Upload
lexiss
View
372
Download
25
Embed Size (px)
DESCRIPTION
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA. NGUVU YA MAOMBI Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA. NGUVU YA MAOMBI 2Petro 1:3-4. 2Petro 1:3-4 - PowerPoint PPT Presentation
Citation preview
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU
WA ROHO KWA
NGUVU YA MAOMBI
Mwalimu,Mgisa Mtebe0713 497 654
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU
WA ROHO KWA
NGUVU YA MAOMBI
2Petro 1:3-4
2Petro 1:3-43 Kwakuwa uweza wake (yaani,
nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili
ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia
ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa
kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa
sababu ya tamaa mbaya.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
SummaryKUSUDI LA KANISA
1.KUMILIKI NA KUTAWALA
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
SummaryKUSUDI LA KANISA
1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
SummaryKUSUDI LA KANISA
1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,2826 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili
heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako
ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
(yaani kanisa).
KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 5:8-10
Ufalme Makuhani
Kutawala Ibada
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu
duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,
alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha
mamlaka ya Mungu duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata
umemwangalia hivi? Umemfanya mdogo
kidogo tu kuliko Mungu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu na
heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini
ya miguu yake…
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All)
= Mkuu = Mtawala
“Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi
= Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
18 Na milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa
langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo
mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni);
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa
(mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana,
bali nchi amewapa wanadamu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,
Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili
atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mwanzo 1:26-18
Kwanini ni lazimaKuitawala Dunia?
(kuitiisha)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kuna kuna upinzaniwa adui shetani
(vita na mapambano)
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya
Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “ambaye ni baba wa uongo,
na mkiani mwake anakokota theluthi (1/3) ya nyota za
mbinguni (malaika wa Mungu) …
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni,
katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika
zake aliowadanganya …”
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye
ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu
wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa
chini mshitaki wa ndugu zetu”.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la
ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata
kufa”.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole
wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua
ana wakati mchache!
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule
mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na
kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19
Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu
(nguvu za giza) haitaweza kulishinda kanisa langu
nitakalolijenga’
VITA VYA ROHONI
Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani,
kwasababu, kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu
(kanisa la Bwana Yesu).”(Mathayo 16:18)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kutawala Ni Mfano na
Asili ya Baba yetu
‘Mfalme wa wafalme’
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Ni Mfano/Asili ya Baba yetuMwanzo 1:26,28
‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu,
wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa
dunia’.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mwanzo 1:26-18
Kwanini ni lazimaKuitawala Dunia?
(kuitiisha)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kuna kuna upinzaniwa adui shetani
(vita na mapambano)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu,
kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katika
mbingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada
za malaika wa mbinguni.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini
kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndio
maana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa
Mungu, yaani mimi na wewe (kanisa).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafuta namna ya kumpiga
binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka
duniani (kwa watoto wa Mungu).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo
kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui
shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha
yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na
kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,
(Mwanzo 1:26-28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda
wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha
yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)
VITA VYA ROHONI
Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la
Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU
WA ROHO KWA
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:16-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu ya
nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa mfano; Yesu na Petro kutembea juu
ya maji.Mathayo 14:25-33
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
25 Wakati wa zamu ya nne ya usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12
alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji
(kinyume na kanuni za asili).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya
maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’
Wakapiga yowe kwa kuogopa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
27 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni
moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28 Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako
nikitembea juu ya maji.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-3329 Yesu akamwambia, “Njoo.’’
Basi Petro akatoka kwenyen chombo, akatembea juu ya maji
kumwelekea Yesu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-3330 Lakini alipoona upepo mkali
aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu akanyosha mkono Wake na kumshika, akamwambia, …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-3331 … “Wewe mwenye imani
haba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya
chombo, upepo ukakoma.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-3333 Ndipo wote waliokuwamo
ndani ya kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema, “Hakika, Wewe ndiwe Mwana
wa Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Makusudi ya Mungu ni sisi kanisa lake, tukue kiroho na
tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe
Yohana 14:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12“Amin, amin, nawaambia, kila
mtu aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo, yeye naye
atazifanya, na hata kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa
sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1511 Yeye ndiye aliyeweka wengine
kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa
wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa
walimu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1512 kwa kusudi la kuwakamilisha
watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa
Kristo upate kujengwa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1513 mpaka sote tutakapoufikia
umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho,
hata kufikia cheo (level) ya kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1514 Ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja,
kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1515 Badala yake, tukiambiana
kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa,
yaani, Yesu Kristo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa mfano; Petro na Yohana kumponya
kilema wa miaka 40.Matendo 3:1-10
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-101. Siku moja Petro na
Yohana walikuwa wanapanda kwenda
hekaluni kusali yapata saa tisa alasiri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-102 Basi palikuwa na mtu mmoja
aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango la
hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu
wanaoingia hekaluni.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-103 Huyu mtu akiwaona Petro na
Yohana wakikaribia kuingia hekaluni, aliwaomba wampe
sadaka.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-104 Wakamkazia macho, kisha
Petro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’
5 Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka
kwao.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-106 Ndipo Petro akamwambia,
‘‘Sina fedha wala dhahabu, lakini kile nilicho nacho
ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti simama,
uende.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-107 Petro akamshika yule mtu
kwa mkono wa kuume akamwinua, mara nyayo zake
na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-108 Akaruka juu na kusimama,
akaanza kutembea. Kisha akaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, huku akitembea na kurukaruka
na kumsifu Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-109 Watu wote walipomwona
akitembea na kumsifu Mungu, 10 wakamtambua
kuwa ni yule mtu aliyekuwa akiketi nje ya hekalu penye
lango liitwalo Zuri …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-1010 … akiomba msaada, nao
wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale
yaliyomtukia.
Lengo letu ni kujifunzaKUITAMBUA
ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU
ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA
MBELE ZA MUNGUAU
NAMNA YA KUOMBASAWA SAWA
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,
Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Ombeni nanyi mtapewa, Kwa maana kila aombaye
Hupokea (hupewa) …(Mathayo 7:7-11)
NAMNA YA KUOMBA
Na wachache wanaoombaBiblia anasema;
“Mnaomba na hata hampati, Kwasababu mnaomba vibaya”
(Yakobo 4:3)
NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha
yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)
NGUVU YA MAOMBI
NAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHI
HATA KULETA MABADILIKO DUNIANI.
NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO
NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
NAMNA YA KUOMBAKwahiyo
Hebu tujifunze sasa;
1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika
katika Ulimwengu wa roho ...
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ni nini?
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu
visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;
Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)
havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana na
• Vitu vinavyoonekana
NGUVU YA MAOMBI ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w
Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo
vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika.
(Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu vinavyoonekana(Vitu vya Kimwili)
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana
Na vyote viko kwa pamoja
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakini
hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).
(2 Wakorintho 4:18)
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande
mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni
ulimwengu mmoja, ila una pande mbili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!
(2Wakorintho 4:18)
Ulimwengu wa Roho
Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio
ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu
akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu
wa roho. (Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwa Mfano Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
Milele
Ulimwengu wa roho Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
Ulimwengu wa Mwili
Torati na Manabii Kuzaliwa Injili
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa
Milele
Ulimwengu wa roho Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3 ½ 3 ½ 3 ½
600 Injili Kanisa Dhiki
Ulimwengu wa Roho 700 2000
Ulimwengu wa Mwili
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
Milele
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu
wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoKwahiyo
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga
mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-
mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za
kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,
alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na
ndio maana mvua haikunyesha.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi
yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo
hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na
nchi ikazaa matunda yake.
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya1Wafalme 18:41-44;
Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41)
Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake
aliyeisikia, na kutoa tangazo.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)
Ulimwengu wa Mwili
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Japo hakukuwa na kanuni zozote za
kisayansi za kuruhusu mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya
maombi, alikwenda rohoni, akaathiri kanuni zinazosababisha mvua mwili,
na ndio maana mvua ikanyesha.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi
/ / / / / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /
/ / / / / / / / / / / / / / /
/ / / / / / / / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / /
/ / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / /
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana na
• Vitu vinavyoonekana
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Yaani kuna upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!
(2Wakorintho 4:18)
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ni kama vile karatasi, ina upande wa mbele na ina
upande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kina
upande wa mbele na wa nyuma.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ni kama vile mkono wako (kiganja cha mkono) kina
upande wa mbele na wa nyuma. Lakini ni mkono mmoja, ila una apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo
na dunia yetu.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1.Kwa Mfano wa
Nabii Elisha na Gehazi.2 Wafalme 6:8-17
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17Elisha, alipokuwa amezungukwa na
maadui, Gehazi alipatwa na hofu na woga, kwasababu hakujua
kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka. Ni kwasababu
pale pale, ila ni katika upande usioonekana (rohoni).
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke, ndipo Gehazi akawaona malaika wengi
wa mbinguni waliowazunguka pande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa
pili wa dunia (rohoni).
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17Malaika wanaoneka hapa,
hawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku zote pamoja nao, ila huwa wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayajaruhusiwa kuuona.
Ulimwengu wa Roho
2 Wafalme 6:8-17Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa
mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayajaruhusiwa kuuona.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2.Kwa Mfano wa
Nabii Eliya na Elisha.2 Wafalme 2:7-15
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Kama Eliya angetoweka ghafla
mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na
kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya
rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali
angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona
mwanzo na mwisho wa kuondoka kwa Eliya; kwasababu
anaruhusiwa (anawezeshwa) kuchungulia rohoni.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
3.Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na WanafunziWawili wa Emmaus.
Luka 24:13-52
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali
wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,
mbele ya macho yao.
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Kwasababu kutoweka ghafla kwa
Bwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa
mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayauoni tu.
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa
(hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa
kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
4.Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na WanafunziWaliomwona akipaa Mbinguni.
Matendo 1:9-11
Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa
roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo
kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).
Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11Kwasababu waliruhusiwa
kuchungulia rohoni, hivyo katika kutazama kwao, Bwana Yesu
hakutoweka ghafla katika macho yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.
Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si
mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana
Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.
Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11
Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),
hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho;
huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona
Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu
wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa Roho
Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio
ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu
akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu
wa roho. Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.
KwahiyoHakuna kitu kinafanyka katika
mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho.
Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, tuwe watakatifu’.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,
Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,
watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka
nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu
wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa
shida na taabu nyingi.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na
taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tuna baraka zetu nyingi sana
kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna
kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi,
Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwilini.
NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho2. Namna ya kwenda rohoni
NAMNA YA KUOMBA
2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.
Namna ya kuingia rohoni.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA
Mungu yuko wapi?
NAMNA YA KUOMBAKwasababu,
Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
NAMNA YA KUOMBANdio maana Biblia inasema;
“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
(Waebrania 11:6)
MUNGU YUKO WAPI?
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba
tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua
(kujidhihirisha) kwake’Yohana 14:21,23
MUNGU YUKO WAPI?
“Ndani yake” maana yake nini?
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Sehemu Kuu za Mwanadamu
Roho Roho Nafsi Mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwanadamu ni 1.Mwili, 2.Nafsi, na 3.Roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7NyamaDamuMifupa
Mwanadamu
Mwili Nafsi Roho
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7 Mtu
Fikra HisiaMaamuzi
NAFSI ROHO
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Uwezo wa ki-Mungukatika roho yako.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Yohana 14:23, 21
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.
(rohoni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1.Kujitambua
Asili ya roho yako(Wewe)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kuitambua asili ya Mungu iliyopo“Ndani yako”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu
za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea
ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
utu wetu wa ndani (roho zetu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
“Ndani yetu” maana yake nini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 2:7, inasema ‘Bwana Mungu akafanya mtu
kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 2:7, inasema
Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, from Mwanzo 2:7 Mwanadamu ni 1. Mwili 2. Nafsi 3. Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;
Roho Nafsi Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau
imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu
mwenyewe.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu ndiye asili yetu(sisi roho)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)
umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo; Ndani yako (rohoni) kuna asili
ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna
uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!
Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.
Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,
haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu
limewajia …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye
Baba ameniweka wakfu (mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,
mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu
nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu
mdogo duniani).(Zaburi 82:6)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:11 Imani ni kuwa na uhakika wa
mambo yasiyoonekana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1Kwahiyo, hata kama huoni kwa macho au hujashika kwa mikono, lakini amini tu kwamba, wewe ni
Mungu mdogo duniani. Kwasababu ‘Hatuenendi kwa
kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1Na huko kuamini hivyo, ndiko
kunakofungulia Nguvu za Mungu, za kuushinda ulimwengu. Imani
hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ nguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu
za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea
ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
utu wetu wa ndani (roho zetu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na
Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na
dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na
vita dhidi ya mtu wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na
huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza
kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao
karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe
umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha
Kristo Yesu.Waefeso 4:11-14
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwa
ushindi na kwa mafanikio, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala
mazingira yake, bila kushindwa au kuzuiliwa na hali yoyote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Uwezo wa ki-Mungukatika roho yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:23, 21‘Mtu akinipenda, mimi na Baba
tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake, na
kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Mwili Nafsi Roho
UTUKUFU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Knowing)
UTUKUFU
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayoweza
kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za
kimwili/kidunia.(Physical Principles)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu ndiye asili yetu(sisi roho).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina maana kwamba, ndani yako
kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani tabia za Kiungu;
(Nguvu za Mungu)2Petro 1:3-4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Petro 1:3-4 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3-4
‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani,
ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za
uungu.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!
Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala
ulimwengu wa roho na mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili
wake ukidhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo
wake wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro
1:3-4).
Uwezo wa roho ya Mtu
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;
Kwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo, bila
kuelezwa au kuona.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 1:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje
kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Jibu:
Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,
ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 2:Yesu, Musa na Eliya;
Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya
Mlimani.Mathayo 17:1-9
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu
kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii
Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro anakiri kwa Bwana Yesu,
kuwatambua.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Jibu:
Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,
kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki-Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila
kuzuiliwa na chochote.
Uwezo wa roho ya Mtu
*** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF)
nguvu za Mungu na kuathiri mazingira yako, vizuri au vibaya;Inategemea tu, nafsi imeegemea
upande upi, rohoni au mwilini.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 3:
Miujiza iliyofanywa na Wanafunzi wa Yesu.
(Matendo 5:12/19:11)
Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya
mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-
Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila
kuzuiliwa na chochote.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi)
Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano; Gideon na Malaika wa Mungu
Waamuzi 6:1-16‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo
alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za
Mungu ndani yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye
alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona
MTUMWA.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu akapuuza malalamiko ya Gideoni, na
kumwambia, “(usitegemee kwamba nitakupa chochote, kwasababu
ulichonacho, kinakutosha sana, ila umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu
unavyojiona na kujiwazia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kisha Malaika wa Mungu akamwambia Gideoni kwamba,
“(ukibadilisha ujavyojiona na kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda shujaa, nguvu za Mungu ndani yako zitaingia kazini) basi enenda katika
nguvu zako (hizo), ukawapige wamidiani.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na
akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa
ndani yake ziliingia kazini (ON).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona
na kujiwazia (kitumwa).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote
ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael
Wamidian 100 : 1 Waisrael
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi)
Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujiambua Mawazo ya Ushindi
Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,
mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23, 21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa,
kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa
kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa
kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika
roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na
ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya
mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya
Bwana Yesu!
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12, Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, halafu ukabaki kuwa
binadamu wa kawaida.‘Ordinary human being’‘Natural human being’
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12, Roho Mtakatifu wa Mungu,
anataka kufanya uwe binadamu asiye wa kawaida (wa ajabu).‘Extra -Ordinary human being’‘Super-Natural human being’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili (archmedis priciple).Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya
mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na
mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako
ina uwezo wa kutawala ulimwengu wa roho na mwili.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba Roho wa Mungu yuko ndani
yako, na hivyo, roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia
nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila
siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa
Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu za
Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto
wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu
wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za
Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanahangaika na kutumia muda mwingi na gharama
kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na kulia, kutafuta msaada wa mbali,
wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; yaani nguvu za
Mungu nyingi, zimebaki zimelala ndani yao, bila kutumika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao
wautumiao, watakula matunda yake.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.
Ulimwengu uliumbwa kwa NENO la Mungu.
Yohana 1:1-4Ebrania 11:3/4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na
uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Neno
Waebrania 4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaebrania 4:12
“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOYohana 6:63
‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho)
haufai kitu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:6
“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno
Waebrania 4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17
Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho
na kubadilisha mwenendo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa
hilo neno maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho
mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao
wautumiao, watakula matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 6:2
Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya
kinywa chako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWakolosai 3:16
Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaefeso 4:29
Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo
jema, la kumfaa msikiaji.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO Maneno ya nguvu za kuumba.
Yohana 1:1-4Ebrania 11:3/4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO Maneno mazuri huzaliwa na
Mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na
Mtazamo/kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza
na kutakosea kuongea.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,
utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze
vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.
a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9
Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19
Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili
tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na
(3)nguvu zilizo ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
10. Kutembea kwa Imani Mtazamo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7
‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’
(Rum 12:2, Efe 4:20-24)
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo
Kutembea na nguvu za Mungu
Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo
mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza
na kutakosea kuongea.
Kutembea na nguvu za Mungu
(c) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2
Kutembea na nguvu za Mungu
Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo
mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza
na kutakosea kuongea.
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujiambua
Mawazo ya Ushindi Mith 23:7
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Yohana 14:23, 21
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.
(rohoni)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi,
atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona - Kuelewa - Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili Nafsi Roho
Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasababu
imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu
mwenyewe.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu ndiye asili yetu(sisi roho).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)
umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna
uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!
Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.
Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,
haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu
limewajia …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye
Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita
Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni
Mwana wa Mungu?’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila
kuelezwa au kuona.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 1:Yesu, Musa na Eliya;
Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya
Mlimani.Mathayo 17:1-9
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu
kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii
Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro
anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Jibu:
Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,
kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili Nafsi Roho
Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-
Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,
hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa
usahihi kabisa, bila kubahatisha.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 2:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje
kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Jibu:
Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,
ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-
Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,
hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa
usahihi kabisa, bila kubahatisha.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko ndani yetu
(rohoni).
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Kwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni,
kukutana na Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia
zifuatazo;
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi
“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba
Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
(Waebrania 11:6)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake
na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,
mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya Ibada
“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani
mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)
MUNGU ANAKAA WAPI?
Mungu anaishi ndani yetu!
Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)
Wewe ni HEKALU la Mungu
Patakatifu pa
Patakatifu Patakatifu
Uwanda Uwanda
wa Nje
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
Nje
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
Nje Ptf
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
Nje Ptf PPP
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Nje Ptf PPP
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Nje Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu
(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako
kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza
rohoni mwako.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;
“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya
kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na
kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,
utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu
anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu
ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini, mwili wake
huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na
ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, japo mtu amelala usingizi
(mwilini), lakini roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na
kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu
anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu wa
roho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana
katika ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto Mathayo 1:20-25
20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,
“usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni
kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto21 “Naye atamzaa mwana , nawe
utamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,
akamchukua Maria kuwa mke wake. 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka
Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa
roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo
mengi, huko rohoni.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi
kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu
mtu anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control.
Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri
kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni
taswira au maono ambayo mtu anayapata akiwa hajasinzia (hajalala).
Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea,
amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono(Ufunuo 1:9-10)
9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa
ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa
ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Bwana Yesu.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika roho siku ya
Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa
ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote
unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba nitakayokuambia.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15
‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa
wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za
kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15
‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana
ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika
lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NAMNA YA KUOMBA
3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika
Ulimwengu wa roho
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu wa roho ndio unaotawala
ulimwengu wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka
kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, aliatafuta
kwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni);
na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho, akawekeza majeshi yake
yote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa mwili na
kuwa mkuu wa dunia hii.
MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI
Zaburi 8:4-8 “Juu ya” = “Mashal”
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Warumi 5:14 Kwahiyo, mauti ikatawala (shetani) tangu wakati wa
Adamu hadi wakati wa Musa; mauti iliwatawala watu wote
hata wale ambao hawakuvunja amri kama alivyofanya Adamu
BAADA YA WOKOVU
Walosai 2:13-15 Kwa njia ya msalaba na damu
yake, Bwana Yesu alifuta kabisa deni la dhambi (hati ya mashitaka) juu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya
aidu hadharani.
BAADA YA WOKOVU
Walosai 2:13-15/1:13 Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu,
ufalme wa shetani duniani, ulipinduliwa na mabadiliko ya
kimamlaka yalitokea katika Ulimwengu wa roho;
Ufunuo 11:15
BAADA YA WOKOVU
Walosai 1:13 ‘Naye Mungu, alituokoa kutoka
katika nguvu za giza na kutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanaye
mpendwa, Yesu Kristo.’
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:6/1:20-23 Akatufufua pamoja naye,
akatuketisha pamoja naye, katika Ulimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu
sana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM 2
BAADA YA WOKOVU
Ufunuo 11:15 Kisha, malaika wa saba akapiga
tarumbeta, na jeshi lote la mbinguni wakashangilia kwa kelele
za ushindi wakisema, ufalme wa dunia, umekwisha kuwa Ufalme wa
Bwana wetu na wa Kristo wake.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote
ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)
na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Mathayo 16:18-19 Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza kulishinda; na mambo yoyote
mtakayoyafunga duniani, yatakuwa yamefungwa mbinguni
(katika ulimwengu wa roho).
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Mathayo 16:18-19 … na mambo yoyote
mtakayoyafungua duniani, yatakuwa yamefunguliwa mbinguni (yaani yatakuwa yamefunguliwa pia katika
ulimwengu wa roho).
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya
Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa
kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya
falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na
kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja
falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya
falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8-10 Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa
damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wanafanyika Wafalme na
Makuhani; nao wanapewa kumiliki na kutawala juu ya nchi.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8-10 Mtu anapotubu dhambi zake na
kupokea wokovu wa Bwana wetu Yesu Kristo, basi anarudishiwa
mamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki na kutawala dunia (mazingira yake na
maisha yake kwa ujumla).
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Waefeso 2:6/1:18-23 Mtu wa Mungu anapokwenda
katika ulimwengu wa roho, akitaka kuwa mshindi na mwenye
mafanikio, basi ni lazima na ni muhimu ajue mamlaka aliyonayo
katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana
kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika
Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika
Ulimwengu wa roho
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kuna mashindano (kuna vita),
kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa la
Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:7-12, 17
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya
Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na
malaika zake …”
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye
ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu
wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa
chini mshitaki wa ndugu zetu”.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la
ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata
kufa”.
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole
wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua
ana wakati mchache!
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:17 17 “Joka akamkasirikia yule
mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na
kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,
litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano
(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17
VITA VYA ROHONI
2Wakorintho 10:3-5 “Ingawa tunaenenda katika
mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili. Bali silaha zetu zina nguvu
katika Mungu (roho).”
VITA VYA ROHONI
Waefeso 6:12 “Kushindana kwetu (vita) si juu
ya damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi
ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”
VITA VYA ROHONI
Waefeso 6:12 “Vaeni silaha zote na Twaeni
silaha zote za Mungu ili muweze kushindana na falme za giza,
mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano
(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONI
Rejea habari ya
Maombi ya Nabii Eliyah1Wafalme 18:41-45
VITA VYA KIROHO
1Wafalme 18:41‘Katika ulimwengu wa roho, Mungu
alikuwa ameshatelemsha baraka walizokuwa wanahitaji katika
ulimwengu wa mwili; lakini kulikuwa na kizuizi kilichokuwa
kinaishikilia baraka yao (kinaizuia) katika ulimwengu wa roho’.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
VITA VYA KIROHOKwahiyo,
Kwa njia ya Maombi, yaani kwenda katika ulimwengu wa roho, mtu wa
Mungu ataweza kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri
ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko duniani, katika
ulimwengu wa mwilini.
VITA VYA KIROHOKwahiyo,
Kwa njia ya Maombi, Eliya aliweza kwenda katika ulimwengu wa roho,
na kupambana na nguvu za giza zilizokuwa zinazuia baraka ya Israeli (rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu
wasifurahie maisha katika ulimwengu wa mwili.
VITA VYA KIROHOUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,
watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka
nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:10-13, 2Wakorontho 10:3-5
Na sisi pia tusipopambana na nguvu za giza, baraka hizi zote
tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha ya shida na taabu.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana
kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika
Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(4) Hatujui namna ya kupigana na kushindana na nguvu za giza, katika Ulimwengu wa roho.
~ Kutojua ~
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna
kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONI
Rejea habari ya
Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Vita ya Siku 3
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3
Ulimwengu wa Mwili
Siku 24
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalme mfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3
Ulimwengu wa Mwili
Siku 24
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu
kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa roho, ndipo ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
NGUVU YA MAOMBI
Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,
‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,
tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)
VITA VYA KIROHO
Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama
huna mamlaka ya kiroho.
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda
rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani
anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani
juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Aina kuu 2 za silaha
1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)
Waefeso 6:12, 10-11,13
NAMNA YA KUOMBA
1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani
(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati
hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma
(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)
Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni
kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni
(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)
Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila
mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi
(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.
(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)
NAMNA YA KUOMBA
2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)
(Waefeso 6:13)
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo
Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.
Yoh 1:1-4
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7
Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu
ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na
mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo
Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote
ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)
na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Mathayo 16:18-19 ‘milango ya kuzimu haitaweza
kulishinda kanisa nililojenga; na mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa
yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya
falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na
kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja
falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya
falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya
Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa
kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho
inavyotakiwa, zitapindua kanuni za kimwili, ili mambo yako ya mwilini,
yafanyike na kukamilika, sawa sawa na mapenzi ya Mungu, hata ikibidi, iwe bila kupitia katika njia za kawaida za
kimwili.
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni 5. Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
NAMNA YA KUOMBA
5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza
Kuuathiri Ulimwengu wa Roho
NGUVU YA MAOMBI
Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na
kuuingiza kazini Mkono wa Mungu
Isaya 45:11
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19
Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa
yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua
ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni
NAMNA YA KUOMBA
Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya
kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi
kuwa kichaa kwa muda.
NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17
Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi
(Waombaji) Isaya 62:7-11
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18
Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,
mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote
za kisayansi za mvua kunyesha.
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18
Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za
kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na
nchi ikazaa matunda yake.
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43
Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika
na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43
Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida
yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.
NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26-40
Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa
Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi
nyingine bila kutumia usafiri.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila
kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,
(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11
Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze
kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au
zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).
Ulimwengu wa Roho
‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
Yohana 14:12/16:7-8
Ulimwengu wa Roho
Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili.Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote
wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi ya
kuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika
ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.
Waefeso 6:12
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia
alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.
Waefeso 1:18-21
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na
ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na
mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.
Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa
roho ndio ulioumbwa kwanza, kisha ukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo,
mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala
ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;
kwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho
kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika
ulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,
kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:20-21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua
na sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali
alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physical
creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama
tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUOMBA
NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri
Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa
Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’
(Kuanzia leo Ufe kabisa)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke
Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’
Ezekieli 37:1-14
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19
‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja
1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho
Wafalme 5:14-27
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha
ulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta
mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu,
duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu, Bidii na Nidhamu ya
kimaombi
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18
Kut 34:29-35
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19
Kut 33:7-11
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19
Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini
Joshua aliweza kukaa siku zote 40.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo
wa MunguKutoka 33:7-11
Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa
Mungu hata kwa muda wa ziada .
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa Mungu
Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.
(Inakupa kibali mbele za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia
Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli
yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa
pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa
katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na
nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.
(Inampa kibali mbele za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu
ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.
Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba
kwa muda mrefu. Luka 22:40-46
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi
kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi
tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda
mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 3:20Atukuzwe Mungu, awezaye
kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo au
tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
Lengo letu ni kujifunzaKUITAMBUA
ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU
2Petro 1:3-43 Kwakuwa uweza wake (yaani,
nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili
ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia
ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa
kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa
sababu ya tamaa mbaya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!
Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.
Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,
haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu
limewajia …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye
Baba ameniweka wakfu (mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,
mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu
nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu
mdogo duniani).(Zaburi 82:6)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”