84
2019 -2029 MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

  • Upload
    others

  • View
    4

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

Page 2: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20292

Page 3: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Wizara ya Kilimo

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA

2019-2029

Dodoma, TanzaniaAgosti, 2019

Page 4: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20294

Page 5: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 i

YALIYOMO

ORODHA YA VIFUPISHO ........................................................................ iii

Dibaji .............................................................................................. vii

Shukrani ............................................................................................... ix

1. Utangulizi .............................................................................................11.1 Usuli............................................................................................1

1.2 Sera, Mikakati na Programu za Kitaifa ........................................3

1.3 Dhana ya kuwa na mkakati wa taifa wa usimamizi wa

mazao baada ya kuvuna .............................................................4

1.4 Methodolojia iliyotumika kuandaa mkakati ................................5

1.5 Mawanda ....................................................................................6

2. Hali halisi ..............................................................................................72.1 Hali ilivyo sasa ya upotevu wa Mazao baada ya kuvuna

Tanzania ......................................................................................7

2.2 Athari zinazotokana na hifadhi na usimamizi hafifu wa mazao ya chakula .....................................................................14

2.3 Vyanzo vya upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini ..........15

2.4 Athari za upotevu wa mazao kwenye usalama wa chakula

na lishe. ....................................................................................18

2.5 Juhudi za kukabiliana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini. ..........................................................................20

2.6 Masuala Muhimu katika Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna .....................................................................................26

3. Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna ........................263.1 Dira na Dhima ..........................................................................273.2 Malengo Mkakati ......................................................................27

Lengo Mkakati A: Kujenga uelewa kuhusu usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kuboresha ufanisi na kupunguza upotevu wa mazao katika mnyororo wa thamani .....................27Lengo Mkakati B: Kuhamasisha upatikanaji, ufikiaji, unafuu na utumiaji wa teknolojia na mbinu zilizothibitishwa kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. ....................28

Page 6: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029ii

Lengo Mkakati C: Kuwezesha mifumo ya masoko ya kilimo, ili kuboresha upatikanaji wa soko na kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. ........................................................29Lengo Mkakati D: Kuhamasisha tatifi na uvumbuzi wa teknolojia mpya inayoendana na mazingira yetu pamoja na mbinu za kupunguza upotevu wa mazao .................................30Lengo Mkakati E: Kupitia na kuweka sheria mpya ili kuhakikisha kuwa viwango vya ubora vinazingatiwa kwa mujibu wa sheria ili kupunguza upotevu baada ya kuvuna. .....31Lengo Mkakati F: Kuimarisha uwezo wa taasisi, uratibu, ushirikiano, ubia na ushiriki wa wadau wa usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna katika kuimarisha utekelezaji malengo ya kimkakati ...............................................................31Lengo Mkakati G: Kutengeneza mifumo ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi. .........................................................33Lengo Mkakati H: Kukabiliana na upungufu wa fedha katika kugharamia Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna. ...............34Lengo Mkakati I: Kuwa na mbinu za kiwango kinachokubalika za kukusanya taarifa za upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini. .......................................................................................25

4. Mipango ya Utekelezaji .....................................................................364.1. Wadau muhimu katika utekelezaji ............................................424.2. Mpango wa uendeshaji – Mpango kazi na bajeti .....................424.3 Fedha za kutekeleza Mkakati ...................................................434.4 Ufuatiliaji na Tathmini ...............................................................444.5 Utaratibu wa utoaji taarifa ........................................................45

MAREJEO ..............................................................................................47ORODHA YA VIAMBATISHO .................................................................49KIAMBATISHO 1: Muundo wa utekelezaji Malengo Mkakati .................49KIAMBATISHO NAMBA 2: MUUNDO WA TAARIFA YA ROBO MWAKA ..........................................65KIAMBATISHO NAMBA 3: MUUNDO WA TAARIFA YA ROBO MWAKA ..........................................66KIAMBATISHO NAMBA 5: ORODHA YA WAJUMBE WA KIKOSI KAZI ............................................67

Page 7: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 iii

ORODHA YA VIFUPISHO

ADB African Development BankAEZ Agro-Ecological ZoneAFB1 Aflatoxin B1 (Sumu Kuvu B1)AGRA Alliance for a Green Revolution in AfricaANSAF Agricultural Non State Actors ForumAPA Agricultural Produce ActARI Agriculture Research InstitutesASDP Agricultural Sector Development Programme ASDS Agricultural Sector Development Strategy ASLMS Agriculture Sector Lead MinistriesAU African UnionAZISE Asasi Zisizo za SerikaliBMI Body Mass IndexBRN Big Results NowCAADP Comprehensive African Agricultural Development Program CAMARTECCentre for Agricultural Mechanisation and Rural Technology CBOs Community-Based OrganizationsCFS Committee on World Food SecurityCMEW Crop Monitoring and Early Warning CMT Coordination and Management TeamCOSTECH Tanzania Commission for Science and Technology COWABAMA Collective Warehouse Based Marketing schemesCVC Commodity Value ChainDADPs District Agriculture Development PlansDAICO District Agricultural, Irrigation and Cooperative OfficerDASIP District Agriculture Sector Investment PlanDCP District CVC Platform DEDs District Executive DirectorsDNFS Division of National Food Security

Page 8: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029iv

DPs Development Partners (DPs) EAC East African CommunityFAO Food and Agriculture Organization of the United NationsFFS Farmers Field SchoolFPs Focal PersonsFSAS Food Security Assistance Scheme. FSC Food Supply ChainFSD Food Security DepartmentGDP Gross Domestic ProductGMP Good Manufacturing PracticeGPLP Grain Postharvest Loss Prevention ProjectHACCP Hazard Analysis Critical Control PointsHSI HELVETAS Swiss Interco-operation.ICT Information and Communication TechnologiesJSR Joint Sector ReviewLGAs Local Government AuthoritiesLGB Larger Grain BorerLTPP Long-Term Perspective PlanM & E Monitoring and EvaluationMOA Ministry of Agriculture MATIs Ministry of Agriculture Training InstitutesMDAs Ministries, Departments, and AgenciesMIS Market Information SystemsMITI Ministry of Industries Trade and InvestmentMIVARF Marketing Infrastructure Value Addition and Rural Finance ProgrammeMoFP Ministry of Finance and PlanningMT Metric TonnesNASSM National Agricultural Sector Stakeholders MeetingNEPAD New Partnership for Africa’s DevelopmentNFS National Food SecurityNGOs Non-Governmental Organizations

Page 9: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 v

NMC National Milling CorporationNPHMS National Post-Harvest Management StrategyNSAs Non-State ActorsPH Post-HarvestPHL Pots-Harvest LossesPHM Post-Harvest ManagementPHM-TWG Post-Harvest Management Services-Technical Working GroupPHTs Post-Harvest TechnologiesPMO Prime Minister’s OfficePO-RALG President ‘s Office - Regional Administration and Local GovernmentPPP Public Private PartnershipPS MOA Permanent Secretary Ministry of Agriculture RAS Regional Administrative SecretariatREA Rural Energy AgencyREPOA Research on Poverty AlleviationRS Regional SecretariatSACCOS Savings and Credit Cooperative SocietySADC Southern Africa Development CommunitySAGCOT Southern Agriculture Growth Corridor of TanzaniaSC Steering CommitteeSDC Swiss Agency for Development and Cooperation. SDG Sustainable Development Goals.SGR Strategic Grain ReserveSIDO Small Industries Development OrganisationSMEs Small and Medium EnterprisesSO Strategic Objective SSA Sub-Saharan AfricaTAFSIP Tanzania Agriculture and Food Security Investment PlanTBS Tanzania Bureau of Standards TCD Technical Committee of Directors

Page 10: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029vi

TDV Tanzania Development VisionTEMDO Tanzania Engineering and Manufacturing Design OrganisationTF Task Force.TFDA Tanzania Food and Drug AuthorityTIRDO Tanzania Industrial Research and Development OrganisationTMA Tanzania Meteorological AgencyTPMP Tanzania Post-harvest Management Platform. TV TelevisionTWG Thematic/Technical Working Groups (TWG) UN United NationsUNDP United Nations Development ProgrammeUNGA United Nations General AssemblyUSD US DollarsVICOBAs Village Community BanksWRC Ward Resource CentreWRRB Warehouse Receipts Regulatory Board

Page 11: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 vii

DibajiUzalishaji wa chakula nchini Tanzania, unatosheleza mahitaji ya taifa. Hata hivyo, baadhi ya mikoa huathirika kwa uhaba wa chakula kutokana na mifumo hafifu ya kuhifadhi mazao baada ya kuvuna, hali inayosababisha upungufu wa mazao na kupanda kwa bei. Hali hiyo inatokana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna unaokadiriwa kuwa kati ya asilimia 30 na 40 kwa mazao ya nafaka na asilimia kubwa zaidi kwa mazao yanayoharibika haraka. Hali ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini imeifanya Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Mazao baada ya Kuvuna. Mkakati huu utatekelezwa kwa kipindi cha miaka kumi na utahusisha mazao ya aina mbalimbali yakiwemo mazao ya nafaka, jamii ya mikunde, matunda, mboga, mizizi pamoja na mazao ya mbegu za mafuta. Aidha, mkakati umeainisha afua mkakati zitakazowezesha kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna na hatimae kuimarisha usalama wa chakula na lishe hapa nchini. Kudhibiti upotevu wa mazao baada ya kuvuna kutasaidia jamii kuwa na uhakika wa chakula na lishe bora na kuongeza kipato bila kutumia rasilimali za ziada.

Inatambulika duniani kote kuwa kudhibiti upotevu wa mazao unaotokea wakati wa kuvuna mpaka chakula kinapofika mezani kunatoa fursa kubwa ya kupunguza baa la njaa na kuchochea ukuaji wa viwanda. Hivyo, juhudi zinapaswa zielekezwe kwenye uzalishaji wa mazao kulingana na mahitaji pamoja na kuongeza thamani na matumizi ya bidhaa za mazao.

Mkakati huu unalenga kuwawezesha na kuwajengea uwezo wadau wa usimamizi wa kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna kwa lengo la kuongeza kipato na uhakika wa chakula na lishe. Aidha, mkakati utachangia kutekeleza Sera ya Taifa ya Kilimo, inayotekelezwa kupitia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili. Program hii inalenga kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo, ili kuongeza uzalishaji na tija, kufanya kilimo kiwe cha kibiashara na kuongeza pato la wakulima wadogo kwa ajili ya kuboresha maisha yao, uhakika wa usalama wa chakula na lishe, kuongeza upatikanaji wa malighafi kwa ajili ya maendeleo ya viwanda na kuchangia pato la taifa. Pia, mkakati huu

Page 12: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029viii

unalenga kuwezesha ufikiaji wa Malengo ya Kimataifa ya kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna kwa asilimia 50 ifikapo 2025 kama ilivyoainishwa katika Azimio la Malabo chini ya Umoja wa Afrika, na lengo namba 12.3 katika Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa ifikapo mwaka 2030.

Maandalizi ya Mkakati huu yameshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wataalam wa serikali, wahadhiri kutoka vyuo vikuu, jukwaa la wadau wa usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, asasi zisizokuwa za kiserikali na mashirika ya kimataifa yanayojishughulisha na kilimo. Matumaini yangu ni kuwa, utekelezaji wa mkakati huu utapunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna na kuchangia ipasavyo uhakika wa usalama wa chakula na lishe na kuongezeka kwa kipato cha mkulima na pato la taifa kwa ujumla.

Mhandisi Mathew J. Mtigumwe

Katibu Mkuu

Page 13: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 ix

Shukrani

Wizara inapenda kutoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali waliopo kwenye mnyororo wa usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ambao ni pamoja na sekta za umma, binafsi, taasisi zisizo za kiserikali, taasisi za elimu na utafiti kwa kushiriki vyema katika hatua mbalimbali za kuandaa mkakati huu.

Kwa namna ya pekee, Wizara inapenda kukishukuru kikosi kazi kilichojumuisha wataalam kutoka Wizara ya Kilimo, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jukwaa Lisilo la Kiserikali la Wadau wa Kilimo-ANSAF na Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la Uswisi-HELVETAS kwa kazi kubwa ya kuandaa mkakati huu.

Aidha, Wizara inatoa shukrani za pekee kwa Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la Uswisi (SDC), Umoja wa Mapinduzi ya Kijani Afrika -AGRA, na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa-FAO kwa msaada wao mkubwa wa kifedha, kitaalamu na kiufundi katika uandaaji wa mkakati huu.

Mwisho shukrani za dhati ziwafikie wadau wote waliofanikisha kwa hali na mali uandaaji wa Mkakati huu wa Taifa wa Usimamizi Mazao baada ya Kuvuna.

Page 14: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029x

UTANGULIZI

Page 15: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 1

1. Utangulizi 1.1 Usuli Uhaba wa chakula duniani ni moja ya changamoto inayofahamika ambapo kulingana na tafiti mbalimbali inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2050 kutakuwa na walaji wapatao bilioni tisa (9) (Parfitt, Barthel na Macnaughton, 2010). Hivyo, mahitaji ya chakula yanakadiriwa kuwa asilimia 60 zaidi ya ilivyo sasa. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Umoja wa Mataifa umedhamiria kutokomeza baa la njaa, kuhakikisha usalama wa chakula na lishe, na kukuza kilimo endelevu kama lengo lake la pili kati ya malengo yake kumi na saba ya Maendeleo Endelevu ifikapo mwaka 2030. Kadhalika, mkazo utawekwa katika kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula kati ya asillimia 50-70 ili kufikia malengo hayo. Udhibiti wa upotevu wa mazao ya chakula ni suala muhimu na la kipekee ambalo linapaswa kupewa kipaumbele ili kufikia malengo hayo. Shabaha ya tatu katika lengo hili (shabaha ya 12.3) inahamasisha kupunguza kwa asilimia 50 upotevu wa chakula kwa kila mtu duniani katika ngazi za uuzaji na ulaji kwa kupunguza upotevu wa chakula kwenye mnyororo wa uzalishaji na usambazaji (ikihusisha upotevu wa mazao baada ya kuvuna) ifikapo 2030. Njia zote hizo mbili ni muhimu kwa upatikanaji wa chakula na kuondokana na baa la njaa. Kutokana na kuongezeka kwa bei za vyakula duniani kuanzia mwaka 2006, uhakika wa upatikanaji wa chakula umekuwa ni changamoto. Kwa nchi zenye kipato kidogo kama Tanzania, tatizo la uhaba wa chakula limekuwa likijitokeza katika baadhi ya maeneo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo uzalishaji mdogo, ukosefu wa mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, bei kubwa za vyakula na ukosefu wa mikopo. Hata hivyo, upotevu wa mazao baada ya kuvuna umekuwa ukisahaulika kama sababu muhimu ya upungufu wa chakula na kipato hasa kwa wakulima wadogo. Upotevu wa mazao baada ya kuvuna unajitokeza katika mipango mbalimbali duniani kama vile Mwongozo Kabambe wa Vitendo uliotolewa mwaka 2009 na Kikosi Maalumu cha Ngazi ya Juu cha

Page 16: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20292

Umoja wa Mataifa kinachoshughulikia Masuala ya Usalama wa Chakula na Lishe kutokana na uhaba wa chakula duniani, Mpango wa Dunia wa Kilimo ambao uliridhiwa na Benki ya Dunia (2010) pamoja na Kamati ya Usalama wa Chakula Duniani. Aidha, Umoja wa Afrika kupitia Mpango kabambe wa Maendelo ya Kilimo Afrika umeainisha kuwa, upunguzaji wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni moja ya kipaumbele kwa mataifa ya Afrika. Pamoja na hatua mbalimbali zilizochukuliwa, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Afrika uliofanyika Malabo mwaka 2014, uliazimia kutokomeza baa la njaa kwa kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2025.

Upunguzaji wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna duniani, ni njia mojawapo muhimu ya kuhakikisha usalama wa chakula na lishe. Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa na Benki ya Dunia wamebaini kuwa, theluthi moja ya chakula kinachozalishwa duniani hupotea au kuharibika. Upotevu huo ni sawa na tani bilioni 1.3 za chakula kwa mwaka duniani ambapo zaidi ya watu milioni 870 hukumbwa na baa la njaa. Taarifa ya Benki ya Dunia (2011), ilibainisha kuwa, kiasi kikubwa cha mazao ya nafaka yenye thamani ya Dola za Kimarekani bilioni 4 hupotea katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara. Taarifa hiyo, pia imeonesha kuwa, upotevu huo ni mkubwa kuliko thamani yote ya misaada yote ya chakula iliyotolewa kwa nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara katika kipindi cha muongo mmoja uliopita au kulinganishwa na thamani ya kiasi chote cha nafaka zinazoingizwa katika nchi hizo. Kadhalika, upotevu huo unakadiriwa kuwa ni sawa na mahitaji ya nishati (kilo kalori) yanayotosheleza watu milioni 48 kwa mwaka.

Aidha, FAO pamoja na Benki ya Dunia wamekadiria kiasi cha dola za Kimarekani 940 kinahitajika kutokomeza baa la njaa katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Janga la Sahara ifikapo mwaka 2050. Kwa mukhtadha huo, kupunguza upotevu wa chakula ni njia muhimu ya kuhakikisha upatikanaji wa chakula na lishe pamoja na kupunguza umasikini. Hata hivyo, Mkakati wa upunguzaji upotevu

Page 17: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 3

wa mazao baada ya kuvuna, una matokeo chanya kwa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwezesha uzalishaji katika ngazi ya shamba na kuokoa rasilimali za uzalishaji au upatikanaji wa mazingira bora ya uzalishaji yatakayowezesha uzalishaji wa chakula kinachopotea au kutoliwa. Matumizi ya rasilimali adimu kama vile ardhi, maji, nishati na rasilimali nyinginezo kuzalisha bidhaa ambazo matumizi yake ni kidogo huathiri utekelezaji wa mipango endelevu ya kilimo.

1.2 Sera, Mikakati na Programu za Kitaifa Kumekuwa na mabadiliko mbalimbali ya kisera na miongozo ya Kitaifa inayotokana na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, na Mpango wa Maendeleo wa Muda Mrefu na Mpango (2010-2021) na mpango wa Pili wa Miaka Mitano wa Maendeleo (2016-2021). Miongozo na Sera za Kisekta zinatoa kipaumbele katika jitihada za kuhakikisha usalama wa chakula na lishe nchini. Kwa mantiki hiyo, serikali imeandaa sera, mikakati na programu mahususi kuhusu upotevu wa mazao ya chakula baada kuvuna. Hii ni pamoja na Sera ya Taifa ya Kilimo (2013) na Sera ya Masoko ya Kilimo (2008), ambazo kwa ujumla wake, zimezingatia masuala yanayohusu upotevu wa mazao baada ya kuvuna ambayo ni tishio kwa usalama wa chakula na lishe nchini. Katika kutekeleza sera hizo, kumekuwa na maazimio na mipango mbalimbali ya kitaifa na kikanda ikiwa ni pamoja na KILIMO KWANZA, Mpango wa Uwekezaji wa Kilimo na Chakula wa Tanzania, Mpango wa Kukuza Kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania, Programu kabambe ya kuendeleza sekta ya kilimo Afrika, na Mpango wa Umoja wa Afrika wa kuhamasisha Maendeleo ya Kilimo. Mipango hiyo yote ambayo inahamasisha maendeleo ya sekta ya kilimo nchini inatekelezwa kupitia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo.

Pamoja na jitihada mbalimbali za serikali za kuendeleza sekta ya kilimo, bado kuna changamoto za kukabiliana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Changamoto hizo ni pamoja na upatikanaji wa teknolojia za kuhifadhi mazao baada ya kuvuna, uelewa mdogo wa wadau katika kukabiliana na upotevu wa mazao na uhaba wa miundombinu ya masoko. Hivyo, mkakati huo utakuwa mwongozo

Page 18: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20294

kwa sekta za umma na binafsi katika kukabiliana na changamoto ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Aidha, mkakati huo umezingatia mabadiliko yanayoendelea ya kitaasisi na kisera.

1.3 Dhana ya kuwa na mkakati wa taifa wa usimamizi wa mazao baada ya kuvuna

Sera ya Taifa ya Kilimo (2013) inatambua kuwa, mojawapo ya changamoto za sekta ya kilimo ni upotevu wa mazao kabla na baada ya kuvuna unaokadiriwa kuwa kati ya asimia 30-40 kwa mwaka. Upotevu mkubwa unatokea kwenye mazao ya matunda, mboga na mazao jamii ya mizizi. Upotevu huo husababishwa na kukosekana kwa miundombinu sahihi ya uhifadhi wa mazao hayo. Upotevu wa Mazao baada ya kuvuna, unawaathiri wadau mbalimbali katika mnyororo mzima kuanzia ngazi ya uzalishaji hadi mlaji. Tija ya kilimo kwa mkulima haitakuwa na faida iwapo masuala ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna hayatapewa kipaumbele kinachostahili kupitia programu na mikakati mbalimbali. Hii itaathiri usalama wa chakula, lishe, ukuaji wa uchumi na pato la taifa.

Aidha, Sera ya Masoko ya Kilimo (2008) inatambua kuwa, soko la mazao ya kilimo linaathirika kutokana na uhaba wa miundombinu ya masoko, ukosefu wa mipango ya masoko, uhusiano duni wa wadau katika masoko, uwekezaji mdogo katika usindikaji, hifadhi na uongezaji thamani katika mazao. Changamoto hizo husababisha upotevu mkubwa wa mazao kabla na baada ya kuvuna. Lengo kuu la sera hiyo ni kuhakikisha kuwa, miundombinu ya masoko ya bidhaa za kilimo inaimarishwa na kuendelezwa ili kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hivyo, jitihada zinazoelekezwa katika kupunguza upotevu, zitatoa fursa mbalimbali za kuimarisha upatikanaji endelevu wa chakula na hivyo kudumisha usalama wa chakula na lishe nchini.

Mazingira ya kisera yaliyopo kwa sasa yamezingatia umuhimu wa kukabiliana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hata hivyo, mikakati ya kuendeleza kilimo iliyopo haijatoa kipaumbele katika

Page 19: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 5

masuala ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna kama juhudi za kuimarisha usalama wa chakula, lishe na kipato. Aidha, bado kuna uelewa mdogo wa wadau kuhusu masuala ya upotevu wa mazao kabla na baada ya kuvuna jambo ambalo huleta athari za kiuchumi na kimazingira. Ni kwa minajili hiyo upotevu wa mazao baada ya kuvuna unaendelea kuwa tatizo kubwa na tishio kwa usalama wa chakula. Hivyo, mkakati huu utasaidia utekelezaji wa mipango mbalimbali inayoendelea katika ngazi za kisekta, kitaifa, kikanda na kimataifa ikiwemo maazimio ya Malabo ya kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna kwa asilimia 50 ifikapo 2025.

1.4 Methodolojia iliyotumika kuandaa Mkakati Mchakato wa uandaaji wa mkakati huu umeshirikisha wadau mbalimbali ili kuibua masuala na changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ndogo ya usimamizi wa mazao kabla na baada ya kuvuna nchini. Mchakato ulianza kwa kuunda kikosi kazi kilichojumuisha wataalam 11 kutoka Wizara ya Kilimo, Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jukwaa la Taasisi zisizo za Kiserikali la Wadau wa Kilimo, na asasi isiyo ya kiserikali ya Kiswizi HELVETAS. Orodha ya walioandaa mkakati imeambatishwa kwenye kiambatisho Na.5. Kikosi kazi hiki kilifanya kazi kwa karibu na watalaam wa wanataaluma wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine-SUA na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM

Aidha, ili kupanua wigo wa maoni, kikosi kazi kiliandaa warsha na makongamano ya wadau mbalimbali wa mnyororo wa thamani wa mazao yaliyofanyika katika kanda mbalimbali hapa nchini ambapo maoni na taarifa za kuboresha mkakati huu zilikusanywa. Rasimu ya kwanza ya mkakati iliyotokana na maoni ya wadau iliwasilishwa katika kongamano la jukwaa la wadau wa masuala ya kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna ili kupata maoni na mapendekezo ya kuboresha rasimu ya mkakati. Kadhalika, rasimu hiyo ya mkakati iliwasilishwa kwenye menejimenti ya Wizara ya Kilimo kwa ajili ya maoni na uboreshaji.

Page 20: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20296

1.5 MawandaUtekelezaji wa mkakati huu utakuwa katika kipindi cha miaka 10 (2019-2029) na ni mahsusi kwa ajili ya mazao ya chakula hususan nafaka, jamii ya mikunde, matunda na mboga, mizizi na mbegu za mafuta ya kula. Aidha, utekelezaji wa mkakati huu utahusisha wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani kuanzia hatua ya kuvuna hadi ulaji.

Page 21: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 7

2. Hali halisi 2.1 Hali ilivyo sasa ya upotevu wa Mazao baada ya kuvuna

Tanzania“Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna” unamaanisha upotevu wa kiasi, ubora na thamani ya mazao kutokana na sababu mbalimbali wakati na baada ya kuvuna. Tafiti zinaonesha kuwa upotevu huo unaweza kupimika na kuthaminishwa kutokana na vigezo vya kiuchumi katika sehemu husika (de Lucia and Assennato, 1994). Mfumo wa upotevu unahusisha muunganiko wa shughuli mbalimbali kuanzia muda wa uvunaji, usindikaji, uuzaji, uhifadhi hadi ulaji.

Upotevu wa mazao baada ya kuvuna umewekwa katika makundi makuu matatu ambayo ni upotevu wa kiasi cha mazao, upotevu wa ubora na upotevu wa kiuchumi au kibiashara (Suleiman and Rosentrater, 2015). Watafiti wengine wanaainisha upotevu huu kama upotevu wa moja kwa moja na upotevu usio wa moja kwa moja. Upotevu wa kiasi cha mazao huhusisha upungufu wa uzito na huwa rahisi sana kujua thamani yake na kiasi kilichopotea. Mfano, kiasi cha nafaka kilicholiwa na wadudu au kupotea wakati wa usafirishaji kinaweza kuhesabika na kuthaminishwa haraka.

Upotevu wa kiasi cha mazao ni wa aina nyingi na mara nyingi huhusisha sifa za nje za zao husika, umbo, ukubwa, rangi na ladha, ambavyo huathiri ukubalikaji wake kwa walaji, na kupungua ubora kilishe. Mambo yanayosababisha upotevu huu yanahusisha tamaduni mbalimbali zinazochangia tabia za ulaji wa chakula, kuchangayika kwa nafaka safi na chafu, mabaki mbalimbali ya mimea, michanga, mawe na vipande vya plastiki na glasi. Baadhi ya uchafu ni mgumu kuuondoa na ni hatari zaidi kwa afya za walaji. Kwa mfano; mabaki ya uchafu wa dawa za kuua wadudu unaoyeyuka, mafuta, dawa za kuua wadudu waharibifu, wadudu na vimelea wanaosababisha magonjwa na wanaosambazwa na wanyama waharibifu na sumu ya fangasi. Uwepo wa uchafu usiotakiwa unaweza kuharibu uhalisia wa uzito wa mzigo wa mazao unaouzwa hivyo kuharibu ubora wake na thamani ya soko la mazao husika.

Page 22: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-20298

Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa, hasara za kiuchumi zinapatikana pale thamani ya kifedha ya mazao inapopungua kutokana na kupoteza thamani au kiasi. Hivyo, makundi ya upotevu yanaweza kupimwa kwa njia mbalimbali na matokeo yake huwa na mahusiano ya moja kwa moja. Kwa mfano, upungufu mkubwa wa uzito na ubora unaashiria upungufu wa virutubisho na thamani ya bidhaa hiyo.

Upotevu wa moja kwa moja hutokea pale mazao yanapopungua kwa kumwagika kwa mfano, mazao yanapopungua baada ya mfuko kupasuka au kuliwa na viumbe waharibifu (wanyama, wadudu ndege), wakati upotevu usio wa moja kwa moja unasababishwa na upungufu wa ubora wa mazao pale walaji wanaposita kununua kutokana na sababu mbalimbali kama vile kuwepo kwa kiwango cha juu cha masalia ya viuatilifu na sumukuvu.

Hata hivyo upungufu wa uzito haumaanishi kuwa ni lazima uwe umesababishwa na upotevu wa mazao bali inawezekana ni upungufu wa unyevu wakati wa kukausha mazao. Kwa upande mwingine, uzito mkubwa wa mazao yaliyohifadhiwa katika sehemu zilizowazi yanaponyonya unyevu unaotokana na mvua kunyesha, huharibu mazao na kusababisha upotevu mkubwa.

2.1.1 Ukubwa wa upotevu wa uzito na maumbileUkubwa na aina ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna hutofautiana kati ya nchi moja na nyingine kulingana na ngazi ya maendeleo ya nchi husika. Taarifa mbalimbali zinaonesha kuwa nchi zenye uchumi mkubwa na wa kati, upotevu mkubwa hutokea katika hatua za mwanzo za mnyororo wa thamani wa chakula na katika ngazi ya mlaji (United Nations, 2011). Katika nchi zenye uchumi mdogo upotevu wa mazao hutokea katika hatua za mwanzo na kati katika mnyororo wa thamani na kiasi kidogo sana hupotea katika ngazi ya mlaji. Uhaba wa chakula katika nchi zinazoendelea ni matokeo ya “upotevu usiokusudiwa” kutokana na mapungufu kwenye mnyororo wa thamani wa nchi hizo (Kielelezo namba 1).

Page 23: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 9

Kielelezo Na 1: Upotevu wa mazao hutofautiana katika ngazi mbalimbali

Kuna changamoto mbalimbali katika mfumo wa huduma za mazao baada ya kuvuna ambazo huchangia katika upotevu wa mazao kabla na baada ya kuvuna. Baadhi ya changamoto hizo ni; kuvuna kabla ya mazao kukomaa, vifaa duni vya kuhifadhia mazao, ukosefu wa miundombinu ya hifadhi na ukosefu wa teknolojia na vifaa vya kusindika. Changamoto za kiufundi baada ya kuvuna husabishwa na mtaji mdogo, ujuzi mdogo wa ubebaji mazao pamoja na matatizo ya masoko na sera. Mikakati ya kutatua matatizo ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna inahitaji uchunguzi na uchambuzi wa mapungufu ya kitaalam na changamoto za kijamii na kiuchumi. Matokeo ya tafiti za FAO yanaonesha kuwa, wakulima wa Tanzania hupoteza hadi asilimia 40 ya mazao baada ya kuvuna (hii inategemea aina ya zao na eneo la kijiografia). Hali hiyo inaathiri kipato, maisha na uzalishaji kwa mkulima. Hata hivyo, kuna uhaba wa takwimu zinazohusu masula ya upotevu wa mazao ya chakula nchini. Takwimu zilizopo ni za muda mrefu na haziakisi hali halisi ya sasa.

Page 24: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202910

Katika nchi zinazoendelea makadirio ya upotevu wa mazao unaonesha viwango tofauti vya upotevu katika mazao kama vile katika mazao ya nyanya ambayo ni kati ya asilimia 20 na 50, viazi vikuu kati ya asilimia 10 na 60, ndizi kati ya asilimia 20 na 80 na mapapai kati ya asilimia 10 na 40. Aidha, utafiti uliofanywa na FAO mwaka 2011 kuhusu nafaka, umeonesha makadirio ya upotevu katika nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika ni asilimia 13.5. Matokeo hayo yanafanana na yale yaliyofanywa na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine mwaka 2012 ambayo yanaonesha upotevu wa mazao makuu ya nafaka kama ifuatayo: Mahindi asilimia 15.5, Mpunga asilimia 10.7 na Mtama asilimia 12.5. Tofauti ya makadirio ya upotevu wa mazao ya chakula kati ya nchi moja na nyingine unaweza kusababishwa na mabadiliko ya mahitaji ya chakula katika ngazi mbalimbali kutegemea kipato. Tafiti zinaonesha kuwa mabadiliko ya kipato katika ngazi ya kaya duniani kote husababisha mabadiliko ya uhitaji wa chakula (Regmi, et al, 2001). Walaji wenye vipato vikubwa wanapendelea bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. Katika kukabiliana na hali hiyo, wauzaji na wasambazaji wa vyakula wameweka taratibu za viwango mbalimbali vikiwemo vigezo vya ubora na utaratibu wa utoaji vibali. Bidhaa zinazoshindwa kukidhi mahitaji haya, hata kama zina virutubishi na ni salama kwa matumizi ya binadamu, huachwa hivyo, kuchangia upotevu wa vyakula.

Upotevu wa mazao ni mkubwa kwa nchi zinazoendelea ikilinganishwa na nchi zilizoendelea. Hiyo inatokana na sababu kuwa bajeti ya maendeleo ya kilimo katika nchi zinazoendelea ni ndogo. Aidha, matumizi ya teknolojia za kisasa katika nchi zilizoendelea katika hatua mbalimbali kama vile utumiaji wa mashine wakati wa kuvuna, kusafirisha, kukausha na kuhifadhi zimeonesha ufanisi mkubwa ikilinganishwa na teknolojia duni za asili zinazotumika katika nchi zinazoendelea (Kielelezo Na 2).

Page 25: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 11

Chanzo: Hodges, Buzby na Bennett, 2011.

Kielelezo Na 2: Ufanisi kati ya njia za asili na za kisasa

2.1.2 Upotevu wa mazao kiuchumiUpotevu wa mazao kiuchumi unaotokea baada ya kuvuna ni tishio kwa usalama wa chakula, kipato na maisha ya familia nyingi katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara. Upotevu wa mazao ya nafaka hususan kwa mtama pekee unakadiriwa kuwa zaidi ya dola za Kimarekani bilioni 4 kwa mwaka. Kulingana na takwimu za uzalishaji wa mazao ya chakula, kwa wastani Tanzania inajitosheleza kwa zaidi ya asilimia 100. Hata hivyo, kaya nyingi kutokana na tofauti za kiikolojia, baadhi ya maeneo ya nchi yamekuwa yakikumbwa na upungufu wa chakula.

Upotevu wa thamani ya mazao ya nafaka hutokea kwenye mnyororo wa thamani katika hatua za uzalishaji, uvunaji, uhifadhi, usafirishaji na usindikaji. Changamoto kubwa hutokea katika nchi zinazoendelea kutokana na ukweli kwamba kilimo kimehodhiwa na wakulima wadogo na wenye mitaji midogo ya kuwekeza kwenye kilimo. Wakulima hao, hutumia teknolojia duni katika uzalishaji, uvunaji, usafirishaji, uhifadhi na usindikaji. Aidha, athari zinazotokana na majanga ya asili, hali ya hewa na mabadiliko ya tabia nchi huathiri mwenendo wa kiuchumi.

Pamoja na ongezeko la uzalishaji katika ngazi ya kitaifa linalokadiriwa wastani wa tani 9,455,000 kwa mwaka, teknolojia zinazotumika kabla, wakati na baada ya kuvuna bado ni duni. Suala hilo husababisha upotevu wa wastani wa tani 3,782,000

Page 26: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202912

kwa mwaka. Hii inamaanisha kuwa asilimia 40 ya kiasi cha nafaka kinachozalishwa hupotea kwa sababu ya matumizi ya teknolojia kama inavyoonekana kwenye (Kielelezola 2).

Katika ukanda wa Afrika Mashariki, upotevu wa mazao ya chakula baada ya kuvuna unakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 na 60 kutegemea aina ya mazao, jambo ambalo huchangia kuathiri hali ya usalama wa chakula na lishe katika ukanda huo. Upotevu huo wa kiwango na ubora unadhihirisha hasara kiuchumi ambayo ina athari za moja kwa moja kwa pato la mkulima na taifa kwa ujumla.

Wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani kwa mazao ya nafaka hukumbana na changamoto mbalimbali kulingana na majukumu yao. Wakulima wadogo hukabiliwa na changamoto za miundombinu na upatikanaji wa masoko. Vilevile, wafanyabiashara, hukabiliwa na upotevu wa bidhaa kutokana na teknolojia duni za utunzaji na uhifadhi ambao huchangia ongezeko la bei kutokana na upungufu wa chakula katika soko.

Page 27: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 13

Chanzo: REPOA, 2014 na WK, 2015

Kielelezo Na 3: Mwenendo wa Upotevu baada ya Kuvuna kwa Mazao yaliyochaguliwa

Thamani ya nafaka kifedha hushuka kutokana na kupungua kwa ubora na kiasi cha nafaka kilichozalishwa. Nchini Tanzania, thamani ya mahindi inakadiriwa kuwa Shilingi za Kitanzania bilioni 3.92 (sawa na Dola milioni 1.8) ambapo takriban Sh.milioni 600 (sawa na Dola 273,000) zinapotea kwenye mnyororo wa thamani, mtama Sh. milioni 767 (sawa na Dola 349,000) ukiwa na makadirio ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna ya Sh. milioni 95 (sawa na Dola 43,200), Mchele Sh. bilioni 2.58 (sawa na Dola bilioni 1.2) na upotevu wake ukikadiriwa kufikia milioni 276 (sawa na Dola 125,500) (Jedwali 1).

Mavuno Mavuno Mavuno MavunoUpotevu Upotevu Upotevu Upotevu

Page 28: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202914

Jedwali Na. 1: Wastani wa upotevu kiuchumi baada ya kuvuna kwa mazao makuu ya chakula katika kipindi cha mwaka 2012-2016

Mazao Wastani (Tani 000’)

Wastani wa thamani Kifedha TZS (000’)

Uzalishaji Hasara Thamani iliyobaki

Iliyopotea

Mahindi 6,046 937 3,920 601

Mtama 793 99 767 95

Mchele 1,780 190 2,580 276

Chanzo: REPOA, 2014; WK, 2015

Wakulima wadogo hulazimika mara kwa mara kuuza bidhaa zao kwa bei ambayo hailingani na bei ya soko. Hali hiyo siyo ina madhara kwa mkulima mmoja mmoja tu, bali inaathiri pia uchumi wa taifa. Upotevu wa mazao baada ya kuvuna unachangia kuongezeka kwa umaskini hususan kwa wananchi waishio vijijini kwa vile hupunguza kipato chao katika mlolongo wa mnyororo wa thamani wa chakula. Aidha upotevu wa mazao huathiri ubora wa bidhaa na kusababisha bei ya mazao kushuka katika soko na hatimaye kuongezeka kwa bei ya vyakula katika soko. Mwenendo wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna huwakatisha tamaa wakulima kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa sababu vipato na maisha yao kwa ujumla huathirika kwa kiasi kikubwa.

2.2 Athari zinazotokana na hifadhi na usimamizi hafifu wa mazao ya chakula

Hifadhi na usimamizi usioridhisha wa mazao ya chakula kabla, wakati na baada ya kuvuna ni chanzo cha vimelea vinavyosababisha sumu kuvu za aina mbalimbali kama vile aflatoksini. Tafiti mbalimbali zimedhihirisha kuwa mazao makuu ya chakula hususan mahindi na muhogo yamekuwa yakiathirika kutokana na hifadhi na utunzaji duni. Suala la uchafuzi wa sumu kuvu katika mazao ya chakula lina athari za moja kwa moja katika afya na biashara. Tafiti zilizofanywa

Page 29: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 15

na iliyokuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa-kwa kushirikiana na kampuni ya Abt (2012) zimebaini kuwepo kwa uchafuzi mkubwa wa sumu kuvu aina ya AFB1 kwenye mazao ya chakula katika baadhi ya mikoa ya Tanzania. AFB1 ni miongoni mwa sumu kuvu ambayo ni tishio kwa afya ya binadamu. Sumu hiyo inasadikiwa kuwa ni kisababishi cha ugonjwa wa saratani ya ini. Kutokana na hali hiyo, Mamlaka imetoa angalizo kuwa uchafuzi wa sumu kuvu katika vyakula ni moja ya tatizo linalotishia afya ya binadamu. Aidha, tatizo hilo lina madhara ya kiuchumi hivyo, kuwa kikwazo katika biashara ya mazao ya chakula ndani na nje nchi.

2.3 Vyanzo vya upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchiniVyanzo ambavyo huchangia upotevu wa mazao baada ya kuvuna hujumuisha uvunaji, usindikaji, hali ya hewa, mbinu za uzalishaji, usafirishaji, upangaji madaraja, miundombinu, utashi wa walaji na upatikanaji wa mikopo. Katika siku za hivi karibuni imebainika kuwa, mabadiliko ya tabia nchi yanaongeza tatizo la upotevu wa mazao baada ya kuvuna hususan wakati wa kuvuna na kukausha, udhibiti wa visumbufu vya mimea shambani na wakati wa kuhifadhi. Tazama Kielelezo Na. 4.

Chanzo: Abasset et al, 2014

Kielelezo Na. 4: Sifa za upotevu wa mazao baada ya kuvuna katika mnyororo wa thamani

Page 30: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202916

Kulingana na Kielelezo Na. 4 hapo juu, upotevu wa mazao baada ya kuvuna hujumuisha hatua za usafirishaji wa mazao kutoka shambani hadi kumfikia mlaji. Upungufu unaotokea katika kila hatua hutofautiana kulingana na taasisi na hatua zilizotumika katika mnyororo wa thamani wa chakula. Aidha, kwa nchi zinazoendelea mlolongo wa uzalishaji hutumia zana bora kwa kiwango kidogo hivyo husababisha upotevu mkubwa kutokea katika hatua mbalimbali kama vile wakati wa kukausha, kuhifadhi, kuchakata na kusafirisha.

Upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini Tanzania husababishwa na vyanzo mbalimbali ambavyo hutofautiana kutokana na asili yake na kiwango cha madhara kinachoweza kusababishwa (Kielelezo Na. 4). Vyanzo hivyo vya upotevu ni pamoja na wadudu na wanyama waharibifu, miundombinu duni ya hifadhi na usafirishaji, huduma duni za utunzaji, teknolojia duni za uvunaji na ukaushaji, ukosefu wa vifungashio na huduma sahihi za vipimo, masoko yasiyotabirika na uelewa mdogo wa wakulima kuhusu huduma sahihi za utunzaji na uhifadhi wa mazao kwenye mnyororo wa thamani. Hata hivyo, matokeo ya tafiti mbalimbali yanaonesha kuwa, wakulima wana uelewa kuhusu vyanzo vya upotevu wa mazao baada ya kuvuna lakini hawana uwezo wa kukabiliana navyo kutokana na uwezo mdogo wa kifedha (Jedwali Na. 2).

Jedwali la 2: Mitazamo ya wakulima kuhusu sababu za upotevu mazao baada ya kuvunaSababu ya Upotevu baada ya kuvuna

Mitazamo ya Mkulima

Uharibifu wa panya na wadudu Unatambuliwa na asilimia 35

Uharibifu wakati wa Usafirishaji hadi utunzaji

Unatambuliwa na asilimia 16

Upimaji na upakiaji mbovu Unatambuliwa na asilimia 12

Ukaushaji usiofaa Unatambuliwa na asilimia 9

Kutotabirika kwa masoko (kuchelewesha mauzo)

Unatambuliwa chini ya asilimia 5

Upotevu kipindi cha usindikaji Unatambuliwa chini ya asilimia 5

Kukatika kwa nafaka (hasa mchele)

Unatambuliwa chini ya asilimia 5

Chanzo: REPOA, 2014.

Page 31: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 17

Kwa ujumla, vyanzo vya upotevu na uharibifu wa chakula katika nchi za kipato cha chini unahusishwa na masuala ya kifedha, uratibu na uhaba wa teknolojia zinazotumika katika uvunaji, uhifadhi na usafirishaji katika mazingira tofauti. Aidha, teknolojia duni ya vifungashio na mifumo ya masoko huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Vilevile, tafiti zimebainisha kuwa, upotevu baada ya kuvuna hutofautiana kutokana na bidhaa katika hatua mbalimbali.

Kwa kuwa mfumo wa uvunaji wa mazao unajumuisha hatua mbalimbali za kuondoa au kupunguza vikwazo ikijumuisha matatizo yote utafanyika kwa kutazama mfumo wa chakula unaoangalia maeneo ambayo udhibiti wa upotevu unaoweza kupatikana na kutoa motisha kwa maeneo ambayo yana mabadiliko ya tabia nchi kwa hatua mbalimbali

Mkakati wa usimamizi baada ya kuvuna unajumuisha michakato mingi, hatua za kuondokana na tatizo hili jumuishi zitafanyika kwa suluhisho jumuishi zitakazozingatia mnyororo mzima wa chakula ili kugundua ni sehemu gani inaweza kudhibiti upotevu na kutoa motisha za kutatua tatizo kwa njia ya kubadili tabia katika ngazi mbalimbali.

Jedwali la 3: Utofauti wa upotevu mazao katika mnyororo wa thamaniBidhaa Hatua ya Mnyororo wa Thamani Upotevu%)Mahindi Kuvuna 1-4.5

Kuhifadhi 2.8-17Maharage Kuhifadhi 14.7-17.5Viazi Vitamu

Kuvuna 4Usafirishaji 16Thamani ya soko kwa sababu ya kuharibika 11-37

Mihogo Kuhifadhi vipande vipande vilivyokaushwa 4.5Thamani ya soko kwa sababu ya ubora duni wa vipande

15-45

Nyanya Kuvuna 2.6Usafirishaji 2

Maembe Kuvuna 2.6Kusafirisha kwenda kwenye masoko 10.6Kuuza jumla 30.6

Chanzo: REPOA, 2014.

Page 32: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202918

Kwa ujumla, wakulima wana uelewa mzuri wa matatizo yanayosababisha upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hata hivyo, siyo vyema kuhusisha masuala ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna na hifadhi duni peke yake. Hivyo, kutoa teknolojia ya kuhifadhi hakuwezi kuwa ufumbuzi endelevu wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Upotevu wa mazao huanzia shambani hadi mezani na pia maamuzi yanayofanyika kabla ya kuvuna huathiri kwa kiwango kikubwa hatua ya upotevu wa kuvuna hapo baadaye.

Aidha, mkazo zaidi uwekwe katika njia za pamoja za kushughulikia upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hivyo, njia jumuishi zinahitajika ili kuongeza ufanisi ikiwa ni pamoja na uwepo wa mfumo sahihi wa uzalishaji utakaopunguza upotevu kwenye mnyororo mzima wa uzalishaji, uhifadhi, usafirishaji na usindikaji.

2.4 Athari za upotevu wa mazao katika usalama wa chakula na lishe.

2.4.1 Athari za Upotevu wa mazao katika usalama wa chakula. Zaidi ya asilimia 70 ya idadi ya watu wanaoishi Kusini mwa Jangwa la Sahara hutegemea kilimo kujipatia kipato na chakula. Hivyo, ili kuondoa umaskini uliokithiri na njaa barani Afrika, ni muhimu kukuza uzalishaji na kuongeza tija kwenye kilimo. Hata hivyo, tija kwenye uzalishaji na thamani ya bidhaa za kilimo kwenye ukanda wa Jangwa la Sahara ni ndogo kuliko maeneo mengine duniani. Licha ya tija kuwa ndogo kwenye kilimo, upotevu baada ya kuvuna pia uko juu.

Tanzania hukabiliwa na uhaba wa chakula wa mara kwa mara katika baadhi ya maeneo, hususan baadhi ya sehemu za mikoa ya kanda ya Pwani, kanda ya Kati na Kaskazini-magharibi. Sababu mojawapo ya uhaba huo ni upotevu wa mazao unaotokana na mifumo hafifu ya usimamizi baada ya kuvuna, hali inayosababisha upungufu wa bidhaa sokoni na hatimaye kupanda kwa bei.

Ingawa ukubwa na madhara ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna unajulikana, juhudi za kupunguza tatizo hilo bado hajizafanikiwa kwa kiasi kikubwa. Hii ni kwa sababu suala hili ni mtambuka na huhusisha wadau mbalimbali katika hatua tofauti za upotevu. Aidha, wadau hawa wanafanya kazi katika muktadha wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kimazingira, ambao mara nyingi haueleweki vya kutosha. Kupunguza upotevu baada ya kuvuna ni njia fanisi na

Page 33: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 19

endelevu ya kuongeza usalama wa chakula na lishe. Pia, uongezaji wa thamani katika mazao ya kilimo yaliyopo katika minyororo ya thamani ya chakula, utatoa fursa za ajira na kuongeza kipato hivyo kukabiliana na umaskini na njaa vijijini. 2.4.2 Madhara ya Upotevu wa mazao katika LisheLishe duni ni mojawapo ya kikwazo kikubwa zaidi kwa maendeleo ya binadamu na ukuaji wa uchumi. Magonjwa yanayotokana na lishe duni huathiri ufanisi wa binadamu na huchangia kupunguza pato la taifa kwa asilimia mbili hadi tatu. Utafiti wa Afya ya watu 2010, ulionesha kuwa, asilimia 35 ya watoto wameathiriwa na udumavu; asilimia nne (4) wana ukondefu na asilimia 15 wana uzito pungufu. Ukosefu mkubwa wa virutubishi hujitokeza katika madini chuma, vitamini A na upungufu wa madini joto (iodine). Tatizo la lishe duni kwa watoto limekithiri zaidi katika maeneo ya vijijini kuliko mijini na hasa katika kaya maskini. Hii husababishwa na lishe duni kwa wanawake walio katika umri wa kuzaa, ulaji wa chakula kisichotosheleza mahitaji ya mwili na magonjwa ya kuambukiza. Asilimia 11 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa wana uzito pungufu wa mwili chini ya 18.5kg /m2, na asilimia 53 ya wanawake wajawazito wana tatizo la upungufu wa damu, vyote hivi vikiwa ni vihatarishi vya kupata watoto wenye uzito mdogo.

Upotevu wa mazao baada ya kuvuna unahusisha pia upotevu wa virutubishi, hali ambayo huathiri kwa kiasi kikubwa ubora wa lishe. Chakula tunachokula huipa miili yetu virutubishi kwa ajili ya ukuaji, maendeleo na uwezo wa kufanya kazi ipasavyo. Kuna aina kuu mbili za virutubishi vinavyopatikana kwenye vyakula ambavyo ni virutubishi vinavyohitajika kwa wingi na vinavyohitajika kwa kiasi kidogo. Virutubishi vinavyohitajika kwa kiasi kidogo vina umuhimu mkubwa katika mwili, hasa kutoa kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali. Vyakula katika kundi hili ni pamoja na matunda na mboga. Hata hivyo, mazao ya mboga na matunda yana kiwango kikubwa cha upotevu ikilinganishwa na aina nyingine kama vile nafaka. Inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 50 ya mazao haya hupotea baada ya kuvuna katika ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara. Matunda na mboga ni vyanzo vya kuzalisha virutubishi ambavyo husaidia ufyonzaji wa virutubishi vingine vinavyopatikana katika mazao mengine kama nafaka, mbegui za mafuta na jamii ya mikunde. Kupunguza upotevu wa mazao haya na mengine baada ya kuvuna kutaboresha hali ya lishe kwa kuokoa virutubishi ambavyo vingepotea hivyo kuongeza upatikanaji wa mlo kamili kwa kupanua wigo wa upatikanaji wa vyakula mbalimbali na kwa bei nafuu.

Page 34: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202920

Lishe pia inaathiriwa na upotevu wa ubora wa mazao baada ya kuvuna, hususan kupitia uharibifu unaoweza kusababishwa na sumu kuvu au vitu vingine vinavyoweza kuathiri afya ya mwili. Tafiti zinaonesha kuna uhusiano kati ya saratani inayosababishwa na sumu kuvu na ukuaji wa watoto (Suleiman, 2015). Pia, ulaji wa sumu kuvu unaweza kuathiri mfumo wa kinga ya mwili, au kupunguza ufyonzwaji/umeng’enywaji wa virutubishi mwilini.

2.5 Juhudi za kukabiliana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini.

Masuala ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna hapa nchini yalianza kupewa kipaumbele miaka ya 1980 baada ya kutokea mdudu anayejulikana kwa jina la dumuzi na kusababisha upotevu mkubwa wa nafaka na kuhatarisha usalama wa chakula nchini. Wakati huo, mabadiliko ya sera katika sekta ya kilimo, hususan kupunguza upotevu baada ya kuvuna yalifanyika, na serikali ikaanza kusaidia wakulima kudhibiti upotevu wa mazao baada ya kuvuna.

2.5.1 Kuanzishwa kwa Idara ya Usalama wa Chakula Kabla ya kuanzishwa kwa idara ya Usalama wa Chakula, nguvu nyingi za kuhakikisha usalama wa chakula zilielekezwa kwenye kuongeza uzalishaji na tija. Katika kipindi hicho, juhudi mbalimbali zilifanyika, zikiwemo kutekeleza programu mbalimbali na kutunga sera na sheria mbalimbali za usalama wa chakula. Hiyo ilijumuisha sheria ya mazao ya kilimo ya mwaka 1962, Mpango wa Kusaidia Usalama wa Chakula (1976) ambao ulilenga kupunguza uagizaji wa chakula toka nje ya nchi uliojitokeza miaka ya 1971/72, ambao pia ulisababisha kuanzishwa kwa hifadhi ya Chakula ya Taifa chini ya Shirika la Usagishaji la Taifa na Kitengo cha Usalama wa Chakula cha Wizara ya Kilimo. Sheria ya Usalama wa Chakula ya mwaka 1991 ilihamisha majukumu yaliyohusu mazao ya chakula kutoka shirika la usagishaji la taifa kwenda Idara ya Usalama wa Chakula ya iliyokuwa Wizara ya Kilimo na Ushirika. Idara ilianza rasmi kufanya kazi mwaka 2001 ambapo vitengo viwili vya Usimamizi wa Mazao ya Chakula na Tahadhari ya Njaa na Huduma za Hifadhi na Usindikaji wa Mazao vilianzishwa na kupewa majukumu yake. Hivyo, Sehemu ya Huduma za Hifadhi na Usindikaji wa Mazao ilipewa jukumu la kusimamia masuala yote yanayohusu huduma za mazao baada ya kuvuna nchini kwa kupitia muundo huo.

Page 35: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 21

2.5.2 Kuundwa kwa Jukwaa la wadau wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna Tanzania (TPMP)

Wazo la kuanzisha Jukwaa la Usimamizi baada ya Kuvuna Tanzania lilitokana na mwamko na dhamira ya wadau katika kudhibiti upotevu mkubwa wa mazao baada ya kuvuna. Pamoja na upotevu mkubwa wa mazao nchini, kuna sera, sheria na kanuni chache za kukabiliana na tatizo hilo. Jukwaa lilianzishwa rasmi mwaka 2014, likiwa na lengo la kuunganisha nguvu za wadau wa usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, hasa kwenye masuala ya kisera, sheria na kanuni. Jukwaa ili linaundwa na wadau mbalimbali katika mnyororo wa usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Miongoni mwa malengo ya jukwaa ni kuishauri Serikali kuwa na Sera, Sheria na mikakati mbalimbali ya kupunguza upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna. Aidha, Jukwaa lina jukumu la kuwajengea uwezo wadau juu ya kukabiliana na changamoto za upotevu wa mazao.

2.5.3 Kuanzishwa kwa taasisi zinazojihusisha na Teknolojia za Kupunguza Upotevu wa mazao baada ya kuvuna

Kuna taasisi nyingi zenye majukumu ya kufanya tafiti, kubuni, kutangaza na kusambaza teknolojia sahihi za kilimo nchini. Pia, taasisi hizi zimekuwa zikitoa mafunzo na kusambaza teknolojia mbalimbali za kuzuia upotevu baada ya kuvuna, kwa wakulima wadogo. Teknolojia hizi ni pamoja na hifadhi ya mazao kwa kutumia njia isiyoruhusu hewa (hemetic bags, Plastic Barrels na metal silos). Matumizi ya teknolojia hizi yamesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza upotevu wa mazao hivyo kuhakikisha usalama wa chakula na kuongeza kipato cha wakulima.

Miongoni mwa taasisi hizi ni pamoja na; Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo, Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini, Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine SUA na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Teknolojia za kuhifadhi kwa kutumia vifaa visivyopitisha hewa na matumizi ya msongamano mkubwa wa Polithilini, zimesaidia sana kupunguza upotevu na kuongeza uhakika wa usalama wa chakula na lishe na kuongeza pato la kaya. Pia, Wakulima wamekuwa wakitumia mbinu za asili kuhifadhi mazao yao. Njia hizo ni pamoja na kutumia kinyesi cha ng’ombe, majani maalum ya mimea, majivu ya mimea, pumba za mpunga na nishati ya jua.

Page 36: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202922

2.5.4 Juhudi za Serikali kwa Kushirikiana na Wadau Wengine Kusimamia Upotevu wa Mazao

Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula na Kilimo na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa waliwawezesha wakulima kwa kuwajengea maghala ya kuhifadhi mazao ili kukabiliana na mashambulizi ya mdudu dumuzi na upotevu mkubwa wa mazao ya nafaka baada ya kuvuna miaka ya 1980. Uwepo wa dumuzi ulihatarisha usalama wa chakula nchini. Msaada huo ulihusisha ujenzi na/au ukarabati wa maghala katika ngazi ya jamii yenye uwezo wa kuhifadhi kati ya tani 200 na 400. Maghala haya yalijengwa kwa usimamizi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika kwa dhana ya kuwa wakulima wangeendelea kuuza mazao yao kupitia vyama vya ushirika.Pia, iliyokuwa Wizara ya Kilimo Usalama wa Chakula na Masoko kwa kushirikiana na Sasakawa Global 2000, walitekeleza mradi wa kupunguza upotevu wa kuvuna kwa kutumia mbinu shirikishi za kupunguza upotevu baada ya kuvuna. Maghala 1,260 yalijengwa chini ya mradi huo. Hata hivyo, maghala hayo yalikuwa machache ikilinganishwa na mahitaji ya vijiji 11,000 kwa nchi nzima kwa wakati huo.

Aidha, kutoka mwanzoni mwa mwaka 2000, kumekuwepo na jitihada za kuboresha usimamizi wa mazao baada ya kuvuna zilizofanywa na serikali. Juhudi zililenga zaidi katika ujenzi na ukarabati wa maghala ya kuhifadhi mazao pamoja na mafunzo kwa wakulima kuhusu uhifadhi bora wa mazao. Kufuatia uchunguzi uliofanywa na Wizara ya Viwanda na Biashara mwaka 2013, Tanzania ina maghala 2081 yenye uwezo tofauti tofauti wa kuhifadhi mazao. Maghala hayo yanajumuisha maghala makubwa na madogo. Maghala ni nyenzo muhimu katika kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna kwani yanasaidia kupunguza mashambulizi ya wadudu waharibifu, panya na unyevu. Wadau mbalimbali kama vile HELVETAS kupitia ufadhili wa Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la Uswisi-SDC wanatekeleza Mradi wa Kuzuia upotevu wa Mazao ya nafaka baada ya kuvuna unaolenga kuongeza usalama wa chakula na kipato kwa kaya za wakulima pamoja na kutengeneza ajira vijijini kupitia teknolojia sahihi, na kuwajengea uwezo na sera wezeshi. Kwa msaada wa Mfuko wa Hisani wa Rockefeller, AGRA inatekeleza mradi wa mazao ya mahindi ujulikanao kwa Kiingereza kama YieldWise Maize project (2015-2019) ili kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini Tanzania. Mradi unalenga kuongeza kipato cha wakulima wadogo kwa asilimia 25 kwa kupunguza upotevu wa kuvuna kwa zao la mahindi kwa asilimia 50.

Page 37: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 23

2.5.5 Programu ya kuendeleza sekta ya kilimoSerikali imekuwa ikitekeleza programu ya kuendeleza sekta ya kilimo katika awamu mbalimbali ili kuendeleza sekta ya kilimo na kuboresha maisha ya wakulima wadogo. Mpango wa kwanza ulitekelezwa kipindi cha 2006/2007 hadi 2013/2014. Mpango wa pili wa maendeleo ya kilimo umeanza kutekelezwa 2017/2018 hadi 2027/2028 kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano. Mpango huu ni nyenzo ya kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 na Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo (2015). Programu ya Maendeleo ya Kilimo huipatia serikali mifumo ya kisekta katika kusimamia taasisi, matumizi na maendeleo ya uwekezaji wa sekta ya kilimo. Afua za mfumo wa masoko ya kilimo na miundombinu yake zinazofanywa na Programu ya Maendeleo ya Kilimo zimesaidia kuboresha ukarabati na ujenzi wa maghala 450 nchini kote. Uwezo wa maghala hayo kuhifadhi mazao ulikuwa ukitofautiana kutoka tani 200 hadi 500. Uwekezaji katika maghala kupitia Mpango wa Maendeleo ya Kilimo Wilaya unatarajia kuwa na mafanikio makubwa katika mfumo wa kubadilishana bidhaa na kwa sasa msisitizo unawekwa katika makubaliano ya pamoja ya wakulima kupitia vifaa vya ukusanyaji na uhifadhi wa pamoja wa mazao yanayotokana na kilimo. Pia itasaidia kupungua kwa upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Mpango huu pia ulisaidia kuwajengea uwezo wakulima kuhusu taratibu za ulimaji mzuri wa mazao na utumiaji wa teknolojia sahihi ikiwa ni pamoja na usimamizi wake baada ya kuvuna. Aidha, Mpango wa Wilaya wa Uwekezaji katika Sekta ya Kilimo uliimarisha utekelezaji wa Programu ya Maendeleo ya Kilimo ambapo vituo 73 vya kuhifadhia mazao vilijengwa.

Pamoja na jitihada hizi, uwezo wa sekta na malengo yake ya ukuaji bado havijafikiwa kikamilifu. Fursa za kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo kwa kiasi kikubwa hazijafanyiwa kazi. Hii ni pamoja na ukubwa wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna kutokana na kuwa na miundombinu duni ya hifadhi, hasa katika maeneo ya vijijini. Kutokana na tatizo hilo, Serikali kwa kushirikiana na miradi na programu mbalimbali imekuwa ikifanya jitihada za kujenga maghala ili kuboresha usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kama ilivyooneshwa katika Jedwali Namba 4

Page 38: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202924

Jedwali la 4: Idadi ya Maghala na Uwezo wa Kuhifadhi Mazao

Programu/Miradi Idadi ya maghala

yaliyojengwa

Uwezo(katika tani)

Programu ya Maendeleo ya Kilimo 429 Tani 250 hadi 500

Sasakawa Global 2000 1260 -

DADP 450 -

DASIP 73 Tani 200 hadi 500

Mingine (LCGD, FAO and NMC) 1652 Tani 100 hadi 21,000

Chanzo; Utafiti wa Wizara ya Viwanda na Biashara 2013.

Hata hivyo, maghala hayo ni machache sana ikilinganishwa na mahitaji yake nchini hali ambayo imesababisha kuchangia katika upotevu baada ya kuvuna unaotokana na uhifadhi duni, wanyama na wadudu waharibifu, unaokadiriwa kuwa kati ya asilimia 30 na 40. Aidha, kulingana na utafiti wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa mwaka 2013, kuna mashine 6,995 za usindikaji mazao zinazomilikiwa na wasindikaji wadogo. Jedwali la 5 linaonesha idadi na aina mbalimbali za mashine.

Jedwali la 5: Idadi ya Mashine za Usindikaji wa Bidhaa za Kilimo 2013S/No Aina ya Sekta Idadi ya vifaa vya

usindikaji

1 Mashine za kusindika mafuta 622

2 Mashine za kuchakata mihogo 313

3 Mashine za kusaga 6,043

4 Mashine za kusindika matunda 17

Jumla 6,995Chanzo; Utafiti wa Wizara ya Viwanda na Biashara 2013.

Kama nchi, tunahitaji kupanua wigo wa shughuli za usindikaji wa mazao ya kilimo, hasa katika maeneo ya vijijini ikiwa ni pamoja na kuongeza ubora wa mazao yanayotokana na kilimo ili kudhibiti upotevu baada ya kuvuna na kuongeza thamani ya soko la bidhaa.

Page 39: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 25

2.5.6 Programu ya Miundombinu ya Masoko Uongezaji wa Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini

Katika kukabiliana na uhaba wa miundombinu ya kuhifadhi mazao na barabara zinazoelekea mashambani ikiwa ni pamoja na miundombinu ya masoko, Serikali imechukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa Programu ya Miundombinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini kwa lengo la kuimarisha kipato na usalama wa chakula. Programu hii inasaidia ujenzi na ukarabati endelevu wa miundombinu bora ya masoko. Pia, inasaidia utoaji wa mafunzo ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna. Aidha kupitia programu hii huduma za kitaalam zimetolewa kwa taasisi, wakulima na vikundi vya usindikaji wa mazao, ambavyo kwa pamoja yalikuwa na lengo la kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Vilevile, programu hii imesaidia ukarabati na ujenzi wa barabara za mashambani ili kurahisisha usafirishaji wa mazao kutoka mashambani na hivyo kupunguza upotevu.

2.5.7 Mfumo wa Kimasoko wa Hifadhi ya Pamoja Wakulima wadogo nchini wanakabiliwa na vikwazo kadhaa vinavyopunguza uwezo wao wa kushiriki katika soko kwa faida na kuongeza thamani ya mazao yao. Kwa kutambua hilo, Serikali kupitia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa wa mwaka 2013 ilianza kukarabati na kujenga maghala ya mahindi na mpunga kupitia Mfumo wa Kimasoko wa Pamoja.

Madhumuni ya mfumo wa masoko wa pamoja yalikuwa ni kuwaunganisha wakulima ili waweze kuhifadhi na kuuza kwa pamoja ili waweze kupata bei nzuri ya mazao yao. Kupitia mpango huu jumla ya maghala 123 yalikarabatiwa na kuwekewa vifaa muhimu kwa ajili ya hifadhi bora ya mazao inayolenga kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Lengo la kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna na kuongeza uwezo wa kuyahifadhi ni takwa la msingi ili kuhakikisha kuwepo kwa usalama wa chakula na maendeleo endelevu.

Page 40: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202926

2.6 Masuala Muhimu katika Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna

Kutokana na uchambuzi wa hali halisi ya sasa ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, masuala tisa ya kimkakati yameainishwa ambayo yanapaswa kushughulikiwa. Masuala hayo ni;

i. Uelewa mdogo kuhusu upotevu wa mazao baada ya kuvuna ikiwa ni pamoja na vyanzo vyake, athari zake na ufumbuzi wake kwa wahusika katika mnyororo wa thamani

ii. Upatikanaji mdogo wa teknolojia fanisi na za gharama nafuu za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.

iii. Mifumo duni na isiyotosheleza ya kimasoko na miundombinu ya mazao ya chakula.

iv. Tafiti chache na ubunifu mdogo katika masuala ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna

v. Usimamizi duni wa kanuni na miongozo ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna .

vi. Uwezo mdogo wa kitaasisi, uratibu usiotosheleza na ushiriki mdogo wa wadau wengine katika usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.

vii. Uwezo mdogo wa kutambua na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi juu ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.

viii. Uwekezaji mdogo wa kifedha kwenye shughuli za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna

ix. Ukosefu wa takwimu na taarifa sahihi za upotevu wa mazao baada ya kuvuna

3. Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna unabainisha na kuchambua vikwazo vinavyosababisha upotevu wa mazao ya chakula na kusababisha kutokuwa na chakula cha kutosha kwa kaya na taifa kwa ujumla, hatimaye kupoteza mapato kwa wahusika katika mnyororo wa thamani. Mkakati huu unapendekeza Malengo Mkakati ya Usimamizi wa Mipango ambayo itawezesha taifa kukabiliana na tatizo hilo. Mkakati wa Usimamizi wa Upotevu baada ya Kuvuna umeundwa na dira (ambayo Tanzania inatarajia kuifikia ndani ya miaka 10 ijayo); dhima (mkakati mkubwa wa kufikia matarajio); Mpango Mkakati (mwongozo wa kusudi /mwelekeo) na Afua za Usimamizi (mikakati mahsusi ya kufikia malengo yaliyokusudiwa). Hivyo, Afua za Usimamizi zinabeba malengo, shughuli za kutekeleza, mgawanyo wa majukumu na vigezo vya upimaji.

Page 41: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 27

3.1 Dira na Dhima

3.1.1 DiraKupungua kwa upotevu wa mazao baada ya kuvuna katika minyororo ya thamani ya bidhaa, inayowanufaisha wadau na kuchangia usalama wa chakula, lishe na ukuaji wa uchumi.

3.1.2 DhimaKuboresha usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kwa kuhakikisha uwepo wa mbinu na teknolojia za kupunguza upotevu na kuongeza thamani ya mazao baada ya kuvuna, kutoa motisha kwa uwekezaji katika mifumo ya masoko, pamoja na kuboresha uwezo na uratibu wa afua za mkakati

3.2 Malengo MkakatiMkakati umeainisha masuala tisa ya kimkakati ambayo yanapaswa kushughulikiwa ili kuboresha usimamizi wa mazao baada ya kuvuna nchini. Kipengele hiki kinaelezea malengo mkakati, dhana na afua muhimu zitakazo saidia kufikia malengo tarajiwa ndani ya kipindi cha 2019 - 2029. Kufika mwaka wa 2029, miongozo mingine ya maendeleo katika ngazi ya kitaifa kama vile Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, LTPP 2026 na Program ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo 2027, itakuwa imefikia kikomo. Hali hii inatoa fursa ya kupitia/kurekebisha mkakati huu. Aidha, ili kuwa na mtiririko mzuri, maelezo kuhusu afua za usimamizi, malengo, shughuli, majukumu, viashiria vya utekelezaji na matokeo tarajiwa vimewekwa kwenye Kiambatisho Na. 1

Lengo Mkakati A: Kujenga uelewa kuhusu usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kuboresha ufanisi na kupunguza upotevu wa mazao katika mnyororo wa thamani

Dhana: Upotevu mkubwa wa mazao baada ya kuvuna hutokea katika matunda, mboga na mizizi. Hali hii husababishwa na uasili wa bidhaa hizo ambazo huharibika haraka. Njia duni zinazotumika kutunza na kusafirisha bidhaa za namna hiyo katika mnyororo wa thamani huchangia zaidi upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Vilevile, upotevu wa mazao mengine kama vile nafaka,mazao ya mikunde, mbegu za mafuta, na viungo, hutokea kwa sababu ya kutumia teknolojia duni za utunzaji na usindikaji (kupura, kubangua, kupepeta na kukausha), kukusanya na kusafirisha, kuhifadhi na kufuatilia hali ya soko, uuzaji na usindikaji. Wahusika wa mchakato huo hawana maarifa kuhusu sababu, athari na ufumbuzi sahihi wa matatizo hayo. Njia ya kujenga uelewa ni fanisi na ina gharama

Page 42: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202928

nafuu katika kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Kwa hiyo, lengo mkakati huu una shabaha ya kuongeza uelewa wa wadau husika katika Usimamizi wa Mazao baada kuvuna ili kupunguza upotevu.

Afua ya Usimamizi 1: Kutekeleza mikakati ya mawasiliano na habari ili kukuza ufahamu kuhusu upotevu wa mazao, sababu na athari zake.Lengo: Kutayarisha angalau vifurushi vitatu (3) vya mikakati ya mawasiliano kuhusu ufahamu wa vyanzo, athari na ufumbuzi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna na kuvifikisha kwa wahusika katika mnyororo wa thamani na kwa watumiaji bidhaa hizo ifikapo 2022.Lengo: Kuwepo angalau njia tano (5) tofauti za kutoa habari kuhusu usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ifikapo 2024.

Afua ya Usimamizi 2: Kuwajengea uwezo wadau wanajihusisha na masuala ya upotevu wa mazao baada ya kuvuna na kuimarisha majukwaa ya mawasiliano.Lengo: Kujengea uwezo angalau asilimia 80 ya wadau wa kupunguza upotevu mazao baada ya kuvuna ifikapo 2028

Afua ya Usimamizi 3: Kuhamasisha matumizi ya mbinu bora za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kwe mnyororo wa thamani.Lengo: Angalau asilimia 50 ya wadau wawe wanatumia mbinu bora za hifadhi ya mazao ifikapo mwaka 2024

Afua ya Usimamizi 4: Kuongeza uelewa kwa wadau na walaji kuhusu mbinu na mifumo ya usimamizi inayozuia na kudhibiti sumu kuvu katika mnyororo wa thamani.Lengo: Asilimia 30 ya watumiaji watambue umuhimu wa kushughulikia upotevu wa mazao baada ya kuvuna, upotevu wa chakula na hatari za kula chakula kilicho na sumukuvu

Lengo Mkakati B: Kuhamasisha upatikanaji, ufikiaji, unafuu na utumiaji wa teknolojia na mbinu zilizothibitishwa kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna.Dhana: Tafiti nyingi zinaonesha kuwa teknolojia duni ni moja ya sababu inayochangia upotevu wa mazao baada ya kuvuna miongoni mwa wakulima wadogo. Baadhi ya teknolojia za usimamizi wa kuvuna zinapatikana hapa nchini lakini ni vigumu kufikiwa na wakulima au gharama zake ni za juu na matumizi yake kwa wakulima ni ya kiwango cha chini sana.Teknolojia chache

Page 43: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 29

za baada ya kuvuna kutoka nje ya nchi zinawafikia na kutumiwa na wakulima zikiwa ama hazina ufanisi katika utendaji kazi au si rafiki katika mazingira husika. Vilevile, kuna haja ya kuhamasisha mbinu na njia mbalimbali za kudhibiti upotevu baada ya kuvuna. Hivyo, ni muhimu kusaidia kuhamasisha upatikaaji na matumizi ya teknolojia na mbinu ambazo zimethibitishwa ili kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna.

Afua ya Usimamizi 1: Kukuza uelewa wa wadau na matumizi ya teknolojia za usimamizi wa mazao baada kuvuna.Lengo: Wadau wasiopungua asilimia 80 waelewe na watumie teknolojia za usimamizi wa kuvuna ifikapo mwaka 2029.

Afua ya Usimamizi 2: Kuhamasisha usindikaji wa bidhaa za kilimo katika mnyororo wa thamani.Lengo: Uwekezaji katika usindikaji wa bidhaa za kilimo uwe umeongezeka kwa asilimia 30 ifikapo mwaka 2029

Lengo Mkakati C: Kuwezesha mifumo ya masoko ya kilimo, ili kuboresha upatikanaji wa soko na kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna.

Dhana: Masoko ya mazao ya chakula nchini Tanzania yanakabiliwa na changamoto za miundombinu duni hasa maeneo ya vijijini kama vile maghala na mifumo ya kuhifadhi mazao yanayoharibika kwa haraka ili kusaidia wadau kufanya kazi kwa ufanisi na tija katika masoko ya kilimo. Pia kuna ukosefu wa mifumo mizuri ya masoko, mahusiano hafifu kati ya wadau wa ngazi mbalimbali kutokana na mpangilio usiyo rasmi wa masoko unaozuia upatikanaji wa taarifa za masoko na kusababisha upotevu mkubwa wa mazao baada ya kuvuna .

Pia, taarifa za tafiti nchini zinaonesha kuwa wakulima wadogo takribani asilimia 95 hawana vifaa sahihi vya kuhifadhia mazao yao na mazao yanayozalishwa huhifadhiwa majumbani mwao na wengi wao huuza mazao yao kupitia mifumo isiyo rasmi. Inakadiriwa kuwa asilimia tano (5) ya wakulima ndio wanaohifadhi mazao yao katika vifaa vinavyofaa na zaidi ya asilimia 80 ya nafaka huuzwa katika mfumo wa biashara usiyo rasmi. Aidha, ripoti ya Wizara ya Kilimo, 2016 inaonesha kuwa uwezo wa kuhifadhi mazao kitaifa ulikuwa karibu mita za ujazo 2,042,559 wakati uzalishaji wa mwaka 2015/2016 ulikuwa mita za ujazo 16,172,841. Hii ina maana kuwa ili kuendana na ongezeko la uzalishaji kuna haja ya kuboresha miundombinu ya masoko.

Page 44: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202930

Afua ya Usimamizi 1: Kuboresha na kurasimisha upatikanaji wa masoko ili kupunguza upotevu baada ya kuvuna.Lengo: Asilimia 80 ya bidhaa za kilimo ziuzwe katika mifumo rasmi ya masoko ifikapo 2024.

Afua ya Usimamizi 2: Kuhakikisha uwepo wa rasilimali watu waliobobea katika usimamizi wa miundombinu ya masoko.Lengo: Kuwepo idadi ya kutosha ya rasilimali watu waliobobea katika usimamizi wa miundombinu ya masoko ifikapo 2029.

Lengo Mkakati D: Kuhamasisha tatifi na uvumbuzi wa teknolojia mpya inayoendana na mazingira yetu pamoja na mbinu za kupunguza upotevu wa mazao

Dhana: Tanzania ina teknolojia anuwai na mbinu mbalimbali zinazotumika katika kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hata hivyo, baadhi yake hazina ufanisi/tija katika kukabiliana na upotevu wa mazao. Wakati mwingine, teknolojia zinazoweza kukabiliana na upotevu wa mazao vipuri vyake hupatikana kwa gharama kubwa na maarifa ya utumiaji teknolojia hizo miongoni mwa walengwa huwa ni kikwazo katika kudhibiti upotevu. Vilevile, taarifa za teknolojia hizo zimetawanyika na wakati mwingine hazijulikani kwa wale ambao si miongoni mwa makundi yanayotumia teknolojia husika. Hivyo, ni vema taarifa hizo ziwekwe katika kanzidata moja ili kuwawezesha watumiaji kuzipata kiurahisi pale wanapozihitaji ili kusadia uhakika wa usalama wa chakula na masuala ya maendeleo kwa ujumla. Aidha, ni muhimu kuhakikisha kuwa nguvu zinawekwa katika kujua idadi ya teknolojia zilizopo ikiwa ni pamoja na teknolojia mpya zinazoingia sokoni, kujaribu ufanisi wake na kusambaza teknolojia zenye ufanisi kwa wazalishaji, wasindikaji na watendaji husika walio katika mnyororo wa thamani wa mazao. Jambo hili linahitaji uanzishaji wa kanzidata ya mkakati wa usimamizi wa masuala ya upotevu baada ya kuvuna katika nchi, kufanya tafiti ili kutambulisha teknolojia mpya ikiwa ni pamoja na kufanya zoezi la kufanya uhakiki wa teknolojia zilizopo.

Page 45: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 31

Afua ya Usimamizi 1: Kuhakikisha usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna yanaingizwa katika mada za tafiti za kilimo.Lengo: Masuala yote ya upotevu baada ya kuvuna yanaingizwa katika mada za tafiti za kilimo.

Afua ya Usimamizi 2: Kuanzisha kanzidata ya usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna.Lengo: Kufikia mwaka 2021 kuwepo na kanzidata ya upotevu wa mazao ya chakula.

Afua ya Usimamizi 3: Kuanzisha teknolojia zenye ubunifu na kufanya uhakiki wa teknolojia zilizopo na zinazotengenezwa ili kupunguza upotevu baada ya kuvuna.Lengo: Asilimia 80 ya teknolojia za kusaidia kupunguza upotevu baada ya kuvuna ziwe zimehakikiwa na kupitishwa ifikapo 2029.

Lengo Mkakati E: Kupitia na kuweka sheria mpya ili kuhakikisha kuwa viwango vya ubora vinazingatiwa kwa mujibu wa sheria ili kupunguza upotevu baada ya kuvuna.

Dhana: Tangu miaka ya 1980, serikali imekuwa ikisaidia wakulima kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna. Hata hivyo, kuna miongozo na kanuni zisizotosheleza usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kwa baadhi ya mazao, na katika baadhi ya maeneo hakuna miongozo na kanuni hizo kwa ajili ya kutumiwa na wadau husika. Aidha, kuna mapungufu katika utekelezaji wa miongozo na kanuni hizo zikiwemo zile zilizotungwa na serikali za mitaa. Matokeo yake ni kwamba kumekuwa na mafanikio madogo katika masuala mazima ya viwango vinavyohitajika kwa mazao ya chakula na kushindwa kupunguza upotevu wa mazao. Katika kutekeleza Mkakati wa usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna kwa ufanisi ni muhimu kuwepo miongozo na kanuni na zitekelezwe ipasavyo.

Afua ya Usimamizi 1: Kuhakikisha kuwa masuala yote yanayohusu upotevu baada ya kuvuna yanaingizwa katika sheria zilizopo.Lengo: Sheria zilizopo ziwe zimepitiwa upya kufikia mwaka 2024.

Lengo Mkakati F: Kuimarisha uwezo wa taasisi, uratibu, ushirikiano, ubia na ushiriki wa wadau wa usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna katika kuimarisha utekelezaji malengo ya kimkakati

Page 46: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202932

Dhana: Jitihada za Usimamizi wa mazao baada ya kuvuna zinakabiliwa na uratibu dhaifu miongoni mwa serikali na taasisi zisizo za kiserikali. Kurundikana kwa juhudi zinazohusu usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna zinazofanana katika baadhi ya maeneo limekuwa ni jambo la kawaida katika maeneo mengi nchini huku maeneo mengine yanayohitaji kupewa kipaumbele yakionekana kutengwa. Hali hiyo imekuwa kikwazo katika utekelezaji wa mipango, ugawanyaji wa rasilimali na ni mapungufu katika kukabiliana na upotevu baada ya kuvuna. Hivyo, mkakati huu umeandaliwa ili kujumuisha mipango yote ya aina hii na kuratibu juhudi mbalimbali zinazofanywa na sekta mbalimbali kuhusiana na mnyororo wa thamani wa mazao baada ya kuvuna. Mikakati inahitajika katika kuimarisha uratibu na ubia miongoni wa sekta zote zinazohusika na mambo ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kuhakikisha utekelezaji wake unakuwa wenye tija na ufanisi kuhusu hatua zilizokubaliwa katika kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna.

Kwa sasa kuna sekta nyingi zinazohusiana na mnyororo wa thamani baada ya kuvuna; ni muhimu kuhakikisha kuwa vinara wa usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna wanabainishwa na kuwezeshwa kulingana na mahitaji yao ili kuratibu na kusimamia kikamilifu mkakati wa usimamizi wa upotevu baada ya kuvuna. Taasisi inayoongoza mpango huu ambao kwa mujibu wa mpango wa sasa ni Idara ya Taifa ya Usalama wa Chakula chini ya Wizara ya Kilimo, inapaswa kuimarishwa ili kutimiza majukumu yake ipasavyo. Taasisi na mashirika mengine pia yanahitaji kuimarishwa ili kusaidia au kuunga mkono juhudi za chini ya Wizara ya Kilimo. Juhudi za kuimarisha taasisi hizo zinajumuisha uwepo wa rasilimali watu, kurekebisha na kutathmini uwepo wa rasilimali ya kutosha katika kutekeleza shughuli za usimamizi na uratibu kama zilivyoanishwa. Lengo mkakati litafanikiwa tu iwapo utekelezaji wa afua za mkakati uliotajwa hapa chini utafanyika kulingana na malengo yaliyowekwa.

Afua ya Usimamizi 1: Kuwezesha uratibu katika ngazi zote ili kuongeza ushiriki wa wadau muhimu katika masuala ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.Lengo: Mbinu za uratibu ziwe zimewezeshwa katika ngazi ya kitaifa, mkoa na za serikali za mitaa.

Page 47: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 33

Afua ya Usimamizi 2: Kupendekeza motisha mbalimbali za uwekezaji ili kuongeza ushiriki wa sekta binafsi.Lengo 1: Vifurushi vya motisha vya uwekezaji viandaliwe na kutekelezwa fikapo mwaka 2024.Lengo 2: Thamani ya uwekezaji wa sekta binafsi kwa usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna iongezeke angalau kwa asilimia 50 ifikapo 2029.

Afua ya Usimamizi 3: Kuimarisha rasilimali watu ili kushughulikia suala la upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini. Lengo: Kujenga msingi wa rasilimali watu kwa asilimia 80 ifikapo 2025.

Afua ya Usimamizi 4: Kuwezesha utoaji na upatikanaji wa huduma za ugani kuhusu upotevu katika mnyororo wa thamani wa mazao.

Lengo Mkakati G: Kutengeneza mifumo ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Dhana: Usimamizi wa mazao mengi baada ya kuvuna nchini unaathiriwa sana na mabadiliko ya hali ya hewa yenye uhusiano wa moja kwa moja na unyevu na kuenea kwa wadudu waharibifu pamoja na magonjwa ya mimea. Mabadiliko ya tabia nchi huathiri pia ufanisi wa teknolojia zitumikazo uvunaji, ukaushaji, udhibiti wa wadudu waharibifu na magonjwa, na hifadhi. Kwa mfano, mabadiliko ya tabia nchi yanachangia uwepo wa sumu kuvu kutokana na kuongezeka kwa joto na mvua zisizotarajiwa. Pia, katika hali ya ukame, mazao huzalisha vimelea vya fangasi ambayo husababisha sumu kuvu. Vivyo hivyo, kuhifadhi nafaka kwenye kiwango kikubwa cha unyevu huweza kusababisha kuongezeka kwa fangasi inayozalisha sumu kuvu. Matokeo yake ni kuziweka kaya na taifa kwa ujumla katika hatari ya uchafuzi wa chakula kutokana na sumu kuvu inayoathiri afya ya walaji na atimae kupunguza nguvu kazi ya taifa.

Katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa hatua zenye ufanisi na za kimkakati zinahitajika ili kujenga jamii inayotambua athari za mabadiliko ya tabia nchi ikiwa ni pamoja kutoa kipaumbele kwa huduma za hali ya hewa katika ajenda za maendeleo. Hii itawezesha maamuzi kuhusu hali ya hewa katika ngazi zote na kupunguza vihatarishi na gharama. Mafanikio ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa hutegemea ufanyaji kazi wa mifumo bunifu ya kilimo, hasa katika hatua za uzalishaji na hifadhi ya mazao.

Page 48: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202934

Afua ya Mkakati 1: Kuhakikisha upatikanaji wa habari muhimu za tabia nchi zinazohusiana na Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna na mifumo ya tahadhari mapema.Lengo: Taarifa zote muhimu za tahadhari zilizotambuliwa na zinazohusu hatari ya mabadiliko ya tabia nchi katika mnyororo wa thamani ziandaliwe na kusambazwa ifikapo 2029

Afua ya Usimamizi 2: Kuanzisha teknolojia na miundombinu bunifu ya baada ya kuvuna na inayostahimili tabia nchiLengo: Kufikia 2029 asilimia 80 ya teknolojia za kupunguza upotevu baada ya kuvuna na zinastahimili mabadiliko ya tabia nchi ziwe zimeingizwa katika mifumoLengo: Asilimia 80 ya wasambazaji na wanufaika wa teknolojia baada ya kuvuna wawe wamejengewa uwezo wa kutumia teknolojia hizoifikapo 2029

Lengo Mkakati H: Kukabiliana na upungufu wa fedha katika kugharamia Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna.

Dhana: Hivi sasa, taasisi zinazoratibu usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna zinakabiliwa na uwekezaji mdogo wa kifedha zaidi ikilinganishwa na sekta nyingine.Aidha, sekta hii ndogo inakabiliwa na upatikanaji mdogo wa mikopo na fedha za kugharamia programu muhimu. Hivi sasa nakadiriwa kuwa takribani asilimia 10 pekee ya mikopo ndiyo imeelekezwa kwenye sekta ya kilimo ijapokuwa mchango wake kwa pato la Taifa ni kati ya asilimia 25 na 30. Vilevile taarifa mbalimbali zinabainisha kuwa kati ya hiyo asilimia 10 ya mikopo inayoelekezwa kwenye sekta ya kilimo ni sehemu ndogo sana inayowekezwa kwenye shughuli za kukabiliana na upotevu baada ya kuvuna.

Ili kukabiliana na suala hili la uwekezaji mdogo katika kilimo, mkakati huu umeainisha mbinu madhubuti za kuwekeza katika kilimo na kuimarisha mikakati iliyopo ya uwekezaji katika kilimo. Mkakati huu pia umeweka mikakati ya kupunguza viatarishi katika mnyororo wa thamani wa hifadhi ya mazao ikiwa ni pamoja na kuimarisha sera na mifumo ya bima katika sekta ya kilimo. Aidha matumizi ya TEHAMA katika mifumo ya kibenki ni muhimu katika kufanikisha suala hili badala ya mifumo iliyozoeleka ambayo haikidhi haja. Hivyo mkakati huu umelenga kushughulikia mahitaji ya kifedha ya wadau katika mnyororo wa thamani wa hifadhi ya mazao ikiwa ni pamoja na hatua za usindikaji, usafirishaji na katika teknojia za kupunguza upotevu wa mazao. Suala hili litaenda sambamba na kuimarisha uwezo wa taasisi za kifedha kama benki ya Maendeleo

Page 49: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 35

ya Kilimo Tanzania (TADB), VICOBA na SACCOS zinazojihusisha na masuala ya hifadhi na usindikaji wa mazao.

Afua za Usimamizi 1: Kuanzisha utaratibu bunifu wa kuhamasisha uwekezaji wa kifedha katika Nyanja za usambazaji na matumizi ya teknolojia za kisasa baada ya kuvuna.Lengo: Ukopeshaji wa wawekezaji, wakulima na taasisi ndogo na za kati zinazojishughulisha na teknolojia za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna uongezeke kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2024.

Afua za Usimamizi 2: Kuanzisha utaratibu wakupunguza madhara na athari zinazotokana na majanga katika kilimo na kuwa na mifumo mbalimbali ya kufadhili shughuli za kilimo.Lengo: Kuimarisha jitihada zakufadhili shughuli za kukabiliana na upotevu hususan teknolojia ambazo zimekuwa zinafanywa na serikali kwa kushirikiana na wabia wa maendeleo ifikapo 2024.Lengo: Kuanzisha utaratibu wa kupunguza athari za kifedha zinazotokana na usimamizi duni wa mazao ifikapo 2024.

Afua za Usimamizi 3: Kuhakikisha upatikanaji wa rasilimali fedha za kutosha na kwa wakati kusaidia shughuli za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.Lengo: Rasilimali fedha za kutosha kuwezesha shughuli za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna zipatikane ifikapo mwaka 2025.

Lengo Mkakati I: Kuwa na mbinu za kiwango kinachokubalika za kukusanya taarifa za upotevu wa mazao baada ya kuvuna nchini.Dhana: Kuna tafiti mbalimbali zinazofanyika kuhusu upotevu wa mazao baada ya kuvuna hapa nchini. Taarifa zilizopo zinatofautiana kulingana na aina ya zao katika mnyororo wa thamani. Hata hivyo, taarifa hizo hazioneshi upotevu uliopo kwa mazao yote na nyingine zimepitwa na wakati ukilinganisha miaka zilipotayarishwa pamoja na jitihada mbalimbali zilizokwishafanyika. Aidha njia mbalimbali zimekuwa zikitumika kutathmini upotevu wa mazao baada kuvuna na hakuna mbinu moja iliyopitishwa na kukubalika katika kufanya tathmini hizi, hivyo kusababisha kuwa na takwimu tofauti tofauti nchini na zisizokuwa na uhakika.

Afua ya Usimamizi 1: Kupitia, kuboresha na kulinganisha mbinu zilizopo za kutathmini upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna.Lengo: Kuwa na mbinu moja na yenye kukubalika ambayo itatumika nchini kutathmini upotevu wa mazao baada ya kuvuna ifikapo 2020

Page 50: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202936

4. Mipango ya Utekelezaji

Sura hii inaonyesha wadau muhimu kwenye utekelezaji wa mkakati. Pia imeweka njia mbalimbali za kutafuta rasilimali kwa ajili ya kutekeleza afua mbalimbali zilizobainishwa. Wafadhili muhimu wa afua za kimkakati zimeorodheshwa ili kuraisisha utekelezaji wake. Kwenye sura hii, umuhimu wa uratibu na ushirikiano wenye ufanisi umesisitizwa kama ilivyosisitizwa kwenye lengo mkakati F ambalo ni hatua za kuimarisha uratibu, ushirikiano na ushiriki wa wadau katika kusimamia masuala ya hifadhi ya mazao baada ya kuvuna.

4.1. Wadau muhimu katika utekelezaji Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna unajumuisha na unahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali wakiwemo: Sekta Binafsi, Asasi za Kiraia, Taasisi za Kijamii, Taasisi zisizo za Kiserikali na Wabia wa Maendeleo ili kufikia dira kuu. Mkakati utatekelezwa kwa kipindi cha miaka 1O ukitilia mkazo mazao ya chakula hususan nafaka, jamii ya mikunde, matunda, mboga, mizizi na mbegu za mafuta. Wajibu wa wadau na mipaka ya ushirikiano inayotarajiwa ni kama ifuatavyo:

4.1.1. Wizara ya KilimoMasuala ya kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni mtambuka na hivyo mkakati wa kukabiliana na suala hilo unahusisha wadau mbalimbali ambao wanahitaji kuratibiwa ili kutekeleza shughuli hizo kwa ufanisi. Kwa ujumla uratibu wa mkakati huu utakuwa chini ya dhamana ya Wizara inayosimamia masuala ya kilimo nchini. Wizara hii itakuwa na jukumu la kuratibu utekelezaji wa mkakati huu kama inavyofanyika katika program ya maendeleo ya kilimo. Hata hivyo, kwa vile utekelezaji wa mkakati huu ni sehemu ya utekelezaji wa program hii hautakuwa na Kamati ya Taifa ya Utendaji wa Mkakati. Hivyo, Kamati ya utendaji ya program ya maendeleo ya kilimo itatumika kuratibu mkakati huu.

Miundo mingine ya Utekelezaji wa program ya maendeleo ya kilimo, ambayo inaweza kutumika katika utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna ni: (i) Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Sekta ya Kilimo; (ii) Mapitio ya Pamoja ya Sekta; (iii) Kamati ya Wakurugenzi Wataalam; (iv) Vikundi Kazi vya Wataalam; na (v) Timu ya Uratibu na Usimamizi. Kama inavyoonekana Mkakati utakuwa na Vikundi kazi vya kitaalam na Timu ya Uratibu na Usimamizi.

Page 51: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 37

Katika utekelezaji wa mkakati huuMajukwaa ya Usimamizi Mazao baada ya Kuvuna yataongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na wajumbe watakaochaguliwa kutoka kwenye Wizara na Idara za kisekta, Washirika wa Maendeleo, Sekta Binafsi na Asasi Zisizo za Serikali (AZISE) zinazojihusisha na masuala ya mazao baada ya kuvuna. Hivyo, Sekraterieti ya Mkakati itakuwa ni Idara ya Usalama wa Chakula iliyo chini ya Wizara ya Kilimo. Mikutano ya Wadau wa Mkakati itaainishwa katika mpango kazi. Aidha, Katika utekelezaji wa shughuli hii, Wizara ya Kilimo itasaidiwa na Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kama ilivyobainishwa kwenye Programu ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo. Majukumu mengine ya Wizara ya Kilimo yatahusisha utafutaji wa rasilimali, kuandaa bajeti, mipango na kusimamia matumizi na manunuzi.

4.1.2. Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji inafanikisha biashara ya kikanda na kimataifa na kuendeleza masoko ya mazao na bidhaa za kilimo. Wizara hii inalenga kuhamasisha fursa za uwekezaji kwenye maendeleo ya viwanda na sekta nyingine kwa kuwezesha na kuimarisha mahusiano ya biashara na nchi za nje na kutengeneza mwongozo wa sera husika.

4.1.3. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI)Ofisi hii itaratibu utekelezaji wa afua zote zinazotekelezwa kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya na kuwasiliana na Wizara za kisekta kulingana afua husika. Katika ngazi ya Mkoa, Sekretarieti ya Mkoa, kupitia Wawakilishi wa Mikoa husika. itawezesha uratibu wa wadau muhimu (wakiwemo sekta binafsi, wadau wasio wa kiserikali na wengine) katika kutekeleza mipango ya shughuli za mazao baada ya kuvuna katika mkoa, wakati shughuli kama hizo katika ngazi ya Wilaya zitaratibiwa na Mkurugenzi wa Wilaya akisaidiwa na Mwakilishi wa Wilaya husika.

4.1.4 Wabunifu na Waendelezaji wa TeknolojiaTIRDO ni taasisi mtambuka ya utafiti na maendeleo iliyoanzishwa mwaka 1979. Mamlaka yake ni kuisaidia sekta ya viwanda Tanzania kwa kutoa huduma za kitaalam na usaidizi, ili kuboresha teknolojia zinazotumika. Tafiti maalum za teknolojia za mazao baada ya kuvuna hufanywa pamoja na kuendeleza utaalam ili kuboresha usindikaji wa mazao ya kilimo kwa kuzingatia hatua muhimu katika usindikaji ili kutengeneza bidhaa zilizo bora zaidi.

Page 52: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202938

TEMDO inajihusisha na usanifu, ubunifu na utohoaji wa teknolojia pamoja na kutengeneza mashine na vifaa na kukuza uzalishaji wa kibiashara wa mashine na matumizi yake. TEMDO pia, inajihusisha na uhawilishaji wa teknolojia kwenda kwa wajasiriamali wadogo na wa kati, na kutoa huduma za mafunzo na ushauri wa kiutaalam viwandani inajihusisha na uendelezaji wa viwanda vidogo ikijikita kuanzia utungaji sera hadi uanzishaji wa viwanda vidogo vijijini na mijini. inajihusisha na ubunifu, utengenezaji na uhawilishaji wa teknolojia ya zana za kilimo na maendeleo vijijini inatengeneza na kusambaza zana za kilimo kama mashine za kupigia haro, kupandia, kukamulia mafuta, matoroli, mikokoteni, matanki ya kuhifadhia maji na mashine za kufyatulia matofali pamoja na vipuli vyake.

4.1.5 Mamlaka za Usimamizi

4.1.5.1 Mamlaka ya Mzani na Vipimo Mamlaka ya Mizani na Vipimo inajihusisha na udhibiti wa mifumo ya kupima uzito na ujazo pamoja na kusimamia udhibiti wa kanuni na sheria zaa uzito na ujazo. Mamlaka ya Uzani na Vipimo humlinda mnunuzi na mlaji kwa kuhakikisha vipimo vya uzani na ujazo ni sahihi kisheria. Mamlaka pia hutoa vibali vya matumizi ya vifaa vya uzani na ujazo kwa kukagua, kurekebisha (kusanidi) na kuhakiki pamoja na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa mizani katika maduka na viwanda vinavyotumia mifumo ya kupima uzito ili kuhakikisha kuwa wakulima na watumiaji wengine wanapata haki za vipimo. Wakala pia hutoa ushauri kwa wazalishaji na wateja kuhusu matumizi bora, utunzaji na uhifadhi bora wa vifaa vya uzani na vipimo.

4.1.5.2 Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghalaBodi hii ina majukumu ya kuratibu na kuendeleza Mfumo wa Stakabadhi Ghalani unaohakikisha upatikanaji wa mikopo endelevu na yenye masharti nafuu pamoja na mifumo ya uuzaji wa bidhaa. Bodi itatimiza wajibu wake kwa kutoa vibali vya biashara ya maghala, waendeshaji na wakaguzi kwa kuusimamia mfumo. Pia, bodi inawajibika kuwaunganisha wazalishaji kwenye mfumo rasmi wa Stakabadhi Ghalani wenye ufanisi na uhakika.

4.1.5.3 Mamlaka ya Chakula na Dawa Mamlaka hii inajihusisha na kudhibiti na kuhakiki ubora na usalama wa vyakula, madawa, vipodozi na vifaa tiba. inadhibiti taarifa za uhamasishaji wa bidhaa na vifaa hivyo, inafanya utafiti na michanganuo ya kimaabara pamoja na kudhibiti uingizaji na uuzaji

Page 53: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 39

wa bidhaa vifaa hivyo ndani na nje ya nchi. Pia, inawajibu wa kutoa vibali na leseni kwenye sekta hizi.Katika mkakati huu itashiriki katika kusimamia na kudhibiti masuala ya ubora na usalama wa vyakula katika mnyororo wa thamani.

4.1.5.4 Shirika la Viwango Tanzania Shirika la viwango lina mamlaka ya kuandaa, kutoa na kusimamia viwango vya ubora vya bidhaa nchini. Majukumu ya shirika ili katika mkakati huu ni kuandaa, kutoa na kusimamia viwango vya ubora katika mnyororo mzima wa thamani ya mazo baada ya kuvuna.

4.1.5.5 Wakala wa Umeme Vijijini Inajihusisha na usambazaji na upatikanaji wa nishati ya umeme ya uhakika na ya bei nafuu vijijini pamoja na kukuza ufanisi wa utumiaji wa nishati hiyo ili kusaidia viwanda vya kusindika mazao.

4.1.5.6 Taasisi za Elimu na UtafitiTaasisi nyingi za elimu na utafiti zinachangia Usimamizi wa Mazao baada ya kuvuna kwa kutoa mafunzo na kufanya tafiti husika. Taasisi hizi ni pamoja na taasisi za utafiti wa kilimo, taasisi za mafunzo ya kilimo, TIRDO, CAMARTEC, COSTECH, TEMDO, Chuo kikuu cha Kilimo SUA na vinginevyo. Wajibu wao mkubwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya muda mfupi au mrefu zikiwemo kozi maalumu ili kutimiza mahitaji ya kitaalam. Pia zinafanya utafiti, kusambaza matokeo ya utafiti na kutoa ushauri kwa Serikali na Sekta Binafsi kupitia ushauri elekezi na njia nyingine.

4.1.5.7 Wabia wa Maendeleo

Kwa utekelezaji bora wa mkakati huu, Wabia wa Maendeleo ni wadau muhimu katika utoaji wa huduma za kitaalam na rasilimali fedha. Wabia wa Maendeleo pia ni sehemu muhimu ya mikutano kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo pamoja na vikundi kazi vya kitaalam. Kwa kuuwezesha mkakati huu, Wabia wa Maendeleo watasaidia utekelezaji wa lengo kuu la kupunguza umaskini na kuchangia ukuaji wa uchumi pamoja na usalama wa chakula na lishe wa taifa.

4.1.5.8 Sekta BinafsiSekta binafsi hususan watengezaji, wasambazaji, wasindikaji, wasafirishaji, wauza pembejeo za kilimo, wakulima, wafanyabiashara na watoa huduma ni muhimu sana katika utekelezaji wa mkakati huu kwenye ngazi mbalimbali.

Page 54: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202940

4.1.5.9 Watendaji Wasio wa KiserikaliWatendaji Wasio wa Kiserikali na wadau wengine ni muhimu pia katika kufanikisha utekelezaji wa Mkakati na uhamasishaji wa rasilimali zinazohitajika. Hivyo, watajumuishwa katika Vikundi kazi vya kitalaam, watafuatilia na kutathmini pamoja na kusaidia kitalaam. Ili kufanikisha utekelezaji wa mkakati huu, kutahitajika kuongeza ushirikiano uliopo kati ya Wizara ya Kilimo na Watendaji Wasio wa Kiserikali.

4.1.5.10 Vyama vya UshirikaVyama vya ushirika ni muhimu katika Usimamizi wa Mazao baada ya kuvuna kwa kutokana na majukumu yake la msingi la kuwaunganisha wakulima katika hatua mbalimbali za mchakato wa hifadhi kama vile ukusanyaji, uchambuaji, upangaji madaraja, uhifadhi, usafirishaji, usambazaji na masoko. Ukitilia maanani kuanziishwa kwa Soko la Bidhaa hapa nchini, Vyama vya Ushirika vitatumika kuongezea nguvu katika sekta binafisi. Misaada kwa Vyama vya Ushirika itatoa vipaumbele kwa sehemu dhaifu za mnyororo wa thamani wa mazao baada ya kuvuna ikiwa ni pamoja na maeneo yasiyofikika kwa urahisi na kuongeza uwezo wa kuhifadhi mazao.

4.1.5.11 Watoa Huduma KifedhaUtekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna unahitaji kuhusisha taasisi zinazotoa huduma za kifedha kama vile mabenki, zisizo za kibenki, bima, vyama vya kuweka na kukopa na mifumo ya kijamii ya kuweka akiba (VICOBA, HISA n.k.) ili kukabiliana na changamoto za kifedha zinazoukabili mnyororo wa thamani wa mazao baada ya kuvuna, ikiwemo kutoa fedha kwa vyama vya ushirika na usimamizi wa dhima. Taasisi hizo zitahitajika kutayarisha huduma maalum za kifedha kwa ajili ya kuwawezesha wadau wa teknolojia baada ya kuvuna kama watengenezaji, wasambazaji, wasindikaji, wasafirishaji, wakusanyaji, wakulima, wauza pembejeo za kilimo, wafanyabishara na watoa huduma, kama vile vyama vya ushirika.

4.1.5.12 Vikundi Kazi vya KitaalamVikundi kazi vya Kitaalam vya usimamizi mazao baada ya kuvuna vitakuwepo kufanya kazi zikiwemo zile za Kikundi kazi cha Programu ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo. Pia, kutahitajika vikundi kazi maalum vya kitaalam kwa ajili ya kutoa ushauri kwa Wizara ya Kilimo kwenye masuala maalum.

Page 55: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 41

Wajibu wa Vikundi Kazi vya kitaalam vya Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya kuvuna katika kutekeleza mkakati utakuwa kutoa ushauri wa kiufundi na kitaalam katika masuala maalum. Kikundi kitaundwa na wataalam kutoka katika makundi ya wadau mbalimbali wa mkakati.

Vikundi vitakavyoundwa vitatokana na ngazi mbalimbali katika mnyororo wa mazao baada ya kuvuna na umuhimu wa hiyo sekta ndogo. Kwa kuzingatia hayo, vifuatavyo vitakuwa vikundi kazi vya awali: Kikundi cha Teknolojia za Mazao baada ya kuvuna, Kikundi cha Masoko na Miundombinu ya Uhifadhi, Kikundi cha kujenga uwezo, kikundi cha fedha na manunuzi pamoja na kikundi cha ufuatiliaji na tathmini. Vikundi hivi vitafanya kazi zao kwa kufuata miongozo maalumu ya Wizara ya Kilimo na Hadidu zao za rejea zitaboreshwa kwenye ngazi za uandaaji Mpango Kazi wa Mkakati. Mpango wa Utekelezaji ni kama ulivyooneshwa kwenye Kielelezo namba 5.7

Page 56: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202942

Kielelezo 5 : Mpango wa Utekelezaji

Katika ngazi ya Wilaya na Mkoa kutakuwepo na mratibu wa masuala ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ambaye atateuliwa na mamlaka husika katika ngazi hizo. Mratibu huyu atakuwa na jukumu la kusimamia utekelezaji wa afua zote katika eneo husika na kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa mkakati katika ngazi husika. Taarifa hizi zitakusanywa na kuwasilishwa katika sekretariet ya uratibu ngazi ya Taifa.

4.2. Mpango wa uendeshaji – Mpango kazi na bajetiMkakati wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna utatekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ambapo utekelezaji wa mkakati na miongozo mingine ya kisera na kitaifa kama vile Dira ya Maendeleo ya Taifa - 2025 , LTPP 2026, na Programu ya pili ya Maendeleo ya Kilimo 2026 utafanyika. Hii itaruhusu mwendelezo wa Mkakati wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna ikizingatia muelekeo wa kisera wa mwendelezo wa mikakati ya Dira ya Maendeleo ya Tanzania ya 2025, LTPP 2026, na Programu ya pili ya Maendeleo ya Kilimo.

Ili kutekeleza mkakati wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna katika kipindi hiki, mkakati umetambua kuwa, shughuli ya kwanza ya mkakati ni kuandaa mpango kazi wa kina na gharama za shughuli muhimu, kupanga majukumu na wajibu maalum, pamoja na kuweka malengo ya muda mfupi ya kati na ya muda mrefu.

Page 57: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 43

Idara ya Usalama wa Chakula kwa kushirikiana na watendaji wengine, itaandaa mpango wa uendeshaji, utakaoainisha shughuli, muda wa utekelezaji na bajeti.

4.3 Fedha za kutekeleza Mkakati Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna kwa kiasi kikubwa utategemea fedha kutoka bajeti za Serikali, Sekta binafsi, Jumuiya ya Kimataifa pamoja na michango ya watu binafsi. Hata hivyo, mtazamo jumuishi na mfumo wa kuratibu kazi pamoja unahitajika kuhakikisha kuwa fedha kwa ajili ya masuala ya mazao baada ya kuvuna zinatumika ipasavyo ili kufikia malengo yaliyoainishwa kwenye mkakati

Ili kuwa na mwelekeo thabiti wa utekelezaji wa mkakati huu, uhamasishaji na ukusanyaji wa fedha kwa ajili ya kutekeleza afua za Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna kutoka kwa wafadhlili mbalimbali utasimamiwa kwa utaratibu maalum kama ule wa Programu ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo. Kama italazimika, utaratibu wa fedha utahitaji kusaini Randama ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Wadau wa Maendeleo watakaokubaliana na taratibu za utendaji kazi wa mfuko wa fedha za pamoja wa serikali wa ugawaji fedha na ugavi wa pembejeo.

Fedha za miradi kutoka kwa wabia wengine wa maendeleo zitawasilishwa tofauti kwenye mawasilisho ya bajeti na Hazina itatoa ushauri ipasavyo. Matumizi ya mwaka pendekezwa yatakuwa ni msingi wa kupanga matumizi ya Mkakati wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna yatakayowekwa kwenye bajeti zitakazowasilishwa. Fedha za shughuli za Usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna, zitaratibiwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta pamoja na wadau wengine.

Kutokana na uzoefu uliopo, vyanzo vya fedha vinaweza kuwa hivi vifuatavyo:

Fedha za Kitaifa: Chanzo kikubwa cha fedha za Taifa ni zile za mapato yatokanayo na ukusanyaji wa kodi. Wizara, idara na wakala mbalimbali pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa hupewa fedha hizi kupitia Mwongozo wao wa Matumizi utakaoainishwa kwenye bajeti za matumizi ya kawaida na za maendeleo. Utoaji fedha kwa ajili ya afua za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kwenye Wizara, Idara, Wakala na Serikali za Mitaa zinaweza kupatikana kwa kupitia mpango huu. Vyanzo vingine vya fedha za ndani ni

Page 58: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202944

fedha zinazopatikana kwa ushirikiano wa Serikali na sekta binafsi na zile zinazotoka kwenye asasi zisizo za kiserikali. Fedha hizi zinaweza kutumika kwa ajili ya shughuli zilizopangwa kwa kufuata mipango iliyowekwa kwa ajili ya matumizi ya fedha hizo.

Fedha za Kimataifa: Fedha za Kimataifa kwa ajili ya Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna kama vile Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo Afrika na fedha za makubaliano kati ya nchi inayofadhili na nchi inayofadhiliwa. Fedha za makubaliano kati ya nchi mbili hizo huingizwa nchini kupitia taasisi maalumu za ufadhili kutoka nchi wahisani. Msaada rasmi wa nyongeza huingizwa kupitia mashirika mbalimbali ya Kimataifa na taasisi zisizo za Kiserikali za Kimataifa. Baadhi ya Wafadhili huelekeza misaada kwenye kanda na wengine kwenye mitandao ya kikanda- kwa mfano SADC, EAC na AU. Matakwa ya baadhi ya wafadhili huelekezwa kwenye masuala maalum ya Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna.

Fedha za Mikataba ya Kimataifa: Fedha hizi zinahusiana na utekelezaji wa Miongozo na makubaliano ya Umoja wa Mataifa katika kusaidia utekelezaji wa shughuli za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna.

4.4 Ufuatiliaji na Tathmini Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mkakati wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna una majukumu ya kufanya ufuatiliaji na tathmini kwa kazi zote zilizopangwa na kuchukua hatua stahiki kwa changamoto zitakazojitokeza wakati wa utekelezaji wa mkakati pale itakapohitajika. Ingawa, uratibu wa zoezi la ufuatiliaji na tathmini ya mkakati utafanywa kwa kiasi kikubwa na Wizara ya Kilimo. Ni dhahiri kuwa kazi za ufuatiliaji na tathmini zinatakiwa kutekelezwa kwa ushirikiano wa wadau mbalimbali ili kuongeza usahihi wa matokeo ya ufuatiliaji na tathmini kwenye mnyororo mzima wa thamani. Zoezi la Ufuatiliaji na Tathmini ya ndani na nje utafanyika ipasavyo. Kutakuwa na Ufuaitiliaji na Tathmini shirikishi katikati na mwisho wa kipindi cha utekelezaji wa mkakati.

Shughuli za Ufuatiliaji zinahusisha ukusanyaji wa taarifa, uchambuzi, mchanganuo na uwasilishaji wa matokeo kwenye Kamati Kuu ya Utendaji ya mkakati pamoja na kwenye Majukwaa na Wadau husika. Lengo ni kulinganisha malengo yaliyopangwa na matokeo yake. Ufuatiliaji na Tathmini ni chombo muhimu kitakachowawezesha wadau kugundua tofauti zozote kutoka kwenye malengo yaliyopangwa kwa wakati na kufanya marekebisho stahiki.

Page 59: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 45

Lengo kuu la tathmini ni kujifunza kutoka uzoefu uliopatikana wakati wa utekelezaji wa afua za usimamizi na kuziwasilisha Wizara ya Kilimo na wadau wengine ili kupima kasi na uzito wa matokeo ya kupunguza upotevu wa mazao ya chakula baada ya kuvuna katika kipindi cha utekelezaji kama ilivyotarajiwa.

Zoezi la Ufuatiliaji na Tathmini litahusisha yafuatayo: -

i. Kutathmini iwapo shabaha zilizopangwa kwenye Mkakati ni sahihi

ii. Kutathmini iwapo utekelezaji wa Mkakati unafikia matokeo yaliyotarajiwa

iii. Kutathmini iwapo rasilimali za kutosha watu na fedha) zinahamasishwa ili kutekeleza Mkakati.

iv. Kutathmini Ufanisi wa matumizi ya rasilimali zilizopov. Kutathmini sababu zilizofanya/zilizosababisha kutotekeleza

baadhi ya kazi zilizokubaliwavi. Kutathmini ufanisi wa Wizara ya Kilimo katika kuongoza

utekelezaji wa Mkakati.

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini utarejewa kila mwaka ili kubaini vipengele vinavyohitaji marekebisho au kuondolewa.

Kwa kuwa Mkakati wa Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya kuvuna umepangwa kwa miaka 10, kutakuwa na tathmini ya mkakati kila miaka mitatu kwa kutumia mthamini wa nje asiyehusika na mkakati ili kubaini mabadiliko yanayoweza kuathiri ufanisi wa Mkakati kwa kipindi kinachobaki cha utekelezaji. Katika utekelezaji wa mkakati huu, Ufuatliaji na tathmini utatumia malengo na viashiria vya Azimio la Malabo.

4.5 Utaratibu wa utoaji taarifaMfumo wa kutoa taarifa utafuata utaratibu serikali ambapo kwenye ngazi ya mamlaka ya serikali za mitaa ambapo taarifa za utekelezaji zitaandaliwa na kuwasilishwa katika Sekretariet ya Mkoa. Taarifa za kutoka wilayani na mkoani zitajumuishwa na kuwasilishwa kwenye ngazi ya Taifa.

Kwa kuwa masuala ya usimamizi wa upotevu wa mazao baada ya kuvuna yapo chini ya Sekta ya Kilimo na Programu ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo ndio mwongozo wa kutekeleza mipango ya kuendeleza sekta ya kilimo nchini, taarifa za utekelezaji wa Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna zitaripotiwa chini ya

Page 60: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202946

Sekretariet ya Program ya Pili ya Maendeleo ya Kilimo. Taarifa zitawasilishwa kwa kila robo muhula na kwa mwaka na zitahusisha:

i. Muhtasari wa maendeleo ya utekelezaji wa mpango kazi, yakiwemo mapitio ya changamoto zozote zilizojitokeza;

ii. Muhtasari wa matumizi ya rasilimali fedha yanayohusiana na malengo ya miradi;

Muhtasari wa matokeo yaliyopatikana, ikiwemo nakala ya mwongozo wa matokeo unaoonesha malengo ya utendaji na ufanisi wake. Malengo ya utendaji hayatarajiwi kubadilika kwenye taarifa za kila robo muhula. Hata hivyo, timu ya utekelezaji inatarajiwa kutayarisha muhtasari wa maendeleo ya ufuatiliaji utendaji na kuainisha changamoto zinazoweza kuathiri mafanikio ya malengo ya miradi.

Katika ngazi ya Wilaya, mwakilishi wa wilaya husika katika utekelezaji wa Usimamizi a Upotevu wa Mazao baada ya kuvuna chini ya usimamizi wa Afisa Kilimo wa Wilaya atakuwa na jukumu la kuandaa ripoti za Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna katika ngazi ya Wilaya na kuziwasilisha ngazi ya mkoa. Kwenye ngazi ya Mkoa, mwakilishi wa mkoa husika katika utekelezaji wa usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna atachambua na kuandaa taarifa za Wilaya zote katika Mkoa wake na kuziwasilisha kwenye Wizara husika, ambayo ni Ofisi ya Rais-TAMISEMI na nakala kuwasilishwa Wizara ya Kilimo.

Kwenye ngazi ya taifa, kitengo cha Usimamizi wa Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna chini ya Wizara ya Kilimo kitakuwa na jukumu la kuandaa na kuchambua taarifa zote za mikoa. Masuala yaliyotambuliwa yatawasilishwa kwa kikundi kazi husika kwa ajili ya utekelezaji. Masuala yanayohitaji maamuzi ya ngazi za juu, yatapelekwa kwenye Kamati ya Juu ya Utendaji kwa utekelezaji.Taarifa zitazingatia kwa makini upatikanaji wa rasilimali zinazohitajika kutekeleza Mkakati wa Usimamizi wa Mazao baada ya Kuvuna, mafanikio ya shabaha lengwa, vikwazo vinavyozuia utekelezaji wa shughuli zilizopangwa na hatua zitakazofuatia.

Kitengo husika cha Wizara ya Kilimo kitapewa jukumu la kuandaa taarifa za mkakati kwa kina, kwa kutia mkazo malengo na mafanikio mahsusi, vikwazo vilivyojitokeza wakati wa utekelezaji, hatua zilizochukuliwa kutatua vikwazo hivyo na kupendekeza hatua muhimu za kufuata.

Page 61: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 47

MAREJEO

Abass, A.B., Ndunguru, G., Mamiro, P., Alenkhe, B., Mlingi, N., and Bekunda, M. (2014): Post- harvest food losses in a maize-based farming system of a semi-arid savannah area of Tanzania. Journal of Stored Products Research 57: 49-57

De Lucia, M., and Assennato, D. (1994): Agricultural engineering in development. Post-harvest operations and management of food grains. FAO Agricultural Service Bulletin No. 93.

FAO (2011): Global Food Losses and Food Waste: Extent, Causes and Prevention. Rome, Italy. FAO and World Bank (2010): FAO/World Bank Workshop onReducing Post-Harvest Losses in Grain Supply Chains in Africa; Lessons Learned and Practical Guidelines. Rome, Italy

FARA, (2006). Framework for African Agricultural Productivity. Retrieved from http://faraafrica.org/wp-content/uploads/2015/04/FAAP_English.pdf.

Hodges, Buzby, and Bennett, (2011). Postharvest losses and waste in developed and less developed countries: opportunities to improve resource use. Retrieved from http://ucanr.edu/datastoreFiles/234-2203.pdf.

Kimanya M.E, De Meulenaer B, Roberfroid D, Lachat C, Kolsteren P. (2010). Fumonisin exposure through maize in complementary foods is inversely associ-ated with linear growth of infants in Tanzania. Mol Nutr Food Res 54:1659–1667; doi:10.1002/mnfr.200900483.

Mutungi, C. & Affognon, H, (2013). Fighting food losses in Tanzania: The way forward for postharvest research and innovations.

Mittal, A. et al, (2007). Effect of maternal factors on nutritional status of 1-5-year- old children in urban slum population

Parfitt, J., Barthel, M., and Macnaughton, S. (2010). Food waste within food supply chains: quantification and potential for change to 2050. Retrieved from http://rstb.royalsocietypublishing.org/content/royptb/365/1554/3065.full.pdf.

Regmi, A., Deepak, M.S., James, L., Seale Jr., Bearnstein, J.et (2001). Cross-country analysis of food consumption patterns. Retrieved fromhttps://www.researchgate.net/publication/281582351_Crosscountry_analysiof_food_consumption_patterns.

REPOA, (2014). Annual report. Retrieved fromhttp://www.repoa.or.tz/documents_storage/REPOA_2014_Annual_Report.pdf.

Page 62: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202948

Suleiman, R., Rosentrater, K. A., & Bern, C. J. (2015). Evaluation of maize weevils Sitophilus zeamais Motschulsky infestation on seven varieties of maize. Journal of Stored Products Research, 64, 97-102.

Tefera, T. (2012). Post-harvest losses in African maize in the face of increasing food shortage. Food Security , 4(2), 267-277.

TFDA, (2012). Guidelines for application for registration of pre-packaged food in Tanzania. Retrieved from https://tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/2012-9-17_guidelines_registration_of_pre-packaged_foods_sw.pdf.

United Nations, (2011). Human Development Report. Sustainability and Equity: A better Future for All. Retrived from http://hdr.undp.org/sites/default/files/reports/271/hdr_2011_en_complete.pdf.

URT (1962). Agricultural Produce Act no. 56 of 1962.

URT (1991). The Food Security Act N0. 4 of 1991. Retrieved fromhttp://www.kilimo.go.tz/uploads/regulations/The_Food_Security_Act__1991.pdf

URT (2008). Agricultural Marketing Policy, Ministry of Industry, Trade and Marketing, Governemnt Printer, Dar es Salaam

URT (2010). Tanzania Demographic Health Survey. National Bureau of Statistics, Retrievedfromhttps://dhsprogram.com/pubs/pdf/FR243/FR243[24June2011].pdf.

URT (2013). National Agriculture Policy, Ministry of Agriculture Food Security and Cooperatives, Governemnt Printer, Dar es Salaam.

World Bank, (2010). Annual report. Retrieved from http://siteresource.worldbank.org/EXTANNREP2010/Resources/WorldBank-AnnualReport2010.pdf.

World Bank (2011): Missing Food: the Case of Post-harvest Grain Losses in Sub-Saharan Africa, Report No. 60371-AFR.

World Bank et al., 2011). Health, Nutrition and Population (HNP) Discussion Paper Chronic Emergency: Why NCDs Matter. Retrieved from https://openknowledge.worldbank.org/bitstream/handle/10986/13591/639270WP0Chron0Box 0361533B00PUBLIC0.pdf sequence=1.

Page 63: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 49

ORO

DH

A Y

A V

IAM

BATI

SHO

KIA

MBA

TISH

O 1

: Muu

ndo

wa

utek

elez

aji M

alen

go M

kaka

ti

Leng

o M

kaka

ti A

: Kuj

enga

uel

ewa

kuhu

su u

beba

ji bo

ra il

i kuo

ngez

a uf

anis

i na

kupu

nguz

a up

otev

u w

a m

azao

ka

tika

mny

oror

o w

a th

aman

i.Na

.Af

ua za

Us

imam

iziSh

abah

aSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

vya

Utek

eleza

jiM

atok

eo

Tara

jiwa

1K

utek

elez

a M

kaka

ti w

a M

awas

ilian

o ili

ku

utaa

rifu

umm

a

kuhu

su u

pote

vu

wa

chak

ula,

sa

babu

na

mad

hara

yak

e

Ang

alau

ain

a ta

tu

za m

awas

ilian

o

kuhu

su s

abab

u,

mad

hara

na h

atua

za

kudh

ibiti

upo

tevu

zi

we

zim

eand

aliw

a na

kuk

abid

hiw

a kw

a w

aten

daji

kwen

ye m

nyor

oro

wa

tham

ani i

fikap

o m

wak

a 20

22.

Ang

alau

ain

a 5

za

maw

asili

ano

ziw

e zi

met

umik

a ifi

kapo

20

22

Kuk

usan

ya, k

uand

aa n

a ku

tafs

iri ta

arifa

ili z

itum

ike

kwa

urah

isi.

Kua

ndaa

na

kuta

ngaz

a pr

ogra

mu

mba

limba

li ku

pitia

vy

ombo

vya

hab

ari (

Kam

a Re

dio,

TV,

mac

hapi

sho,

ru

ning

a, m

itand

ao y

a ki

jam

ii,

Vitu

o vy

a M

aarif

a vy

a K

ata,

M

aone

sho

ya K

itaifa

na

Kim

atai

fa y

a K

ibia

shar

a na

M

aone

sho

maa

lum

ya

Kili

mo)

Kut

afsi

ri ta

arifa

zili

zoku

sany

wa

na k

uziw

eka

katik

a ka

tika

mfu

mo

mzu

ri w

a ut

umia

ji.

Kuw

ezes

ha v

ituo

vya

Maa

rifa

vya

Kat

a na

Elim

u ya

Vite

ndo

kwa

Wak

ulim

a ka

ma

njia

za

ku

pata

taar

ifa z

a U

sim

amiz

i w

a U

pote

vu M

azao

baa

da y

a ku

vuna

Wiz

ara

ya

Kili

mo

ikis

hirik

iana

na

wad

au

mba

limba

li

Idad

i ya

wat

enda

ji w

alio

pata

ta

arifa

hus

ika

kuhu

suU

sim

amiz

i wa

M

azao

Baa

da y

a K

uvun

a

Kup

ungu

za

upot

evu

baad

a ya

K

uvun

a.

Maa

muz

i sah

ihi

na ta

arifa

kuh

usu

Upo

tevu

wa

M

azao

baa

da

ya k

uvun

a na

Te

knol

ojia

za

baad

a ya

Kuv

una

katik

a ng

azi z

ote.

Kuw

a na

mip

ango

bo

ra k

wa

ajili

ya

kut

ekel

eza

shug

huli

za

Upo

tevu

m

azao

baa

da

na T

ekno

lojia

za

baad

a ya

Kuv

una.

Page 64: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202950

2K

uwaj

enge

a uw

ezo

wat

enda

ji w

ote

wa

Usi

mam

izi

wa

Upo

tevu

baa

da

ya k

uvun

a

Ang

alau

as

ilim

ia 8

0 ya

w

aten

daji

waw

e

wam

ewez

eshw

a ku

husu

Usi

mam

izi

baad

a ya

kuv

una

ifika

po 2

029

Kua

ndaa

na

kuoa

nish

a vi

tini

kwa

ajili

ya

maf

unzo

ya

Usi

mam

izi b

aada

ya

kuvu

na

Kuf

anya

maf

unzo

kw

a w

aten

daji

wot

e w

a U

sim

amm

izi b

aada

ya

Kuv

una

kwen

ye m

nyor

oro

wa

tham

ani.

Kut

oa v

ifaa

vya

kufa

nyia

kaz

i kw

a M

aafis

a U

gani

.

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

w

engi

ne

wah

usik

a.

Idad

i ya

wat

enda

ji w

alio

wez

eshw

a ku

husu

U

sim

amiz

i wa

Maz

ao b

aada

ya

kuvu

na

Kia

si k

ikub

wa

cha

upot

evu

maz

ao

baad

a ya

kuv

una

ki

mep

uguz

wa

Mip

ango

ya

utek

elez

aji

wa

mas

uala

ya

Usi

mam

izi

baad

a ya

kuv

una

imeb

ores

hwa

3K

ubor

esha

mbi

nu

za u

beba

ji m

azao

kw

a w

aten

daji

maa

lum

kw

enye

m

nyor

oro

wa

tham

ani

Ang

alau

asi

limia

50

ya

wat

enda

ji w

akub

ali

mbi

nu

bora

za

ubeb

aji

maz

ao ifi

kapo

m

wak

a20

24

Kuf

anya

maf

unzo

ya

mbi

nu

bora

za

ubeb

aji m

azao

kw

a w

aten

daji

wot

e kw

enye

m

nyor

oro

wa

tham

ani

Kuu

elim

isha

um

ma

kuh

usu

ub

ebaj

i maz

ao m

zuri

kulik

o w

ote,

ili k

uhak

ikis

ha u

bora

na

usal

ama

kwen

ye m

nyor

oro

wa

tham

ani w

a m

azao

.

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

nata

asis

i m

aalu

mu.

Idad

i ya

wat

enda

ji w

alio

kuba

li ku

tum

ia n

jia

mak

husu

si n

a nz

uri k

ulik

o zo

te z

a ub

ebaj

i m

azao

.

Kia

si c

ha a

silim

ia

ya u

pote

vu

kim

epun

guzw

a

Ubo

ra w

a bi

dhaa

za

ndan

i zi

lizoo

ngez

wa

tham

ani

umeo

ngez

wa

Ubo

ra n

a us

alam

a w

a m

azao

um

eong

ezw

a.

Page 65: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 51

4K

uong

eza

uwez

o w

a w

aten

gene

zaji

wa

Usi

mam

izi

baad

a ya

Kuv

una

ili k

uzui

a na

ku

dhib

iti s

ibik

o la

maz

ao. M

f. su

mu

kuvu

, sum

u/vi

uatil

ifu v

ya

kuua

wad

udu

wah

arib

ifu n

a m

abak

i men

gine

ya

kem

ikal

i

Tatiz

o la

su

mu

kuvu

lim

epun

guzw

a

hadi

kufi

kia

10µg

/kg

kw

a S

umu

kuvu

yot

e n

a 5

µg/k

g k

wa

AFB

1

Kuf

anya

uta

fiti w

a ki

na il

i ku

bain

i sab

abu,

uku

bwa

na

usam

baaj

i wa

sum

u ku

vu,

viua

tilifu

vya

kuu

a w

adud

u w

ahar

ibifu

/ na

sib

iko

la

mab

aki y

a ke

mik

ali n

ying

ine

Kuf

anya

uta

fiti w

a ki

na il

i ku

bain

i sab

abu,

uku

bwa

na

usam

baaj

i wa

Sum

u K

uvu,

da

wa

za k

uuw

a w

adud

u/ n

a si

bik

o la

mab

aki y

a ke

mik

ali

nyin

gin

e

Kuk

uza

hat

ua s

ahih

i za

afua

za

kup

ungu

za s

ibik

o la

sum

u ku

vu

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na t

aasi

si

maa

lum

u

Kiw

ango

cha

si

biko

la m

abak

i ya

sum

u ku

vu

imep

ungu

a

Sibi

ko la

su

mu

kuvu

lim

epun

guzw

a.

Page 66: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202952

Leng

o M

kaka

ti B:

Kuk

uza

Uw

epo,

Upa

tikan

aji n

a U

kuba

likaj

i wa

Tekn

oloj

ia Z

ilizo

fany

iwa

Mar

ekeb

isho

ili

Kud

hibi

ti U

pote

vu w

a M

azao

baa

da y

a K

uvun

a.

NaAf

ua za

Us

imam

iziSh

abah

aSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

vya

Uten

daji

Mat

okeo

Ta

rajiw

a

1K

uwez

esha

W

aten

daj

i ku

husu

ufa

ham

u na

utu

mia

ji w

a

tekn

oloj

ia z

a b

aad

a ya

kuv

una

ziliz

ojar

ibiw

a

Ang

alau

asi

limia

80

ya

Wat

enda

ji w

anaj

ua

na k

utum

ia

tekn

oloj

ia b

aada

ya

kuv

una

ifika

po m

wak

a 20

29

Kuw

ahim

iza

na

kuw

ashi

rikis

ha

Wat

enda

ji ku

husu

mat

umiz

i sa

hihi

ya

tekn

oloj

ia

za b

aada

ya

kuvu

na

Kus

amba

za ta

arifa

za

tekn

oloj

ia z

ilizo

po.

Kuu

nga

mko

no n

a ku

wez

esha

utu

mia

ji w

a te

knol

ojia

zi

lizoj

arib

iwa

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na ta

asis

i ny

ingi

ne

maa

lum

.

Idad

i ya

wat

enda

ji w

anao

faha

mu

na k

utum

ia

tekn

oloj

ia

ziliz

obor

eshw

a.

Upo

tevu

wa

maz

ao b

aada

ya

kuv

una

umep

ungu

zwa

kwa

kias

i kik

ubw

a

Page 67: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 53

Leng

o M

kaka

ti C:

Kuw

ezes

ha M

fum

o w

a M

asok

o, ik

iwa

ni p

amoj

a na

Miu

ndom

binu

na

vifa

a vy

a ku

tunz

ia il

i m

azao

yas

ihar

ibik

e m

apem

a na

kup

ungu

za u

pote

vu b

aada

ya

kuvu

na.

NaAf

ua za

Us

imam

iziSh

abah

aSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

vya

Uten

daji

Mat

okeo

Tara

jiwa

1K

uong

eza

upat

ikan

aji

wa

mas

oko

ili

kupu

nguz

a up

otev

u ba

ada

ya

kuvu

na

Upa

tikan

aji

wa

mas

oko

umeo

ngez

eka

ifika

po 2

024

Uta

ratib

u w

a ku

dhib

iti n

a w

a ki

utaw

ala

ili k

uong

eza

upat

ikan

aji w

a m

asok

o ifi

kapo

2024

um

eele

zwa

Kua

nzis

ha n

a ku

imar

isha

mfu

mo

ulio

po w

a ub

ebaj

i (m

f. U

safir

isha

ji na

utu

nzaj

i) ka

tika

ngaz

i zot

e, m

agha

la

ya k

upak

ia, v

yum

ba

barid

i, m

agha

la y

a ku

tunz

ia n

a m

asilo

)K

uanz

isha

mfu

mo

wa

utoa

ji ta

arifa

wa

mas

oko

Kuu

nga

mko

no

utar

atib

u w

a m

asok

o ya

leta

yo

mae

ndel

eo,

Mf.

WRS

na

muu

ngan

iko

wak

e kw

a m

fum

o w

a ku

badi

li bi

dhaa

Wiz

ara

ya E

limu

na M

amla

ka z

a Se

rikal

i za

mita

a zi

kish

iriki

ana

na

wad

au h

usik

a

Idad

i ya

sher

ia

na ta

ratib

u za

ki

utaw

ala

kuhu

su

kupa

ta m

asok

o zi

meb

ores

hwa

Upa

tikan

aji w

a m

asok

o na

bei

bo

ra z

imep

atik

ana

Page 68: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202954

2U

pat

ikan

aji

wa

rasi

limal

i w

atu

wal

iob

obea

ku

sim

amia

m

ifum

o ya

so

ko n

a m

iund

o m

binu

yak

e

Idad

i bor

a ya

ra

silim

ali w

atu

wal

iobo

bea

kupa

tikan

a ifi

kapo

202

9

Kuf

undi

sha

au

kuaj

iri w

ataa

lam

u w

enye

uju

zi

maa

lum

u

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

Mam

laka

za

Serik

ali z

a M

itaa

ziki

shiri

kian

a na

ta

asis

i maa

lum

u

Idad

i ya

wat

u w

alio

bobe

a ka

tika

PH

M

imep

atik

a

Kun

a ub

ora

wa

maz

ao k

atik

a m

nyor

oro

wa

maz

ao w

a nd

ani

3K

uwez

esha

M

fum

o w

a U

toaj

i ta

arifa

wa

Mas

oko

Maz

ao y

ote

mak

uu/b

idha

a zi

mei

ngiz

wa

katik

a M

fum

o w

a Te

ham

a ul

ioha

kiki

wa

Kui

mar

isha

Mfu

mo

wa

kuto

a ta

arifa

wa

mas

oko

Kuu

ngan

isha

m

azao

mak

uu

katik

a m

fum

o w

a ku

badi

lisha

na

maz

ao

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

Mam

laka

za

Serik

ali z

a M

itaa

kwa

kush

iriki

ana

na

Taas

isi M

uhim

u

Mfu

mo

wa

Uto

aji T

aarif

a w

a M

asok

o U

mea

nzis

hwa

Upa

tikan

aji

wa

mas

oko

na

bei z

inaz

ofaa

vi

mep

atik

ana

Page 69: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 55

Leng

o M

kaka

ti D

: Kuk

uza

utafi

ti na

uvu

mbu

zi w

a te

knol

ojia

na

njia

mpy

a na

zin

azof

aa il

i kup

ungu

za u

pote

vu

wa

maz

ao

Na.

Afua

za

usim

amizi

Male

ngo

Shug

huli

Maju

kum

uVi

ashir

ia vy

a Ut

enda

jiM

atok

eo

Tara

jiwa

1K

uhak

ikis

ha

uwep

o w

a m

asul

a ya

U

sim

amiz

i b

aad

a ya

ku

vuna

kat

ika

tafit

i za

kilim

o

Mas

uala

ya

PH

M

yam

ehus

ishw

a ka

tika

mau

dhui

za

tafit

i za

kilim

o

Kup

itia

upya

na

kuin

giz

a m

asua

la y

a U

sim

amiz

i wa

Up

otev

u w

a M

azao

baa

da

ya k

uvun

a ka

tika

taas

isi

zina

zojih

usis

ha n

a ut

afiti

wa

kilim

o

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na ta

asis

i za

maf

unzo

na

tafit

i za

kilim

o

Kia

si c

ha

tafit

i juu

ya

mas

uala

ya

Usi

mam

izi w

a U

pote

vu w

a M

azao

baa

da

ya k

uvun

a zi

mef

anyw

a

2K

uanz

isha

m

fum

o w

a ut

unza

ji ta

arifa

za

Mka

kati

wa

Usi

mam

izi w

a U

pot

evu

wa

Maz

ao b

aad

a ya

kuv

una

Mfu

mo

wa

kutu

nza

taar

ifa z

a us

imam

izi w

a up

otev

u w

a m

azao

baa

da

ya k

uvun

a kw

a m

azao

ya

kili

mo

umea

nzis

hwa

ifika

po 2

020

Kua

nzis

ha k

anzi

data

Kuf

anya

tafit

i kw

a un

dani

ili

kuju

a ha

li ha

lisi y

a up

otev

u nc

hini

, uki

wem

o ut

afiti

kuhu

su

ukub

wa

wa

upot

evu

baa

da

ya

kuvu

naK

ukus

anya

taar

ifa z

a ki

la s

iku

ili k

uwa

na ta

arifa

za

upot

evu

baad

a ya

kuv

una

na p

iaK

ufan

ya ta

fiti z

a vi

tend

o/ze

nye

mre

ngo

wa

soko

kuh

usu

mas

uala

ya

usim

amizi

wa

upot

evu

wa

maz

ao b

aada

ya

kuvu

na

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikan

a na

wad

au

husi

ka

Utu

nzaj

i na

taar

ifa z

a U

sim

amiz

i wa

upot

evu

wa

maz

ao b

aada

ya

kuv

una

unaf

anyi

ka

Utu

nzaj

i wa

maz

ao b

aad

a ya

kuv

una

umep

ung

uzw

a

Page 70: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202956

Leng

o M

kaka

ti E:

Kup

itia

upya

na

kuw

eka

mio

ngoz

o m

ipya

na

sher

ia k

uwez

esha

viw

ango

na

vite

ndo

vita

kavy

opun

guza

upo

tevu

baa

da y

a ku

vuna

.

Na.

Afua

za u

simam

iziM

aleng

oSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

M

atok

eo Ta

rajiw

a

1K

uing

iza

mam

bo

ya U

sim

amiz

i wa

Upo

tevu

wa

Maz

ao

baad

a ya

kuv

una

ka

tika

sher

ia

ziliz

opo

Sher

ia

ziliz

opo

zim

epiti

wa

upya

ifika

po

2024

.

Kuz

itam

bua

na

kuzi

pitia

she

ria

husi

ka z

a ba

ada

ya k

uvun

a

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

hu

sika

Mas

uala

ya

usim

amiz

i ba

ada

ya

kuvu

na

yam

eing

izw

a ka

tika

sher

ia

ziliz

opo

Ute

ndaj

i wa

PHM

um

ebor

eshw

a

Kut

ambu

a na

ku

pitia

upy

a m

iong

ozo

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

hu

sika

Ute

ndaj

i wa

PHM

um

ebor

eshw

a

Kut

oa e

limu

kwa

wad

au

maa

lum

juu

ya s

heria

na

mio

ngoz

o ili

yopi

tiwa

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

hu

sika

Ute

ndaj

i wa

PHM

um

ebor

eshw

a

Page 71: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 57

Leng

o M

kaka

ti F:

Kui

mar

isha

ura

tibu,

ush

iriki

ano

na u

husi

shw

aji w

a w

adau

ili k

uwez

esha

ute

kele

zaji

wa

mka

kati

Na.

Afua

za u

simam

iziM

aleng

oSh

ughu

liM

ajuku

mu

1K

uhak

ikis

ha

urat

ibu

unaf

anyi

ka

katik

a ng

azi z

ote

ili k

uong

eza

ushi

rikis

hwaj

i wa

wat

enda

ji m

uhim

u ka

tika

mas

ula

ya u

sim

amiz

i wa

upot

evu

wa

maz

ao

baad

a ya

kuv

una

Uta

ratib

u w

a ku

ratib

u ka

tika

ngaz

i za

Taifa

, Mik

oa

na M

amla

ka

za S

erik

ali

za M

itaa

umeb

ores

hwa

ifika

po 2

020.

Kut

ambu

a na

kuw

eka

kum

buku

mbu

za

taas

isi

zina

zojis

hugh

ulis

ha n

a m

asua

la y

a us

imam

izi w

a m

azao

baa

da y

akuv

una

Kuh

amas

isha

na

kuel

imis

ha ta

asis

i zi

nazo

fany

a m

aam

uzi

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

hu

sika

Mfu

mo

wa

urat

ibu

hai

Kite

ngo

cha

urat

ibu

kim

eim

aris

wa

Upo

tevu

ba

ada

ya

kuvu

na

umep

ung

uaU

linzi

wa

chak

ula

umeo

ngez

eka

Kui

mar

isha

maj

ukw

aa y

a us

imam

izi w

a up

otev

u nc

hini

Tan

zani

a K

uim

aris

ha k

iteng

o ch

a ur

atib

u ki

taifa

kilic

hopo

w

izara

niK

uten

geza

TWG

na

kute

ua

mhu

sika

mku

u ka

tika

ngaz

i ya

Sek

retr

ieti

-TA

MIS

EMI

Kut

oa v

itend

ea k

azi v

ya

kuto

sha

kwa

kite

ngo

cha

urat

ibu

kita

ifa.

Kuu

nga

mko

no u

tend

aji

wa

kite

ngo

cha

utat

ibu

kita

ifa.

Sekr

etar

ieti

imea

nzis

hwa

Wah

usik

a w

akuu

Se

kret

arie

ti ya

TA

MIS

EMI

wam

epat

ikan

aB

ajet

i im

eong

ezek

aK

iasi

cha

vi

tend

ea k

azi

kim

epat

ikan

aId

adi y

a m

ikut

ano

imef

anyw

a

Ufa

nisi

wa

uten

daji

umeb

ores

hwa

Page 72: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202958

2 K

uanz

isha

na

kus

imam

ia

vifu

rush

i vya

m

otis

ha y

a uw

ekez

aji i

li ku

onge

za u

shiri

ki

wa

kise

kta

Vifu

rush

i vy

a m

otis

ha

vim

eand

aliw

a na

ku

teke

lezw

a ifi

kapo

202

2.

Kut

ambu

a na

kut

atua

vi

kazo

vya

uw

ekez

aji

katik

a us

imam

izi b

aad

a ya

ku

vuna

Kut

enge

neza

vifu

rush

i vya

uw

ekez

aji k

atik

a m

nyor

oro

wa

tham

ani w

a ba

ada

ya

kuvu

na

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

wad

au

wen

gin

e hu

sika

Kia

si fu

lani

ch

a vi

furu

shi

vya

mot

isha

vi

mea

nzis

hwa

na

kute

kele

zwa

Upo

tevu

ba

ada

ya

kuvu

na

umep

ungu

zwa

Ulin

zi w

a ch

akul

a na

lish

e um

eong

ezw

a3

Kui

mar

isha

msi

ngi

wa

rasi

limal

i w

atu

kwa

taas

isi

zina

zoon

goza

ka

tika

upot

evu

baad

a ya

kuv

una

Asi

limia

80

ya m

sing

i wa

rasi

limal

i wat

u in

apat

ikan

a ku

tatu

a m

atat

izo

ya u

pote

vu

maz

ao b

aada

ya

kuv

una

ifika

po 2

025

Kua

jiri w

afan

yaka

zi

Kuk

uza

uwez

o na

m

aend

eleo

ya

rasi

limal

i w

atu

kuhu

su u

sim

amiz

i wa

upot

evu

baad

a ya

kuv

una

Kut

oa v

itend

ea k

azi n

a ku

haki

kish

a m

azin

gira

bo

ra

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

wad

au

wen

gine

hu

sika

Kia

si c

ha m

sing

i w

a ra

silim

ali w

atu

kipo

Ufa

nisi

ut

enda

ji um

epat

ikan

a

Page 73: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 59

Leng

o M

kaka

ti G

: K

uim

aris

ha M

kaka

ti w

a U

sim

amiz

i m

azao

baa

da y

a ku

vuna

na

kupu

nguz

a m

adha

ra y

a m

abad

iliko

ya

tabi

a nc

hi

Na.

Afu

a za

U

sim

amiz

i M

alen

goSh

ughu

liM

ajuk

umu

Via

shiri

a vy

a U

tend

aji

Mat

okeo

tara

jiwa

1 K

uhak

ikis

ha

upat

ikan

aji w

a ta

arifa

za

tab

ianc

hi

zina

zohu

sian

ana

up

otev

u b

aad

a ya

ku

vuna

,m

ifum

o ya

ut

oaji

taar

ifa

map

ema

Taha

dhar

i zot

e kw

a ha

tari

husi

ka

zita

tam

buliw

a m

apem

a

Mab

adili

ko y

a ta

bia

nchi

kw

enye

m

nyor

oro

wa

tham

ani w

a us

imam

izi

wa

upot

evu

wa

maz

aoba

ada

ya

kuvu

na

unaz

indu

liwa

ifika

po 2

029

Kuw

aelim

isha

wak

ulim

a na

w

adau

wen

gine

kuh

usu

mad

hara

ya

tabi

a nc

hi

kwa

usim

amiz

i wa

upot

evu

wa

maz

ao b

aada

ya

kuvu

naK

uwae

limis

ha w

akul

ima

juu

ya u

patik

anaj

i wa

maz

aom

balim

bali

yana

yost

ahim

ilim

adha

ra y

a ta

bia

nchi

K

uim

aris

ha u

husi

ano

na m

tiriri

ko w

a ta

rifa

za

maz

ao y

a ki

limo

na h

ali

ya h

ewa

nchi

ni T

anza

nia

Mita

zam

o ya

Mam

laka

ya

Hal

i ya

Hew

a, k

uhus

u ta

bia

nchi

za

msi

mu

na

za m

wez

i

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

m

balim

bali

Vifu

rush

i vya

ta

arifa

m

balim

bali

maa

lum

u kw

a us

imam

izi w

a up

otev

u w

a m

azao

baa

da

ya k

uvun

a zi

met

olew

a

Taar

ifa m

balim

bali

ku

husu

ong

ezek

o la

hu

dum

a m

balim

bali

za

mic

haka

to y

a m

ipan

go

na b

ajet

i ya

PHM

Ong

ezek

o la

Ufa

nisi

ka

tika

shug

huli

za P

HM

Kup

itish

a PH

M

inay

ooen

dana

na

tabi

a nc

hi

Page 74: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202960

Kua

nzis

ha

tekn

oloj

ia n

a m

iund

ombi

nu

imar

a zi

nazo

husu

sh

ughu

li ba

ada

ya k

uvun

a

Uku

balik

aji

kwa

asili

mia

80

wa

tekn

oloj

ia

imar

a ba

ada

ya k

uvun

a na

zi

nazo

him

ili

mab

adili

ko

ya ta

bia

nchi

ifi

kapo

202

9.

Asi

limia

80

ya

kuje

nga

uwez

o kw

a w

auza

ji na

w

atej

a ku

husu

ua

nzis

haji

na

uend

esha

jii

wa

tekn

oloj

ia

baad

a ku

vuna

zin

azos

tahi

mili

m

abad

iliko

ya

tabi

a nc

hi u

we

umef

anyi

ka

ifika

po

2029

Kuj

enga

na

kuka

raba

ti m

agha

la/ v

ifaa

vya

uhifa

dhi,

sehe

mu

za

kupa

kia

maz

ao, n

a vi

faa

vya

uhifa

dhi

vye

nye

ubar

idi

Kug

awa

na k

ufun

ga v

ifaa

vya

kusin

dika

maz

ao

Kus

aidi

a na

mna

ya

utum

iaji

wa

vifa

a bo

ra

vya

uhifa

dhi,

mf m

asilo

ya

chu

ma

Kup

itish

a nj

ia b

ora

za u

hifa

hi z

ikiw

emo

tekn

oloj

ia z

enye

kia

si

kido

go c

ha k

abon

i

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

wad

au

wen

gine

hu

sika

Viw

ango

vya

uk

ubal

ikaj

i na

uto

faut

i ili

kupe

ndek

eza

aina

m

balim

bali

za te

knol

ojia

ba

ada

kuvu

na

Kia

si c

ha

wau

zaji

na

wan

ufai

ka

waw

e w

amek

ubal

iut

umia

ji w

a te

knol

ojia

im

ara

baad

a ya

ku

vuna

Uw

ezo

wa

ujuz

i na

tekn

oloj

ia, p

amoj

a na

upa

tikan

aji w

a te

knol

ojia

imar

a ba

ada

ya k

uvun

a na

zi

nazo

enda

na n

a ta

bia

nchi

Page 75: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 61

Leng

o M

kaka

ti H

: Kus

hugh

ulik

ia U

pung

ufu

wa

fedh

a kw

a aj

ili y

a sh

ughu

li ba

ada

ya k

uvun

a

Na.

Afua

za

Usim

amizi

M

aleng

oSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

vya

Uten

daji

Mat

okeo

tara

jiwa

1.K

uanz

isha

ub

unifu

wa

upat

ikan

aji

fedh

a ili

kus

aidi

a uw

ekez

aji,

kuta

ngaz

a,

kusa

mba

za

na k

utum

ia

tekn

oloj

ia b

aada

ku

vuna

Uto

aji w

a ta

arifa

za

uko

pesh

aji k

wa

wat

enda

ji, ta

asis

i nd

ogo

ndog

o na

wak

ulim

a ili

waw

ekez

aji

kwen

ye

tekn

oloj

ia b

aad

a ku

vuna

uw

e um

eong

ezek

a kw

a as

ilim

ia 5

0 ifi

kapo

20

22.

Kuw

aelim

isha

wak

ulim

a na

w

adau

wen

gine

kuh

usu

mad

hara

ya

tabi

a nc

hi

kwa

usim

amiz

i wa

upot

evu

wa

maz

ao b

aada

ya

kuvu

na.

Kuw

aelim

isha

w

akul

ima

kuhu

su

upat

ikan

aji w

a m

azao

mba

limba

li ya

nayo

stah

imili

mad

hara

ya

tabi

a nc

hi

Kui

mar

isha

uhu

sian

o na

mtir

iriko

wa

taar

ifa

za m

azao

ya

kilim

o na

ha

li ya

hew

a nc

hini

Ta

nzan

iaM

itaza

mo

ya M

amla

ka

ya H

ali y

a H

ewa,

ku

husu

tabi

a nc

hi z

a m

sim

u na

za

mw

ezi

Wiz

ara

ya K

ilim

o ik

ishi

rikia

na

na w

adau

m

balim

bali

Vifu

rush

i vya

ta

arifa

m

balim

bali

maa

lum

kw

a us

imam

izi w

a up

otev

u w

a m

azao

baa

da

ya k

uvun

a zi

met

olew

a

Taar

ifa m

balim

bali

ku

husu

ong

ezek

o la

hud

uma

mba

limba

li za

m

icha

kato

ya

mip

ango

na

baje

ti ya

PH

M

Ong

ezek

o la

U

fani

si k

atik

a sh

ughu

liza

za P

HM

Kup

itish

a PH

M

inay

ooen

dana

na

Ta

bia

nchi

Page 76: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202962

2.K

uanz

isha

tekn

oloj

ia n

am

iund

ombi

nu

imar

azi

nazo

husu

sh

ughu

liba

ada

ya

kuvu

na

Uku

balik

aji k

wa

asili

mia

80w

a te

knol

ojia

imar

a ba

ada

ya k

uvun

a na

zin

azoh

imili

m

abad

iliko

ya

tabi

a nc

hi ifi

kap

2029

.

Asi

limia

80

ya

kuje

nga

uwez

o kw

a w

auza

ji na

w

atej

a ku

husu

ua

nzish

aji n

a ue

ndes

hajii

w

a te

knol

ojia

zin

azos

tahi

mili

m

abad

iliko

ya

tabi

a nc

hi b

aada

ya

kuv

una

uwe

umef

anyi

ka

ifika

po

2027

.

Kuj

enga

na

kuka

raba

ti m

agha

la/ v

ifaa

vya

uhifa

dhi,

sehe

mu

za

kupa

kia

maz

ao, n

a vi

faa

vya

uhifa

dhi

vy

enye

ub

arid

i

Kug

awa

na k

ufun

ga

vifa

a vy

a ku

sindi

ka

maz

ao

Kus

aidi

a na

mna

ya

utum

iaji

wa

vifa

a bo

ra

vya

uhifa

dhi,

mfa

no,

mas

ilo y

a ch

uma

Kup

itish

a nj

ia b

ora

za u

hifa

dhi z

ikiw

emo

tekn

oloj

ia z

enye

kia

si

kido

go c

ha k

abon

i

Wiz

ara

ya

Kili

mo

na w

adau

w

engi

ne h

usik

a

Viw

ango

vya

uk

ubal

ikaj

i na

uto

faut

i ili

kupe

ndek

eza

aina

mba

limba

li za

tekn

oloj

ia

baad

a ku

vuna

Kia

si c

ha

wau

zaji

na

wan

ufai

ka w

awe

wam

ekub

ali

utum

iaji

wa

tekn

oloj

ia

imar

a ba

ada

ya

kuvu

na

Uw

ezo

wa

ujuz

i na

tekn

oloj

ia, p

amoj

a na

upa

tikan

aji w

a te

knol

ojia

baa

da

kuvu

na im

ara

na

zina

zoen

dana

tabi

a nc

hi u

mep

atik

ana

Page 77: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 63

3K

uhak

ikis

ha

upat

ikan

aji w

a ra

silim

ali w

atu

katik

a ta

asis

i za

mst

ari w

a m

bel

e zi

nazo

jis

hug

hulis

ha

na u

pot

evu

baa

da

ya

kuvu

na

Kia

si c

ha fe

dha

cha

kuto

sha

kusa

idia

shu

ghul

i za

upo

tevu

ba

ada

ya k

uvun

a zi

napa

tikan

a ifi

kapo

mw

aka

2025

Kut

etea

upa

tikan

aji

wa

fedh

a kw

a aj

ili y

a m

ipan

go y

a up

otev

u ba

ada

ya k

uvun

a kw

enye

nga

zi z

ote

za

waf

anya

maa

muz

i.

Kuo

mba

fedh

a kw

a aj

ili y

a sh

ughu

li za

up

otev

u ba

ada

ya

kuvu

na k

utok

a kw

a w

adau

wot

e w

a se

kta

za u

mm

a na

bin

afsi

Kui

ngiz

a us

imam

izi

wa

upot

evu

wa

maz

ao

baad

a ya

kuv

una

katik

a pr

ogra

mu

na

mira

di m

ingi

illiy

opo

ya

kim

koa

na k

itaifa

.K

uand

aa m

pang

o w

a ue

ndes

haji

na b

ajet

i kw

a aj

ili y

a ku

ekel

eza

mka

kati

Wiiz

ara

ya

Kili

mo

na

wad

au w

engi

ne

husi

ka

Kia

si c

ha fe

dha

ki

licho

eten

gw

a kw

a aj

ili y

a sh

ughu

li za

up

otev

u b

aad

a ya

kuv

una

Ufa

nisi

wa

uten

daj

i um

eong

ezw

a

Page 78: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202964

Leng

o M

kaka

ti I:

Kua

ndaa

njia

bor

a za

Uku

sany

aji t

aarif

a na

Uka

diria

ji U

pote

vu w

a M

azao

baa

da y

a ku

vuna

nc

hini

NaAf

ua za

us

imam

iziM

aleng

oSh

ughu

liM

ajuku

mu

Vias

hiria

vya

Uten

daji

Mat

okeo

Tara

jiwa

1K

upiti

a na

ku

unga

nish

a nj

ia z

a ku

tath

min

i U

pote

vu w

a M

azao

baa

da

ya k

uvun

a zi

lizop

o

Njia

za

kaw

aida

za

FA

O n

a FL

AM

zik

ubal

ike

zipi

tishw

e na

ku

kuba

lika

kwa

kias

i kik

ubw

a kw

a aj

ili y

a ta

thm

ini

ya u

pot

evu

baa

da

ya k

uvun

a

Kut

ambu

a nj

ia z

a ku

tath

min

i upo

tevu

ba

ada

ya k

uvun

a zi

lizop

o

Kup

itia

na

kupe

ndek

eza

njia

bo

ra z

a ku

tath

min

i up

otev

u w

a M

azao

ba

ada

ya k

uvun

a

Kui

ngiz

a nj

ia z

a ku

tath

min

i upo

tevu

ba

ada

ya k

uvun

a zi

lizok

ubal

ika

katik

a m

taal

a w

a ta

asis

i za

kuto

a m

afun

zo

Wiz

ara

ya K

ilim

o na

wad

au

wen

gine

hu

sika

Njia

bor

a za

ku

tath

min

i up

otev

u ba

ada

ya k

uvun

a

Njia

sah

ihi z

a ku

kusa

nya

upot

evu

baa

da

ya k

uvun

a zi

lizob

ores

hwa

Page 79: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 65

KIAMBATISHO NAMBA 2: MUUNDO WA TAARIFA YA ROBO MWAKA

Idara/Kitengo kinachotoa

taarifa:…………………………………………………..

KIPINDI: Kutoka:

Hadi:

Idara/Kitengo Shughuli Zilizopangwa

Maelezo Mafanikio

Page 80: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202966

KIAMBATISHO NAMBA 3: MUUNDO WA TAARIFA YA ROBO MWAKA

Idara/Kitengo kinachotoa taarifa:……………………………………………. KIPINDI: Kutoka: Hadi: Lengo Makakati

Lengo lililopangwa

Shughuli zilizopangwa

Mafanikio ya Shughuli

Bajeti iliyopangwa

Matumizi Halisi

Maelezo yanayoelezea tofauti kati ya utendaji halisi na tarajiwa na mapendekezo ya kukabiliana na changamoto kuu

Page 81: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 67

KIAMBATISHO NAMBA 5: ORODHA YA WAJUMBE WA KIKOSI KAZI

S/n Jina Nafasi Taasisi

1 Mr. Clepin Josephat Mwenyekiti Ministry of Agriculture

2 Mr. Honest Mseri Katibu Agricultural Non-State Actors Forum (ANSAF)

3 Ms. Magreth Natai Mjumbe Ministry of Agriculture

4 Ms. Josephine Amolo Mjumbe Ministry of Agriculture

5 Mr. Daktari Hango Mjumbe Ministry of Agriculture

6 Mr. James Ngwira Mjumbe Ministry of Agriculture

7 Mr. Sadoti Makwaruzi Mjumbe Ministry of Agriculture

8 Ms. Zakia Lamwala Mjumbe Ministry of Agriculture

9 Mr. John Chassama Mjumbe Ministry of Industry and Trade

10 Ms Shamim Daudi Mjumbe HELVETAS Swiss Intercooperation

Page 82: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-202968

Page 83: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA KUVUNA | 2019-2029 69

Page 84: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo Jamhuri ...ansaf.or.tz/wp-content/uploads/2019/10/SWAHILI-STRATEGY.pdf · JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Wizara ya Kilimo MKAKATI

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

2019 -2029

MKAKATI WA TAIFA WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA

YA KUVUNA

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Kilimo

Kwa Maelezo ya kina kuhusu Mkakati wa Kitaifa wa Kupunguza Upotevu wa Mazao baada ya Kuvuna:

Wasilianana

Katibu MKuuWizara ya Kilimo

Simu: +255 262321407/2320035 | Nukushi: +255 262320037Barua pepe: [email protected]

Au tembelea tovuti: www. kilimo.go.tz