihad, atakuwa hajakos ea.Amepatia kabisa. Ni kweliUislamu hauruhusu mauwajiya namna hiyo.

    Lakini la kufahamu hapani kuwa muuliza swalihaja yake sio kuelimishwayeye na wasikilizaji juu yamsimamo wa Uislamu. Iweni wanasiasa au waandishiwa habari, wote wanajuakuwa Uislamu hauruhusumauwaji ya watoto au mtuyeyote asiye na hatia, kamaambavyo wanajua kuwa

    Ukristo na hata dini za kimilahaziruhusu. Wanachotaka niwewe kusaidia kusambazapropaganda/uzushi kuwawaliohusika ni Waislamu.Sasa wewe ukijibu huku ukitiaaya na Hadithi nyingi kutiliamkazo jibu lako, utamwonayeye akitikisa kichwa nakutabasamu. Ukiona hivyonawe unazidi kuporomoshaaya, hasa ukijua kuwa watuhuko wanakusikiliza katikaBBC, ITV au TBC1!

    Tumeshudia mara kadhaaSpika akiendesha kikao chaBunge huku ma-Khatib wapojuu ya mimbar wanahutubusiku ya Aljumaa; mbonawaandishi hao wa habari

    hawawaendei Masheikhkuwauliza wanaonaje jambohilo. Ni sawa anavyofanyaSpika au la. Lakini wapo piamahakimu ambao wamewahikutoa hukumu zilizo kinyumekabisa na Sheria ya Kiislamukatika mambo ya Wasia,Mirathi, Talaka na Ndoa,mbona katika mambo kamahaya wanasiasa na waandishiwa habari hawataki kujuamaoni ya Masheikh namsimamo wa Uislamu?

    Kuliwahi kuibuka wimbihapa la madai ya kuchomwamakanisa, watuhumiwawakiwa Waislamu. Jaaliyakunatolewa habari kuwa kunakikundi cha wanaharakati wa

    Kiislamu wamedai kuhusikana Sheikh unaulizwa maoniyako. Ukisema kuwa Uislamuhauruhusu, kimantiki namsingi uliokwishawekwa,utakuwa umekubali kuwawanaochoma makanisa ni haowanaharakati wa Kiislamu, ilaunaongezea tu kuwa kufanyani kinyume na Uislamu. Sasahata kama utaongeza nakusema kuwa wanaharakatih a o n i w a n a p o t o s h aUislamu, hawana elimuau hawakusoma vizuriQuran, haina maana yoyote.Muhimu ni kuwa ulichosemani kuwa kuna Waislamuwanachoma makanisa na

    hivyo unahalalisha hatuazozote zitakazochukuliwakupambana nao.

    Ulilo na uhakika nalowewe Sheikh ni kuwaU i s l a m u h a u r u h u s uugaidi, kuuwa au kuchomanyumba za ibada za watuwengine maana unaambiwausiwatukanie miungu yao.Ulilo na uhakika ni kuwahakuna mwanaharakati wakweli wa Kiislamu atakayeuwa watu ovyo au kupitaakichoma makanisa kwajina la Uislamu. Lakini hunauhakika kuwa wanaodaiwak u c h o m a k a n i s a n iwanaharakati wa Kiislamu.Hata kama itasemwa kuwawamesambaza vipeperushiw a k i d a i . K i p e p e r u s h ikinaweza kuandikwa nakusambazwa na mtu yeyotekama ambavyo mtu yeyoteanaweza kuandika na kutumahabari yoyote katika mtandaona kudai ni fulani kafanya.

    Kwa hiyo, jibu lako ni lazimaulipange kwa namna ambayo

    itaonyesha kuwa mpaka sasamuhusika hafahamiki. Nauzuri wa Uislamu, kamatunavyoambiwa na Masheikhzetu, Uislamu haukusazakitu. Mafundisho ya Uislamuyanatuambia kuwa lau watuwangeaminiwa kwa madaiyao tu, wapo watu wangedaidamu na mali za wengine.Kwa hiyo ni kazi ya mdaikuleta ushaidi wa kuthibitishamadai yake. Na ushahidihauwezi kuwa hizi kaulikuwa kikundi cha Kiislamu

    kimedai kuhusika.Lakini hata kama mtu

    atajiita ni Muislamu, naakakiri hadharani kuhusika,bado si hoja ya kuuhusisha naUislamu. Jambazi au mvutakokeni, hata akitambulikakuwa ni Mkristo, kwa namnayoyote ile, haiwezi kuwaujambazi wake ukahusishwana Ukristo halafu mnakwenda

    kumtaka Askofu wake atoemaoni!Toka yaanze mashambulizi

    ya Drone, kama njia mojawapo ya kupambana naugaidi Pakistan, wameuliwawatoto mamia kwa maelfu.Sheikh unapoulizwa juu yawanaodaiwa kuuwa watoto140, labda itakuwa vyemakwanza uulize uelezwe, nikwa kosa gani wamefanyawatoto hao hata wawe shabahaya makombora kutoka Drone?Muuwaji kachukuliwa hatuagani? Anayeuwa watotohawa na maelfu ya watuwengine wasio na hatia,wala hajichi, anauwa hukuakitamba ulimwengu mzima

    ukimshuhudia, walimwenguwanasema nini juu yamuuwaji huyu?

    Tumewataja MasheikhA lh ad , S h ekh Haam idJongo na Mohammed Issa,kama wawakilishi tu waMasheikh ambao mara nyingiwamekuwa wakifuatwa amana wanasiasa au vyombovya habari kutakiwa kutoamaoni yao binafsi au kuelezamsimamo wa Uislamu.

    Tunachosisitiza ni kuwamara nyingi wanasiasa

    na vyombo vya habawanapowaendea Masheikau watu muhimu katikja mi i ku ta ka ma on i yahuwa wanachosema sichwalichokusudia. Na kwvile ni mafundi wa mambyao, wanauliza maswali ymtego ambapo usipokuwmakini, unawasaidia katikpropaganda na jambo laambalo wala wewe hunh abar i n a lo n a wakamwingine la kukuhujumhata wewe mwenyewe nwaumini wenzako.

    Bila shaka tutakuwa nkumbukumbu ya kadhia ymauwaji ya Mwembecha m b a p o w a n a s i a swalichukua vyuma vykufungia maturubai yMsikiti na kudai kuwa nsilaha zilizokuwa zimechwMsikitini hapo. Tutakuwa ptunakumbuka jinsi wanasiahao pamoja na vyombo vyhabari , walivyomtumiSheikh wetu Haamid Jongkukoleza propaganda ykuwadhuru Waislamu had

    kuonekana kuwa Waislamwaliouliwa kwa risasi kwkulengwa shabaha na polisndio wa kulaumiwa. Nwala sio wauwaji waliovamW a i s l a m u M s i k i t i nkwa shinikizo la ParokLwambano aliyedai kuwYesu anatukanwa Msikitinhapo!

    Muhimu ni kuwa makinT u s i j e k u t u m i w a k a mviungo vya kukoleza utamwa propaganda ya kuhujumUislamu na Waislamu.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    3/16

    3 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Habari

    Mtuhumiwa ugaidi kutoka Zanzibar afanyiwa upasuajiHATIMAE mtuhumiwa wa ugaidiUst. Salum Ally, amefanyiwaupasuaji sehemu ya haja kubwakatika hospitali ya Taifa ya

    Muhimbili.Huyo ni yule aliyedai kufanyiwa

    vitendo kinyume na maumbile naAskari Polisi.

    Amefanyiwa upasuaji huobaada ya kuwa katika maumivumakali takribani miezi sita tokeakukamatwa na kulalamika kuwaamefanyiwa vitendo vibaya naAskari Polisi baada ya kukamatwana kuomba apatiwe matibabukulingana na hali aliyokuwa nayo.

    Baada ya kuona hali inazidikuwa mbaya, huku mamlakahusika zikisuasua kumpelekahospitali kwa ajili ya matibabu,Ust. Salum, alithubutu kuonyeshasuruali yake i l iyojaa usaha

    katika eneo la makalio mbele yaMahakama ya Kisutu, Jijini Dar esSaalam, ikiwa ni kithibitisho kwakile anacho kilalamikia.

    Baadhi ya ndugu na jamaa wamtuhumiwa huyo walieleza kuwahali yake ilikuwa ikidhoofu sikuhadi siku hata kukia hali ya kutoaharufu ikiwa ni ishara ya halimbaya kiafya.

    Wakiongea na An nuur,ndugu wa mtuhumiwa huyo naKamati ya Maafa ya Shura yaMaimam, wamesema Ust. Salumu,alifikishwa Muhimbili siku yaIjumaa na siku ya Jumamosi,al i fanyiwa upasuaji , lakinihapakuwa na ruhusa ya kumuonawala kumpatia chakula.

    Hata hivyo, Mjumbe wa Kamatiya Maafa ya Shura ya Maimamu(T), Ust. Ally Mbaruku, alisemamtuhumiwa huyo, amerejeshwaMahabusu, katika Gereza laSegerea siku moja baada yakufanyiwa operesheni hiyo.

    Ndugu wa mtuhumiwa huyo,alisema alibaini kuwa nduguyake yupo Muhimbil i palealipompelekea chakula katikagereza la Segerea, siku ya Jumamosi(iliyopita) ndipo alipoelezwana wenzake kuwa, Ust. Salumukapelekwa Muhimbili toka sikuya Ijumaa na hajarudi.

    N d u g u h u y o a m b a y ehakutaka jina lake liandikwe

    gazetini, alisema baada ya kupatataarifa hizo alilazimika kwendaMuhimbili kwa lengo la kujua haliyake na kinachoendelea katikamatibabu ya ndugu yake huyo.

    Alisema, baada ya kufikaMuhimbili, hakuweza kumuonakutokana na ulinzi aliowekewahuku akitakiwa kuwa na kibalimaalumu kutoka Gerezanikinachomruhusu kumuona.

    Alisema, akiwa hapo Muhimbilikatika kutafuta wodi aliyopondugu yake, alikutana na AskariMagereza na kuwaeleza shidayake, ambapo walimthibitishiakuwa mtuhumiwa huyo yupo

    Na BakariMwakangwale lakini hatoweza kumuona walakumpatia chakula.

    Baada ya kujibiwa hivyo,anaeleza kwamba alikumbukakuwa kuna Kamati ya Shura,ambayo ina kibali cha Magereza

    cha kuwaona na kuwapatiachakula watuhumiwa hao ndipoalipowasiliana na kamati hiyo iliwafike Muhimbili kumuona nakumpatia huduma ya chakula.

    Kwa upande wake Mjumbe waKamati hiyo ya Shura ya Maafa,Ust. Mbaruku Ally, alisema baadaya kupata taarifa hizo kutoka kwandugu huyo wa Ust. Salimu, sikuya Jumamosi, jioni ilimlazimukuka Muhimbili siku iliyofuata(Jumapili) majira ya saa kumi nambili, asubuhi.

    Alisema, alikwenda moja kwamoja katika wodi ya Kibasila,a l imokuwa amelazwa Ust .Salim na kukutana na askaria

    Magereza akiwa na buduki, kishaalijitambulisha na kumuelezas a b a b u y a y e y e k u w a p opale, ambapo Afande huyo,alimthibitishia kuwa mtuhumiwahuyo yupo hapo.

    A f a n d e y u l e a l i m u i t amwenzake naye nikamueleza nakumkabidhi kibali cha Magerezakuwa nahita ji kumuona nakumpatia chakula Salum, pamojana kibali kile kukiona, akanihoji ninani kanieleza kuwa mtuhumiwahuyo yupo pale, zaidi akaniambiapamoja na hayo hakuna ruhusaya mtu yoyote kumuona mpakaa t a k a p o r u h u s i w a k u r u d igerezani. Alisema Ust. Mbaruku.

    Awali, ndugu huyo wa Ust.

    Salum, aliitaka Serikali, kuwa wazikuhusiana na watuhumiwa hao waUgaidi, hususani katika matibabuyao kwa kuwaeleza ndugu zaojuu ya matibabu wanayoyapatakuliko kuwa wanaficha kamawanavyofanya sasa kutokana nayale waliotendewa.

    Alisema, kwamba siku zanyuma, alipata kuelezwa na Salum,kuwa alipelekwa Muhimbili nakufanyiwa uchunguzi na Daktarialitoa taarifa kamili jinsi alivyoathiriwa.

    Serikali inatakiwa kulifanyiakazi suala hili kulingana na uzitowa jambo lenyewe kisha waliwekewazi nawapatiwe haki yao yamatibabu, ukika eti wanakwambiakama sisi tunawapenda lakini waowanawapenda zaidi.

    Kauli hii haina ukweli wowote,kwani haiendani na uhalisi wa halizao humo gerezani. Utasemajeunampeda wakati anaathirikalakini humpeleki hospitali ndaniya miezi sita. Alisema nduguhuyo. Alisema.

    Hata hivyo taarifa kutoka katikaGereza la Segerea, zimeelezakuwa Ust. Salum, amesharejeshwagerezani, Jumatatu wiki hiisiku moja baada ya matibabuakitokea Muhimbili alikofanyiwaoperesheni.

    Sheikh Mohammed Idd aikosoa vikali BakwataInatoka Uk. 1

    Sheikh Mohamed Idd, maarufukwa jina la Abuu Idd, ameyasemahayo akiongea na Waislamu, katikamada yake aliyoiita Bakwata nisababu ya Waislamu wa Tanzaniakuwa nyuma.

    Alisema, suala hilo liko wazisana na kwamba anauhakika naanachokisema kuwa Bakwata nitatizo.

    Bakwata ni tatizo, na kila mmojaanajua hilo, lakini tunatoafautianakatika mfumo wa kuondoa tatizo,niliwahi kusema na nitaendeleakusema kwa kuwa nina hakika naninachokizungumza. AlisemaAbuu Idd.

    Akifafanua ni kwa namna ganikuwa BAKWATA ni tatizo kwaWaislamu, alisema matarajioya Waislamu, ni kuona Barazahilo linakuwa mstari wa mbelekutetea maslahi yao sambamba nakuwaletea maendeleo.

    Abuu Idd, alisema Waislamuw a n a p o o n a k i m y a p a l ewanapopata madhila ama hawaonimipango yoyote ya maendeleo yaochini ya Bakwata, hali hiyo hufanya

    Waislamu wakose dira na kuvunjaumoja kwani yule aliyejivikaukinara wa kuwaongoza hanampango wa mambo hayo kwa ajiliya Waislamu.

    Alisema, Bakwata pamojana kuwa na fursa ya kuongeana Serikali kuhusu masuala yaWaislamu, lakini haitumii nafasihiyo, badala yake imekuwaikiwasiliana na Serikali kwamambo maalumu.

    Akasema, Bakwata itakuwa namawasiliano na Serikali siku zaIdd, au kama kumeletwa mbuziwa Makka, ama kama kumeletwatende kisha zinatakiwa kugaiwa

    kwa Waislamu na baada ya hap(Bakwata) itakuwa kimya nendapo hapo katikati itatakiwkauli nzito dhidi ya Waislamndipo itaibuka iongee.

    Abuu Idd, alisema kuna sababza msingi za kuisema Bakwata, kwsababu jinsi ilivyo unageuka kuwmwanachama utake au usitake nunapokuwa mwanachama unauhuru wa kukihoji chama chako

    Alisema, yeye anaipend

    Bakwata, pamoja na uoza wakwote huo kwani alidai anaaminkwamba moja ya njia ya kuwezkuirekebisha, si kuikalia mbali bani kwa kuwa nayo karibu.

    Kwa hiyo Bakwata yangsitaki iwe hivyo, naona hilo ntatizo lazima irekebeshwe na kwkuwa ni ya kwetu tuangalie namnya kuirekebisha maana hali nmbaya. Alisema Abuu Idd.

    Alisema, Bakwata jinsi ilivyhaina uwezo hata wa kuwasaidWaislamu kiasi chochote chJuzuu Amma, ila ina uwezo wkuchapa barua kuidhinisha mtapewe msaada huo hata kama nwa Juzuu hamsini.

    Kazi yao ni kuidhinishkwa kuandika, Kwa yoyotanayehusika (huko Msikitinfulani mtajwa hapo juu, siBakwata tumemthibitisha kwambanashida ya juzuu, asaidiwe. Bahiyo ndio kazi kubwa ya Bakwatoka kuundwa kwake. AlisemAbuu Idd.

    Kwa uthibisho wa hilo, akasemleo ukiwapa nafasi, Taasisi moja tmfano ya DYCCC, waseme wankiasi gani cha barua za namnhiyo kutoka Bakwata, watakuwna mlima wa barua hizo, ikiitakTaasisi hiyo asaidie.

    Aidha, alisema na kama kunInaendelea Uk.

    BAADHI ya watuhumiwa wa kesi ya ugaidi wakiingia katikaMahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    4/16

    4 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    BUNGE la Kenya hivi sasa linajadilimuswada unaopendekeza sheriaya usalama kufanyiwa mabadiliko,ili kuiwezesha serikali kuimarishausalama na kupambana barabara najinamizi la ugaidi.

    Hata hivyo, mapendekezo yamarekebisho ya sheria hiyo yausalama yaliyotolewa na serikali yaKenya, yamedaiwa kuwa yanajengamazingira kwa nchi hiyo kurudi tenakatika enzi za utawala wa kipolisi

    ulioshuhudiwa katika miongo ya 80na 90 chini ya utawala wa Rais wawakati huo, Daniel Arap Moi.

    Pamoja na mambo mengine,muswada huo unapendekeza polisikupewa nguvu na mamlaka zaidi yakuwakamata na kuwaweka kizuiziniwatuhumiwa wa ugaidi. Imeelezwakuwa iwapo muswada huo utapitana kuwa sheria kama ulivyo, basipolisi watakuwa na mamlaka yakumshikilia mtuhumiwa wa ugaidikwa takriban mwaka mmoja badalaya muda wa sasa wa miezi 3 bilakumkisha mahakamani.

    Polisi pia watakuwa na uwezowa kufuatilia mawasiliano ya mtuau watu wanaotuhumiwa kuwani magaidi, ikiwa ni pamoja nakusikiliza mazungumzo yao ya simu.

    Aidha imeelezwa kuwa pamojana kuwepo hofu ya matatizo hayo,vyombo vya habari navyo vitakuwakatika wakati mgumu kwa mujibuwa muswada huo iwapo utapitishwana kuwa sheria.

    Katika muswada huo imebainishwakwamba, pale chombo cha habarikitakachochapisha au kutangazahabari zinazoonekana kuonyeshaaina fulani ya uungaji mkono magaidiau kushajiisha ugaidi, wakuu wakewatakamatwa na kuhukumiwakifungo cha miaka isiyopungua 20jela. Tayari inatarajiwa kwambawabunge wa Kenya wataidhinishamuswada huo.

    Muswada huo ambao serikaliimesema utasaidia kuimarishausalama, umekabiliwa na shinikizo

    kali kutoka kwa makundi ya kiraia,wanasiasa wa upinzani na mashirikaya kutetea haki za binadamu ndanina nje ya Kenya.

    Mashirika ya Kimataifa ya KuteteaHaki za Binadamu ya AmnestyInternational na Human RightsWatch, yametoa taarifa ya pamojainayokosoa vikali muswada huo nakusema ukipitishwa kuwa sheria,utakiuka haki za binadamu kwakiwango kisichokubalika.

    Taarifa ya mashirika hayo imesemakuwa kuna wasiwasi wa kurejeatena utawala wa kipolisi nchiniKenya. Wapinzani kwa upandewao nao wamesema serikali ifanyeifanyavyo, lakini hakuna jambo lolotelinaloweza kuhalalisha ukiukwaji wahaki za binadamu.

    Rais wa Kenya, Uhuru MuigaiKenyatta alisema siku ya Ijumaailiyopita kwenye hotuba yake kwataifa kuwa, sheria hiyo ndio njiapekee ya kuvipa nguvu vyombo vyausalama kukabiliana na magaidi nahali ya ukosefu wa usalama ndaniya taifa hilo.

    Hotuba ya Rais Kenyaa katikakuadhimisha miaka 51 ya uhuru waKenya ilisisitiza juu ya ulazima wakubana mianya ya ugaidi ili kuliwekataifa katika hali ya amani na utulivu.

    Wachambuzi wengi wanaonakuwa, s h er ia h iyo in awezakuwafungulia polisi milango yakukiuka zaidi haki za binadamukatika siku za usoni kwa kisingiziocha kupambana na ugaidi.

    Hii ni katika hali ambayo, polisi

    Utawala wa kipolisi KenyaSheria ya kidhalimu yaja

    NGO zaidi ya 500 zafungwa

    ya Kenya imekuwa ikituhumiwakuwaua kiholela watu wanaoshukiwakuwa na mfungamano na makundiya kigaidi, wakiwemo viongozi wakidini katika maeneo ya Pwani yaKenya.

    Serikali ya Kenya imekuwa katikamashinikizo kubwa tangu kutokeashambulizi la kigaidi katika jumba lakibiashara la Westgate jijini Nairobimwaka uliopita, ambapo watu 67walipoteza maisha yao na wenginewengi kujeruhiwa.

    Matukio mengine yaliyofuatabaada ya tukio la Westgate kama vile

    mashambulizi ya Mpeketoni hukoLamu, mauaji ya raia katika mijiya Mandera, Wajir na hata Nairobipia ni jambo jingine linalodaiwakuchochea ari ya serikali ya kuja namapendekezo hayo ya kurekebishasheria ya usalama.

    Hata hivyo kwa upande wawale wanaounga mkono serikali,wam ete tea m ap en d ekezo yamabadiliko ya sheria hiyo ya usalama,wakisema kwa sasa Wakenya wengiwanaikaba koo serikali wakitakaich ukue h atua kwa v i ten d okukabiliana na hali mbaya ya usalamanchini humo.

    Mashirika ya asasi za kijamiiyanaelezea wasiwasi wao juu yamswaada wa kurekebisha sheriaya kupambana na ugaidi ya Kenya,wakisema ikiwa mabadiliko hayoyatafanyika kama yalivyopendekezwayatabana uhuru wa kiraia waWakenya.

    Kwa kifupi ni kwamba Muswadawa Marekebisho ya Sheria za Usalamawa Mwaka 2014, unapendekezamabadiliko kwenye sheria 21 zilizopo,ambao serikali inasema utaviwezeshavyombo vya usalama kulishughulikiatatizo la ukosefu wa usalama.

    Mswada huo mpya utafanya iwe nikosa lenye adhabu ya faini ya ahadishilingi million 1 (dola 11,000) aukifungo cha miaka mitatu jela kwakusambaza kile kilichoelezwa kuwani "vitu vichafu, matusi au mamboyenye kuudhi ambayo yanawezakusababisha hofu na wasiwasi kwawananchi" ikiwa utapitishwa kuwa

    sheria.Mswada huo pia utaipa nguvu

    Idara ya Usalama wa Taifa (NIS)kunasa na kurikodi mazungumzo

    ya simu bila ya amri ya mahakamkitendo ambacho kwa sasa kinahitaidhini ya Mahakama Kuu.

    Vile vile, vyombo vya habari nwaandishi wa habari wanaochapishau kutangaza picha za wahanga wmatukio ya kigaidi bila ya idhini aridhaa ya polisi watapewa adhabu ykifungo cha hadi miaka mitatu jela afaini ya hadi shilingi milioni 5 (do55,200), kwa mujibu wa mswada hu

    Mashirika ya habari kwa sasa yak

    huru kuchapisha vitu kama hivylakini yanaongozwa na kanuni ymadili ya Baraza la Habari la Kenyna kanuni binafsi za vyombo husik

    Marekebisho hayo pia yanampnguvu kubwa Rais kumteua Mkuwa Polisi, jambo ambalo wakosoawanasema linaifanya nafasi hiykuwa ya uteuzi unaochochewkisiasa. Kwa sasa Kamisheni ya Taiya Huduma za Polisi ndiyo yenymamlaka ya kumteua Mkuu wPolisi.

    Mswada huo pia unaondoa mudwa mwisho wa kikazi kwa Mkuu wPolisi, Mkurugenzi Mkuu wa Idarya Ujasusi na wa Mkurugenzi wUpelelezi wa Uhalifu, jambo ambawakosoaji wanasema litaingiliufanisi wa kazi na pia kuhujum

    uhuru wao na kuwafanya kutumikkirahisi na mamlaka ya uteuzi.Tayari Wajumbe wa Bunge l

    Taifa walishapangiwa kurejevikaoni kutoka mapumzikoni sikya Alhamisi (tarehe 18 Disemba) kwajili ya kikao maalum na kuupigkura mswada huo.

    Inaendelea Uk. 1

    Sheikh Mohammed Idd aikosoa vikali BakwataInatoka Uk. 3

    Madrasa inavuja na inahitaji bati15 tu, Bakwata pia haina uwezo wakukupatia bati hizo, zaidi itafanyakazi ile ile ya kukuandikia baruakwenda kuomba Miskitini au kwaTaasisi fulani.

    Abuu Idd, alisema kwa hadhi yaBakwata, ilitakiwa moja ya jukumulake katika kila Msikiti ipeleke Imamuna imlipe ili awe na jukumu la kutoadarsa na huduma za kiroho katikaeneo husika, lakini akasema Barazahilo halina mpango huo.

    Akahoji, haya majumba ya Waqfukazi yake ni nini, kwani alisema ndaniya Bakwata kuna miradi ambayo,ukiitazama kwa harakaharakamiradi hiyo ingelitumika kwa ajiliya kuendeleza Uislamu ni waziWaislamu wangekuwa wapo mbali.

    Alisema, wachamungu, waliotoamali zao wakaziweka Waqfu chiniya Bakwata, walikusudia kusaidiaUislamu uende mbele, kupitiamapesa ya mali za Waqfu.

    Badala yake Bakwata inazitumiamali hizo ili kutengezea mazingiraya wao kubaki kwenye uongozi,lakini malengo ya watoaji si kuifanyaiwepo bali kusimamia huduma kwaWaislamu na Uislamu. Alisema.

    Abuu Idd, alisema hali hiyoinasikitisha na inahudhunishakwani inapokia Taasisi ya Kiislamuambayo inajinasibisha kuwa ndiochombo cha Waislamu wa Tanzania,lakini haina uwezo hata wa kutoaJuzuu 50, ni aibu.

    Alisema, kwa upande wa mabarazaya Kikristo, mara kwa mara utasikiaMaaskofu wakiikosoa Serikali nakuwa wakali pale maslahi ya dini yaoyanapoguswa, lakini kwa Bakwatahuwa ni kimya.

    Na kuna taarifa kuwa haMaaskofu chini ya mabarazyao, wamefungua ofisi maalumitakayokuwa ni kiunganishi kati ySerikali na Makanisa.

    Hii ina maana kwamba wakitakkuzungumza na Serikali osi hiy

    ndiyo itakayotumika, hii ni mipangna mikakati, lakini kwetu chini yBakwata hilo halipo. Alisema AbuIdd.

    Mbaya zaidi, akaema kamutakwenda Bakwata kuomba mpangkazi wa maendeleo ya Waislamu nUislamu hauwezi kupata zaidi ympango kazi wa kuifanya Bakwaiendelee kwepo katika hali iliyo naysasa.

    L a k i n i h u w e z i k u p e wmaelezo ya mipango kwambmwaka huu tunatarajia kujengMadrasa kadhaa, Shule kadhaau tutasomesha Maimam kadhaambao tutawasambaza katika Misiktunayokusudia kuijenga. Alisem

    Abuu Idd.Alisema, kauli kubwa ya Bakwatsiku zote utasikia tuna malengo ykudumisha amani, mshikamano nutulivu wa nchini,

    A l i s e m a m o j a y a n j i a ykuirekebisha Bakwata ni kuwa karibnayo, ili uweze kukosoa na kutoushauri wako ukiwa ndani yake.

    A k a s e m a , u z o e f u w a kunamwambia, wanaoishikil iBakwata, wanapenda kusikiWaislamu wakiilani mbali wakiwna imani kuwa kelele hizo huishhapopao kwani hawawezi kwendkuuliza mapato na matumizi ya pesza zao.

    ASKARI nchini Kenya wakiwa nje ya jengo la biashara la Westgate mudamfupi baada ya kuvamiwa na wanaodaiwa magaidi.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    5/16

    5 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Habari za Kimataifa

    ZAIDI ya wafanyakazi mia mojawa Bunge la Marekani ambao nijamii ya watu weusi, walitoka njeya Bunge hilo Alhamisi iliyopitakupinga maamuzi ya Mabarazaya Mahakama katika miji ya NewYork City na Ferguson, Missourikufuatia kutochukuliwa hatuadhidi ya maafisa wa polisi wakizungu, waliohusika katika vifovya wanaume weusi wa Marekaniambao hawakuwa na silaha.

    Kundi la wafanyakazi wa Bunge,wengi wao wakiwa Wamarekaniweusi takriban 150 walikusanyikakwenye ngazi za jengo la Bungemuda mfupi baada ya saa tisa na nusualasiri, kuonyesha mshikamano waona mamia ya waandamanaji katikamiji hiyo, katika kile kiongozi wa diniBungeni Barry Black, alichosema niSauti ya wale wasiosikika.

    Leo hii wakati watu wote katikataifa hili wanaandamana kutetea

    haki katika ardhi yetu , tusamehenipale tuliposhindwa kupaza sautizetu kwa wale ambao hawakuwezakuzungumza au kupumua wenyewe,aliomba Bw. Black.

    Alitoa mwito Wamarekaniwasisahau historia ya nchi yao,akisema waliostahili kuchukua hatuawameshindwa na kuomba Munguawafariji wale wanaoomboleza ambaowanajua uchungu wa kupotezawapendwa wao.

    Wabunge hao waliongeza sautizao katika maandamano kote nchiniwiki iliyopita baada ya maamuzi yamajopo ya majaji walioteuliwa namahakama, kupinga hukumu kwaDaniel Pantaleo, polisi mzungu waNew York aliyehusika na mauaji yaJulai 17 ya Eric Garner, alipokuwa

    akifanya kazi yake kama mchuuzikatika eneo la Staten Island.Garner alikabiliwa na maafisa

    kadhaa wa polisi huku Pantaleoakimkaba koo, na kusikika kwenyeukanda wa video akisema I cantBreath (Siwezi kupumua) kabla yakupoteza maisha yake.

    M a e l f u y a w a a n d a m a n a j iwaliandamana katika barabara zamajiji ya Washington na New Yorkbaada ya mahakama kutoa uamuzikuwa askari aliyemuua raia mweusikwa kumkaba koo hatafunguliwamashitaka

    Punde baada ya mahakamak u t a n g a z a u a m u z i h u o w akutomfungulia mashitaka askarimzungu Daniel Pantaleo, aliyemuuamwanamume kwa jina Eric Garner

    mwenye umri wa miaka 43, mamiaya waandamanaji walikusanyikakatika ukumbi wa rockefeller nakatika ukumbi wa umma wa NewYork wakiimba hakuna haki hakunaamani.

    Kamishna wa polisi wa mji waNew York, Bill Bratton, alisemawamewakamata watu thelathini.Makundi ya waandamanaji kutokasehemu mbalimbali jijini humowalikutana kwa maandamanomakubwa katika barabara kuu yaNewYork na gazeti la WashintgonPost liliripoti waandamanaji 5,000walijitokeza.

    Awali taarifa iliyotolewa nakiongozi wa kutetea haki za raia,Al Sharpton, ilieleza kuwa Bunge

    Maandamano ya kupinga dhulma yapamba moto MarekaniWafanyakazi wa Bunge nao waunga mkono

    linahitaji kuchukua hatua kubadilishasheria na hali barabarani.

    K a t i y a w a t a o h u d h u r i amaandamano hayo ni familia zaMichael Brown, kijana aliyeuwawakatika jimbo la Missouri, na EricGarner, ambaye alikufa wakatianakamatwa mjini New York.

    Garner alikufa mikononi mwapolisi akikamatwa kwa kuuza sigaraambazo zilikuwa hazijalipiwa kodina hakuwa na silaha wakati wa tukiohilo lililotokea mwezi Julai mwakahuu.

    Kuf uat ia uam uzi h uo wamahakama, Mwanasheria mkuu waMarekani Eric Holder alisema osiyake itaanzisha uchunguzi kuhusukifo cha Garner baada ya kukabwakoo na askari.

    Hata hivyo tangazo hilo la Holder,linamaanisha kuwa kuna uwezekanoaskari anayetuhumiwa akachukuliwahatua.

    Video iliyonakiliwa wakati Garnerakikamatwa na askari kadhaainaonyesha akisema mara kadhaakuwa hawezi kupumua baada yakuwekwa chini na askari akiwaamebanwa kooni.

    Rais wa Marekani akizungumzamuda mfupi baada ya uamuzi wamahakama amesema kuuawa kwaGarner sio tatizo la watu weusi auweupe bali la Marekani nzima.

    Kesi za askari polisi waliohusikana vifo hivyo zilifutwa na kuzushamaandamano kote Marekani. Hayoyamekuja baada ya uamuzi wamahakama ya Fergusson katikajimbo la Missouri kutomshitaki askarialiyemuua kijana wa miaka 18 MichaelBrown, mwezi Agosti uamuzi ambao

    ulisababisha maandamano makubwanchini humo kupinga ubaguzi warangi.

    Askari wa kizungu nchinihumo wameshutumiwa na jamiiya watu weusi nchini Marekani,kwa kutum ia n guv u kup i takiasi wanaposhughulikia visavinavyowahusisha washukiwa Weusi

    Wakati matukio haya yakijiri katikanchi inayoitwa kuwa ni ya utawala wakidemorasia wenye kufuata misingiya usawa na demokrasia, MweziSeptemba mwaka huu Wizara yaSheria ya Marekani ilitangaza kuwauchunguzi mpya ulianza kuhusu failila mauaji yaliyofanywa na polisi yamji wa Ferguson dhidi ya Mmarekani

    mweusi, Michael Brown.Waziri wa Sheria wa Marekanialiwaambia waandishi habari kuwauchunguzi mpya umeanza katikakiwango cha Serikali ya Federali nakwamba lengo lake ni kuchunguzamwenendo wa polisi ya mji waFerguson katika jimbo la Missouri.Waziri wa Sheria wa Marekani EricHolder alisema, kuna sababu nyingiza kufanyika uchunguzi ili ibainikeiwapo polisi wa mji wa Fergusonwalikwenda kinyume na Katiba yaMarekani au la.

    Mji wa Ferguson na miji mingineya Marekani kuanzia tarehe 9 Agostimwaka huu iligeuka uwanja wamaandamano makubwa na ghasia

    zilizoandamana na ukatili wa polisiya Marekani baada ya osa wa polisiwa kizungu kumuua kwa kumpigarisasi kijana Michael Brown mwenyeasili ya Afrika, ambaye hakuwa nasilaha ya aina yoyote.

    P o l i s i i l i w a t i a n g u v u n iwaanaandanaji wengi waliokuwawakipinga mauaji ya kijana huyo nasera za ubaguzi za vyombo vya dola.

    Polisi ya nchi hiyo ilitumia gesi yakutoa machozi, maji ya kuwasha namagari ya kivita ambayo kawaidahayatumiwa isipokuwa dhidi ya aduiwa kigeni katika medani za vita.

    Maandamano ya kupinga ubaguziwa rangi yaliendelea nchini Marekanihadi tarehe 22 Agosti na baada yahapo hali ya mambo ilikuwa shwarikatika mji wa Ferguson.

    Baadhi ya viongozi wa Marekaniakiwemo Waziri Holder walikosoavikali mbinu na hatua zilizochukuliwana polisi katika kadhia hiyo. Vilevilewabunge wa Congresi ya Marekaniwalitoa wito wa kuangaliwa upyaratiba ya Wizara ya Ulinzi Pentagonya kutuma silaha za kivita na magariya deraya kwa idara za polisi kotenchini humo.

    Takwimu zilizotolewa hukoMarekani zinazonesha kuwakufungwa jela Waafrika wa Marekani,tena bila ya kuambiwa makosa yaoau kufikisha mahakamani, kutiwambaroni ovyo na bila sababu,kukanyagwa haki zao za kijamii,umasikini na ukosefu wa ajira katikajami i ya weus i wa Mare kani nimkubwa sana kuliko wenzao weupe.

    Takwimu hizo zinaonesha kuwamji wa Ferguson una asilimia 65 yaWamarekani weusi wenye asili yaAfrika, lakini inashangaza kuwaraia hao wanaunda asilimia 11 tuya maasa wa jeshi la polisi ya mji

    huo, suala linaloonesha ukosefu wmlingano na jinsi Wamarekani weuwasivyoshirikishwa ipasavyo katikmasuala mbalimbali hata ya jamii zawenyewe.

    Mwezi Agosti mwaka huu Waziwa zamani wa Mambo ya Nje wMarekani, Hillary Clinton, alisemkuwa, hakuna uadilifu katika mfumwa vyombo vya sheria vya nchi hiyo

    Clinton ambaye anatazamiwkugombea nafasi ya urais katikuchaguzi wa mwaka 2016 nchinMarekan i , am eyas em a h ayalipokuwa akiashiria tukio la mauaya kijana mwenye asili ya AfrikMichael Brown, aliyeuawa kwkupigwa risasi na afisa wa polihuko mjini Ferguson, Missouri nkuongeza kuwa, serikali inapaswkuchukua hatua kali kukabiliana ntukio hilo na mengineyo kama hayo

    Akizungumzia maandamano ykupinga mauaji na ukandamizauliokithiri dhidi ya jamii yWamarekani weusi nchini humoalisema kuwa, serikali haitakiwkufumbia macho mapungufu n

    vitendo vinavyokinzana na uadilifkatika idara za mahakama nchini.

    Aliitaka serikali kufanya juhudkubwa kurejesha hali ya uaminifu wwananchi kwa serikali.

    Kufuatia wimbi la maandamanmakubwa ya kupinga ubaguzi wrangi na ukatili vinavyofanywa npolisi na vyombo vya sharia nchinhumo dhidi ya Wamarekani wenyasili ya Kiafrika, Kamishna Mkuwa Haki za Binadamu wa Umojwa Mataifa Navi Pillay, aliitakMarekani kujiangalia yenyewkabla ya kuzituhumu nchi nyinginza dunia kuwa zinakiuka haki zbinaadamu.

    ASKARI polisi wa Marekani alinayetuhumiwa kumuua Mmarekani mweu(picha ndogo)

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    6/16

    6 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    KAMA ilivyokuwa kwa GeorgeW Bush, Rais Uhuru Kenyattaanasema kuwa, ama Wakenyawawe pamoja naye, au watakuwapamoja na magaidi wa al-Shabaab.

    "No freedoms are being curtailedunless you are a terrorist yourself.No part of our constitution has beenviolated."

    "The time has come for each andevery one of us to decide and choose- are you on the side of an open,

    free, democratic Kenya... or do you

    stand with repressive, intolerantextremists.Ameyasema hayo Uhuru

    Kenyatt a akitetea muswadawa sheria ya kupambana naugaidi unaoshutumiwa kuwadhidi ya haki za kikatiba na zakibinadamu kwa wananchi waKenya. Akitangaza Vita dhidiya ugaidi kwa mara ya kwanzaambapo aliita ni Crusade, Bushalisema ama upo pamoja naye(Marekani) katika vita hiyo auupo pamoja na magaidi. Hakunanafasi ya ziada.

    Sasa Rais Uhuru Kenyattanaye anayasema hayo katikakuchagiza Wabunge na Wakenyakwa ujumla kuikubali sheria

    mpya ya kupambana na ugaidiiliyofikishwa bungeni. Sheriahiyo imetajwa kuwa mbovukabisa inayokiuka katiba nahaki za binadamu. Inaelezwakuwa sheria hiyo inawaruhusumaofisa wa vyombo ya dolakukamata na kuwashikil iawatu kwa mwaka, bila hataya kuwafikisha mahakamani.Inaelezwa kuwa muswada washeria hiyo umebuniwa harakaharaka kutokana na tukio lakuuliwa watu 29 walioshushwakatika gari na kupigwa risasibaada ya ku tamb ul iwa kuwani Wakristo. Ikadaiwa kuwawaliofanya mauwaji hayo ya

    kikatili ni al-Shabaab.Likielezea sheria hiyo, gazetila Daily Nation limeitaja kuwa nimzawa wa ile sheria maarufu yaMarekani-US Patriot Act, ambayoimejengwa juu ya dhana kuwanamna bora ya kupambana naugaidi ni kuwa na Tifa la Kipolisi(police state) ambapo vyombo vyadola na jeshi vinaweza kuvunjahaki na uhuru wa yeyote bila yakuulizwa. Chini ya sheria hiyo,hata kuandika habari za mtualiyeteswa na polisi kwa tuhumaza ugaidi ni kosa lenye kutolewaadhabu kali. Kama ni kuandikampaka upate kibali cha polisi.

    Somo gumu kufahamika au ndio ushenga wa ajali!Rais Kenyatta afuata nyayo za Bush

    Aljazeera nao waibua maswali mengi

    Waislamu, Wakristo Kenya njia panda

    RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya. GEORGE W. Bush, Rais wzamani wa Marekani.

    Na Omar Msangi Hii maana yake ni kuwa watuwatakamatwa na kuteswa hatakuuliwa bila taarifa zao kujulikanakwa sababu ni marufuku vyombovya habari kuandika habari hizo.

    Hivi sasa, watu wanakamatwaKenya, kuteswa na hata kuuliwakinyume kabisa na sheria kamailivyoelezwa katika makala yaAljazeera. Watu wanajiuliza,ikipitishwa sheria hiyo, halii takuwaje? Au ndio sheriainatungwa kuhalalisha yaleambayo yamekuwa yakifanywana kilichodaiwa kuwa ni kikosicha mauwaji kilichowauwa Sheikh

    Aboud Rogo na Sheikh Makaburi?Lakini kinachosikitisha zaidikatika mjadala unaoendeleaKenya juu ya sheria hii mpyajuu ya ugaidi ni kuwa, tatizo lamsingi na ambalo ndio linaitafunaKenya na wote waliozamishwa nawatakaokuja kuzamishwa katikavita hii feki; halisemwi. Wabunge,wanasheria, waandishi wa habarina watetezi wa haki za binadamu,wote wanachozungumzia ni juuya kuvunjwa haki za kikatibana haki za binadamu. Maswaliya msingi ni je, sheria hizi (ziwezinavunja haki za binadamu aula) na kuwa na vikosi maalum,ndio utatuzi wa unaoitwa ugaidiwa al-Shabaab? Je, tunamjua adui

    tunayepigana naye? Ni adui wakweli au wa kufikirika? Aduiyetu ni nani? Au tunahangaika naboya? Na boya hili katutupia nanina kwa malengo gani? Kwa ninial Shabaab wawe maadui zetu?Je, wana uwezo huo wa kufanyawanayodaiwa kufanya Kenya?Al-Shabaab inapambana na jeshila serikali ya Somalia, al-Shabaabinapambana na AMISOM, al-Shabaab inapambana na majeshiya Kenya yaliyoko Somalia, al-Shabaab inapigwa na Marekanikutoka angani kwa kutumiaDrone. Al Sahaab hii ni dubwanala namna gani la kushindana nanguvu zote hizi? Je, yenyewe

    inapata wapi silaha na uwezo wakukabiliana na nguvu zote hizo?

    Uzoefu kutoka YemenMy name is Fahd Abdullah

    Ahmed Ghazy. I am a human being --a man -- who is loved and who loves.

    Hayo ni maelezo ya mfungwawa Guantanamo-ISN 026, kijanawa Kiyemen Fahd AbdullahAhmed Ghazy aliyekamatwamwaka 2001 akiwa na miaka 17.Hivi sasa ana umri wa miaka 31bado yupo jela na katika mudawote huo hakuwahi kukishwamahakamani . Mwaka 2007vyombo vya usalama na vya

    kisheria vya Marekani, kwapamoja vilisema kuwa mtotoGhazy, hana hatia. Alikamatwakimakosa kwa hiyo aachiliwe.Hata hivyo, mpaka sasa serikaliya Barack Obama haijawekamipango ya kumwachia kijanahuyo na kumrejesha kwao Yemen,kijiji cha Diwan, ambapo mkewembichi kabisa aliyemwacha namimba, amekuwa akimlea pwekebinti yao Hafsa. Hafsa hivi sasaana umri wa miaka 13, hajawahikumwona baba yake wala babahajawahi kumwona mtoto wake.

    Jina langu ni Fahd AbdullahAhmed Ghazy. Ni binadamu-mwanaume - anayependwa naanayependa.

    Hapa, Guantanamo, sijawahikusikika. Napuuzwa tu. Katikamiaka 13 ya ki fungo bi lamashitaka, sijaweza kumwelezamtu yeyote mimi ni nani hasa.

    Ningependa kuwa na uwezo wakueleza kilichojiri katika miaka13 ya Guantanamo. Akili yanguinakwama ninapojaribu kukiriaja mb o hi lo . Na si na ma nenoyanayoweza kukufanya uelewekikamilifu.

    Nakuasa: Uwe sauti ya wasiona sauti - kwa ajili ya binadamumwingine ambaye anateseka.Kwa vile sasa umesikia habariyangu, huwezi kukwepa jukumula kunisaidia.

    Hiyo ni kauli ya kijana FahdAbdullah Ahmed Ghazy kwawanasheria na watetezi wa haki zabinadamu. (Tazama: I Grew Up inGuantanamo: Now That You HaveHeard My Story, You Cannot TurnAway.)

    I grew in Guantanamo,nimekuliwa Guantanamo, nimsemo anaopenda kuutumiaGhazy akisimulia masaibu yakekila anapoandika barua au kupatafursa ya kuongea na watetezi wahaki za binadamu na wanasheria.

    Serikali ya Marekani inasemkijana huyo hana hatia, lakini nanatalipa dhulma hiyo? Kwa miak17 maisha na matarajio ya kijanhuyo, yamepotelea Guantanamnani atamlipia hasara hiyo?

    Guantanamo, ndio gerezla mateso walikolundikwwatuhumiwa wa ugaidi kutokYemen, Afghanistan, PakistanIraq n.k. Na tunaambiwa kuwkwa kukamatwa watu hao nkuchwa, ni katika mikakati ykuondoa ugaidi. Labda tujiulizhali ikoje leo katika nchi hizo

    Na tukumbuke kuwa, pamojna kukamatwa kijana Ghazna wenzake (Yemen ndiyyenye wafungwa wengi zaidGuantanamo), Yemen iliwek(wekewa na Marekani) mikakamingine ambapo ndege zkivita za Marekani zilikuwzikishambulia na kuuwa watuhalafu serikali inasema ni askawake wamefanya mashambulihayo kukabiliana na ugaidi. Lakintukumbuke pia kuwa pamoja nsheria na kuweka vikosi maalumYemen ilipewa zawadi nyinginya kupambana na ugaidi: IlipewDrone. Watu wakiuliwa kiluchao. Lakini leo matukio yugaidi ni mengi na ya kutishzaidi Yemen kuliko ilivyokuwmwaka 2001 alipokamatwa FahGhazy.

    Hakuna mahali popote dunianambapo sheria kali na vikomaalum vya kupambana nugaidi vimefanikiwa kumaliztatizo. Bali uzoefu unaonyeshkuwa kadiri unavyokokotwa nkuingizwa katika vita hii na kadiunavyojizatiti kupambana, ndivyunavyozamishwa katika wimbla mashambulizi na umwagadamu.

    Aliwahi kujisemea aliyekuwWaziri wa Mambo ya Nje w

    Inaendelea Uk.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    7/16

    7 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    Somo gumu kufahamika au ndio ushenga wa ajali!Inatoka Uk. 6

    Uingereza, Robert Finlayson"Robin" Cook , kwamba, al-Qaida (A-Shabaab na wenzao) nimagaidi wa kubuni na wa kutumiwa

    na mabeberu kwa malengo yao.Sasa labda ujiulize, vipi unawezakupambana na adui wa kubuni halafuukashinda?

    Pamoja na matatizo waliyokuwanayo Somalia, vita vyao havikuwatatizo la Kenya, Uganda, Zanzibarwala Dar es Salaam, ukiacha tatizola wakimbizi. Lakini tukaimbishwakuwa al-Shabaab ni magaidiwanaohusiana na al-Qaidah.Tukaupokea wimbo tukaimba kwajuhudi na mbwembwe nyingi mithiliya zile nyimbo na ngonjera za JohnKomba wa TOT, utadhani ni wetutulioutunga wenyewe!

    Katika shambulio la WestgateShopping Mall, Nairobi. Tuliambiwamagaidi kati ya 10 na 15 kutokaSomalia waliigia Kenya wakiwa nagari lililosheheni silaha wakaingiakatika kituo hicho maarufu chakibiashara na kuanza kuuwa watu.Walivamia tarehe 21 Septemba 2013,na kudumu katika jengo hilo hadi24 Septemba ambapo ilidaiwa kuwawatu 67 waliuliwa na wengine zaidiya 175 kujeruhiwa.

    Polisi, vikosi maalum vya polisi,Idara za Usalama za Ndani na Njeya Kenya na jeshi la Kenya, wotehao walikuwa katika operesheniya kukabiliana na magaidi hao 15kutoka Somalia! Vifaru na silahanyingine nzito za kijeshi, vikaonekanavikiranda na kuzingira Nakumati.

    Hata hivyo, vikosi vyote hivyohavikufanikiwa japo kukamata aukuuwa hata gaidi mmoja na kuonyeshamaiti yake! Magaidi wakafanyawaliyofanya, wakajiondokea zao

    wakaacha huku nyuma wanajeshi,serikali na wananchi wa Kenya,wakiparurana kuwa badala yakupambana na magaidi, wanajeshiwalikuwa wakipora mali na kulewa.

    Taarifa za kuingia magaidiNakumati, Westgate, Nairobi,zilipambwa na kusindikizwa navisa vyingi vilivyonogeshwa zaidina vyombo vya habari vikiwa vilevilivyopigiwa zumari kuonyesha jinsimagaidi hao al-Shabab walivyokuwakatili kwa Wakristo. TV na magazetiyakaandika na kupamba kwambamagaidi hao walikuwa wakiwapamateka wao mtihani, anayefaulukuthibitisha kuwa ni Muislamuanaachwa, anayefeli anapigwarisasi kichwani. Lakini tukaambiwa

    pia kuwa hata watoto wadogowakithibitika kuwa ni Wakristo,walikuwa wakibamizwa vichwavyao katika ukuta au mikono yaokukatwa ikachongwa na kufanywakalamu za kuandikia huku damuikifanywa wino. Vyombo vya habarivikasherehesha sana habari hizi.

    Mpaka tukio l inamalizika,ishawekwa ushahidi kuwa wapomagaidi wanaoitwa al-Shabaab weyeuwezo wa kushinda polisi, Idaraya Usalama ya Kenya na Jeshi lotela Kenya likipewa msaada kutokaIsrael na Uingereza! Lakini maadhalituliambiwa kuwa walikuwepomakachero wenye silaha nzito waMOSSAD na wale wa Uingereza

    (na Marekani?), ni kwamba tukioliliweka muhuri pia kuwa magaidihao ni hatari mno kiasi kwambahata wazito hao wa kidunia katikavita na ukachero, hawana ubavu wakukabiliana nao!

    Maadhali ushaweka msingi huo,na maadhali ushakubali kuwa unakitisho hicho cha ugaidi wa kiwangohicho, katika ulimwengu huu wa Vitadhidi ya Ugaidi, yaliyosalia au tusemeyatakayokuja kufanyika baadaeili kuendeleza vita ya wenyewemabeberu dhidi ya ugaidi, walahutakuwa na udhibiti nayo. Huondio ukweli. Kuiga US Patriot Act nakuifanya sheria yako ya nchi, unaziditu kujitosa katika balaa.

    Yaliosemwa na AljazeeraWiki iliyopita kituo cha Aljazeera

    kilitoa makala iliyodai kuwa Kenyakuna kikosi cha mauwaji ambachondicho kinachohusika na kuuliwaMasheikh na watu mbalimbaliwanaotuhumiwa kwa ugaidi .Wanahojiwa maofisa wa vyombovya usalama na kutoa ushuhuda wakutisha. Japo hawaonyeshwi sura,lakini ni jambo la uhakika kwambaserikali inaweza kupitia taratibu zakeikawatambua watu wale. Swali ni je,maosa wale walipata wapi ujasiriule wa kuiumbua serikali? Lakinipia pale inatajwa Israel, Uingerezana Marekani. Na tunafahamu kuwaAljazeera makao yake yapo Qatar, naQatar inafahamika nafasi yake katika

    ushirika wake na mataifa hayo katikavita dhidi ya ugaidi. Ukiyatizama yotehaya, lazima ikupe wasiwasi kuwahuenda haya makala yametolewamakusudi kwa malengo maalum.Kwa sababu kwanza hakuna namnaambayo mwandishi wa Aljazeeraangezipata taarifa zile za siri, na kamasi kwa kuruhusiwa hakuna namnaambayo watumishi wale wa vyombovya dola wangeyasema waliyosema.

    Makala yanaonyesha jinsi Masheikhna Waislamu wanavyouliwa navyombo vya dola. Kinachotarajiwa nikuwa Waislamu watapata hasira, nani jambo la kawaida. Wakipata hasirakuna hatua watachukua.

    Binafsi nahisi kuwa penginei l i t a r a j i w a k u w a k w a y o t eyaliyokwishafanyika, sasa Kenyakungekuwa hakukaliki. WameuliwaMasheikh na Waislamu mbalimbalikikatili na hadharani. Lakini piawameuliwa waliodaiwa kuwaWakristo pale Nakumati ikidaiwakuwa W ais lam u wal iwekwakando kisha Wakristo wakapigwarisasi. Juzi pia tunaambiwa kuwaabiria wameshushwa katika basi,ukionekana Mkristo kwa kutokuwezakutamka Shahada au kusoma Aya yaQuran, unapigwa risasi. Yote hayakwa hali ya kawaida, labda ilitarajiwakuwa yangetosha kuilipua Kenya.

    Hivi sasa Wakristo na Waislamuwangekuwa wanashikiana bunduki,mikuki, panga na pinde. Sasa labdainaonekana mambo yanachelewa.Pengine makala hii ya Aljazerakuwaambia Waislamu wanauliwana vikosi maalum vya serikali, basimambo yatakwenda mbio mbioKenya kuzama katika machafuko.

    Likipatikana tukio ambapo vijanawa Kiislamu wa uhakika, si wakupandikiza, wamelipua kituo chapolisi au kanisa, na likipatikanatukio la uhakika ambapo Wakristowatakuwa wamevamia Waislamu nakuwauwa wakilipiza kisasi, bila shakahuo utakuwa mtaji wa uhakika wakuleta yote yale tunayosikia ya BokoHaram, Nigeria. Yatafanyika mambowala hutajua anayefanya nani, ila

    kama kawaida utaaambiwa magaidiwa al-Shabaab wamekiri kufanya!Hiki ni kitendawili na dilema kwaWakenya . Itabidi watafakari nakunoa bongo zao vyema katikakukitegua. Lililo la ukweli na uhakikani kuwa, njia anayotumia Rais UhuruKenyaa, haitaisaidia Kenya zaidi yakuizamisha zaidi katika mauwaji naumwagaji damu. Swali ni je, Rais navyombo vyake hawayajui haya?

    Tunayo ya kujifunzakutoka US Patriot ActRais Barack Obama alipotaka

    kupeleka jeshi Iraq/Syria kukabilianana ISIS, alipata upinzani mkali. Lakinimara baada ya tukio la kuchinjwamwandishi wa habari wa Kimarekani

    James Foley (iwe alichinjwa kweli ala), akapata uungwaji mkono kutokndani ya Bunge na kwa wananchi.

    Kilichotangulia kupitishwa kwUS Patriot Act, ni kilichodaiwkuwa ni ugaidi wa kimeta (Anthra

    Terror Attack). Watu, wakiwemwabunge na waandishi wa habawakatumiwa barua ndani yakkukiwa na vimelea vya kimetMiongoni mwa watu waliotumiwkimeta hicho ni wabunge wawiwaliokuwa wapinzani wa sherhiyo, Maseneta Tom Daschl(South Dakota) na Patrick Leah(Vermont. A), wote wa chamcha Democrat. Na ili ngomipate wachezaji wenye sauyenye kupaa hadi mbali, kimetkikatumwa pia kwa vyombo vyhabari kama ABC News, CBNews, NBC News, New York Pona National Enquirer.

    Baada ya watu watano (5) kuna wengine kuambukizwa nkuwahi kutibiwa, huku ushahidwa kisanii ukiachwa kuwahusishWaislamu/Al-Qaida, na ugaidhuo, upepo ukabadilika. Bunglikaunga mkono USA PatrioAct ikapitishwa haraka harakna sisi huku tukamegewa. PiuMsekwa wakati huo Spika wBunge akachagiza Wabunge kuDodoma sheria ikapita.

    Sasa leo gazeti la Daily Natiola Kenya linasema kuwa Sherihii mpya anayokuja nayo UhurKenyatta inaletwa kutokanna matukio ya kuuliwa wat64 hivi karibuni halikadhalikkuongezeka kwa ujahidina kw

    vijana wa Pwani (Mombasaambapo ilibidi polisi kuvamimisikiti minne na kuifunga kwmuda. Likiandika habari hizDaily Nation lilisema:

    is a response to the slaughter 64 people by Al-Shabaab, the Soma

    group in the last fortnight and thincreasing radicalizing of youths b

    Jihadists at the Coast and elsewhereKwa Anthrax Terror Aacks

    iliyoibua US Patriot Act, ilichukumiaka minne (Septemba 2001Aprili 4, 2005) hadi kuanzkuvuja na kusambaa habari kuwkumbe kile kimeta kilichodaiwkutoka kwa Waislamu wa Iraq/A

    Qaidah, kilitoka katika maabarza kijeshi za Marekani, ForDetrick in Frederick, MarylandHadi sasa kesi iliyofunguliwju u ya wali os am ba za ki me thicho imekwama kwa sababmtuhumiwa mkuu Dr. BrucEdwards Ivins, alikufa kifcha kutatanisha Julai 29, 2008ikidaiwa kuwa alijiuwa kwa sumya acetaminophen.

    Hatujui itachukua muda gankujua ukweli juu ya tukio lkuuliwa watu 64 linalotumiwkama sababu ya kupitisha harakharaka sheria hii ya kupambanna ugaidi Kenya. Tusubiri!

    MAREHEMU Ibrahim Rogo. MAREHEMU Aboud Rogo.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    8/16

    8 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    LEO tutazungumzia sababuz i na z ope l e ke a t uuguemaradhi ya meno, na hatuatunazopaswa kuchukuakulinda afya ya vinywa

    vye t u , i l i kupunguz auwezekano wa kuingiakatika mazingira ambayoyanaweza kuwa hatarishikwetu.

    Pamoja na mambo mengine,hatua hizi zitatusaidiakupunguza uwezekano wakupata maradhi ya meno.Tukipunguza uwezekanowa kupata maradhi ya meno,tutapunguza uwezekanowa kukutana na aina yamatibabu ambayo yanawezayakatusababishia matatizozaidi ya kiafya.

    Mago n jwa ya m en o ,kama yalivyo magonjwamengi mengine, ni dalili aukiashiria tu (signal) kuwa

    kuna tatizo katika eneo fulanila miili yetu. Aghalabu kiinicha tatizo kinakuwa kikombali kabisa na eneo daliliinapoibukia. Tunapoachakusaka kiini cha tatizo,tukahangaika kupigana nadalili, matokeo yake aghalabuhuwa ni mabaya zaidi. Kwabahati mbaya sana hi i nifalsafa ambayo imeupigachenga mfumo wa tiba waKimagharibi. Na ni bahatimbaya zaidi, kuwa huu ndiomfumo tunaoutambua kamawa kisasa, ama mfumo rasmiwa tiba. Kwa kulitambuahili, leo tutajikita zaidi katikafalsafa inayotumiwa zaidina wadau wa tiba mbadala.Kwa wadau hawa kwao tibani kuondoa kiini cha tatizona siyo kuhangaika na dalili.

    Kwa mfano, unapoumwana jino na ukakimbiliakulitoa, huko ni kuhangaikana dalili. Utaratibu mzuriungekuwa ni kujiuliza hivini kitu gani kimepelekeajin o hil o lik aan za kuuma,na ukishagundua kiinicha tatizo uchukue hatuaza kuondoa kiini cha tatizohilo. Kwa utaratibu huu,siyo tu kwamba utakuwaumetibu jino linalokusumbuakwa wakati huo, lakini piautakuwa umetoa ulinzi kwameno yako mengine ambayokwa wakati huo yatakuwabado hayajaanza kuuma.

    Pamoja na kwamba zikosababu kadhaa zinazowezakumpelekea mtu kupatamaradhi ya meno, sababukubwa ni mbili. Sababu hizini:

    1. Chakula; na2. Usa wa kinywa.

    ChakulaKila chakula ni mjumuiko

    wa viambata vya kikemikali(chemical components)ambavyo hufanya kazikwa pamoja vikiwa katikahali ya mizania (balance).Uchakatuaji (processing)hundosha mizania iliyopona kuvuruga utaratibu

    Sababu za magonjwa ya meno na jinsi ya kujitibuNa Juma Kilaghai w a k i a m b a t a k i m o j a

    kutegemea kingine kufanyak a z i i l i y o d h a m i r i w abi la ku sa ba bi sh a at ha rimbaya. Kadri kiwango chauchakatuaji kinavyozidikuwa kikubwa, ndivyo

    mizania baina ya viambatai n a v y o z i d i k u p o t e a ,na ndivyo athari mbayazinavyozidi kuongezekakwa mtumiaji wa chakulakilichopitia mchakato huo.

    Kat ika v yakula v yawanga (carbohydrates)vilivyochakatuliwa kwakiasi kikubwa, mizania yaviambata imeegemea sanakwenye sukari nyepesi(simple sugars). Hii ni kwasababu katika uchakatuajihuo viini hai (protini), mafuta(fats), vimengenya (enzymes)na nyuzi l ishe ( f ibers)kuondolewa. Hii ina maanakwamba mtu anayekula sanavyakula hivi huingiza kiasikikubwa sana cha sukarimwilini mwake; sukariambayo haina viambata

    m w e n z a v y a k u i z u i aisisababishe athari mbayamwilini. Moja ya sukarihizi, fructose, inatuhumiwakupelekea kuzaliwa kwakiwango kingi cha tindikalimkojo (uric acid), wakati wakuchakatuliwa kwake ndaniya mwili.

    T i n d i k a l i n i k i t uchochote kile ambachokinapoyeyushwa kwenyemaji huongeza idadi yachembechembe zenye kubebaumeme chanya. Kipimokinachotumika kutambuaukali wa tindikali na vituvingine vilivyoyeyushwakwenye maji na kutengenezavimiminika huitwa kipimoc h a p H . K i p i m o h i k ik im egawan ywa kat ikatarakimu kuanzia 0 hadi 14.Kwa kawaida kimiminikachochote ambacho pH yakeni kati ya namba 0 na namba7 huhesabika kama tindikali(acid), na kile ambacho pHyake ni kati ya namba 7 nanamba 14 huhesabika kuwani alikali (alkali). Namba 7 nipH ya maji halisi yasiyo nachochote kili choongezewandani yake.

    Alikali ni chumvi yoyoteile inayotokana na madiniy a n a y o j u l i k a n a k a m amadini ya alikali na yaleyanayojulikana kama madiniya alikaline (alkaline earth

    metals). Yaliyo maarufuzaidi miongoni mwa madinihaya ni sodiumu (sodium),potasiamu (potassium),magnesi (magnesium), nakalisi (calcium).

    Kadri namba kwenye

    kipimo cha pH inavyozidikuwa ndogo kuelekea 0,ndivyo ukali wa tindikalihusika unavyoongezeka,na kadri namba kwenyekipimo hicho inavyozidi

    kuwa kubwa kuelekea 14,ndivyo ukali wa alikalihusika unavyoongezeka.

    Kimaumbile ukiondoamajimaji yaliyomo katikamfuko wa tumbo ambayoyana pH ya kati ya 1 na5 kutegemeana na kamaumekula, au hujala; na kamaumekula, aina ya chakulaulichokula, vimiminikavingine vinavyokuwemomwilini muda wote vina pHkati ya 7 na 8.

    Ukiondoa ukweli kwambatindikali mkojo inaposimamakama yenyewe ina madhara

    mengi mwilini, lakini piahuchangia katika kuongezakiwango cha mkusanyikowa tindikali mwilini kutokakatika vyanzo vinginembalimbali. Vyanzo hivivingine ni pamoja na:

    1. Vyakula vyote vya ainaya protini (protein);

    2. Vyakula vyote vyaaina ya wanga (hata kamahavijachakatuliwa);

    3 . Matun d a a in a yacranberry; na

    4. Mchakato wa kuishi(yaani kupumua, kuona,kusikia, kukiri, kutembea,nakadhalika).

    Kuwa hai ni kitendokinachohitaji matumizimakubwa ya nishati. Kila seliza mwili zinapozalisha nishatihii na kisha kila inapotumika,moja ya mazao ya vitendohivyo ni kuzalishwa kwatindikali. Hii ina maanakwam ba k i la s ekun d etindikali inaongezeka ndaniya mwili. Ongezeko hili nihatari sana kiafya iwapohatua sahihi hazichukuliwikukabiliana nalo.

    T in d ika l i h up o o zwakwa alikali. Kwa sababu hiitunahitajika tuwe tunakulakwa wingi vyakula vyenyemadini ya alikali au yale yaalikaline. Vyakula pekeevinavyoweza kutupatia kiasikikubwa cha madini haya

    ni vile vya mchanganyikowa mbogamboga za majani,na vile vya mchanganyikowa matunda. Kwa bahatimbaya sana wengi wetutunakula vyakula hivi vikiwachini ya kiwango halisi cha

    mahitaji ya miili yetu. Halihii huilazimisha miili yetukutafuta njia mbadala yakujitetea dhidi ya tindikalin yin gi in ayo o n gezekamwilini.

    M o j a y a h a t u azinazochukuliwa na mwilidhidi ya ongezeko kubwala tindikali mwilini palekunapokuwa hakuna alikaliya kutosha kutoka kwenyelishe, ni kutoa ishara kwamifupa kuanza kuachiamadini ya kalisi (calcium)kuingia kwenye mzunguko.Kitendo hiki kinachukuliwak a m a c h a d h a r u r akinacholenga kuusadia mwilikufanya kazi ya kuipooza

    tindikali iliyojilundika.Hapa mwili unatatuatatizo kwa kutengenezatatizo jingine, lengo likiwa nikujihifadhi na hatari iliyokousoni. Hekima ya mwili hapani kuwa unaweza kuishi namifupa iliyodhooka, lakinihuwezi kuendelea kuishina kiwango kikubwa chatindikali kinachojilundikamwilini ! Mwili wakounakutarajia uchukue hatuamadhubuti na za harakakuijiondoa katika dharurahii . Ni kama vile palegari yako inapolazimikakutembelea gurudumu laakiba. Matarajio ni kwambautachukua hatua za harakasana kuhakikisha kuwakitendo hicho kinakuwa nicha muda mfupi. Kwa kifupikinachotarajiwa na mwiliwako ni kuurejeshea mwilihuo akiba ya kutosha yamadini ya alkali au yale yaalikaline, tena bila kuchelewa.

    Meno, kama ilivyo mifupamingine mwilini, huathiriwapia na hali hii ya kupotezam ad in i ya ka l i s i p a letindikali inapozidi mwilini.Dalili kubwa kwamba mtuumeathiriwa na hali hii niudhaifu unaodhihirishwa nameno yako pale yanapoanzakukatika na kumegukahovyo.

    Tindikali pia inapozidimwilini hufikia pahala

    ikaanza kubadilisha pH zavimiminika (body fluids)m b a l i m b a l i v i l i v y o k okwenye mwili. Vimiminikahivi ni pamoja na damu,mate, majimaji yaliyokokatika mfuko wa tumbo,majimaji yanayozalishwana ini na kongosho kwaajili ya uchakatuaji wachakula kwenye utumbomwembamba, majimaji ya utiwa mgongo, manii, machozi,nakadhalika.

    I w a p o t i n d i k a l iinayozalishwa mwilini kilasekunde na kujumuika na ileinayotoka kwenye lishe kamatulivyoona haitapoozwa,

    basi italundikana na kuanzkubadilisha vimiminikmwilini kutoka hali yualikali (pH 7 -8) na kuwkatika hali ya utindikali (pchini ya 7).

    Moja ya vimiminik

    vya mwili vinavyowezkuathiriwa na hali hii nmate. Wingi wa tindikamwilini unaweza kupelekemate kupoteza hali yakya asili ambayo ni alikadhaifu (slightly alkalinena kubadilika kuwa katikhali ya utindikali. Hilikitokea meno yatakuwkatika mazingira ya kupamadhara zaidi kwa sababsasa yatakuwa yanaogelemoja kwa moja katikbahari ya mate yenye haya utindikali. Hii ina maankwamba sehemu kubwa ymadini ya kalisi yaliyokkwenye meno itakuwinayeyuka moja kwa mo

    kutoka kwenye meno nkuingia kwenye mate kwlengo la kupooza tindikakwenye mate hayo. Kwkuwa sehemu kubwa ykalisi itakayoyeyuka ni iiliyoko kwenye jino kwnje, sehemu ya ndani ya jinitapoteza kinga yake dhidya hali kama za joto, barina ukakasi. Wale wote wenymalalamiko ya meno yakuathiriwa na joto, baridi nhata vitu vyenye ukakasbasi wajue kuwa moja ysababu kubwa za hali hiyndiyo hiyo tuliyoielezea.

    K u j i l i n d a d h i d i yuharibifu wa meno na mifupmingine unaosababishwa ntindikali unahitaji kufanymabadiliko makubwa katiklishe yako. Wataalamwanasema ili kuuweka mwkatika viwango vya tindikaambavyo havina madharkiafya asilimia themaninya chakula chako kwenysahani iwe ni mbogambogna matunda, na asilimia 7ya mbogamboga na matundhayo viwe katika hali yubichi.

    UsaMabaki ya vyakula vy

    wanga vilivyochakatuliwkwa kiwango kikubwyanayokuwemo mdomonbaada ya kula pia yanakuwna kiwango kikubwa ch

    sukari kama hivyo vyakuvyenyewe. Sukari hii nkivutio kikubwa mno chbakter ia wa ain a ya grapositive. Bakteria hawwanapoingia kinywankwa nia ya kufuata mabay a v y a k u l a , h u j i k u twakishambulia na menpia, hasa pale meno hayyanapokuwa ni dhaifna ambayo hayafanyiwusafi wa kina. Matokeya mashambulizi haya nuharibifu zaidi kwa meno, nhatimaye maumivu.

    W a t u w e n g i h u w

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    9/16

    9 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    PINGILI YA UTI WA MGONGO YAPONA!

    Mimi nilikuwa mtu wa kwanzakabisa kushuhudia maajabu ya hiichai. Niilibuni hii chai kama jaribiola kutibu pingili yangu ya mwishoya uti wa mgongo (karibu na kiuno)ambayo ghafla ilikuwa imeanzakunipa maumivu makali, haswamida ya asubuhi baada ya kuamka.

    Siyo siri, nachukia mno dawa zakifamasia. Kutokana na kutozipendadawa hizo niliamua nichukuekwanza sheria mkononi, na iwapoitashindikana ndipo nijisalimishekuzitumia! Kwa sababu kitaalumamimi ni mkemia mtafiti wa vituasili vyenye uhai (organic natural

    products research chemist) niliamuakufanya utafiti. Kama ilivyo adahatua ya kwanza ya utati wowote niutati wa nyaraka (literature review).Kimsingi utati wangu uliishia katikahatua hii, kwani kupitia nyarakambalimbali stahiki niliweza kubainimimea kadhaa ambayo ilikuwa namwelekeo wa kuweza kunitatuliatatizo langu. Baada ya tafakuri yakina niliamua kubuni mchanganyikowa mimea hii katika muundo ambaomtumiaji angetumia kama chai.

    Kama nilivyotangulia kusema,nikawa mtu wa kwanza kabisakuitumia hii chai. Maajabu! Ndani yasiku tatu za matumizi maumivu yaleya pingili yalitoweka na hadi leo sijuiyalikopotelea. Huu ni karibu mwakawa tano sasa! Kufuatia matokeo hayaya kustaajabisha niliamua kuiita chaihii HAIIBA TIMAMU TEA

    HAPA CHINI NITAELEZEA VISA VINGINEVICHACHE VYA KWELI AMBAVYO NADHANIVINAHALALISHA KUIITA CHAI HII KUWA NICHAI YA AJABU!

    1. MKE WANGU APONA MAUMIVU SUGUYA KICHWA!

    Baada ya kupona maumivu yapingili yangu ya uti wa mgongo,nilipata hamasa ya kuishawishifamilia yangu kutumia chaiiliyonitibu. Baada ya siku chachemke wangu alinipa siri yake yamuda mrefu. Alisema kuwa alikuwaakikabiliwa na maumivu ya kichwaya muda mrefu na alikuwa amejaribumatibabu mbalimbali ya hospitali

    bi la ku ni am bi a la ki ni ha ik uwaimemsaidia. Aliniambia kuwa baadaya mimi kuwahamasisha watumieHAIIBA TIMAMU TEA aliamuakujaribu japo kwa shingo upandelakini alishangaa kuwa baada yasiku chache maumivu yote yalikuwayametoweka!

    2. ARUDIA KULA NYAMA NYEKUNDU!

    Siku moja alikuja rafiki yangum m o ja akad ai kwam ba k i laalipokuwa akila nyama nyekundualikuwa anapata maumivu makalikwenye viungo (joints) haswa kwenyevifundo vya vidole. Nilimwambiakuwa uwezekano mkubwa ni kuwaalikuwa anakabiliwa na ugonjwa wa

    CHAI YA AJABU!

    Ni kitu gani cha ajabu juu ya hii chai tuliyochagua kuiita Haiiba Timamu Tea?Na. Juma Killaghai jongo (gout). Kwa kuwa raki yangu

    huyu anafahamu kuwa nafanya tatiza tiba mbalimbali zinazotokanana mimea na viumbe hai vinginealiniuliza iwapo nilikuwa na dawa.Nilimjibu kuwa nilikuwa nimebunichai fulani inayoitwa HAIIBATIMAMU TEA ambayo pengineingeweza kumsaidia. Siku chachebaadaye alinifuata akaniambia kuwabaada ya kutumia CHAI niliyompatatizo lake lilikuwa limekwishana alikuwa ameanza kula tenanyama nyekundu bila kuathiriwa namaumivu makali ya viungo.

    3. NAONA RIZKI YANGU IMEFIKIAUKINGONI!

    Siku moja raki yangu mwingine,bw an a Ch ake Ba kar i Ny um ba(kaniruhusu nimtaje na nitoe nambayake ya simu kama kuna mtuanataka kufanya ithbati ya hayamaelezo), alinipigia simu akidaikwamba anahisi riziki yake dunianiimekwisha. Nilipomuuliza ni kwanini anasema hivyo alijibu:

    Wala sijui hata ninaumwa nini.Najisikia hovyo kabisa. Siwezi kulachochote!

    Nilimwambia ajaribu chai yaHAIIBA TIMAMU. Baada ya sikuchache nilimpigia simu kuumulizaalikuwa anaendeleaje akanambiakuwa alikuwa mzima kabisa! Nambaya simu za bwana Chake Bakari ni0754415161/0715159159

    4. HA LI N I M BA Y A WA LA SIJ U ININACHOUMWA!

    Jirani na ofi sini kwangu mtaawa Mosque, Kitumbini (mkabalana msikiti wa Sunni) liko dukala vyombo vya nyumbani la KDSundries. Duka hili liko kwenye konaya mitaa ya Mosque na Mshihiri.Ni duka maarufu kwa vyombo vyakila aina vya nyumbani. Mmoja wawafanya kazi wa duka hilo anayeitwaRajab Bakari Amani ni raki yanguwa muda mrefu (kanipa ruksanimtaje na kutoa namba yake ya simuiwapo kuna mtu atataka kuhakikitaarifa hii). Siku moja, mida ya saa4 hivi asubuhi, nikiwa ndio kwanzanimeka mjini nilipita nje ya duka laKD Sundries nikiwa njiani kuelekeaofisini kwangu. Nilimkuta Rajabakiwa ameketi nje ya duka hukuakiwa amejikunyata (mida hiyo dukalao bado lilikuwa halijafunguliwa).

    Nilisimama kumsabahi na kumuulizani kwa nini alikuwa katika hali ile.

    Brother, hali yangu ni mbayasana, wala sijui naumwa nini! Karibuwiki ya tatu sasa

    Alinambia.Hospitali umekwenda?Nimekwenda lakini sijaona

    matokeo yoyote ya maana!Du! Sasa mbona umekuja kazini

    kama hali ndiyo hiyo?Nilimuuliza.Sasa kaka nitafanya nini? Si

    unajua kazi zetu hizi? Muhindihawezi kukuelewa hata siku mojakuwa umelala nyumbani, hasa kwasababu haielweki utalala mpaka lini!

    Kuna dawa fulani hivi, labdanikupe uijaribu

    Nilimwambia.Kaka utakuwa umeniokoa kaka!Nilimpatia Rajab pakiti moja ya

    chai ya HAIIBA TIMAMU nikampamaelekezo jinsi ya kuitumia. Maajabu!Siku iliyofuata nilikutana na Rajabakiwa mchangamfu na akanambiakuwa hakuwa anajisikia kuwa natatizo lolote!

    Namba ya simu ya Rjabu ni:0712242557

    5. BABA KAWEZA KWENDA MJINI!

    Kuna jamaa yangu mmoja nimtaalamu wa shughuli za usafina bustani. Huyu tumekuwa nayekwa miaka kadhaa tukishirikianakila ninapopata kazi za kandarasizinazohusiana na shughuli za usa nabustani. Huyu jamaa yangu siku mojaalinifuata akaniambia kuwa alikuwa

    anataka kusafiri kwa siku chachekwenda kijijini kuwasalimia wazaziwake. Aliniambia kuwa nimpatie chaiya HAIIBA TIMAMU ampelekee babayake akaijaribu kwa kuwa kwa mudamrefu amekuwa akisumbuliwa namatatizo mengi ya kiafya. Nilimpatiahuyu jamaa yangu pakiti mbili za hiichai tukaagana. Siku chache baadayehuyu jamaa yangu alirejea kutokakijijini. Nilishangaa kuwa alikuwaakitabasamu kila mara aliponionakinyume na kawaida yake. Siku mbilibaadaye udadisi ulinizidi nikaamuakumuuliza kilichokuwa kinaendelea.

    Baba alienda mjini!Aliniambia.Kwani huwa haendi mjini?Nilimuuliza kwa mshangao.Anakwenda lakini ni lazima

    afuatane na mtu. Alishashindwakwenda mwenyewe siku nyingizilizopita!

    Sasa imekuwaje?Nilimuuliza.Baada ya kuitumia hiyo chai

    yako si kafunga safari peke yake hadiMoshi mjini na kurudi!

    Du!Nilipigwa na mshangao. Pamoja

    na kwamba miye mwenyewe ndiyemtengenezaji wa hiyo chai nilikuwanapata tabu kuamini nilichokuwanakisikia!

    6. SHEMEJI USIPONISAIDIA SIJUI WAPIPENGINE PA KWENDA!

    Siku moja nilirejea nyumbanikiasi cha saa 4 usiku huku nikiwa

    nimechoka sana. Nilifadhaikanilipoona kuna mgeni, kwani nilijuakuwa suala la kuoga na kupumzikamara moja halikuwepo tena. Mgenimwenyewe alikuwa ni raki ya mkewangu ambaye alikuwa anaishi mtaawa tatu kutoka pale kwetu. Baada yakusabihiana mke wangu alinitakatuingie chumbani. Huko chumbanialiniambia kuwa shoga yake alikuwaamekaa muda mrefu akinisubiri kwaimani kwamba ningeweza kumsaidia.

    Kwani ana shida gain?Niliuliza.Anasema anaumwa. Naona ni

    bora umsikilize mwenyeweSasa wewe umemwambia kuwa

    mimi naweza kumtibuNiliuliza.

    M i m i s i j a m w a m b i a . I lkangangania kwa sababu kipindi kiulimpa ile dawa ya jino ikamsaidia

    Du! Sasa itakuwaje? Anywahebu ngojea nimsikilize

    Nilisema.Raki yake mke wangu aliniamb

    kuwa alikuwa ana muda wjuma zim a anajisik ia mwili wounamuuma, kichwa kimekaa hovyhovyo kabisa na kwa ujumla hanamani kabisa.

    Sisi tunatibiwa katika vituo vyafya vya AAR. Nimezunguka vituvitatu tofauti sijaona tofauti yoyotShemeji usiponisaidia sijui wappengine pa kwenda!

    Aliniambia.Nilimwambia asubiri nikaleleke

    chumbani. Alikuwa ameniwekkwenye mazingira magumu kwekwa kule kujenga kwake imani kuw

    mimi ndiye niliyekuwa msaadpekee. Wakati natafakari cha kufanymke wangu aliingia.

    Nilimwangalia kwa mfadhaiko.Huyu raki yako ananipa mtiha

    kweli! Sasa tutampa nini? Labdjaribu kumpa hizo pakit i mbili zTIMAMU TEA zilizobaki hapo

    Nilimwambia.Siku mbili baadaye nilimuuliz

    mke wangu.Hivi shoga yako anaendeleaje?Bwana we! Nilisahau kukwambi

    Anakushukuru sana! Bukheri wafya

    7. HEDHI ISIYOKATA!

    Kwa kumalizia nielezee vis

    vitatu vilivyoletwa na jamaa watattofauti ambao walidai kuwa wake zawanasumbuliwa na kutokwa na hedisiyokata! Niliwashauri kuwa siysahihi kutafuta dawa za KIENYEJbila kwanza kupata vipimo vya kisaikajulikana wanaumwa nini.

    Kwa nyakati tofauti kila mmoalirejea na kuniambia kuwa wakzao wamefanyiwa vipimo nkugundulika kuwa wana saratani zshingo ya uzazi.

    Nimesikia kuwa una dawaIlikuwa ni kauli ya kila mmoja.

    Kiukweli miye dawa ya ugonjwhuo sina. Hata hivyo iko dawa mohivi ambayo mchanganyiko wakpengine inaweza kusaidia. Hata hivyitabidi mgonjwa akubali kuitumkwa muda mrefu

    Yalikuwa ndio majibu yangu kwkila mmoja.Maajabu! Kila mmoja kw

    wakati wake alitoa taarifa kuwhedhi iliyokuwa inamtoka mkewmfulululizo ilikuwa imekata nmaumivu yametoweka. Saratanimepona? Hilo miye sijui. Ushauniliompa kila mmoja ni kuwa kamhali ya uchumi inaruhusu mgonjwaendelee na matumizi ya TIMAMTEA kwa walau miezi sita zaidmfulululizo.

    Ukitafakari kwa undani kunawezkusiwe na maajabu yoyote katikhuu uwezo wa HAIIBA TIMAMTEA. Magonjwa mengi ya kimfumyanasababishwa na upungufu w

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    10/16

    10 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala ya Mtangazaji

    CAIRO (Ma'an) -- Arab Leaguesecretary-general Nabil al-Arabi has started coordinationwith regional states over a jointplan to recruit support for thePalestinian UN bid setting a

    2-year deadline for endingthe Israeli occupation of thePalestinian territory.

    The ocial Palestinian newsagency Wafa reported Mondaythat al-Arabi left for Paris Mondaywhere he was set to meet withForeign Minister Laurent Fabius.

    That meeting and anotherwith US Secretary of State JohnKerry are part of a plan in whichforeign ministers of memberstates of the Arab League haveprepared recently to support thePalestinian UN bid to end Israelioccupation.

    The plan, says Palestine's envoyto the Arab League and assistantsecretary-general for Palestinianaairs Muhammad Subeih, was

    approved in Cairo on Nov. 29,in the presence of PresidentMahmoud Abbas.

    France is also leading Europeanefforts to cobble together aresolution which would requirea return to the Israeli-Palestinianpeace negotiations.

    Several European parliamentshave called on their governmentst o m o v e a h ea d w i t h t h erecognition of a Palestinian state.

    Portuguese Vote to RecognizePalestine Supports Peace, says PLO

    RAMALLAH (WAFA) - PLOExecutive Committee Member,Hanan Ashrawi , sa id thePortuguese parliaments vote infavor of recognizing Palestine as

    an independent state is a stepin the right direction for peace.In a statement issued by the PLO

    Executive Commiee Departmentof Culture and Information onSunday, She expressed hopethat the Portuguese governmentwould follow suit and ociallyrecognize Palestine on the 1967border s wit h Jerusalem as itscapital.

    Ashrawi said Palestinianshope the Portuguese governmentwill work to end the militaryoccupation by holding Israelaccountable with punitivemeasures for i t s f lagrantviolations of international lawand Palestinian human rights.

    On behalf of the Palestinian

    leadership and the peopleof Palestine, we express ourappreciation to the Portugueseparliament for taking a principledstand and overwhelminglyvoting to recognize the State ofPalestine, said the statement.

    The Portuguese parliament isthe fth European assembly torecognize the State of Palestineafter the UK, Ireland, France andBelgium.

    Japan Urges Probe into MinisterAbu Eins Death

    RAMALLAH (WAFA) TheJapanese Ministry of ForeignAairs in a statement publishedon Monday called for launching

    Arab League chief visits Paris to seek support for Palestine UN bidimmediate investigation into thedeath of Palestinian Minister ZiadAbu Ein.

    The statement said Japan wasshocked to learn about theincident and expressed hopes that

    it will not trigger more violence.Meanwhile, Irish ForeignMinister Charles Flanagancondemned the murder and toldPalestines ambassador in Ireland,Ahmad Abdul-Razeq, he hadinstructed Irish ambassador to TelAviv to inform the Israeli Ministryof Foreign Affairs of Irelands

    condemnation.Abu Ein died last Wednesday

    during a peaceful Olive plantingevent, during which Israeli Borderguards assaulted the protestorsand red teargas canisters froma close range. Abu Ein suocated

    and was no longer able to breathewhich led to his death.A video footage released online

    also showed a member of theborder guards unit pushing andgrabbing Abu Ein by the throat afew moments before Abu Ein lostconsciousness and died.

    Palestinians have agreed to joinICC to sue Israel: Ofcial

    Palestinian Ambassador to theUnited Nations Riyad Mansoursays Palestinians have reached aconsensus to join the InternationalCriminal Court (ICC) to seekjustice against Israeli war crimes.

    Addressing the 122 membersof the ICC for the rst time onMonday, Mansour said that

    Palestinian have agreed to jointhe tribunal in the hope of endingIsraeli crimes.

    We view the ICC as theinternational legal and peacefulmechanism to combat impunityand seek accountability andjustice, Mansour said.

    It is the court where thePalestinian people desire to seekjustice for the war crimes andcrimes against humanity beingperpetrated against them byIsrael, the occupying power, hesaid.

    The Palestinian ocial addedthat Palestine may very wellbe the 123rd state party to theinternational tribunal but the

    timing for membership is up toits leaders.

    Palestine secured an observerstatus at a meeting of the ICCin New York on December 8.Palestinian President MahmoudAbbas had threatened thatPalestine would join the courtto sue Israel over crimes againstPalestinians.

    Israel launched a 50-day waron the Gaza Strip in early July.About 2,140 Palestinians, mostlycivilians, including women,children and elderly people, were

    killed in the Israeli onslaught.Around 11,000 others were

    injured. Tens of Israeli soldierswere also killed by the Palestinianresistance retaliatory aacks.

    On November 29 , 2012 ,the 193-member UN General

    Assembly voted to upgradePalestines status to non-memberobserver state.

    Israeli Army Closes Highway toAllow Settlers Rally

    HEBRON (WAFA) Israelisoldiers on Monday closed ahighway linking between the townof Yaa and nearby small villagesto allow a rally organized byJewish selers to pass, accordingto local sources.

    Coordinator of the Anti-Settlement Committee, RatebJa bour , sa id the Is rael i armyclosed Highway 60 and preventedPalestinian drivers from using itto allow selers, residing illegallyin the West Bank, to organize a

    provocative rally.Highway 60 is a major intercityroad in the West Bank and linksbetween major central cities.

    According to internationallaw, settlers in the OccupiedPalestinian Territories are residingin the West Bank illegally and arenot treated as Israeli citizens.

    Jewish sett lers, neverthe less ,continue to harass Palestiniansand vandalize their propertyin areas adjacent to the illegalselements.

    The i ssue o f set t lementconstruction and expansion in theWest Bank and East Jerusalem hasproved to be an obstacle for peacebetween Palestinians and Israelis

    in all rounds of negotiations, aIsrael persists on maintaininmajor settlement blocs in anfuture deal with the Palestinian

    Israel Arrests Seven in Jerusalem

    West BankJERUSALEM (WAFA) At lea

    six Palestinians were arrested oMonday by the Israeli authoritieduring predawn raids in occupieEast Jerusalem and the WesBank, reported local and securitsources.

    In Jerusalem, Israeli policstormed the house of OmaShalabi, a Fatah ocial, assaultehim and sabotaged his housbefore arresting him, local sourcesaid.

    Israeli police stormed Shuafarefugee camp, north of Jerusalemand the neighborhood of Ras aAmoud, and arrested three locresidents, who were identifieas Omar Mhesen, Nasser Hadm

    and Udai Senokrot.Earlier at night, police arresteIbrahim Abu Gharbia, 39, member of the Fatah movement

    Meanwhile, the Israeli armbroke into the city of Jenin, in thnorthern West Bank, and arrestetwo Palestinians after raidinand ransacking their homes ansabotaging their furniture. Thtwo were identified as AhmaDarbi, 28, and Mohammad Turk32.

    Local sources said Turki waarrested after Israeli soldierblasted his houses door and usesome of his family members ahuman shields.

    M e a n w h i l e i n H eb r o narmy forces stormed the cit

    of Yatta and handed summonto three Palestinians to appeafor interrogation before Israeintelligence.

    The Palestinian Prisoners Clu(PPC) said at least 214 Palestinianincluding six women, werarrested by the Israeli authoritiesince the beginning of Decembe

    Israeli soldiers kill Palestiniaduring Ramallah arrest raid

    RAMALLAH (Ma'an) -- Israesoldiers shot and killed a younPalestinian man during a dawdetention raid in Qalandiyrefugee camp near Ramallahmedics said Tuesday.

    Mahmoud Abdullah Udwan21, was shot in the head whi

    standing on the rooftop of hfamily home in the camp, medicsaid.

    He was hit as Israeli soldierransacked homes to make arresat around 3 a.m.

    Clashes broke out as a resuof the raid, with youths throwinstones at Israeli soldiers.

    Despite the confrontationIsraeli soldiers managed to detai26-year-old Mujahid Hamadwho works with the Palestiniafootball federation as a securitguard at stadiums.

    Four Palestinians have beekilled by Israeli soldiers iQalandiya refugee camp this yeaduring arrest raids.

    ISRAEL Soldiers

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    11/16

    11AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 201Makala

    IJUMAA iliyopita, wananchi waAfrika Kusini waliadhimisha mwakammoja wa kifo cha Rais wa kwanzamweusi nchini humo, ambaye ana

    hadhi ya baba wa taifa hilo, MzeeNelson Mandela. Mzee Madiba,kama wenyewe wanavyomuita,alifariki Desemba 05, 2014 mjiniPretoria, akiwa na umri wa miaka95. Kifo cha mwanaharakati huyowa kupinga siasa za ubaguzi warangi nchini Afrika Kusini, kwahakika kiliutikisa ulimwengu.Vyombo vya habari dunia nzimavilionyesha kuhuzunishwa na kifohiki. Mchango wa mzee huyu, jinsialivyotoa muhanga maisha yakekwa ajili ya watu wake, kusemaukweli ulimgusa kila mtu. MzeeMadiba aliheshimika sana dunianina ameondoka akiwa na heshimayake!

    Nelson Mandela, kama kiongoziwa chama cha 'The African National

    Congress (ANC), alioongoza harakatiza kupinga ubaguzi wa rangi nchinimwake kwa kutumia njia zote -ustaarabu na ghasia. Leo Mandelaanaheshimika dunia nzima kwakazi nzuri aliyoifanya, lakini wakatiwa harakati zake za kisiasa, yeyena chama chake cha ANC waliitwa"magaidi".

    Tunao Masheikh wa Uamshokutoka Zanzibar, ambao wamekuwamstari wa mbele kupigania haki yanchi yao kuwa na mamlaka kamilikatika Muungano. Masheikh hawana viongozi wengine wa Kiislamu,hivi sasa wako ndani kwa tuhumaza "Ugaidi" na uchochezi! Kamaalivyokuwa Mandela, kuna maelfuya watu duniani, wanaopiganiahaki zao na waliojitoa muhangakuleta mabadiliko katika jamii zao.Ama harakati zilizoendeshwa naMzee huyu wa Afrika Kusini, kwahakika, zinatupa mafunzo mengi yamsingi. Funzo la kwanza tunalopatani kwamba fikra zina uwezo wakuangusha Serikali. Mandelaaliamini katika fikra kwambawatu weusi wasibaguliwe nchiniAfrika Kusini kutokana na rangiyao. Msukumo wa kra hiyo ndiyouliomfanya achukue hatua kadhaa zakijasiri kubadili hali hiyo katika jamiiyake. Mandela aliendesha harakatikubwa za kufanya ubaguzi wa rangiushindwe nchini Afrika Kusini, nawatu Weusi wasitawalike kupitiasiasa hizo za kibaguzi. Alihamasishana kukusanya watu, lengo likiwakuchua uovu wa siasa za ubaguzi

    wa rangi, na pia aliendesha vitendovya hujuma, vurugu na ghasiakwa lengo la kuidhoosha serikalikandamizi ya makaburu.

    Aliwaandaa watu, akawapikakatika itikadi ya mapambano,akawaunganisha na kuwajengeaujasiri na ukakamavu, ili wawezekukabiliana vilivyo na matokeomagumu ya kazi waliyopangakuifanya. Hatua hii ilihakikishakwamba kifo chake au kukamatwakwake kusingekwamisha harakatializoanzisha.

    Harakati za kupinga ubaguziwa rangi zilimgharimu kwa kiasikikubwa Mzee Nelson Mandelamwaka 1962 wakati alipohukumiwakifungo cha maisha jela. Chama cha

    Mafunzo kutoka harakati za Mzee MandelaNa Said Rajab

    ANC na kitengo chake cha kijeshi'Umkhonto We Sizwe' viliendelezaharakati za ukombozi bila yakutetereka. Na ilipofika mwishonimwa miaka ya 1980, utawala wamakaburu nchini Afrika Kusini,uliokuwa ukitekeleza sera ya ubaguziwa rangi, ukatambua wazi kwambasiasa yake hiyo haiwezi tena kuwaendelevu. Wakasalimu amri nakubwaga manyanga!

    Funzo la pili tunalopata kutokakwenye harakati za Mzee Madibani watawala madhalimu kuhujumum abad i l iko h a l i s i . Man d elaalichukiwa na tabaka la watu Weupewaliokuwa wakitawala Afrika Kusini,wakati alipotoa wito wa mabadilikona kutaka watawala hao madhalimuwaondolewe.

    Serikali ya makaburu, Serikali ya

    Uingereza iliyokuwa ikioongozwana Margareth Thatcher na RaisRonald Reagan wa Marekani, wotewalimwita Mandela "Gaidi".

    Mzee Mandela alichukiwa naWazungu si kwa sababu alitakamabadil iko, bali kwa sababumabadiliko aliyoyataka yalilengakung'oa mfumo kandamizi wautawala wa Weupe uliokuwepowakati ule.

    Ni kutokana na shinikizo kubwaaliloweka dhidi ya Serikali, kwakuwahamasisha wananchi kupingaubaguzi wa rangi, ndiyo maanaSerikali ya makaburu ikalazimikakuzungumza na harakati ya Mandela(ANC) mwishoni mwa miaka ya 80.

    Mkakati huo uliotumiwa na

    makaburu pia unatumiwa na serikalizote za kisekula duniani kukandamizamakundi ya Waislamu wanaopiganiahaki zao. Wanawabandika majinamabaya kama "magaidi" Waislamuwote wanaopigania mabadiliko yakuondoa dhulma na kusimamishahaki.

    Hii inaonyesha kwamba sikuzote mabadiliko halisi ya kuondoamfumo kandamizi na kuleta haki nausawa katika jamii, yatakumbana nachangamoto nzito, kwa sababu walewanaonufaika na mfumo kandamizihawataki mfumo huo uondoke.Watautetea kwa gharama yoyote ile,wengine hata kwa Aya na Hadith!

    Somo la tatu tunalojifunza kutokakwenye harakati za Mzee NelsonMandela ni kwamba kinachotakiwani mabadiliko halisi ya mfumo

    wa kisiasa na utawala na siyo tumabadiliko ya sura za viongozi. Kwabahati mbaya sana, harakati za MzeeMandela ziliisha kwa maridhiano,ambayo kimsingi hayakubadili kabisahali mbaya ya watu Weusi nchiniAfrika Kusini.

    Viongozi wa makaburu, PW Bothana FW De Klerk walifanikiwa kulindamaslahi ya tabaka tawala la watuWeupe, hata baada ya kukomeshaubaguzi wa rangi nchini AfrikaKusini. Mfumo wa siasa na utawalanchini humo havikubadilika kabisa.

    Na Mzee Mandela alikumbatiakile kilichokuwepo wakati ule -Demokrasia ya Kiliberali na SokoHuria. Mfumo huo umewaingizawananchi wa Afrika Kusini katika

    utumwa mpya wa mabeberu.Baada ya miongo miwili tang

    ubaguzi wa rangi ukomeshwe nchiAfrika Kusini, hali bado siyo nzukwa watu Weusi nchini humo. Lehii matajiri wakubwa nchini hum

    ambao ni asilimia 10 tu wanamiliasilimia 58 ya utajiri wote wa nchi. Nasilimia 5 ya matajiri hao, wanamiliasilimia 43 ya utajiri wote wa nchi.

    Leo asilimia 70 ya ardhi yote yAfrika Kusini, bado inamilikiwna watu Weupe wanaotokana nmakaburu. Hali iko hivyo, licha yahadi za ANC kugawa upya asilim30 ya ardhi kutoka kwa watu weupkwenda kwa weusi. Asilimia 50 ywananchi wa Afrika Kusini wanaischini ya mstari wa umasikini. Yaani masikini wa kutupwa.

    Harakati za Mandela kung'omfumo kandamizi katika jamii yakni funzo kwa Waislamu wote dunianwanaofanya harakati kama hizOfa za mazungumzo au maridhiankutoka kwa watawala madhalimu a

    washirika wao, mara nyingi hulengzaidi kuzima cheche za harakati hizili kuendeleza mfumo kandamiuliopo.

    Iwap o m azun gum zo h ayyatakubaliwa, kwa kisingizichochote kile, basi matokeo yake nkwamba umma wa Waislamu utabakama ulivyo umma wa Mandela le

    Mzee Nelson Mandela ametumikkifungo cha miaka 27 jela, kwkupinga vikali kile alichoaminkuwa ni ukandamizaji wa hakMzee Mandela alikumbatia mfumuliokuwepo wakati ule nchini mwakna hali hii ikawatumbukiza watwake kwenye aina mpya ya ukolon

    Lakini kwa Waislamu, ufumbuwa matatizo yao mara zote unatokndani ya Uislamu. Kazi inabaki kwWaislamu wenyewe kunyanga njyao ya kisiasa, ambayo itawaleteukombozi kamili wa kweli.

    Bila shaka tunaweza kuchotmafunzo mengi ya msingi kutokkwa Mzee Mad iba . B in af snimejifunza mengi sana kutoka kwMzee Mandela. Ametufundishm s im am o kwen ye h arakatkutopoteza 'focus' ya harakati zetna kuwa tayari kubeba matokeo yharakati tunazofanya. Hizo ni simuhimu sana za mwanaharakaaliyekamilika. Harakati za kupiganhaki zina gharama kubwa!

    Mzee Mandela ametufundishkwa nadharia na vitendo, kwambmsimamo katika harakati zkupigania haki ni lazima. Hiymaana yake tuwaepuke kabisa watwanaojifanya wenzetu, kumbe nmaadui zetu. Huku wako na kuwako! Wamekuwa kama Popohajulikani ni ndege au mnyama!

    Mzee Nelson Mandela piametufundisha kwamba harakaza kupigania haki lazima ziwna 'focus'. Tufahamu vizuri santunachopigania ili tusiyumbishwe nmbinu mbalimbali za maadui. Tunawenzetu wengine wameshatekwa nmaadui, sasa wanaimba na kuchezwimbo wa madhalimu.

    Mzee Nelson Mandela vile viametupa somo la vitendo kwambharakati za kupigania haki zingharama kubwa. Mtu unawezkupoteza maisha. Kwa maana hiywanaharakati lazima wawe tayakupokea matokeo ya harakati zao.

    Mzee Mandela ametufundishkwamba harakati zinahitaji ujasiri nkwamba visingizio vya kuhalalishwoga wa kijinga havina nafasi.

    HAYATI Nelson Mandela.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1156.pdf

    12/16

    12 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 19-25, 20112 MAKALA

    Sababu za magonjwa yameno na jinsi ya kujitibuInatoka Uk. 8

    tun af an ya m ako s a yamsingi kuhusiana na usawa vinywa vyetu. Makosahaya ni pamoja na kukaana mabaki ya vyakulamdomoni kwa muda mrefusana kabla ya kuchukuahatua ya kusasha kinywa.Watu walio wengi wamezoeakupiga mswaki mara moja

    tu ndani ya masaa 24, na hiini asubuhi baada ya kutokausingizini. Hii ina maanakwamba mtu mwenye tabiahiyo muda mwingi kinywachake ni dampo la mabakiya vyakula, na anatoa mudamrefu kwa gram positiveba kt er ia ku we ka ka mb ikwenye kinywa chake.Ingekuwa ni bora sanakama mtu angepata fursa yakusasha kinywa chake kilabaada ya mlo, ili kuepukanana hali hii.

    Hata hivyo, kwa sababukatika hali halisi hili nigumu, basi ni bora mtuukahakikisha kuwa unapigamswaki wa hali ya juu sana

    usiku kabla ya kulala. Hiiina maana kwamba usikuwote utakuwa umelala hukuukiwa na kinywa kisa, nahivyo kutoa wakati mgumusana kwa gram positivebakteria kushambulia wakatiukiwa usingizini.

    Ni vizuri pia ikafahamikakuwa kupiga mswaki pekee hata kama mswaki huoutaupiga kila siku kabla yakulala - hakutoshi kukiachakinywa chako huru kwaasilimia mia moja dhidi yauwepo wa gram positivebakteria. Njia ya uhakika yakujihakikishia hili ni kutumiakitakasaji cha mdomo (oral

    disinfectant), kila baadaya muda fulani. Vitakasajiviko vya aina nyingi, lakinivile vya asili vinavyotokanana mimea vinaweza kuwabora zaidi , kwa maana yakutokuwa na madhara kwamtumiaji.

    Moja ya vitakasaji borakabisa vya aina hii ni HaiibaD en ta l Guard kuto ka

    Herbal Impact. Utati wetuunaonyesha kuwa kati yawatumiaji 10 wanaokitumiakama tiba ya maumivuya meno, basi 9 kati yaohupona maumivu yao mojakwa moja. Suala la kuwepokwa mtumiaji 1 ambayehapati nafuu inavyopasakati ya hao watumiaji 10,limekuwa likitusumbuasana kwa muda mrefu.Hata hivyo tunashukuruk u w a h i v i k a r i b u n itum el ip at ia u f um buzibaada ya majaribio ya mudamrefu. Ufumbuzi huu nikubuniwa kwa kitakasajikipya kinachoitwa HaiibaDental Guard Plus. Baada

    ya mgonjwa kutumia HaiibaDental Guard na kuhisikuwa haijamsaidia kiasi chakutosha, tunamshauri kuwaafuatishe matumizi ya awalina Haiiba Denta Guard Plus.

    Tunamshukuru Munguk w a m b a h a d i s a s amuunganiko wa vitakasajihivi viwili umetufanyatukie mafanikio ya asilimiamia moja katika kuwasaidiawale wanaokuja kwetu nashida ya maumivu ya meno.

    K w a u s h a u r i z a i d iunawe z a kuwas i l i ananasi kwa namba: 0754-281131/0655-281131.

    Ni kitu gani cha ajabu juu ya hii chai tuliyochagua kuiita Haiiba Timamu Tea?Inatoka Uk. 9

    virutubisho mbalimbaliv i n a v y o h i t a j i w a n amwili i l i kuimarishasiha. Mimea iliyotumikakuandaa chai hii ina

    utajiri mkubwa sana wahivi virutubisho. Orodhakamili ya virutubishohivi ni: AMINO ACIDS(VIJENZI VYA PROTINI),Arginine; His t id ine;I so leucine; Leucine;Lysine; Methionine;Phenylalanine; Threonine;Tryptophan; na Valine.

    VITAMINI NA MADINICarotine (Vitamin A);

    Thiamin (Vitamin B1);Riboavin (Vitamin B2);Niacine (Vitamin B3);Vitamin C; Calcium;Copper; Iron; Magnesium;

    Phosphorous; Potassium;Zinc; Chromium; naMang