690
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA

  • Upload
    lexiss

  • View
    372

  • Download
    25

Embed Size (px)

DESCRIPTION

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA. NGUVU YA MAOMBI Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA. NGUVU YA MAOMBI 2Petro 1:3-4. 2Petro 1:3-4 - PowerPoint PPT Presentation

Citation preview

Page 1: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU

WA ROHO KWA

NGUVU YA MAOMBI

Mwalimu,Mgisa Mtebe0713 497 654

Page 2: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU

WA ROHO KWA

NGUVU YA MAOMBI

2Petro 1:3-4

Page 3: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

2Petro 1:3-43 Kwakuwa uweza wake (yaani,

nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili

ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

Page 4: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia

ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa

kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa

sababu ya tamaa mbaya.

Page 5: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

SummaryKUSUDI LA KANISA

1.KUMILIKI NA KUTAWALA

Page 6: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

SummaryKUSUDI LA KANISA

1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA

Page 7: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

SummaryKUSUDI LA KANISA

1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU

Page 8: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,2826 Tufanye mtu kwa sura yetu na

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso

wa dunia.

Page 9: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na

Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,

zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

Page 10: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili

heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako

ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.

(yaani kanisa).

Page 11: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

Page 12: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8-10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada

Page 13: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu

duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,

alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha

mamlaka ya Mungu duniani.

Page 14: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

Page 15: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata

umemwangalia hivi? Umemfanya mdogo

kidogo tu kuliko Mungu,

Page 16: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu na

heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini

ya miguu yake…

Page 17: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All)

= Mkuu = Mtawala

“Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi

= Mungu

Page 18: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

18 Na milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa

langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).

Page 19: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo

mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni);

Page 20: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa

(mbinguni)

Page 21: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana,

bali nchi amewapa wanadamu

Page 22: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

Page 23: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,

Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili

atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)

Page 24: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mwanzo 1:26-18

Kwanini ni lazimaKuitawala Dunia?

(kuitiisha)

Page 25: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kuna kuna upinzaniwa adui shetani

(vita na mapambano)

Page 26: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya

Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …

Page 27: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “ambaye ni baba wa uongo,

na mkiani mwake anakokota theluthi (1/3) ya nyota za

mbinguni (malaika wa Mungu) …

Page 28: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni,

katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika

zake aliowadanganya …”

Page 29: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala

mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye

ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

Page 30: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu

wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa

chini mshitaki wa ndugu zetu”.

Page 31: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata

kufa”.

Page 32: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole

wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua

ana wakati mchache!

Page 33: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule

mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na

kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

Page 34: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19

Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu

(nguvu za giza) haitaweza kulishinda kanisa langu

nitakalolijenga’

Page 35: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani,

kwasababu, kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu

(kanisa la Bwana Yesu).”(Mathayo 16:18)

Page 36: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kutawala Ni Mfano na

Asili ya Baba yetu

‘Mfalme wa wafalme’

Page 37: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Ni Mfano/Asili ya Baba yetuMwanzo 1:26,28

‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu,

wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa

dunia’.

Page 38: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mwanzo 1:26-18

Kwanini ni lazimaKuitawala Dunia?

(kuitiisha)

Page 39: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kuna kuna upinzaniwa adui shetani

(vita na mapambano)

Page 40: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu,

kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katika

mbingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada

za malaika wa mbinguni.

Page 41: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini

kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndio

maana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa

Mungu, yaani mimi na wewe (kanisa).

Page 42: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafuta namna ya kumpiga

binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka

duniani (kwa watoto wa Mungu).

Page 43: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira

yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

Page 44: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui

shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha

yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

Page 45: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na

kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,

(Mwanzo 1:26-28)

Page 46: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda

wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha

yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)

Page 47: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani

(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la

Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)

Page 48: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU

WA ROHO KWA

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:16-18

Page 49: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu ya

nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).

Page 50: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua

ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

Page 51: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,

akiomba kwa bidii.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)

Page 52: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano; Yesu na Petro kutembea juu

ya maji.Mathayo 14:25-33

Page 53: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

25 Wakati wa zamu ya nne ya usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12

alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji

(kinyume na kanuni za asili).

Page 54: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya

maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’

Wakapiga yowe kwa kuogopa.

Page 55: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

27 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni

moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28 Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako

nikitembea juu ya maji.’’

Page 56: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-3329 Yesu akamwambia, “Njoo.’’

Basi Petro akatoka kwenyen chombo, akatembea juu ya maji

kumwelekea Yesu.

Page 57: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-3330 Lakini alipoona upepo mkali

aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu akanyosha mkono Wake na kumshika, akamwambia, …

Page 58: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-3331 … “Wewe mwenye imani

haba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya

chombo, upepo ukakoma.

Page 59: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-3333 Ndipo wote waliokuwamo

ndani ya kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema, “Hakika, Wewe ndiwe Mwana

wa Mungu.’’

Page 60: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Makusudi ya Mungu ni sisi kanisa lake, tukue kiroho na

tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe

Yohana 14:12

Page 61: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12“Amin, amin, nawaambia, kila

mtu aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo, yeye naye

atazifanya, na hata kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa

sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.

Page 62: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1511 Yeye ndiye aliyeweka wengine

kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa

wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa

walimu,

Page 63: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1512 kwa kusudi la kuwakamilisha

watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa

Kristo upate kujengwa.

Page 64: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1513 mpaka sote tutakapoufikia

umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho,

hata kufikia cheo (level) ya kipimo cha ukamilifu wa Kristo.

Page 65: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1514 Ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja,

kwa kufuata njia zao za udanganyifu.

Page 66: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1515 Badala yake, tukiambiana

kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa,

yaani, Yesu Kristo.

Page 67: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano; Petro na Yohana kumponya

kilema wa miaka 40.Matendo 3:1-10

Page 68: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-101. Siku moja Petro na

Yohana walikuwa wanapanda kwenda

hekaluni kusali yapata saa tisa alasiri.

Page 69: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-102 Basi palikuwa na mtu mmoja

aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango la

hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu

wanaoingia hekaluni.

Page 70: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-103 Huyu mtu akiwaona Petro na

Yohana wakikaribia kuingia hekaluni, aliwaomba wampe

sadaka.

Page 71: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-104 Wakamkazia macho, kisha

Petro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’

5 Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka

kwao.

Page 72: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-106 Ndipo Petro akamwambia,

‘‘Sina fedha wala dhahabu, lakini kile nilicho nacho

ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti simama,

uende.’’

Page 73: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-107 Petro akamshika yule mtu

kwa mkono wa kuume akamwinua, mara nyayo zake

na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.

Page 74: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-108 Akaruka juu na kusimama,

akaanza kutembea. Kisha akaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, huku akitembea na kurukaruka

na kumsifu Mungu.

Page 75: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-109 Watu wote walipomwona

akitembea na kumsifu Mungu, 10 wakamtambua

kuwa ni yule mtu aliyekuwa akiketi nje ya hekalu penye

lango liitwalo Zuri …

Page 76: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-1010 … akiomba msaada, nao

wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale

yaliyomtukia.

Page 77: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Lengo letu ni kujifunzaKUITAMBUA

ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

Page 78: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA

MBELE ZA MUNGUAU

NAMNA YA KUOMBASAWA SAWA

Page 79: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

Page 80: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

Page 81: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

Page 82: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.

Page 83: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote

wamtafutao”

Page 84: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…

Page 85: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

Page 86: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …

Page 87: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

Page 88: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Page 89: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 90: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 91: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 92: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 93: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 94: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 95: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 96: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 97: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 98: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 99: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 100: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 101: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 102: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 103: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 104: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Ombeni nanyi mtapewa, Kwa maana kila aombaye

Hupokea (hupewa) …(Mathayo 7:7-11)

Page 105: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Na wachache wanaoombaBiblia anasema;

“Mnaomba na hata hampati, Kwasababu mnaomba vibaya”

(Yakobo 4:3)

Page 106: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha

yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)

Page 107: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

NAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHI

HATA KULETA MABADILIKO DUNIANI.

Page 108: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO

Page 109: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI

Page 110: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

Page 111: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

Page 112: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 113: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni

Page 114: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni

Page 115: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)

Page 116: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAKwahiyo

Hebu tujifunze sasa;

1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.

Page 117: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

Page 118: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…

Page 119: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

Page 120: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …

Page 121: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

Page 122: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

Page 123: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika

katika Ulimwengu wa roho ...

Page 124: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ni nini?

Page 125: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu

visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;

Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.

Page 126: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’

Page 127: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -

Page 128: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana na

• Vitu vinavyoonekana

Page 129: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo

vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika.

(Waebrania 11:3)

Page 130: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -

Page 131: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 132: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)

Page 133: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu vinavyoonekana(Vitu vya Kimwili)

Page 134: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

Page 135: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakini

hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).

(2 Wakorintho 4:18)

Page 136: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande

mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni

ulimwengu mmoja, ila una pande mbili.

Page 137: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na

upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Page 138: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio

ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu

akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu

wa roho. (Waebrania 11:3)

Page 139: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 140: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

Page 141: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 142: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

Page 143: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa Mfano Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

Page 144: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa roho Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Milele

Page 145: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa roho Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Milele

Page 146: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa roho Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

600 Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Roho 700 2000

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Milele

Page 147: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu

wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 148: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoKwahiyo

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 149: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

Page 150: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

Page 151: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

Page 152: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

Page 153: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

Page 154: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 155: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 156: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 157: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 158: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

Page 159: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Page 160: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga

mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-

mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.

Page 161: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za

kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,

alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na

ndio maana mvua haikunyesha.

Page 162: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi

yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo

hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.

Page 163: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu

alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na

nchi ikazaa matunda yake.

Page 164: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya1Wafalme 18:41-44;

Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41)

Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake

aliyeisikia, na kutoa tangazo.

Page 165: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 166: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 167: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 168: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Japo hakukuwa na kanuni zozote za

kisayansi za kuruhusu mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya

maombi, alikwenda rohoni, akaathiri kanuni zinazosababisha mvua mwili,

na ndio maana mvua ikanyesha.

Page 169: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi

/ / / / / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /

/ / / / / / / / / / / / / / /

/ / / / / / / / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / /

/ / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / /

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 170: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

Page 171: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 172: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 173: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 174: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 175: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 176: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 177: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

Page 178: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana na

• Vitu vinavyoonekana

Page 179: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Yaani kuna upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na

upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Page 180: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ni kama vile karatasi, ina upande wa mbele na ina

upande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kina

upande wa mbele na wa nyuma.

Page 181: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ni kama vile mkono wako (kiganja cha mkono) kina

upande wa mbele na wa nyuma. Lakini ni mkono mmoja, ila una apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo

na dunia yetu.

Page 182: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

Page 183: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1.Kwa Mfano wa

Nabii Elisha na Gehazi.2 Wafalme 6:8-17

Page 184: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17Elisha, alipokuwa amezungukwa na

maadui, Gehazi alipatwa na hofu na woga, kwasababu hakujua

kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka. Ni kwasababu

pale pale, ila ni katika upande usioonekana (rohoni).

Page 185: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke, ndipo Gehazi akawaona malaika wengi

wa mbinguni waliowazunguka pande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa

pili wa dunia (rohoni).

Page 186: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17Malaika wanaoneka hapa,

hawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku zote pamoja nao, ila huwa wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

Page 187: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2 Wafalme 6:8-17Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa

mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

Page 188: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

Page 189: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2.Kwa Mfano wa

Nabii Eliya na Elisha.2 Wafalme 2:7-15

Page 190: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Kama Eliya angetoweka ghafla

mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na

kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.

Page 191: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya

rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali

angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.

Page 192: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona

mwanzo na mwisho wa kuondoka kwa Eliya; kwasababu

anaruhusiwa (anawezeshwa) kuchungulia rohoni.

Page 193: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

Page 194: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

3.Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na WanafunziWawili wa Emmaus.

Luka 24:13-52

Page 195: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali

wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,

mbele ya macho yao.

Page 196: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Kwasababu kutoweka ghafla kwa

Bwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa

mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayauoni tu.

Page 197: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa

(hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa

kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.

Page 198: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

Page 199: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

4.Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na WanafunziWaliomwona akipaa Mbinguni.

Matendo 1:9-11

Page 200: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa

roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo

kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).

Page 201: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11Kwasababu waliruhusiwa

kuchungulia rohoni, hivyo katika kutazama kwao, Bwana Yesu

hakutoweka ghafla katika macho yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.

Page 202: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si

mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana

Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.

Page 203: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11

Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),

hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho;

huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona

Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.

Page 204: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu

wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 205: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio

ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu

akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu

wa roho. Waebrania 11:3

Page 206: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

Page 207: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 208: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

Page 209: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 210: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.

KwahiyoHakuna kitu kinafanyka katika

mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho.

Waebrania 11:3

Page 211: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

Page 212: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

Page 213: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 214: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa

roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya

ulimwengu, tuwe watakatifu’.

Page 215: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 216: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 217: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.

Page 218: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,

watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka

nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

Page 219: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 220: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu

wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa

shida na taabu nyingi.

Page 221: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na

taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tuna baraka zetu nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

Page 222: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

Page 223: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

Page 224: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 225: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna

kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 226: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 227: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 228: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwilini.

Page 229: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI

Page 230: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

Page 231: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho2. Namna ya kwenda rohoni

Page 232: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.

Namna ya kuingia rohoni.

Page 233: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

Page 234: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote

wamtafutao”

Page 235: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NINI MAANA YA KUOMBA

Mungu yuko wapi?

Page 236: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.

Page 237: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…

Page 238: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANdio maana Biblia inasema;

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

Page 239: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MUNGU YUKO WAPI?

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba

tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua

(kujidhihirisha) kwake’Yohana 14:21,23

Page 240: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MUNGU YUKO WAPI?

“Ndani yake” maana yake nini?

Page 241: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Sehemu Kuu za Mwanadamu

Roho Roho Nafsi Mwili

Page 242: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanadamu ni 1.Mwili, 2.Nafsi, na 3.Roho.

Page 243: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Page 244: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 245: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7NyamaDamuMifupa

Mwanadamu

Mwili Nafsi Roho

Page 246: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 Mtu

Fikra HisiaMaamuzi

NAFSI ROHO

Page 247: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 248: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

Page 249: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Uwezo wa ki-Mungukatika roho yako.

Page 250: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika

ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

Page 251: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.Kujitambua

Asili ya roho yako(Wewe)

Page 252: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuitambua asili ya Mungu iliyopo“Ndani yako”

Page 253: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu

za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea

ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika

utu wetu wa ndani (roho zetu).

Page 254: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

“Ndani yetu” maana yake nini?

Page 255: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7, inasema ‘Bwana Mungu akafanya mtu

kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.

Page 256: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7, inasema

Mwili Nafsi Roho

Page 257: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, from Mwanzo 2:7 Mwanadamu ni 1. Mwili 2. Nafsi 3. Roho

Page 258: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;

Roho Nafsi Mwili

Page 259: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau

imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu

mwenyewe.

Page 260: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 261: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 262: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

Page 263: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu(sisi roho)

Page 264: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)

umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

Page 265: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo; Ndani yako (rohoni) kuna asili

ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)

Page 266: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 267: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6

Page 268: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,

ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.

Page 269: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,

“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

Page 270: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,

haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

Page 271: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu (mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,

mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu

nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’

Page 272: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).(Zaburi 82:6)

Page 273: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”

Page 274: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:11 Imani ni kuwa na uhakika wa

mambo yasiyoonekana.

Page 275: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Kwahiyo, hata kama huoni kwa macho au hujashika kwa mikono, lakini amini tu kwamba, wewe ni

Mungu mdogo duniani. Kwasababu ‘Hatuenendi kwa

kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’

Page 276: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Na huko kuamini hivyo, ndiko

kunakofungulia Nguvu za Mungu, za kuushinda ulimwengu. Imani

hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ nguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).

Page 277: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

Page 278: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu

za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea

ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika

utu wetu wa ndani (roho zetu).

Page 279: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na

Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na

dhaifu maisha;

Page 280: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na

vita dhidi ya mtu wa Mungu.

Page 281: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya

kushindwa na kuzuilika)

Page 282: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na

huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza

kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

Page 283: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa

kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe

umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.

Page 284: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Kristo Yesu.Waefeso 4:11-14

Page 285: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwa

ushindi na kwa mafanikio, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala

mazingira yake, bila kushindwa au kuzuiliwa na hali yoyote.

Page 286: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Uwezo wa ki-Mungukatika roho yako.

Page 287: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21‘Mtu akinipenda, mimi na Baba

tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake, na

kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Page 288: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Mwili Nafsi Roho

UTUKUFU

Page 289: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Knowing)

UTUKUFU

Page 290: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 291: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayoweza

kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za

kimwili/kidunia.(Physical Principles)

Page 292: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

Page 293: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 294: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu(sisi roho).

Page 295: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina maana kwamba, ndani yako

kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani tabia za Kiungu;

(Nguvu za Mungu)2Petro 1:3-4

Page 296: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Petro 1:3-4 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 297: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3-4

‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani,

ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za

uungu.’

Page 298: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6

Page 299: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,

ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.

Page 300: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala

ulimwengu wa roho na mwili.

Page 301: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili

wake ukidhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo

wake wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro

1:3-4).

Page 302: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;

Kwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo, bila

kuelezwa au kuona.

Page 303: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31

Page 304: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Page 305: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje

kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?

Page 306: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,

ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.

Page 307: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya

Mlimani.Mathayo 17:1-9

Page 308: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu

kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii

Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro anakiri kwa Bwana Yesu,

kuwatambua.

Page 309: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Page 310: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Jibu:

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,

kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Page 311: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 312: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 313: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 314: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki-Mungu iliyonayo.

Page 315: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila

kuzuiliwa na chochote.

Page 316: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

*** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF)

nguvu za Mungu na kuathiri mazingira yako, vizuri au vibaya;Inategemea tu, nafsi imeegemea

upande upi, rohoni au mwilini.

Page 317: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 318: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

Page 319: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 3:

Miujiza iliyofanywa na Wanafunzi wa Yesu.

(Matendo 5:12/19:11)

Page 320: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya

mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

Page 321: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho

itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo.

Page 322: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

Page 323: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu iliyonayo.

Page 324: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila

kuzuiliwa na chochote.

Page 325: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

Page 326: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi)

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake

(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 327: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano; Gideon na Malaika wa Mungu

Waamuzi 6:1-16‘ajionavyo mtu nafsini mwake

(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 328: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo

alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za

Mungu ndani yake.

Page 329: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona

MTUMWA.

Page 330: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu akapuuza malalamiko ya Gideoni, na

kumwambia, “(usitegemee kwamba nitakupa chochote, kwasababu

ulichonacho, kinakutosha sana, ila umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu

unavyojiona na kujiwazia.

Page 331: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kisha Malaika wa Mungu akamwambia Gideoni kwamba,

“(ukibadilisha ujavyojiona na kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda shujaa, nguvu za Mungu ndani yako zitaingia kazini) basi enenda katika

nguvu zako (hizo), ukawapige wamidiani.”

Page 332: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na

akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa

ndani yake ziliingia kazini (ON).

Page 333: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

na kujiwazia (kitumwa).

Page 334: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael

Wamidian 100 : 1 Waisrael

Page 335: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi)

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake

(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 336: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

Page 337: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujiambua Mawazo ya Ushindi

Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,

mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

Page 338: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23, 21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa,

kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa

kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’

Page 339: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa

kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika

roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

Page 340: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na

ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya

mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya

Bwana Yesu!

Page 341: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, halafu ukabaki kuwa

binadamu wa kawaida.‘Ordinary human being’‘Natural human being’

Page 342: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Roho Mtakatifu wa Mungu,

anataka kufanya uwe binadamu asiye wa kawaida (wa ajabu).‘Extra -Ordinary human being’‘Super-Natural human being’

Page 343: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Page 344: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

Page 345: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili (archmedis priciple).Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 346: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 347: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 348: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 349: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 350: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya

mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

Page 351: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 352: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na

mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako

ina uwezo wa kutawala ulimwengu wa roho na mwili.

Page 353: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 354: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 355: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba Roho wa Mungu yuko ndani

yako, na hivyo, roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia

nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;

Page 356: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila

siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa

Mungu.

Page 357: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu za

Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto

wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)

Page 358: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za

Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).

Page 359: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanahangaika na kutumia muda mwingi na gharama

kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na kulia, kutafuta msaada wa mbali,

wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; yaani nguvu za

Mungu nyingi, zimebaki zimelala ndani yao, bila kutumika.

Page 360: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!Mithali 18:20-21

Page 361: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao

wautumiao, watakula matunda yake.’

Page 362: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.

Ulimwengu uliumbwa kwa NENO la Mungu.

Yohana 1:1-4Ebrania 11:3/4:12

Page 363: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na

uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Neno

Waebrania 4:12

Page 364: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaebrania 4:12

“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

Page 365: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOYohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho)

haufai kitu’

Page 366: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”

Page 367: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12

Page 368: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho

na kubadilisha mwenendo.

Page 369: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

Page 370: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,

Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa

hilo neno maishani mwako.

Page 371: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho

mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

Page 372: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao

wautumiao, watakula matunda yake.

Page 373: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya

kinywa chako.

Page 374: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.

Page 375: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo

jema, la kumfaa msikiaji.

Page 376: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO Maneno ya nguvu za kuumba.

Yohana 1:1-4Ebrania 11:3/4:12

Page 377: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO Maneno mazuri huzaliwa na

Mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na

Mtazamo/kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza

na kutakosea kuongea.

Page 378: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

Page 379: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,

utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze

vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

Page 380: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.

a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi

Page 381: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9

Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.

Page 382: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili

tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na

(3)nguvu zilizo ndani yetu.

Page 383: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

10. Kutembea kwa Imani Mtazamo

Page 384: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12:2, Efe 4:20-24)

Page 385: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Page 386: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza

na kutakosea kuongea.

Page 387: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kutembea na nguvu za Mungu

(c) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2

Page 388: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza

na kutakosea kuongea.

Page 389: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo Maneno

Page 390: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujiambua

Mawazo ya Ushindi Mith 23:7

Page 391: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika

ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

Page 392: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi,

atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili.

Page 393: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

Page 394: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona - Kuelewa - Kujua

UTUKUFU

Page 395: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi Roho

Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)

Page 396: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasababu

imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu

mwenyewe.

Page 397: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 398: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 399: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

Page 400: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu(sisi roho).

Page 401: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)

umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

Page 402: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)

Page 403: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Page 404: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6

Page 405: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,

ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.

Page 406: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,

“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

Page 407: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,

haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

Page 408: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita

Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni

Mwana wa Mungu?’

Page 409: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

Page 410: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

Page 411: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila

kuelezwa au kuona.

Page 412: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya

Mlimani.Mathayo 17:1-9

Page 413: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu

kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii

Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro

anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.

Page 414: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Page 415: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Jibu:

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,

kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Page 416: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 417: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 418: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 419: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi Roho

Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)

Page 420: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.

Page 421: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

Page 422: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31

Page 423: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Page 424: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje

kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?

Page 425: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,

ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.

Page 426: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

Page 427: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 428: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 429: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

Page 430: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

Page 431: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.

Page 432: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

Page 433: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Page 434: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 435: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

Page 436: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko ndani yetu

(rohoni).

Page 437: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni,

kukutana na Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia

zifuatazo;

Page 438: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Page 439: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

Page 440: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada

Page 441: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto

Page 442: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono

Page 443: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono

Page 444: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba

Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

Page 445: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake

na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,

mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.

Page 446: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

Page 447: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya Ibada

“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani

mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)

Page 448: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)

Page 449: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Wewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu pa

Patakatifu Patakatifu

Uwanda Uwanda

wa Nje

Page 450: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje

Page 451: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf

Page 452: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf PPP

Page 453: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Ptf PPP

UTUKUFU

Page 454: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Fikra Hisia

UTUKUFU

Page 455: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu

(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako

kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza

rohoni mwako.

Page 456: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

Page 457: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;

“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya

kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na

kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”

Page 458: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,

utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili

Page 459: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

Page 460: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.

Page 461: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Page 462: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada

Page 463: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto

Page 464: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu

anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu

ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)

Page 465: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini, mwili wake

huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na

ulimwengu wa roho.

Page 466: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, japo mtu amelala usingizi

(mwilini), lakini roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na

kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.

Page 467: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu

anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu wa

roho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana

katika ulimwengu wa roho.

Page 468: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto Mathayo 1:20-25

20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,

“usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni

kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.

Page 469: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto21 “Naye atamzaa mwana , nawe

utamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”

(Mathayo 1:20-25)

Page 470: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,

akamchukua Maria kuwa mke wake. 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka

Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.

(Mathayo 1:20-25)

Page 471: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa

roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo

mengi, huko rohoni.

Page 472: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi

kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.

Page 473: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

Page 474: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Page 475: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada

Page 476: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto

Page 477: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono

Page 478: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu

mtu anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control.

Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri

kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)

Page 479: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni

taswira au maono ambayo mtu anayapata akiwa hajasinzia (hajalala).

Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea,

amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.

Page 480: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono(Ufunuo 1:9-10)

9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa

ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa

ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Bwana Yesu.

Page 481: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika roho siku ya

Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa

ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote

unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba nitakayokuambia.

Page 482: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15

‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa

wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za

kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’

Page 483: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15

‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana

ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika

lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’

Page 484: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

Page 485: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

Page 486: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

Page 487: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 488: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika

Ulimwengu wa roho

Page 489: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu wa roho ndio unaotawala

ulimwengu wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka

kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.

Page 490: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

Page 491: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, aliatafuta

kwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni);

na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho.

Page 492: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho, akawekeza majeshi yake

yote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa mwili na

kuwa mkuu wa dunia hii.

Page 493: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI

Zaburi 8:4-8 “Juu ya” = “Mashal”

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

Page 494: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

Page 495: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Page 496: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

Page 497: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Warumi 5:14 Kwahiyo, mauti ikatawala (shetani) tangu wakati wa

Adamu hadi wakati wa Musa; mauti iliwatawala watu wote

hata wale ambao hawakuvunja amri kama alivyofanya Adamu

Page 498: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13-15 Kwa njia ya msalaba na damu

yake, Bwana Yesu alifuta kabisa deni la dhambi (hati ya mashitaka) juu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya

aidu hadharani.

Page 499: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13-15/1:13 Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu,

ufalme wa shetani duniani, ulipinduliwa na mabadiliko ya

kimamlaka yalitokea katika Ulimwengu wa roho;

Ufunuo 11:15

Page 500: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

BAADA YA WOKOVU

Walosai 1:13 ‘Naye Mungu, alituokoa kutoka

katika nguvu za giza na kutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanaye

mpendwa, Yesu Kristo.’

Page 501: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6/1:20-23 Akatufufua pamoja naye,

akatuketisha pamoja naye, katika Ulimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu

sana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.

Page 502: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM 2

Page 503: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

BAADA YA WOKOVU

Ufunuo 11:15 Kisha, malaika wa saba akapiga

tarumbeta, na jeshi lote la mbinguni wakashangilia kwa kelele

za ushindi wakisema, ufalme wa dunia, umekwisha kuwa Ufalme wa

Bwana wetu na wa Kristo wake.

Page 504: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote

ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)

na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Page 505: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19 Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza kulishinda; na mambo yoyote

mtakayoyafunga duniani, yatakuwa yamefungwa mbinguni

(katika ulimwengu wa roho).

Page 506: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19 … na mambo yoyote

mtakayoyafungua duniani, yatakuwa yamefunguliwa mbinguni (yaani yatakuwa yamefunguliwa pia katika

ulimwengu wa roho).

Page 507: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya

Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa

kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).

Page 508: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya

falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na

kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.

Page 509: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja

falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya

falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)

Page 510: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10 Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa

damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wanafanyika Wafalme na

Makuhani; nao wanapewa kumiliki na kutawala juu ya nchi.

Page 511: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10 Mtu anapotubu dhambi zake na

kupokea wokovu wa Bwana wetu Yesu Kristo, basi anarudishiwa

mamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki na kutawala dunia (mazingira yake na

maisha yake kwa ujumla).

Page 512: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Waefeso 2:6/1:18-23 Mtu wa Mungu anapokwenda

katika ulimwengu wa roho, akitaka kuwa mshindi na mwenye

mafanikio, basi ni lazima na ni muhimu ajue mamlaka aliyonayo

katika ulimwengu wa roho.

Page 513: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

Page 514: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

Page 515: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

Page 516: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika

Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~

Page 517: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

Page 518: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

Page 519: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 520: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni

Page 521: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika

Ulimwengu wa roho

Page 522: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kuna mashindano (kuna vita),

kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa la

Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:7-12, 17

Page 523: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya

Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na

malaika zake …”

Page 524: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala

mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye

ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

Page 525: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu

wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa

chini mshitaki wa ndugu zetu”.

Page 526: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata

kufa”.

Page 527: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole

wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua

ana wakati mchache!

Page 528: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:17 17 “Joka akamkasirikia yule

mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na

kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

Page 529: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,

litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

Page 530: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano

(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa

la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17

Page 531: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

2Wakorintho 10:3-5 “Ingawa tunaenenda katika

mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili. Bali silaha zetu zina nguvu

katika Mungu (roho).”

Page 532: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12 “Kushindana kwetu (vita) si juu

ya damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi

ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”

Page 533: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12 “Vaeni silaha zote na Twaeni

silaha zote za Mungu ili muweze kushindana na falme za giza,

mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”

Page 534: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano

(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa

la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17

Page 535: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya Nabii Eliyah1Wafalme 18:41-45

Page 536: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA KIROHO

1Wafalme 18:41‘Katika ulimwengu wa roho, Mungu

alikuwa ameshatelemsha baraka walizokuwa wanahitaji katika

ulimwengu wa mwili; lakini kulikuwa na kizuizi kilichokuwa

kinaishikilia baraka yao (kinaizuia) katika ulimwengu wa roho’.

Page 537: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 538: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 539: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA KIROHOKwahiyo,

Kwa njia ya Maombi, yaani kwenda katika ulimwengu wa roho, mtu wa

Mungu ataweza kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri

ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko duniani, katika

ulimwengu wa mwilini.

Page 540: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA KIROHOKwahiyo,

Kwa njia ya Maombi, Eliya aliweza kwenda katika ulimwengu wa roho,

na kupambana na nguvu za giza zilizokuwa zinazuia baraka ya Israeli (rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu

wasifurahie maisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 541: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA KIROHOUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,

watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka

nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

Page 542: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 543: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:10-13, 2Wakorontho 10:3-5

Na sisi pia tusipopambana na nguvu za giza, baraka hizi zote

tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha ya shida na taabu.

Page 544: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

Page 545: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

Page 546: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

Page 547: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika

Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~

Page 548: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(4) Hatujui namna ya kupigana na kushindana na nguvu za giza, katika Ulimwengu wa roho.

~ Kutojua ~

Page 549: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna

kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 550: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 551: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 552: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 553: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20

Page 554: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 555: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 556: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Vita ya Siku 3

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Page 557: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalme mfalme mfalme

Page 558: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Page 559: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 560: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 561: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 562: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 563: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 564: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Page 565: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 566: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa roho, ndipo ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.

Page 567: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

Page 568: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 569: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 570: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 571: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 572: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

Page 573: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,

‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,

tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)

Page 574: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama

huna mamlaka ya kiroho.

Page 575: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Page 576: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda

rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani

anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)

Page 577: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani

juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13

Page 578: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silaha

1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10-11,13

Page 579: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)

Page 580: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani

(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati

hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma

(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)

Page 581: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)

Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)

Page 582: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni

(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)

Page 583: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila

mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)

Page 584: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi

(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.

(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)

Page 585: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)

(Waefeso 6:13)

Page 586: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

Page 587: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.

Yoh 1:1-4

Page 588: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

Page 589: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12

Page 590: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na

mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91

Page 591: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

Page 592: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

Page 593: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

Page 594: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 595: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 596: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 597: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

Page 598: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote

ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)

na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Page 599: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19 ‘milango ya kuzimu haitaweza

kulishinda kanisa nililojenga; na mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa

yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).

Page 600: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya

falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na

kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.

Page 601: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja

falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya

falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)

Page 602: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya

Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa

kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).

Page 603: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

Page 604: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho

inavyotakiwa, zitapindua kanuni za kimwili, ili mambo yako ya mwilini,

yafanyike na kukamilika, sawa sawa na mapenzi ya Mungu, hata ikibidi, iwe bila kupitia katika njia za kawaida za

kimwili.

Page 605: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

Page 606: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

Page 607: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 608: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni

Page 609: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni 5. Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)

Page 610: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza

Kuuathiri Ulimwengu wa Roho

Page 611: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na

kuuingiza kazini Mkono wa Mungu

Isaya 45:11

Page 612: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni

Page 613: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 614: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa

yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua

ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni

Page 615: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya

kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi

kuwa kichaa kwa muda.

Page 616: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi

(Waombaji) Isaya 62:7-11

Page 617: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18

Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,

mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote

za kisayansi za mvua kunyesha.

Page 618: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18

Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za

kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na

nchi ikazaa matunda yake.

Page 619: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43

Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika

na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.

Page 620: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43

Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida

yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.

Page 621: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26-40

Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa

Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi

nyingine bila kutumia usafiri.

Page 622: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 623: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Page 624: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Page 625: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Page 626: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Page 627: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila

kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Page 628: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,

(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Page 629: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 630: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze

kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au

zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).

Page 631: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7-8

Page 632: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

Page 633: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili.Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 634: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote

wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 635: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 636: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 637: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 638: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 639: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 640: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 641: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi ya

kuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika

ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.

Waefeso 6:12

Page 642: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 643: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia

alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21

Page 644: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na

ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na

mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6

Page 645: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa

roho ndio ulioumbwa kwanza, kisha ukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo,

mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala

ulimwengu wa mwili.

Page 646: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;

kwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 647: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo

katika ulimwengu wa mwili.

Page 648: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika

ulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,

kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.

Page 649: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

Page 650: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:20-21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua

na sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali

alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho.

Page 651: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

Page 652: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physical

creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama

tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.

Page 653: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.

Page 654: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

Page 655: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

Page 656: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

Page 657: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke

Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’

Ezekieli 37:1-14

Page 658: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5

Page 659: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)

Page 660: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)

Page 661: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)

Page 662: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja

1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14-27

Page 663: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha

ulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta

mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu,

duniani.

Page 664: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu, Bidii na Nidhamu ya

kimaombi

Page 665: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18

Kut 34:29-35

Page 666: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19

Kut 33:7-11

Page 667: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19

Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini

Joshua aliweza kukaa siku zote 40.

Page 668: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo

wa MunguKutoka 33:7-11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa

Mungu hata kwa muda wa ziada .

Page 669: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.

(Inakupa kibali mbele za Mungu)

Page 670: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia

Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli

yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa

pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)

Page 671: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4

Page 672: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa

katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na

nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.

(Inampa kibali mbele za Mungu)

Page 673: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19

Page 674: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu

ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Page 675: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.

Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba

kwa muda mrefu. Luka 22:40-46

Page 676: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi

kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi

tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46

Page 677: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu

maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

Page 678: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Atukuzwe Mungu, awezaye

kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo au

tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.

Page 679: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Page 680: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

Page 681: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

Lengo letu ni kujifunzaKUITAMBUA

ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

Page 682: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

2Petro 1:3-43 Kwakuwa uweza wake (yaani,

nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili

ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

Page 683: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia

ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa

kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa

sababu ya tamaa mbaya.

Page 684: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6

Page 685: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,

ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.

Page 686: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,

“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

Page 687: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,

haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

Page 688: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu (mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,

mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu

nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’

Page 689: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).(Zaburi 82:6)

Page 690: KUUFAHAMU NA KUUTAWALA  ULIMWENGU WA ROHO  KWA

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”