16
HAKIELIMU 2017 – 2021 MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU (MUHTASARI)

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU (MUHTASARI)hakielimu.org/files/publications/HAKIELIMU 2017... · 2 MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) Dondoo muhimu kuhusu HakiElimu

  • Upload
    others

  • View
    35

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 1

HAKIELIMU 2017 – 2021

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU (MUHTASARI)

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)2

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 1

YA

LIY

OM

O

DONDOO MUHIMU KUHUSU HAKIELIMU .......................2

• Dira ...........................................................................................2

• Dhamira ...........................................................................................2

1.0 HISTORIA yA ELIMU TANzANIA ................................... 4

1.1Mageuzikwenyeelimubaadayauhuru.....................................4

1.2Kushughulikiaubaguziwakidini,ranginakimapato..............4

1.3Mahitajiyawafanyakaziwakiafrika(Afrikanaizesheni)...........4

1.4Maendeleomiakayahivikaribuni...............................................5

1.5JuhudizaSerikalinaMafanikio....................................................5

1.6ChangamotozaElimu...................................................................6

2.0 TUNATAKA KUfANyA NINI: MAENEO TUNAyOLENGA KATIKA MPANGO MKAKATI 2017-21 .............................................................. 7

2.1Kushawishimabadilikoyaseranautekelezajiwake..................7

2.2Kukuzaushirikiwawananchinakujishughulisha.....................9

2.3Kukuzauwazinauwajibikaji........................................................11

3.0 TUNAfANyAjE KAzI? ......................................................12

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)2

Dondoo muhimu kuhusu HakiElimu

HakiElimu ilianzishwa mwaka 2001 na kundi la Watanzania 13 ambao waliweka nia thabiti na dhamira ya dhati na ya muda mrefu kuleta mabadiliko kwenye elimu ya umma kwa watoto wote.

DiraKuwa na Tanzania yenye uwazi, haki na demokrasia ambapo watu wote wanafurahia haki ya kupata elimu bora inayokuza usawa, ubunifu na kufikiri kiyakinifu.

DhamiraKuwawezesha watu kubadilisha elimu, ndani na nje ya shule; kushawishi utungaji wa sera na utekelezaji wenye ufanisi; kuchochea mijadala bunifu ya umma na mabadiliko ya kijamii; kufanya tafiti, uchambuzi wa sera na utetezi na kushirikiana na wadau ili kukuza ushiriki wa wananchi, uwajibikaji, uwazi na haki za kijamii.

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 3

HIstOrIA YA ELIMu tAnzAnIA

Mwenendo wa hivi karibuni wa bajeti ya elimu unaonesha kuwa bajeti ya elimu ya Tanzania imeendelea kubaki kiwango cha 21% ya bajeti ya taifa. Hata hivyo, mgawo wa sekta ya elimu kwenye bajeti ikiwa ni pamoja na kulipa madeni ya taifa imebakia katika

wastani 17%, ikimaanisha kuwa kwa miaka kadhaa hakujawa na ongezeko kwenye eneo hili ikilinganishwa na bajeti ya taifa.

1.0

1.1 Mageuzi kwenye elimu baada ya uhuruMwalimuJuliusNyerere,RaiswakwanzawaTanzaniaalikuwakiongozimwenyemaonoambayealikuwanawazolililokuwawazikabisakuhusuainayajamiialiyotakakuijenganchiniTanzania.Chiniyauongoziwake,mwaka1967TanzaniailichukuarasmiSerayaUjamaakamafalsafaelekezikwenyejitihadazakezakujileteamaendeleo.Lengolaserikaliiliyoundwabaadayaukolonililikuwanikujengaumoja,usawanakuimarishaushirikiwawananchikwenyeharakatizakuletamaendeleokatikamaeneoyaonataifa

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)4

1.3 Mahitaji ya wafanyakazi wa kiafrika (Afrikanaizesheni)Baadayauhuru,SerikaliilionakunahayakwaWatanzaniakuchukuanafasizakaziambazozilikuwazinafanywanaWaingerezahasabaadayawafanyakaziwengiwazungukuamuakuondokanchinibaadayauhuru.Serikaliiliamuakupanuaelimuyasekondarinaelimuyaufundiilikukidhimahitajihayoyawafanyakazi.TaifalikaanzishaSerayaElimuyaKujitegemea(EK)ambayoiliwaandaawanafunzikwaajiliyajamiiyakijamaa.

1.4 Maendeleo miaka ya hivi karibuniTangumiakaya1990serazaSerikali,zimekuwazikiongozwanaajendazakiliberalizasokohuriachiniyauongozinamsaadawaBenkiyaDunianaShirikalaFedhaUlimwenguni(IMF).BaadayaEK,

kwaujumla.Mapematubaadayakupatauhurumwanzonimwamiakaya1960,mfumowaelimupiaulianzakufanyiwamageuzihatuakwahatuailikuendananamalengohayamapyayaserikali.

1.2 Kushughulikia ubaguzi wa kidini, rangi na kimapatoKablayauhuruwaTanzaniaBaramwaka1961,vyombombalimbalivyavilikuwavikitoaelimu,kwakuzingatiamisingiyarangi,dininahaliyakiuchumiyawananchi.Lakinimwaka1962,SheriayaElimuilipitishwa,sheriahiiilipigamarufukuutoajielimukibaguzikwakuzingatiarangi,udininahalizakiuchumi.Adanakarozashulezilifutwamwaka1963,nahivyotatizolakihistorialawatotowakiafrikakutengwanakubaguliwakwenyeelimulikawalimeshughulikiwa.

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 5

seramuhimuzaidiyaelimuiliyotungwaniSerayaElimunaMafunzoyamwaka1995,serahiiiliongozasektayaelimukuanziakatikatiyamiakaya1990kwakipindichamuongommojananusu.Malengoyaelimuyalibadilikakutokakuandaawanafunzikuwawazalishajikwenyeuchumikijamaahadikuwaandaawanafunzikwaajiliyakuajiriwakwenyeuchumirasmi.

Mwaka 2014 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilizindua Sera

mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuinua ubora wa elimu kupitia

hatua kadhaa. Hatua hizo ni pamoja na kuboresha ufuatiliaji, kurekebisha mitaala ili kuifanya elimu ishabihiane

na mahitaji ya jamii pia iendane na mbinu za kisasa za ufundishaji na ujifunzaji wenye ufanisi zaidi,

kuboresha huduma za msingi kwa watoto shuleni, miundombinu ya

shule na kujenga mazingira salama kwa watoto wote.

1.5 juhudi za Serikali na Mafanikio Tanzaniaimedhamiriakuwanchiyakipatochakatiifikapomwaka2025naimeandaamiongozokadhaayakiserailikutekelezaazmahii.Baadhiyamafanikiomakubwahadisasanihaya:

1.5.1. Uandikishaji Umeongezeka maradufu Mafanikiomakubwayamepatikanakwenyekuongezaidadiyawanafunziwanaoandikishwashulendaniyakipindichamiaka10iliyopita.Ushahidiunaoneshakuwauandikishajiumepandakwaasilimia26kwashulezamsinginasekondari.Ongezekokubwazaidilimeshuhudiwakwenyeuandikishajiwawanafunzisekondarikwaasilimia244naudahilielimuyajuukwaasilimia438.

1.5.2. Ugharamiaji wa elimu MwenendowahivikaribuniwabajetiyaelimuunaoneshakuwabajetiyaelimuyaTanzaniaimeendeleakubakikiwangocha21%yabajetiyataifa.Hatahivyo,mgawowasektayaelimukwenyebajetiikiwanipamojanakulipamadeniyataifaimebakiakatikawastani17%,ikimaanishakuwakwamiakakadhaahakujawanaongezekokwenyeeneohiliikilinganishwanabajetiyataifa.

1.5.3. Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014KupitiaSerahiiyaelimuya2014,Serikaliimedhamiria:kutoaElimuMsingibilaada,kuinuauborawaelimukwakuimarishaudhibitiuboranaukaguziwashule,kuboreshamazingirayakujifunzianakufundishiakamavilemiundombinuyashule,kutoavifaavyakujifunziakwausawa,nakuboreshautendajiwawalimukwakutoamafunzoyaualimukazininamotisha.Hatahivyo,ilikufanikishahayayote,serikaliinahitajikuongezamgawonaupelekajiwafedhapamojanakusimamiakikamilifuutekelezajinamatumiziyafedhazilizotengwa.

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)6

1.6 Changamoto za ElimuLichayajuhudizaserikalizinazoendelea,sektayaelimunchiniTanzaniabadoniimesongwanachangamotonyingi.Baadhiyachangamotokubwanihizizifuatazo:

• Matokeoduniyaujifunzajikwawanafunzi,

• Utorowawalimunaumahiriduniwakufundisha,

• Kukosekanakwausawawakijinsia,

• Kutojumuishwakwawatotowenyemahitajimaalumnamazingiramagum,

• Ukatiliuliokithirimashuleni

• Kushamirikwamfumo-tabakawaelimuambapowenyepesawachachewanamuduelimuborakwenyeshulebinafsinamaskiniwanaachwakwenyeelimudunishulezaserikali

• Kukosekanakwafalsafanamalengoyaelimuvinavyoelewekakwakilamtu.Matokeoyake,elimuyaTanzaniaimekosafalsafanamalengoyakuiongoza.

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 7

2.1 Kushawishi mabadiliko ya sera na utekelezaji wake ElimuyaTanzaniahainafalsafailiyowazinainashindwakufikiaujumuishajikamiliwamakundiyote,imeshindwakutoamatokeoborayakujifunzanayenyemanufaakwawanafunzi.Wasichanabadoniwaathirikazaidi.Shulesisehemusalama,kwanimtotommojakatiyawawilihukumbananaukatili,ambaoumezoelekakutendwanawalimukunahajayakufanyiamarekebishozaidiserayaelimunakampeniyakuhimizautekelezajimakiniwaserayaelimuyamwaka2014ilikuhakikishaupatikanajiwaelimunauborawakevinaimarika.Hatahivyo,kushughulikiaukatili,kutengwanakubaguliwabaadhiyawatotonamasualamenginekunahitajimbinunajitihadazapamojakwawadaumbalimbalinakuendeleakuutaarifuummanakuhimizamijadalayaumma.

tunAtAkA kufAnYA

nInI: MAEnEO

tunAYOLEngA

kAtIkA MpAngO

MkAkAtI 2017-2021

2.0

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)8

Katikakipindichamiakamitanoijayo,lengokuulitakuwakufanyaushawishikwaSerikaliiliiandaenakutekelezaserazinazozingatiaushahidiambazozitakuzafursazawatotokuandikishwashule,usawanaelimujumuishiiliyoboranainayotolewakwenyemazingirarafikinasalamakwawote.

Mwishowasiku,tunatakakuwanamfumowaelimuulioboreshwaambaounahimizausawa,ujumuishajinaujifunzajiwenyeufanisi.Huuutakuwamfumoambaounahimizaufundishajinaujifunzajiunaozingatianakukuzausawawajinsia,namazingirarafikiyakufundishianakujifunzia;seranamikakatiyaelimuinatekelezwakwaufanisinamapungufuyaliyoainishwakwenyeserayaelimuyamwaka2014yanashughulikiwa,nafalsafayaelimuTanzanianamasualamenginemuhimuyakiserayanajadiliwanamapendekezoyanatolewa.

Lengo la 1:KufanyaushawishikwaSerikaliiliitungenakutekelezaserazinazozingatiaushahidiambazozitakuzafursazawatotokuandikishwashule,usawanaelimujumuishiiliyoboranainayotolewakwenyemazingirarafikinasalamakwa

wote.

Matokeo: Mfumowaelimuulioboreshwaambaounahimizanakukuzausawa,ujumuishajinaujifunzajiwenyeufanisi

Matokeotarajiwa

Tarajio 1:Mazingirayanayokuzaufundishajinaujifunzajiunaozingatiausawawajinsia,nakuweka

mazingirarafikinasalamakwawoteyanaimarishwa

Tarajio 2:Seranamikakatiyaelimuinatekelezwakwaufanisinamapungufuyaliyoainishwakwenyeserayaelimuyamwaka2014

yanashughulikiwa

Tarajio 3: FalsafayaelimuTanzaniana

masualamenginemuhimuyakiserayanajadiliwanamapendekezoyanatolewa

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 9

2.2 Kukuza ushiriki wa wananchi na kujishughulisha

KiwangochaushirikiwawananchikatikasektambalimbalizakiutawalanchiniTanzania,nahasakwawanawake,kikochinisananabadokinashuka.Kwamfano,ushirikiwawananchikatikavikaovyakamatizashuleulipunguakutokaasilimia36mwaka2006hadikufikiaasilimia15mwaka2013,hiinisawaasilimia13yakushukakwaushirikiwawananchikwenyehudumahiimuhimuyaumma.

Niasilimia22tuyawananchi,hasawanaume,huhudhuriamikutanoyamabarazayavijijiambayonifursamuhimukwaajiliyakujadilimasualamuhimuyakijijinakufanyamaamuziyanayoathiriwatotonaelimu.Naniasilimia16tuyawananchindiohushirikikatikakuandaamipangoyakatanayavijiji.Idadikubwayawashirikihawaniwalewaliopataelimuyamsingitu,hiiinamaanakuwawasomiwengikwakiasikikubwahawashirikimichakatohiimuhimu.

Matokeoyakenikwamba,ingawakamatizashule,

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)10

mikutanoyavijijinakatanifursamuhimukwaajiliyakufanyamaamuziyanayoathiriwatotonaelimu,kwaviwangohivividogovyaushirikiwawananchi,kunauwezekanochangamotozasektazitaendeleakubakibilakutatuliwa.

NdiyomaanaMkakatihuuunatakakuhakikishakuwawananchiwanapatataarifa,wanajipanganakushirikikutatuamatatizomuhimu,kufuatiliautawalanautoajiwaelimubora.Tutajitahidikufanikishahilikwakuhakikishakuwatunakuzanakuimarishauelewawawananchikuhusumasualayaelimupamojanamasualayajinsianaukatilidhidiyawatoto;tutahakikishaushirikiwawananchinaufuatiliajiwautawalawashulenautoajiwaelimuboraunaboreshwa,nakwambatutatafsirinakuchapishakwalugharahisinakusambazaSera,Sheria,Nyaraka

naMiongozoilikuwawezeshawananchikuichambuanakuitekelezakwaufanisi.

Lengola2:Kukuzaushirikiwawananchikwenyeutoajinaufuatiliajiwausawa,ujumuishwajinauborawaelimu

Matokeo: Wananchi wanapata taarifa, wanajipanga nakushiriki kutatua matatizo muhimu, kufuatilia utawala nautoajiwaelimubora

Matokeotarajiwa

Tarajio1:Uelewawawananchikuhusumasualayaelimujinsianaukatilidhidiyawatotounaimarishwa

Tarajio2:Ushirikiwawananchinaufuatiliajiwautawalawashulenautoajiwaelimuboraniunaboreshwa

Tarajio3:Sera,nyarakanamiongozoitatafsiriwa,kuchapishwakwalugharahisiilikuwawezeshawananchikuitekelezakwaufanisi.

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 11

2.3 Kukuza uwazi na uwajibikajiUwazinauwajibikajinimambomuhimukwenyeutawalawakidemokrasia.Kwasababu,Uwaziwaserikaliunawawezeshawalipakodi,kutafitinakujuakiurahisiutendajiwaserikalinakuiwajibishaserikaliauviongoziwakuchaguliwakutokananajinsiwanavyotumiafedhazawalipakodikwenyengazizotezaserikali.Uwaziwaserikaliunamaanishakuwekataarifazotezakifedhanataarifazaummakuwawazikwawananchi,rahisi-kwa-matumizi,katikamifumoiliyorahisikueleweka.Hiiinawapafursawalipakodikuonawaziwazijinsiwatumishiwaummawanavyotumiafedhazakodi,nainawapauwezowananchiwakuwawajibishaviongoziwaowakuchaguliwa.Serikaliyenyeuwazinimuhimukwaushirikiwawananchiwalionataarifa,nawananchiwaliohabarikanimuhimusanakwademokrasia.

Uwajibikajihubebakiwangoambachomamlakakamavilemamlakazaserikalizamitaazinapaswakuelezeaaukuhalalishakilewalichofanyaauwalichoshindwakufanya.

KwabahatimbayanchiniTanzania,kiwangochauwaziwabajetiyaserikalikikochiniyakiwangokinachotakiwakimataifa.Hiiinazuiaushirikiwaummakwenyemichakatoyabajetinainawekamatatizomakubwakwenyeufuatiliajiwamatumiziyafedhakatikautoajiwahudumazakijamiinauwajibikajikwenyefedhazaserikali.Kwahiyo,HakiElimuitaendeshakampeniyakudaiuwazizaidinauwajibikajikwenyematumiziyarasilimalizaummailikujengamfumowautoajihudumazaummawenyeufanisi.

Lengo la 3:Kukuzanakuteteakuwepokwauwazizaidinauwajibikajikwenyeutoajielimubora

Matokeo:Serikalinawadauwanakuwawasikivunawanawajibikakutoaelimujumuishinabora

Matokeo tarajiwa tarajio 1:

Mahitajinamadaiyawananchikwenyeelimuyanatetewa

tarajio 2:

Uwazinauwajibikajiwaserikalinashule

unakuzwa

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI)12

Ilikufanikishamalengohaya,HakiElimuitaendeleakufanyakazikwakaribusananawashirikawandaninawakimataifa.

Hapanchini,ShirikaletulitaendeleakufanyakazikwakaribusananamashirikayenyenianamalengoyanayofanananaHakiElimukamavileMtandaowaElimuTanzania(TEN/MET),PolicyForumnamengineyo.TutaendeleapiakufanyakazinchinzimakupitiaMarafikiElimu(Mtandaowawatubinafsi,taasisinavikundi)kuongozajuhudizakuwahamasishawatukushirikikikamilifukwenyeusimamizinaufuatiliajiwautendajikwenyeelimukatikamaeneoyao.Marafiki wa Elimuwanafanyakazikamamawakalawamabadilikokwenyeelimuwakiongoza,kushawishinakuletamageuzinademokrasiakwakuhamasishawananchiwakawaidakushirikikutoamaamuzi,kufuatiliaseranautendaji

waserikalinamijadalayaumma.Hadimwaka2016,harakatizaMarafiki wa Elimuzimefikishaidadiyawanachama40,000Tanzanianzimaambaoni-watubinafsi,taasisinavikundi.

Katikanyanjayakimataifa,mkakatimpyawaHakiElimuumefungamanamojakwamojanaMalengoyaMaendeleoEndelevunamba41na52nakazizetuzimeendeleakutambuliwanakukubalika

kwajumuiyayawafadhiliwakimataifawenyenianamalengoyanayofafananayetukamavileShirikalaTanFiDe,IBP,ADD,n.k.HakiElimuitaendeleakuimarishamahusianohayakupitiakanunizaubia,kuheshimiananauwazi.

1SDG4:Kuhakikishaelimujumuishi,yenyeusawanauborainatolewanakukuzafursazakuendeleakujifunzakwawote2SDG5:Kufikiausawawakijinsianakuwawezeshawanawakenawasichanawote

tunAfAnYAjE kAzI?

3.0

MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021 (MUHTASARI) 13

KUKUzA USHIRIKI WA jAMII kupitia…• Kuwapataarifawananchi• Kutoafursakwawananchikushiriki

masualayakijamii

KUSHAWISHI MABADILIKO yA SERA kupitia…• Ufumbuziunaozingatiaushahidi• Kufuatiliautekelezajiwasera• Kudainakuteteamageuzi

KUKUzA UWAzI & UWAjIBIKAjI kupitia …• Kudaiuwazikwenyebajeti• KukuzaUsikivunaUwajibikajiwa

Serikali

jamii yenye uwazi, haki na demokrasia na elimu

bora kwa wote

Marafiki ElimuWazaziWalimu

Wanafunzi

SerikaliVyombo vya usimamiziWananchi

NADHARIA YA MABADILIKO YA MPANGO MKAKATI WA HAKIELIMU 2017 – 2021

Mawasiliano:Kitalu Na. 739 Mtaa wa Mathuradas, Mkabala na Barabara ya Umoja wa MataifaUpanga, Ilala, Dar es Salaam, TanzaniaSimu (Ofisi) : +255 (0) 22 2151852/3+255 78 7655000 | +255 75 4354681Nukushi: +255 (0) 22 2152449Tovuti: http://hakielimu.org