92
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

  • Upload
    others

  • View
    37

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) a

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA

(2010-2012)

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS)

Page 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)b

Page 3: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) i

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU,

TANZANIA BARA(2010-2012)

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA

Dar Es Salaam, Tanzania

Desemba 2010

Page 4: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)ii

Page 5: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) iii

Yaliyomo

Dibaji iv

Shukrani vi

Vifupisho vilivyotumika katika Mpango Uendeshaji ix

Maana ya maneno muhimu yaliyotumika x

Muhtasari Mahsusi xii

1. Utangulizi na Usuli 1

2. Mpango Uendeshaji wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU Tanzania Bara 3

3. Mkakati wa Jinsia na Masuala ya VVU na UKIMWI katika Tanzania Bara 8

Maeneo makuu ya kimkakati

3.1. Kinga; Uzuiaji wa Uenezwaji wa VVU 8

3.2. Eneo kuu la kimkakati:tiba, matunzo na msaada 17

3.3. Eneo kuu la kimkakati kupunguza makali ya athari za UKIMWI 19

3.4. Eneo kuu la kimkakati Kuweka mazingira wezeshi 21

4. Mpango Kazi wa kijinsia wa shughuli za masuala ya VVU na UKIMWI

zenye mwitikio wa kijinsia 25

5. Muundo wa kitaasisi 63

6. Ufuatiliaji na Tathmini 67

7. Hatari zilizopo na mikakati ya upunguzaji wa makali 69

8. Hitimisho na njia ya kusonga mbele 70

Viambatisho:

Kiambatisho A: Orodha ya mashirika yaliyochangia 71

Kiambatisho B: Orodha ya wanajumuiya waliochangia 73

Kiambatisho C: Orodha ya rejea 74

Page 6: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)iv

Dibaji

Uhusiano wa kijinsia, hali ya kutokuwepo usawa, ukatili na ubaguzi ni baadhi ya vipengele

vilivyobainishwa katika kuchochea kuenea kwa VVU nchini Tanzania. Ta� ti zinazohusu viashiria vya

VVU na Malaria Tanzania za 2003/2004 na 2007/2008 zinaonesha kuwa kiwango cha maambukizo

ya VVU Tanzania Bara miongoni mwa watu wazima wenye umri kati ya miaka 15 – 49, kimeshuka

kutoka asilimia 7.0 hadi 5.7, ambapo wanawake wameathirika zaidi kwa kiwango cha 6.6%

kulinganisha na 4.6% kwa wanaume. Ta� ti hizi mbili, zinaonesha kwamba kupungua kwa kiwango

cha maambukizo ya VVU ni asilimia 6.3 na 7.7 hadi 4.6% na 6.6% kwa wanaume na wanawake

kwa mfuatano huo. Hii inaashiria umuhimu wa kuwa na mtazamo wa kijinsia katika utekelezaji wa

Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI ambao umeainisha maeneo makuu manne ya vipaumbele,

ambayo ni; kinga, tiba, matunzo na msaada, kupunguza makali ya athari za UKIMWI na mazingira

wezeshi.

Kufuatana na hayo, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania ikiwa ni chombo cha kuratibu mwitikio

wa Kitaifa wa VVU na UKIMWI, imeandaa Mpango wa Kijinsia kwa Ajili ya Mwitikio wa VVU,

Tanzania Bara ili kuongoza na kushauri wadau jinsi ya kuhakikisha kuwa afua zote za VVU na

UKIMWI zinatekelezwa kwa mtazamo wa Kijinsia. Mpango huu umetoa mapendekezo ya baadhi ya

shughuli zinazoweza kutekelezwa na wadau wa masuala ya VVU na UKIMWI Tanzania Bara. Pia,

Mpango huu umezingatia vipingamizi, upungufu na changamoto mbalimbali za kijinsia ambavyo

vinaongeza uhatarishi wa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika kuambukizwa au

kuathiriwa na VVU na UKIMWI.

Mpango umeandaliwa kwa kuzingatia misingi ya kitaalamu na marejeo ya maandiko mbalimbali

ya kimataifa na kitaifa kuhusu jinsia, VVU na UKIMWI. Aidha, majadiliano yasiyo rasmi na watu

mbalimbali katika jamii yalifanyika na taarifa za mikutano elekezi ya kiutalaamu zilitumika. Kadhalika,

Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (2008 – 2010) na Ajenda ya Programu ya Muungano

ya Umoja wa Mataifa juu ya VVU na UKIMWI kwa ajili ya hatua mchapuko ya kitaifa kuhusu

wanawake, wasichana, usawa wa kijinsia na VVU 2010, ambapo Tanzania ilikuwa ni miongoni mwa

nchi zilizochangia uundwaji wake. Nyaraka hizo mbili zilitumika na kusaidia katika uundwaji wa

mpango huu.

Wadau mbalimbali walichangia mawazo, maoni na michango mbalimbali kuhusu upungufu na

changamoto zilizopo katika kushughulikia masuala mbalimbali yanayohusiana na jinsia na VVU na

UKIMWI.

Page 7: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) v

Shughuli zilizopendekezwa katika Mpango huu zitawezesha upatikanaji wa fursa sawa na

ushirikishwaji kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika maeneo makuu manne ya

kimkakati, ambayo ni; Kinga, tiba, matunzo na msaada, kupunguza makali ya athari za UKIMWI na

mazingira wezeshi.

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania imefarijika na kuridhika na mchakato mzima wa uandaaji na

uchapishaji wa mpango huu. Ni matarajio ya tume kwamba mpango huu utasaidia wadau wa VVU

na UKIMWI kupanga na kuwezesha utekelezaji wa afua mbalimbali za VVU na UKIMWI, katika

mitazamo ya mabadiliko ya kijinsia ambayo yana uwezo wa kuaathiri uwiano wa haki, uwezeshwaji,

wajibu na upatikanaji wa huduma za VVU na UKIMWI. Mpango huu pia utashauri na kuongoza

wadau wa VVU na UKIMWI katika kuchangia kwenye jitihada za kitaifa za utekelezaji wa Malengo

ya Maendeleo ya Milenia namba tatu (3) na sita (6), ambayo yanalenga kutoa usawa wa kijinsia, haki

za msingi za binadamu na kupambana na janga la VVU na UKIMWI.

Asanteni

Dkt. Fatma Mrisho

Mwenyekiti Mtendaji

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania

Page 8: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)vi

Shukrani

Wadau mbalimbali wanastahili kushukuriwa kwa michango yao katika uandaaji wa mpango huu. Awali ya yote, ninashukuru kwa michango ya kifedha na kitaalamu iliyotolewa na Mpango wa kudhibiti UKIMWI wa Umoja wa Mataifa (UNAIDS). Kadhalika, napenda pia kutoa shukrani za dhati kwa wadau wote wa masuala ya VVU na UKIMWI, mamlaka za Serikali, wabia wa maendeleo, taasisi za umma, asasi za kiraia na mashirika ya kijamii kwa michango yao katika kufanikisha ukamilishwaji wa Mpango huu.

Shukrani zangu za dhati ziwaendee Dkt. Fatma Mrisho - Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania na wakurugenzi wafuatao Dkt Jerome Kamwela - (Ufuatiliaji na Tathmini) , Dkt. Raphael Kalinga - (Sera na Mipango), ndugu Rustica Tembele -(Mwitikio wa Kitaifa), ndugu Geoffrey Majengo - (Uraghibishaji na Habari), ndugu Beng’ Issa - (fedha na Utawala) hawa ni kutoka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania. Pia shukrani ziende kwa Dkt. Bernet Fimbo - Mpango wa a Taifa ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Calista Simbakalia - Kamishna Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Subilaga Kasesela Kaganda - Mratibu wa Kitaifa wa Programu, Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Ndugu Salome Anyoti - Mfuko wa Umoja wa Mataifa kwa Maendeleo ya Wanawake (UNIFEM), ndugu Emebet Admassu wa Programu ya Muungano ya Umoja wa Mataifa kuhusu VVU na UKIMWI (UNAIDS), Dkt. Inge Baumgarten - Ushirikiano wa Kitalaamu wa Ujerumani (German Technical Cooperation) na Ndugu Achilles Ndyalusa - Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, kwa michango yao.

Mchakato wa uandaji wa mpango huu uliratibiwa na Bi Betty Malaki na Bi Vera Mdai.Wataalamu elekezi ; Ndugu Julie Tumbo, Ndugu Geofrey Chambua na Ndugu Jackson Marcel Kwingwa walisaidia katika kufanikisha zoezi hili. Pia mtaalamu mwelekezi Margaret Kasembe aliendesha zoezi la Ukaguzi wa Kijinsia ambalo lilisaidia kuandaa usuli. Pia, shukrani zangu za dhati ziende kwa watu binafsi na baadhi ya wenye VVU katika mkoa wa Pwani, Dar Es Salaam na Tabora kwa michango yao. Natambua kuwa bila michango yao kazi hii ingekuwa ngumu kukamilika.

Kwa kuhitimisha, naomba niwashukuru wadau wote kwa kuonesha ari na msukumo wa kutekeleza mpango huu wa Uendeshaji wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU na UKIMWI katika Tanzania Bara na utayari wao wa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI katika nia ya kujumuisha masuala ya kijinsia katika mwitikio wa taifa wa VVU na UKIMWI. Natumaini kuwa mpango huu utaendelea kutoa msaada kwa wadau wa masuala ya VVU na UKIMWI , katika utekelezaji wa afua zilizopo katika Mpango huu kwa ngazi zote. Utekelezaji wake unatarajiwa kuwezesha kupatikana kwa mabadiliko yenye tija katika jitihada za kuondoa athari za VVU na UKIMWI kwa maisha ya wanawake, wanaume, vijana, watoto na wazee nchini Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania.

Asanteni

Naibu Katibu Mkuu

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

Page 9: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) vii

Vifupisho vilivyotumika katika Mpango Uendeshaji

ABC Kuacha, Kuwa mwaminifu, Tumia kondomu

ABCT Umoja wa Sekta Binafsi kuhusu UKIMWI Nchini Tanzania

AIDS Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI)

ART Tiba ya Kuongeza Kinga ya Mwili

CBO Mashirika ya Kijamii

CCHP Mpango Jumuishi wa Afya wa Halmashauri

CEDAW Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya Wanawake

CHAC Mratibu wa UKIMWI wa Halmashauri ya Wilaya

CMAC Kamati za Kudhibiti UKIMWI katika Mamlaka za Serikali za Mitaa

CSO Asasi za Kiraia

DC Mkuu wa Wilaya

DMO Mganga Mkuu wa Wilaya

DPG-AIDS Wabia wa Maendeleo kuhusu VVU na UKIMWI

DSW Idara ya Ustawi wa Jamii

FBO Mashirika ya Dini

FGD Mahojiano lengwa

GBV Ukatili wa Kijinsia

GTZ Shirika la Maendeleo la Ujerumani

HBC Matunzo ya Nyumbani

HCT Unasihi na Upimaji wa VVU

HF Kituo cha kutoa huduma ya Afya

HIV Virusi vya UKIMWI(VVU)

HIV-MES Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa VVU

HLI Taasisi ya Elimu ya Juu

HSSP Mkakati wa Kudhibiti UKIMWI wa Sekta ya Afya

ICPR Mariadhiano ya Kimataifa kuhusu haki za Kiraia na Kisiasa

LGAs Mamlaka ya Serikali za Mitaa

LHRC Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu

M &E Ufuatiliaji na Tathmini

MAFC Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.

MDA Wizara, Idara na Wakala

MDG Malengo ya Maendeleo ya Milenia

MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini

MOCDGC Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba

MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi

MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi

Page 10: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)viii

MoHSW Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

MVC Watoto Wanaoishi katika Mazingira magumu

NACP Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI

NATP Mpango wa Taifa wa Matibabu ya UKIMWI

NBTS Huduma za Taifa za Uongezaji Damu

NEPAD Mpango Mpya wa Maendeleo ya Kiuchumi Barani Afrika

NGOs Asasi Zisizo za Serikali

NHACAS Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano na Uraghibishaji kuhusu VVU/UKIMWI

NMSF Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI

NMPS Mkakati wa Taifa wa Kinga Dhidi ya VVU

OMVC Yatima na Watoto walio katika mazingira Hatarishi Zaidi

OVC Yatima na Watoto walio katika mazingira hatarishi

PEP Hadhari baada ya hatari

PLHIV Watu Waishio na Virusi vya UKIMWI/UKIMWI (WAVIU)

PMO O� si ya Waziri Mkuu

PMO – RALG O� si ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

(OWM- TAMISEMI)

PMTCT Uzuiaji wa Uambukizo wa VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto

PO – PSM O� si ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma

PSI Shirika la Idadi ya Watu Duniani

RAS Katibu Tawala wa Mkoa

RC Mkuu wa Mkoa

RCH Afya ya Uzazi na Mtoto

RFE Mfuko wa Dharura wa UKIMWI

RH Afya ya Uzazi

RS Sekretarieti ya Mkoa

SOP Taratibu za Uendeshaji za Kawaida

SRHR Afya ya Ujinsia na Uzazi

STI Uambukizo kwa Ngono

SW Mfanyakazi wa Ngono

TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania

TASAF Mfuko wa maendeleo wa Jamii

TB Kifua Kikuu

TBS Shirika la Taifa la Viwango vya Ubora

THMIS Uta� ti wa Viashirio vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania

TMARC Shirika la Masoko na Mawasiliano Tanzania

ToR Hadidu za Rejea

ToT Mkufunzi wa Wakufunzi

TWG Kikosi Kazi cha Wataalamu

UNAIDS Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kudhibiti UKIMWI

Page 11: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) ix

UDHR Azimio la Ulimwengu La Haki za Binadamu

UNFPA Mfuko wa Idadi ya Watu wa Umoja wa Mataifa

UNGASS Kikao Maalumu cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

UNIFEM Mfuko wa Wanawake wa Umoja wa Mataifa

VCT Unasihi na Upimaji wa Hiari

VMAC Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ya Kijiji

WHO Shirika la Afya Duniani

WMAC Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ya Kata

WLHIV Mwanamke Mwenye Virusi Vya UKIMWI

WPP Programu ya UKIMWI Mahali pa Kazi

Page 12: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)x

Maana za maneno muhimu yaliyotumika katika Mpango Uendeshaji

Jinsi Dhana ya jinsi msingi wake ni maumbile ya kibailojia yanayomtofautisha

mwanamke na mume, dhana hii haibadiliki

Jinsia: Dhana ya jinsia inahusu uhusiano kati ya mwanamke na mwanamume

uliojengeka katika jamii kwa kufuata misingi ya kijamii na mila. Hii

imesababisha jamii kuwapa wanaume na wanawake hadhi, majukumu

na kazi tofauti. Kwa maana hii uhusiano wa kijinsia hubadilika kutegemea

mila, desturi, nyakati na mazingira.

Masuala ya Kijinsia: Vipengele mawazo au dhana ya kijinsia ambavyo huibuka kutokana na

mahitaji tofauti ya wanawake na wanaume, wasichana na wavulana.

Ukaguzi wa Kijinsia: Ni ukaguzi bora unaozingatia utaratibu wa kijamii ambao huwezesha

mashirika kupima kiwango yalichojiwekea “Katika kuwa na malengo na

misimamo ya pamoja kuhusu masuala ya kijinsia”ambayo wameyadhamiria

kwa kuwezesha mashirika haya kutumia nyaraka na taarifa za msingi katika

kutengeneza Mpango kazi stahiki ili kuboresha utendaji unaozingatia jinsia.

Ukatili wa Kijinsia: Ni kitendo chochote anachofanyiwa mwanamke au mwanamume,

msichana au mvulana ambacho huweza kumuathiri kiakili, kimwili/

kimaumbile, kiuchumi au kisaikolojia.

Upofu wa Kijinsia: Hali ya kijamii kutoweza kutambua/kuchambua kwa undani tofauti za

kijinsia zinazohusu majukumu ya uzalishaji na uzazi kwa wanawake na

wanaume.

Mwitikio wa Kijinsia: Ni utambuzi wa mahitaji pambanuzi ya wanawake na wanaume na kufanya

maandalizi katika mipango na utekelezaji huku mahitaji na majukumu yao

mahsusi ya kijamii yakizingatiwa.

Usawa wa Kijinsia: Hali ya kupewa haki sawa kwa wanawake na wanaume, wasichana na

wavulana, kutengewa rasilimali, huduma za msingi na fursa kwa usawa.

Uwiano wa Kijinsia: Utoaji wa fursa sawa kwa wanawake na wanaume kulingana na mahitaji

yao au haki zao katika mafao, wajibu na fursa zilizopo

Upungufu wa Kijinsia: Uwepo wa tofauti ya usawa kati ya wanawake au wanaume katika

kushirikishwa na kupata haki, mamlaka na fursa za rasilimali.

Uzingatiaji wa Masuala ya kijinsia: Ni mkakati wenye kurasimisha au kujumuisha masuala ya

kijinsia katika michakato ya maendeleo, zikiwepo sera, mipango, sheria na

bajeti ili kuondoa na kupunguza upungufu wa jinsia na kujenga maendeleo

endelevu.

Page 13: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) xi

Utambuzi wa Jinsia: Kufahamu kwamba wanawake na wanaume katika jamii huathirika katika

hali tofauti na kulingana na mahitaji yao kimaumbile na kijinsia.

Uhamasishaji wa Kijinsia: Ni mchakato wa kuamsha na kuchochea utambuzi wa masuala ya

jinsia kwa wanaume, wanawake, wasichana na wavulana.

Haki za Binadamu : Stahiki zilizokubaliwa ulimwenguni kote kutambua usawa kwa wanawake,

wanaume, wasichana na wavulana, pasipo kubagua kwa misingi ya rangi,

tabaka, dini au kabila.

Page 14: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)xii

Muhtasari

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo kwenye ukanda waAfrika Mashariki, ikiwa na eneo lenye

jumla ya kilometa za mraba 945, 090. Tanzania ina inakadiriwa kuwa na idadi ya watui zaidi ya milioni

40, wengi wao wakiwa wanaishi vijijini. Taarifa za awali za wagonjwa wa VVU na UKIMWI Tanzania

Bara, zilianza kutolewa mwaka 1983, na tangu wakati huo matatizo yanayohusiana na UKIMWI

yamepoteza maisha ya maelfu ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana nchini. Mwaka

2007/2008, kiwango cha maambukizo ya VVU miongoni mwa watu wenye umri kati ya miaka 15-

49 nchini Tanzania kilikuwa asilimia 5.7, wanawake wakiwa wameathirika zaidi kwa kiwango cha

asilimia 6.6 wakilinganishwa na wanaume ambao ni asilimia 4.6 Taarifa zinaonesha kuwa hapa

nchini, walio katika mahusiano ya ndoa ndio wenye viwango vya juu zaidi vya uambukizo wa VVU

wakilinganishwa na wasio na ndoa. VVU na UKIMWI vimesababisha vifo, magonjwa, msongo wa

mawazo, umasikini na changamoto nyingine za kijamii na kiuchumi kwa wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana .

Miongoni mwa mambo makuu yaliyosababisha kuenea kwa haraka na kusababisha athari mbaya

za VVU na UKIMWI Tanzania Bara ni pamoja na hali za kutozingatia usawa wa jinsia, umasikini,

kusa� ri mara kwa mara, muundo usioridhisha kisheria na kisera imani na taratibu au kanuni potofu

za kijamii na kitamaduni. Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imeongoza mashirika

mbalimbali katika mchakato wa kuandaa Mpango huu wa Uendeshaji ili kuongoza na kushauri

wadau wote wa afua za VVU na UKIMWI katika utambuzi na uzingatiaji wa masuala ya jinsia katika

ngazi zote. Tume inaonesha jinsi nchi inavyoshughulikia masuala ya jinsia katika maeneo makuu

ya kimkakati katika mwitikio wa kitaifa wa VVU na UKIMWI, hususan Mazingira Wezeshi kuhusu

Mwitikio mzima wa Kitaifa, Kinga, Matunzo, Matibabu na Msaada na Kupunguza Athari zitokanazo

na UKIMWI.

Dira ya Mpango huu ni “Kuona Tanzania inaendeleza juhudi za pamoja za kupunguza kuenea kwa

VVU na kutoa matunzo bora zaidi kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana walioathirika

na walioathiriwa na virusi ”. Ambapo dhamira yake ni Kutoa mwongozo, kulinda,kuimarisha na

kupanua uongezaji na upanuzi wa ubora wa kinga, matunzo na msaada dhidi ya VVU na UKIMWI na

kuwa na ushawishi mkubwa kwenye programu na shughuli mbalimbali za kudhibiti na kupunguza

athari ndani ya programu ya mwitikio shirikishi wa Taifa chini ya uratibu unaongozwa na Serikali

Kuu, kushikizwa kwenye Halmashauri za Serikali za Mitaa, kujikita ndani ya jamii na kusaidiwa na

wadau wote wanaohusika kwa kuzingatia jinsia.”

Page 15: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) xiii

Matokeo tarajiwa ya mpango huu yanaendana na maeneo makuu ya kimkakati yaliyopewa

Kipaumbele katika Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI . Hivyo, matokeo tarajiwa ni

(T1) Kupungua kuenea kwa maambukizi ya VVU kunakosababishwa na masuala yanayohusu

jinsia miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana. (T2) Kuimarishwa kwa

jitihada za kinga ya VVU kwa wanawake na wasichana kwa kulinda na kutetea haki za binadamu

na usawa wa kijinsia. (T11) Kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa na vifo kwa wanawake,

wanaume, wasichana na wavulana vinavyotokana na masuala ya jinsia yanayochochea kuenea

kwa maambukizi yaVVU na UKIMWI. (T14) Kuboresha maisha na ustawi wa jamii kwa wanawake,

wanaume, wasichana na wavulana wanaoishi au walioathiriwa moja kwa moja na VVU na UKIMWI.

(T18) Kuimarisha zaidi mazingira wezeshaji kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana

katika kutekeleza mwitikio wa kitaifa wa VVU na UKIMWI.

Matokeo tarajiwa katika mpango huu yanaendana na matokeo ya kimkakati yaliyoainishwa katika

Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NMSF 2008-2012)

Mpango huu uliandaliwa kupitia michakato ya kukusanya mawazo na maoni kwa kuhusisha wadau

wa kada mbalimbali, marejeo ya maandiko, na kuhusisha wadau mbalimbali kwa njia ya warsha

na mikutano. Mpango huu umetokana na Mkakati wa Pili wa Taifa wa Kudhibiti VVU na UKIMWI

wa 2008-2012 na kujumuishwa na Mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa wa VVU na UKIMWI.

Mkakati ambao unaeleza masuala muhimu katika maeneo makuu ya Kimkakati na maeneo madogo,

matokeo yanayoonesha uzingatiwaji wa masuala ya jinsia katika afua za UKIMWI. Maudhui ya

mpango huu yanajumuisha maelezo ya usuli kuhusu jinsia na VVU na UKIMWI; Mkakati unaoainisha

masuala muhimu, pamoja na hatari vikwazo vinavyoweza kukwamisha utekelezaji wa Mpango

huu na mbinu za jinsi ya kutatua vikwazo hivi. Mpango huu unabainisha wazi juu ya muundo wa

usimamizi, ufuatiliaji na tathmini katika uzingatiaji wa masuala ya jinsia kwenye shughuli zote za

VVU na UKIMWI.

Mpango huu utatekelezwa na kuratibiwa kwa ufanisi, uwazi, uwajibikaji, uongozi na usimamizi

endelevu chini ya msingi wa mihimili mitatu ndani ya mmoja katika ngazi ya Serikali Kuu, Tawala za

Mikoa na Serikali za Mitaa, inayojumuisha wananchi na asasi za kiraia katika mwitikio wa Kiaifa wa

VVU na UKIMWI chini ya uratibu na usimamizi wa TACAIDS.

Page 16: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)xiv

Shughuli zilizomo katika Mpango huu zinafuatiliwa, zinatathminiwa na kutolewa taarifa zake katika

Mfumo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini unaohusisha Sekta mbalimbali zinazoshughulika na

masuala ya VVU na UKIMWI. Ufuatiliaji na tathmini unaendana na lengo la Mfumo wa Kitaifa wa

Ufuatiliaji na Tathmini ambalo ni “kutumia ushahidi madhubuti na unaotolewa kwa wakati muafaka

kwenye maamuzi na mipango inayohusiana na VVU na UKIMWI.

Mpango huu unatarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2012, kama nyenzo ya

TACAIDS na wabia wake katika kuboresha usimamizi na uratibu wa shughuli zinazohusu uzingatiaji

wa jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI zinazofanywa na wadau mbalimbali katika vituo vyote

vya utoaji wa huduma hadi katika ngazi ya jamii. Mpango huu unatarajiwa kupitiwa tena i� kapo

mwaka 2013 ukiunganishwa na uandaaji wa Mkakati wa Tatu wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NMSF 3).

Page 17: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 1

1. UTANGULIZI NA USULI

1.1 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo Afrika Mashariki, ikipakana na Bahari ya Hindi upande

wa Mashariki. Imegawanyika katika sehemu mbili, Tanzania Bara na Zanzibar, ikiwa na jumla

ya eneo la kilometa 945,090 za mraba. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepakana na

nchi za Kenya na Uganda kwa upande wa Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,

Rwanda na Burundi kwa upande wa Magharibi, Malawi, Msumbiji na Zambia kwa upande wa

Kusini.

Mwezi Julai, 2007 Idadi ya watu wanaoishi Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa milioni 37.5, Asilimia

51 wakiwa ni wanawake.1 Tanzania Bara ina mikoa 25 ya Kiutawala, iliyogawanywa katika

wilaya mbalimbali. Ku� kia Juni mwaka 2009 kulikuwa na Mawaziri 7, Wakuu wa Mikoa 3 na

Wakuu wa Wilaya 33, wote hawa wakiwa ni wanawake.2 Kilimo huchangia zaidi ya asilimia

40 ya Pato la Taifa na hutoa ajira mpaka asilimia 80 ya idadi ya watu, wengi wao wakiwa ni

wanawake. Tanzania ina tamaduni mbalimbali na makabila zaidi ya 120, yote yakiunganishwa

na lugha ya taifa, Kiswahili.

1.2 Hali halisi ya Mwitikio wa Jinsia, VVU na UKIMWI Tanzania Bara.

Kwa zaidi ya miongo miwili, Tanzania imekuwa ikikabiliana na janga la VVU na UKIMWI ambao

umepoteza maisha ya maelfu ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana na hivyo

kutishia jitihada za kitaifa za maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Uta� ti wa viashiria vya VVU na

UKIMWI na Malaria Tanzania wa mwaka 2008 unaonesha kiwango cha maambukizi ya VVU

miongoni mwa watu wenye umri kati ya miaka 15-49 kuwa ni asilimia 5.7, huku wanawake

wakiwa wanaathirika zaidi kwa kiwango cha asilimia 6.6 ikilinganishwa na wanaume ambao

walikuwa wameathirika kwa kiwango cha asilimia 4.6; pia taarifa zikionyesha kuwa wanandoa

wako katika kiwango cha juu zaidi cha maambukizi kuliko wasio katika ndoa.

Tangu mwaka 1983, ambapo taarifa za wagonjwa watatu wa kwanza zilitolewa, mapambano

dhidi ya VVU na UKIMWI yalipewa kipaumbele katika mipango, sera na bajeti za serikali.

Ni sehemu ya ukamilishaji wa mikakati ya kupunguza umasikini kama ilivyoainishwa katika

Dira ya Taifa ya 2025 (TDV 2025) na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini

Tanzania (MKUKUTA).

1 LHRC, Tanzania Human Rights Report, 2007

2 Civil Service data by June 2009

Page 18: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)2

Mwaka 1999, Rais mstaafu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa alitangaza kuwa UKIMWI

ni janga la kitaifa akionesha dhamira na wajibu wa serikali kwa VVU na UKIMWI kama eneo

la kipaumbele katika ngazi na sekta zote. Hivyo Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania –

(TACAIDS) iliundwa mwaka 2000 ili kusimamia na kuratibu mwitikio wa kitaifa unaohusisha

sekta mbalimbali kwa VVU na UKIMWI. Sera ya Taifa ya VVU na UKIMWI iliundwa mwaka

2001. Imeweka muktadha kwa ajili ya Mikakati ya Kudhibiti UKIMWI namba moja 2003-2007

na namba mbili wa 2008-2012 (NMSF).

Athari za janga hili huchochewa na masuala mbalimbali ya vipaumbele vya kiulimwengu

vinavyokinzana kama vile, mabadiliko ya tabia ya nchi, kutokuwepo uhakika wa chakula,

uchumi usio tengemavu na migogoro. Kushughulikia usawa na uwiano wa kijinsia inawezekana

kuwa ni mkakati wenye ufanisi kuliko mikakati yote katika kupunguza hali hatarishi ya VVU

na UKIMWI miongoni mwa wanaume, wanawake, wavulana na wasichana; na kuimairisha

uwezo wa mtu mmoja mmoja, kaya na jumuiya kuweza kushughulikia matokeo ya janga hili.

Serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali wameitikia wito wa kushughulikia masuala VVU na

UKIMWI kwa mtazamo wa kijinsia.

Mwaka 2003, Mkakati wa Kijumuiya wa kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya VVU na

UKIMWI uliundwa. Mwaka huo huo kulikuwa na kampeni ya kitaifa ya kuvunja ukimya kuhusu

/ uhusiano kati ya VVU na UKIMWI, rasilimali na jinsia. Jinsia imerasimishwa katika baadhi ya

mipango, sera na mikakati ya VVU na UKIMWI. Miongozo mbalimbali ya kawaida na ya bajeti

kwa ajili ya mipango ya afua za VVU na UKIMWI katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs)

na Wizara za Serikali, Idara na Wakala (MDAs) zimeweka shabaha ya wazi kwa utekelezaji

wa masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI. Mapendekezo mbalimbali ya uimarishaji wa utambuzi

wa kijinsia kwa VVU na UKIMWI pia yameshaundwa na kutekelezwa na wadau. Mpango

huu umezingatia masuala yote hayo na unatoa mwongozo wa ku� kia malengo na mikakati

iliyooneshwa / katika nyaraka zilizotajwa hapo juu.

Page 19: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 3

2 MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA

2.1. Dira, Dhamira na Madhumuni ya Mpango huu

Dira

“Tanzania inaendeleza juhudi za pamoja za kupunguza kuenea kwa VVU na kutoa matunzo bora

zaidi kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana walioambukizwa au walioathiriwa na

virusi”.

Dhamira

Kutoa mwongozo na kulinda uongezaji na upanuzi wa ubora wa kinga, matunzo na msaada

dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia na kuwa na ushawishi mkubwa kwenye

programu na shughuli mbalimbali za kudhibiti na kupunguza athari ndani ya programu ya

mwitikio shirikishi wa Taifa yenye uratibu mzuri unaongozwa na Serikali Kuu, kushikizwa

kwenye Halmashauri za Serikali za Mitaa, kujikita ndani ya jamii na kusaidiwa na wadau wote

wanaohusika.

Madhumuni

Kuongoza na kushauri TACAIDS na wadau wa VVU na UKIMWI wa ngazi zote, katika utoaji

wa afua za kimkakati zinazohusiana na masuala ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia masuala

ya kijinsia.

2.2 Vipaumbele, Mikabala na kanuni za miongozo ya Mpango wa Uendeshaji Kijinsia Kwa Ajili Ya Mwitikio Wa VVU, Tanzania Bara

Vipaumbele vya Uendeshaji wa Mpango Kijinsia kwa ajili Mwitikio wa VVU katika Tanzania

Bara vinafungamana na Maeneo Makuu ya Kimkakati yaliyopewa kipaumbele katika Mkakati

wa pili wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI (NMSF 2008-2012) ambayo ni: (a) Kinga; (b) Matunzo,

tiba na msaada (c) Kupunguza Athari zitokanazo na UKIMWI na (d) Mazingira wezeshi.

Mikabala (Approaches)

Njia zifuatazo zitatumika katika utekelezaji wa Mpango Huu:

i. Kutumia Mpango huu kama zana ya kuongoza na kushauri katika uratibu na usimamizi

wa Afua za VVU na UKIMWI zenye kuzingatia jinsia katika sekta na ngazi zote.

ii. Kujumuisha na kutekeleza njia zenye misingi ya utambuzi wa kijinsia na haki za binadamu,

kama suala mtambuka katika Maeneo makuu ya Kimkakati yaliyopewa kipaumbele

katika Mkakati wa Kuthibiti UKIMWI ili kutekeleza shughuli zilizomo katika Mpango huu

kupitia miundo iliyopo.

Page 20: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)4

iii. Kurasimisha masuala ya kijinsia, Haki za Binadamu na VVU na UKIMWI katika mipango,

sera, mikakati, bajeti na miongozo ya mafunzo katika ngazi zote.

Kanuni Zinazoongoza

Kanuni zifuatazo zitaongoza mipango na utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango Uendeshaji

wa Kijinsia wa Mwitikio wa VVU na UKIMWI Tanzania Bara:

A. Kudumisha maadili na haki za binadamu: Ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu na

mmomonyoko wa maadili huchochea kuenea kwa VVU pamoja na athari zake. Mpango

huu umefungamana na dhamira za kikanda na kiulimwengu katika utetezi na ulinzi wa

haki za binadamu. Mpango huu unatoa miundo, michakato, sera na shughuli zinazounga

mkono haki za binadamu na kuondoa ubaguzi katika ushirikishwaji. Wadau wanahusika na

wanawajibika kutetea na kulinda haki za wanawake, wanaume, wasichana na wavulana,

wakati wakizingatia mahitaji yao na kiwango cha hatari ya maambukizi ya VVU.

B. Kuboresha fursa kwa wote: Uhaba wa huduma na taarifa sahihi za masuala ya VVU na

UKIMWI huchangia kuenea kwa maambukizi ya VVU katika jamii. Mpango huu utatoa fursa

za upatikanaji wa huduma na taarifa sahihi katika masuala ya VVU na UKIMWI, kwa

wakati muafaka na kwa ubora wa ahali ya juu ili kukidhi mahitaji muhimu kwa wanawake,

wanaume, wasichana na wavulana. Huduma hizi ni za gharama nafuu, zina� kika kirahisi,

ni za kira� ki, na zinasaidia katika kupunguza kuenea kwa maambukizi na athari za VVU na

UKIMWI.

C. Kuimarisha ushirikishwaji: ubaguzi wa makundi yaliyoathirika, ya pembezoni au yaliyo

katika mazingira hatarishi ni changamoto kubwa katika ufanisi wa mpango huu, lengo

la mpango huu ni kuhakikisha ushirikishwaji kamilifu kwa makundi hayo yote, makundi

hayo pamoja na wadau wengine watasaidia kuchangia uzoefu na ujuzi. Makundi hayo

yanajumuisha watu waishio na VVU na UKIMWI, wafungwa wa kike na wa kiume, watumiaji

madawa ya kulevya,wanaojiuza miili,watoto wanaotumikishwa katika ajira mbaya,wanaume

wanaolawitiana, wanawake wanaofanya ngono kinyume na maumbile, yatima na watoto

waishio katika mazingira hatarishi, wanawake waliojiajiri, wanawake na wanaume wenye

ulemavu na wanawake na watoto ambao ni wahanga wa ukatili wa jinsia

D. Ushiriki kamilifu wa WAVIU: NI muhimu sana kuhakikisha kuwa wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana ambao wanaishi na, au wameathiriwa na mlipuko huu wawe mstari

wa mbele katika ushirikishwaji kamilifu katika kufanya uamuzi na utekelezaji wa shughuli

zilizopo kwenye Mpango huu. Baadhi ya hatua na mikakati katika Mpango huu zinatimiza

utambuzi wa dhamira yao katika uhusishwaji wa kiwango kikubwa zaidi cha WAVIU,

ushirikishwaji ambao ulikubaliwa na mataifa kwenye mkutano kuhusu UKIMWI wa Paris

Page 21: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 5

uliohudhuriwa na wakuu wa nchi, mwaka 1994, kama mhimili muhimu na wa kimaadili katika

mwitikio wa kitaifa kwa janga hili.

E. Ushirikiano na ubia endelevu: VVU na UKIMWI haviwezi kushughulikiwa kiufanisi bila

kuwepo ubia kati ya serikali na wadau kutoka sekta na nyanja zote. Kwa hiyo, Mpango huu

unapendekeza mikakati ambayo inaunda mitandao na uhusiano wa ushirikiano na majukumu

miongoni mwa wadau mbalimbali wa kitaifa na wasio wa kitaifa, wakijumuishwa wabia wa

maendeleo, mashirika yanayosaidia WAVIU, mashirika ya utetezi wa haki za binadamu,

Wizara, Idara na Wakala mbali mbali na sekta binafsi. Wadau mbalimbali watashirikishana

uzoefu, utaalamu na kuchangia rasilimali zinazohitajiwa katika ushughulikiaji wa kuenea kwa

athari za maambukizi ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia.

F. Kuuunga mkono dhamira ya Viongozi: ufanikishaji wa lengo la mpango huu utakuwa ni

kazi bure endapo hakutakuwa na utashi wa viongozi katika ngazi zote. Kwa hiyo dhumuni la

mpango huu ni kuchochea dhamira ya viongozi kwa njia ya kufanya ushawishi kwa viongozi

katika ngazi zote ili waweze kutoa kipaumbele kwa masuala ya jinsia katika shughuli zao

zote, kadhalika waweze kutenga rasilimali za kutosha kwa kuzingatia jinsia katika kila

ngazi , kujenga ujuzi na maarifa kwa viongozi ili waweze kubuni na kutekeleza shughuli zao

na hatimaye kufanya maamuzi kwa kuzingatia mahitaji muhimu ya wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana katika mazingira yanayowazunguka.

G. Ushirikishaji wa wanaume na wavulana: Baadhi ya mila na desturi potofu hukwamisha

ushiriki wa wanaume katika kudhibiti kuenea na kupunguza athari za maambukizi ya VVU

na UKIMWI. Mpango huu umedhamiria kuwezesha: ushirikishwaji zaidi wa wanaume katika

programu za kinga na upunguzaji wa athari za VVU na UKIMWI, ongezeko la wanaume wengi

wanaotafuta na ku� kia huduma za tiba, matunzo na msaada; kubadili tabia, matendo na

mienendo hatarishi ya wanaume ili kuondoa mifumo kandamizi inayochochea kuongezeka

kwa maambukizi ya VVU na UKIMWI .

H. Kutumia ushahidi katika kufanya maamuzi: Dira ya kupanga na kutekeleza mwitikio wa

kitaifa wa VVU na UKIMWI wenye utambuzi wa kijinsia, haiwezi kufanikiwa bila kutambua

kuwa mahitaji ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana yanayohusiana na VVU

na UKIMWI, yana unyeti wa pekee, yapo tofauti na ni mahsusi kimuktadha. Mpango huu

unahimiza upatikanaji wa taarifa za kimkakati kuhusu muktadha wa elimu ya magonjwa

ya mlipuko, kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na kisiasa, pamoja na kiwango ambacho yote

yaliyotajwa hapo juu yanachochea ueneaji wa maambukizi na athari za VVU na UKIMWI

miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana. Taarifa hii ya kimkakati

itapatikana kwa kuzingatia maadili hivyo haitamdhuru yeyote na itatumika katika kufanya

maamuzi yanayohusiana na mipango, sera, mgawanyo wa rasilimali na mafunzo katika

ku� kia maamuzi.

Page 22: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)6

I. Uimarishaji wa Uwezo wa Kitaasisi: Ni muhimu sana kwa taasisi zote zilizo na dhamana

ya uwajibikaji wa kuhakikisha mwitikio wa kitaifa wa UKIMWI wenye utambuzi wa kijinsia

kuwa na; stadi, mifumo, sera na rasilimali za kutosha. Kwa hiyo Mpango huu unapendekeza

shughuli za kuimarisha uwezo wa kitaasisi wa mashirika muhimu yanayohusishwa katika

usimamizi , uratibu na utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia.

2.3 Jinsi Mpango huu Unavyoshabihiana na Sera, Mipango na Mikakati

Mingine Muhimu

Mpango huu wa Uendeshaji wa kijinsia kwa ajili ya mwitikio wa VVU Tanzania Bara

umeoanishwa na kuingizwa katika sera za maendeleo, mipango na mikakati kadhaa ambavyo

ni muhimu katika ngazi za kimataifa, kikanda na kitaifa hadi ngazi za chini. Miongoni mwa

sera, mipango na mikakati muhimu ambayo imetaarifu Mpango huu ni kama ifuatavyo:

A. Msingi mkubwa wa mpango huu umetokana na mkakati wa pili wa Taifa wa Kudhibiti

UKIMWI. Mpangilio, mkazo wa maeneo makuu, matokeo , masuala ya kimkakati na

mikakati iliyomo katika mpango huu inaendana sana na mkakati wa pili wa taifa wa

kudhibiti UKIMWI.

B. Mpango huu umeundwa kutokana na mojawapo ya mapendekezo kutoka kwenye

Matokeo ya Ukaguzi wa Kijinsia wa Mwitikio wa Kitaifa wa VVU na UKIMWI, Tanzania,

ambao uliendeshwa na TACAIDS na wadau wake mwaka 2008/09.

C. Baadhi ya mikakati na shughuli zinazohusiana na jinsia na masuala ya VVU na UKIMWI

zimetokana na Mkakati wa Kitaifa wa Maendeleo ya Kijinsia.

D. Mpango huu umefungamanishwa na MKUKUTA ili kuleta usawa wa kijinsia na

uwezeshwaji wa kiuchumi. Mikakati inayohusiana na VVU na UKIMWI katika MKUKUTA

pia imechukuliwa na kuingizwa katika Mpango huu.

E. Mikakati ya nyongeza ambayo inashughulikia masuala ya kijinsia, VVU na UKIMWI katika

Mpango huu inaendeana na Mkakati wa Taifa wa Kinga ya VVU unaohusisha Sekta

mbalimbali (2010 – 2012 ) na Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano na Utetezi kuhusu VVU

na UKIMWI.

F. Baadhi ya shughuli zilizomo katika Mpango huu, zimefungamana na Mipango kazi ya

wadau, ikiwemo Sekta za Wizara, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Asasi za Kiraia

Page 23: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 7

G. Mpango huu umefungamanishwa na kanuni, matokeo na shughuli zilizoorodheshwa

katika Agenda ya Programu ya Muungano wa Umoja wa Mataifa kuhusu VVU na

UKIMWI, –(UNAIDS), kuhimiza nchi ili kuchukua hatua mahususi katika kushughulikia

masuala ya Wanawake, Wasichana, Usawa wa Kijinsia na VVU na UKIMWI –(2010 –

2014).

H. Muundo wa Ufuatiliaji na Tathmini – (M&E) wa utekelezaji wa Mpango huu, umefungamana

na Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa VVU na UKIMWI – (HIV M&E system).

Data zilizosaidia katika masuala yaliyoibuliwa kwenye mpango huu kwa kiasi kikubwa

zimetokana na Uta� ti wa Viashiria vya Malaria, VVU na UKIMWI Tanzania (THMIS)

mwaka 2008. Data hizi, pamoja na mfumo wa kawaida wa ufuatiliaji wa Wizara ya Afya

na Ustawi wa Jamii (MOHSW), ndio msingi wa uainishaji wa mikoa iliyopewa kipaumbele

kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zilizomo

I. Ukokotoaji wa Gharama za NMSF pia ulitoa taarifa iliyosaidia katika kukadiria bajeti

ya shughuli zilizomo katika mpango huu.

J. Misingi mikuu na mbinu zilizotumika katika mpango huu zinaendana na vifungu vya

sheria, sera na mikataba ya kitaifa na kimataifa ambayo Tanzania imeridhia.

Page 24: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)8

3. MKAKATI WA JINSIA NA MASUALA YA VVU NA UKIMWI TANZANIA BARA

Kipengele hiki kinahusu mkakati wa jinsia na VVU na UKIMWI, kama ilivyooneshwa ndani

ya Mpango wa pili wa taifa wa Kuthibiti UKIMWI wa mwaka 2008-2012 pamoja na mipango,

sera na miongozo muhimu ya wadau mbalimbali katika Tanzania Bara. Mkakati unaonesha

maeneo makuu manne ya kimkakati pamoja na maeneo madogo ya kimkakati na matokeo

ambayo yanashughulikia afua za VVU na UKIMWI zenye mwitikio wa kijinsia Tanzania Bara.

Masuala ya kimkakati, matokeo, mikakati kwa kila kipengele cha eneo la kimkakati pia

vimeoneshwa.

3.1 ENEO KUU LA KIMKAKATI: : KINGA -

Matokeo ya eneo la kimkakati - Kinga.

• Mkakati (M1): Kupunguza ueneaji wa maambukizi ya VVU unaosababishwa na masuala

ya kijinsia miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana nchini.

• M2 kuimarisha jitihada za kinga; yaani, uzuiaji wa ueneaji wa maambukizi ya VVU kwa

wanawake na wasichana kwa kuzingatia uwiano katika usawa wa kijinsia kuhusu haki za

binadamu.

• Eneo dogo la kimkakati : KUPUNGUZA HALI HATARISHI YA MAAMBUKIZI YA VVU

MIONGONI MWA MAKUNDI YALIYO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI YALIYOKITHIRI

Masuala ya Kimkakati kwa Wanawake na Wasichana

• Baadhi ya wanaume hujinufaisha kutokana na nguvu za maumbile yao pamoja na mamlaka

ya kufanya maamuzi kuhusu masuala ya ngono au kuwalazimisha wanawake kufanya

ngono. Ukatili huu unalenga kuwafanya wanawake wakose uwezo wa kujadiliana kuhusu

ngono salama au kuondoka katika uhusiano hatarishi walionao na wanaume hawa.

• Visa vya kubakwa na unyanyasaji wa kingono kwa wake na waume vinaendelea kudhihirika

zaidi. Baadhi ya wanawake hususan wasaidizi wa kike wa kazi wa nyuumbani, wasichana

walemavu pamoja na yatima wameteseka kutokana na hali hii ya unyanyasaji wa kingono

na kubakwa ambavyo huwaweka katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa VVU.

• Tabia ya kuanza ngono katika umri mdogo au ndoa za utotoni huwaweka wasichana

Page 25: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 9

katika hatari ya kuambukizwa VVU kwani hali zao za kimaumbile huwa bado hazijakomaa

vilivyo.

• Taarifa kuhusu maambukizi ya VVU miongoni mwa wanawake walio na umri kati ya

miaka 15- 49 inaonesha kuwa maambukizo kwa wanawake yapo kiwango cha juu kuliko

wanaume, kikiwa asilimia 6.6 ukilinganisha na kile cha wanaume cha asilimia 4.6. wakati

huohuo, mingoni mwa vijana wenye umri kati ya miaka 20-24, kiwango cha maambukizo

ni asilimia 2 na asilimia 6 kwa wanaume na wanawake katika mfuatano huo.

• Wakati mwingine, wanawake walio na umri mdogo huwa na uelewa mdogo au hawana

kabisa, juu ya masuala ya ngono kwa imani kuwa wataonekana kukosa utii, heshima na

kuepuka lawama. Uta� ti wa viashiria vya, VVU na UKIMWI na Malaria (THMIS) wa mwaka

2007-08 ulionesha kuwa wanawake hujitokeza kwa kiwango cha kidogo katika utoaji na

upokeaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu taarifa za VVU na UKIMWI, na

hivyo wanawake wachache zaidi wamesikia taarifa za VVU na UKIMWI ukilinganisha na

wanaume.

• Ni wanawake wachache tu wenye uelewa juu ya umuhimu wa kuwa na uwezo wa

kushawishi ngono salama ikilinganishwa na wanaume. Wanawake huweza kuwa na

ufahamu wa mbinu sahihi za kupunguza hatari ya uambukizi ya VVU, lakini mara nyingi

hukosa stadi za ushawishi na mara nyingi huwa wana uwezo ha� fu wa kujilinda.

• Mfumo dume na tabia ya ukandamizaji husababisha uhusiano ha� fu na kibabe, na usiyo

na usawa na hii husababisha mwanamke kuwa tegemezi. Wanawake hawa hukosa hali

ya kujiamini na hivyo kulazimika kufanya ngono bila ridhaa yao, na kushindwa kuamua ni

lini, na nani au katika mazingira gani yaliyo salama ya kufanya ngono.

• Uwezo mdogo wa kiuchumi huweza kushurutisha wanawake kubadilishana ngono kwa

fedha au upendeleo fulani. Wahudumu wa baa (wa kike) au wanaojiuza miili si aghalabu

huweza kushawishi ngono salama au kuzuia kufanyiwa ukatili.

• Wasichana wadogo hushiriki katika uhusiano wa kingono na watu wanaowazidi sana

umri ambao mara nyingi wanashawishika kwa fedha, zawadi, sifa au kuiga wenzao

ambapo vyote hivi mara nyingi vinachochewa na shinikizo la rika, hivyo kutumikishwa na

kutoweza kushawishi ngono salama .

• Baadhi ya mila na desturi , maadili na taratibu huzuia wanawake na wasichana wadogo

kujadili masuala ya ngono. Katika mkondo huo huo, baadhi ya wanawake huepa

mawasiliano ya wazi yanayohusu ngono au mihemuko.

Page 26: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)10

• Baadhi ya wanawake wanaotafuta ajira hulazimishwa kutoa rushwa ya ngono kwa hila ya

kupewa ajira.

• Baadhi ya mila za kiasili kama vile ukeketaji, ndoa za utotoni, tabia ya kurithi wajane,

ubakaji, ngono kavu, kutakasa wajane, kushirikiana wake, mitala, taratibu za kushughulikia

ugumba na utasa, ukiukwaji wa haki na afya za wanawake, Unyago na Jando, huongeza

hali hatarishi kwa maambukizi ya VVU kwa wanawake.

Masuala ya Kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Mara nyingi wanaume katika sehemu za vijijini wana uelewa mdogo wa masuala ya VVU

na UKIMWI ikilinganishwa na wenzao wa mijini.

• Baadhi ya wanaume ambao wanafanya ngono kwa kununua au upendeleo lakini wakati

huohuo hawachukui tahadhari ya kufanya ngono salama, hujiweka wao wenyewe na

wenzi wao katika hatari zaidi ya kuambukizwa VVU. Uta� ti wa viashiria vya VVU, Malaria

na UKIMWI (THMIS) wa mwaka 2007-08 umeonesha kuwa asilimia 8.5 ya wanaume

walilipia ili kupata huduma ya ngono katika miezi 12 iliyopita kabla ya uta� ti, ambapo

asilimia 40 ya wanaume hawa hawakutumia kondomu.

• Wanaume ambao hawajawezeshwa ama kutokana na ukosefu wa ajira au uvivu na hali

ya kuvunjika moyo, hupoteza uwezo wa kujiamaini na hivyo kutojali afya zao, hususan

katika masuala ya ngono pamoja na kinga ya maambukizi ya VVU.

• Wanaume wanaohama kutoka makazi yao kwa vipindi virefu kwa ajili ya ajira, ufugaji

au safari za kibiashara wanaweza kushawishika kufanya ngono hatarishi zinazoweza

kuwasababishia wao na wenzi wao kuambukizwa VVU.

• Wanaume wanaofanya ngono kinyume na maumbile , ama na wanamume wenzao au

na wanawake, wanajiweka katika hatari ya kupata maambukizi ya virusi kutoka kwa

mwenza aliyeambukizwa au yeye kumuambukiza mwenzake iwapo watafanya ngono

isiyo salama.

• Kuna uelewa mdogo wa mitazamo ya wanaume kuhusu masuala ya ngono ambayo

husababisha wanaume hao kupata maambukizi ya VVU.

• Katika baadhi ya tamaduni, wanaume huchangia wake au ndugu wa kiume hushurutishwa

kuoa wajane wa ndugu zao waliofariki. Tabia hizi huwaweka wanaume hao katika hatari

ya kuambukizwa VVU.

Page 27: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 11

• Visa vya kubakwa na unyanyasaji wa kingono kwa wavulana pia vinaongezeka katika

jamii. Baadhi ya wavulana walemavu, pamoja na yatima wameteseka kutokana na

kubakwa au kunyanyaswa kingono.

• Mila na desturi zinazowapendelea watoto wa kiume katika jamii na malezi wanayopewa

vimeendelea kukubalika na jamii juu ya tabia ya wavulana kuwa na wenza wengi wa

ngono, kufanya ngono isiyo salama, kukuza vitendo vya kikatili, matumizi ya madawa ya

kulevya, kujiingiza katika mazingira hatarishi bila hadhari, ugomvi, kutojali au kutowajibika

kwa usalama wa kingono ili kudhihirisha uanamume.

• Jamii huwa haikatazi wanaume wazee na watu wazima kufanya ngono na mabinti

wadogo hivyo kuwafanya wanaume wazee na wenza wao wa ngono kuwa katika hali ya

hatari ya kiwango cha juu cha uambukizi wa VVU.

Matokeo

• T3: Kupungua kwa hatari ya maambukizi ya VVU miongoni mwa wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana walio katika hali hatarishi iliyokithiri kutokana na ukatili wa kijinsia

, kutokuwa na usawa wa kijinsia na taratibu zenye madhara ya kijamii na kiutamaduni.

Mikakati

• M1: Kuhimiza majadiliano ya wazi na kuongeza ufahamu juu ya ukatili wa kijinsia

unaongeza kiwango cha hali hatarishi ya maambukizi ya VVU.

• M2: Kukusanya, kuchambua na kutoa taarifa kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na

wasichana.

• M3: Kujumuisha afua zinazoshughulikia na kuitikia kuhusu ukatili dhidi ya wanawake,

fursa za kinga mimba za dharura na kuzuia maradhi baada ya kuwa katika hali hatarishi

• M4: Kuwezesha ukuzaji wa stadi za maisha miongoni mwa wasichana na wavulana

kuhusu haki za afya ya ngono na uzazi

• M5: Kuboresha uwezo wa viongozi wa kijadi, kidini na wanaharakati kuhusu masuala ya

jinsia ili kutetea imani na kuimarisha tabia njema .

Page 28: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)12

Eneo dogo la kimkakati 3: UPANUZI WA AFUA ZA VVU NA UKIMWI MAHALI PA KAZI

Masuala ya Kimkakati kwa Wanawake na Wasichana

• Nchini Tanzania ni wanawake wachache tu huajiriwa kuliko wanaume katika sehemu

za kazi zilizo rasmi, kwa hiyo programu za VVU na UKIMWI huwa� kia zaidi waajiriwa wa

kiume na wachache wa kike katika sehemu hizi rasmi za kazi.

• Unyanyasaji wa kingono hutokea katika sekta rasmi na zisizo rasmi, ambapo mara nyingi

wanawake hulazimishwa kufanya ngono kwa ama kupewa upendeleo fulani au kuajiriwa,

hivyo kusababisha wanawake hawa kuwa kwenye hali ya hatari ya maambukizi ya VVU.

Matokeo

• T4: Kuongezeka kwa uwiano baina ya sekta za umma na binafsi, waendesha sekta rasmi

na isiyo rasmi, zinazopanga na kutekeleza afua zinazoshughulikia masuala ya VVU na

UKIMWI za mahali pa kazi zenye mwitikio wa kijinsia, zikiwalenga wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana katika katika hali ya usawa.

Mikakati

• M6: Kuhakikisha kuwa programu zinazohusu masuala ya VVU mahali pa kazi katika sekta

rasmi na isiyo rasmi zinajumuisha wafanyakazi na familia zao.

• M7: Kutetea uwezeshaji wa uelewa wa msingi na ulinzi wa haki za waajiriwa, kuhusiana

na masuala ya unyanyasaji wa kingono.

Eneo dogo la kimkakati 4: KINGA, TIBA NA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA

NGONO

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

• Wanawake huweza kupata maambukizi ya magonjwa ya ngono pasipo kuwa na dalili

zozote, hivyo ni vigumu kujitambua kama wana maambukizo yoyote. Zaidi ya hayo,

baadhi ya wanawake na wasichana hukataa kupimwa na kutafuta tiba kwa kuho� a

unyanyapaa na lawama.

Page 29: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 13

Matokeo

• T5: Upanuzi wa hudumabora za afya na haki za ngono na uzazi zilizo na mwitikio wa

kijinsia zinazojumuisha ushauri na unasihi, upimaji wa VVU, pamoja na uhimizaji wa

matumizi ya kondomu katika sehemu zinazotoa huduma za afya mahali pa kazi.

Mkakati

• M8: Kuimarisha huduma za kira� ki za afya na haki ya ngono na uzazi kwa wanawake

katika vituo vya afya.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 5: UHIMIZAJI NA UPANUZI WA HUDUMA ZA UNASIHI NA

UPIMAJI WA VVU

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Kuna taarifa za kuwepo kwa kiwango cha chini cha Unasihi na Upimaji wa VVU kwa

wanaume, vilevile kuna tabia ya wanamume kusita kutumia huduma za unasihi na

upimaji.Taarifa zinaonesha kuwa asilimia 27 ya wanaume, ikilinganishwa na asilimia 37

ya wanawake Tanzania wamepima VVU na kupokea majibu yao.

Matokeo

• T6: Kuongeza kiwango cha upatikanaji wa huduma za unasihi na upimaji wa VVU

pamoja na idadi ya vituo vya huduma za kira� ki vya unasihi na upimaji kwa wanamume

na wavulana mijini na vijijini.

Mkakati

• M9: Kuimarisha na kujenga uwezo kwa ajili ya utoaji wa huduma ya unasihi na upimaji

iliyo bora ambayo inahamasisha uelewa kwa wanaume.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 6: KUZUIA UENEAJI WA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA

MAMA KWENDA KWA MTOTO

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

• Kutokana na hofu ya kunyanyapaliwa na kubaguliwa na wanajumuiya wenzao, baadhi ya

wanawake hawahudhurii kliniki na kuweza kupata fursa za huduma ya kuzuia maambukizi

ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto ili wasidhihirishe hali zao za uambukizo wa

VVU.

Page 30: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)14

• Kuna hali ya kutokuwa na huduma za afya zilizo na ubora, zisizotosheleza sehemu za vijijini

hususan kwa wanawake wakati wa kujifungua, kuna idadi isiyotosheleza ya wakunga wa

jadi walio na weledi na waliofunzwa ipasavyo , kuna fursa pungufu za vifaa muhimu vya

afya kama vile glavu , pamba, kemikali za kuua vijidudu na maziwa mbadala kwa ajili ya

watoto wanaozaliwa kutoka kwa wanawake wenye VVU na UKIMWI .

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Miongoni mwa wanaume kuna ufahamu na uthamini usio wa kutosha kuhusu umuhimu

wa kushiriki programu ya kuzuia maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto,

pamoja na ushiriki wao mdogo kwenye masuala ya huduma za afya ya Uzazi na Mtoto

Matokeo

• T7: Kuongezeka uimarishwaji wa huduma za kira� ki za afya ya uzazi na mtoto , na

kuboresha ushirikishwaji wa wanawake na wanaume katika masuala ya uzuiaji wa

mambukizi ya VVU toka kwa mama na kwenda kwa mtoto.

Mikakati

• M10: Kufanya utetezi na kuhamasisha jamii ili kupambana na unyanyapaa unaohusiana

na huduma ya uzuiaji wa maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na

kuboresha huduma hiyo iwe ya kira� ki

• M11: Kuimarisha ura� ki na ubora wa huduma ya uzuiaji wa maambukizi ya VVU toka kwa

mama kwenda kwa mtoto ili kuchochea uelewa kwa wanawake na wanaume.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 7: UHIMIZAJI WA MATUMIZI NA USAMBAZAJI WA KONDOMU

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

• Wanawake wana uwezo au ushawishi mdogo wa kujadili juu ya kutumia kondomu

wakati wa kufanya ngono, kwa hiyo mara nyingi hukosa uwezo wa kudhibiti au kusisitiza

matumizi sahihi ya kondomu.

• Uhimizaji wa matumizi ya kondomu za kike haujapewa msisitizo wa kutosha. Pia,

upatikanaji wake si rahisi ukilinganisha na kondomu za wanaume kwa sababu ya gharamu

kubwa na zina usumbufu wakati wa kutumia. Hivyo kiwango cha matumizi na uelewa wa

kondomu za kike kiko chini ingawa ndiyo njia bora kuliko zote kwa mwanamke kudhibiti

maambukizi ya VVU.

Page 31: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 15

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Baadhi ya wanaume hukataa kutumia kondomu wakidai inapunguza raha. Wanaume

wengine na wenza wao wa ngono huona kuwa matumizi ya kondomu ni dalili ya uasherati

na kutokuwa na uaminifu. Wanaume kama hawa hawatumii kondomu kwa ajili ya kinga

ya maambukizi ya VVU/ magonjwa ya ngono au ujauzito.

Matokeo

• T8: Fursa za upatikanaji pamoja na matumizi ya kondomu za kike na za kiume kwa kinga

madhubuti inayoweza kuzuia mimba na wakati huohuo kuzuia maambukizo ya VVU na

magonjwa mengine ya ngono zimepanuka .

Mikakati

• M12: Kupanua wigo wa upatikanaji wa kondomu za kike na za kiume zenye ubora kama

njia ya kinga dhidi ya maambukizi ya VVU na magonjwa ya ngono pamoja na mimba.

• M13: Kukuza uelewa wa umuhimu wa kutumia kondomu za kike na za kiume kama kinga

madhubuti inayoweza kuzuia mimba na wakati huohuo kuzuia maambukizo ya VVU.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 8: KUZUIA KUENEA KWA MAAMBUKIZI YA VVU KUPITIA VIFAA

VILIVYOSIBIKWA

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Vifaa vilivyosibikwa (vichafu na visivyo salama) ambavyo hutumika na watu mbalimbali

kwa kushirikiana kwa mfano, wakati wa kujidunga sindano za dawa za kulevya, kutahiri

wanaume, kutogea, kutiana makovu, chale na mafundo ya kiasili kwa ajili ya kuungana

udugu huongeza hali ya hatari ya maambukizi ya VVU kwa wanaume.

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

Vifaa vilivyosibikwa ambavyo hutumika na watu mbalimbali kwa kushirikiana kwa mfano,

wakati wa kujidunga sindano za dawa za kulevya, kukeketa wanawake, kutogea, kutiana

makovu, chale na mafundo ya kiasili kwa ajili ya kuungana udugu na wakati wa uzazi

huongeza hali ya hatari ya maambukizi ya VVU kwa wanawake.

Page 32: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)16

Matokeo

T9: Hatari ya kuenea kwa maambukizi ya VVU miongoni mwa wanaume na wanawake kwa

kupitia vifaa vilivyosibikwa imepungua

Mikakati

• M14: Toa elimu sahihi kwa jamii kuhusu hatari iliyopo ya kupata maambukizi ya VVU

kupitia vifaa vya kutobolea vilivyosibikwa

• M15: Wasaidie na kuwahamasisha watoa huduma wa afya walio katika jumuia pamoja

na waganga wa jadi watumie vifaa vilivyo� shwa ili kuvifanya viwe salama

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 9: TOHARA KWA WANAUME NA WAVULANA

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Tohara ya kitaalamu kwa wanaume inasaidia kupunguza ueneaji wa maambukizi ya

VVU na magonjwa ya ngono. taarifa ya uta� ti uliofanyika mwaka 2007 /2008 inaonesha

asilimia 65.8 ya wanaume wa Tanzania wametahiriwa.

• Taarifa sahihi kuhusu faida za kutahiri wanaume kama mojawapo ya kinga bado hazija� kia

sehemu kubwa ya jamii ya watanzania.

• Baadhi ya njia za asili za kutahiri wanaume hufanyika kwa kutumia vifaa vya kuchangia.

Matokeo

• T10: Uhimizaji wa tohara ya kitaalamu kwa wanaume na wavulana umefanyika, na

maambukizo ya VVU/magonjwa ya ngono yamepungua.

Mkakati

M16: Kuhimiza mwitikio wa kijamii wa kutahiri wanaume kama njia ya kukinga maambukizi

ya VVU.

Page 33: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 17

3.2 ENEO KUU LA KIMKAKATI: TIBA, MATUNZO NA MSAADA

Matokeo

• Tokeo 11: Magonjwa na vifo miongoni mwa wanawake, wanaume, wasichana na

wavulana yanayosababishwa na masuala ya kijinsia, VVU na UKIMWI kupungua.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 1: HUDUMA ENDELEVU, TIBA, MATUNZO NA MSAADA

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

• Wanawake waishio vijijini wana fursa ya kupata dawa za kupunguza makali ya UKIMWI.

Japokuwa baadhi yao hukumbana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na kulazimika

kuchangia dawa hizo na waume wao ambao hawako tayari kufuata tiba wenyewe.

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Wanawake walio katika tiba ya kupunguza makali ya UKIMWI ni wengi zaidi kuliko

wanaume kwa sababu kimsingi wanawake huhudhuria vituo vya afya kwa ajili ya kupata

huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto kuliko wanaume hivyo basi, wanawake hao hupimwa

na kujumuishwa katika tiba hiyo

Matokeo

• T12: U� kiaji wa haki na fursa sawa kwa wanawake wanaume, wasichana na wavulana

wanaoishi na VVU katika kupata huduma endelevu, tiba, matunzo na msaada

umeongezeka.

Mikakati

• M17: Kuimarisha utambuzi wa masuala ya kijinsia na huduma ya kira� ki katika masuala

ya utoaji wa tiba na matunzo ya VVU na UKIMWI ili kuhamasisha ushiriki wa wanaume

• M18: Kukuza ushiriki wa wanaume katika kupata tiba na matunzo ya VVU na UKIMWI.

Page 34: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)18

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3: MSAADA NA MATUNZO KWA WAGONJWA NYUMBANI

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wasichana

• Baadhi ya wanawake, hususan katika maeneo ya vijijini hutunza wagonjwa wanaoishi

na VVU na UKIMWI bila ya kuwa na ujuzi, maarifa na vifaa vya kutosha kwa ajili ya

kujikinga wakati wa kutoa huduma kwa WAVIU.

• Katika baadhi ya maeneo, wanawake wazee hulea wajukuu na kutunza wagonjwa

wakiwemo ndugu wanaoishi na VVU na UKIMWI bila kuwa na stadi, maarifa au vifaa

vya kujikinga na maambukizi hivyo kuwa katika hatari kubwa zaidi kupata maambukizo

ya VVU.

• Huduma nzito kwa wagonjwa nyumbani zinazotolewa na wanawake na wasichana katika

kaya na jamii hazipewi uzito na thamani stahili.

Masuala ya kimkakati kwa wanaume na wavulana

• Wanaume wanaoshiriki katika utoaji huduma ya matunzo kwa wagonjwa wenye VVU na

UKIMWI ni wachache sana kulinganisha na wanawake. Hii inasababisha kutokuwepo na

uwiano katika mzigo wa matunzo uliopo kwa wanawake na wasichana.

Matokeo

• T13: Utoaji wa huduma na upatikanaji wa rasilimali ili kupunguza mzigo wa huduma za

wagonjwa majumbani kwa wanawake na wasichana umehamasishwa.

Mikakati

• M19: Kuimarisha uwezo wa wanawake na wanaume, wakiwemo wanawake na wanaume

wazee ambao hutoa huduma za majumbani katika jamii na kaya.

• M20: Kuhamasisha wanaume wengi zaidi kushiriki katika mpango wa kutoa huduma

za wagonjwa majumbani.

Page 35: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 19

3.3 ENEO KUU LA KIMKAKATI: KUPUNGUZA ATHARI

Matokeo

• T14: Maisha bora na ustawi wa jamii kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana

wanaoishi au kuathiriwa moja kwa moja na VVU na UKIMWI.

ENEO DOGO LA KIMKAKAT1: WASICHANA NA WAVULANA YATIMA NA WALIO KATIKA

MAZINGIRA MAGUMU.

Masuala ya kimkakati kwa wasichana na wavulana

• Mara nyingi,Wasichana na wavulana wanaotokea katika mazingira hatarishi hulazimika

kuacha shule ili aidha kutunza ndugu zao ambao ni wagonjwa, au kufanya kazi za

kujiingizia kipato kwa ajili ya kukidhi mahitaji muhimu kama vile chakula na ada za shule

, wakati mwingine hulazimika kuolewa ili kukidhi mahitaji yao.

• Baadhi ya watoto yatima wa kike na wa kiume na walio katika mazingira magumu,

wanakuwa katika kongwa la unyanyasaji, utumikishwaji kwenye ajira mbaya na

usa� rishwaji haramu kutoka vijijini kwenda mijini.

Matokeo

• T15: Kuboresha utoaji misaada na huduma za kijamii zinazojumuisha sekta mbalimbali

kwa kuzingatia utambuzi wa kijinsia.

Mkakati

• M21: Kuimarisha uwezo wa familia na jumuia katika kutambua na kutoa msaada wa

kisaikolojia na matunzo kwa watoto yatima wa kike na wa kiume na walio katika mazingira

magumu.

ENEO DOGO LA 2 LA KIMKAKATI: KUBORESHA MISAADA NA UWEZO WA WAATHIRIKA

KUKABILI ATHARI ZA VVU NA UKIMWI

Masuala ya kimkakati kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana

• Mara nyingi wanawake na wasichana huelemewa zaidi na majukumu ya kutunza

wagonjwa walio katika familia zao. Inapotokea mgonjwa akafariki, wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana huathirika kisaikolojia na kiuchumi.

Page 36: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)20

• Inakadiriwa kwamba nusu ya wajane hudhulumiwa mali zao na ndugu wa mwanamume

pindi waume zao wanapofariki.

Matokeo

• T16: Wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika ngazi ya kaya na jamii

wamejengewa uwezo wa kutambua na kukabiliana na athari za VVU na UKIMWI

zinazohusiana na masuala ya kijinsia.

Mikakati

• M22: Kuimarisha uwezo wa jamii katika kutambua na kutoa msaada kwa familia ambazo

zimeathiriwa na VVU na UKIMWI moja kwa moja.

• M23: Kuboresha uwezo wa kukabili na kustahimili changamoto zinazotokea katika

familia ambazo zimeathiriwa na VVU na UKIMWI moja kwa moja

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3: WATU WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI

Masuala ya kimkakati kwa wanawake na wanaume

• Unyanyapaa unaowakabili wanawake wenye maambukizo ya Virusi vya UKIMWI

huchochea chuki bila sababu, hali inayosababisha wanawake kuchukiwa, kubaguliwa

na kukosa haki zao za msingi na kuzidi kuwafukarisha . Aidha, wengine miongoni

mwao wameelezea kushambuliwa kwa maneno makali kwa kutonyonyesha watoto

wao.

• Baadhi ya wanawake wajane wamekuwa wakinyanyapaliwa na kulaumiwa kwa vifo vya

waume zao, na hiyo imesababisha kunyimwa haki ya urithi wa mali na ukosefu wa mafao

katika jamii.

• Haki za baadhi ya wajane waishio na VVU, zimekiukwa kutokana na mila potofu kama

vile, kulazimishwa kurithiwa na kutakaswa.

Matokeo

• T17: Haki za wanawake wenye VVU zinalindwa, zinatimizwa na kuheshimiwa

Mkakati

• M24: Kuwezesha utekelezaji wa sheria ya kuzuia na kudhibiti VVU na UKIMWI namba

28 ya mwaka 2008 ili kupunguza aina zote za unyanyapaa na ubaguzi.

Page 37: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 21

3.4 ENEO KUU LA KIMKAKATI; MAZINGIRA WEZESHI

Matokeo

• T18: Mazingira wezeshi yanayoshughulikia na kuelezea mahitaji ya wanawake, wanaume,

wasichana na wavulana katika utekelezwaji wa Mwitikio wa Taifa wa VVU na UKIMWI

yameboreshwa.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 1: UINGIZWAJI WA MASUALA YA JINSIA NA HAKI ZA

BINADAMU KATIKA SHERIA , SERA, MIUNDO YA KITAASISI, MIPANGO, ZANA ZA MIPANGO

NA MIONGOZO YA MAFUNZO INAYOHUSIANA NA MASUALA YA VVU NA UKIMWI

Matokeo

• T19: Kuimarika kwa njia za kujitolea kikamilifu, uwazi, uwajibikaji, na msaada kwa afua

za VVU na UKIMWI kwa kuzingatia haki za binadamu na misimamo ya utambuzi na

uzingatiaji wa jinsia kutoka kwa watunga sera na wafanya maamuzi.

• T20: Wanawake na wasichana wanapata fursa katika huduma jumuishi za sekta mbalimbali

kuhusu VVU na UKIMWI , kifua kikuu, haki za Afya ya Uzazi (SRHR) na kupunguza

madhara,mathalani huduma zinazoshughulikia masuala ya Ukatili wa Kijinsia.

Masuala ya Kimkakati

• Vipengele vya Masuala ya jinsia vimepewa nafasi � nyu katika sheria, sera, mipango

na nyenzo zake, miongozo ya mafunzo na katika miundo na progamu za MDAs, LGAs,

AZAKI na sekta binafsi.

• Huduma za haki ya Afya ya uzazi (SRHR) na zile za masuala ya VVU na UKIMWI

hazijaoanishwa na kujumuishwa kikamilifu. Kwa hiyo wateja hupata huduma

zisizotosheleza za kondomu za kike na za kiume, rufaa kwa ajili ya hadhari baada ya

hatari, tiba ya magonjwa nyemelezi na huduma za kingamimba.

Mikakati

• M25: Kuhakikisha kuwa sheria na sera zote zinazohusu VVU na UKIMWI zinazingatia

jinsia na zinakubaliana na kanuni na misingi ya haki za binadamu.

• M26: Kuhakikisha kuwa mipango na zana zote za mipango zinazohusiana na VVU na

UKIMWI zinazingatia jinsia na zinakubaliana na misingi ya haki za binadamu.

• M27: Kuhakikisha kuwa mafunzo yote ya kitaifa yanayohusiana na VVU na UKIMWI

yanazingatia jinsia na yanakubaliana na misingi ya haki za binadamu.

Page 38: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)22

• M28: Kuakikisha kuwa miundo yote muhimu ya kitaasisi inazingatia urasimishwaji wa

jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 2: UPATIKANAJI WA RASILIMALI KWA AJILI YA UINGIZWAJI WA

JINSIA KATIKA MASUALA YA VVU NA UKIMWI .

Matokeo

• T21: Ukusanyaji wa rasilimali za kutosha kwa ajili ya urasimishwaji wa jinsia na haki za

binadamu katika afua za VVU na UKIMWI umehamasishwa.

Masuala ya kimkakati

• Wakati jitihada za kuzingatia jinsia katika afua zinazohusu VVU na UKIMWI

zimekwishafanyika katika mashirika mengi ya umma na ya binafsi, wakati mwingine

jitihada hizi hukosa mwelekeo kutokana na u� nyu wa rasilimali fedha, watu na vifaa.

• Ufuatiliaji wa bajeti na jitihada zinazo shughulikia masuala ya usawa wa kijinsia katika

afua tofauti hufanyika kwa nadra sana hivyo kudhorotesha uwajibikaji.

Mkakati

• M29: Kutetea ukusanyaji wa rasilimali katika Wizara, Idara na Wakala (MDAs), sekta

binafsi na wadau wa maendeleo kwa ajili ya uzingatiaji wa jinsia katika afua za VVU na

UKIMWI.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI 3 : UIMARISHAJI WA UWEZO KWA MASUALA YA JINSIA, VVU

NA UKIMWI .

Matokeo

• T22: Kuimarika kwa uwezo wa taasisi na wa watoa huduma za VVU na UKIMWI kwa

kuzingatia jinsia.

• T23: Uongozi thabiti na shupavu unaojumuisha wanawake na wasichana katika mwitikio

wa VVU na UKIMWI na kwa kuzingatia jinsia umeimarishwa.

• T24: Wanawake, wanaume, wasichana na wavulana wamekuwa mstari wa mbele katika

kuleta mapinduzi ya mabadiliko ya mila na desturi na mgawanyo sawa wa fursa na

majukumu katika jamii kwa kushirikisha wanaume na wavulana watetezi wa usawa wa

jinsia katika muktadha wa VVU na UKIMWI.

Page 39: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 23

Masuala ya kimkakati

• Kuna uelewa mdogo miongoni mwa watunga sera, watoa maamuzi na jamii kwa ujumla

jinsi masuala ya jinsia yanavyochochea ueneaji wa maaambukizi ya VVU na UKIMWI na

athari zake , kwa wanawake, wanaume , wasichana na wavulana kwa namna mbalimbali.

• Mitizamo hasi na uelewa � nyu wa wapanga programu na watoa huduma katika masuala

ya VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia umepunguza kiwango cha uingizwaji wa

masuala ya jinsia katika afua za VVU na UKIMWI.

• Hakuna ufahamu na ujuzi wa kutosha katika kujumuisha kikamilifu masuala yanayohusu

usawa wa jinsia katika programu za VVU na UKIMWI kwa njia endelevu.

• Hakuna dhamira ya dhati katika kutafsiri na kutekeleza kwa vitendo sera, sheria na

mikakati mbalimbali kitaifa, kikanda na kimataifa katika kuchochea ushughulikiaji wa

haki na mahitaji ya wanawake, wanaume, wasichana na wavulana.

• Mkakati wa Kitaifa wa Maendeleo ya Jinsia, Wanawake na Sera ya Maendeleo ya Jinsia

haujapewa uzito unaostahili katika utekelezaji wake

Mikakati

• M30: Kujenga uwezo wa mashirika muhimu na wafanyakazi wake katika mwitikio wa

taifa wa VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia.

• M31: Kuhimiza utekelezaji wa dhamira kwa vitendo kwa kutoa fedha zaidi ili kutekeleza

sera na sheria zilizopo.

ENEO DOGO LA KIMKAKATI: UTAFITI, UFUATILIAJI NA TATHMIMI NA KUTOA MATOKEO

KWA MASUALA YA JINSIA NA VVU & UKIMWI

Matokeo

• T25: Ushahidi sawia na kwa muda muafaka upo kuhusu mahitaji mahsusi, hatari na

athari kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana katika muktadha wa masuala

ya VVU na UKIMWI ili kutoa matokeo bora zaidi ya utekelezaji wa sera, programu na

utengaji wa rasilimali za kutosha zinazotetea na kulinda haki na mahitaji yao.

• T26: Viashiria vya usawa wa kijinsia vinatumika ili kubainisha kwa ufasaha vipengele vya

elimu ya magonjwa ya mlipuko, kijamii, kiutamaduni, kiuchumi na ambavyo vinachangia

kuwaweka wanawake na wasichana katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU.

Page 40: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)24

Masuala ya kimkakati

• Jinsia haijaingizwa kikamilifu katika mifumo ya Taifa ya mara kwa mara ya ufuatiliaji

na tathmini inayohusu VVU na UKIMWI.

• Kuna uelewa na uitikiaji mdogo wa athari mbalimbali za VVU na ukiukwaji wa haki za

binadamu kwa wanawake, wanaume, wasichana na wavulana

• Kuna uhaba wa Taarifa muhimu zinazotokana na uta� ti, na uchunguzi kuhusu uhusiano

kati ya ueneaji na athari za maambukizi ya VVU na UKIMWI na masuala ya kijinsia katika

ngazi ya taifa.

• Kuna matumizi � nyu ya data zinazozingatia jinsia kwa ajili ya mipango, sera, programu,

utengaji rasilimali na mawasiliano katika masuala ya VVU na UKIMWI.

Mikakati

• M32:Kuandaa na kutumia viashiria vya usawa wa kijinsia ili kubainisha kwa ufasaha

vipengele vya elimu ya magonjwa ya milipuko, kijamii – kiutamaduni, kiuchumi na

ambavyo vinavyochangia kuwaweka wanawake na wasichana katika hatari ya kupata

maambukizi ya VVU

• M33: Kuingiza jinsia katika shughuli zote za Ufuatiliaji na Tathmini wa masuala ya VVU

na UKIMWI katika ngazi zote.

• M34: Kuandaa ushahidi sahihi na wa kutosha kwa mahitaji maalum na kubaini vikwazo

na athari kwa wanawake na wasichana katika muktadha wa VVU na UKIMWI.

• M35: Kujumuisha matokeo ya uchambuzi wa jinsi wanawake na wasichana

wanavyoathiriwa na ugonjwa wa mlipuko katika mukatdha wa VVU na UKIMWI kwenye

mapitio ya pamoja ya mwitikio wa taifa na tumia taarifa za kimkakati kwa kuandaa

mipango ya kimkakati ya taifa, mawasiliano na kujifunza.

Page 41: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 25

4. MPANGO KAZI WA SHUGHULI ZA MASUALA YA VVU NA UKIMWI ZINAZOZINGATIA JINSIA

Mpango kazi hapo chini ni kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za masuala ya VVU na UKIMWI

zenye mwitikio wa kijinsia, ambazo tayari zimekwishatekelezwa au zinabidi kutekelezwa

na wadau mbalimbali katika ngazi zote za mwitikio wa VVU Tanzania Bara. Kulingana na

Mkakati wa Pili wa Kudhibiti UKIMWI Tanzania, Mpango huu umeeleza bayana matokeo (T),

unataja mikakati (M), halafu unatoa orodha ya shughuli ambazo zinaendana na kila mkakati.

Mpango huu unaonesha sehemu zilizopendekezwa za kufuatiliwa haraka ambazo ni

vipaumbele kwa ajili ya shughuli kufanyika, pamoja na wadau waliopewa wajibu wa msingi

kuhakikisha shughuli zinafanyika kiuhalisi. Muda pamoja na makadirio ya bajeti za mwaka

za shughuli zitakazofanyika pia vimebainishwa. Mpango kazi huu unajumuisha ngazi ambayo

kila shughuli inatekelezwa na kama shughuli tayari imekwishaanza na inaendelea katika

mwitikio wa taifa wa VVU au ni afua mpya iliyopendekezwa.

Page 42: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)26

Ufu

nguo

: (K

) = K

aya

(Hou

seho

ld le

vels

), (V

) = K

ijiji

(Vill

age

leve

ls),

(HF)

= V

ituo

vya

hud

uma

ya a

fya

(Hea

lth F

acili

ty le

vels

), (M

K) =

Mah

ali p

a ka

zi

(Wor

kpla

ce le

vels

), (W

) = W

ilaya

(Dis

tric

t le

vels

), (M

) = M

koa

(Reg

iona

l lev

els)

, (T)

= K

itaifa

(Nat

iona

l lev

els)

, KT

= K

imat

aifa

(Int

erna

tiona

l lev

els)

, MP

= M

pya

(New

), U

= U

naoe

ndel

ea (O

ngoi

ng),

KIS

= K

isek

ta (S

ecto

ral)

EN

EO

KU

U L

A K

IMK

AK

AT

I 1: K

ING

A; U

ZU

IAJI

WA

UE

NE

AJI

WA

MA

AM

BU

KIZ

I YA

VV

U

• M

1: K

upun

guza

uen

eaji

wa

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U u

naos

abab

ishw

a n

a m

asua

la y

a ki

jinsi

a m

iong

oni m

wa

wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

nchi

ni.

• M

2: k

uim

aris

ha ji

tihad

a za

kin

ga; y

aani

, uzu

iaji

wa

uene

aji w

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

kw

a w

anaw

ake

na w

asic

hana

kw

a ku

zing

atia

uw

iano

kat

ika

usaw

a w

a ki

jinsi

a ku

husu

hak

i za

bin

adam

u.

Shu

ghul

i N

a.S

hugh

uli

Nga

ziS

ehem

u za

ku

fuat

iliw

a ha

raka

zi

lizop

end

ekez

wa

Mhu

sika

Mud

a H

ali

Mak

adiri

o ya

baj

eti y

a m

wak

a

• E

NE

O D

OG

O L

A K

IMK

AK

AT

I:2: K

UP

UN

GU

ZA

HA

LI H

ATA

RIS

HI Y

A M

AA

MB

UK

IZI Y

A V

VU

MIO

NG

ON

I MW

A M

AK

UN

DI Y

ALI

YO

KA

TIK

A

MA

ZIN

GIR

A M

AG

UM

U K

UP

IND

UK

IA

• M

3: h

atar

i ya

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U m

iong

oni m

wa

wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

wal

io k

atik

a m

azin

gira

mag

umu

kup

ind

ukia

ku

toka

na n

a uk

atili

wa

kijin

sia,

kut

okuw

a na

usa

wa

wa

kijin

sia

na t

arat

ibu

zeny

e m

adha

ra y

a ki

jam

ii na

kiu

tam

adun

i im

epun

gua.

M1:

Kuh

imiz

a m

ajad

ilian

o ya

waz

i na

kuon

geza

ufa

ham

u kw

amb

a uk

atili

wa

kijin

sia

unao

ngez

a ki

wan

go c

ha h

ali h

atar

ishi

ya

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U

1

Kue

ndes

ha W

arsh

a y

a m

afun

zo k

wa

Wak

ufun

zi k

wa

ajili

ya

Kam

ati S

hirik

ishi

za

Kud

hib

iti U

KIM

WI z

a H

alm

asha

uri ,

kw

a ku

husi

sha

war

atib

u w

a m

asua

la y

a U

KIM

WI

katik

a ng

azi y

a ha

lmas

haur

i na

wan

ahar

akat

i w

a W

ilaya

wa

mas

uala

ya

ukat

ili w

a ki

jinsi

a.

W

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

TAC

AID

S n

a A

ZA

KI

2011

U

Uku

mb

i, us

a� r

i ny

enzo

na

waw

ezes

haji

=

$30,

000

x m

ikoa

7 =

$2

10,0

00

Page 43: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 27

2

Kue

ndes

ha w

arsh

a el

ekez

i kw

a w

alet

a m

abad

iliko

kuh

usu

ukat

ili w

a ki

njis

ia a

mb

ao

unao

ngez

a ha

li ha

taris

hi y

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

na

UK

IMW

I kw

a ku

shiri

kish

a K

amat

i sh

iriki

shi z

a U

KIM

WI z

a K

ata

na v

ijiji

na

waw

akili

shi k

atik

a ng

azi y

a ka

ta, k

and

a na

vi

jiji.

.

W

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

wak

ufun

zi

wal

iop

ata

maf

unzo

20

11U

Uku

mb

i, us

a� r

i ny

enzo

na

waw

ezes

haji

=

$30,

000

x m

ikoa

7 =

$2

10,0

00

3

Zin

dua

na

end

esha

kam

pen

i ya

“UN

iTE

ili k

uond

oa u

katil

i dhi

di y

a w

anaw

ake

na

kusa

idia

ute

kele

zaji

wa

kam

pen

i hii

katik

a ng

azi y

a ki

taifa

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

(MD

As)

, AZ

AK

I20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au,

wat

aala

mu

elek

ezi n

a gh

aram

a za

vyo

mb

o vy

a ha

bar

i = $

10

0,00

0

4

End

esha

mija

dal

a nd

ani y

a ja

mii

husu

san

kwa

vio

ngoz

i wa

din

i na

kim

ila v

ijijin

i ili

kuon

geza

ufa

ham

u ku

husu

uny

anya

saji

wa

kinj

isia

kam

a sa

bab

u na

mat

okeo

ya

kuon

geze

ka k

wa

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U.

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Kam

ati z

a H

alm

asha

uri

za U

KIM

WI

zihu

sish

azo

mas

uala

m

bal

imb

ali y

a ki

sekt

a V

yam

a vy

a ua

ngal

izi

vya

ujira

ni

2011

MP

Usa

� ri n

a m

alaz

i , w

awez

esha

ji na

p

osho

kw

a aj

ili y

a m

azun

gum

zo k

atik

a ju

mui

a. $

3,00

0 x

mik

utan

o 4

ya

maz

ungu

mzo

x m

ikoa

7

= $

84,0

00

5Z

uru

nyu

mb

a ha

di n

yum

ba

kw

a aj

ili y

a ku

leta

mab

adili

ko y

a m

awas

ilian

o ya

kija

mii

kuhu

su m

asua

la y

a uk

atili

wa

kijin

sia

vijij

ini .

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

2011

MP

Pos

ho z

a w

awez

esha

ji gh

aram

a za

usa

� ri n

a m

awas

ilian

o $1

2,00

0 x

mik

oa 7

= $

84,0

00M

2: K

ukus

anya

,kuc

ham

bua

na

kuto

a ta

arifa

kuh

usu

ukat

ili d

hid

i ya

wan

awak

e na

was

icha

na

6

Jum

uish

a up

imaj

i wa

kita

ifa k

uhus

u ha

li ili

yop

o ya

uka

tili w

a K

ijins

ia n

a d

estu

ri zi

nazo

husi

ana

na k

uong

ezek

a kw

a ha

li ha

taris

hi k

wa

VV

U n

a U

KIM

WI.(

und

a m

ifum

o ya

kita

ifa y

a ku

sany

a d

ata,

kuc

ham

bua

, na

kuto

a ta

arifa

kuh

usu

ukat

ili w

a K

ijins

ia)

TK

itaifa

TA

CA

IDS

, M

oHS

W ,

MC

DG

CW

HO

2011

U

Mik

utan

o ya

wad

au,

ada

za w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i =

$ 1

50,0

00

Page 44: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)28

7

Anz

isha

vya

ma

vya

uang

aliz

i vya

ujir

ani

kwa

wal

eta

mab

adili

ko a

mb

ao w

ataf

uatil

ia,

wat

atoa

taa

rifa

na k

ushu

ghul

ikia

au

kuch

ukua

hat

ua s

ahih

i dhi

di y

a uk

atili

wa

kijin

sia

kwa

kila

kiji

ji

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Wal

eta

mab

adili

ko,

was

hugh

ulik

iaji

leng

wa

wa

wila

ya

wa

mas

uala

ya

Uka

tili w

a K

ijins

ia

2011

U

Usa

� ri,

mal

azi ,

vi

bur

udis

ho, n

a p

osho

za

vyam

a vy

a ua

ngal

izi k

wa

$12,

000

x m

ikoa

7 =

$8

4,00

0

8

Fany

a uf

uatil

iaji

wa

mar

a kw

a m

ara

kuch

ungu

za a

ina

na k

iwan

go c

ha v

isa

vina

vyot

okea

kut

okan

a na

uny

anya

saji

wa

kijin

sia

kw

a ku

tum

ia h

udum

a ya

sim

u ya

m

oja

kwa

moj

a b

ila m

alip

o

TK

itaifa

TAC

AID

S,

Kun

di l

a U

fuat

iliaj

i la

Kija

mii

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

sim

u na

waf

anya

kazi

w

anao

toa

hud

uma

ya

sim

u =

$10

0,00

0

M3:

Jum

uish

a af

ua z

inaz

osh

ughu

likia

na

kup

ing

a uk

atili

dhi

di y

a w

anaw

ake,

fur

sa z

a ki

ngam

imb

a za

dha

rura

na

had

hari

baa

da

ya h

atar

i.

9

And

aa t

arat

ibu

kuu

za u

end

esha

ji z

enye

ku

jum

uish

a p

rogr

amuu

za

haki

za

afya

ya

ngo

no n

a uz

azi n

a V

VU

na

UK

IMW

I zi

taka

zosh

ughu

likia

kup

inga

uka

tili w

a ki

jinsi

a ka

tika

hud

uma

za h

adha

ri b

aad

a ya

hat

ari

pam

oja

na fu

rsa

za k

inga

mim

ba

ya d

haru

ra

TK

itaifa

MoH

SW

TA

CA

IDS

, P

MO

-RA

LG

2011

-20

12U

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

10

Anz

isha

mita

ndao

ya

kiw

ilaya

ya

wat

oa

hud

uma

za ja

mii

kam

a vi

le p

olis

i, w

anas

heria

, w

ataa

lam

u w

a se

kta

ya a

fya,

vio

ngoz

i wa

din

i, ili

kus

hugh

ulik

ia m

atuk

io y

anay

ohus

iana

na

mas

uala

ya

ukat

ili w

a ki

jinsi

a

W

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Maf

unzo

kw

a W

akuf

unzi

, w

asim

amiz

i w

a W

ilaya

w

a m

asua

la

ya u

katil

i wa

kijin

sia

2011

U

Maw

asili

ano

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

wan

acha

ma

wa

mita

ndao

kw

a $1

2,00

0 x

mik

oa 7

=

$ 84

,000

Page 45: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 29

11

Anz

isha

hud

uma

ya b

ure

ya s

imu

ya m

oja

kwa

moj

a kw

a w

atej

a ili

kuf

uatil

ia, k

uwek

a ku

mb

ukum

bu

na b

aad

aye

kuw

aung

anis

ha

wal

e w

ote

wal

ioat

hirik

a un

yany

asaj

i wa

kijin

sia

na m

itand

ao y

ao y

a w

ilaya

ya

pol

isi,

wan

ashe

ria, w

ataa

lam

u w

a af

ya n

a vi

ongo

zi

wa

din

i ili

kup

ata

hud

uma

za b

ure,

ikiw

emo

ile y

a ki

ngam

imb

a ya

dha

rura

na

had

hari

baa

da

ya h

atar

i.

TK

itaifa

TAC

AID

S)

Kun

di l

a U

fuat

iliaj

i la

Kija

mii

2011

MP

Gha

ram

a za

sim

u na

w

afan

yaka

zi w

atoa

hu

dum

a =

$ 1

00,0

00

M4:

Wez

esha

uku

zaji

wa

stad

i za

mai

sha

mio

ngo

ni m

wa

was

icha

na n

a w

avul

ana

kuhu

su h

aki z

a af

ya y

a ng

ono

na

uzaz

i

12

End

esha

maj

adili

ano

leng

wa

katik

a vi

kund

i sh

ulen

i ili

kuta

mb

ua m

asua

la y

a ki

jinsi

a ya

nayo

husi

ana

na h

aki y

a af

ya y

a ng

ono

na u

zazi

am

bay

o ya

nach

angi

a ku

onge

zeka

kw

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

mio

ngon

i mw

a w

asic

hana

na

wav

ulan

a sh

ulen

i

MR

ukw

a, S

ingi

da,

Ir

inga

, Ruv

uma,

M

bey

a, M

wan

za

MoE

VT,

TA

CA

IDS

M

oHS

W,

MC

DG

C,

(NB

S)

2011

-12

MP

Pos

ho y

a ku

jikim

u ya

waw

ezes

haji,

gh

aram

a za

usa

� ri

na m

awas

ilian

o kw

a $1

2,00

0 x

mik

oa 6

=

$72,

000

13

Piti

a n

a in

giza

mas

uala

ya

kijin

sia

yana

yohu

sian

a na

hak

i ya

afya

ya

ngon

o na

uz

azi k

wen

ye m

afun

zo (m

itaal

a) y

a st

adi z

a m

aish

a sh

ulen

i

TK

itaifa

MoE

VT,

Taa

sisi

ya

Mita

ala,

TA

CA

IDS

, M

oHS

W

MC

DG

C ,

NB

S

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

14

Bun

i na

zind

ua k

amp

eni z

a ki

taifa

kw

a ku

tum

ia v

yom

bo

vya

hab

ari

kuw

a� k

ia

waz

azi,

vija

na (w

alio

po

shul

eni n

a w

alio

nj

e ya

shu

le),

na ja

mii

yote

kw

a uj

umla

, zi

taka

zoku

wa

na u

jum

be

kuhu

su e

limu

jum

uish

i ya

mas

uala

ya

ngon

o na

usa

wa

wa

kijin

sia

TK

itaifa

TAC

AID

S

WE

MU

, W

AU

J, A

ZA

KI

2011

-20

12M

P

Mik

utan

o ya

w

adau

, gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i na

mud

a w

a he

wan

i wa

vyom

bo

vya

hab

ari =

$1

00,0

00

Page 46: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)30

M5:

Bo

resh

a uw

ezo

wa

vio

ngo

zi w

a ja

di,

kid

ini n

a w

anah

arak

ati k

uhus

u m

asua

la y

a jin

sia

ili w

apin

ge

mila

na

iman

i po

tofu

na

kuhi

miz

a m

ila

njem

a na

mie

nend

o m

izur

i

15

Kus

anya

mao

ni y

a ja

mii

ili k

ufua

tilia

na

kup

ima

atha

ri za

kuw

epo

kw

a m

ila n

a d

estu

ri p

otof

u k

upiti

a m

atum

izi

ya u

jum

be

mfu

pi w

a b

ure

katik

a si

mu

za m

kono

ni

TK

itaifa

TAC

AID

S,

Mak

amp

uni

ya s

imu

za

mik

onon

i

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

sim

u na

za

waf

anya

kazi

w

anao

toa

hud

uma

hiyo

= $

100,

000

16

Fany

a ut

a� ti

md

ogo

wa

kup

ima

uhita

ji w

a ku

end

esha

maf

unzo

mio

ngon

i mw

a vi

ongo

zi

wa

jad

i na

kid

ini n

a w

atu

maa

rufu

kat

ika

jam

ii jin

si y

a ku

shug

hulik

ia m

ila n

a d

estu

ri

zina

zohu

sian

a na

jins

ia

KT

Kita

ifa

TAC

AID

S, M

CD

GC

, M

oHS

W,

War

atib

u w

a H

alm

asha

uri

wa

VV

U n

a U

KIM

WI -

C

HA

Cs1

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi /

mak

azi =

$1

50,0

00

17

And

aa m

afun

zo y

a ut

etez

i k

uwae

limis

ha

vion

gozi

wa

jad

i, w

a d

ini n

a w

atu

maa

rufu

ka

ma

wal

eta

mab

adili

ko w

anao

toa

utet

ezi

dhi

di y

a ut

amad

uni n

a d

estu

ri p

otof

u n

a ku

imar

isha

zile

zin

azof

aa

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

MoH

SW

, C

HA

Cs,

Ta

asis

i za

Elim

u ya

Juu

TES

, AZ

AK

I

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

18

Kw

a ku

tum

ia m

atan

gazo

ya

red

io n

a te

levi

shen

i end

esha

maf

unzo

ya

utet

ezi

kwa

vion

gozi

wa

jad

i, w

a d

ini n

a w

atu

maa

rufu

ka

ma

wal

eta

mab

adili

ko w

anao

pin

ga

tam

adun

i na

des

turi

pot

ofu

na k

uim

aris

ha z

ile

zina

zofa

a.

W

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga,

Man

yara

, Dod

oma,

Li

ndi

CH

AC

s,

Vyo

mb

o vy

a ha

bar

i20

11M

P

Uku

mb

i usa

� ri,

mal

azi,

vite

ndea

ka

zi, w

awez

esha

ji=

$30,

000

x m

ikoa

6 =

$1

80,0

00

Page 47: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 31

19

Fany

a zi

ara

ya n

yum

ba

had

i nyu

mb

a kw

a aj

ili y

a k

uchu

nguz

a ta

bia

au

mila

mb

adal

a

zina

zoku

bal

ika

na ja

mii

husi

ka n

a ku

pig

a vi

ta m

asua

la y

a uk

eket

aji,

ndoa

za

utot

oni,

unya

go, j

and

o, k

urith

i waj

ane,

kut

akas

a w

ajan

e na

tab

ia y

a ku

shiri

kian

a w

ake

W

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga,

Man

yara

, Dod

oma,

Li

ndi

Wal

eta

mab

adili

ko

mio

ngon

i m

wa

vion

gozi

w

a ki

jad

i, w

a ki

din

i na

wa

kim

aoni

2011

-12

MP

Pos

ho z

a w

awez

esha

ji,

ghar

ama

za u

sa� r

i na

maw

asili

ano

kwa

$12,

000

x m

ikoa

6 =

$7

2,00

0

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

KT

I 3: U

PAN

UZ

I WA

AFU

A Z

A M

AH

ALI

PA

KA

ZI

• T4

: Kuo

ngez

eka

kwa

uwia

no b

aina

ya

sek

ta z

a um

ma

na b

inaf

si, w

aend

esha

sek

ta r

asm

i na

zisi

zo r

asm

i, zi

nazo

anzi

sha

na k

utek

elez

a a

fua

zina

zosh

ughu

likia

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI m

ahal

i pa

kazi

zen

ye m

witi

kio

wa

kiji

nsia

, zin

azow

alen

ga w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a ka

tika

mw

elek

eo w

a m

asla

hi y

a ha

ki.

M6:

Kuh

akik

isha

kuw

a p

rog

ram

u zi

nazo

husu

mas

uala

ya

VV

U m

ahal

i pa

kazi

kat

ika

sekt

a ra

smi n

a is

iyo

ras

mi z

inaj

umui

sha

waf

anya

kazi

na

fam

ilia

zao

.

20

Fany

a ut

a� ti

wa

kub

aini

sha

vip

enge

le

vya

mas

uala

ya

kijin

sia

yana

yoch

oche

a m

aam

buk

izo

ya

VV

U m

ahal

i pa

kazi

kat

ika

sekt

a ra

smi n

a zi

sizo

ras

mi n

chin

i.

TK

itaifa

(PO

PS

M),

AB

CT2 ,

WA

UJ,

W

MJJ

W20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i /

mak

azi =

$15

0,00

0

21

Ingi

za m

asua

la y

a jin

sia

na f

amili

a ka

tika

mip

ango

ya

baj

eti k

wa

ajili

ya

afua

za

VV

U n

a U

KIM

WI,

katik

a ng

azi z

a w

ilaya

,wiz

ara,

idar

a w

akal

a na

sek

ta b

inaf

si k

atik

a ng

azi z

ote

TK

itaifa

(AB

CT)

, , W

AU

J,

MC

DG

C20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

22

End

esha

maj

adili

ano

leng

wa

ya v

ikun

di

yata

kayo

husi

sha

sek

ta r

asm

i na

isiy

o ra

smi i

li ku

jad

ili n

a ku

pen

dek

eza

hatu

a za

kus

hugh

ulik

ia m

asua

la y

a jin

sia

yana

vyoc

hoch

ea m

aam

buk

izi y

a V

VU

na

UK

IMW

I mio

ngon

i mw

a w

asic

hana

wa

kazi

ny

umb

ani,

wah

udum

u w

a ki

ke w

a b

aa,

mam

a lis

he, w

afan

yaka

zi w

a ng

ono,

wat

oto

wan

aotu

mik

ishw

a ka

zi n

gum

u, m

ader

eva

wa

teks

i/pik

ipik

i/baj

aji w

avuv

i na

wac

him

ba

mad

ini

W

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, M

wan

za

Shi

nyan

ga,

Dod

oma,

Man

yara

, Ta

nga

AZ

AK

I, V

yam

a vy

a W

afan

yaka

zi20

11M

P

Usa

� ri,

mal

azi /

m

akaz

i, w

awez

esha

ji na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maz

ungu

mzo

kat

ika

jum

uia

(dia

logu

e)

$3,0

00 x

mik

utan

o 4

ya m

azun

gum

zo x

m

ikoa

7 =

$84

,000

Page 48: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)32

M7:

Kut

etea

juu

ya u

faha

mu

wa

msi

ngi n

a ul

inzi

wa

haki

za

waa

jiriw

a, k

uhus

iana

na

mas

uala

ya

unya

nyas

aji w

a ki

ngo

no.

23

Bai

nish

a ai

na n

a ki

wan

go c

ha u

nyan

yasa

ji w

a ki

jinsi

a m

ahal

i ras

mi n

a p

asip

o ra

smi p

a ka

zi

ukitu

mia

hud

uma

za s

imu

za m

oja

kwa

moj

a b

ila m

alip

o.T

Kita

ifa

TAC

AID

S

MC

DG

C,

PO

PS

M

MO

JCA

3

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i= $

150,

000

24

And

aa n

a ku

sam

baz

a ka

nuni

ong

ozi z

a ki

taal

amu

kiut

end

aji z

inaz

oshu

ghul

ikia

ud

halil

isha

ji na

uny

anya

saji

wa

kin

gono

m

ahal

i pa

kazi

ras

mi n

a zi

sizo

ras

mi

TK

itaifa

TAC

AID

S

MC

DG

C

PO

PS

M

(MoJ

CA

)

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

25A

ndaa

na

sam

baz

a m

aban

go y

a ut

etez

i d

hid

i ya

udha

lilis

haji

na u

nyan

yasa

ji w

a

king

ono

mah

ali p

a ka

zi r

asm

i na

zisi

zo r

asm

iM

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, M

wan

za

Shi

nyan

ga,

Dod

oma,

Man

yara

, Ta

nga

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

PO

PS

M

MoJ

CA

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

w

adau

, gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i na

uch

apis

haji

=

$100

,000

26

And

aa n

a ku

rush

a m

atan

gazo

ya

red

io n

a te

levi

shen

i yan

ayop

inga

ud

halil

isha

ji na

un

yany

asaj

i wa

kin

gono

mah

ali p

a ka

zi r

asm

i na

zis

izo

rasm

i

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C

PO

PS

M

MoJ

CA

,Vyo

mb

o vy

a ha

bar

i

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

w

adau

, gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i na

za

kuru

sha

mat

anga

zo =

$1

00,0

00E

NE

O D

OG

O L

A K

IMK

AK

AT

I 4: K

ING

A, T

IBA

NA

UD

HIB

ITI W

A M

AA

MB

UK

IZI Y

A M

AG

ON

JWA

YA

NG

ON

O

T5: K

uong

ezek

a kw

a hu

dum

a za

afy

a zi

lizo

bor

a na

hak

i za

ngon

o na

uza

zi z

ilizo

na

mw

itiki

o w

a ki

jinsi

a ze

nye

ubor

a, z

inaz

ojum

uish

a us

haur

i na

unas

ihi,

up

imaj

i wa

vvu,

pam

oja

na u

him

izaj

i wa

mat

umiz

i ya

kond

omu

katik

a se

hem

u zi

nazo

toa

hud

uma

za a

fya.

M8:

Kui

mar

isha

hud

uma

za k

irafi

ki z

a af

ya n

a ha

ki z

a ng

ono

na

uzaz

i kw

a w

anaw

ake

kati

ka s

ehem

u zi

nazo

toao

hud

uma

za a

fya

27

Fuat

ilia

hali

ra� k

i ya

hud

uma

za m

agon

jwa

ya

ngon

o kw

a ku

tum

ia m

ashi

ne z

inaz

ojie

ndes

ha

kuto

a m

reje

sho

na k

ufan

ya m

ahoj

iano

na

wat

eja

was

iota

mb

ulik

a w

anap

otok

a ka

tika

hud

uma

ili k

uhak

iki n

a ku

thib

itish

a m

atok

eo.

HF

Ruk

wa,

Tab

ora,

M

orog

oro,

Mar

a,

Mb

eya,

Dod

oma,

D

ar E

s S

alaa

m

(NA

CP

) M

itand

ao

ya W

atu

wan

aois

hi

na V

VU

na

P

LHIV

2011

-12

MP

Pos

ho k

wa

ajili

ya

waw

ezas

haji,

gh

aram

a za

usa

� ri

na m

awas

ilian

o, n

a m

ashi

ne z

a uf

uatil

iaji

kwa

$20,

000

x m

ikoa

6

= $

120,

000

Page 49: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 33

28

Fany

a m

ajad

ilian

o ka

tika

vitu

o vy

a af

ya

ili k

ujad

ili m

atok

eo y

a m

reje

sho

kuhu

su

shug

huli

za u

fuat

iliaj

i hud

uma

na k

uam

ua n

jia

za k

ufua

ta

T

Ruk

wa,

Tab

ora,

M

orog

oro,

Mar

a,

Mb

eya,

Dod

oma,

D

ar E

s S

alaa

m

NA

CP,

TA

CA

IDS

2011

-12

U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 7

= $

84,0

00E

NE

O D

OG

O L

A K

IMK

AK

AT

I 5: K

UH

IMIZ

A N

A K

UO

NG

EZ

A H

UD

UM

A Z

A U

NA

SIH

I NA

UP

IMA

JI W

A V

VU

T6:

Kuo

ngez

eka

kwa

kiw

ang

o c

ha u

pat

ikan

aji w

a hu

dum

a za

up

imaj

i na

unas

ihi w

a V

VU

na

amb

azo

zim

ebo

resh

wa

pam

oja

na

idad

i ya

vitu

o v

inav

yoto

a hu

dum

a ra

fi ki

za

unas

ihi n

a up

imaj

i kw

a w

anau

me

na w

avul

ana

miji

ni n

a vi

jijin

i•

M9:

Imar

isha

na

jeng

a uw

ezo

kwa

ajili

ya

utoa

ji w

a hu

dum

a ya

una

sihi

na

upim

aji i

liyo

bor

a am

bay

o in

aham

asis

ha u

elew

a kw

a w

anau

me.

29

Fany

a ut

a� ti

kub

aini

sha

sab

abu

za

uand

ikis

haji

wa

kiw

ango

cha

chi

ni c

ha

wan

aum

e kw

enye

hud

uma

za u

nasi

hi n

a up

imaj

i na

pen

dek

eza

hatu

a za

kus

hugh

ulik

ia

vip

enge

le v

inav

yokw

aza

uele

wa

wa

umuh

imu

wa

hud

uma

hiyo

kw

a w

anau

me

K

Mtw

ara,

Kag

era,

S

hiny

anga

, M

anya

ra, D

odom

a,

Ruk

wa

NA

CP,

TA

CA

IDS

, NB

S20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

30

Kw

a ku

shiri

kish

a w

anau

me

na w

avul

ana

and

aa

na t

ekel

eza

mik

akat

i ina

yole

nga

kup

amb

ana

na im

ani p

otof

u ku

husu

mas

uala

ya

kiji

nsia

na

uhus

iano

wa

king

ono

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

AZ

AK

I20

11-

2012

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

ghar

ama

na s

hugh

uli

za w

ataa

lam

u el

ekez

i =

$10

0,00

0

31

And

aa k

anun

i ong

ozi z

a ki

utal

aam

u ki

uten

daj

i kw

a w

ataa

lam

u w

a hu

dum

a ya

una

sihi

na

upim

aji w

a V

VU

zin

azok

ubal

ika

kija

mii

na

ziliz

o ra

� ki k

wa

wan

aum

e

TK

itaifa

(N

AC

P)

(AC

AID

S, N

BS

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

32

Bor

esha

mita

ala

na s

era

ya m

afun

zo y

a ki

taifa

ya

upim

aji n

a un

asih

i wa

VV

U k

wa

kutu

mia

kan

uni o

ngoz

i za

kiu

tend

aji i

li ku

toa

hud

uma

bor

a z

a un

asih

i na

upim

aji a

mb

azo

zina

kub

alik

a ka

tika

jam

ii na

zili

zo r

a� k

i kw

a w

anau

me

TK

itaifa

N

AC

P,

TAC

AID

S N

BS

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

Page 50: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)34

33

End

esha

war

sha

elek

ezi k

wa

waf

anya

kazi

ku

husu

kan

uni o

ngoz

i za

kiu

tend

aji k

wa

ajili

ya

uto

aji

hud

uma

za u

nasi

hi n

a up

imaj

i wa

VV

U a

mb

azo

zina

kub

alik

a ka

tika

jam

ii na

ni

ra� k

i kw

a w

anau

me

T

Mtw

ara,

Kag

era,

S

hiny

anga

, M

anya

ra, D

odom

a,

Ruk

wa

NA

CP,

TA

CA

IDS

, N

BS

2011

-12

MP

Uku

mb

i, m

alaz

i, us

a� r

i na

vite

ndea

ka

zi, w

awez

esha

ji =

$3

0,00

0$ x

mik

oa 6

=

$180

,000

34

And

aa n

a ku

rush

a m

atan

gazo

ya

red

io n

a te

levi

shen

i kw

a aj

ili y

a ka

mp

eni z

a ku

onge

za

kiw

ango

cha

uan

dik

ishw

aji n

a us

hirik

ishw

aji

wa

wan

aum

e ka

tika

mas

uala

ya

hud

uma

za

unas

ihi n

a up

imaj

i wa

VV

U

TK

itaifa

NA

CP,

TA

CA

IDS

, V

yom

bo

vya

hab

ari

2011

-12

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i na

kuru

sha

mat

anga

zo =

$1

00,0

00

35

Tum

ia m

bin

u ya

kua

ndaa

na

kusa

mb

aza

ujum

be

mfu

pi w

a m

anen

o kw

a ku

tum

ia s

imu

za m

kono

ni k

uwah

imiz

a w

anau

me

kuel

ewa

na k

utum

ia h

udum

a za

una

sihi

na

Up

imaj

i w

a V

VU

ITK

itaifa

NA

CP,

|T

AC

AID

S,

Vyo

mb

o vy

a ha

bar

i, M

akam

pun

i ya

sim

u za

m

ikon

oni

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

sim

u na

w

afan

yaka

zi w

atoa

o hu

dum

a ya

sim

u =

$1

00,0

00

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 6

: K

UZ

UIA

UE

NE

AJI

WA

MA

AM

BU

KIZ

I YA

VV

U K

UT

OK

A K

WA

MA

MA

KW

EN

DA

KW

A M

TO

TO

• T

7: U

imar

ishw

aji w

a hu

dum

a za

rafi

ki z

a af

ya y

a uz

azi n

a m

toto

, na

kub

ore

sha

ushi

riki

shw

aji w

a p

amo

ja w

a w

anaw

ake

na w

anau

me

kati

ka m

asua

la y

a uz

uiaj

i wa

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U t

oka

kw

a m

ama

kwen

da

kwa

mto

to

• M

10: F

anya

ute

tezi

na

ham

asis

ha ja

mii

ili k

upam

ban

a na

uny

anya

paa

una

ohus

iana

na

hud

uma

ya u

zuia

ji w

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

tok

a kw

a m

ama

kwen

da

kwa

mto

to.

36

Pim

a uk

ubw

a na

kiw

ango

cha

ath

ari z

a un

yany

apaa

zen

ye u

husi

ano

na m

asua

la y

a up

ungu

zaji

wa

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U t

oka

kwa

mam

a kw

end

a kw

a m

toto

kat

ika

jam

ii

TK

itaifa

NA

CP,

M

oHS

W,

TAC

AID

S,

MC

DG

C

2011

U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i =

$15

0,00

0

37

Fany

a m

ajad

ilian

o y

a ki

jam

ii ili

kuh

amas

isha

na

kut

etea

dhi

di y

a un

yany

apaa

una

ohus

iana

na

mas

uala

ya

kuzu

ia m

aam

buk

izi y

a V

VU

to

ka k

wa

mam

a kw

end

a kw

a m

toto

na

haki

za

WA

VIU

VS

hiny

anga

, Mar

a,

Ruk

wa,

Mw

anza

, D

odom

a, M

twar

aV

MA

C,C

HA

C20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 7

= $

84,0

00

Page 51: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 35

38

And

aa n

a ku

rush

a m

atan

gazo

ya

red

io

na t

elev

ishe

ni k

wa

ajili

ya

kam

pen

i za

kuon

geza

kiw

ango

cha

ush

iriki

shw

aji w

a w

anau

me

katik

a m

aasu

ala

ya u

pun

guza

ji w

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

tok

a kw

a m

ama

kwen

da

kwa

mto

to n

a ku

shug

hulik

ia t

arat

ibu

za

kiim

ani z

inaz

ohus

iana

na

jinsi

a zi

nazo

kwaz

a ua

ndik

ishw

aji w

a w

anau

me

TS

hiny

anga

, Mar

a,

Ruk

wa,

Mw

anza

, D

odom

a, M

twar

a

NB

S V

yom

bo

vya

Hab

ari

2011

-12

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i na

kuru

sha

mat

anga

zo =

$1

00,0

00

• M

11: K

uim

aris

ha h

udum

a ya

uzu

iaji

wa

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U t

oka

kw

a m

ama

kwen

da

kwa

mto

to i

li ku

cho

chea

uel

ewa

kwa

wan

awak

e na

wan

aum

e.

39E

ndes

ha m

ajad

ilian

o ya

waz

i bai

na y

a w

awak

ilish

i wa

WA

VIU

na

wat

oa h

udum

a za

af

ya k

uhus

u hu

dum

a ra

� ki n

a ha

ki z

a W

AV

IU

HF

Shi

nyan

ga, M

ara,

R

ukw

a, M

wan

za,

Dod

oma,

Mtw

ara

Wad

ham

ini

wa

(HF

In-

Cha

rge)

, W

afan

yaka

zi

wa

afya

,

2010

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 7

= $

84,0

00

40

And

aa k

anun

i ong

ozi z

a ki

uten

daj

i kw

a w

ataa

lam

u w

a hu

dum

a za

afy

a za

kus

aid

ia

na k

uong

oza

utoa

ji w

a hu

dum

a b

ora

za

kuzu

ia m

aam

buk

izi y

a V

VU

kut

oka

kwa

mam

a kw

end

a kw

a m

toto

zin

azok

ubal

ika

kija

mii

na z

ilizo

ra�

ki k

wa

wan

awak

e na

w

anau

me

TK

itaifa

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

41

End

esha

war

sha

elek

ezi k

wa

waf

anya

kazi

w

a af

ya k

uhus

u ka

nuni

ong

ozi z

a ki

uten

daa

ji kw

a aj

ili y

a hu

dum

a za

Afy

a ya

Uza

zi n

a M

toto

am

baz

o ni

ra�

ki k

wa

wan

awak

e na

w

anau

me

na z

inaz

okub

alik

a ka

tika

jam

ii

MS

hiny

anga

, Mar

a,

Ruk

wa,

Mw

anza

, D

odom

a, M

twar

aN

BS

2011

U

Uku

mb

i wa

war

sha

ya m

afun

zo, m

alaz

i, us

a� r

i na

nyen

zo,

waw

ezes

haji

$30,

000$

x m

ikoa

6 =

$1

80,0

00

Page 52: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)36

42

Tath

min

i kiw

ango

kili

cho�

kiw

a ch

a u

toaj

i wa

ha

ki z

a af

ya y

a uz

azi k

wa

wan

awak

e ha

sa

wak

ati w

a ku

jifun

gua

kad

ri zi

livyo

anis

hwa

kwen

ye s

era

na s

heria

za

kita

ifa

MS

hiny

anga

, Mar

a,

Ruk

wa,

Mw

anza

, D

odom

a, M

twar

a A

ZA

KI

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

43

End

esha

mik

utan

o na

wat

unga

ser

a ili

ku

jad

ili k

anun

i na

kuo

ngez

a b

ajet

i ya

afya

na

una

fuu

wa

kod

i kw

a aj

ili y

a ku

bor

esha

hu

dum

a ya

wak

ati w

a ku

jifun

gua

kwa

, up

atik

anaj

i wa

vifa

a, u

wep

o w

a w

afan

yaka

zi

wa

kuto

sha

na m

iund

omb

inu

bor

a. .

TK

itaifa

M

oFE

A,

AZ

AK

I20

11U

Usa

� ri,

mal

azi,

uwez

esha

ji na

pos

ho

kwa

ajili

ya

mik

utan

o na

wat

unga

ser

a =

$8

4,00

0

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 7

: UH

IMIZ

AJI

NA

US

AM

BA

ZA

JI W

A K

ON

DO

MU

T8:

Kup

anuk

a k

wa

furs

a za

up

atik

anaj

i pam

oja

na

mat

umiz

i ya

kond

om

u za

kik

e na

za

kium

e kw

a ki

nga

inay

ow

eza

kuzu

ia m

imb

a na

w

akat

i huo

huo

kuz

uia

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U.

M12

: Pan

ua w

igo

wa

upat

ikan

aji w

a ko

ndom

u ze

nye

ubor

a za

kik

e na

za

kium

e ka

ma

njia

ya

king

a d

hid

i ya

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U n

a m

agon

jwa

ya

ngon

o, p

amoj

a na

mim

ba.

44Fa

nya

uta�

ti k

uhus

u ub

ora

na u

pat

ikan

aji w

a ko

ndom

u za

kik

e na

za

kium

eT

Kita

ifa M

oHS

W

SM

G,

TBS

2011

U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i =

$15

0,00

0

45

Anz

isha

Kik

osi

Kaz

i ch

a ki

taal

amu

cha

taifa

kita

kach

ojum

uish

a se

kta

mb

alim

bal

i ki

taka

cho

kuw

a na

kaz

i ya

kuju

mui

sha

m

asua

la y

a ko

ndom

u. K

ikos

i kaz

i hic

ho

kita

fany

a ka

zi k

wa

karib

u sa

na n

a ka

mat

i ya

wat

aala

mu

kuhu

su k

inga

, na

pro

gram

u ya

uh

amas

isha

ji w

a m

atum

izi n

a up

atik

anaj

i wa

kond

omu

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MoH

SW

, (N

BS

), (S

MG

)20

11M

P

Gha

ram

a za

mik

utan

o ya

kila

rob

o m

wak

a,

usa�

ri,

mal

azi n

a vi

tend

ea k

azi $

20,0

00

x 4

= $

80,0

00

46

Wek

a ki

asi c

ha k

utos

ha c

ha k

ond

omu

katik

a se

hem

u m

ahus

usi

ndan

i ya

jam

ii (s

ehem

u za

mak

utan

o ya

mar

a kw

a m

ara)

kam

a vi

le

choo

ni, k

wen

ye m

ashi

ne z

a fe

dha

(ATM

s),

mad

uka

mak

ubw

a, b

aa, n

yum

ba

za w

agen

i n.

k.

VM

anya

ra, S

ingi

da,

M

twar

a, K

igom

a,

Ruk

wa,

Aru

sha

TAC

AID

S,

MoH

SW

, 20

11-1

2U

Gha

ram

a za

m

anun

uzi n

a us

amb

azaj

i wa

kond

omu

na r

asili

mal

i w

atu

= $

36,0

00

Page 53: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 37

47

And

aa n

a ku

wap

elek

a ka

tika

vitu

o hu

sika

, b

aad

hi y

a w

anaj

amii

amb

ao w

ataw

ezes

hwa

ili k

ufan

ya k

azi y

a us

amb

azaj

i w

a ko

ndom

u m

ajum

ban

i, m

ahal

i pa

kazi

, seh

emu

za

bur

udan

i kam

a vi

le b

aa, n

yum

ba

za k

ulal

a w

agen

i seh

emu

za m

iche

zo n

a fu

kwe

HF

Man

yara

, Sin

gid

a,

Mtw

ara,

Kig

oma,

R

ukw

a, A

rush

a

MoH

SW

(HF)

2011

-12

U

Gha

ram

a za

m

anun

uzi n

a us

amb

azaj

i wa

kond

omu

na r

asili

mal

i w

atu

$36,

000

M13

: Kuz

a uk

ubal

ifu w

a m

atum

izi y

a k

ond

om

u za

kik

e na

za

kium

e ka

ma

king

a m

adhu

but

i ina

yow

eza

kuzu

ia m

imb

a na

wak

ati h

uohu

o

kuzu

ia m

aam

buk

izi y

a V

VU

.

48Fa

nya

uta�

ti u

taka

obai

nish

a sa

bab

u zi

nazo

waz

uia

wan

aum

e na

wan

awak

e ku

tum

ia k

ond

omu

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MoH

SW

,NB

S,

SM

G20

11U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

49

And

aa m

ijad

ala

katik

a ja

mii

ili k

ushu

ghul

ikia

vi

kwaz

o vy

a k

ijam

ii na

kiu

chum

i kuh

usu

mat

umiz

i ya

kond

omu

kwa

ajili

kuz

uia

m

imb

a na

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U n

a m

agon

jwa

ya n

gono

VM

anya

ra, S

ingi

da,

M

twar

a, K

igom

a,

Ruk

wa,

Aru

sha

V

MA

C20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 6

= $

72,0

00E

NE

O D

OG

O L

A K

IMK

AK

AT

I 8: K

UZ

UIA

KU

EN

EA

KW

A M

AA

MB

UK

IZI Y

A V

VU

KU

PIT

IA V

IFA

A V

ILIV

YO

SIB

IKW

A

• T

9: H

ali y

a ha

tari

ya

kuen

ea k

wa

maa

mb

ukiz

i yaa

VV

U m

iong

oni

mw

a w

anau

me

na w

anaw

ake,

kup

itia

vifa

a vi

livyo

sib

ikw

a(vi

chaf

u na

vi

sivy

o s

alam

a) im

epun

gua

• M

14: T

oa

elim

u sa

hihi

kw

a ja

mii

kuh

usu

hata

ri il

iyo

po

ya

kup

ata

maa

mb

ukiz

i wa

VV

U k

upit

ia v

ifaa

vya

kuto

bo

lea

viliv

yosi

bik

wa

50

Fany

a ut

a� ti

kuh

usu

hata

ri ya

uam

buk

izi w

a V

VU

kup

itia

vifa

a vi

livyo

sib

ikw

a am

bav

yo

hutu

mik

a kw

a ku

shiri

kian

a w

akat

i wa

kujid

unga

daw

a za

kul

evya

, wak

ati w

a ku

tahi

riwa,

kut

oga,

kuc

hanj

ana,

kut

iana

toj

o (ta

toos

), ku

chan

jiana

und

ugu

na u

keke

twaj

i.

TK

itaifa

MoH

SW

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

Page 54: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)38

51

End

esha

maj

adili

ano

leng

wa

katik

a m

akun

di

ili k

ujad

ili h

atar

i ya

uam

buk

izi w

a V

VU

kup

itia

vifa

a na

zan

a z

ilizo

sib

ikw

a kw

a m

atum

izi

ya k

ujid

unga

sin

dan

o za

daw

a za

kul

evya

, ku

tahi

ri, k

utog

a, k

utia

na t

ojo

na

kuch

anjia

na

und

ugu

na

ukek

etaj

i

V

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga,

Man

yara

, Dod

oma,

Li

ndi

(VM

AC

s),

(HFs

)20

11-1

2M

P

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 6

= $

72,0

00•

M15

: Was

aid

ie n

a w

aele

keze

wat

oa

hud

uma

wa

afya

kat

ika

jum

uia

pam

oja

na

wag

ang

a w

a ja

di w

atum

ie v

ifaa

viliv

yofi

shw

a vi

jidud

u

52

End

esha

maf

unzo

kaz

ini k

wa

waf

anya

kazi

w

a af

ya k

atik

a ja

mii

na w

agan

ga w

a ja

di,

kuhu

su m

atum

izi y

a vi

faa

viliv

yo� s

hwa

vijid

udu

KT

Kita

ifaM

oHS

W20

11-1

2U

ukum

bi,

mal

azi,

usa�

ri n

a ny

enzo

, w

arag

hib

isha

ji $3

0,00

0$ x

mik

oa 6

=

$180

,000

53

And

aa n

a te

kele

za m

pan

go y

akin

ifu

unao

teke

leze

ka a

mb

ao w

alen

gwa

husi

ka

wat

awez

a ku

umud

u ka

tika

kusa

idia

up

atik

anaj

i wa

vifa

a vi

livyo

� shw

a vi

jidud

u vy

a ku

toge

a, k

utah

iria

kw

a aj

ili w

agan

ga w

a ja

di

V

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga,

Man

yara

, Dod

oma,

Li

ndi

MoH

SW

2011

-12

U

Gha

ram

a za

m

anun

uzi,

usam

baz

aji,

na

rasi

limal

i wat

u =

$2

0,00

0 x

mik

oa 6

=

$120

,000

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 9

: TO

HA

RA

KW

A W

AN

AU

ME

NA

WA

VU

LAN

A

T10

: Uhi

miz

aji w

a to

hara

ya

kita

alam

u kw

a w

anau

me

na w

avul

ana

umef

anyi

ka, n

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

yam

epun

gua

M16

: Kuz

a m

wit

ikio

wa

kija

mii

wa

kuta

hiri

wan

aum

e ka

ma

njia

ya

kuki

nga

maa

mb

ukiz

i ya

VV

U.

54B

aini

sha

sab

abu

zina

zokw

amis

ha t

ohar

a ya

w

anau

me

katik

a b

aad

hi y

a m

aene

o

MS

hiny

anga

, Ruk

wa,

Ir

inga

, Mb

eya,

Ta

bor

a, K

ager

a

TAC

AID

S,

MoH

SW

, M

CD

GC

, 20

11U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i, m

alaz

i =

$15

0,00

0

Page 55: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 39

55

End

esha

maj

adili

ano

ya k

ijam

ii ku

husu

vi

kwaz

o vy

a ki

jam

ii na

kiu

tam

adun

i kw

a to

hara

ya

wan

aum

e

VS

hiny

anga

, Ruk

wa,

Ir

inga

, Mb

eya,

Ta

bor

a, K

ager

a

(VM

AC

s),,

AZ

AK

I20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

uwez

esha

ji na

p

osho

kw

a aj

ili y

a m

ajad

ilian

o ya

jum

uia

$3,0

00 x

mik

utan

o 4

ya m

ajad

ilian

o x

m

ikoa

6 =

$72

,000

EN

EO

KU

U L

A K

IMK

AK

AT

I 2:

TIB

A, M

AT

UN

ZO

NA

MS

AA

DA

. T

11: K

upun

gua

kw

a m

ago

njw

a n

a vi

fo m

iong

oni

mw

a w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a ya

nayo

sab

abis

hwa

na m

asua

la y

a ki

jinsi

a, V

VU

na

UK

IMW

I.

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 1

: H

UD

UM

A E

ND

ELE

VU

YA

TIB

A, M

AT

UN

ZO

NA

MS

AA

DA

.T

12: F

ursa

saw

a kw

a w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a w

enye

VV

U k

atik

a ku

pat

a hu

dum

a en

del

evu

ya t

iba

na m

atun

zo

umeo

ngez

eka.

M17

: Kui

mar

isha

uta

mb

uzi w

a m

asua

la y

a ki

jinsi

a na

hud

uma

rafi

ki k

atik

a m

asua

la y

a ut

oaj

i wa

tib

a na

mat

unzo

ya

VV

U n

a U

KIM

WI i

li ku

ham

asis

ha u

shir

iki w

a w

anau

me.

56

Fuat

ilia

kiw

ango

cha

hud

uma

ra� k

i za

tib

a na

mat

unzo

kw

a w

anaw

ake

na w

anau

me

katik

a

vitu

o vy

a af

ya –

kw

a ku

tum

ia

takw

imu

za m

ashi

ne z

inaz

ojie

ndes

ha

na m

ahoj

iano

ya

siri

na w

atej

a ku

haki

ki

mat

okeo

.

HF

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Md

ham

ini (

In

char

ge) w

a ,

Waf

ayak

azi w

a af

ya,

2011

-12

MP

Pos

hoza

w

awez

esha

ji,,

ghar

ama

za u

sa� r

i,

maw

asili

ano,

na

mas

hine

za

ufua

tilia

ji kw

a $2

0,00

0 x

mik

oa

7 =

$14

0,00

0

57

End

esha

maj

adili

ano

bai

na y

a w

awak

ilish

i w

enye

VV

U

na w

atoa

hud

uma

za a

fya

, ku

husu

mat

okeo

ya

mre

jesh

o w

a w

atej

a

katik

a zo

ezi l

a up

imaj

i hud

uma

ya r

a� k

i na

haki

za

WA

VIU

.

HF

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Mra

tibu

katik

a vi

tuo

vya

hud

uma

ya

afya

,w

atoa

hu

dum

a za

af

ya ,

wen

ye

Viru

si V

ya

Uki

mw

i (W

AV

IU)

2011

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi

na u

wez

esha

ji p

osho

kw

a aj

ili y

a m

ajad

ilian

o ya

jum

uia

$3,0

00 x

mik

utan

o 4

ya m

dah

alo

x m

ikoa

7

= $

84,0

00

Page 56: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)40

58

Wek

a k

anun

i ong

ozi z

a ue

ndes

haji

( za

kuon

goza

na

kush

auri

juu

ya u

toaj

i wa

hud

uma

ra�

ki n

a ha

ki z

a t

iba

na m

atun

zo

kwa

wan

aum

e z

inaz

okub

alik

a ka

tika

jam

ii.

TK

itaifa

NA

CP,

H

Fs,T

AC

AID

S20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

59

End

esha

maf

unzo

wez

eshi

kw

a w

atoa

hu

dum

a za

af

ya il

i kuw

aelim

isha

kan

uni

ongo

zi z

a ue

ndes

haji

kuh

usu

hud

uma

ra�

ki

na b

ora

za t

iba

na m

atun

zo k

wa

wan

ume

zina

zoku

bal

ika

katik

a ja

mii

.

M

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

NA

CP,

TA

CA

IDS

, HFs

2011

-12

MP

Uku

mb

i. U

sa� r

i, vi

faa

vya

maf

unzo

, w

awez

esha

ji =

$3

0,00

0 x

mik

oa 7

=

$210

,000

M18

: Ong

eza

kiw

ang

o c

ha u

shir

iki c

ha w

anau

me

kati

ka u

sajil

i wa

hud

uma

za t

iba

na m

atun

zo z

a V

VU

na

UK

IMW

I.

60

Fany

a ut

a� ti

wa

kub

aini

sha

sab

abu

zina

zosa

bab

isha

uel

ewa

md

ogo

kwa

wan

aum

e ju

u ya

hu

dum

a za

tib

a na

m

atun

zo z

a V

VU

na

UK

IMW

I, p

ia p

end

ekez

a su

luhi

sho

la t

atiz

o hi

lo.

NA

CP,

TAC

AID

SK

itaifa

NA

CP,

TA

CA

IDS

2010

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya

waw

ezes

haji,

usa

� ri

na m

alaz

i = $

150,

000

61

End

esha

maf

unzo

kw

a w

akuf

unzi

ku

waa

ndaa

wan

ahar

akat

i wan

aum

e a

mb

ao

wat

atet

ea n

a ku

wa

chac

hu y

a m

abad

iliko

ka

tika

usa

jili w

a w

anau

me

kwen

ye h

udum

a za

tib

a na

mat

unzo

ya

VV

U n

a U

KIM

WI

D

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

CM

AC

s, C

SO

s20

11-1

2U

Uku

mb

i,U

sa� r

i,vifa

a vy

a m

afun

zo,

waw

ezes

haji=

$3

0,00

0 x

mik

oa 7

=

$210

,000

62

Anz

isha

mita

ndao

ya

wan

ahar

akat

i wan

aum

e w

anao

ham

asis

ha u

sajil

i wa

wan

aum

e ka

tika

hu

dum

a za

tib

a na

mat

unzo

za

VV

U n

a U

KIM

WI,

kwa

kup

itia

mip

ango

ya

elim

u rik

a,

maj

adili

ano

kwen

ye s

ehem

u m

bal

imb

ali z

a b

urud

ani n

a st

areh

e, h

otub

a k

abla

ya

mec

hi

ya m

pira

wa

mig

uu,

na w

akat

i wa

una

sihi

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

Mita

ndao

ya

wan

ahar

akat

i w

anau

me.

20

11-1

2U

Pos

ho z

a w

awez

esha

ji, u

sa� r

i m

awas

ilian

o =

$1

2,00

0 x

mik

oa 7

=

$84,

000

Page 57: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 41

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 3

: M

SA

AD

A N

A M

AT

UN

ZO

KW

A W

AG

ON

JWA

NY

UM

BA

NI

T13

: U

toaj

i wa

hud

uma

za w

ago

njw

a ny

umb

ani n

a uk

usan

yaji

wa

rasi

limal

i um

eim

aris

hwa

na m

zig

o w

a ku

toa

hud

uma

za w

ago

njw

a ny

umb

ani k

wa

wan

awak

e na

was

icha

na u

mep

ung

ua.

M19

: Kui

mar

isha

uw

ezo

wa

wan

awak

e na

wan

aum

e, w

akiw

emo

waz

ee a

mb

ao h

utoa

hud

uma

za w

agon

jwa

nyum

ban

i kat

ika

jam

ii na

kay

a.

63B

aini

sha

mah

itaji

ya m

afun

zo k

wa

wan

awak

e na

wan

aum

e w

atoa

hud

uma

ya u

tunz

aji w

a w

agon

jwa

nyum

ban

i M

Ruk

wa,

Irin

ga,

Sin

yang

a, S

ingi

da,

M

wan

za, R

uvum

aN

AC

P, C

SO

s20

11U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

64

Bor

esha

mio

ngoz

o ya

maf

unzo

ya

kita

ifa

kuhu

su h

udum

a ya

wag

onjw

a ny

umb

ani

katik

a ku

shug

hulik

ia u

pun

gufu

wa

uwez

o na

m

ahita

ji ya

maf

unzo

ya

wat

oa h

udum

a ya

w

agon

jwa

nyum

ban

i

TK

itaifa

NA

CP,

TA

CA

IDS

, C

SO

s20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

65To

a m

afun

zo k

wa

wak

ufun

zi k

wa

kutu

mia

m

iong

ozo

ya m

afun

zo il

iyob

ores

hwa

TK

itaifa

NA

CP

2011

-12

MP

Uku

mb

i, us

a� r

i, vi

tend

ea k

azi n

a w

awez

esha

ji =

$3

0,00

0 x

mik

oa 7

=

$210

,000

66Fu

atili

a u

tend

aji w

a w

atoa

hud

uma

nyum

ban

i kw

a ku

tum

ia m

iong

ozo

ya

maf

unzo

iliy

obor

eshw

a b

aad

a ya

maf

unzo

. T

Ruk

wa,

Irin

ga,

Sin

yang

a, S

ingi

da,

M

wan

za, R

uvum

a

DM

O, M

ratib

u w

a

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

zia

ra

za u

sim

amiz

i usa

� ri,

maw

asili

ano,

vi

tend

ea k

azi,

Waw

ezes

haji

=

$30,

000

x m

ikoa

7 =

$2

10,0

00

67

Ham

asis

ha j

amii

na m

amla

ka z

a se

rikal

i za

mita

a ili

kus

haw

ishi

uku

sany

aji w

a fe

dha

na

kuw

eka

utar

atib

u w

a jin

si y

a ku

wal

ipa

pos

ho

wat

oa h

udum

a ny

umb

ani.

V

Ruk

wa,

Irin

ga,

Sin

yang

a, S

ingi

da,

M

wan

za, R

uvum

aM

itand

ao y

a P

LHIV

, HFs

2011

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi,

Uw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

maj

adili

ano

ya ju

mui

a $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 7

= $

84,0

00

Page 58: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)42

68

End

esha

mik

utan

o ya

mija

dal

a ya

kis

era

kute

tea

uand

aaji

wa

baj

eti y

a k

ujik

imu,

m

atha

lani

kw

a aj

ili y

a s

abun

i za

unga

, m

aji,

maz

iwa

ya k

opo

kwa

wat

oto,

vifa

a na

m

ahita

ji m

engi

ne y

a hu

dum

a ny

umb

ani

TK

itaifa

N

AC

P,

TAC

AID

S,

DS

W, M

OFE

A20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

Uw

ezes

haji

na

pos

ho z

a m

ikut

ano

ya m

azun

gum

zo y

a ki

sera

= $

84,0

00M

20: k

uham

asis

ha w

anau

me

kush

irik

i kw

a w

ing

i kat

ika

mp

ang

o w

a ku

toa

hud

uma

ya w

ago

njw

a ny

umb

ani .

69

Fany

a ut

a� ti

wa

kuka

diri

a gh

aram

a za

ka

zi z

isiz

o na

mal

ipo

zina

zofa

nyw

a n

a w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a ka

tika

muk

tad

ha w

a V

VU

na

UK

IMW

I

TK

itaifa

NA

CP,

TA

CA

IDS

, M

itand

ao y

a P

LHIV

, AZ

AK

I

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

70

Fany

a m

ajad

ilian

o le

ngw

a y

a vi

kund

i ku

ham

asis

ha w

akuf

unzi

wa

wak

ufun

zi w

a ki

taifa

w

a hu

dum

a ya

wag

onjw

a ny

umb

ani

na W

arat

ibu

wa

Wila

ya k

uhus

u m

zigo

wa

kazi

wa

ush

iriki

shw

aji w

a w

anaw

ake

na

wan

aum

e ka

tika

utoa

ji w

a hu

dum

a ka

tika

kaya

na

jam

ii

TK

itaifa

NA

CP

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

71

And

aa m

ajad

ilian

o le

ngw

a ya

vik

und

i ku

ham

asis

ha w

atoa

hud

uma

nyum

ban

i n

a fa

mili

a, k

utet

ea u

saw

a ka

tika

mga

wan

yo w

a m

ajuk

umu

ya k

utun

za w

agon

jwa

nyum

ban

i b

aina

ya

wan

aum

e na

wan

awak

e nd

ani y

a ja

mii.

H

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

TOTs

HB

C20

11-1

2N

Usa

� ri,

mal

azi,

uwez

esha

ji na

p

osho

kw

a aj

ili y

a m

ajad

ilian

o ya

jum

uia

$3,0

00 x

mik

utan

o 4

ya m

ajad

ilian

o x

m

ikoa

7 =

$84

,000

72

Fany

a m

dah

alo

kat

ika

jam

ii ili

kui

elim

isha

na

k

utet

ea u

saw

a ka

tika

mga

wan

yo w

a m

ajuk

umu

ya k

utun

za w

agon

jwa

nyum

ban

i b

aina

ya

wan

aum

e na

wan

awak

e

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

(VM

AC

s),

2011

-12

N

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

md

ahal

o $3

,000

x

mik

utan

o 4

ya

maj

adili

ano

x m

ikoa

7

= $

84,0

00

Page 59: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 43

EN

EO

KU

U L

A M

KA

KA

TI 3

: KU

PU

NG

UZ

A A

TH

AR

I

• T1

4: M

aish

a b

ora

na

usta

wi w

a ja

mii

kwa

wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

wen

ye a

u ku

athi

riwa

moj

a kw

a m

oja

na

VV

U n

a U

KIM

WI.

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

T1:

KU

TO

A M

SA

AD

A W

A L

AZ

IMA

WA

SIC

HA

NA

NA

WA

VU

LAN

A Y

AT

IMA

NA

WA

LIO

KA

TIK

A M

AZ

ING

IRA

H

ATA

RIS

HI

• T

15:

Uto

aji

mis

aad

a na

hud

uma

za k

ijam

ii z

inaz

ozi

ngat

ia ji

nsia

na

zina

zoju

mui

sha

sekt

a m

bal

imb

ali k

wa

zim

ebo

resh

wa

• M

21: K

uim

aris

ha u

wez

o w

a fa

mili

a na

jam

ii ka

tika

kut

amb

ua n

a ku

toa

msa

ada

wa

kis

aiko

lojia

na

mat

unzo

kw

a w

ato

to w

a ki

ke n

a w

a ki

ume

yati

ma

na w

alio

kat

ika

maz

ing

ira

hata

rish

i

73

Kup

itia

na k

ubor

esha

mio

ngoz

o ya

maf

unzo

ya

idar

a ya

ust

awi w

a ja

mii

ili iz

inga

tie

utam

buz

i wa

kijin

sia

, iki

wem

o ut

etez

i na

uham

asis

haji

wa

utoa

ji w

a m

ahita

ji ka

ma

vile

p

edi k

wa

was

icha

na k

ama

mb

inu

na

nyen

zo

za k

ufun

dis

hia

TK

itaifa

MoE

VT,

DS

W,

TAC

AID

S,

MO

HS

W20

11U

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

74

Kua

ndaa

mik

utan

o y

a ki

jam

ii ili

kuh

amas

isha

uc

hang

iaji

wa

chak

ula,

ngu

o na

mal

azi

kusa

idia

wav

ulan

a na

was

icha

na w

alio

kat

ika

maz

ingi

ra h

atar

ishi

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

(DS

W),

(VM

AC

)20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho

$3,0

00 x

m

ikut

ano

4 x

mik

oa 6

=

$72

,000

75

Kuf

anya

maj

adili

ano

na

Bar

aza

la A

rdhi

la

Kiji

ji ili

kup

ata

ard

hi k

wa

ajili

ya

mat

umiz

i ya

was

icha

na n

a w

avul

ana

wal

io k

atik

a m

azin

gira

hat

aris

hi

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

DS

W, V

MA

C20

11-1

2M

P

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho =

$3,

000

x m

ikut

ano

4 x

mik

oa 6

=

$72

,000

76

Kuf

anya

maj

adili

ano

na M

abar

aza

ya k

ijiji

ili k

uten

ga b

ajet

i mah

susi

zen

ye k

utoa

ki

pau

mb

ele

katik

a m

ahita

ji ya

msi

ngi

kwa

was

icha

na n

a w

avul

ana

wal

io k

atik

a m

azin

gira

hat

aris

hi

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

DS

W, V

MA

C20

11-1

2M

P

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho $

3,00

0 x

mik

utan

o 4

x m

ikoa

6

= $

72,0

00

Page 60: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)44

77

kufu

atili

a kw

a m

akin

i na

ukar

ibu

mai

sha

ya w

asic

hana

na

wav

ulan

a w

alio

kat

ika

maz

ingi

ra h

atar

ishi

ili k

uhak

ikis

ha h

aki z

ao

zina

lind

wa

kwa

kuzi

ngat

ia ji

nsia

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

(DS

W),

(VM

AC

)20

11-1

2M

P

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho $

3,00

0 x

mik

utan

o 4

x m

ikoa

6

= $

72,0

00

78

Kut

oa m

isaa

da

ya k

isai

kolo

jia n

a ki

jam

ii ik

iwem

o un

asih

i na

bur

udan

i kw

a aj

ili

ya w

asic

hana

na

wav

ulan

a w

alio

kat

ika

maz

ingi

ra h

atar

ishi

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

FBO

s, C

SO

s20

11-1

2U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho $

3,00

0 x

mik

utan

o 4

x m

ikoa

6

= $

72,0

00E

NE

O D

OG

O L

A 2

LA

MK

AK

AT

I 2: K

UIM

AR

ISH

A M

SA

AD

A N

A U

WE

ZO

WA

WA

AT

HIR

IKA

KU

KA

BIL

I AT

HA

RI Z

A V

VU

NA

UK

IMW

IM1

T16

: Wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

kati

ka n

gaz

i ya

kaya

na

jam

ii w

amej

eng

ewa

uwez

o ji

nsi y

a ku

tam

bua

na

kuka

bili

ana

na

atha

ri z

a V

VU

na

UK

IMW

I zin

azo

husi

ana

na m

asua

la y

a ki

jinsi

a.•

M22

: Kui

mar

isha

uw

ezo

wa

jam

ii k

atik

a ku

tam

bua

na

kuto

a m

saad

a k

wa

fam

ilia

amb

azo

zim

eath

iriw

a na

VV

U n

a U

KIM

WI m

oja

kwa

moj

a.

79

Chu

nguz

a m

ahita

ji ya

kim

kaka

ti na

mah

itaji

ya k

ijins

ia n

a ch

anga

mot

o zi

nazo

kab

ili

fam

ilia

zina

zotu

nza

yatim

a na

was

icha

na

na w

avul

ana

wai

shio

kw

enye

maz

ingi

ra

hata

rishi

.

TK

itaifa

DS

W,

TAC

AID

S

MoE

VT

MO

HS

W

2011

U

Mik

utan

o ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$15

0,00

0

80

Piti

a m

fum

o w

a ki

jam

ii ul

iop

o w

a ut

oaji

msa

ada

kw

a fa

mili

a zi

lizoa

thiri

wa

na V

VU

na

UK

IMW

I, b

ores

ha n

a tu

mia

mfu

mo

mb

adal

a un

aozi

ngat

ia ji

nsia

TK

itaifa

DS

W,

TAC

AID

S

MoE

VT

MO

HS

W

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

81

Tete

a un

afuu

wa

kod

i na

nyon

geza

za

m

isha

hara

vik

iwa

ni m

otis

ha k

wa

wau

guzi

na

wat

oa h

udum

a ya

mat

unzo

kw

a W

AV

IU

, yat

ima

na w

atot

o w

alio

kat

ika

maz

ingi

ra

hata

rishi

, wen

ye m

tind

io w

a ub

ongo

, sa

rata

ni, k

ifua

kiku

u na

wag

onjw

a w

enye

m

agon

jwa

yasi

yo n

a tib

a

TK

itaifa

CS

Os,

M

itand

ao

ya P

LHIV

(M

OFE

A),

(D

SW

)

2011

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na =

$8

4,00

0

Page 61: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 45

82

Ham

asis

ha u

toaj

i wa

fed

ha t

aslim

u kw

a m

leng

wa

( ‘M

AM

A M

KU

BW

A n

a fa

mili

a zi

nazo

wat

unza

yat

ima)

kam

a m

otis

ha y

a ku

wat

unza

yat

ima

na w

atot

o w

alio

kat

ika

maz

ingi

ra h

atar

ishi

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

(DS

W),

(V

MA

C)

2011

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho =

$84

,000

M 2

3: K

ubo

resh

a uw

ezo

wa

kuka

bili

na

kust

ahim

ili c

hang

amo

to z

inaz

oto

kea

kat

ika

fam

ilia

amb

azo

zim

eath

iriw

a na

VV

U n

a U

KIM

WI m

oja

kw

a m

oja

83

Piti

a na

bor

esha

mip

ango

ya

kazi

ya

mw

aka

na b

ajet

i ya

Hal

mas

haur

i, K

ilim

o kw

anza

na

Vya

ma

vya

ushi

rika

ili z

izin

gatie

jins

ia k

atik

a m

asua

la y

a V

VU

na

UK

IMW

I

NK

itaifa

MA

FC (

DS

W),

TAC

AID

S

MO

HS

W

CS

Os,

2011

MP

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

84

Kua

ndaa

mik

utan

o na

wad

au w

a ki

limo

kwan

za n

a vy

ama

vya

ushi

rika

ili k

upan

ga

maf

ungu

ya

fed

ha k

usai

dia

fam

ilia

zeny

e W

AV

IU, y

atim

a na

wat

oto

wal

io k

atik

a m

azin

gira

hat

aris

hi, n

a m

akun

di y

a ki

jam

ii.

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

MA

FC, D

SW

, V

MA

C20

11-1

2M

PU

sa� r

i, m

alaz

i, w

awez

esha

ji na

p

osho

= $

84,0

00

85

And

aa m

ikut

ano

kwa

pam

oja

na m

akun

di y

a as

asi z

a fe

dha

kam

a b

enki

za

viji

jini,

ben

ki

za b

iash

ara,

vik

und

i vya

aki

ba

na m

ikop

o ka

ma

TAS

AF,

VIC

OB

A, S

AC

CO

S S

ATF,

R

FE n

a v

yam

a vy

a us

hirik

a, il

i ku

pan

ga

kip

aum

bel

e na

maf

ungu

maa

lum

ya

fed

ha

kwa

ajili

ya

kusa

idia

vik

und

i vya

uza

lisha

ji m

ali v

ya w

enye

viru

si v

ya U

KIM

WI,

yatim

a na

wat

oto

wal

io k

atik

a m

azin

gira

hat

aris

hi a

u fa

mili

a za

o

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

DS

W M

AFC

, V

MA

C20

11-1

2M

PU

sa� r

i, m

alaz

i, w

awez

esha

ji na

p

osho

= $

84,0

00

86

Ham

asis

ha u

kam

ilish

aji n

a ut

ekel

ezaj

i wa

Muu

ndo

Taifa

wa

Hifa

dhi

ya

Jam

ii ul

io c

hini

ya

wiz

ara

ya m

aend

eleo

ya

jam

ii jin

sia

na

wat

oto

(MG

CD

C)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MG

CD

C20

11U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho =

$84

,000

Page 62: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)46

87

Ham

asis

ha u

pat

ikan

aji w

a fe

dha

za

mis

aad

a ili

kut

ekel

eza

muu

ndo

wa

hifa

dhi

ya

jam

ii ut

akao

wez

esha

asa

si z

a ki

jam

ii,

kife

dha

na

kuto

a m

ikop

o m

idog

omid

ogo

, na

hivy

o ku

pun

guza

ath

ari

za

UK

IMW

I kw

a w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a w

enye

VV

U n

a U

KIM

WI

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C

MO

HS

W

2011

-20

12U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho =

$84

,000

88

And

aa m

ikut

ano

itaka

yosh

iriki

sha

mam

laka

za

ser

ikal

i za

mita

a, a

sasi

za

Kid

ini (

FBO

s),

asas

i za

Kija

mii

(CB

Os)

, asa

si z

isiz

o za

K

iser

ikal

i (N

GO

s), p

amoj

a na

mak

und

i ya

msa

ada

wa

kija

mii,

ili k

usai

dia

fam

ilia

za

wen

ye V

VU

na

amb

azo

zim

eath

iriw

a m

oja

kwa

moj

a na

VV

U n

a U

KIM

WI

VM

ara,

Ruv

uma,

M

anya

ra, R

ukw

a,

Mb

eya,

Mtw

ara

DS

W V

MA

C20

11-1

2M

PU

sa� r

i, m

alaz

i, w

awez

esha

ji na

p

osho

= $

84,0

00

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI

3: U

NYA

NYA

PAA

NA

UB

AG

UZ

I KW

A W

AT

U W

EN

YE

VIR

US

I VYA

UK

IMW

I NA

FA

MIL

IA Z

ILIZ

OA

TH

IRIW

A•

T17

: Hak

i za

wan

awak

e w

enye

Vir

u si

Vya

Uki

mw

i zin

alin

dw

a,zi

nati

miz

wa

na k

uhes

him

iwa

.M

24:

Kuw

ezes

ha u

teke

leza

ji w

a w

a S

heri

a ya

kuz

uia

na k

udhi

bit

i V

VU

na

UK

IMW

I nam

ba

28 y

a m

wak

a 20

08 i

li ku

pun

guz

a ai

na z

ote

za

uny

anya

paa

na

ubag

uzi.

89Ta

fsiri

she

ria (N

amb

a 28

ya

Mw

aka

2008

) yo

te k

utok

a kw

enye

lugh

a ya

Kiin

gere

za

kwen

da

kwen

ye K

isw

ahili

T K

itaifa

TAC

AID

S n

a M

OJC

A20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

90A

ndaa

taf

siri

rahi

si y

a vi

pen

gele

vya

she

ria

vina

vyos

hugh

ulik

ia u

nyan

yap

aa n

a ub

aguz

i T

Kita

ifa20

11M

P

Mik

utan

o ya

wad

au

na g

hara

ma

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$5

0,00

0

91C

hap

isha

na

sam

baz

a na

kala

za

tafs

iri

rahi

si z

a vi

pen

gele

vya

she

ria a

mb

avyo

vi

navy

oshu

ghul

ikia

uny

anya

paa

na

ubag

uzi

TK

itaifa

TAC

AID

S n

a M

OJC

A20

11M

PG

hara

ma

za

ucha

pis

haji

na

usam

baz

aji=

$20

,000

Page 63: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 47

92

And

aa m

akon

gam

ano

ili k

ucho

chea

ut

amb

uzi n

a ku

pin

ga u

nyan

yap

aa n

a ub

aguz

i kw

a m

ujib

u w

a sh

eria

ya

VV

U n

a U

KIM

WI

VS

ingi

da,

Tab

ora,

M

twar

a, D

odom

a,

Tang

a, Ir

inga

TAC

AID

S

MO

JCA

2011

-12

MP

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na

pos

ho k

wa

ajili

ya

mak

onga

man

o $3

,000

x m

ikut

ano

4 ya

maj

adili

ano

x

mik

oa 6

= $

72,0

00

93

Fany

a m

idah

alo

ya

kita

ifa il

i kut

enge

neza

m

ikak

ati y

a ku

pin

ga u

nyan

yap

aa n

a ub

aguz

i na

kuu

nga

mko

no h

aki z

a w

anaw

ake,

w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

CS

Os

2011

-20

12M

PU

sa� r

i, m

alaz

i, w

awez

esha

ji na

p

osho

= $

84,0

00

EN

EO

KU

U L

A K

IMK

AK

AT

I 4: M

AZ

ING

IRA

WE

ZE

SH

I •

T18:

Maz

ingi

ra w

ezes

hi y

anay

oshu

ghul

ikia

na

kuel

ezea

mah

itaji

ya w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a ka

tika

utek

elez

waj

i wa

Mw

itiki

o w

a K

itaifa

wa

VV

U n

a U

KIM

WI y

abor

eka.

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 1

: UIN

GIZ

WA

JI W

A M

AS

UA

LA Y

A J

INS

IA N

A H

AK

I ZA

BIN

AD

AM

U K

AT

IKA

SH

ER

IA S

ER

A, M

IPA

NG

O, Z

AN

A Z

A

UA

ND

AA

JI M

IPA

NG

O, M

AFU

NZ

O, M

IUN

DO

YA

KIT

AA

SIS

I, A

MB

AV

YO

VIN

AH

US

IAN

A N

A M

AS

UA

LA Y

A V

VU

NA

UK

IMW

I•

T19:

Wat

unga

ser

a na

waf

anya

maa

muz

i wam

eim

arik

a ka

tika

kujit

oa k

ikam

ilifu

, uw

azi,

uwaj

ibik

aji,

na m

saad

a kw

a af

ua z

a V

VU

na

UK

IMW

I kw

a ku

tum

ia h

aki z

a b

inad

amu

na m

isim

amo

ya u

tam

buz

i wa

kijin

sia.

T20:

Wan

awak

e na

was

icha

na w

ana

furs

a sa

wa

katik

a ku

pat

a hu

dum

a ju

mui

shi z

a se

kta

mb

alim

bal

i kuh

usu

VV

U n

a U

KIM

WI ,

kifu

a ki

kuu,

afy

a na

hak

i za

ngon

o na

uza

zi n

a ku

pun

guza

mad

hara

, zi

kiw

emo

hud

uma

zina

zosh

ughu

likia

uka

tili w

a ki

jinsi

a.•

M25

: Hak

ikis

ha k

uwa

sher

ia n

a se

ra z

ote

zin

azo

husu

VV

U n

a U

KIM

WI z

inaz

ing

atia

jins

ia n

a zi

naku

bal

iana

na

kanu

ni n

a m

iong

ozo

ya

haki

za

bin

adam

u.

94

Cha

mb

ua ji

nsi s

era

zina

zohu

sian

a na

m

asua

la y

a V

VU

zin

avyo

waa

thiri

wan

awak

e na

was

icha

na, u

kizi

ngat

ia v

ipen

gele

vya

ki

jam

ii , k

iuta

mad

uni,

unya

nyap

aa n

a ub

aguz

i na

vik

waz

o vy

a ki

uchu

mi v

inay

owaz

uia

wan

awak

e na

was

icha

na k

utek

elez

a ha

ki

zao

za k

ibin

adam

u (S

era

ya V

VU

, MK

UK

UTA

, N

MS

F, H

SS

P)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CO

PH

A,

Mita

ndao

ya

WLH

A

na m

akun

di

ya h

aki z

a w

anaw

ake

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

w

adau

, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

na

usa�

ri n

a m

alaz

i =

$15

0,00

0

Page 64: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)48

95

Piti

a up

ungu

fu n

a p

end

ekez

a ha

tua

mah

usus

i ili

kuf

anya

vifu

atav

yo v

iwe

na u

tam

buz

i w

a ki

jinsi

a: S

era

ya T

aifa

ya

VV

U n

a U

KIM

WI,

Ser

a za

VV

U z

inaz

ohus

u H

BC

, VC

T, P

EP,

O

MV

C, S

era

za K

isek

ta, S

era

ya T

aifa

ya

Wan

awak

e na

Jin

sia

ya m

wak

a 20

00, S

era

ya

Wat

oto,

Ser

a ya

Elim

u

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, P

MO

, MO

JCA

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi n

a us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

96

Piti

a up

ungu

fu n

a p

end

ekez

a ha

tua

mah

usus

i ili

kuf

anya

vifu

atav

yo v

iwe

na u

tam

buz

i wa

ki

jinsi

a: S

heria

ya

VV

U n

a U

KIM

WI (

Kin

ga n

a U

dhi

biti

) ya

mw

aka

2008

, She

ria y

a U

sala

ma

na A

fya

Kaz

ini (

OS

HA

), S

heria

za

kazi

, She

ria

ya u

linzi

wa

ajira

, She

ria y

a um

iliki

na

Mira

thi,

She

ria y

a E

limu

TK

itaifa

Tum

e ya

ku

reke

bis

ha

sher

ia,

TAC

AID

S,

NA

CP,

MC

DG

C

,PM

O

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

97

Fany

a ka

mp

eni y

a ‘T

amb

ua h

aki z

ako’

am

bay

o p

ia in

atoa

hud

uma

za m

saad

a w

a ki

sher

ia z

inaz

opat

ikan

a b

ila m

alip

o

kwa

wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

(Sik

u ya

UK

IMW

I Dun

iani

, Sik

u y

a W

anaw

ake

Dun

iani

)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CO

PH

A,

TAW

LA,

Mita

ndao

ya

Wan

awak

e W

AV

IU,

mas

hirik

a ya

hak

i za

bin

adam

u

2011

-12

MP

Mik

utan

o ya

wad

au,

ghar

ama

za

wat

aala

mu

elek

ezi n

a ku

rush

a m

atan

gazo

=

$100

,000

98

End

esha

mik

utan

o ya

maj

adili

ano

ya k

iser

a p

amoj

a na

wat

oa m

aam

uzi k

ujad

ili u

pun

gufu

na

kut

ekel

eza

map

end

ekez

o ya

kuf

anya

ser

a na

she

ria z

iwe

na u

tam

buz

i wa

kiji

nsia

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, P

MO

, MO

JCA

, Tu

me

ya

kure

keb

isha

sh

eria

2011

-11

U

Usa

� ri,

mal

azi,

waw

ezes

haji

na p

osho

kw

a aj

ili y

a m

ikut

ano

ya m

ajad

ilian

o ya

kis

era

=

$84,

000

Page 65: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 49

99

End

esha

maj

adili

ano

na w

atoa

maa

muz

i ili

kute

tea

uund

waj

i na

upiti

shw

aji w

a sh

eria

m

aalu

mu

zina

zohu

su u

katil

i wa

maj

umb

ani

i� ka

po

mw

aka

2012

TK

itaifa

Tum

e ya

ku

reke

bis

ha

sher

ia,

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, P

MO

, MO

JCA

.

2011

-11

U

Usa

� ri,

mal

azi,

w

awez

esha

ji na

pos

ho =

$8

4,00

0

100

AZ

AK

I ziu

ngan

e na

vyo

mb

o vy

a ki

kand

a (E

AC

, SA

DC

) ili

kup

itia

upya

she

ria z

a ki

taifa

zi

nazo

husu

mas

uala

ya

VV

U n

a am

baz

o zi

na

ubag

uzi w

a ki

jinsi

a na

zin

ashi

ndw

a ku

lind

a ha

ki z

a w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a

KT

Kim

atai

fa

Tum

e ya

ku

reke

bis

ha

sher

ia,

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, P

MO

, MO

JCA

.E

AC

, SA

DC

2011

-20

12M

P

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i na

us

a� r

i na

mal

azi

= $

150,

000

M26

: Hak

ikis

ha k

uwa

mip

ang

o n

a za

na z

ote

za

uand

aaji

mip

ang

o z

inaz

ohu

sian

a na

VV

U n

a U

KIM

WI z

inaz

ing

atia

jins

ia n

a zi

naku

bal

iana

na

kanu

ni n

a m

iong

ozo

ya

haki

za

bin

adam

u.

101

Piti

a up

ungu

fu n

a p

end

ekez

a ha

tua

mah

usus

i ili

kuf

anya

vifu

atav

yo v

iwe

na

utam

buz

i wa

kijin

sia:

MK

UK

UTA

, mip

ango

ya

TAC

AID

S,

NA

CP,

MC

DG

C, M

TEF,

mip

ango

ya

mik

oa n

a w

ilaya

ya

VV

U n

a U

KIM

WI,

CC

HP,

Baj

eti y

a

taifa

, Map

end

ekez

o ya

kiw

ango

cha

chi

ni y

a m

ipan

go n

a b

ajet

i za

halm

asha

uri n

a se

kta

T

Kita

ifa n

a Ir

inga

, D

ar E

s S

alaa

m,

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga, P

wan

i

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, M

OFE

A,

Mik

oa, S

ekta

, H

alm

asha

uri

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i , u

sa� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

102

Hui

sha

mip

ango

na

zana

za

uand

aaji

mip

ango

ili k

uifa

nya

itam

bue

jin

sia

kuto

kana

na

ha

tua

ziliz

open

dek

ezw

a.T

Kita

ifa n

a Ir

inga

, D

ar E

s S

alaa

m,

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga, P

wan

i

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, M

OFE

A,

Mik

oa, S

ekta

, H

alm

asha

uri

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

, na

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

Page 66: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)50

103

Ele

keza

wat

oa h

udum

a ku

husu

mip

ango

na

zana

za

uand

aaji

mip

ango

zili

zohu

ishw

a .

T

Kita

ifa n

a Ir

inga

, D

ar E

s S

alaa

m,

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga, P

wan

i

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, M

OFE

A,

Mik

oa, S

ekta

, H

alm

asha

uri

2011

-11

U

Mah

ali p

a ku

fany

ia w

arsh

a ya

maf

unzo

, us

a� r

i na

nyen

zo,

waw

ezes

haji

$30,

000$

x

mik

oa 7

=

$210

,000

M27

: Hak

ikis

ha k

uwa

maf

unzo

yo

te y

a ki

taifa

yan

ayo

husi

ana

na V

VU

na

UK

IMW

I yan

azin

gat

ia ji

nsia

na

yana

kub

alia

na n

a ka

nuni

na

njia

za

haki

za

bin

adam

u

104

Piti

a up

ungu

fu n

a ha

tua

mah

usus

i zi

lizop

end

ekez

wa

ili k

ufan

ya m

afun

zo

yahu

sian

ayo

na m

asua

la y

a V

VU

na

UK

IMW

I kw

a w

elad

i waf

uata

o ili

yaz

inga

tie u

tam

buz

i w

a ki

jinsi

a: W

atoa

hud

uma

wa

mas

uala

ya

VV

U k

atik

a af

ua z

ote,

waf

anya

kazi

wa

afya

, Pol

isi,

Idar

a ya

Mah

akam

a, W

alim

u,

Waf

anya

kazi

wa

Wiz

ara,

Idar

a na

Mam

laka

(M

DA

s), W

afan

yaka

zi w

a M

amla

ka z

a S

erik

ali

za M

itaa,

Waf

anya

kazi

wa

Vyu

o V

ikuu

na

Wab

unge

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MO

HS

W

,MO

EV

T, P

MO

-R

ALG

, PO

- P

SM

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, na

usa

� ri

na m

alaz

i =

$150

,000

105

Hui

sha

mip

ango

ya

maf

unzo

kaz

ini

na il

e ya

maf

unzo

kab

la y

a ut

umis

hi il

i iw

e na

ut

amb

uzi w

a ki

jinsi

a ku

fuat

ana

na h

atua

zi

lizop

end

ekez

wa

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MO

HS

W

,MO

EV

T,P

MO

-R

ALG

, PO

PS

M

2011

-11

U

Mik

utan

o ya

w

adau

, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi n

a us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

106

Piti

a fu

atili

a na

tat

hmin

i mita

ala

yeny

e ut

amb

uzi w

a ki

jinsi

a na

iliy

o ra

� ki k

wa

vija

na

wen

ye u

mri

wa

bal

ehe

na v

ijana

wad

ogo,

p

amoj

a na

ush

iriki

shw

aji w

ao.

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MO

HS

W

,MO

EV

T,20

11-1

2M

P

Mik

utan

o ya

w

adau

, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi n

a us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

Page 67: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 51

107

Ele

keza

wat

oa h

udum

a ku

husu

uhu

isha

ji w

a m

odul

i za

maf

unzo

.T

Kita

ifana

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i

TAC

AID

S,

MO

HS

W

,MO

EV

T,P

MO

-R

ALG

, PO

PS

M

2011

-11

U

Uku

mb

i war

sha

ya m

afun

zo,

usa�

ri n

a vi

tend

ea k

azi,

waw

ezes

haji

$30,

000$

x

mik

oa 7

=

$210

,000

M28

: Hak

ikis

ha k

uwa

miu

ndo

yo

te m

uhim

u ya

kit

aasi

si i

nazi

ngat

ia u

ing

izaj

i wa

jinsi

a ka

tika

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI

108

Pim

a na

hifa

dhi

ufa

aji w

a ub

ia u

liop

o b

aina

ya

mak

und

i ya

AZ

AK

I na

vion

gozi

wa

kisi

asa

na k

idin

i kw

a aj

ili y

a us

hugh

ulik

iaji

wa

mas

uala

ya

wan

awak

e, w

asic

hana

na

usaw

a w

a ki

jinsi

a ka

tika

muk

tad

ha w

a V

VU

na

UK

IMW

I

TK

itaifa

TAC

AID

S20

11M

P

Mik

utan

o ya

w

adau

, mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

109

Zin

dua

na

tang

aza

kuw

epo

kwa

mta

ndao

wa

kita

ifa d

hid

i ya

ukat

ili w

a ki

jinsi

a

TK

itaifa

MC

DG

C20

11U

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

110

Piti

a up

ya h

adid

u za

rej

ea il

i kum

fany

a m

tu a

naye

wak

ilish

a m

asua

la y

a ki

jinsi

a ya

se

kta

aw

e p

ia n

diy

e m

wen

ye d

ham

ana

ya

kush

ughu

likia

mas

uala

ya

VV

U k

atik

a ki

la

sekt

a.

TK

itaifa

PO

PS

M,

TAC

AID

S

,MC

DG

C20

11M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

111

Taya

risha

had

idu

za r

ejea

na

teua

mta

ndao

w

a w

anaj

amii

wak

iwem

o M

wan

ashe

ria,

Hak

imu,

Ask

ari P

olis

i, K

iong

ozi w

a K

idin

i na

Mtu

mis

hi w

a af

ya, w

awe

taya

ri ku

said

ia k

ila

wak

ati n

a hi

vyo

kuto

a hu

dum

a za

bur

e za

ki

taal

amu

kuw

asai

dia

waa

thiri

wa

wa

mas

uala

ya

kiji

nsia

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

MC

DG

C,

CM

AC

s,

VM

CA

Cs

2011

MP

Mik

utan

o ya

w

adau

na

ghar

ama

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$50

,000

Page 68: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)52

112

Piti

a up

ya n

a hu

isha

had

idu

za r

ejea

za

CM

AC

s, W

MA

Cs,

VM

AC

s na

Kam

ati

za K

itaal

amu

za U

KIM

WI k

atik

a W

izar

a,

ili k

ujum

uish

a m

ajuk

umu

mah

usus

i ya

uz

inga

tiaji

wa

kijin

sia

TK

itaifa

TAC

AID

S,

CH

AC

s20

11M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

113

Anz

isha

mita

ndao

ya

wan

ahar

akat

i w

a ki

ume

katik

a ja

mii,

am

bao

wat

atet

ea u

shiri

kish

waj

i na

uhu

sish

waj

i wa

wan

aum

e w

engi

zai

di

katik

a af

ua z

a m

asua

la y

a V

VU

na

UK

IMW

I

V

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

CM

AC

s,

VM

AC

s20

11-1

1U

Pos

ho z

a

wan

ahar

akat

i, gh

aram

a za

us

a� r

i na

maw

asili

ano

kwa

$12,

000

x m

ikoa

7

= $

84,0

00

114

Und

a ha

did

u za

rej

ea, t

eua

waj

umb

e na

an

zish

a K

amat

i ya

Uen

des

haji

ya K

itaifa

ya

kura

tibu

shug

huli

za ‘M

pan

go E

ndes

haji

wa

Kiji

nsia

kw

a aj

ili y

a M

witi

kio

wa

VV

U T

anza

nia

Bar

a’

TK

itaifa

NA

CP,

M

OH

SW

, P

MO

, PM

O-

RA

LGTA

CA

IDS

, M

CD

GC

, NB

S

2011

MP

Pos

ho y

a us

a� r

i, m

alaz

i, w

awez

esha

ji n

a p

osho

za

kam

ati

ya u

end

esha

ji kw

a $4

,000

x

mik

utan

o 4

=

$16,

000

115

Jum

uish

a w

ajum

be

waw

ili w

a m

akun

di

mak

ubw

a ya

a jin

sia,

wat

akao

toa

usha

uri w

a ki

taal

amu

kuhu

su m

asua

la y

a jin

sia

katik

a vi

kosi

kaz

i vya

wat

aala

mu

wa

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI (

TWG

s)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

CS

Os

2011

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

116

Und

a, o

anis

ha, t

ekel

eza

na fu

atili

a m

atum

izi

ya m

pan

go w

a ju

mla

wa

kiw

ango

cha

chi

ni

wa

kita

ifa w

a hu

dum

a ju

mui

shi k

wa

ajili

ya

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI/

Kifu

a K

ikuu

/ A

fya

na H

aki z

a N

gono

na

Uza

zi (S

RH

R)

TK

itaifa

MO

HS

W,

TAC

AID

S20

11-

2012

U

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

Page 69: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 53

117

Und

a Ta

ratib

u O

ngoz

i za

Uen

des

haji

(SO

Ps)

na

wae

leke

ze w

atoa

hud

uma

jinsi

ya

kuim

aris

ha m

ifum

o ya

ruf

aa n

a uh

usia

no k

ati

ya ju

mui

a (m

ifum

o is

iyo

rasm

i) na

) hud

uma

za

afya

(mifu

mo

rasm

i)

T

Kita

ifa n

a Ir

inga

, D

ar E

s S

alaa

m,

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga, P

wan

i, M

anya

ra

PTA

CA

IDS

, N

AC

P20

11M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

118

End

esha

mik

utan

o ya

maj

adili

ano

ya k

iser

a ili

kup

anga

uan

zish

waj

i wa

mah

akam

a ya

fa

mili

a i�

kap

o 20

12

TK

itaifa

MC

DG

C,

MO

JCA

, M

OH

SW

, TA

CA

IDS

2011

-M

PU

sa� r

i, m

alaz

i, w

arag

hib

isha

ji na

p

osho

= $

84,0

00

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI 2

: RA

SIL

IMA

LI K

WA

AJI

LI Y

A U

ING

IZA

JI W

A M

AS

UA

LA Y

A J

INS

IA ,V

VU

NA

UK

IMW

I •

T21:

Ras

ilim

ali z

a ku

tosh

a kw

a aj

ili y

a uz

inga

tiaji

wa

usaw

a w

a ki

jinsi

a na

hak

i za

bin

adam

u ka

tika

afua

za

VV

U n

a U

KIM

WI z

imek

usan

ywa.

• M

29: K

utet

ea u

kusa

nyaj

i wa

rasi

limal

i kat

ika

Wiz

ara,

Idar

a na

Wak

ala

wa

AZ

AK

I, se

kta

bin

afsi

na

wab

ia w

a m

aend

eleo

kw

a aj

ili y

a uz

inga

tiaji

wa

jinsi

a ka

tika

afua

za

VV

U n

a U

KIM

WI.

119

Fany

a m

ikut

ano

ya u

tete

zi w

a b

ajet

i za

kuto

sha

za m

asua

la y

a jin

sia

na V

VU

kat

ika

baj

eti z

a ki

taifa

, kis

ekta

, kim

ikoa

, hal

mas

haur

i na

za

AZ

AK

I

T

Kita

ifa n

a Ir

inga

, D

ar E

s S

alaa

m,

Mb

eya,

Mar

a,

Shi

nyan

ga,

Pw

ani,

Man

yara

TAC

AID

S,

MC

GD

C,

NA

CP,

(MO

FEA

, P

MO

RA

LG

2011

-12

U

Pos

ho z

a us

a� r

i, m

alaz

i, w

ezes

haji

na p

osho

kw

a aj

ili y

a m

ikut

ano

ya m

ajad

ilian

o ya

ki

sera

= $

84,0

00

120

And

aa r

asili

mal

i kat

ika

Wiz

ara,

Idar

a na

W

akal

a za

kuw

ezes

ha m

ipan

go e

ndes

haji

na b

ajet

i, ku

toa

kip

aum

bel

e kw

a m

asua

la y

a us

awa

wa

kijin

sia

na h

aki z

a w

anaw

ake

na

was

icha

na, k

ulin

gana

na

mik

atab

a m

uhim

u ya

kim

atai

fa.

TK

itaifa

TA

CA

IDS

, M

CD

GC

, M

oFE

A20

11-2

012

U

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

121

Anz

isha

mfu

ko w

a p

amoj

a w

a ku

shug

hulik

ia

mah

itaji

ya w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a w

anao

ishi

na

VV

U n

a U

KIM

WI

katik

a ng

azi y

a ki

taifa

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CO

PH

A

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

Page 70: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)54

122

Rat

ibu

msa

ada

wa

kife

dha

na

kiu

taal

amu

kuen

del

eza

mas

uala

ya

king

a ya

VV

U k

wa

kuju

mui

sha

usaw

a w

a ki

jinsi

a kw

enye

ser

a na

pro

gram

u za

kin

ga y

a V

VU

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

MO

FEA

2011

-201

2M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

123

Cha

ngis

ha fe

dha

kw

a aj

ili y

a ku

fany

a af

ua z

a V

VU

na

UK

IMW

I ze

nye

kuzi

ngat

ia u

tam

buz

i w

a ki

jinsi

a kw

a ku

was

haw

ishi

, wat

eja

amb

ao

wat

akuw

a ta

yari

kuch

angi

a sh

iling

i 250

/- z

a K

itanz

ania

kw

aajil

i ya

ujum

be

mfu

pi w

a si

mu.

WK

itaifa

TAC

AID

S,

mak

amp

uni

ya s

imu

za

mik

onon

i

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

sim

u na

waf

anya

kazi

w

atoa

o hu

dum

a ya

sim

u =

$1

00,0

00

124

Pel

eka

O� s

a w

a M

asua

la y

a K

ijins

ia T

AC

AID

S

na N

AC

P

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP

2011

-M

P

Gha

ram

a za

ra

silim

ali w

atu

$2,5

00$

x m

iezi

12

= $

30,0

00E

NE

O D

OG

O L

A K

IMK

AK

AT

I 3: U

IMA

RIS

HA

JI W

A U

WE

ZO

KW

A M

AS

UA

LA Y

A, V

VU

NA

UK

IMW

I •

T22:

Uim

aris

haji

wa

uwez

o w

a ta

asis

i na

wa

rasi

limal

i wat

u k

wa

wat

oa h

udum

a ka

tika

kuw

asili

sha

hud

uma

za V

VU

na

UK

IMW

I zin

azoz

inga

tia

jinsi

a.

• T2

3: U

pat

ikan

aji w

a uo

ngoz

i ulio

imar

a, s

hup

avu

na w

enye

uto

faut

i kw

a w

anaw

ake

na w

asic

hana

na

usaw

a w

a ki

jinsi

a kw

a ui

mar

isha

ji w

a m

iitik

io y

a V

VU

na

UK

IMW

I.•

T24:

Wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

wam

ezes

hwa

kusu

kum

a m

abad

iliko

ya

des

turi

za k

ijam

ii na

ngu

vu y

a m

amla

ka, p

amoj

a na

uh

usis

hwaj

i wa

wan

aum

e na

wav

ulan

a ka

tika

kulif

anyi

a ka

zi s

uala

la u

saw

a w

a ki

jinsi

a ka

tika

muk

tad

ha w

a V

VU

na

UK

IMW

I.•

M30

: Kuj

eng

a uw

ezo

wa

mas

hiri

ka m

uhim

u na

wa

waf

anya

kazi

wa

mw

itik

io w

a ki

taifa

wa

VV

U n

a U

KIM

WI k

uhus

u jin

sia.

125

Sam

baz

a M

pan

go E

ndes

haji

wa

Kiji

nsia

kw

a w

adau

muh

imu,

end

esha

maf

unzo

na

usim

amiz

i una

osai

dia

kus

haur

i Wiz

ara,

Idar

a na

Wak

ala

Hal

mas

haur

i, M

ikoa

, Waf

anya

kazi

w

ote

wa

TAC

AID

S w

akiw

emo

War

atib

u w

a M

ikoa

wa

TAC

AID

S, M

OH

SW

, NB

S, M

CD

GC

, A

BC

T, C

SO

, ya

AZ

AK

I, ku

husu

uzi

ngat

iaji

wa

mas

uala

jins

ia w

a af

ua z

a m

asua

la y

a V

VU

na

UK

IMW

I

T

Irin

ga, D

ar E

s S

alaa

m, M

bey

a,

Mar

a, S

hiny

anga

, P

wan

i, M

anya

ra

TA

CA

IDS

,N

AC

P,

MC

DG

C20

11-1

2M

P

Gha

ram

a za

usa

� ri,

maw

asili

ano,

ny

enzo

na

waw

ezes

haji

kwaa

jili y

a vi

kao

vya

unas

ihi.

Vik

ao =

$30

,000

x

mik

oa 7

=

$210

,000

Page 71: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 55

126

Sha

uri W

izar

a, Id

ara

na W

akal

a w

a se

rikal

i ku

ongo

za w

adau

wak

usan

ye n

a ku

cham

bua

d

ata

za e

limu

ya m

agon

jwa

ya m

ilip

uko

na

dat

a ze

nye

ubor

a z

ilizo

cham

bul

iwa

kwa

kufu

ata

um

ri, ji

nsi n

a ki

jiogr

a� a

ya

mak

azi

(mjin

i au

vijij

ini)

TK

itaifa

TAC

AID

S

,MO

HS

W

MC

DG

C20

11-1

2U

Gha

ram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

127

Taya

risha

mp

ango

wa

Maf

unzo

na

uwaf

und

ishe

wad

au k

uhus

u ut

oaji

kip

aum

bel

e w

a uz

inga

tiaji

wa

kijin

sia

kwen

ye

afua

zin

azoh

usu

VV

U n

a U

KIM

WI

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

MO

HS

W20

11-1

2U

Mik

utan

o ya

w

adau

na

ghar

ama

za

wat

aala

mu

elek

ezi =

$50

,000

128

And

aa m

pan

go w

a m

afun

zo n

a uw

afun

dis

he

waf

uata

o ku

husu

uto

aji k

ipau

mb

ele

kwa

uzin

gatia

ji w

a ki

jinsi

a kw

enye

afu

a zi

nazo

husu

VV

U n

a U

KIM

WI,

wat

oa h

udum

a w

a m

asua

la y

a V

VU

, Ask

ari /

Pol

isi,

Idar

a ya

M

ahak

ama,

Wan

ashe

ria, W

afan

yaka

zi w

a A

fya,

Vio

ngoz

i na

wag

anga

wa

jad

i, V

iong

ozi

wa

din

i, w

atu

wen

ye d

ham

ana

ya m

asua

la

ya V

VU

na

UK

IMW

I na

ya ji

nsia

, Kam

ati z

a B

unge

, wap

anga

mip

ango

kat

ika

Wiz

ara,

Id

ara

na W

akal

a ku

fuat

ana

na m

ikat

aba

m

uhim

u ya

kim

atai

fa n

a ki

kand

a

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

-12

U

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

129

Toa

mis

aad

a k

wa

pro

gram

u za

mae

ndel

eo

ya u

ongo

zi k

wa

ajili

ya

wan

awak

e na

w

asic

hana

wan

aois

hi n

a V

VU

na

UK

IMW

IT

Kita

ifaTA

CA

IDS

2011

-12

MP

Uku

mb

i wa

kufa

nyia

war

sha

ya m

afun

zo,

mal

azi,

usa�

ri,

nyen

zo n

a

waw

ezes

haji

$30,

000

x m

ikoa

6

= $

180,

000

Page 72: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)56

• M

31:K

uhim

iza

utek

elez

aji w

a ah

adi k

uwa

vite

ndo

kw

a ku

toa

fed

ha z

aid

i ili

kut

ekel

eza

sera

na

sher

ia z

ilizo

po

.

130

Bai

nish

a na

and

aa o

rod

ha y

a m

akun

di y

a w

anaw

ake

na m

itand

ao y

a w

anaw

ake

wen

ye

VV

U n

a U

KIM

WI (

WLH

IV)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CO

PH

A20

11M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

131

Yaw

ezes

he n

a ya

said

iei m

akun

di y

a w

anaw

ake

na m

itand

ao y

a w

anaw

ake

wen

ye V

VU

na

UK

IMW

I ili

kufa

nya

ufua

tilia

ji na

tat

hmin

i kat

ika

mta

zam

o w

a ha

ki z

a b

inad

amu -

Up

imaj

i wa

mah

itaji

- A

ndaa

mp

ango

kaz

i uto

kana

o na

map

end

ekez

o ya

up

imaj

i wa

mah

itaji

- Te

kele

za M

pan

go k

azi:

k.v.

m

afun

zo, v

itend

ea k

azi,

uten

gaji

maf

ungu

ya

fed

ha, U

fuat

iliaj

i na

Tath

min

i

TK

itaifa

TAC

AID

S20

11-1

2M

P

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

132

Yafu

ndis

he m

akun

di y

a w

anaw

ake

na

mita

ndao

ya

wan

awak

e W

AV

IU ji

nsi y

a ku

dai

kuh

eshi

miw

a kw

a ha

ki z

a w

anaw

ake,

w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

katik

a ku

onge

za fu

rsa

za e

limu,

hud

uma

na m

ahita

ji ya

Afy

a na

Hak

i za

Ngo

no n

a U

zazi

–(S

RH

R)

na m

asua

la y

a V

VU

na

UK

IMW

I

T WK

itaifa

, Wila

yaTA

CA

IDS

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au n

a gh

aram

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

Page 73: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 57

EN

EO

DO

GO

LA

KIM

KA

KA

TI

4: U

TAFI

TI,

UFU

AT

ILIA

JI N

A T

AT

HM

IMI N

A U

TO

AJI

TA

AR

IFA

KW

A M

AS

UA

LA Y

A J

INS

IA N

A V

VU

& U

KIM

WI

T25

: Ush

ahid

i kw

a m

uda

mua

faka

up

o k

uhus

u m

ahit

aji m

ahsu

si, h

atar

i na

atha

ri k

wa

wan

awak

e, w

anau

me,

was

icha

na n

a w

avul

ana

kati

ka m

ukta

dha

wa

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI i

li ku

toa

taar

ifa b

ora

zai

di z

a ut

ekel

ezaj

i wa

sera

, pro

gra

mu

na u

teng

aji w

a ra

silim

ali

zina

zofa

a am

baz

o z

inak

uza

na k

ulin

da

haki

na

mah

itaj

i yao

.•

T26

: Via

shir

ia v

yeny

e up

atan

ifu w

a us

awa

wa

kijin

sia

vina

tum

ika

ili k

upat

a za

idi v

ipen

gel

e vy

a ki

jam

ii –

kiut

amad

uni,

kiuc

hum

i na

vya

kiel

imu

kuhu

su m

ago

njw

a ya

mili

puk

o a

mb

avyo

vin

acha

ngia

kat

ika

uhat

ari n

a ha

li ha

tari

shi

ya m

aam

buk

izi y

a V

VU

.•

M32

: Kua

ndaa

na

kutu

mia

via

shir

ia v

ya u

saw

a w

a ki

jinsi

a vi

livyo

oan

ishw

a ka

tika

kue

lew

a vi

zuri

zai

di

vip

eng

ele

vya

kija

mii

– ki

tam

adun

i, ki

uchu

mi n

a ki

elim

u m

ago

njw

a ya

mlip

uko

, vin

avyo

chan

gia

hat

ari n

a ha

li ha

tari

shi y

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

kw

a w

anaw

ake

na w

asic

hana

.

133

Fany

a up

imaj

i wa

mah

itaji

ya t

aarif

a ka

tika

mip

ango

ya

pro

gram

u za

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI a

mb

azo

zina

uta

mb

uzi w

a ki

jinsi

a,

katik

a ng

azi z

a ki

taifa

, kis

ekta

, kim

koa,

ki

wila

ya, s

ehem

u zi

nazo

toa

hud

uma

za a

fya

, na

jam

ii

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

134

Piti

a, b

ores

ha n

a fa

nya

utam

buz

i wa

kijin

sia

wa

kanz

idat

a (d

atab

ase)

ya

vias

hiria

vik

uu;

katik

a M

fum

o w

a ny

arak

a za

Kita

ifa w

a U

fuat

iliaj

i na

Tath

min

i ya

VV

U n

a U

KIM

WI,

mip

ango

na

zana

za

TOM

SH

A n

a M

oHS

W

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

MP

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au, n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

135

End

esha

uta

� ti w

a aw

ali k

ubai

nish

a u

zito

w

a vi

ashi

ria v

ya V

VU

na

UK

IMW

I vye

nye

utam

buz

i wa

kijin

sia

katik

a ng

azi y

a ki

taifa

na

rek

ebis

ha n

a /

au a

ndaa

via

shiri

a oa

nifu

vy

a us

awa

wa

kijin

sia

ili k

uele

wa

vizu

ri za

idi v

ipen

gele

vya

kija

mii,

kita

mad

uni,

kiuc

hum

i, na

kie

limu

mag

onjw

a ya

mili

puk

o vi

navy

ocha

ngia

kat

ika

hata

ri na

hal

i hat

aris

hi

ya w

anaw

ake

na w

asic

hana

kw

a ua

mb

ukiz

i w

a V

VU

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

MP

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

Page 74: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)58

136

And

aa m

alen

go y

a vi

wan

go v

ya u

tend

aji k

wa

mw

aka

2010

-201

2 kw

a ki

la k

iash

iria

cha

VV

U n

a U

KIM

WI c

heny

e ut

amb

uzi w

a ki

jinsi

a ka

tika

ngaz

i ya

kita

ifa

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

MP

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au n

a za

w

ataa

lam

u el

ekez

i = $

50,0

00

137

Bor

esha

via

shiri

a vy

a V

VU

na

UK

IMW

I, m

ipan

go n

a se

ra z

a U

fuat

iliaj

i na

Tath

min

i vy

a se

kta,

mik

oa, w

ilaya

, Mfu

mo

wa

Taar

ifa

za A

fya

katik

a ja

mii,

sek

ta b

inaf

si, n

a as

asi m

iam

vuli

za A

ZA

KI,

ili v

yote

viw

e na

ut

amb

uzi w

a ki

jinsi

a

W, M

, KIS

, H

FK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

, RA

S,

CM

AC

s, D

MO

, A

BC

T, a

sass

i m

iam

vuli

za

AZ

AK

I

2011

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

• M

33: K

uzin

gat

ia ji

nsia

kat

ika

shug

huli

zote

za

Ufu

atili

aji n

a Ta

thm

ini

wa

mas

uala

ya

VV

U n

a U

KIM

WI k

atik

a ng

azi z

ote

.

138

And

aa n

a te

kele

za M

pan

go w

a U

fuat

iliaj

i na

Tat

hmin

i una

otok

ana

na s

hugh

uli z

a ka

wai

da

za u

fuat

iliaj

i, ta

thm

ini n

a ut

a� ti

zi

lizoo

rod

hesh

wa

kwen

ye M

pan

go E

ndes

haji

wa

Kiji

nsia

kw

a aj

ili y

a M

witi

kio

wa

VV

U

Tanz

ania

Bar

a

TK

itaifa

TAC

AID

S20

11M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

139

Anz

isha

mifu

mo

ya k

itaifa

ya

ukus

anya

ji d

ata,

uc

ham

buz

i na

uto

aji t

aarif

a ku

husu

mas

uala

ya

Uka

tili w

a K

ijins

iaT

Kita

ifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

MO

HS

W,

Was

imam

izi

wa

utek

elez

aji

wa

sher

ia

2011

-M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

140

Anz

isha

hifa

dhi

za

kita

ifa z

a ku

taar

ifu s

era

na p

rogr

amu

za k

itaifa

, zen

ye k

uony

esha

uh

usia

no k

ati y

a m

aam

buk

izi y

a V

VU

na

aina

tof

auti

za U

katil

i wa

Kiji

nsia

dhi

di

ya w

anaw

ake,

wan

aum

e, w

asic

hana

na

wav

ulan

a

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

MO

HS

W,

Was

imam

izi

wa

utek

elez

aji

wa

sher

ia

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

Page 75: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 59

M34

: Kua

ndaa

ush

ahid

i wen

ye u

bo

ra n

a id

adi w

a m

ahit

aji m

ahsu

si, h

atar

i na

atha

ri k

wa

wan

awak

e na

was

icha

na k

atik

a m

ukta

dha

wa

VV

U

na U

KIM

WI.

141

Asa

si z

a w

anaw

ake

na m

itand

ao y

a w

anaw

ake

WA

VIU

zis

hirik

iane

na

serik

ali

kufa

nya

uta�

ti n

a ku

cham

bua

ush

ahid

i w

enye

ub

ora

na w

a

idad

i wa

mah

itaji

mah

usus

i, ha

tari

na a

thar

i kw

a w

anaw

ake

na w

asic

hana

kat

ika

muk

tad

ha w

a V

VU

na

UK

IMW

I (ka

ma

sehe

mu

ya M

apiti

o ya

P

amoj

a ya

Mw

itiki

o w

a K

itaifa

wa

VV

U n

a U

KIM

WI n

a uu

ndw

aji w

a m

ipan

go m

ikak

ati

mip

ya)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

NA

CP,

M

CD

GC

2011

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

142

Pim

a at

hari

za

njia

za

king

a zi

fuat

azo

kwa

wan

awak

e y

aani

(i) t

ohar

a kw

a w

anau

me

(ii) u

ta� t

i una

oend

elea

kuh

usu

njia

za

king

a zi

nad

hib

itiw

a na

wan

awak

e w

enye

we

TK

itaifa

TAC

AID

S,

, Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2011

-M

P

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

143

Mita

ndao

ya

wan

awak

e W

AV

IU in

apan

ga

na k

upim

a m

aend

eleo

kat

ika

mik

atab

a ya

ki

mat

aifa

ya

usaw

a w

a ki

jinsi

a na

hak

i za

bin

adam

u kw

a w

anaw

ake

na w

asic

hana

ka

ma

mch

ango

kat

ika

utoa

ji ta

arifa

wa

Mal

engo

ya

Mae

ndel

eo y

a M

ileni

a (M

DG

s)

TK

itaifa

TAC

AID

S, ,

M

itand

ao y

a w

anaw

ake

WA

VIU

, M

akun

di y

a ha

ki, W

izar

a,

Idar

a, W

akal

a (M

DA

s)

2011

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au, m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

Page 76: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)60

144

Fany

a ut

a� ti

shi

rikis

hi w

a ki

maa

dili

wa

hali

hata

rishi

na

mah

itaji

ya m

akun

di m

aalu

mu

(waf

anya

kazi

wa

ngon

o w

a ki

ke, w

atum

ia

daw

a za

kul

evya

, wat

u w

enye

tab

ia z

a ki

ngon

o zi

sizo

za

kaw

aid

a ka

tika

jam

ii,

wac

huuz

i, w

afan

yaka

zi w

anao

ham

aham

a,

mad

erev

a w

a m

agar

i mak

ubw

a ya

mas

afa

mar

efu,

waa

thiri

ka w

a m

ajan

ga, w

avuv

i, w

afan

yaka

zi w

a se

kta

isiy

o ra

smi)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

, Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2011

MP

Gha

ram

a za

M

ikut

ano

ya

wad

au,

mal

ipo

ya w

ataa

lam

u el

ekez

i, us

a� r

i na

mal

azi =

$1

50,0

00

145

Fuat

ilia

mat

umiz

i ya

rasi

limal

i zili

zote

ngw

a kw

a aj

ili y

a p

rogr

amu

zina

zohu

su w

anaw

ake,

w

asic

hana

, usa

wa

wa

kijin

sia

na m

asua

la

ya V

VU

kw

a ku

piti

a up

imaj

i wa

kita

ifa

wa

mat

umiz

i kw

a aj

ili U

KIM

WI,

amb

ao

unao

zing

atia

jins

ia (N

AS

A)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

, Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2011

-20

12M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

146

Fuat

ilia,

na

fany

a m

ajad

ilian

o ku

husu

asi

limia

ya

maf

ungu

ya

fed

ha a

mb

ayo

yana

wa�

kia

w

anaw

ake

moj

a kw

a m

oja

kuto

ka k

atik

a m

afun

gu y

a fe

dha

yan

ayot

olew

a na

taa

sisi

za

fed

ha k

ama

rap

id fu

ndin

g en

volo

pe

(RFE

), fo

und

atio

n fo

r ci

vili

soci

ety

(FC

S),

TAS

AF.

TK

itaifa

TAC

AID

S,

, Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2011

-12

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$150

,000

147

Fany

a ta

thm

ini y

a m

wis

ho w

a m

usua

la y

a

utek

elez

aji w

a M

pan

go E

ndes

haji

wa

Kiji

nsia

kw

a A

jili y

a M

witi

kio

wa

VV

U T

anza

nia

Bar

aT

Kita

ifaTA

CA

IDS

2012

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri n

a m

alaz

i = 2

50,0

00

Page 77: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 61

148

Anz

isha

kiji

tab

u ch

a m

wak

a ki

taka

choh

usu

mas

uala

ya

jinsi

a na

VV

U n

a U

KIM

WI,

amb

acho

kita

kuw

a na

tak

wim

u m

uhim

u za

m

fulu

lizo

kuhu

su s

uala

hili

, zik

itum

ika

dat

a m

pya

kul

iko

zote

zin

azow

eza

kup

atik

ana

kuto

ka k

wen

ye s

hugh

uli z

a ka

ribun

i kad

iri

inav

yow

ezek

ana

za u

chun

guzi

na

uta�

ti

TK

itaifa

TAC

AID

S20

11-1

2M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

M35

: Kuj

umui

sha

ucha

mb

uzi w

a jin

si u

go

njw

a hu

u un

avyo

athi

ri w

anaw

ake

na w

asic

hana

, iki

wa

ni s

ehem

u ya

map

itio

ya

pam

oja

ya

mw

itik

io

wa

taifa

na

kutu

mia

taa

rifa

ya

kim

kaka

ti k

wa

ajili

ya

uund

aji

wa

mip

ang

o m

ikak

ati y

a ki

taifa

, maw

asili

ano

na

kujif

unza

.

149

Kus

anya

na

unga

nish

a t

aarif

a ya

jins

i m

lipuk

o hu

u un

avyo

waa

thiri

wan

awak

e na

w

asic

hana

ikiw

a ka

ma

sehe

mu

ya t

athm

ini y

a m

wis

ho w

a m

uhul

a w

a N

MS

F

TK

itaifa

TAC

AID

S,

Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2012

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

150

Tum

ia t

arifa

hiy

o ku

chan

gia

katik

a uu

ndw

aji

wa

NM

SF

3 na

HS

SP

4T

Kita

ifaTA

CA

IDS

, M

HO

SW

2012

MP

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

151

Kw

a ku

shiri

kian

a na

mak

und

i na

mita

ndao

ya

wan

awak

e, s

erik

ali i

and

ae t

aarif

a za

CE

DA

W4

(Taa

rifa

ya s

erik

ali n

a m

akun

di y

a w

anaw

ake

– Ta

arifa

kiv

uli y

a A

ZA

KI)

TK

itaifa

TAC

AID

S,

Mita

ndao

ya

WLH

IV,

Mak

und

i ya

haki

, Wiz

ara,

Id

ara,

Wak

ala

(MD

As)

2011

-20

12M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

Page 78: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)62

152

Tum

ia d

ata

iliyo

kusa

nyw

a ili

kua

ndaa

taa

rifa

mka

kati,

and

aa u

jum

be

muh

imu;

wa

utet

ezi

na m

iitik

io m

akin

i ya

mas

uala

ya

ukat

ili w

a ki

jinsi

a

TK

itaifa

TAC

AID

S,

MC

DG

C,

NA

CP

2011

-20

12M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

153

Fuat

ilia,

hifa

dhi

na

bad

ilish

ana

uzoe

fu n

a ta

ratib

u b

ora

katik

a m

afun

zo y

aliy

opat

ikan

a,

kwa

ajili

ya

upan

uzi w

a el

imup

ana

ya S

RH

R

na s

tad

i za

mai

sha

kwa

ajili

ya

vija

na n

chi

nzim

a ki

taifa

TK

itaifa

MO

EV

T,

TAC

AID

S,

MO

HS

W,

2011

-20

12M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

154

Shi

riki k

atik

a uf

uatil

iaji,

uhi

fad

hi n

a ub

adili

shan

aji w

a uz

oefu

mio

ngon

i mw

a se

rikal

i kuh

usu

upan

uzi w

a el

imu

jum

uish

i ya

ujin

sia

kwen

ye n

gazi

ya

kika

nda.

KT

EA

C, S

AD

C, A

UTA

CA

IDS

, M

CD

GC

, M

OH

SW

2011

-20

12M

P

Gha

ram

a za

m

ikut

ano

ya

wad

au m

alip

o ya

wat

aala

mu

elek

ezi,

usa�

ri

na m

alaz

i =

$100

,000

Page 79: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 63

5. MFUMO WA MENEJIMENTI NA KITAASISI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA

Mfumo wa kimenejimenti na kitaasisi wa Mpango huu unakwenda sambasamba na miundo

iliyopo, yaani ngazi ya taifa, mkoa na serikali za mitaa juu ya mwitikio wa VVU na UKIMWI.

Mpango huu unatoa mwongozo thabiti katika maeneo yafuayo; uratibu, ufanisi, uwazi,

uwajibikaji na uongozi endelevu ambapo wadau wa umma, binafsi na AZAKI wanahusishwa.

Utekelezaji wa shughuli zilizo katika Mpango huu unasimamiwa na kuratibiwa na Tume ya

Kudhibiti UKIMWI Tanzania kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika miundo tofauti na

ngazi mbalimbali. Kwa mfano ngazi ya mkoa, halmashauri za wilaya, jumuia na taasisi

zinazotoa huduma za afya

5.1 Wabia wa Maendeleo juu ya Masuala ya UKIMWI katika Ngazi ya Kitaifa

Wabia wa Maendeleo kuhusu UKIMWI na Mpango wa Kimataifaa wa Kudhibiti UKIMWI

(UNAIDS) wanatoa michango ya kitaalamu , fedha na vifaa katika utekeleza wa shughuli

zilizomo katika Mpango huu, kama sehemu ya mwitikio wa kitaifa wa masuala ya VVU na

UKIMWI.

5.2 Ngazi ya Taifa

O� si ya Waziri Mkuu ni mamlaka ya juu ya kusimamia mwitikio wa kitaifa wa masuala ya VVU

na UKIMWI katika ngazi ya kitaifa, chini ya uratibu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI. Pamoja

na jukumu la uratibu, Tume hiyo hufanya kazi kwa ushirikiano na wizara zifuatazo: Wizara

ya Afya na Ustawi wa Jamii , Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto, O� si ya

Waziri Mkuu– TAMISEMI, na wadau wengine katika uwezeshaji wa kuwepo kwa majukumu

yafuatayo katika utekelezaji wa Mpango huu:

A Uratibu, mipango, uhamasishaji wa upatikanaji rasilimali, ufuatiliaji na tathmini ili

kuchangia taarifa kuhusu utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu.

B Kuimarisha uhusiano na majukumu ya kiupatanifu ya watu wenye mwakilishi wa dawati

la jinsia na wale wenye dhamana ya masuala ya VVU na UKIMWI kwa kuhakikisha

kuwa kazi zao zinatekelezwa kwa njia ya ushirikiano.

Page 80: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)64

C Kuweka na kusimamia msaada wa kitaalamu katika ngazi za mkoa na ngazi nyingine za

chini.

D Kuwapa wataalamu jukumu la kufanya uta� ti unaohusiana na mwitikio wa masuala ya

kijinsia na yale ya VVU na UKIMWI na kusambaza matokeo ya uta� ti huo

E Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye

mwitikio kijinsia.

Mwitikio wa kijinsia wa kimkakati unaohusiana na masuala ya VVU na UKIMWI vilivyomo

katika Mpango huu vinaratibiwa na kurugenzi husika ndani ya Tume ya kudhibiti UKIMWI

ambazo zinafanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu na Mshauri wa masuala ya jinsia (Tume)

na o� sa wa masuala ya jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

. Kurugenzi hizi ni: Mwitikio wa Taifa, Habari na utetezi na taarifa, fedha na Ukusanyaji

Rasilimali, Sera na Mipango, na Ufuatiliaji na Tathmini. Kwa kuwa Jinsia ni suala mtambuka,

timu ya wataalamu wa Jinsia ambayo ni kamati ndogo ndani ya kikosi cha kitaalamu cha

eneo la kimkakati la mazingira wezeshi ina jukumu la kusimamia na kutoa taarifa kuhusu

uongozi, menejimenti, utekelezaji na maendeleo ya utekelezaji wa Mpango huu kwa ajili ya

Mwitikio wa VVU Tanzania Bara.

5.3 Wizara, Idara na Mawakala Kitaifa

Wizara, Idara na Wakala mbalimbali wanaimarisha utekelezaji wa shughuli za masuala ya

VVU na UKIMWI zenye mwelekeo wa kijinsia katika sekta zao kupitia:

A Kuhakikisha kuwa shughuli zenye mwitikio wa kijinsia zinazohusiana na masuala

ya VVU na UKIMWI zilizomo katika Mpango huu zinajumuishwa na kutekelezwa

kupitia mipango na bajeti zao za kisekta kama sehemu ya ushughulikiaji wa masuala

yanayohusiana na ufanisi wa wafanyakazi pamoja na kazi za mashirika na utohoaji wa

programu kufuatana na mabadiliko ya athari za masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI

(external mainstreaming).

B Kupitia kuimarisha na kupatanisha majukumu na kazi za kamati za kitaalamu na timu

za masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI katika sekta ili kuepuka marudio ya jitihada na

kuboresha ushirikiano.

C Kukusanya misaada ya kifedha, kiutaalamu na nyenzo kwa ajili ya afua za VVU na

UKIMWI zinazozingatia kijinsia.

D Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, programu na mifumo yake hutoa stadi maalumu

na uangalizi wa kitaalamu na kuimarisha uwezo, uta� ti, uchunguzi na upelelezi kuhusu

vipengele vya kiafya vinavyozingatia jinsia kuhusu VVU na UKIMWI.

Page 81: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 65

E Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na programu na mifumo yake hutoa

stadi maalumu na uangalizi wa kitaalamu na uimarishaji wa uwezo kuhusu masuala ya

kijinsia.

F Taasisi za Elimu ya Juu zikiratibiwa na Tume ya Kudhibiti VVU na UKIMWI , kutoa msaada

wa kitaalamu kwa wadau katika utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu

wa kijinsia kwa ajili ya Mwitikio wa VVU Tanzania Bara.

5.4: Sekretarieti za Kiutawala za Mikoa

Sekretareti za Kiutawala za mikoa ni muhimu sana katika uratibu wa utekelezaji wa shughuli

zilizomo katika Mpango huu wa Uendeshaji, katika ngazi za mikoa na za Mamlaka za Serikali

za Mitaa. Wajibu wa sekretarieti katika utekelezaji wa Mpango huu wa Uendeshaji ni pamoja

na:

A Uratibu wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zinazozingatia jinsia.

B Kushauri wadau wa wilaya kuhusu masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI.

C Kubadilishana taarifa kuhusu mila na desturi zinazozingatia jinsia katika masuala ya

VVU na UKIMWI katika wilaya.

D Kuhakikisha kuwa shughuli zinazozingatia jinsia katika masuala ya VVU na UKIMWI

zinajumuishwa kwenye Mipango ya Halmashauri ya Masuala Jumuishi ya Afya (CCHPs)

E Kuzipatia wilaya miongozo na sera za kutumia katika mipango na kutekeleza afua za

VVU na UKIMWI zenye mtazamo wa kijinsia. Ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa

afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia utakaofanywa na

wilaya.

5.5 Mamlaka za Serikali za Mitaa

Wakurugenzi wa Wilaya wanafanya kazi kwa ushirikiano na vyombo husika vinavyoratibu

masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI katika ngazi zao, kuratibu na kusimamia mipango

na utekelezaji wa afua za masuala ya VVU na UKIMWI zenye utambuzi wa kijinsia katika

mamlaka zao. Vyombo vinavyoratibu masuala ya VVU vilivyo chini ya Mamlaka za Serikali za

Mitaa, kama vile Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Vijiji, Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Kata,

Kamati za Kudhibiti UKIMWI za Halmashauri huratibu na kuongoza afua za VVU na UKIMWI

zinazozingatia jinsia katika maeneo yao husika.

Page 82: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)66

5.6 Asasi za kiraia AZAKI zikijumuisha asasi zisizo za Kiserikali (AZISE),

asasi za Kidini na asasi za kijamii .

AZAKI huchangia juhudi za serikali katika utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zinazohusu

masuala ya kijinsia pamoja na kufanya ufuatiliaji na uhamasishaji wa sera za VVU na

UKIMWI. AZAKI mbalimbali zikijumuisha wanachama wa kundi la ushauri wa masuala

ya kijinsia hutoa ushauri wa kitaalamu kwenye shughuli zinazohusu ufuatiliaji na utetezi

wa sera. Katika utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI zenye mwitikio wa kijinsia kwa

kutumia Mpango huu, AZAKI zinaratibiwa na kupewa msaada wa kitaalamu kwa kupitia

mitandao inayowaunganisha (umbrella) kwa kushirikiana na vitengo vya uratibu vya serikali

katika ngazi zote. Makundi na mitandao inayotoa huduma na msaada kwa wenye VVU

miongoni mwa AZAKI, huwa na jukumu mahsusi katika ufuatiliaji na utetezi wa masuala ya

kijinsia yanayohusiana na haki za binadamu na sera za VVU na UKIMWI.

5. Sekta Binafsi

Katika kusaidia utekelezaji wa shughuli za VVU na UKIMWI zinazohusiana na masuala

ya kijinsia kwenye Mpango huu, sekta ya biashara iliyo chini ya uratibu wa umoja wa

wafanyabiashara kuhusu UKIMWI Tanzania inaendelea kuwezesha upatikanaji wa rasilimali

kwa ajili ya tiba na matunzo, utoaji wa taarifa mbalimbali zinazohusiana na masuala ya

jinsia, VVU na UKIMWI pamoja na wataalamu inawezesha katika kufungua mianya ya

mawasiliano ili kuwezesha ufuatiliaji wa masuala ya VVU na UKIMWI yanayohusiana na

jinsia. Sekta isiyo rasmi pia hushirikiana kwa karibu na Wizara ya Kazi katika kutekeleza

shughuli zilizomo katika Mpango huu.

Page 83: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 67

6. UFUATILIAJI NA TATHMINI.

Utekelezaji wa shughuli zilizomo katika mpango huu hufuatiliwa, kutathminiwa na kutolewa

taarifa chini ya mfumo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI

(HIV-MES) unaojumuisha sekta mbalimbali zinazohusika na masuala ya VVU na UKIMWI .

Shughuli za utoaji taarifa ya Ufuatiliaji na Tathmini zinaendana na lengo la HIV-MES ambalo

ni ‘Kutumia ushahidi ulio dhahiri na kwa wakati katika masuala yanayohusiana na mipango

na maamuzi kuhusu masuala ya VVU’. Shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini kwa ajili ya afua

za masuala ya kijinsia na VVU na UKIMWI zimeainishwa katika vipengele kumi na mbili vya

mfumo wenye ufanisi bora wa Ufuatiliaji na Tathmini wa kitaifa kama ifuatavyo:

6.1 Shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini zilizomo katika Mpango huu zinaratibiwa na

Kurugenzi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya TACAIDS. Shughuli zote za utoaji huduma

hufanywa na wadau wa ngazi zote kama ilivyokubaliwa na TACAIDS na kikosi kazi

cha wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini (M&E TWG).

6.2 Ujuzi na maarifa wa stadi za ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za VVU na UKIMWI

zinazozingatiaji jinsia, huimarishwa katika ngazi za kitaifa, zisizo za kitaifa, na katika

ngazi ya utoaji wa huduma. Uimarishaji huu wa uwezo kwa rasilimali watu hufanywa

katika misingi ya upimaji wa uwezo kuhusu Mfumo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini

na Mpango wa kuimarisha uwezo ulioandaliwa na na wadau wengine.

6.3 Timu ya ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini ndani ya Tume, inajumuisha

masuala ya jinsia na VVU na UKIMWI katika maeneo makuu yaliyoanishwa. Pia,

inajumuisha wawakilishi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto katika

uanachama wake. Timu hii inaratibu na kusimamia shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini

za masuala ya VVU na UKIMWI zinazohusiana na jinsia katika ngazi zote kitaifa na

katika nyanja ya utoaji wa huduma.

6.4 Tayari mfumo wa ufuatiliaji na tathmini wa VVU na UKIMWI umeshaonesha jinsi

viashiria vya masuala ya jinsia, VVU na UKIMWI vinavyoweza kupatikana, pamoja na

vyanzo vyake vya data. Vilevile timu ya wataalamu inatambua shughuli za Kimkakati

za Ufuatiliaji na Tathmini za VVU na UKIMWI zinazohusiana na masuala ya kijinsia na

kuzijumuisha katika mipango kazi ya wadau na TACAIDS.

6.5 Kikosi kazi cha wataalamu wa ufuatiliaji na tathimini kinaendelea kusistiza shughuli

na mipango ya ufuatiliaji na tathmini na shughuli zinazozingatia masuala ya jinsia,

pamoja na hayo, kikosi hiki kinahakikisha kwamba zana zinazotumika kwa uta� ti

na uchunguzi, zinazingatia jinsia katika shughuli za VVU na UKIMWI. Vilevile za

ufuatiliaji wa mara kwa mara zimeandaliwa kuweza kukusanya taarifa kuhusu jinsia

na VVU na UKIMWI. Taarifa zote zinahifadhiwa kwenye kanzidata (data base) ya

taifa inayoratibiwa na TACAIDS.

Page 84: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)68

6.6 Pia, Tume TACAIDS) huimarisha ubora wa data za jinsia na VVU na UKIMWI, wakati

huohuo hutoa usaidizi na ukaguzi wa data wa mara kwa mara. Kila mwaka, timu

ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini na TACAIDS huorodhesha mahitaji na

vipaumbele vinavyohusiana na uta� ti na mafunzoa. Wakati huo huo, kikosi cha

wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini na Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania ,

hujumuisha taarifa zote kuhusu jinsia, VVU na UKIMWI kwenye taarifa ya ujumla ya

masuala ya VVU na UKIMWI ambazo husambazwa kwa wadau ambao huhimizwa

kuzitumia wakati wa kupanga na kutekeleza afua za masuala ya VVU na UKIMWI

kwa kuzingatia jinsia.

Page 85: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 69

7. VIKWAZO NA MIKAKATI YA KUEPUKA ATHARI ZITAKAZOJITOKEZA KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO UENDESHAJI.

Mpango huu unaweza kurithi vikwazo visivyozuilika vikiwemo vikiwa ni pamoja na : kukosa

ushirikiano wa kutosha kutoka kwa uongozi kwa ajili ya utekelezaji, uwezo ha� fu wa

utekelezaji, ushirikiano ha� fu wa wadau, na uchelewaji wa fedha au utoaji wa fedha

zisizotosha kwa ajili ya afu. Tume pamoja na wadau wengine wamepanga hatua za

kuchukua ili kupunguza makali ya vikwazo vinavvyoweza kujitokeza kama ifuatavyo:

7.1 Uwezekano wa kukosa ushirikiano wa kutosha katika uratibu kwa ajili ya utekelezaji

wa mpango huu ni mdogo ukizingatia kuwa serikali, Wizara, Idara na Wakala za

serikali, sekta binafsi na wadau wote wamedhamiria kupambana na VVU na UKIMWI

kwa kuzingatia jinsia. Endapo hali hii itatokea, inaweza kuleta athari kubwa. Tume na

wadau wake wataendelea kuhimiza na kudumisha majadiliano ya mara kwa mara

miongoni mwa washirika wake katika ngazi zote ili kudumisha ushirikiano wa uratibu

katika utekelezaji wa shughuli za mpango huu.

7.2 Uwezekano wa kukwama kwa utekelezaji kutokana na uhaba wa wataalamu ni

mdogo ukizingatia kuwa watendaji mbalimbali wamejengewa uwezo wa kutosha

katika nyanja ya jinsia , VVU na UKIMWI. Upungufu wowote utakaojitokeza utafanyiwa

kazi kadri itakavyoonekana inafaa. Tume , wabia wa maendeleo na wadau wengine

wataendelea kutoa msaada wa kitaalamu na kuboresha uwezo kwa watendaji

mbalimbali wa shughuli ziliozanishwa katika mpango huu.

7.3 Uwezekano wa wadau kutokutoa ushirikiano wa kutosha ni mdogo kwani majadiliano

na mipango ya awali ya kazi imedhihirisha kuwa wadau wote katika sekta zote wako

tayari kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kupanga na kutekeleza afua za

VVU na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia. Tume itaendelea kushirikiana na wadau ili

kuendeleza utaratibu na mfumo wa uratibu wa pamoja katika utekelezaji wa shughuli

za mpango huu.

7.4 Uwezekano wa ucheleweshaji au ukosefu wa fedha za kutosha katika utekelezaji wa

afua za mpango huu ni mdogo kwani kuna fedha zilizotengwa katika ngazi ya Taifa

kwa ajili ya uratibu na usimamizi wa shuguli za VV na UKIMWI kwa kuzingatia jinsia,

hata hivyo Tanzania ni nchi kubwa hivyo kufanya ugumu wa kupata fedha za kutosha

kwa jaili ya kutekeleza shughuli zote zilizomo katika Mpango huu katika wilaya na

vijiji vyote nchini, ucheleweshaji wa fedha unaweza kufanya baadhi ya shughuli hizi

kutofanyika kama ilivyopangwa. Tume ya kudhibiti UKIMWI itaendelea kufanya kazi

na wadau wengine katika kushawishi wadau kutimiza ahadi zao kwa wakati muafaka

ili kufanikisha utekelezaji wa shughuli zilizomo kwenye mpango huu.

Page 86: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)70

8. HITIMISHO

Mpango huu Endeshaji wa Kijinsia kwa Ajili ya mwitikio wa VVU, Tanzania Bara, utabidi utekelezwe

katika kipindi cha kutokea mwaka 2010 hadi mwaka 2012, kama zana ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI

Tanzania na wabia wake ya kuzidisha uratibu na usimamizi wa shughuli za VVU na UKIMWI zenye

zinazozingatia jinsia zinazofanywa na wadau mbalimbali kwenye ngazi za kitaifa hadi chini kabisa

katika ngazi ya jamii kwenye vituo vya utoaji wa huduma. Mpango huu Endeshaji utapitiwa tena

i� kapo mwaka 2013 toleo la pili litakuwa limeundwa, ambalo litajumuisha na kizazi cha tatu cha

NMSF 3 ambacho kitakuwa kimekwishaundwa kwa wakati huo.

TACAIDS inahakikisha kuwa rasilimali za kutosha zinakusanywa na mashirika yanayowajibika

kwa utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu Endeshaji yanazifanya shughuli hizi kwa

kiwango cha upeo wa juu kadiri inavyowezekana. TACAIDS hutoa msaada wa usimamizi ambapo

haja ni kutatua masuala na changamoto zinazokubaliwa katika shughuli za utekelezaji zilizomo

katika Mpango huu.

Kila mwaka TACAIDS huandaa mikutano ya wadau ya kupitia utekelezaji wa shughuli katika

Mpango huu Endeshaji. Mkutano huu wa kila mwaka hutoa utatuzi wa changamoto na shughuli

zilizopendekezwa ili kuzidisha utekelezaji wa shughuli za VVU zenye utambuzi wa kijinsia.

Utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango huu Endeshaji wa Mwitikio wa VVU Tanzania

Bara huwasababisha wadau kushughulikia; tofauti zinazozohusiana na jinsia, kutokuwa na usawa,

masuala na mahitaji ya jamii ndani ya Tanzania Bara.

Page 87: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 71

Kiambatisho A:

ORODHA YA MASHIRIKA YALIYOCHANGIA

ORODHA YA MASHIRIKA YALIYOCHANGIA:

UMOJA WA WAFANYABIASHARA KUHUSU UKIMWI NCHINI TANZANIA(ABCT)

BARAZA KUU LA WAISILAMU TANZANIA(BAKWATA)

CAMFED TANZANIA

CENTRE FOR ADVOCACY AND EMPOWERMENT (CADEM)

TUME YA HUDUMA ZA KIJAMII YA KIKRISTO (CSCC)

ENGENDER HEALTH CHAMPION

UBALOZI WA IRELAND

ECONOMIC AND SOCIAL RESEARCH FOUNDATION (ESRF) TANZANIA

FAMILY HEALTH INTERNATIONAL (FHI)

GENSAT

GERMAN DEVELOPMENT COOPERATION/TANZANIA GERMAN PROGRAMME FOR

SUPPORT TO HEALTH (GTZ/TGPSH)

HEALTHSCOPE TANZANIA

MKUU WA WILAYA YA ILALA

CHUO KIKUU CHA JOHNS HOPKINS(JHU)

WAELIMISHA RIKA, KIMARA

HUDUMA YA KINGA KWA VIJANA, KIMARA

HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI

KITUO CHA KISHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC)

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO (MCDGC)

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI (MoEVT)

MOLO SAYUNI

MKUU WA WILAYA, MUFINDI

BARAZA LA TAIFA LA WATU WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI(NACOPHA)

MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (NACP)

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA(TACAIDS)

MTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP)

TANZANIA WOMEN OF IMPACT FOUNDATION (TAWIF)

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA (TAWLA)

HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE

HALMASHAURI YA WILAYA TEMEKE

KAMPUNI YA MASOKO NA MAWASILIANO TANZANIA(T-MARC)

MTANDAO WA WANAWAKE WANAOISHI NA VVU NA UKIMWI TANZANIA (TNW+)

TANZANIA GERMAN PROGRAMME FOR SUPPORT HEALTH / PREVENTION AND

Page 88: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)72

AWARENESS IN SCHOOLS OF HIV/AIDS/ MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL

TRAINING (TGPSH/PASHA/MOEVT)

UKONGA

MFUKO WA WANAWAKE WA UMOJA WA MATAIFA (UNIFEM)

MPANGO WA UMOJA WA MATAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (UNAIDS)

SHIRIKA LA MAENDELEO LA MAREKANI(USAID)

YOUTH PARENT CRISIS COUNSELING CENTRE (YOPAC)

Page 89: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 73

KIAMBATISHO B:

ORODHA YA KIKOSI KAZI CHA WATAALAMU WALIOFANIKISHA MPANGO HUU

Orodha ya wanajumuia katika kikundi kazi, kwa kufuata alfabeti:

1. Achilles Ndyalusa MCDGC

2. Andulile Kanza AMREF

3. Annmarie Mavenjina TAWLA

4. Ben Awinda Mhariri

5. Betty Malaki TACAIDS

6. Bruno Masumbuko GTZ

7. Eliazary Nyagwaru TACAIDS

8. Emebet Admassu UNAIDS

9. Fatma Mrisho TACAIDS

10. Geofrey Chambua Mtaalamu elekezi

11. Jackson Marcel Kwingwa CADEM

12. James Wandera Ouma TNW+

13. Japhace T. Daudi TACAIDS

14. Jerome Kamwela TACAIDS

15. Julie Tumbo Mtaalamu Elekezi

16. Juster K. Rutabba Muuguzi Kigoma

17. Lena Mfalila NACP

18. Neema Duma TGNP

19. Pili Mtauchila Halmashauri ya Manispaa Temeke

20. Raphael Kalinga TACAIDS

21. Benedict Raymond Mangulu MOEVT/PASHA

22. Sakina Othman TACAIDS

23. Salome Anyotti UNIFEM

24. Subilaga Kasesela Kaganda TACAIDS

25. Steven Wandella TACAIDS

26. Vera Mdai TACAIDS

27. Vida Mwasalla GTZ

28. Laura Skolnik PEPFAR

29. Ludovica Tarimo USAID

Page 90: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)74

Kiambatisho C:

ORODHA YA MAREJEO

AMREF consortium, GFR9 concept note, 2009.

Civil Service data, June 2009.

LHRC. Tanzania Human Right Report, 2007.

Ministry of Health and Social Welfare, The National Road Map Strategic Plan,Plan one, April

2008.

Norwegian working group on HIV&AIDS awareness raising folder, 2001.

TACAIDS, Gender Audt on Tanzania National response to HIV&AIDS 2009.

TACAIDS, HIV prevention strategy for Tanzania Mainland, 2009.

TACAIDS, NMSF, 2008-2012

TACAIDS et.al, Tanzania HIV&AIDS and Malaria Indicator Survey (THMIS), 2007-2008.

UNAIDS, Agenda for Accelerated Country Action for Women, girls, Gender Equality and HIV,

2010.

URT, Analitical Report for integrated Labour force Survey (ILFS), 2006.

(Footnotes)1 LHRC, Tanzania Human Rights Report, 2007

2 Civil Service data by June 2009

3 MOJCA is Ministry of Justice and Constitutional Affairs

4 CEDAW ni mkataba wa kimataifa wa kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake

Page 91: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012) 75

Page 92: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU · MOJCA Wizara ya Sheria na Katiba MOEVT Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi MOFEA Wizara ya Fedha na Uchumi. viii MPANGO

MPANGO UENDESHAJI WA KIJINSIA KWA AJILI YA MWITIKIO WA VVU, TANZANIA BARA (2010-2012)76

TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)Old Boma Building, Morogoro Road / Sokoine Drive

P.O. Box 76987 Dar es Salaam

Tel: +25522 2122651 / 2125651 Fax: +255 22 2125127

Email: [email protected]

Website: www.tacaids.go.tz