Upload
others
View
37
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) a
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA
(2010-2012)
TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS)
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)b
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) i
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU,
TANZANIA BARA(2010-2012)
TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA
Dar Es Salaam, Tanzania
Desemba 2010
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)ii
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) iii
Yaliyomo
Dibaji iv
Shukrani vi
Vifupisho vilivyotumika katika Mpango Uendeshaji ix
Maana ya maneno muhimu yaliyotumika x
Muhtasari Mahsusi xii
1. Utangulizi na Usuli 1
2. Mpango Uendeshaji wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU Tanzania Bara 3
3. Mkakati wa Jinsia na Masuala ya VVU na UKIMWI katika Tanzania Bara 8
Maeneo makuu ya kimkakati
3.1. Kinga; Uzuiaji wa Uenezwaji wa VVU 8
3.2. Eneo kuu la kimkakati:tiba, matunzo na msaada 17
3.3. Eneo kuu la kimkakati kupunguza makali ya athari za UKIMWI 19
3.4. Eneo kuu la kimkakati Kuweka mazingira wezeshi 21
4. Mpango Kazi wa kijinsia wa shughuli za masuala ya VVU na UKIMWI
zenye mwitikio wa kijinsia 25
5. Muundo wa kitaasisi 63
6. Ufuatiliaji na Tathmini 67
7. Hatari zilizopo na mikakati ya upunguzaji wa makali 69
8. Hitimisho na njia ya kusonga mbele 70
Viambatisho:
Kiambatisho A: Orodha ya mashirika yaliyochangia 71
Kiambatisho B: Orodha ya wanajumuiya waliochangia 73
Kiambatisho C: Orodha ya rejea 74
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)iv
Dibaji
Uhusiano wa kijinsia, hali ya kutokuwepo usawa, ukatili na ubaguzi ni baadhi ya vipengele
vilivyobainishwa katika kuchochea kuenea kwa VVU nchini Tanzania. Ta� ti zinazohusu viashiria vya
VVU na Malaria Tanzania za 2003/2004 na 2007/2008 zinaonesha kuwa kiwango cha maambukizo
ya VVU Tanzania Bara miongoni mwa watu wazima wenye umri kati ya miaka 15 – 49, kimeshuka
kutoka asilimia 7.0 hadi 5.7, ambapo wanawake wameathirika zaidi kwa kiwango cha 6.6%
kulinganisha na 4.6% kwa wanaume. Ta� ti hizi mbili, zinaonesha kwamba kupungua kwa kiwango
cha maambukizo ya VVU ni asilimia 6.3 na 7.7 hadi 4.6% na 6.6% kwa wanaume na wanawake
kwa mfuatano huo. Hii inaashiria umuhimu wa kuwa na mtazamo wa kijinsia katika utekelezaji wa
Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI ambao umeainisha maeneo makuu manne ya vipaumbele,
ambayo ni; kinga, tiba, matunzo na msaada, kupunguza makali ya athari za UKIMWI na mazingira
wezeshi.
Kufuatana na hayo, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania ikiwa ni chombo cha kuratibu mwitikio
wa Kitaifa wa VVU na UKIMWI, imeandaa Mpango wa Kijinsia kwa Ajili ya Mwitikio wa VVU,
Tanzania Bara ili kuongoza na kushauri wadau jinsi ya kuhakikisha kuwa afua zote za VVU na
UKIMWI zinatekelezwa kwa mtazamo wa Kijinsia. Mpango huu umetoa mapendekezo ya baadhi ya
shughuli zinazoweza kutekelezwa na wadau wa masuala ya VVU na UKIMWI Tanzania Bara. Pia,
Mpango huu umezingatia vipingamizi, upungufu na changamoto mbalimbali za kijinsia ambavyo
vinaongeza uhatarishi wa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika kuambukizwa au
kuathiriwa na VVU na UKIMWI.
Mpango umeandaliwa kwa kuzingatia misingi ya kitaalamu na marejeo ya maandiko mbalimbali
ya kimataifa na kitaifa kuhusu jinsia, VVU na UKIMWI. Aidha, majadiliano yasiyo rasmi na watu
mbalimbali katika jamii yalifanyika na taarifa za mikutano elekezi ya kiutalaamu zilitumika. Kadhalika,
Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (2008 – 2010) na Ajenda ya Programu ya Muungano
ya Umoja wa Mataifa juu ya VVU na UKIMWI kwa ajili ya hatua mchapuko ya kitaifa kuhusu
wanawake, wasichana, usawa wa kijinsia na VVU 2010, ambapo Tanzania ilikuwa ni miongoni mwa
nchi zilizochangia uundwaji wake. Nyaraka hizo mbili zilitumika na kusaidia katika uundwaji wa
mpango huu.
Wadau mbalimbali walichangia mawazo, maoni na michango mbalimbali kuhusu upungufu na
changamoto zilizopo katika kushughulikia masuala mbalimbali yanayohusiana na jinsia na VVU na
UKIMWI.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) v
Shughuli zilizopendekezwa katika Mpango huu zitawezesha upatikanaji wa fursa sawa na
ushirikishwaji kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika maeneo makuu manne ya
kimkakati, ambayo ni; Kinga, tiba, matunzo na msaada, kupunguza makali ya athari za UKIMWI na
mazingira wezeshi.
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania imefarijika na kuridhika na mchakato mzima wa uandaaji na
uchapishaji wa mpango huu. Ni matarajio ya tume kwamba mpango huu utasaidia wadau wa VVU
na UKIMWI kupanga na kuwezesha utekelezaji wa afua mbalimbali za VVU na UKIMWI, katika
mitazamo ya mabadiliko ya kijinsia ambayo yana uwezo wa kuaathiri uwiano wa haki, uwezeshwaji,
wajibu na upatikanaji wa huduma za VVU na UKIMWI. Mpango huu pia utashauri na kuongoza
wadau wa VVU na UKIMWI katika kuchangia kwenye jitihada za kitaifa za utekelezaji wa Malengo
ya Maendeleo ya Milenia namba tatu (3) na sita (6), ambayo yanalenga kutoa usawa wa kijinsia, haki
za msingi za binadamu na kupambana na janga la VVU na UKIMWI.
Asanteni
Dkt. Fatma Mrisho
Mwenyekiti Mtendaji
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)vi
Shukrani
Wadau mbalimbali wanastahili kushukuriwa kwa michango yao katika uandaaji wa mpango huu. Awali ya yote, ninashukuru kwa michango ya kifedha na kitaalamu iliyotolewa na Mpango wa kudhibiti UKIMWI wa Umoja wa Mataifa (UNAIDS). Kadhalika, napenda pia kutoa shukrani za dhati kwa wadau wote wa masuala ya VVU na UKIMWI, mamlaka za Serikali, wabia wa maendeleo, taasisi za umma, asasi za kiraia na mashirika ya kijamii kwa michango yao katika kufanikisha ukamilishwaji wa Mpango huu.
Shukrani zangu za dhati ziwaendee Dkt. Fatma Mrisho - Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania na wakurugenzi wafuatao Dkt Jerome Kamwela - (Ufuatiliaji na Tathmini) , Dkt. Raphael Kalinga - (Sera na Mipango), ndugu Rustica Tembele -(Mwitikio wa Kitaifa), ndugu Geoffrey Majengo - (Uraghibishaji na Habari), ndugu Beng’ Issa - (fedha na Utawala) hawa ni kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania. Pia shukrani ziende kwa Dkt. Bernet Fimbo - Mpango wa a Taifa ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Calista Simbakalia - Kamishna Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Subilaga Kasesela Kaganda - Mratibu wa Kitaifa wa Programu, Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Ndugu Salome Anyoti - Mfuko wa Umoja wa Mataifa kwa Maendeleo ya Wanawake (UNIFEM), ndugu Emebet Admassu wa Programu ya Muungano ya Umoja wa Mataifa kuhusu VVU na UKIMWI (UNAIDS), Dkt. Inge Baumgarten - Ushirikiano wa Kitalaamu wa Ujerumani (German Technical Cooperation) na Ndugu Achilles Ndyalusa - Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, kwa michango yao.
Mchakato wa uandaji wa mpango huu uliratibiwa na Bi Betty Malaki na Bi Vera Mdai.Wataalamu elekezi ; Ndugu Julie Tumbo, Ndugu Geofrey Chambua na Ndugu Jackson Marcel Kwingwa walisaidia katika kufanikisha zoezi hili. Pia mtaalamu mwelekezi Margaret Kasembe aliendesha zoezi la Ukaguzi wa Kijinsia ambalo lilisaidia kuandaa usuli. Pia, shukrani zangu za dhati ziende kwa watu binafsi na baadhi ya wenye VVU katika mkoa wa Pwani, Dar Es Salaam na Tabora kwa michango yao. Natambua kuwa bila michango yao kazi hii ingekuwa ngumu kukamilika.
Kwa kuhitimisha, naomba niwashukuru wadau wote kwa kuonesha ari na msukumo wa kutekeleza mpango huu wa Uendeshaji wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU na UKIMWI katika Tanzania Bara na utayari wao wa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI katika nia ya kujumuisha masuala ya kijinsia katika mwitikio wa taifa wa VVU na UKIMWI. Natumaini kuwa mpango huu utaendelea kutoa msaada kwa wadau wa masuala ya VVU na UKIMWI , katika utekelezaji wa afua zilizopo katika Mpango huu kwa ngazi zote. Utekelezaji wake unatarajiwa kuwezesha kupatikana kwa mabadiliko yenye tija katika jitihada za kuondoa athari za VVU na UKIMWI kwa maisha ya wanawake, wanaume, vijana, watoto na wazee nchini Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania.
Asanteni
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) vii
Vifupisho vilivyotumika katika Mpango Uendeshaji
ABC Kuacha, Kuwa mwaminifu, Tumia kondomu
ABCT Umoja wa Sekta Binafsi kuhusu UKIMWI Nchini Tanzania
AIDS Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI)
ART Tiba ya Kuongeza Kinga ya Mwili
CBO Mashirika ya Kijamii
CCHP Mpango Jumuishi wa Afya wa Halmashauri
CEDAW Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya Wanawake
CHAC Mratibu wa UKIMWI wa Halmashauri ya Wilaya
CMAC Kamati za Kudhibiti UKIMWI katika Mamlaka za Serikali za Mitaa
CSO Asasi za Kiraia
DC Mkuu wa Wilaya
DMO Mganga Mkuu wa Wilaya
DPG-AIDS Wabia wa Maendeleo kuhusu VVU na UKIMWI
DSW Idara ya Ustawi wa Jamii
FBO Mashirika ya Dini
FGD Mahojiano lengwa
GBV Ukatili wa Kijinsia
GTZ Shirika la Maendeleo la Ujerumani
HBC Matunzo ya Nyumbani
HCT Unasihi na Upimaji wa VVU
HF Kituo cha kutoa huduma ya Afya
HIV Virusi vya UKIMWI(VVU)
HIV-MES Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa VVU
HLI Taasisi ya Elimu ya Juu
HSSP Mkakati wa Kudhibiti UKIMWI wa Sekta ya Afya
ICPR Mariadhiano ya Kimataifa kuhusu haki za Kiraia na Kisiasa
LGAs Mamlaka ya Serikali za Mitaa
LHRC Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu
M &E Ufuatiliaji na Tathmini
MAFC Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
MDA Wizara, Idara na Wakala
MDG Malengo ya Maendeleo ya Milenia
MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini
MOCDGC Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba
MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)viii
MoHSW Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
MVC Watoto Wanaoishi katika Mazingira magumu
NACP Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI
NATP Mpango wa Taifa wa Matibabu ya UKIMWI
NBTS Huduma za Taifa za Uongezaji Damu
NEPAD Mpango Mpya wa Maendeleo ya Kiuchumi Barani Afrika
NGOs Asasi Zisizo za Serikali
NHACAS Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano na Uraghibishaji kuhusu VVU/UKIMWI
NMSF Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI
NMPS Mkakati wa Taifa wa Kinga Dhidi ya VVU
OMVC Yatima na Watoto walio katika mazingira Hatarishi Zaidi
OVC Yatima na Watoto walio katika mazingira hatarishi
PEP Hadhari baada ya hatari
PLHIV Watu Waishio na Virusi vya UKIMWI/UKIMWI (WAVIU)
PMO O� si ya Waziri Mkuu
PMO – RALG O� si ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM- TAMISEMI)
PMTCT Uzuiaji wa Uambukizo wa VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto
PO – PSM O� si ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
PSI Shirika la Idadi ya Watu Duniani
RAS Katibu Tawala wa Mkoa
RC Mkuu wa Mkoa
RCH Afya ya Uzazi na Mtoto
RFE Mfuko wa Dharura wa UKIMWI
RH Afya ya Uzazi
RS Sekretarieti ya Mkoa
SOP Taratibu za Uendeshaji za Kawaida
SRHR Afya ya Ujinsia na Uzazi
STI Uambukizo kwa Ngono
SW Mfanyakazi wa Ngono
TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania
TASAF Mfuko wa maendeleo wa Jamii
TB Kifua Kikuu
TBS Shirika la Taifa la Viwango vya Ubora
THMIS Uta� ti wa Viashirio vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania
TMARC Shirika la Masoko na Mawasiliano Tanzania
ToR Hadidu za Rejea
ToT Mkufunzi wa Wakufunzi
TWG Kikosi Kazi cha Wataalamu
UNAIDS Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kudhibiti UKIMWI
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) ix
UDHR Azimio la Ulimwengu La Haki za Binadamu
UNFPA Mfuko wa Idadi ya Watu wa Umoja wa Mataifa
UNGASS Kikao Maalumu cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
UNIFEM Mfuko wa Wanawake wa Umoja wa Mataifa
VCT Unasihi na Upimaji wa Hiari
VMAC Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ya Kijiji
WHO Shirika la Afya Duniani
WMAC Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ya Kata
WLHIV Mwanamke Mwenye Virusi Vya UKIMWI
WPP Programu ya UKIMWI Mahali pa Kazi
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)x
Maana za maneno muhimu yaliyotumika katika Mpango Uendeshaji
Jinsi Dhana ya jinsi msingi wake ni maumbile ya kibailojia yanayomtofautisha
mwanamke na mume, dhana hii haibadiliki
Jinsia: Dhana ya jinsia inahusu uhusiano kati ya mwanamke na mwanamume
uliojengeka katika jamii kwa kufuata misingi ya kijamii na mila. Hii
imesababisha jamii kuwapa wanaume na wanawake hadhi, majukumu
na kazi tofauti. Kwa maana hii uhusiano wa kijinsia hubadilika kutegemea
mila, desturi, nyakati na mazingira.
Masuala ya Kijinsia: Vipengele mawazo au dhana ya kijinsia ambavyo huibuka kutokana na
mahitaji tofauti ya wanawake na wanaume, wasichana na wavulana.
Ukaguzi wa Kijinsia: Ni ukaguzi bora unaozingatia utaratibu wa kijamii ambao huwezesha
mashirika kupima kiwango yalichojiwekea “Katika kuwa na malengo na
misimamo ya pamoja kuhusu masuala ya kijinsia”ambayo wameyadhamiria
kwa kuwezesha mashirika haya kutumia nyaraka na taarifa za msingi katika
kutengeneza Mpango kazi stahiki ili kuboresha utendaji unaozingatia jinsia.
Ukatili wa Kijinsia: Ni kitendo chochote anachofanyiwa mwanamke au mwanamume,
msichana au mvulana ambacho huweza kumuathiri kiakili, kimwili/
kimaumbile, kiuchumi au kisaikolojia.
Upofu wa Kijinsia: Hali ya kijamii kutoweza kutambua/kuchambua kwa undani tofauti za
kijinsia zinazohusu majukumu ya uzalishaji na uzazi kwa wanawake na
wanaume.
Mwitikio wa Kijinsia: Ni utambuzi wa mahitaji pambanuzi ya wanawake na wanaume na kufanya
maandalizi katika mipango na utekelezaji huku mahitaji na majukumu yao
mahsusi ya kijamii yakizingatiwa.
Usawa wa Kijinsia: Hali ya kupewa haki sawa kwa wanawake na wanaume, wasichana na
wavulana, kutengewa rasilimali, huduma za msingi na fursa kwa usawa.
Uwiano wa Kijinsia: Utoaji wa fursa sawa kwa wanawake na wanaume kulingana na mahitaji
yao au haki zao katika mafao, wajibu na fursa zilizopo
Upungufu wa Kijinsia: Uwepo wa tofauti ya usawa kati ya wanawake au wanaume katika
kushirikishwa na kupata haki, mamlaka na fursa za rasilimali.
Uzingatiaji wa Masuala ya kijinsia: Ni mkakati wenye kurasimisha au kujumuisha masuala ya
kijinsia katika michakato ya maendeleo, zikiwepo sera, mipango, sheria na
bajeti ili kuondoa na kupunguza upungufu wa jinsia na kujenga maendeleo
endelevu.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) xi
Utambuzi wa Jinsia: Kufahamu kwamba wanawake na wanaume katika jamii huathirika katika
hali tofauti na kulingana na mahitaji yao kimaumbile na kijinsia.
Uhamasishaji wa Kijinsia: Ni mchakato wa kuamsha na kuchochea utambuzi wa masuala ya
jinsia kwa wanaume, wanawake, wasichana na wavulana.
Haki za Binadamu : Stahiki zilizokubaliwa ulimwenguni kote kutambua usawa kwa wanawake,
wanaume, wasichana na wavulana, pasipo kubagua kwa misingi ya rangi,
tabaka, dini au kabila.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)xii
Muhtasari
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo kwenye ukanda waAfrika Mashariki, ikiwa na eneo lenye
jumla ya kilometa za mraba 945, 090. Tanzania ina inakadiriwa kuwa na idadi ya watui zaidi ya milioni
40, wengi wao wakiwa wanaishi vijijini. Taarifa za awali za wagonjwa wa VVU na UKIMWI Tanzania
Bara, zilianza kutolewa mwaka 1983, na tangu wakati huo matatizo yanayohusiana na UKIMWI
yamepoteza maisha ya maelfu ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana nchini. Mwaka
2007/2008, kiwango cha maambukizo ya VVU miongoni mwa watu wenye umri kati ya miaka 15-
49 nchini Tanzania kilikuwa asilimia 5.7, wanawake wakiwa wameathirika zaidi kwa kiwango cha
asilimia 6.6 wakilinganishwa na wanaume ambao ni asilimia 4.6 Taarifa zinaonesha kuwa hapa
nchini, walio katika mahusiano ya ndoa ndio wenye viwango vya juu zaidi vya uambukizo wa VVU
wakilinganishwa na wasio na ndoa. VVU na UKIMWI vimesababisha vifo, magonjwa, msongo wa
mawazo, umasikini na changamoto nyingine za kijamii na kiuchumi kwa wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana .
Miongoni mwa mambo makuu yaliyosababisha kuenea kwa haraka na kusababisha athari mbaya
za VVU na UKIMWI Tanzania Bara ni pamoja na hali za kutozingatia usawa wa jinsia, umasikini,
kusa� ri mara kwa mara, muundo usioridhisha kisheria na kisera imani na taratibu au kanuni potofu
za kijamii na kitamaduni. Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imeongoza mashirika
mbalimbali katika mchakato wa kuandaa Mpango huu wa Uendeshaji ili kuongoza na kushauri
wadau wote wa afua za VVU na UKIMWI katika utambuzi na uzingatiaji wa masuala ya jinsia katika
ngazi zote. Tume inaonesha jinsi nchi inavyoshughulikia masuala ya jinsia katika maeneo makuu
ya kimkakati katika mwitikio wa kitaifa wa VVU na UKIMWI, hususan Mazingira Wezeshi kuhusu
Mwitikio mzima wa Kitaifa, Kinga, Matunzo, Matibabu na Msaada na Kupunguza Athari zitokanazo
na UKIMWI.
Dira ya Mpango huu ni “Kuona Tanzania inaendeleza juhudi za pamoja za kupunguza kuenea kwa
VVU na kutoa matunzo bora zaidi kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana walioathirika
na walioathiriwa na virusi ”. Ambapo dhamira yake ni Kutoa mwongozo, kulinda,kuimarisha na
kupanua uongezaji na upanuzi wa ubora wa kinga, matunzo na msaada dhidi ya VVU na UKIMWI na
kuwa na ushawishi mkubwa kwenye programu na shughuli mbalimbali za kudhibiti na kupunguza
athari ndani ya programu ya mwitikio shirikishi wa Taifa chini ya uratibu unaongozwa na Serikali
Kuu, kushikizwa kwenye Halmashauri za Serikali za Mitaa, kujikita ndani ya jamii na kusaidiwa na
wadau wote wanaohusika kwa kuzingatia jinsia.”
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) xiii
Matokeo tarajiwa ya mpango huu yanaendana na maeneo makuu ya kimkakati yaliyopewa
Kipaumbele katika Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI . Hivyo, matokeo tarajiwa ni
(T1) Kupungua kuenea kwa maambukizi ya VVU kunakosababishwa na masuala yanayohusu
jinsia miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana. (T2) Kuimarishwa kwa
jitihada za kinga ya VVU kwa wanawake na wasichana kwa kulinda na kutetea haki za binadamu
na usawa wa kijinsia. (T11) Kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa na vifo kwa wanawake,
wanaume, wasichana na wavulana vinavyotokana na masuala ya jinsia yanayochochea kuenea
kwa maambukizi yaVVU na UKIMWI. (T14) Kuboresha maisha na ustawi wa jamii kwa wanawake,
wanaume, wasichana na wavulana wanaoishi au walioathiriwa moja kwa moja na VVU na UKIMWI.
(T18) Kuimarisha zaidi mazingira wezeshaji kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana
katika kutekeleza mwitikio wa kitaifa wa VVU na UKIMWI.
Matokeo tarajiwa katika mpango huu yanaendana na matokeo ya kimkakati yaliyoainishwa katika
Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NMSF 2008-2012)
Mpango huu uliandaliwa kupitia michakato ya kukusanya mawazo na maoni kwa kuhusisha wadau
wa kada mbalimbali, marejeo ya maandiko, na kuhusisha wadau mbalimbali kwa njia ya warsha
na mikutano. Mpango huu umetokana na Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti VVU na UKIMWI
wa 2008-2012 na kujumuishwa na Mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa wa VVU na UKIMWI.
Mkakati ambao unaeleza masuala muhimu katika maeneo makuu ya Kimkakati na maeneo madogo,
matokeo yanayoonesha uzingatiwaji wa masuala ya jinsia katika afua za UKIMWI. Maudhui ya
mpango huu yanajumuisha maelezo ya usuli kuhusu jinsia na VVU na UKIMWI; Mkakati unaoainisha
masuala muhimu, pamoja na hatari vikwazo vinavyoweza kukwamisha utekelezaji wa Mpango
huu na mbinu za jinsi ya kutatua vikwazo hivi. Mpango huu unabainisha wazi juu ya muundo wa
usimamizi, ufuatiliaji na tathmini katika uzingatiaji wa masuala ya jinsia kwenye shughuli zote za
VVU na UKIMWI.
Mpango huu utatekelezwa na kuratibiwa kwa ufanisi, uwazi, uwajibikaji, uongozi na usimamizi
endelevu chini ya msingi wa mihimili mitatu ndani ya mmoja katika ngazi ya Serikali Kuu, Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa, inayojumuisha wananchi na asasi za kiraia katika mwitikio wa Kiaifa wa
VVU na UKIMWI chini ya uratibu na usimamizi wa TACAIDS.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)xiv
Shughuli zilizomo katika Mpango huu zinafuatiliwa, zinatathminiwa na kutolewa taarifa zake katika
Mfumo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini unaohusisha Sekta mbalimbali zinazoshughulika na
masuala ya VVU na UKIMWI. Ufuatiliaji na tathmini unaendana na lengo la Mfumo wa Kitaifa wa
Ufuatiliaji na Tathmini ambalo ni “kutumia ushahidi madhubuti na unaotolewa kwa wakati muafaka
kwenye maamuzi na mipango inayohusiana na VVU na UKIMWI.
Mpango huu unatarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2012, kama nyenzo ya
TACAIDS na wabia wake katika kuboresha usimamizi na uratibu wa shughuli zinazohusu uzingatiaji
wa jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI zinazofanywa na wadau mbalimbali katika vituo vyote
vya utoaji wa huduma hadi katika ngazi ya jamii. Mpango huu unatarajiwa kupitiwa tena i� kapo
mwaka 2013 ukiunganishwa na uandaaji wa Mkakati wa Tatu wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NMSF 3).
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 1
1. UTANGULIZI NA USULI
1.1 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo Afrika Mashariki, ikipakana na Bahari ya Hindi upande
wa Mashariki. Imegawanyika katika sehemu mbili, Tanzania Bara na Zanzibar, ikiwa na jumla
ya eneo la kilometa 945,090 za mraba. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepakana na
nchi za Kenya na Uganda kwa upande wa Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,
Rwanda na Burundi kwa upande wa Magharibi, Malawi, Msumbiji na Zambia kwa upande wa
Kusini.
Mwezi Julai, 2007 Idadi ya watu wanaoishi Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa milioni 37.5, Asilimia
51 wakiwa ni wanawake.1 Tanzania Bara ina mikoa 25 ya Kiutawala, iliyogawanywa katika
wilaya mbalimbali. Ku� kia Juni mwaka 2009 kulikuwa na Mawaziri 7, Wakuu wa Mikoa 3 na
Wakuu wa Wilaya 33, wote hawa wakiwa ni wanawake.2 Kilimo huchangia zaidi ya asilimia
40 ya Pato la Taifa na hutoa ajira mpaka asilimia 80 ya idadi ya watu, wengi wao wakiwa ni
wanawake. Tanzania ina tamaduni mbalimbali na makabila zaidi ya 120, yote yakiunganishwa
na lugha ya taifa, Kiswahili.
1.2 Hali halisi ya Mwitikio wa Jinsia, VVU na UKIMWI Tanzania Bara.
Kwa zaidi ya miongo miwili, Tanzania imekuwa ikikabiliana na janga la VVU na UKIMWI ambao
umepoteza maisha ya maelfu ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana na hivyo
kutishia jitihada za kitaifa za maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Uta� ti wa viashiria vya VVU na
UKIMWI na Malaria Tanzania wa mwaka 2008 unaonesha kiwango cha maambukizi ya VVU
miongoni mwa watu wenye umri kati ya miaka 15-49 kuwa ni asilimia 5.7, huku wanawake
wakiwa wanaathirika zaidi kwa kiwango cha asilimia 6.6 ikilinganishwa na wanaume ambao
walikuwa wameathirika kwa kiwango cha asilimia 4.6; pia taarifa zikionyesha kuwa wanandoa
wako katika kiwango cha juu zaidi cha maambukizi kuliko wasio katika ndoa.
Tangu mwaka 1983, ambapo taarifa za wagonjwa watatu wa kwanza zilitolewa, mapambano
dhidi ya VVU na UKIMWI yalipewa kipaumbele katika mipango, sera na bajeti za serikali.
Ni sehemu ya ukamilishaji wa mikakati ya kupunguza umasikini kama ilivyoainishwa katika
Dira ya Taifa ya 2025 (TDV 2025) na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini
Tanzania (MKUKUTA).
1 LHRC, Tanzania Human Rights Report, 2007
2 Civil Service data by June 2009
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)2
Mwaka 1999, Rais mstaafu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa alitangaza kuwa UKIMWI
ni janga la kitaifa akionesha dhamira na wajibu wa serikali kwa VVU na UKIMWI kama eneo
la kipaumbele katika ngazi na sekta zote. Hivyo Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania –
(TACAIDS) iliundwa mwaka 2000 ili kusimamia na kuratibu mwitikio wa kitaifa unaohusisha
sekta mbalimbali kwa VVU na UKIMWI. Sera ya Taifa ya VVU na UKIMWI iliundwa mwaka
2001. Imeweka muktadha kwa ajili ya Mikakati ya Kudhibiti UKIMWI namba moja 2003-2007
na namba mbili wa 2008-2012 (NMSF).
Athari za janga hili huchochewa na masuala mbalimbali ya vipaumbele vya kiulimwengu
vinavyokinzana kama vile, mabadiliko ya tabia ya nchi, kutokuwepo uhakika wa chakula,
uchumi usio tengemavu na migogoro. Kushughulikia usawa na uwiano wa kijinsia inawezekana
kuwa ni mkakati wenye ufanisi kuliko mikakati yote katika kupunguza hali hatarishi ya VVU
na UKIMWI miongoni mwa wanaume, wanawake, wavulana na wasichana; na kuimairisha
uwezo wa mtu mmoja mmoja, kaya na jumuiya kuweza kushughulikia matokeo ya janga hili.
Serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali wameitikia wito wa kushughulikia masuala VVU na
UKIMWI kwa mtazamo wa kijinsia.
Mwaka 2003, Mkakati wa Kijumuiya wa kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya VVU na
UKIMWI uliundwa. Mwaka huo huo kulikuwa na kampeni ya kitaifa ya kuvunja ukimya kuhusu
/ uhusiano kati ya VVU na UKIMWI, rasilimali na jinsia. Jinsia imerasimishwa katika baadhi ya
mipango, sera na mikakati ya VVU na UKIMWI. Miongozo mbalimbali ya kawaida na ya bajeti
kwa ajili ya mipango ya afua za VVU na UKIMWI katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs)
na Wizara za Serikali, Idara na Wakala (MDAs) zimeweka shabaha ya wazi kwa utekelezaji
wa masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI. Mapendekezo mbalimbali ya uimarishaji wa utambuzi
wa kijinsia kwa VVU na UKIMWI pia yameshaundwa na kutekelezwa na wadau. Mpango
huu umezingatia masuala yote hayo na unatoa mwongozo wa ku� kia malengo na mikakati
iliyooneshwa / katika nyaraka zilizotajwa hapo juu.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 3
2 MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA
2.1. Dira, Dhamira na Madhumuni ya Mpango huu
Dira
“Tanzania inaendeleza juhudi za pamoja za kupunguza kuenea kwa VVU na kutoa matunzo bora
zaidi kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana walioambukizwa au walioathiriwa na
virusi”.
Dhamira
Kutoa mwongozo na kulinda uongezaji na upanuzi wa ubora wa kinga, matunzo na msaada
dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia na kuwa na ushawishi mkubwa kwenye
programu na shughuli mbalimbali za kudhibiti na kupunguza athari ndani ya programu ya
mwitikio shirikishi wa Taifa yenye uratibu mzuri unaongozwa na Serikali Kuu, kushikizwa
kwenye Halmashauri za Serikali za Mitaa, kujikita ndani ya jamii na kusaidiwa na wadau wote
wanaohusika.
Madhumuni
Kuongoza na kushauri TACAIDS na wadau wa VVU na UKIMWI wa ngazi zote, katika utoaji
wa afua za kimkakati zinazohusiana na masuala ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia masuala
ya kijinsia.
2.2 Vipaumbele, Mikabala na kanuni za miongozo ya Mpango wa Uendeshaji Kijinsia Kwa Ajili Ya Mwitikio Wa VVU, Tanzania Bara
Vipaumbele vya Uendeshaji wa Mpango Kijinsia kwa ajili Mwitikio wa VVU katika Tanzania
Bara vinafungamana na Maeneo Makuu ya Kimkakati yaliyopewa kipaumbele katika Mkakati
wa pili wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI (NMSF 2008-2012) ambayo ni: (a) Kinga; (b) Matunzo,
tiba na msaada (c) Kupunguza Athari zitokanazo na UKIMWI na (d) Mazingira wezeshi.
Mikabala (Approaches)
Njia zifuatazo zitatumika katika utekelezaji wa Mpango Huu:
i. Kutumia Mpango huu kama zana ya kuongoza na kushauri katika uratibu na usimamizi
wa Afua za VVU na UKIMWI zenye kuzingatia jinsia katika sekta na ngazi zote.
ii. Kujumuisha na kutekeleza njia zenye misingi ya utambuzi wa kijinsia na haki za binadamu,
kama suala mtambuka katika Maeneo makuu ya Kimkakati yaliyopewa kipaumbele
katika Mkakati wa Kuthibiti UKIMWI ili kutekeleza shughuli zilizomo katika Mpango huu
kupitia miundo iliyopo.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)4
iii. Kurasimisha masuala ya kijinsia, Haki za Binadamu na VVU na UKIMWI katika mipango,
sera, mikakati, bajeti na miongozo ya mafunzo katika ngazi zote.
Kanuni Zinazoongoza
Kanuni zifuatazo zitaongoza mipango na utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango Uendeshaji
wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU na UKIMWI Tanzania Bara:
A. Kudumisha maadili na haki za binadamu: Ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu na
mmomonyoko wa maadili huchochea kuenea kwa VVU pamoja na athari zake. Mpango
huu umefungamana na dhamira za kikanda na kiulimwengu katika utetezi na ulinzi wa
haki za binadamu. Mpango huu unatoa miundo, michakato, sera na shughuli zinazounga
mkono haki za binadamu na kuondoa ubaguzi katika ushirikishwaji. Wadau wanahusika na
wanawajibika kutetea na kulinda haki za wanawake, wanaume, wasichana na wavulana,
wakati wakizingatia mahitaji yao na kiwango cha hatari ya maambukizi ya VVU.
B. Kuboresha fursa kwa wote: Uhaba wa huduma na taarifa sahihi za masuala ya VVU na
UKIMWI huchangia kuenea kwa maambukizi ya VVU katika jamii. Mpango huu utatoa fursa
za upatikanaji wa huduma na taarifa sahihi katika masuala ya VVU na UKIMWI, kwa
wakati muafaka na kwa ubora wa ahali ya juu ili kukidhi mahitaji muhimu kwa wanawake,
wanaume, wasichana na wavulana. Huduma hizi ni za gharama nafuu, zina� kika kirahisi,
ni za kira� ki, na zinasaidia katika kupunguza kuenea kwa maambukizi na athari za VVU na
UKIMWI.
C. Kuimarisha ushirikishwaji: ubaguzi wa makundi yaliyoathirika, ya pembezoni au yaliyo
katika mazingira hatarishi ni changamoto kubwa katika ufanisi wa mpango huu, lengo
la mpango huu ni kuhakikisha ushirikishwaji kamilifu kwa makundi hayo yote, makundi
hayo pamoja na wadau wengine watasaidia kuchangia uzoefu na ujuzi. Makundi hayo
yanajumuisha watu waishio na VVU na UKIMWI, wafungwa wa kike na wa kiume, watumiaji
madawa ya kulevya,wanaojiuza miili,watoto wanaotumikishwa katika ajira mbaya,wanaume
wanaolawitiana, wanawake wanaofanya ngono kinyume na maumbile, yatima na watoto
waishio katika mazingira hatarishi, wanawake waliojiajiri, wanawake na wanaume wenye
ulemavu na wanawake na watoto ambao ni wahanga wa ukatili wa jinsia
D. Ushiriki kamilifu wa WAVIU: NI muhimu sana kuhakikisha kuwa wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana ambao wanaishi na, au wameathiriwa na mlipuko huu wawe mstari
wa mbele katika ushirikishwaji kamilifu katika kufanya uamuzi na utekelezaji wa shughuli
zilizopo kwenye Mpango huu. Baadhi ya hatua na mikakati katika Mpango huu zinatimiza
utambuzi wa dhamira yao katika uhusishwaji wa kiwango kikubwa zaidi cha WAVIU,
ushirikishwaji ambao ulikubaliwa na mataifa kwenye mkutano kuhusu UKIMWI wa Paris
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 5
uliohudhuriwa na wakuu wa nchi, mwaka 1994, kama mhimili muhimu na wa kimaadili katika
mwitikio wa kitaifa kwa janga hili.
E. Ushirikiano na ubia endelevu: VVU na UKIMWI haviwezi kushughulikiwa kiufanisi bila
kuwepo ubia kati ya serikali na wadau kutoka sekta na nyanja zote. Kwa hiyo, Mpango huu
unapendekeza mikakati ambayo inaunda mitandao na uhusiano wa ushirikiano na majukumu
miongoni mwa wadau mbalimbali wa kitaifa na wasio wa kitaifa, wakijumuishwa wabia wa
maendeleo, mashirika yanayosaidia WAVIU, mashirika ya utetezi wa haki za binadamu,
Wizara, Idara na Wakala mbali mbali na sekta binafsi. Wadau mbalimbali watashirikishana
uzoefu, utaalamu na kuchangia rasilimali zinazohitajiwa katika ushughulikiaji wa kuenea kwa
athari za maambukizi ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia.
F. Kuuunga mkono dhamira ya Viongozi: ufanikishaji wa lengo la mpango huu utakuwa ni
kazi bure endapo hakutakuwa na utashi wa viongozi katika ngazi zote. Kwa hiyo dhumuni la
mpango huu ni kuchochea dhamira ya viongozi kwa njia ya kufanya ushawishi kwa viongozi
katika ngazi zote ili waweze kutoa kipaumbele kwa masuala ya jinsia katika shughuli zao
zote, kadhalika waweze kutenga rasilimali za kutosha kwa kuzingatia jinsia katika kila
ngazi , kujenga ujuzi na maarifa kwa viongozi ili waweze kubuni na kutekeleza shughuli zao
na hatimaye kufanya maamuzi kwa kuzingatia mahitaji muhimu ya wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana katika mazingira yanayowazunguka.
G. Ushirikishaji wa wanaume na wavulana: Baadhi ya mila na desturi potofu hukwamisha
ushiriki wa wanaume katika kudhibiti kuenea na kupunguza athari za maambukizi ya VVU
na UKIMWI. Mpango huu umedhamiria kuwezesha: ushirikishwaji zaidi wa wanaume katika
programu za kinga na upunguzaji wa athari za VVU na UKIMWI, ongezeko la wanaume wengi
wanaotafuta na ku� kia huduma za tiba, matunzo na msaada; kubadili tabia, matendo na
mienendo hatarishi ya wanaume ili kuondoa mifumo kandamizi inayochochea kuongezeka
kwa maambukizi ya VVU na UKIMWI .
H. Kutumia ushahidi katika kufanya maamuzi: Dira ya kupanga na kutekeleza mwitikio wa
kitaifa wa VVU na UKIMWI wenye utambuzi wa kijinsia, haiwezi kufanikiwa bila kutambua
kuwa mahitaji ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana yanayohusiana na VVU
na UKIMWI, yana unyeti wa pekee, yapo tofauti na ni mahsusi kimuktadha. Mpango huu
unahimiza upatikanaji wa taarifa za kimkakati kuhusu muktadha wa elimu ya magonjwa
ya mlipuko, kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na kisiasa, pamoja na kiwango ambacho yote
yaliyotajwa hapo juu yanachochea ueneaji wa maambukizi na athari za VVU na UKIMWI
miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana. Taarifa hii ya kimkakati
itapatikana kwa kuzingatia maadili hivyo haitamdhuru yeyote na itatumika katika kufanya
maamuzi yanayohusiana na mipango, sera, mgawanyo wa rasilimali na mafunzo katika
ku� kia maamuzi.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)6
I. Uimarishaji wa Uwezo wa Kitaasisi: Ni muhimu sana kwa taasisi zote zilizo na dhamana
ya uwajibikaji wa kuhakikisha mwitikio wa kitaifa wa UKIMWI wenye utambuzi wa kijinsia
kuwa na; stadi, mifumo, sera na rasilimali za kutosha. Kwa hiyo Mpango huu unapendekeza
shughuli za kuimarisha uwezo wa kitaasisi wa mashirika muhimu yanayohusishwa katika
usimamizi , uratibu na utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia.
2.3 Jinsi Mpango huu Unavyoshabihiana na Sera, Mipango na Mikakati
Mingine Muhimu
Mpango huu wa Uendeshaji wa kijinsia kwa ajili ya mwitikio wa VVU Tanzania Bara
umeoanishwa na kuingizwa katika sera za maendeleo, mipango na mikakati kadhaa ambavyo
ni muhimu katika ngazi za kimataifa, kikanda na kitaifa hadi ngazi za chini. Miongoni mwa
sera, mipango na mikakati muhimu ambayo imetaarifu Mpango huu ni kama ifuatavyo:
A. Msingi mkubwa wa mpango huu umetokana na mkakati wa pili wa Taifa wa Kudhibiti
UKIMWI. Mpangilio, mkazo wa maeneo makuu, matokeo , masuala ya kimkakati na
mikakati iliyomo katika mpango huu inaendana sana na mkakati wa pili wa taifa wa
kudhibiti UKIMWI.
B. Mpango huu umeundwa kutokana na mojawapo ya mapendekezo kutoka kwenye
Matokeo ya Ukaguzi wa Kijinsia wa Mwitikio wa Kitaifa wa VVU na UKIMWI, Tanzania,
ambao uliendeshwa na TACAIDS na wadau wake mwaka 2008/09.
C. Baadhi ya mikakati na shughuli zinazohusiana na jinsia na masuala ya VVU na UKIMWI
zimetokana na Mkakati wa Kitaifa wa Maendeleo ya Kijinsia.
D. Mpango huu umefungamanishwa na MKUKUTA ili kuleta usawa wa kijinsia na
uwezeshwaji wa kiuchumi. Mikakati inayohusiana na VVU na UKIMWI katika MKUKUTA
pia imechukuliwa na kuingizwa katika Mpango huu.
E. Mikakati ya nyongeza ambayo inashughulikia masuala ya kijinsia, VVU na UKIMWI katika
Mpango huu inaendeana na Mkakati wa Taifa wa Kinga ya VVU unaohusisha Sekta
mbalimbali (2010 – 2012 ) na Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano na Utetezi kuhusu VVU
na UKIMWI.
F. Baadhi ya shughuli zilizomo katika Mpango huu, zimefungamana na Mipango kazi ya
wadau, ikiwemo Sekta za Wizara, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Asasi za Kiraia
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 7
G. Mpango huu umefungamanishwa na kanuni, matokeo na shughuli zilizoorodheshwa
katika Agenda ya Programu ya Muungano wa Umoja wa Mataifa kuhusu VVU na
UKIMWI, –(UNAIDS), kuhimiza nchi ili kuchukua hatua mahususi katika kushughulikia
masuala ya Wanawake, Wasichana, Usawa wa Kijinsia na VVU na UKIMWI –(2010 –
2014).
H. Muundo wa Ufuatiliaji na Tathmini – (M&E) wa utekelezaji wa Mpango huu, umefungamana
na Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa VVU na UKIMWI – (HIV M&E system).
Data zilizosaidia katika masuala yaliyoibuliwa kwenye mpango huu kwa kiasi kikubwa
zimetokana na Uta� ti wa Viashiria vya Malaria, VVU na UKIMWI Tanzania (THMIS)
mwaka 2008. Data hizi, pamoja na mfumo wa kawaida wa ufuatiliaji wa Wizara ya Afya
na Ustawi wa Jamii (MOHSW), ndio msingi wa uainishaji wa mikoa iliyopewa kipaumbele
kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zilizomo
I. Ukokotoaji wa Gharama za NMSF pia ulitoa taarifa iliyosaidia katika kukadiria bajeti
ya shughuli zilizomo katika mpango huu.
J. Misingi mikuu na mbinu zilizotumika katika mpango huu zinaendana na vifungu vya
sheria, sera na mikataba ya kitaifa na kimataifa ambayo Tanzania imeridhia.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)8
3. MKAKATI WA JINSIA NA MASUALA YA VVU NA UKIMWI TANZANIA BARA
Kipengele hiki kinahusu mkakati wa jinsia na VVU na UKIMWI, kama ilivyooneshwa ndani
ya Mpango wa pili wa taifa wa Kuthibiti UKIMWI wa mwaka 2008-2012 pamoja na mipango,
sera na miongozo muhimu ya wadau mbalimbali katika Tanzania Bara. Mkakati unaonesha
maeneo makuu manne ya kimkakati pamoja na maeneo madogo ya kimkakati na matokeo
ambayo yanashughulikia afua za VVU na UKIMWI zenye mwitikio wa kijinsia Tanzania Bara.
Masuala ya kimkakati, matokeo, mikakati kwa kila kipengele cha eneo la kimkakati pia
vimeoneshwa.
3.1 ENEO KUU LA KIMKAKATI: : KINGA -
Matokeo ya eneo la kimkakati - Kinga.
• Mkakati (M1): Kupunguza ueneaji wa maambukizi ya VVU unaosababishwa na masuala
ya kijinsia miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana nchini.
• M2 kuimarisha jitihada za kinga; yaani, uzuiaji wa ueneaji wa maambukizi ya VVU kwa
wanawake na wasichana kwa kuzingatia uwiano katika usawa wa kijinsia kuhusu haki za
binadamu.
• Eneo dogo la kimkakati : KUPUNGUZA HALI HATARISHI YA MAAMBUKIZI YA VVU
MIONGONI MWA MAKUNDI YALIYO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI YALIYOKITHIRI
Masuala ya Kimkakati kwa Wanawake na Wasichana
• Baadhi ya wanaume hujinufaisha kutokana na nguvu za maumbile yao pamoja na mamlaka
ya kufanya maamuzi kuhusu masuala ya ngono au kuwalazimisha wanawake kufanya
ngono. Ukatili huu unalenga kuwafanya wanawake wakose uwezo wa kujadiliana kuhusu
ngono salama au kuondoka katika uhusiano hatarishi walionao na wanaume hawa.
• Visa vya kubakwa na unyanyasaji wa kingono kwa wake na waume vinaendelea kudhihirika
zaidi. Baadhi ya wanawake hususan wasaidizi wa kike wa kazi wa nyuumbani, wasichana
walemavu pamoja na yatima wameteseka kutokana na hali hii ya unyanyasaji wa kingono
na kubakwa ambavyo huwaweka katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa VVU.
• Tabia ya kuanza ngono katika umri mdogo au ndoa za utotoni huwaweka wasichana
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 9
katika hatari ya kuambukizwa VVU kwani hali zao za kimaumbile huwa bado hazijakomaa
vilivyo.
• Taarifa kuhusu maambukizi ya VVU miongoni mwa wanawake walio na umri kati ya
miaka 15- 49 inaonesha kuwa maambukizo kwa wanawake yapo kiwango cha juu kuliko
wanaume, kikiwa asilimia 6.6 ukilinganisha na kile cha wanaume cha asilimia 4.6. wakati
huohuo, mingoni mwa vijana wenye umri kati ya miaka 20-24, kiwango cha maambukizo
ni asilimia 2 na asilimia 6 kwa wanaume na wanawake katika mfuatano huo.
• Wakati mwingine, wanawake walio na umri mdogo huwa na uelewa mdogo au hawana
kabisa, juu ya masuala ya ngono kwa imani kuwa wataonekana kukosa utii, heshima na
kuepuka lawama. Uta� ti wa viashiria vya, VVU na UKIMWI na Malaria (THMIS) wa mwaka
2007-08 ulionesha kuwa wanawake hujitokeza kwa kiwango cha kidogo katika utoaji na
upokeaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu taarifa za VVU na UKIMWI, na
hivyo wanawake wachache zaidi wamesikia taarifa za VVU na UKIMWI ukilinganisha na
wanaume.
• Ni wanawake wachache tu wenye uelewa juu ya umuhimu wa kuwa na uwezo wa
kushawishi ngono salama ikilinganishwa na wanaume. Wanawake huweza kuwa na
ufahamu wa mbinu sahihi za kupunguza hatari ya uambukizi ya VVU, lakini mara nyingi
hukosa stadi za ushawishi na mara nyingi huwa wana uwezo ha� fu wa kujilinda.
• Mfumo dume na tabia ya ukandamizaji husababisha uhusiano ha� fu na kibabe, na usiyo
na usawa na hii husababisha mwanamke kuwa tegemezi. Wanawake hawa hukosa hali
ya kujiamini na hivyo kulazimika kufanya ngono bila ridhaa yao, na kushindwa kuamua ni
lini, na nani au katika mazingira gani yaliyo salama ya kufanya ngono.
• Uwezo mdogo wa kiuchumi huweza kushurutisha wanawake kubadilishana ngono kwa
fedha au upendeleo fulani. Wahudumu wa baa (wa kike) au wanaojiuza miili si aghalabu
huweza kushawishi ngono salama au kuzuia kufanyiwa ukatili.
• Wasichana wadogo hushiriki katika uhusiano wa kingono na watu wanaowazidi sana
umri ambao mara nyingi wanashawishika kwa fedha, zawadi, sifa au kuiga wenzao
ambapo vyote hivi mara nyingi vinachochewa na shinikizo la rika, hivyo kutumikishwa na
kutoweza kushawishi ngono salama .
• Baadhi ya mila na desturi , maadili na taratibu huzuia wanawake na wasichana wadogo
kujadili masuala ya ngono. Katika mkondo huo huo, baadhi ya wanawake huepa
mawasiliano ya wazi yanayohusu ngono au mihemuko.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)10
• Baadhi ya wanawake wanaotafuta ajira hulazimishwa kutoa rushwa ya ngono kwa hila ya
kupewa ajira.
• Baadhi ya mila za kiasili kama vile ukeketaji, ndoa za utotoni, tabia ya kurithi wajane,
ubakaji, ngono kavu, kutakasa wajane, kushirikiana wake, mitala, taratibu za kushughulikia
ugumba na utasa, ukiukwaji wa haki na afya za wanawake, Unyago na Jando, huongeza
hali hatarishi kwa maambukizi ya VVU kwa wanawake.
Masuala ya Kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Mara nyingi wanaume katika sehemu za vijijini wana uelewa mdogo wa masuala ya VVU
na UKIMWI ikilinganishwa na wenzao wa mijini.
• Baadhi ya wanaume ambao wanafanya ngono kwa kununua au upendeleo lakini wakati
huohuo hawachukui tahadhari ya kufanya ngono salama, hujiweka wao wenyewe na
wenzi wao katika hatari zaidi ya kuambukizwa VVU. Uta� ti wa viashiria vya VVU, Malaria
na UKIMWI (THMIS) wa mwaka 2007-08 umeonesha kuwa asilimia 8.5 ya wanaume
walilipia ili kupata huduma ya ngono katika miezi 12 iliyopita kabla ya uta� ti, ambapo
asilimia 40 ya wanaume hawa hawakutumia kondomu.
• Wanaume ambao hawajawezeshwa ama kutokana na ukosefu wa ajira au uvivu na hali
ya kuvunjika moyo, hupoteza uwezo wa kujiamaini na hivyo kutojali afya zao, hususan
katika masuala ya ngono pamoja na kinga ya maambukizi ya VVU.
• Wanaume wanaohama kutoka makazi yao kwa vipindi virefu kwa ajili ya ajira, ufugaji
au safari za kibiashara wanaweza kushawishika kufanya ngono hatarishi zinazoweza
kuwasababishia wao na wenzi wao kuambukizwa VVU.
• Wanaume wanaofanya ngono kinyume na maumbile , ama na wanamume wenzao au
na wanawake, wanajiweka katika hatari ya kupata maambukizi ya virusi kutoka kwa
mwenza aliyeambukizwa au yeye kumuambukiza mwenzake iwapo watafanya ngono
isiyo salama.
• Kuna uelewa mdogo wa mitazamo ya wanaume kuhusu masuala ya ngono ambayo
husababisha wanaume hao kupata maambukizi ya VVU.
• Katika baadhi ya tamaduni, wanaume huchangia wake au ndugu wa kiume hushurutishwa
kuoa wajane wa ndugu zao waliofariki. Tabia hizi huwaweka wanaume hao katika hatari
ya kuambukizwa VVU.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 11
• Visa vya kubakwa na unyanyasaji wa kingono kwa wavulana pia vinaongezeka katika
jamii. Baadhi ya wavulana walemavu, pamoja na yatima wameteseka kutokana na
kubakwa au kunyanyaswa kingono.
• Mila na desturi zinazowapendelea watoto wa kiume katika jamii na malezi wanayopewa
vimeendelea kukubalika na jamii juu ya tabia ya wavulana kuwa na wenza wengi wa
ngono, kufanya ngono isiyo salama, kukuza vitendo vya kikatili, matumizi ya madawa ya
kulevya, kujiingiza katika mazingira hatarishi bila hadhari, ugomvi, kutojali au kutowajibika
kwa usalama wa kingono ili kudhihirisha uanamume.
• Jamii huwa haikatazi wanaume wazee na watu wazima kufanya ngono na mabinti
wadogo hivyo kuwafanya wanaume wazee na wenza wao wa ngono kuwa katika hali ya
hatari ya kiwango cha juu cha uambukizi wa VVU.
Matokeo
• T3: Kupungua kwa hatari ya maambukizi ya VVU miongoni mwa wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana walio katika hali hatarishi iliyokithiri kutokana na ukatili wa kijinsia
, kutokuwa na usawa wa kijinsia na taratibu zenye madhara ya kijamii na kiutamaduni.
Mikakati
• M1: Kuhimiza majadiliano ya wazi na kuongeza ufahamu juu ya ukatili wa kijinsia
unaongeza kiwango cha hali hatarishi ya maambukizi ya VVU.
• M2: Kukusanya, kuchambua na kutoa taarifa kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na
wasichana.
• M3: Kujumuisha afua zinazoshughulikia na kuitikia kuhusu ukatili dhidi ya wanawake,
fursa za kinga mimba za dharura na kuzuia maradhi baada ya kuwa katika hali hatarishi
• M4: Kuwezesha ukuzaji wa stadi za maisha miongoni mwa wasichana na wavulana
kuhusu haki za afya ya ngono na uzazi
• M5: Kuboresha uwezo wa viongozi wa kijadi, kidini na wanaharakati kuhusu masuala ya
jinsia ili kutetea imani na kuimarisha tabia njema .
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)12
Eneo dogo la kimkakati 3: UPANUZI WA AFUA ZA VVU NA UKIMWI MAHALI PA KAZI
Masuala ya Kimkakati kwa Wanawake na Wasichana
• Nchini Tanzania ni wanawake wachache tu huajiriwa kuliko wanaume katika sehemu
za kazi zilizo rasmi, kwa hiyo programu za VVU na UKIMWI huwa� kia zaidi waajiriwa wa
kiume na wachache wa kike katika sehemu hizi rasmi za kazi.
• Unyanyasaji wa kingono hutokea katika sekta rasmi na zisizo rasmi, ambapo mara nyingi
wanawake hulazimishwa kufanya ngono kwa ama kupewa upendeleo fulani au kuajiriwa,
hivyo kusababisha wanawake hawa kuwa kwenye hali ya hatari ya maambukizi ya VVU.
Matokeo
• T4: Kuongezeka kwa uwiano baina ya sekta za umma na binafsi, waendesha sekta rasmi
na isiyo rasmi, zinazopanga na kutekeleza afua zinazoshughulikia masuala ya VVU na
UKIMWI za mahali pa kazi zenye mwitikio wa kijinsia, zikiwalenga wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana katika katika hali ya usawa.
Mikakati
• M6: Kuhakikisha kuwa programu zinazohusu masuala ya VVU mahali pa kazi katika sekta
rasmi na isiyo rasmi zinajumuisha wafanyakazi na familia zao.
• M7: Kutetea uwezeshaji wa uelewa wa msingi na ulinzi wa haki za waajiriwa, kuhusiana
na masuala ya unyanyasaji wa kingono.
Eneo dogo la kimkakati 4: KINGA, TIBA NA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA
NGONO
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
• Wanawake huweza kupata maambukizi ya magonjwa ya ngono pasipo kuwa na dalili
zozote, hivyo ni vigumu kujitambua kama wana maambukizo yoyote. Zaidi ya hayo,
baadhi ya wanawake na wasichana hukataa kupimwa na kutafuta tiba kwa kuho� a
unyanyapaa na lawama.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 13
Matokeo
• T5: Upanuzi wa hudumabora za afya na haki za ngono na uzazi zilizo na mwitikio wa
kijinsia zinazojumuisha ushauri na unasihi, upimaji wa VVU, pamoja na uhimizaji wa
matumizi ya kondomu katika sehemu zinazotoa huduma za afya mahali pa kazi.
Mkakati
• M8: Kuimarisha huduma za kira� ki za afya na haki ya ngono na uzazi kwa wanawake
katika vituo vya afya.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 5: UHIMIZAJI NA UPANUZI WA HUDUMA ZA UNASIHI NA
UPIMAJI WA VVU
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Kuna taarifa za kuwepo kwa kiwango cha chini cha Unasihi na Upimaji wa VVU kwa
wanaume, vilevile kuna tabia ya wanamume kusita kutumia huduma za unasihi na
upimaji.Taarifa zinaonesha kuwa asilimia 27 ya wanaume, ikilinganishwa na asilimia 37
ya wanawake Tanzania wamepima VVU na kupokea majibu yao.
Matokeo
• T6: Kuongeza kiwango cha upatikanaji wa huduma za unasihi na upimaji wa VVU
pamoja na idadi ya vituo vya huduma za kira� ki vya unasihi na upimaji kwa wanamume
na wavulana mijini na vijijini.
Mkakati
• M9: Kuimarisha na kujenga uwezo kwa ajili ya utoaji wa huduma ya unasihi na upimaji
iliyo bora ambayo inahamasisha uelewa kwa wanaume.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 6: KUZUIA UENEAJI WA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA
MAMA KWENDA KWA MTOTO
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
• Kutokana na hofu ya kunyanyapaliwa na kubaguliwa na wanajumuiya wenzao, baadhi ya
wanawake hawahudhurii kliniki na kuweza kupata fursa za huduma ya kuzuia maambukizi
ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto ili wasidhihirishe hali zao za uambukizo wa
VVU.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)14
• Kuna hali ya kutokuwa na huduma za afya zilizo na ubora, zisizotosheleza sehemu za vijijini
hususan kwa wanawake wakati wa kujifungua, kuna idadi isiyotosheleza ya wakunga wa
jadi walio na weledi na waliofunzwa ipasavyo , kuna fursa pungufu za vifaa muhimu vya
afya kama vile glavu , pamba, kemikali za kuua vijidudu na maziwa mbadala kwa ajili ya
watoto wanaozaliwa kutoka kwa wanawake wenye VVU na UKIMWI .
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Miongoni mwa wanaume kuna ufahamu na uthamini usio wa kutosha kuhusu umuhimu
wa kushiriki programu ya kuzuia maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto,
pamoja na ushiriki wao mdogo kwenye masuala ya huduma za afya ya Uzazi na Mtoto
Matokeo
• T7: Kuongezeka uimarishwaji wa huduma za kira� ki za afya ya uzazi na mtoto , na
kuboresha ushirikishwaji wa wanawake na wanaume katika masuala ya uzuiaji wa
mambukizi ya VVU toka kwa mama na kwenda kwa mtoto.
Mikakati
• M10: Kufanya utetezi na kuhamasisha jamii ili kupambana na unyanyapaa unaohusiana
na huduma ya uzuiaji wa maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na
kuboresha huduma hiyo iwe ya kira� ki
• M11: Kuimarisha ura� ki na ubora wa huduma ya uzuiaji wa maambukizi ya VVU toka kwa
mama kwenda kwa mtoto ili kuchochea uelewa kwa wanawake na wanaume.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 7: UHIMIZAJI WA MATUMIZI NA USAMBAZAJI WA KONDOMU
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
• Wanawake wana uwezo au ushawishi mdogo wa kujadili juu ya kutumia kondomu
wakati wa kufanya ngono, kwa hiyo mara nyingi hukosa uwezo wa kudhibiti au kusisitiza
matumizi sahihi ya kondomu.
• Uhimizaji wa matumizi ya kondomu za kike haujapewa msisitizo wa kutosha. Pia,
upatikanaji wake si rahisi ukilinganisha na kondomu za wanaume kwa sababu ya gharamu
kubwa na zina usumbufu wakati wa kutumia. Hivyo kiwango cha matumizi na uelewa wa
kondomu za kike kiko chini ingawa ndiyo njia bora kuliko zote kwa mwanamke kudhibiti
maambukizi ya VVU.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 15
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Baadhi ya wanaume hukataa kutumia kondomu wakidai inapunguza raha. Wanaume
wengine na wenza wao wa ngono huona kuwa matumizi ya kondomu ni dalili ya uasherati
na kutokuwa na uaminifu. Wanaume kama hawa hawatumii kondomu kwa ajili ya kinga
ya maambukizi ya VVU/ magonjwa ya ngono au ujauzito.
Matokeo
• T8: Fursa za upatikanaji pamoja na matumizi ya kondomu za kike na za kiume kwa kinga
madhubuti inayoweza kuzuia mimba na wakati huohuo kuzuia maambukizo ya VVU na
magonjwa mengine ya ngono zimepanuka .
Mikakati
• M12: Kupanua wigo wa upatikanaji wa kondomu za kike na za kiume zenye ubora kama
njia ya kinga dhidi ya maambukizi ya VVU na magonjwa ya ngono pamoja na mimba.
•
• M13: Kukuza uelewa wa umuhimu wa kutumia kondomu za kike na za kiume kama kinga
madhubuti inayoweza kuzuia mimba na wakati huohuo kuzuia maambukizo ya VVU.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 8: KUZUIA KUENEA KWA MAAMBUKIZI YA VVU KUPITIA VIFAA
VILIVYOSIBIKWA
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Vifaa vilivyosibikwa (vichafu na visivyo salama) ambavyo hutumika na watu mbalimbali
kwa kushirikiana kwa mfano, wakati wa kujidunga sindano za dawa za kulevya, kutahiri
wanaume, kutogea, kutiana makovu, chale na mafundo ya kiasili kwa ajili ya kuungana
udugu huongeza hali ya hatari ya maambukizi ya VVU kwa wanaume.
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
Vifaa vilivyosibikwa ambavyo hutumika na watu mbalimbali kwa kushirikiana kwa mfano,
wakati wa kujidunga sindano za dawa za kulevya, kukeketa wanawake, kutogea, kutiana
makovu, chale na mafundo ya kiasili kwa ajili ya kuungana udugu na wakati wa uzazi
huongeza hali ya hatari ya maambukizi ya VVU kwa wanawake.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)16
Matokeo
T9: Hatari ya kuenea kwa maambukizi ya VVU miongoni mwa wanaume na wanawake kwa
kupitia vifaa vilivyosibikwa imepungua
Mikakati
• M14: Toa elimu sahihi kwa jamii kuhusu hatari iliyopo ya kupata maambukizi ya VVU
kupitia vifaa vya kutobolea vilivyosibikwa
• M15: Wasaidie na kuwahamasisha watoa huduma wa afya walio katika jumuia pamoja
na waganga wa jadi watumie vifaa vilivyo� shwa ili kuvifanya viwe salama
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 9: TOHARA KWA WANAUME NA WAVULANA
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Tohara ya kitaalamu kwa wanaume inasaidia kupunguza ueneaji wa maambukizi ya
VVU na magonjwa ya ngono. taarifa ya uta� ti uliofanyika mwaka 2007 /2008 inaonesha
asilimia 65.8 ya wanaume wa Tanzania wametahiriwa.
• Taarifa sahihi kuhusu faida za kutahiri wanaume kama mojawapo ya kinga bado hazija� kia
sehemu kubwa ya jamii ya watanzania.
• Baadhi ya njia za asili za kutahiri wanaume hufanyika kwa kutumia vifaa vya kuchangia.
Matokeo
• T10: Uhimizaji wa tohara ya kitaalamu kwa wanaume na wavulana umefanyika, na
maambukizo ya VVU/magonjwa ya ngono yamepungua.
Mkakati
M16: Kuhimiza mwitikio wa kijamii wa kutahiri wanaume kama njia ya kukinga maambukizi
ya VVU.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 17
3.2 ENEO KUU LA KIMKAKATI: TIBA, MATUNZO NA MSAADA
Matokeo
• Tokeo 11: Magonjwa na vifo miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na
wavulana yanayosababishwa na masuala ya kijinsia, VVU na UKIMWI kupungua.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 1: HUDUMA ENDELEVU, TIBA, MATUNZO NA MSAADA
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
• Wanawake waishio vijijini wana fursa ya kupata dawa za kupunguza makali ya UKIMWI.
Japokuwa baadhi yao hukumbana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na kulazimika
kuchangia dawa hizo na waume wao ambao hawako tayari kufuata tiba wenyewe.
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Wanawake walio katika tiba ya kupunguza makali ya UKIMWI ni wengi zaidi kuliko
wanaume kwa sababu kimsingi wanawake huhudhuria vituo vya afya kwa ajili ya kupata
huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto kuliko wanaume hivyo basi, wanawake hao hupimwa
na kujumuishwa katika tiba hiyo
Matokeo
• T12: U� kiaji wa haki na fursa sawa kwa wanawake wanaume, wasichana na wavulana
wanaoishi na VVU katika kupata huduma endelevu, tiba, matunzo na msaada
umeongezeka.
Mikakati
• M17: Kuimarisha utambuzi wa masuala ya kijinsia na huduma ya kira� ki katika masuala
ya utoaji wa tiba na matunzo ya VVU na UKIMWI ili kuhamasisha ushiriki wa wanaume
• M18: Kukuza ushiriki wa wanaume katika kupata tiba na matunzo ya VVU na UKIMWI.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)18
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3: MSAADA NA MATUNZO KWA WAGONJWA NYUMBANI
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana
• Baadhi ya wanawake, hususan katika maeneo ya vijijini hutunza wagonjwa wanaoishi
na VVU na UKIMWI bila ya kuwa na ujuzi, maarifa na vifaa vya kutosha kwa ajili ya
kujikinga wakati wa kutoa huduma kwa WAVIU.
• Katika baadhi ya maeneo, wanawake wazee hulea wajukuu na kutunza wagonjwa
wakiwemo ndugu wanaoishi na VVU na UKIMWI bila kuwa na stadi, maarifa au vifaa
vya kujikinga na maambukizi hivyo kuwa katika hatari kubwa zaidi kupata maambukizo
ya VVU.
• Huduma nzito kwa wagonjwa nyumbani zinazotolewa na wanawake na wasichana katika
kaya na jamii hazipewi uzito na thamani stahili.
Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana
• Wanaume wanaoshiriki katika utoaji huduma ya matunzo kwa wagonjwa wenye VVU na
UKIMWI ni wachache sana kulinganisha na wanawake. Hii inasababisha kutokuwepo na
uwiano katika mzigo wa matunzo uliopo kwa wanawake na wasichana.
Matokeo
• T13: Utoaji wa huduma na upatikanaji wa rasilimali ili kupunguza mzigo wa huduma za
wagonjwa majumbani kwa wanawake na wasichana umehamasishwa.
Mikakati
• M19: Kuimarisha uwezo wa wanawake na wanaume, wakiwemo wanawake na wanaume
wazee ambao hutoa huduma za majumbani katika jamii na kaya.
• M20: Kuhamasisha wanaume wengi zaidi kushiriki katika mpango wa kutoa huduma
za wagonjwa majumbani.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 19
3.3 ENEO KUU LA KIMKAKATI: KUPUNGUZA ATHARI
Matokeo
• T14: Maisha bora na ustawi wa jamii kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana
wanaoishi au kuathiriwa moja kwa moja na VVU na UKIMWI.
ENEO DOGO LA KIMKAKAT1: WASICHANA NA WAVULANA YATIMA NA WALIO KATIKA
MAZINGIRA MAGUMU.
Masuala ya kimkakati kwa wasichana na wavulana
• Mara nyingi,Wasichana na wavulana wanaotokea katika mazingira hatarishi hulazimika
kuacha shule ili aidha kutunza ndugu zao ambao ni wagonjwa, au kufanya kazi za
kujiingizia kipato kwa ajili ya kukidhi mahitaji muhimu kama vile chakula na ada za shule
, wakati mwingine hulazimika kuolewa ili kukidhi mahitaji yao.
• Baadhi ya watoto yatima wa kike na wa kiume na walio katika mazingira magumu,
wanakuwa katika kongwa la unyanyasaji, utumikishwaji kwenye ajira mbaya na
usa� rishwaji haramu kutoka vijijini kwenda mijini.
Matokeo
• T15: Kuboresha utoaji misaada na huduma za kijamii zinazojumuisha sekta mbalimbali
kwa kuzingatia utambuzi wa kijinsia.
Mkakati
• M21: Kuimarisha uwezo wa familia na jumuia katika kutambua na kutoa msaada wa
kisaikolojia na matunzo kwa watoto yatima wa kike na wa kiume na walio katika mazingira
magumu.
ENEO DOGO LA 2 LA KIMKAKATI: KUBORESHA MISAADA NA UWEZO WA WAATHIRIKA
KUKABILI ATHARI ZA VVU NA UKIMWI
Masuala ya kimkakati kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana
• Mara nyingi wanawake na wasichana huelemewa zaidi na majukumu ya kutunza
wagonjwa walio katika familia zao. Inapotokea mgonjwa akafariki, wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana huathirika kisaikolojia na kiuchumi.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)20
• Inakadiriwa kwamba nusu ya wajane hudhulumiwa mali zao na ndugu wa mwanamume
pindi waume zao wanapofariki.
Matokeo
• T16: Wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika ngazi ya kaya na jamii
wamejengewa uwezo wa kutambua na kukabiliana na athari za VVU na UKIMWI
zinazohusiana na masuala ya kijinsia.
Mikakati
• M22: Kuimarisha uwezo wa jamii katika kutambua na kutoa msaada kwa familia ambazo
zimeathiriwa na VVU na UKIMWI moja kwa moja.
• M23: Kuboresha uwezo wa kukabili na kustahimili changamoto zinazotokea katika
familia ambazo zimeathiriwa na VVU na UKIMWI moja kwa moja
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3: WATU WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI
Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wanaume
• Unyanyapaa unaowakabili wanawake wenye maambukizo ya Virusi vya UKIMWI
huchochea chuki bila sababu, hali inayosababisha wanawake kuchukiwa, kubaguliwa
na kukosa haki zao za msingi na kuzidi kuwafukarisha . Aidha, wengine miongoni
mwao wameelezea kushambuliwa kwa maneno makali kwa kutonyonyesha watoto
wao.
• Baadhi ya wanawake wajane wamekuwa wakinyanyapaliwa na kulaumiwa kwa vifo vya
waume zao, na hiyo imesababisha kunyimwa haki ya urithi wa mali na ukosefu wa mafao
katika jamii.
• Haki za baadhi ya wajane waishio na VVU, zimekiukwa kutokana na mila potofu kama
vile, kulazimishwa kurithiwa na kutakaswa.
Matokeo
• T17: Haki za wanawake wenye VVU zinalindwa, zinatimizwa na kuheshimiwa
Mkakati
• M24: Kuwezesha utekelezaji wa sheria ya kuzuia na kudhibiti VVU na UKIMWI namba
28 ya mwaka 2008 ili kupunguza aina zote za unyanyapaa na ubaguzi.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 21
3.4 ENEO KUU LA KIMKAKATI; MAZINGIRA WEZESHI
Matokeo
• T18: Mazingira wezeshi yanayoshughulikia na kuelezea mahitaji ya wanawake, wanaume,
wasichana na wavulana katika utekelezwaji wa Mwitikio wa Taifa wa VVU na UKIMWI
yameboreshwa.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 1: UINGIZWAJI WA MASUALA YA JINSIA NA HAKI ZA
BINADAMU KATIKA SHERIA , SERA, MIUNDO YA KITAASISI, MIPANGO, ZANA ZA MIPANGO
NA MIONGOZO YA MAFUNZO INAYOHUSIANA NA MASUALA YA VVU NA UKIMWI
Matokeo
• T19: Kuimarika kwa njia za kujitolea kikamilifu, uwazi, uwajibikaji, na msaada kwa afua
za VVU na UKIMWI kwa kuzingatia haki za binadamu na misimamo ya utambuzi na
uzingatiaji wa jinsia kutoka kwa watunga sera na wafanya maamuzi.
• T20: Wanawake na wasichana wanapata fursa katika huduma jumuishi za sekta mbalimbali
kuhusu VVU na UKIMWI , kifua kikuu, haki za Afya ya Uzazi (SRHR) na kupunguza
madhara,mathalani huduma zinazoshughulikia masuala ya Ukatili wa Kijinsia.
Masuala ya Kimkakati
• Vipengele vya Masuala ya jinsia vimepewa nafasi � nyu katika sheria, sera, mipango
na nyenzo zake, miongozo ya mafunzo na katika miundo na progamu za MDAs, LGAs,
AZAKI na sekta binafsi.
• Huduma za haki ya Afya ya uzazi (SRHR) na zile za masuala ya VVU na UKIMWI
hazijaoanishwa na kujumuishwa kikamilifu. Kwa hiyo wateja hupata huduma
zisizotosheleza za kondomu za kike na za kiume, rufaa kwa ajili ya hadhari baada ya
hatari, tiba ya magonjwa nyemelezi na huduma za kingamimba.
Mikakati
• M25: Kuhakikisha kuwa sheria na sera zote zinazohusu VVU na UKIMWI zinazingatia
jinsia na zinakubaliana na kanuni na misingi ya haki za binadamu.
• M26: Kuhakikisha kuwa mipango na zana zote za mipango zinazohusiana na VVU na
UKIMWI zinazingatia jinsia na zinakubaliana na misingi ya haki za binadamu.
• M27: Kuhakikisha kuwa mafunzo yote ya kitaifa yanayohusiana na VVU na UKIMWI
yanazingatia jinsia na yanakubaliana na misingi ya haki za binadamu.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)22
• M28: Kuakikisha kuwa miundo yote muhimu ya kitaasisi inazingatia urasimishwaji wa
jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 2: UPATIKANAJI WA RASILIMALI KWA AJILI YA UINGIZWAJI WA
JINSIA KATIKA MASUALA YA VVU NA UKIMWI .
Matokeo
• T21: Ukusanyaji wa rasilimali za kutosha kwa ajili ya urasimishwaji wa jinsia na haki za
binadamu katika afua za VVU na UKIMWI umehamasishwa.
Masuala ya kimkakati
• Wakati jitihada za kuzingatia jinsia katika afua zinazohusu VVU na UKIMWI
zimekwishafanyika katika mashirika mengi ya umma na ya binafsi, wakati mwingine
jitihada hizi hukosa mwelekeo kutokana na u� nyu wa rasilimali fedha, watu na vifaa.
• Ufuatiliaji wa bajeti na jitihada zinazo shughulikia masuala ya usawa wa kijinsia katika
afua tofauti hufanyika kwa nadra sana hivyo kudhorotesha uwajibikaji.
Mkakati
• M29: Kutetea ukusanyaji wa rasilimali katika Wizara, Idara na Wakala (MDAs), sekta
binafsi na wadau wa maendeleo kwa ajili ya uzingatiaji wa jinsia katika afua za VVU na
UKIMWI.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3 : UIMARISHAJI WA UWEZO KWA MASUALA YA JINSIA, VVU
NA UKIMWI .
Matokeo
• T22: Kuimarika kwa uwezo wa taasisi na wa watoa huduma za VVU na UKIMWI kwa
kuzingatia jinsia.
• T23: Uongozi thabiti na shupavu unaojumuisha wanawake na wasichana katika mwitikio
wa VVU na UKIMWI na kwa kuzingatia jinsia umeimarishwa.
• T24: Wanawake, wanaume, wasichana na wavulana wamekuwa mstari wa mbele katika
kuleta mapinduzi ya mabadiliko ya mila na desturi na mgawanyo sawa wa fursa na
majukumu katika jamii kwa kushirikisha wanaume na wavulana watetezi wa usawa wa
jinsia katika muktadha wa VVU na UKIMWI.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 23
Masuala ya kimkakati
• Kuna uelewa mdogo miongoni mwa watunga sera, watoa maamuzi na jamii kwa ujumla
jinsi masuala ya jinsia yanavyochochea ueneaji wa maaambukizi ya VVU na UKIMWI na
athari zake , kwa wanawake, wanaume , wasichana na wavulana kwa namna mbalimbali.
• Mitizamo hasi na uelewa � nyu wa wapanga programu na watoa huduma katika masuala
ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia umepunguza kiwango cha uingizwaji wa
masuala ya jinsia katika afua za VVU na UKIMWI.
• Hakuna ufahamu na ujuzi wa kutosha katika kujumuisha kikamilifu masuala yanayohusu
usawa wa jinsia katika programu za VVU na UKIMWI kwa njia endelevu.
• Hakuna dhamira ya dhati katika kutafsiri na kutekeleza kwa vitendo sera, sheria na
mikakati mbalimbali kitaifa, kikanda na kimataifa katika kuchochea ushughulikiaji wa
haki na mahitaji ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana.
• Mkakati wa Kitaifa wa Maendeleo ya Jinsia, Wanawake na Sera ya Maendeleo ya Jinsia
haujapewa uzito unaostahili katika utekelezaji wake
Mikakati
• M30: Kujenga uwezo wa mashirika muhimu na wafanyakazi wake katika mwitikio wa
taifa wa VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia.
• M31: Kuhimiza utekelezaji wa dhamira kwa vitendo kwa kutoa fedha zaidi ili kutekeleza
sera na sheria zilizopo.
ENEO DOGO LA KIMKAKATI: UTAFITI, UFUATILIAJI NA TATHMIMI NA KUTOA MATOKEO
KWA MASUALA YA JINSIA NA VVU & UKIMWI
Matokeo
• T25: Ushahidi sawia na kwa muda muafaka upo kuhusu mahitaji mahsusi, hatari na
athari kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika muktadha wa masuala
ya VVU na UKIMWI ili kutoa matokeo bora zaidi ya utekelezaji wa sera, programu na
utengaji wa rasilimali za kutosha zinazotetea na kulinda haki na mahitaji yao.
• T26: Viashiria vya usawa wa kijinsia vinatumika ili kubainisha kwa ufasaha vipengele vya
elimu ya magonjwa ya mlipuko, kijamii, kiutamaduni, kiuchumi na ambavyo vinachangia
kuwaweka wanawake na wasichana katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)24
Masuala ya kimkakati
• Jinsia haijaingizwa kikamilifu katika mifumo ya Taifa ya mara kwa mara ya ufuatiliaji
na tathmini inayohusu VVU na UKIMWI.
• Kuna uelewa na uitikiaji mdogo wa athari mbalimbali za VVU na ukiukwaji wa haki za
binadamu kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana
• Kuna uhaba wa Taarifa muhimu zinazotokana na uta� ti, na uchunguzi kuhusu uhusiano
kati ya ueneaji na athari za maambukizi ya VVU na UKIMWI na masuala ya kijinsia katika
ngazi ya taifa.
• Kuna matumizi � nyu ya data zinazozingatia jinsia kwa ajili ya mipango, sera, programu,
utengaji rasilimali na mawasiliano katika masuala ya VVU na UKIMWI.
Mikakati
• M32:Kuandaa na kutumia viashiria vya usawa wa kijinsia ili kubainisha kwa ufasaha
vipengele vya elimu ya magonjwa ya milipuko, kijamii – kiutamaduni, kiuchumi na
ambavyo vinavyochangia kuwaweka wanawake na wasichana katika hatari ya kupata
maambukizi ya VVU
• M33: Kuingiza jinsia katika shughuli zote za Ufuatiliaji na Tathmini wa masuala ya VVU
na UKIMWI katika ngazi zote.
• M34: Kuandaa ushahidi sahihi na wa kutosha kwa mahitaji maalum na kubaini vikwazo
na athari kwa wanawake na wasichana katika muktadha wa VVU na UKIMWI.
• M35: Kujumuisha matokeo ya uchambuzi wa jinsi wanawake na wasichana
wanavyoathiriwa na ugonjwa wa mlipuko katika mukatdha wa VVU na UKIMWI kwenye
mapitio ya pamoja ya mwitikio wa taifa na tumia taarifa za kimkakati kwa kuandaa
mipango ya kimkakati ya taifa, mawasiliano na kujifunza.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 25
4. MPANGO KAZI WA SHUGHULI ZA MASUALA YA VVU NA UKIMWI ZINAZOZINGATIA JINSIA
Mpango kazi hapo chini ni kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za masuala ya VVU na UKIMWI
zenye mwitikio wa kijinsia, ambazo tayari zimekwishatekelezwa au zinabidi kutekelezwa
na wadau mbalimbali katika ngazi zote za mwitikio wa VVU Tanzania Bara. Kulingana na
Mkakati wa Pili wa Kudhibiti UKIMWI Tanzania, Mpango huu umeeleza bayana matokeo (T),
unataja mikakati (M), halafu unatoa orodha ya shughuli ambazo zinaendana na kila mkakati.
Mpango huu unaonesha sehemu zilizopendekezwa za kufuatiliwa haraka ambazo ni
vipaumbele kwa ajili ya shughuli kufanyika, pamoja na wadau waliopewa wajibu wa msingi
kuhakikisha shughuli zinafanyika kiuhalisi. Muda pamoja na makadirio ya bajeti za mwaka
za shughuli zitakazofanyika pia vimebainishwa. Mpango kazi huu unajumuisha ngazi ambayo
kila shughuli inatekelezwa na kama shughuli tayari imekwishaanza na inaendelea katika
mwitikio wa taifa wa VVU au ni afua mpya iliyopendekezwa.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)26
Ufu
nguo
: (K
) = K
aya
(Hou
seho
ld le
vels
), (V
) = K
ijiji
(Vill
age
leve
ls),
(HF)
= V
ituo
vya
hud
uma
ya a
fya
(Hea
lth F
acili
ty le
vels
), (M
K) =
Mah
ali p
a ka
zi
(Wor
kpla
ce le
vels
), (W
) = W
ilaya
(Dis
tric
t le
vels
), (M
) = M
koa
(Reg
iona
l lev
els)
, (T)
= K
itaifa
(Nat
iona
l lev
els)
, KT
= K
imat
aifa
(Int
erna
tiona
l lev
els)
, MP
= M
pya
(New
), U
= U
naoe
ndel
ea (O
ngoi
ng),
KIS
= K
isek
ta (S
ecto
ral)
EN
EO
KU
U L
A K
IMK
AK
AT
I 1: K
ING
A; U
ZU
IAJI
WA
UE
NE
AJI
WA
MA
AM
BU
KIZ
I YA
VV
U
• M
1: K
upun
guza
uen
eaji
wa
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U u
naos
abab
ishw
a n
a m
asua
la y
a ki
jinsi
a m
iong
oni m
wa
wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
nchi
ni.
• M
2: k
uim
aris
ha ji
tihad
a za
kin
ga; y
aani
, uzu
iaji
wa
uene
aji w
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
kw
a w
anaw
ake
na w
asic
hana
kw
a ku
zing
atia
uw
iano
kat
ika
usaw
a w
a ki
jinsi
a ku
husu
hak
i za
bin
adam
u.
Shu
ghul
i N
a.S
hugh
uli
Nga
ziS
ehem
u za
ku
fuat
iliw
a ha
raka
zi
lizop
end
ekez
wa
Mhu
sika
Mud
a H
ali
Mak
adiri
o ya
baj
eti y
a m
wak
a
• E
NE
O D
OG
O L
A K
IMK
AK
AT
I:2: K
UP
UN
GU
ZA
HA
LI H
ATA
RIS
HI Y
A M
AA
MB
UK
IZI Y
A V
VU
MIO
NG
ON
I MW
A M
AK
UN
DI Y
ALI
YO
KA
TIK
A
MA
ZIN
GIR
A M
AG
UM
U K
UP
IND
UK
IA
• M
3: h
atar
i ya
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U m
iong
oni m
wa
wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
wal
io k
atik
a m
azin
gira
mag
umu
kup
ind
ukia
ku
toka
na n
a uk
atili
wa
kijin
sia,
kut
okuw
a na
usa
wa
wa
kijin
sia
na t
arat
ibu
zeny
e m
adha
ra y
a ki
jam
ii na
kiu
tam
adun
i im
epun
gua.
M1:
Kuh
imiz
a m
ajad
ilian
o ya
waz
i na
kuon
geza
ufa
ham
u kw
amb
a uk
atili
wa
kijin
sia
unao
ngez
a ki
wan
go c
ha h
ali h
atar
ishi
ya
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U
1
Kue
ndes
ha W
arsh
a y
a m
afun
zo k
wa
Wak
ufun
zi k
wa
ajili
ya
Kam
ati S
hirik
ishi
za
Kud
hib
iti U
KIM
WI z
a H
alm
asha
uri ,
kw
a ku
husi
sha
war
atib
u w
a m
asua
la y
a U
KIM
WI
katik
a ng
azi y
a ha
lmas
haur
i na
wan
ahar
akat
i w
a W
ilaya
wa
mas
uala
ya
ukat
ili w
a ki
jinsi
a.
W
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
TAC
AID
S n
a A
ZA
KI
2011
U
Uku
mb
i, us
a� r
i ny
enzo
na
waw
ezes
haji
=
$30,
000
x m
ikoa
7 =
$2
10,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 27
2
Kue
ndes
ha w
arsh
a el
ekez
i kw
a w
alet
a m
abad
iliko
kuh
usu
ukat
ili w
a ki
njis
ia a
mb
ao
unao
ngez
a ha
li ha
taris
hi y
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
na
UK
IMW
I kw
a ku
shiri
kish
a K
amat
i sh
iriki
shi z
a U
KIM
WI z
a K
ata
na v
ijiji
na
waw
akili
shi k
atik
a ng
azi y
a ka
ta, k
and
a na
vi
jiji.
.
W
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
wak
ufun
zi
wal
iop
ata
maf
unzo
20
11U
Uku
mb
i, us
a� r
i ny
enzo
na
waw
ezes
haji
=
$30,
000
x m
ikoa
7 =
$2
10,0
00
3
Zin
dua
na
end
esha
kam
pen
i ya
“UN
iTE
”
ili k
uond
oa u
katil
i dhi
di y
a w
anaw
ake
na
kusa
idia
ute
kele
zaji
wa
kam
pen
i hii
katik
a ng
azi y
a ki
taifa
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
(MD
As)
, AZ
AK
I20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au,
wat
aala
mu
elek
ezi n
a gh
aram
a za
vyo
mb
o vy
a ha
bar
i = $
10
0,00
0
4
End
esha
mija
dal
a nd
ani y
a ja
mii
husu
san
kwa
vio
ngoz
i wa
din
i na
kim
ila v
ijijin
i ili
kuon
geza
ufa
ham
u ku
husu
uny
anya
saji
wa
kinj
isia
kam
a sa
bab
u na
mat
okeo
ya
kuon
geze
ka k
wa
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U.
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Kam
ati z
a H
alm
asha
uri
za U
KIM
WI
zihu
sish
azo
mas
uala
m
bal
imb
ali y
a ki
sekt
a V
yam
a vy
a ua
ngal
izi
vya
ujira
ni
2011
MP
Usa
� ri n
a m
alaz
i , w
awez
esha
ji na
p
osho
kw
a aj
ili y
a m
azun
gum
zo k
atik
a ju
mui
a. $
3,00
0 x
mik
utan
o 4
ya
maz
ungu
mzo
x m
ikoa
7
= $
84,0
00
5Z
uru
nyu
mb
a ha
di n
yum
ba
kw
a aj
ili y
a ku
leta
mab
adili
ko y
a m
awas
ilian
o ya
kija
mii
kuhu
su m
asua
la y
a uk
atili
wa
kijin
sia
vijij
ini .
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
2011
MP
Pos
ho z
a w
awez
esha
ji gh
aram
a za
usa
� ri n
a m
awas
ilian
o $1
2,00
0 x
mik
oa 7
= $
84,0
00M
2: K
ukus
anya
,kuc
ham
bua
na
kuto
a ta
arifa
kuh
usu
ukat
ili d
hid
i ya
wan
awak
e na
was
icha
na
6
Jum
uish
a up
imaj
i wa
kita
ifa k
uhus
u ha
li ili
yop
o ya
uka
tili w
a K
ijins
ia n
a d
estu
ri zi
nazo
husi
ana
na k
uong
ezek
a kw
a ha
li ha
taris
hi k
wa
VV
U n
a U
KIM
WI.(
und
a m
ifum
o ya
kita
ifa y
a ku
sany
a d
ata,
kuc
ham
bua
, na
kuto
a ta
arifa
kuh
usu
ukat
ili w
a K
ijins
ia)
TK
itaifa
TA
CA
IDS
, M
oHS
W ,
MC
DG
CW
HO
2011
U
Mik
utan
o ya
wad
au,
ada
za w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i =
$ 1
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)28
7
Anz
isha
vya
ma
vya
uang
aliz
i vya
ujir
ani
kwa
wal
eta
mab
adili
ko a
mb
ao w
ataf
uatil
ia,
wat
atoa
taa
rifa
na k
ushu
ghul
ikia
au
kuch
ukua
hat
ua s
ahih
i dhi
di y
a uk
atili
wa
kijin
sia
kwa
kila
kiji
ji
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Wal
eta
mab
adili
ko,
was
hugh
ulik
iaji
leng
wa
wa
wila
ya
wa
mas
uala
ya
Uka
tili w
a K
ijins
ia
2011
U
Usa
� ri,
mal
azi ,
vi
bur
udis
ho, n
a p
osho
za
vyam
a vy
a ua
ngal
izi k
wa
$12,
000
x m
ikoa
7 =
$8
4,00
0
8
Fany
a uf
uatil
iaji
wa
mar
a kw
a m
ara
kuch
ungu
za a
ina
na k
iwan
go c
ha v
isa
vina
vyot
okea
kut
okan
a na
uny
anya
saji
wa
kijin
sia
kw
a ku
tum
ia h
udum
a ya
sim
u ya
m
oja
kwa
moj
a b
ila m
alip
o
TK
itaifa
TAC
AID
S,
Kun
di l
a U
fuat
iliaj
i la
Kija
mii
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
sim
u na
waf
anya
kazi
w
anao
toa
hud
uma
ya
sim
u =
$10
0,00
0
M3:
Jum
uish
a af
ua z
inaz
osh
ughu
likia
na
kup
ing
a uk
atili
dhi
di y
a w
anaw
ake,
fur
sa z
a ki
ngam
imb
a za
dha
rura
na
had
hari
baa
da
ya h
atar
i.
9
And
aa t
arat
ibu
kuu
za u
end
esha
ji z
enye
ku
jum
uish
a p
rogr
amuu
za
haki
za
afya
ya
ngo
no n
a uz
azi n
a V
VU
na
UK
IMW
I zi
taka
zosh
ughu
likia
kup
inga
uka
tili w
a ki
jinsi
a ka
tika
hud
uma
za h
adha
ri b
aad
a ya
hat
ari
pam
oja
na fu
rsa
za k
inga
mim
ba
ya d
haru
ra
TK
itaifa
MoH
SW
TA
CA
IDS
, P
MO
-RA
LG
2011
-20
12U
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
10
Anz
isha
mita
ndao
ya
kiw
ilaya
ya
wat
oa
hud
uma
za ja
mii
kam
a vi
le p
olis
i, w
anas
heria
, w
ataa
lam
u w
a se
kta
ya a
fya,
vio
ngoz
i wa
din
i, ili
kus
hugh
ulik
ia m
atuk
io y
anay
ohus
iana
na
mas
uala
ya
ukat
ili w
a ki
jinsi
a
W
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Maf
unzo
kw
a W
akuf
unzi
, w
asim
amiz
i w
a W
ilaya
w
a m
asua
la
ya u
katil
i wa
kijin
sia
2011
U
Maw
asili
ano
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
wan
acha
ma
wa
mita
ndao
kw
a $1
2,00
0 x
mik
oa 7
=
$ 84
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 29
11
Anz
isha
hud
uma
ya b
ure
ya s
imu
ya m
oja
kwa
moj
a kw
a w
atej
a ili
kuf
uatil
ia, k
uwek
a ku
mb
ukum
bu
na b
aad
aye
kuw
aung
anis
ha
wal
e w
ote
wal
ioat
hirik
a un
yany
asaj
i wa
kijin
sia
na m
itand
ao y
ao y
a w
ilaya
ya
pol
isi,
wan
ashe
ria, w
ataa
lam
u w
a af
ya n
a vi
ongo
zi
wa
din
i ili
kup
ata
hud
uma
za b
ure,
ikiw
emo
ile y
a ki
ngam
imb
a ya
dha
rura
na
had
hari
baa
da
ya h
atar
i.
TK
itaifa
TAC
AID
S)
Kun
di l
a U
fuat
iliaj
i la
Kija
mii
2011
MP
Gha
ram
a za
sim
u na
w
afan
yaka
zi w
atoa
hu
dum
a =
$ 1
00,0
00
M4:
Wez
esha
uku
zaji
wa
stad
i za
mai
sha
mio
ngo
ni m
wa
was
icha
na n
a w
avul
ana
kuhu
su h
aki z
a af
ya y
a ng
ono
na
uzaz
i
12
End
esha
maj
adili
ano
leng
wa
katik
a vi
kund
i sh
ulen
i ili
kuta
mb
ua m
asua
la y
a ki
jinsi
a ya
nayo
husi
ana
na h
aki y
a af
ya y
a ng
ono
na u
zazi
am
bay
o ya
nach
angi
a ku
onge
zeka
kw
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
mio
ngon
i mw
a w
asic
hana
na
wav
ulan
a sh
ulen
i
MR
ukw
a, S
ingi
da,
Ir
inga
, Ruv
uma,
M
bey
a, M
wan
za
MoE
VT,
TA
CA
IDS
M
oHS
W,
MC
DG
C,
(NB
S)
2011
-12
MP
Pos
ho y
a ku
jikim
u ya
waw
ezes
haji,
gh
aram
a za
usa
� ri
na m
awas
ilian
o kw
a $1
2,00
0 x
mik
oa 6
=
$72,
000
13
Piti
a n
a in
giza
mas
uala
ya
kijin
sia
yana
yohu
sian
a na
hak
i ya
afya
ya
ngon
o na
uz
azi k
wen
ye m
afun
zo (m
itaal
a) y
a st
adi z
a m
aish
a sh
ulen
i
TK
itaifa
MoE
VT,
Taa
sisi
ya
Mita
ala,
TA
CA
IDS
, M
oHS
W
MC
DG
C ,
NB
S
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
14
Bun
i na
zind
ua k
amp
eni z
a ki
taifa
kw
a ku
tum
ia v
yom
bo
vya
hab
ari
kuw
a� k
ia
waz
azi,
vija
na (w
alio
po
shul
eni n
a w
alio
nj
e ya
shu
le),
na ja
mii
yote
kw
a uj
umla
, zi
taka
zoku
wa
na u
jum
be
kuhu
su e
limu
jum
uish
i ya
mas
uala
ya
ngon
o na
usa
wa
wa
kijin
sia
TK
itaifa
TAC
AID
S
WE
MU
, W
AU
J, A
ZA
KI
2011
-20
12M
P
Mik
utan
o ya
w
adau
, gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i na
mud
a w
a he
wan
i wa
vyom
bo
vya
hab
ari =
$1
00,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)30
M5:
Bo
resh
a uw
ezo
wa
vio
ngo
zi w
a ja
di,
kid
ini n
a w
anah
arak
ati k
uhus
u m
asua
la y
a jin
sia
ili w
apin
ge
mila
na
iman
i po
tofu
na
kuhi
miz
a m
ila
njem
a na
mie
nend
o m
izur
i
15
Kus
anya
mao
ni y
a ja
mii
ili k
ufua
tilia
na
kup
ima
atha
ri za
kuw
epo
kw
a m
ila n
a d
estu
ri p
otof
u k
upiti
a m
atum
izi
ya u
jum
be
mfu
pi w
a b
ure
katik
a si
mu
za m
kono
ni
TK
itaifa
TAC
AID
S,
Mak
amp
uni
ya s
imu
za
mik
onon
i
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
sim
u na
za
waf
anya
kazi
w
anao
toa
hud
uma
hiyo
= $
100,
000
16
Fany
a ut
a� ti
md
ogo
wa
kup
ima
uhita
ji w
a ku
end
esha
maf
unzo
mio
ngon
i mw
a vi
ongo
zi
wa
jad
i na
kid
ini n
a w
atu
maa
rufu
kat
ika
jam
ii jin
si y
a ku
shug
hulik
ia m
ila n
a d
estu
ri
zina
zohu
sian
a na
jins
ia
KT
Kita
ifa
TAC
AID
S, M
CD
GC
, M
oHS
W,
War
atib
u w
a H
alm
asha
uri
wa
VV
U n
a U
KIM
WI -
C
HA
Cs1
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi /
mak
azi =
$1
50,0
00
17
And
aa m
afun
zo y
a ut
etez
i k
uwae
limis
ha
vion
gozi
wa
jad
i, w
a d
ini n
a w
atu
maa
rufu
ka
ma
wal
eta
mab
adili
ko w
anao
toa
utet
ezi
dhi
di y
a ut
amad
uni n
a d
estu
ri p
otof
u n
a ku
imar
isha
zile
zin
azof
aa
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
MoH
SW
, C
HA
Cs,
Ta
asis
i za
Elim
u ya
Juu
–
TES
, AZ
AK
I
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
18
Kw
a ku
tum
ia m
atan
gazo
ya
red
io n
a te
levi
shen
i end
esha
maf
unzo
ya
utet
ezi
kwa
vion
gozi
wa
jad
i, w
a d
ini n
a w
atu
maa
rufu
ka
ma
wal
eta
mab
adili
ko w
anao
pin
ga
tam
adun
i na
des
turi
pot
ofu
na k
uim
aris
ha z
ile
zina
zofa
a.
W
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga,
Man
yara
, Dod
oma,
Li
ndi
CH
AC
s,
Vyo
mb
o vy
a ha
bar
i20
11M
P
Uku
mb
i usa
� ri,
mal
azi,
vite
ndea
ka
zi, w
awez
esha
ji=
$30,
000
x m
ikoa
6 =
$1
80,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 31
19
Fany
a zi
ara
ya n
yum
ba
had
i nyu
mb
a kw
a aj
ili y
a k
uchu
nguz
a ta
bia
au
mila
mb
adal
a
zina
zoku
bal
ika
na ja
mii
husi
ka n
a ku
pig
a vi
ta m
asua
la y
a uk
eket
aji,
ndoa
za
utot
oni,
unya
go, j
and
o, k
urith
i waj
ane,
kut
akas
a w
ajan
e na
tab
ia y
a ku
shiri
kian
a w
ake
W
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga,
Man
yara
, Dod
oma,
Li
ndi
Wal
eta
mab
adili
ko
mio
ngon
i m
wa
vion
gozi
w
a ki
jad
i, w
a ki
din
i na
wa
kim
aoni
2011
-12
MP
Pos
ho z
a w
awez
esha
ji,
ghar
ama
za u
sa� r
i na
maw
asili
ano
kwa
$12,
000
x m
ikoa
6 =
$7
2,00
0
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
KT
I 3: U
PAN
UZ
I WA
AFU
A Z
A M
AH
ALI
PA
KA
ZI
• T4
: Kuo
ngez
eka
kwa
uwia
no b
aina
ya
sek
ta z
a um
ma
na b
inaf
si, w
aend
esha
sek
ta r
asm
i na
zisi
zo r
asm
i, zi
nazo
anzi
sha
na k
utek
elez
a a
fua
zina
zosh
ughu
likia
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI m
ahal
i pa
kazi
zen
ye m
witi
kio
wa
kiji
nsia
, zin
azow
alen
ga w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a ka
tika
mw
elek
eo w
a m
asla
hi y
a ha
ki.
M6:
Kuh
akik
isha
kuw
a p
rog
ram
u zi
nazo
husu
mas
uala
ya
VV
U m
ahal
i pa
kazi
kat
ika
sekt
a ra
smi n
a is
iyo
ras
mi z
inaj
umui
sha
waf
anya
kazi
na
fam
ilia
zao
.
20
Fany
a ut
a� ti
wa
kub
aini
sha
vip
enge
le
vya
mas
uala
ya
kijin
sia
yana
yoch
oche
a m
aam
buk
izo
ya
VV
U m
ahal
i pa
kazi
kat
ika
sekt
a ra
smi n
a zi
sizo
ras
mi n
chin
i.
TK
itaifa
(PO
PS
M),
AB
CT2 ,
WA
UJ,
W
MJJ
W20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i /
mak
azi =
$15
0,00
0
21
Ingi
za m
asua
la y
a jin
sia
na f
amili
a ka
tika
mip
ango
ya
baj
eti k
wa
ajili
ya
afua
za
VV
U n
a U
KIM
WI,
katik
a ng
azi z
a w
ilaya
,wiz
ara,
idar
a w
akal
a na
sek
ta b
inaf
si k
atik
a ng
azi z
ote
TK
itaifa
(AB
CT)
, , W
AU
J,
MC
DG
C20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
22
End
esha
maj
adili
ano
leng
wa
ya v
ikun
di
yata
kayo
husi
sha
sek
ta r
asm
i na
isiy
o ra
smi i
li ku
jad
ili n
a ku
pen
dek
eza
hatu
a za
kus
hugh
ulik
ia m
asua
la y
a jin
sia
yana
vyoc
hoch
ea m
aam
buk
izi y
a V
VU
na
UK
IMW
I mio
ngon
i mw
a w
asic
hana
wa
kazi
ny
umb
ani,
wah
udum
u w
a ki
ke w
a b
aa,
mam
a lis
he, w
afan
yaka
zi w
a ng
ono,
wat
oto
wan
aotu
mik
ishw
a ka
zi n
gum
u, m
ader
eva
wa
teks
i/pik
ipik
i/baj
aji w
avuv
i na
wac
him
ba
mad
ini
W
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, M
wan
za
Shi
nyan
ga,
Dod
oma,
Man
yara
, Ta
nga
AZ
AK
I, V
yam
a vy
a W
afan
yaka
zi20
11M
P
Usa
� ri,
mal
azi /
m
akaz
i, w
awez
esha
ji na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maz
ungu
mzo
kat
ika
jum
uia
(dia
logu
e)
$3,0
00 x
mik
utan
o 4
ya m
azun
gum
zo x
m
ikoa
7 =
$84
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)32
M7:
Kut
etea
juu
ya u
faha
mu
wa
msi
ngi n
a ul
inzi
wa
haki
za
waa
jiriw
a, k
uhus
iana
na
mas
uala
ya
unya
nyas
aji w
a ki
ngo
no.
23
Bai
nish
a ai
na n
a ki
wan
go c
ha u
nyan
yasa
ji w
a ki
jinsi
a m
ahal
i ras
mi n
a p
asip
o ra
smi p
a ka
zi
ukitu
mia
hud
uma
za s
imu
za m
oja
kwa
moj
a b
ila m
alip
o.T
Kita
ifa
TAC
AID
S
MC
DG
C,
PO
PS
M
MO
JCA
3
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i= $
150,
000
24
And
aa n
a ku
sam
baz
a ka
nuni
ong
ozi z
a ki
taal
amu
kiut
end
aji z
inaz
oshu
ghul
ikia
ud
halil
isha
ji na
uny
anya
saji
wa
kin
gono
m
ahal
i pa
kazi
ras
mi n
a zi
sizo
ras
mi
TK
itaifa
TAC
AID
S
MC
DG
C
PO
PS
M
(MoJ
CA
)
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
25A
ndaa
na
sam
baz
a m
aban
go y
a ut
etez
i d
hid
i ya
udha
lilis
haji
na u
nyan
yasa
ji w
a
king
ono
mah
ali p
a ka
zi r
asm
i na
zisi
zo r
asm
iM
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, M
wan
za
Shi
nyan
ga,
Dod
oma,
Man
yara
, Ta
nga
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
PO
PS
M
MoJ
CA
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
w
adau
, gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i na
uch
apis
haji
=
$100
,000
26
And
aa n
a ku
rush
a m
atan
gazo
ya
red
io n
a te
levi
shen
i yan
ayop
inga
ud
halil
isha
ji na
un
yany
asaj
i wa
kin
gono
mah
ali p
a ka
zi r
asm
i na
zis
izo
rasm
i
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C
PO
PS
M
MoJ
CA
,Vyo
mb
o vy
a ha
bar
i
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
w
adau
, gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i na
za
kuru
sha
mat
anga
zo =
$1
00,0
00E
NE
O D
OG
O L
A K
IMK
AK
AT
I 4: K
ING
A, T
IBA
NA
UD
HIB
ITI W
A M
AA
MB
UK
IZI Y
A M
AG
ON
JWA
YA
NG
ON
O
T5: K
uong
ezek
a kw
a hu
dum
a za
afy
a zi
lizo
bor
a na
hak
i za
ngon
o na
uza
zi z
ilizo
na
mw
itiki
o w
a ki
jinsi
a ze
nye
ubor
a, z
inaz
ojum
uish
a us
haur
i na
unas
ihi,
up
imaj
i wa
vvu,
pam
oja
na u
him
izaj
i wa
mat
umiz
i ya
kond
omu
katik
a se
hem
u zi
nazo
toa
hud
uma
za a
fya.
M8:
Kui
mar
isha
hud
uma
za k
irafi
ki z
a af
ya n
a ha
ki z
a ng
ono
na
uzaz
i kw
a w
anaw
ake
kati
ka s
ehem
u zi
nazo
toao
hud
uma
za a
fya
27
Fuat
ilia
hali
ra� k
i ya
hud
uma
za m
agon
jwa
ya
ngon
o kw
a ku
tum
ia m
ashi
ne z
inaz
ojie
ndes
ha
kuto
a m
reje
sho
na k
ufan
ya m
ahoj
iano
na
wat
eja
was
iota
mb
ulik
a w
anap
otok
a ka
tika
hud
uma
ili k
uhak
iki n
a ku
thib
itish
a m
atok
eo.
HF
Ruk
wa,
Tab
ora,
M
orog
oro,
Mar
a,
Mb
eya,
Dod
oma,
D
ar E
s S
alaa
m
(NA
CP
) M
itand
ao
ya W
atu
wan
aois
hi
na V
VU
na
P
LHIV
2011
-12
MP
Pos
ho k
wa
ajili
ya
waw
ezas
haji,
gh
aram
a za
usa
� ri
na m
awas
ilian
o, n
a m
ashi
ne z
a uf
uatil
iaji
kwa
$20,
000
x m
ikoa
6
= $
120,
000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 33
28
Fany
a m
ajad
ilian
o ka
tika
vitu
o vy
a af
ya
ili k
ujad
ili m
atok
eo y
a m
reje
sho
kuhu
su
shug
huli
za u
fuat
iliaj
i hud
uma
na k
uam
ua n
jia
za k
ufua
ta
T
Ruk
wa,
Tab
ora,
M
orog
oro,
Mar
a,
Mb
eya,
Dod
oma,
D
ar E
s S
alaa
m
NA
CP,
TA
CA
IDS
2011
-12
U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 7
= $
84,0
00E
NE
O D
OG
O L
A K
IMK
AK
AT
I 5: K
UH
IMIZ
A N
A K
UO
NG
EZ
A H
UD
UM
A Z
A U
NA
SIH
I NA
UP
IMA
JI W
A V
VU
•
T6:
Kuo
ngez
eka
kwa
kiw
ang
o c
ha u
pat
ikan
aji w
a hu
dum
a za
up
imaj
i na
unas
ihi w
a V
VU
na
amb
azo
zim
ebo
resh
wa
pam
oja
na
idad
i ya
vitu
o v
inav
yoto
a hu
dum
a ra
fi ki
za
unas
ihi n
a up
imaj
i kw
a w
anau
me
na w
avul
ana
miji
ni n
a vi
jijin
i•
M9:
Imar
isha
na
jeng
a uw
ezo
kwa
ajili
ya
utoa
ji w
a hu
dum
a ya
una
sihi
na
upim
aji i
liyo
bor
a am
bay
o in
aham
asis
ha u
elew
a kw
a w
anau
me.
29
Fany
a ut
a� ti
kub
aini
sha
sab
abu
za
uand
ikis
haji
wa
kiw
ango
cha
chi
ni c
ha
wan
aum
e kw
enye
hud
uma
za u
nasi
hi n
a up
imaj
i na
pen
dek
eza
hatu
a za
kus
hugh
ulik
ia
vip
enge
le v
inav
yokw
aza
uele
wa
wa
umuh
imu
wa
hud
uma
hiyo
kw
a w
anau
me
K
Mtw
ara,
Kag
era,
S
hiny
anga
, M
anya
ra, D
odom
a,
Ruk
wa
NA
CP,
TA
CA
IDS
, NB
S20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
30
Kw
a ku
shiri
kish
a w
anau
me
na w
avul
ana
and
aa
na t
ekel
eza
mik
akat
i ina
yole
nga
kup
amb
ana
na im
ani p
otof
u ku
husu
mas
uala
ya
kiji
nsia
na
uhus
iano
wa
king
ono
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
AZ
AK
I20
11-
2012
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
ghar
ama
na s
hugh
uli
za w
ataa
lam
u el
ekez
i =
$10
0,00
0
31
And
aa k
anun
i ong
ozi z
a ki
utal
aam
u ki
uten
daj
i kw
a w
ataa
lam
u w
a hu
dum
a ya
una
sihi
na
upim
aji w
a V
VU
zin
azok
ubal
ika
kija
mii
na
ziliz
o ra
� ki k
wa
wan
aum
e
TK
itaifa
(N
AC
P)
(AC
AID
S, N
BS
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
32
Bor
esha
mita
ala
na s
era
ya m
afun
zo y
a ki
taifa
ya
upim
aji n
a un
asih
i wa
VV
U k
wa
kutu
mia
kan
uni o
ngoz
i za
kiu
tend
aji i
li ku
toa
hud
uma
bor
a z
a un
asih
i na
upim
aji a
mb
azo
zina
kub
alik
a ka
tika
jam
ii na
zili
zo r
a� k
i kw
a w
anau
me
TK
itaifa
N
AC
P,
TAC
AID
S N
BS
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)34
33
End
esha
war
sha
elek
ezi k
wa
waf
anya
kazi
ku
husu
kan
uni o
ngoz
i za
kiu
tend
aji k
wa
ajili
ya
uto
aji
hud
uma
za u
nasi
hi n
a up
imaj
i wa
VV
U a
mb
azo
zina
kub
alik
a ka
tika
jam
ii na
ni
ra� k
i kw
a w
anau
me
T
Mtw
ara,
Kag
era,
S
hiny
anga
, M
anya
ra, D
odom
a,
Ruk
wa
NA
CP,
TA
CA
IDS
, N
BS
2011
-12
MP
Uku
mb
i, m
alaz
i, us
a� r
i na
vite
ndea
ka
zi, w
awez
esha
ji =
$3
0,00
0$ x
mik
oa 6
=
$180
,000
34
And
aa n
a ku
rush
a m
atan
gazo
ya
red
io n
a te
levi
shen
i kw
a aj
ili y
a ka
mp
eni z
a ku
onge
za
kiw
ango
cha
uan
dik
ishw
aji n
a us
hirik
ishw
aji
wa
wan
aum
e ka
tika
mas
uala
ya
hud
uma
za
unas
ihi n
a up
imaj
i wa
VV
U
TK
itaifa
NA
CP,
TA
CA
IDS
, V
yom
bo
vya
hab
ari
2011
-12
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i na
kuru
sha
mat
anga
zo =
$1
00,0
00
35
Tum
ia m
bin
u ya
kua
ndaa
na
kusa
mb
aza
ujum
be
mfu
pi w
a m
anen
o kw
a ku
tum
ia s
imu
za m
kono
ni k
uwah
imiz
a w
anau
me
kuel
ewa
na k
utum
ia h
udum
a za
una
sihi
na
Up
imaj
i w
a V
VU
ITK
itaifa
NA
CP,
|T
AC
AID
S,
Vyo
mb
o vy
a ha
bar
i, M
akam
pun
i ya
sim
u za
m
ikon
oni
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
sim
u na
w
afan
yaka
zi w
atoa
o hu
dum
a ya
sim
u =
$1
00,0
00
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 6
: K
UZ
UIA
UE
NE
AJI
WA
MA
AM
BU
KIZ
I YA
VV
U K
UT
OK
A K
WA
MA
MA
KW
EN
DA
KW
A M
TO
TO
• T
7: U
imar
ishw
aji w
a hu
dum
a za
rafi
ki z
a af
ya y
a uz
azi n
a m
toto
, na
kub
ore
sha
ushi
riki
shw
aji w
a p
amo
ja w
a w
anaw
ake
na w
anau
me
kati
ka m
asua
la y
a uz
uiaj
i wa
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U t
oka
kw
a m
ama
kwen
da
kwa
mto
to
• M
10: F
anya
ute
tezi
na
ham
asis
ha ja
mii
ili k
upam
ban
a na
uny
anya
paa
una
ohus
iana
na
hud
uma
ya u
zuia
ji w
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
tok
a kw
a m
ama
kwen
da
kwa
mto
to.
36
Pim
a uk
ubw
a na
kiw
ango
cha
ath
ari z
a un
yany
apaa
zen
ye u
husi
ano
na m
asua
la y
a up
ungu
zaji
wa
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U t
oka
kwa
mam
a kw
end
a kw
a m
toto
kat
ika
jam
ii
TK
itaifa
NA
CP,
M
oHS
W,
TAC
AID
S,
MC
DG
C
2011
U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i =
$15
0,00
0
37
Fany
a m
ajad
ilian
o y
a ki
jam
ii ili
kuh
amas
isha
na
kut
etea
dhi
di y
a un
yany
apaa
una
ohus
iana
na
mas
uala
ya
kuzu
ia m
aam
buk
izi y
a V
VU
to
ka k
wa
mam
a kw
end
a kw
a m
toto
na
haki
za
WA
VIU
VS
hiny
anga
, Mar
a,
Ruk
wa,
Mw
anza
, D
odom
a, M
twar
aV
MA
C,C
HA
C20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 7
= $
84,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 35
38
And
aa n
a ku
rush
a m
atan
gazo
ya
red
io
na t
elev
ishe
ni k
wa
ajili
ya
kam
pen
i za
kuon
geza
kiw
ango
cha
ush
iriki
shw
aji w
a w
anau
me
katik
a m
aasu
ala
ya u
pun
guza
ji w
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
tok
a kw
a m
ama
kwen
da
kwa
mto
to n
a ku
shug
hulik
ia t
arat
ibu
za
kiim
ani z
inaz
ohus
iana
na
jinsi
a zi
nazo
kwaz
a ua
ndik
ishw
aji w
a w
anau
me
TS
hiny
anga
, Mar
a,
Ruk
wa,
Mw
anza
, D
odom
a, M
twar
a
NB
S V
yom
bo
vya
Hab
ari
2011
-12
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i na
kuru
sha
mat
anga
zo =
$1
00,0
00
• M
11: K
uim
aris
ha h
udum
a ya
uzu
iaji
wa
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U t
oka
kw
a m
ama
kwen
da
kwa
mto
to i
li ku
cho
chea
uel
ewa
kwa
wan
awak
e na
wan
aum
e.
39E
ndes
ha m
ajad
ilian
o ya
waz
i bai
na y
a w
awak
ilish
i wa
WA
VIU
na
wat
oa h
udum
a za
af
ya k
uhus
u hu
dum
a ra
� ki n
a ha
ki z
a W
AV
IU
HF
Shi
nyan
ga, M
ara,
R
ukw
a, M
wan
za,
Dod
oma,
Mtw
ara
Wad
ham
ini
wa
(HF
In-
Cha
rge)
, W
afan
yaka
zi
wa
afya
,
2010
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 7
= $
84,0
00
40
And
aa k
anun
i ong
ozi z
a ki
uten
daj
i kw
a w
ataa
lam
u w
a hu
dum
a za
afy
a za
kus
aid
ia
na k
uong
oza
utoa
ji w
a hu
dum
a b
ora
za
kuzu
ia m
aam
buk
izi y
a V
VU
kut
oka
kwa
mam
a kw
end
a kw
a m
toto
zin
azok
ubal
ika
kija
mii
na z
ilizo
ra�
ki k
wa
wan
awak
e na
w
anau
me
TK
itaifa
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
41
End
esha
war
sha
elek
ezi k
wa
waf
anya
kazi
w
a af
ya k
uhus
u ka
nuni
ong
ozi z
a ki
uten
daa
ji kw
a aj
ili y
a hu
dum
a za
Afy
a ya
Uza
zi n
a M
toto
am
baz
o ni
ra�
ki k
wa
wan
awak
e na
w
anau
me
na z
inaz
okub
alik
a ka
tika
jam
ii
MS
hiny
anga
, Mar
a,
Ruk
wa,
Mw
anza
, D
odom
a, M
twar
aN
BS
2011
U
Uku
mb
i wa
war
sha
ya m
afun
zo, m
alaz
i, us
a� r
i na
nyen
zo,
waw
ezes
haji
$30,
000$
x m
ikoa
6 =
$1
80,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)36
42
Tath
min
i kiw
ango
kili
cho�
kiw
a ch
a u
toaj
i wa
ha
ki z
a af
ya y
a uz
azi k
wa
wan
awak
e ha
sa
wak
ati w
a ku
jifun
gua
kad
ri zi
livyo
anis
hwa
kwen
ye s
era
na s
heria
za
kita
ifa
MS
hiny
anga
, Mar
a,
Ruk
wa,
Mw
anza
, D
odom
a, M
twar
a A
ZA
KI
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
43
End
esha
mik
utan
o na
wat
unga
ser
a ili
ku
jad
ili k
anun
i na
kuo
ngez
a b
ajet
i ya
afya
na
una
fuu
wa
kod
i kw
a aj
ili y
a ku
bor
esha
hu
dum
a ya
wak
ati w
a ku
jifun
gua
kwa
, up
atik
anaj
i wa
vifa
a, u
wep
o w
a w
afan
yaka
zi
wa
kuto
sha
na m
iund
omb
inu
bor
a. .
TK
itaifa
M
oFE
A,
AZ
AK
I20
11U
Usa
� ri,
mal
azi,
uwez
esha
ji na
pos
ho
kwa
ajili
ya
mik
utan
o na
wat
unga
ser
a =
$8
4,00
0
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 7
: UH
IMIZ
AJI
NA
US
AM
BA
ZA
JI W
A K
ON
DO
MU
•
T8:
Kup
anuk
a k
wa
furs
a za
up
atik
anaj
i pam
oja
na
mat
umiz
i ya
kond
om
u za
kik
e na
za
kium
e kw
a ki
nga
inay
ow
eza
kuzu
ia m
imb
a na
w
akat
i huo
huo
kuz
uia
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U.
M12
: Pan
ua w
igo
wa
upat
ikan
aji w
a ko
ndom
u ze
nye
ubor
a za
kik
e na
za
kium
e ka
ma
njia
ya
king
a d
hid
i ya
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U n
a m
agon
jwa
ya
ngon
o, p
amoj
a na
mim
ba.
44Fa
nya
uta�
ti k
uhus
u ub
ora
na u
pat
ikan
aji w
a ko
ndom
u za
kik
e na
za
kium
eT
Kita
ifa M
oHS
W
SM
G,
TBS
2011
U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i =
$15
0,00
0
45
Anz
isha
Kik
osi
Kaz
i ch
a ki
taal
amu
cha
taifa
kita
kach
ojum
uish
a se
kta
mb
alim
bal
i ki
taka
cho
kuw
a na
kaz
i ya
kuju
mui
sha
m
asua
la y
a ko
ndom
u. K
ikos
i kaz
i hic
ho
kita
fany
a ka
zi k
wa
karib
u sa
na n
a ka
mat
i ya
wat
aala
mu
kuhu
su k
inga
, na
pro
gram
u ya
uh
amas
isha
ji w
a m
atum
izi n
a up
atik
anaj
i wa
kond
omu
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MoH
SW
, (N
BS
), (S
MG
)20
11M
P
Gha
ram
a za
mik
utan
o ya
kila
rob
o m
wak
a,
usa�
ri,
mal
azi n
a vi
tend
ea k
azi $
20,0
00
x 4
= $
80,0
00
46
Wek
a ki
asi c
ha k
utos
ha c
ha k
ond
omu
katik
a se
hem
u m
ahus
usi
ndan
i ya
jam
ii (s
ehem
u za
mak
utan
o ya
mar
a kw
a m
ara)
kam
a vi
le
choo
ni, k
wen
ye m
ashi
ne z
a fe
dha
(ATM
s),
mad
uka
mak
ubw
a, b
aa, n
yum
ba
za w
agen
i n.
k.
VM
anya
ra, S
ingi
da,
M
twar
a, K
igom
a,
Ruk
wa,
Aru
sha
TAC
AID
S,
MoH
SW
, 20
11-1
2U
Gha
ram
a za
m
anun
uzi n
a us
amb
azaj
i wa
kond
omu
na r
asili
mal
i w
atu
= $
36,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 37
47
And
aa n
a ku
wap
elek
a ka
tika
vitu
o hu
sika
, b
aad
hi y
a w
anaj
amii
amb
ao w
ataw
ezes
hwa
ili k
ufan
ya k
azi y
a us
amb
azaj
i w
a ko
ndom
u m
ajum
ban
i, m
ahal
i pa
kazi
, seh
emu
za
bur
udan
i kam
a vi
le b
aa, n
yum
ba
za k
ulal
a w
agen
i seh
emu
za m
iche
zo n
a fu
kwe
HF
Man
yara
, Sin
gid
a,
Mtw
ara,
Kig
oma,
R
ukw
a, A
rush
a
MoH
SW
(HF)
2011
-12
U
Gha
ram
a za
m
anun
uzi n
a us
amb
azaj
i wa
kond
omu
na r
asili
mal
i w
atu
$36,
000
M13
: Kuz
a uk
ubal
ifu w
a m
atum
izi y
a k
ond
om
u za
kik
e na
za
kium
e ka
ma
king
a m
adhu
but
i ina
yow
eza
kuzu
ia m
imb
a na
wak
ati h
uohu
o
kuzu
ia m
aam
buk
izi y
a V
VU
.
48Fa
nya
uta�
ti u
taka
obai
nish
a sa
bab
u zi
nazo
waz
uia
wan
aum
e na
wan
awak
e ku
tum
ia k
ond
omu
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MoH
SW
,NB
S,
SM
G20
11U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
49
And
aa m
ijad
ala
katik
a ja
mii
ili k
ushu
ghul
ikia
vi
kwaz
o vy
a k
ijam
ii na
kiu
chum
i kuh
usu
mat
umiz
i ya
kond
omu
kwa
ajili
kuz
uia
m
imb
a na
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U n
a m
agon
jwa
ya n
gono
VM
anya
ra, S
ingi
da,
M
twar
a, K
igom
a,
Ruk
wa,
Aru
sha
V
MA
C20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 6
= $
72,0
00E
NE
O D
OG
O L
A K
IMK
AK
AT
I 8: K
UZ
UIA
KU
EN
EA
KW
A M
AA
MB
UK
IZI Y
A V
VU
KU
PIT
IA V
IFA
A V
ILIV
YO
SIB
IKW
A
• T
9: H
ali y
a ha
tari
ya
kuen
ea k
wa
maa
mb
ukiz
i yaa
VV
U m
iong
oni
mw
a w
anau
me
na w
anaw
ake,
kup
itia
vifa
a vi
livyo
sib
ikw
a(vi
chaf
u na
vi
sivy
o s
alam
a) im
epun
gua
• M
14: T
oa
elim
u sa
hihi
kw
a ja
mii
kuh
usu
hata
ri il
iyo
po
ya
kup
ata
maa
mb
ukiz
i wa
VV
U k
upit
ia v
ifaa
vya
kuto
bo
lea
viliv
yosi
bik
wa
50
Fany
a ut
a� ti
kuh
usu
hata
ri ya
uam
buk
izi w
a V
VU
kup
itia
vifa
a vi
livyo
sib
ikw
a am
bav
yo
hutu
mik
a kw
a ku
shiri
kian
a w
akat
i wa
kujid
unga
daw
a za
kul
evya
, wak
ati w
a ku
tahi
riwa,
kut
oga,
kuc
hanj
ana,
kut
iana
toj
o (ta
toos
), ku
chan
jiana
und
ugu
na u
keke
twaj
i.
TK
itaifa
MoH
SW
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)38
51
End
esha
maj
adili
ano
leng
wa
katik
a m
akun
di
ili k
ujad
ili h
atar
i ya
uam
buk
izi w
a V
VU
kup
itia
vifa
a na
zan
a z
ilizo
sib
ikw
a kw
a m
atum
izi
ya k
ujid
unga
sin
dan
o za
daw
a za
kul
evya
, ku
tahi
ri, k
utog
a, k
utia
na t
ojo
na
kuch
anjia
na
und
ugu
na
ukek
etaj
i
V
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga,
Man
yara
, Dod
oma,
Li
ndi
(VM
AC
s),
(HFs
)20
11-1
2M
P
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 6
= $
72,0
00•
M15
: Was
aid
ie n
a w
aele
keze
wat
oa
hud
uma
wa
afya
kat
ika
jum
uia
pam
oja
na
wag
ang
a w
a ja
di w
atum
ie v
ifaa
viliv
yofi
shw
a vi
jidud
u
52
End
esha
maf
unzo
kaz
ini k
wa
waf
anya
kazi
w
a af
ya k
atik
a ja
mii
na w
agan
ga w
a ja
di,
kuhu
su m
atum
izi y
a vi
faa
viliv
yo� s
hwa
vijid
udu
KT
Kita
ifaM
oHS
W20
11-1
2U
ukum
bi,
mal
azi,
usa�
ri n
a ny
enzo
, w
arag
hib
isha
ji $3
0,00
0$ x
mik
oa 6
=
$180
,000
53
And
aa n
a te
kele
za m
pan
go y
akin
ifu
unao
teke
leze
ka a
mb
ao w
alen
gwa
husi
ka
wat
awez
a ku
umud
u ka
tika
kusa
idia
up
atik
anaj
i wa
vifa
a vi
livyo
� shw
a vi
jidud
u vy
a ku
toge
a, k
utah
iria
kw
a aj
ili w
agan
ga w
a ja
di
V
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga,
Man
yara
, Dod
oma,
Li
ndi
MoH
SW
2011
-12
U
Gha
ram
a za
m
anun
uzi,
usam
baz
aji,
na
rasi
limal
i wat
u =
$2
0,00
0 x
mik
oa 6
=
$120
,000
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 9
: TO
HA
RA
KW
A W
AN
AU
ME
NA
WA
VU
LAN
A
T10
: Uhi
miz
aji w
a to
hara
ya
kita
alam
u kw
a w
anau
me
na w
avul
ana
umef
anyi
ka, n
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
yam
epun
gua
M16
: Kuz
a m
wit
ikio
wa
kija
mii
wa
kuta
hiri
wan
aum
e ka
ma
njia
ya
kuki
nga
maa
mb
ukiz
i ya
VV
U.
54B
aini
sha
sab
abu
zina
zokw
amis
ha t
ohar
a ya
w
anau
me
katik
a b
aad
hi y
a m
aene
o
MS
hiny
anga
, Ruk
wa,
Ir
inga
, Mb
eya,
Ta
bor
a, K
ager
a
TAC
AID
S,
MoH
SW
, M
CD
GC
, 20
11U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i, m
alaz
i =
$15
0,00
0
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 39
55
End
esha
maj
adili
ano
ya k
ijam
ii ku
husu
vi
kwaz
o vy
a ki
jam
ii na
kiu
tam
adun
i kw
a to
hara
ya
wan
aum
e
VS
hiny
anga
, Ruk
wa,
Ir
inga
, Mb
eya,
Ta
bor
a, K
ager
a
(VM
AC
s),,
AZ
AK
I20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
uwez
esha
ji na
p
osho
kw
a aj
ili y
a m
ajad
ilian
o ya
jum
uia
$3,0
00 x
mik
utan
o 4
ya m
ajad
ilian
o x
m
ikoa
6 =
$72
,000
EN
EO
KU
U L
A K
IMK
AK
AT
I 2:
TIB
A, M
AT
UN
ZO
NA
MS
AA
DA
. T
11: K
upun
gua
kw
a m
ago
njw
a n
a vi
fo m
iong
oni
mw
a w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a ya
nayo
sab
abis
hwa
na m
asua
la y
a ki
jinsi
a, V
VU
na
UK
IMW
I.
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 1
: H
UD
UM
A E
ND
ELE
VU
YA
TIB
A, M
AT
UN
ZO
NA
MS
AA
DA
.T
12: F
ursa
saw
a kw
a w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a w
enye
VV
U k
atik
a ku
pat
a hu
dum
a en
del
evu
ya t
iba
na m
atun
zo
umeo
ngez
eka.
M17
: Kui
mar
isha
uta
mb
uzi w
a m
asua
la y
a ki
jinsi
a na
hud
uma
rafi
ki k
atik
a m
asua
la y
a ut
oaj
i wa
tib
a na
mat
unzo
ya
VV
U n
a U
KIM
WI i
li ku
ham
asis
ha u
shir
iki w
a w
anau
me.
56
Fuat
ilia
kiw
ango
cha
hud
uma
ra� k
i za
tib
a na
mat
unzo
kw
a w
anaw
ake
na w
anau
me
katik
a
vitu
o vy
a af
ya –
kw
a ku
tum
ia
takw
imu
za m
ashi
ne z
inaz
ojie
ndes
ha
na m
ahoj
iano
ya
siri
na w
atej
a ku
haki
ki
mat
okeo
.
HF
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Md
ham
ini (
In
char
ge) w
a ,
Waf
ayak
azi w
a af
ya,
2011
-12
MP
Pos
hoza
w
awez
esha
ji,,
ghar
ama
za u
sa� r
i,
maw
asili
ano,
na
mas
hine
za
ufua
tilia
ji kw
a $2
0,00
0 x
mik
oa
7 =
$14
0,00
0
57
End
esha
maj
adili
ano
bai
na y
a w
awak
ilish
i w
enye
VV
U
na w
atoa
hud
uma
za a
fya
, ku
husu
mat
okeo
ya
mre
jesh
o w
a w
atej
a
katik
a zo
ezi l
a up
imaj
i hud
uma
ya r
a� k
i na
haki
za
WA
VIU
.
HF
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Mra
tibu
katik
a vi
tuo
vya
hud
uma
ya
afya
,w
atoa
hu
dum
a za
af
ya ,
wen
ye
Viru
si V
ya
Uki
mw
i (W
AV
IU)
2011
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi
na u
wez
esha
ji p
osho
kw
a aj
ili y
a m
ajad
ilian
o ya
jum
uia
$3,0
00 x
mik
utan
o 4
ya m
dah
alo
x m
ikoa
7
= $
84,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)40
58
Wek
a k
anun
i ong
ozi z
a ue
ndes
haji
( za
kuon
goza
na
kush
auri
juu
ya u
toaj
i wa
hud
uma
ra�
ki n
a ha
ki z
a t
iba
na m
atun
zo
kwa
wan
aum
e z
inaz
okub
alik
a ka
tika
jam
ii.
TK
itaifa
NA
CP,
H
Fs,T
AC
AID
S20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
59
End
esha
maf
unzo
wez
eshi
kw
a w
atoa
hu
dum
a za
af
ya il
i kuw
aelim
isha
kan
uni
ongo
zi z
a ue
ndes
haji
kuh
usu
hud
uma
ra�
ki
na b
ora
za t
iba
na m
atun
zo k
wa
wan
ume
zina
zoku
bal
ika
katik
a ja
mii
.
M
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
NA
CP,
TA
CA
IDS
, HFs
2011
-12
MP
Uku
mb
i. U
sa� r
i, vi
faa
vya
maf
unzo
, w
awez
esha
ji =
$3
0,00
0 x
mik
oa 7
=
$210
,000
M18
: Ong
eza
kiw
ang
o c
ha u
shir
iki c
ha w
anau
me
kati
ka u
sajil
i wa
hud
uma
za t
iba
na m
atun
zo z
a V
VU
na
UK
IMW
I.
60
Fany
a ut
a� ti
wa
kub
aini
sha
sab
abu
zina
zosa
bab
isha
uel
ewa
md
ogo
kwa
wan
aum
e ju
u ya
hu
dum
a za
tib
a na
m
atun
zo z
a V
VU
na
UK
IMW
I, p
ia p
end
ekez
a su
luhi
sho
la t
atiz
o hi
lo.
NA
CP,
TAC
AID
SK
itaifa
NA
CP,
TA
CA
IDS
2010
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya
waw
ezes
haji,
usa
� ri
na m
alaz
i = $
150,
000
61
End
esha
maf
unzo
kw
a w
akuf
unzi
ku
waa
ndaa
wan
ahar
akat
i wan
aum
e a
mb
ao
wat
atet
ea n
a ku
wa
chac
hu y
a m
abad
iliko
ka
tika
usa
jili w
a w
anau
me
kwen
ye h
udum
a za
tib
a na
mat
unzo
ya
VV
U n
a U
KIM
WI
D
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
CM
AC
s, C
SO
s20
11-1
2U
Uku
mb
i,U
sa� r
i,vifa
a vy
a m
afun
zo,
waw
ezes
haji=
$3
0,00
0 x
mik
oa 7
=
$210
,000
62
Anz
isha
mita
ndao
ya
wan
ahar
akat
i wan
aum
e w
anao
ham
asis
ha u
sajil
i wa
wan
aum
e ka
tika
hu
dum
a za
tib
a na
mat
unzo
za
VV
U n
a U
KIM
WI,
kwa
kup
itia
mip
ango
ya
elim
u rik
a,
maj
adili
ano
kwen
ye s
ehem
u m
bal
imb
ali z
a b
urud
ani n
a st
areh
e, h
otub
a k
abla
ya
mec
hi
ya m
pira
wa
mig
uu,
na w
akat
i wa
una
sihi
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
Mita
ndao
ya
wan
ahar
akat
i w
anau
me.
20
11-1
2U
Pos
ho z
a w
awez
esha
ji, u
sa� r
i m
awas
ilian
o =
$1
2,00
0 x
mik
oa 7
=
$84,
000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 41
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 3
: M
SA
AD
A N
A M
AT
UN
ZO
KW
A W
AG
ON
JWA
NY
UM
BA
NI
T13
: U
toaj
i wa
hud
uma
za w
ago
njw
a ny
umb
ani n
a uk
usan
yaji
wa
rasi
limal
i um
eim
aris
hwa
na m
zig
o w
a ku
toa
hud
uma
za w
ago
njw
a ny
umb
ani k
wa
wan
awak
e na
was
icha
na u
mep
ung
ua.
M19
: Kui
mar
isha
uw
ezo
wa
wan
awak
e na
wan
aum
e, w
akiw
emo
waz
ee a
mb
ao h
utoa
hud
uma
za w
agon
jwa
nyum
ban
i kat
ika
jam
ii na
kay
a.
63B
aini
sha
mah
itaji
ya m
afun
zo k
wa
wan
awak
e na
wan
aum
e w
atoa
hud
uma
ya u
tunz
aji w
a w
agon
jwa
nyum
ban
i M
Ruk
wa,
Irin
ga,
Sin
yang
a, S
ingi
da,
M
wan
za, R
uvum
aN
AC
P, C
SO
s20
11U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
64
Bor
esha
mio
ngoz
o ya
maf
unzo
ya
kita
ifa
kuhu
su h
udum
a ya
wag
onjw
a ny
umb
ani
katik
a ku
shug
hulik
ia u
pun
gufu
wa
uwez
o na
m
ahita
ji ya
maf
unzo
ya
wat
oa h
udum
a ya
w
agon
jwa
nyum
ban
i
TK
itaifa
NA
CP,
TA
CA
IDS
, C
SO
s20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
65To
a m
afun
zo k
wa
wak
ufun
zi k
wa
kutu
mia
m
iong
ozo
ya m
afun
zo il
iyob
ores
hwa
TK
itaifa
NA
CP
2011
-12
MP
Uku
mb
i, us
a� r
i, vi
tend
ea k
azi n
a w
awez
esha
ji =
$3
0,00
0 x
mik
oa 7
=
$210
,000
66Fu
atili
a u
tend
aji w
a w
atoa
hud
uma
nyum
ban
i kw
a ku
tum
ia m
iong
ozo
ya
maf
unzo
iliy
obor
eshw
a b
aad
a ya
maf
unzo
. T
Ruk
wa,
Irin
ga,
Sin
yang
a, S
ingi
da,
M
wan
za, R
uvum
a
DM
O, M
ratib
u w
a
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
zia
ra
za u
sim
amiz
i usa
� ri,
maw
asili
ano,
vi
tend
ea k
azi,
Waw
ezes
haji
=
$30,
000
x m
ikoa
7 =
$2
10,0
00
67
Ham
asis
ha j
amii
na m
amla
ka z
a se
rikal
i za
mita
a ili
kus
haw
ishi
uku
sany
aji w
a fe
dha
na
kuw
eka
utar
atib
u w
a jin
si y
a ku
wal
ipa
pos
ho
wat
oa h
udum
a ny
umb
ani.
V
Ruk
wa,
Irin
ga,
Sin
yang
a, S
ingi
da,
M
wan
za, R
uvum
aM
itand
ao y
a P
LHIV
, HFs
2011
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi,
Uw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
maj
adili
ano
ya ju
mui
a $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 7
= $
84,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)42
68
End
esha
mik
utan
o ya
mija
dal
a ya
kis
era
kute
tea
uand
aaji
wa
baj
eti y
a k
ujik
imu,
m
atha
lani
kw
a aj
ili y
a s
abun
i za
unga
, m
aji,
maz
iwa
ya k
opo
kwa
wat
oto,
vifa
a na
m
ahita
ji m
engi
ne y
a hu
dum
a ny
umb
ani
TK
itaifa
N
AC
P,
TAC
AID
S,
DS
W, M
OFE
A20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
Uw
ezes
haji
na
pos
ho z
a m
ikut
ano
ya m
azun
gum
zo y
a ki
sera
= $
84,0
00M
20: k
uham
asis
ha w
anau
me
kush
irik
i kw
a w
ing
i kat
ika
mp
ang
o w
a ku
toa
hud
uma
ya w
ago
njw
a ny
umb
ani .
69
Fany
a ut
a� ti
wa
kuka
diri
a gh
aram
a za
ka
zi z
isiz
o na
mal
ipo
zina
zofa
nyw
a n
a w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a ka
tika
muk
tad
ha w
a V
VU
na
UK
IMW
I
TK
itaifa
NA
CP,
TA
CA
IDS
, M
itand
ao y
a P
LHIV
, AZ
AK
I
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
70
Fany
a m
ajad
ilian
o le
ngw
a y
a vi
kund
i ku
ham
asis
ha w
akuf
unzi
wa
wak
ufun
zi w
a ki
taifa
w
a hu
dum
a ya
wag
onjw
a ny
umb
ani
na W
arat
ibu
wa
Wila
ya k
uhus
u m
zigo
wa
kazi
wa
ush
iriki
shw
aji w
a w
anaw
ake
na
wan
aum
e ka
tika
utoa
ji w
a hu
dum
a ka
tika
kaya
na
jam
ii
TK
itaifa
NA
CP
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
71
And
aa m
ajad
ilian
o le
ngw
a ya
vik
und
i ku
ham
asis
ha w
atoa
hud
uma
nyum
ban
i n
a fa
mili
a, k
utet
ea u
saw
a ka
tika
mga
wan
yo w
a m
ajuk
umu
ya k
utun
za w
agon
jwa
nyum
ban
i b
aina
ya
wan
aum
e na
wan
awak
e nd
ani y
a ja
mii.
H
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
TOTs
HB
C20
11-1
2N
Usa
� ri,
mal
azi,
uwez
esha
ji na
p
osho
kw
a aj
ili y
a m
ajad
ilian
o ya
jum
uia
$3,0
00 x
mik
utan
o 4
ya m
ajad
ilian
o x
m
ikoa
7 =
$84
,000
72
Fany
a m
dah
alo
kat
ika
jam
ii ili
kui
elim
isha
na
k
utet
ea u
saw
a ka
tika
mga
wan
yo w
a m
ajuk
umu
ya k
utun
za w
agon
jwa
nyum
ban
i b
aina
ya
wan
aum
e na
wan
awak
e
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
(VM
AC
s),
2011
-12
N
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
md
ahal
o $3
,000
x
mik
utan
o 4
ya
maj
adili
ano
x m
ikoa
7
= $
84,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 43
EN
EO
KU
U L
A M
KA
KA
TI 3
: KU
PU
NG
UZ
A A
TH
AR
I
• T1
4: M
aish
a b
ora
na
usta
wi w
a ja
mii
kwa
wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
wen
ye a
u ku
athi
riwa
moj
a kw
a m
oja
na
VV
U n
a U
KIM
WI.
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
T1:
KU
TO
A M
SA
AD
A W
A L
AZ
IMA
WA
SIC
HA
NA
NA
WA
VU
LAN
A Y
AT
IMA
NA
WA
LIO
KA
TIK
A M
AZ
ING
IRA
H
ATA
RIS
HI
• T
15:
Uto
aji
mis
aad
a na
hud
uma
za k
ijam
ii z
inaz
ozi
ngat
ia ji
nsia
na
zina
zoju
mui
sha
sekt
a m
bal
imb
ali k
wa
zim
ebo
resh
wa
• M
21: K
uim
aris
ha u
wez
o w
a fa
mili
a na
jam
ii ka
tika
kut
amb
ua n
a ku
toa
msa
ada
wa
kis
aiko
lojia
na
mat
unzo
kw
a w
ato
to w
a ki
ke n
a w
a ki
ume
yati
ma
na w
alio
kat
ika
maz
ing
ira
hata
rish
i
73
Kup
itia
na k
ubor
esha
mio
ngoz
o ya
maf
unzo
ya
idar
a ya
ust
awi w
a ja
mii
ili iz
inga
tie
utam
buz
i wa
kijin
sia
, iki
wem
o ut
etez
i na
uham
asis
haji
wa
utoa
ji w
a m
ahita
ji ka
ma
vile
p
edi k
wa
was
icha
na k
ama
mb
inu
na
nyen
zo
za k
ufun
dis
hia
TK
itaifa
MoE
VT,
DS
W,
TAC
AID
S,
MO
HS
W20
11U
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
74
Kua
ndaa
mik
utan
o y
a ki
jam
ii ili
kuh
amas
isha
uc
hang
iaji
wa
chak
ula,
ngu
o na
mal
azi
kusa
idia
wav
ulan
a na
was
icha
na w
alio
kat
ika
maz
ingi
ra h
atar
ishi
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
(DS
W),
(VM
AC
)20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho
$3,0
00 x
m
ikut
ano
4 x
mik
oa 6
=
$72
,000
75
Kuf
anya
maj
adili
ano
na
Bar
aza
la A
rdhi
la
Kiji
ji ili
kup
ata
ard
hi k
wa
ajili
ya
mat
umiz
i ya
was
icha
na n
a w
avul
ana
wal
io k
atik
a m
azin
gira
hat
aris
hi
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
DS
W, V
MA
C20
11-1
2M
P
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho =
$3,
000
x m
ikut
ano
4 x
mik
oa 6
=
$72
,000
76
Kuf
anya
maj
adili
ano
na M
abar
aza
ya k
ijiji
ili k
uten
ga b
ajet
i mah
susi
zen
ye k
utoa
ki
pau
mb
ele
katik
a m
ahita
ji ya
msi
ngi
kwa
was
icha
na n
a w
avul
ana
wal
io k
atik
a m
azin
gira
hat
aris
hi
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
DS
W, V
MA
C20
11-1
2M
P
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho $
3,00
0 x
mik
utan
o 4
x m
ikoa
6
= $
72,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)44
77
kufu
atili
a kw
a m
akin
i na
ukar
ibu
mai
sha
ya w
asic
hana
na
wav
ulan
a w
alio
kat
ika
maz
ingi
ra h
atar
ishi
ili k
uhak
ikis
ha h
aki z
ao
zina
lind
wa
kwa
kuzi
ngat
ia ji
nsia
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
(DS
W),
(VM
AC
)20
11-1
2M
P
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho $
3,00
0 x
mik
utan
o 4
x m
ikoa
6
= $
72,0
00
78
Kut
oa m
isaa
da
ya k
isai
kolo
jia n
a ki
jam
ii ik
iwem
o un
asih
i na
bur
udan
i kw
a aj
ili
ya w
asic
hana
na
wav
ulan
a w
alio
kat
ika
maz
ingi
ra h
atar
ishi
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
FBO
s, C
SO
s20
11-1
2U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho $
3,00
0 x
mik
utan
o 4
x m
ikoa
6
= $
72,0
00E
NE
O D
OG
O L
A 2
LA
MK
AK
AT
I 2: K
UIM
AR
ISH
A M
SA
AD
A N
A U
WE
ZO
WA
WA
AT
HIR
IKA
KU
KA
BIL
I AT
HA
RI Z
A V
VU
NA
UK
IMW
IM1
T16
: Wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
kati
ka n
gaz
i ya
kaya
na
jam
ii w
amej
eng
ewa
uwez
o ji
nsi y
a ku
tam
bua
na
kuka
bili
ana
na
atha
ri z
a V
VU
na
UK
IMW
I zin
azo
husi
ana
na m
asua
la y
a ki
jinsi
a.•
M22
: Kui
mar
isha
uw
ezo
wa
jam
ii k
atik
a ku
tam
bua
na
kuto
a m
saad
a k
wa
fam
ilia
amb
azo
zim
eath
iriw
a na
VV
U n
a U
KIM
WI m
oja
kwa
moj
a.
79
Chu
nguz
a m
ahita
ji ya
kim
kaka
ti na
mah
itaji
ya k
ijins
ia n
a ch
anga
mot
o zi
nazo
kab
ili
fam
ilia
zina
zotu
nza
yatim
a na
was
icha
na
na w
avul
ana
wai
shio
kw
enye
maz
ingi
ra
hata
rishi
.
TK
itaifa
DS
W,
TAC
AID
S
MoE
VT
MO
HS
W
2011
U
Mik
utan
o ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$15
0,00
0
80
Piti
a m
fum
o w
a ki
jam
ii ul
iop
o w
a ut
oaji
msa
ada
kw
a fa
mili
a zi
lizoa
thiri
wa
na V
VU
na
UK
IMW
I, b
ores
ha n
a tu
mia
mfu
mo
mb
adal
a un
aozi
ngat
ia ji
nsia
TK
itaifa
DS
W,
TAC
AID
S
MoE
VT
MO
HS
W
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
81
Tete
a un
afuu
wa
kod
i na
nyon
geza
za
m
isha
hara
vik
iwa
ni m
otis
ha k
wa
wau
guzi
na
wat
oa h
udum
a ya
mat
unzo
kw
a W
AV
IU
, yat
ima
na w
atot
o w
alio
kat
ika
maz
ingi
ra
hata
rishi
, wen
ye m
tind
io w
a ub
ongo
, sa
rata
ni, k
ifua
kiku
u na
wag
onjw
a w
enye
m
agon
jwa
yasi
yo n
a tib
a
TK
itaifa
CS
Os,
M
itand
ao
ya P
LHIV
(M
OFE
A),
(D
SW
)
2011
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na =
$8
4,00
0
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 45
82
Ham
asis
ha u
toaj
i wa
fed
ha t
aslim
u kw
a m
leng
wa
( ‘M
AM
A M
KU
BW
A n
a fa
mili
a zi
nazo
wat
unza
yat
ima)
kam
a m
otis
ha y
a ku
wat
unza
yat
ima
na w
atot
o w
alio
kat
ika
maz
ingi
ra h
atar
ishi
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
(DS
W),
(V
MA
C)
2011
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho =
$84
,000
M 2
3: K
ubo
resh
a uw
ezo
wa
kuka
bili
na
kust
ahim
ili c
hang
amo
to z
inaz
oto
kea
kat
ika
fam
ilia
amb
azo
zim
eath
iriw
a na
VV
U n
a U
KIM
WI m
oja
kw
a m
oja
83
Piti
a na
bor
esha
mip
ango
ya
kazi
ya
mw
aka
na b
ajet
i ya
Hal
mas
haur
i, K
ilim
o kw
anza
na
Vya
ma
vya
ushi
rika
ili z
izin
gatie
jins
ia k
atik
a m
asua
la y
a V
VU
na
UK
IMW
I
NK
itaifa
MA
FC (
DS
W),
TAC
AID
S
MO
HS
W
CS
Os,
2011
MP
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
84
Kua
ndaa
mik
utan
o na
wad
au w
a ki
limo
kwan
za n
a vy
ama
vya
ushi
rika
ili k
upan
ga
maf
ungu
ya
fed
ha k
usai
dia
fam
ilia
zeny
e W
AV
IU, y
atim
a na
wat
oto
wal
io k
atik
a m
azin
gira
hat
aris
hi, n
a m
akun
di y
a ki
jam
ii.
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
MA
FC, D
SW
, V
MA
C20
11-1
2M
PU
sa� r
i, m
alaz
i, w
awez
esha
ji na
p
osho
= $
84,0
00
85
And
aa m
ikut
ano
kwa
pam
oja
na m
akun
di y
a as
asi z
a fe
dha
kam
a b
enki
za
viji
jini,
ben
ki
za b
iash
ara,
vik
und
i vya
aki
ba
na m
ikop
o ka
ma
TAS
AF,
VIC
OB
A, S
AC
CO
S S
ATF,
R
FE n
a v
yam
a vy
a us
hirik
a, il
i ku
pan
ga
kip
aum
bel
e na
maf
ungu
maa
lum
ya
fed
ha
kwa
ajili
ya
kusa
idia
vik
und
i vya
uza
lisha
ji m
ali v
ya w
enye
viru
si v
ya U
KIM
WI,
yatim
a na
wat
oto
wal
io k
atik
a m
azin
gira
hat
aris
hi a
u fa
mili
a za
o
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
DS
W M
AFC
, V
MA
C20
11-1
2M
PU
sa� r
i, m
alaz
i, w
awez
esha
ji na
p
osho
= $
84,0
00
86
Ham
asis
ha u
kam
ilish
aji n
a ut
ekel
ezaj
i wa
Muu
ndo
Taifa
wa
Hifa
dhi
ya
Jam
ii ul
io c
hini
ya
wiz
ara
ya m
aend
eleo
ya
jam
ii jin
sia
na
wat
oto
(MG
CD
C)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MG
CD
C20
11U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho =
$84
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)46
87
Ham
asis
ha u
pat
ikan
aji w
a fe
dha
za
mis
aad
a ili
kut
ekel
eza
muu
ndo
wa
hifa
dhi
ya
jam
ii ut
akao
wez
esha
asa
si z
a ki
jam
ii,
kife
dha
na
kuto
a m
ikop
o m
idog
omid
ogo
, na
hivy
o ku
pun
guza
ath
ari
za
UK
IMW
I kw
a w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a w
enye
VV
U n
a U
KIM
WI
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C
MO
HS
W
2011
-20
12U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho =
$84
,000
88
And
aa m
ikut
ano
itaka
yosh
iriki
sha
mam
laka
za
ser
ikal
i za
mita
a, a
sasi
za
Kid
ini (
FBO
s),
asas
i za
Kija
mii
(CB
Os)
, asa
si z
isiz
o za
K
iser
ikal
i (N
GO
s), p
amoj
a na
mak
und
i ya
msa
ada
wa
kija
mii,
ili k
usai
dia
fam
ilia
za
wen
ye V
VU
na
amb
azo
zim
eath
iriw
a m
oja
kwa
moj
a na
VV
U n
a U
KIM
WI
VM
ara,
Ruv
uma,
M
anya
ra, R
ukw
a,
Mb
eya,
Mtw
ara
DS
W V
MA
C20
11-1
2M
PU
sa� r
i, m
alaz
i, w
awez
esha
ji na
p
osho
= $
84,0
00
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI
3: U
NYA
NYA
PAA
NA
UB
AG
UZ
I KW
A W
AT
U W
EN
YE
VIR
US
I VYA
UK
IMW
I NA
FA
MIL
IA Z
ILIZ
OA
TH
IRIW
A•
T17
: Hak
i za
wan
awak
e w
enye
Vir
u si
Vya
Uki
mw
i zin
alin
dw
a,zi
nati
miz
wa
na k
uhes
him
iwa
.M
24:
Kuw
ezes
ha u
teke
leza
ji w
a w
a S
heri
a ya
kuz
uia
na k
udhi
bit
i V
VU
na
UK
IMW
I nam
ba
28 y
a m
wak
a 20
08 i
li ku
pun
guz
a ai
na z
ote
za
uny
anya
paa
na
ubag
uzi.
89Ta
fsiri
she
ria (N
amb
a 28
ya
Mw
aka
2008
) yo
te k
utok
a kw
enye
lugh
a ya
Kiin
gere
za
kwen
da
kwen
ye K
isw
ahili
T K
itaifa
TAC
AID
S n
a M
OJC
A20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
90A
ndaa
taf
siri
rahi
si y
a vi
pen
gele
vya
she
ria
vina
vyos
hugh
ulik
ia u
nyan
yap
aa n
a ub
aguz
i T
Kita
ifa20
11M
P
Mik
utan
o ya
wad
au
na g
hara
ma
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$5
0,00
0
91C
hap
isha
na
sam
baz
a na
kala
za
tafs
iri
rahi
si z
a vi
pen
gele
vya
she
ria a
mb
avyo
vi
navy
oshu
ghul
ikia
uny
anya
paa
na
ubag
uzi
TK
itaifa
TAC
AID
S n
a M
OJC
A20
11M
PG
hara
ma
za
ucha
pis
haji
na
usam
baz
aji=
$20
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 47
92
And
aa m
akon
gam
ano
ili k
ucho
chea
ut
amb
uzi n
a ku
pin
ga u
nyan
yap
aa n
a ub
aguz
i kw
a m
ujib
u w
a sh
eria
ya
VV
U n
a U
KIM
WI
VS
ingi
da,
Tab
ora,
M
twar
a, D
odom
a,
Tang
a, Ir
inga
TAC
AID
S
MO
JCA
2011
-12
MP
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na
pos
ho k
wa
ajili
ya
mak
onga
man
o $3
,000
x m
ikut
ano
4 ya
maj
adili
ano
x
mik
oa 6
= $
72,0
00
93
Fany
a m
idah
alo
ya
kita
ifa il
i kut
enge
neza
m
ikak
ati y
a ku
pin
ga u
nyan
yap
aa n
a ub
aguz
i na
kuu
nga
mko
no h
aki z
a w
anaw
ake,
w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
CS
Os
2011
-20
12M
PU
sa� r
i, m
alaz
i, w
awez
esha
ji na
p
osho
= $
84,0
00
EN
EO
KU
U L
A K
IMK
AK
AT
I 4: M
AZ
ING
IRA
WE
ZE
SH
I •
T18:
Maz
ingi
ra w
ezes
hi y
anay
oshu
ghul
ikia
na
kuel
ezea
mah
itaji
ya w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a ka
tika
utek
elez
waj
i wa
Mw
itiki
o w
a K
itaifa
wa
VV
U n
a U
KIM
WI y
abor
eka.
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 1
: UIN
GIZ
WA
JI W
A M
AS
UA
LA Y
A J
INS
IA N
A H
AK
I ZA
BIN
AD
AM
U K
AT
IKA
SH
ER
IA S
ER
A, M
IPA
NG
O, Z
AN
A Z
A
UA
ND
AA
JI M
IPA
NG
O, M
AFU
NZ
O, M
IUN
DO
YA
KIT
AA
SIS
I, A
MB
AV
YO
VIN
AH
US
IAN
A N
A M
AS
UA
LA Y
A V
VU
NA
UK
IMW
I•
T19:
Wat
unga
ser
a na
waf
anya
maa
muz
i wam
eim
arik
a ka
tika
kujit
oa k
ikam
ilifu
, uw
azi,
uwaj
ibik
aji,
na m
saad
a kw
a af
ua z
a V
VU
na
UK
IMW
I kw
a ku
tum
ia h
aki z
a b
inad
amu
na m
isim
amo
ya u
tam
buz
i wa
kijin
sia.
•
T20:
Wan
awak
e na
was
icha
na w
ana
furs
a sa
wa
katik
a ku
pat
a hu
dum
a ju
mui
shi z
a se
kta
mb
alim
bal
i kuh
usu
VV
U n
a U
KIM
WI ,
kifu
a ki
kuu,
afy
a na
hak
i za
ngon
o na
uza
zi n
a ku
pun
guza
mad
hara
, zi
kiw
emo
hud
uma
zina
zosh
ughu
likia
uka
tili w
a ki
jinsi
a.•
M25
: Hak
ikis
ha k
uwa
sher
ia n
a se
ra z
ote
zin
azo
husu
VV
U n
a U
KIM
WI z
inaz
ing
atia
jins
ia n
a zi
naku
bal
iana
na
kanu
ni n
a m
iong
ozo
ya
haki
za
bin
adam
u.
94
Cha
mb
ua ji
nsi s
era
zina
zohu
sian
a na
m
asua
la y
a V
VU
zin
avyo
waa
thiri
wan
awak
e na
was
icha
na, u
kizi
ngat
ia v
ipen
gele
vya
ki
jam
ii , k
iuta
mad
uni,
unya
nyap
aa n
a ub
aguz
i na
vik
waz
o vy
a ki
uchu
mi v
inay
owaz
uia
wan
awak
e na
was
icha
na k
utek
elez
a ha
ki
zao
za k
ibin
adam
u (S
era
ya V
VU
, MK
UK
UTA
, N
MS
F, H
SS
P)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CO
PH
A,
Mita
ndao
ya
WLH
A
na m
akun
di
ya h
aki z
a w
anaw
ake
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
w
adau
, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
na
usa�
ri n
a m
alaz
i =
$15
0,00
0
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)48
95
Piti
a up
ungu
fu n
a p
end
ekez
a ha
tua
mah
usus
i ili
kuf
anya
vifu
atav
yo v
iwe
na u
tam
buz
i w
a ki
jinsi
a: S
era
ya T
aifa
ya
VV
U n
a U
KIM
WI,
Ser
a za
VV
U z
inaz
ohus
u H
BC
, VC
T, P
EP,
O
MV
C, S
era
za K
isek
ta, S
era
ya T
aifa
ya
Wan
awak
e na
Jin
sia
ya m
wak
a 20
00, S
era
ya
Wat
oto,
Ser
a ya
Elim
u
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, P
MO
, MO
JCA
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi n
a us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
96
Piti
a up
ungu
fu n
a p
end
ekez
a ha
tua
mah
usus
i ili
kuf
anya
vifu
atav
yo v
iwe
na u
tam
buz
i wa
ki
jinsi
a: S
heria
ya
VV
U n
a U
KIM
WI (
Kin
ga n
a U
dhi
biti
) ya
mw
aka
2008
, She
ria y
a U
sala
ma
na A
fya
Kaz
ini (
OS
HA
), S
heria
za
kazi
, She
ria
ya u
linzi
wa
ajira
, She
ria y
a um
iliki
na
Mira
thi,
She
ria y
a E
limu
TK
itaifa
Tum
e ya
ku
reke
bis
ha
sher
ia,
TAC
AID
S,
NA
CP,
MC
DG
C
,PM
O
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
97
Fany
a ka
mp
eni y
a ‘T
amb
ua h
aki z
ako’
am
bay
o p
ia in
atoa
hud
uma
za m
saad
a w
a ki
sher
ia z
inaz
opat
ikan
a b
ila m
alip
o
kwa
wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
(Sik
u ya
UK
IMW
I Dun
iani
, Sik
u y
a W
anaw
ake
Dun
iani
)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CO
PH
A,
TAW
LA,
Mita
ndao
ya
Wan
awak
e W
AV
IU,
mas
hirik
a ya
hak
i za
bin
adam
u
2011
-12
MP
Mik
utan
o ya
wad
au,
ghar
ama
za
wat
aala
mu
elek
ezi n
a ku
rush
a m
atan
gazo
=
$100
,000
98
End
esha
mik
utan
o ya
maj
adili
ano
ya k
iser
a p
amoj
a na
wat
oa m
aam
uzi k
ujad
ili u
pun
gufu
na
kut
ekel
eza
map
end
ekez
o ya
kuf
anya
ser
a na
she
ria z
iwe
na u
tam
buz
i wa
kiji
nsia
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, P
MO
, MO
JCA
, Tu
me
ya
kure
keb
isha
sh
eria
2011
-11
U
Usa
� ri,
mal
azi,
waw
ezes
haji
na p
osho
kw
a aj
ili y
a m
ikut
ano
ya m
ajad
ilian
o ya
kis
era
=
$84,
000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 49
99
End
esha
maj
adili
ano
na w
atoa
maa
muz
i ili
kute
tea
uund
waj
i na
upiti
shw
aji w
a sh
eria
m
aalu
mu
zina
zohu
su u
katil
i wa
maj
umb
ani
i� ka
po
mw
aka
2012
TK
itaifa
Tum
e ya
ku
reke
bis
ha
sher
ia,
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, P
MO
, MO
JCA
.
2011
-11
U
Usa
� ri,
mal
azi,
w
awez
esha
ji na
pos
ho =
$8
4,00
0
100
AZ
AK
I ziu
ngan
e na
vyo
mb
o vy
a ki
kand
a (E
AC
, SA
DC
) ili
kup
itia
upya
she
ria z
a ki
taifa
zi
nazo
husu
mas
uala
ya
VV
U n
a am
baz
o zi
na
ubag
uzi w
a ki
jinsi
a na
zin
ashi
ndw
a ku
lind
a ha
ki z
a w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a
KT
Kim
atai
fa
Tum
e ya
ku
reke
bis
ha
sher
ia,
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, P
MO
, MO
JCA
.E
AC
, SA
DC
2011
-20
12M
P
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i na
us
a� r
i na
mal
azi
= $
150,
000
M26
: Hak
ikis
ha k
uwa
mip
ang
o n
a za
na z
ote
za
uand
aaji
mip
ang
o z
inaz
ohu
sian
a na
VV
U n
a U
KIM
WI z
inaz
ing
atia
jins
ia n
a zi
naku
bal
iana
na
kanu
ni n
a m
iong
ozo
ya
haki
za
bin
adam
u.
101
Piti
a up
ungu
fu n
a p
end
ekez
a ha
tua
mah
usus
i ili
kuf
anya
vifu
atav
yo v
iwe
na
utam
buz
i wa
kijin
sia:
MK
UK
UTA
, mip
ango
ya
TAC
AID
S,
NA
CP,
MC
DG
C, M
TEF,
mip
ango
ya
mik
oa n
a w
ilaya
ya
VV
U n
a U
KIM
WI,
CC
HP,
Baj
eti y
a
taifa
, Map
end
ekez
o ya
kiw
ango
cha
chi
ni y
a m
ipan
go n
a b
ajet
i za
halm
asha
uri n
a se
kta
T
Kita
ifa n
a Ir
inga
, D
ar E
s S
alaa
m,
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga, P
wan
i
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, M
OFE
A,
Mik
oa, S
ekta
, H
alm
asha
uri
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i , u
sa� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
102
Hui
sha
mip
ango
na
zana
za
uand
aaji
mip
ango
ili k
uifa
nya
itam
bue
jin
sia
kuto
kana
na
ha
tua
ziliz
open
dek
ezw
a.T
Kita
ifa n
a Ir
inga
, D
ar E
s S
alaa
m,
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga, P
wan
i
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, M
OFE
A,
Mik
oa, S
ekta
, H
alm
asha
uri
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
, na
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)50
103
Ele
keza
wat
oa h
udum
a ku
husu
mip
ango
na
zana
za
uand
aaji
mip
ango
zili
zohu
ishw
a .
T
Kita
ifa n
a Ir
inga
, D
ar E
s S
alaa
m,
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga, P
wan
i
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, M
OFE
A,
Mik
oa, S
ekta
, H
alm
asha
uri
2011
-11
U
Mah
ali p
a ku
fany
ia w
arsh
a ya
maf
unzo
, us
a� r
i na
nyen
zo,
waw
ezes
haji
$30,
000$
x
mik
oa 7
=
$210
,000
M27
: Hak
ikis
ha k
uwa
maf
unzo
yo
te y
a ki
taifa
yan
ayo
husi
ana
na V
VU
na
UK
IMW
I yan
azin
gat
ia ji
nsia
na
yana
kub
alia
na n
a ka
nuni
na
njia
za
haki
za
bin
adam
u
104
Piti
a up
ungu
fu n
a ha
tua
mah
usus
i zi
lizop
end
ekez
wa
ili k
ufan
ya m
afun
zo
yahu
sian
ayo
na m
asua
la y
a V
VU
na
UK
IMW
I kw
a w
elad
i waf
uata
o ili
yaz
inga
tie u
tam
buz
i w
a ki
jinsi
a: W
atoa
hud
uma
wa
mas
uala
ya
VV
U k
atik
a af
ua z
ote,
waf
anya
kazi
wa
afya
, Pol
isi,
Idar
a ya
Mah
akam
a, W
alim
u,
Waf
anya
kazi
wa
Wiz
ara,
Idar
a na
Mam
laka
(M
DA
s), W
afan
yaka
zi w
a M
amla
ka z
a S
erik
ali
za M
itaa,
Waf
anya
kazi
wa
Vyu
o V
ikuu
na
Wab
unge
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MO
HS
W
,MO
EV
T, P
MO
-R
ALG
, PO
- P
SM
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, na
usa
� ri
na m
alaz
i =
$150
,000
105
Hui
sha
mip
ango
ya
maf
unzo
kaz
ini
na il
e ya
maf
unzo
kab
la y
a ut
umis
hi il
i iw
e na
ut
amb
uzi w
a ki
jinsi
a ku
fuat
ana
na h
atua
zi
lizop
end
ekez
wa
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MO
HS
W
,MO
EV
T,P
MO
-R
ALG
, PO
PS
M
2011
-11
U
Mik
utan
o ya
w
adau
, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi n
a us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
106
Piti
a fu
atili
a na
tat
hmin
i mita
ala
yeny
e ut
amb
uzi w
a ki
jinsi
a na
iliy
o ra
� ki k
wa
vija
na
wen
ye u
mri
wa
bal
ehe
na v
ijana
wad
ogo,
p
amoj
a na
ush
iriki
shw
aji w
ao.
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MO
HS
W
,MO
EV
T,20
11-1
2M
P
Mik
utan
o ya
w
adau
, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi n
a us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 51
107
Ele
keza
wat
oa h
udum
a ku
husu
uhu
isha
ji w
a m
odul
i za
maf
unzo
.T
Kita
ifana
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i
TAC
AID
S,
MO
HS
W
,MO
EV
T,P
MO
-R
ALG
, PO
PS
M
2011
-11
U
Uku
mb
i war
sha
ya m
afun
zo,
usa�
ri n
a vi
tend
ea k
azi,
waw
ezes
haji
$30,
000$
x
mik
oa 7
=
$210
,000
M28
: Hak
ikis
ha k
uwa
miu
ndo
yo
te m
uhim
u ya
kit
aasi
si i
nazi
ngat
ia u
ing
izaj
i wa
jinsi
a ka
tika
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI
108
Pim
a na
hifa
dhi
ufa
aji w
a ub
ia u
liop
o b
aina
ya
mak
und
i ya
AZ
AK
I na
vion
gozi
wa
kisi
asa
na k
idin
i kw
a aj
ili y
a us
hugh
ulik
iaji
wa
mas
uala
ya
wan
awak
e, w
asic
hana
na
usaw
a w
a ki
jinsi
a ka
tika
muk
tad
ha w
a V
VU
na
UK
IMW
I
TK
itaifa
TAC
AID
S20
11M
P
Mik
utan
o ya
w
adau
, mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
109
Zin
dua
na
tang
aza
kuw
epo
kwa
mta
ndao
wa
kita
ifa d
hid
i ya
ukat
ili w
a ki
jinsi
a
TK
itaifa
MC
DG
C20
11U
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
110
Piti
a up
ya h
adid
u za
rej
ea il
i kum
fany
a m
tu a
naye
wak
ilish
a m
asua
la y
a ki
jinsi
a ya
se
kta
aw
e p
ia n
diy
e m
wen
ye d
ham
ana
ya
kush
ughu
likia
mas
uala
ya
VV
U k
atik
a ki
la
sekt
a.
TK
itaifa
PO
PS
M,
TAC
AID
S
,MC
DG
C20
11M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
111
Taya
risha
had
idu
za r
ejea
na
teua
mta
ndao
w
a w
anaj
amii
wak
iwem
o M
wan
ashe
ria,
Hak
imu,
Ask
ari P
olis
i, K
iong
ozi w
a K
idin
i na
Mtu
mis
hi w
a af
ya, w
awe
taya
ri ku
said
ia k
ila
wak
ati n
a hi
vyo
kuto
a hu
dum
a za
bur
e za
ki
taal
amu
kuw
asai
dia
waa
thiri
wa
wa
mas
uala
ya
kiji
nsia
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
MC
DG
C,
CM
AC
s,
VM
CA
Cs
2011
MP
Mik
utan
o ya
w
adau
na
ghar
ama
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$50
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)52
112
Piti
a up
ya n
a hu
isha
had
idu
za r
ejea
za
CM
AC
s, W
MA
Cs,
VM
AC
s na
Kam
ati
za K
itaal
amu
za U
KIM
WI k
atik
a W
izar
a,
ili k
ujum
uish
a m
ajuk
umu
mah
usus
i ya
uz
inga
tiaji
wa
kijin
sia
TK
itaifa
TAC
AID
S,
CH
AC
s20
11M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
113
Anz
isha
mita
ndao
ya
wan
ahar
akat
i w
a ki
ume
katik
a ja
mii,
am
bao
wat
atet
ea u
shiri
kish
waj
i na
uhu
sish
waj
i wa
wan
aum
e w
engi
zai
di
katik
a af
ua z
a m
asua
la y
a V
VU
na
UK
IMW
I
V
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
CM
AC
s,
VM
AC
s20
11-1
1U
Pos
ho z
a
wan
ahar
akat
i, gh
aram
a za
us
a� r
i na
maw
asili
ano
kwa
$12,
000
x m
ikoa
7
= $
84,0
00
114
Und
a ha
did
u za
rej
ea, t
eua
waj
umb
e na
an
zish
a K
amat
i ya
Uen
des
haji
ya K
itaifa
ya
kura
tibu
shug
huli
za ‘M
pan
go E
ndes
haji
wa
Kiji
nsia
kw
a aj
ili y
a M
witi
kio
wa
VV
U T
anza
nia
Bar
a’
TK
itaifa
NA
CP,
M
OH
SW
, P
MO
, PM
O-
RA
LGTA
CA
IDS
, M
CD
GC
, NB
S
2011
MP
Pos
ho y
a us
a� r
i, m
alaz
i, w
awez
esha
ji n
a p
osho
za
kam
ati
ya u
end
esha
ji kw
a $4
,000
x
mik
utan
o 4
=
$16,
000
115
Jum
uish
a w
ajum
be
waw
ili w
a m
akun
di
mak
ubw
a ya
a jin
sia,
wat
akao
toa
usha
uri w
a ki
taal
amu
kuhu
su m
asua
la y
a jin
sia
katik
a vi
kosi
kaz
i vya
wat
aala
mu
wa
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI (
TWG
s)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
CS
Os
2011
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
116
Und
a, o
anis
ha, t
ekel
eza
na fu
atili
a m
atum
izi
ya m
pan
go w
a ju
mla
wa
kiw
ango
cha
chi
ni
wa
kita
ifa w
a hu
dum
a ju
mui
shi k
wa
ajili
ya
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI/
Kifu
a K
ikuu
/ A
fya
na H
aki z
a N
gono
na
Uza
zi (S
RH
R)
TK
itaifa
MO
HS
W,
TAC
AID
S20
11-
2012
U
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 53
117
Und
a Ta
ratib
u O
ngoz
i za
Uen
des
haji
(SO
Ps)
na
wae
leke
ze w
atoa
hud
uma
jinsi
ya
kuim
aris
ha m
ifum
o ya
ruf
aa n
a uh
usia
no k
ati
ya ju
mui
a (m
ifum
o is
iyo
rasm
i) na
) hud
uma
za
afya
(mifu
mo
rasm
i)
T
Kita
ifa n
a Ir
inga
, D
ar E
s S
alaa
m,
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga, P
wan
i, M
anya
ra
PTA
CA
IDS
, N
AC
P20
11M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
118
End
esha
mik
utan
o ya
maj
adili
ano
ya k
iser
a ili
kup
anga
uan
zish
waj
i wa
mah
akam
a ya
fa
mili
a i�
kap
o 20
12
TK
itaifa
MC
DG
C,
MO
JCA
, M
OH
SW
, TA
CA
IDS
2011
-M
PU
sa� r
i, m
alaz
i, w
arag
hib
isha
ji na
p
osho
= $
84,0
00
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI 2
: RA
SIL
IMA
LI K
WA
AJI
LI Y
A U
ING
IZA
JI W
A M
AS
UA
LA Y
A J
INS
IA ,V
VU
NA
UK
IMW
I •
T21:
Ras
ilim
ali z
a ku
tosh
a kw
a aj
ili y
a uz
inga
tiaji
wa
usaw
a w
a ki
jinsi
a na
hak
i za
bin
adam
u ka
tika
afua
za
VV
U n
a U
KIM
WI z
imek
usan
ywa.
• M
29: K
utet
ea u
kusa
nyaj
i wa
rasi
limal
i kat
ika
Wiz
ara,
Idar
a na
Wak
ala
wa
AZ
AK
I, se
kta
bin
afsi
na
wab
ia w
a m
aend
eleo
kw
a aj
ili y
a uz
inga
tiaji
wa
jinsi
a ka
tika
afua
za
VV
U n
a U
KIM
WI.
119
Fany
a m
ikut
ano
ya u
tete
zi w
a b
ajet
i za
kuto
sha
za m
asua
la y
a jin
sia
na V
VU
kat
ika
baj
eti z
a ki
taifa
, kis
ekta
, kim
ikoa
, hal
mas
haur
i na
za
AZ
AK
I
T
Kita
ifa n
a Ir
inga
, D
ar E
s S
alaa
m,
Mb
eya,
Mar
a,
Shi
nyan
ga,
Pw
ani,
Man
yara
TAC
AID
S,
MC
GD
C,
NA
CP,
(MO
FEA
, P
MO
RA
LG
2011
-12
U
Pos
ho z
a us
a� r
i, m
alaz
i, w
ezes
haji
na p
osho
kw
a aj
ili y
a m
ikut
ano
ya m
ajad
ilian
o ya
ki
sera
= $
84,0
00
120
And
aa r
asili
mal
i kat
ika
Wiz
ara,
Idar
a na
W
akal
a za
kuw
ezes
ha m
ipan
go e
ndes
haji
na b
ajet
i, ku
toa
kip
aum
bel
e kw
a m
asua
la y
a us
awa
wa
kijin
sia
na h
aki z
a w
anaw
ake
na
was
icha
na, k
ulin
gana
na
mik
atab
a m
uhim
u ya
kim
atai
fa.
TK
itaifa
TA
CA
IDS
, M
CD
GC
, M
oFE
A20
11-2
012
U
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
121
Anz
isha
mfu
ko w
a p
amoj
a w
a ku
shug
hulik
ia
mah
itaji
ya w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a w
anao
ishi
na
VV
U n
a U
KIM
WI
katik
a ng
azi y
a ki
taifa
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CO
PH
A
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)54
122
Rat
ibu
msa
ada
wa
kife
dha
na
kiu
taal
amu
kuen
del
eza
mas
uala
ya
king
a ya
VV
U k
wa
kuju
mui
sha
usaw
a w
a ki
jinsi
a kw
enye
ser
a na
pro
gram
u za
kin
ga y
a V
VU
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
MO
FEA
2011
-201
2M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
123
Cha
ngis
ha fe
dha
kw
a aj
ili y
a ku
fany
a af
ua z
a V
VU
na
UK
IMW
I ze
nye
kuzi
ngat
ia u
tam
buz
i w
a ki
jinsi
a kw
a ku
was
haw
ishi
, wat
eja
amb
ao
wat
akuw
a ta
yari
kuch
angi
a sh
iling
i 250
/- z
a K
itanz
ania
kw
aajil
i ya
ujum
be
mfu
pi w
a si
mu.
WK
itaifa
TAC
AID
S,
mak
amp
uni
ya s
imu
za
mik
onon
i
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
sim
u na
waf
anya
kazi
w
atoa
o hu
dum
a ya
sim
u =
$1
00,0
00
124
Pel
eka
O� s
a w
a M
asua
la y
a K
ijins
ia T
AC
AID
S
na N
AC
P
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP
2011
-M
P
Gha
ram
a za
ra
silim
ali w
atu
$2,5
00$
x m
iezi
12
= $
30,0
00E
NE
O D
OG
O L
A K
IMK
AK
AT
I 3: U
IMA
RIS
HA
JI W
A U
WE
ZO
KW
A M
AS
UA
LA Y
A, V
VU
NA
UK
IMW
I •
T22:
Uim
aris
haji
wa
uwez
o w
a ta
asis
i na
wa
rasi
limal
i wat
u k
wa
wat
oa h
udum
a ka
tika
kuw
asili
sha
hud
uma
za V
VU
na
UK
IMW
I zin
azoz
inga
tia
jinsi
a.
• T2
3: U
pat
ikan
aji w
a uo
ngoz
i ulio
imar
a, s
hup
avu
na w
enye
uto
faut
i kw
a w
anaw
ake
na w
asic
hana
na
usaw
a w
a ki
jinsi
a kw
a ui
mar
isha
ji w
a m
iitik
io y
a V
VU
na
UK
IMW
I.•
T24:
Wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
wam
ezes
hwa
kusu
kum
a m
abad
iliko
ya
des
turi
za k
ijam
ii na
ngu
vu y
a m
amla
ka, p
amoj
a na
uh
usis
hwaj
i wa
wan
aum
e na
wav
ulan
a ka
tika
kulif
anyi
a ka
zi s
uala
la u
saw
a w
a ki
jinsi
a ka
tika
muk
tad
ha w
a V
VU
na
UK
IMW
I.•
M30
: Kuj
eng
a uw
ezo
wa
mas
hiri
ka m
uhim
u na
wa
waf
anya
kazi
wa
mw
itik
io w
a ki
taifa
wa
VV
U n
a U
KIM
WI k
uhus
u jin
sia.
125
Sam
baz
a M
pan
go E
ndes
haji
wa
Kiji
nsia
kw
a w
adau
muh
imu,
end
esha
maf
unzo
na
usim
amiz
i una
osai
dia
kus
haur
i Wiz
ara,
Idar
a na
Wak
ala
Hal
mas
haur
i, M
ikoa
, Waf
anya
kazi
w
ote
wa
TAC
AID
S w
akiw
emo
War
atib
u w
a M
ikoa
wa
TAC
AID
S, M
OH
SW
, NB
S, M
CD
GC
, A
BC
T, C
SO
, ya
AZ
AK
I, ku
husu
uzi
ngat
iaji
wa
mas
uala
jins
ia w
a af
ua z
a m
asua
la y
a V
VU
na
UK
IMW
I
T
Irin
ga, D
ar E
s S
alaa
m, M
bey
a,
Mar
a, S
hiny
anga
, P
wan
i, M
anya
ra
TA
CA
IDS
,N
AC
P,
MC
DG
C20
11-1
2M
P
Gha
ram
a za
usa
� ri,
maw
asili
ano,
ny
enzo
na
waw
ezes
haji
kwaa
jili y
a vi
kao
vya
unas
ihi.
Vik
ao =
$30
,000
x
mik
oa 7
=
$210
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 55
126
Sha
uri W
izar
a, Id
ara
na W
akal
a w
a se
rikal
i ku
ongo
za w
adau
wak
usan
ye n
a ku
cham
bua
d
ata
za e
limu
ya m
agon
jwa
ya m
ilip
uko
na
dat
a ze
nye
ubor
a z
ilizo
cham
bul
iwa
kwa
kufu
ata
um
ri, ji
nsi n
a ki
jiogr
a� a
ya
mak
azi
(mjin
i au
vijij
ini)
TK
itaifa
TAC
AID
S
,MO
HS
W
MC
DG
C20
11-1
2U
Gha
ram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
127
Taya
risha
mp
ango
wa
Maf
unzo
na
uwaf
und
ishe
wad
au k
uhus
u ut
oaji
kip
aum
bel
e w
a uz
inga
tiaji
wa
kijin
sia
kwen
ye
afua
zin
azoh
usu
VV
U n
a U
KIM
WI
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
MO
HS
W20
11-1
2U
Mik
utan
o ya
w
adau
na
ghar
ama
za
wat
aala
mu
elek
ezi =
$50
,000
128
And
aa m
pan
go w
a m
afun
zo n
a uw
afun
dis
he
waf
uata
o ku
husu
uto
aji k
ipau
mb
ele
kwa
uzin
gatia
ji w
a ki
jinsi
a kw
enye
afu
a zi
nazo
husu
VV
U n
a U
KIM
WI,
wat
oa h
udum
a w
a m
asua
la y
a V
VU
, Ask
ari /
Pol
isi,
Idar
a ya
M
ahak
ama,
Wan
ashe
ria, W
afan
yaka
zi w
a A
fya,
Vio
ngoz
i na
wag
anga
wa
jad
i, V
iong
ozi
wa
din
i, w
atu
wen
ye d
ham
ana
ya m
asua
la
ya V
VU
na
UK
IMW
I na
ya ji
nsia
, Kam
ati z
a B
unge
, wap
anga
mip
ango
kat
ika
Wiz
ara,
Id
ara
na W
akal
a ku
fuat
ana
na m
ikat
aba
m
uhim
u ya
kim
atai
fa n
a ki
kand
a
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
-12
U
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
129
Toa
mis
aad
a k
wa
pro
gram
u za
mae
ndel
eo
ya u
ongo
zi k
wa
ajili
ya
wan
awak
e na
w
asic
hana
wan
aois
hi n
a V
VU
na
UK
IMW
IT
Kita
ifaTA
CA
IDS
2011
-12
MP
Uku
mb
i wa
kufa
nyia
war
sha
ya m
afun
zo,
mal
azi,
usa�
ri,
nyen
zo n
a
waw
ezes
haji
$30,
000
x m
ikoa
6
= $
180,
000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)56
• M
31:K
uhim
iza
utek
elez
aji w
a ah
adi k
uwa
vite
ndo
kw
a ku
toa
fed
ha z
aid
i ili
kut
ekel
eza
sera
na
sher
ia z
ilizo
po
.
130
Bai
nish
a na
and
aa o
rod
ha y
a m
akun
di y
a w
anaw
ake
na m
itand
ao y
a w
anaw
ake
wen
ye
VV
U n
a U
KIM
WI (
WLH
IV)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CO
PH
A20
11M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
131
Yaw
ezes
he n
a ya
said
iei m
akun
di y
a w
anaw
ake
na m
itand
ao y
a w
anaw
ake
wen
ye V
VU
na
UK
IMW
I ili
kufa
nya
ufua
tilia
ji na
tat
hmin
i kat
ika
mta
zam
o w
a ha
ki z
a b
inad
amu -
Up
imaj
i wa
mah
itaji
- A
ndaa
mp
ango
kaz
i uto
kana
o na
map
end
ekez
o ya
up
imaj
i wa
mah
itaji
- Te
kele
za M
pan
go k
azi:
k.v.
m
afun
zo, v
itend
ea k
azi,
uten
gaji
maf
ungu
ya
fed
ha, U
fuat
iliaj
i na
Tath
min
i
TK
itaifa
TAC
AID
S20
11-1
2M
P
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
132
Yafu
ndis
he m
akun
di y
a w
anaw
ake
na
mita
ndao
ya
wan
awak
e W
AV
IU ji
nsi y
a ku
dai
kuh
eshi
miw
a kw
a ha
ki z
a w
anaw
ake,
w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
katik
a ku
onge
za fu
rsa
za e
limu,
hud
uma
na m
ahita
ji ya
Afy
a na
Hak
i za
Ngo
no n
a U
zazi
–(S
RH
R)
na m
asua
la y
a V
VU
na
UK
IMW
I
T WK
itaifa
, Wila
yaTA
CA
IDS
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au n
a gh
aram
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 57
EN
EO
DO
GO
LA
KIM
KA
KA
TI
4: U
TAFI
TI,
UFU
AT
ILIA
JI N
A T
AT
HM
IMI N
A U
TO
AJI
TA
AR
IFA
KW
A M
AS
UA
LA Y
A J
INS
IA N
A V
VU
& U
KIM
WI
•
T25
: Ush
ahid
i kw
a m
uda
mua
faka
up
o k
uhus
u m
ahit
aji m
ahsu
si, h
atar
i na
atha
ri k
wa
wan
awak
e, w
anau
me,
was
icha
na n
a w
avul
ana
kati
ka m
ukta
dha
wa
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI i
li ku
toa
taar
ifa b
ora
zai
di z
a ut
ekel
ezaj
i wa
sera
, pro
gra
mu
na u
teng
aji w
a ra
silim
ali
zina
zofa
a am
baz
o z
inak
uza
na k
ulin
da
haki
na
mah
itaj
i yao
.•
T26
: Via
shir
ia v
yeny
e up
atan
ifu w
a us
awa
wa
kijin
sia
vina
tum
ika
ili k
upat
a za
idi v
ipen
gel
e vy
a ki
jam
ii –
kiut
amad
uni,
kiuc
hum
i na
vya
kiel
imu
kuhu
su m
ago
njw
a ya
mili
puk
o a
mb
avyo
vin
acha
ngia
kat
ika
uhat
ari n
a ha
li ha
tari
shi
ya m
aam
buk
izi y
a V
VU
.•
M32
: Kua
ndaa
na
kutu
mia
via
shir
ia v
ya u
saw
a w
a ki
jinsi
a vi
livyo
oan
ishw
a ka
tika
kue
lew
a vi
zuri
zai
di
vip
eng
ele
vya
kija
mii
– ki
tam
adun
i, ki
uchu
mi n
a ki
elim
u m
ago
njw
a ya
mlip
uko
, vin
avyo
chan
gia
hat
ari n
a ha
li ha
tari
shi y
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
kw
a w
anaw
ake
na w
asic
hana
.
133
Fany
a up
imaj
i wa
mah
itaji
ya t
aarif
a ka
tika
mip
ango
ya
pro
gram
u za
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI a
mb
azo
zina
uta
mb
uzi w
a ki
jinsi
a,
katik
a ng
azi z
a ki
taifa
, kis
ekta
, kim
koa,
ki
wila
ya, s
ehem
u zi
nazo
toa
hud
uma
za a
fya
, na
jam
ii
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
134
Piti
a, b
ores
ha n
a fa
nya
utam
buz
i wa
kijin
sia
wa
kanz
idat
a (d
atab
ase)
ya
vias
hiria
vik
uu;
katik
a M
fum
o w
a ny
arak
a za
Kita
ifa w
a U
fuat
iliaj
i na
Tath
min
i ya
VV
U n
a U
KIM
WI,
mip
ango
na
zana
za
TOM
SH
A n
a M
oHS
W
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
MP
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au, n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
135
End
esha
uta
� ti w
a aw
ali k
ubai
nish
a u
zito
w
a vi
ashi
ria v
ya V
VU
na
UK
IMW
I vye
nye
utam
buz
i wa
kijin
sia
katik
a ng
azi y
a ki
taifa
na
rek
ebis
ha n
a /
au a
ndaa
via
shiri
a oa
nifu
vy
a us
awa
wa
kijin
sia
ili k
uele
wa
vizu
ri za
idi v
ipen
gele
vya
kija
mii,
kita
mad
uni,
kiuc
hum
i, na
kie
limu
mag
onjw
a ya
mili
puk
o vi
navy
ocha
ngia
kat
ika
hata
ri na
hal
i hat
aris
hi
ya w
anaw
ake
na w
asic
hana
kw
a ua
mb
ukiz
i w
a V
VU
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
MP
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)58
136
And
aa m
alen
go y
a vi
wan
go v
ya u
tend
aji k
wa
mw
aka
2010
-201
2 kw
a ki
la k
iash
iria
cha
VV
U n
a U
KIM
WI c
heny
e ut
amb
uzi w
a ki
jinsi
a ka
tika
ngaz
i ya
kita
ifa
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
MP
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au n
a za
w
ataa
lam
u el
ekez
i = $
50,0
00
137
Bor
esha
via
shiri
a vy
a V
VU
na
UK
IMW
I, m
ipan
go n
a se
ra z
a U
fuat
iliaj
i na
Tath
min
i vy
a se
kta,
mik
oa, w
ilaya
, Mfu
mo
wa
Taar
ifa
za A
fya
katik
a ja
mii,
sek
ta b
inaf
si, n
a as
asi m
iam
vuli
za A
ZA
KI,
ili v
yote
viw
e na
ut
amb
uzi w
a ki
jinsi
a
W, M
, KIS
, H
FK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
, RA
S,
CM
AC
s, D
MO
, A
BC
T, a
sass
i m
iam
vuli
za
AZ
AK
I
2011
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
• M
33: K
uzin
gat
ia ji
nsia
kat
ika
shug
huli
zote
za
Ufu
atili
aji n
a Ta
thm
ini
wa
mas
uala
ya
VV
U n
a U
KIM
WI k
atik
a ng
azi z
ote
.
138
And
aa n
a te
kele
za M
pan
go w
a U
fuat
iliaj
i na
Tat
hmin
i una
otok
ana
na s
hugh
uli z
a ka
wai
da
za u
fuat
iliaj
i, ta
thm
ini n
a ut
a� ti
zi
lizoo
rod
hesh
wa
kwen
ye M
pan
go E
ndes
haji
wa
Kiji
nsia
kw
a aj
ili y
a M
witi
kio
wa
VV
U
Tanz
ania
Bar
a
TK
itaifa
TAC
AID
S20
11M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
139
Anz
isha
mifu
mo
ya k
itaifa
ya
ukus
anya
ji d
ata,
uc
ham
buz
i na
uto
aji t
aarif
a ku
husu
mas
uala
ya
Uka
tili w
a K
ijins
iaT
Kita
ifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
MO
HS
W,
Was
imam
izi
wa
utek
elez
aji
wa
sher
ia
2011
-M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
140
Anz
isha
hifa
dhi
za
kita
ifa z
a ku
taar
ifu s
era
na p
rogr
amu
za k
itaifa
, zen
ye k
uony
esha
uh
usia
no k
ati y
a m
aam
buk
izi y
a V
VU
na
aina
tof
auti
za U
katil
i wa
Kiji
nsia
dhi
di
ya w
anaw
ake,
wan
aum
e, w
asic
hana
na
wav
ulan
a
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
MO
HS
W,
Was
imam
izi
wa
utek
elez
aji
wa
sher
ia
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 59
M34
: Kua
ndaa
ush
ahid
i wen
ye u
bo
ra n
a id
adi w
a m
ahit
aji m
ahsu
si, h
atar
i na
atha
ri k
wa
wan
awak
e na
was
icha
na k
atik
a m
ukta
dha
wa
VV
U
na U
KIM
WI.
141
Asa
si z
a w
anaw
ake
na m
itand
ao y
a w
anaw
ake
WA
VIU
zis
hirik
iane
na
serik
ali
kufa
nya
uta�
ti n
a ku
cham
bua
ush
ahid
i w
enye
ub
ora
na w
a
idad
i wa
mah
itaji
mah
usus
i, ha
tari
na a
thar
i kw
a w
anaw
ake
na w
asic
hana
kat
ika
muk
tad
ha w
a V
VU
na
UK
IMW
I (ka
ma
sehe
mu
ya M
apiti
o ya
P
amoj
a ya
Mw
itiki
o w
a K
itaifa
wa
VV
U n
a U
KIM
WI n
a uu
ndw
aji w
a m
ipan
go m
ikak
ati
mip
ya)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
NA
CP,
M
CD
GC
2011
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
142
Pim
a at
hari
za
njia
za
king
a zi
fuat
azo
kwa
wan
awak
e y
aani
(i) t
ohar
a kw
a w
anau
me
(ii) u
ta� t
i una
oend
elea
kuh
usu
njia
za
king
a zi
nad
hib
itiw
a na
wan
awak
e w
enye
we
TK
itaifa
TAC
AID
S,
, Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2011
-M
P
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
143
Mita
ndao
ya
wan
awak
e W
AV
IU in
apan
ga
na k
upim
a m
aend
eleo
kat
ika
mik
atab
a ya
ki
mat
aifa
ya
usaw
a w
a ki
jinsi
a na
hak
i za
bin
adam
u kw
a w
anaw
ake
na w
asic
hana
ka
ma
mch
ango
kat
ika
utoa
ji ta
arifa
wa
Mal
engo
ya
Mae
ndel
eo y
a M
ileni
a (M
DG
s)
TK
itaifa
TAC
AID
S, ,
M
itand
ao y
a w
anaw
ake
WA
VIU
, M
akun
di y
a ha
ki, W
izar
a,
Idar
a, W
akal
a (M
DA
s)
2011
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au, m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)60
144
Fany
a ut
a� ti
shi
rikis
hi w
a ki
maa
dili
wa
hali
hata
rishi
na
mah
itaji
ya m
akun
di m
aalu
mu
(waf
anya
kazi
wa
ngon
o w
a ki
ke, w
atum
ia
daw
a za
kul
evya
, wat
u w
enye
tab
ia z
a ki
ngon
o zi
sizo
za
kaw
aid
a ka
tika
jam
ii,
wac
huuz
i, w
afan
yaka
zi w
anao
ham
aham
a,
mad
erev
a w
a m
agar
i mak
ubw
a ya
mas
afa
mar
efu,
waa
thiri
ka w
a m
ajan
ga, w
avuv
i, w
afan
yaka
zi w
a se
kta
isiy
o ra
smi)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
, Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2011
MP
Gha
ram
a za
M
ikut
ano
ya
wad
au,
mal
ipo
ya w
ataa
lam
u el
ekez
i, us
a� r
i na
mal
azi =
$1
50,0
00
145
Fuat
ilia
mat
umiz
i ya
rasi
limal
i zili
zote
ngw
a kw
a aj
ili y
a p
rogr
amu
zina
zohu
su w
anaw
ake,
w
asic
hana
, usa
wa
wa
kijin
sia
na m
asua
la
ya V
VU
kw
a ku
piti
a up
imaj
i wa
kita
ifa
wa
mat
umiz
i kw
a aj
ili U
KIM
WI,
amb
ao
unao
zing
atia
jins
ia (N
AS
A)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
, Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2011
-20
12M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
146
Fuat
ilia,
na
fany
a m
ajad
ilian
o ku
husu
asi
limia
ya
maf
ungu
ya
fed
ha a
mb
ayo
yana
wa�
kia
w
anaw
ake
moj
a kw
a m
oja
kuto
ka k
atik
a m
afun
gu y
a fe
dha
yan
ayot
olew
a na
taa
sisi
za
fed
ha k
ama
rap
id fu
ndin
g en
volo
pe
(RFE
), fo
und
atio
n fo
r ci
vili
soci
ety
(FC
S),
TAS
AF.
TK
itaifa
TAC
AID
S,
, Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2011
-12
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$150
,000
147
Fany
a ta
thm
ini y
a m
wis
ho w
a m
usua
la y
a
utek
elez
aji w
a M
pan
go E
ndes
haji
wa
Kiji
nsia
kw
a A
jili y
a M
witi
kio
wa
VV
U T
anza
nia
Bar
aT
Kita
ifaTA
CA
IDS
2012
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri n
a m
alaz
i = 2
50,0
00
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 61
148
Anz
isha
kiji
tab
u ch
a m
wak
a ki
taka
choh
usu
mas
uala
ya
jinsi
a na
VV
U n
a U
KIM
WI,
amb
acho
kita
kuw
a na
tak
wim
u m
uhim
u za
m
fulu
lizo
kuhu
su s
uala
hili
, zik
itum
ika
dat
a m
pya
kul
iko
zote
zin
azow
eza
kup
atik
ana
kuto
ka k
wen
ye s
hugh
uli z
a ka
ribun
i kad
iri
inav
yow
ezek
ana
za u
chun
guzi
na
uta�
ti
TK
itaifa
TAC
AID
S20
11-1
2M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
M35
: Kuj
umui
sha
ucha
mb
uzi w
a jin
si u
go
njw
a hu
u un
avyo
athi
ri w
anaw
ake
na w
asic
hana
, iki
wa
ni s
ehem
u ya
map
itio
ya
pam
oja
ya
mw
itik
io
wa
taifa
na
kutu
mia
taa
rifa
ya
kim
kaka
ti k
wa
ajili
ya
uund
aji
wa
mip
ang
o m
ikak
ati y
a ki
taifa
, maw
asili
ano
na
kujif
unza
.
149
Kus
anya
na
unga
nish
a t
aarif
a ya
jins
i m
lipuk
o hu
u un
avyo
waa
thiri
wan
awak
e na
w
asic
hana
ikiw
a ka
ma
sehe
mu
ya t
athm
ini y
a m
wis
ho w
a m
uhul
a w
a N
MS
F
TK
itaifa
TAC
AID
S,
Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2012
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
150
Tum
ia t
arifa
hiy
o ku
chan
gia
katik
a uu
ndw
aji
wa
NM
SF
3 na
HS
SP
4T
Kita
ifaTA
CA
IDS
, M
HO
SW
2012
MP
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
151
Kw
a ku
shiri
kian
a na
mak
und
i na
mita
ndao
ya
wan
awak
e, s
erik
ali i
and
ae t
aarif
a za
CE
DA
W4
(Taa
rifa
ya s
erik
ali n
a m
akun
di y
a w
anaw
ake
– Ta
arifa
kiv
uli y
a A
ZA
KI)
TK
itaifa
TAC
AID
S,
Mita
ndao
ya
WLH
IV,
Mak
und
i ya
haki
, Wiz
ara,
Id
ara,
Wak
ala
(MD
As)
2011
-20
12M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)62
152
Tum
ia d
ata
iliyo
kusa
nyw
a ili
kua
ndaa
taa
rifa
mka
kati,
and
aa u
jum
be
muh
imu;
wa
utet
ezi
na m
iitik
io m
akin
i ya
mas
uala
ya
ukat
ili w
a ki
jinsi
a
TK
itaifa
TAC
AID
S,
MC
DG
C,
NA
CP
2011
-20
12M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
153
Fuat
ilia,
hifa
dhi
na
bad
ilish
ana
uzoe
fu n
a ta
ratib
u b
ora
katik
a m
afun
zo y
aliy
opat
ikan
a,
kwa
ajili
ya
upan
uzi w
a el
imup
ana
ya S
RH
R
na s
tad
i za
mai
sha
kwa
ajili
ya
vija
na n
chi
nzim
a ki
taifa
TK
itaifa
MO
EV
T,
TAC
AID
S,
MO
HS
W,
2011
-20
12M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
154
Shi
riki k
atik
a uf
uatil
iaji,
uhi
fad
hi n
a ub
adili
shan
aji w
a uz
oefu
mio
ngon
i mw
a se
rikal
i kuh
usu
upan
uzi w
a el
imu
jum
uish
i ya
ujin
sia
kwen
ye n
gazi
ya
kika
nda.
KT
EA
C, S
AD
C, A
UTA
CA
IDS
, M
CD
GC
, M
OH
SW
2011
-20
12M
P
Gha
ram
a za
m
ikut
ano
ya
wad
au m
alip
o ya
wat
aala
mu
elek
ezi,
usa�
ri
na m
alaz
i =
$100
,000
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 63
5. MFUMO WA MENEJIMENTI NA KITAASISI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA
Mfumo wa kimenejimenti na kitaasisi wa Mpango huu unakwenda sambasamba na miundo
iliyopo, yaani ngazi ya taifa, mkoa na serikali za mitaa juu ya mwitikio wa VVU na UKIMWI.
Mpango huu unatoa mwongozo thabiti katika maeneo yafuayo; uratibu, ufanisi, uwazi,
uwajibikaji na uongozi endelevu ambapo wadau wa umma, binafsi na AZAKI wanahusishwa.
Utekelezaji wa shughuli zilizo katika Mpango huu unasimamiwa na kuratibiwa na Tume ya
Kudhibiti UKIMWI Tanzania kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika miundo tofauti na
ngazi mbalimbali. Kwa mfano ngazi ya mkoa, halmashauri za wilaya, jumuia na taasisi
zinazotoa huduma za afya
5.1 Wabia wa Maendeleo juu ya Masuala ya UKIMWI katika Ngazi ya Kitaifa
Wabia wa Maendeleo kuhusu UKIMWI na Mpango wa Kimataifaa wa Kudhibiti UKIMWI
(UNAIDS) wanatoa michango ya kitaalamu , fedha na vifaa katika utekeleza wa shughuli
zilizomo katika Mpango huu, kama sehemu ya mwitikio wa kitaifa wa masuala ya VVU na
UKIMWI.
5.2 Ngazi ya Taifa
O� si ya Waziri Mkuu ni mamlaka ya juu ya kusimamia mwitikio wa kitaifa wa masuala ya VVU
na UKIMWI katika ngazi ya kitaifa, chini ya uratibu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI. Pamoja
na jukumu la uratibu, Tume hiyo hufanya kazi kwa ushirikiano na wizara zifuatazo: Wizara
ya Afya na Ustawi wa Jamii , Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto, O� si ya
Waziri Mkuu– TAMISEMI, na wadau wengine katika uwezeshaji wa kuwepo kwa majukumu
yafuatayo katika utekelezaji wa Mpango huu:
A Uratibu, mipango, uhamasishaji wa upatikanaji rasilimali, ufuatiliaji na tathmini ili
kuchangia taarifa kuhusu utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu.
B Kuimarisha uhusiano na majukumu ya kiupatanifu ya watu wenye mwakilishi wa dawati
la jinsia na wale wenye dhamana ya masuala ya VVU na UKIMWI kwa kuhakikisha
kuwa kazi zao zinatekelezwa kwa njia ya ushirikiano.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)64
C Kuweka na kusimamia msaada wa kitaalamu katika ngazi za mkoa na ngazi nyingine za
chini.
D Kuwapa wataalamu jukumu la kufanya uta� ti unaohusiana na mwitikio wa masuala ya
kijinsia na yale ya VVU na UKIMWI na kusambaza matokeo ya uta� ti huo
E Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye
mwitikio kijinsia.
Mwitikio wa kijinsia wa kimkakati unaohusiana na masuala ya VVU na UKIMWI vilivyomo
katika Mpango huu vinaratibiwa na kurugenzi husika ndani ya Tume ya kudhibiti UKIMWI
ambazo zinafanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu na Mshauri wa masuala ya jinsia (Tume)
na o� sa wa masuala ya jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
. Kurugenzi hizi ni: Mwitikio wa Taifa, Habari na utetezi na taarifa, fedha na Ukusanyaji
Rasilimali, Sera na Mipango, na Ufuatiliaji na Tathmini. Kwa kuwa Jinsia ni suala mtambuka,
timu ya wataalamu wa Jinsia ambayo ni kamati ndogo ndani ya kikosi cha kitaalamu cha
eneo la kimkakati la mazingira wezeshi ina jukumu la kusimamia na kutoa taarifa kuhusu
uongozi, menejimenti, utekelezaji na maendeleo ya utekelezaji wa Mpango huu kwa ajili ya
Mwitikio wa VVU Tanzania Bara.
5.3 Wizara, Idara na Mawakala Kitaifa
Wizara, Idara na Wakala mbalimbali wanaimarisha utekelezaji wa shughuli za masuala ya
VVU na UKIMWI zenye mwelekeo wa kijinsia katika sekta zao kupitia:
A Kuhakikisha kuwa shughuli zenye mwitikio wa kijinsia zinazohusiana na masuala
ya VVU na UKIMWI zilizomo katika Mpango huu zinajumuishwa na kutekelezwa
kupitia mipango na bajeti zao za kisekta kama sehemu ya ushughulikiaji wa masuala
yanayohusiana na ufanisi wa wafanyakazi pamoja na kazi za mashirika na utohoaji wa
programu kufuatana na mabadiliko ya athari za masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI
(external mainstreaming).
B Kupitia kuimarisha na kupatanisha majukumu na kazi za kamati za kitaalamu na timu
za masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI katika sekta ili kuepuka marudio ya jitihada na
kuboresha ushirikiano.
C Kukusanya misaada ya kifedha, kiutaalamu na nyenzo kwa ajili ya afua za VVU na
UKIMWI zinazozingatia kijinsia.
D Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, programu na mifumo yake hutoa stadi maalumu
na uangalizi wa kitaalamu na kuimarisha uwezo, uta� ti, uchunguzi na upelelezi kuhusu
vipengele vya kiafya vinavyozingatia jinsia kuhusu VVU na UKIMWI.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 65
E Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na programu na mifumo yake hutoa
stadi maalumu na uangalizi wa kitaalamu na uimarishaji wa uwezo kuhusu masuala ya
kijinsia.
F Taasisi za Elimu ya Juu zikiratibiwa na Tume ya Kudhibiti VVU na UKIMWI , kutoa msaada
wa kitaalamu kwa wadau katika utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu
wa kijinsia kwa ajili ya Mwitikio wa VVU Tanzania Bara.
5.4: Sekretarieti za Kiutawala za Mikoa
Sekretareti za Kiutawala za mikoa ni muhimu sana katika uratibu wa utekelezaji wa shughuli
zilizomo katika Mpango huu wa Uendeshaji, katika ngazi za mikoa na za Mamlaka za Serikali
za Mitaa. Wajibu wa sekretarieti katika utekelezaji wa Mpango huu wa Uendeshaji ni pamoja
na:
A Uratibu wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zinazozingatia jinsia.
B Kushauri wadau wa wilaya kuhusu masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI.
C Kubadilishana taarifa kuhusu mila na desturi zinazozingatia jinsia katika masuala ya
VVU na UKIMWI katika wilaya.
D Kuhakikisha kuwa shughuli zinazozingatia jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI
zinajumuishwa kwenye Mipango ya Halmashauri ya Masuala Jumuishi ya Afya (CCHPs)
E Kuzipatia wilaya miongozo na sera za kutumia katika mipango na kutekeleza afua za
VVU na UKIMWI zenye mtazamo wa kijinsia. Ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa
afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia utakaofanywa na
wilaya.
5.5 Mamlaka za Serikali za Mitaa
Wakurugenzi wa Wilaya wanafanya kazi kwa ushirikiano na vyombo husika vinavyoratibu
masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI katika ngazi zao, kuratibu na kusimamia mipango
na utekelezaji wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia katika
mamlaka zao. Vyombo vinavyoratibu masuala ya VVU vilivyo chini ya Mamlaka za Serikali za
Mitaa, kama vile Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Vijiji, Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Kata,
Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Halmashauri huratibu na kuongoza afua za VVU na UKIMWI
zinazozingatia jinsia katika maeneo yao husika.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)66
5.6 Asasi za kiraia AZAKI zikijumuisha asasi zisizo za Kiserikali (AZISE),
asasi za Kidini na asasi za kijamii .
AZAKI huchangia juhudi za serikali katika utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zinazohusu
masuala ya kijinsia pamoja na kufanya ufuatiliaji na uhamasishaji wa sera za VVU na
UKIMWI. AZAKI mbalimbali zikijumuisha wanachama wa kundi la ushauri wa masuala
ya kijinsia hutoa ushauri wa kitaalamu kwenye shughuli zinazohusu ufuatiliaji na utetezi
wa sera. Katika utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zenye mwitikio wa kijinsia kwa
kutumia Mpango huu, AZAKI zinaratibiwa na kupewa msaada wa kitaalamu kwa kupitia
mitandao inayowaunganisha (umbrella) kwa kushirikiana na vitengo vya uratibu vya serikali
katika ngazi zote. Makundi na mitandao inayotoa huduma na msaada kwa wenye VVU
miongoni mwa AZAKI, huwa na jukumu mahsusi katika ufuatiliaji na utetezi wa masuala ya
kijinsia yanayohusiana na haki za binadamu na sera za VVU na UKIMWI.
5. Sekta Binafsi
Katika kusaidia utekelezaji wa shughuli za VVU na UKIMWI zinazohusiana na masuala
ya kijinsia kwenye Mpango huu, sekta ya biashara iliyo chini ya uratibu wa umoja wa
wafanyabiashara kuhusu UKIMWI Tanzania inaendelea kuwezesha upatikanaji wa rasilimali
kwa ajili ya tiba na matunzo, utoaji wa taarifa mbalimbali zinazohusiana na masuala ya
jinsia, VVU na UKIMWI pamoja na wataalamu inawezesha katika kufungua mianya ya
mawasiliano ili kuwezesha ufuatiliaji wa masuala ya VVU na UKIMWI yanayohusiana na
jinsia. Sekta isiyo rasmi pia hushirikiana kwa karibu na Wizara ya Kazi katika kutekeleza
shughuli zilizomo katika Mpango huu.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 67
6. UFUATILIAJI NA TATHMINI.
Utekelezaji wa shughuli zilizomo katika mpango huu hufuatiliwa, kutathminiwa na kutolewa
taarifa chini ya mfumo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI
(HIV-MES) unaojumuisha sekta mbalimbali zinazohusika na masuala ya VVU na UKIMWI .
Shughuli za utoaji taarifa ya Ufuatiliaji na Tathmini zinaendana na lengo la HIV-MES ambalo
ni ‘Kutumia ushahidi ulio dhahiri na kwa wakati katika masuala yanayohusiana na mipango
na maamuzi kuhusu masuala ya VVU’. Shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini kwa ajili ya afua
za masuala ya kijinsia na VVU na UKIMWI zimeainishwa katika vipengele kumi na mbili vya
mfumo wenye ufanisi bora wa Ufuatiliaji na Tathmini wa kitaifa kama ifuatavyo:
6.1 Shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini zilizomo katika Mpango huu zinaratibiwa na
Kurugenzi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya TACAIDS. Shughuli zote za utoaji huduma
hufanywa na wadau wa ngazi zote kama ilivyokubaliwa na TACAIDS na kikosi kazi
cha wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini (M&E TWG).
6.2 Ujuzi na maarifa wa stadi za ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za VVU na UKIMWI
zinazozingatiaji jinsia, huimarishwa katika ngazi za kitaifa, zisizo za kitaifa, na katika
ngazi ya utoaji wa huduma. Uimarishaji huu wa uwezo kwa rasilimali watu hufanywa
katika misingi ya upimaji wa uwezo kuhusu Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini
na Mpango wa kuimarisha uwezo ulioandaliwa na na wadau wengine.
6.3 Timu ya ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini ndani ya Tume, inajumuisha
masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI katika maeneo makuu yaliyoanishwa. Pia,
inajumuisha wawakilishi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto katika
uanachama wake. Timu hii inaratibu na kusimamia shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini
za masuala ya VVU na UKIMWI zinazohusiana na jinsia katika ngazi zote kitaifa na
katika nyanja ya utoaji wa huduma.
6.4 Tayari mfumo wa ufuatiliaji na tathmini wa VVU na UKIMWI umeshaonesha jinsi
viashiria vya masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI vinavyoweza kupatikana, pamoja na
vyanzo vyake vya data. Vilevile timu ya wataalamu inatambua shughuli za Kimkakati
za Ufuatiliaji na Tathmini za VVU na UKIMWI zinazohusiana na masuala ya kijinsia na
kuzijumuisha katika mipango kazi ya wadau na TACAIDS.
6.5 Kikosi kazi cha wataalamu wa ufuatiliaji na tathimini kinaendelea kusistiza shughuli
na mipango ya ufuatiliaji na tathmini na shughuli zinazozingatia masuala ya jinsia,
pamoja na hayo, kikosi hiki kinahakikisha kwamba zana zinazotumika kwa uta� ti
na uchunguzi, zinazingatia jinsia katika shughuli za VVU na UKIMWI. Vilevile za
ufuatiliaji wa mara kwa mara zimeandaliwa kuweza kukusanya taarifa kuhusu jinsia
na VVU na UKIMWI. Taarifa zote zinahifadhiwa kwenye kanzidata (data base) ya
taifa inayoratibiwa na TACAIDS.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)68
6.6 Pia, Tume TACAIDS) huimarisha ubora wa data za jinsia na VVU na UKIMWI, wakati
huohuo hutoa usaidizi na ukaguzi wa data wa mara kwa mara. Kila mwaka, timu
ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini na TACAIDS huorodhesha mahitaji na
vipaumbele vinavyohusiana na uta� ti na mafunzoa. Wakati huo huo, kikosi cha
wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini na Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania ,
hujumuisha taarifa zote kuhusu jinsia, VVU na UKIMWI kwenye taarifa ya ujumla ya
masuala ya VVU na UKIMWI ambazo husambazwa kwa wadau ambao huhimizwa
kuzitumia wakati wa kupanga na kutekeleza afua za masuala ya VVU na UKIMWI
kwa kuzingatia jinsia.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 69
7. VIKWAZO NA MIKAKATI YA KUEPUKA ATHARI ZITAKAZOJITOKEZA KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO UENDESHAJI.
Mpango huu unaweza kurithi vikwazo visivyozuilika vikiwemo vikiwa ni pamoja na : kukosa
ushirikiano wa kutosha kutoka kwa uongozi kwa ajili ya utekelezaji, uwezo ha� fu wa
utekelezaji, ushirikiano ha� fu wa wadau, na uchelewaji wa fedha au utoaji wa fedha
zisizotosha kwa ajili ya afu. Tume pamoja na wadau wengine wamepanga hatua za
kuchukua ili kupunguza makali ya vikwazo vinavvyoweza kujitokeza kama ifuatavyo:
7.1 Uwezekano wa kukosa ushirikiano wa kutosha katika uratibu kwa ajili ya utekelezaji
wa mpango huu ni mdogo ukizingatia kuwa serikali, Wizara, Idara na Wakala za
serikali, sekta binafsi na wadau wote wamedhamiria kupambana na VVU na UKIMWI
kwa kuzingatia jinsia. Endapo hali hii itatokea, inaweza kuleta athari kubwa. Tume na
wadau wake wataendelea kuhimiza na kudumisha majadiliano ya mara kwa mara
miongoni mwa washirika wake katika ngazi zote ili kudumisha ushirikiano wa uratibu
katika utekelezaji wa shughuli za mpango huu.
7.2 Uwezekano wa kukwama kwa utekelezaji kutokana na uhaba wa wataalamu ni
mdogo ukizingatia kuwa watendaji mbalimbali wamejengewa uwezo wa kutosha
katika nyanja ya jinsia , VVU na UKIMWI. Upungufu wowote utakaojitokeza utafanyiwa
kazi kadri itakavyoonekana inafaa. Tume , wabia wa maendeleo na wadau wengine
wataendelea kutoa msaada wa kitaalamu na kuboresha uwezo kwa watendaji
mbalimbali wa shughuli ziliozanishwa katika mpango huu.
7.3 Uwezekano wa wadau kutokutoa ushirikiano wa kutosha ni mdogo kwani majadiliano
na mipango ya awali ya kazi imedhihirisha kuwa wadau wote katika sekta zote wako
tayari kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kupanga na kutekeleza afua za
VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia. Tume itaendelea kushirikiana na wadau ili
kuendeleza utaratibu na mfumo wa uratibu wa pamoja katika utekelezaji wa shughuli
za mpango huu.
7.4 Uwezekano wa ucheleweshaji au ukosefu wa fedha za kutosha katika utekelezaji wa
afua za mpango huu ni mdogo kwani kuna fedha zilizotengwa katika ngazi ya Taifa
kwa ajili ya uratibu na usimamizi wa shuguli za VV na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia,
hata hivyo Tanzania ni nchi kubwa hivyo kufanya ugumu wa kupata fedha za kutosha
kwa jaili ya kutekeleza shughuli zote zilizomo katika Mpango huu katika wilaya na
vijiji vyote nchini, ucheleweshaji wa fedha unaweza kufanya baadhi ya shughuli hizi
kutofanyika kama ilivyopangwa. Tume ya kudhibiti UKIMWI itaendelea kufanya kazi
na wadau wengine katika kushawishi wadau kutimiza ahadi zao kwa wakati muafaka
ili kufanikisha utekelezaji wa shughuli zilizomo kwenye mpango huu.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)70
8. HITIMISHO
Mpango huu Endeshaji wa Kijinsia kwa Ajili ya mwitikio wa VVU, Tanzania Bara, utabidi utekelezwe
katika kipindi cha kutokea mwaka 2010 hadi mwaka 2012, kama zana ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI
Tanzania na wabia wake ya kuzidisha uratibu na usimamizi wa shughuli za VVU na UKIMWI zenye
zinazozingatia jinsia zinazofanywa na wadau mbalimbali kwenye ngazi za kitaifa hadi chini kabisa
katika ngazi ya jamii kwenye vituo vya utoaji wa huduma. Mpango huu Endeshaji utapitiwa tena
i� kapo mwaka 2013 toleo la pili litakuwa limeundwa, ambalo litajumuisha na kizazi cha tatu cha
NMSF 3 ambacho kitakuwa kimekwishaundwa kwa wakati huo.
TACAIDS inahakikisha kuwa rasilimali za kutosha zinakusanywa na mashirika yanayowajibika
kwa utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu Endeshaji yanazifanya shughuli hizi kwa
kiwango cha upeo wa juu kadiri inavyowezekana. TACAIDS hutoa msaada wa usimamizi ambapo
haja ni kutatua masuala na changamoto zinazokubaliwa katika shughuli za utekelezaji zilizomo
katika Mpango huu.
Kila mwaka TACAIDS huandaa mikutano ya wadau ya kupitia utekelezaji wa shughuli katika
Mpango huu Endeshaji. Mkutano huu wa kila mwaka hutoa utatuzi wa changamoto na shughuli
zilizopendekezwa ili kuzidisha utekelezaji wa shughuli za VVU zenye utambuzi wa kijinsia.
Utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu Endeshaji wa Mwitikio wa VVU Tanzania
Bara huwasababisha wadau kushughulikia; tofauti zinazozohusiana na jinsia, kutokuwa na usawa,
masuala na mahitaji ya jamii ndani ya Tanzania Bara.
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 71
Kiambatisho A:
ORODHA YA MASHIRIKA YALIYOCHANGIA
ORODHA YA MASHIRIKA YALIYOCHANGIA:
UMOJA WA WAFANYABIASHARA KUHUSU UKIMWI NCHINI TANZANIA(ABCT)
BARAZA KUU LA WAISILAMU TANZANIA(BAKWATA)
CAMFED TANZANIA
CENTRE FOR ADVOCACY AND EMPOWERMENT (CADEM)
TUME YA HUDUMA ZA KIJAMII YA KIKRISTO (CSCC)
ENGENDER HEALTH CHAMPION
UBALOZI WA IRELAND
ECONOMIC AND SOCIAL RESEARCH FOUNDATION (ESRF) TANZANIA
FAMILY HEALTH INTERNATIONAL (FHI)
GENSAT
GERMAN DEVELOPMENT COOPERATION/TANZANIA GERMAN PROGRAMME FOR
SUPPORT TO HEALTH (GTZ/TGPSH)
HEALTHSCOPE TANZANIA
MKUU WA WILAYA YA ILALA
CHUO KIKUU CHA JOHNS HOPKINS(JHU)
WAELIMISHA RIKA, KIMARA
HUDUMA YA KINGA KWA VIJANA, KIMARA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI
KITUO CHA KISHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC)
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO (MCDGC)
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI (MoEVT)
MOLO SAYUNI
MKUU WA WILAYA, MUFINDI
BARAZA LA TAIFA LA WATU WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI(NACOPHA)
MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (NACP)
TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA(TACAIDS)
MTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP)
TANZANIA WOMEN OF IMPACT FOUNDATION (TAWIF)
CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA (TAWLA)
HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE
HALMASHAURI YA WILAYA TEMEKE
KAMPUNI YA MASOKO NA MAWASILIANO TANZANIA(T-MARC)
MTANDAO WA WANAWAKE WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI TANZANIA (TNW+)
TANZANIA GERMAN PROGRAMME FOR SUPPORT HEALTH / PREVENTION AND
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)72
AWARENESS IN SCHOOLS OF HIV/AIDS/ MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL
TRAINING (TGPSH/PASHA/MOEVT)
UKONGA
MFUKO WA WANAWAKE WA UMOJA WA MATAIFA (UNIFEM)
MPANGO WA UMOJA WA MATAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (UNAIDS)
SHIRIKA LA MAENDELEO LA MAREKANI(USAID)
YOUTH PARENT CRISIS COUNSELING CENTRE (YOPAC)
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 73
KIAMBATISHO B:
ORODHA YA KIKOSI KAZI CHA WATAALAMU WALIOFANIKISHA MPANGO HUU
Orodha ya wanajumuia katika kikundi kazi, kwa kufuata alfabeti:
1. Achilles Ndyalusa MCDGC
2. Andulile Kanza AMREF
3. Annmarie Mavenjina TAWLA
4. Ben Awinda Mhariri
5. Betty Malaki TACAIDS
6. Bruno Masumbuko GTZ
7. Eliazary Nyagwaru TACAIDS
8. Emebet Admassu UNAIDS
9. Fatma Mrisho TACAIDS
10. Geofrey Chambua Mtaalamu elekezi
11. Jackson Marcel Kwingwa CADEM
12. James Wandera Ouma TNW+
13. Japhace T. Daudi TACAIDS
14. Jerome Kamwela TACAIDS
15. Julie Tumbo Mtaalamu Elekezi
16. Juster K. Rutabba Muuguzi Kigoma
17. Lena Mfalila NACP
18. Neema Duma TGNP
19. Pili Mtauchila Halmashauri ya Manispaa Temeke
20. Raphael Kalinga TACAIDS
21. Benedict Raymond Mangulu MOEVT/PASHA
22. Sakina Othman TACAIDS
23. Salome Anyotti UNIFEM
24. Subilaga Kasesela Kaganda TACAIDS
25. Steven Wandella TACAIDS
26. Vera Mdai TACAIDS
27. Vida Mwasalla GTZ
28. Laura Skolnik PEPFAR
29. Ludovica Tarimo USAID
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)74
Kiambatisho C:
ORODHA YA MAREJEO
AMREF consortium, GFR9 concept note, 2009.
Civil Service data, June 2009.
LHRC. Tanzania Human Right Report, 2007.
Ministry of Health and Social Welfare, The National Road Map Strategic Plan,Plan one, April
2008.
Norwegian working group on HIV&AIDS awareness raising folder, 2001.
TACAIDS, Gender Audt on Tanzania National response to HIV&AIDS 2009.
TACAIDS, HIV prevention strategy for Tanzania Mainland, 2009.
TACAIDS, NMSF, 2008-2012
TACAIDS et.al, Tanzania HIV&AIDS and Malaria Indicator Survey (THMIS), 2007-2008.
UNAIDS, Agenda for Accelerated Country Action for Women, girls, Gender Equality and HIV,
2010.
URT, Analitical Report for integrated Labour force Survey (ILFS), 2006.
(Footnotes)1 LHRC, Tanzania Human Rights Report, 2007
2 Civil Service data by June 2009
3 MOJCA is Ministry of Justice and Constitutional Affairs
4 CEDAW ni mkataba wa kimataifa wa kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 75
MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)76
TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)Old Boma Building, Morogoro Road / Sokoine Drive
P.O. Box 76987 Dar es Salaam
Tel: +25522 2122651 / 2125651 Fax: +255 22 2125127
Email: [email protected]
Website: www.tacaids.go.tz